Вы находитесь на странице: 1из 16

Sauti ya Waislamu

Prof. Anna Tibaijuka afanya yaliyomshinda Mwinyi, Mkapa


ISSN 0856 - 3861 Na. 989 MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Shule za sekondari za Ubungo, Kirinjiko na Nyasaka -Ndani

Akabidhi nyumba za Wakfu Kariakoo Uk. 2 Sheikh Bassaleh ampa salamu za Kikwete

Mapalala haweshi ndani ya CUF


Uk. 4

Sheikh Maulid Kambaya (kulia) akipokea hati ya nyumba za Waqfu kwa niaba ya wadhamini wa msikiti huo kutoka kwa Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibauka, Kariakoo jini Dar es Salaam juzi.

Sheikh Ameir Tajo akumbukwa


Na Haji Mtumwa, Zanzibar

Kama Seif aliweza kukaa na Kingunge wa CCM Vipi ishindikane kuzungumza madai ya Hamad?

MAKAMU wa Kwanza wa Rais (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad (kushoto). Kulia ni Hamad Rashid (MB)

S H E I K H A m e i r Ta j o na Masheikh wengine wakubwa, ni miongoni mwa wazee walioombewa dua katika sherehe za kutimiza miaka 48 ya uhuru wa Zanzibar. Masheikh na wazee hao wamekumbukwa kutokana na juhudi, harakati na kazi kubwa waliyofanya ya kujitoa muhanga kwa hali na mali kupigania uhuru wa Zanzibar. Katika sherehe hizo imeelezwa kuwa kuisahau Desemba 10, ni kupotosha

h i s t o r i a , Wa z a n z i b a r i kujidharau na kufanya mambo kinyume nyume. V i p i Wa z a n z i b a r i washerehekee siku ya Aprili 26, siku ambayo Zanzibar ilipoteza hadhi yake ya kuwa nchi na dola kamili yenye kiti umoja wa Mataifa badala ya kusherehekea siku walipopata dola? Haya ni maajabu ya Wazanzibar! Ilisemwa katika sherehe hizo. Sherehe za kusherehekea siku Zanzibar ilipopata uhuru mwaka huu zimeandaliwa na Umoja wa

Inaendelea Uk. 3

2 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Wabunge wamewasaliti wananchi


K WA m t a z a m o w a kawaida kabisa, sasa Watanzania wanaweza kujenga taswira ndani ya mioyo yao kwamba zile sarakasi, mbio na vikumbo vilivyokuwa vikitokea nyakati za uchaguzi mkuu husasan katika kada ya ubunge, zilikuwa na makusudio tofauti kabisa na matakwa na matarajio ya wapiga kura. Sasa inaonekana kwamba wakati mpiga kura akitarajia kumchagua mbunge ili akamwakilishie matatizo yake kwa serikali yake ili yatatuliwe na kuleta nafuuu ya maisha kwake, anayepigiwa kura anakuwa na dhamira nyingine tofauti kabisa. Na hii si nyingine bali ni dhamira binafsi ya k u j i n e e m e s h a n a kujitajirisha kupitia m i g o n g o ya wa p i g a kura. Kutokana na sakata linaloendelea hivi sasa j u u ya o n g e z e k o l a p o s h o k wa wa b u n g e wa n a o s h i r i k i v i k a o bungeni, kunahitimisha dhana waliyo nayo wapiga kura walio wengi k wa m b a h a t a k a t i k a kipindi cha uchaguzi wa kuwania nafasi hizo z a u wa k i l i s h i , wa t u wanakuwa tayari kuachia nyadhifa zao za uhakika z a a j i r a wa l i z o k u wa nazo, wanaacha umeneja, ukurugenzi na hata ukuu wa wilaya ili tu akawe mbunge. Kwa jinsi hali ilivyo sasa, hatuamini kwamba wa t u h a wa wa l i p a t a msukumo wa kuwania ubunge kwa kuwa walikuwa na uchungu na maumivu makubwa kiasi cha kuacha nyadhifa zao zilizokuwa zikiwapatia ujira usiokuwa haba, ili kuwawakilisha wananchi katika kutatua shida zao. Pamoja na jitihada za Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Anne Makinda, kutetea na kuhalalisha ongezeko la posho zao kutoka shilingi 70,000 kwa kikao hadi kufikia shilingi 200,000,

Prof. Anna Tibaijuka afanya yaliyomshinda Mwinyi, Mkapa


Na Shaaban Rajab PROFESA Anna Tibaijuka amefanya yaliyoshindikana katika uongozi wa Alhaji Alli Hassan Mwinyi na Benjamin Willium Mkapa. Amefanikisha kurejeshwa nyumba za Wakfu za Waislamu zilizokuwa zimeporwa na akina Pius. Katika kipindi cha Mzee Mwinyi na Mkapa, katika baadhi ya wakati, Waislamu waliishia kupigwa mabomu na kuwekwa ndani walipokuwa wakidai nyumba hizo za Wakfu zilizokuwa zimeporwa. Lakini hatimaye nyumba hizo zimepatikana na Waziri mwenyewe Prof. Anna Tibaijuka kuchukua taabu ya kwenda kuwakabidhi Waislamu hati ya nyumba hizo zilizokuwa zimeporwa baada ya kuzipigania kwa zaidi ya miaka 21. Wa z i r i w a A r d h i n a Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka, akiwa ameandamana na Kamishna wa Ardhi Bi. Anna Mdemwa na Mdhibiti wa Hati Bi. Subira Sinde, juzi Desemba 14 baada ya swala ya Adhuhuri waliwasili katika eneo zilizopo nyumba hizo zilizokuwa zimeporwa mtaa wa Somali Kariakoo na kuwakabidhi Waislamu hati za nyumba hizo. Imam wa Masjid Mwinyi, Sheikh Maulid Kambaya, n d i ye a l i ye wa p o k e a n a kupokea hati hiyo kwa niaba ya wadhamini wa msikiti huo. Akikabidhi hati ya nyumba hizo zilizopo kiwanja Plot No. 33 Block 77 Kariakoo jini Dar es Salaam, Prof. Tibaijuka alisema anafarijika sana kuona kwamba amefanikiwa kuwapatia Waislamu haki yao hiyo na kulitatua tatizo kabla ya kwisha mwaka huu. Alisema, awali walikuja Masheikh ofisini kwake na k u m t a k a a wa h a k i k i s h i e kwamba atalishugulikia tatizo hilo la Waislamu kikamilifu ili haki ipatikane kwani ni muda mrefu sasa umepita bila kuonekana dalili za Waislamu kupatiwa nyumba hizo zilizokuwa zimetolewa wakfu kwa Waislamu na Hajat Aziza bint Omar mwaka 1991. Kabla hajakabidhi hati ya n y u m b a h i z o , P r o f . Tibaijuka alieleza kuwa tatizo lililochochea Waislamu kuporwa nyumba hizo za Wakfu ni ucheleweshwaji wa kumilikishwa Wakfu huo kwa walengwa ambao ni Msikiti wa Mwinyi, mara baada ya mwenye nyumba kutoa wakfu huo, jambo ambalo liliwapa mwanya wajanja kutumia fursa hiyo kudhulumu. Alisema, tatizo hilo limekuwa sugu na limekuwa likitokea mara kwa mara

TAHARIRI/HABARI/TANGAZO

madai ya gharama za maisha Dodoma kuwa juu kikiwa kigezo kikubwa huku sababu nyingine iliyojaribu kukuzwa ili kuhalalisha ongezeko la posho hizo ikiwa ni makato ya mkopo wa magari, hatudhani kwamba hoja za namna hii zinaweza kulainisha mioyo ya Watanzania kwa sababu kama ni ugumu wa maisha, hali ni ngumu zaidi kwa walimu, polisi na wananchi kwa ujumla. Lakini pia haionekani kama maisha ya Dodoma ni aghali sana kuliko maisha ya mikoa mingine ya Taifa letu. Wanachokiona wananchi katika hoja hizi, ni kuhalalisha ulaji ambao wanaona ndio chimbuko la walio wengi kuacha nyadhifa zao za awali na kuchepukia ubunge. Tu n a v y o o n a , w o t e waliochaguliwa kuwa wawakilishi wa wananchi walishafanya tathmini kabla ya kuwania nafasi hizo. Hivyo walua faida na hasara ya kuwa wabunge. Na walipata ubunge bila kuwepo ongezeko la hizo posho. Kama posho haitoshi ni bora wasiotosheka wakajiuzulu kuliko kuwahadaa Watanzania waliowaweka hapo walipo. Kama watu wanaweza wakajiongezea posho kwa kiwango hicho, tena kwa siri bila kujali wajibu uliosababisha wananchi kuwapeleka Dodoma, ni dhahiri kwamba uwakilishi kwa wananchi hapa ni kiini macho. Wahenga walinena, mazoea hujenga tabia. Kama kiwango cha posho kilichopo hakitoshi, basi hatutarajii kama k i t a k u we p o k i wa n g o ambacho wahusika watakiri kwamba kinawatosheleza, hasa katika utaratibu huu wa kujiongezea wao wenyewe bila kudhibitiwa na chombo chochote.

hasa kwa nyumba au viwanja vinavyotolewa na watu kwa ajili ya taasisi za dini hususan misikiti na makanisa, ambapo watu wenye tamaa na wahalifu hutumia ujanja kujimilikisha nyumba hizo. Alisema kuwa kutokana na kukithiri kwa uhalifu wa aina hiyo hasa katika maeneo ya mi, ni vyema taasisi za dini zinapopata sadaka za wakfu, kuchukua hatua za haraka kuzimiliki ili kuziba nafasi kwa wale wenye uchu kudhulumu. Ndugu zangu, kuweni macho na mali hizi zinazotolewa kwa ajili ya taasisi za dini, zinapotolewa wakfu kusaidia taasisi hizi hasa misikiti na makanisa, wajanja hapo hutokea na kujimilikisha kwa mbinu, alitahadharisha Prof. Anna Tibauka. Akizungumzia kuhusu nyumba nyingine ya wakfu iliyotolewa na Hajat Aziza bint Omar iliyopo jirani na msikiti wa Mtoro ambayo nayo imeporwa, Prof. Tibauka alisema tatizo hilo analishughulikia na yuko karibu kukamilisha utatuzi wa k e n a k u a h i d i k u wa atakapokamilisha utatuzi wake atawakabidhi wakfu huo Waislamu. Aliwapongeza Waislamu kwa kuvumilia na kuwa na subra katika kipindi chote Inaendelea Uk. 3

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibauka (kushoto) na Sheikh Maulid Kambaya wakifurahi baada ya makabidhiano ya hati ya nyumba za Waqfu zilizokuwa zimeporwa Kariakoo jini Dar es Salaam.

Sheikh Ameir Tajo akumbukwa


Wazalendo wa Wazanzibar, ambapo wito ulitolewa kuwa ni wajibu wa kila Mzanzibar kuikumbuka siku hiyo ya Disember 10. K a t i k a t a a r i f a ya k e umoja huo umesema kuwa kuisahau siku hiyo ni kupotosha historia na kujidharau kama nchi na kama taifa. Kauli ya umoja huo imetolewa na Mwenyekiti wa wake Jabir Mtumweni Jabir, huko Shaurimoyo mjini Zanzibar ambapo ilisomwa dua maalum kuwaombea Masheikh na wazee waliopigania uhuru. Mtuweni amesema k u wa n i h a k i ya k i l a Mzanzibari kuikumbuka na kuithamini siku hiyo kwani ndiyo iliyoifanya Zanzibar kutambulika hadi kupata kiti katika Umoja wa Mataifa (UN) kabla ya kuporwa kiti hicho na muungano. Muungano ambao umeipandisha hadhi Tanganyika kuwa Tanzania ikila vya Tanganyika na Zanzibar huku Zanzibar ikiporwa vyake kuingizwa katika kapu la Tanzania wakati vya Tanganyika ni vya Tanganyika. Ni wajibu wetu kuikumbuka siku hii ambayo iliweza kuifanya Zanzibar kuwa dola huru na kutambulika ndani ya Umoja wa Mataifa kwa kuwa na kiti chake ndani ya Baraza hilo hadi hii leo, alisema Mtumweni. Zanzibar imepata Uhuru wake Disemba 10, 1963 na kujiunga na Umoja wa Mataifa Disemba 16, mwaka huo huo 1963 ikiwa ni mwanachama wa 112 wa UN, alizidi kufahamisha Mtumweni. Aliongeza kusema kuwa, Zanzibar imekuwa ina Bendera yake, ina Kiti chake katika Umoja huo; sawa na dola nyengine yoyote kwenye Umoja huo wa Kimataifa. Sherehe zetu hizi hii leo zimo katika kutimia miaka 48 ya uhuru wa Dola ya Zanzibar. Katika shere hizo umoja huo ulitumia muda kwa kuwaombea dua maalum ndugu za waliozama katika meli ya MV Spice Islander, iliyozama wakati ikitokea Unguja kwenda kisiwani Pemba hivi karibuni. Kwa munasaba huu adhimu, vilevile duwa zetu zinakuwa kwa ndugu zetu
Inatoka Uk. 1

HABARI

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

waliopoteza roho na vyao katika kuzama meli ya MV Spice Islander, alisema. Katika waraka wa Umoja huo uliosomwa na Hamad Mussa Hamad ulimnukuuu Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Aman Karume akusema kuwa: Leo mwezi 10 Disemba, 1963, Zanzibar imekuwa huru. Hii leo sisi watu wa visiwa hivi tumepata haki ya kuchukuwa mahala petu kuwa ni Dola sawa na nyengine katika umoja wa Nchi za Dola za Commonwealth. Kwa uchache, kuwa mwanachama katika umoja huo, kuna maana kwamba nchi hii ni huru chini ya mpango wa sirikali ambayo msingi wake umejengwa juu ya kuendelea kwa ridhaa ya wananchi. Akasema Mzee Karume, Ili kufikilia matarajio yetu hayo, tunayo moja katika Katiba zenye msingi madhubuti iliyohusika na shuruti za haki za binadamu, haki za mambo ya siasa na uhuru wa dola yoyote nyengine. Kisha akasema, Ni wajibu wa watu wote wa dola yetu mpya, kila mmoja katika sisi bila ya kujali kra zetu za siasa au madaraka yetu kusaidia kweli kweli Katiba yetu iweze kufanya kazi. Pamoja na manufaa, haki na uhuru ambayo yote hayo yamepatikana baada ya nchi kuwa huru. Karume akaongeza kwa kusema, Tulioyapata leo mwezi 10 Disemba, 1963; ni mipango ya mwanzo tu ya kuweza kufanya juhudi kwa ukamilifu dhidi ya maadui zetu nao ni ujinga, umasikini na maradhi na kuweza kuleta imani penye khofu na shaka na kuleta masikilizano mahala ambapo hata hivi sasa adawa ipo, na kuleta mapenzi mahala ambapo pana chuki, ili dola yetu mpya ichomoze katika neema, umoja na furaha. Kwa hivyo katika hii siku ya leo na tumwombe M we n ye E n z i M u n g u Mtukufu Subhaanahu wa Taala, atuweke tuifanye na tuitimilize kazi kubwa ya kujenga taifa letu ili Dola yetu mpya ya Zanzibar ipate baraka ya matunda mema ya kazi zetu. Uhuru na Umoja, Uhuru na kazi! Alihitimisha Karume. Sherehe hizo za kuadhimisha miaka 48 ya uhuru wa Zanzibar

UJUMBE wa Zanzibar ukiwa katika moja ya vikao vya Umoja wa Mataifa kabla ya kupoteza dola yake. zilifanyika katika maeneo kuwaaandalia siku yao Amesema mzee moja. Lakini pia tutizame hali m b a l i m b a l i U n g u j a hiyo iliyo adhimu. B a a d h i y a w a t u ilivyokuwa wakati Rais wa n a Pe m b a ya k i wa m o Shaurimoyo, Makunduchi, waliohudhuria sherehe Zanzibar alipokuwa na Tumbatu pamoja na Donge hizo wamesema kuwa, ipo nafasi ya kuwa Makamu haja vana wa Kizanzibari wa Rais wa Tanzania na kwa Unguja. Huku katika kisiwa cha wafahamishwe lini nchi yao hali ilivyo sasa ambapo Dr. Pemba ziliweza kufanyika ilipata huru, lini walipata Shein (Rais wa Zanzibar) katika Msikiti Mkuu wa kiti UN na lini walipoteza ni kama Waziri sawa na Magufuli katika Baraza la Wetu, Chakechake pamoja kiti hicho. M u h i m u k a t i k a Mawaziri Tanzania. na Ziwani, ambapo Aliongeza Mzee huyo wananchi mbali mbali kulifahamisha hili, ni kupata fursa ya kujipima wa Pemba aliyejitaja kwa waliweza kuhudhuria n a k u s e m a k u w a na kufanya tathmini faida jina moja la Othman. Yale mabadiliko ya wamefurahika sana na na hasara za kupoteza dola na kupoteza kiti UN. katiba yaliyomwondoa uamuzi wa umoja huo kwa

Prof. Anna Tibaijuka afanya yaliyomshinda Mwinyi, Mkapa


Inatoka Uk. 2 H i v yo a l i m t a k a P r o f . Tibauka kumkishia ujumbe wake serikalini kwamba Mahakama ya Kadhi ina nafasi kubwa ya kuirahisishia serikali kazi na kupunguza migogoro mingi ya ardhi na majengo yanayohusiana na taasisi za kidini. Pia alitumia fursa hiyo kumshukuru Waziri Tibauka kwa uadilifu aliouonyesha katika kutatua tatizo hilo la Waislamu na kusema kuwa kwa mwenendo huo, Waislamu sasa wanaona kuwa wapo watu waadilifu serikalini ambao wanaweza kuwapatia haki yao. Nyumba zilizopo katika kiwanja No. 33 Block 77 Kariakoo jini Dar es Salaam zilitolewa wakfu na Marehemu Hajat Aziza bint Omar kwa Msikiti wa Mwinyi ulioko Kariakoo mwaka 1991. Hata hivyo baadae waliibuka watu waliotambuliwa kwa majina ya Pius Kipengele na Zakaria

h i c h o wa l i c h o h a n g a i k a kupata haki yao na kuwaahidi kushirikiana nao kila watakapopata tatizo kama hilo. Akizungumza baada ya makabidhiano ya hati ya nyumba hizo za wakfu, Maalim Ali Bassaleh ambaye naye alikuwa miongoni mwa viongozi wa d i n i wa l i o h u d h u r i a haa hiyo, alisema tatizo la kuporwa nyumba za wakfu lisingekuwepo iwapo serikali ingeridhia kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi nchini. Alimweleza Prof. Tibauka kuwa kama kungekuwepo na Mahakama ya Kadhi nchini, wakfu ungesajiliwa na Kadhi na baadae kuwasilisha vielelezo vyake Wizara ya Ardhi na maendeleo ya makazi na hapo kazi ingekuwa rahisi kwa serikali na kwa wenye wakfu na migogoro isingekuwepo.

waliodai kuwa nyumba hizo ni mali yao na kuzipora. Kufuatia uporaji huo, Wa d h a m i n i wa M a s j i d i Mwinyi walifungua kesi katika Mahakama ya Kisutu kudai haki ya Waislamu dhidi ya waporaji. Kutokana na kudorora kwa kesi hiyo na Wadhamini wa Masjid Mwinyi kuelemewa kufuatia kesi hiyo kuchukua muda mrefu na kuhalalisha uporaji kwa waporaji, Waislamu kwa umoja wao waliamua kuingilia kati kupigania haki yao hiyo hadi pale itakapopatikana. Sheikh Abraham Juma Kileo, Sheikh Ponda Issa Ponda, wanasheria Prof. A b d a l l a h S a f a r i , Ya h ya Njama na Benhaji Shaaban a m b a ye k wa s a s a y u p o nchini Uingereza, ni baadhi tu ya Waislamu waliojitolea k u p i g a n i a h a k i h i yo ya Waislamu katika kesi hiyo.

Mapalala haweshi ndani ya CUF


Na Omar Msangi MWAKA 1994 aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi, CUF, James Mapalala aliitisha mkutano wa hadhara katika viwanja vya Malindi. Lakini kabla kuka siku ya mkutano, ukazagaa uvumi kwamba mkutano huo ulikuwa umeandaliwa na Komandoo., Dr. Salmin Amour na kwamba agenda kuu ilikuwa kumtukana Maalim Seif Shari Hamad na kutangaza mgogoro n d a n i y a C U F. H a b a r i hizo zilisambaa kwa kasi ikidaiwa kuwa Mapalala anatumiwa tu ili kukivuruga chama. Baada ya kutafakari habari hizo, viongozi wa CUF na wa f u a s i wa o wa l i a m u a kutokufanya lolote kuzuiya mkutano ule. Wakahudhuria n a k wa u t u l i v u k a b i s a wakasikiliza kilichokuwa kikizungumzwa. Naam, kama ilivyotarajiwa mada kuu ya Mapalala ilikuwa kumsema Maalim Seif na kutuhumu kwamba baadhi ya viongozi ndani ya CUF walikuwa na agenda ya kurejesha Uarabu na Usultani. Alidai chama kimetekwa nyara na watu wa Hizbu na kwamba lengo lao ni kumrejesha Sultan na Waarabu kutawala Zanzibar/ Tanzania. Akiyasema hayo kulikuwa na kundi kubwa la vijana wakishangilia. Hata hivyo, Unguja ndogo, vana wale walitambulika kuwa ni vana wa l i o k u s a n y wa k u t o k a maskani za CCM. Baada ya mkutano ule, haukupita muda, James Mapalala alingoka yeye na kuwaacha aliodai kuwa wanataka kuleta Uarabu na Usultani. Mambo hayakuishia h a p o . Wa l i f u a t i a a k i n a N ya r u b a , Ta m we H i z a , Shaybu Akwilombe, Wilfred Rwakatare na wengine kama hao. Hivi sasa kunaonekana kufukuta mgogoro mwingine wenye sura ile ile ya kiMapalala na ki-Nyaruba nyaruba. Lakini kabla ya kuutizama kwa undani, turejee katika uchaguzi mkuu mwaka 2000 na yaliyojiri baada ya kutangazwa matokeo. Rekodi zinaonyesha kuwa yalipotokea mauwaji Januari 26 na 27 mwaka 2001, Maalim Seif Shari Hamad hakuwa nchini. Alikuwa nje ya nchi ambapo alikwenda muda mfupi baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo Mheshimiwa Aman Abeid Karume alitangazwa mshindi. Kwa upande wa Hamad Rashid Mohammed, japo alikuwa nchini, hakushiriki maandamano hayo. Si kwa kuyaandaa wala kuhamasisha wananchi kushiriki. Alikuwa rumande baada ya komandoo Salmin kuwaacha ndani kwa muda mrefu akidai kuwa maadhali si mapapai kwamba yataoza, wakae tu. Kwa maana nyingine, maandamano hayo yalifanyika bila ya uongozi wa Maalim Seif Shariff Hamad wala Hamad Rashid Mohammed. Serikali kwa upande wake ilitoa tangazao la kupiga marufuku maandamano yale. Hata hivyo CUF wakashikilia msimamo wao wakisema kuwa maandamano yao ni ya amani na haki yao ya kikatiba kuonesha kutoridhishwa kwao na matokeo ya uchaguzi. K w e l i C U F wa k a a n d a m a n a . L a k i n i hata kabla ya maandamano, mauwaji yakaanza. Polisi wa k a va m i a m s i k i t i wa Mwembetanga mara baada ya swala ya Ijumaa wakauwa watu wawili. Serikali badala ya kuwachukulia wanachama na wapenzi wa CUF kuwa ni wananchi na raia wa Tanzania waliopinga amri ya polisi ya kutokufanya maandamano, ikawaona kama magaidi hatari. Iliwatizama kama maharamia na wapiganaji wenye silaha waliovamia mitaa ya Pemba na Unguja. Kwa hiyo askari wakatoka kama wanakwenda vitani. Wa t u w e n g i w a s i o n a hatia hata wale waliokuwa majumbani na kondeni wakauliwa, kutiwa vilema na kuharibiwa mali zao. Yalitajwa pia matukio ya wanawake kubakwa, uporaji na utekaji nyara. Akina mama walivamiwa majumbani wakaporwa vidani na mikufu n a m a b i n t i wa k a t e k wa na kufanyiwa ukatili wa kuwanajisi kwa siku kadhaa zilizofuatia mauwaji. Hali ilikuwa mbaya zaidi katika kisiwa cha Pemba ambapo inasemekana mamia ya watu waliuliwa japo serikali ilisema ni ishirini na saba (27) tu. Kama nilivyotangulia kusema yote haya yalifanyika wakati Maalim Seif akiwa nje ya nchi. Wana-CUF waliandamana japo mwenye urais wake alikuwa hayupo ambapo kwa kawaida mgombea ndiye huwa mstari wa mbele akiwahamasisha na kuwaongoza wanachama na wafuasi wake kupinga matokeo. Kwa hiyo japo walioandamana walimpigia kura Maalim Seif na japo walitamani na walitaka awe Rais, lakini lengo na agenda yao haikuwa Maalim kuwa Rais wa Zanzibar, vinginevyo wa l i v yo o n a m we n ye we h a u p i g a n i i wa n g e k o s a nguvu ya kuandamana. Lakini inavyoonesha, na ndio ukweli wenyewe, kwamba agenda yao ilikuwa kuondoa serikali ya CCM waliyoamini

4 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

HABARI/TANGAZO

WAZIRI Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akiongea na Mbunge wa Wawi Mhe. Hamad Rashid. kwamba inawadhulumu, kuwahujumu na kudumaza maendeleo ya nchi. Ndio maana kutokuwepo Maalim Seif hakukuwazuiya kuandamana. Wakati ule haikutangazwa wazi Maalim alikuwa nchi gani huko Ulaya na alikwenda kufanya nini. Alikwenda kimya kimya na hata aliporudi, alirudi kimya kimya. Haikutangazwa lini alirudi na alikuwa wapi. Wananchi walijua kuwa karudi siku walipomuona akiandamana na kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kwenda Pemba kutoa ubani kwa wawa. Ni wazi kwamba Maalim baada ya kurudi alikaa na CCM wakajadili yaliyojiri Pemba na Unguja na wakaakiana nini cha kufanya kutuliza hali. Wakati ule wananchi wa Mtambile, Micheweni n a Pe m b a k wa u j u m l a , walikuwa wakiwaona CCM ni wauwaji. Na CCM ni watu, ni viongozi, sio kadi, bendera na osi au rangi za njano na kani. Kwa hiyo kama CCM walionekana wauwaji, akina Philip Mangula, Malecela, Kingunge, Benjamin Willium Mkapa, Amani Abeid Karume na timu yake, ndio walikuwa wauwaji wenyewe wakitumia vyombo vya dola. Wauwaji waliouwa wanachama wa CUF na wananchi wa Pemba. Wauwaji waliomuuwa Imam wa msikiti wa Mwembetanga. H a t a h i v yo, p a mo ja n a ukweli huo, na pamoja na ukweli kwamba bado jeraha lilikuwa bichi kwa maana kuwa bado hata wafiwa wa l i k u wa h a wa j a o n d o a matanga, CUF waliweza kukaa na CCM wakapanga namna ya kuwafariji na kuwatulizwa wawa Pemba. Walikaa wakaona kuwa CCM lazima ijikoshe na mapema kwa kutoa ubani. Kwa busara na uungwana wao (?), CUF wakakubali kuibeba CCM kwenda Pemba kutoa ubani. Maalim Seif Shari Hamad akabebeshwa msalaba wa kuandamana na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru. Hivi sasa zipo taarifa nyingi katika vyombo vya habari zikionesha kuparurana Maalim Seif Shari Hamad na Hamad Rashid. Wote hawa, kila mmoja ana madai yake dhidi ya mwenzake na kila mmoja anajitahidi k u j i e l e z a i l i m we n z a k e aonekane kuwa ndiye mbaya. Na katika kufanya hivi, kila mmoja anajitafutia wafuasi. Wa p o w a n a o m t u h u m u Mheshimiwa Hamad, Mbunge wa Wawi, kwamba kanunuliwa na CCM amngoe Maalim Seif katika nafasi ya u-Katibu Mkuu achukue nafasi hiyo yeye. Wanaodai hayo wanasema kuwa Hamad ameahidiwa kupewa Urais wa Zanzibar, na kwamba Maalim Seif hatakiwi kwa s a b a b u a n a a g e n d a ya kuvunja muungano. Kwa upande mwingine i n a d a i wa k u wa H a m a d anamtuhumu Maalim Seif kwamba anakidumaza chama. Amewatelekeza Blue Guard na kwamba hana mpango wa kuimarisha CUF kwa upande wa Bara. Anaona CUF ni ya Unguja na Pemba. Inasemekana kuwa katika kikao kimoja cha ndani cha hivi karibuni kilichofanyika katika ofisi ya CUF Vuga, Zanzibar, ilitolewa taarifa na mmoja wa makachero ambao awali walionekana watu wa Hamad wakajua siri na mpango mzima wa Hamad. Mimi namuachia Mungu, nani mkweli na nani anasema uwongo, itajulikana, anadaiwa kusema Maalim baada ya kutolewa taarifa ile. Inawezekana Maalim Seif kama ana madai dhidi ya Hamad Rashid akawa yupo sahihi, kwa maana kuwa anayosema juu ya Hamad n i k we l i . K wa u p a n d e mwingine, inawezekana Hamad Rashid akawa sahihi katika tuhuma anazomrushia Maalim Seif. Kwa upande mwing ine inawezekana mmoja wao ndiye akawa sahihi na mwingine kapotoka au wote wakawa wazushi tu. Lakini mimi nadhani kama ni kuzingatia masilahi ya chama na masilahi ya wanachama na wapenzi wa CUF waliokipa uhai chama hicho kwa kujitoa muhanga kwa hali na mali, muhimu hapa sio nani sahihi. Swali ni je, kwa nini kama kuna tatizo viongozi wasikae wakazungumza na kufikia makubaliano badala yake wanaparurana na kushambuliana katika mikutano na katika vyombo vya habari? Kama CUF waliweza kukaa na CCM ambao kwa wakati ule walikuwa wauwaji waliouwa wananchama wao Inaendelea Uk. 5

HABARI ZA KIMATAIFA/TANGAZO
Inatoka Uk. 5 mpaka wengine wakaamua kukimbilia uhamishoni na mpaka sasa wapo Somalia, kipi kinawashinda leo kukaa na kuzungumzia matatizo yaliyo ndani ya chama chao na kupata ufumbuzi ? Kama CUF iliweza kukaa pamoja na CCM iliyodaiwa kutumia vyombo vya dola kuwafanyia ukatili, uovu n a i d h i l a l i ya k u t i s h a wanachama wake, hasa kila unapoingia uchaguzi mkuu, v i p i i s h i n d we k u t u m i a vikao vyake kusawazisha sintofahamu iliyo katika safu yake ya uongozi? Wanachotakiwa kufahamu Maalim Seif Shariff na Hamad Rashid ni kuwa wale wanachama wa matawi ya Kossovo, Chechnya, Gaza na Kandahar, hawakuwa wa k i j i t o a m u h a n g a n a kujitolea kuimarisha na kutetea chama kwa vile kuna sura ya Hamad Rashid na Maalim Seif katika CUF. Walifanya vile kwa sababu hata kabla ya CUF walikuwa na matatizo yao, walikuwa na agenda zao na matarajio yao. Ilipoibuka CUF na kutangaza kuwa inapigania haki sawa kwa wote, ikasimama kama chama cha wananchi na cha kutetea wananchi, umma ukawa pamoja nacho. Wakati v ya m a v i n g i n e v i k i t o a posho na kukodi magari kwa ajili ya wanachama wao kwenda katika mikutano ya hadhara, CUF haikuwa na tatizo hilo. Watu walikuwa wakichangishana na kukodi magari, maelfu wakawa wanafurika katika mikutano. Mpaka hivi sasa hakuna chama kilichoweza kuvunja rekodi ya CUF ya kuwa na wanachama na wapenzi wenye kujitolea kwa hali na mali kukihami chama. Kwa hakika kilikuwa kweli chama cha wananchi. Sasa kama imeka mahali Hamad na Maalim wameona muhimu ni u-Katibu Mkuu na hawawezi kukaa wakaongea katika vikao vyao vya ndani wakalimaliza, wajue kuwa wakiendelea kulumbana majukwaani, kwanza watakuwa wanajidhalilisha wenyewe, lakini pili watafanya wanachama wao wawadhanie vibaya. Huko nyuma kulikuwa na wakina Nyaruba wakafuatiwa na akina Tamwe Hiza, Shwayb Akwilombe na Rwakatare. Uzoefu huo umewafanya wanachama wa CUF kubaki na wasiwasi kuwa chama chao kimejaa mamluki. Mapandikizi CCM B, vana wa Nyerere waliotumwa kuwa wapinzani ambao kazi yao ni kuwapandisha joto wanachama wao na

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

Mapalala haweshi ndani ya CUF

MAKAMU wa Rais (Muungano) Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akisalimaiana na Mbunge wa Wawi Mhe. Hamad Rashid (kulia). kuwa nchi mbali na Unguja kamii, huduma mbalimbali kulishusha. Sasa kama vana hao wa na mbali na Tanzania au za kamii, elimu n.k Sasa kuwa kwao Wapemba Nyerere wapo katika CUF, angalau iwe na madaraka itakapoka mahali kwamba ya ndani. Waliibua hoja hii k wa m b a we n g i wa o n i CUF inatakiwa ifikie pale baada ya kuona kuwa siasa za wapinzani wa CCM, sio kwa ilipofikia NCCR Mageuzi CUF Vs CCM haziwakishi vile Maalim Seif na Hamad y a A g o s t i n o Ly a t o n g a kwenye malengo yao. Madai Rashid ni Wapemba waliotoka Mrema, vikao vya kichama ni kuwa kisiwa cha Pemba CCM wakaunda CUF. Ni kwa havitasaidia kitu. Japo CUF kwa muda wote kimekuwa sababu waliamini kwamba ni waliweza kukaa na CCM kikihujumiwa na serikali ya wakweli katika madai yao na n a w a k a w e z a k w e n d a mapinduzi (SMZ), serikali madai ya chama chao, CUF, p a m o j a k u h a n i wa f i wa ya CCM. Na hii ni katika kwamba wanapigania haki Pemba, itaonekana jambo ajira, nafasi za madaraka, sawa kwa wote. Na kama lisilowezekana kukaa na miundombinu ya kiuchumi na haki kwa wote itapatikana kuzungumzia tofauti za Hamad Rashid na Maalim, wote Wapemba. Wataendelea kulumbana mpaka yatokee yale yaliyomsibu Mrema alipotofautiana na Mabere Marando. Nani Mabere na nani Mrema katika mgogoro huu wa CUF ndicho wananchi wanasubiri kuona. Hata hivyo Ugunduzi wa dawa mpya iitwayo Special Two (2), iliyochunguzwa na mkemia Mkuu wa wanachotakiwa kufahamu Serikali na kugundulika inatibu na haina madhara kwa binadamu, sasa ni suluhisho la Hamad Rashid na Maalim ugonjwa wa sukari na BP. Seif ni kuwa CUF haikuka Mtaalamu Mohamed R. Mkweli aliyegundua dawa hiyo ya asili tayari amefanikiwa kuwapa hapo ilipo kwa umahiri wa baadhi ya watu wenye maradhi hayo na kupona kabisa. uongozi wa yeyote kati yao. Bali imeka hapo kwa nguvu Mbali ya kutibu kisukari, dawa hiyo ina uwezo wa kutibu magonjwa mengine kama vile, ya wananchi ambao hivi sasa vidonda vya tumbo, kusasha Figo, Ngiri, kutoa mafuta mwilini, ganzi ya mikono na wanawasaliti kwa kuendeleza miguu. malumbano ya kugombea ukatibu. Aidha alisema Mtaalamu huyo Waislam hatutakiwi kuwa waongo kwani uongo ni katika Wale vijana wa Kosovo dalili za unaq. Pia amewaomba Waislamu kuwa watu wa kwanza kumuunga mkono na Kandahar hawakuingia kama ambavyo wanavyoungana mkono wao kwa wao na kuwa mashahidi juu ya watu wengine. CUF kumfuata Profesa Lipumba, Maalim Seif Amethibitisha dada mmoja ambaye amekuja kwa ajili ya kumchukulia dawa ya Sukari wala Hamad Rashid. Kama mama yake, amesema dada huyo kuwa kweli kabisa dawa hii imemsaidia sana mama yake walivyomfuata Marehemu na mpaka sasa haamini kwa hali aliyokia mama huyo kutokana na ungonjwa ulokuwa Kighoma Ali Malima katika unamtatiza yaani maendeleo ni mazuri nashukuru mungu. NRA wakiamini kwamba ataleta ukombozi, haki sawa Aidha akiongea mmoja wa wagonjwa Denis Ishangoma aliotumia dawa ya Mtaalamu huyo, kwa raia wote na maendeleo, amesema anatatizo la sukari kuanzia mwaka 2006 na mwaka huu amekutana na mtaalamu ndivyo walivyoingia CUF huyo na kuanza kutumia dawa zake amesema amekubali kuwa dawa hiyo inaponya. baada ya Malima kufariki. Aidha amewataka watu wenye maradhi hayo kujaribu dawa hizo na anawahakikishia watapata mafanikio kwa uwezo wa Allah. Wapo wazee wa Pemba na wanachama wa CUF Kwa mawasiliano zaidi ka Kigogo njia panda jijini Dar es Salaam, na utaonana na Mtaalamu ambao wamekuja na hoja Mohamed R. Mkweli, au piga simu yake 0713 477 725 au 0779 487725. ya kutaka Pemba itenge na

kupitia CUF, madhila na shida za Wapemba zitakuwa zimeondoka. Labda sasa Maalim Seif na Hamad Rashid wajiulize, malumbano magazetini na majukwaani, yatajenga nguvu ya kutatua matatizo ya Wapemba na Wazanzibari kwa ujumla au itakuwa kuwagawa na kuwadhoosha? Kama waliweza kukaa na CCM na wakakubaliana hata kwenda pamoja Pemba kuhani katika mauwaji ya 2001, kipi kinawashinda kukaa, kuzungumza na kumaliza tofauti zao? Lakini nimalizie kwa kusema kuwa kama ni kweli kwamba Hamad Rashid kapewa agenda ya kuchukua u-Katibu Mkuu ili apewe uRais Zanzibar na akakubali, atakuwa amejidanganya na sidhani kuwa atakuwa na ujinga huo. Wanaomuahidi lazima watakuwa watu ambao wapo serikalini, serikali ya CCM, na anatajwa Waziri Mkuu Pinda. Kumpa Hamad u-Rais maana yake ni kuingoa CCM madarakani. Je, inawezekana CCM wakaweka mpango n a m k a k a t i wa k u j i t o a madarakani? Kama wamemuahidi, wameongopa. Lengo si kumpa Hamad Rashid urais, bali kukivuruga chama kibaki takataka. Hivi leo NCCR-Mageuzi ya Mbatia sio ile ya Agostino Lyatonga Mrema na Mabere Nyaucho Marando.

Ugonjwa wa Sukari na BP sasa wapatiwa ufumbuzi

6 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

TANGAZO

1. 2.

MAELEKEZO:

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2012
Wanafunzi wote waliochaguliwa wanatakiwa kuchukua kitabu cha maelekezo ya kujiunga na Shule (Joining Instructions) katika vituo walivyofanyia mitihani. Shule itafunguliwa rasmi tarehe 01/01/2012, mzazi anapaswa kujaza fomu ya uthibitisho na kulipa ada kabla ya tarehe 25/12/2011. Fomu ya uthibitisho wa kukubali nafasi itumwe shuleni kwa kutumia anuani ya Shule kabla ya tarehe hiyo, vinginevyo nafasi yake atapewa mwanafunzi mwingine.

UBUNGO GIRLS 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 AISHA AHMED MOHAMMED AISHA JUMA SEIFU AISHA MASOUD ABBAS AISHA SAID AMIRI AMINA AYOUB MUSSA AMINAH SALUMU KAJEMBE ASHA ABDUL-RAHMAN SANDA ASHA HAMISI MLELE ASIHA SEIF SAID ASINATH OMARY MWANYOKA BABY YUSUPHU NYAMLANI BALQIS MUHDIN MAPEYO FAIDHAT MBARAKA JUMA FARIDA ADAM MSHANGAMA FARIDA KHAMISI CHIPUTU FAT-HIYA MASOUD GULLAM FATMA AABDULKADIR KHALFANI FATMA KAMBI KAZI FATUMA SAID MIMI HADIJA DOKTA TULIANI HADIJA YUNUS MAHALA HAFSA ZUBERI MWANYIKA HASINA KIBORE LUMONA HASSANATI MOHAMED KHAMISI HAWA RAJABU RAMADHANI HAZINA MAJID SAID HUSNA ATHUMANI NCHIMBI JASMIN YASSIN RAJAB JOKHA KHAMIS ALLY KAUNDIME ABDALLAH KHADIJA KHAMIS RAMADHANI KHADIJA SULEIMAN MWANGA KHADIJA SULEYMAN NAMBUNGO LAILA HANZURUNI MCHARO LATIPHA ABDUL BYARUSHENGO LEILAH FAT-HAL KIMARO MARIAM DHULI HEMED MARIAM MBARAKA MAKETEM MARIAM SHAFII HUSSEIN MARIAM YUSUF SAID MUNIRA KARATA MWEMBA MUNIRA OMAR NASSOR MWAHIJA SIMBA LUKALI MWAJUMA LALY OMARY MWANAUWANI SAIDI ALLY NAHLA RASHID NAIMA A. MWACHALI

F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F

48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95

NAJMA ABDI MWASHA NASRA ABUBAKAR MWINJUMA NASRA KHAMIS HAMADY NASRA SULEIMAN MWINCHANDE NAWAL MASOUD KHATOUR NAWILI SAIDI ALLY NURU ABOUBAKAR AHMED NURU RAJABU NGATANDA RAHMA HASSAN NAHEMBE RAHMA MBARAKA BYARUSHENGO RAHMA SAID AHMADI RAHMA YAHYA MGENI RAHMA ZAKARIA MURO REHEMA HIJJA KANDEGE RUMAYSWAN RIDHWAN RUZAINA AHMADI RUHOVYA SABRINA ABDULRAZAK SADA MKWAJI SID SAHRA MSAFIRI MASOUD SAIDATI HIJJA KASSIM SALHA JAFARI NYEMBO SARA RAMADHANI SULTAN SAUDA AYOUB KHAMIS SHAMILLAH ABDALLAH CHOGGA SHANIA RAMADHANI MWIKALO SHEILA RAMADHANI ATHUMANI SHEMSA MAULID KACHECHE UMMULKHER MOHAMMED ABDULNOOR WARDA ALLY ALIMASI WARDA FARIJALLAH LEMA YASMINI HASSAN BHAJIA ZABIBU SALEHE ABEID ZAINAB HAMISI MTUWA ZEENAT HUSSEIN ANWARY ZIHRA HAMDOUN MANSOUR ZUBEDA HUSEIN ADINANI ZUHURA ABDULKADIR MALIMA ZUHURA HAMISI ZUHURA MUSSA KHALIFA ZULEIKA MOHAMED MBARUKU ZULFAT YASSIN ABOUBAKAR BOYS ABDALLAH HALIFA ABDALLAH ABDALLAH HALIFA ABDALLAH ABDILLAH ADAM MOHAMED ABDUL YUSUFU ISMAIL ABDULHAMID ABDI SALIM ABDULKARIM MOHAMED NJOWIKE ABDUL-LATIF ALLY MADENGE

F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F M M M M M M M

96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143

ABDULMALIK ABDLLAH KAWIA ABDULMALIK ABDLLAH KAWIA ABDULRAHMAN JAMAC AHMED ABOUBAKAA YUSUFU MBOGE ABOUBAKAR YAHYA DIMAMANUKA ABUBAKAR MASOUD AL-KHAFRY ADAM BAKARI MBEZI ADAM HUSSEIN ADINANI ADI ADAM MSHANGAMA AHMAD ABDALLAH AKIDA AHMAD MSOWELA MOHAMED AHMAD MSOWELA MOHAMED AHMED KALUWA SIMBA AKIDA SHABAN AKIDA ALGASSIM HASSAN AHMED ALGASSIM HASSAN AHMED ALLY JUMA NYOMBO ALLY MOHAMMED MNALU ALLY MOHAMMED MNALU ALLY RASHIDI MMINGE ALLY YAHYA MASAKA ALLY ZAYD LUBAGA ANAS SADICK RAMADHANI ASHRAF ABEID MPANDULE ASHRAF MABRUK MUSA ASHRAF SHABAN HEGGA ASHRAFU SAIDI SHKILLY ASIF SALUM SAID ATHUMANI SHABANI SHOMARI AZIZA OMAR KAMA BILALI MOHAMED AHMAD DHANOUN RASHID KHAMIS FADHILI HAMZA MKUNGURA FAHAD ABDULAZIZI MASAWE FAHAD HARITH SULEYMAN FEISAL SAID MSUYA GHARIB HEMED AMOUR GHARIB HEMED AMOUR HABIBU SALUM KIONGOLI HADI MUHSINI NJOFU HAFIDH SALIM JUMA HAFIDH SALUM SAID HAFIDH SALUM SAID HAJI SAIDI LIPALA HASSAN HAMIS ALLY HASSAN OMARY MCHOPA HUSAM HASSAN SILIM HUSSEIN MOHAMMEDD RASHID

M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M

SEX

Inaendelea Uk. 7

Waislamu na miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika


haya: J i n s i Wa i s l a m u walivyokuwa wakidhatiti kuwa Jumuiya kubwa jambo ambalo lilikuwa ni hatari kubwa kwa hali ya Wakiristo baadae. Barua hiyo ilofanywa kule kuletwa kwa Makao M a k u u ya C h a m a C h a Ustawi wa Waislamu (East African Muslim Welfare Society - EAMWS) hapa Dar-es-Salaam mwaka 1961 kulitajwa kama ni tishio kubwa kwao. N a n d a n i ya k i t a b u Kanisani Katoliki na siasa za Tanzania bara 1953 - 1985, uk 66. Ikaandikwa: Maaskofu wa l i a n z a k u m t e g e m e a Nyerere kama mlinzi wa Usalama wa kanisa katoliki hapa Tanzania. Sasa tunaweza kuona vita vya Nyerere na Waislamu baada ya uhuru. Lakini kwanza ni vizuri kuziona h a r a k a t i z a Wa i s l a m u walizokuwa wakizipiga ili kutaka kuwaletea maendeleo Waislamu wa Tanganyika, pia ukakamavu na ushujaa wa viongozi wake. Napenda kidogo niende mbele baada ya uhuru halafu nitamaliza huko mwanzo wa uhuru wetu. Mwezi Aprili 1964 ujumbe wa hali ya juu wa EAMWS (East African Muslim Welfare Society) ndani yake wakiwemo Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Said Omar Abdallah, Tewa Said Tewa, Katibu wa EAMWS Abdul-Azizi Khaki na wazee wa TANU, Mzee Mwinyuma Mwinyikambi, Makisi Mbwana, Issa Mtambo, Omar Muhaji, na Saleh Masasi waliondoka kwenda ziara ya nchi za Kiislamu. Jamal Adbel Nasser alifurahishwa sana na ujumbe wa Tanganyika kiasi kwamba ingawa alikuwa k a t i k a m a t a ya r i s h o ya mapokezi ya Waziri Mkuu wa Urusi Nikita Kruschev, na ingawa ujumbe wa EAMWS ulikuwa wa kidini zaidi kuliko wa kiserikali, alikutana na ujumbe ule akaupatia ofisi, huduma za simu, na Makatibu Muhtasari ili waweze kutayarisha mipango yao kwa serikali ya Misri bila ya shida. Halikadhalika alimuagiza Makamu wake Shardasy afanye makubaliano na mikataba na EAMWS kwa niaba yake. Serikali ya Misri ilikubali k u g h a r a m i a u j e n z i wa Chuo Kikuu cha Waislamu. Mkataba wa makubaliano ukatiwa sahihi mjini Cairo kati ya Tewa Said Tewa na kwa niaba ya EAMWS na Makamu wa Rais wa Misri, Sharbasy kwa niaba ya serikali yake. Serikali ya Misri iliahidi kujenga Chuo Kikuu cha Kiislamu ambacho kitamilikiwa na kuendeshwa na EAMWS. Gharama ya m r a d i m z i m a u l i k u wa pauni million hamsini na tano za Kimisri. Baada ya kukamilisha kazi ile, ujumbe ule uliondoka Cairo kuelekea Makka kufanya Ibada ya Ha. Baada ya kumaliza Ha wajumbe wanne walirudi nyumbani. Tewa Said Tewa, Azizi Khaki na Sayyid Omar A b d a l l a h wa k a e n d e l e a na safari kwenda Amani, Jordan ambako walifanya mazungumzo na Mufti na Waziri wa Aukaaf. Kutokea hapo ujumbe ulikwenda Kuwait ambako walikutana na Sheikh wa Kuwait kisha wakaenda Baghadad, Iraq na kukutana na Rais wake, Abdisalaam Arifek (Abdul Salaam Arif) kutoka hapo ujumbe ulielekea Beirut, Lebanon, ambako ulifanya mazungumzo na viongozi wa harakati za Kiislamu. Mara baada ya ujumbe wa EAMWS kurudi kutoka ziara yake; Nyerere alifanya mabadiliko katika baraza la Mawaziri na Tewa Said Tewa mwenyekiti wa EAMWS u p a n d e w a Ta n z a n i a akajikuta nje ya serikali. Akamteua Tewa kuwa balozi wa Tanzania katika jamuhuri ya watu wa china. Mwezi wa January 1965 Tewa alikwenda China kwenda kuanza kazi yake mpya. Inasemekana uteuzi huo wa kwenda China ulisababishwa na juhudi zake za kutaka kuwaunganisha Waislamu kuwa kitu kimoja chini ya jumuiya moja yenye Inaendelea Uk. 11

makala/tangazo

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

Na Ibarahim Mohammed Hussein


HAPANA asiyejua mchango w a Wa i s l a m u k u h u s u harakati za ukombozi dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Moja katika mambo yaliyowakaa Wakiristo hapa Tanganyika ni suala la Waislamu juu ya kijiendeleza kielimu. Ndio mama katika barua moja iliyopelekwa Vatikano ilikuwa na malalamiko

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL


Inatoka Uk. 6
UBUNGO GIRLS 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 AISHA AHMED MOHAMMED AISHA JUMA SEIFU AISHA MASOUD ABBAS AISHA SAID AMIRI AMINA AYOUB MUSSA AMINAH SALUMU KAJEMBE ASHA ABDUL-RAHMAN SANDA ASHA HAMISI MLELE ASIHA SEIF SAID ASINATH OMARY MWANYOKA BABY YUSUPHU NYAMLANI BALQIS MUHDIN MAPEYO FAIDHAT MBARAKA JUMA FARIDA ADAM MSHANGAMA FARIDA KHAMISI CHIPUTU FAT-HIYA MASOUD GULLAM FATMA AABDULKADIR KHALFANI FATMA KAMBI KAZI FATUMA SAID MIMI HADIJA DOKTA TULIANI HADIJA YUNUS MAHALA HAFSA ZUBERI MWANYIKA HASINA KIBORE LUMONA HASSANATI MOHAMED KHAMISI HAWA RAJABU RAMADHANI HAZINA MAJID SAID HUSNA ATHUMANI NCHIMBI JASMIN YASSIN RAJAB SEX F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 JOKHA KHAMIS ALLY KAUNDIME ABDALLAH KHADIJA KHAMIS RAMADHANI KHADIJA SULEIMAN MWANGA KHADIJA SULEYMAN NAMBUNGO LAILA HANZURUNI MCHARO LATIPHA ABDUL BYARUSHENGO LEILAH FAT-HAL KIMARO MARIAM DHULI HEMED MARIAM MBARAKA MAKETEM MARIAM SHAFII HUSSEIN MARIAM YUSUF SAID MUNIRA KARATA MWEMBA MUNIRA OMAR NASSOR MWAHIJA SIMBA LUKALI MWAJUMA LALY OMARY MWANAUWANI SAIDI ALLY NAHLA RASHID NAIMA A. MWACHALI NAJMA ABDI MWASHA NASRA ABUBAKAR MWINJUMA NASRA KHAMIS HAMADY NASRA SULEIMAN MWINCHANDE NAWAL MASOUD KHATOUR NAWILI SAIDI ALLY NURU ABOUBAKAR AHMED NURU RAJABU NGATANDA RAHMA HASSAN NAHEMBE RAHMA MBARAKA BYARUSHENGO RAHMA SAID AHMADI RAHMA YAHYA MGENI RAHMA ZAKARIA MURO F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 REHEMA HIJJA KANDEGE RUMAYSWAN RIDHWAN RUZAINA AHMADI RUHOVYA SABRINA ABDULRAZAK SADA MKWAJI SID SAHRA MSAFIRI MASOUD SAIDATI HIJJA KASSIM SALHA JAFARI NYEMBO SARA RAMADHANI SULTAN SAUDA AYOUB KHAMIS SHAMILLAH ABDALLAH CHOGGA SHANIA RAMADHANI MWIKALO SHEILA RAMADHANI ATHUMANI SHEMSA MAULID KACHECHE UMMULKHER MOHAMMED ABDULNOOR WARDA ALLY ALIMASI WARDA FARIJALLAH LEMA YASMINI HASSAN BHAJIA ZABIBU SALEHE ABEID ZAINAB HAMISI MTUWA ZEENAT HUSSEIN ANWARY ZIHRA HAMDOUN MANSOUR ZUBEDA HUSEIN ADINANI ZUHURA ABDULKADIR MALIMA ZUHURA HAMISI ZUHURA MUSSA KHALIFA ZULEIKA MOHAMED MBARUKU ZULFAT YASSIN ABOUBAKAR BOYS F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F

MKUU WA SHULE

8 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

Polisi watoe ufafanuzi, nani magaidi


Na Omar Msangi WIKI iliyopita Desemba 10, 2011 kitengo cha ukachero cha Marekani, Federal Bureau of Investigation (FBI), wametoa taarifa kuwa wamemfungulia mashitaka Farouq Khalil Muhammad (38) katika mahakama moja ya New York. Farouq ambaye hivi sasa anaishi Canada, ni raia wa Iraq na anatuhumiwa kufanya ugaidi dhidi ya Marekani. Katika maelezo ya mashitaka inadaiwa kuwa Farouq alikula njama na kusaidia vitendo vya kigaidi vilivopelekea kuuliwa askari 5 wa Marekani mwaka 2008 katika mji wa Mosul, Iraq. Labda tusimame kidogo hapa tufafanue na tupate maana ya shitaka hili. Mosul ni mji katika nchi ya Iraq. Iraq ndio nyumbani kwao Farouq Khalil Muhammad. Askari wa Marekani waliokuwa Mosul ni wavamizi. Ni jeshi la uvamizi lililokuwa limevamia Iraq likiuwa wananchi wasio na hatia kwa yale madai ya urongo kwamba Saddam Hussein alikuwa na silaha za maangamizi. Kwa hiyo alichokuwa anafanya Farouq na wananchi wenzake wa Iraq ni kujihami. Ni kupambana na jeshi la wavamizi. Wanachosema FBI hapa ni kuwa iwapo askari wa Marekani watavamia nchi, kwa mfano Tanzania, wananchi wakishika silaha kujihami, kama walivyofanya akina Mkwawa na wazee wetu katika Majimaji, basi hao kwa tafsiri ya FBI ni magaidi. Kwa maana fupi, wewe ukivamiwa, wewe ukipigwa na Marekani, usitikisike wala kulalamika, ukae kimya kipigo kiingie sawasawa. Labda ninukuu sehemu ya maelezo ya mashitaka hayo ili kuchambua vyema hoja ninayotaka kujenga. FBI wanasema kuwa Farouq expressed rage at the American invasion of Iraq and desire to take revenge on the United States. Wakichambua zaidi na kufafanua mashitaka FBI wanasema kuwa Oktoba 18, 2009 Farouq akiongea na mama yake alisema kuwa like if enemy comes inside your country mother, there should not be anyone left out, big or small, everyone has to stand up and ghtit is everyones responsibility to ght that enemy. Ufupi wa maneno ni kuwa kilichoelezwa katika nukuu hii ambayo imetajwa kuwa ni mazungumzo ya simu yaliyonaswa na makachero, wanachosema waliokuwa wakiwasiliana na kuhimizana n i k u wa k a m a n d u l i akivamia nchi yenu wananchi wana wajibu wa kupambana naye hadi kumngoa. Tulidai hapa kwamba Iddi Amin alivamia nchi yetu na kwa sababu hiyo tukalazimika kumpiga. Kama ni kweli alivamia, tulikuwa na wajibu ule wa kumpiga na kila mwananchi alikuwa na wajibu wa kusaidia kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa mvamizi anapigwa. Sasa wanachosema Wamarekani ni kuwa wao wana haki ya kuvamia nchi yoyote na akitokea mtu wa kupinga na kuhamasisha wananchi kupambana na jeshi la wavamizi la Marekani ni gaidi! Kabla ya Crusade iliyotangazwa na George W Bush, msamiati huu wa ugaidi kama ulikuwepo ulibakia katika makamusi. Lakini baada ya kulazimishwa kwamba na sisi tuwe na Patriot Act, yetu polisi wetu na hata baadhi ya wanasiasa nao wimbo huu wameukariri na unaonekana kuwanogea. Sasa ambalo pengine ni muhimu kujua, je, walipopewa wimbo huu walipewa na maana yake? Je, maana waliyopewa ndiyo hii hii wanayotupa FBI? Labda sasa turudi hapa nyumbani Afrika. Ethiopia ilivamia Somalia na sio kama tulivyoingia Uganda kwa vile tulidai kuwa Idd Amin katuvamia. Zenawi hakudai kuwa Somalia imemvamia. Tunaowaita magaidi leo ni watu waliosimama kutetea nchi yao kutokana na uvamizi wa Ethiopia. Kutokana na uvamizi na uharamia aliofanya Meles Zenawi Somalia, ndio kulikopelekea kuundwa kwa serikali inayoitwa ya mpito (TFG). Waliokuwa wameshika silaha kupinga uvamizi wa Ethiopia, wanasema kuwa TFG ni serikali ya vibaraka. Hawaitaki na wanaipiga vita. Hawa tuwaiteje? Je, ni magaidi wasio na sababu

Makala

QUOTES AS TO WHY THE WORLD HATES US


Dr. Robert M. Bowman, a retired Lieutenant Colonel from the USA Air Force, in an open letter to the USA President, George W Bush (2001): We are not hated because we practice democracy, freedom, and human rights. We are hated because our government denies these things to people in third world countries whose resources are coveted by our multinational corporations. And that hatred we have sown has come back to haunt us in the form of terrorism... We are the target of terrorists because we stand for dictatorship, bondage, and human exploitation in the world. We are the target of terrorists because we are hated. And we are hated because our government has done hateful things. In how many countries have we deposed popularly elected leaders and replaced them with puppet military dictators who were willing to sell out their own people to American multinational corporations? We did it in Iran when we deposed Mossadegh because he wanted to nationalize the oil industry. We replaced him with the Shah, and trained, armed, and paid his hated Savak national guard, which enslaved and brutalized the people of Iran. All to protect the financial interests of our oil companies. Is it any wonder there are people in Iran who hate us? We d i d i t i n C h i l e when we deposed Allende, democratically elected by the people to introduce socialism. We replaced him with the brutal right-wing military dictator, General Pinochet. Chile has still not recovered. We did it in Vietnam when we thwarted democratic elections in the South which wo u l d h a ve u n i t e d t h e country under Ho Chi Minh. We replaced him with a series of ineectual puppet crooks who invited us to come in and slaughter their people, and we did. (I ew 101 combat missions in that war....) We did it in Iraq, where we killed a quarter of a million civilians in a failed attempt to topple Saddam Hussein, and where we have killed a million since then with our sanctions. About half of these innocent victims have been children under the age of ve. And, of course, how many times have we done it in Nicaragua and all the other banana republics of Latin America? Time aer time we have ousted popular leaders who wanted the riches of the land to be shared by the people who worked it. We replaced them with murderous tyrants who would sell out and control their own people so that the wealth of the land could be taken out by Domino Sugar, the United Fruit Company, Folgers, and Chiquita Banana. In country aer country, our government has thwarted democracy, stied freedom, and trampled human rights. Thats why we are hated around the world. And thats why we are the target of terrorists. People in Canada enjoy better democracy, more freedom, and greater human rights than we do. So do the people of Norway and Sweden. Have you heard of Canadian embassies being bombed? Or Norwegian embassies? Or Swedish embassies. No. We are not hated because we practice democracy, freedom, and human rights. Instead of sending our sons and daughters around the world to kill Arabs so the oil companies can sell the oil under their sand,

we m u s t s e n d t h e m t o rebuild their infrastructure, supply clean water, and feed starving children. Instead of continuing to kill thousands of Iraqi children every day with our sanctions, we must help them rebuild their electric power plants, their water treatment facilities, their hospitals; all the things we destroyed in our war against them and prevented them from rebuilding with our sanctions. Instead of seeking to be king of the hill, we must become a responsible member of the family of nations. Instead of stationing hundreds of thousands of troops around the world to protect the financial interests of our multinational corporations, we must bring them home and expand the Peace Corps. Instead of training terrorists and death squads in the techniques of torture and assassination, we must close the School of the Americas (no maer what name they use). Instead of supporting military d i c t a t o r s h i p s , we m u s t support true democracy; the right of the people to choose their own leaders. Instead of supporting insurrection, destabilization, assassination, and terror around the world, we must abolish the CIA and give the money to relief agencies. In short, we do good instead of evil. We become the good guys, once again. The threat of terrorism would vanish. That is what the American people need to hear. We are good people. We only need to be told the truth and given the vision. You can do it, Mr. President. Stop the killing. Stop the justifying. Stop the retaliating. Put people first. Tell them the truth.

k a m a a l i v yo h a s i d i a u watetezi wa nchi yao dhidi ya uvamizi? Kinacholeta taabu ni kuwa tunavyowatizama Wa s o m a l i w a n a o p i n g a uvamizi wa Ethiopia na sasa uvamizi wa Kenya, ni sawa na ule msimamo wa FBI wanaomshitaki Farouq. Na hii ni kwa sababu hili si tatizo letu. Tunalazimishwa tuone kuwa tuna tatizo la magaidi, lakini kwa vile ukweli ni kuwa hatuna tatizo la ugaidi, sasa tunaishia kubariki vitendo vya kiharamia vya Ethiopia na kuwapachika u g a i d i wa n a o j i t e t e a n a wanaotetea nchi yao kama sisi tulivyoingia vitani kutetea nchi yetu ilipovamiwa na Idd Amin. H i v i s a s a K e n ya i p o vitani ikidai kupambana na Al Shabaab. Al Shabaab nao wanasema kuwa watapambana na Kenya na watapeleka kilio hadi Nairobi. Hivi ikitokea Nairobi i k a p i g wa n a wa l i o p i g a wakadai kuwa wanalipiza k i s a s i k w a Wa s o m a l i wanaouliwa kwa risasi za askari wa Kenya, nani wa kulaumiwa? Pamoja na utandawazi na hii hali ya kujikuta katika makucha ya USA hegemony, tuna haja ya kuwa makini kidogo juu ya hii vita ya ugaidi tunayosukumizwa kushiriki. Kwa nini tuhofie magaidi? Dr. Robert M. Bowman, ambaye ni kanali wa jeshi mstaafu wa jeshi la anga la Marekani, mwaka 2001 alimwandikia barua ya wazi Rais George W Bush. Katika barua hiyo, Dr. Robert alibu swali moja tu: Kwa nini Marekani inachukiwa na kwa nini imekuwa shabaha ya magaidi. Alianza barua yake kwa kupinga kile alichokuwa a k i s e m a B u s h k wa m b a magaidi wanaichukia Marekani kwa sababu ya demokrasia, uhuru na kujali kwake haki za binadamu. We are not hated because we practice democracy, freedom, and human rights. We are hated because our government denies these things to people in third world countries whose resources are coveted by our multinational corporations. And that hatred we have sown has come back to haunt us in the form of terrorism... Alisema Marekani inachukiwa kwa sababu serikali imekuwa ikifanya uharamia na ugaidi duniani kote na kufanya mauwaji huku ikipindua serikali za wananchi na kuweka vibaraka na magaidi walio tayari kuuza na kuwasaliti watu wao pamoja na mali za nchi zao. Inaendelea Uk. 9

Inatoka Uk. 8

Polisi watoe ufafanuzi, nani magaidi


itakuwepo na tukatumia vyema akili na rasilimali zilizopo. Kwa upande mwingine, hivi sasa tunakabiliwa na tatizo kubwa la nishati ya umeme. Zipo nchi na yapo makampuni ambayo yakipewa fursa, kwa muda mfupi kabisa yanaweza kufanya tatizo hili kuwa ni suala la kihistoria. Umeme

MAKALA

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

Katika barua hiyo, Dr. Robert akataja msururu wa uvamizi, ugaidi na uharamia uliofanywa na Marekani katika nchi mbalimbali na kusababisha maafa makubwa. H o j a a n a y o i b u a D r. Robert ni kuwa Marekani inachukiwa kwa sababu ya uharamia na uovu wake inaofanya duniani kote na kama imekuwa shabaha ya magaidi, basi wanaoitwa magaidi wanaipiga kwa sababu Marekani yenyewe imekuwa gaidi namba moja. Pamoja na Dr. Robert wapo raia wengine wa Marekani walioandika juu ya mada hii wakitaja mifano mbalimbali ya matendo ya serikali yao ambayo ndiyo yanafanywa Marekani ichukiwe. Katika jumla ya mifano inayotajwa ni mauwaji ya El Chorillo. Katika mauwaji haya, askari wa M a r e k a n i wa l i u wa takriban watu wasio na hatia wapatao 5,000 katika ki cha El Chorillo na kuwachoma moto wengine katika shimo. Hiyo ilikuwa mwaka 1989 Marekani ilipovamia Panama kumwondoa Manuel Noriega ambaye ilimwona ashakuwa mzigo alipotaka kurejesha mfereji wa Panama katika miliki ya watu wa Panama. Kutokana na jinsi askari wa Marekani walivoangamiza watu na kuwachoma, kijiji kilikuja kubatizwa na kuitwa Hiroshima Ndogo (Little Hiroshima). Kama ni dhambi, basi dhambi kubwa waliyofanya wale watu zaidi ya 5,000 wa El Chorillo hata kijiji chao kikaangamizwa kama kimepigwa bomu la nyukilia, ni ule msimamo wao wa kizalendo wa kutaka makampuni ya kibeberu ya M a r e k a n i ya o n d o k e Panama. Sasa, Marekani ikilia ugaidi, hii ndiyo sababu ya kuwa shabaha ya magaidi. Na kwa maana hiyo hiyo, kama hivi leo Kenya na Uganda zitalia kitisho cha ugaidi, sababu itakuwa kuwa wamevamia nchi ya watu. Ni wavamizi. Wameingia katika nchi ya watu na wanauwa. N a k a m a D r. R o b e r t alivyomwambia Bush, njia ya uhakika ya kuepukana na kuwa shabaha ya ugaidi ni kufanya mambo mema na kuacha uovu. Watu wakifanyiana wema, ugaidi utatoweka. Hatuna s a b a b u ya k u wa o g o p a Wa s o m a l i m a a d h a l i hatujavamia nchi yao na kuuwa watu wao. Vinginevyo, tutakuwa tunaimba ushahidi wa kufundishwa na hii itakuwa ni kujidhalilisha. Nchi yetu bado ni masikini, lakini tunazofursa za kupiga hatua kama dhamira

I cant help crying. As soon as I see a person on TV telling the heart-rendering story of the tragic fate of their loved one in the World Trade Center disaster, I cant control my tears. But then I wonder why didnt I cry when our troops wiped out some 5,000 poor people in Panamas El Chorillo neighborhood on the excuse of looking for Noriega. Our leaders knew he was hiding elsewhere but we destroyed El Chorillo because the folks living there were nationalists who wanted the USA out of Panama completely. Worse still, why didnt I cry when we killed two million Vietnamese, mostly innocent peasants, in a war which its main architect, Defense Secretary Robert McNamara, knew we could not win? When I went to give blood the other day, I spotted a Cambodian doing the same, three up in the line, and that reminded me: Why didnt I cry when we helped Pol Pot butcher another million by giving him arms and money, because he was opposed to our enemy (who eventually stopped the killing elds)? To stay up but not cry that evening, I decided to go to a movie. I chose Lumumba, at the Film Forum, and again I realized that I hadnt cried when our government arranged for the murder of the Congos only decent leader, to be replaced by General Mobutu, a greedy, vicious, murdering dictator. Nor did I cry when the CIA arranged for the overthrow of Indonesias Sukarno, who had fought the Japanese World War II invaders and established a free independent country, and then replaced him by another General, Suharto, who had collaborated with the Japanese and who proceeded to execute at least half a million Marxists (in a country where, if folks had ever heard of Marx, it was at best Groucho)? I watched TV again last night and cried again at the picture of that wonderful now missing father playing with his two-month old child. Yet when I remembered the slaughter of thousands of Salvadorans, so graphically described in

John Gerassi, USA citizen:

wa kutosha ukapatikana, tena kwa bei chini ya nusu ya sasa, na tukawa na ziada ya kuuza nje ya nchi. Ila tukienda na mtindo h u u wa u s h a h i d i wa kufundishwa, hata zikitokea fursa za uwekezaji ambazo zitatunasua na umasikini na kufuta tatizo la umeme, si ajabu tukaambiwa tuache na tukaacha.

the Times by Ray Bonner, or the rape and murder of those American nuns and lay sisters there, all perpetrated by CIA trained and paid agents, I never shed a tear. I even cried when I heard how brave had been Barbara Olson, wife of the Solicitor General, whose political views I detested. But I didnt cry when the USA invaded that wonderful tiny Caribbean nation of Grenada and killed innocent citizens who hoped to get a beer life by building a tourist aireld, which my government called proof of a Russian base, but then nished building once the island was secure in the US camp again. Why didnt I cry when Ariel Sharon, today Israels prime minister, planned, then ordered, the massacre of two thousand poor Palestinians in the refugee camps of Sabra and Shatila, the same Sharon who, with such other Irgun and Stern Gang terrorists become prime ministers as Begin and Shamir, killed the wives and children of British officers by blowing up the King David hotel where they were billeted? I guess one only cries only for ones own. But is that a reason to demand vengeance on anyone who might disagree with us? T h a t s w h a t A m e r i c a n s seem to want. Certainly our government does, and so too most of our media. Do we really believe that we have a right to exploit the poor folk of the world for our benet, because we claim we are free and they are not? So now were going to go to war. We are certainly entitled to go after those who killed so many of our innocent brothers and sisters. And well win, of course. Against Bin Laden. Against Taliban. Against Iraq. Against whoever and whatever. In the process well kill a few innocent children again. Children who have no clothes for the coming winter. No houses to shelter them. And no schools to learn why they are guilty, at two or four or six years old. Maybe Evangelists Falwell and Robertson will claim

IGP Said Mahita their death is good because they werent Christians, and maybe some State Department spokesperson will tell the world that they were so poor that theyre now beer o. And then what? Will we now be able to run the world the way we want to? With all the new legislation establishing massive surveillance of you and me, our CEOs will certainly be pleased that the folks demonstrating against globalization will now be cowed for ever. No more riots in Seale, Quebec or Genoa. Peace at last. Until next time. Who will it be then? A child grown-up who survived our massacre of his innocent parents in El Chorillo?

10 AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

MAKALA/TANGAZO

NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL


P.O.BOX 11404, TEL: 0786/0717-417685 MWANZA TANZANIA Email: nyasakaislamic@live.com IDARA YA UHAMIAJI P.O. BOX 5

MAJINA YA WALIOFANYA USAILI NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA- 2012


MWANZA NA MUSOMA.
S/ NO JINA KAMILI LA MWANAFUNZI HASSAN IDD SHABANI ASNARY ISSACK NGONGE AKRAM AHMED ABDALLAH SALIMINI KARUGUTU ZUBERI HUSSEIN YUSUPH ELIAS FARAJ KASSIM JUMA SAID SAID KAMGISHA ZAITUN SELEMAN MSABAHA RABIA MUSTAPHA KAZINJA JAMILA MUSSA TIBAIJUKA SAUMU SIABA MSEMWA KHALIFA ISSA MBEO YASINI SAID NASSORO RAMADHAN MOHAMED HATIBU MARIAM RAMADHAN SHEILA HAMZA MAMBEA FAHADI YAHAYA RAMADHANI ZAINAB ISSA MUSTAPHA SALIMINI SALUM TIBAIJUKA ASIA ABUBAKARI KABUTERAMA RAMADHANI RAJAB HAMAD RAJAB SHABAN MGAINA ARAFA BAKARI MWICHANDE HAMIDA MILEMBE ABDUD RADHIA AWADH MOHAMMED FAHAD MUSTAPHA MWAKASESE HUSNA KAWINGA MUSSA HALIMA SAID SELEMANI MWAMVUA HASSAN MBISILE ABDALLAH HEMED NAASSOR ZURIAT MUKHSIN ADAM SADAM RAJAB HAMAD HILAL SAID ISSA AMISA HAMIMU TEIKWA SAADA AMRI KA SUNZU YUNUS MASHIBA TOBIAS SALIM SUEDI RASHIDI TATU MASHAKA KABAJU AMRY ATHUMAN ISSA AZIZ ABDALLAH ALIMAS SHAMIMU ISSA BUCHWA HALIMA GHALIB MSASA AZAMA OMARY KAMATTA WARDA YAQUBU EMANUELI MAIMUNA SHABAN MAULIDI ASHURA RAJABU NDALO AMINA SAIDI ALLY OMAR ADAM SINGIRA (MUSOMA) MAIDAT SAJAB RWENDANA(MUSOMA) DAUDA KIZAMI WASAGA AISHA FARID AMRANI SHEILA RAMADHAN ATHUMAN TAUSI ALLY SHAHA 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 MARIAM ISSA JUMA (MUSOMA) ALLY ABDALLAH NASSOR AISHA SAIDI MTULIA AMINA HARUB NOTI PILLI RASHID ABDALLAH NASRA KHAMIS KATIMBA OSAMA MOHAMEDI MASOUD CHAUSIKU OMARI MTORE MWANAHAWA M NGANYALILA NASRA JUMA CHAMARI IDRISSA ISMAIL MASOUD SULEIMAN ABUBAKARY KATUNZI ABIA SAUKWA MUNISI KHALIFAN JUMA KIKOBA KHAMIS ABDALLAH MTORO (MUSOMA) AHMADA YAKUBU MAULIDI SHABANI DAUDI RAMADHANI MUSSA SHIKILA JAMILA A ITENDEREBANYA ABDULSHAKUR SAID IBRAHIM AMISA ISIHAKA KIBONAJORO VICTOR HAMDAN HUSSEIN SALUM HUSSEIN FIRDAUS KHUZAIMA NDYETABULA RAHMA YASIN SHABANI MWAJUMA ABDALLAH RAJAB HALIMA SAMWELI TANGANYIKA CHAUSIKU MALILO HASSAN SAID OMARY MPANYU ZURAIHA NURDIN ANAS KHADIJA IDD SUMERA AISHA SULEIMAN RASHIDI GHANIME HAMZA MKAMA REHEMA KHAMISI JUMA SHARIFA HASHIM MALELA AKRAM KASSIM MWESIGWA SADICK SHARIF JUMA FAHAD BURHAN MSOKE BAKARI ISSA MHANDO SHABANI JAKOBO MALEMBEKA ABBAS JUMANNE BAHEZWA ZAINAB ALLY HAMISI ASHURA ATHUMAN PAULO ASIDA YAKUBU ALIBAALIO KHADIJA MGANA MSITA SWAUMU HAMISI JUMA NADIA HASHIM WAKAMWA HALIMA HASSAN NYAKIAGA ASHRAPH ABDALLAH AHMED JUMA SULEIMAN IDD RAHMA ABDALLAH BILAL NEEMA KULWA ADAM ZAINAB MALILO HASSAN ASMAA SALUM SAID MWAHIJA ABDALLAH JUMA KOKUENDA DICKSON JUMAPILI 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 158 159 RAMADHANI MGETHA RAIDA ZAINAB RAMADHAN SALUM MOHAMEDY SWAHIBU MOHAMED ALLY JUMA MARANYA SAKINA ABDULBASTU KAGIMBO ABBAKAR EUGEN WALES REHEMA YUSUPH WILLE HUSSEIN ABDALLAH ALLY HUSNA SAID MASIRORI ARAFAT SULEIMAN SALUM MAIDA MAJID IGANGULLA HANIFA SAID NYEMBO NUSRATH MOHAMEDY HAKIMU SHUGHAIB JUMANNE SHABAN WASEGA BENJAMIN HAJ SOPHIA KUYELA REHEMA NADHIR NGEUSA ISSA EDWARD MUSHI KASSIM AMID KASSIM HAMISA SULEIMAN NASSORO KASULU CENTRE AYOUB AHMAD KIBONGE RABIA YASSIN YAHYA IDD RAJABU KAMBI RAJABU ATHUMAN MUSSA NADHIRU AHMAD KARAGWE BUKOBA CENTRE SHARIFA NAJIMU SHARIFU ABDUL MTANDA HALIMA HUSSEIN AISHA HUSSEIN NASRA NASSOR ABDALLAH AZIZI RAJABU GHAJIH HALIFA ATHUMAN MUKONO SAKINA IDRISSA MOHAMMED ARFATI ABDULMAJID ATHUMAN IBRAHIM ABDUL BUSHAGAMA ABDALLAH MADANIO SWALEHE HASHIRU NAJIBU BUSHAGAMA AHMADA ABDUL RWIZA BURUHANI OMARI LUGEIYAMA ARAFA MUSSA NDYESHOBORA HASSAN MIRAJI BIGIRWA KAHAMA- CENTRE 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 AISHA RAJAB MBUA AHMAD HAMZA MATAGIRA ARAFA TAWFIQ MPERA ZULEIKHA TAWFIQ MPERA SAADA HARUNA IDDY NASRA MBAROUK KIKUNDA AISHA MZAMILU JUMA ASHA ALLY CHAKA AHMAD MOHAMED ALLY RAHMA ABUBAKAR SIPPE HUSNA MIRAJI HANTI HAZINA MUZAMILU JUMA REHEMA SHABANI MKORA Inaendelea Uk. 11

MAKALA/TANGAZO
Inatoka Uk. 10
14 15 16 17 18 19 20 26
S/NO

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

11

NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL


AISHA TWAHIRI KISAKENI MARIAM ABDUL MBARAKA ASIA SHABANI KASONGO MUHIDINI MBARAKA MUGULA MWASITI ABUBAKARI SALUM SALMA NYAMSINGWA MWAJUMA ABDI SALIMU 0784 660811 AMINA HAMISI NCHII KURUTHUM KASSIM SALUM ABDULRAHMANI Y. MKWANDA HAJIRA SAIDI MIMBI YASSIN RAMADHANI JUMANNE HIDAYA NASIBU SWEDI ABDULRAHMANI HAMISI SONGWE MARIAMU RASOUL ATHUMAN SULEIMANI JUMA MPIMBI ABDALLAH MAULID MKENDA ABDULRAZAQ OTHUMAN OMAR ABDALLAH MUBARAKA HASSAN ABDULRAHMAAN MASOUD ABDALLAH MTWARA MTWARA MTWARA SINGIDA SINGIDA SONGEA SONGEA TANGA TANGA TANGA ZANZIBAR ZANZIBAR ZANZIBAR

ASHA SAID SELEMAN KEPEMBALESI EDO SWAI RAHMA SAID KIMWAGA SAMIRA ZUBEIR JAFARY SAMIRA ZAHORO ALLY JUMA MWAMFUNDO SALMA AYUBU AISHA YUSUPH NURDIN (MUSOMA) JINA KAMILI ABDUL-AZIZ ASHIF GULAM KARIM M. ATHUMANI RAJAB YUSUF MGAYA SALUM LUCA SALIMINI TWALALY M. MAHYORO ZAINAB ISMAIL NASSOR ZAYD HUSSEIN ZAYD JAFFAR SOUD MJAKURUFU REHEMA ATHUMAN BAKARI KHALIFAN MOSHI ISSA ASHA SAID YAHYA ZAINAB JUMANNE KITOWE ISSA ZACHARIA ISSA KHADIJA YAHAYA MUSSA TAMASHA JALALA HAMIMU RAKIA FARAHANI NGUGE SAID FARAJ SAID HAMIDA HUSEINI MOSHI LATIFA OMARY KITOWE AMINA KAGAMA HAMISI TISHI MOHAMED GOGO SHARIFA HAMZA RUMERA HAWA JUMA MTULAGALA MBEYU SAIDI MOHAMEDI SALUMU AHMADI KILANDA HAMISI AHMADI KUDABA FEDHA ADAM RAMADHANI KITUO CHA KIBONDO

KITUO CHA LEGEZA MWENDO- UJIJI


1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27

NYASAKA BOYS OMAR MASESA DAMIAN HUSSEIN ABDULRAHMAN SANDA BAKARI RAMADHANI NDENGU NASIR ZUBERI JUMA AL-WALID KHALID NYENYE MOHAMMED ABUBAKAR SALUM SABRY AWADH SALUM ABUBAKAR ALLY MSONDE JUMA HAMISI RAMADHANI ALLY HAMISI TINDWA BILAL HARUNA AYOUB ATHUMANI AYUBU MSENGI SALUM MOHAMED SULATAN HUSSEIN HAMISI HUNJA SAID MSAFIRI SAI LEKYA HASSAN MTEPA YUSUPH ZEDY SHABANI JINA KAMILI LA MWANAFUNZI AISHA MOHAMED RWIZA JUMA HAMISI LISU MARIAMU SALUM MAKULA KULATAIN ABUBAKAR NYAMBUGA RAMADHANI ABDALLAH MWITA KITUO CHA MTIHANI DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA

VIFAA VIFUATAVYO VINAPATIKANA KATIKA DUKA LA SHULE KWA BEI ILIYOAINISHWA,HIVYO MZAZI/MLEZI ANAWEZA KUPUNGUZA MZIGO KWA KUJA KUNUNULIA SHULENI
S/ No. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 KIFAA BLANKETI 2 1/2 SHUKA GODORO 2 1/2 MKEBE WA HESABU NDOO REKI FYEKEO FAGIO NDEFU ZA CHELEWA FAGIO ZA NDANI RIMU YA KARATASI (A 4) JUMLA KUU BEI 9000 6500 40,000 2000 2500 2500 2500 1OOO 2000 9,500 75,000

S/NO

1 2 3 4

JINA KAMILI LA MTAHINIWA YUSUPH ZUBERY MRISHO HAWA YASSIN HAMIS HABIBA MKEYA KALOBONEKA ATHUMANI P. HATUNGIMANA

MKUU WA SHULE

S/NO

KITUO CHA SHINYANGA JINA KAMILI LA MTAHINIWA AHMED I. OSMAN ABOUBAKARYABDALLAH ISMAIL MAULID MIHARANO KHADHAR MOHAMED IMAN SALIM ELIAS SINANI OMARY ABDUL-AZIZI MOHAMMED SALIMINA RAJAB BUGERAHA DALALI AMIRI MRIDO HAMAD ALLY HAMAD SEIF HEMEDY SHAABANI

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

NYASAKA GIRLS KHADIJA MUSA OMARI HAIRATH SULEYMAN MALELA LATIFA DAMUZAY MTUNZI MARIAM KHAMIS MADATA SAJIDA SALUM MUSTAFA AISHA MKOMKIA MTIGA FAHIMA HUSSEIN KAITABA ZULFA ALLY MWASHA ALYA ABDI ALLY NEEMA SALEH SUNNA ASIA RAMADHANI MPALO JOHKARY SWALDHDE KOMBO

12

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

MAKALA/HABARI

Na Khalid S Mtwangi KWAMBA Waislamu wako wangapi huvi sasa humu Ta n z a n i a i m e k u w a n i kitendawili kiasi kwamba kila mtu huweza kutoa idadi yake kufuatana na maslahi yake. Kwa muda mrefu sana huko nyuma ilikuwa inajulikana wazi wazi kuwa idadi ya Waislamu ilikuwa ni kubwa kuliko waumini wa dini zingine zote. Ikikiwa kuwa asilimia sitini na tano (65%) ya wananchi w o t e w a Ta n g a n y i k a na hata ilipoingia Tanzania wakati ambapo Wazanzibari waliongeza idadi hiyo. Inasemekana kuwa hata ile sensa ya 1965 ilionyesha hivyo. Ni jambo la kusikitisha sana kusikia kuwa takwimu zilizokusanywa na sensa ile, hasa inayohusu idadi Inatoka Uk. 16 Tanganyika huru, kwa kuwa historia imepotoshwa. Alisema, hali hiyo ndiyo imekita mizizi hadi hii leo, na kila Waislamu wanapotafuta njia za kuweza k u wa n ya n y u wa K a n i s a huijia juu Serikali wakati Serikali hiyo hiyo hutoa mabilioni ya mapesa kulipa Kanisa. Mohammed Said amesema kuwa, si kweli kama Waislamu walibweteka baada ya Uhuru, na hawakuwa na mikakati ya kujiendeleza kielimu, kwani historia inaonyesha mara tu baada ya Uhuru, Waislamu walikutana kuweka mikakati yao pasi ya kuisubiri serikali, jambo ambalo lilimkera Mwalimu Nyerere na akapanga njama za kuwavuruga na kuwahujumu Waislamu. Akitoa mfano alisema kuwa mwaka 1962, Waislamu waliitisha mkutano wa nchi nzima kujadili nafasi yao katika Tanganyika huru, ambapo taasisi mbalimbali zilishiriki. Taasisi hizo zilikuwa pamoja na vile East Africa Muslim Welfare Society (EAMWS), Daawat Isamiyya, Jamiatul Islamiya fi Tanganyika, Jamiatul Islamiyya A pamoja na Muslim Education Union.

y a Wa i s l a m u n c h i n i hivi sasa hazipatikani kabisa. Malalamiko ni kuwa kwa vile takwimu hizo zilihakikisha kuwa Waislamu walikuwa wengi kuliko idadi ya waumini wa dini zingine, basi ilkuwa lazima ziteketezwe. Baada ya hapo basi kila mbinu zilipitishwa kuhakikisha kuwa idadi ya Waislamu nchini isiwe kubwa kupita wengine. Kuna rai inayoaminika na watu wengi kuwa sababu moja ya shinikizo la kuanzisha vi vya ujamaa ilikuwa ni kujaribu kupunguza idadi ya Waislamu. Ilikuwa ni rahisi kufanikisha nia hiyo kwa sababu kubwa mbili. Moja ni kuwa idadi kubwa ya Waislamu walikuwa na pengine mpaka leo wanapatikana mini. Angalia jinsi masheikh walivyojazana mini ilihali vini hawana wasomi wa kuendeleza Uislamu. Kwa hiyo hao watakaoingia vi vya ujamaa wengi wao watakuwa sio Waislamu na itakuwa rahisi kujenga makanisa huko. Hapo itakuwa rahisi kabisa kuwashauri wale wananchi wasiokuwa Waislamu wala waKristo kubatizwa kwa vile makanisa kila siku wao

Uongozi wa kikatiba kwa waislam


wanmtandao mzuri sana kwa kazi hizo. Leo hii yeyote anayetarajia kuandika historia ya nchi hii na akapata wasaa wa kuingia kwenye maktaba, kwa mfano ile ya Radio Tanzania, atakuta hutuba za Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwasukuma viongozi wa Kikristo kujenga makanisa katika makazi ya wananchi kama vile Waislamu wanavyojenga misikiti yao waliko waumini wao. Kanisa Katoliki Uvinza Na hivyo ndivyo walivyofanya viongozi wa makanisa tangu mini hata vini, kwa hiyo kufuatana na upendeleo maalum waliokuwa wakipewa makanisa na utawala wa wakati huo si ajabu kuwa idadi ya wasiokuwa Wa i s l a m u i l i o n g e z e k a maradufu kiasi kwamba labda Waislamu sio wengi kama walivyokuwa huko nyuma. Inawezekana kweli kutokana na ulinganishaji wa dini tofauti na daawa kwa jumla kumeweza kutokea wengi walioslimu na kutoa shahada. Lakini idadi hii pengine sio kubwa sana na inaweza kufutwa na wale kina dada, hasa wasomi, walioritadi kwa kuolewa na wasio Waislamu. Hali hii kwa sasa imezagaa takriban nchi nzima hata katika zile sehemu za nchi ambazo zimekuwa zikisiwa kuwa ni ngome za Uislamu kama vile Uji na Tabora. Sasa katika hali kama hii inaweza kuwa sawa kweli viongozi wa Kiislamu wawe wakijulikana kama huyu Sheikh wa Wilaya ya Ilala ama wa Mkoa wa Dar es Salaam? Vyeo hivi vinatokana na katiba ya BAKWATA, katiba ambayo inasemekana iliandikwa Ikulu na wasiokuwa Waislamu mwaka 1968. Na hakika mfumo wa utawala wake unafanana sana na ule wa TANU/CCM. Kwa hiyo anapatikana Sheikh wa Wilaya ya Kasulu kwa mfano ambako idadi ya Waislamu ni ndogo sana na pia kuna Sheikh wa Wilaya Pangani ambako takriban wakazi wake wote ni Waislamu. Kama kweli nia ni kueneza daawa basi wilaya ya Kasulu igawanywe mara mbili, yaani kuwe na masheikh viongozi wawili kufanikisha nia ya kueneza Neno la Kweli la Allah, yaani kutangaza Uislamu. Vile vile kwa hali ya

Miaka 50 ya hasara

pahala kama Dar es Salaam na Tanga palivyo na idadi kubwa sana ya Waislamu ni jambo lisilo eleweka kuwepo na Sheikh wa Mkoa ambaye kiutawala ndiye asimamie na kuleta maendeleo yakinifu ya Waislamu katika Ji hilo. Mpaka sasa inafahamika kuwa uongozi wa BAKWATA Mkoa wa Dar es Salaam umekuwa ukikita zaidi katika migogoro ya k u g o m b e a u o n g o z i wa misikiti. Hapajaonekana bidii ya dhati kwa mfano ya daawa iliyoandaliwa na BAKWATA. Lililowazi ni ule ushirikiano wa karibu kati ya wao na makanisa hasa panapokuwa na mambo ya kisiasa. Ilihali inafahamika kwa siku nyingi kuwa ni wa u m i n i wa m a k a n i s a pamoja na viongozi wao ndio wamekuwa msatari wa mbele kuhujumu maendeleo ya Uislamu na Waislamu. Bila shaka wakati umeka wa kuweza kudurusi katiba ya B A K WATA k u h u s u mfumo wa utwala wake. Ni muhimu kukumbuka kuwa kuudumisha na kuuendelza U i s l a m u n d i o w i t o wa kwanza wa chombo chochote kile cha Kiislamu. Maslahi binafsi huja mwisho. Alisema, mikakati hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa uadui kati ya Waislamu na Serikali yao ambayo ilikuwa mikononi mwa Wakristo. Mwanahistoria huyo wa historia sahihi ya Tanganyika, aliweka wazi kuwa mwezi Mei, 1961 (miezi michache kabla ya Uhuru) Mwalimu Nyerere, alionya kuwa hatosita kuwaweka kizuizini viongozi wa vyama na wa dini endapo watakuwa tishio kwa serikali yake. Akifafanua, alisema hapo ieleweke kwamba viongozi wa dini aliowakusudia Nyerere, hawakuwa Mapadri au Maaskofu, bali ni Masheikh, kwani mpaka Uhuru unapatikana viongozi wa Makanisa walikuwa wamejitenga na harakati za kisiasa. Alisema, baada na kabla ya Uhuru, kufuatia mwenendo wa Mwalimu Nyerere, baadhi ya Wazee wa Kiislamu na wanasiasa, akiwemo Zuberi Mtemvu, walionya hatari ya kutengwa na dalili za Nyerere, kuwabeba Wakristo wenzake katika madaraka. Akaeleza jinsi Mwalimu Nyerere alivyomtuma Bw. Gorge Kahama, kwenda Vatcan kwa ajili ya kuweka uhusiano na uongozi wa huko (Vatcan) na serikali ya Tanganyika huku akidai kuwa nchi haina dini.

Baadhi ya Waislamu, wakimsikiliza kwa makini Dk. Mohammed Said, (Mbele) akiwahutubia katika Msikiti wa Mtambani, Jini Dar es Salaam, Desemba 9, 2012. (Picha Na. Bakari Mwakangwale) Pa m o j a n a m a m b o mengine katika mkutano huo, walikubaliana kuanzisha Idara ya Elimu chini ya EAMWS. Waislamu hawakusubiri Serikali itimize ahadi yake ya kurekebisha u p o g o u l i o k u we p o wa elimu kati ya Waislamu n a Wa k r i s t o . A l i s e m a Mohammed Said. Akasema, kama ni kuwa na Chuo Kikuu cha kwanza nchini, basi ilikuwa ni cha Waislamu, kwani baada ya kik ao kile mipango iliandaliwa ya kujenga shule Tanganyika nzima na mwisho kujenga Chuo Kikuu cha kwanza kwa Waislamu katika Afrika Mashariki.

TANGAZO

AN-NUUR

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

13

KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2012
MAELEKEZO: 1. Wanafunzi wote waliochaguliwa wanatakiwa kuchukua kitabu cha maelekezo ya kujiunga na Shule (Joining Instructions) katika vituo walivyofanyia mitihani. 2. Shule itafunguliwa rasmi tarehe 01/01/2012, mzazi anapaswa kujaza fomu ya uthibitisho na kulipa ada kabla ya tarehe 25/12/2011. Fomu ya uthibitisho wa kukubali nafasi itumwe shuleni kwa kutumia anuani ya Shule kabla ya tarehe hiyo, vinginevyo nafasi yake atapewa mwanafunzi mwingine. 3. Wanafunzi wanaotokea Dar es Salaam kutakuwa na usari wa pamoja siku ya tarehe 01/01/2012 hivyo wanapaswa kulipia nauli Ubungo Islamic High School kabla ya tarehe 30/12/2011.
Na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 JINA FATMA MSAFIRI KIBINDA MAIMUNA ABUBAKARI ADAM MWAJABU SALIM MFUCHU AISHA ABDI MFINANGA FIRDAUS ATHMAN MUTUNGI NASRA ABDALLAH MNJEJA SALHA NURDINI ATHUMANI FATMA SAIDY NGOI AISHA ABUBAKARY MWAMBA RAHMA SWAIBU MSUYA AISHA ABDALLAH KATAKWERA HAMIDA ISMAILI ABDALLA HUSNA ISMAIL HASSAN IRENE WILLIAM MOSHA AISHA HUSSEIN MASHAURI TAMIA MAGUO LUSEWA NASRA ABDILLAH MOLLEL UMUL-KULTHUM MOHAMMED AGIDALH SUBIRA OMARY SALUMU SOFIA IDDI BRAMBATH ASHA MAIMANI KINDAMBA HIDAYA MOHAMMED HASSAN AISHA MUHAMMED PAPALA KURWA OMARY MNGONDA MWAJUMA OMARI KIONGOZI ASHA ALLY JUMA DOTTO OMARY MNGONDA LEYLA HAMISI TWALIBU HADIJA ZUBERI NJAKILAYE ZULFA RASHID ABDUL FATMA ATHUMAN IBRAHIM MARIAMU ABDUL MBOKELE RAI RAMADHAN ALLY HADIJA MOHAMMED KIKALA MAHADIYA SHEHE MWANTUMU RASHID TARATIBU ASMA MOHAMMED CHANDE ZAUJIA ISMAIL JUMA HADIJA RASHID KISANDO BISADA SAMADU SULEIMAN FATUMA ATHUMAN ALFANI SWALHA ABEDI KIGONA SALAMA IBRAHIM MPUTA NASRA RAJABU MWINYIMBEGUI AMTUZERA MOHAMMED KIJAZI MARIAM HAMAD SULEYMAN HALIMA MTOO ALLY NASRA KHALIFA MRUMBI MAUA JUMA NASSORO SWAUMU JUMANNE ,KIDUNDA WAHDA KASSIM ABAS AISHA ALLY MBWANA SABRINA SHOMARY MWANAHAMISI KASSIM DIWANI RAPHIA ALLY MSEMO FARAJA SALIM MHANGAMWELU ZULEIKHA RAMADHANI MWAKITJBU FATMA ABDULAZIZI ABDALLAH NAMAGHERI ATHUMAN MSANGI ZAINAB SUDI BUKURU NURU MAHMOUD MSUYA ZAINAB HASSAN MAGOGO HAADIJA KASSIM MFINANGA SAIDA MSAFIRI MABELA
JINSIA

KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE

MKOA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM

65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 Na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22

NAMWAI KIAZE MNDEME TOYOYO RAMADHANI NGEZE AZIZA YASINI MYANZA RUKIA JUMA ADAM HALIMA MUSTAFA KIMARO UMRAH AKBAR MAPONDELA ZAHRA JUMA MPWEREA ASHURA MAULIDI MAKALA ZUBEDA HUSWEEIN RAMADHANM SALMA DAUDI SAGAI AMINA ADINANI MGONJA SALHA ABBASI AZIZA SALIM MUSSA AMINA MOHAMEDIY ADAMU SHANUNI ABDALLAH MASHASHI ZULPHA SWALEH CIKANDA SAMIA MUSSA MSHANA REHEMA JUMA CHAMBO HABIBA SAIDI NYOSO FATUMA RAMADHANI JABIRI QUEEN G. MSANGI ZAINA THABITI OMARI RAMLA RIDHIWANI MVUNGI AMINA ALLY MANGAY HALIMA ABUU JUMA SALHA N. MWENDWA AMINA JIRANI HAMISI MWAHIJA MOHAMMED NAMOTO AISHA ABDALLAH MITIGO MARIAM FADHILI MLEGA HALIMA HASSAN IBRAHIMU ZAINAB SAIDI MMANYWA SALMA HAMISI MTOHANJE RASHDA ISSA SELEMANI BAKARI AMIRI CHAMADE AMINA M. AHMEDI AMINA ABDALLHA USI JINA FATMA MSAFIRI KIBINDA MAIMUNA ABUBAKARI ADAM MWAJABU SALIM MFUCHU AISHA ABDI MFINANGA FIRDAUS ATHMAN MUTUNGI NASRA ABDALLAH MNJEJA SALHA NURDINI ATHUMANI FATMA SAIDY NGOI AISHA ABUBAKARY MWAMBA RAHMA SWAIBU MSUYA AISHA ABDALLAH KATAKWERA HAMIDA ISMAILI ABDALLA HUSNA ISMAIL HASSAN IRENE WILLIAM MOSHA AISHA HUSSEIN MASHAURI TAMIA MAGUO LUSEWA NASRA ABDILLAH MOLLEL UMUL-KULTHUM MOHAMMED AGIDALH SUBIRA OMARY SALUMU SOFIA IDDI BRAMBATH ASHA MAIMANI KINDAMBA HIDAYA MOHAMMED HASSAN

KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE
JINSIA

DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO MANYARA MANYARA MANYARA MTWARA MTWARA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA TANGA TANGA TANGA TANGA MKOA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA

KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE

14 AN-NUUR
Inatoka Uk. 14
23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011


86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 ZAINA THABITI OMARI RAMLA RIDHIWANI MVUNGI AMINA ALLY MANGAY HALIMA ABUU JUMA SALHA N. MWENDWA AMINA JIRANI HAMISI MWAHIJA MOHAMMED NAMOTO AISHA ABDALLAH MITIGO MARIAM FADHILI MLEGA HALIMA HASSAN IBRAHIMU ZAINAB SAIDI MMANYWA SALMA HAMISI MTOHANJE RASHDA ISSA SELEMANI BAKARI AMIRI CHAMADE AMINA M. AHMEDI AMINA ABDALLHA USI SAUMU JASHO HASSAN SALMA BILAL MOHAMMED AISHA JASHO HUSSEIN FATUMA MKENGWA TENDWA MBONI CHANYIKA TEENDWA HANIFA DAUD NKYA ARAFA RAMADHAN MBWAMBO MARIAMU KASAMBULA SAID HALIMA KASSIM SHEHOZA HIDAYA ATHUMANI MWETA ZULFA RAMADHANI ALUTE SAIDA KASSIM SHEHOZA AMINA NURU KISIMBO RABIA KHALIFA MBWAMBO AMINA KHALFANI SAID NASRA ADAM SINGANO SWAIBA KASSIM SHEHOZA REHEMA YUSUF SEMPOMBE KUDURA ABDALLAH KIOGA NYANZALA ATHUMANI MAZIKU SAIDI ALLY SHEMRUGU MALIK ABUBAKAR NKYA ARSHAD HUSSEIN MMBAGA HAMISI OMARI LACHA IBRAHIM MOHAMEDI KHAMISI KHERI KIMARO ALLY AZIZ MSANGI IMRAN MOHAMEDI FARIJALA ALLY RAMADHANI KISUDA ABDULSALAM IDDY KINOTTA ABRAHAMANI ADAM HASSAN HAMADI KASSIM MASHAMBO RAMADHAN A. RAMADHAN HASSAN ABDI HOTE BAKARI KHALFAN ALLY RAMADHANI ABUBAKARI NZAVA MAWI JUNIOR TCHAMA SADAM ABDLLAH KAWIA NUHU HAMISI SHEMAINDA MASIKA MOHAMED KISIWA TWALIB HANGAI KASSIM ABDALLAH ZUBERI NJAKILAYE ATHUMANI OMARY RAMADHANI AMIRI ALLY HIZZA BEGAN YAHYA ABDARAB JABU HARUBU MZEE MAHUNA ALLY MSANGI AHMED MOHAMED AHMED KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME M M ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME

TANGAZO
KILIMANJARO KILIMANJARO MANYARA MANYARA MANYARA MTWARA MTWARA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA ARUSHA DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM Inaendelea Uk. 15

AISHA MUHAMMED PAPALA KURWA OMARY MNGONDA MWAJUMA OMARI KIONGOZI ASHA ALLY JUMA DOTTO OMARY MNGONDA LEYLA HAMISI TWALIBU HADIJA ZUBERI NJAKILAYE ZULFA RASHID ABDUL FATMA ATHUMAN IBRAHIM MARIAMU ABDUL MBOKELE RAI RAMADHAN ALLY HADIJA MOHAMMED KIKALA MAHADIYA SHEHE MWANTUMU RASHID TARATIBU ASMA MOHAMMED CHANDE ZAUJIA ISMAIL JUMA HADIJA RASHID KISANDO BISADA SAMADU SULEIMAN FATUMA ATHUMAN ALFANI SWALHA ABEDI KIGONA SALAMA IBRAHIM MPUTA NASRA RAJABU MWINYIMBEGUI AMTUZERA MOHAMMED KIJAZI MARIAM HAMAD SULEYMAN HALIMA MTOO ALLY NASRA KHALIFA MRUMBI MAUA JUMA NASSORO SWAUMU JUMANNE ,KIDUNDA WAHDA KASSIM ABAS AISHA ALLY MBWANA SABRINA SHOMARY MWANAHAMISI KASSIM DIWANI RAPHIA ALLY MSEMO FARAJA SALIM MHANGAMWELU ZULEIKHA RAMADHANI MWAKITJBU FATMA ABDULAZIZI ABDALLAH NAMAGHERI ATHUMAN MSANGI ZAINAB SUDI BUKURU NURU MAHMOUD MSUYA ZAINAB HASSAN MAGOGO HAADIJA KASSIM MFINANGA SAIDA MSAFIRI MABELA NAMWAI KIAZE MNDEME TOYOYO RAMADHANI NGEZE AZIZA YASINI MYANZA RUKIA JUMA ADAM HALIMA MUSTAFA KIMARO UMRAH AKBAR MAPONDELA ZAHRA JUMA MPWEREA ASHURA MAULIDI MAKALA ZUBEDA HUSWEEIN RAMADHANM SALMA DAUDI SAGAI AMINA ADINANI MGONJA SALHA ABBASI AZIZA SALIM MUSSA AMINA MOHAMEDIY ADAMU SHANUNI ABDALLAH MASHASHI ZULPHA SWALEH CIKANDA SAMIA MUSSA MSHANA REHEMA JUMA CHAMBO HABIBA SAIDI NYOSO FATUMA RAMADHANI JABIRI QUEEN G. MSANGI

KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE KE

DODOMA DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO

TANGAZO
Inaendelea Uk. 15 150 151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163 164 165 166 167 168 169 170 171 172 173 174 175 176 177 178 179 180 181 182 183 184 185 186 187 188 189 190 191 192 193 194 195 196 197 198 199 200 201 202 203 204 205 206 207 208 209 210 211 212 KARIM MANENO MIUYA ABDALLAH HASSAN MBILIKO SALUM NASSOR SALUM KHAMISI OMARY JUMA ALLY RAJABU MCHENI HUSSEIN SABURA NGOWI RASHID MOHAMMED NGODA KHAMIS HATIBU NSUMYINDA SALUM SALEH LONDA IBRAHIM ATHUMANI KEREWA MUSTAPHA ABUBAKAR MAPWISA HASSAN JUMA SAI AHMED YAHYA RASHID SAID MOHAMEDI DHUL-KIFLI ABOUBAKAR KAURA THABIT MOHAMEDI KIMBUGU ABOUBAKAR ABDALLAH SHENEKAMBI SAID ABDALLAH SHARIFU LUQMAN SALEH KIMBUTE ABDULKARIM ABUBAKAR ALLAWI MOHAMMED MBARAKA KUMENYA JUMA RAMADHANI MAJUTO ALLY ABDUL NJOVU ISLAM MOHAMED ALNAHDI SHABANI JUMA MWINYIHAJI AHMED JUMA NASSOR HAFIDH MAFTAH MSANGI OMAR AWADH MUKAYU BADRUDEEN ATHUMAN NGENYA KHALID ISIHAKA KIZIKIKA KARIMU BILALI MUNISI AHMED MOHAMED KILOMBO ISHAQ TWAHIRU DAIMA YUSUFU JUMA USINGA SABRI ALLY SANGALE FARIJALA SULEIMAN OMAR ALLY ABDI KIMARO FAHAD ABDUL ABDULRAZAK KHAMIS HASSAN ABDULKARIM SHABAN SAPOTA KESSY MOHAMEDY KWANGWAJU MUSSA HASSAN MRUMA HASSAN ALLY JUMANNE NADHIR HAMZA IDD RAMADHANI ABDILLAH MPATE ABOUBAKAR ABDALLAH CHACHALIKA HABIBU SALUM KIONGOLI RAJABU FARIJALA MSHANA MOHAMMED NYANGE HASSAN OMARI SULEIMAN SAZIGO SAID JUMA SUFIANI KARIMU RASHIDI MWAMWETA RAMADHANI JUMA MHINA ASADI SUFIANI CHILO MUSSA F. MSUYA ALLY ABDILLAHI KIMARIO HASSAN M. KOPWE ABUSHIRI OMARI MUHAMED SUMA HASSAN MUSTAFA HUSSEIN AMIRI ZIDKHERI ISSA KIONDOME MUSSA SADICK MPARE HAJI MUSSA JUMA ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME M M M M M M M ME ME ME ME ME ME ME ME ME DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DSALAAM DODOMA DODOMA HANDENI HANDENI HANDENI HANDENI HANDENI KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO

AN-NUUR
213 214 215 216 217 218 219 220 221 222 223 224 225 226 227 228 229 230 231 232 233 234 235 236 237 238 239 240 241 242 243 244 245 246 247 248 249 250 251 252 253 254 255 256 257 258 259 260 261 262 263 264 265 266 267 268 269 270 271 272 273 274 275 276 277 278 279 280 281

MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011


ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME ME M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M ME ME ME ME ME M M M M M M M F F M M F F F F M F F M F M M F F M F

15

MUSSA KHALID MUHANDO SHABIR KHALID CHAKUSAGA MUHAMEDI MUHINA MAHMOUD OTHMAN CHUM MUHAMMED HASSAN DOO NASSIRI ALLY ISSA SOUD HAMIMU MAWILLA RAMADHANI R OMARY IBRAHIM ADINANI TARIMO OMARI JUMANNE MKWIZU ADAM ABDULLAH MKOJERA HASSANI SHABANI PANGA SAIDI SWALEHE IBRAHIM MASUDI MBAGA SAID SHAFII SAID MUKSINI FADHILI MNALA RASHID SWALEHE MTOPWA SHAZIL SHAIBU MKAHANGO AMINI MAJID MYAO SALUMU ABDALLAH MSONGELA RAMADHANI ABDALLAH NINGA SHABANI FATAO SHABANI JUMA ZAIDI JUMA HASSAN SAID HASSAN HUSSEIN SAID HASSAN ABDULRAHMAN HAMISI SONGWE BURHAN HEMED MOHAMMED HUSSEIN TWAHIRU MKONGO SWALEHE RAMADHANI SALUMU YUSUF WAZIRI MAFTAHA MUSTAFA KHALID KITORORO JABIRI AZIZ KONDO IDDI OMARI RISSI AMIR HAJI HASSANI USSI MOHAMMED SALIMU DACHI HASHIM SINDANO MOHAMMED HAMDANI ALLY ABU HAMIDU MHANDO MUSSA HAMISI SHECHONGE ABDALLAH AMIRI CHAMADE ABDULAZIZ SALEHE ALMASI MIKDADI MOHAMEDI MDOE HUSSEIN MANDIA ZUWAKUU ABDALLAH MUBARAK HASSAN OTHMAN HEMED OTHMAN KHAMIS MAMBO KHAMIS ABDULRAZAK OTHMAN OMAR KAUTHAR MAJALIWA BUSAZI NDEUWYA HARUNA KIKULA IDRISA HARUNA KIKULA KHADIJA BAKARI MPONDA RAHMA THABIT KHAMIS HABIBU AZIZ MGWANDA HASSAN SHABAN MRISHO FATUNA MGAIWE KONDO SHAMSA SADICK MKIZERA MWAMSUMA OMAR KUMPUNI ZAHRA MRISHO KAPERA OMAR HUSSEIN KILOBWA SAUFA HARUN MGAYA SWABAKH OMAR WAZIRI RAMADHANI RAJABU RAFIA IDD KIMARO HARUNA ABEID MLAPAKORO OMAR ABEID MLAPAKORO AYSHA SHOMBWE HASSAN SALMA SULEIMAN HUSSEIN RAMADHANI MIRAJI ASHA ATHUMAN MBWANA

KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO KILIMANJARO MANYARA MANYARA MANYARA MTWARA MTWARA MTWARA MTWARA MTWARA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SINGIDA SONGEA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA TANGA ZANZIBAR ZANZIBAR ZANZIBAR ZANZIBAR RUKWA IRINGA IRINGA MBEYA MBEYA MBEYA MBEYA MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO MOGOORO MOROGORO MOROGORO MOROGORO

16 AN-NUUR

16

AN-NUUR
MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 16 - 22, 2011

MUHARRAM 1433 IJUMAA DESEMBA 9-15, 2011

Na Bakari Mwakangwale
IMEKUWA ni miaka 50 ya hasara faida ikipotea pamoja na mtaji. Hiyo ndiyo hali ya Waislamu hivi leo ambapo kama inavyokuwa kwa mfanyabiashara wamepata hasara wakipoteza mpaka mtaji. Kwa maana hiyo, imeelezwa kuwa hawana la kufurahia katika miaka 50 ya uhuru, bali ni masikitiko na kupanga mipango mipya ya kujikomboa. Hayo yamesemwa na Mohammed Said akiongea na Waislamu katika msikiti wa Mtambani Ijumaa iliyopita. Siku njema huonekana asubuhi na kinyume chake, alisema Mohammed Said akionesha kuwa baadhi ya Waislamu walijua kuwa wamekula hasara toka ile siku ya mwanzo wa kupata uhuru. Akifafanua alisema kwa siku ile ya uhuru, wakati wale

ambao hawakushiriki katika kupigania uhuru waliwekwa meza kuu kama watu wa heshma, waliopigania uhuru hawakupewa nafasi hiyo. Alisema baadhi ya wazee wa Kiislamu waliona hali hiyo na kuonya na mapema. Alimnukuu Sheikh Haidari Mwinyimvua, siku inapandishwa bendera ya Tanganyika katika uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) ambapo alisema, Sisi tuliokuwa mstari wa mbele kupambana na Waingereza tulikuwa chini ya majani. Na wale wenzetu waliokuwa sambamba na Wazungu walikuwa jukwaa kuu na Nyerere, dalili hizi si nzuri. Aidha, alitoa mfano pale Sheikh Suleiman Takadir, alipowatahadharisha Wa i s l a m u k wa m b a Nyerere atawahujumu na

Miaka 50 ya hasara
kuwapendelea Wakristo wenzake. Alisema, ni kweli leo baada ya miaka 50 ya Uhuru Waislamu hawana chao, wanamkumbuka Sheikh Suleiman Takadiri. Mohammed, alisema hii ndiyo historia ya nchi hii ambayo imechwa na badala yake unatangazwa uwongo kwamba Nyerere hakuwa mdidni. Akimnukuu Mtevu (Zuberi, baba wa mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu), alisema alibashiri kuwa kutolewa Uhuru wa Tanganyika kwa uongozi wa TANU, hakutabadili chochote kutokana na wanaoingia madarakani wameamua kushirikiana na walewale wanyonyaji Wakristo wa zamani, jambo ambalo litavunja nguvu za

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR KILA IJUMAA


na kuwa nae bega kwa bega, lakini mara baada ya Uhuru, (Nyerere) aliwatosa Waislamu na kuwaweka Wa k r i s t o w e n z a k e madarakani. Leo ni miaka 50 ya Uhuru, ni dhahiri nchi inaendeshwa na Kanisa hii ni baada ya Mwalimu Nyerere kulipa nafasi baada ya Uhuru na kuwabagua Waislamu. Sasa Waislamu hawana chochote, hatuwezi kusimama tuseme tunasherehekea Uhuru, tunasheherekea Uhuru upi? alisema na kuhoji Mohammed. Alisema, Waislamu leo wa n a n y o s h e wa k i d o l e kuwa hawana elimu, hawana mashule wala vyuo, wanasimangwa kuwa wapo nyuma kwa kila kitu. Lakini, alisema wasemayo hayo hawasemi ama kwa makusudi au pengine hawajui historia ya nchi hii kuwa hayo ni matunda na mipango ya makusudi ya Rais wa kwanza wa Inaendelea Uk. 12

wazalendo na matumaini yao. Katika hali hiyo Mohammed Said akasema kuwa licha ya kuwa mstari wa mbele katika kupigania U h u r u wa Ta n g a n y i k a , Waislamu ndani ya miaka 50 ya Uhuru hawana cha kujivunia. Mohammed Said amesema, ikiwa leo (Ijumaa iliyopita) taifa linaadhimisha miaka 50 ya Uhuru, Waislamu hawawezi kusimama wakasema wanasheherekea miaka 50 ya Uhuru, kwani pamoja na kuwa na ndoto za kufurahia matunda ya Uhuru, lakini ndoto zao zilizimwa na Mwalimu Julius Nyerere. Mohammed Said, alisema licha ya kuwa Waislamu ndio walimvuta Nyerere katika harakati za kudai Uhuru

THE PEO PL E

NK OF ZAN BA ZI B
ITED LIM AR


Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

Вам также может понравиться