Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
Wasiwasi watanda....
Soma Uk. 20
RAIS Kikwete.
SHEIKH Msellem.
Tahariri/Habari
2
AN-NUUR
K WA h a k i k a k i l a
aliyesikiliza swali na
Mbunge wa Mji Mkongwe
(CUF), Muhammed
Ibrahim Sanya kwa
M h e s h i m i w a Wa z i r i
Mkuu wiki iliyopita na
utangulizi wa Waziri
Mkuu katika jibu lake,
lazima atajiuliza maswali
mengi ambayo hayana
majibu.
S wa l i l a M h . S a n ya
lilikuwa wazi sana na
lenye kugusa suala zito la
kuvunjwa haki za kiraia,
kisheria na kikatiba, za
Masheikh wanaoshikiliwa
kwa zaidi ya mwaka sasa
kwa tuhuma za ugaidi.
Baada ya kutoa maelezo
marefu na kuuliza swali,
bado Mh. Sanya alitakiwa
na Mheshimiwa Spika
kufafanua zaidi alikuwa
akikusudia watuhumiwa
gani ambapo Sanya
alisema wazi kuwa, hao ni
Masheikh wa UAMSHO
wanaoshikiliwa kwa
tuhuma za ugaidi.
Sasa sikiliza jibu la
Waziri Mkuu, Mheshimiwa
Mizengo Kayanza Peter
Pinda:
Mheshimiwa Spika, ni
bahati mbaya tu kwamba
swali halipo wazi sana,
ili tuweze kujua hasa
k i n a c h o t a f u t wa n i n i .
Ningeshukuru sana kama
ningejua Masheikh hawa
n a n i , wa n a t u h u m i wa
k wa m a k o s a ya p i , n a
pengine kwa sasa wapo
katika hatua ya upepelezi,
wameshafikishwa
mahakamani, ili niweze
kuwa na uhakika kwamba
kinachotafutwa hapa ni
katika stage (hatua) gani
ya mchakato katika suala
hilo ambalo linawakabili.
S i m a r a ya k wa n z a
suala la Masheikh hawa
kufikishwa Bungeni
Dodoma. Lishazungumzwa
sana waheshimiwa
Wabunge wakihoji mambo
ya msingi kuhusiana na
wa t u h u m i wa h a o . N a
mambo yanayohojiwa ni
manne. Moja, ni madai ya
watuhumiwa hao kuwa
kidnapping and
extrajudicial transfer of a
person from one country
to another).
Lakini pia wanahoji,
hata kama wanatuhumiwa
kwa shutuma nzito kama
h i y o ya u g a i d i , k wa
nini wadhalilishwe na
kufanyiwa vitendo vya
ki-firauni kama wenyewe
walivyodai kufanyiwa
na kutoa ushahidi
mahakamani?
Hata hivyo, la kusikitisha
na kushangaza kabisa ni
kuwa, pamoja na kilio cha
watuhumiwa hao, pamoja
na hoja za wananchi,
pamoja na ushahidi wa
kutisha unaowasilishwa
AN-NUUR
Lakini tukumbushe
tu jambo moja na hii ni
kwa mujibu ya amri ya
Fadhakkir.
Sisi sote ni wachunga.
Na kila mchunga ataulizwa
kwa vile alivyovichunga.
Raha ya mamlaka haiishii
tu kwa kukimbizwa na
vingora huku wengine
wakipisha njia wewe peke
yako upite.
Kuna na kuulizwa juu ya
hawa wanaokupisha njia
ukipitishwa mbio utadhani
kila mtu unayemuona ni
adui yako.
Vipi uliwachunga. Vipi
uliwatendea. Na siku
hiyo, hakuna vingora vya
kukupitisha mbio katika
Siratwa.
Na ambao uwapatao
msiba husema: hakika
sisi ni wa Mwenyezi
Mungu, na kwake Yeye
tutarejea (2:156).
Hivyo
ndivyo
alivyoanza kusema
Sheikh Walid Alhad,
Imamu Mkuu wa Msikiti
wa Kichangani wakati
akitoa taarifa za msiba wa
ndugu yake Omary Alhad.
Imam Alhad ambaye
ni kaka wa marehemu,
alisema mdogo wake
Sheikh Omary alikuwa Al-Marhum Sheikh Omary
Muhadhiri wa Msikiti Alhad.
wa Kichangani, uliopo
Imam huyo alisema,
Magomeni jijini Dar es
Sheikh Alhad baadae
Salaam.
alijiunga na hapo hapo
Sheikh Omary alifariki
Alharamain na masomo
siku ya Jumatano katika
ya Dini.
H o s p i t a l i y a Ta i f a
Aidha, alisema
Muhimbili jijini Dar es
Sheikh Omar Alhad,
Saalam ambako alikuwa
alitafuta elimu ya
amelazwa kwa ajili ya
Dini na kupata darsa
matibabu kutokana na
kwa Masheikh wengi,
kusumbuliwa na maradhi
baadhi yao wakiwa ni
ya moyo kwa muda mrefu.
baba yake mzazi Sheikh
Marehemu alizikwa
Alhad Omary, Sheikh
Alhamisi wiki hii (jana) Mohamed Ali Buhury na
k a t i k a m a k a b u r i y a Sheikh Ahmed Khaidary.
Mwinyi Mkuu Jijini Dar
Hao ni baadhi tu
es salaam baada ya swala ya Masheikh ambao
ya Alasir.
walimpa elimu ya dini
Marehemu ameacha marhum Omary Alhad.
mjane na watoto wawili.
Sheikh Omar Alhad
Akielezea kwa ufupi katika harakati zake
wasifu wa mdogo wake, za kuhudumia jamii,
S h e i k h Wa l i d A l h a d alianzisha taasisi ya
a l i s e m a m a r e h e m u kusaidia kina mama
alizaliwa mwaka 1970 na watoto mbalimbali
jijini Dar es Salaam na wenye matatizo.
kusoma shule ya msingi,
S h e i k h Wa l i d
Ilala Mchanganyiko Dar alisema mdogo wake
es Salaam, ambapo baadae hakuwahi kufanya kazi
alijiunga na shule ya nyengine katika uhai
sekondari ya al Haramain wake isipokuwa kazi ya
jijini ambako alihitimu Daawa na kusaidia jamii
kidato cha nne.
hadi mwisho wa uhai
wake.
A l i k u w a
n i
mwanaharakati katika
masuala ya dini na
aliipenda kazi yake.
Alijitoa kwa moyo
wake wote kuitetea na
kueneza dini ya Allah.
Tumempoteza mtu
muhimu sana miongoni
mwa Wahadhiri walio
kuwa na upeo mkubwa
wa masuala ya dini.
Alisema Sheikh
3
Na Mwandishi Wetu
Jambo la kutisha
zaidi linakuja, ndivyo
walivyoambiwa Waislamu
na Amir wa Shura ya
Maimam na Baraza Kuu,
Sheikh Mussa Kundecha.
Jambo lenyewe ni kuwa
upo mpango unakuja wa
kufuta shule za Kidini au
kuzifanya ziwe binafsi
k wa m a a n a ya k u wa
zisajili wanafunzi wa dini
zote.
Sheikh Kundecha
alitoa tahadhari hiyo
kwa Waislamu katika
kongamano lililofanyika
katika Msikiti wa
Magomeni, Kichangani,
Ijumaa iliyopita.
Ilikuwa ni baada ya
kutoa taarifa juu ya kadhia
ya k u k a m a t wa o v y o
Masheikh na Walimu wa
Madrasa kwa kisingizio
cha kupambana na
ugaidi, Sheikh Kundecha
aliwataka Waislamu kukaa
macho na kuwa makini
kwani kuna balaa jingine
linakuja.
Hapo ndio akafichua
kuwa, Shule za Kiislamu
ambazo huchukua
wa n a f u n z i Wa i s l a m u
pekee, (au zile za Kikristo
ambazo huchukua
Wa k r i s t o t u ) h u e n d a
zisiwepo tena na wamiliki
wake kutakiwa kuingiza
watu wa dini nyingine.
Habari
zaidi
zinafahamisha kuwa upo
Muswada wa Sheria ya
Elimu, ambapo hata kabla
ya kupitishwa kuwa sheria,
kuna baadhi ya taasisi za
Kiislamu zimenyimwa
usajili huku wahusika
wakiambiwa kuwa hata
waliokwishapewa leseni
watanyanganywa.
Kwa mujibu wa taarifa
kutoka ndani ya vikao
vya taasisi za Kiislamu
vinavyoendelea hivi
sasa juu ya jambo hilo,
baadhi ya maofisa wa
Wi z a r a ya E l i m u n a
Mafunzo ya Ufundi
wamefahamisha kuwa
tayari yameshatolewa
maelekezo kwa Wakaguzi
wa E l i m u wa M i k o a
kukusanya Leseni za Shule
hizo za Kidini, ili zisajiliwe
upya kama binafsi.
Hata hivyo, baadhi ya
Wakaguzi walioulizwa juu
ya jambo hili, walisema
kuwa bado hawajapata
maelekezo yoyote.
Hadi tunakwenda
mitamboni, juhudi za
m wa n d i s h i k u m p a t a
Afisa kutoka Ofisi ya
Usajili, aliyedai kuwa
l e s e n i z i t a k u s a n y wa
n a m p ya h a z i t o l e w i ,
hazikufanikiwa.
Hata hivyo, baadhi
ya viongozi wa taasisi
za Kiislamu wamekiri
k u n y i m wa l e s e n i n a
kuambiwa kuwa hakuna
sababu ya kupewa
wakati zoezi lililopo ni
kukusanywa zilizokwisha
kutolewa.
Kwa uapnde mwingine,
Habari
AN-NUUR
pekee.
Kwa wakati ule, baada
ya Waislamu kupiga kelele
wakilalamikia mfumo
n a u t a r a t i b u h u o wa
kidhalimu na kibaguzi,
n a k u o n a s e r i k a l i ya
kikoloni na Tanganyika
huru, haijali, walianzisha
juhudi za kujenga shule
zao kwa harambee, lakini
pia wakiendelea kupigania
kile kilicho haki yao katika
Hazina ya Taifa.
Hata hivyo, juhudi za
Waislamu zilikumbana na
P
igo la kwanza
kutoka kwa Mwalimu
Nyerere ambaye alitaifisha
shule.
Kutokana na propaganda
iliyopigwa katika siasa
hizo za kutaifisha shule,
Mwalimu Nyerere
alionekana kama shujaa
n a m s a m a r i a m we m a
asiye mbaguzi aliyetaka
na Waislamu wasome.
Lakini ukweli wa jambo
lenyewe ilikuwa hatua na
mkakati wa kuwarejesha
nyuma Waislamu.
Moja, iliuwa ule moyo
wa Waislamu wa kujizatiti
na kuwa na moyo wa
kujiletea maendeleo.
Pili, zile nafasi chache
zilizokuwa zikipatikana
k u wa p a f u r s a wa t o t o
wa K i i s l a m u k u s o m a
ziliporwa.
Waislamu walifungiwa
tena milango ya kusoma
kama ilivyokuwa wakati
wa mkoloni.
Hii ni kutokana na
sababu kwamba baada
ya s h u l e k u t a i f i s h wa
zikiwemo zile za Kikristo,
bado uongozi wa shule zote
hizo pamoja na maofisa
walioteuwa nani asome,
zilibaki mikononi mwa
Wakristo, na inajulikana ni
kwa namna gani Waislamu
walidhulumika katika
utaratibu huo.
Hata hivyo, pamoja na
baadhi ya shule za Kikristo
nazo kutaifishwa, bado
kulikuwa na nyingine
zilizokuwa za seminary
ambapo wakisoma
Wa k r i s t o p e k e e n a
wakichaguliwa kuingia
shule za serikali za kidato
cha tano na Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam au
kupata scholarship za
serikali.
Katika muda wote
wa Mwalimu Nyerere
kama Rais, haikupata
kuandikishwa shule ya
seminary ya Kiislamu.
Na namna ya kuwazuiya
Waislamu ilikuwa ukiomba
tasjila unaambiwa uende
Bakwata. Ukifika Bakwata
ilishapewa maelekezo
ikatae.
Ilikuwa kipindi
a l i p o k u wa Wa z i r i wa
Elimu ni Marehemu Prof.
Kighoma Ali Malima,
aliyefungua mlango baada
ya kusema kuwa hapakuwa
na sheria inayowalazimisha
Waislamu wasiandikishe
shule ila chini ya Bakwata.
Pamoja na juhudi
zinazoendelea Waislamu
kutaka serikali yao itende
haki kwa raia wake
wote, kwa miaka ya hivi
karibuni pamekuwa na
m wa m k o m k u b wa n a
kujitolea kukubwa kwa
Waislamu katika kujenga
na kuendesha shule na
vyuo.
A wa l i Wa i s l a m u
walipoanza juhudi hizi
mwishoni mwa miaka ya
1980, serikali ilitoa kauli
kuwa shule za seminari
hazitatambulika.
Na kwamba, kinyume
na ilivyokuwa huko
nyuma ambapo, watoto wa
Kikristo kutoka seminari
za Kik risto walik uwa
wakichaguliwa kidato cha
tano shule za serikali, sasa
itakuwa hawachaguliwi
tena.
Hata hivyo, hiyo
haikuwakatisha tamaa
Waislamu. Na kwa bahati
nzuri, kimya kimya serikali
yenyewe haikutekeleza
azma yake hiyo ambayo
kwa kila sura, ilikuwa
ikionyesha kuwalenga
Waislamu.
Takriban sasa kila msikiti
una shule ya Awali na
mingine Awali na Msingi
huku taasisi nyingi za
Kiislamu zikianzisha shule
za sekondari na vyuo.
Kwa mujibu wa tahadhari
na taarifa iliyotolewa na
Amir Kundecha, ni kuwa
shule hizi za Waislamu
sasa basi.
Itakuwa sasa basi
kwa sababu hata kama
watakuwepo, lakini
watakuwa ni wachache
sana katika Waislamu
ambao watakubali Zakka
na Sadaka zao zitumike
kujengea na kuendeshea
shule za Misikiti
zinazosomesha Waislamu
na wasio Waislamu.
Katika moja ya
Mihadhara yake,
Marehemu Sheikh Ilunga
Hassan Kapungu aliwahi
kueleza hofu aliyokuwa
nayo aliyekuwa Waziri
wa E l i m u wa k a t i u l e
Mheshimiwa Joseph
Mungai.
Ilunga akiwa ofisini
Waziri Mungai akifuatilia
usajili wa shule yao moja
ya Kiislamu kule Mwanza,
Joseph Mungai alisema,
anashindwa kujua hali
itakuwaje miaka 50 ijayo
wakati ambapo watoto
wa Waislamu watakuwa
wamesoma sawa na watoto
wa Kikristo.
Ilikuwa ni katika
mazungumzo ya
kawaida ambapo Mungai
a l i m w o n ye s h a I l u n g a
majalada mengi na
kumwambia kuwa yote
yale yalikuwa ni maombi
ya Waislamu wanataka
kusajili shule.
Mheshimiwa Waziri,
Wa i s l a m u w e n y e w e
hawana uwezo ndio
wanahangaika kujenga.
Alisema Ilunga kama
kumwambia mheshimiwa
asiwe na wasiwasi maana
nguvu na kasi ya Waislamu
haiwezi kushindana na ile
ya Wakristo.
Sawa. Leo mnahangaika
na kujenga. Itafika
mahali mnaendesha.
Leo sisi tumesoma,
nyinyi hamjasoma,
lakini miaka 50 ijayo,
watoto wenu watakuwa
wamesoma na wetu
watakuwa wamesoma,
hali itakuwaje.
Alisema Sheikh Ilunga
(Mungu Amrehemu)
akimnukuu aliyekuwa
Waziri wa Elimu (mwaka
2000-2005) Joseph Mungai.
Ambacho pengine
inabidi Waislamu wajiulize:
Mkakati huu na nia hii ya
kufuta shule za Kidini na
badala yake kuwa Binafsi,
je ni katika kukabiliana
na hofu aliyokuwa nayo
Joseph Mungai?
4
Na Salma Alghaythiya,
Makala
AN-NUUR
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Anne Makinda (kshoto) akiwa katika moja ya
ziara nchini Oman.
Wapemba weshasoma
sasa zamu ya wenzao
Waunguja, kauli ambayo
ilitafsiriwa kwa vitendo
kuwanyima Wapemba
nafasi za Masomo ndani
na nje.
Hivo nani kasahau kauli
ya Rais Mstaafu Ali Hassan
Mwinyi aliposema hawa
Wapemba ni vijibwa vya
santuri wanaiga sauti
za mabwana zao yaani
leo wapemba si watu na
Wapemba hawana haki ya
kutoa mawazo yao?.
Kauli nyingi za dharau
na kejeli zilitolewa hata
kufika hadi kusemwa
Mpemba kuingia Ikulu
ni sawa na mbwa kuingia
msikitini. CCM kama
kingalikuwa ni chama
cha kuongoza nchi, sio
kutawala, basi kingefanya
utafiti wa kina kujua
s a b a b u ya Wa p e m b a
kuikataa CCM ili
kufahamu. Lakini CCM
ni chama cha kutawala
hata bila ya kupata
r i d h a a ya wa n a n c h i .
Lakini maskini ni chama
ambacho kimeshapoteza
dira na mwelekeo. Haya
yalisemwa zamani na
aliekuwa Katibu Mkuu
wa CCM Horace Kolimba.
Vi s h i n d o v ya C C M
vilitumia nguvu za
dola bila hata kujali
Katiba wala sheria za
nchi. Vyama vya siasa
ambavyo viliruhusiwa
kufungua matawi pamoja
na kufanya mikutano ili
kuweza kunadi sera zao
na kuweza kukubalika
hii ikiwa ni haki yao chini
ya sheria, lakini haikuwa
hivyo pale chama cha
CUF kilipofungua tawi
na kuperushwa bendera
Shumba Mjini (Pemba).
Alitokea Mkuu wa wilaya
Feruzi na kupeleka askari
wa FFU ili kuteremsha
bendera ya chama cha
CUF. Nguvu za kupita
mpaka zilitumika na jeshi
la polisi lilitumika na
walitumia risasi na kuua
pamoja na kujeruhi. Nani
amesahau mauaji ya kijana
Awadh hapo Mtendeni.
Hatuwezi kusahau
watu waliouawa katika
maandamano ya amani
kupinga mtokeo ya
uchaguzi yaliyofanya
CUF. Wengi walijeruhiwa
na kuwa na vilema vya
maisha na wengine
kukimbilia Kenya baada
kusakwa kwa mabunduki,
nini wameandamana.
Sote tunakumbuka pale
Maaalim Seif pamoja na
viongozi wenzake wa
CUF akina Juma Duni,
Maulid Makame, Mloo na
wengineo walifunguliwa
kesi (za nyaraka za siri,
uchochezi na uhaini) ili
kuzuia na kuwafumba
midomo katika kuikosoa
CCM na kutokubaliana
na sera za CCM. Sasa hii
leo si ajabu kuona kesi
inayomkabili Mansour
baada ya kuikosoa CCM
na sera zake.
Vitimbi hivi vya CCM
Habari/Matangazo
AN-NUUR
MALAYSIA na Indonesia
zimekubali kuwaruhusu
maelfu ya wakimbizi wa
Kiislamu wa wahamiaji
wa jamii ya Rohingya
k u t o k a M ya n m a r n a
wale kutoka Bangladesh
kuingia katika nchi hizo.
Wa k i m b i z i h a o
wamekwama baharini kwa
siku kadhaa sasa.
Waziri wa Mambo ya
Nje wa Malaysia Anifah
Amas, alisema nchi yake na
Indonesia zimekubaliana
kuendelea kutoa misaada
ya kibinadamu kwa
wahamiaji haramu 7,000
ambao bado wamekwama
baharini na kuwapa
makazi ya muda, huku
mchakato wa kuwapa
makazi na kuwarejesha
makwao ukishughulikiwa
kwa kipindi cha mwaka
moja ujao na jumuiya ya
kimataifa.
Anifah ameonya kuwa
Malaysia na Indonesia
hazina raslimali za
kutosha kuwasaidia
wahamiaji hao na kuutaka
ulimwengu kushirikiana
nao kuwasaidia wahamiaji
hao na kuongeza
kuwa nchi hizo mbili
hazitajishughulisha katika
kuwatafuta na kuwaokoa
wahamiaji hao baharini
bali zitawasaidia tu wale
watakaofika katika fukwe
zao.
Kwa upande wake
Myanmar imeonekana
kulegeza sera zake
z a k i b a g u z i d h i d i ya
Waislamu, kwa kusema
iko tayari pia kuwasaidia
wa h a m i a j i h a o h u k u
shinikizo kutoka kwa
jumuiya ya kimataifa
zikizidi kutaka wahamiaji
hao kupokea misaada
kutoka kwa Thailand,
Malaysia na Indonesia.
Waislamu
hao
wamelazimika kukimbia
makazi yao kutokana na
kuuliwa na wafuasi wa
dini ya Budha, ambao ndio
wengi katika nchi hiyo.
M ya n m a r i m e s e m a
i n a t i wa wa s i wa s i n a
hali ya wahamiaji hao
wanaohangaika baharini
na inafuatilia kwa karibu
matukio hayo.
Wengi wa wahamiaji hao
waliokwana ni wa kutoka
jamii ya Rohingya ambao
h a wa t a m b u l i k i r a s m i
na serikali ya Myanmar
wanaowachukulika
wahamiaji kutoka Bengali,
huku wakidharauliwa
pakubwa na makundi
mengine nchini humo.
Mawaziri wa mambo ya
nje wa Thailand, Malaysia
na Indonesia wamekutana
mjini Kuala Lumpur,
kujadili tatizo hilo la
k u k wa m a wa h a m i a j i
hao baharini, ambao
hakuna taifa linaloridhia
kuwahifadhi.
Myanmar hata hivyo
imeususia mkutano huo
kwa kusema haingependa
kulifanya suala hilo kuwa
la kimataifa.
Wa k a t i h u o h u o ,
wavuvi nchini Indonesia
wamewaokoa wahamiaji
370 wiki hii waliokuwa
wamekwama kwa boti
Shirika la umoja wa
mataifa la kushughulikia
wakimbizi UNHCR
linakadiria kiasi cha
wahamiaji 2,000 huenda
bado wamekwama majini
k a t i ya M ya n m a r n a
Bangladesh
Katika tukio jingine,
makaburi yasiyopungua
30 yanayosadikiwa
kuwa na viwiliwili
vya wahamiaji kutoka
Myanmar na Bangladesh
yamegunduliwa katika
jimbo la Kaskazini mwa
Malaysia la Perlis.
Kwa mujibu wa gazeti
la Star, miili ipatayo 100
Shirika Kuu la
Kijasusi la Marekani
CIA, limelaumiwa
kwa kuwa chanzo
cha ugaidi na
k i l e k i n a c h o i t wa
m i s i m a m o
m i k a l i ya k i d i n i
inayoshuhudiwa
nchini Kenya.
K wa m u j i b u wa
toleo la leo (juzi) la
gazeti la kila siku
la People Daily la
nchini Kenya, afisa
wa serikali ya Kenya
ambaye hakutaka jina
lake litajwe, alisema
mradi wa CIA wa
k u wa u n g a m k o n o
'Mujahidina' katika
vita vya Afghanistan
vya muongo wa 80,
ndio chanzo cha
misimamo mikali ya
kidini.
Lawama hizo
zimetolewa kwa
s a b a b u b a a d h i ya
Wakenya walioshiriki
katika vita hivyo
dhidi ya Shirikisho
la Sovieti, walirudi
nyumbani na kupanda
mbegu za misimamo
mikali ya kidini na
kueneza ugaidi
unaoshuhudiwa hivi
sasa nchini humo.
Gazeti
hilo
linadokeza kuwa
vijana wanaojiunga
na Al Shabab hivi
sasa wamechochewa
na wale walioshiriki
katika mradi wa CIA
nchini Afghanistan.
Gazeti hilo linafichua
kuwa Sheikh Abubakr
Shariff, maarufu kama
Makaburi aliyeuawa
Mombasa Januari
2014, alishiriki katika
vita hivyo bega kwa
bega na 'Mujahidina'
wa l i o p a t a h i m a ya
ya CIA nchini
Afghanistan.
Aidha People
Daily limeandika
kuwa walioenda
Afghanistan walipata
mamilioni ya dola
na kwamba wengine
walipitia Dubai kabla
ya kujiunga na mradi
huo wa CIA, ambao
mbegu zake sasa
zimechipukia Kenya.
Gazeti hilo pia
limeandika kuwa
inawezekana
Masheikhe waliouawa
akiwemo 'Makaburi'
waliuliwa na maafisa
wa CIA kwani shirika
hilo la kijasusi la
Marekani limekuwa
likifuatilia nyendo
zao.
6
HATUKUKAA
kutimiza hata wastani
wa miezi mitatu,
tukaaabiwa kuwa sisi
sasa tuna kesi ya ugaidi.
Sijui kesho kutwa
tutakuja kuambiwaa
tuna kesi ya uhaini.
Lakini ikiwa ni kwa
madai yetu sisi kudai
hishma ya nchi yetu,
na haki sawa baina ya
nchi hizi mbili, madai
yetu mheshimiwa
hatuwezi kuyageuka,
hata watuite sisi nani.
Watuite magaidi, watuite
wahaini, watafute na jina
jingine lolote lile, bado
tutabakia kuwa tunadai
madai yetu haya.
M h e s h i m i w a
( H a k i m u )
ninayatanguliza ha ya
MAKALA
AN-NUUR
ya
mahakama.
M h e s h i m i wa h i c h o
anachokizungumza
y e y e ,
t a ya r i
kimeshatolewa
maamuzi, yaani
maamuzi ya mahakama
ya mwanzo, ya ombi
letu tulilopeleka,
yametolewa mwezi wa
kumi na mbili (mwaka
jana 2014) mheshimiwa.
Mwezi wa kumi na
mbili mpaka leo, ni
miezi mitano, anasubiri
rekodi. Mheshimiwa
unapata picha hapa. Ya
kuwa hapa kuna usanii
unachezwa. Na kama
maneno makali, sisi
hatukusema maneno
makali Tumedai hishma
ya nchi yetu.
Na hii si mara ya
kwanza, watu waliodai
(madai haya) hata
gazeti la hivi karibuni
la Mwananchi
Mheshimiwa Hassan
Nassor Moyo anasema
madai haya yalianza
toka mwaka wa 1970
zetu. Utamchukuaje
mtu kumpeleka nchi
nyingine? Mmejigeuza
nyie Wamarekani?
Zanzibar kuna
M a h a k a m a .
tushitakiwe Zanzibar.
Zanzibar
sisi
tumekuwa tukihojiwa.
Tumeshaitwa na majopo
ya viongozi tofauti,
wakiwemo Makamishna
na wengineo, kutuhoji,
l a k i n i wa l i k u wa n i
watu wastaarabu.
Tunashangaa kuletwa
hapa tunahojiwa na
watu uchi wa mnyama.
Unajiuliza kulikoni?
Hivi
tuseme
ndivyo alivyoamrisha
Mheshimiwa Rais
Kikwete wafanye
hao maofisa wa
Polisi? Ndivyo
walivyoamrishwa
hivyo!
(Sehemu ya maelezo
yaliyotolewa na Sheikh
Farid Had Mahakamani
jijini Dar es Salaam)
Makala
AN-NUUR
a l i m p a m wa n a we a m r i
kali ya kuzuia uvunjwaji
wowote wa mikataba ya
biashara ya utumwa na
Uingereza kwa namna yoyote
iliyoyumkinika. Baada ya
Sultani kuondoka, jahazi
kubwa la mfanyabiashara wa
Kifaransa liliwasili kisiwani
humo, hapana shaka kwa
dhamira ya kuwaandikisha
wafanyakazi huru kwa
ajili ya mashamba huko
Bourbon (Reunion). Jaribio
la kuyapa aina fulani ya
uhalali malipo yaliyofanyika
hapo kwa kumpa mmliki
watumwa bakhshishi kwa
kila mtumwa aliyeshiriki
kwa dhamira hii. Baada ya
kulipwa bakhshishi, mmiliki
alitoa tangazo rasmi lenye
maneno yafuatayo, Mtu
h u y u a l i k u wa m t u m wa
wangu. Ninamwacha huru.
Ana uhuru wa kuhudumu
kwa mfanyabiashara wa
Kifaransa au mwengine
yeyote, ikiwa ataku-baliana
na masharti yaliyowekwa.
Masharti yanayotajwa hapa
ni kwamba mtumwa huyo
alipaswa kufanya kazi kwa
tajiri wake wa Kifaransa kwa
miaka mitano na baada ya
hapo ana uhuru wa kwenda
atakako .
Ameongeza Gray na haya
yafuatayo:
Tafsiri: Sio tu kwamba
Khalid alipiga marufuku
kwa nguvu kali aina yoyote
ya makubaliano kama hayo,
bali pia alipeleka boti kwenye
jahazi la Kifaransa, ambalo
aliamini kuwa lilikuwa
limechukua watumwa kumi
na mbili ambao walikuwa
wakipelekwa Bourbon
bila ya ridhaa zao. Bwana
Tangazo
AN-NUUR
ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2015/2016 KATIKA SHULE ZA IPC
I.
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL.-SAME
-KILIMANJARO
A.WAVULANA
NA JINA KAMILI
TAHASUSI
1
MOHAMED OMARI MOHAMMED
PCB
2
YAHYA KHALFAN KABOZA
PCB
3
FADHILI ADAM ALLY
CBG
4
IBRAHIM HASSAN KIBONA
EGM
5
NASSIB BAKARI LULELA
HKL
6
ISSA SALIMU CBG
7
ABDALLAH HUSSEIN MSUYA
PCB
8
RAMADHAN HAMIS MBOZU
HGL
9
SULEIMAN MAJALIWA KYONDA
HGL
10
SOUD SULEIMAN SALUM
PCB
11
HAMIM RAJABU NKYA
ECA
12
AHMED R.SALUM PCB
13
HAMAD ALLY
PCB
14
IBRAHIM HAJI MWEVURA
HGE
15
SWALEHE ABEID SWALEHE
ECA
16
JUMA SAIDI RAMADHAN
PCM
17
ABDALLAH AYUB ABDALLAH
PCB
18
MOHAMMED KARIM MUHAMMED
EGM
19
HUSSEIN RAMADHAN HOTI
HGL
20
JUMA SALIM MRUMA
PCB
21
IDDY BAKARI MSUYA
HKL
22
ALLY MWINDADI BAULEY
CBG
23
HUSSEIN ABEID
HGK
24
HARUN HASSAN MUHAMMED
PCB
25
ALLY BAKARI MWICHANDE
PCM
26
IBRAHIM TAINADA NGOMUO
PCB
27
HUSSEIN ABBY MDEE
PCM
28
MUHAMMED TWALIB KATULLA
PCB
29
ALFAN IBRAHIM. CBG
30
AKIDA NYALUKE HGK
31
LUQMAN J.KOOSA PCB
32
KASIMU SAIDI JUMA
CBG
33
MOHAMMED .I.KARATA
PCB
34
BANDARI ISMAILI CBG
35
ABDULHAKIM HASHIM KOMBO
HGE
36
ALLY ATHUMANI ALLY
CBM
37
MUHAMMED YAHYA MBWERA
CBG
38
MADUA ALLY BARUTI
CBG
39
TWAHA RASHID TWAHA
CBG
40
HASSAN ALLY HIZZA
PCB
41
OMARY SWALEHE OMARY
PCB
42
HAMADI .A .HAMADI
PCB
43
RAJAB HALID NYONI
PCM
44
SULEIMAN S.MSANGI.
KLA
45
ABUUBAKAR.A.ISSA PCM
46
SULEIMAN S.ABDULRAHMAAN
HGE
47
ABDALLAH. B.MVUNGI
EGM
48
RASHID IDD TWAHIRU
PCB
49
ALLY MOHAMMED SAMIJI
PCB
50
ABBAS KHALID UPUNDA
HGL
51
YUSUFU SUDI ZUBERI
PCB
B.WASICHANA
Na. JINA KAMILI
TAHASUSI
01
SAMIRA SAIDI MKONGE
HKL
02
KHADIJA H HAMADI
ECA
03
JASMIN A.MIKONGO ECA
04
SAIDINA M MCHOMVU
CBG
05
ZUHRA NASSORO HAMAD
HKL
06
RADHIA ALLY HASSAN
HGE
07
CAROLINE PROSPER
CBG
08
SABRINA ALLY ABOUD
PCB
09
SUMAIYA ISMAILI MTORO
CBG
10
SHEILA SALUM LUYEKO
ECA
11
AISHA SALUM
KLA
12
SALMA ABDULRHMAN SALEHE
PCB
13
MARIYAM MAKAME NYANGE
PCB
14
SHAZMA HAMIDU KIMARO
ECA
15
AISHA MAHMOUD PCB
16
HAWA HAIDAR HEMED
PCB
17
SAADA ABDALLAH RASHID
EGM
18
AMINA ABDALLAH KILUVIA
HGE
19
SOFIA YUSUF CBG
20
RUQAIYA AMRI SULEIMAN
PCB
21
HADIJA MOHAMMED
EGM
22
HAMIDA MALIKI MKINDI
CBG
23
NASRA MUHSIN SAIDI
PCB
24
MARIAM HAMIS SHIMBO
ECA
25
SOPHIA HARUNI MBALAMO
ECA
26
SAUDA RASHIDI MVUNGI
HKL
27 MARIAM K. ALLY
HKL
28
JOHARI HENRY ELIBARIKI
CBG
29
SHARIFA HUSSEIN KIBAURA
HGL
30
ZAWADI .H. KIBINDU
EGM
31
RAYA ISSA NASSOR
PCB
32
FATMA KHAMIS MBANO
PCB
33
AZIZA SHAZIL HGL
34
HUSNA HAMISI NGULYAVYANGU
PCB
35
ELISIAMINA MSHANA.
PCB
36
SHEKHA RASHID SAID
PCB
37
SADA MUHAMMED KISIWA
CBG
38
JOHA MUHAMMED ATHUMANI
KLA
39
KHADIJA IBRAHIM IDDY
ECA
40
SAMIRA SADIKI
KGL
41
MWANAHAWA OMARI DAUDI
ECA
42
LULU AMOUR SEIF PCB
43
HAMIDA ATHUMANI CBM
44
JOKHA ABDULKARIM MOHAMMED PCB
45
HADIJA DAUDI
CBG
46
ASHA OMARI MBARUKU
PCB
46
SALAMA K.HAMZA CBG
46
SWIFATH HASSAN
PCB
47
BINZUA NASIR MRUTU
CBG
48
SAUMU RAMADHAN MBANO
PCB
49
MWAJUMA SALEHE SABO
ECA
50
ZUBEDA NYANDA SWEYA
EGM
51
SHAMSA DAUDI UDDY
PCB
52
BITHUME SHEHA HASSAN
PCB
53
KHAULAT HAMIS MUSSA
PCB
54
HAJRA KHAMIS SAID
PCB
55
AMINA IDD MULLENGA
HGE
56
KHUSNA .S.KASEKO HGL
57
MAHIJA SHABANI ECA
58
HALIMA ABDULRAHMAAN MWENDA PCB
59
MUNIRA HAMIS ABDALLAH
PCB
60. FATMA NUHA
HGE
61
MARYAM YAHYA ECA
62
AMINA SAIDI MUSTAFA
ECA
63
ZAINAB AMEIR RAMADHAN
ECA
64
SWAUMU. A.ALLY HKL
65
ZAINAB ABDILLAAHI MSUYA
HKL
66
ZEYANA NASSOR CBG
67
RUKIA SALUM IBRAHIM
EGM
68
AISHA ABTWALIB YUSUFU
PCM
69
ZAINABU ABDILLAH MSUYA
HKL
II.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL -DSM
A.WAVULANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
OMARI ISSA KIDETE
KLA
2
HASSAN HAMISI
PCB
3
HUSSEIN HAMISI
ECA
4.
