Вы находитесь на странице: 1из 20

Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu

Sauti ya Waislamu

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

ISSN 0856 - 3861 Na. 1167 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 6-12, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

(1) KAMILISHA NGUZO ZA DINI YAKO!


Ewe Muislamu, Hija ni nguzo ya Dini;
mwenye kuisimamisha amesimamisha
Dini. Thibitisha Uislamu wako kwa vitendo
upate radhi za Mola wako! Bila kuhiji
hujawa Muislamu kamili. Mali inaongezeka
kwa kuhiji, haipungui! Muda unakwisha
Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra
ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu
Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na
uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0765462022;0782804480; 0717224437.

Piganieni haki zenu Bungeni


Sio barabarani na Mwembeyanga tu

Pamoja na
fitna ya Sitta...

Zanzibar inabeba lawama kubwa

PICHA juu, Spika Anna


Makinda alipotembelea
Oman mwaka jana 2014.
Picha chini Marehemu
Salmin Awadh Salmin.
Uk. 8 na 20.

Hata hili tuseme Eemen!

HATA hili? Tuseme


Eemen!
Ndivyo anavyouliza
mwendesha kipindi
katika televisheni.
Anauliza swali hilo
akichambua mahubiri
ya Askofu David Olaniyi
Oyedepo wa Kanisa la
Living Faith Church
W o r l d Wi d e , a k i d a i
kuwa yeye ni Mtume
wa Mungu aliyepewa
agizo la kupambana na
mashetani wa Kiislamu.
Soma Uk. 6

Askofu Olaniyi Oyedepo.

Tahariri/Makala
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Wahitimu mafunzo JKT


wawe funzo kwa serikali

KATIKA siku za hivi


karibuni, vyombo
mbalimbali vya habari
nchini viliripoti kuhusu
mkasa wa vijana
waliohitimu mafunzo ya
Jeshi la Kujenga Taifa
( JKT), ambao walitaka
kufanya maandamano
ya siku tatu mfululizo
jijini Dar es Salaam,
k ushi ni ki za kuo nana
na Rais Jakaya Kikwete
na kumweleza matatizo
yao wanayowakabili ya
ukosefu wa ajira baada ya
kufuzu mafunzo yao.
Februali 15 mwaka huu,
wahitimu hao walifanya
mkutano wao kule
Msimbazi Centre, jijini
Dar es Salaam ambapo
Mwenyekiti wao, George
Mgoba, alisema kuwa kwa
muda mrefu wamekuwa
wakiomba kukutana na
Rais Kikwete, ili kupata
fursa ya kumpasha
habari kuhusu matatizo
wanayowakabili likiwemo
la kukosa ajira baada ya
kuhitimu mafunzo, lakini
wakiishia kupewa ahadi
za uongo na Katibu Mkuu
wa Rais.
Kutokana na kukosa
nafasi ya kuonana na
Rais Kikwete kwa njia
ya kiungwana, wakafikia
kutumia njia nyingine ya
shinikizo la kidemokrasia,
ili kujaribu kushinikiza
kuonana na mkuu huyo
wa kaya.
Paral Kiwango ambaye
alikuwa ndiye Makamu
Mwenyekiti wa vijana
hao, alisema suala la wao
kupatiwa ajira linaonekana
kuwa na upendeleo kwani
wenzao wa upande
wa Zanzibar, wote
waliomaliza mafunzo ya
JKT wanapatiwa ajira lakini
huku bara wameachwa tu.
Kimsingi tukio hili licha
ya kwamba limetokea siku
za nyuma kidogo, lakini
kwa kiasi fulani limegusa
hisia za Watanzania wengi.
Pia limezua hofu kwamba,
kama vijana wenye
mafunzo ya kijeshi, ambao
wa m eh it i m u m afu n zo
na wakawa na matarajio
au mawazo kwamba

wakihitimu watapatiwa
ajira na serikali, halafu
wakaikosa, ni wazi
kwamba raia wataingiwa
na hofu iwapo vijana hawa
watatumia mafunzo yao
kinyume na makusudio
yake. Na hatima yake
haiwezi kuwa nzuri hasa
ikizingatiwa kwamba idadi
ya vijana wanaomaliza
mafunzo hayo ya JKT ni
wengi na huzalishwa kila
mwaka.
Kwa mtazamo wetu, sisi
hatukatai hoja zilizotolewa
na vijana wetu hawa, wala
hatutaki kuwa mawakala
wa kuitetea serikali katika
sakata hili linalohusu
mustakabali wa vijana wetu
wengi tu, achilia mbali
wahitimu wa mafunzo
JKT, ambao wamekuwa
majeruhi wa kukosa ajira
hapa nchini.
Ni jambo linalofahamika
kwamba ni wajibu wa
serikali kuhakikisha
kwamba inaboresha
mazingira ya maisha ya
watu wake, likiwemo suala
la kuzalisha ajira kwa
watu wake au kuboresha
mazingira ya watu kujiajiri.
Tunakumbuka baadhi
ya ahadi za Rais Jakaya
Kikwete, wakati anawania
nafasi ya kutuongoza tangu
awamu ya yake ya kwanza
ilikuwa ni kuongeza soko
la ajira nchini. Hata hivyo,
bado tunashuhudia soko
dogo la ajira nchini, huku
R a i s we t u a k i b a k i wa
na muda mchache wa
kuhitimisha kipindi chake
cha uongozi wake.
Hutokea Jeshi la Polisi,
au Idara ya Usalama wa
Taifa au hata JWTZ na
M a g e r e z a wa k a h i t a j i
kuajiri watu, basi ni vyema
wahusika katika majeshi
hayo wakawachukua
kutoka kwa vijana
waliohitimu mafunzo ya
JKT na kuwaajiri katika
majeshi hayo. Bila shaka
wa t a f a n ya h i v y o k wa
kuwaingiza kwanza
katika vyuo vya mafunzo
zaidi vya majeshi hayo na
kuwaajiri kulingana na
matakwa ya jeshi husika.
Tunafahamu kwamba

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

n i v i g u m u k u wa a j i r i
wahitimu wote wa JKT.
Lakini ni vyema ukajengwa
utamaduni wa kuwapa
kwanza kipaumbele vijana
wanaohitimu mfunzo ya
JKT, kuliko kukimbilia
mitaani kusaka vijana
waliomaliza kidato cha
nne, sita na vyuo bila
kupituia JKT.
Na hapa ndipo ambako
wahitimu wa JKT
wangesimamia. Kwamba
wamehitimu na uwepo
utaratibu unaozingatiwa
na kufuatwa, kwamba
zikitokea ajira za majeshi,
basi wahitimu mafunzo ya
JKT wapewe kipaumbele.
Lakini kwa kutaka kila
anayehitimu, basi serikali
inalazimika kumpatia ajira

iwe ni jeshini au mahali


pengine, hilo kimsingi
haliwezekani.
Lakini moja la msingi
tuliseme hapa kwamba,
m o j a ya m a l e n g o ya
kurejeshwa mafunzo ya
JKT kwa vijana wetu ni
kujaribu kujenga kizazi
c h a wa t u wa z a l e n d o ,
wakakamavu na wachapa
kazi katika Taifa, hasa
katika umri wa ujana
ambao ndio unaotegemewa
kwa nguvu kazi ya Taifa.
Lakini pia mafunzo
ya JKT kwa vijana
wetu, huwasaidia kuwa
wabunifu wa ajira, hasa
ikizingatiwa kuwa huko
JKT, hufunzwa kujitemegea
kwa kufundishwa
stadi mbalimbali za

maisha, ujasiria mali,


ujuzi mbalimbali, ili
wa t a k a f u z u m a f u n z o ,
kirejea uraiani wawe na
ujasiri wa kubuni ajira
zao na kujiajiri. Na kubwa
zaidi, kuwa wazalendo.
Kuwa Watanzania, na sio
wa kabila/dini fulani au
tabaka fulani. Hayo ndiyo
malengo makuu ya vijana
wetu kwenda mafunzo ya
JKT.
Sasa kama vijana hawa
wahitimu wa JKT, wanalilia
ajira na wanafikia mahali
pa kutaka kuandamana
kushinikiza waambiwe
ajira zao ziko wapi, hapana
shaka hizo ni salamu kuwa
mafunzo wanayopewa,
kwa maana ya mtaala
unaotumika kuwafunda
wakiwa katika kambi za
JKT, utizamwe upya.

SHUKRANI zote anastahiki


Mwenyezi Mungu, Mola
mlezi wa viumbe vyote na
tunamtakia zawadi ya rehema
na amani zimfikie bwana wa
Manabii na Mitume, Bwana
wetu Muhamad na jamaa
zake na Sahaba zake na
wale wote wenye mwisho.
E we M we n ye z i M u n gu
t u f u n d i s h e ya l e ye n ye
manufaa na utunufaishe
kwa yale tuliojifunza na
utuongeze elimu na utupe
ujuzi wa dini, Mwenyezi
Mungu tukubalie.
Baada ya utangulizi huo
mfupi, Uislamu umepangilia
mahusiano ya kibinadamu
katika dunia hii na kufanya
m a h u s i a n o h a y o n i ya
aina mbili, mahusiano kati
ya mtu na Mungu wake,
nayo ni kumuabudu Mola
wake mlezi peke yake na
bila ya kumshirikisha na
kitu chochote. Mahusiano
kati ya viumbe sisi kwa sisi
na Uislamu umehimiza na
kuushughulikia uhusiano
kati ya mtoto na wazazi wake
wawili.
Laiti tukiiangalia Qurani
tukufu tungeona sehemu
nyingi zilivyojipanga juu ya
mahusiano ya kibinadamu
na kuyafanya mahusiano
ya mwanzo kabisa ni

kati ya mja na Mola wake


mlezi. Kisha anataja hapo
hapo mahusiano ya wazazi
wawili kama ilivyokuja
katika Surat Nisai, inasema
Mwenyezi Mungu mtukufu
Na muabuduni Mwenyezi
Mungu wala msimshirikishe
na chochote, na wafanyieni
wema wazazi wawili na jamaa
na mayatima na masikini na
jirani wa karibu na jirani wa
mbali na rafiki wa ubavuni na
mpita njia na walio milikiwa
na mikono yenu ya kulia,
hakika Mwenyezi Mungu
hawapendi wenye kiburi
wanao jifaharisha. Surat
Nisai aya ya (36).
Na katika Surat Al-an-aami
(151), amesema Mwenyezi
Mungu Mtukufu, Sema
njooni nikusomeeni aliyo
kuharamishieni Mola wenu,
nayo ni kuwa msimshirikishe
yeye na chochote na wazazi
wenu wafanyieni wema, wala
msiwaue watoto wenu kwa
sababu ya umasikini, sisi
tunakuruzukuni nyinyi na
wao wala msikaribie mambo
machafu yanayoonekana na
yanayofichikana, wala msiue
nafsi ambayo Mwenyezi
Mungu ameiharamisha
kuiuwa ila ikiwa kwa haki
hayo amekuusieni ili myatie
akilini.
Na katika Surat alIsrai amesema Mwenyezi
Mungu Mtukufu Na Mola
wako mlezi ameamrisha
kuwa msimuabudu yeyote
isipokuwa yeye tu na wazazi
wawili muwatendee wema,
mmoja wao akifikia uzee
naye yuko kwako au wote
wawili usiwakemee na sema
nao maneno mazuri (Israi,
aya ya 23).
Na katika aya hizi tukufu
na nyinginezo, tunafahamu
kwamba kuwatii zawazi
wawili na kuwafanyia ihsani
na wema na kuishi nao vizuri
ni muhimu sana kuliko

wajibu mwingine wowote


mwengine. Na haya ndio
mahusiano ya mwanzo kabisa
kuliko hata mahusiano ya
mtu mwingine katika maisha
haya ya dunia, na sisi tunajua
mambo yaliyopo katika jihadi
ya Mwenyezi Mungu.
Kutoka na daraja ya juu
katika Uislam na ina ubora
kiasi gani na pamoja na
yote hayo, lakini kuwatii
wazazi wawili ni bora sana
kuliko jihadi na hasa pale
wanapokuwa wazazi hao
h a wa n a m t u ye y o t e wa
kuwahudumia, isipokuwa
mtoto huyo huyo wa pekee.
Toka kwa Abdallah bin
Masoud (ra) amesema,
Nilimuuliza Mtume (saw) ni
amali gani anayoipenda sana
Mwenyezi Mungu? Akasema,
K u swa l i k a t i k a wa k a t i
wake,. Nikasema kisha nini?,
Akasema Kuwafanyia wema
wazazi wawili. Nikasema
kisha nini? Akasema jihadi
katika dini ya Mwenyezi
Mungu.
Ameipokea Imamu
Bukhari, akasema Mtume
(saw) kwamba, kuwatii wazazi
wawili ni bora baada ya swala
ya faradhi, ambayo ndiyo
mahusiano kati ya binadamu
na Mola wake mlezi, nayo
ni nguzo muhimu katika
Uislamu na akapangilia hayo
kwa neno kisha ambalo
humaanisha juu ya utaratibu
na akaitanguliza twaa ya
wazazi wawili kwanza kabla
ya jihadi katika dini ya
Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Na alikuja mtu mmoja
kwa Mtume (saw) akasema,
Ninachukua ahadi juu ya
kuhama na jihadi, ninahitaji
malipo toka kwa Mwenyezi
Mungu, akasema Mtume
(saw), Je unao wazazi wawili
au mmoja wapo yupo hai,?
Akasema ndiyo bali wote

Kuwatii wazazi wawili ni muhimu


kuliko jihadi katika dini

Inaendelea uk. 4

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Piganieni haki zenu Bungeni


Na Bakari Mwakangwale

W A I S L A M U
wametakiwa kuweka
msingi wa kupata
haki zao sawa na
wananchi wengine
kwa kuhakikisha kuwa
kwanza wanapata nafasi
yao katika serikali za
mitaa na bungeni.
Pamoja na njia
na
mihadhara,
makongamano na
maandamano kupaza
sauti kunadi madai
yao, lakini wametakiwa
kuhakikisha kuwa
wanajishughulisha na
siasa za nchi kwani
kutokuwepo kwao katika
nafasi za maamuzi,
i n a we z a k u wa m o j a
ya sababu kubwa
inayofanya kilio chao
katika makongamano
kisifike mbali.
Wito huo umetolewa
na Ustadhi Said Ayoub,
akiongea na Waislamu
Ijumaa ya wiki iliyopita
katika Msikiti wa Tungi,
Temeke Jijini Dar es
Salaam.
Ustadh Ayoub
amesema, siasa ni njia
mojawapo ya ufumbuzi
wa matatizo yanayo
ikabili jamii yoyote,
hivyo Waislamu hawana
budi kurejea katika Siasa
kwani inaweza kuwa
n i n j i a m b a d a l a ya
ufumbuzi wa matatizo
yanayowakabili kwa
miaka mingi.
Ust. Ayoub, alisema
kuwa kabla ya Uhuru
Wa i s la m u wal i ku wa
mstari wa mbele katika
harakati za Siasa
kwa kudai Uhuru wa
Tanganyika, hata hivyo
walijikuta wanawekwa
kando baada ya
kupatikana Uhuru.
Alisema, inadaiwa
k u wa Wa i s l a m u
hawakuwa na elimu
ya kuingia Serikalini
na kushika nyadhifa za
kisisa hivyo kumlazimu
Rais Julias Nyerere,
kuwajaza watu wa imani
yake ambao walikuja
kuwabagua Waislamu.

Ust. Ayoub alisema


kwa sasa hakuna
kisingizio cha elimu, bali
ni juhudi za Waislamu
wenyewe zinatakiwa.
Alisema, uwepo wa
kundi moja kuhodhi
nafasi katika vyombo
vya maamuzi, hakuna
namna ambavyo
unaweza kutarajia
kutendeka haki.
Ili kupata haki
kwa makundi yote ni
kuhakikisha makundi
h a y o ya n a k u wa n a
uwakilishi sawa kuanzia
ngazi ya Mtaa, Bunge
na hata katika Serikali
Kuu. Alisema Ust.
Ayoub.
Wa k a t i h u o h u o ,
Waislamu wametakiwa
kujitokeza kwa
wingi katika zoezi la
kujiandikisha katika
daftari la wapiga kura.
Hayo yameelezwa na
kiongozi mwandamizi
wa Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu, Sheikh Juma
Ramadhani, akiongea
na An nuur, kufuatia
m a d a i k u wa p o k wa
viongozi wa Dini na
Siasa wanaowapotosha
wananchi kuhusu
ushiriki
wao
ama
kuwataka
kutojiandikisha katika
daftari la wapiga kura
kwa lengo la kususia
Katiba mpya.
Sheikh Ramadhani
amesema viongozi
wa Jumuiya na Taasisi
za K i i sl amu n ch in i,
wanawahimiza
Wa i s l a m u w o t e
kujiandikisha kwa
wingi katika daftari
hilo wakilenga maeneo
mawili muhimu yaliyo
mbele yao.
A l i ya t a j a m a e n e o
hayo kuwa ni kushiriki
katika zoezi la kuchagua
viongozi katika uchaguzi
wa Madiwani, Wabunge
na Rais, lakini pili ni
kubakia na msimamo
wao wa kupiga kura
ya hap ana kuikat aa
Katiba mpya, kutokana
na Mahakama ya Kadhi

k u t o k u we m o k a t i k a
Katiba mpya.
Huenda viongozi
wa kuu wa Serikali
wanapewa taarifa zisizo
sahihi kuhusu Waislamu
na msimamo wao wa
ushiriki katika kura ya
maoni, ukweli ni kwamba
Waislamu hawatogomea
kujiandikisha katika hilo
daftari.
M s i m a m o wa o n i
kupiga kura ya hapana

siku hiyo itakapofika,


k wa k u wa s u a l a l a
Mahakama ya Kadhi
halimo katika Katiba
pendekezwa.
Alisema, zoezi hilo
la kura ya maoni
linalotarajiwa kuanza
mwezi wa nne, 2015, kwa
Waislamu kila kona ya
nchi watahamasishana
na mazungumzo yao
yatakuwa ni suala
l a K a t i b a m p ya n a
Mahakama ya Kadhi.

Tukifanya hivyo kwa


wingi na utakapofika
muda wa kuipigia kura
rasimu hiyo ya Katiba
kwa upande wetu
tutakwenda kwa azima
moja tu ya kuikataa
rasimu hiyo kwa kupiga
kura ya Hapana, na
msimamo huu utabaki
hivyo ikiwa suala la
M a h k a m a ya K a d h i
litakuwa limebaki katika
sura ilivyo sasa. Alisema
Sheikh Ramadhani.

PICHANI juu na chini, baadhi ya watuhumiwa wa kesi ya Ugaidi wakiwa


mahakama ya Kisutu juzi Jumatano. (Picha na Seif Msengakamba)

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Kuwatii wazazi wawili muhimu Pamoja na fitna ya Sitta...


Zanzibar inabeba lawama kubwa
Inatoka uk. 2

wawili wapo hai. Akasema,


Je wewe unataka malipo
toka kwa Allah (sw),
akasema ndio. Akasema
rudi kwa wazazi wako
wawili kisha ishi nao vizuri
kama walivyokulea wewe
ulipokuwa mdogo.
Na alikuja mtu mmoja
kwa Mtume (saw) akasema
Nimekuja kuchukua ahadi
ya kuhama na jihadi na
nimewaacha wazazi wangu
wawili wanalia, Mtume
akasema Rudi kwa wazazi
wako ukawachekeshe kama
ulivyowaliza. Tirmidhiyi.
Na alihama mtu mmoja
miongoni mwa watu wa
Ye m e n , a k a h a m a n a
Mtume (saw) akamuuliza,
je kuna yeyote huko
Yemen? Akasema,Wazazi
wangu wawili, Akasema
Wamekurusu? Akasema,
Hapana, akamwambia
rudi kwao ukawaome ruhusa
na kama utaruhusiwa, basi
nenda katika jihadi na
kama hawajakuruhusu, basi
wafanyie wema.
Na pale wazazi wako
wanapokukataza jambo au
kukuamrisha japo kwa ishara
kwa sababu wao ni wenye
kukunasihi zaidi wewe
kuliko wewe unavyojinasihi,
h a t a k a m a u t a k u wa n a
marafiki au ndugu lakini
sikiliza maneno ya wazazi
na maelekezo yao, tena
uwatii katika mambo mema
na useme nao kwa upole
na adabu na utake ushauri
katika mambo yako na wala
usiwakate mazungumzo yao,
na wala usiinue sauti yako
kwao na usiwatazame kwa
hasira, wala kwa dharau

na wala usiinue mkono


wako wakati wa kuongea
nao wala kuonyesha kidole,
wala usijadiliane nao, na
u s i wa o n g o p e e n a wa l a
usiwaambie waongo na
usisafiri isipokuwa kwa
ruhusa yao, kukubali kwao
na ndio ihsani yao.
Kutoka kwa muawia,
Assalami (ra) amesema,
nilimwendea Mtume
nikamwambia, Mimi
nimejiandikisha niende vitani
pamoja na wewe kwa kutaka
radhi za Mwenyezi Mungu
na pepo yake, akasema
Ole wako je, yu hai mama
yako? Nikasema Ndiyo
ewe Mtume wa Mwenyezi
Mungu, akasema Sikia
shikamana na miguu yake
kwani hapa ipo pepo,.
Ameipokea Ibnu Maja.
Maana ya kushikamana na
miguu ya mama ni Mtii na
umnyenyekee kwani kufanya
hivyo ni sababu ya kuingia
peponi.
Tumuombe Mwenyezi
Mungu atujaalie tuwe
miongoni mwa wale
wanaowatii wazazi wao na
kuwaridhisha mama zao, na
atufufue pamoja na Manabii
na Mitume na watu wema na
tuwe na urafiki mwema nao.
Ewe Mwenyezi Mungu,
mpe rehema na amani Bwana
wetu Muhammad na jamaa
zake na Sahaba zake kwa
wingi, na shukrani zote
anastahiki Mwenyezi Mungu,
Mola mlezi wa Ulimwengu.
Makala hii imeandaliwa
na Sheikh Salah Sayed
Huseni Miftah.
Mwalimu wa Al-Azhari
Sharif, Tawi la Tanzania.

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

ILALA ISLAMIC SECONDARY

USAJILI
S.2401

KWA WASICHANA TU

IPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII


SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMO

Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,


B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322
Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,
0714 381964

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

USAJILI
S.4384

KWA WAVULANA TU

Ipo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa


MASOMO
Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

Na: Mohammed Ghassany

FITINA nyengine
inapandwa dhidi
y a Wa z a n z i b a r i n a
dhidi ya Zanzibar. Na
mpandikizaji wa mara
hii ni Samuel Sitta,
Wa z i r i m wa n d a m i z i
kwenye serikali ya
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania mwenye
dhamana ya Mawasiliano
na Uchukuzi, na ambaye
n d i ye a l i ye k u wa p i a
Spika wa Bunge Maalum
la Katiba lililomazika
kwa kutoa kile kiitwacho
Rasimu ya Katiba
Inayopendekezwa
inayotazamiwa kupigiwa
k u r a m w i s h o n i m wa
mwezi Aprili 2015.
Akihojiwa na Idhaa
ya Kiswahili ya Sauti ya
Amerika (VoA) juu ya
bunge hilo aliloliongoza
kutopitisha kipengele cha
katiba kinachowaruhusu
Watanzania kuwa na uraia
wa zaidi ya nchi moja, Sitta
alisema yafuatayo:
Ukumbuke historia,
hususan historia ya
Zanzibar, na Watanzania
takriban zaidi ya laki mbili
walioko Oman ambao
walivyotoka kama 20,000
mwaka ule wa 1964, sasa
ni kundi zito ambalo lina
uwezo kifedha ambalo lipo
pale Oman. Ukikaribisha
uraia pacha, kwa maana
ya papo kwa papo, maana
yake wale wote wanakuwa
ni raia wa Tanzania pia.
Lakini wengi wao wana
nia ya kuipindua serikali.
Kwa hivyo, ukileta sura
hiyo (kipengele hicho
cha katiba) inaleta tabu
kidogo kumpa uraia mtu
ambaye kwa matamshi
yake na tabia yake na
uwezo alionao ana lengo
la kupindua serikali.
Angalia
vidio
kamili ili kupata chote
alichokizungumza
kwenye suala hili.
Tusiangalie mapungufu
ya hoja dhidi ya uraia wa
zaidi ya nchi moja kwa
Watanzania wanaoishi
nje kwa sasa, ingawa si
kweli kuwa ilitokana na
khofu ya kupinduliwa
kwa serikali. Dunia ya leo
haimuhitaji mtu kuwa raia
wa nchi fulani kuweza
kuupindua utawala wa
nchi hiyo. Wamarekani
wanaokwenda kupindua
serikali za mataifa
mengine hawana uraia
wa nchi hizo, bali wana
nguvu, sera na teknolojia
ya kufanya hivyo.
Fitina ya makusudi.
Tuangalie fitina hii dhidi
ya Zanzibar hasa katika

Samuel Sitta.
wakati ambapo, kwa mara
ya kwanza ndani ya miaka
50 na pamoja na udhaifu
wake wa ndani, Zanzibar
imeweza kuianika aibu ya
kutawaliwa na Dodoma
kupitia Mabadiliko
ya 10 ya Katiba yake
na mchakato wote wa
kupatikana Katiba Mpya
unaoendelea sasa.
Kwa mfano, kile
kilichotokea kwenye
Bunge Maalum la Katiba
ambalo liliongozwa na
ye ye , S i t t a , k i m s i n g i
k i l i m z u w i a m t a wa l a
kuandika rasimu ya katiba
mpya hadi alipolazimika
kutumia nguvu, hila na
mizengwe kuifanya hiyo
Rasimu inayopendekezwa.
Msikilize Mheshimiwa
Waziri William Lukuvi,
ambaye naye kama
alivyo Sitta ni kiongozi
m wa n d a m i z i k we n ye
serikali ya Rais Jakaya
Kikwete, akimwaga
sumu Kanisani dhidi ya
Zanzibar. Hapo utabaini
kiwango ambacho
Zanzibar ndani Bunge
hilo Maalum la Katiba
iliivuruga kabisa akili ya
mtawala na mawakala
wake.
Lugha ya Sitta na
ya Lukuvi zinafanana.
Dhamira zao zinaoana.
Njia yao ni moja kwa kuwa
lengo lao pia ni moja
lengo la mtawala, ambalo
ni kuiadhibu Zanzibar
kadiri inavyoyumkinika
kutokana na uthubutu
wake.
Ni staili inayotumiwa na
utawala wa Kizayuni wa
Israel dhidi ya Wapalestina
adhibu vikali kadiri

inavyowezekana ili
liwe fundisho na iwe
mwisho. Wakati mtoto wa
Kipalestina anapokirushia
mawe kifaru cha kijeshi cha
Israel ambacho kimeivunja
nyumba yao na kuikalia
kwa nguvu ardhi yao,
hupigwa, akakamatwa
na kufungwa jela, kama
si kurushiwa risasi na
kuuliwa kabisa.
Kila kombora moja
la Hamas, ambalo hata
h a l i wa h i k u t u a c h i n i
kwenye ardhi ya Israel
kabla ya kutunguliwa huko
huko angani, hujibiwa
kwa kuangushiwa
bomu la kilogramu 500
katikati ya makaazi ya
watu, linalouwa makumi
kwa mamia ya watoto,
wanawake na wazee wa
Kipalestina.
Ndivyo anavyofanya
mtawala dhidi ya
mtawaliwa wake
anayethubutu. Fuatilia
mwenendo wa mambo
visiwani Zanzibar tangu
m c h a k a t o wa k a t i b a
mpya uanze kesi za
viongozi wa Jumuiya ya
Kiislamu ya Uamsho,
watu wanaochukuliwa
na kupelekwa korokoroni
Bara, na kile kinachoitwa
matukio na kesi za
ugaidi utajua Zanzibar
iliyothubutu inaelekezwa
wapi.
Nadharia dhahanifu ya
khofu dhidi ya Waarabu:
Kuna kitu kinaitwa
conspiracy theory
kwa Kizungu, ambacho
Kiswahili chake kinaweza
kuwa ni nadharia
Inaendelea Uk. 18

5
KAMANDA wa kundi la
wapiganaji wa ISIL, Abu
Bakr Baghdadi, amedaiwa
kuwa hivi sasa anapata
matibabu katika hospitali
moja nchini Israel baada ya
kujeruhiwa vitani nchini
Iraq Ijumaa usiku, wiki
iliyopita.
Vyanzo vya habari nchini
Iraq vimethibitisha kuwa
Abu Bakr al-Baghdadi,
ambaye amepewa wadhifa
wa Ukhalifa ndani ya kundi
la Islamic State nchini Iraq na
Syria, amepelekwa Israel kwa
ajili ya matibabu baada ya
kujeruhiwa vibaya kufuatia
mashambulizi ya ndege dhidi
ya msafara wake katika mji
wa Al Qaim, katika jimbo la
Al-Anbar mpakani mwa Iraq
na Syria.
Ta a r i f a k u t o k a I r a q
zimeeleza awali Baghdad
alipata matibabu ya awali
katika hospitali ya muda
katika miinuko ya Golan
inayodhibitiwa kwa mabavu
na Israel na baada ya hapo,
alipelekwa katika hospitali
maalumu mjini Tel Aviv kwa
matibabu zaidi.
Wa z i r i wa U l i n z i wa
Iraq, Khaled al-Abadi,
amethibitisha Jumapili
iliyopita katika mtandao
wake wa Facebook kwamba
Bw. Abu Bakr al-Baghdadi
alijeruhiwa katika shambulizi
hilo usiku wa kuamkia
Ijumaa, ambapo Naibu wake
alipoteza maisha.
Katika shambulio hilo,
wapiganaji wengine 17 wa
ISIL waliuliwa.
Kati ya makamanda
waandamizi wa ISIL
waliouawa katika shambulio
hilo ni pamoja na Abu
Muslim Turkmani, Thamer
Mohammad, Abu Muslim
Checheni, Abu Mujahid arRussi na Abu Ubaidah alAzzawi.
Mtu anayeaminiwa
kuwa ndiye msemaji wa
ISIL, Abu Muhammad AlAdnani, Jumapili iliyopita
katika mtandao wa Twitter
a m e d a i wa k u t h i b i t i s h a
kujeruhiwa kwa Kamanda
Baghdad kufuatia shambulio
hilo la ndege za Marekani
na jeshi la Iraq na kudai
kuwa, labda wapo watu
wanaoaminikuwa huo ndio
mwisho wa Khalifa. Lakini
anawahakikishia mataifa
ya Kiislamu kuwa Amir
Abu Bakr al-Baghdadi yuko
salama na anamshukuru
Mwenyezi Mungu na
kumtakiwa apone haraka.
Falah Al Essawi, Naibu
Mkuu wa Baraza la Mkoa
wa Al Anbar nchini Iraq,
alisema ndege za kivita za
nchi hiyo kwa kushirikiana
na ndege za Marekani siku
ya Alhamisi zilishambulia
kambi za ISIL katika mji
wa Al Qaim mkoani humo,
ambapo wapiganaji kadhaa
waliuawa.
Kwa mujibu wa ripoti za
Umoja wa Mataifa, mwezi
uliopita wa Februari watu
wasiopungua 1,100 waliuawa
katika machafuko nchini
Iraq huku wengine 2,280
wakijeruhiwa.

AN-NUUR

Habari za Kimataifa

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Kamanda wa IS apelekwa
Israel kupata matibabu

KAMANDA wa kundi la wapiganaji wa ISIL, Abu Bakr


Baghdadi.
Mwezi Januari watu 1,375
waliuawa katika machafuko
nchini humo huku idadi
kubwa wakiwa wamepoteza
maisha kutokana na
mashambulizi ya ISIL.
Nickolay Mladenov,
mwakilishi maalumu wa
Katibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa nchini Iraq amelezea
wasiwasi wake kutokana na
kuongezeka idadi ya watu
wanaouawa katika mapigano
hayo.
Alisema karibuni hivi
atachapisha idadi kamili ya
waliouawa katika maeneo
yanayokaliwa kwa mabavu
na ISIL nchini Iraq.
Wakati hali ikiwa hivyo,
Spika wa Bunge la Iraq
Salim al Jabouri, Jumapili
alitoa mwito wa kufanyika
mazungumzo ya maelewano
ya kitaifa ili kuwepo umoja
katika kukabiliana na
makundi ya kigaidi nchini
humo.
ISIL waliukalia mji wa
Mosul tangu mwezi Juni
mwaka jana.
Kwa muda mrefu serikali
ya Syria imekuwa ikisema
kuwa wapiganaji waasi
wamekuwa wakipata msaada
kutoka nchi za Magharibi na
hasa Marekani na marafiki
zake hususan Israel, Uturuki,
Qatar na Saudi Arabia.
Itakumbukwa mwaka
jana mwezi wa Agosti, jasusi
wa Marekani aliyeasi na
kukimbilia uhamishoni
Urusi, Edward Snowden,
alifichua siri nzito kwamba,
Bw. Abu Bakr Al Baghdadi, ni
mtu aliyepatiwa mafunzo na
taasisi ya ujasusi ya Mossad.
Aidha alidai kuwa taasisi
za kijasusi za Uingereza na
Marekani pamoja na Mossad
ya Israel zilifanya kazi pamoja
kuunda kundi la Islamic State
nchini Iraq na Syria.
Snowden alisema kazi

za kijasusi za nchi hizo tatu


zilisaidia kuundwa kwa
makundi ya kigaidi ambayo
yaliwavuta wahafidhina
wote duniani katika sehemu

moja kwa kutumia mpango


ulioitwa the hornets nest.
Bw. Snowden alibainisha
katika nyaraka aliyoifichua
akisema, NSA documents
refer to recent implementation
of the hornets nest to protect
the Zionist entity by creating
religious and Islamic slogans.
Kwa mujibu wa nyaraka
alizofichua jasusi huyo
aliyeasi, ilielezwa kuwa
suluhu ya pekee ya usalama
wa dola la Kiyahudi ni
kuunda adui jirani na mipaka
yake.
Ta a r i f a z i l i z o v i j a
zilibainisha kuwa kiongozi
wa sasa wa ISIS Abu Bakr
Al Baghdadi, ambaye
alionekana kiongozi makini
wa kidini alipewa mafunzo
ya kijeshi kipindi cha mwaka
mzima chini ya MOSSAD,
licha ya mafunzo ya teolojia
na utaalam wa kuhutubia.
Ripoti zimeshabainisha
kuwa jina halisi la Abu Bakr
al-Baghdadi na ambaye
amepewa Ukhalifa na
kiongozi wa ISIL lina asili ya

kiyahudi.
Kwa mujibu wa Mtandao
wa h a b a r i wa Ve t e r a n s
Today, jina halisi la alBaghdadi ni Simon Elliot au
Elliot Shimon na alizaliwa na
wazazi Wayahudi na kupata
mafunzo ya saikolojia ya vita
dhidi ya Waarabu na Jamii za
Kiislamu chini ya maofisa wa
MOSSAD.
Ili kusaidia kufahamika
vizuri ripoti yake, Veteran
Today ilitoa kwa tafsiri ya
Kiingereza kutoka Radio
ajyal.com na Egy-press.
Kwa mujibu wa Veterans
Today, mpango wa ISIS chini
ya uongozi wa al-Baghdadi
ni kuzivuruga nchi zote
zinafahamika kuwa ni tishio
kwa Israel, ili baada ya hapo
dola la Kizayuni lidhibiti
eneo la Mashariki ya Kati
na hatimaye kustawisha kile
kilichoitwa Greater Israel."
Nadharia hizi za
kuionyesha ISIS kama
sehemu ya Uzayuni, zinaweza
kuonekana vyema kutoka
ripoti za awali zilizohusiana
na Edward Snowden,
kwamba Taasisi za kijasusi
za Uingereza, Marekani na
Wazayuni walitengeneza
ISIL, sasa wakiitwa zaidi kwa
jina la Islamic State Iraq and
the Levant.

AFRICA MUSLIMS AGENCY TANZANIA OFFICE

TheAfrica Muslims Agencyis an humanitarian, development andDawahorganization based inKuwaitwith


offices acrossAfrica. The agency has established itself within 32 countries of Africa, including Sierra
Leone, Mali, Mozambique, Madagascar, Zimbabwe,Angola, Gambia, United Republic of Tanzania and
particularlySouth Africa.The Agencys goals are to strengthen Islam by spreading the teachings of the Quran,
as well as to build hospitals, schools and mosques. To accomplish its set goals it looks forward to recruit
intellectuals in the field of education to fill the available vacancies.
Job Title: Education Supervisor
Job Station: Tanga and Moshi
Roles and Responsibilities

Available Positions: 2 posts


Complies with state administrative regulations and Board of Education policies

Adheres to school and local school system procedures and rules

Demonstrates timeliness and attendance for assigned responsibilities

Maintains accurate, complete, and appropriate records and files reports promptly

Preparing weekly and monthly reports and ensure timely submission of reports to the
administration

Assist in recruitment and in service training of teachers

Evaluate teaching techniques and suggest means of improving them

Visit classrooms to see effectiveness of teaching and teaching materials.

Conduct seminars and workshops to teachers to demonstrate new teaching methods,
teaching materials and teaching.

To provide to teachers teaching materials and all necessary equipments for teaching
process.
Qualifications



A holder of degree in education with any specification


Has at least five years in teaching or similar position with good track record
Must be willing and available to work in Tanga or Moshi
Strong leadership, communication, interpersonal, and organizational skills

Computer application skills.

Experience in working with donor funded projects.


Excellent written and oral communication skills in English and Kiswahili, including
report writing.

Excellent networking and organizational skills

Self motivated person
Mode of Application
Send your Application including application letter, CV and copies of certificates to:
The Director Africa Muslims Agency
P o Box 9214
Dar es Salaam

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Sitta hana jipya

Ni yale yale ya Dowans, Symbion


Tatizo Wazanzibar wenyewe hawajitambui
Hata hili tuseme, kwa Jina la Yesu Eemen?

Na Omar Msangi

KAMA alivyotumia
jukwaa la Kanisa
kupiga mbiu kuwa
tatizo la Tanzania ni
Waarabu na Waislamu,
Mheshimiwa Waziri
S a m u e l S i t t a n a ye
ameibukia katika VoA
akidai kuwa Waarabu
wanatishia kuivamia
na kuipindua Zanzibar.
Akasema, hiyo ndiyo
imekuwa sababu ya
kuondolewa suala
la uraia wa nchi
mbili katika Katiba
inayopendekezwa.
Akihojiwa na
I d h a a ya K i s wa h i l i
ya Sauti ya Amerika
(VoA) hivi karibuni,
Sitta amesema kuwa
wengi wa Wazanzibari
waliokimbilia Oman
baada ya Mapinduzi
1964, hivi sasa wana
pesa za kutosha na
hawajaondokana na nia
ya kuipindua serikali ya
Zanzibar.
Wengi wao wana nia
ya kuipindua serikali.
Kwa hivyo,... inaleta
tabu kidogo kumpa
uraia mtu ambaye kwa
matamshi yake na tabia
yake na uwezo alionao,
ana lengo la kupindua
serikali.
Alisema Mheshimiwa
Samwel Sitta akisisitiza
kuwa ni hatari kuruhusu
uraia wa nchi mbili
ambao utawapa pia
uraia wa Zanzibar idadi
k u b wa ya Wa a r a b u
wanaoishi Oman.
Mwaka 2009 baada
ya kuibuka mgogoro
baina ya serikali na
Kampuni ya kuzalisha
umeme ya Dowans,
Shirika la Umeme,
TANESCO, chini ya
Mkurugenzi wake Dr.
Idris Rashid, lilitoa
pendekezo kwa serikali
kuwa serikali inunue

mitambo ya Dowans.
Na ikawasilisha taarifa
ya kitaalamu kuonyesha
uzuri wa mitambo hiyo
na unafuu serikali/nchi
itakaopata kwa kuwa na
mitambo yake badala ya
kutegemea makampuni
binafsi tena ya nje.
Ilikuwa mitambo hiyo
inunuliwe kwa Dola
mi l i o ni 38 sawa n a
Shilingi bilioni 60.
U c h u n g u z i
unaonyesha kuwa baada
ya serikali kusitisha
mkaba wake na Dowans,
kampuni hiyo ilikuwa
ikilazimika kuhamisha
mitambo yake kutoka
nchini kupeleka
kwingine. Kwa upande
mwingine, TANESCO
n a o wa l i k u wa a m a
watafute kampuni

nyingine ya kuingia
nayo mkataba iingize
mitambo izalishe na
kuwauzia umeme au
iagize mitambo yake.
TA N E S C O b a a d a
ya kuifanyia tathmini
mitambo ya Dowans
kupitia kampuni za
kimataifa, ilijiridhisha
kuwa mitambo hiyo
ingeweza kufanya kazi
kwa miaka 30 bila ya
t a t i z o , n a k wa m b a
matengenezo ambayo
yangehitajika (service)
ni ya kawaida ambayo
mafundi wazalendo
wangeyamudu. Aidha
kwa upande wa bei,
pia ilionekana kuwa ni
nzuri ikilinganishwa
na thamani ya mitambo
hiyo au kuagiza mingine
kutoka nje.

