Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1202 MUHARRAM 1437, IJUMAA , NOVEMBA 6 - 12, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Uk. 20
Hatutoi labda
mtupindue Asha Bakari
Hiki ndicho kilichofanyika Zanzibar
Sio yale aliyosema Jecha Salim Jecha
ANNUUR REAL.indd 1
11/5/2015 3:35:59 PM
Fethullah-Gulen
ALLAH hapana Mola
anayestahili kuabudiwa kwa
haki asiyekuwa Yeye aliye
hai mwenye kudumu katika
kuyasimamia mambo. [AlBaqarah 255]
Ndiyo, Yeye ndiye mwenye
kuabudiwa mpweke.
Hapana mwenye kuabudiwa
asiyekuwa Yeye. Hapatikani
mwenye kuabudiwa
asiyekuwa Yeye kwa sababu
vilivyopo vyote tokea tangu
mpaka milele, havikuwa
isipokuwa ni vivuli kutokana
na nuru ya kupatikana kwake
na sura zote za ulimwengu
ni muonekano kutokana na
nuru yake na kila kilichopo
na kila chenye kuwa, kitu
hicho ni mdhihiriko mdogo
unaochukua kupatikana
kwake, kutokana na
usimamizi wake Mwenyezi
Mungu mtukufu.
Kupatikana kwake
Mwenyezi Mungu mtukufu,
Na Bakari Mwakangwale
PROFESA Ibrahim Lipumba,
amewataka wadau wa Chama
Cha Mapinduzi (CCM) Bara
na Visiwani kutoirejesha
Zanzibar katika machafuko
ya kisiasa ya mwaka 2000,
na kusababisha vifo na
wakimbizi.
Prof. Lipumba, ameyasema
hayo Jumapili ya wiki iliyopita
akizunguzma na Waandishi
wa Habari katika Ofisi Kuu za
Chama Cha Wananchi CUF,
Buguruni Jijini Dar es Salaam,
akizungumzia sintofaham ya
kufutwa uchaguzi Mkuu wa
Visiwani Zanzibar.
M wa n a s i a s a h u y o n a
mtaalamu wa maswala ya
Uchumi Duniani, alisema
anazungumza kama mzalendo
na kilicho msukuma zaidi ni
uzoefu wake wa kisiasa nchini
na uzalendo ili kuhakikisha
nchi yake inabakia katika hali
ya usalama.
Alisema, anaamini kuwa
maamuzi ya Mwenyekiti
wa ZEC, Zanzibar kufuta
uchaguzi huo na kutoa
sababu zenye maswali mengi
kuliko majibu ni shinikizo
kutoka kwa watu wa CCM,
jambo ambalo ni hatari kwa
mustakabali wa Visiwa hivyo
na Tanzania kwa ujumla.
Ndugu zangu wa CCM,
msiturudishe katika matatizo
ANNUUR REAL.indd 2
Mafundisho ya Quran/Maarifa
kunatokana na nafsi yake
na uhai wake na usimamizi
wake unatokana na dhati
yake. Kila kilichopo kisicho
kuwa Yeye kinatoka kwake
na ni katika kudhihiri kwa
sifa zake na majina yake
mazuri.
Ye y e n d i y e a l i y e h a i
mwenye kuyasimamia
mambo ambaye hakipatikani
k it u chochot e amb acho
k i m e s i m a m a k wa n a f s i
yake, pasi na kutegemea
kwake. Na hakuwezekani
kwa kitu chochote kilichopo,
kudumisha kupatikana
kwake pasi na Yeye. Na
hakuwezekani kuleta tafsiri
yoyote na ufafanuzi wa
fumbo la maisha, pasi na
kuchukua usimamizi wake,
Mwenyezi Mungu mtukufu,
ambao una maana ya kuwa
kusimama kwake ni kwa
dhati yake na kusimama kila
kitu ni kwa sababu yake
kwa mazingatio ya jambo
hilo. Na hakuwezekani
kabisa kusimamisha msingi
wowote ulio sahihi wenye
kukubaliwa na akili, kwa
ajili ya kuufasiri ulimwengu
wa kupatikana wala kudumu
kwa ulimwengu huu,
isipokuwa kwa sababu yake.
Yeye ndiye dhati iliyopo,
iliyotukufu na haya majina
mawili yanatokana na jina
lake tukufu.
Mambo yote na matukio
yote ni udhihirikaji katika
k u d h i h i r i k a k wa k e n a
ulimwengu ni kitabu
katika kudhihirika huko.
K u m e w e k wa m b e l e ya
binadamu ili wakifikirie
kufikiri kwa mtu anayetaka
kukitwalia kitabu hiki na
kukisoma. Manabii na
Mitume wao wako katika
nafasi ya waelekezaji na
AN-NUUR
Baqara: 255
11/5/2015 3:36:00 PM
Habari
AN-NUUR
Namwambia (Ismail)
Jussa hatutoi (Serikali),
labda mtupindue.
Serikali ya kimapinduzi
h a i c h u k u l i w i
kwa karatasi, hilo
nawabainishia-Asha
Bakari.
Hata wapinzani
washinde kwa kura,
C C M h a t u k o t a ya r i
kutoa Serikali. Vifaru
na makombora ya
kivita yapo kwa ajili
ya kuhakikisha hilo.Salmin Awadh Salmin.
Uchaguzi Mkuu wa
Z a n z i b a r u m e f u t wa
na Tume ya Taifa ya
Uchaguzi Visiwani
humo (ZEC), ambayo pia
imetangaza kurudiwa
k wa u c h a g u z i h u o .
Sababu zilizotolewa na
Mwenyekiti wa ZEC,
bwana Jecha Salim Jecha,
wakati akifuta uchaguzi
huo ni nyepesi mno na
wala hazina mashiko.
Jecha alishinikizwa na
w e n y e m a m l a k a ya
Zanzibar kufanya kile
alichofanya!
Wa s w a h i l i w a n a
msemo, "ukimuona
mbwa yuko juu ya mti,
basi ujue hakupanda
m w e n y e w e " . Wa t u
w o t e wa n a o f u a t i l i a
kwa karibu siasa za
Zanzibar, wanajua
kwamba maneno yale si
ya Jecha. Yeye katumika
tu kuvuruga uchaguzi
wa Zanzibar, ambao kwa
mujibu wa waangalizi
wa ndani na nje, ulikuwa
umeenda vizuri.
Niwakumbushe
kidogo kuhusu Bunge
Maalumu la Katiba
mwezi April mwaka jana
kule Dodoma. Mjumbe
wa Bunge hilo kupitia
CCM, Asha Bakari
Makame alimpasha
mjumbe mwenzake
kutoka CUF, Ismail Jussa
Ladhu. Alisema hivi:
Namwambia (Ismail)
Jussa hatutoi (Serikali),
labda mtupindue.
Serikali ya kimapinduzi
h a i c h u k u l i w i
kwa karatasi, hilo
nawabainishia.
Tu m e wa h i p i a
kumsikia aliyekuwa
Mnadhimu Mkuu wa
CCM kwenye Baraza la
Wawakilishi, marehemu
Salmin Awadh Salmin,
akitamka kwamba hata
wapinzani washinde
ANNUUR REAL.indd 3
umuhimu wa amani
ya n c h i p a m o j a n a
Maridhiano yaliyofikiwa
kati ya CUF na CCM.
Sasa uchaguzi wa
mwaka huu, Maalim Seif
alitangaza mapema kuwa
hatakubali tena kuporwa
ushindi wake. Ndiyo
maana tunashuhudia
viroja hivi vya kufuta
matokeo! Wamekwama!
N i m e o n a
nizungumzie kidogo
kuhusu ukweli halisi wa
siasa hizi zinazoitwa za
'Kidemokrasia' na Katiba
zinazotokana na mfumo
huo, ili wasomaji wangu
waweze kuakisi kwa
usahihi yale yanayotokea
Zanzibar hivi sasa. Jambo
la msingi ni kufahamu
kwamba dhana ya
'Demokrasia' siyo halisi
kama tunavyoaminishwa
na watetezi wake. Ni
ulaghai tu unaolenga
k u w a n d a m i z a
wanyonge, kupitia
matumaini hewa.
Na kupitia Katiba
inayotawala Zanzibar
n a Ta n z a n i a B a r a ,
kamwe mabadiliko
yatakayoifanya nguvu
ya umma itawale nchi
hizo hayatapatikana.
CCM itaendelea
kutawala Watanzania,
hatuwezi kusema
milele, lakini mpaka
hapo watakapochoka
wenyewe!
Tumefundishwa tangu
shule za msingi kwamba
'Demokrasia' ni mfumo
wa utawala wa Watu,
unaowekwa na Watu
kwa ajili ya Watu hao.
Hiyo ndiyo dhana kuu
inayotawala mfumo wa
'Demokrasia', ambayo
sisi kama taifa tunaufuata
na Katiba inayotuongoza
imeuzingatia.
Lakini waasisi wa
Siasa za Kidemokrasia
duniani, wanaamini
kwamba ukiwapa
wa n a n c h i m a m l a k a
kamili kupitia Katiba,
basi unahatarisha
t a a s i s i y e n y e w e ya
'Demokrasia.' Wananchi
hao wanaweza kuitupilia
mbali 'Demokrasia'
kwa kutumia nguvu
waliyonayo kikatiba.
Kwa hiyo, walinzi
halisi wa 'Demokrasia'
ni genge dogo tu la
wa t u wa n a o n u f a i k a
na mfumo unaotawala
na wala siyo wananchi
kama inavyoaminishwa.
Genge hili halitaki kabisa
mabadiliko na limethibiti
siasa za nchi kupitia
Katiba na nguvu za Dola.
Ni vyema wananchi
wa k a e l e wa k wa m b a
katika mifumo ya tawala
za 'Kidemokrasia', si
kweli kwamba wananchi
ndiyo wenye mamlaka
ya kutunga Katiba
itakayolinda maslahi
yao. Katiba inatungwa
na kikundi kidogo tu
cha watu, na maslahi
ya kikundi hicho ndiyo
yanayolindwa kwa
g h a r a m a ya u m m a .
Tu m e s h u h u d i a h i l i
Dodoma kwenye
Bunge Maalumu la
Katiba mwaka jana,
ambapo maoni ya
wananchi yametupwa,
yameingizwa ya
watawala!
Pamoja na kwamba
Katiba ni Muafaka
wa Kitaifa, lakini
Katiba pia ni chombo
cha utawala. Kikundi
kidogo kinachotawala
nchi, huwa hakipendi
mabadiliko yanayoweza
kutishia utawala wao.
Wanapendelea zaidi
Katiba itakayolinda
utawala wao milele!
Wananchi wanaburuzwa
tu kwa kutumia hila,
hadaa, vitishio,
propaganda, danganya
toto na ubabe.
Tumeshuhudia jinsi
'Demokrasia' ilivyopora
haki ya Wananchi wa
Misri, Uturuki, Algeria,
Tunisia, Iraq, Afghanistan
n a Pa l e s t i n a . H a k u n a
asiyejua kwamba wananchi
wa nchi hizo wakipewa
mamlaka kamili lazima
watachagua utawala wa
Kiislamu. Lakini kwanini
nchi hizo za 'Kidemokrasia',
hazitawaliwi Kiislamu
l e o ? Wa n a n c h i w a k e
hawana mamlaka yoyote.
Hiyo ndiyo kanuni ya
'Demokrasia'!
G e n g e l a wa t a wa l a
linaamini kwamba katika
mfumo wa Siasa za
'Kidemokrasia', Katiba ni
chombo tu cha watawala
kuwabana watawaliwa,
ingawa kwenye
m a j u k wa a ya s i a s a
wanahadaa kwamba
wananchi ndiyo wenye
mamlaka yote.
11/5/2015 3:36:00 PM
Tahariri
AN-NUUR
ANNUUR REAL.indd 4
umeharibu na kuvuruga
hata yale machache mazuri
uliyoyakuta.
Wa i s l a m u k a t i k a
mafundisho
yao
wanaambiwa kuwa Siku ya
Hukumu itakapofika, wale
ambao waliishi katika maisha
ya dhambi watajuta kwa nini
waliumbwa binadamu.
Wa t a s e m a , l a i t i
ningalikuwa udongo nisipate
adhabu hii inayoningoja hivi
sasa. (78:40)
K a t i k a m u n a s a b a wa
kuingia Ikulu, hapana shaka
itakuwa ni katika Dua na
Dhamira ya Rais Magufuli,
kufurahia utumishi wake
katika nafasi ya Urais na sio
kinyume chake.
Lakini la kuzingatia pia ni
kuwa muda haumngoji mtu.
Kadiri atakavyoishi
mwanadamu, lakini siku ya
kuondoka kwake duniani,
anaona kama hakuishi ila
siku moja au nusu siku tu.
N a n d i o p a l e Q u ra n
inaposema, Siku
watakapokiona (Kiama-Siku
ya Hukumu) watakuwa
kama kwamba hawakukaa
(ulimwenguni) ila jioni moja
au mchana wake tu. (79:46)
Basi kama ndivyo
itakavyokuwa siku ya kufa
na siku ya Hukumu, basi ni
hivyo hivyo katika kukaa
Ikulu.
Walipita Wazee wetu,
Mwalimu Nyerere, Benjamini
William Mkapa, Alhaji Alli
Hassan Mwinyi na sasa
Jakaya Mrisho Kikwete,
lakini siku wanaondoka
Ikulu, si ajabu waliona kama
hawakukaa ila kidogo tu.
Bado wangali wanatamani
utamu wa kukaa Ikulu
(madaraka), lakini muda
wao umekwisha.
Utamu huu wa madaraka,
ndio huwafanya baadhi ya
ma-Rais kufanya vitimbi
kudumu Ikulu ili waendelee
kupigiwa saluti, barabara
zisafishwe kwa vingora
wakipita, na mbwembwe za
walinzi kila upande. Wenye
visirani ndio usiseme,
waendelee kuwaonea
baadhi ya watu, ambao kwa
sababu moja au nyingine
wa l i wa h e s a b u k u wa n i
maadui.
Sasa maadhali nchi yetu
ishajijengea utamaduni
wa kuondoka kistaarabu
kila baada ya muda fulani,
uungwana ni kutumia muda
vizuri kufanya yaliyo mema
kwa mujibu wa matarajio ya
wananchi na kwa manufaa
ya nchi.
AN-NUUR
Inaendelea Uk. 5
11/5/2015 3:36:00 PM
Habari
5
Inatoka Uk. 4
wa Mzalendonet, walifikia
makubaliano katika kikao
kilichofanyika Jumatatu
wiki hii Novemba 01, 2015,
ambacho kilijadili mwenendo
mzima wa hali ya kisiasa
nyumbani Zanzibar na
matokeo ya uchaguzi ambayo
hayakukamilika kutangazwa.
W a z a n z i b a r
waliohudhuria katika kikao
hicho, wengi walipitisha
azimio la kufanyika
maandamano hadi katika
ofisi za ubalozi wa Tanzania
Uingereza na kufikisha barua
kwa wabunge wa Uingereza
kuhusu suala hilo.
Kuna kila dalili kwamba
tayari wapo ambao
wameshawasilisha barua
h i z o k wa wa b u n g e wa
Uingereza na kuwataka
kufikisha ujumbe wao kwa
Waziri Mkuu wa Uingereza
Bw. David Cameroon, ili
kuingilia kati mzozo uliopo
baina ya vyama vya CCM
na CUF kuhusu kufutwa
uchaguzi mkuu.
Aidha suala la
maandamano bado
lilielezwa kuwa bado lipo
kama lilivyopangwa, lakini
imetolewa kwanza nafasi
k wa vi on g o z i Ta n z a n i a
kuendelea na mazungumzo
hadi kufikia ufumbuzi wa
mzozo huo.
Imeeleza taarifa hiyo
kuwa wakati viongozi wa
Z AWA U K w a k i f u a t i l i a
kwa karibu mazungumzo
hayo, iwapo itaonekana
hakuna dalili za maendeleo
yeyote ya maridhiano, basi
Wazanzibar hao wataendelea
na maandamano ya siku tatu
mfululizo katika Balozi za
Tanzania nchini Uingereza
kama yalivyopangwa na
kukubaliana.
Kuna taarifa kuwa jeshi la
Polisi Scotland Yard Special
Events, limeshafikishiwa
taarifa ya maandamano
hayo na maandalizi
yalikashamilika.
Mwishoni mwa mwezi wa
Oktoba 2015, Tume ya Haki
za Binadamu na Utawala
Bora ilitoa ushauri wake
kwa ZEC, kuhusiana na
tangazo la Mwenyekiti wa
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC), Bw. Jecha Salim
Jecha, alilolitoa Oktoba, 28
2015 kupitia vyombo vya
habari, la kufuta matokeo ya
uchaguzi Mkuu uliofanyika
Zanzibar Oktoba 25, 2015 na
kuahirisha mchakato mzima
wa uchaguzi hadi hapo Tume
hiyo itakapotoa taarifa ya
kufanyika tena uchaguzi huo.
Katika taarifa ya
Mwenyekiti wa Tume hiyo
ya Haki za Binadamu Bw.
Bahame Tom Nyanduga,
ilitoa ushauri kuwa baada ya
kupitia Ibara na vifungu mbali
mbali vya Katiba zote mbili
na sheria husika, yaani katiba
ya Jamhuri ya Muungano na
Katiba ya Zanzibar, Tume
ya Haki za Binadamu na
Utawala bora (THBUB)
ilijiridhisha kwamba ina
uwezo wa kuishauri Tume
ANNUUR REAL.indd 5
AN-NUUR
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto), Makamu wake wa kwanza,
Maalim Seif Sharif Hamad.
ya Uchaguzi ya Zanzibar
kuhusiana na masuala kadhaa
yaliyojitokeza katika Tamko
la Mwenyekiti wa Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar.
Tume hiyo ilieleza kuwa
Ibara ya 21 ya Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ya Mwaka 1977,
na Ibara 21 ya Katiba ya
Zanzibar ya mwaka 1984 [1]
mamlaka ya kushughulikia
matatizo ya uchaguzi na
kuyapatia ufumbuzi kwa
utaratibu ulioanishwa katika
kifungu hicho.
THBUT ilisema kuwa
kifungu hicho kinabainisha
mamlaka ya Tume (ZEC)
kutangaza matokeo ndani
ya siku tatu na endapo kuna
matatizo yamejitokeza katika
mchakato wa uchaguzi,
ZEC inatakiwa kuyatafutia
ufumbuzi, na baada ya hapo
matokeo yatatangazwa ndani
ya siku tatu.
Aidha THBUB ilieleza
kupitia sababu zilizotolewa
na Mwenyekiti Jecha
na kubaini kwamba
mambo yote yaliyotajwa,
yanaweza kutatuliwa
i wa p o M a k a m i s h n a wa
ZEC wataweka tofauti zao
pembeni, na wakafanya kazi
kwa pamoja kwa nia njema.
Hivyo THBUB ilishauri
kwamba tofauti ama kasoro
za kiutendaji zilizotajwa
zinaweza kutatuliwa kwa
kuhakiki waliopiga kura kwa
mujibu wa daftari, na kwa
kuzingatia sheria zilizopo na
kwamba, THBUB inapenda
kumshauri Mwenyekiti wa
ZEC kutafakari upya uamuzi
wake wa kufuta uchaguzi na
matokeo yake yote.
Katika hitimisho la taarifa
hiyo, THBUB ilisisitiza
umuhimu wa kila mdau wa
uchaguzi kuzingata sheria,
katika mchakato mzima,
kwani bila kufanya hivyo
misingi ya utawala bora
itakuwa imevunjwa, na
hivyo inaweza kusababisha
uvunjifu wa haki za binadamu
na kwamba, wao wapo tayari
tayari kushirikiana na ZEC
kuchunguza tuhuma zote
zilizotajwa na Mwenyekiti
Jecha na kuzitafutia ufumbuzi
wa haraka ili kulinda haki
za binadamu na misingi ya
utawala bora.
ALIYEKUWA mgombea
Ubunge kupitia Chama Cha
CUF, Kondo Juma Bungo,
amesema yeye pamoja na
wapiga kura wa Jimbo
la Mbagala, wanaimani
wameshinda uchaguzi huo.
Kwa maana hiyo, alisema
hivi sasa yupo katika
mchakato wa kwenda
Mahakama Kuu Jijini Dar es
Salaam, kupinga mgombea
wa CCM, katika jimbo hilo
kutangazwa kuwa ndiye
mshindi.
Napenda niseme, sina
kanuni ya kukata tamaa
katika kudai haki katika hali
yoyote na haswa nikiamini
kuwa nipo katika haki,
nitahakikisha uchaguzi wa
Jimbo la Mbagala unarudiwa
kama alivyo tangaza na
Mkurugenzi, kabla ya
kumtangaza mgombea wa
CCM. Alisema Kondo.
Alisema, hakuna
linaloshindikana kwa
Mwenyezi Mungu, ikiwa
tu utaonyesha jitihada za
kudai na kupigania haki,
na Mwenyezi Mungu
hapendi wale wanaokubali
kudhulumiwa haki zao bila
kuonyesha jitihada zozote.
Akiwashukuru wananchi
wa jimbo la Mbagala na kila
aliyemuunga mkono tokea
alipotia nia ya kugombea
Ubunge, alisema kwa
ujumla hana tamko ambalo
litawakilisha hisia halisi ya
ALIYEKUWA mgombea Ubunge kupitia Chama Cha CUF, Kondo Juma Bungo.
thamani yao kwake zaidi ya
shukrani zake kwao kwani
wote walisema wapo nyuma
yake katika suala hilo.
Zaidi, napenda
kuwashukuru wananchi
wa J i m b o l a M b a g a l a ,
hakika wamenichagua
tena kwa kura nyingi na
hakika nimeshinda na wao
wameshinda pia, lakini
kilichotokea nimeporwa haki
yangu na haki ya wapigiga
kura kwa ujumla. Amesema
Kondo Bungo.
Akielezea sinto fahamu
iliyotekea katika Jimbo lake,
mpaka kuamuliwa kurudiwa
uchaguzi kisha baadae
kutangazwa mgombea wa
CCM, kuwa ndiye mshindi,
Kondo, alisema kwa ujumla
uchaguzi umevurugwa na
Watendaji wa Halimashauri
pamoja na wasimamizi wa
uchaguzi.
Alisema, wameharibu
uchaguzi kutokana na
kuficha nyaraka za matokeo
kwa kuwanyima baadhi ya
mawakala wake fomu za
matokeo, hata hivyo alidai
walipopitia karatasi za
watendaji hao walizobandika
katika vituo vya kupigia kura
zinaonyesha yeye ameshinda.
Utata ulipozuka katika
kuhakiki, ndipo akaja
Mkurugenzi wa Manispaa
ya Temeke, naye alipoelezwa
alikiri kweli uchaguzi
umeharibiwa na kwamba
itabidi urudiwe na akaahidi
mbele ya Waandishi wa
Habari, kuwa uchaguzi wa
Jimbo la Mbagala umefutwa
na utarudiwa na kututaka
wahusika wote kurejea katika
kituo cha majumuisho ya
kura ili kutoa tamko ni lini
uchaguzi utarudiwa hayo
ndiyo yalikuwa makubaliano
kwa ujumla. Alisema Kondo
Bungo.
Hata hivyo, alisema
katika hali ya kushangaza
na kusikitisha siku iliyofuata
asubuhi walipofika kituoni
hapo kama walivyoelezwa
na Mkurugenzi wa
Temeke, walikuta matokeo
yameshabandikwa
yakionyesha mgombea wa
CCM, kuwa ndiyo mshindi.
11/5/2015 3:36:01 PM
TANGAZO
AN-NUUR
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
ANNUUR REAL.indd 6
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
S/N
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
NAME
AISHA SHAFII JUMA
ALYA IDDI BAKARI
AMINA ABDILLAH MACHANO
AMINA MOHAMED LIPANDUKA
AMINA RAMADHANI MBARUKU
AMINA RAMADHANI MFINANGA
AMINA SHABIBU MSUMARI
AMNEY ALLY KIMARIO
ASHA ATHUMANI SOGA
ASIA WAHABI MZIRAY
ASMA ALLY MINTANGA
ASMAA OMARI KANIKI
ASMIN MRIDU ABDALLAH
BATULI SAIDI MWANGA
ESTAR DAUD IDDY
FAIDHA AYOUB MBWANA
FAITHAR EMANUEL MUSHI
FARIDA MOHAMMED SULEIMAN
FAT-HIYA HAJI JUMA
FATINA TWAHA MSABAHA
FATMA ABOUD MSONDE
FATMA FADHILI MKAMBA
FATUMA ALLY NCHIRA
FATUMA AMIRI DOSSA
FAUDHIA ALLY ISMAIL
HABIBA SHABANI JUMA
HADIJA MOHAMED SHEKIMWERI
HADIJA MUHAMEDI SWALEHE
HADIJA ZUBEIR HASSAN
HAJRA ABDULKHEIR MRUMA
HALIMA MUHSIN MUSSA
HALIMA ZUBERI HASSANI
HAMISA SWAHIBU CHAMBO
HASSANATH ALLY KAISI
HAWA ABDALLAH MSUYA
HAWA DUNIA ABASI
Inaendelea Uk. 7
11/5/2015 3:36:01 PM
TANGAZO
Inatoka Uk. 6
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
AN-NUUR
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
ANNUUR REAL.indd 7
WASICHANA
JINA LA MWANAFUNZI
AMINA HASSAN YUSSUF
MARYAM MOHAMED JUMA
NAHYA MOHAMED JUMA
FATMA ALIY OMAR
ZAINAB ALI YUSSUF
MUZDALIFA ISMAIL ALLY
ARAFA ALI OMAR
RAHMA SHAIBU JUMA
ANTIRA NASSOR SAID
AISHA HAROUB MOHAMED
SALMA ALI MOHD
MUFYDA MOHAMED RAJAB
AHLAM OMAR KHAMIS
SALMA ALI MOHAMED
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
11/5/2015 3:36:02 PM
TANGAZO
AN-NUUR
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
GIRLS
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
STUDENT NAME
AISHA MKIWA SWALEHE
AISHA NASIBU MBWAMBO
ASHURA HASHIMU HASSAN
ATKAH ISSA JUMA
AWENA SAID ALLY
BILHUS MBWANA BAKARI
FATUMA HALIFA HAMISI
FAUDHIA ATHUMANI HUSSEIN
HAFSA YAHYA RAJABU
HANNAN SULEIMAN ABDALLAH
HAULAT JAMES MPUNDUI
HAWA SELEMAN HUSSEIN
JOKHA YAHYA IKOMPE
KAWTHAR KHAMIS MASOUD
KHADIJA ALLY MSHAURI
KURUTHUM MOHAMED NYAGALI
LATIFA RAMADHAN CHAPOZO
MARIAM EMANUEL MARTIN
MARIAM KITUNDU MDEYA
MERATUN FAKIRA BACH
MONICA NYAKIA CHIRUKILE
MWAJUMA SALUM SESE
MWAMVUA MUSTAFA FARAJI
MWANAHAWA MANDIA RASHIDI
MWANAIDI JOHN MBAGA
NADIAH SAID MATAKA
NAILA SHUKURU SAIDI
NASRA JUMA ABDALLAH
NATASHA AHMED MOHAMED
RAHMA ABUBAKARY MNIMBO
RAHMA SUMBUKENI MALELA
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
ANNUUR REAL.indd 8
18.
19.
20.
21.
22.
23.
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
MWANAISHA ABDALLAH
MWANAKHERI AHMAD SHAH
35
36.
37
38
39
40
41.
42
43
44
45
ZAINABU JUMAIBRAHIMU
46
47
Inaendelea Uk. 13
11/5/2015 3:36:02 PM
Makala
AN-NUUR
TA R E H E 2 1 M a c h i
2015 ilikuwa siku ya
kuadhimisha mwaka wa
50 wa kuondoa ubaguzi
duniani (50th anniversary
of the International
Convention on the
Elimination of All Forms
of Racial Discrimination
(ICERD). Hii ni siku
maarufu kwa jina la:
International Day for
the Elimination of Racial
Discrimination.
Na ujumbe wa mwaka
huu ulikuwa: Learning
from historical tragedies to
strengthen the global fight
against racism.
Ukiwa na maana ya
kuwahimiza watu kusoma
kutokana na yaliyojiri
katika historia, ili pasiwe
na kurudia makosa na
wakati huo huo kuongeza
juhudi katika kukabiliana
na uovu wa ubaguzi.
Katika ujumbe wake
kwa siku hiyo, Mwenyekiti
wa K a m a t i ya U m o j a
wa Mataifa ya Kufuta
ubaguzi (Committee on
the Elimination of Racial
Discrimination), Jose
Francisco Cali Tzay, alitoa
wito kwa jumuiya ya
kimataifa kuvunja ukimya
juu ya uovu wa ubaguzi na
wajifunze kutoka historia
ili wasiruhusu tena uovu
huo dhidi ya binadamu
kutendeka katika zama
hizi.
Nchi za Ulaya zilibuni
sera za kibaguzi dhidi ya
watu wengine zikajipa
ubora na haki juu ya
wengine ili zipate kisingizio
na sababu ya kuwatawala
na kuwanyonya wengine,
na sasa wanataka
kupanua zaidi ubora na
ukandamizaji wao kwa
wengi zaidi (jambo ambalo
halikubaliki). Amesema
Jose Francisco Cali Tzay
k a t i k a u j u m b e wa k e
mwaka huu.
There is only one race
around the world and that is
the human race, so in theory
there is no basis for racial
discrimination.
Amesema Cali Tzay
akimaanisha kuwa
(maadhali watu wote
wameumbwa na Mungu),
kimsingi kuna taifa na
kabila moja tu: nalo ni
binadamu (human race).
Kwa maana hiyo, hakuna
sababu wala kisingizio
cha namna yoyote
kinachoweza kuhalalisha
ubaguzi dhidi ya watu
wengine.
Katika moja ya kauli na
maandiko yake, Cali Tzay
anasema kuwa japo huwezi
kusema kuwa chimbuko
la ubaguzi ni ubepari/
ubeberu, lakini mfumo huo
ANNUUR REAL.indd 9
Kutokana na wito wa
M a l c o l m X , wa p i n g a
ubaguzi nchini Marekani
wamekuwa wakiandaa
hafla mbalimbali
yakiwemo makongamano
na maandamano kupinga
harakati na mipango ya
mataifa yanayotajwa kuwa
tajiri zaidi duniani G20. Na
mwaka huu wameitisha
maandamano New York
na miji mingine, siku
moja kabla ya mkutano
wa G20 (G20 Summit)
utakaofanyika Uturuki
baadae mwezi huu.
November 15 A Peoples
Response to the G20
Summit, ni maandamano
ambayo waandaaji
wanasema ni muhimu kwa
sababu yataainisha hisia
na hasira za walimwengu
dhidi ya watu wachache
wa n a o h o d h i m a l i n a
rasilimali za dunia huku
wakiwatia wengine katika
dhiki na tabu ya kudumu
ya umasikini.
Waandaaji
wa
maandamano hayo
waliojipa jina Peoples
Power Assembly wanasema
kuwa bila ya kujali
nini itakuwa agenda ya
mkutano wa G20 mwaka
huu hapo Novemba 16,
lakini la kuzingatia ni
kuwa mabebebru hawa
ndio wanasababisha
mauwaji na mateso kwa
watu wasio na ajira, walio
na ajira kulipwa mishahara
midogo, kukosekana
kwa huduma za kijamii,
na baya zaidi hivi sasa
wameibuka na mpango
wa vita na mauwaji katika
nchi mbalimbali duniani
wakitaja Iraq, Libya, Syria,
Yemen na mauwaji ya
kikatili dhidi ya Waarabu,
Wa a f r i k a , Wa i s l a m u
na watu wa Asia, kwa
kisingizio cha kupambana
na magaidi.
Pengine hili la kuvamia
nchi kuondoa uongozi na
hili la kuuwa watu kwa
kisingizio cha ugaidi ndio
tulizungumzie hapa kama
u j u m b e m a a l u m k wa
Rais wetu Mheshimiwa
Dr. John Pombe Joseph
Magufuli aliyeapishwa
jana kuwa Rais wa Serikali
ya Awamu ya Tano katika
Jamhuri ya Tanzania.
Hivi karibuni aliyekuwa
Waziri Mkuu wa Uingereza
Tony Blair na baadhi ya
wanasiasa wa Marekani,
wamenukuliwa wakisema
kuwa ulimwengu
ungekuwa salama zaidi
11/5/2015 3:36:03 PM
10
Makala
AN-NUUR
ANNUUR REAL.indd 10
wa matukio ya kigaidi
ulimwenguni na sera
hizi za ma-neocons na
yaliyokwishaelezwa na
Robin Cook, utaona kuwa
Masheikh na Waislamu hao
ni wahanga tu wa mikakati
hii ya mabeberu. Na tujue
kuwa nchi hii kamwe
haiwezi kusumbuliwa
na
wanaodaiwa
kuwa magaidi, ila
wale waliobuniwa na
k u a n d a l i wa c h i n i ya
m p a n g o h u u wa m a neocons.
K u l e N e w Yo r k
wanafanya maandamano
chini ya kibwagizo: Say No
to Racism, "You Can't Have
Capitalism Without Racism".
S a s a
w a k a t i
Mheshimiwa Dr. John
Pombe Joseph Magufuli
akiapishwa kuwa Rais wa
hasara ni wananchi wa
Iraq na hata viongozi
wao waliotumiwa katika
mkakati huo wakamuona
Saddam ni adui yao au
wale waliomuona Gaddafi
ni adui badala ya kuungana
kuzikabili njama za
mabeberu na NATO yao.
Sisi yakitukuta yanatukuta
ndani ya Tanzania na
kama ni kusambaratika,
inasambaratika Tanzania.
Amesema Jose Francisco
Cali Tzay akiwaambia
mabeberu mabaguzi
kuwa:
There is only one race
around the world and that is
the human race, so in theory
there is no basis for racial
discrimination.
Pengine na sisi tuseme
tukimwambia Rais wetu
Dr Magufuli:
Ta n z a n i a k u n a
watu namna moja tu:
Watanzania.
Na ndio maana nchi hii
imedumu katika amani na
kuitwa kisiwa cha amani.
H a k u n a g a i d i wa l a
m s a l i t i wa k u t u l e t e a
magaidi ndani ya nchi yetu
na hata akijaribu hawezi
kufanikiwa.
Kilichopo ni kile
alichosema Robert
Finlayson Cook.
Propaganda na michezo
inayopandikizwa na
mabeberu ma-neocons.
Sasa namna ya kukabiliana
na michezo na HOAX hizo,
sio kuwakamata Masheikh
na kuwatesa Shimoni na
Guantanamo.
Wakati International
Day for the Elimination
of Racial Discrimination
ya mwaka huu inatupa
ujumbe usemao:
Learning from
historical tragedies to
strengthen the global fight
against racism.
Basi kwetu iwe kusoma
kutoka yanayowakuta
Nigeria katika kupambana
na Boko Haram na kiroja
cha Bring Back Our
Girls tukiwianisha na yale
anayotuambia Robin Cook
kwamba tunafanyiwa
mchezo wa kuigiza katika
hii vita dhidi ya ugaidi.
Tujue kuwa salama
ya nchi hii ipo katika
kutambua michezo hii na
kujua namna ya kucheza
nayo bila ya kuwadhuru
watu wetu na nchi yetu.
Kama ni hapa kazi tu,
basi ionekane pia katika
eneo hili.
Isijekuwa hapa kazi
tu, kufanyia kazi mikakati
na njama za mabeberu.
11/5/2015 3:36:04 PM
11
Makala
AN-NUUR
ANNUUR REAL.indd 11
MSIKITI wa Makkah.
MSIKITI wa Madinah
MSIKITI wa Aqsa.
Muislamu akiwa safirini na
akataka kusali, anaweza
akasali popote pale, muhimu
pawe ni pasafi kutokana na
najisi. Ama katika baadhi
ya umma zilizotangulia,
wao walikuwa hawawezi
kutekeleza ibada zao
isipokuwa wakiwepo katika
sehemu maalumu.
Mafunzo yanayopatikana
katika hadithi hii nikuwa
Muislamu hatakiwi kuacha
sala kwa hali yoyote ile, wala
mwanzo duniani?
M s i k i t i wa m wa n z o
kujengwa duniani ni Msikiti
wa Makka (Al-Qaba) kama
alivyosema Mwenyezi
Mungu katika Qran: "Hakika
Msikiti wa kwanza kuwekwa
kwa watu (duniani ) ni Msikiti
wa Makka " (Al-Imran 3: 96).
Imepokewa hadithi kutoka
kwa Sahaba Abi Dharri radhi
za Mwenyezi Mungu ziwe juu
yake amesema: "Nilimuuliza
Mtume (S.A.W) ni Msikiti
gani wa mwanzo uliojengwa
duniani? Akanijibu ni Msikiti
wa Makka, nikamuuliza
kisha upi, akasema kisha
ukajengwa Msikiti wa AlAqsa. (Bukhari na Muslim.)
Msikiti wa Makka (AlQaba tukufu) ndio Msikiti wa
mwanzo kujengwa duniani,
na aliyeujenga Msikiti huo
ni Nabii Ibrahim rehema
na amani juu yake, kisha
ukajengwa Msikiti wa AlAqsa na mjukuu wake
Nabii Yaakub bin Is-haq bin
Ibrahim, ama Nabii Suleiman
yeye hakuujenga kwa maana
ya kuasisi bali yeye aliufanyia
matengenezo upya Msikiti
wa Al-Aqsa.
Fadhila za kujenga Msikiti
Kuna fadhila kubwa kwa
mwenye kujenga Msikiti.
Kuna mapokezi mengi
yamepokewa kutoka kwa
Mtume (SAW) kuelezea
fadhila za mwenye kujenga
Msikiti, na muhimu kati ya
hadithi hizo ni ile iliyopokewa
kutoka kwa Sahaba Syd
Uthman bin Affan (RA).
Imepokewa kuwa wakati
Sahaba Uthman alipotaka
kuutanua Msikiti wa Mtume
( S AW ) b a a d h i ya wa t u
walikataa kuungana nae juu
ya fikra hii na kutaka Msikiti
wa Mtume uwachwe kama
ulivyokuwa, akawajibu kuwa
"Nimemsikia Mtume (saw)
akisema mwenye kujenga
Msikiti kwa ajili ya Mwenyezi
M u n g u b a s i M we n ye z i
Mungu atamjengea mtu huyo
nyumba peponi ." (Bukhari na
Muslim). Aidha imepokewa
kutoka kwa Sahaba Uthman
kuwa amemsikia Mtume
(SAW) akisema "Mwenye
kujenga Msikiti, Mwenyezi
Mungu atamjengea mtu huyo
nyumba peponi mfano wake,
yaani ya Msikiti alioujenga.
Hapa tunatakiwa tukiwa na
uwezo tujitahidi kujenga
Misikiti wala sio kujenga
Misikiti kwa ushindani
mfano pao kwa papo. Ni
dhahiri Allah katuahidi
kuwa utapojenga Msikiti
jazaa yako ni kwenda Peponi,
lakini tujuwe nazo fedha za
kujengea Misikiti zinatakiwa
ziwe safi, kiwanja sio cha
ghilba na ujenzi uwe wa
dhati kwa mwenye kutaka
kuujenga. Mtume (SAW)
hakuwahimza watu wajenge
Misikiti tu, bali yeye ndiye
wa mwanzo kuonyesha
mfano katika suala hili, na
haya tunayapata pale Mtume
(S.A.W) alipowasili Madina
kwa mara ya kwanza kutoka
Makka (Hijra) alipofika tu
11/5/2015 3:36:05 PM
12
MAKALA
AN-NUUR
ANNUUR REAL.indd 12
uchaguzi wa Zanzibar,
alisema kuwa wamepata
taarifa kuwa Mwenyekiti
huyo ameitisha kikao
cha Tume na kuwataka
Makamishna kuunga
mkono uamuzi wake
huo alioutangaza pekee
wa kufuta matokeo ya
uchaguzi.
Alisema kuwa ni
vyema Mwenyekiti huyo
akatambua kwamba, hata
akiwatumia baadhi ya
Makamishna kumuunga
mkono, bado uamuzi huo
hautakuwa halali kwa
sababu haumo katika
uwezo uliopewa Tume;
si katiba wala sheria ya
uchaguzi.
K wa u f u p i s u a l a
hili halina njia nyingine
ya kulimaliza zaidi ya
k u k a m i l i s h a k a z i ya
kufanya majumuisho,
kuhakiki matokeo na
kumtangaza mshindi
wa uchaguzi, alisema
Maalim Seif.
M a a l i m
S e i f
aliwahakikishia viongozi
na wanachama wa CCM
kwamba hawana sababu
ya k u wa n a h o f u n a
maamuzi ya Wazanzibari
waliyoyafanya Oktoba
25 mwaka huu na
k wa m b a , k a m a k u n a
tofauti zozote za kisera
na kimtazamo baina yao
zinaweza kuzungumzwa
na maelewano kufikiwa.
Nawahakikishia
viongozi na wanachama
wa CCM na Wazanzibari
wote kwamba hakutakuwa
na ulipizaji kisasi au
kufukua makaburi kwa
mambo yaliyopita, sote
tutafanya kazi pamoja bila
ya kujali tofauti za itikadi
za kisiasa, asili, kabila
au dini zetu, Zanzibar
ni moja na itabaki kuwa
moja, alisisitiza Maalim
Seif.
11/5/2015 3:36:06 PM
13
TANGAZO
AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
FURAHA ENOCK MWAISANGO
72
73
NASSORO MSAFIRI
RAJABU MASUMAI MZIRAY
62
74
63
75
64
76
65
77
66
78
67
79
68
80
DHULKIFLI JAMAL
69
81
70
82
83
71
84
48
49.
50
51
52
53
54
55
56
57.
58
59
60
61
Na
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
ANNUUR REAL.indd 13
A. WAVULANA
JINA KAMILI
ABBUBAKAR ABAS MOHAMED
ABDALLAH RAMADHANI SAIDI
ABDILLAH AHMED ISSA
ABDULKARIM MOHAMMED
ABDULMALICK SAID BISHANGA
ABDULRAZACK ABUBAKAR ISSA
ABUTWALIB YUSSUF
AFIDHU SALEHE KAUNGU
AHMADA OMARY SAIDI
ALLY HILAL
ALLY JANKS LUGE
ALLY JUMA RUWANGA
ALLY RASHIDI
ALTIF ABDULAZIZ BABU
AMMAR NKURANGA MARJAN
AWADHI MUSSA WAZIRI
AWADHI RAMADHANI MATANGA
BAUDIN ABDULHAMIDU LUCAS
FALAJI SWAIB KAMLAMBA
FAROUQ ALLY BAKARI
HAMISI SHABANI HAMISI
HASSAN SAID
HIRBAN.A.MKANGWA
HUSSEIN HAMADI NGALA
HUSSIEN SAMADU
IBRAHIM MOHAMED NGANOGERA
IDDY KASSIM TANGULY
IDDY RAMADHANI
ISMAILY JUMANNE
JUMA ALMAS MUSSA
KATUNDA HUSSEIN KAKOLWA
KAWAMBI MAAGANO SAID
KHALFANI JUMA MHOMA
KHATIB IDDI MVUNGI
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
MUAZI SEIF
MUBARACK RAMADHANI
MUSSA ALLY MUSSA
MUSSA IDDI OMARY
MUSSA KASSIM KAYILLA
NASSOR MRISHO MKUTU
OMARY ANTARI KANGETA
RAJABU ALLY CHAKA
RAJABU ALMASI ISMAILI
RASHIDI ABDALLAH KIVURUGA
SAAD SHARIF RAJAB
SADAM HUSSIEN NINGA
SAID MOSHI
SAIDI IDDI SILAYO
SALUM MIRAJI MUZO
SHABAN OMARI SHABAN
SHAFIGH SHABANI MZUZURI
SHAMUNI RAMADHAN ISMAIL
SINANI ILYAS MOHAMED
SUNGWA SHAFII SAID
TWAHA RASHID HASSANI
USAMAH IBRAHIM MBASA
YAHAYA BAHATI YAHAYA
YAMUNGU ALLY YAMUNGU
YASSIN HASSAN KADURI
B. WASICHANA
JINA KAMILI
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
11/5/2015 3:36:06 PM
14
MAKALA
MAZONGE YA UCHAGUZI
NAFASI ZA KAZI/MASOMO
1 . M A M A M L E Z I ( M AT R O N ) B W E N I L A
WASICHANA,UMRI KUANZIA MIAKA 40.
2.MLEZI BWENI LA WAVULANA (WARDEN),UMRI
KUANZIA MIAKA 40.
3.FUNDI UMEME, UJENZI NA SEREMALA,
WENYE UJUZI NA UZOEFU
Email applications.wec@gmail.com
Simu 0655786424. Usipige tuma sms tu.
Pambana na ujinga kuwasomesha watoto
wako katika shule za WEC -Kibaha kuanzia
Nursery,Msingi, Sekondari na ualimu. Bweni na
kutwa. Simu 0715959522/0786959522
ANNUUR REAL.indd 14
AN-NUUR
11/5/2015 3:36:06 PM
15
AN-NUUR
TANGAZO
Inatoka Uk. 13
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
JINA KAMILI
JINSIA
ZULFA RAMADHANI
KE
KE
BAYHAQIYYU MWAYA
ME
HAWA RAMADHANI
KE
KE
KE
KE
MWANAHARUSI HASSAN
KE
KE
10
ME
ME
KE
KE
ME
KE
KE
KE
KE
KE
ME
KE
KE
KE
KE
11
KE
12
TAMIMA M. MWAZBANI
KE
13
ZAINAB J. SWED
KE
14
ME
15
KE
16
KE
17
KE
18
KE
19
KE
20
KE
21
MWANAHARUSI MWINSHEHE
KE
22
ME
MAELEKEZO MUHIMU.
1.AMBAO HAWAONI MAJINA KATIKA SHULE WALIYOOMBA
WAANGALIE KATIKA ORODHA YA SHULE NYINGINE.
2.WALIOCHGALIWA WAFUATILIE BARUA ZAO KATIKA VITUO
WALIPOFANYIA MTIHANI.
3.AMBAO HAWAKUCHAGULIWA WAJIANDAE KUFANYA
MTIHANI KWA MARA YA PILI
TAREHE 28/11/2015 KATIKA VITUO WALIPOFANYIA MTIHANI
WA KWANZA (BILA MALIPO)
ANNUUR REAL.indd 15
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
ME
KE
ME
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
KE
B: UBUNGO ISLAMIC
TEACHERS' COLLEGE
WALIOCHAGULIWA
KUJIUNGA NA KOZI FUPI
1
2
3
4
KE
ME
KE
ME
KE
11/5/2015 3:36:07 PM
16
HABARI
AN-NUUR
Inatoka Uk. 20
ni kufuata Katiba, hivi
sasa Zanzibar haina Rais
halali na itakuwa pia haina
Baraza la Wawakilishi
hali itakayozidisha zaidi
mgogoro wa kikatiba.
Fatma Karume,
alisikitikia hali
iliyotamalaki Zanzibar ya
kusambazwa wanajeshi
na vifaa vizito vizito vya
kijeshi hali inayotisha
wananchi na hivyo
kukwaza shughuli za
kiuchumi na maisha ya
kawaida.
Lakini akasema pia hiyo
inakuwa ni kana kwamba
wananchi wa Zanzibar
wanaadhibiwa kwa
kutekeleza haki yao ya
kupiga kura na kuchagua
viongozi wanaowataka.
Lakini pia akasema,
anashangazwa na
uhuni wanaofanyiwa
Wazanzibari, kwamba japo
walipiga kura tano, lakini
z i n a z o o n e k a n a k u wa
ni chafu, ni za Rais wa
Zanzibar na Wawakilishi/
Madiwani pekee, ila za Rais
wa Tanzania/Wabunge
safi, wakati mpiga kura ni
huyo huyo, kituo ni hicho
hicho na msimamizi ni
huyo huyo.
Lakizi kubwa zaidi,
kura zilishahesabiwa na
matokeo kukubaliwa na
mawakala wa wagombea
(vyama) halikadhalika
kusainiwa na msimamizi
wa uchaguzi (ZEC) na fomu
za matokeo kubandikwa
katika vituo husika kama
sheria inavyotaka.
Akasema, kwa maana
nyingine ni kuwa ZEC
inafuta uchaguzi baada
ya kuendesha upigaji
kura na kutoa matokeo na
kuyakubali kwa kusaini
kuwa ni halali.
Katika ujumla wake,
wanasiasa hao wanasema
kuwa, kwanza Wazanzibari
wameporwa haki yao
kinyume cha katiba na
sheria na kwa kufanywa
hivyo, nchi imeingizwa
katika mgogoro mkubwa
wa kikatiba, japo watawala
wanafanya kiini macho
wa k i d a n g a n ya u m m a
kwamba kilichofanyika ni
halali na wao kuendelea
kuwepo madarakani ni
halali pia.
Mwanasheria Awadh
katika kulitizama suala hili
amekwenda mbali zaidi
akisema kuwa anachoona
h a ya n i m a t o k e o ya
ukaidi wa kungangania
muungano wa serikali
mbili.
Akifafanua akasema,
R a i s wa Z a n z i b a r n i
mjumbe katika Baraza la
Mawaziri la Tanzania.
Sasa maadhali
anayeingia madarakani
ANNUUR REAL.indd 16
Inatoka Uk. 20
Jecha
alisema
kutokana na kasoro
nyingi zilizojitokeza
katika uchaguzi huo
kwa mamlaka aliyopewa
anafuta uchaguzi huo na
Tume hiyo italazimika
kufanya uchaguzi mengine
upya, kauli hiyo imepigwa
na baadhi ya wanasiasa na
wanasheria mbali mbali
nchini.
Wakizungumza kwa
nyakati tofauti wanasheria
hao wamesema kwamba
Mwenyekiti wa Tume ya
Uchaguzi hana mamlaka
ya kisheria kufuta matokeo
ya uchaguzi.
Kwa maana hiyo
amefanya jambo batili
kikatiba na kisheria na
kwa hakika inahuzunisha
kwamba serikali
inayowachagiza wananchi
kufuata sheria, ndiyo
Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Mwalimu Nyerere,
Mzee Joseph Butiku.
inaonekana nyuma ya
pazia katika jinai na hatia
hii kubwa inayoweza
kuleta machafuko katika
nchi.
11/5/2015 3:36:07 PM
17
Inatoka Uk. 14
akamwambia, Mwanangu.
Naye akamwitikia, mimi
hapa. Akasema, Tazama,
sasa mimi nimekuwa mzee
wala sijui siku yangu ya kufa
kwangu. Basi, nakuomba ,
chukua mata yako, podo lako
na upinde wako, ukaende
nyikani uniwindie mawindo;
ukanifanyie chakula kitamu
namna ile niipendayo,
ukaniletee, ili nile; na roho
yangu ikubariki, kabla sijafa.
(Mw. 27:1-4.)
Zile Israiliyati
n i l i z o k u wa n i k i s e m a
zinajitokeza hapo, wakati
Isaka ameishi mpaka
amezeeka na kupofuka
macho, alikuwa anajua
kuwa mwanae wa kanza
ni Isaka, lakini andiko
lilitwambia kuwa ukubwa
wake wa mzaliwa wa
kwanza aliubadilisha
na chakula chekundu
cha dengu; na Yakobo
aliridhika kuwa ndiye
mkuwa akampa chakula
cha dengu na mkate.
Na Rebeka akasikia,
Isaka aliposema na Esau
mwanawe..Rebeka
a k a m w a m b i a Ya k o b o
mwanawe, akisema, Angalia,
n i m e m s i k i a b a b a ya k o
akisema na Esau, ndugu
yako, akisema,mbele za
BWANA basi, mwanangu,
sikiliza sauti yangu kama
nitakavyokuagiza. Enenda
sasa kundini unitwalie wanambuzi wawili walio wema,
nami nitawafanya chakula
kitamu kwa baba yako,
namna ile aipendayo. kisha
utampelekea baba yako, apate
kula, ili akubariki kabla ya
kufa kwake. (Mw. 27:5-10.)
Katika andiko la hapo
juu, Isaka hakumwambia
Esau nikubariki mbele
za BWANA, man en o
hayo ameyasema Rebeka;
akimaanisha kuwa
anayeidhinisha Baraka
au laana, zimpate mtu ni
BWANA, yaani Mwenyezi
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Wananchi CUF,
kimeelezea kusikitishwa na
matukio ya kuwatia hofu
wananchi na kuhatarisha
amani ya nchi.
Akizungumza na
waandishi wa habari katika
ofisi za Chama hicho
Mtendeni Zanzibar, Naibu
Katibu Mkuu wa CUF
Zanzibar Nassor Ahmed
Mazrui, ameyataja matukio
hayo kuwa ni pamoja na
miripuko inayoelezwa kuwa
ni mabomu katika maeneo ya
Mkunazini na Michenzani.
Ameyataja matukio
mengine kuwa ni uvamizi
uliofanywa katika kisiwa cha
Tumbatu ambao ulipelekea
nyumba nne kutiwa moto na
nyengine kadhaa kuvunjwa,
sambamba na kupigwa na
kujeruhiwa kwa wananchi 16
wa kisiwa hicho.
Akifafanua kuhusu
matukio ya miripuko, Mhe.
Mazrui ameishauri Serikali
ANNUUR REAL.indd 17
Makala
AN-NUUR
n a i n a o n e k a n a n d i ye
aliyechangia silka ya wana
wa Israeli tunayoishuhudia
hadi sasa, ya uongo na
ulaghai n.k. Ni vipi
Yakobo alaaniwe na baba
yake, lakini laana impate
mamayake? Wasomaji,
naandika kisa hiki kutoka
katika Biblia, kwa kirefu
k wa k u wa , h i i n di y o
moja ya misingi mikuu
wanayosifiwa nayo
wana wa Israeli, kuwa
imewajengea utukufu kwa
Mwenyezi Mungu, na
wakawa taifa teule. Fatilia
mahojiano ya Yakobo na
baba yake Mzee Isaka:
Akaja kwa baba yake,
akasema, Babangu. Akasema
Mimi hapa, Unani wewe,
mwanangu?
Ya k o b o
akamwambia babaye, Mimi
ni Esau, mzaliwa wako wa
kwanza, nimefanya kama
ulivyoniambia. Ondoka,
tafadhali, ukae kitako, ule
mawindo yangu, ili roho yako
inibariki. Isaka akamwuliza
mwanawe, Imekuwaje
umepata upesi namna hii,
mwanangu? Akasema, Kwa
sababu BWANA, Mungu
wako, amenifanikisha. Isaka
akamwambia Yakobo, Karibu,
tafadhali, ili nikupapase,
mwanangu, nione kwamba
wewe ndiwe mwanangu
Esau, ama siyo. Basi Yakobo
akamkaribia Isaka, babaye,
naye akampapasa, akasema,
Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini
mikono ni mikono ya Esau.
Wala hakumtambua, kwa
maana mikono yake ilikuwa
kama mikono ya Esau yenye
malaika; basi akambariki.
Akamwuliza, Wewe ndiwe
kweli mwanangu Esau?
Akasema , Ndimi. Akasema
Niletee karibu nami nipate
kula mawindo ya mwanangu,
11/5/2015 3:36:08 PM
18
Na Mwinjilisti Kamara Kusupa
Nimeamua kuijibu makala
ya Khatib J Mziray toleo na
1231 ilihusu KHABARI
YA ISRAEL TAIFA TEULE
LA MUNGU. Sikusudii
kulumbana naye, ila
kwakuwa amenukuu
vifungu kadhaa vya Biblia,
kuna ulazima wa kuweka
mambo sawa.
Sisi waumini wa
njia ile tumeagizwa
kuishindania imani mara
moja tu kwasababu baada
ya maisha ya hapa duniani
a a m i n i y e h a t a k u wa n a
nafasi tena ya kuishindania
(kuipigania imani). Yuda
aliyekuwa ndugu wa
kuzaliwa tumbo moja na
Yesu, anaandika wapenzi
nilipokuwa nikifanya bidii
sana kuwaandikia habari ya
wokovu ambao ni wetu sisi
sote, niliona imenilazimu
kuwaandikia ili niwaonye
kwamba mwishindanie imani
waliyokabidhiwa watakatifu
mara moja tu. Kwa maana
kuna watu waliojiingiza kwa
siri, watu walioandikiwa
tangu zamani hukumu hii,
makafiri, wabadilio neema
ya Mungu wetu kuwa ufisadi,
nao humkana yeye aliye peke
yake Mola na Bwana wetu
Yesu kristo(Yuda 1-3).
Yesu aliwapa mitume
wake changamoto hii, Je,
atakaporudi tena mwana
wa Adamu ataikuta
i m a n i d u n i a n i ? Ye s u
anazungumzia imani asilia
i l i y o a n z i a k wa A d a m u
B a b a ye t u wa k wa n z a ,
imani ambayo hakuilinda
akaanguka dhambini. Imani
h i y o i k a l i n d wa v i l i v y o
na Ibrahimu hadi Mungu
akamkubali, akamwita
Ibrahimu badala ya
Abrahamu, kumaanisha Baba
wa imani na Baba wa Mataifa
yaani wanadamu wengine
watakaoamini nje ya uzao
wa kimwili wa Ibrahimu
(Waisraeli).
Imani ya Ibrahimu ni somo
pana linastahili kuandikiwa
vitabu hata zaidi ya vitano.
Yesu alipokuwa duniani
hakuanzisha imani mpya, bali
aliilinda, akaipigania imani
ile ile aliyokabidhiwa Adamu
lakini ikamponyoka. Imani ile
ile iliyomfanya Nabii Nuhu
ajenge safina kwa miaka
mia, ndiyo iliyomfanya
Abrahamu ajitenge na ukoo
wake, awaachane ndugu zake
na kuishi hali ya upweke.
T o f a u t i ya I b r a h i m u
n a A d a m u n i k wa m b a
Ibrahimu aliilinda imani hadi
mwisho. Mungu akamkubali
akasema, Ibrahimu hakika
nimethibitisha kwamba
unaniamini na unanicha
mimi Mungu wako iwapo
hukunizuilia mwana wako wa
pekee. Mungu akamwapia
Ibrahimu akisema, nimeapa
kwa nafsi yangu nitakubariki,
nitauzidisha uzao wako kama
nyota za mbinguni na katika
uzao wako mataifa yote ya
dunia watajibarikia.
Neno hili la Mungu lilitimia
alipozaliwa Yesu kupitia ukoo
wa Ibrahimu kwani mataifa
yote ya dunia yanajibarikia
kwa jina lake, hayabarikiwi
kupitia dola ya Israeli, hili
inabidi liwekwe bayana.
Yesu ana sifa nyingine ya
kuitwa mzao wa mwanamke,
kuzaliwa kwake kulitimiza
unabii ambao Mungu aliutoa
ANNUUR REAL.indd 18
MAKALA
AN-NUUR
ukoloni ukafungamanishwa
na Ukristo ukafanywa kitu
kimoja. Ndio maana historia
11/5/2015 3:36:08 PM
19
TANGAZO
AN-NUUR
P.O. BOX 55105, Dar es Salaam; Phone: 022 2450069, 0784 267762, 0654 613086 Fax: 022 2450822, website:wwwipc.org.tz
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Kwanza 2016 kwa shule zifuatazo:
Ambasha Islamic High
Bweni tu - Pemba: 0777 870601/0786 573938
Kirinjiko Islamic Sec. Sch.
Bweni tu - Same: 0784 296424
Mkuzo Islamic High School
Bweni tu -Songea: 0654 876317/0783 079146
Nyasaka Islamic Sec. School Bweni tu - Mwanza: 0786 417685/0713 749020
Ubungo Islamic High School Kutwa na Bweni - DSM: 0687 820895/0716 960456
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora ya sekondari na kuwalea kwa misingi
na maadili mema ya Kiislamu.
2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo: Elimu
ya Dini ya Kiislamu, Usomaji Quran na mafunzo yake,
Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics,
Physics, Chemistry, Biology, Geography, History, Civics,
Book - Keeping na Commerce.
3. Mtihani wa kujiunga utafanyika tarehe 28/11/2015 saa
ANNUUR REAL.indd 19
11/5/2015 9:40:49 AM
11/5/2015 3:36:09 PM
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
Soma
gazeti
la
MUHARRAM 1437, IJUMAA NOVEMBA 6 - 12, 2015
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
AASISI
ya
Mwalimu Nyerere
imeitaka Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar
( Z E C ) k u f a n ya k a z i
kwa kuzingatia katiba
na sheria za nchi na
kuacha kutanguliza
mbele maslahi binafsi
ya kisiasa.
Akizungumza na
vyombo vya habari mjini
Musoma, Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi hiyo,
Mzee Joseph Butiku,
a m e s e m a a m e k e r wa
na tabia ya Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar
kusitisha uchaguzi na
kushindwa kuwatangazia
wananchi kiongozi wao
waliomchagua, huku
ikishindwa kuheshimu
matakwa ya wananchi
waliopiga kura katika
visiwa vya Zanzibar.
Taasisi hiyo imeitaka
Tume ya Uchaguzi ya
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, alipokutana
na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda
wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika
Jumatano wiki hii Ikulu ya Rais Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:24 asubuhi na kumaliza
saa 5:14. Kicheko hiki kina tafsiri gani kwa wananchi walioporwa kura zao kwa kufutwa
uchaguzi halikadhalika vipigo vinavyoendelea mitaani?
wa Tanzania na Mbunge
ziliyosimamiwa na Tume
ya Taifa ya Uchaguzi ya
Tanzania (NEC) na kura
tatu za kumchangua Rais
wa Zanzibar, Mjumbe wa
Baraza la Wawakilishi na
Diwani.
Wakati matokeo ya
uchaguzi yalitangazwa
katika majimbo 32 na
baadhi ya wagombea
kukabidhiwa matokeo
yao ambayo yalibandikwa
vituoni na baadhi
ya matokeo hayo
kutangazwa kwenye kituo
kikuu cha kutangazia
matokeo katika Hoteli
ya B wa wa n i , g h a f l a
zoezi hilo likasitishwa na
kufutwa kabisa mnapo
Octoba 28 ambapo
Mwenyekiti wa Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC) Jecha Salum Jecha
alipojitokeza kwenye
kituo cha televisheni cha
taifa.
Inaendelea Uk. 16
kinadhani kimeshindwa
katika uchaguzi huo
kikubali matokeo badala
ya kuifanya Zanzibar
ni mali ya chama fulani
pekee.
Uchaguzi wa Tanzania
umefanyika Oktoba 25
m wa k a h u u a m b a p o
Wa z a n z i b a r i n a o
wa m e p i g a k u r a t a n o
ikiwemo ile ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.
ANNUUR REAL.indd 20
11/5/2015 3:36:12 PM