Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
ORGANIZATION
MTAZAMO WA WANANCHI
KUHUSU USHIRIKI VIJANA KATIKA
SIASA NA
MATARAJIO KUELEKEA UCHAGUZI
MKUU 2015
Mwigulu
(27%)
Nchemba
January Makamba
(14%)
James
(11%)
Mbatia
Utangulizi
Nimeshuhudia miaka ya 1985 hadi 1995 ambapo mimi mtafiti 1 wa kazi hii;
nikiwa na uelewa kwa kiasi fulani, kuona watu waliokuja kugombea nyadhifa
mbali mbali za kisiasa, hususani ubunge walikuwa watumishi wa umma au
waajiriwa wenye umri wa miaka isiyopungua 50 na kuendelea, wakitumia
wasifu wa kazi zao kujitangaza na hata yale waliokwishafanyia wananchi
kupitia nyadhifa zao ili kupata kura na kuwatumikia wananchi. Wakati
mwingine, wagombea walikuwa wamekwisha kustaafu ndipo wakagombea
nyadhifa za kisiasa. Ilikuwa nadra sana, kukuta kijana ametoka shuleni au
chuo ama kuacha ajira yake na kuingia katika siasa kama mgombea.
Yawezekana hapakuwa na muamko, maslahi, ama hofu ya kushindwa, ama
wananchi kwa wakati ule hawakuwa na imani sana na kijana, na mambo
mengine kama hayo. Hii ilitokana na ukweli kwamba kila mwanasiasa
aliyetaka kugombea alikuja kumuona baba yangu 2 na kumuomba ushauri
kabla ya kujitangaza kijijini na hata katika kata yetu kwa ujumla. Japokuwa
sikuona kijana wa wa miaka 25 hadi 35 akitokea kugombea nyadhifa hizi,
inakuwa jambo la kushangaza ambalo ni suala la kumbukumbu tu ya
kihistoria kwamba Hayati Baba wa Taifa alikuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika
mwaka 1961 baada ya uhuru na Rais wa Tanganyika mwaka 1962. Hivyo,
akiwa na miaka 39 alikuwa waziri Mkuu na akiwa na miaka 40 alikuwa Rais
wa kwanza wa Tanganyika. Katika muonekano na uhalisia wa zama
tulizonazo, tunasema mwalimu ndiye mtu pekee aliyekuwa Rais akiwa
mdogo kuliko marais wote wane hadi kufikia sasa. Swali la msingi la
kujiuliza, je nini maoni ya wananchi kuhusu utendaji wa wanasiasa vijana na
Matarajio yao kwa vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 yakoje?
1.1
Kuhusu Tanzania
Jacob Daniel Kateri, born in 1978 witnessed politicians contesting coming to see my
father for an entry strategy, but I never saw youth in 1985 to 1995 as it is today.
2
Late Daniel S. Kateri (1932-2007) in his life-time having worked to his retirement as
civil servant was such a sage who with his wisdom made our home a landing hub for most
politicians who intended to contest for various political posts in Same district, ward and even
village.
Viti Maalumu Wanawake refers to special seats reserved for women in decision
making bodies.
uzalendo kwa Taifa wakiibua mambo makubwa ya kimaslahi kwa Taifa kwa
ujasiri mkubwa na umahiri.
Pia katika kipindi kifupi, tumeshuhudia vijana katika nyadhifa mbalimbali za
kisiasa, wakiwajibika pale ambapo wanahusika aidha moja kwa moja au hata
sio moja kwa moja, na hivyo kuachia nyadhifa zao kama sehemu ya
uwajibikaji. Katika hali hiyo, tumeona misimamo ya vijana hao na uaminifu
wao kwa vyama, serikali na hata kwa wananchi, huku wakipokea anguko za
kisiasa kwa ukomavu wa kisiasa kama sehemu ya uawjibikaji.
1.2
Kuhusu TEDRO
ICT & Media in Tanzania Education System: An Exploratory Study towards understanding
ICT & Media Threats among Urban Students in Tanzania (The study underway was granted
research permit from COSTECH on 28th April, 2014.
kukusanya maoni toka kwa wananchi ili kutathmini vijana walioingia katika
siasa kupitia uchaguzi Mkuu tangu mwaka 2000 hadi sasa.
TEDRO yenye makao yake Makuu Dar es Salaam, kwa kupitia utafiti huu
inawapa vijana walioko katika siasa fursa ya kujitathmini kupitia maoni ya
wananchi yaliyotolewa katika ripoti hii na hivyo kuweza kujiaandaa kwa
ufanisi zaidi wanapoelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Utafiti huu
unaojulikana kama Vijana katika Siasa Kuelekea Uchaguzi Mkuu
2015 ni kichocheo muhimu katika kuwafanya vijana na hata wanasiasa
wengine kuwa makini katika siasa na kuelewa kuwa, katika utendaji mzuri
wenye kuwatumikia watu, siasa yaweza kuwa nyenzo muhimu katika kutatua
changamoto za kimaendeleo katika Taifa letu.
Ni wazi kwamba vijana wamekuwa na msukumo mdogo sana kushiriki katika
kupiga kura, na hata kuomba kupigiwa kura kama wagombea, jambo
linaloweza kuwa na ushawishi hasi kwa jamii nzima. Likiwa ni kundi
linalopenda mabadiliko kama ilivyo popote duniani, vijana wanakuwa na
mwamko mkubwa pale wanapoona kijana mwenzao, wa rika lao, wa
mazingira yao, ajuaye shida zao anagombea kwa nafasi ya kuchaguliwa. Kwa
tathmini ya muonekano kupitia uchaguzi wa serikali za Mtaa, maeneo mengi
vijana wamejitokeza kwa wingi kupiga kura na hata kugombea. Yawezekana,
vijana wamejitokeza aidha kwa sababu wagombea waliokuwepo ni vijana pia,
au vijana wamegombea zaidi kwa sababu wapiga kura vijana
wameongezeka, au elimu ya uraia imetolewa vya kutosha.
1.3
1.4
i.
iv.
1.5
ii.
iii.
i.
ii.
iii.
iv.
2.
2.1
www.fes-tanzania.orgnational-activitiesyoung-leaders-training-programme.html translated.
hufuata umri katika uongozi na kutotoa fursa kwa vijana kuwa viongozi (Ellis,
2007).
Vikwazo katika ushiriki wa kijana ni pamoja na umri wa kikatiba katika kupiga
kura au kugombea nafasi za kisiasa. Umri wa kupiga kura kwa nchi ya
Tanzania huanzia miaka 18, wakati nchi a Amerika ya kusini ni miaka 16,
wakati Indonesia na Korea ni miaka 17, Cameroon na Japan miaka 20, Cote
DVore, Gabon, Singapore, UAE na Pakistan ni miaka 21. Ila umri wa kupiga
kura kwa Africa ni kama Tanzania ambao wastani wake pote ni miaka 18.
Hakuna tafiti zilizotoa angalizo au pingamizi la umri endapo, kuwaacha vijana
hadi miaka 18 ndio waanze kushiriki kupiga kura ni chanzo cha wao hata pale
umri unapofika huacha kushiriki ama vinginevyo (UNICEF & United Nations
Programme on Youth, 2011).
Imethibitika kwamba demokrasia ya zama hizi zenye kuwahusisha kwa kiasi
kikubwa vijana katika mchakato wa siasa ni jambo la msingi. Ushiriki wa
kundi la vijana hufanya zile tunu msingi za kidemokrasia zionyeshe uhai
wake na hivyo kuzuia utawala usio na kikomo kudumu katika siasa za leo na
hata baadae.
Andiko lililofanywa na shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP
(2011) limeweka wazi dhamira ya dhati iliyo nayo jumuiya ya kimataifa
katika kutambua umuhimu wa vijana katika siasa, kwa kuzingatia kwamba
vijana ni chachu ya mabadiliko, kama ilivyo katika kanuni za Umoja wa
Mataifa.6
Katika andiko la mwanazuoni nguli wa zama za leo, hayati Chachage (2005),
amejadili mtazamo wa tafsiri ya wanasayansi ya jamii kuhusu kuibuka na
kushamiri kwa muamko wa vijana katika siasa ikiwa ni pamoja na mapungufu
ya watangulizi katika kutimiza mahitaji ya jamii husika. Wengine wakienda
mbali zaidi na kusema ni ishara ya vijana kutoridhika na hali iliyopo au ilivyo
kwa wakati husika; na hivyo shauku na muamko wa vijana ni tamaa ya
kutaka kufanya vizuri zaidi ama tofauti kwa maslahi na matakwa ya kizazi
cha vijana. Iwe iwavyo, tafsiri inabaki kuwa msukumo wa vijana hautokani na
kingine chochote, bali shauku ya mabadiliko, yote yakiwa ni msukumo
utokanao na mabadiliko yatokeayo kwinginepo duniani (Chachage, 2005).
Pia upo mtazamo kuwa, msukumo wa vijana unatokana na mfumo wa
kidesturi kushindwa kutimiza matakwa ya kizazi na jamii ya sasa; ikiwa ni
pamoja na ongezeko la uelewa wa haki na wajibu wa kiraia alionao kijana
6
The UN has long recognized that Youth are major human resources for development and
key agents for social change, economic growth and technological innovation.
Traditional thinking that Vijana ni taifa la kesho translated to Youth are the nation of
tomorrow
8
After 1980s youth contests led to rethinking that Vijana ni taifa la leo translated to Youth
are the nation of today
9
Frantz Fanon once contended, each generation must out of necessity, discover its mission,
fulfill it, or betray it.
10
American President Barack Obama remarks at the US-Africn Leaders Summit that focused
on, Investing in Africas Future
10
3.
3.1
Utangulizi
3.2
11
Koffi Annan, once said that No one is born a good citizen, no nation is born democratic.
Rather both are processes that continue to evolve over a lifetime. Young people must be
included, since the society that custs itself off from its youth servers, is condemned to bleed
to death
12
UNDP (2012), Enhancing Youth Political Participation throughout Electoral Circle, A Good
Practice Guide.
13
Youth should be given a chance to take an active part in the decision making at local
national and global levels said, Ban Ki-moon.
11
Kanda
Wilaya/
majimbo
Uchaguzi
Mashariki na Pwani
Kusini
Kanda ya Kaskazini
Tanga Mjini,
Arumeru
Kanda ya Ziwa
Bukoba Vijijini,
Nyamagana
Jumla
Wilaya 18 Tanzania
IDADI
YA
WALIOHOJIWA
3.3
Moshi
ya Vijiji
Vijijini
&
Biharamulo
&
WAANCHI
Vijiji 54 Tanzania
WANANCHI 910
12
3.4
Kama ilivyo kwa tafiti zinginezo, utafiti huu uliandaliwa na andiko lake
limekabidhiwa kwa Tume ya Sayansi na Teknolojia, ambayo ndio mamlaka
yenye dhamana ya kutoa ruhusa ili utafiti kufanyika. Pia utafiti huu
umehusisha kujitambulisha kwa watafiti wa TEDRO katika mamlaka za
kiutawala mikoani na wilayani. Mara nyingi, watafiti walipeleka barua ya
utambulisho kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa kila wilaya iliyohusika, na wakati
mwingine barua ya utambulisho ilianzia kwa Katibu Tawala wa Mkoa (RAS),
Wilaya (DAS) nas kwa Mkurugenzi (DED).
Baadhi ya Wilaya watafiti walipatiwa barua za ruhusa na baadhi ya wilaya
ambapo walichelewa kutoa ruhusa, watafiti waliendelea kukusanya taarifa,
hasa pale ilipotokea kuwa wanagharamika wilayani kwa siku zaidi ya mbili
bila kufanya kazi tangu wafikishe barua wilayani, na kulazimika kutumia
nakala ya barua ya Utambulisho kutoka TEDRO kukusanya taarifa; na pale
ilipotokea kuwa ruhusa haikutolewa ofisi ilishauri waende wilaya walizotoa
ruhusa kufanikisha zoezi la utafiti kwa wakati na kwa gharama iliyokuwa
katika uwezo wa ofisi yetu. Kwa sababu za kiitifaki na urasimu katika
kufuatilia ruhusa, utafiti huu uliotarajiwa kuhusisha wilaya 24 hapo awali kwa
sampuli ya vijiji 72 na wahojiwa 1,080, hatimaye ni asilimia 84.2% maeneo
yaliyotarajiwa yaliweza kufikiwa.
Kila watafiti walipoenda kukusanya taarifa walijitambulisha kwa mhojiwa
ambaye alikuwa mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi,
waliyemkuta katika kaya, maeneo ya kazi na hata katika biashara na kuomba
kufanya mazungumzo naye yanayohusu vijana na ajira, hususani wale
walioko katika siasa tayari ama wagombea watarajiwa.
Kaya ilitambulika pale ambapo kijiji au mtaa husika uliweza kufahamika
sehemu ya huduma muhimu kwa umma kama hospitali, shule ama kitua cha
magari au soko, wakati mwingine njia panda na hata makutano ya barabara
yalitumika ili kupata sehemu ya kuanzia. Mtafiti wa TEDRO alitumia eneo hili
kama sehemu ya kuanzia huku akihesabu nyumba tano kwenda pande kuu
tatu kufuatia mahali alipofikia palivyo. Kila kaya alipohoji, aliruka kaya tatu
na kuchukua kaya ya nne kwa kila upande hadi kukamilisha idadi ya
wahojiwa. Mambo yaliyozingatiwa ni jinsia ya mhojiwa na umri kwa maana
13
pana ya motto wa kike ama wa kiume kwenye miaka 18 katika kaya, mzazi
wa kiume au mzazi wa kike. Makundi yalizingatiwa kila mtafiti alipotoka kaya
moja kwenda nyingine.
Watafiti waliaswa na kusimamiwa ili kuhakikisha wanakusanya taarifa za
kweli ili kufanya utafiti huu uakisi ukweli wa kimtazamo wa wananchi
waliohojiwa na kuufanya kuwa andiko lenye kuweza kufanyiwa rejea wakati
wa kufanya tathmini za kisiasa na hata kuwezesha kundi la vijana wanasiasa
kutumia utafiti huu kujifunza na kujitathmini wanapojiandaa kushiriki
uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Angalizo lingine kwa watafiti lilikuwa ni
kuhakikisha wanakwepa makundi yenye ushawishi wa ghasia na ushabiki wa
kisiasa ili kuwaepusha na vurugu pale ambapo hakuna uvumilivu wa kisiasa
ama maeneo yenye migogoro yenye kutafsiriwa kuwa ya kisiasa. Haya yote
yalizingatiwa hadi hatua ya ukusanyaji taarifa ikakamilika bila kupokea
taarifa za uvunjifu wa amani maeneo taarifa zilipokusanywa.
3.5
14
14
4.
Matokeo ya Utafiti
4.1
(i)
15
(ii)
(iii)
Hali ya ndoa nayo imepewa uzito katika kukusanya taarifa binafsi maana
ushiriki katika siasa na mambo ya kijamii kuna uhusiano wa karibu sana na
hali ya ndoa ya mhojiwa. Katika utafiti huu, wahojiwa ambao hawajaoa au
kuolewa ni 37% na waliooa/olewa ni 51% huku makundi mengine yakiwa ni
12% ambayo ni yale ya mzazi mmoja, watalaka na wajane.
(iv)
(v)
Sababu
Asilimia
1.
16%
2.
48%
3.
6%
4.
17%
5.
8%
17
chake
6.
13%
9.
7%
10
.
10%
11
.
2%
12
.
6%
13
.
16%
Sababu
Asilimia
1.
23%
2.
3%
3.
32%
4.
Aliyekuwepo
mwenyewe
aachie
6%
5.
7%
6.
24%
9.
26%
ni
mzee
na
anakubalika
18
sana
hadi
nafasi yake
10
.
Kuibiwa kura
4%
11
.
13%
12
.
6%
13
.
11%
19
4.2.5 Sababu za Vijana kuingia katika siasa kwa nafasi za Uchaguzi Mkuu
Utafiti huu uliweka sababu mbalimbali zinazoweza kuwa kichocheo cha vijana
kuingia katika siasa. Sababu kadhaa zimechukua uzito, hasa pale ambapo wananchi
aliohojiwa kuzikubali kuwa zimechangia vijana kuingia katika siasa. Sababu
zilizopewa nafasi kubwa na asilimia zake ni uzalendo 67%, kimbilio baada ya kukosa
ajira 57%, uwezo mdogo wa watangulizi wao katika nafasi husika 60%, mafanikio ya
wanasiasa vijana walio mahiri 72%, vyma vya siasa kuwapa vijana nafasi katika
vyama vyao 59%, kukubalika kwa vijana tu sababu ni vijana 63%. Matokeo haya
yameonyeshwa katika jedwali linalofuata chini:
Na
.
Sababu
Asilimia
Ndio
Hapan
a
Uzalendo
67%
33%
Uchu wa madaraka
37%
63%
43%
57%
50%
50%
60%
40%
72%
28%
59%
41%
47%
53%
63%
37%
10
33%
67%
4.5
linaelezea sababu za kurejea na kutorejea kwa wanasiasa vijana katika nafasi zao.
Kwa upande wa udiwani sababu kuu zilizopelekea 21% kupendekeza kuwa
watarejea katika nafasi zao hutokana na kujituma, kutekeleza ahadi zao na kuwa na
uongozi shirikishi katika kutoa taarifa za maendeleo kwa wananchi. Kwa upande wa
ubunge, 62% waliosema watarejea katika nafasi zao uchaguzi mkuu ujao wametoa
sababu kuwa wanapigania wananchi, maslahi ya taifa na harakati zao zinaonekana
bungeni katika sakata za ufisadi ikiwamo Richmond na Escrow.
Pale ambapo 33% ya wananchi wamesema kuwa viongozi vijana wanasiasa
hawatarejea katika nafasi ya udiwani tena wametoa sababu kuwa ni
kutowashirikisha wananchi taarifa za maendeleo, kuwepo wagombea wanaokubalika
zaidi watakaogombea uchaguzi mkuu wa 2015 na pia hali ngumu ya maisha walio
nayo madiwani kwa kuishi kwa posho na sio mishahara yenye tija ukilinganisha na
wabunge. Kwa upande wa maoni toka kwa 4% ya wananchi kuwa wabunge vijana
hawatorejea nafasi zao, sababu ni kwamba hawajatimiza ahadi zao kwa wananchi
walizozitaja kuwa ni barabara za vijijini, huduma za maji afya na ajira kwa vijana.
22
23
28