Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
Tahariri/Makala
2
AN-NUUR
Ramadhani inaondoka
Tukumbuke kutoa Zakatul-Fitri
RAMADHANI inaondoka.
La kukumbushana hapa
ni kuwatunatakiwakutoa
Zakatul Fitri.
Zaka hii hutolewa kabla
ya kusaliwa swala ya Idd na
inamwajibikia kila Muislamu
mwanaume au mwanamke,
kijana, mtoto au mzee..
Zaka ni ile haki
aliyoifaradhisha Mwenyezi
M u n g u k wa M u i s l a m u
katika mali yake anayotakiwa
kuwapa wanaostahiki. Neno
zaka, katika lugha (katika
kamusi ya lugha ya Kiarabu)
maana yake ni Kujitakasa,
kwa sababu anayetoa zaka
anataraji kuitakasa mali yake,
nafsi yake na kupata baraka
kutoka kwa Mola wake.
Mwenyezi Mungu
Anasema: Chukua Sadaka
katika mali zao, uwasafishe na
kuwatakasa kwa ajili ya hizo
(sadaka zao). (Tawba 103).
Kwa hiyo katika zakatul
Fitri, Maulamaa wanatueleza
kuwa lengo lake ni kwa ajili ya
kuitakasa funga ya mfungaji.
Na hutolewa kwa ajili ya
kuwapa wale wasio na uwezo
waweze kusherehekea vizuri
sikukuu ya Idd, kama walivyo
wale wenye uwezo.
Kwa mtumwa (katika zama
za nyuma) au mtumishi, ni
tajiri yake anayewajibika
kumtolea zaka hii.
K i o n g o z i wa f a m i l i a ,
Baba, ndiye anayewajibika
kutoa zakat fitri kwa niaba
ya mkewe, watoto wake,
mtumishi wake na wale
wote walio chini ya ulezi au
uangalizi wake.
Hiyo inatokana na vile
ilivyosimuliwa na Ibn Abbas,
k wa m b a , I n a p o k w i s h a
Ramadhani, toeni sadaka
inayohusiana na funga
zenu. Mtume wa Mwenyezi
Mungu kakokoteza sadaka
hii kuwa ni kibaba kimoja
cha tende kavu au shayiri au
ngano inayotolewa na kila
muungwana au mtumwa,
mwanaume au mwanamke,
kijana au mzee.. kibaba ni
sawa na kilo mbili na nusu.
Na ikumbukwe kwamba
fitri hii hutolewa kabla ya
mtoaji kwenda kuswali,
ili kumpa fursa mpokeaji
kuondoa mawazo ya wapi pa
kupata mlo wa kusherehekea
Idd yeye na familia yake.
Kwa kuwa pesa siku hizi
ndiyo inayokidhi mahitaji
AN-NUUR
Habari
AN-NUUR
kunichukua, akashauriwa
anipeleke Mwananyamala au
Muhimbili. Alisema Kaiya.
Alisema, katika hali
iliyomshangaza, mwajiri
wake huyo alimfikishia kituo
cha Polisi, Kawe, na kutoa
maelezo kuwa amemwibia
ambapo hata askari
walishangaa kumuona akiwa
na jeraha kubwa mkononi.
Lakini walimuuliza kuwa
huyu kijana ameiba nini,
alishindwa kutoa maelezo
z a i d i ya k u s e m a k u wa
kaniibia nyumbani kwangu,
nilishangaa nikawaeleza
Polisi mimi sijaiba bali ni
mfanyakazi wake nimepata
ajali Mikumi, nilikuwa naenda
nyumbani Kyela labda tatizo
sikumuaga. Alisema Kaiya.
Alisema, pamoja na
maelezo yake, Polisi
walimsikiliza mwajiri wake na
kuamuru awekwe rumande.
Alisema, alikaa hapo Polisi
na jeraha lake na kusababisha
mkono kuharibika, pasi na
bosi wake kutokea na wala
polisi hawakujali kumpeleka
hospitali ilihali walikuwa
wakiona kidonda kikiharibika
siku hadi siku.
Akasema, Mungu ni
Mkubwa, alimpa huruma
askari mmoja wa kike ambaye
alianza kumpa huduma
ya kwanza angalau apate
kukisafisha kidonda.
Alisema, alikaa kituoni
hapo (Polisi) kwa muda wa
siku tano akiwa na jeraha lake
la mkono, pasi na bosi wake
kutokea, hivyo akasema Polisi
walikubaliana apelekwe
gerezani kama mahabusu
kisha apelekwe Mahakamani.
Kaiya alisema, alipelekwa
Segerea, na April 14, 2015
alianza kwenda Mahakama
ya mwanzo Kawe, hata hivyo
bosi wake hakuweza kutokea
Mahakamani, hata siku moja
mpaka pale Mh. Hakimu
Anthony, alipoamua kuifuta
kesi hiyo Mei 27,2015.
Kaiya
anasema,
anawashukuru Waislamu
kuanzia wale waliopo
gerezani Segerea kwa
kumuonyesha njia ya imani
ya kweli lakini pia shukrani
kwa Waislamu kwa ujumla
chini ya Kamati ya Maafa
ya Shura ya Maimamu, kwa
kumsaidia kupata matibabu
hadi kiganja chake, kurudi
katika hali ya kawaida.
KIUKWELI nimejifunza
mengi, kwa jinsi wanavyo
zungumzwa na uhalisia wao ni
vitu viwili tofauti, ukiwa nao
karibu utagundua huruma
na wema wa Waislamu na
Uislamu.
Gifti Kaiya Robart
ameyasema hayo akieleza jinsi
alivyopokewa na Waislamu
gerezani, kupewa maneno
ya faraja, hadi alipoamua
kusilimu.
, aliyekuwa katika gereza la
Segerea, Jijini Dare s Salaam,
ambaye kwa sasa yupo uraiani
chini ya Kamati ya Maafa ya
kitendo alichofanyiwa na
bosi wake, mama Mery, lakini
akasema siku chache baada
ya kukutana na Waislamu
gerezani, alijikuta yupo katika
faraja.
Nilipoingia humo
gerezani siku za mwanzo
nikiwa katika hali ya unyonge,
akanijia Sheikh mmoja
anaitwa Salumu, (Salum Ally
Salum) na kuniuliza matatizo
yangu, baada ya kumtajia jina
langu.
A k a a n z a k u n i e l e z a
mambo ya kiimani na
kunifariji, baada ya
kunisikiliza akaniuliza kama
nina ndugu nikamwambia
kwa hapa Jijini sina ndugu.
Wema wao ulinivutia sana
nikasahau tuhuma zao za
ugaidi. Nimejifunza kuwa
ukiwa na imani ya dini, maisha
ya gerezani yanakuwa yenye
faraja na ukitoka unakuwa
ni mtu mwenye utu zaidi.
Alisema Kaiya.
Kaiya aliye mwenyeji wa
Kyela Mkoani Mbeya, alisema
akiwa gerezani sambamba na
watuhumiwa hao wa ugaidi,
walimueleza kuwa akitoka
awasiliane na Kamti ya Maafa
ya Waislamu kwa ajili ya
kupatiwa mafunzo zaidi
ya Uislamu na kutafutiwa
madaktari watakaoweza
kushughulikia jeraha la
kidonda katika kiganja chake.
Alisema, Mei 27, 2015,
aliachiwa huru na Mahakama
ya Mwanzo Kawe, kufuatia
bosi wake aliyemshitaki
kutofika hata siku moja
Mahakamani.
Kamati ilinipokea
na sasa nipo kwa Katibu
Ally Mbaruku, na haraka
walinipekeka hospitali kwa
ajili ya matibabu na baada ya
kupigwa X-ray, ikaonekana
hakukuwa na mawasiliano
kati ya vidole na kiganja.
Alisema Kaiya ambaye hapa
Jijini hana ndugu.
Kwa upande wake Katibu
Ally Mbaruku, alisema
wamempokea kijana huyo
kutoka mikononi mwa
M a s h e i k h n a Wa i s l a m u
walioko gerezani.
Katibu Mbaruku amesema,
katika mahitaji yake tayari
Na Mwandishi Wetu
4
Na Azza Ally Ahmed
MAKAMU wa Rais ya
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Dk. Ghalib
Bilali, ameishukuru
taasisi ya Istiqama kwa
kufanya dua maalumu
ndani ya mwezi mtukufu
wa Ramadhani kuliombea
Taifa amani.
Dk. Bilali ametoa
shukrani hizo alipokuwa
akiongea na Waislamu
katika sherehe ya
kuwapongeza washindi wa
mashindano ya kuhifadhi
Quran zilizofanyika katika
ukumbi wa Istiqama, Ilala
jijini Dar es Salaam hivi
karibuni.
Dk. Bilali alisema
kuwa lazima Watanzania
wafahamu kuwa
wamezungukwa na nchi
nyingi jirani, ambazo
sehemu kubwa ya nchi
hizo wamepatwa na
misukosuko mikubwa ya
ukosefu wa amani, hivyo
akasisitiza umuhimu wa
kuitunza amani ya nchi.
Nawashukuru
Watanzania kwa kuitunza
amani ya nchi yao na
kuendelea kuidumisha,
kwani kufanya hivyo
ni kuthamini amani
tuliojaaliwa na Mungu,
takriban miaka 50
sasa tumeishi katika
amani Alhamdulillah
hatujapata matatizo
yanayosababishwa na
ukosefu wa amani,
hatujapata matatizo ya
kutibua nchi yetu, zaidi
pamekuwa kimbilio la
nchi za jirani. Alifafanua
Dk. Bilali.
Aidha Makamu huyo
wa R a i s a l i i p o n g e z a
Istiqama kwa kazi
k u b wa wa n a y o i f a n ya
ya kuwaandaa vijana
wa taifa la kesho, vijana
watakaokuwa wanaijua
dini na dunia yao na pia
kuwa na maadili mema
hivyo kuisaidia jamii
nzima.
Kwa upande wa
Waziri wa Ulinzi Mhe.
Hussein Mwinyi, ambaye
naye alihudhuria katika
m a s h i n d a n o h a y o ya
Quran, aliwashukuru
Jumuiya ya Istiqama kwa
kazi wanayoifanya ya
kuwafunza vijana kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu.
Alisema dunia
tuliyonayo hivi sasa,
wazazi wengi wamekuwa
wakishughulishwa zaidi
na shughuli za kidunia
na kupoteza fursa ya
kuwasimamia watoto wao.
Hivyo aliipongeza
Jumuiya ya Istiqama kwa
Makala
AN-NUUR
5
Na Shaban Rajab
HIVI karibu tumeshuhudia
habari kwamba Taifa la
Marekani limeridhia
kuanza kutumika sheria
inayoruhusu ndoa za
j i n s i a m o j a , b a a d a ya
Mahakama Kuu ya nchi
hiyo kuhalalisha ndoa hizo.
"Today is a big step in our
march toward equality. Gay
and lesbian couples now have
the right to marry, just like
anyone else".
Alinukuliwa akisema Rais
Barack Obama baada ya
kupitishwa sheria hiyo.
Hii ina mana kwamba
kuanzia sasa, sheria ya ndoa
ya Marekani inamruhusu
mwaume kumposa
mwanaume mwezake,
au mwanamke kumposa
m wa n a m k e m we n z a k e .
Kwa Marekani sasa hivi
hilo ni jambo la kawaida,
sahihi, halali na la heshima
kama ambavyo mwanamme
anavyomposa mwanamke.
N d i o m a a n a b a a d a ya
Marekani kutangaza rasmi
kuridhia sheria hiyo ya
ushoga na usagaji, Rais Robert
M u g a b e wa Z i m b a b we
alimkejeli Rais Barack
Obama, pale aliponukuliwa
akisema kuwa yuko mbioni
kumtumia posa Rais Obama
siku za hivi karibuni. Bila
shaka Mugabe alikusudia
kuueleza ulimwengu
kuwa hata akitokea mtu
akimtumia mwanaume posa,
iweni mtu zima au kiongozi,
si kosa wala kukosa adabu
au kumvunjia mtu heshima,
kwasababu katika nchi
zinazoruhusu ndoa za
kishoga na kisagaji sheria
inaruhusu hayo. Kwa maana
nyingine ni kwamba, Mugabe
kumposa Obama kwa sheria
ya ndoa ya Marekani, sio
tusi wala kumkosea Rais
huyo heshma. Bali ndiyo
demokrasia na haki za
b i n a d a m u wa n a y o t a k a
Wamarekani.
Nchini Marekani hivi sasa,
katika familia ya baba na
mama na watoto mabinti
kwa wavulana, inapokuja
posa kwa ajili ya wanandugu
au familia kubainisha na
kuijadili, wakati dhana
ya kawaida iliyozoeleka
ni kwamba posa ni kwa
mabinti, haitakuwa jambo
la ajabu tena kwa baba
kufungua posa mbele ya
familia na kukuta kumbe
kaposwa yeye baba.
Awali sheria zinazoruhusu
ushoga na usagaji
n c h i n i h u m o , z i l i k u wa
zinatofautiana kati ya jimbo
na jimbo. Yaani baadhi ya
majimbo yalisharidhia ndoa
hizi lakini mengine yalizuia
uchafu huo. Lakini sasa nchi
nzima watu wanaruhusiwa
kufunga ndoa za jinsia moja
wakipenda. Lakini jambo
jingine ambalo litakuwa ni
la dhahiri nchini Marekani,
kwa namna moja au nyingine
Kanisa litaathirika sana na
sheria hii. Tunafahamu kuwa
tangu awali kabla ya sheria
hii kupitishwa, katika baadhi
ya majimbo ya Marekani
ndoa za jinsia moja zilikuwa
zinafungwa katika baadhi
ya Makanisa. Pamoja na
kuendelea kufungwa ndoa
hizo makanisani, hakukuwa
na nguvu yeyote ya waumini
au ya kikanisa ambayo
ilionekana kupinga vikali na
kuzuia kitendo hiki. Kanisa
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
na Waislamu ulimwenguni
pote, wanatambua na
wanatambuliwa kuwa tendo
hilo kwao ni haramu kubwa.
Hakuna dhehebu, Sheikh,
I m a m wa l a U l a m a a wa
Kiislamu aliyewahi kujaribu
kufanya hilo.
Hata hivyo, hatari
iliyopo ni kwamba, iwapo
atatokea shoga au msagaji
anayejinasibisha na Uislamu
akataka kuhalalisha uchafu
wake na mwenziwe, basi
huyo itamlazimu aritadi
akafunge ndoa ya Kanisa au
ya serikali.
Tu n a k u m b u k a P a p a
Francis alipokuwa akijibu
maswali ya wanahabari
wakati akirejea kutoka Brazil.
Ilikuwa ni siku moja mara
baada ya kurejea kutoka
katika kuadhimisha siku
ya vijana duniani, tamasha
la asili ya Kanisa katoliki
ambalo lilifanyika mwaka
2013 nchini Brazil. Mara
baada ya kurejea Ulaya, Papa
Francis alizungumza na
waandishi wa habari katika
mkutano na kunukuliwa
akizungumzia kuhusu
watumishi mashoga. Katika
mkutano na waandishi wa
habari ambao ulichukua
takriban dakika 82 wakiwa
angani, Papa Francis alisema
kuwa hana shida na mtu
ambaye ni shoga na ambaye
anamtumikia Mungu
kikamilifu.
"If someone is gay and he
searches for the Lord and has
good will, who am I to judge?
We shouldn't marginalize people
for this. They must be integrated
into society." Alinukuliwa
akisema Papa Francis.
Yaani anasema, "Kama
mtu ni shoga na anamtafuta
Bwana na ana nia njema, mimi
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Fethullah-Gulen
KWA hakika mliwajuwa
wale ambao walivuka
mpaka katika nyinyi
katika siku ya Jumamosi,
tukawaambia kuweni
manyani hali ya kuwa
wadhalili. [Al-Baqarah
65]
Ugeuzwaji ambao
umekuja katika aya hii
t u k u f u n a M we n ye z i
Mungu ndiye mjuzi sana
ugeuzwaji huo ni kama
alivyosema Mujahidi, ni
wamechaguliwa kutoka
kwa Mwenyezi Mungu.
Na wao kwa sababu ya
kutenda kwao mfano
wa kosa na madhambi
haya, wameporomoka
mpaka wamekuwa chini
katika walio chini katika
hadhi ya binadamu. Na
wamekanusha fadhila
ya kuchaguliwa kwao
juu ya watu na juu ya
mataifa mengine.
Akaubadilisha Mwenyezi
Mungu ubinadamu wao
na hisia zao na fikra
zao. Na amewabadilisha
nafsi zao za manyani
katika kufikri na hekma
ya maisha yakaonekana
yote hayo juu ya sura ya
nje. Wakaonekana katika
hali ambayo wakiwa na
unyonge mkubwa sana.
(Imenukuliwa kutoka
Kitabu: Miyangaza ya
Quran katika mbingu ya
hisia, cha Muhammad
Fethullah Gullen
kilichotafsiriwa kwa
K i s wa h i l i n a S h e i k h
Suleiman Amran Kilemile)
Na simamisheni Sala na toeni Zaka; na kheri mtakazozitanguliza, kwa ajili ya Nafsi zenu, mtazikuta kwa Mwenyezi Mungu.
Hakika Mwenyezi Mungu anayaona (yote) mnayoyafanya.
Kwa muda mrefu sasa watoto wa Shule ya Msingi ya Kiislamu, Kirinjiko, wamekuwa wakiswali katika msikiti wa
jirani zao Kirinjiko Islamic Secondary School kwa swala za Ijumaa. Ama kwa swala tano za kila siku, wamekuwa
wakiswali katika jengo la maktaba.
Kutokana na kukuwa shule na kuhitajika jengo hilo kwa shughuli tu
za kimaktaba pekee, Shule sasa inahitaji kuwa na Msikiti wake. Zaidi
ni kwamba, hata katika swala za Ijumaa, inawabidi watoto kutembea
masafa kiasi kufika msikiti wa sekondari.
Ni kwa sababu hiyo, uongozi wa Shule ya msingi ya Kiislamu Kirinjiko
unawaomba Waislamu kutoa sadaka zao kufanikisha ujenzi wa Msikiti
huo.
Kwa wale ambao watapenda kuwasilisha sadaka zao kupitia Benk,
akaunti ya shule ni Kirinjiko Islamic English Medium Primary School
ac. No 40510004846 (NMB Bank) au 005120109700001 (Amana Bank).
Pay in Slip ikionesha kuwa ni mchango kwa ajili ya msikiti, itumwe
kwa Mwalimu Mkuu SLB 62 SAME.
Kwa mawasiliano zaidi, tumia simu namba 0655 697 075, 0767 697
075 na 0758 989 477.
7
Na Juma Jumanne
KUJITAMBUA
ni kiini na msingi
wa mafanikio
yoyote katika kila
n u k t a ya m a i s h a
ya mwanadamu.
Kufanikiwa kwa
maana ya kufanikiwa
unakokufahamu
wewe, kunatokana
na kujitambua
katika eneo husika.
Bila kujali kama ni
taasisi, makampuni,
mashirika na au
mtu binafsi, suala
la kujitambua
limekuwa mchango
mkubwa sana katika
kuleta mabadiliko
chanya. Mathalani,
kiongozi wa nchi
anapojitambua
anakuwa ni chachu
ya kupeleka mbele
maendeleo ya nchi
yake katika nyanja
zote za kimaendeleo.
Pengine mtu
anaweza kuhoji
kwamba, kwani
k u j i t a m b u a
kunasaidiaje mambo
yote haya? Na
kujitambua maana
yake nini?
A m a i l i k u we z a
kumfahamu mtu
anayejitambua
nimejaribu kudondoa
sifa za watu wenye
kujitambua ambazo
ni pamoja na: Mwenye
kujitambua anakuwa
hadhiri muda wote
katika kutekeleza
wajibu na majukumu
yake ya kila siku.
Mwenye kujitambua
anafahamu vema
nafasi yake yeye
binafsi bila kujali wingi
wa wenye majukumu
yanayofanana na
yake. Hili huepusha
kutegeana na hivyo
kupelekea kufanya
kazi kwa ufanisi zaidi.
Mtu anayejitambua
h a n a k a wa i d a ya
kulalamika kutokana
na matokeo, bali yeye
hutafuta suluhisho
sahihi na kuliingiza
katika utendaji.
Mwenye kujitambua
anatumia vema muda
wake katika shughuli
zenye manufaa.
Huwezi kumkuta mtu
wa aina hii akipiga
porojo vijiweni, bali
akichoka hupumzisha
Makala
AN-NUUR
Kujitambua-1
k wa u s a wa , h a n a
upendeleo.
Anayejitambua
ukweli wa kujitambua,
akiwa ni Muislamu,
huumiza kichwa
chake kwamba, ni
lini na kipi afanye ili
mwisho wa siku, Quran na Sunnah vitumike
kama hukmu na
sheria katika miamala
yote. Kinyume na
leo kwamba, Qur-an
na Sunnah vinaishia
ndani ya misikiti tu.
Ukitoka nje kila mmoja
anaishi anavyoona
mwenyewe na akili
zake. Wengi wetu
wala hatuoni kama
ni tatizo kuishi katika
mazingira haya
tuliyonayo leo. Ndio
m a a n a u t a wa k u t a
watu wakitamka kwa
vinywa vipana kabisa
kwamba kusoma
elimu ya mazingira ni
ukafiri. Wamesahau
kwamba elimu hiyo
wanayoipinga ndiyo
inayowatengenezea
mazingira mazuri ya
wao kumuabudu Allah
(Subhanahu Wa-tala).
Kuna tofauti gani na
mtu anayeogopa kula
nyama ya nguruwe
i l h a l i a n a k u n y wa
mchuzi wake!?
Wa k e z e t u n a
wao wanajifungulia
hospitalini na wala
h a k u n a a n a ye h o j i
aliyemsaidia
k u j i f u n g u a
Muislamu au kafiri.
Tu n a c h o t i z a m a
usalama wa mama na
mtoto.
Mwenye kujitambua
ni mchache wa
kukosea na mwingi
wa kufanya vizuri na
kwa ufanisi mkubwa.
Hii inatokana na
ukweli kwamba mtu
wa namna hii muda
wote anafahamu yuko
wa p i , k i p i a f a n ye
na kipi asifanye.
Anakuwa makini kwa
kila jambo lake. Akiwa
msikitini anafanya kile
kinachoendana na
mazingira ya msikitini.
Akisimama kuswali,
akimaliza kuswali
m p a k a wa k a t i wa
kutoka. Siyo mtu mtu
mwingine unakuta
anapiga porojo
msikitini, anavuta
sigara chooni msikitini
na kila jambo kwake
ni sawa tu. Na ukitaka
kujipima katika hili,
Makala
AN-NUUR
k wa k u j i p i m a i wa p o
kutoshiriki au kushiriki
ni vipi kutapelekea kuzidi
madhara au nafuu kwa
mustakabali wao wa kidini
na kijamii kama raia wa
Tanzania.
Kuna kanuni ya kisheria
katika Uislamu ya UsulFiqh ambayo inasema
A d h a r u r a t Tu b i h u
M a d h u r a t ( D h a r u r a
Ya h a l a l i s h a Ya l i y o
Haramishwa). Kwa mujibu
kanuni hiyo ya kiusuli, ki
dharura mbili yaangaliwa
ile dharura yenye nafuu
na kuifanya au kuitekeleza
na kuiacha nyingine yeye
madhara makubwa zaidi
kwenye Dini na Waislamu
binafsi.
Mathalani, katika fatwa
ya Sheikh Muhammad Ibn
Swaalih Al-Uthaymiyn,
katika kujibu swali la
15 muulizaji anauliza je
mmeshatoa Fatwa juu
ya kujuzu Uchaguzi (wa
kisiasa)? Na ipi hukumu
yake?
Jawabu la 15: Naam
tumeshafutu juu ya hili, na
hapana budi kufanya hivyo.
Kwasababu iwapo sauti ya
Waislamu itakosekana,
Bunge litatawaliwa na
watu wa shari watupu.
N a p i n d i Wa i s l a m u
wakishiriki katika
chaguzi, watachagua wale
wanaoona wanastahiki
kwa hilo na itapatikana
kheri na Baraka.
Wabbilah Tawfiq.
(Makala hii imeandikwa
na Abu Saumu, Kombo
Hassani Kidumbu wa
Mikanjuni Tanga. E-mail:
hassanikombo@yahoo.
com.)
Makala
AN-NUUR
Na Mujahidi Mwinyimvua
MOJA ya magonjwa
yanayongezeka
kwa kasi kubwa
kusababisha vifo,
vikiwemo vile vya
ghafla ni shinikizo la
juu la damu.
Ugonjwa huu ni
m u u a j i wa k i m ya
kimya na ukibaini
dalili zake, jua kuwa
mambo yanakaribia
kuharibika.
Katika Uislamu
tumefundishwa
k u c h u n g a
tunavyoingiza
katika tumbo letu.
Tusipokuwa makini,
basi shinikizo
kubwa la damu
halitatuacha salama.
Rejea mafundisho
haya kupitia Mtume
Mhammed (s.a.w):
Mwanadamu
hajapata kujaza
chombo shari
kuliko tumbo
lakevinamtosha
mwanadamu vijitonge
vitakavyousimamisha
uti wa mgongo wake.
Ikiwa hapana budi,
basi theluthi moja iwe
ni ya chakula, theluthi
nyingine ya maji na
theluthi nyingine
ya pumzi yake.
(Tirmidhiy).
Shinikizo la juu la
damu (hypertension)
ni ile hali ambapo
damu inapita katika
kuta za mishipa ya
damu ya ateri kwa
nguvu kubwa.
Shinikizo la juu la
damu linaathiri zaidi
viungo takribani
vinne, ambavyo ni
ubongo, moyo, figo na
macho.
Damu ikiwa inapita
kwa nguvu kubwa
katika mishipa ya
damu, inaweza
kupasua mishipa
iliyomo katika ubongo
na hivyo kupelekea
mtu kupata kiharusi
au kupoteza maisha.
Pia, mtu akiwa na
shinikizo la juu la
d a m u m o y o wa k e
unafanya kazi kupita
kiasi ya kupampu
damu ili iende
sehemu nyingine
mwilini. Kwahiyo,
moyo huo unaweza
kupata shambulio au
kushindwa kufanya
kazi kabisa na hivyo
mtu kufa ghafla.
Vilevile, damu
ikisafiri kwa nguvu
katika mishipa ya
damu, inaharibu
m i s h i p a ya d a m u
inayokwenda katika
figo. Hivyo, figo
litashindwa kufanya
kazi na kupelekea
uchafu ujae katika
damu badala ya
kuchujwa na kutoka
nje kama mkojo au
jasho.
Zaidi ya hayo,
shinikizo la juu la
damu linapelekea
m i s h i p a ya d a m u
inayokwenda katika
macho kupasuka na
kivyo damu kuingia
katika macho na
kudhoofisha macho au
kuleta upofu kabisa.
Kwa mtu mwenye
presha ya kawaida
anatakiwa awe na
presha kiasi cha 120/80
mmHg. Baadhi ya
tafiti mpya zinashauri
mtu awe na presha
kiasi cha 119/79 au
chini kidogo.
T a k r i b a n i
watu asilimia 90
mpaka 95, hakuna
chanzo maalumu
kinachosababisha
shinikizo la juu la damu.
Ila kuna vichocheo
vinavyoongeza kasi
ya tatizo hilo. Hitoria
ya ukoo au kurithi.
Kama katika familia
wazazi walikuwa na
tatizo hilo, watoto au
wajukuu wanaweza
kupata shinikizo la juu
la damu.
Ulaji usiofaa
ukiwemo ule wenye
vyakula vyenye
chumvi nyingi ni
kichocheo kingine.
Unene kupita kiasi nao
unaongeza shinikizo
la juu la damu.
Maisha yasiokuwa
na mazowezi au
kazi za kutoka jasho
nayo ni kichocheo.
Msongo wa mawazo
ni kichocheo kikubwa
cha shinikizo la juu
la damu. Mawazo
zaidi yanapandisha
presha na hivyo
kuhatarisha uhai
wa mtu. Msongo wa
mawazo hauepukiki,
vema watu wajitahidi
kupata elimu ya
namna ya kudhibiti
msongo wa mawazo
10
Na Omar Msangi
TAARIFA za vyombo
v ya h a b a r i m a p e m a
wiki hii zimedai kuwa
Kenya imepigwa tena
na Al-Shabaab ambapo
inadaiwa kuwa watu 14
waliuliwa. Shambulio
hilo linalodaiwa
kufanyika Mandera,
ambapo hukaliwa na
Waislamu wengi wa asili
ya Somalia, linadaiwa
k u wa l e n g a j a m i i ya
wageni wa eneo hilo walio
Wakristo. Ikadaiwa kuwa
Al-Shabab walivamia
eneo hilo watu wakiwa
wamelala usiku na
kuanza kuvurumisha
mabomu katika nyumba
zao.
"These were Al-Shebab
from the nature of the attack.
They used explosives and
guns."
Hii ni moja ya kauli za
magazeti katika kuonyesha
kuwa wahusika ni AlShabaab. Taarifa inasema
ikinukuu anayedaiwa
kuwa
shuhuda
kwamba ni Al-Shabab.
Sio kuwa walikamatwa
na ikathibitika kuwa
ni Al-Shabaab. Laa, ila
ni kutokana na aina ya
shambulio (the nature
of attack.) Nature gani.
Wa n a j i b u - t h e y u s e d
e x p l o s i ve s a n d g u n s .
Kwamba walitumia
milipuko na bunduki!
Mtu unauliza, hivi kila
anayetumia milipuko na
bunduki ni Al-Shabaab?
Polisi hawatumii bunduki?
Wanajeshi hawatumii
milipuko?
Sikiza kauli nuingineA pro-Shebab website,
Somalimemo, said the AlQaeda-affiliated rebels had
confirmed they carried out
the attack against "Christian
Kenyans".
Kwamba
kuna
mtandao wenye
kuwapenda Al-Shabaab
unaoitwa Somalimemo,
umesema kuwa magaidi
wanaohusiana na AlQaida wamekiri kufanya
shambulio hilo.
Kitu kinaitwa mtandao,
website, facebook n.k,
m t u ye y o t e a n a we z a
kutengeneza mtandao
wake na akaupa jina lolote
akatupa huko chochote
anachotaka kwa kutumia
jina na utambulisho
wowote anaotaka. Kwa
hiyo ni kwa watu wajinga
tu wa IT na mitandao ndio
wanaoweza kuchukulia
kuwa hapo kimesemwa
kitu na wakakipa uzito.
L a k i n i
k u n a
kitu muhimu zaidi
kimesemwa hapo.
Makala
AN-NUUR
Admiral Thomas H.
Moorer.
Kama tulivyotangulia
kusema, Mandera ni mji
wa Waislamu Wasomali.
Sasa inadaiwa walilenga
Christian Kenyas.
A l S h a b a a b m o u n t s
another attack on nonMuslims. Al Shabaab
Islamists again attack nonMuslims.
Ndivyo vilivyoripoti
vyombo mbalimbali
vikubwa na vya kimataifa.
Kwamba, Al-Shabaab,
Waislamu (Islamists),
wameuwa tena Wakristo
Kenya.
Kwa ajili ya mjadala,
tuchukulie kwamba ni
General Raymond G.
Davis.
kweli kuna watu waliuliwa
na kama tunavyoambiwa,
waliouliwa ni Wakristo.
Swali la msingi hapa ni je,
nani wamefanya mauwaji
hayo? Vyombo vya dola
vya Kenya na vyombo vya
habari, vinatuambia kuwa
wahusika ni Al-Shabaab,
ambao ama wana kambi
zao ndani ya Mandera
(cells) au walifanya
kuingia wakashambulia
na kuondoka.
Tukijaaliya kuwa Al
Shabaab ni Waislamu
wanaodai kupigania
nchi yao itawaliwe kwa
Sheria za Kiislamu, hilo
linaondoa uwezekano
wa wao tena kufanya
mauwaji hayo maana
ni kinyume na Uislamu
wanaodai kuupigania
na kuutawalisha katika
maisha yao na katika nchi
yao. Lakini hoja hiyo,
inaweza isitusaidie sana
katika kujadili jambo hili,
hasa kwa vile limegubikwa
na ulaghai mwingi kuliko
ukweli.
Oktoba 22, 2003 Tume
iliyoteuliwa kuchunguza
kushambuliwa kwa meli
ya kivita ya Marekani
USS Liberty mwaka 1967
ambapo wanajeshi 34
waliuliwa, ilitoa taarifa
yake. Katika taarifa hiyo
i l i e l e z wa k u wa m e l i
hiyo ilishambuliwa kwa
makusudi na wanajeshi
wa Israel, huku wakijua
kuwa wanayoipiga ni meli
ya Marekani, na kama ni
kuuwa, watakao uliwa ni
askari wa Marekani.
Hiyo haikuwa ni Tume,
wasiwasi au ya Ukawa
fulani hivi. Ilikuwa ni
Tume iliyojumuisha wazito
katika Jeshi na Serikali
ya Marekani. Waliotajwa
ni pamoja na Admiral
Thomas H. Moorer,
Mstaafu kutoka Jeshi la
Wanamaji (United States
Navy), General Raymond
G. Davis, aliyewahi kuwa
11
Inatoka Uk. 10
viiniyoga au vijimbegu vya
kimeta (anthrax spores).
Wabunge hao walikuwa
ni Mwenyekiti wa Kamati
ya Seneti ya mambo ya
Sheria (Senate Judiciary
Committee Chairman)
Patrick Leahy, na Tom
Daschle (Senate Majority
Leader ). Wabunge hao
wawili walikuwa mstari wa
mbele kupinga muswada
wa sheria ya kupambana
na ugaidi, maarufu, USA
PATRIOT Act.
Hoja ya Wabunge hao
na wegine ilikuwa kuwa
sheria hiyo inakiuka haki
za binadamu na kuwapora
wa n a n c h i u h u r u . N a
kubwa zaidi ni kuwa ni
katika sheria za kidhalimu
ambayo ilikuwa ikiipeleka
Marekani kuwa taifa la
kipolisi.
Mtiririko wa matukio
unaonyesha kuwa
barua hizo zenye kimeta
zilitumwa pia kwa vyombo
vya habari vikiwemo ABC
News, CBS News, NBC
News, the New York Post,
na American Media IncAMI (publisher of the
National Enquirer).
Katika shambulio hilo
lililokuja kujulikana kama
Anthrax Terror Attacks,
m a a r u f u k wa k i f u p i
Amerithrax, watu watano
walikufa, huku wengine 17
wakiambukizwa ugonjwa
wa kimeta lakini wakawahi
kutibiwa.
Mara tu baada
ya s h a m b u l i o h i l o ,
harakaharaka ikadaiwa
kuwa wahusika ni AlQaida, Saddam Husein
na Osama Bin Laden.
Tarifa zilianzia Ikulu,
White House, ambapo
Rais George W Bush
na makamo wake Dick
C h e n e y , wa l i j i t o k e z a
waziwazi wakisema
kuwa muhusika ni Osama
Bin Laden na Al-Qaida.
Mwingine aliyeleta madai
hayo ni John McCain.
Katika kukoleza
madai hayo, aliyekuwa
kachero mkuu wa FBI
Robert Mueller akatakiwa
haraka atoe vielelezo na
uthibitisho kuwa wahusika
ni Al-Qaida. (Tazama: FBI
was told to blame Anthrax
scare on Al Qaeda by White
House officials BY JAMES
GORDON MEEK , DAILY
NEWS WASHINGTON
BUREAU, Saturday, August
2, 2008, 6:32 PM)
Na kweli. Debe
likapigwa kisawasawa
kwamba kimeta hicho
n a wa l i o t u m a b a r u a
hizo ni Al-Qaida. Barua
zenyewe, zote zilikuwa
Makala
AN-NUUR
Patrick Leahy
Tom Daschle
na ujumbe unaofanana
zikiwa na maneno ambayo
mtu yeyote akisoma
atahitimisha kuwa
zimetoka kwa Muislamu.
Maneno yalikuwa Allah
is great, Death to America,
Death to Israel.
Ndio haya tunayoona
huku kwetu leo, kila
wakikamatwa watu
wa n a o t u h u m i wa k wa
ugaidi tunaambiwa kuwa
walikuwa na bendera
yenye maandishi ya
Kiarabu, wakivaa kanzu na
baraghashia! Ukizingatia
kuwa baadhi ya barua hizo
zilitumwa katika vyombo
v ya h a b a r i , u n a we z a
kufikiria ni kwa kiwango
Mass Destruction-WMD).
Kwa kisingizio hicho, Iraq
ikavamiwa mwaka 2003 na
kuuwa mamilioni ya watu
wasio na hatia wakiwemo
askari wa Marekani zaidi
ya 4000 waliokwenda
vitani kupigana vita
batili. Labda tuseme
vita ya kuwafaidisha
m a b e b e r u wa n a o t a k a
kudhibiti mafuta. Mpaka
leo Iraq inateketea na
watu kuteseka. Lakini nani
anajali?
Kwa mujibu wa gazeti
la The New York Times la
Novemba 29, 2011, serikali
ya Marekani imekubali
kulipa fidia ya Dola milioni
2.5 (zaidi ya shilingi bilioni
5) kwa mjane na watoto
wa Robert Steven. Huyu
Robert Steven, ambaye
alikuwa mwandishi wa
habari, ni mmoja wa wale
watu watano waliokufa
katika shambulio la ugaidi
wa k i m e t a u l i o d a i wa
kuwa umefanywa na AlQaida. Baada ya kuanza
kuibuka habari kuwa
ilikuwa uwongo, kimeta
kile hakikutoka Iraq kwa
Saddam Husein wala kwa
Osama bin Laden, bali
kilikuwa cha ndani ya
Marekani, Bi Maureen
ambaye ni mkewe Steven
alifungua kesi mwaka
2003 akiishitaki serikali
kwamba ndiyo iliyohusika
na kifo cha mumewe. Kesi
ilinguruma kwa muda
mrefu, baadae akashinda.
FBI wenyewe ilipofika
2 0 0 8 wa l i s e m a k u wa
kimeta kile kilitoka katika
maabara ya kijeshi (Armys
biodefense laboratory at
Fort Detrick, in Frederick,
Md.) kule Maryland. Na
wakamtuhumu Dr. Bruce
Edwards Ivins kuwa ndiye
aliyesambaza kimeta hicho
kupitia barua. Hata hivyo,
muda mfupi baada ya
tuhuma hizo, Dr. Ivins
alikutwa amekufa katika
mazingira ya kutatanisha
ikidaiwa kuwa alikunywa
sumu ikitajwa kwa jina
la Tylenol with codeine.
(Tazama: U.S. Settles Suit
Over Anthrax Attacks.)
Yapo mambo kadhaa ya
kuzingatia hapa. Moja ni
kuwa sheria ya kupambana
na ugaidi ya Marekani-US
Patriot Act, ilipitishwa
kwa shinikizo baada ya
kutengenezwa mazingiria
ya uwongo (hoax, false
flag terror attack) ya
kitisho cha ugaidi wa
Al-Qaida (psychological
fear, psychological
manipulation).
Pili, awali sheria hiyo
ilipingwa, wabunge
wa k i d a i k u wa n i ya
kidhalimu yenye
kutengeneza mazingira
na visingizio vya kuonea
watu, kuvunja haki za
binadamu na kuwapora
watu uhuru wao kwa
kutengeneza taifa la
kipolisi.
Tatu, Patriot Act hiyo
ambapo ilipingwa kwa
hoja hizo na kupitishwa
baada ya kufanyika
usanii wa psychological
manipulation, ndiyo nasi
tuliletewa huku tukatakiwa
kutengeneza mfano
wake na kushinikizwa
kuipitisha.
Sheria hiyo, ndiyo
ambayo sasa inatumika
kuwakamata akina Sheikh
Msellem na kuwaweka
ndani bila ya dhamana
kwa hoja kuwa wanafuata
sheria ya kuzuiya ugaidi.
Jambo moja tukubaliane:
kwamba, maadhali
ilibidi kuandaa usanii
w a A n t h r a x Te r r o r
Attacks ambapo watu
watano wasio na hatia
waliuliwa, hapana shaka
kuwa hapakuwa na kitisho
cha kweli na halisi wala
m a z i n g i r a y o y o t e ya
kutaka kuwa na Patriot
Act. Kwa hiyo, kufanyika
usanii huo uliogharimu
maisha ya watu huku
wakisingiziwa watu
wengine wasio husika,
bila shaka waliotengeneza
usanii huo, walikuwa na
malengo yao ambayo bado
wanayapigania ndani ya
nje ya nchi yao-katika
nchi mbalimbali duniani
ambazo tayari zimeweka
mfano wa sheria hiyo.
Sasa labda na sisi
tujiulize, tunapowakamata
Masheikh na watu
wengine, kwa tuhuma
za ugaidi, lengo letu nini?
Tu n a y o a g e n d a ye t u ,
kama taifa na kama nchi,
tunayoifanyia kazi au ndio
tunatumikia agenda ile ile
ya wale waliosema kimeta
a l i c ho t um i wa Pa t r i c k
L e a h y k i m e t o k a k wa
Osama Bin Laden. Lakini
kama ni hivyo, tujue kuwa
hao hao leo wanashikana
uchawi wenyewe kuwa
kilitoka katika maabara
zao wenyewe?
Hoja hapa sio kuwa
kama wapo watuhumiwa
wa k we l i wa u g a i d i ,
wasichukuliwe hatua za
kisheria. Ila ni tahadhari
tu tusijeingizwa katika
agenda ambazo hatimaye
zitaivuruga nchi yetu.
Bi Maureen, mjane wa
Mr. Stevens amelipwa
Inaendelea Uk. 14
12
MAKALA
WAJIBU WA WAFUNGAJI !
AN-NUUR
Sheikh Mohamed
Obaidillahi Mohamed
Ally
SHUKURANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu na rehema na
amani zimfikie Mtume wetu
Muhamad (S.A.W).
S h e r i a ya K i i s l a m u
inatazama haki na wajibu
kwamba ndio inasimamia
u t u k u f u wa b i n a d a m u
nayo ni mwanga wa siha na
msimamo katika kutekeleza
haki na wajibu kufuatana
na matakwa ya Mwenyezi
Mungu na ridhaa zake kama
ilivyokuwa ndio unyororo
wa maslahi ya kundi la watu
wengi na bila ya madhara
k wa w e n g i n e , n a k wa
watu ni wajibu kujuana na
kukubaliana katika haki na
wajibu katika vitu vinavyo
tokea miongoni mwa mambo
ya kimaisha kwa namna ya
kutovunja amri ya mwenyezi
mungu na matakwa yake
na sheria zake na kwa vile
inadhamini utukufu wa
binadamu na maslahi yake
na kuhakikisha kudumu kwa
uadilifu baina ya watu.
Haki za mzalendo katika
uislamu. Haki akushi kwa
hakika maisha ya binadamu
na kuhifadhi haki hiyo.
Uislamu una kariri juu ya
uadilifu kwa viumbe vyote
((Yeyote mwenye kuua nafsi
bila ya nafsi au ufisadi katika
ardhi ni kama kwamba
ameua watu wote)) (32)
maidah.
Pia una kataza uislamu
juu ya kuua mtu na pia
mtu kujiua mwenyewe na
inachukiza na ina madhambi
makubwa (na musijisikie
wenyewe kwa hakika
Mwenyezi Mungu hakuacha
kuwa kwenu ni mpole na
yeyote atakayefanya hayo
kwa uadui na dhuluma
tutamchoma moto, na
hakuacha kuwa juu ya hayo
ni mepesi) (30) Nisai na
anasema mtume (S.A.W)
((yeyote mwenye kujiua
mwenyewe kwa chuma
basi chuma chake kitakua
mkononi mwake anajichoma
nacho tumboni katika moto
wa jahanamu milele ya
milele na mwenye kujirusha
toka juu kwa makusudi iwe
mlimani au juu ya ghorofa
au juu ya mti na akajiua yeye
mwenywe basi ataangukia
moto wa jahanamu milele.
Ameipokea imamu
Muslim haki ya heshima : kwa
hakika uislamu kama vile
ulivyotoa haki ya kuishi kwa
binadamu, mnarudia vilevile
a t a u l i z wa j u u ya k i l e
alichokichunga . Hadi
mwisho)
Ameipokea imamu
bukhari.
Wajibu wa mwananchi
katika uislamu: wajibu wa
mwananchi kwa upande
wa mola wake na muumba
wake. Miongoni mwa
mifano ya haki ambazo
tulizozitaja hivi punde kwa
hakika hiyo ni zawadi ya
Mwenyezi Mungu kwa waja
wake ina wajibika kumsifu
na kumshukuru na wajibu
wa mwanzo wa kushukuru
ni kutakasa matendo yake
yote kwa ajili ya Mwenyezi
Mungu na kutomshirikisha
katika uungu wake.
( ( s e m a h a k i k a s wa l a
yangu na suna zangu na
uhai wangu na ufaji wangu
ni kwa ajili ya Mwenyezi
Mungu hana mshirika na
kwa hivyo nimeamrishwa
na mimi ni wa kwanza juu
ya kunyenyekea)) 162 163
An-ami
Wa j i b u wa m t u k wa
upande wa wazazi wake: kwa
hakika umetukuza uislamu
kwa upande wa kuwatii
wazazi wawili na kuwatii
na kuunganisha na ibada
yake ((ameshahukumu mola
wako usiabudu isipokuwa
yeye na kwa wazazi wawili
uwafanyie ihsani)) (23)
Israil
Uzalendo wa kiislamu
na kujihisi juu ya uzalendo:
ilikuwa kwa Othman (R.A)
alikuwa na uzalendo wa hali
ya juu tena ni ule wa uislamu
kwa upande wa ndugu zake
juu ya uzalendo siku aliyo
nunua nusu kisima cha
Roma toka kwa myahudi
ambaye alikuwa ni kiongozi
wa kuuza maji pale madina
yenye nuru kwa bei ya juu.
Pindi ilikuwa siku hizo
kulikuwa madina wakinywa
akalipa Othmani kwa yule
myahudi na kutaka amuuzie
akakataa, akaomba amuuzie
hapo nusu ya kisima na
wagawane kwa masiku ya
kuuza maji yale siku ya
Othmani na siku ya myahudi
. Akakubali myahudi na
akamlipa Othmani kwa
nusu hiyo 12,000 Dirham
na akafanya siku ya kuuza
maji yake ni kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu wanywe
watu wote bure wakawa
watu wakichota maji mengi
zaidi siku ya Othmani kwa
ajili ya siku mbili zaidi kiasi
alichohitaji ilikifika siku
ya myahudi ilifika siku ya
myahudi hakuna hata mtu wa
kununua . Akauza myahudi
fungu lake kwa Othman na
akafanya Othmani baada
ya hapo kumiliki kisima
chote kwa ajili ya Mwenyezi
Mungu bure bila hesabu
kwa yote yaliyoitangulia
yanatubainishia kwamba
uzalendo sio kudai haki peke
yake bali pia ni kuipenda
nchi na kutekeleza wajibu .
Atekeleze kwa upande wake
mwenyewe na familia yake
na nchi yake.
13
Na Khalid S Mtwangi
UCHAGUZI Mkuu unakuja.
Hivi sasa uko takriban
miezi minne kutoka sasa.
Wale waliojitolea kuwania
nafasi na vyeo katika zile
sehemu zinazojazwa kwa
kupigiwa kura, hivi saa
t a ya r i m a t u m b o m o t o .
Wanaonekana wakihaha
kuzitafuta hizo kura kwa
wananchi kwa sababu ni hizo
kura ndizo zitawawezesha
kuingia katika nafasi zile
wanaoziwania. Joto hilo
tayari linawasumbua sana
wale waliojitokeza kutaka
kujaza nafasi ya juu kabisa
ya URAIS wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania.
Hawa wako thelethini na
nane, idadi ambayo ni
kubwa na haijatokea katika
historia fupi ya Tanzania,
labda na Afrika kote.
Ingawa hawa wote,
wakiwa wananchi na raia
wa nchi hii, wanatumia
haki yao ya kiKatiba, lakini
kwa kuangalia vizuri na
kwa makini, ile orodha yao
inaweza kutoa maoni aina
mbili ambayo yanaweza
kusumbua fikra za watu.
Kwanza ni kuwa kweli nchi
hii imepiga hatua kiasi cha
kuweza kuwa na wananchi
wengi waliokomaa kisiasa
na kiutawala kiasi hicho.
Lakini wazo la pili linaweza
kuashiria pia wasi wasi
kidogo. Hivi kweli hadhi
ya nafasi kubwa ya URAIS
inaweza kuonekana rahisi
kiasi cha kuweza kuwavutia
wananchi wengi kiasi hicho
n a wa k i l a a i n a ? H a s a
i k i k u m b u k wa k wa m b a
baadhi ya hao waliojitokeza
kuwania nafasi hiyo hata
hawajulikani kisiasa. Hakuna
walichokifanya nchini humu
ambacho kinaweza kumvutia
mpiga kura ambaye anaweza
kukubali kweli huyu
anaweza kuleta makubwa
kuliko aliyoyakamilisha
huko nyuma.
Kama ilivyokwishaelezwa
idadi ya wale wanaoutafuta
URAIS ni kubwa na haijatokea
popote pale katika nchi za
Afrika, hivyo basi humo
wamo watu wa kila aina.
Kweli wengi wao ni wasomi
wenye shahada za Vyuo
Vikuu na pengine uzoefu wa
siku nyingi katika utawala na
mengineyo. Lakini kuibeba
nchi nzima hii Tanzania na
umasikini wake wa kutupwa,
sio mchezo wa pata potea.
Pamoja na kuwa kiongozi
mwenye elimu ya juu sana
kuna sifa zingine nyingi
ambazo pia ni muhimu zaidi
kuliko huko kusoma mpaka
kupata shahada nyingi. Sir
Winston Churchill alikuwa
Waziri Mkuu wa Uingereza
wakati hata elimu ya
MAKALA
AN-NUUR
kuchunguza mwenendo wa
huyo anayeisaka kura yake ili
awe Rais ama Mbunge. Wengi
wa wale wanaotafuta vyeo
vya kuchaguliwa wamekuwa
wanasiasa kwa muda mrefu
hivyo yale waliyoyafanya
ama waliyoyatetea kwa faida
ya wananachi yanajulikana.
Kwa hiyo itakuwa vizuri
kama mpiga kura atajiuliza
kweli huyo atakae kura
yangu atanisaidia huko
mbele hasa katika kuboresha
maisha yangu? Hayo maisha
yangu pia ya kiroho hasa
kama anavyotaka padre.
Kwa mfano wale wanapotaka
kupeperusha bendera ya
CCM katika kinyanganyiro
cha URAIS yumo Wairi
Mkuu aliyejiuzulu
Muheshimiwa Edward
L o wa s s a . M wa n a s i a s a
huyu anakwenda kwa kasi
sana, labda kwa sababu
alijitayarisha mapema sana
na kwa muda mrefu. Harakati
zake zilianza tu baada ya
kujiuzulu na iliashiria kuwa
alikuwa akitafuta makubwa
zaidi. Afrika yetu hii ni ya
ajabu. Mwanasiasa anaweza
kujiuzulu kutokana na kashfa
inayoendana na wadhifa
wake katika siasa za nchini
mwake, na bado akawa
na sifa za kutafuta kura
za wananchi akigombania
wadhifa mwingine wa siasa
pengine mkubwa zaidi ya ule
aliojiuzulu. Wengine wana
maoni kwamba aliyepata
doa kama hilo hastahili
kuingia tena katika ulingo
wa siasa. Kuna uhakika gani
kama hatarudia makosa
aliyoyafanya hapo nyuma
mpaka akajiuzulu.
Hata hivyo Muislamu
itabidi ajiukumbushe utendaji
k a z i wa M u h e s h i m i wa
Edward Lowasa huko nyuma.
Ni Muheshimiwa Lowassa
n d i ye ye ye a l i ye t i l i a n a
mkataba na Makanisa kuwa
Serekali itakuwa inatoa
ruzuku kubwa kwa Makanisa
wanapoendesha hule na
z a h a n a t i z a o . K wa m b a
Serekali kamwe haita ingilia
kati katika uendeshaji
huo hasa pale Makanisa
yatakuwa yanapata misaada
ya kifedha kutoka nje ya nchi.
Hiyo MEMORANDUM OF
UNDERSTANDING ilieleza
masharti hayo na kusisitiza
kuwa Serekali haitaingilia
kamwe katika utekelezaji
wake.
Huko nyuma Waislamu
wamekuwa wakiulalamikia
kwa sauti kali hiyo
MEMORANDUM OF
UNDERSTANDING
lakini hakuna aliyewajali,
hawajapata maelezo yeyote
kutoka Serekalini hadi leo.
Litakuwa si kosa kutabiri
kuwa akiufuma huo URAIS,
Muheshimiwa EDWARD
N G O N YA I L O WA S S A
atatekeleza kwa marefu na
mapana vipengele vyote
vya mkataba huo. Lakini
katika watakaompigia kura,
wamo walio Waislamu, nao si
wachache!! Sasa kura yangu
nimpigie nani?
14
Makala
Robert Steven.
h a y a , n c h i y e t u wanaotuhumiwa bila
h a i t a s a l i m i k a kujijua au kwa ujinga
k a m a t u t a i s h i a wao. Katika toleo
k u s h u g h u l i k a lililopita tulisema,
tu
na
h a w a tuwatizame akina
Mahmoud Omar na
hao wenye uwezo
wa kuandaa mizaha
ya kuchezea akili za
Leo Ijumaa ni tarehe 23 Ramadhani watu (psychological
1436 AH sawa na tarehe 10 Julai 2015.
Julai 17 mwezi wa Mfungo Mosi manipulation).
T u m a l i z i e
utaandama. Kutokea leo hadi kufikia
tulikoanzia.
Kenya
Mfungo Mosi tumebakisha siku 7
hivi sasa imeingizwa
AN-NUUR
katika mchezo wa
kifimbo cheza wa
kupigwa na magaidi.
Na kila likitokea
shambulio na watu
kuuliwa, haraka
haraka hudaiwa
kuwa ni Al Shabaab!
Kwa mifano hiyo
miwili ya Shambulio
la ugaidi wa kimeta
(Amerithrax) na
ile Operation
Cyanide, kuna
haja yanapotokea
mashambulizi
kama haya, kuweka
propaganda kando
na kulitizama
j a m b o k wa k i n a .
Kama alivyosema
Tony Cartalucci,
hii inayoitwa Vita
D h i d i ya U g a i d i
imegubikwa na
ulaghai mwingi
(The War on Terror
is a Fraud) ikilenga
kupepea masilahi
ya ubeberu na hasa
k i l e k i n a c h o i t wa
udhibiti wa duaniahegemony.
Katika ugaidi wa
Amerithrax, kachero
mmoja mstaafu
katika FBI aliwahi
kunukuliwa akisema:
They really wanted
to blame somebody in
the Middle East."
Kwamba katika
shambulio hilo la
ugaidi wa kimeta,
viongozie wa serikali
walikuwa wakitafuta
mtu wa Mashariki
ya Kati (Muarabu)
wa kumbambika
l a wa m a . ( Ta z a m a :
FBI was told to blame
Anthrax scare on Al
Qaeda by White House
officials-BY JAMES
GORDON MEEK
, D A I LY N E W S
WA S H I N G T O N
BUREAU, Saturday,
August 2, 2008)
Sasa
tuwe
makini isije haya
tunayoambiwa ya
Al Shabaab kuipiga
Kenya, na hii mizaha
inayoanza kujitokeza
mara kwa mara katika
nchi yetu, ikawa ni
yale yale, wanatafuta
Wa i s l a m u wa
kuwabambika ugaidi
kutimiza malengo
yao katika nchi zetu.
Jee Unajua?
1. W a a f r i k a
waliojipatia umaarufu duniani
ni: Nelson Mandela, Kwame
Nkrumah, Robert Mugabe,
Julius Nyerere, Marcus Garvey,
Patrice Lumumba, Martin
Luther King, Thabo Mbeki,
Malcolm X, Kofi Annan,
Muhammad Ali, Steve Biko,
Muammar Gaddafi, Winnie
Mandela, Shaka Zulu, Chinua
Achebe, W. E. B. Du Bois, Haile
Selassie , Thomas Sankara,
Pele, Bob Marley, Olusegun
Obasanjo, George Weah.
2.Nchi ziliomo katika
ukanda wa Sahel ni: Senegal,
K u s i n i m wa M a u r i t a n i a ,
Mali ya kati, Kaskazini mwa
Bu r k i n a F aso, Ku si n i ya
Algeria, Niger, Kaskazini ya
Nigeria, Sehemu ya kati ya
Chad, Kusini na kati ya Sudan
pamojana Kaskazini mwa
Eriteria. Sahel inaonekana
kuanzia Magharibi ya Afrika
hadi Mashariki ya Afrika.
3.Wanachama wa SADC
ni nchi zifwatazo : Angola,
Botswana, Democratic
Republic of Congo, Lesotho,
Madagascar , Malawi,
Mauritius , Mozambique,
Namibia, Seychelles, South
Africa, Swaziland, United
Republic of Tanzania , Zambia
na Zimbabwe.
4.Nchi za visiwa vidgo
duniani (Small Island
Developing State): AIMS
(Atlantic, Indian Ocean and
South China Sea):Cape Verde,
Comoros, Guinea-Bissau,
Maldives, Mauritius, So
Tom and Principe, Seychelles,
Singapore. Caribbean region:
Antigua and Barbuda,
Bahamas, Barbados, Belize,
Cuba, Dominica, Dominican
Republic, Grenada, Guyana,
Haiti, Jamaica, Saint Kitts
and Nevis, Saint Lucia, Saint
Vincent and the Grenadines,
Suriname, Trinidad and
T o b a g o . Pa c i f i c r e g i o n :
22
10
M
U
A
M
I
N
I
F
U
A
U
25
45
70
R
G
N
M
Y
E
W
Q
40
G
U
I
N
E
A
P
A
L
M
50
A
U
S
T
R
A
L
I
A
A
A
B
Y
S
S
I
N
I
A
S
L
N
A
J
A
S
H
K
V
T
S
I
T
A
N
Z
A
N
I
A
K
E
N
N
G
A
M
I
A
K
A
Z
A
K
H
A
S
T
A
N
A
N
C
H
T
I
C
P
A
A
I
N
D
A
A
J
Masuala
1.
Ilikuwa sifa gani kubwa ya Mtume SAW kwa
Makureshi? Muaminifu
2.
Mtume SAW alipomuoa Bibi Khadijah umri wake
ulikuwa ni miaka mingapi?
3.
Mtume SAW alipopewa Wahyi kwa mara ya
kwanza alikuwa na umri wa miaka mingapi?
4.
Hijra ya kwanza Waislamu walikwenda wapi?
5.
Mfalme wa Abyssinia ambaye Waislamu
walikutana naye akiitwa nani?
6.
Watu wa Mtume Saleh walimuua mnyama gani?
7.
Nchi gani iliokuwa na masafa ya kilomita za mraba
2,724,900(km2) na idadi ya wakaazi 16,372,000 ndio nchi
iliokubwa kuliko zote kutokuwa na bahari?
8.
Jangwa (Desert) 10 yaliokuwa na ukubwa kabisa
duniani ni : Antarctic Desert.
9.
Nchi yenye wakazi wengi duniani ni.
10.
Nchi ipi ina bajeti kubwa ya kijeshi duniani?
15
TANGAZO
AN-NUUR
AU
Fomu za Maombi zinapatikana chuoni Kirinjiko Islamic Teachers college na katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
3. Mwenye cheti cha Grade IIIA, AU
705627.
Karume,Nyumba Na. 05 :
Arusha: Ofisi ya Islamic
4. Mwenye
cheti
(NVA
level
4)
cha
kozi
yoyote
kutoka
katika
chuo
kinachotambulika
NACTE
Mtwara:
Amana Islamic S.S:na
0715
0765024623
Education Panel, Jambo
465158/
231007.
Msikiti mtihani
wa Majengo
Plastic,au Ghorofa
2 waShinyanga
VETA naya
ufaulu
D nne katika
wa kidato cha
nne0787
(CSEE).
Songea: Kwa Kawanga Karibu na
karibu na Manispaa ya
mkabala na msikiti Mkuu
B: NAMNA
Shinyanga
Mjini
Bondeni YA KUOMBA::
Msikiti
wa
NURU
:
:0752180426
Kahama
ofisi
ya
0783552414/0762817640
0713249264/0683670772.
1. Mwombaji anatakiwa kujaza fomu ya maombi AU
AN NUUR Karibu na msikiti
Kilimanjaro: Moshi: Msikiti wa
Mkuzo Islamic High School
2. Kuomba
kwa njia
ya mtandao (Online
Application)
kupitia Tovuti
ya 348375.
wa
Ibadhi
: 0753
Riadha :712
216490Same
:0717
993930/0688794040
Juhudi Studio mkabala na
Mbeya: Ofisi za Islamic Education
NACTE(www.nacte.go.tz).
Dar es Salaam: Ubungo Islamic
Benki ya NMB Same: 0757
Panel
Uhindini
High ya
School
: hatatakiwa kuomba kupitia
013344. Atakayeomba kwa njia
0785425319.
Rexona Video
TANBIHI:
fomu,
njia ya mtandao
wa
0756584625/ 0657350172
Same: Kirinjiko Islamic Secondry
mkabala na Mbeya RETICO:
NACTE.
School: 0784 296424/0655 Ofisi ya Islamic Ed. Panel
0713 200209/0785425319.
697 075, Usangi- Falhum Temeke -Msikiti wa Nurul Ya
Rukwa :Sumbawanga:Jengo la
kin :
Kibakaya : 0787 142054.
Haji Said Shule ya Msingi
D: ADA
YA MAOMBI:
Ugweno
Kifula Shopping 0655144474/0787119531
Kizwike 0717082 072.
Morogoro
Wasiliana
na
Centre- Yusuph Shanga :
Tabora: Kituo cha Kiislamu
Ramadhani
Chale
:
078458776.
Isevya:
0784
0715704380.
Tanga: Twalut Islamic Centre
944566/0787237342
Dodoma Hijra Islamic Primary
Mabovu Darajani : 0715
Nzega:
Dk
Mbaga-0754
School : 0716 544757/071
894111 Uongofu Bookshop:
576922/0784576922.
Singida: Ofisi ya Islamic
0784 982525, Korogwe:
Iringa: Madrastun Najah: 0714
Education. Panel karibu na
SHEMEA SHOP : 0754
522 122.
Nuru snack Hotel : 0786
690007/071569008. Mandia
Pemba: Wete: Wete Islamic
425838/0784 928039.
Shop - Lushoto: 0782257533.
School
:
0777
Manyara: Ofisi ya Islamic Ed.
Handeni Mafiga -0782
432331/0712772326.
Panel Masjid Rahma:
105735/0657093983
Unguja : Madrasatul Fallah:
0784491196
Mwanza
Nyasaka
Islamic
0777125074.
PANDU
Kigoma: Msikiti wa Mwandiga:
Secondary School : 0717
BOOKSHOP
0777462056
0714717727 Kibondo
417685/0786 417685.Ofisi ya
karibu na uwanja wa
Islamic Nursery School:
Islamic Education Panel
Lumumba
0766406669.
Kasulu:
Mtaa wa Rufiji mkabala na
Mafia: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally
Murubona
Isl.SS:
Msikiti Al-Amin 0785 086
jirani na msikiti mkuu :
0714710802.
770/0714097362
0773580703.
Lindi Wapemba Store: 0784
Musoma Ofisi ya Islamic Ed
974041/0783 488444/0653
Panel
-Mtaa
wa
Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080
16
AN-NUUR
MAKALA/RATIBA YA MFUNGO
Na Ben Rijal
KALENDA YA RAMADHANI
Mwaka 2015
1.
2.
3.
4.
5.
JJ
SIKU
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JUNE
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
JULAI
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALKHAMIS
IJUMAA
MUDA
WA
MWISHO
KULA
DAKU
(IMSAK)
11:02
11:02
11:02
11:02
11:02
11:03
11:03
11:03
11:03
11:04
11:04
11:04
11:04
11:04
11:04
11:05
11:05
11:05
11:05
11:06
11:06
11:06
11:06
11:06
11:06
11:04
11:05
11:05
11:06
11:06
KUINGIA
ALFAJIRI
ADHANA
KUCHWA JUA
JIONI
ADHANA YA
MAGHARIBI
KUFUNGUA
(IFTAR)
11:17
11:17
11:17
11:17
11:17
11:18
11:18
11:18
11:18
11:19
11:19
11:19
11:19
11:19
11:19
11:20
11:20
11:20
11:20
11:21
11:21
11:21
11:21
11:21
11:21
11:19
11:20
11:20
11:21
11:21
12:17
12:17
12:17
12:17
12:18
12:18
12:18
12:18
12:18
12:19
12:19
12:19
12:19
12:19
12:19
12:20
12:20
12:20
12:20
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:21
12:22
12:22
12:23
12:23
12:22
12:22
12:22
12:22
12:23
12:23
12:23
12:23
12:23
12:24
12:24
12:24
12:24
12:24
12:24
12:25
12:25
12:25
12:25
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:26
12:27
12:27
12:28
12:28
TAREHE
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
MWEZI
RAMADHANI KARIM
RAMADHANI KARIM
RAMADHA
NI YA:
17
Na Bakari Mwakangwale
ALHAMDULILLAH,
kila sifa njema anastahili
Mola wa Ulimwengu,
bila shaka kila
aliyejaaliwa afya njema
sasa anahesabu kuwa
yupo katika kumi la pili
la Ibada ya Mwezi wa
Ramadhani.
Ama wale ambao
hawakujaliwa kuudiriki
Mwezi huu au kumi hili,
kutokana na dharura
zinazokubalika, Allah
(s.w) awape subra na
a f ya n j e m a , n a wa l e
waliotangulia mbele ya
haki Mwenyezi Mungu
awarehem.
Na mwenye kuwa
mgonjwa au safarini, basi
(atimize hesabu) katika
siku nyingine 2: 185.
Qur an, inasema,
kila mwenye kumcha
Mwenyezi Mungu,
a t a k u wa n i m w e n y e
kufuzu, hii ni amri
ambayo ipo siku zote na
ni wajibu kuifuata katika
mwenendo wa maisha
yetu ya kila siku.
Pamoja na kwamba
amri hiyo ipo siku zote,
lakini uchaji Mungu,
umekithirishwa zaidi
ndani ya Mwezi huu
Mtukufu wa Ramadhani.
Na sasa tupo katika
Mwenyezi wa Ramadhani.
Ibada ambayo imechukua
nafasi ya nguzo ya nne
katika jumla ya nguzo
tano za Uisalamu.
Wenye kudarasisha na
wenye kutoa mawaidha
sehemu mbalimbali
hivi sasa, wengi wao
wanauelezea mwezi huu
kuwa ni kama Chuo kwa
Waislamu, na kwamba
malipo na matarajio yake
baada ya hapo, ni kupata
cheti cha kuwa Mcha
Mungu.
Swali la kujiuliza ni
kwa nini lengo la funga
halifikiwi kwa wafungaji
walio wengi, mara baada
ya kumalizika au kutoka
katika Chuo funga ya
Ramadhani.
Uhalisia na mwenendo
wa Wa i s l a m u w e n g i
kuonyesha kwamba
h a wa j a f i k i a l e n g o l a
f u nga ( Ucha-Mun g u)
hujipambanua kutokana
na matendo yao, unaweza
ukajiuliza hivi kweli huyu
ndiye yule aliyekuwa
katika ibada ya Swaumu,
kwa muda wa siku 29
mpaka 30.
Binafsi, naona lipo
tatizo la jumla ambalo
linahitajika kufanyiwa
MAKALA
AN-NUUR
yanahusiana na kula na
kunywa mchana, jimai
nakadhalika.
Yanayoharibu funga
au thamani yake, yapo
mengi ambayo wengi
wanayachukulia ni
mambo ya kawaida tu,
kama vile kusema uongo,
kusengenya (kupo kwa
aina nyingi), unaweza
ukafanya matendo haya
na ukajiona bado upo
katika swaumu kwa kuwa
mfungaji anakuwa hajala
wa hajanywa.
Abuu Hurairah (r.a)
ameeleza kuwa Mtume
wa Allah (s.w) amesema:
Yoyote yule ambaye
hataacha mazungumzo
mabaya na vitendo viovu,
Allah (s.w) hana haja na
kuacha kwake chakula
chake na kinywaji chake
(Allah (s.w) hatopokea
funga yake)-Bukhari.
Ni vigumu kujua
matendo ya ndani
ya mtu na hakuna
m t u a t a k a ye k u a m b i a
umefungua kwa kufanya
vitendo viovu, lakini wewe
mwenyewe unatakiwa
kujihesabu kuwa
hukupata kitu kutokana
na funga yako, na hii
inahitaji elimu ya imani
zaidi, ambayo Waislamu
wengi hawatuna.
Mtume (s a w)
anatufahamisha katika
hadithi: Abuu Huraira
ameeleza kuwa Mtume wa
Allah amesema: Ni watu
wangapi wanaofunga,
lakini hawana funga ila
huambulia kiu tu.
(Darimi).
Lakini hata ugomvi pia
au kuhitarafiana na kuingia
katika mzozo, jambo
ambalo linaonekana ni la
kawaida sana linapelekea
mtu kuharibu swaumu
yake au kuitia dosari, kwa
mwenye kujua hili basi
hujiepusha na kuilinda
funga yake kwa kusema,
Nimefunga, nimefunga
Kama ambavyo
hadithi ya Mtume (s a
w) inavyofafanua suala
hilo: Abuu Hurairah (r.a)
ameeleza kuwa Mtume (s a
w) amesema:Wakati mmoja
wetu atakapo amka akiwa
amefunga, asitumie
au asitoe lugha chafu
na asifanye matendo
maovu, na kama yeyote
yule anamchokoza
au anagombana
naye, hana budi
kusema: Nimefunga,
nimefunga.
Sasa ni wazi kuwa
k a m a i t a k u wa u m o
katika swaumu na vitu
kama hivi mfungaji
hujiepushi navyo,
kamwe kulifikia lengo la
swaumu, kwa maana ya
kukuacha katika kufuzu
kuwa Mcha Mungu ni
ndoto.
Jambo ambalo hutoa
picha kuwa lengo la
f u n g a h a l i j a f i k i wa ,
a n g a l i a i l e s i k u ya
Sikuku ya Idd-Fitrti,
Wa i s l a m u w e n g i
huingia kwa fujo katika
maovu mbalimbali kwa
dhana kuwa sasa wapo
huru kufanya yale yote
ambayo walijizuilia kwa
muda wa mwezi mzima.
Hivyo basi ni jukumu
la wadau wa Dini ya
Kiislamu kulitambua hili
kuwa swaumu haifikiwi
lengo lake kutokana na
Waislamu kutokuwa na
elimu ya ibada hii.
Wa i s l a m u w e n g i
wanaingia katika ibada
mbalimbali kama
mazoe, mfano Muislamu
anafunga kutokana na
mazoea kwa kuwa yeye
ni Muislamu ili apate
swawabu, ama anaswali
ili apate swawabu, na
anakwenda kuhiji Makka
ili aitwe Alhaji, fulani.
Waislamu tubadilike,
t u z i f a n ye i b a d a k wa
ikhlasi na kwa kuzingatia
malengo yaliyokusudiwa.
18
Na Abuu Nyamkomogi
NI kwa nini lengo
la funga halifikiwi?
Hili ni swali ambalo
linapaswa tujiulize. Na
katika makala yangu
iliyotangulia, nilijaribu
kuelezea dhana ya vunja
jungu kuwa hii yaweza
kuwa moja ya sababu.
Hata hivyo, tukiangalia,
hata wale ambao
h a wa i n g i i n a k u t o k a
katika Ramadhani kwa
Vunja Jungu, bado
hatuoni funga zao kuwa
na athari na matokeo
yaliyotarajiwa. Kwanini?
Kwa walioshikamana na
'vunjajungu', zipo sababu
kadhaa zinazowafanya
wasiweze kufikia lengo la
funga ya mwezi mtukufu
wa Ramadhani, miongoni
mwazo ni pamoja na
zifuatazo:
Mosi, kutofahamika
kwa fasili au maana halisi
ya dhana ya swaumu
au funga kwa baadhi ya
wafungaji. Ebu jaribu
kuutalii mfano huu halisi
wa dereva wa daladala
na kondakta wake kwa
makini ili uweze kumaizi
ninachokimaanisha katika
nukta hii.
Kulipata kutokea katika
mojawapo ya Ramadhani
ya mwaka fulani huko
n y u m a k o n d a k t a wa
daladala fulani, iliyokuwa
ikifanya safari zake kati ya
Mwanza mjini na Kiwanja
cha Ndege (Airport)
cha jijini humo, kutoa
mfululizo wa maneno
machafu dhidi ya abiria
wake mmoja katika
majibizano naye kiasi
kilichomfanya dereva
wake ashindwe kuvumilia
h a l i i l e n a h a t i m a ye
kudiriki kumkumbusha
k o n d a k t a wa k e k wa
kumuuliza swali hili
la kitashtiti (rhetorical
question):
Lakini si umefunga
wewe? Kondakta yule
naye akamjibu dereva
wake kwa kumuuliza
swali
la kitashtiti. Kwani
nimekula?
Naam, ukiudurusu
mfano huo kwa makini
utabaini kuwa mafuhumu
ya kondakta huyo na
dereva wake juu ya dhana
ya swaumu yanatofautiana
kwa kiwango kikubwa
sana.
Kwa mujibu wa
ufahamu wa kondakta
yule, kwake swaumu ni
kujizuia kunako kula na
kunywa wakati ambapo
kwa mafuhumu ya dereva
wake swaumu ni zaidi ya
hapo. Mafuhumu ambayo
MAKALA
AN-NUUR
Ni vyema ieleweke
wazi, kabla ya kuendelea
na mjadala wa nukta
hii, kwamba lengo
la funga ya mwezi
mtukufu wa Ramadhani
limewekwa bayana
na aliyetufaradhishia
ibada hiyo ya swaumu
mwenyewe ambaye
si mwingine, bali ni
Allah (s.w.) kama
atubainishiavyo lengo la
ibada hiyo pale aliposema:
''Enyi mlioamini!
Mmelazimishwa
kufunga (Swaumu) kama
walivyolazimishwa
waliokuwa kabla yenu
ili mpate kumcha Mungu
(kuwa wachaji Mungu)''
(2:183).
Kwa mujibu wa
uchambuzi na upembuzi
wa hali halisi ya mazingira
ya wafungaji Ramadhani
katika nukta ya ufahamu
wao kuhusu suala hili yaani
lengo la funga, wafungaji
wamegawanyika katika
makundi manne.
Kundi la kwanza ni lile
la wafungaji wasio na
ufahamu wowote kuhusu
lengo la funga. Kundi la
pili ni lile la wafungaji
walio na ufahamu usio
sahihi kuhusu lengo la
funga. Kundi la tatu ni
lile la wafungaji wenye
ufahamu sahihi kuhusu
lengo la funga, lakini
wasiojua namna ya
kulifikia na kundi la nne
na la mwisho kwa mujibu
wa uchambuzi wa makala
haya ni lile la wafungaji
wenye ufahamu sahihi
19
Makala
AN-NUUR
Na Rashid Abdallah
NYUKI anayeshika maua
mazuri yanayopendeza,
mwisho wa siku
anatengeneza asali tamu.
Asali ambayo ina kila sifa,
utamu, dawa, biashara na
mambo mengine mengi.
Lakini nzi anayeshika shika
shika uchafu, hana la maana
kwa binadamu ila kuleta
maradhi.
Natamani mwaka huu
tuungane sote tubadilishe
uongozi wa nchi hii,
kwani uongozi uliopo sasa
umekuwa ukienda kuelekea
Inatoka Uk. 5
juu ya ushoga na usagaji. Hata
alipozuru Uingereza wakati
fulani kabla ya nchi yake
kuwekewa vikwazo, watu wa
Uingereza walimpiga mayai
viza kutokana na msimamo
wake wa kupinga ushoga
na usagaji. Lakini pamoja na
hayo, aliwaeleza wazi kuwa
upuuzi wao uishie London,
wakikanyaga Zimbabwe,
washike adabu zao.
Nchini Mauritania
ukikamatwa kwa kosa la
ushoga au usagaji hukumu
yake ni kifo. Mwaka jana
nchi za Nigeria, Uganda na
Gambia zilipitisha sheria
ambayo zinatoa adhabu
kali kwa usagaji na ushoga.
Nchini Uganda ilifikia
wafadhili wengi ikiwemo
Marekani kutangaza
kufuta baadhi ya misaada
waliyokuwa wakiitoa kwa
serikali ya nchi hiyo baada
ya kupitishwa kwa sheria
hiyo na Rais Yoweri Museven
kusaini rasmi.
Hata hivyo Mahakama
ya kikatiba nchini Uganda
ilifuta sheria hiyo kali dhidi
ya mapenzi ya jinsia moja,
iliyotiliwa saini na Rais
Yoweri Kaguta Museveni
mwezi Februari mwaka
huu, ikisema kuwa wabunge
walioidhinisha sheria
hiyo hawakutimiza idadi
iliyokuwa inahitajika.
Jaji Steven Kavuma,
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Na Bakari Mwakangwale
WA I S L A M U k u p i t i a
Kamati ya Maafa ya Shura
ya Maimamu, wametoa
sadaka ya vyakula kwa
Wa i s l a m u w a l i o p o
gerezani Segerea Jijini
Dar es Salaam, kwa ajili
ya matumizi ya daku na
futari.
Vyakula hivyo
vimepatikana kupitia
michango ya Waislamu
kutoka sehemu mbalimbali
na kuwasilishwa na
Kamati hiyo.
Katibu wa kamati hiyo
Ustadhi Ally Mbaruku,
alisema sadaka hiyo
ambayo ni ya awamu
ya pili, imewasilishwa
Jumanne wiki hii ikiwa
ni mfululizo wa misaada
hiyo katika Mwezi huu
Mtukufu wa Ramadhani.
Tu m e wa p e l e k e a
Wa i s l a m u w e n z e t u
waliopo katika gereza
la Segerea vyakula
mbalimbali, lengo
vitumike kwa matumizi
ya futari na daku, hii ni
amwamu ya pili, awamu
ya kwanza ya msaada
kama huo tulipeleka Juni
28, 2015. Alisema Ust.
Mbaruku.
Alisema vyakula hivyo
vinapatika kutokana na
michango ya Waislamu
kutoka
sehemu
mbalimbali, ambao
wa n a c h a n g i a n a wa o
huwasilisha gerezani kwa
utaratibu maalum.
Alisema, wameelekeza
misaada hiyo katika gereza
hilo kwa sababu maalumu,
AN-NUUR
E-mail:info@hajjtrust.or.tz
ikizingatiwa uwepo wa
magereza mengi ndani na
nje ya Jiji la Dar es Salaam,
ambako kote humo kuna
Waislamu.
wamekuwa wakikamatwa
na kufikishwa katika
gereza hilo kwa tuhuma
za ugaidi.
Karibia Waislamu wote
MAKAMU wa Rais Dkt. Gharib Bilal (wa pili kulia) akimkabidhi Said Nassor
Said hundi ya shilingi milioni tatu baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa
shindano la kuhifadhi Qur'an juzuu 30. Katikati ni Dkt. Muhsin Masoud ambaye
ni Mkurugenzi wa Benki ya Kiislamu ya Amana. Hafla ya kukabidhi zawadi kwa
washindi iliyofanyika katika ukumbi wa Istiqama ulioko Ilala, jijini Dar es Salaam
hivi karibuni.
JUMUIYA ya Wanafunzi
wa Kitanzania wanaosoma
Chuo Kikuu cha Kiislamu
cha Al Azhar Sharif nchini
Misri, wameitaka serikali
ya Tanzania kuvitambua
viwango vya ufaulu vya
elimu ya sekondari
(Thanawi) vinavyotolewa
na matawi yaliyo chini ya
chuo hicho nchini.
Tayari Umoja huo kwa
msaada wa Balozi wa
Tanzania nchini Misri, tayari
wamefikisha madai yao
serikalini na kuahidiwa kuwa
yanafanyiwa kazi.
Akizungumza na Annuur Jumanne wiki hii,
Hassan Daud Mbarazi,
mmoja wa wanafunzi wa
Kitanzania anayesomea
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.