Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Fursa za Kukuza Uchumi na Demokrasia kwa Kutumia Lugha za Jamii Kuandika au kurekodi masimulizi ya hadithi za jadi na maarifa ya jamii; Redio za jamii na magazeti ya kata na vijiji kuhusu maisha ya jamii husika, changamoto na mbinu za mafanikio; Mabango na vipeperushi vya kampeni kuhusu magonjwa kama malaria, ukimwi, kifua kikuu, matende, na uzazi salama; Matangazo ya biashara, sera na sheria; Vitabu vya kamusi na sarufi na vitabu vya kufundishia lugha. Nakala za machapisho ya Mradi yanapatikana kwenye Ofisi za Mradi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, CASS, Idara ya Lugha za Kigeni na Isimu, na zitaonyeshwa wakati wa Kongamano litakalofanyika Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Mnakaribishwa
Ramani ya Lugha za Tanzania
(Ni sehemu ya Atlasi ya Lugha za Tanzania)