Вы находитесь на странице: 1из 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1148 DHUL-HIJJA, IJUMAA , OKTOBA 24-30, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Katiba inayopendekezwa
koti linalobana zaidi-Seif
Imekiuka hata misingi ya Muungano
Kutoka mtuhumiwa Victor
hadi kuuawa Yahya Sensei
Afande Liberatus Soma Biblia John 8:32
"Intelligence Assets watatusumbua kama
Hatupo tayari kusema kweli ili kuwa huru
Madaktari
wachunguza
afya za
watuhumiwa
Keko, DSM
Sheikh Msellem
anaendelea vizuri
Jumuia ya
Maimamu
yawafariji
Watendaji wa gazeti la
AN-NNUR
wanawatakia
Waislamu wote
kheri ya Mwaka
Mpya wa Kiislamu
1436 Hijiria.
VICTOR Ambrose Calist.
Uk. 3
Uk. 5
Uk. 8
KAMANDA wa Polisi
Arusha, Liberatus Sabas.
MWILI wa mtuhumiwa wa ugaidi, Marehemu Yahaya Hassan Omar (Sensei) anayedaiwa kufariki baada ya kupigwa risasi
na polisi mguuni na makalioni. Inadaiwa kuwa alitaka kuwakimbia polisi kwa kutumia ujuzi wake wa karate na Judo.
2
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Tangazo
NIMELAZIMIKA kuanza
makala haya kwa hoja, hivi
kwanini maradhi angamizi
ya virusi yanaibukia katika
bara la Afrika zaidi kuliko
mabara mengine? Kila
ninapojaribu kutafakari,
swali hili limekuwa likija
ki l a mara kat i ka hi si a
zangu, bila kupata majibu.
Nimejaribu kutafuta kwenye
mitandao, kama labda kuna
mtaalam yeyote aliyejaribu
kupata harufu ya kiini cha
sababu za maradhi haya
angamizi kujitokeza na
kukolea zaidi katika bara
la Afrika na si kwingineko,
sijafanikiwa kumpata.
K a r n e z a n y u ma ,
yamewahi kutokea maradhi
yanayoadhiri idadi kubwa ya
watu, kama vile kipindupindu
( chol era) , surua, pol i o,
homa ya manjano, mafua ya
ndege (sars) nk. Hata hivyo,
taarifa zinaonyesha kuwa
maradhi haya pamoja na
kwamba yalionekana kuwa
Kuna haja ya kujiuliza kwanini
maradhi haya chanzo ni Afrika
Watu milioni 30 wameangamia kwa UKIMWI
Na Shaban Rajab ni hatari na angamizi kwa
wakati wake, lakini kamwe
hayajaweza kufua dafu dhidi
ya maradhi yanayoenezwa
kwa virusi ya Ukimwi na huu
unaoutetemesha ulimwengu
kwa sasa, yaani ugonjwa wa
ebola.
Maambukizi ya virusi vya
ukosefu wa kinga mwilini
(VVU/UKIMWI) ni ugonjwa
wa mfumo wa kingamwili wa
binadamu unaosababishwa
na virusi vya ukosefu wa
kinga mwilini (VVU).
Baada ya kuambukizwa,
mtu anaweza kukumbwa na
kipindi cha maradhi ya aina
mbalimbali kwa kuwa kinga
za kupambana na maradhi
zinakuwa zinaharibiwa na
virusi hivi, jambo ambalo
kusababisha mtu hatimaye
kupoteza maisha.
Ukimwi huambukizwa
zaidi kwa kufanya ngono
zi si zo sal ama au wat u
kushirikiana vifaa vyenye
ncha kali.
Watafiti wameonyesha
kuwa VVU viligunduliwa
huko Afrika Magharibi ya kati
katika karne ya ishirini.
Tangu kugundulika kwa
mar adhi hayo, hakuna
tiba wala chanjo hadi sasa.
Hata hivyo, tahadhari ya
kuambuki zwa i naweza
kupunguza mwendo wa
ugonjwa huu.
Ha t a hi vy o b a a da e
kul i gundul i wa dawa za
kujaribu kupunguza kasi
ya ushambuliaji ya VVU,
ambavyo husababisha urefu
wa maisha ya mgonjwa.
UKIMWI uligunduliwa
kwa ma r a ya kwa nz a
na Vituo vya Kuzuia na
Kudhibiti Magonjwa mnamo
mwaka wa 1981, na kirusi
(VVU) tunaelezwa kuwa
kiligunduliwa mwanzoni
mwa muongo huo.
VVU/UKIMWI umekuwa
na madhara makubwa katika
j amii, kama ugonj wa na
chanzo cha ubaguzi. Ugonjwa
huu pia una madhara ya
kiuchumi.
Tangu kugundul i wa,
U K I MWI u n a d a i wa
kusababisha vifo vya watu
Inaendelea Uk. 3
HIVI silaha za kutumia
vi umbe z i na j a r i bi wa
kwa Waafri ka? Taari fa
zimehusisha kufumuka wa
virusi vya Ebola na majaribio
ya kupunguza idadi ya watu
barani Afrika. Liberia pia
ndiyo nchi ambayo idadi
yake ya watu inaongezeka
kwa kasi kuliko kwingineko
barani Afrika.
Wapendwa wananchi wa
dunia:
Nimesoma makala kadhaa
katika ukurasa wenu wa
mtandao pamoja na makala
kut oka vi anzi o vi ngi ne
kuhusu vifo vilivyotokea
Liberia na nchi nyingine za
Afrika Magharibi kuhusiana
na uharibifu uliotokana na
virusi vya Ebola. Yapata
wiki moja iliyopita, nilisoma
makala iliyochapishwa katika
muhtasari wa habari kutoka
Ebola imetengenezwa na makampuni ya madawa,
Wizara ya Ulinzi ya Marekani? Wanasayansi wanadai
Na Dk. Cyril Broderick,
Profesa wa Mifumo ya
Uhai ya Mimea
Oktoba 19, 2014 Mtandao
wa Kupashana Habari na
Liberian Observer
BILA shaka Waislamu
nchini wana taarifa za
kuwekwa mahabusu
v i o n g o z i w a o
mbal i mbal i kat i ka
gereza la Keko jijini
Dar es Salaam.
A i d h a w e n g i
wanaf ahamu kuwa
v i o n g o z i h a o n a
Wai sl amu wengi ne,
wamo gerezani humo
kutokana na kutuhumiwa
kwa makosa kadhaa,
lakini zaidi ni ya ugaidi
na uchochezi. Miongoni
mwao ni pamoj a na
Sheikh Ponda Issa Ponda,
baadhi ya Masheikh wa
Jumuiya ya Mihadhara
ya Kiislamu Zanzibar
wa ki we mo S he i kh
Msellem Ali Msellem na
Farid Hadd.
Tunatambua kwamba
kesi za Waislamu hawa
b a do z i n a e n de l e a
makahamani . Hat a
hivyo, kwa mujibu wa
maelezo ya baadhi ya
wat uhumi wa kat i ka
muendelezo wa kesi
hizo, na hata mawakili
wao wanaowat et ea,
wamesema kuwa tangu
walipoingizwa katika
mahabusu, wamekuwa
waki s umbul i wa na
maradhi huku wakikosa
matibabu stahiki.
Wames ema kuwa
s e he mu kubwa ya
maumivu wanayopata
ni kutokana na mateso
waliyopewa na baadhi ya
askari wa jeshi la polisi,
hasa wakati wakihojiwa.
Ilifikia hata kusema
kuwa baadhi ya unyama
waliofanyiwa hawawezi
kuueleza hadharani. Bila
shaka ni kwa kuwa ni
wa aibu, hasa kwa mtu
wa kaliba ya kiongozi
wa dini.
Pamoja na maumivu na
maradhi yanayowakabili,
Masheikh hao walikosa
kupatiwa hata ile hati ya
matibabu kutoka polisi
(PF3), licha ya amri ya
mahakama ya kutaka
wapatiwe hati hizo.
Hata hivyo, baada ya
Tuwasaidie Masheikh wetu
kuzirai Sheikh Mselem
wi k i i l i y o pi t a na
baadhi ya watuhumiwa
kuonyesha alama za
usaha katika mavazi yao
mbele ya mahakama,
tunafarikijika kusikia
kwamba madakt ar i
wa me we z a k uf i k a
gerezani Keko na kuanza
kuwafanyia uchunguzi
wa afya Masheikh hao
na kuwapatia matibabu.
Ifahamike tu kwamba,
suala la matibabu ni
haki ya msingi ya kila
bi nadamu, awe ni
mfungwa au mahabusu.
Kwa hiyo, wito wetu
kwa Waislamu nchini,
hususan wa jijini Dar es
Salaam, ni kutoa kila aina
ya msaada unaohitajika
kuha ki ki s ha kuwa
wa t u h u mi wa h a o
wanapat a haki yao
ya matibabu na haki
nyi ngi ne za msi ngi
ambazo haziondolewi na
tuhuma zinazowakabili.
Wa na hi t a j i s a na
huduma za kijamii kama
vile dawa kukabiliana na
maradhi yanayowakabili,
vyakula bora, kuchangia
k a t i k a k uwa pa t i a
msaada wa ki sheri a
na hata kuwatembelea
kuwafariji.
Pi a ni waj i bu wa
Waislamu kuzisaidia
familia zao, ambazo
zilikuwa zikitegemea
mahitaji yao kutoka kwa
watuhumiwa.
Waislamu wafanye
hivyo wakitambua kuwa
hao ni ndugu zao na
waumini wenzao.
Shura ya Maimamu
w a m e o n y e s h a
n j i a . Ku wa s a i d i a
wat uhumi wa hawa,
mtakuwa mnatekeleza
na kudhihirisha udugu
na mshi kamano wa
Kiislamu.
Tus i mame kat i ka
mafundisho ya Uislamu
kuwa tumsaidie ndugu
yetu akiwa kadhulumiwa
au kadhulumu. Tutizame
ubinadamu.
mtandaoni unaochapishwa na
Marafki wa Liberia iliyosema
kuwa kulikuwa na uelewano
kuwa kufumuka kwa Ebola
huko Af ri ka Maghari bi
kul i tokana na kugusana
mtoto wa miaka miwili na
popo ambaye aliletwa kwa
ndege kutoka Congo. Taarifa
hiyo ilinisikitisha kwa na
utoaji taarifa kuhusu Ebola, na
ikasukuma kutolewa jibu kwa
Marafki wa Liberia, kusema
watu wa Afrika siyo wajinga
wanaodanganyika tu, kama
inayoainishwa. Jibu kutoka
kwa Dk. Verlon Stone lilisema
kuwa makala hiyo haikuwa
yao, na kuwa Marafiki wa
Liberia walikuwa tu wanatoa
huduma. Halafu akauliza
kama anaweza kuchapisha
barua yangu katika jukwaa
l ao l a mtandao. Ni l i toa
ruhusa hiyo, lakini sijaiona
imechapishwa. Kutokana na
vifo vingi, woga, dhoruba
z a ki hi s i a na kuka t a
tamaa kwa wa-Liberia na
wananchi wengine wa Afrika
Magharibi, inahitaji kuwa
nitoe mchango katika kufkia
utatuzi wa hali hii ya kutisha,
ambayo inaweza kutokea
tena, kama haitakabiliwa
inavyopasa na kwa ukamilifu .
Nitazungumzia hali hii katika
maeneo matano muhimu:
1 . Ebol a ni ki umbe
kilichobadilishwa vinasaba
(GMO)
Horowitz (1998) alikuwa
muwazi bila kifcho alipoelezea
hatari ya magonjwa mapya
katika chapisho lake, Virusi
vi navyozuka: Uki mwi
na Ebol a - Maumbi l e,
ajali au dhamira. Katika
mahojiano na Dk. Robert
Strecker katika Sura ya 7,
mjadala, katika miaka ya
1970 mapema, uliweka wazi
kuwa vita ilikuwa ni kati
ya nchi zinazolea KGB na
CIA, na kuwa utengenezaji
wa virusi vinavyofanana na
Ukimwi ulikuwa unamlenga
mwingine. Katika mahali
fulani wakati wa mahojiano,
i l i ai ni shwa kuhusu Fort
Detrick, jengo la Ebola,
na mat at i zo makubwa
na magonj wa yasi yo ya
kawai da. Hadi kufi ki a
Sura ya 12 katika chapisho
Inaendelea Uk. 13
3
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Habari
Katiba inayopendekezwa koti linalobana zaidi-Seif
KATIBU Mkuu wa Chama cha
Wananchi CUF, Maal i m Sei f
Sharif Hamad amesema Katiba
inayopendekezwa ni koti linalozidi
kuibana Zanzibar, badala ya kuipa
nafuu na kamwe Wazanzibari
hawawezi kuikubali.
Maalim Seif ameyasema hayo
wakati alipokuwa akihutubia katika
mkutano mkubwa wa hadhara
uliofanyika katika kiwanj a cha
Gombani ya Kale, Chake chake
Pemba.
Alisema Katiba hiyo ina mambo
mengi ambayo yanainyanganya
Mamlaka yake Zanzibar, na wale
wanaopita kusema kuwa Zanzibar
imepata kila inachokitaka kwenye
Katiba hiyo ni waongo.
Maalim Seif ambaye pia ni Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
alisema Katiba hiyo imekiuka hata
ile misingi mikuu ya mkataba wa
Muungano ambayo i natambua
Mamlaka ya Zanzibar ndani ya
Muungano.
Akitoa mfano, Maalim Seif alisema
CCM anapita na kusema kuwa Katiba
hiyo imeyatoa mafuta na gesi asilia
sasa kuwa ya Muungano, jambo hilo
ni sawa na kuipaka mafuta Zanzibar,
kwa sababu ardhi sasa imefanywa ni
jambo la Muungano.
Alisema sheria za Zanzibar ziko
wazi kabisa juu ya ardhi kumilikiwa
na Wazanzibari, lakini kwenye Katiba
inayopendekezwa suala hilo sasa ni
la Muungano, licha ya kuwa ardhi ya
Zanzibar ni ndogo sana na haitoshi
hata kwa Wazanzibari wenyewe.
Maalim Seif alisema kuwa si
kweli kwamba kuna msururu wa
makampuni ya kuchimba mafuta na
gesi asilia, baada ya kusikia sekta hiyo
imetolewa kwenye Muungano.
Alisema kwamba Zanzibar haiwezi
kuruhusu kuchimbwa mafuta na gesi
asilia, kabla kwanza haijawa na sheria
na Sera juu ya mafuta hayo ambazo ni
nzuri zinazotamka wazi wazi ni vipi
Wazanzibari watanufaika na mafuta
na gesi hiyo.
Lazi ma t uwe na c hombo
chetu wenyewe Wazanzibari cha
kushughulikia uchimbaji wa mafuta,
ambacho kitakuwa na usimamizi
mzur i ut akaohaki ki s ha ki l a
Mzanzibari ananufaika na mafuta na
gesi, ikiwemo suala la ajira, alisema
Maalim Seif.
Katika hatua nyengine, Maalim
Seif alisema katika uchaguzi mkuu
ujao mwakani hakuna wa kukizuia
chama cha Wananchi CUF kushinda
na kuingia Ikulu ya Zanzibar.
Al i s ema kwamba mat uki o
yaliyojiri Dodoma juu ya mchakato
wa Katiba yatawafanya Wazanzibari
kushikamana na kuitetea Zanzibar,
jambo ambalo wanajua litaweza
kufanikiwa iwapo chama cha CUF
kitakamata Serikali.
Ha wa wa me s ha ma l i z i ka ,
wameshamalizika kabisa namwambia
rafki yangu Rais Kikwete wasiwaletee
Katiba hiyo Wazanzibari wataikataa,
alisema.
Katika mkutano huo, Mkurugenzi
wa Mambo ya Nje wa CUF, Ismail
Jusa Ladhu amewapongeza wananchi
wa kisiwa cha Pemba kwa kuwa imara
miaka yote na kuonesha ukomavu
mkubwa na msimamo usio yumba
Na Khamis Haji
katika kuhakikisha hadhi ya Zanzibar
ina baki na wao wamekuwa ngome
imara ya kuitetea Zanzibar na maslahi
yake.
Alisema kwa wananchi wa Pemba
hakuna kituko au kitimbi ambacho
hawajafanyiwa, lakini hilo kamwe
halikuwatoa kwenye mstari na
wameweza kuhimili dhoruba hizo
na hivi sasa kuna kila dalili chama cha
CUF kitashika serikali katika uchaguzi
mkuu hapo mwakani.
Hakuna wa kuzui a wakati ,
wakati ni ukuta. Wakati sasa umefka,
kila wanalolifanya CCM hivi sasa
linawageukia wenyewe, na Inshallah
ushindi wa CUF mwakani hauna
mjadala na Maalim Seif anaingia Ikulu
ya Zanzibar, alisema Jusa.
Al i el eza kwamba uchaguzi
mkuu wa mwaka 2015 kwa upande
wa Zanzibar utakuwa ni kati ya
wanaotaka Mamlaka kamili na wale
madalali wa Zanzibar waliokwenda
kuiuza Dodoma.
Jusa alisema kuwa katika hali
hiyo upande unaotaka Mamlaka
kamili lazima utashinda kwa sababu
unaungwa mkono na Wazanzibari
walio wengi, wakiwemo viongozi
mashuhuri ambao baadhi yao ni
viongozi mashuhuri wa CCM.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF
Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui
amesema mambo yal i yokuwa
yakifanyika Dodoma si mambo ya
kufanywa na watu waungwana,
hasa kitendo cha baadhi ya wajumbe
kuuza nchi yao ya Zanzibar kwa kujali
maslahi yao wachache.
Al i el eza kuwa Wazanzi bari
wanachotaka sasa ni kuwa na
Mamlaka ya kujiamulia mambo yao
katika kuimarisha uchumi na hali za
wananchi, na wala hawataki kuona
baadhi ya wachache wakipigania
matumbo yao na kuwaacha wananchi
walio wengi wakisumbuliwa na hali
ngumu ya maisha.
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi
wa CUF, Salum Bimani amesema
dalili ya kuwa katiba iliyopendekezwa
Dodoma haina maslahi kwa Zanzibar,
waj umbe wengi wal i ohus i ka
kuipitisha hivi sasa wanaona shida
kutembea Zanzibar kutokana na
usaliti walioufanya.
Mkut a no huo ul i of a nyi ka
Gombani ya Kale Pemba ni wa
pili mkubwa kufanywa na CUF
tangu Bunge Maalum kutoa Katiba
inayopendekezwa na kukabidhiwa
kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano
na Rais wa Zanzibar huko Dodoma.
Mkutano wa kwanza ambao
pia ulihutubiwa na Maalim Seif na
kuhudhuriwa na umati mkubwa wa
wanachama, wafuasi na wananchi
mbali mbali wa Zanzibar ulifanyika
Oktoba 16 kati ka vi wanj a vya
Kibandamaiti.
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.
Kuna haja ya kujiuliza kwanini maradhi haya chanzo ni Afrika
Inatoka Uk. 2
takriban milioni 30 (kufkia mwaka
wa 2009).
Hadi mwaka 2010, t akri ban
watu milioni 34 wameambukizwa
UKIMWI kote duniani. UKIMWI
umechukuliwa kama janga, yaani
mlipuko wa ugonjwa katika eneo
kubwa, na ambao ungali unaendelea
kuenea sehemu mbalimbali duniani
kote,lakini zaidi barani Afrika.
Kuna s i nt of ahamu kuhus u
UKIMWI kama vile kwamba unaweza
kusambazwa kwa kugusana tu bila
ngono.
Kwa mi aka mi ngi , wat af i t i
wamekuwa wakij aribu kutafuta
chanzo cha HIV, ambao hadi sasa
tunaelezwa kuwa zaidi ya watu
milioni 36 wameshapoteza maisha
kwa ugonjwa huo dunia kote, zaidi
katika nchi karibu na jangwa la
Sahara.
Kwa sasa timu ya watafiti ya
Kimataifa (International research
team) imesema wamepata jibu la asili
ya ugonjwa huo. Wamesema kuwa
wamegundua kuwa maradhi hayo
yalianzia katika jiji la Kinshasa huko
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
katika miaka ya 1920s.
"Our genetic data tells us that HIV very
quickly spread across the DRC, traveling
with people along railways and waterways
to reach Mbuji-Mayi and Lubumbashi in
the extreme South and Kisangani in the
far North by the end of the 1930s and early
1950s," amenukuliwa akisema Dk.
Nuno Faria wa timu ya watafti hao.
Timu hiyo ya watafti iliyoongozwa
na wachunguzi kutoka Chuo Kikuu
cha Oxford cha Uingereza na wale wa
Chuo Kikuu cha Leuven (KU Leuven)
cha Ubelgiji, walichapisha majibu ya
utafti wao katika jarida la Science.
Kwa muj ibu wa watafiti hao,
ilibainishawa kwamba virusi vya HIV
vilihamishwa kutoka kwa nyani hadi
kwa binadamu kwa si chini ya mara
kumi na tatu.
