Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1167 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 6-12, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Pamoja na
fitna ya Sitta...
Tahariri/Makala
AN-NUUR
wakihitimu watapatiwa
ajira na serikali, halafu
wakaikosa, ni wazi
kwamba raia wataingiwa
na hofu iwapo vijana hawa
watatumia mafunzo yao
kinyume na makusudio
yake. Na hatima yake
haiwezi kuwa nzuri hasa
ikizingatiwa kwamba idadi
ya vijana wanaomaliza
mafunzo hayo ya JKT ni
wengi na huzalishwa kila
mwaka.
Kwa mtazamo wetu, sisi
hatukatai hoja zilizotolewa
na vijana wetu hawa, wala
hatutaki kuwa mawakala
wa kuitetea serikali katika
sakata hili linalohusu
mustakabali wa vijana wetu
wengi tu, achilia mbali
wahitimu wa mafunzo
JKT, ambao wamekuwa
majeruhi wa kukosa ajira
hapa nchini.
Ni jambo linalofahamika
kwamba ni wajibu wa
serikali kuhakikisha
kwamba inaboresha
mazingira ya maisha ya
watu wake, likiwemo suala
la kuzalisha ajira kwa
watu wake au kuboresha
mazingira ya watu kujiajiri.
Tunakumbuka baadhi
ya ahadi za Rais Jakaya
Kikwete, wakati anawania
nafasi ya kutuongoza tangu
awamu ya yake ya kwanza
ilikuwa ni kuongeza soko
la ajira nchini. Hata hivyo,
bado tunashuhudia soko
dogo la ajira nchini, huku
R a i s we t u a k i b a k i wa
na muda mchache wa
kuhitimisha kipindi chake
cha uongozi wake.
Hutokea Jeshi la Polisi,
au Idara ya Usalama wa
Taifa au hata JWTZ na
M a g e r e z a wa k a h i t a j i
kuajiri watu, basi ni vyema
wahusika katika majeshi
hayo wakawachukua
kutoka kwa vijana
waliohitimu mafunzo ya
JKT na kuwaajiri katika
majeshi hayo. Bila shaka
wa t a f a n ya h i v y o k wa
kuwaingiza kwanza
katika vyuo vya mafunzo
zaidi vya majeshi hayo na
kuwaajiri kulingana na
matakwa ya jeshi husika.
Tunafahamu kwamba
AN-NUUR
n i v i g u m u k u wa a j i r i
wahitimu wote wa JKT.
Lakini ni vyema ukajengwa
utamaduni wa kuwapa
kwanza kipaumbele vijana
wanaohitimu mfunzo ya
JKT, kuliko kukimbilia
mitaani kusaka vijana
waliomaliza kidato cha
nne, sita na vyuo bila
kupituia JKT.
Na hapa ndipo ambako
wahitimu wa JKT
wangesimamia. Kwamba
wamehitimu na uwepo
utaratibu unaozingatiwa
na kufuatwa, kwamba
zikitokea ajira za majeshi,
basi wahitimu mafunzo ya
JKT wapewe kipaumbele.
Lakini kwa kutaka kila
anayehitimu, basi serikali
inalazimika kumpatia ajira
Inaendelea uk. 4
Makala
AN-NUUR
W A I S L A M U
wametakiwa kuweka
msingi wa kupata
haki zao sawa na
wananchi wengine
kwa kuhakikisha kuwa
kwanza wanapata nafasi
yao katika serikali za
mitaa na bungeni.
Pamoja na njia
na
mihadhara,
makongamano na
maandamano kupaza
sauti kunadi madai
yao, lakini wametakiwa
kuhakikisha kuwa
wanajishughulisha na
siasa za nchi kwani
kutokuwepo kwao katika
nafasi za maamuzi,
i n a we z a k u wa m o j a
ya sababu kubwa
inayofanya kilio chao
katika makongamano
kisifike mbali.
Wito huo umetolewa
na Ustadhi Said Ayoub,
akiongea na Waislamu
Ijumaa ya wiki iliyopita
katika Msikiti wa Tungi,
Temeke Jijini Dar es
Salaam.
Ustadh Ayoub
amesema, siasa ni njia
mojawapo ya ufumbuzi
wa matatizo yanayo
ikabili jamii yoyote,
hivyo Waislamu hawana
budi kurejea katika Siasa
kwani inaweza kuwa
n i n j i a m b a d a l a ya
ufumbuzi wa matatizo
yanayowakabili kwa
miaka mingi.
Ust. Ayoub, alisema
kuwa kabla ya Uhuru
Wa i s la m u wal i ku wa
mstari wa mbele katika
harakati za Siasa
kwa kudai Uhuru wa
Tanganyika, hata hivyo
walijikuta wanawekwa
kando baada ya
kupatikana Uhuru.
Alisema, inadaiwa
k u wa Wa i s l a m u
hawakuwa na elimu
ya kuingia Serikalini
na kushika nyadhifa za
kisisa hivyo kumlazimu
Rais Julias Nyerere,
kuwajaza watu wa imani
yake ambao walikuja
kuwabagua Waislamu.
k u t o k u we m o k a t i k a
Katiba mpya.
Huenda viongozi
wa kuu wa Serikali
wanapewa taarifa zisizo
sahihi kuhusu Waislamu
na msimamo wao wa
ushiriki katika kura ya
maoni, ukweli ni kwamba
Waislamu hawatogomea
kujiandikisha katika hilo
daftari.
M s i m a m o wa o n i
kupiga kura ya hapana
Makala
AN-NUUR
USAJILI
S.2401
KWA WASICHANA TU
MASOMO
USAJILI
S.4384
KWA WAVULANA TU
FITINA nyengine
inapandwa dhidi
y a Wa z a n z i b a r i n a
dhidi ya Zanzibar. Na
mpandikizaji wa mara
hii ni Samuel Sitta,
Wa z i r i m wa n d a m i z i
kwenye serikali ya
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania mwenye
dhamana ya Mawasiliano
na Uchukuzi, na ambaye
n d i ye a l i ye k u wa p i a
Spika wa Bunge Maalum
la Katiba lililomazika
kwa kutoa kile kiitwacho
Rasimu ya Katiba
Inayopendekezwa
inayotazamiwa kupigiwa
k u r a m w i s h o n i m wa
mwezi Aprili 2015.
Akihojiwa na Idhaa
ya Kiswahili ya Sauti ya
Amerika (VoA) juu ya
bunge hilo aliloliongoza
kutopitisha kipengele cha
katiba kinachowaruhusu
Watanzania kuwa na uraia
wa zaidi ya nchi moja, Sitta
alisema yafuatayo:
Ukumbuke historia,
hususan historia ya
Zanzibar, na Watanzania
takriban zaidi ya laki mbili
walioko Oman ambao
walivyotoka kama 20,000
mwaka ule wa 1964, sasa
ni kundi zito ambalo lina
uwezo kifedha ambalo lipo
pale Oman. Ukikaribisha
uraia pacha, kwa maana
ya papo kwa papo, maana
yake wale wote wanakuwa
ni raia wa Tanzania pia.
Lakini wengi wao wana
nia ya kuipindua serikali.
Kwa hivyo, ukileta sura
hiyo (kipengele hicho
cha katiba) inaleta tabu
kidogo kumpa uraia mtu
ambaye kwa matamshi
yake na tabia yake na
uwezo alionao ana lengo
la kupindua serikali.
Angalia
vidio
kamili ili kupata chote
alichokizungumza
kwenye suala hili.
Tusiangalie mapungufu
ya hoja dhidi ya uraia wa
zaidi ya nchi moja kwa
Watanzania wanaoishi
nje kwa sasa, ingawa si
kweli kuwa ilitokana na
khofu ya kupinduliwa
kwa serikali. Dunia ya leo
haimuhitaji mtu kuwa raia
wa nchi fulani kuweza
kuupindua utawala wa
nchi hiyo. Wamarekani
wanaokwenda kupindua
serikali za mataifa
mengine hawana uraia
wa nchi hizo, bali wana
nguvu, sera na teknolojia
ya kufanya hivyo.
Fitina ya makusudi.
Tuangalie fitina hii dhidi
ya Zanzibar hasa katika
Samuel Sitta.
wakati ambapo, kwa mara
ya kwanza ndani ya miaka
50 na pamoja na udhaifu
wake wa ndani, Zanzibar
imeweza kuianika aibu ya
kutawaliwa na Dodoma
kupitia Mabadiliko
ya 10 ya Katiba yake
na mchakato wote wa
kupatikana Katiba Mpya
unaoendelea sasa.
Kwa mfano, kile
kilichotokea kwenye
Bunge Maalum la Katiba
ambalo liliongozwa na
ye ye , S i t t a , k i m s i n g i
k i l i m z u w i a m t a wa l a
kuandika rasimu ya katiba
mpya hadi alipolazimika
kutumia nguvu, hila na
mizengwe kuifanya hiyo
Rasimu inayopendekezwa.
Msikilize Mheshimiwa
Waziri William Lukuvi,
ambaye naye kama
alivyo Sitta ni kiongozi
m wa n d a m i z i k we n ye
serikali ya Rais Jakaya
Kikwete, akimwaga
sumu Kanisani dhidi ya
Zanzibar. Hapo utabaini
kiwango ambacho
Zanzibar ndani Bunge
hilo Maalum la Katiba
iliivuruga kabisa akili ya
mtawala na mawakala
wake.
Lugha ya Sitta na
ya Lukuvi zinafanana.
Dhamira zao zinaoana.
Njia yao ni moja kwa kuwa
lengo lao pia ni moja
lengo la mtawala, ambalo
ni kuiadhibu Zanzibar
kadiri inavyoyumkinika
kutokana na uthubutu
wake.
Ni staili inayotumiwa na
utawala wa Kizayuni wa
Israel dhidi ya Wapalestina
adhibu vikali kadiri
inavyowezekana ili
liwe fundisho na iwe
mwisho. Wakati mtoto wa
Kipalestina anapokirushia
mawe kifaru cha kijeshi cha
Israel ambacho kimeivunja
nyumba yao na kuikalia
kwa nguvu ardhi yao,
hupigwa, akakamatwa
na kufungwa jela, kama
si kurushiwa risasi na
kuuliwa kabisa.
Kila kombora moja
la Hamas, ambalo hata
h a l i wa h i k u t u a c h i n i
kwenye ardhi ya Israel
kabla ya kutunguliwa huko
huko angani, hujibiwa
kwa kuangushiwa
bomu la kilogramu 500
katikati ya makaazi ya
watu, linalouwa makumi
kwa mamia ya watoto,
wanawake na wazee wa
Kipalestina.
Ndivyo anavyofanya
mtawala dhidi ya
mtawaliwa wake
anayethubutu. Fuatilia
mwenendo wa mambo
visiwani Zanzibar tangu
m c h a k a t o wa k a t i b a
mpya uanze kesi za
viongozi wa Jumuiya ya
Kiislamu ya Uamsho,
watu wanaochukuliwa
na kupelekwa korokoroni
Bara, na kile kinachoitwa
matukio na kesi za
ugaidi utajua Zanzibar
iliyothubutu inaelekezwa
wapi.
Nadharia dhahanifu ya
khofu dhidi ya Waarabu:
Kuna kitu kinaitwa
conspiracy theory
kwa Kizungu, ambacho
Kiswahili chake kinaweza
kuwa ni nadharia
Inaendelea Uk. 18
5
KAMANDA wa kundi la
wapiganaji wa ISIL, Abu
Bakr Baghdadi, amedaiwa
kuwa hivi sasa anapata
matibabu katika hospitali
moja nchini Israel baada ya
kujeruhiwa vitani nchini
Iraq Ijumaa usiku, wiki
iliyopita.
Vyanzo vya habari nchini
Iraq vimethibitisha kuwa
Abu Bakr al-Baghdadi,
ambaye amepewa wadhifa
wa Ukhalifa ndani ya kundi
la Islamic State nchini Iraq na
Syria, amepelekwa Israel kwa
ajili ya matibabu baada ya
kujeruhiwa vibaya kufuatia
mashambulizi ya ndege dhidi
ya msafara wake katika mji
wa Al Qaim, katika jimbo la
Al-Anbar mpakani mwa Iraq
na Syria.
Ta a r i f a k u t o k a I r a q
zimeeleza awali Baghdad
alipata matibabu ya awali
katika hospitali ya muda
katika miinuko ya Golan
inayodhibitiwa kwa mabavu
na Israel na baada ya hapo,
alipelekwa katika hospitali
maalumu mjini Tel Aviv kwa
matibabu zaidi.
Wa z i r i wa U l i n z i wa
Iraq, Khaled al-Abadi,
amethibitisha Jumapili
iliyopita katika mtandao
wake wa Facebook kwamba
Bw. Abu Bakr al-Baghdadi
alijeruhiwa katika shambulizi
hilo usiku wa kuamkia
Ijumaa, ambapo Naibu wake
alipoteza maisha.
Katika shambulio hilo,
wapiganaji wengine 17 wa
ISIL waliuliwa.
Kati ya makamanda
waandamizi wa ISIL
waliouawa katika shambulio
hilo ni pamoja na Abu
Muslim Turkmani, Thamer
Mohammad, Abu Muslim
Checheni, Abu Mujahid arRussi na Abu Ubaidah alAzzawi.
Mtu anayeaminiwa
kuwa ndiye msemaji wa
ISIL, Abu Muhammad AlAdnani, Jumapili iliyopita
katika mtandao wa Twitter
a m e d a i wa k u t h i b i t i s h a
kujeruhiwa kwa Kamanda
Baghdad kufuatia shambulio
hilo la ndege za Marekani
na jeshi la Iraq na kudai
kuwa, labda wapo watu
wanaoaminikuwa huo ndio
mwisho wa Khalifa. Lakini
anawahakikishia mataifa
ya Kiislamu kuwa Amir
Abu Bakr al-Baghdadi yuko
salama na anamshukuru
Mwenyezi Mungu na
kumtakiwa apone haraka.
Falah Al Essawi, Naibu
Mkuu wa Baraza la Mkoa
wa Al Anbar nchini Iraq,
alisema ndege za kivita za
nchi hiyo kwa kushirikiana
na ndege za Marekani siku
ya Alhamisi zilishambulia
kambi za ISIL katika mji
wa Al Qaim mkoani humo,
ambapo wapiganaji kadhaa
waliuawa.
Kwa mujibu wa ripoti za
Umoja wa Mataifa, mwezi
uliopita wa Februari watu
wasiopungua 1,100 waliuawa
katika machafuko nchini
Iraq huku wengine 2,280
wakijeruhiwa.
AN-NUUR
Habari za Kimataifa
Kamanda wa IS apelekwa
Israel kupata matibabu
kiyahudi.
Kwa mujibu wa Mtandao
wa h a b a r i wa Ve t e r a n s
Today, jina halisi la alBaghdadi ni Simon Elliot au
Elliot Shimon na alizaliwa na
wazazi Wayahudi na kupata
mafunzo ya saikolojia ya vita
dhidi ya Waarabu na Jamii za
Kiislamu chini ya maofisa wa
MOSSAD.
Ili kusaidia kufahamika
vizuri ripoti yake, Veteran
Today ilitoa kwa tafsiri ya
Kiingereza kutoka Radio
ajyal.com na Egy-press.
Kwa mujibu wa Veterans
Today, mpango wa ISIS chini
ya uongozi wa al-Baghdadi
ni kuzivuruga nchi zote
zinafahamika kuwa ni tishio
kwa Israel, ili baada ya hapo
dola la Kizayuni lidhibiti
eneo la Mashariki ya Kati
na hatimaye kustawisha kile
kilichoitwa Greater Israel."
Nadharia hizi za
kuionyesha ISIS kama
sehemu ya Uzayuni, zinaweza
kuonekana vyema kutoka
ripoti za awali zilizohusiana
na Edward Snowden,
kwamba Taasisi za kijasusi
za Uingereza, Marekani na
Wazayuni walitengeneza
ISIL, sasa wakiitwa zaidi kwa
jina la Islamic State Iraq and
the Levant.
Complies with state administrative regulations and Board of Education policies
Adheres to school and local school system procedures and rules
Demonstrates timeliness and attendance for assigned responsibilities
Maintains accurate, complete, and appropriate records and files reports promptly
Preparing weekly and monthly reports and ensure timely submission of reports to the
administration
Assist in recruitment and in service training of teachers
Evaluate teaching techniques and suggest means of improving them
Visit classrooms to see effectiveness of teaching and teaching materials.
Conduct seminars and workshops to teachers to demonstrate new teaching methods,
teaching materials and teaching.
To provide to teachers teaching materials and all necessary equipments for teaching
process.
Qualifications
Excellent written and oral communication skills in English and Kiswahili, including
report writing.
Excellent networking and organizational skills
Self motivated person
Mode of Application
Send your Application including application letter, CV and copies of certificates to:
The Director Africa Muslims Agency
P o Box 9214
Dar es Salaam
Makala
AN-NUUR
Na Omar Msangi
KAMA alivyotumia
jukwaa la Kanisa
kupiga mbiu kuwa
tatizo la Tanzania ni
Waarabu na Waislamu,
Mheshimiwa Waziri
S a m u e l S i t t a n a ye
ameibukia katika VoA
akidai kuwa Waarabu
wanatishia kuivamia
na kuipindua Zanzibar.
Akasema, hiyo ndiyo
imekuwa sababu ya
kuondolewa suala
la uraia wa nchi
mbili katika Katiba
inayopendekezwa.
Akihojiwa na
I d h a a ya K i s wa h i l i
ya Sauti ya Amerika
(VoA) hivi karibuni,
Sitta amesema kuwa
wengi wa Wazanzibari
waliokimbilia Oman
baada ya Mapinduzi
1964, hivi sasa wana
pesa za kutosha na
hawajaondokana na nia
ya kuipindua serikali ya
Zanzibar.
Wengi wao wana nia
ya kuipindua serikali.
Kwa hivyo,... inaleta
tabu kidogo kumpa
uraia mtu ambaye kwa
matamshi yake na tabia
yake na uwezo alionao,
ana lengo la kupindua
serikali.
Alisema Mheshimiwa
Samwel Sitta akisisitiza
kuwa ni hatari kuruhusu
uraia wa nchi mbili
ambao utawapa pia
uraia wa Zanzibar idadi
k u b wa ya Wa a r a b u
wanaoishi Oman.
Mwaka 2009 baada
ya kuibuka mgogoro
baina ya serikali na
Kampuni ya kuzalisha
umeme ya Dowans,
Shirika la Umeme,
TANESCO, chini ya
Mkurugenzi wake Dr.
Idris Rashid, lilitoa
pendekezo kwa serikali
kuwa serikali inunue
mitambo ya Dowans.
Na ikawasilisha taarifa
ya kitaalamu kuonyesha
uzuri wa mitambo hiyo
na unafuu serikali/nchi
itakaopata kwa kuwa na
mitambo yake badala ya
kutegemea makampuni
binafsi tena ya nje.
Ilikuwa mitambo hiyo
inunuliwe kwa Dola
mi l i o ni 38 sawa n a
Shilingi bilioni 60.
U c h u n g u z i
unaonyesha kuwa baada
ya serikali kusitisha
mkaba wake na Dowans,
kampuni hiyo ilikuwa
ikilazimika kuhamisha
mitambo yake kutoka
nchini kupeleka
kwingine. Kwa upande
mwingine, TANESCO
n a o wa l i k u wa a m a
watafute kampuni
nyingine ya kuingia
nayo mkataba iingize
mitambo izalishe na
kuwauzia umeme au
iagize mitambo yake.
TA N E S C O b a a d a
ya kuifanyia tathmini
mitambo ya Dowans
kupitia kampuni za
kimataifa, ilijiridhisha
kuwa mitambo hiyo
ingeweza kufanya kazi
kwa miaka 30 bila ya
t a t i z o , n a k wa m b a
matengenezo ambayo
yangehitajika (service)
ni ya kawaida ambayo
mafundi wazalendo
wangeyamudu. Aidha
kwa upande wa bei,
pia ilionekana kuwa ni
nzuri ikilinganishwa
na thamani ya mitambo
hiyo au kuagiza mingine
kutoka nje.
H ATA h i l i ? Tu s e m e
Eemen! Ndivyo
anavyouliza mwendesha
kipindi katika televisheni
moja ya Nigeria. Anauliza
swali hilo akichambua
m a h u b i r i ya A s k o f u
David Olaniyi Oyedepo
wa Kanisa la Living Faith
Church World Wide,
likijulikana pia kwa jina
la Winners' Chapel, akidai
kuwa yeye ni Mtume
wa Mungu aliyepewa
agizo la kupambana na
mashetani wa Kiislamu.
If you catch anyone that
looks like them kill him!
Kill him and pull out his
neck. I will spill his blood on
the ground. What nonsense!
What Islamic demons. God
has anointed me to lead a
revolution against Islamic
jihadists.
Anasema Askofu
Oyedepo katika
mahubiri yake ambayo
yamekuwa yakitolewa
katika televisheni na
kusambazwa katika
mitandao kutoka mwaka
jana.
Katika video ambayo
inapatikana katika
internet, Askofu
Oyedepo anaonekana
akiongea kwa hasira na
kufoka huku Wakristo
waliofurika katika kanisa
wa k i m s h a n g i l i a k wa
nguvu na kupiga kofi
kila akiwahimiza kuuwa
Waislamu au kutaja neno
What devils!, what
Islamic demons!
Ilikuwa ni pale Askofu
huyo aliposema, If
you catch anyone that
looks like Boko Haram,
ikiwa na maana kuwa
ukimkamata, ukimuona
mtu anayefanana na (looks
like) Boko Haram, muuwe.
Kata shingo yake, mwaga
damu yake; mchambuzi
huyo anauliza-jamani,
hata hili tuseme Eemen?
Aliuliza hivyo kwa
sababu kila Askofu David
Oyedepo, akitoa wito huo,
waumini hushangilia na
kusema Eemen!, kama
i s h a r a ya k u s i k i a n a
SAMWEL Sitta.
Hoja ya TANESCO na tatizo la umeme na
ilikuwa namna mbili. k wa m b a i t a c h u k u a
Moja ni kuwa tayari nchi muda mrefu kuanza
ilikuwa kizani kutokana kutafuta Richmond
au Dowans nyingine
kuingia nayo mkataba.
Lakini kwa mitambo
a m b a y o t a ya r i i p o
nchini, ni suala la
kukubali wanayoagizwa.
kuingia mkataba wa
Askofu David Oyedepo u n u n u z i , m i t a m b o
haishii hapo. Anasikika inawashwa. Pili ni kuwa,
akiwaambia wafuasi wake kwa kununua mitambo
kuwa wakishamuuwa yetu, tungeepukana
mtu ambaye looks like, n a g h a r a m a k u b wa
anayefanana na Boko
Haram, wala wasipate za kulipa kinachoitwa
tabu ya kutoa ripoti polisi. C a p a c i t y C h a r g e
I n a v y o e l e k e a a m b a y o TA N E S C O
maelekezo ya Maaskofu inalazimika kuwalipa
kama Oyedepo ndiyo wazalishaji binafsi wa
s a s a y a n a y o f a n y i w a nje kila siku. Na si pesa
kazi na jeshi la Nigeria ndogo.
pamoja na Wakristo wa
Ni Mheshimiwa
Nigeria. Katika mauwaji Samwel Sitta na baadhi ya
ya Baga, kwa siku nne wabunge, walioongoza
m f u l u l i z o a m b a p o Crusade ya kupinga
wa t u wa s i o f a h a m i k a ,
wakiwemo wanajeshi, wa z o l a TA N E S C O
w a k i w a w a n a u w a kununua mitambo ya
Waislamu na kuchoma Dowans, zikitolewa hoja
nyumba zao moto, serikali mbalimbali, moja ikiwa
haikushughulika kabisa kwamba mitambo hiyo
kupeleka vyombo vya ni chakavu.
ulinzi kuzuiya mauwaji
Mkurugenzi wa
hayo. Maadhali watu wa TANESCO wakati huo
mji huo wote ni Waislamu, Dr. Idris Rashid, alionya
b a s i w o t e wa n a i n g i a kuwa nchi itaingia kizani
katika lile kundi la looks iwapo hatua za haraka
Inaendelea Uk. 7
Inaendelea Uk. 7
7
Inatoka Uk. 6
hazitachukuliwa. Lakini
wapi. Namna yake,
akina Sitta wakasema,
bora kuwa kizani kuliko
kununua mitambo
mtumba ya Dowans.
Na kweli, nchi ikakaa
kizani kwa takriban
miaka miwili, wanasiasa
wakilumbana.
Makala
AN-NUUR
Ghafla kimyaaa!
Ghafla kimyaaa!
Mitambo imekuwa
mipya inasifiwa.
Ilipofika 2011, mitambo
hiyo hiyo ya Dowans
ikanunuliwa na
Kampuni ya Kimarekani
Symbion Corporation,
kwa thamani ya Dola
milioni 100 ($100m),
mara tatu zaidi ya bei
a m b a y o TA N E S C O
ingelipa.
Wakitoa taarifa ya
ununuzi wa mitambo
hiyo, viongozi wa
S y m b i o n , wa k i s i f i a
mitambo hiyo kwa uzuri
na uwezo wake, walisema
wanawashangaa
Wa t a n z a n i a k u k a a
kizani kwa miaka miwili
wakati mitambo hiyo
ikishika kutu badala ya
kuinunua na kuiwasha
kupata umeme! Rais
wa o B a r a c k O b a m a
akaja Novemba 2011
kuizindua mitambo
hiyo naye akaisifia kwa
uzuri wake.
Akina Samwel Sitta
kimyaa!!! Hawakusikika
wakifunua mdomo
kusema serikali isiingie
mkataba na Symbion
kwa sababu mitambo
yake ni ule ule mtumba
wa Dowans.
Symbion sasa
wanazalisha umeme,
wanatuuzia kwa bei
wanayotaka. Na zaidi
tunalazimika kuwalipa
Dola 150,000 ($150,000)
sawa na Shilingi milioni
246 kila siku, kama
capacity charges, iwe
wamezalisha umeme
au la!
Hapo ndipo akili zetu
zilipoishia! Hao ndio
wanasiasa wetu ambao
leo wanatuambia kuwa
Waarabu wa Oman,
wanataka kuja kupindua
Zanzibar!
Ukiangalia kwa undani
sakata hili la Dowans
na akina Samwel Sitta,
unachogundua ni kuwa
kinachotekelezwa hapa
A f r i k a ( Ta n z a n i a )
zinavyochezewa
mchezo mchafu na
mabeberu ili kutiwa
k a t i k a u t u m wa wa
kudumu wa kiuchumi
(economic colonization).
Na njia kuu ya kupitia
ni katika makampuni
kama haya ya umeme.
Kutoka kelele za
akina Samweli Sitta
juu ya Dowans hadi
kimya chao baada ya
Symbion, ni kielelezo tu
kuwa wapo washenga
na madalali miongoni
mwetu wanaotumika
kuhakikisha kuwa
mipango ya hawa
economic hit men
inafanikiwa.
Lakini tukitaka kujua
uzito wa tatizo hili,
tuliunganishe na hili
linalopigiwa kelele hivi
sasa juu ya ugaidi.
Mzaha wa Jihad John
Wiki iliyopita,
magezeti kadhaa
ya l i s h u p a l i a m z a h a
(hoax) wa Jihad John.
Na ile kuwa zipo
habari kuwa aliwahi
kuja Tanzania, ikawa ni
habari kubwa ya kutisha
ikijengwa picha kwamba
Wakristo wa Tanzania
wanakabiliwa na kitisho
cha Jihad John. Gazeti
moja likisherehesha
habari hiyo likasema:
Makanisa ya dunia
yatoa tamko kali
dhidi ya mauwaji ya
Wakristo. Yasema ndiyo
wanaoshikilia amani ya
dunia. Yataka itikadi za
dini zisitumike kuchinja
watu.
Habari
hiyo
ikasindikizwa na picha
ya anayedaiwa kuwa
Jihad John, ikiwa na
maelezo yafuatayo:
Gaidi Mohammed
Emwazi (kushoto) wa
Dola la Kiislamu (IS)
aliyewahi kuja Tanzania,
akijiandaa kumchinja
Mmarekani Bwana
James Foley.
Mwezi Novemba
m wa k a 2 0 0 4 a s k a r i
wawili wa Uingereza,
walimbaka msichana
wa Kitanzania Conjesta
Ulikaye na kisha
kumuuwa jijini Dar
es Salaam. Askari hao
waliokuwa wakishiriki
u va m i z i n a k u u wa
watu wasio na hatia
Iraq, walikuja Tanzania
Inaendelea Uk. 10
8
Na: Mwandishi Maalum
K AT I K A n d e g e
waliotajwa kwenye
kitabu kitukufu cha
Qurani, kunguru
yasemekana yumo.
Kwa kawaida vitu au
viumbe vilivyotajwa
humo vina umaizi
mkubwa na mafunzo
makubwa tunayopaswa
sisi wanadamu
tujifunze kupitia kwao.
Utafiti mdogo
tu uliofanywa na
wanazuoni walioko
Ta n z a n i a b a r a
umegundua kuwa
k u n g u r u a m e p e wa
uwezo mkubwa wa
macho. Inasadikiwa
kuwa jicho la Kunguru
lina uwezo wa kuona
mara nne zaidi ya jicho
la mwanadamu. Lakini
je, hiyo tu ndiyo hekima
aliyonayo kunguru hadi
kufikia kutajwa kwenye
Qur-ani? La, siyo hiyo
na wala sababu hasa
hatuijui sisi waja wa
kawaida. Tubakie tu
kusema Allahu a-alam!
Sisi watu wa
kawaida, tusiosoma,
tunamkumbuka
kunguru sana kwa ule
mlio wake ambao kwa
wafasiri wa milio ya
ndege iwe kiutani au
kiudhati, basi anapolia
kunguru husema
maneno yanayokaririka
Dunia Hadaa,
yaghilibu shujaa! Na ni
maneno hayo hasa ndiyo
yanayonipa kifungu na
uwezo mwembamba
wa
kuandika
ukurasa huu leo, kwa
watakaobahatika
kuusoma!
Lengo, nia na
madhumuni yangu ni
kuonyesha jinsi gani
cheo au uluwa, pesa
na nguvu zinavyoweza
kumpoteza njia
mwanadamu aliye
dhaifu mbele ya Allah
hadi akafikia hatua ya
kukufuru na kutakabari
kulikopitiliza ada.
Na basi bila kujua
mwanadamu huyo
d h a i f u k u wa k u n a
nguvu kubwa zaidi
inayomwendesha
yeye, huendelea
kutakabari hadi akafikia
kupatilizwa na Mola
wake akaishia kupata
hasara ya milele!
Tuna mifano mingi ya
viongozi waliokubuhu
na kufurutu ada.
Wakatakabari kiasi ya
Makala
AN-NUUR
a u m wa n z o n i m wa
mwaka 1999, katika
moja ya vikao vyake
mwalimu alisema
kuwa anashangaa sana
kwanini mtoto mchanga
hufa. Hilo lisitoshe.
Akasema yeye ana
tamaa ya kuishi hadi
amuone Rais wa Awamu
ya Nne (wakati huo
haijajulikana kwamba
atakuwa JK).
A k i ya s e m a h a y o ,
alikuwepo Mzee
Ruksa, Ali Hassan
Mwinyi ambaye ama
kwa dhihaka au kwa
hivyo kumtukuza
Mwalimu, alimwambia,
Nakuongeza miaka
mengine mitano,
mwalimu! Jumla ikawa
wamepeana miaka 85
kama hivyo ya kuishi
k a m a k wa m b a wa o
ndio Miungu. Mwaka
u l i o f u a t a M wa l i m u
Nyerere akafa! Ikawa
ndio mwisho wake huo
na hakuna aliyeweza
kumwombea asife!
Yupo Bwana mkubwa
mmoja alikuwa Mkuu
wa Mkoa katika
moja ya mikoa ya
Pemba. Huyu aliwahi
kuunyayua mkono
akasema kama kuna
Mungu nauonyoosha
huu mkono , naaukunje
huyo mungu! Mwenyezi
Mungu kwa vile ana
uwezo mkubwa,
akaukunja mkono
wa b wa n a m k u b wa
huyo. Akazikwa
vipande vipande hadi
akamalizika. Bila
shaka tukilitaja tukio
hilo, haraka haraka
tutamkumbuka pia yule
aliyekuwa kinara wa
uharamia kule gereza
la Bamkwe Kiinua
Miguu. Yaliyomkuta
hata anazikwa
kipande kipande hadi
akamalizika, inatisha
hata kusimulia hapa.
Lakini ndio Allah
anasema, Fadhakkir,
tunakumbushana ili
tuwaidhike turudi kwa
Mola wetu.
Wapo wengine ambao
walivuka mipaka ya
kejeli, jeuri na dharau
d h i d i ya wa p e m b a .
Wa k a wa wa n a j i o n a
kama wao na Mungu
wana mkataba wa
pamoja wa kufanya
watakavyo. Hawajafa,
lakini yameshawakuta
ya kila aina. Ya aibu na
fedheha. Ya udunifu
na udhalilifu. Hatima
yao hatujaijua kama
tulivyokuwa hatujazijua
hatima zetu sote, kila
mmoja na yake.
Mwanadamu ni
mnyama aliyetukuzwa
lakini mjinga hata kuliko
baadhi ya wanyama kwa
sababu hajifunzi kwa
waliomtangulia. Muda si
mrefu, wapo tuliokuwa
nao wakiwa na nguvu
tele inayotokana na
shibe ya marupurupu
n a m a f a o ya k u wa
katika siasa za nchi hii,
ghafla tunapata habari
kuwa wameshaaga
9
Na B. OLE,
N ATA M A N I e n z i z i l e
zingerudi na zama hizi
z i k a p o t e a n a k u wa n i
historia kwetu hasa katika
suala zima la uongozi wa
chama chetu (CCM). Mimi
kama mimi sikubuhatika
kupata elimu nzuri,
lakini pia ninashukuru
ya kwamba nilijaaliwa
kupata fursa muhimu ya
kujifunza mambo mengi
na ulimwengu kwa
ujumla. Lakini kwa kiasi
funzo kubwa na ambalo
najivunia nalo ni jitihada
za Wazee wangu kwa kule
kuniasa sana juu ya kukaa
kwa wema na watu na la
muhimu ni kuheshimu yale
mazuri yao huku nikiaswa
pia kuvumilia mabaya yao
kwani hakuna mkamilifu
kwa vile sote ni binaadamu.
Binaadamu tokea
kuzaliwa kwake hupitia
n ya k a t i t o f a u t i z i l e z a
uchanga wake lakini pia za
kupevuka kwake. Katikati ya
nyakati hizi, hupatikana ule
wakati mjarabu na kipekee
katika maisha ya Binaadam.
Inawezekana kipindi hichi
cha mpito kwa muhusika
kikawa na faida kubwa
kwake na jamii iliomzunguka
au ikawa ni hasara kubwa
hata kwa ile jamii mzima
iliomkuza na kumlea kiumbe
yule. Lakini tukumbuke tu
ya kwamba falsafa hii sio tu
kwa Mwaanadamu, lakini
hata kwa kitu chochote kile
ambacho hupitia nyakati
tofauti kama Binaadam.
Wanafalsa mashuhuri
walifikia mahali wakasema
kwamba katika ile
nyakati ya mwanzo,
yaani uchanga baada ya
y o t e ya t a k a y o t e n d e k a ,
kinachofuatia ni kipindi cha
kati na mwishowe kufikia
tamati, yaani uzee. Hapa
tena tunaambiwa kiumbe
yule hurejea katika ile hali ya
mwanzo. Kwa lugha nyepesi
ni kusema kutoka uchanga na
ile hatua ya mwisho ya uzee
ni kurudia tena uchanga.
Wanafalsafa hao walienda
mbali na kusema kwamba
baada ya yote yaliopita,
basi kiumbe huyu hurejea
katika hali yake ya uchanga
hata kimaumbile na uhalisia
wake. Katika hatua hizi zote,
mara nyingi hujitokeza faida
pamoja na hasara zake.
Ukweli wa falsafa
hii imenipa fursa
kukipima chama changu
ninachokipenda sana yaani
C.C.M hasa katika suala la
uongozi tokea Mapinduzi
yanayoitwa matukufu
ambayo mimi nayaheshimu
sana kwani nafuata nasaha
za wazee kwamba heshimu
mazuri na vumilia maovu.
Hii ni kusema ovu kwako
ni jema la mwenzako kwa
mtazamo wake. Hata hivyo
inafika wakati unajiuliza,
hivi hizi fikra na mawazo
yangu yana ukweli au ndio
hivyo funika kombeapite.
Hapa nakumbuka Enzi
zile, zama hizi na uongozi
wa c h a m a c h a n g u . N i
Makala/Tangazo
AN-NUUR
changu ninachokipenda
kimekosa muelekeo wa
ushindani kidemokrasia na
kimaendeleo. Lakunisikitisha
ni kuona kwamba chama
10
Inatoka Uk. 7
k u p u m z i k a b a a d a ya
kufanikisha uvamizi huo
na ukaliaji kimabavu Iraq
kinyume na Haki na Sheria
zote za Kimataifa pamoja
na Maazimio ya Umoja wa
Mataifa na Baraza lake la
Usalama.
David Moffett (23) na
Brett Richard Mallinson
(20), walifikishwa katika
Mahakama ya Kisutu,
ikidaiwa kuwa November
10 katika Hoteli ya- Silver
Sands Beach Hotel, jijini
Dar es Salaam, wawili
hao walimpa Ms Ulikaye
Paundi 37 ili alale nao
wote, akiahidiwa kuwa
wa t a m u o n g e z e a p e s a
baadae, lakini wakaishia
kumuuwa.
Sasa uliza, nini ilikuwa
hatma ya kesi ya Mtanzania
mwenzetu huyo Conjesta
Ulikaye! Ilikuwa sawa
n a i l e y a Wa z u n g u
wengine waliomlazimisha
msichana wa Kitanzania,
kunajisiwa na mbwa wao.
Dismiss case-Hakuna
kesi. Waliachiwa wakarudi
makwao.
Mheshimiwa Samwel
Sitta, ukisikia Iraq
ilivamiwa, ni kweli
ilivamiwa na watu wasio
n a h a t i a k u u l i wa n a
mpaka sasa inakaliwa
na watu wanazidi
kuuliwa. Wamarekani na
Waingereza waliovamia
Iraq na kumpindua
Saddam Hussein,
hawakuwa na uraia wa
Iraq na Marekani.
Ukisoma kuwa Nigel
David Moffett na Brett
Richard Mallinson,
walikuja Tanzania na
k u m u u wa M t a n z a n i a
mwenzetu, ni kweli
Conjesta Ulikaye,
aliuliwa na askari hao wa
Uingereza. Lakini ukisikia
Jihad John amchinja
James Foley, alijisemea
Mheshimiwa Rais
Kikwete, akili ya kupewa,
changanya na yako. Soma
pia na: ISIS actor: Jihadi
John, crudely constructed
propaganda videos, designed
to start a new war at home,
and abroad. 2. Jihad John
Hoax. 3. The Destabilization
Doctrine: ISIS, Proxies and
Patsies., kabla ya kuamini
u n a c h o a m b i wa k u wa
kilifanyika.
Nimalizie kwa kusema
kuwa nakubaliana na
hoja ya Mohammed
Ghasani kuwa njama na
mbinu chafu kama hizi
z i n a z o wa k i l i s h wa n a
kauli za Mheshimiwa
Samwel Sitta, zisingeweza
kufanikiwa kama
Makala
AN-NUUR
Mhe Spika akiwa na wenyeji wake pamoja na sehemu ya ujumbe wake. Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa
Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe, Waziri Mhe William Lukuvi. Wa kwanza kushoto ni Mhe Ally Saleh,
Balozi wa Tanzania nchini Oman. Mhe Spika alipokuwa katika ziara rasmi ya kibunge ya siku sita mwaka jana.
kusingekuwa na ujinga
na kutojifahamu kwa
walengwa.
Na Ghasani ametoa
tunakoelekea ni huko
huko. Ilipoibuka ile kadhia
ya Amboni, magazeti
mengi yakijitahidi kupaka
picha kuwa waliokuwa
wakipambana na polisi ni
Waislamu, Wasomali au
Waarabu kwa mwonekano.
Kwa hiyo, looks like
Al-Shabaab. Looks like
magaidi.
Hebu soma maelezo
haya kutoka NIPASHE ya
Februari 17, 2015 ukurasa
wa 25. Yanasema:
Watu hao walikuwa
wakipendelea mashati ya
mikono mirefu, suruali za
jeans zilizokatwa chini na
kanzu.
Hawa bwana walikuwa
wanavaa short jeans, yaani
wamekaa ki-jihad zaidi na
yeboyebo chini. mashati
yao ni ya mikono mirefu na
kanzu. Wakati mwingine
walikuwa wanavaa na
kofia juu ya balaghashia.
Anachotuambia
m wa n d i s h i h u y u wa
N I PA S H E n i k u w a
Inaendelea Uk. 11
11
Inatoka Uk. 10
utawatambua wahalifu
( m a g a i d i ) wa l i o k u wa
wakipambana na polisi na
JWTZ kule Amboni Tanga,
kwa balaghashia, suruali
fupi na kanzu (alisahau
kutaja ndevu).
Ndio yale yale ya
anyone who looks like
ya Askofu David Olaniyi
Oyedepo.
Mara kadhaa yakitokea
matukio ya kihalifu
yanayotakiwa kutiwa
nakshi ya ugaidi, lazima
utasikia kauli kama,
walionekana watu
waliovaa kanzu na
vibandiko au Waarabu.
Yote hii ni ile ile Looks
like ya Askofu David
Olaniyi Oyedepo.
Makala
AN-NUUR
Ya Biafra yanarudi
NDEGE ya Askofu David Olaniyi Oyedepo ikitua kwenye uwanja wa ndege Nairobi,
Kenya.
ASKOFU David Olaniyi Oyedepo akishuka kwenye ndege yake Nairobi mwaka 2013.
the North continue to rule?
What devils!
Alisema Askofu
Oyedepo akiwafananisha
Wa i s l a m u k u t o k a
K a s k a z i n i m wa n c h i
hiyo kuwa ni mashetani
devils, na kuahidi kuwa
hataruhusu mtu kutoka
K a s k a z i n i k u wa R a i s
Nigeria katika uchaguzi
ujao. Katika kulitilia mkazo
hilo, alisema kuwa yeyote
atakayempinga Rais
Jonathan, atamfungulia
mlango wa Jahannamu.
We Will Open The Gate
Of Hell On Those Who
Oppose You.
Alisema Pastor
Oyedepo, akiwaambia
wa u m i n i wa k e k u wa
maneno hayo alimwambia
Tul i a , si k i l i z a hi i !
Maana hapa Askofu
anataka kuangusha
bomu zito zaidi. Ndivyo
anavyosema mchambuzi
katika televisheni iitwayo
Dunamis TV inayomilikwa
na Mchungaji Dr. Paul
Enenche wa Abuja.
I decree the curse of
God upon them (Muslims
in the North). Lord, if it
is Your will to break up
Nigeria break it now!
Laana ya Mungu iwe
juu yao (wananchi wa
Kaskazini-Waislamu wa
Nigeria). Mungu, kama ni
katika mapenzi yako kuwa
Nigeria ibeguke mapande,
ivunjilie kwa mbali sasa.
Waumini wanashangilia
na kuruka ruka wakisema
Eemen!
Jamani, na hili tuseme
Eemen? Anauliza
mchambuaji huyo katika
televisheni ya Kikristo.
Akifafanua zaidi
mchambuzi huyo anasema
kuwa anachofanya Askofu
O ye d e p o , k wa n z a n i
kuhamasicha mauwaji
holela na machafuko
katika nchi. Pili, anahimiza
na kuwafitisha wananchi
wa Nigeria katika kiwango
cha kutaka nchi igawikeKaskazini na Kusini. Cha
kushangaza ni kuwa, watu
wanashangilia na kuitikia
Eemen!
Lakini cha kutisha
anasema kuwa haionyeshi
kuwa kuna hatua zozote
zinazochukuliwa na
serikali dhidi ya uchochezi
na uhaini huo. Bali la
kutisha zaidi na kwa hakika
kustaajabisha na ambalo
halieleweki kabisa kwa
wengi, ni kuwa Askofu
Oyedepo, ni katika watu
wa karibu sana wa Rais
Goodluck Jonathan kama
alivyo Mchungaji Ayodele
Joseph Oritsejafor. Hawa
ni watu ambao huingia
Ikulu bila ya miadi. Na
a m e k u wa a k i f u a t a n a
na Rais Jonathan katika
kile kinachoitwa Hija,
kwenda Israel kuzuru
sehemu muhimu za kidini.
K
a
m
a
ilivyomchanganya
mchambua habari wa
Inaendelea Uk. 14
12
MAKALA
KONGAMANO LA UWAWAMWA
(PENYE DHULMA, AMANI CHANGA LA JICHO!)
AN-NUUR
MWENYEZI Mungu
kamuumba mwanadamu
na akamjaalia uwezo wa
kufikiri (akili), ili kuweza
kubainisha jema, zuri na
baya. Kutambua lenye
madhara na lisilo na
madhara, kujua ni lipi
lenye faida na maslahi
kwake na kwa viumbe
wa n a o m z u n g u k a n a
lisilofaa. n.k
Aidha Mwenyezi
Mungu amemjaalia
mwanadamu utawala wa
ulimwengu juu ya viumbe
wengine na kumfanya
kuwa kiumbe bora kabisa.
Akili hung'azwa na fikra.
Uwezo wa kufikiri kwa
binadamu ni sehemu ya
maarifa ambayo yanajikita
katika kutumia akili.
Hazina hii ni adimu kwa
viumbe wengine. Madhara
ya duniani wanayopata
binadamu husababishwa
na binadamu wenyewe,
hasa walioshindwa
kutumia hazina yao ya
akili kuepusha majanga.
Mwanadamu kwa
kutumia uwezo wa akili
yake (tafakur), anastahili
kutenda mambo kwa
weledi na kwa yakini,
ili kupata matokeo bora
na yenye maana kwake
tofauti na viumbe vingine.
Nimelazimika kuanza
na maneno machache
juu ya sifa na ubora wa
mwanadamu, kufuatia
kasumba iliyokithiri
kwa baadhi yetu sisi
Waafrika kujibadili rangi
ya ngozi na kuvaa viungo
bandia. Huwa najiuliza
p a m o j a n a k u wa n a
sifa kwa nini Waafrika
hususan wanawake
wanajibadilisha rangi?
Kwanini weupe unapewa
maana zaidi miongoni
mwa jamii ya watu Weusi?
Wanawake wengi barani
A f r i k a wa n a j i c h u b u a
na kutumia viungo
b a n d i a k a m a n y we l e
bandia, wakiamini kuwa
kufanya hivyo ni kuwa na
mvuto zaidi na angalau
kustaarabika kama
Wazungu! Kasumba ya
kutaka kufanana na watu
Weupe imeharibu akili za
watu wetu. Wakishindwa
k u f i k i r i , n i n i t i j a ya
k u t u mi a p e sa n y i n g i
kuharibu maumbile ya
asili kwa kemikali na
kimekwisha na wachache
waliobaki hawana nguvu
wala ushawishi wowote
juu ya maamuzi ya
msingi ya kujenga hatima
ya mataifa yetu na bara
letu kwa ujumla. Sasa
tumebaki na kizazi cha
watu wasiojali, wasiojua
uchungu hasa wa gharama
za uhuru tuliopewa. Kizazi
ambacho hakioni shida
kushawishika kuvuruga
misingi ya uhuru na
kujitawala kwa ajili ya
ustawi wetu. Pamoja na
kwamba bado tunateswa
na ukoloni mambo leo wa
kiuchumi na kisiasa, lakini
ukoloni wa kitamaduni
umeingia kwa kasi kubwa
zaidi hasa katika karne
za 20 na 21 kwa tiketi za
ustaarabu na utandawazi
na waathirika wakubwa
wakiwa watoto na vijana.
Ni dhahiri kwamba
vijana wengi wa Kiafrika
hawaelewi maana halisi
za dhana za ustaarabu na
utandawazi. Akili wanazo,
lakini bila kutafakari kwa
akili hizo. Wanaona ni
jambo lililo sawa kuiga kila
kinachofanywa na watu
wa mataifa yaliyoendelea.
Matokeo yake
tumepoteza misingi
mizuri ya kimaadili na
asili yetu kama Waafrika
kwa kufikiri kuwa
ni ushamba. Huo ni
utumwa! Hili ni janga!
Tunakoelekea si kuzuri,
na kabla hatujajuta, ni
vyema tukumbuke kuwa
hakuna vita mbaya kuliko
vita vinavyoharibu watu
akili. Hivi ni vita ambavyo
vinalenga kuvunja msingi
wa kistaarabu vya kila
taifa na kuondoa uwezo
wa watu kufikiri.
Tunaposoma makala
hii tutafakari kwa
kina, tunatumia vizuri
akili zetu kwa maslahi
yetu au tunavamia na
kukurupukia tu mambo
kama mkia. Nadhani,
wakati umefika Waafrika
tujitambulishe kama watu
tuliokomaa na mataifa
mengine yatutambue
hivyo! Tutathibitika hivyo
endapo tutaweza kutumia
uwezo wa kuchambua na
kuchukua mazuri tu katika
mambo yanayoletwa na
watu wengine.
Tu k a t a e k wa d h a t i
ustaarabu na utandawazi
unaolenga kuondoa
uwezo wetu wa kufikiri. La
sivyo, tukubali kuendelea
k u wa wa t u m wa k wa
vizazi vyote. Na hilo ni
janga!
13
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
BETHLEHEM (Ma'an)
-- A video circulating
on social media on
Monday showed two
Israeli soldiers urging
two dogs to attack a
Palestinian child, who
they claimed threw
rocks at them.
The video, which was
first uploaded Sunday
evening, shows the
child, pleading for help,
after being bit by one
of the two dogs which
were held by their
leashes by the soldiers
who continue to incite
them to attack him.
The child was detained
before the dogs attacked
Israeli Army
Floods
Sewage into
Olive Fields
BETHLEHEM, (WAFA)
The Israeli army flooded
sewage into a Palestinianowned olive-planted land
in the village of Tekoa near
Bethlehem, according to a
local source.
The villages mayor,
Tayseer Abu Mfarreh, said
army soldiers and settlers
broke into an area near the
village and proceeded to
conduct military exercises,
during which they flooded
sewage into olive-planted
fields.
ministry spokesman
Emmanuel Nachshon
refusing to react to a
declaration which he
described as "speculative
and hypothetical."
On Jan. 16, the
ICC announced
"a preliminary
examination" into
Israel's actions over a
period beginning in
June which included
last year's war in Gaza
in which about 2,200
Palestinians were killed.
UN figures indicate
most of the victims were
civilians.
The PLO is also
planning to sue Israel
over its policy of
settlement building on
land they want for a
future state.
Under international
law, all Israeli
construction on land
seized during the
1967 Six-Day War is
viewed as illegal and a
major stumbling block
to efforts to end the
decades-long conflict.
JERUSALEM (Ma'an)
I sr a e li a u th o r itie s
on Sunday ordered
83-year-old Palestinian
grandfather Ayyub
Shamasnah and his
family to voluntarily
evacuate their home
in the East Jerusalem
neighborhood of Sheikh
Jarrah before next Sunday
in compliance with a final
supreme court decision.
Shamasnah lives with
his wife, 75, children and
grandchildren in a tworoom, 65-square-meter
house targeted by Jewish
settlers who have already
evicted several Palestinian
families.
T h e f a m i l y m o ve d
to Sheikh Jarrah after
t h e y we r e d i s p l a c e d
from Qatanna village
in northwest Jerusalem
during the creation
of Israel in 1948. They
initially paid rent to
Jordanian authorities, who
were responsible for East
Jerusalem until 1967 when
Israel occupied the city.
Since 1968, the family
has paid rent to Israeli
authorities as protected
leaseholders.
In 2011, the Israeli
government's Custodian
for Absentee Property
started legal proceedings
to evict the Shamasnah
family, claiming their
rental contract expired
in 2008. In May 2013, an
Israeli court postponed
the eviction until further
discussions.
The court suggested
during a hearing in May
14
Inatoka Uk 11
D u n a m i s T V, n d i v y o
ambavyo Mtanzania
yeyote leo anavyosoma
habari hizi za Askofu
O ye d e p o a t a s h i n d wa
kuelewa inakuwaje mtu
kama huyu anayehimiza
mauwaji na kugawika
nchi, anakuwa ndiye rafiki
wa karibu wa Rais wa
nchi na wakati huo huo
anapambwa na vyombo
vya habari na hata
kutetewa.
Ukiingia kwenye
mtandao, tafuta mada hizi:
Africa: U.S. Military Holds
War Games on Nigeria,
Somalia. US Army Prepares
For Nigerias Possible Breakup (2015). Nigeria: U.S.
Speaks On Nigerias Breakup. Obama To Visit GhanaA ll A bout AFR IC OM ?
N i g e r i a Ta r g e t e d F o r
Destruction: Gordon Duff,
US . "Unified Quest 2008"
by the Rand Corporation and
Booz-Allen.
Ukisoma yaliyoandikwa
katika makala hizi na
nyingine nyingi za
namna hiyo, kisha rejea
sasa usome na kusikiliza
haya anayosema Askofu
Oyedepo: Lord, if it is
Your will to break up
Nigeria break it now!
Ukiyachanganya
hayo, ukiunganisha na
mizaha ya Bring Back
Our Girls, na mengine
kama hayo ya mzaha wa
Boko Haram, unaweza
kuelewa kazi anayofanya
Askofu Oyedepo. Lakini
kwa upande mwingine,
utajua ni kwa nini inafikia
leo mzaha (hoax) wa
Abubakar Shekau kuteka
kambi ya jeshi unaaminika
kuwa ni jambo la kweli. Ni
katika mlolongo ule ule
wa akina Jihad John na
Osama Bin Laden.
Ujumbe wa Redio One, ITV
Kinachojitokeza hapa
ni kuwa tatizo la Nigeria
ni kubwa mno na kwa
bahati mbaya Wanigeria
wenyewe (baadhi wenye
kauli, wenye mamlaka),
waliopo serikalini na
sehemu mbalimbali
muhimu, inavyoonekana
wamehiyari kuchuuza
nchi yao na kujichuuza
wenyewe kwa mabeberu.
Ila hapa nimalizie
kwa kusema jambo moja
muhimu. Redio One, wana
ujumbe wao ambapo kwa
kutumia watu mbalimbali
wakiwemo ma-Rais
wa s t a a f u , wa k u u wa
vyombo vya usalama,
wasomi, viongozi wa dini
na hata watoto wadogo wa
shule, ambapo wanaeleza
umuhimu wa kulinda
Makala
AN-NUUR
RAIS Gooluck Jonathan (wa pili kushoto), Askofu David Olaniyi Oyedepo (mwenye
tai) wakiwa ziarani Israel.
amani iliyopo na kutaka
Lakini kama tutakuwa One, pamoja na kutolewa
wanaojaribu kuiharibu, tunaitikia Eemen kwa na watu wazito katika
wafichuliwe haraka na maneno kama yale ya nchi, bado hautakuwa na
kuchukuliwa hatua. Ni Askofu Oyedepo, ujumbe maana yoyote.
ujumbe mzuri.
mzuri kama huu wa Redio
Wa p o k w a m f a n o
viongozi wa dini
walithubutu kuwahimiza
waumni wao kushika
mapanga, visu, mikuki
na mishale, kupambana
n a wa t u wa l i o d a i wa
kuchoma makanisa. Lakini
ukitizama hao wanaodaiwa
kuchoma makanisa,
hakuna ushahidi wowote
unaoweza kutolewa
hadharani kuwa walitenda
jinai hiyo. Kinyume
chake, inaonekana kama
n i m a m b o ya k u z u a
t u , k u p a n d i k i z wa i l i
kupandikiza kitisho kama
kile cha Boko Haram,
Nigeria.
Kauli kama hizi
zinapofumbiwa macho,
i t a f i k a m a h a l i , wa p o
Wakristo wataamini kuwa
Waislamu wanachoma
moto makanisa yao na
kuuwa viongozi wao.
Ikifika hapo, wakiibuka
wale wachungaji ambao leo
wanahimiza wafuasi wao
kujihami kwa visu na sime,
wakiwaambia wafuasi hao
kwamba wakimwona mtu
anayefanana na wachoma
makanisa, hapana shaka
balaa lake litakuwa
kubwa. Wala huu ujumbe
unaotolewa na Redio One,
hautatusaidia kitu.
HAKUNA Kanisa
lililochomwa Yombo Dovya
kama walivyodai baadhi ya
Maaskofu.
Uchunguzi wa gazeti hili
pamoja na ule wa Serikali za
Mitaa, eneo hilo, umebaini
kuwa taarifa hizo ni urongo
na uzushi mtupu.
Awali Maaskofu chini ya
Umoja wao unaojulikana
kama Baraza la
Makanisa ya Kipentekoste
Tanzania (PCT) walitoa
taarifa wakisema kuwa
wamegundua mpango
ulioandaliwa na Waislamu
wa kuchoma makanisa nchi
nzima.
Katika madai hayo
wakasema kuwa tayari kikosi
maalum cha Waislamu cha
kutekeleza hujuma hiyo
kilikuwa kimetua Mbeya.
Akizungumza mbele ya
waandishi wa habari Katibu
M k u u wa B a r a z a l a
Makanisa ya Kipentekoste
nchini Tanzania (PCT),
Askofu David Mwasota
a k a w a t a k a Wa k r i s t o
kujihami kwa visu, mishale
na mikuki ili kupambana
na Waislamu.
Baada ya kueleza na
kunukuu kwa urefu yale
yaliyosemwa na Katibu
Mkuu wa PCT, Askofu
David Mwasota, gazeti la
15
Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
MAKALA hii itajaribu
kuondosha dhana ambayo
walimwengu wamekuwa
nayo kwa miaka na
mikaka, dhana ambayo
watu wanaamini kuwa
tupa baharini ukitakacho
bila yakuwa na wasiwasi
kwani bahari haiathiriki
na uchafu. Makala mbili
mfululizo italiangalia suala
hili. Makala ya kwanza
itazielezea aya zilizomo
kwenye Quran zinazoielezea
bahari na dondoo juu ya
bahari na makala ya pili
itaiangalia dhana potofu ya
kutupa uchafu baharini na
atahari zake.
Na tulipo ipasua
b a h a r i k wa a j i l i y e n u
na tukakuokoeni,
tukawazamisha watu
wa Firauni, na huku
mnatazama. (Surah AlBaqara, 50)
Hakika katika kuumbwa
k wa m b i n g u n a a r d h i ,
na kukhitalifiana usiku
na mchana, na marikebu
ambazo hupita baharini kwa
viwafaavyo watu, na maji
anayo yateremsha Mwenyezi
Mungu kutoka mbinguni,
na kwa hayo akaihuisha
ardhi baada ya kufa kwake,
na akaeneza humo kila
aina ya wanyama; na katika
mabadiliko ya pepo, na
mawingu yanayo amrishwa
kupita baina ya mbingu na
ardhi, bila shaka zimo Ishara
AN-NUUR
M s o m i n a g w i j i wa
maendeleo ya teknolojia
Al-Khwarizmi
Kiongozi Al-Mamun, huyu
akiwa ni mwana wa Kiongozi
Haroun Rashid.
Kubakia kwake Baghdad,
Al-Khawarizmi aliweza kuja
na nadharia mbalimbali za
hesabati na ufanyaji wa
hesabu kwa njia rahisi kabisa
kwa kutumia Logarithm.
Inaeleweka kuwa AlKhawarizmi alibobea mno
katika fani hii ya Algorithm
ambayo fani hii ndio
inayotumika katika masuala
kufahamisha somo la
Geometry na kuweka mifano
m b a l i m b a l i ya k u we z a
kulielewa somo hilo. Fani hizi
mbili ambazo nimezielezea,
aliweza kurahisisha kugawa
mirathi kwa njia ya kirahisi
kabisa kwa kutumia
Quadratic Equations na
mifano yake ya Geometry
ndio yalioleta chimbuko la
upimaji wa ardhi ambao hadi
hii leo njia alizozipita ndizo
zinazotumika.
B a h a t i m b a ya k a t i k a
taaluma tunazozisoma
jina lake huwa haliguswi
kwa uchoyo wa watu wa
nchi za Magharibi. Uchoyo
h u u s i o k wa Wa i s l a m u
tu walifanyiwa, bali hata
watu wa jamii nyengine
waliokuwa sio Waislamu
walifanyiwa uchoyo huo.
Kwa mfano V. N. Sukachov
akiwa ni Mrusi katika mwaka
wa 1910 alikuwa ni mtu wa
mwanzo ambaye alielezea
kuwa kila kiumbe kina
mwahali pake anapoishi na
hapo ndipo panakuwa na
maingiliano ya maisha na
mazingira yaliokizunguka
kiumbe hicho nadharia ya
kisomi inajulikana kama
Ecosystem, akiwa Sukachev
alioasisi neno hilo na kuwa
anayasomesha na kuyaelezea
katika vyuo vya Urusi wakati
Inaendelea Uk. 16
brahim, 32)
Yeye ndiye aliye ifanya
bahari ikutumikieni, ili
kutokana na humo mpate
kula nyama laini, na mtoe
humo mapambo mnayo
yavaa. Na unaona marikebu
zikikata maji humo, ili
mtafute fadhila yake, na
mpate kushukuru. (Surah
An-Nahl, 14)
Mola wenu Mlezi
ndiye anaye kuendesheeni
marikebu katika bahari ili
mtafute katika fadhila zake.
Hakika Yeye ni Mwenye
kukurehemuni nyinyi.
(Surah Al-Isra, 66)
Na inapo kufikieni taabu
katika bahari, hao mnao
waomba wanapotea, isipo
kuwa Yeye tu. Na anapo
kuvueni mkafika nchi
kavu, mnageuka. Ama
mwanaadamu ni mwingi
wa kukanusha. (Surah AlIsra, 67)
Na hakika tumewatukuza
wanaadamu, na tumewapa
vya kupanda nchi kavu na
baharini, na tumewaruzuku
vitu vizuri vizuri, na
t u m e wa f a d h i l i s h a k wa
fadhila kubwa kuliko wengi
miongoni mwa tulio waumba.
. (Surah Al-Isra, 70)
Na pale Musa alipo
m wa m b i a k i j a n a wa k e :
Sitoacha kuendelea mpaka
nifike zinapo kutana bahari
mbili, au nitaendelea kwa
muda mrefu. (Surah AlKahf, 60)
Inaendelea Uk. 16
16
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Inatoka Uk. 15
Basi wawili hao walipo
fika zinapo kutana hizo
bahari mbili walimsahau
samaki wao, naye akashika
njia yake kaporonyokea
baharini. (Surah Al-Kahf,
61)
Akasema (kijana): Waona!
Pale tulipo pumzika penye
jabali basi mimi nilimsahau
yule samaki. Na hapana aliye
nisahaulisha nisimkumbuke
ila Shet'ani tu. Naye akashika
njia yake baharini kwa ajabu.
(Surah Al-Kahf, 63)
Ama ile jahazi ilikuwa ya
masikini za Mungu wafanyao
kazi baharini. Nilitaka
kuiharibu, kwani nyuma
ya o a l i k u wa k o m f a l m e
anaghusubu majahazi yote.
(Surah Al-Kahf, 79)
Sema: Lau kuwa bahari
ndio wino kwa maneno ya
Mola wangu Mlezi, basi
bahari ingeli malizika kabla
ya kumalizika maneno ya
Mola wangu Mlezi, hata
tungeli ileta mfano wa hiyo
kuongezea. (Surah Al-Kahf,
109)
Na tulimfunulia Musa:
Toka usiku na waja wangu, na
uwapigie njia kavu baharini.
Usikhofu kukamatwa, wala
usiogope. (Surah Ta Ha, 77)
F i r a u n i a k a wa f u a t a
pamoja na majeshi yake.
Basi kiliwafudikiza humo
baharini kilicho wafudikiza.
(Surah Ta Ha, 78)
(Musa) akasema: Basi
ondoka! Na kwa yakini
utakuwa katika maisha
ukisema: Usiniguse. Na
hakika una ahadi kwako
isiyo vunjwa. Na mtazame
huyo mungu wako uliye
endelea kumuabudu - Sisi
kwa hakika tutamchoma
moto, kisha tutamtawanya
machungu. Na kutokana na
bahari zote mnakula nyama
mpya (isiyo chacha). Na
mnatoa mapambo mnayo
yavaa. Na unaona ndani yake
marikebu zinakata maji ili
mtafute fadhila zake, na ili
mpate kushukuru. (Surah
Fatir, 12)
Na katika Ishara zake
ni vyombo vinavyo kwenda
na kurejea baharini kama
vilima. (Surah Ash-Shura,
32)
Na iache bahari vivyo
hivyo imeachana, hakika
wao hao ni jeshi litakalo
zamishwa. (Surah AdDukhan, 24)
Mwenyezi Mungu
ndiye aliye ifanya bahari
ikutumikieni, ili humo zipite
marikebu kwa amri yake, na
ili mtafute fadhila yake, na
mpate kushukuru. (Surah
Al-Jathiyya, 12)
Basi tukamkamata
yeye na majeshi yake na
tukawatupa baharini, na
yeye ndiye wa kulaumiwa.
(Surah Adh-Dhariyat, 40)
Anaziendesha bahari
mbili zikutane. (Surah ArRahman, 19)
Baina yao kipo kizuizi,
zisiingiliane. (Surah ArRahman, 20)
Na ni vyake Yeye hivi
viendavyo baharini vilivyo
undwa kama vilima. (Surah
Ar-Rahman, 24)
Na bahari zitakapo
pasuliwa (Surah Al-Infitar,
3)
17
Makala
AN-NUUR
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L
DAR ES SALAAM
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)
katika kujifunza.
5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni
: 0783552414/0762817640.
Kilimanjaro
- Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490
- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.
- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.
Tanga
- Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525
- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983
Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.
Musoma
Shinyanga
Morogoro
Dodoma
Singida
Manyara
Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.
Lindi
Mtwara
- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196
Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya
Rukwa
Tabora
Iringa
Pemba
Unguja
18
MAASKOFU wametoa
taarifa rasmi wakidai
kuwa Waislamu wana
mkakati wa kuchoma
makanisa nchi nzima.
Na kwamba katika hatua
za awali za kutekeleza
mkakati huo, wamepata
habari kwamba
k u n d i l a Wa i s l a m u
lilishushwa Mbeya kwa
ajili ya kuchoma moto
makanisa.
Akizungumza mbele
ya waandishi wa habari
Katibu Mkuu wa Baraza la
Makanisa ya Kipentekoste
nchini Tanzania (PCT),
Askofu David Mwasota
a m e wa t a k a Wa k r i s t o
kujihami kwa visu,
mishale na mikuki ili
kupambana na Waislamu
waliodhamiria kuchoma
makanisa.
Askofu David
anasema kuwa kwa
kushika mikuki,visu
na mishale, huenda
serikali itazindukana
kuwashughulikia
Wa i s l a m u , k wa n i
anasema kuwa haoni
kama serikali inafanya
vya kutosha kukabiliana
na kitisho cha Waislamu.
Katibu Mkuu huyo wa
PCT anamshutumu Rais
Jakaya Mrisho Kikwete
kuwa amekuwa akitoa
matamko mepesi tu
badala ya nguvu na hasira
zote za dola kuwaangukia
Waislamu.
Zilipotokea vurugu za
Mbagala baada ya lile
tukio la Quran kunajisiwa,
i l i d a i wa k u wa k u n a
makanisa yalichomwa
moto. Kwa vile waliotoka
kuandamana walikuwa
Waislamu na kwa kuwa
Waislamu ndio waliokuwa
na hasira kufuatia
kitendo cha kukojolewa
Quran, wakawa ndio
watuhumiwa namba moja
kuwa ndio waliohusika
kuharibu makanisa hayo.
Lakini ukiacha taarifa
hiyo, uongozi wa Kanisa
Katoliki la Mtakatifu
Au g u s t i n o , M wa n z a ,
umedai kuwa Paroko
wake, Padiri Andreas
Buhembo ametumiwa
ujumbe wa kumtangazia
kifo. Kwamba, wakati
kimbunga cha kuchoma
makanisa kinaendelea,
sasa
Waislamu
wanatangaza mpango
wa kuuwa Mapadiri.
Padiri Buhembo anasema
kuwa yeye amekabidhiwa
ujumbe unaotishia
kumuuwa na Mapadiri
we n g i n e n a k wa m b a
ujumbe huo umeandikwa
kwa Lugha ya Kiarabu.
Padiri Andrea Buhembo
anadai kuwa akitumia
mbinu za kikomandoo
Makala/Tangazo
AN-NUUR
anachosema ni kuwa
walimkamata na kumhoji
lakini wakamuacha
akaondoka bila ya
kumdhuru!
Kama hiyo haitoshi,
uongozi huo wa Kanisa
Katoliki Mwanza ukadai
t e n a k u wa wa l i k u j a
mabinti wawili waliovalia
Hijabu na kutaka
kuingia kanisani lakini
wakazuiwa.
Ukitizama madai ya
Askofu David Mwasota
n a h a ya ya Pa d i r i
Andreas Buhembo, kubwa
wanachofanya ni
kupiga propaganda
ya kuwapakazia uovu
Wa i s l a m u n a h a s a
kujaribu kuisimika ikae
na ikubalike kuwa nchini
kuna
kitisho cha Boko Haram
kama ilivyokwisha
kutajwa katika baadhi
ya m a g a z e t i . U k i j u a
kuwa mengi ya makanisa
haya ni yale yaliyoanzia
Marekani au kufadhiliwa
na taasisi za Kimarekani,
matamshi ya Maaskofu
hawa hayakupi shida
sana.
Lakini niseme
Inatoka Uk. 4
dhahanifu. Fasili yake
ni kuwa haya ni maelezo
yanayomtuhumu mtu
au kundi la watu, taasisi
au jumuiya kwa aidha
kupanga, kuficha, au
kufanya jambo ambalo
ni kinyume cha sheria
na lenye madhara kwa
wengine.
Kuitwa kwake
dhahanifu kunaeleza
ukweli mmoja muhimu
kuwa hii ni dhana ya
kudhania tu, lakini ukweli
mwengine muhimu zaidi
ni kuwa mara kadhaa ni
dhana hizi za kudhanika
tu ndizo ambazo huumba
mitazamo ya wengi wetu,
badala ya zile dhana
zilizofanyiwa utafiti na
kujengewa ushahidi wa
kihistoria, kisayansi na
kimantiki.
Hata hivyo, nadharia
dhahanifu ina msingi
wake; na kwa hakika ni
msingi huo ndio unaoipa
nguvu za kuifanya
ikubalike miongoni mwa
waumini wake, na kufikia
mahala ya kuzichukulia
hatua, hata kama mbunifu
wa k e h a i a m i n i . K wa
mbunifu, hii huwa ni
nyenzo yake ya kisaikolojia,
kijamii au kisiasa wa jamii
inayohusika nazo.
Waziri mkuu, Mizengo
Pinda akisalimiana na
Naibu Waziri Mkuu wa
Oman , Mhe. Sayyid Fahad
Mahmoud El Said kabla ya
mazungumzo yao rasmi
ya kiserikali kwenye Ofisi
ya Naibu Waziri Mkuu
wa Oman mjini Muscat
Oktoba 28, 2014. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
H a p a
n d i p o
inapotuwama hii fitina
ya mtawala, kupitia sasa
akina Lukuvi na Sitta.
Mtawala anajuwa vyema
anachokifanya kwenye
nadharia hii dhahanifu
ya Tanzania kuwaogopa
Waarabu wa Zanzibar.
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kwa sera
na muelekeo wake haina
la kukhofia kutoka kwa
Watanzania hao 200,000
walioko Oman.
Kinyume chake ndicho
inachokifanya hivi sasa.
Kwa siku za karibuni,
serikali nzima ya Rais
Kikwete imekuwa haishi
kiguu na njia kwenda
kuomba misaada
na ushirikiano wa
kimaendeleo na Oman,
ikiwatumia Watanzania
hao hao wenye asili za
Oman na Waomani wenye
asili za Tanzania.
Khofu halisi ya
Ta n g a n y i k a k w a
Zanzibar: Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,
inakhofia endapo
Zanzibar itasimama
kwa miguu yake katika
masuala kadhaa ya kisiasa
na kiuchumi, ndani na nje
ya mipaka yake. Ile fursa
ya Zanzibar kuwa Cuba
ya Afrika iliyowahi
kuwatisha Wamarekani
katika miaka ya 60 kufikia
umbali wa kuchochea
kuisakamiza Zanzibar
kwenye kabari za
Tanganyika, ndiyo fursa
ile ile ambayo miaka 50
baadaye Zanzibar inayo.
Muonekano wa jiji la
Dar es Salaam kutokea
baharini ukiakisi ukuwaji
wa uchumi, ambao
unaweza kufikiwa na
kupitwa na Zanzibar
iliyothubutu.
Hata baada ya kuzikwa
kwenye shimo kwa nusu
karne, Zanzibar bado ina
nafasi ya kuwa Dubai
ya A f r i k a n a h i v y o
inamtisha mtawala,
ambaye sasa anafikia
umbali wa kuiandalia
hujuma kubwa. Miaka
mitano inayokatika
sasa kwenye Serikali
ya Umoja wa Kitaifa
ya Zanzibar, licha ya
mapungufu yake kadhaa,
i m e d h i h i r i s h a k u wa
ndoto hiyo ya Zanzibar
inaweza kuja kuwa
kweli, lau uhuru zaidi
wa kisiasa na kiuchumi
utakuwa mikononi mwa
Wazanzibari wenyewe.
H a p o n d i p o p e n ye
chimbuko la fitina hii,
ambao huenda mtawala
a n a a m i n i h a i t a k u wa
na madhara kwake,
zaidi tu ya kuiadhibu
na kuidhuru Zanzibar
vile inavyostahiki kwa
kuonesha kiburi mbele
yake. Zanzibar inapangiwa
kuadhibiwa na vijenzi vya
adhabu hiyo vinaendelea
kujengwa kwa utaratibu
na mkakati maalum
ambao unadhihirika
kwenye kauli na hatua
kama hizi za kina Sitta na
Lukuvi.
Hata hivyo, kufanikiwa
na kutofanikiwa kwa
hujuma hii kutatokana,
kwa kiasi kikubwa, na
udhaifu wa Zanzibar na
Wazanzibari wenyewe
na sio tu nguvu za
mtawala pekee. Na tukiwa
wakweli wa nafsi zetu, sisi
Wazanzibari wenyewe
tumeuonesha udhaifu
huo tangu kwenye vikao
vya Bunge Maalum la
Katiba na tunaendelea
kumuonesha hadi sasa.
Tuligawika Dodoma
kwenye Bunge hilo,
tumeendelea kugawika
Zanzibar nje ya bunge hilo.
Hatujasimama pamoja
kwa maslahi ya nchi
yetu, bali tumesimama
kwa maslahi ya makundi
n a v ya m a v ye t u . N a
hapo lazima tubebe
sehemu yetu ya lawama.
Tunalaumika.
ya f u a t a y o , k a b l a ya
kupitisha sheria ya
Pa t r i o t A c t , k i l i p i t a
kwanza kitisho cha kweli
cha shambulio la kimeta
(Anthrax Terror Attack),
wakafa watu saba wasio
na hatia. Kitisho cha
Al Qaida na Usama
Bin Laden, kimeonekana
kweli baada ya Septemba
11 ambapo watu takriban
4,000 walikufa. Uganda
ilikuwa hivyo hivyo. Watu
kama 70 hivi walikufa
ili kitisho cha Al Shabab
kionekane kuwa ni cha
kweli. Hapa hoja sio kama
kweli waliopiga Kampla
walikuwa Al Shabab au
la. Ila tu tusisahau kuwa
katika Anthrax Terror
Attack, walituambia
k u wa n i A l - Q a i d a h .
Lakini haukupita muda
wa k a s h i k a n a u c h a w i
wenyewe kwa wenyewe.
Sasa labda kwa wale
Watanzania wenye hamu
ya kuona kitisho cha
ugaidi kinakuwa cha
kweli katika nchi hii,
watuambie, wapo tayari
kutoa gharama kiasi gani?
Wapo tayari kuona watu
wangapi wasio na hatia
wakiuliwa? Na kwa vile
propaganda hapa ni Boko
Haram, ni Al-Shabaab,
ni Waislamu, Swali ni
je, Askofu Mwasota na
Padiri Andreas, wapo
tayari kuona Wakristo
wangapi wakiuliwa ili hilo
wanalotamani litimie?
Labda tuseme hapa
kuwa watakaouwa
Wakristo na watakaolipua
Makanisa ili kudai
kuwa ni Waislamu, ni
hawa hawa wanaodai
kuwa kuna Waislamu
walioshushwa Mbeya
kulipua Makanisani
hawa hawa wanaodai
kuwa wametumiwa
ujumbe wa kifo. Nasema
hivyo kwa sababu
wanayodai ni urongo
mtupu. Ni uchochezi.
Ni usanii. Na wanafanya
hivi bila ya wasiwasi
kwa sababu wana
uhakika hawatakamatwa
kwa idhilali kama
wanavyofanyiwa akina
Ponda, Sheikh Msellem na
viongozi wengine wa
Kiislamu.
Labda tujiulize,
Muislamu anaingiaje
kanisani anakupa ujumbe
wa kukutishia kifo, halafu
humkamati na kumpeleka
polisi?
Imekuwa kama ule
usanii tulioambiwa kuwa
kuna vijana wametekwa
n a wa n a h a r a k a t i wa
Kiislamu
Arusha wakateswa na
mmoja wao akakatwa
masikio, lakini katika
picha waliyopigwa
wote wana masikio yao
yakiwa mazima! (Habari
hii ilitolewa kwa mara ya
kwanza katika An nuur
Namba 1044 la Novemba
9, 2012)
19
AN-NUUR
Makala
Sukari ni kichocheo kikubwa zaidi cha Shinikizo la Damu (Hypertension) kuliko hata chumvi
'PUNGUZA sana matumizi
ya chumvi, au ikiwezekana
wacha kabisa'!
Huu ni ushauri wa
kawaida kabisa unaopewa na
madaktari pale inapobainika
kuwa shinikizo lako la damu
liko juu kuliko inavyopaswa.
Shinikizo la damu
h u p i m wa k a t i k a n g a z i
mbili. Ngazi ya kwanza
ni shinikizo la juu. Hili
hutokea pale misuli ya moyo
inapokikaza kusukuma
damu iliyosheheni oksijeni
kutoka kwenye mapafu
kuisambaza mwilini. Ngazi
ya pili ni shinikizo la chini.
Hili hutokea pale misuli ya
moyo inapojiachia kuruhusu
damu irejee kwenye mapafu
ili kuachia hewa chafu
kutoka katika seli za mwili
- hewa ukaa - itolewe ndani
ya mwili
Shinikizo la juu la kawaida
la damu ni 110 - 120 mmHg;
na la chini la kawaida ni chini
ya 80 mmHg. mmHg ambayo
kirefu chake ni 'millimeters
of mercury' ndiyo kipimo
kinachotumika kwa kawaida
k u e l e z e a k i wa n g o c h a
shinikizo la damu.
tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
120 139 mmHg
1.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
H a t u a ya 1 : 1 4 0 - 1 4 9
mmHg
1.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 160 au zaidi
mmHg
1.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 180 mmHg
2. SHINIKIZO LA CHINI
(Diastolic) mmHg
2.1. Kawaida: Chini ya 80
mmHg
2.2 Kuelekea kuwa na
tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
80 89 mmHg
2.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 1: 90-99 mmHg
2.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 100 au zaidi
mmHg
2.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 110 mmHg
DAWA
1
HAIIBA DENTAL
GUARD
UGONJWA UNAOTIBIWA
M a u m i v u y a Maambukizi ya gram positive bakteria kwenye kinywa
meno
HAIIBA DENTAL
GUARD COMBO
Maumivu ya
meno
HAIIBA IG
HAIIBA IG
COMBO
HAIIBA TIMAMU
TEA
Maambukizi ya gram
positive bakteria
kwenye kinywa
Maumivu ya
viungo
Kusawazisha
Cholesterol
Uchovu
Kupunguza
kasi
ya
kuzeeka
Homa za mara
kwa mara
U s a g a j i wa
c h a k u l a
tumboni
Kuimarisha
siha ya macho
Mfuro
(Inflammation)
Kusafisha ini
Kinga dhidi ya
saratani
Kinga za mwili
Kuboresha
mzunguko
wa damu
Kuharibu seli
za saratani
z i l i z o k o
mwilini
PROGRAMME
Kuhifadhi
mnyumbuko
wa ngozi
Kuimarisha
siha ya ngozi
9
10
11
Magonjwa ya fizi
Kupunguza
shinikizo la
damu
Kupunguza
uwezekano
wa kupata
shambulio la
Huboresha
s i h a
ya
mishipa ya
fahamu
Huongeza
Alkali mwilini
Hupunguza madhara ya
kisukari cha ukubwani
Hupunguza makali ya
maradhi ya kupoteza
k u m b u k u m b u
(Alzheimers disease)
Huharakisha kupona
majeraha
Hupunguza makali ya
ugonjwa wa baridi ya
yabisi (Arthritis)
H u z u i a
cholesterol
mbaya (LDL)
kuingiliana
na oxygen
na kuleta
madhara
H u p u n g u z a k a s i ya
ongezeko la virusi vya
ukimwi
Kibofu kilicholegea
Maambukizi ya njia ya Kuondoa bacteria wabaya Saratani mbalimbali
mkojo
tumboni
H A A I B A F A M I L Y Kuondoa ukhanithi
Kuimarisha sana uwezo wa tendo la Maumivu ya kiuno na mgongo
BUSINESS
ndoa
HAIIBA CLEAN UP
Kusafisha tumbo na njia ya haja Kurekebisha mfumo wa usagaji chakula Nguvu za kiume
kubwa
HAIIBA MLONGE PACK
Kinga imara dhidi ya utapiamlo Huimarisha kinga za mwili
Huondoa uchovu
HAIIBA P & B
HAIIBA C CLEAN
Kuziba mkojo
Malaria sugu
mbaya
DAWA
UGONJWA UNAOTIBIWA
HAIIBA GLUCOMASTER Hutibu Kisukari cha ukubwani
6
7
8
Harufu
kinywani
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Soma
gazeti
laMACHIAN-NUUR
JAMAADIUL AWWAL
1436, IJUMAA
6-12, 2015
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
Ni Msiba!
N i li k u wa ma en e o ya
Darajani ndani ya duka
maarufu kwa Eddy Calipso
kando ya Duka kubwa
la vifaa vya Electroniki
maarufu kwa Muzammil.
Wakati nikiwa pale alipita
mtu mmoja akisema
kwamba Salmin Awadh
ameanguka Kisiwandui
akiwa kwenye kikao na
kukimbizwa hospitali Mnazi
Mmoja chumba za wagonjwa
Mahatuti (ICU). Lakini muda
usiozidi dakika 20, tukapata
ujumbe wa simu kwamba
Salmin ameshatutoka,
ujumbe ambao kwa hakika
uliwashitua watu wengi
lakini uliopokewa kwa hisia
tofauti.
Na kama kawaida
u n a p o p a t wa n a m s i b a
au taarifa za kifo jambo
la kwanza litakalokujia
mdomoni ni maneno ambayo
tumefunzwa katika imani
zetu huwa tunasema Inna
lillahi wainna ilayhi rajiuun.
Lakini ni kwa nini watu
wasiungane kama ambavyo
waliungana wakati ule
ambapo Zanzibar iliambiwa
sio nchi? Bila ya kujali itikadi
za kisiasa, Wazanzibari kwa
sauti moja walighadhibishwa
na kauli ya Waziri Mkuu wa
Tanzania Mizengo Pinda
aliyoitoa Bungeni kwamba
Zanzibar sio nchi. Kila
Mzanzibari alionesha hisia
zake kutokana na kauli hiyo.
Na umoja huo wa
Wazanzibari ndio ulizipa
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.