Вы находитесь на странице: 1из 20

Rais Magufuli ateua

Baraza la Mawaziri

www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com

Sauti ya Waislamu

Uk. 2

ISSN 0856 - 3861 Na. 1207 SAFAR 1437, IJUMAA , DESEMBA 11-17, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Wasiwasi, hofu yatanda!


Nani ameuwa Masheikh hawa kikatili?
Mama avunjwa mifupa, angolewa meno
Afukiwa na maiti nyingine 11 za Waislam

Sheikh Ibrahim Hassan Kirya

Sheikh Abdul-Qadir Muwaya

Japo Jecha haonekani

Kamilisheni kutangaza
Matokeo ya Uchaguzi
Tunarejea Ulaya ila tutarudi-EU EOM
Wakutana na Othman, Jaji Makungu
Kinana apiga chenga ya mazungumzo

JAJI Omar Makungu.

Othman Masoud.

Aal Imran: 86
Fethullah-Gulen
VIPI atawaongoza
Mwenyezi Mungu watu
ambao wamekufuru
baada ya kuamini
kwao na wakashuhudia
kwamba Mtume ni
kweli na zikawajia hofu
zilizo wazi na Mwenyezi
Mungu hawaongozi watu
waliyo madhalimu. [Aali
Imraan 86]
Hakika wale ambao
wanasimama ubavuni
mwa madhalimu, wenye
kuunga mkono ukafiri na
batili pamoja na kuwa wao
wameshuhudia uzuri wa
ukweli na wanauona ubaya

wa shari na uovu wake


hawakuwa hao isipokuwa
ni watu waliyopotoka
na madhalimu. Hawa
ni watu walio katika
hali mbaya. Maumbile
yao yamepondeka
na yameharibika na
wamepotoza uwezo wa
kuongoka. Wamefikia
daraja ambalo Mwenyezi
Mungu mtukufu hafanyi
kwa fungu la kuongoka na
hawaongozi kwenye usawa
wa njia. Hawaongozi kwa
sababu mfano wa watu
hawa wameingia katika
msongamano wa harakati
ambazo ziko mbali na
kituo cha Uislamu na
katika hali ya kinafsi
ambayo inaambatana
na kukaa mbali huko na
inasifika kwa kukipinga
kituo na kukituhumu na
wakakaa mbali nacho.
Jambo ambalo linapelekea
kwenye kuimarika kwa
weusi wa nyoyo zao.
N a h a l i ya k u wa wa o
wanadhani kwa kitendo
chao hiki na kuwadharau
kwao waumini ambao

wanadai kwamba wao


wamewajuwa ukweli wa
kuujuwa kwa sababu wao
walikuwa katika kundi
lao, wanajishughulisha
na kuutumikia ukafiri na
upingaji wa dini na kuipa
nguvu roho ya kweli ya
ukafiri na wakati huo huo,
wanajishughulisha na
kuwazamisha waumini
katika kero na huzuni.
Isipokuwa ni kwamba
Mwenyezi Mungu mtukufu
ambaye ameupa Uislamu
nuru ya kipekee, nuru hiyo
ni kama nuru ya jua kwa
upande wa dini nyingine
atajaalia kwa hawa ambao
wamekaa mbali na nuru
hii katika kuhangaika na
kwenda ovyo wakati wote,
hawataongoka kwenye
kitu chochote milele na
watatumia umri wao na
maisha yao katika upofu
huu. Hawatapata kitu
chochote na hawataongoka
kwenye kitu chochote na
watakuwa ni mfano mbaya
kwa watu mmoja mmoja na
kwa makundi yaliyopotea.

Baraza la Mawaziri
R a i s wa J a m h u r i ya
Muungano wa Tanzania
Dkt. John Joseph Pombe
Magufuli jana ametangaza
Baraza lake la Mawaziri
akiunganisha baadhi ya
wizara na kufuta cheo
cha Naibu Waziri katika
wizara nyingi.
Katika Baraza hilo
Mawaziri waliorejea
kutoka serikali iliyopita
ya Jakaya Mrisho Kikwete
ni George Simbachawene
na Angela Jasmini Kairuki
ambao wameteuliwa kuwa
Mawaziri katika Ofisi ya
Rais TAMISEMI, Utawala
Bora na Utumishi wa
Umma.
Sura ngeni ni Suleiman
Jafo, ambaye anakuwa
N a i b u Wa z i r i k a t i k a
Wizara hiyo.
Januari Yusuph
Makamba amerejeshwa
na kuwa Waziri katika
Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira
na Naibu wake ni Luhaga
Mpina akiwa ameingia
kwa mara ya kwanza
katika Baraza.
Jenista Mhagama
amerejea na kuwa Waziri
wa Katika Ofisi ya Waziri

AN-NUUR

Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

Mkuu Sera, Bunge, Kazi,


Vijana, Ajira na Walemavu
ambapo Dkt. Posi Abdallah
ameteiliwa kuwa Naibu na
mgeni barazani pamoja na
Anthony Mavunde.
Wizara ya Kilimo,
Mifugo na Uvuvi Mwigulu
Nchemba na Naibu Waziri
ni Willium Ole Nasha
ambaye ni mgeni.
Wizara ya Sheria
na Katiba Dk. Harison
Mwakyembe amereja.
Waziri wa Ulinzi ni
mzoefu Dk. Hussein
Mwinyi. Mambo ya
Ndani karejeshwa Charles
Kitwanga.
Wa z i r i Vi wa n d a
Biashara na Uwekezaji
amerudishwa barazani
Waziri Charles Mwijage.
Wizara ya Ardhi karejea
Willum Lukuvi na Naibu
Waziri ni mgeni Angelina
Mabula.
Waziri wa Mambo ya
Nje,Ushirikiano wa Afrika
Mashariki na Ukanda
ameteuliwa mgeni
Barazani Balozi Augustino
Mahega na Naibu wake
ni mgeni pia Dk. Zuzan
Kolimba.
Wa z i r i wa A f ya
karejeshwa Ummy
Mwalimu na Naibu

Waziri ni mgeni barazani


Dk.Hamisi Kigwangwala.
Wa z i r i w a N i s h a t i
na Madini karudi Prof.
Sospeter Muhongo ambapo
Naibu wake ni mgeni
Medalled Karemaligo.
Wa z i r i w a M a j i n a
Umwagiliaji karejea Prof.
Makame Mabarawa na
Naibu wake ni mgeni
Mhandisi Isaac Kamwela.
Wa z i r i w a H a b a r i ,
utamaduni, wasanii Waziri
ni mpya Nape Nnauye
na Naibu wake naye ni
Anastazia James Wambura.
Wizara za Fedha, Wizara
ya Utalii, Wizara ya Elimu
na Mafunzo ya Ufundi,
Wizara Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano bado Rais
h a j a wa t e u a M a wa z i r i
wake.
Hata hivyo Stela
Manyanya ni mgeni
aliyeteuliwa kuwa Naibu
Waziri wa Elimu Sayansi,
Technolojia na Ufundi na
sura mpya Dk. Ashantu
Kijachu ameteuliwa kuwa
Naibu Waziri wa Fedha
na Mipango ambapo
mgeni mwingine Edwin
Ngonyani naye ameteuliwa
kuwa Naibu Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano.

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 29


K

H F

M A

Q A

D A

Q R

H A
Y

O Q

U A

H M A

N A

N I

M S

M H A

M K

H A

M A

M A

L
I

M A
K

H A

U B

U M M U

D L

M A

10 19 3

32

MASUALA
1.Wataje watu wane wa mwanzo Kusilimu. Jawabu: Khadija, Zaid ibn
Harith, Ali bin Abi Talib, Abubakar
2.Wataje wanawake wa mwanzo kusilimu. Jawabu: Ummul Fadl, Asma
Umais, Fatma Khatab.
3.Mke wa mwanzo wa Syd Uthman bin Afan (RA). Jawabu: Ruqayyah
4.Nani alimnunua Zaid bin Harith? Jawabu: Hakim Hazim,
5.Syd Ali (RA) alisilimu akiwa na umri gani? Jawabu : Miaka 10
6.Sahaba Sad Abi Waqas alisilimu akiwa na umri wa miaka mingapi?
Jawabu: Miaka 19
7.Kipindi cha muda gani adhana iliadhiniwa kwa siri? Jawabu : Miaka 3
8.Taja jina la mwanadamu wa mwanzo kuuwa? Jawabu : Qabil
9.Waislamu walikuwa wakikutana kwa siri na kujifunza dini katika
nyumba ya nani? Jawabu : Aqram
10.Mtume Mussa (AS) akikutana na Mola wake kwenye Mlima? Jawabu:
Sinai

CHEMSHA BONGO: 30

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

Q L

M Y

M Z

Q B

U U H

Q M S

N M A

O A

U N

H A

M O N Q R

N A

M S

Q R

H J

U R

W A

U B

M A

M A

O H A

MASUALA
1. Mtaje Shahidi wa mwanzo katika Uislamu.
2. Sahaba aliokuwa na jina la Rum/Roman.
3. Makabila mawili Mtume (SAW) aliwakuta Madina wakiwa
kwenye ugomvi mkubwa akawasuluhisha.
4. Masahaba wawili watoto wao waliolewa na Mtume (SAW).
5. Kipando alichokipanda Mtume (SAW) alipokwenda Miraj.
6. Vitabu 4 vitakatifu walivyoteremshiwa Mitume.
7. Aya ya kwanza kuteremshwa.
8. Muadhini wa mwanzo katika Uislamu.
9. Nyenzo ilio muhimu katika kutia Udhu.
10. Harufu 3 za mwanzo katika Suratul Baqara.

Jee Unajua?

1.Inakisiwa watu wenye urefu wa Futi 7 duniani wanafikia watu 2,800


kutokana na takwimu za mwaka wa 2012 na wale wenye Futi 8 ni watu
watatu tu: http://www.ask.com/world-view/many-people-7-feet-tall-cb4f9
973908981f1?qo=questionPageCrossLink
2.Unajua kuwa Nigeria ina idadi ya watu 173,611,131: http://www.ask.
com/world-view/many-people-live-africa-today-a82f58dc60d78e7?qo=ques
tionPageSimilarContent
3.Namibia ni nchi inayongoza kwa ajali hatari za gari barabarani ikiwa
wanakufa watu 45 kwa kila watu 100,000, ikifwatiwa na Thailand, Iran,
Sudan, Swaziland, Venezuela na Congo
4.Nchi 10 za Kiafrika zenye viwango vikubwa vya vifo ni:Botswana,
Mozambique, Angola, Lesotho, Zambia, Zimbabwe, Swaziland, Malawi,
Rwanda na Niger: http://www.mapsofworld.com/world-top-ten/countriesby-highest-death-rate.html
5.Nchi 10 zinazoongoza kuwa na mvua nyingi dunia, Colombia ndio ya
kwanza, ikifwatiwa na Sao Tome and Princip, Papua New Guinea , Visiwa
vya Solomon, Panama, Costa Rica, Malaysia, Brunei Darussalam, Indonesia
na Banglaesh: http://www.countryranker.com/countries-with-highestaverage-annual-rainfall/
6.Nchi iliopata kurikodiwa kuwa na joto kali kabisa namba moja ni Libya
ikifwatia Saudi Arabia, Iraq, Algeria, Iran, Musqat, Sudan, India, Somali na
Mexico: http://listcrux.com/top-10-hottest-countries-in-the-world/
7.Nchi zilizotopea kwa umasikini duniani ya kwanza ni Congo DRC
ikifwatiwa na Zimbabwe, Burundi, Liberia, Eretria, Jamhuri ya Afrika ya
Kati, Niger, Malawi, Madagascar na Afghanistan: http://www.countryranker.
com/which-is-the-poorest-country-in-the-world/
8.Nchi inayoongoza uhalali wa ndoa ya jinsia moja ni Argentina
ikifwatiwa na Ubeligiji, Brazil, Canada, Denmark, Uiengereza na Wales,
Finland, Ufaransa, Iceland na Luxemburg: http://www.countryranker.com/
countries-where-gay-marriage-is-legal/
9.
Libya ni nchi inayoongoza kuwa na idadi ndogo ya wana ndoa
kuachana ikiwa kupeyana talaka, ikifwatiwa na Georgia, Mongolia, Armenia,
Chile, Utaliana, Mexico, El-Salvardo, Macedonia na Uturuki: http://www.
countryranker.com/ten-countries-with-lowest-divorce-rate/
10.
Nchi inayoongoza duniani kuwa na makabila mengi ni Papua New
Guinea ikifwatiwa na Tanzannia, Congo DRC, Uganda, Liberia, Cameroon,
Togo, Afrika ya Kusini, Congo Brazzaville na Madagascar: http://www.
countryranker.com/ten-countries-with-lowest-divorce-rate/

3
Na Bakari Mwakangwale
SHEIKH Ponda Issa Ponda
amewashukuru Waislamu
wa Morogoro kwa msaada
wao na ushirikiano mkubwa
walioonyesha baada ya yeye
kupigwa risasi.
Sheikh Ponda ametoa
shukrani hizo alipokuwa
akiongea na Waislamu katika
Msikiti wa Mtambani Jijini
Dar es Salaam, Ijumaa ya
wiki iliyopita, akizungumzia
mkasa wake wa kupigwa
risasi kisha kuwekwa
mahabusu zaidi ya miaka
miwili.
Ilipotokea ile kadhia
mimi kupigwa risasi, kwa
kweli Waislamu wa Morogoro
walionyesha mshikamano wa
hali ya juu kabisa.
Kwani katika gari
n i l i y o k u we m o l i l i k u wa
limezingirwa na gari tatu za
askari, lakini hawakushuka
katika gari zao, ila baada
ya k u p i g wa i l e r i s a s i ,
nilisikia sauti ya Askari
Polisi, ikiamuru Yule pale
muokoteni. Alisema Shkh
Ponda, akisimulia hali ya
tukio hilo.
Kufuatia amri hiyo, Shkh
Ponda, alisema hapo ndipo
aliona Askari wale wakichupa
kutoka katika magari yao
na kushuka chini wakiwa
mbio wakimfuata katika eneo
alipoangukia ili wamchukue.
Katika purukushani
hizo alisema, kilichotokea
katika mazingira hayo ni
mvutano baina ya Askari
na Waislamu kwa haraka
waliweza kushikana mikono
na kutengeneza kitu kama
ukuta, ambao kutokana na
wingi wao walisaidia Askari
Polisi kuweza kumfikia kwa
haraka.
Waislamu hao wakawa
wanasema wakiwaambia
Polisi, hatutoka hapa, labda
mtuue wote wale askari
walipowakaribia wakiwa na
silaha zao nikadhani Umma
ule utatawanyika uniache,
lakini haikuwa hivyo.
Hali ile iliwakwamisha
Polisi kwani ilikuwa kwanza
wawasambaratishe kisha
wanifikie, na wangefanya
hivyo yangetokea mauaji
mengine ya Waislamu.
Alisema.
Wa k a t i m a b i s h a n o
hayo yakiendelea, alisema
umma ule wa Kiislamu
baadhi yao, kwa haraka
wa l i s o g e z a p i k i p i k i n a
kumpakia kisha waliondoka
bila askari kufahamu kama
nimeondoka kutokana na
wingi na msongamano wa
Waislamu.
Alisema, mpaka Polisi
wanaanza kupiga mabomu
ya machozi kuwatawanya,
tayari Waislamu walikuwa
wamewazidi Polisi maarifa
na kuondoka nae katika
eneo hilo na kumuwahisha
hospitalini.
Shkh Ponda, alisema
kitendo kile kilikuwa si tu cha
kishujaa, bali katika mtazamo
wa kibinadamu kilikuwa na

Habari

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Ponda ashukuru Waislamu

mchango mkubwa kwake


kwani, akasema endapo
Askari wale wangefanikiwa
kumchukua na kuondoka
nae huenda mambo mawili
ya kumdhuru yangefanyika.
Aliyataja mambo hayo
kuwa ni ama wangeongeza
kupiga risasi nyingine ili
kutimiza malengo yao au
wangeamua kukaa nae bila

kumpeleka hospitali na
kutokana na kutokwa na
damu nyingi hali ambayo
ingesababisha matatizo zaidi
na lolote lingeweza kumtokea.
Kwa maana hiyo utaona
kwamba lile tukio la kuwazuia
Askari wasinichukue badala
yake Waislamu kufanikiwa
kunichukua lilikuwa na
mchango mkubwa sana katika

mustakabali wa uhai wangu.


Alisema Shkh Ponda.
Akizungumzia hali ya
magerezani, Shkh Ponda,
alisema katika Magereza ya
Tanzania kuna Waislamu
wengi, jambo ambalo linatia
uchungu huku akidai kuwa
tuhuma nyingi hazina msingi.
Alisema, ushahidi kuwa
hizo ni tuhuma za uongo
ni matokea ya kesi ambazo
mwisho wa siku upande
wa mashitaka (Serikali)
unashindwa kuthibitisha
tuhuma wanazowafungulia
kesi Waislamu, zaidi huishia
kuwatesa na kuwadhalilisha
tu.
Lakini baya zaidi Shkh
Ponda, alisema ni kile
kipindi ambacho Waislamu
wanakamatwa kwa
kutuhumiwa, lakini mambo
wanayofanyiwa kuwa ni
ya kinyama kiasi kwamba
hata ukihukumiwa hukumu
hiyo haiwezi kuwa sawa
na madhila wanayoyapata
wakiwa mikononi mwa Polisi
kama watuhumiwa.
Shkh Ponda alisema,
wanafanya hivyo kwa
kuwa hawana uthibitisho
wa tuhuma wanawakamatia
hivyo mahakamani
hawawapeleki kwa wakati
kwa hiyo inabakia kuwatesa
na humo selo ndio inakuwa
Mahakama yao.
Kwa maana hiyo, Shkh
Ponda akawataka Waislamu
kuishi kwa tahadhari
kubwa kwani, kuna baadhi
ya watumishi wa vyombo

Na Mwandishi Wetu

Ulaya (EU EOM) kwa


Ta n z a n i a , wa m e s e m a
japo hatma ya matokeo
ya uchaguzi imekuwa
ni kizungumkuti, lakini
wanalazimika kuondoka
ila watakuwa tayari kurejea
kuangalia mchakato wa
uchaguzi Zanzibar pindi
makubaliano ya kuendelea
na mchakato huo
yanayolingana na chaguzi
s h i r i k i s h i , z a u wa z i ,
z i n a z o t e k e l e z wa k wa
wakati na za kuaminika
yatakapofikiwa.
Hiyo ilikuwa ni kauli ya
Muangalizi Mkuu ambaye
katika taarifa yake alitaja
k u wa wa a n g a l i z i h a o
wangeondoka Desemba 8.
U j u m b e
h u o
umesisitiza na kutoa wito
kukamilishwaji haraka
mchakato wa uchaguzi
Zanzibar kulingana
na kanuni za chaguzi
s h i r i k i s h i , z a u wa z i ,
z i n a z o t e k e l e z wa k wa
wakati na za kuaminika.
Kufuatia mkanganyiko
ulioingia katika Uchaguzi
Mkuu Zanzibar, EU EOM
wamesema walijitahidi

kukutana na Mwenyekiti
wa ZEC Jecha Salim Jecha,
ambaye ndiye aliyeleta
sintofahamu hiyo, hata
hivyo hawakuweza
kumpata.
Badala yake EU EOM
ilikutana na wadau wakuu
Visiwani, vikiwemo vyama
vya siasa, Mwana Sheria
Mkuu wa Serikali wa
zamani na wa sasa, wadau
wa sharia na mahakama,
asasi za kiraia na maafisa
uchaguzi.
Hapana shaka msimamo
wa Mwanasheria Mkuu wa
sasa Jaji Omari Makungu
utakuwa ule wa SMZ na
C C M wa k u d a i k u wa
uamuzi wa Jecha ni halali
na Dr Shein anastahiki
kuendelea kuwa Rais,
kikatiba na kisheria na
kwamba kinachotakiwa ni
kurudiwa uchaguzi.
Kwa upande wa
Mwanasheria Mkuu wa
zamani Bwana Othman
Masoud, ameweka wazi
msimamo wake hadharani
mapema kwamba kitendo
kilichofanyika ni cha
kihuni na kisichotarajiwa.

SHEIKH Ponda Issa Ponda

vya dola wamejenga katika


fikra zao kuwa Muislamu ni
mualifu.
Hata hivyo Shkh Ponda,
alisema hivi sasa wapo katika
Serikali mpya ya Rais John
Magufuli, ambaye katika
hotuba zake, anasema kuwa
anataka kupambana na
ufisadi, hata hivyo alisema
hafahamu Rais Magufuli
anautafsiri vipi ufisadi, lakini
akasema ufisadi ni pamoja na
kudhulumu haki za wengine.
Kwa maana hiyo Rais
Magufuli afahamu kuwa yapo
madai ya Waislamu kuwa
wanadhulumiwa, na hivyo
kupambana na ufisadi ni
pamoja na kushughulikia
madai kama hayo.
Alisema, akiwa katika
gereza la Morogoro, katika
siku zake za mwisho kuelekea
katika hukumu yake, katika
gereza la Morogoro pekee
k u l i k u wa n a v i j a n a wa
Madrasa zaidia ya 20, wenye
miaka kati ya 14, mpaka 25
ambao wapo kama mahabusu
wamewekwa ndani wakiwa
na walimu wao.
Shkh Ponda, alisema
amejipa ratiba ya
kutembelea magereza yenye
Waislamu waliokumbwa
na kamatakamata za hivi
karibuni, ambapo alisema
Alihamisi iliyopita alikwenda
kuwaona Waislamu walio
katika gereza la Segerea.
Kwangu mimi hii ni
sehemu ya ratiba yangu
ambayo nimedhamiria
kuifanya kwamba
nitatembelea Magereza yote
ambayo kuna Waislamu
wenye tuhuma za ugaidi
kisha tuangalie namna ya
kuwasaidia. Alisema Shkh
Ponda.

Kwamba hakuna sheria


wala kifungu chochote
cha katiba kinachompa
mamlaka Mwenyekiti wa
Tume kufuta uchaguzi.
Lakini pia hapakuwa
na sababu wala dosari za
uchaguzi zinazohalalisha
hatua hiyo.
Na kwa upande
mwingine, Mwanasheria
Masoud, kama walivyo
wanasheria Fatma Karume
na Awadh Ali Said, aliye
Rais wa Chama Cha
Wa n a s h e r i a Z a n z i b a r
(Zanzibar Law Society), na
wengine, anasema, hakuna
uhalali wa kisheria wala
wa kikatiba kwa Rais Shein
kuendelea kuongoza, bali
ni mambo ya kibabe tu.
Na wakaonyesha
masikitiko yao kwamba
viongozi wa kisiasa
ambao kila mara hawaachi
kuwahimiza wananchi
kufuata sheria, wanakuwa
wa mwanzo kuonyesha
k u wa h a wa j a l i , wa l a
haiwashughulishi kwamba
wao wanavunja sheria na
kuhujumu Katiba ya nchi
Inaendelea Uk. 4

Kamilisheni kutangaza Matokeo ya Uchaguzi


WALIOKUWA Waangalizi
wa Uchaguzi Mkuu
Tanzania, wameelezea
masikitiko yao kwamba
wameshindwa kabisa
kumpata Jecha Salim
Jecha, Mwenyekiti
wa Tume ya Uchaguzi
Zanzibar.
Hata hivyo wakasema,
wanalazimika kurejea
Ulaya huku wakiacha
wito kwamba ni matarajio
yao kwamba mchakato
wa uchaguzi huo
utakamilishwa.
Hapana shaka kiu
ya kutaka kumuona
mwenyekiti huyo wa ZEC
ni kutokana na ukweli
kwamba ndiye aliyetangaza
kufuta uchaguzi na hivyo
ndiye pekee angeweza
kutoa majibu ni kwa nini
alichukua uamuzi huo na
pengine kutoa ushahidi
wa madai yake ikiwemo
uhalali wa kisheria, kisiasa
na kikatiba wa uamuzi
wake.
Wa a n g a l i z i h a o wa
Uchaguzi wa Umoja wa

Tahariri/Habari

AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Usafi ni muhimu
kwa kila binadamu

WASWAHILI tuna
msemo usemao mtu
ni afya. Na moja ya
vigezo vikubwa vya
mtu kuwa na afya
njema ni usafi.
Usafi unaanzia
kwa mtu mwenyewe,
kuanzia mwili wake,
mavazi yake, makazi
na mazingira yote
yanayotuzunguka.
Mazingira hayo
ni pamoja na yale
tunayofanyia shughuli
ze t u za k u t up a t i a
vipato vya kuendesha
maisha ya kila siku,
mazingira ya angani,
majini na ardhini.
Usafi ndio kinga kuu
ya maradhi mbalimbali
yanayomwandama
mwanadamu. Kwa
ujumla tunaweza
kusema kuwa usafi ni
nuru ya maisha ya kila
mwanadamu.
Wa i s l a m u w a n a
usemi wao al
Islam nadhiif
wakimaanisha kuwa
Uislamu ni dini ya
usafi na Muislamu
sharti uwe msafi. Kwa
maana ya ujumla ni
kwamba binadamu ni
usafi nafsi na mwili.
Kwa mwanadamu
yeyote anayejitambua
na anayejali uhai wake,
haitarajiwi kwamba
l a z i m a a s u k u m we
au akumbushwe
na serikali au Rais
kutimiza wajibu wake
huo wa kimaisha kwa
maslahi yake.
Rais Magufuli
katumia tu busara
zake kuwashtua
wa t a n z i a k wa m b a

ni aibu kuishi katika


maisha ya uchafu. Basi
msukumo alioutoa
Rais Magufuli itoshe
kuona aibu na iwe
fundisho na hamasa
kwa watanzania
kutimiza wajibu wao
huo wa kila siku.
Tu s i s u b i r i t e n a
kukumbushwa tena
na Rais kufanya
usafi wa mazingira
yetu. Kuanzia sasa
ujengwe utamaduni
wa watu kuwa wasafi
na kama kuna haja
ya kufanya usafi wa
pamoja, ni suala la
watu wa eneo husika
kujiongoza wenyewe
na kuandaa ratiba zao
za usafi wa pamoja
katika kila baada ya
kipindi maalum, iwe
ni kwa kila wiki au
mwezi ili kuwajengea
Watanzania mazoea
ya usafi.
Tufike mahali tuone
aibu kusukumwa
kufanya usafi
wetu wenyewe.
Tu j i r e k e b i s h e n a
tujitume. Huu ni
wajibu kwa ajili ya
maslahi ya maisha
yetu.
Lakini pia tutoe
angalizo kwa
serikali kuzisimamia
asasi zilizopewa
dhamana ya kufanya
usafi katika miji na
Halmashauri zetu, ili
kuhakikisha kwamba
zinatimiza viwango
vilivyokusudiwa
tofauti na ilivyo sasa
ambapo utendaji wa
asasi hizo hauridhishi.

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Kamilisheni kutangaza Matokeo ya Uchaguzi


Inatoka Uk. 3
waliyoapa kuilinda.
Pamoja na mazungumzo
yanayodaiwa kuendeklea
baina ya CCM na CUF,
yanayowashirikisha
M a r a i s Wa s t a a f u wa
Zanzibar, EU EOM imekariri

wito uliotolewa awali kwa


pamoja na jumbe zingine za
uangalizi za kimataifa tarehe
29 Oktoba, unaoishauri ZEC
kuonyesha uwazi kamili
kufuatia uamuzi wake wa
kufuta uchaguzi na uongozi
wa kisiasa Zanzibar kuweka
m a s l a h i ya J a m h u r i ya
Muungano wa Tanzania na
ya Zanzibar kwanza.
Na kwamba hakuna
namna nyingine ya kuweka
masilahi ya nchi mbele,
zaidi ya kukamilisha haraka
wa mchakato wa uchaguzi,
kulingana na kanuni za
kidemokrasia za chaguzi
pamoja na sheria za Zanzibar.
EU EOM imekuwepo
nchini tangu 11 Septemba
kufuatilia mchakato wa
uchaguzi ndani ya Muungano
na Zanzibar. Idadi kubwa ya
waangalizi 141 wa EU nchini
walirejea Ulaya katikati ya
mwezi Novemba, lakini
timu ndogo ya watathmini
wa uchaguzi ilibaki nchini
kufuatilia ngazi zilizobaki
za mchakato wa uchaguzi,
amesema Muangalizi
Mkuu wa EU EOM, Judith
Sargentini.
Wakati huo huo, Katibu
M k u u wa C C M B wa n a
Abdurahmani Kinana
amesema, wenye jukumu la
kueleza ni wapi mazungumzo
yamefikia baina ya CUF
n a C C M j u u ya h a t m a
ya uchaguzi Zanzibar, ni
viongozi wa CCM, Zanzibar.
Kinana alikuwa akiongea
na baadhi ya vyombo vya
habari ambapo alitakiwa
kueleza iwapo Kamati Kuu ya
CCM imezungumzia jambo
hilo na nini kinatarajiwa.
Katika majibu yake Kinana
alisema kuwa Kamati Kuu
ya CCM imepewa taarifa
juu ya mazungumzo hayo
yakiwashirikisha pia marais
wastaafu, lakini wanaostahiki
kuelezea hali ilivyo ni CCM
Zanzibar.
Awali Chama Cha
Wanasheria Zanzibar (ZLS)
kilisema kuwa tamko la
Mwenyekiti Jecha halina
nguvu kisheria na linaweza
kuhatarisha Amani ya nchi.
Na kwa hiyo wakatoa
w i t o k wa m b a z o e z i l a
uchaguzi liendelea kutoka
pale ilipoishia katika kazi
ya kufanya majumuisho ya
Kura za Urais ili mshindi
halali wa Uchaguzi Mkuu wa
Zanzibar uliofanyika tarehe
25 Oktoba, 2015 apatikane na
kutangazwa.
Aidha Chama hicho
kilivitaka vyombo vya Dola
kuchunguza na kuwakamata

na hatimae kuwafikisha
Mahakamani watu wote
waliohusika kumshinikiza
Mwenyekiti wa Tume Jecha
Salim Jecha kutoa tamko la
kufuta uchaguzi na matokeo
yake.
Mbali ya hayo chama hicho
kilitoa wito kwa Viongozi
wote wa vyama vya siasa
kujitathmini wajibu wao
katika kuheshimu maamuzi
ya wananchi yanayofanywa
kwa njia ya demokrasia ili
kujenga misingi mizuri ya
utawala bora.
Chama cha Wanasheria
Zanzibar tunaamini
k wa m b a R a i s we t u wa
Z a n z i b a r a t a n g a m u a
mtego huu unaokusudia
kumuweka katika Historia
ya Rais wa Zanzibar aliewahi
kuvunja Katiba ya Nchi na
kumuondolea rekodi nzuri

aliyonayo ya kuheshimu
sheria na Katiba ya Nchi
na Utawala Bora alisema
mmoja wa wanasheria
Bwana Shaaban.
Kwa upande wake Rais
wa chama hicho Awadh
Ali Said alisema Chama
Cha Wanasheria Zanzibar
kimefadhaishwa na
uamuzi huo hasa kwa
kuzingatia mamlaka
aliyonayo Mwenyekiti
huyo kisheria katika
kufikia Uamuzi kama huo.
Kwa Mujibu wa Sheria,
Tume haina uwezo wala
Mamlaka ya kufuta
matokeo yaliyokwisha
tangazwa na ambapo
mgombea ameshapewa
shahada ya kuchaguliwa.
Alisema akizingatia
kuwa wapo wagombea
wa Uwakilishi ambao
kama wale wa Ubunge
walishapewa vyeti vya
ushindi na maofisa wa
Tume.
Rais huyo ambae ni
wakili anasema wajibu
wa Tume ni kuchapisha
matokeo hayo kwenye
gazeti la serikali kama
kanuni ya 59 (4) na kifungu
cha 88 (c) cha Sheria ya
Uchaguzi vinavyoeleza
na kama kuna Mgombea
ambae hajaridhika na
matokeo au maamuzi ya
Msimamizi wa Uchaguzi,
basi anachotakiwa kufanya
ni kwenda Mahakama
K u u k wa m u j i b u wa
kifungu cha 86 cha Sheria
ya Uchaguzi na Ibara ya 72
(1) ya Katiba ya Zanzibar
ya 1984 ambayo ndio
yenye Mamlaka ya kufuta
uchaguzi na matokeo yake.
Akitaja athari ya tamko
la Mwenyekiti wa Tume
ya U c h a g u z i Z a n z i b a r
yanaweza kuiingiza Nchi
katika mgogoro wa Mkubwa
wa Kikatiba katika maeneo
kadhaa kadhaa ambapo
aliyataja kuwa ni muda wa

kushika madaraka ya Urais


kikatiba ambapo Ibara ya 28
(2) ya Katiba ya Zanzibar ya
1984 inaeleza wazi kuwa Rais
ataacha madaraka yake baada
ya kumalizika miaka mitano
kuanzia tarehe alipokula
kiapo cha uaminifu na kiapo
cha kuwa Rais.
A l i s e m a t a f s i r i ya k e
n i k u wa t a n g u R a i s wa
Zanzibar alipokula kiapo
cha uaminifu na Kiapo cha
kuwa Rais siku ya Tarehe
3 Novemba, 2010 atakuwa
ametimiza miaka mitano siku
ya Tarehe 3 Novemba, 2015.
Hivyo akiendelea
kushikilia madaraka ya Urais
zaidi ya Tarehe hiyo itakuwa
kinyume na Katiba ya Nchi.
Akasema, upo mjadala
katika jamii kuwa Rais anao
uhalali wa kuendelea kuwa
Rais chini ya Ibara ya 28 (1)
(a).
Hata hivyo akasema kuwa
maudhui ya Ibara hiyo ni
kumpa uwezo wa Kikatiba
Rais kuendelea ili kutoa nafasi
ya maandalizi ya kula kiapo
kwa Rais mpya (anaefuata)

tu na sio kuendelea
kukaa madarakani
bila ya kufanyika kwa
Uchaguzi au kwa sababu
ya Uchaguzi kufutwa.
Akaongeza kuwa, ni
wazi Nchi itaendeshwa
m u d a m r e f u b i l a ya
kuwepo kwa Baraza la
Wawakilishi ambalo ni
mhimili muhimu katika
uendeshaji wa Serikali.
A l i s e m a K a t i b a ya
Zanzibar imeruhusu hali
ya kuendesha Nchi bila ya
Baraza la Wawakilishi kwa
muda usiozidi siku tisini
(90) tu kuanzia siku Baraza
lilipovunjwa.
Akionesha khofu juu ya
suala hilo alisema hatari
ya kuwa na Rais ambaye
yuko juu ya Sheria na
Katiba ya Nchi, Ibara ya
37 ya Katiba ya Zanzibar
ya 1984 inaipa Mamlaka
Baraza la Wawakilishi
kuondoa kinga ya Rais
kutoshitakiwa anapokuwa
madarakani kama
inavyotolewa na Ibara ya
36 ya Katiba.
Alisema katika
mazingira yaliyopo hivi
sasa, Baraza la Wawakilishi
halitakuwepo na haliwezi
kuitishwa kikatiba.
Na kwa hivyo, ni wazi
kuwa ikiwa Rais atafanya
matendo yoyote yenye
kuvunja katiba ya Nchi
na kukiuka Kiapo chake,
hakutakuwa na Mamlaka
nyengine yoyote yenye
uwezo wa kuhoji matendo
ya Rais.
Alisema hii inatoa fursa
na inatengeneza hatari
ya k u wa n a S e r i k a l i
inayoongozwa na Dikteta.

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Waislamu marufuku kuingia Marekani- Donald Trump

DONALD Trump

China kujenga kituo cha kijeshi Djibouti

AFRICOM nayo imeingia kwa mlango wa nyuma

RAIS wa China Xi Jinping,


amethibitisha kuwa nchi
yake inakusudia kujenga
kituo cha jeshi la wanamaji
nchini Djibouti na
kusisitiza kuwa, lengo kuu
la wanajeshi watakaokuwa
huko litakuwa kusimamia
usalama wa lango-bahari la
Bab al-Mandab.
Kauli hiyo ya Rais wa
China imetiliwa mkazo na
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Djibouti, Mahmoud Ali
Yusuf, ambaye amesema
China itatumia kambi
hiyo kulinda maslahi yake
hususan meli zake za
kibiashara ambazo zinatumia
lango-bahari la Bab alMandab, lakini pia kambi
hiyo itasaidia kukabiliana na
uharamia.
Bw. Mahmoud Ali Yusuf
amesisitiza kuwa, kambi hiyo
inayotarajiwa kujengwa na
China, itakuwa ya kiuchumi
zaidi kuliko ya kijeshi.
Kwa kujenga kambi hiyo,
China itakuwa imejiunga na
nchi nyingine za kigeni kama
vile Marekani, Ufaransa
na Japan ambazo nazo pia
zina kambi za kijeshi nchini
Djibouti.
Djibouti kijiografia ni
nchi ya kimiundo mbinu
kutokana na kupakana kwake
na nchi kadhaa za Pembe ya
Afrika na kuwa kwenye njia
inayoelekea katika maji ya
kimataifa na ndio maana
imeshawishi nchi kubwa
duniani kukimbilia kujenga
kambi za kijeshi katika taifa
hilo la Afrika.
China imewekeza sana
katika sekta mbalimbali
nchini Djibouti.
Kwa sasa makampuni ya
Beijing yanatengeneza njia
za reli, viwanja vya ndege,
bandari na barabara nchini
humo.
Wa j u z i w a m a m b o
wanaamini kujengwa kituo

cha kijeshi cha China katika


ardhi ya Djibouti, kutaandaa
uwanja wa kupanuliwa zaidi
uhusiano wa nchi hiyo na
Afrika.
Katika miaka ya hivi
karibuni China imewekeza
mabilioni ya dola nchini
Djibouti na Beijing inaihesabu
nchi hiyo kama mshirika wa
karibu wa kibiashara.
Hata hivyo wachunguzi
wa mambo wanaona kuwa
azma ya China ya kujenga
kituo cha kijeshi nchini
Djibouti, imezitia tumbo
joto nchi kama Ufaransa na
Marekani ambazo zimekuwa
zikingangania kupanua
himaya zao za kijeshi na
kiuchumi nchini humo kwa
ajiliya Afrika.
Marekani imesema kuwa,
kuweko kituo cha kijeshi
cha China nchini Djibouti
kutatatiza shughuli na
oparesheni za kukabiliana na
ugaidi katika eneo la Pembe
ya Afrika.
Wa d a d i s i we n g i
wanaitakidi kwamba, China
inataka kuwa na nafasi kubwa
kijeshi, kisiasa na kiuchumi
katika nchi mbalimbali za
Afrika ili kuleta mlingano
wa ushawishi kati yake na
Marekani.
Katika siku za hivi
karibuni, Djibouti imeitaka
Marekani ifunge kambi yake
ya kijeshi ya Lemonnier;
suala ambalo limeanza
kuwatia wasiwasi viongozi
wa Washington.
Kuzidi kuimarika nafasi
ya China katika eneo la
Pembe ya Afrika kunatajwa
na wajuzi wa mambo kama
mbinu mpya ya Beijing ya
kuongeza sauti yake katika
masuala mengi ya kieneo na
kimataifa na inavyoonekana,
nchi za Afrika zimeridhia bila
kuwa na wasiwasi takwa hilo
la China.
Kwa namna hali

inavyokwenda, hapana shaka


kwamba kujengwa kambi
ya kijeshi ya China nchini
Djibouti kutavuruga kwa
kiasi kikubwa mahesabu ya
Wamarekani na Wafaransa,
ambao watalazimika kuketi
na kupanga upya mikakati
yao katika eneo la Pembe ya
Afrika na barani humo kwa
ujumla.
Ta y a r i m a r e k a n i n a
Ufaransa zina kambi kadhaa
za kijeshi katika ardhi ya
bara la Afrika, licha ya
Mataifa Afrika ikiwemo
Ta n z a n i a , ya k i o n g o z wa
na Algeria, Afrika Kusini
kukataa pendekezo la
Marekani la kutaka kujenga
makao makuu ya Jeshi lake
maalum kwa ajili ya Afrika
(AFRICOM) mwaka 2008.
Hofu kubwa ya nchi za
Afrika kuikataa Marekani
kijeshi ni wasiwasi kwamba
zingejiingiza katika utumwa
kama zilivyoshhudia katika
nchi kadhaa zilizokubali
mpango huo wa Marekani.
Mwaka 2008 Marekani
ilianzisha Kikosi Maalumu
cha Kijeshi cha Afrika,
AFRICOM, na kuanza
kuweka mikakati ya
kuzishawishi nchi za Kiafrika
kukubali uwepo wa kikosi
hicho na kutoa ardhi kwa ajili
ya kujengwa kambi rasmi ya
kikosi hicho.
Hata hivyo hakuna nchi
yoyote ya Afrika iliyoafiki
kuwa makao makuu ya
kikosi hicho, ambacho hivi
sasa kinaendesha shughuli
zake kutoka mjini Stuttgart
Ujerumani.
We l e d i w a m a m b o
wanasema kusudi la
Marekani kujikita kijeshi
Afrika ni kuimarisha nguvu
yake ya kijeshi barani Afrika
kwa lengo la kuendeleza sera
zake za ukoloni mambo leo,
sambamba na kupora utajiri
wa bara hilo hasa katika sekta
za mafuta na gesi.

KAMA kuna Muislamu ana


mpango wa kusafiri kwenda
Marekani siku zijazo kwa
shughuli zake zozote au
kutalii au kusalimia ndugu
jamaa na marafiki, basi
ni vyema akafanya hivyo
wakati huu.
Vinginevyo, iwapo
atasubiri hadi serikali ya
Marekani ikampata Rais
mpya, hasa wale ambao
wameshatangaza hadharani
kuwazuia kuingia nchini
h u m o k wa k i g e z o c h a
kuzuia ugaidi, na ambao
ndio wanaoonekana kuwa
na nafasi kubwa ya kushinda
katika uchaguzi huo, basi
asitarajie tena Muislamu
kupata fursa ya kwenda
nchini humo.
Ta ya r i m g o m b e a
mtarajiwa wa uraisi kupitia
chama cha Republican nchini
Marekani, ambaye ana nafasi
kupitishwa na chama chake
kuwania nafasi hiyo katika
uchaguzi ujao wa Marekani,
Donald Trump, ametaka
Waislamu wazuiwe kuingia
Marekani.
Bw. Trump ambaye
ni mfanyabiashara tajiri
mkubwa na maarufu
duniani, amesema utafiti
uliofanywa hivi karibuni
unaonesha kuwa Waislamu
wengi wamepandikiza chuki
juu ya Marekani ambapo
kwa sasa kwa kuwa uongozi
umebaini sababu za kuwepo
k wa c h u k i h i y o , wa t u
wanahitaji kulindwa.
H a t a h i v y o I k u l u ya
Marekeni imesema tamko
la Trump linakwenda
kinyume na maadili ya taifa
la Marekani na maslahi ya
usalama wa taifa.
Tamko hilo la Bw. Donald
Trump, limekuja siku chache
baada ya watu kumi na nne
kudaiwa kuuawa katika
shambulio lililodaiwa la
kigaidi California na kama
kawaida ikadaiwa kuwa
waliofanya ugaidi huo ni
Waislamu.
Shirika la kijasusi la
Marekani FBI limesema
Syed Farook na Tashfeen
Malik, wanaodaiwa
kuhusika katika shambulio
hilo, walipandikizwa
itikadi kali, lakini hawajui
wamepandikizwa itikadi
hiyo na nani na ni kwa
namna gani. Vijana hao wote
wawili waliuliwa na polisi.
FBI katika California,
wameivamia nyumba
inayoshukiwa kuhusika
katika shambulio hilo na
k u d a i k u wa wa m e p a t a
mabomba kumi na tisa,
ambayo yangeweza
kutumika kutengenezea
mabomu katika nyumba
yao iliyoko Redlands huko
California.
Vyombo vya habari
vya Marekani vimesema

nyumba hiyo ni ya rafiki


ambaye anaaminika kuwa
alifanya manunuzi ya
bunduki zilizotumika katika
shambulio.
H a t a h i v y o l i c h a ya
matamshi yake ya chuki
na kibaguzi dhidi ya
Uislamu na Waislamu katika
kampeni zake, Donald
Trump anayetafuta ridhaa
ya kuidhinishwa na chama
chake cha Republican
kupeperusha bendera ya
chama hicho katika uchaguzi
mkuu ujao nchini Marekani,
ameendelea kuongoza katika
uchunguzi wa maoni dhidi
ya wagombea wengine ndani
ya chama cha Republikan.
Kwa mujibu wa utafiti
mpya wa shirika la habari
la CNN, asilimia 36 ya
Wamarekani waliosajiliwa
kuwa wapiga kura wamesema
kuwa wanamuunga mkono
Trump, huku mpinzania
wake wa karibu Ted Cruz,
ambaye ni Seneta wa Texas
akipata asilimia 16.
Kwa mujibu wa uchunguzi
huo, mwanasiasa mwingine
mwenye chuki dhidi ya
Uislamu, Ben Carson
angepata asilimia 14 iwapo
uchaguzi urais ungefanyika
sasa nchini Marekani.
Trump ambaye ni
mwanasiasa wa Republican
alisema kuwa, Washington
inatakiwa kutumia njia za
Kinazi katika kukabiliana
na Waislamu ili kushinda vita
dhidi ya ugaidi.
Aidha aliwahi kuuambia
ummati mkubwa wa wafuasi
wake katika mojawapo ya
kampeni zake nchini humo
kuwa, kuna haja ya kufungwa
misikiti yote Marekani kwa
kile alichokitaja kuwa ni
kukabiliana na ugaidi.
Mwezi Septemba mwaka
huu, mmoja wa wanasiasa
wanaowania kuchaguliwa
kugombea urais kupitia
chama cha Republican
nchini Marekani Ben Carson,
alisema katu hawezi kukubali
Muislamu kuwa Rais wa
Marekani.
Akijibu maswali katika
kipindi cha mahojiano cha
runinga ya NBC cha ''Meet
the Press, Carson ambaye
n i d a k t a r i wa m i s h i p a
aliyestaafu, alisema kuwa
dini hiyo inakinzana na
katiba ya Marekani.
Kura ya maoni inaonesha
k u wa d a k t a r i h u y o n i
miongoni mwa wagombea
wanaoshika nafasi za juu kwa
umaarufu nyuma ya bilionea
mbishi Donald Trump na
Cruz.
Matamshi yake yalikuja
s i k u c h a c h e , b a a d a ya
mgombea anayepigiwa upatu
kutwaa tiketi ya Republican,
Donald Trump, kukataa
kujitenga na mfuasi wake,
ambaye alimshutumu Rais
Obama kuwa ni Muislamu,
na pia sio Mmarekani.

WANA DAMU
amezungukwa
na neema
nyingi sana. Neema
zote hizi tumepewa
bila kuzifanyia kazi
yoyote. Hii ina maana
kuwa tunapaswa
kumshukuru sana
yule aliyetupa neema
hizo, yaani Mwenyezi
Mungu. Neema kubwa
kabisa na ya kwanza ni
uhai. Wengi wetu hili
hatulizingatii hadi pale
yanapozuka mazingira
fulani yanayoonyesha
kuwa neema hii inataka
kutuondoka.
Haijalishi umri,
haijalishi ukamilifu wa
viungo, haijalishi hali
ya siha, na haijalishi hali
ya kiuchumi. Watoto,
vijana, wazee; viwete,
vipofu, mabubu, viziwi,
na taahira; wadhaifu,
wenye nguvu, wazima na
wagonjwa; masikini na
matajiri wote tutafanya
kila linalowezekana
kungangania neema
ya uhai, pale neema
hiyo itakapoonekana
kutishiwa!
Je, kuna siku
umekumbuka
kumuelekea Mwenyezi
Mungu na kumwambia,
nakushukuru ewe Mola
wangu kwa kunijaalia
neema hii ya uhai?
Baada ya uhai neema
nyingine kubwa ni siha
njema. Siha njema ndiyo
raslimali muhimu kuliko
zote katika raslimali
ulizonazo. Raslimali hii
ndiyo inayokuwezesha
kupata na kuendelea
kuwa na raslimali
zako nyingine. Wenye
matatizo ya kiafya hili
wanalijua vizuri sana.
Fursa za kiuchumi na
maendeleo zinazopotea
kutokana na afya
kutokuwa sawa ni nyingi
mno.
Je, kuna siku
umekumbuka
kumuelekea Mwenyezi
Mungu na kumwambia,
nakushukuru ewe Mola
wangu kwa kunijaalia
neema hii ya siha njema?
Baada ya siha njema,
neema nyingine kubwa
sana ni muda. Baada ya
siha njema, muda ndiyo
raslimali inayofuata kwa
ubora miongoni mwa
raslimali ulizonazo.
Mara nyingi matumizi
ya raslimali hii ndiyo
yanayomtofautisha mtu
mwenye elimu na mtu
mjinga, mtu mwenye
kipato kizuri na mtu
mwenye kipato duni, na
mtu mwenye mafanikio
katika nyanja mbalimbali
na mtu anayekabiliwa na
mkwamo. Huwezi kuwa
na ufanisi na tija kwenye
shughuli zako kama una
tatizo la matumizi ya
muda.
Je, kuna siku

Hoja ya Juma Kilaghai

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Je, una tabia ya kushukuru?

MWANAFUNZI wa Madrasat Firdaus, Mukhtar Musa, akiwaongoza wanafunzi


wenzake katika ibada ya swala kwa vitendo, mbele ya mgeni rasmi.
umekumbuka
kumuelekea Mwenyezi
Mungu na kumwambia,
nakushukuru ewe Mola
wangu kwa kunijaalia
neema hii ya muda
inayonipa wasaa wa
kufanya shughuli zangu
kwa weledi na ufanisi?
Baada ya muda, neema
nyingine kubwa sana
ni elimu. Tunaambiwa
elimu ni ufunguo
wa maisha. Katika
hilo mjadala hakuna.
Anayepuuza elimu leo
mtafute miaka 20 ijayo
utathmini anachokifanya.
Vivo hivyo kwa yule
anayetilia elimu mkazo
leo. Mtafute pia miaka
20 ijayo utathmini kile
anachokifanya. Ukweli
wa mambo ni kwamba
elimu ndiyo njia kubwa
kuliko zote za kumtoa
mtu kwenye ufukara
na kumpeleka kwenye
maisha ya kipato cha
uhakika. Kama leo watu
wanaicheka familia
yako kwa umaskini,
basi wekeza kwenye
elimu ya watoto wako.
Miaka 20 ijayo familia
yako itawacheka
waliokuchekeni miaka 20
kabla kwa ujinga wao!
Je, kuna siku
umekumbuka
kumuelekea Mwenyezi
Mungu na kumwambia,
nakushukuru ewe Mola
wangu kwa kunijaalia
neema hii ya elimu?
Neema nyingine
kubwa sana ni kupata
mwenza halali wa
ndoa. Huwezi kuujua
umuhimu wa neema hii
mpaka umkose huyo
mwenza. Wanawake
waliokosa waume wa
kuwaoa wanaishi na

mtihani mkubwa sana.


Ni mtihani mkubwa sana
kwa sababu ili kupata
utulivu wa kimwili
ni sharti afanye kile
kitendo nje ya mipaka
ya eneo lenye ridhaa
ya Mwenyezi Mungu.
Vilevile kama anataka
mtoto. Lakini pia kuna
lile suala la faraja na
utulivu wa moyo kwa
kuwa na mwenzio wa
karibu ambaye muda
wote mnaliwazana na
kufarijiana (mawadda na
rehma).
Kwa upande wa
wanaume, japo ni rahisi
kwao kupata mwenza
halali wa jinsia ya kike,
tena hata zaidi ya mmoja
kama wanataka, mtihani
mkubwa kwao uko
kwenye malezi ya familia.
Ni wanaume wachache
sana (kama wapo) wenye
uwezo wa kulea familia
kwa viwango vilevile vya
ubora ambavyo familia
husika italelewa na
mama. Wanaume wengi
kulea wanadhani ni
kuleta mahitaji. Ukweli
wa mambo ni kwamba
mahitaji ni sehemu
ndogo tu ya malezi
yanayotakiwa. Malezi
ya kweli ya familia ni
kukesha na mtoto usiku
kucha wakati anaumwa,
na badala ya kukasirika
ukawa unamwonea
huruma na kuugulia
naye. Hili anayeliweza
ni mama. Kwa kawaida
wababa wengi hali
hiyo wataivumilia tu
kwa sababu hakuna
namna! Malezi ya
kweli ni kukubali
kumwagiwa mikojo, na
hata haja kubwa bila
manunguniko yoyote.

AN-NUUR

Hili pia anayeliweza


ni mama! Kwa wababa
wengi, ghafla mtoto
husika anageuka na
kuwa ni wa mama.
Hebu kamata!
Mwanao ashanichafua
huku.
Hii ni kauli ya
kawaida kabisa kutoka
kwa baba pale mtoto
anapojisaidia wakati
akiwa amempakata!
Malezi ya kweli ni
kukubali kuamka alfajiri
kila siku kuwaandaa
watoto wanaoenda
shule. Hili tena nalo
ni eneo la mama. Kwa
wababa wengi, iwapo
watalazimika kufanya
kazi hii, kama uwezo upo
fasta watoto watatupwa
shule ya bweni, hata wale
wa chekechea!
Malezi ya kweli
ni kufanya usafi
wa nyumba, kufua,
kupika na bado uwe
tayari (pamoja na
kuchoka sana wakati
mwingine) kukubaliana
na haja za kimwili za
mwenza wako. Hapa
tena wakinamama
wanafuzu kwa asilimia
themanini au hata zaidi.
Mwanamme anaweza
akajitahidi akafanya
majukumu haya siku
mbili tatu, lakini baada
ya hapo manunguniko
yatakuwa hayaishi!
Je, kuna siku
umekumbuka
kumuelekea Mwenyezi
Mungu na kumwambia,
nakushukuru ewe Mola
wangu kwa kunijaalia
mwenza niliye naye?
Neema nyingine
kubwa sana ni kuwa
na watoto. Ukubwa
wa neema hii unauona

kupitia kielelezo cha wale


ambao hawakubarikiwa
kupata watoto. Watu
hawa hata wangekuwa
na kila kitu, lakini
ukweli wa mambo ni
kwamba furaha itakuwa
ni bidhaa adimu kwao.
Wako watakaojaribu
kuiba watoto. Wako
watakaojaribu kununua.
Wako watakaojaribu
ushirikina, nakadhalika.
Yote kusaka furaha ya

kuitwa baba au mama!


Je, kuna siku
umekumbuka kumuelekea
Mwenyezi Mungu na
kumwambia, nashukuru
ewe Mola wangu kwa
kunijaalia neema ya watoto
hawa nilionao?
Kama huna tabia ya
kushukuru, basi jifunze.
Jifunze kushukuru kwa
sababu imebainika kuwa
kufanya hivyo ni kitendo
chenye faida kubwa sana
kiafya. Kwa mfano, kwa
mujibu wa matokeo ya
utafiti yaliyomo kwenye
Jarida (Journal) la
Kitaaluma la Personality &
Social Psychology 2003: 84
(2), kushukuru kumebainika
kuboresha siha kwa njia
zifuatazo: Huboresha
usingizi, Hupunguza
msongo, Huongeza kujisikia
mkamilifu; na Huboresha
siha ya moyo.
Kwa mujibu wa utafiti
huu, ilibainika kuwa
watu wote wenye tabia
ya kushukuru, kitendo
hicho huzalisha athari
chanya na zinazopimika
kadhaa kwenye mifumo
mbalimbali ya mwili, ikiwa
ni pamoja na: Kuongezeka
kwa homoni za serotonin
na norepinephrine,
ambazo humfanya mtu
ajisikie vizuri na mwenye
furaha. Kuongezeka kwa
homoni ya testosterone,

ambayo huimarisha
urijali na kumfanya
mwanamme ajisikie ni
mwanamme wa ukweli.
Kuongezeka kwa homoni
ya oxytocin, ambayo
humfanya mhusika awe
na uwezo wa kujenga
mahusiano mazuri na
watu wengine kwenye
jamii. Kuongezeka kwa
homoni ya dopamine,
ambayo inahusishwa
na uwezo wa utambuzi
na kumfanya mhusika
kijisikia raha. Kupungua
katika mzunguko wa
damu kwa homoni
ya cortisol na homoni
nyingine zinazohusishwa
na kuwepo kwa
msongo. Kupungua
kwenye mzunguko wa
damu kwa kemikali
zinazoitwa cytokines
ambazo zinahusishwa
na ongezeko la mfuro
(inflammation) katika seli
za mwili; na Kupungua
kwa sukari ya damu.
(Kwa mawasiliano
zaidi piga namba 0754
281 131/0655 281 131)

7
Na Khatibu J. Mziray

IVI karibuni
t u l i i s h i a
mahali ambapo
inaonekana kana kwamba
k u n a k u b a r i k i wa n a
mungu hata katika
kufanya mambo ya hovyo
na kwa ulaghai. Lakini
Mwenye Enzi Mungu
hana udhaifu huo wa
kubariki dhambi. Hata
hivyo tuone kuwa ndani
ya Biblia mzazi ana hadhi
gani:
Wa h e s h i m u b a b a
yako na mama yako; siku
zako zipate kuwa nyingi
katika nchi upewayo na
BWANA, Mungu wako.
Usimshuhudie jirani
yako uongoUsiitamani
nyumba ya jirani yako,
u s i m t a m a n i m k e wa
jirani yako; wala mtumwa
wake, wala mjakazi wake,
wala ngombe wake, wala
punda wake, wala cho
chote alicho nacho jirani
yako. (Kutoka 20:12-17.)
Swali ni hili: Ni vipi
mtume wa Mwenyezi
Mungu (Yakobo) alivyoasi
sheria hiyo ya Mwenyezi
Mungu kwa kutamani
u k u b wa wa E s a u n a
pia kumdanganya baba

Habari

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Khabari ya Israel Taifa teule-3


yake? Na ni Mungu yupi
aliyebariki dhambi hiyo?
HATA
HIVYO
TUONE KUWA NI KIPI
KILICHOTOKEA KWA
ESAU:
IkawaYakobo ndiyo
ametoka mbele ya Isaka
mara Esau ..akajaNaye
pia amefanya chakula
kitamu akamletea
babaye, a k a mwa mbia
baba yake, Babangu na
aondoke, ale mawindo
ya mwanawe, ili roho
yako inibariki. Isaka baba
yake, akamwuliza, U nani
wewe? Akasema, Mimi ni
mwanao, Esau, mzaliwa
wako wa kwanza. Isaka
akatetemeka tetemeko kuu
sana, akasema, Ni nani basi
yule aliyetwaa mawindo
akaniletea?
Nami
nimekwisha kula kabla
hujaja wewe, nikambariki;
naam, naye atabarikiwa.
(Mw. 27:30-33.)
Ukisoma kwa makini,
huo msamiati wa
mwandishi, katika aya
hizo za Esau, linganisha
na msamiati wa aya za

maelezo ya Yakobo na Isaka


baba yao, utaona usanii
wa mambo. Hata hivyo ,
hapo Esau hana habari ya
kubadilisha uzaliwa wake
wa kwanza (ukubwa wake
wa kuzaliwa) kwa Yakobo
mdogo wake. Lakini ni
mafundisho gani na yenye
tija gani kwa waumini, na
hasa vijana, kuwa, mtoto
amemdanganya mzazi
wake, tena asiyeona, na
mzazi baada ya muda
mchache tu anajua kuwa
mtoto amemdanganya,
na kumpa amana ya kaka
wa mtoto huyo, na baba
akaendelea kuthibitisha
kuwa kweli amebarikiwa!
Badala ya kusema
a n a m w i t a a m wa m b i e
kuwa, kutokana na tabia
hiyo ya kunidanganya,
namwambia Mwenyezi
Mungu afute baraka
hizo. Sikiliza majibu
y a I s a k a , m a j i b u ya
baba kwa mwanawe
andiko lililosema kuwa
anampenda:
Esau aliposikia maneno
ya babaye, akalia kilio

kikubwa cha uchungu


sana, akamwambia
babaye, Nibariki mimi
nami, Ee babangu.
Akasema, Je! Hakuitwa
Ya k o b o k w a h a k i ,
maana amejitia mahali
pangu mara mbili hizi?
Alichukua haki yangu ya
mzaliwa wa kwanza, na
sasa amechukua m-baraka
wangu. Akasema, Je!
Hukuniwekea na mimi
mbaraka?
Isaka akajibu,
a k a m wa m b i a , E s a u ,
Tazama, nimemfanya awe
bwana wako, na ndugu
zake wote nimempa
kuwa watumishi wake;
kwa nafaka na mvinyo
nimemtengeneza; nami
nikufanyie nini sasa,
mwanangu?
Esau
a k a m wa m b i a b a b a ye ,
Una mbaraka mmoja tu,
babangu? Unibariki mimi,
mimi nami, Ee babangu.
Esau akapaza sauti yake,
akalia. Mw. 27:35-38.)
Kwa mujibu wa imani
ya Wakristo, ni kuwa ,
kuanzia kitabu cha

mwanzo, mpaka mwisho


wa kitabu cha Ufunuo,
ni maneno ya Mwenyezi
Mungu, kwa maana kuwa
, yote yaliyoandikwa
yanatoka kwake. Sasa
tujiulize, kuwa, hizo hapo
juu ni riwaya au ni ufunuo
(wahyi) unaotoka kwa
Mwenyezi Mungu?
Hata hivyo sikiliza
Baraka anazopewa Esau
kutoka kwa baba yake
mpendwa:
Isaka baba yake,
akajibu, akamwambia,
Na penye manono ya
nchi makao yako, Na
penye umande wa mbingu
unaotoka juu. Kwa upanga
wako wewe utaishi, nawe
utamtumikia nduguko; Na
itakuwa utakapoponyoka,
Utalivunja kongwa lake
katika shingo yako. (Mw.
27:39-40.)
Fitina hiyo iliyoandikwa
na waandishi wa
Israiliyati, ndizo hizi
zimeingizwa katika
Umagharibi (Ukristo),
zinateketeza roho za watu
wasio na hatia toka enzi
hizo mpaka sasa. Riwaya
hizo zinatuonesha fitina
iliyopikwa na Rebeka za
kuwagawa wanawe, hadi
Inaendelea Uk. 8

Uzayuni sio mpango wa Mungu ndio maana Yesu aliupinga


Na Mchungaji Kamara
Kusupa

Z AY U N I
au
Zionism ni
miongoni mwa
i t i k a d i m b a ya i l i y o
kinyume na mafundisho
ya Biblia. Inatokana na
mlima Sayuni ulioko
nchini Israeli. Baadhi ya
wanazuoni waliifananisha
Zionism na Apertheid
ya Makaburu wa Afrika
y a k u s i n i . We n g i n e
wakaitetea kwamba
usayuni hauna cha
kufanya na rangi au utaifa
wa mtu.
Kimsingi maneno ya
Mungu hayana tatizo,
tatizo liko kwa wanadamu
kuyatafsiri sawa na
matakwa yao, nao ukomo
wa akili au limitation
umechangia kuupotosha
ukweli wa Mungu. Ndiyo
maana mitume na manabii
hawakutumainia akili
zao za kuzaliwa, bali
walitumainia ufunuo wa
Mungu wahyi. Musa
aliandika mambo ya
sirini ni ya Bwana Mungu
wetu lakini mambo
yaliyofunuliwa ni yetu sisi
na watoto wetu milele ili
tuyafanye maneno yote ya

sheria hii (Kumbukumbu


la torati 29;29)
Niifanyie mhutasari kwa
kifupi mada ya Ibrahimu
na Mungu, kulingana na
ufunuo unaotolewa na
Biblia kuna vipindi ama
awamu tatu za Mungu na
mwanadamu, awamu ya
kwanza, awamu ya kati
na awamu ya mwisho.
Awamu ya kwanza ilikuwa
ni Mungu kushughulika
na mtu (individual).
Mungu alianza na
A d a m u , a k a f a n ya n a
Nuhu, akahitimisha na
Ibrahimu. Awamu ya pili
ni Mungu kushughulika
na Taifa moja, alianza
k wa k u m t o k e a M u s a
akamtuma aende kuwatoa
wana wa Israeli utumwani
huko Misri. Kwenye
katika kitabu cha Mwanzo
mlango wa 17 Musa kwa
kuongozwa na ufunuo
wa Mungu mwenyewe,
a m e a n d i k a h a b a r i ya
Ibrahimu kumtolea
Mungu dhabihu ya mwana
mbuzi, ndama na njiwa au
hua, ilitokea bahati mbaya
kwamba Ibrahimu katika
utayarishaji wa dhabihu
yake ndege hakuwapasua.
Makubaliano ya Mungu
na Ibrahimu yalikuwa
kwamba Mungu atatoa

ishara ya uthibitisho kwa


kushusha moto utokao
mbinguni kuziteketeza
sadaka ama dhabihu
za Ibrahimu. Ibrahimu
alipomaliza kutayarisha
dhabihu, ikatokea
kusubiriana Mungu
akisubiri Ibrahimu
akamilishe maandalizi ya
dhabihu naye Ibrahimu
akisubiri moto wa Mungu
ushuke kutoka mbinguni.
Ibrahimu alingoja
hadi nyama zikaanza
kutoa uvundo harufu
ikawavuta tai na kunguru,
Ibrahimu akaanza kazi ya
kuwafukuza wasidonoe
dhabihu zake, baadaye
harufu ikawavuta
wanyama wakali,
Ibrahimu akaingia kwenye
kazi ya kupambana na
hayawani wa mwituni
kuhami sadaka yake,
giza lilipoingia Ibrahimu
alihofia kuliwa na
hayawani yeye na
sadaka yake, alipigana
hadi akachoka kabisa,
ndipo nuru kali iliangaza
kutoka mbinguni, na
baadaye moto ukashuka
ukaiteketeza dhabihu ya
Ibrahimu, ndipo Mungu
alipomtabiria akisema
hakika uzao wako utakuwa
mtumwa kwenye nchi

ya kigeni. Lakini wewe


utalala salama katika nchi
hii na kizazi cha nne ndicho
kitairithi kwani haujatimia
bado uovu wa Mwamori.
Wa i s r a e l i k u z a l i a n a
utumwani haikutokea
kwa bahati mbaya wala
haikuwa ajali, ni jambo
lililotabiriwa mapema na
Mungu mwenyewe.
Hiyo awamu ya pili ya
Mungu kushughulika na
taifa moja kati ya mataifa
mengi ndiyo imetafsiriwa
vibaya na kuzaliwa dhana
ya taifa teule la Mungu.
Awamu ya tatu ni ya
Mungu kushughulika na
mataifa yote, wakati Yesu
anapambana na waliofanya
biashara Hekaluni alisema
i m e a n d i k wa n y u m b a
yangu itakuwa nyumba
ya s a l a k wa a j i l i ya
mataifa yote, lakini ninyi
mmeigeuza kuwa pango
la wanyanganyi.
Kwa hiyo naweza
kufanya muhutasari huu:
Mungu na mtu mmoja,
Mungu na Taifa moja,
Mungu na mataifa yote.
Yesu aliwaagiza mitume
wake akisema nendeni
ulimwenguni mote,
mkayafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi wangu
mkiwafundisha kuyashika

yote niliyowafundisha na
tazama mimi niko pamoja
nanyi hadi ukamilifu wa
dahari.
Dhana ya usayuni
ambapo
Mungu
anaonekana ni Mungu wa
Waisraeli tu ilitokana na
maneno ya msisitizo ya
manabii ambao Mungu
alikuwa akiwainua ili
kusema na taifa la Israeli
lililopotoka. Jambo la
kukumbuka ni kwamba
kutokana na mfumo
aliokuwa ameuasisi Nabii
na mtume Musa, Waisraeli
ilibidi waongozwe na
wa o n a j i wa a n d i s h i
wengine wamewaita
waamuzi au majaji.
B a a d a y e Wa i s r a e l i
wakaukataa mfumo wa
wa a m u z i wa k a wa n a
mfumo wa Wafalme, ni
wakati huo wa kuongozwa
na wafalme ndipo baadhi
yao yaani wafalme
wasiomcha Mungu,
washirikina walioabudu
uchawi wakitumainia
nguvu
zingine
zisizotokana na Mungu,
n d i p o wa l i p o i n u l i wa
manabii kuonya.
Chini ya mazingira hayo
ya Waisraeli kupotoka
Inaendelea Uk. 8

8
Inatoka Uk. 7
waumini wanaziita kuwa
ni mibaraka. Sina haja
ya kufafanua aya hizo
hapo juu, labda tu niseme,
kuwa, huo ndio mtaala
(manhaji) uliojengea
Ukristo toka Antiokia,
miaka 14 baada ya Yesu
kuondoka- (Matendo
11:26.)
Sasa angalia huo wajibu
wa mama mzazi tena mke
wa mteule wa Mwenyezi
Mungu!
Esau akamchukia
Ya k o b o k wa a j i l i ya
ule mbaraka babaye
aliombarikia. Esau
akasema moyoni mwake,
Siku za kumlilia baba
yangu zinakaribia, ndipo
nitakapomwua ndugu
yangu Yakobo. Rebeka
akaarifiwa maneno ya
Esau, mwanawe mkubwa.
Akapeleka mtu kumwita
Yakobo, mwanawe mdogo,
akamwambia, Tazama
katika habari za Esau,
ndugu yako, anajifariji

Makala

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Khabari ya Israel Taifa teule-3


moyo wake, maana
anakusudia kukuua. Na
sasa mwanangu, sikia
sauti yangu, uondoke,
ukimbilie kwa Labani,
ndugu yangu huko
Haran;. (Mw. 27:45.)
(Haran, ni katika nchi ya
Uru wa Wakaldayo-Iraq).
Waandishi wa Biblia
wanatufanya tujiulize,
kuwa, hivi huyo Rebeka
hakujua mapatilizo ya
Mwenyezi Mungu;
alikuwa anamwamini
Mungu yupi, alikuwa
anaishi kwa kuongozwa
na sheria za aina gani;
yaonesha alikuwa ndiye
kiongozi wa nyumba ya
Isaka! Na Isaka alikuwa
mteule wa Mwenyezi
Mungu; Mungu aliyesema
maonyo haya:
BWANA akapita
mbele yake, akatangaza,
B WA N A , B WA N A ,

Mungu mwingi wa
huruma, mwenye fadhila,
si mwepesi wa hasira,
mwingi wa rehema na
kweli; mwenye kuwaonea
huruma watu elfu elfu,
mwenye kusamehe
uovu na ,makosa na
dhambi; wala si mwenye
kumhesabia mtu mwovu
kuwa hana hatia kamwe;
mwenye kuwapatiliza
watoto uovu wa baba zao,
na wana wa wana wao pia,
hata kizazi cha tatu na cha
nne. (Kutoka 34:5-7.)
Kuna watu hawaamini
kuwa wana wa Israeli
walipatilizwa, na
wanaendelea kupatilizwa
kutokana na matendo
ya imani zao; na hasa
kwa kuwa wanaonekana
kuwa wameshikilia
mambo mengi ya
mifumo inayoaminiwa
kuwa ni ya kiuchumi na

kimaendeleo, hata kama


ina mfumo wa kishetani
, na ki u-uwaji. Kwani
kuuhodhi utajiri wa dunia
hii si ishara ya uongofu,
bali matendo yako kwa
wanadamu wengine na
viumbe kwajumla ndiyo
yatakayotoa tafsiri ya ucha
Mungu wako.
Kwa imani ya Wakristo
wengi, wanaamini kuwa,
Nabii Ibrahimu na Isaka
walikuwa ni Wayahudi;
jambo ambalo sikweli.
Bibli inatwambia kuwa,
Esau, aliitwa Edomu;
mw. 25:30; 36:1. Pamoja
na hivyo kizazi cha Esau ni
Waarabu ukiagalia Jarida
la nchi za Biblia, katika
ramani zinaonyesha kuwa
alikoishi Esau palijulikana
kwa jina la Edomu, na ni
kati ya Arabah, Midiani
Arabian Desert. Kwa
maana hiyo ni kuwa, ili

ndugu (Waarabu) wa wana


wa Israeli watoe kongwa
shingoni (wawe huru) ni
lazima wafe, ndiyo maana
mbaraka wa Isaka kwa
Esau ulimwambia kuwa
kwa upanga wako wewe,
utaishi nawe utamtumikia
nduguyo; (Yakobo).
Hivyo vita vyote
vilivyo na vinavyoendelea
Mashariki ya Kati na
dunia nzima, ni sera
za mafundisho hayo ya
Mayahudi na washirika
wao toka zamani. Na
ukisikia watu wanawasifu
wana wa Israeli kuwa
wamebarikiwa, Baraka
zenyewe ndizo hizo; na
ukisikia kuwa ni mahodari,
basi uhodari wenyewe
ni wa namna hiyo. Na
kama ndugu zake wa
kuzaliwa amefanya hila
za kuishi nao za namna
hiyo, makabila na mataifa
mengine duniani kwa
wana wa Israeli wanawaita
ma-Goyim, ni kama
kusema mijitu isiyo na
akili, ni afadhali ya punda.

Uzayuni sio mpango wa Mungu ndio maana Yesu aliupinga


Inatoka Uk. 7
kuanzia viongozi wa
dini (ukoo wa makuhani)
hadi watawala wao
(wafalme), ndipo Mungu
alipowainulia manabii na
kuwapa manabii wake
maneno ya kusema.
Kuna manabii waliosema
kwa lugha ya upole na
ubembelezi sawa na baba
anavyo-mbembeleza
mwanawe arudi, Manabii
wengine walisema na
wa t u k wa l u g h a k a l i
wakahesabiwa kama
watukanaji, wakapigwa
na wengi waliuliwa.
Kwamfano Isaya
anasema tazama ni
we we t u n i l i ye k u j u a
nikakuchagua uwe wangu
kati ya jamaa zote za
dunia maneno ya aina
hii yaliposomwa baada
ya miaka mingi ya Isaya
kuondoka na kutangulia
mbele ya haki, wasomaji
wakatafasiri sawa na
matakwa yao, wakatafsiri
sawa na ukomo wa akili
zao, wakamwona Mungu
ni kama amebinafsishwa
kwa taifa moja tu la Isaraeli.
Wakamwona ni Mungu
asiyekuwa na mpango
wowote na wanadamu
wengine wasiokuwa
Wayahudi.
Lakini Yohana mbatizaji
a l i y e k u wa N a b i i wa
kuchukua nafasi ya Eliya,
alisema na watu kwa
lugha kali anawaambia
mafarisayo waliojiona
kwakuwa ni Waisraeli
b a s i m o j a k wa m o j a
wanakuwa wa Mungu

Yohana mbatizaji anasema


enyi uzao wa nyoka ni
nani aliyewaonya hadi
muikimbie adhabu
iliyowekwa? Basi zaeni
matunda yapaso toba
maana msiwaze mioyoni
mwenu mkisema tunaye
Baba ndiye Ibrahimu,
nawaambia kutoka katika
mawe haya Mungu aweza
kumwinulia Ibrahimu
watoto. Tazama shoka
limekwisha kuwekwa
tayari kila mti usiozaa
utakatwa na kutupwa
motoni.
Hapa Yohana mbatizaji
anakosoa imani ya
Waisraeli ambyo haistahili
kuitwa imani bali kasumba,
hiyo kasumba ya Waisraeli
ilijengeka kutokana na
mafundisho potofu,
i l i wa f a n ya Wa ya h u d i
kujidai na kutembea vifua
mbele wakijiona kwamba
wao ni wazao wa Ibrahimu
r a f i k i wa M u n g u n a
kwahiyo hata mbinguni
kwa Mungu wataingia
kutokana na hali hiyo ya
kuzaliwa na mtu aliye
karibu sana na Mungu
kuliko wanadamu wote.
Yohana akawaita wazao
wa nyoka, hawaiti wazao
wa Ibrahimu. Yohana
a n a z i d i k u wa p a s u l i a
ukweli kwamba Mungu
huko mbinguni aliko
hana uhitaji wa watu kiasi
kwamba ampokee hata
aliye mwovu kwasababu
tu amezaliwa katika damu
na mbegu ya Ibrahimu.

Yohana akasema Mungu


anao uwezo wa kuyageuza
mawe akayafanya watoto
wa Ibrahimu kuliko
kumkubali mtu mwovu
kwasababu tu anatokana
na mbegu ya Ibrahimu.
Hata Yesu alitoa mifano
mingi kuonyesha Mungu
ni wa haki hana upendeleo,
kwenye Injili ya Luka kuna
kiasa cha tajiri aliyekufa na
kwenda mahali pa mateso
na maskini aliyeingia
peponi akaingia kwenye
himaya ya Ibrahimu. Tajiri
alimwomba Ibrahimu
akisema Baba nihurumie,
mtume huyo Lazaro
(maskini aliyekuwa
akiomba mlangoni mwake)
achovye kidole chake
kwenye maji aje auguse
tu ulimi wangu nijisikie
kuburudika japo kwa
nukta. Iliposhindikana
tajiri alimwomba Ibrahimu
amtume maskini Lazaro
a r u d i d u n i a n i ya a n i
atoke kwa wafu aende
kuwashuhudia ndugu
zake, akasema niliwaacha
ndugu watano wanaoishi
kwa namna niliyoishi
mimi, wasije nao wakafika
mahala hapa. Lakini
Ibrahimu alimjibu duniani
iko sheria ya Musa, wapo
pia manabii, kwahiyo hao
nduguzo na wawasikilize
manabii. Tajiri akadai
nduguze wana dharau
hawawasikilizi manabii.
Ibrahimu akamjibu ikiwa
hawawasikilizi manabii

hata mtu akitumwa


kutoka kwa wafu
hawatamsikiliza. Yesu
alitoa kisa hiki cha kweli,
alisimulia yale aliyoyaona
huko kwa Mungu kabla
hajaja duniani.
Wa k a t i
Ye s u
anafundisha kuna siku
alikwenda Nazarethi kijiji
alicholelewa na kukulia,
ilikuwa siku ya sabato,
akapewa gombo la torati
akafungua kwenye
maneno ya unabii wa
Isaya akawasomea
na alipomaliza akaketi
kwenye kiti ambacho
Wa y a h u d i w a l i k u w a
wanakiacha wazi kwa
ajili ya masihi wao
wakiamini kwamba
anaweza kushuka wakati
wowote kutoka mbinguni
yaani mtu asiye wa
kawaida, mwenye utukufu
wa ajabu na walitaraji
ataanzisha utawala wa
Kiyahudi utakaodumu
milele hapa duniani.
Ye s u a l i p o k a l i a
kiti cha masihi wote
wa l i o k u wa n d a n i ya
Sinagogi wakamkazia
macho wakiona kama
kwamba amekosea lakini
a k a wa a m b i a m a n e n o
haya yaliyoandikwa
ama kutabiriwa na Isaya
yametimia leo hii. Akaanza
k u wa s h u d i a k wa m b a
wa l i k u wa k o wa k o m a
wengi katika nchi ya Israeli
zamani za nabii Elisha
lakini hakuna mkoma

aliyetakaswa isipokuwa
Naaman mtu wa Shamu,
tena walikuwako wajane
wengi katika nchi ya Israeli
zamani za Nabii Ealiya
lakini Eliya hakutumwa
kwa Mwisraeli yeyote
isipokuwa huko Sarepta
nchi ya Sidoni. Wote
waliposikia maneno
hayo wakajaa ghadhabu
wa k a m r u k i a k wa n i a
moja ya kutaka kumuua
lakini wakasita kwasababu
kulikuwa na kifungu cha
sheria kwenye torati yao
kilichowataka kufanya
kitakatifu siku ya sabato.
Wa k a a m u a k w e n d a
kumsukumiza shimoni,
lakini Yesu akapuruchuka
na kuwatoka.
Kilichowaudhi kutokana
na maneno hayo ya Yesu ni
kwasababu alifundisha
kinyume na itikadi yao ya
Usayuni. Aliwaonyesha
na kuwathibitishia
k wa m b a M u n g u wa o
anawaheshimu hata watu
wa mataifa mengine, akatoa
ushahidi wa Nabii Eliya
alivyotumwa kwa mjane
wa Serepta nchi ya Sidoni
kwa watu wasiokuwa
Waisraeli, akawatolea
mfano mwingine kwamba
Mungu alimtakasa
Naamani asiye Mwisraeli
kwahiyo akahitimisha
k wa m b a M u n g u wa o
anawaheshimu na
kuwathamini watu wa
mataifa mengine. Hilo
ikawaudhi wakaamua
kumuua.

9
Na Omar Msangi

ENYA imeingia na
kuzama katika tope
la mzaha wa ugaidi
sasa nayo ikifanya kile
kinachoitwa Anti-terror
drills. Haya ni mazoezi
ya p o l i s i , wa n a j e s h i
na watoa huduma
ya mwanzo ambapo
wanaigiza lau ingekuwa
kuna tukio la ugaidi
wangefanyaje. Katika
mazoezi hayo, hupatikana
washambuliaji bandia
katika polisi, majeruhi na
hata maiti bandia. Kisha
waokoaji yakiwemo
m a g a r i ya wa g o n j wa
(ambulances) ambayo

Makala

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Kenya yajizamisha kwenye


tope la mzaha wa ugaidi
Baada ya Anti-terror drills ni kipigo!
Ndivyo ilivyokuwa Paris, California
Rejea pia Julai 7 London na Boston

hufanya kazi ya kubeba


wagonjwa na maiti
bandia. Inadaiwa kuwa
mazoezi hayo ni katika
kujiandaa na kuwa tayari
kuwakabili magaidi na
tahadhari za kuchukua
kuwaokoa na kuwasaidia
majeruhi.
Kenya walifanya
zoezi hili katika Chuo
Kikuu cha Strathmore
(Strathmore University),
Nairobi ambapo ulitokea
mtafaruku, watu
kukanyagana akafiriki
mama mmoja na wengine
zaidi ya 30 kujeruhiwa.
Kwa mujibu wa taarifa
Inaendelea Uk. 10

WANAFUNZI wa Chuo
Kikuu cha Strathmore
wakiwa madirishani
kutaka kuruka kutoka
ghorofa za juu. Kushoto
mmoja wa wanafunzi
aliyejeruhiwa akisaidiwa
na wenzake.

Na Mwandishi Wetu

ALI ni ya
wasiwasi na
kuogofya kwa
Waislamu wa Kenya,
Uganda na Afrika
Mashariki kwa ujumla.
Wakati kule Uganda
pamekuwa na msururu
wa kuuliwa Masheikh,
Kenya nako hali imekuwa
hivyo hivyo.
Hadi sasa Masheikh
12 wameshauliwa nchini
Uganda katika kipindi
cha miaka mitatu.
La kusikitisha ni kuwa,
unaodaiwa uchunguzi
wa polisi, mpaka
sasa haujabaini nani
wanahusika na mauwaji
hayo.
Hali ikiwa hivyo
Uganda, baada ya
mfululizo wa mauwaji
ya Masheikh Kenya,
wakiwemo Sheikh
Aboud Roggo na Sheikh
Abubakar Shariff aka
Makaburi, Jumapili
ya wiki iliyopita
limegundulika kaburi

Wasiwasi, hofu yatanda!


Nani ameuwa Masheikh hawa kikatili?
Mama avunjwa mifupa, angolewa meno
Afukiwa na maiti nyingine 11 za Waislam
Alikamatwa na makachero polisi wa ugaidi

MAZISHI ya Sheikh Mustafah Bahiga

likiwa na maiti za watu


12.
Miongoni mwa maiti
hao, ni maiti ya mama
mmoja wa Kiislamu
aliyetambuliwa kwa jina
la Isnina Mohammed
Sheikh.
Isnina ni mama
wa Kiislamu, mama
wa watoto watano
aliyekuwa akijipatia rizki
yake na wanawe kwa
kuuza chai pembezoni
mwa msikiti wa AlFurqaan, mjini Mandera.
Kwa mujibu wa
mashuhuda wa tukio,
mama huyo akiwa
katika shughuli zake
akihudumia wateja,
alikamatwa na watu
waliojitambulisha kuwa
ni makachero wa Polisi.
Hiyo ilikuwa ni Desemba
4, mwaka huu 2015.
Walimuingiza katika
gari yao na kuondoka
naye huku nyuma yao
zikifuatia gari nyingine
mbili za polisi.
Mama huyo wa
Inaendelea Uk. 10

10
Inatoka Uk. 9
ya msemaji wa Chuo
Kikuu hicho Betty Ngala,
aliyefariki ni mfanyakazi
wa Chuo Bi Esther
Kidambi, mwenye umri
wa miaka 33. Bi Ester
Kindambi aliruka kutoka
gorofa ya 3 katika jitihada
za kuokoa maisha yake
baada ya polisi waliokuwa
wakiigiza shambulio la
kigaidi kutumia risasi za
moto jumuiya ya Chuo
Kikuu ikiwa haina habari.
Taarifa zaidi zinasema
kuwa kishindo cha risasi
kutoka bunduki nzito
kilisababisha wanafunzi
kukimbia ovyo na kuruka
kutoka ghorofa za juu
j a mbo l i l i l os ababis h a
baadhi kuvunjika miguu,
wengine wakilazwa
hospitali katika vitengo vya
wagonjwa mahututi (ICU).
Makamo Mkuu wa chuo
(vice chancellor ), Prof.
John Odhiambo amesema
kuwa chuo kitawalipia
gharama za matibabu
walioumia ambapo
alisema kuwa hadi sasa
20 bado wapo hospitali
wawili hali zao zikiwa
mbaya. Katika taarifa yake,
Makamo Mkuu Msaidizi
wa Chuo hicho George
Njenga, amekiri kulazwa
wanafunzi ICU akisema
kuwa katika majeruhi
yupo Profesa mmoja wa
Chuo ambaye aliruka
Inatoka Uk. 9
Kiislamu hakuonekana
tena hadi Jumapili
alipogundulika kuwa
moja ya maiti 12
zilizofukiwa katika shimo
moja.
Maiti ya mama huyo
ilikutwa imevunjwa
vunjwa mifupa na
kungolewa meno, jambo
linaloonyesha kuwa
aliteswa sana kabla ya
kuuliwa na kufukiwa
akiwa uchi kabisa.
Taarifa kutoka
Mandera zinafahamisha
kuwa maiti za watu hao
12 waliokutwa katika
shimo moja, ni katika
jumla ya Waislamu 59
walikuwa wametoweka
kwa siku za karibuni
katika mazingira ya
kutatanisha huku
taarifa zikisambaa kuwa
walikuwa wamenaswa
na Polisi wa kupambana
na ugaidi. Hadi sasa
maiti 25 za watu hao
waliokuwa wamepotea
zimeshagundulika.
Pamoja na serikali ya
Kenya kukanusha mara
kwa mara kuwa haihusiki
na kuuliwa Masheikh
wala kupotea kwa baadhi
ya Waislamu katika
mazingira ya kutatanisha,

Makala

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Kenya yajizamisha kwenye


tope la mzaha wa ugaidi

BAADHI ya askari wa Kenya walioshiriki mapambano bandia ya ugaidi.


kutoka ghorofa ya 4.
Katika zoezi hilo
lililofanyika mchana,
polisi walifyatua risasi

ovyo hewani ambapo


kishindo kiliwapelekea
wanafunzi kukimbia ovyo
huku wengine wakitokea

madirishani na kukatwa na
vioo. Wengine walijikuta
wakitumbukia katika
mto Mbagathi uliofurika

Wasiwasi, hofu yatanda!

MAZIKO ya Sheikh Ibrahim Kirya katika Msikiti wa Kibuli, Kampala, Uganda.


lakini Waislamu na
taasisi za kutetea haki
za binadamu zimekuwa
zikipaza sauti kuwatupia
lawama jeshi la Kenya
(Kenya Defense Forces) na
vikosi maalum vya polisi,
maarufu kwa majina ya

Rapid Deployment Unit


na Anti-Terror Police Unit
(ATPU).
Wengine wanautupia
lawama ni Idara ya
Usalama (National
Intelligence Service.)
Baadhi ya wanasheria

wakiongea na waandishi
wa habari wamesema
kuwa ni siri iliyo wazi
kuwa wanaohusika
na vitendo vya kuteka
wananchi wasio na hatia
na kisha kuwauwa ni
jeshi na vyombo vya

unaopita jirani na chuo.


Inaelezwa kuwa vyuo
vikuu kadhaa vimefanya
zoezi kama hili ikidaiwa
kuwa ni katika kujiweka
s a wa k u k a b i l i a n a n a
m a s h a m b u l i z i ya A l Shabaab.
Hata hivyo inaelezwa,
na kwa hakika uzoefu
unaonyesha kuwa, hakuna
mahali ambapo mazoezi
hayo yameweza kusaidia.
Kinyume chake ni kuwa
kila ambapo yamekuwa
yakifanyika mazoezi, ndio
ambapo pameshambuliwa
na watu kuumizwa na
kunaonekana kuwa na
uhusiano wa mazoezi na
shambulio.
Katika shambulio
linalotamba hivi sasa
katika vyombo vya
habari vya Marekani na
Ulaya, la San Bernardino,
California (California
S h o o t i n g ) i n a e l e z wa
kuwa zoezi kubwa la
ugaidi wa kuigiza-anti
terror drill, lilifanyika
katika chuo hicho muda
na mahali palepale
lilipodaiwa kufanyika
shambulio. Katika tukio
hilo la Desemba 2, 2015,
inadaiwa kuwa magaidi
wawili, mtu na mkewe,
Syed Rizwan Farook na
Tashfeen Malik, waliuwa
wa t u 1 4 n a k u j e r u h i
wengine 21 waliovamia
Inaendelea Uk. 11
usalama vya Kenya,
wakisingizia kupambana
na ugaidi.
Naye Seneta wa
Mandera, Senator Billow
Kerrow akilia nguvu
kauli hiyo ya wanasheria
akasema, we even
know the individual KDF
members involved in the
kidnapping, disappearance
and killing of our people.
Kwamba wanawajua
hata kwa majina askari
wa jeshi la Kenya
wanaoteka watu na
kisha watu hao kukutwa
wameuliwa.
Lakini pia
itakumbukwa kwamba
mwaka jana Aljazeera
walitoa makala
iliyoonesha kuwa kuna
vikosi vya mauwaji
(death squads) ndani ya
vyombo vya usalama vya
Kenya ambavyo ndio
vinauwa Masheikh na
Waislamu wengine kwa
madai kuwa ni magaidi.
Katika mahojiano
ya Aljazera na baadhi
ya wanausalama
walio katika vikosi
hivyo inaelezwa wazi
kuwa wao kazi yao sio
kukamata watuhumiwa
na kuwapeleka
Inaendelea Uk. 19

11
Inatoka Uk. 10
na kushambulia wanachuo
wa chuo cha afya cha San
Bernardino, California,
Marekani. Polisi katika
California wamethibitisha
k u f a n y i k a wa l i c h o i t a
Active Shooter Drill hapo
San Bernardino. (Tazama:
Police Confirm Active
Shooter Drill During San
Bernardino Terror Attack.
Tazama pia: Breaking: San
Bernardino Mass Shooting
False Flag with Active
Shooter Drills. Au VVC
Alerts Public to Upcoming
Active Shooter Training.)
Wafuatiliaji wa mambo
wanasema kuwa baada
ya zoezi la Active Shooter
Drill ambapo picha za
v i d e o z i l i c h u k u l i wa ,
ndio ghafla Polisi hao
wakaibuka na taarifa kuwa
kuna magaidi wakavamia
nyumba za baadhi ya watu
na kuanza kupekua na
kupiga picha. Mlolongo
ukawa mrefu ikiwa ni
pamoja na kuibua visa
kwamba huyu alipata
k u s o m a s e m i n a r i ya
Kiislamu Pakistan, aliwahi
kwenda Saudi Arabia na
mambo kama hayo ili
kukoleza habari zao za
magaidi wa IS.
Na katika tukio la hivi
karibuni la Paris ambapo
tuliambiwa kuwa magaidi
wa IS waliuwa takribani
watu 130, mchezo kama
huo ulifanyika masaa
machache tu kabla ya tukio.
Na baadhi ya wachambuzi
wanasema kuwa baadhi
ya picha zilizochukuliwa
katika Drill ile wauguzi
wakisaidia majeruhi, ndio
nyingine zimeonyeshwa
kuwa ni za shambulio
(Tazama: Hours Before
the Terror Attacks, Paris
Practiced for a Mass
Shooting.)
Itakumbukwa pia
kwamba kiasi miaka 10
iliyopita, July 7, 2005,
l i l i f a n y i k a l i l i l o i t wa
shambulio la kigaidi
London, maarufu the
London 7/7 bombings.
Taarifa zinaonyesha kuwa
wakati shambulio hilo
likifanyika, wakati huo huo
lilikuwa likifanyika zoezi
la kuigiza The London
7/7 Mock Terror Drill
ambapo polisi walifyatua
mabomu na wakawepo
wauguzi na magari ya
wagonjwa (ambulances)
kubeba majeruhi na
maiti bandia. Taarifa za
kuwepo zoezi hilo la
kuigiza zilifichuliwa na
Mkurugenzi wa Kampuni
ya Visor Consultants, iliyo
wakala wa Polisi katika
jiji la London (London
Metropolitan Police),
wakati akihojiwa na BBC.
Peter Power aliwahi kuwa
kachero wa ngazi za juu
wa Scotland Yard. Lakini
inaelezwa pia kwamba hilo
halikuwa zoezi la kwanza.
Mock terror drill ya 7/7
iliyoandaliwa na Visor

Makala

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Kenya yajizamisha kwenye


tope la mzaha wa ugaidi

JUU mmoja wa watu anayedaiwa kupoteza miguu miwili katika shambulio la Boston
akitajwa kwa jina la "Jeff Bauman" akisaidiwa na muongoza filamu Steven Allan Spielberg
mwenye heti. Chini vikopo vya damu bandia na waigizaji majeruhi wa ugaidi.

Consultants, ilitanguliwa
na zoezi kama hilo mwezi
Aprili mwaka huo huo
lililopewa jina la Atlantic
Blue, miezi mitatu kabla
ya s h a m b u l i o . K a b l a
ya hapo mwaka 2003,
lilifanyika pia likipewa
jina la OSIRIS 2.
Ukiacha habari
ya Atlantic Blue ni
kupatikana kwa taarifa
kuwa baadhi ya watu
walikuwa wakijua
kitakachotokea kabla
ya shambulio lenyewe.
Mmoja wao akiwa Waziri
wa Fedha wa Israel wakati
huo Benjamin Netanyahu.
Wakati huu Netanyahu ni
Waziri Mkuu. Kwa mujibu
wa taarifa za Shirika la
Habari la Associated Press
(Jerusalem), Netanyahu
akiwa Londion alizuiwa
kutoka hotelini kwake
k we n d a k a t i k a k i k a o
ambacho kilikuwa
kikifanyika katika hoteli
iliyo jirani kabisa na
mahali ambapo lilitokea
shambulio.
The London 7/7
Mock Terror Drill: What
Relationship to the Real
Time Terror Attacks?
Anauliza Prof Michel
Chossudovsky ambapo
anasema ni jambo la
kushangaza kidogo
kwamba wakati wananchi
wanatangaziwa kuwa kuna
magaidi wanashambulia,
wakati huo huo polisi
wanaigiza kufanya ugaidi
(fictional scenario of
multiple bomb attacks)
huku mamlaka za uokozi
zikihudumia majeruhi wa
kuigiza.
Ukitoka London 7/7
bombings na kwenda
9/11, inaelezwa kuwa
muda mfupi kabla ya
shambulio la Septemba
11 2001, katika majengo
pacha, World Trade
Center na Pentagon, CIA
walikuwa wakiendesha
a pre-planned simulation
to explore the emergency
response issues that would
be created if a plane were
to strike a building. Zoezi
lililofanyika katika ofisi
za CIA (CIA Chantilly
Virginia Reconnaissance
Office.) Serikali ya Rais
wa M a r e k a n i wa k a t i
huo George W Bush
akizungumzia zoezi hilo
lililofuatana na shambulio
la Septemba 11 alisema kwa
kifupi kuwa hiyo ilikuwa
bizarre coincidence kwa
maana kwamba kilikuwa
kiroja na jambo lisilo la
kawaida.
Ukija katika lile tukio
maarufu la Boston
Marathon Bombing
mwaka 2013, mambo ni
yale yale. Polisi (wasanii)
na wasanii wengine wa
uigizaji wa majeruhi, maiti,
waandishi wa habari,
wauguzi na waokoaji,
wa l i k u wa wa k i f a n ya
zoezi la shambulio la
Inaendelea Uk. 12

12
Inatoka Uk. 11
bomu ndio mara, ghafla
watu wanatangaziwa
kuwa kuna shambulio
l a k i g a i d i . ( Ta z a m a :
Eyewitness: Authorities
Announced Drill Before
Boston Explosions.)
Ukisoma taarifa
za Boston Marathon
Bombing, unachogundua
ni kuwa kwanza
palikuwa na bomu
feki ambapo kulikuwa
na wasanii waliokuwa
wakiigiza kwamba
wameumia kutokana na
bomu huku askari na
waokoaji wakihangaika
kuwanusuru majeruhi.
Mmoja wa waigizaji hao
a m e g u n d u l i k a k u wa
askari Lt. Nick Vogt,
katika igizo hili akicheza
kama "Jeff Bauman". Nick
alipoteza miguu yake yote
miwili wakati akipigana
Kandahar, Afghanistan
mwaka 2011. Huyu
katika hii iliyodaiwa
kama shambulio la
kigaidi Boston, aliigiza
kuwa miguu yake yote
miwili imelipuliwa
n a k u s a m b a r a t i s h wa
na magaidi na ndiye
anayetajwa kama shahidi
kwamba aliwaona
walipuaji. Kilichofanyika
ni kuwa alibandikwa kitu
kama miguu ya bandia,
iliyoungiwa pale miguu
yake halisi ilipokatikia.
Ikafanyiwa make-up,
na kuonekana kana
kwamba imekatika sasa
hivi inavuja damu, kumbe
damu yenyewe bandia

Makala

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Kenya yajizamisha kwenye


tope la mzaha wa ugaidi

ASKARI Lt. Nick Vogt (kushoto) akiwa na askari mwenzake baada ya kukatika
miguu akiwa Afghanistan. Katika Boston alitajwa kama "Jeff Bauman".

VIFAA vya kutengeneza majeraha na damu bandia vilivyokutwa


katika eneo la shambulio la kigaidi Boston.

vilevile. (Tazama picha


za Jeff Bauman Vs Nick
Vogt).
Kuwepo kwa Steven
Allan Spielberg ambaye
ni mwandika miswada
ya filamu scripts
na mwogoza filamu
mashuhuri (American
Director, Producer na
Screenwriter ) katika
tukio akionekana kusaidia
majeruhi, kunatilia nguvu
hoja kwamba jambo lote
lilikuwa usanii mtupu.
L a k i n i
p i a
inavyoonekana ni kana
kwamba Mwenyezi
Mungu alikuwa akitaka
kuwaumbua waigizaji
h a wa . Wa l i s a h a u n a
kuacha mikoba, vichupa/
vikopo vyao vya damu
feki pamoja na vipodozi na
props vya kutengenezea
majeraha bandia katika
eneo la tukio. Lakini
watu wana akili ya
kufikiri na kuzingatia?
Ni kila siku wanangatwa
katika shimo hilo hilo.
Leo nyoka, kesho tandu,
k e s h o k u t wa k o b o k o ,
mwishowe wanamezwa
kabisa na chatu!!!
U f u p i wa m a n e n o
tunaloweza kusema ni
kuwa Kenya imeingia
katika mchezo mbaya
na sababu zenyewe ni
kwamba-kwanza hicho
kinachodaiwa kuwa
mazoezi ya kukabiliana na
ugaidi hakijaweza kuzuiya
huo unaoitwa ugaidi
huko yalikotokea mambo
haya, Marekani na Ulaya.
Lakini pili ni kuwa huko
yalikotokea, michezo hiyo
hufanyika ili kuwapata
maiti na majeruhi bandia
wa kusingizia kuwa ni
wahanga wa shambulio
la kigaidi. Tatu, Antiterror drills, zinahuisha
kitisho kwa watu kila
wakati wahisi kwamba
wapo hatarini. Magaidi
wapo. Hivyo hata ikitokea
tukio la kupangwa huona
ni katika kitisho kile kile
kilichopo-magaidi wapo.
Kwa hiyo ilichofanya
K e n ya , n i k u wa t i s h a
wanafunzi na wananchi
wake kwa ujumla.
Wa e n d e l e e k u a m i n i
kwamba magaidi wapo
na muda wowote
watawapiga. Sasa hata
kama wakitokea akina
Steven Spielberg na akina
Jeff Bauman wakawaletea
Garissa Hollywood
Stage Scene and Crew na
igizo kama la Westgate
Mall Shopping Centre
Shooting, wala hakuna
atakayekuwa na akili ya
kusema ngoja tuchunguze
tuone nini hasa kimetokea.
Watu watabaki katika
ujinga ule ule wa kuimba
magaidi wa Al-Shabaab.

13

Safu ya Ben Rijal

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Ijue Bunduki ya AK 47 na athari zake

HAKUNA asioijua
bunduki. Siku zote
bunduki inajulikana
kuwa ni silaha ya kuuwa
wala sio ya kupapasa.
Kuwa na bunduki ni
ushujaa wala hakumtii
khofu mwanadamu
pale atapokuwa
anamiliki bunduki
kwa kuamini kuwa
anaweza kukabiliana na
majambazi hata wanyama
wakali.
U n a we z a k u wa n a
mkuki, mshale, panga
na kujiamini kuwa una
silaha kali na nzito, lakini
ukitokewa na mwenye
bunduki utajitambua
kuwa huyo aliokutokea
ana silaha kali kuliko
ulionayo wewe. Bunduki

ni sawa na kisu kwani


ukiitumia kwa manufaa
itakupa manufaa, kinyume
chake utapoitumia sivyo,
utaleta maafa makubwa
na ndio hivi sasa duniani
kote kunatokea vifo vingi
ambavyo husababishwa
na bunduki kutumiwa
ilivyo sivyo.
Jamii gani ilioanzisha
matumizi ya bunduki
d u n i a n i ? Wa c h i n a
ndio watu wa mwanzo
wanaonukuliwa kuwa
ni wavumbuzi wa silaha
ya bunduki. Hayo
yalijiri katika karne ya
13 na wao ndio watu
wa mwanzo kugundua
unga ambao unatumiwa
katika kuchanganya na
kupatikana risasi. Ujuzi
huu Wachina hawakukaa
nao wao tu bali waliweza
kuusambaza katika nchi
za Mashariki ya Kati,
Ulaya pamoja na Afrika.
M wa n a h i s t o r i a wa
kijeshi anayoitwa John
Keegan, ameeleza
yafwatayo:
Silaha za nyuklia
h a z i j a u a m t u ye y o t e
tangu Agosti 9, 1945.
Wale watu 50,000,000
ambao wamekufa kwenye

mapigano tangu tarehe


hiyo, hakika wameuawa
kwa silaha za bei duni na
risasi za mizinga midogo,
zenye gharama ilio sawa
n a r e d i o z a k a wa i d a
ambazo zimesambazwa
ulimwenguni. Ilivyokuwa
silaha hizo ni za bei za
kutupa, zimeleta athari
kubwa katika maisha
yetu hasa hasa katika
mitaa mahususi yenye
kuendesha shughuli za
dawa za kulevya. Aidha
misukosuko ya kisiasa
katika nchi tajiri, watu
wanaoishi katika nchi hizo
hawatambui haraka maafa
yanayotokezwa na silaha
hizo.
Wamerekani na Bunduki
Hebu tuziangalie
takwimu chache za
Wamerekani na bunduki
na dunia kwa jumla. Nchini
Marekani inasadikiwa
kuwa kuna bunduki
milioni 270 zinamilikiwa
na watu na kama 897,000
hizo hubebwa na askari
wa Polisi. Kitengo kimoja
cha Ulevi, Tumbaku na
Bunduki kilitoa takwimu
Inaendelea Uk. 15

Sheikhe Hassan bin Ameir kuelekea Bara na Safari zake

HEIKH Hassan
alielekea bara
kwa kustakimu
na kufanya kazi
kubwa ya tabligh, kuna
we n g i n e wa n a o s e m a
kuwa kule bara aliitwa
kwenda kuokoa jahazi.
Kuna wengine wanasema
alikwenda kwa hiari
yake. Kuna kauli nzito
inayoelezea kuwa
kuhama kwake Zanzibar
na kuelekea Tanganyika
ni kutokana kuombwa na
Al-Habib Syd Umar bin
Sumeit kufanya hivyo.
Alipokuwa Tanganyika
a l i f a n ya k a z i k u b wa
sana ya kusomesha na
ilipoundwa Jumuia ya
Wa i s l a m u wa A f r i k a
ya Mashariki The East
African Muslim Welfare
Society (EAMWS)
iliyokuwa chini ya ulezi
wa kiongozi Mohammed
El Husaini Aga Khan
iliyoasisiwa katika mwaka
wa 1945, Sheikh Hassan
bin Ameir alikuwa katika
wa s h a u r i wa k u u wa
jumuia hii na kusimama

Mufti Sheikh Hassab bin Ameir

kwa jumuia ilikuwa


kutokana na mchango
wake mkubwa wa kifikra
na uongozi.
K ushamir i ut e ndaji
wake wa kazi na kuanza
kujulikana umahiri wake
wa taaluma nje ya Afrika
Mashariki kuliandaliwa
msafara wa wajumbe wa
EAMWS kwenda nchi
za Misri, Lebnon na nchi
nyengine za Kiislamu
kwa kutafuta msaada wa
kujenga Chuo Kikuu Cha
Kiislamu katika Afrika ya
Mashariki. Msafara huo
ulijumuisha masheikhe
na wanasiasa akiwemo
Tewa Said Tewa, Mwinyi
B a r a k a n a we n g i n e o .
Maelezo zaidi ya msafara
huo na kazi zake za Mrima
pitia kitabu cha Ndugu
Muhamed Said Maisha
na Nyakati za Abdulwahid
Sykes 1924-1968. Safari
hiyo inasemekana kuwa
ilikuwa ya mafanikio
makubwa sana na ilizaa
matunda kwa kukubalika
k u j e n g wa k wa C h u o
Kikuu hicho katika mji

wa Zanzibar katika mtaa


wa Kwa Mtipura, ardhi
iliotolewa kwa ujenzi
wa Chuo Kikuu hicho ni
cha watoto wa Sheikh
Muhammad Nassor Lemki
na watoto wa Masoud bin
Ali Riyami maarufu Bwana
Udi (Rejea: Conflicts and
Harmony in Zanzibar
memoirs-Ali Muhsin
Barwany.)
Sheikh Hassan bin
Ameir alitimiza nguzo ya
Hijja kama wanavyotakiwa
Waislamu wenye uwezo
kwenda Makka kuhiji
mara mmoja katika
maisha yao. Aliporejea
kutoka Makka marejeo
yake alizuru Chuo Kikuu
na kikongwe duniani
chuo cha Al-Azhar huko
aliweza kupatiwa fursa ya
kutoa mhadhara mdogo
ambao wengi walishtuka
kuona mtu ambaye
amesoma Unguja tu na
Pemba yake kuweza kuwa
na umahiri na umilikaji
mkubwa wa lugha ya
Kiarabu na kumpelekea
Inaendelea Uk. 15

14

MAKALA/MASHAIRI

KILIO CHA HAKI

Haki ninakulilia, kwa duniani u wapi?


Haki ninakulilia, ulikojificha wapi?
Haki ninakulilia, ninong'oneze u wapi?
Haki ninakulilia, nikutafutie wapi?
Haki ninakulilia, kila kona sikuoni!!!

VIRUSI VYA AMANI !


Si Bara si visiwani, amani yahubiriwa,
Kwa kauli ulimini, ''i imara'' twaambiwa,
Uwepowe matendoni, kwalo shaka naingiwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
Amani amani gani, raia kubughudhiwa?
Kwa kutiwa mikononi, mwa dola kwa kushukiwa,
Si kwa shuhuda yakini, za hatiani kutiwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
Kakakaka! kituoni, hufikishwa washukiwa,
Ukihoji kufanyani?, hunenwa ''kujasusiwa'',
Ugaidi wa kubuni, mwishowe hubambikiwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
Ndiposa mahakamani, kesi wanafunguliwa,
Utadhani wahaini, dhamana huzuiliwa,
I hakiyo katibani, ingawaje yahodhiwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
Badaye korokoroni, kuswekwa huamriwa,
Wakingoja mwake ndani, tarehe walopangiwa,
Warudipo makamani, kesizo husuwasuwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani.
Hurejeshwa gerezani, ushahidi kuundiwa,
Wa kutaka hatiani, wapate wao kutiwa,
Husakini humo ndani, kungojea majaliwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
Kwa kuwa ni za kubuni, kesi wanofunguliwa,
Washtaki kubaini, shuhudazo hulemewa,
Na hatimaye kortini, baidi hutupiliwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

TUENZINI VYOMBO VYETU


Wito nakutoleeni, ndugu zangu Waumini,
Vyema uzingatieni, kwa habari za yakini,
Zisizo na walakini, na zenye nuru ya dini,
Shime tushikamaneni, na vyombo vyetu nchini.
Si kunga ninabaini, jambo hili hadharani,
Vyombo vingi vya nchini, hata vya ughaibuni,
Vimejaa walakini, na uzushi mwake ndani,
Shime tushikamaneni, na vyombo vyetu nchini.
Mfano nitakupeni, nanyi utafakarini,
Septemba kumbukeni, mbili ziro ziro wani,
Vilivyokuchafueni, pamoja na yenu dini,
Shime tushikamaneni, na vyombo vyetu nchini.
Wazi vikakunadini, ''MAGAIDI duniani'',
''Wavunjifu wa amani, daima ulimwenguni''
Propaganda walobuni, hadi leo i kazini,
Shime tushikamaneni, na vyombo vyetu nchini.
Yetu kwavyo tambueni, i duni sana thamani,
Kuenzi yetu thamani, ni vyetu kuvithamini,
Kulikoni na kwanini, vyetu tusivithamini?
Shime tushikamaneni, na vyombo vyetu nchini.
ABUU NYAMKOMOGI,
MWANZA.

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Hakuna kulazimishana katika Dini ya Allah (s.w)

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

Kalamu i mkononi, tanbihi kuitowa,


Kuhusu yetu amani, vyomboni inonadiwa,
Uhaiwe hatarini, kwa virusi kuingiwa,
Dhulma na uonevu, vyaitafuna amani!

AN-NUUR

Na Sheikh Mohamed
Ubaidillah Mohamed Ally

HUKURANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi
wa ulimwengu rehema na
amani zimfikie mbora wa
Manabii na Mitume, Mtume
wetu Muhamad na jamaa
zake.
Miongoni mwa uhuru
ambao umeudhamini
Uislamu kwa wasiokuwa
Wa i s l a m u n i u h u r u wa
kuamini na ibada. Uislamu
haukulazimisha watu na
wala kuwateza nguvu juu ya
kuingia katika dini hii, bali
ameachiwa mtu mwenyewe
achague dini na Imani
anayoipenda yeye ndani ya
nafsi yake.
Amesema Mwenyezi
Mungu mtukufu, hakuna
kulazimishana katika dini
k wa n i a m e s h a b a i n i s h a
uongofu juu ya upotevu
(256) Al-Bakarat. Na kwa
kuitekeleza aya hii tukufu
wamefuata Waislamu kwa
kuwalingania watu juu ya
Uislamu na kuwaonyesha
usahihi wake bila ya
kuwalazimisha watu au
kuwateza nguvu.
Hebu tumtazame kiongozi
wa waumini, Omari bin
Khatwab (r.a). Anapita kwa
kizee cha kike cha Kiyahudi
na kumtangazia Uislamu na
anamlingania kwa kusema
(silimu ewe kizee utasalimika,
hakika Mwenyezi Mungu
amemleta Muhamad kwa
haki. Akasema yule Bibi
(mimi ni mzee na umauti
kwangu ni karibu). Akasema
Omari (r.a) (Ewe Mwenyezi
Mungu shuhudia na akasoma
kauli ya Mwenyezi Mungu
(Hakuna kulazimisha katika
kuingia katika dini, kwa
hakika ameshabainisha
uongofu katika upotovu)
(256 Al-Bakarat). Kwa yakini
uhuru wa kuabudu na imani
ndio uhuru wa kwanza
katika haki za binadamu,
ambayo inathibiti kwa kila
yule aliye binadamu. Na yule
anayenyang`anywa uhuru
wa imani hiyo, amevuliwa na
kuporwa ubinadamu wake
mwanzoni kabisa. Pamoja na
uhuru wa kuabudu ni uhuru
wa kulingania imani na
amani isiyokuwa na maudhi
yeyote, wala fitina. Na kama
si hivyo, basi huo utakuwa
uhuru wa jina tu na hauna

dalili yoyote katika maisha


na Uislamu.
Ameonyesha hali nzuri
ya kimaisha na ni yenye
uongozi mzuri kwa jamii
ya kibinadamu. Hali hiyo
ni bila ya kujionyesha au
kujisifu, nayo ndiyo dini
ambayo inabainisha kwa
watu wake kabla ya wengine
kwamba, haifai kulazimisha
watu kuingia katika dini hii.
Historia ya Uislamu ambayo
ni ndefu, inashuhudia
kwamba sheria na watu
wake wamethamini wafuasi
ambao ni wa dini nyingine,
waishi chini ya kivuli cha
Uislamu na wasalie katika
dini zao pia imani zao na
haikumlazimisha mtu yeyote
kuingia katika Uislamu na
hii ni maalum kwa watu wa
mbali na wa karibu.
Kwa haya hayakuwa kwa
udhaifu wa dola ya Kiislamu
bali hili lilik

wa n d i o m wa n z o wa
dola ya Kiislamu, hadi pale
ilipokuwa na nguvu na
umma wenye uwezo. Na
laiti ungetaka kuwalazimisha
watu juu ya imani kwa nguvu
na kulazimisha, yangetokea
h a y o k wa u we z o wa k e
lakini Uislamu haukufanya
hivyo na hivyo kuyahami
majumba yao ya ibada na
mahekalu yao, na kuifanya
hii kuwa dalili na sababu ya
kupewa ruhusa Waislamu
(Wameruhusiwa wale ambao
wanapigwa kwamba wao
wamedhulumiwa na hakika
Mwenyezi Mungu juu yao
kuwanusuru ni muweza).
Katika miji yao bila ya haki
isipokuwa kule kusema tu,
Mola wetu mlezi ni Mwenyezi
Mungu. Na laiti kama si
kuwatenganisha Mwenyezi
Mungu watu baadhi yao, basi
yangevunjwa Masinagogi na
majumba ya ibada na Misikiti,
ambayo yanatajwa sana
majina na Mwenyezi Mungu
kwa wingi na atamnusuru
M we n ye z i M u n g u y u l e
anayeinusuru dini yake, kwa
hakika Mwenyezi Mungu ni
mshindi mwenye nguvu (3940) al-Haji.
Hakika Uislamu
haukusimama kwa kuwateza
nguvu wale wanaoupinga
kwa kutumia nguvu na
kuwatoa katika imani zao
na kuchukua kwa ujeuri
mali zao na vyanzo vyao
vya uchumi na kuwavunjia
heshima zao na kumwaga
damu zao na historia ya
Uislamu katika sehemu hii.
Hapa duniani yapo yale
yaliyokubaliwa na wanazuoni
wa sheria (Fikhi) kwamba laiti
akilizamishwa kuingia katika
dini ya Uislamu huyo haufai
Uislamu wake. anasema
katika kitabu cha Mughani
(Laiti akilazimishwa mtu
kuingia katika Uislamu
ambaye haifai kulazimishwa
kwake kama vile anayeishi
kwa makubaliano na
yule anayeishi kwa kibali
maalumu, naye akasilimu
huyo hauthibiti Uislamu wake
kwa hukumu ya Uislamu
hadi pale itakapopatikana
na dalili za kutolazimishwa
kwake).
Mughni Ibnu KudamaUislamu umempa uhuru
yule asiye Muislamu wa
kufanya ibada zake ambazo
zinaendana na imani zake,
kisha unamuarmisha
juu ya kuhifadhi nyumba
anazofanyia ibada hizo na
ni haramu kwa Muislamu
kuzifanyia uadui nyumba
za ibada au kuzivunja au
kuziharibu au kuwafanyia
uadui wahudumu wake,
sawa sawa uwe wakati wa
amani au wa vita kwani
wakati wa Mtume, wageni
wa majirani ilifikia hatua
ya kuhudumiana na kuishi
vizuri katika dola ya
Kiislamu na wale wasiokuwa
Waislamu hadi kufikia dalili

15
Inatoka Uk. 13

zake zenye kuonyesha


kuwa katika mwaka wa
2010 nchi ya Marekani
waliunda bunduki zifikazo
idadi ya milioni 5.5 kwa
soko la ndani na nje. Katika
takwimu zilizochukuliwa
katika mwaka wa 2011
ilionekana kuwa nchi ya
M a r e k a n i wa l i u wa wa
watu wafikao idadi ya
watu 33,000 kwa matumzi
ya bunduki na kwa jumla
kila siku hupigwa risasi
watu 268 nchini Marekani.
(Rejea: https://www.
dosomething.org/facts/11facts-about-guns).
Taifa la Marekani lina
bunduki nyingi zikiwa
mi kononi mwa watu.
Wanawake kwa upande
wao katika kujihami na
unyanyasaji wa jinsia
tunaambiwa kuwa kuna
wanawake wafikao idadi
ya wanawake 200,000
wa n a m i l i k i b u n d u k i .
Merekani ndio nchi
inayoongoza kuwa na

MAKALA

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Ijue Bunduki ya AK 47 na athari zake

Bunduki za mwanzo mwanzo

Bastola ni silaha ndogo yenye kuleta athari kubwa


watu wengi wanaomiliki 45.3.
bunduki kwa asilima
Mauaji ya matumizi
88.8 ikifwatiwa na nchi ya bunduki ni mengi
ya Yemen asilimia 54.8, na nchi ya Honduras
Uswisi asilimia 45.7 na inaongoza kwa asilimia
Finland ikiwa na wamiliki 91.6 ikifwatiwa na nchi
wa bunduki kwa asilimia ya El-Salvardo yenye

asilimia 69.2, Ivory Coast


asilimia 56.9 na Jamaica
kwa asilimia 52.2.
Katika nchi za Jumuia ya
Ulaya nchi ya Uiengereza
inaongoza kwa matumizi
ya kutumia nguvu na
ujambazi, katika kila
watu wapatao Laki
moja 100,000 vishindo
vinavyotokana na uhalifu
vinafikia idadi ya 2,034
wakati nchi ya Marekani
ikiwa na idadi ya matokeo
466 ya kihalifu kwa kila
watu 100,000 (Rejea: http://
americangunfacts.com/).
Baadhi ya Mauwaji katika
Taasisi za Elimu
Naorodhesha mauaji
machache yaliofanyika
katika Skuli na Vyuo vikuu
nchini Merekani: January
15, 2015 kijana wa miaka
15, babake na mwalimu wa

Wisconsin Lutheran High


School walishambuliwa
na mtu alio na umri wa
miaka 36, Febuary 4, 2015
wanafunzi 2 walipigwa
risasi katika sehemu ya
kufanya mazoezi ya viungo
ya skuli ya Frederick High
School. May 12, 2015 kijana
wa umri wa miaka 16
katika mji wa Jacksonville,
Florida alilishambulia
basi la skuli na kujeruhi
wanafunzi 2, katika mwezi
wa September 3, 2015 huko
Sacramento katika mji
wa California mabishano
yalikuwa yamerindima
baina ya watu 2 mmoja wao
akarusha risasi na kumuua
kijana mwanafunzi wa
umri wa miaka 25, tarehe
1 Oktober 2015 mmiliki
mwenye bunduki alivamia
sehemu ya masomo katika
Umpqua Community
College na kuua watu
8, mauaji kama haya ni
mengi kwa kila mwaka
katika nchi ya Marekani.
Inaendelea Uk. 16

Sheikhe Hassan bin Ameir kuelekea Bara na Safari zake


Inatoka Uk. 13

Sheikh Mahmoud Zuttuti


kumkubali na kusema
kuwa Afrika Mashariki
imepata lulu.
Yaliompoza Sheikh Hassan
bin Ameir
Mara nyingi mtu
huponzwa kwa mabaya,
lakini mara nyengine hata
mazuri nayo humponza
mtu, Sheikh Hassan bin
Ameir yeye aliponzwa
kwa mazuri aliyoyatenda.
Mambo matatu tunaweza
kusema ndio yaliomponza
Sheikh Hassan bin Ameir
na kubidi kurejeshwa
Unguja na kutotakiwa
kuonekana katika ardhi
hapo ishakuwa inaitwa
Tanzania Bara. Moja kati
ya hayo mambo matatu
ni ziara yake ya Kongo,
Kinshasa (Congo, DRC
kwasasa), mchango wake
katika hotuba ya Maalim
Nyerere aliyoitoa Umoja
wa Mataifa na mchangao
wake mkubwa katika
kuisimamisha Jumuia
ya Waislamu wa Afrika
ya Mashariki. (Rejea:
Mazungumzo na Sheikh
Ahmed.)
Moja katika safari
zake za Kongo, Kinshasa
aliweza kuwahamasisha
Waislamu juu ya elimu na
umuhimu wake, Waislamu
wa Kongo walihamasika
na kuchangishana

fedha nyingi kumpa


kwa furaha yao kuweza
kuwaunganisha na
k u wa o n g o z a . S h e i k h
Hassan alipokabidhiwa
kitita cha fedha
z i m s a i d i e k wa s a f a r i
yake na matumizi huko
nyumbani anakorudi,
kwa mastaajabu ya wengi
hakuchukua hata faranga
m m o j a , k we t u h u k u
tutasema hakuchukua hata
shillingi na badala yake
akawataka Waislamu pesa
zile alizopewa zijengewe
Skuli wala sio Madrasa.
Habari zikamfika
G a va n a wa K i b e l g i j i ,
kusikia hayo akataka
kumuoana huyo mtu
aliopewa pesa akazikataa
na kutaka kujengwe
Skuli. Walipokutana na
kuzungumza Sheikh
Hassan bin Ameir
alisisitiza kuwa elimu ni
muhimu, elimu ya dini
wa t a i p a t a M i s i k i t i n i
lakini ni muhimu kusoma
elimu ya dunia kuweza
kuwasaidia vijana
wa K i i s l a m u k u we z a
kupata nafasi za uongozi
serikalini. Gavana huyo
hapo hapo akaandika
waraka na kupiga muhuri
wake kuwa Sheikh Hassan
anaweza kuingia Kongo
wakati wowote ule bila ya
Viza. Hilo ni moja kati ya
yaliomponza.

Jambo la pili ni pale


Mwalimu Nyerere
alipotoka Glasgow
aliporudi Tanganyika
alishauriwa huko
Scotland
kuwa
asiwache kuzungumza
na Sheikh Hassan bin
Ameir kuweza kupata
ushauri kati ya mambo
a t a k a y o ya z u n g u m z i a
huko Umoja wa Mataifa.
Hilo ni la pili kati ya
liomponza. Na la tatu ni
kuwa mshauri na kiongozi
wa Jumuia ya EAMWS.
Hili ndilo lilokuwa
k u b wa a m b a l o a l i t o a
mchango mkubwa kuweza
kupatikana kujengwa kwa
Chuo Kikuu cha mwanzo
c h a Wa i s l a m u A f r i k a
mfano wa Al-Azhar.
Mambo matatu hayo
yalimponza na kuonekana
ni mtu adui na hatari. Hapo
ndipo alipotiliwa chonza
na kupewa amri kuwa
mtu asiotakikana Persona
non Grata na kurejeshwa
Z a n z i b a r k u t o t a k i wa
kuoneka kurudi katika
ardhi ya Tanganyika na
kuwa asiotakikana kabisa
Prohibited immigrant (PI).
Hayo yalimkuta katika
mwaka wa 1968. Sheikhe
anarudishwa kwao na
kumkuta yaliowakuta
watu kama Imam Ahmad
bin Hambal.
Sheikh Ali bin Abbas
mwanafunzi wa Sheikh
Hassan bin Amir wakati

alipokuwa anasomesha
Dar es Salaam katika
miaka ya 1950 akiwa na
mtafiti wa Kimarekani
James Brenan
Sheikh Hassan bin
Ameir alifanya kazi ya
Daawa kwa upana kabisa
pamoja na kuwahamasisha
watu kujiunga na TANU.
Sheikh Hassan alikuwa ni
msomi aliokuwa na imani
kuwa watu wote ni sawa
na alikuwa hakubaliani
kabisa watu kujigawa kwa
misingi ya kidini.

Viatabu alivyoviandika
Sheikh Hassan
alibarikiwa kupata fursa
ya kuandika vitabu na kati
ya vitabu alivyoviandika
ni:
Wa s i a l a t u l R r a j a
(Shrerehe ya Safinatul
Najaa)
Fathul Kabir (Sherehe ya
Mukhtasarul Kabir)
Idhanil Maani FiAsamail Husana (Sherehe
ya Taibatil Asmai)
Musliku Karib Fi
mughnil Muhtaj (Sherehe
ya Maslaqul Qarib)
Madarijul Ulaa (Sherehe
ya Tabaraka Dhul Ulaa).
Kuna
baadhi ya
vitabu alivyoviandika na
kutochapishwa ni pamoja
na:
Tuhfatul Zinjibariya(
Sherehe ya Robol Ibada).
Maulidi Barzanji

(Sherehe ya Maulidi ya
Barzanji).
Anwaru Saniyyat
(Sherehe ya Addurarul
Bahiya).
Sheikh hassan bin Ameir
alifunga macho tarehe 8
Oktoba mwaka wa 1979
katika mtaa wa Michenzani
na kuzikwa kijijini mwao
Mtegani Makunduchi.
Maziko yake yalikuwa
makubwa mno kwa wale
wanaoyakumbuka, kwani
m b a l i ya wa k a z i wa
Zanzibar, watu wengine
walitoka nje ya mipaka
ya Zanzibar kwa kuja
kumlaza kigogo hichi.
Nuru yake ipo na
inangara hadi leo, lakini
bado kazi nzito inahitajika
kufanyika kuanzia
Makunduchi hadi mjini
Unguja na Pemba, Mrima
mpaka Kongo.
Mola atupe kila yalio
mema, na utupe satwa
ya kufwata nyayo za
watangulizi wetu hawa
Ameen.
(Baadhi ya maelezo haya
mafupi nimeyapata kwa
Sheikh Salmin Bin Hafidh
ambaye naye amepokea
kwa Sheikh Ameir Tajo,
Haji Bin Hafidh, Hamid
Bin Hafidh. Aidha rejea
za kitabu cha Conflict
and Haromy in Zanzibar
na Ali Muhsin Barwany
na Maisha na Nyakati za
Abdulwahid Sykes na
Moahammed Said).

16
Inatoka Uk. 15
Matokeo mbalimbali ya
matumizi
mabaya ya bunduki ya
Ak 47
Seattle, Washington,
kijana wa umri wa miaka
2 6 , K yl e A a r o n H u f f
aliwafetulia risasi katika
eneo jirani na Seattle's
Capitol Hill na kuuwa
wasio na hatia 6 na kujeruhi
watu 2. Katika mwezi wa
April 2007 Seung-Hui Cho
aliua watu 32 kwa kutumia
bunduki katika mji wa
Virginia na kujeruhi watu
wengi kabla ya kujiuwa
mwenyewe. April 30, 2009
katika mji wa Apeldoorn,
nchini Uholanzi kijana wa
Kiholanzi mwenye umri
wa miaka 38 aliendesha
g a r i k wa k a s i k a t i k a
sehemu ambayo kulikuwa
kukifanyika gwaride huku
wana ukoo wa kifalme
wakiwa wamehudhuria
aliuwa watu 7 na kujiua
mwenyewe mwishowe.
Katika mji mkuu wa
Guinea, Conakry askari
aliokuwa amevalia sare
ya kijeshi alifyetua risasi
katika maandamano ya
kampeni ya uchaguzi
na kuuwa watu wengi
na wengine kujeruhiwa
hayo yalitokea tarehe 28
September mwaka wa
2009. Jazba zilimpanda
Malik Nadal Hassan pale
alipoambiwa anapelekwa
kwenye mapambano
nchini Iraq, alichukua
mtutu wa bunduki na
kuwashambulia wana jeshi
wenzake na kuwauwa 12
na kuwajeruhi kiasi cha
wanajeshi 30 katika mji wa
Ft. Hood, Rexas.
M we z i wa J u l a i 2 2
mwaka wa 2011 Anders
Behring Breivik aliovaa
nguo za jeshi alivamia
kempu ya vijana nchini
Norway wakiwa kwenye
kisiwa cha Utya nakuuwa
vijana 69. Katika mwezi
wa March 11, mwaka
wa 2012 mwanajeshi wa
Kimarekani ajulikanaye
kwa jina la Robert Bales,
aliwafetulia risasi raia 17
wa Kiafghani huko mjini
Kandahar. Mwezi wa
Okotober tarehe 5 mwaka
wa 2011 meli mbili za
mizigo zikiwa zinasafiri
katika mto Mekong nchini
T h a i l a n d z i l i va m i wa
na wabeba bunduki na
kuuliwa mabaharia 13
na miili yao kutupwa
kwenye mto. April 2, 2015
katika mji wa Garissa
nchini Kenya, waliodaiwa
kuwa ni wapiganaji wa AlShaabab walivamia chuo
cha Garissa kijulikancho
kwa jina la Garissa
University College na
kuwauwa watu 147 na
kujeruhi wengine wapatao
watu 79. (Rejea: https://
en.wikipedia.org/wiki/

MAKALA

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Ijue Bunduki ya AK 47 na athari zake

Osama bin Laden na mtutu wa AK- 47 pembeni

Bunduki ya AK 47

Mikhail Kalashnikov
List_of_events_named_
massacres.)
Dondoo juu ya AK
47-Kalashnikov
Kamanda wa kijeshi wa
Kirusi katika vita vikuuu
vya pili vya Dunia Mikhail
Kalashnikov ndio muasisi
wa bunduki ya AK 47
b a a d a ya k u j e r u h i wa
kwa risasi kwenye bega
katika vita vya Bryansk,
a l i p o k u wa a n a t i b i wa

hospitali alilaumu ubora


wa bunduki za kirusi na
kufikiria kuwa kuna haja
ya kuundwa aina nyengine
ya bunduki itayokuwa
kali zaidi. Bunduki ya
mwanzo ya Kalashnikov
ilitengenezwa mwaka wa
1947 na muanzilishi wake
alipewa tunzo ya Stalin
k wa k u u n d a c h o m b o
imara na madhubuti.
Ubora, gharama ndogo,

upataikanaji kwa urahisi


ndio unaifanya bunduki
a i n a ya K a l a s h n i k o v
kuweza kuwa bora.
Bunduki hii haiwi butu
katika hali ya unyevu,
wala joto kali, inapiga
katika hali zote zile za
hali ya hewa. Mvumbuzi
wake ameita kama Alama
iliyobuniwa kitaalamu
kwa watu wa Urusi.
Bunduki ya AK47
imerikodiwa katika buku
la Guinnes Book of Record
kuwa bunduki iliosambaa
duniani kote na kukisiwa
hivi sasa kuna bunduki
milioni 100 zikiwa
zinatumiwa duniani
kote. Vikosi vya majeshi
mbalimbali ulimwenguni
kwenye nchi zipatazo 106
kuanzia Afghanistan hadi
Zimbabwe bunduki ya Ak
47 hutumika kwa shughuli
za kijeshi kuliko aina
nyenginezo za bunduki.
Mbali kuwa nchi ya Urusi
ndio mwenye haki miliki
na ndio wanaotengeneza
bunduki ya Ak-47 kwa
wingi, aidha wametoa
leseni ya kutengeneza
bunduki hii kwa nchi
zipatazo 30 ikiwemo nchi
ya China, Israel, India,
Misri na Nigeria.
Vifo vinavyotokana
na bunduki ya AK-47
duniani ni vingi kuliko
vifo vinavyosababishwa
n a m a s h a m b u l i z i ya
ndege, vifaru na maroketi
ukijumlisha kwa jumla,
j a wa b u u t a k a y o i p a t a
u t a k u t a m a t u m i z i ya
bunduki ya AK- 47 yapo
ju u k wa k us a b a b i s ha
vifo vingi duniani.
Mikhalai Kalashnikov
hakupata kuona damu
inayomwagika kutokana
na matumizi ya bunduki
hii ya AK-47 kutokana na
hayo alijilabu kwa kusema
yafwatayo : Hulala
usingizi wa furaha bila ya
wasiwasi, kwani mashaka
yanayotokana na matumizi
mabaya ya bunduki hii ni
kutokana na wanasiasa
kushindwa kufikia
makubaliano. Maneno
hayo aliyatamka katika
mwaka wa 2007. Bunduki
hii bei yake kwa wastani
ni $34 sawa na Shillingi
64,000 maneno hayo
yamenukuliwa kutokana
na mwana uchumi wa
Chuo Kikuu cha Oxford
cha Uiengereza, Phillip
Kilicoat katika mwaka wa
2005. Aidha bei yake kwa
nchi za Kiafrika hufikia
bei ya $ 200 za Kimarekani
sawa na Shillingi 400,000
(laki nne) za Kitanzania.
Osama bin Laden,
alikuwa kila aendako
huwa nayo Kalashnikov
kama bakora yake.
Serikali ya Marekani ndio
wa l i o w e z a k u m p a t i a
kwa mara ya kwanza

bunduki ya Kalashnikov
kuitumia kupambana na
vikosi vya Warusi nchini
Afghanistan.
Katika vita vya Vietnam,
wanajeshi Wamarekani
wakionelea bora kutumia
bunduki ya Kalashnikov
kwa ubora wake, hata
hivi sasa wanajeshi wa
Marine wa Kimerekani
huitumia zaidi bunduki
ya Kalashnikov. Bendera
ya Msumbiji ina alama ya
bunduki ya Kalashnikov.
Aidha sare za jeshi la
Zimbabwe na Burkina Faso
zina alama ya Kalashnikov
pamoja na jeshi la Timo ya
Mashariki.
Bendera ya vugu
vugu la wanaharakati wa
Hezbollah nchini Lebanon
ina picha ya Kalashnikov.
Baadhi ya wazazi wa
nchi za Kiafrika hupenda
kuwapa majina watoto wao
jina la Klash ikiwa jina
jengine linalotumika kwa
bunduki ya Kalashnikov,
AK-47.
Mji wa Izhesk nchini
Urusi ndipo pahali
palipoasisiwa bunduki
ya Kalashnikov na ndipo
a l i p o z a l i wa m c h e z a j i
wa mchezo wa kikapu
maarufu nchini Urusi
Andrey Kirilenko na sare
yake ya mchezo huko
Marekani katika ligi
ya NBA ina namba 47.
Katika sehemu ya Sinai
kuna jukwaa lenye alama
ya AK-47 limechongwa
kuonyesha kama alama ya
kishujaa. Bunduki ya AK47 ikiwa imepakwa rojo ya
dhahabu iligundulikana
nchini Iraq katika kasri la
Saddam Hussein baada ya
kuondolewa madarakani.
Kwa kumkumbuka
Mikhail Kalashnikov na
mchango wake, nchi ya
Urusi imetengeneza pesa
ya gwaru na hata nchi
ya New Zealand kwa
kuadhimisha miaka 60
tangu kuasisiwa bunduki
ya AK-47 walitengeneza
pesa ya Dolari 2 kama ni
kumbukumbu.
Gazeti la Liberation la
Kifaransa limeipa daraja
ya juu kabisa bunduki ya
Ak-47 kuwa ni uvumbuzi
wa kipawa cha juu
kushinda bomu la atomiki
au roketi zilizokwenda
mwezini. Mwana Sanaa
wa nchi ya Colombia
alizibadilisha bunduki
zilizokusanywa baada ya
vita na mapambano jeshii
la serikali na wanaouza
dawa za kulevya.
Alizichukua binduki hizo
na kutengeneza chombo
cha mziki cha gita (guitar),
katika mwaka wa 2007
alimzawadia aliokuwa
Katibu Mkuu wa Umoja
wa Mataifa, Kofi Annan
gita la aina hio.
Itaendelea toleo lijalo

17
Inatoka Uk. 20
kwamba shuleni hapo,
kila taaluma na kila jambo
lenye manufaa kwa jamii
linasomeshwa au angalau
kutolewa taarifa kulingana
na umri wa watoto.
Katika hali hiyo,
mtoto anakuwa akiwa na
mtazamo sahihi wa Maisha
ya Dunia na Akhera na
kwamba Uislamu ni
mfumo kamili wa maisha
na sio dini ya kuwafungia
watu Misikitini na ndani
ya wigo wa ibada maalum
tu.
I l i k u wa n i s h u g u l i
ambayo, iliwaridhisha
wazazi kwamba, katika
Chalinze Elimu ya Dini
ya Kiislamu inapatikana
kama neno Islamic,
linavyomaanisha lakini
pia Elimu ya Msingi
ya Mazingira inapatikana
kama neno Modern
Primary School,
linavyomaanisha.
Ni kutokana na ukweli
huo uliodhihiri katika
maonyesho ya watoto,
mgeni rasmi katika hafla
hiyo Bwana Abdul Bukhety
aliwahimiza wazazi
kusaidia maendeleo ya
shule hiyo kwa hali na
mali ili iweze kufanya
vizuri zaidi.
Bwana Bukhety ambaye
ni Afisa Elimu (Shule
za Msingi) Wilaya ya
Bagamoyo, alitilia mkazo
suala la kuwekeza katika
elimu huku akiwataka
wazazi waepuke
kuwarusha watoto
wao madarasa k wan i
ni kinyume cha sheria,
halikadhalika kukiuka
kanuni za makuzi ya
mtoto.
Katika nukta hiyo
alisema kuwa kumekuwa
na kawaida ya baadhi ya
wazazi kuwarusha watoto
wao wanapokuwa darasa
la sita au la tano, kwenda
kidato cha kwanza.
Akasema, hata kama
mtoto atakuwa na uwezo,
lakini kitaalamu ni
muhimu amalize muda
uliopangwa kitaalamu
kuwa ndio wa kumaliza
elimu ya msingi.
Kwa upande mwingine,
Afisa huyo aliwataka
Waislamu kuwa mbali na
dhana potofu za baadhi
ya watu wanaoharamisha
kufanya kazi serikalini.
Akasema, hoja
zinazotolewa na watu hao,
mbali ya kuwa hazina
mashiko ya kidini, lakini
pia ni kujitia dhiki na
ugumu wakati kanuni ya
Uislamu ipo wazi kwamba
Dini hii Mwenyezi Mungu
ameifanya nyepesi.
Akitoa mfano wa
ugumu anaoweza kujipa
mtu kwa fikra potofu
kama hizo akasema kuwa
unaposema kufanya kazi
serikalini ni ukafiri kwa
sababu utalipwa mshahara

MAKALA

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Chalinze Modern Islamic yatimiza ahadi

BWANA Abdul Bukhety Afisa Elimu (Shule za Msingi) Wilaya ya Bagamoyo.

Amir Lulu

WATOTO wakiswalia maiti baada ya kumkafini.

AN-NUUR

unaotokana na fedha za
pombe na riba, itabidi pia
na wewe ukiwa na gari au
baisikeli, basi upite porini
maana hata hiyo barabara
inatengenezwa kwa pesa
hizo hizo.
Ni hivyo hivyo ukienda
hospitalini, huduma za
maji, umeme na mambo
kama hayo.
Akasema, unachotakiwa
kuzingatia ni kuwa
u m e f a n ya k a z i ya k o
(halali) vizuri na unastahiki
kulipwa mshahara
kwa kazi uliyofanya au
huduma uliyotoa.
Katika mazingira kama
yetu Tanzania, akasema
haisaidii hata kidogo
kususa, zaidi ya kuwa
utapata hasara kubwa
zaidi.
Wa k a t i h u o h u o ,
wa z a z i n a wa s h i r i k i
wa kongamano hilo
wamechanga jumla ya
shilingi 10, 252, 500, zikiwa
ni fedha taslim na ahadi
i l i k u wa u n g a m k o n o
Chalinze Islamic Modern
Islamic Seminary katika
kuboresha zaidi shule
hiyo.
Fedha hizo zitaelekezwa
katika kumalizia jengo
la msikiti na nyumba za
walimu.
Akiendesha harambee
ya kuchangia, Amir Lulu
pamoja na kuwakumbusha
wa z a z i u m u h i m u wa
kutoa zakka na sadaka,
akamtaka kila mzazi
aguswe na mambo mazuri
yaliyooneshwa na watoto
n a a f a h a m u k wa m b a
inahitajika juhudi ikiwa
ni pamoja na fedha.
Akirejea maonyesho ya
watoto walioigiza kama
m a d a k t a r i , wa u g u z i ,
waandishi wa habari,
masheikh, na waliosoma
Quran kwa kuhifadhi
halikadhalika kutoa
tafsiri na ufahamu wa aya
walizosoma, Amir Lulu
akasema kuwa hakuna
uwekezaji ulio bora kama
huo wa kutoa pesa, ili
kuzalisha watoto wenye
k u i j u a D u n i a ya o n a
Akhera yao.
Katika kutoa wito
wa ujumla, uongozi wa
shule hiyo umewataka
Waislamu kutembelea
shule hiyo iliyo kiasi cha
nusu kilometa Chalinze
Mzee, barabara ya Tanga
na kwamba muda wowote
wanakaribishwa kutoa
michango yao.
Aidha kama wapo
watakaotaka kuleta vifaa
vya ujenzi, yakiwemo
mabati, saruji, mbao n.k,
pia wanakaribishwa.
Habari na maelezo zaidi
yanaweza kupatikana
kutoka kwa Mkurugenzi
wa Kituo kupitia namba
0652 055 556.

18

HABARI

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Wito watolewa kuimarisha Madrasa


Na Bakari Mwakangwale

A I S L A M U
wametakiwa
kuviunga mkono
vituo vidogo vya elimu
(Madrasa) kutokana na
juhudi zao binafsi katika
kuwaandaa watoto wa
Kiislamu katika maadili
n a m af unzo bo ra ya
Kiislamu.
Wito huo umetolewa
m w i s h o n i m wa w i k i
iliyopita na Ustadh
Othman Ntalaruka,
a k i o n g e a n a Wa z a z i
n a Wa i s l a m u k a t i k a
Maonyesho ya tano ya
Madrasa na Shule ya awali
ya Firdaus, iliyopo Tabata,
Jijini Dar es Salaam.
Ust. Ntalaruka, ambaye
ni Mkurugenzi wa Chuo
cha TEHAMA, kinachotoa
e l i m u n a m a a r i f a ya
Kompyuta (TEHAMA
Tarin Collage) kilichopo
Tandika Jijini Dar es
Salaam, alisema ni wajibu
wa kila Muislamu na
wadau wa elimu kuunga
mkono juhudi za vituo
vidogo vya elimu ili vipate
nguvu ya kuandaa umma
wa Kiislamu ulio bora.
Alisema, vituo kama
vya elimu mfano wa
Madrasa na Nasari ya
Firdaus, Tabata, ndivyo
vinavyowajengea watoto
msingi bora wa elimu na
malezi bora kwa vijana
wa Kiislamu na hatimaye
kupatikana viongozi
waadilifu katika jamii.
A l i s e m a , e l i m u ya
mtoto sawa iwe ni wa
nasari, Msingi au
Sekondari, mafanikio
yake yanachangiwa na
pande kuu tatu, ambazo
ni Wazazi (Waislamu)
mwalimu pamoja na shule
husika (wadau).
Kwa maana hiyo,
alisema katika pande kuu
hizo tatu panapo legalega
katika moja ya sehemu
hizo tatu, basi mara nyingi
k i l e a l i c h o k u s u d i wa
kukipata mtoto hakipati
kwa ukamirifu wake.
Kwa hiyo, niwausie
wazazi na walezi ili tuweze
kufanikiwa katika kuwapa
taaluma sahihi watoto
wetu na kuweza kufikia
malengo yaliyokusudiwa
katika pande hizi tatu,
tunalazimika kujitolea
kuvipa nguvu vituo hivi
kwani tukizembea siku
ya hukumu tutaulizwa

MKURUGENZI wa TEHAMA, Othmani Ntalaruka (kushoto), akisisitiza jambo


katika hafla ya Madrsat Firdaus, Tabata, Kisiwani jijini Dar es Salaam. Kulia ni
mwanafunzi wa hiyo,Yusra Yahabu, akisoma Qur an.
kwa nini hatukuwaandaa
watoto katika misingi ya
malezi bora ya kumjua
Allah (sw). Alisema Ust.
Ntalaruka.
A k i t o l e a m f a n o wa
Madrasa na Nasari hiyo
ya Firdaus Tabata, baada
ya kuona maonyesho ya
kitaaluma na umahiri
walioonyesha wanafunzi
wa Madrasa hiyo katika
usomaji na kuhifadhi Qur
an, alisema ni changamoto
k wa Wa i s l a m u i k i wa
watavitelekeza vituo kama
hivyo ambavyo havina
wafadhili zaidi ya juhudi
zai binafsi.
Ust. Ntalaruka,
alisema kwa mwenendo
wa Madrasa hiyo
na
mafundisho
yaliyoonyeshwa na
wanafunzi ni dhahiri mtu
mwenye akili na mwenye
uelewa huelewa kwamba
jambo hili ni zuri kutokana
na kuona namana gani
wanafunzi walivyo elewa
kile wanachofundishwa na
walimu wao kwa upande
wa Nasari na Madrsa pia.
Alisema, mambo
waliyoyaonyesha
wa n a f u n z i w a k i t u o
hicho, hususan wa wale
wa Nasari ni hali ambavyo
inaashiria kuwa ni namna
gani ambavyo uongozi
u n a we z a k u wa a n d a a

vijana ambao watakuwa


ni wenye kuijua dini yao
kivitendo na si vinginevyo.
Mkurugenzi huyo
wa TEHAMA, aliahidi
kutoa Kompyuta moja
na madaftari kwa ajili ya
watoto wa Nasari kwa
idadi itakayo hitajika kama
moja ya njia ya kuunga
mkono juhudi za Madrasa
hiyo sambamba na ofa
ya nafasi tatu kwa vijana
wa Madrasa hiyo pamoja
na mwalimu mmoja
kwenda kujifunza elimu
ya Kompyuta katika Chuo
chake.
Akizungumzia malengo
ya Madrasa hiyo kuwa
na utaratibu wa kutoa
mafunzo ya Kompyuta
kwa wanafunzi wake,
alisema anaunga mkoni
fikra hizo kwani itaendana
na wakati huu wa Sayansi
na Teknolojia.
A l i t o l e a m f a n o wa
nchi jirani ya Rwanda,
akisema kwamba Taifa
hilo lina utaratibu
unaoitwa One child one
Laptop kwa maana mtoto
anapoandikishwa darasa
la kwanza akianza masomo
anakabidhiwa Laptop
(Kompyuta mpakato).
Alisema, sababu
ya k u f a n ya h i v y o n i
kutokana na Taifa hilo la
Rais Kagame, kufahamu

k u wa h a k u n a n a m n a
katika maisha ya sasa
kiulimwengu katika jamii
yoyote inayohitaji kupiga
hatua kiuchumi bila
kuwekeza katika taaluma
hii ya Kompyuta.
Aidha, Mwenyekiti wa
Madrasa hiyo ya Firdausi,
Ustadhi Ismail Kapona,
akiongea katika hafla
hiyo alisema pamoja na
mafanikio waliyonayo
lakini kituo kinakabiliwa
na changamoto kadha wa
kadha.
Alisema, moja ya
changamoto kwa upande
wa Madrasa ni uwepo
kwa utaratibu wa baadhi
ya shule za msingi
unaolazimisha watoto
kubaki katika shule
zao baada ya muda wa
masomo kwa maelezo
k wa m b a wa n a t a k i wa
kusoma masomo ya jioni
(Tuition), jambo ambalo
linanyima vijana wengi wa
kiislamu fursa ya kusoma
dini yao.
H a t a
h i v y o
tumejitahihidi kuweka
mazingira mazuri
kukabiliana na changamoto
hiyo ili kuhakikisha
wanafunzi wetu wanapata
kile ambacho Madrasa
imekusudia kukitoa
kwa vijana wa Kiislamu,
lakini tukihakikisha pia

wanafanya vizuri katika


masomo yao ya shuleni.
Alisema Ust. Kapona.
Alisema, wanaposema
wana madrasa, haina
maana kuwa wanafuzi wao
wanasoma Qur an tu, bali
wamejipanga kuhakikisha
wanapokujwa hapo
wanapata elimu zote, kwa
maana ya elimu ya sekula
ambayo inatolewa kwa
utaratibu maalum.
Na kwa mfumo huo
tunaoushahidi mzuri
miongoni mwa wanafunzi
wetu waliomaliza darasa
la saba ambao walikuwa
wakipata elimu ya
Qur an na masomo ya
sekula wamekuwa ni
miongoni mwa wanafunzi
waliofaulu vizuri.
Kama ambavyo
ilivyo katika Madrsa
nyingi nchini kuwa ni
changamoto sugu,
Mwenyekiti huyo
wa Madrasa, alisema
changamoto kubwa
inayokikabili kituo hicho
ni ushiriki wa wazazi
kutokutoa ushirikiano
mzuri kwa walimu wanao
fundisha watoto katika
suala zima la michango ya
malipo kidogo kwa ajili ya
ya walimu.
Alisema, pamoja na
uwepo wa hali hiyo,
Walimu wa kituo hicho
wamekuwa na moyo wa
kufundisha kwa lengo la
kupata radhi za Allah (s.w)
na kufanikisha kufundisha
na kuhifadhisha watoto
Qur an pamoja na masomo
mengine.
Akielezea mikakati
waliyona kama kituo
cha elimu, Ust. Kapona,
alisema wanahitaji
kuboresha au kuwa
na maktaba (library)
ya vitabu kutokana na
upungufu wa vitabu vya
kiada kwa shule za Msingi
na Sekondari kwa ajili
ya wanafunzi kujisomea
katika muda wa ziada
p a m o j a n a k u wa n a
mafunzo ya Kompyuta
k wa wa n a f u n z i wa o
ili kuweza kwendana
n a wa k a t i u l i o p o n a
umuhimu wa taaluma
yenyewe.
Madrsa na Nasari ya
Firdaus iliyopo Tabata
mpaka sasa ina miaka
mitano, ambapo kwa sasa
ina wanafunzi wapatao 80,
wa Madrasa na wanafunzi
30 kwa upande wa shule
ya awali (nasari).

19
Inatoka Uk. 10
mahakamani, bali
kuwaangamiza
(elimination).
Na zaidi wakasema
kuwa hupokea amri
na maelekezo kutoka
makachero wa Israel.
Kwamba wanapewa
orodha ya watu
wanaotakiwa kuuliwa,
na wao hutekeleza na
kurejesha taarifa za
utekelezaji. (Tazama:
Inside Kenyas Death
Squads.)
Katika kile
kinachodaiwa kuwa ni
harakati za kupambana
na ugaidi, vikosi maalum
kama ATPU na Idara
ya Usalama, vimepewa
mamlaka yaliyo nje
ya katiba na sheria
ambapo hufanya kazi ya
kutuhumu, kuamua kesi
na kuadhibu (kuuwa).
Wengi wa Masheikh
waliouliwa au kupotea na
kuteswa, wameangukia
mikononi mwa vikosi
hivi ambapo mara
kadhaa huuwa watu
wakiwa majumbani
mwao halafu husingizia
kuwa ni magaidi
waliouliwa wakipambana
na polisi.
Katika mauwaji ya
Sheikh Abubakar Shariff
Ahmed aka Makaburi,
polisi mmoja katika
kikosi cha kupambana
na ugaidi alikiri wazi
kwamba amri ya kuuliwa
Sheikh huyo ilifanywa
na watu wa ngazi za juu
katika serikali na polisi
waliopo Nairobi.
Kwa upande
mwingine, kuna
wanaouliwa kimya
kimya kama hao
waliofukiwa katika
shimo moja ambapo
polisi mmoja akihojiwa
na Aljazeera alisema
kuwa kinachofanyika ni
kukamatwa walengwa,
lakini wanapofikishwa
kituo cha polisi huwa
hawaandikishwi,
bali huchukuliwa na
kupelekwa porini
kuuliwa.
Kwa hiyo hata
ukifuatilia habari zao
polisi hutazipata maana
hakuna mahali utakuta
kwamba alirekodiwa
kuingizwa rumande au
japo kufikishwa polisi
kuhojiwa.
Hayo yakijiri Kenya,
bado imekuwa ni
kitendawili, nani
amekuwa akiuwa
Masheikh Uganda.
Taarifa zinasema kuwa
katika Masheikh 12
waliouliwa, wote staili
ya kuuliwa kwao ni ya

MAKALA

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Wasiwasi, hofu yatanda!


namna moja.
Watu wenye pikipiki
hutokea na kumpiga
risasi mlengwa na kisha
kutoweka na pikipiki yao.
Mara kadhaa polisi
wamekuwa wakitoa
taarifa wakidai kuwa
wanaohusika na mauwaji
hayo ni magaidi
Waislamu wanaouwa
Waislamu wenzao na
hasa wakiwataja ADF na
Tabligh.
Kwa Uganda ukisikia
Tabligh, ni Ansaar Sunna/
Salafi ya namna fulani.
Hata hivyo, katika hali
ya kawaida imekuwa
ni vigumu kuona
uhusika wa makundi
hayo na kwamba kama
ingekuwa ni wao, polisi
wangeshakamata watu
na kuleta ushahidi
madhubuti mahakamani
kuthibitisha uhusika wa
ADF na Tabligh.
Kwa upande
mwingine, polisi
wamemtuhumu dakitari
bingwa wa moyo
(Mkristo) anayefanya
kazi Australia Dr Aggrey
Kiyingi kwamba ndiye
anahusika na kutoa
mafunzo na pesa kwa
magaidi na kisha
kuwatuma kuuwa
Masheikh.
Katika kukazia
madai yao hayo, Polisi
walimkamata kijana
mmoja na kumtupia
mashitaka kwamba
alipelekwa Austaralia
kujifunza ugaidi chini ya
ufadhili wa Dr. Kiyingi.
Na kwamba eti sasa
kijana huyo wa Kiislamu
ni gaidi hatari la
kimataifa.
Hata hivyo,
wachunguzi wa vyombo
vya habari vya ndani ya
Uganda na Al Jazeera,
waligundua kuwa madai
hayo ni urongo mtupu
kwa sababu kijana
huyo hajawahi kutoka
nje ya Uganda na wala
hakwenda shule.
We looked into the
man's background and
found that, in actual fact,
he was an illiterate villager
who lived in a mud hut in
a remote part of Eastern
Uganda. The man's family
told us that he had never
left the country and that the
charges against him were
nonsensical.
Hiyo ni taarifa ya

Aljazeera wakieleza kuwa


ni jambo la kushangaza
kwamba Polisi wa
Uganda wanadai kuwa
kijana huyo ni gaidi
hatari wa kimataifa
aliyepata mafunzo
Australia (dangerous
international assassin who
had received terrorism
training in Australia),
wakati hajapata hata
kwenda shule, akiishi
katika kibanda cha tope
na hajapata kuvuka
mpaka japo kufika Kenya
au Tanzania.
Kutolewa kwa kauli na
madai tata ya polisi na
ukweli kwamba serikali
imeshindwa kukamata
wahusika, inazidisha
wasiwasi kuwa
huenda mauwaji hayo
yanafanywa na vyombo
vya dola katika kujisajili
kwa Marekani kwamba
inapambana na magaidi.
Na hilo ndilo
analosema Generali
David Ssejusa. Huyu ni
Afisa Mstaafu wa Jeshi
la Uganda aliyewahi
kuwa Mkuu wa Idara ya
Usalama.
Akihojiwa na
Aljazeera General David
Ssejusa anasema kuwa
kinachotokea ni serikali
kufanya mambo kukoleza
kitisho cha ugaidi na
kuuhandaa ulimwemgu
kuwa Uganda kuna tatizo
la Islamic extremists.
Alisema, hiyo ni silaha
ya wanasiasa wengi hivi
leo katika hii inayoitwa
vita dhidi ya ugaidi.
Mtu akitaka kuonea
watu, kuvunja katiba
na sheria, atasingizia
Waislamu, magaidi na
kufanya atakavyo.
Hayo yameelezwa
pia na baadhi ya
wanaharakati wa
Kiislamu nchini Uganda
wakisema kuwa
inachofanya serikali ya
Museveni ni kujisajili
kwa Marekani kwamba
inapambana na ugaidi.
Akizungumzia
suala hilo, mmoja wa
wanaharakati hao Imam
Kasozi amesema kuwa
ripoti moja ya Marekani
juu ya mambo ya
ugaidi imeitaja Uganda
kuwa ina idadi kubwa
ya Waislamu wenye
msimamo mkali (radical
and extremist Muslims)
baada ya Iran.

Mauwaji ya Sheikh Kirya

Sheikh Ibrahim Hassan


Kirya ndiye Sheikh wa
12 kuuliwa akiuliwa
tarehe 30 Juni mwaka
huu akipigwa risasi na
mtu aliyekuwa katika
pikipiki katika eneo la
Bweyogerere, kiasi cha
kilometa 12 Mashariki ya
Kampala.
Akihudhuria mazishi
ya Sheikh Kirya, InspectaGenerali wa Polisi Kale
Kayihura alisema kuwa
hakuwa na ahadi wala
cha kusema ni nani
wanahusika na mauwaji
yale.
Ila tu ni kuwa serikali
itaendelea kufanya
juhudi kuwakamata
wahusika.
Masheikh wengine
waliokwishauliwa kwa
staili hii hii ni pamoja na
Masheikh Abdulrashid
Wafula, Imam wa Msikiti
wa Bilal katika mji wa
Mbale (May 2015);
Daktoor Abdul-Qadir
Muwaya, kiongozi wa
Shia katika Uganda
(Mayuge, December
25, 2014); na Mustafah
Bahiga (Bwebajja,
December 28, 2014).
Wengine ni Sheikh
Abdul-Karim Ssentamu,
aliyeuliwa Aprili
2012, katika mtaa wa
William (William Street)
Kampala, Abubakar
Abbas Kiweewa (Juni
2012) katika eneo
la Kisaasi, Yunus
Abubakar Mudungu na
Muhammad Maganda
waliouliwa katika
msikiti- Masjid Umar,
Bugiri Agosti 2012.
Yupo pia Sheikh
Abdul Jawad Sentunga
aliyeuliwa Septemba 2012
kule Namayemba, Bugiri.
Kila yanapotokea
mauwaji, IGP Kale
Kayihura amekuwa
akiahidi kuwa polisi
itawasaka na kuwafikisha
wahusika mahakamani.
Hata hivyo, toka
auliwe Sheikh wa
mwanzo Sheikh AbdulKarim Ssentamu, mwaka
2012 mpaka sasa Sheikh
Ibrahim Hassan, hakuna
mtu aliyekamatwa na
kufikishwa mahakamani.
Kuna baadhi ya wakati
polisi hutangaza kuwa
imekamata watuhumiwa
wakiwahusisha na

ugaidi ukiwemo
mauwaji ya Masheikh
hao, lakini hakuna hata
mmoja anayefikishwa
mahakamani.
Wakati mauwaji ya
Masheikh yakiendelea,
imepatikana orodha
inayodaiwa kuwa na
majina ya Masheikh
wanaotakiwa kuuliwa.
Katika orodha hiyo
wapo ambao tayari
washauliwa huku
ikiwaweka katika
wasiwasi wale ambao
wamo katika orodha hiyo
wasijue zamu yao lini.
Hayo yakijiri huko
Kenya na Uganda, hali si
shwari pia Tanzania.
Hivi sasa kuna
Masheikh na makumi ya
Waislamu wanashikiliwa
na vyombo vya dola
kwa zaidi ya miaka
miwili sasa, huku
hatma ya kesi zao ikiwa
haijulikani. Wakati huo
huo tunasikia habari
za mateso ya Shimoni
na Guantanamo,
sio Guantanamo
Bay detention camp
(Guantnamo, G-bay),
Marekani, lakini ndani
ya Dar es Salaam hii hii
aliyorithi Hapa Kazi tu,
Rais Dr. JPM kutoka kwa
Kasi Mpya JK.
Kutokana na kukwama
kuzungumzwa kesi
hizo na kufikia hatma,
inakuwa vigumu
kufahamu ni nani hasa
alikamatwa kwa tuhuma
za kweli au la.
Lakini wakati huo
huo, kumekuwa na
matukio ya hapa na
pale ambapo vijana na
hata akina mama wa
Kiislamu wamekuwa
wakikamatwa na
kutupiwa madai ya
ugaidi, wakaishia
kuteswa na kisha
kuachiwa bila ya
kufikishwa mahakamani.
Kama tulivyotangulia
kusema, Afisa mmoja wa
kikosi maalum cha polisi
wa Kenya-GSU Radiation
Unit aliwahi kukiri
kwamba wao hupewa
maelekezo na makachero
kutoka Israel juu ya
namna ya kuwamaliza
watuhumiwa wa ugaidi.
Hatujui haya
yanayofanyika hapa
kwetu, ni yetu wenyewe
au na yenyewe kuna
namna tunapata
maelekezo kutoka kwa
watu fulani nje ya nchi!

AN-NUUR

20

MAKALA

20

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Soma gazeti la
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

AN-NUUR

SAFAR 1437, IJUMAA DESEMBA 11-17, 2015

Chalinze Modern Islamic yatimiza ahadi


Afisa Elimu ahimiza ubora wa taaluma
Ataka Waislamu kuepuka dhana potofu

Na Mwandishi Wetu

HULE ya Kiislamu Chalinze, imetimiza mwaka


mmoja huku ikidhihirisha kuwa kweli ni ya
kisasa, kama neno modern linavyo maanisha.
Chalinze Modern Islamic Seminary,
imedhihirisha ukweli huo katika maonyesho ya
kitaaluma yaliyooneshwa na watoto wa shule hiyo
mwishoni mwa wiki iliyopita.
Watoto hao wa Darasa la Awali na wale wa Msingi,
walionesha umahiri katika Elimu ya Dini ya Kiislamu
pamoja na Elimu ya Mzingira jambo linalodhihirisha
kuwa shule ina walimu wenye ubunifu mkubwa na
wenye kujituma.
Katika maonyesho hayo yaliyofanyika shuleni hapo
yakihudhuriwa na wazazi na waalikwa wengine, watoto
walionyesha jinsi walivyoivishwa katika kuhifadhi
Quran na kufanya mambo mbalimbali ya Kiislamu
ikiwemo namna ya kukafini, kuswalia na kuzika maiti
kwa taratibu za Kiislamu.
Aidha, walionyesha ufahamu wa hali ya juu katika
masuala ya jumla ya kisayansi na shughuli mbalimbali
za kijamii, ikiwemo huduma za kiafya.
Katika maonyesho yao, wapo watoto walioigiza kama
madaktari, wauguzi (manesi), watangazaji wa habari,
na Masheikh, jambo ambalo liliwapa picha wazazi
Inaendelea Uk. 17

BAADHI ya watoto wa Shule ya Awali Chalinze Modern Islamic Seminary walioigiza


kama madaktari na wauguzi wakijitambulisha baada ya igizo lao.

HAIIBA TIMAMU TEA

CHAI YA AJABU KWA AJILI YA KUKABILIANA NA

HATIMAYE MZIGO ULIONIELEMEA KWA MIAKA KUMI NA TISA NIMEUTUA!


UVIMBE KWENYE OVARI WAMALIZWA NA HAIIBA TIMAMU TEA!
Na. Yudrath Mswadiku
Mwaka 1996 nilibainika kuwa nilikuwa na uvimbe wa aina ya cyst kwenye
moja ya mifuko yangu ya mayai (ovary). Jitihada za kuondoa uvimbe huo
zilianza. Hakuna hospitali yoyote kubwa ya matibabu ya kawaida au yale ya
tiba mbadala iliyoko jijini Dar es Salaam ambayo sikuitembelea, lakini
hakukuwa na mafanikio. Mwezi Decemba 2014 niliona matangazo ya Haiiba
Timam Tea kwenye gazeti la An Nuur nikaamua niijaribu. Maajabu! Baada ya
kuitumia chai hii kwa wiki nne tu vipimo vyote vya hospitali vilionyesha kuwa
uvimbe umetoweka kabisa! Kupata story kamili tembelea ukurasa wa Herbal
Impact katika FaceBook katika anuani ifuatayo:
https://www.facebook.com/Herbal-Impact-157972014402705/

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION/HIGH


BLOOD PRESSURE)
UGONJWA WA MOYO
KIHARUSI
JONGO (GOUT)
MAUMIVU YA VIUNGO (RHEUMATISM)
MAUMIVU SUGU YA KICHWA
BAWASIR (PILES/HEMORRHOIDS)
MAGONJWA YA INI
SARATANI MBALIMBALI
UOTO/UVIMBE MBALIMBALI KATIKA VIUNGO
VYA UZAZI VYA MWANAMKE (FIBROIDS,
POLYPS NA CYSTS)
KUSHINDWA KUZUIA MKOJO (URINARY
INCONTINENCE)
ATHARI ZA KISUKARI CHA UKUBWANI
PUMU
UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI
KASI YA KUZEEKA
MATATIZO YA MFUMO WA MZUNGUKO WA
DAMU
MKAKAMO WA NGOZI;
UDHAIFU WA MACHO
KUPOTEZA KUMBUKUMBU
KASI NDOGO YA KUPONA MAJERAHA
MAKOVU KWENYE MAPAFU
UGONJWA WA NGOZI KUCHUJA RANGI,
YAANI, VITILIGO

HAIIBA TIMAMU TEA


INAPATIKANA
HERBAL IMPACT
MOSQUE STREET, NO. 1574/144
(MKABALA NA MSIKITI WA
SUNNI), KITUMBINI, DAR ES
SALAAM
TUTEMBELEE AU TUPIGIE SIMU
NAMBA:
0754281131/0655281131/06862
81131/0779281131

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1078
    Annuur 1078
    Документ12 страниц
    Annuur 1078
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1124
    Annuur 1124
    Документ16 страниц
    Annuur 1124
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1158
    Annuur 1158
    Документ16 страниц
    Annuur 1158
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kurunzi Unc
    Kurunzi Unc
    Документ5 страниц
    Kurunzi Unc
    KATANA MRIMA LABAN
    Оценок пока нет
  • Annuur 1119
    Annuur 1119
    Документ16 страниц
    Annuur 1119
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Ratiba Ya Ujio Wa Rais 2
    Ratiba Ya Ujio Wa Rais 2
    Документ4 страницы
    Ratiba Ya Ujio Wa Rais 2
    Carl Ross
    0% (1)
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Документ16 страниц
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Mambo Ya Nje 2016 PDF
    Hotuba Ya Mambo Ya Nje 2016 PDF
    Документ126 страниц
    Hotuba Ya Mambo Ya Nje 2016 PDF
    Othman Michuzi
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1091
    Annuur 1091
    Документ16 страниц
    Annuur 1091
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1005
    Annuur 1005
    Документ16 страниц
    Annuur 1005
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1059
    Annuur 1059
    Документ16 страниц
    Annuur 1059
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • An Nuur 1128
    An Nuur 1128
    Документ16 страниц
    An Nuur 1128
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hadithi 40
    Hadithi 40
    Документ16 страниц
    Hadithi 40
    Abdul Karim Mohamed
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Utumishi PDF
    Hotuba Ya Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Utumishi PDF
    Документ165 страниц
    Hotuba Ya Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Utumishi PDF
    Isaac J Manyalla
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 2
    Imaan Newspaper Issue 2
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 2
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • Rais Magufuli Ateua Wakuu Wa Wilaya Na Kufanya Mabadiliko Madogo Ya Wakuu Wa Mikoa
    Rais Magufuli Ateua Wakuu Wa Wilaya Na Kufanya Mabadiliko Madogo Ya Wakuu Wa Mikoa
    Документ8 страниц
    Rais Magufuli Ateua Wakuu Wa Wilaya Na Kufanya Mabadiliko Madogo Ya Wakuu Wa Mikoa
    Natalie Hill
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • Annuur 1149
    Annuur 1149
    Документ16 страниц
    Annuur 1149
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Rais Wa Zanzibar
    Hotuba Ya Rais Wa Zanzibar
    Документ33 страницы
    Hotuba Ya Rais Wa Zanzibar
    Mohammed Said
    Оценок пока нет
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • KW Magufuli
    KW Magufuli
    Документ4 страницы
    KW Magufuli
    Robert Okanda
    Оценок пока нет
  • Mwenge Wa Uhuru Na Ukombozi Wa Fikra
    Mwenge Wa Uhuru Na Ukombozi Wa Fikra
    Документ80 страниц
    Mwenge Wa Uhuru Na Ukombozi Wa Fikra
    smartrobot1234
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1142
    Annuur 1142
    Документ16 страниц
    Annuur 1142
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • From DR Slaa
    From DR Slaa
    Документ4 страницы
    From DR Slaa
    Evarist Chahali
    Оценок пока нет
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Документ16 страниц
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1077
    Annuur 1077
    Документ12 страниц
    Annuur 1077
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1049
    Annuur 1049
    Документ12 страниц
    Annuur 1049
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Tanzania MP
    Tanzania MP
    Документ107 страниц
    Tanzania MP
    Sri Premaya - KAILASA
    Оценок пока нет
  • Annuur 1172 PDF
    Annuur 1172 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1172 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1167a PDF
    ANNUUR 1167a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1167a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    От Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Оценок пока нет
  • Mtambo wa Mauti
    Mtambo wa Mauti
    От Everand
    Mtambo wa Mauti
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    От Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Kufikirika
    Kufikirika
    От Everand
    Kufikirika
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    От Everand
    Simulizi Ya Dunia Kwa Kugeza Tanzania
    Оценок пока нет
  • Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    От Everand
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (3)
  • Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    От Everand
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Рейтинг: 3.5 из 5 звезд
    3.5/5 (2)
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет