Вы находитесь на странице: 1из 20

www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.

com

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST


(8) MANUFAA YA HIJJA

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1229 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 13-19, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Mtume(saw) amesema, Mwenye kwenda


kuhiji akifa safarini anatiwa Peponi. Akirudi
salama kwao anarudishwa na ujira mkubwa
na zawadi nyingi. Hijja humnufaisha
anayekwenda na pia watu wake kutokana
na "ZAWADI" za Allah kwa wageni wake.
Gharama zote kwa Hijja 2016/1437 ni Dola
4,600. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,700.
Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi:
Tanzania Bara: 0679895770/ 0688895777;
0765462022; 0712735363. Zanzibar:
0777468018; 0777458075; 0777845010;
0777497300.

Baa la kutisha linakuja!


Kimeta! Kimeta! Antharx! Kama ilivyoundwa Injini V-8:
Afrika Mashariki wajiandae

Kensa inatibika

Mohammed Abdi Ali

Mkuu wa Jeshi la Polisi Kenya, Inspector General Joseph Boinnet.

Nuseiba Mohammed Haji

Mbunge Konde aijia juu Serikali


Ni kwa kupandikiza wajane, mayatima
Atoa kimondo cha Aya kumshitakia Allah
Rungu la muungano linatumika vibaya-Lissu

LEO hamna aibu wala haya. Mmefikia


hatua ya kuwaweka mahabusu Wanazuoni
wa Zanzibar. Kwa miaka mitatu sasa,
mnawanyima kukaa na watoto wao na wake
zao. Mnawafanya wake zao kuwa wajane
ili hali waume zao wapo. Watoto kuwa
mayatima wakati baba zao wapo. Huu ni
Muungano gani.

Zipo dawa za ugonjwa huu, lakini


Wapo mahasidi wanazikwamisha
Wajue baadhi yao na vitimvi vyao

Mh. Khatibu, Mbunge wa


Konde, Zanzibar.

UGONJWA wa
saratani unaua wastani
wa watu milioni 8.2
duniani kote kwa
mwaka!
Inakisiwa kuwa hadi
kufikia mwaka 2030,
vifo vinavyotokana na
saratani vitaongezeka
hadi kufikia watu
milioni 13 kwa mwaka!
Hali iko hivyo kwa
sababu kuna imani
imejengwa kwa

muda mrefu kwamba


ni ugonjwa ambao
hauwezi kutibiwa
kwa njia nyingine
yoyote zaidi ya mionzi
(radiation), dawa hatari
za kemikali (chemo) na
upasuaji (surgery).
Na kuwa wanaodai
kuwa wanaweza
kuutibu kwa njia
nyingine zozote zile,
ni waongo! Lakini je,
madai haya ni kweli?
(Soma: Uk. 10)

TAMPRO mna kesi ya kujibu

Soma: Uk. 4

AN-NUUR

Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

Suratu An-faal:44

Na lau wangeendelea
Waislamu katika
kuwaona maadui
zao kuwa wachache,
wangewadharau.
Wasingewachukua
machukizo ya jitihada
kwa sababu binadamu,
kwa sababu ya mazoea,
huwa anausahau
msaada wa Mwenyezi
Mungu katika nyakati
Fethullah-Gulen
za raha na utulivu.
Ni jambo lenye
KUMBUKENI wakati faida hapa kulielezea
aliyewaonyesha
jambo jengine. Nalo
ni wao maadui
ni kwamba malaika
wakati mlipokutana
ambao walipelekwa
katika macho yenu
kwa ajili ya kutoa
kuwa wachache na
msaada katika vita vya
anawaonyesha nyingi
Badr, hawakupigana
kuwa wachache katika upiganaji wa binadamu
macho yao ili atimize
kwa sababu wao
Mwenyezi Mungu
walipelekwa kwa ajili
jambo ambalo lilikuwa ya kuuvunja moyo
ni lenye kutendeka.
upande wa maadui
[AL-ANFAAL 44]
na kuupa nguvu
Jambo hili lilitokea
moyo wa waumini.
katika vita vya Badr.
Na lau wangeshiriki
Wale ambao walishiriki Malaika katika vita
katika Waislamu katika kushiriki kwa vitendo,
vita hivi hawakuwa
ulimwengu wa
mpaka siku hiyo
sababu ungeharibika
wameshuhudia vita vya na kusingekuwa
hakika. Na kunapasa
kunapatikana kwa mtu
kutosahau kwamba
yeyote kufikia kwenye
wao wakati walipotoka daraja la mpiganaji
Madina, haikuwa niya
na huimaliza
yao kuingia katika
wategemezi msaada wa
vita, bali kufuatilia
Mwenyezi Mungu na
msafara wa kibiashara. uangalizi wake. Ama
Kwa msingi huu,
msaada wa Mwenyezi
(ilitarajiwa) Waislamu
Mungu katika dunia
wangetishika.
hii, ambayo ni nyumba
Isipokuwa wakati vita
ya majaribio, msaada
vilipoanza na kukawa
huo unakuja chini ya
hakuna nafasi yoyote
kifuniko na chini ya
ya kujilinganisha,
pazia.
Mwenyezi Mungu
Kwa hakika
aliwaonyesha hali ya
kuonyesha Mwenyezi
uhakika ya maadui
Mungu idadi ya
zao ili wategemee juu
mushirikina kuwa
ya Mwenyezi Mungu
wachache katika
pekee na wakimbilie
macho ya Waislamu,
kwenye msaada wake.
kabla ya kuanza vita

na kupamba moto
kwake, kulikuwa kwa
ajili ya kuzima kuzuka
kwa ukataji tamaa
wowote katika nyoyo
(za Waislamu) na
vile vile kuhakikisha
matayarisho ya kiroho
na shauku ya kiroho
kwa ajili ya kupata
shahada katika
nyoyo. Ulikuwa huu
ndiyo msaada wa
kwanza wa Mwenyezi
Mungu, na rehma ya

Mwenyezi Mungu
ya kwanza kama
ambavyo kulikuwa
kuifanya chache
idadi ya Waislamu
katika macho ya
maadui kulikuwa
ni namna nyingine
ya msaasda wa
Mwenyezi Mungu.
Kwa utaratibu
huo tu, kulikuwa
wepesi kuwatumia
maswahaba
wa mjumbe wa
Mwenyezi Mungu
(s.a.w.) ili kufikia
matakwa ya
Mwenyezi Mungu.

Kisha kila upande


ulishuhudia idadi
ya hakika ya upande
wa pili, isipokuwa
makadirio ya Mwenyezi
Mungu yakuwa
yameanza wakati
waumini walizikuta
nafsi zao katikati ya
vita.
Kwa msaada kutoka
kwa Mwenyezi Mungu
na kutia nguvu kwake
na kwa mpango wa
mkakati mzuri wa
vita kwenye ushindi
walionja mushirikina
ambao wako mbali,
uchungu wa
kushindwa. Walirudi
nyuma hali ya kurudi
utupu hali ya kuwa
wamepata hasara.

Mwandamo wa mwezi
Leo ni Tarehe 6 Shaaban mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 13 May,
2016. Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan na
Tarehe 7 June 2016 tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea
hii leo Ijumaa ya tarehe 6 May 2016 hadi kufika kuanza mfungo wa
Ramadhani tumebakisha siku 24.

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA


JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA:50
W

12:25

7:30

8:9

7:22

50:34

914

114

22

49:6

MASUALA NA JAWABU
1. Itaje Sura ipi na aya ya ngapi? Na wote wawili wakakimbilia mlangoni, na
mwanamke akairarua kanzu yake Yusuf kwa nyuma. Na wakamkuta bwana wake
mlangoni. Mwanamke akasema: Hapana malipo ya mwenye kutaka kumfanyia maovu
mkeo isipo kuwa kufungwa au kupewa adhabu chungu. Jawabu : 12 :25
2. Itaje Sura ipi na Aya yangapi? Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari
yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua, na mkawa tena wenye
kujuta kwa mliyo yatenda. Jawabu : 49 :6
3. Itaje Sura na Aya ya ngapi (Ataambiwa) ingieni kwa salama. Hiyo ndiyo siku
ya daima dawamu Jawabu : 50 :34
4. Zipo Sura ngapi katika Quran? Jawabu : 114
5. Zeynab, Rukaya, Ummul Kulthum, Fatma hawa ni akina nani? Jawabu : Watoto
Mtume SAW
6. Kipando cha mnyama aliompanda Mtume Muhammad (SAW) katika safari ya
Miraj anaitwaje? Jawabu : Buraq
7. Vitabu vitukufu waliopewa Mitume ni Taurat, Zaboor, Injeel na .. Jawabu
: Quran
8. Surat Al Faatiha ina aya ngapi? Jawabu : 7
9. Unaposhukuru unatakiwa useme kalima gani? Jawabu : Alhamdulillahi
10. Kitabu cha Injeel kateremshiwa Mtume yupi? Jawabu : Issa

CHEMSHA BONGO: 51

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
D

14:2

IU

42

555

224

5:1

47:1

3:2

6:5

14:2

MASAUALA
1. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na
Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
2. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi
Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.
3. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu:
Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini
sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi
mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa
mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa
tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa
na adhabu chungu.
4. Mtume yupi aliotumwa kuwa Rehma kwa Ulimwengu, Issa, Mussa Muhammad
(SAW)?
5. Taja jina la Mtume aliozaliwa kimiujiza pale mama yake hakukutana na
mwanamume? Mussa, Issa, Nuh.
6. Ashabul Kahf-Watu wa pangoni walifwatana na mnyama gani?
7. Lini Uislamu ulianza? Wakati wa Mtume Nuh, Adam, Ebrahim?
8. Kalenda ya Kiislamu huitwa kwa jina gani?
9. Mwezi upi uliokatikati baina ya Rajab na Ramadhani?
10. Itaje Miezi 4 Mitukufu iliotajwa katika Quran.

Jee Unajua?

1. Kati ya nchi zinazoongoza ujenzi wa Meli katika zama hizi ni Japan, Korea ya
Kusini na China: https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_the_largest_shipbuilding_
companies na http://www.bloomberg.com/news/articles/2015-07-29/world-s-top-3shipbuilders-post-record-loss-on-deep-sea-failures
2. Mwaka wa wa 2015, Toyota iliuza magari 1,339,024 ikiwa ndio kampuni iliouza
magari mengi kwa wakati mmoja katika mwaka huo: http://driving.ca/toyota/corolla/
auto-news/news/the-top-10-best-selling-cars-in-the-world-for-2015
3. Kati ya ndege za abiria 10 ambazo zina uwezo ya kubeba abiria wengi na kusafiri
kutoka kona moja ya Ulimwengu na kwenda nchi nyengine ni Airbus A380-800: http://
www.aviationcv.com/aviation-blog/2015/top-10-largest-passenger-aircraft-in-the-world
4. Kati ya ndege zinazoongoza kufanya ajali na ukiipanda inakuwa roho mkononi
ni ndege iliundwa katika nchi iliokuwa ikiitwa Czechoslovakia katika miaka ya 1970.:
http://www.therichest.com/rich-list/most-shocking/top-10-most-dangerous-passengerplanes-currently-in-service/?view=all
5. Mji wa Hon Kong ndio wenye majengo yenye urefu mkubwa ukiwa na majengo
314 ukifwatiwa na Mji wa New York wenye majengo 240: https://en.wikipedia.org/wiki/
List_of_cities_with_the_most_skyscrapers na http://list25.com/25-cities-in-the-worldwith-the-most-skyscrapers/5/
6. Nchi zenye vijana wengi katika idadi ya watu duniani kwa asimila ya jumla watu
waliopo wapo katika bara la Africa, nchi yenye vijana wengi kwa asilimia ni TimorLaste asilimia 68.892, Uganda asilimia 68.729, Chad asilimia 68.528, Niger asilimia
67.631, Afghanistan asilimia 67.512, Angola asilimia 67.038, Somalia asilimia 66.742,
Zambia asilimia 66.378, Mali asilimia 66.268, Malawi asilimia 66.093: http://passblue.
com/2015/02/10/the-top-10-youngest-nations-by-population-theyre-mainly-in-africa/
7. India ndio nchi namba moja kuwa na idadi kubwa ya vijana ikiwa ana vijana
356 milioni kati ya umri wa miaka 10 na 24: http://articles.economictimes.indiatimes.
com/2014-11-18/news/56221890_1_demographic-dividend-youth-populationosotimehin
(Kutokana na kutokuwa na wasomaji wengi katika Ukumbi wa Uwanja wa
Maarifa na kutopata majibu ya kuuboresha huu wa Uwanja wa Maarifa, tunafikiria
kuanzisha ukumbi mwengine, tuma barua pepe zuwarde@gmail.com au ujumbe
mfupi kupitia simu 0777436949 unahisi kipi kiwe mbadala wake?)

3
Na Mwandishi Wetu
KINGORA cha hatari kimelia.
Tunaambiwa kimeta kinakuja.
Kitaanzia Nairobi, Kampala
na kuikumba Afrika Mashariki
nzima na majirani zao.
Kenyan authorities claim to
have foiled potential bio-terror
attack.-By Robyn Kriel and Briana
Duggan (CNN)
'Large-scale' ISIS anthrax attack
is foiled by police: Three people 'who
plotted biological attack in Kenya'
are arrested
*Married couple and woman
arrested in Kenya over anthrax
attack plot
*All three are 'part of an ISISlinked East Africa terror group
network'
*Accused of planning 'largescale' and 'biological' attacks in
Kenya.
ISIS In Kenya: Police Foil
Alleged Anthrax Attack By Islamic
State Group-Linked Medics.
Kenyan police bust ISIS cell
plotting large-scale biological attack.
Kenyan police foil planned Isis
anthrax attack on westerners and
locals in Nairobi.
Hivyo ni baadhi ya vichwa
vya habari vilivyopamba
vyombo vya habari vya
kimataifa juu ya balaa hilo.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi
ya Polisi wa Kenya, wanaoleta
balaa hilo ni wananchi wenzetu,
wana Afrika Mashariki wenzetu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
Kenya, Inspector General Joseph
Boinnet, anasema kuwa, wanaAfrika Mashariki wenzetu hao,
wameamua kutusaliti baada ya
kujiunga na kundi la Islamic
State.
Taarifa kama hiyo imetolewa
pia na Polisi Uganda na kudai
kuwa tayari wamekamata
watuhumiwa kadhaa huku
wengine bado wakisakwa.
Waliokamatwa ni mwanafunzi
wa Shahada ya udakitari
(Degree) Mohammed Abdi Ali,
ambaye alikuwa akikamilisha
mafunzo yake katika hospitali ya
Wote (Wote Hospital, Makueni
County, Kenya.) na mkewe
aliyefahamika kwa jina la
Nuseiba Mohammed Haji.
Nuseiba ambaye ni
mwanafunzi katika Chuo
Kikuu- Kampala International
University, alikamatwa pamoja
na rafiki yake anayeitwa Fatuma
Mohammed Hanshi.
Taarifa zaidi zinafahamisha
kuwa wakati Mohammed Abdi
Ali alikamatiwa Kenya, Fatuma
Mohammed Hanshi na Nuseiba
Mohammed Haji, walikamatwa
wakiwa chuoni Kampala. Wote
walikamatwa Ijumaa iliyopita.
Wakati Polisi wa Uganda
wakisema kuwa wamemkamata
Nuseiba Mohammed Haji na
Fatuma Mohammed Hanshi
wakipanga kufanya shambulio
la kigaidi la kimeta (anthrax)
ndani ya Kampala, Kenya nao

Habari

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Baa la kutisha linakuja!


wakati huo huo, wakadai kuwa
Mohammed Abdi Ali alikuwa
akipanga kufanya shambulio
kama hilo Kenya.
"His network included medical
experts with whom they planned to
unleash a biological attack in Kenya
using anthrax."
Alidai Kamanda Boinnet
akitoa taarifa kwa waandishi wa
habari.
Boinnet akaongeza kuwa
mtuhumiwa Ali ni katika
magaidi wa ISIS walioko Kenya

ambao wana mtandao mpana


unaowaunganisha na magaidi
waliko Somalia, Libya na Syria.
The suspects were planning
large-scale terror attacks akin to
the Westgate Mall attack, with
the intention of killing innocent
Kenyans.
"His network included medical
experts with whom they planned
to unleash a biological attack in
Kenya using anthrax."
Alisema Boinnet akimaanisha
kuwa Ali na mkewe walikuwa

wakipanga kufanya shambulio


kubwa kama lile la Westgate
ambapo wangeuwa Wakenya
wasio na hatia.
Na kwamba ana mtandao
unaowajumuisha madaktari
ambao kwa pamoja wanapanga
na kuratibu mashambulio ya
kimeta (anthrax) ndani ya ardhi
ya Kenya.
Ni kwa sababu hiyo anasema
kuwa, watuhumiwa watakaa
rumande kwa muda mrefu ili
kuwapa fursa makachero wa
kikosi cha kupambana na ugaidiAnti-Terror Police Unit (ATPU),
kufanya uchunguzi wa kina.
Soma uchambuzi Uk. 11.

Na Bakari Mwakangwale

Zanzibar, kwa miaka mitatu sasa,


mnawanyima kukaa na watoto
wao wake zao, mnawafanya
wake zao kuwa wajane ili hali
waume zao wapo, mmewaweka
watoto kuwa mayatima
wakati baba zao wapo, huu ni
Muungano gani, Allaisallah
Biahkamil hakiimiin.
Alisema kwa hisia kali huku
akinukuu, aya hiyo katika Qur
an.
Akisherehesha zaidi, Mh.
Khatibu, alisema hakika
Mwenyezi Mungu atalipa juu ya
udhalimu wote wanaowafanyia
watu wa Zanzibar, na
kwamba ipo siku Mwenyezi
Mungu, atasikia kilio chao na
kubainisha haki iko wapi na wao
(Madhwalimu) watalazimika
kuifata watake wasitake.
Mh. Khatibu, akahoji ni aibu
gani hii?, kwa kuligeuza Gereza
la Segerea, Jijini Dar es Salaam,
kuwa Guantanamo Bay la
Wazanzibar, kwa kuwachukua
Waislamu na Masheikh
wa Zanzibar na kuwaweka
mahabusu kwa kisingizio cha
ugaidi bila ya chembe yoyote
ya ushahidi yenye kuthibitisha
ugaidi wao ndani ya miaka
mitatu sasa.
Akalitanabahisha Bunge
hilo akisema kwamba, kwa
mwenendo huo wanakoelekea
sasa, si kuzuri kwani leo
wanajifariji kwa kuona kwamba
wao (Wazanzibar) hawana
uwezo, lakini watambue kwamba
silaha yao ni umoja wao na kwa
umoja wao huo ndio maana
wameweza kufanya mabadiliko
pamoja na kupokwa haki yao.
Nataka nikuhakikishie
kwamba Wazanzibar wamefika
pahala, pamoja na unyonge
wao, lakini siku ya hukumu
wanaiandaa kwa ajili ya
watu wanao dhulumu haki
za wananchi wa Zanzibar,
pamoja na wale wasakatonge
waliowekwa Zanzibar, ambao
wanakuja hapa (Dodoma) na
kutetea matumbo yao badala ya

kutetea maslahi ya Wazanzibar.


Alisema Mh. Khatib.
Akadai Wasakatonge
(hao) wamekuwa wakiwahoji
wakisema kama hawaitambui
Serikali ya Zanzibar, kwa nini
wapo hapo Dodoma.
Akijibu hoja hiyo akasema,
wapo hapo kuongea na mpiga
filimbi wa kadhia za Zanzibar,
ambaye yupo hapo Dodoma.
Alisema, awali Mwanasheria
Mkuu wa Serikali wakati
anachangia hapo Bungeni
alisema na kujinasibu kwa
mambo mengi akionyesha
uhalali wa kilichofanyika
mwezi Machi 20, 2016, Visiwani
Zanzibar. (Uchaguzi Mkuu).
Aliyasema, aliyoyasema lakini
wanasema wajuzi wa mambo
kwamba, uongo unapoendelea
kusemwa bila kukanushwa
unaonekana ni ukweli. Sasa mimi
niseme kwamba kwa mujibu
wa Katiba ya Zanzibar, kifungu
cha 71 na 72, ambapo kifungu
cha 72, kina sema Mahakama
Kuu ya Zanzibar, ndio pekee
yenye mamlaka na uwezo wa
kusikiliza na kuamua mashauri
yote yanayo husiana na uchaguzi
wa Zanzibar. Alisema akinukuu
Katiba ya Zanzibar.
Kwa hali hiyo Tume ya
Uchaguzi (ZEC) ilitakiwa
izingatie kifungu hicho cha
Katiba, kwa hiyo pamoja na
mambo mengine wanasema
Uchaguzi wa Zanizbar,
uliofanyika kwa mara ya pili,
ulikuwa haramu na umewapa
madaraka ambayo hawakustahili
kupewa.
Kwa maana hiyo Mh. Khatibu,
alisema wasidhani kwamba suala
hilo limekwisha, bali watambue
kwamba bado lipo na wala
halijapita bali lipo na litaendelea
kuwepo.
Wakati huo huo, imeelezwa
kuwa tatizo kubwa
linaloisumbua Zanzibar kisiasa
ni joho la Muungano, ambalo bila
kulivua haitokuwa huru.
Inaendelea Uk. 4

Mbunge Konde aijia juu Serikali


LEO hamna aibu wala haya.
Mmefikia hatua ya kuwaweka
mahabusu Wanazuoni wa
Zanzibar. Kwa miaka mitatu
sasa, mnawanyima kukaa
na watoto wao wake zao.
Mnawafanya wake zao kuwa
wajane ili hali waume zao
wapo. Watoto kuwa mayatima
wakati baba zao wapo. Huu ni
Muungano gani.
Allaisallahu Bi ahkamil
haakiimiina. Hakika Mwenyezi
Mungu atalipa juu ya udhalimu
mnaowafanyia Wazanzibar. Ipo
siku (Allah) atasikia kilio chetu
na kubainisha haki iko wapi.
Akichangia Bungeni katika
Bunge linaloendelea Mjini
Dodoma, Mh. Khatibu, Mbunge
wa Konde, Zanzibar, amenukuu
aya hiyo ya Qur an, katika Surat
Tin, akililalamikia Bunge jinsi
Serikali ya Muungano isivyo
watendei haki Wazanzibar.
Mh. Khatibu alionyesha
kuguswa zaidi na Serikali ya
Muungano kuwaweka rumande
Waislamu na Masheikh wa
Zanzibar, katika Gereza la
Segerea, lililopo Tanzania Bara
na namna wanajeshi walivyojaa
Visiwani Zanzibar katika
Uchaguzi Mkuu uliopita.
Alisema, Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,
ilikuwa mstari wa mbele
katika ukombozi wa nchi za
Kusini mwa Afrika, lakini
akadai kwamba hivi sasa
imekuwa ni nchi ya kwanza
inayo kandamiza washirika wa
Muungano miongoni mwa watu
wa Zanzibar, jambo ambalo
halikubaliki.
Alisema, ni aibu kwani hivi
sasa Muungano umekuwa
kama silaha ya kuwakandamiza
Wazanzibar na kukidhi matakwa
ya kuitawala Zanzibar kimabavu
kwa kila namna.
Leo hamna aibu wala haya,
mmefikia hatua ya kuwaweka
mahabusu Wanazuoni wa

Tahariri/Habari

AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

TAMPRO mna kesi ya kujibu


MBAGALA ya miaka ya
1990s mpaka mapema
2005, sio Mbagala ya
leo. Ile ilikuwa Mbagala
ambapo ukikutana na
msururu wa watoto na
vijana njiani, utawakuta
na dufu zao wakienda
shughulini. Mbagala
ya leo, hata ukiwakuta
vijana wakiwa madrasa,
wamenyoa kiduku.
Tulipiga kelele sana,
lilipotokea tukio (la
kupanga) la kukojolewa
Quran. Ikawa zahama.
Mji haukaliki mpaka
kieleweke. Kwa nini
Quran imekojolewa!
Lakini hakuna
aliyethubutu kufunua
mdomo hadi hivi leo,
kuhoji juu ya Dar Live
inayomeza vijana kwa
watoto kuburudika.
Wala haikutupitikia
kujiuliza, kwa nini
hawaweki hizi Dar
Live zao Mikocheni,
Sinza, Masaki au
Oysterbay!
Wiki iliyopita katika
gazeti hili tuliripoti kuwa
jamaa washaanza kupiga
propaganda juu ya kile
walichoita kuibuka na
kustawi magaidi wa
ISIS Afrika Mashariki
na Afrika kwa ujumla.
Wanasema kuwa eneo
hili, ni kama ardhi
yenye rutuba inayoweza
kuwafanya IS wasitawi,
lakini halijatumiwa
ipasavyo.
Sisi tukasema na
kuuliza: Kwa muda
mrefu tumekuwa
tukiwekewa mikakati ya
kuzuiya na kupambana
na ugaidi ikiwa ni
pamoja na kuundiwa
Task Force, kupewa
silaha, mafunzo na
kufanya mazoezi ya
pamoja na vinara wa
kupambana na ugaidi
duniani.
Sasa haya mazingira
ambayo tunaambiwa ni
mazuri (ripe for the ISIS
expansion) ya kustawi
ugaidi wa ISIS yanatoka
wapi, wakati tayari
tushawekewa AMISOM,
East African Standby
Brigade (EASBRIG) na
Combined Joint Task Force
Horn of Africa (CJTFHOA)? Au hizi EASBRIG
ndio mbolea yenyewe ya
kusitawisha ugaidi?
Mambo yanafuatana
kwa haraka sana, jambo
linalotia wasiwasi
kwamba huenda kuna
jambo kubwa linakuja.
Haikufika hata wiki

baada ya kutolewa
taarifa kwamba Abdul
Nadir Mumin ameingia
kuanzisha kundi la
ISIS Afrika Mashariki,
imefuatia taarifa kwamba
wamekamatwa magaidi
wa IS wakipanga
shambulio la kigaidi kwa
kutumia kimeta Afrika
Mashariki. Watuhumiwa
hao wamekamatwa
Kenya na Uganda.
Taarifa hizo zikapewa
umuhimu mkubwa sana
na kushereheshwa sana
na vyombo vya habari
vikubwa vya Marekani
na Ulaya yote, mapema
wiki iliyopita, huku
wakikumbushia ya
Westgate.
Taarifa yenyewe
ni kuwa Mohammed
Abdi Ali, mwanafunzi
wa digree ya udakitari
na mkewe Nuseiba
Mohammed Haji,
wanapanga kuishambulia
Afrika Mashariki kwa
kimeta (anthrax).
Inavyoelekea, kama
lilivyo lile la Dar Live,
na mengine kama hayo,
inawezekana hata
hatuna habari kwamba
kuna taarifa kama hizo
zinavuma duniani. Na
hata waliosikia, wala
haiwashughulishi. Lakini
uzoefu unatuonyesha
kuwa, haya mambo
hayaji tu kama habari za
kupita njia. Huwa zina
kawaida ya kufuatana na
matukio makubwa.
Kule Marekani ilikuwa
tishio la ugaidi wa kimeta
lililoleta USAPATRIOT
Act iliyokuja mpaka
huku kwetu. Lakini
ndiyo pia iliyotumika
kumuunganisha Saddam
Hussein na Al-Qaida.
Tujiulize yupo wapi
Saddam! Ipo wapi Iraq
tuliyokuwa tukiifahamu!.
Lakini isisahaulike
kwamba kabla ya kuja
Patriot Act, wapo watu
waliokufa ili kujenga
hoja kuwa kitisho
hicho cha ugaidi;
hakiwezi kufumbiwa
macho. Lazima hatua
zichukuliwe.
Tunajua hadi sasa
yameshaandikwa mengi
kutizama ukweli na
uwongo wa madai yale
ya ugaidi wa kimeta na
uhusika wa Al-Qaida
na Saddam Hussein.
Na kubwa katika
yote yaliyofanyika, ni
kutizama, kitaalamu nini
kimeta, kinasambazajwe
na uwezekano wa Al-

Qaida kuwa na utaalamu


huo na kutuma kimeta
ndani ya bahasha
za barua kufika kwa
walengwa.
Jambo kama hili
wanaweza pia kulifanya
wataalamu wetu hapa
nchini. Suala ni kutizama
sayansi ya vimelea
vya kimeta na kuona
uwezekano wa mtu
na mkewe kujifungia
ndani na kukitengeneza
kwenda kufanyia
shambulio mitaani
Nairobi, Kampala na
kwingineko. Na hili
TAMPRO wanaliweza.
Tunaamini kwamba
kama jina lake
linavyojitangaza,
TAMPRO wana
wataalamu mbalimbali.
Lakini pia hata kama
hawana mtaalamu
aliyebobea katika eneo
fulani, wanaweza
kuwasiliana na
wataalamu wenzao, hata
wa nje ya nchi kujua
ukweli wa jambo hili.
Japo Masheikh na
Maulamaa nao wana

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016


sehemu yao, lakini wao
zaidi ni katika yale ya kiDar Live, Kwa mambo
kama haya, kwa hakika
tunawatarajia TAMPRO
kutuandalia midahalo,
mijadala (symposium)
kujadili mambo haya
kitaalamu na hata
kuandaa makala katika
vyombo vya habari
kuyachambua.
Swali ni, je, kisayansi,
kitaalamu, Mohammed
na mkewe Nuseiba,
wanaweza kujifungia
chumbani kwao au
katika Mihrabu ya
Msikiti, wakatengeneza
Anthrax spores, iwe ni
Ames strain au strain
nyingine ya aina yoyote,
na kuzitumia kama polisi
wa Kenya na Uganda
wanavyotuambia?
Pengine la kusema
hapa ni kuwa, japo
kule Marekani bado
mjadala unaendelea ni
nani alihusika na kimeta
kile huku wataalamu
wakisema kuwa
haiwezekani kabisa
ikawa ni Al-Qaida au

hata Ivins, lakini madai


ya akina John McCain
kwamba the anthrax
may have come from
Iraq, yalishafanyiwa
kazi zamani. Ipo wapi
Iraq. Yupo wapi Saddam
Hussein.
Hatujui wanaosambaza
taarifa hizi wamepanga
nini, lakini kama
hatutafanya yaliyo katika
wajibu wetu na uwezo
wetu, katika mapambano
haya, basi tusije tena
kulia na mtu. Quran ina
msemo wake: Subirini!
Lakini wale
Watanzania wenzetu,
wasio na ukaribu sana
kiimani na Mohammed
na mkewe, wajue
kwamba Fatarabbasuu
hii inawahusu pia. Ili
propaganda ipate
kunoga, lazima kipigo
kianzie kwao. Si
tumesikia ya Westgate,
Garissa na Mandera,
wakituambia kuwa
Al-Shabaab wakiingia
hutafuta Wakristo na
kuwauwa?

Mbunge Konde
Inatoka Uk. 3
Hayo yamebainishwa
na Mh. Tundu Lissu,
akiwasilisha hotuba
ya Kambi ya Upinzani
Bungeni Mjini Dodoma,
akizungumzia suala la
Muungano na matatizo
ya Kisiasa ya mara kwa
mara na kuonekana kama
kero tokea kuundwa kwa
Muungano huo mwaka
1964.
Mh. Lissu, akigusia
kadhia ya hivi karibuni
ya kufutwa na kurudiwa
kwa uchaguzi Mkuu
Visiwani Zanzibar,
(2015/2016) alisema
tatizo sugu ni mfumo wa
Muungano ambao hautoi
uhuru wa kidemokrasia
kwa Wazanzibar.
Tatizo la msingi ni
ukoloni wa Tanganyika
kwa Zanzibar, ambao
umevikwa joho la
Muungano. Bila kulivua
joho hilo na kulishona
lingine na kupatikana
mbadala wa lililopo,
Zanzibar haitokuwa
huru. Amesema Mh.
Lissu.
Alisema, katika
mazingira kama
yaliyotokea katika
Uchaguzi uliopita na
kupelekea kufutwa,
tatizo la msingi sio Jecha

Salim Jecha (Mwenyekiti


wa Tume ya Uchaguzi
Zanzibar na ZEC yake),
bali nguvu ya Serikali ya
Muungano.
Akifafanuz zaidi
Mh. Lissu, ambaye ni
Mwanasheria kitaaluma,
alisema tangu uchaguzi
wa awali wa vyama vingi
mwaka 1995, Serikali ya
Tanganyika imekuwa
ikitumia mabavu (nguvu)
waziwazi na kuwaweka
madarakani viongozi
inaotaka.
Kwa mara nyingine
tena ni Jeshi la Ulinzi wa
Wananchi wa Tanzania,
ndio lilipelekwa Zanzibar
kuhakikisha kwamba
viongozi waliokataliwa
na wananchi wao
wanaendelea kubakia
madarakani. Alisema
Mh. Lissu, mbele ya
Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania.
Alisema, hali hiyo
imekuwa ikisababisha
hofu na woga kwa
wananchi, woga ambao
unasababishwa na
Serikali ya Muungano
kutokana na juhudi
zake za kutaka
kunyamazisha wapinzani
na kukandamiza
Demokrasia.
Mh. Lissu, alitilia
mkazo kauli yake
hiyo akirejea kauli
ya Mwanaharakati

Mh. Tundu Lissu.


mmoja wa haki za
Binadam wa karne ya
19, aliyeandika kwamba,
Pale Serikali inapoamua
kunyamazisha upinzani
inakuwa na njia moja
tu ya kupita, nayo ni
kuongezeka kwa vitendo
vya ukandamizaji, mpaka
Serikali hiyo inakuwa
chanzo cha hofu kwa
wananchi wake, kila
mmoja anaishi kwa hofu.
Alisema, maneno hayo
yametimia katika Jamhuri
ya Muungano wa
Tanzania kwa hatua yake
ya kubaka Demokrasia
kwa kutumia nguvu za
Kijeshi kule Visiwani
Zanzibar.

TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE (IPC)

Orodha ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha TANO 2016/2017 katika shule za IPC
1.

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL - DSM

A : WAVULANA
NA.
JINA TAHASUSI
MAHALI
1
ABDALLAH HASSAN MAKOSA
HKL MASASI
2
AHMED MOHAMED NEMBO
HGK YOMBO
3
AL-AMIN ABUBAKAR YUNUS
HGL MAGOMENI DSM
4
HAFIDH SALUM SAID
CBG SUMBAWANGA
5
HAMADIBAKARI MTAYA CBG
TANGA
6
HAMZA MUSTAFA NGOPE
HGL ILALA
7
HASSAN HASHIMU KOMBO
HGE ZANZIBAR
8
HATIBU MBWANA MOHAMED
ECA KIMARA
9
ISIHAKA JUMA MTIGO
PCB SINGIDA
10 ISSA ABDULRAHMAN MILINGA
ECA MBAGALA
11 MNAVA MAULID NGAVA
HKL DODOMA
12 MWALIMU H. MWALIMU
PCB MBAGALA -DSM
13
RAMADHAN ALI NIHUKA CBG
UTETE-RUFIJI
14 RAMADHANI FIKIRINI MAKARANI
HGE MANYUMBU
15 SAID SULEIMAN JUMA
CBG WETE-PEMBA
16 YUNUS YUSUPH MASUDI
PCB BUGURUNI
17 ZAMAKHSHAR AHMAD ZUBEIR
PCB DODOMA
B : WASICHANA
NA. JINA
TAHASUSI MAHALI
1
ABINASA MASOUD SAID
CBG DSM
2
AISHA HUSSEIN SAKI
HKL DODOMA
3
AMINA ABDALLAH HAMAD
HKL CHANIKA DSM
4
ASIA KHALID JUMA
PCB KITETO-MANYARA
5
ASIA OMARI KILIMA
HGE DSM
6
DORIS HOPE JAFFAR
ECA MBAGALA
7
FATHIYA MASOUD NASSOR
HKL DSM
8
HALIMA KARIM BABLIA
PCB TEMEKE DSM
9
KULUTHUM ALLY SALUM C
CBG DSM
10 MAIMUNA HASSAN SHEKHE
HGL TANDALE DSM
11 NADYA NASIB ABEID
PCB BOKO DSM
12 NASRA SALUM NDIVATA
HKL MASASI
13 PHIRDAUS NURDIN SALUM
HKL G/MBOTO DSM
14 RAHMA ALLY JOBBE
HKL MBAGALA DSM
15 RAHMA NASSOR KIKUMBIH
CBG BOKO DSM
16 RAHMA SHAALI AMME
CBG MAGOMENI DSM
17 SAADA AHMED SAID
ECA SUMBAWANGA
18 SAMIA ALLY MALIBICHE
CBG MBEZI DSM
19 SHAZMA MOHAMED EBRAHIM
ECA DODOMA
20 ZULFA RAJUN KISAVULI
HGE MOROGORO
21 LEILA JUMA LILOKA
HGL KIBAMBA DSM
22 AZIZA SEKRO MWIJUMA
HKL MWANGA
23
HADIJA M.DAUDI HKL
DSM
24 ASMA MUHIDIN NKYA
HGK
2. NYASAKA ISLAMIC SEC SC.- MWANZA
A : WAVULANA
NA.
JINA KAMILI TAHASUSI
MAHALI
1
HAJI ABINNUR SHAWEJI PCB KILWA
2
SIRAJI RAMADHAN KISHOKA
PCB
TABATA
3
HAJI KUPAZA SHAFII
EGM
DSM
4
ATHUMANI SHABANI ATHUMANI HKL
TABORA
5
MUKHTAR H KASSIM
HGL
MWANZA
6
IBRAHIM A ALLY PCB KIGOMA
7
HAFSA KHAMIS HKL MWANZA

B : WASICHANA

JINA KAMILI
TAHASUSI
MAHALI
1
AFRAH SULEIMAN KLA BUNDA
2
AMINA ALLY NANGAY
HGK
KATESH
3
FARAJA SALIM ABDUL HKL MKURANGA
4
JOKHARI ADAM NASSIB
PGM
KIGOMA
5
MWAJUMA MUSTAFA HKL SHINYANGA
6
RAMLA HAMISI NTANDU
CBG
SINGIDA
7
SADA TWAHA OMARY PCB KOROGWE
8
ZAINAB MINIHAJI SAID
HKL
BUNDA
9
TATU KABAJU CBG KIGOMA
10 ZULEHIA H. QASSIM
CBG
MWANZA

3: KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL


A : WAVULANA
NA.
JINA KAMILI TAHASUSI
MAHALI
1
ABDALLAH A CHAMADE
CBG HANDENI
2
ABDALLAH ZUBERI NJAKILAYE PCM KISARAWE
3
ABDILLAHI JAFARI SEIF
CBG MWANZA
4
ABDULRAZAK HAMISI
HKL DSM
5
ABDURAHAMANI S.RASHID
HGL MUHEZA -TANGA
6
ABUBAKARI MIRAJI CHIKILA
PCM TANGA
7
AHMED YAHYA RASHID
EGM ILALA
8
ATHUMANI AMINI SHAURI
ECA TANGA
9
DHANOUN RASHID
PCB DSM
10 EMANUEL PIUS MBAGULU
HKL DSM
11
FADHIL NASIR HGK
TANGA
12 FAHAD ABDUL-AZIZ HASHIM
PCB YOMBO-DSM
13 FAHAD ABDURAZAQ MSOFE
PCB DSM
14 GHAZAL ABDURAZAQ MSOFE PCB DSM
15 HABIBU ABDUL AZIZ
PCB MWANZA
16 HAFIDH MAFTAH ALLY
PCB MBAGALA-DSM
17 HAMAD OMAR HAMAD
HKL BUGURUNI DSM
18 HAMZA MANDIA RASHID
PCB LUSHOTO
19 HILAL DOTTO MAKIWA
HGE UKONGA DSM
20 HUSSEIN MANDIA RASHID
ECA LUSHOTO
21 IBRAHIM J. MWEMA
PCB KIGAMBONI DSM
22 IDD SALIM HIZZA
CBG TANGA
23 IDRISA H HUSSEIN
PCB MWANZA
24 IDRISA TWAHIR KISUGURU
ECA TANDIKA DSM
25 ISSA EDWAD MISHI
HGL MWANZA
26 JAMES YUSUPH NAKAJUMO
PCB MBAGALA
27 KABEWA SHABAN KIMERA
HGL DSM
28 KARAMA HAJJ ABED
PCB MUHEZA
29 KHALID SAID MLILIMA
HGL BUZA DSM
30 LEONAARD C.RUGALABAMU
CBG DSM
31 LUQMAAN SALEH ABDALLAH CBG PUGU DSM
32 MIRAJI SALIM KESSY
HGE MBAGALA KUU DSM
33 MOHAMED IS-HAQA TELAKI
PCB TANGA
34 MOHAMED OTHUMANI CHUM HGL KIA
35 MOHAMED SALUM SULTANI
HKL BUGURUNI DSM
36 MUKSIN FADHILI MNALA
CBG MTWARA
37 MURTAZA BARUKIA
CBG MULEBA
38
MUSA F.MSUYA PCB
MOSHI
39 MUSA KHALID MHANDO
HGK MUHEZA
40 MUSSA MOHAMED MSHANA
HGE NZASA DSM
41 NASRI MUSTAFA ABDALLAH
HGE MBAGALA DSM
42 OMARI SULEIMANA SAZIGO
ECA KILINDI
43 PADOA MABROUK RAMADHANI ECA TANGA
44 RAJABU A RAMADHANI
PCB MWANGA
45 SEIF KHMIS YAKUBU
PCB MWANZA
46 SHABAN RAMADHAN KENGIA HGE DSM
47 SIRAJI RAMADHAN KISHOKA
PCB DAR ES SALAAM
48 SWALEH RAJAB NKYA
ECA KIMARA-DSM
49 SWALEHE MUHIBU
HGK MTWARA
50 YUSUPH SAID RASHID
ECA DSM
B : WASICHANA
NA. JINA KAMILI
TAHASUSI
MAHALI
1
AISHA ABDALLAH HAMISI
HGL SINGIDA
2
AISHA ATHUMANI CHIDAKO
CBG MOROROGORO
3
AISHA MOHAMED PAPALA
PCB DODOMA
4
AISHA SULEIMAN HANTI
HGL MOSHI
5
ASHA MUSSA MAKAU
CBG LUSHOTO
6
ASHURA MAULID OMARY
HKL MABIBO
7
ASHURA MAULID OMARY
HKL MABIBO -DSM
8
ASIA RAMADHANI SULEIMANI CBG TABORA
9
BAIBAH ABDULLAH DEWIJI
HGE TABORA
10 FATINA ALFAJIRI MWABAYA
CBG TANGA
Yanaendelea Uk. 6

Makala/Tangazo

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Kuhama Mtume toka Makka kwenda Madina


Tukio muhimu katika historia ya Uislam

Na Sheikh Abdul Salam


Mohamed Abdusalam
SHUKURANI za dhati anastahiki
Mwenyezi Mungu peke yake na
rehema na amani zimfikie yule
ambaye hapana Nabii baada yake.
Kwa hakika tukio la
kubadilishwa alama ya uelekeo
wa ibada za Waislamu (Kibla),
ambacho kilitokea katika mwaka
wa pili tangu kuhama kwa Mtume
kutoka Makka kwenda Madina
ni miongoni mwa tukio muhimu
katika historia ya umma wa
Kiislam.
Alijibu Mwenyezi Mungu ombi
la Mtume wake (S.A.W), ambaye

alikuwa akiomba kwa kuelekea


mbinguni kuwa, kuwa uelekeo kwa
swala zake uwe upande wa nyumba
tukufu ya Makka, badala ya kule
alikokuwa akielekea katika Baiti
Mukadisi, kwa kuwa Makka ipo
katikati. Makka ambayo ni kitovu
cha dunia.
Hapo alipotamani hilo, akawa
anaelekea swala zake kibla mbili
kwa pamoja na baada ya kuhamia
Madina akasamehe kuelekea kibla
mbili. Akawa Mtume (S.A.W)
anaelekea katika swala zake kwa
amri ya Mola wake mlezi katika
Baiti Makdisi miezi kumi na sita
au kumina na saba naye akiwa
Madina. Pamoja na hayo yote,
alipenda Mtume kuelekea nyumba
ya Makka, alikuwa akimwomba
Mwenyezi Mungu kimoyomoyo
kwa kuwa na yakini atamtimizia
tarajio lake. Na hapo akamjibu
ombi lake na kumkirimu kwa
kumhakikishia yale aliyoyatarajia,
akaamrisha aelekee Kaaba tukufu
na ikateremka kauli yake Mwenyezi
Mungu:- Kwa hakika tunakuona
unageuza uso wako mbinguni basi
tutakuelekeza Kibla unachokiridhia,

hivyo basi elekeza uso wako upande


wa Msikiti wa Makka na popote
mnapokuwepo, basi elekeeni
Msikiti wa Makka na hakika wale
waliopewa kitabu wanajua kuwa,
hivyo ni haki toka kwa Mola wao
Mlezi hakuwa mwenye kusahau
kwa wanayoyafanya.
Na hekima katika kumbadilisha
kibla ni kutoa mtihani ili wapate
kujulikana waumini wa hakika na
wale wengine, na kwa hilo anasema
Mwenyezi Mungu, angekuwa kibla
ambacho ulichokuwa ukielekea
isipokuwa tuwajue wanaomfuata
Mtume na wale wanao kengeuka na
kugeuka nyuma, na hilo ni jambo
kubwa isipokuwa wale ambao
amewaongoa Mwenyezi Mungu,
na hakuwa Mwenyezi Mungu
mwenye kupoteza imani zenu,
hakika Mwenyezi Mungu kwa watu
ni mpole na mwenye Rehema (143
Al-Bakarat).
Juu ya kugeuzwa Kibla wapo
watu wa aina nne, kupokea amri ya
Mwenyezi Mungu nao ni waumini
ameitoa Bukhari kwamba Mtume
(S.A.W) aliswali kuelekea Baiti
Makadisi kwa muda wa miezi kumi

na sita au kumi na saba na alikuwa


akipenda Kibla chake kiwe Makka.
Na yeye swala ya kwanza
kuswali ni swala ya Alasiri, akaswali
na watu wengine, akatoka mtu
mmoja aliyeswali nao akawapitia
watu wa Msikiti mwingine, na
wao wakiwa wamerukuu akasema
ninakushuhudilia wameshaswali na
Mtume (S.A.W) tukaelekea Makka,
wakageuka na kuelekea Makka.
Watasema (wajinga) miongoni
mwa watu kitu gani kimewageuza
kibla chao ambacho walikuwa
wakielekea? Sema ni mali ya
Mwenyezi Mungu Mashariki na
Magharibi, humuongoa anayemtaka
katika njia iliyonyooka (142 AlBakarat).
Akawa yule aliyekufa kabla
ya kugeuzwa Kibla, wakawa
Masahaba wakisema hatujui tuseme
nini kwao, hapo akateremsha
Mwenyezi Mungu. (Na hukua
Mwenyezi Mungu mwenye kutupa
malipo ya matendo ya kiimani
kwani Mwenyezi Mungu ni mpole
mwenye huruma).
Email : eg_islamic_center39@
yahoo.com

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE (IPC)

Orodha ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha TANO 2016/2017 katika shule za IPC
Yanatoka Uk. 5
11 FATMA ALI SALUM
CBG ZANZIBAR
12 FATMA JUMA BAKARY
ECA TABATA DSM
13 FATMA TWAIRAN SAID
HGE SEGEREA DSM
14 FATUMA ATHUMANI ALFANI
EGM PUGU-DSM
15 FATUMA HAIDARY AZIZ
HKL
DSM
16 FAUDHIA HAROUN
HGL BUZA-DSM
17 HADIJA MALIKI MSUYA
CBG MOSHI
18 HADIJA SALUM MYOWELA
PCB LINDI
19 HADIJA ZUBERI NJAKILAYE
PCB KISARAWE
20 HAJATH RASHID URASSA
ECA KIGOGO DSM
21 HANIPHER IDRISSA MAWAZO HGE MBEYA
22 HAWA SAID KALENGE
CBG MTWARA
23 HUSNA MIRAJI ABDALLAH
HGL KAHAMA
24 JOHARI MASOUD MWINYI
HKL MOROGORO
25 JULAYLA ABDUL-WAHAB
HGL MBANDE- DSM
26 JUNAYNA ABDUL-WAHAB
HGK MBANDE- DSM
27 KHAYRAT MOHAMED ALLY
CBG TEMEKE- DSM
28
LAILAT J.JUMA HGK
BAGAMOYO
29 LATIFA ABUBAKAR UMBE
CBG KINYEREZI
30 LATIFA MBARAKA BYARUSHENGO PCB DSM
31 MARIAM R MASOUD
PCB GEITA
32 MARIAM SHAFII HUSSEIN
PCB KINYEREZI- DSM
33 MARYAM ABDUL MBOKELE
ECA DAR ES SALAAM
34 MAUA JUMA NASSOR
HKL DSM
35 MWAJUMA ABDILLAH SALIM
HGE MOSHI
36 MWAJUMA OMAR MOHAMED
HGL MOROGORO
37 MWANAHAMIS R MSUYA ECA SAME
38 MWANAHAMISI MOHAMEDI
ECA SINZA DSM
39 MWANAHAMISI NYANGE BENDERA CBG TANGA
40 MWANAHAWA SELEMANI
CBG TANGA
41 MWANAIDI ABDILLAH SALIM
HGK MOSHI
42 MWANAISHA KARATA ADHUMANI PCB KOROGWE
43 MWANAISHA RASHID RAMADHAN PCB MOSHI
MUHIMU.
1. WALIOCHAGULIWA NA AMBAO HAWAJAPATA MAELEKEZO YA
KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS) WAZIFUATE PALE WALIPOCHUKULIA
AU KURUDISHA FOMU KUANZIA JUMATATU MEI 16, 2016.
2. NAFASI BADO ZIPO KWA SHULE ZOTE TATU NA FOMU

ZINAPATIKANA KATIKA VITUO VYA KUUZIA FOMU KOTE NCHINI AU
KATIKA TOVUTI WWW.ipc.org.tz

44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75

MWAYAONA Y MAULID
PCB
NADHYRA OMAR BAKAR
PCB
NASBA MOHAMED HASSAN
CBG
NASRA KHALIFA MRUMBI
PCB
NASRA SULEIMAN LIGOPORA HGL
NURU SULEIMAN JUMA
CBG
OFFU-NAJMAH MOHAMED MAGID HKL
PITIJUMA TWAHA FADHILI
PCB
RAHA ALMASI FAIZ
HKL
RAI RAMADHANI ALI
PCB
RAMLA RAJABU HANTI
HGE
RUKIA MALIKI MSUYA
ECA
RUMAYSWAU RIDHWAN
HGE
SADA AMRI MRISHO
HGK
SALAMA HASSAN NGELLO
PCB
SALAMA IBRAHIM MWISHEHE ECA
SALHA NASSOR WAZIRI
PCB
SALIMA MLEKWA
HGE
SALMA OTHMAN JAFAR
PCB
SANIA ADAM RASHID
PCB
SAUMU SALMINI SAIDI
CBG
SAUMU SIABA MSEMO
EGM
SOPHIA HUSSEIN MANZIRO
CBG
SWABRA MOHAMED ISSA
PCB
UMMUL-KHEIR M. ABDULNOOR PCM
ZAINA OMARI MBWANA
PCB
ZAINAB ATHUMAN
HKL
ZAINAB RAMADHAN
PCB
ZUHURA ALLY RAJABU
ECA
ZULEIKHA YUSUPH KAMNA
HKL
ZULFA RAMADHANI ALUTE
PCB
ZULPHA SWALEH
ECA

DODOMA
PEMBA
SINGIDA
CHAMAZI DSM
KIBADA DSM
MBEZI- DSM
DSM
MOSHI
ZANZIBAR
ZANZIBAR
KIBAHA
MOSHI
DSM
KIGOMA
ISVYA TABORA0787510500
MBAGALA
MOROGORO
USINGE TABORA
ZANZIBAR
TABORA
UGWENO MWANGA
GEITA
MOSHI
YOMBO -DSM
DSM
LUSHOTO
LUSHOTO
DSM
SINZA
DSM
BABATI
MOSHI

3. KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU KWA WAKUU WA SHULE :



1. KIRINJIKO ISL.S.S. -0784296424


2.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL-0657350172

3. NYASAKA ISLAMIC S.S.-0786417685.
WABILLAHI TAWFIIQ.
MKURUGENZI.

Hoja ya Visram

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Sasa siyo ukwepaji wa kodi tena, ni ukwepuaji wa kodi

Na Nizar Visram
HATIMAE Waziri wa Fedha na
Mipango, mheshimiwa Dak.
Philip Mpango, amewasilisha
kiwango na ukomo wa bajeti
kuu ya serikali kwa mwaka
2016/17. Waziri ameliambia
bunge kuwa mwaka ujao
wa fedha zitatumika Sh.
trilion 29.53. Kati ya fedha
hizo, mapato ya ndani ni Sh.
trilioni 17.79 zitakazopatikana
kutokana na kodi ya Sh. trilioni
15.1 itakayokusanywa na TRA,
wakati mapato yasiyo ya kodi
yakiwa Sh. trilioni 2.69.
Sh17.72 trilioni zitakuwa
kwa ajili ya matumizi ya
kawaida, wakati Sh11.82
trilioni zimetengwa kwa ajili
ya shughuli za maendeleo. Hii
ni sawa na asilimia 40 ya bajeti
nzima.
Katika bajeti iliyopita,
shughuli za maendeleo
zilipangiwa Sh 5.76, sawa na
asilimia 25.9.
Asilimia 40 kwenda kwenye
mipango ya maendeleo, hili ni
jambo jema, alisema Freeman
Mbowe, mwenyekiti wa
Chadema na kiongozi wa kambi
ya upinzani bungeni, alipoongea
na waandishi.
Bajeti hii ni kubwa kuliko zote
katika historia ya nchi yetu. Na
matumizi nayo yataongezeka.
Wananchi kwa hiyo wawe tayari
kulipa kodi zaidi ili kukidhi
mahitaji ya serikali. Bila shaka
wale matajiri na madalali wao
waliokuwa wanakwepa kodi (au
wanaosamehewa kodi) huenda
wakakamuliwa ili walipe. Lakini
na wananchi wa kawaida nao
wawe tayari kulipa kodi zaidi
kupitia njia mbalimbali kama
vile vinywaji, sigara, sukari,
usafiri na kadhalika.
Kwani tunaelezwa kuwa, ili
serikali iweze kufikia kiwango
cha bajeti hii, itapaswa ifanye
jitihada kubwa ya kubuni
vyanzo vipya vya mapato.
Kwa kiasi kikubwa mzigo huu
utabebwa na wananchi, kwa
vile bidhaa zitaongezewa kodi
na ushuru ili kuziba nakisi ya
wastani wa Sh. trilioni 2. Hii
ni pamoja na TRA kwa sasa
kukusanya wastani wa Sh.

trilioni 1.1 kwa mwezi, yaani Sh


13 trilioni kwa mwaka.
Kiwango hicho cha
makusanyo ya mwaka mmoja,
hakiwezi kufikisha Sh. trilioni
29.53 zinazopangwa na Waziri
Mpango kutumika katika
kipindi chote cha mwaka mzima.
Ndipo zitahitajika jitihada za
ziada katika ukusanyaji wa
mapato.
Katika bajeti hii serikali
inatarajia kupata Sh. trilioni 3.6,
ikiwa ni misaada ya wahisani
kupitia bajeti kuu pamoja na
ufadhili wa miradi moja kwa
moja.
Hivyo hii ni bajeti ambayo
itategemea misaada ya
kigeni kama ilivyokuwa
siku zote, ingawa mwaka
huu Dkt. Mpango amesema
kuna uwezekano wahisani
wakapunguza misaada yao
ikafikia Sh trilioni 2.1. Yaani
tutalazimika kujitegemea badala
ya kuwa omba omba
Sababu ya kupunguza
misaada yao ni kuwa hao
wanaojiita wafadhili hutoa kwa
masharti. Pale ambapo wanaona
utawala bora au demokrasia
imevurugwa basi hupunguza
au huzuia misaada yao. Na
ndivyo walivyofanya mara hii
baada ya kuona kuwa matokeo
ya uchaguzi wa Zanzibar
yamefutwa na kura kurejelewa
bila ya sababu za kimsingi.
Marekani imetangaza kuifutia
Tanzania misaada ya Shirika
la Changamoto za Milennia
(MCC). Hivyo nchi yetu imekosa
Sh. trilioni 1.03 ilizokuwa ipewe.
Umoja wa Ulaya (EU) nayo
ipo katika hatihati ya kutoa Sh.
trilioni 1.56.
Tayari baadhi ya wabunge
wa Uingereza nao wanaishauri
serikali yao kuifutia Tanzania
msaada wa Sh. bilioni 622.
Zaidi ya hayoWizara ya Fedha
imeshatangaza kuwa wahisani
10 kati ya 14 wanaosaidia bajeti
kuu ya serikali wanatarajia
kujitoa.
Kwa serikali tegemezi kama
yetu ambayo siku zote imekuwa
ikifurahia misaada ya kigeni,
hili si jambo la kufurahisha.
Tutakumbuka wakati Waziri
wa Fedha anapowasilisha bajeti
yake, huwa anasoma orodha ya
wafadhili kwa kuwashukuru,
huku wabunge wakishangilia
kwa furaha. Inaonekana mwaka
huu hawatapata fursa hiyo ya
kugonga meza.
Kuzuiwa kwa misaada
hakujatokana na huu mgogoro
wa Zanzibar tu, bali hata
kwenye bajeti ya 2014/15
wahisani walitarajiwa kuchangia
Sh. trilioni 1.09, lakini wengi
walikataa kutoa fedha kutokana
na ile kashfa ya Tegeta Escrow
iliyopelekea vigogo kujichotea
mabilioni bila ya kuchukuliwa

MHESHIMIWA Dak.Philip Mpango.


hatua za kisheria.
Matokeo yake kuanzia Julai
2015 hadi Februari 2016 misaada
ya kigeni iliyopatikana ni
asilimia 62 tu ya mategemeo ya
bajeti.
Sasa iwapo tutakosa ufadhili
basi kuna uwezekano wa
kuongezeka kwa ukopaji ili
kuziba pengo. Dk Mpango
alisema serikali inatarajia
kukopa mikopo ya kibiashara
takriban Sh. trilioni 2.1 kutoka
vyanzo vya nje na Sh. trilioni
5.37 kutoka vyanzo vya ndani.
Na hii mikopo ya ndani
imekuwa ikiongezeka mwaka
hadi mwaka. Kwa mfano,
mwaka 2014/2015 serikali ilikopa
dola takriban bilioni 2. Hii ni
asilimia 35 zaidi ya kiwango
kilichowekwa katika bajeti.
Na mara hii labda mikopo
ya ndani itaongezeka tena
kutokana na kukosa misaada ya
nje. Ikumbukwee kuwa sehemu
kubwa ya mikopo hii ni kwa ajili
ya matumizi ya kawaida, yaani
kwa ajili ya kulipa mishahara na
posho.
Na kama tunavyoelewa,
mikopo ya kibiashara ina
masharti yake, ikiwemo kima
cha riba, muda wa kulipa
na dhamana. Mara nyingi
tunapochelewa kulipa madeni
basi tunachukua mikopo mipya
ili kulipa madeni ya zamani.
Tumekuwa tukichukua mikopo
ili kulipa riba peke yake.
Matokeo yake nchi yetu inaingia
katika madeni makubwa.
Ndipo leo deni letu la kitaifa
limefikia dola za Marekani
karibu bilioni 20. Wakati wa
Mwalimu Nyerere tulikuwa
na deni la dola bilioni 3. Leo
zimefika karibu bilioni 20, licha
ya madeni tuliyofutiwa chini
ya mpango wa kile kinachoitwa
kufufua uchumi.
Na wakati huohuo ukusanyaji
wa kodi utabidi uendelee,
pamoja na ukwepaji (au
ukwepuaji) wa hali ya juu
uliozoeleka. Mfano mmoja

ni ukwepaji unaofanywa na
makampuni ya simu. Waziri
Majengo aliliambia bunge
kuwa serikali inalielewa jambo
hili. Waziri wa usafirishaji
na mawasiliano, Profesa
Mbarawa naye alisema hatua
zinachukuliwa kuziba mianya.
Tunasubiri kuona iwapo hizo
hatua zitazaa matunda.
Kwani tunaambiwa kampuni
za simu zimekuwa zikikusanya
zaidi ya Sh 5.5 trilioni. Kati ya
hizi ni bilioni 35 tu zimelipiwa
kodi. Yaani zaidi ya Sh 5.4
trilioni hazilipiwi kodi! Huu si
ukwepaji wa kiwango cha juu
sana.
Hapa tunazungumzia sekta
moja tu ya mawasiliano. Hatujui
sekta zingine zinakwepua
kiasi gani. Kwa mfano, kuna
sekta ya usafirishaji wa anga,
nchi kavu na majini. Kuna
biashara ya mafuta, kuna halaiki
ya mabenki, kuna majengo
yanayochepuka kama uyoga
kila mahali. Kuna mahoteli ya
kitalii. Wote hawa wanakusanya
matrilioni. Serikali inaambulia
ngapi kati ya hizo?
Hata Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG)
anatuambia kuwa mwaka jana
serikali ilishindwa kukusanya
kodi ya Sh 6.9 trilioni. Hii
inatokana na walipa kodi
wakubwa kupinga makisio ya
kodi zao mahakamani na katika
bodi ya rufaa za kodi. Kiwango
hiki kinaongezeka kila mwaka.
Yaani mwaka 2013/2014
walikataa kulipa Sh trilioni 1.7
na mwaka 2014/2015 zikafikia
hizo trilioni 6.9. Mwaka huu
hatujui, labda tusubiri ripoti
ijayo ya CAG.
Ndio maana nikasema
mwananchi wa kawaida
awe tayari kufidia kodi hizi
zinazokwepuliwa na wawekezaji
wa ndani na wa nje.
nizar1941@gmail.com
0713-562181
Ending

Hoja ya Kilaghai

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Hakuna ugonjwa usio na dawa!


Na Juma Killaghai

HII ni kauli nyeti! Ni kauli


tete, tena iliyojaa uchokozi
mkubwa! Huku ni kuichokoza
serikali na wataalamu wake
ambao wao huamini kuwa
baadhi ya magonjwa hayana
tiba, na akitokea mtu akasema
ana tiba yake, basi huyo ni
mwongo mkubwa mwenye
malengo ya kuipotosha jamii.
Kutokana na msimamo huu
mkali wa serikali, kuna kundi
kubwa la wanajamii ambao nao
wameubeba msimamo huo, bila
ya shaka kwa ile imani ambayo
baadhi yetu tunayo kuwa
serikali haikosei!
Ni upi utetezi wangu katika
kuwachokoza hawa jamaa?
Iwapo wataniuliza nitawaambia
kuwa utetezi wangu pekee ni
ule ukweli kuwa uhalisia wa
kitu chochote kile ni zao la
fikra. Unapoamni kuwa kitu
fulani hakipo au hakiwezekani,
basi hicho kitu ni kweli kwako
wewe kitakuwa hakipo au
hakiwezekani. Kwa upande
mwingine ukiamini kuwa kitu
fulani kipo au kinawezekana,
basi kitu hicho kipo, na kama
kwa sasa hakipo hapo ulipo,
basi kinawezekana kuwepo
sehemu nyingine tofauti na
hapo ulipo. Wakati mwingine ni
suala la muda tu. Inawezekana
kitu kisiwepo sasa, lakini
maadamu akili imekubali kuwa
kinawezekana, basi ujue kiko
njiani!
Ugunduzi mwingi sana
wa vitu muhimu mno katika
maisha, vitu ambavyo leo
tumevizoea sana kiasi cha
kutovipa uzito wowote,
usingewezekana iwapo
wagunduzi wake wasingeanza
kuviunda vitu husika katika
fikra zao. Thomas Edson
alifanikiwa kuunda balbu ya
mwanga inayotumia umeme
kwa kuanza kwanza kuiona
katika akili zake. Leo Edson
anachukuliwa kama mgunduzi
namba moja duniani aligundua
vitu vingi sana kwenye uhai
wake- japokuwa hakupata
bahati ya kusoma. Inadaiwa
elimu ya darasani ya Edson
haikuzidi miezi mitatu. Jambo
la muhimu ni kwamba Edson
aliweza kubuni vitu vyote
alivyobuni kwa sababu aliviona
kwanza kwenye fikra zake,
kisha akajaribu kuviunda katika
uhalisia wake. Haikujalisha
alishindwa mara ngapi, alijaribu
tena na tena na tena mpaka
hatimaye akafanikiwa.
Kama alivyokuwa Edson,
Henry Ford naye hakusoma
sana. Wanaomfahamu
wanasema elimu yake haikuzidi
darasa la sita. Hata hivyo,
pamoja na uchache huu wa

kusoma, Kuna kipindi Ford


alifanikiwa kuunda kampuni
kubwa na bora ya magari kuliko
zote duniani. Kuna wakati
Ford aliona kwenye akili yake
injini yenye kutumia pistoni
nane lakini zote zikiwa kwenye
gamba (engine block) moja,
tofauti na ilivyokuwa hapo

awali. Ford aliwaita wahandisi


wake akawaambia waandae
mchoro na kisha waitengeneze.
Baada ya mwaka mmoja
wahandisi walimwendea Ford
wakamwambia kuwa majaribio
yao yote ya kuunda hiyo injini
yalikuwa yameshindwa hivyo
walikuwa wanaamini kuwa

kuunda hiyo injini ilikuwa ni


kitu kisichowezekana. Ford
aliwaambia kuwa kuunda
hiyo injini ilikuwa ni kitu
kinachowezekana, hivyo
alikuwa anawapa muda zaidi.
Alikuwa sahihi! Maada ya miezi
mingine kadhaa wahandisi wale
walifanikiwa kuunda injini Ford
aliyotaka, na dunia ikapata injini
ya kwanza aina ya V-8.
Ndugu wawili, Orville na
Wilbur Wright nao ndani ya
fikra zao waliona ndege ikielea
angani na huku ikiongozwa
na wao kama marubani. Hii
ilikuwa ni katika enzi ambapo
vyombo vya kuruka angani
vilikuwa ni vitu vya kufikirika
tu, achilia mbali ndege ambayo
ndani ilikuwa ina rubani. Hawa
vijana hawakuwa na kisomo
kikubwa. Walikuwa wameishia
shule ya sekondari na raslimali
yao kubwa ilikuwa ni duka
la vifaa vya baiskeli. Pamoja
na mazingira yao kuwa hayo,
waliamua kufanya kile ambacho
fikra zao zilikuwa zimekiona.
Baada ya majaribio kadhaa,
mwezi wa Desemba mwaka
1903 dunia kwa mara ya kwanza
ilishuhudia ndege ikiruka
angani na huku ikiwa na rubani
ndani!
Mifano ya aina hii ni mingi
sana. La muhimu ni kuzingatia
tu ukweli kwamba kitu chochote
kinachofikirika, ni suala la
muda tu kabla ya kuweza
kupatikana katika uhalisia wake.
Mazingatio haya katika uwanja
wa magonjwa na tiba huenda
yana umuhimu wa kipekee.
Umuhimu huu wa kipekee ni
kutokana na ukweli kwamba
hili ni eneo ambalo linahusisha
uhai wa watu. Matokeo ya
kutotaka kuzingatia ukweli
huu ni kwamba leo hii kuna
magonjwa mengi sana ambayo
tunaaminishwa kuwa hayatibiki,
na yanapotibika ni kwa namna
ambayo gharama yake ni kubwa
sana siyo kifedha tu, bali hata
katika kuathiri siha kwa ujumla
ya kimwili na kiakili ya mgonjwa
anayehusika.
Kama mfano, makala
hii inalenga kuzungumzia
magonjwa mawili kati ya yale
ambayo tumeaminishwa kuwa
hayana dawa. Magonjwa haya
ni saratani na ukimwi. Tutaanza
na ugonjwa wa saratani. Kwa
mujibu wa takwimu zilizopo,
mpaka kufikia mwaka 2012,
ugonjwa wa saratani ulikuwa
unaua wastani wa watu milioni
8.2 duniani kote kwa mwaka!
Aidha inakisiwa kuwa hadi
kufikia mwaka 2030, vifo
vinavyotokana na saratani
vitaongezeka hadi kufikia watu
milioni 13 kwa mwaka!

Inaendelea Uk. 10

Tangazo

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO - 2016/2017

KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL

NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

Ubungo Islamic High School


Kirinjiko Islamic High School
Nyasaka Isamic High School

Dar es Salaam : 0687 820895/0657 350172


Same, Kilimanjaro: 0784 296424/0756 676441
Mwanza: 0786 417685/0713 749020

Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi
bora ya Kiislamu. Shule hizi ni za BWENI za mchanganyiko wa wavulana na wasichana.
Zipo Combinations zote za SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
Muombaji awe na ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit (yaani A, B na C)
Daraja la III (Division three) au zaidi na Grade D kwenye masomo ya Combination.

Mwisho
nini
tarehe
30/05/2016
Mwishowa
wakurudisha
kurudishafomu
fomu
tarehe
02/05/2016.

Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000= katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:

ARUSHA: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo


Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu
Bondeni : 0783 438676/0715 438676.
KILIMANJARO: Moshi: Msikiti wa Riadha:07673453

67/0686938077. Same Juhudi Studio mkabala na


Benki ya NMB Same: 0757 013344. Same: Kirinjiko
Islamic Secondry School: 0784 296424/0713
115041. Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
Ugweno Simbomu centre Mwl. Hidaya A. Mussa:
0784 656514
TANGA: Twalut Islamic Centre Mabovu
Darajani : 0715 894111/0713 014469. Uongofu
Bookshop: 0784 982525. Korogwe: SHEMEA
SHOP : 0754 690007/071569008. Mandia Shop
- Lushoto: 0782257533. Handeni Mafiga -0782
105735/0657093983
MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School : 0717
417685/0786 417685. Ofisi ya Islamic Education
Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti AlAmin 0785 086 770/0714097362.
BUKOBA: Ofisi ya Kutaiba Saccos: 0765 748056
MUSOMA: Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa
Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623/0787868611
SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa
ya Shinyanga Mjini :0655608139/0768895484

KAHAMA: Ofisi ya Kamati ipo karibu na zahanati ya

Doctor Dalali: 0754 994738/0782 994738

Dar es Salaam: Ubungo Islamic High School : 07


56584625/0657350172/0712 033556. Ofisi ya
Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin
: 0655144474/0787119531
MOROGORO: Wasiliana na
Ramadhani Chale :

0715704380. Ifakara wasiliana na Mwl. Sharifu:


0659 158958
GEITA: Ofisi ya Kamati karibu na mashine ya
kukobolea mpunga shilabera: 0765 748056
DODOMA: Hijra Islamic Primary School

488444/0653 705627.
MTWARA: Ofisi ya Islamic Education Panel,
Mtaa wa Magomeni A mkabala njia panda ya
uwanja wa ndege: 0715 465158/0787 231007.
SONGEA: Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa
NURU : 0713249264. Mkuzo Islamic High
School :0654 876317
MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini
0785425319. Rexona Video mkabala na
Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa: Sumbawanga:Jengo la Haji Said
Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786
313830
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya:
0784
944566/0718 556355. Nzega - Dk. Mbaga-0754
576922/0784576922.
IRINGA: Madrastun Najah: 0714 522 122.
PEMBA: Wete: Wete Islamic School : 0777
432331/0712772326.
UNGUJA: Madrasatul Fallah: 0777125074.
PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na
uwanja wa Lumumba

: 0716
544757/0718661992
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education. Panel
karibu na Nuru snack Hotel : 0786
425838/0784 928039.
MANYARA: Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid
Rahma: 0784491196
KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727.
Kibondo Islamic Nursery School:
0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS:
0714710802/0763 298440
MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na
LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783
msikiti mkuu : 0773580703.

WAHI KURUDISHA FOMU ILI UJIHAKIKISHIE NAFASI


FORM V TANGAZO.indd 1

4/18/2016 5:23:55 AM

10
Inatoka Uk. 8

Hali iko hivyo kwa sababu


kuna imani imejengwa kwa
muda mrefu kuwa siyo tu
kuwa ugonjwa huu ni wa
hatari sana, ila pia ni ugonjwa
ambao hauwezi kutibiwa kwa
njia nyingine yoyote zaidi ya
mionzi (radiation), dawa hatari
za kemikali (chemo) na upasuaji
(surgery); na kuwa wanaodai
kuwa wanaweza kuutibu kwa
njia nyingine zozote zile ni
waongo! Imani hii ilianzia kule
Marekani kabla ya kusambaa
na kuigwa na nchi nyingine.
Kule Marekani na Canada
historia inaonyesha kuwepo
kwa ugomvi wa muda mrefu
sana baina ya watu waliodai
kuwa wana uwezo wa kutibu
saratani kwa kutumia tiba
mbadala kwa upande mmoja,
na mamlaka za serikali na
washirika wake katika tasnia ya
tiba zinazotambuliwa rasmi na
mamlaka za serikali kwa upande
mwingine.
Matukio matatu kati ya
mengi ambayo yamewahi
kutokea huko nyuma katika
nchi hizo yanatosha kutumika
kama kielelezo cha ugomvi
na misuguano hiyo. Tukio
la kwanza linamhusu Harry
Hoxsey. Huyu alikuwa
Mmarekani ambaye alizaliwa
mwaka 1902. Alipokuwa na
miaka 18 baba yake aliugua
ghafla na kuagiza Harry aitwe.
Harry alipokuja baba yake
alimpa maelekezo ya jinsi
ya kuandaa dawa ya kutibu
saratani kwa kutumia miti
shamba fulani na kumwambia
kuwa ahakikishe anamsaidia
kila mgonjwa wa saratani
atakayekuja kwake ambaye
alikuwa hawezi kumudu
gharama za kujitibu kwa njia
nyingine. Harry aliazimia kuwa
angeanza tu kufanya shughuli
hiyo pale atakaposomea
masomo ya udaktari na
kuhitimu; na kwa sababu familia
yake ilikuwa maskini, alifanya
kila aina ya kazi ili apate fedha
za kujigharamia masomo ya
udaktari.
Mwaka 1921 Harry alilazimika
kuachana na mipango yake
baada ya mtu mmoja aliyekuwa
rafiki ya baba yake kumwendea
na kudai ampe matibabu.
Mwanzoni Harry hakutaka
kutoa matibabu bila leseni ya
udaktari, lakini yule bwana
alisisitiza na kumkumbusha
kuwa kitu cha kwanza
madaktari wanachofundishwa
ni kuwa uhai wa mwanadamu
ni kitu kitakatifu! Kwa shingo
upande Harry alimfanyia yule
bwana matibabu. Kitendo hiki
kilifungua milango kwa watu
wengine na Harry akajikuta
akilazimika kufungua kituo cha
kutibu saratani bila kuwa na
leseni ya udaktari.
Kufuatia hali hii vita na
wadau wa tasnia ya tiba rasmi
ilianza. Chama cha Madaktari

HOJA YA KILAGHAI

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Hakuna ugonjwa usio na dawa!

nchini Marekani, yaani


American Medical Association
(AMA), katika jimbo la Chicago
kilimtaka Harry aonyeshe
uwezo wa tiba yake kupitia
kwa mgonjwa wa saratani
aliyekuwa amefikia hatua za

AN-NUUR

mwisho za kuishi. Baada ya


Harry kumtibu huyo mgonjwa
kwa mafanikio AMA walimtaka
Harry awauzie wao haki zote za
kuitumia hiyo tiba lakini Harry
alikataa. AMA walijibu mapigo
kwa kutangaza kwamba tiba

ya Harry haikuwa na uwezo


wowote na kwamba Harry
alikuwa ni tapeli. Pamoja na
hali hii wagonjwa walizidi kuja.
Pamoja na jitihada endelevu
za AMA na makundi mengine
kumzuia Harry asitoe matibabu
ya saratani, mpaka kufikia
mwaka 1936 Harry alikuwa
amefungua vituo vya tiba katika
majimbo 17 ya Marekani, huku
akiungwa mkono na baadhi
ya madaktari, maseneta na
majaji. AMA na washirika
wao hawakuacha vita vyao.
Mwaka 1960 walifanikiwa pale
ilipotoka amri ya mahakama ya
kufungwa vituo vyote vya tiba
vilivyokuwa vikiendeshwa na
Harry nchini Marekani. Baadhi
ya wachambuzi wanadai kuwa
katika historia ya tiba duniani
Harry Hoxsey ndiye mtoa tiba
ambaye amewahi kufikishwa
mahakamani mara nyingi kuliko
mwingine yoyote.
Tukio la pili linamhusu Dk.
Royal Raymond Rife. Huyu
alikuwa mwanasayansi mwenye
kipaji cha hali ya juu sana.
Alizaliwa mwaka 1888 kule
Nebraska, nchini Marekani
na alisoma katika vyuo vikuu
maarufu vya John Hopkins and
Heldelberg ambako alihitimu
masuala yanayohusu bakteria
(bacteriology).
Mwaka 1933 Dk. Rife
alizindua darubini iliyokuwa
na uwezo wa kuona bakteria
, virusi na vimelea vingine
vya maradhi ilhali vikiwa hai.
Haya yalikuwa ni mapinduzi
makubwa ukizingatia kuwa
darubini zote zilizokuwepo
enzi hizo hazikuwa na uwezo
huo. Kwa mujibu wa Dk. Rife,
darubini yake ilikuwa na uwezo
wa kukuza ukubwa wa kitu kwa
takriban mara 60,000 zaidi! Hii
ina maana kuwa kwa mara ya
kwanza watafiti wa magonjwa
wangeweza kuviona vimelea vya
magonjwa katika ukubwa ambao
ungewawezesha kuvisoma kwa
kina, tena katika uhalisia wake,
ukizingatia kuwa vilikuwa
vinaonekana vikiwa hai. Kati ya
mwaka 1920 na 1950 Dk. Rife
alibuni mashine aliyoipa jina
la Ray Beam Machine ambayo
ilikuwa inatumia mawimbi ya
radio ya frequency tofauti tofauti
kuua kwa ufanisi wa hali ya juu
sana vimelea vya aina tofauti
vya maradhi pamoja na seli za
saratani. Uzuri wa mashine hii ni
kwamba ilikuwa rahisi kuitumia,
matibabu yalihitaji muda mfupi
sana, ilikuwa na mafanikio
ya 100% na ilikuwa salama
kwa 100% kwa kila mgonjwa
aliyetibiwa kwa hayo mawimbi.
Ni kwa nini leo hii madaktari
duniani kote hawatumii mashine
za Ray Beam kutibia watu
saratani na magonjwa hatari
ya kuambukiza , ukizingatia
kuwa matibabu yaliyopo yana
mapungufu mengi?
Inaendelea Uk. 13

11

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Shambulio la kigaidi la kimeta


Na Omar Msangi

LINALODAIWA kuwa shambulio


la kigaidi la kimeta (The 2001
anthrax attacks) au Amerithrax,
kama linavyojulikana kutokana
na jalada la kesi hiyo la FBI
(Federal Bureau of Investigation),
lilitokea wiki moja baada ya
shambulio jingine la kigaidi
la September 11. Hili ni lile
lililoyaangusha majengo ya World
Trade Center, New York City
(WTC), halikadhalika kuharibu
sehemu ya jengo la Pentagon,
Arlington, Virginia, huku ndege
moja ikianguka kule Shanksville,
Pennsylvania.
Tukio lilianza kwa barua
zilizotumwa kutokea posta ya
Trenton, New Jersey tarehe 18
Septemba, 2001. Barua tano
zilitumwa kwa ABC News, CBS
News, NBC News na York Post.
Hivi ni vyombo vya habari vikubwa
na maarufu, vyote vikiwa ndani
ya jiji la New York, huku nyingine
ikitumwa kwa National Enquirer,
American Media, Inc. (AMI) kule
Boca Raton, Florida.
Mtu wa kwanza kufa kutokana
na kilichodaiwa kuwa ni kimeta
kilichokuwa ndani ya barua hzo,
alikuwa Robert Stevens, ambaye
alikuwa akifanya kazi katika gazeti
la Sun, linalochapishwa na AMI.
Huyu alikufa tarehe 5 Oktoba,
2001, siku nne baada ya kufikishwa
katika hospitali ya Florida
Barua nyingine tatu, zikitokea
kule kule Trenton, zilitumwa tarehe
9 Oktoba, wiki tatu baada ya barua
za mwanzo. Hizi zilitumwa kwa
Maseneta Tom Daschle wa South
Dakota (Democrat) na Patrick
Leahy (Vermont).
Kwa uchache ilidaiwa kuwa
watu watano walikufa. 22
walionyesha dalili za kuambukizwa
kimeta huku 11 kati yao wakiugua
katika kiwango cha kuhatarisha
maisha yao.
Barua zilizokuwa zimetumwa
kwa vyombo vya habari, zilikuwa
na ujumbe usemao:
09-11-01
THIS IS NEXT
TAKE PENACILIN [sic] NOW
DEATH TO AMERICA
DEATH TO ISRAEL
ALLAH IS GREAT
Na ujumbe ndani ya barua za
maseneta ulisema:
09-11-01
YOU CAN NOT STOP US.
WE HAVE THIS ANTHRAX.
YOU DIE NOW.
ARE YOU AFRAID?
DEATH TO AMERICA.
DEATH TO ISRAEL.
ALLAH IS GREAT.
Haraka haraka kabla hata
uchunguzi haujafanyika, Ikulu
ya Marekani ikadai kuwa
waliohusika ni Al-Qaeda na
Saddam Hussein. Na kwa mujibu
wa taarifa ya aliyekuwa Mkuu
wa FBI (FBI Director) wakati ule,
Robert Mueller, alikuwa katika
wakati mgumu, kutokana na
shinikizo kubwa kutoka White
House, ikimtaka atoe taarifa
kwamba habari za ki-intelijensia,

ROBERT S. Mueller.

JOHN Ashcroft

zinaonyesha kuwa al-Qaida na


Saddam Hussein wanahusika.
John McCain akaendesha kipindi
katika TV (CBS-Late Show with
David Letterman) ambapo alidai
kuwa kimeta kile kimetoka Iraq.
(One Month After 9/11, McCain Said
Anthrax 'May Have Come From Iraq,'
Warned Iraq Is 'The Second Phase'")
"They really wanted to blame
somebody in the Middle East."
Mara kadhaa Mueller
alinukuliwa akisema. (They hapa
inawakilisha watu wa Ikulu ya
White House.)

Ilikuwa ni shinikizo kwa sababu,


kwa mujibu wa taarifa mbalimbali
za kitaalamu, FBI wenyewe
walikuwa wakijua kwa uhakika
kwamba hakuna namna ambavyo
kimeta kilichotumika kingeweza
kutengenezwa kwa njia za kienyeji
katika mapango ya al-Qaida. Ufupi
wa maneno ni kuwa, hilo lilikuwa
jambo lililohitaji utaalamu mkubwa
ndani ya maabara za kisasa, na hasa
za kijeshi.
The FBI knew early on that the
anthrax used was of a consistency
requiring sophisticated equipment and

Tazama picha hizi za baadhi ya


wagonjwa wa kimeta: Hebu jaaliya
unaambiwa kuwa Watanzania wenzako
wa kabila fulani wanapanga kuwafanyia
ugaidi wa kimeta.
Hebu jaaliya unaambiwa kuwa
Watanzania wenzako, Wakristo,
wanapanga kuwashambulia kwa
kimeta.
Na kama ni Mkristo, hebu jaalia
unaamka asubuhi na kusoma katika
magazeti kwamba Watanzania wenzako,
Waislamu wanapanga kuishambulia
Tanzania yenu kwa ugaidi wa kimeta!

JOHN McCain
was unlikely to have been produced in
some "cave." (Tazama: FBI was told to
blame Anthrax scare on Al Qaeda by
White House officials". Daily News
(New York). August 2, 2008.)
Hata hivyo, haikupita muda,
wenyewe wakaanza kushikana
uchawi baada ya kugundua kuwa
aina ya kimeta iliyotumika Ames
starin (Ames strain of anthrax),
inatoka katika maabara zao
wenyewe. Watu kama Barbara
Hatch Rosenberg, wakaanza
kupaza sauti wakitaka uchunguzi

Inaendelea Uk. 16

12

TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE - SAME, KILIMANJARO

KOZI YA UALIMU WA LUGHA YA KIARABU, KIINGEREZA,


KISWAHILI NA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU NGAZI YA CHETI 2016/2017

Muda wa Kozi ni miaka miwili


SIFA ZA MUOMBAJI:

(a)
(b)
(c)

Awe Muislamu.
Awe amefaulu masomo matatu (3) au zaidi kwa kiwango cha D au zaidi katika Mtihani wa Kidato cha 4.
Atakayekuwa na ufaulu wa kiwango cha D au zaidi katika masomo ya Lugha ya Kiarabu, Kiingereza,
Kiswahili na Elimu ya Dini ya Kiislamu atapewa kipaumbele zaidi.
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 15 JULAI, 2016.
Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 5,000/= (elfu tano) katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:
ARUSHA: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo
Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu
Bondeni : 0783 438676/0715 438676.
KILIMANJARO: Moshi: Msikiti wa Riadha:07673453

67/0686938077. Same Juhudi Studio mkabala na


Benki ya NMB Same: 0757 013344. Same: Kirinjiko
Islamic Secondry School: 0784 296424/0713
115041. Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
Ugweno Simbomu centre Mwl. Hidaya A. Mussa:
0784 656514
TANGA: Twalut Islamic Centre Mabovu
Darajani : 0715 894111/0713 014469. Uongofu
Bookshop: 0784 982525. Korogwe: SHEMEA
SHOP : 0754 690007/071569008. Mandia Shop
- Lushoto: 0782257533. Handeni Mafiga -0782
105735/0657093983
MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School : 0717
417685/0786 417685. Ofisi ya Islamic Education
Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti AlAmin 0785 086 770/0714097362.
BUKOBA: Ofisi ya Kutaiba Saccos: 0765 748056
MUSOMA: Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa
Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623/0787868611
SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa

ya Shinyanga Mjini :0655608139/0768895484


KAHAMA: Ofisi ya Kamati ipo karibu na zahanati ya
Doctor Dalali: 0754 994738/0782 994738
Dar es Salaam: Ubungo Islamic High School : 07
56584625/0657350172/0712 033556. Ofisi ya
Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin
: 0655144474/0787119531
MOROGORO: Wasiliana na
Ramadhani Chale :

0715704380. Ifakara wasiliana na Mwl. Sharifu:


0659 158958
GEITA: Ofisi ya Kamati karibu na mashine ya
kukobolea mpunga shilabera: 0765 748056
DODOMA: Hijra Islamic Primary School

0714710802/0763 298440
LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783
488444/0653 705627.
MTWARA: Ofisi ya Islamic Education Panel,
Mtaa wa Magomeni A mkabala njia panda ya
uwanja wa ndege: 0715 465158/0787 231007.
SONGEA: Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa
NURU : 0713249264. Mkuzo Islamic High
School :0654 876317
MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini
0785425319. Rexona Video mkabala na
Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa: Sumbawanga:Jengo la Haji Said
Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786
313830
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya:
0784
944566/0718 556355. Nzega - Dk. Mbaga-0754
576922/0784576922.
IRINGA: Madrastun Najah: 0714 522 122.
PEMBA: Wete: Wete Islamic School : 0777
432331/0712772326.
UNGUJA: Madrasatul Fallah: 0777125074.
PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na
uwanja wa Lumumba

: 0716
544757/0718661992
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education. Panel
karibu na Nuru snack Hotel : 0786
425838/0784 928039.
MANYARA: Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid
Rahma: 0784491196
KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727.
Kibondo Islamic Nursery School:
MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na
0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS: msikiti mkuu : 0773580703.

Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU - WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

ARABIC CHETI.indd 1

4/18/2016 5:25:19 AM

13
Inatoka Uk. 10
Kuna madai kuwa matatizo ya
Dk. Rife na mashine yake ya Ray
Beam yalianza pale mkurugenzi
wa AMA, Morris Fishbein,
alipotaka Dk. Rife amuuzie
haki za kumiliki na kuzalisha
hiyo mashine; ambapo zaidi ya
kumpa pesa, angembakishia na
mrabaha kidogo. Inasemekana
kuwa Dk. Rife alikataa na
kuanzia hapo Fishbein na AMA
yake wakaingia kwenye vita
naye. Kwanza AMA iliwakataza
madaktari waliokuwa
wanachama wake kuitumia hiyo
mashine na kisha ikafungua
mashitaka mengi mahakamani
dhidi ya Dk. Rife na kampuni
yake ya Beam Ray Corporation.
Kutokana na gharama
kubwa za kisheria inasemekana
kampuni ya Beam Ray
Corporation ilifirisika. Baadaye
Dk. Rife alijaribu kunyanyuka
na kuanza upya lakini mazingira
bado yalikuwa kikwazo. Katika
kipindi hicho ugunduzi wa
penicillin na viua vijasumu
(antibiotics) vingine ulichukua
nafasi kubwa ya shauku katika
tasnia ya tiba. Fishbein na AMA
walitumia fursa hiyo kufanya
ushawishi mkubwa kwa tasnia
ya tiba kuzama kwenye kutumia
viua vijasumu kama njia ya
kupambana na maradhi na
kuachana na tekinolojia ya Dk.
Rife.
Kwa bahati mbaya
ushawishi wa Fishbein na
AMA ulikuwa mkubwa sana
kiasi kwamba mpaka anakufa
mnamo mwaka 1971 Dk. Rife
alikuwa ameshindwa kuifanya
tekinolojia yake kuwa chaguo
la kwanza kwa matatibu katika
mapambano dhidi ya vimelea
vya maradhi na ugonjwa wa
saratani.
Tukio la tatu linamhusu Rene
A. Caisse na kile kinachojulikana
kama Chai ya Essiac (Essiac Tea).
Rene alikuwa ni mwanadada
wa Kikanada ambaye kitaaluma
alikuwa muuguzi. Katika
miaka ya 1920 alikutana na
bi kizee aliyekuwa mke wa
mchimba madini mmoja ambaye
alikuwa ameugua ugonjwa
wa saratani ya titi na akapona
kwa kutumia mchemsho wa
mchanganyiko wa miti shamba
fulani aliyokuwa kapewa na
Mhindi Mwekundu mmoja.
Yule Bi. Kizee alimtajia
Rene mimea husika na pia
akamwelekeza namna ya
kuandaa mchemsho wake.
Rene alitunza kumbukumbu ya
mchanganyiko wa mitishamba
husika na jinsi ya kuandaa
mchemsho huo na kujiambia
kuwa iwapo ingetokea siku moja
akaugua saratani basi angetumia
tiba hiyo.
Kiasi cha mwaka mmoja
baadaye Rene alipata taarifa
kuwa dada pekee wa mama
yake alikuwa amefanyiwa
upasuaji na kubainika kuwa
na saratani ya tumbo ambayo
ilikuwa imesambaa hadi
kwenye ini. Alifanya ziara
kumtembelea hospitali ambako
daktari alimwambia kuwa
hakuna chochote ambacho
hospitali ingeweza kufanya
kuhusu matibabu ya shangazi

Hoja ya Kilaghai

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Hakuna ugonjwa usio na dawa!

yake na kuwa sana sana huyo


shangazi angeishi kwa miezi
sita mingine. Kusikia hivyo
Rene alimwomba daktari ruksa
ya kutumia dawa ya kienyeji
aliyokuwa anaifahamu na
daktari akamruhusu. Rene
alimwandalia shangazi yake
dawa na baada ya kuitumia
akapona na saratani haikuwahi
kurudi tena katika kipindi
cha miaka 21 aliyoishi
baada ya kupona. Baada ya
tukio hili madaktari ambao
walikuwa wameshangazwa na
kuvutiwa kwa kiasi kikubwa,
walimwomba Rene asaidie
kutibu wagonjwa wengine
waliokuwa na saratani naye
akakubali.
Rene alifungua kituo cha tiba
mwaka 1934 na kukiendesha
hadi mwaka 1942. Alikuwa
akitoa matibabu ya saratani
kwa wagonjwa mbalimbali
bila malipo yoyote. Rene
anasema katika kipindi hicho
alitibu maelfu ya wagonjwa
wa saratani kutoka kila mahali
na alifanya juhudi kubwa
kuweka kumbukumbu za
maandishi kwa matarajio
kwamba kumbukumbu hizo
baadaye zingeweza kuwa ni
ushahidi wa kutosha kuifanya
chai ya Essiac kukubalika
kama tiba rasmi. Rene, akiwa
amefuatana na kundi kubwa la
wagonjwa aliowatibia na baadhi
ya madaktari waliomuunga
mkono, alifanya ziara za mara
kwa mara na kukutana na
viongozi mbalimbali wa serikali
kuwashawishi wamuunge
mkono na kurasimisha tiba yake.
Kutokana na jitihada zake kuna
kipindi uliandaliwa mswada
maalum wa sheria ambao iwapo
ungepita angetambuliwa rasmi
kama tabibu bingwa wa ugonjwa
wa saratani ambaye hakusomea
rasmi taaluma hiyo. Mswada
huo ulikuwa umeambatanishwa
na majina na sahihi 55,000 za
watu waliomuunga mkono,
kati ya hao 387 wakiwa ni
wagonjwa aliowatibu na baadhi
ya madaktari. Kwa bahati mbaya
mswada huu ulishindwa kupita
kwa kura tatu!
Baadaye ilibainika kuwa

AN-NUUR

bunge halikupitisha mswada


huo kwa kauli moja baada ya
udanganyifu uliofanywa na
chama cha madaktari nchini
Kanada ambacho kilizungumza
na wabunge kabla na
kuwaambia kuwa kama huo
mswada usingepitishwa chama
hicho kingedhamini kuundwa
kwa tume maalum ambayo
ingesikiliza shauri hilo na
kutoa maamuzi ya haki. Muda
mfupi baada ya bunge kukataa
kumrasimisha Rene kama
bingwa wa kutibu saratani,
bunge hilo lilipitisha muswada
wa sheria uliotamka bayana
kwamba kuanzia wakati huo
tiba zote zinazohusu ugonjwa
wa saratani ilikuwa ni lazima
zifanyiwe uchunguzi ambao
pamoja na mambo mengine
ungehusisha kupata fomula
kamili ya tiba husika ikiwa ni
pamoja na maelekezo ya jinsi ya
kuiandaa.
Kufuatia kupitishwa
kwa muswada huo Rene
aliamua kufunga kliniki yake
bila kuchelewa. Hatua hii
iliwachochea aliyekuwa Waziri
wa Afya, mhe. Harold J. Kirby
na aliyekuwa Waziri Mkuu wa
jimbo la Ontario, mhe. Mitchell
Hepburn kuingilia kati na
kumwomba Rene aifungue upya
kliniki yake na kuendelea kutoa
matibabu. Hepburn alisema:
"Kazi sasa iko kwa tasnia
ya tiba kuyathibitisha au
kuyakanusha madai ya Bi.
Caisse na sidhani kwamba
wana uwezo wa kuyakanusha.
Binafsi naikubali kazi ya Bi.
Caisse na nitafanya kila niwezalo
kumsaidia
Kwa bahati mbaya madaktari
wengi na viongozi wa serikali
hawakufurahishwa na kazi
nzuri ya Rene. Mwaka 1978
Rene alifariki akiwa na miaka
90. Mara tu baada ya kifo
chake watumishi wa Wizara
ya Afya na Ustawi wa Jamii
walifika nyumbani kwake na
kuharibu kwa kuchoma moto
kumbukumbu zote alizokuwa
ameweka kuhusiana na tiba
yake!
Japokuwa mifano hii imejikita
Marekani na Kanada, lakini hali

halisi ilivyo inaonyesha kuwa


matukio kama hayo yanatokea
kila mahala duniani, ukiondoa
nchi chache tu. Kwa mfano, hapa
Tanzania, kuna idadi kubwa ya
wagonjwa wa saratani ambao
wamekuwa wakipoteza maisha
kwa sababu tu matibabu rasmi
ya hospitali hayana uwezo wa
kuponya ugonjwa huo. Bahati
iliyopo ni kwamba kule kwa
Wapare, yaani katika wilaya za
Same na Mwanga, kumekuwa
na minongono ya muda mrefu
kuwa wako magwiji kadhaa
wenye tiba za huu ugonjwa.
Mmoja wa hao, ni Mzee
Kokoto. Yeye amejiweka wazi
na anapokea wagonjwa bila
kificho kule katika makazi yake
yaliyoko Langata.
Jambo la kushangaza ni
kwamba serikali haijaonyesha
shauku yoyote ya kutaka kujua
uwezo wa hizi tiba ili kama ni
kweli zinatibu, basi ufanyike
mpango wa kuzirasmisha
ili ziweze kuwafikia watu
wengi zaidi. Sidhani kama
tatizo ni serikali kutoamini
kuwa tiba hizi zinaponyesha.
Tatizo liko kwenye ushindani
wa kibiashara. Kuzipa uzito
tiba hizo hailipi kibiashara!
Kibiashara kinacholipa ni
kuendelea kumpa mgonjwa
dawa huku ukijua fika kwamba
mwisho wa siku hatapona.
Inalipa sana kwa sababu
dawa anazopewa mgonjwa
hazidondoki kutoka mbinguni.
Kwa kifupi kuna mtu anazilipia!
Jambo la kusikitisha ni kuwa
imani nzima kuwa matibabu
sahihi ya saratani ni yale
yanayotolewa kwenye hospitali
rasmi yakihusisha mionzi,
chemo na upasuaji imejengwa
juu ya udanganyifu mkubwa.
Udanganyifu wenyewe ni
kwamba wahusika wa imani
hii wanamhesabu mgonjwa
kuwa kapona iwapo baada ya
kumpa aina hii ya matibabu
atafanikiwa kuishi kwa muda
wa ziada wa miaka mitano!
Kwa maneno mengine iwapo
mgonjwa atakufa katika kipindi
hicho cha miaka mitano, sita,
nakadhalika, na hata kama
ugonjwa utakaomuua ni huo
huo wa saratani, kwa taratibu
walizojiwekea basi kitakwimu
mgonjwa huyo atahesabiwa
kuwa alitibiwa na akapona!
Nimalizie sehemu hii ya
kwanza ya makala hii kwa
kuwaambia wagonjwa wa
saratani kuwa dawa za kutibu
saratani zipo; na ni nyingi za
aina tofauti. Kwa ushauri zaidi
wanaweza kutembelea kliniki
yetu ya Herbal Impact, iliyoko
mtaa wa Mosque, Kitumbini
Dar es Salaam; au kuwasiliana
nasi kwa namba za simu
zilizoainishwa hapa chini.
(Juma Killaghai ni mtaalam
wa lishe, ni mtaalam wa stadi
za tiba, na pia ni mkemia
mtafiti wa bidhaa zinazotokana
na viumbe hai (Organic Natural
Products Research Chemist).
Kwa mawasiliano unaweza
kumpata kwa namba 0754281
131;0655281131;0686281131; na
0779281131.)

14
SIASA MWENYEWE NANI
1. Wandugu nawasalimu, nijue muhali gani
Muwaje na majukumu, yanokushughulisheni
Ya kutafuta vitamu, asubuhi na jioni
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
2. Swali la leo rahisi , ninalo waulizeni
Kitambo nimelihisi, laniumiza kichwani
Mbele ya kadamnasi, naleta tuchangieni
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
3. Hii siasa wenzangu , wafuasi wake nani
Umenipata uchungu , isiwe ya mashetani
Hebu tupange mafungu, tumjue ni Fulani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
4. Siasa hupigwa vita, kungia misikitini
Ruhusa haikupata, kutangazwa kiririni
Wengi yamesha wakuta, waozea gerezani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
5. Siasa haikufaa, hata kule kanisani
Wachungaji wanalia, kuhubiri watamani
Marufuku imekua, kutajwa madhabahuni
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
6. Siasa pia tatizo, tukiwa maofisini
Tena kikubwa kikwazo, watu hawatambuani
Katu usiwe wa mwanzo, achana na hiyo fani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
7. Siasa inatukera, hatuyebu michezoni
Hauchezeki mpira, na siasa midomoni
Chagua la kwako bora, yote haiwezekani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
8. Hata katika jamii, siasa hatuthamini
Makada hatuchukii, tukifika maskani
Nchi yetu ndio hii, twende kwengine kwa nani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
9. Siasa kila mahali, mbona haitakikani
Kulikoni jambo hili, limengia kisirani
Metuchanganya akili, tumekuwa punguwani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
10.Wandugu zangu wapenzi, hebu nisaidieni
Huu sio upuuzi, majibu yafikisheni
Yaleteni wazi wazi, siasa afanye nani
Siasa mwenyewe nani, mwenzenu sijamjua
Mtunzi ni: Suluhu A. Hamza
P. O. Box 1898, Zanzibar
0776 720 588

Kiswahili kinakufa

Ewe ndugu Mhariri, naja kwako gazetini


Kuwa za kweli habari, si bure ni umakini
Wachukua tahadhari, sheria za duniyani
Wahariri kulikoni.
Wahariri twambiyeni, nani ameua fani
Twazileta gazetini, tungo zetu mtihani
Leo hazina thamani, kwenu ni bora katuni
Wahariri kulikoni.
Twajipinda majumbani, ela hatulali ndani
Ili zipate thamani, na zitoke gazetini
Kile kilicho kichwani, tutaweka hadharani
Wahariri kulikoni.
Hazilipwi asilani, tungo zetu kuna nini
Radio na gazetini, na runingani jamani
Nawiye msiba gani, watunzi ni maskini
Wahariri kulikoni.
Leo twaisifu fani, kwa kipi hatukioni
Ela na vyama vyuoni, vikiendekeza fani
Kiini macho jamani, mwatucheza shere kwani
Wahariri kulikoni.
Lugha bila ushairi, na tenzi ni mtihani
Sawa na meli baharini, bila nanga kulikoni
Chukuweni tahadhari, watunzi nao lipeni
Wahariri kulikoni.
Wako watu wenye fani, nafasi hiyo wapewi
Wakaingia kazini, kuhariri gazetini
Utunzi wenye thamani, na malipo ya kazini
Wahariri kulikoni.
Masare S.R. (Mrambowa) 0713 616 313

AN-NUUR

MAKALA/MASHAIRI

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Dk. Ingrid Mattson:

Kutoka Ukatoliki hadi Ujahidina, Canada, USA


KATIKA jamii ya
Waislamu, wapo ambao
ni waumini wa dhati
na wanaouheshimu na
kuutendea haki Uislamu
wao, kiasi cha kuwavutia
watu wa imani na tamaduni
nyingine kuutamani
Uislamu na hata kufikia
hatua ya kuamua kusilimu.
Waislamu hawa wamekuwa
ni kiigizo chema kwa
wasiokuwa Waislamu
na kwa namna moja au
nyingine, wamekuwa
chachu ya kuhuisha
Uislamu duniani.
Lakini pia wapo ambao
pamoja na kwamba
ni Waislamu, tena wa
kuzaliwa katika familia za
Kiislamu, bado wametopea
katika uovu na unafiki,
kiasi cha kujenga taswira
mbaya machoni pa watu
wa imani nyingine, kiasi
cha kuwakatisha tamaa
na kutoona wivu wala
kutamani kuingia katika
mfumo huu kamili na sahihi
wa maisha ya mwanadamu.
Ingrid Mattson, ni mtoto
wa sita katika familia
ya watoto saba, ambaye
amekulia katika shule ya
Kikatoliki huko Kitchener,
Canada. Ni kijiji kilichopo
takriban maili 60 kutoka
kusini-magharibi mwa
Toronto. Alisoma katika
shule hiyo ya Kikatoliki ya
wasichana na alipendelea
masomo ya kupiga vinanda.
Ingrid aliacha kuhudhuria
misa akiwa na umri wa
miaka 16 baada ya kuhoji
sana kuhusu Ukatoliki na
kupewa majibu ambayo
hayakumridhisha.
Akiwa mpagani, Ingrid
Mattson alienda kusoma
falsafa na sanaa katika Chuo
Kikuu cha Waterloo, huko
Ontario. Kukutana kwake
na Waislamu kwa mara ya
kwanza kulikuwa mwaka
1986, akiwa anasoma
Paris. Ile haiba, ukaribu,
na ukarimu wa Waislamu
aliokutana nao ukaacha
athari katika moyo wake.
Nilichokigundua
miongoni mwa tabia nyingi
nzuri, hawa walikuwa
watu wastaarabu na
wakarimu zaidi kuliko
wengine wowote niliopata
kuwaona.
Aliyasema haya
akiongelea Waislamu
aliokutana nao Paris.
Tokea hapo, akazama
katika kusoma vitabu
kuhusu Uislamu na pia
alijifunza Kiarabu. Katika
kusoma kwake huko
Uislamu, alikuja kukutana
na kitabu cha Kiislamu cha
Fazlur Rahman.
Kilikuwa ni kitabu
na hamasa yake ndivyo
vilivyonivuta katika njia hii
ya kutaka kujua ambayo
nilokuja kugundua itanipa

mafanikio sana. Alisema


Ingrid.
Alipokuja kuisoma
Quran ndipo alipogaragara
zaidi katika mshangao. Na
ilipofika 1987 akiwa kama
mwanafunzi mkubwa wa
chuo, alibadili rasmi dini na
kuwa Muislamu.
Hii jamii ya kidini
ilinipa mwongozo katika
maisha yangu ya kiroho,
na ndio maana nikaamua
kuingia namimi.
Alisema haya akiwa
anahojiwa katika chombo
cha habari.
Baada ya kuhitimu
masomo yake chuoni,
alijitolea kufundisha
wanawake wa kiAfghanistan katika kambi
ya wakimbizi iliyo na watu
karibia elfu kumi huko
Peshawar, Pakistan. Ilikuwa
ndio huko huko ambapo
alikutana na kufunga ndoa
na Amer Aetak, mhandisi
kutokea Misri aliokuwa
akifanya kazi ya kuweka
mfumo wa maji katika
kambi hiyo.
Mwaka 1989 aliingia
tena Chuo Kikuu, safari hii
ikawa katika Chuo Kikuu
cha Chicago, Marekani
na ilipotimu mwaka 1999,
alifanikiwa kupata udokta
wa kitaaluma (Ph.D.) katika
masomo ya Uislamu. Kwa
sasa, ni Profesa wa masomo
hayo ya Uislamu na Mkuu
wa Masuala ya Dini katika
shule ya kidini ya Hartford,
huko Connecticut. Pia ni
Mkuu wa ISNA (Islamic
Society of North America),
moja ya Baraza kubwa la
Kiislamu Marekani.
Mwaka wa 1995 alikuwa
mshauri wa ujumbe wa
Afghanistan kupeleka
katika Tume ya Umoja wa
Mataifa inayojishughulisha
na hadhi ya mwanamke.
Mwaka 2001, aliteuliwa
kuwa Makamu wa Raisi
wa ISNA na ilipofika 2006,
alitawazwa kuwa Raisi. Dkt.
Mattson ni mwanamke wa
kwanza kati ya waliosilimu
waliopata nafasi ya
kuongoza Taasisi hii kubwa
ya kidini (ISNA).
Profesa Mattson pia ni
mchangiaji katika jarida la
dini la The Muslim World
Journal. Ni mtunzi wa
kitabu kiitwacho The Story
of the Quran: Its History and
Place in Muslim Life (Historia
na Nafasi ya Quran katika
maisha ya Muislamu
kikiwa kina kurasa 272).
Dkt. Mattson anaishi
Connecticut, Marekani
pamoja na mumewe na
watoto wao.
Kwa miaka mingi sasa
Ingrid Matson, amekuwa
na machango mkubwa wa
kuufanya Uislamu kuwa
kioo cha jamii ya watu
wa imani nyingine na
wapagani.

DK. Ingrid Mattson


Kwa uchache, zifuatazo
ni baadhi ya makala ambazo
Dk. Matson amekuwa
akizitoa sehemu mbalimbali
duniani katika kuuhuisha
ustaarabu wa maisha ya
Kiislamu na kujijengea
heshima kubwa duniani.
Kuiheshimu Quran
(Respecting the Quran), Wito
Katika uongozi Bora: Wazo
la Ushujaa (A Call for Moral
Leadership: Imagining a new
heroism), Maoni kuhusu
michoro ya kumkashfu
Mtume Magazetini
(Comments on Cartoons
Depicting the Prophet
Muhammad).
Makala nyingine
ni pamoja na Kuzuia
Unyanyasaji: Ni wajibu
katika Uislamu (Stopping
an oppression: An Islamic
Obligation), Imani
inapotazamwa kwa sura ya
ugaidi-Imani nyingi zina
mtazamo huo. (Faith in the
Face of Terror Multi-Faith
Reflections on Meaning).
Imani, haki na ugaidi (Faith,
Justice and Terrorrism)
Aidha Bi. Ingrid Mattson,
amekuwa na amefanya
mihadhara mbalimbali
ya kimataifa ya Kiislamu,
akitimiza wajibu wake wa
kuitumia elimu aliyo nayo
kuchambua na kuwasilisha
mada mbalimbali hukusu
masuala ya Kiislamu na
kijamii kwa ujumla.
Baadhi ya mihadhara
aliyofanya ni pamoja na
ule wa Usawa wa kijinsia
katika taswira ya Kiislamu
(Gender Equity The Islamic
Perspective), Sheria ya
Kiislamu katika Dunia ya
sasa (Sharia in the modern
World),
Mabadiliko katika nafsi
zetu (Changes within us),
Siasa kali na ya wastani
(Extremism and moderation),
Athari ya tukio la Septemba
11 (Impact of September 11th)
na Sheria ya Kiislamu ni
nini (What is Islamic Sharia?),
Kuijenga imani (Building the
Faith).

15

Safu ya Ben Rijal

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Wanyama waliotajwa katika Quran: Mbwa-4


Na Ben Rijal
Katika makala mbili mfululizo
tutaangalia aya zilizotaja mbwa
katika Quran. Aidha tutaangalia
mbwa katika uga wa sayansi namna
alivyoelezewa. Mbwa ni mnyama
aliokuwa rafiki na mwanadamu
na mwanadamu ameishi na
mbwa kwa miaka mingi ingawa
kuna visa mbalimbali ambavyo
mbwa wamesababisha vifo kwa
wanadamu pale walipowauma.
Juu ya hayo, bado anakuwa mbwa
ametumiwa kama ni mnyama rafiki,
awe amewekwa nje ya majumba
kwa ulinzi au kuwa sehemu ya
wana familia. Ulaya mbwa kuwa
wanaishi majumbani.
Mbwa anatoa msaada mkubwa
sana kwa wasasi aidha mbwa
anatumiwa na askari kwa
kuwatawanya watu pale askari
Polisi wanapoweka usalama. Aidha
mbwa hutumiwa kwa kunusa na
kuelewa iwe madawa ya kulevya,
kufwatilia harufu za wahalifu na
hata kunusa kujuwa mwanadamu
pale alipofukiwa kwenye vifusi,
kwa ujumla mbwa ni msaada
mkubwa.
Tuangalie Sura na aya
zilizozungumzia juu ya mbwa
katika Quran. Nazo zimo kwenye
Sura Al-Araaf na Sura Al-Kahf,

Pango la Abu Almanda


katika kuziangalia aya katika
Sura hizi aidha tutakisoma kwa
mukhtasar kisa cha watu wa
Pangoni, Ashab Kahf kuweza
kuelewa zaidi kuwa waliandamana
na mbwa ambaye sio adui kwa
Waislamu kama watu wa Magharibi
kupenda kushutumu kuwa
Waislamu wana uadui mkubwa na
mbwa.
Na tungelitaka tungeli
mtukuza kwa hizo Ishara, lakini
yeye aliushikilia ulimwengu
na akafuata pumbao lake. Basi
mfano wake ni mfano wa mbwa.
Ukimhujumu hupumua na kutoa
ulimi na ukimwacha pia hupumua
na kutoa ulimi. Huo ni mfano wa
kaumu wanao zikanusha Ishara

zetu. Basi simulia hadithi, huenda


wakatafakari (Al-Araaf 7:176).
Ayah hii imemuelezea mbwa
alivyo na namna alivyolinganishwa
na zile Umma zilizokanusha namna
wanavyofanana naye.
Nawe utawadhania
wamacho, na hali wamelala. Nasi
tunawageuza kulia na kushoto. Na
mbwa wao amenyoosha miguu
yake ya mbele kizingitini. Kama
ungeli watokea hapana shaka ungeli
geuka kuwakimbia, nawe umejaa
khofu. (Al Kahf 18:18).
Katika aya hii wanaelezewa
vijana ambao walimkimbia mtawala
dhalim na kukimbilia kwenye
pango, katika kukimbia kwao
walifwatana na mbwa ambaye

alikuwa wamefwatana nao, hapa ni


wazi kuwa Waislamu hawapigi vita
mbwa.
Watasema: Walikuwa
watatu, wa nne wao ni mbwa
wao. Na wanasema: Walikuwa
watano, wa sita wao ni mbwa
wao. Wanavurumisha ovyo. Na
wanasema: Walikuwa saba, na wa
nane wao ni mbwa wao. Sema: Mola
wangu Mlezi ndiye anaye jua sawa
sawa hisabu yao. Hawawajui ila
wachache tu. Basi usibishane juu
yao ila kwa mabishano ya juu juu tu
hivi. Wala usiulize khabari zao kwa
yeyote Yule. (Al Kahf 18:22).
Hapa katika maelezo namna
wanavyohangaika kutaka kujua
idadi ya hao vijana.
Katika Sura Al Kahf kuanzia
Aya 10 hadi 22 inaelezea juu
ya vijana wa pangoni. Tarekhe
inatufahamisha kuwa mageuzi
mengi duniani yalifanywa na
vijana, wazee mara nyingi huwa na
khofu hata wanapokuwa kwenye
mkandamizo mkubwa wa maisha
yao kwa wale wanaowaongoza,
wazee huona ni bora kubakia na
hali hiyo ya tabu na kumwachia
Mwenye-enzi Mungu nakuamini
kuwa heri nusu ya shari kuliko
shari kamili. Lakini vijana mara
nyingi hufika na kusema potelea
mbali, maisha ya madhila na kufa
ni sawa sawa. Ndipo tutapojifunza
juu ya vijana hawa wa pangoni
walikuja na maamuzi gani juu ya
kiongozi dhalim, wao waliambatana
na mbwa wao akiitwa Kitmir kama
wanavyotuelezea wana historia na
kuamua kumpinga mfalme kinaga
Inaendelea Uk. 17

Jee tuwe Kunguru au tafrani za panya?


WAZEE au kama tusemavyo
kileo Wahenga wakituongoza
na kutupa hekaya zilizojaa
hekima na mafunzo ndani
yake na ingawa kina sisi
tumeyasoma hayo miaka 40
iliopita tukiwa tupo katika
skuli za primari, lakini hekaya
hizo bado zimo kwenye
magenzi yetu na ndio zinatupa
mawazo na hekima kuwambia
wengine yepi ni mema
kuyatenda na yepi waepukane
nayo.
Naanza kwa hadithi ya
Kunguru, tukiambiwa kunguru
akipenda kuiga kutafuta
mwendo wa mikogo, kwa hio
siku alipomuona Tausi akaiga
mwendo wa Tausi na siku
alipomuona Kasuku akajaribu
kwenda kama Kasuku na siku
alipomuona Njiwa akamuiga
njiwa, mwishowe Kunguru
akajikuta ni ndege kazi yake
kuiga wengine waendavyo,
na kumalizikia kujitia kilema
cha kujitakia, kwani alipokuja
kuutafuta mwendo wake wa

asili akaukosa na ndio leo


ukimuona Kunguru anakwenda
anakwenda upande upande
angekuwa mwanadamu
tungesema anakwenda upande
kwa bega mmoja. Hichi ni
kianzio kitachokuja kupata
tafsiri huko mbele.
Sasa tumuangalie Panya.
Huyu naye katika hadithi
alikuja kufanya mikasa na
kuwazamisha wenzake wote,
kisa na mkasa? Enhee, hapo
ndipo nitapoanzia. Ilikuwa
katika ngambo moja imeingia
njaa kubwa hakuna chakula
kwa mnyama yoyote yule
atakayeweza kukipata na kukila
kikamkidhi. Kwa hiyo ukaitwa
mkutano wa wanyama wote na
kukubaliana katika mkutano
wao, wahame kuelekea ngambo
ya pili labda huko kuna neema.
Ikakubalika wanyama wadodgo
wadogo wapande chombo chao
na wakubwa wapande chombo
chao na watapokuwa kwenye
safari kuwe hakuna uadui.
Panya alipanda jahazi

iliotengenezwa kwa muhogo


ulio mkubwa na kuweza
kuwachukua Panya, Paka,
Sungura, Cheche, Kima n.k.
Safari yao ikaanza na ilikuwa
refu mchana jua kali, usiku
upepo na baridi na walikuwa
hawana chakula, ilipofika siku
ya pili, Panya akaanza kutafuna
mhogo kukidhi njaa yake.
Sungura akamtahadharisha
na kumwambia Panya wacha
mchezo wako, jahazi ikitoboka
hakuna atakayepona, sote
tutakuja kuzama, bora ustahmili
safari sio refu sana, unaposikia
njaa fanya kama tufanyavyo,
wenzako tunakunywa maji ya
chumvi kuikidhi njaa. Panya
hujifanya kasikia na baada ya
muda kupita hurudia kuitaftia
njaa yake suluhu. Ghafla siku
hio wakiwa wamo na safari
yao, maji yakaanza kuingia
kwenye chombo chao, hapo
Sungura akamwambia Panya
Enheee ulichokitafuta ndio
hichi hapa hamna simile, ujuwe
kuogelea usijue sote tutazama

tu leo. Panya alililia sana na


Sungura kumwambia ukae
kimya ulichokitafuta umekipata
wala hakuna atakayepona leo.
Hekaya hii na ya Kunguru ndio
itayaekuja kukamilisha makala
haya ya leo.
Leo vijana wamekuwa ni
wenye kuiga chochote kile
kiingiacho na kuushikilia ule
msemo Kiingiacho mjini sio
haramu. Sio kweli jamani
kila kiingiacho mjini ni sawa
vyengine huwa ni moto na
kuunguza tusivivamie tu.
Tunapowakataza vijana
kuwacha kuvamia mambo
saa nyengine watajibu
Yenu yamepita tuwachieni
tujifarague. Inaweza kuwa
maneno hayo yana mashiko,
kwani huko nyuma kulikuwa na
watu kutia Pandora kubadilisha
nywele ziwe laini na wengine
wakichukua chokaa na mafuta
ya petroli kutengeneza Pandora
yao, na kuishia vichwa kutoka
madonda, kulikuja mashati ya

Inaendelea Uk. 17

16

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Shambulio la kigaidi la kimeta

Inatoka Uk. 11

ufanyike ijulikane, nani katoa


kimeta hicho.
Wakati huo huo, The Federation of
American Scientists (FAS), wakatoa
taarifa katika mtandao wao (web
site), wakionyesha wasiwasi
wao kwamba, shambulio hilo la
kimeta lisingeweza kufanyika bila
ya kuhusika watu wajuzi ndani
ya serikali pamoja na taasisi za
kiusalama na ujasusi. (Tazama:
Ralph R. Frerichs. "A Compilation of
Evidence and Comments on the Source
of the Mailed Anthrax". Ph.ucla.
edu. (2) York, Anthony (August 31,
2002). "Bio-sleuth or crackpot?". (3)
Jennifer Couzin (August 23, 2002).
"Unconventional Detective Bears
Down on a Killer". Sciencemag.org.
Retrieved September 12, 2011.
Kwa kipindi, kukawa na
malumbano baina ya wanaharakati
na serikali. Serikali ikitakiwa iseme
ukweli, nani wanahusika na kimeta
kile kilichouwa watu wasio na hatia.
Ilipofika Agosti, 2002,
Mwanasheria Mkuu (Attorney
General), John Ashcroft akatangaza
kuwa Steven Hatfill, ni mtu
muhimu katika kadhia hiyo
(person of interest), kwa maana
kuwa kuna sababu za kumtuhumu
kwamba anahusika. Hata hivyo,
hakufunguliwa mashitaka. Steven
Hatfill mwenyewe ambaye ni
mtaalamu bingwa wa elimu ya
virusi (virologist), akapinga vikali
kuhusika na kadhia hiyo kwa
namna yoyote. Akawafungulia
mashitaka FBI, Ofisi ya
Mwanasheria Mkuu, John Ashcroft
na Alberto Gonzales. Tarehe 27
Juni, 2008, ikaamuliwa alipwe Dola
milioni 5.8. (Tazama: Shane, Scott;
Lichtblau, Eric (June 28, 2008). "U.S.
to Settle Lawsuit of Man Investigated
in Anthrax Case". The New York
Times. Retrieved June 28, 2008.)
Aliyashitaki pia baadhi ya
magazeti, likiwemo The New York
Times kwa kumchafua ambapo
hatimaye, ilibidi wahusika wakubali
yaishe nje ya mahakama kwa
kuhofia kulipishwa fidia kubwa.
"Dr. Hatfill's lawsuit has now been
resolved to the mutual satisfaction of all
the parties."
Ilikuwa ni kauli fupi ya
mwanasheria wa Hatfill baada ya
kesi kumalizwa nje ya mahakama.
("Dr. Steven J. Hatfill's Defamation
Lawsuit Against Vanity Fair and
Readers Digest Resolved Publishers
Issue Statements Retracting
Implication Of Guilt")
Bruce Edwards Ivins
Kufika hapo sasa ndio akaibuliwa
Bruce E. Ivins. Ilikuwa tarehe 1
Agosti, 2008 ambapo vyombo vya
habari vilitangaza kwamba Bruce
E. Ivins, akiwa na umri wa mika 62,
amejiuwa baada ya kufanya kazi
kwa mika 18 katika maabara ya
serikali ya Fort Detrick inayohusika
na silaha za kibaolojia (U. S. bio
defense labs).
Huyu Ivins alikuwa ni katika
wataalamu bingwa wa utafiti (top
U.S. biodefense researcher) katika
Ft. Detrick. Na kilichotangulia,
taarifa za kujiuwa kwake, ni
habari kwamba FBI walikuwa
wamekamilisha taratibu za

MOHAMMED Abdi Ali.


kumshitaki kutokana na ushahidi
waliokusanya unaoonyesha kuwa
alihusika katika kusambaza kimeta
kilichokuwa katika barua ambazo
awali ilidaiwa kuwa ni za Al-Qaida
na Saddam Hussein.
Kifo cha Ivins kikaacha maswali
tata yanayohitaji majibu. Hata
hivyo, wataalamu walio na uzoefu
na germ warfare, wakasema kuwa
hata Ivins, hakuwa na utaalamu wa
kugeuza virusi vya kimeta kuwa
unga unaoweza kuvutwa na mtu
akipumua. Na kwamba kufanya
hivyo kunahitaji mtaalamu wa
'aerosol physics. Hii ilikuwa pia
kauli ya mtaalamu Alan Zelicoff,
aliyewasaidia FBI katika uchunguzi
wa kikachero.
"I don't think a vaccine specialist
could do it. This is aerosol physics,
not biology". Alisema Alan Zelicoff.
(Tazama: "Scientist's Suicide Linked to
Anthrax Inquiry" The New York Times
August 2, 2008)
Hata hivyo, pamoja na hoja hizo
za kitaalamu, bado FBI wakafikisha
kesi mahakamani. Lakini huko huko
mahakamani wataalamu nao wakaja
juu wakiseka kuwa kitaalamu,
wanachoweza kusema FBI ni
kuwa vipimo vyao vya microbial
forensics, vimewaonyesha
aina ya kimeta strain na
maabara kilipotokea. Lakini sio
aliyekisambaza kwa sababu, kila
aliye ndani ya maabara yenye
kimeta hicho, lazima kitamganda,
ikiwa ni pamoja na watu waliowahi
tu kutembelea hapo, na hata wapita
njia.
Nakumbuka wakati nasomea
uandishi wa habari TSJ, mwalimu
wangu Wallace Maugo alikuwa
na kauli yake akisema kuwa,
wakati anazungumza mtaalamu,
wengine mkae kimya. Sisi pale TSJ
tukichukua Postgraduate Diploma.
Tulikuwa tayari na Shahada (digirii)
za fani nyingine. Sasa kama habari
tunayojadili ilihusu Mwalimu, basi
akisimama mwalimu kutoa hoja,
ndio huja kauli hiyo akizungumza
mtaalamu wengine mkae kimya.
Hivyo hivyo akizunguza mwingine
katika fani yake.
Sasa katika kesi hii, baada
ya taarifa ya kitaalamu, kama
ilivyotolewa na mtaalamu Meryl
Nass, ikabidi sasa FBI waje
na orodha ndefu ya watu 419

NUSEIBA Mohammed Haji.


waliowahi kukanyaga pale Fort
Detrick, na hata waliopita tu
jirani na pale katika kipindi hicho
lilipoibuka sakata la kimeta. (Secret
Reports: With Security Spotty, Many
Had Access to Anthrax Frontline
October 25, 2011)
Shinikizo sasa laigeukia Serikali
Kutokana na utata ulioigubika
kesi hii, hata baada ya mtuhumiwa
mkuu kufa, bado watu walitaka
kujua ukweli wa jambo hili.
Tarehe 22 Aprili, 2010, Baraza
la Utafiti la Taifa (U.S. National
Research Council), ambalo ni moja
ya vitengo vya taasisi iitwayo
National Academy of Sciences, kilirejea
kuangalia kitaalamu jambo hilo
wakimtumia mtaalamu Henry
Heine (microbiologist). Huyu aliwahi
kuajiriwa katika maabara ya silaha
za kibaolojia za jeshi la Marekani
(Army's biodefense laboratory ,
Maryland) ambapo Ivins alikuwa
akifanya kazi.
Heine aliwaambia wana jopo
kuwa ni jambo lisilowezekana
kabisa, kwamba Ivins aliweza
kutengeneza mbegu ya kirusi
hatari cha kimeta (deadly spores)
katika maabara, kama FBI
wanavyodai. Alisema, kutokana na
vifaa vilivyopo katika maabara ile,
ingemchukua Ivins kwa uchache
mwaka mzima, na kwa kufanya
kazi kweli kweli usiku na mchana,
(alitumia maneno at least a year
of intensive work), ndio angeweza
kuzalisha kiwango cha spores za
kimeta zilizoonekana katika barua.
Na hilo lisingewezekana kufanyika
kwa siri. Ingejulikana.
Maelezo kama hayo ya Henry
Heine yalichapishwa pia katika
jarida-Journal of Bioterrorism &
Biodefense la mwaka 2011, ambapo
wanasayansi watatu walisema
kuwa:
The preparation of the spores did
require a high level of sophistication,
contrary to the position taken by federal
authorities that the material would have
been unsophisticated.
Ilikuwa ni mwaka huo huo wa
2011, ambapo Mkuu wa Maabara
ya kibaolojia ya kijeshi (Chief of
the Bacteriology Division, Army
laboratory), Patricia Worsham,
alisema kuwa katika mwaka huo
wa tukio 2001, maabara aliyokuwa
akifanya kazi Ivins, haikuwa na

FATUMA Mohammed Hanshi.


vifaa vya kuweza kutengeneza
spores za kimeta zilizokuwa
katika barua walizotumiwa akina
Tom Daschle na Patrick Leahy.
Patricia Worsham akawataka FBI
waeleze, nini msingi wa kesi yao
kwamba Ivins alitengeneza kimeta
katika maabara yake. (Tazama: New
Documents Cast Doubt on Federal
Anthrax Case Frontline July 18, 2011.)
Kutokana na utata wa jambo
hili, bado wananchi wa Marekani
wameshikilia bango wakitaka
kujua ukweli. Nini kilitokea na
nani alihusika. Baadhi ya wabunge
wa Bunge la Congress, walitaka
uletwe muswada maalum-Anthrax
Attacks Investigation Act (H.R. 1248)
au iundwe Tume Huru ya Bunge
kuchunguza upya kadhia hiyo.
Hata hivyo, baadhi ya watu
wanasema kuwa serikali haitakubali
kwa sababu ukifanyika uchunguzi
huru, itakuwa sawa na kuiumbua
na kuivunjia heshma FBI na hivyo
kuondoa imani ya watu juu ya
chombo hicho. ("Holt Calls for
Congressional investigation into
FBI handling of Anthrax attacks,
Follows FBI Announcement to Close
Its Investigation". Press Release of
Congressman Rush Holt, 12th District
of NJ. March 3, 2010. "Nadler Renews
Call for Independent Investigation of
Anthrax Attacks". Press Release of
Jerrold Nadler. March 4, 2010. "Obama
Veto Is Threatened on 2010 Intelligence
Budget Measure". Bloomberg News.
March 15, 2010.)
Sasa hicho ndio kizungumkuti
cha Shambulio la Ugaidi wa
Kimeta (Anthrax Terror Attacks)
katika Marekani mwaka 2001
ambapo Uncle Sam aliutangazia
ulimwengu kuwa wahusika ni AlQaida.
Miaka 15 baadae wakati bado
FBI inahangaika kujinasua katika
tope hilo la kimeta cha Al-Qaida,
Kamanda Joeph Kipchirchir
Boinnet anakuja na kimeta cha
IS katika Afrika Mashariki.
Anataka tuamini kuwa Ustaz
Mohammed Abdi Ali, na mkewe
Ustazat Nuseiba Mohammed Haji,
wanaweza kujifungia chumbani
kwao au katika Mihrabu ya Msikiti,
wakatengeneza Spores za kimeta
kutushambulia!

17
Inatoka Uk. 15
ubaga.
Kisa cha vijana wa pango katika
Quran
Bali unadhani ya kwamba wale
Watu wa Pangoni na Maandishi
walikuwa ni ajabu miongoni mwa
ishara zetu? (18:9).
Vijana hao walipo kimbilia
kwenye pango walisema: Mola wetu
Mlezi! Tupe rehema itokayo kwako,
na tutengezee uwongofu katika
jambo letu. (18:10).
Tukayaziba masikio yao
kuwalaza humo pangoni kwa muda
wa miaka kadhaa wa kadhaa.
(18:11).
Kisha tukawazindua ili tujue
ni lipi katika makundi mawili lilio
hisabu sawa muda walio kaa.
(18:12).
Sisi tunakusimulia khabari zao
kwa kweli. Hakika wao walikuwa
ni vijana walio muamini Mola
wao Mlezi. Na Sisi tukawazidisha
uwongofu. (18:13).
Na tukazitia nguvu nyoyo
zao walipo simama na wakasema:
Mola wetu Mlezi ni Mola Mlezi
wa mbingu na ardhi. Hatutamwita
mwenginewe kabisa badala yake
kuwa ni Mungu. Hivyo itakuwa
tumesema jambo la kuvuka
mpaka. (18:14).
Hawa watu wetu wameshika
miungu mingine badala yake
Yeye. Kwa nini basi hawawatolei
uthibitisho ulio dhaahiri? Na
nani aliye dhaalimu zaidi kuliko
anaye mzulia uwongo Mwenyezi
Mungu? (18:15).

Safu ya Ben Rijal

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Wanyama waliotajwa katika Quran: Mbwa-4


Na mkijitenga nao na vile
wanavyo viabudu badala ya
Mwenyezi Mungu, basi kimbilieni
pangoni, akufungulieni Mola
wenu Mlezi rehema yake, na
akutengenezeeni ya kukufaeni
katika mambo yenu. (18:16),
Na unaliona jua linapo chomoza
linainamia kuliani mwao kutoka
hapo pangoni; na linapo kuchwa
linawakwepa kushotoni, na wao
wamo katika uwazi wa pango.
Hizo ni katika ishara za Mwenyezi
Mungu. Ambaye Mwenyezi Mungu
anamwongoa basi huyo ni mwenye
kuongoka. Na anaye muacha
kupotea basi hutampatia mlinzi
wala mwongozi. (18:17).
Nawe utawadhania
wamacho, na hali wamelala. Nasi
tunawageuza kulia na kushoto. Na
mbwa wao amenyoosha miguu
yake ya mbele kizingitini. Kama
ungeli watokea hapana shaka ungeli
geuka kuwakimbia, nawe umejaa
khofu. (18:18).
Na kwa namna hii tuliwainua
usingizini wapate kuulizana
wao kwa wao. Alisema msemaji
katika wao: Mmekaa muda gani?
Wakasema: Tumekaa siku moja au
sehemu ya siku. Wakasema: Mola
wenu Mlezi anajua zaidi muda
mlio kaa. Hebu mtumeni mmoja
wenu na hizi fedha zenu ende
mjini, akatazame chakula chake kipi

AN-NUUR

kilicho bora kabisa akuleteeni cha


kukila. Naye afanye mambo hayo
kwa busara, wala asikutajeni kabisa
kwa yeyote. (18:19).
Kwani wao wakikutambueni
watakupigeni mawe, au
watakurudisheni katika dini yao;
na hapo hamtafanikiwa kabisa.
(18:20).
Na namna hivi tuliwa juulisha
kwa watu wapate kujua ya kwamba
ahadi ya Mwenyezi Mungu ni
ya kweli, na kwamba Saa haina
shaka. Walipo kuwa wakigombania
jambo lao wao kwa wao walisema:
Jengeni jengo juu yao. Mola wao
Mlezi anawajua vyema. Wakasema
walio shinda katika shauri yao: Bila
ya shaka tutawajengea msikiti juu
yao. (18:21).
Watasema: Walikuwa
watatu, wa nne wao ni mbwa
wao. Na wanasema: Walikuwa
watano, wa sita wao ni mbwa
wao. Wanavurumisha ovyo. Na
wanasema: Walikuwa saba, na wa
nane wao ni mbwa wao. Sema: Mola
wangu Mlezi ndiye anaye jua sawa
sawa hisabu yao. Hawawajui ila
wachache tu. Basi usibishane juu
yao ila kwa mabishano ya juu juu tu
hivi. Wala usiulize khabari zao kwa
yeyote yule. (18;22)
Bada ya kuzisoma aya hizo hebu
tuangalie watu wa tafsiri na wana
historia wanatufahamisha nini?

Baada ya tafiti nyingi


zilizofanywa wataalamu walikuja
kuelewa kuwa pango hili
linalozungumzwa lipo katika nchi
ya Jordan na pango hilo linajulikana
kwa jina la Abu Alanda, watu wengi
huwenda kufanya ziara hapo kwa
kupata kumbukumbu ya vijana
hawa shujaa walioamua kumkimbia
kiongozi muasi.
Wasomi wanatafautiana
kukubaliana lilopokuwepo pango
hili, kuna wanaosema lipo Aylah
huko Jerusalem, kuna wanaosema
lipo Ninawa nchini Iraq na wengine
kueleza kuwa lipo Sham nchini
Syria.
Katika miaka ya 60 mtafiti wa
machimbo ya kale Muhammad
Tayseer Zabyan aliweza kugundua
pango hilo katika nchi ya Jordan
kwenye mji mkuu Amaan katika mji
uitwao Ar-Rajeeb ambao maelezo
yake yanakwenda sambamba na
namna ilivyoelezwa kwenye Quran,
msomi Sayid Abu Ala Al-Maududi
wa Pakistan alifanya ziara ya hapo
na kukubaliana na uvumbuzi wa
mtaalamu Muhammad Tayseer
Zabyan. Hivi sasa waumini wengi
huzuru mwahali hapo kwenye hilo
pango ambalo linaitwa Abu Alanda.
Maelezo zaidi juu ya vijana hawa
wa pangoni yataendelea katika
toleo lijalo na kuona juu ya watafiti
wanasemaje?
Fwatana na mie katika makala
ijayo ambayo itaangalia juu
ya hilo pango na Wanasayansi
wanavyomuelezea mbwa.

Jee tuwe kunguru au tafrani za panya?


Inatoka Uk. 15

kubana slim fit kulikuwa na


masuruali mapana yakiitwa
Bugaloo, kulikuwa na mikato
ya nywele ya Denge n.k. Lakini
tutasema ya huko nyuma
yalikuwa ni afadhali kuliko ya
leo kweli kila dahari huwa na
mambo yake, ila dahari hizi
tulizonazo mambo yake ni
kinehe.
Katika hayo ya muigo mithili
ya Kunguru utakuta mwanamke
katia nyusi kisha kajichubua
akikutokea utadhani ni Shetani
wa kuletwa. Ukimtizama utataka
utimke mbio. Katika hali hio ya
mchubuo akitaka kujirejesha
asili yake ya awali inakuja kuwa
hayawezekani yanakuwa yalee
ya kunguru. Kuna suruali za
kubana kwelikweli, mtindo
umeingia wanawake wameuvaa
ukijiuliza verejee kivazi kiwe kile
utaambiwa Kiingiacho mjini sio
haramu.
Mengine ya kileo wanawake
wote wa Kiafrika hawazitaki
nywele zetu za kipilipili kila
mmoja anataka singer na
kwengineko sasa wanaume nao
wamejiingiza katika wimbi hilo,
kisa na mkasa ni uamambo leo.
Kubwa zaidi juu ya kuvamia
ya watu ni huu uvazi wa suruali
chini ya kiuno kuonyesha
suruwali ya ndani, bora niite

kwa jina lake kuonyesha chupi.


Uvazi huu una tarehe yake
ambayo ndio madhumuni ya
maelezo kwenye makala haya na
uvazi huu unaitwa kwa jina la
Sagging.
Uvazi wa Sagging
Kijana katika mji wa Detroit
na uvazi wa Sagging
Hakika uvazi huu
haukubaliki. Ni uvazi ambao
unatia doa kabisa katika jamii
yetu ya ustaarabu na kwenda
kinyume na maamrisho ya
Uislamu katika uvazi, iweje
kijana uvae mvao wa mtindo
huu?
Suala, ukiulizwa unajuwa
maaana ya Sagging na
imeanzia kutokea wap? Ukijua
hayo naamaini utarudi nyuma.
Ukitaka kuelewa asili yake
imetoka wapi na kwanini
tunapenda vijana waache uvazi
huu. Kuwa na Gazeti la AnNuur wiki ijayo uweze kujua
kwa undani likufahamishe
juu ya Sagging kwani kuvaa
kivazi hichi utajikuta mwisho
wake yale ya Panya, wazee na
vijana kujikuta tumeingia katika
tafrani ya Panya kuja kuzama
sote. Kwanini tuzame sote?
Kuzama sote ni kuja kujikuta
kuwa tunakuwa jamii iliokosa
utamaduni na kushindwa hata
kujijua sisi ni nani na mzamo
huo utakuwa hauna simile sote
tumezama, wazee na vijana.
Fwatana na mie wiki ijayo.

MOJA ya uvaaji wa Sagging ulioenea maeneo mengi duniani.

18

TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

ABDULRAHMAN AL-SUMAIT MEMORIAL UNIVERSITY


(Formerly University College of Education Zanzibar)

STUDENTS ADMISSION 2016/2017

Abdulrahman Al-Sumait Memorial University (SUMAIT University) invites qualified applicants to apply for the following programs:1. Bachelor of Science:
(1) Information Technology
(2) Computer Science
2. Bachelor of Science with Education:
(1) Physics & Mathematics (2) Chemistry & Biology (3) Physics & Chemistry (4) Chemistry & Mathematics (5) Biology & Geography (6)
Information Communication Technology (ICT)
3. Bachelor of Arts with Education:
(1) English & Kiswahili (2) English & Geography (3) English & History (4) English & Islamic Studies (5) Arabic Language & Kiswahili (6)
Arabic Language & English (7) Arabic Language & Geography (8) Arabic Language & History (9) Arabic Language & Islamic Studies
(10) Kiswahili & Geography (11) Kiswahili & History (12) Kiswahili & Islamic Studies (13) Islamic Studies & Geography (14) Islamic
Studies & History (15) History & Geography (16) Counseling & English.
4. UQF level 6 in Foundational Sciences & UQF level 6 in Arts and Social Sciences (Pre University Programmes)
ADMISSION REQUIREMENTS:
1. The applicants should have at least
i)
A minimum of two principal passes in Tanzania Advance Certificate of Secondary Education (ACSE) in the appropriate subjects or
equivalent.
ii)
Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least of GPA of 2.7
Applicants who obtains less than the minimum requirements may be considered for admission to one year UQF Level 6 Certificate
programmes (Pre- University Programmes) or NTA Level 6
ANNUAL FEES
2,250,00/=
1,800,000/=

Tuition

1,900,000/=
1,600,000/=

Accommodation (Optional )
Graduation
Students Union
Computer Services
Registration
Medical Services
Application Forms
TCU Fees

1,100,000/=
750,000/=
250,000/=
30,000/=(New Students)
10,000/=
40,000/=
40,000/=
30,000/=
25,000/=
20,000/=

Physics & Mathematics, Chemistry & Biology, Physics & Chemistry


Chemistry & Mathematics, Biology & Geography
English & Geography, Kiswahili & Geography
Arabic Language & Geography, Arabic Language & History
Kiswahili & History, Islamic Studies & History
English & History, Islamic Studies & Geography, History & Geography
Counseling Psychology, Counseling and English
ICT, IT and Computer Science
Arabic Language & Kiswahili, Arabic Language & English
Arabic Language & Islamic Studies
English & Islamic Studies, English & Kiswahili, Kiswahili & Islamic Studies
UQF Level 6 Certificate in Foundational Sciences (Pre University Programme)
UQF Level 6 Certificate in Arts and Social Science (Pre University Programme)

The SUMAIT University reserves the right to change these fees at any time,
Application forms may be obtained from:
(i)
Academic Office, SUMAIT University, Chukwani, Zanzibar.
(ii)
Africa Muslim Agency, Mabaoni Chake Chake Pemba: Tel: 024-2452337
(iii) Utaani Secondary School at Wete Pemba.
(iv) Africa Muslim Agency, Tabata Dar es Salaam: Tel: 022-2807843
(v)
Or you can download the application form through our website www.sumait.ac.tz
Application fees should be paid through the following account number:
The People Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450
A completed form together with payment receipt should be returned to the Academic Office.
For further information contact:
Academic Office,
SUMAIT University
P.O BOX 1933, Zanzibar
MOBILE: 0773 774 838 or 0772 000 243
E-mail: info@sumait.ac.tz Or
Visit our main campus at Chukwani, West District, Unguja, two kilometers from the new House of Representatives Building.

19
M

Ukurasa wa Watoto

AN-NUUR

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Uislamu ni usafi - 2

Ali hupiga mswaki


kila anapomaliza
kula.
Pia Ali hupiga
mswaki kila
anapotawadha.

WIKI iliyopita
tulijifunza juu ya
Usafi. Tukamalizia
kwa kusema kuwa:
Muislamu wa kweli
ni yule anayeiga
tabia ya Mtume
(s.a.w).
Mtume alikuwa
msafi. Akatuambia
kuwa hataingia
Peponi ila yule aliye
msafi.
Na usafi ni wa
tabia, mwili, nguo,
mazingira na kauli.
Leo tutaangalia
usafi wa meno na
kinywa.
Hebu fuatilia
maelezo haya:
Ali ni mtoto msafi.
Hupiga mswaki
kila asubuhi mara tu
anapoamka.

Hivi ndivyo
alivyokuwa akifanya
Mtume Muhammad
(s.a.w)
Kupiga mswaki
husafisha meno.
Meno ya Ali ni
masafi kwa sababu
yanasafishwa mara
kwa mara.
Kinywa cha Ali ni

kisafi. Hakina harufu


mbaya.
Ukiacha kupiga
mswaki kinywa
chako kitatoa harufu
mbaya.
Ali anapendwa na
Allah.
Allah huwapenda
watu wasafi
wajitakasao.

HAIIBA TIMAMU TEA

CHAI YA AJABU KWA AJILI YA KUKABILIANA NA

TATIZO LANGU LA RHEUMATISM LIMEPUNGUA SANA BAADA YA KUTUMIA


HAIIBA TIMAM TEA NA MATIBABU MENGINE KUTOKA HERBAL IMPACT
Na. Kulthum Abri
Nimekuwa nikikabiliwa na matatizo ya maumivu ya viungo na mwili kwa
ujumla kwa muda mrefu sana. Baada ya kutibiwa hapa nchini Tanzania bila
mafanikio nilikwenda nchini India ambako vipimo vilionyesha kuwa nina
ugonjwa wa Rheumatoid Arthrites. Nilipewa matibabu nikarejea Tanzania na
kuambiwa kuwa kila baada ya muda itabidi niwe nakwenda kuhudhuria
clinic. Tangu wakati huo nimesharejea India mara kadhaa lakini sijapata
nafuu yoyote ya haja. Hivi karibuni nilitambulishwa clinic ya Herbal Impact.
Baada ya kuwaeleza shida yangu walinipatia matibabu yaliyojumuisha dawa
kadhaa ikiwemo Haiiba Timam Tea na utaratibu wa lishe. Namshukuru
Mungu hadi sasa naendelea vizuri sana.
https://www.facebook.com/Herbal-Impact-157972014402705/

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION/HIGH


BLOOD PRESSURE)
UGONJWA WA MOYO
KIHARUSI
JONGO (GOUT)
MAUMIVU YA VIUNGO (RHEUMATISM)
MAUMIVU SUGU YA KICHWA
BAWASIR (PILES/HEMORRHOIDS)
MAGONJWA YA INI
SARATANI MBALIMBALI
UOTO/UVIMBE MBALIMBALI KATIKA VIUNGO
VYA UZAZI VYA MWANAMKE (FIBROIDS,
POLYPS NA CYSTS)
KUSHINDWA KUZUIA MKOJO (URINARY
INCONTINENCE)
ATHARI ZA KISUKARI CHA UKUBWANI
PUMU
UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI
KASI YA KUZEEKA
MATATIZO YA MFUMO WA MZUNGUKO WA
DAMU
MKAKAMO WA NGOZI;
UDHAIFU WA MACHO
KUPOTEZA KUMBUKUMBU
KASI NDOGO YA KUPONA MAJERAHA
MAKOVU KWENYE MAPAFU
UGONJWA WA NGOZI KUCHUJA RANGI,
YAANI, VITILIGO

HAIIBA TIMAMU TEA


INAPATIKANA
HERBAL IMPACT
MOSQUE STREET, NO. 1574/144
(MKABALA NA MSIKITI WA
SUNNI), KITUMBINI, DAR ES
SALAAM
TUTEMBELEE AU TUPIGIE SIMU
NAMBA:
0754281131/0655281131/06862
81131/0779281131

AN-NUUR

20

MAKALA

20

SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 13-19, 2016

Soma
gazeti
SHAABAN 1437,
IJUMAA la
MEI 13-19, 2016
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
AN-NUUR

Taasisi za Mahujaji zatakiwa kufanya maandalizi mapema


Na Azza Ally Ahmed

AFISI Kuu ya Hijja ya Jamhuri ya


Muungano wa Tanzania imetoa
wito kwa taasisi za kusafirisha na
kuwahudumia mahujaji kufanya
maandalizi kwa ajili ya Mahujaji
wao mapema tayari kusubiri muda
wa kutekeleza ibada hiyo nchini
Saudia Arabia inayotarajiwa
kuanza mapema mwezi Agosti
mwaka huu.
WITO umetolewa na Mwenyekiti
wa shirikisho la taasisi za Hijja
Tanzania (Hajj Affairs Bureau of
the United Republic of TanzaniaBIITHA) Sheikh Sheikh Abdallah
Khalid, katika ofisi za Al-bir Social
Development Fund jijini Dares
Salaam mwishoni mwa wiki
iliyopita.
Sheikh Khalid alisema taasisi
zote zilizosajiliwa kushughulikia
ibada ya Hija nchini, zinapaswa
kuhakikisha kwamba Mahujaji
wote wanaotarajia kwenda
kufanya ibada ya Hijja mwaka huu
wameandikishwa na kuhakikiwa
mapema iwezekanavyo kwenye
taasisi wanazotarajia kusafiri nazo,
ili kuepuka usumbufu usio wa
lazima kulingana na maelekezo
na utaratibu wa safari ya kwenda
kufanya ibada ya Hijja mwaka

2016/1437 Hijiria uliotolewa na


Wizara ya Hija ya Saudia Arabia.
Alisema kuwa tayari Shirikisho
la Hija limepokea maelekezo
kutoka Wizara ya Hijja Saudia
Arabia juu ya utaratibu wa
safari ya kwenda kuhiji mwaka
huu 2016 na kuwasilishwa kwa
taasisi zinazohusika tayari kwa
maandalizi.
Mwenyekiti huyo alizitaka taasisi
za Hijja kusajili Mahujaji wao
na kuingiza mapema taarifa zao
kulingana na hati zao za kusafiria
( Passport) kupitia mtandao, ili
kuwawezesha Mahujaji kupata
kuduma stahiki ikiwemo ya VIZA
kabla ya tarehe 20 Julai sawa na
Shawwal 15, 1437 na kuhakikisha
malipo ya huduma stahili yanapitia
Benki zilizoainishwa.
Lakini pia alielekeza kuwa ni
lazima taasisi za Hijja kutumia
mfumo wa njia za mitandao, ili
Mahujaji waweze kupata uhakika
wa huduma za makazi, chakula na
usafiri mapema kabla hawajaanza
safari ya kuelekea Saudia tayari
kuanza Hija.
Taasisi zote zinatakiwa kufunga
mikataba rasmi ya huduma zote za
makazi chakula na usafiri kupitia
mtandao wa mawakala, mashirika
na makampuni yaliyosajiliwa

na Wizara ya Hija nchini Saudia


kutoa huduma hizi. Alisisitiza
Mwanyekiti huyo.
Aliongeza kuwa taasisi zote
zinatakiwa kupima afya za
Mahujaji watarajiwa mapema
kuanzia Agosti 4 mwaka huu au
kabla ya hapo na kujaza fomu
maalum zitakazotolewa na BIITHA
kuingizwa kwenye mtandao.
Mahujaji wanatakiwa kupata chanjo
zote astahili mapema kutokana
na maelekezo ya Shirika la Afya
Duniani kwa mujibu wa cheti cha
kimataifa cha chanjo.
Sheikh Abdallah alisisitiza
kuwa taasisi zitakazoweza
kutekeleza maelekezo hayo
kutoka Wizara ya Hijja Saudia
Arabia na kuthibitishwa, ndizo
zitakazoruhusiwa kupeleka
MAHUJAJI mwaka huu ambapo
milango itafunguliwa kuanza
kupokea Mahujaji kutoka sehemu
mbalimbali duniani kuanzia Agosti
4 mwaka huu.
Utaratibu na uendeshaji wa ibada
ya Hijja na Umra inaofanywa na
taasisi mbalimbali za Hijja hapa
nchini, zinasimamiwa, kuratibiwa
na kuendeshwa chini ya usimamizi
wa BIITHA (Hajj Affairs Bureau of
the United Republic of Tanzania).
Sheikh Abdallah amewataka

viongozi wa dini, Masheikh na


taasisi za Hijja kuwahamasisha
na kutoa elimu ya kutosha
kwa waumini na Mahujaji
wanaotarajiwa kwenda Hijja, ili
kufahamu umuhimu wa Ibada
ya Umra na Hijja, moja ya nguzo
tano za Uislam. Alizitaka taasisi
hizo za kuhudumia Mahujaji
nchini kukabidhi program za
kuwaelimisha Mahujaji wao ifikapo
Agosti 18 mwaka huu.
Aidha Wizara ya Hija Saudia
imetoa pendekezo kwa taasisi za
Mahujaji kwamba ziwahamasishe
zaidi vijana kuhiji,kwani ina faida
kubwa katika umri wao kwakuwa
inawajenga kiimani na kuongeza
uadilifu katika maisha yao.
Wizara hiyo imeeleza kuwa
imeona katika nchi za bara Asia
kama Malaysia, Pakistan na
Indonesia, mahujaji wengi ni vijana
na Hijja ni moja ya CV katika
kupata kazi.
Sheikh Khalid aliweka wazi
kuwa moja ya changamoto kubwa
kwa Waislamu nchini ni kwamba,
Waislamu wengi wamekosa
mwamko wa kushiriki ibada ya
Hijja, hivyo kufanya idadi ndogo
ya Mahujaji wanaokwenda kufanya
ibada hiyo kiasi cha kutokufikia
asilimia ishirini 20% ya idadi ya
Mahujaji wanayopangiwa kwa
mwaka.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться