Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
tz
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1103 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 13-19, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs
Uk. 5
Mauwaji ya kutisha kijiji kwa kijiji Watu waswali na silaha mgongoni Kanisa Katoliki lafurika wakimbizi
Baadhi ya wapiganaji wanaosababisha mauaji ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR).
Inaendelea Uk. 8
haki ndani ya Tanganyika (Tanzania) huru. Hayo yamebainishwa na baadhi ya Masheikh wakitoa
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Makala
AN-NUUR
AN-NUUR
uwanjani, sifa ambazo k we l i a l i k u wa n a z o Mzee Madiba, basi w e n g i n e n a o wa n a wajibu wa kumuenzi k wa k u j i f u n z a k wa Mandela, kutenda yale aliyokuwa akiyatenda Madiba wakati wa uhai wake kwenye nafasi zao. Bila shaka Askofu Tutu alijua fika kwamba siku ile kulikuwa na idadi kubwa ya viongozi wa dola, taasisi na Jumuia za Kimataifa waliohudhuria katika maombolezo yale. Alitambua kuwa wengi waliomsifia Mandela, inawezekana hawana na wala hawajafanya yanayostahili sifa kama za Mandela katika nafasi zao, zaidi ya kudhulumu. Alijua kuwa wengi wao walisifia ikiwa ni katika kumpamba tu mtu kama sehemu ya kutimiza wajibu, baada ya mhusika kufa. Na haya kwetu sisi tunaona yamekuwa mazoea kwa wengi, kusifiwa marehemu mdomoni kupamba msiba. Kama alivyobainisha Askofu Tutu, tunaona kwamba viongozi, hasa wa l e wa d o l a wa n a wajibu wa kujifunza kwa Mandela katika kuwaongoza watu wao. Wanaweza wasifikie kiwango na uwezo wa Mandela, lakini kwa kujifunza kutoka kwake, wanaweza kufanikiwa katika uongozi wao. Wanaporudi kutoka Johannesburg wajiulize, katika nchi zao hali ya rushwa ikoje, ubaguzi (siku hizi zaidi ni wa kidini, kikabila) ukoje, vipi hali ya ubadhirifu wa mali za umma katika serikali zao, rushwa katika taasisi za serikali, vipi hali ya dhulma n.k. Si vibaya kusifia, lakini ni vizuri zaidi tukajifunza kwa tunayemsifia.
Inaendelea Uk. 3
Habari
AN-NUUR
Inatoka Uk. 2 hiyo inatokana na mapitio mengi ambayo Waislamu wamekutana nayo tokea Tanganyika ipate Uhuru huku Waislamu wakitendewa ndivyo sivyo katika awamu zote nne za utawala. Alisema, ukianzia mwaka 1961, kumbukumbu inaonyesha Masheikh wengi walikamatwa na wengine waliwekwa ndani. H a wa k u t e n d e wa h a k i kama wananchi wengine, bali wakati mwingine kwa makusudi kabisa walibaguliwa na kuhujumiwa. Na hiyo ilikuwa ni baada ya kufanya kazi kubwa ya kudai uhuru. Ukija mwaka 1964, ni misukosuko tu mpaka 1993, hali bado ni tete kwa Waislamu kila wanapo simama na kueleza kutaka usawa hujikuta wakiandamwa. Masheikh wetu wamepigwa sana na kuumizwa na wengine kusababishiwa vifo mara baada ya kutoka magerezani, wengine kufunguliwa kesi n a k u k o s a u s h a h i d i wa mashitaka wanayopewa. Alisema Imam Hamza. A k i g u s i a m a t u k i o ya mwaka 1998, Imam Hamza alisema Umma utakumbuka k wa m b a Wa i s l a m u waliuwawa Mwembechai. Na kwamba hiyo ilikuwa ni baada ya serikali kusikiliza na kufanyia kazi madai ya Paroko, bila kujali kama yalikuwa ya kweli au la. Akielezea mashitaka yake ambayo yalimuweka rumande zaidi ya miezi mitatu anasema yanakwenda sambamba na yale ya Askofu mmoja Jijini humo, lakini Askofu hajaguswa na mpaka sasa yupo mitaani, huku yeye (Imam) akiendelea kusimama
endelevu ya leo na kesho ya kutatua matatizo ya Waislamu kiuchumi. Akasema kuwa ni wakati muafaka sasa wa kukaa na kujiuliza, Waislamu watabaki katika hali hii mpaka lini. Hivyo akasema kwa mtazamo huo kuna haja kwa Mabaraza, Jumiya na taasisi za Kiislamu kukutana na kufanya mjadala na kuunganisha fikra na kuweka mipango endelevu. Bw. Mhezi, alisema Hajj Saccos imesaidia kutoa ajira mbalimbali kupitia wanachama wake kwa kuwakopesha na kuanzisha miradi mbalimbali ambayo husaidia kuajiri vijana wengine.
Ili Waislamu wajikwamue kutoka katika hali hiyo, Shkh. Muyinge, aliwataka Waislamu watambue nini maana ya Uhuru, na wapo kwa ajili ya nani hapa ulimwenguni. Zaidi, Shkh. Muwinge, akawataka Waislamu kurejea Qur an 2:30, kisha akawataka wajiulize hayo yaliyoelezwa katika aya hiyo yametimia au bado, na kama hayajatima ni kwa nini. Jumatatu wiki hii, Desemba 9, 2013, Watanzania waliadhimisha miaka 52, ya Uhuru wa Tanganyika, ambapo Rais Jakaya Mrisho Kikwete, aliongoza shamrashamra hizo zilizo fanyika katika viwanja vya Uhuru, Jijini Dar es Salaam.
Msaada ujenzi wa Msikiti. Mahitaji ya Vifaa yanayohitajika kufikia hatua ya Zege la Jamvi PLOT No. 152 Block A, Masjid Jumuiyatil Islamia Ubungo Darajani.
Na Mahitaji 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Nondo 12 MM Nondo 8 MM Binding Wire 20 MAWE 200 CM KOKOTO 70 CM Mchanga 40 CM Cement Mbao Cypruss Misumari Deni la Mkandarasi (mjenzi) Size Pcs Pcs Kg Lori Lori Lori Mifuko 16 Kg Idadi 120 60 1 20 7 4 350 120 10 @ 30,000 8000 52000 250000 750000 220000 13500 9000 3000 21,097,000.00 16,000,000.00 Tshs 3,600,000.00 480,000.00 52,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 880,000.00 4,725,000.00 1,080,000.00
Nb: haya ni Mahitaji kwa ajili ya Zege la Jamvi Kwa mawasiliano zaidi Tupigie Mwenyekiti 0754 462 050 Katibu 0719 760 777 Mwenyekiti Kamati ndogo ya ujenzi ( Goha) 0787 318 116. International Commercial Bank No A/c 00001/01/601059/01 au A/c 0000/01/ 0009/94/02. Au tutembelee katika Msikiti wetu uliopo Ubungo Darajani. Wabillah Taufiq
4
A: KIRINJIKO ISL T.C I: WANAWAKE
Na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 JINA SHAMIMU HABIBU MFINANGA YASMINI ALLY IBWENDE MAIMUNA SWALEH NTOLE FATUMA HASANI RASHIDI FARIDA SULEIMAN MREMBO ZAMUA SHABAN NGOYA SAUMU SHABANI ALLY ZANURA JUMANNE HAMISI ZAINA SELEMANI MWANAMVURA SALUMU ZENA MAGASHA YUSUPH SAMILA MARICK SAUMU SHABAN KIRAHO AZIZA RAMADHANI NTUI ZUBEDA BAKAR MJUNGU HIDAYA JUMA IPINGIKA MAIMUNA RASHID OMAR MWAMJAKA BATULI MARIAM IBRAHIM RASHID MAUA SAID NDENGU MURSHIDI SURURU MWAJUMA HEMED KUDRATH H. TENGENEZA SADA RAMADHANI MASANJA SALAMA ABDILLAH MUHAMADI UMMU-KULUTHUM ABDALLAH MAMU SHUFAA SWALEHE HEMED ZUBEDA OMARI SAID AISHA SELEMAN HAMIDA ABDUS-SALAM RAHMA JUMA HASSAN MWAJUMA SAID HADIJA RAMADHANI MWANGA AMINA SALIM HEMA MWAJUMA SHABANI MWINYIMVUA ZUHURA YASSINI SUNZU ASHURA KHAMISI KIUNGULIA AMINA SAIDI LIMEI ASHA HAMADI KIMARO RAHMA SHABANI HAMZA REHEMA KATUMBA HAMISA RAMADHANI JUMA WAMOYONI HUSSEIN BAKARI SALMA RAJAB SHANI KHAMIS ZAHRA RAJABU MNYAMIKE ZULFA KASSIM HASSAN RAHMA MBARAKA HASSAN ZAITUNI ATHUMAN LIDA FATUMA ABDUL MUNISI SOMOE HASSANI BEGE ZAHRA HASSAN MWIRU AMINA SAIDI MMAPALA HAWA HAMIDU OMARI SALAMA MUSSA RAMADHANI 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115
Tangazo
AN-NUUR
II: WANAUME
II: WANAUME
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25
MAELEKEZO MUHIMU 1. Barua za maelekezo ya kujiunga (Joining instructions) zinapatikana katika kituo muombaji alipofanyia mtihani. 2. Fomu za maombi zinaendelea kutolewa kwa ajili ya chuo cha Ualimu Ubungo tu. 3. Mtihani wa pili utafanyika Chuoni Ubungo tarehe 21/12/2013 saa 2:00 asubuhi. 4. Muombaji unaombwa kuthibitisha kukukubali nafasi kabla ya tarehe iliyotajwa.
5. Baada ya tarehe ya mwisho nafasi ya asiyethibitisha atapatiwa muhitaji
mwingine. 6. Kwa maelezo zaidi wasiliana na 7. Mkuu wa Chuo husika . ( Kirinjiko 0787188964,
8.
5
K a t i k a s e h e m u h i i ya leo tutatazama namna ya uboreshwaji wa mfumo wa muungano ili uwe na nguvu za kisheria, legitimacy (uhalali na kukubalika) kwa wananchi na pia maendeleo yaliokusudiwa katika uundwaji wake. Kwa sasa mfumo wa serikali mbili kuelekea moja, umefeli na kuundeleza ni kuendeleza makosa yaliyoleta chuki, fitna na ukiritimba mkubwa wa maendeleo nchini. S i n a h a j a ya k u r e j e a historia ya muungano huu au uasisi wake kwa sababu ya controversies (mkanganyiko wake) zinazouzonga mfumo mzima wa muungano kuanzia uundwaji wake na miaka karibu hamsini ya uhai wake. Ila tutatazama namna ya kuuboresha na kuhakikisha mfumo ujao utajenga culture (utamaduni) wa kuaminiana, kufahamiana na kurejesha heshima iliokuwa kama ni lengo la kuungana hasa kwa namna ya Wazanzibari walio wengi walivyoufahamu muundo huu na kuamini kama ndio maudhui makuu ya uundwaji wake. Nasema hivi kwa sababu kumetokea taswira za aina mbili za upokewaji wa muungano, upande mmoja hususan ndani ya mamlaka ya Z a n z i b a r wa k i a m i n i uwepo wa nchi ya Zanzibar kama ni jambo muhimu katika maamuzi yoyote ya uwepo wa muungano huu wakati upande wa pili ukijijenga zaidi katika safu za kuhakikisha muungano huu utakuwa kama ni wa nchi moja iliyokamilika. Imani yangu na Wazanzibari walio wengi ni kwamba Zanzibar ni nchi iliyokamilika na kujiendesha kwa misingi ya kimamlaka ya n a y o o n g o z wa n a i l e mamlaka kuu ya Rais pamoja na serikali aliyoiunda baada ya kuridhiwa na uchaguzi unaotegemewa kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Katiba ya Zanzibar hususan baada ya mabadiliko ya 2010 yameonyesha kwa uwazi bila ya kuweweseka kwamba ni nchi na ikaenda mbali zaidi kuhakikisha mamlaka ya mkuu wa nchi hii hayatakuwa na kigugumizi kwa kuingiliwa na nguvu nyengine ndani ya muungano hasa baada ya kuhakikisha kwamba ni Rais wa Zanzibar pekee mwenye madaraka na uwezo wa kuigawa Zanzibar katika mikoa bila ya ushauri wa ye y o t e k i n y u m e n a ilivyokuwa awali. Uthibitisho wa haya ni kura ya maoni ambayo inatazamwa kama ni mfano wa uchaguzi pekee ulioendeshwa kwa uwazi zaidi huku kundi la wapiga kura (yes vote) likibeba nguvu ya zaidi ya asilimia 66 ya wananchi walioikubali kura ya maoni hiyo. Katika manifesto ya CCM ya mwaka 2010 s u a l a l a m a b a d i l i k o ya katiba halikuwemo na
Makala
AN-NUUR