Mwandishi maarufu, Prof. Oliver
Pybus, wa Idara ya Zoology katika
Chuo Kikuu cha Oxford, alisema
kuwa kufuatia utafti wa uhakika wa
HIV, timu yao ya watafti ilifuatilia
asili ya Ukimwi huko Kinshasa
zamani ikiitwa Lopoldville, katika
miaka ya 1920s nchini Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo.
Prof. Pybus, alisema walitambua
sababu kadhaa ambazo zilisababisha
virusi vya Ukimwi kusambaa kutoka
Kinshasa hadi Katika nchi za karibu
na jangwa la Sahara kati ya miaka
ya1920s na 1950s.
"Ilipogundulika asili ya ugonjwa,
walishabihisha na vielelezo vya
kihistoria na kuthibitika kwamba
Inaendelea Uk. 13
4
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
Sifa na masharti ya kujiunga
Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo:
(i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu
(ii) Awe anajua kusoma Quran kwa ufasaha.
(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya
Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.
(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya
Kiswahili kwa ufasaha.
(v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne
na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika
shule za Msingi au Sekondari.
Patakuwa na usaili na mtihani siku ya tarehe
29/11/2014 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo
na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote
nchini.
Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 28/11/2014.
Fomu inalipiwa shilingi 5,000/- tu.
Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa
ukurasa wa 15 wa gazeti hili.
MKURUGENZI
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU
KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2015
VUGUVUGU la kisiasa lililopita
kwenye nchi za Kiarabu, maarufu
kama 'Arab Spring', na makundi
yaliyokamata madaraka baada
ya vuguvugu hilo, yameonyesha
mapungufu makubwa ya kisiasa.
Kulikuwa na matumaini kwamba
siasa za zamani kwenye nchi
hizo, zingetupwa kwenye jalala la
historia na siasa mpya kuibuka.
Hata hivyo, vikundi vya Kiislamu
vilivyokamata madaraka, vikafanya
kila linalowezekana kuhifadhi
mfumo ule ule uliokuwepo, hatua
ambayo imekwaza siasa za Kiislamu
kuibuka kwenye nchi hizo.
Kabla ya kuingia ndani sana, ni
vyema wasomaji wangu wakaelewa
kwanza, fkra ya kisiasa ya Kiislamu ni
nini? Umma wa Kiislamu unapaswa
kuf ahamu si asa na Ui sl amu.
Waislamu lazima wafahamu kwamba
Uislamu unawapa mchepuo maalumu
(angle), wakati wanapoyaangalia
matukio mbalimbali yanayotokea
ulimwenguni.
Na yale matukio ambayo hayaakisi
siasa za Kiislamu katika namna
iliyo wazi na isiyo tatanishi, kwa
hakika hayapaswi kuungwa mkono
na Waislamu. Mwenyezi Mungu
anasema:
" Haki ka Mwenyezi Mungu
habadili yaliyoko kwa watu mpaka
wabadili wao yaliyomo katika nafsi
zao" Qur(13:11).
Kujenga wanasiasa: Mwanasiasa
aliye makini lazima awe na fkra iliyo
wazi kabisa kuhusu mwelekeo wa
siasa zake. Hii ina maana kwamba
anatakiwa kuweka mchepuo (angle)
kuhusu jinsi anavyoyaangalia mambo
au matukio yanayotokea. Mwanasiasa
anapokuwa hana mchepuo huu,
lazima atachanganyikiwa kwenye
mseto wa matukio yanayokinzana,
ambayo hutokea nchini mwake na
duniani kwa ujumla.
Kwa hiyo atakuwa hana ufanisi
katika kufkia malengo yake na siasa
anazosimamia zitakuwa vurugu
mechi iliyokosa mwelekeo. Katika
Ulimwengu wa Magharibi, wanasiasa
wa kikafiri wana mchepuo sahihi
sana, (kwa mujibu wa itikadi yao),
wa kuyaangalia mambo na matukio
yanayotokea duniani.
Wanayaangalia mambo kutoka
kwenye msingi wa Ubeberu na
fikra zake kama usekula, misingi
ya ki de mokr as i a, dhana za
uhuru na kuendel eza masl ahi
binafsi. Wanapojiingiza kwenye
siasa, wanasiasa wa Kimagharibi
wanafahamu vizuri kwamba sera
ya Mambo ya Nj e ya nchi zao,
inalenga kuhakikisha maslahi ya
mataifa yao. Wanafahamu jinsi ya
kuyatazama mataifa mengine, na nini
cha kutafuta kutoka kwenye mataifa
hayo, katika uhusiano wa aina yoyote
watakaokuwa nao.
Katika siasa za ndani,wanafahamu
maana ya jukumu la dola kuhudumia
masuala ya wananchi. Wanazo fkra
kuhusu jinsi gani raia waishi, na
haki za wananchi zinapaswa kuwa
nini. Wanaijua vizuri itikadi yao na
wanaikumbatia kikamilifu, ikiwa ni
pamoja na kuutazama ulimwengu
kupitia misingi iliyowekwa na itikadi
hiyo.
Wanasiasa hawa wa Magharibi
pia wanaendeleza dhana zile zile
Mtazamo wa kisiasa wa Kiislamu
Said Rajab za kisiasa, wakipata uzoefu kupitia
mila ya kisiasa iliyopo kwenye nchi
zao. Wanajifunza ubinafsi, ulaghai,
hadaa, usanii, kuhalalisha uovu, na
kusema uongo ili kuficha kashfa
zinazowahusu. Wanajifunza kwamba
namna ya kuhukumu jambo, siyo
ukweli wake au uongo wake, bali
namna gani itaendana na maslahi
yao. Wanajenga uwezo wa kutumia
matukio yanayojiri kwa faida yao
na hasara ya wengine. Wanasiasa
hawa wanatambua kwamba kuna
taswira ya umma, ambayo lazima
waionyeshe hadharani, bila ya
kuzingatia ukweli halisi wa kile
wanachohisi na kufkiria. Wanasiasa
hawa wa Kimagharibi wanajifunza
pia kwamba katika siasa zao, ni
sheria ya mwituni (mwenye nguvu
humtafuna mnyonge), na kwamba
mtu anaweza akawa rafki leo siku
inayofuata akawa adui. Ni kupitia njia
hii ndipo wanasiasa wa Magharibi
wanavyoweza kujenga mchepuo
wao wa jinsi ya kuyaangalia mambo
na matukio yanayojiri. Misingi hiyo
ndiyo inayoongoza hatua zao za
kisiasa, ambazo ni muhimu kwa
mwanasiasa binafsi na kwa nchi yake.
Uislamu unapinga vikali tabia
zote hizo zinazofanywa na wanasiasa
wa Ki maghari bi . Ui sl amu pi a
unapingana vikali na misingi na
itikadi inayotumiwa na wanasiasa
hao kujenga mchepuo wao wa kisiasa.
Uislamu unawajenga wanasiasa
kwenye msingi wake wa kipekee wa
maadili na uadilifu.
Kwa mfano, badala ya ubinafsi,
Uislamu unajenga ukarimu, badala
ya kutumia mbinu chafu kukamilisha
ajenda, Uislamu unasisitiza ukweli,
uwazi, uadilifu na hofu ya Mwenyezi
Mungu. Ui sl amu unafundi sha
kwamba kile ambacho Muislamu
anachotaka kwa ajili yake, basi
humtakia pia Muislamu mwenzake.
Lakini ulimwengu wa Magharibi
unafundisha kwamba maslahi binafsi
yanatangulia maslahi mengine yote.
Kwa Waislamu, wanasiasa wanaobeba
mtazamo halisi wa siasa za Kiislamu,
karibu wote walipotea wakati dola ya
Kiislamu ya Uthmaniyya ilipoanguka
mwaka 1924. Maadui wa Uislamu
walifanikiwa kuitia sumu fikra
ya kisiasa ya Waislamu na hivyo
kuvuruga kabisa mchepuo wao wa
kisiasa. Maadui hawa walipandikiza
fkra tofauti za kisiasa kwenye nchi za
Waislamu - kama vile utaifa ambapo
Waislamu kutoka Arabuni wakaanza
kujiona ni tofauti na ndugu zao wa
Istanbul.
Baada ya dol a ya Ki i sl amu
kusambaratika kabisa mwaka 1924,
siasa katika nchi za Waislamu
zikadhibitiwa na fkra za Kisoshalisti
na Kibeberu. Harakati za kisiasa
ambazo ziliendeshwa ndani ya
miundo ya dola iliyobadilika kutoka
kwenye utawala wa Kiislamu, zikawa
hazina ufanisi kabisa na zilitumiwa
tu na maadui kama daraja la kufkia
malengo yao.
Mchepuo wa wanasiasa katika nchi
za Waislamu, ukawa siyo wa Kiislamu
t ena, kama t unavyoshuhudi a
mpaka leo, ambapo lengo lao kuu
ni kuendelea kubaki madarakani.
Orodha ya baadhi ya wanasiasa wa
ulimwengu wa Kiislamu katika karne
iliyopita ni pamoja na Mustafa Kemal,
Muhammad Ali Jinnah, Gamal
Abdul Nasser, Anwar Sadat, Mfalme
Hussein wa Jordan, Saddam Hussein,
Nawaz Sharif, Pervez Musharraf,
Benazir Bhuto na wengine wengi.
Hao wote walikuwa mbali kabisa na
siasa za Uislamu na wote walitumikia
maslahi ya mataifa ya Magharibi
kuliko ya watu wao.
Wale ambao walijaribu kujenga
mataifa yao, walifanya hivyo kwa
kutumia msingi dhaifu wa kisiasa -
mfano Gamal Abdul Nasser alikuwa
na msingi dhaifu sana wa Utaifa
wa Kiarabu (Arab Nationalism)
katika kujenga siasa zake. Wote
hao walitumia mfumo wa kisiasa
ul i opandi ki zwa na wat u wa
Magharibi, ambao umejengwa kwa
kuzingatia dhana za Kimagharibi.
Kwa sababu hiyo, haikuwezekana
kabisa kwa mtu yeyote ndani ya
serikali au vyama, kufanyakazi ndani
ya mfumo huo na kuleta manufaa
kwa Waislamu.
Kama mchepuo wa ki si asa
ulioshikwa na Waislamu katika nchi
za Waislamu siyo wa Kiislamu, basi
maadui wa Uislamu wanafurahi zaidi
kwa sababu hilo linawahakikishia
kuziburuza nchi za Waislamu hata
miaka elfu moja ijayo!
Sasa hiyo ni changamoto kwa
Waislamu wote popote walipo
duniani. Katika mazingira kama haya,
Waislamu wanatakiwa kujipamba
katika utamaduni wa Kiislamu kama
itikadi na mfumo wa maisha, ili kwa
mara nyingine tena kuwe na 'block'
ya kisiasa miongoni mwa Waislamu,
ambayo itaurudisha umma wa
Kiislamu mahali pake.
Mchepuo Maalumu: Tunapoingia
kwenye siasa, lazima Waislamu
tufahamu mtazamo na mchepuo
wetu kwa usahihi. Kama hatujui,
basi kuna uwezekano mkubwa watu
wengine wakawatumia Waislamu
kukamilisha aj enda zao. Iwapo
mchepuo na mtazamo havitakuwa
wazi kichwani, basi hii inaweza
kusababisha mwanasiasa Muislamu
kuwa na msingi dhaifu wa kisiasa,
unaoweza kumfanya atupilie mbali
malengo yake.
Mchepuo wa kisiasa unaozingatia
misingi ya Kiislamu ni tofauti na
wa kipekee sana. Mchepuo huu
unatumika kama dira kwa wanasiasa
Wai sl amu, ambao utawafanya
wachukue hatua sahihi za kisiasa
na kuwapeleka kwenye mwelekeo
sahihi. Mchepuo huo maalumu
ambao Wai sl amu wanapaswa
kuyaangalia mambo, hautokani na
matamanio ya nafsi zao, bali unatoka
kwenye Aqida ya Kiislamu.
Kutoka kwenye maandiko ya
Ki i sl amu, i nafahami ka vyema
kwamba Uislamu umekuja kwa
wanadamu kama Dini, na mchepuo
wa 'La illaha ila Llah' ndiyo unaopaswa
kuwa miwani ya kuangalia mambo
yote na matukio yanayojiri. Hii maana
yake ni kwamba 'hukmu sharia' na
ufahamu wa itikadi ya Kiislamu
ndiyo lenzi za wanasiasa Waislamu
katika kuyaangalia mambo.
Mchepuo wa Muislamu katika
kuyaangalia matukio na masuala
yanayotokea kwenye maisha, lazima
Inaendelea Uk. 11
5
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Habari
JAMII ya Waislamu Mashariki
mwa Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Kongo, imelaani vikali
mashambulizi ya waasi wa
Uganda dhidi ya yao.
Mj umbe wa Jumuiya hiyo
ya Waislamu Musa Angwandi,
ameonyesha masikitiko makubwa
kuhusu mauaji ya Waislamu 80
raia wa nchi hiyo katika kipindi
cha wiki mbili zilizopita kwenye
eneo hilo.
Wai sl amu hao wa mj i wa
NAIBU Mkurugenzi wa Shirika
la Afya Duniani (WHO), Dk.
Marie Paule Kieny, amesema
J umanne wi ki hi i kuwa
majaribio ya dawa ya chanjo
ya Ebola yanaendelea huko
Ulaya Marekani na Afrika na
kwamba, kama chanjo hizo
zikionekana kuwa salama,
yanaweza kufanyika majaribio
yake Afrika Magharibi Januari
mwakani.
Hat a hi vyo Dk. Ki eny,
hakusema ni lini chanjo ya Ebola
inaweza kupatikana duniani kote,
MOMBASA
Maelfu ya wakazi wa Mombasa
wakiongozwa na viongozi wao
wamehudhuria mazishi ya
msomi maarufu nchini Kenya,
Profesa Ali Mazrui, aliyezikwa
katika makaburi ya familia yake
mjini Mombasa, karibu na jengo
la makumbusho la Fort Jesus,
siku ya Jumapili.
Mwili wa Profesa Mazrui
uliwasili kwenye uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Mombasa
alfaj iri na kupokelewa kwa
heshima za kitaifa na wakuu
wote wa kisiasa wa County ya
Profesa Ali Mazrui
azikwa Mombasa
Mombasa, waki ongozwa na
Gavana Ali Hassan Joho akiwemo
pia Mwanasheria Mkuu wa Kenya,
Willy Mutunga.
Baadae ulisindikizwa kutoka
New York nchini Marekani na
binamu yake Profesa Al Amin
Mazrui, mjane wake Pauline Uti,
mwanae Farid na wenzake wawili
wa Chuo Kikuu cha Binghamton
New York.
Profesa Mazrui alifariki Oktoba
12, 2014 nyumbani kwake Vestal,
New York, baada ya kuugua kwa
muda akiwa na umri wa miaka
81. (VOA).
WHO yasema chanjo Ebola kuanza Januari
wakati alipokuwa akiongea na
waandishi jijini Geneva Uswisi.
Hata hivyo wakati Naibu
Mkurugenzi huyo akitoa kauli
yake hiyo ya matumiani, bado
mpaka sasa hakuna dawa wala
chanjo ya ugonjwa huo, ambao
umeuwa zaidi ya watu 4,500 huko
Afrika Magharibi mwaka huu.
Jumatatu shirika hilo lilitangaza
kuwa taifa la Nigeria halina tena
ugonjwa wa Ebola, baada ya siku
42 kupita bila ripoti za kesi mpya
a ugonjwa huo.(VOA).
Waislamu wa DRC walaani kuuawa na waasi
Beni walisema kuwa licha ya
kufahamika kuwa Qurani Tukufu
inapinga kuua watu wasio na
hatia, lakini waasi hao wa Uganda
wamekuwa wakizidi kuwafanyia
ukatili na ukandamizaji Waislamu.
Kwa muj i bu wa r i pot i
iliyotolewa na Jumuiya za kiraia
katika mkoa wa Kivu Kaskazini
Mashari ki mwa nchi hi yo,
imewataja waasi hao wa Uganda
kuwa ndio waliofanya mauaji
hayo ya hivi karibuni.
Madrasa Hijjatul Wadaa. Iliyopo Nangurukuru, Kilwa. Inaomba
msaada wa ujenzi wa Jengo la Madrasa. Kwa sasa madrasa hiyo yenye
watoto wa Kiislamu 75, inaendeshwa nje ya nyumba ya Muislamu
na kushindwa kuendelea na masomo katika kipindi cha mvua au
cha jua kali. Msaada unaohitajika ni pesa au vifaa vya ujenzi. Toa
kwa ajili ya Allah (sw).
Ka maelezo zaidi piga namba:- 0682 40 65 75.
Waislamu wa Kata ya Mzenga, Wilayani Kisarawe, wanatoa wito
kwa Taasisi za Kiislamu na Waislamu kujitokeza kwao ili wawauzie
eneo/Ardhi yenye heka 200, kwa ajili ya maendeleo ya Uislamu na
Waislamu. Ardhi inafaa kwa Kilimo na ujenzi wa Shule. Ardhi ipo
Km 35, Kutoka Mlandizi, Barabara ya Morogoro (Highway).
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namaba:- 0787/0767 40 81 10
au 0714 111 669.
Msaada wa ujenzi wa Madrasa
Kiwanja kinauzwa
Madaktari wachunguza afya
za watuhumiwa Keko, DSM
Hali ya Afya ya Sheikh Mselem
Ali Mselem inaendelea vizuri
baada ya kupatiwa matibabu na
hatimaye ameweza kuhudhuria
mahakamani juzi Jumatano
kusikiliza kesi inayomkabili.
Wa ki l i wa mt uhumi wa
al i t hi bi t i shi wa j uu hal i za
wa t u h u mi wa wa g o n j wa
gerezani na kwamba, madakitari
walipelekwa na kuchukua vipimo
kwa ajili ya uchunguzi wa afya za
watuhumiwa hao.
Kwa mujibu wa maelezo ya
Wakili wa upande wa utetezi,
Abdal ah Juma Mohammed,
alisema kuwa Sheikh Mselem,
alikuwa akisumbuliwa na malaria
tangu alipoletwa gerezani Keko.
Akizungumzia upande wa
watuhumiwa wengine, wakili
huyo alisema hali zao zinaendelea
vizuri tofauti na ilivyokuwa awali,
baada ya jopo la madaktari kufka
gerezani na kuwapatia huduma.
Sheikh Farid Hadi na wenzake
22 walithibitisha kuwa ni kweli
jopo hilo la madaktarii walifka
na wal i shachukua vi pi mo
kwa uchunguzi zaidi wa afya
za wat uhumi wa, kwa hi yo
wanasubiri majibu ili waweze
kupatiwa tiba kamili, na kwamba
huduma za awali zilishaanza
kutolewa.
Sheikh Farid aliongeza kuwa
wiki iliyopita walitembelewa na
Jopo la Masheikh wa Jumuiya
ya Maimamu Tanzania, jambo
ambalo liliwafariji sana.
Hakimu anayesimamia kesi
hiyo, Hellen Liwa, alisema kuwa
uamuzi wa shauri hilo hauwezi
kutolewa kwa sababu jalada la
kesi hiyo bado lipo Mahakama
Kuu.
Aliwataka waumini kuzidisha
Na Seif Msengakamba
dua kwa watuhumiwa hao, kwani
dua zao zinahitajika ili Masheikh
hao na Waislamu wengine waweze
kuwa huru na kuendelea na
shughuli zao za kumtumikia
MwenyeziMungu.
Kesi hi yo i l i ahi ri shwa na
itatajwa tena Novemba 4 mwaka
huu.
Sheikh Mselem Ali Mselem.
Jeneza la Profesa Mazrui likipelekwa makaburini Kibokoni Mombasa,
Kenya.
6
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
J UMAMOSI i l i yopi t a
n i l i p a t a b a h a t i y a
kuhudhuria katika mahafali
ya kuwaaga wanafunzi
wal i ohi t i mu dar asa l a
saba wa shule ya msingi
ya Kiislamu Thaaqibu,
iliyopo mtaa wa Kiloleli,
Kata ya Nyamanoro, Tarafa
ya Ilemela wilayani Ilemela
Mwanza.
Mahafali hayo yalikuwa
ya kuwaaga wanafunzi wa
shule hiyo waliohitimu elimu
ya msingi mapema mwezi
Septemba mwaka huu, na
yalifanyika katika viwanja
vya shule hiyo kuanzia saa
mbili asubuhi hadi majira ya
saa tisa alasiri.
Mahaf al i hi yo, mbal i
n a k u h u d h u r i wa n a
Waislamu kwa ujumla wao,
yalijumuisha pia wanafunzi,
walimu, wazazi, walezi,
wadau wa elimu pamoja na
viongozi mbalimbali wa dini.
Mgeni Ras mi kat i ka
mahafali hiyo alikuwa ni
Mratibu wa Elimu wa Kata
(MEK) ya Nyasaka Bw.
