Вы находитесь на странице: 1из 20

www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1220 JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA , MACHI 11-17, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Msekwa, Mwalimu
Nyerere siye
muanzilishi
wa harakati
za siasa Tanganyika

Nakutana na watesaji Mtambani

Soma Uk.10

Wakiniona Msikitini hukimbia kwa hofu Innalillah wainaillaihir Rajuun


Sijui wanakuja kuswali au wapo kazini!
Asema mtuhumiwa ugaidi aliyeachiwa

Sheikh Muhammad
Burhan hatunaye

USTADH Jamal Yasini.

Polisi wazuiya haki ya kuzika! Itiqaf ya AK-47!


AL-MARHUM Sheikh Muhammad Bakari al Burhan.

Maiti zatolewa na kuzikwa usiku


Woga wa nini kama ni majambazi?
Hata gaidi hapotezi haki ya kusaliwa!

ANNUUR NEW.indd 1

Jela maisha ongeza miaka 30


Somo kutoka Duka Brothers

3/9/2016 2:36:21 PM

AN-NUUR

Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Sura Al-Maidah 54

Fethullah-Gulen
ENYI wale ambao
mmeamini, atakayeacha
miongoni mwenu dini yake
basi pande hizi atawaleta
Mwenyezi Mungu watu
ambao anawapenda
na wao wanampenda,
wanyenyekevu kwa
waumini, wana nguvu juu
ya makafiri, wataipigania
dini ya Mwenyezi Mungu
hawataogopa lawama ya
mwenye kulaumu, hiyo
ndiyo fadhila ya Mwenyezi
Mungu anampa anayemtaka
na Mwenyezi Mungu ni
mkunjufu wa fadhila
mwenye kujua. [Al-Midah
54]
Kwa hakika aya hii
imekusanya juu ya mambo
muhimu sana ya kuongozwa
na uzindushi juu ya
uwezekano ni kutoka kwa
uwezekano wa kuacha dini
kati ya waumini na kwamba
huenda wakashindwa
baadhi ya watu ambao
wanausimamia Uislamu
kuonyesha kutilia manani
na kuguswa ambako
kunahukumiwa na
uchunguzi wa amana hii
huko mbele. Kwa sababu
hii wakati waliposhindwa
Banu-Umayya kuichukua
amana ambayo
walijitokeza kwa kuchukua
muda katika muda fulani na
wakadhoofika na uchukuzi
wa amana hiyo, amana
ilihama na kwenda kwa
Abbasiyyin kisha ikaenda
kwa Saifouziyyin na kutoka
kwa hao ikaendelea kwa
Othmaniyyin. Na watu
ambao Mwenyezi Mungu
atawaleta ameyaleta maelezo
yao kwa tamko la Nakra
lisilo wahusu watu au mtu

maalumu Watu maana


watu ambao Maswahaba
hawakuwa wa kurejea wa
wakati wa kushuka kwa aya.
Na tunaona kwamba
aya: Atawaleta Mwenyezi
Mungu watu limetumiwa
tamko la muda wa mbele
kuwa wa mbali Saufa
nita; na kwamba sifa ya
kwanza katika sifa za watu
hawa ambao ametoa bishara
Mwenyezi Mungu kwa
kuja kwao katika muda
wa mbele wa mbali. Sifa
hiyo ni kwamba Mwenyezi
Mungu anawapenda. Na
hapa inapatikana nukta ya
ndani sana, kwani mapenzi
yaliyopo kati ya mja na
kati ya Mwenyezi Mungu
mtukufu, kama ambavyo
kunawazekana kuwa kwa
kuelekea kutoka kwa mja
kuelekea kwa Mwenyezi
Mungu na katika mkabala
wake yanakuja mapenzi
kutoka kwa Mwenyezi
Mungu kuelekea kwa mja,
na hii ni katika sifa za
Muridi mfuasi.
Vivyo hivyo
kunawezakana kuwa kutoka
kwa Mwenyezi Mungu
kuelekea kwa mja na katika
mkabala wake yanaelekea
mapenzi kutoka kwa mja
kwenda kwa Mwenyezi
Mungu. Na kunawezekana
kutumiwa juu ya hali hii
sifa ya Mwenyezi mwenye
kutakwa Mudar. Ndiyo
anawachagua Mwenyezi
Mungu kwa nafsi yake
baadhi yao, kwa ajili ya
kuipa nguvu Dini yake,
vivyo hivyo kwa kuwapa
nguvu hawa waumini wa
dini yake. Na uchaguzi
wa Mitume ni katika
uchaguzi wa namna hii.
Na kama ilivyokuja katika
hadithi ya Mtume ambayo
ameipokea Abdallah Ibn
Masoud, kwa hakika
maswahaba wa Mitume
vile vile wanachaguliwa
kutoka kwa Mwenyezi
Mungu kwa kuipa nguvu
dini yake na kuutumikia.
Tunaweza kuliweka wazi
jambo hilo kwa kusema:
Hakika Mwenyezi Mungu
mtukufu anasema: Kwa
hakika mimi nitamchagua
Muhammad (s.a.w) kwa
mfano na maswahaba zake
kwa ajili ya kuitekeleza
kazi hii. Na kama
ilivyokuja mwishoni mwa
aya hii ndiyo: Fadhila ya
Mwenyezi Mungu anampa

MWEZI MWANDAMO
Leo ni Tarehe 1 Jumada-at-Thania (Mfungo
9) mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 11 March,
2016.
Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi
kwa Ramadhan na Tarehe 7 June 2016 tukijaaliwa
tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea hii leo
Ijumaa ya tarehe 11 Machi 2016 hadi kufika
kuanza mfungo wa Ramadhani tunebakisha siku
87.

ANNUUR NEW.indd 2

anayemtaka na Mwenyezi
Mungu ni mkunjufu wa
fadhila mwenye kujuwa.
Na inasema aya nyingine
kwamba si haki kwa mtu
yoyote kupinga juu ya
yale ambayo ameyagawa
Mwenyezi Mungu.
Na kama alivyomchagua
Mwenyezi Mungu mtukufu
Mtume wetu na maswahaba
wake katika wakati muhimu
ule wa historia ya kuja
Mtume Muhammad (s.a.w),
atafanya uchaguzi wa watu
wengine kwa ajili ya kuipa
nguvu dini yake katika hizi
zama ambazo kumeachwa
ndani yake kuitumikia
dini na ngome za Uislamu
zimezingirwa katika pande
zake zote.
Ni kweli kwamba
uchaguzi huu huenda
ukafanyika katika maana
yoyote katika maana ya
ulimwengu wa roho. Na kwa
hali yoyote ile kwa hakika
Mwenyezi Mungu mtukufu
ataliweka juu tamko la dini
hii mara nyingine kupitia
watu ambao anawapenda
na wanampenda kwa
sbabu hii sifa za watu hawa
zimekuwa muhimu sana.
Na mwendelezo wa aya
unaweka wazi umuhimu wa
maudhui haya.
Watu hawa ni kundi
lililo safika lililotwaharika
mpaka kiwango cha kuwa
katika mkabala wa kwamba
Mwenyezi Mungu mtukufu
wakati alipowapenda na
akawachagua kama kundi
wao nao wanampenda
Mwenyezi Mungu mtukufu
kutoka katika vina vya
nafsi zao na aya nyingine
inayaelezea mapenzi haya
kwa kusema: Kwamba wao
hawatakuwa katika safu
ya maadui wa Mwenyezi
Mungu hata kama
watakuwa maadui hao ni
baba zao, au mababu zao au
ndugu zao au watoto wao
au jamaa zao. Mapenzi yao
yamefungwa kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu mtukufu
peke yake, wanapenda kwa
ajili ya Mwenyezi Mungu
na wanachukia kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu, wanatoa
kwa ajili ya Mwenyezi
Mungu na wanapokea kwa
ajili ya Mwenyezi Mungu,
hakizishughulishi nyoyo
zao wala miamala yao kitu
chochote isipokuwa mapenzi
ya Mwenyezi Mungu
hapana kitu chochote
kinachoyatangulia mapenzi
hayo au kinachokaa mahali
pake. Hii ndiyo sifa ya
kwanza na sifa muhimu
sana katika kundi ambalo
litakuja utakapofika wakati
wa kuja kwake na ambalo
liko nyuma ya chuo cha
maswahaba watukufu,
maana sifa ya kumpenda
Mwenyezi Mungu mtukufu
na kutaka radhi zake wakati
wote na kuyapata nguvu
mapenzi haya na radhi hii
juu ya yote yasiyokuwa
hayo.

JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 41


S

MASUALA
1.Nani Alikuwa Shahidi wa mwanzo katika Uislamu? Jawabu :
Sumaya
2.Waislamu wa mwanzo wakikutana kujifunza dini kwenye nyumba
ya nani? Jawabu : Aqram
3.Waislamu wa mwanzo kukamatwa na kuteswa vibaya na makafiri
aliuwa Yassir na mke wake Summaya na mwanawao akiitwa? Jawabu :
Amar
4.Sahaba wa mwanzo kusoma Quran kwa sauti kubwa ndani ya
Alqaba ni Jawabu : Abdalla bin Masud
5.Kamanda wa mwanzo wa Kijeshi Waislamu alikuwa ni.. Jawabu
: Hamza
6.Watoto wa Syd Ali aliozaa na Bibi Fatma ni nani na nani? Jawabu :
Hassan, Huseein, Umm Kulthum, Zainab
7.Nani Shahidi wa mwanzo wa kiume katika Uislamu? Jawabu : Yassir
8.Mama wa Musaib bin Umair akitwa kwa jina gani? Jawabu : Khunas
Maalik
9.Sahaba aliokuwa tajiri wakati wa Mtume (SAW) mmoja wao alikuwa
ni nani? Jawabu : Abdulrahman
10.Sahaba yupi Wakfu wake unatumika hadi hii leo? Jawabu : Syd
Uthman

CHEMSHA BONGO: 42

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
H

ibn

ibn

ibn

675

650

MASUALA
1.Taja jina la Quraish aliokuwa adui mkubwa wa Waislamu na kuwapa
mateso
2.Sahaba yupi alioongoza kukusanywa na kuandikwa kwa kitabu kitakatifu
cha Quran.
3.Mtume Muhammad (SAW) alimtuma sahaba yupi kama Gavana wake
katika nchi ya Yemen?
4.Taja jina la Sahaba aliomtaka Syd Uthman kuharakisha ukusanywaji wa
Quran..
5.Jina la mama wa Mtume Ismail ni..
6.Kukamilika kuandikwa na kukusanywa Quran chini ya usimamizi wa Syd
Uthman ulikuwa ni mwaka gani?
7.Alikuwa na umri wa miaka 13 na ni bin amu yake Mtume (SAW) na
alipofariki Mtume (SAW) inakisiwa umri wake ulikuwa ni miaka 13, jina
lake ni
8.Kutafsiriwa kwa Quran na kupewa maelezo kwa Quran maneno hayo
yanaitwaje?
9.Sehemu aliosimama Mtume Ebrahim kujenga Alqaba inaitwaje?
10.Jamii Iliomzunguka Mtume Muhammad (SAW) ikimjua kwa jina lipi?

Jee Unajua?

1.Gazeti la Al-Ahram ni mmoja katika gazeti kongwe kuendelea kuchapishwa


nchini Misri ambalo lilianza kuchapishwa rasmi katika mwaka wa 1875 :
https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_the_oldest_newspapers
2.Gazeti la mwanzo kuchapishwa kwa Kiengereza lilichapishwa November
7, 1665 : http://www.dailymail.co.uk/news/article-2465997/Worlds-Englishnewspaper-expected-fetch-15-000-auctioned-350-years-published.html
3.Gazeti la mwanzo kuchapishwa Afrika barani Afrika lilikuwa kwa lugha
ya Kifaransa mwaka wa 1773 kwa jina la Annonces, Affiches et Avis Divers
pour les Colonies des Isles de France et de Bourbon : https://en.wikipedia.
org/wiki/List_of_the_oldest_newspapers
4.Gazeti la kwanza kupigwa chapa kisiwani Zanzibar likiitwa Samachar
lilichapishwa kwa mara ya kwanza siku ya Ijumatatu, August 21 mwaka 1905
: http://www.antor.org/zanzibar/historical-events.html
5.Meli ya kubeba mizigo ya Kimarekani ijulinayo kwa jina la MSC Oscar
inasadikiwa kuwa ndio meli kubwa ya kubeba mizigo duniani, inaonekana
hakuna bandari ambayo inaweza kuegesha meli hiyo, kwa wakati mmoja
inaweza kubeba magari 39,000 na mizigo mengine : http://jalopnik.com/theten-biggest-ships-in-the-world-1706164772
6.Ndege ya Anatanov An-225 Mriya ndio ndege iliokubwa koliko zaote
duniani, ndege hio ni ya kijeshi kwa mara ya kwanza kupaa angani ilikuwa
mwaka wa 1988 December 21 ina injini 6, inachukua mzigo wa uzito wa tani
640 : http://afun4u.com/the-top-5-largest-aircraft-in-the-world/
7.Watengenezaji wa gari za Toyota nchini Japani ndio wanaongoza kwa
utengenezaji wa magari mengi duniani, inakadiriwa kwa mwaka hufikisha
utengenezaji wa magari milioni 9 na ziada: http://www.telegraph.co.uk/
motoring/car-manufacturers/toyota/10594637/Toyota-still-the-worldsbiggest-car-manufacturer.html
8.Kampuni 6 kongwe za magari zilizopitisha miaka 100 ya utengenezaji wa
magari na bado zinaendelea utengenezaji wa magar, gari ya Peugeot imeanza
kazi ya utengenezaji wa magari katika mwaka wa 1810, Tarta mwaka wa 1850,
Opel 1863, Renault 1898, Aston Martin mwaka wa 1913: http://mentalfloss.
com/article/49693/6-car-companies-you-might-not-realize-are-100-years-old
9.Basikeli ya kwanza kuasisiwa inasadikiwa kuwa ilikuwa mwaka wa 1534
ikiwa ni kazi ya Gian Giacomo Caprotti akiwa ni mwanafunzi wa gwiji
Leonardo da Vinci: https://en.wikipedia.org/wiki/History_of_the_bicycle
10.Jengo lilokuwa kongwe kuliko yote duniani ni Magelithic Temple liliopo
Malta ambalo linasadikiwa kujengwa baina ya miaka 3,500 hadi 2,500 kabla
ya kuzaliwa kwa Mtume Issa AS: http://all-that-is-interesting.com/worldsoldest-structures

3/9/2016 2:36:25 PM

Habari

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Nakutana na watesaji Mtambani


Na Bakari Mwakangwale

WAKINIONA, wanakuwa
na hofu ya kutisha, huwezi
kuamini kuwa ndio
wale majabali wa kutesa
wanapokuwa katika himaya
yao.
Nadhani hofu yao ni kuwa
huenda nikaita Waislamu
wawashughulikie, lakini
mimi atanilipia Allah. Wao
hofu hiyo watafakari siku
watakapoingia kaburini na
kukutana na Mola wao.
MUHANGA wa tuhuma za
Ugaidi, Ustadhi Jamali Yasin,
amesema amekuwa akiwaona
watesaji wake alipokuwa
mikononi mwa Jeshi la Polisi.
Anasema, mara kadhaa
amekutana na watesaji hao
Masjid Mtambani ila hajui
kama wanakuja kuswali au
ndio wapo kazini.
Ust. Yasini, amesema
hayo, akiongea na Waislamu
akielezea juu ya mkasa wake
wa kukamatwa na Polisi, Jijini
Dar es Salaam, ambapo alidai
akiwa mikononi mwa Jeshi la
Polisi, alipata mateso na baada
ya kuachiwa amekuwa dhaifu
kiafya.
Nimebahatika kuwaona
mara mbili watesaji wangu,
kwanza niliwaona katika
Msikiti wa Mtambani,
Kinondoni mara ya pili
nikakutana nao Masjid Haq,
tulitazamana uso kwa uso na
walijua kuwa nimewabaini.
Amesema Ust. Jamali.
Alisema, katika mazingira
hayo anamokutana nao
anaweza kupiga kelele
na kusema hawa ndio
watesaji wake na Waislamu
wanaotuhumiwa kwa ugaidi,
lakini akasema Allah (SW)
humpa moyo wa subra na
kuzishinda ghadhabu zake
juu yao, huku akimuomba
Mungu amjaalie hivyo kila
atakapowaona.
Ust. Jamali, alisema
anamuomba Mungu ampe
busara na subra juu ya watu
hao na kwamba si rahisi
kuamini kuwa Askari hao
ni Waislamu na wanaingia
Misikitini kwa nia haswa ya
kufanya ibada, kwani wamejaa
unyama kuliko ubinadamu na
hadhani kama wana chembe
ya imani na inawezekana
wasiwe Waislamu lakini
wanalazimika kujichanganya
Misikitini ili kutekeleza wajibu
wao.

ANNUUR NEW.indd 3

IGP Ernest Mangu.


Zaidi, Ust. Jamali,
Sihitaji kulipiza kisasi,
amethubutu kufikisha mkasa
kwa dhulma walizonifanyia
wake huo na kumweleza
mimi na Waislamu wengine
waliopitia mikononi mwao,
japo kuwa kisasi ni haki yangu
lakini Allah (SWT) anatosha
kunilipia hapa duniani na
kesho akhera, kwani yeye ni
hakimu muadilifu. Amesema
Na Shabana Rajab
Ust. Yasini.
Alisema, mara anapowaona
Mwanazuoni mashuhuria
huwa anajiuliza cha kufanya
nchini na katika ukanda wa
na kuamua kubaki kimya,
ambapo mara zote hizo
Afrika Mashariki, Sheikh
wanapogundua kuwa
Muhammad Bakari al
amewaona, Maafande hao
Burhan, amefariki na kuzikwa
huwa katika hofu na wasiwasi Jumatano ya wiki hii jijini
na mara zote hulazimika
Tanga.
kuondoka kwa haraka
Sheikh Burhan alifariki
msikitini anapowaona.
dunia usiku wa kuamkia
Kama ukiwaona wakiwa
Machi 7 mwaka huu
katika himaya yao dhidi ya
nyumbani Mwananyamala
Waislamu huwezi kuamini
jijini Dar es Salaam na mwili
kama wanakuwa na hofu
ulisafirishwa kwa ndege
namna hiyo ninapowaona
kwenda Tanga kwa ajili ya
wakiwa Msikitini, ule ujasiri
na ubabe wanaokuwa nao
mazishi siku Jumanne saa saba
wanapo washughulikia
mchana.
Waislamu na hofu
Sheikh Bakari alikuwa
ninayowaona nayo wakiwa
Mudir wa Chuo maarufu cha
Msikitini, huwezi kuamini
Kiislamu cha Samsul Maarifa
kuwa hawa ndio wale
kilichopo jijini Tanga.
watesaji, wababe. Amesema
Sheikh Burhan amezikwa
Ust. Yasini.
katika
viwanja vya chuo cha
Mkasa wa Ust. Jumali
Shamsi
Maarifa, Mtaa wa
Yasin, uliripotiwa kwa kina
Duga
jijini
Tanga saa kumi
kwa mara ya kwanza na
alasiri.
gazeti hili (An nuur) mara tu
Haikufahamika mara moja
alipoachiwa na Jeshi la Polisi,
baada ya kumshikilia kwa
sababu kamili za kifo chake
takriban mwezi mzima pasi
lakini taarifa za jamaa wa
ya kumfikisha Mahakamani,
karibu zinaeleza kuwa Sheikh
ambapo hivi sasa taarifa
Burhan alikuwa akisumbuliwa
zake zipo katika baadhi ya
na maradhi ya sukari.
Mitandao ya Kijamii pamoja
Aidha kifo chake
na CD, alizorekodiwa
kimehusishwa na matatizo
akiongea na Waislamu, katika
yaliyotokana na ajali ya
Misikiti mbalimbali.

Mufti wa BAKWATA, Sheikh


Abubakar Zuber.
Aidha, kutokana na mateso
anayodai kuyapata akiwa
mikononi mwa Jeshi la Polisi,
amedai kwa sasa hayupo
timamu kiafya, ambapo
BAKWATA, imempatia kibali
cha kupatiwa msaada wa pesa
kwa ajili ya kumsaidia katika
matibabu.
Kwa sasa Ust. Jamali,
analazimika kuchoma sindano
maalumu tatu kila siku ili
kutoa sumu mwilini, ambapo
sindano moja inamgharimu
kiasi cha Shilingi 9000,
hiyo ni baada ya madaktari
kumweleza kuwa ana sumu
mwilini mbali ya tatizo la
kutokwa na damu pindi
anapokwenda haja kubwa
na ndogo, matatizo ambayo
anadai awali hakuwa nayo
kabla ya kukamatwa na Polisi.

Sheikh Muhammad Burhan hatunaye

barabarani aliyoipa Agosti


mwaka 2013. Mudir huyo wa
Madrasatil Shamsul Maarif
alipata ajali maeneo ya Dumila
mkoani Morogoro majira saa
8:00 mchana.
Ajali hiyo ilisababisha
majeraha kwa Sheikh
Muhammad Bakari katika
maeneo ya kichwani, kifuani
na mikononi.
Taarifa zilizopatikana
zilieleza kuwa katika ajali
hiyo, mtoto wa Sheikh aitwaye
Abubakar alifariki pamoja
na mke mdogo wa Sheikh Bi.
Ziyada.
Wengine waliokuwepo
katika msafara huo ni watoto
wake Abdulhalim, Ahmad,
Abuubakar pamoja na mkewe.
Majeruhi wengine walikuwa
ni Mwalimu Mussa Kunema,
Idd issa Nori na Kambi Salum.
Msafara huo ulikuwa
ukitokea Tanga kwenda
Kondoa kwa ajili ya kutangaza
dini.
Taarifa zinaeleza kuwa moja
ya sehemu alizopata elimu
Sheikh Muhammad Bakar
al Burhan, ni kwa Marhuum
Sheikh Mohammad Ayoub.
Tunamwomba mwenyezi
Mungu amjaalie Sheikh
Burhan kila la kheri katika
maisha ya barzak. Amin.

3/9/2016 2:36:29 PM

Tahariri

AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Kama kuna dhamira ya


kweli tunaweza kunusurika
JUMANNE wiki hii
Mkuu wa Mkoa wa Dar
es Salaam, Said Meck
Sadik, alitangaza kuanza
operesheni kabambe ya
kupambana na biashara
ya ukahaba iliyokita
mizizi katika mitaa
mbalimbali ya jiji la Dar
es Salaam.
Bw. Sadik alisema
umeachukua hatua hiyo
lengo likiwa ni kuondoa
kero inayowapata wakazi
wa jiji la Dar es Salaam
inayosababishwa na
biashara hiyo chafu nay a
kihalifu.
Kabla ya Mkuu wa
mkoa kutoa tamko lake la
kuanza kwa operesheni
hiyo, awali Kamanda wa
Polisi Kanda Maalum ya
Dar es Salaam, Kamishna
Simon Siro, alitoa kauli
ya kuanza operesheni
ya kukamata changudoa
waliozagaa mitaani jijini.
Biashara ya ukahaba
jijini na maeneo mengine
ya miji ya nchi yetu,
imekuwa na madhara
makubwa sana kwa jamii,
hususan kwa wanawake
ambao ndio hamasa
kubwa ya kufanyika
biashara hiyo haramu.
Lakini kwa upande
mwingine, wanaume
ambao ndio wateja
wanaolengwa katika
biashara hiyo, nao
wamekuwa kichocheo
muhimu kinachovutia
biashara hiyo kwa kuwa
wao ndio wanaohitaji
huduma hiyo chafu.
Wakati mwingine
ukahaba umekuwa
ukidaiwa kuwa
unasababishwa na hali
ngumu ya maisha, jambo
ambalo kimantiki sio
sahihi.
Kimsingi biashara
ya ngono inatokana na
baadhi ya wanawake
na hasa mabinti, kutaka
fedha kwa njia rahisi ya
kufuja miili yao kidhalili
ili kukidhi haja zao za
kimaisha.
Tunatambua kwamba
zinaa ni uchafu, hata
katika vitabu vyetu
vya dini, Mwenyezi
Mungu aliyetuumba

ANNUUR NEW.indd 4

amekemea vikali zinaa


na kubainisha kuwa ni
uchafu mkubwa.
Mwenyezi ameikataza
zinaa bila shaka
akitambu akuwa
inamadhara kwa watu.
Zinaa ndio chimbuko la
mimba zisizotarajiwa na
zao la watoto wa mitaani,
watoto wa mitaani mara
nyingi ndio chanzo
kimojawapo cha wezi na
wahalifu.
Zinaa ni chimbuko
la maradhi kwa mfano
UKIMWI, Kaswende,
Gonorea nk. Zinaa
hujenga tabia ya mtu
kukosa soni na adabu.
Biashara ya ukahaba
imekuwa ni kichocheo
cha kuvunjika ndoa za
watu.
Kwa msingi huo kama
Bw. Sadik na mwezake
Siro watamaanisha kile
walichokizungumza na
kuonyesha kwa vitendo,
bila shaka jiji la Dar
es Salaam litakuwa jiji
la kistaarabu, tofauti
na ilivyo sasa ambapo
vitendo vya biashara
ya ngono vimekuwa
vikifanyika waziwazi
nyakati za usiku kama
vile ni biashara halali.
Tutoe tu tahadhari
kwa wahusika
kwamba, operesheni
waliyoitangaza isije kuwa
kiini macho au hadaa
za siasa wala hatutarajii
kuona operesheni hiyo
inakuwa ya nguvu ya
soda kama lilivyokuwa
zoezi la usafi lililopita.
Tunachukua fursa
hii kupongeza hatua
hizo zilitangazwa
kuzochukuliwa
na serikali katika
kupambana na uchafu
huu wa biashara ya
ngono, ambayo imeota
mizizi katika maeneo
mengi ya miji.
Kwa kufanya hivyo,
tuna hakika tutakuwa
tumenusuru maisha ya
mabinti zetu na vizazi
vijavyo. Tutakuwa
tumepunguza uchafu
unaomkera Mwenyezi
Mungu na inaweza kuwa
neema na kheri katika
jamii yetu.

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Polisi wazuiya haki ya kuzika!

Na Bakari
Mwakangwale

Uchungu umetawala hata


katika mazishi baada ya
Waislamu kunyimwa haki
ya kuwazika ndugu zao.
Maiti zilizuiwa mpaka
usiku walipotawanyika
Waislamu, ndipo zikatolewa
na kuzikwa usiku na ndugu
wachache.
Maiti haki yake
kuoshwa, kukafiniwa,
kuswaliwa na kuzikwa, hata
akiwa jambazi hapotezi haki
hii, na Uislamu unahimiza
ubora wa kuswaliwa na
kuombewa na umati wa
waumini ili mja apate
msamaha wa Allah, mbona
polisi wanatufanyia dhulma
mpaka katika ibada hii
ya mwisho binadamu
kufanyiwa kabla ya
kukutana na Mola wake?
Anahoji Mzee mmoja
kwa uchungu baada ya
kupata habari kwamba
maiti za vijana wa Kiislamu
waliodaiwa kuwa ni
majambazi zilitolewa na
kuzikwa usiku.
Mzee huyo wa jijini
Arusha alikuwa miongoni
mwa waumini walioshinda
mochwari kusubiri kibali
cha mazishi kutoka polisi
bila ya mafanikio.
Naam! Hatimaye, miili
ya vijana wa Kiislamu
waliouwawa kwa tuhuma
za ujambazi na ugaidi,
mapema wiki iliyopita,
imetolewa na kuzikwa, Jijini
Arusha na Tanga.
Chanzo chetu cha habari
kutoka Jijini Arusha,
kimeeleza kuwa awali,
Polisi ilitoa vibali kwa
marehemu wawili, ambapo
mwili wa Athuman,
ulizikwa Jijini Arusha
na mwili wa Abubakar,
ukasafirishwa kwenda
kuzikwa kwao Jijini Tanga.
Hata hivyo taarifa
zinaeleza kuwa miili hiyo,
ilitolewa majira ya saa moja
usiku baada ya Waislamu
waliosubiri kutwa nzima
ya siku hiyo (Jumanne
iliyopita) eneo la Mochwari,
walitawanyika wakiamini
kuwa huenda zoezi hilo
litafanyika siku inayofuatia.
Hata hivyo, baada
ya kutawanyika, ndipo
miili hiyo iliruhusiwa
kutolewa ambapo mwili wa
Athumani, ulikabidhiwa
kwa ndugu wachache
walikuwepo na kulazimika
kuzikwa muda huo huo,
(usiku) maeneo ya Feed
Force, Jijini Arusha.
Wakati watu wachache
wakiendelea kuuhifadhi
mwili wa Athuman, safari
ya mwili wa Abubakari,
nayo ilianza wakati huo huo
(usiku) kuelekea kwao Jijini
Tanga kwa ajili ya kuzikwa.

RPC Arusha, Diberatus Sabas.


na hali ya suala lenyewe
Baada ya siku ile
lilivyopokelewa Jijini
ya Jumanne Waislamu
hapa, kwani hata ile
kushinda mochwali
kamatakamata baada ya
wakisubiri kukabidhiwa
kufatilia nayo iliwatia woga
miili ya marehemu hao
Waislamu. Kimesema
kwa ajili ya kuizika bila
chanzo.
mafanikio walitawanyika,
Polisi, walitoa vibali,
hata hivyo, ilipofika majira
lakini kwa tahadhari kubwa
ya saa moja usiku, baadhi
na kuwakabidhi ndugu
ya ndugu waliruhusiwa
waliokuwepo kwa wakati
kwenda kuzichukua zile
huo baada ya Waislamu
maiti, Athumani pamoja na
kutawanyika kwani zoezi
Abubakar, lakini ya Katada,
hilo halikufanyika mchana
ilibaki. Kilisema chanzo
nadhani kwa sababu
hicho.
ya kudhibiti umma wa
Chanzo hicho kilisema
Kiislamu na kuibua mjadala
kwamba baada ya ndugu
juu ya kadhia hii.
hao kukabidhiwa miili
Mapema wiki iliyopita,
hiyo, taratibu za mazishi
Jeshi la Polisi, Jijini Arusha,
ya Abubakr, zilifanywa
liliripoti kuwa watu watatu
usiku huo huo na kuzikwa
wameuwawa baada ya
maeneo ya Feed Force, Jijini
kurushiana risasi na Askari
Arusha.
Polisi, ambapo vijana hao
Chanzo hicho kilieleza
walikuwa wakituhumiwa
kuwa, kwa kuwa ndugu
kwa ujambazi na
wa marehem Abubakar,
kujihushisha na masuala ya
walikuwepo hivyo
kigaidi.
waliondoka usiku huo huo
Zaidi Polisi, ilidai
kwenda kumzika kwao Jijini
kuwa vijana hao baada
Tanga, hivyo ikawa imebaki
ya kusachiwa walikutwa
maiti ya Katada, ambaye
na sare za jeshi, milipuko,
awali maiti yake ilizuiliwa
bendera yenye maandishi
kuonekana kabisa.
ya Kiarabu pamoja na soksi
Hata hivyo, An nuur,
za kuficha uso.
imeelezwa kuwa ilipofika
Hata hivyo, baada ya
usiku wa Jumapili kuamkia
taarifa
hizo, upande wa
Jumatatu, ya wiki hii, mwili
pili wa wananchi wengi
wa Katada, ulitolewa majira
wao wakiwa ni Waislamu
ya jioni kama walivyotolewa walikanusha taarifa hizo na
wenzake ambapo naye
kutoa maelezo ya kina juu
alizikwa maeneo ya Feed
ya jinsi wanavyo wafahamu
Force.
vijana hao.
Hata hivyo taarifa
Katika jumla ya maelezo
zinasema haikujulikana
yao walidai kuwa vijana
kwa haraka ni nani
hao walikuwa ni Waislamu
waliokwenda kufatilia
ambao ni waumini wa
mwili huo na kukabidhiwa
Msikiti wa Chemchem
wakijishughulisha
kwani awali hata maiti yake
na biashara ya kuuza
haikuruhusiwa kuonekana.
Machungwa, sokoni
Kwa ujumla katika
Arusha.
mazishi yote hayo kwa
Na zaidi walikuwa
hawa waliozikwa hapa
wakijitolea kuwasaidia
Arusha, Waislamu
Waislamu wenye tuhuma za
walioshiriki ni wachache
ugaidi, waliopo mahabusu
kwani suala hili la kutoa
gerezani Arusha pamoja na
miili lilifanywa kwa usiri
familia zao.
mkubwa sana kutokana

3/9/2016 2:36:30 PM

5
Bomba la gesi
sababu ya
kuvamiwa Syria
MPWA wa Rais wa zamani wa
Marekani, John F. Kennedy,
ambaye ni mwanasheria
amesema kuwa sababu
iliyoifanya Marekani ishiriki
katika kampeni za kumpindua
Rais wa Syria ni mradi wa gesi
wa Qatar.
Mwanasheria huyo, Robert
F. Kennedy Jr, ameandika
makala iliyochapishwa jana na
gazeti la Politico akisema kuwa,
Marekani ilichukua uamuzi wa
kumpindua Rais Bashar al Assad
wa Syria baada ya Rais huyo
kukataa kuunga mkono mradi
wa gesi wa serikali ya Qatar.
Mradi huo ulikusudia

HABARI ZA KIMATAIFA

Yavunja rekodi ya dunia


Maaskofu nao aibu tupu

al Assad alipotangaza kuwa


haungi mkono mradi huo ambao
ungeliiunganisha Qatar moja
kwa moja na soko la barani
Ulaya kupitia Uturuki.
Kennedy ameendelea
kuandika kwenye makala hiyo
kwamba mara baada ya serikali
ya Syria kukataa mpango
huo, ndipo Shirika la Kijasusi
la Marekani CIA lilipoanza
kuyasaidia makundi ya upinzani
ya Syria.
Tangu mwezi Machi 2011,
Marekani na washirika wake
hususan Saudi Arabia, Qatar na
Uturuki wamekuwa zikiendesha
vita kupitia waasi huko Syria.
Hadi sasa uvamizi wa
dola za kibeberu nchini Syria
umesababisha watu kati ya
270,000 hadi 470,000 kuuawa
huku nusu ya wakazi wa
nchi hiyo ya Kiarabu wakiwa
wakimbizi ndani na nchi. Irib.

MKUU wa kitengo cha Habari


na Malezi cha Chuo Kikuu
cha al Mansoura nchini Misri
amesema, kuzusha vita baina
ya Waislamu kwa kutumia fitna
ya kimadhehebu, yaani sunni
na Kishia ndilo lengo kuu la
Marekani katika njama zake za
kuwarafakanisha Waislamu.

Shirika la habari la Rasa


limemnukuu Amin Said,
akisema hayo mwishoni mwa
mkutano uliopewa jina la Nafasi
ya Vyombo vya Habari katika
Kupambana na Ugaidi, ambao
ulifanyika kwa lengo la kutafuta
njia za kupambana na njama za
Marekani za kutaka kuzusha

kujenga bomba la gesi kutoka


Qatar kupitia Saudi Arabia,
Jordan, Syria, Uturuki na
baadaye Ulaya.
Mradi huo wa dola bilioni
10 ulitangazwa mwaka 2000
na kuanzia wakati huo,
Shirika la Kijasusi la Marekani
CIA liliendelea kuufuatilia
mpango huo kwa muda wa
miaka tisa, ndipo Rais Bashar

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Uingereza ina wabunge mashoga 35


IDADI ya wabunge
wanaoingiliana kinyume na
maumbile nchini Uingereza,
imeongezeka baada ya
wabunge wengine wawili
kutangaza hadharani kuwa
wanajihusisha na vitendo hivyo
vichafu.
Gazeti la Daily Mail
limeandika kuwa wabunge
Hannah Bardell na Nia Griffith
wa Uingereza wamejitangaza
hadharani wiki hii kwamba
wanafanya maingiliano kinyume
na maumbile.
Kwa sasa Uingereza ina
jumla ya wabunge 35 mashoga
wanaoifanya nchi hiyo kuweka
rekodi ya dunia ya kuwa na
idadi kubwa zaidi ya wabunge
wanaoingiliana kinyume na
maumbile.
Mbunge wa kwanza
kujitangaza hadharani kuwa
anajihusisha na vitendo vichafu
vya liwati, alikuwa Lord Criss
Smith katika muongo wa 1980.
Mwaka 1989 Lord Smith
aliteuliwa kuwa Waziri katika
serikali ya Tony Blaire na kuwa
Waziri wa kwanza shoga katika
serikali ya nchi hiyo.
Wakati hali ya Wabunge
wa Uingereza ikiwa hivyo,
nao Maaskofu wa Marekani
wametuhumiwa kuficha ufuska
wa Makasisi wa kuwanajisi
watoto wadogo.
Maaskofu wawili wa
Marekani wamepatikana na
hatia kuwa walificha vitendo
viovu vya Makasisi wa
Kikatoliki vya kuwanajisi watoto
wadogo.
Kwa mujibu wa hukumu
iliyotolewa Jumatano ya wiki
iliyopita, mahakama moja ya
Marekani imewakuta na hatia
Maaskofu hao wawili kwa
kuficha uhalifu wa Makasisi 50
wa Kikatoliki, waliowanajisi
mamia ya watoto wadogo katika
kipindi cha miongo minne
katika jimbo la Pennsylvania.
Faili la mahakama hiyo
lenye ripoti yenye kurasa 147
linathibitisha kuwa, Maaskofu
James Hakan na Joseph
Adamack, walikuwa na habari

AN-NUUR

Mbunge shoga Wes streeting

Ukata wanukia
vikosi vya kulinda
amani Somalia

UMOJA wa Ulaya umetangaza


kuwa utapunguza misaada
yake ya kifedha kwa kikosi
cha kulinda amani cha Umoja
wa Afrika AMISOM nchini
Somalia.
Tangazo hilo la Umoja wa
Ulaya limetolewa wakati kikosi
cha AMISOM kikitaka kuwepo
ushirikiano mkubwa zaidi huko
Somalia.
Umoja wa Ulaya umesema
utapunguza asilimia 20 ya
misaada yake kwa kikosi hicho.
Rais Uhuru Kenyatta wa
Kenya, amesema kuwa tangazo
hilo la Umoja wa Ulaya
linavunja moyo kwa kutilia
maanani kwamba nchi za Afrika
zinahatarisha maisha ya askari
wao kwa ajili ya kurejesha amani
na usalama Somalia.
Askari 22,000 wa Afrika
walitumwa nchini Somalia
miaka tisa iliyopita kwa ajili ya
kurejesha amani na kukabiliana
na kundi la wapiganaji la al
Shabab.
Mfuko wa kusaidia amani
barani Afrika unaosimamiwa
wa Umoja wa Ulaya katika
kipindi cha miaka tisa iliyopita
umechangia Euro zaidi ya
bilioni moja kwa ajili ya bajeti ya
matumizi ya AMISOM.

Msikiti wachomwa moto


MBUNGE shoga Ben Howlett
za kesi nyingi za vitendo viovu
vya Makasisi vya kuwanajisiwa
watoto wadogo, lakini walificha
uovu huo ili Makasisi hao wa
Kikatoliki wasikamatwe na
polisi.
Mwanasheria Mkuu wa
Pennsylvania, Kathleen Kane,
ambaye amechapisha ripoti
hiyo amesema mwenendo
wa Maaskofu hao wawili
umehatarisha maisha ya maelfu
ya watoto na kuwapa ruhusa
wahalifu hao kuwanajisi watoto
wengi zaidi.
Mwanasheria Mkuu
wa Pennsylvania alisema
watoto hao wamenajisiwa
katika eneo ambalo lilipaswa
kuwahakikishia usalama zaidi.

MSIKITI wa kihistoria katika


eneo la Denya Kaskazini
nchini Cyprus umeripotiwa
kuchomwa moto na watu
wasiofahamika.
Rais wa Cyprus Mustafa
Akinci, amelaani vikali
shambulio hilo alilolieleza kuwa
sio la kawaida na ni kitendo
cha kibaguzi na kinachostahili
kukemewa.
Kamati ya Usimamizi ya
Msikiti huo ilieleza kuwa tukio
hilo limesababisha uharibifu
mkubwa.
Rais Akinci alisema
shambulio hilo ni kitendo kiovu
dhidi ya amani nchini Cyprus
na kutoa wito kwa kiongozi wa
Nicos Anastasiades, kufanya
kila liwezekanalo ili kuwatia
mbaroni waliofanya shambulizi
hilo.

vita vya kimadhehebu baina


ya Shia na Suni na kuzusha
mifarakano kati ya Waislamu.
Mkuu wa kitengo hicho
cha habari na malezi cha
Chuo Kikuu cha al Mansoura
aliongeza kuwa, njama mpya
za Marekani ni kuchochea moto
wa vita baina ya Mashia na

Masuni kwa jina la vita dhidi


ya ugaidi, wakati ambapo lengo
lake hasa ni kuendesha vita
dhidi ya Uislamu, kwani siasa
za Marekani na utawala wa
Kizayuni wa Israel zimesimama
juu ya msingi wa kuzusha
mifarakano ya kikaumu ndani ya
mataifa mbalimbali duniani.

Marekani yadaiwa kinara wa fitna baina ya Waislamu

ANNUUR NEW.indd 5

3/9/2016 2:36:31 PM

6
NCHI sita wanachama wa
Baraza la Ushirikiano la Ghuba
ya Uajemi (PGCC) zimekiweka
Chama cha Wanaharakati wa
Lebanon, Hizbullah, ambayo
inaendesha mapambano dhidi
ya utawala wa Kizayuni na
magaidi huko Syria katika
orodha ya magaidi.
Baraza la Ushirikiano la
Ghuba ya Uajemi Jumatano
ya wiki iliyopita liliwaweka
wanaharakati wa Hizbullah
na makundi yote yenye
mfungamano na wanaharakati
hao kwenye orodha waliyoiita
ya waungaji mkono ugaidi,
kwa lengo la kuishinikiza zaidi
wanaharakati hao, ambao wana
nafasi kubwa katika matukio
ya ndani ya Lebanon na ambao
wanaendesha mapambano
dhidi ya utawala ghasibu wa
Kizayuni na pia wakiwa na
nafasi muhimu katika kutatua
mgogoro wa Syria.
Nchi za Kusini mwa Ghuba
ya Uajemi mwaka 2013 pia
ziliwawekea vikwazo baadhi
ya wanachama wa Hizbullah
kufuatia kuweko kijeshi
Hizbullah katika mgogoro wa
Syria.
Aidha mwaka huo huo baadhi
ya nchi wanachama wa Baraza la
Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
ikiwemo Saudi Arabia, Emirates
na Bahrain ziliwataja Hizbullah
kuwa ni kundi la kigaidi.
Hata hivyo Katibu Mkuu
wa Hizbullah Sayyid Hassan
Nasrullah, amesema kuwa
lau kama wangelikaa kusubiri
mipango na mikakati ya Umoja
wa Waarabu, basi leo hii Israel
ingelikuwa iko nchini Lebanon.
Sayyid Nasrullah alisema
hayo mwishoni mwa wiki
na kubainisha kuwa, lau
wasingelikuwepo Hezbullah
basi leo hii Lebanon ingelikuwa
inatawaliwa na Israel,
kungelikuwa na makoloni
huko Lebanon na vijana wa
Kilebanoni wangelikuwa
wamejaa kwenye jela za
Wazayuni hivi sasa.
Alisisitiza kuwa, chaguo lao
kwa ajili ya kukomboa ardhi ya
Waislamu lilikuwa ni lazima na
litaendelea kuwa la lazima na
lau wangelikaa kimya, basi ardhi
yote ya Lebanon ingelikuwa
sawa na ya mashamba ya
Shaba'a yanayoendelea kukaliwa
kwa mabavu na Israel.
Alisema hapo ndipo
inapoonekana faida na
umuhimu wa kuiunga mkono
Syria kwa maslahi ya wananchi
wa Lebanon.
Wale wanaotutuhumu
kuwa muqawama wetu ni wa
kimadhehebu, wanapaswa
kujiuliza, tulipowaunga
mkono Waislamu wa Bosnia,
tuliwaunga mkono kwa kuwa
ni Mashia? Waislamu wa
Palestina, Waislamu wa Bosnia
ni Ahlusunna Waljamaa, lakini
tuliwaunga mkono.

ANNUUR NEW.indd 6

Makala

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Aibu ya Karne ya Waarabu!!!

Watoa Hidaya kwa Israel


Wadai Hizbullah ni magaidi

Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah


Vile vile amehoji akisema,
tawala za Waarabu zimefanya
nini tangu mwaka 1967 hadi leo,
je, zimeikomboa Masjidul Aqsa,
Kibla cha Kwanza cha Waislamu
kutoka katika makucha ya
Wazayuni?
Washindi wa tunzo ya
amani ya Nobel kutoka Tunisia
wamelaani hatua ya baadhi ya
nchi za Kiarabu ya kuwaweka
Hizbullah katika orodha ya
makundi ya kigaidi.
Muungano wa kitaifa wa
wafanyakazi nchini Tunisia
(UGTT), ambao ulikuwa na
mchango mkubwa katika
kupatikana amani na utulivu
wa kisiasa nchini humo baada
ya kung'olewa madarakani Rais
wa zamani Zainul Abidin Ben
Ali umesema, hatua ya Baraza la
Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
ya kuitaja Hibullah kuwa kundi
la kigaidi ni ya kisiasa yenye
lengo la kuleta mfarakano katika
eneo la Mashariki ya Kati na
katika ulimwengu wa Kiislamu.
UGTT imesema uamuzi huo
uliochukuliwa kutokana na
mashinikizo ya Saudi Arabia,
unalinda maslahi ya utawala
haramu wa Israel.
Muungano huo ulitangazwa
kuwa mshindi wa tuzo ya amani
ya Nobel mwaka 2013.
Chama cha wanasheria nchini
Tunisia pia kimekosoa uamuzi
huo wa baadhi ya nchi za
Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na
kuutaja kuwa wa kukurupuka
na uliokosa mantiki.
Nayo Algeria imepinga
kutolewa taarifa ya Mawaziri wa
Mambo ya Ndani wa Jumuiya
ya Nchi za Kiarabu dhidi ya
Harakati ya Mapambano ya
Kiislamu ya Hizbullah.

Kwa mujibu wa chombo cha


kuaminika katika Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Algeria,
nchi hiyo ilipinga vikali
kuorodheshwa kwa harakati
hiyo ya mapambano ya
Kiislamu kama kundi la kigaidi
na kuongeza kuwa, kutolewa
tuhuma zozote dhidi ya nchi
hiyo kutokana na msimamo
wake kuhusu wanaharakati
hao wa Kiislamu ni kuvunjiwa
heshima nchi hiyo na kufanyika
juhudi za kuiingiza katika
migogoro.
Baraza la Mawaziri wa
Mambo ya Ndani wa nchi
wanachama wa Arab League
jana Jumatano lilitoa taarifa
mwishoni mwa kikao chake cha
33 huko Tunis, mji mkuu wa
Tunisia ambapo liliiorodhesha
Hizbullah ya Lebanon kama
mojawapo ya makundi
ya kigaidi, jambo ambalo
limeonekana kuwa ni kinyume
na matakwa ya wananchi wa
mataifa ya Mashariki ya Kati.
Baraza hilo lilidai kuwa
mapambano ya Hizbullah dhidi
ya ugaidi wa Wazayuni wa Israel
na makundi ya Daesh ni hatari
kubwa.
Saudi Arabia na Emiratesi
zimeonekana kuwa chachu ya
kutolewa tamko hilo, jambo
ambalo limetafsiriwa kwamba ni
kuendelea kuunga mkono ugaidi
wa utawala haramu wa Israel na
makundi ya uasi kama Daesh
dhidi ya Waislamu wa eneo hilo.
Vyombo vya habari katika
uchambuzi wao wameonyesha
kuwa nchi mbili hizo za Kiarabu
zinataka kulipiza kisasi na
kuwaadhibu Hizbullah baada
ya kuleta ugumu katika nchi za
Iraq, Syria na Yemen.

Aidha imeonekana
kuwatangaza Hizbullah kuwa
ni kundi la kigaidi, ni zawadi
bora ya kuutunukia utawala wa
Kizayuni.
Mrengo wa Hizbullah ndani
ya Bunge la Lebanon umetoa
taarifa na kueleza kwamba hatua
hiyo ya nchi wanachama wa (P)
GCC ni huduma kubwa, ambayo
nchi hizo imetoa kwa utawala
wa Kizayuni baada ya miongo
saba ya kuvamiwa na kukaliwa
kwa mabavu Palestina.
Mbegu za awali za
wanaharakati wa Hizbullah
wa Lebanon zilichipua katika
muongo wa 1980 baada ya nchi
hiyo kuvamiwa na kukaliwa kwa
mabavu na jeshi la utawala wa
Kizayuni. Mnamo mwaka 1982,
jeshi la Israel lilivuka mpaka wa
Lebanon hadi ndani ya ardhi ya
nchi hiyo na kusonga mbele hadi
mji mkuu Beirut.
Kutokana na kutawanywa
vifaru vya Israel kuanzia Kusini
mwa Lebanon hadi Beirut
na kuingia askari wa jeshi la
wanamaji la Marekani na wa
nchi za Magharibi ndani ya
ardhi ya Lebanon na kuanzisha
vituo vyao mjini Beirut, hapo
ndipo Hizbullah ilipojitosa
kwenye ulingo wa kukabiliana
na hujuma za wavamizi wa
Kizayuni na waungaji mkono
wao ili kuikomboa ardhi ya
Lebanon na uvamizi huo.
Matokeo na matunda ya
miongo miwili ya mapambano
ya vikosi vya Hizbullah dhidi
ya jeshi la utawala wa Kizayuni
lililojizatiti kwa silaha za kisasa
kutoka Marekani, yalikuwa ni
kuulazimisha utawala huo urudi
nyuma kwa kuondoka mjini
Beirut na kwenda kupiga kambi
Kusini mwa Lebanon.
Hatimaye mwezi Mei
mwaka 2000, katika kipindi cha
Uwaziri Mkuu wa Ehud Barak,
jeshi la utawala wa Kizayuni
lilifungasha virago na kukimbia
kutoka Kusini mwa Lebanon
huku likikiri kuwa limeshindwa
kukabiliana na wanamapambano
wa Hizbullah. Majeshi ya Israel
yalilazimika kuondoka Lebanon
baada ya miaka 22 ya kulifunga
faili la uvamizi na kuikalia kwa
mabavu.
Mwaka 2006, Israel ilijaribu
kuvamia tena Lebanon lakini
ilikutana kwa mara nyengine
tena na upinzani wa Hizbullah
katika vita vya siku 33, ambapo
baada ya mwezi mmoja wa
kuishambulia Lebanon kwa
makombora ya angani, nchi
kavu na baharini, hatimaye
jeshi la utawala huo likatangaza
usitishaji vita wa upande
mmoja na kuacha uhasama
wa mapigano, na hivyo
kuhuisha tena kumbukumbu
ya kukombolewa Kusini
mwa Lebanon na waharakati
Hizbullah katika vita hivyo.
Hadi sasa Hizbullah ndio
imekuwa ngome ya Lebanon
hususana katika eneo la Kusini
na pia wanachama wake ni
sehemu ya Bunge la Lebanon.

3/9/2016 2:36:32 PM

Hoja ya Juma Kilaghai

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Fikra na hisia hasi kila wakati


Ni chanzo kikubwa cha maradhi
UMESHAWAHI kuweka
kinyongo moyoni?
Kinyongo ni hisia ya
kutomfurahia, kumchukia,
au kutotaka kuhusiana
na mtu kwa sababu ya
mambo yaliyokwishapita.
Kwa ujumla hii ni hisia
mbaya sana kwa sababu
hutawala akili na moyo
kwa muda mrefu. Mara
nyingi kinyongo huisha tu
pale mtu anaposhawishika
kusamehe.
Kuishi na kinyongo
ni kitendo cha hatari
sana kiafya. Ni kitendo
cha hatari kwa sababu
hupelekea mwili
kukusanya tindikali (acid)
nyingi sana ambayo
mwisho wa siku huathiri
utendaji kazi wa viungo
mbalimbali vya mwili.
Kinyongo, kama vilivyo
vitendo vingine hutumia
nishati ya mwili. Nishati ya
mwili huzalisha tindikali
na kwa kuwa kinyongo
ni kitendo ambacho ni
endelevu, basi uzalishaji
wa tindikali mwilini nao
unakuwa endelevu.
Ni vigumu kuelewa ni
kwa nini tindikali ni kitu
cha hatari sana ndani ya
miili yetu, bila kuelezea
maana na dhana japo kwa
ufupi, ya tindikali yenyewe
na kitu kingine chenye
mahusiano ya karibu na
tindikali kinachojulikana
kama alkali. Tindikali ni
kitu chochote ambacho
kinaongeza wingi wa
atomu za hewa ya
hydrogen zilizobeba
umeme chanya (hydrogen
ions) katika kimiminika
chochote. Atomu ni
kipande kidogo kuliko
vyote katika kiasili fulani
(chemical element)
ambacho hakijapoteza
tabia za kikemikali za
kiasili hicho. Alkali ni kitu
chochote kile ambacho
kikiyeyushwa kwenye maji

ANNUUR NEW.indd 7

Utumbo.

kina uwezo wa kuzalisha


atomu mbili zilizoungana
(moja ya hewa ya oxgen
na ingine ya hewa ya
hydrogen zilizobeba
umeme hasi (hydroxyl
ions). Kwa kawaida alkali
zinatumika kama vizimuo
vya tindikali.
Kipimo cha kupima
udhaifu au ukali wa
kitu kwa munasibu wa
utindikali au ualkali
wake kwa kitaalamu
kinaitwa pH. Herufi hizi
ni kifupi cha potential of
Hydrogen, ikiwa na maana
ya wingi wa hydrogen.
Mzani wa kupimia
pH ya kitu chochote
umegawanywa katika
vipimo vidogo vyenye
tarakimu kuanzia 0.00
hadi 14.00. Nambari 7.00
inawakilisha pH ya kitu
chochote kilichozimuliwa
(neutral). Tarakimu yoyote
chini ya nambari 7.00 hadi
0.00 inawakilisha utindikali
wa kitu na tarakimu
yoyote juu ya nambari 7.00
inawakilisha ualkali wa
kitu.
Kiasili miili yetu
haikuundwa kuhimili
mlundikano wa kiasi
kikubwa cha tindikali.
Ukiondoa katika mfuko wa
tumbo, sehemu nyingine
zote za miili yetu kwa asili
zinatakiwa ziwe katika hali
ya ualkali. Viwango vya pH
vinavyokubaliwa kitabibu
kuwa ni vya kawaida

ni: Damu (7.35 -7.45);


Majimaji ya uti wa mgongo
(7.30 7.50); Mate (6.50 7.50); Majimaji ya tumboni
(1.00 3.50);Majimaji ya
utumbo mwembamba (4.20
8.20); Haja Kubwa (4.60
8.40); Mkojo (4.80 8.40);
Kongosho (8.00 8.30);
Nyongo iliyozalishwa na
ini (7.10 8.50); na Nyongo
iliyohifadhiliwa kwenye
kifuko cha nyongo (5.50
7.70.
Kwa kuwa tindikali
siyo kitu cha asili kwa
miili yetu, mwili unafanya
jitihada kubwa sana
kuhakikisha kuwa tindikali
hiyo inaondoka mwilini.
Tindikali inayozalishwa
mwilini inaweza kutolewa
mwilini na mafigo na
matumbo. Hata hivyo ni
lazima kwanza tindikali
hiyo izimuliwe. Bila
kuzimuliwa tindikali hiyo
itaunguza tishu laini katika
safari yake ya kutoka nje.
Mchakato wa kuzimua
tindikali mwilini unaitwa
kukinga (buffering). Kazi
ya kukinga inafanywa
na madini (minerals)
maalum yenye tabia
ya ualkali. Mfumo wa
kwanza wa kinga dhidi ya
tindikali ndani ya mwili
ni akiba ya madini ya
alkali uliyonayo mwilini
(alkaline reserve). Kama
huna akiba hii ina maana
kwamba jivu la tindikali
kutoka katika chakula

unachokula halitazimuliwa
kwa utaratibu unaotakiwa,
na mwili wako utaishia
kuelemewa na tindikali
kiasi cha kushindwa
kufanya kazi.
Madini makuu
yanayotengeneza akiba ya
alkali mwilini ni sodium,
calcium, potassium, na
magnesium. Tunayapata
madini haya kutoka
katika mboga za majani
na matunda pekee, kwa
sababu mwili unahitaji
madini haya yakiwa katika
mfumo wa ki-organic, na
si vinginevyo. Madini haya
yakiwa katika mfumo wa
ki-inorganic hayawezi
kutumiwa na mwili. Maana
ya mfumo wa ki-organic
ni kuwa viunganishi
(chemical bond) vya viasili
(elements) mbalimbali
ikiwa ni pamoja na madini,
ni dhaifu na ni rahisi
kuvunjika na kuviacha
viasili hivyo vikiwa
huru. Maana ya mfumo
wa ki-inorganic ni kuwa
viunganishi (chemical
bond) vya viasili (elements)
mbalimbali ikiwa ni pamoja
na madini, ni imara sana
na siyo rahisi kuvunjika
na kuviacha viasili hivyo
vikiwa huru.
Viasili ambavyo
havijaachwa huru
haviwezi kutumiwa na
mwili kwa mahitaji yake
mbalimbali, na badala
yake vitausababishia mwili
msongo (stress) usio na
sababu katika harakati
za kujaribu kuvitoa nje
ya mwili. Mfano rahisi ni
chumvi ya mezani ambayo
tunaitumia kama kiungo
cha kuongeza ladha
kwenye chakula. Chumvi
ya mezani huundwa na
viasili viwili ambavyo ni
madini ya sodium na yale
ya chlorine. Kiunganishi
kati ya viasili hivi ni imara
Inaendelea Uk. 8

3/9/2016 2:36:34 PM

Makala

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Fikra na hisia hasi kila wakati


Ni chanzo kikubwa cha maradhi
Inatoka Uk. 7

sana kiasi kwamba mwili


hauna uwezo wa kukivunja
na kuviacha viasili hivyo
vikiwa huru ili vitumiwe
na mwili. Kila siku mwili
unalazimika kuondoa
kiwango cha chumvi
mwilini kinacholingana na
kile tulichokula. Tatizo ni
kwamba kabla chumvi hiyo
haijaweza kuondolewa,
mwili unalazimika kufanya
marekebisho fulani fulani.
Kumbuka kwamba
mfumo wako wa
kupambana na chumvi,
kama ilivyo mifumo
mingine ya kupambana na
vitu ambavyo havihitajiwi
na mwili, unaweza
kuzidiwa na kuelemewa.
Hali hii inapojitokeza, moja
ya njia zinazotumiwa na
mwili kudhibiti vitu hivyo
ni kuvizimua (dilute) kwa
kutumia maji yaliyoko
mwilini.
Iwapo kuna mlundikano
wa chumvi mwilini,
mwili wako utazuia maji
yasiyohitajika mwilini
yasitoke ili kufanya kazi
ya kuzimulia chumvi hiyo.
Bila kufanya hivyo mizania
ya mfyonzo (osmotic
balance) kati ya maji maji
ya ndani ya seli na nje ya
seli itapoteza uwiano na
kupelekea seli za mwili
kuathirika vibaya.
Tatizo ni kwamba
uzuiaji huu wa maji kwa
ajili ya kuzimulia chumvi
unasababisha wingi
(proportion) wa maji maji
tofauti mwilini katika
ujumla wake kuwa nje ya
uwiano sahihi, na hivyo
kusababisha mgandamizo
wa damu (blood pressure)
kuongezeka.
Dalili kwamba mwili
wako unazuia maji kwa
ajili ya kuzimulia chumvi
ni kuamka asubuhi na
kukuta macho na ncha

ANNUUR NEW.indd 8

za vidole vya mikono na


miguu vikiwa vimevimba.
Dalili nyingine ni kuangalia
wingi wa chumvi katika
jasho lako. Kiwango cha
kutoa jasho kinaongezeka
sana pale kunapokuwa na
mlundikano wa chumvi
ndani ya mwili. Jasho
linalotoka linaambatana
na chumvi na jasho hilo
linapokauka aghalabu
utando mweupe wa chumvi
unaweza kuonekana kwa
macho.
Ukiondoa kusababisha
ongezeko la mgandamizo
wa damu, chumvi pia ni
kichocheo kikubwa cha tezi
inayozalisha homonI ya
adrenali (adrenalin glands).
Adrenali inapozalishwa
na kusambazwa mwilini
tunajiona kama tuna nguvu
zaidi. Hii ina maana kuwa
chumvi inausababisha
mwili wako kufanya kazi
kwa jitihada zaidi (harder)
na kwa haraka zaidi; na
hivyo kuulazimisha mwili
wako kuzalisha tindikali
zaidi!
KUMBUKA kuwa mwili
wako hauna uwezo wa
kutumia viasili mbalimbali

vilivyoko kwenye lishe


iwapo viunganishi baina ya
viasili hivyo havijavunjwa
na kuviacha viasili hivyo
vikiwa huru. KUMBUKA
PIA kuwa mwili wako
hauna uwezo wa kuvunja
viunganishi vya kiinorganic na kwa hivyo basi
ili madini yanayotumika
kuzimulia tindikali
mwilini inayotokana
na lishe ni lazima yawe
katika mfumo wa kiorganic. Sehemu kubwa
ya madini ya sodium ya
ki-organic inayotumika
kwa ajili ya kuzimulia
tindikali inayotokana na
lishe huhifadhiwa katika
INI na MISULI yakiwa
tayari kutumika pale
yanapohitajika.
Ni lazima akiba yako ya
madini ya kuzimulia jivu la
tindikali iwe inatunishwa
mara kwa mara la sivyo
itakwisha. Iwapo akiba
hii itakwisha akili iliyoko
mwilini mwako itaielekeza
mifumo ya mwili wako
kuwasha mifumo ya
dharura ya kuzimulia
tindikali hiyo.
Iwapo mifumo hiyo

ya dharura italazimika
kufanya kazi bila kikomo,
basi utaanza kupata dalili
za magonjwa mbalimbali.
Dalili hizi ni ujumbe
unaotumwa na mwili
wako kuwa umegeuza
tairi la akiba kuwa ndiyo
gurudumu lako la kufanyia
safari zako za kila siku.
Iwapo sodium ya ki-organic
imeisha kutoka katika akiba
yako, hutadondoka na kufa
mara moja!
CALCIUM: Kuna madini
mbadala ya kuzimulia
tindikali inayolundikana
mwilini, mathalani madini
ya calcium. Mwili wako
ni chanzo kizuri sana cha
madini ya calcium kwa
sababu sehemu kubwa ya
mifupa yako inaundwa na
madini haya. Hata hivyo
tatizo la kutegemea madini
ya calcium kama kizimuo
cha tindikali mwilini ni
ukweli kwamba madini
haya yana kazi yake
maalum na tofauti kabisa
ndani ya mwili. Madini ya
calcium yanapochukuliwa
kwa ajili ya kwenda
kuzimulia tindikali
husababisha mifupa
kudhoofika. Magonjwa
mengi ya mifupa ikiwa ni
pamoja na yale ya kuwa na
meno mabovu chimbuko
lake ni hii hali. Hali hii
pia hupelekea calcium
kulundikana kwenye
damu, kitendo ambacho
husababisha damu kuwa
nzito na kuta za mishipa
ya damu kukakamaa.
Kinachofuata hapo ni
ugonjwa wa shinikizo la
damu, ugonjwa wa moyo
na hatimaye ugonjwa wa
kiharusi.
Ili kuepukana na
madhara ya tindikali ndani
ya mwili ni vizuri kula
lishe sahihi, lakini pia kuna
umuhimu wa kuachana na
tabia zinazochochea mwili
kuzalisha tindikali. Tabia
hizi ni zile zote zinazozaa
fikra na hisia hasi kama
kinyongo, hasira, gere, na
sononi.

3/9/2016 2:36:35 PM

9
MAKAMU Chancelor
wa Ujerumani Sigmar
Gabriel, amesema tajiri
Donald Trump, anayesaka
kugombea wa kiti cha rais
wa Marekani kwa tiketi ya
chama cha Republican ni
hatari kwa amani ya dunia
na maendeleo.
Katika mahojiano
na gazeti la Welt Am
Sonntag, Sigmar Gabriel,
ambaye pia ni Waziri wa
Uchumi wa Ujerumani
amemfananisha Trump
na Marine le Pen, Mkuu
wa chama cha mrengo wa
kulia cha Ufaransa FN na
Geert Wilders, kiongozi
wa chama kingine cha
mrengo wa kulia cha
Uholanzi, ambao amesema
wana misimamo mikali na
hatari kwa usalama, amani,
maelewano ya kijamii na
maendeleo ya dunia.
Matamshi ya Makamu
Chancelor huyo wa
Ujerumani ni mwendelezo
wa kauli za viongozi
wa bara Ulaya, ambao
wameeleza wasiwasi
wao kuhusu uwezekano
wa kuteuliwa Trump
kuwa mgombea urais wa
Marekani kupitia chama
cha Republican.
Hivi karibuni,
Waingereza nusu milioni
walisaini waraka unaoitaka
serikali ya nchi hiyo
kumzuia Donald Trump
kuingia nchini humo
baada ya kutoa wito wa
kuzuiwa Waislamu kuingia
Marekani.
Vilevile mwanasiasa
huyo ambaye
ameudhihirishia
ulimwengu dhamira yake
ya kibaguzi, aliwahi kutoa
mwito wa kutumiwa
mbinu za Manazi wa
Ujerumani chini ya uongozi
wa Adolph Hitler, dhidi
ya wafuasi wa dini hiyo ya
Mwenyezi Mungu nchini
Marekani.
Wiki iliyopita, Mgombea
huyo wa kiti cha rais wa
Marekani kwa tiketi ya
chama cha Republican,
alimfukuza mwanamke
mmoja mweusi wa nchi

ANNUUR NEW.indd 9

Makala

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Trump aelezwa ni hatari


kwa usalama wa dunia

Donald Trump

hiyo katika mkutano wake


wa kampeni.
Trump ambaye
anaongoza katika mbio za
kuwania tiketi ya kubeba
bendera ya Republican
katika uchaguzi ujao wa
rais nchini Marekani,
Jumatano ya wiki iliyopita
alimfukuza mwanamke
mmoja Mmarekani mwenye
asili ya Afrika katika
mkutano wake, baada ya
raia huyo kulalamika dhidi
ya siasa na matamshi ya

AN-NUUR

mwanasiasa huyo bilionea.


Trump aliwataka wafuasi
wake kumfukuzia mbali
mwanamke huyo na mara
moja mashabiki wa Trump
walimsukuma na kumtoa
nje ya eneo la mkutano kwa
mabavu.
Itakumbukwa kuwa
katika moja ya mikutano
yake ya kampeni ya kutaka
ridhaa ya Republican
kuteuliwa kugombea
Urais, Trump alimfukuza
mwanamke wa Kiislamu

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis.

katika mkutano wake wa


hadhara, kisa mwanamke
huyo kuonyesha hisia zake
kuwa anachukia ubaguzi
hasa wa kiimani.
Mkutano mwingine wa
kampeni za uchaguzi wa
Donald Trump uliofanyika
Jumatatu iliyopita katika
Chuo Kikuu cha Radford
jimboni Virginia, ambako
pia ulikabiliwa na
malalamiko na upinzani
mkubwa wa Wamarekani
wasio wazungu.
Matamshi ya kichochezi
na dharau yanayotolewa
na mwanasiasa huyo dhidi
ya Wamarekani weusi
yamezusha hasira kubwa
nchini humo.
Trumph pia aliwahi
kusema kuwa serikali
ya Marekani inatakiwa
kufunga mipaka yake
kuzuia wageni wanaoingia
nchini humo hususan wa
jamii ya Kiislamu.
Mwezi uliopita, Kiongozi
wa Kanisa Katoliki duniani
Papa Francis, alisema
kuwa mgombea urasi wa
Marekani kwa tiketi ya
chama cha Republican,
Donald Trump si Mkristo.
Matamshi hayo ya
Papa Francis yalikuwa ni
kielelezo cha wasiwasi
unaoongezeka kimataifa
kuhusu mielekeo na
mitazamo ya bilionea huyo
anayewania kiti cha Rais
wa Marekani.
Papa Francis aliwaambia
waandishi habari alipozuru
nchini Mexico kwamba,
mtu anayefikiria kujenga
kuta za kutenganisha watu
na si kujenga daraja la
kuwaunganisha si Mkristo.
Kiongozi wa Kanisa
Katoliki alitoa matamshi
hayo baada ya mwanasiasa
huyo wa Marekani
anayezusha mjadala
mkubwa kimataifa
kutokana na maoni na
mitazamo yake ya ajabu
na wakati mwingine ya
kibaguzi kusema kwamba,
iwapo atachaguliwa kuwa
Rais wa Marekani atajenga
ukuta katika mpaka wa
nchi hiyo na Mexico ili
kuzuia wahajiri kuingia
Marekani.

3/9/2016 2:36:36 PM

10

Kalamu ya Mohamed Said

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Msekwa, Mwalimu Nyerere siye muanzilishi


wa harakati za siasa Tanganyika

Na Mohamed Said
MWALIMU Nyerere alikuwa
na uwezo mkubwa sana
wa kuridhisha watu kwa
nguvu ya hoja zake (power of
persuasion). Uwezo huo ndio
uliomsaidia kupata mafanikio
makubwa katika malengo
yake ya kisiasa. Uwezo huo
unajidhihirisha katika matukio
yafuatayo:
Kwanza, ni pale alipofanikiwa
kuwaridhisha kwa nguvu ya
hoja zake, wanachama wa Asasi
ya Kijamii ya kupigania maslahi
ya wafanyakazi wa Kiafrika
katika serikali ya Kikoloni,
iliyokuwa inaitwa Tanganyika
African Association (TAA);
kuvunja chama chao hicho na
badala yake kuunda chama
kipya cha siasa cha Tanganyika
African National Union (TANU),
mwezi Julai 1954, ili kiwe ni
chombo cha kupigania uhuru wa
Tanganyika.(Pius Msekwa Raia
Mwema toleo la 446 24 Februari
2016 Siku Nyerere Alipokataa
Viatu New York)
Nimeona nianze na nukuu
hii ili msomaji aelewe nini
Mzee Msekwa amesema pale
nitakapoeleza historia ya
uhuru wa Tanganyika kama
nilivyoelezwa na wazee wangu
ambao walikuwa bega kwa bega
na Mwalimu Nyerere wakati wa
kudai uhuru wa Tanganyika.
Imekuwa sasa jambo la kawaida
sana kwa wale waliokuja kuingia
TANU baadae sana kuonyesha
dharau kwa chama cha TAA
ambacho ndicho TANU ilitokea.
Wakati mwingine dharau hii
inaweza ikampita mtu ikiwa
hana ujuzi wa kusoma katikati

ANNUUR NEW.indd 10

ya mistari.
Angalia jinsi Mzee Msekwa
alivyoileta TAA kwa wasomaji
wake. Mzee Msekwa ameiita
TAA, Asasi ya Kijamii
ya kupigania maslahi ya
wafanyakazi wa Kiafrika katika
serikali ya Kioloni, iliyokuwa
inaitwa Tanganyika African
Association (TAA) Mzee
Msekwa anaogopa kuipa TAA
haki yake kuwa kilikuwa
chama cha siasa chinichini
kwa sababu akifanya hivyo
atashindwa hapo baadae
kumvisha Mwalimu Nyerere
joho analotaka kumvisha kuwa
hapakuwapo harakati za kudai
uhuru wa Tanganyika hadi
pale alipotokea Nyerere mwaka
wa 1952. Huu msimamo wa
Mzee Msekwa ndiyo historia
iliyozoeleka na ndiyo historia
rasmi ya uhuru wa Tanganyika.
Kabla sijaieleza historia ya
TANU ningependa kusema kitu
kuhusu kauli ya Mzee Msekwa
kuwa TAA kuwa kilikuwa
chama cha, kupigania maslahi
ya wafanyakazi wa Kiafrika
katika serikali ya kikoloni.
Hii pia si kweli. Chama
cha kupigania maslahi ya
wafanyakazi wa Kiafrika
kilikuwa Tanganyika
Government Servant Association
(TAGSA) na viongozi wake
ndiyo hao hao pia walikuwa
katika TAA wengine kwa dhahir
na wengine kwa kificho. Baadhi
ya viongozi hawa ni Thomas
Marealle, Ally Sykes, Dr. Wilbert
Mwanjisi, Rashid Kawawa
kuwataja wachache. Hawa
ndiyo walikuwa wanasiasa wa
nyakazti zile.
Chama cha TAA kilikuwa
kikifanya mambo mtambuka,
kikishughulika na kila ovu
lililomgusa Mwafrika wa
Tanganyika awe mkulima
wa Meru au mfanyakazi wa
serikalini.
Vuguvugu la siasa Tanganyika
lilikuja na sura na mwelekeo
mpya mwaka wa 1950 palitokea
mapinduzi Makao Makuu
ya TAA New Street baada
ya kuona kuwa viongozi
waliokuwapo madarakani wengi
wao wakiwa watu wazima
hawakuwa wanakwenda na kazi
ya mabadiliko ya siasa kama
ilivyokuwa dunia nzima kwa
makoloni yote ya Muingereza
wananchi kuanzisha vuguvugu
la kutaka kujitawala. Waingereza
walikuwa wanashughulishwa
na wazalendo India na Gahana
kudai nchi zao. Hapa ndipo

Tanganyika nayo ikajiingiza


katika vuguvugu lile la kudai
uhuru. Hii katika TAA ya
mwaka wa 1950 haikuwa fikra
ya Mwalimu Nyerere kwani
wakati huo hakuna aliyekuwa
anamjua katika harakati za siasa
za kizalendo pale New Street.
Hamza Kibwana Mwapachu
na Abdulwahid Kleist Sykes
wakisaidiwa na Schneider
Abdillah Plantan waliutia heka
heka uongozi uliokuwapo hadi
kufikia kuitishwa uchaguzi
na Mwalimu Thomas Saudt
Plantan aliyekuwa rais na
Clement Mohamed Mtamila
aliyekuwa katibu kuondoshwa
madarakani. Dr. Vedasto
Kyaruzi akachaguliwa kuwa
rais na Abdul Sykes katibu.
Uchaguzi huu ulifanyika
Ukumbi wa Arnautoglo. Juhudi
hizi zote zilifanywa ili uingie
uongozi mpya wa vijana wenye
fikra mpya ili uweze kupambana
na Waingereza watoe uhuru.
Mwalimu Nyerere hakuwapo
katika harakati hizi.
Sasa tuangalie uongozi huu
mpya wa TAA ulifanya nini
kuleta matumaini mapya kwa
Watanganyika.
Hapa ndipo anapoingia Abdul
Sykes katika kuunda TANU.
Historia ya TANU ukipenda
unaweza ukaianzia hapa 1950
na Abdul Sykes na wenzake
aliokuwanao katika uongozi
wa TAA mashuhuri akiwa
Hamza Mwapachu. Ukipenda
unaweza ukaenda nyuma pia
hadi mwaka wa 1929 kwa baba
yake Kleist Sykes alipoasisi
African Association, Kleist
akiwa katibu. Mtoto na baba
yake wote wameacha nyaraka
zinazoweza kueleza historia ya
siasa Tanganyika kuanzia miaka
ya mwanzo ya karne ya ishirini.
Ikiwa utaanza kuitafiti TANU
kuanzia mwaka wa 1929,
utaikuta katika nyaraka hizo
barua aliyoaandika Kleist Sykes
mwaka wa 1933 kumwandikia
Mzee bin Sudi aliyekuwa rais wa
chama wakati huo, akimwambia
kuwa wao wameanzisha hili
jambo na hao watakaokuja
baadae watalikamilisha. Barua
hii inatokana na sintofahau
iliyotokea katika African
Association kati ya Kleist na
Erika Fiah kiasi kupelekea Kleist
kujiuzulu uongozi. Chama
kilidorora na Mzee bin Sudi
akamwandikia barua Klesit ya
kumuomba arejeshe roho nyuma
arudi kwenye chama. Ndipo
Kleist alipomwandikia Mzee

MWALIMU Julius K. Nyerere.


bin Sudi barua hiyo. Barua hii
Kleist aliindika kwa kutanguliza
maneno haya: Kwa Jina la
Mwenyezi Mungu Mwingi wa
Rehema
Jambo alilokuwa
analizungumza Kleist ilikuwa
ni kuwaunganisha Waafrika
kudai nchi yao kutoka ukoloni
wa Waingereza. Kwa mukhtasari
huu ndiyo utangulizi wa historia
ya uhuru wa Tanganyika
na kuanzishwa kwa TANU.
Inawezekana sana kuwa Mzee
Msekwa hakuwa anaijua historia
hii ya TANU kwa undani
wake na ndiyo maana akawa
kanasa katika mtego wa TANU
ilianzishwa na Nyerere mwaka
wa 1954. Hili jambo la kuasisi
TANU halikuhitaji, power
of persuasion, ya Mwalimu
Nyerere mwaka wa 1954 kama
alivyoeleza Mzee Msekwa.
Mwaka wa 1950 TAA
iliwasilisha kwenye
Constitutional Development
Committee ya Gavana Edward
Twining mapendekezo yake
Tanganyika itawaliwe vipi
na kubwa walilotaka TAA ni
kuwe na uchaguzi kuwachagua
wajumbe kwenye Baraza la
Kutunga Sheria (Legislative
Council) na baada ya muda
Tanganyika ipewe uhuru wake.
Sera ya TAA ilikuwa Mtu
Mmoja Kura Moja. Kazi hii ya
kutengeneza mapendekezo haya
ilifanywa na TAA Political Sub
Committee (Kamati Ndogo ya
Siasa katika TAA) iliyoundwa na
uongozi mpya wa Dr. Kyaruzi
na Abdul Sykes.
Katika wajumbe wa kamati
hii alikuwepo Sheikh Hassan
bin Amir kama Mufti wa
Tanganyika, Hamza Mwapachu,
Said Chaurembo, Steven
Inaendelea Uk. 15

3/9/2016 2:36:36 PM

11

Makala
Na Omar Msangi

JAALIYA umeingia jijini


Mwanza jamaa yako mmoja
katika wanaotambulika
kama wanaharakati
wakubwa, mwana Dawah,
anakukaribisha katika Itiqaf/
Darsa Duara, iwe nyumbani
kwake au msikitini. Ghafla
pazia linafunguka wanaingia
jamaa watano wamefunika
nyuso zao, wakiwa
wameshikilia majambia au
AK-47!
Hawa daraja yao ni ya juu
sana. Ingekuwa Freemasons,
hawa ni daraja ya 33. Kwa leo
hatutawaona watatusalimia
tu, ila muhimu kwetu ni
kwamba sote tunatakiwa
kufikia daraja walipo wenzetu
hawa. Tusibakie katika
madrasa, mihadhara, shule na
vyuo vikuu. Hayo ni mambo
ya kutuchelewesha. Hii ndiyo
njia sahihi. Silaha na Qital.
Anasema mwenyeji
wenu akiwatambulisha
wageni waliokuja wakiwa
wamefunika nyuso, majambia
mkononi, baadhi yao labda
wakiwa na AK-47. Nimesema
jaaliya. Sijasema kuna tukio
kama hilo.
Wapo vijana wa KiislamuDritan (Tony), Shain na
Eljvir, baba yao akiitwa Firik
Duka, raia wa Marekani
wenye asili ya Albania. Hivi
sasa vijana hao wanatumikia
kifungo cha maisha katika
magereza zinazosifika kwa
mateso kuliko jela zote
nchini Marekani. Shain
akiwa- high-security facility
in Kentucky huku Eljvir na
Tony wapo katika gereza
la ADX Supermax prison,
Florence, Colorado. Hiyo
ADX Supermax prison, ni jela
wanakofungwa majambazi,
wauwaji na wahalifu wengine
hatari.
Watu wengi wameandika
wakiwatetea vijana hao
kuwa hawana hatia bali
wamebambikiwa kesi.
Na wengi walioandika si
Waislamu. Ufupi wa maneno
vijana hao walitegeshwa
jambo wakakamatishwa.
Kwa vile vijana waliohusika
walikuwa watatu na watu
wengine wawili, wakitumiwa
na FBI, kesi hiyo ikawa
mashuhuri kwa jina la Fort
Dix Five. Muhimu hapa
ni kuwa lilikuwa jambo la
kupanga, likipangwa na
FBI, lakini kwa hukumu
waliyopewa vijana hao wa
Kiislamu, kwa ugaidi huo wa
kupangwa na serikali (stateorchestrated terrorism plot),

ANNUUR NEW.indd 11

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Itiqaf ya AK-47!
Jela maisha ongeza miaka 30
Somo kutoka Duka Brothers

DRITAN (Tony), Shain na Eljvir.


watafia jela. Umri utaisha
walipinga wazo la kuvamia
hawajamaliza kifungo, labda
kambi ya kijeshi ya Fort
utokee msamaha. Yawezekana Dix military base kama ni
walivyo jamaa hawa,
namna moja wapo ya kulipiza
wakazuiya maiti kuchukuliwa kisasi dhidi ya wanajeshi
na ndugu kwa mazishi
wa Marekani wanaouwa
mpaka marehemu wamalize Waislamu, lakini ilitokea siku
kutumikia kifungo. (Tazama:
moja wenzao wale wakaja
Christie's Conspiracy: The
na mpango wa kununua
Real Story Behind the Fort
silaha. Walipofika kwa
Dix Five Terror Plot).
muuzaji, muuzaji mwenyewe
Ilikuwa hivi: Walijitokeza
alikuwa na orodha ndefu ya
watu watatu, Mahmoud
silaha zikiwemo AK-47 na
Omar, Mohamad Shnewer
mabomu pamoja na ramani
na Besnik Bakalli, Waislamu
ya kambi ya jeshi- Fort
wenzao wakijifanya kuwa
Dix military base. Kasha
wana uchungu sana na
(box) linafunguliwa, vijana
dini. Lakini zaidi wana
wanashangaa kuona lundo
uchungu sana na mauwaji
la AK-47 na mabomu. Hapo
yanayofanywa na askari wa
hapo FBI nao wakafika,
Marekani dhidi ya Waislamu
wakakamatwa. Wakati
kule Mashariki ya Kati. Kila
wenzao waliingia mlango
wakati, ikawa mazungumzo
wa mbele wa kituo cha
yao ni hayo huku wakijaribu
polisi wakatokea mlango
kuwauliza vijana wale
wa nyuma, wao hivi sasa
maswali ya kutegesha, ili
wapo katika jela ya mateso
majibu yao yaseme jambo
wakitumikia kifungo cha
fulani walilolitaka. Wakati
maisha jumlisha miaka 30.
mwingine wanawashawishi
Maana katika hukumu Jaji
kwenda pikiniki porini
Robert B. Kugler aliona
na huko hufanya michezo
kifungo cha maisha hakitoshi
kadhaa ikiwemo ya kulenga
akasema jela maisha na miaka
shabaha huku kila mmoja
30 zaidi (life in prison, plus 30
anapopatia hupiga takbiir.
years).
Hali hiyo ikaenda mpaka
Japo baadae siri nyingi
mwishowe wakaja na agenda
zimefichuka zikitaja mpaka
ya kulipua kambi ya jeshi,
kiasi cha pesa walizolipwa
jambo ambalo vijana hao
marafiki wale waliotumiwa na
walipinga kabisa. Lakini
FBI, lakini bado vijana wale
kwa bahati mbaya vijana
hawajafanikiwa kukata rufaa
wale kwa jinsi walivyokuwa
na kuachiwa.
wamewaamini marafiki
Matukio kama haya
zao na wanaharakati wale,
kwa Marekani ni mengi
haikuwapitikia kuwa
sana. Wanasheria wengi
wanaweza kuwa wametumwa wameandika wakisema
kazi na FBI wawapandikizie
kuwa matukio mengi
uhalifu. Kwa hiyo, japo
yanayodaiwa kuwa ni ya

ugaidi, ni mitego ya FBI


ambapo watu hutumiwa,
wakapewa pesa, silaha
na kuwezeshwa kufanya
uhalifu fulani. Mtindo huu
wa entrapment (program of
state-orchestrated terrorism
plots) umelaniwa sana, lakini
serikali ya Marekani inajitetea
ikisema kuwa hiyo ni moja
ya mbinu za kupambana na
ugaidi. Hoja yao ni kuwa
kama utamtegeshea mtu
kwa kumtumia Muislamu
mwenzake, asiye gaidi,
akamshawishi kufanya
kitendo cha ugaidi,
ukamshawishi kuwa na
silaha (bunduki/jambia)
la kuwauliwa watu wasio
Waislamu (makafiri)
akakubali, ni wazi kuwa mtu
huyo ni potential gaidi la
baadae. Ana mwelekeo wa
kuwa gaidi huko mbeleni.
Kwa hiyo bora umuwahi
kwa mtego na tukio la
kupanga kabla hajaangukia
kwenye mikono ya magaidi
halisi. Mara kadhaa vyombo
vya dola na usalama vya
Marekani, vimenukuliwa
vikitoa maelekezo kuwa nchi
washirika nao wahimizwe
kutumia mbinu hii (program
of state-orchestrated terrorism
plots). Na sisi Tanzania, ni
washirika katika vita dhidi
ya ugaidi. Ndio maana
tulikuwa miongoni mwa nchi
za kwanza duniani kuweka
Sheria ya Ugaidi baada ya
Washington kupitisha- The
USA PATRIOT Act 2001
(Uniting and Strengthening
America by Providing
Appropriate Tools Required
to Intercept and Obstruct
Terrorism).
Kwa muktadha huu,
ukikutana na kisa kama hiki
cha kufikirika nilichoeleza cha
mwanaharakati wa Mwanza
na Itiqaf ya Majambia, hapo
uwezekano ni wa namna
moja tu. Hakuna zaidi.
Jamaa na rafiki yako huyo
mwanaharakati, anacheza
mchezo aliocheza Besnik
kuwachezea Duka Brothers
akitumwa na FBI. Katika kesi
ya Fort Dix Five inaelezwa
kuwa FBI walimlipa
Mahmoud Omar jumla ya
Dola $238,000 kufanikisha
zoezi hilo huku Besnik
Bakalli, akilipwa Dola $1,500
kwa wiki kwa siku zote
alizokuwa akishiriki. Na huyu
Bakalli ndiye aliyefanikisha
zoezi la kuwakamatisha
silaha vijana wale na alifanya
kazi hiyo kwa wepesi kwa
sababu alikuwa Mualibania
Inaendelea Uk. 14

3/9/2016 2:36:39 PM

12

BIN RIJAL

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Miti na Maisha Yetu-6

PEPETA ni kitu gani


hichi? Nilikuta mahali
watu wanakula, kwa
kuutazama nikaona
kama una utofauti na
mchele wa kawaida.
Nikauliza huu ni mchele
wa aina gani? Wakanijibu
unaitwa Pepeta.
Unatokana na mpunga
ambao haujakomaa.
Kinachofanyika mchele
huo ambao haujakomaa
unavunwa halafu
unaanikwa ili ukauke.
Ukishakauka unapigwa
au kukobolewa kwa
kupelekwa mashine ndio
unatoka. Zamani kwa
watu wa visiwani akirudi
mtu kutoka Pemba kama
hajakuletea Pepeta au Tosi
itakujia shaka kama kweli
huyo ametokea Pemba
kweli.
Umambo leo
umetupotezea vyakula
tulivyokuwa tukivila na
kuvipenda. Ukenda mbali
zaidi hata utakuta na
misamiati na istilahi nazo
zinapotea. Togwa, Manda,
Mseto n.k. vilikuwa
vyakula tuvipendao na
vilikuwa ni sehemu ya
maakulati na manywaji ya
Mswahili. Bahati mbaya leo
hata ukitaja neno Togwa
kijana atafika kukuuliza
ndio nini hicho?
Mpunga, mchele,
wali, labda tutaweza
kutafautisha haya maneno
ambayo utayaona yana
maana sawa, lakini
ukizama utaona yana
maana tofauti kwenye kitu
kimoja. Mpunga ni mti,
unatoa mchele, mapishi
yake ni wali. Wali ni malaji
ambayo hayataki mwenza
unaweza ukaula mtupu
na unaweza ukala hata na

ANNUUR NEW.indd 12

Mpunga ulioshamiri

sukari na bado ukajisikia,


kinyume na muhogo
na dona. Vyakula hivyo
vikikosa kitoweo au mboga
huwa ni vizito kuvila na
kujisikia.
Mpunga kwa jina la
kitaalamu huitwa Oryza
sativa, ambao umo kwenye
familia ijulikanayo Poacea.
Kuna makundi makuu
mawili ya mpunga nayo
hujulikana kama japonica
au sinica na indica aina
mbili hizi hutafautishwa na
ukubwa wake.
Haitokei kwa siku katika
nchi za bara la Asia na
Afrika jikoni kusiandaliwe
wali au kama mswahili
apendavyo kuita mpwago,
na mswahili kwa namna
anavyopenda mpwago
huita kwa kila jina.
Utamsikia ndege haruki,
wa Alii, hataki mshirika,
ananitoa machozi, mpunga
na kila aina ya majina na
utakuta anausifia hasa kwa
yale mapishi yawe wali wa
nazi, pilau, biriani, wali
wa maji kwa chukuchuku
na kila mapishi, utamsikia
mtu anamuuliza
mwenzake Wewe
umepatapo kula wali wa
maua? Anapokosa jawabu
huja na lawama kuwa
hujalapo wali, kisha atazidi
kumzonga na kumwambia
ikiwa hujala wali wa
maua jee utaujuaje wali wa

AN-NUUR

Fruiting head of Oryza


saliva

asumini?
Kila lugha huita mpunga
kwa jina lake, hebu
tuangalie lugha mbalimbali
waitavyo, Waswahili
huita mpunga, urzu kwa
Kiarabu, Kicomoro maele,
Wajarumani huita reis,
Wataliani riso, Wajapani
ine au sakih, Wamalay
huita bras au padi, Wareno
arroz, Waviatnam huita lua
nep au lua, Wahaiti diri,
Afrikana rys, Chichewa
mpunga, Hausa huitwa
shinkafe, Waigbo huita
osikapa, Sesotho raease,
Wasomali barris, Wazulu
irayisi, Wafarsi barnj,
Waturuki pirinc, Wafaransa
riz n.k.
Mpunga asili yake ni
bara la Asia na unamea
vizuri katika sehemu za
Kusini na Kusini Mashariki
ya bara hilo la Asia. Ndio
utaona kuwa wakazi wa
bara hilo wanapendelea
kula wali kuliko chakula
chengine chochote
kile. Mfano wakazi wa
Indonesia milo yao mitatu
yote ile hula wali, kuanzia
chai ya asubuhi, chakula
cha mchana na chakula cha
usiku.
Wataalamu wa mambo
ya kale wanatufahamisha
kuwa mpunga ulianza
kuonekana katika mto
Yangtze Kusini mwa nchi

ya Uchina kama miaka


6,000 kabla ya kuzaliwa
Mtume Issa AS. Ilipofika
karne ya 17 kwenye miaka
ya 1800 ndio zao hili likawa
ni moja ya zao muhimu
kwa nchi ya Marekani ya
Kaskazini.
Aghlabu mpunga hufikia
urefu wa mita moja na
katika maeneo yenye maji
mengi hukuwa kufikia
urefu wa mita 5. Mpunga
hutegemea mbegu kwa
kupandwa na sasa kuna
njia ya kitaalamu ambayo
mpunga wake huzaa hata
mara tatu kuliko mbegu
za asili, lakini mbegu hizo
ushavuna huwezi kupanda
tena zinaitwa Genetic
modified organism (GMO).
Nchi nyingi za bara la
Afrika wazigomea mbegu
za GMO na kuendelea
kutumia mbegu za kiasili
au tuzite za kienyeji.
Mpunga ni chakula
chenye vitamin na
kilichokuwa na uwanga
wa kutosha lakini kuna
nchi ambazo mbali ya
kuwa mpunga huwa
mwisho kwenye chungu
ni wali, lakini kuna ambao
hutengeneza pombe
kutokana na makapi ya
mpunga.
Nchi zinazoongoza
uzalishaji wa mchele
duniani ni China ikiwa
inazalisha metric tani 20
205.463, India 155.682,
Indonesia 70.593, Vietnam
44.503, Thailand 37.254,
Bangladesh 34.683, Burma
34.250, Philippines 19.832,
Brazil 14.682, Japan 11,573,
Pakistan huzalisha metric
ton 9,935.
Waigizaji wakubwa wa
mchele duniani anachukua
namba moja ni nchi ya
China ikifwatiwa na
nchi ya India, Indonesia,
Bangladesh, Vietnam,
Philippines, Thailand,
Myanmar, nchi ya Japani,
nchi ya Brazil hula wali
pamoja na maharagwe na
mhogo kwa wakati mmoja
na katika bara la Afrika
nchi inayoongoza katika
kuagizia mchele ni nchi ya
Nigeria ambayo huagizia
kwa kutumia bilioni za
Naira.

3/9/2016 2:36:40 PM

13

Habari/Tangazo

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Wanafunzi tumieni mitandao kujisome


Na Azza Ally Ahmed

WANAFUNZI wametakiwa
kutumia vizuri na kwa usahihi
mitandao ya kijamii ukiwemo
ule wa`Internet` katika
kujisomea ili waweze kupata
faida chanya kupitia mitandao
hiyo.
Wito huo umetolewa na Bw.
Ismal, ambaye ni mwalimu wa
shule ya Sekondari ya Kiislamu
Kiblatain, iliyoko eneo la Kawe
jijini Dar es salaam wiki hii.
Mwalimu huyo alisema kuwa
utandawazi umeisogeza dunia
kuwa kama jiji na kurahisisha
mawasiliano na ukusanyaji wa
data na ufundishaji wa masomo
kuwa mwepesi.
Alisema kuwa teknolojia hiyo
ya elimu kwa njia ya mtandao
pia inaweza kutumiwa na
wanafunzi kupata faida kubwa
katika kuitafuta elimu kwa njia
rahisi, salama na kwa gharama
nafuu.
Hata hivyo mwalimu huyo
alisema kuwa ili kukabiliana na
tatizo la wanafunzi kupoteza
muda na fedha zao kutumia
vibaya mitandao hiyo, kuna haja
ya kutoa elimu ya matumizi
sahihi ya mitandao pamoja na
kubainisha athari au madhara ya
matumizi mabaya katika maisha

yao.
Wanafunzi wengi nchini
wamekuwa wakitumia vibaya
huduma ya `internet`, kiasi
cha kuwafanya waathirike
kimaadili na kifikra, jambo
ambalo limekuwa linagharimu
mustakabali wa maisha yao na
familia zao kwa ujumla.
Mwalimu huyo alisema
kuwa yeye ni mfano wa watu
waliofaidika sana na nyenzo za
mawasiliano za mitandao, hasa
katika ukusanyaji wa nyaraka
mbalimbali za rejea za masomo
na maelekezo ya namna ya
kufundisha kwa mbinu mpya za
kisasa.
Naye mwanafunzi wa shule
hiyo Ahmed Sabri, amewataka
wanafunzi wenzake kuitumia
fursa ya matumizi ya mitandao
vizuri, ili iweze kuleta faida
katika suala zima la elimu.
Mwanafunzi huyo amewataka
wanafunzi wenzake wenye
tabia za kutumia mitandao
hiyo kwa matumizi ambayo
sio sahihi, kubadili fikra na
kutumia nyenzo hiyo huria ya
mawasiliano katika masuala ya
kielimu na kuacha mara moja
kudurusu mitandao kwa ajili

BAADHI ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kambangwa ya jijini


Dar es Salaam wakifundishwa utumiaji wa Kompyuta na mwalimu
wao.
ya kujifurahisha na kustarehe
kusikokuwa na faida kwao,
kwani kufanya hivyo ni kwenda
kinyume na sheria ya mitandao
iliyoanzishwa hapa nchini
mwaka jana.
Baadhi ya wanafunzi
wanatumia vibaya mitandao
hiyo kwa kucheza `game`

na kuangalia picha za
mapenzi, kutumiana maoni
ya juu ya wasanii nk. Mambo
ambayo hayana maadili na
yanayowasababishia wanafunzi
kutokufuatilia masomo yao
inavyotakiwa alisema Ahmed
Sabri.

SEMINA YA WASIMAMIZI WA MAADILI KATIKA SHULE ZA KIISLAMU

Je, Unajua kuwa dunia sasa imeelemewa na mgogoro


2. Namna ya kumjenga
wa maadili? Je, Unafahamu kuwa watakaoshinda si
mtoto wa kike
wenye elimu pekee bali wenye elimu na maadili mema?
3. Namna ya kumjenga
Je, umewaona vijana waliopata A za masomo lakini
Mtoto wa Kiume
wakapata F za maadili walivyo kwa sasa?
4. Changamoto za
kizazi (Generation X)
Kituo cha Malezi ya Nafsi Tanzania (Tanzania Cultural
5. Sheria
Reprogramming Centre) ni Kituo chenye lengo la
zinazosimamia Malezi na
kujenga na kusimamia maadili ya vijana mashuleni,
Changamoto za walezi wa
vyuoni na makazini. Kituo kitaendesha semina ya
vijana
malezi ya vijana mashuleni siku za tarehe 27/3 na
6. Mfumo wa malezi
28/3/2016.
wa WENAP kama jawabu
Mahali ni Kituoni Cha malezi ya Nafsi Kisarawe, km
la uharibifu wa kimtandao
10 tu kutoka Gongo la mboto. Kufika pakia daladala za
Kisarawe zinazopatikana kituoni Gongolamboto.
Walengwa wa semina:
1. Walimu walezi wa mabinti na wavulana katika
Mada zitakazowasilishwa:
mashule (Patrons/Matrons)
1. Changamoto za malezi ya vijana barobaro
2. Wazazi wenye kujali hali ya mmomonyoko wa
maadili kwa vijana mashuleni.

KUMBUKA: ELIMU + MAADILI = MTU KAMILI



ELIMU BILA MAADILI = BOMU
Washiriki watatakiwa wafike Tarehe 27/3 kabla ya
saa 2:00 asubuhi na kuondoka tarehe 28 saa kumi
jioni. Mchango wa huduma za malazi, maji, umeme na
chakula ni shs Tshs 100,000 tu kwa kila mshiriki.
Usajili unaanza terehe ya tangazo hili na utafungwa
tarehe 20/3/2016. Kujisajili wasiliana na Kakawasapoti
kwa simu nambari 0767291081 au jaza fomu
zinazopatikana TAMPRO DSM

ANNUUR NEW.indd 13

3/9/2016 2:36:42 PM

14

MAKALA/MASHAIRI

UADILIFU WA DPP !

"KATIBA SHERIA-MAMA", kauli-mbiu si ngeni,


Kuinena lelemama, kuitenda 'uhaini',
Kwa HAKI kutosimama, MAMA huyu yu rehani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Itiqaf ya AK-47!

Yu rehani wetu MAMA, mnadiwa kaulini,


Yavunjwa yake heshima, vitendoni bila soni,
Yake chini taadhima, kwa hawaa ya insani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
Adogoshwa huyu MAMA, si batini hadharani,
DPP 'muadhama', yu JUU MAMA yu CHINI,
Yapuuzwa yake dhima, na 'WANA' wa mwake
ndani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki adhima, si ngeni i katibani,
Kutoitoa jarima, mtenziwe hatiani,
Yu awe sawa yu mwema, au muwi yu 'haini',
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki daima, ya 'mtovu' sheriani,
Kwa yeyote kuizima, hachomoki hatiani,
Kwa kuauni DHULUMA, yu DHALIMU
orodhani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki ya zama, jana, leo na zamani,
KWANINI sasa YAKWAMA, kwa MASHEKHE
KULIKONI,
Beti sita kaditama, MAHABUSU HADI LINI,
U WAPI UADILIFU, WA DPP KWA HILI ?
ABUU NYAMKOMOGI

Shura ya Maimamu
Kamati ya Maafa
Kamati ya Maafa ya Shura ya
Maimamu, inatoa wito kwa Waislamu
kuchangia huduma za malazi kwa
Masheikh Farid Had, Mselem Ally
na Waislamu wengine waliopo katika
gereza la Segerea Jijini Dar es
Salaam, kwa tuhuma za Ugaidi.
Hakika kwa kila atakae toa atakuwa
amejiwekea akiba isiyo oza, mbele
ya Mwenyezi Mungu.
Unaweza kuchangia kupitia Namba
zifuatazo:0655, 0767, 0789, 0774/ 74 52 88.
Katibu Ustadhi Ally Mbaruku.

ANNUUR NEW.indd 14

Inatoka Uk. 11

mwenzao. Akina

Mahmoud walikuwa
Waislamu kutoka Misri.
Wakati polisi
na Task Force zao
wakiendelea kukamata
vijana wa Kiislamu
mitaani kwa tuhuma
za ugaidi, huku
waliokamatwa awali,
ni miaka sasa hali zao
ikiwa hazijulikani,
utashangaa kwamba
bado wapo watu wenye
ujasiri wa kupita huku
na kule kulani njia,
wanazodai kuwa ni
za kutuchelewesha.
Wanataka na kuhimiza
qitali cha IS na akina
Jihad John. Sasa iwapo
utaona kuwa labda
hiyo ni kutokana na
Imani yao thabiti.
Kwamba hao ndio
akina Abu Bakr alBaghdadi Al Quraishiy,
wewe itabidi ujilaumu
mwenyewe kwa ujinga
wako. Na hiyo ni iwe
kwa kutumia vigezo
vya Aya na Hadithi
(Uislamu) au akili tu ya
kawaida.
Yupo Wakili mmoja
katika mawakili walio
wahi kuchukua kesi
za Waislamu anasema
wakati akiwa katika
kituo kimoja cha polisi
walifika watu wakitaka
msaada kwa jamaa
yao mmoja ambaye ni
polisi kituoni hapo.
Katika mazungumzo
yao, wakili yule
akiwasikia kwa
mbali bila kuonyesha
kuwa anasikiliza
kinachozungumzwa,
Polisi aliwauliza, hao
watu ni Waislamu
au. Jamaa wakajibu
hapana sio Waislamu.
Ingekuwa Waislamu
tungewapachika kesi ya
ugaidi. Alisema Polisi
yule.

Kisa hiki nilielezwa


muda kidogo, lakini
hakikunishughulisha
sana kwa kufuata
ushauri wa jamaa
yangu mmoja kwamba
ukifikiria sana mambo
ya kutia uchungu,
utashindwa hata
kupanga kufanya
jambo la manufaa
kujikwamua hapo
ulipo. Akili itachoshwa
na machungu
utashindwa hata
kufikiri katika namna
ya kukusaidia. Lakini
hebu fikiria tukio
kama lile la Waislamu
kuvamiwa Msikitini
wakiwa katika Aqidi.
Wanasubiri Walii atoe
idhini ndoa ifungwe.
Ghafla wanavamiwa
na polisi wakidhaniwa
kuwa ni majambazi na
magaidi, wanapigwa
ovyo. Yale yale ya
Marekani kuuwa
watoto wa Madrasa
kule Afghanistan
na Pakistan kwa
kutumia Drone
ikidai kuwa ilikuwa
ikipiga gaidi. Hali
kama hizi, machungu
kwa Muislamu
yataondokaje?
Yapo mafundisho
katika Uislamu
yanayosema kuwa
mnafiki atakuwa katika
tabaka la chini kabisa
katika Jahannamu.
Hebu wafikirie wale
vijana wa Kiislamu
wanaoteseka katika
gereza la ADX
Supermax prison,
Florence, Colorado.
Kwa ushahidi
mbalimbali, vijana wale
hawakuwa kabisa na
mawazo ya kufanya
jambo lolote ambalo
laweza kuitwa kuwa
ni la kigaidi, ndani au
nje ya Marekani. Lakini
waliojifanya kuwa ni

wanaharakati, wasio
taka kucheleweshwa,
wanaojidai kuwa
wanaharaka ya
kusimamisha Dola,
kumbe wanatumiwa
na FBI, wakawatosa
kupitia Itiqaf za
Majambia.
Kama mtu mwenye
sifa fulani ametajwa
katika Quran kuwa
huyo mahali pake ni
katika tabaka la chini
kabisa la Jahannam,
hapana shaka huyo
ni katika maadui
wakubwa wa Uislamu
na Waislamu. Ila
tu la kufahamu ni
kuwa Mtume (s.a.w)
hakuwahi kushika
silaha kupambana
na wanafiki.
Kinachotakiwa ni
kuwafahamu na kujua
namna ya kuwaepuka,
muepuko mwema.
Ila tusiache kutafuta
namna ya kuwanasihi
kwa sababu kuna
wengi wao wanafanya
kazi hiyo, bila kulipwa
hata senti moja.
Bali hutumiwa au
kujifanyia mambo kwa
ujinga wao tu wenyewe
wa Dini na Dawah
yake pamoja na ujinga
wa kuijua dunia ya leo.
Katika hili tujue
kuwa, makafiri
wanapanga ugaidi feki
na kuunda magaidi
feki kama hao IS, Boko
Haram, Al Qaida, ili
ipatikane sababu ya
kuhujumu Waislamu.
Lakini ili njama zao
zifanikiwe vizuri,
ni lazima wawepo
watu wa kuonyesha
kuwa kitisho cha
ugaidi ni cha kweli.
Ndio unawaona
wakihangaika
kuwatumia wenzetu
kuandaa itiqaf za
majambia na program
kama zile za Ijumaa
na darsa za Firdous
kuwanasa vijana wa
Kiislamu.

3/9/2016 2:36:43 PM

15

Makala

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Msekwa, Mwalimu Nyerere siye muanzilishi


Msikiti Mkuu Ukerewe
wa harakati za siasa Tanganyika

Kutoka Mimbarini
WAISLAMU nchini
wametakiwa kuwa
mstari wa mbele
katika kuziimarisha
nyumba za Allah
(S.W.) kiibada na
kimazingira.
Wito huo umetolewa
Ijumaa iliyopita na
Sheikh Anas Ismail
Feruzi alipokuwa
akiwahutubia
mamia ya Waislamu
waliokuwa
wamefurika kwa ajili
ya kutekeleza ibada
ya swala ya Ijumaa
katika msikiti mkuu
wa Ijumaa wilayani
Ukerewe mkoani
Mwanza.
Mara baada ya
utangulizi wa khutba
yake, iliyokuwa na
anwani 'Kuimarisha
Nyumba za
Mwenyezi Mungu',
aliwatanabahisha
Waumini waliokuwa
wamefurika msikitini
hapo kwamba dhima
ya kuziimarisha
nyumba za Allah
(S.W.), ambazo
ni misikiti, ni yao
waumini.
Kwa uthibitisho
zaidi wa hilo,
aliwakumbusha
waumini hao
kauli yake Allah
(S.W.) isemayo
''Wanaoamirisha
misikiti ya Mwenyezi
Mungu ni wale
waliomuamini
Mwenyezi Mungu
na siku ya mwisho,
na kusimamisha
swala na kutoa zaka
na hawamwogopi
yeyote ila Mwenyezi
Mungu; basi hao
ndio wanaotarajiwa
kuwa miongoni mwa
walioongoka'' (9:18).
Akitoa ufafanuzi
kuhusiana na
maana ya dhana
ya uimarishaji wa
misikiti, Sheikh Anas
aliainisha maana mbili
ambazo wanazuoni,
miongoni mwao ni
Sheikh Abdurrahman
bin Assaad, wamezitoa
kuhusiana na

ANNUUR NEW.indd 15

dhana hiyo kuwa


ni uimarishaji wa
kimazingira pamoja na
ule wa kiibada.
Akifafanua zaidi
kuhusiana na maana
hizo, alibainisha
kwamba uimarishaji
wa kimazingira ni
ule unaohusiana
na uboreshaji
wa mandhari ya
misikiti kama vile
kuinadhifisha, kuipiga
rangi, kuitia viyoyozi
na mengineyo yanofaa
katika uboreshaji wa
mazingira ya msikiti
ilhali uimarishaji
wa kiibada ni ule
unaohusiana na
utekelezaji wa ibada
mbalimbali ndanimwe
kama vile kuswali,
kuendesha darsa,
kusoma Qur-an,
kuleta dhikri na ibada
nyingine kadha wa
kadha.
Akihitimisha khutba
yake, Sheikh Anas
aliwataka Waislamu
wafufue na kuhuisha
dhima za msikiti
zilizokuwepo zama
za Mtume (S.A.W.)
na maswahaba wake
(R.A.) ikiwa ni pamoja
na msikiti kutumika
kama kituo cha elimu,
kituo cha shura,
kituo cha tiba, kituo
cha mikutano, kituo
cha hazina (baytulmaal), kituo cha ibada
mbalimbali na makao
makuu ya kiongozi wa
umma.
Ni vyema
ikumbukwe hapa
kwamba ni baada ya
misikiti kutumika
kwa shughuli hizo
tajwa hapo juu na
mfano wake, Uislamu
uliweza kustawi.
Lakini leo hii hali ni
tofauti katika misikiti
yetu, kwa kuwa si
tu kwamba shughuli
hizi hazifanyiki tena
misikitini bali hata
Waislamu wengi wa
zama zetu hizi hawajui
kama haya yanatakiwa
yafanyike msikitini.
(Kwa hisani ya AN)

Inatoka Uk. 10

Mhando na John Rupia.


Lakini kulikuwa na mtu
aliyekuwa akiishauri
kamati hii katika mbinu
za sheria kukabiliana
na Waingereza kama
dola iliyokabidhiwa
Tanganyika iliyokuwa
nchi chini ya Udhamini
wa UNO yaani Mandate
Territory kwa kifungu
76 na 77 cha Mkataba
wa Umoja wa Mataifa.
Huyu mtu aliyekuwa
akiisaidia TAA katika
kuishauri vipi iiendee
suala la udhamini jina
lake lilikuwa Earl Seaton.
Huyu alikuwa rafiki wa
Abdu Sykes na ni Abdul
ndiye aliyemuingiza
katika siasa za
Tanganyika.
Seaton alikuwa
mwanasheria mjini
Moshi na mtu kutoka
Bermuda. Katika
nyaraka zake Abdul
Sykes kaueleza vyema
mchango wa Seaton
katika kipindi hiki cha
1950 kuelekea kuasisiwa
kwa TANU mwaka wa
1954. Mapendekezo haya
ya TAA Political Sub
Committee yalijadiliwa
katika mkutano wa
kuasisi TANU Julai 1954
na ndiyo iliyotengezeza
hotuba aliyosoma
Nyerere UNO mwaka
wa 1955.
Mwaka wa 1952
Seaton alifutana na
Japhet Kirilo kwenda
UNO ambako Kirilo
alihutubia Kamati ya
Udhamini ya UNO
kuhusu dhulma za
Wazungu kufuatia
Mgogoro wa Ardhi ya
Wameru. Abdul Sykes
wakati ule akiwa Kaimu
Rais na Katibu wa TAA
alishirikiana kwa karibu
sana na Meru Citizens
Union ya akina Sablak
na Kirilo katika mgogoro
huu. Seaton akiwa ndiyo
wakili wao. Ili kuivunja
nguvu TAA Waingereza
walianza kuwaandama
viongozi. Kipindi hiki
Dr. Kyaruzi alihamishwa
Dar es Salaam kwenda,
kwanza Kingolwira
kisha Nzega kufuatia
harakati hizi za siasa
ndani ya TAA. Hamza

MHE. Pius Msekwa.


Mwapachu alipelekwa
uhamishoni kiswani
Nansio.
Abdul Sykes alikuwa
katika hatihati ya
kufukuzwa kazi kama
Market Master Kariakoo
Market. Kufuatia haya
yote serikali ya kikoloni
ikatoa Government
Circular No. 5 ya mwaka
1953 kupiga marufuku
wafanyakazi serikalini
kujishughulisha na siasa.
Sina haja ya kumweleza
msomaji kuwa TAA
ilikuwa kwenye siasa na
hicho kitu alichokieleza
Mzee Msekwa kuwa
TAA ilikuwa asasi
ya kijamii akiwa na
maana yawelfare
society,kuishusha hadhi
ya siasa TAA kukifanya
chama kisichokuwa
na malengo ya maana
historia hiyo si sawa wala
haina ushahidi.
Si kweli kusema kuwa
Mwalimu aliwashajiisha
aliowakuta katika TAA
pale Makao Makuu
kukubali kuibadilisha
TAA iwe chama cha
siasa TANU. Fikra ya
kuanzisha chama cha
TANU alikuwanayo
Abdul Sykes toka
alipokuwa Burma katika
Vita Vya Pili vya Dunia.
Historia ya TANU
haiwezi kuanza na
Mwalimu Nyerere labda
kwa kulazimisha iwe
hivyo. Historia ya TANU
ni ndefu na inatoka
mbali na inawakusanya
wazalendo wengi sana
ambao kwa bahati mbaya
nchi imewasahau.
Kuna mengi kuhusu
nani alikuwa anafikiriwa
kuongoza chama cha
siasa kitakapoanzishwa
na majina kadhaa

yalikuwa katika fikra za


wazalendo hawa ambao
historia imewatupa nje.
Ikipatikana
nafasi In Shaallah
tutawazungumza
wazalendo hawa
waliokusudiwa kuingoza
TANU toka miaka
ya mwisho 1940s na
mwanzoni 1950s na hapo
tutapata nafasi ya kuona
ilikuwaje Mwalimu
Nyerere akaingia katika
uongozi.
Kilitokea nini kwa
wale waliofikiriwa
kuiongoza Tanganyika
kama Chief David
Kidaha Makwaia na Paul
Bomani hawakuichukua
nafasi ile. Nimeona
nitawachosha wasomaji
ikiwa nitaeleza nini
kilipitika katika
kukitegua kitendawili wa
Kura Tatu.
Mzee Msekwa kamsifia
Mwalimu Nyerere katika
power of persuasion,
kwenye Kura Tatu
Tabora mwaka wa 1958
lakini bahati mbaya
labda kwa kutoijua
historia ya uhuru wa
Tanganyika kayaacha nje
majina mengi ya watu
waliopanga mkakati ule.
Mkakati uliopangwa
Tanga Mwalimu Nyerere
akishirikiana katika
mpango ule na Sheikh
Abdallah Rashid Sembe,
Hamis Heri, Nganzi
Mohamed, Amos
Kisenge, Mwalim Kihere,
Mustafa Shauri na
Abdallah Makata.
Ikipatika nafasi In
Shaallah tutakieleza pia
kisa hiki.

3/9/2016 2:36:45 PM

16

Makala

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Kutofautiana dini hakuzuii kuhudumiana vizuri

Na Dk. Adballah Daruweshi


MWENYEZI Mungu
Mtukufu ametuamrisha juu
ya kuamiliana na watu wote
kwa wema kwani ni sehemu
ya imani katika uislam.
Enyi mlioamini
kuweni wasimamizi wa
kupitisha haki kwa ajili
ya Mwenyezi Mungu,
muwe mkitoa shahada kwa
uadilifu, wala msichukiane
na watu, kuchukiana
huko kusikupelekeeni
kutowafanyia insafu,
fanyeni uadilifu huko
ndiko kunakomkurubisha
mtu na Mwenyezi Mungu,
hakika Mwenyezi Mungu
anazo habari za yote
mnayoyatenda (8) Al-Maida.
Ameipokea Ahmad
toka kwa Anasi bin Maliki
akisema, Mtume (s.a.w)
Ogopeni dua ya mwenye
kudhulumiwa hata kama ni
kafiri, kwani halina pazia na
hapo ana ushahidi wa neno
la tamko la Dua ya mwenye
kudhulumiwa hujibiwa
hata kama ni mfanya
madhambi, basi madhambi
yake yapo kwenye nafsi
yake mwenyewe kwa yakini
muamala mzuri kwa wasio
Waislam.
Muislamu wa kweli hana
shaka kuwa yeye yupo
ndani ya haki kama kwamba
muumini anaamini Manabii
na Mitume yote. Wengine
wanaamini baadhi ya Mitume
na wengine wanaacha
kuwaamini na ni sababu ya
matatizo yote haya katika
baadhi ya watu wengi hapa
duniani. Pamoja na hayo yote,
sisi sio tunaowalipa watu bali
atakayewalipa ni Mola wao
mlezi siku ya kiama. Hakika
Uislam umesisitiza wema na
msamaha na uadilifu.
Hakika misingi ya kuishi
vizuri ni kuamiliana vizuri
kwa Waislam katika na

ANNUUR NEW.indd 16

wale wanaotofautiana nao


katika dini. Fikra za ukweli
zimepandwa na Uislam katika
akili za Waislam na nyoyoni
mwao.
Misingi ya kuishi vizuri
ni kule kuamini kwa kila
Muislam juu ya utukufu
wa kila binadamu yeyote
atakavyokuwa, dini yake au
utaifa wake au rangi yake.
Amesema Mwenyezi
Mungu Mtukufu Na kwa
hakika tumewatukuza
wanadamusehemu ya aya
70 Israil. Na utukufu huu
unaopatikana hapa ni wa
kila binadamu ana haki ya
heshima na miongoni mwa
mifano bora juu ya hilo,
ni yale yaliyopokelewa na
Imamu Bukhari toka kwa
Abdirahman bin Abiy Laila,
amesema alikuwa Sahlu bin
Hunaif na Kaisi bin Saad
wamekaa, mara likapita
jeneza wakasimama kwa
kulisimamia, wakaambiwa
kwamba huyo ni miongoni
mwa watu wanaoishi kwa
mikataba, wakasema kwamba
Mtume (s.a.w) lilipitishwa
jeneza na akasimama
akaambiwa hilo ni jeneza la
Myahudi, akasema, kwani
hiyo sio nafsi. Aliandika
kiongozi wa waumini Ally
bin Abii Twalibi (kwa)
makubaliano ya Maliki bin
Al-ashtar Annakhiyi pale
alipotawalia Misri.
Kwa hakika ya Muislam
hakupewa jukumu la
kuwahukumu makafiri kwa
ukafiki wao, au kuwaadhibu
waliopotea kwa upotevu wao,
hayo hayapo kwao na wala
sio ahadi yao hapo duniani
kwani hisabu zao ni akhera
kwa Mwenyezi Mungu
siku ya kiama na hesabu,
na malipo yao yameachwa
kwake hiyo siku ya mwisho.
Hapa sasa hupumzika moyo
wa Muislam na hapati hapa
athari yoyote ya mashindano
ya kiimani juu ya kukufuru
kafiri na katika kumtaka
wema wake na kumfanyia
usawa, na kuyakubali yale
anayoyaona katika dini na
imani.
Imani ya Muislam
anaamini kuwa Mwenyezi
Mungu anaamrisha uadilifu
na anapenda usawa na
analingania juu ya tabia
nzuri hata kama na makafiri,
na anachukia dhulma na

anawaadhibu wanaodhulumu
hata kama dhuluma kutoka
kwa Muislamu kwenda kwa
kafiri.
Kauli ya QUR-ANI kwa
upande wa wazazi wawili
ambao ni mushirikina,
ambao wanajaribu kumtoa
mtoto wao katika imani ya
Uislam na kumpeleka katika
ushirikina.
Na tumemuusia
mwanadamu kuwafanyia
ihsani wazazi wake, mama
yake ameichukua mimba
yake kwa udhaifu juu ya
udhaifu na kumnyonyesha
na kuja kumuachisha
katika miaka miwili,
kwamba unishukuru mimi
na wazazi wako, marejeo
yenu ni kwangu na wazazi
wako wakikushurutisha
kunishirikisha na yale
ambayo huna ilimu nayo,
usiwatii lakini kaa nao
kwa wema hapa duniani
madam ni wazee wako, ila
usiwafuate tu mwendo wao
mbaya kisha marejeo yenu ni
kwangu, hapo nitakuambieni
mliyokuwa mkiyatenda
Luquman (14/15).
Na katika himizo la Qurani
tukufu na hadithi za Mtume
(s.a.w) juu ya wema na
ihsani kwa wasio Waislam,
ambao hawapigani vita
katika dini yenu, Mtume
(s.a.w) akateremshiwa na
Mwenyezi Mungu Mtukufu,
hakukatazeni kuwafanyia
ihsan na uadilifu wale ambao
hawakupigana nanyi katika
nchi zenu, hakika Mwenyezi
Mungu anawapenda
wafanyao uadilifu, Mwenyezi
Mungu anakukatazeni kwa
wale ambao wanapigana
nanyi katika dini na
kukufukuzeni kuwafanya
marafiki na wawafanyao
marafiki, basi hao ndio
madhalimu Al-mumtahina
(8-9). Basi ameamrisha
Mtume kukubali zawadi zao
na kuwakaribisha nyumbani
na kuishi nao kwa wema.
Watu hao ni hawa
wanaotimiza wajibu wao na
wanaoiogopa siku ambayo
shari yake itaenea sana na
huwalisha chakula masikini
na mayatima na wafungwa
na hali ya kuwa wenyewe
wanakipenda chakula hicho,
husema wenyewe katika
nyoyo zao wanapowapa
chakula hicho tunakulisheni
kwa ajili ya kutaka radhi
ya Mwenyezi Mungu tu
hatutaki kwenu malipo wala
shukurani (789

Na katika kauli ya Qurani


inajibu juu ya baadhi ya
Waislam katika sheria ya
kuwapa chakula ndugu
zao na jirani zao miongoni
mwa washirikina wenye
kungangaania imani yao
hiyo. Si juu yako kuwaongoa
lakini Mwenyezi Mungu
humuongoa amtakaye, juu
yako ni kuongoza tu na mali
yoyote mtakayoyatoa ni
faida kwa nafsi zenu, sawa
msitoe ila kwa kutafuta
radhi ya Mwenyezi Mungu,
na mali yoyote mtakayotoa
mtarudishiwa kamili thawabu
zake wala hamtadhulumiwa
(272) Albakarat (5).
Katika kauli ya Qurani
inabainisha adabu ya mjadala
na wale wasio Waislam,
Wala msibishane na watu
waliopewa kitabu kabla yenu
ila kwa yale majadiliano
yaliyo mazuri, isipokuwa
wale waliodhulumu miongoni
mwao nasemeni tunaamini
yaliyoteremshwa kwetu tu,
na yaliyoteremshwa kwenu
na Mungu wetu na Mungu
wetu ni mmoja nasi ni wenye
kunyenyekea kwake (46)
Albakarat.
Amesema tena Mwenyezi
Mungu, Mwabuduni
Mwenyezi Mungu wala
msimshirikishe na chochote
na wafanyieni ihsani
wazazi wawili na jamaa na
mayatima na masikini na
jirani walio karibu na jirani
walio mbali na rafiki walio
ubavuni mwenu na msafiri
aliyeharibikiwa na wale
iliyowamiliki mikono yenu ya
kulia, bila shaka Mwenyezi
Mungu hawapendi wenye
kiburi wajivunao Anisaa
(36).
Na inadhihiri muamala
mzuri wa Mtume (s.a.w)
kwa watu waliopewa kitabu
waliojisalimisha, wawe
ni Mayahudi au Wakristo
alikuwa akiwafanyia hisani
na kuwatembelea wagonjwa
wao, akipokea zawadi zao
na kuwapa wao zawadi,
pia katika muamala wa
Masahaba, na waliofuata
baada yao (mataa`bina) kwa
wasio Waislam.
Tunamuomba Mwenyezi
Mungu atuongoe na
atuwezeshe na kuyakubali
matendo yetu amin.
Email : eg_islamic_
center39@yahoo.com

3/9/2016 2:36:50 PM

17
Na Musa Ame
SHUKRANI zote zinamstahiki
Allah (sw) na sala na salamu
zimfikie Mtume (saw) na
Masahaba zake na wanaofuata
muongozo wake mpaka siku ya
mwisho.
Nimeonelea bora tuelimishane
kuhusu mada hii ya aqida kwa
vile somo la aqida ni somo
la msingi katika kumfahamu
Muumba, na katika kutengeneza
itikadi ya Muislamu. Elimu
ya aqida ni fighi kubwa zaidi
kuliko fiqhi ya sala. Kwa
sababu isipotengenea aqida ya
Muislamu, huenda sala yake na
ibada zake nyengine zote zikawa
batili.
Somo hili linakuwa nyeti kwa
sababu kukosekana aqida sahihi
kunapelekea kosa la shirki,
ambalo hubatilisha ibada zote
za mja na kumpeleka motoni.
Maulamaa wanaliona somo la
aqida kuwa ni somo bora kuliko
masomo yote.
Katika mfululizo wa mada
hizi za aqida tutatumia kitabu
kiitwacho Aqidat Tahawiyya
tumechagua kitabu hicho kwa
vile ni kitabu kinachokubalika
na Maulamaa wote wa aqida na
kimesifiwa na jopo la Maulamaa
na si vibaya kunukuu baadhi ya
maoni yao juu ya kitabu hichi.
Ibn Kathyr anasema Alikuwa
yeye (Imam Tahawy) ni
mpokezi mzuri na muaminifu
wa hadith (Bidaya Wanihaya).
Hapa Ibn Kathyr anamuelezea
mtunzi wa kitabu hichi kuwa ni
mwanachuoni muaminifu wa
hadithi na mpokezi mzuri wa
hadithi za Mtume (saw).
Ibn Hajar Asqalany anasema
kuwa Alikuwa mwanachuoni
mkubwa na maarufu alikuwa
na ujuzi kuhusu khitilafu za
Maulamaa na alikuwa na uoni
mzuri. ( Lisan al Mizan).
Imam Dhahaby anasema
kuwa Alikuwa Muhadithyna na
Ulamaa wa Misri mwenye ujuzi
wa hadithi na fiqhi. (Tarikh al
Kabyr).
Kwa ujumla Maulamaa
wakubwa wanakubaliana
kuhusu kitabu hichi na hakuna
hitilafu katika kukitumia
kama ni kitabu cha elimu ya
Aqida, kwa wakati huu kitabu
hichi pamoja na sherhe zake
hutumiwa katika mitaala ya
vyuo vikuu katika kusomesha
somo la aqida.
Kuhusu mtunzi wa kitabu
jina lake ni Abuu Jaafar Ahmad
Ibn Muhammad Ibn Salamah
Tahawy aliyezaliwa Egypt
mwaka 239 , na kufariki mwaka
321 Hijria. Baba yake alikuwa ni
Mtaalamu wa hadithi . Alisoma
pia kwa Imam Ismail Ibn Yahya
Muzany Ulamaa wa Kishafi na
alisoma kitabu cha Mukhtasry
Muzani , kitabu maarufu cha
elimu ya fiqhi katika Madhehebu
ya Shafy. Baada ya hapo alisafiri
maeneo kadhaa kutafuta elimu

ANNUUR NEW.indd 17

MAKALA

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Aqida-1

na alisoma kwa Mashekhe


zaidi ya mia tatu. Pia alikuwa
Mwanafunzi wa Imam Nasai
na Imam Tibrany. Baadaye
Imam Tahawy alibadilisha
muelekeo wake wa kifiqhi na
akafuata fiqhi ya Imam Abuu
Hanifa hasa pale alipokutana
na makadhi wa Kihanafi Bakar
Ibn Qutaybah na Ahmad Ibn Abi
Imran Baghdady, lakini hakuwa
akifuata madhehebu kibubusa
bali kila lililokuwa sahihi katika
sharia alilifuata na pale Abuu
Hanifa kama mwanaadamu
alipokosea, Imam Tahawy
alifuata hoja zilizo sahihi zaidi
kutoka Maimamu wengine
na aliachana na msimamo wa
madhehebu yake.
Imam Tahawy alitunga
vitabu kadhaa vya hadithi
pamoja na shuruut saghyr
shurut kabyr sherhe maani
al athaar sherhe mushkila
athaar iktilaafu al fuqahaa
na kadhalika. Na kitabu chake
hichi cha aqidat Tahawy
ndicho kitabu cha zamani zaidi
cha aqida kufika mpaka leo. Na
pia alitunga kitabu cha fiqh ya
Kihanaf na akikiita Mukhtasar
kama vile kitab cha Mukhtasar
Muzany alichokisoma mwanzo
cha madhehebu ya Shafy ila
chake yeye kilifuata fiqhi ya
Imam Abuu Hanifa. Kwa
hivyo suala la kuchukua
fiqhi kutoka kwa Maimamu
wengine halikuwa geni wakati
wa Maimamu wenyewe kwani
hata hao Maimamu wakubwa
walisoma au kuwasomesha
Maimamu wengine. Mfano
Imam Shafi alisoma kwa
Imam Malik na alisoma kwa
Imam Laythy na alisoma kwa
mwanafunzi wa Imam Abuu
Hanifa, aitwaye Muhammad
Shaybani naye Imam shafi
alimsomesha Imam Ahmad
Hambal.
Kitabu hichi kimeshereheshwa
kwa sherhe zaidi ya sherhe
15 lakini sherhe bora kabisa
ambayo tutaitumia katika
makala hizi ni sherhe ya Imam
Abdil Izzi, ambayo Maulamaa
wa aqida wanakubaliana kuwa
ni sherhe sahihi.
Kuhusiana na mtunzi wa
sherhe hii Ulamaa Ibn Abi alIzz yeye alizaliwa Damacsus
mwaka 731 Hijriya na alikuwa ni
Ulamaa wa Kihanaf aliyezaliwa
katika madhehebu ya Kihanafi,
tofauti na mtunzi wa kitabu
Imam Tahawy aliyezaliwa katika
familia ya Kishafi lakini baadaye
akafuata fiqhi ya Kihanafi.
Alikuwa ni mwanafunzi wa Ibn
Kathir ambaye naye alikuwa
mwanafunzi wa Ibn Taymiya.
Ibn Abi al- Izz alikulia katika
ukoo wa Makadhi wa Kihanafi
lakini alijiepusha na falsafa na

utumiaji wa qiyas, zilizojulikana


wakati huo kama elmu l
kalaam . lakini alitumia zaidi
hoja za Qurani na sunna.
Pia tutatumia baadhi ya
wakati kitabu cha aqida cha Ibn
Qudama kiitwacho Luumatu l
itiqad kitabu hichi kimetungwa
na Abdalla Ibn Muhammad
Ibn Qudama Ibn Miqdad Al
Maqdsy aliyezaliwa Nablus
Palestina. Ni ulamaa mkubwa
katika madhehebu ya Ahmad
bin Hambal na ametunga vitabu
vingi sana na kitabu hichi
kimeshereheshwa na Sheikh
Uthaymin ambaye pia naona ni
vizuri kutaja historia yake kwa
ufupi sana.
Jina lake ni Muhammad
Ibn Saleh Ibn Muhammad
Ibn Uthaymin katika kabila la
Tamim alizaliwa Unayzah na
alikuwa ni mwanafunzi wa
Sheikh Ibn Baaz . Alifikia cheo
cha Ulamaa Mkubwa huko
Saudia yeye ameandika vitabu
vingi vyenye kutegemewa na
amefutu masuala mengi hasa
yale yenye utata. Ameandika
pia sherhe ya Luumatu l Itiqad
sherhe ambayo tutaitumia
kufafanua baadhi ya hoja za
kiitikadi, alizoandika Ulamaa
Ibn Qudama.
Katika vitabu hivi pia
tutaangalia maoni ya Ulamaa
Albani katika vipengele tofauti
kwani vitabu hivi vyote vya
aqida vilitungwa zamani
katika mazingira tofauti na ya
wakati huu, na vilitungwa kwa
hadhira yaani watu tofauti na
waliokuweko leo, huenda baadhi
ya misimamo iliyoandikwa
katika vitabu hivi kisheria ikawa
haiwezi kutumika katika wakati
wetu huu wa leo kwa kuangalia
maqasidi shar-iya yaani
makusudio ya kisheria, ambayo
yatatofautiana kwa wakati na
pahala, Na kila pahala ambapo
tutafafanua ile misimamo ya
kitabu na kutoa ufafanuzi
tutanakili neno kwa neno sherhe

za Maulamaa ili asije akaona


mtu kuwa haya ni mawazo ya
mtunzi wa makala.
Kwa kufafanua hoja hii ni
kwamba katika vitabu hivi
unaweza kukuta msimamo
kuhusu watu wanaoitwa ahlul
bidaa lakini Imam Albany
ametoa ufafanuzi wa suala la
ahlul bidaa na namna bora
ya kuamiliana na watu hao
kwa wakati wetu huu, kama
tutakavyoelezea tutakapofika
kipengle hicho. Kwa ufupi
vitabu hivi vinahitaji maelezo
ya kutosha la sivyo ndipo pale
ambapo vijana wengi, wakisoma
vitabu hivi bila ufafanuzi
huishia kuwaona wenzao wote
ni makafiri wasio na aqida sahihi
badala ya kulisoma somo la

aqida kwa nia ya kufundisha


watu aqida sahihi huishia na
kukosoa na kulaumu wakati
mwengine hata kutukana
watu.
Fani yoyote ina adabu
zake, kwa sababu hii pia
tutakuwa tukigusia adabu
za mwenye kutafuta elimu
kwa kutumia kitabu cha Abu
Zayd Bakr bin Zaid 1408
Hijria kilichotungwa Saudi
Arabia kinachoelezea adabu
za mwenye kutafuta elimu
kwani elimu ina adabu zake,
ukizikosea utaharibu badala ya
kutengeneza na utakimbiwa na
watu.
Kwa ufupi somo hili la aqida
linahitaji maelezo ya kutosha
ili vipengele mbali mbali
viweze kufahamika na ukosefu
wa maelezo hayo hupelekea
baadhi ya wasomaji wa somo
la aqida kushika misimamo
mikali ambayo haijengi, lakini
badala yake inabomoa kwani
unapotaka kufuata msimamo
fulani wa aqida ni lazima
kwanza ufahamu msingi wake
na upate pia ufafanuzi wake
kama ambavyo Maulamaa
wamefafanua.

3/9/2016 2:36:53 PM

18

TANGAZO

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA 2016/2017


Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO

NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

MWANZA

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL

DAR ES SALAAM
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo Combination za masomo YOTE yaani SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4. SIFA:
Muombaji anatakiwa awe na ufaulu wa :
(i) Credit tatu (yaani A,B na C),
(ii) Daraja la tatu (division three) au zaidi,
(iii) Angalau Gredi D kwenye masomo ya combination.
5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Arusha
- Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783
438676/0715 438676.
Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha:0767345367/0686938077 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757
013344.
- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0713 115041 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno Simbomu
centre Mwl. Hidaya A.
Mussa: 0784 655614
Tanga - Twalut Islamic Centre Mabovu Darajani : 0715 894111/0713 01446 - Uongofu Bookshop: 0784 982525
- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. - Handeni Mafiga -0782
105735/0657093983
Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685. - Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa
Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin
0785 086 770/0714097362.
Bukoba
- Ofisi ya Kutaiba Saccos: 0765 748056
Musoma
- Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623/0787868611
Shinyanga
- Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0655608139/0768895484
Kahama
- Ofisi ya Kamati ipo karibu na zahanati ya Doctor Dalali: 0754 994738/0782 994738
Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172/0712 033556
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531
Morogoro
- Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380. - Ifakara wasiliana na Mwl. Sharifu: 0659 158958
Geita
- Ofisi ya Kamati karibu na mashine ya kukobolea mpunga shilabera: 0765 748056
Dodoma
- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992
Singida
- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
Manyara
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196
Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 - Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669. - Kasulu: Murubona Isl.SS:
0714710802/0763 298440
Lindi
- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.
Mtwara
- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.
Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264.
- Mkuzo Islamic High School :0654 876317
Mbeya - Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319. - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713

200209/0785425319.
Rukwa
- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786 313830
Tabora
- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0718 556355 Nzega - Dk. Mbaga-0754 576922/0784576922.
Iringa
- Madrastun Najah: 0714 522 122.
Pemba
- Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.
Unguja
- Madrasatul Fallah: 0777125074. - PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba
Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

ANNUUR NEW.indd 18

3/9/2016 2:36:54 PM

19

Ukurasa wa Watoto

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Somo la Kwanza: Tawhiid -2

1. Nani aliyetengeneza vyombo vya


nyumbani kwenu? Wataalamu wa
kutengeneza vitu hivyo.

2. Nani aliyetengeneza gari


hili? Mhandisi wa magari.

Tumegundua kuwa vitu mbalimbali


tunavyotumia vimetengenezwa na watu wenye
elimu ya kutengeneza vitu hivyo.
Swali: Nani aliyewapa elimu ya kutengeneza
vitu hivyo?
Jibu: Walimu wao.
Swali: Nani aliyewapa elimu hiyo hao walimu
wao?
Jibu: Walimu wa walimu wao.
Swali: Nani aliyewapa elimu watu wa mwanzo
kutengeneza vitu hivyo?

3. Nani aliyetengeneza hii TV?


Mhandisi wa TV.

4. Nani aliyetengeneza ndege hii?


Mhandisi wa ndege.

Jibu: Chanzo cha elimu zote ni Allah (Subhanahu Wataalla.)


Soma na Mola wako ni karimu sana.
Ambaye amemfundisha mwanadamu kwa msaada wa kalamu.
Amemfundisha mwanadamu chungu ya mambo aliyokuwa hayajui.

Watoto watafute majibu ya maswali haya.

1. Kuku wa kwanza ametoka wapi?


2. Yai la kwanza limetoka wapi?
3. Kuku wa kwanza aliyetaga yai la kwanza ametoka wapi?
4. Ngombe wa kwanza ametoka wapi?
5. Babu yako na Bibi yako wametoka wapi?
6. Nani fundi wa nyota?
7. Nani fundi wa mwezi?
ANNUUR NEW.indd 19

3/9/2016 2:37:00 PM

AN-NUUR

20

MAKALA

20

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Soma gazeti la
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa

AN-NUUR

JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA MACHI 11-17, 2016

Wekeni rejista ya waumini misikitini


Na Bakari Mwakangwale

MISIKITI kama Taasisi,


imeshauriwa kuwa na rejista
ya Waumini wao watakao
kuwa na haki ya kushiriki
katika chaguzi za viongozi
na Wadhamini ili kuweza
kudhibiti kuibuka kwa
migogoro ya kiuongozi.
Wito huo umetolewa na
Wakili wa kujitegemea, Jijini
Dar es Salam, Mh. Juma
Nassoro Dovutwa, kufatia
Mahakama Kuu, kutoa
hukumu katika mashauri ya
migogoro ya kiuendeshaji
yanayozihusu Taasisi,
Jumuiya, Mabaraza ya Kidini
pamoja na Misikiti.
Kufuatia hukumu hiyo
Wakili Nassoro, akasema hivi
sasa migogoro ya kiuongozi
na uendeshaji wa Taasisi
za Kidini ikiwemo Misikiti,
haipaswi kuamuliwa na
Mahakama bali inatakiwa
imalizwe na Taasisi husika
kwa utaratibu maalum.
Kwa maana hiyo basi,
Wakili Nassoro, alisema,
angependa kuzishauri Taasisi
haswa Misikiti iwe na rejista
ya Waumini wa Misikiti,
ambao watakuwa na haki ya
kushiriki katika chaguzi za
viongozi na wadhamini wao
ili kuepusha migogoro ya
kiuongozi.
Alisema, kutokana na
uzoefu wake na kuwa
karibu na Misikiti, hali hiyo
itasaidia kuondoa tatizo
kubwa kwa baadhi ya
Waumini (Waislamu) kufanya
udanganyifu wa kiuongozi
kwa kupeleka vielelezo
bandia (feki) katika Mamlaka
ya Usajili, RITA.
Ningependa kushauri
kwamba, Taasisi haswa
Misikiti iwe na rejista ya
Waumini wake ambao
watakuwa na haki ya
kushiriki katika uchaguzi
wa Viongozi na Wadhamini
ili kuondoa uwezekano wa
wajanja wachache kujifungia
sehemu kisha kutengeneza
muhtasari feki ya vikao na
kuiwasilisha RITA, kwa ajili

Mh. Juma Nassoro Dovutwa (kulia) akiwa na Sheikh Ponda Issa


Ponda. Wakili Juma Nassoro ndiye alikuwa anamtetea Sheikh
Ponda katika kesi iliyoishia kwa kuachiwa huru.

ya kusajili Wadhamnini au
kubadilisha Wadhamnini,
tatizo ambalo linaisumbua
Misikiti mingi nchini hivi
sasa. Amesema Wakili
Nassoro.
Wakili Nassoro, ambaye
amekuwa karibu zaidi na
jamii ya Kiislamu katika
maswala mbalimbali
akiwasaidia Waislamu katika
masuala ya kisheria, alisema
anashauri zaidi kuacha
kufanya kazi kwa mazoea,
kwani hivi sasa hali ya
kimazingira imebadilika.
Alisema, kila inapobidi
katika maswala mabalimbali
katika jamii ya Waislamu
iombe na kupata ushauri wa
wataalamu katika kuyaendea
masuala mbalimbali kwani
dunia imebadilika ili waweze
kwende vyema kwa lengo
la kuongeza ufanisi katika
Misikiti na Taasisi zao.
Wakili Nassoro, alisema
kwa maana hiyo sasa, imefika
wakati Taasisi, Mabaraza,
Jumuiya na Misikiti zote
zirekebishe Katiba zao
ili kuweka vipengele au
vifungu maalum vilivyo wazi
vya namna ya utatuzi wa
migogoro kwa kutaja taratibu
za utatuzi wa migogoro.

Wakili Nassoro, akazitaja


Taasisi kama BAKWATA,
TAMPRO, BARAZA KUU
na HAY AT, na zingine
mfano wa hizo ziimarishe
au ziweke vitengo maalum
vya usuluhishi na utatuzi
wa migogoro ya kiuongozi,
uanachama, udhamnini na
uendeshaji wa Misikiti na
Taasisi zilizo chini ya Taasisi
hizo Kuu.
Kwa mujibu wa Wakili
huyo, ameeleza kuwa hivi
karibuni Mahakama Kuu
imetoa hukumu katika
mashauri ya migogoro ya
kiuongozi na uendeshaji
yanayozihusu taasisi,
Jumuiya, Mabaraza ya Kidini
na Misikiti.
Katika hukumu hizo,
Wakili Nassoro, amesema
Mahakama hiyo imeeleza
kuwa migogoro ya kiuongozi
na uendeshaji wa Taasisi
za Kidini ikiwemo Misikiti
haipaswi kuamuliwa na
Mahakama.
Badala yake hivi sasa
inatakiwa migogoro ya
aina hiyo kumalizwa ama
kuamuliwa kwa utaratibu
wa utatuzi wa migogoro kwa
mujibu wa Dini husika.
Kwa mujibu wa
Wakili Nassoro, alisema
katika hukumu hiyo,

Mahakama ilirejea baadhi


ya kesi za namna hiyo na
kuzishughulikia.
Miongoni mwa kesi hizo
ni ile kesi ya madai namba
46/2006, iliyoamuliwa na
Jaji Stella Mugasha, katika
Mahakama Kuu.
Katika kesi hiyo, wadai
walikuwa Abasi Kihemba
na Alhaji Suleiman Mwenda
dhidi ya Mufti Issa Simba
wa Bakwata na Baraza la
Wadhamini wa Bakwata,
wakipinga kufukuzwa kwao
ndani ya Baraza hilo.
Ambapo, katika shuari
hilo Jaji Mugasha, alisema
maswala ya uongozi wa
Taasisi za Kidini kama
Bakwata na nyingine
hayapaswi kupelekwa
Mahakamani, badala yake
yashughulikiwe ndani ya
mfumo wa kidini na Katiba za
taasisi husika.
Alifafanua zaidi akisema,
kwamba kwa mujibu wa
Ibara ya 19 ya Katiba ya
Tanzania ya mwaka 1977,
Serikali haipaswi kujihusisha
na masuala ya uendeshaji wa
shughuli za Kidini.
Ama katika kesi nyingine,
Jaji Profesa Ibrahim Juma,
wakati huo akiwa Jaji wa
Mahakama Kuu, aliamua
kesi ya madai namba 119 ya
mwaka 2012, ya Muhammad
Rafik na wenzake dhidi
ya kamati tendaji ya Sunni
Jamaat.
Wakili Nassoro, akaeleza
kuwa msimamo huo
wa kutokukubalika kesi
zinazohusu migogoro ya
uongozi na uendeshaji
kutopelekwa katika
Mahakama za Serikali,
ulisisitizwa.
Akasema, mbali ya
mifano hiyo, lakini ipo
mifano hai mingi katika
jamii ya Waislamu ambayo
imepelekwa Mahakamani,
mfano mgogoro wa
wanachama na udhamini
katika Msikiti wa Kichangani,
(Magomeni) na ule mgogoro
wa Baraza la Wadhamini
Trustees, katika Misikiti
ya Mtambani (Kinondoni),
Masjid Jamia Kinondoni
pamoja na Masjid Haq

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.
ANNUUR NEW.indd 20

3/9/2016 2:37:01 PM

Вам также может понравиться

  • Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    От Everand
    Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    Оценок пока нет
  • Historia & Maisha ya Yeshua Kristo
    Historia & Maisha ya Yeshua Kristo
    От Everand
    Historia & Maisha ya Yeshua Kristo
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kauli Ya Quran Na Kauli Za Ahli Bait Wa Mtume Saw Kuhusiana Vipenzi Vya Allah
    Kauli Ya Quran Na Kauli Za Ahli Bait Wa Mtume Saw Kuhusiana Vipenzi Vya Allah
    Документ118 страниц
    Kauli Ya Quran Na Kauli Za Ahli Bait Wa Mtume Saw Kuhusiana Vipenzi Vya Allah
    the islam religion
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Imani Za Kipagani Ndani Ya Ukristo
    Imani Za Kipagani Ndani Ya Ukristo
    Документ78 страниц
    Imani Za Kipagani Ndani Ya Ukristo
    X-PASTER
    100% (1)
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • العقيدة بالسواحلية Itikadi ya Kiislamu kwa lugha ya kiswahili
    العقيدة بالسواحلية Itikadi ya Kiislamu kwa lugha ya kiswahili
    Документ69 страниц
    العقيدة بالسواحلية Itikadi ya Kiislamu kwa lugha ya kiswahili
    Abdulrahman Faris
    Оценок пока нет
  • Itikadi Ya Maimamu Wanne Mwenyezi Mungu Awarehemu
    Itikadi Ya Maimamu Wanne Mwenyezi Mungu Awarehemu
    Документ125 страниц
    Itikadi Ya Maimamu Wanne Mwenyezi Mungu Awarehemu
    IslamHouse
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hadithi Za Mtume
    Hadithi Za Mtume
    Документ124 страницы
    Hadithi Za Mtume
    Jamali Abdi
    Оценок пока нет
  • Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Документ39 страниц
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Stambuli Abdillahi Nassir
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • An Nuur 1132xx
    An Nuur 1132xx
    Документ16 страниц
    An Nuur 1132xx
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Mashia
    Mashia
    Документ80 страниц
    Mashia
    Moh'd Abd Bokko
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Download
    Download
    Документ53 страницы
    Download
    Prence Hussein
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kuuelewa Uislam
    Kuuelewa Uislam
    Документ13 страниц
    Kuuelewa Uislam
    Henry Ng'honzela
    Оценок пока нет
  • Hanyoyi Masu Faidantar Da Samun Kyakkyawar Rayuwa
    Hanyoyi Masu Faidantar Da Samun Kyakkyawar Rayuwa
    Документ46 страниц
    Hanyoyi Masu Faidantar Da Samun Kyakkyawar Rayuwa
    IslamHouse
    Оценок пока нет
  • Annuur 1193
    Annuur 1193
    Документ20 страниц
    Annuur 1193
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Uwislam
    Uwislam
    Документ7 страниц
    Uwislam
    Darlizeni abdul
    Оценок пока нет
  • Milenia ya Kristo
    Milenia ya Kristo
    От Everand
    Milenia ya Kristo
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • MALAMULO OFUNIKIRA KWA MSILAMUv
    MALAMULO OFUNIKIRA KWA MSILAMUv
    Документ234 страницы
    MALAMULO OFUNIKIRA KWA MSILAMUv
    Islamic-invitation.com
    Оценок пока нет
  • Mafundisho ya Ndoa
    Mafundisho ya Ndoa
    От Everand
    Mafundisho ya Ndoa
    Оценок пока нет
  • Mafundisho ya Utajiri
    Mafundisho ya Utajiri
    От Everand
    Mafundisho ya Utajiri
    Оценок пока нет
  • Ubora Wa Uislamu
    Ubora Wa Uislamu
    Документ33 страницы
    Ubora Wa Uislamu
    IslamHouse
    Оценок пока нет
  • Ufufuo & Uchukuo
    Ufufuo & Uchukuo
    От Everand
    Ufufuo & Uchukuo
    Оценок пока нет
  • Freemason
    Freemason
    Документ9 страниц
    Freemason
    Hamis Rabiam Magunda
    Оценок пока нет
  • Historia Ya Uislam
    Historia Ya Uislam
    Документ21 страница
    Historia Ya Uislam
    John Zakaria
    Оценок пока нет
  • Mtume Muhammad Katika Biblia PDF
    Mtume Muhammad Katika Biblia PDF
    Документ48 страниц
    Mtume Muhammad Katika Biblia PDF
    Acount Yangu
    Оценок пока нет
  • Siri ya Kifo
    Siri ya Kifo
    От Everand
    Siri ya Kifo
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • TAJWEED
    TAJWEED
    Документ21 страница
    TAJWEED
    Waziri Mbaruku
    100% (1)
  • Hivi Unajua Kuwa Majini (Mashetani) Ni Ndugu Za Waislamu?
    Hivi Unajua Kuwa Majini (Mashetani) Ni Ndugu Za Waislamu?
    Документ8 страниц
    Hivi Unajua Kuwa Majini (Mashetani) Ni Ndugu Za Waislamu?
    Max Schmidt
    100% (2)
  • Muhammad Allah Amrehema Ni Mtume Wa Uislamu
    Muhammad Allah Amrehema Ni Mtume Wa Uislamu
    Документ24 страницы
    Muhammad Allah Amrehema Ni Mtume Wa Uislamu
    IslamHouse
    Оценок пока нет
  • Utatu Mtakatifu
    Utatu Mtakatifu
    От Everand
    Utatu Mtakatifu
    Оценок пока нет
  • Mimi Ni Muislamu
    Mimi Ni Muislamu
    Документ15 страниц
    Mimi Ni Muislamu
    IslamHouse
    Оценок пока нет
  • KukiriShahada PDF
    KukiriShahada PDF
    Документ40 страниц
    KukiriShahada PDF
    Aman Skills TV
    Оценок пока нет
  • Uislam Mahakamani
    Uislam Mahakamani
    Документ184 страницы
    Uislam Mahakamani
    X-PASTER
    100% (1)
  • Malumbano Baina Ya Sunni Na Shia
    Malumbano Baina Ya Sunni Na Shia
    Документ42 страницы
    Malumbano Baina Ya Sunni Na Shia
    Stambuli Abdillahi Nassir
    100% (1)
  • Yisrael
    Yisrael
    От Everand
    Yisrael
    Оценок пока нет
  • Ujio wa Pili wa Yesu Kristo
    Ujio wa Pili wa Yesu Kristo
    От Everand
    Ujio wa Pili wa Yesu Kristo
    Оценок пока нет
  • Annuur 1076
    Annuur 1076
    Документ12 страниц
    Annuur 1076
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Salat
    Salat
    Документ94 страницы
    Salat
    Mudy Abdullah
    Оценок пока нет
  • SW FUNGA YA RAMADHANI
    SW FUNGA YA RAMADHANI
    Документ11 страниц
    SW FUNGA YA RAMADHANI
    Ramadan Alii
    Оценок пока нет
  • SW Sharti Za Swala
    SW Sharti Za Swala
    Документ35 страниц
    SW Sharti Za Swala
    jmbwana807
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Holy Quran Swahili
    Holy Quran Swahili
    Документ1 079 страниц
    Holy Quran Swahili
    moonstar_dme
    Оценок пока нет
  • Jinsi ya Kusali & Kuongea na Yahweh
    Jinsi ya Kusali & Kuongea na Yahweh
    От Everand
    Jinsi ya Kusali & Kuongea na Yahweh
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Документ20 страниц
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет