Вы находитесь на странице: 1из 20

facebook: annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

(11) "MWENYE KUHIJI" NI KIPENZI CHA ALLAH!


Allah Ameonya mwenye kwenda kuhiji asivunjiwe
heshima, yaani atukuzwe(Al-Maaidah:2). Kwa
mapenzi ya Allah, huyu amepewa cheo maalum cha
"Al-Hajj au HAJJAT". Waislamu hatuna budi tuipende
sana Hijja Muda unakwisha! Gharama zote kwa
Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola
2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania
Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.
ISSN 0856 - 3861 Na. 1179 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 29-JUNI 4, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

Wasiwasi watanda....

Shule za Kiislamu kufutwa


Kundecha awataka Waislam kuwa macho
Je, ni kufanyia kazi wasiwasi wa Mungai?

Kauli ya Waziri Mkuu


Mizengo Pinda inatisha!
Mh. Selasini katimiza wajibu wake
Ukristo wake, haukubali mambo hayo

Soma Uk. 20

Kila Mchunga ataulizwa


Siku zitakapodhihirishwa Siri

Mheshimiwa Mbunge alikosea

Askofu hawezi kuwa gaidi!

Apania kuua Waislamu kijiji kizima lakini


Hajashitakiwa kwa tuhuma za ugaidi
Hata katika ule utaratibu wetu wa kawaida
Waliokamatwa Arusha walikuwa WaarabuUk. 10

Waziri Mkuu Pinda.

RAIS Dkt. Shein.

RAIS Kikwete.

SHEIKH Msellem.

Tahariri/Habari

2
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Kauli ya Waziri Mkuu


Pinda inakatisha tamaa

K WA h a k i k a k i l a
aliyesikiliza swali na
Mbunge wa Mji Mkongwe
(CUF), Muhammed
Ibrahim Sanya kwa
M h e s h i m i w a Wa z i r i
Mkuu wiki iliyopita na
utangulizi wa Waziri
Mkuu katika jibu lake,
lazima atajiuliza maswali
mengi ambayo hayana
majibu.
S wa l i l a M h . S a n ya
lilikuwa wazi sana na
lenye kugusa suala zito la
kuvunjwa haki za kiraia,
kisheria na kikatiba, za
Masheikh wanaoshikiliwa
kwa zaidi ya mwaka sasa
kwa tuhuma za ugaidi.
Baada ya kutoa maelezo
marefu na kuuliza swali,
bado Mh. Sanya alitakiwa
na Mheshimiwa Spika
kufafanua zaidi alikuwa
akikusudia watuhumiwa
gani ambapo Sanya
alisema wazi kuwa, hao ni
Masheikh wa UAMSHO
wanaoshikiliwa kwa
tuhuma za ugaidi.
Sasa sikiliza jibu la
Waziri Mkuu, Mheshimiwa
Mizengo Kayanza Peter
Pinda:
Mheshimiwa Spika, ni
bahati mbaya tu kwamba
swali halipo wazi sana,
ili tuweze kujua hasa
k i n a c h o t a f u t wa n i n i .
Ningeshukuru sana kama
ningejua Masheikh hawa
n a n i , wa n a t u h u m i wa
k wa m a k o s a ya p i , n a
pengine kwa sasa wapo
katika hatua ya upepelezi,
wameshafikishwa
mahakamani, ili niweze
kuwa na uhakika kwamba
kinachotafutwa hapa ni
katika stage (hatua) gani
ya mchakato katika suala
hilo ambalo linawakabili.
S i m a r a ya k wa n z a
suala la Masheikh hawa
kufikishwa Bungeni
Dodoma. Lishazungumzwa
sana waheshimiwa
Wabunge wakihoji mambo
ya msingi kuhusiana na
wa t u h u m i wa h a o . N a
mambo yanayohojiwa ni
manne. Moja, ni madai ya
watuhumiwa hao kuwa

walifanyiwa vitendo vya


kinyama na kudhalilisha,
kinyume kabisa na sheria,
katiba, haki za binadamu,
na ubinadamu wenyewe.
Pili, kunyimwa matibabu
stahiki baada ya kuumizwa
walipofanyiwa ukatili
huo. Tatu, kushikiliwa
kwa muda mrefu bila
kesi yao kuzungumzwa
huku wakinyimwa haki ya
dhamana. Nne, wanahoji,
kwanini wakamatwe
na kuletwa mahakama
za Tanzania Bara wakati
Zanzibar ni nchi na ina
mahakama zake.
Wiki hii, wakati Bunge
hili la Katiba likiendelea,
Mbunge wa Viti Maalum
( C H A D E M A) M h .
Maryam Salum Msabaha
alizungumzia suala hili hili
na hoja ni hizi hizi. Kwamba
kama watu wana kesi ya
kujibu, si izungumzwe
basi kama ushahidi upo
utolewe ijulikane moja
kuwa wamehukumiwa?
Katika madai haya ya
kufanyiwa vitendo vya
kinyama na kudhalilisha,
yaliwahi kutolewa majibu
na maelezo ya kejeli na kwa
hakika ya dharau, jeuri
na kibri ndani ya Bunge.
Ikidaiwa kuwa utafanyika
uchunguzi isije kuwa
wanaodai kudhalilishwa,
walichofanyiwa ni
kamchezo walikozoeya!
Sasa leo tena, baada
ya maelezo marefu ya
Mheshimiwa Sanya,
Waziri Mkuu anasema,
hajui ni Masheikh gani,
wanatuhumiwa kwa
makosa yapi na hajui nini
kinatafutwa! Kwa hakika
hii inakatisha tamaa kabisa.
Wa p o wa b u n g e ,
wanasheria, wasomi na
wananchi wa kawaida,
ambao wamekuwa
wakihoji kwamba, kama
Zanzibar ni nchi, kwa nini
Masheikh wakamatwe
kimya kimya na kupelekwa
Bara? Imekuwa kama zile
Rendition za Marekani
(Extraordinary rendition
/ irregular rendition- the
government sponsored

kidnapping and
extrajudicial transfer of a
person from one country
to another).
Lakini pia wanahoji,
hata kama wanatuhumiwa
kwa shutuma nzito kama
h i y o ya u g a i d i , k wa
nini wadhalilishwe na
kufanyiwa vitendo vya
ki-firauni kama wenyewe
walivyodai kufanyiwa
na kutoa ushahidi
mahakamani?
Hata hivyo, la kusikitisha
na kushangaza kabisa ni
kuwa, pamoja na kilio cha
watuhumiwa hao, pamoja
na hoja za wananchi,
pamoja na ushahidi wa
kutisha unaowasilishwa

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015


mahakamani ukionyesha
hali mbaya za watuhumiwa
hao kutokana na vitendo
walivyofanyiwa, wenye
raia wao kimyaaa!!!
Wenye wapiga kura wao
a m b a o wa n a wa t a r a j i a
Wazanzibari na Waislamu
wafuasi wa Masheikh hao,
wawapigie kura mwaka
huu wabaki Ikulu au wenye
tamaa ya kuingia, waingie,
kimyaa!!!
Faraja pekee kwa
M a s h e i k h we t u h a wa
imebaki katika Imani
yao kwamba ipo SIKU ya
Hukumu. Yupo Hakimu
wa Mahakimu Aliye
Muadilifu. Na Yupo Maliki
yaumiddiin.

Lakini tukumbushe
tu jambo moja na hii ni
kwa mujibu ya amri ya
Fadhakkir.
Sisi sote ni wachunga.
Na kila mchunga ataulizwa
kwa vile alivyovichunga.
Raha ya mamlaka haiishii
tu kwa kukimbizwa na
vingora huku wengine
wakipisha njia wewe peke
yako upite.
Kuna na kuulizwa juu ya
hawa wanaokupisha njia
ukipitishwa mbio utadhani
kila mtu unayemuona ni
adui yako.
Vipi uliwachunga. Vipi
uliwatendea. Na siku
hiyo, hakuna vingora vya
kukupitisha mbio katika
Siratwa.

Sheikh Omary Alhad hatunaye


Na Azza Ally Ahmed

Na ambao uwapatao
msiba husema: hakika
sisi ni wa Mwenyezi
Mungu, na kwake Yeye
tutarejea (2:156).
Hivyo
ndivyo
alivyoanza kusema
Sheikh Walid Alhad,
Imamu Mkuu wa Msikiti
wa Kichangani wakati
akitoa taarifa za msiba wa
ndugu yake Omary Alhad.
Imam Alhad ambaye
ni kaka wa marehemu,
alisema mdogo wake
Sheikh Omary alikuwa Al-Marhum Sheikh Omary
Muhadhiri wa Msikiti Alhad.
wa Kichangani, uliopo
Imam huyo alisema,
Magomeni jijini Dar es
Sheikh Alhad baadae
Salaam.
alijiunga na hapo hapo
Sheikh Omary alifariki
Alharamain na masomo
siku ya Jumatano katika
ya Dini.
H o s p i t a l i y a Ta i f a
Aidha, alisema
Muhimbili jijini Dar es
Sheikh Omar Alhad,
Saalam ambako alikuwa
alitafuta elimu ya
amelazwa kwa ajili ya
Dini na kupata darsa
matibabu kutokana na
kwa Masheikh wengi,
kusumbuliwa na maradhi
baadhi yao wakiwa ni
ya moyo kwa muda mrefu.
baba yake mzazi Sheikh
Marehemu alizikwa
Alhad Omary, Sheikh
Alhamisi wiki hii (jana) Mohamed Ali Buhury na
k a t i k a m a k a b u r i y a Sheikh Ahmed Khaidary.
Mwinyi Mkuu Jijini Dar
Hao ni baadhi tu
es salaam baada ya swala ya Masheikh ambao
ya Alasir.
walimpa elimu ya dini
Marehemu ameacha marhum Omary Alhad.
mjane na watoto wawili.
Sheikh Omar Alhad
Akielezea kwa ufupi katika harakati zake
wasifu wa mdogo wake, za kuhudumia jamii,
S h e i k h Wa l i d A l h a d alianzisha taasisi ya
a l i s e m a m a r e h e m u kusaidia kina mama
alizaliwa mwaka 1970 na watoto mbalimbali
jijini Dar es Salaam na wenye matatizo.
kusoma shule ya msingi,
S h e i k h Wa l i d
Ilala Mchanganyiko Dar alisema mdogo wake
es Salaam, ambapo baadae hakuwahi kufanya kazi
alijiunga na shule ya nyengine katika uhai
sekondari ya al Haramain wake isipokuwa kazi ya
jijini ambako alihitimu Daawa na kusaidia jamii
kidato cha nne.
hadi mwisho wa uhai

wake.
A l i k u w a
n i
mwanaharakati katika
masuala ya dini na
aliipenda kazi yake.
Alijitoa kwa moyo
wake wote kuitetea na
kueneza dini ya Allah.
Tumempoteza mtu
muhimu sana miongoni
mwa Wahadhiri walio
kuwa na upeo mkubwa
wa masuala ya dini.
Alisema Sheikh

Walid huku uso wake


akionekana kujawa na
huzuni kubwa.
Naye
Imam
wa Masjid Nuur,
Magomeni, Ustadh
Amir Hangali, alisema
alimfahamu Sheikh
Omary Alhad kutokana
na kujihusisha sana na
kuitetea dini na weledi
wake katika maswala
ya dini.
Alisema alikuwa
ni mtu wa harakati
na alikuwa Khatibu
maarufu hasa katika
Msikiti wa Kichangani.
Imamu huyo
aliwaasa Waislamu
kujiandaa na siku
ambayo ni lazima
kila mtu aipitie katika
maisha yake na kwamba
mauti sio hiyari ni jambo
la lazima kwa kila mtu.
Alisema ni jambo jema
kwa Waislamu kujenga
mazoea ya kujiandaa
na zawadi pekee ya
kwenda nayo ni amali
iliyo njema.
Alisema
hilo
litawezekana kwa
Waislamu kuacha mambo
ambayo hayampendezi
Mwenyezi Mungu kwa
safari hiyo.

3
Na Mwandishi Wetu
Jambo la kutisha
zaidi linakuja, ndivyo
walivyoambiwa Waislamu
na Amir wa Shura ya
Maimam na Baraza Kuu,
Sheikh Mussa Kundecha.
Jambo lenyewe ni kuwa
upo mpango unakuja wa
kufuta shule za Kidini au
kuzifanya ziwe binafsi
k wa m a a n a ya k u wa
zisajili wanafunzi wa dini
zote.
Sheikh Kundecha
alitoa tahadhari hiyo
kwa Waislamu katika
kongamano lililofanyika
katika Msikiti wa
Magomeni, Kichangani,
Ijumaa iliyopita.
Ilikuwa ni baada ya
kutoa taarifa juu ya kadhia
ya k u k a m a t wa o v y o
Masheikh na Walimu wa
Madrasa kwa kisingizio
cha kupambana na
ugaidi, Sheikh Kundecha
aliwataka Waislamu kukaa
macho na kuwa makini
kwani kuna balaa jingine
linakuja.
Hapo ndio akafichua
kuwa, Shule za Kiislamu
ambazo huchukua
wa n a f u n z i Wa i s l a m u
pekee, (au zile za Kikristo
ambazo huchukua
Wa k r i s t o t u ) h u e n d a
zisiwepo tena na wamiliki
wake kutakiwa kuingiza
watu wa dini nyingine.
Habari
zaidi
zinafahamisha kuwa upo
Muswada wa Sheria ya
Elimu, ambapo hata kabla
ya kupitishwa kuwa sheria,
kuna baadhi ya taasisi za
Kiislamu zimenyimwa
usajili huku wahusika
wakiambiwa kuwa hata
waliokwishapewa leseni
watanyanganywa.
Kwa mujibu wa taarifa
kutoka ndani ya vikao
vya taasisi za Kiislamu
vinavyoendelea hivi
sasa juu ya jambo hilo,
baadhi ya maofisa wa
Wi z a r a ya E l i m u n a
Mafunzo ya Ufundi
wamefahamisha kuwa
tayari yameshatolewa
maelekezo kwa Wakaguzi
wa E l i m u wa M i k o a
kukusanya Leseni za Shule
hizo za Kidini, ili zisajiliwe
upya kama binafsi.
Hata hivyo, baadhi ya
Wakaguzi walioulizwa juu
ya jambo hili, walisema
kuwa bado hawajapata
maelekezo yoyote.
Hadi tunakwenda
mitamboni, juhudi za
m wa n d i s h i k u m p a t a
Afisa kutoka Ofisi ya
Usajili, aliyedai kuwa
l e s e n i z i t a k u s a n y wa
n a m p ya h a z i t o l e w i ,
hazikufanikiwa.
Hata hivyo, baadhi
ya viongozi wa taasisi
za Kiislamu wamekiri
k u n y i m wa l e s e n i n a
kuambiwa kuwa hakuna
sababu ya kupewa
wakati zoezi lililopo ni
kukusanywa zilizokwisha
kutolewa.
Kwa uapnde mwingine,

Habari

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Shule za Kiislamu kufutwa

SHEIKH Kundecha akiongea Waislamu katika kongamano lililofanyika katika


Msikiti wa Kichangani, Magomeni Jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita.
baadhi ya viongozi
waliokuwa wakifuatilia
suala hili na kufanya warsha
wiki iliyoipita, wamearifu
kuwa hoja zinazotolewa
na baadhi ya watumishi
katika ofisi ya Usajili ni
kuwa zinazotakiwa ni
seminari za watu wachache
za kufundishia watu wa
kutumikia makanisa au
misikiti, sio kuwa na shule
yenye wanafunzi zaidi
ya 300 na wanaosoma
masomo mengine zaidi
ya yale ya dini husika ya
kumfanya mwanafunzi
kuwa Padiri au Sheikh.
Kwa mujibu wa
Muswada wa Sheria ya
Elimu uliopo mezani
hivi sasa, ipo Mamlaka
itakayoitwa Basic And
Secondary Education
Au t h o r i t y a m b a y o
itatakiwa kuondoa
vikwazo vote kwa mtoto
yoyote kupata elimu bora.
Kwa hiyo, kwa mujibu
wa uchambuzi wa baadhi
ya wataalamu walioupitia
muswada huo, kama watu
wataona shule yako ya
Msikitini/Kanisani, ni
Bora ila kipengele cha Dini
kinamzuiya mtoto wa dini
nyingine kusoma, basi
Mamlaka hiyo, inaweza
kuingilia kati kuondoa
kikwazo hicho.
Kama jambo hili litapita,
itakuwa pigo jingine la
k a r n e k wa Wa i s l a m u
katika zile jitihada zao za
kujikwamua kielimu.
I l i k u wa wa k a t i wa
ukoloni ambapo kutokana
na wakoloni kufungamana
na Ukristo, walikuwa
wakichukua kodi kutoka
k w a Wa t a n g a n y i k a ,
Waislamu na Wakristo,
lakini wakitoa ruhusa na
ruzuku kwa Watanganyika
Wakrsito pekeee kuwa na
shule.
Hata baada ya
kupatikana uhuru, bado
serikali ilikuwa ikitoa pesa
kwa shule za Wakristo

pekee.
Kwa wakati ule, baada
ya Waislamu kupiga kelele
wakilalamikia mfumo
n a u t a r a t i b u h u o wa
kidhalimu na kibaguzi,
n a k u o n a s e r i k a l i ya
kikoloni na Tanganyika
huru, haijali, walianzisha
juhudi za kujenga shule
zao kwa harambee, lakini
pia wakiendelea kupigania
kile kilicho haki yao katika
Hazina ya Taifa.
Hata hivyo, juhudi za
Waislamu zilikumbana na
P
igo la kwanza
kutoka kwa Mwalimu
Nyerere ambaye alitaifisha
shule.
Kutokana na propaganda
iliyopigwa katika siasa
hizo za kutaifisha shule,
Mwalimu Nyerere
alionekana kama shujaa
n a m s a m a r i a m we m a
asiye mbaguzi aliyetaka
na Waislamu wasome.
Lakini ukweli wa jambo
lenyewe ilikuwa hatua na
mkakati wa kuwarejesha
nyuma Waislamu.
Moja, iliuwa ule moyo
wa Waislamu wa kujizatiti
na kuwa na moyo wa
kujiletea maendeleo.
Pili, zile nafasi chache
zilizokuwa zikipatikana
k u wa p a f u r s a wa t o t o
wa K i i s l a m u k u s o m a
ziliporwa.
Waislamu walifungiwa
tena milango ya kusoma
kama ilivyokuwa wakati
wa mkoloni.
Hii ni kutokana na
sababu kwamba baada
ya s h u l e k u t a i f i s h wa
zikiwemo zile za Kikristo,
bado uongozi wa shule zote
hizo pamoja na maofisa
walioteuwa nani asome,
zilibaki mikononi mwa
Wakristo, na inajulikana ni
kwa namna gani Waislamu
walidhulumika katika
utaratibu huo.
Hata hivyo, pamoja na
baadhi ya shule za Kikristo
nazo kutaifishwa, bado

kulikuwa na nyingine
zilizokuwa za seminary
ambapo wakisoma
Wa k r i s t o p e k e e n a
wakichaguliwa kuingia
shule za serikali za kidato
cha tano na Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam au
kupata scholarship za
serikali.
Katika muda wote
wa Mwalimu Nyerere
kama Rais, haikupata
kuandikishwa shule ya
seminary ya Kiislamu.
Na namna ya kuwazuiya
Waislamu ilikuwa ukiomba
tasjila unaambiwa uende
Bakwata. Ukifika Bakwata
ilishapewa maelekezo
ikatae.
Ilikuwa kipindi
a l i p o k u wa Wa z i r i wa
Elimu ni Marehemu Prof.
Kighoma Ali Malima,
aliyefungua mlango baada
ya kusema kuwa hapakuwa
na sheria inayowalazimisha
Waislamu wasiandikishe
shule ila chini ya Bakwata.
Pamoja na juhudi
zinazoendelea Waislamu
kutaka serikali yao itende
haki kwa raia wake
wote, kwa miaka ya hivi
karibuni pamekuwa na
m wa m k o m k u b wa n a
kujitolea kukubwa kwa
Waislamu katika kujenga
na kuendesha shule na
vyuo.
A wa l i Wa i s l a m u
walipoanza juhudi hizi
mwishoni mwa miaka ya
1980, serikali ilitoa kauli
kuwa shule za seminari
hazitatambulika.
Na kwamba, kinyume
na ilivyokuwa huko
nyuma ambapo, watoto wa
Kikristo kutoka seminari
za Kik risto walik uwa
wakichaguliwa kidato cha
tano shule za serikali, sasa
itakuwa hawachaguliwi
tena.
Hata hivyo, hiyo
haikuwakatisha tamaa
Waislamu. Na kwa bahati
nzuri, kimya kimya serikali

yenyewe haikutekeleza
azma yake hiyo ambayo
kwa kila sura, ilikuwa
ikionyesha kuwalenga
Waislamu.
Takriban sasa kila msikiti
una shule ya Awali na
mingine Awali na Msingi
huku taasisi nyingi za
Kiislamu zikianzisha shule
za sekondari na vyuo.
Kwa mujibu wa tahadhari
na taarifa iliyotolewa na
Amir Kundecha, ni kuwa
shule hizi za Waislamu
sasa basi.
Itakuwa sasa basi
kwa sababu hata kama
watakuwepo, lakini
watakuwa ni wachache
sana katika Waislamu
ambao watakubali Zakka
na Sadaka zao zitumike
kujengea na kuendeshea
shule za Misikiti
zinazosomesha Waislamu
na wasio Waislamu.
Katika moja ya
Mihadhara yake,
Marehemu Sheikh Ilunga
Hassan Kapungu aliwahi
kueleza hofu aliyokuwa
nayo aliyekuwa Waziri
wa E l i m u wa k a t i u l e
Mheshimiwa Joseph
Mungai.
Ilunga akiwa ofisini
Waziri Mungai akifuatilia
usajili wa shule yao moja
ya Kiislamu kule Mwanza,
Joseph Mungai alisema,
anashindwa kujua hali
itakuwaje miaka 50 ijayo
wakati ambapo watoto
wa Waislamu watakuwa
wamesoma sawa na watoto
wa Kikristo.
Ilikuwa ni katika
mazungumzo ya
kawaida ambapo Mungai
a l i m w o n ye s h a I l u n g a
majalada mengi na
kumwambia kuwa yote
yale yalikuwa ni maombi
ya Waislamu wanataka
kusajili shule.
Mheshimiwa Waziri,
Wa i s l a m u w e n y e w e
hawana uwezo ndio
wanahangaika kujenga.
Alisema Ilunga kama
kumwambia mheshimiwa
asiwe na wasiwasi maana
nguvu na kasi ya Waislamu
haiwezi kushindana na ile
ya Wakristo.
Sawa. Leo mnahangaika
na kujenga. Itafika
mahali mnaendesha.
Leo sisi tumesoma,
nyinyi hamjasoma,
lakini miaka 50 ijayo,
watoto wenu watakuwa
wamesoma na wetu
watakuwa wamesoma,
hali itakuwaje.
Alisema Sheikh Ilunga
(Mungu Amrehemu)
akimnukuu aliyekuwa
Waziri wa Elimu (mwaka
2000-2005) Joseph Mungai.
Ambacho pengine
inabidi Waislamu wajiulize:
Mkakati huu na nia hii ya
kufuta shule za Kidini na
badala yake kuwa Binafsi,
je ni katika kukabiliana
na hofu aliyokuwa nayo
Joseph Mungai?

4
Na Salma Alghaythiya,

WAKATI vyama vingi


vinaanzishwa tena hapa
Zanzibar, vilianza na
m a t u m a i n i m a k u b wa
kutoka kwa wananchi
baada ya kuchoshwa na
ukiritimba wa chama
kimoja. Matumaini
makubwa yalitegemewa
kupatikana kutokana
na chama tawala
kwamba kilikuwa
tayari kujisahihisha na
makosa yao ya nyuma na
kutandika na kuonyesha
njia na mwelekeo mpya
wa kuongoza Taifa badala
ya uchu wa kutawala.
Sababu zozote zile naziwe
katika kuleta na hatimae
k u k u b a l i m f u m o wa
vyama vingi mategemeo
ya mabadiliko yalitarajiwa
kuwepo na kuwepo
kwa kiwango kikubwa
pamoja na kusahau
yaliyopita, ijapokuwa
w e n g i wa l i o a t h i r i k a
wamesamehe lakini
hawakusahau.
Hali haikuwa hivyo, bali
ilikuwa kunyume chake.
Chuki, ubagizi ulizidi
kushamiri na kupaliliwa.
Miaka ishirini na tatu
katika uhai wa taifa ni
kidogo mno, ni kama
jana au juzi tu ilipoanza
enzi ya Dr. Salmini bin
Amour Komandoo,
enzi ya upandikizi fitna,
chuki na ubaguzi baina ya
Wapemba na Waunguja
kwa sababu tu Wapemba
wamekikataa Chama cha
Mapinduzi.
Salmin Amour
aliwaondoa Wapemba wote
katika nafasi za uongozi
katika serikali, alimbakisha
Shajak tu. CCM ilianza
kuwabagua na inaendelea
kuwabagua Wazanzibari
n a k u wa w e k a k a t i k a
mafungu na madaraja.
Hawa ni Waswahili na
hawa ni Waarabu. Hawa
ni Wapemba na hawa ni
Waunguja. Hawa ni Weupe
na hawa ni Weusi. Hawa
ni Wazanzibari halisi na
hawa si Wazanzibari halisi.
Hawa ni wenzetu na hawa
s i we n z e t u . I m e k u wa
ikitumia misingi ya
makundi iliyoyajenga na
kutunga lugha za kibaguzi
kwa kundi moja dhidi ya
jengine.
Hiyo ndio CCM. Mpaka
leo CCM imekuwa ikifanya
unyanyasaji na mateso
kadhaa wa kadhaa hata ya
kisaikologia kwa msingi
wa makundi hayo. Kufanya
wengine ni wenye nchi
na wengine ni wahamiaji
tu Nani aliesahau kauli
ya K o m a n d o o k a t i k a
mkutano wa Kibanda maiti
akijitutumua kwa kusema

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Vitimbi vya CCM

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Anne Makinda (kshoto) akiwa katika moja ya
ziara nchini Oman.

Wapemba weshasoma
sasa zamu ya wenzao
Waunguja, kauli ambayo
ilitafsiriwa kwa vitendo
kuwanyima Wapemba
nafasi za Masomo ndani
na nje.
Hivo nani kasahau kauli
ya Rais Mstaafu Ali Hassan
Mwinyi aliposema hawa
Wapemba ni vijibwa vya
santuri wanaiga sauti
za mabwana zao yaani
leo wapemba si watu na
Wapemba hawana haki ya
kutoa mawazo yao?.
Kauli nyingi za dharau
na kejeli zilitolewa hata
kufika hadi kusemwa
Mpemba kuingia Ikulu
ni sawa na mbwa kuingia
msikitini. CCM kama
kingalikuwa ni chama
cha kuongoza nchi, sio
kutawala, basi kingefanya
utafiti wa kina kujua
s a b a b u ya Wa p e m b a
kuikataa CCM ili
kufahamu. Lakini CCM
ni chama cha kutawala
hata bila ya kupata
r i d h a a ya wa n a n c h i .
Lakini maskini ni chama
ambacho kimeshapoteza
dira na mwelekeo. Haya
yalisemwa zamani na
aliekuwa Katibu Mkuu
wa CCM Horace Kolimba.
Vi s h i n d o v ya C C M
vilitumia nguvu za
dola bila hata kujali
Katiba wala sheria za
nchi. Vyama vya siasa
ambavyo viliruhusiwa
kufungua matawi pamoja
na kufanya mikutano ili
kuweza kunadi sera zao

na kuweza kukubalika
hii ikiwa ni haki yao chini
ya sheria, lakini haikuwa
hivyo pale chama cha
CUF kilipofungua tawi
na kuperushwa bendera
Shumba Mjini (Pemba).
Alitokea Mkuu wa wilaya
Feruzi na kupeleka askari
wa FFU ili kuteremsha
bendera ya chama cha
CUF. Nguvu za kupita
mpaka zilitumika na jeshi
la polisi lilitumika na
walitumia risasi na kuua
pamoja na kujeruhi. Nani
amesahau mauaji ya kijana
Awadh hapo Mtendeni.
Hatuwezi kusahau
watu waliouawa katika
maandamano ya amani
kupinga mtokeo ya
uchaguzi yaliyofanya
CUF. Wengi walijeruhiwa
na kuwa na vilema vya
maisha na wengine
kukimbilia Kenya baada
kusakwa kwa mabunduki,
nini wameandamana.
Sote tunakumbuka pale
Maaalim Seif pamoja na
viongozi wenzake wa
CUF akina Juma Duni,
Maulid Makame, Mloo na
wengineo walifunguliwa
kesi (za nyaraka za siri,
uchochezi na uhaini) ili
kuzuia na kuwafumba
midomo katika kuikosoa
CCM na kutokubaliana
na sera za CCM. Sasa hii
leo si ajabu kuona kesi
inayomkabili Mansour
baada ya kuikosoa CCM
na sera zake.
Vitimbi hivi vya CCM

ni vingi na si vigeni katika


siasa za Zanzibar. Ubao
wa Kisonge umekuwa
ukitumika tokea enzi
kuchochea fitna ,chuki na
mgawanyiko. Leo Kisonge
i n a t a m k a Wa p e m b a
wende kwao, Wapemba
wahame, Wapemba na
Warabu wahame, Unguja

tumepindua. Hivo hizi


nazo siasa au ni kuishiwa?
Kufukuza kiongozi
kama Hassan Nassor Moyo
na wengine waliofukuzwa
kabla yake, inaonyeza wazi
kwamba meli inakwenda
mrama na kufilisika
kisiasa na kutovumilia
na kuheshimu mawazo
ya wengine. CCM inataka
watu wote waimbe wimbo
huo huo mmoja.
Bado CCM iko katika
u s i n g i z i wa m a n a n e
na kuota ati Mwarabu
atarudi. Hivyo Mwarabu
gani ataerudi kutawala
Zanzibar. Ikiwa Mwarabu
atarudi, basi ni katika
kuitikia maombi ya msaada
unaoombwa na viongozi
wa CCM na Serikali. Leo
Rais Kikwete, kesho Spika
Makinda, akifatiwa na
Benard Membe, Lukuvi
na akina Shamhuna na Dr.
Makame wakibeba mikoba
yao kuelekea Arabuni.
Ndio hao hao akina
William wakirudi huku
kuwalani Waarabu na
kuwapa chambi malenga
wa m a t u s i k u t u k a n a
Warabu.
CCM inaendela
kuwapiga mafungu
Wa z a n z i b a r i i l i
wachukiane, wahasimiane
na wapigane. Huku ndio
kupoteza dira na kuishiwa
kisiasa. Vijana wa leo
ambao wana malengo
ya kujikwamua na hali
duni ya maisha na kiu
ya kutaka mabadiliko na
maendeleo. Hawawezi
kucheza nyimbo ya
Mwarabu atarudi.

Habari/Matangazo

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Indonesia, Malaysia kupokea wakimbizi Waislamu

MALAYSIA na Indonesia
zimekubali kuwaruhusu
maelfu ya wakimbizi wa
Kiislamu wa wahamiaji
wa jamii ya Rohingya
k u t o k a M ya n m a r n a
wale kutoka Bangladesh
kuingia katika nchi hizo.
Wa k i m b i z i h a o
wamekwama baharini kwa
siku kadhaa sasa.
Waziri wa Mambo ya
Nje wa Malaysia Anifah
Amas, alisema nchi yake na
Indonesia zimekubaliana
kuendelea kutoa misaada
ya kibinadamu kwa
wahamiaji haramu 7,000
ambao bado wamekwama
baharini na kuwapa
makazi ya muda, huku
mchakato wa kuwapa
makazi na kuwarejesha
makwao ukishughulikiwa
kwa kipindi cha mwaka
moja ujao na jumuiya ya
kimataifa.
Anifah ameonya kuwa
Malaysia na Indonesia
hazina raslimali za
kutosha kuwasaidia
wahamiaji hao na kuutaka
ulimwengu kushirikiana
nao kuwasaidia wahamiaji
hao na kuongeza
kuwa nchi hizo mbili
hazitajishughulisha katika
kuwatafuta na kuwaokoa
wahamiaji hao baharini
bali zitawasaidia tu wale
watakaofika katika fukwe
zao.
Kwa upande wake
Myanmar imeonekana
kulegeza sera zake
z a k i b a g u z i d h i d i ya
Waislamu, kwa kusema
iko tayari pia kuwasaidia
wa h a m i a j i h a o h u k u
shinikizo kutoka kwa
jumuiya ya kimataifa
zikizidi kutaka wahamiaji
hao kupokea misaada
kutoka kwa Thailand,
Malaysia na Indonesia.
Waislamu
hao
wamelazimika kukimbia
makazi yao kutokana na
kuuliwa na wafuasi wa
dini ya Budha, ambao ndio
wengi katika nchi hiyo.
M ya n m a r i m e s e m a
i n a t i wa wa s i wa s i n a
hali ya wahamiaji hao
wanaohangaika baharini
na inafuatilia kwa karibu
matukio hayo.
Wengi wa wahamiaji hao
waliokwana ni wa kutoka
jamii ya Rohingya ambao
h a wa t a m b u l i k i r a s m i
na serikali ya Myanmar
wanaowachukulika
wahamiaji kutoka Bengali,
huku wakidharauliwa
pakubwa na makundi
mengine nchini humo.

Makaburi ya halaiki yagunduliwa

Mawaziri wa mambo ya
nje wa Thailand, Malaysia
na Indonesia wamekutana
mjini Kuala Lumpur,
kujadili tatizo hilo la
k u k wa m a wa h a m i a j i
hao baharini, ambao
hakuna taifa linaloridhia
kuwahifadhi.
Myanmar hata hivyo
imeususia mkutano huo
kwa kusema haingependa
kulifanya suala hilo kuwa
la kimataifa.
Wa k a t i h u o h u o ,
wavuvi nchini Indonesia
wamewaokoa wahamiaji
370 wiki hii waliokuwa
wamekwama kwa boti

mbili katika jimbo la Aceh.


Mkuu wa Shirika la
Uokozi la mji wa Langsa
Khairul Nova, amesema
wahamiaji hao kutoka
jamii ya Rohingya
walikuwa wameishiwa
maji mwilini, wana njaa na
wamedhoofika sana.
Uokozi huo unakuja
siku moja tu baada ya jeshi
la Indonesia kuwataka
wavuvi kutowasaidia
wahamiaji waliokwama
majini.
Idadi ya wahamiaji
waliokolewa katika jimbo
hilo la Aceh mwezi huu
imefikia 1,800.

Shirika la umoja wa
mataifa la kushughulikia
wakimbizi UNHCR
linakadiria kiasi cha
wahamiaji 2,000 huenda
bado wamekwama majini
k a t i ya M ya n m a r n a
Bangladesh
Katika tukio jingine,
makaburi yasiyopungua
30 yanayosadikiwa
kuwa na viwiliwili
vya wahamiaji kutoka
Myanmar na Bangladesh
yamegunduliwa katika
jimbo la Kaskazini mwa
Malaysia la Perlis.
Kwa mujibu wa gazeti
la Star, miili ipatayo 100

ilipatikana kwenye kaburi


moja la umati siku ya
Ijumaa.
Wa z i r i w a M a m b o
ya Ndani wa Malaysia,
Zahid Hamidi, amesema
makaburi
hayo
yamepatikana kwenye
kambi 17 zilizohamwa
za kuhifadhi watu
wanaosafirishwa kwa njia
ya magendo.
Makaburi kadhaa ya
umati pia yamegunduliwa
nchini Thailand katika njia
inayotumiwa na Waislamu
wa Rohingya wanaokimbia
mateso nchini Myanmar.
Hii ni mara ya kwanza
k wa m a k a b u r i k a m a
hayo kugunduliwa nchini
Malaysia.
Wa k a t i h u o h u o
Shirika la Kutetea Haki
za Binadamu la Human
Rights Watch, limekosoa
vikali sheria mpya ya idadi
ya watu iliyosainiwa na
Rais wa Myanmar Thein
Sein.
Shirika hilo limesema
kuwa sheria hiyo inalenga
jamii ya wachache ya
Waislamu wa kabila la
Rohingya.
Sheria hiyo iliyosainiwa
Mei 19 mwaka huu, pamoja
na mambo mengine
inaruhusu serikali za
majimbo kuanzisha
mpango wa uzazi wa
mpangilio ili kupunguza
ongezeko la kizazi.
Serikali ya Myanmar
haiwatambui Waislamu wa
Rohingya kuwa ni raia wa
nchi hiyo, ikisisitiza kuwa
ni wahamiaji haramu licha
ya kuishi nchini humo kwa
karne kadhaa.
(ABNA).

Shirika Kuu la
Kijasusi la Marekani
CIA, limelaumiwa
kwa kuwa chanzo
cha ugaidi na
k i l e k i n a c h o i t wa
m i s i m a m o
m i k a l i ya k i d i n i
inayoshuhudiwa
nchini Kenya.
K wa m u j i b u wa
toleo la leo (juzi) la
gazeti la kila siku
la People Daily la
nchini Kenya, afisa
wa serikali ya Kenya
ambaye hakutaka jina
lake litajwe, alisema
mradi wa CIA wa
k u wa u n g a m k o n o

'Mujahidina' katika
vita vya Afghanistan
vya muongo wa 80,
ndio chanzo cha
misimamo mikali ya
kidini.
Lawama hizo
zimetolewa kwa
s a b a b u b a a d h i ya
Wakenya walioshiriki
katika vita hivyo
dhidi ya Shirikisho
la Sovieti, walirudi
nyumbani na kupanda
mbegu za misimamo
mikali ya kidini na
kueneza ugaidi
unaoshuhudiwa hivi
sasa nchini humo.
Gazeti
hilo

linadokeza kuwa
vijana wanaojiunga
na Al Shabab hivi
sasa wamechochewa
na wale walioshiriki
katika mradi wa CIA
nchini Afghanistan.
Gazeti hilo linafichua
kuwa Sheikh Abubakr
Shariff, maarufu kama
Makaburi aliyeuawa
Mombasa Januari
2014, alishiriki katika
vita hivyo bega kwa
bega na 'Mujahidina'
wa l i o p a t a h i m a ya
ya CIA nchini
Afghanistan.
Aidha People
Daily limeandika

kuwa walioenda
Afghanistan walipata
mamilioni ya dola
na kwamba wengine
walipitia Dubai kabla
ya kujiunga na mradi
huo wa CIA, ambao
mbegu zake sasa
zimechipukia Kenya.
Gazeti hilo pia
limeandika kuwa
inawezekana
Masheikhe waliouawa
akiwemo 'Makaburi'
waliuliwa na maafisa
wa CIA kwani shirika
hilo la kijasusi la
Marekani limekuwa
likifuatilia nyendo
zao.

MMOJA wa wahamiaji wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar aliyenusurika kifo.

CIA chanzo cha ugaidi Kenya

6
HATUKUKAA
kutimiza hata wastani
wa miezi mitatu,
tukaaabiwa kuwa sisi
sasa tuna kesi ya ugaidi.
Sijui kesho kutwa
tutakuja kuambiwaa
tuna kesi ya uhaini.
Lakini ikiwa ni kwa
madai yetu sisi kudai
hishma ya nchi yetu,
na haki sawa baina ya
nchi hizi mbili, madai
yetu mheshimiwa
hatuwezi kuyageuka,
hata watuite sisi nani.
Watuite magaidi, watuite
wahaini, watafute na jina
jingine lolote lile, bado
tutabakia kuwa tunadai
madai yetu haya.
M h e s h i m i w a
( H a k i m u )
ninayatanguliza ha ya

makusudi ili angalau


upate picha, wakati faili
hili unalo, upate ile picha
yenyewe.
Wengi wetu wamekuja
kuchukuliwa katika
majumba yao saa nane
za usiku. Wengine mpaka
kuvunjiwa milango yao na
kusafirishwa kuletwa huku
Tanganyika (Tanzania
Bara). Kwa NDUGU ZETU
tunaoambiwa wa DAMU
na WANATUPENDA.
Kilichotokea baada
ya hapo ni mahojiano
ya kishenzi. Ya kikatili.
Unaweza ukaona ni
maneno mazito, lakini
mheshimiwa hicho ndio
kilichojiri.
Huwezi ukamchukua
m t u m we n ye h e s h m a
mfano kama Sheikh
Msellem Bin Ally kiongozi
wa Jumuiya na Taasisi
ya Kiislamu, wakati huo
huo ni Mfasiri wa Quran
Tu k u f u , t a f s i r i y a k e
inaendeshwa katika redio
Afrika Mashariki nzima,
na watu wanaisikiliza
watu dunia nzima, leo
unamchukua Sheikh
kama huyo unamhoji
uchi wa mnyama! Na
sote takribani tumehojiwa
uchi wa mnyama.
Mbali ya kuwa Sheikh
kama huyo hujatosheka,
unamtundika na pingu
kama alivyozaliwa, eti
unamhoji. Ushenzi gani
huo na ukatili gani.
Mheshimiwa nataka uione

hiyo picha ilivyokwenda


ili uone kuwa kesi hii ina
mashinikizo maalum
ya kisiasa. Ni kama sisi
tupo katika detention
maalum. Tunazuiwa tu.
Unamsikia sasa hivi
mwakilishi wa DPP
anavyozungumza.
Wa n a s u b i r i r e k o d i

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Kila mchunga ataulizwa


Siku zitakapodhihirishwa Siri

ya
mahakama.
M h e s h i m i wa h i c h o
anachokizungumza
y e y e ,
t a ya r i
kimeshatolewa
maamuzi, yaani
maamuzi ya mahakama
ya mwanzo, ya ombi
letu tulilopeleka,
yametolewa mwezi wa
kumi na mbili (mwaka
jana 2014) mheshimiwa.
Mwezi wa kumi na
mbili mpaka leo, ni
miezi mitano, anasubiri
rekodi. Mheshimiwa
unapata picha hapa. Ya
kuwa hapa kuna usanii
unachezwa. Na kama
maneno makali, sisi
hatukusema maneno
makali Tumedai hishma
ya nchi yetu.
Na hii si mara ya
kwanza, watu waliodai
(madai haya) hata
gazeti la hivi karibuni
la Mwananchi
Mheshimiwa Hassan
Nassor Moyo anasema
madai haya yalianza
toka mwaka wa 1970

SHEIKH Msellem Ali Msellem.


lilipokuja jopo zima la w a l i o t o l e w a k u l e
serikali ya Zanzibar kuja wanakaribia 50 sasa
hapa. Baada ya kufika hivi. Kila anayeonekana,
hapa likiongozwa na Rais h u y u a n a c h u k i z a ,
wa Zanzibar mwenyewe a n a c h u k u l i w a t u .
na Baraza lake zima, Wachache tunaojuana.
wanadai haki sawa na Wengi wetu hatujuani.
heshima kamili. Lakini Tumekuja kujuana hapa.
K wa b a h a t i m b a ya ,
M a d a i
ye t u
h u y o a n a ye a m b i wa m a k u b wa , s i s i n i
alikuwa Baba wa Taifa, Wazanzibari. Zanzibar
akawaambia wakati kuna Rais. Rais wetu
haujafika.
wa Zanzibar apewe
Sie sio wa mwanzo h e s h m a ya k e k a m a
kuletwa hapa. Hata Rais wa Zanzibar. Tuna
Mwanasheria Mkuu, Rais, tuna DPP, tuna
Dourado alichukuliwa Mahakama ya Wilaya,
akaletwa magereza huku Mahakama ya Mwanzo,
akafungwa huku. Kwa t u n a M a h a k a m a ya
nini? Anadai hishma ya Wilaya, Mahakama ya
Zanzibar. Mheshimiwa Mkoa, tuna Mahakama
Ali Muhsin aliletwa hapa K u u Z a n z i b a r . N a
hapa naye. Ni mlolongo Mahakama Kuu iliyopo
wa u d h a l i l i s h a j i . hapa, haina hadhi
Wa n a d h a l i l i s h w a kuzidi Mahakama
Wazanzibari. Kutolewa Kuu ya Zanzibar. Ile
katika nchi yao, na Mahakama Kuu, hii
kuletwa katika nchi Mahakama Kuu. Hadhi
hii ya Tanganyika na sawa. Kuletwa hapa ni
k u f a n y i w a m a m b o kudhalilishwa na hata
yasiyoingia akilini.
kunyanyaswa wake zetu
W a z a n z i b a r i na watoto wetu na jamaa

zetu. Utamchukuaje
mtu kumpeleka nchi
nyingine? Mmejigeuza
nyie Wamarekani?
Zanzibar kuna
M a h a k a m a .
tushitakiwe Zanzibar.
Zanzibar
sisi
tumekuwa tukihojiwa.
Tumeshaitwa na majopo
ya viongozi tofauti,
wakiwemo Makamishna
na wengineo, kutuhoji,
l a k i n i wa l i k u wa n i
watu wastaarabu.
Tunashangaa kuletwa
hapa tunahojiwa na
watu uchi wa mnyama.
Unajiuliza kulikoni?
Hivi
tuseme
ndivyo alivyoamrisha
Mheshimiwa Rais
Kikwete wafanye
hao maofisa wa
Polisi? Ndivyo
walivyoamrishwa
hivyo!
(Sehemu ya maelezo
yaliyotolewa na Sheikh
Farid Had Mahakamani
jijini Dar es Salaam)

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Propaganda za udini shuleni Tanzania-4

Profesa Ibrahim Noor Shariff


BAADA ya kuonesha
ubaya wote tuliouonesha
wanaosingiziwa Waislamu,
sasa angalia mfano wa
vile Ukristo na Wakristo
wa l i v y o c h o r wa k a t i k a
kitabu kiitwacho History
for Secondary Schools, Form
Two mlango wa 7 chini ya
anuani ya Abolition of Slave
Trade yaani Kupigwa
M a r u f u k u B i a s h a r a ya
Utumwa, ukurasa wa 84:
Katika vitabu vya historia
Ta n z a n i a v i n a s e h e m u
nyingi ambazo wakoloni
na wamishinari wanasifiwa
k wa k u j e n g a s h u l e n a
mengineyo na kukhusu
utumwa hawakutajwa sana
ila kusifiwa sana katika
kuuondosha utumwa.
Hawakutajwa kabisa vile
walivyowauwa millioni kumi
ya Waafrika katika Kongo
(Congo) na wengine kukatwa
mikono na kuadhibiwa vikali
sana kwa namna nyinginezo
za kikatili. Kama nilivyosema,
propaganda si lazima uone
katika yaliyozungumzwa
na yaliyochorwa, bali pia
huwemo pale yanapokuwa
hayatajwi kwa uovu wao pale
panapohitajiwa kutajwa. Kwa
mfano, ukiangalia utaona
kuwa wamewasifu wakoloni
wa Kizungu kwa kuondosha
biashara ya utumwa bila ya
kuelezea chochoke kukhusu
yale aliyoyafanya Sayyid
Said katika mamlaka zake
yaliyosaidia pakubwa
kupiga marufuku biashara
ya utumwa.
Sayyid Said na biashara ya
utumwa
Propaganda za wenye
siasa kali za udini hazitaki
kuangalia ukweli wa biashara
ya utumwa. La muhimu
kwao ni kuonesha vipi
Waislamu, na Waislamu peke
yao ndio waliokuwa wabaya
kuliko watu wote duniani.
Kwa mfano, ukisoma khabari
walizoziandika kukhusu
Sayyid Said bin Sultan
aliyetawala Zanzibar na
upwa wa Afrika Masharika
katika nusu ya kwanza ya

Karne ya 19, utaona ni maovu


matupu wanayoyaelezea.
Hawataji kabisa kuwa Sayyid
Said aliandikiana mkataba
na Serikali ya Kiingereza
tarehe 22 September 1822
kushirikiana katika kuzuia
biashara ya utumwa na
kuwapa rukhsa Waingereza
ya kupanda chombo
chochote cha raia wa
Zanzibar wanaodhaniwa
wanafanya biashara
o v u h i y o ya k u wa u z i a
binadamu Wakristo. Kwani
Sayyid Said na Waingereza
walielewa vizuri sana namna
walivyokuwa wakiteswa
watumwa wa Kiafrika
katika nchi zilizomilikiwa
na Wazungu Wakristo.
Kulikuja wakati Wafaransa
walikuwa tayari kuipiga
v i t a D o l a ya Z a n z i b a r
kwa sababu ya kuzuiliwa
Wafaransa hata kuwachukua
v i b a r u a k wa g h i l b a i l i
baadaye kuwatia utumwani.
Sayyid Said aliung'amua
ujanja wao Wafaransa. Yote
haya yalitokea kitambo
kabla ya huo mkataba wa
1873 uliofikiwa na Sayyid
Barghash. Katika kitabu
chake kiitwacho "History of
Zanzibar from the Middle
Ages to 1856," Sir John
Gray (aliyekuwa Jaji Mkuu
Zanzibar) anatuelezea mengi
juu ya juhudi alizozichukua
Sayyid Said katika kuwazuilia
wafanya biashara ya utumwa
kutoka nchi za Wakristo,
kununua binadamu katika
mamlaka zake. Ifuatao ni
tafsiri ya mmoja katika
mifano hiyo:
Tafsiri: [] mnamo mwaka
1851, wakati baba yake akiwa
tena Oman [] Khalid
alikuwa tena anakaimu
kuiongoza Zanzibar. Kabla
ya kuondoka, Sayyid Said

a l i m p a m wa n a we a m r i
kali ya kuzuia uvunjwaji
wowote wa mikataba ya
biashara ya utumwa na
Uingereza kwa namna yoyote
iliyoyumkinika. Baada ya
Sultani kuondoka, jahazi
kubwa la mfanyabiashara wa
Kifaransa liliwasili kisiwani
humo, hapana shaka kwa
dhamira ya kuwaandikisha
wafanyakazi huru kwa
ajili ya mashamba huko
Bourbon (Reunion). Jaribio
la kuyapa aina fulani ya
uhalali malipo yaliyofanyika
hapo kwa kumpa mmliki
watumwa bakhshishi kwa
kila mtumwa aliyeshiriki
kwa dhamira hii. Baada ya
kulipwa bakhshishi, mmiliki
alitoa tangazo rasmi lenye
maneno yafuatayo, Mtu
h u y u a l i k u wa m t u m wa
wangu. Ninamwacha huru.
Ana uhuru wa kuhudumu
kwa mfanyabiashara wa
Kifaransa au mwengine
yeyote, ikiwa ataku-baliana
na masharti yaliyowekwa.
Masharti yanayotajwa hapa
ni kwamba mtumwa huyo
alipaswa kufanya kazi kwa
tajiri wake wa Kifaransa kwa
miaka mitano na baada ya
hapo ana uhuru wa kwenda
atakako .
Ameongeza Gray na haya
yafuatayo:
Tafsiri: Sio tu kwamba
Khalid alipiga marufuku
kwa nguvu kali aina yoyote
ya makubaliano kama hayo,
bali pia alipeleka boti kwenye
jahazi la Kifaransa, ambalo
aliamini kuwa lilikuwa
limechukua watumwa kumi
na mbili ambao walikuwa
wakipelekwa Bourbon
bila ya ridhaa zao. Bwana

Belligny, Balozi wa Ufaransa,


ghafla alifoka. Akapeleka
malalamiko rasmi Muscati.
Ikisha akaelekea mwenyewe
Bourbon, akitangaza
kwamba hatorejea mpaka
khatua fulani zichukuliwe
na Serikali ya Jamhuri ya
Ufaransa kulipiza kisasi cha
kile anachoamini kuwa ni
dharau dhidi ya bendera
[Dola] ya Ufaransa.
Hii ilikuwa ndiyo kadiri
iliyofika Zanzibar chini ya
utawala wa Sayyid Said
katika kuzuia biashara
ya utumwa hata kabla ya
kutawala Sayyid Barghash,
na kuna mengi mengineyo
ya kweli ambayo hayatajwi
na wenye propaganda zao
za chuki za udini dhidi ya
Waislamu.
P i l i , Wa p o r t u g i z i
hawakuwa na uhusiano
mzuri na Dola ya Zanzibar
b a a d a y a Wa a r a b u n a
Waswahili kupigana nao
na kuwafurusha mpaka
Msumbiji. Wala Waportugizi
hawakuwa na haja ya kununua
watumwa kwa wafanya
biashara kutoka katika
Dola ya Zanzibar, kwani
walikuwa wakikamatiwa
n a k u u z i wa b i n a d a m u
wengi kutokana na Wayao
na makabila mengineyo
ya Kiafrika yenye nguvu
yalioko Msumbiji, Angola
na kwingineko. Ukhabithi
mkubwa sana ulifanywa na
baadhi ya Waafrika katika
kuwahujumu, kuwauwa
wengi, kuwakamata idadi
kubwa na kuwatia utumwani
mateka wa Kiaafrika. Kwa
hivyo, hawakusafirishwa
watumwa kutoka Zanzibar
kupelekwa nchi za nje baada
ya 1822. Na kabla ya hapo,
kulikuwa ni muda mfupi
tu kulipotendwa hayo. Kwa
hivyo hao wenye kudai kuwa
Zanzibar ilikuwa kituo kikuu
cha biashara ya utumwa
baina ya Afrika na nchi za
Mashariki, si maneno ya
yaliyoeleza ukweli sawasawa.
Kama kweli wanataka
kutuelezea ukweli sawasawa,
basi watueleze yanayokhusu
biashara hiyo kikamilifu.
Watueleze ukhabithi wa
Waafrika katika kuwakamata
Waafrika wengine waliokuwa
hawana nguvu. Watueleze
nani waliokuwa wanahitajia
watumwa wengi na sababu
z a k e . Wa t u e l e z e p i a
waliwachukua watumwa
wangapi na kuwapeleka
wapi. Watuambie, bila ya
kificho, hali za hao watumwa
wa Kiafrika zilivyokuwa, na
khalafu hali za vizazi vyao
ziko katika hali gani leo kila
mahala duniani.

Siasa za chuki ni siasa za


kuangamiza. Kubomoa ni
rahisi, kujenga ndiyo kazi.
Hakuna Wazanzibari huko
Zanzibar ambao wanauelewa
ukweli, wakawaendea hao
mapadiri walioko makanisani
Zanzibar na kuwaambia kuwa
wanayowazungumzia watalii
na wengineo wenye kuzuru
Kanisa la Kimoto kuwa nusu
ya ukweli wanaouelezea
humalizikia kuwa ni uwongo
na ni makosa kwa Mungu na
kwa binadamu pia? Hakuna
M z a n z i b a r i a n a ye we z a
kuwakabili na kuwaelezea
k u wa h u o u c h a c h e wa
ukweli wanaouzungumza
kulimalizikia kunyooshewa
Waarabu peke yao vidole vya
lawama na hati-maye katika
mavamizi ya 1964 ikawa
ndiyo moja katika sababu za
kuuliwa idadi isiyojulikana ya
Wazanzibari kwa ukhabithi
mkubwa sana? Kuwa
jukumu la fitina zimo juu
ya vichwa vyao pia. Hakuna
M z a n z i b a r i a n a ye we z a
k u wa a m b i a h a o we n ye
kupandikiza siasa kali za
udini kuwa fitina za kuulisha
watu ni dhambi kubwa
a m b a y o wa d h u l u m i wa
watakuja kulipiwa mbele
ya Hakii? Haitoshi kujidai
wanaelezea ya ukweli na
ilihali hawafanyi hivyo, nusu
ya ukweli huweza kuwa
ni uwongo. Kuzungumzia
kuwa Kwa Kimoto kulikuwa
n a s o k o l a u t u m wa n a
watumwa wakifanywa hivi
na vile na wafanyaji hayo
walikuwa ni Waislamu,
Waswahili au Waarabu na
waliowakomboa ni Wakristo
au Wazungu ni kutuelezea
nusu ya ukweli ulivyokuwa,
na kwa hivyo ni ya uwongo
wanayoyatapakaza
ulimwenguni kama
tunavyoona.
Na nchi za Ghuba (Yemeni,
Omani, Amarati, Bahareni na
Kuweit) ambako tunazugwa
kuwa walipelekwa watumwa
wa Kiafrika kwa mamilioni,
idadi ya Waarabu wenyewe
haifiki milioni arubaini hii
leo, na idadi ya wenye asili za
Kiafrika hadi hii leo ni ndogo
sana. Waarabu hawakuwa
na mahitaji ya kuwatumilia
watumwa kuwalimia
mashamba makubwa
walokuwa hawanayo kama
walivyohitajia Wazungu
katika nchi walizozimiliki,
khasa zile zilioko Amerika,
kwa sababu nchi zao Waarabu
ni za jangwa zisizokuwa na
maji ya kutosheleza wala
ardhi za rutuba ila chache
tu. Hakukuwa na haja ya
kumpeleka mtumwa katika
jangwa kulima; alime nini
jangwani?

Tangazo

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2015/2016 KATIKA SHULE ZA IPC

I.
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL.-SAME
-KILIMANJARO
A.WAVULANA
NA JINA KAMILI
TAHASUSI
1
MOHAMED OMARI MOHAMMED
PCB
2
YAHYA KHALFAN KABOZA
PCB
3
FADHILI ADAM ALLY
CBG
4
IBRAHIM HASSAN KIBONA
EGM
5
NASSIB BAKARI LULELA
HKL
6
ISSA SALIMU CBG
7
ABDALLAH HUSSEIN MSUYA
PCB
8
RAMADHAN HAMIS MBOZU
HGL
9
SULEIMAN MAJALIWA KYONDA
HGL
10
SOUD SULEIMAN SALUM
PCB
11
HAMIM RAJABU NKYA
ECA
12
AHMED R.SALUM PCB
13
HAMAD ALLY
PCB
14
IBRAHIM HAJI MWEVURA
HGE
15
SWALEHE ABEID SWALEHE
ECA
16
JUMA SAIDI RAMADHAN
PCM
17
ABDALLAH AYUB ABDALLAH
PCB
18
MOHAMMED KARIM MUHAMMED
EGM
19
HUSSEIN RAMADHAN HOTI
HGL
20
JUMA SALIM MRUMA
PCB
21
IDDY BAKARI MSUYA
HKL
22
ALLY MWINDADI BAULEY
CBG
23
HUSSEIN ABEID
HGK
24
HARUN HASSAN MUHAMMED
PCB
25
ALLY BAKARI MWICHANDE
PCM
26
IBRAHIM TAINADA NGOMUO
PCB
27
HUSSEIN ABBY MDEE
PCM
28
MUHAMMED TWALIB KATULLA
PCB
29
ALFAN IBRAHIM. CBG
30
AKIDA NYALUKE HGK
31
LUQMAN J.KOOSA PCB
32
KASIMU SAIDI JUMA
CBG
33
MOHAMMED .I.KARATA
PCB
34
BANDARI ISMAILI CBG
35
ABDULHAKIM HASHIM KOMBO
HGE
36
ALLY ATHUMANI ALLY
CBM
37
MUHAMMED YAHYA MBWERA
CBG
38
MADUA ALLY BARUTI
CBG
39
TWAHA RASHID TWAHA
CBG
40
HASSAN ALLY HIZZA
PCB
41
OMARY SWALEHE OMARY
PCB
42
HAMADI .A .HAMADI
PCB
43
RAJAB HALID NYONI
PCM
44
SULEIMAN S.MSANGI.
KLA
45
ABUUBAKAR.A.ISSA PCM
46
SULEIMAN S.ABDULRAHMAAN
HGE
47
ABDALLAH. B.MVUNGI
EGM
48
RASHID IDD TWAHIRU
PCB
49
ALLY MOHAMMED SAMIJI
PCB
50
ABBAS KHALID UPUNDA
HGL
51
YUSUFU SUDI ZUBERI
PCB
B.WASICHANA
Na. JINA KAMILI
TAHASUSI
01
SAMIRA SAIDI MKONGE
HKL
02
KHADIJA H HAMADI
ECA
03
JASMIN A.MIKONGO ECA
04
SAIDINA M MCHOMVU
CBG
05
ZUHRA NASSORO HAMAD
HKL
06
RADHIA ALLY HASSAN
HGE
07
CAROLINE PROSPER
CBG
08
SABRINA ALLY ABOUD
PCB
09
SUMAIYA ISMAILI MTORO
CBG
10
SHEILA SALUM LUYEKO
ECA
11
AISHA SALUM
KLA
12
SALMA ABDULRHMAN SALEHE
PCB
13
MARIYAM MAKAME NYANGE
PCB
14
SHAZMA HAMIDU KIMARO
ECA
15
AISHA MAHMOUD PCB
16
HAWA HAIDAR HEMED
PCB
17
SAADA ABDALLAH RASHID
EGM
18
AMINA ABDALLAH KILUVIA
HGE
19
SOFIA YUSUF CBG
20
RUQAIYA AMRI SULEIMAN
PCB
21
HADIJA MOHAMMED
EGM
22
HAMIDA MALIKI MKINDI
CBG
23
NASRA MUHSIN SAIDI
PCB
24
MARIAM HAMIS SHIMBO
ECA
25
SOPHIA HARUNI MBALAMO
ECA
26
SAUDA RASHIDI MVUNGI
HKL
27 MARIAM K. ALLY
HKL
28
JOHARI HENRY ELIBARIKI
CBG
29
SHARIFA HUSSEIN KIBAURA
HGL
30
ZAWADI .H. KIBINDU
EGM
31
RAYA ISSA NASSOR
PCB
32
FATMA KHAMIS MBANO
PCB
33
AZIZA SHAZIL HGL
34
HUSNA HAMISI NGULYAVYANGU
PCB
35
ELISIAMINA MSHANA.
PCB
36
SHEKHA RASHID SAID
PCB

37
SADA MUHAMMED KISIWA
CBG
38
JOHA MUHAMMED ATHUMANI
KLA
39
KHADIJA IBRAHIM IDDY
ECA
40
SAMIRA SADIKI
KGL
41
MWANAHAWA OMARI DAUDI
ECA
42
LULU AMOUR SEIF PCB
43
HAMIDA ATHUMANI CBM
44
JOKHA ABDULKARIM MOHAMMED PCB
45
HADIJA DAUDI
CBG
46
ASHA OMARI MBARUKU
PCB
46
SALAMA K.HAMZA CBG
46
SWIFATH HASSAN
PCB
47
BINZUA NASIR MRUTU
CBG
48
SAUMU RAMADHAN MBANO
PCB
49
MWAJUMA SALEHE SABO
ECA
50
ZUBEDA NYANDA SWEYA
EGM
51
SHAMSA DAUDI UDDY
PCB
52
BITHUME SHEHA HASSAN
PCB
53
KHAULAT HAMIS MUSSA
PCB
54
HAJRA KHAMIS SAID
PCB
55
AMINA IDD MULLENGA
HGE
56
KHUSNA .S.KASEKO HGL
57
MAHIJA SHABANI ECA
58
HALIMA ABDULRAHMAAN MWENDA PCB
59
MUNIRA HAMIS ABDALLAH
PCB
60. FATMA NUHA
HGE
61
MARYAM YAHYA ECA
62
AMINA SAIDI MUSTAFA
ECA
63
ZAINAB AMEIR RAMADHAN
ECA
64
SWAUMU. A.ALLY HKL
65
ZAINAB ABDILLAAHI MSUYA
HKL
66
ZEYANA NASSOR CBG
67
RUKIA SALUM IBRAHIM
EGM
68
AISHA ABTWALIB YUSUFU
PCM
69
ZAINABU ABDILLAH MSUYA
HKL
II.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL -DSM
A.WAVULANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
OMARI ISSA KIDETE
KLA
2
HASSAN HAMISI
PCB
3
HUSSEIN HAMISI
ECA
4.
YUSUF AYOUB
ECA
5.
FARUKI B. MCHALAGANYA
CBG
6.
OMAR ABDUL AZIZ SAID
CBG
7.
IBRAHIM RAMADHANI
EGM
8
IBRAHIM MTENDA
HKL
9
WAZIRI JUMA CBG
10
RIDHWAN YAHYA ECA
11
HUSSEIN SALUM MBAYA
CBG
12. SELEMAN KAISANGA OMAR
KLA
13. ABDULKADIR NASSOR MOHAMMED PCM
14
SAID HAMDAN HGL
15
ABUBAKAR RAMADHAN HAJI
PCM
16
IDDI ISMAIL MBILINYI
HKL
17
MUSSA ISHUZA KAWAMBWA
EGM
18
ISMAIL ALLY KILUA PCB
19
FAHMY HAMAD ABDALLAH
CBG
20
SAID HASSAN SIMA
CBG
21
ZAKARIA ELIUS MWAJA
ECA
22
KHAMISI SALIM KIMARO
ECA
23
ABDUL-RAZAK SEIF PCB
24
JABIR MIRAJI MLOSHA
HGK
25
ISMAIL Y. AMIY CBG
26
ZUBERI HAMISI KLA
27
ABUBAKARI RAMADHANI SALIM
CBG
28
ABDALLAH RAMADHAN
CBG
29. SALUM HASSAN MUTAFUNGWA
HGE
30
SALUMU HASSAN MUTAFUNGWA
HGE
31
RAMADHANI A. URASSA
ECA
B. WASICHANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
AMINA YAHAYA IDDI
HKL
2.
HUSNA SINNA MALTIN
PCB
3
MCHANGA SAIDI BAKARI
ECA
4.
BI-ULEDI ATHUMANI MAISHA
CBG
5.
ZENA HASSANI MALILO
PCB
6.
JOHARI HUSSEIN ISSA
HKL
7.
ZUHURA SHARIFF JUMA
ECA
8.
SALHA MARSHAL HKL
9
MASSAD M. GHARIB
HKL
10. SAMIRA MBARAKA HEMEDY
ECA
11. SAWIYA RASHID MTAWALA
PCB
12. ANZIRAN ATWAI SAID
HKL
13. ASMA ALLY NASSOR
HGE
14. LATIPHA BUD MAJANJA
PCB
15. AMNE SAID HEMEDY
EAM
16
AMINA YAHYA IDDI HKL
17. HAJRA KHAMIS MASOUD
PCM
18
YUSRA SAID ALLY HGE
19
KHADIJA HASSAN ABDULLLAH
HKL
20
MARIAM SAID IRUNGA
EGM
21
MWAJUMA KHAMIS MBANO
HKL
22. HALIMA BILALY MBUYU
HGE

23
ZULFA FADHILI BAKILI
CBG
24
AISHA MRISHO SAIDI
CBG
25
AISHA ABOUBAKAR MASOUD
PCB
24
FATMA M. MWISHEHE
CBG
25
ARAFA ISMAIL ALLY
ECA
26
NASRA MOHAMED SALUM
CBG
27
SABRINA ZUBEIR MZEE
PCB
28
FATUMA SULEIMAN ALLY
CBG
29
MARIAM AMANI ISSA
HGK
30
HAFSWAT MTEPA HKL
31
ZAINAB HEMEDY ECA
32
ZULEKHA ALI ISSA PCB
33
NIHADU ILIYASA NGOKOJA
HGE
34
AMINA NASIBU ALLY CBG
35. FATMA ISSA MTUWA
CBG
36
SABBAH SLIM HKL
37. JOKHA MOHAMMED SEIF
PCB
38. MARIAM ABDUL-RAHMAN JUMA
HGK
39.
AZIZA SHABAN ECA
40
ZABIBU HAMLO NJWAYO
HGE
41
SOPHIA SAID MGALLAH
HGL
42
UMMY-KULTHUM J. CHAPONDA
HKL
43
NAJMA ALLY MOHAMED
HKL
44
JASMINE YAHYA HKL
45
RAYA SEIF OMAR
PCB
46
SALMA MUJITABA EGM
47
ZAKIA FEDASTUS NYAHONGE
HGE
48
SALMA RASHIDI JUMA
HGE
III . NYASAKA -MWANZA
A.WAVULANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
CHONGELA SELEMAN
CBG
2.
YUNUS SULEIMAN PCB
3.
IDDI YAHYA HASSANI
HKL
4.
JUMANNE ATHUMAN MNZAVA
PCB
5.
ABDUL-NASER S. SULEIMAN
EGM
6.
MRISHO RAJAB MRISHO
PCB
7.
OMARI AHMAD BAGIRAMENSHI
EGM
8.
IDDI KASSIM IDDI
ECA
9.
YAAMAN ABBAS HASSAN
PCB
10. AHMAD S. ABDUL-AZIZ
PCM
11. ABDULSHAKUR OTHMAN OMARY
EGM
12.
FARID KHASSAN PCB
13. KARIM JUMA NSOMBA
HGL
14
KHARID KHASIM CBG
15
KHALIFA MWAMBA HKL
16
SHABAN OMARY HGE
17. HAMIS IBRAHIM OMARY
HGL
B.WASICHANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1
AZIZA OMARY MGAZA
HKL
2
HADIJA M MBAROUK
CBG
3 REHEMA M NGONJI
PCB
4
HADIJA ABDALLAH LUKAGO
HKL
5
SWAHIBA ABDALLAH
CBG
6
AMINA BAONJA MSANGI
PCB
7
JAMILA KISIJA NTUMBA
KLA
8
THUWAYBA SULEYMAN NAMBUNGO HKL
9
HUSNA SHABANI HAMISI
HKL
10. HALIMA CHATE AYOUB
PCB
11. HAULAT RASHID KWANGAYA
PCB
12. MARYMA ALLY KILIMA
PCB
13
LUCKY SHABANI PCB
14
HAWA HASSAN HUSSEIN
PCB
15
HAWA SHARIF ABDALLAH
HKL
16. TUNU ATHUMAN KAKWEKWE
EGM
17. GLORIA SANGA EGM
18
AMINA IDD SALUM
KLA
19
NYANCHARA HASSAN KITAMA
HGE
20
HUSNA A MUNISI HGE
21. NEEMA ULIMWENGU BANDULILA
HGE
22
MARIAM RASHID SEIF
HGK
23
MWAJIBU MAJIDI IGANGULA
HKL
24
MSEI RAMADHANI NYAGANI
HGL
25
FATMA HUSSEIN MWAMBA
PCB
26
AHLAM SULEIMAN NASSOR
HGE
32
QUDRAT MUSSA RASHID
HKL
33
SHANI J MTULA
CBG
34
ZUBEDA AHINDA EGM
35
LUCKY SHABANI PCB
MUHIMU.
1. WALIOCHAGULIWA NA AMBAO HAWAJAPATA MAELEKEZO
YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS) WAZIFUATE PALE
WALIPOCHUKULIA AU KURUDISHA FOMU.
2. NAFASI BADO ZIPO KWA SHULE ZOTE TATU NA FOMU
ZINAPATIKANA KATIKA VITUO VYA KUUZIA FOMU KOTE NCHINI
AU KATIKA TOVUTI WWW.ipc.org.tz
3. KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU KWA WAKUU WA
SHULE
1.
KIRINJIKO ISL.S.S. -0784296424
2.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL-0657350172
3.
NYASAKA ISLAMIC S.S.-0786417685.
WABILLAHI TAWFIIQ.
MKURUGENZI.

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Mafundisho ya Quran

Fethullah-Gulen
MFANO wao ni kama mfano
wa mtu ambaye ameuwasha
moto ulipovionyesha
vilivyo pambizoni mwake
akauondosha Mwenyezi
Mungu mwangaza wao
na akawaachia katika viza
hawaoni kitu chochote.
[Al-Qarah 17]
Aya hii tukufu,
inauswamirisha ulimwengu
wa ndani, na inaonyesha kwa
mfano wenye kuguswa na
wenye kushuhudiwa.
Kutokana na kuangalia
kwamba wanafiki wanaishi
k a t i y a Wa i s l a m u n a
wa n a c h a n g a n y i k a n a o ,
kwa sababu hiyo unakuwa
m w e p e s i k wa o wa k a t i
mwingi muweko wa nuru
ya imani. Isipokuwa unafiki
ambao umezama na kubobea
kwao katika nyoyo zao na
vichwani mwao, unawazuia
kufaidika na nuru hii. Ndiyo
hawa wanafiki wamegeuka
na kuingia kwenye hali
SAHABA mmoja aliwahi
kumwomba Mtume (s.a.w.)
ampe taarifa kumhusu
yeye mwenyewe. Naye
akawaambia hivi:
"Mimi ndiye mtu ambaye
Ibrahim (a.s.) aliomba nije,
na ambaye Yesu (Nabii 'Isa
ibn Maryam) (a.s.) alitangaza
habari njema za ujio wangu.
Usemi huu unadokeza aya
zifuatazo za Quran:
Ewe Mola Mlezi wetu!
Wa l e t e e m t u m e a n a y e
tokana na wao, awasomee
aya zako, na awafundishe
Kitabu (Chako) na hikima
(nyingine) na awatakase (na
kila mabaya). Hakika Wewe
Ndiwe Mwenye nguvu,
Mwenye hikima." (Surat AlBaqarah, 2:129)
Na Isa bin Mariamu
aliposema: Enyi Wana wa
Israili! Hakika mimi ni
Mtume wa Mwenyezi Mungu
kwenu, ninayethibitisha
yaliyo kuwa kabla yangu
katika Taurati, na mwenye
kubashiria habari njema za
kuja Mtume atakayekuja
baada yangu; ambaye jina
lake litakuwa ni Ahmad
(Muhammad)! Lakini
alipowaletea hoja zilizo wazi,
walisema: Huu ni uchawi
ulio dhaahiri!" (Surat AsSaff, 61:6)
M j u m b e ( s . a . w . ) wa
A l l a h ( s . w . t . ) a l i k u wa
akitazamiwa au akingojewa
kuwa atakuja. Manabii

ambayo hawaoni pamoja


n a k wa m b a m a c h o ya o
yamefunuliwa ama kwa
sababu ya kutoshughulika
na nuru ya Mwenyezi Mungu
ambao anauchukua Mtume
mtukufu mkononi mwake
a u k u u d h a r a u m we n g e
h u o a u k wa s a b a b u ya
kuyaharibu maandalizi ya
maumbile yao. Isipokuwa
pamoja na hayo inawaelekea
nuru ya mwenge ambayo
inayachukua macho na badala
ya kuiangalia nuru kwa
jicho la kuamini, tunawaona
wa n a f a n ya h a r a k a k wa
shaka zao na kuzingazinga
kwao kuifuta nguvu
yenye kuchembuka katika
roho zao na wanaiondoa
taathira yake mpaka tamko
(Istaqada) ameuwasha
moto linaashiria kwamba
wao walikuwa wanafanya
mpango wa kuipindua nuru
hii na kuigeuza kuwa moto
wenye kuunguza badala
ya kufaidika nayo katika
kuikataa njia.
Ama makafiri wao,
hawakuijua imani wala
nuru yenye kutokana na
imani. Hawakuiona milele
n a h a wa k u i n g i a k a t i k a
mazingira yake matakatifu.
Kwa sababu hiyo wakati
walipohisi makafiri sababu
hii au hiyo nuru katika hisia
yao tukawatoa wapingaji
k a t i k a wa o wa l i j a r i b u
kushikamana nayo na
kuipitisha sehemu ya maisha
yao kama waumini wenye
Ikhlasi. Hapana shaka
kwamba tofauti kati ya nuru

na kiza na kati ya imani na


ukafiri ina mchango mkubwa
katika jambo hili. Wale
ambao walikuwa wanaona
hii huko nyuma mambo
mengine, wakati walipoiona
nuru hii, waliingia katika
ulimwengu unaozungukwa
na uzuri wa Uislamu na
mvuto wake. Kwa sababu hii
wakati tunapolinganisha kati
ya ufuataji wa dini wa wale
ambao wanasikia kutokana
na Uislamu na wanauelewa
kwa mara ya kwanza na
wanauamini na wanaishi
nao na kati ya ufuataji wa
dini kwa wale Waislamu
ambao wamezaliwa katika
nchi za Kiislamu isipokuwa
wachache katika wao,
atafahamu kwa sura ya wazi
sana usahihi wa yale ambayo
tumeyasema hapo juu.
Wao ni viziwi, wao ni
mabubu, wao ni vipofu, kwa
sababu hiyo hawarejei. [AlBaqarah 18]
Moja kati ya aya mbili
hizi, inafungamana na
wanafiki na nyingine
inafungamana na makafiri.
Na kama inavyoonekana
hapa kuna kigawanyo cha
pamoja kati ya wanafiki
na kati ya makafiri katika
maudhui ya unganganizi na
kutovumilia na kukosekana
ulaini katika mwelekeo wa
mtazamo na fikra iliyobadili.
Kwa sababu hiyo kila moja
katika makundi mawili haya
linasifiwa kwamba wao ni
viziwi, mabubu, vipofu.
I s i p o k u wa s a b a b u k a t i
ya makundi hayo mawili
zinatofautiana kufuatana na
hizo aya mbili. Kwani sababu
katika aya ya kwanza inarejea

kwenye kutorejea kwao


kwenye umbile lao la asili,
lililotangulia. Ama sababu
katika aya nyingine inarejea
kwenye kutozitumia akili
zao. Na chachu ya pamoja
ambayo inawafanya wawe
viziwi, mabubu, vipofu na
kutoongoka kwao kuelekea
kwa Muumbaji mtukufu
kwa kukisoma kitabu cha
Ulimwengu ambacho
kimewekwa mbele ya
macho yao kama maonyesho
ya Mwenyezi Mungu
yenye kupendeza yenye
kustaajabisha, na kutosimama
kwao kwa kutokifanyia
tathmini kitabu hiki ukweli
wa kukifanyia tathmini na
wala kwa kuuchunguza kwa
kina huu ulimwengu na
matukio na kuyachunguza
na kuchukua mazingatio
kutokana na matukio hayo,
na kutoyaazima masikio
yao kwa kuvisikiliza vitabu
vilivyoteremshwa na pia
kutoisikiliza sauti ya hisia
na dhamira zao. Na lau
kwamba wao wangeyafanya
haya, wangefanya haraka
kama waumini, kwenye
kushuhudia kwamba
Hapana Mola apasaye
kuabudiwa kwa haki
isipokuwa Mwenyezi
Mungu. Maana wangekuwa
wa m e z i t u m i a a k i l i z a o
na wamerejea kwenye
maumbile yao ya asili, na
wameyapitisha maisha yao
kufuatana na katiba na
kanuni ya Mwenyezi Mungu
na kufuatana na maamrisho
yake na makatazo yake.
Ndiyo hakika wao ni viziwi
kwa sababu wao hawawezi
kusikia kila kitu na hali ya
kuwa kitu hicho kina mtakasa

Nabii aliyekuwa akingojewa

Zisemavyo Taurati na Zaburi za Mayahudi na Wakristo

wote waliomtangulia
wa l i m w o n g e l e a M t u m e
(s.a.w.) na walitabiri ujio
wake.
Aya ya Qur'an 3:81 inataja
waziwazi kuwa Mola (s.w.t.)
Alifanya kiaga (convenant)
maalum na Manabii
kwamba watamwamini na
watamsaidia Mjumbe huyo
atakayekuja baada yao na
atakayethibitisha ujumbe
waliouleta wao:
Na pale Mwenyezi
Mungu Alipochukua ahadi
(kiaga) kwa Manabii:
Nikisha kukupeni Kitabu
na hikima, kisha akakujieni
Mtume mwenye kusadikisha
mliyonayo, ni juu yenu
mumuamini na mumsaidie.
Akasema: Je, mmekiri
na mmekubali kushika
agizo langu juu ya hayo?
Wakasema: Tumekubali.
Akasema: Basi shuhudieni,
na Mimi ni pamoja nanyi
katika kushuhudia. (Surat
Aali 'Imran, 3:81)
Makala ya sasa (ya
B i b l i a z a Wa k r i s t o ) ya
Taurati, Injili, na Zaburi,

mpaka hivi sasa (baada ya


kukarabatiwakarabatiwa)
zinazomzungumzia Nabii
Muhammad (s.a.w.) na hata
Maswahaba. Marehemu
Husayn Jisri alizitambua
jumla ya aya 114 za aina hii.
Na akazinukuu katika kitabu
chake Risalat Al-Hamidiya.
Hapa chini tunanukuu
baadhi ya aya hizo (kama
Biblia zao Wakristo wenyewe
zinavyoandika):
Kumb. La Taurati 33:2
(Musa) Akasema: (Bwana
alitoka Sinai, akawaondokea
kutoka Seiri, aliangaza
kutoka kilima cha Paran,
akaja Meribath-kadeshi.
Upande wa mkono wake wa
kuume palikuwa na sheria ya
moto moto kwao.
(Tafsiri hii ni ya Biblia ya
Kiswahili ya "Bible Societies
of Kenya and Tanzania,
Union Version, 1952".)
Tafsiri hii inakanganya
makusudi hapo inapotaja
'Merebath Kadesh na
kutowataja masahaba au
watakatifu 10,000 kama
ziandikavyo tafsiri nyingi

za Kiingereza (na za lugha


zingine za kigeni) kama
Biblia hii "Authorized King
James Version, 1979", ambayo
imeandika hivi:
"Deuteronomy 33:2 And he
(Moses) said, The Lord came
from Sinai and rose up from
Se'ir unto them; he shined
forth from mount Paran, and
he came with ten thousand
saints: from his right hand
sent a fiery law for them. "
A m b a y o t a f s i r i ya k e
halisi ya Kiswahili ni kama
ifuatavyo:
"kumbukumbu la Torati
33:2 Naye (Musa) alikuja
kutoka Sinai. Akawaondokea
kutoka Seiri kuja kwao;
Aliangaza kutoka kilima
cha Parani, na alikuja na
watakatifu elfu kumi.
Kutoka katika mkono wake
wa kuume ilikuja sheria
motomoto kwa ajili yao."
Aya hii ya Torati
inaongelea kwa pamoja juu
ya Nabii Mu Nabii Isa (Yesu,
na Muhammad (a.s.). Kwa
mfano ikitaja Sinai, ndiko
Nabii Musa (a.s.) alikoongea

Mwenyezi Mungu mtukufu


kwa ulimi wake maalumu
na kinamtukuza. Na wao ni
mabubu kwa sababu wao
hawawezi kuyazungumzia
yale ambayo wanayahisi
katika vina vya hisia zao
na hawawezi kuviweka
wazi. Na wao ni vipofu, kwa
sababu wao hawazioni njia
zenye kufahamisha juu ya
kupatikana kwa Mwenyezi
Mungu mtukufu na upweke
wake.
Tutakapokuja kwenye
ufupisho wa aya, tutaona
kwamba aya inawasifia
makafiri kwamba wao hawana
akili maana hawazitumii akili
zao na hawafikiri na mambo
ndiyo yalivyo, kwa sababu
lau wangekuwa wanaweza
kufikiri au lau wangefikiri
njia ambazo zinapelekea
kwenye imani kwa wepesi
mkubwa sana, kwa ushahidi
wa kwamba hawa makafiri
we n ye k u p i n g a , we n ye
kuasi ambao walimuudhi
Mtume mtukufu (S.A.W.)
na maswahaba zake pale
Makkah kwa muda wa miaka
mingi sana, na wakawapa
adhabu wakati walipowajuwa
Waislamu baada ya suluhu ya
Hudaibiya kuwajua vizuri
sana, katika hayo mazingira
matulivu, waliacha upingaji
wao wa zamani na mtazamo
wao uliodumaa wa kale na
walijuwa kwamba wao wako
juu ya makosa makubwa.
Kwa sababu hiyo wanaelekea
upande wa haki. Ndiyo kufika
makafiri kwenye nukta hii
muhimu kunafungamana
na kuzamisha kwao fikra na
kufanya tathmini kwao. Kwa
sababu hiyo tumeiona Quran
tukufu inalifupisha jambo lao
katika kadhia hii kwa kusema
kwamba, wao hawana akili.
na Mwenyezi Mungu
(s.w.t.) akapewa Kitabu cha
Taurati (Torati). Inapoitaja
Seiri pale ni huko Palestina,
ambako Yesu (a.s.) alipokea
Wahyi (Ufunuo Kiungu).
Na ikitajwa Paran ndiko
ambako Mwenyezi Mungu
(SWT) Alikojidhihirisha Yeye
Mwenyewe kwa walimwengu
kwa mara mwisho kwa
Wahyi Wake Aliyompelekea
Nabii Muhammad (s.a.w).
Paran ni safu ya milima
k u l e M a k k a . I m e t a j wa
katika Taura' Torati ya
Biblia katika aya nyingi
pamoja na aya hii ifuatayo:
21:19,21, kuwa mahali pale
ni jangwani ambako Hajiri
(Hagar) alikoachwa na mume
wake , lbrahimu (a.s.) ili
aishi na mwana wao, Ismail
aliyekuwa mwana wa kwanza
wa Nabii Ibrahim na mkewe
Hajar, na kwa kuwa wote
wawili, hususan mwanawe
Ismail, walikuwa na kiu sana,
Mwenyezi Mungu (SWT)
Akamtengenezea kisima cha
maji ya Zamzam. Kumbuka
Muhammad s.a.w ni kizazi
cha Nabii Ismail, wakati
Yesu (a.s) ni kizazi cha Ishaq
(Isaka au Isaac), na wote
wawili-Muhammad na Yesu
na baba zao wakuu (wahenga
wao), yaani Ismail na Ishaq
ni ndugu, kwa kuwa wote ni
vizazi vya babu yao mkuu
Nabii Ibrahim (a.s).

10

Makala

MWEZI Machi mwaka huu,


baadhi ya vyombo vya habari vya
Marekani vilitoa habari yenye
kichwa cha habari:
Clarion Project: Fake Terror
Expert Ryan Mauro Refuted By
Chicago-Area Police.
Kwa mujibu wa taarifa za gazeti
la Chicago (Chicago Tribune),
Ryan Mauro katika kipindi chake
katika Fox News alikuwa amedai
kuwa sehemu moja ijulikanayo
kwa jina la Oak Brook, kule
Chicago, kulikuwa na kambi ya
Mujahidina na Waislamu Siasa
Kali, akishangaa ni kwanini
magaidi hao hawajachukuliwa
hatua wakati wana hatarisha
usalama wa Chicago na Marekani
kwa ujumla.
Taarifa hizo ziliwastua wananchi
wa eneo hilo ambapo, maofisa wa
serikali za miji na mitaa pamoja
na wananchi waliwasiliana na
Idara ya Polisi kutaka ufafanuzi
juu ya taarifa hizo. Kwa vile Idara
ya Polisi katika Chicago, katika
majalada yake na hata katika
uchunguzi wake baada ya kupata
taarifa za Fox News, hawakuona
kambi hizo za kigaidi, ilibidi
watafute taarifa zaidi kutoka FBI.
The village president and manager
contacted me about concerns about it.
We started looking at any organization
with any kind of connections and
couldnt find any.
Ilisema taarifa ya Mkuu wa
Idara ya Polisi, James Kruger,
katika eneo la Oak Brook, Chicago,
akimaanisha kuwa pamoja na
kufanya uchunguzi wa taasisi zote,
hawakuweza kugundua hata moja
ambayo inaweza kuhusishwa na
madai ya Mchungaji Mtaalamu
Ryan Mauro wa Clarion Project.
Katika uchunguzi wao, Polisi
wanasema kuwa, kama ni taasisi
za Kiislamu ni ile iitwayo North
American Islamic Trust, iliyopo
721 Enterprise Drive, Oak Brook
halikadhalika Islamic Center of
Oakbrook Terrace iliyopo 1S270
Summit Ave., Oakbrook Terrace.
Na zote hizo wanazifahamu na
hazina matatizo.
Hata hivyo, kutokana na jinsi
kitisho kilivyokuwa kikubwa na
kilivyokuwa kimewahamanisha
watu wa Chicago, ilibidi Mkuu
wa Polisi Bwana James Kruger
kutafuta usaidizi kutoka FBI.
They said it is a legitimate place of
business; there are no threats or other
concerns in the village. FBI said the
Islamic Center of Oak Brook Terrace

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Siasa kali, wachambuzi feki

Robert R. Doggart

Mheshimiwa Mbunge alikosea


Na Omar Msangi
MTU huyu angekuwa Muislamu,
je, asingeshitakiwa kwa kosa la
ugaidi?
Would This Man Be Charged With
Terrorism If He Were Muslim?
Haya ni maneno ya baadhi ya
wananchi wa Marekani, kama
yalivyojitokeza katika mitandao ya
kijamii. Wananchi hao wamekuwa
wakiulizana katika mwezi huu
wa Mei kufuatia kisa cha mtu

Askofu hawezi kuwa gaidi!

mmoja aliyetaka kuwaangamiza


Waislamu wote wa eneo la
Islamberg, New York.
Hili pia ndio swali alilouliza
M b u n g e wa Vi t i M a a l u m ,
kutoka Pemba (CHADEMA),
Mheshimiwa Maryam Salum
Msabaha pale Bungeni Dodoma.

AN-NUUR

Hoja ya Mbunge Maryam ilikuwa


juu ya anachoona udhalimu na
uonevu wanaofanyiwa Masheikh
kutoka Zanzibar waliopachikwa
tuhuma za ugaidi.
Leo nataka niseme tena kwa
kinywa kipana. Ingekuwa ni
Mapadri na Maaskofu, wamo mle

is not a concern.
Hiyo ilikuwa taarifa ya Idara
ya Polisi kwa serikali na watu
wa Chicago, kwamba hata FBI
wamekanusha na kusema kuwa
hakuna taasisi yoyote ya Kiislamu
ndani ya Chicago ambayo ina
tuhuma za ugaidi au kuwa na
kambi za kutolea mafunzo ya
kijeshi.
Hata hivyo, baadhi ya wakazi
wa Chicago wanasema kuwa,
taarifa hiyo ya FBI, imekuja katika
sura hiyo kutokana na namna
watu walivyolifuatilia jambo hilo.
Hapakuwa na namna ya kutoa
taarifa za urongo kwa sababu
wasingeweza kuzithibitisha na
watu walikuwa wakifuatilia.
Thank God the FBI didnt see this
as an opportunity to manufacture its
own terror plot in Oak Brook, like it
has in other places.
N d i v y o
w a t u
walivyosambaziana taarifa kuwa
Ryan Mauro alitoa taarifa ya
kitisho cha ugaidi Chicago, wakati
haikuwa katika mpango wa FBI
kutengeneza kitisho cha ugaidi
katika eneo hilo.
Lilipotokea lile shambulio la
bomu katika kanisa la Josefu
Mfanyakazi, Arusha, baadhi
ya vyombo vya habari vilianza
kusema kuwa muhusika
alionekana akiwa amevaa kanzu.
Lakini hata tulipoamua kama
nchi na kama serikali tufunge
mpaka wetu tuwachunguze watu
wanaoingia au kutoka kupitia
Namanga, basi tuliofanikiwa
kuwaona kuwa wanaweza kuwa
watuhumiwa wa kuanza nao,
walikuwa Waarabu!
Zimewahi kutolewa kauli
huko nyuma, bila kutolewa
ushahidi wala watuhumiwa
kufikishwa mahakamani, kuwa
kuna Waislamu wanapanga
kushambulia makanisa na kuuwa
viongozi wa Kikristo. Taarifa
kama hizo zikapewa umuhimu
mkubwa katika vyombo vya
habari halikadhalika vyombo
vyetu vya usalama.
Ni mara kadhaa jeshi la polisi
limetangaza kuyalinda makanisa
ama siku za Jumapili au katika
Sikukuu kama za Krismasi.
Lakini yote hayo yanakuja katika
mazingira yanayotoa sura kuwa
watuhumiwa wanaohofiwa ni
Waislamu.
Hili ndio tatizo. Kuendesha
propaganda za kupandikiza chuki
Inaendelea Uk. 11

ndani, leo kungekuwa na amani


Tanzania Bara?
Hili ndio swali la Mheshimiwa
Maryam Msabaha. Ni swali nzuri.
Lakini alichosahau Mheshimiwa
Mbunge Maryam ni kuwa Askofu
au Padri hawezi kutuhumiwa
kufanya ugaidi. Hili ni neno kwa
watu maalum na kwa malengo
maalum ya mabeberu. Na sie huku
tunatumikishwa tu. Na mwisho
wa yote, kujiangamiza kwa
Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
kinyume kabisa na hali halisi ya
wananchi tunavyoishi mitaani. Na
kwa bahati mbaya, vyombo vyetu
vya habari, na hata vya usalama
na baadhi ya wanasiasa wetu,
wamekuwa wakihusika katika
propaganda hii chafu.
Iliwahi kutolewa habari katika
moja ya magazeti ya kila wiki
hapa nchini kuwa Masheikh wa
UAMSHO, walikuwa wameandaa
kikosi na kukodi boti maalum,
kuleta kikosi hicho Dar es Salaam
ili kusaidia kikosi cha Waislamu
wa Dar es Salaam kuchoma

makanisa Mbagala.
Pamoja na kuwa wanaotupiwa
tuhuma hizi za ugaidi ni Masheikh
wa UAMSHO, lakini tuhuma kubwa
zaidi ni, kwanza kwa Serikali ya
Zanzibar na Vikosi vyake. Kwamba,
wao wanaruhusu Masheikh wa
UAMSHO wanakusanya kikosi cha
magaidi, mpaka wanakodi boti ya
kuleta kikosi hicho Dar es Salaam,
wao hawana habari!!! Mpaka leo
hatujasikia kesi iliyofunguliwa dhidi
ya mwenye boti aliyekodiwa kuleta
magaidi Dar es Salaam, wala SMZ
kutoa kauli kuwa taarifa zile zilikuwa
urongo mtupu!
Lakini mtuhumiwa na
mshutumiwa mwingine ni serikali
ya Dar es Salaam, kuanzia Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni, boti ilikotia
nanga (Mbweni) kushusha magaidi,
Mkuu wa Mkoa na vyombo vya
usalama vilivyo chini yake. Taarifa
zilisema kuwa boti ya kukodi
ilishusha magaidi Mbweni kisha
wakapanda daladala hadi Tandika.
Kama ilivyokuwa kwa wale wakuu
wa serikali na Polisi katika Chicago,
tulitarajia kuwa watu hao wa serikali
ya Dar es Salaam, wangelifuatilia
suala hilo na kutoa taarifa, ama
ya kuthibitisha na kueleza hatua
walizochukua au kukanusha ili
kuwatoa wananchi hofu ya kitisho cha
Masheikh wa UAMSHO walioletwa
Dar es Salaam kusaidia harakati za
kuchoma moto makanisa!
Hilo halikufanyika. Kimyaa! Badala
yake wanasiasa wetu na polisi wetu,
walibaki kutoa kauli kama zile zile
za gazeti na akina Mchungaji Ryan
Mauro, kwamba kuna Waislamu
wanapanga kuchoma moto makanisa
na kuuwa viongozi wa Kikristo.
Kwa tuhuma nzito kiasi hicho,

Inatoka Uk. 10
mikono yetu kama inavyotokota
Kenya na Nigeria.
Katika kesi ya New York, Bwana
mmoja Mkristo siasa kali, akitajwa
kwa jina la Robert R. Doggart
alitangaza kuwa anakusudia
kuwaangamiza Waislamu wote
wa Islamberg pamoja na kuchoma
moto misikiti yao na kubomoa
nyumba zao. Islamberg, ni
eneo linalokaliwa na Waislamu
wengi katika Jimbo la New York,
Marekani.
K a t i k a k u o n y e s h a k u wa
hakukosea na kwamba kweli
k a d h a m i r i a k u wa a n g a m i z a
Waislamu kama akipata fursa,
Robert alipofikishwa mahakamani,
hakuleta lugha za kuzunguka wala
kujitetea. Alitamka wazi mbele ya
mahakama kuwa anakusudia
kufanya jinai hiyo.

Makala

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Siasa kali, wachambuzi feki

WANAODAIWA kujifunza ugaidi marekani

Askofu hawezi kuwa gaidi!

Robert R. Doggart admitted to


plotting to kill residents in Islamberg,
a Muslim area in the state of New
York.
Ndivyo ilivyoripotiwa
ikionyesha hali ilivyokuwa
mahakamani katikati ya mwezi
huu, na hivyo kuifanya kesi hiyo
kuwa nyepesi na iliyochukua
muda mfupi.
Robert R. Doggart (63) ambaye
mwaka jana 2014 aligombea
ubunge katika Bunge la Congress,
akitaka kuwawakilisha wakazi wa
Tennessee, alikamatwa Aprili 10,
baada ya kusambaza habari za
dhamira yake ya kutaka kwenda
kuwaangamiza Waislamu na

AN-NUUR

kuchoma Misikiti yao. Doggart


alitangaza kufanya mashambulizi
hayo akishirikiana na Wakristo
wenzake siasa kali (right-wing
militia- OAF)
We will burn down their buildings
(and) if anyone attempts to, uh, harm
us in any way, our stand gunner will
take them down from 350 yards away.
The standoff gunner would be me.
Were gonna be carrying an M4
with 500 rounds of ammunition, light
armour piercing, a pistol with three
extra magazines, and a machete.
And if it gets down to the
machete, we will cut them to
shreds.
Hiyo ni kauli ya Doggart

unadhani Mkristo atamfikiria vipi


Muislamu wa nchi hii!
Kwa hiyo, leo unapozungumzia
habari za Sheikh Msellem, Mtanzania
wa Bara, awe Muislamu au Mkristo,
anamtizama kwa jicho na sura
iliyopakwa na gazeti lile kuwa ni
gaidi aliyeandaa kikosi cha magaidi
kuja Dar es Salaam kusaidia uchomaji
Makanisa na kuuwa viongozi wa
Kikristo!
Kwa hiyo, wewe ukisema, Sheikh
Msellem anadhulumiwa, hawezi
kupata huruma ya Watanzania
wenzake Wakristo wala Waislamu
wenzake (walio wengi).
Hili ndilo tatizo lililowazalisha
akina Robert R. Doggart kule
Marekani. Na kwa bahati mbaya,
kwa vile akina Robert wana matawi
ya makanisa yao huku, wametuletea
mikakati na chuki zao hizo hizo.
Lakini kwa bahati mbaya tena,
tena hii mbaya zaidi, akina Robert
walio katika FBI, ndio hao hao
tumewachukua kuwa ni wataalamu
wetu katika Counter Terrorism zao
walizobuni kwa malengo yao na
kutupatia vikosi na vitendea kazi.
K u l e C h i c a g o Wa i s l a m u
walimshukuru Mwenyezi Mungu
kwa kuwa wakati akina Ryan
wakipika propaganda zao, FBI
haikuwa na mpango wa kufanya
Sting Operation au mkakati wowote
wa Entrapment katika eneo la Oak
Brook.
Kitendo cha serikali ya Zanzibar
na ya Dar es Salaam, kukaa kimya,
bila kusema chochote juu ya tuhuma
kuwa Masheikh wa UAMSHO
walikodi boti ya magaidi kuja Dar
es Salaam kusaidia zoezi la kuchoma
moto makanisa, inatufanya tuwe na
wasiwasi kuwa kuna mambo mazito
yanaendelea katika kushikiliwa
Masheikh hawa, ambayo si rahisi kwa
mwananchi wa kawaida kuyajua.
Kule Chicago ilikuwa bahati
nzuri kwa Waislamu wa Oak Brook.
Wakamshukuru Mungu kwa kusema:
Thank God the FBI didnt see this as
an opportunity to manufacture its own
terror plot in Oak Brook, like it has in
other places.
Katika hili la akina Sheikh
Msellem, yaelekea kuwa tofauti.
Ndio maana pengine hata Waziri
Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda
anaomba ufafanuzi Mzee Sanya
amwambie, Masheikh hao kina nani
na wanakabiliwa na tuhuma gani!

akieleza jinsi yeye na wenzake


watakavyowauwa Waislamu wa
Islamberg, New York, kuchoma
majengo na Misikiti yao, na aina
ya silaha watakazotumia.
Pamoja na uzito wa kesi hii,
lakini inaonekana kupita kimya
kimya kwa sababu, kwanza
vyombo vya usalama, FBI, na
wengine, hawajaifanya kuwa ni
habari. Uzoefu unaonyesha kuwa
inapokuwa ni jambo limemuhusu
Muislamu, hata likiwa dogo kiasi
gani au hata ikiwa ni katika
zile sting Operation zao, basi
itaitishwa Press Conference,
ambapo wanausalama watatoa
t a a r i f a j u u ya j a m b o h i l o
linalomuhusu Muislamu.
Hata hivyo, kwa hili la Robert
na siasa kali wenzake Wakristo
l a k u a n g a m i z a Wa i s l a m u
Inaendelea Uk. 16

12

Tangazo/MASHAIRI

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

SUMU YA HARAKATI !

Kalamu nimeishika, kutoa yangu indhari,


Lengo ipate kufika, Bara nako Zanzibari,
Kwa kila anohusika, na haya ajihadhari,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.

Mambo haya kwa hakika, chimbuko la nyingi shari,


Sahali kubanangika, umma kwa kuyakhitari,
Aula kuyaepuka, mambo haya ni hatari,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Umimi ebu kumbuka, ya ibilisi fakhari,
Baidi 'livyomuweka, na rehema za Qahari,
Kwa sijida kukiuka, kisa umbole la nari,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Ruwazaye kuishika, twahisi ni ufakhari,
Kumbe ni kujahilika, na za dunia ghururi,
Nadra kumkinika, sote kuwa Maamiri,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Kulikoni kuutaka, kila mtu Uamiri !
Hata nyumbayo mulika, mu wangapi Maamiri ?
U wahidu kwa hakika, upinge au ukiri,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Fulusi mbele kuweka, jengo kutaliathiri,
Malengo tuloyaweka, sahali kuyahajiri,
Kwa mwake ndani kusaka, ghawazi na utajiri,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Uluwa pia kutaka, kwa sasa tumekithiri,
Kwa hili twahangaika, huku na kule twajiri,
Kwa mioyo kutoridhika, jengo kutalidamiri,
Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Haya tusipoepuka, wenyewe twajisihiri,
Tujaribu kuridhika, bado tawili safari,
Kwa hili kulikiuka, hatutafika dahari,
Umimi, mali na vyeo, hilaki ya harakati.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

MASKINI PAKA WANGU

1. Naanza kuwasabahi, ndugu zangu Islamu


Nimekuja asubuhi, nipatieni kalamu
Ili nipate kuwahi, niwemo katika zamu
Masikini paka wangu, amefariki dunia
2. Paka niliyempenda, sasa ameshafariki
Nilimuona kakonda, kumbe yu katika dhiki
Alishikwa na vidonda, mwili hautamaniki
Masikini paka wangu, amefariki dunia
3. Mwenzenu nina majonzi, kwani nimeondokewa
Tena ni kubwa simanzi, fadhaa imeningia
Paka wangu ni kipenzi, sote tulimzowea
Masikini paka wangu, amefariki dunia
4. Paka sifa alipata, hapa mtaani kwetu
Kila unapomkuta, katulia kama mtu
Na wala hana matata, paka ni mpenda watu
Masikini paka wangu, amefariki dunia
5. Paka halikuwa jizi, kama yalivyo mengine
Kuiba vilivyo wazi, avitafune tafune
Ali paka msikizi, tapata wapi mwengine
Masikini paka wangu, amefariki dunia
6. Kwa kuwinda usiseme, paka huyu ni hodari
Panya wake kwa waume, wote akiwavinjari
Nyumba ilikuwa kame, kaimaliza hatari
Masikini paka wangu, amefariki dunia
7. Mwengine nileteeni, msiifanye ajizi
Akizowea nyumbani, atanifanyia kazi
Fanyeni hima jamani, mi ukiwa siuwezi
Masikini paka wangu, amefariki dunia
8. Nairejesha kalamu, yatosha niliyonena
Nani wakumlaumu, ni shani ya Maulana
Hakuna kinachodumu, mauti yametubana
Masikini paka wangu, amefariki dunia
Mtunzi:
Zainab Hamisi Mtima
Mbweni, Zanzibar
Tel:- 0777 357 031

TAMASHA LA KITAIFA
ILONGO MBEYA
05 12 JUNI , 2015

Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuria


Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Ilongo
Mbeya litakalofanyika kuanzia tarehe 05, 12
Juni, 2015.
Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria
kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria
wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.
Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa
tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio
ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran
(61:10-13)
Usafiri / Gharama:
Kutokana na Miundombinu ya barabara kwa
sasa kila mkoa utaratibu safari ya Mbeya kupitia
Maamir wa Mikoa
Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs.
70,000/- kwenda na kurudi Dar. Kuripoti Dar
es Salam ni tarehe 04/06/2015 (0689665045/0713
992395).
Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una baridi, hivyo
wanatamasha waje na nguo za kuzuia baridi.
Wabillah Tawfiiq
AMIR TAIFA

13
Na Mussa Ame
BAADA ya kuandika makala
kuhusu mazingatio kutokana
na majanga ambapo
nilieleza jinsi Maskeikh
wanavyodhalilishwa na
kunyimwa haki zao za
kimsingi kama raia, nilipata
ujumbe wa simu kutoka kwa
msomaji kama ifuatavyo:
Sms kutoka kwa vijana wa
Kisalafi Mwanakwerekwe,
tunawaambia gazei la An
nuur ya kuwa hakuna uadilifu
kwa kuwatetea makhawarij
(..... wa motoni) Mashekhe
uchwara wa Uamsho.
Pale ambapo nimeacha
dashi ni kwamba sikuweza
kuyanakili maneno halisi
kutokana na ukubwa
wa maneno yenyewe
(wametukana). Utashangaa,
mtu anajiita Muislamu safi,
salafi anayejibashiria Pepo,
lakini anakuwa na kinywa
cha kumtukana binadamu
m we n z a k e , s i k wa m b i i
Muislamu!!!
Sasa nimeonelea leo
n i a n d i k e k u h u s u h a wa
Khawarij ni nani ili wasomaji
waepukane na kasumba
inayoenezwa na watu
wanaojiita Salafi. Kwa kweli
fikra hii ni potofu sana na
kama utaisoma makala hii
kwa utulivu basi utaona ni
Kundi gani hasa lenye hizo
fikra za ki-Khawarij.
Khawariji inatokana na
neno la Kiarabu, khuruj
maana yake ni kutoka. Na
Kundi hili lilitoka katika
Uislamu kwa kuvunja kiapo
cha utiifu kwa Maamiri wa
Dola ya Kiislamu na kuacha
itikadi sahihi ya Kiislamu na
kuwaua viongozi wa Dola
ya Kiislamu. Itikadi kuu za
Khawariji zilikuwa kama
zifuatazo:
Walikosea kuitafiri Qurani,
na waliitafsiri wanavyotaka
wao. Walikataa adhabu ya
kaburi na walisema kuwa
hakuna hodhi la Mtume
( S AW ) h u k o a k h e r a
wala hakuna shufaa kwa
Waislamu. Walikataa kusali
sala ya Ijumaa ila chini ya
Imamu wao. Walikubali
ndoa bila ya walii. Hii ni
k wa sab ab u waliwaona
Waislamu wengi kuwa ni
makafiri. Waliwakufurisha
Waislamu wengi wakiwemo
wale waliopigana vita vya
Badri ambao walitabiriwa
Pepo na Mtume (SAW).
Pia waliwakufurisha, yaani
waliwaita makafiri wale wale
Masahaba waliokula kiapo
cha utiifu chini ya mti ambao
Allah (SW) aliwaridhia.
Waliitakidi kwamba Ali
(RA) na Muawiya (RA) wote
ni makafiri na wanastahiki
k u u wa wa . Wa l i wa z u i a
wafuasi wao kuolewa na
Waislamu wengine ila wenye
itikadi ya kikhawariji kama
wa o , k wa n i wa l i i t a k i d i
kwamba Waislamu wote
wasio na itikadi kama wao
ni makafiri. Walipigana
na Waislamu wenzao na
kuwaua wakawaacha

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Hatari ya Salafi bandia


Chimbuko lake Saudi Arabia
Lengo kulinda ufalme, uzayuni

makafiri. Hii ni kwa sababu


waliitakidi kuwa Waislamu
wenzao wamekufuru na wale
Wakristo ni Dhimmi kwa
hivyo wakawaua Waislamu
wenzao wakawaacha
makafiri.
Imamu Ali (RA) alipigana
nao katika vita vya Nahran
(656 CE) na alifanikiwa
kuwaua wengi wao, lakini
baadye khawarij walikula
njama ya kumua Ali (RA)
na Muawiya (RA) ambapo
Khawarij Abdulrahman Ibn
Muljam alimuua Ali (RA).
Wa l i a m i n i k w a m b a
Muislamu yeyote
atakayefanya dhambi
kubwa, hatosamehewa hata
akitubu, na ataingia motoni
na hatotoka motoni. Kwa
hivi sasa duniani hakuna
Kundi lenye sifa hizi kama
Mtume(SAW) alizitaja sifa
zao kwenye hadithi sahihi
jambo ambalo lilimpa
ushahidi Imamu Ali (RA)
wa kuwaua kwani amri ya
kuuliwa makhawariji aliitoa
Mtume (SAW) mwenyewe,
na yeye Imamu Ali (RA)
alimsikia Mtume (SAW) kwa
masikio yake
Katika Sahihi Muslim
kuna mlango wa kuwataja
makhawarij lakini pia katika
vitabu vyengine vya hadithi
pia, nitanukuu hadithi za
Sahihi Muslim (SM).
Amesimulia Abiidhari
(RA) Amesema Mtume
( S AW ) H a k i k a b a a d a
yangu watakuwepo watu
wanasoma Qurani lakini
haitowaingia moyoni
mwao, watatoka katika dini
kama unavyotoka mshale
kwenda katika kiwindwa
kisha hawatorudi tena hao
ni viumbe waovu(SM 1067
SB 3710).
A m e s i m u l i a A l i ( R A)
nimemsikia Mtume(SAW)
akisema watatokea katika
zama za mwisho watu wenye
umri mdogo wachache wa
kufikiri, watasema maneno
kama ya kheri kumbe ni
shari, wataisoma Qurani
haitafika kooni kwao,
watatoka katika dini kama
mshale unavyopiga shabaha,
mtakapowakuta waueni
hakika katika kuwaua kwao
kuna ujira siku ya kiama(SM
1066 SB3611).
Amesimulia Abuu Saidi
( R A) a m e s e m a M t u m e
(SAW) Hakika katika asili
ya mtu huyu kitatoka kizazi
kinachosoma Qurani lakini
hapiti zaidi ya kwenye koo
(hawaifahamu) watawaua
Waislamu na kuwaacha
washirikina, watatoka
kwenye dini kama mshale
u n a v y o k we n d a k we n ye
shabaha ningewakuta

ningewapiga kipigo cha


Adi(SB 2344 SM 1064)
Ziko hadithi zaidi ya
ishirini ambazo ni Muttafaq
a l a y h i z i n a z o wa e l e z e a
khawarija na kuwataja sifa
zao na kuhalalisha kuwaua.
Suala sasa linakuja, jee
Mashekhe wa Uamso wana
sifa hizi zilizotajwa katika
hadithi hizi?.
Sifa kubwa ya khawarij
ni kuitakidi kuwa Waislamu
wenzake ni makafiri na
huwa ndiyo maadui wao
namba moja (badala ya
Mayahudi, makafiri khalisi
na washirikina wa sampuli
zote). Na suala la kujua ni
nani mtu wa motoni, hilo
anajua Allah (SW) peke yake
hata Mtume (SAW) alikuwa
hajui. Ndiyo maana katika
vita vya Uhud vilipomalizika
a l i wa s e m a v i b a ya wa l e
waliongoza vita upande wa
makafiri kumbe wengine
walikuja kusilimu na wakawa
Waislamu wazuri. Angalia
kosa alilolifanya Sahaba
la kuvujisha siri za kijeshi
za Mtume (SAW), lakini
Allah (SW) alipomgomba
alisema Enyi mlioamnini
msiwafanya adui zangu na
adui zenu kuwa ni marafiki....
(Mumtahina 1). Mtume
(SAW) amekataza sana
mtu kumwita Muislamu
mwenziwe kafiri kwa sababu
kama hana ule ukafiri, basi
utamrudia yule aliyesema.
Nimenukuu hadithi
chache kutoka katika Sahihi
T r g h y b ( S T ) ya I m a m u
Albany. Amesimulia Abii
D h a r i ( R A) a m e m s i k i a
M t u m e ( S AW ) a k i s e m a
Anayemwita mwenzake
kafiri au akamwita adui wa
Allah (SW) na hayuko hivyo,
basi utamrejea mwenyewe
(ukafiri) SB 6045 ST 2772).
Amesimulia Thabit (RA)
.Kumlaani Muislamu ni kama
kumuua na anayemrembelea
ukafiri muumini, ni kama
aliyemuua (ST2776)
A m a
k u m w i t a
Mwanachuoni Sheikh
u c h wa r a k wa k we l i n i
aibu jambo hili kulifanya
Muislamu anayesoma hadithi
za Mtume (SAW) labda huwa
anasoma haziingii moyoni
mwake.
Amesimulia Abii Hurayra
( R A) a m e s e m a M t u m e
(SAW), Inatosha kuwa
ni shari akamili kwa mtu
kumdogosha ndugu yake
Muislamu.(SM 2564).
Sasa hoja iliyobaki, labla ni
kuwa Mashekhe wa Uamsho
wanakosoa utawala, kwa
maana hiyo wanafanana
na khawarij. Jawabu yangu
kuhusu hilo ni kuwa hao
Mashekhe wa Kisalafi ndiyo
waliyoongoza kukosoa tawala

zao kwa sababu hazikufuata


itikadi zao. Kama hoja ni
kufungwa jela, Maulamaa
wa Kisalafu wanaongoza
kwa kukaa sana gerezani, na
labda nitoe mifano michache.
Imamu Abuu Hanifa (703767) alipigwa sana na Yazid
Ibn Umar mtawala wa ukoo
wa Umayya na alifungwa na
Khalifa Aboo Jaafar Mansoor
mpaka akafa gerezani . Imam
Malik (717-801), alikamatwa
akafungwa na akapigwa
vibaya na Amiri wa Madina
wa utawala wa Abbass.
Imam Sufyan Thawwry (719777 ) alikosoa utawala wa
Mnsoor wa ukoo wa Abbas
alipelekewa barua ya kuwa
Kadhi akaichana na Dola
ya Abbass ikamuandama
akajificha hadi kufa kwake
ndiyo maana hata madhehebu
yake hayakuandikwa.
Imami Shafii (769-800)
na Harun Rashid mwaka
805 akatiwa jela halafu
akaachiwa. Imam Ahmad Ibn
Hambal (778-885) aliwazidi
w e n z a k e k wa k u k o s o a
utawala uliokuwa ukifuata
falsafa za Muutazila ambao
waliamini kwamba Qurani
imeumbwa. Lakini Imam
Ahmad alipinga hadharani
hoja hizo. Akakamatwa na
alifungwa miaka miwili
na Khalifa Mamoon na
alikimbia na kujificha kwa
miaka mitano mpaka Khalifa
M u t a wa k k i l a l i p o i n g i a
madarakani (847-861).
Ahmad Ibnu Tamymiya
(1263-1328) alikosoa utawala
na alitiwa ndani mara kadhaa
kiasi kwamba muda mwingi
aliutumia akiwa jela yeye
na mwanafunzi wake Ibnu
Jawzy. Sasa jee Mashekhe wa
Uamsho wameleta lipi jipya.
L a k i n i
j a m b o
linaloshangaza katika
msimamo wa wale wanaojiita
Salafi ni kuwa ufahamu
wao uko kinyume na hao
Salafi wenyewe kwa sababu
msimamo wa Salaf ni kuwa
wao hawamtii ukafirini
Muislamu kwa sababu tu
ya kufanya kosa, mpaka
a t a k a p o j i t a n g a z a k u wa
amekufuru. Anasema Imam
Nawawy katika sherhe ya
Sahihi Muslim hadithi ya 56
Kitabu l Iman mlango wa 24
Wamekusanyika watu wa
haki yaani Salaf wema kuwa
mzinzi, mwizi ,muuaji na
wengineo katika watendaji
maovu, ukiacha shirki,
hawawi makafiri kwa maasi
hayo, bali huwa Waislamu
iliyopungua imani yao,
wakitubu husamehewa, na
wakifa hawakutubu hukmu
yao iko kwa Allah (SW).
Itikadi hiyo ya Salaf wema
pia imenakiliwa katika Aqida
Tahawiyya Hakuna mtu
katika watu wa kibla ambaye
ni Muislamu ataitwa kafiri
mpaka aoneshe ukafiri wa
dhahiri(Aqida tahawiyya
Ibnu Aziz Al Izz uk 268).
Fikra hii imetoka wapi
sasa ya kuwaita Maulamaa
khawarij na kuwakufurisha
Waislamu na kuwafanya

maadui badala ya makafiri


wa kweli? Fikra hii imezuliwa
Saudi Arabia wakati
M a u l a m a a wa l i p o k u wa
wanaulaumu utawala wa
Kifalme kwa kuegemea zaidi
kwa Marekani na Isareli na
kuacha misingi halisi ya
Kiislamu ambayo ndiyo lengo
la kuanzishwa Dola hiyo.
Sasa ili kujilinda na lawama,
Masheikh wanaoukosoa
utawala huo wakapachikwa
jina la khawarij, na
Maulamaa waliobobea
katika Taaluma, wakaitwa
makafiri, wakafungwa jela.
Ndio unaona Ulamaa kama
Said Qutbi akaitwa kafiri,
kwawarij. Kitabu cha Fiqhi
Sunna kikakatazwa kusomwa
kwa sababu kimeandikwa na
Sheikh Saidi Sabiq kutoka
udugu wa Kiislamu.
Tabliigh pia kwao wao ni
haramu kwa vile inatishia
kuwepo kwa utawala wao.
K wa s a b a b u h i i , n d i y o
maana utawala wa Saudia
ukatoa fedha ili kuuangusha
utawala wa Misri uliokuwa
na muelekeo wa Kiislamu.
K wa i t i k a d i ya o h i i ,
basi kila mwanaharakati
anayetetea Uislamu kwao ni
khawarij na ni gaidi. Ndipo
huko vijana mnakopelekwa.
Angalieni sana. Kuweni
makini. Hizo ni fikra za
Kiyahudi. Mnapachikwa
nazo mchukie Waislamu
wenzenu mgombane nao,
muwaitakidi kama makafiri
wakati huo huo mnasaidia
ukafiri. Na kwa fikra hizi
mlizonazo, hamna msimamo
wa Salaf wema ila mnafanana
zaidi na hao khawarij. Mtume
(SAW) amemaliza mambo,
anayemrembelea mwenzake
ukafiri na hali hanao ule
ukafiri, humrejea mwenyewe.
Makafiri wapo hawana
utata wakifa bila kusilimu,
basi ni watu wa motoni. Kwa
nini basi hamuwalinganii
hawa ili wasilimu. Kwanini
mjigeuze miungu mhukumu
Waislamu na kuwatia motoni,
kabla siku ya hukumu,
kazi ambayo hata Malaika
hawakupewa. Hakuna mtu
anayejijua asilimia mia kuwa
ni mtu wa Peponi. Tunataraji
tu kheri kwa Allah (SW),
asije akatugeuza mioyo
yetu. Ndiyo maana dua
kubwa aliyokuwa akiomba
mwenyewe Mtume (SAW)
ni: Yaa Muqalibal qulluub
thabit qalby ala dynika .
Salaf
walikuwa
wanyenyekevu mbele ya
we n z a o , n a h u o n d i y o
uchamungu siyo kujikweza
na kudharau watu. Bakari
Ibn Abdillahi Al Muzni,
alimsikia baba yake Ulamaa
wa Salaf akisema, Ingekuwa
sipo mimi hapa leo kwenye
uwanja wa Arafa, ningesema
watu wote wamesamehewa
( Hilyatu talibul ilm- sherhe
ya Uthaymin 11/6).
Hawa ndiyo Salaf, basi
tufate nyendo zao.
Ewe Allah (SW) tusaidie
waja wako. Amyn.

14

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 12


Ibn Al-Baitar (12)

Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
K a t i k a
kumzungumzia
Ibn Al-Baitar
nitakiuka mwenendo
niliokuwa nikenda
katika makala
zangu hizi. Safari hii
nitaanza kinyume
nyume ili kuweza
kumfahamu fika
gwiji huyu na namna
hostoria ilivyokuwa
inapindishwa.
Wamerekani weusi
wana msemo wao
uelezao kuwa Historia
yaani maelezo
yaliopita au His
story? Au maelezo
yake mtu? Hivi sasa
katika miaka yetu
historia imekuwa ni
maelezo yaliopita
yalioandikwa
kuridhisha watawala
au yakutungwa na
kukosa andiko la
kuelezea uhalisia wa
tokeo lilivyotokea,
historia ya maeneo
mengi imejaa uwongo
na uzushi.
Hebu tuanze
kujifunza hesabu
kuelewa juu ya karne.
Naelewa fika wengi
wetu tunakijua na
wachache wasiokijua,
tunaposema karne
humanisha ni miaka
100. Hili tunalifahamu
sasa inapoandikwa
610, 570, 980 kuweza
kujua ni karne gani
unachukua namba
moja ya kwanza
mfano 610 unachuka
6 unaongeza na
moja unapata 7
hapo utasema katika
mwaka wa 610
ilikuwa ni karne ya

saba na 570 ilikuwa


karne ya siata na 980
ilikuwa karne ya 10.
Sasa ikija kinyume
chake ukaambiwa
ilikuwa ni karne ya
saba kuweza kujua
ilikuwa ni mwaka
g an i? Un achu k u a
7 unatoa 1 (7-1=6)
ina maana kuanzia
mwaka wa 600 hadi
699, ukiambiwa karne
ya Sita (6-1=5) kwa
hio kuanzia 500 hadi
599.
Itapokuja kuwa na
namba nne ukiulizwa
ni karne gani mfano
1713, 1855, 1979, 2012
utajuwaje? Kwenye
namba 4 utachukua
namba mbili za
mwanzo mfano
1713, utachukua 17
uongeze moja (17+1)
itakuwa karne ya 18,
1855 itakuwa karne ya
19, 1979 itakuwa karne
ya 20 na 2012 ni karne
ya 21. Kinyume chake
ukianziwa kuambiwa
karne, mfano karne
ya 18 utatoa 1 (18-1)
utapata 17 ina maana
mwaka utakuwa
kuanzia mwaka wa
1700 hadi 1799 karne
ya 21 itakuwa (21-1)
utapata 20 ina maana
kuanzia 2000 hadi 2999.
Ilimu ya uhai
(Biology) ni somo moja
muhimu la Sayansi
likiwa lina matawi
m engi ya masomo

ya ilimu ya uhai na
moja kati ya matawi
yake ni lile linalotoa
majina ya viumbe
(Taxonomy). Kuna
tawi linalotowa
majina ya wanyama
International
Code of Zoological
NomenclatureICZN na kuna lile
linalotoa majina ya
miti, mwani na kugwi
International Code
of Nomenclature for
Algae, Fungi and
Plants-ICN. Katika
somo hili moja katika
kazi yake kubwa ni
kuangaia Tabaka,
Kutanbua na Kutoa
Majina (Classified,

Fatilia kuandama kwa Mwezi

Leo Ijumaa ni tarehe 3 Shaaban 1436 AH


sawa na tarehe 29 May 2015
Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa
Ramadhani tarehe 17 June 2015
Kutoka leo Ijumaa ya tarehe 29 May 2015
hadi kufika Ramadhani tumebakisha siku 20

Carl Linnaenus

Identify and Naming)


kazi hii muasisi wake
ni mtaalamu Carl
Linnaeus.
Kutoa majina ya
viumbe kumeekewa
taratibu maalumu
ili kurahisisha
dunia nzima kujua
mti au mnyama
F u l a n i a n a i t wa j e .
Kungekosekana
k u we k o k wa n j i a
hio, kungekuwa ni
tabu na mashaka.
Mfano mti wa Mnazi
Waswahili tunaita
Mnazi, Kiarabu Juzu
minal hindi, Kifaransa
u n a i t wa N o i x d e
Coco, Kijarumani
Kokosnu, Kihindi
G a r i a u N a r i ya l ,
K i i n d o n e s i a
Kelapa, Kisinhala
unaitwa Polgasa au
Narikela, Kithailand
unajulikana kwa jina
la Maprao, Kivietnam
unaitwa Cot dura na
kila mwenye lugha
yake anauita kwa
jina jengine. Mara
nyengine mti mmoja
katika nchi moja
unaitwa kwa majina
zaidi ya 10 n.k.
Wanasanayansi ili
kukwepa tatizo hilo
la kuita majina ya
viumbe tunaelezwa
kuwa raia wa Sweden
k wa j i n a l a C a r l
L i n n a e n s m z a wa
aliozaliwa 1707 na
kufariki mwaka 1778,
ilipofika mwaka wa
1753 ikiwa ni karne
ya 18 aliweza kubuni
njia ya Uwili kwa
K i z u n g u i n a i t wa
Binominal yaani
mti au mnyama
kutokana na sifa
zinazofanana mfano
Mnazi unafanana na
Mchikichi Mpopoo
n.k. basi huwekwa

katika Familia mmoja


itwayo Arecaceae
kisha ukapewa
majina 2 la kwanza
na la pili mfano huo
Mnazi ukaitwa Cocos
nucifera unatakiwa
ukiyaandika majina
hayo shuruti yake
jina la kwanza
harufu ya kwanza
iwe kwa harufu
kubwa (Capital later)
na la pili harufu ya
mwanzo iwe kwa
harufu ndogo (small
later) ukiandika kwa
kalamu au mkono
unatakiwa uyapige
mstari majina hayo
mawili Coco nucifera
na ukiyaandika kwa
kuchapa unatakiwa
uiandike kwa hati
malalo (Italic) Cocos
nucifera. Simba
a n a i t wa Pa n t h e r a
leo, Fisi wa mabaka
Crocuta crocuta, Chui
Panthera pardus n.k,
Tu wa a n g a l i e
magwiji wa elimu
ya miti Waislamu.
W a i s l a m u
walijishughulisha
sana kuijua miti
na
kuielewa
inavyoenakana
katika sehemu
mbalimbali, aidha
wa l i i t a m b u a m i t i
na kuishughulikia
kutokana na kilimo.
Abu Said Abd AlMalik Ibn Quraib alAsma mzaliwa wa
Basra katika mwaka
wa 739 ikiwa ni karne
ya 8 nakufariki 831
karne ya 9 ameandika
vitabu vingi na
alikuwa anajaribu
kuitafautisha
miti kutokanana
kukuwa kwake
kunavyotegemea
udongo. Aidha
a l i a n d i k a j u u ya
miti na namna
inavyokuwa katika
vipindi tofauti kutoka
mbegu hadi kuwa
mti kamili. Ikisha
akaigawa miti katika
Tabaka (classified)
akajaribu kuita majina
miti inayoota kwenye
jangwa na kwenye
mabonde. Aliweza
kuja na majina 230
ya miti kwa mtindo
unaofanana na
binominal.
Gwiji mwingine
ni Ibn Daud Ibn
Wanad kwa jina la
u t a n i a k i i t wa a l Dinawari. Alibobea
kwenye sayansi ya
mimea (Botany).
Katika kitabu chake
juu ya mimea
aliandika kwa upana

Ibn Baitar

miti inavyokuwa,
inakuwepo maeneo
gani, inakuwa katika
hali ya hewa ya aina
gani. Kitabu chake
hicho kilikuwa
ni marejeo kwa
wajuzi wa utibabu
n a wa t e n e g e n e z a
madawa.
K i s ha k una A l Bairuni aliofariki
mwaka wa 1048 ikiwa
ni karne ya 11. Huyu
kuna makala yake
nitamuelezea na kazi
zake, aliweza kujua
k u wa m a u a ya n a
mashiko yake (petals)
yakiwa 3,4.5,6, 18
wala sio 7 au 9 kama
maandiko mengine
yalivyoandikwa
kabla.
Tumuangalie Abul
Mansur Rashid al din
Abu al-Fadl Ibn Ali alSuri. Huyu alikuwa
mtenegenezaji wa

madawa aliozaliwa
mwaka wa 1177 karne
ya 12 katika mji wa
Sur nchini Syria. al
Suri alijaribu kujuwa
miti inayoota juu ya
milima, mabonde
katika mji wa
Lebanon, akafanya
kazi kuipa majina.
Alipokuwa akifanya
kazi hio alifwatana na
mchora picha anaita
kila mti jina mchora
picha ana chora
picha, inaaminika
alikuwa akitumia
njia ya bionominal
iliokuja kuelezwa
kuwa mwasisi wake
ni Carl Linnaenus.
Al Sur aliishi katika
karne ya 12 na Carl
Linnaenus aliishi
karne ya 18 miaka
600 kabla ya Carl
Linnaenus. Wazungu
hawamzungumzi
Inaendelea Uk. 15

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO namba 7


R

W A

W E

7:

1.
Aya gani katika Quran itajayo Chuma kwa
manufaa ya mwanadamu? (2 :148, 57:25, 62 :40) Jawabu:
57:25 (Samahani kwa kosa niliandika 57 :28)
2.
Mamake Mtume Issa Bibi Maryam alipomzaa
Mtume Issa alikuwa..(Mjane, Bikra, Mke wa mtu).
Jawabu: Bikra
3.
Waislamu wanaamini kuwa Mtume Issa ali
(Uwawa, Rufaishwa, Alijiua). Jawabu: Rufaishwa
4.
Anayaongoza Sala kwa Maamuma huitwa
(Captain, Imam, Kiongozi) Jawabu: Imam
5.
Katika Quran neno Maisha limetajwa mara
(185, 125, 145). Jawabu: 145
6.
Katika Quran neno Mauti limetajwa mara
(6,655, 145, 125). Jawabu: 145
7.
Watoto wote wa Mtume Yaqoob ni (24, 11, 12).
Jawabu:12
8.
Allah (Mwenye enzi Mungu (Anawashirika,
Malaika Hanamshirika) Jawabu: Hanamshirika
9.
Tokeo lipi lilitojwa katika Quran mwaka mmoja
kabla ya Hijra? Jawabu: Miraji
10. Alipofariki mama yake Mtume SAW, Mtume
Mohammad SAW alikuwa na umri wa miaka (7,8, 6)
Jawabu: 6

15

Makala

M A K A L A ya w i k i
hii na itakayofwatia
nitajaribu kuiangalia
mvua katika Quran na
maisha yetu kwa jumla
na mvua. Nitaanza kwa
kumshukuru Allah
kama kwenye aya ya
191 ya Sura Imran.
A m b a o
h u m k u m b u k a
Mwenyezi Mungu

wakiwa wima na
wa k i k a a k i t a k o n a
wakilala, na hufikiri
kuumbwa mbingu
na ardhi, wakisema:
Mola wetu Mlezi!
Hukuviumba hivi
bure. Subhanaka,
Umetakasika! Basi

UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO NO: 8


Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu
kamili wiki ijayo.
B
U
L
G
A
R
I
A
A
A

9
5
A
C
A
N
A
D
A
B

9
2
D
N
A
M
L
E
S
A

A
N
A
M
K
U
T
R
D
K

U
C
G
N
A
H
L
U
F
I

1.
Kipindi baina ya
kuteremshwa Wahyi kwa
mara ya kwanza na Wahyi
wa pili kilikuwa ni kipindi
cha muda gani? Miezi 2, 6,
10.
2. S a h a b a g a n i
aliokuja na shauri la
kuukusanya Quran bada
ya kufa Mtume SAW?
Uthman, Umar, Khalid bin
Walid.
3. S u r a h n g a p i
zimetajwa kwa majina ya
Wanyama na Wadudu,
Z i t a j e k wa I d a d i n a
uziandike.
4.
M n ya m a g a n i
alifwatana na watu wa
Pangoni? Ngamia, Mbwa,
Farasi.
5.
Mtaje Mtume
Ummah wake wakifanya
mapenzi kinyume cha
jinsia.
6. K a t i k a S u r a t
Arrahhman kalima
Sura ya 57 : Kalima
Fabiayi Alai Rabikuma
Tukadhibani, limerejewa
mara ngapi? 40, 31, 52
7.
Ndege 100 wapo
juu ya miti akapigwa risasi
na kuuliwa mmoja, Jee
watabaki ndege wangapi
juu ya mti?
8.
Mpaka ulioitwa
International Boundary
ndio mpaka uliokuwa na
marefu makubwa duniani
wakishirikiana nchi gani
na gani?
9. N c h i g a n i
inaongoza kusafirisha
muhogo duniani?
10. N c h i g a n i
inaongoza kwa uzalishaji
wa muhogo duniani?
Jee Unajua?
1.
Kuwa mwezi wa
Muharram ndio mwezi wa
kwanza katika Kalenda ya
Kiislamu?
2.
Kazi za mwana
falsafa Aristotle zingepotea
na hazingezungumzwa
zinavyozungumzwa hivi
s a s a k a m a Wa i s l a m u
Ibn Rushd na Ibn Sina

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Mvua katika Quran na mazingira kwa ujumla

Na Ben Rijal

6
T
H
A
I
L
A
N
D
H

AN-NUUR

M
U
A
N
K
A
B
U
T
Y

A
S
A
D
I
Y
A
T
H
O

R
A
B
Y
M
F
E
E
L
Y

M
B
W
A
N
L
U
T
9
O

N
I
G
E
R
I
A
O
P
T

B
A
Q
A
R
A
3
1
8
E

kutozifanyia tafsiri kutoka


Kiyunani kuziandika
kwa Kiarabu, kisha ndio
zikaandikwa kwa Kilatino
na baadaye kufasiriwa
kutokana na lugha
mbalimbali.
3.
Jabir ibn Hayyan
ndio mvumbuzi wa tindi
kali ijulikanayo Citric acid.
Alikuwa ni mweledi wa
kusarifu majengo, kujenga
minara ya katika Misikiti
na majengo, mvumbuzi wa
mashine ya kunasa nishati
ya upepo na kuvumbua
Camera ya Pinhole?
4.
Mpaka ulio na
masafa marefu duniani
upo Urusi ukiwa una
masafa ya kilomita 57,000,
kati ya hizo kilomita
20,139 zimepakana na
nchi 14 zikiwa nchi ya
Korea ya Kaskazini, China,
Mongolia, Kazakhstan,
Azerbaijan, Georgia,
Ukraine, Belarus, Latvia,
Estonia, Finland, Norway,
Lithuania, Poland.
5. N
c
h
i
inayoongoza usafirishaji
wa Almasi duniani
ni Urusi inasafirisha
asilimia 22% ya almasi
zote duniani ikifwatiwa na
Botswana 19.90%, Congo
DRC 18.60%, Australia
13.20%, Afrika Kusini
9.10%, Canada 8.10%,
Angola 4.8%, Namibia
1.30%, Ghana 0.60% na
Brazil 0.40%.
6.
Unajua kuwa nchi
yenye idadi ya vifo kwa
watu wachache duniani
ni Qatar, ikfwatiwa na
UAE, Kuwait, Bahrain,
Jordan, Saudi Arabia,
Oman, Singapore, Brunei
na Libya ya Ghadafi sio ya
sasa.
7. N c h i y e n y e
Mabilionea kwa wingi
duniani ni Marekani
Mabilionea 442, China
122, Urusi 110, Ujerumani
58, India 55, Uturuki 43,
Hon Kong 39, Uiengereza
37, Brazil 37 na Canada 29.

tukinge na adhabu ya
Moto. (Surat Al I'mran
3:191)
Neema kubwa
a n a y o i p a t a
mwanadamu hakuna
kama kupata mvua
ambayo inamuneemsha
kwa njia mbalimbali
i we k u i p a t i a a r d h i
rutba na mimea
kunawiri, kuipoza
dunia. Tunayoishi na
kupata maji ambayo
ndio maisha yetu
yote tunayategemea.
Q u r a a n i m e e l e z e a
umuhimu wa mvua
kisayansi na tutaangalia
katika makala hii namna
Quran inavyoelezea
mvua.
Mizani juu ya
kunyeshwa kwa mvua

Katika Surah Surah


az-Zukhruf mvua
imeanishwa kama
ifatavyo:
Na ambaye ndiye
aliye teremsha kutoka
mbinguni maji kwa
kiasi, na kwa hayo
tukaifufua nchi iliyo
kufa. Na namna hivi
ndivyo mtakavyo
tolewa. (43:11)
Hapa
katika
sayansi ndio utaona
inavyokubaliana
Inatoka Uk. 14

a l S u r h a t a ma r a
mmoja na njia ya
Uwili Bionominal
inamwagia sifa Carl
Linnaenus. al Suri
k a z i ya k e i l i b a k i
k wa mu da mr e f u
nakuwa tegemezi
kwa watengenezao
madawa.
Gwiji mwengine
ni Ahmad Ibn
Muhammad Ibn
Ahmad Ibn Sayyid
al-Ghafiqi aliokufa
mwaka wa 1165 karne
ya 12. Katika kazi yake
ya kupigiwa mfano
al-Ghafiki ameweza
kuwanukulu magwiji
wengine waliokuwa
s i o Wa i s l a m u wa
wakati huo kama
Dioscordies na Galen
katika maandishi
yake.
Gwiji mwengine ni
Ibn Baitar huyu kazi
yake katika sayansi
ya miti haisemeki
kwa umakini na
ukubwa wake.
Mwana sayansi wa
mimea mwengine ni
Abu al-Abbas Ahmed
Ibn Muhammad Ibn
Mufarraj Ibn Abi alKhatib akijulikana
zaidi kwa jina la Ibn

n a Q u r a n k u w a
kiwango cha mvua
kinachoteremka ardhini
huwa ni sawa, katika
sekunde mmoja maji
huyayuka (evaporate)
kwa kiwango cha tani
milioni 16 hapa duniani,
kiwango hichi ni sawa
na maji yanayoteremka
duniani kwa sekunde
moja na mzunguko huo
unaendelea kwenda
na kujirejea, na aya
hapo inatueleza kuwa
N a a m b a ye n d i ye
aliye teremsha kutoka
mbinguni maji kwa
kiasi, na kwa hayo
tukaifufua nchi iliyo
kufa. Na namna hivi
ndivyo mtakavyo
tolewa. Kwa taaluma
ya sayansi sasa ndio
kinaeleweka kuwa hicho
kiasi kinachoteremka
mbinguni.
Kipimo chengine ni
ile kasi inayoteremka
katika usawa wa
kwenda juu wa mita
1,200 kipimo cha tone
linaloteremkala mvua
linaenda kwa kasi hio
hio kasi ya kilomita
558 kwa saa bila ya
kubadilika. Nje ya tone
la maji ya mvua, kitu
chochote kikiachiliwa
kinateremka ardhini
k wa k a s i h i o k wa

mtawalio, basi
ardhi yetu hii yote
ingeangaamia na
tusingeweza kutembea
bila ya kuwa na hadhar
kutopigwa na hicho
kitu. Mizani juu ya
mvua inavyoteremka,
Quran imeielezea kwa
upana na sasa sayansi
inagundua hayo.
Kufanyika kwa mvua
Taaluma ya sayansi
inatufahamisha kwa
upana namna mvua
inavyofanyika na
hatua mbalimbali
zinazopita. Tuanagalie
aya ifwatayo:
Mwenyezi Mungu
ndiye anaye zituma
pepo zikayatimua
mawingu, kisha
akayatandaza mbinguni
kama apendavyo. Na
akayafanya mapande
mapande, basi ukaiona
mvua inatoka ndani
yake. Anapo wafikishia
awatakao katika waja
wake, mara hao huwa
na furaha. (Surat ArRum 30:48)
S i t o k w e n d a k wa
kina katika makala hili
katika makala ijayo
nitaunganisha juu ya
Quran na Sayansi.
Vipi ardhi inapata uhai
Maisha yetu katika
ardhi na uhai wake

Ibn Al-Baitar (12)

Al-Rumiyah alizaliwa
nchini Hispania
katika mji wa Sevile
mwaka wa 1216 karne
ya 13. Kitabu chake
ambacho ameandika
juu ya safari zake
mbalimbali kwa
jina la Al-Rihlat
al-Mashriqiyyah
a l i a n d i k a j u u ya
miti na hali za
kukua kwake,
miti ya maeneo ya
Mediterranean.
Gwiji mwengine
katika sayansi ya
mimea kabla ya Carl
Linnaenus, ni Abu
Zakariya Yahya Ibn
Muhammad Ibn
Ahmad Awwam alAshbili alioandika
kitabu kwa jina Kitab
al-Falaha akinukuu
taaluma za miti ya
Kiyunani, Warumi
n a Wa b a t e a n .
Aliandika kazi
kubwa ya kupigiwa
mfano katika kitabu
alichokiita al-Falaha.
Kitabu cha al-Falaha
alikigawa sehemu 2
na sura 35 (Chapters)
na kila Sura
akizungumzia kwa

upana miti katika


kilimo.
B a a d a
y a
kuwazungumza
m a g w i j i
waliomtangulia
Carl Linnaenus
kwa zaidi ya miaka
600 ambao historia
haiwazungumzi
na ukichukua
historia ya ukweli
na mwanafunzi
kuwataja kina AlBaitari atakuja
kufeli masomo na
kuambiwa achana na
historia ya upotofu
watu hao hawajaishi.
Huo ndio Ugozi wa
Kizungu walioifikisha
dunia hapa na
kushindwa kutajwa
kina Marcus Tullius
Tiro aliokufa miaka 4
BC kabla yakuzaliwa
k wa M t u m e I s s a ,
Tiro anaaminika
kuwa alikuwa mtu
mweusi na mtumwa.
Mtu huyu ndio
alioasisi hati mkato
Shorthand. Leo soma
juu ya Shorthand
kama utalisikia jina
la Tiro.
Katika safari

yameelezewa ifatavyo
katika Quran kama
ifwatavyo:
Naye ndiye anaye
z i t u m a p e p o k u wa
bishara njema kabla
ya rehema yake, na
tunayateremsha kutoka
mbinguni maji safi.
Ili kwa hayo
tuihuishe nchi iliyo
kufa, na tuwanyweshe
wa n ya m a n a wa t u
wengi tulio waumba.
(Surat Al-Furqan 25:4849).
Mvua
kama
nilivyosema, ndio
m a i s h a n a Q u r a n
imeyafahamisha hayo
kupita miaka 1436
iliopita.
Aya nyengine
inafahamisha kwa kina
juu ya maji na mvua:
Na tumeteremsha
kutoka mbinguni maji
yaliyo barikiwa, na
kwa hayo tukaotesha
mabustani na nafaka za
kuvunwa. (Surat Qaaf
50:9).
Unapoisoma Quran
baina ya mstari na
k u z a m a k wa k i n a ,
utaelewa yaliomo katika
dunia hii na maisha.
Makala ifwatayo
nitaunganisha baina ya
maisha na mvua.

za mvumbuzi
C h r i s t o p h e r
C o l u m b u s
kuthibitishwa kuwa
aliandamana na
Waafrika 4 mmoja
akiwa muandishi na
mmoja wa kuongoza
safari, uthibitisho
kua aliandamana na
watu weusi soma
Africa came with
Colombus to the
new world (http://
w w w . l i ve s c i e n c e .
com/3423-africanscolumbus-world.
html). Hutosikia
hata siku mmoja
kuwa ni mtu mweusi
ndio aliovumbua
taa za kuongozea
b a r a b a r a n i ,
Garrett Agustus
Morgan aliozaliwa
mwaka wa 1877
na kufariki mwaka
wa 1963. Wazungu
wameficha mengi
tu kuonyesha kuwa
h a k u n a a l i o f a n ya
lolote kuubadilisha
Ulimwengu huu
katika maendeleo
zaidi yao Wazungu
na sisi kutumbukia
katika dimbwi hilo
la kukubali kuwa
Wa z u n g u n d i o
Inaendelea Uk. 17

16
Inatoka Uk. 11
wa K a r i a k o o y o t e ,
halikuonekana kuwa ni
habari ya kuita waandishi.
Inavyoonekana, hata huko
kumkamata mtuhumiwa,
wamelazimika tu baada ya
kuwa Robert mwenyewe
anat amb a mitaan i n a
kufanya habari kusambaa
sana. Lakini la pili ni
kuwa, hata baada ya kesi
kufika mahakamani,
wa a n d i s h i h a wa j a i p a
umuhimu wowote. Watu
wamekuwa wakipashana
habari kupitia mitandao
ya kijamii, vinginevyo Si
habari.
Lakini pia, kama
ilivyotarajiwa,
limechukuliwa kuwa ni
kosa la kawaida tu na
mtuhumiwa yupo nje
kwa dhamana. Sio kama
akina Sheikh Mselem.
Alijisemea Komandoo
Salmin Amour, wacha
wakae tu huko jela, sio
mapapai kuwa yataoza,
japo kosa lenyewe
halifahamiki! Sasa hapa
hatuzungumzii Sheikh,
Ustaz au Hajat. Huyu
ni Robert, japo siasa
kali anayepania kuuwa
wenzake! Lakini watu
wenyewe, Waislamu. Nani
anajali!!!
America Snores When
Christian Terrorist Threatens
to Massacre Muslims.
Ndivyo alivyoandika
mchambuzi mmoja
akionyesha hali halisi
ya jamii ya Kimarekani.
Kwamba, wakati yupo
gaidi Robert, anayetishia
kuchinja Waislamu, jamii
ya Wa m a r e k a n i wa l a
haina habari. Inakoroma
uzingizi.
Have you heard about
t he Chr is t ian terrorist
Robert Doggart, who was
plotting a violent attack
against a Muslim-American
community in New York
state? Probably not, because
as opposed to when U.S. law
enforcement officials arrest
a Muslim for planning a
violent assault, they didnt
send out a press release or hold
a press conference publicizing
Doggarts arrest.
Anauliza tena
mchambuzi huyo na
kusema kuwa tofauti
na jambo linalohusu
Waislamu, hutasikia kesi
ya gaidi Robert katika Fox
News kwa sababu kwa
kawaida yao FBI hawaitishi
Press Conference kwa
m a s u a l a ya n a y o h u s u
Wakristo. (Soma zaidi:
A Plot to Level a Village
Isnt NewsWhen Targets
Are Muslim and Plotter Is
Christian)
Doggart ni nani?

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Askofu hawezi kuwa gaidi!

ROBERT Doggart
Pengine isije ikadhaniwa
kuwa Doggart ni mwehu
au chizi tu fulani, kwa hiyo
ndio maana habari zake
zimepuuzwa. Doggart,
aliye mkazi wa Tennessee,
ni Mkristo kindakindaki,
w e n y e w e wa n a s e m a ,
an ordained Christian
minister in the Christian
National Church. Ni msomi
m w e n y e S h a h a d a ya
Masta (masters degree)
na Ph.D. kutoka Chuo
Kikuu, La Salle University.
Na kama nilivyotangulia
k u s e m a , m wa k a j a n a
aligombea ubunge, japo
hakushinda. Lakini pia
aliwahi kulitumikia jeshi la
Marekani- U.S. Naval Sea
Cadet Corps. Kwa hiyo sio
mtu wa kupuuzwa.
Chuki hii inatoka wapi?
Pengine swali la msingi
ambalo ni muhimu
tujiulize na kulizingatia,
ni hili: Maneno haya ya
Doggart, yanaonyesha
chuki kubwa dhidi ya
Waislamu. Chuki hii na
dhamira hii ya kisasi
imetoka wapi? Doggart
na kundi lake, wamefikaje
hapo?
Muhammad Matthew
Gardner, ni msemaji wa
Jumuiya ya Waislamu
Marekani- The Muslims of
America (TMOA), anatoa
jibu. Anasema:
"Doggart is an example of
the results of unchecked and
rampant Islamophobia which
has spread lies for years about
our peaceful community.
Kwamba hawa akina
Doggart na wanayokusudia
kuwafanyia Waislamu, ni
zao la propaganda chafu
ya muda mrefu iliyoachwa
ikamea na kuota mizizi

SHEIKH Mselem.
ikiwachafua Waislamu
ndani ya jamii ya
Kimarekani. Propaganda
iliyowafanya Wakristo
wawatizame Waislamu
kama majinamizi
hatari yaliyopania
kuwaangamiza Wakristo.
Lakini pia yenye
uwezo mkuwa hata wa
kuwashinda CIA, FBI na
Jeshi na vyombo vyote
vya ulinzi na usalama vya
Marekani.
Vyombo vya Habari
vinavyotumika vibaya
Mwezi Januari mwaka
huu kiliendesha kipindi
katika televisheni ya Fox
(Fox News). Kilikuwa
ni moja ya vipi katika
televisheni za Marekani
vinavyodai kuwa kuna
kambi za kijeshi 35 ndani
ya M a r e k a n i a m b a p o
Waislamu wamekuwa
wakichukua mafunzo ya
kijeshi kwa ajili ya Jihad
na kuuwa Wakristo ili
kuisilimisha Marekani.
Muslims Training for
Guerrilla Warfare in New
York, kama ilivyodaiwa,
mwendesha kipindi
Bill O'Reilly, alikuwa
akihojiana na Bwana Ryan
Mauro, akimtambulisha
kuwa ni National
Security Analyst katika
taasisi ya Kikristo iitwayo
Clarion Project, ambayo
inaelezwa kuwa lengo
lake ni Kufichua Hatari
ya Waislamu Siasa Kali
(Exposing the Danger
of Islamic Extremists).
Taasisi hiyo ya Kikristo
iliyoanzishwa mwaka
2006 Washington D.C.,
imetengeneza filamu
nyingi za kuupaka
Uislamu matope na

Sheikh Farid Hadi


kuwatangaza Waislamu
k u wa n i m a h a r a m i a .
Filamu hizo ni pamoja na
Obsession: Radical Islam's
War Against the West, The
Third Jihad, and Iranium.
Kikubwa alichofanya
mtaalamu huo wa
Fox News, ni kupiga
propaganda kuwa
Marekani imevamiwa na
jeshi la Waislamu siasa
kali (Soldiers of Allah),
walio tayari kukata makoo
ya Wakristo kama sehemu
ya Jihad.
A m e r i c a n J i h a d Terrorist Cells Training
Camps in USA, ni mada
nyingine iliyojadiliwa na
Fox News mzungumzaji
akiwa Martin Mawyer
kutoka Christian
Action Network,
a k i d a i k u wa a l i k u wa
na jukumu la kufichua
kambi za mujahidina
katika Marekani. Katika
mazungumzo hayokatika kipengele kimoja,
Home Grown JihadShoking Secrets of Islamic
Terrorism in America
Revealed, Martin Mawyer
anadai kuwa ndani ya
Marekani kuna kambi
35 za kijeshi ambapo
Waislamu wanachukua
mafunzo ya kijeshi kwa
ajili ya Jihad. Hapo utaona
anaweka alizodai kuwa
ni kanda za ushahidi
wa kambi hizo ambapo
wanaonekana Waislamu
wakiwa wamevaa kanzu
na vibandiko wakipiga
kwata, AK-47 mkononi.
Japo ukitizama picha
hizo zilizotengenezwa kwa
ufundi kiasi, ili zisionekane
kuwa hazikupigwa
Marekani, zinakuonyesha
wazi kuwa ni za uwongo,

lakini kwa vile pengine


watu wamefikishwa
mahali kuamini
uwongo wa Fox News
unaorudiwa mara kwa
mara, na wanawaamini
akina Martin na Ryan
Mauro wakitajwa kuwa
ni wataalamu na watu
wa Mungu, wasio sema
uwongo, basi wanayaamini
hayo wanayoambiwa.
Na kama alivyosema,
Zbigniew Brzezinski,
ukiwatisha sana watu,
basi kile kitisho kinakuwa
ni sababu ya kuwafanya
wasiwe ni wenye
kufikiri hata kidogo, bali
kuendeshwa na mihemko.
Ninasema hivi kwa sababu
ilikuwa jambo jepesi tu
mtu kujiuliza: hivi kwa
nchi kama Marekani
yenye CIA, FBI na vyombo
vingine vya kikachero
vinavyotengewa bajeti
ya m a b i l i o ni ya d o l a
kila mwaka na vyenye
vifaa vya kila aina vya
kisasa, inawezekana kweli
k u k a wa n a k a m b i z a
kufunzia magaidi; CIA na
FBI wasijue ila wajue hawa
akina Martin wa Christian
Action Network na Clarion
Project? Ukijiuliza swali
hili, utaishia kusema
kuwa kama zipo kambi
35 za kijeshi za kutoa
mafunzo ya kigaidi na
Jihad ndani ya Marekani,
basi zimeruhusiwa na hao
hao CIA na FBI kwa lengo
la kundeleza agenda zao.
Anasema Zbigniew
Brzezinski fear obscures
reason, intensifies emotions
and makes it easier for
demagogic politicians to
mobilize the public on behalf
of the policies they want to
pursue.
Na ndio wasiwasi
tulio nao juu ya wale
jamaa zetu wanaopita
mitaani wakichangisha
pesa za tasbihi na
wa l e wa n a o k a m a t wa
na milipuko na bendera
nyeusi Misikitini. Au kule
M wa n z a wa n a p o p i g a
debe la kuwa na silaha,
lakini wapo tu huku vijana
wao kila uchao wakipotea
mitaani kwa madai kuwa
wanakwenda shamba!
Hawa hawana tofauti na
zile kambi 35 za mafunzo
ya k i j e s h i n a k i g a i d i
tunazoambiwa na akina
Martin Mawyer kuwa zipo
ndani ya Marekani mbele
ya macho ya FBI, CIA na
Pentagon.

17

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Kuyajua yaliyotofautiana na athari zake

Na Sheikh Dk. Abdallah


Daruweshi
Shukrani zote anastahiki
Mwenyezi Mungu, Mola wa
ulimwengu, ninashuhudia
kwamba hapana apasae
kuabudiwa kwa haki
isipokuwa Mwenyezi Mungu
peke yake asiyekuwa na
mshirika, na Mtume
Muhamad (s.a.w) ni mjumbe
wake na ni mjawake, ewe
M we n ye z i M u n g u m p e
rehema na amani yeye na
jamaa zake na Masahama zake
na wale wote wanaomhusu.
Ama baada ya utangulizi
huu mfupi.
Kwa hakika katika
mambo muhimu ambayo
Uislamu umeyatatua ni
ugaidi ambao umeau viumbe
wengi. Uislamu umekuwa
unashughulikia kwa nguvu
zote kupambana na matatizo
mengi na bado unaendelea
na jukumu hilo katika daraja
zake zote, si kwa mtu mmoja
tu bali hadi kwa daraja la nchi
na vikundi na taasisi.
Pa m o j a n a k a z i h i y o
ngumu, bado WAISLAMU
wakawa wao ndio waathirika
wa kwanza katika janga hili,
Inatoka Uk. 15

wavumbuzi aliokuwa
sio Mzungu hana la
maana alilolifanya katika
kuchangia maendeleo
ya dunia. Kasumba hii
imetulewesha kwa
karne tele na inaendelea
kutulevya.
Tumuangalie Ibn Baitar
Abu Muhammad
Abdal l ah I bn Ah mad
Ibn al-Baitar Dhiya alDin al-Malaqi kwa kifupi
akijulikana kwa jina la
Ibn al-Baytar mzaliwa
wa Circa katika mwaka
wa 1 1 9 7 k a r n e ya 1 2
nakufariki mwaka wa 1248
ikiwa karne ya 13. Alikuwa
mtaalamu wa sayansi
ya m i m e a , m f a m a s i a
na alikuwa daktari.
Wengine humtaja kama
ni mwanasayansi mmoja
mahiri katika mji wa AlAndalus ambaye alibuni
Mapinduzi ya kilimo
katika nchi za Kiislamu.

pale wanaponyanganywa
haki zao, kuporwa mali zao
na kutolewa roho zao.
U i s l a m u
umewatahadharisha watu
wake katika kushiriki
kwenye majanga haya ya
hatari na kuweka kanuni
za kuwahami, ili wasiingie
katika jambo hili.
Zikaja dalili za kisheria
kwa kuwatahadharisha juu
ya kuvuka mipaka katika dini
na kutozijua dalili za kisheria
tukufu na huenda miongoni
mwa sababu za matatizo
haya, ni baadhi ya Waislamu
kutojua dalili za kisheria juu
ya kutofautiana hukumu na
adabu zake, kiasi wanaingia
kwenye ubabe katika mambo
yaliyo tofauti ya muono wa
kisheria na mazungumzo na
kudhihiri kukataa hukumu
katika mambo yanayokubali
usamehevu.
Na hapo husababisha
wa k a t i m w i n g i n e h a d i
kukufurishana kwa wale
tusiokubaliana nao kimaoni
na kisha kuhalalisha damu
yao katika mambo ambayo
inawezekana huyo msemaji
mwenyewe, iwe amepatia
au amekosea na akikosea
a t a p a t a t h a wa b u m o j a ,
au yule aliyepatia atapata
thawabu mbili na makusudio
hapa ni juu ya kuyajua yale
ya l i y o t o f a u t i a n a , k u j u a
hukumu ya kutofautiana
kati ya Waislamu na nini
kinafuata baada ya tofauti na
yepi yanayofaa kutofautiana
na yepi hayafai?
Na anapotofautiana

mwenye kutofautiana ni
wakati gani unakubalika
udhuru wake na wakati gani
haukubaliki? na hufanywa
nini?
Na ni wakati gani huwa
ni kafiri au fasiki. Je hukumu
ya kutofautiana au msimamo
wake huachiwa kwa kila
mmoja? Na ufafanuzi wa hilo
watu wengi hawalijui.
Hakika kutofautiana
madhehebu ya kifkra,
ambayo yapo katika nchi za
Kiislamu kumegawanyika
sehemu kuu mbili:
(A) T o f a u t i k a t i k a
madhehebu juu ya imani.
Kwa uhakika huu ni msiba
mkubwa umeingia katika
nchi za Kiislam.
(B) T o f a u t i k a t i k a
madhehebu ya kisheria
inayo sababu ya kiutendaji,
kihukumu na Mwenyezi
Mungu juu ya hilo kuna
hekima kubwa miongoni
hizo ni upole na uwepesi wa
waja wake pamesemwa juu
ya hilo Kuafikiana kwani
hoja na kutofautiana kwao
ni rehema pana ni wajibu
wajue wale ambao wanaotaka
watu wote kuwa katika rai
moja katika hukumu za ibada
na miamalati (kuhudumiana)
na vitu vingine katika matawi
ya dini, wao wanayataka
yasiyowezekana kutokea na
kujaribu kwao juu ya kuondoa
t o f a u t i h a wa t a f a n i k i wa
isipokuwa kutanua duara
la kutofautiana na hilo ni
jaribio linaloonyesha wazi
kabisa, kwani kutofautiana
juu ya ufahamu wa hukumu
za sheria sio msingi wa

Ibn Al-Baitar (12)

Wengine wanaamini kuwa


ndio muasisi wa taaluma
ya damu (Hematology)
na utibabu wa saratani
kwa kugundua Hindiba
kama ni moja ya dawa ya
kupambana na saratani.
Ibn Baitar alianza
kujifunza elimu ya
sayansi ya mimea kwa
Abu al-Abbas al-Nabati
ambaye alimtaka aanze
kukusanya miti katika
nchi ya Hispania na kuwa
mtumiaji wa kazi zake juu
ya miti akitumia ile mbinu
ya Uwili (Binominal).
Katika kazi zake alikuwa
sio akitoa majina tu bali
akifanyia miti utafiti
na kujua ina kemikali
ambazo mti mmoja
unao na mti mwengine
hauna. Katika mwaka wa
1219 alihama katika mji
aliokuwa anaufanyia kazi
huko Malaga na kuzuru

nchi mbalimbali ambazo


zikikaliwa na Waislamu
kuanzia sehemu za
kasakazini mwa Afrika
mpaka Anatolia, alifika
katika sehemu za Bugia,
Constantinople, Tunis,
Tripoli, Barqa and Adalia.
Baada ya safari hizo katika
mwaka wa 1224 karne ya
13 aliajiriwa na al-Kamil
mfalme wa utawala wa
Ayyubid na kupewa nafasi
kuwa mtaalamu wa mimea.
Katika mwaka wa 1227
Sultan alisafiri katika nchi
ya Syria ikiwa Ibn al-Baitar
alipata fursa ya kufatana
na mfalme na kuwa katika
watu waliomo kwenye
msafara wa mfalme, Ibn
Baitar aliweza kufanya
kazi ya kuitambua miti na
kuipa majina na kuangalia
sehemu ya miti mbalimbali
namna inavyonawiri
(Biogeography) nakutaka
kujua sababu zake.

lazima ambazo hauna budi


isipokuwa imewajibisha
lazima huya tabia ya dini
na tabia ya lugha na tabia
ya binadamu na tabia ya
dunia maisha na hii ni mifano
ya baadhi ya vitendo vya
Masahaba na elimu yao juu
ya kutofautiana na adabu
zake. Amebainisha Ubaya
bin Kaabi na Abdalla bin
Masoud: Amepokea Muslim
toka kwa Ubdata na Asim
bin Abii Najudi amemsikia
Ziri bin Hubaishi akasema
n i m u u l i z a m b a ya b i n
baabi (ra) nikasema kwa
yakini nduguyo bin Masoud
anasema yeyote mwenye
k u s i m a m a s i k u m wa k a
mzima basi ataipata lailatu
e-qudiri, akasema alitaka
watu wasiegemee, kwani
yeye ameujua usiku huu ni
mwezi wa Ramadhani na ni
katika kumi la mwisho na
pia usiku wa mwezi 27, kisha
akaapa kwamba huo si usiku
wa mwezi ishirini na sala ila
watu waweze kuutafuta na
wasibweteke na siku hiyo tu.
Pamoja na kutofautiana huko
akawaachia watu na kuomba
udhuru na kushikamana
na akashuhudia kwa elimu
kisha akataja maoni yake
si miongoni mwa adabu
za Imamu Shafi katika
kutofautiana kwa ufahamu
k wa I m a m u S h a f i ( m a )
katika kuchukua hukumu
juu ya mambo ya jitihada
n a t o f a u t i ya u f a h a m u
pamoja na kubakia udugu
na wenziwe kwa haki zao
zote ilikuwa ni adabu na
muongozi uliegemea kutoka

kwa Mtume, kwani aliwahi


kutofautiana na mwanafunzi
wake Yunus bin Abdi alAalaa Swadafi lakini Swadafi
alimzungumzia Shafii na
kutoa dalili za sheria juu ya
sheria ya tofauti ya ufahamu
akasema, Sijapata kumuona
mtu mwenye akili kuliko
Shafii, nilimtazama siku
moja katika mas-ala, kisha
tukatawanyika, akanikuta
akanishika mkono, hebu
tulia na msimamo wako
lakini tuwe ndugu japokuwa
tunatofautiana ufahamu
wa sheria na hatufikiani
katika mas-ala mambo na
haukuwazuia ugudu wao
kwa kutofautiana ufahamu
na akawataka Waislamu
kukusanyika pamoja
na kuwajibu wengine na
kubainisha rai yao juu ya
kusibu mtu na kumkosoa
makosa ya mwengine na
wala haikupelekea kumjibu
na kutofautiana ufahamu
na jitihada zao hadi kuwa
wagumu na kukufurishana
kama inavyotokea hivi sasa
duniani na kuondoa udugu
wenye dalili za Qur-ani
tukufu.
(C) B a l i w a l i k u w a
wanasifiana wao kwa wao.
Tunamuomba Mwenyezi
Mungu atukusanye tuwe
kitu kimoja umma wote wa
Kiislamu, atupe sisi elimu
ya dini, atupe elimu yenye
manufaa na atunufaishe
kwa kile alichotuelimisha na
atuongezee elimu. Aamiin.

Katika kazi yake kubwa


n i m a a n d i k o ya k i t a b u
kijulikanacho Kitab al-Jami
fi al-Adwiya al-Mufrada
Kitabu kilichofahamika na
kuelezwa kama ni kitabu
kilichotoa utaalamu wa ndani
katika sayansi ya miti kwa
karne nyingi zilizofwatia.
Aliorodhesha miti 1,400 ya
vyakula na madawa kati ya
hayo 300 aliyaona na kuipa
majina ikiwa kabla ya hapo
haikuwa na majina. Kazi

Islamic medicine) Kitabu


hicho kimekuwa na maelezo
ya miti na madawa yake
katika matibabu ya maradhi
mbalimbali ikiwa kichwa,
mashikio, macho. n.k.
Makala hii nimejaribu
kuelelezea namna wataalamu
Wa Kiislamu waliofanya
kazi kubwa katika taaluma
ya sayansi ya m i m e a

hii ilifanyiwa tafsiri katika


mwaka wa 1758 karne ya
18 kwa lugha ya Kilatino
na kutumika katika nchi za

Ulaya mpaka katika mwanzo


mwanzo wa karne ya 19.
Katika kazi hio ananukulu
rejea kama 150 zilizoandikwa
na Waarabu na 20 ziliandikwa
na wayunani.
Kazi yake nyengine ni
kitabu alichokiandika
akakipa jina Kitab al-Mlughni
fi al-Adwiya al-Mufrada
ambacho kikihesabika kama
Ufunguo ya matibabu ya
Kiislamu (encyclopedia of

(Botany) na hata huku


kwetu Afrika kazi kama
hizi zimeelezewa kwa
upana hasa katika miti ya
madawa. Bahati mbaya
hata sisi wenyewe Waafrika
hatupendi kuzingatia hayo
na kushikamana na yale
ambayo Wazungu ndio
walioasisi na hatutaki
kuandika juu ya yale
waliyoyafanya wazee wetu

waliopita. Tumeshikilia
tusome kwa lugha zetu hilo
ni moja lakini lilokuwa la
maana zaidi ni kutafiti kazi
za kitaalamu zilizofanywa
na wazee wetu waliotangulia.
Makala inayofwata
nitamzungumzia Abu Nasr
Al-Farabi.

18

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

KUMBUKUMBU
Na Alhaj Abdallah
Tambaza
MWEZI kama huu miaka
minne iliyopita, Rais
Jakaya Kikwete ilibidi
akatishe ziara nchini
Botswana na kurudi
nyum bani k uongoza
maelfu ya waombolezaji
jijini Dar es Salaam katika
mazishi ya mmoja wa
watu mashuhuri kupata
kutokea katika ukanda
wa Afrika Mashariki na
Kati. Alikuwa bingwa wa
usomaji Quran; bingwa
wa unajimu; bingwa wa
tiba asilia; mtaalamu wa
nyota (horoscope) na pia
mwanasiasa nguli.
Mazishi yake yalikuwa
makubwa kupita kiasi,
kwani ilibidi barabara ya
Morogoro kuanzia eneo la
Magomeni Mikumi hadi

Marehemu Sheikh Yahya.


makaburini kwa Tambaza
isipitike kuanzia saa 7:00
mpaka saa 9:00 mchana
kutokana na wingi wa
watu.
Rekodi yake ya
mahudhurioukiacha
ya Nyerere na Sokoine
bado haijavunjwa mpaka
wakati huu. Jeneza
lilikuwa halikamatiki;
lilionekana kwa mbali
mithili ya kishada
kilichokuwa kikienda
arijojo!
Namzungumzia
Almarhum Sheikh Yahya
Hussein, aliyefariki Mei
20, 2011 na kuzik wa
siku iliyofuata kwenye
makaburi ya Tambaza,
Upanga, Dar es Salaam.
Jina lake halisi ni Yahya
Hassan, lakini alijulikana
zaidi (adopted name) kwa
jina la Yahya Hussein.
Hussein ni jina la pacha
wa babake mzazi, Mzee
Hussein Juma ambaye

Sheikh Yahya Hussein

ndiye aliyekuwa babake


mlezi.
Wazee hawa mapacha
(twins) walikuja jijini
Dar es Salaam, miaka
mingi nyuma, wakitokea
B a g a m o y o b a a d a ya
kuombwa na wazee wa
ki-Dar es Salaama, waje
kufundisha watoto dini ya
Kiislamu.
Hassan na Hussein
Juma Karanda, waliasisi
madrassa mashuhuri
iliyojulikana kama AlHassnain Muslim School,
katika Barabara ya
Msimbazi, Kariakoo, Dar
es Salaam.
Neno alHassnain,
kwa Kiarabu maana yake
ni Hassan wawili au mbili.
H i v y o wa o m a p a c h a
wawili walimiliki kwa
pamoja (jointly) madrassa
hiyo.
Kwa
maksudi
nimekielezea kisa hiki
cha wazee wale wawili
Hassan na Hussein
walivyomlea mtoto
Yahya kama walikuwa
wamemzaa pamoja,
kwa sababu ni jambo la
kupigiwa mfano.
Si watu wengi wa kileo
wa n a o w e z a k u f a n ya
mambo ya namna hiyo. Ni
utamaduni mzuri ambao
umepotea kabisa katika
familia nyingi nchini
mwetu.
Mwandishi huyu,
alilelewa na baba mkubwa
kwa staili hiyo hiyo
aliyopitia Sheikh Yahya,
katika malezi ambayo
mpaka leo yamemwachia
athari ya kudumu
( e ve r l a s t i n g i m p a c t )
maishani mwake.
Madrassa ya alHassnain inatajwa kama
moja ya vituo maalumu
kidini katika kipindi
hicho, kwani vijana wengi
wa wakati huo walipitia
hapo.
Ilikuwa inatoa elimu
zote mbili secular and
Islamic kinyume kabisa
na uzushi unaoenezwa
k w a m b a Wa i s l a m u
h a wa s h u g h u l i s h w i
wanapuuza na elimu
dunia.
Madrassa nyingine
z i l i z o k u wa z i k i f u a t a
mitaala ya namna hiyo
hapa jijini ni, Habib Punja
Ilala, Al-jamiatul Islammia
(sasa Lumumba Primary

wenzake ambao walikuwa


shule wakati wote.
Habari zinasema,
mwalimu mmoja Mzungu
hakuyakubali matokeo

Mwandishi wa makala akiwa na Alhaj Mohamed Said, mwanahistoria maarufu nchi (kulia)
baada ya kutoka kutembelea banda la Sheikh Yahya kwenye Maonyesho ya All Africa Trade
Fair Nairobi 1973.

School) na Maalim Mzinga


& Sons Muslim School
ya Kariakoo, ambako
mwandishi huyu alipata
elimu yake ya awali.
Nilimfahamu Sheikh
Yahya Hussein miaka
zaidi ya hamsini iliyopita
nikiwa kijana mdogo
nasoma madrassani kwa
Maalim Mzinga jijini Dar
es Salaam. Wakati huo
yeye akiwa mwalimu
kwenye madrassa ya kwao
ya Al-hassnain Muslim
School.
Sheikh Yahya alikuwa
rafiki wa mwalimu
Abubakar Mzinga, pale
chuoni kwetu. Hivyo
kila mara alikuwa
akifika kufanya naye
mazungumzo na
kushauriana kuhusu
masuala mbalimbali ya
dini, hasa kuhusu ile
fani yake kuu ya usomaji
Qurani Tukufu kwa njia ya
tajwiid. Maalim Mzinga
naye alikuwa msomaji.
Nyumbani kwao
Sheikh Yahya, ni mtaa wa
Mafia kona na Nyamwezi,
eneo la Kariakoo.
Mkabala na nyumba hiyo
alikuwa akiishi shangazi
yangu. Hivyo niliweza
kuwafahamu wengi wa
wanafamilia ya Sheikh
Yahya.
Dada zake Sophia,
Husna na Zawadi tulikuwa
tukisoma darasa moja pale
Shule ya Msingi Mnazi
Mmoja kwenye miaka ya
60. Mmoja wa wadogo
zake wa kiume, Salum
H u s s e i n M a d e g wa ,
alikuwa mchezo wetu
mmoja udogoni
(contemporarian).

Marehemu Sheikh
Yahya, alipata elimu yake
katika Shule ya Kitchwele
Boys Middle School (sasa
Shule ya Uhuru) jijini Dar
es Salaam, kwa wakati huo
ikisomesha watu mpaka
darasa la kumi tu. Sheikh
Yahya alikuwa hodari
mno kwenye Hesabu na
Kiingereza.
Habari zinasema
kwamba, akiwa shuleni,
Sheikh Yahya alikipenda
sana kimombo
kiasi kwamba alikuja
kumkosoa hata mwalimu
wake Mwingereza,
M r . M o n d a y , wa k a t i
huo wa ukoloni kwa
madai kwamba alikuwa
hawafundishi Kiingereza
ipasavyo.
Kitendo
kile
kilichukuliwa kama utovu
wa adabu wa mwanafunzi
k wa m wa l i m u wa k e .
Kijana Yahya alifukuzwa
shule, katika uamuzi
ambao haukushangaza
sana kwani wakoloni
kwa hulka yao
hawajapigiwa walikuwa
wanacheza; sikwambii
ukiwapigia.
Baada ya kukaa
n y u m b a n i k wa z a i d i
ya miezi sita, babake,
ambaye alikuwa
akiheshimika sana,
alikwenda kumwombea
ili alirudishwe apate nafasi
ya kujiunga na masomo ya
juu Tabora School.
Ya h y a , p a m o j a n a
kwamba alikuwa hayupo
darasani kwa zaidi ya
miezi sita, bado aliweza
kupata alama za juu kabisa
kuliko wale wanafunzi

yale. Alimpa mtihani


mwengine wa peke yake
na yeye mwenyewe akakaa
hapo hapo akimwangalia.
Mambo yakawa ni yale
yale! Alipata tena alama
za juu kama mwanzo.
Kwa namna ambayo
haikuelezwa vizuri mpaka
leo, jina lake likakatwa
katika orodha ya
waliofaulu kwenda Tabora
School, wakimtuhumu
kwamba pengine alikuwa
akitumia tunguri.
Safari ya Sheikh Yahya
kusaka elimu ilihamia
Zanzibar. Kule alikwenda
kujiunga na Zanzibar
Muslim Accademy
iliyokuwa ikiongozwa
na Mudir (principal)
kutoka chuo cha Al-azhar
Sharif cha Misri, Sheikh
Mohammed Addahani.
Ya h y a h a k u p a t a
nafasi, kwa sababu kwa
mujibu wa mudir wa
chuo, hakufikia vigezo
vilivyohitajika kujiunga
chuoni pale.
Akisimulia kisa
hicho, Sheikh Ahmed
Haidar Mwinyimvua,
Imam Mkuu wa Masjid
Mwinyikheri, Kisutu Dar
es Salaam, aliyekuwa
mwanafunzi chuoni pale
anasema:
Yahya aliondoka zake,
lakini siku chache baadaye
Mudir Addahani aliisikia
Quran Tukufu ikisomwa
katika Sauti ya Unguja na
mtu ambaye hakupatapo
kumsikia kabla; alitaka
kujua alikuwa nani yule
aliyesoma Qurani kwenye
Sauti ya Unguja.
Akajibiwa, Ah! ni
yule kijana Yahya ambaye
ulimkataa kujiunga na
Accademy yako.
Itaendelea toleo lijalo

19

Israeli forces
demolish
house in Silwan
neighborhood

JERUSALEM (Maan)
Excavators escorted by
Israeli forces demolished
a Palestinian house in
Silwan neighborhood of
occupied East Jerusalem
on Wednesday morning.
Witnesses told Ma'an
that Israeli soldiers along
with inspectors from the
Jerusalem municipality
stormed Wadi Qaddum
area in Silwan in the early
morning and blockaded
the area before excavators
razed a newly built
apartment.
W e d n e s d a y ' s
demolition comes as
S i l wa n n e i g h b o r h o o d
residents face increasing
pressures from the Israeli
government to leave the
area.
Last week Israeli forces
flattened a massive threestory building allegedly
built without a licence, as
well as three stores in the
Ein al-Luzah area of Silwan
without prior notice.
Several demolition orders
were also distributed in
the area.
Silwan is one of many
Palestinian neighborhoods
in occupied East Jerusalem
witness to an influx of
Israeli settlers at the cost
of ongoing demolition of
Palestinian homes and
eviction of Palestinian
families.
While Jewish residents
f r e q u e n t l y t a k e o ve r
Palestinian buildings with
the protection of Israeli
s e c u r i t y , g o ve r n m e n t
policies make it near
impossible for Palestinian
residents to obtain building
permits, according to the
Israeli rights organization
the Association for Civil
Rights in Israel.

Makala ya Mtangazaji

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

PLORejectsNetanyahusProposal
to Discuss Settlement Borders
RAMALLAH, (WAFA)
C h i e f Pa l e s t i n i a n
negotiator Saeb Erekat
on Tuesday slammed
Israeli Prime Minister
Benjamin Netanyahu's
proposal to discuss the
borders of settlement
blocs as an attempt
to legitimize illegal
settlement construction
and expansion in the West
Bank and Jerusalem.
The recent comment
by Israeli PM Benjamin
Netanyahu on the 'twostate solution' is nothing
new. It's a request
to continue illegal
settlement construction
with Palestinian consent,
Erekat said in a press
release.
This looks like one
state and two systems
rather than two sovereign
and democratic states, he
added. Erekat stressed that
if Netanyahu wants to have
meaningful negotiations,
which would result in
ending the occupation that
began in 1967, he should
recognize a Palestinian
State on the 1967 border and
honor Israel's obligations
including halting

settlement construction
and releasing Palestinian
political prisoners.
Last week, Netanyahu
told the European Unions
High Representative
for Foreign Affairs and
Security Policy, Federica
Mogherini, that he wants
to resume talks with the
Palestinians, that are
aimed at reaching an
understanding on the
borders of settlement
blocs that Israel would
annex under any peace
agreement.
According to the
Israeli daily Haaretz, an
Israeli source briefed on
N e t a n ya h u s me e t i n g
with Federica Mogherini
l a s t We d n e s d a y s a i d
Netanyahu explained that
in this way, Israel can get
to know what parts of the
West Bank Israel could
continue building in.
To be noted, settlement
activities in the West Bank
and Jerusalem are illegal
under international law.
The settler population
i n t h e We s t B a n k i s
estimated at 531,000: in
late 2012 the population of
the West Bank settlements

wa s 3 4 1 , 4 0 0 ; i n l a t e
2011 there were 190,423
individuals living in Israeli
neighborhoods in East
Jerusalem.
Israel has been
approving the building
of new housing units in
settlements located in
the Palestinian territory,
including in East Jerusalem,
despite of international
condemnations.
The Security Council,
the General Assembly, the
Human Rights Council and
the International Court of
Justice have all confirmed
that the construction
and expansion of
Israeli settlements and
other settlement-related
activities in the Occupied
Palestinian Territory are
illegal under international
law.
Israeli Prime Minister
Benjamin Netanyahu was
previously quoted by
media as stating that, We
will continue to build in
Jerusalem. We will add
thousands of residential
units and withstand all the
[international] pressure,
as we continue to develop
our eternal capital.

West Bank
checkpoint
closed near
Nablus
NABLUS (Ma'an)
Israeli forces shut down a
checkpoint in the northern
We s t B a n k We d n e s d a y
morning denying Palestinian
vehicles entry from both
directions.
Pa l e s t i n i a n s e c u r i t y
sources told Ma'an the
checkpoint was closed in the
early morning near the village
of Beit Furik east of Nablus.
Sources said the Israelis
claimed the closure came
after Palestinian activists
hurled a Molotov cocktail at
Israeli vehicles travelling on
the bypass road overnight,
however an Israeli army
spokesperson has not replied
for comment.
The checkpoint near
Beit Furik is one of around
100 permanent Israeli
checkpoints in the West
Bank, while surprise flying
checkpoints often number
into the hundreds.
Israeli forces maintain
severe restrictions on
Palestinians' freedom
of movement in the West
Bank through a complex
combination of fixed
checkpoints, flying
checkpoints, roads forbidden
to Palestinians but open
exclusively to Jewish settlers,
and various other physical
obstructions.
Israeli forces also erected
flying checkpoints at the main
entrance to the nearby village
of Beit Dajan Wednesday
i n s p e c t i n g Pa l e s t i n i a n
vehicles passing through.
The Nablus governorate,
which includes the city, three
refugee camps and fifteen
villages, is home to over
200,000 Palestinians whose
movement has been several
restricted for the past six
years, Israeli human rights
group B'Tselem describing
military restrictions on locals
as a "siege."

Israeli forces detain 23 Palestinian men overnight


BETHLEHEM (Ma'an)
Israeli forces carried out
multiple detention raids
overnight Tuesday and early
Wednesday morning across
the West Bank arresting 23
Palestinians
An Israeli army
spokeswoman confirmed
that the 23 were detained
for "illegal activity" but
had no further information
regarding the reasons for
detention.

The raids come as UN


Special Coordinator
(UNSCO) reported Monday
that Israeli forces have
conducted a weekly average
of 86 search and arrest
operations this year, up from
75 a week in 2014.
PA official Issa Qarage
alledged Sunday that
Israeli interrogators are
using "oppressive and
brutal" methods to frighten
Palestinian detainees and

force them into confessing to


attacks against Israel.
Around 6,000 Palestinians
are currently being held in
Israeli jails, the majority
detained under the pretext
of security.
The Palestinian Prisoner's
Society released information
regarding 10 detentions
made in Jenin, Nablus, and
Tulkarem in the northern
West Bank, as well as Hebron
in the south.

The PPS reported in the


town of Yaabad in Jenin
Israeli forces detained
Abdullah Said Amarnah,
22, Muhamad Abdullah alSuri, 25, and Muhammad
Abdullah Ghanayim, 24.
Three others, Abd al-Rahim
Hamadnah, Mahmoud
Yasin and Barra Jarara were
detained in the village of
Asira al-Shamaliyya near
Nablus.
Eyhab Marwan al-Karaki,

22, Anas Hashlamoun, 24,


and Khalid Kafrawi, 22 were
detained from Hebron, while
Ahmad Kheir Muhammad
Salman, 22 was detained in
Tulkarem city.

Contact us: P.O Box


20307, 612 UN Road
Upanga West, Dar es
Sa la am Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.
orgWebsite: www.pal-tz.
org

AN-NUUR

20

MAKALA

20

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015

Safari ya Hijja Hijiria 1436

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea,


gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni:
11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.
Wahi kujiandikisha sasa
Kwa mawasiliano: +255 222 182370
0754 261910; 0717 000065
+255 222181577
0784 272723
0786 383820
website-www.hajjtrust.or.tz
0713 764636

E-mail:info@hajjtrust.or.tz

Kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda inatisha!


Mh. Selasini katimiza wajibu wake
Ukristo wake, haukubali mambo hayo
Na Bakari Mwakangwale

MIMI kama Mkristu au kama mwanachama


wa chama chochote cha siasa humu nchini,
siwezi kushabikia mwanadamu mwenzangu
kuingiliwa kinyume na maumbile.
I k i wa M a r e k a n i n d i o b i n g wa wa
kupambana na Ugaidi, lakini hatujasikia
kuwa waliwakamata magaidi wakawaingilia
kinyume cha maumbile. (Mbunge wa Rombo,
W A I S L A M U
wameshangazwa na kauli
ya Waziri Mkuu Mizengo
Pinda, Bungeni kuwa hana
taarifa za kudhalilishwa
Masheikh na Waislamu
waliopo katika Gereza
la Segerea, Jijini Dar es
Salaam.
Hayo yamebainishwa
na Sheikh Ibrahim
Ghulam, akiongea katika
Kongamano la Waislamu
lililofanyika Ijumaa ya
wiki iliyopita, katika
Msikiti wa Kichangani,
Magomeni Jijini Dar eS
Salaam.
Sheikh Ghulamu,
ambaye ni kiongozi wa
Ha-yat-Ulamaa, ya Jijini
Dar es Salaam, alisema
wamepokea masikitiko
mengi kutoka kwa
Waislamu, kufuatia kauli
hiyo ya Kiongozi Mkuu
Bungeni na Serikali kwa
ujumla.
Alisema, kauli ya
Waziri Mkuu Pinda, si tu
imewastua Waislamu na
kuwahuzunisha, lakini pia
imeonyesha ni kwa namna
gani ambavyo viongozi
wa S e r i k a l i h a wa j a l i
pale haki za Waislamu
zinapovunjwa wazi wazi.
Sheikh Ghulamu,
a l i s e m a Wa i s l a m u
wanahoji ile ahadi ya
viongozi ya kulinda Katiba
na kusimamia uongozi wa
utawala bora ndio huo wa
kufumbia macho dhulma
wanayofanyiwa viongozi
wa Kiislamu?
Mapema wiki iliyopita,

b a a d h i ya Wa b u n g e ,
Bungeni Dodoma, katika
maswali ya hapo kwa
hapo na hata kipindi cha
kuchangia hoja, wakihoji
ukimya wa Serikali kuhusu
m a d a i y a Wa i s l a m u
waliopo gerezani, Segerea,
kufanyiwa vitendo vya
udhalilishaji.
M b u n g e
w a
R o m b o ( C H A D E M A)
Mheshimiwa Joseph
Selasini, akizungumiza
suala hilo, alishangazwa na
ukimya wa Serikali baada
ya madai ya Waislamu
kudai Mahakamani kuwa
wamedhalilishwa kwa
kuingiliwa kinyume cha
maumbile.
Mh. Selasini, akitilia
mkazo malalamiko
j u u y a Wa i s l a m u
h a o ya l i y o t o l e wa n a
Wabunge kabla yake,
alisema kinachoelezwa
ni kwamba, watu hao
(Waislamu) wanalalamika
kuingiliwa kinyume na
m a u m b i l e , n a k u wa
jambo hilo halijaanza
kulalamikiwa sasa.
Mimi kama Mkristu
au kama mwanachama
wa chama chochote cha
siasa humu nchini, siwezi
kushabikia mwanadamu
mwenzangu kuingiliwa
kinyume na maumbile.
Ikiwa Marekani ndio
bingwa wa kupambana na
Ugaidi, lakini hatujasikia
k u wa wa l i wa k a m a t a
magaidi wakawaingilia
kinyume cha maumbile.
Alisema Mh. Selasini.

Lakini, akasema hapa


Tanzania kuna watu wapo
Segerea (gerezani) ambao
walifikishwa Mahakama
ya Kisutu, wakichechemea
h a wa we z i k u s i m a m a
na madai yao yakiwa
wameingiliwa kinyume
na maumbile.
Sasa hoja ni hivi, kama
wameingiliwa kinyume
na maumbile na Serikali
inaona kwamba hawa
watu wapo mikononi
mwao, tuseme nini
sasa, kwamba ni askari
Magereza waliwaingilia
au ni watu gani. Alisema
na kuhoji Mh. Selasini.

Kufuatia hali hiyo


Bungeni, Mh. Waziri
Mkuu Pinda, akijibu,
alisema hafahamu kadhia
hiyo ya Masheikh na
Waislamu na kwamba
hana taarifa kamili na
sahihi juu ya madai hayo.
Sheikh Ghulama,
katika Kongamano hilo,
alisema majibu hayo ya
Serikali, kupitia kwa
Waziri Mkuu, ni majibu
ambayo yanaonyesha ni
kwa namna gani viongozi
wasivyo waadilifu kwa
watu wanao waongoza.
N a s h i n d w a
kukubaliana naye,

kuwa hana taarifa za


malalamiko ya Masheikh
na Waislamu kufanyiwa
dhulma na kudhalilishwa
na vyombo vyake vya
dola kuwa hanazo.
Inapofikia mahali
matukio kama haya
ya n a r i p o t i wa k a t i k a
v y o m b o v ya h a b a r i ,
yamesemwa Mahakamani
na bado asiweze kusikia,
kwa muda wote huo,
inaonyesha ni kwa namna
gani hisia za viongozi
wa nchi hii ni dhaifu
yanapokuja masuala ya
Waislamu. alisema Shkh.
Ghulamu.

Masheikh Zanzibar watakiwa


kuwakemea madhalimu sio
Kukariri kauli na ngonjera za wanasiasa

Na Salma Alghaithiyyah,
Zanzibar

VIONGOZI wa Kidini
wametakiwa kuwakemea
watu wanaofanya dhulma,
badala ya kukariri kauli za
wanasiasa za kudumisha
amani na utulivu.
Wakahimizwa kuwa ikiwa
ni kufanya makongamano,
basi yawe ya kuzungumzia
ubaya wa wenye kudhulumu
na kuwakanya.
Nasaha hizo zimetolewa
kufuatia hali iliyozoeleka
kuwa kinachofanyika ni
kuhimiza tu amani na
utulivu kila mara, bila
ya kuwanyooshea kidole
wanaofanya dhulma.
Ushauiri huo umetolewa
na Mwalimu Bi Zainab
Thani wakati akichangia
mada katika semina ya
viongozi wa dini ya Kiislamu
iliyoandaliwa na Jumuiya ya
JUMAZA na UKUEM kwa
kushirikiana na mtandao wa
kimataifa wa dini kwa ajili
ya kulinda watoto (GNRC)
iliyofanyika jengo la Bima
Mjini Zanzibar.
Alisema tatizo kubwa
liliopo sio kusamehe tu,
lakini tatizo kubwa ni watu
wenye kudhulumu ambao
huendelea kufanya vitendo

hivyo bila ya kupunguza


wala kukemewa.
Kila kongamano
linalofanyika siku hizi,
linazungumzia amani
na utulivu na namna ya
kusameheana, lakini kwa nini
kila siku tuwe tunaambiwa
tusameheane tu wakati
sisi tayari tushasamehe na
mtu anadhulumiwa halafu
anaambiwa asamehe, mtu
anapigwa anaambiwa
asamehe, mtu anaonewa
kwa kila namna, kisha
anaambiwa asamehe, na
kweli anasamehe. Sasa
tubadilishe mada, na tuwe
tunazungumzia ubaya wa
dhulma na nini hukumu ya
mtu mwenye kumdhulumu
mwenzake, labda wengine
watazinduka kwa hilo,
amesema Bi Zainab.
Aidha, aliwaambia wana
semina hao, dhuluma ni
mbaya inapofanyika katika
jamii na huweza kusababisha
madhara mbali mbali na
majanga katika nchi iwapo
haitakemewa.
Wenye kufanya hivi
vitendo vya kuwanyanganya
haki wenziwao na kuwapiga
na kuwaonea kila inapofika
uchaguzi, basi wataendelea
tu kwa kuwa wanajua wapo
watawaomba wasamehe

na watasamehe, sasa
tueleze ubaya na madhara
yanayompata mtu mwenye
kudhulumu, aliongeza.
Naye Bi Fatma Mohammed
Hassan amewataka
Wa i s l a m u k u t o k u b a l i
kushawishiwa na maneno
yanayozungumzwa kwamba
Waislamu hawahusiki na
kupiga kura kwani suala la
kuchangua kiongozi ni la
kila mmoja katika nchi.
Sisi tunashangaa na hizi
propaganda zinazosema
kwamba Waislamu kura
haiwakhusu, sasa tunauliza
kama sisi haitukhusu,
itamkhusu nani na
s i s i n d i o wa n a n c h i n a
tupo katika jamii hii ya
Zanzibar. Mimi nadhani
tuepukane na dhana hizi
zinazosambazwa kwamba
demokrasia haramu, sisi
tuna wajibu wa kuhakikisha
tunapata viongozi wazuri
watakaoweza kuendesha
nchi kwa uadilifu na amani,
alisema Mwalimu Bi Fatma.
Kwa upande wake, Katibu
Mtendaji Kamisheni ya
Wakfu na Mali ya Amana
Zanzibar, Sheikh Abdulla
Talib Abdullah amesema,
kuvunjika kwa amani ndani
ya n c h i k u n a m a d h a r a
makubwa.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1151
    Annuur 1151
    Документ16 страниц
    Annuur 1151
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 114
    Annuur 114
    Документ12 страниц
    Annuur 114
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1049
    Annuur 1049
    Документ12 страниц
    Annuur 1049
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1119
    Annuur 1119
    Документ16 страниц
    Annuur 1119
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    Документ16 страниц
    Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1056 PDF
    Annuur 1056 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1056 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1062
    Annuur 1062
    Документ16 страниц
    Annuur 1062
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1175b PDF
    ANNUUR 1175b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1175b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1055 PDF
    Annuur 1055 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1055 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 1077
    Annuur 1077
    Документ12 страниц
    Annuur 1077
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1088 PDF
    Annuur 1088 PDF
    Документ12 страниц
    Annuur 1088 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1102
    Annuur 1102
    Документ12 страниц
    Annuur 1102
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1022
    Annuur 1022
    Документ12 страниц
    Annuur 1022
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • An-Nuur 1071
    An-Nuur 1071
    Документ12 страниц
    An-Nuur 1071
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1157 PDF
    Annuur 1157 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1157 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1029
    Annuur 1029
    Документ20 страниц
    Annuur 1029
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1124
    Annuur 1124
    Документ16 страниц
    Annuur 1124
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1154
    Annuur 1154
    Документ16 страниц
    Annuur 1154
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 1
    Imaan Newspaper Issue 1
    Документ19 страниц
    Imaan Newspaper Issue 1
    Imaan Newspaper
    100% (1)
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    От Everand
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Рейтинг: 4 из 5 звезд
    4/5 (24)
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    От Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    От Everand
    Miaka Miwili Ya Urais Wa Magufuli: Safari Ya Matumaini Au Nyota Iliyofifia?
    Рейтинг: 1 из 5 звезд
    1/5 (1)
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Nyuma Ya Pazia
    Nyuma Ya Pazia
    От Everand
    Nyuma Ya Pazia
    Оценок пока нет
  • Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    От Everand
    Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    Оценок пока нет
  • Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    От Everand
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Рейтинг: 4.5 из 5 звезд
    4.5/5 (3)
  • Sikitiko
    Sikitiko
    От Everand
    Sikitiko
    Оценок пока нет
  • Nyayo Za Obama
    Nyayo Za Obama
    От Everand
    Nyayo Za Obama
    Оценок пока нет
  • Ujasusi Ni Nini? Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa?
    Ujasusi Ni Nini? Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa?
    От Everand
    Ujasusi Ni Nini? Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa?
    Оценок пока нет
  • Tungo Zetu: Msingi wa Mashairi na Tungo Nyinginezo
    Tungo Zetu: Msingi wa Mashairi na Tungo Nyinginezo
    От Everand
    Tungo Zetu: Msingi wa Mashairi na Tungo Nyinginezo
    Оценок пока нет
  • Salamu Kutoka Kuzimu
    Salamu Kutoka Kuzimu
    От Everand
    Salamu Kutoka Kuzimu
    Рейтинг: 4.5 из 5 звезд
    4.5/5 (7)
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    От Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Оценок пока нет
  • Annuur 1193
    Annuur 1193
    Документ20 страниц
    Annuur 1193
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1185
    Annuur 1185
    Документ20 страниц
    Annuur 1185
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1190
    Annuur 1190
    Документ20 страниц
    Annuur 1190
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1182
    Annuur 1182
    Документ20 страниц
    Annuur 1182
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1182
    Annuur 1182
    Документ20 страниц
    Annuur 1182
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1181 PDF
    Annuur 1181 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1181 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1110cc
    ANNUUR 1110cc
    Документ16 страниц
    ANNUUR 1110cc
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1175b PDF
    ANNUUR 1175b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1175b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1178
    Annuur 1178
    Документ20 страниц
    Annuur 1178
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1103
    Annuur 1103
    Документ12 страниц
    Annuur 1103
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1112
    Annuur 1112
    Документ16 страниц
    Annuur 1112
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1106 Januari3
    Annuur 1106 Januari3
    Документ12 страниц
    Annuur 1106 Januari3
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1099
    Annuur 1099
    Документ12 страниц
    Annuur 1099
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Документ0 страниц
    Rasimu Ya Katiba (Toleo La Pili)
    Muhidin Issa Michuzi
    0% (1)
  • Annuur 1105
    Annuur 1105
    Документ12 страниц
    Annuur 1105
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1100
    Annuur 1100
    Документ12 страниц
    Annuur 1100
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1104
    Annuur 1104
    Документ16 страниц
    Annuur 1104
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1102
    Annuur 1102
    Документ12 страниц
    Annuur 1102
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1101
    Annuur 1101
    Документ12 страниц
    Annuur 1101
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Miaka 50 Ya Mahkama Zanzibar
    Miaka 50 Ya Mahkama Zanzibar
    Документ6 страниц
    Miaka 50 Ya Mahkama Zanzibar
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1094
    Annuur 1094
    Документ16 страниц
    Annuur 1094
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1097
    Annuur 1097
    Документ12 страниц
    Annuur 1097
    annurtanzania
    Оценок пока нет