H ATA h i l i ? Tu s e m e
Eemen! Ndivyo
anavyouliza mwendesha
kipindi katika televisheni
moja ya Nigeria. Anauliza
swali hilo akichambua
m a h u b i r i ya A s k o f u
David Olaniyi Oyedepo
wa Kanisa la Living Faith
Church World Wide,
likijulikana pia kwa jina
la Winners' Chapel, akidai
kuwa yeye ni Mtume
wa Mungu aliyepewa
agizo la kupambana na
mashetani wa Kiislamu.
If you catch anyone that
looks like them kill him!
Kill him and pull out his
neck. I will spill his blood on
the ground. What nonsense!
What Islamic demons. God
has anointed me to lead a
revolution against Islamic
jihadists.
Anasema Askofu
Oyedepo katika
mahubiri yake ambayo
yamekuwa yakitolewa
katika televisheni na
kusambazwa katika
mitandao kutoka mwaka

jana.
Katika video ambayo
inapatikana katika
internet, Askofu
Oyedepo anaonekana
akiongea kwa hasira na
kufoka huku Wakristo
waliofurika katika kanisa
wa k i m s h a n g i l i a k wa
nguvu na kupiga kofi
kila akiwahimiza kuuwa
Waislamu au kutaja neno
What devils!, what
Islamic demons!
Ilikuwa ni pale Askofu
huyo aliposema, If
you catch anyone that
looks like Boko Haram,
ikiwa na maana kuwa
ukimkamata, ukimuona
mtu anayefanana na (looks
like) Boko Haram, muuwe.
Kata shingo yake, mwaga
damu yake; mchambuzi
huyo anauliza-jamani,
hata hili tuseme Eemen?
Aliuliza hivyo kwa
sababu kila Askofu David
Oyedepo, akitoa wito huo,
waumini hushangilia na
kusema Eemen!, kama
i s h a r a ya k u s i k i a n a

SAMWEL Sitta.
Hoja ya TANESCO na tatizo la umeme na
ilikuwa namna mbili. k wa m b a i t a c h u k u a
Moja ni kuwa tayari nchi muda mrefu kuanza
ilikuwa kizani kutokana kutafuta Richmond
au Dowans nyingine
kuingia nayo mkataba.
Lakini kwa mitambo
a m b a y o t a ya r i i p o
nchini, ni suala la
kukubali wanayoagizwa.
kuingia mkataba wa
Askofu David Oyedepo u n u n u z i , m i t a m b o
haishii hapo. Anasikika inawashwa. Pili ni kuwa,
akiwaambia wafuasi wake kwa kununua mitambo
kuwa wakishamuuwa yetu, tungeepukana
mtu ambaye looks like, n a g h a r a m a k u b wa
anayefanana na Boko
Haram, wala wasipate za kulipa kinachoitwa
tabu ya kutoa ripoti polisi. C a p a c i t y C h a r g e
I n a v y o e l e k e a a m b a y o TA N E S C O
maelekezo ya Maaskofu inalazimika kuwalipa
kama Oyedepo ndiyo wazalishaji binafsi wa
s a s a y a n a y o f a n y i w a nje kila siku. Na si pesa
kazi na jeshi la Nigeria ndogo.
pamoja na Wakristo wa
Ni Mheshimiwa
Nigeria. Katika mauwaji Samwel Sitta na baadhi ya
ya Baga, kwa siku nne wabunge, walioongoza
m f u l u l i z o a m b a p o Crusade ya kupinga
wa t u wa s i o f a h a m i k a ,
wakiwemo wanajeshi, wa z o l a TA N E S C O
w a k i w a w a n a u w a kununua mitambo ya
Waislamu na kuchoma Dowans, zikitolewa hoja
nyumba zao moto, serikali mbalimbali, moja ikiwa
haikushughulika kabisa kwamba mitambo hiyo
kupeleka vyombo vya ni chakavu.
ulinzi kuzuiya mauwaji
Mkurugenzi wa
hayo. Maadhali watu wa TANESCO wakati huo
mji huo wote ni Waislamu, Dr. Idris Rashid, alionya
b a s i w o t e wa n a i n g i a kuwa nchi itaingia kizani
katika lile kundi la looks iwapo hatua za haraka

Hata hili tuseme Eemen!

Inaendelea Uk. 7

Inaendelea Uk. 7

7
Inatoka Uk. 6

hazitachukuliwa. Lakini
wapi. Namna yake,
akina Sitta wakasema,
bora kuwa kizani kuliko
kununua mitambo
mtumba ya Dowans.
Na kweli, nchi ikakaa
kizani kwa takriban
miaka miwili, wanasiasa
wakilumbana.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Ni yale yale ya Dowans, Symbion

Ghafla kimyaaa!
Ghafla kimyaaa!
Mitambo imekuwa
mipya inasifiwa.
Ilipofika 2011, mitambo
hiyo hiyo ya Dowans
ikanunuliwa na
Kampuni ya Kimarekani
Symbion Corporation,
kwa thamani ya Dola
milioni 100 ($100m),
mara tatu zaidi ya bei
a m b a y o TA N E S C O
ingelipa.
Wakitoa taarifa ya
ununuzi wa mitambo
hiyo, viongozi wa
S y m b i o n , wa k i s i f i a
mitambo hiyo kwa uzuri
na uwezo wake, walisema
wanawashangaa
Wa t a n z a n i a k u k a a
kizani kwa miaka miwili
wakati mitambo hiyo
ikishika kutu badala ya
kuinunua na kuiwasha
kupata umeme! Rais
wa o B a r a c k O b a m a
akaja Novemba 2011
kuizindua mitambo
hiyo naye akaisifia kwa
uzuri wake.
Akina Samwel Sitta
kimyaa!!! Hawakusikika
wakifunua mdomo
kusema serikali isiingie
mkataba na Symbion
kwa sababu mitambo
yake ni ule ule mtumba
wa Dowans.
Symbion sasa
wanazalisha umeme,
wanatuuzia kwa bei
wanayotaka. Na zaidi
tunalazimika kuwalipa
Dola 150,000 ($150,000)
sawa na Shilingi milioni
246 kila siku, kama
capacity charges, iwe
wamezalisha umeme
au la!
Hapo ndipo akili zetu
zilipoishia! Hao ndio
wanasiasa wetu ambao
leo wanatuambia kuwa
Waarabu wa Oman,
wanataka kuja kupindua
Zanzibar!
Ukiangalia kwa undani
sakata hili la Dowans
na akina Samwel Sitta,
unachogundua ni kuwa
kinachotekelezwa hapa

MHESHIMIWA Mbowe (kushoto) na Spika Anne Makinda (kulia) wakiwa


na wenyeji wao Oman.
ni kile kilichosemwa of an Economic Hit Man P e r k i n s a n a e l e z a
na John Perkins katika .
jinsi nchi za dunia
kitabu chake Confessions
Katika kitabu hicho y a t a t u , i k i w e m o

Hata hili tuseme Eemen!


Inatoka Uk. 6
like. Kwa hiyo waliuliwa
sawiya.
Na hiyo haikuwa mara
ya kwanza. Mwaka juzi
2013, jeshi pia lilivamia
mji huo na kuuwa takriban
watu 200 na kuchoma
moto nyumba zao. Taarifa
z i n a f a h a m i s h a k u wa
katika shambulio hilo
zaidi ya asilimia 40 ya
nyumba za wakazi wa
Baga zilichomwa moto.

Katika kujitetea jeshi


wakasema kuwa walikuwa
wakipambana na Boko
Haram. Akisimulia
mkasa wa April 16,
2013, Mohammed Bella
Sani ambaye ni mvuvi
katika mji huo wa Baga
anasema kuwa walikuja
watu wawili ndani ya gari
wakawa wanarusha risasi
ovyo huku wakisema
Allahu Akbar.
Ghafla ndio jeshi

likavamia ikidaiwa kuwa


wanawasaka Boko Haram.
Na hapo kila Muislamu
akastahiki kuuliwa kwa
sababu kila Muislamu
Looks like Boko Haram.
Wa l i o b a r a b a r a n i n a
mitaani wanapigwa risasi
huku walio ndani nyumba
zinachomwa moto kwa
kumwagiwa petroli.
Jeshi linapouwa
raia na kuchoma moto
Inaendelea Uk. 10

RAIS wa Nigeria, Goodluck Jonathan (kushoto) akiwa na Rais wa zamani wa nchi


hiyo, Olesegun Obasanjo.

A f r i k a ( Ta n z a n i a )
zinavyochezewa
mchezo mchafu na
mabeberu ili kutiwa
k a t i k a u t u m wa wa
kudumu wa kiuchumi
(economic colonization).
Na njia kuu ya kupitia
ni katika makampuni
kama haya ya umeme.
Kutoka kelele za
akina Samweli Sitta
juu ya Dowans hadi
kimya chao baada ya
Symbion, ni kielelezo tu
kuwa wapo washenga
na madalali miongoni
mwetu wanaotumika
kuhakikisha kuwa
mipango ya hawa
economic hit men
inafanikiwa.
Lakini tukitaka kujua
uzito wa tatizo hili,
tuliunganishe na hili
linalopigiwa kelele hivi
sasa juu ya ugaidi.
Mzaha wa Jihad John
Wiki iliyopita,
magezeti kadhaa
ya l i s h u p a l i a m z a h a
(hoax) wa Jihad John.
Na ile kuwa zipo
habari kuwa aliwahi
kuja Tanzania, ikawa ni
habari kubwa ya kutisha
ikijengwa picha kwamba
Wakristo wa Tanzania
wanakabiliwa na kitisho
cha Jihad John. Gazeti
moja likisherehesha
habari hiyo likasema:
Makanisa ya dunia
yatoa tamko kali
dhidi ya mauwaji ya
Wakristo. Yasema ndiyo
wanaoshikilia amani ya
dunia. Yataka itikadi za
dini zisitumike kuchinja
watu.
Habari
hiyo
ikasindikizwa na picha
ya anayedaiwa kuwa
Jihad John, ikiwa na
maelezo yafuatayo:
Gaidi Mohammed
Emwazi (kushoto) wa
Dola la Kiislamu (IS)
aliyewahi kuja Tanzania,
akijiandaa kumchinja
Mmarekani Bwana
James Foley.
Mwezi Novemba
m wa k a 2 0 0 4 a s k a r i
wawili wa Uingereza,
walimbaka msichana
wa Kitanzania Conjesta
Ulikaye na kisha
kumuuwa jijini Dar
es Salaam. Askari hao
waliokuwa wakishiriki
u va m i z i n a k u u wa
watu wasio na hatia
Iraq, walikuja Tanzania
Inaendelea Uk. 10

8
Na: Mwandishi Maalum

K AT I K A n d e g e
waliotajwa kwenye
kitabu kitukufu cha
Qurani, kunguru
yasemekana yumo.
Kwa kawaida vitu au
viumbe vilivyotajwa
humo vina umaizi
mkubwa na mafunzo
makubwa tunayopaswa
sisi wanadamu
tujifunze kupitia kwao.
Utafiti mdogo
tu uliofanywa na
wanazuoni walioko
Ta n z a n i a b a r a
umegundua kuwa
k u n g u r u a m e p e wa
uwezo mkubwa wa
macho. Inasadikiwa
kuwa jicho la Kunguru
lina uwezo wa kuona
mara nne zaidi ya jicho
la mwanadamu. Lakini
je, hiyo tu ndiyo hekima
aliyonayo kunguru hadi
kufikia kutajwa kwenye
Qur-ani? La, siyo hiyo
na wala sababu hasa
hatuijui sisi waja wa
kawaida. Tubakie tu
kusema Allahu a-alam!
Sisi watu wa
kawaida, tusiosoma,
tunamkumbuka
kunguru sana kwa ule
mlio wake ambao kwa
wafasiri wa milio ya
ndege iwe kiutani au
kiudhati, basi anapolia
kunguru husema
maneno yanayokaririka
Dunia Hadaa,
yaghilibu shujaa! Na ni
maneno hayo hasa ndiyo
yanayonipa kifungu na
uwezo mwembamba
wa
kuandika
ukurasa huu leo, kwa
watakaobahatika
kuusoma!
Lengo, nia na
madhumuni yangu ni
kuonyesha jinsi gani
cheo au uluwa, pesa
na nguvu zinavyoweza
kumpoteza njia
mwanadamu aliye
dhaifu mbele ya Allah
hadi akafikia hatua ya
kukufuru na kutakabari
kulikopitiliza ada.
Na basi bila kujua
mwanadamu huyo
d h a i f u k u wa k u n a
nguvu kubwa zaidi
inayomwendesha
yeye, huendelea
kutakabari hadi akafikia
kupatilizwa na Mola
wake akaishia kupata
hasara ya milele!
Tuna mifano mingi ya
viongozi waliokubuhu
na kufurutu ada.
Wakatakabari kiasi ya

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Kikata utamu hakina hodi

Dunia hadaa, yaghilibu shujaa

ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni, Marehemu Salmin Awadh Salmin.

kuvaa joho la Mungu.


Matokeo yake wakafikia
pabaya. Mfano mzuri
wa hayo ni firauni wa
Misri ambaye kwa jinsi
alivyotaraghani ujeuri
wake, alifikia kusema;
Mimi ndiye Mungu
wenu mkubwa kabisa!
Wanaweza wakawepo
miungu wengine, lakini
A n a a r a b b u k u m u l
aalaa.
Basi alipofikia kipeo
hiki, Muumba wa haki
akajitokeza akamdaka
kwa kumgharikisha
hata asipate kauli ya
kwi! Seuze shahada!
Kwetu sisi, yaweza
kuwa mfano wa Firauni, ni jambo la mbali
sana ki-wakati na mahali
(time and space). Kwa
hiyo lisituguse sana.
Lakini hebu tuangalie
mifano iliyo karibu nasi
ambayo inaonyesha
kutakabari kule kule
na kwa bahati mbaya
wanaingia wanasiasa
zaidi kuliko watu
wengine. Mfano wa
karibu tutauanza kwa
baba wa taifa Mwalimu
Julius Nyerere ambaye
k wa j i n s i Ta n z a n i a
ilivyomtukuza, alifikia
hadhi ya utume na kwa
wengine hata uungu
haukuwa mbali naye
astaghfirulaah! Naye
kwa kupata kichwa,
a k a b we t e k a , a k a wa
jimbi anayewika.
Siku moja kama
sikosei mwaka 1998

a u m wa n z o n i m wa
mwaka 1999, katika
moja ya vikao vyake
mwalimu alisema
kuwa anashangaa sana
kwanini mtoto mchanga
hufa. Hilo lisitoshe.
Akasema yeye ana
tamaa ya kuishi hadi
amuone Rais wa Awamu
ya Nne (wakati huo
haijajulikana kwamba
atakuwa JK).
A k i ya s e m a h a y o ,
alikuwepo Mzee
Ruksa, Ali Hassan
Mwinyi ambaye ama
kwa dhihaka au kwa
hivyo kumtukuza
Mwalimu, alimwambia,
Nakuongeza miaka
mengine mitano,
mwalimu! Jumla ikawa
wamepeana miaka 85
kama hivyo ya kuishi
k a m a k wa m b a wa o
ndio Miungu. Mwaka
u l i o f u a t a M wa l i m u
Nyerere akafa! Ikawa
ndio mwisho wake huo
na hakuna aliyeweza
kumwombea asife!
Yupo Bwana mkubwa
mmoja alikuwa Mkuu
wa Mkoa katika
moja ya mikoa ya
Pemba. Huyu aliwahi
kuunyayua mkono
akasema kama kuna
Mungu nauonyoosha
huu mkono , naaukunje
huyo mungu! Mwenyezi
Mungu kwa vile ana
uwezo mkubwa,
akaukunja mkono
wa b wa n a m k u b wa
huyo. Akazikwa
vipande vipande hadi

akamalizika. Bila
shaka tukilitaja tukio
hilo, haraka haraka
tutamkumbuka pia yule
aliyekuwa kinara wa
uharamia kule gereza
la Bamkwe Kiinua
Miguu. Yaliyomkuta
hata anazikwa
kipande kipande hadi
akamalizika, inatisha
hata kusimulia hapa.
Lakini ndio Allah
anasema, Fadhakkir,
tunakumbushana ili
tuwaidhike turudi kwa
Mola wetu.
Wapo wengine ambao
walivuka mipaka ya
kejeli, jeuri na dharau
d h i d i ya wa p e m b a .
Wa k a wa wa n a j i o n a
kama wao na Mungu
wana mkataba wa
pamoja wa kufanya
watakavyo. Hawajafa,
lakini yameshawakuta
ya kila aina. Ya aibu na
fedheha. Ya udunifu
na udhalilifu. Hatima
yao hatujaijua kama
tulivyokuwa hatujazijua
hatima zetu sote, kila
mmoja na yake.
Mwanadamu ni
mnyama aliyetukuzwa
lakini mjinga hata kuliko
baadhi ya wanyama kwa
sababu hajifunzi kwa
waliomtangulia. Muda si
mrefu, wapo tuliokuwa
nao wakiwa na nguvu
tele inayotokana na
shibe ya marupurupu
n a m a f a o ya k u wa
katika siasa za nchi hii,
ghafla tunapata habari
kuwa wameshaaga

dunia wakati siku tatu


tu zilizopita walikuwa
wakijinadi na kujilabu
kwa madebusi kuwa
nchi hii, CCM hawatoi.
Wa p o
w a t u
wanasikika wakinadi
kauli za kwamba nchi
haitatolewa kwa kura,
labda imwagike damu.
Hapa ni Mapinduzi
Daima. Kila mtu
anajua kuwa CCM nchi
hawatoi. Ila hakuna
haja ya kuropoka na
kupitisha mipaka hadi
kufika kutishia kuuwa
watu kwa sababu
ya v ye o n a u l u wa .
Huwezi kujua, kama
ambavyo waliotangulia
hawakujua. Kauli mbaya
na za kufru kama hizo,
zaweza kuwa za kuagia
dunia.
Hakika Zanzibar
haihitaji vifaru
kuiwezesha CCM
k u t a wa l a . I n a h i t a j i
wembe ule ule tu wa
kuinyolea CUF ambayo
haina ubavu wa kugoma
kutia maji nywele zake
zisinyolewe na CCM.
CCM wakiwa na wembe
tu hujinyolea tu kila
siku na hakuna liwalo.
Hakuna haja WanaCCM nyie kindakindaki,
wengine wakikuiteni
wahafidhina, kupayuka
na kumpa nafasi Malaika
wa dhambi kuharibu
wino bure.
Nyie subirini uchaguzi
ukifika watu wapige
kura kisha mtangazwe
washindi. CUF kama
kawaida yao watalia siku
mbili kisha wataunda
uongo mwengine
wa kuwaambia
wanachama wao
kwanini hawakushinda
uchaguzi. Hili halina
shaka. Ndio mazoea
yao wala sio geni tena!
Hamna haja kutishia
k u m wa d a d a m u a u
kutoa maneno ya kufru!
Wa l i k u w e p o
waliokuwa na nia ya
kuirudisha Zanzibar
kwenye fujo za kisiasa
kwa kuvunja Serikali
ya Umoja wa Kitaifa,
hawakufanikiwa.
Wametangulia mbele
ya Haki. Mwenye pupa,
hadiriki kula tamu!
Na hapo ndipo
tukasema, tujihadhari
na dunia. Dunia hadaa,
yaghilibu shujaa! Mungu
awasitiri wenzetu
waliotangulia na sisi
atupe mwisho mwema.
Amen!
( I m e n u k u l i wa n a
kuhaririwa kwa hisani ya
mtandao wa Mzalendo)

9
Na B. OLE,
N ATA M A N I e n z i z i l e
zingerudi na zama hizi
z i k a p o t e a n a k u wa n i
historia kwetu hasa katika
suala zima la uongozi wa
chama chetu (CCM). Mimi
kama mimi sikubuhatika
kupata elimu nzuri,
lakini pia ninashukuru
ya kwamba nilijaaliwa
kupata fursa muhimu ya
kujifunza mambo mengi
na ulimwengu kwa
ujumla. Lakini kwa kiasi
funzo kubwa na ambalo
najivunia nalo ni jitihada
za Wazee wangu kwa kule
kuniasa sana juu ya kukaa
kwa wema na watu na la
muhimu ni kuheshimu yale
mazuri yao huku nikiaswa
pia kuvumilia mabaya yao
kwani hakuna mkamilifu
kwa vile sote ni binaadamu.
Binaadamu tokea
kuzaliwa kwake hupitia
n ya k a t i t o f a u t i z i l e z a
uchanga wake lakini pia za
kupevuka kwake. Katikati ya
nyakati hizi, hupatikana ule
wakati mjarabu na kipekee
katika maisha ya Binaadam.
Inawezekana kipindi hichi
cha mpito kwa muhusika
kikawa na faida kubwa
kwake na jamii iliomzunguka
au ikawa ni hasara kubwa
hata kwa ile jamii mzima
iliomkuza na kumlea kiumbe
yule. Lakini tukumbuke tu
ya kwamba falsafa hii sio tu
kwa Mwaanadamu, lakini
hata kwa kitu chochote kile
ambacho hupitia nyakati
tofauti kama Binaadam.
Wanafalsa mashuhuri
walifikia mahali wakasema
kwamba katika ile
nyakati ya mwanzo,
yaani uchanga baada ya
y o t e ya t a k a y o t e n d e k a ,
kinachofuatia ni kipindi cha
kati na mwishowe kufikia
tamati, yaani uzee. Hapa
tena tunaambiwa kiumbe
yule hurejea katika ile hali ya
mwanzo. Kwa lugha nyepesi
ni kusema kutoka uchanga na
ile hatua ya mwisho ya uzee
ni kurudia tena uchanga.
Wanafalsafa hao walienda
mbali na kusema kwamba
baada ya yote yaliopita,
basi kiumbe huyu hurejea
katika hali yake ya uchanga
hata kimaumbile na uhalisia
wake. Katika hatua hizi zote,
mara nyingi hujitokeza faida
pamoja na hasara zake.
Ukweli wa falsafa
hii imenipa fursa
kukipima chama changu
ninachokipenda sana yaani
C.C.M hasa katika suala la
uongozi tokea Mapinduzi
yanayoitwa matukufu
ambayo mimi nayaheshimu
sana kwani nafuata nasaha
za wazee kwamba heshimu
mazuri na vumilia maovu.
Hii ni kusema ovu kwako
ni jema la mwenzako kwa
mtazamo wake. Hata hivyo
inafika wakati unajiuliza,
hivi hizi fikra na mawazo
yangu yana ukweli au ndio
hivyo funika kombeapite.
Hapa nakumbuka Enzi
zile, zama hizi na uongozi
wa c h a m a c h a n g u . N i

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Zanzibar ya zamani imepotea

Hivi sasa ni shari na balaa tupu


Yote hii kwa sababu ya CCM yetu
Inaongozwa kimagubegube tu!

MZEE Abeid Aman Karume (kushoto), Mwalimu Julius K. Nyerere (katikati)


na Hassan Moyo.
miaka hamsini na ushei
sasa tokea Mapinduzi kwa
wenye umri unaonizidi mimi
wataelewa jinsi mapinduzi
yalivyotokea, jinsi viongozi
walivyopania kuyatumia
Mapinduzi yale kama silaha
ya kuleta umoja, usawa
na maendeleo Visiwani.
Uchanga ule wa Mapinduzi
yale tulishuhudia mambo
mengi ndani ya Serekali
tokea Wananchi na viongozi
wake. Enzi ile tulikuwa na
Serikali madhubuti, viongozi
imara, vijana waliosoma
na kuelimika, heshima na
adabu kwa wote. Lakini hata
sheria zilikuwa madhubuti
na zikifanya kazi kwa kila
mmoja pindipo akipindisha
sheria.
Wa l e w a z e e w e t u
watakumbuka hata
Mavalantia walivyokuwa
wakifanya kazi zao kwa
uaminifu mkubwa.
Wa s wa h i l i wa n a s e m a
kuishi sana ni kuona mengi.
Falsafa hii mimi naikubali
licha ya kwamba sina Elimu
lakini ifike mahala tukubali
kwamba Chama changu
ninachokipenda kimepoteza
dira na muelekeo. Yale
yote yaliyoachwa na
kuwekewa misingi na
maadili yamepotea. Leo
chama changu kimekuwa
cha kihafidhina, kubaguana,
rushwa, ufitinishaji kwa sisi
wenyewe kwa wenyewe.
Lakini zaidi ni kuona chama

changu ninachokipenda
kimekosa muelekeo wa
ushindani kidemokrasia na
kimaendeleo. Lakunisikitisha
ni kuona kwamba chama

changu hakina mtetezi hapa


Visiwani. Viongozi hawana
Elimu lakini pia wamekosa
muelekeo na kutokana na
hali hii ni dhahiri kwamba

chama changu kinaendeshwa


kimagubegube tu.
Zama hizi chama changu
kimekabidhiwa Vijana
ambao hata wao wenyewe
wanashindwa kujiongoza.
Lakini kama hilo halitoshi,
hao tunaoambiwa ni
Wazee wa chama wenye
vyeo vya juu, hata busara
hawana sikwambii Elimu
ya Kuongoza watu. Silaha
zao kubwa ni matusi yenye
kugombanisha Wanajamii.
H i v i t u j i u l i z e , n i wa p i
tunaelekea zama hizi?
Kilichokuja kunishangaza
zaidi ni kuona kiongozi
wangu mmoja Mheshimiwa
sana, kiongozi mwenye
nyadhifa nyeti katika serikali
ya Zanzibar akizungumza
pumba na kuwakashifu
wapiga kura wake katika
jimbo ambalo lilimchagua
kwa kuwapa vitisho kuwa
atawafanya kitu kibaya kama
walivyofanyiwa Masheikh
wa Uamsho. Hivi zama hizi
Zanzibar inaongozwa na
akina nani? Watu kamahawa
inakuwaje zama hizi
wanakuwa viongozi !
Zama hizi tunashuhudia
mengi, Zanzibar ya zama
zile imepotea. Leo hii
mgeni kutoka Mrima ndio
anaeonekana ndie Binaadam
kamili lakini masahibu
zangu kutoka kisiwa cha
mbali hawa ni wahaini na
wana mji wao. Hivi tujiulize
Wazanzibar tunaelekea wapi?
Hii ni aibu na fedheha kwa
chama changu na Serikali
tunayoiongoza. Mimi kama
mimi sioni fahari kuona
Viongozi wangu wanapanda
kwenye majukwaa huku
wakihubiri matusi ya kashifa
tokea mwanzo hadi mwisho.
Natamani mwaka huu
nibadilike na kwa akili yangu
fupi niwaunge mkono wale
wanaohubiri umoja, upendo
na maendeleo.

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High School


Mafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani
ya Kidato cha Nne 2015

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa


Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa
Credit za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.
Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili,
Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry,
Biology, Commerce na Book-Keeping.
Muda wa masomo: Jumatatu Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.
Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi SABA)
Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School
kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.
Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557
Wahi Mapema nafasi hii adhimu
Wabillah Tawfiiq
MKUU WA SHULE

10
Inatoka Uk. 7
k u p u m z i k a b a a d a ya
kufanikisha uvamizi huo
na ukaliaji kimabavu Iraq
kinyume na Haki na Sheria
zote za Kimataifa pamoja
na Maazimio ya Umoja wa
Mataifa na Baraza lake la
Usalama.
David Moffett (23) na
Brett Richard Mallinson
(20), walifikishwa katika
Mahakama ya Kisutu,
ikidaiwa kuwa November
10 katika Hoteli ya- Silver
Sands Beach Hotel, jijini
Dar es Salaam, wawili
hao walimpa Ms Ulikaye
Paundi 37 ili alale nao
wote, akiahidiwa kuwa
wa t a m u o n g e z e a p e s a
baadae, lakini wakaishia
kumuuwa.
Sasa uliza, nini ilikuwa
hatma ya kesi ya Mtanzania
mwenzetu huyo Conjesta
Ulikaye! Ilikuwa sawa
n a i l e y a Wa z u n g u
wengine waliomlazimisha
msichana wa Kitanzania,
kunajisiwa na mbwa wao.
Dismiss case-Hakuna
kesi. Waliachiwa wakarudi
makwao.
Mheshimiwa Samwel
Sitta, ukisikia Iraq
ilivamiwa, ni kweli
ilivamiwa na watu wasio
n a h a t i a k u u l i wa n a
mpaka sasa inakaliwa
na watu wanazidi
kuuliwa. Wamarekani na
Waingereza waliovamia
Iraq na kumpindua
Saddam Hussein,
hawakuwa na uraia wa
Iraq na Marekani.
Ukisoma kuwa Nigel
David Moffett na Brett
Richard Mallinson,
walikuja Tanzania na
k u m u u wa M t a n z a n i a
mwenzetu, ni kweli
Conjesta Ulikaye,
aliuliwa na askari hao wa
Uingereza. Lakini ukisikia
Jihad John amchinja
James Foley, alijisemea
Mheshimiwa Rais
Kikwete, akili ya kupewa,
changanya na yako. Soma
pia na: ISIS actor: Jihadi
John, crudely constructed
propaganda videos, designed
to start a new war at home,
and abroad. 2. Jihad John
Hoax. 3. The Destabilization
Doctrine: ISIS, Proxies and
Patsies., kabla ya kuamini
u n a c h o a m b i wa k u wa
kilifanyika.
Nimalizie kwa kusema
kuwa nakubaliana na
hoja ya Mohammed
Ghasani kuwa njama na
mbinu chafu kama hizi
z i n a z o wa k i l i s h wa n a
kauli za Mheshimiwa
Samwel Sitta, zisingeweza
kufanikiwa kama

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Ni yale yale ya Dowans, Symbion

Mhe Spika akiwa na wenyeji wake pamoja na sehemu ya ujumbe wake. Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa
Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe, Waziri Mhe William Lukuvi. Wa kwanza kushoto ni Mhe Ally Saleh,
Balozi wa Tanzania nchini Oman. Mhe Spika alipokuwa katika ziara rasmi ya kibunge ya siku sita mwaka jana.
kusingekuwa na ujinga
na kutojifahamu kwa
walengwa.
Na Ghasani ametoa

mfano mzuri na hai. Ile hali


ya kuhasimiana, kupigana
vijembe na kutukanana

kule Dodoma wakati wa


Bunge Maalum la Katiba.
Watu hawajui wanadai

nini, wala kipi ni katika


masilahi ya Zanzibar na
watu wake.

Hata hili tuseme Eemen!


Inatoka Uk. 7

nyumba zao na maduka


yao, unachotarajia nini?
Unachotafuta nini?
Alisema na kuhoji
Kole Shettima, ambaye
ni mwenyekiti wa
taasisi iliyopo Abuja
inayojulikana kwa jina la
Center for Democracy and
Development. (Tazama:
Nigeria accused of killing
185. HRW: Satellite images
reveal 'Nigerian Army
abuse' in Baga. 2013 Baga
massacre)
Z i p o
t a a r i f a
z i n a s a m b a z wa k u wa
Baga ni katika miji
inayodhibitiwa na Boko
Haram, na ndio sababu jeshi
lilifikia kufanya mauwaji
hayo, japo wenyewe jeshi
wanasema kuwa idadi
ya waliouliwa haikufikia
200, ila wanakiri kuuwa na
kuchoma moto nyumba,
ila za Boko Haram.
Lakini wanasema hivyo
kwa sababu watu wote
ni Waislamu na Khamsa
Swaaalt. Labda waseme
walikuwa wakifanyia
kazi ile amri ya kidini
ya Askofu Oyedepo ya
kuuwa na kumkata shingo
kila anayefanana, looks
like, na Boko Haram. Kwa
maana hiyo kila Imamu wa
Misikiti na kila Sheikh wa
Baga, atakuwa looks like
Abubakar Shekau (kwa
mavazi na ndevu)!

WANAWAKE wa Kiislamu wa Nigeria wakiw nje ya nyumba yao baada ya


kubomolewa na majeshi ya Nigeria kwa madai ya kupambana na Boko Haram.
Lakini swali moja bado
linawatatiza kujibu: Kama
Baga inadhibitiwa na Boko
Haram, na kama wakazi
wa Baga ni Boko Haram,
kwa nini sasa Boko Haram
hao waue watu wa Baga?
Hiyo si sawa na kusema
kuwa wamejiuwa wao
wenyewe?
Inawezekana taarifa
hizi zikaonekana kuwa
za mbali. Ni za Nigeria.
S i o Ta n z a n i a . L a k i n i
ukitizama kasi ya
mambo yanavyokwenda

tunakoelekea ni huko
huko. Ilipoibuka ile kadhia
ya Amboni, magazeti
mengi yakijitahidi kupaka
picha kuwa waliokuwa
wakipambana na polisi ni
Waislamu, Wasomali au
Waarabu kwa mwonekano.
Kwa hiyo, looks like
Al-Shabaab. Looks like
magaidi.
Hebu soma maelezo
haya kutoka NIPASHE ya
Februari 17, 2015 ukurasa
wa 25. Yanasema:
Watu hao walikuwa

wakipendelea mashati ya
mikono mirefu, suruali za
jeans zilizokatwa chini na
kanzu.
Hawa bwana walikuwa
wanavaa short jeans, yaani
wamekaa ki-jihad zaidi na
yeboyebo chini. mashati
yao ni ya mikono mirefu na
kanzu. Wakati mwingine
walikuwa wanavaa na
kofia juu ya balaghashia.
Anachotuambia
m wa n d i s h i h u y u wa
N I PA S H E n i k u w a
Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
utawatambua wahalifu
( m a g a i d i ) wa l i o k u wa
wakipambana na polisi na
JWTZ kule Amboni Tanga,
kwa balaghashia, suruali
fupi na kanzu (alisahau
kutaja ndevu).
Ndio yale yale ya
anyone who looks like
ya Askofu David Olaniyi
Oyedepo.
Mara kadhaa yakitokea
matukio ya kihalifu
yanayotakiwa kutiwa
nakshi ya ugaidi, lazima
utasikia kauli kama,
walionekana watu
waliovaa kanzu na
vibandiko au Waarabu.
Yote hii ni ile ile Looks
like ya Askofu David
Olaniyi Oyedepo.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Hata hili tuseme Eemen!

Ya Biafra yanarudi

Picha sasa ipo wazi


Katika Nigeria, picha
sasa ipo wazi kabisa.
Kwamba jinamizi la Boko
Haram lilipandikizwa
kwa makusudi na wala
sio Waislamu wanaodaiwa
kutaka kusimamisha
Shariah. Baada ya
kusimika kitisho cha
u g a i d i u l i o d a i wa wa
Boko Haram, wakidaiwa
kuwa ni Waislamu na
ikakubalika hivyo ndani na
nje ya Nigeria, waliofanya
mchezo huo kupitia false
flag terror attacks, kwa
maana ya mauwaji ya
kigaidi ya kupanga kisha
kusingizia Waislamu,
sasa wanatumia ugaidi
h u o wa B o k o H a r a m
waliotengeneza wenyewe,
kuwa sababu na kisingizio
cha kuuwa Waislamu.
Kupitia ugaidi
wa k u p a n g a , k i t i s h o
kimekuwa kikubwa sana,
kiasi sasa Askofu David
Olaniyi Oyedepo anasema
kuwa ametumwa na
Mungu ili aiokoe Nigeria
na Afrika kwa ujumla
k u t o k a n a u g a i di wa
Waislamu.
God has anointed me
to lead a revolution against
Islamic jihadists.
Anasema askofu huyo
anayetajwa kuwa tajiri
kuliko maaskofu na
wachungaji wote Nigeria.
Ana ndege binafsi nne (4).
Anasema, imebidi Mungu
amtume kuiokoa Nigeria
kutokana na Uislamu
k wa s a b a b u s e r i k a l i
imeshindwa. Na katika
mahubiri hayo, ambapo
pia alichukua fursa hiyo
kumpigia kampeni Rais
Goodluck Jonathan,
anasema kuwa Kanisa
halitaruhusu Muislamu
kutawala Nigeria.
What a messMust

Wakristo, kwani hata huko


Kaskazini kunakodaiwa
kuwa kuna Waislamu
wengi zaidi ya Wakristo,
si kweli. Anasema, huko
Kaskazini ni vichaka
vitupu na kama wapo
Waislamu, basi idadi yao
(Nigeria nzima, waweza
kuwa sawa na wakazai wa
Lagos pekee).

NDEGE ya Askofu David Olaniyi Oyedepo ikitua kwenye uwanja wa ndege Nairobi,
Kenya.

ASKOFU David Olaniyi Oyedepo akishuka kwenye ndege yake Nairobi mwaka 2013.
the North continue to rule?
What devils!
Alisema Askofu
Oyedepo akiwafananisha
Wa i s l a m u k u t o k a
K a s k a z i n i m wa n c h i
hiyo kuwa ni mashetani
devils, na kuahidi kuwa
hataruhusu mtu kutoka
K a s k a z i n i k u wa R a i s
Nigeria katika uchaguzi
ujao. Katika kulitilia mkazo
hilo, alisema kuwa yeyote
atakayempinga Rais
Jonathan, atamfungulia
mlango wa Jahannamu.
We Will Open The Gate
Of Hell On Those Who
Oppose You.
Alisema Pastor
Oyedepo, akiwaambia
wa u m i n i wa k e k u wa
maneno hayo alimwambia

Rais Goodluck Jonathan


alipomtembelea katika
kuweka mikakati
kuhakikisha kuwa
anashinda katika
uchaguzi
mkuu
a mb a p o a n a k a b i l i a n a
na Mohammed Buhari,
mgombea Muislamu
kutoka Kaskazini.
Maneno ya Askofu huyo
kwamba atawafungulia
milango ya Jehennamu
watakaompinga
Jonathan katika kupiga
kura, yamepelekea Rais
wa z a m a n i O l u s e g o n
Obasanjo kuhoji:
My question is, How
and Why does a man of God
have the key to hell and not
Heaven. Is that his home?
Kwamba, kama huyu

ni mtu wa Mungu, kwa


nini awe na ufunguo
wa Jehannam badala ya
Mbinguni (Peponi). Je,
Jehannam ndio nyumbani
kwake?
Lakini habari haishii
hapo. Askofu David
Olaniyi Oyedepo anadai
kuwa hata sensa zimekuwa
zikisema uwongo maana
yeye anaona kuwa
Kaskazini kuna vichaka
tu vilivyojaa wanyama,
hakuna binadamu.
Where are the human
beings? I wouldnt be
surprised if all the North is
equal to Lagos! We have never
had a successful census in
this country.
Ufupi anachosema ni
kuwa Nigeria ni nchi ya

Tul i a , si k i l i z a hi i !
Maana hapa Askofu
anataka kuangusha
bomu zito zaidi. Ndivyo
anavyosema mchambuzi
katika televisheni iitwayo
Dunamis TV inayomilikwa
na Mchungaji Dr. Paul
Enenche wa Abuja.
I decree the curse of
God upon them (Muslims
in the North). Lord, if it
is Your will to break up
Nigeria break it now!
Laana ya Mungu iwe
juu yao (wananchi wa
Kaskazini-Waislamu wa
Nigeria). Mungu, kama ni
katika mapenzi yako kuwa
Nigeria ibeguke mapande,
ivunjilie kwa mbali sasa.
Waumini wanashangilia
na kuruka ruka wakisema
Eemen!
Jamani, na hili tuseme
Eemen? Anauliza
mchambuaji huyo katika
televisheni ya Kikristo.
Akifafanua zaidi
mchambuzi huyo anasema
kuwa anachofanya Askofu
O ye d e p o , k wa n z a n i
kuhamasicha mauwaji
holela na machafuko
katika nchi. Pili, anahimiza
na kuwafitisha wananchi
wa Nigeria katika kiwango
cha kutaka nchi igawikeKaskazini na Kusini. Cha
kushangaza ni kuwa, watu
wanashangilia na kuitikia
Eemen!
Lakini cha kutisha
anasema kuwa haionyeshi
kuwa kuna hatua zozote
zinazochukuliwa na
serikali dhidi ya uchochezi
na uhaini huo. Bali la
kutisha zaidi na kwa hakika
kustaajabisha na ambalo
halieleweki kabisa kwa
wengi, ni kuwa Askofu
Oyedepo, ni katika watu
wa karibu sana wa Rais
Goodluck Jonathan kama
alivyo Mchungaji Ayodele
Joseph Oritsejafor. Hawa
ni watu ambao huingia
Ikulu bila ya miadi. Na
a m e k u wa a k i f u a t a n a
na Rais Jonathan katika
kile kinachoitwa Hija,
kwenda Israel kuzuru
sehemu muhimu za kidini.
K
a
m
a
ilivyomchanganya
mchambua habari wa
Inaendelea Uk. 14

12

MAKALA

KONGAMANO LA UWAWAMWA
(PENYE DHULMA, AMANI CHANGA LA JICHO!)

Kalamu i mkononi, ukweli kuukashifu,


Japo mchungu moyoni, jarima kuukhalifu,
Mashekhe sikilizeni, pamwe na Maaskofu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.

Amani itongoeni, kwa mizani adilifu,


Viongozi wambieni, ukweli pasi na hofu,
Huru utakuwekeni, kwa insi na kwa RAUFU,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani hapa nchini, imekuwa mausufu,
Si Bara si Visiwani, viongozi huisifu,
Kwa kauli za kinywani, vitendo iso sadifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ya mdomoni, kathiru 'ishatukifu',
Twataka ya matendoni, yenye tutumbi sharafu,
Ninyi hilo maizini, na wao muwaarifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani itazameni, kwa uyuni yakinifu,
Mashekhe jihadharini, na wa fikara upofu,
Ushenga uepukeni, kuridhi 'Watakatifu',
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ichungueni, kwa mapana na marefu,
Ukweli mtabaini, wenye nayo maarufu,
Muhali wao sijini, kuwekwa kwa uhalifu!
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani gani ambeni, haswa mnoisharifu?
'Wasota' wenzenu 'ndani', dhamana si yao kufu!
Wangapi jiulizeni, 'lupango' Maaskofu?
Amani kustakiri, penye dhulma muhali.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

Mwili una raha gani

Naandiliza kusema, kwa Raufu jina lake,


Swala nyingi na Rehema, zende kwa Mtume wake,
Duwa ziwafike hima, wote Maswahaba zake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Leo nimekuja tena, na swali langu lifike,
Kwenu malenga vijana, busara mzipeleke,
Fanyeni bahathi sana, jawabu bora litoke,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Hili jambo lanitanza, sipati undani wake,
Tena linanishangaza, linanitia makeke,
Mwili nina uuliza, nini hasa raha yake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Ukenda kufanya kazi, wataka upumzike,
Bora ufanye ajizi, kutwa ukaghururike,
Unanitia simanzi, niupe nini ushike,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Mwili wataka kulala, daima usiamke,
Hautaki hata swala, kheri ukaadhibike,
Hueza sahau Mola, kuwa ndo Muumba wake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Kila nikijitahidi, alau ukurupuke,
Unafanya ukaidi, lala chini upweteke,
Hautimizi miadi, kwenda mahali ufike,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Hayo machache yatosha, mradi yafahamike,
Yanotia mshawasha, majibu muyaandike,
Nyote nawakaribisha, awezae kazi kwake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Sasa napiga tamati, jambo jengine nishike,
Japo mwili hautaki, uwache ukukurike,
Usubiri umauti, uone jeuri yake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Zainab Mtima
Chuo cha Afya, Mbweni
Zanzibar
0777 357 031

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Huu ni ukoloni dhidi ya akili zetu


Na Shaban Rajab

MWENYEZI Mungu
kamuumba mwanadamu
na akamjaalia uwezo wa
kufikiri (akili), ili kuweza
kubainisha jema, zuri na
baya. Kutambua lenye
madhara na lisilo na
madhara, kujua ni lipi
lenye faida na maslahi
kwake na kwa viumbe
wa n a o m z u n g u k a n a
lisilofaa. n.k
Aidha Mwenyezi
Mungu amemjaalia
mwanadamu utawala wa
ulimwengu juu ya viumbe
wengine na kumfanya
kuwa kiumbe bora kabisa.
Akili hung'azwa na fikra.
Uwezo wa kufikiri kwa
binadamu ni sehemu ya
maarifa ambayo yanajikita
katika kutumia akili.
Hazina hii ni adimu kwa
viumbe wengine. Madhara
ya duniani wanayopata
binadamu husababishwa
na binadamu wenyewe,
hasa walioshindwa
kutumia hazina yao ya
akili kuepusha majanga.
Mwanadamu kwa
kutumia uwezo wa akili
yake (tafakur), anastahili
kutenda mambo kwa
weledi na kwa yakini,
ili kupata matokeo bora
na yenye maana kwake
tofauti na viumbe vingine.
Nimelazimika kuanza
na maneno machache
juu ya sifa na ubora wa
mwanadamu, kufuatia
kasumba iliyokithiri
kwa baadhi yetu sisi
Waafrika kujibadili rangi
ya ngozi na kuvaa viungo
bandia. Huwa najiuliza
p a m o j a n a k u wa n a
sifa kwa nini Waafrika
hususan wanawake
wanajibadilisha rangi?
Kwanini weupe unapewa
maana zaidi miongoni
mwa jamii ya watu Weusi?
Wanawake wengi barani
A f r i k a wa n a j i c h u b u a
na kutumia viungo
b a n d i a k a m a n y we l e
bandia, wakiamini kuwa
kufanya hivyo ni kuwa na
mvuto zaidi na angalau
kustaarabika kama
Wazungu! Kasumba ya
kutaka kufanana na watu
Weupe imeharibu akili za
watu wetu. Wakishindwa
k u f i k i r i , n i n i t i j a ya
k u t u mi a p e sa n y i n g i
kuharibu maumbile ya
asili kwa kemikali na

uchafu. Faida yake ni ili tu,


afanane na watu Weupe na
kwa kufanana huko, basi
atakuwa amestaarabika
na kuheshimika!
Wa n a wa k e n a h a t a
baadhi ya wanaume wa
Kiafrika wanaangalia
uwezekano wa kubadili
rangi za ngozi, pamoja na
kuthibitika kwamba rangi
zetu za ngozi ni Nyeusi na
nzuri, wengine ngozi ni
angavu na kukoleza huo
uzuri.
Ajabu ni kwamba kuna
wanawake na hata baadhi
ya wanaume wenye ngozi
n ye u p e , l a k i n i b a d o
wa n a t a k a k u o n g e z e a
zaidi ya rangi waliyonayo.
Kumekuwa na kasumba
kuwa na ngozi nyeupe
kumeonekana kuwa kwa
kipekee zaidi kwenye
jamii ya watu wengi
walio na ngozi nyeusi.
Ni jambo linalofahamika
kwamba bara la Afrika
limekumbwa na matatizo
mengi sana tangu ujio wa
wakoloni na hata baada ya
wakoloni kuondoka.
Lakini kusema kweli,
tangu ulipoondoka
u k o l o n i wa v i t e n d o ,
Wa a f r i k a w a m e b a k i
n a m a t e s o m a k u b wa
ya ukoloni wa kifikra.
Ukoloni umekuwa mbaya
zaidi, na huu ndiyo
unaofanya yote haya
yatukute. Naona huu ndio
ukoloni wenye nguvu
kubwa kuliko hata wakati
wakoloni walipokuwa
wamekalia ardhi yetu.
Waafrika tunaonekana
sasa kama hatuna uwezo
we t u wa k u f i k i r i n a
kufanya maamuzi yetu
bila ushawishi wa sera za
Kimagharibi. Ukitizama
kwa undani jinsi mambo
yanavyokwenda katika
nchi zetu za Afrika, ni
dhahiri kabisa kwamba
wakoloni waliondoka
ila ukoloni bado upo.
Nik is e ma hi v y o s i na
maana ya kubeza juhudi
za wazee wetu waliotoa
maiasha yao na gharama
kubwa kutetea kwa nguvu
zote uhuru na heshma za
nchi zetu, la hasha!
Ta t i z o n i k wa m b a
kizazi cha wapigania
uhuru, watu waliokuwa
na dhamira ya dhati ya
kuikomboa Afrika kifikra
na dhidi ya dhuluma za
mabeberu na kujitawala
wenyewe, kizazi hicho

kimekwisha na wachache
waliobaki hawana nguvu
wala ushawishi wowote
juu ya maamuzi ya
msingi ya kujenga hatima
ya mataifa yetu na bara
letu kwa ujumla. Sasa
tumebaki na kizazi cha
watu wasiojali, wasiojua
uchungu hasa wa gharama
za uhuru tuliopewa. Kizazi
ambacho hakioni shida
kushawishika kuvuruga
misingi ya uhuru na
kujitawala kwa ajili ya
ustawi wetu. Pamoja na
kwamba bado tunateswa
na ukoloni mambo leo wa
kiuchumi na kisiasa, lakini
ukoloni wa kitamaduni
umeingia kwa kasi kubwa
zaidi hasa katika karne
za 20 na 21 kwa tiketi za
ustaarabu na utandawazi
na waathirika wakubwa
wakiwa watoto na vijana.
Ni dhahiri kwamba
vijana wengi wa Kiafrika
hawaelewi maana halisi
za dhana za ustaarabu na
utandawazi. Akili wanazo,
lakini bila kutafakari kwa
akili hizo. Wanaona ni
jambo lililo sawa kuiga kila
kinachofanywa na watu
wa mataifa yaliyoendelea.
Matokeo yake
tumepoteza misingi
mizuri ya kimaadili na
asili yetu kama Waafrika
kwa kufikiri kuwa
ni ushamba. Huo ni
utumwa! Hili ni janga!
Tunakoelekea si kuzuri,
na kabla hatujajuta, ni
vyema tukumbuke kuwa
hakuna vita mbaya kuliko
vita vinavyoharibu watu
akili. Hivi ni vita ambavyo
vinalenga kuvunja msingi
wa kistaarabu vya kila
taifa na kuondoa uwezo
wa watu kufikiri.
Tunaposoma makala
hii tutafakari kwa
kina, tunatumia vizuri
akili zetu kwa maslahi
yetu au tunavamia na
kukurupukia tu mambo
kama mkia. Nadhani,
wakati umefika Waafrika
tujitambulishe kama watu
tuliokomaa na mataifa
mengine yatutambue
hivyo! Tutathibitika hivyo
endapo tutaweza kutumia
uwezo wa kuchambua na
kuchukua mazuri tu katika
mambo yanayoletwa na
watu wengine.
Tu k a t a e k wa d h a t i
ustaarabu na utandawazi
unaolenga kuondoa
uwezo wetu wa kufikiri. La
sivyo, tukubali kuendelea
k u wa wa t u m wa k wa
vizazi vyote. Na hilo ni
janga!

13

Makala ya Mtangazaji

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Israeli navy Israeli soldiers urge dogs


opens fire at to attack Palestinian child
Gaza fishing
boats
GAZA CITY (Ma'an)
-- Israeli naval boats
on Monday opened
fire at fishermen off the
coast of northern Gaza,
residents said.
The incident occurred
near the neighborhood
of al-Sudaniyya, with
the fishermen returning
to shore for fear of arrest
or having their vessels
confiscated.
An Israeli army
spokeswoman said she
was looking into the
incident.
On Sunday, residents
said Israeli boats opened
fire at fishermen in the
early morning. No
injuries were reported.
There are around 4,000
Palestinian fishermen
in the coastal enclave,
90 percent of whom
are poor according to
a 2011 report by the
International Committee
of the Red Cross.
The Aug. 26 ceasefire
a g r e e m e n t b e t we e n
Israel and Palestinian
militant groups
stipulated that Israel
w o u l d i mm e d i a t e l y
expand the fishing zone
off Gaza's coast, allowing
fishermen to sail as far
as six nautical miles
from shore, and would
continue to expand the
area gradually.
Since then, there have
been widespread reports
that Israeli forces have
at times opened fire at
fishermen within those
new limits, and the zone
has not been expanded.
Contact us: P.O Box
20307, 612 UN Road
Upanga West, Dar es
Salaam Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.
orgWebsite: www.paltz.org

BETHLEHEM (Ma'an)
-- A video circulating
on social media on
Monday showed two
Israeli soldiers urging
two dogs to attack a
Palestinian child, who
they claimed threw
rocks at them.
The video, which was
first uploaded Sunday
evening, shows the
child, pleading for help,
after being bit by one
of the two dogs which
were held by their
leashes by the soldiers
who continue to incite
them to attack him.
The child was detained
before the dogs attacked

Israeli Army
Floods
Sewage into
Olive Fields

him, and he posed no


threats to the soldiers.
One of the soldiers in
heard clearly ordering
the dog in Hebrew to

maul the child more than


once, as he told the child
"now who's the coward."
The child then began
screaming in terror.

BETHLEHEM, (WAFA)
The Israeli army flooded
sewage into a Palestinianowned olive-planted land
in the village of Tekoa near
Bethlehem, according to a
local source.
The villages mayor,
Tayseer Abu Mfarreh, said
army soldiers and settlers
broke into an area near the
village and proceeded to
conduct military exercises,
during which they flooded
sewage into olive-planted
fields.

ministry spokesman
Emmanuel Nachshon
refusing to react to a
declaration which he
described as "speculative
and hypothetical."
On Jan. 16, the
ICC announced
"a preliminary
examination" into
Israel's actions over a

period beginning in
June which included
last year's war in Gaza
in which about 2,200
Palestinians were killed.
UN figures indicate
most of the victims were
civilians.
The PLO is also
planning to sue Israel
over its policy of

settlement building on
land they want for a
future state.
Under international
law, all Israeli
construction on land
seized during the
1967 Six-Day War is
viewed as illegal and a
major stumbling block
to efforts to end the
decades-long conflict.

JERUSALEM (Ma'an)
I sr a e li a u th o r itie s
on Sunday ordered
83-year-old Palestinian
grandfather Ayyub
Shamasnah and his
family to voluntarily
evacuate their home
in the East Jerusalem
neighborhood of Sheikh
Jarrah before next Sunday
in compliance with a final
supreme court decision.
Shamasnah lives with
his wife, 75, children and
grandchildren in a tworoom, 65-square-meter
house targeted by Jewish
settlers who have already
evicted several Palestinian
families.
T h e f a m i l y m o ve d
to Sheikh Jarrah after
t h e y we r e d i s p l a c e d
from Qatanna village

in northwest Jerusalem
during the creation
of Israel in 1948. They
initially paid rent to
Jordanian authorities, who
were responsible for East
Jerusalem until 1967 when
Israel occupied the city.
Since 1968, the family
has paid rent to Israeli
authorities as protected
leaseholders.
In 2011, the Israeli
government's Custodian
for Absentee Property
started legal proceedings
to evict the Shamasnah
family, claiming their
rental contract expired
in 2008. In May 2013, an
Israeli court postponed
the eviction until further
discussions.
The court suggested
during a hearing in May

that the family could


remain in the property
until the elderly parents
die, but settlers who are
targeting the property
once the family is evicted
refused the proposal,
according to the owner's
son Muhammad.
Speaking to Ma'an
Sunday, Muhammad said
that the Israeli supreme
court decided in August
2013 that his family should
evacuate the property
before Jan. 3, 2015 to be
delivered to the Israeli
settlers.
"Thus, the family
received a letter last
Thursday from the settlers'
lawyer demanding that
they comply with the court
decision, or otherwise they
will be evacuated by force."

PLO to file ICC case against Israel in April


RAMALLAH (AFP) -The PLO is to lodge its
first complaint against
Israel for alleged
wa r c r i m e s a t t h e
International Criminal
Court on April 1, a
senior official told AFP
on Monday.
"One of the first
important steps will
be filing a complaint
against Israel at the
ICC on April 1 over the
(2014) Gaza war and
settlement activity," said
Mohammed Shtayyeh, a
member of the executive
committee of the PLO.
On Jan. 2, the PLO
moved to formally join
the Hague-based court
in a process which is
due to take effect on
April 1, setting the scene
for potential legal action
against Israeli officials
for alleged war crimes.
Israel reacted
furiously, and quickly
moved to cut off
millions of dollars in
monthly tax payments
it collects on behalf of
the Ramallah-based
Palestinian Authority,
exacerbating an already
severe financial crisis.
There was no
immediate response
from Israel, with foreign

Israel orders Palestinian family to evacuate


Sheikh Jarrah house

14
Inatoka Uk 11

D u n a m i s T V, n d i v y o
ambavyo Mtanzania
yeyote leo anavyosoma
habari hizi za Askofu
O ye d e p o a t a s h i n d wa
kuelewa inakuwaje mtu
kama huyu anayehimiza
mauwaji na kugawika
nchi, anakuwa ndiye rafiki
wa karibu wa Rais wa
nchi na wakati huo huo
anapambwa na vyombo
vya habari na hata
kutetewa.
Ukiingia kwenye
mtandao, tafuta mada hizi:
Africa: U.S. Military Holds
War Games on Nigeria,
Somalia. US Army Prepares
For Nigerias Possible Breakup (2015). Nigeria: U.S.
Speaks On Nigerias Breakup. Obama To Visit GhanaA ll A bout AFR IC OM ?
N i g e r i a Ta r g e t e d F o r
Destruction: Gordon Duff,
US . "Unified Quest 2008"
by the Rand Corporation and
Booz-Allen.
Ukisoma yaliyoandikwa
katika makala hizi na
nyingine nyingi za
namna hiyo, kisha rejea
sasa usome na kusikiliza
haya anayosema Askofu
Oyedepo: Lord, if it is
Your will to break up
Nigeria break it now!
Ukiyachanganya
hayo, ukiunganisha na
mizaha ya Bring Back
Our Girls, na mengine
kama hayo ya mzaha wa
Boko Haram, unaweza
kuelewa kazi anayofanya
Askofu Oyedepo. Lakini
kwa upande mwingine,
utajua ni kwa nini inafikia
leo mzaha (hoax) wa
Abubakar Shekau kuteka
kambi ya jeshi unaaminika
kuwa ni jambo la kweli. Ni
katika mlolongo ule ule
wa akina Jihad John na
Osama Bin Laden.
Ujumbe wa Redio One, ITV
Kinachojitokeza hapa
ni kuwa tatizo la Nigeria
ni kubwa mno na kwa
bahati mbaya Wanigeria
wenyewe (baadhi wenye
kauli, wenye mamlaka),
waliopo serikalini na
sehemu mbalimbali
muhimu, inavyoonekana
wamehiyari kuchuuza
nchi yao na kujichuuza
wenyewe kwa mabeberu.
Ila hapa nimalizie
kwa kusema jambo moja
muhimu. Redio One, wana
ujumbe wao ambapo kwa
kutumia watu mbalimbali
wakiwemo ma-Rais
wa s t a a f u , wa k u u wa
vyombo vya usalama,
wasomi, viongozi wa dini
na hata watoto wadogo wa
shule, ambapo wanaeleza
umuhimu wa kulinda

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Hata hili tuseme Eemen!

RAIS Gooluck Jonathan (wa pili kushoto), Askofu David Olaniyi Oyedepo (mwenye
tai) wakiwa ziarani Israel.
amani iliyopo na kutaka
Lakini kama tutakuwa One, pamoja na kutolewa
wanaojaribu kuiharibu, tunaitikia Eemen kwa na watu wazito katika
wafichuliwe haraka na maneno kama yale ya nchi, bado hautakuwa na
kuchukuliwa hatua. Ni Askofu Oyedepo, ujumbe maana yoyote.
ujumbe mzuri.
mzuri kama huu wa Redio
Wa p o k w a m f a n o

viongozi wa dini
walithubutu kuwahimiza
waumni wao kushika
mapanga, visu, mikuki
na mishale, kupambana
n a wa t u wa l i o d a i wa
kuchoma makanisa. Lakini
ukitizama hao wanaodaiwa
kuchoma makanisa,
hakuna ushahidi wowote
unaoweza kutolewa
hadharani kuwa walitenda
jinai hiyo. Kinyume
chake, inaonekana kama
n i m a m b o ya k u z u a
t u , k u p a n d i k i z wa i l i
kupandikiza kitisho kama
kile cha Boko Haram,
Nigeria.
Kauli kama hizi
zinapofumbiwa macho,
i t a f i k a m a h a l i , wa p o
Wakristo wataamini kuwa
Waislamu wanachoma
moto makanisa yao na
kuuwa viongozi wao.
Ikifika hapo, wakiibuka
wale wachungaji ambao leo
wanahimiza wafuasi wao
kujihami kwa visu na sime,
wakiwaambia wafuasi hao
kwamba wakimwona mtu
anayefanana na wachoma
makanisa, hapana shaka
balaa lake litakuwa
kubwa. Wala huu ujumbe
unaotolewa na Redio One,
hautatusaidia kitu.

Maaskofu Pentekoste waongo


Hakuna Kanisa lililochomwa moto Yombo

HAKUNA Kanisa
lililochomwa Yombo Dovya
kama walivyodai baadhi ya
Maaskofu.
Uchunguzi wa gazeti hili
pamoja na ule wa Serikali za
Mitaa, eneo hilo, umebaini
kuwa taarifa hizo ni urongo
na uzushi mtupu.
Awali Maaskofu chini ya
Umoja wao unaojulikana
kama Baraza la
Makanisa ya Kipentekoste
Tanzania (PCT) walitoa
taarifa wakisema kuwa
wamegundua mpango
ulioandaliwa na Waislamu
wa kuchoma makanisa nchi
nzima.
Katika madai hayo
wakasema kuwa tayari kikosi
maalum cha Waislamu cha
kutekeleza hujuma hiyo
kilikuwa kimetua Mbeya.
Akizungumza mbele ya
waandishi wa habari Katibu
M k u u wa B a r a z a l a
Makanisa ya Kipentekoste
nchini Tanzania (PCT),
Askofu David Mwasota
a k a w a t a k a Wa k r i s t o
kujihami kwa visu, mishale
na mikuki ili kupambana
na Waislamu.
Baada ya kueleza na
kunukuu kwa urefu yale
yaliyosemwa na Katibu
Mkuu wa PCT, Askofu
David Mwasota, gazeti la

Msema Kweli likamalizia


kwa kudai kuwa wakati
likielekea mitamboni, bado
uchomaji moto makanisa
Jijini Dar es Salaam ulikuwa
unaendelea, ambapo Kanisa
la Kipentekoste la Faraja
International Yombo Dovya
lilikuwa likiteketea, huku
jingine la KKKT Yombo
Dovya nalo likinusurika
kuteketezwa na watu
wanaojiita wanaharakati
wa Kiislamu. (na kwamba)
M l i n z i wa K a n i s a h i l o
aliripotiwa kujeruhiwa.
Katika taarifa yake mbele
ya waandishi wa habari,
Askofu David anasema
kuwa kwa kushika mikuki,
visu na mishale, huenda
serikali itazinduka na
kuwashughulikia Waislamu,
kwani anasema kuwa haoni
kama serikali inafanya
vya kutosha kukabiliana
na kitisho cha Waislamu
kuchoma makanisa.
Kufuatia taarifa hizo, An
nuur ilipiga hodi Yombo
ili kujua ukweli wa madai
hayo.
Katika ufuatiliaji
ikabainika kuwa hakuna
kanisa lililochomwa
moto Yombo Dovya bali
habari hizo ni uzushi na
uchochezi mtupu, unaolenga
kuwafarakanisha Waislamu

na Wakristo na wakati huo


huo ukilenga kuwachongea
Waislamu kwa serikali.
Kwa kweli sisi
h a p a Yo m b o D o v y a
tumeshtushwa na habari
hizi, makanisa yaliyotajwa
kuchomwa tunayafahamu,
si kweli kwamba kuna
kanisalililochomwa na ni
vyema umekuja mwandishi
ukayaona.
Alisema Bw. Shamte
Mwegiro mkazi wa Yombo
Dovya.
Alisema kuwa baada ya
kusikika habari za kuchomwa
makanisa hayo hapo Dovya,
taarifa ziliwafikia Wenyeviti
wa Serikali za Mitaa
minne ya Yombo Dovya
ambayo ni mitaa ya Uwazi,
Makangarawe, Dovya na
Msalakala.
Baada ya kupata
taarifa hizo viongozi hao
waliwafuata viongozi wa
makanisa yaliyotangazwa
kuchomwa moto pamoja na
kutizama hali ya makanisa
yenyewe.
Taarifa zinabainisha kuwa
baada ya kufika mtaa wa
Uwazi lilipo kanisa la Faraja
International, walikuta lipo
salama.
Walipomhoji muhusika
juu ya kuripotiwa kuchomwa

moto kanisa hilo, walijibiwa


kuwa kanisa hilo halijaungua
bali inaonekana kulikuwa na
dalili za kuwepo hitilafu ya
umeme.
Viongozi hao walikwenda
katika Kanisa la Walokole
lililopo mtaa wa Njia
Panda kwa Kombo, ambalo
nalo liliripotiwa kuchomwa
moto.
Kanisa hilo lililojengwa
kwa mabati na kuzungushiwa
pazia, nako walilikuta ni
salama.
Wa l i p o h o j i k u l i k o n i
kuenea habari za kuchomwa
kanisa hilo, majibu
yalikuwa ni moto uliokuwa
umewashwa kuchoma taka
zilizokuwa jirani na kanisa
hilo, uliruka na kuchoma
moja ya
pazia la kanisa, lakini
uliwahiwa na kuzimwa na
haukuleta madhara kanisani.
Kufuatia uzushi huo,
tayari viongozi wa misikiti
Yombo Dovya hususan
Masjid Swabrina, wametoa
tahadhari kwa Waislamu
k u wa m a k i n i k u f u a t i a
kuwepo propaganda za
kuwapaka matope Waislamu
kwa kuwazulia uhalifu.
(Habari hii ilitolewa kwa mara
ya kwanza katika An nuur
Namba 1044 la Novemba 9,
2012. Soma makala uk. 18)

15

Makala

Mchango wa Waislamu katika maendeleo ya Dunia

Na Ben Rijal

950), Al-Battani (858 929),


Ibn Sina (980 1037).
Msomi na gwiji wa
maendeleo ya teknolojia AlKhwarizmi

KATIKA makala iliopita


ikiwa ni utangulizi wa
maudhui ya Mchango wa
Waislamu katika maendeleo
ya dunia, nilitoa ufafanuzi
k u wa Wa i s l a m u s i v y o
wanavyoonekana na
kunasibishwa na ugaidi
katika nyakati hizi. Lakini
Waislamu huko nyuma
wameweza kutoa michango
mikubwa ya kuifanikisha
dunia hii tunayoishi kuwa
katika maendeleo na
mafanikio.
Kati ya vigogo mbalimbali
wa Kiislamu ambao
wamefanya kazi kubwa
ambao wataelezewa katika
mfululizo wa makala hizi
ni pamoja na: Muhammad
Ibn Musa Al-Khwarizm (780
850), Ibn Battuta (1304
1369), Ibn Rushd (1126
1198), Omar Khayyam (1048
1131), Thabit Ibn Qurra (826
901), Abu Bakr Al-Razi (865
925), Jabir Ibn Haiyan (722
804), Ibn Ishaq Al-Kindi (801
873), Ibn Al-Haytham (965
1040), Ibn Zuhr (1091 1161),
Ibn Khaldun (1332 1406),
Ibn Al-Baitar (1197 1248),
Abu nasr Al-Farabi (872

Mjuwe Muhammad Ibn Musa


Al-Khwarizmi (780 850)
Muhammad ibn Mussa AlKhawarizmi Mfursi aliobobea
katika fani nyingi za kitaluma
ikiwa pamoja na Hesabati,
Elimu ya nyota, Jiografia
na elimu nyenginezo, hizo
nilizokwisha kuzinukulu
ndizo alizozifanyia kazi kwa
kiwango kikubwa.
Al-Khawarizmi amezaliwa
huko Uajemi katika mwaka
wa 780 AD. Katika historia
tunamsoma Kiongozi
Haroun Rashid ambaye
katika uongozi wake
aliusukuma na kupeleka
Uislamu mbele katika fani
ya elimu na ndio nyakati hizo
zikijulikana kama nyakati
za dhahabu kumanisha
kuwa ni nyakati ambapo
Waislamu walifanikiwa na
kutekeleza mengi katika
elimu na maendeleo au kwa
kifupi tunaweza kuita ni
wakati wa mafanikio na
maendeleo makubwa kwa
Waislamu. Kujulikana kwake
Al-Khawarizmi na kuweza
kufanya kazi zake kwa upana
ni pale alipohamia Baghdad
katika Nyumba ya Hekima
(House of wisdom) chini ya

Na Ben Rijal
MAKALA hii itajaribu
kuondosha dhana ambayo
walimwengu wamekuwa
nayo kwa miaka na
mikaka, dhana ambayo
watu wanaamini kuwa
tupa baharini ukitakacho
bila yakuwa na wasiwasi
kwani bahari haiathiriki
na uchafu. Makala mbili
mfululizo italiangalia suala
hili. Makala ya kwanza
itazielezea aya zilizomo
kwenye Quran zinazoielezea
bahari na dondoo juu ya
bahari na makala ya pili
itaiangalia dhana potofu ya
kutupa uchafu baharini na
atahari zake.
Na tulipo ipasua
b a h a r i k wa a j i l i y e n u
na tukakuokoeni,
tukawazamisha watu
wa Firauni, na huku
mnatazama. (Surah AlBaqara, 50)
Hakika katika kuumbwa
k wa m b i n g u n a a r d h i ,
na kukhitalifiana usiku
na mchana, na marikebu
ambazo hupita baharini kwa
viwafaavyo watu, na maji
anayo yateremsha Mwenyezi
Mungu kutoka mbinguni,
na kwa hayo akaihuisha
ardhi baada ya kufa kwake,
na akaeneza humo kila
aina ya wanyama; na katika
mabadiliko ya pepo, na
mawingu yanayo amrishwa
kupita baina ya mbingu na
ardhi, bila shaka zimo Ishara

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

M s o m i n a g w i j i wa
maendeleo ya teknolojia
Al-Khwarizmi
Kiongozi Al-Mamun, huyu
akiwa ni mwana wa Kiongozi
Haroun Rashid.
Kubakia kwake Baghdad,
Al-Khawarizmi aliweza kuja
na nadharia mbalimbali za
hesabati na ufanyaji wa
hesabu kwa njia rahisi kabisa
kwa kutumia Logarithm.
Inaeleweka kuwa AlKhawarizmi alibobea mno
katika fani hii ya Algorithm
ambayo fani hii ndio
inayotumika katika masuala

yote ya Computer kuwezesha


kufanya kazi kwa kirahisi.
Baadhi ya wasomi hupenda
kumwita Al-Khawarizmi
kuwa ni Babu wa somo la
Computer kwa kuwa dhana
nzima inayotumika katika
C o m p u t e r m i z i z i ya k e
imetokana na yeye.
Katika moja ya kazi za AlKhawarizmi
Juu ya kazi kubwa
iliofanywa na Al-Jabir katika
somo la Algebra, naye
Al-Khawarizmi amefanya
kazi kubwa ndani ya fani
hii hasa unaposoma kitabu
kinachojulikana Hisab al-Jabr
wa-al-Muqabala.
Kitabu hiki katika taaluma
ya sayansi kilibidi kufasiriwa
mara mbili kwa lugha ya
Kilatino, lugha ambayo huko
nyuma ikijulikana kama ni
lugha ya taaluma. Walikuwa
Gerard wa Cremona na
Robert wa Chester katika
karne ya 12 walipoifanyia
tafsiri kazi yake hiyo ya
kukitafsiri kitabu hichi
muhimu Hisab al-Jabr waal-Muqabala.
Al-Khwarizmi aliidhibiti
taaluma ya utambuzi wa
hesabu zijulikanazo kama
Quadratic Equations ambazo
alitoa mifano zaidi ya 100
katika kuweza kupata jawabu
unapofanya Quadratic
Equations. Aidha aliweza

Jee, Bahari ni Jaa Mwaga


Ukitakacho Bahari Itameza?

kwa watu wanao zingatia.


(Surah Al-Baqara, 164)
Nyinyi mmehalalishiwa
kuvua vinyama vya baharini
na kuvila, kwa faida
yenu na kwa wasafiri. Na
mmeharimishiwa mawindo
ya wanyama wa bara
maadamu mmeharimia Hija.
Na mcheni Mwenyezi Mungu
ambaye mtakusanywa
kwake. (Surah Al-Maida,
96)
Na ziko kwake funguo
za ghaibu; hakuna azijuaye
ila Yeye tu. Na Yeye anajua
kilioko nchi kavu na baharini.
Na halidondoki jani ila
analijua. Wala punje katika
giza la ardhi, wala kinyevu,
wala kikavu ila kimo katika
Kitabu kinacho bainisha.
(Surah Al-Anam, 59)
Sema: Ni nani anaye
kuokoeni katika giza la
nchi kavu na baharini?
Mnamwomba kwa
unyenyekevu na kwa siri,
mkisema: Kama akituokoa na
haya bila ya shaka tutakuwa
miongoni mwa wanao
shukuru." (Surah Al-Anam,
63)
Na Yeye ndiye aliye
kuwekeeni nyota ili

mwongoke kwazo katika kiza


cha bara na bahari. Hakika
tumezichambua Ishara hizi
kwa watu wanao jua. (Surah
Al-Anam, 97)
Basi tuliwapatiliza, tukawazamisha baharini kwa
sababu walizikanusha Ishara
zetu, na wakaghafilika nazo.
(Surah Al-Araf, 136)
Na tukawavusha bahari
Wana wa Israili, wakafika
kwa watu wanao abudu
masanamu yao. Wakasema:
Ewe Musa! Hebu tufanyie
na sisi miungu kama hawa
walivyo kuwa na miungu.
Musa akasema: Hakika
nyinyi ni watu msio jua kitu.
(Surah Al-Araf, 138)
Na waulize khabari
za mji ulio kuwa kando ya
bahari, wakiivunja Sabato
(Jumaamosi ya mapumziko).
Samaki walikuwa wakiwajia
juu juu siku ya mapumziko
yao, na siku zisio kuwa
za kupumzika hawakuwa
wakiwajia. Kwa namna hiyo
tuliwajaribu kwa sababu
walikuwa wakifanya
upotovu. (Surah Al-Araf,
163)
Ye y e n d i y e a n a y e
kuendesheni bara na

baharini. Hata mnapo kuwa


m a j a h a z i n i n a ya k a wa
yanakwenda nao kwa upepo
mzuri wakaufurahia, upepo
m k a l i u k a wa z u k i a , n a
yakawajia mawimbi kutoka
kila upande, na wakaona
wamesha zongwa, basi hapo
humwomba Mwenyezi
Mungu kwa kumsafishia
niya: Ukituokoa na haya bila
ya shaka tutakuwa miongoni
m wa wa n a o s h u k u r u .
(Surah Yunus, 22)
Tukawavusha bahari
Wana wa Israili, na Firauni
na askari wake wakawafuatia
kwa dhulma na uadui. Hata
Firauni alipo kuwa anataka
kuzama akasema: Naamini
kuwa hapana mungu ila yule
waliye muamini Wana wa
Israili, na mimi ni miongoni
mwa walio nyenyekea!
(Surah Yunus, 90)
Mwenyezi Mungu ndiye
aliye ziumba mbingu na
ardhi, na akateremsha maji
kutoka mbinguni. Na kwa
hayo akatoa matunda kuwa
ni riziki yenu. Na akafanya
yakutumikieni majahazi
yanayo pita baharini kwa
amri yake, na akaifanya
mito ikutumikieni. (Surah

kufahamisha somo la
Geometry na kuweka mifano
m b a l i m b a l i ya k u we z a
kulielewa somo hilo. Fani hizi
mbili ambazo nimezielezea,
aliweza kurahisisha kugawa
mirathi kwa njia ya kirahisi
kabisa kwa kutumia
Quadratic Equations na
mifano yake ya Geometry
ndio yalioleta chimbuko la
upimaji wa ardhi ambao hadi
hii leo njia alizozipita ndizo
zinazotumika.
B a h a t i m b a ya k a t i k a
taaluma tunazozisoma
jina lake huwa haliguswi
kwa uchoyo wa watu wa
nchi za Magharibi. Uchoyo
h u u s i o k wa Wa i s l a m u
tu walifanyiwa, bali hata
watu wa jamii nyengine
waliokuwa sio Waislamu
walifanyiwa uchoyo huo.
Kwa mfano V. N. Sukachov
akiwa ni Mrusi katika mwaka
wa 1910 alikuwa ni mtu wa
mwanzo ambaye alielezea
kuwa kila kiumbe kina
mwahali pake anapoishi na
hapo ndipo panakuwa na
maingiliano ya maisha na
mazingira yaliokizunguka
kiumbe hicho nadharia ya
kisomi inajulikana kama
Ecosystem, akiwa Sukachev
alioasisi neno hilo na kuwa
anayasomesha na kuyaelezea
katika vyuo vya Urusi wakati

Inaendelea Uk. 16

brahim, 32)
Yeye ndiye aliye ifanya
bahari ikutumikieni, ili
kutokana na humo mpate
kula nyama laini, na mtoe
humo mapambo mnayo
yavaa. Na unaona marikebu
zikikata maji humo, ili
mtafute fadhila yake, na
mpate kushukuru. (Surah
An-Nahl, 14)
Mola wenu Mlezi
ndiye anaye kuendesheeni
marikebu katika bahari ili
mtafute katika fadhila zake.
Hakika Yeye ni Mwenye
kukurehemuni nyinyi.
(Surah Al-Isra, 66)
Na inapo kufikieni taabu
katika bahari, hao mnao
waomba wanapotea, isipo
kuwa Yeye tu. Na anapo
kuvueni mkafika nchi
kavu, mnageuka. Ama
mwanaadamu ni mwingi
wa kukanusha. (Surah AlIsra, 67)
Na hakika tumewatukuza
wanaadamu, na tumewapa
vya kupanda nchi kavu na
baharini, na tumewaruzuku
vitu vizuri vizuri, na
t u m e wa f a d h i l i s h a k wa
fadhila kubwa kuliko wengi
miongoni mwa tulio waumba.
. (Surah Al-Isra, 70)
Na pale Musa alipo
m wa m b i a k i j a n a wa k e :
Sitoacha kuendelea mpaka
nifike zinapo kutana bahari
mbili, au nitaendelea kwa
muda mrefu. (Surah AlKahf, 60)

Inaendelea Uk. 16

16

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Mchango wa Waislamu katika maendeleo ya Dunia


Inatoka Uk. 15

nchi za Magharibi hawana


habari au waliibeza kazi hii
mpaka alipokuja A. G. Tansley
mwaka wa 1935 na kuielezea
suala zima la ecosystem na
kubatizwa kuwa Tansley ni
muanzilishi wa dhana nzima
ya ecosystem, na katika
makala hizi msomaji utapata
fursa kuona kuwa hata
yale majina ya wasomi wa
Kiislamu yanaojitambulisha
kuwa ni watu wa maeneo
gani yamebadilishwa
na kufanywa majina yao
yatamkwe Kizungu, mfano
Al-Khawarizmi anatamkwa
kama Algoritmi au
Algaurizin.
A l - K h wa r i z m i a i d h a
amefanya kazi kubwa katika
elimu ya nyota na kuandaa
kalenda, kufanya hesabu
na kujua kwa dhati sehemu
ya jua mwezi na sayari
zinapokuwa, wanasema
kuwa huyu ndio muasisi wa
table kwa wasomi wa hesabu
za sine na tangents. Katika
kitabu chake cha Zij alsindhind ambacho kimejikita

Inatoka Uk. 15
Basi wawili hao walipo
fika zinapo kutana hizo
bahari mbili walimsahau
samaki wao, naye akashika
njia yake kaporonyokea
baharini. (Surah Al-Kahf,
61)
Akasema (kijana): Waona!
Pale tulipo pumzika penye
jabali basi mimi nilimsahau
yule samaki. Na hapana aliye
nisahaulisha nisimkumbuke
ila Shet'ani tu. Naye akashika
njia yake baharini kwa ajabu.
(Surah Al-Kahf, 63)
Ama ile jahazi ilikuwa ya
masikini za Mungu wafanyao
kazi baharini. Nilitaka
kuiharibu, kwani nyuma
ya o a l i k u wa k o m f a l m e
anaghusubu majahazi yote.
(Surah Al-Kahf, 79)
Sema: Lau kuwa bahari
ndio wino kwa maneno ya
Mola wangu Mlezi, basi
bahari ingeli malizika kabla
ya kumalizika maneno ya
Mola wangu Mlezi, hata
tungeli ileta mfano wa hiyo
kuongezea. (Surah Al-Kahf,
109)
Na tulimfunulia Musa:
Toka usiku na waja wangu, na
uwapigie njia kavu baharini.
Usikhofu kukamatwa, wala
usiogope. (Surah Ta Ha, 77)
F i r a u n i a k a wa f u a t a
pamoja na majeshi yake.
Basi kiliwafudikiza humo
baharini kilicho wafudikiza.
(Surah Ta Ha, 78)
(Musa) akasema: Basi
ondoka! Na kwa yakini
utakuwa katika maisha
ukisema: Usiniguse. Na
hakika una ahadi kwako
isiyo vunjwa. Na mtazame
huyo mungu wako uliye
endelea kumuabudu - Sisi
kwa hakika tutamchoma
moto, kisha tutamtawanya

katika elimu ya nyota, AlKhawarizmi alichukua rejea


nyingi kutoka Uhindini
na kwengineko kuweza
kukifanikisha kitabu chake,
Al-Khawarizmi alikuwa na
akili ya ajabu ya uchunguzi
na upambanuzi.
Al-Khawarizmi akiwa
amefanya hesabu kwa njia
ya Alogarithm miaka 200
iliopita, hii leo ndio taaluma
hii inatumika kwa kiwango
kikubwa. Ni yeye AlKhawarizmi alizozijulisha
nambari za Kiarabu kutumika
katika nchi za Magharibi na
kuifanya Zero nayo itumike
katika kujumuisha ingawa
we n g i wa n a s e m a k u wa
Zero iliasisiwa katika Bara
la Uhindi na Al-Khawarizmi
alisoma maandiko mengi ya
Uhindini lakini kujulikna kwa
Zero huko Ulaya ilitokana na
maandiko yake.
Al-Khawarizmi amefanya
kazi nzito katika somo la
Jiografia, pale aliporekebisha
kazi ya Ptolemy ya utafiti
wa Jiografia juu ya umbo
la dunia katika kazi yake

maarufu ijulikanayo Surat


a l - A r d h . K a z i ya k e h i i
haijachapishwa ilikuwa kazi
iliyoandikwa kwa mkono, na
ramani alizozichora bahati
mbaya nazo zilipotea. Lakini
maelezo yake yaliwawezesha
wanataaluma wengine
kuunganisha na kupata
sura kamili ya ramani hizo
a l i z o z i t a a r i s h a . A k i wa
anasomesha katika elimu ya
juu aliweza kuwasimamia
wasomi kama 70 katika somo
la Jiografia katika kutekeleza
k a z i h i o i l i o m we z e s h a
kutengeneza ramani ya dunia
ambayo ndio hii inayotumika
sasa, kazi zake zilipotafsiriwa
kwa lugha ya Kilatino ilitia
m s u k u m o m k u b wa wa
sayansi kusonga mbele katika
nchi za Magharibi.
Al-Khawarizmi ameweza
kusaidia katika kuifanikisha
kazi ilioanzwa na wataalamu
wengine kujua nyakati kwa
kutumia chombo kinachoitwa
Sundial, chombo hicho
ambacho hutumika kujua
wakati katika siku wakati
jua linawaka. Al-Khawarizmi
alikitengeneza chombo hichi
kwa njia nyengine kinyume
na watangulizi wake wa

Kihindi na Hellenistic. Kazi


hii ya Sundial imetumika
katika kujua nyakati za sala
na huko nyuma kilikuwa
chombo hicho kinawekwa juu
ya Misikiti. Al-Khawarizmi
katika kazi yake mmoja yenye
kutambulika ni alisaidia
katika kuifanikisha kuiandaa
kalenda ya Kiyahudi hayo
yanaonekana katika kitabu
kinachojulikana Istikhraj
Tarikh al-Yahud.
B a a d h i ya k a z i z a k e
ni pamoja na kitabu
alichokiandika kwa
Kiarabu na kutafsiriwa
k wa l u g h a ya K i l a t i n o
katika karne ya 12 kitabu
hicho ni Kitab al-Jam'a walTafreeq bil Hisab al-Hindi,
kitabu hichi lau ingekuwa
hakijafanyiwa tafsiri kwa
Kilatino kingepotea wala
kisingezungumzwa kwani
maandishi ya awali ya Kiarabu
yalipotea. Kitabu chake
cha Algebra kijulikanacho
kama Al-Maqala fi Hisab-al
Jabr wa-al- Muqabilah hichi
kimesaidia sana wasomi
wa nyak at i zak e nacho
kilitafsiriwa kwa Kilatino
kikiwa kimetoa mchango

mkubwa wa sayansi kwa nchi


za Magharibi. Msomi huyu
aliweza kutengeneza Jadweli
ya nyota na mwenendo
wake na kutafsiriwa kwa
lugha mbalimbali za nchi
za Magharibi na kufanyiwa
tafsiri hata kwa Kichina,
bila ya kusahau kazi ya
Sun-dials alipoandika
kitabu kijulinacho Kitab alRukhmat.
Ukitaka kumuelewa AlKhawarizmi na kuwafanya
wasomaji wamuelewe, itabidi
kwa uchache uandike kitabu
kisichopunguwa kurasa
2,000 ndipo utapoweza
kumuelezea akafahamika,
juu ya hayo azma ya makala
hizi ni kutoa mwanga na
kueleza kwa mukhtasari
Waislamu na michango yao
katika maendeleo ya dunia
yetu hii.
M a k a l a i t a k a y o f wa t a
itamuangalia Ibn Battuta
na mchango wake katika
maendeleo ya Sayari
yetu hii. (Mchango
maoni, yanakaribishwaMOBILE:0777 436 949,
annuurpapers@yahoo.co.uk)

machungu. Na kutokana na
bahari zote mnakula nyama
mpya (isiyo chacha). Na
mnatoa mapambo mnayo
yavaa. Na unaona ndani yake
marikebu zinakata maji ili
mtafute fadhila zake, na ili
mpate kushukuru. (Surah
Fatir, 12)
Na katika Ishara zake
ni vyombo vinavyo kwenda
na kurejea baharini kama
vilima. (Surah Ash-Shura,
32)
Na iache bahari vivyo
hivyo imeachana, hakika
wao hao ni jeshi litakalo
zamishwa. (Surah AdDukhan, 24)
Mwenyezi Mungu
ndiye aliye ifanya bahari
ikutumikieni, ili humo zipite
marikebu kwa amri yake, na
ili mtafute fadhila yake, na
mpate kushukuru. (Surah
Al-Jathiyya, 12)
Basi tukamkamata
yeye na majeshi yake na
tukawatupa baharini, na
yeye ndiye wa kulaumiwa.
(Surah Adh-Dhariyat, 40)
Anaziendesha bahari
mbili zikutane. (Surah ArRahman, 19)
Baina yao kipo kizuizi,
zisiingiliane. (Surah ArRahman, 20)
Na ni vyake Yeye hivi
viendavyo baharini vilivyo
undwa kama vilima. (Surah
Ar-Rahman, 24)
Na bahari zitakapo
pasuliwa (Surah Al-Infitar,
3)

Takriban unapozisoma aya


hizi nyingi zinakuonyesha
namna Quran ilivyoieleza
maumbile na sayansi
kwa ndani kabisa. Aidha,
Q u r a n h a k u n a p a h a l i
kunaposhajiishwa kufanya
ufisadi wa kumwaga uchafu
ndani ya bahri.
Tuangalie maelezo ya
kitaalamu kwa ufupi kabisa
juu ya bahari: Inakisiwa kuwa
bahari ina kilomita za mraba
milioni 362 (362million sq
km). Bahari imechukua
sehemu ya asilimia 71 ya
dunia tunayoishi. Zaidi ya
asilimia 97 ya maji yaliopo
duniani hutokana na bahari.
Asilimia 10 tu ya viumbe
vilivyohai baharini, ndivyo
vilivyoweza kutambuliwa
na kupewa majina na
mwanadamu.
Sehemu ya bahari ya
Antratic ambayo huyayuka
barafu yake kila mwaka,
ujazo wake ni sawa na masafa
ya nchi ya Marekani. Zaidi
ya robo tatu ya miji mikuu
duniani, imejengwa karibu na
bahari. Hivi sasa inaaminika
kuwa zaidi ya asilimia 80
ya watu, wanaishi ndani ya
kilomita 100 za ufukwe. Kila
mwaka hufariki ndege laki
mmoja wa baharini na baadhi
ya wanyama wanaoishi
baharini kwa kumeza mifuko
ya plastiki.
Zaidi ya mapipa milioni
21 ya mafuta huvuja katika
bahari kutokana na viwanda
na meli zinazosafirisha
mafuta.
Asilimia 90 za bidhaa
zinazosafirishwa duniani,
kutoka nchi moja
kwenda nchi nyengine,
husafirishwa kwa kupitia
njia ya meli. ((Mchango
maoni, yanakaribishwaMOBILE:0777 436 949,
annuurpapers@yahoo.co.uk)

Jee, Bahari ni Jaa Mwaga


Ukitakacho Bahari Itameza?

baharini atawanyike. (Surah


Ta Ha, 97)
J e ! H u o n i k wa m b a
Mwenyezi Mungu
a m e v i d h a l i l i s h a k we n u
viliomo katika ardhi, na
marikebu zipitazo baharini
kwa amri yake, na amezishika
mbingu zisianguke juu ya
ardhi ila kwa idhini yake.
Hakika Mwenyezi Mungu ni
Mwenye huruma kwa watu,
Mwenye kurehemu. (Surah
Al-Hajj, 65)
A u n i k a m a g i z a
katika bahari kuu, iliyo
funikwa na mawimbi juu
ya mawimbi, na juu yake
yapo mawingu. Giza juu ya
giza. Akiutoa mtu mkono
wake anakaribia asiuone. Na
ambaye Mwenyezi Mungu
hakumjaalia kuwa na nuru
hawi na nuru. (Surah AnNur, 40)
Naye ndiye aliye zipeleka
bahari mbili, hii tamu mno,
na hii ya chumvi chungu. Na
akaweka baina yao kinga na
kizuizi kizuiacho. (Surah
Al-Furqan, 53)
Au nani yule aliye ifanya
ardhi mahali pa kutua, na
akajaalia ndani yake mito,
na akaweka milima? Na
akaweka baina ya bahari
mbili kiziwizi? Je! Yupo
mungu pamoja na Mwenyezi
Mungu? Bali wengi wao
hawajui. (Surah An-Naml,
61)
Au nani yule anaye
kuongoeni katika giza la bara
na bahari, na akazipeleka

pepo kuleta bishara kabla


ya rehema zake? Je! Yupo
mungu pamoja na Mwenyezi
Mungu? Ametukuka
Mwenyezi Mungu juu ya
wanao washirikisha naye.
(Surah An-Naml, 63)
Basi tukamshika yeye na
majeshi yake, na tukawatupa
baharini. Basi hebu angalia
ulikuwaje mwisho wa wenye
kudhulumu? (Surah AlQasas, 40)
Ufisadi umedhihiri bara
na baharini kwa iliyo yafanya
mikono ya watu, ili Mwenyezi
Mungu awaonyeshe baadhi
ya waliyo yatenda. Huenda
wakarejea kwa kutubu.
(Surah Ar-Rum, 41)
Na lau kuwa miti yote
iliyomo duniani ikawa ni
kalamu, na bahari (ikawa
w i n o ) , n a i k a o n g e z e wa
juu yake bahari nyengine
saba, maneno ya Mwenyezi
Mungu yasingeli kwisha.
Hakika Mwenyezi Mungu
ni Mwenye nguvu, Mwenye
hikima. (Surah Luqman, 27)
Kwani huoni kwamba
marikebu hupita baharini
zikichukua neema za
Mwenyezi Mungu, ili
kukuonyesheni baadhi ya
Ishara zake? Hakika katika
haya zipo Ishara kwa kila
mwenye kusubiri, mwenye
kushukuru. (Surah Luqman,
31)
Na bahari mbili haziwi
sawa; haya ni matamu yenye
ladha, mazuri kunywa.
Na haya ni ya chumvi,

17

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

DAR ES SALAAM

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)
katika kujifunza.
5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni
: 0783552414/0762817640.


Kilimanjaro
- Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490
- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga
- Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525

- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.

Musoma
Shinyanga

Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172


- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531

Morogoro

Dodoma

Singida

Manyara

Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

Lindi

Mtwara

Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623


Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426
Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

- Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.


- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992

- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196

- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.


- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya

- Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319.


- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

Rukwa

- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

Tabora

- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342


Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

Iringa

- Madrastun Najah: 0714 522 122.

Pemba

-Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

Unguja

- Madrasatul Fallah: 0777125074.

- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba


Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

18
MAASKOFU wametoa
taarifa rasmi wakidai
kuwa Waislamu wana
mkakati wa kuchoma
makanisa nchi nzima.
Na kwamba katika hatua
za awali za kutekeleza
mkakati huo, wamepata
habari kwamba
k u n d i l a Wa i s l a m u
lilishushwa Mbeya kwa
ajili ya kuchoma moto
makanisa.
Akizungumza mbele
ya waandishi wa habari
Katibu Mkuu wa Baraza la
Makanisa ya Kipentekoste
nchini Tanzania (PCT),
Askofu David Mwasota
a m e wa t a k a Wa k r i s t o
kujihami kwa visu,
mishale na mikuki ili
kupambana na Waislamu
waliodhamiria kuchoma
makanisa.
Askofu David
anasema kuwa kwa
kushika mikuki,visu
na mishale, huenda
serikali itazindukana
kuwashughulikia
Wa i s l a m u , k wa n i
anasema kuwa haoni
kama serikali inafanya
vya kutosha kukabiliana
na kitisho cha Waislamu.
Katibu Mkuu huyo wa
PCT anamshutumu Rais
Jakaya Mrisho Kikwete
kuwa amekuwa akitoa
matamko mepesi tu
badala ya nguvu na hasira
zote za dola kuwaangukia
Waislamu.
Zilipotokea vurugu za
Mbagala baada ya lile
tukio la Quran kunajisiwa,
i l i d a i wa k u wa k u n a
makanisa yalichomwa
moto. Kwa vile waliotoka
kuandamana walikuwa
Waislamu na kwa kuwa
Waislamu ndio waliokuwa
na hasira kufuatia
kitendo cha kukojolewa
Quran, wakawa ndio
watuhumiwa namba moja
kuwa ndio waliohusika
kuharibu makanisa hayo.
Lakini ukiacha taarifa
hiyo, uongozi wa Kanisa
Katoliki la Mtakatifu
Au g u s t i n o , M wa n z a ,
umedai kuwa Paroko
wake, Padiri Andreas
Buhembo ametumiwa
ujumbe wa kumtangazia
kifo. Kwamba, wakati
kimbunga cha kuchoma
makanisa kinaendelea,
sasa
Waislamu
wanatangaza mpango
wa kuuwa Mapadiri.
Padiri Buhembo anasema
kuwa yeye amekabidhiwa
ujumbe unaotishia
kumuuwa na Mapadiri
we n g i n e n a k wa m b a
ujumbe huo umeandikwa
kwa Lugha ya Kiarabu.
Padiri Andrea Buhembo
anadai kuwa akitumia
mbinu za kikomandoo

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Wachoma Makanisa Mbeya!!!


Wakristo watakiwa kujihami kwa mikuki
k wa k u va a s a wa n a
mavazi ya wahudumu
wa Kanisani kwake, mtu
( M u i s l a m u ) m we n ye
ujumbe huo ulioandikwa
Kiarabu, aliingia na
kumkabidhi mkononi
wakati akiendesha
ibada bila kushtukiwa
n a wa u m i n i . K a t i k a
m a e l e z o ya k e Pa d i r i
Buhembo hakueleza
iwapo anajua Kiarabu
kwa hiyo aliposoma,
alifahamu kilichoandikwa
au alikwenda kutafuta
mkalimani baadae baada
ya kumaliza Misa. Ila

anachosema ni kuwa
walimkamata na kumhoji
lakini wakamuacha
akaondoka bila ya
kumdhuru!
Kama hiyo haitoshi,
uongozi huo wa Kanisa
Katoliki Mwanza ukadai
t e n a k u wa wa l i k u j a
mabinti wawili waliovalia
Hijabu na kutaka
kuingia kanisani lakini
wakazuiwa.
Ukitizama madai ya
Askofu David Mwasota
n a h a ya ya Pa d i r i
Andreas Buhembo, kubwa
wanachofanya ni

kupiga propaganda
ya kuwapakazia uovu
Wa i s l a m u n a h a s a
kujaribu kuisimika ikae
na ikubalike kuwa nchini
kuna
kitisho cha Boko Haram
kama ilivyokwisha
kutajwa katika baadhi
ya m a g a z e t i . U k i j u a
kuwa mengi ya makanisa
haya ni yale yaliyoanzia
Marekani au kufadhiliwa
na taasisi za Kimarekani,
matamshi ya Maaskofu
hawa hayakupi shida
sana.
Lakini niseme

Inatoka Uk. 4
dhahanifu. Fasili yake
ni kuwa haya ni maelezo
yanayomtuhumu mtu
au kundi la watu, taasisi
au jumuiya kwa aidha
kupanga, kuficha, au
kufanya jambo ambalo
ni kinyume cha sheria
na lenye madhara kwa
wengine.
Kuitwa kwake
dhahanifu kunaeleza
ukweli mmoja muhimu
kuwa hii ni dhana ya
kudhania tu, lakini ukweli
mwengine muhimu zaidi
ni kuwa mara kadhaa ni
dhana hizi za kudhanika
tu ndizo ambazo huumba
mitazamo ya wengi wetu,
badala ya zile dhana
zilizofanyiwa utafiti na
kujengewa ushahidi wa
kihistoria, kisayansi na
kimantiki.
Hata hivyo, nadharia
dhahanifu ina msingi
wake; na kwa hakika ni
msingi huo ndio unaoipa
nguvu za kuifanya
ikubalike miongoni mwa
waumini wake, na kufikia
mahala ya kuzichukulia
hatua, hata kama mbunifu
wa k e h a i a m i n i . K wa
mbunifu, hii huwa ni
nyenzo yake ya kisaikolojia,
kijamii au kisiasa wa jamii
inayohusika nazo.
Waziri mkuu, Mizengo
Pinda akisalimiana na
Naibu Waziri Mkuu wa
Oman , Mhe. Sayyid Fahad
Mahmoud El Said kabla ya
mazungumzo yao rasmi
ya kiserikali kwenye Ofisi
ya Naibu Waziri Mkuu
wa Oman mjini Muscat
Oktoba 28, 2014. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
H a p a
n d i p o
inapotuwama hii fitina
ya mtawala, kupitia sasa
akina Lukuvi na Sitta.
Mtawala anajuwa vyema
anachokifanya kwenye
nadharia hii dhahanifu
ya Tanzania kuwaogopa

Waarabu wa Zanzibar.
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kwa sera
na muelekeo wake haina
la kukhofia kutoka kwa
Watanzania hao 200,000
walioko Oman.
Kinyume chake ndicho
inachokifanya hivi sasa.
Kwa siku za karibuni,
serikali nzima ya Rais
Kikwete imekuwa haishi
kiguu na njia kwenda
kuomba misaada
na ushirikiano wa
kimaendeleo na Oman,
ikiwatumia Watanzania
hao hao wenye asili za
Oman na Waomani wenye
asili za Tanzania.
Khofu halisi ya
Ta n g a n y i k a k w a
Zanzibar: Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,
inakhofia endapo
Zanzibar itasimama
kwa miguu yake katika
masuala kadhaa ya kisiasa
na kiuchumi, ndani na nje
ya mipaka yake. Ile fursa
ya Zanzibar kuwa Cuba
ya Afrika iliyowahi
kuwatisha Wamarekani
katika miaka ya 60 kufikia
umbali wa kuchochea
kuisakamiza Zanzibar
kwenye kabari za
Tanganyika, ndiyo fursa
ile ile ambayo miaka 50
baadaye Zanzibar inayo.
Muonekano wa jiji la
Dar es Salaam kutokea
baharini ukiakisi ukuwaji
wa uchumi, ambao
unaweza kufikiwa na
kupitwa na Zanzibar
iliyothubutu.
Hata baada ya kuzikwa
kwenye shimo kwa nusu
karne, Zanzibar bado ina
nafasi ya kuwa Dubai
ya A f r i k a n a h i v y o
inamtisha mtawala,
ambaye sasa anafikia
umbali wa kuiandalia
hujuma kubwa. Miaka
mitano inayokatika
sasa kwenye Serikali
ya Umoja wa Kitaifa

ya Zanzibar, licha ya
mapungufu yake kadhaa,
i m e d h i h i r i s h a k u wa
ndoto hiyo ya Zanzibar
inaweza kuja kuwa
kweli, lau uhuru zaidi
wa kisiasa na kiuchumi
utakuwa mikononi mwa
Wazanzibari wenyewe.
H a p o n d i p o p e n ye
chimbuko la fitina hii,
ambao huenda mtawala
a n a a m i n i h a i t a k u wa
na madhara kwake,
zaidi tu ya kuiadhibu
na kuidhuru Zanzibar
vile inavyostahiki kwa
kuonesha kiburi mbele
yake. Zanzibar inapangiwa
kuadhibiwa na vijenzi vya
adhabu hiyo vinaendelea
kujengwa kwa utaratibu
na mkakati maalum
ambao unadhihirika
kwenye kauli na hatua
kama hizi za kina Sitta na
Lukuvi.
Hata hivyo, kufanikiwa
na kutofanikiwa kwa
hujuma hii kutatokana,
kwa kiasi kikubwa, na
udhaifu wa Zanzibar na
Wazanzibari wenyewe
na sio tu nguvu za
mtawala pekee. Na tukiwa
wakweli wa nafsi zetu, sisi
Wazanzibari wenyewe
tumeuonesha udhaifu
huo tangu kwenye vikao
vya Bunge Maalum la
Katiba na tunaendelea
kumuonesha hadi sasa.
Tuligawika Dodoma
kwenye Bunge hilo,
tumeendelea kugawika
Zanzibar nje ya bunge hilo.
Hatujasimama pamoja
kwa maslahi ya nchi
yetu, bali tumesimama
kwa maslahi ya makundi
n a v ya m a v ye t u . N a
hapo lazima tubebe
sehemu yetu ya lawama.
Tunalaumika.

Zanzibar inabeba lawama kubwa

ya f u a t a y o , k a b l a ya
kupitisha sheria ya
Pa t r i o t A c t , k i l i p i t a
kwanza kitisho cha kweli
cha shambulio la kimeta
(Anthrax Terror Attack),
wakafa watu saba wasio
na hatia. Kitisho cha
Al Qaida na Usama
Bin Laden, kimeonekana
kweli baada ya Septemba
11 ambapo watu takriban
4,000 walikufa. Uganda
ilikuwa hivyo hivyo. Watu
kama 70 hivi walikufa
ili kitisho cha Al Shabab
kionekane kuwa ni cha
kweli. Hapa hoja sio kama
kweli waliopiga Kampla
walikuwa Al Shabab au
la. Ila tu tusisahau kuwa
katika Anthrax Terror
Attack, walituambia
k u wa n i A l - Q a i d a h .
Lakini haukupita muda
wa k a s h i k a n a u c h a w i
wenyewe kwa wenyewe.
Sasa labda kwa wale
Watanzania wenye hamu
ya kuona kitisho cha
ugaidi kinakuwa cha
kweli katika nchi hii,
watuambie, wapo tayari
kutoa gharama kiasi gani?
Wapo tayari kuona watu
wangapi wasio na hatia
wakiuliwa? Na kwa vile
propaganda hapa ni Boko
Haram, ni Al-Shabaab,
ni Waislamu, Swali ni
je, Askofu Mwasota na
Padiri Andreas, wapo
tayari kuona Wakristo
wangapi wakiuliwa ili hilo
wanalotamani litimie?
Labda tuseme hapa
kuwa watakaouwa
Wakristo na watakaolipua
Makanisa ili kudai
kuwa ni Waislamu, ni
hawa hawa wanaodai
kuwa kuna Waislamu
walioshushwa Mbeya
kulipua Makanisani
hawa hawa wanaodai
kuwa wametumiwa
ujumbe wa kifo. Nasema
hivyo kwa sababu
wanayodai ni urongo
mtupu. Ni uchochezi.
Ni usanii. Na wanafanya
hivi bila ya wasiwasi
kwa sababu wana
uhakika hawatakamatwa
kwa idhilali kama
wanavyofanyiwa akina
Ponda, Sheikh Msellem na
viongozi wengine wa
Kiislamu.
Labda tujiulize,
Muislamu anaingiaje
kanisani anakupa ujumbe
wa kukutishia kifo, halafu
humkamati na kumpeleka
polisi?
Imekuwa kama ule
usanii tulioambiwa kuwa
kuna vijana wametekwa
n a wa n a h a r a k a t i wa
Kiislamu
Arusha wakateswa na
mmoja wao akakatwa
masikio, lakini katika
picha waliyopigwa
wote wana masikio yao
yakiwa mazima! (Habari
hii ilitolewa kwa mara ya
kwanza katika An nuur
Namba 1044 la Novemba
9, 2012)

19

AN-NUUR

Makala

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 2015

Sukari ni kichocheo kikubwa zaidi cha Shinikizo la Damu (Hypertension) kuliko hata chumvi
'PUNGUZA sana matumizi
ya chumvi, au ikiwezekana
wacha kabisa'!
Huu ni ushauri wa
kawaida kabisa unaopewa na
madaktari pale inapobainika
kuwa shinikizo lako la damu
liko juu kuliko inavyopaswa.
Shinikizo la damu
h u p i m wa k a t i k a n g a z i
mbili. Ngazi ya kwanza
ni shinikizo la juu. Hili
hutokea pale misuli ya moyo
inapokikaza kusukuma
damu iliyosheheni oksijeni
kutoka kwenye mapafu
kuisambaza mwilini. Ngazi
ya pili ni shinikizo la chini.
Hili hutokea pale misuli ya
moyo inapojiachia kuruhusu
damu irejee kwenye mapafu
ili kuachia hewa chafu
kutoka katika seli za mwili
- hewa ukaa - itolewe ndani
ya mwili
Shinikizo la juu la kawaida
la damu ni 110 - 120 mmHg;
na la chini la kawaida ni chini
ya 80 mmHg. mmHg ambayo
kirefu chake ni 'millimeters
of mercury' ndiyo kipimo
kinachotumika kwa kawaida
k u e l e z e a k i wa n g o c h a
shinikizo la damu.

Chumvi ina tabia ya


kufyonza maji. Inapoingia
mwilini na kwenye
mzunguko wa damu
huvuta maji na kusababisha
ongezeko la wingi wa maji
kwenye damu. Ongezeko
hili hupelekea shinikizo
la damu kuongezeka. Hili
huwa ni ongezeko la muda
tu mpaka pale kiasi cha maji
kwenye mzunguko wa damu
kitakapopungua. Dawa
za kifamasia za kushusha
shinikizo la damu hufanya
kazi kwa kuzingatia kanuni
hii. Dawa hizi hulazimisha
mhusika akojoe sana, kitendo
ambacho hushusha kiasi cha
maji kwenye mzunguko
wake wa damu.
Tofauti na chumvi ambayo
husababisha shinikizo la
damu kuongezeka kwa
muda mfupi tu, sukari
hujenga mazingira ya mwili
kuwa na shinikizo la damu
la kudumu. Unapokula
sukari ya mezani (sucrose),
mchakato ufuatao hutokea
ndani ya mwili. Molekuli
ya sucrose huvunjwa na
sukari mbili tofauti zilizomo
(fructose na glucose)

zinazounda molekuli hii


huachiwa huru, kila moja na
hamsini zake.
Wa t a f i t i w a n a s e m a
kuwa Fructose (moja ya
hizi sukari) huchochea seli
za mwili kuchoma nishati
(ATP) iliyohifadhiwa humo
kwa kasi ya kutisha na
matokeo yake seli husika
hukumbwa na 'shock'! Shock
hii hupelekea DNA katika
hizi seli kusambaratika!
Watafiti hawa wanaongeza
kuwa DNA iliyosambaratika
hujiunda katika kemikali
zinazojulikana kama purines,
ambazo nazo huishia
kujiunda kuwa tindilkali ya
urea, yaani uric acid!
Tindikali ya urea
inasababisha seli za mwili
kukumbwa na mfuro
endelevu, na huzuia mwili
kuzalisha kemikali ya Nitric
oxide inayosaidia kuta za
mishipa ya damu kutanuka
na kusinyaa kwa wepesi.
Kushindwa kutanuka
k wa m i s h i p a ya d a m u
pale inapohitajika huzaa
ongezeko la shinikizo la
damu. Ulaji uliopindukia
wa sukari hupelekea miili

yetu kuzalisha kiasi kikubwa


cha uric acid muda wote
hali ambayo husababisha
uharibifu wa mishipa ya
damu kutokea muda wote.
Ni muhimu kujua kuwa
shinikizo la damu ni ugonjwa
hatari sana kwa sababu
kila kiungo cha ndani cha
mwili huwa kinakabiliwa
na shinikizo kubwa. Viungo
nyetu vinavyopitiwa na
mishipa mingi ya damu,
mathalani macho na figo
huathirika sana. Watu wengi
wamepata ulemavu wa
macho kwa sababi ya kile
kinachoitwa shinikizo la
damu la macho. Watu wengi
pia wamepoteza maisha
kutokana na maradhi ya figo
ambayo kimsingi chimbuko
lake ni shinikizo kubwa
la damu. Kama unataka
kujifunza zaidi, zifuatazo ni
hatua mbalimbali za tatizo
la shinikizo la damu ambazo
mtu anaweza akapitia.
AINA
1. SHINIKIZO LA JUU
(Systolic) mm Hg
1.1. Kawaida: 110 - 120
mmHg
1.2 Kuelekea kuwa na

tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
120 139 mmHg
1.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
H a t u a ya 1 : 1 4 0 - 1 4 9
mmHg
1.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 160 au zaidi
mmHg
1.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 180 mmHg
2. SHINIKIZO LA CHINI
(Diastolic) mmHg
2.1. Kawaida: Chini ya 80
mmHg
2.2 Kuelekea kuwa na
tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
80 89 mmHg
2.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 1: 90-99 mmHg
2.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 100 au zaidi
mmHg
2.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 110 mmHg

DAWA
1
HAIIBA DENTAL
GUARD

UGONJWA UNAOTIBIWA
M a u m i v u y a Maambukizi ya gram positive bakteria kwenye kinywa
meno

Harufu mbaya kinywani

HAIIBA DENTAL
GUARD COMBO

Maumivu ya
meno

Kujenga upya meno yenye


matundu

HAIIBA IG

Kuongeza kinga za mwili

HAIIBA IG
COMBO
HAIIBA TIMAMU
TEA

Hupunguza mzigo wa virusi vya ukimwi mwilini

Maambukizi ya gram
positive bakteria
kwenye kinywa

Maumivu ya
viungo

Kusawazisha
Cholesterol

Uchovu

Kupunguza
kasi
ya
kuzeeka

Homa za mara
kwa mara

U s a g a j i wa
c h a k u l a
tumboni

Kuimarisha
siha ya macho

Mfuro
(Inflammation)

Kusafisha ini

Kinga dhidi ya
saratani

Kinga za mwili

Kuboresha
mzunguko
wa damu

Kuharibu seli
za saratani
z i l i z o k o
mwilini

PROGRAMME

Kuhifadhi
mnyumbuko
wa ngozi
Kuimarisha
siha ya ngozi

9
10
11

Magonjwa ya fizi

Kurekebisha athari za kisukari cha ukubwani

Kupunguza
shinikizo la
damu
Kupunguza
uwezekano
wa kupata
shambulio la
Huboresha
s i h a
ya
mishipa ya
fahamu
Huongeza
Alkali mwilini

Hupunguza madhara ya
kisukari cha ukubwani

Hukinga dhidi ya uharibifu


wa ini

Hupunguza makali ya
maradhi ya kupoteza
k u m b u k u m b u
(Alzheimers disease)
Huharakisha kupona
majeraha

Hukinga mapafu yasipate


makovu

Hupunguza makali ya
ugonjwa wa baridi ya
yabisi (Arthritis)

Husafisha kinywa dhidi ya


bacteria wasiotumia oxygen
(anaerobic bacteria)

H u z u i a
cholesterol
mbaya (LDL)
kuingiliana
na oxygen
na kuleta
madhara

H u p u n g u z a k a s i ya
ongezeko la virusi vya
ukimwi

Ni kinga dhidi ya utapiamlo

Hukinga dhidi ya ugonjwa wa


ngozi kuchuja rangi (vitiligo)

Kurekebisha athari za kisukari cha


ukubwani

Kibofu kilicholegea
Maambukizi ya njia ya Kuondoa bacteria wabaya Saratani mbalimbali
mkojo
tumboni
H A A I B A F A M I L Y Kuondoa ukhanithi
Kuimarisha sana uwezo wa tendo la Maumivu ya kiuno na mgongo
BUSINESS
ndoa
HAIIBA CLEAN UP
Kusafisha tumbo na njia ya haja Kurekebisha mfumo wa usagaji chakula Nguvu za kiume
kubwa
HAIIBA MLONGE PACK
Kinga imara dhidi ya utapiamlo Huimarisha kinga za mwili
Huondoa uchovu
HAIIBA P & B

HAIIBA C CLEAN

Kuziba mkojo
Malaria sugu

mbaya

Vidonda vya tumbo

DAWA
UGONJWA UNAOTIBIWA
HAIIBA GLUCOMASTER Hutibu Kisukari cha ukubwani
6
7
8

Harufu
kinywani

AN-NUUR

20

MAKALA

20

LEO naanza na neno hili:


Inna lillahi waina ilayhi
rajiuun. Hakika sote ni wa
Mwenyeenzi Mungu na
kwake tutarejea.
Aya hii huwa inasomwa
sana panapotokea msiba.
Amefariki mtu na kurejea
kwa Mola wake katika malazi
yake ya daima milele, wale
wanaopokea taarifa za msiba
huwa wanatakiwa kusoma
aya hii. Kwa leo nami naileta
kutokana na msiba wa
aliyekuwa Mwakilishi wa
Jimbo la Magomeni Salmin
Awadh Salmin ambaye
alifariki Febuari 19 wakati
mwenzake John Damiano
Komba aliaga dunia Febuari
28 mwaka huu wa 2015 .
Ta a r i f a z a v i f o h i v i
zimekuja kwa mshituko
mkubwa kutokana na
marehemu wenyewe
walifariki ghafla na
hivyo kuwashitua wengi
walipopata taarifa za msiba.
Hawa wote ni wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) na wote
ni watu wanaotegemewa
katika chama hicho
kutokana na ujasiri wao
na wanavyoweza kujenga
hoja wanapochangia jambo.
Lakini pia kujiamini kwao na
kutetea kile wanachokiamini
ndiko kulikowafanya wapate
umaarufu mkubwa hasa
kupitia Bunge la Katiba
ambalo kwa kiasi kikubwa
wameonekana misimamo
yao sio tu kuutetea
Muungano wa Tanganyika
na Zanzibar, lakini pia
kupingana na dhana ya
uundwaji wa Serikali ya
Umoja wa Kitaifa iliyopo
Zanzibar ambayo sasa
inamalizia mwaka wa tano
katika uongozi.
Kwa upande wa
John Komba amepata
umaarufu zaidi kutokana
na kutumia fani yake ya
usanii katika kukiimarisha
chama wakati mwenzake
akitumia ukakamavu na
ujasiri wake wa kijeshi katika
kukiimarisha chama. Wote
hao walionekana kama ni
mwiba mkali kwa watu
ambao wana mtazamo na
itikadi tofauti na wao.
Tukio la misiba hii miwili
ni fundisho tosha kwa
wanaadamu ambao wapo
katika ardhi hii na bado
wanasubiri siku yao ifike
kwa kuwa kifo ni lazima kwa
kila mmoja. Mwanadamu
anayeishi hapa ulimwenguni
kuna siku ataiwacha dunia
na kupelekwa kaburini, awe
mtawala au mtawaliwa,
kiongozi au mwananchi
wa kawaida. Kifo hakina
ujasiri wala hakina rushwa
kama alivyojisemea Remmy
Ongala.
La kusikitisha ni
kuwa tukio la kifo cha
Salmin limeshindwa
kuwaunganisha Wazanzibari
kuwa kitu kimoja kama
ambavyo imezoeleka khasa
katika suala la huzuni. Ni
kwa nini? Salmini alifariki

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 6-12, 20152015

Soma
gazeti
laMACHIAN-NUUR
JAMAADIUL AWWAL
1436, IJUMAA
6-12, 2015
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

Ni Msiba!

ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni, Marehemu Salmin Awadh Salmin.


dunia muda mfupi baada
ya kutoka ndani ya kikao
cha ndani kilichofanyika
katika Ofisi Kuu ya CCM
Kisiwandui ambapo kwa
mujibu wa Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar,
Vuai Ali Vuai anasema
Marehemu amefariki akiwa
Shujaa. Mtu angependa
kujua ushujaa wa Marehemu
ni upi? Lakini jibu ni kwamba
alisimamia kidete hoja yake
ya kuimarisha Muungano
wa Tanzania na Zanzibar
kwa nguvu zote, kuutetea
na kuulinda kama ambavyo
wamekuwa wakisema
katika wimbo wao maarufu
unaoongozwa na vijana wa
chipukizi wa chama hicho.
Tutaulinda na tutaitetea
potelea mbali
Vuai anasema Salmin
kabla ya kifo chake alikuwa
ndani ya kikao akiwa na afya
yake nzuri na hakuonesha
dalili ya ugonjwa na moja
ya hoja zake alizokuwa
akichangia katika kikao hicho
ni kuudumisha Muungano
hoja ambayo ilifurahiwa
na wajumbe wote waliomo
ndani na baadae akatoka nje
hali ya kuwa akiwa mzima
wakati akielekea ofisini
kwake ambapo alikuwa na
vikao viwili kwa siku hiyo
ndipo alipoanguka ghafla
na kukimbizwa hospitali
kuu ya Mnazi Mmoja
ambapo muda mfupi taarifa
zikaanza kuenea kwamba
ameshafariki dunia.

N i li k u wa ma en e o ya
Darajani ndani ya duka
maarufu kwa Eddy Calipso
kando ya Duka kubwa
la vifaa vya Electroniki
maarufu kwa Muzammil.
Wakati nikiwa pale alipita
mtu mmoja akisema
kwamba Salmin Awadh
ameanguka Kisiwandui
akiwa kwenye kikao na
kukimbizwa hospitali Mnazi
Mmoja chumba za wagonjwa
Mahatuti (ICU). Lakini muda
usiozidi dakika 20, tukapata
ujumbe wa simu kwamba
Salmin ameshatutoka,
ujumbe ambao kwa hakika
uliwashitua watu wengi
lakini uliopokewa kwa hisia
tofauti.
Na kama kawaida
u n a p o p a t wa n a m s i b a
au taarifa za kifo jambo
la kwanza litakalokujia
mdomoni ni maneno ambayo
tumefunzwa katika imani
zetu huwa tunasema Inna
lillahi wainna ilayhi rajiuun.
Lakini ni kwa nini watu
wasiungane kama ambavyo
waliungana wakati ule
ambapo Zanzibar iliambiwa
sio nchi? Bila ya kujali itikadi
za kisiasa, Wazanzibari kwa
sauti moja walighadhibishwa
na kauli ya Waziri Mkuu wa
Tanzania Mizengo Pinda
aliyoitoa Bungeni kwamba
Zanzibar sio nchi. Kila
Mzanzibari alionesha hisia
zake kutokana na kauli hiyo.
Na umoja huo wa
Wazanzibari ndio ulizipa

ari mamlaka zinazosimamia


sheria na kulazimika
kufanyika mabadiliko ya
kumi cha sheria ya Zanzibar
ambayo pamoja na mambo
mengine imeweka bayana
kwamba Zanzibar ni nchi
na ni sehemu tu ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania
kwa kuwa bila ya Zanzibar
hakuna Tanzania.
M a b a d i l i k o h a y o ya
katiba ndio ambayo
tunayashuhudia leo hii
kwa takriban miaka minne
imeweza kuongozwa chini
ya mfumo wa Serikali ya
Umoja wa Kitaifa mfumo
a m b a o Wa z a n z i b a r i
wengi wanauunga mkono
ingawa wapo baadhi yao
wanaupinga akiwemo
marehemu.
Katika tukio jengine
kubwa lililotokea hapa
Zanzibar na kuwaunganisha
Wazanzibari wote, ni lile
la ajali ya Meli iliyotokea
ambapo Wazanzibari bila ya
kujali itikadi zao za chama
au kidini waliunganisha
nguvu kusaidiana na kuwa
pamoja katika msiba huo
jambo ambalo haikuwa
rahisi kutambua huyu ni
kutoka chama gani au itikadi
gani. Kwa mfano huo huo
mtu anaweza kujiuliza,
ikiwa tukio hilo la msiba la
watu wengi watu waliweza
kuungana na kuficha hisia
zao, jee imekuwaje watu
wasiweze kuungana katika
msiba huu? Jee, kuna kitu

gani kikubwa hapo? Haya na


mengine ni masuali ambayo
tunapaswa kujiuliza.
Sio jambo la kawaida
h a t a k i do g o k wa t a b i a
na mila za Wazanzibari
jinsi walivyolelewa kwa
mafundisho ya kidini kuweza
kutokea kauli ambazo sio
nzuri kwa aliyefariki, lakini
katika msiba huu tumeyaona
m e n g i n a t u m e ya s i k i a
mengi yakisemwa jambo
ambalo linapaswa kutupa
mazingatio makubwa.
I l a
w a k a t i
t u k i k u m b u s h a n a k u wa
Dini inatutaka tuseme
yale mema na mazuri ya
maiti na marehemu wetu,
tukumbushane pia kwamba
kila dakika na kila sekunde
tunatakiwa tujiandae kwa
ajili ya kifo. Tuchunge
kauli na vitendo vyetu, isije
ikawa kauli zetu zikawa
za kuwaudhi binadamu
wenzetu au kumkufuru
Mungu.
Ya p o m a m b o y e n y e
maslaha na watu walio
wengi, binadamu viumbe
wa Allah, mfano kwa hapa
Zanzibar hili la Serikali ya
Umoja wa Kitaifa, watu
wamejaa makovu ya hali
za huko nyuma. Leo mtu
ukawa kinara wa kushadidia
kuvunjiliwa kwa mbali
mfumo huu, kwa hakika
unachofanya ni kutaka watu
wadumu katika tabu na
mashaka. Sasa mambo kama
haya, si ushujaa.
Hata katika Dini
tunaambiwa tuwe katika
j a m a a , wa l a t u s i t a f u t e
mambo ya kuwafarakanisha
watu. Sasa unaweza kuja
na jambo kama hili la
kutaka kuvunja udugu na
umoja wa Wazanzibari,
ukawafurahisha wachache
lakini ukawaudhi walio
wengi kutokana na kuwa
kila mmoja anafahamu
jinsi ambavyo Wazanzibari
walivyoishi katika maisha ya
maumivu na mateso kupitia
chaguzi zinazofanyika
h a d i h a p o k u a m u l i wa
kuundwa kwa Serikali ya
Umoja wa Kitaifa na kwa
kiasi kikubwa mfumo huo
umesaidia kutuliza hali. Leo
mtu anaposimama akaongea
kutaka kuvunja mfumo huo,
ni jambo lisilo na maslaha
kwa watu.
B i n a f s i
kinachonihuzunisha
zaidi, sio tu kwamba watu
wanasema hili na lile, lakini
kauli ambazo zikitamkwa
n a wa t u k u h u s i a n a n a
marehemu ambapo katika
uhai wake akizitumia sana
na kuzisema hadharani.
Ni ukweli usiopingika
kwamba kifo ni haki na
kila mmoja ataondoka,
lakini cha kuzingatia hapa
na kutupa fundisho, ni
vipi utaondoka. Waswahili
husema unapoongea
mengine ubakishe.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться