Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
munatupeleka
wapi?
www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1208 RABIUL AWWAL 1437, IJUMAA , DESEMBA 18-24, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Magufuli akomeshe
uhuni katika siasa!
Uk. 17
HAWA wapo katika swala ya Ijumaa. Msaada wako unahitajika. Soma Uk. 19
AN-NUUR
Aal Imran: 97
Fethullah-Gulen
NA ni haki ya Mwenyezi
M u n g u j u u ya wa t u
kuikusudia nyumba
mwenye kuweza njia ya
kuiendea. [Aali-Imran
97]
K i l a
i b a d a
inayotekelezwa kwa ajili
ya M we n ye z i M u n g u
mtukufu, ibada hiyo ni
shukrani katika mkabala
wa neema nyingi ambazo
a m e z i e n e z a j u u ye t u
n a hu enda zikawa n i
mkabala wa vitendo kwa
neema hizo kwa kiwango
fulani mkabala ambao
haupatikani isipokuwa
katika njia ya Mwenyezi
Mungu, na kwa ajili yake.
Ni hivyo hivyo ibada
ya Hijja, ibada hiyo ni
shukrani katika mkabala
wa neema ya uzima wa
mwili na neema ya mali
ambayo imetolewa. Kwa
msingi huo, anasema yule
anayenuia kuhiji: Nina
hiji kwa ajili ya Mwenyezi
Mungu kwa sababu hiyo
inasema Quran tukufu
katika jambo hili: Na haki
ya Mwenyezi Mungu juu
ya watu. Na (Lam) katika
tamko ALLAH ni ya
kustahiki. Ama herufi ALA
katika ALA-NNA si herufi
hiyo ni ya kulazimisha
ama LAM ya kuarifisha
katika tamko ANNAS
hiyo ni ya Ahadi. Ni kama
hivyo ulikuwa mwanzo
kwa kuutumia msemo
ALA NNAS ni namna
ya ufasaha ya kuanza
maneno, na kuashiria yale
yatakayofuatia katika
vifungo maana: hakika,
t a m k o A L A - N N A S
linaashiria kwa baadhi
ya wa t u n i k i n a n a n i
watu hao? Hao ni wale
ambao wamekamilika
kwao gharama za njiani
na chakula na uwezo wa
kusafiri, kwa kuongezea
kupatikana mahramu kwa
upande wa wanawake.
Ni kutokana na kutaja
kwetu herufi ya Jarri
Q L
M Y
M Z
Q B
U U H
Q M S
N M A
O A
U N
H A
M O N Q R
N A
M S
Q R
H J
U R
W A
U B
M A
M A
O H A
MASUALA
1.Mtaje Shahidi wa mwanzo katika Uislamu. Jawabu: Sumaya
2.Sahaba aliokuwa na jina la Rum/Roman. Jawabu: Sohaib
3.Makabila mawili Mtume (SAW) aliwakuta Madina wakiwa kwenye
ugomvi mkubwa akawasuluhisha. Jawabu: Khazraj, Aws
4.Masahaba wawili watoto wao waliolewa na Mtume (SAW). Jawabu:
Abubakar, Umar
5.Kipando alichokipanda Mtume (SAW) alipokwenda Miraj. Jawabu:
Buraq
6.Vitabu 4 vitakatifu walivyoteremshiwa Mitume. Jawabu: Injil, Zaboor,
Tawrat, Quran
7.Aya ya kwanza kuteremshwa. Jawabu: Iqra
8.Muadhini wa mwanzo katika Uislamu. Jawabu: Bilali
9.Nyenzo ilio muhimu katika kutia Udhu. Jawabu: Maji
10.Harufu 3 za mwanzo katika Suratul Baqara. Jawabu: Alif, Lam, Mim
CHEMSHA BONGO: 31
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
A
M I
40
50
60
70
80
100 200
D I
M U
W S
H A
O L
H A
H M A
570 A
M E
MASUALA
1.Mwaka aliozaliwa Mtume Muhammad (SAW).
2.Mwaka aliohama Mtume Muhammad (SAW) kwenda Madina.
3.Mwaka aliofariki Muhammad (SAW).
4.Ukoo wa Mtume Muhammad (SAW)
5.Mamake Mtume Muhammad (SAW) alimpa jina gani?
Mohammed, Adam, Abass.
6.Muhammad (SAW) alivyokwenda Syria alifwatana na nani katika
ukoo wake? Abu Talib, Abdul Mutalib, Abubakar.
7.Kwanini Bibi KHadija alitaka aolewe na Mtume Muhammad
(SAW) Uzuri, Uaminifu, Umaarufu.
8.Majina aliokuwa akijulikana Mtume Muhamad (SAW.
9.Mtume Muhammad (SAW) kabla ya kupewa Utume akijitenga
katika eneo gani?
10.Idadi ya Waislamu wa mwanzo kusilimu walikuwa wangapi?
Jee Unajua?
1.Mito 10 ilio mirefu zaidi Afrika ni Mto wa Nile ndio mto ulio
mrefu katika bara la Africa ukiwa na masafa ya urefu wa Kilomita
6,853, ukifwatiwa na mto Congo, mto Niger, White Nile, Zambezi,
mto Orange, Kasai, Luluaba, mto Senegal: http://www.afrikanfacts.
com/top-10-longest-river-in-africa/3/
2.Mlima ulio mrefu koliko yote duniani ni mlima Andes : https://
en.wikipedia.org/wiki/List_of_longest_mountain_chains_in_the_
world
3.Ziwa lilo na kina kirefu duniani ni Caspian Sea 371,000 km2
(143,000 sq mi) : http://10mosttoday.com/10-largest-lakes-in-theworld/
4.Uwanja wa ndege ulio na harakati nyingi duniani : Hartsfield
Jackson Atlanta International Airport: https://en.wikipedia.org/wiki/
List_of_the_world%27s_busiest_airports_by_passenger_traffic
5.Bandari ya mizigo inayoongoza kuwa na harakati nyingi
duniani ni badari ya Shanghai: https://en.wikipedia.org/wiki/
World%27s_busiest_port
6.Nchi ya Malta ni nchi inayoongoza kuwa na watu wavivu,
inakadiriwa asilimia 71.9 ni watu waliokua hawana harakati: http://
www.forbes.com/pictures/eihg45gjhg/swaziland-4/
7.Mji uliokuwa na usafi wa hali ya juu kabisa duniani ni
Singapore: http://ohtopten.com/top-10-cleanest-countries-world/
8.Nchi 7 ambazo zinatoa elimu ya Chuo Kikuu bure ni Brazil,
Ujerumani, Finland, Ufaransa, Norway, Slovenia na Sweden: http://
www.salon.com/2014/11/02/7_countries_where_college_is_free_
partner/
9.
Katika Afrika ya Mashariki nchi inayoongoza kuwa na
matatizo ya akili ni: http://www.rightdiagnosis.com/m/mental_
illness/stats-country.htm
AN-NUUR
Habari
HAKUNA mgogoro wa
kisiasa Zanzibar, bali ni
uhuni na ujanja ujanja
usio na tija kwa nchi
unafanyika.
Walioshindwa katika
uchaguzi mkuu hawataki
kuachia madaraka. Hilo
ndio tatizo.
Hayo yamesemwa na
Profesa Kitila Mkumbo
pamoja Profesa Ibrahim
Lipumba na kusisitiza
kuwa ni jukumu la Rais
Mheshimiwa John Pombe
Magufuli kukomesha
ujanja ujanja huo unao
aibisha nchi.
Wakiongea mapema
wiki hii katika kipindi
kinachorushwa na Azam
TV (TWO) wamesema
k u wa , k i l i c h o f a n y i k a
Zanzibar na kama
hakitatafutiwa utatuzi wa
haraka, ni aibu kwa taifa
na sio kwa Zanzibar pekee.
Aidha wakasema
kuwa Mheshimiwa Rais
Magufuli kama hataingilia
na kuleta ufumbuzi
unaofaa, itamkwaza hata
ye ye k u t e k e l e z a ya l e
aliyokusudia.
Hii ni kwa sababu hali
ya Zanzibar ikiachwa kwa
muda kama ilivyo hivi
sasa au kuja na ufumbuzi
ambao utazua mgogoro
zaidi, itabidi Rais atumie
muda mwingi kushugulika
na mgogoro wa kujitakia
Zanzibar.
Katika maelezo yake
Profesa Mkumbo alisajili
masikitiko yake kwamba
maamuzi ya wananchi wa
Zanzibar yanadharauliwa
huku ikijulikana wazi
kuwa nchi ipo katika
mfumo wa vyama vingi
na hairudi nyuma.
Alisisitiza kuwa
wananchi wan a akili,
wanajua wanachokitaka na
maamuzi yao ya kuchagua
viongozi wanaowataka
yaheshimiwe.
Prof. Mkumbo amesema
kuwa inachofanya CCM
ni kuleta ujanja ujanja na
kukataa kuondoka baada
ya k u wa i m e s h i n d wa
kama ambavyo hivi sasa
inafanya ujanja ujanja wa
kuleta wapiga kura kutoka
Zanzibar ili wasaidie katika
chaguzi za kupata Meya
katika Wilaya za Dar es
Salaam, ambapo imezidiwa
idadi ya Madiwani, wengi
wakiwa ni wa upinzani.