Mussa Ramadhani Khamisi,
ambaye pia aliwahi kuwa
Mratibu wa Elimu wa Kata
(MEK) ya Nyamanoro, Kata
ambayo ndipo shule hiyo ya
msingi ya Kiislamu ilipo.
Pamoj a na kuvut i wa
n a ma mb o c h u n g u
niliyoyashuhudia katika
mahafali hiyo, yakiwemo
maonyes ho anuwai ya
kinadharia na ya kivitendo ya
masomo mbalimbali katika
elimu ya mazingira na ya
mwongozo, mvuto wangu
kwa yaliyokuwa yakiendelea
kujiri katika mahafali hiyo,
ulishtadi zaidi kutokana na
uwasilishwaji wa taarifa ya
shule.
Taarifa hiyo iliyosomwa
mbele ya mgeni rasmi na
Mwalimu Mkuu wa shule
hiyo Mwl. Khamisi Kambi,
kwa hadhirina wote, iliainisha
na kubainisha pamoja na
mambo mengine, mintaarafu
ya shule hiyo, mafanikio
ya kitaaluma yaliyofikiwa
na wahitimu wa kwanza
kabisa wa shule hiyo mnamo
2012, pamoja na wahitimu
waliowafuatia watangulizi
wao mnamo 2013.
Aki fafanua mafani ki o
hayo kupitia taarifa ya shule,
Mkuu wa shule hiyo alianza
kwa kubainisha matokeo ya
wahitimu wa mwaka 2012,
ambapo aliainisha kwamba
wanaf unzi wal i of anya
mtihani wa kuhitimu elimu ya
msingi mwaka huo walikuwa
ni arobaini na sita (46). Kati
ya hao, waliopata daraja 'A'
ni mwanafunzi mmoja (1),
daraja 'B' ni wanafunzi ishirini
(20), na wanafunzi ishirini
na watano (25) waliosalia
walipata daraja 'C'.
Hakukuwa na mwanafunzi
yeyote aliyepata daraja 'D', 'E'
Kila la kheri wahitimu Thaaqibu
Na Abuu Nyamkomogi
wala 'F' kwa mwaka huo.
Kwa upande wa matokeo
ya mwaka 2013, Mwl .
Khamisi Kambi, alibainisha
k wa mb a wa n a f u n z i
wal i of anya mt i hani wa
kuhitimu elimu ya msingi
mwaka jana walikuwa ni
wanafunzi arobaini na watatu
(43), ambapo mwanafunzi
mmoja (1) alipata daraja 'A',
wanafunzi ishirini na watano
(25) walipata daraja 'B' na
wanafunzi kumi na saba (17)
walipata daraja 'C'.
Kadhalika katika matokeo
hayo ya mwaka jana hakuna
mwanafunzi yeyote wa shule
hiyo aliyepata daraja 'D', 'E'
wala 'F' kama ilivyokuwa
kwa matokeo ya mwaka 2012.
N d u g u m s o m a j i ,
ukilinganisha matokeo hayo
ya mwaka juzi na ya mwaka
jana unaweza kubaini mambo
makuu matatu ambayo ni
uwiano, ongezeko pamoja na
punguzo.
Kwa kuanza na kipengele
cha uwiano wa madaraja
ya uf aul u, mat okeo ya
mwaka juzi na ya mwaka
jana yanawiana kwa idadi
ya wanafunzi waliofaulu
kwa daraja hilo, ambapo
mwaka 2012 ni mwanafunzi
mmoja (1) tu aliyepata daraja
'A' kama ilivyokuwa kwa
matokeo ya mwaka 2013.
Kwa upande wa kipengele
cha ongezeko , idadi ya
wanafunzi waliopata daraja
' B' imeongezeka kutoka
wanafunzi ishirini (20) kwa
mwaka juzi hadi kufikia
wanafunzi ishirini na watano
(25) kwa mwaka jana.
K wa u p a n d e wa
kipengele cha punguzo,
idadi ya waliopata daraja
' C' i mepungua kut oka
wanafunzi ishirini na watano
(25) kwa mwaka juzi hadi
kufkia wanafunzi kumi na
saba (17) kwa mwaka jana.
Ma f a ni ki o ha ya ya
kitaaluma ya vijana wetu hawa
yanapaswa, si tu kuungwa
mkono kwa hali na mali
na kila Muislamu mwenye
raghba na maendeleo ya
Uislamu na ya Waislamu
kwa upande mmoja, bali pia
na kila mwananchi mwenye
nia njema na maendeleo ya
nchi hii na ya wananchi wake
kwa ujumla kwa upande
mwingine.
Kwa mantiki hii, kwanza
nashawishika kama (nikiwa)
Mui sl amu na pi l i kama
(nikiwa) mwananchi mwenye
raghba na maendeleo ya dini
yangu pamoja na nia njema ya
ustawi wa taifa langu, kuunga
mkono mafanikio haya ya
kitaaluma ya vijana hawa
wa Kiislaamu kwa upande
wa kwanza na ya wananchi
wenzetu kwa upande wa
pili, japo kwa kuwaombea
dua na kuwatakia kheri
katika maendeleo yao ya
kitaaluma kwa mustakbali
wa maendeleo ya dini yao
na ustawi wa taifa lao, na
hususan katika matokeo yao
tarajiwa ya mtihani wao wa
kuhitimu elimu ya msingi
mwaka huu.
Al hamdul i l l ah, kama
wa l i v y o p a t a k u n e n a
wahenga kwamba "nyota
njema huonekana asubuhi".
Matokeo ya mtihani wa somo
la maarifa ya dini ya Kiislamu
kwa kuhi ti mu el i mu ya
msingi ya vijana wetu hawa
mwaka huu ambayo tayari
yalishatoka, yanatoa ishara
njema na taswira chanya
na tumainishi pamoja na
farijishi kwa mustakbali wa
matokeo ya wahitimu hao,
kwa masomo ya elimu ya
mazingira yanayotarajiwa
kut oka s i ku za us oni
Inshaallah.
Kwa matokeo ya somo la
maarifa ya dini ya Kiislamu
ya mwaka huu 2014 ,
wanafunzi wa shule hiyo
waliofanya mtihani wa somo
hilo walikuwa ni hamsini
na watano (55) ijapokuwa
walipaswa kuwa hamsini
na sita (56), ila mmoja wao
hakujaliwa kufanya mtihani
huo kutokana na dharura
iliyokuwa nje ya uwezo wake.
Kati ya hao, waliopata
daraj a A ni wanafunzi
t hel at hi ni na t i sa ( 39) ,
wa l i o pa t a da r a j a B
ni wanaf unzi kumi na
watano (15) na daraja C ni
mwanafunzi mmoja (1) tu.
Halikadhalika hakukuwa na
mwanafunzi yeyote aliyepata
daraja 'D', 'E' wala 'F' kwa
mwaka huu kama ilivyokuwa
kwa matokeo ya masomo ya
mazingira kwa mwaka 2012
na 2013.
Kwa jumla, wanafunzi
waliohitimu elimu ya msingi
katika shule ya Kiislaamu
Thaaqibu mwaka huu ni
hamsini na sita (56) ambapo
wavul ana wal i kuwa ni
ishirini na wanane (28) na
wasichana walikuwa ni idadi
hiyo hiyo, yaani ishirini na
wanane pia (28).
Tunamuomba Allah (S.W.)
awajaalie wahitimu wote
hawa wafuzu mtihani wao
huo wa kuhitimu elimu ya
msingi na waweze kuendelea
na masomo ya elimu ya
sekondari, pasi na kusahau
lengo la kuumbwa kwao na
dhima ya kuletwa kwao hapa
ulimwenguni. Allaahumma
aamiin.
Kama ilivyo ada, kila
penye mafanikio ni nadra
kutokuwapo changamoto.
Kwa muk t a dh a h uo ,
pamoja na mafanikio hayo
ya kitaaluma ya shule hii
kama ilivyodokezwa hapo
nyuma, shule hii inakabiliwa
na changamoto kadhaa kama
zilivyodokezwa na Mwalimu
Mkuu wa shule hiyo kupitia
taarifa ya shule kwa mgeni
rasmi na hadhirina wote
katika mahafali hiyo.
Baadhi ya changamoto
zilizodokezwa na Mkuu
huyo katika mahafali hayo
ni pamoja na ukosefu wa
Msi ki ti wa kudumu wa
shule, ukinzani baina ya
malezi yatolewayo shuleni
kwa mwanafunzi na yale
yatolewayo nyumbani kwa
mwanafunzi, pamoj a na
uchelewaji wa kulipa ada kwa
baadhi ya wazazi au/ walezi,
jambo ambalo husababisha
pia kuchelewa au kukwama
na wakati mwingine hata
kutokutekelezwa kwa baadhi
ya mambo yaliyo katika
mpango-kazi wa shul e,
kutokana na ufnyu wa bajeti
inayotokana na nakisi ya
fedha.
Aki s hadi di a kuhus u
namna ya kukabiliana na
changamoto ya suala la ulipaji
ada, kama ilivyodokezwa
hapo juu mbele ya wazazi na
walezi na wote waliohudhuria
katika mahafali hiyo, mgeni
rasmi aliwakumbusha na
kuwahi mi za wazazi na
walezi wajitahidi na kujizatiti
kadri wawezavyo kuwalipia
watoto wao ada ya shule kwa
wakati, ili kurahisisha suala
la uendeshaji wa shule.
Vi ngi nevyo sual a l a
uendeshaji wa shule pasi
na kuwa na fedha litakuwa
gumu kwa kuwa shul e
haina chanzo kingine cha
kutegemewa cha mapato,
zaidi ya ada ya wanafunzi
kama ilivyobainishwa awali
kat i ka t aari f a ya shul e
iliyowasilishwa kadamnasi
na Mwalimu Mkuu wa shule
ya Thaaqibu.
K w a k u z i n g a t i a
c h a n g a m o t o z o t e
zilizodokezwa zinazoikabili
shule yetu hii, ni dhahiri
shahi ri kuwa nguvu za
binafsi na za pamoja za kihali
na za kimali zinahitajika ili
kukabiliana na changamoto
zilizoelezwa.
Kwa upande wa mikakati
ya shule, Mwalimu Mkuu
al i bai ni s ha baadhi ya
mikakati ya baadaye waliyo
nayo shuleni hapo kuwa
ni pamoj a na uj enzi wa
maktaba, uendeshaj i wa
semina za malezi kwa wazazi
na walezi, ufundishaji wa
madarasa ya mitihani wakati
wa likizo pamoja na uandaaji
wa ziara za kitaaluma za
kuzuru maeneo mbalimbali,
kwa lengo la kupanua wigo
wa ufahamu na uelewa wa
mambo mbalimbali pamoja
na kuwaj engea t aj i ri ba
wanafunzi husika kupitia
mazingira halisi na kutokana
na mambo mbal i mbal i
waj i f unzayo dar as ani
kinadharia.
Nihitimishe makala hii kwa
kuradidi kauli ya anuwani ya
maudhui ya makala hii kama
usuli wa makala husika,
kwa kuwatakia wahitimu
wa darasa la saba katika
shule ya msingi ya Kiislamu
Thaaqibu kheri na fanaka
katika matokeo yao tarajiwa,
kwa kauli za tumaini na za
faraja kwa vijana wetu hao.
Kila la kheri wahitimu
thaaqibu-2014.
(Abuu Nyamkomogi ni
msomaji wa muda mrefu
wa gazeti la AN-NUUR
anayeishi jijini Mwanza).
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid (Wa tatu kutoka kushoto )
akiwa na Masheikh na watoa mada katika semina ya Maimamu wa mkoa wa Dar es salaam,
iliyozungumzia nafasi ya Imamu na mlinganiaji katika kuoingoza jamii. iliyofanyika katika
kituo cha Kiislamu Markazi Chang'ombe, jijini Dar es salaam wiki iliyopita.
7
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014 Makala
ULIMWENGU wa leo ni ulimwengu
wa Sayansi na Teknologia. Watoto
michezo yao imejikita kwenye
gemu za kompyuta, watu wazima
usomaji wao wa magazeti na habari,
wanatumia blogi za jamii, nazo
pia ni kwa kutumia kompyuta.
Wengine wanasoma hizo makala
kwa kupitia simu zao, ambazo
kitaalam pia zinakubalika kuwa
kompyuta za mkononi.
Ni mtu mmoja mmoja ambae
anat oka nj e kwenda kurusha
vishada. Kwa maana hiyo, si wengi
watakaonielewa nikisema Zanzibar
Arijojo. Kwa wasionielewa na
wanaotaka kujikumbusha, arijojo,
ni ile hali ambayo kishada ambacho
kilikuwa kimedhibitiwa kwa umakini
kwa kutumia uzi mwembamba,
kinapigwa na upepo mkali au
kamba inakatika na udhibiti wa
kishada kupotea, hapo ndipo kishada
kinakwenda arijojo. Na mara nyingi
hupotea na hakionekani tena.
Hali ya nchi ya Zanzibar ambayo
ni kipenzi cha wengi hasa wale
ambao vitovu vyao vimezikwa
huko inaonekana kwenda arijojo.
Hali hiyo inazidi kuendelea hasa
wakati wa mchakato wa kutunga
Kat i ba Mpya ya J amhur i ya
Muungano wa zilizokuwa Jamhuri
ya Watu wa Zanzibar na Jamhuri
ya Tanganyika, ambazo kwa sasa ni
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
unavyoendelea.
Wazanzibari walioko ughaibuni
wanajaribu kufuatilia na kuchambua
mambo yanayotokea. Kwenye
makala hii, nitaweka baadhi ya
mambo ambayo wat aal am na
wasiokuwa wataalam wa Kizanzibari
wanavyosema kuhusiana na yaliyojiri
kwenye mchakato wa katiba mpaka
hapa tulipofkia.
Ikumbukwe kwamba, hali ya
Zanzibar kisiasa na kimaendeleo
imepitia hatua kadha. Nyingi ya hizo
ni hatua nzito sana. Kwa muda wote
huo, Zanzibar imeweza kuhimili
mikiki na dhoruba nzito zilizotokea.
Dhoruba ya mara hii inakuja kwa
nguvu kubwa mno, na hatujui ni jinsi
gani Zanzibar itasalimika kwenda
arijojo.
Inaami ni ka l aki ni kwamba,
wananchi wa Zanzibar wana historia
ya kuwalaghai wakorofi wengi.
Waliweza kuwashinda Wareno,
ambao walikuwa na jeshi kubwa
sana. Walishirikiana na Waoman,
kuwaondoa Wareno. Waliwashinda
Waingereza, pamoja na nguvu zote
walizokuwa nazo, baada ya muda
ilibidi waitowe Zanzibar. Ingawa sio
kwa utulivu, walifanya Mapinduzi,
yaliyokusudiwa kuleta usawa baina
ya watu. Bahati mbaya kwa watu
wa kawaida hawaamini kwamba
Mapinduzi hayo yalifkia malengo
yaliyokusudiwa.
Na katika kipindi hichi cha
karibuni, walitoka kuanzia kutokuwa
na Katiba, Bunge wala Bendera.
Mpaka wamefikia kuwa na vyote
hivyo, ilhali wanaamuliwa mengi
ya mambo yao Tanganyika. Kwa
mambo yanavyokwenda, inaashiria
kana kwamba Zanzibar ni Koloni la
Tanganyika. Ukitaka ujue undani wa
haya, angalia bendera ya Tanganyika
ilivyokuwa Koloni la Uingereza na
bendera ya Uingereza ilivyo. Na
jinsi bendera ya Zanzibar na ilivyo
Bendera inayoitwa ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, lakini hasa
inayosimamia mambo ya Tanganyika.
Hapo utaona udhahiri wa Zanzibar
Zanzibar Arijojo
Na O. Ali
ni nini mbele ya Tanganyika. Bila
kutafuna maneno inakimu maana ya
KOLONI (chambilicho rafki yangu).
Mchakato wa Kati ba Mpya,
i l i kuwa ni ndot o ya mchana
ambayo Wazanzibari walikuwa
wanaota na wanaona ni nafasi
pekee ya kujikwamua kutokana na
hali wanayoiona inaikandamiza
nchi yao waipendayo ya Zanzibar.
Waliingiwa na hamu ya kuona jinsi
gani wanaweza kushiriki kwa salama
na amani katika hatua za kuboresha
maslahi ya Wazanzibari na kuufanya
Muungano ambao una manufaa
kama ungekarabatiwa vizuri.
Matokeo yake, wametoa mawazo,
wamekut ana, wamej adi l i ana,
wametoa maoni na kufuatilia hayo
maoni ambayo kwa muj ibu wa
Tume ya ukusanyaji wa hayo maoni
ambayo iliyawakilisha kwa Bunge
Maalum la Katiba kama Rasimu ya
Pili, hayakusikilizwa na yamebezwa.
Baya zaidi kwa wananchi wa
Zanzibar, wametumiliwa viongozi
wao ambao walitarajia wawatetee,
kuwazamisha. Hii ni hasara kubwa
kwa Zanzibar na ukorof kwa jamii
iliyostaarabika. Hebu jiweke kwenye
nguo (maana viatu vitakavyokufaa ni
adimu kwa Wazanzibari) ya mtu wa
kawaida wa Zanzibar halafu uangalie
hali hii anaifkiriaje.
Rais wa jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, anatangaza kwamba
kutokana na hali ya kisiasa na
kiuchumi ya chi hiyo ya Muungano
wa nchi mbili kwamba ni wakati
muafaka wa kutengeneza katiba mpya
itakayokidhi mahitaji ya Wananchi
kwa wakat i huu. Anawat uma
wapambe wake wapeleke Muswada
Bungeni kutunga sheria ya kusimamia
mabadiliko hayo ya Katiba.
Ingawa mpango huo haukuwa
mpango wa Rai s wal a Chama
anachokiongoza, ulikuwa ni mpango
wa wale walioitwa wapinzani hasa
Chadema ambao waliupigia Debe
kwa kipindi kikubwa. Wananchi
wanaupokea kwa furaha kubwa
baada ya kuutathmini na kuupigia
kelele na kwa pamoja wanaamini
kwamba utaleta Manufaa. Hasa kwa
upande wa Zanzibar.
Bahati mbaya kati ya masharti
yaliyowekwa kwenye mchakato wa
kukusanya maoni, eti, Muungano
usizungumzwe. Inajulikana lakini
kwamba, kiini cha malalamiko ya
Wazanzibari ni jinsi Muungano ulivyo
na wanavyohisi unaikandamiza
Zanzibar kufurukuta. Hatua za
mwanzo kabi sa, Wazanzi bari
wanapiga kelele kubwa sana, mpaka
inasikilika kwamba Muungano
Ulivyo hauwafai na hivyo inabidi
uzungumzwe na upatiwe ufumbuzi.
Bahati nzuri, tume ya kukusanya
maoni ya wananchi inaundwa ikiwa
na nusu kwa nusu ya Wajumbe. Yaani
nusu kutoka Zanzibar na nusu kutoka
Tanganyika. Maoni yanakusanywa
na inaonekana dhahiri kwamba,
Wazanzibari hawaridhiki na hali
iliyopo ya Muungano. Wanatoa
maoni ambayo yanaashiria wanataka
Zanzibar ipate mamlaka Kamili
na baadae kuwe na maelewano ya
kuifanya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kama Shirikisho la Mkataba
baina ya Tanganyika na Zanzibar.
Nyuso za Wazanzibari zilingara na
nyoyo ziliingiwa na tamaa pale tarehe
30 Desemba mwaka 2013 wakati Rais
Kikwete alipokabidhiwa Rasimu ya
Pili ya Katiba kutoka kwa Mwenyekiti
wa Tume ya Kukusanya maoni Jaji
Warioba. Wazanzibari waliposikia
kiliochao kimesikilizwa, wakafurahi
kutarajia kwamba, sasa Zanzibar
itapata hadhi na thamani ambayo
vizazi vingi hawajapata kuiona wala
kuisikia. Thamani hiyo ingetokana na
sababu kadhaa.
Kwanza udogo wa Zanzibar kama
nchi na watu wake, ni rasilimali
kubwa inayowezesha kusimamia na
kuendesha mambo kiurahisi, kama
itakuwa na uwezo wa kujumuika na
nchi nyengine duniani katika kila
inalotaka kulifanya. Pili, mazingira na
maeneo Zanzibar ilipo, ni rasilimali
kubwa pia kwa vile inaweza kutumia
ardhi ndogo iliyonayo na Bahari
kubwa iliyoizunguka.
Ki nachohi taj i ka ni kuwa na
uhuru wa kujiamulia mambo yake
inayotaka yenyewe bila ya kuingiliwa
na wengine kwa kisingizio chochote
kile. Kiwe kisingizio cha usalama.
Kisingizio cha udugu au kisingizio
cha kusaidia. Zanzibar inahitaji ipewe
hadhi yake kama nchi na ipewe nafasi
ya kujiwakilisha bila kukabwa roho na
yeyote yule. Kulitokea mbinu fulani
ya kuwanyamazisha Wazanzibari
na Watanganyika waishio nje kwa
kuwaambia kwamba wao wasifuatilie
masuali mengine, wafuatilie Uraia
pacha tu. Wengi wa Wazanzibari
walilingamua hilo na wakasema
Kama tukiambiwa tuchague kati ya
kupata Uraia pacha wa Tanzania na
kuipatia Zanzibar adhi na tusipate
Uraia pacha wa Tanzania. Basi
tutachagua hilo la kuipatia Zanzibar
hadhi, kwani Zanzibar kwetu ni
muhimu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Hiyo ilikuwa inaonyesha jinsi gani
Wazanzibari wanavyoitakia mema
Zanzibar waipendayo.
Hizo ni hisia za Wazanzibari walio
wengi na ilikuwa inaonekana dhahiri.
Kwa kusikiliza wasia wa aliyekuwa
Rais wa Kwanza wa Zanzibar baada
ya Mapinduzi, Marehemu Abeid
Amani Karume ambae alisema enzi
ya uhai wake, kuwataka wananchi
wa Zanzibar washiriki katika siasa.
Aliwaambia watu, Siasa ndio Utu.
Wazanzibari wakafuatilia hatua
kwa hatua jinsi mchakato wa kupata
kat i ba mpya unavyokwenda.
Wazanzibari waliomo ndani ya
Zanzibar na walio nje ya Zanzibar
wal i fuati l i a kwa moyo mmoj a
wakiamini kwamba mara hii haki
i t at endeka na Zanzi bar kama
Tanganyika itasimama na kuwa
nchi na heshima zake na zote mbili
Zanzibar na Tanganyika zitapata
heshima kwenye katiba hii mpya
ambayo wananchi wametoa maoni
yao ya dhati ya nyoyo zao.
Afanaaleki, maneno ya waimbaji
Mzoea vya kunyonga vya kuchinja
haviwezi. Mara tu lilipoanzishwa
bunge l a kat i ba. Tamaa bado
ilikuwepo ya kupata Katiba yenye
maoni ya wananchi na iliyoboreshwa
na wabunge wa Bunge Maalum la
Katiba. Akachaguliwa kiongozi wa
muda wa kuliongoza Bunge hilo. Mh.
Pandu Ameir Kifcho.
Baadhi ya watu wakaingia tamaa
kwamba, mambo huenda yakaenda
vizuri na yakasimamia usawa kwa
wote na kupata katiba iliyo bora na
ambayo ina kila sifa wanazozitaka
Wananchi. Ushahidi wa hayo ni timu
aliyoichagua wakatia anatayarisha
Kanuni za Bunge Maalum la Katiba.
Matokeo yake akashambuliwa mpaka
akatakiwa ajiuzulu. Maskini kuanzia
hapo, kimyaa.
Mara haij afika hatua yeyote,
upe po ukaanza kubadi l i ka.
Utaratibu uliokuwa umepangwa wa
kumleta Rais kufungua Bunge hilo
maalum na baadae Mwenyekiti wa
Tume iliyotengeza Rasimu ya pili,
kuwasilisha rasimu, ukabadilishwa
eti Rais ana majukumu mengine,
wakati ni dhahiri kwamba umuhimu
huo kulikuwa na sababu nyengine.
Kuanzia hapo tuliona hatua
ambazo zilikuwa zinaonyesha dhahiri
kwamba lengo halikuwa kuwasikiliza
wananchi kilio chao. Hasa Wanachi
wa Zanzibar. Badala yake, lengo
ilikuwa ni kuvuruga mpango mzima.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, ambae alikuwa tayari
ameshaj ikusanyia sifa kemkem
kutoka kwa Wazanzibari aligeuka,
kama kwamba sie yeye aliyepokea
Rasimu ya pili ya mabadiliko ya
Katiba.
Rai s al i kuj a kwa mshangao
mkubwa, badala ya kulitakia heri
Bunge la Katiba na kuondoka na
heshima alizopewa, akawaambia
waliopo wasiikubali Rasimu ya
pili kama ilivyo, hasa ukizingatia
masuala ya mfumo wa Muungano
kama ulivyo. Wengi walisikitika
na Wazanzi bari wal i ona kama
wamemwagiwa maji ya baridi na
wakawa hawana la kufanya. Kuanzia
hapo ile hali ya furaha iliyokuwa
imetanda Zanzibar na kuwa na
Wazanzibari wengi walioshikamana
iliingia dosari kubwa.
Hali ilizidi kuyoyoma. Ama kwa
Inaendelea Uk. 12
ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud.
8
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
NI NGEPENDA ni anze na
kusema mambo mawili. Moja ni
kuwa kama nilivyosema katika
makala yangu wiki iliyopita,
wanasi asa wet u waki t aka
kujua ukweli juu ya tuhuma
zinazomkabili Sheikh Msellem
na wenzake, wanaweza kujua
tena kwa uhakika kabisa. La,
kama wataona ni vyema kuacha
wadhul umi ke, hat a kama
hawana hatia, hiyo ni hiyari
yao pia. Lakini jambo moja tu
wazingatie: ipo siku ya Hukumu.
Yupo Mfalme wa Siku ya Malipo.
J ambo l a pi l i ni kuwa,
ya we z e k a na wa po wa t u
waliokamatwa na zipo sababu
za msi ngi zi nazo hal al i sha
kukamatwa kwao na kupewa
tuhuma zinazowakabili. Lakini
pamoja na ukweli huo, kama lengo
ni nchi, kama lengo ni kuangalia
usalama wa nchi, basi kuna haja
ya kutizama kwa undani, ni nani
hawa watuhumiwa, wanayafanya
haya wao wenyewe tu au yupo
mtu (wa nje) nyuma yao na kwa
lengo gani.
Biblia John 8:32, inasema: Basi
Yesu akawaambia wale Wayahudi
waliomwamini, Ninyi mkikaa
katika Neno langu, mmekuwa
wanafunzi wangu kweli kweli.
Tena mtaifahamu kweli, nayo
hiyo kweli itawaweka huru.
Uhuru unaozungumziwa hapa,
ni uhuru kutokana na dhambi.
Na utumwa unaozungumziwa ni
utumwa wa dhambi unaotokana
na kutokuijua kweli.
Wi ki i l i yopi ta tul i ari fi wa
kuwa mtuhumiwa mmoja wa
ugaidi alipigwa risasi na kufariki
alipojaribu kuwatoroka polisi.
Likiarifu juu ya habari hizo, gazeti
moja la kila siku lilisema:
Mtuhumiwa wa matukio ya
ugaidi auwawa Arusha.
Likieleza habari hizo gazeti hilo
likasema kuwa Mtu anayedaiwa
kuwa kiongozi mkuu wa kundi
la watu wanaohusika na matukio
ya milipuko ya mabomu na
umwagiaji tindikali viongozi wa
dini ameuawa kwa kupigwa risasi
na jeshi la polisi.
Likiendelea likasema kuwa
mtuhumiwa huyo Yahya Hassan
Omar Hela (31), maarufu kwa
jina la Yahya Sensei, mkazi wa
Mianzini jijini Arusha, aliuwawa
kwa kupigwa risasi mguuni na
makalioni.
Li k i mn uk uu Ka ma n da
wa Polisi Arusha Liberatus
Sabas, likasema kuwa, kabla
ya kupigwa risasi mtuhumiwa
huyo alikwishakiri kuhusika na
matukio ya ugaidi yakiwemo
lile la Kanisa la Mtakatifu Joseph
Mfanyakazi mwaka jana ambapo
watu watatu walipoteza maisha.
Ki sa cha kupi gwa ri sasi
ikadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo
alikuwa akijaribu kuwatoroka
polisi kwa kutumia uzoefu wake
wa judo na karate.
Bila shaka tutakumbuka vizuri
habari za bomu la Kanisani
kwa Mtakatifu Joseph ambapo
Kutoka mtuhumiwa Victor
hadi kuuawa Yahya Sensei
Afande Liberatus Soma Biblia John 8:32
"Intelligence Assets watatusumbua kama
Hatupo tayari kusema kweli ili kuwa huru
Tunapigana Vita Feki. Itatuangamiza sote.
Na Omar Msangi
mtuhumiwa kijana Victor Ambrose
Calist alikamatwa katika eneo la
tukio na kufkishwa mahakamani.
Hakuna anayejua hadi hii leo
kesi ile iliishia wapi. Bila shaka
tutakuwa tunakumbuka pia lile
sakata la kukamatwa Waarabu
wakidaiwa kuwa ni watuhumiwa
na yaliyojiri. Wakati tuliambiwa
kuwa unafanyika uchunguzi
wa kina ili kuweli ufahamike,
hakuna kilichoendelea katika
kesi ile wala kufahamishwa lolote
juu ya uchunguzi uliofanyika.
Sasa ghafla tunaambiwa kuwa
Mar ehemu Yahya al i ki r i
kuhusika! Na maiti hawezi kuwa
na haki maana hawezi kujitetea.
Lakini kinachoonekana hapa
dhahiri ni kusajili kuwa wahusika
wa ugaidi ni akina Yahya na sio
wale waliokamatwa akina Victor!
Watakuwa washaweka katika
rekodi zao. Kila wakizungumzia
kitisho cha ugaidi nchini, kielelezo
ni shambulio lililofanywa na
Marehemu Yahya Sensei katika
Kani sa l a Mtakati fu Joseph
Mfanyakazi! Victor atakuwa
amefutwa. Itakuwa ndio Septemba
11 yao.
Laki ni hat a i ki wa hi vyo,
kwamba hao akina Yahya ndio
watuhumiwa wakubwa wa ugaidi,
bado yapo mambo ya kutafakari.
Tuwe karibu na Mungu
kwa kusema yaliyo kweli
Afisa mmoja aliyekuwa na
cheo cha juu katika vyombo
vya dola katika nchi moja ya
kibeberu, aliwahi kusema maneno
yafuatayo:
Licha ya kuwa kwa kawaida
sipendi-kama ambavyo mtu
yeyote wa kawaida (hapendi),
kizunguzungu cha kuj isikia
vibaya katika bahari zilizochafuka
za maisha, ilikuwa ni uadilifu wa
kuchagua. Hivyo, kwa heshima
ya familia yangu na bila kusitasita
mno na kwa vile kusalimu amri
katu siyo chaguo mojawapo pale
ukweli unapohusika, nilichagua
Odysseus (janga la kutangatanga
bahari ni ) na kui vaa t uf ani
inayokuja. Kwani ni katika taabu
nyingi ndipo tunapoletwa karibu
zaidi na Mungu, na ubinadamu
wetu ghaf kuchujwa. Wakati ni
katika ulaini wa raha na uvivu
ambako nguvu yetu ya maisha
inasambaratika na kuoza kwa
uchangamfu wa kiakili kulipo.
Afsa huyu aliyasema maneno
haya baada ya kugundua kuwa
inayoitwa Vita dhidi ya ugaidi, ni
vita feki na kwamba wanaodaiwa
kuwa ni ma ga i di , huwa
wanatengenezwa na kupewa pesa
na serikali za kibeberu zilizojinadi
kuwa vinara wa kupambana na
ugaidi. Kwamba serikali hizo
zinatengeneza adui, ambaye
atafanya mauwaji ya kutisha.
Watu wasio na hatia watauliwa,
wat at i wa vi l ema na mal i
kuharibiwa katika harakati hizo
za kuwaunda hao magaidi. Lakini
anasema pia askari wazalendo
ambao kwa nia na moyo mmoja
wanajiona wanapigania nchi yao
kuilinda na kitisho cha ugaidi ili
kuwe na amani, nao watauwa
watu wasio na hatia, lakini na
hata wao kuuliwa na kutiwa
vilema. Kumbe wanaopambana
nao ni watu walioandaliwa kama
wao walivyoandaliwa na serikali
zao na wanapewa pesa kama
wao wanavyopewa na serikali,
Inaendelea Uk. 9
MAREHEMU Yahaya Sensei .
ila hawa magaidi wao pesa
zao zinawafkia kupitia mlango
wa nyuma na kwa siri Ukisoma
makala, Gangster Bankers: Too
Big to Jail: How HSBC hooked up
with drug trafckers and terrorists.
And got away with it (By Matt
Taibbi | February 14, 2013), utaona
kile alichokiita Usama Bin Laden,
Golden Chain.
Huo ni mt andao ambao
hutumika kupitishia pesa kutoka
mabenki ya Marekani na Ulaya
na kuingia katika akaunti za
watu au taasisi zenye majina ya
Kiislamu ili hata ikigundulika
ionekane kuwa hao Waarabu/
Waislamu ndio wafadhili wa
magai di . Laki ni uchambuzi
mwingine kama huo umeweka
wazi kuwa fedha hizo hutokea
huko huko kwa hao wanaojidai
kupambana na magaidi ambao
ndio hao wanaotupa maelekezo
na kutupa misaada ya kikachero,
kipolisi na kijeshi katika vita dhidi
ya ugaidi.
Prof Michel Chossudovsky
ameandika makala aliyoipa jina,
Going After the Islamic State.
Guess Who is Behind the Caliphate
Project? (Global Research, September
12, 2014) na nyingine akaipa jina
The Islamic State, the Caliphate
Project and the Global War on
9
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
Inatoka Uk. 8
Kutoka mtuhumiwa Victor
hadi kuuawa Yahya Sensei
Terrorism.
Katika uchambuzi, mwandishi
anaeleza jinsi magaidi wa zama
zote, toka ilivyokuwa Al-qaidah,
Al-Shababa, Al-Nusra, na sasa
ISIS, walivyoandaliwa, kupewa
mafunzo, fedha, kulelewa na
kulindwa au kupata hifadhi
kutoka vyombo vya kikachero
vya nchi za kibeberu kwa malengo
ya kibeberu. Akifafanua anasema:
The US-led Global War on
Terrorism (GWOT) constitutes the
cornerstone of US military doctrine.
Going after Islamic terrorists is
part and parcel of non-conventional
warfare. The underlying objective
is to justify the conduct of counter-
terrorism operations Worldwide,
which enables the US and its allies
to intervene in the afairs of sovereign
countries.
Kwa hiyo kupitia GWOT,
mabeberu wanapata mwanya wa
kuzivuruga nchi zetu na kupata
kisingizio cha kuingia na kuingilia
mambo yetu ya ndani wakidai
kusaidia kupambana na ugaidi
kumbe wanalo lao. Kutukalia,
kutandaza makucha yao ya kijeshi
na kuvuna watakavyo.
Na haya ndiyo aliyosema Rais
wa Argentina, Cristina Elisabet
Fernndez de Kirchner, katika
Umoja wa Mataifa akizishutumu
nchi za ki beber u kwamba
zinawachukua akina Shimon Elliot
na kuwatengeneza kuwa magaidi,
halafu wanakuja kusimama bila
ya kuona vibaya wala aibu mbele
ya jumuiya ya kimataifa kwamba
zinataka washirika wa kupambana
na akina Shimon wao.
Prof Michel Chossudovsky
akifafanua zaidi anauliza, What
is the ISIS mission? Na kisha
kujibu akisema kuwa:
The declaration by ISIS to restore
the Islamic Caliphate under their
new caliph Abu Bakr al- Baghdadi
is one of the silliest stories that have
ever been sold to the gullible western
public. This story sounds like a
cheaply produced Hollywood movie
that targets Islam and Arabs and
atempts again to dehumanize them
by portraying them as evil killers.
Kwamba madai kuwa hawa
ISIS Ni Mujahidina wanaopigania
kus i mami s ha ut awal a wa
Kiislamu, Khilafah ukiwa na
Khalifa aitwaye Abu Bakr al-
Baghdadi, ni katika moja ya hadithi
za kipumbafu walizolishwa
watu kupitia vyombo vya habari
vinavyoongozwa na waandishi
wasiojitambua au wanaotumika
bila kujali heshma zao. Ni kama
muvi ya Hollywood (Hollywood
movie) iliyochezwa kwa ajili
ya kuwahujumu Waislamu na
Waarabu ikiwaonyesha kuwa sio
binadamu bali mazimwi waovu
na wauwaji katili.
Hiyo ni kwa ISIS, lakini waweza
pia kuchukua ile muvi ya Westgate
Nairobi au tamthilia ya Bring
Back Our Girls kule Nigeria
na visa vyote vya Boko Haram.
Hivi kuna mtu yeyote mwenye
akili yake timamu anayeamini
juu yaliyojiri katika ile Muvi
ya Nairobi ambapo tuliambiwa
kuwa magaidi kutoka Mogadishu
waliingia na magari ya silaha
ndani ya maduka ya Nakumati,
Westgate wakafanya mauwaji
mbele ya kamera za CCCTV,
walinzi wa maduka hayo, polisi,
vikosi maalum, jeshi la Kenya,
Idara ya Usalama ya Kenya na
makachero wa CIA, Mossad na
wale wa kutoka Uingereza, na
hawakukamatwa wala kuuliwa.
Ukimsikia mtu anazungumzia
Muvi hii ya ki-Hollywood kuwa
ni tukio la kweli, basi ama akili
yake ina mushkeli kidogo au ni
katika hao hao wanaotumiwa
kama hao magaidi waliodaiwa
kuingia Nakumati.
Kinachotafutwa nini?
Labda swali la msingi ni hili:
Mabeberu wanafanya yote
haya ili wapate nini?
Prof Michel Chossudovsky
akij ibu swali hilo kupitia
mada yake ya hivi karibuni,
Globalization of War anasema
kuwa wanachotafuta mabeberu ni
Global Hegemony kwa masilahi
yao ya kibeberu. Kwamba watu
hawa kwanza hutafuta pretext
na justifcation ya kuingia mahali
na kuvuruga nchi na wanaowapa
pretext na justifcation hiyo
ni hawa al-Shabab, al Qaida, ISIS,
Boko Haram, na wengine ambao
wote hawa amesema kuwa ni
Intelligence Assets na Foot
Soldiers wa mabeberu.
Intelligence Assets hawa
ndio hutumika kuleta vurugu
na machafuko katika nchi
mbalimbali bila kujali mamia
kwa maelfu ya watu wasio
na hatia wanaouliwa. Anatoa
mfano akisema kuwa hivi sasa
Marekani na washirika wake
inajifanya kuwashambulia ISIS,
lakini anasema huo ni uwongo
mtupu. Kwanza, ni Marekani na
washirika wake NATO na Mossad
waliowaunda ISIS lakini na sasa
inapojidai kupambana nao sio
kweli. Ingekuwa lengo ni kuipiga
ISIS, hiyo ingechukua sekunde
chache tu kwa kuangami za
misafara ya askari wa ISIS wakiwa
katika Toyota Hilux zao. Lakini
inachofanya ni kushambulia
mi undo mbi nu- ba r a ba r a ,
madaraja, viwanda, visima vya
mafuta na mitambo ya kusafsha
mafuta katika Syria na Iraq. Lengo
kuidhoofsha Syria ili kufkia lile
lengo la Regime Change.
Hivi sasa, pamoja na kuwatia
doa Waislamu wao wenyewe na
dini yao, lakini linalolengwa ni
kutimiza malengo ya mabeberu,
yakiwemo kutandaza makucha
yao ya kijeshi kudhibiti rasilimali
na kuwatia kitanzi viongozi
wa serikali mbalimbali duniani
wawe wanatumikia masilahi yao,
ambapo kinachotakiwa Syria
na Iraq kwa sasa ni kuzigawa
nchi hizo katika vinchi vidogo
vidogo-Sunni state, Shiite state,
and Kurdistan.
Na hiyo itakuj a baada ya
kufanyika mauwaji ya kutisha
baina ya Wasuni, Washia na
Wakurdi ambapo inayoitwa
jumuiya ya kimataifa itatakiwa
kuingilia kati na kusemwa kuwa
ufumbuzi pekee ni kwa mahasimu
hao kila mmoja kuwa na nchi
yake.
Hawa ndio mabeberu na vita yao
dhidi ya ugaidi waliyoisambaza
mpaka huku kwetu. Ambacho
kinasisitizwa hapa ni kuwa kama
tutaelewa ukweli huu, tutafahamu
kuwa mchezo huu wa kuandaa
magaidi na kisha kutangaza vita
dhidi ya magaidi unahusisha
sehemu mbili. Moja, ni mamluki
na wasaliti wanaopewa kazi ya
kufanya vitendo vya kigaidi, na
pili, ni serikali, jeshi na polisi wa
nchi mbalimbali wanaopewa kazi
ya kupambana na magaidi hawa-
walio vifaa vya mabeberu. Wote
hawa wakifanya kazi yao vizuri
(kwa maana ya magaidi na polisi
wanaopambana na magaidi),
lengo la mabeberu linatimia. Na
wala inayodaiwa kuwa amani na
usalama haitapatikana kamwe
kama ambavyo haijapatikana
Afghanistan, Pakistan, Yemen,
Iraq, Kenya, Somalia na nchi
nyingine zilizotutangulia katika
vita hii.
Kuwauwa tunaowatuhumu
kwa ugaidi, haitatusaidia
sana. Kitakachotusaidia ni
kujua ukweli na kuwa tayari
kuukubali. Na tukiukubali,
h a t ut a h a n g a i k a t u n a
mtuhumiwa wa ugaidi, bali
na yule aliyemtuma kwa namna
tunayoona itasaidia kufikisha
ujumbe na kukomesha uovu na
dhulma hii.
Ukweli utakaotuweka
huru ni huu:
The world is at a dangerous
crossroads. The United States and
its allies have launched a military
adventure which threatens the
future of humanity. (Prof Michel
Chossudovsky)
Al-Shabab, Al-Qaida, na wote
wanaodaiwa kuwa ni magaidi, ni
zao la mabeberu na Intelligence
Assets zao katika kufkia lengo
lao la Global Hegemony. Kadiri
t unavyopokea na kukubal i
kut ekel eza mael ekezo yao,
ndivyo tunavyosababisha ghasia
na machafuko katika nchi zetu
na hivyo kuwapa kisingizio cha
kutuzinga na mtandao wao wa
kikachero na kijeshi.
Salama yetu haipo katika kukaza
buti kuwauwa watuhumiwa wa
ugaidi, bali kujitolea kufichua
uwongo ambao umefanywa
k u wa k we l i . Uwo n g o
ufichuliwe, ukweli udhihiri.
Hapo ndio tutakuwa huru na
salama.
10
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
OKTOBA, 14, 2014, Watanzania
wameadhimisha miaka 15, toka
kufariki kwa Rais wa kwanza wa
Tanganyika na Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, pale alipoiga dunia
Oktoba 14, mwaka 1999.
Katika maadhimisho hayo kila
mmoj a ameweza kumkumbuka
kwa namna yake anavyomkumbuka
kulingana ama alivyomsikia, kupitia
vyombo vya habari, alivyoona
mwenendo wake au alivyoshirikiana
naye enzi za uhai wake katika harakati
na matukio mbalimbali.
Mzee Bilali Rehani Waikela, kutoka
Tabora, ni mmoja wa watu waliokuwa
karibu na Mwalimu Julius Nyerere,
akimfahamu kabla ya Uhuru na
katika harakati za kupigania Uhuru
na badaa ya kupatikana Uhuru. Mzee
Waikela, kwa masiku ya hivi karibuni
anaweza kukumbukwa na Waislamu
pale aliposimama katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar
es Salaam, akiwa shahidi katika kesi
iliyomuhukumu Sheikh Ponda Issa
Ponda, kifungo cha mwaka mmoja
nje. Kesi iliyohusuana na madai
ya uvamizi uwanja wa Markazi
Changombe Jijini Dar es salaam.
Mzee Waikela, aliye mwanachama
wa tatu kupokea kadi ya TANU, kwa
mkoa wa Tabora, katika maelezo
yake kwa nyakati tofauti kuhusu
Mwl. Nyerere, anasema, pamoja na
kumsitiri, kumpokea na kumfanyia
ihsani za kila aina katika harakati
za kutafuta Uhuru, lakini baada ya
kupatikana Uhuru aliishia kuekwa
gerezani.
Nimekaa gerezani kwa muda
aliotaka Nyerere, wenzangu wote
wakatoka. Mimi nilipotoka nikapewa
masharti, ndani ya miaka miwili
niripoti Polisi, kila mwezi mara mbili
na faili langu limetembezwa mikoa
yote, sikuwa na ruhusa ya kukutana
na watu kumi, na sikuwa na ruhusa
ya kutoka umbali wa maili tano ndani
ya mji wa Tabora, mpaka nikamaliza
muda huo. Anasema Mzee Waikela.
Mzee Waikela, akizungumzia kisa
cha kuwekwa gerezani (kizuizini)
katika utawala wa Nyerere, anasema
wakati huo alikuwa Katibu Mkuu
wa Waislamu kupitia Jumuiya ya
Waislamu ya Afrika Mashariki
(EAMWS),na alikuwa mstari wa mbele
kupinga mipango ya kuwahujumu
Waislamu na kuwaeleza ukweli
viongozi Serikalini.
Mbal i ya kuwa ki ongozi wa
Jumuiya hiyo ya Waislamu, lakini pia
Mzee Waikela, alikuwa ni miongoni
mwa wanaharakati wa kutafuta
uhuru tokea enzi za Chama cha TAA,
wakati huo Nyerere, akiwa chuoni
Makerere nchini Uganda.
Kisa na mkasa wa Mzee Waikela,
anauelezea kuwa umeambatana na
kuikingia kifua Jumuiya ya Waislamu
ya EAMWS, wakati huo yeye akiwa
Katibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora,
kati ya miaka ya 1958.
Anasema, EAMWS, wakat i
huo ilikuwa ni chombo ambacho
kinawapeleka vizuri Waislamu, chini
ya uongozi wa Tewa Saidi Tewa,
na kuwafanya Waislamu kuwa kitu
kimoja nchi nzima tofauti na ilivyo
sasa.
Majukumu ya EAMWS, yalikuwa
yanafurahisha kwa sababu ilibaini
kwamba, kelele hazifai bali kinachofaa
ni vitendo, hivyo ilianziasha mashule
ya Waislamu. Na ilikuwa na utaratibu
mzuri, kwamba ikiwa Waislamu
wenyewe mmechanga kiasi chochote
kama ni milioni kumi, Jumuiya
Yaliyomkuta Mzee Waikela
mikononi mwa J. K. Nyerere
Na Bakari Mwakangwale
inaongeza kiasi hicho kwa ajili ya
maendeleo ya Waislamu. Anasema
Mzee Waikela.
Mzee Waikela, anaeleza kuwa
Jumuiya hiyo, ilikuwa ipo mikoa yote,
na kutokana na mtandao huo ilileta
tabu sana katika kuiondoa kwake
baada ya Nyerere, kutengeneza
kamati na kupita nchi nzima kwa
viongozi ili watangaze kuihujumu
Jumuiya hiyo ya Waislamu, kwamba
wamejitenga nayo.
Alisema, pamoja na juhudi hizo ni
mikoa minane kati ya mikoa 20 kwa
wakati huo ndio iliyokubali ftina ya
Mwl. Nyerere, kutangaza kujitenga
na EAMWS, lakini mikoa mingine
yote, ukiwemo wa Tabora, ilikataa
kukubaliana na ftna hizo.
Mzee Waikela, anasema, kwa
kuwa yeye kama ki ongozi wa
mkoa wa Tabora, alishawishiwa
kukubali mipango hiyo kwa kupewa
pesa, inawezekana pia viongozi
waliokubali nao walipewa pesa
ndio maana walikubali kuihujumu
EAMWS.
Si j ui kama mi koa mi ngi ne
walipewa pesa, lakini mimi kama
Katibu wa Jumuiya hiyo Mkoa wa
Tabora, niliahidiwa 40,000/- ( Elfu
Arobaini) ilinitangaze kuwa mkoa
umejitoa katika Jumuiya. Lakini
sikukubali kupokea pesa hiyo.
Alisema Mzee Waikela.
Kwa maana hiyo, Nyerere na
wenzake wakawa wamefeli, baada
ya kufeli sasa ikatumika nguvu
kuiwa EAMWS, wakati huo Bw. Said
Maswanya, ndiye alikuwa Waziri wa
Mambo ya Ndani wa nchi.
Hata hivyo, anaeleza Mzee Waikela,
kwamba alipobaki na msimamo wake
huo Ofsi zao za EAMWS, Mkoani
Tabora zikatiwa kufuli na kulindwa
na askari wakiwa na bunduki, na
pale walipokwenda katika ofsi hizo
walirudishwa na askari hao.
Anasema, hata pale alipohojiwa
na wale aliowaita vibaraka wa
Nyerere, katika kuihujumu Jumuiya
ya Waislamu, na kumshangaa kwa
nini akatae pesa ile, aliwajibu na
kuwahoji kwamba, Uislamu hauna
Baitul Mali, lakini wao katika kazi
hiyo wanasafri kwa ndege na magari
ya kifahari (Benzi) na kulala katika
mahoteli makubwa, hizi fedha,
manazipata wapi.?
Anaeleza Mzee Waikela, kuwa
msimamo na maswali yake kama
hayo ndio ulianza kuwa mvurugano
baina yake na Nyerere, pamoja na hao
vibaraka wake, baada ya kumpelekea
taarifa na msimamo wake.
Mzee Waikela, anaeleza kwamba
ili kufanikisha azima yake, Nyerere
alimrubuni Rais wa Zanzibar, Bw.
Abed Karume, kwamba nchi yake
inataka kupinduliwa ili warudishwe
Waarabu. Karume, akaingia katika
fitina hiyo, anasema, hali hiyo
ilimlazimu kwa mdomo wake,
kumkabili Karume, na kumtamkia
kwamba anatumika.
Akaniambia Bilali unanitukana,
unanimbia mie natumiwa na Nyerere,
hujui mimi ni nani, nikamwambia
najua wewe ni Rais, lakini nakujulisha
kile ninachokijua mimi, ambacho
pengine wewe hukijui. Anaeleza
Mzee Waikela.
Akasema, alimtanabaisha kwamba
huyo (Nyerere) anayemtumia katika
shauri hilo la kutafuta vibaraka
anamtumi a kwa l engo l i ngi ne
ili atimize malengo yake si kwa
malengo aliyomuelezea na kwamba
hakuna kitu kama hicho cha kutaka
kupinduliwa.
Akiwa gerezani, Mzee Waikela,
al i kuwa aki t umi wa uj umbe
wakimtaka aandike maelezo ya
kumwomba radhi Nyerere, ili atolewe
gerezani, jambo ambalo Mzee huyo
hakuliafki.
Mimi nikawa nakataa kuomba
radhi, Mkuu wa Gereza akawa
ananinasihi kwamba niombe radhi
kwa maandishi kwa sababu alikuwa
anabughudhiwa na Mkuu wa Mkoa
wa Tabora. Anaeleza Mzee Waikela.
Baada ya kuona shi ni ki zo
hilo linazidi, alimuuliza kama
atakachoandika kitapelekwa kwa
Nyerere, alijibiwa kuwa atapelekewa
bila shaka, Nikamwandikia, kama
mtu mwadilifu, Nyerere, fanya moja
katika matatu haya:- Mosi, nifanye
niwe huru nikaishi na wenzangu, Pili
kama hapana, nipeleke Mahakamani
nijue kosa langu, yote haya huyawezi
basi, nipeleke popote unapojua
wewe. Alirejesha ujumbe huo ambao
anasema kopi yake anayo mpaka
sasa.
Hata hivyo, hayo hayakufanyika,
na baada ya siku tatu kupita, akafkiwa
na ujembe tena wa Mkuu wa Mkoa
wa Tabora, aliyemueleza kuwa jeuri
imenizidi kutokana na maelezo yake
yale kwa Nyerere, na kumueleza bila
kuandika kinachotakikana haoni
atatokea wapi.
Kwa maelezo hayo ya Mkuu
wa Mkoa, mzee Waikela, alimjibu
kwamba alidhani kuwa raia wakiwa
nje wanatishwa kwa maneno kama
hayo ili waliogope gereza, lakini
yeye tayari yupo gerezani haoni cha
kuhofa kwa hayo aliyoelezwa.
Akaniambia kwa jeuri yangu
sitotoka humo, nami nika mwambi
tatoka tu, nikamtaka aangalie mle
gerezani, kama ameona kuna kaburi,
nikamwambia kama hakuna basi
namimi tatoka kupitia mlango huo
huo, nikiwa mzima au mfu lakini
tatoka tu.
Anaeleza aliendelea kukaa kwa
muda al i otaka Nyerere, huku
wenzake wakiachiwa mapema na
wakati walipoamua kumtoa walimpa
masharti ya kuripoti polisi na hakuwa
na ruhusa ya kukutana na watu kumi,
wala kutoka nje ya Mji wa Tabora.
Tena Nilitoka katika siasa na
kuamua kushughulika na EAMWS.
Anasema, Nyerere, aliwageuka
Waislamu kwani Anakumbukwa
kuwa mwaka 1958, katika nyumba
waliyomuandalia Nyerere kufikia
Mjini Tabora, majira ya saa nane
usiku alimweleza kwamba Waislamu
wanamuunga mkono nini itakuwa
matokeo yake baada ya Uhuru.
Alinijibu akisema, Bilali unaleta
shauri gumu hi l o, nakuomba
usi l i t amke t ena, t uki anza
kuzungumza haya tutashindwa
kupata Uhuru, akaniambia niachie
mimi nakunyamazisha, wacha tupate
Uhuru, tukishapata uhuru wetu, mimi
nitakuwa wa kwanza kuwasogeza
Waislamu.
Lakini Mzee Waikela, anasimulia
kuwa baada ya kupata uhuru, mwaka
huo huo wa 1961, kukaanza matusi
kwa watu wa TANU kuutukana
Uislamu na Waislamu na haswa
Jumuiya ya Waislamu ya EAMWS.
Akasema, ilipofka mwaka 1963,
EAMWS iliandaa mkutano Jijini
Dar es Salaam, wakati huo ilikuwa
imeshajitenga mbali na kuipigia
kelele Serikali ya Nyerere, kutona ya
yaliyokuwa yakiendelea.
Anasema, akiwa mjumbe kutoka
Tabora, katika mkutano ule, kabla ya
mkutano alifatwa na Sheikh Hassan
bin Amir na Shkh Ally Komorian na
kuelezwa kwamba wenzake wote
(Wajumbe wa EAMWS) wamealikwa
katika chakula kwa Nyerere, lakini
Inaendelea Uk. 11
HAYATI Mwalimu Julius K. Nyerere.
11
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
Yaliyomkuta Mzee Waikela
mikononi mwa J. K. Nyerere
Inatoka Uk. 10
hakuitwa yeye na wenzie wawili,
kwa sababu walij ulikana kuwa
na misimamo wa kutokukubali
kurubuniwa na kutafsiriwa kuwa ni
wakorof.
Walinieleza kuwa wamealikwa
kwa l engo l a kuwas hawi s hi
iliwakubali kuiuwa EAMWS, na
tayari ananieleza hivi nikakumbuka
usiku alinifuta Adamu Nassibu,
nikiwa pale Anatoglo, aliniambia
habari kama hii, akinishawishi niache
ukorof wangu kwa sababu yanakuja
mapesa ili tukubali kuifuta EAMWS.
Anaeleza Mzee Waikela.
Masheih Hassan Bin Amir na
Komorian, walinituma na kunitaka
nikiwa ndani ya kikao hicho nifanye
kila linalowezekana kuzuia hili shauri
la kuiua Jumuiya ya Waislamu, kweli
anasema mkutano ulipoanza lililetwa
shauri hilo kama ilivyotazamiwa,
ndani ya kikao niliwaeleza wajumbe
maongezi yangu na Nyerere, mwaka
1958 na kuwaambia hizi ni ftana zake,
za kuwapiga teke Waislamu badala ya
kuwasogeza kama alivyowaahidi.
Akasema, kwa kuwa aliongea
ha ki Mungu a ka s a i di a , na
kuwabadilisha fkra wajumbe wale,
aliyoongea yeye katika kikako
hicho ndio yaliyochukuliwa na
wale waliokwenda kula wali kwa
Nyerere, wote walibadilika, na katika
maazimio ya kikao kile, waliazimia
kwamba Nyerere, aitwe katika kikao
hicho.
Wa l i a f i k i a n a n a k a t i k a
kutengeneza maazimio chini ya
waj umbe s aba wal i ot eul i wa
walimteuwa yeye (Waikela) awe
Mwenyekiti, na waliporudi katika
Baraza maazimio yao yalikubalika
wakawa wanamsubiri Nyerere, afke
katika kikao hicho, ambapo wajumbe
wakamtaka awe msemaji mkuu
mbele ya Nyerere.
Al i pokuj a kat i ka ki kao na
kutusikiliza baada ya maelezo ya
maazimio ya kikao lakini pia katika
maelezo yangu nikamtaka Nyerere,
akomeshe kwa kutangaza tabia
ya kutukanwa Waislamu kwani
ndio walioleta uhuru wa nchi hii.
yao.
Anasema, ni busara ndio ilitumika
wakakubali ombo la Fundikira na
alipofka, Nyerere, alikuwa ni mtu
wa kawaida hakuwa na chochote na
alifanywa kuwa sekretari (Katibu) wa
Duka la klabu ya vijana wa Tabora.
Anaf af anua kuwa Nyerere,
ameingia Tabora hana chama si
mwanachama wa chama chochote,
kwani aliingia katika mji huo kama
kama mwalimu.
Na atokee mtu mashuhuri kwa
anayemjua Nyerere katika kipindi cha
miaka ya 1950 mpaka 1952, atamke
kuwa Nyerere, alikuwa mwanachama
wa Chama gani. Anatilia mkazo
maelezo yake Mzee Waikela.
Nyerere, aliondoka Tabora, na
kwenda kufundisha Dar es Salaam,
huko alikutana na Kasela Bantu,
ambaye al i mt ambul i sha kwa
Kiongozi wa TAA, Bw. Abdulwahid
Sykes, na yeye alimtambulisha kwa
wazee wa Dar es Salaam.
Mzee Waikela, anatoa maelezo
kwambamMwaka 1953, ndi po
Nyerere, alichukua kadi ya TAA, na
mwaka 1954, kulifanyika mkutano
kuibadilisha TAA kuwa TANU,
kabla ya hapo tayari katika harakati
za Waislamu walishatuma wajumbe
mara kadhaa umoja wa Mataifa
(UNO).
Kat i ka hat ua hi zo za awal i
wal i el ezwa vi pi wanakwenda
Waislamu watupu wakati kuna
makundi mawili ya Waislamu na
Wakristo, ndipo busara ilipotumika
kwa Sykes, kumuachia Uongozi wa
TAA, Nyerere.
Sio kama Nyerere, alimshinda
Sykes. Katika uchaguzi ule uwezo wa
kumshinda haukuwepo, bali ilikuwa
ni mipango na makubaliano baada ya
wanachama kuelimishwa. Bila hivyo
ilikuwa ngumu Nyerere, kushinda
kwani alikuwa mgeni kwenye siasa,
mgeni katika mji lakini pia alikuwa
Mkristo, kwa kuwa Waislamu wengi
wakati huo ndio walijishughulisha
na siasa kudai uhuru. Anafafanua
Mzee Waikela.
Lengo la kufanya hivyo lilikuwa
yeye (Nyerere) aongozane na mjumbe
mwingine kutoaka Tanga, kurudi
Umoja wa Mataifa na kueleza kuwa
Waislamu na Wakristo wapo pamoja
katika kudai Uhuru wa Tanganyika.
Chama kilipobadilika kutoka
TAA kua TANU, wanachama wa
Tabora waliandaa mkutano, klabu
yao ya mpira ambayo Mzee Waikela,
alikuwa Katibu masaidizi, Katibu
Mkuu akiwa Shabani Mohamed
Silabu (Kichwa), iliandaa mkutano
na kumwalika Mwl. Nyerere.
Aki wa Tabora, wal i mwel eza
Nyerere, walimweleza kwamba huko
Dar es Salaam, wajitahidini wapate
makundi ya hamasa, tuna kumweleza
wajitahidini kuifanya klabu ya mpira
ya Yanga, kuwa mwanachama wao
naklabu ya samba, pia vikundi vya
akina mama vya burudini wawe
upande wao ili wapate mafanikio ya
Chama kuungwa mkono.
Anasema, Nyerere, al i kuwa
akiingia Tabora, kwa heshima ilikuwa
mahala atakapo lala anapishwa
analalia katika kitanda cha Samadari,
na wao wanalala chini.
Lakini pia anasema Mzee waikela
kuwa mwl. Nyerere, alikuwa akiingia
Tabora ni gari za watu watatu ndio
alikuwa akitembelea, yakwake
(Waikela) ya Juma Shabani Ambari
au gari ya Mohammed Ikunji (wawili
hao sasa ni marehemu).
Aeleza kuwa yeye (Waikela), hata
kabla ya siasa alikuwa na afadhali
kiuchumi na kimaisha, kwani alikuwa
akitembelea gari na hata wakati wa
siasa alikuwa anakwenda nayo katika
mikutano Dar es Saalam na kurudi
Tabora, lakini Nyerere, alikuwa hana
hata baiskeli, hivyo anasema alikuwa
si Kiongozi wa kurubuniwa kirahisi.
Anabainisha Mzee Waikela, aliye
mwanachama wa 264, kitaifa baada
ya kuundwa TANU.
Anasema, baada ya hapo na ukirejea
ile hali ya kumkabili Rais Karume
kwa kumeleza kuwa anatumiwa na
Nyerere, na mengine mengi, mwisho
wake ikawa ni kuwekwa gerezani.
Akizungumzi harakati zake za
kisiasa katika harakati za Uhuru
akiwa na Mwl. Nyerere, Mzee
Waikela, anasema alianza siasa kabla
ya Nyerere, akiwa Diwani wa kwanza
wa Tabora, wakati huo ikiitwa Town
Ship Authority.
Anamtaja Abdallah Fundikira,
kuwa ndi e al i yemt ambul i sha
Nyerere, kwa vijana wa Tabora,
ambao walikuwa wanaendesha
harakati zao za kisiasa kupitia Klabu
zao za burudani.
Anasema, Fundikira, alikutana
na Nyerere, Chuo Kikuu Makerere
Uganda, na alimtangulia kumaliza
na al i por udi Tabor a, ndi po
alipomuelezea Nyerere, katika Klabu
za vijana katika mambo ya mipira na
burudani.
Fundikira, aliyemzawa wa Tabora
na mtoto wa Chifu Said Fundikila,
aliwaeleza vijana kuwa amemwacha
Nyerere, Chuoni (Makerere), hapo
akiwaeleza akina Maulidi Kivuruga,
na wengine. Akaomba kwamba baada
ya masomo yake wampokee katika
kombaini ya klabu yao.
Hata hivyo imeelezwa ombi hilo,
halikupita kirahisi kwani walitaka
kujua ulazima na sababu haswa
za kumkaribisha Nyerere, katika
klabu yao, Fundikila, aliwajibu kuwa
ataweza kuwa mwalimu katika Klabu
Mtazamo wa kisiasa wa Kiislamu
Inatoka Uk. 4
ujengwe juu ya msingi wa Uislamu
na hukumu zake. Haupaswi
kujengwa juu ya vipengele vya
faida au manufaa kama ilivyo
kwenye ubeberu. Kufahamu
tu kwanini, wapi au ajenda za
wanasiasa mbalimbali, haitoshi
kwa Waislamu kujiingiza kwa
ufanisi kwenye siasa.
Kujenga Mchepuo wa Kisiasa
wa Kiislamu: Katika mazingira
ya kawaida, kujenga mchepuo
maalumu ni jambo rahisi kwa
Wai sl amu. I wapo Ui sl amu
ungekuwa unatekelezwa katika
kiwango cha dola na jamii, dhana
za itikadi ya Kiislamu, zingejikita
vizuri katika jamii na kwa mtu
mmoja mmoja.
Ba h a t i mb a ya a mb a y o
imezikumba jamii za Waislamu
duniani leo, ni kwamba jamii
zao zi meundwa kwa f i kra
mchanganyiko badala ya Uislamu.
Wanasiasa Waislamu wamepoteza
mchepuo wa Kiislamu katika
siasa.
Siasa mara nyingi huainishwa
kama kushughulikia masuala
yanayowahusu wananchi. Maana
yake ni kwamba wanasi asa
wanachukua hatua za jinsi gani
matatizo, mahitaji na changamoto
za wananchi vishughulikiwe.
Katika zama za leo, umma wa
Waislamu duniani unakabiliana
na masuala mengi. Katika ardhi za
Waslamu, kuna ukaliaji kimabavu
wa kijeshi, kisiasa, kiuchumi,
kijamii na kiutamaduni. Kwa
ufupi, hali ya Waislamu ni mbaya.
Katika mazingira hayo, lazima
kuna Waislamu walio sawa sawa,
ambao wanataka kubadili hali
hiyo na kuleta ukombozi halisi
wa Waislamu.
We n g i mi o n g o n i mwa
Waislamu, wanaotaka kuleta
mabadiliko hayo kupitia mifumo
iliyopo, wanaanza vizuri harakati
zao, lakini baadaye wanaishia
kuwa vifaa muhimu vya watawala
madhalimu dhidi ya Waislamu
wenzao. Katika baadhi ya nchi,
kuwatetea Waislamu ni kinyume
cha sheria.
Baadhi ya Mas hei kh na
viongozi wa dini ya Kiislamu
wametupwa magerezani kwa
sababu tu ya kubainisha ukweli
kuhusu udhalimu wanaofanyiwa
Waislamu na watawala wa nchi
zao. Harakati mbalimbali za
Waislamu kujikomboa zimekuwa
zikija na kuondoka, na nyingine
zimepoteza kabisa mwelekeo.
Hali ya Waislamu imezidi kuwa
taabani.
Kabla Waislamu hawajaingia
kwenye harakat i za kul et a
mabadiliko ya kijamii, wanahitaji
kwanza kuj enga mchepuo
sahihi na ulio wazi ambao ndiyo
utakaokuwa msingi wa kazi
wanayotaka kuifanya. Mchepuo
wa Kisiasa wa Kiislamu lazima
ujengwe juu ya Itikadi ya Kiislamu.
Itikadi ya Kiislamu ndiyo msingi
ambao Muislamu anaendesha
maisha yake yote ikiwemo siasa.
Iwapo misingi ya ufahamu
wa I t i kadi ya Ki i s l amu
itakuwa dhaifu kwenye akili
za wanaharakati wanaotaka
kuleta mabadiliko ya kisiasa
katika jamii zao, basi itakuwa
rahisi mno kwao kugeuzwa na
kuhamishwa kwenye ajenda
hiyo. Atashidwa mwanzo tu!
Harakati zote za Kiislamu, iwe
za kijamii au kisiasa, lazima
ziwe ndani ya wigo wa Itikadi
ya Kiislamu.
Muislamu kwanza lazima
ajenge dhana (concept) sahihi,
ambazo atazi tumi a kama
miwani ya kuonea mambo.
Kisha lazima ajenge ufahamu
wake kuhusu ul i mwengu
unaomzunguka, yaani masuala
na mat uki o yanayot okea
duni ani . Ki sha anaweza
kujua harakati gani ya kisiasa
inayopaswa kufanyika kwa
wakati husika na mazingira
yaliyopo.
12
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
12
Barua/Mashair
Nina swali mtimani, naliweka hadharani,
Naomba mniauni, kujibu kwa tamakuni,
Kuhusu wanazuoni, wasomao mavyuoni,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Wasomi wetu vyuoni, maadili mtihani,
Hulkayo kimizani, sawia na hayawani,
Si nao mimi imani, hata chembe mtimani,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Mabanati wa vyuoni, ebu jama washufuni,
Libasizo chunguzeni, wajivikazo mwilini,
Ndipo mtajabaini, cha swali langu kiini,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Kukicha vyao vimini, nusu uchi mitaani,
Kukichwa libasi gani, watovaa nijuzeni,
Fasheni eti vimini, 'machangu' wavae nini,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Wajiacha vitovuni, tupu pasi hata soni,
Mithili ya majununi, punguani nadharini,
Zi wapi za vitabuni, akilizo za matendoni,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Wajivika vibikini, si 'bichi' bali vyuoni,
Vinowacha migongoni, wazi hata makwapani,
Wajidhani huriani, kumbe wako uryani,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Na titizo sudurini, wazanika hadharani,
'Machangu' wako kazini, hivyo 'waweza kudhani,
Kama hilo huamini, kavinjari 'mlimani',
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Hazina tena thamani, yumkini kwa wahuni,
Wenye nia ya kuzini, nao si kuwa ndoani,
Wao 'sipojithamini, wa kuwathamini nani,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Vijijinzi vya kihuni, vya kubana juu-chini,
Wavitinga hadharani, vyuoni na mitaani,
Vyawadhiki maungoni, kwa ghururi ya fasheni,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Navyo vyao visikini, 'taiti' si jina geni,
Virasimuvyo ramani, na kukashifu vya ndani,
Tofautiye jamani, na stokingi ni nini,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Bandia nywele kichwani, za kushtari dukani,
Na 'kalikiti' saluni, wetwe wazungu kwa nduni,
Amini usiamini, josholo nusu bafuni,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Mabarobaro vyuoni, ninyi nao kulikoni,
Mwaiga Ughaibuni, hata yaso na maani,
Vipuli masikioni, mwavaa kwa lengo gani,
Tuwete wanazuoni, au nanyi majahili ?
Mwalabisi mikononi, mabangili bila soni,
Na vya dhahabu vidani, mwajirembesha shingoni,
Si yenu kufu jamani, ya dada zenu nyumbani,
Tuwete wanazuoni, au nanyi majahili ?
Nywele mwasuka kwanini, kama si ulimbukeni,
Ujuha au fasheni, wenyewe jihukumuni,
Ujike mwautamani, madume ninyi kwanini,
Tuwete wanazuoni, au nanyi majahili ?
Sarawili kulikoni, mwashusha makalioni,
Kiunoni kuna nini, hasa kinokukwazeni,
'Andaweya' zenu ndani, mwazikashifu kwanini,
Tuwete wanazuoni, au nanyi majahili ?
Mwagezageza kwanini, msoyajua kiini,
Mwatutaka tuamini, ushoga mwautamani,
Kama la kulikoni, mwaiga ya ushogani,
Tuwete wanazuoni, au nanyi majahili ?
Kama si ujuha nini, wa wetu wanazuoni,
Kugeza yaso thamani, kisa ya Ughaibuni,
Pamoja tuketi chini, tutafakari kiini,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Hofu yangu mtimani, kwa hawa wanazuoni,
Wenye tengefu uoni, wangali bado vyuoni,
Kesho kufanywa kifani, hapo mwatarajiani,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Mwisho nakudhukuruni, swali langu nijibuni,
Mlo humo mavyuoni, kadhalika mitaani,
Kikoa mniauni, wa Bara na Visiwani,
Tuwete wanazuoni, au nao majahili ?
Kaditama ishirini, zangu beti shairini,
Timilifu themanini, mishororo mwake ndani,
Pamwe vina na mizani, tamamu vyote si guni,
Tuweteje nambieni, kwa yenu ninyi mizani?
Na Abuu Nyamkomogi
Wasomi au majahili ?
Ndugu Mhariri,
Na pe n da k ut o a
nasaha na kuonya
juu ya tabia chafu ya
kusambaza picha chafu
kwenye mi t andao.
Kwa haki ka hi l i ni
kosa kubwa kwani
watu husambaza kwa
kutumia simu, picha za
uchi, na picha za aibu za
watu, baadhi ya wakati
picha hizi hubuniwa,
na watu husingiziwa
maovu, ukisambaza
utakuwa umemzulia
mtu, na ikiwa ni picha
za aibu lakini ni za kweli
ut akuwa umef anya
kosa kubwa zaidi kuliko
kumsengenya, yaani
utakuwa umemkashifu
na umemdhalilisha.
I ki wa kwel i mt u
amefanya kosa, basi
taratibu za Uislamu ni
kwenda kuzungumza
aliyefanya kosa hilo
na ukamkataza. Ama
mtindo wa kuwakashifu
Mashei kh na wat u
wengine kwa kuwazulia
mabalaa na kurusha
picha zao za aibu, hizi
ni tabia za kikafri.
Amesi mul i a Abu
Mussa Ashary (R.A)
k wa mb a , Mt u me
( S. A. W) al i ul i zwa
yupi Muislamu bora?
Aki s e ma, At akae
msalimisha Muislamu
mwenzake na shari ya
ul i mi wake, mkono
wake (SB10 N5009 T
2628).
Amesi mul i a Abi i
H u r a y r a ( R . A) ,
a me s e ma Mt u me
(S.A.W), Msihusudiane
wal a msi zi di shi ane
b e i m i n a d a n i ,
ms i b u g h u dh i a n e ,
ms i ha ma ne , wa l a
mtu asinunue juu ya
bei ya mwenzake,
kuweni waja wa Allah
( S. W) ml i o ndugu.
Muislamu ni ndugu wa
Muislamu mwenzake
a s i m d h u l u m u ,
as i mwac he kat i ka
shida bila ya kumsaidia,
as i mdhar au, uc ha
Mungu upo hapa,
akaas hi r i a Mt ume
(S.A.W) kifuani pake
mara tatu. Inatosha kwa
mtu kupata shari kamili
kwa kumdogos ha
ndugu yake Muislamu!.
Kusafrisha picha chafu
kwenye mitandao (whatsapp)
Kila Muislamu kwa
Muislamu mwenzake,
ni haramu damu yake
( as i i mwage) , mal i
yake (asi mdul umu)
na he s hi ma ya ke
(asimvunj ie) . (SM
2564).
Kwa hivyo ni haramu
na dhambi kubwa,
kutizama picha chafu
kwe nye mi t a ndao
na kuziweka pia ni
haramu, na ni katika
makatazo makubwa.
Kwa v i l e s ua l a
l a k u p i g a p i c h a
l i nakubal i wa kwa
udhuru tu, ni makosa
kwa wanawake kuweka
pi cha zao kwenye
mitandao ya facebook
na mitandao myengine,
au kuweka picha chafu
kwenye simu.
Wanawake wengi
Waislamu, wameiga
mi l a za ki kafi ri na
kuweka pi cha zao
wakiwa wamejipamba
kwenye mi t andao,
wengine wameweka
picha za uchi kabisa,
picha hizo hutazamwa
na watu zaidi ya milioni
ishirini, maana yake
ikiwa umeweka picha
na hali umejipamba,
a u uko uc hi kwa
mujibu wa sheria, basi
utapata dhambi kwa
kila anayekutizama,
hapo utajua kwamba
u me s h a t a n g u l i z a
dhambi ngapi.
Wakati wa Mtume
(S.A.W) , Mayahudi wa
kabila la Banii Qaynuqa,
wal i kul a nj ama za
kumvua mwanamke
wa Kiislamu nguo na
wamuone uchi wake,
mwanamke alikataa
na wakamvua kwa
ujanja, mmoja kati ya
Mayahudi hao aliibana
nguo ya mwanamke
huyo ukutani kwa pini,
bila ya yule mwanamke
kujua wakati alipokuwa
k we n y e d u k a l a
sonara wa Kiyahudi,
al i poondoka nguo
ilimvuka na Mayahudi
wakacheka. Na ujanja
huu pia unatumika
l e o , m i t a n d a o
amewekwa mabi nti
wa Kiislamu, watakaa
uchi wadhalilike na
mi t andao hi i ni ya
hao hao Mayahudi na
wamekashifika wengi
sana.
Kwa hiyo nawashauri
a m a k u w a s i h i
wanawake watukufu
wa Kiislamu kuondoa
picha zao kama hakuna
dharura yeyote kwenye
facebook, twitter, na
mitandao mingine, ili
ulinde hadhi yako na
hadhi ya dini yako.
P i a n i h a r a mu
kuwasiliana (kuchat)
na wanaume kwenye
mitandao bila udhuru,
na udhuru ni kuumwa
au biashara na mengine
munasaba na hayo,
l aki ni kuchat i bi l a
dharura ni haramu.
Hata hi vyo i ki wa
mwanamke amevaa
hi j ab vi zur i , hapo
anaweza kuweka picha
yake katika mitandao
i n a y o a mi n i k a ya
Kiislamu, ikiwa kuna
udhuru maalum kama
kutafuta mume nk.
Wa l e wa na wa ke
wa l i o we k a p i c h a
hal i wamej i pamba
au wame kaa uc hi
(yaani hawakuj istiri
ipasavyo), wazitoe na
waache kuchat hovyo
na wanaume kwani
huko ni kui kari bi a
zi naa. Mwanamke
anatakiwa azungumze
na mwanamme pale
tu itakapobidi, aidha
kwa biashara au hukmu
au maslahi ya maisha,
si kuchat hovyo na
wanaweza kuchat
na wanawake wenzao
na wanaume wachat
na wanaume wenzao,
i si pokuwa mt u na
mkewe na maharimu
zake.
Na kwa hivyo ni
haramu kuwatizama
wanawake kwenye
mi t andao i l a kwa
yule anayetaka kuoa
atatizama uso wa yule
anayetaka kumuoa tu
basi.
MUSSA AME MUSSA
0773834795
13
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
MAKALA
Kuna haja ya kujiuliza kwanini
maradhi haya chanzo ni Afrika
Inatoka Uk. 3
kuaenea kwa awali kwa
virusi vya ukimwi (HIV-1)
kutoka Kinshasa hadi katika
maeneo mengi ne yenye
wakazi wengi," alisema Prof.
Phillippe Lemey, wa Chuo
Kikuu cha Leuven.
Ilielezwa kuwa usafrishaji
na mabadiliko ya kijamii
kunaweza kusababi sha
mtandao wa Ukimwi kuenea
sehemu nyingine kutoka
Kinshasa hadi nchi za Afrika
ya Kati, hususan usafrishaji
kwa njia ya reli, unaonekana
kuchangia sana kuenea kwa
HIV.
Mtafiti huyo aliongeza
kuwa, zaidi watu milioni
moja walikuwa wakitumia
usafri wa reli kwa mwaka
kueleka mwishoni mwa
miaka ya 1940s.
"Vielelezo vyetu (Our
genetic data) vinatueleza
kuwa HIV vilisambaa haraka
sana nchi nzima ya DRC,
vi ki saf i ri shwa na wat u
maeneo ya usafri wa reli na
majini hadi kufika Mbuji-
Mayi na Lubumbashi na
maeneo ya kusini zaidi na
Kisangani kaskazini hadi
kufkia mwishoni mwa miaka
ya 1930s na mapema miaka
ya 1950s. Hali hii ilisaidia
kuanza kuambukiza virusi
vya HIV-1 katika ukanda
huo ambao uliunganishwa
barabara na nchi za kusini
na mashariki mwa Afrika,"
alielezea Dk. Nuno Faria, wa
Idara ya Zoology ya Chuo
Kikuu cha Oxford.
Watafiti hao walisema
kuwa mabadiliko ya kijamii
yaliyozunguka upatikanaji
wa uhuru kati ka mi aka
ya 1960s yanaonekana
kusababisha kuenea kwa
maambukizi kutoka idadi
ndogo hadi idadi kubwa ya
watu, na baadae maambukizi
kufkia dunia nzima.
Walisema kulikuwa na
idadi kubwa ya maambukizi
kutokana na kampeni za
afya za maradhi mengine
zilizokuwepo wakati huo,
a mba z o z i l i s a ba bi s ha
matumizi na yasiyo salama ya
sindano zenye maambukizi,
sababu zote hizo zilisababisha
kuenea kwa kasi kwa HIV.
Prof. Pybus aliongeza
kuwa utafti wao ulibainisha
kuwa kufuatia maambukizi
ya virusi kutoka mnyama wa
awali hadi kwa binadamu
(yanawezekana kwa njia ya
uwindaji au utumiaji wa
nyama pori) yalikuwa na
nafasi ndogo ya kueneoa
HIV wakati wa utawala wa
Ubelgiji huko DRC.
Kwa upande wa ugonjwa
hatari wa ebola, unaonezwa
kwa virusi, umezidi kutikisa
dunia huku bado kukiwa
hakuna uhakika wa tiba
wala chanjo ya uhakika ya
maradhi haya.
Kama ilivyokuwa kwa
virusi vya ukimwi, virusi
vya Ebola navyo pia watafti
wamedai kuwa asili yake
au chanzo chake ni huko
huko DRC (zamani ikiitwa
Zaire), ambako imedaiwa
kwamba ndiko virusi hivyo
vilipogunduliwa kwa mara
ya kwanza.
Maisha ya watu katika
nchi za Liberia, Siera Leone,
Guinea na nchi jirani na hizo
katika Afrika magharibi,
yanazidi kuteketea kila uchao
huku hofu ikitawala zaidi
bara Ulaya na Amerika.
I me f i ki a ba a dhi ya
wat u kuami ni kwamba
ugonjwa huo ni mahsusi
kwa Waafrika, kwa kuwa
umeonekana katika bara
hili huku ukiteketeza zaidi
Waafrika.
virusi vya ebola vimedaiwa
kuwa ni hat ar i zai di ,
ambavyo husababisha homa
kali na za mara kwa mara
kwa binadamu na wanyama
wengine aina ya mamalia na
mtu huchukua muda mfupi
kupoteza uhai, tofauti kidogo
na ukimwi.
Virusi hivyo vimeitwa
Ebol a mwaka 2010 i l i
kuepuka mkanganyi ko.
Wataalam wanasema kuwa
ai na hi yo ya vi rusi ni
virological taxon species
i ki j umui sha Ebol avi rus,
familia ya Filoviridae.
Ug o n j wa h u o p i a
umeelezwa kuwa umetokana
na maambukizi kutoka kwa
wanyama kwenda kwa
binadamu kwa njia ya mafua.
Kutokana na kuwa na
madhara makubwa, ebola
imewekwa katika orodha ya
magonjwa hatari zaidi (Risk
Group 4) na Shirika la Afya
Duniani (WHO).
Shirika hilo limesema
kuwa mlipuko wa homa ya
ebola ulioziathiri baadhi
Inaendelea Uk. 15
Ebola imetengenezwa na makampuni ya madawa,
Wizara ya Ulinzi ya Marekani? Wanasayansi wanadai
Inatoka Uk. 2
lake, alikuwa ameyakinisha
kuwepo kwa kiwanda cha
kijeshi cha dawa za binadamu
ambacho kinafanya majaribio
ya silaha za vijidudu chini
ya kinachodaiwa ni kutoa
chanjo kudhibiti magonjwa
na kuinua afya ya Waafrika
weusi ngambo. Kitabu hicho
ni kizuri sana, na viongozi
wote na yeyote mwenye ari na
sayansi, afya, watu, na njama
akisome. Ninashangaa kuwa
viongozi wa Afrika hawatoi
shukrani au kuzungumzia
machapisho haya.
2. Ebola ina historia chafu,
na maj aribio yamekuwa
yakifanyika kwa siri barani
Afrika: Sasa hivi ninasoma
The Hot Zone, riwaya ya
Richard Preston (hatimiliki
ya mwaka 1989 na 1994);
kinaumiza moyo. Mwandishi
mahiri na maarufu, Steven
King, ananukuliwa akisema
kuwa kitabu hicho ni moja
ya vitabu vya kutisha zaidi
ambavyo nimewahi kusoma.
Ni kazi ya kushangaza sana.
Kama kitabu kilichovunja
rekodi za mauzo kwa mujibu
wa gazeti la New York Times,
The Hot Zone inaelezwa
kuwa ni hadithi ya kuogofya
ya kweli. Inatisha kwa sababu
undani wa maumbile ya
ki l i choonekana kat i ka
wanyama waliouawa kwa
virusi vya Ebola ndicho
ambacho vi r us i hi vyo
vimekuwa vikifanya kwa
raia wa Guinea, Sierra Leone
na Liberia katika kuzuka kwa
Ebola hivi karibuni: Virusi
vya Ebola vimeteketeza
mifumo ya ndani ya mwili
na mwi l i unahar i bi ka
kwa har aka baada ya
kifo. Inalainisha misuli na
kuifanya kuwa mgando,
hata kama imewekwa katika
jokofu kuifanya iwe na baridi.
Kubadilika mwili uwe wa
majimaji ndicho kinatokea
kwa watu wanaokufa kwa
virusi vya Ebola! Mwandishi
aliainisha katika kitabu
Point 1, kuwa Dk. Horowit
anambeza mwandishi wa
Hot Zone kuwa aliandika ili
aonekane mwema kisiasa;
naelewa kwa sababu kitabu
chake kimefanyiwa kila
juhudi kuwa sahihi. Tukio la
Ebola la mwaka 1976 nchini
Zaire, wakati wa utawala
wa Rais Mobutu Seseseko,
ilikuwa ni kuingizwa kwa
virusi vya Ebola barani
Afrika.
3. Vituo vilivyoundwa
Afrika, na Afrika Magharibi,
vi mekuwa vi ki t umi wa
kujaribisha magonjwa mapya.
hasa Ebola: Shirika la Afya
Duniani (WHO) na mashirika
mengine kadhaa ya Umoja
wa Mataifa, yamehusishwa
katika kuteua na kuzua nchi
za Afrika kushiriki katika
matukio hayo ya majaribio,
yakihamasisha chanjo, lakini
yakiwa na mikakati kadhaa ya
majaribio. Makala ya August
2, 2014, Afrika Magharibi:
Watafti wa silaha za vijidudu
wa Marekani wanafanya nini
katika eneo la Ebola? ya
John Rappoport wa Global
Research ( mt andao wa
kupashana habari) inaainisha
tatizo linalozikabili serikali
za nchi za Afrika.
Kilicho wazi katika hili
na taarifa zingine ni, pamoja
na mengineyo (a) Taasisi
ya Jeshi la Marekani ya
Magonjwa ya Kuambukiza,
kituo kinachofahamika kwa
utafti wa silaha za vijidudu,
iliyoko Fort Detrick, jimbo
la Maryland; (b)Chuo Kikuu
cha Tulane, jimbo la New
Orleans nchini Marekani,
kinahopata ruzuku (kubwa)
za utafiti, ikiwa ni pamoja
na dola milioni saba kupitia
Taasisi ya Taifa ya Afya
(NHI) kufanya utafti kuhusu
homa ya kupoteza damu ya
virusi vya Lassa; (c) Kituo
cha Udhibiti wa Magonjwa
(CDC); (d) Madaktari Wasio
na Mipaka (wanaojulikana
zaidi kwa jina lao la Kifaransa,
Medecins Sans Frontiers); (e)
Tekmira, kampuni ya dawa
ya Canada; (f ) Kampuni
ya Gl axoSmi t hKl i ne ya
Uingereza, na (g) Hospitali
ya Serikali ya Kenema mjini
Kenema, Sierra Leone.
Taarifa zinaelezea habari za
Wizara ya Ulinzi ya Marekani
ikitoa fedha za kufanyika
kwa majaribio ya Ebola kwa
binadamu, majaribio ambayo
yalichukua wiki kadhaa tu
kabla ya kufumuka kwa
gonjwa la Ebola huko Guinea
na Sierra Leone. Taarifa hizo
zinaendelea na kuyakinisha
kuwa Wizara ya Ulinzi ya
Marekani ilitoa kandarasi
(tenda) ya thamani ya dola
milioni 140 kwa Tekmira,
kampuni ya dawa ya Canada,
kuf anya ut af i t i kuhusu
Ebola. Utafiti huo ulikuwa
ni pamoja na kupiga sindano
na kuingiza katika mwili
wa mtu mwenye afya virusi
hatari vya Ebola. Hivyo,
Wizara ya Ulinzi ya Marekani
i na or odhe s hwa ka ma
mshirika katika Kwanza
kwa mtu - Majaribio ya Ebola
katika maabara za hospitali
(NCT02041715 iliyoanza
hapo Januari 2014 mara
tu kabla gonjwa la Ebola
halijatangazwa katika Afrika
Magharibi mwezi Machi. Cha
kuchukuza zaidi ni kuwa
taarifa nyingi zinafkia tamati
kuwa serikali ya Marekani
ina maabara ya kufanya
utafti wa vita ya kigaidi ya
vijidudu huko Kenema, mji
ulio katikati ya wimbi la
kuzuka gonjwa la Ebola huko
Afrika Magharibi. Tawi pekee
la kijani lililoonekana katika
kusoma taarifa hizi ni kuwa
Theguardian.com iliripoti.
Kutoa fedha kwa majaribio
ya Ebola kwa binadamu
we nye af ya kunakuj a
wakati tahadhari zimesikika
kutoka wanasayansi wenye
hadhi katika vyuo vikuu
vya Harvard na Yale kuwa
majaribio ya virusi kama
hayo yanaweza kul et a
mfumuko wa gonjwa hilo
duniani kote. Hatari hiyo
bado inadumu.
4. Hitaji la hatua za kisheria
za kupata fdia kwa hasara
kutokana na kuendelezwa
kwa ukandamizaji katika
vifo, kuumia na mishtuko
Inaendelea Uk. 15
14
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Habari
Zanzibar Arijojo
Inatoka Uk. 7
mmoja ilikuwa ni mbinu na
hatua hatua ya kuzidisha
mapambano ya kuwatisha
Wazanzibari. Walisimama
ki de t e na wa ka a mua
liwalo naliwe. Ama kwa
kwenye haki, basi rasimu
ile ingeambiwa haikupita,
kwani Ulimwengu wote
uliona kwamba Wazanzibari
hawakutimia theluthi mbili
ya walioikubali rasimu na
haki haikutendeka.
Kwa waf uat i l i aj i na
kama nilivyosema hapo
mwanzo, Wazanzibari kwa
kusikiliza sauti ya Muasisi
wao kufuatilia mambo ya
siasa, walikuwa wanafuatilia
kwel i kwel i . Wal i ona
dhahiri shahiri yaliyokuwa
yanatokea. Kati ya mambo
yaliyotokea ambayo kwa
yeyote mwenye akili timamu
angejiuliza ni:
1. Wakati Mwenyekiti wa
Bunge Maalum la Katiba
anawasilisha idadi ya wapiga
kura alisema, Wazanzibari ni
210 na akasema waliomo ni
142, hivyo akidi imetimia.
2. Wakati matokeo ya
kupiga kura yalipoangazwa,
basi Wazanzibari walitajwa
kuwa 219 na akidi ya theluthi
mbilki ni 146. Hiyo inatosha
kubatilisha matokeo hayo.
Hesabu na namba zinakuwa
si kama hi si a ambazo
unaweza kuzi wasilisha
huku umeibabaisha.
3. Mwanasheria Mkuu
wa Zanzi abr ambae ni
Mzanzibari kindakindaki
alipopiga kura za Hapana
juu ya Rasimu hiyo ya Katiba,
ambayo yeye kwa ueledi
wake haina faida na Zanzibar.
Seuze mambumbumbu
wanaojifanya wanajua zaidi
kuliko bingwa wa Sheria
wa Zanzibar. Hebu jiulize?!
Lakini tena, mzoea vya
kunyonga, vya kuchinj a
haviwezi.
Hi vi kar i buni kuna
m u a n d i s h i m m o j a
al i yewaki l i sha makal a
i l i yochapi shwa kwenye
gazeti la Mtanzania, inayo
chambua kwa kina jinsi gani
kwa utafiti wake anaona
theluthi mbili za Zanzibar
hazikupatikana. Anataja
kati ya mambo mengine,
mmoj a wa Wabunge wa
Bunge Maalum la Katiba
kutoka Zanzibar alihesabiwa
kama ni Mbunge kutoka
Tanganyika. Pia alifafanua
ni jinsi gani isingewezekana
kuwapata Wabunge wa
Bunge hilo waliokuwa Hijja
na yule aliyekuwa India kwa
matibabu. Yote hayo ametoa
ushahidi wa kuonesha utata
mkubwa uliokuwepo.
Baada ya maelezo hayo,
sasa tuangalie ni vipi na
kwanini tunasema Zanzibar
itakwenda arijojo kama hali
haitabadilika na Mchakato
huu ukazimwa na baadae
ukarekebishwa ili ipatikane
katiba ambayo itaridhiwa
na wengi wa Wananchi, hasa
Wazanzibari?
A m a k i u s t a r a b u
inajulikana kabisa kwamba
i wapo haki i t af anyi ka,
basi kura ya maoni j uu
ya Katiba haiwezi kupita
Zanzi bar . I nael eweka
lakini kutokana na uzoefu
uliopo kuanzia 1995-2010
kwamba, hi vyo s i vyo
mambo yanavyofanyika
Zanzibar. Hasa kwa vile
vi ongozi wal i kubal i ana
kuunda Serikali ya Umoja wa
Kitaifa, lakini wakashindwa
kukubal i ana kuwa na
msimamo mmoj a wenye
manufaa kwa Wazanzibari.
Hapo ndio kama ule msemo
wa ki s wahi l i us emao
Wakipigana kuku, afaidiye
ni mwewe.
Wazanzibar hawaonekani
kupata dalili ya kushikamana
kwa jambo hili. Ni dhahiri
lakini wengi wa Wazanzibari
juu ya Jambo hili wanataka
Nchi yao yenye mamlaka
Zaidi kuliko ilivyo kwenye
Kati ba ya sasa na hi yo
i l i yopendekezwa. Kwa
namna hi yo, wat at aka
waipigie kura ya hapana
Katiba iliyopendekezwa.
I n a s i k i t i s h a l a k i n i ,
Wa z a n z i b a r i s a s a
wamekuwa kwenye hali
kama aliyoisema muimbaji
mmoja, kwamba mbele yao
kuna simba, nyuma yao
kuna chatu, kulia kwao kuna
faru na kushoto kwao kuna
tembo. Hawajui waleekee
upande gani wasalimike.
Wazanzibari walikuwa
tayari wanaona kunonooka
na kupata tamaa ya kuipata
na kuijenga Zanziabr yao.
Hali ilivyo si shuari, ingawa
walioshika hatamu wanataka
tuelewe vyengine. Wakipiga
Kur a kui kat aa Kat i ba
i l i yopendekezwa, kuna
mambo kadhaa yanayoweza
kutokea:
1. La kwanza, itapitishwa
tu kwa hali yeyote. Na
hapo ndio patakapokuwa
n a ma t a t i z o , k wa n i
Wazanzibari hawatakubali
kutulia, kama walivyokataa
kutulia, mwapotawaliwa na
Mreno, walipotawaliwa na
Muingereza na walipoona
wa n a h i t a j i k u f a n y a
Mapinduzi. historia ina tabia
ya kujirudia. Nafasi adhaimu
iliyokuwepo imevurugwa
kwa woga au utashi tu.
2. Jengine linaloweza
kutokea ni kukubal i wa
isipitishwe hiyo Katiba
i l i yopendekezwa. Kwa
n a mn a h i y o , k a t i b a
itakayotumika itakuwa ni
ile iliyopo sasa hivi. Na kwa
wakati huo itakuwa tatizo
juu ya tatizo.
3. Walioutengeneza huu
mtego watakuwa wamepata
n o n g wa n a k u s e ma
Wazanzibari wanakubaliana
na hal i yao ya sasa na
hawat aki mabadi l i ko.
Kabla huj anishambulia,
naelewa hali na hisia halisi
za Wazanzi bari , l aki ni
Mchakato huu wa kupata
Katiba Mpya ya Wananchi,
umegeuka kuwa mt aj i
kwa baadhi na jukwaa la
kujiimarisha kisiasa kwa
wengi ne na wat at aka
kufanya hivyo hivyo huko
mbele.
Sasa nini la kufanya?
Wengi wa Wazanzi bari
RAIS Jakaya Kikwete
maksudi au kwa mbinu,
Wabunge waliojiita watetezi
wa Katiba ya Wananchi,
wakatoka Bungeni. Kwa
kweli, kama hiyo ilikuwa ni
kwa makusudi, walipatikana
na mi t ego i l i yowekwa.
I nawezekana ki hesabu
walidhani Bunge Maalum
la Katiba halitaendelea, kwa
vile wao hawamo Bungeni.
Walifikiria, wapinzani wao
watakuwa wastaarabu na
wawasikilize. Bahati mbaya
hilo halikutokea, na matokeo
yake kukawa na wapenzi
hasa wa Zanzibar wachache
tu.
Kwe nye me da ni z a
mitandao ya Jamii, wengi
wa Wazanzibari walisema
wa l i o mo Bun g e n i n i
Was al i t i wa Zanzi bar .
Kwani walitakiwa watoke
na warudi Zanzibar kwa
vile Bunge hilo halikuwa
na faida tena na Zanzibar.
Mi t andaoni wal i obaki a
bungeni wal i ambi wa ni
woga na wanafki. Kulikuwa
na ki kundi ki dogo cha
Wazanzibari ambao wao
walitaka kuitetea Zanzibar
wakiwa kwenye hilo Bunge
Maalum la Katiba. Hawa
waliendelea mpaka karibu
sana au karibu na mwisho.
Kwa kweli kama Bunge
maalum la Katiba ingekuwa
ni Kombe la Dunia la mpira
wa miguu, basi wapenzi
na watazamaji walikuwa
wamevunjika moyo kama
ambavyo wapenzi wa kombe
la dunia walioipendelea
Brazil kuvunjika moyo pale
walipofungwa mabao 7 bila
kuona mlango. Wananchi
hasa wa Zanzibar walijisikia
vibaya, wakawa wanaumia
na wanat oa hi s i a zao
kwenye mikutano, lakini
hawakupendelea yaliyokuwa
yanaendelea, kwani ile hamu
yao ya kuiona Zanzibar
iliyojikomboa na kuanza
kunawiri iliffa.
Kwa vile Bunge maalum
la Katiba, lilikuwa kama
timu ya mpira wa miguu
inayoshindana na mpinzani
wake. Ikawa na muamuzi
katika mmoja wa wachezaji
wake, upande wa pili wa
wapi nzani wamebaki a
was habi ki t u, hakuna
wachezaji, na hao washabiki
ni wachache sio timu kamili
ambayo haina hata golikipa.
Hapo ndio Bunge Maalum
lilipokosa muelekeo na Katiba
ikawa inapitisha kama vile
timu inayocheza uwanjani
kwake wakati wapinzani
wamo wawili au watatu na
hawana golikipa. Wakawa
wanayafunga tu magoli.
Pamoja na hali hiyo, hao
wachezaji wawili watatu
wa l i o k uwa uwa n j a n i
walimudu kuichukua mechi
mpaka muda wa majeruhi,
wakati wa penalty walijaribu
kufunga goli la ushindi.
Hai kuwezekana, kwani ,
timu kubwa ilikuwa ina
refa wao na washabiki wao.
Hivyo waliokuwa upande
wa pili wakatishwa, mpaka
kutishiwa maisha yao.
Hali hiyo kwa upande
wanaona, kutokana na Katiba
iliyopendekezwa iwe kama
ilivyo, itakuwa ni kama
kujipeleka mbele ya simba
ukitarajia atakuacha upite.
Kwa kweli haitaridhisha hata
kidogo, Zanzibar ikifanywa
koloni la Tanganyika na
kuendelea kukandamizwa
kama ilivyo sasa hivi na
kuvifanya vizazi vijavyo
viwe kama wageni nchini
kwao wenyewe. Kwa nini
tumebahatika kupata furusa
tunai chezea? Wengi wa
Wazanzibari wanajiuliza!
Ukiangalia kwa undani,
hakuna faida kubwa ambayo
Tanganyika inapata kuikaba
Zanzibar, zaidi ya kuwa na
Koloni ambalo inasema ni
Muungano. Kama Zanzibar
ingekuwa ni mshirika sawa
kwa Tanganyika. Nchi zote
mbi l i zi ngekuwa f ai da
kubwa sana.Faida nyengine
kubwa zaidi, sasa hivi nchi
nyengine nyingi zingekuwa
zimeshajiunga na Muungano
huu na kuifanya ndoto ya
kuiunganisha Afrika kuwa
rahisi.
Ba ha t i mba ya , kwa
Muungano huu, kwa vile
wasi okuwemo wanaona
madhila inayopata Zanzibar,
hakuna nchi nyengi ne
i nayot aka kuj i unga na
Muungano huu, kama
ulivyo. Linaloendelea ni
kaka mkubwa, Tanganyika
kujivalisha koti la Muungano
na kuifanya Zanzibar kama
kitoto kidogo ili ikubali kwa
kuwatumia wanaoitwa na
wana mtandao Wanafki. Hali
hii haitaendelea kuwa nzuri
na salama, ikiwa itaendelea
hivi hivi kuifanya Zanzibar
Koloni la Tanganyika.
Inawezekana kuwaziba
mi domo wachache sasa
hivi, kama alivyofanyiwa
Mh. Mansour Yussuf Himid
na Mh. Othman Massoud
Othman, kwa kupiga kelele
kwao kuitetea Zanzibar.
Lakini ieleweke kwamba
kizazi kipya hakitakubaliana
na unaf i ki pamoj a na
ukandamizaji.
Kizazi kipya kinajua jinsi
Kompyuta zinavyofanyakazi,
kwa hivyo kitataka kila kitu
kifanye kazi bila mizengwe
ya kinafiki na kuoneana.
Hapo ndio, ingawa Zanzibar
inakwenda arijojo sasa hivi,
utafka wakati itatoka kwenye
hali hiyo na wakandamizaji
wat ai t oa wenyewe na
watabakia kusema Laitani
t unge j ua ! Tus i nge i t i a
Zanzibar Arijojo. Na hapo
itakuwa vigumu kuulinda
na kuuhifadhi Muungano,
ambao kwa sasa bado
Wazanzibari wanautaka,
lakini wanautaka uwe wa
haki na heshima kwa pande
zote mbili.
(mwandishi:vgdwiz@gmail.com)
15
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Makala
Kuna haja ya kujiuliza kwanini
maradhi haya chanzo ni Afrika
Inatoka Uk. 13
ya nchi huko magharibi
mwa Afrika, umeua watu
zaidi ya 4,400 hadi hivi sasa
huku wengine zaidi ya 7000
wakiambukizwa virusi hatari
vya maradhi hayo.
Na i b u Mk ur ug e n z i
Mkuu wa Shirika hilo Bruce
Ayl ward, amenukul i wa
akisema mlipuko wa virusi
vya ebola uliojitokeza mwezi
Machi mwaka huu huko
magharibi mwa Afrika.
Ha t a h i v y o , wa p o
wanaoitaja Marekani kuwa
inahusika na kuzalisha na
kueneza virusi vya Ebola.
Gazeti la Daily Observer
la mjini Monrovia nchini
Liberia, lilitoa nyaraka na
ushahi di unaothi bi ti sha
kuwa Mar ekani ndi yo
iliyotengeneza na kusambaza
virusi vya ugonjwa wa Ebola.
Kwa mujibu wa gazeti hilo,
Marekani imekuwa ikifanya
operesheni mbalimbali za
siri barani Afrika, likatolea
mfano wa ile iliyopewa jina
la siri la "Hati ya Maelewano
ya 200", ambayo ilielezwa
kuwa kazi yake ilikuwa ni
kuzalisha virusi hatari vya
Ebola.
Profesa Siele Brodrick,
mtaalamu wa maradhi ya
kuambukiza na mwandishi
wa makala hiyo anaamini
kwamba, virusi angamizi
ya Ebola ni moja ya virusi
vilivyozalishwa na viwanda
vya kijeshi vya Marekani kwa
kushirikiana na utawala wa
zamani wa makaburu nchini
Afrika Kusini mwaka 1975.
Kwamba tangu wakati
huo, Wizara ya Ulinzi ya
Marekani imekuwa ikitumia
virusi hivyo kama silaha ya
kibiolojia. Kwa mtazamo wa
profesa huyo, mwaka 1975,
Marekani kwa kushirikiana
na utawala wa ubaguzi wa
rangi wa Afrika Kusini,
ulifanya operesheni ya siri
nchini Zaire (sasa Jamhuri
Mkurugenzi wa WHO Margaret Chan
ya Kidemokrasia ya Kongo)
na kupandikiza nchini humo
kwa mara ya kwanza virusi
hatari sana vya Ebola.
Alisema jambo lisilo na
shaka ni kwamba, operesheni
ya siri iliyopewa jina la siri
la "Hati ya Maelewano ya
200" ilianzishwa kwa lengo
la kupunguza idadi ya watu
katika bara la Afrika.
Imedaiwa kuwa Marekani
imeeneza balaa hilo la virusi
barani Afrika, ili kupunguza
idadi ya Waafrika duniani.
Katika moja ya vitabu
vyake vilivyozungumzia
ugonjwa huo, Profesa Siele
Brodri ck, al i sema kuwa
Marekani kwa kushirikiana
na baadhi ya nchi washirika
wake, ilianzisha operesheni
za siri za kueneza maradhi
barani Afrika.
Ka t i k a r i po t i h i y o
imeelezwa kuwa kwa mara
ya kwanza virusi vya Ebola
viligunduliwa pembezoni
mwa mto Kongo Agosti
26, 1976 katika kijiji kidogo
cha Yambuku, Wilaya ya
Mongala huko Jamhuri ya
Kongo mwaka 1976.
Kuanzia mwezi Desemba
mwaka jana, virusi hatari
vya Ebola vilianza kuenea
maghari bi mwa Afri ka.
Mtaalam huyo amesema
kuwa kuna vituo vingi sana
vya tiba vimeanzishwa katika
eneo hilo, ili kupambana na
ugonjwa huo na kutafuta
dawa za kutibu maradhi
hayo, lakini vyote viko chini
ya usimamizi wa Marekani na
mashirika yenye mfungano
na Washington.
Ni dhahiri kuwa kituo
cha kudhibiti magonjwa ya
kuambukiza cha Marekani
(CSD) kimeshindwa kupata
chanj o ya ugonj wa huo.
Hata hivyo ugonjwa huo
umeshafika hadi Marekani
k we n y e we b a a d a ya
mwandishi mmoja wa habari
wa Kimarekani, Thomas
Eric Duncan, kuambukizwa
ugonjwa huo hatari.
Tunaweza kusema kuwa
Marekani ambayo shutuma
zote zinaelekezwa kwake
kuwa ndiyo iliyotengeneza
na kusambaza virusi hivyo
barani Afrika, yenyewe nayo
imekumbwa na ugonjwa huo
angamizi.
Nako huko Ujerumani
wa l i t a n g a z a k u wa
watauchoma moto mwili
wa raia wa Sudan aliyekuwa
akihudumia wagonjwa wa
Ebola huko Afrika Magharibi
aliyekufa kwa ugonjwa huo
wakati akitibiwa nchini
humo, ili kuzuia kuenea
virusi vya ugonj wa huo
nchini humo.
Aidha WHO ilieleza kuwa,
kuna maambuki mapya zaidi
ya 10,000 ya Ebola hadi sasa.
Hadi sasa tiba ya Ebola
bado hai j agundul i wa.
Dalili za homa ya Ebola
ni kuhari sha, kut api ka
na kutokwa damu katika
sehemu mbalimbali mwilini.
Wa ka t i t uki j i s ha ur i
j uu ya mar adhi haya
yanayosababisha vifo vya
halaiki kwa Waafrika tu,
i kumbukwe kuwa kuna
wakati tuliambiwa kuwa
magaidi wa al-Qaeda chini
ya Osama bin Laden, baada
ya shambulio la Septemba11
katika majengo ya World
Trade Centre (WTC) na kule
Makao Makuu ya Jeshi-
Pentagon, wal i endel eza
mashambulizi yao dhidi
ya Marekani kwa kutumia
kemikali za kimeta (anthrax)
na kuendeleza mauaji.
Madai haya yalikolezwa
sana na Marekani ki asi
cha kusababisha mataifa
na ul i mwengu mzi ma
kuingia woga kwa kuamini
tuhuma za anthrax ni tishio
jingine kutoka kwa Osama
na al-Qaeda. Wamarekani
wal i endel ea kupot eza
maisha kwa kusoma barua
zilizopandikizwa vimeta.
Ha t a h i v y o k a ma
i l i v y o k u wa k a t i k a
mashambulio ya Septemba
11 yalivyozua mashaka na
maswali mengi kwa watu
wa Marekani na ulimwengu
kwa ujumla, baadae ilikuja
kugundulika kuwa vimeta
hivyo ni aina maalum ya
virusi vya kutengenezwa tu
na katika maabara katika
jeshi la Marekani.
Kuna haja ya Wataala wa
Afya wa nchi za Kiafrika
kukaa na kutafakari kwa
kina juu ya maradhi haya
ya Uki mwi na Ebol a.
Inawezekana kuna si ri
kubwa ndani yake.
Inaendelea
Ebola imetengenezwa na makampuni ya madawa,
Wizara ya Ulinzi ya Marekani? Wanasayansi wanadai
Inatoka Uk. 13
i l i y o b e b e s h wa wa t u
wa Liberia na wa-Afrika
wengine kutokana na Ebola
na njia nyingine za kuzua
ma gonj wa : Ma r e ka ni ,
Ca na da , Uf a r a ns a na
Uingereza wote wanahusika
katika vitendo vya kuchukiza
na vya kishetani ambavyo
ndiyo haya majaribio ya
Ebola. Kuna haja ya kufungua
kesi za jinai na madai ya
fidia, na nchi za Afrika na
watu wapate uwakilishi wa
kisheria kuhitaji fdia kutoka
nchi hizi, mashirika kadhaa,
na Umoj a wa Mat ai f a.
Ushahidi ni mwingi dhidi ya
Chuo Kikuu cha Tulane, na
kesi zinaweza kufunguliwa
kuanzia hapo. Makala ya
Yoichi Shimatsu, Kuzuka
kwa gonj wa l a Ebol a
kuliambatana na kampeni
za chanjo, iliyochapishwa
Agosti 18, 2014 katika Liberty
Beacon, ni kielelezo.
5. Viongozi wa Afrika na
nchi za Afrika wanahitaji
kuchukua nafasi ya mbele
katika kuwalinda watoto
wachanga, watoto wadogo,
wanawake wa Ki afri ka,
wanaume wa Kiafrika na
wazee. Wananchi hawa
hawastahili kutumika kama
panya wa maabara! Afrika
isidunishe bara hili kuwa
ni pahala pa kulundika
na kuondoa kemikali na
madawa ya hatari, pamoja
na na vianzio vya kikemikali
au vijidudu vya magonjwa
yanayozuka. Kuna haj a
ya haraka ya mkakati wa
kuwalinda wasio na uwezo
katika nchi maskini, hasa
wananchi wa Afrika, ambao
nchi zao hazina uwezo wa
kisayansi na viwanda kama
Marekani na nchi zilizobaki
za Magharibi, ambazo ni
chanzo cha virusi au vijidudu
vilivyobadilishwa vinasaba
na kuundwa kama silaha
za kutumia viumbe hai.
I nasi ki t i sha sana kuwa
serikali ya Marekani imekuwa
i ki endesha maabara ya
homa ya virusi ya kupoteza
damu kwa ajili ya silaha
za kigaidi za viumbehai
nchini Sierra Leone. Hakuna
nyinginezo? Kokote zilipo,
ni wakati wa kuziteketeza.
Kama kuna vituo vingine
kama hicho, inafaa kufuata
nj i a i l i yochel ewes hwa
l aki ni muhi mu: Si er r a
Leone ilifunga maabara
ya Marekani ya silaha za
viumbehai na kuzuia Chuo
Kikuu cha Tulane kuendelea
na majaribio.
Dunia inahitaji kuchukua
tahadhari. Waafrika wote,
Wa ma r e k a n i , Ul a y a ,
Mashariki ya Kati, Waasia,
na watu kutoka maeneo
yote katika sayari ya Dunia
wanataki wa kushangaa.
Wat u wa Af r i ka, hasa
wananchi wa Liberia, Guinea
na Sierra Leone wanatumiwa
na kufa kila siku. Wasikilize
wa t u wa s i o z i a mi n i
hospitali, ambao hawawezi
kusalimiana kwa kupeana
mikono, kukumbatia nasaba
na marafki zao. Watu wasio
na hat i a wanakuf a, na
wanahitaji msaada wetu. Nchi
hizi ni maskini na haziwezi
kununua vifaa maalum vya
kuj i ki nga ambavyo hal i
halisi inahitaji. Hatari ni ya
kweli,, na ni kubwa zaidi
kuliko nchi kadhaa za Afrika.
Changamoto ni ya dunia
nzima, na tunaomba msaada
kutoka kila mahali, ikiwemo
China, Japan, Australia,
India, Ujerumani, Italia na
hata watu wenye huruma
nchini Marekani, Ufaransa,
Uingereza, Russia, Korea,
Saudi Arabia na kokote
kwi ngi ne ambako azma
yao ni kusaidia. Hali ni
mbaya kuliko sisi tulio nje
tunavyoweza kufikiria, na
ni lazima tutoe misaada kwa
kiwango tunachoweza.
Kuhaki ki sha hal i ya
baadaye isiyo na ina hii ya
matukio, ni muhimu kutaka
sasa kuwa viongozi wetu
na serikali wawe wakweli,
wawazi , wenye haki na
kuhusika kwa njia chanya
ipasavyo. Lazima wajibu kilio
cha watu. Tafadhali simama
na kuzuia haya majaribio ya
Ebola na kuenea kwa gonjwa
hili la kutisha.
Asanteni sana.
Wakatabahu,
Dk. Cyril E. Broderick, Sr
(Kuhusu mwandishi:
Dk. Broderick ni Profesa
wa zamani wa Mifumo ya
Mimea katika Chuo cha
Ki l i mo na Mi si t u cha
Chuo Kikuu cha Liberia.
Amekuwa akiandika safu
ya mausala ya kilimo katika
gazeti la Observer katika
miaka ya 1980. Ilikuwa
ni katika safu hiyo katika
gazeti letu la Daily Observer
a mba ko ka mpuni ya
Firestone (yenye miradi
mikubwa nchini Liberia)
i l i mgundua na kumpa
nafasi ya kuwa Mkurugenzi
wa Utafti kuelekea mwisho
wa miaka ya 1980. Na zaidi,
ni mwanasayansi, ambaye
amefundisha kwa miaka
mingi katika Chuo cha
Kilimo cha Chuo Kikuu cha
Delawere.)
16
AN-NUUR
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
DHUL-HIJJA 1435, IJUMAA OKTOBA 24-30, 2014
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
SHEI KH Ms e l e m
A l l y M s e l e m ,
amesema udhai f u
wa afya yake akiwa
gerezani unatokana
na kusumbuliwa na
maleria na kipigo cha
Polisi alipokamatwa.
Amesisitiza kuwa
hakupat a madhara
yoyote akiwa gerezani
isipokuwa ni kutokana
na kipigo cha polisi na
homa aliyoingia nayo.
K w a u p a n d e
mwingine amesema
kuwa haoni kuwa ana
kosa bal i hupi gwa
propaganda tu wakati
uhakika wa mambo
ni msi mamo wake
na wenzake kupinga
mfumo wa muungano
uliopo.
Z a i d i a k a s e ma
kuwa, ni j ambo l a
kusikitisha kuwa kuna
watu wanapalilia na
kupigia chapuo kitisho
cha ugaidi usiokuwepo
nchini bila ya kujua
madhara yake.
Mwanazuoni huyo
wa Dini ya Kiislamu,
ame t oa uf af anuzi
huo baada ya wi ki
iliyopita kushindwa
kufika Mahakamani
na kuel ezwa kuwa
alipoteza fahamu akiwa
gerezani.
Sheikh Mselem alitoa
maelezo hayo Oktoba
18, 2014, mbel e ya
Kamati ya Maafa ya
Shura ya Maimam (T),
iliyolazimika kufika
gerezani hapo ili kujua
hali yake kiundani zaidi
pamoja na Waislamu
wengi ne 20, wal i o
ma ha bus u ka t i ka
gereza la Segerea, Jijini
Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Katibu
wa kamati hiyo, Ust.
Ally Mbaruku Seboy,
al i sema wameweza
Mselem aliumizwa na Polisi
Asisitiza kosa lao ni kukataa muungano wa 2
Wanapakwa matope jamii iwachukie
Alia na wanaopalilia ugaidi, hao ndio maadui
Na Bakari Mwakangwale
kuonana na Shei kh
Mselem, na kuongea
nae baada ya kufuata
taratibu za Magereza
na kupat i wa ki bal i
maalum, Jumamosi ya
wiki iliyopita.
Us t . Mb a r u k u ,
alisema, Sheikh Mselem,
amewael eza kuwa
alikuwa anasumbuliwa
na mal er i a, kabl a
ya kukamat wa na
alipokamatwa na Polisi
alipigwa sana jambo
ambalo limesababisha
udhaifu zaidi kiafya.
Al i s e ma , b a a da
ya kuingia gerezani,
al i pati wa mati babu
ya ma l e r i a , k wa
kupewa dozi ya Mseto,
mar a mbi l i l aki ni
haikusaidia na ndipo
alipobadilishiwa na
kupewa Qunini.
Alisema, kutokana
na mabadiliko hayo ya
dawa kutoka Mseto hadi
Qunini, yaliyofanywa
na Daktari wake, siku
ya kusikilizwa kwa kesi
yake Oktoba 15, 2014,
ilisababisha tatizo la
presha ya kushuka.
Hal i hi yo ndi yo
iliyosababisha Sheikh
Msel em, kuanguka
ghaf l a, hat a hi vyo
al i sema baada ya
kut okea hal i hi yo,
al i pat i wa mat i babu
chini ya uongozi wa
gereza na daktari wake
na hatimaye afya yake
ikarudi katika hali ya
kawaida.
Shei kh anaomba
ieleweke kuwa kipigo
na ma r a dhi ha y o
hakuyapata gerezani
bal i al i i ngi a humo
a ki wa mbovu wa
afya kwa maleria na
kipigo cha Polisi wakati
akikamatwa. Alisema
Ust. Mbaruku.
K w a u p a n d e
mwi ngi ne, Shei kh
Mselem, ameonyesha
ma s i k i t i k o y a k e
kwa jinsi kadhia yao
i n a v y o c h u k u l i wa
kwani amedai limejaa
proganda zai di ya
uhal i si a wa kadhi a
husika, na kupelekea
hata jamii kuwaweka
katika kundi baya.
Alisema, kosa lao
halielezwi wazi ambalo
ni kutumia haki yao ya
kikatiba ya kutoa maoni
yao, ambayo ni kukataa
mfumo wa Muungano
uliopo sasa na hilo sio
kosa bali ni kutumia
uhuru wa mtu kujieleza.
Hii ni siasa chafu
ambayo ni mchezo
m c h a f u k w a n i
unapanda mbegu mbaya
na kama i ki chepua
sijui itakuwaje, lakini
inatakiwa tuzibe ufa
tusije kupata kazi ya
kujenga ukuta, angalia
Somal i , Rwanda na
Siria. Alisema Ust.
Mbaruku, akimnukuu
Sheikh Mselem.
Katika hatua nyingine,
Ust. Mbaruku, ametoa
wito kwa Waislamu
kutoa ushirikiano wao
na michango katika
kuwasaidia Masheikh
ha o na Wa i s l a mu
wengine wanaokabiliwa
na tuhuma za ugaidi.
Al i s e ma , b a a da
ya kupata fursa ya
kwenda kuonana na
Wai sl amu hao pi a
wameweza kusi ki a
shi da na mat at i zo
yanayowakabili.
Alisema, siku hiyo
wa l i p o o n a n a n a
Waislamu hao walipewa
o r o d h a ya d a wa
zilizokuwa zinahitajika
a mb a z o z i l i k uwa
zinagharimu kiasi cha
Shilingi 59,000/-.
Al i ut a j a Ma s j i d
Rahma Makangi ra,
Namanga Msasani ,
k u wa wa l i we z a
kuchangia kiasi cha
pesa na kuwezesha
kununuliwa Dawa hizo
kwa ajili ya Waislamu
hao waliopo gerezani,
ambazo zilipelekwa
Jumatatu wiki hii.
Us t . Mb a r u k u ,
al i sema, J umanne,
wi k i h i i a l i we z a
kupeleka Misahafu,
mi t ano, vi t abu 10
Soksi jozi tatu, ikiwa
ni sehemu ya mahitajio
wal i yohi t aj i , hat a
hivyo alisema, alipewa
vyeti vya Waislamu
watatu vinavyohitaji
kununul i wa dawa
baada ya kuonana na
Daktari wa Gereza.
SHEIKH Msellem Ally Msellem (anayetabasamu katikati).

Вам также может понравиться

  • Annuur 1149
    Annuur 1149
    Документ16 страниц
    Annuur 1149
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1154
    Annuur 1154
    Документ16 страниц
    Annuur 1154
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1172 PDF
    Annuur 1172 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1172 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1161 PDF
    Annuur 1161 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1161 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1041
    Annuur 1041
    Документ12 страниц
    Annuur 1041
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1046
    Annuur 1046
    Документ12 страниц
    Annuur 1046
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1170
    Annuur 1170
    Документ20 страниц
    Annuur 1170
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kurunzi Unc
    Kurunzi Unc
    Документ5 страниц
    Kurunzi Unc
    KATANA MRIMA LABAN
    Оценок пока нет
  • Annuur 1112
    Annuur 1112
    Документ16 страниц
    Annuur 1112
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    Документ16 страниц
    Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Документ16 страниц
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1114
    Annuur 1114
    Документ16 страниц
    Annuur 1114
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Februari 3 - 9, 2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Februari 3 - 9, 2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Februari 3 - 9, 2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 114
    Annuur 114
    Документ12 страниц
    Annuur 114
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1151
    Annuur 1151
    Документ16 страниц
    Annuur 1151
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Taarifa Kwa Wananchi Na Vyombo Vya Habari Kuhusu Ugonjwa Wa Homa Ya Zika (Zika Virus)
    Taarifa Kwa Wananchi Na Vyombo Vya Habari Kuhusu Ugonjwa Wa Homa Ya Zika (Zika Virus)
    Документ5 страниц
    Taarifa Kwa Wananchi Na Vyombo Vya Habari Kuhusu Ugonjwa Wa Homa Ya Zika (Zika Virus)
    Evarist Chahali
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1035
    Annuur 1035
    Документ16 страниц
    Annuur 1035
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1059
    Annuur 1059
    Документ16 страниц
    Annuur 1059
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Riwaya Rosa Mistika. Matukio Ya Kujiua
    Riwaya Rosa Mistika. Matukio Ya Kujiua
    Документ17 страниц
    Riwaya Rosa Mistika. Matukio Ya Kujiua
    n.naiguta
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Saratani Ya Damu 2
    Saratani Ya Damu 2
    Документ4 страницы
    Saratani Ya Damu 2
    Aden Books and Stationery
    Оценок пока нет
  • Mtambo wa Mauti
    Mtambo wa Mauti
    От Everand
    Mtambo wa Mauti
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    От Everand
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Рейтинг: 4 из 5 звезд
    4/5 (24)
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Mmoja Wenu Ni Shetani
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    От Everand
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    Оценок пока нет
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    От Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Оценок пока нет
  • Wale ambao ni Wajinga
    Wale ambao ni Wajinga
    От Everand
    Wale ambao ni Wajinga
    Оценок пока нет
  • Wale wanaokushitaki
    Wale wanaokushitaki
    От Everand
    Wale wanaokushitaki
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Mapepo Na Namna ya Kuya shug hulikia
    Mapepo Na Namna ya Kuya shug hulikia
    От Everand
    Mapepo Na Namna ya Kuya shug hulikia
    Рейтинг: 1 из 5 звезд
    1/5 (1)
  • Mapepo Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo
    Mapepo Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo
    От Everand
    Mapepo Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Realse 28
    Press Realse 28
    Документ4 страницы
    Press Realse 28
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Release - Muungano Na Mazingira
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Документ4 страницы
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1215 PDF
    Annuur 1215 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1215 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Karume Shujaa
    Karume Shujaa
    Документ11 страниц
    Karume Shujaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Документ27 страниц
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1212
    Annuur 1212
    Документ20 страниц
    Annuur 1212
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет