Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
tz
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1090 DHULQADAH 1434, IJUMAA , SEPT. 13-19, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs
Amitabh Bachchan
Vijay Singh.
na baadhi ya makada na vijana wahalifu kwa visingizio mbali mbali dhidi ya harakati ikiwemo ya Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) ili kuwachochea wananchi hatimaye wafarikiane, warejeshe hisia za chuki na ugomvi,
Inaendelea Uk. 9
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
AN-NUUR
KWA mujibu wa taarifa za BBC Swahili (9 Septemba, 2013 - Saa 14:11 GMT), suala la siasa kali Somalia, limekuwa likijadiliwa mjini Mogadishu. Wanaojadili suala hili ni pamoja na wasomi wa Kisomali, walimu wa dini na Masheikh ambao wanakutana katika kikao maalum kilichokuwa kikiendelea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu. Kama ilivyoripotiwa na BBC, lengo la kikao na mjadala huo, ni kujaribu kutanzua tatizo la wanaodaiwa kuwa Waislamu wenye msimamo mkali wa kidini. Cha mno, BBC ikasema, n i u e l e wa wa u f a s i r i unaotumika na makundi ya Kiislamu yenye msimamo mkali wa kidini kama vile lile la Al-Shabab. Kwamba wajumbe wa kikao hicho wapatao 160 watakuwa wakitafsri na kutathmini tafsiri mwafaka kwa nia ya kuhamasisha jamii kuhusiana na tofauti ya tafsiri ya kidini na tofauti nyinginezo. Ufupi wa maneno, dhana na hoja inayojengwa hapa na kuongoza kikao hicho ni kuwa tatizo la Somalia ni msimamo mkali wa kidini wa baadhi ya makundi ya Kiislamu. Na hivyo, ili kutatua mgogoro wa Somalia, ndio inatafutwa tafsiri sahihi ya dini (Uislamu) na hivyo kuitofautisha na ile potofu wanayodaiwa kuwa nayo Al Shabab. Kwa mujibu wa makala moja iliyochapishwa katika gazeti hili, ni kutokana na dhana hiyo, mtangazaji wa BBC alitaka kupata maoni ya Sheikh Mohammed Issa juu ya mambo mawaili: Kwanza msimamo wa U i s l a m u j u u ya a m a n i ikilinganishwa na Waislamu siasa kali wanaodaiwa kufanya mashambulizi ya kigaidi yanayouwa watu wasio na hatia wakiwemo wanawake na watoto. Pili, iwapo Sheikh a n a d h a n i m k u t a n o wa wasomi hao wa Kisomali utasaidia kuleta ufumbuzi wa mgogoro wa Somalia. Kwa mujibu wa maelezo ya nakala hyo, majibu ya Sheikh Mohammed Issa, katika sura ya dhahiri ya maswali, yalikuwa sahihi kabisa. Alipatia kabisa. Lakini kwa muktadha wa habari na dhana inayobebwa
na mkutano wa Mogadishu, kwa maana katika mazingira ambapo maswali yaliulizwa, ilihitaji maelezo na majibu tofauti. Yalihitajika majibu na maelezo ambayo yataonesha upotofu wa dhana kuwa mgogoro wa Somalia unatokana na zinazodaiwa kuwa siasa kali za kidini. Kwa upande wa pili, majibu yaonyeshe chanzo cha mgogoro ni nini na kumdhirisha adui halisi wa wananchi wa Somalia. Majibu yaonyeshe wazi kuwa mikutano kama hiyo ni kupoteza muda na haiwezi k u s a i d i a c h o c h o t e k wa sababu kinachojadiliwa kwa kudhaniwa ndio tatizo, sio. Makala inasema, Sheikh yeye alichosema ni kuwa hadhani kuwa itasaidia kwa sababu Masheikh wenyewe hawapo pamoja kifikra, hawana msimamo mmoja. Yaweza kuwa ni kweli alivyosema. Lakini kwa muktadha wa swali, hata kama wangekuwa n a m a wa z o p a m o j a n a msimamo mmoja, na ulio sahihi kabisa; wasingeweza kuleta ufumbuzi wa tatizo la Somalia kwa sababu wao sio waliousababisha na wao sio waliomtuma Marekani na Ethiopia kufanya vurugu Somalia. K u b wa wa n a c h o we z a k u f a n ya n i k u mwa mb i a Marekani wewe ndio tatizo. Acha. Waache Wasomali na mambo yao. Lakini ile kwamba Masheikh hao walikutana wa k i d h a n i k u wa t a t i z o la msingi la Somalia ni al Shabab, ni dhahiri kuwa hawana ubavu wa kumtaja anayeikoroga Somalia, hata wakionyeshwa. Tu m e ya e l e z a h a ya n a kutoa ufafanuzi huu kwa nia jema, kwa maana ya kutaka suala hili lieleweke vizuri kwa sababu licha ya kuwa linaonekana kuwa ni la Wasomali, lakini linatuhusu Waislamu (na wananchi) wa Tanzania na ulimwengu kwa ujumla. Kama tulivyotangulia kusema, majibu wa Sheikh Mohammed Issa, kwa kutizama sura ya nje ya swali, yalikuwa sahihi kabisa. Lakini kama ilivyoelezwa katika makala, walikolenga BBC ni kwingine kabisa. Na kutokana na muktadha wenyewe wa habari na swali, majibu yalitakiwa kurejea kwenye muktadha (context) huo huo
LONDON JINA la Mtume Muhammad (s.a.w), limeongoza kwa kupewa i d a d i k u b wa z a i d i ya watoto wa kiume waliozaliwa katika mji mkuu wa Uingereza, London katika mwaka 2012. Jina hilo tukufu limeshika nafasi ya pili kwa kupewa watoto wa kiume waliozaliwa
Tahariri/Habari
AN-NUUR
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed aliyoifanya nchini humo. Kabla ya kusainiwa kwa makubaliano hayo D k . S h e i n , a l i f a n ya mazungumzo na uongozi wa juu wa kampuni ya Shell, yaliyojielekeza katika kuimarisha u s h i r i k i a n o k a t i ya
Inaendelea Uk. 3
MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014 (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014. Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir. Masomo yatakayofundishwa ni:Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basic Mathematics na Computer. ADA: Ni Tshs 60,000/= (Elfu sitini) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu. Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada. Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato cha kwanza. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0714 888 557/0712 974428 Wabllah tawfiq Mkuu wa Shule
Habari
AN-NUUR
WA I S L A M U n c h i n i wa m e t a k a K a t i b a i j a y o ifafanue kukashifu dini nyingine maana yake nini, kupitia kifungu kilichopo katika mapendekezo ya Rasimu ya Katiba kinachoelezea uhuru wa kutangaza Dini. Maalim Ally Basaleh ameyasema hayo akiongea na Waislamu mara baada ya Ibada ya swala ya Ijumaa wiki iliyopita, katika Msikiti wa Idrisa, Jijini Dar es Salaam. Basaleh amesema, Waislamu walikutana katika viwanja vya Sabasaba na kukaa kitako kwa makini kupitia rasimu hiyo na kurekebisha vifungu ambavyo endapo vitaachwa bila kurekebishwa, vinaweza kuleta matatizo. Alisema, Waislamu bado wanakumbukumbu ya Muislamu kuhubiri Yesu si Mungu hadaharani likawa ni kosa la jinai akakamatwa, akashitakiwa na akapatikana na hatia kisha Mahakama ikamuhukumu kwenda jela. Sasa, hivi vifungu vilivyoingizwa kijanjajanja bila ufafanuzi havitakiwi, ukiangali Wakristo wanaamini Yesu alisulubiwa, aliuwawa na ni mwana wa Mungu kwa Waislamu hiyo ni kufru hawaamini hivyo. Sisi Waislamu tunaamini k u w a Ye s u s i M u n g u , hajasulubiwa wala hajauwawa na wao (Wakristo) huona hiyo ni kashfa, sasa nani hapa kakashifiwa? Alisema na kuhoji Maalim Basaleh. Akifafanua alisema, katika sura ya nne kifungu cha 31, kifungu kidigo cha 3, kinasema. Ni marufuku kwa mtu kikundi au Taasisi ya Dini kutumia uhuru wa kutangaza Dini kwa kukashifu imani na Dini nyingine, kujenga chuki au kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini. Alisema, baada ya kupitia na kuona kuwa kifungu hicho kina matatizo endapo k i k i a c h wa h i v y o h i v y o , Waislamu wamependekeza k wa m b a , i e l e z w e h u k o kukashifu dini nyingine maana yake nini. Maana kifungu kinasema mtu akikashifu dini ya mtu mwingine atakuwa amekosa, sasa huku kukashifu dini ya mtu mwingine maana yake haswa ni nini? Hapa lazima Katiba ifafanue kashfa ni nini katika kutangaza imani ya mtu. Alisema na kuhoji Maalim Basaleh. Ama kuhusu susla la Muungano, Maalim Basaleh alisema, Ibara ya kwanza kifungu namba mbili ya rasimu hiyo inayosomek,a Hati ya makubaliano ya Muungano, iliyorejewa katika Ibara ndogo ya kwanza ndiyo
katika nafasi mbalimbali kwa kuzingatia uwezo wa kitaaluma, weledi, maalifa na uzoefu wa kitaaluma katika eneo husika. Alisema, Waislamu katika pendekezio waliyoyatoa, wameona yaongezwe maneno yafuatayo, Na Uwiano wa Kiimani. Akasema, bila ya kuwa na uwiano huo ndiyo kunatokea ubaguzi katika ajira, ukaona Wakristo ni wengi Waislamu wachache hata kama wapo wenye sifa.
Serikali ya Zanzibar na Kampuni hiyo. Kwa mujibu wa makubaliano hayo Kampuni ya Shell, itaisaidia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kujenga uwezo wa kitaalamu katika hatua za awali za uendelezaji wa sekta hiyo. Sambamba na hatua hiyo, kampuni hiyo itasaidia pia shughuli za maendeleo ya vijana katika kuwajengea uwezo kwa kuwapatia elimu na mafunzo mbalimbali, yakiwemo stadi za ujasiriamali. Akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano hayo, Wa z i r i w a A r d h i , Makazi, Maji na Nishati Ramadhani Abdalla Shaaban, alisema kutiwa saini kwa makubaliano hayo ni hatua moja kubwa na mwelekeo sahihi katika jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuendeleza sekta ya nishati Zanzibar. Kwa upande wake, mwakilishi wa kampuni ya Shell Tanzania, Bwana Axel Knospe, alieleza kuwa wakati mashauriano ya k i e n d e l e a k a t i ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya kuliondoa suala la mafuta na gesi katika mambo ya muungano, Kampuni hiyo itaendelea na dhamira yake ya ushirikiano na Zanzibar,
hadi hapo muda utakapokuwa tayari kuanza kazi ya shughuli za uchimbaji mafuta na gesi ambapo itaifanya kazi hiyo kwa kuzingatia uwajibikaji kiuchumi, kijamii, kimazingira na kuifanya sekta hiyo kuwa endelevu Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikishughulikia kwa pamoja suala la kisheria na kisera kuipatia Zanzibar haki pekee ya kuendeleza sekta ya mafuta na gesi Zanzibar, Kampuni ya Shell itaendelea na dhamira yake ya kushirikiana na Zanzibar hadi hapo muda muafaka utakapofika kuanza shughuli za uchimbaji wa mafuta na gesi, alinukuliwa Bw. Axel Knospe. Wakati akizungumza na Rais wa Zanzibar huko Hague, Waziri wa Bia shar a ya N je na Ushirikiano wa Kimataifa wa Uholanzi Bibi Lilianne Ploumen, alimueleza Rais kuwa Serikali ya nchi hiyo iko tayari kutumia utaalamu na uzoefu wake katika sekta ya mafuta na gesi kuisaidia Zanzibar kuendeleza sekta hiyo. Bibi Ploumen, alieleza kuwa Serikali ya nchi hiyo iko tayari kutoa fursa za mafunzo kwa watumishi wa Serikali ya Zanzibar katika sekta ya
nishati, ili kuhakikisha kuwa wanakuwa na uzoefu katika kusimamia rasilimali hizo, utunzaji wa mazingira na ushiriki wa wananchi k a t i k a m a t u m i z i ya rasilimali hiyo kuepusha migogoro. Alisema kuwa Mambo ya msingi ya kupewa kipaumbele ni pamoja na namna ya uendeshaji, usimamizi na matumizi bora ya rasilimali hizo, ushirikishwaji wananchi na utunzaji mazingira. Aidha Waziri huyo alisisitiza haja ya Zanzibar kujifunza kutoka nchi nyingine, kuepuka makosa yaliyofanywa na baadhi ya nchi ikiwemo Uholanzi yenyewe. Dr. Shein alimaliza ziara yake ya siku tano nchini Uholanzi hivi karibuni. Katika ziara hiyo Dk Shein amefuatana na Waziri wa Ardhi, Makazi, Maji na Nishati wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ramadhani Abdalla Shaaban, Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Rashid Seif Suleiman, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mahadhi Juma Maalim na Mshauri wa Rais Ushirikiano wa Kimataifa, Uwekezaji na Uchumi, Balozi Mohamed Ramia. (Habari hizi ni kwa mujibu wa Zanzibar islamic new.world press.com)
4
WA Z A N Z I B A R I n a Wa t a n g a n y i k a wa n a malezi tafauti kuhusiana na sura ya Muungano. Ambapo Watanganyika wanauangalia huu kuwa ni Muungano wa Serikali M o j a , Wa z a n z i b a r i wanauangalia kuwa n i wa S h i r i k i s h o l a S e r i k a l i Ta t u . H a t a kama si Serikali Moja wala Tatu iliyoandikwa popote katika sheria kuu zinazoongoza nchi hizi mbili, bado tabia, matendo na maono ya wa t u wa p a n d e h i z i yanasomeka hivyo. Ndiyo maana, si rahisi kwa Mtanganyika kumkuta anajiita kwa jina hilo, maana kwa wengi wao Tanganyika imeshapotea, lakini kila mara utamkuta Mzanzibari akijiita na akijinasibisha kwa Uzanzibari wake. Huu ni uamuzi wa kimapinduzi kwa pande zote mbili za Muungano. Kwa Tanganyika ni wa kimapinduzi kwa kuwa umeweza kupindua fikra za takriban vichwa milioni 40 na kuvifanya viamini kitu kimoja. Kwa Zanzibar ni wa kimapinduzi kwa kuwa vichwa milioni moja tu, ambavyo ni chini ya asilimia 3 tu ya Watanzania wote na vinavyokaa katika chini ya asilimia moja tu ya ardhi yote ya Tanzania, vimeweza kuhimili hisia za kutokuridhika kwa miaka 50 ya Muungano huu. Lazima tukiri kwamba ni ujasiri tu ndio unaomwezesha m wa n a d a m u k u we z a kukaa na fundo la moyo kwa miaka mingi kama hii. Kubwa zaidi kwetu ni kukiri kwamba kuna kutokuridhika huko kwa upande wa Zanzibar, ndipo tuweze kusaidiana kuyageuza mateso yetu kuwa faraja. Kukubali huko kutayaendeleza Mapinduzi ya kweli ya Zanzibar kwa kuyapa maana katika maisha ya kila siku na ya kila mmoja wetu. Mapinduzi hasa ni matokeo ya kutokuridhika, ambako husababishwa na mgogoro kati ya njia ambazo watu wanaouona ukweli na njia ambazo wangelipenda ukweli huo Zanzibar inauona ukweli kuwa Muungano huu, katika hali uliyo, ni tatizo kwake na, sasa, ingelitaka kuuona kuwa ni sehemu ya utatuzi wa tatizo hilo. Huko hakuwezekani ila kwa Mapinduzi; na hayo si
Makala
AN-NUUR
Noti ya Rupia 10 ya mwaka 1928 iliyokuwa ikitumika katika serikali ya Zanzibar. mapinduzi ya mapanga na marungu, wala bunduki na mizinga, bali ya fikra na mkakati. Haya ni Mapinduzi ambayo yanatakiwa yapitie hatua tano za matayarisho kwa ajili ya mapinduzi ya kuporomoka kwa mfumo mkongwe, ya kuharibika kwa mahusiano makongwe, ya kujenga mahusiano mapya; na ya kuuimarisha mfumo mpya. Ama kwa kujijua au kutojijua, tayari tumeshapita kipindi cha kwanza cha matayarisho kwa ajili ya Mapinduzi, kipindi ambacho kilitawaliwa na woga wa wananchi na mateso ya watawala. Kilikuwa ni kipindi ambacho, i n g a wa p a l i k u wa n a kiwango kikubwa cha kutokuridhika na jinsi Muungano huu unavyoikandamiza Zanzibar, si Wazanzibari wengi waliothubutu kueleza kutokuridhika h u k o . B a l i h a t a wa l e wachache waliothubutu, walisemea vibuyuni a m b a k o a m a walichokisema kilimalizwa huko huko au wenyewe walimalizwa kwa njia zao za kumalizana. Sasa tulipo, kwa maoni yangu, ni katika hatua ya pili ya Mapinduzi, ambapo mfumo mkongwe wa Muungano usio na maslahi kwa Zanzibar unaelekea kuporomoka. Kawaida kipindi hichi ni matokeo ya kupotea kwa uongozi ndani ya kundi la watawala, ambapo mgawanyiko wa makundi humfanya kila mmoja kutenda vyake. Mara nyingi hatua hii haifikiwi mpaka ajitokeze kiongozi anayejiona kuwa mwanamageuzi kutaka kuunusuru mfumo mkongwe; na akafeli. Mwanasiasa wa Kifaransa na mtaalam wa uchumi AnneRobert-Jacques Turgot na mwanasiasa na waziri mwenzake Jacques Necker walijaribu kuunusuru ufalme wa Ufaransa kabla ya mwaka 1798 na Waziri Mkuu wa zamani wa Urusi Pyotr Arkadyevich Stolpyin alifanya jaribio kama hilo nchini Urusi kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, lakini wote walishindwa. Huo huwa ni wakati ambapo, kutokana na mtikisiko wake, mfumo mkongwe huwa kama tayari umeshakufa kitambo, lakini kwa kuwa watu wanaothubutu k u ya t h i b i t i s h a m a u t i yake hawajatokea, basi huendelea kuwepo tu ukiendea upepo na kudura ya Mungu. Nabii Suleiman (A.S) alikuwa amefariki siku nyingi, lakini watumishi wake waliendelea k u t u m i k a wa k i d h a n i bosi wao amekaa kitini akiwasimamia, hadi mchwa alipokuja kuila fimbo yake. Kuna watu waliojua kuwa Awamu ya Tatu ya Serikali ya Ufaransa imeshakufa tangu mwaka 1934, lakini maziko yake yalifanywa mwaka 1940. Wa z o n i n a l o j a r i b u kuliwasilisha hapa ni kwamba, sasa umefika wa k a t i wa ya l e ya l e matakwa ya Wazanzibari, kama yalivyoelezwa kupitia Ripoti za Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga na sasa kupitia Tume ya Jaji Warioba ndiyo yatakayouongoza Muungano wa Tanzania na wala sio Katiba hii ya Serikali Mbili ambayo Chama cha Mapinduzi inadhani kwamba itabakia milele. Na viashiria vya utabiri huo vimeanza kujengeka sasa. Changamoto iliyo mbele yetu kwa sasa ni ukweli kwamba hatua za tatu, nne na tano zinakuja kwa kasi na, yumkini, hatuna matayarisho mazuri kuzikabili. Kwa mfano, hatua ya tatu, ambayo ni ya kuharibika kwa mahusiano makongwe, kwa mintarafu ya kuharibika kwa muundo wa sasa wa Muungano, ina matatizo yake. Mojawapo ni kwamba, wenye maslahi na mahusiano haya hivi sasa, wameanza kutumia nguvu zao za ziada kuzuia yasiharibike. Na ingawa, kutokana na matakwa ya kiwakati hawatafanikiwa, lakini kama ilivyo kawaida ya mti
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
Marekani, Israel watumiaji Iran katika kumi bora wakubwa silaha za kemikali ulinzi wa angani duniani
Mtaalamu mmoja wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni ndio watumiaji wakubwa wa silaha za kemikali duniani. Mark Glenn, ameyasema hayo katika mahojiano na televisheni ya Press TV na kufafanua kuwa, tuhuma zinazotolewa dhidi ya serikali ya Syria kuhusiana na matumizi ya silaha za kemikali, hazina ukweli wowote. Amesisitiza kuwa, kwa miaka mingi tawala za Marekani na Israel kwa pamoja zimekuwa zikitumia silaha za kemikali katika pembe mbalimbali za dunia. Alisema kuwa wakati utawala wa Kizayuni ulipotumia silaha za k e m i k a l i z i l i z o p i g wa marufuku dhidi ya watoto katika Ukanda wa Gaza, viongozi wa Washington hawakutoa onyo wala karipio lolote kwa waliotenda jinai hiyo. Leo hii viongozi hao t e n a b i l a ya k u we p o ushahidi wowote ule, wanaituhumu Syria na kutishia kuishambulia kijeshi nchi hiyo. Mtaalam huyo ameongeza kuwa, hatua hizo za Washington hazina lengo jingine zaidi ya kutaka kusafisha jina baya la Marekani katika uso wa dunia. Hata hivyo Bw. Mark Glenn, ameelezea kuwepo uwezekano wa kutoshambuliwa kijeshi Syria na kwamba, kuna dalili Rais Barack Obama akawa amesitisha hatua ya kutaka kuishambulia Syria.
ya Nobeli, hivyo anatakiwa kufikiria mara mbili juu ya vita vitakayowalenga raia wasio na hatia huko Syria, ikiwa uvamizi huo utatimia Mkuu wa Kamati ya Siasa za Nje ya Bunge la Urusi Bw. Alexei Pushkov, amesema Marekani inataka kusambaratisha nguvu za kijeshi za Syria kama ilivyofanya huko Libya ili kuyaandalia njia makundi ya kigaidi huko Syria. Mbali na kutaka kuangamiza nguvu za kijeshi za Syria, Marekani inataka pia kuipindua pia serikali ya Rais Bashar Assad wa nchi hiyo. (irib.ir)
6
Na Omar Msangi ANAONEKANA mama na binti yake mdogo wanamchungulia kwa uchungu mtu aliye korokoroni. Mtu yule anayeonekana kuchoka akiwa na huzuni kubwa kwa masaibu ya kuwa jela, anawafuata taratibu na kuongea nao wakitizamana kupitia lango la chuma. Baina ya vyuma vya mlango (iron bars) pana uwazi ambapo wanaweza kuonana na kupitisha mkono kushikana. Hawa ni mke na mume na binti yao Neelo. Mke analia na mume machozi yanatiririka akijaribu kumfariji mkewe. Sisikiti na kuhuzunika kuwa jela, huzuni na uchungu wangu ni juu ye n u . M t a i s h i j e m k e wa n g u n a b i n t i ye t u mpenzi Neelo. Anapomwona baba anatoa machozi, Neelo, binti mdogo wa kiasi miaka 5 anaimba wimbo wa kumtoa huzuni baba yake: Learn to laugh while crying. Learn to cry while laughing. As much life as God Has given us, we will live that much.. We are two and we have a little girl. That is our small world. With happiness is filled every corner of our home. There are big joys in small things. Like shining stars in long nights. Huo ni wimbo ambao, Jan Nissar Akhtar Khan, ali penda kumwimbia mwanawe huku akicheza naye anaporejea kutoka kazini. Ufupi wa maneno akionyesha jinsi wawili yeye na mkewe pamoja na mtoto wao, walivyokuwa wakiishi maisha ya furaha. Katika wimbo huu baba anampa nasaha binti yake akimwambia awe na furaha muda wote asipende kuwa mtu wa majonzi na kulia bila mpango. Acheke hata anapokuwa na jambo la kumtoa machozi. Leo ni zamu ya binti kumfariji baba yake aliyeko jela anapolia kwa uchungu wa namna mbili: K wa n z a k u f u n g wa jela kwa kosa ambalo hakutenda. Pili, kuona familia yake ikiteseka kwa kukosa huduma, huruma na mapenzi ya mume na baba. Wakiwa bado wana hamu ya kuongea, anakuja askari na kuwaambia
Makala
AN-NUUR
RAIS wa SMZ, Dkt. Shein muda umekwisha wa kuongea na mfungwa. Inabidi mke aondoke huku wakitizamana kwa huzuni na mumewe. Wakati akiondoka binti anabubujikwa na machozi huku akiimba rote rote., anageuka nyuma na kumtizama baba yake, mtoto analia kwa kwikwi hali inayomfanya baba naye kushindwa kuhimili na kuelemewa na uchungu, anashindwa kabisa kumtizama Neelo. Haikupita siku nyingi baada ya kutembelewa n a m k e we , m f u n g wa Jan Nissar Akhtar Khan (Amitabh Bachchan) anapokea barua kutoka kwa mkewe ikimfahamisha kuwa ameamua kujiuwa yeye na kumuuwa binti yao kwa sababu hataweza kuhimili tabu ya maisha bila mume wake mpenzi aliyeko jela. Anasema amebakwa na watu wanne. Na hivyo haoni sababu ya kuishi tena katika maisha hayo ya fedheha. Anasema: Akijiuwa, Nini itakuwa hatma
MAKAMU wa Rais, Seif. ya Neelo ambaye baba yake yupo jela na ambaye mama yake anakaribia kujiuwa?. Neelo atabakia peke yake Awe nani akiwa hana elimu kwa sababu hana baba wala mama wa kumsomesha? Kibaka, mwizi, ombaomba au malaya changudoa? Mimi ni mama, siwezi kukubali kuona mtoto wangu akiwa katika hali hiyo. That is why I am taking her along with me. May God forgive me. Kwa maana hiyo, nimeamua kuondoka naye. Namnyonga kisha namimi najiuwa. Wako mkeo mpenzi Zakhiya. Mungu wangu nisamehe. Mfungwa Khan anatolewa jela na kwenda k u s h i r i k i m a z i s h i ya mkewe na mwanawe. Anapowalaza katika mwanandani, inamjia picha walivyokuwa wakiishi kwa furaha huku sauti ya kuimba rote rote We are two and we have a little girl. That is our small
SHEIKH Azzan world. With happiness, is filled every corner of our home. Kwa vile alikuwa kazoea kumletea binti yake zawadi ya chokleti, anaonekana akiweka chokleti ndani ya sanda ya binti yake azikwe nayo. Hiki ni kisa ambacho kipo katika filamu ya Kihindi (Bollywood film) ya mwaka 1983 iitwayo Andha Kanoon (Blind Law) Katika filamu hii kijana Pankaj Sonker (Jan Nissar Akhtar Khan ) anaajiriwa kama afisa misitu baada ya kumaliza masomo yake. Anaonekana akiishi kwa furaha na mkewe Zakhiya pamoja na binti yao Neelo. Siku moja akiwa kazini, Sonker anakutana na majangili wa mbao wakiwa wamevuna na kuchukua magogo kutoka katika moja ya misitu anayoisimamia bila ya kibali. Anaonekana akiwakabili na kadiri walivyotaka kumhonga akagoma akisimama katika sheria. Mwenye kampuni
7
Na Abu Nassir
KATIKA kipindi cha BBC (Kiswahili) matangazo ya jioni Jumatatu Septemba 9, kulikuwa na habari juu ya kukutana Masheikh mjini Mogadishu kujadili uhalali wa misimamo ya baadhi ya vikundi vya Kiislamu. Madai ni kuwa kuna baadhi ya makundi ya Kiislamu (kama Al Shabab) hutumia dini kufanya mashambulizi ya kigaidi ambapo katika mashambulizi hayo huuliwa watu wasio na hatia wakiwemo wanawake na watoto. Na hivyo kuonekana k u wa n d i o m s i n g i wa tatizo la Somalia. Kwa hiyo kukutana Masheikh hao, ni katika namna ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa Somalia kwa maana kuwa wakitoa fatwa kuwa misimamo mikali ya kidini na mashambulizi ya kigaidi hayafai katika Uislamu, ndio utapatikana ufumbuzi wa mgogoro wa Somalia. Ni kwa muktadha huo, mtangazaji akataka maoni ya Sheikh Mohammed Issa kama mmoja wa viongozi wa Kiislamu Tanzania. Maswali ya msingi yalikuwa mawili: Kwanza mtangazaji akataka maoni ya Sheikh juu ya vikundi vya Kiislamu vinavyotumia dini kufanya mashambulizi (ya kigaidi). Kwa usahihi kabisa Sheikh Mohammed Issa akajibu kuwa hiyo haikubaliki kwani hata jina lenyewe la Uislaamual-Islamu, maana yake ni amani. Hata hivyo la kuzingatia hapa ni kuwa walichokuwa wakitaka BBC, sio kuelimishwa juu ya Uislamu na amani. Bali kuwatumia Wa i s l a m u w e n y e w e (Masheikh), kuhamisha lawama na agenda. Waislamu waonekane ndio tatizo, na hivyo kuhalalisha uharamia wanaofanyiwa katika Crusade iliyoasisiwa na George Walker Bush. Kutokana na msingi wa swali, jibu la Mohammed Issa limefanya kazi kubwa tatu na za manufaa kwa madhalimu. Kwanza kukubali kuwa ni kweli kuna Waislamu wanatumia Uislamu vibaya kufanya ugaidi. Na hii ndiyo hoja ya Bush na wote wanaowapiga v i t a Wa i s l a m u ( h a t a hapa nchini). Wanasema, hawapambani na Waislamu, ila watu wanaotumia dini vibaya. Hata katika mauwaji ya Mwembechai, Serikali kupitia kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Yusuf Rajab Makamba, ilisema ilikuwa ikipambana n a wa h u n i wa l i o k u wa wameficha silaha Msikitini. Pili, jibu la Sheikh linakubali kuwa ni kweli kuna magaidi Waislamu na kwamba hawa ndio tatizo la dunia hivi sasa. Na kwa hiyo, (Tatu), jibu linahalalisha
Makala
AN-NUUR
Crusade na mashambulizi wanayofanyiwa Waislamu sehemu mbalimbali duniani yakiwemo yale ya ndege zisizo na rubani (drone). Labda nitoe maelezo kidogo. Msingi wa swali ni kuwa Masheikh wanakutana Mogadishu kujadili ufumbuzi wa mgogoro wa Somalia. Lakini tunaambiwa kuwa mtizamo wa Masheikh hao ni kuwa wao wanaona kuwa asili ya tatizo ni vikundi vya Kiislamu kama al Shabab vinavyofanya mashambulizi ya kigaidi. Hii sio sahihi. Kwa hiyo kosa linaanzi hapa. Ukiacha historia ya nyuma, mgogoro wa sasa hivi wa Somalia chanzo chake ni uharamia na ubeberu wa Marekani kwa kuitumia E t h i o p i a k u va m i a n c h i hiyo na kuondoa Serikali ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu ambayo ilishaleta amani, usalama na utengamano katika nchi baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya muda mrefu. Vinavyoitwa vikundi vya Kiislamu vinavyodaiwa kuwa na msimamo mkali na kufanywa kuwa ndio tatizo (Al Shabab), viliibuka kama wapigania uhuru na wapinga u va m i z i wa M a r e k a n i / Ethiopia, kama inavyoweza kutokea kwa nchi yoyote
Sheikh Mohammed Issa. ikivamiwa. Baada ya Ethiopia kuondoa, vikundi hivyo vimeendelea kupambana na majeshi ya nje yaliyoingizwa Somalia kwa kisingizio cha kulinda amani, kulinda Serikali kibaraka iliyowekwa baada ya kupinduliwa ile ya wananchi wenyewe. Kama hii ndiyo habari, ndio ukweli, kikao cha Masheikh hao na swali la BBC, tatizo la msingi limeachwa na kutaka kuwafanya wengine ndio tatizo. Katika hali hii, majibu sahihi ya swali hapa ilikuwa kufanya mjadala wa viziwi. BBC wanataka kujua msimamo wa Sheikh juu ya al Shabab na harakati za kufanya mashambuli ya kigaidi, majibu sahihi yanakuwa hivi (huu ni mfano tu). Kuna watu katika nchi zao walishawahi kuuwa watu wao kwa kimeta (anthrax) wakiwaambukiza kupitia barua zinazotumwa kupitia masanduku ya posta. Na ndani ya barua hizo wakaandika neno Allahu A k b a r i l i i d h a n i we n a kuaminika kuwa barua hizo zimetoka kwa Waislamu. Wakapiga sana propaganda kuwa waliotuma barua hizo ni al Qaida (Waislamu). L a k i n i b a a d a e wa k a wa wanaparurana wenyewe kwa
wenyewe ilipobainika kuwa kimeta hicho kilitoka katika maabara zao wenyewe za kijeshi. Baada ya maelezo hayo, sasa unamuuliza mtangazaji wa BBC: Labda tungewauliza kwanza hawa watu, kwa nini hawaoni vibaya kuuwa hata watu wao wenyewe ili muradi tu wapate sababu ya k u wa s i n g i z i a u b a ya Wa i s l a m u ? N a n d u g u Mtangazaji usisahau k u wa n d i o h a wa h a wa waliosababisha kuuliwa askari wao katika lile tukio maarufu la Pearl Harbor na katika Operation Cyanide, ili tu ipatikane sababu ya kuingia vitani. Hawa ni watu gani wasioona vibaya hata kuuwa watu wao wenyewe, kama walivyopeleka askari wao kufa Iraq kwa sababu z a u r o n g o ? Au k a m a walivyokuwa wameweka mikakati katika ile Operation Northwoods walipue meli na ndege zao wenyewe wamsingizie Fidel Castro ili tu wapate sababu ya kumpiga? Inakuwaje watu hawa hawaoni vibaya kusema urongo, kama ule wa Gulf of Tonkin (the USS Madox Incident) na kuuwa watu wasio na hatia ili muradi tu kupata masilahi ya kidunia?
Inaendelea Uk, 10
8
Inatoka Uk. 6 Unanikumbuka sasa? Unakumbuka sasa i l e h u k u m u ya k o ya kifungo cha miaka 20 jela ambapo Sheria yako kipofu haikuweza kuona kuwa sikuwa na hatia na mtu aliyedaiwa kuuliwa alikuwa hai? Nimemuuwa leo mbele ya macho yako baada ya kutumikia kifungo. Sasa huwezi kunihukumu tena maana h u we z i k u m wa d h i b u mtu mara mbili kwa kosa moja. Na kama utataka kuniadhibu, basi nilipe. Nirejeshee miaka yangu 11 na miezi 6 niliyokaa jela nikiwa sina hatia. Nirudishie mke wangu Zakhiya na mwanangu N e e l o wa l i o u l i wa n a Ram (ambapo Sheria yako kipofu haikumuona muuwaji) mkasingizia kuwa mke wangu kajiuwa mwenyewe. Mheshimiwa Jaji, acha sarakasi na usanii huu wa Sheria kipofu. Kitie moto kiti chako cha mamlaka ambacho ukikikalia unawahukumu na kuwaadhibu watu wasio na hatia. Vunja na itupilie kwa mbali kalamu yako iliyoandika hukumu ya dhulma dhidi yangu. Kabla ya hapo, Jan Nissar Akhtar Khan anaonekana akipita mitaani akiimba Andhaa Kanoon. Sheria Kipofu. Inaweza kukusaliti muda wowote. Inaweza kuadhibu watu wasio na hatia. Haisaidii wanyonge. Ni rafiki wa wezi. Ni mchezo wa hoja na sarakasi za maneno na misamiati ya wanasheria. Haitoi haki. Inachukia kusamehe. Kama watu wa n g e i o g o p a s h e r i a , uhalifu ungekoma (lakini h a w a i o g o p i ) . Wa t u wanauliwa na kuteswa, lakini Sheria inachapa usingizi. Sheria inaweza kuwa na mkono mrefu, inaweza kuwa na nguvu, lakini kipofu, haioni! Inaandika bila ya kuona. Kwa sababu hiyo, wengi wanaozea jela wakiwa h a wa n a h a t i a . We n g i wameumia na kuteseka mikononi mwa sheria (ambayo) ni rafiki wa majambazi, watoa rushwa na mafisadi. Pamoja na kisa hiki, filamu inaeleza pia kisa cha Vijay Singh, ambaye akiwa mtoto mdogo alishuhudia baba yake na dada yake wakiuliwa huku dada yake mwingine akinajisiwa na maharamia watatu. Hata hivyo, wauwaji hao hawakufanywa chochote
Makala
AN-NUUR
Amitabh Bachchan kwa sababu walikuwa na fedha za kuwahonga polisi na mahakimu. Vijay Singh, akachukua ahadi ya kulipa kisasi. I had lost my trust in the law since I was child. Why dont you get a good doctor to check the eyes of your so called Law. Nilipoteza imani na Sheria toka nikiwa mtoto. Kwanini hamtafuti dakitari mzuri wa macho kutibu macho ya hicho mnachokiita Sheria? Ni kauli aliyokuwa akiisema Vijay Singh kuwaambia watu waliokuwa wakimtaka asichukue sheria mkononi. Ni kutokana na visa kama hivi, Vijay Singh na Jan Nissar Akhtar Khan, wa l i c h u k i a s h e r i a n a kuibeza kwamba yenyewe ni kipofu hata ikiletewa ushahidi wa uwongo, haiwezi kutambua. Kwa sababu hiyo inafunga watu wasio na hatia. Inaachia majambazi, wahujumu uchumi na mafisadi bila kuwaadhibu. Na maudhui haya ndio likawa jina la filamu-Andhaa Kanoon (Sheria Kipofu). Siku ya Jumamosi iliyopita kulikuwa na ujumbe ukisambazwa kupitia simu za mkononi. Ujumbe huo wa maneno ulikuwa ukisema: Jumuiya ya UAMSHO: Taarifa maalum, Sheikh Azzan alizimia jela usiku mkubwa siku Jumamosi 31/8 akazinduka asubuhi kisha akazimia tena
Vijay Singh saa 2 asubuhi Jumapili akachukuliwa kwa machela akiwa amezimia na kupelekwa hospitali Mnazi Mmoja. Siku ya pili baada ya kufikishwa alizimia tena kwa mara ya tatu juzi tarehe tarehe 5 hali yake ilikuwa mbaya sana usiku wa manane. Leo ni ya 8 hajapata matibabu yoyote zaidi ya Drip. Anayezungumzwa hapa ni Sheikh Azzan Khalid Hamdan ambaye, pamoja na Masheikh wenzake wapo ndani kwa takriban mwaka sasa. Hawa sio kwamba wamehukumiwa kifungo, kama Jan Nissar Akhtar Khan (Amitabh Bachchan), lakini wapo rumande tu na kesi yao wala haijawahi kuzungumzwa. Wapo ndani kwa sababu wasimamia sheria wamezuiya dhamana. Wanasema kwa makosa wanayotuhumiwa kwayo, hawastahiki kupata dhamana. Jan Nissar alitolewa jela kwenda kumzika mkewe na mwanawe. Zipo taarifa kuwa akiwa ndani Sheikh Mselem alifiwa na mwanawe tarehe 13 Machi, 2013. Hakuwahi kumzika mwanawe k i p e n z i . K wa s a b a b u alitakiwa kupelekwa kwa mikiki mikiki, mbwembwe na vitisho vya FFU (eti chini ya ulinzi mkali, utadhani jambazi, gaidi au mhaini). Yeye na familia wakaona kama ni hivyo, FFU na mitutu, mabomu na marungu mpaka makaburini, basi. Faradhi hiyo kifaya watafanya
wengine. Sheikh Mselem kaingia ndani kamuacha mwanawe, Mungu akimjaaliya Sheria Kipofu ikimtoa salama, anakuta mwanawe HAYUPO. Jan Nissar Akhtar Khan alitumikia kifungo jela baada ya kuhukumiwa k u wa k a u wa . L a k i n i hakuuwa. Aliyedaiwa k u u l i wa a l i k u wa h a i akila na kunywa, wakati Khan akiteseka jela. Sheria ilikuwa kipofu. Haikuweza kuona kuwa mashahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani, vilikuwa urongo mtupu. Haikuweza kuona kuwa anayedaiwa kufa, yupo hai. Wala haikumuona kuwa ndiye aliyemuuwa Zakhiya na Neelo. Leo tunaambiwa kuwa Masheikh wa Uamsho wametenda kosa ambalo inabidi dhamana zao zizuiwe. Tujaaliye kuwa sheria kama hiyo ipo. Kwa hiyo DPP anaweza kuitumia bila ya kulaumiwa kuwaweka Masheikh hao mwaka mzima bila ya dhamana na asilaumiwe kwa sababu hoja itakuwa kuwa si yeye ni sheria. Lakini swali ni je, hayo makosa wanayodaiwa k u f a n ya ya m e t h i b i t i ? Kama upo ushahidi wazi kuwa wametenda makosa hayo, kitu gani kinaleta kigugumizi hata kesi zao zisisikilizwe? Kama Sheikh Azzan na Masheikh wenzake wa UAMSHO watakuwa wamewekwa ndani kwa dhulma, kwa maana kuwa ni yale yale ya Andhaa Kanoon (Blind Law), Sheria Kipofu, nani atalipa dhulma hii? Filamu hii Andhaa Kanoon, ilikuwa maarufu sana Unguja miaka ya 1980/90s, enzi hizo za Malindi (Cine Afrique), Majestic na Empire. Hata hivyo sidhani kuwa kuna ambaye wakati huo aliyekuwa akizingatia sana ujumbe wa filamu. Zaidi ilikuwa watu wakifurahia ufundi na usanii wa hali ya juu wa Amitabh Bachchan na Rajnikant (Vijay Singh). Inasifiwa kuwa hivi sasa kuna Serikali ya Maridhiano na Umoja wa K i t a i f a b a a d a ya kumalizika kipindi cha siasa za chuki na uhasama. Hizo zilikuwa zama ambapo baadhi ya watu waliwekwa
Makala/Habari
AN-NUUR
asasi ya Kiislamu iitwayo Um el Fahem, naye a m e p i g wa m a r u f u k u kuingia katika msikiti huo kwa muda wa miezi sita. Kutokana na udhalilishaji na uchochezi h u u k w a Wa i s l a m u , tunapaswa tujiulize kama kweli Waisraeli wana nia ya kuzungumzia amani na Wapalestina kama inavyofanyika hivi sasa chini ya uangalizi wa Marekani. Kwani Israel imekuwa siku zote ikihalifu sheria ya kimataifa bila ya kukhofu. Nayo mataifa ya Magharibi ya n a t u m i a u n d u m i l a kuwili na unafiki, kitu ambacho kinawafanya Waisraeli kuwagandamiza Wapalestina na kuzuia kuundwa kwa Taifa la Palestina lenye mipaka inayotambulika kimataifa. Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email: pict@pal-tz.org Website: www.pal-tz.org inashangaza hawa jamaa wanakerwa na hii hali lakini piga ua hawatutoi katika mstari twataka Nchi yetu bwana, aliibuka kijana Katika Maskani y a C o m m o n We a l t h iliyopo Michenzani baada ya kusikiliza Hotuba ya Makamo Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Zanzibar, Bwana Shaka, dhidi ya Viongozi Wakuu wa Serikali ya Zanzibar, ambayo ikirushwa moja kwa moja na kituo kimoja cha Redio, cha Mjini hapa. Uchunguzi unabaini juhudi za hatua za kisheria na za kinidhamu dhidi ya matusi na baadhi ya hujuma hizo, ikibidi kuwashitaki watukanifu na wahujumu ingawa wapembuzi bado wanashikilia kwamba yote hayo yanakuja ili kuwaparaganya Wazanzibari juu ya azma yao iliyowaweka pamoja ya kudai Mamlaka Kamili ya N c h i ya o k u p i t i a Mabadiliko ya Katiba ambayo mchakato wake unaendelea.
ilivyokuwa kwa wengine waliopiga mayowe katika mikutano mingine iliyofanyika hivi karibuni, walisikika wakila kiapo kwa maneno na kuahidi kwamba nafsi zao haziko tayari kuyatosa maridhiano ya kisiasa ya Zanzibar na Serikali iliyopo yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa. Taarifa za uchunguzi na za uhakika, katika hali isiyotarajiwa miongoni mwa Viongozi na Wa b u n g e wa C h a m a Ta wa l a , wa l i k a r i r i wa wakimpasha Rais Dr. Shein kwa matusi makubwa katika miongoni mwa vikao vya faragha. Inashangaza CCM mwenziwe anamwambia Dr. Shein amechoshwa na Wapemba kama vile yeye Rais si Mpemba au jamaa huyu tunamjua ameoa na kuzaa na Mpemba wala hajawatupa watoto.
10
Bismilahi Karima, kumcha Mungu gharama Kumcha Mungu gharama, QUR-AN imesema Kikisogea kiyama, na Mtume akasema Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga.
Mashairi/Makala
AN-NUUR
Kukaribia kiyama, kumcha Mungu gharama Kaa la moto nasema, viganja unguzwa nyama Utashindwa kusimama, kukaa wala kuhema Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Usingizi utakoma, paa ukilitazama Kula chakula ni wima, na maji yakikukwama Watu wanakusakama, ni chizi wakuandama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Mume kama sio mwema, mke wake atakoma Au mke sio mwema, kutwa ndani ni lawama Ndoa inakuwa wima, kila mtu kulalama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Jirani wakusakama, ndugu wakupa shutuma Wazazi watakuhama, na radhi kuisukuma Watoto wananguruma, kama wameona kima Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Kumbuka Ibrahima, Mtume wake Karima Babaye kumuandama, motoni akamtuma Kisa mawaidha mema, ushirikina kasema Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Makundini ukisema, majibu utayakoma Hasa unaposimama, aya za Mungu kusoma Ndipo watakuandama, macho yakiwaparama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Watajenga uhasama, ukizuia dhuluma Ya ALLAH yanawakwama, sura zao kukunjama Kampeni kama za vyama, huku na huko lawama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Jingine lisilo jema, ni dola kuunguruma Jela watakusukuma, mateso kufuata nyuma Kupigwa cha moto chuma, wakutoe na bandama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Wala siyo hizi zama, tukumbukeni na nyuma Ni Mitume wetu wema, Mussa na Haruna jama Firauni kuwakwama, kila siku ni tuhuma Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga. Wenye raha na salama, wafichao ya kiyama Kanzu ni zao alama, na kula wali kwa nyama Duniani wamezama, wakasahau kiyama Kumcha Mungu gharama, dunia inakusonga.
Siku katika masiku, babu kanipa hadithi Yamhusu dada Shuku, Kila siku yu hadathi Akiliye kama kuku, Chakubimbi na habithi Dunia izumbukuku, nasaha wako urithi Urithi wa baba yangu, katika hadithi yake Kaniasa mambo chungu, ya kheri na shari zake Kufunzwa na ulimwengu, laana yakini yake, Chunga mjukuu wangu, maadili usivuke Shukurani msafiri, hilo ndilo jina lake Kajaaliwa kigori, sura pia umbo lake Nidhamu yake sanjari, upole haiba yake Kutwa alijisitiri, dini maadili yake Kaponzwa na walimwengu, dunia ikamshika Ulimwengu na mizungu, akaanza badilika Rafikize ni machangu, Jiji lote wasifika Kasahau mdudu chungu, hawi panya wala nyoka Dini kaweka pembeni, hijabu hazina mana Haramu msikitini, disko kwake ndo sana Swala za rakaataini!, bora aende kwa bwana Wazazi kumthamini, wakaonya wao mwana Shuku mwanetu kipenzi, tabia nzuri ni kito Ugeberi ni ushenzi, sitiri wako mvuto Mekufunza tangu enzi, haya mambo ya mpito Dini ikakupa nyenzi, kipi mekosa mtoto? Shuku kaharibikiwa, majanga yakamfika Himila akapatiwa, na magonjwa kadhalika Ahadi alotajiwa, mefanya kababaika Kaishia kutumiwa, dunia mehadaika Hadithi lipomaliza, nami nakoma nudumu Lengo toe muangaza, mabatili Islamu Mboni mzitoe kiza, mumngamue dhalimu Nilosema mkibeza, Mola atawahukumu Nasri Kione nasriibrahimu@yahoo.com No: 0759202192
Dunia hadaa
Ngonda Z. Mwanza.
kemikali zimetumika Syria, iwe zimetumiwa na Serikali ya Bashar au na waasi, bado ukweli unabaki kuwa silaha hizo zisingetumika kama Marekani isingewachochea na kuwapa silaha na kuwawezesha waasi, kwa kila namna, kuanzisha vita ya kumngoa Bashar. Kama Somalia kuna al Shabab, bado ukweli unabakia kuwa kundi hilo lisingeibuka kama si Marekani na Ethiopia kuiongoa madarakani S e r i k a l i ya U m o j a wa Mahakama za Kiislamu iliyofanikiwa k u wa d h i b i t i a k i n a Mohamed Farah Aidid, Osman Ali Atto, Musa Sudi Yalahaw, Abdi Hassan Awale Qeybdiid na wababe wengine wa kivita, hata amani ikarejea. Mogadishu ikakalika t e n a . Wa l i o k i m b i a wakaanza kurejea. John Pilger katika makala yake, From Hiroshima to Syria, the enemy whose n a m e we d a r e n o t speak, anasema kuwa ameshuhudia watoto waliozaliwa na maumbo ya kutisha Iraq kutokana na silaha za sumu (depleted uranium) zilizotumiwa na Marekani katika uvamizi wake 2003. Depleted uranium hiyo imetumiwa pia na Israel kule Gaza (2008), tena kwa kupiga watoto wa shule na wagonjwa hospitalini (UN schools and hospitals). Haya mbona BBC hawasemi wakati yapo wa z i ? Wa t a t u m i wa mpaka lini kama Vipaza Sauti na Wizara ya P r o p a g a n d a ya wapenda vita? Je, haikutosha walivyotumiwa kupigia debe habari za vita na Crusade iliyosababisha kuuliwa mamilioni ya watu wasio na hatia Afghanistan, Iraq, Libya, Somalia, Pakistan, Yemen, na Misri? BBC na wenzao wanataka wauliwe watu wangapi ndio waweze kuona vibaya kutumiwa katika propaganda hizi chafu zinazosababisha umwagikaji wa damu na kuharibiwa nchi? Au n i k w a v i l e wanaouliwa ni Wasomali, Wahindi, Waarabu, sio wananchi wa London, Washington
11
Habari
AN-NUUR
NAIBU Amiri wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu ( JUMIKI), Sheikh Azzan Khalid Hamdan, yuko hoi katika hospitali ya rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa ya uchunguzi wa madaktari, Sheikh Azzan amelazwa hospitalini hapo kutokana na maradhi ya figo, akiendelea na matibabu. Licha ya kuwa taaban kitandani kwa maradhi hayo, huku akiendelea kusubiri madaktari bingwa wa hospitali
hiyo ambayo wametakiwa wafike Kituoni kwa hatua zaidi. Kwa mujibu wa Sheria kosa la aina hiyo linaweza kumgharimu muhusika Kifungo cha jela kinachoweza kutimia mwaka mmoja, faini, au yote mawili kwa pamoja.
Itikaf
12
AN-NUUR
MAKALA
AN-NUUR
12
Tanzania Muslim Hajj Trust Safari ya Hijja 2013 Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola za Kimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013. Wahi kujiandikisha Sasa. Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipia kidogo kidogo, unaendelea. Simu: 0717 000 065, 0784 222 911, 0754 304 518, 0754 498 888 Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org. na kuuza batiki, mafuta ya mgando, sabuni ya maji.nk. Wa j a s i r i a m a l i h a o walimshukuru mfadhili wao kwa kuwawezesha kupata elimu hiyo na kuahidi kuitumia kikamilifu elimu waliyoipata kuinua maisha yao. Hata hivyo Bw. Mukaddamu alisema kuwa kukamilika kwa mafunzo hayo kwa upande wa kina mama, kunampa fursa ya kuanzisha mafunzo mengine kwa upande wa vijana na kundi jingine linalohitaji. Akisoma risala kwa niaba ya akina mama wenzake, Bi. Siraji Juma Ditopile, alisema Mukaddam kwao ni mkombozi na kwamba ni jukumu la akina mama kuifanyia kazi elimu waliyoipata na kutobweteka katika kuitumia, ili dhamira iliyokusudiwa iweze kufikiwa. Naye Bi. Angela Shayo, alisema amefaidika sana na semina hiyo kwani sasa ataweza kutengeneza batiki pamoja na mafuta ya mgando kwa msaada wa elimu hiyo, na kwamba ana matumaini kuwa watajikwamua na umaskini unaowakabili. Katika tukio jingine Bw. Kamaldeen Mukaddam, alitoa msaada wa vifaa vya ofisini ambavyo ni Meza kumi pamoja na viti kumi kwa shule ya Msingi Msimbazi Mchanganyiko, kufuatia walimu wa shule hiyo kukosa vitendea kazi hivyo shuleni hapo, jambo lililopunguza kasi ya kujituma na moyo wa kujitolea kwa walimu hao. Akikabidhi vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni nne za Kitanzania, Bw. Mukaddam alisema ana imani kuwa vifaa hivyo vitakuwa ni kichocheo cha walimu hao kufanya kazi zao kwa bidii na kwa nafasi. Aliwataka walimu hao kufanya jitihada za makusudi, kwani anaamini kuwa shuleni hapo wanaweza kutoka viongozi wa baadae na kushika nafasi za ubunge na uwaziri. Aidha amewataka wazazi kuwahimiza watoto wao kusoma kwa bidii, kwani walimu sasa watajitahidi kufanya kazi kwa bidii tofauti na siku za nyuma ambapo walikuwa wakitumia madawati kwa muda mrefu kufanya kazi zao za kila siku. Akipokea msaada huo, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Reuben Gadi, alisema n i m u h i m u s a n a k wa o kwani meza hizo za kisasa, wamekuwa wakiziona zikitumika katika ofisi za serikali na mashirika na kwamba, wao wamezoea kukalia madawati kwa muda mlefu. Mwalimu Mkuu huyo alisema ana imani kuwa, walimu wake watazitumia meza hizo kwa lengo lililokusudiwa katika kuendeleza sekta ya elimu shuleni hapo. Aidha Bw. Mukaddam aliahidi kuendelea kuisaidia shule hiyo ambayo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vyoo, ambapo hivi sasa choo kilichopo shuleni hapo ni kimoja na kinatumiwa na walimu arobaini, hali ambayo inadhalilisha ikizingatiwa kwamba shule yenyewe ipo mjini.
BAADHI ya wananchi waliohudhuria mafunzo ya ujasiriamali. Msimbazi Mchanganyiko aliyosomea na kuhitimu Na Abdulkarim S. wilayani humo. katika masuala ya kijamii. Msengakamba Akizungumza katika Bw. Mukaddam alisema sherehe za ufungaji wa mafunzo hayo yatawasaidia mafunzo ya ujasiriamali akina mama hao kupata M D A U wa m a e n d e l e o yaliyofanyika kwa muda elimu sahihi ya kujikwamua jimbo la Ilala jijini Dar es wa siku tano katika shule kimaisha pamoja na familia Salaam, Bw. Kamaldeen ya msingi Msimbazi zao. Hossein Mukaddam, Mchanganyiko Jumapili Mafunzo hayo a m e f a d h i l i s e m i n a ya iliyopita, Bw. Mukaddam ya ujasiriamali mafunzo ya ujasiliamali alisema dhamira yake ya yaliyowashirikisha akina kwa akina mama wa jimbo kujitolea ni kuikwamua jamii mama wapatao 300, katika umasikini uliokithiri, yatawasaidia kuboresha la Ilala na kutoa msaada wa kwani hiyo ni taaluma biashara zao za kutengeneza samani kwa shule ya msingi
CAIRO WA N A S I A S A waliokuwa karibu na Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak, wamemtaka kiongozi wa j e s h i l a M i s r i , Jenerali Abdulfatah al-Sisi, kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Aliyekuwa Waziri Mkuu katika siku za
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.