YUSUF AYOUB
ECA
5.
FARUKI B. MCHALAGANYA
CBG
6.
OMAR ABDUL AZIZ SAID
CBG
7.
IBRAHIM RAMADHANI
EGM
8
IBRAHIM MTENDA
HKL
9
WAZIRI JUMA CBG
10
RIDHWAN YAHYA ECA
11
HUSSEIN SALUM MBAYA
CBG
12. SELEMAN KAISANGA OMAR
KLA
13. ABDULKADIR NASSOR MOHAMMED PCM
14
SAID HAMDAN HGL
15
ABUBAKAR RAMADHAN HAJI
PCM
16
IDDI ISMAIL MBILINYI
HKL
17
MUSSA ISHUZA KAWAMBWA
EGM
18
ISMAIL ALLY KILUA PCB
19
FAHMY HAMAD ABDALLAH
CBG
20
SAID HASSAN SIMA
CBG
21
ZAKARIA ELIUS MWAJA
ECA
22
KHAMISI SALIM KIMARO
ECA
23
ABDUL-RAZAK SEIF PCB
24
JABIR MIRAJI MLOSHA
HGK
25
ISMAIL Y. AMIY CBG
26
ZUBERI HAMISI KLA
27
ABUBAKARI RAMADHANI SALIM
CBG
28
ABDALLAH RAMADHAN
CBG
29. SALUM HASSAN MUTAFUNGWA
HGE
30
SALUMU HASSAN MUTAFUNGWA
HGE
31
RAMADHANI A. URASSA
ECA
B. WASICHANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
AMINA YAHAYA IDDI
HKL
2.
HUSNA SINNA MALTIN
PCB
3
MCHANGA SAIDI BAKARI
ECA
4.
BI-ULEDI ATHUMANI MAISHA
CBG
5.
ZENA HASSANI MALILO
PCB
6.
JOHARI HUSSEIN ISSA
HKL
7.
ZUHURA SHARIFF JUMA
ECA
8.
SALHA MARSHAL HKL
9
MASSAD M. GHARIB
HKL
10. SAMIRA MBARAKA HEMEDY
ECA
11. SAWIYA RASHID MTAWALA
PCB
12. ANZIRAN ATWAI SAID
HKL
13. ASMA ALLY NASSOR
HGE
14. LATIPHA BUD MAJANJA
PCB
15. AMNE SAID HEMEDY
EAM
16
AMINA YAHYA IDDI HKL
17. HAJRA KHAMIS MASOUD
PCM
18
YUSRA SAID ALLY HGE
19
KHADIJA HASSAN ABDULLLAH
HKL
20
MARIAM SAID IRUNGA
EGM
21
MWAJUMA KHAMIS MBANO
HKL
22. HALIMA BILALY MBUYU
HGE
23
ZULFA FADHILI BAKILI
CBG
24
AISHA MRISHO SAIDI
CBG
25
AISHA ABOUBAKAR MASOUD
PCB
24
FATMA M. MWISHEHE
CBG
25
ARAFA ISMAIL ALLY
ECA
26
NASRA MOHAMED SALUM
CBG
27
SABRINA ZUBEIR MZEE
PCB
28
FATUMA SULEIMAN ALLY
CBG
29
MARIAM AMANI ISSA
HGK
30
HAFSWAT MTEPA HKL
31
ZAINAB HEMEDY ECA
32
ZULEKHA ALI ISSA PCB
33
NIHADU ILIYASA NGOKOJA
HGE
34
AMINA NASIBU ALLY CBG
35. FATMA ISSA MTUWA
CBG
36
SABBAH SLIM HKL
37. JOKHA MOHAMMED SEIF
PCB
38. MARIAM ABDUL-RAHMAN JUMA
HGK
39.
AZIZA SHABAN ECA
40
ZABIBU HAMLO NJWAYO
HGE
41
SOPHIA SAID MGALLAH
HGL
42
UMMY-KULTHUM J. CHAPONDA
HKL
43
NAJMA ALLY MOHAMED
HKL
44
JASMINE YAHYA HKL
45
RAYA SEIF OMAR
PCB
46
SALMA MUJITABA EGM
47
ZAKIA FEDASTUS NYAHONGE
HGE
48
SALMA RASHIDI JUMA
HGE
III . NYASAKA -MWANZA
A.WAVULANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1.
CHONGELA SELEMAN
CBG
2.
YUNUS SULEIMAN PCB
3.
IDDI YAHYA HASSANI
HKL
4.
JUMANNE ATHUMAN MNZAVA
PCB
5.
ABDUL-NASER S. SULEIMAN
EGM
6.
MRISHO RAJAB MRISHO
PCB
7.
OMARI AHMAD BAGIRAMENSHI
EGM
8.
IDDI KASSIM IDDI
ECA
9.
YAAMAN ABBAS HASSAN
PCB
10. AHMAD S. ABDUL-AZIZ
PCM
11. ABDULSHAKUR OTHMAN OMARY
EGM
12.
FARID KHASSAN PCB
13. KARIM JUMA NSOMBA
HGL
14
KHARID KHASIM CBG
15
KHALIFA MWAMBA HKL
16
SHABAN OMARY HGE
17. HAMIS IBRAHIM OMARY
HGL
B.WASICHANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
1
AZIZA OMARY MGAZA
HKL
2
HADIJA M MBAROUK
CBG
3 REHEMA M NGONJI
PCB
4
HADIJA ABDALLAH LUKAGO
HKL
5
SWAHIBA ABDALLAH
CBG
6
AMINA BAONJA MSANGI
PCB
7
JAMILA KISIJA NTUMBA
KLA
8
THUWAYBA SULEYMAN NAMBUNGO HKL
9
HUSNA SHABANI HAMISI
HKL
10. HALIMA CHATE AYOUB
PCB
11. HAULAT RASHID KWANGAYA
PCB
12. MARYMA ALLY KILIMA
PCB
13
LUCKY SHABANI PCB
14
HAWA HASSAN HUSSEIN
PCB
15
HAWA SHARIF ABDALLAH
HKL
16. TUNU ATHUMAN KAKWEKWE
EGM
17. GLORIA SANGA EGM
18
AMINA IDD SALUM
KLA
19
NYANCHARA HASSAN KITAMA
HGE
20
HUSNA A MUNISI HGE
21. NEEMA ULIMWENGU BANDULILA
HGE
22
MARIAM RASHID SEIF
HGK
23
MWAJIBU MAJIDI IGANGULA
HKL
24
MSEI RAMADHANI NYAGANI
HGL
25
FATMA HUSSEIN MWAMBA
PCB
26
AHLAM SULEIMAN NASSOR
HGE
32
QUDRAT MUSSA RASHID
HKL
33
SHANI J MTULA
CBG
34
ZUBEDA AHINDA EGM
35
LUCKY SHABANI PCB
MUHIMU.
1. WALIOCHAGULIWA NA AMBAO HAWAJAPATA MAELEKEZO
YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS) WAZIFUATE PALE
WALIPOCHUKULIA AU KURUDISHA FOMU.
2. NAFASI BADO ZIPO KWA SHULE ZOTE TATU NA FOMU
ZINAPATIKANA KATIKA VITUO VYA KUUZIA FOMU KOTE NCHINI
AU KATIKA TOVUTI WWW.ipc.org.tz
3. KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU KWA WAKUU WA
SHULE
1.
KIRINJIKO ISL.S.S. -0784296424
2.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL-0657350172
3.
NYASAKA ISLAMIC S.S.-0786417685.
WABILLAHI TAWFIIQ.
MKURUGENZI.
Makala
AN-NUUR
Mafundisho ya Quran
Fethullah-Gulen
MFANO wao ni kama mfano
wa mtu ambaye ameuwasha
moto ulipovionyesha
vilivyo pambizoni mwake
akauondosha Mwenyezi
Mungu mwangaza wao
na akawaachia katika viza
hawaoni kitu chochote.
[Al-Qarah 17]
Aya hii tukufu,
inauswamirisha ulimwengu
wa ndani, na inaonyesha kwa
mfano wenye kuguswa na
wenye kushuhudiwa.
Kutokana na kuangalia
kwamba wanafiki wanaishi
k a t i y a Wa i s l a m u n a
wa n a c h a n g a n y i k a n a o ,
kwa sababu hiyo unakuwa
m w e p e s i k wa o wa k a t i
mwingi muweko wa nuru
ya imani. Isipokuwa unafiki
ambao umezama na kubobea
kwao katika nyoyo zao na
vichwani mwao, unawazuia
kufaidika na nuru hii. Ndiyo
hawa wanafiki wamegeuka
na kuingia kwenye hali
SAHABA mmoja aliwahi
kumwomba Mtume (s.a.w.)
ampe taarifa kumhusu
yeye mwenyewe. Naye
akawaambia hivi:
"Mimi ndiye mtu ambaye
Ibrahim (a.s.) aliomba nije,
na ambaye Yesu (Nabii 'Isa
ibn Maryam) (a.s.) alitangaza
habari njema za ujio wangu.
Usemi huu unadokeza aya
zifuatazo za Quran:
Ewe Mola Mlezi wetu!
Wa l e t e e m t u m e a n a y e
tokana na wao, awasomee
aya zako, na awafundishe
Kitabu (Chako) na hikima
(nyingine) na awatakase (na
kila mabaya). Hakika Wewe
Ndiwe Mwenye nguvu,
Mwenye hikima." (Surat AlBaqarah, 2:129)
Na Isa bin Mariamu
aliposema: Enyi Wana wa
Israili! Hakika mimi ni
Mtume wa Mwenyezi Mungu
kwenu, ninayethibitisha
yaliyo kuwa kabla yangu
katika Taurati, na mwenye
kubashiria habari njema za
kuja Mtume atakayekuja
baada yangu; ambaye jina
lake litakuwa ni Ahmad
(Muhammad)! Lakini
alipowaletea hoja zilizo wazi,
walisema: Huu ni uchawi
ulio dhaahiri!" (Surat AsSaff, 61:6)
M j u m b e ( s . a . w . ) wa
A l l a h ( s . w . t . ) a l i k u wa
akitazamiwa au akingojewa
kuwa atakuja. Manabii
wote waliomtangulia
wa l i m w o n g e l e a M t u m e
(s.a.w.) na walitabiri ujio
wake.
Aya ya Qur'an 3:81 inataja
waziwazi kuwa Mola (s.w.t.)
Alifanya kiaga (convenant)
maalum na Manabii
kwamba watamwamini na
watamsaidia Mjumbe huyo
atakayekuja baada yao na
atakayethibitisha ujumbe
waliouleta wao:
Na pale Mwenyezi
Mungu Alipochukua ahadi
(kiaga) kwa Manabii:
Nikisha kukupeni Kitabu
na hikima, kisha akakujieni
Mtume mwenye kusadikisha
mliyonayo, ni juu yenu
mumuamini na mumsaidie.
Akasema: Je, mmekiri
na mmekubali kushika
agizo langu juu ya hayo?
Wakasema: Tumekubali.
Akasema: Basi shuhudieni,
na Mimi ni pamoja nanyi
katika kushuhudia. (Surat
Aali 'Imran, 3:81)
Makala ya sasa (ya
B i b l i a z a Wa k r i s t o ) ya
Taurati, Injili, na Zaburi,
10
Makala
Robert R. Doggart
AN-NUUR
is not a concern.
Hiyo ilikuwa taarifa ya Idara
ya Polisi kwa serikali na watu
wa Chicago, kwamba hata FBI
wamekanusha na kusema kuwa
hakuna taasisi yoyote ya Kiislamu
ndani ya Chicago ambayo ina
tuhuma za ugaidi au kuwa na
kambi za kutolea mafunzo ya
kijeshi.
Hata hivyo, baadhi ya wakazi
wa Chicago wanasema kuwa,
taarifa hiyo ya FBI, imekuja katika
sura hiyo kutokana na namna
watu walivyolifuatilia jambo hilo.
Hapakuwa na namna ya kutoa
taarifa za urongo kwa sababu
wasingeweza kuzithibitisha na
watu walikuwa wakifuatilia.
Thank God the FBI didnt see this
as an opportunity to manufacture its
own terror plot in Oak Brook, like it
has in other places.
N d i v y o
w a t u
walivyosambaziana taarifa kuwa
Ryan Mauro alitoa taarifa ya
kitisho cha ugaidi Chicago, wakati
haikuwa katika mpango wa FBI
kutengeneza kitisho cha ugaidi
katika eneo hilo.
Lilipotokea lile shambulio la
bomu katika kanisa la Josefu
Mfanyakazi, Arusha, baadhi
ya vyombo vya habari vilianza
kusema kuwa muhusika
alionekana akiwa amevaa kanzu.
Lakini hata tulipoamua kama
nchi na kama serikali tufunge
mpaka wetu tuwachunguze watu
wanaoingia au kutoka kupitia
Namanga, basi tuliofanikiwa
kuwaona kuwa wanaweza kuwa
watuhumiwa wa kuanza nao,
walikuwa Waarabu!
Zimewahi kutolewa kauli
huko nyuma, bila kutolewa
ushahidi wala watuhumiwa
kufikishwa mahakamani, kuwa
kuna Waislamu wanapanga
kushambulia makanisa na kuuwa
viongozi wa Kikristo. Taarifa
kama hizo zikapewa umuhimu
mkubwa katika vyombo vya
habari halikadhalika vyombo
vyetu vya usalama.
Ni mara kadhaa jeshi la polisi
limetangaza kuyalinda makanisa
ama siku za Jumapili au katika
Sikukuu kama za Krismasi.
Lakini yote hayo yanakuja katika
mazingira yanayotoa sura kuwa
watuhumiwa wanaohofiwa ni
Waislamu.
Hili ndio tatizo. Kuendesha
propaganda za kupandikiza chuki
Inaendelea Uk. 11
11
Inatoka Uk. 10
kinyume kabisa na hali halisi ya
wananchi tunavyoishi mitaani. Na
kwa bahati mbaya, vyombo vyetu
vya habari, na hata vya usalama
na baadhi ya wanasiasa wetu,
wamekuwa wakihusika katika
propaganda hii chafu.
Iliwahi kutolewa habari katika
moja ya magazeti ya kila wiki
hapa nchini kuwa Masheikh wa
UAMSHO, walikuwa wameandaa
kikosi na kukodi boti maalum,
kuleta kikosi hicho Dar es Salaam
ili kusaidia kikosi cha Waislamu
wa Dar es Salaam kuchoma
makanisa Mbagala.
Pamoja na kuwa wanaotupiwa
tuhuma hizi za ugaidi ni Masheikh
wa UAMSHO, lakini tuhuma kubwa
zaidi ni, kwanza kwa Serikali ya
Zanzibar na Vikosi vyake. Kwamba,
wao wanaruhusu Masheikh wa
UAMSHO wanakusanya kikosi cha
magaidi, mpaka wanakodi boti ya
kuleta kikosi hicho Dar es Salaam,
wao hawana habari!!! Mpaka leo
hatujasikia kesi iliyofunguliwa dhidi
ya mwenye boti aliyekodiwa kuleta
magaidi Dar es Salaam, wala SMZ
kutoa kauli kuwa taarifa zile zilikuwa
urongo mtupu!
Lakini mtuhumiwa na
mshutumiwa mwingine ni serikali
ya Dar es Salaam, kuanzia Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni, boti ilikotia
nanga (Mbweni) kushusha magaidi,
Mkuu wa Mkoa na vyombo vya
usalama vilivyo chini yake. Taarifa
zilisema kuwa boti ya kukodi
ilishusha magaidi Mbweni kisha
wakapanda daladala hadi Tandika.
Kama ilivyokuwa kwa wale wakuu
wa serikali na Polisi katika Chicago,
tulitarajia kuwa watu hao wa serikali
ya Dar es Salaam, wangelifuatilia
suala hilo na kutoa taarifa, ama
ya kuthibitisha na kueleza hatua
walizochukua au kukanusha ili
kuwatoa wananchi hofu ya kitisho cha
Masheikh wa UAMSHO walioletwa
Dar es Salaam kusaidia harakati za
kuchoma moto makanisa!
Hilo halikufanyika. Kimyaa! Badala
yake wanasiasa wetu na polisi wetu,
walibaki kutoa kauli kama zile zile
za gazeti na akina Mchungaji Ryan
Mauro, kwamba kuna Waislamu
wanapanga kuchoma moto makanisa
na kuuwa viongozi wa Kikristo.
Kwa tuhuma nzito kiasi hicho,
Inatoka Uk. 10
mikono yetu kama inavyotokota
Kenya na Nigeria.
Katika kesi ya New York, Bwana
mmoja Mkristo siasa kali, akitajwa
kwa jina la Robert R. Doggart
alitangaza kuwa anakusudia
kuwaangamiza Waislamu wote
wa Islamberg pamoja na kuchoma
moto misikiti yao na kubomoa
nyumba zao. Islamberg, ni
eneo linalokaliwa na Waislamu
wengi katika Jimbo la New York,
Marekani.
K a t i k a k u o n y e s h a k u wa
hakukosea na kwamba kweli
k a d h a m i r i a k u wa a n g a m i z a
Waislamu kama akipata fursa,
Robert alipofikishwa mahakamani,
hakuleta lugha za kuzunguka wala
kujitetea. Alitamka wazi mbele ya
mahakama kuwa anakusudia
kufanya jinai hiyo.
Makala
AN-NUUR
12
Tangazo/MASHAIRI
AN-NUUR
SUMU YA HARAKATI !
TAMASHA LA KITAIFA
ILONGO MBEYA
05 12 JUNI , 2015
13
Na Mussa Ame
BAADA ya kuandika makala
kuhusu mazingatio kutokana
na majanga ambapo
nilieleza jinsi Maskeikh
wanavyodhalilishwa na
kunyimwa haki zao za
kimsingi kama raia, nilipata
ujumbe wa simu kutoka kwa
msomaji kama ifuatavyo:
Sms kutoka kwa vijana wa
Kisalafi Mwanakwerekwe,
tunawaambia gazei la An
nuur ya kuwa hakuna uadilifu
kwa kuwatetea makhawarij
(..... wa motoni) Mashekhe
uchwara wa Uamsho.
Pale ambapo nimeacha
dashi ni kwamba sikuweza
kuyanakili maneno halisi
kutokana na ukubwa
wa maneno yenyewe
(wametukana). Utashangaa,
mtu anajiita Muislamu safi,
salafi anayejibashiria Pepo,
lakini anakuwa na kinywa
cha kumtukana binadamu
m we n z a k e , s i k wa m b i i
Muislamu!!!
Sasa nimeonelea leo
n i a n d i k e k u h u s u h a wa
Khawarij ni nani ili wasomaji
waepukane na kasumba
inayoenezwa na watu
wanaojiita Salafi. Kwa kweli
fikra hii ni potofu sana na
kama utaisoma makala hii
kwa utulivu basi utaona ni
Kundi gani hasa lenye hizo
fikra za ki-Khawarij.
Khawariji inatokana na
neno la Kiarabu, khuruj
maana yake ni kutoka. Na
Kundi hili lilitoka katika
Uislamu kwa kuvunja kiapo
cha utiifu kwa Maamiri wa
Dola ya Kiislamu na kuacha
itikadi sahihi ya Kiislamu na
kuwaua viongozi wa Dola
ya Kiislamu. Itikadi kuu za
Khawariji zilikuwa kama
zifuatazo:
Walikosea kuitafiri Qurani,
na waliitafsiri wanavyotaka
wao. Walikataa adhabu ya
kaburi na walisema kuwa
hakuna hodhi la Mtume
( S AW ) h u k o a k h e r a
wala hakuna shufaa kwa
Waislamu. Walikataa kusali
sala ya Ijumaa ila chini ya
Imamu wao. Walikubali
ndoa bila ya walii. Hii ni
k wa sab ab u waliwaona
Waislamu wengi kuwa ni
makafiri. Waliwakufurisha
Waislamu wengi wakiwemo
wale waliopigana vita vya
Badri ambao walitabiriwa
Pepo na Mtume (SAW).
Pia waliwakufurisha, yaani
waliwaita makafiri wale wale
Masahaba waliokula kiapo
cha utiifu chini ya mti ambao
Allah (SW) aliwaridhia.
Waliitakidi kwamba Ali
(RA) na Muawiya (RA) wote
ni makafiri na wanastahiki
k u u wa wa . Wa l i wa z u i a
wafuasi wao kuolewa na
Waislamu wengine ila wenye
itikadi ya kikhawariji kama
wa o , k wa n i wa l i i t a k i d i
kwamba Waislamu wote
wasio na itikadi kama wao
ni makafiri. Walipigana
na Waislamu wenzao na
kuwaua wakawaacha
MAKALA
AN-NUUR
14
Makala
AN-NUUR
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
K a t i k a
kumzungumzia
Ibn Al-Baitar
nitakiuka mwenendo
niliokuwa nikenda
katika makala
zangu hizi. Safari hii
nitaanza kinyume
nyume ili kuweza
kumfahamu fika
gwiji huyu na namna
hostoria ilivyokuwa
inapindishwa.
Wamerekani weusi
wana msemo wao
uelezao kuwa Historia
yaani maelezo
yaliopita au His
story? Au maelezo
yake mtu? Hivi sasa
katika miaka yetu
historia imekuwa ni
maelezo yaliopita
yalioandikwa
kuridhisha watawala
au yakutungwa na
kukosa andiko la
kuelezea uhalisia wa
tokeo lilivyotokea,
historia ya maeneo
mengi imejaa uwongo
na uzushi.
Hebu tuanze
kujifunza hesabu
kuelewa juu ya karne.
Naelewa fika wengi
wetu tunakijua na
wachache wasiokijua,
tunaposema karne
humanisha ni miaka
100. Hili tunalifahamu
sasa inapoandikwa
610, 570, 980 kuweza
kujua ni karne gani
unachukua namba
moja ya kwanza
mfano 610 unachuka
6 unaongeza na
moja unapata 7
hapo utasema katika
mwaka wa 610
ilikuwa ni karne ya
ya ilimu ya uhai na
moja kati ya matawi
yake ni lile linalotoa
majina ya viumbe
(Taxonomy). Kuna
tawi linalotowa
majina ya wanyama
International
Code of Zoological
NomenclatureICZN na kuna lile
linalotoa majina ya
miti, mwani na kugwi
International Code
of Nomenclature for
Algae, Fungi and
Plants-ICN. Katika
somo hili moja katika
kazi yake kubwa ni
kuangaia Tabaka,
Kutanbua na Kutoa
Majina (Classified,
Carl Linnaenus
Ibn Baitar
miti inavyokuwa,
inakuwepo maeneo
gani, inakuwa katika
hali ya hewa ya aina
gani. Kitabu chake
hicho kilikuwa
ni marejeo kwa
wajuzi wa utibabu
n a wa t e n e g e n e z a
madawa.
K i s ha k una A l Bairuni aliofariki
mwaka wa 1048 ikiwa
ni karne ya 11. Huyu
kuna makala yake
nitamuelezea na kazi
zake, aliweza kujua
k u wa m a u a ya n a
mashiko yake (petals)
yakiwa 3,4.5,6, 18
wala sio 7 au 9 kama
maandiko mengine
yalivyoandikwa
kabla.
Tumuangalie Abul
Mansur Rashid al din
Abu al-Fadl Ibn Ali alSuri. Huyu alikuwa
mtenegenezaji wa
madawa aliozaliwa
mwaka wa 1177 karne
ya 12 katika mji wa
Sur nchini Syria. al
Suri alijaribu kujuwa
miti inayoota juu ya
milima, mabonde
katika mji wa
Lebanon, akafanya
kazi kuipa majina.
Alipokuwa akifanya
kazi hio alifwatana na
mchora picha anaita
kila mti jina mchora
picha ana chora
picha, inaaminika
alikuwa akitumia
njia ya bionominal
iliokuja kuelezwa
kuwa mwasisi wake
ni Carl Linnaenus.
Al Sur aliishi katika
karne ya 12 na Carl
Linnaenus aliishi
karne ya 18 miaka
600 kabla ya Carl
Linnaenus. Wazungu
hawamzungumzi
Inaendelea Uk. 15
W A
W E
7:
1.
Aya gani katika Quran itajayo Chuma kwa
manufaa ya mwanadamu? (2 :148, 57:25, 62 :40) Jawabu:
57:25 (Samahani kwa kosa niliandika 57 :28)
2.
Mamake Mtume Issa Bibi Maryam alipomzaa
Mtume Issa alikuwa..(Mjane, Bikra, Mke wa mtu).
Jawabu: Bikra
3.
Waislamu wanaamini kuwa Mtume Issa ali
(Uwawa, Rufaishwa, Alijiua). Jawabu: Rufaishwa
4.
Anayaongoza Sala kwa Maamuma huitwa
(Captain, Imam, Kiongozi) Jawabu: Imam
5.
Katika Quran neno Maisha limetajwa mara
(185, 125, 145). Jawabu: 145
6.
Katika Quran neno Mauti limetajwa mara
(6,655, 145, 125). Jawabu: 145
7.
Watoto wote wa Mtume Yaqoob ni (24, 11, 12).
Jawabu:12
8.
Allah (Mwenye enzi Mungu (Anawashirika,
Malaika Hanamshirika) Jawabu: Hanamshirika
9.
Tokeo lipi lilitojwa katika Quran mwaka mmoja
kabla ya Hijra? Jawabu: Miraji
10. Alipofariki mama yake Mtume SAW, Mtume
Mohammad SAW alikuwa na umri wa miaka (7,8, 6)
Jawabu: 6
15
Makala
M A K A L A ya w i k i
hii na itakayofwatia
nitajaribu kuiangalia
mvua katika Quran na
maisha yetu kwa jumla
na mvua. Nitaanza kwa
kumshukuru Allah
kama kwenye aya ya
191 ya Sura Imran.
A m b a o
h u m k u m b u k a
Mwenyezi Mungu
wakiwa wima na
wa k i k a a k i t a k o n a
wakilala, na hufikiri
kuumbwa mbingu
na ardhi, wakisema:
Mola wetu Mlezi!
Hukuviumba hivi
bure. Subhanaka,
Umetakasika! Basi
UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA
9
5
A
C
A
N
A
D
A
B
9
2
D
N
A
M
L
E
S
A
A
N
A
M
K
U
T
R
D
K
U
C
G
N
A
H
L
U
F
I
1.
Kipindi baina ya
kuteremshwa Wahyi kwa
mara ya kwanza na Wahyi
wa pili kilikuwa ni kipindi
cha muda gani? Miezi 2, 6,
10.
2. S a h a b a g a n i
aliokuja na shauri la
kuukusanya Quran bada
ya kufa Mtume SAW?
Uthman, Umar, Khalid bin
Walid.
3. S u r a h n g a p i
zimetajwa kwa majina ya
Wanyama na Wadudu,
Z i t a j e k wa I d a d i n a
uziandike.
4.
M n ya m a g a n i
alifwatana na watu wa
Pangoni? Ngamia, Mbwa,
Farasi.
5.
Mtaje Mtume
Ummah wake wakifanya
mapenzi kinyume cha
jinsia.
6. K a t i k a S u r a t
Arrahhman kalima
Sura ya 57 : Kalima
Fabiayi Alai Rabikuma
Tukadhibani, limerejewa
mara ngapi? 40, 31, 52
7.
Ndege 100 wapo
juu ya miti akapigwa risasi
na kuuliwa mmoja, Jee
watabaki ndege wangapi
juu ya mti?
8.
Mpaka ulioitwa
International Boundary
ndio mpaka uliokuwa na
marefu makubwa duniani
wakishirikiana nchi gani
na gani?
9. N c h i g a n i
inaongoza kusafirisha
muhogo duniani?
10. N c h i g a n i
inaongoza kwa uzalishaji
wa muhogo duniani?
Jee Unajua?
1.
Kuwa mwezi wa
Muharram ndio mwezi wa
kwanza katika Kalenda ya
Kiislamu?
2.
Kazi za mwana
falsafa Aristotle zingepotea
na hazingezungumzwa
zinavyozungumzwa hivi
s a s a k a m a Wa i s l a m u
Ibn Rushd na Ibn Sina
Na Ben Rijal
6
T
H
A
I
L
A
N
D
H
AN-NUUR
M
U
A
N
K
A
B
U
T
Y
A
S
A
D
I
Y
A
T
H
O
R
A
B
Y
M
F
E
E
L
Y
M
B
W
A
N
L
U
T
9
O
N
I
G
E
R
I
A
O
P
T
B
A
Q
A
R
A
3
1
8
E
tukinge na adhabu ya
Moto. (Surat Al I'mran
3:191)
Neema kubwa
a n a y o i p a t a
mwanadamu hakuna
kama kupata mvua
ambayo inamuneemsha
kwa njia mbalimbali
i we k u i p a t i a a r d h i
rutba na mimea
kunawiri, kuipoza
dunia. Tunayoishi na
kupata maji ambayo
ndio maisha yetu
yote tunayategemea.
Q u r a a n i m e e l e z e a
umuhimu wa mvua
kisayansi na tutaangalia
katika makala hii namna
Quran inavyoelezea
mvua.
Mizani juu ya
kunyeshwa kwa mvua
a l S u r h a t a ma r a
mmoja na njia ya
Uwili Bionominal
inamwagia sifa Carl
Linnaenus. al Suri
k a z i ya k e i l i b a k i
k wa mu da mr e f u
nakuwa tegemezi
kwa watengenezao
madawa.
Gwiji mwengine
ni Ahmad Ibn
Muhammad Ibn
Ahmad Ibn Sayyid
al-Ghafiqi aliokufa
mwaka wa 1165 karne
ya 12. Katika kazi yake
ya kupigiwa mfano
al-Ghafiki ameweza
kuwanukulu magwiji
wengine waliokuwa
s i o Wa i s l a m u wa
wakati huo kama
Dioscordies na Galen
katika maandishi
yake.
Gwiji mwengine ni
Ibn Baitar huyu kazi
yake katika sayansi
ya miti haisemeki
kwa umakini na
ukubwa wake.
Mwana sayansi wa
mimea mwengine ni
Abu al-Abbas Ahmed
Ibn Muhammad Ibn
Mufarraj Ibn Abi alKhatib akijulikana
zaidi kwa jina la Ibn
n a Q u r a n k u w a
kiwango cha mvua
kinachoteremka ardhini
huwa ni sawa, katika
sekunde mmoja maji
huyayuka (evaporate)
kwa kiwango cha tani
milioni 16 hapa duniani,
kiwango hichi ni sawa
na maji yanayoteremka
duniani kwa sekunde
moja na mzunguko huo
unaendelea kwenda
na kujirejea, na aya
hapo inatueleza kuwa
N a a m b a ye n d i ye
aliye teremsha kutoka
mbinguni maji kwa
kiasi, na kwa hayo
tukaifufua nchi iliyo
kufa. Na namna hivi
ndivyo mtakavyo
tolewa. Kwa taaluma
ya sayansi sasa ndio
kinaeleweka kuwa hicho
kiasi kinachoteremka
mbinguni.
Kipimo chengine ni
ile kasi inayoteremka
katika usawa wa
kwenda juu wa mita
1,200 kipimo cha tone
linaloteremkala mvua
linaenda kwa kasi hio
hio kasi ya kilomita
558 kwa saa bila ya
kubadilika. Nje ya tone
la maji ya mvua, kitu
chochote kikiachiliwa
kinateremka ardhini
k wa k a s i h i o k wa
mtawalio, basi
ardhi yetu hii yote
ingeangaamia na
tusingeweza kutembea
bila ya kuwa na hadhar
kutopigwa na hicho
kitu. Mizani juu ya
mvua inavyoteremka,
Quran imeielezea kwa
upana na sasa sayansi
inagundua hayo.
Kufanyika kwa mvua
Taaluma ya sayansi
inatufahamisha kwa
upana namna mvua
inavyofanyika na
hatua mbalimbali
zinazopita. Tuanagalie
aya ifwatayo:
Mwenyezi Mungu
ndiye anaye zituma
pepo zikayatimua
mawingu, kisha
akayatandaza mbinguni
kama apendavyo. Na
akayafanya mapande
mapande, basi ukaiona
mvua inatoka ndani
yake. Anapo wafikishia
awatakao katika waja
wake, mara hao huwa
na furaha. (Surat ArRum 30:48)
S i t o k w e n d a k wa
kina katika makala hili
katika makala ijayo
nitaunganisha juu ya
Quran na Sayansi.
Vipi ardhi inapata uhai
Maisha yetu katika
ardhi na uhai wake
Al-Rumiyah alizaliwa
nchini Hispania
katika mji wa Sevile
mwaka wa 1216 karne
ya 13. Kitabu chake
ambacho ameandika
juu ya safari zake
mbalimbali kwa
jina la Al-Rihlat
al-Mashriqiyyah
a l i a n d i k a j u u ya
miti na hali za
kukua kwake,
miti ya maeneo ya
Mediterranean.
Gwiji mwengine
katika sayansi ya
mimea kabla ya Carl
Linnaenus, ni Abu
Zakariya Yahya Ibn
Muhammad Ibn
Ahmad Awwam alAshbili alioandika
kitabu kwa jina Kitab
al-Falaha akinukuu
taaluma za miti ya
Kiyunani, Warumi
n a Wa b a t e a n .
Aliandika kazi
kubwa ya kupigiwa
mfano katika kitabu
alichokiita al-Falaha.
Kitabu cha al-Falaha
alikigawa sehemu 2
na sura 35 (Chapters)
na kila Sura
akizungumzia kwa
yameelezewa ifatavyo
katika Quran kama
ifwatavyo:
Naye ndiye anaye
z i t u m a p e p o k u wa
bishara njema kabla
ya rehema yake, na
tunayateremsha kutoka
mbinguni maji safi.
Ili kwa hayo
tuihuishe nchi iliyo
kufa, na tuwanyweshe
wa n ya m a n a wa t u
wengi tulio waumba.
(Surat Al-Furqan 25:4849).
Mvua
kama
nilivyosema, ndio
m a i s h a n a Q u r a n
imeyafahamisha hayo
kupita miaka 1436
iliopita.
Aya nyengine
inafahamisha kwa kina
juu ya maji na mvua:
Na tumeteremsha
kutoka mbinguni maji
yaliyo barikiwa, na
kwa hayo tukaotesha
mabustani na nafaka za
kuvunwa. (Surat Qaaf
50:9).
Unapoisoma Quran
baina ya mstari na
k u z a m a k wa k i n a ,
utaelewa yaliomo katika
dunia hii na maisha.
Makala ifwatayo
nitaunganisha baina ya
maisha na mvua.
za mvumbuzi
C h r i s t o p h e r
C o l u m b u s
kuthibitishwa kuwa
aliandamana na
Waafrika 4 mmoja
akiwa muandishi na
mmoja wa kuongoza
safari, uthibitisho
kua aliandamana na
watu weusi soma
Africa came with
Colombus to the
new world (http://
w w w . l i ve s c i e n c e .
com/3423-africanscolumbus-world.
html). Hutosikia
hata siku mmoja
kuwa ni mtu mweusi
ndio aliovumbua
taa za kuongozea
b a r a b a r a n i ,
Garrett Agustus
Morgan aliozaliwa
mwaka wa 1877
na kufariki mwaka
wa 1963. Wazungu
wameficha mengi
tu kuonyesha kuwa
h a k u n a a l i o f a n ya
lolote kuubadilisha
Ulimwengu huu
katika maendeleo
zaidi yao Wazungu
na sisi kutumbukia
katika dimbwi hilo
la kukubali kuwa
Wa z u n g u n d i o
Inaendelea Uk. 17
16
Inatoka Uk. 11
wa K a r i a k o o y o t e ,
halikuonekana kuwa ni
habari ya kuita waandishi.
Inavyoonekana, hata huko
kumkamata mtuhumiwa,
wamelazimika tu baada ya
kuwa Robert mwenyewe
anat amb a mitaan i n a
kufanya habari kusambaa
sana. Lakini la pili ni
kuwa, hata baada ya kesi
kufika mahakamani,
wa a n d i s h i h a wa j a i p a
umuhimu wowote. Watu
wamekuwa wakipashana
habari kupitia mitandao
ya kijamii, vinginevyo Si
habari.
Lakini pia, kama
ilivyotarajiwa,
limechukuliwa kuwa ni
kosa la kawaida tu na
mtuhumiwa yupo nje
kwa dhamana. Sio kama
akina Sheikh Mselem.
Alijisemea Komandoo
Salmin Amour, wacha
wakae tu huko jela, sio
mapapai kuwa yataoza,
japo kosa lenyewe
halifahamiki! Sasa hapa
hatuzungumzii Sheikh,
Ustaz au Hajat. Huyu
ni Robert, japo siasa
kali anayepania kuuwa
wenzake! Lakini watu
wenyewe, Waislamu. Nani
anajali!!!
America Snores When
Christian Terrorist Threatens
to Massacre Muslims.
Ndivyo alivyoandika
mchambuzi mmoja
akionyesha hali halisi
ya jamii ya Kimarekani.
Kwamba, wakati yupo
gaidi Robert, anayetishia
kuchinja Waislamu, jamii
ya Wa m a r e k a n i wa l a
haina habari. Inakoroma
uzingizi.
Have you heard about
t he Chr is t ian terrorist
Robert Doggart, who was
plotting a violent attack
against a Muslim-American
community in New York
state? Probably not, because
as opposed to when U.S. law
enforcement officials arrest
a Muslim for planning a
violent assault, they didnt
send out a press release or hold
a press conference publicizing
Doggarts arrest.
Anauliza tena
mchambuzi huyo na
kusema kuwa tofauti
na jambo linalohusu
Waislamu, hutasikia kesi
ya gaidi Robert katika Fox
News kwa sababu kwa
kawaida yao FBI hawaitishi
Press Conference kwa
m a s u a l a ya n a y o h u s u
Wakristo. (Soma zaidi:
A Plot to Level a Village
Isnt NewsWhen Targets
Are Muslim and Plotter Is
Christian)
Doggart ni nani?
MAKALA
AN-NUUR
ROBERT Doggart
Pengine isije ikadhaniwa
kuwa Doggart ni mwehu
au chizi tu fulani, kwa hiyo
ndio maana habari zake
zimepuuzwa. Doggart,
aliye mkazi wa Tennessee,
ni Mkristo kindakindaki,
w e n y e w e wa n a s e m a ,
an ordained Christian
minister in the Christian
National Church. Ni msomi
m w e n y e S h a h a d a ya
Masta (masters degree)
na Ph.D. kutoka Chuo
Kikuu, La Salle University.
Na kama nilivyotangulia
k u s e m a , m wa k a j a n a
aligombea ubunge, japo
hakushinda. Lakini pia
aliwahi kulitumikia jeshi la
Marekani- U.S. Naval Sea
Cadet Corps. Kwa hiyo sio
mtu wa kupuuzwa.
Chuki hii inatoka wapi?
Pengine swali la msingi
ambalo ni muhimu
tujiulize na kulizingatia,
ni hili: Maneno haya ya
Doggart, yanaonyesha
chuki kubwa dhidi ya
Waislamu. Chuki hii na
dhamira hii ya kisasi
imetoka wapi? Doggart
na kundi lake, wamefikaje
hapo?
Muhammad Matthew
Gardner, ni msemaji wa
Jumuiya ya Waislamu
Marekani- The Muslims of
America (TMOA), anatoa
jibu. Anasema:
"Doggart is an example of
the results of unchecked and
rampant Islamophobia which
has spread lies for years about
our peaceful community.
Kwamba hawa akina
Doggart na wanayokusudia
kuwafanyia Waislamu, ni
zao la propaganda chafu
ya muda mrefu iliyoachwa
ikamea na kuota mizizi
SHEIKH Mselem.
ikiwachafua Waislamu
ndani ya jamii ya
Kimarekani. Propaganda
iliyowafanya Wakristo
wawatizame Waislamu
kama majinamizi
hatari yaliyopania
kuwaangamiza Wakristo.
Lakini pia yenye
uwezo mkuwa hata wa
kuwashinda CIA, FBI na
Jeshi na vyombo vyote
vya ulinzi na usalama vya
Marekani.
Vyombo vya Habari
vinavyotumika vibaya
Mwezi Januari mwaka
huu kiliendesha kipindi
katika televisheni ya Fox
(Fox News). Kilikuwa
ni moja ya vipi katika
televisheni za Marekani
vinavyodai kuwa kuna
kambi za kijeshi 35 ndani
ya M a r e k a n i a m b a p o
Waislamu wamekuwa
wakichukua mafunzo ya
kijeshi kwa ajili ya Jihad
na kuuwa Wakristo ili
kuisilimisha Marekani.
Muslims Training for
Guerrilla Warfare in New
York, kama ilivyodaiwa,
mwendesha kipindi
Bill O'Reilly, alikuwa
akihojiana na Bwana Ryan
Mauro, akimtambulisha
kuwa ni National
Security Analyst katika
taasisi ya Kikristo iitwayo
Clarion Project, ambayo
inaelezwa kuwa lengo
lake ni Kufichua Hatari
ya Waislamu Siasa Kali
(Exposing the Danger
of Islamic Extremists).
Taasisi hiyo ya Kikristo
iliyoanzishwa mwaka
2006 Washington D.C.,
imetengeneza filamu
nyingi za kuupaka
Uislamu matope na
17
MAKALA
AN-NUUR
wavumbuzi aliokuwa
sio Mzungu hana la
maana alilolifanya katika
kuchangia maendeleo
ya dunia. Kasumba hii
imetulewesha kwa
karne tele na inaendelea
kutulevya.
Tumuangalie Ibn Baitar
Abu Muhammad
Abdal l ah I bn Ah mad
Ibn al-Baitar Dhiya alDin al-Malaqi kwa kifupi
akijulikana kwa jina la
Ibn al-Baytar mzaliwa
wa Circa katika mwaka
wa 1 1 9 7 k a r n e ya 1 2
nakufariki mwaka wa 1248
ikiwa karne ya 13. Alikuwa
mtaalamu wa sayansi
ya m i m e a , m f a m a s i a
na alikuwa daktari.
Wengine humtaja kama
ni mwanasayansi mmoja
mahiri katika mji wa AlAndalus ambaye alibuni
Mapinduzi ya kilimo
katika nchi za Kiislamu.
pale wanaponyanganywa
haki zao, kuporwa mali zao
na kutolewa roho zao.
U i s l a m u
umewatahadharisha watu
wake katika kushiriki
kwenye majanga haya ya
hatari na kuweka kanuni
za kuwahami, ili wasiingie
katika jambo hili.
Zikaja dalili za kisheria
kwa kuwatahadharisha juu
ya kuvuka mipaka katika dini
na kutozijua dalili za kisheria
tukufu na huenda miongoni
mwa sababu za matatizo
haya, ni baadhi ya Waislamu
kutojua dalili za kisheria juu
ya kutofautiana hukumu na
adabu zake, kiasi wanaingia
kwenye ubabe katika mambo
yaliyo tofauti ya muono wa
kisheria na mazungumzo na
kudhihiri kukataa hukumu
katika mambo yanayokubali
usamehevu.
Na hapo husababisha
wa k a t i m w i n g i n e h a d i
kukufurishana kwa wale
tusiokubaliana nao kimaoni
na kisha kuhalalisha damu
yao katika mambo ambayo
inawezekana huyo msemaji
mwenyewe, iwe amepatia
au amekosea na akikosea
a t a p a t a t h a wa b u m o j a ,
au yule aliyepatia atapata
thawabu mbili na makusudio
hapa ni juu ya kuyajua yale
ya l i y o t o f a u t i a n a , k u j u a
hukumu ya kutofautiana
kati ya Waislamu na nini
kinafuata baada ya tofauti na
yepi yanayofaa kutofautiana
na yepi hayafai?
Na anapotofautiana
mwenye kutofautiana ni
wakati gani unakubalika
udhuru wake na wakati gani
haukubaliki? na hufanywa
nini?
Na ni wakati gani huwa
ni kafiri au fasiki. Je hukumu
ya kutofautiana au msimamo
wake huachiwa kwa kila
mmoja? Na ufafanuzi wa hilo
watu wengi hawalijui.
Hakika kutofautiana
madhehebu ya kifkra,
ambayo yapo katika nchi za
Kiislamu kumegawanyika
sehemu kuu mbili:
(A) T o f a u t i k a t i k a
madhehebu juu ya imani.
Kwa uhakika huu ni msiba
mkubwa umeingia katika
nchi za Kiislam.
(B) T o f a u t i k a t i k a
madhehebu ya kisheria
inayo sababu ya kiutendaji,
kihukumu na Mwenyezi
Mungu juu ya hilo kuna
hekima kubwa miongoni
hizo ni upole na uwepesi wa
waja wake pamesemwa juu
ya hilo Kuafikiana kwani
hoja na kutofautiana kwao
ni rehema pana ni wajibu
wajue wale ambao wanaotaka
watu wote kuwa katika rai
moja katika hukumu za ibada
na miamalati (kuhudumiana)
na vitu vingine katika matawi
ya dini, wao wanayataka
yasiyowezekana kutokea na
kujaribu kwao juu ya kuondoa
t o f a u t i h a wa t a f a n i k i wa
isipokuwa kutanua duara
la kutofautiana na hilo ni
jaribio linaloonyesha wazi
kabisa, kwani kutofautiana
juu ya ufahamu wa hukumu
za sheria sio msingi wa
waliopita. Tumeshikilia
tusome kwa lugha zetu hilo
ni moja lakini lilokuwa la
maana zaidi ni kutafiti kazi
za kitaalamu zilizofanywa
na wazee wetu waliotangulia.
Makala inayofwata
nitamzungumzia Abu Nasr
Al-Farabi.
18
Makala
AN-NUUR
KUMBUKUMBU
Na Alhaj Abdallah
Tambaza
MWEZI kama huu miaka
minne iliyopita, Rais
Jakaya Kikwete ilibidi
akatishe ziara nchini
Botswana na kurudi
nyum bani k uongoza
maelfu ya waombolezaji
jijini Dar es Salaam katika
mazishi ya mmoja wa
watu mashuhuri kupata
kutokea katika ukanda
wa Afrika Mashariki na
Kati. Alikuwa bingwa wa
usomaji Quran; bingwa
wa unajimu; bingwa wa
tiba asilia; mtaalamu wa
nyota (horoscope) na pia
mwanasiasa nguli.
Mazishi yake yalikuwa
makubwa kupita kiasi,
kwani ilibidi barabara ya
Morogoro kuanzia eneo la
Magomeni Mikumi hadi
Mwandishi wa makala akiwa na Alhaj Mohamed Said, mwanahistoria maarufu nchi (kulia)
baada ya kutoka kutembelea banda la Sheikh Yahya kwenye Maonyesho ya All Africa Trade
Fair Nairobi 1973.
Marehemu Sheikh
Yahya, alipata elimu yake
katika Shule ya Kitchwele
Boys Middle School (sasa
Shule ya Uhuru) jijini Dar
es Salaam, kwa wakati huo
ikisomesha watu mpaka
darasa la kumi tu. Sheikh
Yahya alikuwa hodari
mno kwenye Hesabu na
Kiingereza.
Habari zinasema
kwamba, akiwa shuleni,
Sheikh Yahya alikipenda
sana kimombo
kiasi kwamba alikuja
kumkosoa hata mwalimu
wake Mwingereza,
M r . M o n d a y , wa k a t i
huo wa ukoloni kwa
madai kwamba alikuwa
hawafundishi Kiingereza
ipasavyo.
Kitendo
kile
kilichukuliwa kama utovu
wa adabu wa mwanafunzi
k wa m wa l i m u wa k e .
Kijana Yahya alifukuzwa
shule, katika uamuzi
ambao haukushangaza
sana kwani wakoloni
kwa hulka yao
hawajapigiwa walikuwa
wanacheza; sikwambii
ukiwapigia.
Baada ya kukaa
n y u m b a n i k wa z a i d i
ya miezi sita, babake,
ambaye alikuwa
akiheshimika sana,
alikwenda kumwombea
ili alirudishwe apate nafasi
ya kujiunga na masomo ya
juu Tabora School.
Ya h y a , p a m o j a n a
kwamba alikuwa hayupo
darasani kwa zaidi ya
miezi sita, bado aliweza
kupata alama za juu kabisa
kuliko wale wanafunzi
19
Israeli forces
demolish
house in Silwan
neighborhood
JERUSALEM (Maan)
Excavators escorted by
Israeli forces demolished
a Palestinian house in
Silwan neighborhood of
occupied East Jerusalem
on Wednesday morning.
Witnesses told Ma'an
that Israeli soldiers along
with inspectors from the
Jerusalem municipality
stormed Wadi Qaddum
area in Silwan in the early
morning and blockaded
the area before excavators
razed a newly built
apartment.
W e d n e s d a y ' s
demolition comes as
S i l wa n n e i g h b o r h o o d
residents face increasing
pressures from the Israeli
government to leave the
area.
Last week Israeli forces
flattened a massive threestory building allegedly
built without a licence, as
well as three stores in the
Ein al-Luzah area of Silwan
without prior notice.
Several demolition orders
were also distributed in
the area.
Silwan is one of many
Palestinian neighborhoods
in occupied East Jerusalem
witness to an influx of
Israeli settlers at the cost
of ongoing demolition of
Palestinian homes and
eviction of Palestinian
families.
While Jewish residents
f r e q u e n t l y t a k e o ve r
Palestinian buildings with
the protection of Israeli
s e c u r i t y , g o ve r n m e n t
policies make it near
impossible for Palestinian
residents to obtain building
permits, according to the
Israeli rights organization
the Association for Civil
Rights in Israel.
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
PLORejectsNetanyahusProposal
to Discuss Settlement Borders
RAMALLAH, (WAFA)
C h i e f Pa l e s t i n i a n
negotiator Saeb Erekat
on Tuesday slammed
Israeli Prime Minister
Benjamin Netanyahu's
proposal to discuss the
borders of settlement
blocs as an attempt
to legitimize illegal
settlement construction
and expansion in the West
Bank and Jerusalem.
The recent comment
by Israeli PM Benjamin
Netanyahu on the 'twostate solution' is nothing
new. It's a request
to continue illegal
settlement construction
with Palestinian consent,
Erekat said in a press
release.
This looks like one
state and two systems
rather than two sovereign
and democratic states, he
added. Erekat stressed that
if Netanyahu wants to have
meaningful negotiations,
which would result in
ending the occupation that
began in 1967, he should
recognize a Palestinian
State on the 1967 border and
honor Israel's obligations
including halting
settlement construction
and releasing Palestinian
political prisoners.
Last week, Netanyahu
told the European Unions
High Representative
for Foreign Affairs and
Security Policy, Federica
Mogherini, that he wants
to resume talks with the
Palestinians, that are
aimed at reaching an
understanding on the
borders of settlement
blocs that Israel would
annex under any peace
agreement.
According to the
Israeli daily Haaretz, an
Israeli source briefed on
N e t a n ya h u s me e t i n g
with Federica Mogherini
l a s t We d n e s d a y s a i d
Netanyahu explained that
in this way, Israel can get
to know what parts of the
West Bank Israel could
continue building in.
To be noted, settlement
activities in the West Bank
and Jerusalem are illegal
under international law.
The settler population
i n t h e We s t B a n k i s
estimated at 531,000: in
late 2012 the population of
the West Bank settlements
wa s 3 4 1 , 4 0 0 ; i n l a t e
2011 there were 190,423
individuals living in Israeli
neighborhoods in East
Jerusalem.
Israel has been
approving the building
of new housing units in
settlements located in
the Palestinian territory,
including in East Jerusalem,
despite of international
condemnations.
The Security Council,
the General Assembly, the
Human Rights Council and
the International Court of
Justice have all confirmed
that the construction
and expansion of
Israeli settlements and
other settlement-related
activities in the Occupied
Palestinian Territory are
illegal under international
law.
Israeli Prime Minister
Benjamin Netanyahu was
previously quoted by
media as stating that, We
will continue to build in
Jerusalem. We will add
thousands of residential
units and withstand all the
[international] pressure,
as we continue to develop
our eternal capital.
West Bank
checkpoint
closed near
Nablus
NABLUS (Ma'an)
Israeli forces shut down a
checkpoint in the northern
We s t B a n k We d n e s d a y
morning denying Palestinian
vehicles entry from both
directions.
Pa l e s t i n i a n s e c u r i t y
sources told Ma'an the
checkpoint was closed in the
early morning near the village
of Beit Furik east of Nablus.
Sources said the Israelis
claimed the closure came
after Palestinian activists
hurled a Molotov cocktail at
Israeli vehicles travelling on
the bypass road overnight,
however an Israeli army
spokesperson has not replied
for comment.
The checkpoint near
Beit Furik is one of around
100 permanent Israeli
checkpoints in the West
Bank, while surprise flying
checkpoints often number
into the hundreds.
Israeli forces maintain
severe restrictions on
Palestinians' freedom
of movement in the West
Bank through a complex
combination of fixed
checkpoints, flying
checkpoints, roads forbidden
to Palestinians but open
exclusively to Jewish settlers,
and various other physical
obstructions.
Israeli forces also erected
flying checkpoints at the main
entrance to the nearby village
of Beit Dajan Wednesday
i n s p e c t i n g Pa l e s t i n i a n
vehicles passing through.
The Nablus governorate,
which includes the city, three
refugee camps and fifteen
villages, is home to over
200,000 Palestinians whose
movement has been several
restricted for the past six
years, Israeli human rights
group B'Tselem describing
military restrictions on locals
as a "siege."
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
E-mail:info@hajjtrust.or.tz
b a a d h i ya Wa b u n g e ,
Bungeni Dodoma, katika
maswali ya hapo kwa
hapo na hata kipindi cha
kuchangia hoja, wakihoji
ukimya wa Serikali kuhusu
m a d a i y a Wa i s l a m u
waliopo gerezani, Segerea,
kufanyiwa vitendo vya
udhalilishaji.
M b u n g e
w a
R o m b o ( C H A D E M A)
Mheshimiwa Joseph
Selasini, akizungumiza
suala hilo, alishangazwa na
ukimya wa Serikali baada
ya madai ya Waislamu
kudai Mahakamani kuwa
wamedhalilishwa kwa
kuingiliwa kinyume cha
maumbile.
Mh. Selasini, akitilia
mkazo malalamiko
j u u y a Wa i s l a m u
h a o ya l i y o t o l e wa n a
Wabunge kabla yake,
alisema kinachoelezwa
ni kwamba, watu hao
(Waislamu) wanalalamika
kuingiliwa kinyume na
m a u m b i l e , n a k u wa
jambo hilo halijaanza
kulalamikiwa sasa.
Mimi kama Mkristu
au kama mwanachama
wa chama chochote cha
siasa humu nchini, siwezi
kushabikia mwanadamu
mwenzangu kuingiliwa
kinyume na maumbile.
Ikiwa Marekani ndio
bingwa wa kupambana na
Ugaidi, lakini hatujasikia
k u wa wa l i wa k a m a t a
magaidi wakawaingilia
kinyume cha maumbile.
Alisema Mh. Selasini.
Na Salma Alghaithiyyah,
Zanzibar
VIONGOZI wa Kidini
wametakiwa kuwakemea
watu wanaofanya dhulma,
badala ya kukariri kauli za
wanasiasa za kudumisha
amani na utulivu.
Wakahimizwa kuwa ikiwa
ni kufanya makongamano,
basi yawe ya kuzungumzia
ubaya wa wenye kudhulumu
na kuwakanya.
Nasaha hizo zimetolewa
kufuatia hali iliyozoeleka
kuwa kinachofanyika ni
kuhimiza tu amani na
utulivu kila mara, bila
ya kuwanyooshea kidole
wanaofanya dhulma.
Ushauiri huo umetolewa
na Mwalimu Bi Zainab
Thani wakati akichangia
mada katika semina ya
viongozi wa dini ya Kiislamu
iliyoandaliwa na Jumuiya ya
JUMAZA na UKUEM kwa
kushirikiana na mtandao wa
kimataifa wa dini kwa ajili
ya kulinda watoto (GNRC)
iliyofanyika jengo la Bima
Mjini Zanzibar.
Alisema tatizo kubwa
liliopo sio kusamehe tu,
lakini tatizo kubwa ni watu
wenye kudhulumu ambao
huendelea kufanya vitendo
na watasamehe, sasa
tueleze ubaya na madhara
yanayompata mtu mwenye
kudhulumu, aliongeza.
Naye Bi Fatma Mohammed
Hassan amewataka
Wa i s l a m u k u t o k u b a l i
kushawishiwa na maneno
yanayozungumzwa kwamba
Waislamu hawahusiki na
kupiga kura kwani suala la
kuchangua kiongozi ni la
kila mmoja katika nchi.
Sisi tunashangaa na hizi
propaganda zinazosema
kwamba Waislamu kura
haiwakhusu, sasa tunauliza
kama sisi haitukhusu,
itamkhusu nani na
s i s i n d i o wa n a n c h i n a
tupo katika jamii hii ya
Zanzibar. Mimi nadhani
tuepukane na dhana hizi
zinazosambazwa kwamba
demokrasia haramu, sisi
tuna wajibu wa kuhakikisha
tunapata viongozi wazuri
watakaoweza kuendesha
nchi kwa uadilifu na amani,
alisema Mwalimu Bi Fatma.
Kwa upande wake, Katibu
Mtendaji Kamisheni ya
Wakfu na Mali ya Amana
Zanzibar, Sheikh Abdulla
Talib Abdullah amesema,
kuvunjika kwa amani ndani
ya n c h i k u n a m a d h a r a
makubwa.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.