Вы находитесь на странице: 1из 2

UMOJA GROUP SPORTS CLUB

FOMU YA KUOMBEA MKOPO


(Fomu namba moja)

IJAZWE NA MWOMBAJI

JINA…………………………..

TAREHE………………………

ANUANI/ NAMBA YA SIMU………………………………………

KIASI CHA MKOPO UNACHOOMBA…………………………….

SABABU YA MKOPO……………………………………………………………………………………………………………

SAHIHI YAKO ……………………….

IJAZWE NA WADHAMINI WATATU:

1. MDHAMINI: JINA…………………………………………………………..THAMANI YA UDHAMINI………………………………………

SAHIHI YA MDHAMINI………………………………………………….TAREHE………………………..

2. MDHAMINI: JINA…………………………………………………………..THAMANI YA UDHAMINI………………………………………

SAHIHI YA MDHAMINI…………………………………………………..TAREHE………………………..

3. MDHAMINI: JINA…………………………………………………………..THAMANI YA UDHAMINI………………………………………

SAHIHI YA MDHAMINI…………………………………………………...TAREHE………………………..

JUMLA YA THAMANI YA UDHAMINI SH.………………………………………………………………………………

IJAZWE NA MWOMBAJI WAKATI AKIPOKEA FEDHA:

MIMI……………………………………………………., LEO TAREHE…………………..NIMEPOKEA SH…………………………

NA NIMEKUBALI KULIPA JUMLA YA SH…………………………………………………………..KWA KUZINGATIA MASHARTI


YA MKOPO KAMA YALIVYOAINISHWA KWENYE FOMU NAMBA MBILI.

SAHIHI YA MWOMBAJI………………………………..

IJAZWE NA UONGOZI:

KIASI KILICHOIDHINISHWA……………………………

RIBA YA ASILIMIA 20…………………………………..

JUMLA YA MAREJESHO ____________________

MWENYEKITI……………………………

MWEKA HAZINA………………………..

KATIBU…………………………………..
(1/2)
UMOJA GROUP SPORTS CLUB

MASHARTI YA MKOPO: (Fomu namba mbili)

1. Riba ya mkopo ni 20%.


2. Muda wa kurudisha mkopo ni miezi 6. Mkopo utaanza kurudishwa
mapema au mwezi wa pili wa mkopo.
3. Mkopo utatolewa kutokana na muda aliokaa mwanachama hai
katika chama kama ifuatavyo:

i. Mwanachama atakayedumu chini ya mwaka mmoja


hatakopeshwa.
ii. Mwanachama atakayedumu kwa mwaka mmoja
atakopeshwa Sh. Laki moja (100,000.00)
iii. Mwanachama atakayedumu kwa miaka miwili atakopeshwa
Sh. Laki mbili (200,000.00)
iv. Mwanachama atakayedumu kwa miaka mitatu na zaidi
atakopeshwa Sh. Laki tano (500,000.00)

4. Mdhamini atakayekubalika ni yule aliyedumu zaidi ya miaka miwili


Mfululizo katika chama.
5. Idadi ya wadhamini itakuwa ni wawili au zaidi.
6. Wadhamini watawajibika kulipa salio la mkopo pamoja na riba pale
mdhaminiwa atakaposhindwa kurudisha mkopo katika muda
uliokubalika. Malipo yatakuwa kwa pesa tasilimu au yatakatwa
kutoka katika michango yao ya kila mwezi katika chama.
Wadhamini wataanza kulipa deni la mdhaminiwa mwezi wa saba
Wa mkopo.
8. Iwapo mkopaji atafariki dunia katika kipindi cha mkopo (miezi sita)
deni lililobaki litasamehewa.
7. Watakao idhinisha mikopo ni mwenyekiti na katibu au Mwenyekiti na
mweka hazina.

SAHIHI YA MWOMBAJI………………………………..

TAREHE:…………………………………………………..

(2/2)

Вам также может понравиться