Katika kulisemea hili
Prof. Mkumbo akasema
kuwa Rais Magufuli
atajijengea imani
k wa wa n a n c h i i wa p o
atakomesha ujanja ujanja
huu wa CCM.
Kwa upande wake Prof.
Ibrahim Haruna Lipumba
amesema kuwa hakuna
s a b a b u ya k u r u d i w a
uchaguzi kwa sababu kura
zilipigwa, zikahesabiwa
na matokeo ya majimbo
mengi yakatolewa na Tume
ya Jecha.
Akasema, katika
majimbo 23 yaliyosalia
k u t a n g a z wa m a t o k e o
yake, majimbo 14
yalishahakikiwa matokeo
yake kutoka Majimboni
ikisalia kutangazwa tu
huku 9 yakiwa ndiyo
hajahakikiwa.
Akasema kuwa,
hata hayo 9 ambayo
hayajahakikiwa na Tume
ya Jecha, matokeo yake
yalishatolewa katika ngazi
za Jimbo na washindi
wa Uwakilishi kupewa
vyeti vya ushindi kama
ilivyokuwa kwa wabunge.
Ndio katika hali hiyo
Prof. Lipumba akasema
kuwa Zanzibar na
Watanzania wanaonekana
viroja na wenye kufanya
mambo ya aibu.
Kwamba wapiga kura
hao hao, wasimamizi hao
hao, vituo hivyo hivyo,
kura za Rais wa Jamhuri na
Wabunge ziwe halali, lakini
za Rais wa Zanzibar na
Wawakilishi ziwe haramu.
Maprofesa hao, wasomi
na Wahadhiri wa Vyuo
Vikuu, wakitoka vyama
tofauti vya kisiasa
wamehitimisha kwa
kusema kuwa hivi sasa
Rais Magufuli ana nguvu
ya k u p e n d wa , l a k i n i
itafika mahali (kama hata
fanya kile wanachotarajia
wananchi), nguvu hiyo
itaondoka.
Kwa hivyo wakasisitiza
kuwa kama yeye ni
msema kweli na mwamini
katika demokrasia kama
anavyotamba, basi
aikwamue Zanzibar kwa
njia ya haki.
Na hakuna haki zaidi
ya k u h a k i k i s h a k u wa
aliyeshindwa anakubali
kushindwa asiwe
kinganganizi kinyume na
kura za wananchi.
Profesa Lipumba
akakomelea kwa kusema
kuwa Rais Magufuli
anajinadi kuwa ni Msema
kweli Mpenzi wa Mungu,
basi aonyeshe kuwa si
katika wale wenye kusema
wasiyotenda.
N a a k i f a n ya h i v y o ,
Kinyume chake,
akienda kwa msukumo
wa wahafidhina
vinganganizi wasio
h e s h i m u m a t a k wa ya
wananchi, hata agenda
nyingine za hapa kazi tu
zitakwama.
Na Mwandishi Wetu
kitaifa.
Aidha alisema Bakwata
itaanzisha kitengo cha
masuala ya uchumi
k i t a k a c h o o n g o z wa n a
wataalamu watakaokuwa
na jukumu la kuiandaa
jamii ya Kiislamu kushiriki
barabara katika kukuza
uchumi wa nchi.
K I O N G O Z I WA w a
Baraza Kuu la Waislamu
Tanzania (BAKWATA)
Mufti Abubakar Zuberi,
amewakosoa baadhi
ya Masheikh ambao
wameshindwa kuwajibika
na kusema watu kama
hao wanawatia Waislamu
aibu.
Aidha Mufti Zuberi
amewataka viongozi wa
BAKWATA katika ngazi
mbalimbali nchini, kubadili
fikra na mienendo yao
katika utendaji ili taasisi
hiyo iweze kuwa dira kwa
Waislamu wote.
Mufti Zubeir alieleza
hayo jijini Dar es Salaam
hivi karibuni wakati akiwa
katika mkakati wa kuanza
safari ya kuzunguka nchi
nzima kuhamasisha umoja
na mshikamano miongoni
mwa Waislamu nchini na
kujionea hali ya utendaji ya
baraza hilo nchini.
Hata hivyo Mufti Sheikh
Abubakar Zuberi alisema
Bakwata ina sura mpya
na malengo makuu ni
kuwaunganisha Waislamu.
Alisisitiza kuwa, umoja
wa Waislamu utawasaidia
kuwa na nafasi muhimu
katika masuala mengi ya
Tahariri/Habari
AN-NUUR
n a k u n a Wa i s l a m u
wengi wanaosherehekea
mwaka huo mpya kama
wanavyofanya Wakristo,
jambo ambalo halimo
katika mafundisho ya
Kiislamu.
Imekuwa ni kawaida
Waislamu kujiunga na
wafanyakazi wenzao au
marafiki zao au majirani
zao na kusherehekea
sherehe hizi na kuwa
na tabia isiyoendana na
mwendo na mafundisho
ya dini yetu tukufu.
Hivyo tumeona ni
muhimu tuwatumie
Waislamu ujumbe huu
kwamba washikamane
na yaliyoruhusiwa katika
Dini yao huku wakiwaacha
wananchi wenzao
Wakristo nao wakifanya
yao yaliyoruhusiwa na
Dini yao.
Upendo, umoja na
mshikamano katika
n c h i h a u j e n g w i k wa
Mkristo kufanya la
Kiislamu au Muislamu
kufanya la Kikristo, bali
kuheshimiana, kufanyiana
insafu na kuvumiliana.
Tunafahamu kwamba
wapo majirani, marafiki
na jamaa zetu ambao
wanahusika na sherehe
hizi za Christmas na
Mwaka mp ya . Lak in i
Waislamu wana wajibu
wa kujichunga kufanya
mambo ya shirki wakati
huu.
Katika siku hiyo, basi ni
kama siku yoyote nyingine
katika maisha yetu bila
ya kuwa imehusishwa
na lolote. Kama mfano
ulivyo kwa watu wa
Vi t a b u wa s i v y o k u wa
wa k i s h e r e h e k e a wa l a
kuzifanya siku zetu za Idd
kuwa ni haswa (maalum)
kwao.
La msingi ni kuchunga
kuheshimiana na
kuvumiliana katika tofauti
za imani zetu.
Kanuni ya Uislamu ni
Nyinyi mna dini yenu
nami nina dini yangu.
AN-NUUR
Na Bakari Mwakangwale
WAHITIMU wa Shule ya
Kiislamu ya Al-Haramain,
kitengo cha dini, Jijini Dar
es Salaam, wamedai kuwa
Baraza la Mitihani la Taifa
(NECTA), linawakosesha
fursa ya kujiunga na vyuo
Vikuu vya ndani ya nchi.
Wa n a f u n z i h a o
wamebainisha hayo
katika mahafali yao
ya kuhitimu elimu ya
Thanaw, kwa maana ya
Upili (sekondari) kwa
mwaka 2015, yaliyofanyika
Jumapili ya wiki iliyopita
Shuleni hapo, wakielezea
baadhi ya changamoto
zinazowakabili.
Akisoma risala mbele
ya mgeni rasmi, muhitimu
Haroun Kondo Matambo,
amesema NECTA ilikuwa
ikitambua vyeti vyao lakini
hali hiyo imebadilika
k a t i k a m i a k a ya h i v i
karibuni.
Uwepo wa urasimu
katika Baraza la Mitihani
kwa baadhi ya watendaji
wake kwa kukataa kutoa
ulinganishi, bila sababu
za msingi kunawakosesha
wanafunzi kujiunga na
elimu ya juu ndani ya
nchi. Amesema Matambo.
Katika mafanikio
makubwa na ya
kihistoria ni ile hatua ya
kutambuliwa vyeti vya AlHaramain kitengo cha Dini
na kufanyiwa ulinganishi
na Baraza la Mitihani la
Tanzania (NECTA).
Kwa kuwa Shule hii
inafundisha kwa kufuata
mtaala wa Chuo Kikuu
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
KIONGOZI wa
upinzani wa
Myanmar, Aung San
Suu Kyi, Jumapili
iliyopita alivaa
glovu na kuokota
taka katika tarafa
yake.
Majuzi Bi. Suu Kyi,
aliwaomba wabunge
wa c h a m a c h a k e
waliochaguliwa hivi
karibuni, waokote
takataka kama
sehemu ya kampeni
ya kufanya usafi
nchini humo.
Chama cha Suu Kyi
cha NLD kilishinda
viti vingi katika
uchaguzi uliofanywa
mwezi uliopita
nchini Myanmar.
Serikali ya sasa ya
kijeshi nchini humo,
imeteua kamati
kusimamia shughuli
ya kukabidhi
madaraka chama cha
Bi Suu Kyi.
Uchafu ni tatizo
la taifa nchini
M y a n m a r , Ta i f a
ambalo halina
mfumo kamili wa
kukusanya taka na
kuzitupa.
Rais wa Tanzania
Joseph Pombe
Magufuli, alitawala
vichwa vya habari
sehemu mbali
duniani pale
alipochukua jukumu
la kutangaza siku ya
uhuru kuwa ni siku
ya kufanya usafi nchi
nzima, ambapo siku
hiyo yeye, Makamu
wake Samia Suluhu
Hassan na Waziri
Mkuu Kassim
Majaliwa, walikuwa
m f a n o
k wa
kuokota na kuzoata
takataka jijini Dar
na kuwaongoza
w a t a n z a n i a
kusafisha miji
sehemu mbalimbali
nchini.
AN-NUUR
Unamjua nyuki?
YUKI ni mdudu
mdhaifu sana.
Nyuki akiwa
peke yake unaweza
ukamnyanyasa
unavyotaka. Amebeba
mshale mmoja tu kama
silaha na akishautumia,
basi tena! Hata hivyo,
nyuki wanaujua udhaifu
wao, na hivyo ni mara
chache mno kuwakuta
wakiwa mmoja
mmoja. Mara nyingi
wanatembea na kufanya
shughuli zao katika
makundi makubwa
yanayojumuisha nyuki
malaki kadhaa au hata
mamilioni.
Wanatambua kuwa
nguvu iko kwenye
wingi na mshikamano.
Wanapokuwa kwenye
makundi yao nyuki
wanaweza kuwa
mahasimu wa kutisha
iwapo watachokozwa.
Kundi moja la nyuki
linaweza likasababisha
watu wote mtaani
kujifungia ndani!
Wanadamu tunapaswa
kuuiga mfano huu
wa nyuki. Nguvu ya
pamoja ndiyo silaha
pekee inayoweza
kumhakikishia kila
mmoja wetu maisha
bora na ya uhakika. Kwa
mfano wewe peke yako
ukiwa na shilingi mia
moja mfukoni utaifanyia
nini? Ni vigumu kusema
kwa uhakika kwa sababu,
kwa thamani ya sasa ya
shilingi yetu, shilingi
mia ni kama haina kitu
cha kununua. Je, mkiwa
watu 1,000,000 na kila
mmoja na shilingi mia
yake? Mhh, sasa hapa ni
hadithi tofauti. Mambo
yanaanza kuonyesha sura
nyingine. Yaani katika
kundi la watu 1,000,000
kila mmoja akitoa shilingi
100, tayari kuna kitita cha
shilingi milioni 100!
Tanzania inakisiwa
kuwa na watu wazima
20,680,000. Tunaambiwa
kuwa 36% ya hawa ni
masikini sana, yaani watu
7,444,800. Hili ni kundi
la watu wanaofanya kazi
za vibarua, wachuuzi wa
karanga, wachuuzi wa
maji ya chupa barabarani,
waokota chupa za
plastiki zilizotumika,
na kadhalika. Pamoja
na umasikini wao wote
hawa kila mmoja kila
yanayojulikana kama
ya kibiashara (business
districts). Tatizo la
maeneo haya ni kwamba
kodi za pango ziko juu
sana. Na mara nyingi
vijana hawa hawana
uwezo wa kuzimudu
wakiwa mmoja mmoja.
Ili kuondoa kadhia
hii wanakubaliana
kuungana watano au sita
na kupanga chumba cha
biashara kwa pamoja.
Wanakubaliana pia
kukata leseni moja,
na kuwa na faili moja
la kulipia kodi ya
mapato. Ambacho kila
mtu anamiliki kivyake
ni bidhaa zilizomo.
Kwa makubaliano
maalum wanakubaliana
kugawana aina ya bidhaa
za kuuza ili kusije kuwa
na mkanganyiko. Kwa
kutumia ujanja huu,
vijana hawa wanafanya
biashara kubwa huko
katika maeneo murua
kabisa ya kibiashara,
huku wakiwa kwa
pamoja wanatumia
gharama ndogo.
Tofauti na vijana
wa Kiganda, vijana wa
Kibongo ni kila mtu
kivyake. Ni mara chache
sana kutembelea maeneo
murua ya kibiashara na
kukuta vijana wa kibongo
wakiwa wamiliki wa
biashara zilizomo zaidi
ya kuwa ni waajiriwa.
Kijana wa kibongo pale
anapojijengea uwezo
kidogo biashara yake
inawekwa USWAHILINI
kwa sababu kule
anaweza kumudu
gharama za pango peke
yake na bado akabaki
na mtaji wa kununulia
bidhaa. Hata hivyo
biashara hizi mara nyingi
hazidumu (labda kama
mhusika anajihusisha pia
na kununua na kuuza
mali za wizi), kwa sababu
bei za USWAHILINI ziko
chini, na pia wateja wa
USWAHILINI hawafanyi
manunuzi makubwa.
Vijana wa kibongo
wanahitaji kubadili
jinsi wanavyofikiri.
Wanahitaji kujua kuwa ili
waweze kufanya biashara
katika maeneo ya jijini
kati na kushindana na
WAHINDI, ni lazima
wajenge tabia ya
kushirikiana. Wanahitaji
kujifunza kwa Waganda!
(Kwa maoni,
mawasiliano 0754 281
131)
MAKALA
AN-NUUR
Msingi mkuu na
ambao ndio maudhui ya
makala ya mwandishi
huyu, kwamba
kukosekana uadilifu kati
ya serikali na makundi
jamii ndio chimbuko la
misukosuko, vurugu,
kukosekana amani
na mfano wa hayo.
Kupendelewa kundi moja
dhidi ya jingine ndiko
kunakopelekea yote haya
ya kukosekana amani.
Watu kutaka mabadiliko,
ni kwa sababu ya namna
serikali inavyowafanyia.
Lakini serikali iliyopo
madarakani chini ya
chama tawala CCM,
haikutaka na pengine
niseme haiko tayari
kupokea mabadiliko
haya. Nasema hivi kwa
sababu msingi mkuu
wa mabadiliko ni kwa
kupitia Katiba Mpya
ambapo CCM hawaitaki.
Wameikataa!
Turejee maudhui ya
Makala yetu, kuhusiana
na pendekezo la Taasisi
ya Elimu Tanzania
(TET) katika ufundishaji
wa somo la dini kama
taaluma, kama njia
ya kuleta upendo,
amani na mshikamano.
Wanachotaka
kutuaminisha hapa
ni kwamba, hakuna
namna yoyote ile ya
kuleta amani, utulivu,
upendo na mshikamano
zikiporomoka na mawazo
kinzani yakichipuka
kama magugu kwenye
shamba lenye rutuba
lililotelekezwa.
Ingawa orodha ndefu
ya kero kwa wananchi,
maarufu kama cahiers,
ilikuwa imewasilishwa
serikalini, Mfalme Louis
hakuzifanyia kazi kero
hizo, akaziba masikio
na kundelea kula nchi
na wateule wake, hadi
hapo nguvu ya umma
ilipomshukia.
Bunge lilikuwa la
kitabaka, likiwakilisha
matakwa ya walio
nacho na matakwa
ya Mfalme mwenye
kauli isiyopingwa,
aliyejiaminisha kuwa
yeye ndiye alikuwa
Ufaransa na Ufaransa
ilikuwa ndio yeye.
Raia waligawanywa
katika matabaka
matatu yenye hadhi
tofauti kisiasa, kijamii,
kiuchumi na katika
kutendewa haki. Tabaka
la kwanza lilikuwa la
Makasisi wa Kanisa [The
Clergy], lililojumuisha
Maaskofu, Maparoko,
Mapadri na wengineo
kama ilivyo hapa
kwetu Tanzania. Wakati
wengine wakinufaika
na Memorandum
of Understanding,
wengine wametwezwa,
kudhalilishwa, licha ya
kuwa wanatozwa kodi.
Tabaka hili la kwanza
halikutozwa kodi na ndio
walikuwa wakimiliki
ardhi huku wakipumua
juu ya sheria.
Tabaka la pili lilikuwa
la watu wenye nasaba
bora [the nobility], ambao
idadi yao ilikuwa ndogo
isiyozidi watu milioni
moja. Hili lilihusisha
pia matajiri na lilihodhi
nafasi ya ushawishi
kanisani, serikalini na
jeshi na siyo msikitini.
Kila Askofu na kila Afisa
wa Jeshi isipokuwa askari
dhalili wa vikosi vya
mizinga, alitoka katika
tabaka hili. Kwa bahati
nzuri pia hapakuwa
na Sheikh, Imamu wala
Ustadh kwenye tabaka
hili la kibaguzi.
Mwandishi
akafananisha tabaka la
pili na kikundi kidogo
cha matajiri, mafisadi
walioteka mfumo wa
serikali pamoja na
uchumi wa nchi, na
Inaendelea Uk. 8
Makala
8
Na Khatibu J. Mziray
YAKOBO ajipatia mali
kwa hila (uchawi). Hicho
ni kichwa cha habari za
jinsi Yakobo alivyomlaghai
mkwewe, ambaye pia ni
mjombaye, aliyeowa binti
zake wawili, mtu na mdogo
wake. Msomaji atasema
ninamkashifu Yakobo, na
hasa akijua kuwa mimi
ni Muislamu, lakini kwa
maneno hayo ya ulozi
nasema Astaghfirullah,
Msamaha wa Allah uwe
n a m i ; k w a n i Ya k o b o
ninayemfahamu katika
Uislamu, ameepukana na sifa
zote mbaya na amekamilika
na sifa zote nzuri. Lakini
sikusema mimi, bali ni
Biblia iliyoandikwa hayo.
Inasema:
Yakobo akatwaa fito za
mlubna mbichi, na mlozi, na
mwaramoni, akazibambua
maganda, mistari myeupe
ionekane ndani ya hizo
AN-NUUR
maandishi ya Biblia:
Wa n a wa H a mu n i
Kushi, na Misri, na Putu, na
KanaaniWakasluhi; huko
ndiko walikotoka Wafilisti
na Wakaftori. Kanaani
akamzaa Sidoni, mwanawe
wa kwanza, na Hethi, na
Myebusi, na Mwamori,
na Mgirgashi, na Mhivi,
na Mwarki, na Msini,.
Baadaye jamaa za Wakanaani
walitawanyika. Na mpaka
wa Wa k a n a a n i u l i a n z a
kutoka Sidoni kwa njia ya
Gerari hata Gaza; tena kwa
njia ya Sodoma, na Gomora,
na Adma, na Seboimu, hata
Lasha. Hao ndio wana wa
Hamu, kufuata jamaa zao,
kwa lugha zao, katika nchi
zao, kufuata mataifa yao.
(Mw.10:6-20.)
Ya k o b o a l i k u wa n a
binti yake, akiitwa Dina,
akaenda kuona michezo ya
Wakanaani, akakutana na
mwana wa mfalme, aliyeitwa
Shekemu mwana wa Hamori,
Mhivi, akamchukua akalala
Inaendelea Uk. 13
Inatoka Uk. 7
wameweza kupenyeza
watu wao katika sehemu
nyeti za utawala wa
nchi kama vile Jeshi,
Bunge na sehemu
nyingine muhimu za
serikali kuhakikisha
kwamba utawala wa
nchi unacheza kwa
mdundo wa muziki
wao. Mfumo huu,
tunaweza kuumithilisha
na Mfumo Kristo hapa
kwetu Tanzania, ambapo
wakristo ndio ambao
wamehodhi sehemu nyeti
serikalini.
Kama kweli Rais huyu
anataka kuwatumikia
Watanzania na asivae
viatu hivi kama
alivyosema mwandishi
J. Mihangwa, basi na
avunje mfumo kristo.
Vinginevyo itakuwa ni
kama danganya toto, kwa
kuwa aliahidi kwenye
kampeni kwamba
hatakuwa mbaguzi.
Tabaka la tatu na
la mwisho, lilikuwa
la makabwela,
lililojumuisha
wakulima wadogo
wadogo, wachuuzi,
wafanyabiashara na
wasomi wasio na
ajira serikalini. Hawa
hawakuwa na fursa ya
kuyafikia matabaka
mawili ya juu hadi kufa.
Hawa ndio walioonja
adha ya mfumo huo wa
kidikteta wa Ufaransa
ya kale. Walitozwa
kodi kubwa kwa kanisa
iliyoitwa the tithe,
kwa maana ya moja ya
kumi ya kipato chao
kiduchu. Walitozwa pia
kodi ya ardhi, kodi ya
kichwa, kodi ya mapato
kwa ujumla, chumvi,
kodi ya kusaga nafaka
na zinginezo. Wakati
haya yakifanyika, tabaka
la kwanza na la pili
halikutozwa kodi, na
inapotokea mmojawao
amefanya kosa basi
hujichagulia Hakimu au
Jaji wa kusikiliza kesi
yake.
Tabaka hili
linawafikiana zaidi
na Waislamu nchini
Tanzania kuliko hata hilo
tabaka la pili. Tabaka
la pili limechukua
sehemu ndogo sana.
Hali ya Waislamu
nchini, madhila,
udhalilishaji na mfano
wa hayo yaliyowakuta na
yanayoendelea kutokea
yako wazi hatuna sababu
ya kuyarudia. Kwa mtu
mwenye akili salama,
mwenye uwezo wa
kufikiri atabaini tatizo
la haya yanayotokea
ya kukosekana amani,
vurugu na mfano wa
hayo.
Muislamu anaweza
kukamatwa na
kubambikiziwa kesi na
kufanyiwa kila ubaya
kama tunavyoona kwa
Sheikh Ponda. Lakini
kuruhusu mabadiliko
haukumsaidia siku ya
kiyama ilipowadia,
Julai 1789; pale umma wa
walala hoi wa Kifaransa,
kwa kuchoshwa na sikio
la kufa, ulipofanya
mapinduzi kwa njia ya
maandamano yaliyotikisa
mitaa na Jiji la Paris,
kisha kusambaa hadi
vijijini. Magereza
yalivunjwa, na wafungwa
kufunguliwa, Ikulu [the
bastille] ikavamiwa.
Louis na mkewe
wakajaribu kutoroka,
lakini wakakamatwa
mpakani mwa nchi
kurejeshwa Paris na
kunyongwa kwa usaliti
wa Taifa.
Ni kazi ya serikali
mpya iliyopo madarakani
kuwabaini wachawi wa
amani, vurugu ambao
wanavunja umoja na
mshikamano miongoni
mwa wananchi. Rais
aliangalie hili kwa jicho
pevu ili kuvunja ukabaila
uliopo ndani ya nchi yetu
hii. Atoe semina elekezi
kwa TET katika namna ya
kuwasaidia kufikiri vema
zaidi kwa mustakbali
mwema wa nchi yetu,
na siyo kufundisha dini
kama taaluma.
(Mwandhishi wa
Makala hii ni msomaji
wa siku nyingi wa An
nuur-Juma Jumanne wa
Katesh, Manyara. 0659
789 468.)
Makala
AN-NUUR
KUELEWA kinachotokea
nchini Syria hivi sasa,
inabidi uelewe mbinu
na kinachowatuma
Marekani na washirika
wake wa NATO, nchi
zinazofuata malengo
sawia katika eneo la
Mashariki ya Kati na
Afrika ya Kaskazini.
Wakati watu wa nchi
za Ulaya na Marekani
wanalishwa propaganda
mbichi kuhusu
malengo ya kikanda
yanayohusika, hali halisi
ni tofauti kabisa.
Wakati propaganda
inasema madikteta hapa
na pale wameondolewa,
au kuwa demokrasia
ndiyo lengo, hakuna
mojawapo kati ya
hayo inayoendana na
kinachotokea sasa au
kilichotokea katika
ukanda huo.
Kwa wanaoanza,
tunafahamu wote
kuwa kama maeneo
ya kuchimba mafuta
yasingekuwepo, nchi
za Magharibi zisingejali
chochote kuhusu
kinachotokea katika eneo
hilo.
Lakini makundi tofauti
ya kimaslahi ya nchi za
nje yanajali. Na malengo
yao ni wazi ni pamoja
na kukamata raslimali
muhimu za nishati za
eneo hilo. Kuna wasiwasi
mkubwa kama Russia
au China wanaweza
badala yao wakaingia
na kushikilia maeneo
haya, ambayo ndiyo
akiba muhimu zaidi ya
mafuta duniani. Halafu,
tunaweza kuachana na
dhana kuwa Marekani
na washirika wa NATO
wana dhamira yoyote
ya haki za binadamu
katika suala hili.
Kama wangekuwa
wanajali, basi ingebidi
wakubali kuwa mikakati
yao na mbinu zao
zimesababisha kuteseka
kwa mamilioni ya watu,
pamoja na kuweka
mazingira ya watu
wengi wengine kuingia
katika majanga. Lakini
itakuwa ujinga kujadili
au kuelewa dhamira ya
wanachofanya katika
eneo hilo kwa darubini
ya haki za binadamu
au uhuru wa mtu
binafsi -kwani hakuna
kinachohusika hapa.
kizimbani.
Hivi ndivyo
ilivyokuwa: Hapo 27
Juni, ICC (Mahakama
ya Jinai ya Kimataifa)
ilitoa hati za kukamatwa
kwa Gaddafi, mwanae
Seif al-Islam na mkwewe
Abdullah Senussi
aliyekuwa mkuu wa
usalama wa taifa, kwa
mashitaka yanayohusu
jinai dhidi ya binadamu.
Maofisa wa serikali
ya Libya waliikataa
ICC, wakidai kuwa
"haina uhalali wowote"
na kuainisha kuwa
"shughuli zake zote
zinalenga viongozi wa
Kiafrika."
Mwezi huo, shirika
la utetezi wa wafungwa
wa kisiasa, Amnesty
International lilichapisha
taarifa ya uchunguzi
wake, ambako lilisema
tuhuma nyingi za uhalifu
dhidi ya binadamu
zilizoundwa dhidi ya
majeshi ya Gaddafi
zilikuwa hazina ushahidi
wa kuaminika, na badala
yake ni madai ya kutunga
ya majeshi ya wapinzani
ambayo yalichukuliwa na
kukubalika kwa vyombo
vya habari vya nchi za
Magharibi.
Baada ya kutolewa
hati ya mashitaka ya ICC,
ilikuwa ni mchezo wa
kuruka na kuchupa hadi
kufikia kutangazwa kwa
eneo la kutorusha ndege
chini ya amri ya NATO
juu ya Libya kuwalinda
raia.
Kutoka hapo ilikua
ni mruko wa moja
kwa moja hadi NATO
kuelekezea mtutu
chochote kinachohusiana
na serikali ya Gaddafi.
NATO ilikuwa
imechagua upande wake
na ilikuwa inasaidia uasi
moja kwa moja.
Mpangilio hapa ni ule
ule nyakati zote: matukio
yanayochaguliwa kwa
kutengenezwa kwanza
na kutumika kama
kisingizio cha kuunga
mkono upande unaotaka
kuipindua serikali iliyopo
hivyo kuacha jangwa la
mifarakano ya kidhehebu
kushamiri katika ombwe
la utawala litakalotokea
bila shaka yoyote.
Kama unafanana na
watu walio wengi nchi
za Magharibi, unajua
kidogo sana au hujui
kitu kuhusu masuala
haya. Haifuatiliwi vizuri
na vyombo vya habari.
Na Libya haiko katika
habari mara nyingi licha
ya kuwa inapitia wakati
mgumu.
Niligundua hotuba
iliyotolewa na Gaddafi
miezi michache kabla
hajauawa nikaona ina
mvuto wa kipekee na
kufichua yaliyojificha.
Nitaitoa kama ilivyo
hapa. Nanukuu:
Kwa miaka 40, au ni
kitambo zaidi, siwezi
kukumbuka, nilifanya
kila nilichoweza kuwapa
watu nyumba, hospitali,
mashile na wakati
wakiwa na njaa, niliwapa
chakula. Niliweza hata
kubadili Benghazi kutoka
jangwa hadi ukanda wa
kilimo. Nilisimama dhidi
ya mashambulio ya yule
cowboy,
Reagan, pale
alipomwua binti yangu
wa kufikia, akijaribu
10
Makala
AN-NUUR
U KLUX
KLAN
(KKK) kundi
ambalo
limeuwa zaidi ya
Wamarekani Weusi
2000, sasa limegeuzia
hasira zake kwa
Waislamu.
Kundi hilo katika
Jimbo la Alabama
limetoa ilani kuwa
linaandaa kikosi
cha kupambana na
Waislamu likilenga
kuzuiya Uislamu
kuenea Marekani.
Katika kutafuta
wanachama shujaa
wa kufanya kazi
hiyo, kundi hilo
limesambaza
vipeperushi vikitoa
wito kwa walio tayari
kujisajili.
Ndivyo
unavyosomeka ujumbe
katika vipeperushi
ambavyo vimekuwa
vikisambazwa katika
mitaa na nyumba za
watu.
Chuki dhidi ya
Waislamu inaelezwa
kuwa kubwa sana
katika Marekani hasa
baada ya matukio
mawili ya hivi karibuni
yaliyodaiwa kuwa ya
kigaidi.
Matukio hayo ni
lile la Paris, Ufaransa
na San Bernardino,
California Marekani.
Katika matukio
yote mawili, ilidaiwa
kuwa kuna watu
waliuliwa na wauwaji
ni wanaodaiwa
kuwa magaidi wa IS
(Waislamu).
Sambamba na
tangazo hili la "the
Klan" anayetarajiwa
kuwa mgombea wa
urais kupitia chama cha
Republican, Donald
Trump anasema
Inaendelea Uk. 11
11
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 10
akitiwa hatiani na
kuhukumiwa kwenda
jela miezi 8 (kwa kosa
la kuuwa watu 4!!!).
Hata hivyo baada ya
kukaa jela kwa miezi
mitatu tu, aliachiwa
huru!
Kutokana na
malalamiko ya watu
juu ya mwenendo
huo wa kidhalimu na
mahakama kutokujali
haki za Weusi, mwaka
1982 mahakama
ilipitisha hukumu
kwamba itolewe
fidia ya Dola 535,000
kwa wale wanawake
waliouliwa.
Mwaka jana 2014
mwezi wa Aprili
mwanachama mmoja
wa KKK, Frazier Glenn
(Habari na Mashirika ya
Habari ya Kimataifa)
12
AN-NUUR
BUNDUKI ya Kalashnikov
au kwa jina jengine kwa
ufupi huitwa AK-47 ni
bunduki ilio mjarab na
ndio bunduki inayotumiwa
sehemu nyingi duniani
kutokana na ubora wake.
Wengi hatujiulizi ni nani
ambaye alibuni bunduki
hii na sababu gani
zilizompelekea afanye
hivyo?
Alikuwa Mikhail
Kalashnikov mwanajeshi
wa Kirusi ambaye ndio
alioiasisi bunduki hii, na
kilichompelekea kuiunda
bunduki hii ni kule
kujeruhiwa kwake kwenye
vita na kumpitikia kuwa
aina ya bunduki ambayo
jeshi la Urusi wanazozitumia
ni dhaifu. Akiwa anauguza
jereha la bega kutokana na
risasi aliyopigwa, Mikhail
Kalashnikov alikuwa
akifikiria vipi ataweza
nchi yake.
Bunduki iliyoua marais
wengi
Bunduki hii haikumwacha
wa l a k u m b a g u wa i w e
Rais au mwananchi wa
k a wa i d a k a t i k a k u l e t a
athari zake. Katika mwaka
wa 1981 Rais Anwar
Saadat akiwa anapokea
gwaride la heshima, askari
wa jeshi la Misri ambao
wakifwata misimamo
thabiti walichupa kwenye
gari yao nakufika kwenye
jukwaa na kummiminia
risasi Rais Anwar Saadat
na kufariki hapo hapo.
Mwaka wa 1972 Kapteni wa
Jeshi la Wananchi, Homoud
Barwany naye aliitumia
bunduki hii kumuua Rais
wa mwanzo wa Zanzibar
baada ya Mapinduz Abeid
Amani Karumei. Aidha
mwaka uliofwatia mwaka
wa 1973 Rais wa Cape
Verde, Amilcar Cabral naye
alikuwa ni muhanga wa
AK-47. Mwaka huo huo Rais
wa Chile, Salvador Allende
aliuwawa kwa bunduki ya
AK-47.
Msomaji wa makala hii
unamuhukumu vipi Mikhail
Kalashnikov? Unaweza
ukamwita shujaa au subiyani
aliochangia na kuendelea
kuchangia kupotea kwa roho
nyingi za watu duniani aidha
na kupatikana vilema wengi
kutokana na matumizi ya
bunduki alioiasisi?
Sheikh Abdul Aziz bin Abdul Ghany Al-Amawy na Sheikh Fadhil bin Ali Mngazija-8
SHEIKH Abdul Aziz bin
Abdul Ghany Al-Amawy
alizaliwa Barawa tarehe
15 Mfungo sita mwaka
wa 1250 (1854) akafika
Unguja akiwa kijana
mdogo kabisa. Ingawa
aliwasili visiwani
humu akiwa ni kijana
mdogo, lakini alikuwa
ameshajifunza vitabu
vingi vya dini na lugha
ya Kiarabu na kuweza
kuwa na maarifa mapana
katika uga wa dini na
lugha.
Huko alikotokea
alijifunza kwa maulamaa
wakubwa wa nyakati
hizo katika maeneo ya
Barawa akiwemo Syd
Abubakar Mihdhar,
Sheikh Haji Ali bin
Abdulrahman. Aidha
alisoma kwa Sheikh
Ahmad Al-Madhriby.
Inaelezwa kuwa Sheikh
Abdul Aziz bin Abdul
Ghany Al-Amawy
alikuwa ni kiongozi wa
dhikiri yeye na Sheikh
ni mpan, akamchagua
katika wanafunzi wake
kumpeleka Kilwa
kuongoza masala
ya dini. Watu wa
Kilwa walimpokea
na hawakuona wala
kumjadili juu ya umri
wake lakini walimkubali
kutokana na uwezo
wa elimu yake. Sheikh
Abdul Aziz alikubalika
vya kutosha na darsa
zake zilikuwa kubwa na
zikitajika hapo Kilwa.
Sheikh Abdul Aziz
aliandika vitabu vingi
lakini bahati mbaya
vitabu vyake hivyo vyote
havijulikani vimepotelea
wapi, isipokuwa vitabu
viwili kimoja kati ya
hivyo kilikuwa na
anuwani An Nawamisis-Samadaniya kikiwa ni
kitabu cha Dua ambacho
alikiandika mwaka
wa 1280 AH (1863).
Aidha kwa watoto wake
kilipatikana kitabu cha
Tawhidi alichokimaliza
kukiandika katika
mwaka wa 1883. Kitabu
hiki alikiita Ikdul-Laali ambacho baadaye
akakifanyia sherehe
na kuita Sherehe hio
jina la Takrib Ikdi
La-ali. Inasemekana
kuwa aliandika kitabu
juu wa wafalme wa
Kibusaidi wa Zanzibar
na kilipata kuonekana na
alikiandika kwa ufundi
mkubwa kabisa nacho
kitabu hicho hakijulikani
kilipotelea wapi? Aidha
kulikuwa na mijadala
yake na Mapadri ambayo
wengi walifaidika katika
hoja zake alizokuwa
anapambana na Mapdri.
Bahati mbaya maandiko
aliyoyafanya na kuwa
kitabu nayo yamepotea.
Zanzibar ilibahatika
kuwa na Mapadri
3 ambao waliisoma
dini ya Kiislamu na
kuielewa vya kutosha
na ukitaka kupambana
Inaendelea Uk. 13
13
AN-NUUR
Sheikh Abdul Aziz bin Abdul Ghany Al-Amawy na Sheikh Fadhil bin Ali Mngazija-8
Inatoka Uk. 12
nao ilikuwa sio rahisi.
Mapadri hao walikuwa
Bishop Tozer, Bishop
Steere na Padre Dale.
Kati ya hao wote Bishop
Tozer akiwaadhibu sana
Masheikhe ila alikuwa
hapendi kukutana na
Sheikh Abdul Aziz.
Bishop Tozer aliwahi
kusikika akisema kuwa
Wangekuwa Abdul Aziz
bin Abdul Ghany AlAmawy wachache katika
kisiwa cha Zanzibar,
kazi yetu ingekuwa
haifanyiki.
Dhikiri ilikuja ikamvaa
akawa saa zote yeye na
muridi na akiwasomesha
Muridi zaidi ya
Tasawuf na Tawhidi
na wanafunzi wake
walikuwa wakimfwata na
kuwa naye kwa karibu.
Wengine wanasema
lau kama asingegeukia
Dhikiri, basi Sheikh
Abdul Aziz angeweza
kupaa zaidi alivyopaa.
Sheikh Fadhil bin Ali
Mngazija
Sheikh Fadhil bin Ali
Mngazija ni mzaliwa
wa visiwa vya Ngazija
na alipowasili Unguja
hajasimama ila alifikia
kwa Sheikh Muhydin
bin Sheikh, na alikuwa
mmoja kati ya wanafunzi
waliokuwa wakisoma
kwa jitihada ya hali
ya juu na kutopoteza
wakati wake bure.
Alikuwa akisoma
darasa za vijana wa
hirimu yake na vilevile
alikuwa akijumuika
katika darasa za watu
wazima. Natija ya juhudi
zake zilimpelekea kwa
kipindi kifupi kuonekana
kama ni mwanachuoni
aliobobea. Alipofariki
Sheikhe wake alikuwa
na darsa kubwa ambazo
zikihudhuriwa na
wengi wa wakaazi
wa mjini Unguja na
kuonekana Sheikh
Muhydin kilichoondoka
ni kiwiliwili chake lakini
ilimu alioisomesha
ilikuwa haikupotea.
Sheikh Fadhil alikuwa
akisomesha darasa zake
katika Msikiti Gofu na
akikaa kando na Msikiti
Gofu. Kwa hio saa zote
yeye alikuwa na Msikiti
na Msikiti kuwa na
yeye kutokana na kuwa
anaishi pembezoni
waliokuwa wakijiweza na
kina enhe kati ya wakazi
wa Kingazija waliokuwa
wakiishi Zanzibar
walikuwa karibu na Syd
Barghash na walikuwa
wakihudhuria majlisi
yake kwa hio wakapata
fursa ya kumchongea
Sheikh Fadhil kuwa ni
mwanaharakati anayoleta
fitna katika mji, kwa
lugha ya leo angeitwa
Muislamu mwenye
siasa kali. Sheikh
Fadhil mawazo yake na
alivyokuwa fasaha kwa
kuelezea Uislamu na
tarekhe yake uliwavutia
wengi na kuwa kama
tishio kwa watawala kwa
hivyo naye akapewa
Persona non Grata
na kuwa Prohibited
Immigrant yaani
mhamiaji asiotakiwa
na kupakiwa meli na
kurejeshwa Comoro.
Ilikuwa ni pigo kwa
wakazi wa Unguja lakini
Inatoka Uk. 8
14
MAKALA/MASHAIRI
ABUU NYAMKOMOGI,
MWANZA.
ABUU NYAMKOMOGI,
MWANZA
AN-NUUR
Hakika Mwenyezi
Mungu h awapendi
ulimwengu wetu
wa kiislam ni sasa
kutokana na ufahamu
uliochanganyika juu ya
wa z i h u p o r o m o k a
kwa mwenye fikra hizi
mbovu na kuteketea,
t u n a m u o m b a
M we n ye z i M u n g u
amani na ufahamu
mzuri katika dini yake.
15
MAKALA
AN-NUUR
satellite iliyopigwa na
Gaddafi.
Ndege za NATO
zilipiga magari 11,
zikateketeza moja.
Ndege ya kivita ya
Marekani isiyo na rubani,
Predator ikiongozwa
kutoka boma la kijeshi
karibu na Las Vegas,
ilipiga makombora ya
kwanza dhidi ya msafara
huo, ikapatia takriban
kilometa tatu kutoka
Sirte. Dakika chache
baadaye, ndege za kijeshi
za Ufaransa zikaendeleza
kupiga mabomu.
Mabomu ya NATO
yalikwamisha msafara
huo na kuua dazeni
kadhaa za wapiganaji
watiifu kwa Gaddafi.
Baada ya shambulio la
kwanza, magari takriban
20 yalitoka katika kundi
kubwa na kuendelea
kwenda kusini. Pigo
lingine la mabomu ya
NATO liliharibu au
kuteketeza magari 10
kati ya hayo. Kwa mujibu
wa gazeti la Uingereza
la Financial Times,
vikosi vya wapiganaji
wanaompinga Gaddafi
vya Free Libya vikiwa
katika eneo hilo pia
viliupiga msafara huo.
Kwa mujibu wa taarifa
yake, NATO ilikuwa
haina habari wakati wa
shambulio hilo kuwa
Gaddafi alikuwa katika
msafara. NATO ilisema
kwa mujibu wa azimio
la Baraza la Usalama
la Umoja wa Mataifa la
mwaka 1973, hailengi
watu ila vitu vinavyoleta
hatari katika uwanja
wa vita. NATO baadaye
ilisikia "kutoka vyanzo
huru na taarisa za kijasusi
za washirika" kuwa
Gaddafi alikuwa katika
16
MAKALA
AN-NUUR
SHEIKH Msellem.
ya Watanzania, hususani
wanyonge miongoni mwao
ni wale ambao walikuwa
upande wa pili ambao ndio
wapiga kura, ndani ya kipindi
hiki kifupi tokea kuapishgwa
kwake, kutokana na utendaji
wake wa kazi.
Katika moja ya hotuba zake
Rais Magufuli, amesikika
akiorozesha kero sugu
mbalimbali zinazowasumbua
wananchi, miongoni mwa
kero hizo ni kubambikiwa
kesi, na kuahidi akisema,
Kero hizi ni lazima
tutazishughulikia kwa nguvu
zote. Katika kudhihirisha
msimamo wa Rais Magufuli,
Waziri Mkuu Mh. Kassim
Majaliwa, Novemba 29, 2015,
akifungua maadhimisho ya
miaka 20 ya Dayosisi ya
Pwani ya Kanisa la African
Inland Church Tanzania
(AICT), Jijini Dar es Salaam,
a l i w a t a k a Wa t a n z a n i a
waiombee Serikali ya awamu
ya Tano, ili iweze kuongoza
kwa haki na uadilifu
kwa lengo la kuwaletea
Watanzania maendeleo.
Kutokana na hali hiyo,
napenda kulizungumzia
kundi la moja katika jamii la
Waislamu, ambalo linaamini
kwa mifano iliyo hai kuwa ni
wahanga na ni wadhulumiwa
katika mambo mbalimbali
ya kijamii chini ya tawala
zilizopita.
Kwa kawaida binadamu
unapoandamwa na mitihani,
na katika kuikabili mitihani
hiyo ukawa unamlilia
M we n ye z i M u n g u k wa
njia ya kukata tamaa, si
rahisi ukapata ujasiri wa
kukabiliana na mitihani
zaidi na zaidi. Ni bora kundi
hili likajipanga, kwenda
17
MAKALA
AN-NUUR
JENGA
nchi ni
mwananchi
mwenyewe
na mvunja nchi
ni mwananchi
mwenyewe pia.
Ninavyoona ni kweli
kabisa mjenga nchi
ni mwananchi, lakini
kwangu mvunja
nchi anaweza pia
kuwa mlowezi na
mvamizi au adui
yoyote kutoka nje,
hasa wenye masilahi
ya kukomba mali
kama walivyokuwa
Waingereza, Wafaransa
na Wajerumani na sasa
Wamarekani.
Raisi wa kwanza
wa Zanzibar licha
ya ukereketwa wake
wa kimapinduzi,
hakuwa na uzembe
wa kuwakumbatia
wale ambao
walionekana hawana
uchungu na nchi kwa
kuwambia"Huwezi
kuwa mwananchi kama
huna machungu ya
nchi".
Maneno haya
kwa lugha ya kisasa
tunaweza kusema
kuwa ni maneno
msumari kabisa na
muda huu tuliwonawo
Wazanzibar tunaweza
kuyatafakari maneno
haya na tukifanya
hivyo tutawaelewa
wale ambao sio
wananchi kwani
wapo ambao hawana
uchungu na nchi.
Wahafidhina wa
Zanzibar wengi wao
hawana uchungu na
nchi au wanajaribu
kuupiga chenga
kuzidi kufanikisha
walichokusudia.
Kutokuwa na
uchungu wa nchi ndio
kutapelekea kuvunja
nchi kutokana na
tamaa zao na uchu
walionao wa madaraka
huku wakijua
wanachokifanya lakini
zaidi wakilinda maslahi
ya tumbo.
Kulichumia tumbo
kwa kuwaangamiza
wananchi na nchi,
ni dhulma hivyo
inawapasa muelewe
kuwa dhuluma
munazowafanyia
Wazanzibar hazitokufa
na badala yake
mutalipwa uovu wa
dhuluma hizo kesho
mbele ya hukumu.