wengi tunaamini kwamba mabadiliko ya katiba ya muungano yameibuliwa na mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 hasa baada ya kuona kwamba katiba mbili haziendani kimantiki hata kisheria na kwa vile kura ya maoni ya Zanzibar ilibeba sehemu kubwa ya wa n a n c h i wa l i o i p i t i s h a hakukuwa na budi zaidi ya kuifanyia marekebisho katiba ya muungano ili iendane na sauti ya asilimi 66 ya Wazanzibari. Muundo ambao mheshimiwa Warioba na tume yake waliokuja nao umethamini kauli ya wananchi wanaounda muungano huu na kwamba ile dhana ya udogo wa sehemu ikawa ndio kigezo cha kuburura maoni yao iliondoshwa kwa vile msingi mkuu wa muungano ni nchi mbili bila kujali ukubwa au idadi ya watu wa nchi ziliungana na ni lazima mabadiliko yoyote yathamini maoni ya pande mbili na huru ya mwenzake ili kupata makubaliano baina yao na kuunda kitu kitachokiubalika na wote. Ndio maana ukakuta hata baada ya mamilioni ya Watanganyika waliotamani serikali moja hayakuridhiwa kuwekwa katika muswada wa kwanza wa katiba kwa sababu yalipingana n a ya Wa z a n z i b a r h a t a wakiwa na idadi kubwa ya watu ikilinganishwa na bara. Maoni yangu ni kwamba Mheshimiwa Warioba ametupa heshima tunayostahili Wazanzibari katika muungano huu na pia matumaini ya kwamba mfumo ujao utaweza kuwa n i k i e l e l e z o k i p ya c h a mabadiliko makubwa zaidi katika mfumo wa muungano utaojengwa kwa misingi thabiti ya kuheshimiana, kuaminiana, haki na usawa. Wengi tunaamini mfumo w o w o t e wa m u u n g a n o katika ndoto ya Wazanzibari iendane na kauli mama ya Zanzibar kama ni nchi na yenye kujiendesha yenyewe kimamlaka. Mifumo butu yenye taswira moja lakini lengo lililojificha halitakubaliwa katika ulimwengu wa sasa wa utandawazi hasa ukizingatia
kwamba ari ya kuja na mfumo wa mkataba haukuwa na uasisi wa chama chochote bali wananchi wa kawaida ndani na nje ya visiwa hivi walioona mbali zaidi na kuhakikisha mfumo ujao hautakuwa na kigugumizi chochote juu ya uhalali wa kuwepo kwa taifa la Wazanzibari. Hili linawezekana hata ndani ya mfumo wa serikali mbili ikiwa yaliomo ndani ya muungano yatazingatia maoni ya wengi yalioweka wazi msimamo wa Zanzibar kama ni nchi yenye kila nyenzo ya kujitosheleza na kujiendesha y e n y e w e . M h e s h i m i wa Warioba kafahamu maana kamili ya muungano wa mkataba na ndio maana akaja na muswada wa mwanzo ya m f u m o wa s e r i k a l i t a t u n a u k a k u t a we n g i waliopendekeza mfumo wa mkataba hawakuwa na upinzani wa serikali tatu kwa sababu ya yaliyomo ndani ya muswada huo uliopunguza mambo ya muungano kutoka zaidi ya 30 hadi kufikia saba. Ndio ukakuta wanamageuzi wa kweli hawazingatii jina la mfumo wa muungano bali yaliyomo yanayobeba muungano wenyewe na kwa sasa nguvu zimeelekezwa katika kuyafuta yale yatayokwenda kinyume na azma ya mamlaka kamili. Hoja zisizo na mashiko kama gharama za muungano katika mfumo wa serikali tatu zenye kujitegemea zinaelekezwa zaidi kama khofu hususan kwa Wazanzibari kama vile nchi hii haitaweza kujiendesha wenyewe wakati wahubiri hawa wanashindwa, kuwaeleza watu kabla ya muungano huu serikali ilijiendesha vipi? Ukiangalia zaidi kabla ya kifo cha Mzee Karume muungano huu haukuwa na msimiko mkubwa kama baada ya kifo chake na kujichanganya kukubwa kulikounda CCM ambayo ikabeba dhima kubwa zaidi hata ya mamlaka ya kikatiba ya nchi. Katiba ya nchi ikawa chini ya katiba mama ya chama na kidogo kidogo tukaona mapungufu ya muungano yakizidi kukuwa na kila alieweza kupayuka kupinga msukumo wa chama wakawa maadui wa nchi. Mpaka
leo hii sifahamu iweje Rais wa nchi aliechaguliwa na wananchi, akafukuzwa urais huo ambao aliupata kabla ya hata muungano wa ASP na TANU kwa kutazama m a t a k wa ya n c h i ya k e kwanza. Hakuna sababu wala uhalali wowote zaidi ya ghilba za kupitia mlango wa nyuma kuhakikisha lengo si muungano bali nchi moja bila ya hata maoni ya wahusika wakuu. Kauli za Zanzibar tunachangia kiasi gani katika shughuli za muungano zisiwe ndio kisingizio cha mfumo wa sasa, sugar coating makosa na kuficha tathmini za kitaaluma zilizoonyesha namna gani Zanzibar inapoteza fursa kubwa za maendeleo katika mfumo wa sasa kwa sababu rahisi rahisi kama hizi ni ukosefu wa uoni pamoja na dhana nzima ya uongozi wa misingi ya haki. Masuala ya kujiuliza ni namna gani kwa mfano 4% ya mgao kwa Zanzibar uliofanyiwa tathmini miaka ya 60 wakati idadi ya watu laki tatu tu lakini ikabaki hivyo hivyo kwa miaka karibu hamsini wakati sasa kuna zaidi ya watu milioni moja na nusu! Au t u t a z a m e h i z o gharama za uendeshwaji mfano jeshi la wananchi, kati ya nchi ya milioni arobaini ikilinganishwa na mchango wa milioni moja utakuwa katika uwiano gani? Zanzibar ikiwa na eneo dogo mara mia kuliko bara, wapi kunahitajika ulinzi zaidi na hivyo mchango wa Zanzibar utafanyiwa tathmini uwe kiasi gani? Au tutazame kwa upande wa urahisi zaidi, ikiwa tunaambiwa tuchangie sawa baina yetu jee na mapato tutagawiwa kwa misingi hio ya usawa kama ilivyo kwa uchangiaji? M u u n g a n o u n a j e n g e wa mazingira ya kutishana badala uwazi utakaojenga heshima na kuthaminiana b a i n a ya j u m u i a m b i l i zilizokaa pamoja kabla hata ya uhuru wa Tanganyika na hata Mapinduzi ya Zanzibar. Hatuwezi kuendelea na mfumo wa sasa ambao unamuweka mkuu wa nchi moja katika baraza la mawaziri wa muungano na kutompa heshima yake kikatiba kama ilivyokuwa wakati wa kuasisi muungano
6
Na Mwandishi Wetu
Makala/Tangazo
AN-NUUR
h a wa t a k i k u o n a n c h i ikitawaliwa na kiongozi Muislamu. Michel Djotodia, ni Muislamu kutoka eneo la Kaskazini lenye Waislamu wengi ambalo kwa muda m r e f u l i m e t e l e k e z wa bila huduma muhimu za kijamii na kimaendeleo na hivyo kuwa nyuma sana kimaendeleo ikilinganishwa na sehemu za Kusini walipo Wakristo wengi. Wakristo katika nchi hiyo ni asilimia 50 ya watu wote huku Waislamu wakiwa ni asilimia 15 tu. Waliobaki ni watu wa dini za asili. Jumala yote ya watu wa Afrika ya Kati ni kiasi 4,600,000 (milioni nne laki sita). Hali ilivyo sasa ni i l e ya p i g a n i k u p i g e Baadhi ya wapiganaji wanaosababisha mauaji ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa maana kuwa AntiBalaka wakivamia kijiji (Central African Republic-CAR). cha Waislamu, Seleka nao wanapiga kijiji cha Wakristo. Miili ya watu waliouliwa inaonekana ikizagaa mitaani, huku baadhi k u o n a k a n a k wa m b a makabila makuu mawili, (katika ile inayotambuliwa Na Omar Msangi Waislamu wa Tanzania ndivyo ambavyo sababu za kuwa ni ya Waislamu) kisiasa zimetumbukizwa ikifikishwa katika Misikiti wamechelewa. WIKI iliyopita niliswali K w a m s e m o w a k e kujenga chuki baina ya na mingine ikikusanywa Ijumaa katika msikiti w e n z e t u j a s i r i , s i s i wananchi Waislamu na n a wa t u wa M s a l a b a m m o j a j i j i n i D a r e s (Watanzania) tumekuwa Wakristo. Mwekundu. Salaam ambapo Khatib waoga na wanafiki wengi. I n a s e m e k a n a k u wa Na ukitaka kujua hilo, aligusia juu ya ghasia na Kwa maneno mengine katika hao walioshika huyu Michel, akiwa na mauwaji yanayotokea na mepesi amehalalsha na serikali, japo Rais ni h a m u ya k u wa R a i s , Afrika ya Kati. kupongeza kinachotokea Muislamu, hakuna hata a l i t u m i a m wa n ya wa Yapo baadhi ya mambo RCA huku akilinganisha mmoja anayezungumzia kuwepo Waislamu wenye alipatia, lakini nadhani hali ile na Jihad. suala la dini au kubadili malalamiko ya muda mrefu yapo mambo ya msingi Kwanza, kwa madai mfumo na utawala uwe wa dhidi ya serikali iliyokuwa aliyapotosha na hivyo yoyote yatakayokuwa, Kiislamu. ikiwakandamiza na kutoa ujumbe unaoweza yawe ni ya kidini au kisiasa L a k i n i h a t a h a o kuwabagua kwa miaka kuwa na athari mbaya na kijamii, hakuna namna askari wa Seleka, hawa mingi, akawakusanya kwa waumini waliokuwa y o y o t e m t u u n a we z a wametokana na makundi vijana wa Kiislamu wenye wakimsikiliza na nchi kwa kupongeza na kuhalalisha ya waasi, wasio na mlengo hasira na kuwatia katika ujumla. hali inayoendelea Jamhuri wala msimamo wa kidini Seleka. N i k w e l i k w a m b a ya Afrika ya Kati hivi kabisa, yaani Union of Yapo madai pia kuwa Wa i s l a m u wa A f r i k a sasa ambapo makundi Democratic Forces for alipata wapiganaji kutoka y a K a t i w a m e k u w a ya watu wenye silaha Unity (UFDR), Union Chad na Sudan. n a m a l a l a m i k o k u wa huvamia vijiji na kuuwa of Republican Forces Hata hivyo, baada ya wanabaguliwa. Na ni kweli watu wasio na hatia. (UFR) na Convention of kupata Urais, ameshindwa pia kuwa eneo la Kaskazini Waislamu wanavamia vijiji Patriots for Justice and k a b i s a k u w a d h i b i t i linalokaliwa na Waislamu vya Kikristo na Wakristo Peace (CPJP)! Kama ni wapiganaji hawa, kwa wengi, limeachwa bila ya wa n a va m i a v i j i j i v ya Muislamu, ni Muislamu hiyo wanajifanyia yoyote maendeleo ikilinganishwa Waislamu. wanayotaka. jina tu. na Kusini. Baada ya kuongoza Inavyoonekana ni kuwa Kama ilivyokuwa Lakini ni kweli pia kuwa kwa Watutsi na Wahutu, kwa Jamhuri ya Afrika ya mapambano ya waasi na kumekuwa na malalamiko R w a n d a , n d i y o h a l i Kati, labda kama ilivyo kufanikiwa kuyashinda kama hayo miongoni mwa inayotaka kutokea RAC Tanzania, hakuna namna m a j e s h i y a n c h i n a Waislamu katika nchi hivi sasa. ya kuchochea chuki za kikosi cha Afrika Kusini hii. Hili sina mgogoro kilichokuwa kikimlinda Kama h u w e z i kikabila zikalipua nchi. nalo kama mzungumzaji k u h a l a l i s h a m a u wa j i I k a o n e k a n a k w a Rais Francois Bozize, alivyojaribu kuliweka. ya Wahutu na Watutsi, vile Waislamu ni kama wapiganaji wa Seleka T a t i z o l i n a k u j a huwezi pia kuhalalisha wa n a i s h i e n e o l a o l a walimtangaza Michel p a l e a l i p o d a i k u w a mauwaji ya Waislamu na Kaskazini na limeachwa Djotodia kama kiongozi kinachotokea Afrika ya Wakristo. nyuma kwa muda mrefu, mpya wa CAR. Kati ni mapambano ya Michel Djotodia Kama ilivyokuwa kwa h u o u m e k u w a n d i o Waislamu ya kupigania Rwanda, kwamba sababu mwanya mzuri. Chuki aliapishwa Machi 24 kuwa h a k i n a k w a m a a n a za kisiasa zimetumika z ime pa nd i k i z wa s a s a Rais ambapo Marais Idriss hiyo akayapongeza na kupandikiza chuki kwa Inaendelea Uk. 7 Inaendelea Uk. 7
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 6
Deby wa Chad na Denis Sassou Nguesso, wa Congo (Brazaville), walihudhuria. Kama vile kushangaa, vyombo vingi vya habari vimekuwa vikimtaja Djotodia kuwa ni kiongozi wa kwanza Muislamu katika nchi ambayo wengi ni Wakristo. He is a Muslim, while the population of the Central African Republic is mostly Christian. Mengi ya magazeti yamekuwa yakiandika. Toka ilipopata uhuru wake mwaka 1960 kutoka kwa wakoloni, Ufaransa, Afrika ya Kati, imekuwa katika hali ambayo si ya kutulia, yakiwepo mapinduzi ya kijeshi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hata hivyo, hii ni mara ya kwanza migogoro na machafuko katika nchi hiyo kuchukua sura ya mgogoro wa kidini. Ukiacha malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa Waislamu kwamba wanabaguliwa, kunyanyaswa na kuhujumiwa; bado Wakristo na Waislamu wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani hadi ulipofumuka mgogoro huu Machi mwaka huu 2013 mara tu baada ya kiongozi wa Seleka Michel Djotodia kuchukua madaraka. Akiongea kutoka mji mkuu Bangui, Mr Djotodia anasema lengo lake ni kuitisha uchaguzi baada ya muda mfupi na kwamba anashikilia madaraka kwa muda tu. Hata hivyo, ambalo limekuwa gumu kwake hadi sasa ni kuleta utengamano wa kijamii. Hakuna kuaminiana tena baina ya Waislamu na Wakristo hali ambayo imefikia kuwa Waislamu wakiwa Misikitini huswali na silaha zao kibindoni au kwa zamu huku wengine wakichunga usalama. Hali hiyo ilionekana Ijumaa iliyopita ambapo, waumini waliingia misikitini na bunduki zao aina ya Kalashnikov. Harakati za Seleka, z i l i a n z a t o k a m wa k a 2003 Bozize alipoingia madarakani baada ya kumpindua Rais AngeFlix Patass ambapo a n a d a i wa k u wa t o k a
Inatoka Uk. 6 wananchi wanachinjana. Tu n a p o a n g a l i a h a l i hii ya Afrika ya Kati, tuizingatie na hali ya hapa nchini ambapo, baadhi ya watu wamekuwa wakipiga propaganda na kuleta uchochezi wa kuonyesha kuwa Waislamu ni magaidi wa l i o p a n i a k u c h o m a makanisa na kuuwa viongozi wa Kikristo. Ya l i a n z a k u s e m w a na aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Stith na yakawa yanakaririwa mara kwa mara na baadhi ya wachungaji. La kusikitisha ni kuwa hata baadhi ya wanasiasa na viongozi wa serikali, walimeza propaganda na kampeni hii chafu ya kuliangamiza Taifa. Hapana shaka tutakumbuka pale Kamanda wa Polisi alipotangaza kuwa Polisi watalinda makanisa na kuwalinda Wakristo, eti kwa hofu ya kushambuliwa na Waislamu. Tutakumbuka pia ile kauli ya aliyekuwa Waziri Mkuu Bwana Sumaye iliyopelekea kukamatwa
Wnanchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR). w a k a t i h u o ( 2 0 0 3 ) kulinda amani. Ni kama makubwa zaidi yametokea amekuwa akiwabagua imepatikana sababu ya katika mji wa Bossangoa, watu wa Kaskazini. ukoloni kwa mlango wa a l i p o z a l i wa F r a n c o i s Bozize. CAR ni tajiri wa dhahabu, nyuma. Wanasema, mji huo almasi na uranium, lakini Wajanja, mabeberu inaonekana kuwa madini w a n a v u n a a l m a s i , umekuwa kama hame hayo yamekuwa kama d h a h a b u , u r a n i u m , ukiwa umejinamia. Watu laana na nuksi kwa nchi Waafrika (Waislamu na w a m e k i m b i a w e n g i hiyo kama ilivyo Congo Wakristo) wa Afrika ya wakitafuta hifadhi katika (DRC). Kati wanachinjana. miji na vijiji vya jirani. Kwa vurugu na Kwa mujibu wa taarifa ya Ni katika Kanisa mauwaji haya, tayari jeshi waandishi wa BBC, Laeila Katoliki pekee ambapo la Ufaransa limeingia Adjovi na Abdourahmane p a n a o n e k a n a u h a i kwa kile kinachoitwa Dia, ghasia na mauwaji k u t o k a n a n a w a t u
8
Inatoka Uk. 1 Afrika na dunia kwa ujumla. Wakati Waafrika na sehemu kubwa ya dunia ikimtambua Mandela kwa sifa hizo, na kwa hakika ndivyo alivyokuwa, wengine walimwona ni gaidi! Wengi watashindwa kuamini kwamba Hayati Nelson Mandela, alikuwa katika orodha rasmi ya magaidi ya Marekani hadi mwaka 2008, na miongoni mwa watu waliokuwa wakitizamwa kwa jicho la karibu huku akitakiwa kupata ruhusa maalum (special permission) kuingia Marekani. Ugaidi wake kwa Marekani ulikoma hivi karibuni tu, hadi ilipotimu April, 2008, baada ya Baraza la Congress kupiga kura kuondoa jina lake katika orodha hiyo. Ni miaka mitano tu imepita tangu jina la Nelson Mandela kuondolewa katika orodha hiyo maarufu kama America's terrorist watch list. Mimi Hall, mwandishi wa USA TODAY anafichua kuwa Condoleezza Rice, ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa Rais wa z a m a n i wa M a r e k a n i George Bush, aliita hali hiyo kwa Mandela kuwa ni "embarrassing," na baadhi ya wajumbe wa Bunge
Makala/Tangazo
AN-NUUR
NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA KWANZA 2014 KATIKA SHULE ZAKE ZA KIPEKEE
KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL REG. S.358 UNUNIO ISLAMIC HIGH SCHOOL REG. G 397
SHULE ZINAPOKEA WALE WOTE WANAOTAKA NAFASI I. KIDATO CHA KWANZA 2014 II. WANAORUDIA MITIHANI KAIDATO CHA NNE NA KITUO NI HAPOHAPO III. WANAO HAMIA WENYE MAADILI SAFI SIFA ZA KIPEKEE KWA SHULE HIZI TEULE WALIMU WENYE UZOEFU NA WALIO BOBEA SHULE ZINA ZINGATIA MAADILI YA KIISLAMU MATOKEO KITAALUMA MAZURI SANA NI DHAMU BORA NA MALEZI SAHIHI KUNA FENSI (UZIO) IMARA NA USALAMA KUNA ZAHANATI SAFI NA VIFAA VYA KISASA. MASOMO YOTE YANAFUNDISHWA PAMOJA NA MAARIFA YA UISLAMU NA LUGHA YA KIARABU ADA NI NAFUU NA INALIPWA KWA AWAMU KUNDUCHI GIRLS NI BWENI TU NA KUNA FORM 5 NA FORM 6 UNUNIO NI SHULE YA BWENI NA DAY PIA WASICHANA WANAPOKELEWA PANACHUO CHA KIPEKEE CHA UALIMU UNUNIO USAHILI NI KILA JUMAMOSI SHULENI FOMU ZINAPATIKANA SHULENI AU TUPIGIE KUPATA NAFASI KUNDUCHI GIRLS UNUNIO HIGH SCHOOL MKUU WA SHULE 0713 346537 MAKAMU 0713 515054 MKUU WA SHULE O717 008860 MAKAMU 0718 551784 AU 0718551784 WABILLAH TAWFIQ
ya jinai wakati wa harakati za kupinga ubaguzi wa rangi dhidi ya makaburu, ambao ulikuwa ukiwatesa watu weusi Afrika Kusini. Mwaka 1994, alichaguliwa kuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini. Senetor. Judd Gregg, R-N.H., alikuwa mmoja wa watu waliotaka wajumbe wa chama cha ANC kuingizwa katika orodha ya wahalifu hatari iliyoitwa "bureaucratic snafu" na kuahidi kumaliza tatizo. Pia kuna vyama vingine vilitizamwa na Marekani kama magaidi tishio, mfano ni Hamas, ambao nao waliingizwa katika orodha hiyo ya magaidi. Homeland Security Secretary, Michael Chertoff anasema "kwa akili ya kawaida" inakuambia Mandela lazima aondolewe katika orodha ya magaidi. Anasema suala hili "linaibua hoja ya hatari na ngumu kuhusu makundi gani yachukuliwe kuwa ni ya magaidi na yapi siyo." Hata pale wajumbe wa chama cha ANC walipoomba visa kwenda Marekani, walilazimika k wa n z a k u h o j i wa n a kutakiwa kupata ruhusa maalum kuingia katika Taifa hilo. Mwaka 2002, Mwenyekiti wa zamani wa ANC, Tokyo Sexwale, alikataliwa kupata visa. Mwaka 2007, Barbara Masekela, Balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani kuanzia mwaka 2002 hadi 2006, alikataliwa visa na hata hiyo ruhusa maalum ili kumtembelea mjomba wake aliyekuwa mgonjwa hadi mjomba wake huyo alipofariki dunia. Laurie Oakes, katika mtandao wa www. adelaidenow.com, yeye anasema kuwa anapata wakati mgumu kuelewa, ni kwa jinsi gani Marekani na Uingereza kwa kipindi chote hicho walimworodhesha Mandela kama gaidi hadi Aprili mwaka 2008 walipomuondoa wakati wanaonekana kumpenda. Oakes, anaeleza kwamba hata alipoalikwa na Rais George W. Bush katika Ikulu ya White House Washington mwaka 2005, alilazimika kupata
9
Na Said Rajab
RAIS Barack Obama wa M a r e k a n i , a m e ya i t a makubaliano ya mpango wa nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ya Magharibi kuwa ni ya kihistoria. Kwa mara ya kwanza, tangu mwaka 2003 mazungumzo hayo yalipoanza, mataifa hayo yameweza kusimamisha kile kilichoitwa mpango wa silaha za nyuklia wa Iran. Barack Obama amesema: "Simply put, they cut off Iran's most likely paths to a bomb." Kwa maneno rahisi, makubaliano hayo yanafunga kabisa njia ya Iran kutengeneza bomu. Dola ya Kiyahudi ya Israeli inapinga vikali makubaliano h a y o . Wa z i r i M k u u wa Israeli, Benjamin Netanyahu, ameyaita kuwa ni "makosa ya kihistoria". Kwa upande wake, Iran imeshangilia sana makubaliano hayo. Kiongozi mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, amenukuliwa akisema: "Rehema za Mwenyezi Mungu na uungaji mkono wa taifa hilo ndiyo sababu za mafanikio yaliyofikiwa", wakati Hassan R o u h a n i , R a i s wa I r a n amesema: "Makubaliano haya yanazinufaisha nchi zote za ukanda huo na amani ya dunia". S a s a t u a n z e k u f a n ya uchambuzi wa makubaliano hayo, ili tuweze kufahamu vizuri, nani hasa aliyeshinda na nani aliyepoteza. Ni Jamhuri ya Kiislamu ya Iran au mataifa ya Magharibi? Jawabu, bila shaka lipo katika kile kilichokubaliwa. Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Iran na Mataifa sita yenye nguvu, yanayojulikana kama P5 + 1, yaani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, China na Ujerumani ni ya mpito, na ni hatua ya kwanza kuelekea kwenye makubaliano mapana zaidi siku za mbele. Makubaliano hayo yaliyofikiwa mjini Geneva hivi karibuni, yameainisha masharti yafuatayo: Iran itasimamisha kuweka 'centrifuges' mpya za madini ya uranium, na pia kuacha kutumia maelfu ya 'centrifuges' ambazo zimeshawekwa lakini bado hazijaanza kurutubisha madini ya uranium. Ghala la mafuta ya nyuklia ya Iran katika kipindi cha miezi sita, haitaruhusiwa kuongezeka na kuvuka kiwango kilichopo sasa. Katika utekelezaji wa hilo, Iran itakabiliwa na chaguo la ama kusitisha urutubishaji wa madini ya uranium, au kubadili madini yake ya uranium na kuwa sahani za mafuta ya metali (metal fuel plates). Iran imekubali kusimamisha uzalishaji wote wa kile kinachoitwa asilimia 20 ya madini ya uranium yaliyorutubishwa, aina ya mafuta ambayo yanaweza kubadilishwa kwa urahisi na kuwa uranium iliyorutubishwa kwa kiwango cha juu zaidi kinachoweza kutumika kutengeneza mabomu ya nyuklia. Maghala yote ya Iran ya mafuta ya asilimia 20, ambayo ni chini kidogo ya paundi 450, yatalazimika kuzimuliwa kwa kubadilishwa na kuwa metali au kuchanganywa na uranium asilia ili kupunguza usafi wake. Iran itatakiwa kusitisha kazi ya kujenga 'fuel rods' na vifaa vingine vya kinyuklia katika kinu chake cha Arak, kinachoshughulikia madini ya