Вы находитесь на странице: 1из 20

facebook: annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1172 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 10-16, 2015

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST


(6) MANUFAA YA HIJA

Mtume(saw) amesema, Mwenye kwenda


kuhiji akifa safarini anatiwa Peponi. Akirudi
salama kwao anarudishwa na ujira mkubwa
na zawadi nyingi. Hija humnufaisha
anayekwenda na watu wake kutokana na
"ZAWADI" za Allah kwa wageni wake.
Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja
ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola
2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa
huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana
nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480;
BEI TShs 800/=, Kshs 50/= 0717224437.

Kwenda kupigana Somalia ni Ukafiri


Ukifa, ukisalimika, Motoni Jahannamu
Acheni akinamama wasome, walee kizazi
Wasomali wanahitaji mchele, sio risasi

Na Mussa Ame

WA N A P O P I G A N A
Waislamu, wote motoni.
Anayekwenda Somalia,
a na kwe nda kununua
moto wa Jahannamu.
Kwani atakwenda
kupigana na jeshi la
Serikali ya Somalia ambao
wote ni Waislamu.
At a wa u a Wa i s l a m u

wenzake, au atauliwa yeye


na Waislamu wenzake.
Madalali wa kupeleka
vijana Somalia, waache
biashara hiyo mbaya.
Madalali ambao huwa
hawajali mpaka wanawake
pia wanawachuuza.
Wanajali mapato ya
dunia, bila kuangalia
mustakbali wa Akhera.
(Soma Uk. 6, 7)

Lipumba atembelea
Masheikh gerezani
Wasikitika kubambikiziwa ugaidi
Walaumu utendaji kazi wa Polisi

MASHEIKH Farid Hadd

Picha juu; Akina mama wa Kisomali wakisubiri chakula cha msaada. Picha
chini Waislamu wakiswalia maiti nchini Somalia.

SHEIKH Mselem Ally

Hofu ya Ugaidi Mwanza


Ujinga ndio utatuponza

Tahariri/Maoni yetu
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Hofu ya Ugaidi Mwanza


Ujinga ndio utatuponza
HOFU ya Ugaidi
Mwanza. Hicho ni
k i c h wa k i m o j a c h a
habari katika moja ya
magazeti yetu nchini,
wiki hii.
Ugaidi ni tishio la
uhakika, tujipange. Ni
makala katika gazeti hilo
hilo ikizidi kusisitiza juu
ya kitisho cha ugaidi.
Mambo 10 ya
kujiokoa na shambulio
la ugaidi. Ni kichwa
kingine cha habari
kilichobeba habari kuu
ya gazeti jingine wiki hii.
Kuanzia kichwa cha
habari mpaka yaliyoko
ndani, habari imejaalia
na kutukubalisha
kuwa ugaidi tunao,
ila kilichobaki ni
kupeana elimu juu ya
namna ya kujinusuru
walau kupunguza
kiwango cha madhara
tunaposhambuliwa.
Ujumbe huo ni sawa
lilivyosema gazeti
jingine katika tahariri
yake likisema: Bomu
likilipuka, risasi zikilia,
tufanyeje?
Ukisoma makala
na habari zote hizo,
kubwa linaloelezwa ni
mambo manne. Kwanza
kushindilia uwepo
wa kitisho cha ugaidi.
Pili, ni kama namna
ya kuwatayarisha
wananchi kisaikolojia,
wa j i a n d a e k u p o k e a
kipigo cha magaidi
hao. Ndio maana ya
kuambiwa Mambo 10
ya kujiokoa, na pale
tulipoambiwa Bomu
likilipuka, risasi zikilia,
tufanyeje?
Tatu, kuhimiza watu
kuchukua tahadhari,
l a k i n i k u b wa z a i d i
kuvitaka vyombo vya
dola kuwa makini zaidi.
Namna yake ni kama
kusema kuwa, wengine
wamepigwa kwa sababu

hawakuwa makini vya


kutosha.
Kwanza ifahamike
kwamba magaidi,
hasa Al-Shabaab wana
techniques (mbinu)
nyingi, hawakurupuki,
hivyo vyombo vyetu vya
dola vichukue tahadhari
kubwa.
Ndivyo lilivyoandika
gazeti moja la kila
wiki juzi Jumatano
likimnukuu mwanasiasa
mmoja.
Wa t a n z a n i a k wa
ujumla tutambue
changamoto hiyo,
tufuatilie kwa makini
wageni wanaohamia
na kufanya kazi hapa
nchini. Majeshi yetu
ya Ulinzi na Usalama
yaongeze umakini katika
mipaka ya nchi yetu,
Immigration (Idara ya
Uhamiaji) watusaidie
tujue nani anaingia na
anafanya nini.
Lilisema gazeti hilo
na kuongeza likisema,
Maofisa wetu wa
U s a l a m a w a Ta i f a
wa t a m b u e k wa m b a
wana jukumu kubwa la
kuhakikisha usalama na
amani vinadumishwa
nchini.
La nne, ni kuwaandaa
Wa t a n z a n i a p i a
kisaikolojia kuwa
wasije wakaona ajabu
wakipigwa tena na tena
kwa sababu magaidi
wana uwezo mkubwa
sana uliomshinda
hata Marekani. Hapo
tukatajiwa shambulio
la Septemba 11 na
k u s h a m b u l i wa k wa
Balozi za nchi hiyo
ambayo ndio kinara wa
Vita hii.
Katika kukamilisha
tadharani hizo na
kuonyesha hatua
zinazochukuliwa
kujihami, magazeti
kadhaa yaliwanukuu

b a a d h i ya v i o n g o z i
wa serikali na wa
jeshi la Polisi, wakidai
k u wa wa m e j i a n d a a
kukabiliana na kitisho
hicho cha ugaidi.
Labda sisi tuseme
yafuatayo: Maadhali
tualiamini kuwa watu
kutoka Jangwani Saudi

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

kuwazuiya Al-Shabaab.
Lakini pia kama
tunaamini kuwa
magaidi toka
Afghanistan, waliweza
kusafiri masafa marefu
hadi Marekani pamoja
na sheria zake ngumu za
kupata Visa na Uhamiaji,
wakapanga na kuipiga,

Sheria na Agenda hii ya


kupambana na ugaidi.
Leo tumefikishwa
mahali tunazungumzia
wasiwasi wa kuwepo
kambi za kufundishia
m a g a i d i L a n g a t a ,
Wilayani Mwanga
badala ya Kambi za
wavuvi wa perege! Kuna

RAIS wa zamani wa Marekani, Reigan (wa tatu kushoto mwenye suti) akiwana
Mujahidina wa Afghanistan katika Ikulu ya Marekani.
Arabia na katika milima n i n i i t a k u w a k w a nini? Hawa wanaotupiga
mikame ya nchi masikini magaidi hao hao kutoka ni nani?
zaidi duniani, na yenye hapa jirani tu Somalia
Leo tunasikia wimbi
kiwango cha chini zaidi a m b a p o w a n a w e z a la vijana kuacha shule
c h a wa t u wa n a o j u a kupita njia za panya bila Bihawana (mfano Rashid
kusoma na kuandika, hata ya kuhitajia Hati ya Charles Mberesero),
Afghanistan, wanaweza Kusafiria (Passport) na V y u o V i k u u n a
kuishinda nchi kubwa kupitia mikononi mwa kwingineko kwa madai
kabisa duniani kijeshi, Idara ya Uhamiaji!
ya kwenda Jihad Feki,
kikachero, kipolisi,
Pengine tunaweza nani kaleta wimbi hili?
k i t e k i n o l o j i a ya k i - kusema kuwa labda Leo kule Mwanza na
intelijensia, kiutaalamu t a i f a h i l o k u b w a miji mingine nchini,
wa ulinzi wa mipakani l i l i k u w a l i m e l a l a , tunasikia habari za vijana
na katika viwanja vya halikuwa na wasiwasi kuacha shughuli zao za
n d e g e , w a k a w e z a kuwa kuna magaidi uchumi, wanakimbia
kuteka ndege za abiria wanaweza kuwapiga, familia zao kwa madai
za Marekani wakapiga lakini tusisahau kuwa ya kwenda Somali/Syria
na kuporomosha WTC, Septemba 11 ilitanguliwa (Shamba), je , tumefanya
ni ujinga huo huo ambao na The Oklahoma City utafiti kuangalia wimbi
leo unatufanya tuamini bombing na kupigwa hili linakotokea? Kwa
kuwa Al-Shabaab wana Balozi zake. Na hata nini tusiwe na wasiwasi
u we z o m k u b wa wa baada ya Septemba 11, kwamba laweza kuwa
kiwango cha kufanya bado zimekuja Anthrax mwendelezo wa mkakati
yale ya Westgate.
Terror Attacks. Na hata u l e u l e u l i o b u n i wa
Na kama ambavyo b a a d a ya k u we k wa k u l e C h u o K i k u u
t u l i a m i n i k u w a Sheria ya Kupambana cha Nebraska, katika
nchi kubwa duniani n a U g a i d i - ( U S A kuandaa Mujahidina
kikachero, kiutaalamu PATRIOT)-"Uniting and wa kupambana na Urusi
w a k i - i n t e l i j e n s i a , Strengthening America kwa niaba ya mabeberu?
kikachero na kwa zana by Providing Appropriate (Rejea: Hillary Clinton:
mbalimbali za ulinzi, Tools Required to Intercept We created Al-Qaidah, The
ilishindwa kuwazuiya and Obstruct Terrorism Myths of Al Qaeda. Soma
magadi toka Jangwani Act of 2001, bado zimekuja pia: A is for Allah, J is
na katika milima ya Tora The Boston Marathon for jihad, Operation Cyclone
na Reagan Doctrine)
Bora, ndivyo ambavyo bombings.
Itizame Afghanistan,
leo tunajiaminisha na
Ukija hapa kwetu,
k u j i d a n g a n ya k u wa tuangalie hali ilikuwa P a k i s t a n , Y e m e n ,
h a t u n a u w e z o w a vipi kabla ya kuletewa
Inaendelea Uk. 4

3
Bakari Mwakangwale

Habari

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Lipumba atembelea
Masheikh gerezani

PROFESA Ibrahimu
Lipumba, amefanya
ziara katika gereza la
Segerea, Jijini Dar es
Salaam na kukutana na
viongozi wa Kiislamu
wanaoshikiliwa katika
gereza hilo wakiwemo
Masheikh Farid Hadd na
Mselem Ally.
Prof. Lipumba alifika
gerezani hapo, Jumanne
wiki hii kuwajulia hali
watuhumiwa hao,
akiwa kaambatana
n a K a m a t i ya M a a f a
ya Shura ya Maimamu
inayowashughulikia
mahitaji ya Masheikh
na Waislamu waliopo
gerezani humo takriban
mwaka sasa kutokana na
Serikali kuzuia dhamana
zao kufuatia kushtakiwa
kwa kesi ya ugaidi dhidi
yao katika mahakama ya
Hakim Mkazi Kisutu.
Akiongea na Mwandishi
wa habari hizi, baada ya
kuonana na Masheikh hao
wanaotuhumiwa kwa kesi
ya Ugaidi, Prof. Lipumba,
alisema akiwa gerezani
hapo alipata mapokezi
mazuri kutoka uongozi wa
gereza hilo na kubahatika
kuonana na Sheikh Farid
Had, Mselem Ally pamoja
na Ust. Rashid, kwa niaba
ya wenzao.
Alisema walizungumza
mambo mengi na Masheikh
hao, zikiwemo salama
kwa viongozi wenzake

wanaounda Umoja wa
vyama vya Siasa, UKAWA,

lakini kubwa zaidi


akasema, wameonyesha

kusikitishwa na hali ya
kubambikiwa mashitaka ya

SHIRIKA la Afya
Duniani (WHO)
l i m e t a n g a z a k u wa ,
tangu tarehe 26
mwezi
Machi
mwaka huu, ambapo
Saudia na washirika
wake walianzisha
mashambulizi nchini
Yemen, zaidi ya raia
540 tayari wameuawa
na wengine karibu 2000
wamejeruhiwa.
Shirika hilo lilisisitiza
kuwa, idadi hiyo ni ya
raia ambao hawakuwa
na silaha na kuongeza
kuwa, karibu nusu ya
waliopoteza maisha
ni watoto wadogo na
wanawake.
Wa k a t i h u o h u o ,
v ya m a n a a s a s i z a
kiraia nchini Yemen
vimetangaza rasmi

kuwa zitakabiliana na
mashambulizi ya Saudia
dhidi ya nchi hiyo.
Duru za habari
zinaeleza kuwa,
baada ya Saudi Arabia
n a wa s h i r i k a wa k e
kushindwa kufikia
malengo yao kupitia
mashambulizi ya kijeshi,
tayari wamewatuma
wapiganaji 3000 kutoka
e n e o l a G h u t wa t a l
Sharqiyyah nchini Syria,
kwenda nchini Yemen
kwa ajili ya kukabiliana
na wapiganaji wa alHuthi na vikundi vya
kiraia.
Kwengineko Katibu
Mkuu wa harakati ya
Hizbullah ya Lebanon,
Sayyid Hassan Nasrallah,
amesema kuwa, vita

vinavyoendelea katika
eneo la Mashariki ya Kati
ni vita vya kisiasa sio vya
kimadhehebu.
Sayyid Nasrallah
alisisitiza kuwa,
vita vya sasa katika
eneo hilo sio vita vya
kimadhehebu kama
baadhi wanavyodhania.
Jumuiya ya Madaktari
Wasio na Mipaka (MSF),
imetahadharisha juu ya
hali ya mambo ya mji
wa Aden huko kusini
m wa Ye m e n k u z i d i
k u wa m b a ya , h u k u
Saudi Arabia ikizidisha
mashambulilzi yake ya
anga dhidi ya nchi hiyo
ya Kiarabu.
Jumuiya hiyo imetoa
tahadhari hiyo Jumanne
hii ikisema kuwa hali

ya mambo katika mji


wa Aden inazidi kuwa
mbaya siku baada ya
siku.
Mji wa Aden
umegeuka uwanja wa
mapigano makali kati ya
vikosi vitiifu kwa Rais
wa Yemen aliyejiuzulu
Abdurabbuh Mansour
Hadi na wanachama wa
makundi ya wananchi
wanaoungwa mkono na
wapiganaji wa Kihouthi.
Watu wanaoshuhudia
mapigano hayo
wamesema kuwa vikosi
vya majini vya Saudia
vimeyashambulia
m a e n e o
y a
wanamapinduzi katika
mji wa Aden, suala
lililokanushwa na Saudi
Arabia.

Mashambulizi ya Saudia
yameua raia 540 Yemen

ugaidi wanayo tuhumiwa


nayo.
Alisema, kwa kuwa
tokea kukamatwa kwao
hakuwahi kuonana
nao, watuhumiwa hao
walionyesha kusikitishwa
kwao pia na utendaji
mbovu wa jeshi la Polisi
jinsi linavyo watendea
watu wanapowakamata.
Alisema, watuhumiwa
hao, wamemweleza jinsi
walivyoteswa baada ya
kukamatwa na Polisi,
na kutendewa mambo
ambayo hata mnyama
hawezi kumfanyia
mnyama mwenzake.
Alisema, mbaya zaidi
wa n a s i k i t i s h wa k u wa
mambo hayo walitendewa
ndani ya mwezi wa
Ramadhani, lakini
akasema pamoja na hayo
kwa ujumla sasa afya zao
ni salama na wanaendelea
vizuri.
Alisema, Masheikh hao
wameiombea nchi amani
kwani wao ni watu wa
amani na yaliyo dhidi yao
hivi sasa wanaamini kuwa
ni upepo tu na wao ni wenye
subra kwani wanaamini
kuwa Mwenyezi Mungu
yupo na wanao subiri.
Alisema, akiwa kama
kiongozi wa Kitaifa wa
Chama Cha siasa (CUF),
amekuwa akipokea
masikitiko mengi
kutoka kwa wananchi
wanaosikitika kukosekana
kwa viongozi hao wa
Kiimani kwa muda mrefu.
Wa t u
we n g i
wanasikitika na kuwepo
n d a n i h a d i s a s a k wa
M a s h e i k h h a o , k wa n i
darasa zimesimama ama
kukosekana kabisa na
wapo wanao kumbuka
sana mafundisho ya Sheikh
Mselem na Farid. Alisema
Prof. Lipumba.
Alisema, Masheikh
hao, wamepongeza hatua
ya vyama vya upinzani
kufanya ushirikiano na
kuunda UKAWA, huku
wakiwataka kuendelea
harakati za kudai haki za
wananchi kwa uadilifu.
Lakini pia pamoja na
pongezi wameniambia
n i wa s a l i m i e v i o n g o z i
wa UKAWA, na niwape
salamu
kwamba
tuendeleze harakati
za umoja tuliouanzisha
k wa k u d a i h a k i k wa
wananchi.Alisema
Prof. Lipumba, ambaye
ni Mwenyekiti wa Taifa
wa CUF na Mwenyekiti
mwenza wa UKAWA.

