Вы находитесь на странице: 1из 2

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI


JESHI LA POLISI TANZANIA
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI
MKOA WA DODOMA KWA
VYOMBO VYA HABARI TAREHE 06/08/20!
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na
mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Watuhumiwa watatu ambao ni A!" #$% !&!MA !W!'J! mweye umri wa
miaka ()* Mka+uru* A'D,!A #$% MAJ-&% ./01-'D-A mwenye umri wa
miaka (2* Mka+uru na 'A3A40 #$% MA-'1% MW01%! mwnye umri wa
miaka (5* Mka+uru wote waka6i wa 1airo Mkoa wa Moro+oro ambao
wanashikiliwa kwa tuhuma 6a kumwuua JA.4#%' #$% J%/' MA#A-#! tarehe
)7$)8$()72 huko katika 4ijiji 9ha enjulu* &arafa ya Mlali Wilayani 4on+wa kisha
ku9himba shimo na kumfukia na ku:ora :iki:iki yenye namba 6a usajili &. 582
."/ aina ya ;!4%' :amoja na simu yake.
Watuhumiwa hawa baada ya kukamatwa walikiri ni kweli walimkodi marehemu
tarehe )7$)8$()72 na wakaenda kuonyesha walikofi9ha :iki:iki hiyo na simu huko
1airo. Mwili wa marehemu uli+undulika tarehe )7$)<$()72 na shoka walilotumia
kum:i+analo ki9hwani lilikutwa :embeni ya sehemu wali:o mfukia marehemu.
Watuhumiwa wen+ine ni A= #$% '-,D0' 0&!4-! mwenye umri wa miaka
(5* Mran+i :amoja na /A0;A #$% J-MA M#AA mwenye umri wa miaka (<*
Mran+i wote waka6i wa #waswa Dodoma Mjini na 4ondoa ambao wanatuhumiwa
kumkodisha dereva wa bodaboda MA,&0' #$% >0.&%,= M4%,% mwenye
umri wa miaka ((* Msandawe Mka6i wa 'jeden+wa tarehe (?$)8$()72* kisha
kumuua kwa kumkata na kitu 9henye n9ha kali shin+oni na kumjeruhi sehemu
mbalimbali 6a mwili kisha ku:ora :iki:iki yenye namba 6a usajili &. 888 .P,
ambayo ili:atikana baadaye. &ukio hilo walilifanya katika eneo la 'jeden+wa
karibu na makaburi ya .haduru.
Watuhumiwa walikamatwa wakiwa huko 4idoka katika Wilaya ya .hemba
wakiu6a :iki:iki nyin+ine yenye namba 6a usajili &. 58( ./; aina ya 3o@er
wailiyoi:ora tarehe (8$)8$()72 na walikiri kumuua MA,&0' #$% >0.&%,=
M4%,% :ia walifanya hivyo kwa sababu alikuwa anawafahamu ili asije
akawasema lakini wakasahau kuwa mkono wa dola ni mrefu. Watuhumiwa hawa
wanahojiwa :ia kwa matukio men+ine ambayo wamekiri kuhusika na u9hun+u6i
ukikamilika watafikishwa mahakamani.
Mtandao huu wa watuhumiwa hawa ume+undulika kutokana na ushirikiano m6uri
wa wanan9hi. Polisi Mkoa wa Dodoma wanawashukuru sana wanan9hi kwa
ushirikiano huo.
&unatoa wito :ia kwa wahalifu kuwa uhalifu hauli:i hivyo wabadilike na kuwa
wanan9hi wema wanao9hukia uhalifu.

Imetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma

Вам также может понравиться