Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
Na Bakari Mwakangwale
WA K AT I m t u h u m i w a
wa kesi ya ugaidi Said
Amour, akishindwa kufika
Mahakamani kutokana na
maradhi gerezani, juhudi za
kupata kibali kwa ajili ya
matibabu yake zimekuwa
kitendawili.
Imeelezwa kuwa tangu
kuwasilishwa kwa ombi la
kupatiwa kibali kwa ajili ya
mtuhumiwa huyo kutibiwa
Inaendelea Uk. 2
Tahariri/Habari
2
AN-NUUR
na mwongozo muhimu
sana:
K u wa , n i b o r a m t u
ukosee umwachie huru
(usimuadhibu) mtu mkosaji
kwa kukosa ushahidi wa
madhubuti, kuliko ufanye
kosa la kumwadhibu mtu
asiye na hatia.
Na tunaambiwa Dua ya
mwenye kudhulumiwa
haina pazia baina yake na
Mungu wake.
Hivi wenye mamlaka
na hasa walio Waislamu,
ambao hivi sasa
watakuwa katika Funga ya
Ramadhani, wanajisikiaje
wakitia nia ya funga na jioni
wakifuturu huku wakijua
kuwa kuna Waislamu
wenzao wasio na hatia
wapo ndani, wanafunga
na kuftari kwa chakula
cha gerezani wakati sio
wafungwa!
Wan ako s a ta ra we h e
na Qiyamul Lail katika
misikiti yao. Wanakosa
kuendesha darsa za Quran
katika kipindi hiki cha
Shahru Ramadhaan ladhii
unzila fiihi lQuran!
Ule ukarimu na huruma
tunayotakiwa tuwe
nayo wakati wa Funga
ya Ramadhani, ipo wapi
iwapo tunafutari kwa kila
aina ya viliwa, vitafunwa
n a v i n y w e wa , l a k i n i
haitupitikii kuwa kuna
akina mama na watoto
ambao huenda hawakupata
cha kuftaria kwa sababu
waume zao wapo ndani,
sio kama wafungwa, lakini
kwa tuhuma tu!
Maadhali mwenzi wa
Ramadhani umeanza,
punde tu tutashuhudia
wanasiasa wakipigana
vikumbo kuandaa futari,
kuanzia za Ikulu, Wakuu
wa Mikoa, waliotangaza
nia za Ubunge na Urais,
mpaka za mitaani.
Ni maoni yetu kuwa
labda Masheikh wetu
wa n g e wa e l i m i s h a n a
kuwashauri viongozi wetu
hawa na wale watarajiwa,
kuwa badala ya kuandaa
futari za kisiasa zisizo na
tija mbele ya Mwenyezi
AN-NUUR
mashimo ya Moto wa
Jahannam.
Wakati tukiwa tumo
ndani ya Ibada hii kubwa
ya Funga ya Ramadhani,
ni vyema kila mmoja wetu
akajihesabu ni kwa namna
gani anafanya maandalizi,
ili kaburi lake lije kuwa
Bustani katika Bustani za
Peponi.
L a k i n i p i a , n i k wa
kiwango agani anajitahidi
kuepuka yale ambayo
yatahesabika kuwa
ni dhulma, iwe ni ya
kuwafanyia wengine
au kuifanyia nafsi yake
mwenyewe. Kwani hayo
ndio yatamfungulia
milango ya Jahannam mara
tu akiingia kaburini.
Tu m w o m b e A l l a h
atutakabalie Funga zetu
na Ibada zetu kwa ujumla.
Na atuepushe na kila aina
ya dhulma.
kutokana na kusumbuliwa na
maradhi, ambayo mpaka sasa
hayajapatiwa tiba inayostahili
akiwa humo gerezani.
Lakini pia kuna
washitakiwa namba 16 na 18
nao hawakufika Mahakamani
kwani pia ni wagonjwa.
A m e s e m a Wa k i l i w a
watuhumiwa hao Abdulfatah Abdallah.
Akizungumzia suala la
maombi ya kupatiwa kibali
kwa ajili ya kupatiwa rufaa
mtuhumiwa namba 12 kwa
ajili ya matibabu, Katibu wa
Kamati ya Maafa ya Shura
ya Maimamu, Ustadhi Ally
Mbaruku, alisema suala hilo
limekwamia kwa Kamishna
wa Magereza.
A l i s e m a ,
k i l a
wanapofuatilia wanapewa
matumaini kwamba kibali
kinashughulikiwa kulingana
na taratibu za Magereza, hata
hivyo alistaajibu kuona suala
hilo linalohusu uhai wa mtu
kupelekwa kwa kasi ndogo.
Alisema, awali katika Ofisi
hiyo ya Kamishna Mkuu
wa Magereza, waliwasilisha
maombi ya aina mbili, kwa
nyakati tofauti likiwemo
ombi la kupatiwa kibali cha
kupeleka msaada katika
gereza hilo la Segerea,
ambapo ombi hilo lishajibiwa
na misaada imeshapelekwa.
Alisema, maombi ya kibali
cha matibabu ya Ust. Salumu,
ndiyo yalitangulia ambapo
yalipelekwa mwanzoni mwa
mwezi wa tano, mwaka huu
na maombi ya kibali cha
kupeleka misaada kilipelekwa
mwishoni mwa mwezi huo
wa tano.
Hatuelewi taratibu zao
zikoje yaani maombi ya
kibali cha matibabu ndio
Inaendelea Uk. 3
Habari
AN-NUUR
Inatoka Uk. 2
Wa k i wa z u n g u m z i a
Waislamu hao walio gerezani
kiasi cha mwaka mzima sasa,
Sheikh Amran Kilemile na
Maalim Bassaleh, kwa nyakati
t o f a u t i wa m e l e z a k u wa
mamlaka husika ziwatendee
haki kwa mujibu wa sheria na
katiba ya nchi.
Maalim Bassaleh, alisema
watuhumiwa hao waliopo
magerezani ni Waislamu
wenzao ambao wapo huko
kwa muda mrefu bila sababu
za msingi kiasi kwamba
sasa wanaamua kuchukua
m a a m u z i a m b a y o s i ya
kawaida.
Maamuzi ya kugoma kula,
kugoma kuingia Mahakamani
na hata kupanda juu ya mti,
yote hiyo ni kutaka kuonyesha
hisia zao, zaidi ni kuona
hawapati haki zao na hata
kufikia kuomba waonane na
baadhi ya viongozi wa Serikali
ili wapate kuwaeleza shida
zao, lakini pia inaonekana
kama vile wanapuuzwa.
Alisema Maalim Bassale.
Alisema, wale ni
wanadamu, hata kama wana
makosa, bado wanayo haki
ya kusikilizwa lakini kwa
hali inavyokwenda hata mtu
Habari
AN-NUUR
ugaidi.
Kinyume chake, baadhi
ya taarifa zikijitahidi kumtoa
Dylann Roof katika jinai
hiyo, zimejaribu kuibua
wasiwasi kuwa huenda
kijana huyo alifanya tukio
hilo akiwa hayupo hadhiri.
Kwamba labda kuna jambo
lilimchanganya akili ndio
akaenda kanisani na kuuwa
watu hao.
Shooters of Color Are Called
'Terrorists' and 'Thugs.' Why
Are White Shooters Called
Mentally Ill'?
Anahoji mwandishi
Anthea Butler akionyesha
kutokuridhishwa na
mwenendo wa vyombo vya
habari na baadhi ya maofisa
wa vyombo vya dola.
Anasema, wakati kitendo
kilichofanyika ni ugaidi wa
dhahiri dhidi ya watu Weusi
na Makanisa yao na kwamba
sio tukio la mwanzo kwa
Marekani, vyombo hivyo,
vinakuja na kauli ambazo ni
kutaka kumfunika Dylann
Roof na kudunisha jinai
aliyofanya.
Hili sio tukio la mwanzo
katika historia ya Marekani.
Makanisa ya watu Weusi
ya m e k u wa ya k i l e n g wa
na wabaguzi wa Kizungu
(white supremacists) ambao
wamekuwa wakiyachoma
moto makanisa hayo au
kuyalipua kwa mabomu
kama namna moja wapo
ya k u wa t i s h a j a m i i ya
Weusi (terrorize the black
communities).
Anasema Anthea Butler
akitaja moja ya matukio
mabaya ya kigaidi dhidi
ya Weusi kuwa ni pamoja
na lile la kulipuliwa kanisa
la Wamarekani Weusi kule
Birmingham, Ala., mwaka
1963 ambapo wasichana
wanne (4) waliuliwa.
Wa l i o f a n ya j i n a i
hiyo walitajwa kuwa ni
wanachama wa kundi la Ku
Klux Klan (KKK), au kwa
kifupi "the Klan".
Kundi lenye rekodi na
historia chafu ya chuki,
ubaguzi uliopindukia
na mauwaji dhidi ya
Wamarekani Weusi.
Anasema Butler kuwa
katika kuripoti tukio hilo la
kuuliwa watu 9 ambalo kwa
dhahiri kabisa ni la kigaidi,
hutakuta vyombo vya habari
vikitia neno lolote kuwa huo
ni ugaidi. Kinyume chake,
pamoja na kuwa hakuna
taarifa zozote za kitabibu
wala jamaa wa Dylann Roof
hawajaleta madai/utetezi
kuwa kijana wao alikuwa
na ugonjwa wa akili, lakini
vyombo vya habari mara tu
baada ya kufanyika mauwaji
hayo vilianza kuja na
misamiati na misemo kama:
A victim of mistreatment
or inadequate mental health
resourceswe dont know his
mental condition."
Yote hii anasema, ni kutaka
kujenga hoja kumnasua
kijana Dylann Roof katika
jinai inayomkabili.
Kwa upande mwingine
kama Meya Joseph Riley
wa Charleston alivyosema,
tukio hilo linaonekana kama
jambo la bahati mbaya tu la
mtu binafsi aliye na matatizo
fulani na halina uhusiano
na kundi lolote unaloweza
kusema ni la kigaidi kama
ambavyo matukio ya watu
wenye majina ya Kiislamu
yanavyoburutwa yakatiwa
katika kapu la ISIS, Al
Shabaab na Al-Qaida. Kwa
watu kama Dylann Roof,
wao inakuwa ni kazi ya
lone wolfs au "one hateful
person".
Ni kutokana na hali kama
hizi na ubalakala kama huu,
wasomi na wachambuzi
wengi wa siasa za Marekani
na nchi za Magharibi
kwa ujumla, wanaitizama
inayoitwa Vita dhidi ya
ugaidi kama tamthilia fulani
na mzaha wa karne hii.
Ni picha na taswira ya
kubuni ambayo inakolezwa
na kuvurugwa na wanasiasa.
Kama anavyosema
mwandishi mchokozi wa
Uingereza na mchambuzi,
Adam Curtis, hili "Ni wingu
potofu la fikra ambalo
limesambaa bila kuhojiwa
m i o n g o n i m wa s e r i k a l i
duniani kote, majeshi ya
usalama na vyombo vya
habari."
Wakati nchi za Magharibi
zikitumia Vita ya Msalaba
dhidi ya magaidi kuhalalisha
uvamizi angamizi ili kupata
masilahi yao ya kibeberu, nchi
kama yetu zinazochagizwa
kushiriki katika Crusade hii
kama alivyoiita muasisi wake
George W Bush, zinajikuta
zikijitosa kibubusa matokeo
yake yakiwa ni maangamizi
kwa watu wake na nchi kwa
ujumla.
Maangamizi kwa watu
kwa sababu, kwanza
watapandikizwa magaidi
watakaoleta maafa kama
inavyotokea Nigeria,
Somalia, Yemen, Pakistan na
Kenya.
Pili, ni maangamizi
kwa nchi kwa sababu kwa
kutumia kisingizio cha
kupambana na magaidi,
mabeberu huingia kikachero
na kijeshi wakazidhibiti
nchi wazitakazo zisiweze
kufurukuta wala kuwa na
uhuru juu ya rasilimali zao
na siasa za nchi. Kila kitu
wanapangiwa na kupewa
maelekezo.
Kwa hiyo, wakati nchi
lengwa ikiangamizwa pamoja
na watu wake, mabeberu
wanavuna faida isiyo ya
kawaida kiuchumi na kisiasa
kutimia azma yao ya Global
hegemony.
China
yawazuia
Waislamu
Xinjiang
kufunga
SERIKALI ya China
imepiga marufuku
wanafunzi, walimu na
watumishi wa umma
katika eneo la Xinjiang
lenye Waislamu wengi,
kutekeleza ibada ya
Saumu katika mwezi
huu mtukufu wa
Ramadhani.
Serikali pia imezuia
watu kuhudhuria shughuli
zozote za kidini ikiwa ni
pamoja na ibada za usiku.
Ta a r i f a ya s e r i k a l i
imetaka biashara kwenye
hoteli na mikahawa
kufunguliwa nyakati za
mchana kama kawaida.
Wa n a h a r a k a t i w a
Kiislamu wamepinga agizo
hilo la serikali wakisema
linalenga kuhujumu dini
tukufu ya Kiislamu.
Ingawa serikali inasema
lengo la kuweka sheria
hiyo ni kuhakikisha
masuala ya dini
hayavurugi muundo wa
jamii, duru za kuaminika
zinasema sheria hiyo ina
malengo ya kiuchumi,
k wa n i i m e w e k wa i l i
kuhakikisha nguvu kazi
ya taifa haipungui katika
mwezi wa Ramadhani.
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
MUFTI wa Uganda
Sheikh Shaban
Ramadhan Mubajje,
ameitaka serikali
na mashirika ya
usalama ya nchi hiyo
yanayochunguza
mauaji ya viongozi wa
Kiislamu, kufanya kazi
kwa uadilifu na kwa
viwango vya juu vya
utaalamu.
Vyombo
vya
h a b a r i v ya U g a n d a
vimemnukuu Mufti
wa nchi hiyo akiitaka
serikali, hususan wale
wanaohusika na masuala
ya usalama kutumia
utaalamu wa hali ya
juu katika kazi zao kama
wakati wa uzinduzi
wa eneo la Waislamu
lililojengwa na shirika
lisilo la kiserikali NGO
la Kamuli Good Hope
lililogharimu shilingi
milioni 75.
M a t a m s h i h a y o ya
Mufti Mubajje, yamekuja
kufuatia wimbi la mauaji
ya Masheikh katika mkoa
wa mashariki, huku
mauaji ya karibuni kabisa
yakiwa ni yale ya Sheikh
Abdul Rashid Wafula
huko Mbale.
Mufti Mubajje pia
amewataka Waislamu wa
madhehebu mbalimbali
kuungana na kuweka
pembeni tofauti zao ndogo
ndogo na kuwa mfano
b o r a k wa n i U i s l a m u
inafundisha amani na
kuishi na watu kwa wema.
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Mafundisho ya Quran
Fethullah-Gulen
HIVI mnawaamrisha
watu kufanya wema
na hali mnaziacha
nafsi zenu na hali
ya kuwa nyinyi
mnakisoma kitabu,
hivi hamuelewi?. [AlBaqarah 44]
Pamoja na kwamba
aya hii inawasemesha
sehemu katika wana
wa Israel kwa sura
ya moja kwa moja,
lakini ni kwamba aya
hii inawasemesha
Waislamu vile vile.
K wa s u r a h i i ya
Ishara na jambo
ambalo linakusudiwa
hasa, ni kutuzinduwa
juu ya wajibu wa
kupatikana umoja na
kutovunjana kati ya yale
yanayosemwa na yale
yanayotendwa. Kwa
maana ya umoja katika
maneno na matendo.
Kwa sababu hiyo,
tunaona kwamba aya
nyingine inaelezea
maana haya kwa njia
nyingine, inasema :
Kwa nini mnasema yale
ambayo hamyatendi?
[Assaf 2]
Usiwahamashishe
wenzako kufanya
wema, wakati wewe
mwenyewe unafanya
kinyume chake.
Ndiyo hali na
maneno au kusema
na kutenda ni lugha
yenye pande mbili,
kwa ajili ya kuinusuru
haki na kuwakilisha,
itakapozungumza
hii lugha yenye sura
mbili na maonekano
mawili, kwa jina la haki
na ikapiga kelele kwa
hiyo haki taathira yake
itakuwa kubwa sana.
Kwa sababu kunapasa
juu ya binadamu
kuyatekeleza yale
ambayo anawalingania
watu wengine. Na
kusiwe na kupingana
kati ya maneno yake na
matendo yake na kati ya
hali yake inayoonekana
na maelezo yake.
Imekuja katika athari
k wa m b a M we n ye z i
Mungu mtukufu
alimwambia Mtume Issa
(a.s.):
Ionye nafsi yako
kwanza, iwapo nafsi
yako itayakubali
mawaidha, hapo wape
(wengine) mawaidha
yako. Na kama nafsi
yako haikukubali, basi
ona haya kwangu.
K wa m s i n g i h u o ,
inapasa kuishi
binadamu kufuatana na
anavyoamini na aakisi
vina vya ulimwngu wake
wa ndani miongoni mwa
fikra na hisia, itakuwa ni
kitendo cha kuitakasa
nafsi yake. Yule ambaye
hasimami usiku ni juu
yake kutoizungumzia
swala ya Tahajudi na
a o n e h a ya k u f a n ya
hivyo. Na yule ambaye
hawezi kuswali kwa
unyenyekevu wote na
kwa kujinyongesha na
wala hatendi kwa adabu
mbele za Mwenyezi
Mungu mtukufu, wala
haimtishi na kuogopa
kumuogopa Mwenyezi
Mungu, asizungumze
kuhusu sifa kamili za
swala. Na akitokuwa
n i m we n ye k u j i t o a
muhanga, kunapasa
kutozungumza tamko
moja kuhusu maudhui
ya kuishi kwa ajili ya
watu wengine.
Kwa sababu Mwenyezi
Mungu mtukufu
amefungamanisha
k wa h e k i m a f u l a n i
nguvu ya kuathiri
yale yanayosemwa, na
mfumo wa utendaji wa
msemaji.
Hapa kunapasa
ku ku mb ush a jamb o
jingine, nalo ni kuja
uwezekano wa
kuifahamu kimakosa
aya hii:
Ni kwa nini
mnasema yale ambayo
hamyatendi? [A-ssaf 2].
A y a
h i i
haifahamishi maana
ya kuwa tahadhari
kulikumbusha jambo
ambalo huishi nalo
Habari
AN-NUUR
TUKUMBUKE pia
kuwa katika miaka hii
tuliyonayo hapatakuwa
na kusherehekea,
kila mwaka, mauwaji
ya kimaafa kama
wanavyosherehekea
maafa ya Wazanzibari
Wa i s l a m u w e n g i
waliotolewa roho zao
bure 1964. Yakitokea, jua
kuwa washiriki wengi
watasakwa, kukamatwa
na
kupelekwa
mahakamani -- The
Hague.
Nastaajabu, lakini
sistaajabu sana kuona
Wa o m a n i wa m e k a a
kimya maana kutokana
n a u s t a a r a b u wa o ,
huwaoni kugombana
ovyo na mtu yoyote wala
huwasikii kutukanana.
N i wa t u wa k a r i m u
sana kwa vitendo na
kwa maneno mazuri.
Hivyo basi wanayasikia
yasiyokuwa ya kweli
yanayosemwa dhidi yao
na hawasemi kitu. Lakini,
kama ulivyoona wale
wenye kutapakaza siasa
kali za udini huwa kila
kukicha wanazidisha
maongope yao na
kufikia hadi ya kuonesha
picha za utumwa hata
West Indies, ambako
Waarabu hawakuweko,
na kuonesha kuwa ni
Waarabu waliokuwa na
Watumwa hata huko
katika visiwa vilioko
Amerika. Kwa ukosefu
wa bahati, ukimya wa
Waomani unaotokana
na ustaarabu wao wa
hali ya juu kabisa wa
kutokujibu uwongo wa
dhahiri unaosemwa
dhidi yao na wenye
siasa kali za udini,
kumewafanya wenye
siasa hizo kuzidisha
uwongo wao kila leo.
Propaganda dhidi ya
zao zinazotokana na
vita vyao vya msalaba
dhidi ya Uislamu na
Waislamu.
Vita hivi katika Afrika
Mashariki kwanza
vilianzishwa kwa
maneno na wamishinari
wa Kizungu na serikali
zao za kikoloni na
z i m e p o k e l e wa k wa
utiifu mkubwa sana na
wamishinari wa Kiafrika
ambao wamejibebesha
vita hivyo vya msalaba
na kuviendeleza mbele
kwa kadiri ambayo hata
waalimu wao wa kikoloni
wanaonekana leo kama
wanafunzi. Ingelikuwa
hayo wanayoyaelezea
wanapropaganda
n i ya k we l i m t u p u
tusingeligutuka,
lakini mengi zaidi
waliyoyachora
na kuyaandika si
m a t o k e o ya k w e l i ,
kama tulivyokwisha
kudhihirisha.
K w a
w e n y e
m a c h o , n a m we n ye
macho haambiwi
tazama, Tanzania
i m e s h a t u m b u k i z wa
katika vita vya udini
na hawa Watanzania
wenye siasa kali za
u d i n i . Ta n z a n i a n i
nchi yenye Waislamu
wengi na ubaya
mkubwa wanaoufanya
wanapropaganda hawa
kwa propaganda zao
d h i d i ya Wa i s l a m u
n i k u wa h a m a k i s h a
Waislamu na kupalilia
mfarakano mkubwa wa
kipumbavu kabisa baina
ya Wakristo na Waislamu
wa Watanzania. Na hili ni
jambo la khatari kubwa
sana kwa nchi nzima
ya Tanzania, na Serikali
ya Ta n z a n i a n d i y o
itakayokuja kulaumiwa
na dunia kwa kushiriki
katika propaganda
h i z i k wa k u o n e s h a
kama hawayaoni na
h a ya wa k h u s u h a y o
yanayosomeshwa
shuleni. Vita vya
maneno vimeanzishwa
zamani, jee viongozi
wenye busara Tanzania
watapigania kiungwana
na kwa haki kuviondosha
au watashika mirengo
na kuvipalilia vita hivi
na raia wa kila upande
kukutishwa maafa
kama waliyokutishwa
Waruwanda, Wabosnia,
Wa z a n z i b a r i n a
wengineo?
Habari/Tangazo
8
Na Salma
Alghaithiyyah, Zanzibar
WA K AT I Wa j u m b e wa
Baraza la Wawakilishi
Zanzibar
(CCM)
wakimkataa Makamo wa
Kwanza wa Rais Maalim
Seif Sharif Hamad kuingia
katika Baraza wakati wa
kufungwa kwa Baraza, ZEC
imeshushiwa tuhuma nzito.
Tuhuma hizo ni ukiukwaji
wa sheria na taratibu za
uandikishaji wapiga kura
ambapo CUF wanadai kuwa
ZEC inatumiwa na CCM
kuandikisha mamluki wa
kukipa chama hicho tawala
ushindi.
Katika kikao chake jana,
Wawakilishi hao walikataa
uwepo wa Maalim Seif wakati
Baraza hilo litakapofungwa
leo na kuvunjwa rasmi na
Rais wa Zanzibar Dk Ali
Mohammed Shein.
Kwa mujibu wa sheria,
R a i s h u i n g i a n d a n i ya
ukumbi wa Baraza akiwa
na wageni wake ambapo
ni Jaji Mkuu wa Zanzibar
Omar Othman Makungu na
Mshauri wake Makamo wa
Kwanza wa Rais Maalim Seif
Sharif Hamad.
Kwa mujibu wa kanuni
za Baraza hilo, wageni
hao wanapoingia ndani
ya ukumbi huo, inabidi
kutenguliwa kwa baadhi
ya kanuni kwa kuwa sio
wajumbe wa Baraza.
Hivyo, Spika wa Baraza
hilo Pandu Ameir Kificho
alitoa taarifa ya kuwaarifu
wajumbe juu ya ujio wa
wa g e n i h a o n a k u t a k a
waridhie.
Tunamtegemea Rais
wa Zanzibar atakuja na
ujumbe wake maalumu,
kwa hivyo tunamtegemea
pia Jaji Mkuu, Jaji Makungu
na tunamtegemea Mshauri
Mkuu mmoja wapo wa Rais
ambaye ni Makamo wa
Kwanza wa Rais, Maalim
Seif Sharif Hamad ambaye
naye tunategemea kuingia
humu ndani.
Spika Kificho akaanza
k u wa h o j i wa j u m b e wa
baraza hilo kwa mtu mmoja
mmoja, kati ya hao wageni
watatu akianzia kwa Rais
wa Zanzibar, Jaji Mkuu na
alipofika kumtaja Maalim
Seif hali ikabadilika.
Mgeni mwengine
maalumu huyu ni mshauri
wa Rais ambaye ni Makamo
wa Kwanza wa Rais, Maalim
Seif Sharif Hamad.
Alipoanza kumtaja
jina, wajumbe wakaanza
kuongea chini kwa chini
ikaanza minongono ambapo
Spika akauliza mbona
anasikia minongono kama
hawamtaki.
Mbona nasikia
minongono kama
hamumtaki.. nataka nisikie
rasmi, aje au asiingie humu?
Alihoji Spika Kificho.
Hapo Wajumbe wakajibu
kwa sauti kwamba asije.
AN-NUUR
HalisishwariZanzibar
ya Wilaya ya Magharibi B
katika uandikishaji ulioanza
tarehe 24 Juni, 2015.
Katika barua hiyo ambayo
nakala yake imesambazwa
kwa Wahariri wa Vyombo
vya Habari, CUF kupitia
kwa Naibu Katibu Mkuu
wake Nassor Ahmed
Mazrui wanadai kuwa, kazi
ya kugawa ZAN ID kwa
makundi ya watu walioletwa
kwa magari nje ya vituo vya
uandikishaji imefanyika
ambapo waliambatanisha
picha inayomuonesha
mmoja wa watu wa CCM
akigawa ZAN ID hizo katika
kituo cha Shakani, jimbo la
Dimani.
Kwa barua hii, CUF
tunaitahadharisha Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar kuacha
kuendelea kuitumikia CCM
k wa k u p o k e a a g i z o l a
kuongeza siku ili kusaidia
kufanikisha mikakati ya CCM
inayoshindwa. Ilihitimisha
barua hiyo ya CUF.
Katika barua yao nyingine
kwa Mwenyekiti wa ZEC,
Chama Cha Wananchi, CUF
wanadai kuwa wana taarifa
kutoka vyanzo vya habari
vilivyomo ndani ya Chama
Cha Mapinduzi (CCM)
kwamba kumeandaliwa
mpango wa kuvitumia vikosi
kusaidia katika kuipa CCM
ushindi.
Wamedai kuwa,
utumikaji huo ni pamoja na
kuandikishwa katika maeneo
ambapo sio wakazi pamoja
na kutumika kuwadhibiti
mawakala wa CUF ambao
wanahoji wanapoona
wakiletwa mamluki
au kuandikishwa watoto
wadogo.
Wanatoa mfano kuwa
wapo watu wanaokuja na ID
bandia kwa hiyo, mashine
zinakataa kuwatambua.
Hata hivyo, polisi
waliopo vituoni hutumika
k u l a z i m i s h a wa t u h a o
waandikishwe na Tume
haichukui hatua, kuonyesha
kuwa wanajua mpango huo.
Katika kituo cha
Chuini, jimbo la Mfenesini
vitambulisho 109 vilikataa
kutambuliwa na mashine,
hata hivyo nguvu kubwa
ilitumiwa na kuhakikisha
kuwa
watu
hao
wanaandikishwa. Hatua
hiyo ilipelekea mzozo baina
ya wananchi na vikosi, na
hivyo wananchi waliokataa
ukiukwaji huo wa taratibu,
uliochochewa na Tume yako,
walipigwa na kukamatwa
kwa kuwekwa katika vituo
vya Polisi na kunyimwa
dhamana.
Ilisema sehemu ya barua
kwa Mwenyekiti wa ZEC
na kuhitimisha kwa kusema
kuwa CUF itaendelea kutoa
mashirikiano kwa Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar kwa
mambo yote yanayofuata
misingi ya katiba na sheria
na misingi ya uchaguzi huru
na wa haki inayotambuliwa
kimataifa.
Miezi miwili iliopita
akizungumza na waandishi
wa habari ofisini kawake,
Mkurugenzi wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar (ZEC),
Salum Kassim Ali alieleza
kuwa tume hio haina
mafungamano na taasisi
yoyote hile katika ufanyaji
kazi wake na wamekuwa
wakifanya kazi zao kwa
ustadi mkubwa.
9
Na Khalid S. Mtwangi
WAISLAMU wa Tanzania
leo hii wamepata msiba
mkubwa kutokana
na kifo cha kiongozi
mkuu Sheikh Mkuu wa
Baraza Kuu la Waislamu
Ta n z a n i a ( B A K WATA) ,
Sheikh Issa Shaaban bin
Simba. Ikubalike kwamba
Waislamu wa Tanzania
wamempoteza kiongozi wao
mashuhuri sana, na labda
haitakuwa rahisi kuziba
pengo aliloliacha. Alikuwa
katika uongozi huo kwa
muda mrefu hasa akiwa
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa
Shinyanga. Bila sababu za
msingi na vikiwa vyombo
vyenye madhumuni
tofauti, lakini Katiba ya
BAKWATA inafanana sana
n a i l e ya TA N U / C C M .
Unapata Sheikh wa wilaya
ikiwa Wilaya ya kiserekali
hata kama wilaya ile ina
Waislamu wachache sana.
Katika Uislamu, Wilaya
ni sehemu kubwa sana ya
nchi. Idadi ya Waislamu
katika Mkoa wa Shinyanga
haifahamiki vizuri, lakini
inasemekana kuwa kwa
D a a w a c h i n i y a A l Marhum Issa Bin Shaaban
Simba, idadi hiyo ilikuwa
ikiongezeka kidogo kidogo.
L a k i n i wa k a t i f u l a n i
huko nyuma, nilipata
waraka kutoka kwa
m wa n a h a r a k a t i m m o j a
Muislamu aliyewahi kuishi
Shinyanga kwa muda mrefu
tu. Waraka huu ulijaribu
kunielimisha kuhusu
mienendo ya Waislamu wa
Shinyanga katika jitihada
ya kuusimamaisha Uislamu
Mkoani humo. Kweli ama
si ya kweli, si dhamiri
kuyanukuu hayo yaliyomo
katika waraka huo. Hayo
si mada ya makala haya.
Itoshe tu kusema kuwa kwa
maoni ya huyu Muislamu
aliyeandika waraka ule, yeye
aliona kulikuwa na kasoro
kubwa katika ule mwenendo
wa kuwahudumia
Waislamu wa Shinyanga
na wa Tanzania kwa jumla.
Ningependa kusisisitiza tu
kwamba, kama kuna kasoro
alizozitoa, hazikuwahusu
viongozi wote wa Shinyanga
wa wakati ule.
Ni bahati mbaya sana
kuwa katika uongozi wa
Al Marhum Sheikh Issa Bin
Shaaban Simba, ni vigumu
sana kutaja kwa uhakika ni
wapi Waislamu wanaweza
kujivuna angalau kidogo
hapa Uislamu na Waislamu
wamepiga hatua kubwa ya
maendeleo. Wao wenyewe
katika hali ya kutaabad ama
kujivuna kuwa Uislamu
umekuwa na unaheshimika
zaidi. Yaani iwe katika
daawa ama kwa mfano
Waislamu sasa wameongeza
shule na vyuo kadhaa.
Wa i s l a m u wa Ta n z a n i a
wamshukuru kiasi gani
Makala
AN-NUUR
ambao, ni mategemeo ya
wengi, labda nao utalazimika
kuleta mabadiliko ya
uongozi wote wa Chama
hicho nchi nzima. Ni hapo
ndipo Waislamu wa Tanzania
watakuwa wanatazamia
mabadiliko makubwa katika
musakbali wa Uislamu nchini
humu. Huko mbele kuna
nini? Watajiuliza.
Ni ukweli ambao ukubalike
kuwa imekuwa vigumu sana
huko nyuma kuleta mageuzi
katika uendeshaji na utawala
wa chombo hiki BAKWATA.
Wakati akiwa Rais wa nchi
hii Muheshimiwa Al Haj
Ali Hassan Mwinyi alijaribu
kutaka kuleta mabadiliko ya
uongozi humo BAKWATA
kwa hiyo uje utawala
mwingine; na mfumo pia
ubadilike. Mzee Rukhsa
hapa alikuta kizingiti
ambacho hakikumpa rukhsa
apite. Hakika bila shaka
k u t a k u wa n a wa s o m a j i
watakaokumbuka hotuba
ya Sheikh Mkuu wa wakati
u l e wa k a t i wa M a u l i d
iliyosomewa Shinyanga.
Sheikh Mkuu yule alisikika
akidiriki kusema huyu Rais
Mwinyi ataiweza wapi,
BAKWATA ina wenyewe.
Hakusema hapo wenyewe
ni kina nani. Kweli baadae
Rais Mwinyi hakutaka kabisa
kuigusa BAKWATA ambao
wao waliendelea kivyao na
mambo yao kama kawaida.
H u k u Wa i s l a m u
wamebaki nyuma katika
maendeleo ya nchi hii, jambo
ambalo linajulikana na kila
Muislamu na kulalamikiwa
mara kwa mara kama sio
kila siku. Naye Rais Jakaya
10
Makala
AN-NUUR
Miundombinu ya ISIS
Mfarakano mkubwa
hivi sasa unaoiangamiza
Mashariki ya Kati, hasa
katika nchi za Irak na Syria
ambako kinachodaiwa
ni 'Dola ya Kiislamu\'
(ISIS) kinajiendesha na
papo hapo kupigana na
kuyashinda majeshi ya
Syria, Lebanon, Irak na Iran,
tunaambiwa, imejengwa
kwa miundombinu ya
ulanguzi na malipo ya
utekaji nyara.
Uwezo wa kupigana wa
ISIS ni wa serikali kamili.
Inashikilia eneo pana
linalosambaa kote Syria
m wa k a 2 0 0 3 , l a z i m a
watashangaa hayo malori
ya ISIS yako wapi leo. Kwa
hali yoyote, kama raslimali
za kuwezesha uwezo wa
kuendesha shughuli za
kijeshi ulioonyeshwa na
ISIS ulikuwa unapatikana
katika maeneo ya Syria
na Irak pekee, basi kwa
hakika majeshi ya Syria na
Irak yangekuwa na uwezo
wa kupigana kama huo
au zaidi lakini kimsingi
hawana.
Na ingekuwa njia za
kupeleka vifaa za ISIS
zipo ndani ya maeneo
hayo ya Syria na Irak, basi
kwa hakika majeshi ya
Syria na Irak yangeweza
kutumia wanachowazidi
ISIS, ndege za kivita kuvuruga uwezo wa ISIS
kutumia njia hizo.
Lakini yote hii haitokei
na kuna sababu kwanini.
Magaidi na silaha
zilizoachwa katika
uvamizi wa Libya mwaka
2011 hima zilihamishiwa
Uturuki na halafu Syria zikisimamiwa na maofisa
wa Wizara ya Mambo
ya Nje ya Marekani na
mashirika ya kijasusi huko
Benghazi - kituo cha ugaidi
kwa miongo kadhaa. Njia
za kuwasilisha vifaa za ISIS
zinatokea pale ambapo
Syria na Irak hazina uwezo
wa kupeleka vita vya anga.
Kuelekea kaskazini kwa
mashirika wa NATO,
Uturuki, na kusini
mashariki kwa washirika
wa Marekani wa Jordan
na Saudia. Nje ya mipaka
hii kuna mtandao wa
miundombinu unaoenea
ukanda mzima ikiwa ni
pamoja na Ulaya Mashariki
na Afrika Kaskazini.
Gazeti la kila siku
l a L o n d o n Te l e g r a p h
likatangaza katika
m a k a l a m wa k a 2 0 1 3
kuwa CIA inaendesha
kituo cha kupeleka silaha
hapo Benghazi wakati
ubalozi (wa Marekani)
unashambuliwa. Ilinukuu
shirika la utangazaji la
Marekani, CNN likisema
kuwa timu-kazi ya CIA
ilikuwa ikifanya kazi
zake kando ya ubalozi
huo kuandaa mradi wa
kupeleka makombora
kutoka maghala ya silaha
ya Libya kuelekea kwa
waasi nchini Syria.
Silaha pia zimetokea
Ulaya Mashariki, kwa
Inaendelea Uk. 12
11
Makala
AN-NUUR
kichwani.
Kulikuwa na kila
aina ya maswali ya
wazi yasiyoeleweka
k u h u s u m a d a i h a ya ,
na bado yaliachwa
tu na kilichosikika ni
kiwewe kuwa 'ISIS
iko Massachusetts!' na
mihangaiko mingi
kuhusu watu kukatwa
vichwa. Hii ni moja ya
mambo yanayosumbua
sana kuhusu tukio hili:
polisi sasa wanaweza
kumsimamisha mtu
barabarani ambaye,
kwa ushahidi wowote
uliopo, hakuwa anafanya
lolote baya wakati huo,
wamwue, halafu wapaze
sauti tu "ISIS' na 'Gaidi'
n a ' k u k a t wa k i c h wa '
na kurudiarudia na
hakuna maswali yoyote
yatakayoulizwa.
Kuwashawishi
wa a n d i s h i wa h a b a r i
wakubali madai yao, FBI
na BDP walisisitiza kuwa
kulikuwa na mkanda
wa kamera ya ufuatiliaji
ambao ungeondoa shaka
kuhusu kilichotokea,
wakidai kuwa "ufuatiliaji
kwa kamera ya video
umedhihirisha kile
maofisa walichosema."
Lakini hawakutoa
mkanda huo, na badala
yake wakatumia karibu
wiki mbili kulainisha na
kuvuruga akili za watu kwa
kurudia madai kuhusu
kile ambacho video hiyo
ambayo haijaonekana
inachoonyesha.
Video hiyo mwishowe
Inaendelea Uk. 17
12
MAKALA
MWANZA
HALALI NA HARAMU
AN-NUUR
Inatoka Uk. 10
za milolongo ya magari ya
vifaa yanayofikishwa kwa
majeshi ya kigaidi. Magari
hayo yalikuwa yanatokea
katika viwanda katika
maeneo yanayoshikiliwa
na ISIS ndani kabisa ya
nchi za Syria na Irak?
Katu. Yalikuwa yanatokea
ndani kabisa ya Uturuki,
kuvuka mpaka wa Syria
bila kusumbuliwa na kitu
chochote, na kuendelea na
njia yake yakiwa na ulinzi
usio rasmi wa vikosi vya
majeshi ya Uturuki hapo
kando.
M a j a r i b i o ya S y r i a
kushambulia misafara
hii na magaidi
wanaomiminika pamoja
nayo, yamekabiliwa vikali
na ulinzi wa anga wa
Uturuki.
Shirika la Utangazaji
la Ujerumani, Deutsche
We l l e ( D W ) l i l i t o a
mkanda wa sauti wa
kwanza kutoka kianzio
muhimu cha habari nchi
za Magharibi kuonyesha
kuwa ISIS inapata vifaa
siyo kutoka 'ulanguzi
wa mafuta' au 'malipo
ya utekaji nyara', ila ni
vifaa vyenye thamani
ya mabilioni ya dola za
Marekani vinavyopelekwa
Syria kupitia mipaka ya
mwanachama wa NATO,
Uturuki, kwa njia ya
mamia ya malori kwa
siku.
Ripoti hiyo yenye
kichwa cha habari "Njia
za kupokea vifaa za
ISIS kupitia Uturuki,"
inayakinisha kile
ambacho kilishatajwa na
wachunguzi wa ramani
ya kisiasa kuanzia hata
2001 - kuwa ISIS inaishi
kwa ufadhili mkubwa wa
nchi kadhaa, ikiwemo bila
shaka, Uturuki yenyewe.
Ukiangalia ramani ya
maeneo yaliyoshikwa
na ISIS na kusoma
taarifa za mapito yake
na mashambulizi kote
katika ukanda huo na
hata mbali zaidi, mtu
anaweza kudhania
kuwa mamia ya malori
kwa siku yangehitajika
kuwezesha kiwango hiki
cha uwezo wa kupigana.
Mtu angeweza kufikiria
misafara kama hiyo
ikiingia Irak kutoka Jordan
na Saudia. Misafara kama
hiyo ingeweza kuingia
Syria kutoka Jordan.
(Tony Cartalucci,
anayeishi Bangkok, Thailand,
ni mtafiti wa ramani za
kisiasa na mwandishi, hasa
kwa jarida la mtandao, "New
Eastern Outlook.' Makala hii
imetafsiriwa Kiswahili na
Anil Kija.)
13
KUTOA ni jambo gumu
s a n a k wa m wa n a d a m u
hasa iwapo ni kitu
anachokipenda. Na vilevile
ni jambo linalopendwa sana
na Uislamu. Kwa ajili hii,
ndio tunaona kuwa Uislamu
umelitilia nguvu sana jambo
hili na kuliandalia malipo
makubwa.
Allah SW amelipangia
njia tofauti jambo hili kwa
kumfanya mtu wepesi wa
kumfanya na asiwe bakhili
na hili ni kwa kumuekea njia
ya wajibu na njia za suna.
Hakika kutoa kumeandaliwa
malipo makubwa ambayo ni
tofauti na ibada nyengine na
hili lipowazi.
Mfano wa wanao tumia
mali zao katika Njia ya
Mwenyezi Mungu, ni kama
mfano wa punje moja iliyo
chipuza mashuke saba.
Katika kila shuke zimo punje
mia. Na Mwenyezi Mungu
h u m z i d i s h i a a m t a k a ye ,
na Mwenyezi Mungu ni
Mwenye wasaa na Mwenye
kujua. (2:261.
Hili ni moja miongoni
mwa faida nyingi
zipatikanazo kwa kutoa
sadaka. Nyengine miongoni
mwa faida hizo, nikujenga
mahaba na mapenzi kati ya
wanaopeana. Ndio Mtume
SAW alivyozijenga imani za
Masahaba mpaka zikafikia
daraja ya kupendana na
kupeana bila kujali, huku
wakitarajia malipo makubwa
mbele ya Allah SW.
Jambo hili la kutoa kwa
hakika lina faida nyingi
kubwa zaidi katika hizo ni
kufunikwa na kivuli cha
Arshi ya Allah SW siku
ambayo hapatakuwa na
kivuli ila hicho. Nayo ni
siku ya Kiama ambapo
jua litawakaribia viumbe
kiasi ya shubiri moja juu ya
vichwa vyao. Kwenye hadithi
iliopokewa na Imam Bukhari
na Muslim wamelezewa watu
wa aiana 7 watakao funikwa
nna kivuli hicho, mmoja
wao ni mtu aliyetoa sadaka
akaificha mpaka ikafika
kutojua mkono wa kushoto
kilichotoa mkono wa kulia.
Jambo hili tukufu tunapata
fursa ya kujifunza katika
mwezi huu mtukufu wa
Ramadhani na inapomalizika
Ramadhani hugeuka hali
zetu tukawa wagumu wa
kutoa kama kwamba wale
waliokuwa wakitoa katika
mwezi wa Ramdhani sio
sisi bali ni watu wengine.
Inatakiwa kwa Muislamu
kuwa mwepesi wa kutoa
kwani kila unachokitoa
k wa a j i l i ya A l l a h S W
huwa hujapoteza bali
ni akiba kubwa ambayo
umejiwekea ya kukusaidia
siku ambayo hapana cha
kukusaidia isipokuwa kile
u l i c h o k i t a n g u l i z a k wa
mikono yako.
Kuwa na subira
M u i s l a m u a n a t a k i wa
kuwa mwenye kusubiri baala
zote zinazomkumba katika
maisha yake ya hapa duniani,
kwa kiasi kile ambacho
Muislamu anachokumbwa
na balaa na mitihani na
akasubiri, ndio huwa daraja
yake inapanda mbele ya
Allah SW. Ndio kwa maana
hii akasema Mtume SAW:
Allah anapowapenda
waja wake, huwajaribu kwa
kuwapatia mitihani ya kila
MAKALA/Matangazo
AN-NUUR
14
Makala
AN-NUUR
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
MOLA anatuelezea
kwa upana na kuapa
juu ya mbingu haya ni
mazingatio kwetu.
Naapa kwa mbingu
zenye njia. (51:7.)
Nani mwenye uwezo
wa k u s h i n d a n a n a
Muumba?
Na Ufalme wa
mbingu na ardhi ni wa
Mwenyezi Mungu; na
Mwenyezi Mungu ni
Mwenye uweza juu ya
kila kitu. (3: 189.)
Sifa njema zote ni
za Mwenyezi Mungu
aliye umba mbingu na
ardhi, na akafanya giza
na mwangaza. Tena
baada ya haya walio
kufuru wanawafanya
wengine sawa na Mola
wao Mlezi. (6:1.)
Nani anayeyapa
maisha kuwepo na nani
anayeyaondoa maisha
hata mwanadamu
akitumia juhudi zote
kuzuia kifo?
Yeye ndiye Mwenye
ufalme wa mbingu na
ardhi. Anahuisha na
anafisha. Na Yeye ni
Mwenye uweza wa kila
kitu. (57:2.)
Maisha yanaelezwa
k wa u p a n a k a t i k a
Quran kwa mifano
mbalimbali.
A U
N A N I
yule aliyeziumba
mbingu na ardhi, na
akakuteremshieni maji
kutoka mbinguni, na
kwa hayo tukaziotesha
bustani zenye
kupendeza? Nyinyi
hamna uwezo wa
kuiotesha miti yake. Je!
Yupo mungu pamoja
na Mwenyezi Mungu?
Bali hao ni watu walio
potoka. (27:60.)
A u n a n i y u l e
aliyeifanya ardhi mahali
pa kutua, na akajaalia
ndani yake mito, na
akaweka milima? Na
a k a w e k a b a i n a ya
bahari mbili kizuwizi?
huonekana ndege
na wana mazingira
wanaelezea kuwa
u t a p o w a o n a
n d e g e wa m e j a z a n a
sehemu mmoja ujue
kuna mazingira
yaliokamilika.
Je! Hawawaoni
ndege walivyo wat'iifu
katika anga la mbingu?
Hapana mwenye
kuwashika isipo kuwa
M we n ye z i M u n g u .
Hakika katika haya zipo
ishara kwa watu wanao
amini. (16:79.)
Mchana na usiku
ni maana yake? Mola
anatuelezea kama
ifwatavyo:
Yeye ndiye aliye
kujaalieni usiku mpate
kutulia humo, na
mchana wa kuonea.
Hakika katika haya zipo
Ishara kwa watu wanao
sikia. (10:67.)
Ishara
zipi
tunazozipata kukuwepo
kwetu duniani?
Hakika katika
mbingu na ardhi ziko
Ishara kwa Waumini.
(45:3.)
Jee hii miezi
tulivyoipanga ipo
tangu lini? Ipo tangu
Mola alipoiumba dunia
kwa kuweza kutambua
mambo yetu mbalimbali
na kuyapanga na kujua
lipi liwe wakati upi
Hakika idadi ya
miezi kwa Mwenyezi
Mungu ni miezi kumi
na mbili katika hukumu
ya Mwenyezi Mungu
tangu alipoumba
mbingu na ardhi.
Katika hiyo iko mine
mitakatifu. Hiyo ndiyo
Dini iliyo sawa. Basi
msidhulumu nafsi zenu
humo. Na piganeni
na washirikina wote
k a m a wa o w n a v y o
pigana nanyi nyote. Na
jueni kuwa Mwenyezi
Mungu yu pamoja na
wachamngu. (9:36.)
Suala zima la duru
ya maji (Water cycle)
limechambuliwa katika
Quran.
Je! Huoni ya
k wa m b a M we n ye z i
Mungu huyasukuma
mawingu, kisha
huyaambatisha, kisha
huyafanya mirundi?
Basi utaona mvua
ikitoka kati yake. Na
huteremsha kutoka
juu kwenye milima
ya m a w i n g u m v u a
ya mawe, akamsibu
nayo amtakaye na
akamuepusha nayo
amtakaye. Hukurubia
mmetuko wa umeme
wake kupofua macho.
(24:44.)
Ya l i o m o
na
yaliofratibiwa katika
ardhi ni yepi?
Na tukazipasua
ardhi kwa chemchem,
yakakutana maji kwa
jambo lilio kadiriwa.
(54:12.)
Katika mkusanyiko
wa aya hizi juu ya dunia
Allah anasema:
N a
w a l a
hawakumhishimu
Mwenyezi Mungu
kama anavyo stahiki
kadiri yake. Na Siku
ya Kiyama ardhi yote
itakuwa mkononi
mwake, na mbingu
zitakunjwa katika
mkono wake wa
kuume. Subhanahu wa
Taa'la Ametakasika na
Ametukuka na hayo
wanayo mshirikisha
nayo. (39:67.)
Nimezikusanya
a ya k a t i k a Q u r a n
kuonyesha juu ya
mbingu, ardhi ikiwa
ndio dunia yenyewe
alioiumba Allah.
Maisha yanategemea
uhai na ndio sayari yetu
pekee yenye uhai.
Makala ijayo
nitaueleza uhai,
kisha kuyatizama
mazingira kwa upana
na majukumu ya
wanadamu.
Jee
Unajua?
1. Unazijua nchi 15 zinazoongoza kuwa
H
N
C
N
R
A
N
N
E
S
I
D
H
N
A
C
D
T
R
A
N
O
I
E
Z
I
E
I
M
S
A
N
L
T
I
F
S
G
U
S
A
E
E
L
I
T
U
D
S
S
S
J
H
Z
C
P
A
A
G
G
I
Y
P
O
I
U
Y
G
N
J
A
T
T
T
T
U
O
O
I
K
G
U
N
I
O
P
S
S
L
L
J
N
B
F
C
G
Y
U
E
1.
Mto ulio mrefu kuliko yote duniani?
2.
Nchi inayoongoza kusafirisha Sukari.
3.
Bahari iliokubwa na kina kikubwa.
4.
Mlima ulio mrefu kuliko yote duniani.
5.
Kisiwa au nchi ilio na watu wachache duniani.
6.
Nchi inayoongoza usafirishaji wa gesi asilia.
7.
Tanzania ni nchi ya ngapi katika usafirishaji
wa Tanzanite?
8.
Nchi inayoongoza usafirishaji na uzalishaji
wa Karafuu duniani ni..
9.
Nchi inayoongoza usafirishaji wa Shaba.
10. Nchi inayoongoza utengenezaji wa saa na
kuziuza duniani.
15
Makala
AN-NUUR
V I TA v ya B a d r n i
vita vya mwanzo
vikuu katika tarehe
ya Uislamu, vikiwa
vita baina Waislamu
na Makafiri. Vita hivi
ni kielelezo kikubwa
k wa Wa i s l a m u
kuelewa kuwa hakuna
kinachoshindikana
k a m a
i m a n i
zao
zitakuwa
zimefungamana
kikweli ushindi
utapatikana tu.
Katika Suratul Anfal
Mtume SAW aliahidiwa
ushindi kama aya
zinavyofafanua.
Na Mwenyezi
Mungu alipo kuahidini
kuwa moja katika
makundi mawili ni
lenu. Nanyi mkapenda
lisilo na nguvu ndio
liwe lenu; na Mwenyezi
Mungu anapenda
ahakikishe Haki kwa
maneno yake, na aikate
mizizi ya makafiri. (8:7)
Ili ahakikishe Haki
na auvunje upotovu na
wangechukia wakosefu.
(8:8.)
Katika vita hivi kuna
matokeo mengi sana
yanayohitaji mazingatio
tokea kuanza kwake
hadi kupatikanakwa
ushindi na kadri
tutakavyoyas imulia
matokeo hayo,
hatutoyafikia ukomo.
Lakini na itoshe yale
yaliyo wazi na maarufu
tuweze kuyafahamu na
kuyazingatia.
Tarehe ya Vita
Vita vikuu vya Badr
vilitokea mwaka wa
pili tokea Mtume SAW
kuhamia Madina.
Ilikuwa katika mwezi
wa Ramadhani tarehe
17 siku ya Ijumaa na
ilikuwa ndio mwaka
wa m wa n z o t o k e a
kufaradhishwaa funga
ya Ramadhani.
Vita vya mwanzo
baina ya Waislamu
na Makafiri vilikuwa
ni vita hivi vya Badr.
Ushindi kwa Waislamu
ndio somo kubwa
la kujifunza kwani
ilikuwa ni idadi
ndogo ya Waislamu
ukilinganisha na ya
M a k a f i r i . U w i ya n o
ulikuwa 1:3. Kila
Muislamu mmoja, kuna
Makafiri watatu (1:3).
Lakini juu ya kuzidiwa
kwa idadi, Waislamu
waliweza kupambana
na maadui ikiwa ni
wachache na wenye
silaha duni.
Sababu ya Vita
Chaanzo cha vita
hivi ni kutaka kwa
Waislamu kulipiza kwa
Waislamu kwa Makafiri
wa Makka ambao
walizihodhi mali zao
walizoziwacha Makka
na ndio walizokuwa
wakizifanyia biashara.
Waislamu walipanga
k u u va m i a m s a f a r a
wa kibiashara wa
Makureshi utokao
Shamu na kuelekea
Makka. Mtume SAW
aliwataka Masahaba
zake watoke kuuvamia
msaafara huo uliokuwa
na ngamia wafikao
elu moja wakiwa
E
C
A
M
A
I
R
S
S
S
B
S
A
F
L
I
D
P
O
N
D
D
A
I
S
F
U
P
M
C
I
N
O
T
G
I
O
L
H
N
I
N
O
H
O
T
H
I
A
K
I
T
M
J
A
M
N
A
I
1
L
N
F
M
Z
A
G
O
A
E
O
N
I
A
G
H
S
V
J
K
L
A
K
1939
2AH
1945
6AH
354
360
5%
M U
MASUALA
1.
Vita vya Badr vilipiganwa mwaka gani wa
Kiislamu? Jawabu: 2AH
2.
Khalifa wa 3 Syd Uthman bin Affan aliuwawa
akiwa na umri wa miaka mingapi? 82, 79, 90. Jawabu:
82
3.
Baada ya Msikiti wa Makka na Madinah Msikiti
gani mwengine mtukufu? Jawabu: Bayt Muqadas.
4.
Mali iliopitia mwaka Muislamu anatakiwa atoe
kima kipi kama ni Zakka? 1%, 2.5%, 5%. Jawabu: 2.5%.
5.
Katika Kalenda ya Hijra, kuna siku ngapi?
Jawabu: 354.
6.
Kilomita moja ina Milimita ngapi? Milioni 1,
Milioni 10, Milioni 25 Jawabu: Milioni 1
7.
Mto Euphrates na Tigris umehusishwa na
ustaarabu upi? Jawabu: Mesopotamia.
8.
Vita vikuu vya pili vilianza mwaka gani?
Jawabu 1939.
9.
Mtu gani aliotamka kuwa Mwanadamu ni
Mnyama wa Siasa (Political animal), Plato, Hagel,
Aristotle. Jawabu: Aristotle
10. Gazeti la mwanzo duniani lilianzishwa nchi
gani? China, USA, England. Jawabu: China.
wamebebeshwa bidhaa
za kila aina. Msafara wa
Makureshi Abu Sufyan.
Hapa itabidi tuelewe
kuwa hakukua kuvamia
msafara huu ilikuwa ni
dhulma, bali ilikuwa
ni kurejesha kati ya
mali zao zilizoporwa
na Makureshi.
Waislamu walihama
kuhamia Madina
wakiwa wapo mikono
mitupu, kuhama kwao
walihama kwa ajili ya
Allah.
Maandalizi ya Kikosi
Mtume SAW baada
ya kuwaamrisha
masahaba zake
kuuvamia msafara wa
Makureshi, hakuwa
na maana kuwa kila
Muislamu kutoka kwa
ajili ya kulitekeleza
jambo hilo, bali
aliwakhiyarisha
ndipo wakajitokeza
Waislamu wapatao 313
wakiwemo Muhajirina
82 na waliobaki ni
Waislamu wa Madina.
Aidha, walikuwa na
ngamia 70 na farasi 3
tu. Waislamu walianza
safari yao wakiongozwa
na Mtume SAW ikiwa ni
siku ya Jumatatu tarehe
8 Ramadhani. Kutokana
na uhaba wa vipando
walivyokuwa navyo
Waislamu, iliwabidi
wafanye zamu za
kupanda ngamia ikawa
kila watu watatu au
wanne wanapokezana
katika kupanda ngamia
mmoja, ikiwa mmoja
hupanda na wengine
hutembea kwa miguu.
M t u m e S AW k w a
upande wake, akawa
anapokezana na Sahaba
Ali bin Abi Talib na
Sahaba Marthad
Alghanaawy. Ikawa
kabla ya Mtume SAW
hakuwahi kushuka na
kutembea kwa miguu,
Syd Ali na mwenzake
wakamuambia
aendelee kumpanda
ngamia huyo na wao
watakwenda kwa
miguu, yote hayo ni kwa
kumfanyia heshima na
kufanya adabu kwa
kiongozi wa Umma
huu. Hebu tujiulize
nini lilikuwa jawabu la
Mtume SAW? Jibu lake
kama atalisikia yeyote
mwenye nafasi katika
jamii na kulizingatia
aliyoyazungumza
atachomwa na kuingiwa
na imani kwa walio
chini yake na kutaka
kufwata nyayo zake
Mtume SAW. Alinena
yafwatayo, Nyinyi
hamjawa na nguvu
kuliko mimi (hata
mkatembea kwa miguu
nami nishindwe), wala
mimi siwezi kuziwacha
fadhila mzitakazo
nyinyi (za kutembea
k wa m i g u u k a t i k a
mambo ya kheri.)
Waliendelea
kupokezana kumpada
ngamia huyo hadi
kufika sehemu
waliyoikusudia. Mtume
SAW alikusudia kufika
sehemu iitwayo Badri
kwani sehemu hiyo ni
nzuri na ndiyo njia kuu
ya misafara inayotokea
Shamu kuelekea Makka.
Walipokaribia sehemu
hiyo, walipiga kambi
nje kidogo na Mtume
SAW akatuma wajumbe
kuchunguza kama
msafara wa Mukureshi
kama ushawasili au
bado.
Kwa bahati huku
Abu Sufyani alikwisha
pata habari ya kuwa
Waislamu wanataka
kuuteka msafara wake,
kuweza kulifahamu hilo
Abu Sufyan akafanya
haraka kumtuma
mjumbe kwenda Makka
kuwajulisha Makureshi
wafike haraka wende
kuwapa ulinzi zisije
zikatekwa mali zao.
M j u m b e wa A b u
Sufyani alipowaeleza
Makureshi juu ya
a z m a z a Wa i s l a m u
kutaka kuwateka na
kuwanyanganya mali
zao, wakapatwa na
furaha na kuona fursa
waliokuwa wakitafuta
kuweza kupambana na
Waislamu na kuwafyeka
mara mmoja imewadia,
kwani ilikuwa tokea
Wa i s l a m u k u h a m i a
Madina imepita miaka
miwili hawajawaudhi
wala kuwatesa na
husda zao zilikuwa
zikichemka kila kukicha
kuona kuwa Waislamu
wamewakosa na sasa
wamekuwa na jeuri.
Kutokana na hali hio,
wakatiana mori kutoka
kwenye makazi yao na
kwenda kuunusuru
msafara wao.
Baadhi ya Makureshi
waliona sio busara
kupigana na Waislamu,
kwa hio baadhi yao
waliamua kurudi
Makka kutokanaa na
kukhofia mangamizo
watakayoyapata, kati ya
waliorudi alikuwemo
Abu Lahab na badala
yake akamtomeza
mwandani wake AlAas bin Hisham bin
Mughira pamoja na Ami
yake Mtume Bwana
Abass alitoka nao
lakini alifanya hivyo
kwa kuwaonea haya
M a k u r e s h i . Vi g o g o
vyote vya Makureshi
walitoka kwenda
kuulinda msafara
wao ikiwa idadi yao
ilikuwa zaidi ya watu
Elfu wakiwa na silaha
kamili za kivita na
walikuwa na vipando
v ya o v ya k u t o s h a .
Aidha, walikuwa
na vyakula vya kila
aina vya kifakhari ili
kujiburudisha wakiwa
wa n a e l e k e a B a d r i .
Wa l i wa c h u k u a p i a
wapiga ngoma kuweza
kuwastarehesha. Hayo
yote waliyafanya
b a s i l e o wa t a k u wa
wapo sehemu kadha.
Huyu mzee alikuwa
ni mtaalamu wa safari
z a J a n g wa n i h i v y o
a l i we z a k u k i s i a n a
makisio yake yakawa
ni ya kweli. Baada ya
hapo huyo mzee Mzee
akaona naye achukue
fursa ya kuwauliza
Mtume SAW na Syd
Abubakar akaanza
masuala yake kama
ifwatavyo:
Jee nyinyi mnatokea
wapi? Mtume
akamjibu tunatokana
na maji. Mara tu
alipomaliza kutoa
kauli hio, akaondoka
na Syd Abubakar na
kumuachia kitendawili
mzee wa Kiarabu
kujiuliza ni sehemu
gani hiyo inayoitwa
maji alioambiwa.
Mtume
SAW
a l i t u m i a u j a n j a wa
mbinu za kivita kuwa
mnapofanya ujasusi
kwenye vita na
kukutana na wana vijiji
wanapowauliza, sio
kuwamwagia ukweli,
mbinu hii hadi sasa
ingali inatumika.
Mtume
SAW
aliporudi kwa
Masahaba akaona
bora aongeze kupata
taarifa za ziada kuweza
kujua nguvu za maadui
wa l i p o . H a p o t e n a
akawatoa Sahaba Ali bin
Abi Talib na wenzake
wawili wakatoka hadi
wakawakuta vijana
wawili kwenye maji
ya Badri, wakaona ni
busara kuwachukuwa
hadi kwa Mtume SAW.
Walipoulizwa kuwa
wao ni nani wakajibu
sisi ni wachotaji
maji wa Makureshi
tumetumwa tuje
kuchota maji. Mtume
akawauliza, wapo
wapi hao Makureshi?
Wa k a j i b u s e h e m u
kadha, sehemu yenye
muinuko wa ardhi
Mtume akataka kujua
idadi yao wakakiri
kuwa hawajui lakini
walikuwa ni wengi.
Wakaulizwa kwa kiasi
kila siku wanachinga
ngamia wangapi
jawabu yao ikawa ni
ngamia 9 na baadhi ya
siku hufikia hata 10.
Mtume
SAW
akafanya makisio yake
akasema kutokana
n a k u l a k wa o k wa
siku, basi idadi yao
itakuwa ni baina ya
Makureshi 900 au
1,000. Aliupotaka kujua
viongozi walikuwepo
kwenye msafara huo
wakawataja kwa majina
idadi yao ikiwa inafikia
14 ikiwa mingengwe
ya Kikuraishi. Hapo
Mtume SAW akaelewa
kuwa hakuna msafara
wa kuuvamia tena ila
lilobaki itakuwa ni
mapambano tu.
Itaendelea toleo
16
Na Mwandishi wetu
KALENDA YA RAMADHANI
Mwaka 2015
1.
2.
3.
4.
5.
JJ
SIKU
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
MUDA
WA
MWISHO
KULA
DAKU
(IMSAK)
11:02
11:02
11:02
11:02
11:02
11:03
11:03
11:03
11:03
11:04
11:04
11:04
11:04
11:04
11:04
11:05
11:05
11:05
11:05
11:06
11:06
11:06
11:06
11:06
11:06
11:04
11:05
11:05
11:06
11:06
KUINGIA
ALFAJIRI
ADHANA
KUCHWA JUA
JIONI
ADHANA YA
MAGHARIBI
KUFUNGUA
(IFTAR)
11:17
11:17
11:17
11:17
11:17
11:18
11:18
11:18
11:18
11:19
11:19
11:19
11:19
11:19
11:19
11:20
11:20
11:20
11:20
11:21
11:21
11:21
11:21
11:21
11:21
11:19
11:20
11:20
11:21
11:21
12:17
12:17
12:17
12:17
12:18
12:18
12:18
12:18
12:18
12:19
12:19
12:19
12:19
12:19
12:19
12:20
12:20
12:20
12:20
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:22
12:22
12:23
12:23
12:22
12:22
12:22
12:22
12:23
12:23
12:23
12:23
12:23
12:24
12:24
12:24
12:24
12:24
12:24
12:25
12:25
12:25
12:25
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:27
12:27
12:28
12:28
TAREHE
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
MWEZI
RAMADHANI KARIM
RAMADHANI KARIM
kuepukana na machafu na
makatazo yote kwa jumla,
na kumuezesha kufanya
mazuri yenye kumridhi
Mola SW katika muda
mwingi wa maisha yake,
kwani Allah SW amesema
katika hadithi Qudsi kupitia
ulimi wa mjumbe Mtume
SAW Haachi mja wangu
kujikurubisha kwangu kwa
kufanya ibada za Sunna
mpaka ninakuwa ni jicho
lake la kuonea, sikio lake la
kusikilizia, mguu wake wa
kuendea, na mkono wake
wa kushikia. Hii ikimanisha
kuwa haoni, hasikii, haendi
wala hashiki ila vyenye
kumridhisha Allah SW.
Ama faida nyegine
inayopatikana nikuwa karibu
na Allah SW kwani Muislamu
kila anavyozidisha kufanya
ibada na kuzidi kujitakasa
nafsi yake na machafu ndio
anazidi kupanda daraja na
kuwa karibu na Allah SW
RAMADHA
NI YA:
K AT I K A m w e z i w a
Ramadhani Muislamu
anapata fursa ya kujifunza
na kujizowezesha mambo
mengi yanayotakiwa na
Uislamu ambayo huwa
hayapatikani katika miezi
mengine kwa wengi katika
Waislamu na kwa wale
wachache ambao kwao
hupatikana katika miezi
mengine, katika mwezi
wa Ramadhani huwa ni
maradufu.
Katika makala hii
tutajaribu kueleza machache
miongoni mwa hayo mengi
ambayo Muislamu anajifunza
na kujizowezesha katika
mwezi huu mtukufu kwa
kiasi ambacho tumeafikiwa
na Allah SW.
Funga ni jambo ambalo
limependekezwa sana na
kuhimizwa katika Sheria
ya Kiislamu. Na hili ni kwa
hekima. Kuna faida nyingi na
tofauti zipatikanazo katika
ibada hii tukufu. Miongoni
mwa hizo ni kuwa mwenye
kufunga sana anakuwa na
afya nzuri zaidi kuliko yule
asiyefunga au anayefunga
Ramadhani hadi Ramadhani.
Na hili lipo wazi katika
maneno ya Mtume SAW
aliposema, Fungeni mtapata
afya.
Na hili vilevile
limethibitishwa na
wanasayansi wasiokuwa
Waislamu. Ama nyengine
miongoni mwa hekima na
faida nyingi ni kuwa tumbo
la binadamu linaposhiba,
viungo vyake huwa na njaa
yaani mkono hutaka kupiga,
macho hutaka kuangalia
yasiofaa, utupu hutaka
kufanya machafu n.k. Vilevile
kinyume chake ni kuwa
tumbo linapokuwa na njaa,
viungo hushiba na haviwezi
kufanya machafu. Ndipo
Mtume SAW alipowaamrisha
vijana kuowa akawaambia
kuwa asiyekuwa na uwezo
afunge, kwani funga ni kinga
ya kila baya na chafu.
F a i d a n ye n g i n e b o r a
kuliko zote ni kuwa ibada hii
tukufu haikuekewa kiwango
maalum cha malipo tofauti
na ibada nyengine zote.
Kama alivyosema Mtume
SAW hadithi iliopokewa
na Muslim Kila amali
ya b i n a d a m u i n a l i p wa
nyongeza na zaidi, jema moja
kwa kumi mpaka nyongeza
mia saba, amesema Allah
SW isipokuwa funga hakika
hiyo ni yangu na mimi ndiye
mwenye kutoa malipo yake,
kwani mfungaji anaacha
matamanio na chakula chake
kwa ajili yangu.
Kulingana na hadithi hii,
tunaona wazi ukubwa juu ya
funga hadi ikafika kutotajwa
ni kiasi gani malipo yake.
Kwa hivyo tusitosheke na
funga hii ya Ramadhani peke
yake, bali ni tujilazimieshe
hasa katika ulimwengu huu
wa sasa uliojaa machafu
kujibidisha na funga baada
AN-NUUR
MAKALA
17
Inatoka Uk. 11
video ya kupiga risasi
kwazua ubishi," kiliainisha
kichwa cha habari cha
Boston Globe, ambalo
lilieleza kuwa video hiyo
ina chenga na ilipigwa
kutoka mbali kupitia
mvua..... watu wanaoweza
kuonekana ni viwiliwili,
na hakuna silaha
zinazoonekana..... Hakuna
silaha zinazoonekana
katika mtiririko wake, na
kukutana kwa mara ya
kwanza kati ya maofisa
wa kikosi maalum na
Rahim kumefichika."
Kichwa cha habari cha
N e w Yo r k T i m e s p i a
kiliainisha: "Katika video
chenga ya kupigwa risasi
Boston, kurudi nyuma
kwa maofisa (wa polisi)
kuko wazi lakini kisu
hakionekani." Habari hiyo
ilikiri kuwa "ni vigumu
kuona kama Bw. Rahim,
26, aliyekuwa akifuatiliwa
na polisi wakati huo,
alikuwa amebeba kisu,
kama polisi walivyosema."
Video hiyo ilikuwa
inasumbua kiasi kwamba
hata CNN waliona hilo,
na kuyakinisha kuwa
wa k a t i " m a o f i s a ( wa
upelelezi) waliwaambia
waandishi wa habari kuwa
mkanda huo unajieleza
wenyewe .... bado, ulihitaji
kuhadithiwa, akilenga
mkutano na waandishi
wa habari wa FBI ambako
walitoa maelekezo tata
ya hatua kwa hatua jinsi
wa a n d i s h i wa h a b a r i
wanavyotakiwa kutafsiri
na kuelezea video hiyo
"inayojieleza yenyewe."
CNN ilisema pia kuwa
"kama haiwezekani kuona
kinagaubaga - na hakuna
sauti katika video hiyo"
na kuwa ni "chenga kwa
sababu ya umbali kutoka
k a m e r a n a wa h u s i k a
inaowarekodi."
Familia ya Rahim ilitoa
taarifa ikiainisha maswali
mengi yanayotokana na
video hiyo.
Ni bayana kuwa video
h i y o i n a z u a m a s wa l i
kuliko inavyojibu, na tukio
lenyewe limegubikwa
na kila aina ya shaka
zisizotatuliwa kuhusu nini
kilitokea hapa:
(1) Tuseme tu kwa ajili
ya kujenga hoja kuwa
walichosema polisi kuhusu
kupiga risasi ni kweli. Hivi
inashangaza kiasi hicho
- au ya kulaumu - kuwa
mtu anayesimamishwa
kwa ghafla na kwa utisho
na watu watano ambao
hawakuvaa sare angehisi
kutishiwa? Kutokutaka
kuangusha kisu chake
inawezekana pia ni
matokeo ya kupewa (kwa
makusudi au kwa uzembe)
na vitendo vya kumtishia
kwani bila hivyo mpango
wa p o l i s i u n g e k a t wa
kichwa. Kama mtu
angetaka kumchokoza
MAKALA
AN-NUUR
18
MAKALA
AN-NUUR
INAONEKANA viongozi
wa Chama Cha Mapinduzi
( C C M ) wa n a m t i i s a n a
kiongozi wao mkuu
upande wa Zanzibar, Dk.
Ali Mohamed Shein. Na
matokeo yake, naye Dk.
Shein, daktari bingwa wa
tiba ya magonjwa makubwa
ya mwanadamu, anawatii
sana wasaidizi wake hao
wa chama. Nazungumzia
u t i i f u u n a o wa h u s u t u
wa n a c h a m a wa C C M ,
chama kilekile ambacho
ndicho kimempandisha
chati ya kisiasa daktari
huyu, hadi kufika kuwa
mpangaji mkuu wa makao
makuu ya mamlaka ya
Zanzibar, Ikulu yaliyopo
Mnazi mmoja. Utiifu uliopo
kati ya wanachama hao wa
CCM na Dk. Shein, kumbe
hauna maana yoyote kwa
mustakbali wa Zanzibar,
na wala kwa watu wake
Wazanzibari, kutoka
Unguja na Pemba.
Sasa hii ni bahati mbaya
aliyoipata Dk. Shein katika
m i a k a ya k e m i t a n o ya
uongozi inayomalizika ndani
ya siku 120 zijazo. Bahati hii
mbaya imetokea kwa sababu
huyu Dk. Shein ndiye Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi
(BLM). Kama si kutimiza tu
matakwa ya kikatiba, urais
anaoushikilia Dk. Shein
usingekuwa na mahusiano
yoyote na chama alichopitia
kuongoza Zanzibar. Labda
hapo ndo angeutumia vizuri
wadhifa huu akawa mtiifu
zaidi kwa wananchi badala
ya kujiweka mtiifu zaidi kwa
chama chake na kusahau
kabisa maslahi ya wananchi.
Ndo ninaposema kumbe
uliopo ni utiifu uliokuja
vibaya kwa sababu kadiri
ninavopima na kutathmini
ya n a y o t o k e a n d a n i ya
Zanzibar, nchi ndogo kieneo
iliyo sehemu ya jamhuri
kubwa la Muungano,
nazidi kuthibitisha kuwa
hauzingatii chembe ya
mahitaji halisi ya wananchi
wa Zanzibar.
Chukulia suala moja
muhimu ambalo alilitolea
ahadi mara baada ya
kushikana mikono, katika
ishara ya kuridhiana, na
Maalim Seif Shariff Hamad,
ukumbi wa Salama wa
Hoteli ya Bwawani.
Ilikuwa ni siku ya kwanza
ya mwezi Novemba mwaka
2010, Dk. Shein baada ya
kutangazwa mshindi wa
urais katika uchaguzi mkuu
wa Zanzibar uliofanywa
Oktoba 31, alitoa ahadi
mbele ya ulimwengu
kuwa atayashughulikia
matatizo yaliyobainishwa
kuhusu Tume ya Uchaguzi
ya Zanzibar Zanzibar
Electoral Commission (ZEC).
nafasi ya kuzungumza,
akiwa ameshasikia kilio cha
matatizo ya kiutendaji ya
Tume ya Uchaguzi, alitoa
ahadi palepale ya kuwa
atayafanyia kazi ipasavyo
na kwamba hiyo itakuwa
moja ya kazi zake za kwanza
akishateua serikali.
Matatizo ya Tume ya
U c h a g u z i ya Z a n z i b a r
s i m a p y a . Ya m e k u w a
yakijirudia kila wakati wa
uchaguzi. Kwa kuangalia
mjumuiko wa matatizo
yanayokabili asasi hii ya
kiserikali, ni rahisi kusema
yamekuwa yakidhoofisha
kuaminika kwa matokeo
yenyewe ya uchaguzi
yakiwemo yale ya urais. Na
ni kwa bahati mbaya sana,
katiba imefunga fursa ya
kuyahoji matokeo kwenye
chombo chochote, mara
yakishatangazwa.
Tume ya Uchaguzi ya
Zanzibar ina makamishna
saba, ikiongozwa na
mwenyekiti ambaye kwa
mujibu wa Katiba ya
Zanzibar, 1984, huteuliwa
na Rais. Sifa ya mteuliwa
ni kuwa mtu aliyekuwa
au mwenye sifa za kuwa
jaji katika Mahkama Kuu
a u M a h k a m a ya R u f a a
katika nchi yoyote iliyo
mwanachama wa Jumuiya
ya Madola, au mtu
anayeheshimika katika jamii.
Ibara ya 119 ya Katiba ya
Zanzibar ndiyo inayotoa
mamlaka ya kutambuliwa
Tu m e ya U c h a g u z i ya
Zanzibar. Uteuzi wa
mwenyekiti unatajwa
kifungu cha pili. Sasa
Dk. Shein alimteua Jecha
Salim Jecha, akijua hana
sifa ya kuwa jaji. Yeye si
mwanasheria kitaaluma.
Kwa hivyo, inachukuliwa
kuwa alimteua Jecha, katibu
mkuu wa zamani serikalini,
kwa sifa ya kuwa mtu
a n a ye h e s h i m i k a k a t i k a
rais.
J e c h a
k a m a
anavyoonekana aliyemteua,
kwao la muhimu ni maslahi
ya CCM wala si maslahi ya
Wazanzibari. Kwa hivyo
basi, kwa yanayoendelea
vituoni, tayari wananchi
wanaambiwa mapema
kuwa wasije kutarajia Jecha
kusimamia Tume kutangaza
matokeo yatakayowaudhi
viongozi wa CCM. Hivi
Jecha akiulizwa ni kwanini
khasa Tume haijatangaza
mpaka leo hii, majimbo
yatakayoshindaniwa katika
uchaguzi huo, atakuwa
na jibu gani? Swali hili ni
muhimu ikizingatiwa kuwa
hivi sasa ni miezi mitatu tu
kabla ya siku ya uchaguzi,
Oktoba 25, na miezi miwili
tu kabla ya siku ya uteuzi wa
wagombea,
Tu m e t a n g u J u n i
mosi ilipoingia imetuma
waandikishaji kuandikisha
wapigakura majimboni,
lakini haijaeleza kwa umma
huyo mtu anayeandikishwa
atakuwa mpigakura wa jimbo
gani. Haoni anaiongoza
tume kibubusabubusa?
Au k wa m b a ye ye n a
wenzake wanakosa dhamira
njema ya kutumia dhamana
waliyopewa kujenga historia
ya utendaji uliotukuka?
M k o s e f u wa d h a m i r a ,
haipati nia njema kwenye
hilo atendalo.
Dk. Shein alijua
k wa m b a k wa k u m t e u a
Jecha kuongoza Tume ya
Uchaguzi hakutabadilika
chochote kutoka yale
malalamiko aliyokabidhiwa
na Maalim Seif, mwanasiasa
aliyemridhia awe mmoja
wa wasaidizi wake wakuu
serikalini Makamu wa
Kwanza wa Rais. Rais huyu
alijua watendaji wa Tume,
kwa kuwa wanaongozwa
n a m t e u l e wa k e J e c h a
Salim Jecha, asiyekuwa na
dhamira ila ile ya kukibeba
chama chao, wataendesha
mambo kwa utaratibu uleule
waliouzoea miaka yote
utaratibu wa kutenda huku
wakihakikisha ni CCM tu
kushinda si zaidi ya hapo.
Halafu hapo bado
Wazanzibari na walimwengu
wadanganywe kuwa
Zanzibar itakuwa na
uchaguzi ulio huru, wa
haki na uliofanywa kwa
njia za uwazi? Jaguju. Kama
ndo hivyo, nini kimebakia?
Kwanza Dk. Shein
hakubadilisha chochote,
lakini kubwa ameigandisha
nchi isitoke tanurini kwa
moto ilipo. Alhamdulillah
ameijenga historia yake yeye
mwenyewe.
19
Na Shaban Rajab
B I L A s h a k a Wa i s l a m u
wa n a j i t a h i d i k u t e n d a
yaliyo mema kipindi hiki
ambacho wamo katika ibada
ya funga ya Ramadhani.
Tunamuomba Mwenyezi
Mungu atutakabalie saumu
na ibada zetu katika mwezi
huu mtukufu.
Jambo la kwanza ambalo
tunapaswa kufanya
kuhusiana na mwezi wa
Ramadhani, ni kufahamu
kwa usahihi kuhusu malengo
na falsafa ya mwezi huu.
Muumini anapaswa kujua
sababu ya kuwepo saumu na
ni kwa nini amefaradhishiwa
ibada hiyo. Bila shaka kwa
kufahamu sababu hizo,
atajikuta anatenda yale
ambayo humfanya awe
Mcha Mungu hata baada ya
kuondoka Ramadhani.
Mwezi mtukufu wa
Ramadhani ni ishara ya
u k a r i m u wa M we n ye z i
M u n g u k wa Wa u m i n i .
Mwezi huu ni kama maji
ya uhai ambayo hukidhi
kiu kali. Kwa muda mrefu
sasa nimebaini kuwa kila
u n a p o a n z a m f u n g o wa
Ramadhani, kuna mazingira
fulani ya utulivu hujitokeza
katika miji na mitaa yetu.
Lakini ajabu ni kwamba, hali
hiyo huanza kutoweka mara
inapoondoka Ramadhani, na
hapo hurejea hali ya kabla ya
Ramadhani.
Hivi sasa tunashuhudia
yale maeneo mengi ya starehe
za maasi na laghawi zikiwa
zimepwaya. Hakuna wateja
ama kuna wateja wachache
sana. Kwa mfano kipindi
hiki mimeshuhudia maeneo
mahiri kwa biashara ya
pombe (bar) yakiwa kimya
bila wateja waliozoeleka,
maeneo ya wasichana
wanaofanya biashara za
miili (uzinzi) nako biashara
imedorora. Hata mwandishi
wa magazeti ya burudani
(udaku) nao wameliona
hilo. Nanukuu habari
iliyoandikwa katika gazeti
la Risasi, na Waandishi Issa
Mnally na Richard Bukos:
K AT I K A h a l i y a
k u s h a n g a z a , u s i k u wa
Jumanne iliyopita, Risasi
Jumamosi (siku tano kabla ya
Ramadhani) liliwanasa akina
dada wanaojiuza ambao
walisema hawatakuwepo
katika eneo lao la biashara
kwa muda wa mwezi mmoja
kwa sababu ya mfungo
wa mwezi Mtukufu wa
Ramadhan.
Machangudoa hao
wa l i k u t wa C o r n e r B a r ,
Africana Sana- Sinza, Jijini
Dar es Salaam wakisaka
wanaume huku wakidai
wanavunja jungu.
Mmoja aliyetajwa kwa
jina la Rose, alidai yeye ni
kahaba mzoefu wa eneo
hilo na kudai kwamba mara
mfungo utakapoanza hata
wao watasitisha biashara
hiyo mpaka watu wenye
imani hiyo watakapomaliza
Makala
AN-NUUR
AMIR wa Baraza Kuu, Sheikh Mussa Kundecha akikhutubu katika moja ya makongamano
yaliyowahi kufanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. (Picha kutoka Maktaba Yetu)
ibada yao.
Unajua nini? Ni kweli
tunatenda dhambi, lakini sasa
si vizuri wenzetu wafunge
halafu sisi tunashughulika na
zinaa kwa kuuza mwili, hata
Mungu hapendi. Kwa hiyo
mimi nitaacha ili kuungana
na wenzetu, alinukuliwa
Rose, mwenyeji wa Mbeya.
A i d h a
w e n g i
wameshuhudia matangazo ya
wanamuziki wakiwashawishi
watu kuhudhuria katika
maonyesho yao ya mwisho
kwa ajili ya kupisha mwezi
Mtukufu wa Ramadhani.
K wa m b a wa t e j a wa o
wasipohudhuria onyesho hilo
la mwisho,(Vunja jungu), basi
itabidi wavumilie kukaa kwa
tabu bila burudani hadi hapo
Ramadhani itakapokwisha.
Na kweli maonyesho hayo ya
mwisho, iwe ni disko, dansi,
taarabu, bia nyama choma,
hufurika watu wengi, ambao
hufika kukata kiu ya mwezi
mzima.
Katika uchunguzi
nilioufanya katika kipindi hiki
cha mfungo wa Ramadhani,
umenidhihirishia kwamba
hawa waliokuwa wanajaa
katika kumbi za burudani
hizi zilizosheheni matendo
yasiyompendeza Mwenyezi
Mungu, ni watu wa jamii
zote. Yaani wapo wengi
Waislamu na wengi Wakristo.
A i d h a k u d o r o r a k wa
biashara ya vileo bar nyingi,
yaani kupungua wanywaji wa
vileo wakati huu, kupungua
wateja nyumba za wageni,
kunadhihirisha matokeo
ya uchunguzi kwamba
wateja wa machangudoa na
machangudoa wenyewe,
wa p o Wa i s l a m u n a
wasiokuwa Waislamu kwa
idadi zinazowiana.
Utafiti wangu umebaini
kuwa hivi sasa kuna
u p u n g u f u m k u b wa wa
wageni katika nyumba za
wageni. Hali hii inanipa
ujasiri wa kusema kwamba
wengi wanaoingia nyumba
hizo ni wenyeji na wengi
wanakwenda huko kwa ajili
ya kukidhi matendo yao
machafu na si kupata huduma
ya malazi au mapumziko
kama ilivyokusudiwa.
Hata hivyo kumekuwa
na maswali kuwa utulivu
unaopatikana hivi sasa je, ni
kwa sababu Waislamu ndio
waovu zaidi kuliko watu wa
jamii nyingine?
We n g i wa n a h o j i h i l o
wakiamini kuwa wasiokuwa
Waislamu, hawana sababu ya
kuacha starehe zao ovu kwa
kuwa Ramadhani sio katika
imani yao na haiwahusu.
Hivyo kama ni maovu basi,
wangeendelea nayo kwa
kuwa mahitaji ya bar, nyumba
za wageni, dansi, night club
yangeendelea kuchangamka
kwa sababu ya kuendelea
uwepo wao.
Nichukue fursa hii
kubainisha yaliyojiri katika
uchunguzi wangu wa muda
mfupi kwamba, wanaopupia
starehe hizi ovu, wapo
Waislamu na wasiokuwa
Waislamu. Lakini katika
mwezi wa Ramadhani hali
inakuwa tofauti kidogo.
Wa i s l a m u k a r i b u w o t e
wanafahamu fika maana
ya m we z i M t u k u f u wa
Ramadhani, kusudio lake,
adabu zake na mafundisho
yake na faida zake.
Lakini pia wapo Waislamu
a m b a o k wa m a k u s u d i ,
pamoja kujua maana utukufu
kuzingatia kwamba
Wajumbe wa Baraza la
Ulamaa la Bakwata, wote
walimkubali kwa kauli
moja kuwa Kaimu Mufti.
Sheikh Abubakar Ali
Zubeir, alizaliwa mkoani
Tanga mwaka 1953.
Alisoma masomo yake
ya dini kwa Masheikh
Mbalimbali, akiwemo
Marhum Sheikh Abdul
Rahman omar Mgaza
huko Korogwe.
Alisoma kwa Sheikh
maarufu na mwanazuoni
mkubwa mkoani Tanga,
Marhum Mohammed
Ayoub, mwasisi wa
Madrassat Tamta Tanga
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Na Shaban Rajab
NIMEAMUA kugombea
kwa kuwa ni sifa stakihi.
Nitawaunganisha Waislamu
wote kuwa kitu kimoja,
nitaziondoa tofauti zilizopo
hivi sasa miongoni mwa
Waislamu.
Haya yalikuwa ni
maneno ya Sheikh Abubakar
Zubeir, aliyoyatoa baada
ya kutangaza nia yake ya
kuwania nafasi ya Umufti
ndani ya Bakwata kufuatia
kifo cha Mufti Issa Shaaban
Simba, aliyefariki dunia wiki
iliyopita na kuzikwa mkoani
S h i n ya n g a ya l i p o k u wa
makazi yake.
Baada ya kuikwaa nafasi ya
Kaimu Mufti, Sheikh Zubeir,
alitoa ahadi nyingine kuwa
iwapo akiwa Mufti, atabadili
katiba ya sasa ya BAKWATA
kwa kuwa imekuwa ndio
sababu ya migogoro kwa
Waislamu nchini na waumini
wengi kuihama taasisi hiyo na
kujiunga na taasisi nyingine
kuendeleza masuala hayo
hayo ya kidini.
Akizungumza na
waandishi wa habari
mapema wiki hii, Mjumbe
wa Baraza la Ulamaa la
Bakwata Sheikh Jongo, kwa
upande wake alisema kuwa
kunahitajika mabadiliko ya
katiba kwa kuwa iliyopo na
imesababisha mgawanyiko
baina ya Waislamu na hata
ndani ya Bakwata kwenyewe.
Sheikh Jongo alisema
katiba mbovu inasababisha
migogoro na migawanyiko
baina ya Waislamu na ndani
ya BAKWATA.
Hivyo ameipokea ahadi ya
Kaimu Mufti Zubeir ambaye
ameahidi kuwa ataibadilisha
katiba hiyo yenye udhaifu.
Akasema, ana imani kuwa
mabadiliko hayo ya katiba
yataondoa migogoro yote
iliyopo kwa sasa.
Kwa miaka mingi
Waislamu wengi nchini
wamekuwa wakilalamikia
utendaji usioridhisha wa
BAKWATA, hasa baada ya
kufariki Mufti wa zamani
Hemed bin Jumaa bin
Hemed.
Wengi wamekuwa na
imani kwamba udhaifu
wa kikatiba ndio uliokuwa
msingi wa watendaji wengi
wa Baraza hilo, hasa wa
ngazi za juu kushindwa
kutimiza wajibu wao kwa
maslahi ya Waislamu nchini
kama ilivyokusudiwa kwa
Baraza, huku wengi wao
wakitumika zaidi kisiasa kwa
maslahi binafsi huku jamii ya
Waislamu ikihujumiwa.
Waislamu walio wengi
wanaona kwamba iwapo
kweli ahadi alizozitoa Kaimu
AN-NUUR
E-mail:info@hajjtrust.or.tz
Mkurugenzi Mtendaji Amana Banki , Dk Muhsin Salim Masoud (wa pili kulia)
akikabidhi mfano wa hundi kwa (kutoka kulia) Mkurugenzi wa Redio Sauti ya
Quran, Sheikh Jumaa Bin Hemed, Mwenyekiti wa JUWAKITA-BAKWATA, Shamim
Khan na Katibu wa JUWAKITA-BAKWATA, Mwatum Malale.
Inaendelea Uk. 19
WAISLAMU wametakiwa
kujizatiti kufanya ibada
mbalimbali pamoja
kukithirisha utendaji
wa mambo mema katika
kipindi hiki cha mwezi
mtukufu wa Ramadhani.
Wito huo umetolewa
wiki iliyopita katika
Ijumaa ya kwanza ya
mwezi mtukufu wa
Ramadhani na Sheikh
wa m k o a wa K a g e r a
Haruna Kichwabuta
wakati alipokuwa
akiwahutubia mamia
ya Waislamu waliokuwa
wamefurika katika msikiti
wa Bilele, uliopo mtaa wa
Uswahilini kata ya Bilele
katika manispaa ya mji wa
Bukoba.
''Ndugu zangu
Waislamu, tuchakarike
katika kukithirisha
ibada na matendo mema
katika kipindi hiki cha
mwezi mtukufu wa
Ramadhani,'' alisema
Sheikh Kichwabuta.
Akisherehesha kauli
yake hiyo, Sheikh
Kichwabuta aliwaasa
Wa i s l a m u k u o n g e z a
j i t i h a d a n a k u f a n ya
juhudi kadri ya uwezo
wao katika utekelezaji
wa ibada mbalimbali
zikiwemo ibada za swala
tano za faradhi na zile
za sunnah ikiwemo ile
ya tarawehe; usomaji wa
Qur-ani kwa mazingatio;
kuomba msamaha kwa
Allah (s.w.); kuwasaidia
wanajamii wasio na uwezo
pamoja na kusaidiana wao
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.