Wahafidhina kutokana
na tabia yenu hii ya
kuipindisha haki kuona
batili na batili kwenu
kuiona haki kwa
maslahi tu ya matumbo
yenu, itafika siku
mchana muone usiku
na kutamani usiku uwe
mchana.
Wahafidhina nini
hasa mulichokikusudia
kwa wananchi
wa visiwa hivi
vilivobarikiwa kila
aina ya neema kuanzia
bahari hadi ardhi, au
ndio tuwaelewe kuwa
munatupeleka kule
ambako Mwalimu
Nyerere alikusudia
na nyinyi ndio
munatekeleza hilo au
kuna wasia aliwaachia.
Kwa makusudi
kabisa mumethubutu
kuivunja na kuisigina
katiba ya Zanzibar
ili muwakomoe
Wazanzibar kwa
kile walichoamua
wanyonge wakizidi
kuelemewa na mzigo
wa maisha. Mzigo
huu walitarajia kupata
nafuu baada ya
uchaguzi lakini wapi.
Bado tunapelekwa kule
ambako wao wanaona
tukishiba sisi hakuna
mwingine mwenye
njaa.
Tafakarini kuwa
dhima kubwa ya
Wazanzibar ipo
mikononi mwenu
popote mutakapo
waingiza ni nyinyi
mutakao beba lawama
na kama kuna nguvu
nyuma yenu inawatia
mkazo kuendeleza
dhamira zenu,
mjue kuwa mwisho
watakugeukeni na
kujirusha mbali kabisa
na hilo.
Uchumi wa nchi
yetu ya Zanzibar
kwa uhalisia kabisa
umekufa na hii yote ni
mipango ya zamani ya
wahafidhina ambayo
wanaiendeleza kwa
matakwa yao. Vijana
wengi hawana ajira
na wenye kujiajiri
wenyewe vikwazo kila
kukicha. Tuangalie
eneo la darajani
wote walokuwa
wakijishughulisha
walitimuliwa kwa
kisingizio kuwa ni eneo
la kujenga bustani,
iko wapi hiyo bustani
ilojengwa na miaka
kadhaa imepita sasa.
Licha ya rasilimali
za mafuta na gesi
zilizogunduliwa katika
visiwa hivi, ninaamini
hata kama uchimbaji
wake utafanyika chini
ya usimamizi wa hawa
wahafidhina, hakuna la
maana litakalopatikana
kwa nchi.
Ninayasema
haya kwa ushahidi
unaojidhihirisha
wenyewe katika zao
maarufu la karafuu
hususani kisiwani
Pemba kwani siku za
msimu kila unapopita
barabarani kuna
vizuizi vimeekwa ili
rasilimali ya karafuu
ambayo wakubwa
wameitumbulia macho
kwa kuiweka kwenye
udhibiti wao. Zao hili
bado halijawanufaisha
wakulima licha ya kazi
kubwa wanayopata
na wengine ulemavu
wa maisha au hata
kupoteza maisha
kabisa wakati
wa harakati za
uokowaji wa zao
hili walilotegemea
kuwainua kiuchumi
lakini wapi yao kazi
faida ya wakubwa.
Harakati zote za
upatikanaji wa zao
hili ni za wakulima
wenyewe lakini zao
likiwa tayari ni la
wakubwa na ndio
vizuizi vikawekwa
mabarabarani kila
baada ya kilomita
kadhaa na hili ni
sawa na ule usemi
wa Kishihiri "Mbuzi
wa Salimini lakini
maziwa ya bwana
wake Salimini". Na
ndio ukaona wakubwa
wanajipangia bei
watakayo wenyewe na
kama wewe mkulima
hutaki bei hiyo, basi
huna pengine pakuuza.
Bei wanayopewa
wakulima bado hayo
hayajawa malipo halisi
ya zao hilo badala
yake wanachopewa ni
kifuta jasho tu cha kazi
ngumu wanayoifanya
kwani malipo halisi
ni kuboreshewa hali
nzuri ya nchi yenye
miundombinu imara
kwa kila nyanja
na hapo itakuwa
kweli rasilimali hiyo
imewafaidisha.
Tuangalie hali
ilivo katika barabara
zinazopita maeneo
yanayozalisha zao hili
zikoje ukilinganisha na
thamani ya zao husika
katika soko la dunia.
Mfano barabara ya
Mkoani Chake Chake
ni mbovu na ya hatari
kabisa haimithiliki
kuambiwa ni barabara
inayounganisha
bandari na sehemu ya
kuu ya biashara katika
Inaendelea Uk. 19
18
MAKALA/HABARI
AN-NUUR
wapalestina msikitini
humo na eneo zima husika.
Hivyo tatizo ni
kwamba asilimia 95 ya
Wapalestina ni marufuku
kufika Jerusalemu, Daktari
mmoja alizaliwa huko na
akafanya kazi ya udaktari
kwa miaka 15, hata hivyo,
tangu mwaka 2005, Israel
inakataa kumruhusu
a e n d e h u k o , i n g a wa
yeye ni mwanachama wa
kuchaguliwa wa bunge
Palestina.
Wakati huo huo kuna
ongezeko kubwa la vurugu
zinazofanywa na walowezi
wa Israeli dhidi ya
Wapalestina,zilizopelekea
mauaji ya Mohammed
Abu Khudeir akiwa na
umri wa miaka 16, ambapo
tukio hilo lilifanyika
mnamo mwezi Julai 2014;
baada ya kutekwa nyara
na kuchomwa moto akiwa
hai na walowezi wa Israeli.
K wa m f a n o h u u n i
dhahiri kwamba,ukatili
wa Israeli hauheshimu
kabisa uhai wa
wapalestina wasio na
hatia,wakitekwa,kupigwa
na hata kuuwawa katika
maeneo mbalimbali hasa
Jerusalemu ya mashariki.
Mauaji mengine ni
yale ya Dawabshy akiwa
na umri wa miezi 18,
yaliyofanywa na walowezi
wa kiyahudi kijijini
Duma,mnamo tarehe
31 Julai 2015. Ambapo
wa l i r u s h a m a f u t a ya
petroli ndani ya nyumba
ya familia yao usiku, hatua
iliyopelekea kuchomwa
mota hadi kufa,huku
wazazi wake wakijeruhiwa
vibaya na baadae baba
yake kufariki dunia.
Mauaji haya mawili
ni ujumbe tosha kwa
jumuiya ya kimataifa
na kwamba wananchi
wa Palestina wanadai
haki yao ili kujiokoa na
ukandamizaji huu na
mateso haya,yaliyopelekea
kuuwawa wapalestina
zaidi ya 108,wakiwemo
wa t o t o 2 4 , wa n a wa k e
5,tangu mwanzo mwa
mwezi Oktoba mwaka huu
wa 2015.
Aidha, katika kipindi
hiki zaidi raia wa Palestina
12,000 wameuwawa na
we n g i n e k u j e r u h i wa ,
kufuatia matumizi ya
nguvu ya Israeli, ambapo
silaha mbalimbali
hutumika zikiwemo risasi
za moto, mabomu na
kadhalika.
Mtu anaweza kuuliza:
Kwa nini hii inatokea?
Baada ya miaka 22
ya mazungumzo,
Wapalestina waligundua
kuwa barabara ya amani
imefungwa na Israeli,
inayotumia mwanya huo
kwamba,mapigano
yanayoendelea hivi sasa
ni matokeo ya uchokozi
kutoka upande wa
Palestina,hivi ndivyo
walivyo madikteta na
viongozi wa kimabavu
daima hufanya hivyo
badala ya kutafuta mizizi
na chanzo cha mgogoro.
Chanzo cha mgogoro
ni Israeli kujitangazia
umiliki wa sehemu ya
ardhi ya Palestina kuwa ni
yake,hasa Jerusalemu ya
Mashariki tokea miaka 48
iliyopita,hali iliyopelekea
kuweka viziwizi ili
kutenganisha mji huo na
Ukingo wa magharibi ili
kuhodhi ardhi yote ya
Palestina.
Dola ya Palestina tayari
imekabidhi ushahidi
wa k e wa u h a l i f u wa
kivita, unaofanywa na
Israeli dhidi ya Palestina
na wananchi wake kwa
Mahakama ya Uhalifu
ya Kimataifa (ICC),
i l i k u o n g e z a k a s i ya
uchunguzi wa ukiukwaji
wa haki za binaadamu
unaofanywa na Israeli.
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Palestina Mheshimiwa
Riad Maliki alisema:
"Suala la Palestina ni
mtihani kimataifa ...
mtihani huo dunia
ikiushindwa itakuwa ni
hasara si kwa Palestina
tu bali kwa Ulimwengu
mzima, kwani Palestina
imeamua kutafuta haki, si
kisasi."
Kama hayati Nelson
Mandela wa Afrika Kusini
aliyepambana na ubaguzi
wa rangi alisema, suala la
Palestina ni ukweli na haki
kuliko suala tulilonalo ".
Contact us: P.O Box
20307, 612 UN Road
Upanga West, Dar es
Sa la am Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.
orgWebsite: www.pal-tz.
org
zaidi ya asilimia 57 ya
wananchi wa Marekani
wa n a p i n g a m a t a m s h i
hayo ya chuki za kidini ya
Donald Trump.
Mamia ya wanaharakati
wa kijamii na haki
za binadamu nchini
Marekani, walikusanyika
Alhamisi iliyopita mbele
ya hoteli moja kubwa
inayomilikiwa na Trump,
ili kuonesha hasira zao
dhidi ya mwanasiasa huyo
mwenye chuki za kidini.
Kuna uwezekano
Donald Trump akateuliwa
na chama cha Republican
kugombea urais wa
Marekani.
Waliojumuika mbele
ya hoteli hiyo kulaani
matamshi ya chuki za
kidini ya Trump ni pamoja
na kutoka Jumuiya ya
Waislamu wa Marekani,
Taasisi ya Kulinda Haki ya
Uhuru na Katiba, Kanisa la
Marekani na Maveterani
wa Vita wa Marekani.
Wa c h a m b u z i wa
mambo wanaamini kuwa,
mashambulio ya kigaidi
yaliyotokea hivi karibuni
mjini Paris Ufaransa,
yametoa fursa kwa maadui
wa Uislamu kupata
kisingizio cha kuzidi
kuonesha chuki zao dhidi
ya Waislamu.
Lakini bado duniani
wapo watu wenye fikra
DONALD Trump.
huru, ambao wanaelewa
vyema kuwa vitendo vya
kigaidi vinavyofanywa
kwa jina la Uislamu, havina
mfungamano wowote na
dini hiyo tukufu.
Wakati ubaguzi dhidi
ya Waislamu ukikolea,
Mwanafalsafa maarufu
nchini humo Noam
Chomsky, ameilaumu
Marekani kwa kukithiri
hali hiyo.
Mchambuzi huyo
mashuhuri wa masuala ya
kisiasa nchini Marekani,
a m e s e m a s e r i k a l i ya
Washington na washirika
wake wanafaa kulaumiwa
kutokana na mashambulio
ya k i g a i d i ya m we z i
uliopita yaliyoitikisa Paris,
mji mkuu wa Ufaransa.
Chomsky, ambaye
pia ni mwanafilosofia
alisema hatua ya
19
KAMA kuna sehemu
ambayo Kanisa
limefanikiwa kubatiza
Wa i s l a m u , b a s i n i
Wilaya ya Same.
Majina kama Marry
Omari, Eliewaha
K a t h i m u , N a t u j wa
Emanuel Mohammed,
Yohane Mathayo Saidi,
Nthembia Kathibeti
Rajabu, ni ya kawaida
kabisa kuonyesha kuwa
awali baba na babu wa
vijana wa sasa walikuwa
Waislamu, lakini watoto
na wajukuu, wameishia
kubatizwa.
Unapofanya utafiti
kidogo unachogundua
ni kuwa japo Uislamu
ulikuwa wa mwanzo
kuingia, lakini baada
ya watu kuingia katika
Uislamu kupitia
Maulidi na Muridi wa
Twa r i k a , h a p a k u wa
n a m we n d e l e z o wa
k u wa s o m e s h a . K wa
hiyo wengi wakabaki
Waislamu wa majina.
Na hata baadae
i l i p o k u j a B a k wa t a ,
haikushughulika
na kuwaelimisha
Waislamu,
ila
kudumisha ukiritimba
wa umiliki wa Misikiti
na kuhakikisha hakuna
anayeingia kusomesha
bila kibali chao
wakati wao wenyewe
hawakuwa tayari
kupeleka mwalimu.
Kinyume chake,
walipoingia Wakristo
walikuja kama watu
wenye misheni maalum
ya k u f u t a U i s l a m u
wakianzia milimani na
kumalizia tambarare.
Pa m o j a n a k u j e n g a
makanisa, walijenga
shule na hospitali, lakini
pia kila aliyebatizwa
walihakikisha kuwa
anausoma Ukristo na
kukomazwa kiimani
kupitia taratibu zao za
Kikanisa.
Same Milimani wakati
awali katika miaka ya
1940s mpaka 1960s,
i l i k u wa M k r i s t o n i
wa kutafuta, hivi sasa
imekuwa kinyume
chake. Kuna baadhi ya
vijiji kama utauguwa
uambiwe kwamba dawa
ni kumpata Muislamu
wa eneo hilo, akushike
kichwani, basi itabidi
ufe tu.
Ukiingia katika milima
ya Vudee unakutana na
MAKALA
AN-NUUR
ngumu ya kiuchumi
ambapo Kanisa hutumia
fursa hivyo kugawa
chakula cha msaada na
msaada wa masomo kwa
watoto, basi ndio kabisa
masalia ya Waislamu,
yanazidi kukombwa.
Msikiti wa Ndolwa
amejenga Mzee Omari
Danieli na familia yake,
lakini ndio uwezo wake
umefikia mwisho.
Wa m e p i g a m a t o f a l i
lakini hawajayachoma.
Waumini wanaosali
hapo Ijumaa kwa
Ijumaa, ni familia yake
na majirani na Waislamu
wa Kijiji cha Mjingo.
Msikiti wa pili Imamu
wake anasema kuwa
Waislamu wa eneo hilo
ni kiasi cha hamsini.
Kuhusu kuritadishwa,
an asema ku wa hi l o
l i m e k u wa n i j a m b o
la kawaida na ni kwa
s a b a b u Wa i s l a m u
hawana elimu ya msingi
ya dini yao. Na hata yeye
mwenyewe anasema
hana elimu ya kutosha,
lakini imebidi awe ndio
kuiongozi.
Ombi la Waislamu wa
Vudee na Same milimani
kwa ujumla, ni kuwa
wasaidiwe kusomesha
kisiwa hicho.
Barabara ya Chake
Chake- Wete maarufu
njia kongwe, licha
ya kuwa nayo ipo
katika maeneo
yanayotoa utajiri huo,
ni barabara yenye
mashimo matupu
utafikiri ni shamba
ambalo mkulima
amelitayarisha kwa ajili
ya kupanda migomba.
Katika hali ya
barabara hizi mgonjwa
anaweza kufika
akiwa huko hali gani,
kwenye yale majengo
ambayo yanayoitwa
spitali kama sio hoi
bin taabani licha ya
maradhi aliyonayo na
hivo ukifika huko ni
majengo yasiyokuwa
na hata panadoli
licha ya fedha nyingi
zinazoingia kwa zao
hili.
Zitoweni faida za
rasilimali za visiwa
vyetu kwani hii ni haki
ya wote tunahitaji jasho
letu liimarishe huduma
za afya, elimu maji na
huduma nyinginezo
na sio kujinufaisha
matumbo yenu pekee.
Kwa hali inavoelekea
ni mbaya isiyopigika
mfano au kufikirika
kabisa hasa kwa visiwa
vyenye ustaarabu
wa hali ya juu, yaani
visiwa vyetu vya
Zanzibar na hapo
ndio ninapowauliza
wahafidhina ni wapi
hasa mnakotupeleka?
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
Chuki
dhidi
ya
Waislamu
inakolea
Marekani
Misikiti inachomwa moto
VITENDO vya chuki
d h i d i y a Wa i s l a m u
vimeongezeka nchini
Marekani.
Wat u wen ye c h uk i
za kidini wameuchoma
moto Msikiti mwingine
huko California.
Wakuu wa Jumuiya ya
Waislamu wa Marekani
walisema Ijumaa iliyopita
kuwa, watu wenye chuki
za kidini walitupa bomu
la chupa ndani ya Msikiti
wa Coachella, California
na kusababisha msikitini
humo kuwaka moto.
Polisi wa Marekani
wameanza uchunguzi
kubaini sababu za
kuchomwa Msikiti huo na
kuchunguza kama jinai
hiyo inatokana na chuki
za kidini au la.
Chuki za kidini
zimeongezeka nchini
Marekani baada ya
mkwasi wa mali Donald
T r u m p , a n a y e wa n i a
kuteuliwa na chama cha
Republican kugombea
urais nchini humo, kutoa
matamshi ya chuki dhidi
ya Waislamu.
Siku moja baada ya
kutoa matamchi yake ya
kutotakiwa Waislamu
kuingia Marekani,
yaani siku ya Alhamisi,
m a a d u i wa U i s l a m u
waliuvamia na kuuvunjia
heshima Msikiti wa mji
wa Philadelphia huko
Marekani.
Vile vile Ijumaa hii
iliyopita, ofisi za Baraza
la Uhusiano wa Marekani
na Uislamu la mjini
Washington, zilifungwa
baada ya kuenea habari
k wa m b a m a a d u i wa
Uislamu walitaka
k u z i l i p u a k wa b o m u
baada ya kupatikana
kifurushi cha kutatanisha
katika ofisi hizo.
Awali Maafisa wengi
wa usalama wa Marekani
walionya kuwa, matamshi
ya kichochezi ya Donald
kichochezi yanaendelea
kulaaniwa kote
ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa,
Umoja wa Ulaya, Ikulu
ya Marekani White House
na Mashirika mbalimbali
kutoka pembe zote za
dunia wameendelea
kulaani matamshi hayo
ya chuki za kidini ya
mwanasiasa huyo wa
chama cha Republican
cha Marekani.
Hata hivyo uchunguzi
wa maoni uliofanywa
na taasisi ya NBC News
na gazeti la Wall Street
Journal unaonesha kuwa,
Inaendelea Uk. 18
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.