Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1230 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 20-26, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Bi. Mkubwa
mahakamani
SHEIKH Msellem Ali.
PICHA juu wanafunzi wa Ubungo Islamic High School wakiwa katika somo la
kuswalia maiti. Chini Maiti ya Ustadh Juma Mustapha Msenguzi ikipelekwa
makaburini kwa maziko. Soma Uk. 10
AN-NUUR
Suratu An-faal:45
na kuupa nguvu na
kuutikisa upande
wa pili kwa sura ya
kutojali ambayo iko
kwetu wakati wa kufa
na kuzifunga harakati
na utulivu wetu kwa
mapigo ya nyoyo zetu
zenye kuungana na
Mwenyezi Mungu.
La kuzingatiwa
hapa ni kuwa mambo
yote hayo ni funguo
muhimu za ushindi.
Kutokuwa hivyo, na
kukosekana subira
na umadhubuti,
hakuwezekani kukia
kwenye mafanikio
(kufuatana na kanuni
za Mwenyezi Mungu)
kama ambavyo
hakuwezekani
kupata ushindi katika
vita katika hali ya
kughalika na kumtaja
Mwenyezi Mungu.
Hata kama linapatikana
hilo, hakutapatikana
kupata malipo, maana
hakuna kufuzu katika
akhera na kwenye
kupatikana haki ya
mifano ya watu kama
hawa.
Kwa msingi huu
ni juu ya wale ambao
wanapigana na
wanafanya jihadi katika
dini ya Mwenyezi
Mungu kuthibiti kwa
azma yote kwa upande
na kuelekea kwenye
kumtaja Mwenyezi
Mungu. Kwa upande
mwingine wajiepushe
kutegemea nguvu
na uwezo mwingine.
Hata pale ambapo
wanakuwa na uwezo
na nguvu nyingi, bado
wamtaje Mwenyezi
Mungu na wategemee
uwezo na nguvu zake
na warudie rudie dua
ifuatayo:
Ee Mola wa haki
tumejiepusha na uwezo
wetu na nguvu zetu na
tumetegemea kwenye
uwezo wako na nguvu
zako.
Mwandamo wa mwezi
Leo ni Tarehe 13 Shaaban mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 20 May,
2016. Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan na
Tarehe 7 June 2016 tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea
hii leo Ijumaa ya tarehe 20 May 2016 hadi kuka kuanza mfungo wa
Ramadhani tumebakisha siku 17.
14:
2
H
42
555
224
85:
9
Q
47:
1
3:2
6:5
14:
2
L
MASAUALA
1. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na
Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu. Jawabu: 85:9
2. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi
Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao. Jawabu: 47:1
3. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu:
Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini
sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi
mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa
mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa
tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na
adhabu chungu. Jawabu: 14:2
4. Mtume yupi aliotumwa kuwa Rehma kwa Ulimwengu, Issa, Mussa Muhammad
(SAW)? Jawabu: Muhamas (SAW)
5. Taja jina la Mtume aliozaliwa kimiujiza pale mama yake hakukutana na
mwanamume? Mussa, Issa, Nuh. Jawabu: Issa
6. Ashabul Kahf-Watu wa pangoni walifwatana na mnyama gani? Jawabu: Mbwa
7. Lini Uislamu ulianza? Wakati wa Mtume Nuh, Adam, Ebrahim? Jawabu: Adam
8. Kalenda ya Kiislamu huitwa kwa jina gani? Jawabu: Hijrah
9. Mwezi upi ulio katikati baina ya Rajab na Ramadhani? Jawabu: Shaaban
10. Itaje Miezi 4 Mitukufu iliotajwa katika Quran. Jawabu: Dhul Qada, Dhul Hijja,
Muharram, Rajab
CHEMSHA BONGO: 51
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
U
38:30
185
12
8:26
7:7
114:5
76:14
MASAUALA
1. Itaje suara na Aya ya ngapi Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja
mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
2. Itaje Sura na Aya ya ngapi? Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada
ya matunda yataning'inia mpaka chini.
3. Itaje Sura na Aya ya ngapi? Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada
ya matunda yataning'inia mpaka chini.
4. Malaika yupi akitumwa Wahyi kwa Mitume?
5. Malaika anayotoa roho?
6. Malaika yupi atakayowauliza waliokufa kwenye Makaburi yao?
7. Hawali, hawanywi wala hawamuasi Mwenye-enzi-Mungu ni wenye kufwata
amri tu na kutekeleza nani hao?
8. Ipi nyumba ya Mungu?
9. Mitume wakitumiwa kitu gani?
10. Kuhani yupi katika nchi ya Syria alipomuwana Mtume (SAW) alimtambua kuwa
ndio aliotajwa katika vitabu vilivyopita kuwa ndio Mtume aliobashiriwa?
Jee Unajua?
1. Nchi ya Indonesia ndio nchi ya Kisiwa yenye watu wengi, ina watu wakao
239,259,710: http://www.mapsofworld.com/world-top-ten/world-top-ten-mostpopulated-island-countries-map.html