plutonium. Vituo vya nyuklia vya Iran vitatakiwa kuangaliwa k a t i k a n a m n a i s i y o ya k a wa i d a , v i k i t e m b e l e wa k i l a s i k u n a wa k a g u z i wa kimataifa ambao pia watakuwa na uwezo wa kurekodi kwa kutumia vifaa vya video. Iran itapata motisha ya kiuchumi inayofikia dola za kimarekani bilioni 7 katika kipindi cha miezi sita ya utekelezaji wa mkataba huo wa mpito. Ni jambo la wazi kwamba kutoka kwenye makubaliano hayo, kuna idadi kadhaa ya vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Iran, kwa malengo ya kuvuruga uwezo wa nchi hiyo kuzalisha mabomu ya nyuklia. Isitoshe, Iran pia imefungua rasmi mlango wa ukaguzi wa kina zaidi wa kimataifa dhidi ya vinu vyake vya nyuklia. Ukaguzi huo unaweza kuvuruga kabisa uwezo wa kinyuklia wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu, ambao imeujenga kwa gharama kubwa na maumivu makali, katika kipindi cha muongo mmoja uliopita. Mafanikio ya mataifa ya Magharibi katika kuvuruga uwezo wa kijeshi wa Iraq, na uwezo wa silaha za kemikali wa Syria, kupitia ukaguzi wa Umoja wa Mataifa, ni dalili ya wazi ya kile kinachoweza kutokea
Makala
AN-NUUR
Inawatangazia nafasi za masomo katika shule zake za 1. Luqman Islamic Seminary ( Kidato cha I-IV) 2. Luqman Pre & Primary school (darasa la I- VII) MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI: Sayansi, Biashara, Sanaa Lugha ya Kiarabu, Qur-aan na Dini ya Kiislamu. Fomu Zinapatikana: 1. Shuleni Luqman 2. Mapambano Tution Centre, Muone Mr. Mussa au Mr. Charles. Shule ipo Sinza jirani na Hospitali ya Palestina. Usaili utafanyika kila siku za kazi saa 2:00 asubuhi - 8:00 mchana. Jumamosi utafanyika saa 3:00- 6:00 mchana. Wahi kuchukua form. Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu Mlete mwanao kwa elimu na malezi bora Kwa mawasiliano zaidi piga simu. 0713 819 391 (Sekondari) 07657 757 075 (Primary) 0712 044 830
10
Karibuni Mashababu kongamano la Afrika Mashariki
Hodi hodi gazetini, Mhariri samahani Niweke japo pembeni, nialike ikhiwani Kutoka kote nchini, pamwe nchi za jirani Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Mwaliko tunakupeni, wa kongamano la dini, Katu msijeukhini, vijana upokeeni, Pamoja jumuikeni, kujadili yenu dini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Kenya twakualikeni, Uganda, Rwanda njooni Na Burundi karibuni, Tanzania kwa amani Jisikieni nyumbani, ndani ya Mwanza jijini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Mwaliko uitikeni, wa shule na mitaani Kadhalika wa vyuoni, msijitenge pembeni Wa aidha karibuni, wa kada zote jamani Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Msijeuliza lini, mfike kongamanoni Sikizeni kwa makini, na mtie nukuuni Kumi na mbili fikeni, Desemba Mwanza jijini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Kadhalika muda gani, ngoja nikujulisheni Aula nyote fikeni, mubakira kituoni Jamia Msikitini, u katikati jijini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.
Mwapaswa kuja na nini, mapema nakujuzeni 'Notibukuyo' na peni, vyote tia mkobani Na shuka zikumbukeni, kwa sitara naumuni Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Maakuli mtimani, 'sijewaza asilani Kadhalika walakini, kwa sharabu ondoeni Vyote hivyo kwa yakini, 'free' kongamanoni Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Nauli nakujuzeni, ya safari andaeni Ya kuja kongamanoni, na kurudi maskani Haya shime waumini, tiketi zenu 'bukuni' Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni. Nimefika ukingoni, mwa mwaliko kukupeni Vijana uitikeni, kwa kuja kongamanoni Kalamu naweka chini, kwa hamu wakungojeni Pamoja tukongamane, kuhuisha yetu dini. Abuu Nyamkomogi Mwanza-Tanzania.
Shairi/Barua
AN-NUUR
niliitembelea miaka mitatu iliyopita na kuangalia shughuli za uchinjaji, nilishuhudia mbuzi zaidi ya 300 wakichinjwa kinyume kabisa na misingi ya U i s l a m u , h a l a f u mwisho wakavishwa vitambaa maalumu a m b a v y o h u v i s h wa nyama zinazosafirishwa kwenda nje ya nchi, na zikagongwa muhuri wenye maandishi ya kiarabu yakimaanisha Kuchinjwa halali, kisha tukaarifiwa kuwa walikuwa wanasafirishwa kwenda Omani na Saudia Arabia. Ndugu Mhariri, dalili za hoja yangu ni nyingi, siwezi kuziandika zote kwa wakati huu, nilichotaka ni kuondosha dhima juu yangu kwa Allah (sw), kuwa niliona uovu na sikuwazindua ndugu zangu Waislamu. Kabla sijamaliza nichukue nafasi hii k u wa a s a Wa i s l a m u kuwa, kuna haja zile taasisi za Kiislamu za kuchunguza bidhaa halali za kama ile ya Jumuia na Taasisi za Kiislamu, kuchunguza mara kwa mara machinjio mbalimbali nchini ili kuhakikisha zinatekeleza majukumu yake Kiislamu na kiusalama, kwani kinyume na hivyo tutaendelea kulishwa vibudu na haramu na hatutakuwa na hoja mbele za Allah siku ya kulipwa. Ndugu Mhariri, suala la nyama lilizua mjadala siku zilizopita na hata baadhi ya Waislamu ambao walikuwa mstari wa mbele kufuatilia wakaitwa wachochezi. Sikuandika maoni haya kumchochea yeyote, bali kuwazindua Waislamu, naomba yafikishwe kwa Waislamu ili mwenye kuchukua tahadhari achukue, wewe na mimi tumejivua dhima kwa Allah. Abuu Abdullah. Dar es salaam.
11
Inatoka Uk. 8
yumo kwenye orodha ya magaidi ya Marekani. Tumeona pia hata baada ya kufariki wiki iliyopita Desemba 5, 2013, bila aibu wala soni, Waziri Mkuu wa U i n g e r e z a D a v i d Cameron na Rais wa Marekani Barack Obama, walikuwa vinara wakiwa ndio viongozi wa mwanzo kabisa kuwasili Afrika Kusini kuhani msiba wa mtu ambaye dola zao zilimtambua kuwa ni gaidi. Umaarufu wa Mandela na heshima aliyoipata duniani kote, imetokana na kazi ngumu na ya kujitolea katika kutetea haki za wanyonge wengi dhidi ya wazungu wachache, mwingi wa kusamehe hata baada ya kushika dola, kuleta maridhiano ya kitaifa kati ya wazungu wachache waliokuwa wakandamizaji n a we u s i wa l i o k u wa wakikandamizwa. Lakini kwa kuwa mataifa hayo hayakuridhishwa na kazi yake na walikumbatia maslahi ya Makaburu, walimwona Mandela na ANC yake kama magaidi waliostahiki kulaaniwa na kudhibitiwa. Kazi yake wakaibeza na wakamchafua. Kistaarabu na kuonyesha ulimwengu utu na uungwana, ilitarajiwa kuwa hotuba ya Rais Obama aliyoitoa
Habari
AN-NUUR
anastahili kuheshimiwa kwa kazi yake. Hotuba hatuba aliyoitoa Rais Obama, licha ya kusifiwa na wengi na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kwa kupewa kipaumbele, lakini si lolote si chochote mbele ya kashfa hii ya kuwekwa Mzee Madiba katika orodha ya Magaidi kinyume na uhalisia wake, kwasababu tu ya uonevu, chuki na kumdhalilisha. Katika hili naona ilikuwa hotuba ya kinafiki na kujikosha zaidi.
mujibu wa takwmu. Itoshe tu kuwa funzo kwamba, Ndoa za Kiislamu hazina uhusiano wowote na hoja za wanaharakati za kuongezeka maambukizi. Yawezekana pia kuwa pamoja na kwamba katika mikoa mingine isiyokuwa na wakazi wengi Waislamu kama Njombe, Iringa, Mbeya na mingineyo, nayo ikawa na ndoa za mke zaidi ya mmoja, lakini nyingi zikawa za jadi. Ni wazi kwamba mikoa hiyo ina jamii ya Waislamu wachache ikilinganishwa na Pemba, Unguja, Tanga na Lindi. Sasa tujiulize mikoa hiyo imeongoza je kwa maambukizi ya Ukimwi? Mbona Unguja, Pemba, Tanga nako watu wa mke zaidi ya mmoja na maambikizi ni kiduchu? Niweke tu wazi kwamba hisia za chuki au za kuzusha katika mapambano ya UKIMWI, kamwe haziwezi kuleta tija katika vita hii ngumu dhidi ya maisha ya watu. Wenyewe haujali dini ya mtu, tajiri au maskini rangi wala kabila. Tukiwa wakweli kwa kubadili tabia, kwa kuacha tabia mbovu na kurejea katika maadili ya kiutu, tutaelimika na kusalimika. Asitudanganye mtu au mwanaharakati anayesaka sababu mufilisi ili tu kupitia NGO yake achume misaada k wa m a s l a h i ya k e k wa mgongo wa UKIMWI. Uislamu ni dini iliyotimilifu. Ina sheria, taratibu, miiko na maadili yake. Kila jambo lina sababu yake na utaratibu wake wa kuliendea. Kamwe utaratibu wa n d o a wa K i i s l a m u hauwezi kuwa chanzo cha maradhi leo mpaka kesho.
kusaidiana, kupongezana na kuheshimiana. Alisema mara nyingi Waislamu wanashauriwa kwamba panapotokea hitilafu kati ya mume au mke katika familia, basi yampasa mmoja kati uyao kuondoka alipo mwenzake, ili kutoa nafasi ya wote wawili kupoza hasira zao na baadae wanaweza kuwa pamoja na kuzungumza bila munkari juu ya hitilafu yao. Hii ni kutokana na ukweli kwamba mara nyingi suluhu ya wawili wanaohitilafiana, haiwezi kupatikana wakati wahusika wakiwa katika hali ya hasira na kwamba matokeo yake ni kupatikana maamuzi ya hasara. Katika semina hiyo, Sheikh Issa pia alishauri kwamba mume na mke ili waweze kutambuana na kufahamiana vizuri bila kutiliana shaka, yafaa kila mmoja kuelezea hisia zake kwa mwenza wake mara kwa mara. Kwa upande wake mgeni rasmi katika semina hiyo, Sheikh Amran Kilemile, alisema ili wanandoa waweze kuishi katika ndoa iliyo imara na yenye kheri, ni wajibu kutekeleza taratibu za ndoa kwa mujibu wa maelekezo ya Aya na Hadithi za Mtume Muhammad (s a w).
12
AN-NUUR
MAKALA
12
AN-NUUR
Na Shaban Rajab
Ndoa ya mke zaidi ya m m o j a , h a i we z i k u wa sababu ya kusambaa virusi vya UKIMWI, bali tabia za watu iwe wamo katika ndoa au la. Wanaoleta hoja hizi, wanaonekana tu kuongozwa na chuki zao au kuwa na mawazo potofu. Hii inadhihirishwa na tafiti mbalimbali ambapo, kila ambapo panaonekana watu kuwa na tabia zisizo faa, ndio kwenye matatizo. Kwa upande mwingine, mahali kama Pemba ambapo, bado maadili ya kidini yana nafasi kubwa katika jamii, kiwango cha maambukizi ni cha chini sana. Desemba 1 Mosi mwaka huu, iliadhimishwa Siku ya UKIMWI Duniani. Siku hii iliasisiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 1998 na imeendelea kuadhimishwa kila ifikapo Desemba mosi kila mwaka. Kwa hapa kwetu Ta n z a n i a , s i k u h i y o iliadhimishwa kitaifa katika
Takwimu hizi zinatokana na utafiti uliofanywa mwaka juzi hadi mwaka jana. Kwa ujumla takwimu hizi zinaonyesha kwamba kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kimepungua kiasi. Lakini mikoa ya Pemba na Unguja, Tanga na Lindi imetia fora kwa kuwa na kiwango kidogo zaidi cha maambukizi. Ikumbukwe tu kwamba kwa muda mrefu zimekuwepo hoja kutoka taasisi za wanaharakati na NGOs mbalimbali kwamba, moja ya njia zinazoongeza maambukizi ya UKIMWI ni ndoa za mke zaidi ya mmoja. Pamoja na kwamba zipo ndoa za kimila zinazokubali mume kuwa na mke zaidi ya mmoja, lakini jamii ya Waislamu ndio iliyokuwa ikilengwa zaidi na hoja hii, kwamba utaratibu wao wa ndoa unaoruhusu ndoa zaidi ya mkke mmoja unachochea maambukizi zaidi ya
Inaendelea Uk. 11
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.