Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1228 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 6 - 12, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Tunajichimbia shimo-Shahari
Mh. Riziki Shahari.
Usione vyaelea
Ukandamizaji utavunja
Muungano- Ally Saleh
Aibua hoja ya muundo wa Shirikisho
Haikuwa kazi rahisi kufikia hapa tulipo hivi sasa. Tupo tuliokaa rumande
kwa kushitakiwa kuwa tumeleta vurugu Msikitini. Kesi zimeunguruma katika
Mahakama za mwanzo hadi kufika Mahakama Kuu. Soma Uk. 20
ANNUUR NEW.indd 1
5/4/2016 3:26:46 PM
Suratu An-faal
Fethullah-Gulen
ISIPOKUWA, ili
atimize Mwenyezi
Mungu jambo ambalo
lilikuwa ni lenye
kutendwa ili aangamie
yule atakayeangamia
kutokana na hoja
na asalimike
atakayesalimika
kutokana na hoja. Na
kwa hakika Mwenyezi
Mungu ni mwenye
kusikia mjuzi. [ALANFAAL 42]
Uhakika kufuatana
na aya hii (Na lau
angetaka Bwana wako
wangeamini walio
katika ardhi wote
kabisa) [Younusu
99] kulikuwa
kunawezekana kuwa
na utaratibu maalumu
mwingine katika dunia.
Isipokuwa ni kwamba
matakwa ya Mwenyezi
Mungu yamehukumilia
kuwapo kwa
mapambano ya tangu,
kati ya imani na kati ya
ukafiri kipindi chote
cha maisha ya dunia.
Na kunawezekana
kuishuhudia hakika
hii ambayo iko wazi
wakati wa kuichunguza
historia ya binadamu
tokea Adam (a.s.)
mpaka leo. Kwa msingi
huo, muda wa kuwa
tunataka kuishi katika
dunia ya imani, ni
juu yetu tusisahamu
kitambo chochote
kwamba sisi tutapatwa
na kero za ukafiri na
mabavu yake na nguvu
zake, na khiyana yake
na uadui wake.
mapambano haya ni
ya lazima. Umefanyika
mpango wa jambo
hili upangaji ambao
umevuka uelewa wa
kwenye kutekeleza uadui kibinadamu mpaka
juu ya waumini kwa
kunapatikana kufikia
sura yenye kuendelea.
kwenye hatua ya
Kunapasa kutopatikana
mapambano uso kwa
mbele zao hisia kwamba
uso. Ikadhihirika kwa
wao wanakwenda kati
uwazi wote uhai wa
ya watu ambao hawahisi
yule ambaye anastahiki
na hawatambui kitu
kuishi, kutokana na
chochote ili aangamie
haja na yule ambaye
atakayeangamia
anastahiki kufa
kutokana na hoja na
kutokana na ushahidi
awe hai atakayekuwa
na hoja, wakaporomoka
hai kutokana na hoja.
wanyonge na yale yote
Kusipatikane kwa mtu
ambayo wameyabeba
yeyote udhuru mbele
katika mfundo na
ya Mwenyezi Mungu
kutopenda na chuki na
mtukufu na hali ya kuwa
kuwa mbali na unyoofu
hawezi kusema: Ni
na kushiriki katika
kwanini na kwa sababu
sharia. Haukubaliki
gani?
mbele zao udhuru
Na huenda kukazuka
wowote katika jambo
kinyume cha haya
hili.
tuliyoyaelezea punde
Ama wale ambao
hivi, maana watakuwa
hawakutenda kosa
waumini wenye
lolote au uhalifu
kushindwa juu ya mambo wowote, bali
yao na inakuwa dunia
wamesimama tu kwa
ya ukafiri ndiyo yenye
kuwatia adabu wale
kushinda. Isipokuwa
ambao wanastahiki
matokeo hayabadili
kutiwa adabu katika
pamoja na hali hiyo.
Badr na mahali
Na haumiliki upande
pengine, kuna hakika
walio katika pande mbili
wamegusa upeo wa
hizi udhuru wowote
uhakika wa maisha
ambao watautoa mbele
kwa utulivu wote wa
za Bwana wao, kwa
moyo, wa kiroho na wa
sababu usumbufu na
kihisia.
mapambano maalumu
Kwa ufupi kwa
kumeshapatikana.
hakika mambo
Kuishi nayo na
yaliyopita katika Badri
kuyatenda na katika
na katika mapambano
hayo ameangamia
yote ya mfano wa Badr,
aliyeangamia na
hapakubakia jambo
amekuwa hai aliyekuwa ambalo tunawezekana
hai.
kulizungumzia nje
Kwa ajili ya kuliweka ya kipimo sahihi cha
wazi zaidi jambo
chombo hiki. Si mbele
hili tunasema: Kwa
za wale ambao wa
hakika Mwenyezi
kuuliwa mbele za
Mungu mtukufu
wale ambao wameishi,
ameyafanya makundi
si mbele za wale
mawili yanakutana
ambao wamefuzu
mahali ambapo
wala wale ambao
lau yangeahidiana
wamepata hasara.
yangetofautiana katika
Hapo hapakubakia
ahadi, na ameyaandaa
jambo lolote kwa
mazingira ya
sababu mambo yalipita
mapambano, na uwanja kufuatana na vile
wake na masharti
alivyopanga Mwenyezi
ambayo yameyafanya
Mungu msikivu mjuzi.
Mwandamo wa mwezi
Leo ni Tarehe 28 Rajab mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 6 May, 2016.
Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan na
Tarehe 7 June 2016 tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea
hii leo Ijumaa ya tarehe 6 May 2016 hadi kufika kuanza mfungo wa
Ramadhani tumebakisha siku 30.
ANNUUR NEW.indd 2
AN-NUUR
3:154
40
41
42
na
43
na
na
44
45
na
JK
46
47
na
48
94:5-6
25
55
AN
40:68
CHEMSHA BONGO: 50
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
W
12:25
7:30
8:9
7:22
50:34
914
114
22
49:6
MASUALA
1. Itaje Sura ipi na aya ya ngapi? Na wote wawili wakakimbilia
mlangoni, na mwanamke akairarua kanzu yake Yusuf kwa nyuma. Na
wakamkuta bwana wake mlangoni. Mwanamke akasema: Hapana malipo ya
mwenye kutaka kumfanyia maovu mkeo isipo kuwa kufungwa au kupewa
adhabu chungu.
2. Itaje Sura ipi na Aya ya ngapi? Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu
na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua, na
mkawa tena wenye kujuta kwa mliyo yatenda.
3. Itaje Sura na Aya ya ngapi (Ataambiwa) ingieni kwa salama. Hiyo
ndiyo siku ya daima dawamu
4. Zipo Sura ngapi katika Quran?
5. Zeynab, Rukaya, Ummul Kulthum, Fatma hawa ni akina nani?
6. Kipando cha mnyama aliompanda Mtume Muhammad (SAW) katika
safari ya Miraj anaitwaje?
7. Vitabu vitukufu waliopewa Mitume ni Taurat, Zaboor, Injeel na ..
8. Surat Al Faatiha ina aya ngapi?
9. Unaposhukuru unatakiwa useme kalima gani?
10. Kitabu cha Injeel kateremshiwa Mtume yupi?
Jee Unajua?
1. Katika vita vikuu vya Pili Duniani inakisiwa kuwa watu wapatao
milioni 25 waliouwawa kwa nchi ya Urusi pekee: http://www.
secondworldwarhistory.com/world-war-2-statistics.asp
2. Bangladesh ni nchi yenye mito mingi duniani ikiwa ina mito zaidi ya 800:
https://answers.yahoo.com/question/index?qid=20120825102745AAE9akK
3. Nchi ya Canada ina maziwa yafikayo idadi ya maziwa 31,752: http://
www.zmescience.com/other/great-pics/geographical-facts-youre-not-goingto-believe-22022010/
4. Mlima Everest unaopakana baina ya nchi ya Nepal na Tibeti ndio
Mlima mrefu kuliko yote: http://www.answers.com/Q/What_country_in_
the_world_has_the_most_mountains?#slide=1
5. Nchi ya Nepal ndio nchi ilio na milima mingi duniani: http://10mosttoday.
com/10-highest-mountains-in-the-world/ na https://answers.yahoo.com/
question/index?qid=20100525024502AAtXTMk
6. Nchi ya Guyana ndio nchi inayoongoz kwa watu kujiua, kati ya watu
100,000 watu 44 hujiua : http://list25.com/25-countries-with-the-highestsuicide-rates-in-the-world/5/
7. Nchi za Ulaya ya Mashariki ndio nchi zinazoongoza kuwa na walevi
wengi, nchi ya Belarus ndio inayoongoza kwa wastani mtu mmoja hunywa
Lita 17.5 kwa mwaka na ulevi ndio unaochukua maisha ya watu wengi, kati
ya vifo vyote vinavyotokea katika nchi hio asilimia 34 hutokana na ulevi :
http://www.marketwatch.com/story/10-countries-where-people-drink-themost-2014-05-30?page=5
8. Nchi ambazo Pombe zimepiga marufuku kati ya hizo ni Falme za
nchi za KiarabuUAE, Iran, Iraq, Libya, Saudi Arabia, Bangladesh, Brunei
: http://www.thedailymeal.com/drink/10-countries-where-alcohol-illegalslideshow/slide-4
9. Nchi 10 zinazopendwa kufanya uchawi ni Nigeria, Zambia, Malawi,
Kenya, Congo DRC, Ghana, Uganda, Papua New Guinea, Gambia na
Tanzania : http://kkdaniels.blogspot.com/2015/08/top-10-african-countriesat-practicing.html
10. Mexico ndio nchi inayoongoza kuwa na wizi mwingi duniani : http://
www.insidermonkey.com/blog/11-countries-with-the-highest-rates-ofidentity-theft-in-the-world-351940/
(Kutokana na kutokuwa na wasomaji wengi katika Ukumbi wa
Uwanja wa Maarifa na kutopata majibu ya kuuboresha huu wa Uwanja
wa Maarifa, tunafikiria kuanzisha ukumbi mwengine. Tuma barua pepe
zuwarde@gmail.com au ujumbe mfupi kupitia simu 0777436949 unahisi
ninii uwe mbadala wake?)
5/4/2016 3:26:50 PM
Habari
AN-NUUR
Tunajichimbia shimo-Shahari
Na Bakari Mwakangwale
ANNUUR NEW.indd 3
Dini vinavyoagiza.
Inaendelea Uk. 4
5/4/2016 3:26:50 PM
Tahariri/Makala
AN-NUUR
TUNACHUKUA
fursa hii kukumbusha
Waislamu kwa ufupi
kuhusiana na kupoteza
maadili (kupotea
mwelekeo tulioachiwa
na Mtume (s.a.w.) kama
alivyoamrishwa na
Allah (s.w.) atufikishie.
Na yeye amefufikishia.
Ni dhahiri
kwamba Waislamu
wameupoteza ule
Uislamu tuliofundishwa
na Mtume (s.a.w.) iwe
ni kwa kujua au kwa
kutokujua.
Waislamu hawana
umoja, wamejigawa
makundi kwa makundi
na kujengeana uadui wao
kwa wao, hali yakuwa
wameisahau kauli ya
Allah (s.w.):
Na shikamaneni
katika kamba ya Allah
(s.w.) wala msiachane.
(Qur. 3:103).
Kwa mtazamo wa
mafundosho ya Quran,
kujigawa makundi
hakutaiepuka adhabu
(kwa Allah (s.w.) kama
alivyosema Allah (s.w.).
"Tumeiteremsha
adhabu kwa wale
waliojigawa makundi".
(Qur. 15:90).
Hatudhani kuwa jamii
ya Waislamu hususan
viongozi wa taasisi na
mashirika mbalimbali ya
Waislamu hawajui aya
hazi na makusudio yake.
Lakini matokeo ya kibri,
jeuri, hasad na tamaa
zimewafikisha Waislamu
hapa walipo.
Tujiulize katika maisha
ya Mtume (s.a.w.)
yalikuwepo makundi
kama haya tuliyojiundia
sisi? Kama yalikuwepo,
juhudi gani zilifanyika
kuyamaliza na Waislamu
wakabaki kitu kimoja?
Tunaona katika
mazingira tuliyo nayo
sasa, ni dhahiri kwamba
tumepoteza mwelekeo
wa Uislamu na maadili
yake, sheria na Tawhiid,
na kukubali kuchezewa
kama mwanasesere
(toy) na makafiri kupitia
udhaifu huu.
Amewahi kusema
Mtume (s.a.w.),
"Atakayeishi muda mrefu
(Maswahaba) ataona
mambo mengi ya uzushi
na jiuepusheni nayo."
Kauli hii ya Mtume
(s.a.w.) imetimia maana
ANNUUR NEW.indd 4
umma wa Kiislamu
umetopea katika
uovu na uzushi kama
tunavyoshuhudia
Waislamu wakijigawa
katika makundi na
kujengeana uhasama na
kupoteza umoja wao wa
Kiislamu.
Huu si Uislamu
aliotuletea Allah (s.w.)
kupitia kwa Mjumbe
wake. Tunajiuliza, kwa
jinsi hali ilivyo hapa
nchini ni nani ataunusuru
Uislamu (dini hii ya
Mwenyezi Mungu) kama
inavyosema Quran, "Ni
nani atakayeinusuru dini
hii". (Qur. 61:14).
Wako wapi wanazuoni
wa Kiislamu, viongozi
wa Kiislamu, Masheikh,
Maulamaa, Maimam,
ambao kimsingi ndio
dira katika kusimamia
miongozo ya dini, ndio
wanaotegemewa kujenga
umoja wa jamii ya
Kiislamu nchini.
Tukumbuke kuwa
Uislamu ni dhamana
tuliyoyopewa na
Muumba na kuamuru
watu waishi katika
ustaarabu wake.
Ameeleza Mwenyezi
Mungu: "Tumekuridhieni
Uislamu kuwa dini
yenu." (Qur. 5:3).
Ni vipi tumeuacha
ustaarabu wa Uislamu
ambao Allah (s.w.)
ameturidhia, kiasi cha
kubaki katika Uislamu
wa vipande vipande hali
ya kuwa viongozi wapo?
Umoja katika Uislamu
hapa nchini umepigiwa
kelele sana. Zimeelezwa
athari walizopata
na wanazoendelea
kupata Waislamu kwa
kuwekwa kwao katika
mafungu mafungu, tena
yanayohasimiana.
Lakini pamoja na
kudhihiri athari na
kufahamika kiini cha
tatizo, bado hadi sasa
hakuna hatua zozote za
uhakika zilizochukuliwa
kunusuru hali.
Tunaona wakati
umefika wa hatua za
makusudi na za haraka
kuchukuliwa. BARAZA
KUU, BAKWATA,
MABARAZA ya
WANAZUONI na Taasisi
nyingine za Kiislamu
nchini, pamoja na tofauti
zao za kifalsafa. Kuna
haja ya kuketi na kuweka
mkakati wa pamoja wa
AN-NUUR
yaani kuwaaminisha
Watanzania kuwa
Muungano ni wa usawa
na wa haki ilhali hakuna
Mheshimiwa Spika,
aliyekuwa Msemaji
Mkuu wa Kambi Rasmi
ya Upinzani Bungeni
katika Bunge la kumi,
Mheshimiwa Tundu
Lissu alizungumzia
kwa kina juu ya suala la
Mgawano wa Mapato ya
Muungano na jinsi Zanzibar
inavyopunjika na jinsi
mfumo huo ulivyogeuza
Zanzibar kuwa koloni. Hilo
ni katika suala la fedha
ambazo zinatokana na
wafadhili yaani mgao wa
asilimia 4.5.
Mheshimiwa Spika,
pamoja na takwimu
kuonyesha kuwa kiasi
fulani cha fedha hupelekwa
Zanzibar, lakini bado
kiwango hakijafikia asilimia
ambayo imekubalika na
pande hizo mbili ambapo
kiwango hicho hakijawahi
kuvuka asilimia 2.8. Tatizo
hili limekuwa la nenda rudi
miaka mingi bila suluhu ya
kweli na ya kudumu.
Mheshimiwa Spika,
Kwa mujibu wa hotuba
ya Mheshimiwa Lissu,
fedha hizo hujumuisha pia
makandokando mengine
kadhaa ila hutajwa na
kutiwa katika kapu
moja ambalo huonekana
limenona.
Alisema kwa mwaka
juzi Zanzibar iliyopaswa
kupokea shs billion
71.23 ilipewa asilimia
kumi tu ya fedha hizo.
Inasikitisha kwamba;
Ripoti ya Utekelezaji ya
Ofisi ya Makamu wa
Rais iliyopelekwa katika
Kamati ya Katiba na Sheria,
haikugusia chochote juu
ya eneo hili muhimu
la masuala ya fedha za
Muungano na mgawanyo
wake.
Mheshimiwa Spika, Kitu
kingine kinachohusu fedha
ambacho kwa kukosekana
nia ya kisiasa hakijapatiwa
ufumbuzi pamoja na
kuundwa kwa Tume ya
Pamoja ya Fedha ya Jamhuri
ya Muungano ya 1984 ni
suala la sehemu ya Zanzibar
katika mtaji uliounda Benki
5/4/2016 3:26:51 PM
HABARI ZA KIMATAIFA
AN-NUUR
ANNUUR NEW.indd 5
na washirika wake
waanzishe mashambulizi
ya anga dhidi ya Yemen
Machi mwaka jana, kwa
lengo la kumrejesha
madarakani Rais wa nchi
hiyo aliyekimbia Abd
Rabbu Mansur Hadi.
Wakati kukiwa na
wasiwasi kuhusu ukaribu
wa Saudia na Israel, kuna
taarifa kwamba utawala
haramu wa Israel unatoa
mafunzo ya kijeshi kwa
askari wa Saudi Arabia
katika mpango wa siri wa
uhusiano wa tawala hizo
mbili.
Naibu Katibu Mkuu
wa Hizbullah ya Lebanon
Sheikh Naim Qassem,
amefichua kuwa maafisa
wa Saudi wanapata
mafunzo kufuatia uhusiano
wa siri wa Israel na Saudia,
ambao sasa umeimarika
na kuwa ushirikiano wa
kijeshi.
Imeelezwa kuwa Israel
imeamua kuwapa mafunzo
askari wa Saudia baada
ya utawala wa Saudia
kushinikiza Jumuiya
ya Nchi za Kiarabu na
Barazala la Ushirikiano
la Ghuba ya Uajemi
kuitangaza harakati ya
Hizbullah kuwa kundi la
kigaidi.
Wakati ushirika huo
ukionekana kuimarika kwa
sasa, kwa miaka mingi
Saudia imejizuia kutoa
mafunzo na misaada yake
kwa wanaharakati wa
kupigania ukombozi wa
Palestina.
Siku ya Jumapili, gazeti la
Kizayuni la Jerusalem Post
liliripoti kuwa, si tu kuwa
Israel haijatengwa bali pia
sasa imeingizwa katika
duara la Saudi Arabia.
Sehemu ya mpango huo
ni Israel kufungua ofisi ya
kidiplomasia Abu Dhabi na
kuimarisha maingiliano na
nchi za Ghuba ya Uajemi."
Kwa mujibu wa tovuti
ya Bloomberg, mikutano
kadhaa ya siri imekuwa
ikifanyika kati ya maafisa
wa Saudia na Israel.
Imeelezwa kuwa pande
hizo mbili zimekutana
mara tano katika kipindi
cha miezi 17 mwaka 20141015, ambapo maafisa hao
wa Saudia na wa utawala
wa Israel walikutana kwa
nyakati tofauti nchini India,
Italia na Jamhuri ya Czech.
Aidha mapema mwezi
Juni mwaka jana, maafisa
mashuhuri wa zamani wa
Ujerumani waandamana
kupinga wapinga adhana
Chama cha siasa nchini
Ujerumani kinachopinga
Uislamu nchini Ujerumani,
wiki hii kimepata upinzani
mkubwa kutoka kwa
mamia ya waandamanaji
wanaopinga sera za chuki za
chama hicho.
Polisi nchini Ujerumani
wamewazuia mamia ya
waandamanaji wanaopinga
chama cha mrengo wa kulia
cha AFD, chenye sera za
kupiga vita Uislamu.
Polisi wametumia maji
wa kuwasha kuwatawanya
waandamanaji waliobeba
mabango na kuchoma
moto matairi katika eneo la
kuingilia kwenye mkutano
wa chama hicho, ili kuwazuia
wanachamana wake.
Hali hiyo ililazimu maafisa
zaidi ya 1000 kutumwa katika
eneo la mkutano katika mji
wa Stuttgart kutoa ulinzi.
AFD kinatarajiwa kuzindua
KIONGOZI wa AFD-FraukePetry.
upya kampeni zake na
kutangaza wazi kuwa
kinapinga dini ya Kiislamu.
Chama hicho kimekuwa
kikipiga marufuku mwito wa
Waislamu katika swala yaani
adhana, vazi la burga, uwepo
wa minara ya Misikiti.irib.
5/4/2016 3:26:52 PM
Makala
AN-NUUR
Na Shaban Rajab
ANNUUR NEW.indd 6
unapovipata. Hulka ya
mwenye kutamani mara
nyingi hatosheki. Akipata
mia anatamani kupata na
mia nyingine. Kadhalika
aliyetopea kwa starehe
hakinahi. Akistarehe leo na
kesho atataka aendelee na
starehe nyingine.
Binadamu anaweza kuwa
na raha kama atabarikiwa
kuwa na vitu vinavyoonekana
kuwa ni vya msingi hapa
duniani kama afya, mali, mke,
watoto, hadhi (heshima).
Lakini raha hii kwa binadamu
ni kwa wakati au kipindi
fulani tu, si kwa muda
wote. Hali hii inajitokeza
kwasababu ni vigumu
binadamu kufurahi muda
wote wa maisha yake, kwa
kuwa hana pa kuziweka
hisia za matatizo ya kidunia
kama vile hofu na wasiwasi
na hali ya kutotosheka au
kuridhika, matatizo ya uzao,
ya nyumbani nk.
Kwa maana hiyo, raha
kamili katika maisha ya
binadamu hapa duniani
kamwe haiwezi kupatikana.
Labda katika maisha mengine
baada ya yale ya dunia. Raha
au starehe wanazoweza
kuambulia wanadamu katika
maisha ya duniani ni raha
kwa wakati fulani tu.
Mwenyezi Mungu
tunakuomba uilinde jamii
yetu na starehe potofu,
ijaalie kufuata njia ya haki na
kuionyesha popote ilipo batil
ili waikimbie na uiwezeshe
kuifuata haki ilipo ili
utunusuru (Amiin).
5/4/2016 3:26:52 PM
Hoja ya Visram
AN-NUUR
Na Nizar Visram
RAIS wa Marekani Barack
Obama amekiri kwa mara
ya kwanza kwamba serikali
yake ilishindwa katika
uvamizi wa Libya mwaka
2011. Amesema hilo huenda
ndilo kosa kubwa zaidi
alilolitenda wakati wa utawala
wake. Bw Obama amesema
Marekani haikua na mpango
mahususi wa jinsi Libya
itakavyotawaliwa baada ya
kuuliwa kwa mtawala wake
Kanali Muammar Gaddafi
tarehe 20 Oktoba 2011.
Obama alisema haya katika
mahojiano ya hivi majuzi na
runinga nchini Marekani.
Matokeo yake ni kuwa Libya
imetumbukia katika dimbwi
la matatizo baada ya nchi hiyo
kusambaratika.
Mwanzoni NATO walidai
kuwa lengo lao lilikuwa ni
kuwalinda raia wa Libya ili
wasishambuliwe na majeshi ya
Gaddafi. Lakini baada ya muda
wakaamua wampindue Gaddafi
na kuikabidhi nchi kwa waasi.
Siku za nyuma Obama amewahi
kuwalaumu wenzake wa NATO.
Amesema waziri mkuu wa
Uingereza, Bw David Cameron
hakufanya matayarisho ya
kutosha walipoanza uvamizi wa
Libya. Pia Obama alimlaumu
rais wa wakati huo wa Ufaransa,
Bw Nicolas Sarkozy.
Matokeo ya makosa yote
haya ni kuwa Libya ambayo ni
nchi iliyo na utajiri mkubwa
wa mafuta, sasa imemeguka
vipande vinavyotawaliwa na
makundi ya waasi waliopewa
silaha, mafunzo na fedha
na NATO. Baada ya majeshi
ya NATO na waasi kumuua
Gaddafi na kupindua serikali
yake, waasi wakaanza
kugombania ngawira. Kila
kikundi chenye silaha kikadai
maeneo yake na ndipo
wakaanza kushambuliana na
kuwashambulia raia.
Wakati wa mauaji ya Gaddafi
benki kuu ya Libya ilikuwa
na akiba ya dola bilioni 85.
Waasi wakaanza kupora
hazina hii ya wananchi na
ndipo vita vipya vikaanza
ANNUUR NEW.indd 7
mafunzo.
Kwa mujibu wa gazeti la
The Washington Post Clinton
alishauriwa na wanasheria wa
wizara yake kuwa kuivamia
Libya ni uhalifu wa sheria ya
kimataifa. Makamo wa rais
Bw Joe Biden na mshauri wa
Obama wa mambo ya usalama
wa taifa, Bw Tom Donilon nao
walipinga mpango wa kuivamia
Libya. Clinton alipuuza ushauri
wao na akafaulu kumfanya
Obama atoe misaada ya kijeshi
na kifedha kwa waasi. Mabilioni
ya dola yaliyokamatwa kutoka
akaunti za serikali ya Gaddafi
yalikabidhiwa kwa waasi.
Katika mkutano nchini
Uturuki, Clinton pia
alizishawishi serikali 30 za Ulaya
na Uarabuni kuwasaidia waasi.
Mara nyingi vyombo vya
propaganda vya magharibi
vimekuwa vikitulisha uwongo
kuwa uvamizi wa Marekani
na NATO katika nchi kama
Iraq, Libya na Syria ni kwa
madhumuni ya kuondoa
udikteta na kuleta demokrasia.
Ukweli ni kuwa mashambulizi
haya ni matokeo ya mikakati
iliyopangwa kwa muda mrefu
ili kutimiza lengo lao la kisiasa
na kiuchumi. Ushahidi mmoja
ulitolewa na Jenerali Wesley
Clark wa Marekani, aliyeongoza
majeshi ya NATO akiwa
kamanda mkuu wakati wa
uvamizi wa Yugoslavia mnamo
1999. Yeye alitamka kuwa
Marekani siku zote ilikuwa na
mpango wa kuzivamia nchi saba
katika muda wa miaka mitano.
Nchi zenyewe alizozitaja ni Iraq,
Syria, Lebanon, Libya, Somalia,
Sudan na mwishowe Iran.
Mwaka 2004 Jenerali (mstaafu)
Clark alijaribu kugombea urais
wa Marekani kwa niaba ya
chama cha Democratic lakini
hakuteuliwa na chama hicho
Mnamo 2007 mtangazaji
Amy Goodman wa runinga ya
Democracy Now alimuuliza
Clark kuhusu mkakati huu.
Clark akasema alipokuwa jeshini
alitembelea makao makuu
ya wizara ya majeshi jijini
Washington na huko akauona
waraka wa siri ulioelezea
mkakati huo. Jenerali Clark
alisema ni jambo la kawaida kwa
marais wa Marekani kuanza
kugundua makosa yao baada
ya kuachia madaraka. Kwa
mfano rais George W Bush
katika kitabu chake cha 2010
anazungumzia uvamizi wa
Iraq akisema alifanya makosa.
Halafu naye rais Clinton mnamo
2008 alisema alifanya makosa
makubwa wakati wa mauaji ya
halaiki nchini Rwanda mnamo
1994.
Kuhusu uvamizi wa Iraq hata
waziri mkuu wa Uingereza,
Bw Blair aliomba radhi kwa
5/4/2016 3:26:54 PM
8
NILIPATWA na ugumu kweli
kuamini kuwa Yesu hakufa
msalabani
Hayo yalikuwa ni maneno
ya Balqis Chepkwony (awali
akiitwa Caroline Chelangat
Chepkwony) baada ya kusoma
kitabu cha Mhadhiri maarufu wa
Kiislamu wa Afrika Kusini na
mzaliwa wa Pakistan, marehemu
Ahmed Deedat, kiitwacho
Crucifixion or Cruci-fiction (Ni
kweli Yesu kasulubiwa au ni
ubunifu tu!)
Caroline Chelangat
Chepkwony, alikuwa
mwanafunzi mwenye juhudi
sana na siku zote alikuwa
akishika nafasi ya juu katika
maisha yake ya masomo ya shule
ya msingi. Baba yake alitaka awe
daktari wa binadamu, lakini
Mzungu mmoja rafiki wa baba
yake alishauri Caroline awe
mtakwimu bima (Actuary) na
wakafuata ushauri ule.
Kama ilivyo kawaida katika
mataifa mengi ya Kiafrika, ni
wanafunzi wafanyao vizuri
zaidi tu kitaifa, ndio wanaoweza
kupata nafasi katika shule
chache za serikali. Nchini
Kenya Caroline Chelangat,
alikuwa mmoja wa wanafunzi
walioteuliwa kuendelea na
elimu ya sekondari katika
shule ya serikali. Alichagua
katika shule ya sekondari ya
Alliance (Alliance Girls High
School), shule inayotambulika
kwa kutoa elimu nzuri na
kufaulisha watoto sana, sifa zake
zikitawala katika vyombo vya
habari vya redio, televisheni
na magazeti kinapofika kipindi
cha kutangazwa matokeo.
Wanafunzi wa hapo wakipenda
kuiita shule yao bush
(kichaka) na wanafunzi wakiitwa
busherians (wanakichaka). Jina
hilo lisilo rasmi limetokana na
msitu mkubwa uliozunguka
shule hiyo. Shule hiyo mara
kwa mara imekuwa ikifanya
vyema katika mitihani ya taifa
kidato cha nne, ikiwa ni kawaida
kuingia kumi bora katika shule
za Kenya.
Baada ya kufanya vizuri
katika mitihani hiyo ya elimu ya
sekondari, alifaulu kwa kupata
wastani wa alama A katika wa
masomo yote Alipata daraja
la juu la (A) katika masomo
ya sayansi ya Hesabu, Fizikia,
Kemia, Komyuta na Jiografia.
Moja kwa moja Caroline
alinyakuliwa na Chuo Kikuu cha
Nairobi (UoN), Chuo kikubwa
zaidi nchini Kenya, ambacho
kilimchukua kwa kitivo cha
somo la Hesabu, akisomea
Utakwimu Bima (Actuarial
Science).
Wakati huo kilikuwa ni Chuo
Kikuu hicho cha Nairobi pekee
nchini Kenya kilichokuwa
kinatoa shahada ya Utakwimu
Bima. Mwaka huo 2002, Chuo
cha Nairobi kilikuwa kikichukua
wanafunzi 16 tu, Kenya nzima
waliochaguliwa na serikali na
ANNUUR NEW.indd 8
Makala
AN-NUUR
5/4/2016 3:26:54 PM
Makala/Tangazo
AN-NUUR
ANNUUR NEW.indd 9
5/4/2016 3:26:59 PM
10
MAKALA
Na Omar Msangi
ANNUUR NEW.indd 10
AN-NUUR
Command.)
Ilikuwa ni mwaka 2007
ambapo Africom iliundwa,
lakini makao makuu yake
yakiwa Stuttgart, Ujerumani
huku ikielezwa kuwa Kamandi
hiyo itaigawa Afrika katika
makundi matano yote yakilenga
kuhudumia jumuiya na umoja
wa kikanda wa kiuchumi ndani
ya Afrika (Africas main Regional
Economic Communities). Timu
moja itashughulika na nchi za
Algeria, Libya, Mauritania,
Morocco na Tunisia (Arab
Maghreb Union). Kanda yetu ya
Afrika Mashariki-East African
Community (EAC) ikiwa
na nchi za Burundi, Kenya,
Rwanda, Tanzania na Uganda,
nayo itakuwa na watu wake
mahsusi ndani ya Africom wa
kuishughulikia.
Kanda nyingine ni ile ya
Economic Community of West
African States (ECOWAS), ikiwa
na nchi za Benin, Burkina Faso,
Cape Verde, Cote dIvoire,
Gambia, Ghana, Guinea-Bissau,
Liberia, Mali, Nigeria, Senegal,
Sierra Leone na Togo.
Kuna pia zile nchi za Jumuiya
ijulikanayo kama Economic
Community of Central African
States (ECCAS). Hizi ni Angola,
Burundi, Cameroon, Central
African Republic, Chad,
Republic of Congo (Brazzaville),
Democratic Republic of Congo
(Kinshasa), Equatorial Guinea,
Rwanda na Sao Tome na
Principe. Hizi nazo zitakuwa
na deski lake ndani ya Africom.
Ukitoka hapo unakutana na
Inaendelea Uk. 11
5/4/2016 3:27:02 PM
11
Inatoka Uk. 10
kikijulikana kwa jina la East
African Standby Brigade
(EASBRIG) ambayo makao
makuu yake yapo katika Chuo
cha Maofisa wa Kijeshi (Defence
Staff College) Karen, Nairobi.
Humo kukiwa na wataalamu
wa kijeshi kutoka Marekani
na nchi za Ulaya. EASBRIG
ina wanajeshi kutoka Burundi,
Comoros, Djibouti, Eritrea,
Ethiopia, Kenya, Madagascar,
Mauritius, Rwanda, Seychelles,
Somalia, Sudan, Tanzania na
Uganda. Gazeti la The Nation,
la Oktoba 29, 2009, lilimnukuu
mmoja wa makamanda wa
kijeshi wa Kenya Julius Karangi,
akieleza uwepo wa EASBRIG
katika Kenya halikadhalika
uwepo wa makamanda wa
kijeshi wa kigeni ambao
alisema kuwa watasaidia
sana kuimarisha kikosi hicho
maalum.
Aidha, inaelezwa kuwa U.S.
Africa Command (Africom)
itafanya kazi bega kwa bega na
EASBRIG katika kupambana na
magaidi eneo hili la Afrika chini
ya ule mkakati wa ujumla wa
Vita dhidi ya ugaidi (Global War
on Terrorism).
Kwa hiyo katika mazungumzo
rasmi ya kiserikali yanayowekwa
hadharani, Africom ni sadaka
kwa Waafrika. Ni msaada
unaokuja kwa hisani ya watu
wa Marekani kutokana na roho
nzuri na huruma ya Wamarekani
kutaka kutuimarisha kiulinzi
na usalama. Ndio maana
ukaona hivi sasa kuna
harakati na program nyingi za
mafunzo, misaada ya kijeshi
na yanayoitwa mazoezi ya
pamoja. Na ili kuhakikisha
kuwa program hizo zinakwenda
vizuri, tayari jeshi la Marekani
lina kambi za kijeshi (military
bases) katika nchi kadhaa za
Kiafrika.
Katika mlango huo wa
kusaidia kutujengea uwezo wa
kiusalama, imepatikana sababu
ya Marekani kuwa na kambi
zake za kijeshi katika nchi zetu
kwa ridhaa yetu wenyewe!
Swali ni je, utando huu wa
kijeshi ukishalikamata Bara
zima, nchi za Kiafrika na Bara la
Afrika litabakia tena kuwa huru?
Hivi ndani ya nchi yako
kukiwa na kambi ya Marines
na ghasia zake zote za vifaa vya
kisasa vya kijeshi, jeshi la nchi
yako litakuwa tena na kauli?
Wenye Marines katika ardhi
yako, wakitaka jambo kutoka
kwako, unaweza kuwakatalia?
Ukiwa na jeshi ambapo
makamanda wake wanapokea
maelekezo na kupewa mafunzo
na U.S. Africa Command
(USAFRICOM) pamoja na
Special Operations Command
(SOCAFRICA), bado utasema
kuwa hilo ni jeshi lako?
ANNUUR NEW.indd 11
Makala
AN-NUUR
kilihudhuriwa na wazito wa
makampuni ya mafuta, maofisa
wa serikali na mtaalamu wa
kijeshi katika Afrika Lt-Col.
Karen Kwiatkowski pamoja na
Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje
anayeshughulikia Afrika (wakati
ule wa Bush) Water Kansteiner,
ndiko kulikoibuka program hizi
tunazozishuhudia leo katika
Africom.
Likiripoti juu ya habari hizi,
gazeti la The Christian Science
Monitor linasema kuwa ilikuwa
ni katika kikao cha Januari
2002 kule Houston, Texas,
kilichoandaliwa na kundi
linalojiita African Oil Policy
Initiative Group (AOPIG),
ambapo yaliibuka mambo mengi
yaliyoongoza sera za Marekani
kwa Afrika, hasa katika masuala
ya raslimali, na hasa mafuta.
Katika uchambuzi waAFRICOM and the USAs
Hidden Battle for Africa, vita
dhidi ya ugaidi inatumiwa kama
kisingizio kuficha lengo halisi la
5/4/2016 3:27:07 PM
12
AN-NUUR
TANGAZO
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi
bora ya Kiislamu. Shule hizi ni za BWENI za mchanganyiko wa wavulana na wasichana.
Zipo Combinations zote za SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
Muombaji awe na ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit (yaani A, B na C)
Daraja la III (Division three) au zaidi na Grade D kwenye masomo ya Combination.
Mwisho
nini
tarehe
30/05/2016
Mwishowa
wakurudisha
kurudishafomu
fomu
tarehe
02/05/2016.
Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000= katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:
: 0716
488444/0653 705627.
MTWARA: Ofisi ya Islamic Education Panel,
Mtaa wa Magomeni A mkabala njia panda ya
uwanja wa ndege: 0715 465158/0787 231007.
SONGEA: Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa
NURU : 0713249264. Mkuzo Islamic High
School :0654 876317
MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini
0785425319. Rexona Video mkabala na
Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa: Sumbawanga:Jengo la Haji Said
Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786
313830
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya:
0784
944566/0718 556355. Nzega - Dk. Mbaga-0754
576922/0784576922.
IRINGA: Madrastun Najah: 0714 522 122.
PEMBA: Wete: Wete Islamic School : 0777
432331/0712772326.
UNGUJA: Madrasatul Fallah: 0777125074.
PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na
uwanja wa Lumumba
544757/0718661992
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education. Panel
karibu na Nuru snack Hotel : 0786
425838/0784 928039.
MANYARA: Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid
Rahma: 0784491196
KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727.
Kibondo Islamic Nursery School:
0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS:
0714710802/0763 298440
MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na
LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783
msikiti mkuu : 0773580703.
ANNUUR NEW.indd 12
4/18/2016 5:23:55 AM
5/4/2016 3:27:08 PM
13
ANNUUR NEW.indd 13
Yaonekanavyo mayai ya
Hudhud.
AN-NUUR
WAENGEREZA wameweza
kumtambua na kumpa hifadhi
Hudhud katika karne ya 18
tumuangamize? Jawabu unayo
wewe. Fawtana na mie katika
makala hizi wanyama waliotajwa
katika Quran. Atakayofwatia ni
mbwa.
5/4/2016 3:27:11 PM
14
MAKALA/MASHAIRI
TUFUNGENI SHAABAN
Rajabu i ukingoni, aula kukujuzeni,
Na Shabani i njiani, kesho kutwa si mwakani,
Mbeleye ni Ramadhani, si baidi kwa mizani,
Shabani imewadia, tujiandae kufunga.
Muhammad adinani, alikifunga Shabani,
Pima wake uthamani, ujisaili kwanini,
Thuma ujitathimini, kwa RAHMANI unani,
Shabani imewadia, tujiandae kufunga.
Hakuacha asilani, kuifunga maishani,
Siku moja 'sijedhani, bali wote karibuni,
Mimi nawe kulikoni, kutoifunga Shabani,
Shabani imewadia, tujiandae kufunga.
Twaridhika tuna nini, nijuzeni ikhiwani,
Kulikoni na kwanini, tusiifunge Shabani,
Tumgeze adinani, kwa kuifunga Shabani,
Shabani imewadia, tujiandae kufunga.
Haya shime waumini, wa Bara na Visiwani,
Tutie nia moyoni, ya kuifunga Shabani,
Ya ILAHI tuauni, tujeifunga Shabani,
Shabani imewadia, tujiandae kufunga.
ABUU NYAMKOMOGI
ANNUUR NEW.indd 14
AN-NUUR
ambao walifanya
juhudi zao kwa
kujitolea mali nguvu
zao na kufanikisha
uwepo wa Masjid Nur
na kuendelezwa mpaka
sasa.
Hata kama Msikiti
huo wa matope ulihitaji
fundi, lakini wao
wenyewe waliweza
kujitoa na kuweza
kuujenga kwa ajili
ya kupata sehemu
ya kufanyia ibada na
kusomeshea watoto
wao kwani Madrasa
pia ilikuwepo tokea
awali. Anaeleza Imam
Malange.
Mbali ya kusajili,
timu hiyo ya uongozi
pia ilifatilia namna
ya umilikishwaji wa
ardhi hiyo kisheria
kwa ajili ya shuhughuli
mbalimbali za kidini,
hali ilikwenda hivyo
kidogo dogo mpaka
miaka ya 1990s.
Hapakuwa na
utaratibu ulio bora
katika mikakati
ya uongozo lakini
tunaweza kusema
kwamba kwa wakati
huo ndio ilikuwa
kiwango chao kwa
kadri walivyo jaaliwa
na kuweza kusimamia
hatua hizo na kuweka
msingi imara wa kituo
na mpaka sasa kufikia
hivi kilivyo. Anaeleza
Imam Malange.
Mwaka 1993,
upana wa shughuli za
kiharakati Msikitini
hapo katika sekta ya
elimu ziliongezeka
zaidi kutoka Madrasa
mpaka Shule ya Awali
(Nursery School), na
ilipofika mwaka 2002,
kituo kilipiga hatua
zaidi kwa kuanzisha
Shule ya Msingi
(Primary School).
Kwa ujumla vituo
vyote vinne vya
elimu chimbuko lake
ni Madrast Ikhlasi,
iliyoanza miaka hiyo
sambamba na Masjid
5/4/2016 3:27:13 PM
15
Inatoka Uk. 8
makubwa makubwa au
mashirika ya bima.
Hii ilidhihirika ukweli wake
pale makampuni mbalimbali
yalipoanza kumgombania,
wakianzia na kima cha chini
cha mshahara cha Kshs 40 000
(takriban 482 $ au Tshs 748,300)
kwa mwezi wakati huo.
Ingawa alikuwa hayupo
sawa kifedha wakati huo, Balqis
alikataa kazi zote hizo kwa
sababu aliamini kufanya kazi
katika makampuni ya bima na
mabenki hayo ya kibiashara,
ilikuwa ni haram kwa sheria za
Kiislamu.
Kha! Atakuwa kashaanza
kuwa mwehu!, Hivyo
ndivyo walivyosema rafiki na
ndugu. Lakini kwa upande
wake, ilikuwa ni makosa
na kinyume cha maadili
(unethical) kufanya kazi katika
mashirika yanayoendekeza
riba yakipingana na maneno ya
Mwenyezi Mungu: Mwenyezi
Mungu ameihalalisha biashara
na ameiharimisha riba.[Q
2:275].
Alikuwa na yakini kuwa
akijitenga na kitu kwa ajili ya
Allah (sw), basi Mwenyezi
Mungu atamfidia na kitu kingine
bora kuliko alichokiacha. Alifata
maneno ya Mtume Muhammad
kwa nguvu zote.
Huwezi kuacha chochote
kwa ajili ya Allah, aliyetukuka,
ila atakupa kingine bora badala
yake.
Balqis alipozwa moyo
na mafundisho ya Uislamu
yaliyompa faraja, tumaini na
nguvu: Enyi watu, muogopeni
Mola wenu, na muwe na kiasi
katika kutafuta maisha ya
dunia, kwani hakuna roho
itakayoondoka bila kupokea
vyote ilivyokadiriwa, hata kama
vinachelewa. Hivyo muogopeni
Allah na mumche, muwe na
kiasi katika kutafuta rizki;
chukua lile lililoruhusiwa na
uwache lililokatazwa.
Badala yake, Balqis akaamua
kufanya kazi katika kampuni
ya ukaguzi wa mahesabu
iliyoko huko Nairobi, karibu
na barabara iitwayo Mombasa
Road. Hapo alikuwa akilipwa
Kshs 10,000 (takriban 120 $
au Tshs 187,000) kwa mwezi.
Kutoka katika mshahara huo,
alitenga Kshs 2500 (takriban 30 $
au Tshs 46,760) kulipia chumba
huko Eastleigh, sehemu iliyopo
kiunga cha jiji la Nairobi.
Ukiachilia mbali gharama
nyengine kama matibabu,
mshahara wa Balqis haukuwa
ukimtosha ila yeye aliendelea
kuvumilia.
Baada ya mwezi, akapata
kazi nyengine kama msarifu
(bursar) wa Shule ya Sekondari
ya WAMY (WAMY High School)
akipokea kiasi cha shilingi za
Kenya 20 000 (takriban 241 $ au
Tshs 374,000).
ANNUUR NEW.indd 15
Makala/Tangazo
AN-NUUR
5/4/2016 3:27:17 PM
Makala
16
Na Bakari Mwakangwale
ANNUUR NEW.indd 16
Muungano
AN-NUUR
hazikuthibitishwa na
Zanzibar, na kama hati hizo
zipo kweli, si halali kwa
sababu hazikuweza kupata
ridhaa ya wananchi wa
Zanzibar.
Lakini pia hizo siku
za kwanza za Muungano
ni kipindi muhimu kwa
wajumbe (wa Bunge la
Katiba) mkakielewa kwa
sababu mambo makubwa
yalitokea katika miezi
miwili ya kwanza baada ya
Muungano. Amesema Mh.
Lissu, akiwa Bungeni.
Mh. Lissu, akizunguzmia
zaidi Muungano huo,
katika Bunge la Katiba,
aliomba kuzungumzia zaidi
kile ambacho watu wengi
wamekiita Tanganyika
kuvaa joho la Tanzania na
Tanganyika kujigeuza kuwa
Jamhuri ya Muungano.
Mh. Lisu, alithibisha hilo
kwa kurejea kitabu cha Mzee
Pius Msekwa, aliyekuwa
Makamu Mwenyekiti wa
CCM na Spika wa Bunge la
Jamhuri la Muungano.
Alileza kuwa Mzee
Msekwa, ameandika kuwa
siku hiyo ya Muungano,
Apri 26, 1964, Mwl. Nyerere,
alitunga amri mbili siku hiyo
hiyo ya Muungano.
Alisema, amri ya kwanza
iliitwa Amri ya masharti ya
5/4/2016 3:27:18 PM
17
MAKALA
Udini-2
Na H. Hashim
ANNUUR NEW.indd 17
AN-NUUR
5/4/2016 3:27:22 PM
18
Makala
Tawhiid -9
Na Mussa Ame
ANNUUR NEW.indd 18
AN-NUUR
5/4/2016 3:27:29 PM
19
M
Ukurasa wa Watoto
Uislamu ni usafi
AN-NUUR
5/4/2016 3:27:31 PM
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Soma
gazeti
la 6 - 12, 2016
SHAABAN 1437,
IJUMAA MEI
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
AN-NUUR
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.
ANNUUR NEW.indd 20
5/4/2016 3:27:36 PM