Вы находитесь на странице: 1из 20

'Mwisho wa usanii'

www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1202 MUHARRAM 1437, IJUMAA , NOVEMBA 6 - 12, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Uk. 20

Ameapishwa, ameanza kazi


Kikwete imekuwa lam yalbathuu illa

Hatutoi labda
mtupindue Asha Bakari
Hiki ndicho kilichofanyika Zanzibar
Sio yale aliyosema Jecha Salim Jecha

NAMWAMBIA (Ismail) Jussa hatutoi (Serikali),


labda mtupindue. Serikali ya kimapinduzi
haichukuliwi kwa karatasi, hilo nawabainishiaAsha Bakari.
Hata wapinzani washinde kwa kura, CCM
hatuko tayari kutoa Serikali. Vifaru na makombora
ya kivita yapo kwa ajili ya kuhakikisha hilo.Salmin Awadh Salmin.

Changamoto kwa Shein


Kinachosubiriwa sasa ni Mwafaka wa 5
Kikwete atoka Ikulu na zigo la lawama
Uk. 20

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Hapa kazi tu ilete


haki, neema kwa wote
'Mbele kwa mbele iwe fuata nyao za Robin
Kulikamata kambaku kwa mapembe yake

ANNUUR REAL.indd 1

ASHA Bakari Makame

11/5/2015 3:35:59 PM

Fethullah-Gulen
ALLAH hapana Mola
anayestahili kuabudiwa kwa
haki asiyekuwa Yeye aliye
hai mwenye kudumu katika
kuyasimamia mambo. [AlBaqarah 255]
Ndiyo, Yeye ndiye mwenye
kuabudiwa mpweke.
Hapana mwenye kuabudiwa
asiyekuwa Yeye. Hapatikani
mwenye kuabudiwa
asiyekuwa Yeye kwa sababu
vilivyopo vyote tokea tangu
mpaka milele, havikuwa
isipokuwa ni vivuli kutokana
na nuru ya kupatikana kwake
na sura zote za ulimwengu
ni muonekano kutokana na
nuru yake na kila kilichopo
na kila chenye kuwa, kitu
hicho ni mdhihiriko mdogo
unaochukua kupatikana
kwake, kutokana na
usimamizi wake Mwenyezi
Mungu mtukufu.
Kupatikana kwake
Mwenyezi Mungu mtukufu,
Na Bakari Mwakangwale
PROFESA Ibrahim Lipumba,
amewataka wadau wa Chama
Cha Mapinduzi (CCM) Bara
na Visiwani kutoirejesha
Zanzibar katika machafuko
ya kisiasa ya mwaka 2000,
na kusababisha vifo na
wakimbizi.
Prof. Lipumba, ameyasema
hayo Jumapili ya wiki iliyopita
akizunguzma na Waandishi
wa Habari katika Ofisi Kuu za
Chama Cha Wananchi CUF,
Buguruni Jijini Dar es Salaam,
akizungumzia sintofaham ya
kufutwa uchaguzi Mkuu wa
Visiwani Zanzibar.
M wa n a s i a s a h u y o n a
mtaalamu wa maswala ya
Uchumi Duniani, alisema
anazungumza kama mzalendo
na kilicho msukuma zaidi ni
uzoefu wake wa kisiasa nchini
na uzalendo ili kuhakikisha
nchi yake inabakia katika hali
ya usalama.
Alisema, anaamini kuwa
maamuzi ya Mwenyekiti
wa ZEC, Zanzibar kufuta
uchaguzi huo na kutoa
sababu zenye maswali mengi
kuliko majibu ni shinikizo
kutoka kwa watu wa CCM,
jambo ambalo ni hatari kwa
mustakabali wa Visiwa hivyo
na Tanzania kwa ujumla.
Ndugu zangu wa CCM,
msiturudishe katika matatizo

ANNUUR REAL.indd 2

Mafundisho ya Quran/Maarifa
kunatokana na nafsi yake
na uhai wake na usimamizi
wake unatokana na dhati
yake. Kila kilichopo kisicho
kuwa Yeye kinatoka kwake
na ni katika kudhihiri kwa
sifa zake na majina yake
mazuri.
Ye y e n d i y e a l i y e h a i
mwenye kuyasimamia
mambo ambaye hakipatikani
k it u chochot e amb acho
k i m e s i m a m a k wa n a f s i
yake, pasi na kutegemea
kwake. Na hakuwezekani
kwa kitu chochote kilichopo,
kudumisha kupatikana
kwake pasi na Yeye. Na
hakuwezekani kuleta tafsiri
yoyote na ufafanuzi wa
fumbo la maisha, pasi na
kuchukua usimamizi wake,
Mwenyezi Mungu mtukufu,
ambao una maana ya kuwa
kusimama kwake ni kwa
dhati yake na kusimama kila
kitu ni kwa sababu yake
kwa mazingatio ya jambo
hilo. Na hakuwezekani
kabisa kusimamisha msingi
wowote ulio sahihi wenye
kukubaliwa na akili, kwa
ajili ya kuufasiri ulimwengu
wa kupatikana wala kudumu
kwa ulimwengu huu,
isipokuwa kwa sababu yake.
Yeye ndiye dhati iliyopo,
iliyotukufu na haya majina
mawili yanatokana na jina
lake tukufu.
Mambo yote na matukio
yote ni udhihirikaji katika
k u d h i h i r i k a k wa k e n a
ulimwengu ni kitabu
katika kudhihirika huko.
K u m e w e k wa m b e l e ya
binadamu ili wakifikirie
kufikiri kwa mtu anayetaka
kukitwalia kitabu hiki na
kukisoma. Manabii na
Mitume wao wako katika
nafasi ya waelekezaji na

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Baqara: 255

wafasiri wa kitabu hiki.


Na vitabu vya mbinguni ni
mfasiri bora sana wa kitabu
hiki na hasa Quran tukufu.
Kitabu cha ulimwengu
a m b a c h o k i n a ya n ya k u a
macho kutokana na yale
ambayo kimeyakusanya na
yenye uhai na namna nyingi
mno na balagha.
A n a s e m a m j u m b e wa
Mwenyezi Mungu (s.a.w.)
k u h u s u a ya t A l K u r s i y
kwamba hiyo ni aya kubwa
sana katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu na ni aya
muhimu sana: Na ndani
yake, mna aya hiyo kubwa
ya aya za Quran nayo ni aya
Al-Kursiyy. Umuhimu huu
unakuja kutokana na haya
yafuatayo:
1. Umuhimu kwa
upande wa yale ambayo
umeyakusanya aya hii ambayo
inafundisha kumpwekesha
Mwenyezi Mungu kwenye
kutakata na ina kuwa ni tafsiri
ya sifa za Mwenyezi Mungu
mtukufu. Aya hii kwa sura
ya jumla ni mfano wa surat,
Al-Ikhlasi. Mtume (s.a.w.)
alikuwa anasoma Surat AlIkhlas, katika kipindi cha
Makkah ikiwa ni majibu ya
kila swali linaloelekezwa
kwake kuhusu Mwenyezi
Mungu mtukufu. Kwa hakika
kila sura katika Quran tukufu
inamiliki thamani kubwa
sana, isipokuwa daraja la
ubora wake linatofautiana
kutokana na yale ambayo
yamekusanywa na sura hiyo.
2. Unafungamana

umuhimu vile vile kutokana


na majibu ambayo si ya
kawaida ambavyo inayotoa
kwa wale wenye kuzisoma
aya na sura hizi na sura hiyo na
aya zinakubaliana moja kwa
moja na kiwango cha kuelewa
kwa msomaji kutokana na
upana wa upeo wake na
kina cha ulimwengu wake
wa ndani. Hakika nyenzo
muhimu ambayo inafanya
kazi yake katika jambo hili
ni kuuelekeza moyo kwa
Mwenyezi Mungu kwa imani
ya kina sana. Kwa sababu
ya kuliweka wazi jambo hili
Mtume (s.a.w.) katika hadithi
yake kuhusiana na mwezi wa
Ramadhani na amesema:
Mwenye kufunga
Ramadhani kwa kumwamini
Mwenyezi Mungu na kwa
kumtakasia nia, atasamehewa
yale yaliyotangulia katika
madhambi yake.
Inadhihirika kutokana
na maelezo haya kwamba
kumtakasia Mwenyezi
Mungu ndicho kiini cha
matendo yote na msingi wake
na roho yake. Al-Qayyoum
jina hili, linaelekea kwenye
dhati ya Mwenyezi Mungu
mtukufu na wakati huo huo
linaelekea kwenye matendo
yake kuhusiana na dhati yake
Mwenyezi Mungu mtukufu.
Jina hili linaelezea utangu wa
Mwenyezi Mungu mtukufu na
kubaki kwake. Ama upande
wenye kuelekea kwenye
m a t e n d o ya k e , u p a n d e
h u o n i k u e l e k e a k wa k e
kudumu kwa vilimwengu.

Kwa sababu kudumu kwa


vilimwengu kunafungamana
na kudumu kwake Mwenyezi
Mungu mtukufu. Na yote
yanayotajwa, katika kudumu
kwa vilimwengu, miongoni
mwa kanuni na mfumo na
kadhalika, hayo ni mambo
ya mazingatio na kiwango.
Na hakuwezekani kubaki
kwa vilimwengu, kwa mfano
wa kanuni hizi za kiwango
na mazingatio. Tukitaka
kuyapanua maelezo haya
tutasema: Kwa hakika
kunalazimu, kupatikana yule
ambaye atazitekeleza kanuni
hizi na atakayezielekeza
kwenye kutenda naye ni
Mwenyezi Mungu mtukufu.
Ibn Al-Arabi ana raai
nyengine katika maudhui
haya na tunaona kuwa ni
jambo lenye faida kutaja hapa.
Anasema Ibnu Al-Arabi kuwa
kwa hakika zile hakika za vitu
ni msemo unaoelezea kuhusu
kudhihirika kwa majina ya
Mwenyezi Mungu. Kwa
msingi huo kupatikana katika
uhakika, ni kukosekana,
isipokuwa kudhihirika huku
kunakuja hali ya kufuatana,
kumoja nyuma ya kwingine
kwa sura yenye kutiririka,
kwa sifa ya kuwa tunaona
k wa k u d h i h i r i k a h u k o ,
vitu vinapatikana na kule
kudhihirika kunatawala
juu ya kupatikana kwake.
Na lau angetaka Mwenyezi
Mungu kudhihirika huko,
kitambo kimoja tu, vitu vyote
vingeondoka na vingetoweka.
Ndiyo, kama alivyosema
msanii ambaye ni mtu
wa Ta s a w w u f S u l e i m a n
Jalabia. Alisema kuuambia
ulimwengu kuwa Na
lau, angesema: Ondoka
ungeondoka ulimwengu.

kidemokrasia, huku akimtaka


Dk. Ali Mohammed Shein
kukumbuka, mwaka 2010,
alitangaza kuwa mshindi kwa
kupata asilimia 50 na Maalimu
Seifu wa CUF, asilimia 49.8.
Alisema, matokeo hayo
ya l i s a b a b i s h a m v u t a n o
mkubwa kwani kura karibia
zilifungana lakini Maalim
Seif, alikubali kushindwa
kwa pointi, sasa akasema ni
wakati wake Dk. Shein na
CCM yake kukubali matokeo
na waonyeshe ukomavu
wa kisiasa, kwa kukubali
maamuzi ya Wazazibar.
Alisema, haoni sababu ya
CCM, kuogopa matokeo hayo
ambayo yanaonyesha dalili ya
Chama Tawala kuanguka kwa
sababu Katiba ya Zanzibar
imeeleza kuwepo kwa
muundo wa Serikali ya Umoja
wa Kitaifa, kwa kushirikisha
chama chochote kilichoshiriki
katika uchaguzi, na kupata
zaidi ya asilimia tano ya kura
za wananchi kitakuwa na sifa
ya kushiri katika Serikali hiyo.
Aidha, alisema katika
suala hili zisiletwe hoja za
kuwadanganya Watanzania

na tukaingia katika matatizo


yasiyo kuwa na sababu kwa
madia kuwa CUF, itavunja
Muungano, ikitawala
Zanzibar, kwani kifungi
cha sheria kinachoelezea
suala hilo kinaeleza kuwa
Zanzibara na Tanganyika
zimeungana kuanzisha dola
moja kwa maana hiyo suala
la Muungano ni suala la
Kikatiba (Articles of Union).
Wakati huo huo, kuibuka
kwa aliyekuwa Mwenyekiti
huyo wa CUF, katika ofisi cha
chama hicho hapo Buguruni,
kwa mara ya kwanza tokea
aachie wadhifa wake,
umewafurahisha wanachama
wa chama hicho baada ya
kukusanyika kwa wingi na
kumlaki huku kila mmoja
akionyesha shauku ya kutaka
kusalimiana naye, ambapo
walisema wamefurahia ujio
wake katika ofisi hizo na
kuzungumza na vyombo vya
habari.
Wa l i s e m a , wa o k a m a
wanachama kwa kuzingatia
mchango wake katika CUF,
watazidi kumkumbuka na
kumuheshimu, kwani bado
wanamapenzi makubwa
na msomi huyo, pamoja
n a k wa m b a a m e c h u k u a
maamuzi ya kujiuzuru wakati
bado wanamuhitaji awe
kiongozi wao.

Kauli ya Prof. Lipumba kwa CCM

ya mwaka 2000, ni wazi


kabisa Wazanzibar hawako
tayari kurudi huko kitendo
cha kurudia uchaguzi kwa
shinikizo si jambo la busara
wakati wao (Wazanzibar )
waliofanya waliopiga kura
hawajaulalamikia uchaguzi
huo.
Sinikizo zitolewe katika
suala hili kwa sababu yule
bwana (Mwenyekiti wa ZEC)
hawezi tu kwenda kutangaza
alivyotangaza bila kuwa
na shinikizo nyumna yake
kutoka kwa watu wa Chama
na Serikali. Amesema Prof.
Lipumba.
Prof. Lipumba, akawataka
wale wanaoweka shinikizo
la kufutwa uchaguzi wa
mwaka huu, wakumbuke
matukio yaliyotokea baada
ya uchaguzi wa mwaka 2000,
ambapo majimbo 16 ya Mkoa
wa Mjini Magharibi, uchaguzi
ulifutwa na ulirudiwa kwa
shinikizo.
A l i s e m a , m a t o k e o ya
maamuzi hayo ya shinikizo
yalipelekea Wazanzibar zaidi
ya 60, kuuwawa na baadaye
Visiwa hivyo vikazalisha
wakimbizi zaidi ya elfu mbili,
kufatia maandamano ya
amani yaliyofanyika Januari

27, 2001, kutokana na mvutano


wa kisiasa uliosababishwa na
CCM huku chama chake cha
CUF, kikipinga.
Tusirudie ya mwaka 2000,
kwa mashinikizo ya watu
kwani uchaguzi huu wa
Oktoba 25, 2015, umeenda
vizuri na wasimamizi wa nje
wameona kuwa hapakuwa
n a t a t i z o wa l a h a k u n a
aliyeulalamikia kwa dosari
yoyote ni wazi Mwenyekiti
wa ZEC, amefanya maamuzi
hayo kwa shinikizo.
Amesema Prof. Lipumba.
Akisahuri nini kifanyike
kuinusuru Visiwa vya
Zanzibar kuingia katika
machafuko, Prof. Lipumba,
alisema, jambo la maana
linaloweza kulimaliza tatizo
hilo ni Tume ya Uchaguzi
Zanzibar, kuliangalia
suala hilo kwa kuzingatia
Katiba na Sheria, kwamba
Mwenyekiti wa ZEC, peke
ya k e h a n a m a m l a k a ya
kufuta uchagaguzi Mkuu wa
Zanizbar.
Prof. Lipmba, alisema
ieleweke kuwa Zanzibar
imeingia katika maridhiano ya

11/5/2015 3:36:00 PM

Habari

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Hatutoi labda mtupindue-Asha Bakari


Na Said Rajab.

Namwambia (Ismail)
Jussa hatutoi (Serikali),
labda mtupindue.
Serikali ya kimapinduzi
h a i c h u k u l i w i
kwa karatasi, hilo
nawabainishia-Asha
Bakari.
Hata wapinzani
washinde kwa kura,
C C M h a t u k o t a ya r i
kutoa Serikali. Vifaru
na makombora ya
kivita yapo kwa ajili
ya kuhakikisha hilo.Salmin Awadh Salmin.
Uchaguzi Mkuu wa
Z a n z i b a r u m e f u t wa
na Tume ya Taifa ya
Uchaguzi Visiwani
humo (ZEC), ambayo pia
imetangaza kurudiwa
k wa u c h a g u z i h u o .
Sababu zilizotolewa na
Mwenyekiti wa ZEC,
bwana Jecha Salim Jecha,
wakati akifuta uchaguzi
huo ni nyepesi mno na
wala hazina mashiko.
Jecha alishinikizwa na
w e n y e m a m l a k a ya
Zanzibar kufanya kile
alichofanya!
Wa s w a h i l i w a n a
msemo, "ukimuona
mbwa yuko juu ya mti,
basi ujue hakupanda
m w e n y e w e " . Wa t u
w o t e wa n a o f u a t i l i a
kwa karibu siasa za
Zanzibar, wanajua
kwamba maneno yale si
ya Jecha. Yeye katumika
tu kuvuruga uchaguzi
wa Zanzibar, ambao kwa
mujibu wa waangalizi
wa ndani na nje, ulikuwa
umeenda vizuri.
Niwakumbushe
kidogo kuhusu Bunge
Maalumu la Katiba
mwezi April mwaka jana
kule Dodoma. Mjumbe
wa Bunge hilo kupitia
CCM, Asha Bakari
Makame alimpasha
mjumbe mwenzake
kutoka CUF, Ismail Jussa
Ladhu. Alisema hivi:
Namwambia (Ismail)
Jussa hatutoi (Serikali),
labda mtupindue.
Serikali ya kimapinduzi
h a i c h u k u l i w i
kwa karatasi, hilo
nawabainishia.
Tu m e wa h i p i a
kumsikia aliyekuwa
Mnadhimu Mkuu wa
CCM kwenye Baraza la
Wawakilishi, marehemu
Salmin Awadh Salmin,
akitamka kwamba hata
wapinzani washinde

ANNUUR REAL.indd 3

Hiki ndicho kilichofanyika Zanzibar


Sio yale aliyosema Jecha Salim Jecha

KIFARU cha jeshi la Wananchi wa Tanzania


(JWTZ) kikirandaranda katika mitaa ya Chake
Chake, Pemba hivi karibuni.
kwa kura, wao CCM yao yaliyomo kwenye
hawako tayari kutoa vyombo vya habari!
Serikali na akafika
Inasemekana kuwa
mahali pa kusema kuwa t a n g u m wa k a 1 9 9 5 ,
vifaru na makombora ya c h a g u z i z a v y a m a
kivita yapo kwa ajili ya vingi zilipoanza, CCM
kuhakikisha hilo.
h a i j a wa h i k u s h i n d a
Ukizingatia kauli hizo, Z a n z i b a r . I m e k u wa
a m b a z o z i m e t o l e wa ikitumia hila, hadaa
hadharani na makada n a u b a b e k u p o r a
wazito wa CCM, bila ya maamuzi ya wananchi
kukemewa, basi unajua wa visiwa hivyo. Na
kwanini uchaguzi wa mgogoro wa kisiasa
Z a n z i b a r u m e f u t wa unaofukuta Zanzibar,
mwaka huu. Maalim msingi wake hasa uko
S e i f S h a r i f f H a m a d hapo. Mara zote ZEC
alikuwa ameshinda, imekuwa ikimtangaza
isipokuwa wale wenye a l i ye s h i n d wa k u wa
'Hati Miliki' ya kutawala mshindi!
Zanzibar hawako tayari
Na mpaka uchaguzi
kuona hilo likitokea. w a m w a k a 2 0 1 0 ,
Bora wafute matokeo, muasisi wa Serikali ya
kuliko kumtangaza Seif Mapinduzi Zanzibar
mshindi!
na kiongozi wa Kamati
K a m a k a w a i d a ya Maridhiano, Mzee
y a m a d h a l i m u , Hassan Nassor Moyo,
s a s a wa n a h a n g a i k a a m e k u wa a k i t a m k a
kuhalalisha udhalimu bayana kwamba ni yeye
wao, kwa kuhamisha ndiye aliyetumwa na
mazingatio ya watu Rais Amani Karume
kutoka kwenye tatizo kumshawishi Maalim Seif
la msingi la Zanzibar Sheriff Hamad akubali
a m b a l o n i w a o . matokeo yoyote ambayo
Wamekuwa wakianzisha yangelitangazwa na ZEC
mijadala potofu kuhusu mwaka huo.
siasa za Zanzibar,
Naye Maalim Seif
kupitia mavuvuzela alikubali kwa kuzingatia

umuhimu wa amani
ya n c h i p a m o j a n a
Maridhiano yaliyofikiwa
kati ya CUF na CCM.
Sasa uchaguzi wa
mwaka huu, Maalim Seif
alitangaza mapema kuwa
hatakubali tena kuporwa
ushindi wake. Ndiyo
maana tunashuhudia
viroja hivi vya kufuta
matokeo! Wamekwama!
N i m e o n a
nizungumzie kidogo
kuhusu ukweli halisi wa
siasa hizi zinazoitwa za
'Kidemokrasia' na Katiba
zinazotokana na mfumo
huo, ili wasomaji wangu
waweze kuakisi kwa
usahihi yale yanayotokea
Zanzibar hivi sasa. Jambo
la msingi ni kufahamu
kwamba dhana ya
'Demokrasia' siyo halisi
kama tunavyoaminishwa
na watetezi wake. Ni
ulaghai tu unaolenga
k u w a n d a m i z a
wanyonge, kupitia
matumaini hewa.
Na kupitia Katiba
inayotawala Zanzibar
n a Ta n z a n i a B a r a ,
kamwe mabadiliko
yatakayoifanya nguvu
ya umma itawale nchi
hizo hayatapatikana.
CCM itaendelea
kutawala Watanzania,
hatuwezi kusema
milele, lakini mpaka
hapo watakapochoka
wenyewe!
Tumefundishwa tangu
shule za msingi kwamba
'Demokrasia' ni mfumo
wa utawala wa Watu,
unaowekwa na Watu
kwa ajili ya Watu hao.
Hiyo ndiyo dhana kuu
inayotawala mfumo wa
'Demokrasia', ambayo
sisi kama taifa tunaufuata
na Katiba inayotuongoza
imeuzingatia.
Lakini waasisi wa
Siasa za Kidemokrasia
duniani, wanaamini
kwamba ukiwapa
wa n a n c h i m a m l a k a
kamili kupitia Katiba,
basi unahatarisha
t a a s i s i y e n y e w e ya
'Demokrasia.' Wananchi
hao wanaweza kuitupilia
mbali 'Demokrasia'
kwa kutumia nguvu
waliyonayo kikatiba.
Kwa hiyo, walinzi
halisi wa 'Demokrasia'

ni genge dogo tu la
wa t u wa n a o n u f a i k a
na mfumo unaotawala
na wala siyo wananchi
kama inavyoaminishwa.
Genge hili halitaki kabisa
mabadiliko na limethibiti
siasa za nchi kupitia
Katiba na nguvu za Dola.
Ni vyema wananchi
wa k a e l e wa k wa m b a
katika mifumo ya tawala
za 'Kidemokrasia', si
kweli kwamba wananchi
ndiyo wenye mamlaka
ya kutunga Katiba
itakayolinda maslahi
yao. Katiba inatungwa
na kikundi kidogo tu
cha watu, na maslahi
ya kikundi hicho ndiyo
yanayolindwa kwa
g h a r a m a ya u m m a .
Tu m e s h u h u d i a h i l i
Dodoma kwenye
Bunge Maalumu la
Katiba mwaka jana,
ambapo maoni ya
wananchi yametupwa,
yameingizwa ya
watawala!
Pamoja na kwamba
Katiba ni Muafaka
wa Kitaifa, lakini
Katiba pia ni chombo
cha utawala. Kikundi
kidogo kinachotawala
nchi, huwa hakipendi
mabadiliko yanayoweza
kutishia utawala wao.
Wanapendelea zaidi
Katiba itakayolinda
utawala wao milele!
Wananchi wanaburuzwa
tu kwa kutumia hila,
hadaa, vitishio,
propaganda, danganya
toto na ubabe.
Tumeshuhudia jinsi
'Demokrasia' ilivyopora
haki ya Wananchi wa
Misri, Uturuki, Algeria,
Tunisia, Iraq, Afghanistan
n a Pa l e s t i n a . H a k u n a
asiyejua kwamba wananchi
wa nchi hizo wakipewa
mamlaka kamili lazima
watachagua utawala wa
Kiislamu. Lakini kwanini
nchi hizo za 'Kidemokrasia',
hazitawaliwi Kiislamu
l e o ? Wa n a n c h i w a k e
hawana mamlaka yoyote.
Hiyo ndiyo kanuni ya
'Demokrasia'!
G e n g e l a wa t a wa l a
linaamini kwamba katika
mfumo wa Siasa za
'Kidemokrasia', Katiba ni
chombo tu cha watawala
kuwabana watawaliwa,

ingawa kwenye
m a j u k wa a ya s i a s a
wanahadaa kwamba
wananchi ndiyo wenye
mamlaka yote.

11/5/2015 3:36:00 PM

Tahariri

AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Ameapishwa, ameanza kazi


Kikwete imekuwa lam yalbathuu illa
Mheshimiwa Magufuli alizingatie hilo

RAIS John Pombe Joseph


Magufuli ameanza kazi
rasmi baada ya kuapishwa
jana katika shughuli
iliyofana.
Pamoja na kuhudhuriwa
na Marais wa nchi mbalimbali
na wageni wengi waalikwa
kutoka nchi za nje, umati
m k u b wa wa wa n a n c h i
ulihudhuria kushuhudia
hafla hiyo ya kihistoria.
Na kutokana na umuhimu
na uzito wa tukio la kupishana
ma-Rais, anayetoka Ikulu na
anayeingia, jana ilitangazwa
kuwa siku ya mapumziko.
Kama ilivyo ada, vikosi
vya majeshi yetu vilifanya
gwaride la kufana na
kuhitimisha kwa kula kiapo
cha utii kwa Rais, huku Rais
Magufuli naye akila kiapo
cha kuwatumikia wananchi
na kuilinda Katiba ya nchi.
Wakati Magufuli anaingia
Ikulu, anapishana mlangoni
n a M h e s h i m i wa J a k a ya
Mrisho Kikwete ambaye
anaelekea katika benchi la
Marais Wastaafu.
Kama ilivyokuwa kauli
zake wakati wa kampeni,
kinachotarajiwa kwa Rais
Magufuli ni uchapakazi na
utumishi kwa wananchi wa
kiwango cha hali ya juu.
Hapana shaka ukiacha yale
yaliyoainishwa katika Ilani
ya CCM ambayo yanakuwa
kama ndio mwongozo wa
utendaji wake, ikiwemo
utekelezaji wa ahadi za
Chama chake kwa wananchi,
kuna yale ambayo Rais
Magufuli binafsi amejinasibu
kuwa atayafanya.
Matarajio ni kuwa
utekelezaji huo utaanza mara
moja ili angalau kuanza na
mguu wa kulia. Kuwapa
wananchi matumaini.
Yapo ambayo CCM na
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho
Kikwete aliahidi kuyafanya,
na katika hayo huenda
yapo ambayo hakujaaliwa
k u ya t e k e l e z a n a l a b d a
angetaka muda zaidi ili
aweze kuyafanya.
Miaka mitano au kumi
yaweza kuonekana kuwa
mingi, lakini ukishtuka
utadhani ilikuwa jana tu
ulipongia Ikulu, miaka 5 au
10 imemalizika.
Uliyopanga kufanya labda
hujagusa hata robo yake na
wananchi wanakulilia. Au
umefanya mengi, lakini ya
kukuletea lawama na laana
kutoka kwa wananchi.
S a s a b o r a wa k u l i l i e
wakitaka uwaongeze katika
mema uliyowafanyia, kuliko
wakulilie huku mwenyewe
ukijuta na kujilaumu kuwa
hujafanya lolote la maana
katika uliyowaahidi. Au

ANNUUR REAL.indd 4

umeharibu na kuvuruga
hata yale machache mazuri
uliyoyakuta.
Wa i s l a m u k a t i k a
mafundisho
yao
wanaambiwa kuwa Siku ya
Hukumu itakapofika, wale
ambao waliishi katika maisha
ya dhambi watajuta kwa nini
waliumbwa binadamu.
Wa t a s e m a , l a i t i
ningalikuwa udongo nisipate
adhabu hii inayoningoja hivi
sasa. (78:40)
K a t i k a m u n a s a b a wa
kuingia Ikulu, hapana shaka
itakuwa ni katika Dua na
Dhamira ya Rais Magufuli,
kufurahia utumishi wake
katika nafasi ya Urais na sio
kinyume chake.
Lakini la kuzingatia pia ni
kuwa muda haumngoji mtu.
Kadiri atakavyoishi
mwanadamu, lakini siku ya
kuondoka kwake duniani,
anaona kama hakuishi ila
siku moja au nusu siku tu.
N a n d i o p a l e Q u ra n
inaposema, Siku
watakapokiona (Kiama-Siku
ya Hukumu) watakuwa
kama kwamba hawakukaa
(ulimwenguni) ila jioni moja
au mchana wake tu. (79:46)
Basi kama ndivyo
itakavyokuwa siku ya kufa
na siku ya Hukumu, basi ni
hivyo hivyo katika kukaa
Ikulu.
Walipita Wazee wetu,
Mwalimu Nyerere, Benjamini
William Mkapa, Alhaji Alli
Hassan Mwinyi na sasa
Jakaya Mrisho Kikwete,
lakini siku wanaondoka
Ikulu, si ajabu waliona kama
hawakukaa ila kidogo tu.
Bado wangali wanatamani
utamu wa kukaa Ikulu
(madaraka), lakini muda
wao umekwisha.
Utamu huu wa madaraka,
ndio huwafanya baadhi ya
ma-Rais kufanya vitimbi
kudumu Ikulu ili waendelee
kupigiwa saluti, barabara
zisafishwe kwa vingora
wakipita, na mbwembwe za
walinzi kila upande. Wenye
visirani ndio usiseme,
waendelee kuwaonea
baadhi ya watu, ambao kwa
sababu moja au nyingine
wa l i wa h e s a b u k u wa n i
maadui.
Sasa maadhali nchi yetu
ishajijengea utamaduni
wa kuondoka kistaarabu
kila baada ya muda fulani,
uungwana ni kutumia muda
vizuri kufanya yaliyo mema
kwa mujibu wa matarajio ya
wananchi na kwa manufaa
ya nchi.

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Dk. Shein amemaliza muda wake kikatiba


Na Mwandishi Wetu

WAKATI hali bado ikiwa


haijatengemaa, huku juhudi
zikifanyika za kukutana
viongozi wa serikali na
vyama kushughulikia
mtafaruku uliotokana
na Mwenyekiti wa Tume
ya U c h a gu z i Z a n z i b a r ,
Jecha Salum Jecha, kufuta
uchaguzi mkuu Zanzibar,
wataalam wa sheria
wameeleza kuwa muda wa
Dk. Ali Mohamed Shein
kutumikia madaraka yake
kama Rais wa Zanzibar
umemalizika kikatiba.
Kwa mujibu wa Katiba ya
Zanzibar, Rais wa sasa wa
Zanzibar, Dk. Ali Mohamed
Shein, amemaliza muda
wake wa kuiongoza serikali
ya Zanzibar na kwamba,
iwapo ataendelea kuongoza
Wazanzibar baada ya kipindi
chake kukoma, atakuwa
anakwenda kinyume na
Katiba.
Hayo yamebainishwa
na Chama cha Wanasheria
Zanzibar (ZLS), wiki hii
na kwamba, pia kuendelea
kuwa na serikali isiyokuwa
na Baraza la Wawakilishi
pia ni tatizo kubwa na ni
kinyume na katiba.
Rais wa chama hicho Bw.
Awadh Ali Said, alisema
kuwa maudhui ya Ibara 28
(1) ya katiba ya Zanzibar, ni
kumpa uwezo wa kikatiba
Rais kuendelea kuongoza ili
kutoa nafasi ya maandalizi
ya kula kiapo kwa Rais
anayefuata tu, na si kuendelea
kukaa madarakani bila ya
kufanyika kwa uchaguzi
au kwa sababu ya uchaguzi
kufutwa.
Aidha Bw. Said alisema
kitendo cha nchi kuendeshwa
muda mrefu bila ya Baraza
l a Wa w a k i l i s h i k a m a
yalivyo mazingira ya sasa
yanavyoonyesha, ni tatizo.
Alisema, Katiba ya
Zanzibar imeruhusu hali
ya kuendesha nchi bila ya
Baraza la Wawakilishi ni
kwa muda usiozidi siku tisini
(90) tu, tangu siku Baraza
lilipovunjwa.
Kwa mazingira
tuliyonayo, siku tisini (90)
zinazokubalika kikatiba,
z i n a i s h i a N o ve m b a 1 2 ,
2015 kwa kuwa Baraza la
Wa wa k i l i s h i l i l i v u n j wa
Agosti 13, 2015, alifafanua.
Rais huyo wa ZLS
alionyesha pia hatari ya
Zanzibar kuwa na Rais
ambaye yuko juu ya Sheria
na Katiba katika mazingira
yaliyopo sasa.
Alisema kuwa Ibara ya
37 ya Katiba ya Zanzibar
ya mwaka 1984 inayolipa
Mamlaka Baraza la
Wawakilishi kuondoa kinga
ya R a i s k u t o s h i t a k i wa
anapokuwa madarakani
kama inavyotolewa na Ibara
ya 36 ya Katiba.

Aliongeza kuwa katika


mazingira yaliyopo hivi sasa
ambapo ifikapo tarehe 12
Novemba, 2015, Baraza la
Wawakilishi halitakuwapo na
haliwezi kuitishwa kikatiba,
ni wazi kuwa ikiwa Rais
atafanya matendo yoyote
yenye kuvunja katiba ya
nchi na kukiuka kiapo chake,
hakutakuwa na mamlaka
nyingine yoyote yenye uwezo
wa kuhoji matendo ya Rais.
Alidai hali hiyo inatoa
fursa na inatengeneza
hatari ya kuwa na Serikali
inayoongozwa kidikteta.
Sakata hilo la Zanzibar
kwa mara ya pili limemwibua
mwenyekiti wa zamani wa
Chama cha Wananchi (CUF),
Profesa Ibrahim Lipumba,
akimtaka Rais Jakaya
Kikwete kumaliza tatizo la
Zanzibar kwa kuiamuru ZEC
kumtangaza mshindi wa
uchaguzi mkuu wa Oktoba 25
ili kuliepusha Taifa lisiingie
kwenye machafuko.
Akizungumza na
waandishi wa habari hivi
karibuni, Lipumba alisema
ni muhimu Rais Kikwete
akahakikisha anatekeleza
hilo kabla ya kumaliza
m u d a wa k e , b a d a l a ya
kumwongezea matatizo na
mzigo rais mpya, Dk. John
Magufuli aliyeapishwa jana.
Dk. John Magufuli
a t a a p i s h wa k u wa R a i s
na Amiri Jeshi Mkuu wa
Vikosi vya Ulinzi na
U s a l a m a v ya Ta n z a n i a ,
Kikwete usimwongezee
Magufuli matatizo, yaliyopo
yanamtosha, alisema
Lipumba ambaye wiki
iliyopita akizungumzia pia
mgogoro huo akiitaka ZEC
imtangaze mshindi.
Aidha kuapishwa kwa
Dk. Magufuli kuwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, ni dhahiri kwamba
kitakachofuatia kuanzia hapo
ni kumteua Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano na
kufuatiwa na kuteua Baraza
la Mawaziri, ambalo kimsingi
litajumuisha pia na baadhi ya
Mawaziri kutoka Zanzibar,
hasa kwa zile wizara za
muungano.
Prof. Lipumba alisema,
vigogo wa Tanzania na
Zanzibar wasisubiri hadi
maafa yatokee ndipo waanze
kuchukua hatua, watumie
muda huu kuyazuia.
Nayakumbuka mauaji ya
wafuasi wa CUF yaliyotokea
mwaka 2001 na wengine
kukimbilia uhamishoni
S h i m o n i n c h i n i K e n ya ,
nimeona kukaa kimya
kutaleta madhara katika nchi
hii, alitahadharisha.
Tayari hali hiyo ya utata
wa kisheria katika mamlaka
ya Zanzibar kwa sasa imezua
wasiwasi kiasi hata Kamishna
wa Polisi Zanzibar, Hamdan
Omar Makame, ameshasema
kuwa kutokana na taarifa
hizo za wanasiasa na watu

Dk. Ali Mohamed Shein


wengine, huenda wananchi
watakuwa huru kufanya
watakavyo na kuvunja sheria.
Makame alisema ni vyema
kipindi hiki kuhubiri amani
na kuwa na subira kuiachia
ZEC ambayo ndiyo yenye
dhamana na mamlaka ya
kutangaza tarehe ya kurejewa
kwa uchaguzi na si mtu
mwingine.
Kamishna Makame
alinukuu kifungu cha 28
(1) cha Katiba ambacho
pia wanasheria wa ZLS
walikitoa na kumwomba
Rais wa Zanzibar kuchukua
tahadhari, ili asiwe wa
kwanza kuvunja Katiba
ya Zanzibar kwa kuvuka
tarehe ya mwisho kuwapo
madarakani.
Kifungu cha 28 (1) cha
Katiba kinasema, Kufuatana
na Katiba hii mtu ataendelea
kuwa Rais mpaka (a) Rais
anayefuata ale kiapo cha
kuwa Rais, au (b)afariki
wakati akiwa Rais, au (c) hapo
atakapojiuzulu; au (d) iwapo
amechaguliwa kuwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ; au (e) kwa sababu
yoyote nyingine ameacha
kuwa kiongozi kwa mujibu
wa vifungu vingine vya
katiba hii.
Ikumbukwe kuwa
kutokuwapo Rais wa
nchi kama inavyodaiwa,
haimaanishi sheria hazipo
na watu wafanye watakavyo.
Kuna makosa ukiyafanya
m o j a k wa m o j a s h e r i a
itachukua mkondo wake
ikiwamo kufanya kitendo
cha uvunjifu wa amani,
kufanya maandamano au
mikusanyiko ya watu isiyo
halali, alisema kamishna
huyo.
Wakati hali ya mashaka
ikitamalaki Zanzibar,
Wa z a n z i b a r wa n a o i s h i
nchini Uingereza (ZAWAUK)
wamepanga kuandamana
hadi katika ofisi za ubalozi
wa Tanzania nchini humo
kupinga yale yaliyotokea
Zanzibar wakati wa uchaguzi
Mkuu.
Aidha Wazanzibar hao
k wa m u j i b u wa t a a r i f a
iliyonakiliwa na mtandao

Inaendelea Uk. 5

11/5/2015 3:36:00 PM

Habari

5
Inatoka Uk. 4
wa Mzalendonet, walifikia
makubaliano katika kikao
kilichofanyika Jumatatu
wiki hii Novemba 01, 2015,
ambacho kilijadili mwenendo
mzima wa hali ya kisiasa
nyumbani Zanzibar na
matokeo ya uchaguzi ambayo
hayakukamilika kutangazwa.
W a z a n z i b a r
waliohudhuria katika kikao
hicho, wengi walipitisha
azimio la kufanyika
maandamano hadi katika
ofisi za ubalozi wa Tanzania
Uingereza na kufikisha barua
kwa wabunge wa Uingereza
kuhusu suala hilo.
Kuna kila dalili kwamba
tayari wapo ambao
wameshawasilisha barua
h i z o k wa wa b u n g e wa
Uingereza na kuwataka
kufikisha ujumbe wao kwa
Waziri Mkuu wa Uingereza
Bw. David Cameroon, ili
kuingilia kati mzozo uliopo
baina ya vyama vya CCM
na CUF kuhusu kufutwa
uchaguzi mkuu.
Aidha suala la
maandamano bado
lilielezwa kuwa bado lipo
kama lilivyopangwa, lakini
imetolewa kwanza nafasi
k wa vi on g o z i Ta n z a n i a
kuendelea na mazungumzo
hadi kufikia ufumbuzi wa
mzozo huo.
Imeeleza taarifa hiyo
kuwa wakati viongozi wa
Z AWA U K w a k i f u a t i l i a
kwa karibu mazungumzo
hayo, iwapo itaonekana
hakuna dalili za maendeleo
yeyote ya maridhiano, basi
Wazanzibar hao wataendelea
na maandamano ya siku tatu
mfululizo katika Balozi za
Tanzania nchini Uingereza
kama yalivyopangwa na
kukubaliana.
Kuna taarifa kuwa jeshi la
Polisi Scotland Yard Special
Events, limeshafikishiwa
taarifa ya maandamano
hayo na maandalizi
yalikashamilika.
Mwishoni mwa mwezi wa
Oktoba 2015, Tume ya Haki
za Binadamu na Utawala
Bora ilitoa ushauri wake
kwa ZEC, kuhusiana na
tangazo la Mwenyekiti wa
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC), Bw. Jecha Salim
Jecha, alilolitoa Oktoba, 28
2015 kupitia vyombo vya
habari, la kufuta matokeo ya
uchaguzi Mkuu uliofanyika
Zanzibar Oktoba 25, 2015 na
kuahirisha mchakato mzima
wa uchaguzi hadi hapo Tume
hiyo itakapotoa taarifa ya
kufanyika tena uchaguzi huo.
Katika taarifa ya
Mwenyekiti wa Tume hiyo
ya Haki za Binadamu Bw.
Bahame Tom Nyanduga,
ilitoa ushauri kuwa baada ya
kupitia Ibara na vifungu mbali
mbali vya Katiba zote mbili
na sheria husika, yaani katiba
ya Jamhuri ya Muungano na
Katiba ya Zanzibar, Tume
ya Haki za Binadamu na
Utawala bora (THBUB)
ilijiridhisha kwamba ina
uwezo wa kuishauri Tume

ANNUUR REAL.indd 5

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Dk. Shein amemaliza muda wake kikatiba

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto), Makamu wake wa kwanza,
Maalim Seif Sharif Hamad.
ya Uchaguzi ya Zanzibar
kuhusiana na masuala kadhaa
yaliyojitokeza katika Tamko
la Mwenyekiti wa Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar.
Tume hiyo ilieleza kuwa
Ibara ya 21 ya Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ya Mwaka 1977,
na Ibara 21 ya Katiba ya
Zanzibar ya mwaka 1984 [1]

zikisomwa pamoja, zinatoa


uhuru wa kila raia kushiriki
katika shughuli za uongozi
wa Serikali kwa kupitia
uwakilishi wa kuchaguliwa
na kuchagua kwa uhuru na
haki.
Ilieleza kuwa pia kifungu
cha 42(6) cha Sheria ya Tume
ya Uchaguzi ya Zanzibar
[2] kinaipa Tume (ZEC)

mamlaka ya kushughulikia
matatizo ya uchaguzi na
kuyapatia ufumbuzi kwa
utaratibu ulioanishwa katika
kifungu hicho.
THBUT ilisema kuwa
kifungu hicho kinabainisha
mamlaka ya Tume (ZEC)
kutangaza matokeo ndani
ya siku tatu na endapo kuna
matatizo yamejitokeza katika

mchakato wa uchaguzi,
ZEC inatakiwa kuyatafutia
ufumbuzi, na baada ya hapo
matokeo yatatangazwa ndani
ya siku tatu.
Aidha THBUB ilieleza
kupitia sababu zilizotolewa
na Mwenyekiti Jecha
na kubaini kwamba
mambo yote yaliyotajwa,
yanaweza kutatuliwa
i wa p o M a k a m i s h n a wa
ZEC wataweka tofauti zao
pembeni, na wakafanya kazi
kwa pamoja kwa nia njema.
Hivyo THBUB ilishauri
kwamba tofauti ama kasoro
za kiutendaji zilizotajwa
zinaweza kutatuliwa kwa
kuhakiki waliopiga kura kwa
mujibu wa daftari, na kwa
kuzingatia sheria zilizopo na
kwamba, THBUB inapenda
kumshauri Mwenyekiti wa
ZEC kutafakari upya uamuzi
wake wa kufuta uchaguzi na
matokeo yake yote.
Katika hitimisho la taarifa
hiyo, THBUB ilisisitiza
umuhimu wa kila mdau wa
uchaguzi kuzingata sheria,
katika mchakato mzima,
kwani bila kufanya hivyo
misingi ya utawala bora
itakuwa imevunjwa, na
hivyo inaweza kusababisha
uvunjifu wa haki za binadamu
na kwamba, wao wapo tayari
tayari kushirikiana na ZEC
kuchunguza tuhuma zote
zilizotajwa na Mwenyekiti
Jecha na kuzitafutia ufumbuzi
wa haraka ili kulinda haki
za binadamu na misingi ya
utawala bora.

Sheikh Bungo kwenda mahakamani


Na Bakari Mwakangwale

ALIYEKUWA mgombea
Ubunge kupitia Chama Cha
CUF, Kondo Juma Bungo,
amesema yeye pamoja na
wapiga kura wa Jimbo
la Mbagala, wanaimani
wameshinda uchaguzi huo.
Kwa maana hiyo, alisema
hivi sasa yupo katika
mchakato wa kwenda
Mahakama Kuu Jijini Dar es
Salaam, kupinga mgombea
wa CCM, katika jimbo hilo
kutangazwa kuwa ndiye
mshindi.
Napenda niseme, sina
kanuni ya kukata tamaa
katika kudai haki katika hali
yoyote na haswa nikiamini
kuwa nipo katika haki,
nitahakikisha uchaguzi wa
Jimbo la Mbagala unarudiwa
kama alivyo tangaza na
Mkurugenzi, kabla ya
kumtangaza mgombea wa
CCM. Alisema Kondo.
Alisema, hakuna
linaloshindikana kwa
Mwenyezi Mungu, ikiwa
tu utaonyesha jitihada za
kudai na kupigania haki,
na Mwenyezi Mungu
hapendi wale wanaokubali
kudhulumiwa haki zao bila
kuonyesha jitihada zozote.
Akiwashukuru wananchi
wa jimbo la Mbagala na kila
aliyemuunga mkono tokea
alipotia nia ya kugombea
Ubunge, alisema kwa
ujumla hana tamko ambalo
litawakilisha hisia halisi ya

ALIYEKUWA mgombea Ubunge kupitia Chama Cha CUF, Kondo Juma Bungo.
thamani yao kwake zaidi ya
shukrani zake kwao kwani
wote walisema wapo nyuma
yake katika suala hilo.
Zaidi, napenda
kuwashukuru wananchi
wa J i m b o l a M b a g a l a ,
hakika wamenichagua
tena kwa kura nyingi na
hakika nimeshinda na wao
wameshinda pia, lakini
kilichotokea nimeporwa haki
yangu na haki ya wapigiga
kura kwa ujumla. Amesema
Kondo Bungo.
Akielezea sinto fahamu
iliyotekea katika Jimbo lake,
mpaka kuamuliwa kurudiwa
uchaguzi kisha baadae
kutangazwa mgombea wa
CCM, kuwa ndiye mshindi,
Kondo, alisema kwa ujumla

uchaguzi umevurugwa na
Watendaji wa Halimashauri
pamoja na wasimamizi wa
uchaguzi.
Alisema, wameharibu
uchaguzi kutokana na
kuficha nyaraka za matokeo
kwa kuwanyima baadhi ya
mawakala wake fomu za
matokeo, hata hivyo alidai
walipopitia karatasi za
watendaji hao walizobandika
katika vituo vya kupigia kura
zinaonyesha yeye ameshinda.
Utata ulipozuka katika
kuhakiki, ndipo akaja
Mkurugenzi wa Manispaa
ya Temeke, naye alipoelezwa
alikiri kweli uchaguzi
umeharibiwa na kwamba
itabidi urudiwe na akaahidi

mbele ya Waandishi wa
Habari, kuwa uchaguzi wa
Jimbo la Mbagala umefutwa
na utarudiwa na kututaka
wahusika wote kurejea katika
kituo cha majumuisho ya
kura ili kutoa tamko ni lini
uchaguzi utarudiwa hayo
ndiyo yalikuwa makubaliano
kwa ujumla. Alisema Kondo
Bungo.
Hata hivyo, alisema
katika hali ya kushangaza
na kusikitisha siku iliyofuata
asubuhi walipofika kituoni
hapo kama walivyoelezwa
na Mkurugenzi wa
Temeke, walikuta matokeo
yameshabandikwa
yakionyesha mgombea wa
CCM, kuwa ndiyo mshindi.

11/5/2015 3:36:01 PM

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

A: KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL


WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA I, 2015
WAVULANA
S/N NAME
1

ABBAS ANAS SAID

2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47

ABBAS HAJI ALI


ABDALLAH SADIK FAKI
ABDIRRAHMANI MOHAMMED ELMI
ABDUL-ALAWI GENDO
ABDUL-AZIZ AMIN
ABDULI ADAM MSANGI
ABDULKADIR SALIM KARATA
ABDULMUSTAFA MUHAMED
ABDULRAHMANI MUSSA MSANGI
ABDULSEIF HUSSEIN KATERANYA
ABDULWAHAB SHAZIL MOHAMED
ABUBAKAR MAJALIWA NGONJI
ABUBAKI IDD MALEGELI
AHMAD MBWIZA ISSA
AHMADI HASSANI SEMPOLI
AJMI ABDALLAH SALEH
ALI HUSENI MADENGE
ALKAMAL SADIKI KIUNGULIA
ALLY HASSAN MSHEHE
ALLY ISSA KILINDO
ALLY MAKAME ABASI
AMHMED SAIDI CHUDI
AMIRI JUMA KULEWA
ANSWARI RIDHIWANI MSANGI
AQRAM ABDALLAH MSANGI
ARIF JUMA KHAMIS
ASHRAF FAKHI ADAM
ATHUMANI JUMA ALLY
BAKARI MUSSA KAMBWELA
FADHILI HAJI HAMIDU
HAMISI MAKANGE SAKO
HAMISI SELEMANI HAMISI
HASHAMU HAMADI BAKARI
HASHIMU MUHIDINI RAMADHANI
HASSAN DHAHIR MSOFE
HASSAN KOMBO HABIBU
HASSANI RAMADHAN NGEZE
HILALY ISSAH SWEDY
HUDHAIFA SADAT HASHIM
HUSEIN SALIM MWAIMU
HUSSENI ABBASI MRUMA
IBARAHIMA RAMADHANI MSASU
IBRAHIM ABBAS JUMA
IBRAHIM NASIBU LYOKA
IBRAHIMU SHABANI SALUM
IDDI BAKARI HAMISI

ANNUUR REAL.indd 6

48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96

IDDI HASSAN MBAGA


IDDI RAMADHANI MMBAGA
IKRAM JUMANNE ZUBEIR
IS-HAKA MOHAMED LUPATU
IS-HAQA VUAI HAJI
ISMAIL IBADA SWALEHE
ISSA IDI NUHU
ISSA KHALFAN IDD
ISSA RAJABU ITIEGE
ISSA SHABANI MCHOMVU
JAMALI MSITIRI MALONGWE
JUMA ALLY MFINANGA
KARIMU HAMISI JUMANNE
KHALIDI KOMBO SIWA
KURIA MOHAMED MIRAJI
LUGENDO ADINANI MKOMWA
MASSA HUSSEINI KAHEMA
MAULID ABDALLAH MSUYA
MAYA ABBASI MWALIMU
MBARAKA MUSSA MWINGIRA
MOHAMED HUSENI KIBAURA
MSHEWA ABBASI MUNIRI
MUNA ABUBAKAR MUNA
MUSA ABDALLAH BADI
MUSSA YASINI GOMA
MWAITA MUHAMED MWAITA
NAJM KASSIM MSABA
OMARY BAKARI MSAMI
OTHMANI MUSA KIWERU
RAHMAN ABUBAKAR SAID
RAJABU MUSSA NDAWALE
RAMADHAN MAULID JUMA
RAMADHAN VUAI HAJI
RAMADHANI ALLY SHEMAZIGE
RAMADHANI HAJI CHIGGA
RAMADHANI MMBAGA MBAGA
RASHID MIRAJI MLINDOKO
SAIDI ADAM MAGOGO
SALIMINI JUMA KIMU
SALUM MOHAMMED
SAMIR MASOUD OMAR
SELEMAN JABIR SHEKANDI
SHABAN SHAFII KEJJO
SHABANI RAMADHAN MADAMBO
SHABANI VICTOR MZIRAY
SHABIR FAIZ WALIH SHABUOIN
SHARIFU ISSA MAKANGE
SULEIMAN SALUM MSABAHA
SULTANI MUHAMED SULEYMANI

97
98
99
100
101
102
103
104
105
106

SWALEHE MASSOUD SALIM


TARIQ AHMED KAKERE
TARIQ KHALID HASSAN
TARIQ RAJAB MBONDE
TWAHA TWAHIRI SHIO
YAASIR ABDULMAJID MSABAH
YAHAYA SUDI MZIRAY
YAHYA MUSSA HASSAN
YUSUFU TWAHIRI KASSIM
ZIADY MWALIMU ZIRAI

S/N
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36

NAME
AISHA SHAFII JUMA
ALYA IDDI BAKARI
AMINA ABDILLAH MACHANO
AMINA MOHAMED LIPANDUKA
AMINA RAMADHANI MBARUKU
AMINA RAMADHANI MFINANGA
AMINA SHABIBU MSUMARI
AMNEY ALLY KIMARIO
ASHA ATHUMANI SOGA
ASIA WAHABI MZIRAY
ASMA ALLY MINTANGA
ASMAA OMARI KANIKI
ASMIN MRIDU ABDALLAH
BATULI SAIDI MWANGA
ESTAR DAUD IDDY
FAIDHA AYOUB MBWANA
FAITHAR EMANUEL MUSHI
FARIDA MOHAMMED SULEIMAN
FAT-HIYA HAJI JUMA
FATINA TWAHA MSABAHA
FATMA ABOUD MSONDE
FATMA FADHILI MKAMBA
FATUMA ALLY NCHIRA
FATUMA AMIRI DOSSA
FAUDHIA ALLY ISMAIL
HABIBA SHABANI JUMA
HADIJA MOHAMED SHEKIMWERI
HADIJA MUHAMEDI SWALEHE
HADIJA ZUBEIR HASSAN
HAJRA ABDULKHEIR MRUMA
HALIMA MUHSIN MUSSA
HALIMA ZUBERI HASSANI
HAMISA SWAHIBU CHAMBO
HASSANATH ALLY KAISI
HAWA ABDALLAH MSUYA
HAWA DUNIA ABASI

Inaendelea Uk. 7

11/5/2015 3:36:01 PM

TANGAZO

Inatoka Uk. 6

37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68

69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101

HAWDHWA ABUSHIRI ATHUMANI


HIDAYA SADICK DIOMBANYA
HUSNA KHATIBU KAANGA
HUSNA RAJAB MKENGE
JOYCE EMANUEL KASIGA
KHADIJA KOMBO HABIBU
LATIFA MUSSA SANTUS
LEILA OMARI JUMA
MARIAM SALUM MCHOCHOMI
MARIAM ZUBERY MCHOMVU
MARYAM KHAMIS KANUSHU
MASAIDI MUSSA MAKAU
MAULIDA ABUBAKARY ISSA
MAYASA SAID MAHEGE
MTOO ABBAS MTE
MULHAT SOUD MOHAMED
MWAHIJA MOHAMED MSINGINO
MWAMVITA HASSAN MAKUNJALILAH
MWANAHAMISI SHAURI
MWANAHAWA ALLY SENGENGE
MWANAID JUMA RAMADHAN
MWANAIDI IZADIN MWENDA
MWANAIDI SELEMANI
MWANAMGENI SAAD MBADJO
MWANAMKASI ABDALLAH MOHAMMED
MWANAMVUA CHOYO HAMISI
MWANAMVUA MWAITA MATIMBA
MWANSHAMBA SULEIMAN MAKAME
MWANTUMU MUSSA HAMZA
MWASITI ALLY ATHUMANI
NAJATH AMRI SAAD
NAJMA AMRI SAAD

NAJMA HASSAN MUNGAH


NAJMA KASSIM MSABA
NAJMA MAHMUD ISSA
NAJMA SHAFII MRUMA
NAROKA OMARY MAKENGO
NASHENGENA MWANYIKA MKWIZU
NASRA ALLY KANDINGILI
NASRA ALLY SALUM
NASRA MWINYIMANI MKANDA
NASRA OMARI MSANGI
NAWAL ISMAIL IBRAHIM
NEEMA JUMA HASSAN
NEYLA RICHARD LEMA
RAHMA IBRAHIMU MRUMBI
RAHMA SIRAJI KIJUU
REHMA JAMES MWAIPOPO
SABRA HEMED ALLY
SABRINA ABDALLAH MAZUMA
SABRINA HASSAN MUNGAH
SABRINA HASSANI LUBEGHO
SABRINA ISSA CHAMOTTO
SABRINA JUMA MBWAMBO
SABRINA MUSSA HATIBU
SAKINA SAIBA ABDULLAH
SALHA SUPHIAN HOZZA
SALMA ABDALLAH KIOGA
SALMA ABUU
SALMA MAULIDI LOMBWE
SALMA SHAIBU KIANGIO
SAMIRA SALUM TARIMO
SAUMU HAJI BAKARI
SAUMU MSAFIRI IBRAHIM
SAUMU NASSOR MAFIGA

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134

SAUMU OMARY LACHA


SCOLA HASSAN RAMADHANI
SHAMIM HUSSEIN MSANGI
SHARIFA ATHUMANI YAHYA
SHARMEEL LIZ JIMROGER
SHARON HAMAD MUSSA
SOFIA FADHILI BAKARI
SOPHIA JUMA MAKEYA
SUMAYYAH HAMZA HAUKE
SWAFIA RAJABU MPONDA
THUWAIBA FAKI ADAM
UMMI OMARY GACHI
UMMY NASSOR KHAMISI
UMMYSALAMA ABUBAKARI AYOUB
VICTORIA ABDALLAH JOSEPHAT
WAHDA NURU ABDALLAH
WARDA ISSA CHAMOTTO
WARDAT MOHAMED MUWANYA
WASTARA UBAYA ATHUMANI
WEBIRO MWAJUMA MUSSA
YUSRA AYOUB MUSSA
ZAINA MAUYANGA BOZI
ZAINABU ABUBAKAR MALLYA
ZAINABU HUSSEIN PANGO
ZAINABU MASOUD MSEMO
ZAINABU MLUGU MUSTAPHA
ZAKIYA ABDULHAMID MOHAMED
ZAMDA BASHIRI MUSHI
ZAYANA FADHILI MOHAMED
ZUHURA SAIDI KINGO
ZUHURA OTHUMAN
ZULFA ZUBERI MZIRAY
ZULPHA JUMA MSHEWA

B: AMBASHA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL


WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA I, 2015

1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14

ANNUUR REAL.indd 7

WASICHANA
JINA LA MWANAFUNZI
AMINA HASSAN YUSSUF
MARYAM MOHAMED JUMA
NAHYA MOHAMED JUMA
FATMA ALIY OMAR
ZAINAB ALI YUSSUF
MUZDALIFA ISMAIL ALLY
ARAFA ALI OMAR
RAHMA SHAIBU JUMA
ANTIRA NASSOR SAID
AISHA HAROUB MOHAMED
SALMA ALI MOHD
MUFYDA MOHAMED RAJAB
AHLAM OMAR KHAMIS
SALMA ALI MOHAMED

15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26

KHADIJA MOHAMED HAMAD


AISHA JUMA JUMBE
TIME ABUBAKAR OMARO
HANIFA KHATOR ABDALLAH
MARIAM ZAWAD
NADHIFA HAMAD SIMBA
FAR-HAT MOHAMED SAID
AISHA ATHUMAN RASHIDI
SAFIA MSHAMATA HAMAD
MARIAMU MOHAMEDI KITEKA
SALHA IDDY KALANGA
FATUMA AHMAD ATHUMANI
WAVULANA

1 ABUUBAKAR KHAMIS SALIM


2 NASSIR ALLY ABRAHMAN

3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14

ALI MOHAMED ALI


ALI ABASI MIKINDO
OMAR BADRU OMAR
ABDILLAH JUMA MOHAMED
ISMAIL MOHAMED VUAI
SEIF AHMED SEIF
SAHIM KHAMIS MOHAMED
YUSSUF ALI SULEIMAN
SALEH SAID SALEH
SLEYUM SALIM ALIY
HAMAD ALLY MWALIMU
ABDILLAH MAHFOUDH MOHAMED

15 HAMZA MUHAMMAD KAWANGA


Inaendelea Uk. 8

11/5/2015 3:36:02 PM

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

C: UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL


WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA I, 2015

32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54

GIRLS
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31

STUDENT NAME
AISHA MKIWA SWALEHE
AISHA NASIBU MBWAMBO
ASHURA HASHIMU HASSAN
ATKAH ISSA JUMA
AWENA SAID ALLY
BILHUS MBWANA BAKARI
FATUMA HALIFA HAMISI
FAUDHIA ATHUMANI HUSSEIN
HAFSA YAHYA RAJABU
HANNAN SULEIMAN ABDALLAH
HAULAT JAMES MPUNDUI
HAWA SELEMAN HUSSEIN
JOKHA YAHYA IKOMPE
KAWTHAR KHAMIS MASOUD
KHADIJA ALLY MSHAURI
KURUTHUM MOHAMED NYAGALI
LATIFA RAMADHAN CHAPOZO
MARIAM EMANUEL MARTIN
MARIAM KITUNDU MDEYA
MERATUN FAKIRA BACH
MONICA NYAKIA CHIRUKILE
MWAJUMA SALUM SESE
MWAMVUA MUSTAFA FARAJI
MWANAHAWA MANDIA RASHIDI
MWANAIDI JOHN MBAGA
NADIAH SAID MATAKA
NAILA SHUKURU SAIDI
NASRA JUMA ABDALLAH
NATASHA AHMED MOHAMED
RAHMA ABUBAKARY MNIMBO
RAHMA SUMBUKENI MALELA

1
2
3
4
5
6
7
8

RATIFA SHABAN RAMADHAN


REHEMA ALLY MBONDERA
SAADA SALUM KARABAKI
SAIDA ABDULQADIR MOHAMED
SAIDA FARID SEIF
SALHA AMI SEKI
SALMA RAMADHAN HAJI
SAMIRA SULEYMAN SAID
SAUDA MASHAKA SHABAN
SHAMIMU YAHYA ISSA
SHAMSA HEMED MBAROUK
SHEHA BADI LAWA
ZAINA JUMA HUSSEIN
ZAINA SALEHE CHANGARE
ZAINAB MADONGO ABDALLAH
ZAINAB W. KISIRI
ZAINABU FARDIN MEBU
ZAINABU HAMIS ALI
ZUBEDA AMIRI MKUFYA
ZUHURA NUHU ALLY
ZUHURA SULEIMAN ALLY
ZULEKHA RASHIDI MUSA
ZULFA SHAFII KIMARO
BOYS
JINA LA MWANAFUNZI
ABDALLAH BAKARI HAMAD
ABDALLAH HAMISI ABDALLAH
ABDILLAH MOHAMED KALA
ABDUL MOHAMED NAMKWACHA
ABDUL SHABAN MSUYA
ABDULKHALIL SAID SALUM
ABDULRAHIM AYOUB SAID
ABDULRASHID ABDALLAH SWAZI

9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41

ABDULSHAKUR AHMED HASSAN


AHMED ABDULHAKIM AHMED
AHMED HASSAN SALIM
ALFANI SULEYMANI MGOMBA
ALI KASSIMU ABDALLA
ALLY OMARY SINGANO
AMMARY SIASA RAMADHANI
ASABA TABULEY NDEMANGA
ASHRAFU ASAM KIMARO
ATHUMAN DAUDI TINDWA
ATHUMAN NURDIN MAKIMU
AWADH SAID MOHAMED
BAKARI AMRI MAYUYA
BARAKA MOHAMED NACHIWA
BASAYEV YUSUF MDOGWA
BILALI ABDALLAH KIKWA
BITALIO HAMISI JUMA
FADHIRI IBRAHIM RAMADHAN
HAMIDU MKWEMBA KABONGA
HAMZA HASSAN HAMZA
HASSAN RASHID KIPINGU
IDDY DAUDI IDDY
ISMAIL ABEID RASHID
ISMAIL RASHID NZOTA
KHALID MUHARAMI
KHALIFA MUSSA ABDI
MBARAKA YUNUS MPEMBENUE
MSAFIRI OMARI MSAFIRI
MUHAMMAD MBARAKA BYARUSHENGO
MUNDHIR SEIF SAID
NASSIR OMAR KHAMIS
NURDIN ABDULAZIZ SHAKOUR
NUUMAN MOHAMED OMAR

D: MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL


01.
02.
03.
04.
05.
06.
07.
08.
09.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
16.
17.

ANNUUR REAL.indd 8

AISHA HASSAN NGILANGWA


ANIFA SAID RASHID
ASHURA HAMISI MVOMELA
BAHATI NASSIBU KHAMIS
ESHA MOHAMMED ADAM
ESTER EDWIN MWANSASU
FARHIA FADHIL KOTTA
HALIMA OMARY NAKANGA
HANAN ABDI
HIDAYA OMAR MZALIA
JANAT SULEIMAN JUMA
JOHARI MAJALIWA GAULA
KHANIFA SUDI
LAKIA RASHID KANGOMA
MARIAM ZAWADI
MARIAM ZAWADI
MWANAIDI JOHN MBAGA

18.
19.

20.
21.
22.
23.
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34

MWANAISHA ABDALLAH
MWANAKHERI AHMAD SHAH

MWANAKOMBO FARAJI KOMBO


NADYA HOLELA RASHID
NEEMA BAKAR KOMBO
REHEMA ABUBAKAR CHITANDA
WARDA MAKULUNGA
UMUKULUTHUM RAJAB
NASRA MGAYA MAUMBA
MARYAM HAMAD LUNDULA
SAUDA HAMISI AHMAD
ZUHURA SALUM DEBWANE
AISHA ISMAIL AHMAD
ARAFA JUMA NASRI
REHEMA RAMADHANI LIGALO
SABRINA HAMZA SILAYO
SABRINA KACHEPA ATHUMANI

35
36.
37

SAIDA WAZIRI MSANGI


SAKINA MOHAMMED SALUMU
SALHA IDD KALANGA

38

SALMA IDD NDUMBA

39

SOPHIA KADILU JUMA

40

TATU NUHU MCHEKANAE

41.

TATU NUHU MCHEKANAE

42

WAHIDA SALUM MUSSA

43

WARDA AWARD YUSUPH

44

WASWILA YASIN MAGOTO

45

ZAINABU JUMAIBRAHIMU

46

ZENA MARJAN ABDALLAH

47

ZUHURA SULEIMAN ALLY

Inaendelea Uk. 13

11/5/2015 3:36:02 PM

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Hapa kazi tu isiwe kufunga Masheikh


Na Omar Msangi

TA R E H E 2 1 M a c h i
2015 ilikuwa siku ya
kuadhimisha mwaka wa
50 wa kuondoa ubaguzi
duniani (50th anniversary
of the International
Convention on the
Elimination of All Forms
of Racial Discrimination
(ICERD). Hii ni siku
maarufu kwa jina la:
International Day for
the Elimination of Racial
Discrimination.
Na ujumbe wa mwaka
huu ulikuwa: Learning
from historical tragedies to
strengthen the global fight
against racism.
Ukiwa na maana ya
kuwahimiza watu kusoma
kutokana na yaliyojiri
katika historia, ili pasiwe
na kurudia makosa na
wakati huo huo kuongeza
juhudi katika kukabiliana
na uovu wa ubaguzi.
Katika ujumbe wake
kwa siku hiyo, Mwenyekiti
wa K a m a t i ya U m o j a
wa Mataifa ya Kufuta
ubaguzi (Committee on
the Elimination of Racial
Discrimination), Jose
Francisco Cali Tzay, alitoa
wito kwa jumuiya ya
kimataifa kuvunja ukimya
juu ya uovu wa ubaguzi na
wajifunze kutoka historia
ili wasiruhusu tena uovu
huo dhidi ya binadamu
kutendeka katika zama
hizi.
Nchi za Ulaya zilibuni
sera za kibaguzi dhidi ya
watu wengine zikajipa
ubora na haki juu ya
wengine ili zipate kisingizio
na sababu ya kuwatawala
na kuwanyonya wengine,
na sasa wanataka
kupanua zaidi ubora na
ukandamizaji wao kwa
wengi zaidi (jambo ambalo
halikubaliki). Amesema
Jose Francisco Cali Tzay
k a t i k a u j u m b e wa k e
mwaka huu.
There is only one race
around the world and that is
the human race, so in theory
there is no basis for racial
discrimination.
Amesema Cali Tzay
akimaanisha kuwa
(maadhali watu wote
wameumbwa na Mungu),
kimsingi kuna taifa na
kabila moja tu: nalo ni
binadamu (human race).
Kwa maana hiyo, hakuna
sababu wala kisingizio
cha namna yoyote
kinachoweza kuhalalisha
ubaguzi dhidi ya watu
wengine.
Katika moja ya kauli na
maandiko yake, Cali Tzay
anasema kuwa japo huwezi
kusema kuwa chimbuko
la ubaguzi ni ubepari/
ubeberu, lakini mfumo huo

ANNUUR REAL.indd 9

Sema Hapana kwa usanii wa ugaidi


'Mbele kwa mbele iwe fuata nyao za Robin
Kulikamata kambaku kwa mapembe yake

Mwenyekiti wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya


Kufuta ubaguzi (Committee on the Elimination of Racial
Discrimination), Jose Francisco Cali Tzay

Robert Finlayson Cook (Robin Cook)


msingi wake ni unyonyaji
na kutaka faida hata kwa
kudhulumu wengine.
Kwa hiyo, ubaguzi
hustawi sana penye
ubeberu. Na mabeberu
hawaishi kubuni mbinu
za kufanikisha agenda zao
za siri huku wakijifanya
kuwa wasamaria wema.
K wa u p a n d e wa k e
Shaheed Malcolm X
anasema kuwa, "You Can't
Have Capitalism Without
Racism".

Kwa maana kuwa


unapokuwa na mfumo
wa k i b e p a r i , h u we z i
kuepuka ubaguzi, uonevu
na ukandamizaji kwa
misingi ya rangi/taifa.
Na kwamba ili kulinda
mfumo wao, mabeberu
wamekuwa wakitumia
jeshi, polisi na vikosi
maalum vilivyovutishwa
b a n g i l a k u wa c h u k i a
na kupambana na kila
wanaopakaziwa ubaya na
mabwana zao mabeberu.

Kutokana na wito wa
M a l c o l m X , wa p i n g a
ubaguzi nchini Marekani
wamekuwa wakiandaa
hafla mbalimbali
yakiwemo makongamano
na maandamano kupinga
harakati na mipango ya
mataifa yanayotajwa kuwa
tajiri zaidi duniani G20. Na
mwaka huu wameitisha
maandamano New York
na miji mingine, siku
moja kabla ya mkutano
wa G20 (G20 Summit)
utakaofanyika Uturuki
baadae mwezi huu.
November 15 A Peoples
Response to the G20
Summit, ni maandamano
ambayo waandaaji
wanasema ni muhimu kwa
sababu yataainisha hisia
na hasira za walimwengu
dhidi ya watu wachache
wa n a o h o d h i m a l i n a
rasilimali za dunia huku
wakiwatia wengine katika
dhiki na tabu ya kudumu
ya umasikini.
Waandaaji
wa
maandamano hayo
waliojipa jina Peoples
Power Assembly wanasema
kuwa bila ya kujali
nini itakuwa agenda ya
mkutano wa G20 mwaka
huu hapo Novemba 16,
lakini la kuzingatia ni
kuwa mabebebru hawa
ndio wanasababisha
mauwaji na mateso kwa
watu wasio na ajira, walio
na ajira kulipwa mishahara
midogo, kukosekana
kwa huduma za kijamii,
na baya zaidi hivi sasa
wameibuka na mpango
wa vita na mauwaji katika
nchi mbalimbali duniani
wakitaja Iraq, Libya, Syria,
Yemen na mauwaji ya
kikatili dhidi ya Waarabu,
Wa a f r i k a , Wa i s l a m u
na watu wa Asia, kwa
kisingizio cha kupambana
na magaidi.
Pengine hili la kuvamia
nchi kuondoa uongozi na
hili la kuuwa watu kwa
kisingizio cha ugaidi ndio
tulizungumzie hapa kama
u j u m b e m a a l u m k wa
Rais wetu Mheshimiwa
Dr. John Pombe Joseph
Magufuli aliyeapishwa
jana kuwa Rais wa Serikali
ya Awamu ya Tano katika
Jamhuri ya Tanzania.
Hivi karibuni aliyekuwa
Waziri Mkuu wa Uingereza
Tony Blair na baadhi ya
wanasiasa wa Marekani,
wamenukuliwa wakisema
kuwa ulimwengu
ungekuwa salama zaidi

ukiwa na Saddam Hussein


na Muammar Gaddafi
wakiwa viongozi wa nchi
zao. Kwa maneno mengine
wanakiri kuwa walifanya
mak osa k uwapig a na
kuwaondoa madarakani
viongozi hao, kwa
kisingizio chochote kile
kilichotolewa wakati ule.
Akizungumzia suala la
Iraq, Bair alikiri kwamba
walifanya makosa na
waliongopa walipodai
kuwa Saddam ana silaha
z a m a a n g a m i z i . K wa
lugha ya kidiplomasia
alisema kuwa habari za kiintelijensia walizotegemea
zilikuwa urongo mtupu.
I apologise for the fact that
the intelligence we received
was wrong. I also apologise
for some of the mistakes in
planning and, certainly, our
mistake in our understanding
of what would happen once
you removed the regime.
Alisema Blair wakati
akihojiwa na CNN ambapo
alikiri pia kuwa yeye
na Bush ndio sababu ya
kuibuka kwa magaidi wa
IS na anaomba msamaha
kwa kusababisha
Jahannam katika Iraq na
Libya.
Lakini Blair ni mwongo
na bado anaendelea
kusema uwongo na hivyo
kuomba kwake msamaha
ni kiini macho. Ndani ya
nafsi anafurahi kwamba
yao yamefanikiwa. Ni
m w o n g o k wa s a b a b u
yeye na mwenzake Bush
ndio waliopika hizo taarifa
anazosema za uwongo za
ki-intelijensia ikiwemo ile
barua ya kughushi juu ya
uranium kutoka Niger.
(Tazama: Niger Yellow Cake
Forgery, "CIA man denies
Niger-Iraq uranium link
na Niger upset by uranium
slur.)
Tutakumbuka kuwa
Blair na wenzake,
walipotaka kumngoa
Muammar Gaddafi
k wa m a s i l a h i ya o ya
kibeberu, walisingizia
kuwa wanakwenda
kuwanusuru watu wa
Benghazi kutokana na
kile walichodai kuwa ni
mipango ya mauwaji ya
hilaki (genocidal designs) ya
Gaddafi dhidi ya watu wa
mji huo. Obama akasema
wanakwenda Libya to
prevent a bloodbath in
Benghazi.
L a k i n i
k a m a
anavyosema Profesa Alan
J. Kuperman (Professor
of public affairs at the
University of Texas), yote
ilikuwa ni urongo mtupu.
(Tazama: False pretense for
war in Libya? Tazama pia:
The Wickedness of Foreign
Policy-By Sheldon Richman.)
Inaendelea Uk. 10

11/5/2015 3:36:03 PM

10

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Hapa kazi tu isiwe kufunga Masheikh


Inatoka Uk. 9
Lakini zaidi, japo Blair
anajitahidi kukwepa
kusema wazi baadhi ya
vitu, lakini ukweli wa
mambo ni namna mbili:
Moja ni hili walilosema
Jose Francisco Cali Tzay
na Malcolm X kwamba
mabeberu hutumia
visingizio ili kuhalalisha
ubabe wao, unyonyaji
na dhulma zao juu ya
wengine. Itakumbukwa
k u wa k a t i k a u k o l o n i
m k o n g we , wa l i t u m i a
Biblia, hata kuzipa meli za
kubebea watumwa jina la
Yesu kuhalalisha unyama
wao na ukatili wao wa
kukamata Waafrika na
kwenda kuwatumikisha
kitumwa kwao. (Tazama:
The First British Slave Ship
To Reach The Americas Was
Called The Good Jesus!)
Katika zama hizi za
utawala wa ma- neoconservatives (aka neocons au neocons), ambao
ndio walipanga kuvamia
Iraq na kusambaratishwa
Somalia, Libya na sasa
Syria, wanachotaka
mabeberu ni kitu kinaitwa
World Hegemony. Na
katika kulifanikisha hili,
wamebuni mkakati wa
kupambana na ugaidi.
Mkakati huu wa kutumia
ugaidi wa kupanga (false
flag terror attacks, hoax, na
frauds), wamejipa ukiranja
na usamaria mwema wa
kuwasaidia walimwengu
kupambana na magaidi
( wa n a o wa u n d a
wao wenyewe). Na
k wa k i s i n g i z i o h i k i ,
wanasambaza makucha
yao ya kijeshi kila mahali
kuikamata dunia. Na
ndio maana unaona kila
unapoingia ugaidi, hakuna
n a m n a ya k u u o n d o a .
K i l a m n a v y o s a i d i wa
kikachero, kipolisi, vifaa
na ujuzi, ndivyo magaidi
wanavyozidi kushamiri.
Ndio tatizo linaloikumba
Nigeria, Somalia na Kenya
hivi sasa. Ufupi wa maneno
ni kama alivyowahi
kusema Robert Finlayson
Cook (Robin Cook),
kwamba hao wanaodaiwa
k u wa n i m a g a i d i n i
vijana watumishi wa
mabeberu. Kama ni
kupambana, mtakuwa
mnapambana na hewa na
kuumiza watu wenu bure
na mwisho wa yote nchi
inasambaratishwa.
Robin Cook anasema:
The truth is no Islamic
army or any terrorist group
by the name Al Qaida and
any intelligence officer
knows about this. But there
is a propaganda campaign to
make the public believe in the
presence of an identified entity

ANNUUR REAL.indd 10

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair


representing the devil only
in order to drive the TV
watchers to accept a unified
international leadership for
a war against terrorism.
The country behind this
propaganda is the USA.
N a ma h a l i p e n g i n e
anasema tena: The so
called al-Qaida that we
see are actually Kharjee
along with Mossad, CIA
and RAW led and trained
mercenary gangs like TTP
who pose as Islamic Jihadists
and create justification for
global information war and
propaganda to launch a new
war against another Muslim
country.
Leo kuna Masheikh na
Waislamu wapo ndani
wakituhumiwa kwa
v i t e n d o v ya k i g a i d i .
Ukitizama mlolongo

wa matukio ya kigaidi
ulimwenguni na sera
hizi za ma-neocons na
yaliyokwishaelezwa na
Robin Cook, utaona kuwa
Masheikh na Waislamu hao
ni wahanga tu wa mikakati
hii ya mabeberu. Na tujue
kuwa nchi hii kamwe
haiwezi kusumbuliwa
na
wanaodaiwa
kuwa magaidi, ila
wale waliobuniwa na
k u a n d a l i wa c h i n i ya
m p a n g o h u u wa m a neocons.
K u l e N e w Yo r k
wanafanya maandamano
chini ya kibwagizo: Say No
to Racism, "You Can't Have
Capitalism Without Racism".
S a s a
w a k a t i
Mheshimiwa Dr. John
Pombe Joseph Magufuli
akiapishwa kuwa Rais wa

ENZI za utumwa Marekani.

Serikali ya Awamu ya Tano


ya Jamhuri ya Tanzania,
lazima tuseme Hapana
kwa Usanii huu wa Ugaidi.
Usanii na hoaxes ambazo
zimesababisha watu wetu
kuwekwa ndani kwa zaidi
ya miaka miwili bila ya
kesi zao kuzungumzwa na
kutolewa uamuzi.
Kama tunahisi
tuna ubavu, mahali pa
kuelekeza ujasiri wetu
ni kulikamata kambaku
k wa m a p e m b e ya k e .
Kambaku ambalo tayari
Robin Cook ashatutajia.
Tuliambie hatutaki hizi
false flag terror attacks na
hoaxes za Al Shabaab,
Boko Haram na Al Qaidah,
sio kuwaumiza wananchi
wetu.
Na la kufahamu hapa
ni kuwa kama tutameza
ndoano hii ya ma-neocons
na ubeberu wao, basi
tutakuwa wabaya kuliko
wale tunaowatuhumu na
kuwashikilia kwa ugaidi.
Kwanza ni kuwa sote,
wenye mamlaka na wao
tutakuwa tunatumiwa
na mtu mmoja, kila
mmoja kwa namna yake.
Lakini pili, tufahau kuwa
mwisho wa kutumiwa
huko ni kiangamiza nchi.
Ni kuwaletea tabu watu
wetu. Tizama mauwaji
yanayodaiwa ya kigaidi
Somalia, Kenya na Nigeria.
Hakuna mwananchi
mwenye salama.
Lakini tujue pia
kwamba, tofauti na Blair na
Bush wakiomba msamaha
hivi sasa juu ya Iraq, nchi
zao zipo salama. Na kama
ni agenda za ubeberu wao
ushafanikiwa. Waliokula

hasara ni wananchi wa
Iraq na hata viongozi
wao waliotumiwa katika
mkakati huo wakamuona
Saddam ni adui yao au
wale waliomuona Gaddafi
ni adui badala ya kuungana
kuzikabili njama za
mabeberu na NATO yao.
Sisi yakitukuta yanatukuta
ndani ya Tanzania na
kama ni kusambaratika,
inasambaratika Tanzania.
Amesema Jose Francisco
Cali Tzay akiwaambia
mabeberu mabaguzi
kuwa:
There is only one race
around the world and that is
the human race, so in theory
there is no basis for racial
discrimination.
Pengine na sisi tuseme
tukimwambia Rais wetu
Dr Magufuli:
Ta n z a n i a k u n a
watu namna moja tu:
Watanzania.
Na ndio maana nchi hii
imedumu katika amani na
kuitwa kisiwa cha amani.
H a k u n a g a i d i wa l a
m s a l i t i wa k u t u l e t e a
magaidi ndani ya nchi yetu
na hata akijaribu hawezi
kufanikiwa.
Kilichopo ni kile
alichosema Robert
Finlayson Cook.
Propaganda na michezo
inayopandikizwa na
mabeberu ma-neocons.
Sasa namna ya kukabiliana
na michezo na HOAX hizo,
sio kuwakamata Masheikh
na kuwatesa Shimoni na
Guantanamo.
Wakati International
Day for the Elimination
of Racial Discrimination
ya mwaka huu inatupa
ujumbe usemao:
Learning from
historical tragedies to
strengthen the global fight
against racism.
Basi kwetu iwe kusoma
kutoka yanayowakuta
Nigeria katika kupambana
na Boko Haram na kiroja
cha Bring Back Our
Girls tukiwianisha na yale
anayotuambia Robin Cook
kwamba tunafanyiwa
mchezo wa kuigiza katika
hii vita dhidi ya ugaidi.
Tujue kuwa salama
ya nchi hii ipo katika
kutambua michezo hii na
kujua namna ya kucheza
nayo bila ya kuwadhuru
watu wetu na nchi yetu.
Kama ni hapa kazi tu,
basi ionekane pia katika
eneo hili.
Isijekuwa hapa kazi
tu, kufanyia kazi mikakati
na njama za mabeberu.

11/5/2015 3:36:04 PM

11

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Misikiti katika Mji Mkongwe wa Zanzibar (1)


Makala tatu mfululizo zitaangaza Misikiti
na fadhila zake. Aidha Misikiti katika Mji
Mkongwe wa Zanzibar.
Na Ben Rijal
Fadhila za Msikiti
Msikiti ni nyumba
t u k u f u n a n i m wa h a l i
Muislamu anatakiwa kila
siku awe anafika kwenye
Msikiti kukamilisha sala 5.
Msikiti ni sehemu ambayo
huwakusanya Waislamu
katika kufanikisha mambo
yao yote ya akhera na ya
kilimwengu. Aidha ni
sehemu ambayo Mtume
(SAW) akiweka mikutano
ya Waislamu na sehemu
kuu ya Waislamu kupanga
mipango yao yote. Hivi sasa
tunaelezwa kuwa Misikiti ni
sehemu ya kusali na sio zaidi
ya hayo na kuwapelekea
Waislamu kuingia katika
mtego huo wa kuhakikisha
kuwa zaidi ya kusali kwenye
Misikiti kinachoongezwa ni
kusomeshwa darsa na hio
darsa nayo kufikia baadhi ya
waumini katika Misikiti yao
kufanya mchujo wa walimu
gani ndio wanayostahiki
kusomesha darsa katika
Msikiti yao, bila ya kuangalia
kigezo na uwezo wa mwalimu
ambaye wanamteua.
Ndani ya Misikiti kwa
sasa kuna siasa za aina
yake ambapo inawasukuma
uongozi wa Misikiti kuratibu
mambo sio katika misingi
tunayotakiwa.
Maana ya Msikiti
Nini maana ya Msikiti?
Kilugha Msikiti ni kila
sehemu inayosujudiwa.
Kwa upande wa sheria
Msikiti ni sehemu yoyote
ya ardhi iliyokusudiwa na
mwenyewe kwa ajili ya kuwa
Msikiti (kusaliwa) pamoja na
kuiweka wakfu sehemu hiyo.
Yaani ili sehemu ya ardhi
iitwe Msikiti na kuchukuwa
hukumu za Msikiti, basi ni
lazima mmiliki wa ardhi
hiyo atamke kuwa sehemu
hiyo ni wakfu kwa ajili ya
Msikti na lengo ni kuweza
kuutumia kila muumini kwa
kusali na kuweza kusaliwa
sala za Jamaa. Wajanja wengi
hunyakua ardhi za watu
kwa kisingizio cha ujenzi
wa Msikiti kisha Misikiti hio
ikawekwa maduka na wao
kufaidika.
Zimekuja hadithi za
Mtume zinazotufahamisha
kuwa kila sehemu ya
ardhi inafaa kuwa Msikiti.
Imepokelewa na Sahaba Jabir
(RA) kuwa, amesema Mtume
(SAW) " Imejaaliwa sehemu
ya ardhi ni Msikiti kwangu
(na kwa umma wangu), na
kuwa ni safi."
Eneo lolote lile la ardhi
inaweza ikawa ni Msikiti.
Muislamu akasali, mfano

ANNUUR REAL.indd 11

MSIKITI wa Makkah.

MSIKITI wa Madinah

MSIKITI wa Aqsa.
Muislamu akiwa safirini na
akataka kusali, anaweza
akasali popote pale, muhimu
pawe ni pasafi kutokana na
najisi. Ama katika baadhi
ya umma zilizotangulia,
wao walikuwa hawawezi
kutekeleza ibada zao
isipokuwa wakiwepo katika
sehemu maalumu.
Mafunzo yanayopatikana
katika hadithi hii nikuwa
Muislamu hatakiwi kuacha
sala kwa hali yoyote ile, wala

hana kisingizio kwa kusema


hana maji ya kujitoharisha au
hawezi kusali mpaka afike
Msikitini. Hata hivyo, nafasi
ya Msikiti itabakia kuwepo
na ni bora kwa anayeweza
kufika Msikitini akafanya
ibada zake humo kuliko
kusali popote tu, na bila
ya shaka atakayekuwa na
ufahamu huu wa kukataa
kwenda Msikitini basi
atakuwa amekosea.
Msikiti upi ulijengwa

mwanzo duniani?
M s i k i t i wa m wa n z o
kujengwa duniani ni Msikiti
wa Makka (Al-Qaba) kama
alivyosema Mwenyezi
Mungu katika Qran: "Hakika
Msikiti wa kwanza kuwekwa
kwa watu (duniani ) ni Msikiti
wa Makka " (Al-Imran 3: 96).
Imepokewa hadithi kutoka
kwa Sahaba Abi Dharri radhi
za Mwenyezi Mungu ziwe juu
yake amesema: "Nilimuuliza
Mtume (S.A.W) ni Msikiti
gani wa mwanzo uliojengwa
duniani? Akanijibu ni Msikiti
wa Makka, nikamuuliza
kisha upi, akasema kisha
ukajengwa Msikiti wa AlAqsa. (Bukhari na Muslim.)
Msikiti wa Makka (AlQaba tukufu) ndio Msikiti wa
mwanzo kujengwa duniani,
na aliyeujenga Msikiti huo
ni Nabii Ibrahim rehema
na amani juu yake, kisha
ukajengwa Msikiti wa AlAqsa na mjukuu wake
Nabii Yaakub bin Is-haq bin
Ibrahim, ama Nabii Suleiman
yeye hakuujenga kwa maana
ya kuasisi bali yeye aliufanyia
matengenezo upya Msikiti
wa Al-Aqsa.
Fadhila za kujenga Msikiti
Kuna fadhila kubwa kwa
mwenye kujenga Msikiti.
Kuna mapokezi mengi
yamepokewa kutoka kwa
Mtume (SAW) kuelezea
fadhila za mwenye kujenga
Msikiti, na muhimu kati ya
hadithi hizo ni ile iliyopokewa
kutoka kwa Sahaba Syd
Uthman bin Affan (RA).
Imepokewa kuwa wakati
Sahaba Uthman alipotaka
kuutanua Msikiti wa Mtume
( S AW ) b a a d h i ya wa t u
walikataa kuungana nae juu
ya fikra hii na kutaka Msikiti
wa Mtume uwachwe kama
ulivyokuwa, akawajibu kuwa
"Nimemsikia Mtume (saw)
akisema mwenye kujenga
Msikiti kwa ajili ya Mwenyezi
M u n g u b a s i M we n ye z i
Mungu atamjengea mtu huyo
nyumba peponi ." (Bukhari na
Muslim). Aidha imepokewa
kutoka kwa Sahaba Uthman
kuwa amemsikia Mtume
(SAW) akisema "Mwenye
kujenga Msikiti, Mwenyezi
Mungu atamjengea mtu huyo
nyumba peponi mfano wake,
yaani ya Msikiti alioujenga.
Hapa tunatakiwa tukiwa na
uwezo tujitahidi kujenga
Misikiti wala sio kujenga
Misikiti kwa ushindani
mfano pao kwa papo. Ni
dhahiri Allah katuahidi
kuwa utapojenga Msikiti
jazaa yako ni kwenda Peponi,
lakini tujuwe nazo fedha za
kujengea Misikiti zinatakiwa
ziwe safi, kiwanja sio cha
ghilba na ujenzi uwe wa
dhati kwa mwenye kutaka
kuujenga. Mtume (SAW)
hakuwahimza watu wajenge
Misikiti tu, bali yeye ndiye
wa mwanzo kuonyesha
mfano katika suala hili, na
haya tunayapata pale Mtume
(S.A.W) alipowasili Madina
kwa mara ya kwanza kutoka
Makka (Hijra) alipofika tu

jambo la kwanza aliamrisha


ujengwe Msikiti, nae akawa
ni mmoja kati ya hao wajenzi
alikuwa akibeba matofali
kama waumini wengine.
Pia tunatakiwa tuimarishe
Misikiti kwa ibada mbali
mbali, kwani Mtume (SAW)
amesema kuwa "Watu wa
aina saba watapata kivuli
siku ya kiama siku isiyokuwa
na kivuli isipokuwa hicho,
na mmoja kati ya hao saba
ni mtu ambaye moyo wake
umeshikamana na Misikiti,
ikimaanisha anautukuza
Msikiti na kufanya ibada kwa
wingi zikiwemo Sala, Itikafu
na mengineyo kama kusoma
Quran.
Na amesema Mtume
(SAW) "Sehemu iliyobora
mbele ya Mwenyezi Mungu
ni Misikiti na sehemu
zinazomchukiza Mwenyezi
Mungu ni Masoko" (Muslim).
Kwenye masoko hakuna
utulivu na kwenye masoko
kuna mabalaa mengi
yanatokea jaribu kuchunguza
mwenyewe.
Misikiti iliyobora zaidi
Baada ya kufahamu nafasi
na utukufu wa Misikiti
hapa duniani na kwamba
ni nyumba tukufu kuliko
nyumba nyengine pia hiyo
Misikiti imetofautiana kwa
utukufu kuna mingine ina
fadhila zaidi ikiwa ni Misikiti
mitatu, wa kwanza ni Msikiti
wa Makka kisha Msikiti
wa Mtume (SAW) Madina,
kisha Msikiti wa Kudsi. Mja
hutakiwa kufanya ziara zaidi
ya Misikiti hio mitatu, na kwa
sasa hapa Tanzania kuna
kikundi kinakwenda Umra
na kuunganisha na Msikiti
wa Al-Aqsa na kuna kikundi
Zanzibar nacho kimepanga
kwenye mfungo Sita kufanya
Umra na kwenda Al-Aqsa.
Tumuombe Allah atujaalie na
sisi kupata fursa hio. Ameen,
jambo kubwa ni kutia nia.
"Mtume (SAWA) amesema
sala moja katika Msikiti
wangu wa (Madina ) ni bora
kuliko Msikiti mwengine
kwa mara elfu isipokuwa
Msikiti wa Makka " Imamu
(Bukhari na Muslim.) Sala
moja katika Msikiti wa Makka
ni bora kuliko sala laki moja
katika Msikiti mwengine
na sala moja katika Msikiti
wa Mtume (S.A.W) ni bora
kuliko sala elfu moja katika
Msikiti mwengine na sala
moja katika Msikiti wa AlAqsa ni bora kuliko sala
mia tano katika msikiti
mwengine.
Ama Misikiti isiyokuwa
hiyo miatu basi yote ni sawa
katika fadhila za sala wala
hakuna ulio bora kuliko
mwengine kwa dhati ya
Msikiti .
(Makala ifwatayo
itaangalia Mji Mkongwe
wa Zanzibar na Misikiti
iliyomo katika sehemu hii.)
(Wasiliana na mwandishi
0777436949 au zuwarde@
gmail.com)

11/5/2015 3:36:05 PM

12

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Jeshi sio ufumbuzi wa mgogoro Zanzibar


Na Makame Silima

WAKATI hali ya visiwa


vya Zanzibar ikiwa katika
m a s h a k a , b a a d h i ya
wananchi wameonyesha
kusikitishwa na kitendo
cha serikali ya Jamhuri
ya Muungano kumimina
askari wa JWTZ katika
Makazi ya raia na
kuwaweka roho juu.
Hali hii inatuvunja
moyo sana wananchi wa
Zanzibar, kweli nchi hii
inaendeshwa kwa misingi
ya kisheria au kiubabe ?
Mbona kule Tanganyika
Kikwete hakuyafanya
haya ya kuliingiza Jeshi
katika makazi ya raia
na kuwafanya raia wa
Z a n z i b a r k u i s h i k wa
hofu.
Baadhi ya wananchi wa
Zanzibar walihoji kuwa
Je, kumwagwa majeshi
na zana zao visiwani
humo, ndio kulinda
amani au kuwanyima
Wa z a n z i b a r u h u r u
wao wa kidemokrasia
wa kuchagua mtu
wanayemtaka wenyewe?
Kwa jinsi hali ilivyo kwa
sasa, wananchi wengi wa
Zanzibar wameonekana
kumlaumu Rais wa
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dk. Jakaya
Mrisho Kikwete, kwa
kutapakaa vikosi hivyo
vya JWTZ katika mitaa
ya Zanzibar, jambo
ambalo limezua hofu
kwa Wazanzibar katika
kipindi hiki ambacho
Tume ya Uchaguzi imefuta
Uchaguzi Mkuu visiwani
humo.
K w a m b a
kinachotafsiriwa na
Wazanzibar kwa kitendo
hiki cha kusambazwa
askari wa Jeshi la Wananchi
visiwani humo wakati
Wazanzibar wametulia
tuli, ni ubabe na dharau
kwa Zanzibar kunatokana
na nafasi yake ya Amiri
Jeshi Mkuu huku bara
ikiwa haiathiriki kitu.
Kufuatia hali hiyo,
wengi wamehoji
kwamba kwanini
serikali ilikubali mfumo
wa vyama vingi, lakini
watawala wakishindwa
wanakakataa kuondoka
na
kuzua
kile
kinachotafsiriwa sasa
kama kupindua kijeshi.
Imeelezwa kwamba
kinachofanyika Zanzibar
hivi sasa, kwa kuwepo
majeshi mitaani na uraiani
hali ya kuwa wananchi
wa Zanzibar wametulia,
ni kama kupindua nchi
kijeshi.
Inshallah Mwenyezi
Mumgu ampige laana
h u y o a n a ye p a n g a n a
kutuharibia uchaguzi na

ANNUUR REAL.indd 12

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakishiriki kupiga watu Zanzibar


kufuatia kumalizika kwa uchaguzi Mkuu visiwani humo na kufutwa na Tume ya Uchaguzi
(ZEC).

kutukosesha haki yetu


na kukandamiza raia
kwa kutumia cheo chake
vibaya.
Yaarabii tufungulie
kheri na uwangamize
madhalimu
na
wanaotucheza shere, na
uikwamishe mipango
ya o m i o v u k i l a p a l e
wanapokaa wakipanga.
Alisikika akilalama mkazi
mmoja wa Zanzibar.
Ta ya r i C h a m a c h a
Wa n a n c h i ( C U F )
kimesema kuwa ufumbuzi
wa mgogoro wa Zanzibar
hauwezi kupatikana kwa
kutumia nguvu au vitisho
vya kuingiza vifaru na
magari ya maji ya kuwasha
kama inavyofanyika sasa,
bali kinachotakiwa ni
kukaa katika meza ya
majadiliano.
Tamko hilo limetolewa
na mgombea urais wa
Zanzibar, Maalim Seif
Sharif Hamad, wakati
akizungumza na
waandishi wa habari mjini
hapa.
Mgombea huyo
aliwataka wafuasi wa CUF
na wananchi kuendelea
kuwa na subira wakati
viongozi wao wakiwa
katika jitihada za kutafuta
ufumbuzi wa mgogoro
huo (kidhati? Au usanii?)
Alisema mgogoro
uliojitokeza Zanzibar ni
mgogoro wa kisiasa baada
ya haki ya kidemokrasia ya
wananchi kupindishwa,
ndio maana CUF
inamtaka Mwenyekiti
wa Tume ya Uchaguzi
(ZEC) afute uamuzi wake,
amalizie kazi iliyobakia
ya kuhakiki matokeo na
kutangaza mshindi.
Tatizo lililopo ni la
kisiasa na ufumbuzi wake
si vifaru wala kuongeza
ulinzi, linahitaji njia ya
mazungumzo kumalizika
kwake, alisema.

Aidha, Maalim Seif


aliwataka wanachama
kuendelea na utulivu
kutokana na juhudi
zinazofanywa na Jumuiya
za Kimataifa kuonesha
mwelekeo wa kupatikana
ufumbuzi wa mgogoro wa
uchaguzi wa Zanzibar.
Alisema CUF ina
imani kwamba ufumbuzi
wa haki wa suala hilo
hauko mbali (hata kwa
k u p a t i k a n a m wa f a k a
mwingine wa Anyauko!!!)
na Wazanzibari wataona
mafanikio ya demokrasia
yatakayojengwa nchini.
Alisema haki lazima
itendeke (hata kama
haitaonekana kutendeka)
katika uchaguzi uliopita.
Sisi tumepata moyo na
imani kwamba ufumbuzi
wa haki wa suala hili
hauko mbali (hata
ikibidi kusubiri uchaguzi
mwingine 2020!!! Si mbali)
na Wazanzibari wataona
mafanikio ya demokrasia
yetu tunayoijenga katika
nchi yetu, alisisitiza
Maalim Seif.
A l i w a o m b a
Wa z a n z i b a r i w o t e
wanaopenda amani wawe
waangalifu sana na taarifa
za uongo zinazotolewa
za kuchochea kufanya
vurugu kwa kisingizio
k u wa z i m e t o l e wa n a
viongozi wa CUF wakati
ni uongo.
Nitumie fursa hii
kuwashukuru wale
wote wanaofanya juhudi
kubwa kuona ufumbuzi
wa haki na wa amani
unapatikana kwa tatizo
hili lililosababishwa na
mtu mmoja, aliyeamua
k u a c h a wa j i b u wa k e
na kutumikia maagizo
ya kikundi cha watu
wabinafsi, alisema.
Aidha, alisema Rais wa
Jamhuri ya Muungano
Jakaya Kikwete na Rais

wa Zanzibar, Dkt. Ali


Mohamed Shein, bado
wana nafasi kubwa ya
kuhakikisha wanaivusha
Zanzibar kwa kumaliza
mgogoro wa uchaguzi
uliojitokeza kwa amani na
utulivu.
Kwa mara nyingine
tena natoa wito kwa Rais
Jakaya Kikwete na Rais
Dk. Shein kuchukua
dhamana ya uongozi na
kwa pamoja tushirikiane
kuikwamua Zanzibar na
Tanzania katika mkwamo
huu, alisema.
Kuhusu vyombo
vya ulinzi na usalama
vilivyojaa visiwani
Zanzibar kwa sasa,
Maalim Seif alisema
vina wajibu mkubwa
wa kusaidia kupatikana
ufumbuzi wa tatizo walilo
nalo badala ya kuongeza
wasiwasi kwa wananchi
waliotulia.
Akizungumzia kuhusu
uamuzi wa Mwenyekiti
wa Tume ya Uchaguzi
Zanzibar, Jecha Salim
Jecha, kufuta matokeo ya

uchaguzi wa Zanzibar,
alisema kuwa wamepata
taarifa kuwa Mwenyekiti
huyo ameitisha kikao
cha Tume na kuwataka
Makamishna kuunga
mkono uamuzi wake
huo alioutangaza pekee
wa kufuta matokeo ya
uchaguzi.
Alisema kuwa ni
vyema Mwenyekiti huyo
akatambua kwamba, hata
akiwatumia baadhi ya
Makamishna kumuunga
mkono, bado uamuzi huo
hautakuwa halali kwa
sababu haumo katika
uwezo uliopewa Tume;
si katiba wala sheria ya
uchaguzi.
K wa u f u p i s u a l a
hili halina njia nyingine
ya kulimaliza zaidi ya
k u k a m i l i s h a k a z i ya
kufanya majumuisho,
kuhakiki matokeo na
kumtangaza mshindi
wa uchaguzi, alisema
Maalim Seif.
M a a l i m
S e i f
aliwahakikishia viongozi
na wanachama wa CCM
kwamba hawana sababu
ya k u wa n a h o f u n a
maamuzi ya Wazanzibari
waliyoyafanya Oktoba
25 mwaka huu na
k wa m b a , k a m a k u n a
tofauti zozote za kisera
na kimtazamo baina yao
zinaweza kuzungumzwa
na maelewano kufikiwa.
Nawahakikishia
viongozi na wanachama
wa CCM na Wazanzibari
wote kwamba hakutakuwa
na ulipizaji kisasi au
kufukua makaburi kwa
mambo yaliyopita, sote
tutafanya kazi pamoja bila
ya kujali tofauti za itikadi
za kisiasa, asili, kabila
au dini zetu, Zanzibar
ni moja na itabaki kuwa
moja, alisisitiza Maalim
Seif.

Kwa habari mbalimbali


zinazohusu matukio
na harakati za
kupigania Uhuru wa
Tanganyika, picha za
matukio, Waislamu na
harakati za Uhuru, watu
mashuhuri walioshiriki
katika harakati hizo
kabla na baada ya
Uhuru tembelea Blog ya
Mwanahistoria, Sheikh
Mohammed Salum
S a i d : - h t t p : / / w w w.
mohammedsaid.com

11/5/2015 3:36:06 PM

13

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Inatoka Uk. 8
FURAHA ENOCK MWAISANGO

72
73

NASSORO MSAFIRI
RAJABU MASUMAI MZIRAY

62

HALID MAKENGA MBALE

74

RAMADHAN SAID LOGANI

63

ISSA ATHUMANI KIMU

75

RAZACK SAID ALLY

64

KASSAM KASSIM MTILI

76

SWEDI HAMZA MSEMWA

65

KASSAM KASSIM MTILI

77

YASINI MUSSA KAZIKA

66

KHALIFA MUSSA ABDI

78

YUSUFU WAZIRI MSANGI

67

MKWEPU JUMA MTUMWA

79

YUSUPH HUSSEIN TAJI

68

MOHAMMED SABRI ALLY

80

SHAFII RASHID KUOMBERO

DHULKIFLI JAMAL

69

MUBARAKA TWIFU MKAPALI

81

NABAHARI ANSWARI BWASHEHE

MUSTAPHA KASSIM MLANGA

ZAKARI SAIDI HASSANI

DRAME JUMA KASSIM

70

82
83

HADI NGUJUMA FAKI

FADHIRI IBRAHIM RAMADHAN

71

NASRI OMARI MSANGI

84

HAMIDA ABDALLAH AMIR

48

ZULFA SHAFII KIMARO

49.

ABDALLAH ABDALLAH MATUMLA

50

ABDUL MALIKCK SALUM MKWEMBO

51

ABDUL-AZIZ MUSAA MPONDA

52

ALI KASSIMU ABDALLA

53

ALKAM HAFIDH MUSSA

54

ALTO JOHN MHAGAMA

55

ASHRAFU ASAM KIMARO

56

DADRAHIM DADMAMAD DADRAHIM

57.
58
59

60

FATUMA AHMADI ATHUMANI

61

E: NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL


WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA I, 2015

Na
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34

ANNUUR REAL.indd 13

A. WAVULANA
JINA KAMILI
ABBUBAKAR ABAS MOHAMED
ABDALLAH RAMADHANI SAIDI
ABDILLAH AHMED ISSA
ABDULKARIM MOHAMMED
ABDULMALICK SAID BISHANGA
ABDULRAZACK ABUBAKAR ISSA
ABUTWALIB YUSSUF
AFIDHU SALEHE KAUNGU
AHMADA OMARY SAIDI
ALLY HILAL
ALLY JANKS LUGE
ALLY JUMA RUWANGA
ALLY RASHIDI
ALTIF ABDULAZIZ BABU
AMMAR NKURANGA MARJAN
AWADHI MUSSA WAZIRI
AWADHI RAMADHANI MATANGA
BAUDIN ABDULHAMIDU LUCAS
FALAJI SWAIB KAMLAMBA
FAROUQ ALLY BAKARI
HAMISI SHABANI HAMISI
HASSAN SAID
HIRBAN.A.MKANGWA
HUSSEIN HAMADI NGALA
HUSSIEN SAMADU
IBRAHIM MOHAMED NGANOGERA
IDDY KASSIM TANGULY
IDDY RAMADHANI
ISMAILY JUMANNE
JUMA ALMAS MUSSA
KATUNDA HUSSEIN KAKOLWA
KAWAMBI MAAGANO SAID
KHALFANI JUMA MHOMA
KHATIB IDDI MVUNGI

35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68

KHATWIB ABDULWAHABI MKUBILA


KIBALIZA NUHU YAHYA
LUQMAN ABDALLAH JENGO
MAKAO MUHAMEDI BWANAMKULU
MASABALA NURU SAID
MASUDI RAMADHANI LWAMO
MOHAMED JUMA KWANGU
MPANGAJE YAHYA MPANGAJE
MSEKA ABDUL-AZIZ NGWANDA

MUAZI SEIF
MUBARACK RAMADHANI
MUSSA ALLY MUSSA
MUSSA IDDI OMARY
MUSSA KASSIM KAYILLA
NASSOR MRISHO MKUTU
OMARY ANTARI KANGETA
RAJABU ALLY CHAKA
RAJABU ALMASI ISMAILI
RASHIDI ABDALLAH KIVURUGA
SAAD SHARIF RAJAB
SADAM HUSSIEN NINGA
SAID MOSHI
SAIDI IDDI SILAYO
SALUM MIRAJI MUZO
SHABAN OMARI SHABAN
SHAFIGH SHABANI MZUZURI
SHAMUNI RAMADHAN ISMAIL
SINANI ILYAS MOHAMED
SUNGWA SHAFII SAID
TWAHA RASHID HASSANI
USAMAH IBRAHIM MBASA
YAHAYA BAHATI YAHAYA
YAMUNGU ALLY YAMUNGU
YASSIN HASSAN KADURI
B. WASICHANA
JINA KAMILI

1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35

AISHA ABBAS IDDI


AISHA JAFARI BIHEKENYA
AISHA TAWFIQ YASSIN
AMINA ADAM GILBERT
AMINA HAMADI NYAKI
AMINA JUMA SIMA
AMINA RAMADHANIMHANDO
AMINA SEIF JUMA
AMIRI ALLY
ASHA SAIDI KHAJI
ASHA SALUMU MISANGA
ATUGONZA ABOUD MUSSA
CHAUSIKU JANATI SULEIMAN
FATMA MENGE NASIBU
FATUMA MUSSA YUSUPH
FATUMA SWEYA OMARY
FAUZIA HASSAN
HABIBA HASSAN NGELLO
HALIMA HUSSEIN SHEMNDOLWA
HANIFA AYOUB HUSEIN
HASNA RAJAB KIJANGA
HIDAYA MAMBO ABDALLAH
HUSNA SHABAN MUSSA
JARIA ABDALLAH MOHAMMED
JASMIN NASSOR TALIGUNGA
JASMIN YAHYA ISSA
JOHARIA THABIT ULEDI
KALUNDE RAMADHANI MIHAYO
KHADIJA SEIF SIMBA
KURUTHUMU WASTARA BARIBARI
LALUNDE ABDALLAH KANYANGA
LINDA MOHAMED HAJI
MAISARA AL-AMIN MOHAMMED
MARIAM HOSSAM BILLE
MARIAM SEVERINE
Inaendelea Uk. 15

11/5/2015 3:36:06 PM

14

MAKALA

MAZONGE YA UCHAGUZI

Mazonge ya uchaguzi, Zenji tuloshuhudiya,


Mazonge ya uchaguzi, si ya kimya kukaliya,
Mazonge ya uchaguzi, kwa walo na njema niya,
Mazonge ya uchaguzi, wapaswa kuyakemeya,
Kwa kila alohusika, vikali awajibishwe.
Mazonge ya uchaguzi, khasara yametutiya,
Mazonge ya uchaguzi, tumeyo iso huriya,
Mazonge ya uchaguzi, hoja izotunadiya,
Mazonge ya uchaguzi, si hoja bali udhiya,
Kwa kila alohusika, vikali awajibishwe.
Mazonge ya uchaguzi, khasara yametutiya,
Mazonge ya uchaguzi, wale wanoyateteya,
Mazonge ya uchaguzi, si kunga nawashakiya,
Mazonge ya uchaguzi, mui wamedhamiriya,
Kwa kila alohusika, vikali awajibishwe.
Mazonge ya uchaguzi, khasara yametutiya,
Mazonge ya uchaguzi, mafukara tunaliya,
Mazonge ya uchaguzi, gharama kuteketeya,
Mazonge ya uchaguzi, nani wa kuzifidiya?
Kwa kila alohusika, vikali awajibishwe.
Mazonge ya uchaguzi, khasara yametutiya,
Mazonge ya uchaguzi, si ya kuyapuuziya,
Mazonge ya uchaguzi, si ya kuyanyamaziya,
Mazonge ya uchaguzi, si ya kuyavumiliya,
Kwa kila alohusika, vikali awajibishwe.
Mazonge ya uchaguzi, khasara yametutiya,
Mazonge ya uchaguzi si ya watu kuteteya,
Mazonge ya uchaguzi, si ya watu kuchekeya,
Mazonge ya uchaguzi, si ya watu kucheleya,
Hatua twazingojeya, kwa kila alohusika.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

HAKI, UHURU VI WAPI?

Kuhoji yanilazimu, wanelimishe wajuzi,


Pamwe na wataalamu, wa mambo ya uchaguzi,
Makani yanapokimu, mawili haya kwa wazi,
Haki, uhuru vi wapi, katika zetu chaguzi?
Nina kubwa sana hamu, ya wake upambanuzi,
Toka kwa wanofahamu, mambo haya kwa ujuzi,
Wanijaze mafuhumu, nipate kuyamaizi,
Haki, uhuru vi wapi, katika zetu chaguzi?
Kwa wa kwao ufahamu, pamoja na upembuzi,
Wa mambo haya kawimu, mintarafu uchaguzi,
Wanidhukuru sehemu, yadhihiripo kwa wazi,
Haki, uhuru vi wapi, katika zetu chaguzi?
Wasikika 'kituhumu, si jana wala si juzi,
Mambo haya mahashumu, wananchi waziwazi,
I ombwe yake hatamu, katika zetu chaguzi,
Haki, uhuru vi wapi, katika zetu chaguzi?
Kadhalika walaumu, ya tume ya uchaguzi,
Mazonge ya kuhujumu, uhuru wa uchaguzi,
Pamwe haki kudhulumu, yao katika chaguzi,
Haki, uhuru vi wapi, katika zetu chaguzi?
Kaditamati nudhumu, nawahimiza wajuzi,
Tena na wataalamu, wa mambo ya uchaguzi,
Kwa wao utaalamu, watupe ufafanuzi,
Katika zetu chaguzi, haki, uhuru vi wapi?
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

NAFASI ZA KAZI/MASOMO
1 . M A M A M L E Z I ( M AT R O N ) B W E N I L A
WASICHANA,UMRI KUANZIA MIAKA 40.
2.MLEZI BWENI LA WAVULANA (WARDEN),UMRI
KUANZIA MIAKA 40.
3.FUNDI UMEME, UJENZI NA SEREMALA,
WENYE UJUZI NA UZOEFU
Email applications.wec@gmail.com
Simu 0655786424. Usipige tuma sms tu.
Pambana na ujinga kuwasomesha watoto
wako katika shule za WEC -Kibaha kuanzia
Nursery,Msingi, Sekondari na ualimu. Bweni na
kutwa. Simu 0715959522/0786959522

ANNUUR REAL.indd 14

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Khabari ya Israel Taifa teule-2


Na Khatibu J. Mziray

KAMA tulivyoona katika


sehemu ya kwanza,
kuna watoto wa ahadi
wa w i l i , a l i o a h i d i wa
Nabii Ibrahimu, mwanae
anayetoka katika viuno
vya Ibrahimu, ni mmoja,
na wa pili alitokana na
Amri ya
Mwenyezi
Mwenyezi Mungu. Katika
watoto hao wawili, huyo
wa pili ndiye ambaye
baadhi ya watoto wake
walipata ile baraka kama
ni baraka! ya kwenda
ugenini, na utumwani
kwa miaka 400, kama
tutaiita baraka-au laana.
Na hao ndio kizazi cha
Yakobo au Israeli. Sasa
kwa mujibu wa Biblia,
Isaka alikuwa na mkewe
akiitwa Rebeka binti
Labani. Mama huyo, kwa
mujibu wa Biblia, alikaa
muda mrefu, hakupata
mtoto. Ikaaminika kuwa
ni tasa; na alipopata
mimba, ikamtia
msukosuko tumboni
mpaka akamwomba
Mwenyezi Mungu:
Hapo ndipo tunaanza
kumfahamu Israeli na
Israiliyati; na vitimbi
vyao.
Isaka akamwomba
BWANA kwa ajili ya mke
wake, maana alikuwa tasa.
Naye BWANA akamwitikia,
na Rebeka mkewe akachukua
mimba. Watoto wakashindana
t u m b o n i m wa k e . N a ye
akasema, Ikiwa ni hivi, kuishi
kwanifaa nini? Akaenda
k u m w u l i z a B WA N A .
B WA N A a k a m wa m b i a ,
M a t a i f a m a w i l i ya m o
tumboni mwako, Na kabila
mbili za watu watafarakana
tangu tumboni mwako.
Kabila moja litakuwa hodari
kuliko la pili, Na mkubwa
atamtumikia mdogo. (Mw.
25:23.)
Kama hizo tutazitizama
kuwa ni Baraka au ni
laana itategemea uelewa
wa Neno la Maungu wa
Israeli. Israiliyati hizo
ndizo zinazo tumika
kudhulumu wana damu
katika mataifa, kama
tutakavyoona badae.
Moja ya mambo
yaliyojenga msingi wa
kujitukuza, kibubusa na
k u wa j e n g e a wa u m i n i
uvivu wa kufikiri hadi
wakati huu wa taaluma
mbalimbali za elimu ya
viumbe na uumbaji, na
ufafanuzi wake; bado kila
kitu waumini ni amina.
Mambo yaliyotokea siku
ya kuzaliwa Yakobo na
kaka yake Esau, ni haya:
Siku zake za kuzaa
zilipotimia! tazama! mapacha
walikuwamo tumboni mwake.
Wa kwanza akatoka, naye
alikuwa mwekundu mwili
wote kama vazi la nywele.
Wakamwita jina lake Esau.
Baadaye ndugu yake akatoka,

na mkono wake umemshika


Esau kisigino. Akaitwa jina
lake Yakobo. (Mw 25:2426.)
Kwa imani ya
mafundisho ya Ukristo,
ni kuwa, ishara hiyo ya
Yakobo kumshika Esau
kisigino, ni kuashiria kuwa
yeye ndiye angepaswa
kuwa mzaliwa wa kwanza,
yaani awe ndiye kaka yake
Esau badala ya kuwa
mdogo wake. Na ndivyo
vile vita vilivyokuwa
vikipiganwa tumboni
mama yao alipokuwa
mja- mzito. Lakini hapo
j u u a ya z i n a t wa m b i a
kuwa, Esau alizaliwa,
na ni mwekundu mwili
wote na- akapewa jina la
Esau na zile Israiliyati
hazikukosa mchango
wake humo.
K wa s i s i Wa i s l a m u
na hata Wakristo wenye
imani kikweli, wanaamini
kuwa Manabii, Mitume,
wameepushwa na
mambo ya hila, ghilba,
utovu wa nidhamu,
bali ni wanyeyekevu,
wapole wenye huruma,
watiifu, waadilifu, n.k.
Pia watoto wanaozaliwa
mapacha, kwa kiasi
wa n a v y o p e n d a n a n a
kuhurumiana, inatokea
mmoja akaugua hata
na mwenzake anajisikia
kuugua. Lakini sivyo
Biblia inavyo tufundisha,
h a s a k wa k i g e z o c h a
manabii hawa wawili,
yaani Yakobo na Esau
nduguye:Kwa
mujibu wa
Biblia, Isaka na mkewe
waligawanyika ki
upendo kwa watoto wao,
kila mmoja alimpenda
wa kwake. Andiko
linalotufundisha hivyo,
linatuongoza katika
maadili yenye manufaa
gani kama si kutujengea
maadili ya uhasama katika
kizazi chetu, na ndiyo
maana kizazi cha wana
wa Israeli hakiambiliki,
kumbe ni hizo Israiliyati
zilizopandikizwa ndani
ya Neno la Mwenyezi
Mungu.
Basi Isaka akampenda
Esau, kwa sababu alikula
mawindo yake, na Rebeka
akampenda Yakobo. Yakobo
akapika chakula cha dengu.
Esau akaja kutoka nyikani,
naye alikuwa amechoka
sana. Esau akamwambia
Yakobo, Tafadhali, unipe
hicho chakula chekundu
nile, kwa kuwa ninazimia
mimi. Kwa hiyo walimwita
jina lake Edomu. Yakobo
akamwambia, Kwanza niuzie
leo haki yako ya mzaliwa
wa kwanza. Esau akasema,
Tazama, mimi ni karibu
kufa, inanifaa nini haki hii
uzazi? Yakobo akamwambia,
U n i a p i e k wa n z a . N a ye
akamwapia, akamwuzia
Yakobo haki yake ya mzaliwa

wa kwanza. Yakobo akampa


Esau mkate na chakula cha
dengu, naye akala, akanywa,
kisha akaondoka, akaenda
zake. Hivyo Esau akaidharau
haki yake ya mzaliwa wa
kwanza. (Mw 25:28-34).
Utukufu wa Yakoo,
n a wa n a wa I s r a e l i ,
unaoelezewa na kusifiwa
katika Biblia, umejengwa
hivyo. Je, kwa somo hilo
tunajifunza nini na nini
cha kuiga ili tuwe mfano
wa Isaka na Yakobo na
kweli Mwenyezi Mungu
alikubali kumfanya
Yakobo kuwa mkubwa,
yaani mzaliwa wa kwanza
kwa kubadilishana
ukubwa na chakula?
Lakini Biblia inasema:
N a i k i wa n d u u ya k o
amekuwa masikini, na mkono
wake umelegea kwako, ndipo
utamsaidia, atakaa nawe kama
mgeni, na msafiri. Usitake
riba kwake wala faida, bali
mche Mungu wako, ili ndugu
yako akae nawe. Usimpe fedha
yako upate riba, wala usimpe
vyakula vyako kwa kujitakia
faida. Mimi ndimi BWANA,
Mungu wako, (Walawi
25:35-38.)
Tunachojifunza hapo
ni kuwa Isaka na mkewe
Rebeka waliwagawa
watoto wao makundi
mawili yaliyohasimiana;
kiasi kwamba inaonekana
kuwa, Rebeka alikuwa
hamwogopi Mwenyezi
Mwenyezi Mungu,
j a m b o l i l i l o m wa t h i r i
Yakobo mwanawe (kwa
mujibu wa Biblia). Na
mibaraka hiyo kama wao
wanavyoamini, ndiyo
hii inaendelea kusifiwa,
hata pale wana wa Israeli
wanapo fanya unyama wa
kishetani wafuasi wao tena
viongozi wa dini badala ya
kusikitika wanafurahia,
badala ya kuona kuwa
hizo ni laana.
Tu n a a m b i wa k u wa
Isaka alipokuwa mzee,
na macho yakawa hayaoni,
alimwagiza Esau kuwa
amtafutie chakula kizuri ili
ampe Baraka za mwisho,
kulingana na alivyojihisi
umri wake. Lakini wakati
Isaka anamwagiza Esau,
Rebeka mkewe alikuwa
akisikia. Kutokana na
mgawanyiko wa mapenzi
kwa watoto wao, Rebeka
alitaka Baraka zile ziende
kwa Yakobo badala ya
Isaka; hivyo akafanya
hila. Msomaji, usidhani
kuwa nafundisha Biblia,
la, bali nataka wasomaji
watumie akili zao kupima
huo utukufu wa wana wa
Israeli, na huyo mungu wa
Israeli; na huo uadilifu wa
Mungu wa Israeli kama
andiko linavyosema:
Ikawa Isaka alipokuwa
mzee, na macho yake
yamepofuka asione, akamwita
Esau mwanawe mkubwa,
Inaendelea Uk. 17

11/5/2015 3:36:06 PM

15

AN-NUUR

TANGAZO

Inatoka Uk. 13
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48

MUNIRA ABUBAKARY NGALINDA


MWAJUMA HASSANI LIBABA
MWANAISHA RAMADHANI LUHAMILIZA
NASBA JUMA MWANGU
NASRA ABDALLAH OMARY
NASRA HAMISI
NASWIYA TWAHIR OMARY
NORJAN ILUNGA KAPUNGU
NULIATI SADATI IDIRISA
PILLI SHABIR KAYILLA
PILLY OMARY ABDALLAH
RADHIA HAMISI SEIF
RAHMA IDDI

49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74

RAMLA JUMA KIPANDE


REHEMA OMARY YAHYA
RUKIA HAJI SALEHE
RUKIA MOHAMED MAABADI
SABRINA ADAMU
SADA MOSHI
SAJIDA SAID ISSA
SALMA ABDUL SARUNGI
SALMA TAMIM MYAKA
SAMIRA YASIN ABDALLAH
SAPHIA ISSA NDUMA
SARANUR BURHANI
SHAMIRA RAMADHAN SALIMU
SHEMSA JUMA IDD

SWABRINA ABDALLAH BAJAH


SWAUMU ABDUL RAJABU
TAUSI OMARY MATOTO
UWARIDI ABDULY JAFARI
WARDA ISSA OTHMAN
ZAINABU ABUBAKAR SIBUGA
ZAINABU JUMANNE KONDO
ZAITUN HASHIM EZAT
ZAKIA TWAHIRI OMARY
ZEANA MBASHIRU SAIDI
ZULEHA JUMANNE KASSIM
ZUWENA HASSAN

A: KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS' COLLEGE: WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KOZI FUPI


1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14

ADINANI BAKARI MLAWA


AMINA A. HASSAN
ANUMA ABUBAKAR ISSA
ATHMAN ALLY KIJUU
DAINESS NUHU HASSAN
DEDEE ABDALLAH NDEYANGU
DORA MSOMI MOHAMED
FATUMA BAKARI JAFARI
HABIBA ATHUMAN ALLY
HABIBU ISSA BAKARI
HALIMA ALI MOLEL
HALIMA IMANI CHILUNDA
HALIMA SHEKH SHELUKINDO
HAZILA HASSAN RASHID

WALIOFANYA MTIHANI KITUO CHA NYASAKA NA


KUCHAGULIWA KITUO CHA KIRINJIKO
S/N

JINA KAMILI

JINSIA

ZULFA RAMADHANI

KE

REHEMA HAMIS SAIDI

KE

BAYHAQIYYU MWAYA

ME

HAWA RAMADHANI

KE

ASHURA IDD RAMADHANI

KE

REHEMA MOZES HENJELWALE

KE

ASHURA MKOMA AMASI

KE

MWANAHARUSI HASSAN

KE

MARIAM RASHID ABDALLAH

KE

10

YUSUF OMARY MASOUD

ME

ME
KE
KE
ME
KE
KE
KE
KE
KE
ME
KE
KE
KE
KE

KIJA MOHAMED HASSAN


MARIAM BAKARI GENI
MOHAMED JUMA SELEMANI
MOREEN ROJAS MSALA
MWAJUMA HAMISI
MWAJUMA S. ABDALLAH
MWANAISHA JUMA OMAR
MWANAMVULA MOHAMED
MWANZANI MIYAMISI
RUKIA RAMADHAN MUSSA
SAFIA HOSSEIN NASSOR
SHAMIMU YAHYA ISSA
SHUMU MTENGO SADIK
ZAITUNI NURDIN HASSAN

11

MWAJUMA MWINYI KONDO

KE

12

TAMIMA M. MWAZBANI

KE

13

ZAINAB J. SWED

KE

14

RASHID HUSSEIN RAMADHANI

ME

15

NURU ALLY SHILLINGI

KE

16

JAMILA ALI RAJABU

KE

17

ZENA ABDALLAH RAMADHANI

KE

18

AISHA RAMADHANI MUSSA

KE

19

ZAMZAM SHAIBU ALLY

KE

20

SAUDA HASSAN SAIDY

KE

21

MWANAHARUSI MWINSHEHE

KE

22

ISSA RASHIDI NIPARA

ME

MAELEKEZO MUHIMU.
1.AMBAO HAWAONI MAJINA KATIKA SHULE WALIYOOMBA
WAANGALIE KATIKA ORODHA YA SHULE NYINGINE.
2.WALIOCHGALIWA WAFUATILIE BARUA ZAO KATIKA VITUO
WALIPOFANYIA MTIHANI.
3.AMBAO HAWAKUCHAGULIWA WAJIANDAE KUFANYA
MTIHANI KWA MARA YA PILI
TAREHE 28/11/2015 KATIKA VITUO WALIPOFANYIA MTIHANI
WA KWANZA (BILA MALIPO)

ANNUUR REAL.indd 15

15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28

ME
KE
ME
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE

B: UBUNGO ISLAMIC
TEACHERS' COLLEGE
WALIOCHAGULIWA
KUJIUNGA NA KOZI FUPI
1
2
3
4

HAFSWA ALLY NGAMBA


JUMA ISSA MZEE
MUUNGUJA IBRAHIM MURAD
NASSOR HAMISI HEMED

5. SAIDA JUMA MAJENGO

KE
ME
KE
ME
KE

4. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU KWA MKURUGENZI WA ELIMU


NA.0654613086
AU KWA WAKUU WA SHULE KAMA IFUATAVYO:
-AMBASHA ISLAMIC HIGH SCHOOL:0679 449668/0772916933
-KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL:0784 296424
-NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL 0786 417685
- MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL0654876317
-UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL.0687820895
KWA KOZI FUPI: MAELEKEZO MUHIMU.
WALIOCHAGULIWA WAFUATILIE BARUA KUJIUNGA KUANZIA IJUMAA IJAYO.

11/5/2015 3:36:07 PM

16

HABARI

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Changamoto kwa Shein Kikwete na Dr Magufuli

Inatoka Uk. 20
ni kufuata Katiba, hivi
sasa Zanzibar haina Rais
halali na itakuwa pia haina
Baraza la Wawakilishi
hali itakayozidisha zaidi
mgogoro wa kikatiba.
Fatma Karume,
alisikitikia hali
iliyotamalaki Zanzibar ya
kusambazwa wanajeshi
na vifaa vizito vizito vya
kijeshi hali inayotisha
wananchi na hivyo
kukwaza shughuli za
kiuchumi na maisha ya
kawaida.
Lakini akasema pia hiyo
inakuwa ni kana kwamba
wananchi wa Zanzibar
wanaadhibiwa kwa
kutekeleza haki yao ya
kupiga kura na kuchagua
viongozi wanaowataka.
Lakini pia akasema,
anashangazwa na
uhuni wanaofanyiwa
Wazanzibari, kwamba japo
walipiga kura tano, lakini
z i n a z o o n e k a n a k u wa
ni chafu, ni za Rais wa
Zanzibar na Wawakilishi/
Madiwani pekee, ila za Rais
wa Tanzania/Wabunge
safi, wakati mpiga kura ni
huyo huyo, kituo ni hicho
hicho na msimamizi ni
huyo huyo.
Lakizi kubwa zaidi,
kura zilishahesabiwa na
matokeo kukubaliwa na
mawakala wa wagombea
(vyama) halikadhalika
kusainiwa na msimamizi
wa uchaguzi (ZEC) na fomu
za matokeo kubandikwa
katika vituo husika kama
sheria inavyotaka.
Akasema, kwa maana
nyingine ni kuwa ZEC
inafuta uchaguzi baada
ya kuendesha upigaji
kura na kutoa matokeo na
kuyakubali kwa kusaini
kuwa ni halali.
Katika ujumla wake,
wanasiasa hao wanasema
kuwa, kwanza Wazanzibari
wameporwa haki yao
kinyume cha katiba na
sheria na kwa kufanywa
hivyo, nchi imeingizwa
katika mgogoro mkubwa
wa kikatiba, japo watawala
wanafanya kiini macho
wa k i d a n g a n ya u m m a
kwamba kilichofanyika ni
halali na wao kuendelea
kuwepo madarakani ni
halali pia.
Mwanasheria Awadh
katika kulitizama suala hili
amekwenda mbali zaidi
akisema kuwa anachoona
h a ya n i m a t o k e o ya
ukaidi wa kungangania
muungano wa serikali
mbili.
Akifafanua akasema,
R a i s wa Z a n z i b a r n i
mjumbe katika Baraza la
Mawaziri la Tanzania.
Sasa maadhali
anayeingia madarakani

ANNUUR REAL.indd 16

DKT. Ali Mohamed Shein


ni Rais kutoka CCM,
pengine inakuwa vigumu
kwa CCM kukubali
Maalim Seif, kama Rais wa
Zanzibar (CUF) kuingia
katika Kebineti ya serikali
ya CCM ya Jamuri ya
Muungano.
Na kwamba kinyume
chake inakuwa hivyo
hivyo.
Kama CHADEMA
ndio ingeshinda urais wa
muungano, huenda nao
wangesita kuruhusu Dr.
Shein kutoka CCM kuingia
katika kebineti yao.
Hii ni mara ya pili
kwa Mwanasheria Fatma
Amani Abeid Karume
kuzungumzia mgogoro
huu wa uchagzu mkuu
Zanzibar ambapo wiki
iliyopita alihojiwa na DW
na kuwatupia lawama
wa k u u u wa v y o m b o
vya usalama kuwa
ndio waliopora haki ya
Wazanzibari.
Katika mahojiano hayo
alisema kuwa, kisheria,
Jecha hana mamlaka ya
kufuta uchaguzi wowote
wa Zanzibar kwa sababu
Uchaguzi ni haki ya watu
wa Zanzibar na hakuna
mtu anaweza kufuta haki
yao hiyo.
(Jecha) Kasema tu yeye
kwamba kafuta. Ikiwa
huna mamlaka, utafuta
v i p i u c h a g u z i ? Ye y e

kajitamkia (tu) anavyotaka


yeye.
Sote tumepiga kura.
Kura zetu zipo na hakuna
mtu anaweza kuifuta
hiyo.
Alisema Fatma na
kueleza kuwa kabla ya
Jecha kutangaza kufuta
uchaguzi, jeshi la Tanzania,
TPDF (JWTZ), walizingira
Tu m e y a U c h a g u z i
Zanzibar.
Tuseme ukweli sio
Jecha, kwa sababu Jecha
hana jeshi. Jecha hana
P o l i s i . Wa z a n z i b a r i
tumenyimwa haki yetu si
na Jecha.
Tumenyimwa haki yetu
na wale watu waliotuma
Jeshi pale na kutuma polisi
pale.
Alisema Fatma
Karume akisisitiza kuwa
wanaowanyima haki yao
Wazanzibari waliopiga
k u r a s i o M we n ye k i t i
wa Tume ya Uchaguzi
ya Zanzibar (ZEC), Jecha
Salim Jecha.
Kama ni kusema,
Jecha kasema tu, lakini
hana mamlaka na kama
ni kulaumiwa Jecha
atalaumiwa kwa kutumiwa
dhidi ya maslahi na haki
ya Wazanzibari.
Wa k a t i h u o h u o ,
wananchi mbalimbali
wameungana na
Mwanasheria Fatma

Karume wakisema kuwa


kwa hakika wa kulaumiwa
ni Amri Jeshi Mkuu
aliyetuma Jeshi Zanzibar.
Katika maoni ya
wananchi hao wanasema
k u w a Wa z a n z i b a r i
wa t a m k u m b u k a s a n a
Kikwete kwa kuwanyima
haki yao ya msingi ya
kuchagua kiongozi
wanayemtaka.
Tutamkumbuka vyema
kwa kusimamia zoezi zima
la kupindua demokrasia
Zanzibar kwa nguvu .
Tutamkumbuka kwa
kufanya hivyo bila ya
kujali matokeo na athari
ya kuwanyima haki
Wazanzibari.
Tu t a m k u m b u k a
k wa k u t u d h i h i r i s h i a
kuwa huu muungano
k wa Wa z a n z i b a r i
ni wa kukandamiza
( Wa z a n z i b a r i ) . . .
ametunyima uhuru wetu
wa kuamua. Amekejeli
mawazo na maamuzi ya
Wazanzibari.
K w a
u f u p i
ametudharau kabisa
Wazanzibar kwa kiwango
cha hali ya juu kabisa
n a k u t u o n e s h a k u wa
sisi hamna lolote wala
umuhimu wowote
kwa Tanzania, (ni kana
kwamba anatuambia)
tutafanya tunavotaka,
tumekuhodhini na
kuwatawala na hamna
haki zozote za kujiamulia
mambo yenu.
Sisi ni wanyonge..., ni
Mungu peke yake atatulipia
na kutulinda. Allah ni
M u we z a n a n i v ya k e
vyote viliomo kwenye
ardhi na mbingu..na Yeye

ndie mwenye kutoa na


kunyima. Tunamuangukia
Yeye atupe nguvu na
kutunusuru.
Huo ni moja ya ujumbe
unaowakilisha maoni ya
baadhi ya wananchi wa
Zanzibar ambao umekuwa
ukisambazwa kupitia
mitandao ya kijamii.
Kwa upande mwingine,
R a i s m s t a a f u J a k a ya
Mrisho Kikwete alifanya
mazungumzo na Maalim
Seif katika Ikulu Jijini Dar
es Salaam juzi.
Hata hivyo, habari
kutoka ndani ya chama
cha CUF zinasema kuwa
hakuna lolote la muhimu
lililoafikiwa isipokuwa
mazungumzo ya kawaida
tu.
Habari zinasema,
kinachoonekana ni
kutafuta muafaka wa 5
na kurudiwa uchaguzi ili
kuhakikisha kuwa kosa
halifanyiki tena kuruhusu
CCM kushindwa.
Katika hali ambayo
imewashangaza
we n g i , v i o n g o z i h a o
wameonekana wakifurahi
na kucheka muda wote wa
maongezi yao (kwa mujibu
wa picha zilizopatikana)
wakati jambo lenyewe
ni zito huku mitaa ya
Unguja na Pemba ikiwa
imejinamia kwa huzuni,
kukata tamaa na kutokujua
nini majaaliwa yao.
Lakini zaidi ni ile
kukutana wao wawili tu,
na wakati huo huo hali
ikizidi kuwa tete kwa
wananchi mitaani ambapo
bado jeshi, polisi na vikosi
wanaranda.

Mzee Butiku aishushia lawama nzito ZEC

Inatoka Uk. 20
Jecha
alisema
kutokana na kasoro
nyingi zilizojitokeza
katika uchaguzi huo
kwa mamlaka aliyopewa
anafuta uchaguzi huo na
Tume hiyo italazimika
kufanya uchaguzi mengine
upya, kauli hiyo imepigwa
na baadhi ya wanasiasa na
wanasheria mbali mbali
nchini.
Wakizungumza kwa
nyakati tofauti wanasheria
hao wamesema kwamba
Mwenyekiti wa Tume ya
Uchaguzi hana mamlaka
ya kisheria kufuta matokeo
ya uchaguzi.
Kwa maana hiyo
amefanya jambo batili
kikatiba na kisheria na
kwa hakika inahuzunisha
kwamba serikali
inayowachagiza wananchi
kufuata sheria, ndiyo

Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Mwalimu Nyerere,
Mzee Joseph Butiku.

inaonekana nyuma ya
pazia katika jinai na hatia
hii kubwa inayoweza
kuleta machafuko katika
nchi.

11/5/2015 3:36:07 PM

17
Inatoka Uk. 14

akamwambia, Mwanangu.
Naye akamwitikia, mimi
hapa. Akasema, Tazama,
sasa mimi nimekuwa mzee
wala sijui siku yangu ya kufa
kwangu. Basi, nakuomba ,
chukua mata yako, podo lako
na upinde wako, ukaende
nyikani uniwindie mawindo;
ukanifanyie chakula kitamu
namna ile niipendayo,
ukaniletee, ili nile; na roho
yangu ikubariki, kabla sijafa.
(Mw. 27:1-4.)
Zile Israiliyati
n i l i z o k u wa n i k i s e m a
zinajitokeza hapo, wakati
Isaka ameishi mpaka
amezeeka na kupofuka
macho, alikuwa anajua
kuwa mwanae wa kanza
ni Isaka, lakini andiko
lilitwambia kuwa ukubwa
wake wa mzaliwa wa
kwanza aliubadilisha
na chakula chekundu
cha dengu; na Yakobo
aliridhika kuwa ndiye
mkuwa akampa chakula
cha dengu na mkate.
Na Rebeka akasikia,
Isaka aliposema na Esau
mwanawe..Rebeka
a k a m w a m b i a Ya k o b o
mwanawe, akisema, Angalia,
n i m e m s i k i a b a b a ya k o
akisema na Esau, ndugu
yako, akisema,mbele za
BWANA basi, mwanangu,
sikiliza sauti yangu kama
nitakavyokuagiza. Enenda
sasa kundini unitwalie wanambuzi wawili walio wema,
nami nitawafanya chakula
kitamu kwa baba yako,
namna ile aipendayo. kisha
utampelekea baba yako, apate
kula, ili akubariki kabla ya
kufa kwake. (Mw. 27:5-10.)
Katika andiko la hapo
juu, Isaka hakumwambia
Esau nikubariki mbele
za BWANA, man en o
hayo ameyasema Rebeka;
akimaanisha kuwa
anayeidhinisha Baraka
au laana, zimpate mtu ni
BWANA, yaani Mwenyezi
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Wananchi CUF,
kimeelezea kusikitishwa na
matukio ya kuwatia hofu
wananchi na kuhatarisha
amani ya nchi.
Akizungumza na
waandishi wa habari katika
ofisi za Chama hicho
Mtendeni Zanzibar, Naibu
Katibu Mkuu wa CUF
Zanzibar Nassor Ahmed
Mazrui, ameyataja matukio
hayo kuwa ni pamoja na
miripuko inayoelezwa kuwa
ni mabomu katika maeneo ya
Mkunazini na Michenzani.
Ameyataja matukio
mengine kuwa ni uvamizi
uliofanywa katika kisiwa cha
Tumbatu ambao ulipelekea
nyumba nne kutiwa moto na
nyengine kadhaa kuvunjwa,
sambamba na kupigwa na
kujeruhiwa kwa wananchi 16
wa kisiwa hicho.
Akifafanua kuhusu
matukio ya miripuko, Mhe.
Mazrui ameishauri Serikali

ANNUUR REAL.indd 17

Makala

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Khabari ya Israel Taifa teule-2


Mungu; ikimaanisha kuwa
Rebeka ni mcha Mungu;
Je! hivyo ndivyo?
Yakobo akamwambia
Rebeka mamaye, Esau
ndugu yangu ni mtu
mwenye malaika, na mimi
ni mtu laini. Labda baba
yangu atanipapasa, nami
nitakuwa machoni pake
kama mdanganyifu; nami
nitaleta juu yangu laana
wala si mbaraka. Mamaye
akamwambia, Laana yako
naiwe juu yangu, mwanangu,
u s i k i e s a u t i ya n g u t u ,
enenda ukaniletee wanambuzi. Akaenda, akawatwaa,
akamletea mamaye. Mamaye
akafanya chakula kitamu
namna ile aliyopenda babaye.
Kisha Rebeka akatwaa mavazi
mazuri ya Esau mwanawe
mkubwa, aliyokuwa nayo
nyumbani, akamvika Yakobo
mwanawe mdogo. Na ngozi
za wana-mbuzi akamvika
mikononi, na katika ulaini wa
shingo yake. Naye akampa
Yakobo mwanawe mikononi
mwake hicho chakula kitamu,
n a m k a t e a l i o u f a n ya .
(Mw.27:11-17).
A ya h i z o h a p o j u u
zinatudhihirishia kuwa,
ubadilishanaji wa ukubwa
wa Esau kwa udogo wa
Ya k o b o n i h e k a ya z a
alinacha; ndiyo maana
Rebeka mama yao hazijui,
yeye anacho jua, ni kuwa
Esau ndiye mwanawe
mkubwa, na Yakobo ni
mwanawe mdogo. Hapo
juu nilieleza kuwa,
Rebeka alionesha kuwa
anamtambua BWANA
yaani Mwenyezi Mumnu
lakini kwa maelezo ya aya
hizo hapo juu, inaonekana
kuwa Rebeka hana habari
na uwezo wa BWANA
yaani Mwenyezi Mungu;

n a i n a o n e k a n a n d i ye
aliyechangia silka ya wana
wa Israeli tunayoishuhudia
hadi sasa, ya uongo na
ulaghai n.k. Ni vipi
Yakobo alaaniwe na baba
yake, lakini laana impate
mamayake? Wasomaji,
naandika kisa hiki kutoka
katika Biblia, kwa kirefu
k wa k u wa , h i i n di y o
moja ya misingi mikuu
wanayosifiwa nayo
wana wa Israeli, kuwa
imewajengea utukufu kwa
Mwenyezi Mungu, na
wakawa taifa teule. Fatilia
mahojiano ya Yakobo na
baba yake Mzee Isaka:
Akaja kwa baba yake,
akasema, Babangu. Akasema
Mimi hapa, Unani wewe,
mwanangu?
Ya k o b o
akamwambia babaye, Mimi
ni Esau, mzaliwa wako wa
kwanza, nimefanya kama
ulivyoniambia. Ondoka,
tafadhali, ukae kitako, ule
mawindo yangu, ili roho yako
inibariki. Isaka akamwuliza
mwanawe, Imekuwaje
umepata upesi namna hii,
mwanangu? Akasema, Kwa
sababu BWANA, Mungu
wako, amenifanikisha. Isaka
akamwambia Yakobo, Karibu,
tafadhali, ili nikupapase,
mwanangu, nione kwamba
wewe ndiwe mwanangu
Esau, ama siyo. Basi Yakobo
akamkaribia Isaka, babaye,
naye akampapasa, akasema,
Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini
mikono ni mikono ya Esau.
Wala hakumtambua, kwa
maana mikono yake ilikuwa
kama mikono ya Esau yenye
malaika; basi akambariki.
Akamwuliza, Wewe ndiwe
kweli mwanangu Esau?
Akasema , Ndimi. Akasema
Niletee karibu nami nipate
kula mawindo ya mwanangu,

ili roho yangu ikubariki.


Akasogeza karibu, naye akala;
kisha akamletea mvinyo,
akanywa, Isaka, baba yake,
akamwambia, Njoo karibu
sasa, ukanibusu, mwanangu.
Akakaribia akambusu. Naye
akasikia harufu ya mavazi
yake, akambariki akasema
(Mw.27:18-27.) (Soma
hukumu ya mdanganyifu,
Walawi 6:1-7):
BWANA akanena na
M u s a , n a k u m wa m b i a ,
Mtu awaye yote akifanya
dhambi, na kuasi juu ya
BWANA, akamdanganya
mwenziwe katika jambo la
amana, au la kunyanganya,
au kumwonea mwenziwe; au
kuzumbua kitu kilichopotea
na kutenda la uongo juu yake,
na kuapa kwa uongo; katika
mambo hayo yote mojawapo
atakalolitenda mtu, na
kufanya dhambi kwalo; ndipo
itakapokuwa, akiwa amefanya
dhambi, na kupata hatia,
atarudisha hicho alichokipata
kwa kunyanganya, au kitu
kile alichokipata kwa kuonea,
au ile amana aliyowekewa,
au kitu kile kilichopotea
alichokizumbua yeye, au kitu
chochote ambacho amekiapia
uongo; atakirudisha hata
kwa ukamilifu wake, kisha
ataongeza na sehemu ya tano
zaidi juu yake; naye atampa
huyo mwenyewe, siku hiyo
ambayo atakapohukumiwa
kuwa mwenye hatia. Kisha
ataleta sadaka yake ya hatia
kwa BWANA, ni kondoo
mume wa katika kundi lake,
mkamilifu, sawasawa na
hesabu utakayomwandikia,
kuwa sadaka ya hatia, na
kumpa kuhani; na huyo
kuhani atafanya upatanisho
kwa ajli yake mbele za Bwana,
naye atasamehewa; katika
jambo lo lote alifanyalo hata
akapata kuwa mwenye hatia

kwalo. (Lawi 6:1-7.)


Aya hizo zinatuonesha
wazi , zile israiliyati
nilizozizungumzia
hapo mwanzo. Mzee
Isaka hana habari kuwa,
mwanawe Esau, amekuwa
mdogo kwa Yakobo, na
kuwa Yakobo amekuwa
mkubwa kwa Esau; na
Yakobo anakiri, kuwa
yeye ni mdogo kwa Esau,
ndiyo maana anatafuta
B a r a k a z a E s a u k wa
hila. Kwa kumdanyanya
babayao. Jambo jingine
, ni kuwa, kama Yakobo
a l i k u wa n a m a p e n z i
na baba yake kwanini
Mzee Isaka asimwambie
amchinjie mbuzi; ila
akamwambia Esau kuwa
amtafutie mawindo?
Kinachosikitisha zaidi ni
kuwa, Isaka na Yakobo
wanatambuliwa kuwa
ni Manabii na Mitume
maarufu wa Mwenyezi
Mungu, lakini kwa riwaya
hizo zinawaondoa katika
kiigizo cha kuigwa;
unategemea nini kwa
mafundisho hayo, kwa
waumini wako vijana, hata
na watu wazima?
Tazama, harufu ya
mwanangu Ni kama harufu
ya shamba alilolibariki
Bwana. Mungu na akupe
ya umande wa mbingu, na
manono ya nchi, Na wingi wa
nafaka na mvinyo. Mataifa
na wakutumikie Na makabila
wakusujudie, Uwe bwana wa
ndugu zako, Na wana wa
mama yako na wakusujudie.
Na atakayekubariki
abarikiwe. (Mw. 27:28-29.)
Ukisikia kuwa wana
wa Israeli ni taifa teule,
takatifu na kuna mungu
wa Israeli, ni yule mungu
anayebariki dhambi
kama hizo zilizofanywa
na Rebeka na Yakobo
mwanawe.

Wanaotega mabomu wakamatwe


kuwatafuta waliotega
mabomu hayo kwa
kutumia picha za kamera
za ulinzi za CCTV ambazo
zimesambazwa katika eneo
lote la Mji Mkongwe.
Amesema, bila ya
kuchukuliwa kwa hatua,
wa n a n c h i wa t a e n d e l e a
kuamini kuwa matukio
hayo yamepangwa makusudi
kwa lengo la kuwatia hofu
wananchi washindwe
kuendelea na shughuli zao
za kimaisha.
Wakati hayo yakiendelea,
Mhe. Mazrui amesema
juhudi kubwa zimeanza
na zinaendelea vyema kwa
kuzishirikisha jumuiya na
taasisi za ndani na nje ya
nchi, zikiwa na lengo la
kukwamua mkwamo wa
kisiasa unaoikumba Zanzibar
hivi sasa.

NAIBU Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui.

11/5/2015 3:36:08 PM

18
Na Mwinjilisti Kamara Kusupa
Nimeamua kuijibu makala
ya Khatib J Mziray toleo na
1231 ilihusu KHABARI
YA ISRAEL TAIFA TEULE
LA MUNGU. Sikusudii
kulumbana naye, ila
kwakuwa amenukuu
vifungu kadhaa vya Biblia,
kuna ulazima wa kuweka
mambo sawa.
Sisi waumini wa
njia ile tumeagizwa
kuishindania imani mara
moja tu kwasababu baada
ya maisha ya hapa duniani
a a m i n i y e h a t a k u wa n a
nafasi tena ya kuishindania
(kuipigania imani). Yuda
aliyekuwa ndugu wa
kuzaliwa tumbo moja na
Yesu, anaandika wapenzi
nilipokuwa nikifanya bidii
sana kuwaandikia habari ya
wokovu ambao ni wetu sisi
sote, niliona imenilazimu
kuwaandikia ili niwaonye
kwamba mwishindanie imani
waliyokabidhiwa watakatifu
mara moja tu. Kwa maana
kuna watu waliojiingiza kwa
siri, watu walioandikiwa
tangu zamani hukumu hii,
makafiri, wabadilio neema
ya Mungu wetu kuwa ufisadi,
nao humkana yeye aliye peke
yake Mola na Bwana wetu
Yesu kristo(Yuda 1-3).
Yesu aliwapa mitume
wake changamoto hii, Je,
atakaporudi tena mwana
wa Adamu ataikuta
i m a n i d u n i a n i ? Ye s u
anazungumzia imani asilia
i l i y o a n z i a k wa A d a m u
B a b a ye t u wa k wa n z a ,
imani ambayo hakuilinda
akaanguka dhambini. Imani
h i y o i k a l i n d wa v i l i v y o
na Ibrahimu hadi Mungu
akamkubali, akamwita
Ibrahimu badala ya
Abrahamu, kumaanisha Baba
wa imani na Baba wa Mataifa
yaani wanadamu wengine
watakaoamini nje ya uzao
wa kimwili wa Ibrahimu
(Waisraeli).
Imani ya Ibrahimu ni somo
pana linastahili kuandikiwa
vitabu hata zaidi ya vitano.
Yesu alipokuwa duniani
hakuanzisha imani mpya, bali
aliilinda, akaipigania imani
ile ile aliyokabidhiwa Adamu
lakini ikamponyoka. Imani ile
ile iliyomfanya Nabii Nuhu
ajenge safina kwa miaka
mia, ndiyo iliyomfanya
Abrahamu ajitenge na ukoo
wake, awaachane ndugu zake
na kuishi hali ya upweke.
T o f a u t i ya I b r a h i m u
n a A d a m u n i k wa m b a
Ibrahimu aliilinda imani hadi
mwisho. Mungu akamkubali
akasema, Ibrahimu hakika
nimethibitisha kwamba
unaniamini na unanicha
mimi Mungu wako iwapo
hukunizuilia mwana wako wa
pekee. Mungu akamwapia
Ibrahimu akisema, nimeapa
kwa nafsi yangu nitakubariki,
nitauzidisha uzao wako kama
nyota za mbinguni na katika
uzao wako mataifa yote ya
dunia watajibarikia.
Neno hili la Mungu lilitimia
alipozaliwa Yesu kupitia ukoo
wa Ibrahimu kwani mataifa
yote ya dunia yanajibarikia
kwa jina lake, hayabarikiwi
kupitia dola ya Israeli, hili
inabidi liwekwe bayana.
Yesu ana sifa nyingine ya
kuitwa mzao wa mwanamke,
kuzaliwa kwake kulitimiza
unabii ambao Mungu aliutoa

ANNUUR REAL.indd 18

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

Itikadi siyo imani wala imani haina itikadi


kwa kinywa chake akiwa
Edeni, alipomwambia nyoka
wa zamani aitwaye Ibilisi
nami nimeweka uadui kati
ya uzao wake na uzao wako,
mzao wake atakuponda
kichwa.
Miaka 700 kabla ya
kuzaliwa Yesu, Nabii Isaya
alitabiri akisema, tazama
bikira atachukua mimba
naye atamzaa mwana nao
watamwita jina lake Imanueli
maana yake ni Mungu pamoja
nasi wanadamu.
Imani ile ile ya Ibrahimu
ndiyo iliyomfanya Musa
asimame mbele ya Farao
(Firauni) na kumpa ujumbe
BWANA asema uwaachilie
watu wangu. Imani hiyo
haikulindwa na Israeli kama
taifa, wala haikulindwa na
Waisraeli kama watu binafsi
ukiacha manabii kama ELiya.
Huyu nabii Eliya Mungu
alimpaisha mbinguni
hakuonja mauti, jina Eliya
maana yake ni commitment
to faith yaani mtu aliyejitoa
na kuyasalimisha maisha
yake kwa ajili ya imani.
Dhana ya Israeli kuwa taifa
teule la Mungu imetokana
na ukweli uliopotoshwa,
kilichoandikwa ndani ya
B i b l i a n i u k we l i l a k i n i
kinachohubiriwa na
wanadamu wanaonasibisha
maandiko matakatifu na
matendo mabovu ya dola
ya Israeli ya sasa ni uwongo
na upotoshaji wa ukweli.
Upotoshaji huo una lengo
la kuhalalisha ubeberu
wa K i ya h u d i d h i d i ya
Wapalestina huko Mashariki
ya Kati.
Kuhusisha siasa za
Mashariki ya Kati na
kilichoandikwa ndani ya
Biblia, ni kuendeleza
yasiyofaa ambayo Yuda
alionya mapema kwamba ni
mambo ya watu waliojiingiza
kwa siri. Watu makafiri wenye
kumkana Mola na Bwana
Yesu. Watu wabadilio neema
ya Mungu na kuigeuza kuwa
ufisadi.
Si utetei Ukristo,
bali nautetea ukweli
unaofunuliwa katika
Biblia. Inahitaji moyo wa
mwendawazimu mtu
kuutetea Ukristo ulioingia
Afrika kutoka Ulaya na
Marekani. Marekani na
Ulaya Mangaribi zimeruhusu
ndoa za jinsia moja, Mkristo
anaweza kufanyiwa upasuaji
akabadilisha sura (plastic
surgery), akabadilisha jinsia
kutoka mwanaume akawa
mwanamke, bado akaendelea
kutambuliwa na kanisa lake
analoshiriki kumwabudu
Mungu.
Wa l i o m w a m i n i Ye s u
waliitwa watu wa njia ile
kutokana na kutofautiana
na Wayahudi walioifuata
Torati ya Musa. Walioamini
walitofautiana na Wayahudi
kuanzia namna yao ya kuishi
hadi namna yao ya kusali na
kuabudu.
Jina la Wakristo lilianza
kutumika Antiokia mji
uliokuwa maarufu kwa
biashara na uliokuwa na
mchanganyiko wa watu wa
nasaba (race) zote, Wayahudi,
Wa y u n a n i , Wa r u m i n a
Wakushi (Waafrika).
Wa t u w a n j i a i l e

walikuwako hata kabla ya


Yesu kuja ulimwenguni.
Manabii wa kale waliisisitizia
juu ya njia ile. Nabii Isaya
aliyeishi miaka mia saba kabla
ya kuzaliwa Yesu, aliandika
N a h a p o p a t a k u wa k o
na njia kuu, na njia, nayo
itaitwa, Njia ya utakatifu,
wasio safi hawatapita juu
yake; bali itakuwa kwa
ajili ya watu hao tu, watu
wa s a f i r i o , wa j a p o k u wa
wajinga, hawatapotea katika
njia hiyo. Hapo hapatakuwa
na Simba, wala mnyama
mkali hatapanda juu yake,
wala hawataonekana hapo,
bali waliokombolewa
ndio watakaokwenda
katika njia hiyo. Na hao
waliokombolewa na BWANA
watarudi watafika Sayuni
wakiimba na furaha ya milele
itakuwa juu ya vichwa vyao
nao watapata kicheko na
furaha, huzuni na kuugua
zitakimbia.(Isaya 35:8 10).
Hiyo ndiyo njia ya
mbinguni aliyoonyeshwa
Yakobo mjuu wa Ibrahimu
ambaye alibadilishwa
jina kutoka Yakobo lenye
maana ya mtu mjanja na
mdanganyifu akaitwa
Israeli, huyu ndiye Baba wa
Waisraeli kutokana na watoto
wake 12 ambao waliongezeka
na kuwa kabila 12 za Israeli.
Kwenye kitabu cha
Mwanzo 28:10 -22 Musa
ameandika habari ya
Yakobo alivyoonyeshwa
njia ile, baada ya Yakobo
kumfanyia nduguye kitendo
tunachoweza kukifananisha
na utapeli maana
alidanganya akamwibia
mbaraka nduguye Esau
wa l i ye z a l i wa m a p a c h a ,
aliamua kuikimbia hasira
ya Esau kaka yake. Yakobo
akiwa njiani kwenda Harani
kwa mjomba wake, alifika
sehemu iliyoitwa Luzu, jua
lilipomchwea, aliviringisha
jiwe akalilalia kama mto.
Akiwa usingizini akaona
ngazi imeteremshwa duniani
na kilele chake kinafika
mbinguni akamwona
BWANA ambaye alimwambia
Mimi ni BWANA Mungu
wa Ibrahimu Baba yako
na Mungu wa Isaka,
nchi hii ulalayo nitakupa
wewe na uzao wako. Uzao
wako utaenea upande wa
Mangaribi, Mashariki,
Kusini na Kaskazini,
tazama mimi nipo pamoja
n a we , n i t a k u l i n d a k i l a
uendako, nami nitakuleta
tena mpaka nchi hii, kwa
maana sitakuacha hata
nitakapokufanyia hayo
niliyokuambia. Yakobo
alipoamka akasema mahala
hapa panatisha, bila shaka
hapa ni nyumba ya Mungu
na ndipo lilipo lango la
mbinguni, akapaita Betheli.
Yakobo akiwa kwa mjomba
wake alioa binamu zake
wawili akazaa watoto kumi
na wawili, hatimaye aliamua
kuirudia nchi ya Baba yake
I s a k a . Wa k a t i a n a r u d i
alihofia kushambuliwa na
Esau kutokana na utapeli
aliomfanyia, maana alipata
salamu kwamba Esau
anakuja kukulaki akiwa na
Jeshi la watu 400.
Yakobo akajitenga peke
yake akaomba akisema,

ee Mungu wa Baba yangu

Isaka ni kweli nilivuka mto


huu nikiwa na fimbo yangu tu
lakini sasa nina mali na watoto
nakuomba uniokoe na mkono
wa ndugu yangu Esau. Akiwa
kwenye maombi yaliyotokana
na hofu ya kupigwa vita ndipo
Malaika alipomtokea katika
umbo la mwanadamu, Yakobo
akamshika kwa nguvu akisema
sikuachii hadi unibariki.
Mkanganyiko wa maneno
malaika, Mungu na mtu
mmoja, yanatokana na ukweli
kwamba Mungu aliyekuwa
akiwatoke Ibrahimu, Isaka na
Yakobo hana umbile maalumu.
Wakati Mungu anakwenda
kuiteketeza Sodoma alipita
kwenye hema ya Ibrahimu,
aliandamana na malaika wawili
lakini wote watatu wakiwa
katika umbile la mwanadamu,
ndio maana Ibrahimu aliweza
kuwakaribisha akawaandalia
chakula, akamchinja ndama na
mkewe Sara akaoka mikate isiyo
na chachu wakala.
Mungu alipomtokea Musa
katika umbile la moto alisema
mimi ni Mungu wa Baba zako,
Mungu wa Ibrahimu, Mungu
wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
Kitendo cha Mungu
kujitambulisha kwa Musa kama
Mungu wa Ibrahimu hakina
maana kwamba aliwakana
wanadamu wengine akawafanya
si wake wala hakusema hahusiki
nao. Dhana ya Israeli kuitwa
Taifa teule ililetwa na wanadamu
(Wayahudi) wenye ubinafsi,
ambao walitaka kuhalalisha
mabaya yasiyohalalishika.
Huko mbeleni tutaona
j i n s i Ye s u a l i v y o f a r a k a n a
n a Wa ya h u d i k wa s a b a b u
mafundisho yake yalipingana na
itikadi ya Usayuni au Zionism.
Nihitimishe mada yangu kwa
kugusia kifupi suala la Ukristo
wa I t i k a d i a u I d e o l o g i c a l
Christianity.
Je, Itikadi au Ideology ni
nini? Ideology inatokana na
neno idea ni hali ya kuyainua
juu mawazo fulani au fikra,
zinapewa uzito usiostahili na
msisitizo mkuu hadi kuyaingiza
kwenye imani yakahubiriwa
kama yotokayo kwa Mungu.
Ukristo wa itikadi uliingia
Afrika kwa sura nyingi zenye
athari tofauti, Christianity that
comes to Africa in different forms
with difference effects. Tuangalie
sura nne ya kwanza naiita
Christian colonialism. Wazungu
wa Ulaya Mangaribi walipoleta
ukoloni walitanguliza Ukristo
kama chambo. Wamishenari
walihubiri habari za Mungu wa
upendo huruma na msamaha.
Lakini kwenye kipindi chote
cha utawala wa Wazungu
barani Afrika, ukoloni
haukuonyesha upendo wowote
kwa Mwafrika. Mbaya zaidi

ukoloni ukafungamanishwa
na Ukristo ukafanywa kitu
kimoja. Ndio maana historia

haionyeshi kanisa kupinga


utumwa wala kupinga ukoloni.
Iko sura ya pili ya Ukristo
wa itikadi naiita Christian
Capitalism miaka ya themanini
Ta i f a k u b wa l a M a r e k a n i
liliandaa mkakati wake wa
kuangusha Ukomunisti na
kuisambaratisha dola ya Urusi
(USSR) likatanguliza mbele
kipaumbele cha Injili. USA
ilitupumbaza wengi tukadhani
inatimiza neno la Yesu alilosema

kabla ya mwisho kuja, habari


njema za ufalme wa Mungu
(Injili) itahubiriwa Ulimwenguni
kote iwe ushuhuda. Tuliamini
kwamba Marekani inataka dunia
iinjilishwe lakini wahubiri
wengi kutoka Marekani na Ulaya
Mangaribi walisisitizia Injili ya
mafanikio (injili ya kumtajirisha
aaminiye), wakasisitizia wokovu
kamili kumaanisha aliyeokoka
h a t e s w i n a m a g o n j wa n a
umaskini. Wengine wa liita
the health and wealthy gospel
wakimaanisha ni injili ya afya
na utajiri, hata kama mafundisho
yao hayakusema moja kwa
moja yanataka mwanadamu
aishi chini ya mfumo gani,
lakini yaliashiria kuuhalisha
ubepari kama mfumo unaompa
binaadamu uhuru. Kwa njia hiyo
wakahalalisha capitalism
kuitawala dunia. Hatimaye
niliitilia shaka doctrine hii
kwani kila nilipomzamia Yesu
nilimwona kama mjamaa
aliyejiweka mbali na aina zote
za unyonyaji.
Ukomunisti ulipoanguka
Marekani ikaanza kuonyesha
sura yake halisi, ikathibitisha
kwamba mradi wa kuinjisha
dunia (to evangelize the world)
ilikuwa mbinu ya kupenya
kwenye mataifa ili kuangusha
usoshalisti duniani.
Sasa Marekani na Ulaya
Mangaribi wako mstari wa mbele
kuishinikiza Afrika ikubaliane
na machukizo ya ushoga na
ndoa za jinsia moja, maadamu
makanisa ya Ulaya na Marekani
yamekubali machukizo hayo
hatimaye serikali dhaifu za
Afrika zitakubali.

Sura ya tatu naiita


Christian Zionism. Hii
ni itikadi inayoshabikiwa
zaidi na Wakristo wenye
imani ya kilokole, chimbuko
lake ni maandiko pale
Mungu alipomwambia
Ibrahimu nitakubariki na
a k u b a r i k i e a t a b a r i k i wa
naye akulaaniye atalaanika.
Narudia tena kusisitiza
kwamba yaliyoandikwa
katika Biblia ni ya kweli
lakini yanatafsiriwa vibaya,
anayethubutu kuitwaa dola
ya sasa ya Israeli na kuiweka
mahala pa Ibrahimu, Yakobo
na Daudi (watu waliokwenda
vizuri na Mungu) atakuwa
anaitafutia dola ya Israeli uhalali

usiokuwako hapa duniani wala


huko mbinguni. Mungu haridhii
uovu wala dhuluma ya aina
yoyote, ndio maana Waisraeli
wa kale walipozidisha dhambi
M u n g u a l i wa a d h i b u k wa
kuwafukuza kwenye nchi yao.
Itikadi siyo imani wala imani
ya kweli haibebi itikadi ambazo
chimbuko lake ni mawazo ya
watu wenye ubinafsi, kwa hiyo
waaminio katika Zionism,
wanafumbia macho mambo
mengi. Kwanza wanafumbia
macho ukweli kwamba
Wayahudi walimkataa Yesu
hadi leo hawamkubali kuwa ni
mwana wa Mungu.
Wa n a f u m b i a m a c h o
ukweli kwamba mbaraka wa
Mungu ni kwa Ibrahimu na
wazao wake, Mungu ndiye
aliyemwambia Ibrahimu kwa
habari ya Ishimaeli nimekusikia
nimembariki naye atakuwa
taifa atazaa maseyidina kumi
na wawili. Maneno ya Mungu
hayatanguki, katika uzao wa

Ishmaeli ndiko walikotoka


Waarabu na katika uzao
wa Isaka ndiko walikotoka
Waisraeli, kumbe taifa la
Mungu ni lipi na lisilo la
Mungu ni lipi?
(Itaendelea toleo lijalo.)

11/5/2015 3:36:08 PM

19

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

P.O. BOX 55105, Dar es Salaam; Phone: 022 2450069, 0784 267762, 0654 613086 Fax: 022 2450822, website:wwwipc.org.tz

Nafasi za kujiunga na Kidato cha I, 2016


MUDA WA KUCHUKUA FOMU UMEONGEZWA HADI 28/11/2015

Ambasha Islamic High School-Pemba

Kirinjiko Islamic High School - Same

Nyasaka Islamic Sec. School - Mwanza

Mkuzo Islamic High School - Songea

Ubungo Islamic High School - Dar es Salaam

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Kwanza 2016 kwa shule zifuatazo:
Ambasha Islamic High
Bweni tu - Pemba: 0777 870601/0786 573938
Kirinjiko Islamic Sec. Sch.
Bweni tu - Same: 0784 296424
Mkuzo Islamic High School
Bweni tu -Songea: 0654 876317/0783 079146
Nyasaka Islamic Sec. School Bweni tu - Mwanza: 0786 417685/0713 749020
Ubungo Islamic High School Kutwa na Bweni - DSM: 0687 820895/0716 960456
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora ya sekondari na kuwalea kwa misingi
na maadili mema ya Kiislamu.
2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo: Elimu
ya Dini ya Kiislamu, Usomaji Quran na mafunzo yake,
Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics,
Physics, Chemistry, Biology, Geography, History, Civics,
Book - Keeping na Commerce.
3. Mtihani wa kujiunga utafanyika tarehe 28/11/2015 saa

2:00 asubuhi katika vituo mbalimbali kote nchini.


4. Muombaji anaweza kufanya mtihani katika kituo
chochote.
5. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 28/11/2015.
6. Fomu za Maombi zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini kwa malipo ya shilingi 10,000/=
7. Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org.
Kwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kuilipia siku ya mtihani.

ARUSHA: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic,


ghorofa ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu wa Bondeni simu 0715
438676.
KILIMANJARO: MOSHI: Msikiti wa Riadha simu 0686 938077,
SAME: Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same simu
0757 013344. Kirinjiko Islamic Secondary School simu 0784
296424.
TANGA: Twalut Islamic Centre Mabovu Darajani simu 0713
014469/0768 087112. KOROGWE Shemea Shop: 0715
690008. LUSHOTO Mandia: 0782 257533. HANDENI Mafiga:
0782 105735.
MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School simu 0717
417685/0786 417685. Ofisi ya Islamic Panel Mtaa wa Rufiji

mkabala na Msikiti wa Al-Amin simu 0714 097362.


MUSOMA: Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Karume,
nyumba Na. 5 simu 0787 868611/0716 810002.
SHINYANGA: Msikiti wa Majengo na Manispaa ya Shinyanga
Mjini simu 0768 895484/0655 608139. KAHAMA: Ofisi ya ANNUUR karibu na Msikiti wa Ibadhi simu 0782 994738/0754
994738.
DAR ES SALAAM: Ubungo Islamic High School simu 0687
820895.
MOROGORO: Msikiti wa Ijumaa simu 0782 529263.
DODOMA: Hijra Islamic Eng. Med Primary School simu 0718
661992.
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education Panel karibu na Nuru

Snack Hotel simu 0786 425838/0784 928039.


MANYARA: Ofisi ya Islamic Education Panel Masjid Rahma
simu 0784 491196.
KIGOMA: Idhihari karibu na Msikiti wa Legeza Mwendo
Mwanga simu 0717 383400/0754 569661. KIBONDO:
Kibondo Islamic Nursery School simu 0784 442860. KASULU:
Murubona Islamic Secondary School simu 0714 710802.
Msikiti wa Mugera Mwandika simu 0763 945704/0714 717727.
LINDI: Wapemba Store simu 0653 705627.
MTWARA: Amana Islamic Secondary School simu 0787
231007.
SONGEA: Kwa Kawanga karibu na Msikiti wa NURU simu 0713
249264. Mkuzo Islamic High School simu 0654 876317.
MBEYA: Ofisi ya Islamic Education Panel Uhindini simu 0785
425319. Rexona Video mkabala na Mbeya RETCO simu 0713
200209/0785 425319.
RUKWA: Sumbawanga: Ofisi ya Islamic Education Panel
mkabala na shule ya Msingi Kizwite simu 0717 082073.
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya simu 0718 556355.
NZEGA: Dr. Mbaga: 0784 576922.
IRINGA: Ofisi ya Islamic Education Panel Masjid Hidaya simu
0714 522122.
PEMBA: Kizimbani: Wete Islamic School simu 0777 870601.
UNGUJA: Madrasatul-Fallah simu 0777 432331. Pand Book
Shop: 0777 462056 karibu na uwanja wa Lumumba.
MAFIA: Karibu na Msikiti Mkuu Ofisi ya Ust. Yusuph Ally: 0773
580703.

Mlete mwanao apate elimu na malezi bora ya kimwili, kiroho, na kiakili


Wahi kuchukua fomu sasa
IPC TANGAZO.indd 3

ANNUUR REAL.indd 19

11/5/2015 9:40:49 AM

11/5/2015 3:36:09 PM

AN-NUUR

20

MAKALA

20

MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015

AN-NUUR
Soma
gazeti
la
MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

Mzee Butiku aishushia lawama nzito ZEC


Salma Alghaythiyah

AASISI
ya
Mwalimu Nyerere
imeitaka Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar
( Z E C ) k u f a n ya k a z i
kwa kuzingatia katiba
na sheria za nchi na
kuacha kutanguliza
mbele maslahi binafsi
ya kisiasa.
Akizungumza na
vyombo vya habari mjini
Musoma, Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi hiyo,
Mzee Joseph Butiku,
a m e s e m a a m e k e r wa
na tabia ya Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar
kusitisha uchaguzi na
kushindwa kuwatangazia
wananchi kiongozi wao
waliomchagua, huku
ikishindwa kuheshimu
matakwa ya wananchi
waliopiga kura katika
visiwa vya Zanzibar.
Taasisi hiyo imeitaka
Tume ya Uchaguzi ya

Ni muafaka wa tano! 2020 hatukubali...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, alipokutana
na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda
wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika
Jumatano wiki hii Ikulu ya Rais Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:24 asubuhi na kumaliza
saa 5:14. Kicheko hiki kina tafsiri gani kwa wananchi walioporwa kura zao kwa kufutwa
uchaguzi halikadhalika vipigo vinavyoendelea mitaani?

wa Tanzania na Mbunge
ziliyosimamiwa na Tume
ya Taifa ya Uchaguzi ya
Tanzania (NEC) na kura
tatu za kumchangua Rais
wa Zanzibar, Mjumbe wa
Baraza la Wawakilishi na
Diwani.
Wakati matokeo ya
uchaguzi yalitangazwa
katika majimbo 32 na
baadhi ya wagombea
kukabidhiwa matokeo
yao ambayo yalibandikwa
vituoni na baadhi
ya matokeo hayo
kutangazwa kwenye kituo
kikuu cha kutangazia
matokeo katika Hoteli
ya B wa wa n i , g h a f l a
zoezi hilo likasitishwa na
kufutwa kabisa mnapo
Octoba 28 ambapo
Mwenyekiti wa Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC) Jecha Salum Jecha
alipojitokeza kwenye
kituo cha televisheni cha
taifa.
Inaendelea Uk. 16

Changamoto kwa Shein


Kikwete na Dr Magufuli

Kinachosubiriwa sasa ni Mwafaka wa 5


Kikwete atoka Ikulu na zigo la lawama
Na Mwandishi Wetu

Zanzibar kufanya kazi kwa


uweledi na kuheshimu
maamuzi ya wananchi na
sio kwa kutanguliza mbele
maslahi binafsi ya kisiasa
hatua ambayo inaweza
kusababisha machafuko
na umwagaji wa damu
katika visiwa vya Unguja
na Pemba.
Aidha Mzee Butiku
amewataka wananchi wa
Zanzibar kutokubali tena

kurudia upigaji wa kura


hadi hapo yatakapotolewa
maelezo ya kuridhisha na
wahusika waliosababisha
uchaguzi huo kufutwa
pia waweze kuchukuliwa
hatua kali za kisheria
Mzee Butiku amesema
kwa sababu hiyo
a m e wa t a k a v i o n g o z i
kuheshimu sheria
na katiba ya nchi na
kwamba chama ambacho

kinadhani kimeshindwa
katika uchaguzi huo
kikubali matokeo badala
ya kuifanya Zanzibar
ni mali ya chama fulani
pekee.
Uchaguzi wa Tanzania
umefanyika Oktoba 25
m wa k a h u u a m b a p o
Wa z a n z i b a r i n a o
wa m e p i g a k u r a t a n o
ikiwemo ile ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano

WANASHERIA Fatma Amani Abeid Karume na


Awadh Ali Said, wametoa changamoto kwa mamlaka
husika, kutaja chapo kifungu kimoja tu cha Katiba ya
Zanzibar na Sheria za Tume ya Uchaguzi Zanzibar,
ambacho kinampa Mwenyekiti wa Tume, Jecha Salim
Jecha na ZEC kwa ujumla, uwezo na mamlaka ya
kufuta uchaguzi.
Wamesema, hilo ni muhimu kabla hata kuja katika
malumbano ya Urais wa Dr Shein wakati muda wake
ukiwa umemalizika.
Wanasheria hao ambao ni mawakili katika Mahakama
Kuu, wamesema kuwa kilichofanyika ni kupora haki
ya wananchi kinyume kabisa na katiba na sheria na
kwamba ni kielelezo kwamba viongozi wamekosa
kabisa sifa ya kuwahimiza wananchi kufuata sheria na
katiba kwa sababu wao wenyewe wamekuwa ndio wa
mwanzo kuzivunja na kutokujali.
Wakizungumza katika kipindi kilichorushwa
na Channel Ten juzi usiku, wamesema kuwa kama
Inaendelea Uk. 16

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.
ANNUUR REAL.indd 20

11/5/2015 3:36:12 PM

Вам также может понравиться