Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1172 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 10-16, 2015
Na Mussa Ame
WA N A P O P I G A N A
Waislamu, wote motoni.
Anayekwenda Somalia,
a na kwe nda kununua
moto wa Jahannamu.
Kwani atakwenda
kupigana na jeshi la
Serikali ya Somalia ambao
wote ni Waislamu.
At a wa u a Wa i s l a m u
Lipumba atembelea
Masheikh gerezani
Wasikitika kubambikiziwa ugaidi
Walaumu utendaji kazi wa Polisi
Picha juu; Akina mama wa Kisomali wakisubiri chakula cha msaada. Picha
chini Waislamu wakiswalia maiti nchini Somalia.
Tahariri/Maoni yetu
AN-NUUR
b a a d h i ya v i o n g o z i
wa serikali na wa
jeshi la Polisi, wakidai
k u wa wa m e j i a n d a a
kukabiliana na kitisho
hicho cha ugaidi.
Labda sisi tuseme
yafuatayo: Maadhali
tualiamini kuwa watu
kutoka Jangwani Saudi
AN-NUUR
kuwazuiya Al-Shabaab.
Lakini pia kama
tunaamini kuwa
magaidi toka
Afghanistan, waliweza
kusafiri masafa marefu
hadi Marekani pamoja
na sheria zake ngumu za
kupata Visa na Uhamiaji,
wakapanga na kuipiga,
RAIS wa zamani wa Marekani, Reigan (wa tatu kushoto mwenye suti) akiwana
Mujahidina wa Afghanistan katika Ikulu ya Marekani.
Arabia na katika milima n i n i i t a k u w a k w a nini? Hawa wanaotupiga
mikame ya nchi masikini magaidi hao hao kutoka ni nani?
zaidi duniani, na yenye hapa jirani tu Somalia
Leo tunasikia wimbi
kiwango cha chini zaidi a m b a p o w a n a w e z a la vijana kuacha shule
c h a wa t u wa n a o j u a kupita njia za panya bila Bihawana (mfano Rashid
kusoma na kuandika, hata ya kuhitajia Hati ya Charles Mberesero),
Afghanistan, wanaweza Kusafiria (Passport) na V y u o V i k u u n a
kuishinda nchi kubwa kupitia mikononi mwa kwingineko kwa madai
kabisa duniani kijeshi, Idara ya Uhamiaji!
ya kwenda Jihad Feki,
kikachero, kipolisi,
Pengine tunaweza nani kaleta wimbi hili?
k i t e k i n o l o j i a ya k i - kusema kuwa labda Leo kule Mwanza na
intelijensia, kiutaalamu t a i f a h i l o k u b w a miji mingine nchini,
wa ulinzi wa mipakani l i l i k u w a l i m e l a l a , tunasikia habari za vijana
na katika viwanja vya halikuwa na wasiwasi kuacha shughuli zao za
n d e g e , w a k a w e z a kuwa kuna magaidi uchumi, wanakimbia
kuteka ndege za abiria wanaweza kuwapiga, familia zao kwa madai
za Marekani wakapiga lakini tusisahau kuwa ya kwenda Somali/Syria
na kuporomosha WTC, Septemba 11 ilitanguliwa (Shamba), je , tumefanya
ni ujinga huo huo ambao na The Oklahoma City utafiti kuangalia wimbi
leo unatufanya tuamini bombing na kupigwa hili linakotokea? Kwa
kuwa Al-Shabaab wana Balozi zake. Na hata nini tusiwe na wasiwasi
u we z o m k u b wa wa baada ya Septemba 11, kwamba laweza kuwa
kiwango cha kufanya bado zimekuja Anthrax mwendelezo wa mkakati
yale ya Westgate.
Terror Attacks. Na hata u l e u l e u l i o b u n i wa
Na kama ambavyo b a a d a ya k u we k wa k u l e C h u o K i k u u
t u l i a m i n i k u w a Sheria ya Kupambana cha Nebraska, katika
nchi kubwa duniani n a U g a i d i - ( U S A kuandaa Mujahidina
kikachero, kiutaalamu PATRIOT)-"Uniting and wa kupambana na Urusi
w a k i - i n t e l i j e n s i a , Strengthening America kwa niaba ya mabeberu?
kikachero na kwa zana by Providing Appropriate (Rejea: Hillary Clinton:
mbalimbali za ulinzi, Tools Required to Intercept We created Al-Qaidah, The
ilishindwa kuwazuiya and Obstruct Terrorism Myths of Al Qaeda. Soma
magadi toka Jangwani Act of 2001, bado zimekuja pia: A is for Allah, J is
na katika milima ya Tora The Boston Marathon for jihad, Operation Cyclone
na Reagan Doctrine)
Bora, ndivyo ambavyo bombings.
Itizame Afghanistan,
leo tunajiaminisha na
Ukija hapa kwetu,
k u j i d a n g a n ya k u wa tuangalie hali ilikuwa P a k i s t a n , Y e m e n ,
h a t u n a u w e z o w a vipi kabla ya kuletewa
Inaendelea Uk. 4
3
Bakari Mwakangwale
Habari
AN-NUUR
Lipumba atembelea
Masheikh gerezani
PROFESA Ibrahimu
Lipumba, amefanya
ziara katika gereza la
Segerea, Jijini Dar es
Salaam na kukutana na
viongozi wa Kiislamu
wanaoshikiliwa katika
gereza hilo wakiwemo
Masheikh Farid Hadd na
Mselem Ally.
Prof. Lipumba alifika
gerezani hapo, Jumanne
wiki hii kuwajulia hali
watuhumiwa hao,
akiwa kaambatana
n a K a m a t i ya M a a f a
ya Shura ya Maimamu
inayowashughulikia
mahitaji ya Masheikh
na Waislamu waliopo
gerezani humo takriban
mwaka sasa kutokana na
Serikali kuzuia dhamana
zao kufuatia kushtakiwa
kwa kesi ya ugaidi dhidi
yao katika mahakama ya
Hakim Mkazi Kisutu.
Akiongea na Mwandishi
wa habari hizi, baada ya
kuonana na Masheikh hao
wanaotuhumiwa kwa kesi
ya Ugaidi, Prof. Lipumba,
alisema akiwa gerezani
hapo alipata mapokezi
mazuri kutoka uongozi wa
gereza hilo na kubahatika
kuonana na Sheikh Farid
Had, Mselem Ally pamoja
na Ust. Rashid, kwa niaba
ya wenzao.
Alisema walizungumza
mambo mengi na Masheikh
hao, zikiwemo salama
kwa viongozi wenzake
wanaounda Umoja wa
vyama vya Siasa, UKAWA,
kusikitishwa na hali ya
kubambikiwa mashitaka ya
SHIRIKA la Afya
Duniani (WHO)
l i m e t a n g a z a k u wa ,
tangu tarehe 26
mwezi
Machi
mwaka huu, ambapo
Saudia na washirika
wake walianzisha
mashambulizi nchini
Yemen, zaidi ya raia
540 tayari wameuawa
na wengine karibu 2000
wamejeruhiwa.
Shirika hilo lilisisitiza
kuwa, idadi hiyo ni ya
raia ambao hawakuwa
na silaha na kuongeza
kuwa, karibu nusu ya
waliopoteza maisha
ni watoto wadogo na
wanawake.
Wa k a t i h u o h u o ,
v ya m a n a a s a s i z a
kiraia nchini Yemen
vimetangaza rasmi
kuwa zitakabiliana na
mashambulizi ya Saudia
dhidi ya nchi hiyo.
Duru za habari
zinaeleza kuwa,
baada ya Saudi Arabia
n a wa s h i r i k a wa k e
kushindwa kufikia
malengo yao kupitia
mashambulizi ya kijeshi,
tayari wamewatuma
wapiganaji 3000 kutoka
e n e o l a G h u t wa t a l
Sharqiyyah nchini Syria,
kwenda nchini Yemen
kwa ajili ya kukabiliana
na wapiganaji wa alHuthi na vikundi vya
kiraia.
Kwengineko Katibu
Mkuu wa harakati ya
Hizbullah ya Lebanon,
Sayyid Hassan Nasrallah,
amesema kuwa, vita
vinavyoendelea katika
eneo la Mashariki ya Kati
ni vita vya kisiasa sio vya
kimadhehebu.
Sayyid Nasrallah
alisisitiza kuwa,
vita vya sasa katika
eneo hilo sio vita vya
kimadhehebu kama
baadhi wanavyodhania.
Jumuiya ya Madaktari
Wasio na Mipaka (MSF),
imetahadharisha juu ya
hali ya mambo ya mji
wa Aden huko kusini
m wa Ye m e n k u z i d i
k u wa m b a ya , h u k u
Saudi Arabia ikizidisha
mashambulilzi yake ya
anga dhidi ya nchi hiyo
ya Kiarabu.
Jumuiya hiyo imetoa
tahadhari hiyo Jumanne
hii ikisema kuwa hali
Mashambulizi ya Saudia
yameua raia 540 Yemen
4
Inatoka Uk. 2
Nigeria, Kenya, Tunisia,
Algeria, huko Indonesia,
Makala
AN-NUUR
wa t u wa s i o n a h a t i a
wameuawa, kujeruhiwa
na kuhamishwa. Idadi
kubwa wameona hali zao
za maisha zikiporomoka.
Marekani imegeuka
kuwa dola ya kipolisi na
ya kuchunguza kila mtu
inaendelea sasa,
imetupumbaza wengi na
wanaojua hakika yake,
ni wale wale walioibuni.
Nini wanavuna wanajua
wenyewe. Sisi tutakuwa
watu wa kuumia tu.
Ni Vita ambayo
imetupumbaza akili
kiasi sasa tunaona AlQaidah na Al-Shabaab,
kila uchochoro katika
miji yetu. Imetupumbaza
kiasi cha kuamini kuwa
Msomali kutoka nchi
kama Somalia, ana
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
wa madhehebu ya dini
ya Kiislamu kutumia
akaunti za Benki
za Sharia ambazo
z i m e t h i b i t i s h wa n a
Benki Kuu ya Kenya.
Msemaji
wa
Muungano
wa
Wanaosafirisha fedha
kwa njia ambayo
inajulikana kama
Hawala ambao nao pia
wamezuiwa Abdi Ali
anasema wako makini na
uamuzi huo na kwamba
tayari wamewaagiza
wanasheria wao
kushughulikia hali hiyo.
Kujua zaidi juu ya hatua
hiyo Regina Mziwanda
amezungumza na
Mchambuzi wa Masuala
ya Somalia Mohamed
Abdillahi, Juu ya taarifa
za serikali ya Kenya
kufunga akaunti nane
za watu wanaoshukiwa
kuwa wafadhili wa Al
Shabab,kuna maana
gani wakati huu.?BBC
CHINA imependekeza
mpango wa kutatua mgogoro
wa Palestina kulingana na
mchakato wa mazungumzo
ya mapatano ya Mashariki
UMOJA wa Mataifa
umetoa ripoti kuhusu
kuongeza jinai za
utawala wa Kizayuni
wa I s r a e l d h i d i ya
Wapalestina.
Ripoti ya kila wiki
ya Taasisi ya Kimataifa
ya Ofisi ya Uratibu wa
Misaada ya Kibinadamu
ya Umoja wa Mataifa
huko Palestina
imeonyesha kuwa,
wanajeshi wa utawala wa
Kizayuni wiki iliyopita
walizishambulia mara
110 nyumba za raia
wa Kipalestina katika
Ukingo wa Magharibi wa
Mto Jordan na kuwateka
nyara Wapalestina 132.
Kwa mujibu wa
ripoti hiyo, katika
muda wa wiki hiyo
moja Wapalestina 64
wakiwemo watoto
watano walijeruhiwa
katika maeneo
mbalimbali ya ardhi za
Palestina zinazokaliwa
kwa mabavu na
ya Kati.
Gong Xiaosheng, mjumbe
maalumu wa serikali ya
China alielekea Ramallah,
makao ya Mamlaka ya Ndani
ya Palestina na kufanya
mazungumzo na Rais wa
Mamlaka hiyo Mahmoud
Abbas, pamoja na maafisa
wengine kadhaa wa Palestina.
Baada ya mazungumzo
yake na Abbas, Mjumbe huyo
maalumu wa China alisema
m p a n g o u l i o b u n i wa n a
serikali ya Beijing kwa ajili ya
kutatua kadhia ya Palestina
ni mpango wa kivitendo na
umekuwa sehemu muhimu
ya njia ya utatuzi ya kuleta
amani katika Mashariki ya
Kati.
Mpango huo wa China
wa k u t a t u a k a d h i a ya
Palestina una vipengele
v i n n e , m i o n g o n i m wa o
ni kuundwa nchi huru ya
Palestina kwenye mipaka ya
mwaka 1967, mji mkuu wake
ukiwa ni Baitul Muqaddas na
kuendelezwa mazungumzo
kati ya Israel na Palestina,
ikiwa ndio njia pekee ya
kufikia suluhu na amani.
Saeb Uraikat, kiongozi
mwandamizi wa Mamlaka
ya Ndani ya Palestina alisema
mara baada ya kufanya
mazungumzo na mjumbe
huyo maalumu wa serikali
ya China, kwamba baada
ya Palestina kutambuliwa
kimataifa, kuna haja sasa
ya kufanyika mkutano wa
kimataifa utakaohudhuriwa
na Katibu Mkuu wa Umoja
wa Mataifa na wanachama
wa kudumu wa Baraza la
Usalama la Umoja huo, ili
kuainisha ratiba ya wakati
wa kuondoka vikosi vamizi
vya Kizayuni katika ardhi za
Palestina zinazokaliwa kwa
mabavu na utawala wa Israel.
Uraikat alisisitiza juu
ya ulazima wa kutatuliwa
masuala yote ya Wapalestina,
likiwemo suala la wakimbizi,
kuachiwa huru mateka na
kusimamishwa kikamilifu
ujenzi wa vitongoji.
Ripoti zinaeleza kuwa
juhudi za upatanishi za China
kwa ajili ya kutatua mgogoro
wa Palestina kupitia mpango
wa suluhu wenye vipengele
vinne, zimepokelewa vyama
na duru za kisiasa na vyombo
vya habari katika eneo la
Mashariki ya Kati.
Itakumbukwa kuwa karibu
miaka miwili nyuma Rais Xi
Jinping wa China alikutana
na kufanya mazungumzo na
Rais wa Mamlaka ya Ndani
ya Pa l e s t i n a M a h m o u d
Abbas, juu ya mpango huo
wa mapendekezo manne wa
nchi yake, akisisitiza kwamba
ndio utakaowezesha kuleta
suluhu na amani katika
Mashariki ya Kati.
Tangu wakati huo hadi sasa
mpango huo umekuwa ndio
ajenda kuu ya harakati za
China kuhusiana na mgogoro
wa Pa l e s t i n a . K u r e j e a
kwenye mipaka ya mwaka
1967, kutambuliwa Baitul
Muqaddas kuwa mji mkuu
wa Palestina, kusimamishwa
kikamilifu ujenzi wa vitongoji
vya walowezi wa Kizayuni
na kutekelezwa kukamilifu
m p a n g o wa a r d h i k wa
amani pamoja na kuweko
mashirikiano yenye uratibu
baina ya pande mbili za Israel
na Wapalestina kwa ajili ya
kudumisha suluhu, amani
na uthabiti wa kila upande,
ndiyo mapendekezo manne
yaliyotangazwa wakati huo
na Rais wa China.
Hata hivyo mpango
huo wa China umeelezwa
kuwa umepuuza haki ya
wakimbizi wa Palestina
kurejea kwenye ardhi zao za
asili na ulazima wa kuachiwa
huru Wapalestina wote
wanaoshikiliwa kidhulma
kwenye magereza ya utawala
wa Kizayuni.
Makala
AN-NUUR
WANAWAKE waliwahi
kushiriki katika vita
vya Jihadi lakini
hawakuwa wakipigana
vita na maadui.
Amesimulia Anas
(RA) amesema alikuwa
Mtume (SAW) akipigana
na Ummusulaym na
wanawake wa Kiansari
pamoja nao, walikuwa
wakiwanywesha
maji (wapiganaji)
n a
wa n a t i b u
majeraha(SM1810) .
A m e s i m u l i a
U m m u a t i y a ( R A)
Nimepigana pamoja
na Mtume (SAW) vita
mara saba nakaa katika
kambi, nawatengenezea
chakula na nawatibu
waliojeruhiwa na
nawahudumia
wagonjwa(SM1812).
Amesimulia Rubay
Bint Muawidh (RA)
tulikuwa tunapigana
pamoja na Mtume
(SAW), tukinywesha
watu
maji
na
kuwahudumia na
kuwarejesha majeruhi
Madina (SB2883).
Katika hadithi zote
za hapo juu wanawake
wa l i k u wa wa k i k a a
katika kambi za
M u j a h i d i n a wa k a t i
wapiganaji wako vitani,
walikuwa wakitayarisha
chakula na walikuwa
wanatibu wagonjwa na
kuwahudumia.
K wa h a d i t h i h i z i
inaruhusiwa kwa
wanawake kuwatibu
wanaume wakati wa
dharura hasa wakati wa
vita, ambavyo wanaume
wote wanakuwa wako
vitani, lakini ikiwa kuna
daktari wa kiume, basi
atapewa nafasi awatibu
wanaume wenzake.
Ama kuhusu ulazima
wa kupigana Jihadi,
wanawake walimuuliza
wenyewe Mtume (SAW)
kuhusu wao kushiriki
katika ibada hii kubwa
yenye malipo makubwa,
na alitoa jawabu
ifuatayo:
Amesimulia Aisha
(RA) Mama wa Waumini
tulimuomba ruhusa
Mtume (SAW) kupigana
WANAWAKE Somalia.
jihadi akasema jihadi
yenu ni Hija (SB 2875
ameitoa Nisai 2628 na
Ibn Majah 2901).
Amesimulia Aisha
(RA) Mama wa Waumini
kutoka kwa Mtume
( S AW ) wa l i m u u l i z a
wanawake kuhusu
kupigana jihadi
akasema Hija ni jihadi
bora(SB2876).
Hadithi hizo mbili
zinatoa funzo kwamba
kwa wanawake Jihadi
si fardhi kwao kama
ilivyokuwa kwa
wanaume.
Anasema Ibnu
Qudama Jihadi
imewekewa masharti
ya k e n a y o n i s a b a ,
kwanza anayepigana
awe Muislamu, mwenye
akili, aliye baleghe, huru,
mwanamme, mwenye
uwezo wa kipando na
aliyesalimika na ila kama
ya ulemavu au maradhi
(Mughny 8/347).
Maulamaa wa
madhehebu manne na
wengine wanakubliana
kwamba kuwa kuwa
manamme ni sharti
la kupigana jihadi, na
jihadi si lazima kwa
mwanamke.
Mama Aisha (RA)
aliuliza jee jihadi ni
lazima kwa mwanamke
? Akajibiwa ndiyo wao
wamelazimishwa jihadi
isiyo na mapigano Hija
na Umra. Pia wanawake
hawakulazimishwa
kupigana kutokana
na maumbile yao
yasiyohimili vita.
Vita vya wakati huu
ni tofauti sana na vita
alivyopigana Mtume
(SAW) . Makafiri wa
zamani walikuwa na
nidhamu, na ilikuwa
aibu kubwa kumpiga
mwanamke katika
vita. Waliheshimu sana
taratibu za vita. Ama
wa k a t i h u u a m b a o
makafiri wakiwakuta
wanawake Waislamu
vitani wanaweza
kuwaua, kuwatesa na
kuwabaka. Katika hali
hii Mulamaa wa sasa
wa n a k a t a z a k a b i s a
wanawake kushiriki
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 6
(SW) kumwambia
m uuaji, kata tama na
kichekesho.
Wale waliojiunga na
mitandao ya Al shabaab,
waachane nayo.
Ubaya wa mambo ni
kuwa hivi sasa maadui
wanatufanyia mchezo
waliokuwa wakiwafanyia
Iraq na Iran walipokuwa
w a k i p i g a n a . Wa k a t i
mabeberu wanaipa
silaha serikali ya Somalia
pamoja na AMISOM
wanaopambana na AlShabaab, silaha hizo
hizo za mabeberu ndio
wanatumia Al-Shabaab.
Wapo makamanda wa
jeshi la Uganda waliokuwa
Somalia, ambao hivi sasa
wana kesi wakituhumiwa
kuwauzia Al-Shabaab
silaha za AMISOM. Lakini
soma pia taarifa ya Umoja
wa Mataifa inavyoonyesha
kuwa Al Shabaab
wasingeweza kuendelea
kupigana kama si kwa
kupata silaha zilezile
wanazopewa AMISOM.
Imekuwa Wasomali na
Wa i s l a m u wa n a p e wa
silaha wamalizane
wenyewe kwa wenyewe.
Soma: Does US, UN and
AMISOM Supply AlShabaa?
(Makala imeandikwa
na Mussa Ame Mussa
0773 834 795 Zanzibar)
8
Inatoka Uk. 4
kesi ya mtuhumiwa
kukamatishwa bangi,
inaonekana wazi kuwa
ni ugaidi wa kupanga,
mahakama itataka ushahidi
wa wazi. Tukio linatokea
We s t g a t e a u G a r i s s a ,
wa t u wa n a s h a m b u l i a
wa n a o n d o k a , b a a d a e
unasema Al Shabaab
walidai kuhusika.
Unakamata vijana huko
Mandera au Mombasa
na Lamu, unasema hawa
walihusika kupanga
shambulio la Garissa,
bila shaka Mahakama
itakutaka ulete ushahidi.
K u e p u k a k u t a k i wa
kuleta ushahidi, sasa
vikosi vya kupambana
na ugaidi vinafundishwa
kile alichosema kachero
wa Kenya Elimination
Programme.
M a m b o ya k u we k a
sawa hapa. Vita ya ugaidi,
imetokea Magharibi kwa
mabeberu, sio yetu. Wao
ndi o wal i otutan g azia
k u wa A l S h a b a a b n i
magaidi. Sasa wao ndio
wa n a o t u u n d i a v i k o s i
na kuvipa mafunzo ya
kupambana na magaidi.
Wao ndio wanaotuambia
tuwauwe Sheikh Makaburi
kwa sababu ana uhusiano
na Al Shabaab. Wao ndio
wanaotupa tahadhari kuwa
Westgate itashambuliwa.
Hawatusaidii kuzuiya
tusipigwe. Tukishapigwa,
kupitia BBC na CNN zao,
wanakuwa wa kwanza
Tahariri/Maoni
We s t g a t e N a i r o b i ,
k u wa h i k wa o k u wa
wa mwanzo kuingia
maduka ya Nakumati,
hakukuwa na msaada
wowote kupelekea
magaidi kukamatwa.
Kama tulivyoambiwa,
magaidi waliuwa
wakaondoka wenyewe.
Wakati wakiondoka,
hao hao washirika wetu,
wasamaria wema na
wafadhili wetu katika
kupambana na Al
Shabaab, wakatuacha
na porojo za Samantha
L o u i s e L e w t h wa i t e
(White Widow).
Sasa labda tujiulize,
mafunzo na mikakati
h i i wa n a y o t u p a ya
kutesa na kuuwa watu
wetu wenyewe kwa
k u wa t u h u m u k u wa
ni washirika wa Al
Shabaab, kumetusaidia
nini kumaliza ugaidi?
Mbona ndio kwanza
wanapiga Garissa na
k u u wa wa n a f u n z i ?
Mbona ndio kwanza
wanateka mabasi na
k u u wa a b i r i a k u l e
Mandera? Mbona
ndio kwanza watu hao
hao wanatusambazia
kitisho kuwa tutapigwa
Kampala, Dar es Salaam
na Mwanza?
Maadhali Mungu
katupa akili, tuna hiyari,
kuendelea kujizamisha
katika tope hili au
k u f i k i r i a n a m n a ya
kujinasua.
ardhi, na tumekujaalieni
humo njia za kupatia
maisha. Ni kuchache
kushukuru kwenu. (Al
Aaraaf 7;10).
Kutokana na aya
hizi, tunajifunza kuwa
maumbile yote ya
ardhini na mbinguni
(angani) yaliyomzunguka
m w a n a a d a m u ,
anayoyaona
na
asiyoyaona, yote yako pale
kwa ajili ya kumtumikia na
kuboresha maisha yake.
Ili kufikia lengo hili, Allah
(s.w) amevitiisha vitu
hivi kwa mwanaadamu
kwa kuviwekea sheria
madhubuti za kimaumbile
(Natural Laws).
Amesema Allah
(Subhaanahu wa
Taala): Na amefanya
vikutumikieni vilivyomo
mbinguni na vilivyomo
katika ardhi, vyote
vimetoka kwake. Hakika
katika hayo zimo Ishara
kwa watu wanao fikiri (Al
Jaathiya 45:13).
Kisha, mwanaadamu
akatunukiwa akili na
vipawa vya fahamu na
elimu ya kumuwezesha
kuyatumikisha maumbile
kwa ajili ya kuboresha
maisha yake. Sayansi
na teknoloia ni katika
jitihada za harakati
za mwanaadamu za
kuyatumikisha maumbile
na nguvu asili kwa ajili ya
kuboresha maisha yake.
Kama vitu vyote
vimeumbwa kwa
lengo la kumtumikia
mwanaadamu, je,
mwanaadamu ameumbwa
kumtumikia nani? Je,
lengo la maisha ni kujipatia
tu mahitaji muhimu ya
maisha chakula, nguo na
makazi? Mbona wanyama
nao wanajitosheleza
kwa mahitaji hayo
hayo pamoja na kuwa
hawakutunukiwa kipawa
cha elimu (kujielemisha)
kama mwanaadamu? Je,
ni busara kukubaliana na
makafiri kuwa lengo la
maisha ya mwanadamu
ni lile la kutosheleza tu
matashi yake ya kinyama?
Hii ni dhana tu ya
makafiri kama Allah(s.w)
anavyotutanabahisha:
Amesema Allah
(Subhaanahu wa Taala):
Na hatukuziumba
mbingu na ardhi na
viliomo ndani yao bure.
Hiyo ni dhana ya walio
kufuru. Ole wao walio
kufuru kwa Moto utao
wapata. (Saad 38:27).
Bila shaka kwa wale
wenye akili na busara, wana
yakini kuwa mwanaadamu
hakuumbwa tu bure na
kuletwa hapa duniani
b i l a ya l e n g o l o l o t e
analotarajiwa na muumba
wake alifikie. Bila shaka
mwanaadamu atakuwa
na lengo la juu zaidi
kuliko viumbe wengine,
hasa kutokana na vipawa
vya akili na elimu
alivyotunukiwa kuliko
viumbe wengine.
Leng o l a k uumb wa
m w a n a a d a m u
amelibainisha Muumba
mwenyewe: Amesema
Allah (Subhaanahu wa
Taala): Sikuwaumba
majini na watu ila
waniabudu Mimi: (Adh
dhariyaat 51:56).
M a a n a ya I b a d a n i
kumtumikia Allah (s.w)
katika maisha yetu yote.
Inaendelea Uk. 13
Hijrah
Na Abu saumu, Kombo Hassani kidumbu.
AN-NUUR
lengo maalumu.
Mwenyewe Muumba
Allah (s.w), anabainisha
lengo la kumbwa mbingu
na ardhi na vyote
vilivyomo katika aya
zifuatazo:
Ye y e n d i y e a l i y e
kuumbieni vyote
vilivyomo katika ardhi.
Tena akazielekea mbingu,
na akazifanya mbingu
saba. Naye ndiye Mjuzi wa
kila kitu (A Baqara 2:29)
N a
h a k i k a
tumekuwekeni katika
Makala
AN-NUUR
Na Omar Msangi
HABARI kubwa katika
vyombo vya habari vya
Marekani na vile vya
kimataifa, mwanzoni mwa
mwezi huu, ilikuwa juu
ya waliodaiwa kuwa wala
njama wa ISIS kutaka
kufanya shambulio la
kigaidi (ISIS-Inspired
Plotters) New York. Katika
habari hiyo ilidaiwa kuwa
wanawake wawili Noelle
Velentzas (28) na Asia
Siddiqui (31), walikuwa
wa m e k u l a n j a m a z a
kufanya shambulio
l a k i g a i d i n d a n i ya
M a r e k a n i , wa k i p a t a
hamasa na msukumo
kutoka IS.
The defendants plotted
to wreak terror by creating
explosive devices for use in
New York City and sought
bomb-making instructions
and materials for an attack.
Ndivyo ilivyosema
Wizara ya Sheria
(Department of Justice)
Aprili 2, 2015 ikieleza
kukamatwa kwa akina
mama hao wawili,
kwamba walipanga
kufanya shambulio la
k i g a i d i k wa k u t u m i a
silaha za maangamizi
na walikuwa na vitabu
vya kujifunzia namna ya
kutengeneza mabomu.
Kama kawaida vyombo
vya habari vilikuwa na
karamu kubwa wiki hiyo.
Terror cases allege women
wanted to fight in jihad, 2
women arrested in NYC
terrorism case; officials say
they were planning to build
bomb. Ilikuwa baadhi ya
vichwa vya habari.
Hata hivyo, ushahidi
unaotolewa sasa
unabainisha kuwa sio
Ve l e n t z a s wa l a A s i a
Siddiqui, aliokuwa
amepanga kulipua shabaha
yoyote ile wala kuwa na
mpango wa kujifunza
kutengeneza bomu, au
kuwa na uhusiano wa
namna yoyote na ISIS.
Kilichotokea ni
kuwa wawili hao
walipandikiziwa kachero
mwanamke mwenzao bila
kujijua, akawa anawaingiza
katika maongezi ambapo
maneno kama Jihad, IS
yalikuwa yakijitokeza
na yeye akitaka kupata
maoni yao juu ya mambo
mbalimbali.
Ilikuwa ni kachero huyo
aliyeleta mpaka hicho
kinachodaiwa kuwa ni
maandiko ya kujifunzia
uchamungu na uadilifu wa
wanaolipigia debe jambo
hili?
Kule Mwanza nasikia
wapo akina mama
ambao ikizungumzwa tu
tahadhari hii, wanakuja
juu. Huwa wakali na
kuwabeza wanaotoa
tahadhari hii kuwa ni
waoga wanaohofia na
kujali ajira zao na wake
zao. Lilipotokea lile tukio
la majambazi Amboni,
Tanga, nasikia wakasema
kazi ya Jihad ishaanza
Tanga, kama namna ya
kuwakebehi wanaotoa
tahadhari.
Ukifuatilia kisa cha
Asia Siddique na jinsi
alivyokuwa akifuatiliwa
na
mwanamama
mwenzake akijidai mtu wa
Jihad, hadi kumkamatisha,
inafikia mahali inabidi
watoa tahadhari waongeze
kuwa umefikia wakati
k u wa m a c h o h a t a n a
hawa wenzetu ambao
kila tukikutana nao katika
vikao na darsa zetu,
agenda yao ni kuhimiza
Jihad ya Amboni.
Ukisoma kisa cha
Asia Siddique na Noelle
Velentzas, watu hawa
huanza mbali sana.
Na hawana haraka.
Walimfuatilia Asia kwa
zaidi ya miaka miwili
wakimpandikizia maneno
na kumhamasisha
kununua au kuwa na vitu
ambavyo wenyewe baadae
wanavitaja kama ushahidi.
Mtakuwa nao katika
darsa wanakuja na
simulizi za Waislamu
wa n a v y o u l i wa S y r i a ,
Somalia na kwingineko
duniani, ukitoa kauli ya
kulani makafiri na kutaka
iwepo Jihad ya kuwapiga,
wanarekodi wanaweka.
Wataendelea na mada na
mazungumzo ya mrengo
huo mpaka watosheke
kwamba sasa wametimiza
kazi waliyotumwa ya
kukubambikizia ugaidi.
Ukitizama katika kesi
nyingi za Marekani, katika
hizi Sting Operation zao,
wamekuwa wakiwatumia
r a i a wa o we n ye a s i l i
ya Kiarabu wanaojua
Kiarabu, Aya na Hadithi.
Wanakupa maelezo na
kukutolea Fatwah juu
ya masala mbalimbali.
Unakuwa huna wasiwasi.
Upo na Alim, Alima,
Sheikh au Ustadha na
Hajat. Wanatumia pesa
nyingi wenyewe wakidai
Inaendelea Uk. 13
10
Na Omar Msangi
WIKI iliyopita Star TV
katika kipindi chake
cha asubuhi, Tuongee
Asubuhi: Jicho Letu Ndani
ya Habari, walialikwa
vijana wawili kutoka
C h u o K i k u u , S A U T,
mada ya mjadala ikiwa
Jinsi vyombo vya habari
nchini vilivyoripoti tukio
la kigaidi lililotokea
Garissa nchini Kenya.
Kilichosababisha mada
hiyo kuonekana muhimu
k u j a d i l i wa n i k u wa
ilionekana kuwa jambo
hilo halikupewa uzito
mkubwa inavyostahiki
kulingana na uzito wa
tukio lenyewe. Badala
yake ni vyombo vya nje,
i k i t a j wa B B C , C N N ,
Aljazeera, ndio vilifanya
kazi kubwa kuwaarifu
watu juu ya kulichotokea.
H o j a i k a wa k wa n i n i
vyombo vya habari
havikulipa uzito jambo
h i l o n a b a d a l a ya k e
vyombo vya nje, ambavyo
vipo mbali na tukio
lenyewe ndio vikalishikia
bango.
Vi j a n a wa l i o a l i k wa
Juma Mudini na Humphre
Mgonja, kwa kutumia
nadharia ya taaluma zao,
kwa hakika waliutendea
haki mjadala. Ukizingatia
kuwa tukio lilikuwa kubwa,
watu wengi waliuliwa
inasemwa takriban 150,
pili ukizingatia ukaribu,
Kenya ni jirani zetu na
tatu kwa kuzingatia kuwa
ilishatolewa tahadhari
kuwa magaidi wangepiga
Kenya, Uganda na
Tanzania (Dar es Salaam,
Mwanza), vijana walijenga
hoja kuwa hiyo ilikuwa
habari ya kupewa uzito
mkubwa kabisa. Sahihi.
Wakaongeza kusema
kuwa vyombo vyetu vya
habari vinakosa kujijengea
kuaminika kwa jamii
na hata umaarufu kwa
makosa kama haya. Na
kinyume chake CNN, BBC,
wamejijengea kuaminika,
kutegemewa na umaarufu
kwa kazi kama hii
waliyofanya katika tukio
la kigaidi Garissa.
Nilishawahi kusoma
daladala moja imeandikwa,
Akikua ataacha. Kama
nilivyotangulia kusema,
kinadharia ya taaluma
zao vijana walionekana
kuitendea haki mada.
Lakini suala hili ni mada
tata, ni dhana ngumu,
Makala
AN-NUUR
Garissa, lilitanguliwa na
taarifa za ki-intelijensia
kutoka nchi za Magharibi
kuwa Kenya, Tanzania na
Uganda, zitashambuliwa
na magaidi wa AlShabaab/IS. Balozi za nchi
hizo zilisambaza taarifa
zikisema zimepata habari
za uhakika kuwa Kampala,
itapigwa hivi karibuni.
Vyombo vya habari
vya nchi hizo vikatoa
tahadhari kuwa tukae
macho maana IS watapiga
Dar es Salaam, Mwanza na
Garissa (Kenya).
Mchezo ukawa ule ule,
tunasubiri Makusanya
achome nyumba badala
ya kumuuliza X mtoa
tahadhari atueleze vizuri.
Ta a r i f a h i z i k a z i p a t a
wapi na atueleze kwa
kina na kwa kituo, huyu
Makusanya ni nani na
yeye wanajuana vipi?
Mbona kila wakati huyu
X anakuwa wakwanza
kujua kuwa Makusanya
atatupiga? Mbona huyu
Makusanya hampi taarifa
hizi za kutupiga Mchina,
Cuba au japo Urusi?
Hatukujiuliza maswali
hayo, wala si kawaida yetu
kujiuliza baada ya ufisadi
m k u b wa u l i o f a n y i wa
akili zetu. Walichofanya
Garissa, ni uongozi wa
Chuo Kubandika tangazo
la tahadhari katika mbao
za matangazo kuwa watu
wawe makini. Unakuwa
makini vipi dhidi ya
Bogey man na Monster?
Kuna watu wanacheza
kamari katika mpira hasa
katika Kombe la Dunia
(World Cup) au katika
ngumi kama zile za
akina Mike Tyson. Nchi
Y ikishinda nakupa Dola
milioni 10, ikishindwa
unanipa Dola milioni 10.
Pesa zinatolewa kabisa
zinakabidhiwa mahali.
Wa n a o c h e z a k a m a r i
kama hizi, wakishatoa
Dola milioni 10, huwa
hawasubiri kipenga
cha mwisho ndio wajue
wamekula au wameliwa.
Dola milioni 10 ni pesa
nyingi. Atafuatwa refa,
mlinda mlango na
m l o l o n g o wa m a m b o
kama hayo kuhakikisha
kuwa pesa haipotei.
Hiyo ni kamari ndogo
sana ya Dola milioni 10.
Sasa sikwambii mikakati
k a m a h i i ya k i d u n i a
katika huu utandawazi
na udhibiti wa dunia
Inaendelea Uk. 11
11
Inatoka Uk. 10
kijiografia na rasilimali
zake (hegemony) ambapo
inaonekana kwa hivi sasa
Vita dhidi ya Ugaidi
umekuwa ni mtaji mkubwa
wa mabeberu kuingia
popote wanapotaka na
kudhibiti mambo.
BBC, CNN, Dailymail
walivyoripoti Garissa
Kama ilivyotangulia
k u s e m wa , i l i k u wa n i
vyombo vya habari vya
Magharibi vilivyotoa
habari kuwa Afrika
Mashariki itapigwa na
Al-Shabaab/IS. Garissa
imepigwa. Sasa tutizame,
ni vipi waliripoti tukio
hilo.
Te r r o r i s t s b e h e a d
Christian students in worst
attack in country in 17 years.
Gunmen stormed Kenya's
Garissa University College
campus in dawn raid. The
death toll has risen to 147,
country's disaster response
agency said. Al-Shabaab
claimed responsibility for
the latest terrorist atrocity in
Kenya. Some Christians were
beheaded and four terrorists
have been killed. Terrorists
strapped themselves with
explosives and exploded when
shot.
Ndivyo walivyoripoti
Darren Boyle Jenny
Stanton wa gazeti la Daily
Mail la Uingereza. Ufupi
wa maneno wakisema
kuwa pamoja na kuuliwa
watu 147, lakini kulikuwa
na visa vya kuchinjwa
wa n a f u n z i Wa k r i s t o .
Wakifafanua kuwa Al
Shabaab walipovamia,
walifanya zoezi la
kuwatambua Wakristo na
kishwa kuwachinja.
Slaughter began as
students prayed, kiliripoti
chombo kingine cha habari
kikidai kuwa Al-Shabaab
waliwavamia wanafunzi
Wa k r i s t o wa k i wa
katika MISA na kuanza
kuwachinja.
They burst into a room
where Christians had
gathered and took hostages,
the terrorists sprayed
bullets indiscriminately.
Then they proceeded to the
hostels, shooting anybody
they came across except
their fellows, the Muslims.
Hivyo
ndivyo
ilivyoripoti CNN ambayo
ilisifiwa na vijana wetu
wa SAUT. AP, AFP na
Makala
AN-NUUR
Inaendelea Uk. 12
12
MAKALA
AN-NUUR
Ambao hatujapeleka,
t u t a a m b i wa h a wa n i
m a g a i d i t u , h a wa n a
sababu, ni watu tu
wabaya, katili wasiona
vibaya kuuwa watu wasio
na hatia, na hasa Wakristo.
Au tutaambiwa wanataka
kusimamisha Shariah Dar
es Salaam na Mwanza.
Wiki iliyopita tulieleza
kisa cha Bogeyman
hawara wa mama wa
vijana Willy na Lacey.
Awali hawara huyu
alikuwa mtu halisi, lakini
miaka 20 baada ya kufa,
akaja kama jinamizi.
Aliwahangaisha sana
Willy na Lacey.
Al-Shabaab kwa asili
ya k e n i wa t u wa p o ,
ni taasisi ipo ikiwa na
malengo yake ya ndani
ya Somalia. Lakini kwa
kutumia Al-Shabaab
halisi, tumetengenezewa
Bogey man, Monster,
zimwi na jinamizi AlShabaab ambalo lina
uwezo wa kuingia katika
miji yetu likapiga mbele
ya macho ya makachero
wetu, polisi, jeshi na
likaondoka bila ya
kuonekana.
Maadhali akili zetu
zimefisidiwa, zimejazwa
ufisadi na kuamini kuwa
kuna zimwi Al-Shabaab,
lililopiga Kampla, likapiga
Westgate, Nairobi, sasa
limepiga Garissa, wala
tusijidanganye kuwa tuna
uwezo wa kupambana
nalo.
Rais Uhuru Kenyatta
anasema kuwa anaongeza
kusomesha maofisa wa
polisi, hizo ni porojo
tu. Wameuliwa Sheikh
Aboud Rogo, Makaburi na
Masheikh wengi tu, kwa
kunasibishwa na Jinamizi
Al Shabaab. Na ATPU,
wataendelea kuuwa
Wakenya wasio na hatia
kama wanavyotamba
wenyewe kwamba,
h a wa k a m a t i m t u n a
kumpelekea mahakamani,
wanammaliza tu.
Lakini pamoja na hayo,
leo tunazungumzia
mashambulizi ya
G a r i s s a . Wa t u 1 5 0
wameuliwa.
Hii maana yake ni
kuwa kama tutabakia
na akili hizi za kupewa
n a k u s h i k i l i wa , z a
jinamizi Al Shabaab,
tutapigwa Garissa na
pengine popote, wala
kauli za kujizatiti,
kujiandaa, kuzidisha
ulinzi hazitatusaidia
kitu.
Kama ambavyo
watoto huacha
k u l o we s h a v i t a n d a
wakikua, naamini
kuwa vijana wetu
walioshusha nadharia
Star TV wakiyajua haya
watafahamu kuwa
vyombo vya magharibi
vina agenda gani katika
kupambia kitisho cha
ugaidi. Kule Nigeria
wa l i f i k a m a h a l i p a
kutumia picha za watu
walioungua katika ajali
ya lori la mafuta Congo
DRC, wakadai kuwa ni
Wakristo waliochomwa
moto na Boko Haram!
Kwa nini? Kukuza
kitisho cha jinamizi
Boko Haram, pili
kupandikiza chuki
na fitna mchinjane
wenyewe
kwa
wenyewe. Machafuko
yakikolea, wanakuja
kikachero na kijeshi
k wa k i s i n g i z i o c h a
kuwasaidia. Mnaingia
katika utando wao wa
kijeshi. Mmeshikwa
hamtoki. Na ili msitoke
lazima kisingizio cha
kitisho cha jinamizi
la ugaidi kiendelee.
Nyinyi ni kupigwa tu
daima dumu.
Bila ya vyombo vya
habari vya kusambaza
uwongo, propaganda
na porojo, hakuna
ugaidi. Sasa hawa wapo
kazini. Ni vyombo
muhimu kwa mikakati
ya mabeberu.
USAJILI
S.2401
KWA WASICHANA TU
MASOMO
USAJILI
S.4384
KWA WAVULANA TU
13
Makala
AN-NUUR
Hijrah
Inatoka Uk. 8
Kumtumikia Allah (s.w)
ni kumfanya Allah (s.w)
kuwa ndiye Bwana (Rabb)
wetu pekee ambaye ndiye
pekee tunayepaswa
kumtii kwa unyenyekevu
kwa kufuata barabara
mwongozo wa maisha
aliyotuwekea. Utiifu na
unyenyekevu wetu kwa
Allah (s.w) utadhihiri
pale tutakapopania kwa
moyo mkunjufu kutenda
yale yote aliyotuamrisha
n a a n a y o ya r i d h i a n a
kujiepusha mbali kutenda
yale yote aliyotukataza na
yanayomchukiza katika
kuendeza harakati za
maisha yetu yote ya kila
siku. Ibada kwa mtizamo
huu inamuhusu kila mtu
binafsi na jamii kwa ujumla.
Ili kila mtu amuabudu
Allah (s.w) inavyostahiki,
jamii inawajibika kuweka
mazingira ya kumuabudu
Allah(s.w) katika kila
kipengele cha maisha kwa
muda wote kwa kuunda
d o l a ye n ye m a m l a k a
k a m i l i ya k u a m r i s h a
mema yanayoleta furaha
na amani katika jamii na
kukataza na kuyatokomeza
maovu yanayoleta huzuni
na vurugu katika jamii.
Kutokana na maelezo
yaliyotangulia tunaweza
kusema kuwa Waislamu
tunalazimika kujifunza ili
kwa kuzingatia matendo
ya watu binafsi na jamii
zilizopita tuweze kubakia
katika lengo la maisha yetu
ya kibinafsi na kijamii na
kufuata njia iliyonyooka
(njia ya Allah) kwa kuigiza
mwenendo wa watu wema
waliofaulu katika maisha
ya hapa ulimwenguni
na kubashiriwa pepo na
kujiepusha na mwenendo
wa watu waovu waliofeli
katika maisha ya hapa
ulimwenguni na wengine
wakaangamiziwa
mbali na katika akhera
wameahidiwa adhabu
kali ya motoni. Ni
kumbukumbu za Historia
pekee zitakazo tuwezesha
kuishi kulingana na
mazingira ya dua
tunayoiomba katika kila
rakaa ya swala zetu katika
kusoma Suratul-Faatiha.
Amesema Allah
(Subhaanahu wa
Taala): Tuongoe njia
iliyonyooka (Al Fatha
1:6).
Njia ya ulio
waneemesha, siyo ya walio
kasirikiwa, wala walio
potea. (Al Fatha 1:7).
Wa l i o n e e m e s h w a
kupenyeza Vijibwa
w e n z a o wa M o t o n i
kwenye safu za Waislamu,
na wakaweza kutumikiwa
n a Wa i s l a m u k w a
kutekeleza mipango yao
ya Kistratejia ili kuvuruga
safu, kupandikiza
uhasama/farqa/uwadui
b a i n a y a Wa i s l a m u
wenyewe kwa wenyewe.
Kama Walivyotumia fursa
hiyo Mayahud kama vile
Abdallah bin Saba, Kemal
Mustafa Atturk na hivi
sasa Abu Bakr al-Baghdad
Ambaye amejitangazia
kuwa khalifah wa Dola ya
Kiislamu (Syria na Iraq)
nk.
L e o l i c h a ya h i v y o
kwenye safu zetu
z a j u m u i ya z e t u z a
Kiislamu kuna Vijibwa
vyeusi wa Motoni
ambao wamejipenyeza
na kuvuruga mambo/
Stratejia yetu ya
kusimamisha Uislamu
katika Jamii na kumkufuru
Maluuni (Twaaghuut)
na watumishi/mawakala
wa o . H i v y o n i m e t a j a
au kuonyesha kadhia
mbalimbali kama Facts
(hakika) zile zinazonihusu
moja moja na ambazo
nimezishuhudia kwenye
Jumuiya zetu za Dini, kwa
jinsi ambavyo tunafanya
makosa makubwa kwenye
TASNIA YA DAAWAH,
na kuwapa maadui zetu
fursa ya kutuangamiza
mmoja baada ya mwingine
na kuvuga kabisa Stratejia
ya Kidaawah.
Inatoka Uk. 8
kuwa ni namna ya
kuwakamata magaidi na
kuwashugulikia kabla
ya kufanya shambulio la
kweli.
Lakini ukitizama,
wanacholenga sio hicho.
Ile kukamatwa Asia
akafungwa, sio wanalotaka
kwamba wamemkamata
kabla ya kufanya ugaidi
wa kweli. Tangu hapo
kama wasingekuwa wao
kumkamatisha, Asia
asingeweza kufanya
l o l o t e . Wa n a c h o t a k a
wao ni kuhuisha kitisho
cha ugaidi. Hivi sasa
wanatumia kukamatwa
N o e l l e Ve l e n t z a s n a
Asia Siddiqui, kupiga
propaganda ya kile
wanachoita ugaidi
wa IS kutoka ndani ya
Washington na New York
(home grown).
Hebu fikiria itangazwe
kuwa akina mama wawili
wakamatwa wakijiandaa
kufanya shambulio la
kigaidi jijini Mwanza.
Halafu wanatolewa akina
mama wa moja ya Darsa za
akina mama jijini Mwanza
wakiwa na Hijabu zao.
M a g a z e t i ye t u k a b l a
h a ya j a p i g i wa n g o m a ,
wa n a c h e z a , u n a we z a
kufikiria yatachekelea
kwa kiasi gani. Na ni
kwa kiwango gani tukio
hilo, iwe la kweli au la
kubambikiwa kama hili
la akina Asia, litakavyotia
14
Makala
AN-NUUR
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Abu Bakar Mohammed
I b n Z a k a r i ya a l - R a z i
mtaalamu huyu ndie
aliyenisukuma kusoma
juu ya wanasayansi wa
Kiislamu kutokana na
bughdha ya mwalimu
wangu wa Utibabu wa
Miti (Plant Pathology)
ambaye aliniadhibu
kwenye somo hili kwa
kunielezea kinaga ubaga
kuwa sitofuzu somo hilo.
Daktari huyo alikuwa siku
zote akiwataja wataalamu
hao ninawaelezea katika
makala zangu hizi na
kunitaka mie niwaelezee
kwenye kadamnasi
ya darasa ikiwa yeye
mwenyewe akiwajua juu
juu. Nikitumia muda
wangu mwingi kwenye
Maktaba kuwasoma
magwiji hawa. Mwalimu
huyu hakuwa anajua kuwa
ananijengea msingi wa
kuwafahamu wajuzi hao
ambao baadaye nitachukua
kalamu na kuicharaza
kuwaelezea wenzangu nao
kuweza kuwaelewa.
Sitopenda kumtaja jina
lake huyo mwalimu humu,
bali nitaliweka jina lake
kwa harufu ya mwanzo
Daktari M akiwa hai Mola
ampe uzima na afya akiwa
amefariki Mola amlaze
pema Peponi, Ameen, na
wale wote walionisaidia
katika Chuo Kikuu cha
Gharyounus, BenghaziLibya nawatakia kila la
kheri.
Ni nani Abu Bakar
Muhhamd bin Zakariya
Al-Razi? Al-Razi au
kama anavyoitwa katika
ulimwengu wa Magharibi
Rhazes au Rasis alikuwa
gwiji mahiri katika
miaka ya kati kwa uwezo
aliokuwa nao na ufahamu
katika elimu ya utibabu.
Katika nyakati zake
aliweza kulinganishwa
na Ibn Sinna (Avicenna).
Ut apot aka kuwaweka
katika mstari mmoja baina
anuwani ya Firdaus ul
Hikma ambayo kazi hii
iliandikwa kwa kuratibiwa
15
UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA
CHEMSHA BONGO
Makala
AN-NUUR
falsafa.
Baadhi ya vitabu vyake
Mbali ya kitabu cha alHawi ameandika Isbateh
Elmeh Pezeshkiutangulzi
juu ya Sayansi ya
Utibabu, Dar Amadi bar
Elmeh Pezeshki, Rade
Naghzotibbeh Nashi,
kitabu kinachoelezea
majaribio ya Sayansi ya
Utibabu na ungozi jinsi
ya kukitumia, Kenash,
kutafautisha juu ya
maradhi, kitabu chenye
m a e l e z o ya k u j i p o n a
pasipokuwa na tabibu,
k i t a b u k i f u p i j u u ya
muhtasari wa utibabu,
kitabu juu ya vyakula na
maradhi yake, al-Judari wa
al-Hasbah (Maelezo juu ya
Ndui na Shuruwa), Ketab
dar Padid Amadaneh
Sangrizeh alichokiandika
kwa kifursi juu ya mawe
kwenye mafigo, kitabu
juu ya kuumwa na meno,
Dar Hey'ateh Kabed.
Akaandika kitabu juu
ya v ya k u l a a m b a v y o
mgonjwa anavyotakiwa
kuvila anapougua. Kitabu
cha vyombo vya kufanyia
upasuaji, kitabu juu ya
mafuta, kitabu juu ya
wanawake wanapoingia
katika siku zao, kitabu
juu ya sumu hii ni orodha
ndogo sana ya vitabu
vyake.
Makala
ijayo
nitamuelezea gwiji wa
elimu ya kemia, Jabir Ibn
Haiyan (Geber) ambaye
alibobea katika elimu ya
Sayansi ya maumbile na
ya Kijamii.
16
Na Salum Bendera
NI kwa muktadha huo, ndio
maana tunapata kuwa suala
la ndoa limehesabiwa na
dini zote za mbinguni kuwa
ni jambo tukufu na muhimu
mno, na takribani dini
zote hizo zina mafunzo na
maelekezo maalumu kwa ajili
ya suala la ndoa na kufunga
pingu za maisha. Hata katika
jamii zilizobakia nyuma
kabisa na ambazo pengine za
majangwani, utaona katika
historia kuwa, ndoa lilikuwa
jambo lililoheshimiwa na
kupewa umuhimu maalumu.
Dini zote za mbinguni
zinalitazama suala la ndoa
k wa j i c h o m a a l u m u l a
utukufu. Hata hivyo kati ya
dini zote hizo za mbinguni,
hakuna dini ambayo imeweka
sheria za kushajiisha ndoa,
maalumu na tukufu kama
dini Tukufu ya Kiislamu.
Kwa hakika familia ni kituo
na taasisi tukufu ambayo jiwe
lake la msingi huwekwa kwa
jinsia mbili yaani jinsia ya
kike na ya kiume kuoana na
kituo hicho hukamilika mara
wanapozaliwa watoto ambao
huja na kuimarisha misingi
na nguzo za familia hiyo.
Wananadharia wanaamini
kuwa, familia ndio taasisi
ya kwanza kwa ajili ya
kukidhi mahitaji ya maisha,
huba na kubakia jamii.
Familia ni nguzo ya jamii na
inahesabiwa kuwa ni msingi
muhimu. Uislamu umeweka
mipango na mikakati
maalumu ya kuboresha
familia, kiasi kwamba, Bwana
Mtume Muhammad (SAW)
amesema:
"Hakuna jengo lililojengwa
katika Uislamu ambalo
ni tukufu zaidi na lenye
kupendwa zaidi mbele ya
Mwenyezi Mungu kuliko
kuoana (ndoa)."
Utendaji wa familia
katika jamii ni sawa kabisa
na utendaji wa seli katika
kiumbe hai, kwani kwa
kadiri seli hizo zinavyokuwa
salama zaidi na zenye nguvu,
ndivyo ambavyo mwili wa
kiumbe hai, unavyokuwa
salama na wenye nguvu
zaidi. Ndoa baina ya mke
na mume, ni mfungamano
wa kimaumbile na mahaba
baina ya wanandoa hao,
mfungamano ambao ni
wa lazima kwa shabaha
ya kuendeleza kizazi cha
mwanadamu. Hata hivyo,
mtazamo huu unahitajia
miongozo na usimamizi,
kwani kinyume na hivyo,
utaleta madhara na uharibifu.
Katika Uislamu kuna
v i g e z o v i l i v y o a i n i s h wa
kwa ajili ya kujenga familia.
Kadiri nguzo zinazounda
familia zitakavyotabikiana
na kuoana na vigezo hivyo,
basi ni kwa kiwango hicho
hicho ustahiki na ubora
utakavyokuwa.
Kwa kuzingatia kwamba,
familia ina nafasi muhimu
katika saada na kutengemaa
au nakama, ihlaki na
kuharibika watu katika kila
jamii, Uislamu umetilia
mkazo maalumu juu ya suala
la ndoa na kujenga familia,
na likaweka vigezo vya tabia
na maadili katika suala zima
la kuchagua mke. Ndoa
yenye saada na mafanikio
ni ile ambayo misingi yake
imesimama kwa ajili ya
kuunda familia salama,
Makala
AN-NUUR
mipaka na kuanza
kutambulisha ndoa ambazo
zinakinzana kabisa hata na
maumbile ya mwanadamu.
Tunashuhudia hii leo katika
ulimwengu wa Magharibi
kukieneza ndoa za watu
wa jinsia moja, yaani ndoa
baina ya mwanaume na
mwanaume au baina ya
mwanamke mna mwanamke,
kitendo ambacho kimsingi
sio ndoa na wala haifai kuita
mafungamano hayo kuwa ni
ndoa, bali ni uchafu ambao
jina lake hasa ni usenge, liwati
na usagaji. Nukta ya kutilia
maanani hapa ni kwamba,
dini zote na madhehebu zote
zinavitambua vitendo cha
usenge, ubaradhuli, liwati
na usagaji kuwa ni dhambi
kubwa na kinyume kabisa na
maumbile ya mwanadamu
na zinawaonya wanadamu
kujihusisha na vitendo hivyo.
Tab'an, hii leo ulimwengu
wa Magharibi unakabiliwa na
tatizo jingine nalo ni maisha
ya kuweko mzazi mmoja
kila familia. Yaani baadhi
ya familia zina baba tu au
mama tu na hivyo kupelekea
kuweko hali ya kulegalega
ndani ya familia hizo. Hii leo
kuna nchi nyingi barani Ulaya
ambapo asilimia 50 hadi
80 ya watoto wamezaliwa
nje ya ndoa. Ufaransa na
nchi za Scandinavia ni
miongoni mwa nchi hizo.
Katika kipindi cha maisha
yao yote, watoto hawa huishi
na mzazi mmoja au kutoishi
na wazazi wao wote wawili
kutokana na kulelewa katika
vituo maalumu vya malezi
ya watoto. Utafiti uliofanywa
unaonyesha kuwa, watoto
17
TANGAZO
AN-NUUR
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L
DAR ES SALAAM
Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTSnaBIASHARA.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao
(internet) katika kujifunza.
Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :
Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns
Ufaulu usiopungua Daraja la Credit au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na
Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).
AU
Ufaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha Credit bila kujali daraja alilopata mtahiniwa
kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Aprili, 2015.
Arusha
- Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.
18
Makala/Habari
AN-NUUR
SHUKRANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi
wa viumbe vyote na
tunamtakia zawadi
ya rehema na amani
zimfikie Bwana wa
Manabii na Mitume,
Bwana wetu Muhamad
na jamaa zake na
Sahaba zake na wale
wote wenye mwisho.
Ewe Mwenyezi
Mungu tufundishe
yale yenye manufaa
na utunufaishe kwa
yale tuliojifunza na
utuongoze katika
elimu na utupe ujuzi
wa dini, Mwenyezi
Mungu tukubalie.
Baada ya utangulizi
huu mfupi, umepangilia
Uislamu mahusiano
ya kibinadamu katika
dunia hii na kufanya
mahusiano hayo ni ya
aina mbili, mahusiano
kati ya mtu na
Mungu wake, nayo ni
kumuabudu Mola wake
mlezi peke yake na
bila ya kumshirikisha
na kitu chochote, na
m a h u s i a n o k a t i ya
viumbe sisi kwa sisi.
Uislamu umehimiza
na kuushughulikia
uhusiano kati ya mtoto
na wazazi wake wawili.
Laiti tukiiangalia
Q u r a n i t u k u f u
tungeona sehemu
nyingi zilivyojipanga
juu ya mahusiano
ya k i b i n a d a m u n a
kuyafanya mahusiano
ya mwanzo kabisa ni
kati ya mja na Mola
wake mlezi kisha
anataja hapo hapo
mahusiano ya wazazi
wawili kama ilivyokuja
katika surat Nisai,
anasema Mwenyezi
Mungu mtukufu,
Na muabuduni
Mwenyezi Mungu
wala msimshirikishe na
chochote na wafanyieni
wema wazazi wawili
na jamaa na mayatima
na masikini na jirani
wa karibu na jirani
wa mbali na rafiki wa
ubavuni na mpita njia
na walio milikiwa na
mikono yenu ya kulia,
hakika Mwenyezi
M u n g u h a wa p e n d i
wenye kiburi wanao
jifaharisha. Surat Nisai,
aya ya (36) na katika
Surat al-An-aami
amesema Mwenyezi
Mungu mtukufu, Sema
njooni nikusomeeni
aliyokuharamishieni
Mola wenu, nayo ni
kuwa msimshirikishe
yeye na chochote
na wazazi wenu
wafanyieni wema,
wala msiwaue watoto
wenu kwasababu
ya umasikini, sisi
tunakuruzukuni ninyi
na wao, wala msikaribie
mambo machafu
ya n a y o o n e k a n a n a
yanayofichikana, wala
msiue nafsi ambayo
Mwenyezi Mungu
ameiharamisha kuiuwa
ila ikiwa kwa haki, hayo
amekuusieni ili myatie
akilini. Surat al-Anaami aya ya (151).
Na katika Surat
al-Israi amesema
Mwenyezi Mungu
mtukufu, Na Mola
wako mlezi ameamrisha
kuwa musimuabudu
yeyote isipokuwa yeye
tu, na wazazi wawili
muwatendee wema,
mmoja wao akifikia
uzee naye yuko
kwako au wote wawili
usiwakemee na sema
nao maneno mazuri.
Israiaya ya (23).
Na katika aya hizi
tukufu na nyinginezo
tunafahamu kwamba,
kuwatii wazazi wawili
na kuwafanyia ihsani
na wema na kuishi nao
vizuri ni muhimu sana
kuliko wajibu mwingine
wowote mwengine. Na
haya ndio mahusiano ya
mwanzo kabisa kuliko
hata mah usian o ya
mtu mwingine katika
maisha haya ya dunia.
Na sisi tunajua
mambo yaliyopo katika
jihadi ya Mwenyezi
Mungu kutoka daraja ya
juu katika Uislam na ina
ubora kiasi gani lakini
pamoja na yote hayo,
kuwatii wazazi wawili
ni bora sana kuliko
jihadi na hasa pale
wanapokuwa wazazi
hao hawana mtu yeyote
wa kuwahudumia
isipokuwa motto/
watoto pekee.
Imepokelewa toka
kwa Abdallah bin
Masoud (ra) amesema,
Nilimuuliza Mtume
(saw) ni amali gani
anayoipenda sana
M we n ye z i M u n g u ?
A k a s e m a k u s wa l i
katika wakati wake.
Nikasema kisha nini?
Akasema kuwafanyia
wema wazazi wawili.
Nikasema kisha nini?
Akasema jihadi katika
d i n i ya M w e n y e z i
Mungu. Ameipokea
Imamu Bukhari.
Akasema Mtume
(saw) kwamba kuwatii
wazazi wawili ni
bora baada ya swala
ya faradhi, ambayo
ndiyo mahusiano kati
ya binadamu na Mola
wake mlezi, nayo ni
nguzo muhimu katika
Uislamu na akapangilia
hayo kwa neno kisha
ambalo humaansiha
juu ya utaratibu na
akaitanguliza twaa ya
wazazi wawili kwanza
kabla ya jihadi katika
d i n i ya M w e n y e z i
Mungu mtukufu.
Na alikuja mtu
mmoja kwa Mtume
(saw)
akasema
Ninachukua ahadi juu
ya kuhama na jihadi
ninahitaji malipo toka
kwa Mwenyezi Mungu.
Akasema Mtume (saw)
Je unao wazazi wawili
au mmoja wao yupo
hai? Akasema ndiyo
bali wote wawili wapo
hai. Akasema je wewe
unataka malipo toka
kwa Allah? Akasema
ndio. Akasema
rudi kwa wazazi
wa k o wa w i l i k i s h a
ishi nao vizuri kama
walivyokulea wewe
ulipokuwa mdogo
Muslim.
Na akaja mtu mmoja
kwa Mtume (saw)
akasema Ni mekuja
kuchukua ahadi ya
kuhama na jihadi na
nimewaacha wazazi
wangu wawili wanalia.
Mtume akasema,
rudi kwa wazazi
wako ukawachekeshe
kama ulivyowaliza
Tirmidhiyi.
Na Alihama mtu
mmoja miongoni mwa
watu wa Yemen. Mtume
(saw) akamuuliza je,
kuna yeyote huko
Ye m e n ? A k a s e m a
Wa z a z i wa n g u
wawili Akauliza
Wa m e k u r u s h u ?
Akasema Hapaha
rudi kwao ukawaombe
ruhusa na kama
utaruhusiwa basi
nenda jihadi na kama
hawajakuruhusu basi
wafanyie wema: Abuu
Daudi.
Mtume (saw)
amesema katika kuwatii
z a z a z i wa w i l i m t u
asiende katika jihadi
isipokuwa kwa ruhusa
zao. Na hili ni katazo
la kuacha kutoka kenye
jihadi isipokuwa kwa
ruhusa zao muda ule
ambao hujapata amri
ya mzazi.
A l i wa h i k u j a m t u
mmoja kuja kwa Mtume
wa Mwenyezi Mungu
akamuomba ruhusa ya
kwenda katika jihadi,
akaulizwa je, wapo hai
wazazi wako? Akasema
ndio. Akasema
Kwa kuwahudumia
wazazi wako ni jihadi.
Bukhari.
Na jihadi kwa
wazazi wawili
inakuwa ni kuwatii na
kuwahudumia pamoja
na kuwalisha na hasa
pale mtoto anapokuwa
na uwezo na wao
hawana uwezo na wao
pia ni watu wazima.
N a
p a l e
wanapokukataza
jambo au kukuamrisha
japo kwa ishara kwa
sababu wao ni wenye
kukunasihi zaidi
wewe kuliko wewe
unavyojinasihi, hata
kama utakuwa na
marafiki au ndugu,
lakini sikiliza maneno
ya wazazi na maelekezo
yao, tena uwatii katika
mambo mema na
useme nao kwa upole
na a d a b u na u ta ke
ushauri katika mambo
yako na wala usiwakate
mazungumzo yao,
wala usiinue sauti yako
kwao na usiwatazame
kwa hasira wala kwa
dharau na wala usiinue
mkono wako wakati
wa kuongea nao, wala
kuonyesha kidole, wala
usijadiliane nao na
usiwaongopee, na wala
usiwambie waongo na
usisafiri isipokuwa kwa
ruhusa yao na kukubali
kwao na ndio ihsani
yao.
Kutoka kwa Muawia
Assalami (ra) amesema
nilimwendea Mtume
nikamwambia, Mimi
nimejiandikisha niende
vitani pamoja na wewe
kwa kutaka radhi za
Mwenyezi Mungu na
pepo yake. Akasema
ole wako, je yu hai
mama yako? Nikasema,
ndiyo ewe Mtume wa
Mwenyezi Mungu.
Akasema Sikia,
shikamana na miguu
yake kwani hapa ipo
pepo. Ameipokea
Ibnu Maja na maana
ya kushikamana na
miguu ya mama ni
Mtii na unyenyekee
kwani kufanya hivyo
ni sababu ya kuingia
peponi.
Tunamuomba
Mwenyezi Mungu
atujaalie tuwe
miongoni mwa wale
wa n a o wa t i i wa z a z i
wa o , k u wa r i d h i s h a
mama zao na atufufue
pamoja na Manabii na
Mitume na watu wema,
tuwe na urafiki mwema
nao. Ewe Mwenyezi
Mungu mpe rehema
na amani Bwana wetu
Muhamad na jamaa
zake na Sahaba zake kwa
wingi, nashukrani zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi wa
ulimwengu.
M a k a l a
h i i
imeandaliwa na Sheikh
Salah Sayed Huseni
Miftah, mwalimu wa
al-Azhari Sharif tawi
la Tanzania
19
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
outrageous violation
of her parliamentary
immunity. It also referred
to the obnoxious living
conditions of Palestinian
political prisoners in
Israeli jails and the policy
of collective punishment,
suppression and solitary
confinement imposed on
them by the Israeli prison
administration.
Fifteen PLC members
have faced administrative
detention including eight
against whom military
have been issued.
The Committee
called on the High
Contracting Parties
to the Fourth Geneva
Convention, the IntelParliamentary Union,
the Euro-Mediterranean
Parliamentary Assembly
and international legal
institutions to intervene
and exert pressure on
Israel to immediately and
unconditionally release
Jarrar and all male and
female detainees in Israeli
jails.
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
Na Abu Yusufu
ILE KESI iliyofunguliwa na
Masheikh katika Mahakama
Kuu dhidi ya Mwanasheria
M k u u wa S e r i k a l i wa
Jamhuri ya Muungano
Ta n z a n i a , k u p i n g a
utaratibu wa serikali kuipa
BAKWATA uwezo rasmi
wa kisheria kusimamia
mambo ya Waislamu na
kuteua Makadhi nchini,
imeondolewa lakini kwa
serikali kupewa masharti.
Wa k a t i s h a u r i h i l o
l i l i p o a n z a k u s i k i l i z wa
Jumatano wiki hii katika
Chamber Court No:68 ya
Mahakama Kuu ya Tanzania,
Majaji watatu wanaosikiliza
shauri hilo No 17 la 2015, Jaji
Stella Mugasha, Jaji Sylvester
Mziray na Jaji Suleiman
Kihiyo, waliwaomba
Mawakili wa Masheikh hao
wakiongozwa na wakili Juma
Nassor, kuiondoa kesi hiyo
ikizingatiwa kwamba tayari
muswada wa mahakama
hiyo umeshaondolewa na
serikali na hautapelekwa
tena Bungeni.
Jamani pamoja na
kwamba kesi hii imekuja
kusikilizwa leo (Jumatano),
lakini taarifa rasmi ambazo
na Mahakama inazitambua
ni kwamba, huo muswada
ambao unaleta malalamiko
umeondolewa Bungeni,
haupo tena. Kwa hivyo
mnasemaje? Sisi kwa maoni
yetu tunaomba kesi hii
iondolewe. Walishauri
kukamatwa wakihusishwa
na mashambulizi hayo
na kudaiwa kuwa,
Wa n a m g a m b o w a n n e
waliofanya mauaji hayo ya
maangamizi waliuawa na
vyombo vya usalama.
Hata hivyo vyombo
vya habari nchini Kenya
vinavilaumu vyombo vya
usalama kwa kuchukuwa
muda mrefu kabla ya kutuma
wanajeshi katika eneo hilo la
mauaji.
Gazeti la Nation lilisema
iliwachukuwa wanajeshi
kiasi cha saa saba kufika
Garissa baada ya kupokea
taarifa za awali juu ya
mashambulizi hayo.
Kwa mujibu wa gazeti
hilo, vyombo vya usalama
vilifika kwa mwendo wa
taratibu sana ikilinganishwa
na waandishi wa habari
waliotoka Nairobi, umbali
wa kilomita 635.
Hata hivyo, msemaji wa
Wizara ya Mambo ya Ndani,
Mwenda Njoka, aliitetea
kasi ya kutumwa kwa vikosi
vya usalama akisema huwa
inachukua muda mrefu
kutathmini na kufanya
maamuzi.
"Kutoka Kamati ya
Ushauri wa Usalama wa Taifa
kwenda Baraza la Usalama
wa Taifa na kisha kukusanya
vikosi, kuvipeleka uwanja
wa ndege na kuwasafirisha
hadi Garissa, ambao ni
mwendo wa masaa mawili
kwa ndege." Alinukuliwa
akisema msemaji huyo.
Hata hivyo kuna taarifa
iliyopatikana siku ya
Jumapili (Aprili 5) kwamba
mmoja wa washambuliaji
hao wa Chuo Kikuu Garisa,
upande wa Majaji.
Hata hivyo kabla ya
kufikiwa maamuzi hayo,
Mawakili wa upande
wa utetezi waliomba
k u s h a u r i a n a n a wa t e j a
wao kwanza, ambao ni
Masheikh waliofungua kesi
hiyo, Sheikh Sheikh Rajabu
Katimba, Sheikh Fadhili
Chambo, Sheikh Juma
Ramadhan na Ramadhan
Lwambo.
Baada ya kushauriana
walikubaliana kuiondoa kesi
hiyo lakini kwa masharti.
Kwamba wanaiondoa
kesi mahakamani lakini
wanakuwa huru kuiwasilisha
tena Mahakamani hapo,
endapo serikali bado
itaendelea na msimamo
wake wa kuwasilisha sheria
Bungeni, ambayo itaendelea
kuitambua taasisi moja ya
Bakwata na kumtambua
Mufti kuwa ndiye mtu
ambaye atateuwa Mahakama
ya Kadhi na kusimamia
Mahakama ya Kadhi.
Vile vile waliweka
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.