Вы находитесь на странице: 1из 20

facebook: annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

ISSN 0856 - 3861 Na. 1168 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 13-19, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

(2) HIJI, UFE MUISLAMU!


Mtume(saw) amesema kuwa anayekufa bila
kuhiji hali ya kuwa aliwahi kupata uwezo
anakufa Yahudi au Nasara, na Uislamu
hautomtambua Hija ni haki ya Mola wako
iliyopo juu yako. Mpe Mola wako haki
yake kwanza. Muda unakwisha! Gharama
zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya
Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu
Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na
uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania
Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

Ukweli mchungu:

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi


Ni Abu Tijjani a.k.a Kanaana a.k.a Maitatsine
Alipelekwa Sudani akarudi na Aya, Hadith
Akakusanya silaha kupeleka vijana Shamba
Ashab Kital 700 wakauliwa kuleta Boko Haram2
Boko Haram3 imechanganya Ukristo na ubeberu

MUHAMED Marwa aka Maitatsine.

Mwaka wa Maamuzi:

CCM imeamua kuhisabu risasi


kubakia madarakani Zanzibar
MHESHIMIWA Jussa (kushoto) akiwa na Bimani.

Mtafatuku ndani ya Baraza

Rungu la Spika Kificho lafanya kazi

Na Mwandishi Wetu
HALI ya sintofahamu
i l i t a wa l a n d a n i ya
Kikao cha Baraza la
Wawakilishi juzi.
Hata hivyo, ikiacha
kilichokusudiwa
ambayo ni sheria ya

kura ya maoni ikiwa


imeridhiwa.
I l i k u wa n i k a t i k a
kuwasilishwa hoja ya
k u r i d h i wa k u r a ya
maoni ambapo baadhi
ya wajumbe walipinga
wakisema kuwa haina
masilahi na Zanzibar.

Mvutano ulikuwa baina


Spika na Mh. Jussa aliyetaka
hoja hiyo isiridhiwe kwa
sababu tayari Katiba ya
Zanzibar imeshaitangulia
Sheria hiyo na imeshaweka
masharti ya kura ya maoni
Zanzibar.

Inaendelea Uk. 8

NI bahati mbaya bado CCM, Chimwaga inadhani kuwa


njia pekee ya kuidhibiti Zanzibar ni kupitia khofu na
wasiwasi miongoni mwa raia.
Ndiyo tafsiri ya kauli hizi kwamba vifaru vya jeshi
vitatumika kuilinda CCM madarakani.
Lakini hikima ya kujifunza inawataka wauangalie
uhalisia.
Vifaru vinaendeshwa na watu. Mizinga inafyatuliwa
na watu. Na ni watu pia wanaodai mabadiliko. (Uk. 6)

Masheikh wa Baraza Kuu


Bakwata haya hamyasikii?

Inahitajika EWURA ya mambo ya Dini


La sivyo Quran ina msemo wake, Subirini!

Tahariri
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Masheikh wa Baraza Kuu


Bakwata haya hamyasikii?

Inahitajika EWURA ya mambo ya Dini


La sivyo Quran ina msemo wake, Subirini!

KIASI wiki tatu zilizopita


tunaelezwa kuwa
alisimama Khatib katika
Mimbar ya Msikiti mmoja
maeneo ya Mikocheni
akihutubu siku ya Aljumaa
na kuwaambia waumini
kuwa wakimchinja kafir,
wa t u m i e k i s u k i k a l i
na wasimkate viungo
kwani wanamtesa. Mada
aliyoanza nayo ilikuwa ni
haki za wanyama. Kwamba
hata wale wanaoliwa
ikiwa unamchinja kwa
ajili ya kitoweo, basi uwe
na huruma. Usimtese.
Tumia kisu kikali liwe
tendo la mara moja.
Hata hivyo, mtoa Khutba
akahama akaunganisha
akasema kuwa hata
ukimchinja kafiri, usianze
kumkata viungo.
Baada ya swala
tunaambiwa kuwa mmoja
wa viongozi wa msikiti
alisimama, mpasha
habari wetu akadhani
kuwa huenda utatolewa
ufafanuzi juu ya khutba ile.
Hata hivyo, kiongozi huyo
wa msikiti akaishia kusema
kuwa khutba imeeleweka,
hakuna cha kuongeza,
kilichobaki ni utekelezaji.
Wa t u w a l i o n d o k a
hawajui, kilichoeleweka
nini na kinachotakiwa
kikatekelezwe ni kipi.
Kwamba je, waondoke
wakachinje makafiri kwa
visu vikali? Huyo kafiri ni
nani? Na kwa Fatwa gani
anachinjwa.
Tu l i w a h i k u a n d i k a
katika gazeti hili juu ya
mawaidha yaliyokuwa
yanatolewa katika baadhi
ya misikiti kule Mwanza
yakihimza watu kuwa
na silaha bila kujali zina
vibali au la. Lakini pia
wakihamasishwa kufanya
mambo ambayo ni
kinyume na Uislamu na
yanayostahiki kuitwa ni
jinai kwa mujibu wa sheria.

Swali letu lilikuwa moja


tu, hivi jamii haisikii na
haioni haya?
Hali hiyo bado inaendelea
katika baadhi ya Misikiti
na kama ilivyokuwa kwa
wale Ashab Kital, Yan
Tatsine, utaona msururu
wa vijana na pikipiki
wakielekea atakako kuwa
kiongozi wao. Na hivi
sasa umeibuka msamiati
wa kwenda Shamba.
Haijulikani shamba ni wapi
na wanakwenda kufanya
nini. Anatoweka kijana,
mtaani haonekani, ukiuliza
unaambiwa kaenda
shamba.
Lakini Mwanza huko
huko, ndiko ambapo baadhi
ya viongozi wa makansa
walisambaza propaganda
kuwa kuna Waislamu
waliwapelekea ujumbe
wa tangazo la kifo wakiwa
kanisani, ila hawakuripoti
polisi. Tumeshaandika
pia mara kadhaa juu ya
propaganda, chuki na fitna
inayopandikizwa kuwa
kuna kikosi cha watu
waliodhamiria kuchoma
makanisa na kuuwa
Maaskofu na Mapadiri.
Si tabu sana kuona nini
matokeo ya propaganda na
fitna hii ikisindikizwa na
hutba za kuchinja makafiri.
Profesa Dauda
anazungumzia watu
waliojifanya kusilimu
kule Nigeria, wakatoweka
kitambo kidogo waliporudi
wanaongea Kiarabu,
wakawa makamanda wa
Jihad na kuwatangazia
ukafiri na unafiki Waislamu
wasio wafuata. Akapata
kundi katika vijana na hata
watu wazima. Hao ndio
binadamu. Hata Firauni
aliyejiita Mungu, alipata
wafuasi pia.
Mohammed Marwa
Mai Tatsine, alianza

kwa kuharamisha elimu


akiwaambia wafuasi
wake watoe watoto
skuli. Wasinunue redio,
s a a wa l a t e l e v i s h e n i
na magari kwa sababu
zimetokana na elimu ya
kikafiri. Ila wanunue AK47 na kuhifadhi za kutosha
majumbani mwao.
Muhimu
hapa
tusiangalie ujinga wa
wafuasi wenyewe kwamba
walitakiwa waone kuwa
kama elimu iliyotengeneza
redio ni ya kikafiri, basi
hata iliyotengeneza AK-47,
kanzu, kilemba na mtandao
wa simu kundesha biashara
ya Tigo-Pesa na kununua
Luk ya umeme, au CD
ya kurekodi mawaidha
ya Abu Ismail, itakuwa
ya kikafiri pia. Tukienda
kwa mwendo wa kutizama
hoja ya ujinga wa wafuasi,
tutakwenda kombo.
Wekithekija na kirundu
kikubaja idhitho, wanasema
Wapare, ikiwa na maana
kuwa ukicheza na mjinga
anakupasua jicho.
Hoja hapa tutizame
mfanano wa mahubiri haya
na yale ya Mohammed
Marwa (Boko Haram1)
na balaa aliloleta. Hadi
kutulia kabisa kwamba
hasikiki tena mtu wa Yan
Tatsine, baada ya Musa
Ali Suleiman aka Musa
Makaniki aliyekuwa
kiongozi wao wa mwisho
k u k imbilia C a me roon
mwaka 1985, watu zaidi ya
9000 walikuwa wameuliwa,
Waislamu kwa Wakristo na
hata polisi na wanajeshi.
Hivi sasa wanasikika
Ashab Kital wanaibuka
Songea/Lindi. Wengine
wanatangaza namna
nzuri ya kuchinja
makafiri. Mwanza wao
wanakwenda shamba.
Jamii kimya!!! Masheikh
kimyaa!!
Ya l i y o t o k e a ya Ya n
Ta t s i n e , N i g e r i a n a
Mohammed Marwa mpaka
kuuliwa zaidi ya watu 9000,
wala tusione ni mambo ya
paukwa pakawa. Yapo
katika maandishi, vitabu
na vyaraka mbalimbali kwa
anayetaka kujua ukweli.
Sasa tunadhani kwa
dalili zinazojitokeza nchini,
kuna haja kwa Masheikh
wetu kuitisha kama tutaita
se min a ya p a mo ja a u
mkutano wa Masheikh
kujadili mambo haya na
kutoa fatwa na mwongozo
kwa Waislamu. Jambo
lisemewe katika misikiti na
sehemu mbalimbali. Elimu

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015


sahihi iwafikie Waislamu,
hasa vijana mitaani, shuleni
na vyuoni ambao ni rahisi
kukumbwa.
Kano walimpuuza
Mohammed Marwa,
kustuka ana jeshi kubwa
la vijana waliojaza visu,
mikuki, marungu na
bunduki majumbani
mwao. Kilipotumwa kikosi
cha polisi kikiwa askari 150
katika magari makubwa 13
Desemba 18, 1980 kuwazuia
wafuasi wa Mohammed
Marwa kufanya mhadhara,
kufumba na kufumbua
polisi walijikuta
wakizidiwa nguvu kwa
kuvamiwa na wafuasi hao
wapatao 3000 wakiwa na
silaha za kila aina. Polisi
waliosalimika kuuliwa
wa l i k i m b i a wa k i a c h a
magari yao 13 yakichomwa
moto. Hadi jeshi linakuja,
mamia ya Masheikh na
Wa i s l a m u a m b a o Ya n
Ta t s i n e , wa l i wa i t a n i
wanafiki na makafiri,
walikuwa washauliwa.
Makanisa, misikiti, shule,
vyuo, vituo vya polisi na
ofisi za serikali zilichomwa
moto.
Kutokana na hali
ilivyokuwa, jeshi
walipokuja nao wakawa
wa n a u wa wa t u o v y o
kutokana na mchafu koge
uliokuwepo. Ikieleza hali
hiyo, ripoti moja inasema:
It was a desperate time
and extremely desperate
measures were taken by the
Nigerian government, making
some costly mistakes in the
process, especially with the
extrajudicial killings.
Baadhi ya wachambuzi
wa tukio hilo wanasema
kuwa kilichosababisha
hali kuwa mbaya zaidi
ni kwa sababu vijana
wa Mohammed Marwa
walifundwa kusema lolote
na kuambiwa kuwa wana
uwezo wa kufanya lolote
(kuuwa makafiri, polisi,
wanaopeleka watoto
shule), na wasijali chochote
katika kufanya hivyo kwa
sababu hiyo ndiyo Jihad
ya Kitali.
S a s a
k u w a
wameshibishwa maneno
hayo kwa muda mrefu
na kiongozi wao
wanayemuitakidi kuwa ni
mtakatifu na aliyesahihi
kuliko Masheih wengine
wa Nigeria wakitizamwa
kama wanafiki au makafiri
sawa na makafiri wengine,
i l i wa j e n g e a m o r i wa
kutokujali.
Masheikh wanatuambia

kuwa uongozi ni jambo


linalosisitizwa katika dini.
K wa m b a h a t a m k i wa
safarini watu watatu,
basi mumchague mmoja
wenu awe kiongozi. Labda
tuulize, nini maana ya
kuwa na kiongozi?
Hivi sasa utakuta
misikiti mingi ama itakuwa
chini ya Bakwata, Baraza
Kuu, Ansaar Sunna na
taasisi kama hizo ambazo
zimesajiliwa kisheria. Nini
maana ya msikiti kuwa
chini ya Bakwata au Baraza
Kuu kama Sheikh wa Mkoa,
Wilaya au Taifa, hana
habari kinazungumzwa
nini katika misikiti na
kama kinachozungumzwa
ni sawa au si sawa. Au
tuseme wana habari na
hizi hotuba za Ijumaa za
kuchinja makafiri na wao
ndio wameziidhinisha?
Kwa jinsi mambo
yalivyovurugika katika
dunia ya leo, tunadhani
kuna haja kuwa na
EWURA za mambo
ya dini, vinginevyo kila
mmoja akiwa ni Sheikh na
Mufti wa kila jambo, balaa
kubwa linakuja. Kama ni
Sheikh wa Wilaya/Mkoa
(Bakwata), au Katibu na
Amir wa Baraza Kuu,
awajibike na udhibiti wa
mambo katika eneo lake.
Yupo bwana mmoja
aliwahi kisema kwamba
kwa jinsi ufisadi na mambo
yalivyovurugika katika
nchi hii, panahitajika
utawala wa kijeshi kuwatia
watu adabu ndio turudi
katika demokrasia watu
wakishanyooka. Akatoa
mfano wa Rwanda kasi
inayopigwa ya maendeleo
japo watu wanalalamika
udikiteta.
Ukiacha hoja kwamba
hata utawala wa kijeshi
unaweza kuwa wa kifisadi,
tena ukawa mbaya zaidi,
lakini suala hapa ni kuwa
mambo hayawezi kauchwa
yakaenda holela. Lazima
kuwe na udhibiti, na ndio
maana Uislamu ukahimiza
kuwa na uongozi. Pakiwa
na uongozi madhubuti
wenye sifa za Kiongozi wa
Kiislamu, hapana shaka
hata wakiibuka akina Abu
Marwa na upotofu wao,
watagundulika mapema na
kuchukuliwa hatua.
Lakini kwa kukosekana
hilo, sasa watu Mwanza
wanakwenda shamba,
tunatizama. Quran ina
msemo wake, Subirini!
mpaka yawafike ya Yan
Tatsine.

Habari

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Mtambani Misikiti wa harakati wa kuigwa


Mafanikio yake ni matokeo ya uongozi bora

Na Bakari Mwakangwale

KAZI nzuri inayofanywa


na Msikiti wa Mtambani,
imeelezwa kuwa ndio
sababu ya mafanikio ya
kitaaluma katika shule ya
Kiislamu ya Mivumoni.
Hayo yamebainishwa
na Afisa Elimu Taaluma
Manispaa ya Kinondoni,
Bw. Ahmad Said,
akimwakilishi wa
Mkurugenzi wa Manispaa
ya Kinondoni.
Afisa taaluma huyo
alikuwa akiongea katika
hafla ya kuwapongeza
wahitimu wa kidato cha
nne 2014 wa Shule hiyo ya
Kiislamu Mivumoni.
Alisema shule ya
Kiislamu ya Mivumoni
n i m f a n o wa k u i g wa
kitaaluma na kwamba
suala la maadili linalopewa
kipaumbele shuleni hapo,
ndio siri ya mafanikio.
Wakati huo huo Amir
wa Baraza Kuu la Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu (T),
Sheikh Mussa Kundecha,
amesema mafanikio hayo
yasingepatikana kama
kusigekuwa na mabadiliko
ya uongozi ambayo hapo
awali yalitafisiriwa kama
uvamizi wa misikiti.
Aliyasema hayo
alipokuwa akizungumza
katika mahafali hayo ya
kuwapongeza wahitimu
wa kidato cha nne (2014) wa
shule hiyo, yaliyofanyika
Jumapili ya wiki iliyopita
katika Hoteli ya Lamada.
Kazi tunazofanya
katika Misikiti kama hii
(Mtambani) na tafsiri
tunazopewa katika
harakati zetu, kiwango
bora cha matokeo kama
haya ya mitihani ya Taifa ni
kielelezo kizuri cha ufanisi
wa kazi tunazozifanya
tofauti na tunavyopakwa
matope katika jamii.
Alisema Amir Kundecha.
Alisema shule ya
Kiislamu ya Mivumoni ni
mfano mzuri wa kazi za
vituo vya elimu Misikitini,
kinyume na tafsiri na
propaganda zinazoenezwa.
Sheikh Kundecha,
alisema katika miaka ya
2000s aliwahi kukamatwa
na Polisi, akiwa huko
alishutumiwa kuwa yeye
ni kiongozi wa wateka
Misikiti chini ya Masjidi
Mtambani.
Niliwaambia tatizo
lililopo ni kwamba
utaratibu wa kubadilishana
uongozi katika Misikiti

haujazoeleka kwa
Waislamu na viongozi
husika, hivyo inavyotokea
mabadiliko hunadiwa
kundi fulani la Waislamu
wanateka Misikiti.
Alisema Amir Kundecha.
Alihoji kuwa dhana hiyo
hiyo ya utekaji wa Misikiti,
hivi ukikilinganisha
Mtambani ile kabla ya
mabadiliko ya uongozi na
huu wa sasa hali ikoje?,
Alisema matunda
yanayopatikana sasa ni
j i t i h a d a z a Wa i s l a m u
kujiletea maendeleo yao
kuanzia Misikitini, kwa
manufaa ya Waislamu na
Taifa na si dhana ya kuteka
Misikiti.
Amir Kundecha alisema
pamoja na kuwepo dhana
ya utekaji wa Misikiti na
misukosuko mbalimbali,
lakini leo matunda
yanaonekana Mivumoni
chini ya Masjid Mtambani
na imekuwa miongoni
mwa shule bora nchini.
Akianisha matokeo
ya kidato cha nne kwa
wanafunzi waliofanya
mtihani wa Taifa mwaka
jana, Amir Kundecha
ambaye pia ni muasisi wa
shule hiyo alisema, katika
matokeo ya mwaka jana
kidato cha nne shule hiyo
ilifaulisha kwa kiwango
cha daraja la kwanza
(Distinction) na la daraja
la pili (Merits) na kufuta
dhana kwamba Msikiti
huo ni wa Waislamu wenye
vurugu .
Amir Kundecha alisema
inawezekana baadhi ya
wa t u n a v i o n g o z i wa
serikali walikuwa na tafsiri
mbaya na Msikiti huo kwa
wakati ule, lakini akasema
hakuna ushahidi mzuri
kama ule utakaotolewa na
adui yako.
Akifafanua kauli yake
hiyo, alisema ikiwa
mwakilishi wa serikali
aliyefika katika shughuli
hiyo amekiri kuwa
Serikali inafurahishwa
na kuridhishwa na kazi
za kituo cha Mivumoni,
hadhani kama kuna mtu
ataibuka na kudai kuwa
wao (Masjidi Mtambani) ni
watu wa fujo.
Alisema ubora mwingine
wa shule hiyo umeanishwa
na Mkuu wa Shule hiyo
kwamba, vijana wa shule
hiyo hushiriki katika
shughuli za kielimu kitaifa
na kudhihirisha ni kwa
namna gani walivyo bora
kitaaluma na kinidhamu

AMIR wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Mussa Kundecha,
akiongea katika hafla ya kuwapongeza wahitimu wa kidato cha nne 2014 wa Shule
hiyo ya Kiislamu Mivumoni.

Mkuu wa Shule ya Kiislamu ya Mivumoni, Dadi Abdalah Hemed (kulia) wakati


akikabidhiwa Zawadi na mgeni Rasmi Sheikh Abdulqadri.
pia.
Alisema, huo ni mfano
mzuri wa kazi ya vituo
vya elimu vilivyopo katika
Misikiti yao na kwamba,
lengo lao ni kuzalisha
wasomi wenye nidhamu
watakaoweza kuwa
waadilifu katika ngazi
mbalimbali za kitaaluma.
Amir Kundecha
alisema jamii imekuwa
ikishuhudia katika vikao
vya Bunge, ambapo kila
ma ra Ta ifa h u ba in ik a
kuingia mikataba mibovu
na kushuhudiwa wizi wa
fedha za umma unaopewa
misamiati mbalimbali
kama vile EPA ESCROW
na mengineyo, na kwamba
yote hayo yanafanywa na

wasomi waliokosa uadilifu.


Kuwa mtaalamu mzuri
wa h e s a b u k u n a we z a
kukufanya uwe mwizi na
kujua hesabu kunaweza
kukufanya ukawa
mtaalamu na mvumbuzi
mzuri wa mtatatizo ya
wanajamii.
Hili ndilo tatizo
linaloikabili nchi yetu
kwani Taifa, tuna maprofesa wengi, lakini wengi
wao ndio wanaoongoza
katika ufisadi badala ya
kuongoza katika ufanisi
sambamba na uadilifu.
Hata hivyo, aliitaka
serikali kuwa makini na
taarifa inazopenyezewa,
kuwa kuna Waislamu

wa n a t e k a M i s i k i t i a u
wavuruga amani. Badala
yake itumie busara katika
kuzifanyia kazi taarifa hizo
kwani kinachoitwa utekaji
wa Misikiti ni mabadiliko
ya uongozi kuelekea katika
ufanisi, unaoendana na
hali ya wakati uliopo sasa.
Tu l i a n z a j i t i h a d a
za kuboresha Msikiti,
ulipokamilika tukaanzisha
jitihada za kufungua shule
ya awali, kisha shule ya
msingi na iliposimama
sawasawa, tukaanzisha
shule ya sekondari na leo
matokeo na mwenendo
wake ni kama inavyo
jieleza. Alisema
Kundecha.

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Yaliyojiri katika seminar kuhusu katiba ya Tanzania (UK)


HATIMAYE Taasisi ya
kijamii ya Uingereza
na Tanzania (British
Tanzania Society,
UK) wamefanya
semina kubwa siku ya
Jumamosi wiki iliyopita
katika ukumbi wa Chuo
Kikuu cha London,
SOAS, hapa Uingereza.
Semina hiyo ambayo
imeleta msisimko
mkubwa kwa wajumbe
na watu wengine mbali
mbali waliouhudhuria,
imejumuisha wasemaje
wakuu wanne, ambao
walijadili mambo
tafauti yahusianayo na
katiba.
Semina hiyo ambayo
mwenyekiti alikuwa
Bwana Andrew Coulson,
ilimwaalika msemaji
Fredrick Longino
ambaye alizungumza
kwa upana matarajio
ya wananchi hasa kwa
upande wa bara juu ya
katiba mpya. Msemaji
wa pili alikuwa Profesa
Abdul Paliwala ambaye
alizungumza suala la
katiba kwa mtazamo wa
kisheria nchini Tanzania
Yussuf Hamad,
mhadhiri Chuo Kikuu
cha London, SOAS
alizungumza kuhusu
nafasi ya Zanzibar na
matarajio yake katika
katiba pendekezwa.
Mwisho alizungumza
mwanablogu maarufu
ambaye alikuwa
mwanamke pekee
katika mjadala huu
Mwanadada, Aikande
Kwayu ambaye
alizungumza kuhusu
nafasi ya wanawake
katika
katiba
inayopendekezwa.
Pamoja na kutolewa
k wa h o j a n z u r i n a
wachangiaji wawili wa
mwanzo, yaani, Bwana
Abdul Paliwala na Dr.
Longino, mjadala ambao
uliamsha maswali mengi
na mbishano mkubwa
ni ule uliotokana na
mchango na maoni yake
aliyotoa kuhusu nafasi ya
Zanzibar katika Katiba
pendekezwa ambapo
b a a d a ya k u m a l i z a
kuwasilisha tu, alijikuta
akivurumishwa maswali
kutoka kwa wachangiaji.
M m o j a
k a t i
ya wachangiaji
waliomsakama na

kupingana vikali na
maoni yake ni mwandishi
wa BBC Swahili Bibi
Zuhura Younis, ambaye
alianza kwa kumpongeza
B wa n a H a m a d k wa
kuweza kuwasilisha
hoja za muungano na
katiba kutoka Zanzibar
bila kuonesha kuegemea
itikadi ya chama chochote
cha siasa. Mara baada ya
hapo Bi Zuhura alianza
kwa mjadala wenye
msisimko uliotosha
kuitwa mechi!
M AT C H O F T H E
DAY: Yussuf Hamad Vs
Zuhura Younis
Hoja: Alichokisema
Hamad ni kuwa
Zanzibar kiujumla
ilihitaji Muungano wa
mkataba. Akaongezea
kwa kusema kwamba
Wazanzibari walihitaji
katiba ambayo itaondoa
kero za muungano
ambazo zimekuwa
zikileta sintofahamu kwa
muda wa miaka zaidi
ya 40.
Akasema, kuwa
Wazanzibari wanahitaji
muungano wenye
k u f u a t a m i s i n g i ya
usawa, sio usawa wa
uwiano lakini usawa
wa maridhiano ya kila
maamuzi yanayofanywa
katika Muungano. Alitoa
mifano ya kero mbali
mbali za Muungano
kama vile mgao wa
Zanzibar wa mapato
katika muungano,
mapato, bandari, petrol
na mambo mengine
ambayo kwa kuongezwa
kwake yamekuwa

s a b a b u ya m g o g o r o
kati ya washirika wa
Muungano.
Bwana Hamad
alihitimisha kwa
kusema, Wazanzibari
hawaukatai Muungano
ila wanahitaji Muungano
wenye misingi ya usawa
na kuheshimiana. Na
kwa maana hiyo katiba
nzuri yenye maslahi
kwa Zanzibar ni ile
itakayotokana na misingi
ya usawa (Fairness)
baina ya washirika wa
Muungano. Pia alisisitiza
kuwa, ili kuondoa kero
nyingi na migogoro ya
kikatiba isiyokwisha,
ni vyema kwa Tanzania
kuzingatia katiba yenye
kuzingatia matakwa ya
wananchi walio wengi
na sio inayosimamia
misingi ya kivyama, dini
wala kikabila.
Idadi ya wachangiaji
kutoka Zanzibar kwa
bahati mbaya ilikuwa
haizidi watu wanne
katika ukumbi. Kwa
maana hiyo, michango
mingi ilitokana na watu
kutoka Tanzania bara
a m b a o wa l i o n e k a n a
kukubaliana na mengi
yaliyozungumzwa
n a wa s e m a j e w o t e .
Pia walitoa michango
endelevu sana hata
kuhusu hoja za nafasi
ya Muungano na
Katiba kwa upande wa
Zannzibar.
Hata hivyo, Bi Zuhura
Yo u n u s , a m b a y e
ni mmoja kati ya
Wazanzibari wachache
waliohudhuria,

alipingana na karibu
hoja zote. Kwanza
alianza kwa kusema
k u wa Wa z a n z i b a r i ,
hasa wa upande
wa p i l i , wa m e k u wa
wakilalamikia
muungano kila
siku, kama kwamba
Muungano huo hauna
jema lolote kwa Zanzibar.
Pamoja na hilo
akaongezea kuwa kero
ziko lakini ni ndogo
ndogo sana na akasisitiza
kuwa mgao wa asilimia
4.5% wanaopatiwa
Zanzibar ni sahihi kwa
sababu Zanzibar ni nchi
ndogo sana kiidadi ya
watu ukilinganisha na
idadi ya watu walioko
bara. Kwa hiyo hakuna
h a j a ya k u l a l a m i k a
lamika.
Bi Zuhura aliisuta
kauli ya Bwana Hamad
kuhusu mafuta akisema,
Zanzibar hakuna mafuta
kamwe na kwa maana
hiyo hakuna haja ya
kujenga m l i m a kwa
kichuguu cha sisimizi
kwa kitu ambacho hakipo
kabisa. Akihitimisha
maoni na michango
yake, Bi Zuhura alidai
kuwa katiba iliyopo
inaifaa sana Zanzibar
na inalekea kwamba
malalamiko makubwa
ya katiba yanatokana
na kelele za wapinzani
ambao ni sehemu tu ya
wananchi wa Zanzibar
ambao nusu ni CCM na
nusu ni CUF kiujumla.
A l i p o p e wa n a f a s i
ya majumuisho
na kufafanua hoja
alizozisema na zile
zilizochangiwa, Hamad,
alianza kwa kusema

kuwa kumekuwa na
dhana iliyojengwa
kwa
makusudi
ili kuwadunisha
wa t u f u l a n i k u t o k a
u p a n d e f u l a n i k wa
kuwahukumu kisiasa
isivyo haki na kukana
hoja zao kwa misingi
hiyo. Alitoa mfano kwa
kusema, katika mijadala
kama hii, wasemaje
w e n g i wa n a p o s i k i a
anayezungumza
ni Mzanzibari au
Mpemba, basi huyo
huitwa Mpinzani
wa m u u n g a n o h a t a
ikiwa mtu huyo hana
mfungamano na chama
chochote.
Alifafanua pia kwa
kusema kwamba
baadhi ya wanasemina
walimfahamu vibaya
alipozungumza neno
Fair wakidhani
alimaanisha equality.
Kwa ufupi alichokusudia
kusema ni kuwa kuwe na
msingi ya haki na usawa
katika kufanya maamuzi
ya mambo ya muungano.
Moja kati ya mambo
hayo ni kuwashirikisha
wananchi wa pande
zote mbili kwa msingi
ya ukweli na uwazi.
Alihitimisha kwa
kusema kwamba
Katiba yenye kujali na
kusikiliza maoni huru ya
wananchi walio wengi,
ndio suluhisho moja la
migogoro inayoweza
kuunusuru Muungano
wa Tanzania.
(Makala kutoka
Mtandao wa Kijamii,
Mzalendo)

Habari za Kimataifa/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

MZIMU WA KUUA RAIA MAREKANI

Polisi waua tena Mmarekani mweusi na kuibua maandamano


MAANDAMANO
makubwa yamefanyika
katika miji mbalimbali
ya Marekani kupinga
mauaji mengine
yaliyofanywa na polisi
dhidi ya Mmarekani
mweusi katika mji wa
Madison.
Polisi mzungu Matt
Kenny, mwenye umri wa
miaka 45 siku ya Ijumaa
iliyopita alimpiga risasi
na kumuua kijana
Mmarekani mweusi,
Tony Robinson, mwenye
umri wa miaka 19 huku
akiwa hana silaha.
Waandamanaji hao
wa l i d a i k u wa v i s a
vya polisi wazungu
kuwaua Wamarekani
weusi nchini humo bila
hatia, vimeongezeka
sana na sasa wanaitaka
serikali ichukue hatua
kukomesha ubaguzi
unaozidi kukita
mizizi katika jeshi la
polisi na taasisi nyingi
za kiserikali nchini
Marekani.
Mauaji ya Robinson ni
muendelezo wa visa vya
mauaji ya Wamarekani
weusi mikononi mwa
polisi weupe, ambavyo
vimeongezeka sana
katika miezi ya hivi
karibuni.
Siku ya Jumamosi,
Rais Barack Obama,
alisema kuwa historia
chafu ya ubaguzi wa
rangi na kaumu bado
inaendelea Marekani
l i c h a ya n c h i h i y o
kujipiga kifua kuwa ni
taifa lenye usawa na
uadilifu miongoni mwa
raia wake.
Itakumbukwa kuwa
mwaka jana yalitokea
maandamano mfululizo
katika miji mbalimbali
nchini Marekani
kufuatia vitendo vya
maafisa wa Polisi
kuua raia weusi huku
vyombo vya dola na vile
vya sharia vikiwaachia
huru maofisa hao.
Baadhi ya matukio
hayo ya mauaji ya raia
weusi ni kama lile la
kijana Michael Brown,
aliyepigwa risasi kadhaa
alipokuwa akining'inia

kwenye gari ya polisi.


Kufuatia tukio
h i l o , F B I wa l i s e m a
wanachunguza endapo
kuna uvunjifu wa haki

za binadamu katika
tukio hilo la kuuawa
kwa kijana Michael
Brown.
Haukupita muda,

kijana mwingine
mweusi naye alipigwa
risasi na polisi na kufa
katika kituo cha mafuta,
ikiwa ni maili chache tu
kutoka
eneo

MAAFISA usalama wa Marekani wakitoa heshima ya mwisho kwa mwili wa askari


mwenzao aliyekuawa kwa risasi na mtuasiyejulikana.

Shule za New
York kufungwa
Sikukuu za Eid

MEYA wa Jiji la New York


nchini Marekani, Bill
De Blasio, ametangaza
kuwa shule zote za umma
katika mji huo zitakuwa
zikifungwa kila mwaka
wakati wa Sikukuu mbili
muhimu za Kiislamu za
Eidul-Fitr na Eidul-Adhha.
Meya De Blasio amesema
uongozi wa jiji la New York
limeona kuwa kuna haja
ya kuweko usawa katika
kutambua na kuheshimu
shughuli muhimu za watu
wa dini mbalimbali mjini
humo na kwamba hatua hiyo
inalenga kuonyesha heshima
kwa Sikukuu hizo mbili za
Waislamu.
New York ina wanafunzi
wasiopungua milioni 1.1
katika shule za umma.
Majimbo kadhaa ya Marekani
yakiwemo ya Massachusetts,
Michigan and New Jersey
katika miaka ya hivi karibuni
yameorodhesha sherehe za
Eidul-Fitr na Idul-Adhha
kwenye kalenda ya matukio
kwenye shule zao.
Hata hivyo baadhi ya
wa c h a m b u z i wa n a s e m a
kuwa hatua hiyo ni aina
fulani ya mkakati wa
kuwapumbaza Waislamu wa
Marekani, ambao hivi sasa
wanakabiliwa na mashinikizo
kutoka kwa vyombo vya
usalama na vya kijasusi vya
nchi hiyo kwa kisingizio cha
kupambana na ugaidi. (irib).

alilopigwa risasi na
polisi na kufa Michael
Brown huko Ferguson,
Missouri, Marekani.
Kijana
huyo
alitambuliwa na
mama yake mzazi
kuwa anaitwa Antonio
M a r t i n 1 8 , a m b a ye
aliuawa kwenye kituo
cha mafuta cha Mobil,
kaskazini mwa barabara
ya Hanley majira ya saa
saba usiku.
Kufuatia matukio
hayo, polisi walijikuta
wakipambana na watu
wenye hasira ambapo
katika vurugu hizo
watu kadhaa walitiwa
nguvuni.
Uhasama baina ya
maofisa wa polisi na
watu weusi umeonekana
kuota mizizi ambapo
baadae polisi mmoja
naye aliuliwa nchini
humo. (VOA).

Wanawake Israel waandamana kupinga dhulma kwa wanawake wa Palestina


WA N AWA K E w a
K i ya h u d i h u k o I s r a e l
wamefanya maandamano
wakitaka kuhitimishwa
dhuluma za Wazayuni dhidi
ya wanawake wenzao wa
Kipalestina.
Katika maandamano hayo
yaliyohudhuriwa na mamia
ya wanawake katika eneo
la Ukingo wa Magharibi
wa mto Jordan na mji wa
Quds, washiriki waliutaka
utawala wa Kizayuni wa
Israel kuheshimu haki za
wanawake wa Kipalestina.
Maandamano hayo
yalihudhuriwa na
wanachama wa Harakati ya
Wanawake ya Kidemokrasia
huko Israel, kwa kushirikiana
na Umoja wa Kijamii wa
Wanawake wa Kipalestina.
Aidha wanawake hao
wa l i o k u wa wa m e w e k a
kambi kwenye ukuta wa
Qalandiya, unaotenganisha
maeneo ya Wapalestina
na yale ya Wazayuni wa
Israel, wamesema ukuta huo
unachangia kukandamizwa
wanawake wa Kipalestina.
J u m i a ya Wa n a wa k e
Wa n a h a r a k a t i wa
Kidemokrasia, iliasisiwa
mwaka 1948 katika maeneo
y a a r d h i y a Pa l e s t i n a
inayokaliwa kwa mabavu.

Utawala wa Kizayuni
u m e k u wa u k i d a i k u wa
ukuta huo ulijengwa kwa
lengo la kuweka usalama,
hata hivyo viongozi wa

Palestina wanaamini kuwa


ukuta huo ulijengwa kwa
lengo la kupora zaidi ardhi
za Wapalestina. (irib).

WAZIRI Mkuu wa Israel, Binyamin Netanyahu.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Mtawala anayeanguka huhisabu vifaru na mizinga

Na Mohammed Ghassani

WAKATI Rais Nicolae


Ceauescu wa Romania
alipokuwa anakaribia
kilele cha anguko lake,
alimuita waziri wake
wa ulinzi, Vasile Milea,
kumtaka ampe tathmini
ya kweli bila kumficha
chochote juu ya nguvu
halisi za jeshi kuhimili
upinzani ambao
ulikuwa umeshavuka
mpaka wa kudhibitika.
Swali hasa alilomuuliza
ni ikiwa kwa hali ilivyo,
inaweza kulichukua
jeshi siku ngapi za
ziada kumlinda?
Lakini Milea, ambaye
siku chache baada
ya mkutano huo na
Ceauescu alikutikana
ofisini mwake amejiua
k wa k u j i p i g a r i s a s i
karibu na moyo, hakuwa
mkweli kwa Ceauescu,
kama ambavyo hutokea
mara kadhaa kwa
wasaidizi wa watawala
makatili. Akampa
takwimu za uongo juu
ya nguvu, silaha na idadi
ya wanajeshi anaoamini
walikuwa wamebakia
upande wa mtawala
anayeanguka.
Ceauescu alimteua
Victor Stnculescu
kuchukuwa nafasi ya
Milea, lakini Stnculescu
alikubali nafasi hiyo
kwa shingo upande, na
matokeo yake akafanya
kila kilicho kinyume
na bosi wake na hivyo
akachochea anguko la
Ceauescu badala ya
kumsaidia kuendelea
kusalia madarakani.
Kwa
mfano,
a l i w a a m u r u
wanajeshi kurejea
makambini badala
ya kuwashambulia
waandamanaji
ambao walikuwa
wakiyashambulia
makao makuu ya Chama
cha Kimomunisti,
badala yake akamshauri
Ceauescu na mkewe
Elena kukimbia kwa
helikopta na hivyo
kumgeuza kiongozi
anayewakimbia
wa t u wa k e b a d a l a
ya
kusimama
akawaongoza. Baadaye,
mwenyewe Stnculescu
alikuja kukiri kwamba
wakati huo ni kama

kwamba alikuwa
anapokea amri mbili
k wa wa k a t i m m o j a
moja kutoka kwa
Ceauescu aliyekuwa
akipigania utawala wake
na nyengine kutoka
kwa umma uliokuwa
umechokana naye.
Akachagua kufuata
amri ya umma.
Kuelekea uchaguzi
mkuu wa 2015
visiwani Zanzibar ni
kama kwamba tayari
mstari umeshachorwa
na watawala na
wameshaamua wapi lipo
chaguo lao, kwa upande
mmoja, na wananchi
nao wameshaamua lao,
kwa upande mwengine.
Mstari huo unaochorwa
kati ya pande mbili
zinazoongoza serikali
moja ya Umoja wa Kitaifa
visiwani Zanzibar una
maana kubwa sana kwa
mwenendo wa mambo
n d a n i ya Ta n z a n i a
n z i m a k wa u j u m l a .
Chama cha Mapinduzi
(CCM), ambacho
ndicho mshirika mkuu
k we n ye S e r i k a l i ya
Umoja wa Kitaifa na
hivyo chenye nguvu ya
kikatiba kuongoza nchi
kwa sera na programu
yake kimeamua
kungangania bunduki,
vifaru na mizinga.
Kila siku iendayo kwa
Mungu kinasema wazi
kuwa kinategemea
njia moja tu kusalia
kuongoza nchi nguvu
za vyombo vya dola na
mawakala wao.
Kinasema hivyo
kupitia ngazi zake zote za
uongozi wa chini, kati
na hata wa juu. Msikilize
Asha Bakari Mtama,
kwa mfano, ambaye ni
Naibu Mwenyekiti wa
Umoja wa Wanawake
wa CCM ngazi ya taifa,
akirejelea kauli ile ile ya
kila siku kuwa serikali ya
Zanzibar haitapatikana
kwa kupiga kura.
Nasema na nitarudia
tena na siogopi
kusema, serikali hii ni
ya kimapinduzi sio ya
mchezo. Hawawezi,
hawawezi, hawawezi
kutupindua.
Anasema Asha Bakari
kwenye mkutano wake
wa hadhara wa mikoa

m i w i l i ya k i s i wa n i
Pemba mapema mwaka
2014. Kauli kama hii
ameshaitoa mwahala
mwingi, mukiwemo
kwenye Bunge Maalum
l a K a t i b a m b e l e ya
aliyekuwa Mwenyekiti
wa Bunge hilo, Samuel
Sitta.
Kauli kama hii pia
h u r e j e l e wa k we n ye
mikutano mengine
kadhaa ya CCM, hasa
v i s i wa n i Z a n z i b a r .
Marehemu Salmin
Awadh, aliyekuwa
mwakilishi wa jimbo
la Magomeni na
mnadhimu mkuu wa
CCM, aliwahi kufika
u m b a l i wa k u s e m a
kwamba vifaru vya jeshi
vitatumika kuilinda
CCM madarakani.
Sasa wao (wapinzani)
k a m a wa n a u b a v u ,
basi wachukuwe
(serikali). Lakini
hatutotoa (madaraka ya
kuongoza serikali) kwa
kura. Mutapiga kura
katika chaguzi zote, na
Chama cha Mapinduzi
kitashinda.
Hakuna kiongozi
yeyote wa juu wa CCM,
si wa Zanzibar wala
wa Ta n z a n i a B a r a ,
aliyewahi kujitokeza
kuwakemea wana-CCM
hawa wanaoyasema
haya majukwaani, na

kwa hakika mara kadhaa


huwa yanasemwa mbele
yao, akiwamo Katibu
Mkuu Abdulrahman
Kinana. Hilo linasema
u k we l i m m o j a t u
CCM kwa ujumla wake
imeshaamua kuhisabu
mizinga yake kujilindia
madaraka yake visiwani
Zanzibar.
Kinyume chake
ni pale unapofuatilia
mikutano ya hadhara ya
mshirika mdogo kwenye
Serikali ya Umoja wa
Kitaifa visiwani humo,
Chama cha Wananchi
(CUF), ambayo
imejikita kwenye
kuutayarisha umma
kwa kile inachokiita
chama hicho Mwaka
wa Maamuzi 2015.
Humo huambiwa watu
wajitokeze kwa wingi
kwenye kujiandikisha
kupiga kura. Kwamba
wasichoke kukabiliana
na vikwazo vya kupata
haki yao hiyo kutoka
kwa masheha, ambao
sasa chama hicho
kinasema kitawapeleka
mahakamani kwa
kuwazuia Wazanzibari
we n ye h a k i k u p a t a
vitambulisho vya
Mzanzibari Mkaazi.
Humo unasikia
umma ukiambiwa kuwa
muda wa CCM kusema
hawatowi serikali

n a wa s i t o we k we l i
umepita, kwani zama
za mageuzi hazizuiliki.
Wa n a t a ya r i s h wa
kuitetea na kuilinda
Z a n z i b a r k wa k u r a
zao na kuiamini kura
kuwa ndio njia pekee
ya kupata madaraka ya
nchi.
N i b a h a t i m b a ya
s a n a k wa m b a b a d o
CCM makao makuu
Chimwaga inadhani
kuwa njia pekee ya
kuidhibiti Zanzibar
ni kupitia khofu na
wa s i wa s i m i o n g o n i
mwa raia, na kwamba
hilo litakuwa na athari
kwa Zanzibar pekee
katika wakati ambapo
upinzani dhidi ya CCM
hiyo hiyo ni mkubwa
zaidi pia huko Bara,
huku ukisaidiwa sana
na kashfa za kifisadi na
ukosefu wa usalama.
Lakini bahati
mbaya zaidi ni kwa
wana-CCM ndani ya
Zanzibar yenyewe
ambao hawajangamua
kuwa anguko la
Ceauescu wa Romania
linawanyemelea na wao.
Hikima ya kujifunza
inawataka wauangalie
uhalisia. Vifaru
vinaendeshwa na watu.
Mizinga inafyatuliwa
na watu. Na ni watu pia
wanaodai mabadiliko.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

'Marekani ya Kikristo' yasimamia mwisho wa Ukristo Mashariki ya Kati

Na Finian Cunningham

March 05, 2015 - 'Mtandao


wa kupashana habari' SCF
WIMBI la hivi karibuni
zaidi la kuteswa Wakristo
nchi za Syria na Irak
na wana siasa kali wa
kundi la Islamic State
(IS) umeweka jamii za
asili maeneo hayo katika
h a t a r i ya k u t o we k a .
Watu takriban 300 wa
k u n d i l a wa - A s h u r u
kaskazini mashariki ya
Syria walitekwa katika
wiki moja iliyopita na
wapiganaji wa IS. Wengi
kati ya waliotekwa ni
watoto, wanawake na
wazee. Inahofiwa kuwa
mateka hao watauawa
kama
ambavyo
we n g i wa j a m i i ya o
wameshaangamia katika
mikono ya wapiganaji
hao.
Makada hao wa IS pia
wameanzisha kampeni ya
kuteketeza kazi za kisanaa
muhimu za zamani na
makanisa katika maeneo
ya kaskazini ya Syria
n a I r a k . Wa a s h u r u ,
Wakaldayo na Wasiriaki,
ni miongoni mwa jamii za
awali kanisa za Kikristo
katika Mashariki ya Kati,
ambazo zinafuatilia
kuanzishwa kwake miaka
2000 iliyopita wakati wa
Yesu. Sasa wanakimbia
k wa m a e l f u k u p o n ya
maisha yao mbele ya hasira
ya kundi la IS - mtandao
wa siasa kali unaotangaza
khilafa inayosimama Syria
na Irak.
Itikadi kali ya Wahhabi
ya IS inaona dini zote
nyingine kama maadui
wa Mungu, wanaotafutwa
na kuuawa. Makundi
tofauti ya Shia na Sunni
pia yanalengwa na IS,
p a m o j a n a Wa k r i s t o .
Kuainisha kuenea kwa IS
na ukatili wake, kundi hilo
lilitoa mkanda wa video
ukionyesha kuchinjwa kwa
Wakristo 21 wa dhehebu la
Copt na Misri huko Libya
katika mji wa Sirte mwezi
uliopita. Udhalimu huo
umesababisha kutafuta
hifadhi nje ya nchi kwa
Wakristo wa dhehebu la
Misri nchini Libya. Serikali
ya Marekani imetoa taarifa
za kulaani vikali vitendo
hivyo vya kikatili dhidi
ya jamii hizo za Kikristo
na kundi la IS, ambalo pia
linajulikana kama ISIL.
Kuongoza mapambano
kuishinda IS ni
mwendelezo tu wa upuuzi
na majigambo ambayo
Marekani ni bingwa wa
kuyaonyesha. Taifa hilo
ambalo linajitangaza kuwa
ni la kipekee, ndiyo chanzo
kikuu cha kuanzishwa
kwa mtandao wa IS. Kabla

ya uvamizi wa Marekani
nchini Irak mwaka 2003
hapakuwa na kitu kama
makundi ya Al Qaeda
katika eneo hilo la dunia.
Miaka kumi baadaye,
maeneo makubwa ya nchi,
ikiwa ni pamoja na mji
mkuu wa pili wa Mosul,
sasa iko katika mikono ya
Mujahidina hao.
Marekani na washirika
wake wa Kiarabu katika
Ghuba ya Uajemi, Saudia
na Qatar, wamekuwa
mstari wa mbele kuinua
makundi ya Al Qaeda
katika vita ya kutumia
mamluki kubadili utawala
nchini Syria katika miaka
minne iliyopita. Mabilioni
ya fedha zinazotokana na
mauzo ya mafuta zilijazwa
nchini Syria kuinua itikadi
ya vikundi hivyo nchini
Syria, katika nyanja za
elimu na jamii kwa jumla,
ambako ndiko IS imeinuka
na kuwa kundi lenye
nguvu zaidi ya mengine
yote.
Jambo hili wanakiri
wakuu husika, kwa
mfano watu wawili
muhimu waliokiri hivyo
wiki iliyopita. Kamanda
wa zamani wa majeshi
ya NATO na Marekani,
Jenerali Wesley Clark,
aliviambia vyombo vya
habari nchini Marekani
kuwa washirika wa
Kiarabu wa Marekani
ndiy o wan aowajibik a
kwa kuunda mtandao wa
kigaidi wa IS.
Halafu Lakhdar
Brahimi, aliyekuwa
mjumbe wa Umoja wa
Mataifa na Umoja wa Nchi
za Kiarabu nchini Syria,
akaweka kando itifaki ya
kidiplomasia na kusema
wa z i k u wa M a r e k a n i
n d i y o i n a h u si k a k wa
kukua kwa IS kutokana na
uvamizi wa Irak muongo
mmoja uliopita. "Marekani
ni ya kulaumiwa. Ilijenga
mazingira yaliyowezesha
ISIL kukua," alisema
Brahimi katika mahojiano
na gazeti la Al Hayat, moja
ya magazeti makubwa ya
kimataifa ya Kiarabu, lenye
makao yake makuu nchini
Uingereza na kuchapishwa
London, Beirut, New York
na Riyadh.
Kwa sababu za kimbinu
za kuzuia zimwi la kiFrankenstein au kwa ajili
ya kuboresha mahusiano
yake kijamii, Marekani
na washirika wake wa
NATO wanaweza kuwa
wameanza kuidondoshea
mabomu IS katika miezi
ya hivi karibuni. Lakini
bado hakuna uwezekano
wa kukwepa uhalisi kuwa
tatizo la siasa kali ya
Uislamu katika Mashariki
ya Kati ni matokeo ya vita
ya kibeberu ya Marekani
katika eneo hilo.

WAPIGANAJI wa IS.
Wimbi la hivi karibuni
la utekaji nyara na mauaji
d h i d i ya wa - A s h u r u
Wa k r i s t o i n a d h a n i wa
imechangiwa na dhana
ya k u l i p a k i s a s i k wa
upigaji mabomu wa Irak
na Syria ukiongozwa na
Marekani. Uvamiaji na
ukaliaji wa Marekani
nchini Afghanistan
n a I ra k k in y u me ch a
sheria , upigaji mabomu
nchini Pakistan, Yemen
na Somalia, pamoja na
kuchochea vita ya makundi
ya kulipwa nchini Libya na
Syria, yote yana uhusiano
wa karibu na kuongezeka
kwa makundi ya kigaidi ya
aina ya Al Qaeda. Hivyo,
inabidi iwe wazi kuwa
sera ya Marekani katika
eneo la Mashariki ya Kati
ndiyo hasa chanzo cha
tatizo hilo.
Bado hata hivyo
Rais Barack Obama
a n a e n d e l e z a h i s i a ya
kujidanganya kuwa yeye
na washirika wake wako

katika vita dhidi ya ugaidi.


Akimkaribisha mtawala
wa Qatar, Sheikh Tamim
bin Hamad al-Thani katika
Ikulu ya Marekani wiki
iliyopita, Obama alisema:
"Qatar ni mshirika wa
dhati katika jumuiko letu
la kupunguza nguvu na
baadaye kuishinda ISIL.
Sote tuna dhamira ya
kuhakikisha kuwa ISIL
inashindwa, kuhakikisha
kuwa nchini Irak kuna
nafasi ya watu wote kuishi
pamoja kwa amani."
Njozi tata za Obama
zinasukumwa na ushiriki
wa wa z i wa v y o m b o
hodhi vya habari vya nchi
za Magharibi, ambavyo
vinapuuzia kwa makusudi
mtiririko mwendelezo
wa vita ukiongozwa na
Marekani kote Mashariki
ya Kati na Afrika Kaskazini
kuwa ndiyo chimbuko
h a lis i l a k ue ne a k wa
makundi ya siasa kali.
Uteketezaji wa kihalifu
wa Irak chini ya Rais GW

Bush na Obama - ambao


uligharimu maisha ya
watu zaidi ya milioni moja
- kwa njia moja au nyingine
kunatumbukizwa katika
shimo la ki-Orwell la
kupoteza kumbukumbu.
La kushangaza ni kuwa
Marekani inaamini kuwa
ina rukhsa maalum
kutoka kwa Mungu
"kuongoza mataifa ya
dunia." Katika mazingira
rasmi inajidhania kuwa ni
mtetezi na mwinuaji wa
hali ya juu wa maadili ya
Kikristo. Wakati Ukristo
wa asili unapofutiliwa
mbali kutoka ramani
ya Mashariki ya Kati ilipozaliwa dini hiyo mwasisi halisi wa hali hiyo
ni Marekani inayojiamini
na kujiaminisha hivyo.
(Makala hii Christian
U S O ve r s e e i n g E n d
of Christianity in
Mideast, imeandikwa
na Finian Cunningham
na kutafsiriwa kwa
Kiswahili na Anil Kija)

8
Na Mwandishi Wetu

HALI ya sintofahamu
i l i t a wa l a n d a n i ya
Kikao cha Baraza la
Wawakilishi juzi.
Hata hivyo, ikiacha
kilichokusudiwa
ambayo ni sheria ya
kura ya maoni ikiwa
imeridhiwa.
I l i k u wa n i k a t i k a
kuwasilishwa hoja ya
k u r i d h i wa k u r a ya
maoni ambapo baadhi
ya wajumbe walipinga
wakisema kuwa haina
masilahi na Zanzibar.
M v u t a n o u l i k u wa
baina Spika na Mh.
Jussa aliyetaka hoja hiyo
isiridhiwe kwa sababu
tayari Katiba ya Zanzibar
imeshaitangulia Sheria
hiyo na imeshaweka
masharti ya kura ya
maoni Zanzibar.
Jussa akitilia nguvu
hoja yake akasema kuwa
Baraza limeshawahi
kukataa mambo ya aina
hio kwa mambo yasiyo
na maslahi na Zanzibar.
Amesema sheria ya
kura ya maoni na sheria
ya mabadiliko ya katiba
ni vitu viwili tofauti.
Inahitaji kujadiliwa

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Mtafatuku ndani ya Baraza

Rungu la Spika Kificho lafanya kazi

MHESHIMIWA Jussa (kushoto) akiwa na Bimani.


na kwa Zanzibar Katiba
yake imeshaweka
masharti.
Kufikia hapo akauliza

kwa nini suali hilo


linataka kulazimishwa
wakati huko nyuma
Baraza liliwahi kukataa

mambo ya aina hiyo.


Kama mambo mengine
yaliwahi kujadiliwa na
yakakataliwa na Baraza

la Wawakilishi baada ya
kuonekana kuwa hayana
masilahi na Zanzibar,
vipi la kura ya maoni
linazuiwa kujadiliwa?
Ilikuwa ni hoja
iliyokosa majibu
kutoka kwa Spika na
Mwanasheria Mkuu wa
Serikali.
Kukosekana kwa
majibu muafaka,
kulifanya kiti kushikilia
hoja ya kuuliza kuwa
jambo hilo limeungwa
mkono.
Na kwa utaratibu ni
Mwanasheria Mkuu
kutoa hoja ya kuridhia.
Hata hivyo, ilikuwa
ni ndani ya makelele
na sintofahamu
mara ikasemwa hoja
imeungwa mkono.
Wa k a t i k e l e l e
zikiendelea, Mawaziri
n a M a n a i b u Wa z i r i
wanaotokana na CUF
wakiwa wametoka
kuashiria kutounga
mkono.
Kuona hali hiyo,
Waziri wa Sheria Bwana
Abubakar Khamis
Bakary alisimama
kuomba kutoa maelezo,
hata hivyo hakupata
nafasi. Naye akaamua
kutoka.

Kwanini kuzuka kwa ufashisti ni tatizo tena


Na John Pilger
Februari 27, 2015 'Mtandao wa kupashana

KUMBUKUMBU ya hivi
k a r i b u n i ya m i a k a 7 0
ya k u k o m b o l e wa k wa
Au s c h w i t z i l i k u wa n i
kumbushio la uovu mkuu
wa u f a s h i s t i , a m b a k o
yaliyotendwa na wafuasi wa
kundi la Nazi (Ujamaa wa
kitaifa nchini Ujerumani)
umebaki katika hisia za
dunia. Ufashisti umetunzwa
kama historia, kama mkanda
unaochomoza wa magwanda
m e u s i k a t i k a g wa r i d e ,
u o v u wa o u l i o k u b u h u
ukiwa hauna ubishi. Hata
hivyo katika jamii hizo
hizo za kiliberali, ambazo
watawala wake wafanya vita
wanatuhimiza tusisahau
kamwe, kuongezeka kwa
hatari ya ufashisti wa kisasa
kunakandamizwa, kwani ni
ufashisti wao.
"Kuanzisha vita ya
uchokozi...." walisema majaji
wa jopo la Nuremberg mwaka
1946, "siyo tu ni jinai ya
kimataifa, ila ndiyo jinai kuu
ya kimataifa, ikitofautiana
na jinai nyingine kwa hali ya
kuwa inaweka ndani yake
uovu wote uliolimbikizwa."

Kama wafuasi wa Nazi


wasingeivamia Ulaya,
Auschwitz na mauaji ya
kimbari visingetokea. Kama
Marekani na washirika-teja
wake wasingeanzisha vita
dhidi ya Irak mwaka 2003,
takriban watu milioni moja
wangekuwa hai leo hii, na
Dola ya Kiislamu, au ISIS,
isingekuwa leo inatuweka
r o h o j u u k wa u s h e n z i
wake. Ni uzao wa ufashisti
wa kisasa, uliokuzwa na
mabomu, umwagaji damu na
uwongo ambao ndiyo jukwaa
la kusadikika liitwalo habari.
Kama ulivyokuwa
ufashisti wa miaka ya 1930
na 1940. uwongo mkubwa
unatolewa kwa usahihi wa
mashine ya saa, hasa kutokana
na uwepo wa vyombo vya
habari vinavyorudiarudia
kilichosemwa na uchujaji
mkali wa habari kwa
kutosema. Chukua mfano
wa mkasa wa Libya.
M w a k a 2 0 1 1 , N AT O
ilianzisha mirusho 9,300 ya
mabomu dhidi ya Libya,
ambako zaidi ya theluthi
m o j a i l i k u wa d h i d i ya
makazi, asasi za kirai.
Milipuko na makomhora
yenye urani (inayotumika
kutengeneza mabomu
ya atomiki) yalitumika.
Miji wa Miserata na Sirte

RAIS Hassan Rouhan wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (kushoto) akiwa na Rais


Barack Obama wa Marekani.
ilisawazishwa kwa mabomu.
Chama cha kimataifa
cha Msalaba Mwekundu
kiligundua makaburi ya
pamoja. Na Shirika la Umoja
wa Mataifa la kuhudumia
watoto, UNICEF, likatoa
taarifa kuwa "wengi zaidi
kati ya watoto waliouawa
walikuwa chini ya umri wa
miaka kumi."

Kuingizwa hadharani kwa


kisu cha bunduki ya askari
wa 'uasi' katika mwili wa
Kanali Muammar Gaddafi
akiwa amekufa ulishangiliwa
na aliyekuwa Waziri wa
Mambo ya Nje wa Marekani,
Hillary Clinton, kwa usemi
alioutoa kwa jemadari wa
Roma ya kale, Juliasi Kaisari,
"tulifika, tukaona, akafa."

Kuuawa kwake, kama ilivyo


kuteketezwa kwa nchi yake,
kulihalalishwa na uwongo
m w i n g i n e wa k a wa i d a ,
kuwa alikuwa anapanga
mauaji ya kutisha dhidi
ya watu wake mwenyewe.
"Tulijua, kama tukingoja
siku moja nyingine," alisema
Inaendelea Uk. 12

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Watanzania wanahitaji kukombolewa


Waache uvivu wa kufikiri, tamaa ya mali bila jasho

Na Shaban Rajab

U V I V U n a t a m a a ya
kupata mafanikio bila
jasho, kwa kiasi kikubwa
kumejenga hulka kwa
wa t u k u t a k a k u p a t a
utajiri wa haraka. Tamaa
hiyo ya utajiri wa haraka,
i m e wa c h o c h e a wa t u
kutafuta njia mbadala na
rahisi ikiwa ni sehemu
ya jitihada za kufikia
mafanikio ya mapema
wanayoyataka. Wengine
wamekuwa wakifanya
mauaji na kunyanganya
wenzao mali zao,
wengine wametumia njia
za utapeli na wapo ambao
wamediriki kuua mwenye
nacho na kukichukua kile
alichokitaka na kukifanya
chake. Hata hivyo, wengi
wamekuwa wakitumia
njia za kishirikina kufikia
malengo yao ya kutajirika
haraka au kupata vyeo
au uongozi, wengine
wakiwa ni matajiri lakini
kwa sababu ya tamaa na
kutotosheka, wanajikuta
wakiingia kwenye shirki
wakitaka watajirike zaidi.
Pia ipo dhana kwamba
watu mara nyingi
hulazimika kuingia
katika shirki kwasababu
ya matatizo ya maradhi
au taabu tu za maisha
na masuala ya mapenzi.
Lakini jinsi hali ilivyo
kwa Watanzania wengi,
vibanda vya waganga wa
kienyeji hushehenezwa
n a wa s a k a u t a j i r i n a
mafanikio. Kudhihirisha
kukolea ushirikina maeneo
mengi hususan katika
maeneo ya miji, ni vigumu
kutembea mwendo mrefu
bila kukutana na kibao
kinamtangaza mganga
wa kienyeji. Baadhi ya
waganga wa kienyeji nchini
wamegeuza matatizo ya
Watanzania kuwa mitaji
yao ya kujipatia mamilioni
ya f e d h a k wa m a d a i
kwamba wanawapatia
tiba ya matatizo yao.
Lakini kwa wakati huo
huo wanaokwenda huko,
nao wanaamini kuwa
waganga hao watawaletea
m a f a n i k i o m a k u b wa
kimaisha, kama kupata
utajiri kwa njia ya mkato
na wengine wakitumaini
kuongeza utajiri walio
nao.
Moja ya uthibitisho wa
kwamba huduma hiyo
haramu huwapatia fedha

nyingi waganga hao ni


kuenea kwa mabango
mengi yanayotangaza
kuwepo kwa waganga
hao. Katika maeneo mengi
ya miji mikubwa kama
Dar es Salaam, Mwanza,
Arusha, Mbeya nk. huwezi
kutembea mwendo mrefu
bila kukutana na kibao
kinamtangaza mganga wa
kienyeji kutoka ndani au
nje ya nchi.
Wapo wanaojitangaza
kutibu watu walio na
matatizo ya nguvu za
kiume, wanaotaka kupata
watoto, kukoleza penzi,
kuvunja penzi, utajiri wa
haraka, kutibu wanafunzi
wasiokuwa na akili
darasani, kuolewa au kuoa
haraka, kumvuta mpenzi
aliye mbali, kunenepesha
makalio na kurefusha
maumbile ya sehemu
za siri kwa wanaume
na mengineyo. Aidha
w i n g i wa m a t a n g a z o
hayo unaashiria pia
kuwapo kwa wateja
wengi wanaofurika kwa
waganga hao wakiamini
kuwa watawaondolea
shida zao, ziwe ni za
maradhi au za kutaka
mafanikio. Wanaotumia
huduma hizo, huwasiliana
na waganga hao kwa njia
ya simu zilizoandikwa
kwenye matangazo yao ya
kuvutia wateja.
Hata hivyo, kwa
kuwa Watanzania wengi
wamekubwa na ugonjwa
wa kutofikiri kwa kina na
tamaa ya kupata mafaniko
kwa haraka na wakati
mwingine bila hata jasho
wala gharama kubwa, basi
wamegeuka kuwa wateja
wakubwa wa waganga
hao, ambao wengi wao
ni feki na wezi wakubwa,
ambao hawana uwezo
wa l a t i b a i s i p o k u wa
wanatumia udhaidu wa
wa t e j a wa o k u j i p a t i a
mamilioni fedha, huku
wakiwaacha wakiendelea
kudhurika na kupata
hasara.
Mganga anakotoka
imekuwa ndio sifa
inayokoleza ubora wa
mganga na kuwa kivutio
kwa wateja. Mganga
k utoka Sumba wa n g a ,
Nigeria, imekuwa ndio
sifa kubwa inayo imani
wa t u j u u ya m g a n g a
mwenyewe. Tunaamini
kabisa kuwa uvivu, ujinga
na upumbavu huu wa
k u t a k a m a f a n i k i o ya

haraka, kiasi cha kuruhusu


a k i l i z a Wa t a n z a n i a
kulemaa na kutekwa na
imani za kishirikina ili
kukabili maisha, ndio
chimbuko la kuendelea
kuawa na kujeruhiwa
wenzetu wenye matatizo
ya ulemavu wa ngozi.
Wa k a t i w a t u w e n y e
ulemavu wa ngozi
(Albinism) wakiendelea
kushambuliwa nchini,
Mauaji dhidi yao yakizidi
kuongezeka, wakiwindwa
kama mnyama pori,
kiasi imefika mahali sasa
wanaogopa hata kuishi nje
ya vituo vyao vya hifadhi,
kuna haja ya kuwakomboa
Watanzania kutoka katika
fikra za kivivu na za
kupupia utajiri au kupata
mafanikio kwa njia za
mkato.
Kwa muda sasa, watu
wenye ulemavu wa
ngozi nchini wamekuwa
wakikabiliwa na mauaji
na visa vya utekaji
n y a r a . Wa g a n g a w a
kienyeji, wasaka utajiri
n a h a t a v i o n g o z i wa
kisiasa wamekuwa
wakinyooshewa vidole,
kuwa wamekuwa chanzo
kikuu cha kuangamizwa
wa t u h a wa . H i s i a z a
wengi juu ya biashara hii
haramu ya viungo vya

watu wenye albinism,


ni kwamba wanadaiwa
k u t u m i a v i u n g o v ya
watu hao kupitia imani
za kishirikina, kwa
imani kwamba watapata
mafanikio (utajiri) kwa
yale waliyoyakusudia.
Wakati matukio ya ukatili
dhidi ya albino yakituacha
katika taharuki nchini,
kuna taarifa za watetezi wa
haki za binadamu kwamba
hivi sasa nchi jirani nazo

zimeanza kuathirika na
mauaji ya watu wenye
albinism, na soko kubwa
la viungo vya albino hao
wanauliwa katika nchi
hizo za jirani ni Tanzania.
Hatua hii inadhihirisha
kwamba hivi sasa Tanzania
imekuwa Hub kubwa
ya biashara ya viungo
vya watu wenye albinism
katika ukanda huu wa
Inaendelea Uk. 19

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High School


Mafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani
ya Kidato cha Nne 2015

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa


Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa
Credit za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.
Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili,
Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry,
Biology, Commerce na Book-Keeping.
Muda wa masomo: Jumatatu Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.
Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi SABA)
Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School
kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.
Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557
Wahi Mapema nafasi hii adhimu
Wabillah Tawfiiq
MKUU WA SHULE

10

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Ukweli mchungu:

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi


Na Omar Msangi

Nigeria: Mai Tatsine,


Boko Haram na CAN:
U k we l i m c h u n g u
Marwa Maitatsine
alikuwa Mkristo mpaka
anakufa!!!
Hivyo ndivyo
anavyoandika
Oloko Adeola Afeez
akimnukuu Profesa
Dauda Ojobi juu ya utata
wa Boko Haram.
Kila uchao, Boko
H a r a m i m e k u wa n i
kitendawili tata kwa
wengi lakini wakati huo
huo yakifumuka mambo
yanayotoa mwanga kwa
wanaotaka kujua ukweli.
Kama yaliyofichuliwa
na Prof. Dauda Ojobi
yatakuwa ni kweli, basi
huenda kitendawili hiki
itakuwa kimeteguka
japo haitakuwa mwisho
wa unaodaiwa kuwa
ugaidi wa Boko Haram.
Maelezo ya Profesa
Dauda Ojobi ambaye
awali alikuwa kiongozi
wa Kanisa kabla ya
kusilimu mwaka 1966
yanatoa mwanga kuwa
awali Boko Haram,
ilibuniwa kama mkakati
wa Kanisa kupambana
na Uislamu. Japo
mpango na mkakati
h uo b a d o unafanya
kazi, lakini limeingia
jambo lingine la ubeberu
ambapo, wenye masilahi
ya kibeberu kutoka
nje ya Nigeria na kwa
kushirikiana na baadhi
ya wanasiasa na watu
wa dini wa Nigeria,
wanapata mradi wao.
Habari yenyewe ipo
hivi:
Katika ushuhuda
w a k e ( Te s t i m o n y )
unaopatikana kwa
maandishi na video/
audio, Profesa Dauda
Ojobi anasema kuwa
mwaka 1954, chama
cha Wakristo Kaskazini
mwa Nigeria (Christian
Association in the
Northern Nigeria),
kiliweka mkakati wa
kupeleka vijana wa
Kikristo katika nchi za

Ni Abu Tijjani aka Kanaana a.k.a Maitatsine


Alipelekwa Sudani akarudi na Aya, Hadith
Akakusanya silaha kupeleka vijana Shamba
Ashab Kital 700 wakauliwa kuleta Boko Haram2
Boko Haram3 imechanganya Ukristo na ubeberu

MUHAMMED Marwa
Kiarabu, kama watu
waliosilimu wakasome
Uislamu na lugha ya
Kiarabu, halafu wakirudi
watumike kuchafua
Uislamu na kupandikiza
kutokuelewana na
machafuko miongoni
mwa Waislamu kutokana
na fikra potofu watakazo
zipandikiza. Prof. Ojobi
anasema wakati akiwa
ni mmoja wa vijana wa
Kikristo waliokuwa
wakisomea theolojia,
anakumbuka vijana
watano waliteuliwa
kwenda kusoma Sudan.
Hata hivyo anasema,
katika hao vijana watano,
watatu walikataa kurejea
Nigeria, wakasalia Sudan
wakiishi huko wakiwa

Waislamu. Aliwataja
waliorejea ili kutekeleza
kazi waliyoandaliwa
kuifanya kuwa ni
M u h a m m a d M a r wa
n a B i r e m a . M a r wa
alipelekwa kufanya kazi
Kano, wakati Birema
alipelekwa Niamey,
Niger.
Professor Dauda
Ojobi, aliwahi kuwa
Katibu wa chama cha
Wa k r i s t o N i g e r i a Northern Christian
Association of Nigeria
(CAN), na Profesa wa
Sheria (Law sio Shariah)
katika Chuo Kikuu cha
Benue (Benue State
U n i ve r s i t y ) . A i d h a ,
alikuwa ndiye mtu wa
tatu kupata cheo cha-

Reverend Father kutoka


Kaskazini mwa Nigeria
baada ya Paul Gindiri
na GG Ganaka. Alikuwa
pia raia wa kwanza wa
Nigeria kuwa mlezi
mkuu wa Kanisa la
Baptist katika Kaduna
(Baptist Church). Katika
nyadhifa za kiserikali
aliwahi kuwa Kamishna
wa Sheria katika Jimbo
la Bauchi.
Muhammad Marwa
aliporejea alianzisha
kikundi chake mithili
ya B o k o H a r a m ya
sasa ambacho kilikuja
kujulikana kama
Mai Tatsine. Alianza
kwa kutangaza kuwa
elimu ya shule na vitu
vinavyotokana na

tekinolojia ya elimu hiyo


ni haram kwa Muislamu.
Kwa hiyo pamoja na
kusoma shule kuwa ni
haram, akasema pia ni
haram kwa Muislamu
kuwa na redio, saa ya
mkononi (wristwatches),
televisheni, gari, basikeli
n.k.
Lakini wakati
akiharamisha vitu
vilivyotengenezwa na
tekenolojia ya kisasa,
alikuwa akihimiza watu
wanunue na kuhifadhi
bunduki za kutosha
ndani ya nyumba zao,
milipuko (mabomu),
visu na mapanga.
Kwake kila asiyefuata
Uislamu wa mtizamo
wake ni kafiri na hivyo
alihimiza wafuasi
wake kuwaweka kundi
moja na makafiri
tayari kwa kuwauwa
wakishakuwa na silaha
za kutosha. Na jina hili
Mai Tatsine lilitokana
na maneno yake makali
akitoa katika mimbari
a k i l a n i Wa i s l a m u
wasiofuata salafi yake
h a l i k a d h a l i k a wa l e
wa n a o f u a t a m a m b o
ya katiba, mabunge na
taratibu za kinchi. Kwa
hiyo alitangaza kuwa
Wakristo, Waislamu
wasio katika yeye, watu
wanaofuata katiba za
nchi na elimu za shule,
wote hao laana ya Mungu
iwe juu yao na kwamba
ni halali kuwachinjilia
kwa mbali.
Laana hiyo alikuwa
akiitoa kwa lugha ya
Kihausa akisema:
Allah ya tsine maka
albarka!, kwa ufupi
ikiwa na maana laana
ya Mungu iwe juu yenu.
Mungu aondoe Baraka
zake juu yenu.
Whoever uses
wristwatches, radios or
ride bicycles, Allah ya
tsine maka albarka!
Yeyote anayevaa saa,
mwenye redio au
kuendesha baiskeli,
laana ya Mungu iwe
juu yake.
Inaendelea Uk. 11

11

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi


Inatoka Uk. 10

Kutokana na maneno
hayo ya laana akiyakariri
mara kwa mara, ndio
akaitwa Mai Tatsine,
ikiwa na anayelani,
mtoa laana (he who
curses, the one with
curses or the one who
curses.)
Akikusanya vijana
kutoka kada za chini,
wasio na ajira maalum
na wachache wa elimu,
aliwajaza chuki na hasira
za kumchukia kila asiye
kuwa katika wao na
kuwajenga kuwa tayari
kuuwa na kufa kwa ajili
ya kumtetea kiongozi
wao na salafia yao.
Baada ya mafunzo
hayo ya awali, alikuja
na maelekezo mengine
kwamba ardhi na mali ya
kafiri, unaweza kuipora
t u . K wa h i y o , h a t a
ukitaka kujenga nyumba
hakuna kuomba kiwanja
serikalini au kujali ni
cha nani kama mwenye
nacho sio katika kundi
lao.
Hilo lilipokubalika
akaja na jingine, kwamba
watu wote wanaosoma
Hadithi au vitabu
vingine vya dini baada
ya Quran ni makafiri.
Kitabu ni Quran tu.

Hakuna Katiba ya
nchi wala Hadithi
za Mtume (s.a.w).
Anayefuata Hadith, ni
mtu wa motoni. Vijana
wakaamini na wafuasi
wakazidi kuongezeka.
Alipofikia hapo,
baadhi ya Masheikh
wakaanza kuwaeleza
watu kuwa huo sio
Uislamu ni ukafiri na
kwamba Mohammad
Marwa sio Muislamu.
Haraka haraka Marwa
akenda kuhiji. Akawa
sasa Alhaj Muhammad
Marwa. Akazidi kupata
wafuasi.
Hata hivyo, Masheikh
walizidi kuwa na
wasiwasi kuwa
M u h a m m a d M a r wa
alikuwa Muislamu feki.
Pamoja na wasiwasi
huo, aliyekuwa Amir
wa Kano, Sheikh Sanusi
akagundua kuwa
M u h a m m a d M a r wa
a . k . a M a i Ta t s i n e
alikuwa akipokea vitu
mbalimbali kutoka
Vatican. Akamtimua
Kano kwenye miaka
ya 1960s. Hata hivyo
akarejea tena Kano
mwaka 1979.
Ili kuwadhibiti wafuasi
wake, aliwakataza
kuswali misikiti

mingine, wasijadiliane
na watu na akiwataka
waishi katika vijiji vyao
pekee, kama ilivyokuwa
kule Madina, Kilindi.
Kijiji maarufu cha watu
hawa Maitatsine kule
Nigeria kilikuwa Yan
Awaki, Kano, wakiwa
na utawala wao usiojali
kama kuna serikali wala
mamlaka yoyote nje ya

Amir wao Mohammed


Marwa.
Baada ya kuhakikisha
k u wa a n a k u n d i l a
kutosha la wafuasi, Yan
Tatsine, na lililo tayari
kwa lolote, aliamuru
waanze kuwashambulia
Waislamu wasio katika
mfumo wao, Wakristo
na polisi. Hiyo ilikuwa
Desemba 1980, ambapo
walianza kuuwa Polisi
kabla ya kuvamia
nyumba za Waislamu
walioitakidi kuwa ni
wanafiki na makafiri.
Hali ilikuwa mbaya
hadi ikabidi jeshi
kuingilia kati ambapo
mpaka machafuko
yanakomeshwa, watu
zaidi ya 5000 walikuwa
wa m e u l i wa . A k i wa
amejificha mahali huku
vijana wakipambana
huko, Alhaj Mohammed
Marwa aliamua
kutoroka, baada ya
kuona hali mbaya. Lakini
wakati akisindikizwa na
kulindwa na walinzi
wa k e wa l i o s h e h e n i
s i l a h a , a l i p a t wa n a
risasi mguuni. Kwa
kushindwa kujitokeza
kwenda kutibiwa, akavuja
damu mpaka akafa.
Wafuasi wake wakamzika
haraka haraka kando ya
njia.
Yan Tatsine hawakuishia
hapo, wengi walikimbilia

Bulumkuttu, karibu
na Maidaguri ambapo
Oktoba 1982 walianzisha
vurugu tena, watu 3000
wakauliwa. Mauwaji kama
hayo yalitokea tena Yola
mwaka 1984 wakiuliwa
watu 1000 huku nusu ya
nyumba za wakazi 60,000
wa mji huo zikiteketezwa
kwa moto.
J a p o ya p o m a e l e z o
mengi kuhusu Alhaj
Mohammed Marwa
yakionyesha kuwa alikuwa
Muislamu tu aliyepotoka,
katika ushuhuda wake
Professor Dauda Ojobi,
anasema kuwa alikuwa
Mkristo mpaka anakufa.
Marwa Maitatsine, was a
Christian until his death.
Anasema katika ushuhuda
huo.
Wakati Shehu Shagari
akiwa Rais Nigeria,
aliunda Tume kuchunguza
kadhia ya Maitatsine.
M i o n g o n i m wa wa t u
waliohojiwa na kutoa
maelezo ni Prof. Ojobi.
Inaelezwa kuwa Prof.
Ojobi alitoa maelezo yake
kwa Tume ya Rais ikibeba
jina la Anya Goru Panel,
na kueleza kisa cha wale
vijana Wakristo watano
waliopelekwa kusoma
Sudan ndio akapatikana
Mohammed Marwa
na Marwa Maitatsine.
Inaendelea Uk. 15

12

MAKALA

MWILI UNA RAHA GANI (JIBU)


Kalamu nimeishika, mhariri samahani,
Nikuombe kuniweka, angaa hata pembeni,
Nipate kulipeleka, jibu langu Visiwani,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Kongole kujusurika, kukamata dada peni,
Na kisha kuliandika, swali lako swahifani,
Kwangu limefahamika, dhima jibu kubaini,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Pole kwa kutatizika, nalo gimba la insani,
Lenye tumbi patashika, baadhi ushabaini,
Naamini kwa hakika, kwa jibu utasakini,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Binti Mtima pulika, kwa utuvu na makini,
Jibu bayana naweka, la swalilo gazetini,
Kumanya lililotaka, raha ya jasadi nini,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Yapaswa kufahamika, kwako na kwa ikhiwani,
Badani kusahilika, kwa yaso tija na dini,
Pamwe na kuthakilika, kwa ya tija yake nduni,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Mwili daima wataka, kudumu stareheni,
Tangu unaporauka, liamba usingizini,
Hata jioni kufika, uuyapo saririni,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Starehe kwa hakika, si jambo mui jamani,
Ila zenye kukiuka, maamuru ya MANANI,
Ndizo hulaumika, mwili kwa kuzithamini,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Mwili kustareheka, wapenda tangu zamani,
Tena kwa yenye hilaka, na yenye kuufitini,
Pamwe na ya kuuweka, baidi na RAHMANI,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Starehe huziweka, mbele hasa za Shetani,
Na kwazo huzainika, na kujihisi rahani,
Mwili ndo yake hulka, chungua utabaini,
Mwili kwa wake utashi, rahaye ni starehe !
Kwa jibu niloandika, kwa swalilo gazetini,
Nahisi utaridhika, malenga wa Visiwani,
Kaditama nimefika, kalamu naweka chini,
Falau hutaridhika, niarifu gazetini.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

KONGAMANO LA UWAWAMWA
Penye dhulma, muhali amani kustakiri!)
Kalamu i mkononi, ukweli kuukashifu,
Japo mchungu moyoni, jarima kuukhalifu,
Masheikh sikilizeni, pamwe na Maaskofu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani itongoeni, kwa mizani adilifu,
Viongozi wambieni, ukweli pasi na hofu,
Huru utakuwekeni, kwa insi na kwa RAUFU,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani hapa nchini, imekuwa mausufu,
Si Bara si Visiwani, viongozi huisifu,
Kwa kauli za kinywani, vitendo iso sadifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ya mdomoni, kathiru 'ishatukifu',
Twataka ya matendoni, yenye tutumbi sharafu,
Ninyi hilo maizini, na wao muwaarifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani itazameni, kwa uyuni yakinifu,
Mashekhe jihadharini, na wa fikara upofu,
Ushenga uepukeni, kuridhi 'Watakatifu',
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ichungueni, kwa mapana na marefu,
Ukweli mtabaini, wenye nayo maarufu,
Muhali wao sijini, kuwekwa kwa uhalifu!
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani gani ambeni, haswa mnoisharifu?
'Wasota' wenzenu 'ndani', dhamana si yao kufu!
Wangapi jiulizeni, 'lupango' Maaskofu?
Amani kustakiri, penye dhulma muhali.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Kwanini kuzuka kwa ufashisti ni tatizo tena

Inatoka Uk. 8
Rais Obama, "Benghazi, jiji
lenye ukubwa wa Charlotte,
lingeweza kugubikwa na
mauaji ambayo yangetikisa
eneo lote hilo na kuingiza
doa katika hisia za dunia."
Ni uwongo wa wapiganaji
wa Kiislamu waliokuwa
karibu ya kushindwa na
majeshi ya serikali ya Libya.
Waliliambia shirika la habari
la Reuters kuwa "kutakuwa
n a u m wa g a j i m k u b wa
wa damu, mauaji kama
yale tuliyoona Rwanda."
Ulipotangazwa Machi 14,
2001, uwongo huo ulitoa
i s h a r a ya k u a n z a k wa
jehanamu ya NATO, ambayo
Waziri Mkuu wa Uingereza
David Cameron alisema ni
"msaada wa kibinadamu."
Wa k i w a w a m e p a t a
mafunzo na kuwapa silaha
kwa siri na vikosi maalum
vya Uingereza SAS. wengi
kati ya 'waasi' wangekuwa
kama ISIS, ambao video yao
ya hivi karibuni inaonyesha
kuchinjwa kwa wafanyakazi
21 wa Kanisa la Coptic
(Kanisa Katoliki la Ulaya
Mashariki) waliokamatwa
Sirte, mji aliokulia Muammar
Gaddafi ulioharibiwa kwa
ajili yao na mabomu ya
NATO.
Kwa Obama, Cameron na
rais wa Ufaransa Francois
Hollande. jinai halisi ya
Gaddafi ilikuwa ni uhuru
wa uchumi wa Libya na
nia yake aliyoieleza ya
kuacha kuuza mafuta, nchi
yake ikiwa ni mzalishaji
wa kwanza Afrika, kwa
kutumia fedha za Marekani,
dollar. Fedha za mauzo ya
mafuta zinalundikwa kwa
dollar, ambao ni msingi
wa nguvu za kiuchumi za
Marekani. Gaddafi alikuwa
na mipango ya kuweka
fedha hizo kuwa msingi wa
fedha ya pamoja (sarafu) ya
Afrika ikiwa ina hazina ya
dhahabu ya kutosha, kuunda
Benki Kuu ya pamoja na
kuhamasisha muungano
wa kiuchumi miongoni
mwa nchi maskini zenye
hazina ya raslimali muhimu.
Kwamba hili lingefanikiwa
au la, mpango kama huo
ulikuwa haukubaliki kwa
Marekani wakati ikijiandaa
kuiweka kati Afrika na
kuzihonga serikali za Afrika
kwa "ushirikiano" wa kijeshi.
Baada ya shambulio la
NATO likijificha nyuma ya
azimio la Baraza la Usalama
(la Umoja wa Mataifa),
Obama, aliandika Garikai
Chengu, "alikamata dola
bilioni 30 kutoka Benki Kuu
ya Libya, ambazo Gaddafi
alikuwa ametenga kwa ajili
ya kuunda Benki Kuu ya
Afrika na sarafu ya dinari ya
Afrika ikiwa inakingwa na
hazina ya dhahabu."
" Vi t a ya m s a a d a wa
k i b i n a d a m u " d h i d i ya
Libya ilikuwa inafanana na

mfano ambao wa-liberali wa


magharibi wanao moyoni,
hasa katika vyombo vya
habari. Mwaka 1999, Bill
Clinton na Tony Blair
walipeleka majeshi ya NATO
kuipiga mabomu Serbia,
kwani, walidanganya, waSerb walikuwa wakiendeleza
mauaji ya kimbari dhidi ya
watu wenye asili ya Albania
katika jimbo lililokuwa
linataka kujitenga la Kosovo.
David Scheffer, balozi wa
Marekani asiye na maskani
maalum anayeshughulikia
'uhalifu wa kivita,' alidai
kuwa wa-Albania wanaume
takriban 225,000 wenye
umri kati ya miaka 14 na
59 inawezekana walikuwa
wameuawa. Clinton na Blair
wote walikumbushia mauaji
ya kimbari ya Wayahudi
(wakati wa Vita Vikuu vya
Pili) na mafundisho ya jumla
yanayotokana na vita hivyo.
Washirika mashujaa wa nchi
za Magharibi walikuwa Jeshi
la Ukombozi la Kosovo
(KLA) ambao vitendo vyao
vya kihalifu viliwekwa
pembeni. Waziri wa Mambo
ya Nje wa Uingereza Robin
Cook, aliwaambia wamwite
wakati wowote kwenye simu
yake ya mkononi.
U p i g a j i m a b o m u wa
NATO ukiwa umekamilika,
na miundombinu ya Serbia
ikiwa imeteketea, pamoja na
mashule, hospitali, makazi
ya watawa na kituo cha taifa
cha televisheni, vikundi vya
wataalamu wa mabaki ya
miili waliishukia Kosovo
kutafuta ushahidi wa
"mauaji ya kimbari." Idara ya
Upelelezi Jinai ya Marekani
(FBI) ilishindwa kupata hata
kaburi moja la watu wengi
na kurudisha wapelelezi
wake. Ujumbe wa kitaalamu
wa Hispania ulifanya
hivyo hivyo, kiongozi
wake akilaani upotoshaji
mkubwa wa "mifumo mahiri
ya propaganda ya vita."
Mwaka mmoja baadaye, jopo
la Mahakama ya Kimataifa
ya Yugoslavia ilitanga kuwa
idadi ya waliothibitishwa
kufa Kosovo ni 2,788, ikiwa
ni pamoja na wapiganaji wa
pande zote mbili pamoja
na wa-Serb na wa-Roma
(kabila la wanaohamahama,
wanaochukiwa) waliouawa
na KLA. Hapakuwa na
mauaji ya kimbari. Tangazo
h i l o l i l i k u wa u w o n g o .
S h a m b u l i z i l a N AT O
lilikuwa utapeli.
Nyuma ya uwongo
kulikuwa na dhamira ya
nguvu. Yugoslavia ilikuwa
nchi huru kwa namna ya
pekee, nchi yenye jamii
tofauti za watu ambayo
ilikuwa ni daraja kati ya nchi
za Magharini na Mashariki
wakati wa ushindani wa
kiitikadi (vita baridi). Nyingi
kati ya mifumo yake ya
miundombinu na viwanda
vilikuwa mali ya umma. Hii

haikuwa inakubalika kwa


nchi za Jumuia ya Ulaya
ambazo zilikuwa zinatanua
wigo wake, hasa Ujerumani
ikiwa ndiyo kwanza
i m e u n g a n i s h wa , i k i wa
inapigania kuunganisha
maeneo ya mshariki kama
soko lake kimaumbile, yaani
majimbo ya Croatia na
Slovenia nchini Yugoslavia.
Hadi wakuu wa nchi za
Ulaya wanaingia mkutano
wa Maastricht mwaka 1991
kuweka mipango ya sarafu
balaa ya Euro, mpango wa
siri ulikuwa umeshafikiwa:
Ujerumani ingeitambua
Croatia. Yugoslavia ikawa
imekwama.
J i j i n i Wa s h i n g t o n ,
Marekani ilihakikisha
kuwa uchumi uliokuwa
unalegalega wa Yugoslavia
unakataliwa mikopo ya Benki
ya Dunia. NATO, wakati huo
ikiwa imechoka kutokana na
kutokuwepo kwa mzozo ule
wa vita baridi, ikarudishiwa
pumzi kama mtekelezaji
wa mpango wa kupanua
himaya. Katika mkutano
wa 'amani' ya Kosovo huko
Rambouillet nchini Ufaransa,
wa-Serb waliwekwa chini
ya kibano cha kibeberu.
Makubaliano ya Rambouillet
yalikuwa na nyongeza ya pili
ya siri, ambayo ujumbe wa
Marekani uliingiza katika
siku ya mwisho. Ulitaka
kukaliwa kijeshi kwa eneo
lote la Yugoslavia - nchi
ambayo ina kumbukumbu
ya kina ya ukaliaji kimabavu
wa mafashisti wa Nazi
(wakati wa vita kuu ya
pili) na kutekelezwa kwa
'uchumi wa soko huria' na
kubinafsishwa kwa amana
zote za serikali. Hakuna
serikali huru ingeweza
kutia saini. Adhabu ilifuata
haraka: mabomu ya NATO
yalianguka juu ya nchi
isiyo na ulinzi. Ilikuwa ni
kufungua pazia ya mabalaa
ya Afghanistan na Irak, Syria
na Libya, na Ukraine.
Ta n g u m wa k a 1 9 4 5 ,
zaidi ya theluthi moja ya
wanachama wa Umoja wa
Mataifa.nchi 69, zimepitia
katika mikasa ya aina hiyo
au kwa njia hiyo kikamilifu
katika mikono ya ufashisti
wa kisasa wa Marekani.
Wamevamiwa, serikali zao
kupinduliwa, harakati zao
za umma kukandamizwa,
chaguzi zao kuvurugwa,
watu wao kupigwa
mabomu na uchumi wao
kuondolewa kila kinga,
jamii zao kuingizwa katika
uzingirwa kivita unaoitwa
'vikwazo.' Mwanahistoria
wa Uingereza Mark Curtis
anakisia idadi ya waliokufa
katika mamilioni. Katika
k i l a m o j a ya m a t u k i o
hayo, uwongo mkubwa
ulisambazwa.

Itaendelea

13

AN-NUUR

MAKALA

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Sukari ni kichocheo kikubwa zaidi cha Shinikizo la Damu (Hypertension) kuliko hata chumvi
'Punguza sana matumizi
ya chumvi, au ikiwezekana
wacha kabisa'!
Huu ni ushauri wa
kawaida kabisa unaopewa na
madaktari pale inapobainika
kuwa shinikizo lako la damu
liko juu kuliko inavyopaswa.
Shinikizo la damu
hupimwa katika ngazi mbili.
Ngazi ya kwanza ni shinikizo
la juu. Hili hutokea pale
misuli ya moyo inapokikaza
kusukuma damu iliyosheheni
oksijeni kutoka kwenye
mapafu kuisambaza mwilini.
Ngazi ya pili ni shinikizo
la chini. Hili hutokea pale
misuli ya moyo inapojiachia
kuruhusu damu irejee
kwenye mapafu ili kuachia
hewa chafu kutoka katika
seli za mwili - hewa ukaa itolewe ndani ya mwili
Shinikizo la juu la kawaida
la damu ni 110 - 120 mmHg;
na la chini la kawaida ni chini
ya 80 mmHg. mmHg ambayo
kirefu chake ni 'millimeters
of mercury' ndiyo kipimo
kinachotumika kwa kawaida
kuelezea kiwango cha

shinikizo la damu.
C h u m v i i n a t a b i a ya
kufyonza maji. Inapoingia
mwilini na kwenye
mzunguko wa damu
huvuta maji na kusababisha
ongezeko la wingi wa maji
kwenye damu. Ongezeko
hili hupelekea shinikizo
la damu kuongezeka. Hili
huwa ni ongezeko la muda
tu mpaka pale kiasi cha maji
kwenye mzunguko wa damu
k i t a k a p o p u n g u a . D a wa
za kifamasia za kushusha
shinikizo la damu hufanya
kazi kwa kuzingatia kanuni
hii. Dawa hizi hulazimisha
mhusika akojoe sana, kitendo
ambacho hushusha kiasi
cha maji kwenye mzunguko
wake wa damu.
Tofauti na chumvi ambayo
husababisha shinikizo la
damu kuongezeka kwa muda
mfupi tu, sukari hujenga
mazingira ya mwili kuwa na
shinikizo la damu la kudumu.
Unapokula sukari ya
mezani (sucrose), mchakato
ufuatao hutokea ndani ya
mwili. Molekuli ya sucrose

huvunjwa na sukari mbili


tofauti zilizomo (fructose
na glucose) zinazounda
molekuli hii huachiwa huru,
kila moja na hamsini zake.
Wa t a f i t i w a n a s e m a
kuwa Fructose (moja ya
hizi sukari) huchochea seli
za mwili kuchoma nishati
(ATP) iliyohifadhiwa humo
kwa kasi ya kutisha na
matokeo yake seli husika
hukumbwa na 'shock'! Shock
hii hupelekea DNA katika
hizi seli kusambaratika!
Watafiti hawa wanaongeza
kuwa DNA iliyosambaratika
hujiunda katika kemikali
zinazojulikana kama purines,
ambazo nazo huishia
kujiunda kuwa tindilkali ya
urea, yaani uric acid!
Tindikali ya urea
inasababisha seli za mwili
kukumbwa na mfuro
endelevu, na huzuia mwili
kuzalisha kemikali ya Nitric
oxide inayosaidia kuta za
mishipa ya damu kutanuka
na kusinyaa kwa wepesi.
Kushindwa kutanuka
k wa m i s h i p a ya d a m u

pale inapohitajika huzaa


ongezeko la shinikizo la
damu. Ulaji uliopindukia
wa sukari hupelekea miili
yetu kuzalisha kiasi kikubwa
cha uric acid muda wote
hali ambayo husababisha
uharibifu wa mishipa ya
damu kutokea muda wote.
Ni muhimu kujua kuwa
shinikizo la damu ni ugonjwa
hatari sana kwa sababu
kila kiungo cha ndani cha
mwili huwa kinakabiliwa
na shinikizo kubwa. Viungo
nyetu vinavyopitiwa na
mishipa mingi ya damu,
mathalani macho na figo
huathirika sana. Watu wengi
wa m e p a t a u l e m a v u wa
macho kwa sababi ya kile
kinachoitwa shinikizo la
damu la macho. Watu wengi
pia wamepoteza maisha
kutokana na maradhi ya figo
ambayo kimsingi chimbuko
lake ni shinikizo kubwa
la damu. Kama unataka
kujifunza zaidi, zifuatazo ni
hatua mbalimbali za tatizo
la shinikizo la damu ambazo
mtu anaweza akapitia.
AINA
1. SHINIKIZO LA JUU
(Systolic) mm Hg

1.1. Kawaida: 110 - 120


mmHg
1.2 Kuelekea kuwa na
tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
120 139 mmHg
1.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 1: 140-149 mmHg
1.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 160 au zaidi
mmHg
1.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 180 mmHg
2. SHINIKIZO LA CHINI
(Diastolic) mmHg
2.1. Kawaida: Chini ya 80
mmHg
2.2 Kuelekea kuwa na
tatizo la shinikizo la
damu (Prehypertension):
80 89 mmHg
2.3. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 1: 90-99 mmHg
2.4. Tatizo la shinikizo la
damu (Hypertension)
Hatua ya 2: 100 au zaidi
mmHg
2.5. Shinikizo la damu
lililopindukia mipaka
(Hypertensive Crisis):
Zaidi ya 110 mmHg

HERBAL IMPACT
P.O.BOX 70949, DAR ES SALAAM.
SIMU: 0754281131/0655281131
MOSQUE STREET, NO.1574/144, KITUMBINI DAR ES SALAAM (MKABALA NA MSIKITI WA SUNNI
1

DAWA

UGONJWA UNAOTIBIWA

HAIIBA DENTAL
GUARD
HAIIBA DENTAL
GUARD COMBO

Maumivu ya
meno
Maumivu ya
meno

HAIIBA IG

Kuongeza kinga za mwili

HAIIBA IG
COMBO
HAIIBA TIMAMU
TEA

Hupunguza mzigo wa virusi vya ukimwi mwilini

Maambukizi ya gram positive bakteria kwenye kinywa


Maambukizi ya gram
positive bakteria
kwenye kinywa

Maumivu ya
viungo

Kusawazisha
Cholesterol

Uchovu

Kupunguza
kasi
ya
kuzeeka

Homa za mara
kwa mara

Harufu
kinywani

mbaya

Vidonda vya tumbo

Harufu mbaya
kinywani
Kujenga upya meno
yenye matundu

Magonjwa ya fizi

Kurekebisha athari za kisukari cha ukubwani

Kuhifadhi
mnyumbuko
wa ngozi
Kuimarisha
siha ya ngozi

Kupunguza shinikizo
la damu

Hupunguza madhara ya
kisukari cha ukubwani

Hukinga dhidi ya
uharibifu wa ini

Kupunguza uwezekano
wa kupata shambulio la
moyo (Heart Attack)

Hupunguza makali ya
maradhi ya kupoteza
k u m b u k u m b u
(Alzheimers disease)

Hukinga mapafu
yasipate makovu

U s a g a j i wa
c h a k u l a
tumboni

Kuimarisha
siha ya macho

Huboresha siha ya
mishipa ya fahamu

Huharakisha kupona
majeraha

M f u r o
(Inflammation)

Kusafisha ini

Kinga dhidi ya
saratani

Huongeza Alkali
mwilini

Kinga za mwili

Kuboresha
mzunguko
wa damu

Kuharibu seli
za saratani
z i l i z o k o
mwilini

Huzuia cholesterol
mbaya
(LDL)
kuingiliana na oxygen
na kuleta madhara

Hupunguza makali ya
ugonjwa wa baridi ya
yabisi (Arthritis)
H u p u n g u z a k a s i ya
ongezeko la virusi vya
ukimwi

Hukinga dhidi ya
ugonjwa wa ngozi
kuchuja rangi
(vitiligo)
Husafisha kinywa
d h i d i ya b a c t e r i a
wasiotumia oxygen
Ni kinga dhidi ya
utapiamlo

DAWA
HAIIBA GLUCOMASTER
PROGRAMME

UGONJWA UNAOTIBIWA
Hutibu Kisukari cha ukubwani

7
8

HAIIBA P & B
HAIIBA C CLEAN

Kuziba mkojo
Malaria sugu

9
10

H A A I B A F A M I LY
BUSINESS
HAIIBA CLEAN UP

11

HAIIBA MLONGE PACK

Maambukizi ya njia ya Kuondoa bacteria wabaya tumboni


mkojo
Kuondoa ukhanithi
Kuimarisha sana uwezo wa tendo la ndoa
Kusafisha tumbo na njia ya haja
kubwa
Kinga imara dhidi ya utapiamlo

Kurekebisha athari za kisukari


cha ukubwani
Kibofu kilicholegea
Saratani mbalimbali
Maumivu ya kiuno na mgongo

Kurekebisha mfumo wa usagaji chakula

Nguvu za kiume

Huimarisha kinga za mwili

Huondoa uchovu

14

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Mchango wa Waislamu Katika Maendeleo ya Dunia


Ibn Battuta - 2
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
M A K A L A
h i i
itamuangalia mweledi
wa safari Ibn Battuta na
mchango wake katika
maendeleo ya Sayari
yetu hii. Ni nani Ibn
Battuta? Jina hili katika
uga wa elimu ya Jiografia
lilihitajika lizungumzwe
kwa mapana na marefu
kwa nchi za Kiafrika
na hata katika ulingo
wa historia Ibn Battuta
ana mchango wake
alioutoa. Kinyume
chake jina la Ibn Battuta
linaonekana haliingii
katika mizani kwasababu
za wanalolikataa
wa n a z i j u a we n ye we .
Aidha kinachosikitisha
nikuwa hata katika
nchi za Kiislamu na za

Kiarabu katika mitaala


yao hawamzungumzi na
wale wanaomzungumza
hawamzungumzi anavyo
stahiki.
Ibn Battuta jina lake
khasa ni Abu Abdullah
Muhammad Ibn Battuta
mzaliwa wa Morocco.
Alizaliwa tarehe 24
Februari mwaka wa 703
Hijria (1304 CE) wakati
wa utawala uliokuwa
ukijulikana kama Marinid.
Akifahamika zaidi kwa
jina la Shams -ad-Din.
Wazazi wake ni wa kabila
la Kiberber na walikuwa na
utamaduni wa kabila hilo
kufanya kazi za uhakimu.
Baada ya kupata
elimu nyumbani kwao
Morocco katika fani
ya Sheria ya Kiislamu
akaamua kuondoka na
kuanza safari kiguu na
njia ili kuweza kuujua
ulimwengu. alianza safari
zake hizo akiwa kijana
mwenye umri wa miaka
21. Safari yake ya mwanzo
kutoka Morocco ilikuwa
kuelekea Makka na kupata
fursa ya kutimiza nguzo
ya Hijja. Hata hivyo safari
hio ilikuwa ni refu kwani
ilimchukua miezi 16 kutoka

Morocco hadi Makka.


Baada ya kukamilisha
Hijja akaamua kutorudi
nyumbani na ilimchukua
muda wa miaka 24
kuizunguka sehemu ya
dunia mpaka kurudi kwao
Morocco.
Baada ya kuondoka
Makka alisafiri katika
maeneo mbalimbali
ikiwa baadhi ya nchi za
Kaskazini mwa Afrika
akaendelea na safari zake
hadi Afrika ya Magaharibi,
Kusini mwa Ulaya, Ulaya
ya Mashariki kwa upande
wa Magharibi, Mashariki
ya Kati, sehemu za India,
Kusini Mashariki ya Asia
na China kwa upande wa
Mashariki, safari zake hizo
inaaminika kuwa hakuna
kati ya watangulizi wake
ambaye aliwahi kupita
kote huko alikopita.
Ibn Battuta alisafiri
kukamilisha masafa zaidi
ya maili 75,000 kumpita
mvumbuzi Marco Polo.
Baada ya kusafiri nchi
zote hizo inaelezwa kuwa
mwishoni alirudi nchini
Morocco na kuyaelezea
yale yote aliyoyaona na
kuyashuhudia kwa Ibn
Juzay.

katika bahari humwaga


uchafu wa kila aina, maji
machafu ya majumbani
na viwandani humwaga
baharini moja kwa moja
n.k..
Mbali na uchafu huo
niliokwisha kueleza,
wanadamu kwa sehemu
ndogo na sehemu kubwa
huamua kumwaga uchafu
baharini kwa kuamini
ndio jaa ambalo litabeba
kila kitu pasi kuwa na
uharibifu wa aina yoyote
ile. Tunapojenga imani hii
ya kumwaga taka baharini,
ni kitu gani kinacokuja
k u t o k e a ? Wa n y a m a
wa baharini na samaki
huathirika pakubwa na
uvujaji na umwagikaji wa
mafuta baharini, kwani
huwazuwia kushindwa
kuvuta pumzi kupitia
mashavu yao. Athari hizi
huja kupata vizazi vyao.
Umwagikaji wa mafuta
huzuwia nuru ya jua
kupenya kwenye maji
na kuzuia mzunguko

wa utengenezaji wa
chakula kwa mimea na
kuchangia viumbe vya
baharini kokosa mlo kwa
wingi. Uchafu mwingi
u n a o m wa g a b a h a r i n i
huwa hauozi na kuchangia
upatikanaji kwa hewa ya
Oxigini kupungua na
Oxigini inapopungua
wanyama wa baharini
kama Nyangumi, papa,
kasa nao huathirika
pakubwa. Uchafu
unaotoka viwandani bila
ya kusafishwa huathiri
wanyama wengi wa bahari
na hufa. Tunapowala na
sisi huathirika kidogo
kidogo.
Picha mbalimbali
zinaonyesha kuwa taka
zinazotupwa baharini kwa
kiwango chochote kile
hujikusanya na mwishowe
kuleta athari kwa viumbe
vya baharini. Ndio kusema
kuwa thakikishe kuwa
tusitupe taka za aina yoyote
ile kwenye fukwe au moja

Mvumbuzi wa nchi mbalimbali Ibn Battuta


Ibn Battuta aliweza
kusafiri takribana katika
nchi zote zile ambazo
zikikaliwa na Waislamu
kwa wingi katika wakati
wake. Katika safari zake
akipendelea zaidi kusafiri
kwa kupitia njia za nchi
kavu kuliko njia za baharini
kwa kuchelea kuhujumiwa

na maharamia ambao
wa l i k u wa wa k i t a m b a
katika maeneo ya baharini.
A l i k u wa a k i p e n d e l e a
kujiunga na misafara ya
wafanya biashara.
Alipofika katika mji
wa Sfax alipiga chuo na
Inaendelea Uk. 18

Jee Bahari ni Jaa Mwaga Ukitakacho Bahari


Itameza?-2
Na Ben Rijal

KUTOKANA na uchafu
u n a o t u p wa b a h a r i n i
kunajitokeza athari
mabalimbali ambazo
huathiri viumbe
vilivyo baharini. Zaidi
ya asilimia thamanini
ya uchafuzi wa bahari
hutokea nchi kavu, kwa
mfano makaro ya taka
(septic tanks), mafuta
machafu katika magereji
ambayo huchukuliwa
na m aj i ya mvua na
kuingia katika bahari,
boti zinazomwaga mafuta
katika matengenezo
au kuvuja, mbolea za
kemekali zinazotumiwa
mashambani nayo mabaki
ya ke huc hangany ika
na m aj i ya mvua na
kumalizikia baharini,
uchimbaji wa mafuta

kwa moja baharini. Aidha,


tunatakiwa tujihadhari
kukinga maji ya mvua
kusomba mbolea au aina
y o y o t e i l e ya u c h a f u
kuingia baharini.
Pl a s t i k i t u n a p e n d a
kuitupa baharini na hata
boti zinazosafiri baharini
huwapa abiria mifuko ya
plastiki ambayo baadaye
hutupwa baharini.
Tujiulize, nini athari ya
plastiki katika bahari?
Tujitahidi kwa kutotupa
uchafu baharini haya
yanaweza kufanyika katika
ngazi mbalimbali kuanzia
Serikali, Asasi zilizokuwa
sio za kiserikali, walimu
wa Madrasa, Maimamu
katika khutba zao za
Ijumaa, kuhamisha watu
kupitia vyombo vya habari
kutotupa taka baharini,
wakazi wanaoishi kando
kando na bahari kupanga
mikakati yao ya kuzuwia
utupwaji wa taka baharini,
kuwafunza watoto wa

skuli hatari ya kutupa taka


baharini, siku ya bahari
duniani kupendekezwa
kuwa ni siku ya kitaifa
ya usafishaji wa fukwe
na kuhamasishwa watu
umuhimu wa kutunza
bahari.
Muhimu tukawa
na mabalozi wa
kuizungumzia bahari
na namna ya kuihifadhi,
haya yatasaidia pakubwa
katika kuihifadhi bahari.
Mashekhe wana nafasi
kubwa ya kuzungumzia
ufisadi na kutumia aya
na hadithi za Mtume
SAW, kuziangalia aya za
Quran kama hii: Ufisadi
(ikiwemo uchafuzi wa
mazingira) vimekithiri
nchi kavu na baharini
vikiwa ni matokeo
ya matendo maovu ya
binadamu. Ameamuru ili
waonje matunda ya yale
waliyoyatenda ili wapate
kujirekebisha.(Quran
30:41.

15

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi


Inatoka Uk. 11

Hata hivyo, inaelezwa


kuwa baada ya Shehu
Shagari, kusoma taarifa
hiyo alisema isitolewe
hadharani maana
inaweza kuzusha ghasia
zaidi.
Profesa Dauda baada
ya kuona kuwa aliyosema
yamefunikwa, alikuwa
akitoa mihadhara
kusema yote aliyosema
katika Tume ya Rais.
Mpaka leo hakuwahi
kutokea kiongozi wa
Kikristo au wale watu
waliokuwa katika Tume
ya Rais Shehu Shagari,
kukanusha aliyosema
Prof. Dauda. Professor
Dauda alisilimu mwaka
1966 baada ya kurejea
kutoka Rome alikokuwa
anachukua masomo ya
Theolojia (Christian
Theology).
Baadhi ya wadadisi,
wachambuzi na
wafuatiliaji wa mambo
wanasema kuwa kuibuka
kwa Mohammed Yusuf,
kiongozi wa kwanza wa
Boko Haram namba mbili
(ya kwanza ikiwa ni Yan
Tatsine/Mai Tatsine,
imefuata mkondo
huo huo. Na ushahidi
ni kuwa anayetajwa
kuwa mtu wa karibu
sana ambaye akimtoa
Polisi kila akikamatwa
alikuwa ni Jerry Gana,
ambaye pamoja na kuwa
mwanasiasa, lakini ana
nafasi kubwa katika
Kanisa. Hivi karibuni
ametunukiwa nishani
na kanisa kwa utumishi
na mchango wake
madhubuti kwa kanisa.
1. B a a d a
ya
Mohammed Yusuf
kukamilisha kazi
aliyokuwa afanye ya
kutengeneza kundi la
kitisho cha ugaidi wa
Boko Haram, Jerry Gana
aliondoa mkono wake.
Kama Jonas Savimbi,
Ustaz Yusuf akauliwa
k wa k u d h a l i l i s h wa
hali ambayo ilifanywa
makusudi ili kutibua
hasira za wafuasi wake
wajitokeze. Tunasema
ilifanywa makusudi

kwa sababu Yusuf


alikamatwa na katika
m k a n d a wa v i d e o
ambao unapatikana
katika mtandao
h a d i l e o ( Ta z a m a :
Boko Haram"
leader Mohammed
Yusuf Interrogation
before his execution),
wanaonekana
w a n a j e s h i
wamemfunga pingu
wanamhoji huku
wanapiga picha
za video. Baada ya
h a p o wa n a m u u wa
na maiti yake iliyojaa
majeraha makubwa
na matobo mengi ya
risasi ikapigwa picha
ikasambazwa katika
mtandao.
Kama walivyokuwa
wale vijana wa Mai
Tatsine, wafuasi wa
Ustaz Yusuf walingia
mitaani kufanya fujo,
na hapo wakauliwa
zaidi ya 700. Na
inaelezwa kuwa baada
ya hapo waliosalia
walikuwa wakifuatwa
majumbani kwao na
kuuliwa kimya kimya.
Huo ukawa mwishao
wa Boko Haram
2 . I k a z a l i wa B o k o
Haram3 ya Abubakar
Shekau. Hii imekuwa
kama mzuka ambao
unakimbiwa mpaka na
wanajeshi.
Boko Haram3
inaonekana kuwa
mbaya zaidi kuliko ya
Yusuf hata ile ya Mai
Tatsine, kwa sababu,
wakati hizo mbili za
nyuma zilitegemea
kuwatia wazimu
vijana wasiojitambua
kupata wafuasi walio
tayari kufa kwa imani
potofu na ufuati wa
kibubusa, Abubakar
Shekau amekuwa mtu
hewa. Kwa Yusuf na
Mai Tatsine, hata
kama wangekuwa na
wafuasi wengi kiasi
g a n i , wa s i g e w e z a
kushinda jeshi la nchi.
Lakini kwa Shekau
inaonekana ni kivuli
tu cha propaganda.
Hata siku moja

KIONGOZI wa Boko Haram 2 Mohammed Yusuf aliyekifua wazi kabla ya kuuliwa


baada ya kukamatwa na jeshi.

hutaona askari wake


wakipambana au kundi
la wafuasi wake. Picha
utakazoziona ni zile
zile za juzi na jana
akionyeshwa Shekau
kuwa anatoa ujumbe
fulani. Inavyoonekana
Boko Haram ya sasa ina
vikosi viwili. Kikosi cha
propagngda ambayo ni
picha ya Shekau ikidaiwa
kasema hili na lile,
na pili washambuliaji
ambao hawajulikani.
Hawa wanaweza kuwa
ama ni watu kutoka
nje, wanashambulia
na kuondoka au watu
wa ndani ambao
serikali inawajua,
wakishambulia
wanakwenda Magharibi,
serikali inatuma polisi

Mashariki kuwafuatilia.
Kukamatwa mara mbili
ndege ya mchungaji
Ayo ikitaka kuingiza
silaha, inatilia nguvu
hoja kuwa Boko Haram,
haitokani na Waislamu.
Boko Haram ya sasa
inaonekana kutimiza
malengo ya aina mbili.
Moja ni lile alilosema
Prof. Dauda na hili ndio
wanalolipigia debe watu
kama Askofu David
Oyedepo na Mchungaji
Ayo.
Pili, inatimiza
malengo ya mabeberu
ambapo mpaka sasa
Nigeria imeshindwa
kunufaika na mafuta
yaliyo Kaskazini mwa
nchi hiyo. Mafuta hayo

hivi sasa yanachimbwa


na Chad na Cameroon
k u wa f a i d i s h a
makampuni ya Ufaransa
na mengine ya nje. Lakini
pia inaelezwa kuwa
baadhi ya wanasiasa wa
Nigeria akiwemo Rais
Jonathan, wanapepea
Boko Haram ili badala
ya nchi kunufaika na
mafuta, wanufaike wao
binafsi. (Tazama: Article
accuses Cameroon of
helping France (a.k.a Boko
Haram) access Nigerias oil.
Boko Haram, Big Oil And
The Chad Connection.
The Janjaweed
Connection: Boko Haram
Unraveling and Boko
Haram: Jonathan, Ihejirika
Supervised Foreign
Invasion of Nigerias Oil
Rich Northeast.)

16

SHUKURANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu peke yake
na rehema na amani
zimfikie yule ambaye
hapana Nabii baada
yake, Nabii Muhamad
( s a w ) , a m a b a a d a ya
utangulizi huu mfupi.
Kwa hakika anafahamu
kwa kila mwenye akili
timamu japo kidogo
kwamba, dini ya Uislamu
haina uhusiano kabisa
na tuhuma za ugaidi na
ubabe na ugaidi sio kitu
kilichotengenezwa na
Uislamu, unaonekana
kuwa ni jambo la
ulimwengu mzima ambalo
halina dini wala nchi na
kuna wahusika wengi
wa ugaidi wanajihusika
nao. Wanajihusisha na
kufuata dini nyingine au
hawana dini kabisa na
hakuna mahusiano kati
ya Uislamu na vitendo
vya kigaidi ambavyo
vinavyofanywa na watu
wachache waliopotea.
Maana ya ugaidi: Ni
uadui wa kupanga mtu
mmoja au watu wengi au
nchi kwa nafsi za binadamu
au mali za umma au za
watu kwa kuwatisha na
kuwaudhi na kufanya
ufisadi bila ya njia ya haki.
H u k u n u ya u g a i d i :
Ugaidi kwa maana hii ni
haramu na umekatazwa
kisheria, kwani huu ni
uadui kwa watu na
kueneza uharibifu duniani.
A m e s e m a M we n ye z i
Mungu (basi malipo ya
wale wanaopigana na
M we n ye z i M u n g u n a
Mtume wake kwa kufanya
aliyowakataza na kufanya
uovu katika nchi, kuuawa
au kusulubiwa au kukatwa
mkono wa kulia kwa mguu
wa kushoto na mkono wa
kushoto kwa mguu wa
kulia au kuhamishwa
katika nchi hii, ndiyo
fedheha yao katika dunia
na akhera watapata adhabu
kkubwa) al-Maidah 33. Na
amesema tena (kwa sababu
hiyo tunawaandikia wana
wa Israeli ya kwamba,
atakayemuua mtu bila yeye
kuua mtu au bila yakufanya
ufisadi katika nchi, basi ni
kama amewaua watu wote

AN-NUUR

Makala/Tangazo

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Ugaidi hauna dini


na mwenye kumwacha
mtu hai kumsaidia kuishi
ni kama amewaacha watu
wote na bila shaka Mitume
wetu waliwafikia na hoja
zilizo wazi, kisha wengi
katika wao baada ya haya
wa l i k u wa wa h a r i b i f u
sana katika nchi) Sura alMaidah (32).
Na amesema tena (na
wala msifanye ufisadi
katika ardhi baada
yakutengemaa) Aaraf (56).
Amesema Sheikh Kurtubi,
A m e k a t a M w e n y e z i
Mungu kila uharibifu
(ufisadi), iwe ni kidogo
au kikubwa baada ya
kutengemaa kwa kubwa
au dogo, naye ataingia
katika kundi la uhalifu
kwa maneno yenye nguvu
na sahihi. Kwa yakini
Uislamu na yale yaliyomo
miongoni mwa vyanzo
vyake vitukufu katika
kitabu na sunna na maisha
ya Mtume (saw) na watu
wema, dini hii ina uwezo
wa kujitetea yenyewe, hata
kwa uchache wa somo kwa
muongozo wa kielimu
maalum ulio mbali na
kuusifia tu, ambao anautoa
mpekuzi kuelekea
kwenye uhakika wa
elimu na historia, nayo ni
kufahamisha kuwa ugaidi
sio jambo lililotengenezwa
na Uislamu na haukutoka
katika tumbo la Uislamu
kama wanavyoda watu
wa magharibi na baadhi
ya vyombo vya habari vya
kimagharibi.
K w a
h a k i k a
wameandika baadhi ya
waandishi Wakristo nchini
Misri, naye ni msomi
mkubwa wa kikib twi
Dk. Nabil Luka Baybani,
yeye ameandika kitabu
k i i t wa c h o U g a i d i s i
mambo yaliyotengenezwa
na Uislamu. Akasema
mwandishi kuwa pamoja
na kwamba yeye ni Mkristo
waarthuzaksi, ameusoma
Uislamu
sana na
akamaliza kwa uyakini na
kukinai kwamba Uislamu
upo mbali kabisa na
tuhuma hizi za dhulma na
kwamba, Uislamu haujui
ubabe na wala hauukubali,
bali ni kinyume chake
na anaupinga ubabe na
anauzuia kwani hii ni dini
ya amani na salama. Huu
ni ushahidi wa mwandishi
ambaye si Muislamu lakini
ameupa haki Uislamu,
kwa hakika dini ya
Uislamu ni dini ya amani
na kujuana kati ya mataifa
na si dini ya ubabe na

mieleka ya kimaendeleo,
naye anakiri kwamba kila
taifa duniana ni wajibu
kusaidiana kutambuana
na si kugongana na
kuingia katika vita
ambavyo havina mshindi
wala mshindwa.
Mwenyezi Mungu
mtukufu anasema (enyi,
watu sisi tumekuumbeni
kutokana na mwanamume
na mwanamke
na
tukakufanyeni mataifa
na makabila ili mjue kwa
hakika, mbora na mwema
mbele ya Mwenyezi
Mungu ni yule mwenye
kumuogopa sana, hakika
M we n ye z i M u n g u n i
mjuzi tena ana habari)
Huturati 13.
Kwa hakika kisimamo
cha Uislamu katika suala
la ugaidi wa hawa jamaa
wababe wa ugaidi, ambao
wa n a u v i s h a n g u o ya
Uislamu, msimamo upo
wazi kwamba Uislamu

hauna mahusiano yoyote


na jamaa hawa na wala
Uislamu haukubaliani na
matendo yao, si kwenye
Qur-ani tukufu wala
kwenye hadithi sahihi
wala kwenye mwenendo
wa watu wema waliopita
kwani dini ya Uislamu
ni dini ya amani na vita
imefaradhiswa katika
wakati wa dharura na
katika hali chache tu.
Uislamu unakataza vita
na wale watu wa kitabu
pale wanapojisalimisha
na pamoja na mushirikina
ambao wanafungamana
na dola ya Kiislam kwa
mikataba, na Uislamu
haukubali ubabe wala
kuifanyia uadui roho ya
binadamu na viumbe
wengine.
K w a
h a k i k a
kuunganisha kudogo
kati ya yale walioyafanya
Wa i s l a m u k wa wa s i o
Wa i s l a m u k a t i k a

miji, ambayo tayari


waliikomboa na matendo
ya o m a z u r i k wa o n a
kuwafanya kuwa na
hiayari kwao kuingia
katika Uislamu bila ya
kulazimishwa na kati ya
kubakia katika dini yao, na
kati ya yale waliyoyafanya
mataifa ya Romania
ya Wa k r i s t o K a t o l i k i
p a m o j a n a Wa k r i s t o
wenyewe miongoni mwa
mauaji na mateso na
vita kubwa, hii yote ni
kuufahamisha kwamba
Uislamu hautambui
ugaidi na ubabe, kwa
hakika Uislamu ni neema
ametuongoa Mwenyezi
Mungu kwa dini.
Shukurani zote
a n a s t a h i l i M we n ye z i
Mungu al-Aaraf 43.
Tunamuomba Mwenyezi
Mungu atuongoe sote
kuelekea kwake ili tupate
furaha ya dunia na ya
akhera.
Makala hii imeandaliwa
na Dk. Abdallah
Abdulhamid Daruweshi.
Mwalimu wa al-Azhari
Sharif tawi la Tanzania.

NAFASI ZA MASOMO SUDAN 2015/2016


Ofisi ya Munazzat Al- Daawa Al- Islamiyya (MDI) Iliyopo Mbezi Beach
Tangi Bovu jijini Dar es Salaam,inapenda kuwatangazia nafasi za masomo
kwa wale wote wanaotaka kujiunga na chuo kikuu cha INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA, Khartoum Sudan.
Kozi zinazotolewa ni;
1. Shahada ya kwanza katika Medicine, Pharmacy, Dentist, Nursing,
Laboratory Sciences, Natural Petroleum and Minerals, Engineering,
Electronics & Electrical Engineering, Computer Science, Pure Science,
Applied Chemistry, Microbiology, Geology and Physics
2. Shahada ya kwanza katika law & Sharia, Islamic studies, Economics,
Administration, Political Science, Education Administration and technology,
Curriculum & Methods of Teaching, Arts (Mass communication, Arabic
Geography, History and General Psychology)
Fomu za maombi zinapatikana kwa Tsh 10,000=/tu kuanzia tarehe 21 March
mpaka tarehe 4 April 2015 katika vituo : Dar ES SALAAM: katika ofisi ya
Munazzamat iliopo Tangibovu-Mbezi Beach. MWANZA: Msikiti wa Rufiji
uliopo Mtaa wa Rufiji na ZANZIBA : Katika ofisi ya Munazzamat ( Kituo
cha kusaidia mayatima) kilichopo eneo la Mpendae kwa mchina mwisho,
mkabala na skuli ya kijangwani, saa 3:00 asubui mpaka saa 7:00 mchana.
Awe amemaliza kidato cha nne na sita au Thanawiya kwa kupata daraja la
kwanza, la pili au la tatu. Pia mwombaji lazima alete Vyeti halisi ( Original
academic certificates) Siku ya kurudisha fomu Result sleep haikubaliwi.
Kwa maelezo zaidi piga simu:Makao Makuu, Dar es Salaam: 0786 806662 au 0652 806662 au 0715249015
Kituo cha Zanzibar simu no: 0777415835 au 0715 415835
Kituo cha Mwanza simu no : 0688304852
Mr. Khamisi M. Liyenike
K.N.Y Mkurugenzi, MDI, TZ

17

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

DAR ES SALAAM

Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTSnaBIASHARA.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao
(internet) katika kujifunza.
Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :
Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns
Ufaulu usiopungua Daraja la Credit au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na
Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).
AU
Ufaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha Credit bila kujali daraja alilopata mtahiniwa
kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Mei 2015.
Arusha

- Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.

Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490


- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.
Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525
- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983
Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.
Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623
Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426
- Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040
Dar es Salaam
- Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531
1
Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale
: 0715704380.
Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992
Singida
- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
Manyara
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196
Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.
Lindi
- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.
Mtwara
- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.
Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya
- Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319.
- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa
- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.
Tabora
- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342
Nzega
-Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.
Iringa
- Madrastun Najah: 0714 522 122.
Pemba
-Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.
Unguja
- Madrasatul Fallah: 0777125074.
- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba
Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

18

AN-NUUR

Makala

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Mchango wa Waislamu Katika Maendeleo ya Dunia


Inatoka Uk. 14

kubakia hapo kwa muda,


katika mji huo wa Sfax
aliponea chupuchupu
kuweza kupoteza
maisha yake pale jahazi
alilosafiria kuzama na
alipofanikiwa kufika nchi
kavu ikawa ule msemo
usemao kutoka kikangoni
kuangukia motoni, alikuta
mapambano yaliopamba
moto vikiwa ni vita vya
wenyewe kwa wenyewe.
Alifanikiwa kuokoka.
Baada ya kukaa Sfax
kwa muda aliendelea
na safari zake kuujuwa
ulimwengu. Safari hii
alifanikiwa kuwasili katika
maeneo ya Mashariki ya
Kati, akateremkia Bahari
N ye k u n d u ( R e d s e a )
kupitia mji mtakatifu wa
Makka, kisha akalivuka
jangwa la Uarabuni na
kuendelea na safari zake
zilizomfikisha nchi za
Iran na Iraq. Ulipofika
mwaka wa 1330 akapita
kwa mara nyengine tena
katika Bahari Nyekundu
hadi kufika visiwa vya
Zanzibar ambapo katika
maandishi yake alielezea
kuwa alikutana na
watu wa kisiwa hicho
wakiwa ni Waislamu.
Watu walio wakarimu na
akazungumza nao kwa
Kiarabu akasali nao. Aidha
aliyasifu maji ya hapo
kwa utamu wake. Kutoka
Unguja akaelekea Kilwa
nako huko hakupata tabu
kuwasiliana na watu wa
Kilwa, aliwasiliana nao
kwa lugha ya kiarabu
n a a l i v u t i wa k u k u t a
kuwa watu wake wana
ustaarabu na wanaishi
katika nyumba za mbao
zilizoezekwa mapaa yake
kwa makuti. Alibahatika
kukutana na Mtawala wa
Kilwa Sultan al-Hasan ibn
Sulaiman akiwa ni katika
kizazi cha Ali ibn alHassan Shirazi. Alivutiwa
na mpango wa majenzi
ya Kilwa yalivyokuwa ya
kimpangilio na kuelezea
kama ni mji uliokuwa na
maendeleo. Aliuelezea
Msikiti Mkuu wa
Kilwa, Msikiti uliokuwa
mkubwa wenye kuvutia
uliojengwa kwa mawe ya
matumbawe.
Ulipofika mwaka wa
1332 aliendelea na safari
zake kuelekea India
ambapo ilimchukua
miaka 8 kuweza kufika
h u k o I n d i a b a d a ya
kutoka maeneo ya
Afrika ya Mashariki.
India alipokelewa

Ramani inayoonyesha njia alizopita Ibn Battuta


kwa mikono miwili na
Sultan wa India, baada
ya kustakimu hapo kwa
muda akamua kuendelea
na safari zake zilizoweza
kumfikisha China, katika
mwaka wa 1352 mshipa
wa kurudi nyumbani
ulimpiga akarudia hata
katika maeneo ya Bahari
Nyekundu na kuelekea
M a g h a r i b i ya A f r i k a
k a t i k a n c h i ya M a l i
nchi ambayo ina urithi
mkubwa wa utamaduni
wa K i i s l a m u , a l i k a a
katika mji wa Timbuktu
akaitumia maktaba kubwa
ya Timbuktu kujiongezea
taaluma. Mji wa Timbuktu
unaringia kazi kubwa
iliofanywa na Mfalme
Mansa Mussa ambaye
ndio aliowapeleka
walimu kutoka Misri
kwenda kusomesha watu
dini na kuandika vitabu
mbalimbali. (Mansa Mussa
ana makala zake 2 siku za
mbele nitamuelezea).
Anapozungumzwa Ibn
Battuta huzungumzwa
zaidi juu ya safari zake bila
ya kutajwa utaalamu wa
masuala ya kidunia. Mbali
ya taaluma ya Jiografia
alikuwa mtaalamu wa
fani ya Sayansi ya mimea
(Botany). Aidha alibobea
katika elimu ya Sayansi
ya jamii. Tunafaidika

pakubwa na kazi za Ibn


Battuta kutokana na
maandishi yake mengi
aliyoyaandika. Fani ya
uandishi kwa wasomi
wa Kiislamu imepotea.
Waliopita waliandika sana
na maandishi yao yalitoa
mchango mkubwa katika

Maandishi ya Ibn Battuta


maendeleo ya sayari yetu
hii.
Maandishi yake
Baadhi ya maandishi
yake unapoyasoma
unapata ladha namna
alivyokuwa anazielezea
jamii za Kiislamu
zilivyokuwa zinaishi na
ustaarabu waliokuwa
nao, nitadokowa mawili
m a t a t u j u u ya h a y o .
Alipokuwa nchini Syria
aliona mambo yaliomvutia
kabisa. Syria iliojaa

utamaduni na huruma.
Syria ya leo inavurugwa
na kupotezewa alama
zote za athari za Kiislamu.
Ibn Battuta aliandika
yafuatayo:
Utapojumlisha
matumizi ambayo serikali
k a t i k a n c h i ya S y r i a
yakifanyika katika karne
ya 14 yalikuwa hayana
kifani. Kukitengwa fungu
la kuwasaidia wale wote
wasiokuwa na uwezo wa
kwenda Kuhiji Makka
sio tu kusaidiwa kufika
huko bali na matumizi
yao ya kula na mambo
madogo madogo, aidha
wakisaidiwa wale ambao
hawana pesa za mahari ya
kuolea, aidha kukitengwa
fedha za kuwapa familia
ya bibi harusi waliokuwa
wanyonge hawana vitu
vya kumpa bi harusi,
vilevile kukitengwa
fedha kuwasaidia
wasafari walioishiwa
kwa kuwasaidia
chakula na nguo na
usafiri wakuwafikisha
makwao. Kulikuwa na
fungu la kuwaweka huru
wafungwa na kuwasaidia
maisha yao baada ya
kutoka gerezani, aidha
kukitengwa fungu la
kuweka taa za barabarani
na kuimarisha njia ya
wapitao kwa miguu na

vipando.
Alipofika Iraq aliandika
haya: Kisha tukawasili
Baghdad mji mkuu wa
Iraq ikiwa ni mwahali
paliokua na amani, mji
kati ya miji ya Kiislamu.
Tulizikabili daraja mbili
kama Hilla, ikiwa daraja
hizo watu wanazipita
usiku na mchana, kike
kwa kiume. Sehemu za
kukogea zilijaa watu
pomoni, sehemu hizo
zilijengwa kwa kiufundi
kabisa na kupakwa rangi
za kupendeza na kuta
zake zikiwa za mramar
nyeusi. Maeneo hayo ya
kukogea yalikuwa yana
maji ambayo yakitokea
Kufa na Basra saa zote na
siku zote maji hayo yakiwa
yakitiririka. Sehemu hizo
za kukogea zilikuwa
zikimilikiwa na watu
binafsi. Unapokwenda
kukoga unapewa taula
za kujifutia maji tatu,
mmoja ikiwa ya kujifunga
kiunoni unapoingia
kukoga na nyengine ya
kujifutia maji na nyengine
kuvaa kiunoni unapotoka
kukoga.
Vilevile aliandika
mambo aliyoyayaona
katika visiwa vya Uturuki,
Mongolia na visiwa vya
Maldives. Aliyoyaona
Uturuki na Mongoloa
yalimsataajabisha kuona
jamii ya watu wa hapo
kuwapa uhuru ulio
mkubwa wanawake.
Aidha kilichomvutia
katika kisiwa cha Maldives
ni kuona wanawake vivazi
vyao ni nguo za mingaro.
Baada ya safari zake za
miaka mingi kwa kipindi
cha miaka 24 kuwa nje
ya nyumbani mshipa wa
kurudi nyumbani ulianza
kumpiga na ulipofika
mwaka wa 1355 aliwasili
Morocco katika mji wa
Tangier sehemu ambayo
ndio alipofia na kuzikwa
katika mwaka wa 1368 na
kaburi lake limewekwa
kuwa alama ya mvumbuzi
huyu na wengi hulizuru
k a m a t u n a v y o t a k i wa
kuzuru waliokufa na
kuomba dua.
Wa t a a l a m u wa
Kimagharibi hawaamini
kuwa Ibn Battuta alifanya
safari hizi bali wakionacho
nikuwa alinukuu kazi za
watu wengine. Hio yote ni
kuwa kila kinachohusiana
na taaluma na maendeleo
ni cha Mzungu. Hutajwa
mvumbuzi Vasco Dagama
bila ya kudhukuriwa
T i r o a l i o k u wa m j u z i
wa kuongoza safari za
baharini, Tiro alikuwa
mtu mweusi.

19
Inatoka Uk. 9

Afrika Mashariki, kama si


Afrika kwa ujumla. Kwa
kweli inasikitisha kuona
kwamba kwa nchi kama
Tanzania, visa vya mauaji
na ukatili vimeendelea
kuwalenga watu wenye
ulemavu wa ngozi.
Hivi karibuni tu, mtoto
mweye umri wa miaka
tisa mwenye ulemavu wa
ngozi, Baraka Cosmas,
anayeishi na wazazi wake
kijijini Kipeta, mkoani
Rukwa ameponea tundu
la sindano kuuawa na
watu wasiojulikana, baada
ya kukatwa kiganja cha
mkono nyumbani kwao.
Mtoto huyo huyo ambaye
n i m v u l a n a a l i k u wa
amelala na mama yake
mzazi wakati wahalifu
hao walipovamia nyumba
yao. Kwa bahati, kamanda
wa polisi katika mkoa
wa Rukwa, Jackob
Mwaruanda alithibisha
k wa m b a m t o t o h u y o
anapata matibabu
hospitalini na hali yake
inaendelea vizuri.
Tukio hilo ni la tatu
kwa kipindi kisichozidi
mwezi mmoja baada ya
kuibuka kwa matukio
mengine mawili ya watoto
wa l e m a v u wa n g o z i
katika mikoa ya Mwanza
na Geita kuuliwa. Pendo
Emmanuel mkazi wa
Ndami wilayani Kwimba
mkoani Mwanza pamoja
na Yohana Bahati, mkazi
wa I l e l e m a w i l a ya n i
Chato mkoani Geita,
ambao ni walemavu wa
ngozi walitekwa hivi
karibuni kwa nyakati
tofauti. Yohana alitekwa
Februari 15 mwaka 2015,
ambapo aliokotwa akiwa
amefariki dunia na mwili
wake ukiwa umekatwa
mikono na miguu na
kisha kufukiwa kwenye
shimo. Shambulio hilo
linajitokeza wiki moja tu
baada ya watuhumiwa
wa n n e k u h u k u m i wa
adhabu ya kifo kwa mauaji
ya albino.
Wakati visa vya kuuawa
kwa albino vikiripotiwa
zaidi kutoka nchini
Tanzania, Mtandao wa
DW unaeleza katika taarifa
yake kwamba vyombo vya
usalama nchini Malawi,
vimeeleza kuwa idadi ya
watu wenye ulemavu wa
ngozi wanaouliwa nchini
humo imepanda siku
za hivi karibuni. Taarifa
hiyo imebainisha kuwa
hivi sasa nchini Malawi,
watu wenye ulemavu
wa ngozi wanaishi kwa
wasiwasi mkubwa,
wakihofu kuuliwa na
viungo vyao kutumika
na watu wanaoamini
kuwa watajipatia utajiri
au madaraka. Kwa mujibu
wa chama cha Albino
nchini Malawi, mwaka
huu Albino watatu
wameuliwa kikatili nchini
humo.
"Tunawindwa kama

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Watanzania wanahitaji kukombolewa

za Kiafrika, zikiwemo
Kenya, Burundi, Jamhuri
ya Kidemokrasi ya Kongo
na Senegal. Shirika la
kimataifa la "Under The
Same Sun" linalotetea haki
za watu hao linaripoti
k u u l i wa k wa a l b i n o
140 katika nchi 25 za
Kiafrika. Wengine 219
walikatwa viongo lakini
wakaachwa hai. Madhila

haya yote, yanachochewa


na Imani kwamba Albino
ana nguvu za miujiza. Aidha
inaaminika kwamba jamii
nyingine, kuzaliwa mtoto
albino inaonekana kama
laana ya mababu na punde
tu akizaliwa mtoto mwenye
ulemavu wa ngozi anauliwa.
Kimsingi hatukatai
kuwepo kwa waganga wa
tiba za jadi. Wapo waganga
makini ambao wanafanya
kazi zao kitaalam na kwa
kuzingatia utu, taratibu na
kanuni za kimatababu. Lakini
ndani mwao wapo wezi,
matapeli, wauaji na wachawi
ambao kwa namna moja
au nyingine, hawastahili
k u a c h wa wa k a e n d e l e a
na uhalifu wao huku
wakiharibu Watanzania
akili zao na kuwageuza
chumo la fedha haram kwa
kuwaingiza katika shirki
zinazoangamiza maisha
na uhai wao. Kuwa kuwa

ni utaratibu wa serikali
kwa wafanyabiashara
kuthibitishwa na kuwa na
leseni za biashara zao na
wanalipa kodi ya biashara
zao, na kwa kuwa waganga
wa mahospitalini nao
kadhalika wanatambuliwa
na serikali kwa leseni zao
au ajira zao na wanalipa
kodi kwa serikali, kuna
haja kwa serikali kwa
makusudi kabisa, kufanya
ukaguzi wa kina kwa
waganga wa kienyeji.
Wa l e
a m b a o
wa t a b a i n i k a k u f a n ya
shughuli zao bila
kuthibitishwa na kazi
zao kutambuliwa na hata
kusajiliwa kwa maana
ya kupewa leseni na
serikali, basi hao wapigwe
marufuku kufanya kazi
zao hizo.
Kwa mtindo huu,
u t a s a i d i a k u wa b a i n i
wababishaji na washirikina
BARAKA Cosmas, anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa ameponea
tundu la sindano kuuawa na watu wasiojulikana, baada ya kukatwa kiganja cha
mkono nyumbani kwao.
wanyama," amenukuliwa
vinakwenda kuuzwa nchi
wa t o t o wa o wa e n d e
msemaji wa chama hicho
jirani ya Tanzania. Taarifa
shule kwani hawajui
kinachotetea haki za albino
ya DW inafafanua zaidi
kama watarudi salama
wapatao 10,000 wanaoishi
kwamba nchini Malawi,
a u k a m a wa t a t e k wa .
Malawi akisema.
serikali imepiga marufuku
Ta k w i m u z i n a e l e z a
Ta a r i f a k u t o k a
shughuli za waganga wa
kwamba tangu mwaka
Malawi zimeeleza kuwa
kienyeji, kwani wao ndio
2000, Albino wapatao
mwanamke mmoja
wanasadikiwa kuwaagiza
70 wameuliwa nchini
alikutwa amekufa, kichwa
wateja wao wawaletee
Tanzania. Inaripotiwa
chake, miguu na mikono
viongo vya albino.
kuwa jijini Dar es Salaam,
ikiwa imekatwa. Mbali na
Wanaharakati wanasema
viungo vya albino mmoja
kufanya upelelezi kuhusu
b a a d a ya s e r i k a l i ya
vinafikia bei ya hadi dola
visa vya mauaji, polisi
Ta n z a n i a k u a n z i s h a
za Kimarekani 75,000
nchini humo inawatafuta
kampeni ya kudhibiti
ambazo ni sawa na karibu
albino wengine ambao
mauaji ya albino, wahalifu
shilingi milioni 140 za
hawajulikani walipo.
sasa wamehamia Malawi.
Kitanzania. Taarifa hiyo
I n a a m i n i k a k wa m b a
Wazazi wa watoto wenye
imebainisha kwamba
viungo vya watu wenye
ulemavu wanaeleza
Albino wako hatarini
ulemavu wa ngozi
kuogopa hata kuwaruhusu
kwenye nchi nyingi

a m b a o wa n a s a b a b i s h a
wenzetu albino wateketee
kutokana na maagizo
ya hovyo na potofu kwa
wananchi, ambayo msingi
wake ni kuvunia hela bila
kujali utu.
Lakini la msingi zaidi,
Watanzania wabadilike.
Mafanikio ya haki ni
matokeo ya fikra, mipango,
jitihada, kujituma, dhamira

ya dhati, kujiamini na
kutokata tamaa. Tusitaraji
kupata mafanikio ya haki
kwa tamaa na haraka na
kwa muda mfupi bila
jasho, wala tusitaraji
kufanikiwa kwa kuamini
na kutegemea njia za
shirki na za kudhulumu
nafsi za wengine hata
kuifanya Tanzania kuwa
nchi ya laana.

AN-NUUR

20

MAKALA

20

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Soma gazeti la AN-NUUR


AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 13-19, 2015

Watuhumiwa wa ugaidi wapata wakili Rushwa


sababu
kuu ya
kuongezeka
ujangili
Tanzania
Na Bakari Mwakangwale

KUNDI la Waislamu
wanane kutoka
Visiwani Zanzibar
wanaotuhumiwa kwa
Ugaidi, katika Mahakama
ya Kisutu Jijini Dar es
Salaam, wamepata Wakili
kutoka Star Chambers
Advocates.
Wa t u h u m i w a h a o
kwa muda mrefu
walikuwa hawana
Wakili, sasa watatetewa
na Wakili Mohammed
Tibanyendera, kutoka Star
Chembers Advocates ya
Jijini Dar es Salaam.
Wakili huyo katika
kesi hiyo ya Suleiman
Othman Maulid na
wenzake saba, yenye
namba 41 ya 2014, alianza
kuonekana Jumatatu
ya Machi 9, 2015, siku
ambayo kesi hiyo ilitajwa
kwa mara nyingine katika
Mahakama ya Kisutu.
Hata hivyo, Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu,
iliahirisha kesi hiyo mpaka
Jumatatu ya Machi 23, 2015,
ambapo itarudi kutajwa
kwa mara nyingine tena
Mahakamani hapo.
Akiongea na An
nuur, Katibu wa Kamati
ya Maafa ya Shura ya
Maimamu, Ustadhi
Ally Mbaruku, alisema
kuwa siku hiyo (Machi
23,2015) Mahakamani
hapo pataunguruma kesi
zingine zinazowakabili
Waislamu, wanaosota
rumande kwa tuhuma za
Ugaidi.
Ust.
Mbaruku
anayefatilia kwa karibu
kesi hizo za Waislamu,
alizitaja kuwa ni kesi ya
Ustadhi Jihadi Gaibuni,
Mussa Haruna Lugeye na
Mkewe.
Wengine ni Ustadhi Ally
Nassoro Swala pamoja na
Ustadhi Juma Zuberi.
Alisema, kesi ya Sheikh
Farid na wenzake itakuwa
Machi 18,205 na Machi
16, 2015, itakuwa siku
ya kusikilizwa kesi ya
Imamu Ally Athumani
wa Tegeta, Jijini Dar es
Salaam, katika Mahakama
hiyo ya Kisutu.
Aidha, Katibu
Mbaruku, pia alizitaja
kesi zingine za Waislamu

BAADHI ya watuhumiwa wa kesi ya ugaidi kutoka Zanzibar wakiwa mahakama


ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam. (Picha kutoka Maktaba yetu)

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiongea na wakili wake.


wanaotuhumiwa kwa
ugaidi, zilizopo mikoani
kuwa ni kesi ya Imamu
Hamza wa Jiji Mwanza,
itakayo tajwa machi 23,
2015, katika Mahakama ya
Wilaya Mwanza.
Ambapo, Mjini
Morogoro, Machi 20,
2015, Mahakama ya Mjini
humo itasikiliza kesi ya

uchochezi inayomkabili
Katibu wa Jumuiya na
Ta a s i s i z a K i i s l a m u ,
ambapo Mawakili
wa Sheikh Ponda,
wataendelea na utetezi
wao.
Pia alisema, Jijini
Arusha, Ijumaa ya Machi
13, 2015 (leo) itakuwa
ni siku ya kutajwa kwa

kesi ya tuhuma za ugaidi


inayowakabili Waislamu
takriban 60, wakiwemo
Imamu Hambari, Sheikh
Mustapha Kihango
pamoja na Sheikh Abdulazizi Shaban.
Kesi hiyo ina zaidi
ya miezi sita, upelelezi
haujakamilika na Wislamu
hao wapo rumande.

RIPOTI mpya iliyotolewa


Jumatatu wiki hii kuhusu
sekta ya wanyama pori
nchini imeonesha kuwa
rushwa ndio sababu kuu ya
kuongezeka kwa matukio
ya ujangili Tanzania.
Ripoti hiyo imetolewa
baada ya utafiti uliofanywa
na Mtandao wa Shirika
lisilo la Kiserikali la Arusha
ANGONETI, likishirikiana
na KEPA, Jukwaa la Shirika
lisilo la Kiserikali la Finland.
Aidha baadhi ya maofisa
wa huduma za wanyama
pori wamehusishwa na
vitendo vya ufisadi katika
ripoti hiyo.
Mmoja wa watafiti Bi.
Joanita Mlay, alisema kuwa
watu wengi walioulizwa
wakati wa mchakato wa
kufanya utafiti huo, walieleza
kuwa wawindaji haramu
wa m e k u wa wa n a t o z wa
faini ndogo na kwa upande
mwingine, wanajamii wa
kawaida wanaohusika na
makosa madogo wakitozwa
faini kubwa.
Aidha alibainisha
kwamba hata katika baadhi
ya k e s i a m b a z o t a ya r i
zimeshafikishwa katika
mahakamani kuhusu
kadhia hii ya uwindajio
haramu na ujangili,
z i m e k u wa z i k i f a n y i k a
katika wakati mgumu, hasa
pale mahakama inapotoa
dhamana kwa watuhumiwa
kwa mujibu wa sheria.
Alise watuhumiwa
wa n a p o p a t a d h a m a n a ,
wanapata muda wa kutosha
kuingilia kesi kupitia rushwa
n a m a t o k e o ya k e k e s i
hutupiliwa mbali. (DW).

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    От Everand
    Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    Рейтинг: 1 из 5 звезд
    1/5 (1)
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    От Everand
    Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    Рейтинг: 3 из 5 звезд
    3/5 (1)
  • Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    От Everand
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Оценок пока нет
  • Wale ambao ni Wajinga
    Wale ambao ni Wajinga
    От Everand
    Wale ambao ni Wajinga
    Оценок пока нет
  • Wale Wanaojifanyisha
    Wale Wanaojifanyisha
    От Everand
    Wale Wanaojifanyisha
    Оценок пока нет
  • Sanaa ya Kufuata
    Sanaa ya Kufuata
    От Everand
    Sanaa ya Kufuata
    Оценок пока нет
  • Mmoja Wenu Ni Shetani
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    От Everand
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Nyuma Ya Pazia
    Nyuma Ya Pazia
    От Everand
    Nyuma Ya Pazia
    Оценок пока нет
  • Wengine...
    Wengine...
    От Everand
    Wengine...
    Оценок пока нет
  • Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    От Everand
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Рейтинг: 3.5 из 5 звезд
    3.5/5 (2)
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La ANNUR
    Gazeti La ANNUR
    Документ12 страниц
    Gazeti La ANNUR
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1151
    Annuur 1151
    Документ16 страниц
    Annuur 1151
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 114
    Annuur 114
    Документ12 страниц
    Annuur 114
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1091
    Annuur 1091
    Документ16 страниц
    Annuur 1091
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1056 PDF
    Annuur 1056 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1056 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1041
    Annuur 1041
    Документ12 страниц
    Annuur 1041
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1065
    Annuur 1065
    Документ12 страниц
    Annuur 1065
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1165
    Annuur 1165
    Документ20 страниц
    Annuur 1165
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1161 PDF
    Annuur 1161 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1161 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1119
    Annuur 1119
    Документ16 страниц
    Annuur 1119
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1114
    Annuur 1114
    Документ16 страниц
    Annuur 1114
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1172 PDF
    Annuur 1172 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1172 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1040
    Annuur 1040
    Документ12 страниц
    Annuur 1040
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1154
    Annuur 1154
    Документ16 страниц
    Annuur 1154
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1059
    Annuur 1059
    Документ16 страниц
    Annuur 1059
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1102
    Annuur 1102
    Документ12 страниц
    Annuur 1102
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1062
    Annuur 1062
    Документ16 страниц
    Annuur 1062
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1028
    Annuur 1028
    Документ16 страниц
    Annuur 1028
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    От Everand
    Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    Оценок пока нет
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Документ20 страниц
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет