Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1168 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 13-19, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Ukweli mchungu:
Mwaka wa Maamuzi:
Na Mwandishi Wetu
HALI ya sintofahamu
i l i t a wa l a n d a n i ya
Kikao cha Baraza la
Wawakilishi juzi.
Hata hivyo, ikiacha
kilichokusudiwa
ambayo ni sheria ya
Inaendelea Uk. 8
Tahariri
AN-NUUR
AN-NUUR
Habari
AN-NUUR
Na Bakari Mwakangwale
haujazoeleka kwa
Waislamu na viongozi
husika, hivyo inavyotokea
mabadiliko hunadiwa
kundi fulani la Waislamu
wanateka Misikiti.
Alisema Amir Kundecha.
Alihoji kuwa dhana hiyo
hiyo ya utekaji wa Misikiti,
hivi ukikilinganisha
Mtambani ile kabla ya
mabadiliko ya uongozi na
huu wa sasa hali ikoje?,
Alisema matunda
yanayopatikana sasa ni
j i t i h a d a z a Wa i s l a m u
kujiletea maendeleo yao
kuanzia Misikitini, kwa
manufaa ya Waislamu na
Taifa na si dhana ya kuteka
Misikiti.
Amir Kundecha alisema
pamoja na kuwepo dhana
ya utekaji wa Misikiti na
misukosuko mbalimbali,
lakini leo matunda
yanaonekana Mivumoni
chini ya Masjid Mtambani
na imekuwa miongoni
mwa shule bora nchini.
Akianisha matokeo
ya kidato cha nne kwa
wanafunzi waliofanya
mtihani wa Taifa mwaka
jana, Amir Kundecha
ambaye pia ni muasisi wa
shule hiyo alisema, katika
matokeo ya mwaka jana
kidato cha nne shule hiyo
ilifaulisha kwa kiwango
cha daraja la kwanza
(Distinction) na la daraja
la pili (Merits) na kufuta
dhana kwamba Msikiti
huo ni wa Waislamu wenye
vurugu .
Amir Kundecha alisema
inawezekana baadhi ya
wa t u n a v i o n g o z i wa
serikali walikuwa na tafsiri
mbaya na Msikiti huo kwa
wakati ule, lakini akasema
hakuna ushahidi mzuri
kama ule utakaotolewa na
adui yako.
Akifafanua kauli yake
hiyo, alisema ikiwa
mwakilishi wa serikali
aliyefika katika shughuli
hiyo amekiri kuwa
Serikali inafurahishwa
na kuridhishwa na kazi
za kituo cha Mivumoni,
hadhani kama kuna mtu
ataibuka na kudai kuwa
wao (Masjidi Mtambani) ni
watu wa fujo.
Alisema ubora mwingine
wa shule hiyo umeanishwa
na Mkuu wa Shule hiyo
kwamba, vijana wa shule
hiyo hushiriki katika
shughuli za kielimu kitaifa
na kudhihirisha ni kwa
namna gani walivyo bora
kitaaluma na kinidhamu
AMIR wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Mussa Kundecha,
akiongea katika hafla ya kuwapongeza wahitimu wa kidato cha nne 2014 wa Shule
hiyo ya Kiislamu Mivumoni.
wa n a t e k a M i s i k i t i a u
wavuruga amani. Badala
yake itumie busara katika
kuzifanyia kazi taarifa hizo
kwani kinachoitwa utekaji
wa Misikiti ni mabadiliko
ya uongozi kuelekea katika
ufanisi, unaoendana na
hali ya wakati uliopo sasa.
Tu l i a n z a j i t i h a d a
za kuboresha Msikiti,
ulipokamilika tukaanzisha
jitihada za kufungua shule
ya awali, kisha shule ya
msingi na iliposimama
sawasawa, tukaanzisha
shule ya sekondari na leo
matokeo na mwenendo
wake ni kama inavyo
jieleza. Alisema
Kundecha.
Makala/Tangazo
AN-NUUR
kupingana vikali na
maoni yake ni mwandishi
wa BBC Swahili Bibi
Zuhura Younis, ambaye
alianza kwa kumpongeza
B wa n a H a m a d k wa
kuweza kuwasilisha
hoja za muungano na
katiba kutoka Zanzibar
bila kuonesha kuegemea
itikadi ya chama chochote
cha siasa. Mara baada ya
hapo Bi Zuhura alianza
kwa mjadala wenye
msisimko uliotosha
kuitwa mechi!
M AT C H O F T H E
DAY: Yussuf Hamad Vs
Zuhura Younis
Hoja: Alichokisema
Hamad ni kuwa
Zanzibar kiujumla
ilihitaji Muungano wa
mkataba. Akaongezea
kwa kusema kwamba
Wazanzibari walihitaji
katiba ambayo itaondoa
kero za muungano
ambazo zimekuwa
zikileta sintofahamu kwa
muda wa miaka zaidi
ya 40.
Akasema, kuwa
Wazanzibari wanahitaji
muungano wenye
k u f u a t a m i s i n g i ya
usawa, sio usawa wa
uwiano lakini usawa
wa maridhiano ya kila
maamuzi yanayofanywa
katika Muungano. Alitoa
mifano ya kero mbali
mbali za Muungano
kama vile mgao wa
Zanzibar wa mapato
katika muungano,
mapato, bandari, petrol
na mambo mengine
ambayo kwa kuongezwa
kwake yamekuwa
s a b a b u ya m g o g o r o
kati ya washirika wa
Muungano.
Bwana Hamad
alihitimisha kwa
kusema, Wazanzibari
hawaukatai Muungano
ila wanahitaji Muungano
wenye misingi ya usawa
na kuheshimiana. Na
kwa maana hiyo katiba
nzuri yenye maslahi
kwa Zanzibar ni ile
itakayotokana na misingi
ya usawa (Fairness)
baina ya washirika wa
Muungano. Pia alisisitiza
kuwa, ili kuondoa kero
nyingi na migogoro ya
kikatiba isiyokwisha,
ni vyema kwa Tanzania
kuzingatia katiba yenye
kuzingatia matakwa ya
wananchi walio wengi
na sio inayosimamia
misingi ya kivyama, dini
wala kikabila.
Idadi ya wachangiaji
kutoka Zanzibar kwa
bahati mbaya ilikuwa
haizidi watu wanne
katika ukumbi. Kwa
maana hiyo, michango
mingi ilitokana na watu
kutoka Tanzania bara
a m b a o wa l i o n e k a n a
kukubaliana na mengi
yaliyozungumzwa
n a wa s e m a j e w o t e .
Pia walitoa michango
endelevu sana hata
kuhusu hoja za nafasi
ya Muungano na
Katiba kwa upande wa
Zannzibar.
Hata hivyo, Bi Zuhura
Yo u n u s , a m b a y e
ni mmoja kati ya
Wazanzibari wachache
waliohudhuria,
alipingana na karibu
hoja zote. Kwanza
alianza kwa kusema
k u wa Wa z a n z i b a r i ,
hasa wa upande
wa p i l i , wa m e k u wa
wakilalamikia
muungano kila
siku, kama kwamba
Muungano huo hauna
jema lolote kwa Zanzibar.
Pamoja na hilo
akaongezea kuwa kero
ziko lakini ni ndogo
ndogo sana na akasisitiza
kuwa mgao wa asilimia
4.5% wanaopatiwa
Zanzibar ni sahihi kwa
sababu Zanzibar ni nchi
ndogo sana kiidadi ya
watu ukilinganisha na
idadi ya watu walioko
bara. Kwa hiyo hakuna
h a j a ya k u l a l a m i k a
lamika.
Bi Zuhura aliisuta
kauli ya Bwana Hamad
kuhusu mafuta akisema,
Zanzibar hakuna mafuta
kamwe na kwa maana
hiyo hakuna haja ya
kujenga m l i m a kwa
kichuguu cha sisimizi
kwa kitu ambacho hakipo
kabisa. Akihitimisha
maoni na michango
yake, Bi Zuhura alidai
kuwa katiba iliyopo
inaifaa sana Zanzibar
na inalekea kwamba
malalamiko makubwa
ya katiba yanatokana
na kelele za wapinzani
ambao ni sehemu tu ya
wananchi wa Zanzibar
ambao nusu ni CCM na
nusu ni CUF kiujumla.
A l i p o p e wa n a f a s i
ya majumuisho
na kufafanua hoja
alizozisema na zile
zilizochangiwa, Hamad,
alianza kwa kusema
kuwa kumekuwa na
dhana iliyojengwa
kwa
makusudi
ili kuwadunisha
wa t u f u l a n i k u t o k a
u p a n d e f u l a n i k wa
kuwahukumu kisiasa
isivyo haki na kukana
hoja zao kwa misingi
hiyo. Alitoa mfano kwa
kusema, katika mijadala
kama hii, wasemaje
w e n g i wa n a p o s i k i a
anayezungumza
ni Mzanzibari au
Mpemba, basi huyo
huitwa Mpinzani
wa m u u n g a n o h a t a
ikiwa mtu huyo hana
mfungamano na chama
chochote.
Alifafanua pia kwa
kusema kwamba
baadhi ya wanasemina
walimfahamu vibaya
alipozungumza neno
Fair wakidhani
alimaanisha equality.
Kwa ufupi alichokusudia
kusema ni kuwa kuwe na
msingi ya haki na usawa
katika kufanya maamuzi
ya mambo ya muungano.
Moja kati ya mambo
hayo ni kuwashirikisha
wananchi wa pande
zote mbili kwa msingi
ya ukweli na uwazi.
Alihitimisha kwa
kusema kwamba
Katiba yenye kujali na
kusikiliza maoni huru ya
wananchi walio wengi,
ndio suluhisho moja la
migogoro inayoweza
kuunusuru Muungano
wa Tanzania.
(Makala kutoka
Mtandao wa Kijamii,
Mzalendo)
Habari za Kimataifa/Tangazo
AN-NUUR
za binadamu katika
tukio hilo la kuuawa
kwa kijana Michael
Brown.
Haukupita muda,
kijana mwingine
mweusi naye alipigwa
risasi na polisi na kufa
katika kituo cha mafuta,
ikiwa ni maili chache tu
kutoka
eneo
Shule za New
York kufungwa
Sikukuu za Eid
alilopigwa risasi na
polisi na kufa Michael
Brown huko Ferguson,
Missouri, Marekani.
Kijana
huyo
alitambuliwa na
mama yake mzazi
kuwa anaitwa Antonio
M a r t i n 1 8 , a m b a ye
aliuawa kwenye kituo
cha mafuta cha Mobil,
kaskazini mwa barabara
ya Hanley majira ya saa
saba usiku.
Kufuatia matukio
hayo, polisi walijikuta
wakipambana na watu
wenye hasira ambapo
katika vurugu hizo
watu kadhaa walitiwa
nguvuni.
Uhasama baina ya
maofisa wa polisi na
watu weusi umeonekana
kuota mizizi ambapo
baadae polisi mmoja
naye aliuliwa nchini
humo. (VOA).
Utawala wa Kizayuni
u m e k u wa u k i d a i k u wa
ukuta huo ulijengwa kwa
lengo la kuweka usalama,
hata hivyo viongozi wa
Makala
AN-NUUR
Na Mohammed Ghassani
kwamba alikuwa
anapokea amri mbili
k wa wa k a t i m m o j a
moja kutoka kwa
Ceauescu aliyekuwa
akipigania utawala wake
na nyengine kutoka
kwa umma uliokuwa
umechokana naye.
Akachagua kufuata
amri ya umma.
Kuelekea uchaguzi
mkuu wa 2015
visiwani Zanzibar ni
kama kwamba tayari
mstari umeshachorwa
na watawala na
wameshaamua wapi lipo
chaguo lao, kwa upande
mmoja, na wananchi
nao wameshaamua lao,
kwa upande mwengine.
Mstari huo unaochorwa
kati ya pande mbili
zinazoongoza serikali
moja ya Umoja wa Kitaifa
visiwani Zanzibar una
maana kubwa sana kwa
mwenendo wa mambo
n d a n i ya Ta n z a n i a
n z i m a k wa u j u m l a .
Chama cha Mapinduzi
(CCM), ambacho
ndicho mshirika mkuu
k we n ye S e r i k a l i ya
Umoja wa Kitaifa na
hivyo chenye nguvu ya
kikatiba kuongoza nchi
kwa sera na programu
yake kimeamua
kungangania bunduki,
vifaru na mizinga.
Kila siku iendayo kwa
Mungu kinasema wazi
kuwa kinategemea
njia moja tu kusalia
kuongoza nchi nguvu
za vyombo vya dola na
mawakala wao.
Kinasema hivyo
kupitia ngazi zake zote za
uongozi wa chini, kati
na hata wa juu. Msikilize
Asha Bakari Mtama,
kwa mfano, ambaye ni
Naibu Mwenyekiti wa
Umoja wa Wanawake
wa CCM ngazi ya taifa,
akirejelea kauli ile ile ya
kila siku kuwa serikali ya
Zanzibar haitapatikana
kwa kupiga kura.
Nasema na nitarudia
tena na siogopi
kusema, serikali hii ni
ya kimapinduzi sio ya
mchezo. Hawawezi,
hawawezi, hawawezi
kutupindua.
Anasema Asha Bakari
kwenye mkutano wake
wa hadhara wa mikoa
m i w i l i ya k i s i wa n i
Pemba mapema mwaka
2014. Kauli kama hii
ameshaitoa mwahala
mwingi, mukiwemo
kwenye Bunge Maalum
l a K a t i b a m b e l e ya
aliyekuwa Mwenyekiti
wa Bunge hilo, Samuel
Sitta.
Kauli kama hii pia
h u r e j e l e wa k we n ye
mikutano mengine
kadhaa ya CCM, hasa
v i s i wa n i Z a n z i b a r .
Marehemu Salmin
Awadh, aliyekuwa
mwakilishi wa jimbo
la Magomeni na
mnadhimu mkuu wa
CCM, aliwahi kufika
u m b a l i wa k u s e m a
kwamba vifaru vya jeshi
vitatumika kuilinda
CCM madarakani.
Sasa wao (wapinzani)
k a m a wa n a u b a v u ,
basi wachukuwe
(serikali). Lakini
hatutotoa (madaraka ya
kuongoza serikali) kwa
kura. Mutapiga kura
katika chaguzi zote, na
Chama cha Mapinduzi
kitashinda.
Hakuna kiongozi
yeyote wa juu wa CCM,
si wa Zanzibar wala
wa Ta n z a n i a B a r a ,
aliyewahi kujitokeza
kuwakemea wana-CCM
hawa wanaoyasema
haya majukwaani, na
n a wa s i t o we k we l i
umepita, kwani zama
za mageuzi hazizuiliki.
Wa n a t a ya r i s h wa
kuitetea na kuilinda
Z a n z i b a r k wa k u r a
zao na kuiamini kura
kuwa ndio njia pekee
ya kupata madaraka ya
nchi.
N i b a h a t i m b a ya
s a n a k wa m b a b a d o
CCM makao makuu
Chimwaga inadhani
kuwa njia pekee ya
kuidhibiti Zanzibar
ni kupitia khofu na
wa s i wa s i m i o n g o n i
mwa raia, na kwamba
hilo litakuwa na athari
kwa Zanzibar pekee
katika wakati ambapo
upinzani dhidi ya CCM
hiyo hiyo ni mkubwa
zaidi pia huko Bara,
huku ukisaidiwa sana
na kashfa za kifisadi na
ukosefu wa usalama.
Lakini bahati
mbaya zaidi ni kwa
wana-CCM ndani ya
Zanzibar yenyewe
ambao hawajangamua
kuwa anguko la
Ceauescu wa Romania
linawanyemelea na wao.
Hikima ya kujifunza
inawataka wauangalie
uhalisia. Vifaru
vinaendeshwa na watu.
Mizinga inafyatuliwa
na watu. Na ni watu pia
wanaodai mabadiliko.
Makala
AN-NUUR
Na Finian Cunningham
ya uvamizi wa Marekani
nchini Irak mwaka 2003
hapakuwa na kitu kama
makundi ya Al Qaeda
katika eneo hilo la dunia.
Miaka kumi baadaye,
maeneo makubwa ya nchi,
ikiwa ni pamoja na mji
mkuu wa pili wa Mosul,
sasa iko katika mikono ya
Mujahidina hao.
Marekani na washirika
wake wa Kiarabu katika
Ghuba ya Uajemi, Saudia
na Qatar, wamekuwa
mstari wa mbele kuinua
makundi ya Al Qaeda
katika vita ya kutumia
mamluki kubadili utawala
nchini Syria katika miaka
minne iliyopita. Mabilioni
ya fedha zinazotokana na
mauzo ya mafuta zilijazwa
nchini Syria kuinua itikadi
ya vikundi hivyo nchini
Syria, katika nyanja za
elimu na jamii kwa jumla,
ambako ndiko IS imeinuka
na kuwa kundi lenye
nguvu zaidi ya mengine
yote.
Jambo hili wanakiri
wakuu husika, kwa
mfano watu wawili
muhimu waliokiri hivyo
wiki iliyopita. Kamanda
wa zamani wa majeshi
ya NATO na Marekani,
Jenerali Wesley Clark,
aliviambia vyombo vya
habari nchini Marekani
kuwa washirika wa
Kiarabu wa Marekani
ndiy o wan aowajibik a
kwa kuunda mtandao wa
kigaidi wa IS.
Halafu Lakhdar
Brahimi, aliyekuwa
mjumbe wa Umoja wa
Mataifa na Umoja wa Nchi
za Kiarabu nchini Syria,
akaweka kando itifaki ya
kidiplomasia na kusema
wa z i k u wa M a r e k a n i
n d i y o i n a h u si k a k wa
kukua kwa IS kutokana na
uvamizi wa Irak muongo
mmoja uliopita. "Marekani
ni ya kulaumiwa. Ilijenga
mazingira yaliyowezesha
ISIL kukua," alisema
Brahimi katika mahojiano
na gazeti la Al Hayat, moja
ya magazeti makubwa ya
kimataifa ya Kiarabu, lenye
makao yake makuu nchini
Uingereza na kuchapishwa
London, Beirut, New York
na Riyadh.
Kwa sababu za kimbinu
za kuzuia zimwi la kiFrankenstein au kwa ajili
ya kuboresha mahusiano
yake kijamii, Marekani
na washirika wake wa
NATO wanaweza kuwa
wameanza kuidondoshea
mabomu IS katika miezi
ya hivi karibuni. Lakini
bado hakuna uwezekano
wa kukwepa uhalisi kuwa
tatizo la siasa kali ya
Uislamu katika Mashariki
ya Kati ni matokeo ya vita
ya kibeberu ya Marekani
katika eneo hilo.
WAPIGANAJI wa IS.
Wimbi la hivi karibuni
la utekaji nyara na mauaji
d h i d i ya wa - A s h u r u
Wa k r i s t o i n a d h a n i wa
imechangiwa na dhana
ya k u l i p a k i s a s i k wa
upigaji mabomu wa Irak
na Syria ukiongozwa na
Marekani. Uvamiaji na
ukaliaji wa Marekani
nchini Afghanistan
n a I ra k k in y u me ch a
sheria , upigaji mabomu
nchini Pakistan, Yemen
na Somalia, pamoja na
kuchochea vita ya makundi
ya kulipwa nchini Libya na
Syria, yote yana uhusiano
wa karibu na kuongezeka
kwa makundi ya kigaidi ya
aina ya Al Qaeda. Hivyo,
inabidi iwe wazi kuwa
sera ya Marekani katika
eneo la Mashariki ya Kati
ndiyo hasa chanzo cha
tatizo hilo.
Bado hata hivyo
Rais Barack Obama
a n a e n d e l e z a h i s i a ya
kujidanganya kuwa yeye
na washirika wake wako
8
Na Mwandishi Wetu
HALI ya sintofahamu
i l i t a wa l a n d a n i ya
Kikao cha Baraza la
Wawakilishi juzi.
Hata hivyo, ikiacha
kilichokusudiwa
ambayo ni sheria ya
kura ya maoni ikiwa
imeridhiwa.
I l i k u wa n i k a t i k a
kuwasilishwa hoja ya
k u r i d h i wa k u r a ya
maoni ambapo baadhi
ya wajumbe walipinga
wakisema kuwa haina
masilahi na Zanzibar.
M v u t a n o u l i k u wa
baina Spika na Mh.
Jussa aliyetaka hoja hiyo
isiridhiwe kwa sababu
tayari Katiba ya Zanzibar
imeshaitangulia Sheria
hiyo na imeshaweka
masharti ya kura ya
maoni Zanzibar.
Jussa akitilia nguvu
hoja yake akasema kuwa
Baraza limeshawahi
kukataa mambo ya aina
hio kwa mambo yasiyo
na maslahi na Zanzibar.
Amesema sheria ya
kura ya maoni na sheria
ya mabadiliko ya katiba
ni vitu viwili tofauti.
Inahitaji kujadiliwa
Makala
AN-NUUR
la Wawakilishi baada ya
kuonekana kuwa hayana
masilahi na Zanzibar,
vipi la kura ya maoni
linazuiwa kujadiliwa?
Ilikuwa ni hoja
iliyokosa majibu
kutoka kwa Spika na
Mwanasheria Mkuu wa
Serikali.
Kukosekana kwa
majibu muafaka,
kulifanya kiti kushikilia
hoja ya kuuliza kuwa
jambo hilo limeungwa
mkono.
Na kwa utaratibu ni
Mwanasheria Mkuu
kutoa hoja ya kuridhia.
Hata hivyo, ilikuwa
ni ndani ya makelele
na sintofahamu
mara ikasemwa hoja
imeungwa mkono.
Wa k a t i k e l e l e
zikiendelea, Mawaziri
n a M a n a i b u Wa z i r i
wanaotokana na CUF
wakiwa wametoka
kuashiria kutounga
mkono.
Kuona hali hiyo,
Waziri wa Sheria Bwana
Abubakar Khamis
Bakary alisimama
kuomba kutoa maelezo,
hata hivyo hakupata
nafasi. Naye akaamua
kutoka.
KUMBUKUMBU ya hivi
k a r i b u n i ya m i a k a 7 0
ya k u k o m b o l e wa k wa
Au s c h w i t z i l i k u wa n i
kumbushio la uovu mkuu
wa u f a s h i s t i , a m b a k o
yaliyotendwa na wafuasi wa
kundi la Nazi (Ujamaa wa
kitaifa nchini Ujerumani)
umebaki katika hisia za
dunia. Ufashisti umetunzwa
kama historia, kama mkanda
unaochomoza wa magwanda
m e u s i k a t i k a g wa r i d e ,
u o v u wa o u l i o k u b u h u
ukiwa hauna ubishi. Hata
hivyo katika jamii hizo
hizo za kiliberali, ambazo
watawala wake wafanya vita
wanatuhimiza tusisahau
kamwe, kuongezeka kwa
hatari ya ufashisti wa kisasa
kunakandamizwa, kwani ni
ufashisti wao.
"Kuanzisha vita ya
uchokozi...." walisema majaji
wa jopo la Nuremberg mwaka
1946, "siyo tu ni jinai ya
kimataifa, ila ndiyo jinai kuu
ya kimataifa, ikitofautiana
na jinai nyingine kwa hali ya
kuwa inaweka ndani yake
uovu wote uliolimbikizwa."
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Na Shaban Rajab
U V I V U n a t a m a a ya
kupata mafanikio bila
jasho, kwa kiasi kikubwa
kumejenga hulka kwa
wa t u k u t a k a k u p a t a
utajiri wa haraka. Tamaa
hiyo ya utajiri wa haraka,
i m e wa c h o c h e a wa t u
kutafuta njia mbadala na
rahisi ikiwa ni sehemu
ya jitihada za kufikia
mafanikio ya mapema
wanayoyataka. Wengine
wamekuwa wakifanya
mauaji na kunyanganya
wenzao mali zao,
wengine wametumia njia
za utapeli na wapo ambao
wamediriki kuua mwenye
nacho na kukichukua kile
alichokitaka na kukifanya
chake. Hata hivyo, wengi
wamekuwa wakitumia
njia za kishirikina kufikia
malengo yao ya kutajirika
haraka au kupata vyeo
au uongozi, wengine
wakiwa ni matajiri lakini
kwa sababu ya tamaa na
kutotosheka, wanajikuta
wakiingia kwenye shirki
wakitaka watajirike zaidi.
Pia ipo dhana kwamba
watu mara nyingi
hulazimika kuingia
katika shirki kwasababu
ya matatizo ya maradhi
au taabu tu za maisha
na masuala ya mapenzi.
Lakini jinsi hali ilivyo
kwa Watanzania wengi,
vibanda vya waganga wa
kienyeji hushehenezwa
n a wa s a k a u t a j i r i n a
mafanikio. Kudhihirisha
kukolea ushirikina maeneo
mengi hususan katika
maeneo ya miji, ni vigumu
kutembea mwendo mrefu
bila kukutana na kibao
kinamtangaza mganga
wa kienyeji. Baadhi ya
waganga wa kienyeji nchini
wamegeuza matatizo ya
Watanzania kuwa mitaji
yao ya kujipatia mamilioni
ya f e d h a k wa m a d a i
kwamba wanawapatia
tiba ya matatizo yao.
Lakini kwa wakati huo
huo wanaokwenda huko,
nao wanaamini kuwa
waganga hao watawaletea
m a f a n i k i o m a k u b wa
kimaisha, kama kupata
utajiri kwa njia ya mkato
na wengine wakitumaini
kuongeza utajiri walio
nao.
Moja ya uthibitisho wa
kwamba huduma hiyo
haramu huwapatia fedha
zimeanza kuathirika na
mauaji ya watu wenye
albinism, na soko kubwa
la viungo vya albino hao
wanauliwa katika nchi
hizo za jirani ni Tanzania.
Hatua hii inadhihirisha
kwamba hivi sasa Tanzania
imekuwa Hub kubwa
ya biashara ya viungo
vya watu wenye albinism
katika ukanda huu wa
Inaendelea Uk. 19
10
Makala
AN-NUUR
Ukweli mchungu:
MUHAMMED Marwa
Kiarabu, kama watu
waliosilimu wakasome
Uislamu na lugha ya
Kiarabu, halafu wakirudi
watumike kuchafua
Uislamu na kupandikiza
kutokuelewana na
machafuko miongoni
mwa Waislamu kutokana
na fikra potofu watakazo
zipandikiza. Prof. Ojobi
anasema wakati akiwa
ni mmoja wa vijana wa
Kikristo waliokuwa
wakisomea theolojia,
anakumbuka vijana
watano waliteuliwa
kwenda kusoma Sudan.
Hata hivyo anasema,
katika hao vijana watano,
watatu walikataa kurejea
Nigeria, wakasalia Sudan
wakiishi huko wakiwa
Waislamu. Aliwataja
waliorejea ili kutekeleza
kazi waliyoandaliwa
kuifanya kuwa ni
M u h a m m a d M a r wa
n a B i r e m a . M a r wa
alipelekwa kufanya kazi
Kano, wakati Birema
alipelekwa Niamey,
Niger.
Professor Dauda
Ojobi, aliwahi kuwa
Katibu wa chama cha
Wa k r i s t o N i g e r i a Northern Christian
Association of Nigeria
(CAN), na Profesa wa
Sheria (Law sio Shariah)
katika Chuo Kikuu cha
Benue (Benue State
U n i ve r s i t y ) . A i d h a ,
alikuwa ndiye mtu wa
tatu kupata cheo cha-
11
Makala
AN-NUUR
Kutokana na maneno
hayo ya laana akiyakariri
mara kwa mara, ndio
akaitwa Mai Tatsine,
ikiwa na anayelani,
mtoa laana (he who
curses, the one with
curses or the one who
curses.)
Akikusanya vijana
kutoka kada za chini,
wasio na ajira maalum
na wachache wa elimu,
aliwajaza chuki na hasira
za kumchukia kila asiye
kuwa katika wao na
kuwajenga kuwa tayari
kuuwa na kufa kwa ajili
ya kumtetea kiongozi
wao na salafia yao.
Baada ya mafunzo
hayo ya awali, alikuja
na maelekezo mengine
kwamba ardhi na mali ya
kafiri, unaweza kuipora
t u . K wa h i y o , h a t a
ukitaka kujenga nyumba
hakuna kuomba kiwanja
serikalini au kujali ni
cha nani kama mwenye
nacho sio katika kundi
lao.
Hilo lilipokubalika
akaja na jingine, kwamba
watu wote wanaosoma
Hadithi au vitabu
vingine vya dini baada
ya Quran ni makafiri.
Kitabu ni Quran tu.
Hakuna Katiba ya
nchi wala Hadithi
za Mtume (s.a.w).
Anayefuata Hadith, ni
mtu wa motoni. Vijana
wakaamini na wafuasi
wakazidi kuongezeka.
Alipofikia hapo,
baadhi ya Masheikh
wakaanza kuwaeleza
watu kuwa huo sio
Uislamu ni ukafiri na
kwamba Mohammad
Marwa sio Muislamu.
Haraka haraka Marwa
akenda kuhiji. Akawa
sasa Alhaj Muhammad
Marwa. Akazidi kupata
wafuasi.
Hata hivyo, Masheikh
walizidi kuwa na
wasiwasi kuwa
M u h a m m a d M a r wa
alikuwa Muislamu feki.
Pamoja na wasiwasi
huo, aliyekuwa Amir
wa Kano, Sheikh Sanusi
akagundua kuwa
M u h a m m a d M a r wa
a . k . a M a i Ta t s i n e
alikuwa akipokea vitu
mbalimbali kutoka
Vatican. Akamtimua
Kano kwenye miaka
ya 1960s. Hata hivyo
akarejea tena Kano
mwaka 1979.
Ili kuwadhibiti wafuasi
wake, aliwakataza
kuswali misikiti
mingine, wasijadiliane
na watu na akiwataka
waishi katika vijiji vyao
pekee, kama ilivyokuwa
kule Madina, Kilindi.
Kijiji maarufu cha watu
hawa Maitatsine kule
Nigeria kilikuwa Yan
Awaki, Kano, wakiwa
na utawala wao usiojali
kama kuna serikali wala
mamlaka yoyote nje ya
Bulumkuttu, karibu
na Maidaguri ambapo
Oktoba 1982 walianzisha
vurugu tena, watu 3000
wakauliwa. Mauwaji kama
hayo yalitokea tena Yola
mwaka 1984 wakiuliwa
watu 1000 huku nusu ya
nyumba za wakazi 60,000
wa mji huo zikiteketezwa
kwa moto.
J a p o ya p o m a e l e z o
mengi kuhusu Alhaj
Mohammed Marwa
yakionyesha kuwa alikuwa
Muislamu tu aliyepotoka,
katika ushuhuda wake
Professor Dauda Ojobi,
anasema kuwa alikuwa
Mkristo mpaka anakufa.
Marwa Maitatsine, was a
Christian until his death.
Anasema katika ushuhuda
huo.
Wakati Shehu Shagari
akiwa Rais Nigeria,
aliunda Tume kuchunguza
kadhia ya Maitatsine.
M i o n g o n i m wa wa t u
waliohojiwa na kutoa
maelezo ni Prof. Ojobi.
Inaelezwa kuwa Prof.
Ojobi alitoa maelezo yake
kwa Tume ya Rais ikibeba
jina la Anya Goru Panel,
na kueleza kisa cha wale
vijana Wakristo watano
waliopelekwa kusoma
Sudan ndio akapatikana
Mohammed Marwa
na Marwa Maitatsine.
Inaendelea Uk. 15
12
MAKALA
KONGAMANO LA UWAWAMWA
Penye dhulma, muhali amani kustakiri!)
Kalamu i mkononi, ukweli kuukashifu,
Japo mchungu moyoni, jarima kuukhalifu,
Masheikh sikilizeni, pamwe na Maaskofu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani itongoeni, kwa mizani adilifu,
Viongozi wambieni, ukweli pasi na hofu,
Huru utakuwekeni, kwa insi na kwa RAUFU,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani hapa nchini, imekuwa mausufu,
Si Bara si Visiwani, viongozi huisifu,
Kwa kauli za kinywani, vitendo iso sadifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ya mdomoni, kathiru 'ishatukifu',
Twataka ya matendoni, yenye tutumbi sharafu,
Ninyi hilo maizini, na wao muwaarifu,
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani itazameni, kwa uyuni yakinifu,
Mashekhe jihadharini, na wa fikara upofu,
Ushenga uepukeni, kuridhi 'Watakatifu',
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani ichungueni, kwa mapana na marefu,
Ukweli mtabaini, wenye nayo maarufu,
Muhali wao sijini, kuwekwa kwa uhalifu!
Penye dhulma muhali, amani kustakiri.
Amani gani ambeni, haswa mnoisharifu?
'Wasota' wenzenu 'ndani', dhamana si yao kufu!
Wangapi jiulizeni, 'lupango' Maaskofu?
Amani kustakiri, penye dhulma muhali.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.
AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
Rais Obama, "Benghazi, jiji
lenye ukubwa wa Charlotte,
lingeweza kugubikwa na
mauaji ambayo yangetikisa
eneo lote hilo na kuingiza
doa katika hisia za dunia."
Ni uwongo wa wapiganaji
wa Kiislamu waliokuwa
karibu ya kushindwa na
majeshi ya serikali ya Libya.
Waliliambia shirika la habari
la Reuters kuwa "kutakuwa
n a u m wa g a j i m k u b wa
wa damu, mauaji kama
yale tuliyoona Rwanda."
Ulipotangazwa Machi 14,
2001, uwongo huo ulitoa
i s h a r a ya k u a n z a k wa
jehanamu ya NATO, ambayo
Waziri Mkuu wa Uingereza
David Cameron alisema ni
"msaada wa kibinadamu."
Wa k i w a w a m e p a t a
mafunzo na kuwapa silaha
kwa siri na vikosi maalum
vya Uingereza SAS. wengi
kati ya 'waasi' wangekuwa
kama ISIS, ambao video yao
ya hivi karibuni inaonyesha
kuchinjwa kwa wafanyakazi
21 wa Kanisa la Coptic
(Kanisa Katoliki la Ulaya
Mashariki) waliokamatwa
Sirte, mji aliokulia Muammar
Gaddafi ulioharibiwa kwa
ajili yao na mabomu ya
NATO.
Kwa Obama, Cameron na
rais wa Ufaransa Francois
Hollande. jinai halisi ya
Gaddafi ilikuwa ni uhuru
wa uchumi wa Libya na
nia yake aliyoieleza ya
kuacha kuuza mafuta, nchi
yake ikiwa ni mzalishaji
wa kwanza Afrika, kwa
kutumia fedha za Marekani,
dollar. Fedha za mauzo ya
mafuta zinalundikwa kwa
dollar, ambao ni msingi
wa nguvu za kiuchumi za
Marekani. Gaddafi alikuwa
na mipango ya kuweka
fedha hizo kuwa msingi wa
fedha ya pamoja (sarafu) ya
Afrika ikiwa ina hazina ya
dhahabu ya kutosha, kuunda
Benki Kuu ya pamoja na
kuhamasisha muungano
wa kiuchumi miongoni
mwa nchi maskini zenye
hazina ya raslimali muhimu.
Kwamba hili lingefanikiwa
au la, mpango kama huo
ulikuwa haukubaliki kwa
Marekani wakati ikijiandaa
kuiweka kati Afrika na
kuzihonga serikali za Afrika
kwa "ushirikiano" wa kijeshi.
Baada ya shambulio la
NATO likijificha nyuma ya
azimio la Baraza la Usalama
(la Umoja wa Mataifa),
Obama, aliandika Garikai
Chengu, "alikamata dola
bilioni 30 kutoka Benki Kuu
ya Libya, ambazo Gaddafi
alikuwa ametenga kwa ajili
ya kuunda Benki Kuu ya
Afrika na sarafu ya dinari ya
Afrika ikiwa inakingwa na
hazina ya dhahabu."
" Vi t a ya m s a a d a wa
k i b i n a d a m u " d h i d i ya
Libya ilikuwa inafanana na
Itaendelea
13
AN-NUUR
MAKALA
Sukari ni kichocheo kikubwa zaidi cha Shinikizo la Damu (Hypertension) kuliko hata chumvi
'Punguza sana matumizi
ya chumvi, au ikiwezekana
wacha kabisa'!
Huu ni ushauri wa
kawaida kabisa unaopewa na
madaktari pale inapobainika
kuwa shinikizo lako la damu
liko juu kuliko inavyopaswa.
Shinikizo la damu
hupimwa katika ngazi mbili.
Ngazi ya kwanza ni shinikizo
la juu. Hili hutokea pale
misuli ya moyo inapokikaza
kusukuma damu iliyosheheni
oksijeni kutoka kwenye
mapafu kuisambaza mwilini.
Ngazi ya pili ni shinikizo
la chini. Hili hutokea pale
misuli ya moyo inapojiachia
kuruhusu damu irejee
kwenye mapafu ili kuachia
hewa chafu kutoka katika
seli za mwili - hewa ukaa itolewe ndani ya mwili
Shinikizo la juu la kawaida
la damu ni 110 - 120 mmHg;
na la chini la kawaida ni chini
ya 80 mmHg. mmHg ambayo
kirefu chake ni 'millimeters
of mercury' ndiyo kipimo
kinachotumika kwa kawaida
kuelezea kiwango cha
shinikizo la damu.
C h u m v i i n a t a b i a ya
kufyonza maji. Inapoingia
mwilini na kwenye
mzunguko wa damu
huvuta maji na kusababisha
ongezeko la wingi wa maji
kwenye damu. Ongezeko
hili hupelekea shinikizo
la damu kuongezeka. Hili
huwa ni ongezeko la muda
tu mpaka pale kiasi cha maji
kwenye mzunguko wa damu
k i t a k a p o p u n g u a . D a wa
za kifamasia za kushusha
shinikizo la damu hufanya
kazi kwa kuzingatia kanuni
hii. Dawa hizi hulazimisha
mhusika akojoe sana, kitendo
ambacho hushusha kiasi
cha maji kwenye mzunguko
wake wa damu.
Tofauti na chumvi ambayo
husababisha shinikizo la
damu kuongezeka kwa muda
mfupi tu, sukari hujenga
mazingira ya mwili kuwa na
shinikizo la damu la kudumu.
Unapokula sukari ya
mezani (sucrose), mchakato
ufuatao hutokea ndani ya
mwili. Molekuli ya sucrose
HERBAL IMPACT
P.O.BOX 70949, DAR ES SALAAM.
SIMU: 0754281131/0655281131
MOSQUE STREET, NO.1574/144, KITUMBINI DAR ES SALAAM (MKABALA NA MSIKITI WA SUNNI
1
DAWA
UGONJWA UNAOTIBIWA
HAIIBA DENTAL
GUARD
HAIIBA DENTAL
GUARD COMBO
Maumivu ya
meno
Maumivu ya
meno
HAIIBA IG
HAIIBA IG
COMBO
HAIIBA TIMAMU
TEA
Maumivu ya
viungo
Kusawazisha
Cholesterol
Uchovu
Kupunguza
kasi
ya
kuzeeka
Homa za mara
kwa mara
Harufu
kinywani
mbaya
Harufu mbaya
kinywani
Kujenga upya meno
yenye matundu
Magonjwa ya fizi
Kuhifadhi
mnyumbuko
wa ngozi
Kuimarisha
siha ya ngozi
Kupunguza shinikizo
la damu
Hupunguza madhara ya
kisukari cha ukubwani
Hukinga dhidi ya
uharibifu wa ini
Kupunguza uwezekano
wa kupata shambulio la
moyo (Heart Attack)
Hupunguza makali ya
maradhi ya kupoteza
k u m b u k u m b u
(Alzheimers disease)
Hukinga mapafu
yasipate makovu
U s a g a j i wa
c h a k u l a
tumboni
Kuimarisha
siha ya macho
Huboresha siha ya
mishipa ya fahamu
Huharakisha kupona
majeraha
M f u r o
(Inflammation)
Kusafisha ini
Kinga dhidi ya
saratani
Huongeza Alkali
mwilini
Kinga za mwili
Kuboresha
mzunguko
wa damu
Kuharibu seli
za saratani
z i l i z o k o
mwilini
Huzuia cholesterol
mbaya
(LDL)
kuingiliana na oxygen
na kuleta madhara
Hupunguza makali ya
ugonjwa wa baridi ya
yabisi (Arthritis)
H u p u n g u z a k a s i ya
ongezeko la virusi vya
ukimwi
Hukinga dhidi ya
ugonjwa wa ngozi
kuchuja rangi
(vitiligo)
Husafisha kinywa
d h i d i ya b a c t e r i a
wasiotumia oxygen
Ni kinga dhidi ya
utapiamlo
DAWA
HAIIBA GLUCOMASTER
PROGRAMME
UGONJWA UNAOTIBIWA
Hutibu Kisukari cha ukubwani
7
8
HAIIBA P & B
HAIIBA C CLEAN
Kuziba mkojo
Malaria sugu
9
10
H A A I B A F A M I LY
BUSINESS
HAIIBA CLEAN UP
11
Nguvu za kiume
Huondoa uchovu
14
Makala
AN-NUUR
wa utengenezaji wa
chakula kwa mimea na
kuchangia viumbe vya
baharini kokosa mlo kwa
wingi. Uchafu mwingi
u n a o m wa g a b a h a r i n i
huwa hauozi na kuchangia
upatikanaji kwa hewa ya
Oxigini kupungua na
Oxigini inapopungua
wanyama wa baharini
kama Nyangumi, papa,
kasa nao huathirika
pakubwa. Uchafu
unaotoka viwandani bila
ya kusafishwa huathiri
wanyama wengi wa bahari
na hufa. Tunapowala na
sisi huathirika kidogo
kidogo.
Picha mbalimbali
zinaonyesha kuwa taka
zinazotupwa baharini kwa
kiwango chochote kile
hujikusanya na mwishowe
kuleta athari kwa viumbe
vya baharini. Ndio kusema
kuwa thakikishe kuwa
tusitupe taka za aina yoyote
ile kwenye fukwe au moja
na maharamia ambao
wa l i k u wa wa k i t a m b a
katika maeneo ya baharini.
A l i k u wa a k i p e n d e l e a
kujiunga na misafara ya
wafanya biashara.
Alipofika katika mji
wa Sfax alipiga chuo na
Inaendelea Uk. 18
KUTOKANA na uchafu
u n a o t u p wa b a h a r i n i
kunajitokeza athari
mabalimbali ambazo
huathiri viumbe
vilivyo baharini. Zaidi
ya asilimia thamanini
ya uchafuzi wa bahari
hutokea nchi kavu, kwa
mfano makaro ya taka
(septic tanks), mafuta
machafu katika magereji
ambayo huchukuliwa
na m aj i ya mvua na
kuingia katika bahari,
boti zinazomwaga mafuta
katika matengenezo
au kuvuja, mbolea za
kemekali zinazotumiwa
mashambani nayo mabaki
ya ke huc hangany ika
na m aj i ya mvua na
kumalizikia baharini,
uchimbaji wa mafuta
15
Makala
AN-NUUR
Mashariki kuwafuatilia.
Kukamatwa mara mbili
ndege ya mchungaji
Ayo ikitaka kuingiza
silaha, inatilia nguvu
hoja kuwa Boko Haram,
haitokani na Waislamu.
Boko Haram ya sasa
inaonekana kutimiza
malengo ya aina mbili.
Moja ni lile alilosema
Prof. Dauda na hili ndio
wanalolipigia debe watu
kama Askofu David
Oyedepo na Mchungaji
Ayo.
Pili, inatimiza
malengo ya mabeberu
ambapo mpaka sasa
Nigeria imeshindwa
kunufaika na mafuta
yaliyo Kaskazini mwa
nchi hiyo. Mafuta hayo
16
SHUKURANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu peke yake
na rehema na amani
zimfikie yule ambaye
hapana Nabii baada
yake, Nabii Muhamad
( s a w ) , a m a b a a d a ya
utangulizi huu mfupi.
Kwa hakika anafahamu
kwa kila mwenye akili
timamu japo kidogo
kwamba, dini ya Uislamu
haina uhusiano kabisa
na tuhuma za ugaidi na
ubabe na ugaidi sio kitu
kilichotengenezwa na
Uislamu, unaonekana
kuwa ni jambo la
ulimwengu mzima ambalo
halina dini wala nchi na
kuna wahusika wengi
wa ugaidi wanajihusika
nao. Wanajihusisha na
kufuata dini nyingine au
hawana dini kabisa na
hakuna mahusiano kati
ya Uislamu na vitendo
vya kigaidi ambavyo
vinavyofanywa na watu
wachache waliopotea.
Maana ya ugaidi: Ni
uadui wa kupanga mtu
mmoja au watu wengi au
nchi kwa nafsi za binadamu
au mali za umma au za
watu kwa kuwatisha na
kuwaudhi na kufanya
ufisadi bila ya njia ya haki.
H u k u n u ya u g a i d i :
Ugaidi kwa maana hii ni
haramu na umekatazwa
kisheria, kwani huu ni
uadui kwa watu na
kueneza uharibifu duniani.
A m e s e m a M we n ye z i
Mungu (basi malipo ya
wale wanaopigana na
M we n ye z i M u n g u n a
Mtume wake kwa kufanya
aliyowakataza na kufanya
uovu katika nchi, kuuawa
au kusulubiwa au kukatwa
mkono wa kulia kwa mguu
wa kushoto na mkono wa
kushoto kwa mguu wa
kulia au kuhamishwa
katika nchi hii, ndiyo
fedheha yao katika dunia
na akhera watapata adhabu
kkubwa) al-Maidah 33. Na
amesema tena (kwa sababu
hiyo tunawaandikia wana
wa Israeli ya kwamba,
atakayemuua mtu bila yeye
kuua mtu au bila yakufanya
ufisadi katika nchi, basi ni
kama amewaua watu wote
AN-NUUR
Makala/Tangazo
mieleka ya kimaendeleo,
naye anakiri kwamba kila
taifa duniana ni wajibu
kusaidiana kutambuana
na si kugongana na
kuingia katika vita
ambavyo havina mshindi
wala mshindwa.
Mwenyezi Mungu
mtukufu anasema (enyi,
watu sisi tumekuumbeni
kutokana na mwanamume
na mwanamke
na
tukakufanyeni mataifa
na makabila ili mjue kwa
hakika, mbora na mwema
mbele ya Mwenyezi
Mungu ni yule mwenye
kumuogopa sana, hakika
M we n ye z i M u n g u n i
mjuzi tena ana habari)
Huturati 13.
Kwa hakika kisimamo
cha Uislamu katika suala
la ugaidi wa hawa jamaa
wababe wa ugaidi, ambao
wa n a u v i s h a n g u o ya
Uislamu, msimamo upo
wazi kwamba Uislamu
17
Makala
AN-NUUR
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L
DAR ES SALAAM
Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTSnaBIASHARA.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao
(internet) katika kujifunza.
Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :
Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns
Ufaulu usiopungua Daraja la Credit au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na
Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).
AU
Ufaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha Credit bila kujali daraja alilopata mtahiniwa
kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Mei 2015.
Arusha
- Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.
18
AN-NUUR
Makala
utamaduni na huruma.
Syria ya leo inavurugwa
na kupotezewa alama
zote za athari za Kiislamu.
Ibn Battuta aliandika
yafuatayo:
Utapojumlisha
matumizi ambayo serikali
k a t i k a n c h i ya S y r i a
yakifanyika katika karne
ya 14 yalikuwa hayana
kifani. Kukitengwa fungu
la kuwasaidia wale wote
wasiokuwa na uwezo wa
kwenda Kuhiji Makka
sio tu kusaidiwa kufika
huko bali na matumizi
yao ya kula na mambo
madogo madogo, aidha
wakisaidiwa wale ambao
hawana pesa za mahari ya
kuolea, aidha kukitengwa
fedha za kuwapa familia
ya bibi harusi waliokuwa
wanyonge hawana vitu
vya kumpa bi harusi,
vilevile kukitengwa
fedha kuwasaidia
wasafari walioishiwa
kwa kuwasaidia
chakula na nguo na
usafiri wakuwafikisha
makwao. Kulikuwa na
fungu la kuwaweka huru
wafungwa na kuwasaidia
maisha yao baada ya
kutoka gerezani, aidha
kukitengwa fungu la
kuweka taa za barabarani
na kuimarisha njia ya
wapitao kwa miguu na
vipando.
Alipofika Iraq aliandika
haya: Kisha tukawasili
Baghdad mji mkuu wa
Iraq ikiwa ni mwahali
paliokua na amani, mji
kati ya miji ya Kiislamu.
Tulizikabili daraja mbili
kama Hilla, ikiwa daraja
hizo watu wanazipita
usiku na mchana, kike
kwa kiume. Sehemu za
kukogea zilijaa watu
pomoni, sehemu hizo
zilijengwa kwa kiufundi
kabisa na kupakwa rangi
za kupendeza na kuta
zake zikiwa za mramar
nyeusi. Maeneo hayo ya
kukogea yalikuwa yana
maji ambayo yakitokea
Kufa na Basra saa zote na
siku zote maji hayo yakiwa
yakitiririka. Sehemu hizo
za kukogea zilikuwa
zikimilikiwa na watu
binafsi. Unapokwenda
kukoga unapewa taula
za kujifutia maji tatu,
mmoja ikiwa ya kujifunga
kiunoni unapoingia
kukoga na nyengine ya
kujifutia maji na nyengine
kuvaa kiunoni unapotoka
kukoga.
Vilevile aliandika
mambo aliyoyayaona
katika visiwa vya Uturuki,
Mongolia na visiwa vya
Maldives. Aliyoyaona
Uturuki na Mongoloa
yalimsataajabisha kuona
jamii ya watu wa hapo
kuwapa uhuru ulio
mkubwa wanawake.
Aidha kilichomvutia
katika kisiwa cha Maldives
ni kuona wanawake vivazi
vyao ni nguo za mingaro.
Baada ya safari zake za
miaka mingi kwa kipindi
cha miaka 24 kuwa nje
ya nyumbani mshipa wa
kurudi nyumbani ulianza
kumpiga na ulipofika
mwaka wa 1355 aliwasili
Morocco katika mji wa
Tangier sehemu ambayo
ndio alipofia na kuzikwa
katika mwaka wa 1368 na
kaburi lake limewekwa
kuwa alama ya mvumbuzi
huyu na wengi hulizuru
k a m a t u n a v y o t a k i wa
kuzuru waliokufa na
kuomba dua.
Wa t a a l a m u wa
Kimagharibi hawaamini
kuwa Ibn Battuta alifanya
safari hizi bali wakionacho
nikuwa alinukuu kazi za
watu wengine. Hio yote ni
kuwa kila kinachohusiana
na taaluma na maendeleo
ni cha Mzungu. Hutajwa
mvumbuzi Vasco Dagama
bila ya kudhukuriwa
T i r o a l i o k u wa m j u z i
wa kuongoza safari za
baharini, Tiro alikuwa
mtu mweusi.
19
Inatoka Uk. 9
Makala
AN-NUUR
za Kiafrika, zikiwemo
Kenya, Burundi, Jamhuri
ya Kidemokrasi ya Kongo
na Senegal. Shirika la
kimataifa la "Under The
Same Sun" linalotetea haki
za watu hao linaripoti
k u u l i wa k wa a l b i n o
140 katika nchi 25 za
Kiafrika. Wengine 219
walikatwa viongo lakini
wakaachwa hai. Madhila
ni utaratibu wa serikali
kwa wafanyabiashara
kuthibitishwa na kuwa na
leseni za biashara zao na
wanalipa kodi ya biashara
zao, na kwa kuwa waganga
wa mahospitalini nao
kadhalika wanatambuliwa
na serikali kwa leseni zao
au ajira zao na wanalipa
kodi kwa serikali, kuna
haja kwa serikali kwa
makusudi kabisa, kufanya
ukaguzi wa kina kwa
waganga wa kienyeji.
Wa l e
a m b a o
wa t a b a i n i k a k u f a n ya
shughuli zao bila
kuthibitishwa na kazi
zao kutambuliwa na hata
kusajiliwa kwa maana
ya kupewa leseni na
serikali, basi hao wapigwe
marufuku kufanya kazi
zao hizo.
Kwa mtindo huu,
u t a s a i d i a k u wa b a i n i
wababishaji na washirikina
BARAKA Cosmas, anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa ameponea
tundu la sindano kuuawa na watu wasiojulikana, baada ya kukatwa kiganja cha
mkono nyumbani kwao.
wanyama," amenukuliwa
vinakwenda kuuzwa nchi
wa t o t o wa o wa e n d e
msemaji wa chama hicho
jirani ya Tanzania. Taarifa
shule kwani hawajui
kinachotetea haki za albino
ya DW inafafanua zaidi
kama watarudi salama
wapatao 10,000 wanaoishi
kwamba nchini Malawi,
a u k a m a wa t a t e k wa .
Malawi akisema.
serikali imepiga marufuku
Ta k w i m u z i n a e l e z a
Ta a r i f a k u t o k a
shughuli za waganga wa
kwamba tangu mwaka
Malawi zimeeleza kuwa
kienyeji, kwani wao ndio
2000, Albino wapatao
mwanamke mmoja
wanasadikiwa kuwaagiza
70 wameuliwa nchini
alikutwa amekufa, kichwa
wateja wao wawaletee
Tanzania. Inaripotiwa
chake, miguu na mikono
viongo vya albino.
kuwa jijini Dar es Salaam,
ikiwa imekatwa. Mbali na
Wanaharakati wanasema
viungo vya albino mmoja
kufanya upelelezi kuhusu
b a a d a ya s e r i k a l i ya
vinafikia bei ya hadi dola
visa vya mauaji, polisi
Ta n z a n i a k u a n z i s h a
za Kimarekani 75,000
nchini humo inawatafuta
kampeni ya kudhibiti
ambazo ni sawa na karibu
albino wengine ambao
mauaji ya albino, wahalifu
shilingi milioni 140 za
hawajulikani walipo.
sasa wamehamia Malawi.
Kitanzania. Taarifa hiyo
I n a a m i n i k a k wa m b a
Wazazi wa watoto wenye
imebainisha kwamba
viungo vya watu wenye
ulemavu wanaeleza
Albino wako hatarini
ulemavu wa ngozi
kuogopa hata kuwaruhusu
kwenye nchi nyingi
a m b a o wa n a s a b a b i s h a
wenzetu albino wateketee
kutokana na maagizo
ya hovyo na potofu kwa
wananchi, ambayo msingi
wake ni kuvunia hela bila
kujali utu.
Lakini la msingi zaidi,
Watanzania wabadilike.
Mafanikio ya haki ni
matokeo ya fikra, mipango,
jitihada, kujituma, dhamira
ya dhati, kujiamini na
kutokata tamaa. Tusitaraji
kupata mafanikio ya haki
kwa tamaa na haraka na
kwa muda mfupi bila
jasho, wala tusitaraji
kufanikiwa kwa kuamini
na kutegemea njia za
shirki na za kudhulumu
nafsi za wengine hata
kuifanya Tanzania kuwa
nchi ya laana.
AN-NUUR
20
MAKALA
20
KUNDI la Waislamu
wanane kutoka
Visiwani Zanzibar
wanaotuhumiwa kwa
Ugaidi, katika Mahakama
ya Kisutu Jijini Dar es
Salaam, wamepata Wakili
kutoka Star Chambers
Advocates.
Wa t u h u m i w a h a o
kwa muda mrefu
walikuwa hawana
Wakili, sasa watatetewa
na Wakili Mohammed
Tibanyendera, kutoka Star
Chembers Advocates ya
Jijini Dar es Salaam.
Wakili huyo katika
kesi hiyo ya Suleiman
Othman Maulid na
wenzake saba, yenye
namba 41 ya 2014, alianza
kuonekana Jumatatu
ya Machi 9, 2015, siku
ambayo kesi hiyo ilitajwa
kwa mara nyingine katika
Mahakama ya Kisutu.
Hata hivyo, Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu,
iliahirisha kesi hiyo mpaka
Jumatatu ya Machi 23, 2015,
ambapo itarudi kutajwa
kwa mara nyingine tena
Mahakamani hapo.
Akiongea na An
nuur, Katibu wa Kamati
ya Maafa ya Shura ya
Maimamu, Ustadhi
Ally Mbaruku, alisema
kuwa siku hiyo (Machi
23,2015) Mahakamani
hapo pataunguruma kesi
zingine zinazowakabili
Waislamu, wanaosota
rumande kwa tuhuma za
Ugaidi.
Ust.
Mbaruku
anayefatilia kwa karibu
kesi hizo za Waislamu,
alizitaja kuwa ni kesi ya
Ustadhi Jihadi Gaibuni,
Mussa Haruna Lugeye na
Mkewe.
Wengine ni Ustadhi Ally
Nassoro Swala pamoja na
Ustadhi Juma Zuberi.
Alisema, kesi ya Sheikh
Farid na wenzake itakuwa
Machi 18,205 na Machi
16, 2015, itakuwa siku
ya kusikilizwa kesi ya
Imamu Ally Athumani
wa Tegeta, Jijini Dar es
Salaam, katika Mahakama
hiyo ya Kisutu.
Aidha, Katibu
Mbaruku, pia alizitaja
kesi zingine za Waislamu
uchochezi inayomkabili
Katibu wa Jumuiya na
Ta a s i s i z a K i i s l a m u ,
ambapo Mawakili
wa Sheikh Ponda,
wataendelea na utetezi
wao.
Pia alisema, Jijini
Arusha, Ijumaa ya Machi
13, 2015 (leo) itakuwa
ni siku ya kutajwa kwa
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.