2. Wakazi wa nchi ya Libya ndio ambao wenye kutoa talaka kwa kiwango cha chini
kabisa wakifwatiwa na Georgia, Mongolia, Armenia: http://www.mapsofworld.com//
world-top-ten/countries-with-lowest-divorce-rate.html
3. Nchi ya Sri Lanka inaongoza kuwa na Sheria zilizo mchafukoge: http://www.
thetoptens.com/countries-with-worst-laws/
4. Nchi ya Eretria ni moja kati ya nchi zenye kuongoza kwa rushwa duniani: http://
www.cheatsheet.com/business/7-most-corrupt-countries.html/?a=viewall
5. Nchi ya Sierra Leon ndio nchi inaongoza kuwa na huduma duni za kifaya duniani:
http://www.therichest.com/rich-list/poorest-list/the-10-worst-health-care-systems-inthe-world/?view=all
6. Kati ya nchi Tajiri duniani nchi ya Ireland ndio yenye Wauguzi (Manasi)i wengi:
http://www.theguardian.com/society/2016/feb/09/which-country-has-worlds-besthealthcare-system-this-is-the-nhs
7. Nchi ya Uholanzi inaongoza kwa watu wake kuwa na Baskeli nyingi watu kama
16, 625,800 wanaendesha Baskeli na zikikuweko kama Baskeli milioni 16 na ushweya
na waendeshaji baskeli ni wengi sana: http://top10hell.com/top-10-countries-withmost-bicycles-per-capita/
8. Nchi ya Poland inasemekana kuwa na watembea kwa miguu wengi wanaopata
ajali: http://top10hell.com/top-10-countries-with-most-bicycles-per-capita/
9. Katika kila watu laki mmoja watu 31 hujiuwa katika nchi ya Lithuania: http://
www.therichest.com/rich-list/the-biggest/10-countries-with-the-highest-suicide-ratesin-the-world/?view=all
10. Kati ya nchi zinazoongoza kwa watu wasiojua kuandika na kusoma ni Sudan ya
Kusini, Bukina Fasso: http://www.countryranker.com/top-10-countries-with-highestilliteracy-rate-in-the-world/
(Kutokana na kutokuwa na wasomaji wengi katika Ukumbi wa Uwanja wa
Maarifa na kutopata majibu ya kuuboresha huu wa Uwanja wa Maarifa, tunakiria
kuanzisha ukumbi mwengine, tuma barua pepe zuwarde@gmail.com au ujumbe
mfupi kupitia simu 0777436949 unahisi kipi kiwe mbadala wake?)
Habari
AN-NUUR
WANAFUNZI wa Kiislamu
wametakiwa kujijengea
utamaduni wa kujisomea
vitabu mbalimbali ili
kujiongezea ufahamu, maarifa
na ubunifu kwani Uislamu ni
Dini ya kusoma.
Wito huo umetolewa na
Ustadhi Yassir Masoud,
akiongea na wanafunzi wa
Kiislamu katika ufunguzi wa
mashindano ya Ramadhani Quiz
Compitation 2016, uliofanyika
Jumapili ya wiki iliyopita
katika Msikiti wa Kichangani
Magomeni, Jijini Dar es Salaam.
Ust. Yassir, alisema kwa
ujumla Dini ya Kiislamu
imebeba amri na mafundisho
mengi kuhusu kusoma,
miongoni mwa mahimizo
katika Qur an ni pale Allah (sw)
aliposema hawafanani wale
waliosoma na wale wasiosoma.
Na ndio maana amri ya
kwanza aliyoshushiwa Mtume
(s a.w) ni kusoma na utamaduni
wa kusoma upo katika jamii ya
Kiislamu. Kwa maana hiyo ni
vyema mkajenga utamaduni wa
kusoma vitabu mbalimbali ili
kujiongezea maarifa na ufahamu
na kuweza kujifunza kutoka
kwa watu wengine, ni vyema
mkafahamu Uislamu ni Dini ya
kusoma. Alisema Ust. Yassir.
Alisema, Ust. Yassir kwamba
cha kusikitisha ukifatilia kwa
undani utabaini kuwa Umma wa
Kiislamu umeacha utamaduni
wake wa kusoma, kama historia
inavyojieleza kuwa Uislamu
unahistoria ndefu katika nyanja
ya elimu na kusoma.
Alisema, hali hiyo
inathibitishwa na uwepo wa
Vyuo Vikuu vya Waislamu
katika miji mbalimbali Duniani
kuliko dini yoyote zaidi ya miaka
1000 iliyopita, ambapo vyuo
hivyo vipo mpaka sasa katika
miji ya Tunis, Aljeria, Egypt na
kwingineko.
Tujitahidi kudumu katika
kusoma na hayo tukayo yasoma
tuyaingize katika matendo,
Mwenyezi Mungu anaposema
hawawi sawa walio soma na
wasio soma si kitu cha kusoma tu
na kuacha inapaswa kuingizwa
katika matendo. Alisema Ust.
Yassir.
Ramadhani Quiz Competition,
ni zoezi linalo andaliwa na
Taasisi ya Kiislamu ya An Nahl
Trust, na kushirikisha wanafunzi
wa Kiislamu waliopo katika
Mashule ya Sekondari Jijini Dar
es Salaam, ambapo wanafuzi
wanatakiwa kujibu maswali
yanayohusu mambo mbalimbali
ya kimasomo na ya kijamii.
Kwa mujibu wa Ust. Yassir,
alisema lengo kuu la mashindano
hayo ni kuwajenga vijana wa
Kiislamu katika utamaduni wa
kusoma na kujisomea mambo
mabalimbali, uwezo wa kujieleza
kulingana na kile walichokisoma
na ufahamu wa mambo kwa
upana.
Mashindano hayo hufanyika
kila mwaka, ambapo hufanyika
mwezi mmoja kabla ya Mwezi
Mtukufu wa Ramadhani, na
kilele chake hukia katika mwezi
wa Ramadhani wenyewe na
washindi hupewa zawadi za aina
mbalimbali.
Tahariri/Habari
AN-NUUR
MMOJA wa Maimamu
Jijini Dar-es-Salaam alipata
kusema kuwa, ili uweze
kuwa mwanachama wa
Baraza la Waislamu nchini
(BAKWATA) ni kuwa
Muislamu. Ikitizamwa
kwa kina kidogo, kauli ya
Imamu huyu ni sahihi kwa
sababu maana halisi ya
BAKWATA ni Baraza Kuu
la Waislamu Tanzania.
Hivyo Muislamu
yeyote nchini anaweza
kunasibishwa na chombo
hiki.
Aliyewahi kuwa Mufti,
Marhum Sheikh Hemed
bin Jumaa bin Hemed,
pamoja na kuwepo
matatizo ya kimfumo
katika kuzungumza au
kutaariana mambo ya
Waislamu kati ya uongozi
wa Baraza na Waislamu,
lakini alijaribu angalau
kuzungumza katika
vyombo vya habari kwa
kutoa hotuba kadhaa,
akijaribu kufanya ziara za
mikoani kuangalia hali ya
maendeleo ya Waislamu.
Tangu hapo, hali
mawasiliano ya Kitaasisi
kati ya Waislamu na
uongozi ilidorora kabisa.
Kumsiki Mufti akiongeana
Waislamu ni aidha katika
sherehe za Maulidi, sikukuu
za Eid au kusikika katika
tukio maalum, tena lenye
kushabihiana na maslahi ya
serikali basi.
Hatuna kumbukumbu
kusikia wala kufahamu
utaratibu ambao Mufti
amejiwekea, kuzungumza
na Waislamu ili apate japo
michango na mawazo yao.
Wala kusikia Mufti au
kiongozi wa ngazi ya juu
wa Baraza akitoa taarifa ya
maendeleo ya Waislamu na
taasisi kwa ujumla.
Hatuna hakika kama
Mufti Abubakar anafuatilia
kwa karibu hali ya
mambo ya Waislamu
yanavyokwenda huko
mikoani, wilayani, ukiacha
huko makao makuu.
Mikutano ya kila mwaka au
inayofanyika anapojisikia
kiongozi au kungoja
kugongana na tukio fulani
la kitaifa, kama vile Maulid
au Baraza la Iddi haiwezi
kuleta tija kwa Waislamu.
Waislamu wana hamu
kubwa ya kujua, kwa
mfano, ni kwa kiasi gani
Baraza limepiga hatua za
maendeleo, linamiliki kiasi
gani cha mali za wakfu
na wanazitumia vipi kwa
mujibu wa malengo ya
wakfu. Waislamu wana
hamu ya kujua bajeti ya
AN-NUUR
Bi Mkubwa mahakamani
Tuhuma ugaidi wa kimeta
Masheikh wawili watoweka
Huenda wameuliwa na ATPU
BI Nuseiba Mohammed
Haji, amekishwa rasmi
mahakamani akidaiwa
kula njama za kuandaa
shambulio la kigaidi la
kimeta (anthrax).
Akisimama kizimbani
katika mahakama ya
Milimani (Milimani Law
Courts), Nairobi, Jumanne
(Mei 10, 2016) wiki
iliyopita, muda mwingi
Bi Nuseiba alikuwa
akitabasamu na hata
kucheka.
Vyombo vya habari
kwa upande wao
vilikuwa na karamu
ya habari vikishadidia
habari hiyo na kuonyesha
kama Kenya inakabiliwa
na kitisho kikubwa kwa
kuwepo kile walichoita
cell of extremist medics.
Kwamba kutoka ugaidi
wa AK-47 za Al-Shabaab,
hivi sasa ugaidi wa
Kenya umepanda daraja
kwa kuanzisha vitengo
vya ugaidi wa kimeta
vinavyoendeshwa na
madakitari, akina Bi
Nuseiba Mohammed Haji
na mumewe Mohammed
Ali Abdi.
Shirika la Habari la AP
(Associated Press-American
multinational nonprot
news agency) lenye makao
makuu yake New York
City, likiandika juu
ya tukio hilo lilisema
kwamba Bi Nuseiba, ni
mshitakiwa namba mbili
akituhumiwa kumsaidia
mumewe kuandaa
shambulio la kimeta.
Anashitakiwa pia
kumsaidia mumewe
Mohammed Ali Abdi
kuendesha mafunzo
ya kigaidi ili kuanzisha
kundi la Islamic State.
Nuseiba alikamatiwa
Uganda na kusarishwa
hadi Kenya kuungana na
mumewe ambaye yeye
alikamatwa Kenya akiwa
katika mafunzo yake
ya vitendo ya udakitari
katika hospitali moja
nchini humo.
Nuseiba Mohammed
Haji, naye pia ni
mwanafunzi wa kozi ya
udakitari katika Chuo
Kikuu cha Kampala
International University,
mazingira ya kutatanisha.
Hata hivyo, taasisi
za kupigania haki
za binadamu katika
Kenya zinatuhumu
kuwa huenda watu hao
wameuliwa katika kile
walichoita:
Extra-judicial
executions and forced
disappearances carried out
by the police on suspects
they are unable to prosecute
because insucient
evidence.
Kwamba kutoweka
kwa watu hao kuna kila
dalili kuwa kunaangukia
katika mauwaji na
kutoweka watu
kunakofanywa na Polisi
dhidi ya watuhumiwa wa
ugaidi.
Na kwamba Polisi
wa Kenya wanafanya
hivyo kwa kuwa hawana
ushahidi wa kukisha
mahakamani dhidi ya
watuhumiwa. Kwa hiyo
huamua kuwauwa kimya
kimya tu!
Polisi wa Kenya
wamekuwa wakikabiliwa
na shutuma kali kwamba
wameuwa mamia ya
watuhumiwa kinyume
cha sheria (extra-judicial
executions) huku wengie
wakitoweka tu bila hata
maiti zao kuonekana.
Imesema moja ya
taarifa za watetezi wa
haki za binadamu.
AP ya New York City,
ikikoleza propaganda juu
ya ugaidi Kenya ikasema
Inaendelea Uk.5
5
Inatoka Uk. 4
kwamba Kenya inakabiliwa na
changamoto ya kupambana na
magaidi wa IS ambapo kwa sasa
kuna kambi za kuwapa mafunzo
vijana wa Kenya kujiunga na
kundi hilo. Na kwamba wapo
vijana takribani 20 wa Kenya
ambao wamekwenda Libya
kujiunga na IS.
Wakati huo huo, hayo yakijiri
Nairobi, mmoja wa wasichana
wanaodaiwa kutoroka katika ule
usanii wa Bring Back Our Girls,
amepewa fursa ya kuhutubia
Kamati ya Bunge la Marekani
juu ya Mambo ya Nje (House
Foreign Aairs Subcommittee on
Africa) kuelezea hatari Boko
Haram.
Akipewa jina la bandia "Sa'a",
msichana huyo kutoka Nigeria
alisimama mbele ya Kamati
hiyo Mei 11, 2016 akiongozana
na Frank Wolf, ambaye ndiye
alimchukua kule Nigeria na
kumpeleka Marekani. Wolf
alikuwa Mbunge (1981-2015)
akiwakilisha Wilaya ya Virginia.
Hivi sasa ni Mlei katika Chuo
Kikuu cha Baylor.
Wolf anasema kuwa
alikwenda Nigeria kuchunguza
na kupata habari za ndani juu
ya uharamia na ugaidi wa Boko
Haram.
Na katika kufanya utati huo
anasema kuwa ameshuhudia
jinsi Boko Haram wanavyoua
watu, wanashambulia na
kuuwa wanavijiji, wanawateka
wasichana na kuwageuza
mabomu ya kujitoa muhanga
(suicide bombers) huku wengine
wakiwafanya watumwa wa
ngono.
Na kwamba amekuja na
msichana huyo ili apate
kutoa ushahidi wa kile yeye
binafsi kilichomka, asaa
huenda serikali ya Marekani
na Wamarekani watapata
kuelewa vizuri hatari ya ugaidi
uliopo Kaskazini mwa Nigeria
(wanakoishi Waislamu wengi).
Kwa upande wake Saa
akishadidia nukta hiyo akasema
kuwa Nigeria ya Kaskazini si
mahali salama pa kuishi mtu
yoyote, lakini ana matarajio
kwamba kwa ushuhuda
aliotoa, huenda walimwengu
watazinduka na kuchukua
hatua.
Amedai kuwa yeye alikuwa
miongoni mwa wasichana wa
Chibok waliotekwa na Boko
Haram miaka mitatu iliyopita,
lakini aliruka wakiwa katika lori
walilopakiwa likipita msituni.
Anasema, aliona bora kufa
kuliko kukosa uhuru wake
akiwa mikononi mwa BK.
Akanogesha kwa kudai kuwa
amesoma Katiba ya Marekani
na kukuta kwamba inajali sana
uhuru wa binadamu na mtu
akikunyima uhuru, ni bora ufe.
Na kwa maana hiyo akasema
kuwa alikuwa amefanya uamuzi
sahihi wa kuruka katika lori lile
la BH hata kama angekufa.
Habari za Kimataifa
Bi Mkubwa mahakamani
AN-NUUR
CHRISTOPHER Henry
"Chris" Smith.
habari, Mwakilishi wa Jimbo
la Florida Bi Frederica Smith
Wilson (D-Fla.), akapigilia
msumari akisema kuwa
inavyoonekana kinachotokea
Nigeria ni Mauwaji ya Kimbari
(genocide) yakiacha kizazi
cha watoto wasio kwenda
Inaendelea Uk. 12
AN-NUUR
7
Na Abuu Nyamkomogi
NILIWAHI kuandika katika
toleo namba 1224 la gazeti
hili zaidi ya mwezi mmoja
uliopita makala yenye anwani
'Makhatibu Wanapaswa
Kubadilika. Katika makala
yale, pamoja na mambo kadhaa
niliyoyaandika, niligusia
pia suala la umuhimu wa
maandalizi kabla ya utekelezaji
wa jambo fulani na sehemu ya
maelezo ya ufafanuzi wangu
kuhusu suala hili ilisomeka
hivi:
''Maandalizi ni jambo la
msingi katika kuleta ufanisi
katika utekelezaji wa jambo
lolote. Ni ukweli kwamba kuna
tofauti kubwa ya kiathari na
kimatokeo kati ya shughuli
au kazi inayofanywa kwa
kutanguliwa na maandalizi
na ile inayofanywa pasi na
kutanguliwa na maandalizi''.
Nimelazimika kurejelea
nukuu hiyo kutoka katika
makala yale kutokana na
maudhui yake kuwa na
mafungamano, kwa kiasi
fulani, na jambo ninalokusudia
kulidurusu katika makala haya
ya leo, nalo si jingine bali ni
kuwakumbusha ndugu zangu
Waislamu kuhusiana na kufanya
maandalizi ya Ramadhan
wakati huu wa kuelekea katika
mwezi huo mtukufu ambao
tumewajibishiwa na Allah (S.W.)
kutekeleza ibada ya swaumu
ndanimwe (2:185).
Nimeonelea kulingana na
uchambuzi wa mada ya makala
haya, niyagawe maandalizi
ninayokusudia kuyajadili
katika makala yetu ya leo
katika matapo mawili. Tapo la
kwanza nimeamua kuliita tapo
la maandalizi ya kinadharia
na la pili nimeliita tapo la
maandalizi ya kivitendo. Kwa
maelezo ya ufafanuzi kuhusu
matapo haya ni kwamba
maandalizi ya kinadharia ni yale
yanayohusiana na kuwa na ujuzi
au maarifa, au kupata elimu
sahihi juu ya jambo fulani kabla
ya kulitekeleza wakati ambapo
maandalizi ya kivitendo ni yale
yanayohusiana na utekelezaji wa
jambo fulani baada ya kupata
ujuzi au maarifa kuhusiana
nalo kama sehemu ya mafunzo
kwa njia ya vitendo au mazoezi
kwa lengo la kupata tajiriba ya
kukuwezesha kulitenda kwa
ufanisi zaidi jambo hilo katika
siku za usoni.
Nitafafanua zaidi maelezo
hayo kuhusiana na aina
zote mbili za maandalizi
nilizozidokeza katika aya
iliyotangulia hapo juu; kwanza
kwa kutumia mifano ya
jumla inayotuzunguka katika
mazingira yetu tunamoishi
na kisha nitaangazia mifano
mahsusi inayowiana/
inayoendana na mada ya
mjadala husika wa makala
haya. Kabla ya kutoa ufafanuzi
Makala
AN-NUUR
wa jumla unaohusiana na
maandalizi ya kinadharia
ni kwamba kwa kawaida
maandalizi ya namna hii
huhusiana na utoaji wa elimu
au mafunzo ya fani mbalimbali
yanayoendeshwa katika taasisi
anuwai za kielimu na hususan
vyuo vya kati na vya elimu ya
juu hutanguliwa na ukishaji
au utoaji wa ujuzi au maarifa
ya kinadharia kwa walengwa
kuhusiana na fani husika
wanazochukua/wanazosomea
mathalani ualimu, udaktari,
uhandisi, uandishi wa habari
na utangazaji, kwa kutaja
chache. Hii ni baadhi tu ya
mifano ya fani chache kati ya
nyingi zinazoweza kurejelewa
katika kusherehesha dhana ya
maandalizi ya kinadharia.
Ama kwa upande wa mfano
wa jumla wa maandalizi
ya kivitendo ni kwamba
ujuzi au maarifa yatolewayo
kinadharia hutafsiriwa kwa
utendaji na walengwa katika
fani mbalimbali mithili ya hizo
tulizozitaja katika mfano wa
maandalizi ya kinadharia katika
aya iliyotangulia hapo juu;
hujikita katika mafunzo kwa njia
ya vitendo, kwa mfano walimu,
madaktari, wahandisi, waandishi
wa habari na watangazaji
huelekea au hupelekwa katika
maeneo au vituo mbalimbali
vya kufanyia mafunzo kwa
vitendo kwa ajili ya kutekeleza
au kutafsiri kivitendo, kwa
kipindi fulani, yale mambo
waliojifunza kinadharia wakati
wakiwa vyuoni na ambayo
wanatarajia kuyatekeleza kwa
ufanisi zaidi, watakapopata
ajira au watakapokuwa katika
vituo vyao vya kazi, kupitia fani
walizosomea baada ya kuhitimu
masomo au kukamilisha
mafunzo yao.
Baada ya maelezo ya
ufafanuzi na mifano hiyo
michache, inayoakisi mazingira
yanayotuzunguka, kuhusu aina
Makala
AN-NUUR
Udini-5
Inaendelea Uk. 16
Tangazo
AN-NUUR
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi
bora ya Kiislamu. Shule hizi ni za BWENI za mchanganyiko wa wavulana na wasichana.
Zipo Combinations zote za SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
Muombaji awe na ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha Credit (yaani A, B na C)
Daraja la III (Division three) au zaidi na Grade D kwenye masomo ya Combination.
Mwisho
nini
tarehe
30/05/2016
Mwishowa
wakurudisha
kurudishafomu
fomu
tarehe
02/05/2016.
Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000= katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:
488444/0653 705627.
MTWARA: Ofisi ya Islamic Education Panel,
Mtaa wa Magomeni A mkabala njia panda ya
uwanja wa ndege: 0715 465158/0787 231007.
SONGEA: Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa
NURU : 0713249264. Mkuzo Islamic High
School :0654 876317
MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini
0785425319. Rexona Video mkabala na
Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.
Rukwa: Sumbawanga:Jengo la Haji Said
Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786
313830
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya:
0784
944566/0718 556355. Nzega - Dk. Mbaga-0754
576922/0784576922.
IRINGA: Madrastun Najah: 0714 522 122.
PEMBA: Wete: Wete Islamic School : 0777
432331/0712772326.
UNGUJA: Madrasatul Fallah: 0777125074.
PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na
uwanja wa Lumumba
: 0716
544757/0718661992
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education. Panel
karibu na Nuru snack Hotel : 0786
425838/0784 928039.
MANYARA: Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid
Rahma: 0784491196
KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727.
Kibondo Islamic Nursery School:
0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS:
0714710802/0763 298440
MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na
LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783
msikiti mkuu : 0773580703.
4/18/2016 5:23:55 AM
10
Makala
AN-NUUR
waongee.
Hiyo ilikuwa tarehe
5 Mei, 2016 na katika
mambo aliyotaka kujua
ni namna kila mmoja
wao anavyotekeleza
majukumu yake katika
yale waliyokubaliana
kufanya.
Na kubwa ilikuwa
kupatikana fedha na
kuhakikisha kuwa maji
yanapatikana katika
kituo chao cha mkoa
walichokuwa wakijenga.
Mpango ilikuwa
wapate maji ya uhakika
ndio wapate kuitisha
tamasha la kitaifa kama
inavyofanyika katika
mikoa mingine.
Kwa bahati mbaya
katika kikao kile
ilionekana kwamba
hakuna hatua iliyokuwa
imepigwa katika
kutekeleza jambo lile hali
iliyomfanya Msenguzi
kulia sana.
Mimi siwaambii
mnichangie pesa za
matibabu yangu,
nazungumzia pesa
kwa ajili ya Kituo cha
Kiislamu, ilikuwa
kauli yake kwa viongozi
wenzake.
Lakini alikuwa pia
ameongea na wakeze
wakiwa Singida ambapo
aliwahimiza kufanya kazi
za jamii (Uislamu) badala
ya kuja kumtizama
kwani Dodoma yupo na
Waislamu.
Hata hivyo, aliona haki
ya wakeze kuja kumuona
na akawapa maelekezo
ya kuja kwa zamu, hata
hivyo akafariki kabla
hawajaja kumuona.
Juma Mustapha
Msenguzi alizaliwa
mwaka 1976 Magugu,
Babati mkoa wa Manyara
na kupata elimu yake ya
Msingi huko huko (19871994).
Kati ya mwaka 1996
hadi 2003 alikuwa
mwanafunzi katika Chuo
cha Kiislamu, maarufu
Markaz Changombe,
jijini Dar es Salaam,
Inaendelea Uk. 11
11
MAKALA
AN-NUUR
yalihudhuriwa na umati
wa watu ambapo kutoka
Singida yalikuja mabasi
matatu huku wengine
wakija na magari binafsi.
Mikoa mingine
iliyoleta wawakilishi
katika mazishi ni Pemba
(Sheikh Salum Juma),
aliwakilisha Amir
Dhulkii, Dar es Salaam
watu 5 wakiongozwa
na Amiri Taifa Ustadh
Mohammed R. Kassim,
Dodoma watu 6 na
Tanga ikawakilishwa na
Amir Khatibu Idd.
Juma Mustapha
Msenguzi ametangulia
mbele ya haki akiacha
wajane 2 na watoto
5-Innaalillaahi wainnaa
ilayhir rajiuun.
Hili suala ni la
kawaida, lakini
halizoeleki. Tupo
hapa duniani kwa
kazi maalum, nayo
ni kumtumikia Allah
(swt). Tupo kwa ajili
ya kuhakikisha kuwa
dunia inakuwa mahali
pa amani na furaha ya
kweli.
Hizo zilikuwa nasaha
za Amri Taifa Ustadh
Mohammed Ramadhani
Kassim katika maziko.
Wakati
tunamuuguza
marehemu, alisema
fanyeni kabla
hamjaka hapa kwa
sababu ukika hapa
(ukiwa mgonjwa)
huwezi kufanya tena.
Marehemu alisema
hayo akisisitiza tufanye
kazi hii ya Allah bado
tukiwa na neema ya
afya.
Aliongeza Amir,
ambapo kila mwakilishi
wakiwemo Msheikh
waliohudhuria
walikazia nasaha hizo
kwa kuwataka waumini
kushikamana na kazi
njema alizokuwa
akifanya marehemu.
Waongeze juhudi
na kufanya yote
watakayofanya kwa
Ikhlas wakitegemea
malipo kutoka kwa
Allah (SW).
12
MAKALA
AN-NUUR
13
MAKALA
AN-NUUR
kuelekezwa kupambana na
magaidi wawe ni Waislamu au
wasiokuwa Waislamu, nguvu
zinaelekezwa kupambana na
Waislamu kwasababu tu, imani
yao inanasibishwa na ugaidi.
Chuki ya kijamii inaonyeshwa
kwa viwango tofauti. Inaweza
kuonyeshwa kwa matusi au
maneno yenye kuumiza hisia
au kwa jitihada za kitaifa za
kuangamiza jamii nzima.
Chuki imekuwa sababu
kubwa ya jamii ya kushindwa
kuishi pamoja kwa amani na
upendo na kwa kuaminiana.
Leo watu wa jamii moja, wa
hadhi moja, wa imani moja
wanafurahia kuwakandamiza
wengine. Wanaokandamizwa
hawana wa kuwafariji huku
wakandamizaji wakiwa na
nguvu zao kama jamii na
wakitegemea pia ukimya wa
mamlaka kutokemea matendo
yanayotokana na chuki hizo.
Wakati hali ikiwa hivyo Dini
ambazo tunaamini ndizo msingi
wa haki, upendo, umoja na
ustawi wa maadili, hazionekani
kusaidia kupinga chuki hiyo ya
kijamii ambayo ni hatari kwa
usalama wa watu katika Mataifa
yao.
Pamoja na kwamba baadhi
ya watu wamekuwa mashuhuri
kwa sababu ya kupinga
ukandamizaji, lakini watu hao
wamekosa mchango unaostahiki
kutoka kwa viongozi wa dini.
Badala yake katika nchi nyingi
viongozi wa dini kwa kicho
cha ukereketwa wa dini zao
wamekuwa wakiwaunga mkono
wakandamizaji, huku wengi wao
wakilindwa na mamlaka.
Huko Marekani ambako
ubaguzi kuelekea watu weusi
uliungwa mkono kisheria. Watu
waliteketezwa kwa sababu ya
ubaguzi. Hata hivyo sheria
mbovu za mamlaka zilizokuwa
zinapiga marufuku ndoa kati
14
AN-NUUR
MAKALA/MASHAIRI
Inatoka Uk. 13
wa serikali, chama,
taasisi, shirika au
Jumuia akimchukua
mwanachama au mjumbe
au mfanyakazi, au hata
kiongozi mwenzake, kwa
chuki yake yupo tayari
kutafuta mbinu yeyote
ovu ya kumtia adabu
anayemchukia.
Na mara nyingi
mwenye chuki katika
maeneo haya hutumia
zaidi tna na majungu
kama njia ya kicho
inayoweza kuitumika
kumdhoosha
unayemchukia.
Hatma yake
anayechukiwa, bila
sababu za msingi
anaweza kufutwa kazi,
kusimamishwa kazi,
kupunguzwa cheo,
kunyanganywa mali
zake au kulisiwa
na wakati mwingine
hata mauaji yanaweza
kufanyika.
Polisi akimchukia
mtuhumiwa, atamtia
mateke, virungu na
kumtesa kwa kila kila
namna ili kukidhi kiu
yake ya chuki kwa
anayemkamata.
Kwa nafasi yake,
atafanya ghiliba za kila
namna kumtia mtu ndani
na kuzuia dhamana,
atambambikia kesi
isiyomhusu mtuhumiwa.
Ataandika maelezo ya
uongo kwa mtuhumiwa
na kwa nafasi yake
ya kuwa mtendaji
wa chombo cha dola,
hakuna wa kumhoji wala
kumkosoa. Yote hayo
atayafanya hata kama
anakiuka sheria.
Kwa kuwa mwenye
chuki mara zote
hufanya uovu wake kwa
kicho ili isifahamike
dhahiri kwasababu
uovu anaofanya hauna
mashiko ya haki, yupo
tayari kumdhuru
mwenzake na kutimiza
matakwa yake hata
kwa kutumia njia za
kishirikina. Hawa kwa
chuki tu, wapo tayari
hata kuua.
Hata hivyo chuki
mbaya zaidi kwa
wanadamu ni ya kidini.
Kwa bahati mbaya
chanzo cha chuki hii
kwa watu a imani tofauti
ni viongozi wa dini na
viongozi wa serikali.
Hawa ndio wamekuwa
wachochezi na walezi
wakubwa wa chuki hii
miongoni mwa wananchi
ambao wanaamini katika
imani tofauti.
Mafundisho potofu ya
viongozi wa imani moja
dhidi ya imani nyingine
yamechangia sana
kuongezeka viwango
vya chuki kwa watu.
Upendelao wa viongozi
na watendaji wengi wa
serikali kwa wananchi
kwa misingi ya imani
zao, nako kumechochea
muendelezo huu wa
chuki na sasa imekuwa
ni ugonjwa sugu nchini.
Chuki imetokea
kuwa adui mkubwa
kabisa ambaye tunaishi
naye, tunatembea naye
na tunalala naye na
kushauriana naye kila
kukicha. Chuki hii ni
nafsi iliyojaa uadui
uwovu na majivuno,
yakiambatana na kiburi
na kutafuta kukomoana,
pasipo sababu za maana.
Nafsi ya chuki
ikichukua nafasi kubwa
katika tabia ya mtu,
ikakita mizizi yake
kwenye nafsi zetu basi
huondoa mfungamano
wa kiraki na kindugu
na hata majadiliano baina
ya watu hukosa busara
na hekma, kiasi cha
kusababisha utengano na
uhasama.
Itaendelea toleo lijalo
15
MAKALA
AN-NUUR
16
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 7
lengo, na ndio maana mara
kwa mara kila ukapo msimu
wa funga imekuwa ikisikika
mashekhe, maustadh, pamoja
na wadarsishaji mbalimbali,
katika madarsa ya mwezi wa
Ramadhan, wakiulizwa maswali
yanayohusiana na maakuli
yahojiyo iwapo mfungaji
kama hana futari na/au daku
analazimika kufunga au la! Kwa
kweli huwa nashindwa kuelewa
mantiki ya maswali kama haya
kwa kuwa kinachoonekana
kuuliziwa zaidi ni kuhusu
suala la ukosefu wa futari na
daku tu na si kuhusu ukosefu
wa kifungua kinywa, chakula
cha mchana wala chakula cha
usiku. Hivi kwanini sasa mtu
huyu asitumie kile atarajiacho
kunywa/kula asubuhi na/au
mchana kama futari yake na
kile atarajiacho kula usiku kama
daku yake?
Kadhalika si ajabu leo hii
kuwakuta akina mama wa
Kiislaamu na mabinti zao
wakitumia muda wao mwingi
katika mwezi wa Ramadhan
katika kufanya maandalizi ya
futari na daku ilhali wakitumia
muda mdogo au wakikosa muda
kabisa wa kutekeleza ibada
mbalimbali za kuwaelekeza
katika lengo la funga ya
mwezi mtukufu wa Ramadhan
mathalani kujisomea Qur-an
pamoja na kuhudhuria halaqa
na/au darsa mbalimbali za tafsiri
ya Qur-an na Hadith za Mtume
(S.A.W.) na pia kukosa kushiriki
katika ibada nyingine ambazo
hazipatikani katika mwezi
mwingine wowote isipokuwa
17
AN-NUUR
Wakimbizi Ulaya
muonyeshe wema.
Malcolm X naye ndio aliuwawa
mwanzo kabla ya Martin Lther King
kwa kuzitetea haki za watu Weusi.
Aliuwawa na Mweusi mwenzake
katika mwezi wa Februari tarehe 5,
1965. Kipande cha hotuba yake naye
ananena haya:
We have a common enemy. We have
this in common: We have a common
oppressor, a common exploiter, and a
common discriminator. But once we
all realize that we have this common
enemy, then we unite on the basis of
what we have in common. And what we
have foremost in common is that enemy
the white man. Hes an enemy to all
of us. I know some of you all think that
some of them arent enemies. Time will
tell.
Tarjuma ya maneno hayo ni
Adui wetu ni mmoja na ndio
huyo huyo mwenye kutubagua
na kututenga, ikiwa tukiyaelewa
hayo kuwa adui yetu ni mmoja
ambye ni mwenye kutukandamiza,
kutunyanyasa na kutubagua,
tutapoyajua hayo basi tuungane
kwa kuwa tuna jambo moja
linalotuleta kwa pamoja. Adui yetu
ni mtu Mweupe ambaye ni adui
wetu sote, najua wengine kati yenu
mtaona kuna baadhi yao hawamo
katika huo mkumbo lakini wakati
utakuelezeni.
Wana harakati hawa wawili
wote katika mahubiri yao, Ugozi
na tina za Wamerekani Weusi
hazijawabagua ila walifanya maisha
yao yamalizike wakiwa bado vijana
wanahitajika wauwawe kwa mtutu
wa bunduki.
Kata K (Sagging paits)
Jee nini hasa uvaaji huu na
umetokea wapi na kwanini uvaaji
huu ukatokea huko Marekani na
kutuvamia kwa vijana wetu wa leo
humu Afrika? Uendapo ukipishana
na vijana uvazi ndio huo. Baada ya
kukuonyesha sura ndogo ya nchi
ya Marekani na walivyo, wiki ijayo
nitaimalizia makala haya juu ya
Kata K na sababu kuwa uvazi huu
tuite uvazi ulio sio wa kukumbatiwa
katika utamaduni wetu.
Fwatana na mie katika
makala ijayo ambayo itakuwa ya
mwisho juu ya suala hili ambalo
linatupelekea tuwe Kunguru
na kumalizikia kukosa kujuwa
utamaduni wetu halisi. Aidha kuja
na tafrani za panya.
KUMRADHI
Naomba radhi wasomaji wangu
wapendwa kwa kukosekana makala
ya wanyama. InshaAllah wiki ijayo
itakuwepo. - Ben Rijal
yake; waasi wakamshika wakamtesa
mateso ambayo usingedhania
mwanadamu anaweza kumfanyia
hata mnyama. Baada, miaka
hiyo, nilipata gazeti lililoelezea
kifochake, kuwa ulikuwa ni mwezi
wa Ramadhani na Sir. Abakari
alikuwa amefunga; watesaji
walimkata kiungo kimoja baada
ya kimoja, wakamtoboa macho,
wakamkata sehemu zake za
siri bado akiwa hai; aliwaambia
kuwa: Ni heri mungeniua moja
kwa moja kuliko kunitesa hivi;
lakini kuna siku mutamkumbuka
Abakari Tafawa Balewa. Baada ya
hapo ndipo Nigeria ikagawanyika
makundi mawili Generali Ojuku
Inaendelea Uk. 18
18
Inatoka Uk. 17
MAKALA
Wakimbizi Ulaya
AN-NUUR
Sababu za kutofautiana.
Kufuata anasa kwa kukadiria
kra au madhehebu maalumu.
Amesema Mwenyezi Mungu
Mtukufu (Na wala msifuate
anasa itakupoteza katika njia
ya Mwenyezi Mungu) (26 Surat
Swadi).
Kuipenda nafsi ambayo huota
ndani yake makosa na utukufu
na kujitenga na haki. Amesema
Mwenyezi Mungu Mtukufu,
(Na wala msiwe miongoni mwa
washirikina na miongoni mwa wale
waliotofautiana na kuisambaratisha
dini yao na wakawa makundi, kila
kundi kwa lile lililonalo hulifurahia)
(32 Surat Ruum).
Sababu nyingine ni tofauti ya
mjinga kwa mwanazuoni, au kwa
ujumla tofauti ya mtu ambaye
hamiliki chochote juu ya jitihada.
Amesema Mwenyezi Mungu
Mtukufu (Basi waulizeni wenye
kujua kwa kuwa nyinyi hamjui) (7
Surat Al-Anbiyai).
Sababu nyingine ni kungangania
Adabu za kutofautiana.
Kuna adabu za kuhitilaana
ambazo inatakikana kuzichunga
kwake kutoka kwa wanazuoni na
watu wengine kwa namna sawa
sawa miongoni mwa hizo.
Dhana nzuri kwa Mashekhe ni
bora kwani wao ni wenye kujitahidi
na Mtume (S.A.W) amesema,
(atakapo jitahidi hakimu na
akakosea, ana ujira na atakapopatia
ana ujira mara mbili) Ameipokea
Bukharin na Muslim.
Isije ikapelekea tofauti hii ikaleta
tna kati ya wanaotofautiana na
kutengana. Kufanya juhudi za
kuondoa tofauti kwa vyombo
vya kisheria, na inatakikana kwa
Waislamu kuondoa tofauti kwa
ajili ya kuitaka haki na kuhifadhi
pia umoja wa Waislamu. Na
mtakapogombana kwa jambo
lolote, basi rudini katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu na Mtume ikiwa
mnamuamini Mwenyezi Mungu
na siku ya mwisho, hivyo ni bora
kwenu na ni uzuri zaidi wa uogofu)
(59 Surat Al Bakarat).
Unyenyekevu kwa Waislamu
na kushikamana na kutafuta
haki kwa mazungumzo kama
alivyotufundisha Mwenyezi Mungu
(Na waambie watu maneno mazuri)
(83 Surat Al-bakarati).
Email : eg_islamic_center39@
yahoo.com
19
M
Ukurasa wa Watoto
AN-NUUR
Uislamu ni usa - 3
SHINIKIZO LA DAMU
(HYPERTENSION/HIGH BLOOD
PRESSURE)
UGONJWA WA MOYO
KIHARUSI
JONGO (GOUT)
MAUMIVU YA VIUNGO (RHEUMATISM)
MAUMIVU SUGU YA KICHWA
BAWASIR (PILES/HEMORRHOIDS)
MAGONJWA YA INI
SARATANI MBALIMBALI
UOTO/UVIMBE MBALIMBALI KATIKA
VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE
(FIBROIDS, POLYPS NA CYSTS)
KUSHINDWA KUZUIA MKOJO (URINARY
INCONTINENCE)
ATHARI ZA KISUKARI CHA UKUBWANI
PUMU
UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI
KASI YA KUZEEKA
MATATIZO YA MFUMO WA MZUNGUKO
WA DAMU
MKAKAMO WA NGOZI;
UDHAIFU WA MACHO
KUPOTEZA KUMBUKUMBU
KASI NDOGO YA KUPONA MAJERAHA
MAKOVU KWENYE MAPAFU
UGONJWA WA NGOZI KUCHUJA RANGI,
YAANI, VITILIGO
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Soma gazeti la
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
AN-NUUR
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.