4
Inatoka Uk. 2
Nigeria, Kenya, Tunisia,
Algeria, huko Indonesia,

Somalia, nchi gani katika


hizo unaweza kusema
kuwa imeweza kuepuka
k u p i g wa n a m a g a i d i
baada ya kuingizwa katika
mchezo huu wa kifimbo
cheza pamoja na kujitapa
kuwa zinaimarisha ulinzi
kama alivyosema Rais
U h u r u K e n ya t t a j u z i
baada ya tukio la Garissa,
akisahau kuwa alisema
hivyo hivyo baada ya
Westgate, Mpeleketon,
Mombasa na Mandera!.
Ni maoni yetu kuwa Vita
dhidi ya Ugaidi, ambayo
ni sera ya Marekani tangu
2001, imekuwa dhana
mkakati potofu na yenye
madhara makubwa.
Ni sera ambayo
imewezesha kusukuma
mbele ushambuliaji
na vita vya Marekani
dhidi ya nchi kadhaa
ambavyo vimekuwa ni
mikasa mikubwa, vyenye
kugharimu fedha nyingi,
uharibifu na zenye
matokeo mabaya kwa
nchi zinazoingizwa katika
mchezo huu.
Hivi leo kuna makundi
m e n g i z a i d i ya v i t a
ya jihadi feki kuliko
i l i v y o k u wa m i a k a 1 4
Inakisiwa kuwa watu
wengi wameuliwa na
vikosi vya serikali ya
Kenya toka serikali hiyo
ilipoanza harakati za
kupambana na ugaidi.
Wengi wa waliouliwa
ni Masheikh na vijana
wa Kiislamu. Masheikh
waliouliwa ni pamoja
na Sheikh Aboud Rogo
na Abubakar Shariff
Ahmed alias Makaburi
( Ta z a m a : K e n y a
government accused of
running death squads.
K e n ya P o l i c e A d m i t
Extrajudicial Killings,
Ta a r i f a ya A l j a z e e r a
Desemba 9, 2014).
David Okwembah,
mwandishi wa habari
za uchunguzi anaarifu
kuwa ndani ya vyombo
vya usalama vya Kenya,
kuna vikosi vya mauwaji
(Death Squads), ambao
hawakamati watuhumiwa
na
kuwapeleka
mahakamani, bali
huwauwa.
Kuhusu kuuliwa kwa
Sheikh Makaburi, kachero
mmoja akihojiwa na
mwandishi huyo anasema:

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Hofu ya Ugaidi Mwanza


Ujinga ndio utatuponza

feki ambao ndio hao hao


magaidi, ni matokeo ya
mikakati ya Operation
Cyclone kama ile ya
wakati wa kumngoa Mrusi
kule Kabul?
Idadi kubwa ya

wa t u wa s i o n a h a t i a
wameuawa, kujeruhiwa
na kuhamishwa. Idadi
kubwa wameona hali zao
za maisha zikiporomoka.
Marekani imegeuka
kuwa dola ya kipolisi na
ya kuchunguza kila mtu

Tuna hiyari kujinusuru


au tuzidi kuzama zaidi
Makaburi was killed by
the police na kwamba That
execution was planned in
Nairobi by very top, highranking police officers and
government officials.
Kwamba Sheikh
Makaburi aliuliwa na polisi
na waliopanga mauwaji
hayo ni maafisa wa ngazi
za juu wa polisi pamoja na
viongozi wa serikali. Kosa
nini? Anadaiwa kuwa na
uhusiano na Al Shabaab!
Al Jazeera katika kutifua
na kuibua taarifa hizo
inasema kuwa mkakati
unaotumika wa kukabiliana
na ugaidi Kenya, ni ule wa
elimination programme.
K wa m b a a n a p a t i k a n a
mtuhumiwa, anauliwa.
Hakuna kufikishwa
mahakamani.
Pamoja na kuwepo kwa

kitengo cha polisi cha


kupambana na ugaidi, Anti
Terror Police Unit (ATPU),
lakini kitengo hicho nacho
hupokea maelekezo kutoka
kwa National Security
Council ambalo wajumbe
wake ni pamoja na Rais na
Makamo wake.
Inasema Aljazeera
ikiwanukuu maofisa wa
ATPU ambao walikiri kuwa
taarifa za ki-intelijensia
wanazofanyia kazi,
hupewa na makachero wa
Ulaya na Israel.
Elimination programme,
was supplied by Western
security agencies. Once they
give us the information, they
know what they have told
us. It is ABCD: Mr. Jack is
involved in such and such
a kind of activity. Tomorrow
hes no longer there. We have

inaendelea sasa,
imetupumbaza wengi na
wanaojua hakika yake,
ni wale wale walioibuni.
Nini wanavuna wanajua
wenyewe. Sisi tutakuwa
watu wa kuumia tu.
Ni Vita ambayo
imetupumbaza akili
kiasi sasa tunaona AlQaidah na Al-Shabaab,
kila uchochoro katika
miji yetu. Imetupumbaza
kiasi cha kuamini kuwa
Msomali kutoka nchi
kama Somalia, ana

uwezo wa kuepa vyombo


vyetu vyote vya usalama
akaingia Nairobi, akapiga,
wakati akipiga tukaleta
m a j e s h i y o t e ya n c h i
pamoja na usaidizi wa
nje, tukamzingira; lakini
Msomali huyo gaidi
akatuzidi ujanja akafanya
uharamia aliofanya na
akatoweka akituacha
tukiwa tumezingira
maduka ya Nakumati!

TUKIO la Garissa nchini Kenya.


iliyopita. Ukijaaliya
kuwa leo Marekani ina
agenda Somalia, Syria,
Yemen, Iraq na mahali
pengi tu duniani, kwa
nini tusiwe na wasiwasi
kuwa Mujahidina hawa

kwa kinachodaiwa kuwa


ni moja ya mikakati ya
kupambana na ugaidi.
Kwa hakika Vita dhidi
ya Ugaidi ambayo

worked. Definitely the report


that you gave us has been
worked on.
Anasema Afisa mmoja
wa G S U a k i o n g e a n a
Aljazeera.
We get some instructors
from Israelhow to eliminate.
Actually its one of the
training.
Anasema na kuongeza
Afisa mwingine wa GSU
aliye katika kikosi maarufu
kama Radiation Unit.
Hii maana yake ni kuwa
lile Baraza linaloongozwa
na Rais na kisha kupeleka
maelekezo kwa ATPU,
hufanya kazi kwa
maelekezo ya vyombo vya
Usalama vya Magharibi
n a I s r a e l . Wa o n d i o
wanaosema kuwa Sheikh
F u l a n i a u l i we , k e s h o
hayupo.

Sasa kama Vita hii


dhidi ya ugaidi imetupu
mbaza kiasi hicho, kwa
nini tunajidanganya
kuwa vyombo vyetu
vya Dola vitaweza
kuwazuiya Al-Shabaab
kutupiga?
The report that you gave
us has been worked on.
Wa n a t o a r i p o t i k a m a
alivyosema Afisa huyo wa
Polisi, GSU.
If the law cannot
work, theres another
option Eliminate him,
a na nuk ul i wa a k i s e m a
Afisa mmoja wa kikosi
cha Recce.
Madai yanayotolewa
ni kuwa watuhumiwa
wakipelekwa mahakamani,
wakati mwingine
m a h a k a m a z i n a k u wa
n a u f i s a d i k wa h i y o
watuhumiwa wanaachiwa.
Lakini ambacho
hakisemwi hapa ni kuwa
sio suala la ufisadi, bali
mahakama kushindwa
kuonea watu wasio na
h a t i a . I n a d a i wa k wa
mfano kuwa Sheikh
Makaburi alituhumiwa
kuwa na uhusiano na Al
Shabaab. Sasa ukimpeleka
mahakamani, Mahakama
itataka utolewe ushahidi
kuonyesha kuwa
Makaburi ni Al Shabaab
na ana mipango ya kufanya
ugaidi. Au unaletewa
Inaendelea Uk. 8

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Akaunti 86 za watu binafsi zafungwa Kenya


WA Z I R I M s t a a f u
wa Mambo ya
Ndani wa Kenya
Joseph Nkaissery,
ameithibitishia BBC
kwamba serikali ya
Kenya imesitisha
matumizi ya akaunti za
watu binafsi wapatao
themanini na sita
wanaohusishwa na
ufadhili wa kundi la
kigaidi la Al Shabaab
nchini humo.
Akaunti za watu hao
ambao zimesitishwa
n i b a a d h i ya wa t u
waliokuwa katika
orodha ya serikali ya
Kenya ambao walikuwa
wakifuatiliwa mienendo
yao.
Kufuatia hali hiyo
nayo makampuni kumi
na tatu ya ubadilishaji
na usafirishaji fedha
nayo yamefungwa.
Serikali ya Kenya
imetoa ushauri kwa
wateja wa mabenki

wa madhehebu ya dini
ya Kiislamu kutumia
akaunti za Benki
za Sharia ambazo
z i m e t h i b i t i s h wa n a
Benki Kuu ya Kenya.
Msemaji
wa
Muungano
wa
Wanaosafirisha fedha
kwa njia ambayo
inajulikana kama
Hawala ambao nao pia
wamezuiwa Abdi Ali
anasema wako makini na
uamuzi huo na kwamba
tayari wamewaagiza
wanasheria wao
kushughulikia hali hiyo.
Kujua zaidi juu ya hatua
hiyo Regina Mziwanda
amezungumza na
Mchambuzi wa Masuala
ya Somalia Mohamed
Abdillahi, Juu ya taarifa
za serikali ya Kenya
kufunga akaunti nane
za watu wanaoshukiwa
kuwa wafadhili wa Al
Shabab,kuna maana
gani wakati huu.?BBC

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya na Makamu wake wa Rais Rutto.

China yajitosa kuipigania Palestina


Yaja na mpango wa utatuzi

CHINA imependekeza
mpango wa kutatua mgogoro
wa Palestina kulingana na
mchakato wa mazungumzo
ya mapatano ya Mashariki

UN yasema jinai za Israel


kwa Wapalestina zimezidi

UMOJA wa Mataifa
umetoa ripoti kuhusu
kuongeza jinai za
utawala wa Kizayuni
wa I s r a e l d h i d i ya
Wapalestina.
Ripoti ya kila wiki
ya Taasisi ya Kimataifa
ya Ofisi ya Uratibu wa
Misaada ya Kibinadamu
ya Umoja wa Mataifa
huko Palestina
imeonyesha kuwa,
wanajeshi wa utawala wa
Kizayuni wiki iliyopita
walizishambulia mara
110 nyumba za raia
wa Kipalestina katika
Ukingo wa Magharibi wa
Mto Jordan na kuwateka
nyara Wapalestina 132.
Kwa mujibu wa
ripoti hiyo, katika
muda wa wiki hiyo
moja Wapalestina 64
wakiwemo watoto
watano walijeruhiwa
katika maeneo
mbalimbali ya ardhi za
Palestina zinazokaliwa
kwa mabavu na

WAZIRI Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu.


Israel huku kijana wa
Kipalestina aliyekuwa
a m e j e r u h i wa w i k i
iliyopita na wanajeshi
wa Kizayuni ameaga
dunia.
Katika kipindi
hicho cha wiki moja
iliyopita, nyumba
tatu za Wapalestina
zilibomolewa na
wanajeshi wa Israel
katika kijiji kimoja

karibu na mji wa Jenin.


Ofisi ya Uratibu wa
Misaada ya Kibinadamu
ya Umoja wa Mataifa
vile vile imetangaza
kuwa kivuko cha Rafah,
ambacho ni njia pekee
inayotegemewa na raia
wa Palestina wa Ukanda
wa Ghaza ili kuwasiliana
na ulimwengu wa nje,
kilitaka pia kufungwa
wakati fulani.

ya Kati.
Gong Xiaosheng, mjumbe
maalumu wa serikali ya
China alielekea Ramallah,
makao ya Mamlaka ya Ndani
ya Palestina na kufanya
mazungumzo na Rais wa
Mamlaka hiyo Mahmoud
Abbas, pamoja na maafisa
wengine kadhaa wa Palestina.
Baada ya mazungumzo
yake na Abbas, Mjumbe huyo
maalumu wa China alisema
m p a n g o u l i o b u n i wa n a
serikali ya Beijing kwa ajili ya
kutatua kadhia ya Palestina
ni mpango wa kivitendo na
umekuwa sehemu muhimu
ya njia ya utatuzi ya kuleta
amani katika Mashariki ya
Kati.
Mpango huo wa China
wa k u t a t u a k a d h i a ya
Palestina una vipengele
v i n n e , m i o n g o n i m wa o
ni kuundwa nchi huru ya
Palestina kwenye mipaka ya
mwaka 1967, mji mkuu wake
ukiwa ni Baitul Muqaddas na
kuendelezwa mazungumzo
kati ya Israel na Palestina,
ikiwa ndio njia pekee ya
kufikia suluhu na amani.
Saeb Uraikat, kiongozi
mwandamizi wa Mamlaka
ya Ndani ya Palestina alisema
mara baada ya kufanya
mazungumzo na mjumbe
huyo maalumu wa serikali
ya China, kwamba baada
ya Palestina kutambuliwa
kimataifa, kuna haja sasa
ya kufanyika mkutano wa
kimataifa utakaohudhuriwa
na Katibu Mkuu wa Umoja
wa Mataifa na wanachama
wa kudumu wa Baraza la
Usalama la Umoja huo, ili
kuainisha ratiba ya wakati
wa kuondoka vikosi vamizi
vya Kizayuni katika ardhi za
Palestina zinazokaliwa kwa
mabavu na utawala wa Israel.
Uraikat alisisitiza juu

ya ulazima wa kutatuliwa
masuala yote ya Wapalestina,
likiwemo suala la wakimbizi,
kuachiwa huru mateka na
kusimamishwa kikamilifu
ujenzi wa vitongoji.
Ripoti zinaeleza kuwa
juhudi za upatanishi za China
kwa ajili ya kutatua mgogoro
wa Palestina kupitia mpango
wa suluhu wenye vipengele
vinne, zimepokelewa vyama
na duru za kisiasa na vyombo
vya habari katika eneo la
Mashariki ya Kati.
Itakumbukwa kuwa karibu
miaka miwili nyuma Rais Xi
Jinping wa China alikutana
na kufanya mazungumzo na
Rais wa Mamlaka ya Ndani
ya Pa l e s t i n a M a h m o u d
Abbas, juu ya mpango huo
wa mapendekezo manne wa
nchi yake, akisisitiza kwamba
ndio utakaowezesha kuleta
suluhu na amani katika
Mashariki ya Kati.
Tangu wakati huo hadi sasa
mpango huo umekuwa ndio
ajenda kuu ya harakati za
China kuhusiana na mgogoro
wa Pa l e s t i n a . K u r e j e a
kwenye mipaka ya mwaka
1967, kutambuliwa Baitul
Muqaddas kuwa mji mkuu
wa Palestina, kusimamishwa
kikamilifu ujenzi wa vitongoji
vya walowezi wa Kizayuni
na kutekelezwa kukamilifu
m p a n g o wa a r d h i k wa
amani pamoja na kuweko
mashirikiano yenye uratibu
baina ya pande mbili za Israel
na Wapalestina kwa ajili ya
kudumisha suluhu, amani
na uthabiti wa kila upande,
ndiyo mapendekezo manne
yaliyotangazwa wakati huo
na Rais wa China.
Hata hivyo mpango
huo wa China umeelezwa
kuwa umepuuza haki ya
wakimbizi wa Palestina
kurejea kwenye ardhi zao za
asili na ulazima wa kuachiwa
huru Wapalestina wote
wanaoshikiliwa kidhulma
kwenye magereza ya utawala
wa Kizayuni.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Kwenda kupigana Somalia ni Ukafiri


Na Mussa Ame, Zanzibar

WANAWAKE waliwahi
kushiriki katika vita
vya Jihadi lakini
hawakuwa wakipigana
vita na maadui.
Amesimulia Anas
(RA) amesema alikuwa
Mtume (SAW) akipigana
na Ummusulaym na
wanawake wa Kiansari
pamoja nao, walikuwa
wakiwanywesha
maji (wapiganaji)
n a
wa n a t i b u
majeraha(SM1810) .
A m e s i m u l i a
U m m u a t i y a ( R A)
Nimepigana pamoja
na Mtume (SAW) vita
mara saba nakaa katika
kambi, nawatengenezea
chakula na nawatibu
waliojeruhiwa na
nawahudumia
wagonjwa(SM1812).
Amesimulia Rubay
Bint Muawidh (RA)
tulikuwa tunapigana
pamoja na Mtume
(SAW), tukinywesha
watu
maji
na
kuwahudumia na
kuwarejesha majeruhi
Madina (SB2883).
Katika hadithi zote
za hapo juu wanawake
wa l i k u wa wa k i k a a
katika kambi za
M u j a h i d i n a wa k a t i
wapiganaji wako vitani,
walikuwa wakitayarisha
chakula na walikuwa
wanatibu wagonjwa na
kuwahudumia.
K wa h a d i t h i h i z i
inaruhusiwa kwa
wanawake kuwatibu
wanaume wakati wa
dharura hasa wakati wa
vita, ambavyo wanaume
wote wanakuwa wako
vitani, lakini ikiwa kuna
daktari wa kiume, basi
atapewa nafasi awatibu
wanaume wenzake.
Ama kuhusu ulazima
wa kupigana Jihadi,
wanawake walimuuliza
wenyewe Mtume (SAW)
kuhusu wao kushiriki
katika ibada hii kubwa
yenye malipo makubwa,
na alitoa jawabu
ifuatayo:
Amesimulia Aisha
(RA) Mama wa Waumini
tulimuomba ruhusa
Mtume (SAW) kupigana

Ukifa, ukisalimika, Motoni Jahannam


Acheni akinamama wasome, walee kizazi
Wasomali wanahitaji mchele, sio Risasi

WANAWAKE Somalia.
jihadi akasema jihadi
yenu ni Hija (SB 2875
ameitoa Nisai 2628 na
Ibn Majah 2901).
Amesimulia Aisha
(RA) Mama wa Waumini
kutoka kwa Mtume
( S AW ) wa l i m u u l i z a
wanawake kuhusu
kupigana jihadi
akasema Hija ni jihadi
bora(SB2876).
Hadithi hizo mbili
zinatoa funzo kwamba
kwa wanawake Jihadi
si fardhi kwao kama
ilivyokuwa kwa
wanaume.
Anasema Ibnu
Qudama Jihadi
imewekewa masharti
ya k e n a y o n i s a b a ,
kwanza anayepigana
awe Muislamu, mwenye
akili, aliye baleghe, huru,
mwanamme, mwenye
uwezo wa kipando na
aliyesalimika na ila kama
ya ulemavu au maradhi
(Mughny 8/347).
Maulamaa wa
madhehebu manne na
wengine wanakubliana
kwamba kuwa kuwa

manamme ni sharti
la kupigana jihadi, na
jihadi si lazima kwa
mwanamke.
Mama Aisha (RA)
aliuliza jee jihadi ni
lazima kwa mwanamke
? Akajibiwa ndiyo wao
wamelazimishwa jihadi
isiyo na mapigano Hija
na Umra. Pia wanawake
hawakulazimishwa
kupigana kutokana
na maumbile yao
yasiyohimili vita.
Vita vya wakati huu
ni tofauti sana na vita
alivyopigana Mtume
(SAW) . Makafiri wa
zamani walikuwa na
nidhamu, na ilikuwa
aibu kubwa kumpiga
mwanamke katika
vita. Waliheshimu sana
taratibu za vita. Ama
wa k a t i h u u a m b a o
makafiri wakiwakuta
wanawake Waislamu
vitani wanaweza
kuwaua, kuwatesa na
kuwabaka. Katika hali
hii Mulamaa wa sasa
wa n a k a t a z a k a b i s a
wanawake kushiriki

katika jihadi hata kama


h a wa p i g a n i , k wa n i
wanaweza kudhuriwa.
Vita vya wakati huu
ni vita vya kurembea
makombora kwa mbali
kuangamiza watu
kwa halaiki kuvunja
majumba. Ni dhahir
k wa m b a wa n a wa k e
hawawezi kushiriki
zahma kama hii. Na
pia kuna ushahidi
wa kutosha kwamba
wanawake wa Kiislamu
huuliwa kwenye vita na
kunajisiwa.
Ikiwa nchi ya
Kiislamu imevamiwa na
makafiri, na wanawaua
wanawake na watoto bila
kujali, hapo wanawake
wakati hou wanaweza
kuchukua silaha
na kujihami. Lakini
wawe ni wanawake
wa mle ndani ya nchi
iliyovamiwa kijeshi
na makafiri. Imam
Malik anasema ikiwa
nchi imevamiwa na
makafiri itawajibika kwa
wanaume na wanawake
kupigana sharhi saghyr

2/274 Angalia www.


islaqa.com katika fatwa
45618: The ruling on
jihad for women.
Somalia kwa wakati
huu hakuna jihadi,
kuna vita vya wenyewe
kwa wenyewe, yaani
Waislamu wanapigana
na Waislamu wenyewe.
Katika hali kama hii,
basi tumsikilize Allah
(SW) nini tufanye.
Na ikiwa makundi
mawili katika Waislamu
yanapigana, basi
fanyeni suluhu baina
yao, na ikiwa moja ya
hayo linamdhulumu
mwenziwe, basi lipigeni
lile linaloonea mpaka
lirudi katika amri ya
Allah(SW). Na kama
likirudi, basi patanisheni
baina yao kwa uadilifu,
na hukumuni kwa
haki. Hakika Alah
(SW) huwapenda
wa n a o h u k u m u k wa
haki(Hujurati:9).
M t u m e ( S AW )
ameonya kwa Waislamu
kuuana ovyo kupigana
na kufanyiana uadui
kwa kiasi kwamba suala
hilo limetajwa kuwa ni
ukafiri.
Amesimulia Barai bn
Azib (RA) amesema ,
amesema Mtume (SAW)
Kutoweka dunia, ni
jambo jepesi mbele
ya Allah (SW) kuliko
kumuua Muumin
bila ya haki. (Bayhaq
SahihiTarghyb 2437)
Katika riwaya
nyengine ya Bayhaq
laitani watu wa
mbinguni na ardhini
wangeshirikiana katika
k u m wa g a d a m u ya
Muumin (mmoja tu)
angewatia Allah (SW)
motoni wote. (Bayhaq).
Amesimulia Ibn
Masuud (R.A) amesema,
nimemsikia Mtume
(SAW) akisema Atakuja
aliyeuliwa kinaninginia
kichwa chake katika
mkono wake mmoja,
kinachururika damu na
amemshika aliyemuua
mkono mwengine,
mpaka atampeleka
katika Arshi atasema
aliyeuliwa kwa Mola
wa Ulimwengu, huyu
ameniua, atasema Allah
Inaendelea Uk. 7

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Kwenda kupigana Somalia ni Ukafiri

Inatoka Uk. 6

(SW) kumwambia
m uuaji, kata tama na

atamtia motoni (Tibrany


ST2447).
Kutoka kwa Ubadah bn
Samit (RA) kutoka kwa
Mtume (SAW) amesema
Atakayemuua Muumin
kwa dhulma na akafurahia
kumuua kwake,
hatomkubalia Allah (SW)
ibada zake za fardhi wala
za sunna. (Amepokea
Abuu Dawood ST 2449).
Amesimulia Abii
Bakri ( R A) ames ema,
amesema Mtume (SAW)
Wa t a k a p o e l e k e a n a
Waislamu
kwa
upanga (silaha yoyote)
anayeua na anayeuliwa
motoni.(SB7083 SM2777).
Na katika riwaya
n ye n g i n e ya M u s l i m
Atakapokamata silaha
Muislamu mmoja dhidi
ya mwenzake, wote wako
katika ukingo wa shimo
la moto, (wakapigana)
na atakapomuua mmoja
mwenziwe wataingia wote
(motoni), pakasemwa ewe
Mjumbe wa Allah (SW)
huyu mmoja ni muuaji,
aliyeuliwa ana kosa
gani? Akasema alikuwa
naye anataka kumuua
mwenziwe. (Muslim).
Amesimlia Ibn Umar
(RA) amesema, alimsikia
Mtume (SAW) akisema
Msijerejee baada yangu
katika ukafiri, baadhi yenu
mnakata shingo za baadhi.
(SB 7077 SM64).
Huu si ukafiri wa imani,
bali kuua ni vitendo vya
kikafiri.
Kutoka kwa Abi
Bakar(RA) nimemsikia
Mtume (SAW) akisema
Atakayemuua dhimmi
hatopata hata harufu ya
pepo, na harufu yake
itaenea mwendo wa miaka
sabiini
(Amepokea Ibn Hibaan
na akaisahihisha), na katika
riwaya ya Abuu Daud
na Nisai Atakayemuua
muahada bila haki
ataharamishiwa na Allah
(SW) Pepo. (Abuu Daud)
Dhimmi na muahada
ni makafiri wanaoishi
chini ya ulinzi wa Dola ya
Kiislamu. Kuwaua hao ni
kosa kubwa, jee kumuua
Muislamu aliyetoa
Shahada? Akamkiri

WANAWAKE Somalia wakiwa katika foleni ya msaada wa chakula.


Mungu Mmoja na kumkiri
Muhammad Rasulullah!
Mambo yanayofanyika
Somali hivi sasa
yanahuzunisha na kwa
a n a ye f u a t i l i a , l a z i m a
atokwe na machozi.
Watoto
wadogo
wanakufa kwa njaa na
utapia mlo. Wasomali leo
wamekuwa wakimbizi
wakidhalilishwa katika
makambi ya wakimbizi.
Wanawake wa Kiislamu
wa Kisomali wananajisiwa.
Wamekuwa ombaomba.
Wanakashifika, hawana
muda wa kusoma wala
hawana raha yoyote.
J e e , s i s i Wa i s l a m u
tumeona kuwa jambo la
kuwasaidia ni kutafuta
vijana wakazidishe vita?
E t i t u n a wa d a n g a n ya
kuwa nendeni Somalia
mkapigane Jihadi, tuna
akili kweli sisi?
Na wanaofanya hayo,
wengine wamesoma
wanaitwa Mashekhe na
Ma-Hajat, Maustadhati!.
Tu m e n u k u u h a p o
j u u h a d i t h i k wa m b a
wanapopigana Waislamu,
wote motoni. Kwa hivyo,
anayekwenda Somali kwa
sasa anakwenda kununua
moto wa Jahannamu,
kwani atakwenda
kupigana aidha na jeshi
la Serikali ya Somalia

ambao wote ni Waislamu,


au atawaua Waislamu
wenzake, au atauliwa yeye
na Waislamu wenzake.
Hivi sasa Al shabaab
hawapigani na Makafiri ila
wanapigana na Wasomali
wenzao. Lakini jambo la pili
kubwa zaidi ni kwamba,
makafiri wanatumia suala
la Al shabaab kuhujumu
Uislamu na Waislamu.
Ya a n i u k i k u t wa u n a
uhusiano na Al shabaab,
b a s i u t a k a m a t wa n a
kufungwa, na watatafuta
Madrasa ulizosoma na
zitafungwa. Njama hizo
zitatumika baadaye kuua
Mashekhe, kufunga
darsa za dini na kupiga
marufuku harakati zozote
za dini ya Kiislamu.
K w a
h i v y o ,
ukijishuulisha na
masuala hayo unachangia
mwenyewe kupiga vita
dini yako. Lakini pia
ujiulize, jee inakuwaje
kuna mitandao ya
kijamii kwenye facebook
inahimiza Jihadi halafu
wewe unajiunga na watu
usiowajua. Unajuaje kama
hao unaozungumza nao
ni askari na wameweka
mitego yao humo kwenye
mitandao? Unajua
mitandao hiyo ni ya akina
nani?
Hoja kuu ya uharamu
wa kwenda Somalia

kupigana iko katika


hadithi ya Mtume (SAW)
amesema, Msijidhuru
wala msidhuru wengine
(Mj 2340).
Bila shaka kushiriki
katika vita vya Somalia
kutakuletea wewe
madhara na Waislamu
wenzako pia watadhurika,
kwa hivyo wale madalali
wa kupeleka vijana
Somalia waache biashara
hiyo mbaya. Ambapo huwa
hawajali mpaka wanawake
pia wanawachuuza.
Wanajali mapato ya dunia,
bila kuangalia mustakbali
wa Akhera.
Na vijana na nyinyi
msihadaiwe bure. Hakuna
jihadi Somalia wala Yemen.
Wala Syria. Vyote hivyo ni
vita vya wenyewe kwa
wenyewe na ni haramu
Muislamu kumwaga damu
ya Muislamu mwenziwe.
Acheni kutumia
mitandao ya makafiri eti
kwa kutangaza jihadi. Hao
mnaoutumia mitandao
yao wanahifadhi kila
maandishi yenu. Hiyo si
mitandao ya Kiislamu na
jihadi haifundiswi katika
mitandao.
Itakuwaje unataka
kupambana na adui,
unatumia mtandao
wake kupanga mipango
ya mapambano. Hii ni

kichekesho.
Wale waliojiunga na
mitandao ya Al shabaab,
waachane nayo.
Ubaya wa mambo ni
kuwa hivi sasa maadui
wanatufanyia mchezo
waliokuwa wakiwafanyia
Iraq na Iran walipokuwa
w a k i p i g a n a . Wa k a t i
mabeberu wanaipa
silaha serikali ya Somalia
pamoja na AMISOM
wanaopambana na AlShabaab, silaha hizo
hizo za mabeberu ndio
wanatumia Al-Shabaab.
Wapo makamanda wa
jeshi la Uganda waliokuwa
Somalia, ambao hivi sasa
wana kesi wakituhumiwa
kuwauzia Al-Shabaab
silaha za AMISOM. Lakini
soma pia taarifa ya Umoja
wa Mataifa inavyoonyesha
kuwa Al Shabaab
wasingeweza kuendelea
kupigana kama si kwa
kupata silaha zilezile
wanazopewa AMISOM.
Imekuwa Wasomali na
Wa i s l a m u wa n a p e wa
silaha wamalizane
wenyewe kwa wenyewe.
Soma: Does US, UN and
AMISOM Supply AlShabaa?

(Makala imeandikwa
na Mussa Ame Mussa
0773 834 795 Zanzibar)

8
Inatoka Uk. 4

kesi ya mtuhumiwa
kukamatishwa bangi,
inaonekana wazi kuwa
ni ugaidi wa kupanga,
mahakama itataka ushahidi
wa wazi. Tukio linatokea
We s t g a t e a u G a r i s s a ,
wa t u wa n a s h a m b u l i a
wa n a o n d o k a , b a a d a e
unasema Al Shabaab
walidai kuhusika.
Unakamata vijana huko
Mandera au Mombasa
na Lamu, unasema hawa
walihusika kupanga
shambulio la Garissa,
bila shaka Mahakama
itakutaka ulete ushahidi.
K u e p u k a k u t a k i wa
kuleta ushahidi, sasa
vikosi vya kupambana
na ugaidi vinafundishwa
kile alichosema kachero
wa Kenya Elimination
Programme.
M a m b o ya k u we k a
sawa hapa. Vita ya ugaidi,
imetokea Magharibi kwa
mabeberu, sio yetu. Wao
ndi o wal i otutan g azia
k u wa A l S h a b a a b n i
magaidi. Sasa wao ndio
wa n a o t u u n d i a v i k o s i
na kuvipa mafunzo ya
kupambana na magaidi.
Wao ndio wanaotuambia
tuwauwe Sheikh Makaburi
kwa sababu ana uhusiano
na Al Shabaab. Wao ndio
wanaotupa tahadhari kuwa
Westgate itashambuliwa.
Hawatusaidii kuzuiya
tusipigwe. Tukishapigwa,
kupitia BBC na CNN zao,
wanakuwa wa kwanza

Tahariri/Maoni

Tuna hiyari kujinusuru


au tuzidi kuzama zaidi

mwanzo kuja na kuingia


We s t g a t e k u t u s a i d i a
kupambana na magaidi
hao.
Lakini kama ilivyokuwa

We s t g a t e N a i r o b i ,
k u wa h i k wa o k u wa

wa mwanzo kuingia
maduka ya Nakumati,
hakukuwa na msaada

wowote kupelekea
magaidi kukamatwa.
Kama tulivyoambiwa,
magaidi waliuwa
wakaondoka wenyewe.
Wakati wakiondoka,
hao hao washirika wetu,
wasamaria wema na
wafadhili wetu katika
kupambana na Al
Shabaab, wakatuacha
na porojo za Samantha
L o u i s e L e w t h wa i t e
(White Widow).
Sasa labda tujiulize,
mafunzo na mikakati
h i i wa n a y o t u p a ya
kutesa na kuuwa watu
wetu wenyewe kwa
k u wa t u h u m u k u wa
ni washirika wa Al
Shabaab, kumetusaidia
nini kumaliza ugaidi?
Mbona ndio kwanza
wanapiga Garissa na
k u u wa wa n a f u n z i ?
Mbona ndio kwanza
wanateka mabasi na
k u u wa a b i r i a k u l e
Mandera? Mbona
ndio kwanza watu hao
hao wanatusambazia
kitisho kuwa tutapigwa
Kampala, Dar es Salaam
na Mwanza?
Maadhali Mungu
katupa akili, tuna hiyari,
kuendelea kujizamisha
katika tope hili au
k u f i k i r i a n a m n a ya
kujinasua.

ardhi, na tumekujaalieni
humo njia za kupatia
maisha. Ni kuchache
kushukuru kwenu. (Al
Aaraaf 7;10).
Kutokana na aya
hizi, tunajifunza kuwa
maumbile yote ya
ardhini na mbinguni
(angani) yaliyomzunguka
m w a n a a d a m u ,
anayoyaona
na
asiyoyaona, yote yako pale
kwa ajili ya kumtumikia na
kuboresha maisha yake.
Ili kufikia lengo hili, Allah
(s.w) amevitiisha vitu
hivi kwa mwanaadamu
kwa kuviwekea sheria
madhubuti za kimaumbile
(Natural Laws).
Amesema Allah
(Subhaanahu wa
Taala): Na amefanya
vikutumikieni vilivyomo
mbinguni na vilivyomo
katika ardhi, vyote
vimetoka kwake. Hakika
katika hayo zimo Ishara
kwa watu wanao fikiri (Al
Jaathiya 45:13).
Kisha, mwanaadamu
akatunukiwa akili na
vipawa vya fahamu na
elimu ya kumuwezesha

kuyatumikisha maumbile
kwa ajili ya kuboresha
maisha yake. Sayansi
na teknoloia ni katika
jitihada za harakati
za mwanaadamu za
kuyatumikisha maumbile
na nguvu asili kwa ajili ya
kuboresha maisha yake.
Kama vitu vyote
vimeumbwa kwa
lengo la kumtumikia
mwanaadamu, je,
mwanaadamu ameumbwa
kumtumikia nani? Je,
lengo la maisha ni kujipatia
tu mahitaji muhimu ya
maisha chakula, nguo na
makazi? Mbona wanyama
nao wanajitosheleza
kwa mahitaji hayo
hayo pamoja na kuwa
hawakutunukiwa kipawa
cha elimu (kujielemisha)
kama mwanaadamu? Je,
ni busara kukubaliana na
makafiri kuwa lengo la
maisha ya mwanadamu
ni lile la kutosheleza tu
matashi yake ya kinyama?
Hii ni dhana tu ya
makafiri kama Allah(s.w)
anavyotutanabahisha:
Amesema Allah
(Subhaanahu wa Taala):

Na hatukuziumba
mbingu na ardhi na
viliomo ndani yao bure.
Hiyo ni dhana ya walio
kufuru. Ole wao walio
kufuru kwa Moto utao
wapata. (Saad 38:27).
Bila shaka kwa wale
wenye akili na busara, wana
yakini kuwa mwanaadamu
hakuumbwa tu bure na
kuletwa hapa duniani
b i l a ya l e n g o l o l o t e
analotarajiwa na muumba
wake alifikie. Bila shaka
mwanaadamu atakuwa
na lengo la juu zaidi
kuliko viumbe wengine,
hasa kutokana na vipawa
vya akili na elimu
alivyotunukiwa kuliko
viumbe wengine.
Leng o l a k uumb wa
m w a n a a d a m u
amelibainisha Muumba
mwenyewe: Amesema
Allah (Subhaanahu wa
Taala): Sikuwaumba
majini na watu ila
waniabudu Mimi: (Adh
dhariyaat 51:56).
M a a n a ya I b a d a n i
kumtumikia Allah (s.w)
katika maisha yetu yote.
Inaendelea Uk. 13

TUKIO la shambulio la Garissa, Kenya.


kutuambia kuwa Al
Shabaab wametangaza
katika mtandao wao wa
Twitta kuwa wanahusika.
K i s h a wa n a k u wa wa

Hijrah
Na Abu saumu, Kombo Hassani kidumbu.

HISTORIA (Tareikh) kama somo ina sehemu kubwa


sana ya kuchangia katika maendeleo ya mwanadamu.
Ni kutokana na historia binaadamu wa leo hufahamu
vipi watu waliotangulia walifanikiwa au walifeli
katika maisha yao. Na hivyo kujifunza juu ya namna ya
kuyakabili mazingira yake. Hata hivyo, fundisho lolote
lipatikanalo kutokana na historia, linategemeana sana
na mtizamo wa muhusika juu ya historia. Ipo mitazamo
mikuu miwili: Mtizamo wa Kiislamu na Mtizamo wa
Kikafiri. Na katika kazi hii nimeonyesha dalili na hoja
Mtizamo wa Uislamu
juu ya historia kwa ujumla
unatofautiana sana na
ule wa makafiri. Ambapo
makafiri wanadai kuwa
h a p a n a M u u m b a wa
U l i m we n g u n a v y o t e
vilivyomo kwa ujumla.
Uislamu unauhusisha
U l i m we n g u n a v y o t e
vilivyomo akiwemo
mwanaadamu, na
Muumba mmoja tu
Mwenye Hekima na Ujuzi
usio na kikomo, ambaye
ameumba kila kitu kwa

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

lengo maalumu.
Mwenyewe Muumba
Allah (s.w), anabainisha
lengo la kumbwa mbingu
na ardhi na vyote
vilivyomo katika aya
zifuatazo:
Ye y e n d i y e a l i y e
kuumbieni vyote
vilivyomo katika ardhi.
Tena akazielekea mbingu,
na akazifanya mbingu
saba. Naye ndiye Mjuzi wa
kila kitu (A Baqara 2:29)
N a
h a k i k a
tumekuwekeni katika

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Tuwashauri akina mama hawa:

Na Omar Msangi
HABARI kubwa katika
vyombo vya habari vya
Marekani na vile vya
kimataifa, mwanzoni mwa
mwezi huu, ilikuwa juu
ya waliodaiwa kuwa wala
njama wa ISIS kutaka
kufanya shambulio la
kigaidi (ISIS-Inspired
Plotters) New York. Katika
habari hiyo ilidaiwa kuwa
wanawake wawili Noelle
Velentzas (28) na Asia
Siddiqui (31), walikuwa
wa m e k u l a n j a m a z a
kufanya shambulio
l a k i g a i d i n d a n i ya
M a r e k a n i , wa k i p a t a
hamasa na msukumo
kutoka IS.
The defendants plotted
to wreak terror by creating
explosive devices for use in
New York City and sought
bomb-making instructions
and materials for an attack.
Ndivyo ilivyosema
Wizara ya Sheria
(Department of Justice)
Aprili 2, 2015 ikieleza
kukamatwa kwa akina
mama hao wawili,
kwamba walipanga
kufanya shambulio la
k i g a i d i k wa k u t u m i a
silaha za maangamizi
na walikuwa na vitabu
vya kujifunzia namna ya
kutengeneza mabomu.
Kama kawaida vyombo
vya habari vilikuwa na
karamu kubwa wiki hiyo.
Terror cases allege women
wanted to fight in jihad, 2
women arrested in NYC
terrorism case; officials say
they were planning to build
bomb. Ilikuwa baadhi ya
vichwa vya habari.
Hata hivyo, ushahidi
unaotolewa sasa
unabainisha kuwa sio
Ve l e n t z a s wa l a A s i a
Siddiqui, aliokuwa
amepanga kulipua shabaha
yoyote ile wala kuwa na
mpango wa kujifunza
kutengeneza bomu, au
kuwa na uhusiano wa
namna yoyote na ISIS.
Kilichotokea ni
kuwa wawili hao
walipandikiziwa kachero
mwanamke mwenzao bila
kujijua, akawa anawaingiza
katika maongezi ambapo
maneno kama Jihad, IS
yalikuwa yakijitokeza
na yeye akitaka kupata
maoni yao juu ya mambo
mbalimbali.
Ilikuwa ni kachero huyo
aliyeleta mpaka hicho
kinachodaiwa kuwa ni
maandiko ya kujifunzia

Wafanye haraka kununua


AK-47 wawahi Somalia, Syria
Isije kuwa yale ya Noelle na Asia Siddiqui
Kwa upole tuwaambie Darsa zetu haziwafai
Kama kazi ilishaanza Amboni wanasubiri nini?

Mchoro ukimuonyesha mtuhumiwa Noelle Velentzas, (asiye na hijab) akiwa na Asia


Siddiqui. Pamoja nao ni mawakili wao wakiwa mahakamani, Alhamisi, Aprili 2,
2015, New York.
kutengeneza mabomu,
Hivi sasa lipo wimbi Mtume.
lakini mara kwa mara kubwa la kuhubiri Jihad na
Sasa, wakati hoja ni Jihad
akina mama hao wakibaki ukihoji wimbi hili linatoka Feki inayochochewa,
tu kushangaa na kumhoji wapi, unaonekana kama k u o n g o z w a
na
mwalimu na mujahidati mnafiki na kafiri mpinga kusimamiwa na mabeberu
mwenzao huyo, yote hayo Jihad. Inakuwa kama kama ile ya Afghanistan,
anaongea ya nini? Kachero ilipokuwa umepamba Libya, na sasa Syria,
huyo akionyesha kukerwa moto msuguano kati ya u k i w a t a h a d h a r i s h a
na wapuuza Jihad na washabiki wa Maulid na W a i s l a m u w a s i j e
kuchelewesha mipango Ansaar Sunna. Sheikh kutumbukia katika mtego
ya kuwabamiza makafiri.
atasimama anakusomea wa kutumika kama foot
Kila hatua waliyokuwa Aya, Inallaha wamalaaika soldiers wa kupigana vita
wa k i e n d a , a k i r e k o d i t a h u y u s wa l u n a l a n ya mabeberu (proxy war),
bila Noelle Velentzas nabii, mpaka mwisho mawakala wa mabeberu
na Asia Siddiqui kujua wa aya. Halafu anakupa hao, wanaibuka na hoja
kilichokuwa kikiendelea. h o j a y a u k a f i r i w a kuwa unapinga Jihad.
Kachero huyo alipopata Ansaar kuwa wanapinga
Lakini mtu unatizama
kitu cha kuwakamatisha, kumswalia Mtume wakati hali za Waislamu, umakini
akatoweka. Asia na rafiki ni amri ya Mungu. Lakini wao katika swala, zaka na
yake Noelle Velentzas, ukweli ni kuwa hapakuwa sadaka, uadilifu katika
w a k a t i w a m b a r o n i . n a A n s a a r a liye k u wa biashara, familia zao,
( Ta z a m a : I n f o r m a n t akipinga Aya hiyo au unajiuliza, huu mori wa
Provided Bomb-Making kumswalia Mtume kwa j i h a d u m e t o k a wa p i ?
Manual to Alleged ISIS- ujumla. Hoja ilikuwa juu M b o n a h a u wa k i l i s h i
Inspired Plotters.)
ya namna ya kumswalia k i w a n g o c h a i m a n ,

uchamungu na uadilifu wa
wanaolipigia debe jambo
hili?
Kule Mwanza nasikia
wapo akina mama
ambao ikizungumzwa tu
tahadhari hii, wanakuja
juu. Huwa wakali na
kuwabeza wanaotoa
tahadhari hii kuwa ni
waoga wanaohofia na
kujali ajira zao na wake
zao. Lilipotokea lile tukio
la majambazi Amboni,
Tanga, nasikia wakasema
kazi ya Jihad ishaanza
Tanga, kama namna ya
kuwakebehi wanaotoa
tahadhari.
Ukifuatilia kisa cha
Asia Siddique na jinsi
alivyokuwa akifuatiliwa
na
mwanamama
mwenzake akijidai mtu wa
Jihad, hadi kumkamatisha,
inafikia mahali inabidi
watoa tahadhari waongeze
kuwa umefikia wakati
k u wa m a c h o h a t a n a
hawa wenzetu ambao
kila tukikutana nao katika
vikao na darsa zetu,
agenda yao ni kuhimiza
Jihad ya Amboni.
Ukisoma kisa cha
Asia Siddique na Noelle
Velentzas, watu hawa
huanza mbali sana.
Na hawana haraka.
Walimfuatilia Asia kwa
zaidi ya miaka miwili
wakimpandikizia maneno
na kumhamasisha
kununua au kuwa na vitu
ambavyo wenyewe baadae
wanavitaja kama ushahidi.
Mtakuwa nao katika
darsa wanakuja na
simulizi za Waislamu
wa n a v y o u l i wa S y r i a ,
Somalia na kwingineko
duniani, ukitoa kauli ya
kulani makafiri na kutaka
iwepo Jihad ya kuwapiga,
wanarekodi wanaweka.
Wataendelea na mada na
mazungumzo ya mrengo
huo mpaka watosheke
kwamba sasa wametimiza
kazi waliyotumwa ya
kukubambikizia ugaidi.
Ukitizama katika kesi
nyingi za Marekani, katika
hizi Sting Operation zao,
wamekuwa wakiwatumia
r a i a wa o we n ye a s i l i
ya Kiarabu wanaojua
Kiarabu, Aya na Hadithi.
Wanakupa maelezo na
kukutolea Fatwah juu
ya masala mbalimbali.
Unakuwa huna wasiwasi.
Upo na Alim, Alima,
Sheikh au Ustadha na
Hajat. Wanatumia pesa
nyingi wenyewe wakidai
Inaendelea Uk. 13

10
Na Omar Msangi
WIKI iliyopita Star TV
katika kipindi chake
cha asubuhi, Tuongee
Asubuhi: Jicho Letu Ndani
ya Habari, walialikwa
vijana wawili kutoka
C h u o K i k u u , S A U T,
mada ya mjadala ikiwa
Jinsi vyombo vya habari
nchini vilivyoripoti tukio
la kigaidi lililotokea
Garissa nchini Kenya.
Kilichosababisha mada
hiyo kuonekana muhimu
k u j a d i l i wa n i k u wa
ilionekana kuwa jambo
hilo halikupewa uzito
mkubwa inavyostahiki
kulingana na uzito wa
tukio lenyewe. Badala
yake ni vyombo vya nje,
i k i t a j wa B B C , C N N ,
Aljazeera, ndio vilifanya
kazi kubwa kuwaarifu
watu juu ya kulichotokea.
H o j a i k a wa k wa n i n i
vyombo vya habari
havikulipa uzito jambo
h i l o n a b a d a l a ya k e
vyombo vya nje, ambavyo
vipo mbali na tukio
lenyewe ndio vikalishikia
bango.
Vi j a n a wa l i o a l i k wa
Juma Mudini na Humphre
Mgonja, kwa kutumia
nadharia ya taaluma zao,
kwa hakika waliutendea
haki mjadala. Ukizingatia
kuwa tukio lilikuwa kubwa,
watu wengi waliuliwa
inasemwa takriban 150,
pili ukizingatia ukaribu,
Kenya ni jirani zetu na
tatu kwa kuzingatia kuwa
ilishatolewa tahadhari
kuwa magaidi wangepiga
Kenya, Uganda na
Tanzania (Dar es Salaam,
Mwanza), vijana walijenga
hoja kuwa hiyo ilikuwa
habari ya kupewa uzito
mkubwa kabisa. Sahihi.
Wakaongeza kusema
kuwa vyombo vyetu vya
habari vinakosa kujijengea
kuaminika kwa jamii
na hata umaarufu kwa
makosa kama haya. Na
kinyume chake CNN, BBC,
wamejijengea kuaminika,
kutegemewa na umaarufu
kwa kazi kama hii
waliyofanya katika tukio
la kigaidi Garissa.
Nilishawahi kusoma
daladala moja imeandikwa,
Akikua ataacha. Kama
nilivyotangulia kusema,
kinadharia ya taaluma
zao vijana walionekana
kuitendea haki mada.
Lakini suala hili ni mada
tata, ni dhana ngumu,

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Escrow, EPA za kukoroga akili


mbaya kuliko ufisadi wa pesa
Fundisho kutoka ugaidi Garissa, Kenya
Vijana Mwanza wamesema kweli lakini
Huenda wakikua, watayajua, wataacha

WASOMALI wakimbizi nchini Kenya.


huwezi kuielewa kwa a k i l i , u k a p u m b a z i k a .
maswali na majibu mepesi. Pesa zikiibwa, utatafuta
Si suala la kulifanyia n y i n g i n e . L a k i n i
tathmini na kulitolea ukishakorogwa akili, ni
maelezo katika sura yake kama alivyojisemea Rais
ya wazi au ya nje.
Mstaafu Mzee wa Masasi
Kwa tathmini ya haraka Benjamin William Mkapa,
haraka tu ukiwatizama heri umasikini wa mfukoni
v i j a n a w a l i v y o k u w a kuliko wa kichwani.
wakitamba na kushusha
Akitokea leo mtu X
hoja baada ya hoja, unajua a k a s e m a , M a k u s a n ya
kuwa kuna tatizo kubwa ametishia kuwa atachoma
sana. Kwa hakika ni msiba. nyumba ya Issa Guse na
Tumekuwa kama akili kuuwa watoto wake wote,
zetu zimeshikiliwa na mtu habari ikasambaa kwa
zinakokotwa na kupelekwa watu. Habari kama hii
kokote anakotaka huyo inabeba uwezo fulani wa
aliyetufisidi akili, fahamu kuharibu akili za watu.
n a u t a m b u z i w e t u . Ikitokea nyumba ya Issa
Tunafikiri na kujenga Guse ikachomwa, watu
hoja kama anavyotaka wanakimbilia kumshuku
a l i y e t u s h i k i l i a a k i l i Makusanya, iwe ni kweli
z e t u . M a s w a l i y a alisema au la.
msingi hatujiulizi,
Katika hali ya kawaida na
wala kuhoji lililo nje ya ili taarifa ya ki-intelijensia
mduara tulikokwisha kama hiyo iwe na faida,
d u m b u k i z w a . N d i o namna ya kuifanyia kazi
hapa nasema, ule ufisadi ni kumtafuta X aliyetoa
wa EPA, ESCROW na taarifa hiyo kabla hata ya
m e n g i n e k a m a h a y o , tukio, ili aeleze vizuri na
lakini unaohusu pesa, ni kupata uhakika kama ni
jambo dogo kabisa. Ufisadi kweli Makusanya katoa
mbaya ni wa kukorogwa k i t i s h o h i c h o . K a m a

ushahidi upo, basi na huyo


Makusanya apatikane
ajieleze. Kwa namna hiyo,
unaweza kuzuiya tukio
la uhalifu na kunusuru
maisha ya watu.
Lakini mnasubiri,
nyumba inachomwa
m o t o , wa t u wa l i o m o
ndani wanakufa. Mnaanza
kumsaka na kumtangazia
wanted Makusanya. X
aliyetoa taarifa za awali
mnamuacha pembeni,
sana mnamsifia kuwa
alisema na mapema. Kwa
mwendo huu, nyumba za
akina Issa Guse zitaendelea
kuchomwa kila uchao
na akina X wataendelea
kudunda na taarifa
zao za ki-intelijensia,
huku wakisifiwa na
vyombo vyao vya habari
(propaganda) kuwa wapo
makini na wanaaminika.
Hali mbaya itakuwa kwa
kila atakayefananishwa na
Makusanya, maana katika
mchezo huu, Makusanya
anakuwa mzuka,
hakamatiki.
Shambulio la kigaidi

Garissa, lilitanguliwa na
taarifa za ki-intelijensia
kutoka nchi za Magharibi
kuwa Kenya, Tanzania na
Uganda, zitashambuliwa
na magaidi wa AlShabaab/IS. Balozi za nchi
hizo zilisambaza taarifa
zikisema zimepata habari
za uhakika kuwa Kampala,
itapigwa hivi karibuni.
Vyombo vya habari
vya nchi hizo vikatoa
tahadhari kuwa tukae
macho maana IS watapiga
Dar es Salaam, Mwanza na
Garissa (Kenya).
Mchezo ukawa ule ule,
tunasubiri Makusanya
achome nyumba badala
ya kumuuliza X mtoa
tahadhari atueleze vizuri.
Ta a r i f a h i z i k a z i p a t a
wapi na atueleze kwa
kina na kwa kituo, huyu
Makusanya ni nani na
yeye wanajuana vipi?
Mbona kila wakati huyu
X anakuwa wakwanza
kujua kuwa Makusanya
atatupiga? Mbona huyu
Makusanya hampi taarifa
hizi za kutupiga Mchina,
Cuba au japo Urusi?
Hatukujiuliza maswali
hayo, wala si kawaida yetu
kujiuliza baada ya ufisadi
m k u b wa u l i o f a n y i wa
akili zetu. Walichofanya
Garissa, ni uongozi wa
Chuo Kubandika tangazo
la tahadhari katika mbao
za matangazo kuwa watu
wawe makini. Unakuwa
makini vipi dhidi ya
Bogey man na Monster?
Kuna watu wanacheza
kamari katika mpira hasa
katika Kombe la Dunia
(World Cup) au katika
ngumi kama zile za
akina Mike Tyson. Nchi
Y ikishinda nakupa Dola
milioni 10, ikishindwa
unanipa Dola milioni 10.
Pesa zinatolewa kabisa
zinakabidhiwa mahali.
Wa n a o c h e z a k a m a r i
kama hizi, wakishatoa
Dola milioni 10, huwa
hawasubiri kipenga
cha mwisho ndio wajue
wamekula au wameliwa.
Dola milioni 10 ni pesa
nyingi. Atafuatwa refa,
mlinda mlango na
m l o l o n g o wa m a m b o
kama hayo kuhakikisha
kuwa pesa haipotei.
Hiyo ni kamari ndogo
sana ya Dola milioni 10.
Sasa sikwambii mikakati
k a m a h i i ya k i d u n i a
katika huu utandawazi
na udhibiti wa dunia
Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
kijiografia na rasilimali
zake (hegemony) ambapo
inaonekana kwa hivi sasa
Vita dhidi ya Ugaidi
umekuwa ni mtaji mkubwa
wa mabeberu kuingia
popote wanapotaka na
kudhibiti mambo.
BBC, CNN, Dailymail
walivyoripoti Garissa
Kama ilivyotangulia
k u s e m wa , i l i k u wa n i
vyombo vya habari vya
Magharibi vilivyotoa
habari kuwa Afrika
Mashariki itapigwa na
Al-Shabaab/IS. Garissa
imepigwa. Sasa tutizame,
ni vipi waliripoti tukio
hilo.
Te r r o r i s t s b e h e a d
Christian students in worst
attack in country in 17 years.
Gunmen stormed Kenya's
Garissa University College
campus in dawn raid. The
death toll has risen to 147,
country's disaster response
agency said. Al-Shabaab
claimed responsibility for
the latest terrorist atrocity in
Kenya. Some Christians were
beheaded and four terrorists
have been killed. Terrorists
strapped themselves with
explosives and exploded when
shot.
Ndivyo walivyoripoti
Darren Boyle Jenny
Stanton wa gazeti la Daily
Mail la Uingereza. Ufupi
wa maneno wakisema
kuwa pamoja na kuuliwa
watu 147, lakini kulikuwa
na visa vya kuchinjwa
wa n a f u n z i Wa k r i s t o .
Wakifafanua kuwa Al
Shabaab walipovamia,
walifanya zoezi la
kuwatambua Wakristo na
kishwa kuwachinja.
Slaughter began as
students prayed, kiliripoti
chombo kingine cha habari
kikidai kuwa Al-Shabaab
waliwavamia wanafunzi
Wa k r i s t o wa k i wa
katika MISA na kuanza
kuwachinja.
They burst into a room
where Christians had
gathered and took hostages,
the terrorists sprayed
bullets indiscriminately.
Then they proceeded to the
hostels, shooting anybody
they came across except
their fellows, the Muslims.
Hivyo
ndivyo
ilivyoripoti CNN ambayo
ilisifiwa na vijana wetu
wa SAUT. AP, AFP na

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Escrow, EPA za kukoroga akili


mbaya kuliko ufisadi wa pesa

MAKAZI ya familia ya Kisomali nchini Kenya.


abc news nao waliripoti
hivyo hivyo wakisisitiza
kuwa magaidi walikuwa
wakiwatenganisha
Wakristo na Waislamu na
kisha kuwauwa Wakristo.
Mtu unajiuliza, msisitizo
h u u k u wa Wa k r i s t o
wanachinjwa wa nini? Je,
ni kweli kuna wanafunzi
Wakristo walichinjwa?
Kama inadaiwa kuwa Al
Shabaab wanaipiga Kenya
kwa sababu imepeleka
jeshi Somalia, je, lile jeshi la
Kenya lililopo Somalia, ni
la Wakristo watupu? Je, na
kule Somalia, Al Shabaab
wakikutana na askari
wa Kenya, wanawauliza
kwanza wanaojua kusoma
Q u r a n i l i w a w a j u e
Wakristo? Je, askari wa
Kenya Muislamu aliyeko
S o m a l i a a k i k u t wa n a
Al-Shabaab yeye badala
ya k u u l i wa a n a p e wa
Assalaam alaykum na
kukumbatiwa?
Wakati nafuatilia habari
hizi nilikutana na mpasha
habari wa France24
akimhoji kijana mmoja
aliyejitambulisha kwa
jina la Augustino Alanga.
Katika maelezo yake ya
awali, kijana alijieleza kuwa
yeye aliwahi kukimbia
kwa hiyo yanayoendelea

huko nyuma anafanya


kusikia tu ila chuo bado
kimezingirwa na wanajeshi
na anasikia milio ya risasi
kwa mbali.
I n a v y o e l e k e a
mtangazaji wa France24
alikuwa tayari na mambo
yake ila akitaka tu kijana
Augustino atumike kama
ndio chanzo cha habari.
Kwa mfano alimuuliza:
Vipi na wale wanafunzi
Wa k r i s t o wa l i o k a t wa
vichwa na Al-Shabaab.
K i j a n a a k a j i b u k u wa
yeye hana habari kuwa
kuna watu walichinjwa.
Mtangazaji akaendelea,
lakini unaonaje,
ukizingatia rekodi yao,
Al Shabaab si wanaweza
wakachinja wanafunzi
Wakristo? Jambo kama hilo
si linawezekana? Kijana
akajibu, linawezekana.
I n a p o r i p o t i wa s a s a
katika taarifa TV na
magazeti, unaona Al
Shabaab waanza kuchinja
wa n a f u n z i Wa k r i s t o .
Al-Shabaab wauwa
wa n a f u n z i Wa k r i s t o ,
wengine wachinjwa.
H a y a
n d i y o
tunayoambiwa na CNN,
BBC, ABC News na wenzao.
Ni kama ilivyokuwa katika
shambulio la Westgate au

kile kilichodaiwa kuwa


magaidi wa Al-Qaidah
walitaka kudungua ndege
ya Israel Mombasa mwaka
2002 ambapo mwandishi
mmoja akiwa Marekani
anapiga simu Mombasa na
kuuliza, vipi na hilo tukio
la magaidi kushambulia
ndege ya Israel? Wakati
huo hakuna tukio
kama hilo lililoripotiwa
katika uwanja wa ndege
wa Moi International
Airport, Mombasa.
Lakini kilichokuja
kujulikana baadae ni kuwa
kulikuwa na maguruneti
ya kudungulia ndege
(shoulder-launched
Strela 2 (SA-7) surface-toair missiles) yaliwekwa
katika kichaka kimoja
uwanjani hapo na siku
hiyo ndege ya Israel,
Boeing 757 airliner mali
ya Arkia Airlines, ikaacha
mwelekeo iliopangiwa
kuruka, ikaruka kupitia
juu ya kichaka kulikokuwa
kumewekwa maguruneti
hayo.
Wapo waandishi wetu
hapa nchini leo ambao
naamini wanatamani lau
ingewezekana yakafutika
yale waliyokuwa
wameyaandika katika
magazeti yao katika tukio

la Westgate Shopping Mall.


Mfano zilikuwepo taarifa
za magaidi kuchukua
watoto wachanga
wa Kikristo na kukata
mikono yao wakaichonga
na kufanya kalamu za
kuandikia wakati damu
ikiwa wino. Taarifa hizo
ziliandikwa na magazeti
ya Magharibi na kudakwa
na baadhi ya magazeti
hapa nchini kishabiki.
Lakini hakuna mtoto
aliyeonyeshwa kukatwa
mikono wala hiyo mikono
iliyokatwa na kufanywa
kalamu.
Ukirejea katika hiyo
h i y o We s t g a t e , k w a
mtu mwenye akili yake
timamu na huru, maelezo
kuwa kuna Al-Shabaab
anatoka Somalia na gari
lililosheheni silaha aingine
Nairobi ashambulie kwa
siku tatu katika jumba
lililozungukwa na polisi,
j e s h i , m a k a c h e r o wa
ndani na nje, lakini auwe
watu na kuondoka bila
kukamatwa au kuuliwa,
ni jambo lisiloingia
akilini. Lakini kwa vile
watu walishakorogwa
akili, vichwa vishakuwacorrupted, vishafisidiwa,
wa m e b a k i wa n a i m b a
porojo za Al Shabaab
kuvamia Westgate sasa
wa n a z i u n g a n i s h a n a
Garissa. Hakuna kujiuliza
hawa Al Shabaab ni nani?
U we z o wa k i a s i h i k i
wameupata wapi? Ni
kweli wanaweza kufanya
wanayodaiwa kufanya
mbele ya macho ya serikali,
polisi, jeshi na vyombo
vyote vya dola?
Haya yote hatujiulizi
kwa sababu ya EPA za
v i c hwa ni m we t u. A l Shabaab iliibuka kama
harakati za kupambana
na uvamizi wa Ethiopia
ikiwezeshwa na Marekani,
n d a n i ya S o m a l i a n a
zikaendelea katika
kupinga walichodai kuwa
ni serikali kibaraka. Yule
aliyesababisha kuibuka
k wa A l - S h a b a a b k wa
maslahi yake ya kibeberu,
n d i ye a n a t u a m i n i s h a
kuwa Al-Shabaab ni ugaidi
na sio wa Somalia tu, ni
ugaidi Tanzania, Kenya
na Uganda. Anatupeleka
tupigane ndani ya Somalia
n a t u k i p i g wa k a t i k a
miji yetu ya Garissa,
anatujengea hoja kuwa
tunapigwa kwa sababu
tumepeleka jeshi Kenya.

Inaendelea Uk. 12

12

MAKALA

SIASA ISITANGUE UDUGU WETU!


Kalamu i mkononi, lengo kukunasihini,
Ndugu zangu Visiwani, kwa utuvu pulikeni,
Nasaha ninokupeni, kwa magego zishikeni,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Ninyi nyote ikhiwani, kwa mujibu wa QURANI,
Ushahidi u bayani, yalo toka mwake ndani,
HUJURATI rejeeni, AYA chini nabaini,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
ASHARA si ishirini, nambari nakujuzeni,
Kikoa idurusini, kwa uketo na makini,
Udugu mtabaini, wenu ninyi mwake ndani,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Kadhalika bahithini, jambo hili HADITHINI,
Anzeni na SWAHIHANI, thuma SITATU SUNANI,
Udugu vimebaini, wenu navyo mwake ndani,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Msighurike jamani, na siasa za kihuni,
Majungu zilosheheni, ghilba pamwe fitani,
Zinowachonganisheni, pamwe na kukugaweni,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Udugu wenu kwanini, kwa siasa mwaukhini?
Kama sivyo kulikoni, mwajeruhiana nini?
Mwatwangana ikhiwani, kwa maslahi ya nani?
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Kwa sakata la Fuoni, walokhasirika nani?
Pamwe na la BARAZANI, walofedheheka nani?
Hayo yatafakarini, vichwani na sudurini!
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Siasa vita pigeni, zinokufitinisheni,
Na zenye kukuwekeni, baidi na yenu dini,
Udugu mbele wekeni, wenu na usharifuni,
Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.
Nilonena si mageni, lengo kukudhukuruni,
Ukhuwa msiukhini, kwa siasa za kihuni,
Kikoa shikamaneni, taifa lenu jengeni,
Siasa isitangue, udugu wetu wa dini.
SHAHIDI yangu MANANI, nasaha nimekupeni,
Shime zizingatieni, zipate kuwaauni,
Kalamu naweka chini, kazi kwenu ikhiwani,
Siasa isitangue, udugu wetu wa dini.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

MH! ZAMA ZA PROPAGANDA!!!


Zama za propaganda, si kila jambo kutwaa,
Zama za propaganda, zina lukuki hadaa,
Zama za propaganda, hatari kuzinyamaa,
Zama za propaganda, japo kwa finyu wasaa,
Zama za propaganda, kuzitongoa yafaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
Zama za propaganda, kwa kasi na kwa fajaa,
Zama za propaganda, walimwengu zatuvaa,
Zama za propaganda, twabaki tukiduwaa,
Zama za propaganda, si Tanga wala Dakaa,
Zama za propaganda, kote zimetandawaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
Zama za propaganda, lengo dunia kutwaa,
Zama za propaganda, kwa puya pasi janaa,
Zama za propaganda, kwa kuifanya ni jaa,
Zama za propaganda, la mazuzu na vichaa,
Zama za propaganda, ndio dhimaye alaa!,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
Zama za propaganda, bongo zetu hudumaa,
Zama za propaganda, fikra zetu husaa,
Zama za propaganda, nadhari zetu hupaa,
Zama za propaganda, mawazo yetu mawaa,
Zama za propaganda, vyote hivyo hututwaa,
Zama za propaganda, ni za hadhari kukaa.
Zama za propaganda, kama ni tembo chang'aa,
Zama za propaganda, kama ni ute usaa,
Zama za propaganda, kama ni hewa ukaa,
Zama za propaganda, kama ni janga balaa,
Zama za propaganda, kama ni wehu kichaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Escrow, EPA za kukoroga akili


mbaya kuliko ufisadi wa pesa
Inatoka Uk. 10

Ambao hatujapeleka,
t u t a a m b i wa h a wa n i
m a g a i d i t u , h a wa n a
sababu, ni watu tu
wabaya, katili wasiona
vibaya kuuwa watu wasio
na hatia, na hasa Wakristo.
Au tutaambiwa wanataka
kusimamisha Shariah Dar
es Salaam na Mwanza.
Wiki iliyopita tulieleza
kisa cha Bogeyman
hawara wa mama wa
vijana Willy na Lacey.
Awali hawara huyu
alikuwa mtu halisi, lakini
miaka 20 baada ya kufa,
akaja kama jinamizi.
Aliwahangaisha sana
Willy na Lacey.
Al-Shabaab kwa asili
ya k e n i wa t u wa p o ,
ni taasisi ipo ikiwa na
malengo yake ya ndani
ya Somalia. Lakini kwa
kutumia Al-Shabaab
halisi, tumetengenezewa
Bogey man, Monster,
zimwi na jinamizi AlShabaab ambalo lina
uwezo wa kuingia katika
miji yetu likapiga mbele
ya macho ya makachero
wetu, polisi, jeshi na
likaondoka bila ya
kuonekana.
Maadhali akili zetu
zimefisidiwa, zimejazwa
ufisadi na kuamini kuwa
kuna zimwi Al-Shabaab,
lililopiga Kampla, likapiga
Westgate, Nairobi, sasa
limepiga Garissa, wala
tusijidanganye kuwa tuna
uwezo wa kupambana
nalo.
Rais Uhuru Kenyatta
anasema kuwa anaongeza
kusomesha maofisa wa
polisi, hizo ni porojo
tu. Wameuliwa Sheikh
Aboud Rogo, Makaburi na
Masheikh wengi tu, kwa
kunasibishwa na Jinamizi
Al Shabaab. Na ATPU,
wataendelea kuuwa
Wakenya wasio na hatia
kama wanavyotamba
wenyewe kwamba,
h a wa k a m a t i m t u n a
kumpelekea mahakamani,
wanammaliza tu.
Lakini pamoja na hayo,
leo tunazungumzia

mashambulizi ya
G a r i s s a . Wa t u 1 5 0
wameuliwa.
Hii maana yake ni
kuwa kama tutabakia
na akili hizi za kupewa
n a k u s h i k i l i wa , z a
jinamizi Al Shabaab,
tutapigwa Garissa na
pengine popote, wala
kauli za kujizatiti,
kujiandaa, kuzidisha
ulinzi hazitatusaidia
kitu.
Kama ambavyo
watoto huacha
k u l o we s h a v i t a n d a
wakikua, naamini
kuwa vijana wetu
walioshusha nadharia
Star TV wakiyajua haya
watafahamu kuwa
vyombo vya magharibi
vina agenda gani katika
kupambia kitisho cha
ugaidi. Kule Nigeria
wa l i f i k a m a h a l i p a
kutumia picha za watu
walioungua katika ajali
ya lori la mafuta Congo
DRC, wakadai kuwa ni

Wakristo waliochomwa
moto na Boko Haram!
Kwa nini? Kukuza
kitisho cha jinamizi
Boko Haram, pili
kupandikiza chuki
na fitna mchinjane
wenyewe
kwa
wenyewe. Machafuko
yakikolea, wanakuja
kikachero na kijeshi
k wa k i s i n g i z i o c h a
kuwasaidia. Mnaingia
katika utando wao wa
kijeshi. Mmeshikwa
hamtoki. Na ili msitoke
lazima kisingizio cha
kitisho cha jinamizi
la ugaidi kiendelee.
Nyinyi ni kupigwa tu
daima dumu.
Bila ya vyombo vya
habari vya kusambaza
uwongo, propaganda
na porojo, hakuna
ugaidi. Sasa hawa wapo
kazini. Ni vyombo
muhimu kwa mikakati
ya mabeberu.

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

ILALA ISLAMIC SECONDARY

USAJILI
S.2401

KWA WASICHANA TU

IPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII


SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMO

Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,


B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322
Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,
0714 381964

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

USAJILI
S.4384

KWA WAVULANA TU

Ipo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa


MASOMO
Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

13

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Hijrah

Inatoka Uk. 8
Kumtumikia Allah (s.w)
ni kumfanya Allah (s.w)
kuwa ndiye Bwana (Rabb)
wetu pekee ambaye ndiye
pekee tunayepaswa
kumtii kwa unyenyekevu
kwa kufuata barabara
mwongozo wa maisha
aliyotuwekea. Utiifu na
unyenyekevu wetu kwa
Allah (s.w) utadhihiri
pale tutakapopania kwa
moyo mkunjufu kutenda
yale yote aliyotuamrisha
n a a n a y o ya r i d h i a n a
kujiepusha mbali kutenda
yale yote aliyotukataza na
yanayomchukiza katika
kuendeza harakati za
maisha yetu yote ya kila
siku. Ibada kwa mtizamo
huu inamuhusu kila mtu
binafsi na jamii kwa ujumla.
Ili kila mtu amuabudu
Allah (s.w) inavyostahiki,
jamii inawajibika kuweka
mazingira ya kumuabudu
Allah(s.w) katika kila
kipengele cha maisha kwa
muda wote kwa kuunda
d o l a ye n ye m a m l a k a
k a m i l i ya k u a m r i s h a
mema yanayoleta furaha
na amani katika jamii na
kukataza na kuyatokomeza
maovu yanayoleta huzuni
na vurugu katika jamii.
Kutokana na maelezo
yaliyotangulia tunaweza
kusema kuwa Waislamu
tunalazimika kujifunza ili
kwa kuzingatia matendo
ya watu binafsi na jamii
zilizopita tuweze kubakia
katika lengo la maisha yetu
ya kibinafsi na kijamii na
kufuata njia iliyonyooka
(njia ya Allah) kwa kuigiza
mwenendo wa watu wema
waliofaulu katika maisha
ya hapa ulimwenguni
na kubashiriwa pepo na
kujiepusha na mwenendo
wa watu waovu waliofeli
katika maisha ya hapa
ulimwenguni na wengine
wakaangamiziwa
mbali na katika akhera
wameahidiwa adhabu
kali ya motoni. Ni
kumbukumbu za Historia
pekee zitakazo tuwezesha
kuishi kulingana na
mazingira ya dua
tunayoiomba katika kila
rakaa ya swala zetu katika
kusoma Suratul-Faatiha.
Amesema Allah
(Subhaanahu wa
Taala): Tuongoe njia
iliyonyooka (Al Fatha
1:6).
Njia ya ulio
waneemesha, siyo ya walio
kasirikiwa, wala walio
potea. (Al Fatha 1:7).
Wa l i o n e e m e s h w a

na Allah (s.w) ni wale


watu wema walioishi
kulingana na lengo la
maisha yao. Watu wema
wamebainishwa katika
Quran.
Amesema Allah
(Subhaanahu wa Taala):
Na wenye kumtii
Mwenyezi Mung u na
Mtume, hao wa pamoja
na wale alio waneemesha
Mwenyezi Mungu
miongoni mwa Manabii, na
Masiddiqi, na Mashahidi,
na Watu wema. Na uzuri
ulioje kuwa pamoja na
watu hao! (An-Nisaai
4:69).
Historia inadhihirisha
m w e n e n d o wa h a wa
waliotajwa katika aya
hii. Walioghadhibikiwa
na Allah (s.w) na
waliopotea njia kabisa,
pia mwenendo wao
umebainishwa wazi katika
Historia ya mwanaadamu
iliyodhihirishwa katika
Quran.
Baada ya maelezo haya
yaliyotangulia juu ya
Historia (Tareikh), Jamii ya
Kiislamu inapata mafunzo
muhimu ya Kihistoria
kwenye Tukio la Mtume
(s.a.w.) la Kuhama (Hijrah)
kutoka Makkah hadi
Yathirib (Maddinah). Kwa
hivyo, kwenye makala
hii nimekusudia kwa
kadiri Alivyoniafikisha
( K u n i we z e s h a ) A l l a h
(s.w.) kuvielezea baadhi
ya vipengele muhimu sana
vya mafunzo ya Kitareikh
ambayo tunayapata
katika Hijrah ya Mtume
(s.a.w.) na Maswahaba
zake kuhamia Maddinah
na kuvibainisha jinsi
ambavyo vipengele hivyo
vinavyotufunza Jamii ya
leo ya Kiislamu juu ya
namna/mbinu na hatua
za Tahadhari/Umakini
ambao tutaweza kuufanya
ili kuweza kukabiliana na
mazingira yetu binafsi
ya kimaisha, namna ya
kupambana na Maadui
wa Uislamu na Waislamu
na kwa ili kufanikisha
Harakati za k uweza
Kusimamisha Uislamu
katika Jamii.
Na kwenye makala hii
tutaona namna/mbinu
a m b a z o wa n a z i t u m i a
maadui wa Uislamu na
Waislamu, mpaka kufikia
kuiporomosha Dola
ya Kiislamu aliyoiacha
Mtume (s.a.w.), na mpaka
kufikia Dola ya mwisho
ya Kiislamu Ottoman
E m p i r e ( H i m a ya ya

Uthman) pale Uturuki na


kuzikwa kabisa mnamo
mwaka 1924. Na pia
tutaweza kuyaona makosa
a m b a y o ya m e f a n y wa
n a Wa i s l a m u m p a k a
kuporomoka kwa dola
ya Uislamu, na makosa
hayo hayo yaliyofanya
Kuporomoka kwa Dola
ya Uislamu, ndiyo
ambayo Waislamu wa leo
tunaendelea kuyarudia
kuyarudia na kutufanya
kuwa madhalali na
m a t e k a / wa t u m wa wa
Matwaaghuut.
Mbinu zizotumiwa na
Maadui wa Uislamu na
Waislamu (Mayahud)
tangu zama za Mtume
(s.a.w.), Makhalifah wake
waongofu na kuendelea
ni zile zile za kujipenyeza/

kupenyeza Vijibwa
w e n z a o wa M o t o n i
kwenye safu za Waislamu,
na wakaweza kutumikiwa
n a Wa i s l a m u k w a
kutekeleza mipango yao
ya Kistratejia ili kuvuruga
safu, kupandikiza
uhasama/farqa/uwadui
b a i n a y a Wa i s l a m u
wenyewe kwa wenyewe.
Kama Walivyotumia fursa
hiyo Mayahud kama vile
Abdallah bin Saba, Kemal
Mustafa Atturk na hivi
sasa Abu Bakr al-Baghdad
Ambaye amejitangazia
kuwa khalifah wa Dola ya
Kiislamu (Syria na Iraq)
nk.
L e o l i c h a ya h i v y o
kwenye safu zetu
z a j u m u i ya z e t u z a
Kiislamu kuna Vijibwa

vyeusi wa Motoni
ambao wamejipenyeza
na kuvuruga mambo/
Stratejia yetu ya
kusimamisha Uislamu
katika Jamii na kumkufuru
Maluuni (Twaaghuut)
na watumishi/mawakala
wa o . H i v y o n i m e t a j a
au kuonyesha kadhia
mbalimbali kama Facts
(hakika) zile zinazonihusu
moja moja na ambazo
nimezishuhudia kwenye
Jumuiya zetu za Dini, kwa
jinsi ambavyo tunafanya
makosa makubwa kwenye
TASNIA YA DAAWAH,
na kuwapa maadui zetu
fursa ya kutuangamiza
mmoja baada ya mwingine
na kuvuga kabisa Stratejia
ya Kidaawah.

Wafanye haraka kununua AK-47 wawahi Somalia, Syria

Inatoka Uk. 8
kuwa ni namna ya
kuwakamata magaidi na
kuwashugulikia kabla
ya kufanya shambulio la
kweli.
Lakini ukitizama,
wanacholenga sio hicho.
Ile kukamatwa Asia
akafungwa, sio wanalotaka
kwamba wamemkamata
kabla ya kufanya ugaidi
wa kweli. Tangu hapo
kama wasingekuwa wao
kumkamatisha, Asia
asingeweza kufanya
l o l o t e . Wa n a c h o t a k a
wao ni kuhuisha kitisho
cha ugaidi. Hivi sasa
wanatumia kukamatwa
N o e l l e Ve l e n t z a s n a
Asia Siddiqui, kupiga

propaganda ya kile
wanachoita ugaidi
wa IS kutoka ndani ya
Washington na New York
(home grown).
Hebu fikiria itangazwe
kuwa akina mama wawili
wakamatwa wakijiandaa
kufanya shambulio la
kigaidi jijini Mwanza.
Halafu wanatolewa akina
mama wa moja ya Darsa za
akina mama jijini Mwanza
wakiwa na Hijabu zao.
M a g a z e t i ye t u k a b l a
h a ya j a p i g i wa n g o m a ,
wa n a c h e z a , u n a we z a
kufikiria yatachekelea
kwa kiasi gani. Na ni
kwa kiwango gani tukio
hilo, iwe la kweli au la
kubambikiwa kama hili
la akina Asia, litakavyotia

nguvu kitisho cha ugaidi,


iwe wa Al Shabaab au IS,
kama wapiga propaganda
watakavyoliweka.
Kwa hiyo, kwa
kuzingatia yote haya,
ipo haja ya kuendelea
na mada ya tahadhari,
lakini twende mbali
zaidi. Wale wanaokuja
na mawazo kuwa
wanacheleweshwa jihad,
tuwaambie kwa upole
kabisa, lakini na mapema
kabla hawajatudhuru.
K wa m b a D a r s a z e t u
h a z i w a f a i . Wa f a n y e
haraka, kama hawana
akiba ya pesa, wauze
niqabu zao wanunue
AK-47 wawafuate wenzao
Shamba.

14

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia

Abu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi-(6)

Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Abu Bakar Mohammed
I b n Z a k a r i ya a l - R a z i
mtaalamu huyu ndie
aliyenisukuma kusoma
juu ya wanasayansi wa
Kiislamu kutokana na
bughdha ya mwalimu
wangu wa Utibabu wa
Miti (Plant Pathology)
ambaye aliniadhibu
kwenye somo hili kwa
kunielezea kinaga ubaga
kuwa sitofuzu somo hilo.
Daktari huyo alikuwa siku
zote akiwataja wataalamu
hao ninawaelezea katika
makala zangu hizi na
kunitaka mie niwaelezee
kwenye kadamnasi
ya darasa ikiwa yeye
mwenyewe akiwajua juu
juu. Nikitumia muda
wangu mwingi kwenye
Maktaba kuwasoma
magwiji hawa. Mwalimu
huyu hakuwa anajua kuwa
ananijengea msingi wa
kuwafahamu wajuzi hao
ambao baadaye nitachukua
kalamu na kuicharaza
kuwaelezea wenzangu nao
kuweza kuwaelewa.
Sitopenda kumtaja jina
lake huyo mwalimu humu,
bali nitaliweka jina lake
kwa harufu ya mwanzo
Daktari M akiwa hai Mola
ampe uzima na afya akiwa
amefariki Mola amlaze
pema Peponi, Ameen, na
wale wote walionisaidia
katika Chuo Kikuu cha
Gharyounus, BenghaziLibya nawatakia kila la
kheri.
Ni nani Abu Bakar
Muhhamd bin Zakariya
Al-Razi? Al-Razi au
kama anavyoitwa katika
ulimwengu wa Magharibi
Rhazes au Rasis alikuwa
gwiji mahiri katika
miaka ya kati kwa uwezo
aliokuwa nao na ufahamu
katika elimu ya utibabu.
Katika nyakati zake
aliweza kulinganishwa
na Ibn Sinna (Avicenna).
Ut apot aka kuwaweka
katika mstari mmoja baina

ya wawili hawa, Al-Razi


atakuwa juu kutokana
na uwezo na utulivu wa
kuchunguza maradhi kwa
umakini kabisa.
Al-Razi alizaliwa
mwaka wa 844 katika mji
wa Rayy mji uliokaribu
na Tehran nchini Iran na
ndio mji huo huo alipofia
ingawa katika maisha yake
alisafiri katika maeneo
mengi kwa kutafuta elimu.
Al-Razi alikuwa msomi
aliokamilika katika elimu
ya Utibabu, Falsafa na
somo la Kemia. Aidha
alikuwa gw iji n a mn a
anavyomkabili mgonjwa
na kumchunguza na
kujua sababu za maradhi
yake. Aidha akiponesha
wagonjwa wa akili kwa
kutumia tiba na kuondosha
kabisa dhana iliyotanda
na kuzagaa katika zama
hizo kuwa mgonjwa wa
akili anakuwa ameingiwa
na majini, mashetani na
mapepo. Mbali na masomo
niliokwisha kuyaeleza, AlRazi alijifunza sayansi na
utamu wa lugha, hesabati,
mantiki, kemia na upigaji
wa vinanda. Katika upigaji
wa kinanda hakudumu
n a k o , i l a i n a o n ye s h a
kuwa wanasayansi wengi
wakipiga vinanda kama
Al-Biruni na hata Albert
Einstein alikuwa akipiga
fidla (Violin).
Al-Razi alipotimu umri
wa miaka 30 alizama
katika kujifunza elimu
ya utibabu na kufanya
tafiti za kitibabu na
kuweza kulifanikisha hilo
alibidi ahamie Baghdad
kiringe cha elimu katika
nyakati hizo sawa na
Oxford, Havard na vyuo
vikubwa vya miaka hii.
Alipofanikiwa kuonyesha
ufundi mkubwa katika
uga wa utibabu aliajiriwa
akiwa kama Mkurugenzi
wa hospitali ya Ufalme
mjini Rayy na aliweza
kuiendeleza kazi kama
hio alipokuwa katika mji
Baghdad katika hospitali
ya Muqtadiri.
Moja ya walimu mahiri
ambao walimfunza somo
la utibabu ni Ali bin
Sahal ambaye alikuwa ni
msimamizi wa hospitali
zote za serikali. Ali bin
Sahal alikuja na mtindo
ambao ulikuwa haujulikani
kabla nao nikuandika
matibabu yote katika buku
lake la kumbukumbu la

Al-Razi gwiji la elimu ya utibabu


kila siku. Mkusanyiko
wa kumbukumbu hizo
zilikuja kuchapishwa kwa

anuwani ya Firdaus ul
Hikma ambayo kazi hii
iliandikwa kwa kuratibiwa

kwa mpango wa alfabeti,


wataalamu wa fani ya
historia ya utibabu
wanasema kuwa kitabu
hichi ndicho kilikuwa
encyclopedia ya mwanzo
ya fani ya utibabu duniani.
Al-Razi alitumika
katika mahkama ya
Baghdad kama daktari wa
mahakama na mtindo huu
ulikuwa maarufu zama
hizo kwa kila taasisi kuwa
na daktari wake mtindo
ambao ndio kwanza katika
nchi zetu umeanza kushika
kasi. Al-Razi Alikuwa
mtafiti na akipenda
kufanya uchunguzi na
kuangalia matokeo ya kila
anachokichunguza, mara
moja alichukua pande la
nyama kisha akalikata
vipande na kuvininginiza
katika sehemu mbalimbali
kwa kutaka kujua sehemu
ipi ya vipande hivyo vya
nyama itaoza mwanzo
na sehemu ipi itachelewa
k u o z a , k u f a n ya h i v i
kutampelekea kujua namna
ya vidudu tusioviona
wapi waliopo kwa wingi
na wapi wanakuwa kwa
haraka. Kufanya utafiti
hakukumzuia kutofanya
kazi ya kutibu au kusita
k u s o m e s h a . A l i k u wa
akiyafanya hayo yote kwa
katika nyakati mbalimbali.
Mmoja wa mchango wake
mkubwa ambao ulipigiwa
Inaendelea Uk. 15

Mwaka wa 1987 nchi ya Jordan walitoa stampu ya Al-Razi.

15
UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki


ijayo.
1. Surah iliyokuwa refu ina aya ngapi?
2.
Surah gani imeanza bila ya tamko Bismilahi Rahman
Rahim.
3. Surah za Makka ni ..
4. Surah za Madinah .
5. Wa k u s a n y a j i H a d i t h i w a w i l i m a s h u h u r i
ni..,
6. Mtume SAW alikuwa na umri gani alipoteremshiwa
Wahyi na Jibril?
7. M k e wa m wa n z o wa B wa n a M t u m e S AW
ni..
8. Hijra ya mwanzo Waislamu walikwenda wapi?
9. Safari ya Mtume SAW kutoka Duniani kwenda
Mbinguni inaitwa..
10. Mtume SAW alifwatana na nani alipohama Makka
kwenda Madinah?
Je unajua?
Ukuta Mkuu wa China ujulikanao Great Wall of China
umejengwa tangu karne ya 7 Kabla ya kuzaliwa Nabii Issa
na upo bado hadi hii leo.
Piramid au kwa Kiarabu Haram ambayo yalijengwa
anapofariki Firauni na kuzikwa na watu wake inaaminika
kuwa Pyrimaid la Giza lilikamilika kujengwa mwaka 2560
kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa.
Mbu jike ndio anayeuma na kuingiza vijimelea kwenye
kiwiliwili cha mwanadamu.
Kuwa ndege wana uwezo wa kuruka kutoka bara moja
hadi bara jengine (Migratory birds) kuna ndege wanaonekana
kisiwani Unguja wakiwa wametokea Siberia.
Maji kwa matumizi ya mwanadamu yapo haba kabisa
duniani, sehemu kubwa ya maji ifikiayo asilimia 97.14% ni
maji ya chumvi ni asilimia 0.014% ndio maji tunayoyatumia
kwa matumizi ya mwanadamu.
Sehemu kubwa ya maji yaliopo duniani hutumiwa nje ya
matumizi ya kunywa na kupikia kwa mwanadamu. Jumla
ya maji safi yanayopatikana duniani asilimia 39% hutumika
katika kuzalisha umeme, asilimia 39% hutumika katika
umwagiliaji wa kilimo, asilimia 14% hutumika kwa matumizi
ya jumla, asilimia 6% hutumika kwenye viwanda, asilimia 2%
hutumika katika mifugo.
Asilimia 2.5 ya maji ndio tunayoyatumia kwa matumizi
yetu wanadamu na asiilimia 70% yapo kama barafu, maji
safi (Fresh water) yaliopo kwenye maziwa na mito ni chini ya
asiilimia 0.3% ya maji safi yaliopo duniani. Maji mengi yaliopo
ni yale yalio chini ya ardhi ikiwa ni sawa na asilimia 30%.
Mto Nile ndio mto ulio mrefu kabisa ukiwa unakwenda
katika masafa ya kilomita 6,583.
Huduma za Post zilianza miaka mingi huko nyuma, lakini
matumizi ya barua na kuwekewa stampu yalianza rasmi
katika mwaka wa 1840.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Abu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi-(6)


Inatoka Uk. 14

mfano ni kule kuweza


kuwatibu wagonjwa wa
akili.
Maandishi yake mengi
aliyaandika kwa lugha
ya Kiarabu ingawa yeye
mwenyewe alikuwa
Mfursi. Aliandika kazi
za kitaalamu zisopungua
200 katika uga wa Falsafa,
Elimu ya nyota, Fizikia,
Kemia na Utibabu.
Siku zote alipokuwa
anasomesha aliwataka
wanafunzi wake
wajitahidi kuwachunguza
wagonjwa kuweza kujua
dalili za ugonjwa kama
walivyosomeshwa. Gwiji
Al-Biruni ambaye nitakuja
kumzungumza naye akiwa
mzaliwa wa Afghanistan
aliandaa katalogi la kazi
na vitabu vya Al-Razi
nakuweza kufikisha idadi
ya maelekezo ya katalogi
184, ninaposema katalogi
ni kazi iliofanywa jina
lake na kuipa namba, basi
Al-Biruni alifikisha idadi
ya 184.
Bahati mbaya kazi zake
nyingi zimepotea kama
kazi za wasomi wengine
namna zinavyoangamizwa
na vita nchini Iraq na Syria
ambako vita vimepamba
moto. Kazi zake ambazo
zimebaki na uthibitisho
k u wa a l i k we p o g w i j i
huyu pamoja na kazi
zake zilizotafsiriwa kwa
lugha ya Kilatino. Kazi ya
katalogi ilioratibiwa na Albiruni imefanyiwa tafsiri
kwa Kijarumani katika mji
wa Berlin mwaka wa 1924
kwa jina la Al-Biruni als
quelle fur das leben and
die schriften al- Razi
Al-Razi akipendelea
zaidi juu ya kufanya
uchunguzi na kuweza
kufahamu kinachomsibu
mgonjwa kuliko kufikiria
na kukurupuka kumtibu
mgonjwa. Alikuwa ni
mtu wa kwanza kuweza
kutafautisha baina ya
ugonjwa wa Ndui na
Shuruwa ikiwa wengi
wataalamu wasiku hizo
walikuwa wakinasibisha
kuwa ni ugonjwa mmoja,
w e n g i n e wa n a m w i t a
muanzilishi wa taaluma
ya magonjwa ya watoto.
Kazi yake kubwa
yakupigiwa mfano ni
Kitab al-Hawi Al Razi,
kazi hii ni kazi ya kisomi
ya hali ya juu ambayo
ilimchukua muda mrefu
kupitia kazi za wasomi wa
Kiyunani na Kiarabu na za
Uhindini katika uga wa
utibabu kwa kuchanganya
maarifa aliokuwa nayo. Al-

Katika kurasa za mwisho za Al-Hawi


Hawi kilitumika zaidi ya
miaka 500 kuanzia karne
ya 12 hadi ya 17 katika
dahari hizo walikuwa AlRazi, Galen na Ibn Sina
wakifahamika kama ni
Mahiri (Giant) wa utibabu.
Myahudi wa eneo la
Sicily Faraj Ibn Salim kwa
msaada wa Mfalme wa
Utaliano Mfalme Charles
I wa Anjou (1220-1285)
alifanikiwa kukitafsiri
kitabu cha Al-Hawi kwa
lugha ya Kilatino. AlHawi ilikusanya vitabu
20 vya elimu ya utibabu
ambapo haijatokea hadi
leo kazi ya Encyclopedia
kuandikwa na mtu mmoja,
ndipo mwana historia Will
Durant alifika kusema
vitabu 9 vya Al-Hawi
vilijaza maktaba ya
wanafunzi wa taaluma ya
utibabu katika kitivo cha
utibabu huko Ufaransa
katika mwaka wa 1395.
Mwaka wa 1486 chapa
ya Al-Hawi ikipatikana
kwa lugha ya Kilatino
kwa jina la Liber Dictus
Alhavi aidha AL-hawi
ilichapishwa nchini India
katika mji wa Hyderbad
kwa lugha ya Kiarabu
katika mwaka wa 1955.
K a t i k a m w i s h o wa
kitabu cha Al-Hawi kuna
Kitab al-Tibb al-Roohani
akielezea juu ya mambo
ya mashetani na namna
ya kutibu waliokuwa
wagonjwa wa akili tafsiri
ya Kiengereza imefanywa
na A.J. Arberry kwa jina
la The Spritiual Physick
of al-Razi vilevile katika
kurasa hizo za mwisho
kuna Sirat al-Faylasuf
ikiwa maisha ya wana

falsafa.
Baadhi ya vitabu vyake
Mbali ya kitabu cha alHawi ameandika Isbateh
Elmeh Pezeshkiutangulzi
juu ya Sayansi ya
Utibabu, Dar Amadi bar
Elmeh Pezeshki, Rade
Naghzotibbeh Nashi,
kitabu kinachoelezea
majaribio ya Sayansi ya
Utibabu na ungozi jinsi
ya kukitumia, Kenash,
kutafautisha juu ya
maradhi, kitabu chenye
m a e l e z o ya k u j i p o n a
pasipokuwa na tabibu,
k i t a b u k i f u p i j u u ya
muhtasari wa utibabu,
kitabu juu ya vyakula na
maradhi yake, al-Judari wa
al-Hasbah (Maelezo juu ya
Ndui na Shuruwa), Ketab
dar Padid Amadaneh
Sangrizeh alichokiandika
kwa kifursi juu ya mawe
kwenye mafigo, kitabu
juu ya kuumwa na meno,
Dar Hey'ateh Kabed.
Akaandika kitabu juu
ya v ya k u l a a m b a v y o
mgonjwa anavyotakiwa
kuvila anapougua. Kitabu
cha vyombo vya kufanyia
upasuaji, kitabu juu ya
mafuta, kitabu juu ya
wanawake wanapoingia
katika siku zao, kitabu
juu ya sumu hii ni orodha
ndogo sana ya vitabu
vyake.
Makala
ijayo
nitamuelezea gwiji wa
elimu ya kemia, Jabir Ibn
Haiyan (Geber) ambaye
alibobea katika elimu ya
Sayansi ya maumbile na
ya Kijamii.

16
Na Salum Bendera
NI kwa muktadha huo, ndio
maana tunapata kuwa suala
la ndoa limehesabiwa na
dini zote za mbinguni kuwa
ni jambo tukufu na muhimu
mno, na takribani dini
zote hizo zina mafunzo na
maelekezo maalumu kwa ajili
ya suala la ndoa na kufunga
pingu za maisha. Hata katika
jamii zilizobakia nyuma
kabisa na ambazo pengine za
majangwani, utaona katika
historia kuwa, ndoa lilikuwa
jambo lililoheshimiwa na
kupewa umuhimu maalumu.
Dini zote za mbinguni
zinalitazama suala la ndoa
k wa j i c h o m a a l u m u l a
utukufu. Hata hivyo kati ya
dini zote hizo za mbinguni,
hakuna dini ambayo imeweka
sheria za kushajiisha ndoa,
maalumu na tukufu kama
dini Tukufu ya Kiislamu.
Kwa hakika familia ni kituo
na taasisi tukufu ambayo jiwe
lake la msingi huwekwa kwa
jinsia mbili yaani jinsia ya
kike na ya kiume kuoana na
kituo hicho hukamilika mara
wanapozaliwa watoto ambao
huja na kuimarisha misingi
na nguzo za familia hiyo.
Wananadharia wanaamini
kuwa, familia ndio taasisi
ya kwanza kwa ajili ya
kukidhi mahitaji ya maisha,
huba na kubakia jamii.
Familia ni nguzo ya jamii na
inahesabiwa kuwa ni msingi
muhimu. Uislamu umeweka
mipango na mikakati
maalumu ya kuboresha
familia, kiasi kwamba, Bwana
Mtume Muhammad (SAW)
amesema:
"Hakuna jengo lililojengwa
katika Uislamu ambalo
ni tukufu zaidi na lenye
kupendwa zaidi mbele ya
Mwenyezi Mungu kuliko
kuoana (ndoa)."
Utendaji wa familia
katika jamii ni sawa kabisa
na utendaji wa seli katika
kiumbe hai, kwani kwa
kadiri seli hizo zinavyokuwa
salama zaidi na zenye nguvu,
ndivyo ambavyo mwili wa
kiumbe hai, unavyokuwa
salama na wenye nguvu
zaidi. Ndoa baina ya mke
na mume, ni mfungamano
wa kimaumbile na mahaba
baina ya wanandoa hao,
mfungamano ambao ni
wa lazima kwa shabaha
ya kuendeleza kizazi cha
mwanadamu. Hata hivyo,
mtazamo huu unahitajia
miongozo na usimamizi,
kwani kinyume na hivyo,
utaleta madhara na uharibifu.
Katika Uislamu kuna
v i g e z o v i l i v y o a i n i s h wa
kwa ajili ya kujenga familia.
Kadiri nguzo zinazounda
familia zitakavyotabikiana
na kuoana na vigezo hivyo,
basi ni kwa kiwango hicho
hicho ustahiki na ubora
utakavyokuwa.
Kwa kuzingatia kwamba,
familia ina nafasi muhimu
katika saada na kutengemaa
au nakama, ihlaki na
kuharibika watu katika kila
jamii, Uislamu umetilia
mkazo maalumu juu ya suala
la ndoa na kujenga familia,
na likaweka vigezo vya tabia
na maadili katika suala zima
la kuchagua mke. Ndoa
yenye saada na mafanikio
ni ile ambayo misingi yake
imesimama kwa ajili ya
kuunda familia salama,

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Ndoa, msingi wa kujenga familia


NDOA ni jiwe la kwanza la msingi la kujenga familia, na familia ni taasisi kuu
ya jamii. Licha ya kuwa ndoa kwa mtazamo mmoja linahesabiwa kuwa jambo la
mtu binafsi, lakini katika upande mwingine, ni nguzo imara na madhubuti ya
jamii ya mwanadamu. Faida na madhara yanayopatikana katika jamii taathira yake
inatokana na ndoa. Kwa maana kwamba, kuimarika kwa ndoa katika jamii, ni
kuweko jamii bora na yenye maelewano. Aidha kupuuzwa suala la ndoa, hupelekea
jamii kumomonyoka kimaadili na madhara yake ni kupatikana mahusiano haramu;
na baya zaidi ni kuzaliwa watoto nje ya ndoa ambao hukosa haki nyingi.

imara na yenye nishati,


uchangamfu na bashasha.
Kwa hakika mwanadamu ni
majimui yenye vipaji tele na
uwezo tayarifu na hivyo ndoa
inaweza kuandaa mazingira
mwafaka kwa ajili ya
kustawi na kuchanua vipaji
vilivyojificha katika ujudi
na uwepo wa mwanadamu
huyu na dafina iliyoko
katika kila ujudi wa ndani
wa mtu. Mapenzi, kudhamini
hawaiji za maisha, usimamizi
wa familia, mamlaka,
kujitosheleza, kupigania
ukamilifu, kujikurubisha
kwa Mwenyezi Mungu na
kuwalea watu wema na
wastahiki, ni mambo ambayo
yanawezekana kupatikana
kwa kuweko ndoa. Miongoni
mwa nukta muhimu katika
maktaba ya malezi ya Mtume
SAW, masahaba wema na
d h u r i a wa k e ( wa t u wa
nyumba yake tukufu yaani
Ahlul Byat), ni mtazamo wao
wa kimaanawi kuhusiana
na suala la ndoa na upande
wa utukufu wake. Ibara
tunazozishuhudia katika
hadithi zinathibitisha hili
kwa njia tofauti. Miongoni
mwa hadithi hizo ni ile
iliyopokelewa kutoka kwa
Bwana Mtume SAW akisema:
"Mwenye kufunga ndoa
amekamilisha nusu ya dini
yake, basi na amche Allah
katika nusu iliyobakia." Au
hadithi isemayo:
"Miongoni mwa nyakati za
kushuka rehma za Mwenyezi
Mungu ni wakati wa shughuli
ya akidi, nikaha na kufunga
ndoa."
Vile vile kuna hadithi
nyingi ambazo zinaonesha

kuwa, akthari ya miamala


ya kifamilia inahesabiwa
kuwa sawa na kufanya ibada.
Mtume SAW amenukuliwa
akisema kwamba:
"Mwanaume anayefanya
bidii kwa ajili ya familia yake,
ni sawa na mujahidi katika
njia ya Mwenyezi Mungu."
Katika hadithi nyingine
Mtume SAW amesema:
"Jihadi ya mwanamke ni
kuwa na mwenendo mwema
kwa mume."
Kwa hakika ibara zote
hizi zinaonesha jinsi
Uislamu unavyoshajiisha
juu ya suala la ndoa. Vile vile
kunajitokeza uhakika huu
kwamba, masuala ya maisha
ya dunia yanaweza kuwa njia
ya kuelekea katika ukamilifu
wa kimaanawi na kiakhera.
Miongoni mwa athari za
kisaikolojia za ndoa, ni
kuathiriana pakubwa mume
na mke. Kila mmoja yaani
mke na mume huathirika
pakubwa na miamala, fikra na
hata mtazamo wa mwenzake.
Ni kwa kuzingatia uhakika
huo, ndio maana maktaba
ya kimalezi ya Mtume SAW,
masahaba wema na dhuria
wake, ikakakoteza na kutilia
mkazo juu ya kuzingatia
suala la kuchagua mume
au mke kabla ya kuoa au
kuolewa na kuzingatia zaidi
suala la thamani za kiakhlaqi
na kimaadili.
Hii leo mmonyoko
uliokithiri wa kimaadili
katika jamii za Kimagharibi
chimbuko lake ni wanajamii
kuweka kando mafundisho
sahihi ya dini hasa kuhusiana
na suala la ndoa. Si hivyo tu,
Wamagharibi wamechupa

mipaka na kuanza
kutambulisha ndoa ambazo
zinakinzana kabisa hata na
maumbile ya mwanadamu.
Tunashuhudia hii leo katika
ulimwengu wa Magharibi
kukieneza ndoa za watu
wa jinsia moja, yaani ndoa
baina ya mwanaume na
mwanaume au baina ya
mwanamke mna mwanamke,
kitendo ambacho kimsingi
sio ndoa na wala haifai kuita
mafungamano hayo kuwa ni
ndoa, bali ni uchafu ambao
jina lake hasa ni usenge, liwati
na usagaji. Nukta ya kutilia
maanani hapa ni kwamba,
dini zote na madhehebu zote
zinavitambua vitendo cha
usenge, ubaradhuli, liwati
na usagaji kuwa ni dhambi
kubwa na kinyume kabisa na
maumbile ya mwanadamu
na zinawaonya wanadamu
kujihusisha na vitendo hivyo.
Tab'an, hii leo ulimwengu
wa Magharibi unakabiliwa na
tatizo jingine nalo ni maisha
ya kuweko mzazi mmoja
kila familia. Yaani baadhi
ya familia zina baba tu au
mama tu na hivyo kupelekea
kuweko hali ya kulegalega
ndani ya familia hizo. Hii leo
kuna nchi nyingi barani Ulaya
ambapo asilimia 50 hadi
80 ya watoto wamezaliwa
nje ya ndoa. Ufaransa na
nchi za Scandinavia ni
miongoni mwa nchi hizo.
Katika kipindi cha maisha
yao yote, watoto hawa huishi
na mzazi mmoja au kutoishi
na wazazi wao wote wawili
kutokana na kulelewa katika
vituo maalumu vya malezi
ya watoto. Utafiti uliofanywa
unaonyesha kuwa, watoto

wanaozaliwa katika familia


na kukulia humo huwa
wazima zaidi kimwili, kiafya
na kisaikolojia na wakiwa
shuleni au sehemu za kazi
huwa na mahusiano bora,
huishi maisha marefu na ni
wenye furaha na bashasha
ikilinganishwa na watoto
amb ao wamezaliwa nje
ya familia. Kwa hakika
ndoa ambayo wanandoa
wake wamechaguana
kwa kuzingatia masuala
ya kimaanawi na maadili
mema huwaandalia uwanja
wa ukamilifu na saada ya
dunia na akhera. Mtume
SAW alifanya juhudi kubwa
kueneza utukufu wa ndoa
baina ya watu. Ni kwa
kuzingatia uhakika huo,
ndio maana Bwana Mtume
SAW amenukuliwa katika
hadithi mashuhuri akisema:
N doa ni kat ik a sunna
yangu na mwenye kutenda
kinyume na sunna yangu,
si katika mimi." Au hadithi
hii iliyonukuliwa kutoka
kwa Imam Jaafar Sadiq (AS)
mmoja wa wajukuu wa
Mtume SAW inayosema:
"Rakaa mbili (anazoswali)
za mwenye kuoa ni bora na
zenye thamani kubwa kuliko
rakaa sabini za mtu ambaye
hajaoa."
Katika mtazamo wa
Mtume SAW na dhuria
wake wema ni kuwa, endapo
mke na mume watakuwa
na sifa tatu za elimu, ustadi
na tabia njema, wanaweza
kuiongoza na kuisimamia
nyumba na familia kwa njia
bora kabisa. Katika familia
kama hii, mwanaume
atakuwa kiongozi laiki,
mstahiki, mwenye hima na
mpole. Atadhamini mahitaji
ya familia yake kwa njia
za halali. Kwa msingi huo,
atakuwa mume mwema
na mwenye mapenzi kwa
familia yake. Uongozi na
usimamizi wake kwa familia
yake, hautakuwa na misingi
ya k u t a k a k u t a wa l a n a
utumiaji mabavu. Atakuwa
mwanaume mwenye kuihami
na kulinda familia yake na
atakuwa ni mwenye kufanya
jitihada kwa ajili ya kutoa
miongozo na himaya kwa
familia yake na bila shaka
atawashajiisha wanafamilia
kuelekea upande wa masuala
ya kimaanawi.
Nafasi ya mwanamke pia
katika familia ina umuhimu
mkubwa mno. Kwa
mujibu wa mafundisho ya
Kiislamu, jukumu muhimu
la mwanamke ndani ya
nyumba baada ya kutekeleza
taklifu za kidini ni kumkidhia
mumewe haja za kindoa.
Subira na ustahamilivu wa
mwanamke na kuwa pamoja
na mumewe katika dhiki
na faraja, katika matatizo
ya kijamii na kiuchumi
na vile vile kutokuwa na
matarajio yaliyo nje ya uwezo
wa mumewe, ni mambo
ambayo yanaweza kuandaa
uwanja mwafaka wa kuweko
uhusiano mwema, mzuri na
unaofaa baina ya mume na
mke. Uhusiano ambao bila
shaka utaimarisha pendo lao
na kuizatiti ndoa yao.
Katika upande mwingine,
mwanamke ni kituo cha huba
na mapenzi katika familia na
jukumu la kuwalea watoto
wema, wastahiki na wenye
imani liko katika mabega
yake kabla ya mtu mwingine
yeyote yule.

17

TANGAZO

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

DAR ES SALAAM

Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTSnaBIASHARA.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao
(internet) katika kujifunza.
Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :
Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns
Ufaulu usiopungua Daraja la Credit au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na
Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).
AU
Ufaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha Credit bila kujali daraja alilopata mtahiniwa
kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Aprili, 2015.
Arusha

- Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.

Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490


- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.
Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525
- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983
Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.
Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623
Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426
- Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040
Dar es Salaam
- Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531
1
Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale
: 0715704380.
Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992
Singida
- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
Manyara
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196
Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.
Lindi
- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.
Mtwara
- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.
Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya
- Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319.
- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa
- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.
Tabora
- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342
Nzega
-Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.
Iringa
- Madrastun Najah: 0714 522 122.
Pemba
-Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.
Unguja
- Madrasatul Fallah: 0777125074.
- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba
Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

18

Makala/Habari

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Kuwatii wazazi wawili ni muhimu zaidi kuliko jihadi katika dini

SHUKRANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi
wa viumbe vyote na
tunamtakia zawadi
ya rehema na amani
zimfikie Bwana wa
Manabii na Mitume,
Bwana wetu Muhamad
na jamaa zake na
Sahaba zake na wale
wote wenye mwisho.
Ewe Mwenyezi
Mungu tufundishe
yale yenye manufaa
na utunufaishe kwa
yale tuliojifunza na
utuongoze katika
elimu na utupe ujuzi
wa dini, Mwenyezi
Mungu tukubalie.
Baada ya utangulizi
huu mfupi, umepangilia
Uislamu mahusiano
ya kibinadamu katika
dunia hii na kufanya
mahusiano hayo ni ya
aina mbili, mahusiano
kati ya mtu na
Mungu wake, nayo ni
kumuabudu Mola wake
mlezi peke yake na
bila ya kumshirikisha
na kitu chochote, na
m a h u s i a n o k a t i ya
viumbe sisi kwa sisi.
Uislamu umehimiza
na kuushughulikia
uhusiano kati ya mtoto
na wazazi wake wawili.
Laiti tukiiangalia
Q u r a n i t u k u f u
tungeona sehemu
nyingi zilivyojipanga
juu ya mahusiano
ya k i b i n a d a m u n a
kuyafanya mahusiano
ya mwanzo kabisa ni
kati ya mja na Mola
wake mlezi kisha
anataja hapo hapo
mahusiano ya wazazi
wawili kama ilivyokuja
katika surat Nisai,
anasema Mwenyezi
Mungu mtukufu,
Na muabuduni

Mwenyezi Mungu
wala msimshirikishe na
chochote na wafanyieni
wema wazazi wawili
na jamaa na mayatima
na masikini na jirani
wa karibu na jirani
wa mbali na rafiki wa
ubavuni na mpita njia
na walio milikiwa na
mikono yenu ya kulia,
hakika Mwenyezi
M u n g u h a wa p e n d i
wenye kiburi wanao
jifaharisha. Surat Nisai,
aya ya (36) na katika
Surat al-An-aami
amesema Mwenyezi
Mungu mtukufu, Sema
njooni nikusomeeni
aliyokuharamishieni
Mola wenu, nayo ni
kuwa msimshirikishe
yeye na chochote
na wazazi wenu
wafanyieni wema,
wala msiwaue watoto
wenu kwasababu
ya umasikini, sisi
tunakuruzukuni ninyi
na wao, wala msikaribie
mambo machafu
ya n a y o o n e k a n a n a
yanayofichikana, wala
msiue nafsi ambayo
Mwenyezi Mungu
ameiharamisha kuiuwa
ila ikiwa kwa haki, hayo
amekuusieni ili myatie
akilini. Surat al-Anaami aya ya (151).
Na katika Surat
al-Israi amesema
Mwenyezi Mungu
mtukufu, Na Mola
wako mlezi ameamrisha
kuwa musimuabudu
yeyote isipokuwa yeye
tu, na wazazi wawili
muwatendee wema,
mmoja wao akifikia
uzee naye yuko
kwako au wote wawili
usiwakemee na sema
nao maneno mazuri.
Israiaya ya (23).
Na katika aya hizi
tukufu na nyinginezo
tunafahamu kwamba,
kuwatii wazazi wawili
na kuwafanyia ihsani
na wema na kuishi nao
vizuri ni muhimu sana
kuliko wajibu mwingine
wowote mwengine. Na
haya ndio mahusiano ya
mwanzo kabisa kuliko
hata mah usian o ya
mtu mwingine katika
maisha haya ya dunia.
Na sisi tunajua
mambo yaliyopo katika

jihadi ya Mwenyezi
Mungu kutoka daraja ya
juu katika Uislam na ina
ubora kiasi gani lakini
pamoja na yote hayo,
kuwatii wazazi wawili
ni bora sana kuliko
jihadi na hasa pale
wanapokuwa wazazi
hao hawana mtu yeyote
wa kuwahudumia
isipokuwa motto/
watoto pekee.
Imepokelewa toka
kwa Abdallah bin
Masoud (ra) amesema,
Nilimuuliza Mtume
(saw) ni amali gani
anayoipenda sana
M we n ye z i M u n g u ?
A k a s e m a k u s wa l i
katika wakati wake.
Nikasema kisha nini?
Akasema kuwafanyia
wema wazazi wawili.
Nikasema kisha nini?
Akasema jihadi katika
d i n i ya M w e n y e z i
Mungu. Ameipokea
Imamu Bukhari.
Akasema Mtume
(saw) kwamba kuwatii
wazazi wawili ni
bora baada ya swala
ya faradhi, ambayo
ndiyo mahusiano kati
ya binadamu na Mola
wake mlezi, nayo ni
nguzo muhimu katika
Uislamu na akapangilia
hayo kwa neno kisha
ambalo humaansiha
juu ya utaratibu na
akaitanguliza twaa ya
wazazi wawili kwanza
kabla ya jihadi katika
d i n i ya M w e n y e z i
Mungu mtukufu.
Na alikuja mtu
mmoja kwa Mtume
(saw)
akasema
Ninachukua ahadi juu
ya kuhama na jihadi
ninahitaji malipo toka
kwa Mwenyezi Mungu.
Akasema Mtume (saw)
Je unao wazazi wawili
au mmoja wao yupo
hai? Akasema ndiyo
bali wote wawili wapo
hai. Akasema je wewe
unataka malipo toka
kwa Allah? Akasema
ndio. Akasema
rudi kwa wazazi
wa k o wa w i l i k i s h a
ishi nao vizuri kama
walivyokulea wewe
ulipokuwa mdogo
Muslim.
Na akaja mtu mmoja
kwa Mtume (saw)

akasema Ni mekuja
kuchukua ahadi ya
kuhama na jihadi na
nimewaacha wazazi
wangu wawili wanalia.
Mtume akasema,
rudi kwa wazazi
wako ukawachekeshe
kama ulivyowaliza
Tirmidhiyi.
Na Alihama mtu
mmoja miongoni mwa
watu wa Yemen. Mtume
(saw) akamuuliza je,
kuna yeyote huko
Ye m e n ? A k a s e m a
Wa z a z i wa n g u
wawili Akauliza
Wa m e k u r u s h u ?
Akasema Hapaha
rudi kwao ukawaombe
ruhusa na kama
utaruhusiwa basi
nenda jihadi na kama
hawajakuruhusu basi
wafanyie wema: Abuu
Daudi.
Mtume (saw)
amesema katika kuwatii
z a z a z i wa w i l i m t u
asiende katika jihadi
isipokuwa kwa ruhusa
zao. Na hili ni katazo
la kuacha kutoka kenye
jihadi isipokuwa kwa
ruhusa zao muda ule
ambao hujapata amri
ya mzazi.
A l i wa h i k u j a m t u
mmoja kuja kwa Mtume
wa Mwenyezi Mungu
akamuomba ruhusa ya
kwenda katika jihadi,
akaulizwa je, wapo hai
wazazi wako? Akasema
ndio. Akasema
Kwa kuwahudumia
wazazi wako ni jihadi.
Bukhari.
Na jihadi kwa
wazazi wawili
inakuwa ni kuwatii na
kuwahudumia pamoja
na kuwalisha na hasa
pale mtoto anapokuwa
na uwezo na wao
hawana uwezo na wao
pia ni watu wazima.
N a
p a l e
wanapokukataza
jambo au kukuamrisha
japo kwa ishara kwa
sababu wao ni wenye
kukunasihi zaidi
wewe kuliko wewe
unavyojinasihi, hata
kama utakuwa na
marafiki au ndugu,
lakini sikiliza maneno
ya wazazi na maelekezo
yao, tena uwatii katika

mambo mema na
useme nao kwa upole
na a d a b u na u ta ke
ushauri katika mambo
yako na wala usiwakate
mazungumzo yao,
wala usiinue sauti yako
kwao na usiwatazame
kwa hasira wala kwa
dharau na wala usiinue
mkono wako wakati
wa kuongea nao, wala
kuonyesha kidole, wala
usijadiliane nao na
usiwaongopee, na wala
usiwambie waongo na
usisafiri isipokuwa kwa
ruhusa yao na kukubali
kwao na ndio ihsani
yao.
Kutoka kwa Muawia
Assalami (ra) amesema
nilimwendea Mtume
nikamwambia, Mimi
nimejiandikisha niende
vitani pamoja na wewe
kwa kutaka radhi za
Mwenyezi Mungu na
pepo yake. Akasema
ole wako, je yu hai
mama yako? Nikasema,
ndiyo ewe Mtume wa
Mwenyezi Mungu.
Akasema Sikia,
shikamana na miguu
yake kwani hapa ipo
pepo. Ameipokea
Ibnu Maja na maana
ya kushikamana na
miguu ya mama ni
Mtii na unyenyekee
kwani kufanya hivyo
ni sababu ya kuingia
peponi.
Tunamuomba
Mwenyezi Mungu
atujaalie tuwe
miongoni mwa wale
wa n a o wa t i i wa z a z i
wa o , k u wa r i d h i s h a
mama zao na atufufue
pamoja na Manabii na
Mitume na watu wema,
tuwe na urafiki mwema
nao. Ewe Mwenyezi
Mungu mpe rehema
na amani Bwana wetu
Muhamad na jamaa
zake na Sahaba zake kwa
wingi, nashukrani zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi wa
ulimwengu.
M a k a l a
h i i
imeandaliwa na Sheikh
Salah Sayed Huseni
Miftah, mwalimu wa
al-Azhari Sharif tawi
la Tanzania

19

Makala ya Mtangazaji

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Israeli marathon shuts down main West Bank arterial

NABLUS (Ma'an) -- Israeli


forces separate the northern
West Bank from Ramallah
Thursday morning as an
Israeli marathon takes place
on the main north-south
arterial open to Palestinians.
The Ramallah-Nablus
road, also marked as Route
60, is expected to be closed
from 6:00 am to 1:00 pm.
Palestinians were told to use
the Yatma-Qabalan road for
those exiting Nablus going to
Ramallah.
Witnesses told Ma'an
that Israeli forces and police
were deployed on the road
from the Ariel settlement,
the marathon's start point,
as well as at the Zaatara
checkpoint in southern
Nablus.
A factional coordination
committee in Nablus called
Thursday for the day to be a
"popular anger day," calling
on Palestinians to prevent the
marathon from taking place.
The committee also called
for a rejection of Israel's
decision of preventing cars
from using the road.
Since the signing of the
Oslo Accords, Palestinians
have not been able to travel

freely on Route 60, which


is spotted with Israeli
checkpoints when the road
passes from areas under
Palestinian Authority or
Israeli military control.
In addition to checkpoints,
Israeli authorities established
several 'bypass roads',
enabling Israel traffic to
bypass areas of Route 60 that
passed through Palestinian
jurisdiction.
Thursday's marathon
falls than two weeks after
the "Right to Movement"
marathon which took place
in Bethlehem last month.
Marathon participants
ran loops of an 11 kilometer
route, as race organizers were
unable to find any contiguous
stretch of 42 kilometers
which Palestinians were able
to travel on.

PM Hamdallah: PA to Refer Israels Freeze of Tax Revenues to ICC


RAMALLAH, (WAFA)
Prime Minister Rami
Hamdallah Wednesday said
the Palestinian Authority
was mulling to refer the
issue of its withheld tax
revenues, now frozen by

Israel for fourth months, to


the International Criminal
Court (ICC).
D u r i n g a n e ve n t o n
counter-corruption in
Ramallah, Hamdallah said
the government has so far

dispatched four letters of


protest to Israel, regarding the
latters illegal deduction of
some 1.05 billion shekels
(about $267 million) from the
tax revenues it had returned
to the PA last week.

affirmed that the arrest


of Jarrar was politically
m o t i va t e d a n d c a m e
as a punishment for
Jarrar's national activism
and membership in the
ICC National Higher
Committee.
Israel continues
its policy of collective
punishment and
retribution against the
Palestinian people and
their elected leadership,
the committee stated.
The statement of
the National higher
Committee read, The
Israeli occupying
authorities deliberately
undermine the efforts
made by the Palestinian
leadership and its
endeavors to have
recourse to international
legitimacy for the purpose
of realizing the rights of our
people and safeguarding
the security, remarked
the committee.
Slamming the Israeli

practices and unilateral


policies including arrest
and expulsion that
threaten the members
of the PLC as illegal,
the committee further
remarked that: The
Israeli practices constitute
a flagrant violation of
the International
Humanitarian Law and
Hague Conventions
of 1907 that prohibit
occupying powers to
make any changes in the
legislative status quo of
the occupied country.
Likewise, the Israeli
practices violate the
Geneva Conventions and
the Article (7) of the ICC
Rome Statute that prohibit
the arbitrary deportation,
arrest and persecution
of civilians, which are
considered 'crimes against
humanity' punishable by
the law.
The statement professed
the administrative
arrest of Jarrar is an

outrageous violation
of her parliamentary
immunity. It also referred
to the obnoxious living
conditions of Palestinian
political prisoners in
Israeli jails and the policy
of collective punishment,
suppression and solitary
confinement imposed on
them by the Israeli prison
administration.
Fifteen PLC members
have faced administrative
detention including eight
against whom military
have been issued.
The Committee
called on the High
Contracting Parties
to the Fourth Geneva
Convention, the IntelParliamentary Union,
the Euro-Mediterranean
Parliamentary Assembly
and international legal
institutions to intervene
and exert pressure on
Israel to immediately and
unconditionally release
Jarrar and all male and
female detainees in Israeli
jails.

PLO Condemns Arbitrary Administrative


Arrest of Legislative Council Lawmaker
RAMALLAH, (WAFA)
The Higher National
Committee in Charge of
Following up with the
International Criminal
Court has recently
condemned the arbitrary
administrative detention
of member of Palestinian
Legislative Council
Khalida Jarrar.
In a press statement
i s s u e d Tu e s d a y , t h e
committee also denounced
the arbitrary decision
of the Israeli military
authorities sentencing
Jarrar to six months under
administrative detention.
The committee said
that it holds the Israeli
authorities responsible for
Jarrar's life and security
and asserted that it
would continue to make
serious efforts to hold
Israel, as an occupying
power, accountable for
its egregious violations of
international law.
The committee further

PA returned the revenue


and insisted that Israel
returns the amount in full
and refrain from unilateral
deductions without the
consent of PA.
Hamdallah, upon the
instruction of President
Mahmoud Abbas,
demanded the creation of
an international body to
look into these deductions,
and to refer the issue to the
United Nations Commission
on International Trade Law
in case Israel persists on its
position.
Since January 2015, Israel
has been withholding about
$600 million in tax revenues
collected on behalf of the PA.
The move was in response
to PAs accession to the
ICC, through which PA can
sue Israel for war crimes
committed in the Gaza Strip
during the 2014 summer
aggression.
Under the Protocol on
Economic Relations signed
in 1994, Israel transfers
$127 million to PA each
month in customs duties
levied on goods destined
for Palestinian markets that
transit through international
borders.
Israel has frequently
resorted to halting the
transfer of Palestinian tax
revenues and exploited it as a
political instrument intended
to punish the Palestinians
for their political choices
and attempts to secure
the establishment of their
state through international
diplomatic means.
As a result of the Israeli
m e a s u r e , PA h a s b e e n
incapacitated from fully
paying approximately
170,000 public servants on its
payroll, which costs between
$160 and $170 million a
month.

AN-NUUR

20

MAKALA

20

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

AN-NUUR

JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Safari ya Hijja Hijiria 1436

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea,


gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni:
11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.
Wahi kujiandikisha sasa
Kwa mawasiliano: +255 222 182370
+255 222181577
0754 261910; 0717 000065
0786 383820
0784 272723
0713 764636
website-www.hajjtrust.or.tz

Masheikh waondoa kesi Mahakama Kuu


Serikali yapewa masharti

Na Abu Yusufu
ILE KESI iliyofunguliwa na
Masheikh katika Mahakama
Kuu dhidi ya Mwanasheria
M k u u wa S e r i k a l i wa
Jamhuri ya Muungano
Ta n z a n i a , k u p i n g a
utaratibu wa serikali kuipa
BAKWATA uwezo rasmi
wa kisheria kusimamia
mambo ya Waislamu na
kuteua Makadhi nchini,
imeondolewa lakini kwa
serikali kupewa masharti.

Wa k a t i s h a u r i h i l o
l i l i p o a n z a k u s i k i l i z wa
Jumatano wiki hii katika
Chamber Court No:68 ya
Mahakama Kuu ya Tanzania,
Majaji watatu wanaosikiliza
shauri hilo No 17 la 2015, Jaji
Stella Mugasha, Jaji Sylvester
Mziray na Jaji Suleiman
Kihiyo, waliwaomba
Mawakili wa Masheikh hao
wakiongozwa na wakili Juma
Nassor, kuiondoa kesi hiyo
ikizingatiwa kwamba tayari
muswada wa mahakama

hiyo umeshaondolewa na
serikali na hautapelekwa
tena Bungeni.
Jamani pamoja na
kwamba kesi hii imekuja
kusikilizwa leo (Jumatano),
lakini taarifa rasmi ambazo
na Mahakama inazitambua
ni kwamba, huo muswada
ambao unaleta malalamiko
umeondolewa Bungeni,
haupo tena. Kwa hivyo
mnasemaje? Sisi kwa maoni
yetu tunaomba kesi hii
iondolewe. Walishauri

WAKATI ulinzi ukiwa


u m e i m a r i s h wa k a t i k a
msimu wa Pasaka, Wakenya
wamechachamaa wakitaka
majibu mara moja kwa nini
polisi na vikosi vya usalama
vilishindwa kuzuia mauaji
ya maangamizi katika Chuo
Kikuu cha Garissa.
Makanisa nchini Kenya
yaliongezewa ulinzi kwa ajili
ya usalama wa waumini wake
katika sikukuu ya Pasaka,
kufuatia mashambulizi
ya l i y o f a n y wa n a wa t u
wenye silaha katika jengo
la Chuo Kikuu cha Garissa
wiki iliyopita, ambayo
yalisababisha mauaji ya
watu 148 na wengine kadhaa
kujeruhiwa.
Kuanzia Jumapili (5
A p r i l i ) , p o l i s i wa w i l i
waliovalia sare na wakiwa
na bunduki aina ya AK47 walionekana wakilinda
jengo la Kanisa Kuu la Holy
Family Basilica jijini Nairobi.
Asilimia 83 ya Wakenya ni
Wakristo miongoni mwa raia
milioni 44 wa nchi hiyo.
Mamlaka nchini Kenya
zimeweka amri ya kutotoka
nje wakati wa usiku katika
Kaunti nne zinazopakana
na Somalia.
Kenya ina mpaka wa
kilomita 700 kati yake na
Somalia.
Helikota za kijeshi
zimetumwa kwenye
ukanda wa pwani, ambao
ni mashuhuri kwa shughuli
za kitalii na umekuwa
ukilengwa na mashambulizi
ya yanayodaiwa kuwa ya
kigaidi.
Ta a z i f a z i n a e l e z a
kuwa mpaka sasa watu
wa t a n o wa n a s e m e k a n a

kukamatwa wakihusishwa
na mashambulizi hayo
na kudaiwa kuwa,
Wa n a m g a m b o w a n n e
waliofanya mauaji hayo ya
maangamizi waliuawa na
vyombo vya usalama.
Hata hivyo vyombo
vya habari nchini Kenya
vinavilaumu vyombo vya
usalama kwa kuchukuwa
muda mrefu kabla ya kutuma
wanajeshi katika eneo hilo la
mauaji.
Gazeti la Nation lilisema
iliwachukuwa wanajeshi
kiasi cha saa saba kufika
Garissa baada ya kupokea
taarifa za awali juu ya
mashambulizi hayo.
Kwa mujibu wa gazeti
hilo, vyombo vya usalama
vilifika kwa mwendo wa
taratibu sana ikilinganishwa
na waandishi wa habari
waliotoka Nairobi, umbali
wa kilomita 635.
Hata hivyo, msemaji wa
Wizara ya Mambo ya Ndani,
Mwenda Njoka, aliitetea
kasi ya kutumwa kwa vikosi
vya usalama akisema huwa
inachukua muda mrefu
kutathmini na kufanya
maamuzi.
"Kutoka Kamati ya
Ushauri wa Usalama wa Taifa
kwenda Baraza la Usalama
wa Taifa na kisha kukusanya
vikosi, kuvipeleka uwanja
wa ndege na kuwasafirisha
hadi Garissa, ambao ni
mwendo wa masaa mawili
kwa ndege." Alinukuliwa
akisema msemaji huyo.
Hata hivyo kuna taarifa
iliyopatikana siku ya
Jumapili (Aprili 5) kwamba
mmoja wa washambuliaji
hao wa Chuo Kikuu Garisa,

alikuwa mtoto wa kiume wa


Afisa mmoja wa serikali.
Njoka alisema mtoto
huyo wa kigogo, Abdirahim
Abdullahi, alikuwa mmoja
wa watu wanne waliolivamia
jengo la Chuo Kikuu cha
Garissa siku ya Alhamisi.
Afisa mmoja kutoka
eneo hilo ambaye hakutaka
kutajwa jina, alisema kijana
huyo alikuwa mwanafunzi
wa Sheria kwenye Chuo
Kikuu cha Nairobi na
kwamba alijiunga na alShabaab baada ya kuhitimu
masomo yake mwaka 2013.
" B a b a ya k e a l i k u wa
ameripoti kwenye vyombo
vya usalama kwamba kijana
wake ametoweka nyumbani
... na alikuwa akisaidiana na
polisi kumfuatilia mwanawe
wakati mashambulizi ya
Garissa yalipotokea," Njoka
aliliambia shirika la habari la
Reuters. Baba yake Abdullahi
ni chifu kwenye Kaunti ya
Mandera.
Hata hivyo jambo
linalowashangaza wengi ni
kwamba iweje ziwepo taarifa
za mtoto huo wa kigogo
wa serikali kujiunga na AlShabaab, halafu anajulikana
kuwa anasoma Chuo cha
Garisa na zisichukuliwe
hatua zozote.
Mauaji ya Garisa
yanaelezwa kuwa makubwa
kabisa nchini Kenya tangu
yale ya mwaka 1998 dhidi
ya ubalozi wa Marekani jijini
Nairobi.
Mwaka 2013, jengo la
maduka la Westgate mjini
Nairobi lilivamiwa na watu
6 7 k u wa u wa b a a d a ya
kulishikilia jengo hilo kwa
siku nne. (DW).

Serikali Kenya yakosolewa


kushindwa kuzuia mauaji

upande wa Majaji.
Hata hivyo kabla ya
kufikiwa maamuzi hayo,
Mawakili wa upande
wa utetezi waliomba
k u s h a u r i a n a n a wa t e j a
wao kwanza, ambao ni
Masheikh waliofungua kesi
hiyo, Sheikh Sheikh Rajabu
Katimba, Sheikh Fadhili
Chambo, Sheikh Juma
Ramadhan na Ramadhan
Lwambo.
Baada ya kushauriana
walikubaliana kuiondoa kesi
hiyo lakini kwa masharti.
Kwamba wanaiondoa
kesi mahakamani lakini
wanakuwa huru kuiwasilisha
tena Mahakamani hapo,
endapo serikali bado
itaendelea na msimamo
wake wa kuwasilisha sheria
Bungeni, ambayo itaendelea
kuitambua taasisi moja ya
Bakwata na kumtambua
Mufti kuwa ndiye mtu
ambaye atateuwa Mahakama
ya Kadhi na kusimamia
Mahakama ya Kadhi.
Vile vile waliweka

tahadhari nyingine kwamba,


iwapo serikali italeta sheria
ambayo itakuwa inatambua
Mahakama ya Kadhi badala
ya kuiunda Mahakama hiyo
ya Kadhi, pia jambo hilo
litawafanya warudi tena
Mahakamani kuwasilisha
kesi ya kikatiba kuishitaki
serikali.
B a a d a ya h o j a h i z o ,
Mahakama iliridhika na
k u t o a r u h u s a h i y o ya
kuondolewa kesi, lakini
endapo serikali ikaendelea
kwenda kinyume, watakuwa
huru kuwasilisha tena kesi
yao.
Kinachotakiwa na
Waislamu na hasa wateja
wetu ni kwamba, serikali
isibague taasisi hizi za
Kiislamu linapokuja suala
la Waislamu, ishirikishe
taasisi zote na ipate muafaka
na hizi taasisi badala ya
kuchagua taasisi moja na
kubagua taasisi nyingine.
Tunachohitaji ni usawa baina
ya Waislamu katika mambo
yao na sio kubaguliwa baina
yao alisema Wakili Juma
Nassoro.

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE (IPC)


TANGAZO
MABADILIKO YA TAREHE YA KURUDISHA
FOMU ZA KIDATO CHA TANO KWA SHULE ZA IPC
MWISHO WA KURUDISHA FOMU NI
TAREHE 15 APRIL 2015 BADALA YA
15 MEI 2015 ILIYOKUWA
IMETANGAZWA AWALI.
WALE WOTE WALIOKIWISHA
KUCHUKUA NA WANAOENDELEA
KUCHUKUA FOMU HIZO WANATAKIWA
KUZINGATIA TAREHE HII MPYA.
WAHI KUCHUKUA NA KURUDISHA FOMU
YAKO SASA!
WABILLAHI TAWFIQ
MKURUGENZI

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1112
    Annuur 1112
    Документ16 страниц
    Annuur 1112
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1161 PDF
    Annuur 1161 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1161 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1170
    Annuur 1170
    Документ20 страниц
    Annuur 1170
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1041
    Annuur 1041
    Документ12 страниц
    Annuur 1041
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1138
    Annuur 1138
    Документ16 страниц
    Annuur 1138
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1148
    Annuur 1148
    Документ16 страниц
    Annuur 1148
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1160a PDF
    ANNUUR 1160a PDF
    Документ16 страниц
    ANNUUR 1160a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1157 PDF
    Annuur 1157 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1157 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    Документ16 страниц
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1154
    Annuur 1154
    Документ16 страниц
    Annuur 1154
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • 2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    Документ4 страницы
    2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    Mussa Fundi
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1158
    Annuur 1158
    Документ16 страниц
    Annuur 1158
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Документ16 страниц
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1114
    Annuur 1114
    Документ16 страниц
    Annuur 1114
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1090
    Annuur 1090
    Документ12 страниц
    Annuur 1090
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1175b PDF
    ANNUUR 1175b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1175b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    От Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    От Everand
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Рейтинг: 4 из 5 звезд
    4/5 (24)
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Документ16 страниц
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1077
    Annuur 1077
    Документ12 страниц
    Annuur 1077
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Waathirika.
    Waathirika.
    От Everand
    Waathirika.
    Оценок пока нет
  • Sanaa ya Kufuata
    Sanaa ya Kufuata
    От Everand
    Sanaa ya Kufuata
    Оценок пока нет
  • Nyayo Za Obama
    Nyayo Za Obama
    От Everand
    Nyayo Za Obama
    Оценок пока нет
  • Vachayeri va mbhongholo
    Vachayeri va mbhongholo
    От Everand
    Vachayeri va mbhongholo
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Kufikirika
    Kufikirika
    От Everand
    Kufikirika
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Realse 28
    Press Realse 28
    Документ4 страницы
    Press Realse 28
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Release - Muungano Na Mazingira
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Документ4 страницы
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1215 PDF
    Annuur 1215 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1215 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Karume Shujaa
    Karume Shujaa
    Документ11 страниц
    Karume Shujaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1212
    Annuur 1212
    Документ20 страниц
    Annuur 1212
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Документ27 страниц
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет