Вы находитесь на странице: 1из 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1137 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 8-14, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Mapinduzi Daima hayana
maana ikiwa hatuna Zbar
Mansour aonja Sunna ya Dunni, Maalim
Pole mpiganaji. Jussa ahimiza utulivu, amani
MANSOUR Yussuf Himid.
ISMAIL Jussa.
Tunahitaj i afya, uwezo na nafasi
kutekeleza nguzo ya Hijja. Rasilimali hizi
Ametupa Allah tuzitumie Anavyotaka
Yeye. Hakuna mwenye uhakika wa kufka
mwakani. Majuto mjukuu, unangoja nini?
Usimwendekeze shetani (iblis). Karibuni
Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango
mizuri na huduma bora. Gharama zote ni
Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako
na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana
nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 -
462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141
/0657606708.
(13) AFYA, UWEZO, NA NAFASI.
Mujahidina John McCain!
Al-Shabab adui, lakini ISIS wa Iraq rafki!
Sheikh Kilemile, Sheikh Abu Idd, mna kazi
JOHN Sidney McCain.
SHEIKH Mohamed Idd.
Uk. 4
Kazi iliyokuwa ikifanywa na Israel Gaza - kuua watoto - Uk. 9
Semina ya Kimataifa kufanyika
Chuo Kikuu cha Waislamu Moro
Rais Shein, Bilal, wageni rasmi
Kujadili Epistemolojia ya Kiislam
Wasomi wa Kimataifa kushiriki
PROF. Hamza Njozi.
2
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
WAI SLAMU Wi l a ya ni
Ki ba ba , wa me t a ki wa
kujishajihisha katika kutoa
michango, sadaka na zaka
ili kuharakisha mipango
yao ya kimaendeleo chini ya
kituo chao cha Darul Arqam
Leaning Centre.
Wi t o huo umet ol ewa
na Mudir wa kituo hicho,
Muhamed Tundia, wakati
akitoa ripoti kwa Waislamu
juu ya maendeleo na mipango
pamoja na mikakati yao katika
sherehe za Idd hivi karibuni.
Al i s e ma , Wa i s l a mu
wanapaswa kutambua kuwa
chanzo kikubwa cha uchumi
katika Uislamu ni sadaka
na zaka pamoja na kujitoa
kikamilifu kwa nafsi zao na
mali zao na kwamba, kufanya
hivyo watapiga hatua kwa
haraka.
Changamot o kubwa
kwetu katika kukamilisha
mipango yetu ni uchumi,
kwani kuna ugumu katika
upatikanaji wa fedha kufkia
malengo, hata hivyo lazima
muel ewe kuwa chanzo
kikubwa cha uchumi katika
Uislamu ni sadaka na zaka.
Alisema Mudir Tundia.
Alisema maendeleo yote
yanayopangwa, utekelezaji
wake unat egemeana na
Waislamu Kibaha wajipanga
kwa maendeleo ya kijamii
Walaani unyama wa Israel huko Gaza
Na Bakari Mwakangwale
Waislamu wenyewe jinsi
wat akavyoamua kut oa
kwa wingi na kwa wakati
ili mambo yaende haraka
na kwa mba , vi ongoz i
wanat aki wa kuonyesha
uadilifu kwa kusimamia
kuhaki ki s ha Wai s l amu
wanafka pale walipokusudia.
Akizungumzia maendeleo
ya eneo l ao l a ardhi l a
Mwanalugali, Mudir Tundia
al i sema kwamba sual a
hilo lilishafikishwa katika
Halimashauri ya Mji (Kibaha)
kwa lengo la kupata vibali ili
liweze kufanywa kituo cha
elimu.
Al i s e ma e n e o h i l o
l i m e s h a p i m w a n a
Halmashauri ya Mji huo na
kwamba hivi sasa linaitwa
Boko Timiza (Block D, No.
103), na wapo mbioni kupata
hati miliki na kukamilisha
masuala ya RITA.
Aliongeza kuwa ardhi
wal i yonayo, wamei pat a
kupitia nguvu za Waislamu
Mudir wa kituo Darul Arqam Leaning Centre, Muhamed Tundia.
SIKU chache kabla ya
kurejea vikao vya Bunge
Maalum la Katiba mjini
Dodoma, gumzo kubwa
kwa Watanzania lilikuwa
juu ya hatima ya Bunge
hilo, kufuatia mpasuko
mkubwa ul i o t o ke a
miongoni mwa wajumbe
wa Bunge hilo, uliotokea
kat i ka mkut ano wa
kwanza wa Bunge hilo
kabla ya kuahirishwa
kupisha vikao vya Bunge
la Bajeti.
Mpasuko uliotokana
na hitilafu katika kujadili
rasimu hususana katika
kifungu kilichozungumzia
muundo wa serikali katika
muunga no, a mba po
wabunge wanaounda
kundi la Umoja wa Katiba
ya Watanzania wanaunga
m a p e n d e k e z o y a
muundo uliopendekezwa
katika katiba ambao ni
serikali tatu, yaani ya
Zanzi bar, Tanganyi ka
na ya Muungano. Lile
la Wabunge wa CCM na
washirika wao wanaojiita
Ta n z a n i a Kwa n z a ,
wakipinga mapendekezo
katika eneo hilo, wakitaka
muundo wa serikali mbili
ubakie kama ulivyo katika
katiba ya sasa.
Kwa kifupi pamoja na
mambo mengine, jambo
hili la kihitilafana katika
muundo wa serikali katika
muungano, ndio chimbuko
la baadhi ya waj umbe
kususia vikao vya Bunge
hilo.
Wakat i Bunge hi l o
likirejea vikao vyake Agosti
5, wajumbe wa Upande wa
UKAWA wameendelea
kusimamia msimao wao
wa kutoshiriki katika vikao
vya Bunge hilo, hadi pale
pendekezo muhimu la
muundo wa serikali katika
rasimu litakapoachwa
kwa ajili ya kujadiliwa ili
kuboresha na sikubadilisha
kipengele hicho cha rasimu
na kukifanya cha serikali
mbili, kipengele ambacho
kimeonekana kuwa msingi
muhimu zaidi wa rasimu
hiyo.
Hat a hi vyo, wakat i
siasa za nchi hivi sasa
zikitawaliwa na mijadala
ya Rasi mu ya Kat i ba
Mpya, tayari yameibuka
matukio mengine ambayo
kwa mt azamo wet u,
yanaonekana kuwa na
Kesi ya Mansour, Sheikh Had
kuhamisha agenda ya Katiba?
athari kwa kiasi fulani
katika uga wa kisiasa
nchini.
Kwa kifupi tunaweza
kusema kuwa gumzo
kubwa kwa Watanzania
kipindi hiki, ni kuhusu
hatma ya hiyo Katiba Mpya
inayojadiliwa huku kukiwa
na mivutano na mpasuko
mkubwa kati ya wajumbe
wanaowakilisha wananchi
na wananchi wenyewe.
Ki msi ngi t unaweza
kusema kwa j insi hali
ilivyo, suala la Katiba Mpya
limeibua mzozo wa kisiasa
hapa nchini. Mzozo ambao
hai j afahami ka sul uhu
yake kwa kuwa hakuna
hatua zilizochukuliwa
na wahus i ka kul e t a
maafikiano, badala yake,
wapo wanaoona bora liende
ilimradi vikao vinaendelea
kama ilivyopangwa.
Hat a hi vyo, wakat i
kuki wa na mzozo wa
ki si asa j uu ya rasi mu
ya Katiba Mpya, tayari
tumeshuhudia yakitokea
matukio mengine, ambayo
nayo yana mtizamo wa
kisiasa pia.
Tumeshuhudia Waziri
wa zamani wa Serikali
ya Zanzibar, Mansour
Yusuph Himid, akifkishwa
mahakamani Zanzibar
akikabiliwa ma mashitaka
ya kukutwa na bunduki
na risasi.
Tunakumbuka kwamba
Bw. Mansour alifukuzwa
u a n a c h a ma k a t i k a
Chama cha Mapinduzi
na kuvuliwa Ubunge kwa
kudaiwa kukiuka taratibu
na kanuni za chama.
L a k i n i m u h i m u
l i na l o k umb uk wa ni
k wa mb a k wa k i a s i
kikubwa Bw. Mansour
alikuwa akipigia chapuo
kudai serikali kamili ya
Zanzibar ikiwa ni pamoja
na muundo wa Muungano
wa seri kal i tatu, sera
ambayo ni kinyume na
msimamo wa CCM
Ku s h i t a k i wa B w.
Mansour kumezua gumzo
na hisia za kisiasa hususan
Zanzibar.
Ha l i k a d h a l i k a ,
kiongozo wa taasisi ya
Uamsho na Mihadhara ya
Kiislam Zanzibar, Sheikh
Farid Ahmed Hadi na
wenzake 19 walikamatwa
na kuf i ki shwa kat i ka
mahakama ya Haki m
Mkazi Kisutu jijini Dar es
Salaam. wakikabiliwa na
tuhuma za ugaidi.
Tunakumbuka namna
viongozi wa Jumuia ya
Uamsho, walivyokuwa
mstari wa mbele katika
kuwahubiria Wanzanzibar
juu ya Zanzibar huru yenye
serekali yenye mamlaka
kami l i . Ama kuhusu
Muun g a n o Ua ms h o
walikuwa wakipendekeza
kuwepo muundo wa
muungano wa mkataba.
Yaani serikali ya Zanzibar,
Tanganyika na Muungano
wa mkataba.
Fikra hizi za uamsho
z i l i wa i ngi z a ka t i ka
mt a f a r uk u mk ub wa
Za nz i ba r , ki a s i c ha
kukabiliwa mashitaka ya
uchochezi na kusweka
ndani kule Zanzibar kabla
ya kuachiwa kwa dhamana
na kushinda baadhi ya kesi
zilizokuwa zikiwakabili.
Katika kesi ya Safari
hii ya akina Sheikh Had
kudaiwa kuwaingiza watu
nchini kufanya ugaidi,
pa moj a na kwa mba
makosa yanayodai wa
kutenda yalihusu zaidi
upande wa Zanzibar, eneo
la pili la Muungano, lakini
wameshi t aki wa bara,
bila shaka kwa sheria za
Jamhuri ya Muungano.
Mara kadhaa tumezoea
kuona panapotokea tukio
l i nagusa i dadi kubwa
ya wat u na hususan
linapoihusisha serikali,
kunakuwepo na dhana ya
kuhamisha agenda katika
jamii ya Watanzania.
Kwamba linapokuwepo
t uki o l i nal ot i ki sa na
kugusa hisia za wananchi
wengi na likaihusu zaidi
serikali, basi inaaminiwa
kuwa huwa kunabuniwa
tukio mbadala ambalo
l i t a wa s h u g h u l i s h a
wananchi na kusahau
kufuatilia hatma ya tukio
lililotangulia.
Tuna v y o o na , k wa
kuwepo kesi za akina
Mansour na Sheikh Hadi,
ambazo zinaridima wakati
huu wa kufuatililia hatma
ya muswada wa Katiba
Mpya Bungeni huku baadhi
ya wajumbe wakishiriki
na wengine wakisusia,
kunaweza kuleta dhana
hii ya kuhamisha agenda
kama tulivyozoea.
Ha t a h i v y o k wa
msimamo walio nayo akina
Mansour na Sheikh Hadi
kuhusu masuala haya ya
kisiasa, kesi zao zinaweza
kuongeza hisia zaidi juu ya
katiba mpya, muungano na
Zanzibar huru.
Tunasema hi vi kwa
mfano, wengi wanahoji
i we j e S h e i k h Ha di
ashitakiwe bara badala
ya Zanzibar? Bila shaka
watahusisha mazingira
haya na hitilafu za sasa za
kisheria katika muungano.
Kwa maana hiyo bado
wat aendel ea kuweka
mawazo j uu ya katiba
mpya, ambayo kimsingi
wa na a mi ni i na we z a
kuondoa hitilafu za namna
hii kama itapita kama
ilivyopendekezwa.
Kwa maana nyingine,
kesi ya Sheikh Hadi, hasa
kwa kushitakiwa bara
badala ya kule anakodaiwa
kutenda kosa ambako nako
kuna mahakama huru,
kunawe za kuonge za
hisia zaidi za wananchi
hasa Zanzibar, kuhitajika
z a i d i m u u n g a n o
unaopendekezwa na
rasimu ya Katiba Mpya
kuliko kutimia dhana ya
kuhamisha agenda.
Inaendelea Uk. 3
3
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Habari
WAISLAMU wameelezwa kuwa
ni wajibu wao kuzihifadhi
amali njema walizozichuma
katika ibada ya mfungo wa
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
uliomalizika hivi karibuni.
Wito huo umetolewa na Ustadhi
Rashid Mponda, katika hotba
yake ya ibada ya swala ya Ijumaa
aliyoitoa wiki iliyopita katika
Msikiti wa Sunni, Kibaha Maili
Moja.
Lengo la kufaradhishiwa funga
ya Ramadhani limetajwa na Allah
(s w), hivyo kama tumeshanufaika
nalo, lililo mbele yetu sasa ni
kuwajibika kuhifadhi amali njema
ambazo tumezichuma ndani ya
mwezi wa Ramadhani. Alisema
Ust. Mponda.
Alisema vitendo ambavyo Allah
(sw) anavipenda ni vile ambavyo
mj a anadumu navyo, lakini
kinyume chake wapo Waislamu
ambao wamejiwekea utaratibu
I M E E L E Z WA k u w a
mmomonyoko wa maadi l i
uliokithiri katika jamii unatokana
na watu kushindwa kufuata
mwenendo wa maelekezo ya
Mwenyezi Mungu na Mtume
wake.
Hayo ya mebai ni shwa na
Ustadhi Ally Omari, mapema
wiki hii akizungumzia hali ya
mmomonyoko wa maadili katika
jamii na mwenendo wa tabia
njema.
Al i sema, hi vi sasa j ami i
inahangaika kila kona kujaribu
k u z u n g u mz i a s u a l a l a
mmomonyoko wa maadili na
kulitafutia ufumbuzi wake bila
mafanikio.
Mmomonyoko wa maadili
unapojitokeza katika jamii ni
dal i l i za kuonyes ha wat u
wa l i vyo s hi ndwa kuf ua t a
mwenendo wa yale tuliyoelekezwa
na Mwenyezi Mungu na Mtume
wake. Alisema Ust.Omari.
Ust.Omari, alisema maasi mara
nyingi huwa hayana mwisho
mzuri kwani Mwenyezi Mungu
aliweza kuwashushia adhabu
watu katika umma zilizopita kwa
kukithirisha maswi.
Al i sema, uki ona sehemu
ambapo maadili yameporomoka,
basi ujue kuwa hao watu hawana
msimamo kwa maana watakuwa
wameiweka dini pembeni na
kutumia akili zao ili kuweza
kuendesha mwenendo wa maisha
yao.
Ust. Omari alisema, matokeo
yake ndio huu mmomonyoko
wa maadili uliokithiri ambao
unatafutiwa dawa lakini mpaka
sasa hakuna dalili ya kupatikana
kwa dawa hiyo nje ya mafundisho
ya Mtume (s a w).
Ili kuikabili hali hii, alisema
ni bora jamii ikajikita katika
kuamrishana mema na kukatazana
mambo mabaya.
Alisema, tayari Mwenyezi
Mungu ameeleza kwamba umma
huu unacho kigezo chema kutoka
kwake, lakini umma wenyewe
umekuwa ukitafuta ufumbuzi
wa kuondoa mmomonyoko wa
maadili nje ya kigezo hicho.
Kwa hiyo pale tunapodai
kwamba tunatafuta dawa za
maadili mema nje ya kumfuata
Mtume Muhammad hayawezi
kupatikana katika sekta nyingine
yoyote bali nusra ni kurej ea
mafunzo yake kama ambavyo
Mwe nye z i Mungu a l i vyo
amrisha. Alisema Ust. Omari.
Waislamu waaswa wasiitupe Ramadhani
Na Bakari Mwakangwale wa kufanya ibada kwa msimu,
Ramadhani hadi Ramadhani au
Idd mpaka Idd.
Ust. Mponda, alisema yule
ambaye al i kuwa aki abudi a
Ra ma d h a n i , mwe z i h u o
umeshamalizika, haupo tena,
ama yule ambaye alikuwa na
yakini anamwabudia Allah (s w),
basi ajue Mwenyezi Mungu yupo
hai na wala haf, hivyo hana budi
kuendelea na ibada hata baada ya
mwezi wa Ramadhani.
Al i sema kuwa Mwenyezi
Mu n g u a me e l e z a l e n g o
l a kuf unga s waumu, pal e
aliposema katika Quran kuwa
amefaradhisha juu yao swaumu,
kama walivyofaradhishiwa wale
waliopita kabla yao, ili wapate
kuwa wacha Mungu.
Alisema kuwa endapo Muislamu
alifunga swaumu, kwa kuzingatia
lengo lake na kufuata vile alivyo
elekeza Mtume (saw), kwa hakika
mfungo huo utakuwa umemuacha
katika ucha Mungu wa kweli.
Ust. Mponda alisema kwa
muda wa mwezi mmoja uliopita,
Waislamu wamekuwa katika
wema, wakisaidiana, wakiongea
maneno mazuri, wakitoa sadaka
na kusoma sana Qur an, hivyo
akasema matendo hayo ambayo
wametekeleza ndani ya mwezi
wa Ramadhani hawana budi
kuendelea nayo.
Tuepukane na ile hali ya ibada
za msimu na kuacha kufanya
ibada hizo baada ya kukamilika
kwa mwezi wa Ramadhani ,
wanaofanya hivyo ni sawa na
wale ambao Allah anawataja kuwa
wanafuata matamanio ya nafsi
zao au wale walioamini kisha
wakakufuru, watu wa namna hiyo
watajieleza vipi mbele ya Allah
(sw). Alihoji Ust. Mponda.
Ramadhani imetufundisha,
imetupa semina na kutudarasisha
mambo mengi kabi sa, yal e
tuliyoyapata sasa tuyafanyie kazi
katika miezi mingine ili Allah
akitufsha, tufe tukiwa katika ucha
Mungu tuliokuwa nao ndani ya
Ramadhani. Aliasa Ust. Mponda.
Maadili mema
yapo katika Dini
Na Bakari Mwakangwale
Waislamu Kibaha wajipanga kwa maendeleo ya kijamii
Inatoka Uk. 2
na wamekusudia kujenga vituo vya
kutoa huduma mbalimbali za kijamii
kama vile zahanati, shule za awali,
msingi na sekondari na masomo ya
dini.
Tulichokusudia katika eneo hili
ni kujengwa zahanati, shule za awali,
msingi hadi sekondari (O-level,
A-level) lakini pia kutakuwa na shule
ya dini kuanzia hatua ya Iptidai hadi
Thanawi. Alifafanua Mudir Tundia.
Mudir huyo alibainisha kuwa
milango ipo wazi kwa watu wenye
ujuzi, ushauri na maarifa katika
masuala mbalimbali katika kutekeleza
malengo yao, kufka katika ofsi zao
kutoa ushari wao ili kuweza kufkia
mipango iliyokusudiwa.
Aidha alisema kuwa Waislamu
wa eneo hilo wamekusudia kujenga
Misikiti mine na kwamba, mpaka
sasa wameanza na miwili ambayo
ipo katika hatua za awali na baadae
wataendelea kujenga Misikiti mingine
kupitia mifuko yao.
Ujenzi wa Misikiti hiyo unatarajia
kwenda sambamba na ujenzi wa
madrasa katika kila Msikiti kwa ajili
ya kutoa mafunzo kwa vijana wa
Kiislamu katika maeneo husika, ili
watoto hao wapate elimu ya Quran
na ile ya awali (nursery).
Mu d i r Tu n d i a , a l i s e ma
zitakapoimarika shule za awali
katika Misikiti yao, watakuwa na
fursa nzuri ya kuandaa vijana wao
na kuwaendeleza katika mpango
wao wa ki tuo cha el i mu, pal e
kitakapokamilika.
Katika hatua nyingine, Mudir
huyo alisema Waislamu wanaumia na
kupata uchungu mkubwa kutokana
na udhalimu na ukatili wa Israel dhidi
ya Waislamu wa Gaza.
Hali ilivyo ni kwamba watoto
wadogo, kina mama na Waislamu
kwa ujumla wanauawa kwa mabomu,
unyama huo unaf anyi ka kwa
makusudi huku hata yale mazingatio
ya vita yakiwa hayafuatwi. Alisema
Mudir Tundia.
Alisema, Waislamu hawana budi
kuungana kuwaombea ndugu zao wa
Gaza, kutokana na kukandamizwa na
mikono ya Kizayuni.
Akizungumzia hali ilivyo hivi sasa
nchini, alisema Taifa limeingia katika
ftna, kufuatia matatizo ya mabomu
ambayo athari zake zimemkumba
pia Sheikh wa Ansar Muslimu Youth
tawi la Arusha na Moshi, Sheikh Soud,
akiwa nyumbani kwake.
Alisema Umma wa Kiislamu
unalaani matukio hayo kwa kuwa ni
katika mambo mabaya yasiyokubalika
katika Uislamu.
Semina MUM
SEMINA ya Kimataifa juu ya
epistemolojia (ufahamu) ya Kiislamu
na ukuzaji mitaala, inatarajiwa
kuanza kesho katika Chuo Kikuu
cha Waislamu, Morogoro.
Ikiandaliwa kwa pamoja kati ya
Chuo Kikuu (MUM), na taasisi ya
Kimataifa, The International Institute
of Islamic Thought (IIIT), semina hiyo
itawakutanisha wasomi bingwa wa
Kiislamu katika Nyanja mbalimbali
katika ngazi ya vyuo vikuu na taasisi
nyingine za elimu ya juu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa
na MUM j ana, s emi na hi yo
itafunguliwa rasmi kesho mchana na
Makamo wa Rais, Mheshimiwa Gharib
Bilal na kufungwa siku ya Jumatatu na
Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Ali
Mohammed Shein.
Miongoni mwa wazungumzaji
wakuu katika semina hiyo wametajwa
kuwa ni Dr. Ahmad Totonji kutoka
IIIS, Riyadh, Saudi Arabia, Profesa
Omar Hassan Kasule (Faculty of
Medicine, King Fahad Medical
City, Riyadh, KSA), Prof. Shaukat
Abdulrazak, Dr. Salisu Shehu, Prof.
Jurnalis Uddin, Dr. Mahmud Adesina,
Dr. Nura M.Musa na YB. Dato Seri
Anwar Ibrahim (President of Ke-
Adilan Party and former Deputy
Na Mwandishi Wetu Prime Minister of Malaysia).
Wengine ni Prof. Ahmad Sengendo
(Uganda), Dr. Ismail A. Musa, Dr.
Sunus Iguda, Dr. Abuyaasir Mbwarali
Kame, Dr. Aisha Garba, Dr. Oladosu-
Uthman Habibat, Dr. Mariam Hamisi,
Dr. Haider Pestamgy na Dr. Afis
A.Oladosu.
Wasomi na wazungumazaji hawa
wanatoka katika nchi mbalimbali za
Afrika, Asia na Uarabuni, zikiwemo
Ni ger i a, Uganda, Ms umbi j i ,
Zimbabwe, Zambia, Afrika Kusini,
Indonesia, Burundi, Kenya, Saudi
Arabia, Malaysia, Sudan Kusini n.k.
Wazungumzaji kutoka ndani ya
nchi ni pamoja na Mkuu wa Chuo,
Hajjat Mwatumu Malale, Makamo
Mkuu wa Chuo, Prof. Hamza
Mustafa Njozi, Prof. Mwajabu
Possi, Prof. Hamisi Dihenga, Mr.
Mnyero J.Ibnu Sheikh Gunda
na Prof. Mussa J. Assad ambaye ni
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo,
MUM.
Taari f a zai di zi naf ahami sha
kuwa wakuu wa shule na taasisi za
kielimu za Kiislamu nchini, ni katika
jumla ya waalikwa wa semina hiyo
ambapo inatarajiwa kuwa ufahamu
watakaotoka nao wataweza kuboresha
program zao za kuelimisha ummah
wa Kiislamu.
4
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Makala
MOHAME D E l B a r a d e i
ameandika kitabu chake akikipa
jina The Age of Deception:
Nuclear Diplomacy in Treacherous
Times..
Akiwa Mkurugenzi mstaafu
wa Tume ya Kimataifa ya Nishati
ya Nyukilia-International Atomic
Energy Agency (IAEA), humo
anaonesha jinsi mambo mengi
katika siasa za ulimwengu wa leo,
zilivyotawaliwa na udanganyifu,
propaganda na watu kupumbazwa
wakidhani jambo fulani lipo hivi,
kumbe sivyo kabisa. Mambo
yapo kivingine kabisa. Anatoa
mfano jinsi mataifa makubwa
yalivyoghushi nyaraka kuonyesha
kuwa Iran inatengeneza silaha za
nyukilia ili ipatikane sababu ya
kuiadhibu nchi hiyo.
Waislamu wanapohimizwa
kusoma, pamoj a na kui j ua
Elimu ya Mwongozo na elimu
ya mazingira, ni pamoj a na
kuj ua si asa na ul i mwengu
unaowazunguka unavyokwenda.
Wajue mazingira wanamoishi.
Waj ue si asa zake. Wawaj ue
maadui zao pamoja na mbinu
zao ili waweze kuweka mikakati
munasibu ya kukabiliana nao.
Uki zungumzi a Wai sl amu
kujielewa na kujua mazingira
yanayowazunguka na kuwajua
maadui zao, ni pamoj a na
kufahamu yanayotendeka hivi leo
katika hizi zama za deception na
proxy war. Kwa hakika itakuwa ni
ujinga wa kutisha, kuwa hamnazo
na kutokujitambua na kutotambua
yanayojiri katika siasa za dunia ya
leo, iwapo Muislamu atadhania
kuwa maadhali yeye nia yake
ni kupigana Jihad, basi hata
akitumikia proxy war, itakuwa
Jihad yake imesibu na itakuwa ni
kwa faida ya Uislamu na atapata
fungu lake kwa Mwenyezi Mungu.
Mungu katuletea Mwongozo
unaot uf undi sha pamoj a na
mambo mengine kuwajua maadui
na mbinu zao. Kisha ametupa
akili na akatuhimiza kuzitumia
kwa kukariri mara kwa mara
katika Quran, Hamuoni?,
Hamfikiri?, Hamna akili?
Kwa nini Mwenyezi Mungu atoe
msisitizo huu?
Yupo msomaji mmoja (0773 526
254) kaja na hoja. Anasema kuwa:
Wapiganaji wa chini (foot
soldiers) wanakuwa ni mujahidina
kwa sababu wako kidhati kuleta
sheria za Mungu japo wakuu
wao ni agents (mawakala wa
Marekani/makafiri). Ndivyo
Uislamu unavyohukumu NIA
yako si malengo ya mabeberu au
lengo la agents.
Lakini msomaji huyu huyu
(0773 526 254) kaj a na hoj a
nyingine, kuwa kamanda wa ISIS
Ni Khalifah wa Waislamu kwa
hiyo anayekataa kumtii kamanda
wa ISIS ni halali kupigwa risasi
kwa sababu kakataa kufuata amri
ya khalifah.
Mei 2013, Seneta wa Arizona
(Republican) na Veteran wa vita
Mujahidina John McCain!!!
Al-Shabab adui, lakini ISIS wa Iraq rafki!
Sheikh Kilemile, Sheikh Abu Idd, mna kazi
SHEIKH Mohammed Idd.
Na Omar Msangi
ya Vietnam, John Sidney McCain
aliingia Syria kupitia mpaka
wake na Uturuki akakutana
na wapi ganaj i wa Ki i sl amu
wakiwemo wale wa Al Nusrah
na ISIS. Na alipokuja kuhojiwa
baadae alisema kuwa ni kwa
maslahi ya Marekani kwamba
muj ahi di na ( j i hadi st s) hao
wanasaidiwa kwa fedha, silaha na
mafunzo na kila aina ya msaada
kufkia malengo yao.
Baadhi ya vyombo vya
habari na wachambuzi wa siasa
za Marekani, walishangaa na
kuhoji, inakuwaje McCain na kwa
maana hiyo, serikali ya Marekani
kushirikiana na jihadists?-watu
ambao kwao ni magaidi?
Kwa kut umi a ki si ngi zi o
cha ugaidi, Marekani ilivamia
Afghanistan na kuuwa mamia
ya maelfu ya Mujahidina kwa
madai kuwa serikali ya Kiislamu
inayoongozwa na Taliban, ni ya
kigaidi. Marekani ikiitumia na
kuiwezesha Ethiopia, ilivamia
Somalia na kuondoa serikali ya
Kiislamu ya Umoja wa Mahakama
za Ki i sl amu kwa ki si ngi zi o
kuwa ni ya kigaidi. Marekani
imeunga mkono jeshi la Misri
kuondoa madarakani serikali ya
Mohammed Morsi kwa madai
hayo hayo.
Kama huo ndio msimamo
wa serikali ya Marekani, leo
inakuwaj e isimame kusaidia
ISIS kwa silaha na mafunzo ili
isimamishe Khilafah Iraq na
Syria? Al-Shabab adui, lakini Al
Nusrah, rafki!! Taliban na akina
Morsi na Mullah Omar magaidi,
lakini Islamic State of Iraq and
Syria (ISIS) na kamanda wake Abu
Bakr al-Baghdadi, rafki!!!
Kama Muislamu hutazami
matukio yote haya akili yako
ikatanabahi, unakuwa nyuma ya
mawakala wa mabeberu unasema
maadhali nia yako ni Jihad, nia
yako ndiyo itatizamwa, hii iitwe
nini?
Suala kuwa ISIS imeanzishwa
na inasaidiwa na Marekani, NATO
na Israel zikishirikiana na Saudi
Arabia na Qatar, si la paukwa
pakawa (Tazama: Washingtons
Hidden Agenda, Americas War
on Terrorism zote zikiandikwa
na Profesa Michel Chossudovsky.
Tazama pia Daily Telegraph, June
12, 2014, Londons Daily Express
na rejea nyingi tu zinazungumzia
suala hili).
Jambo hili limeandikiwa sana
na ushahidi mwingi kutolewa.
Aidha, ni kwa nini inafanyika
hi vyo, i kael ezwa pi a kuwa
kinachodaiwa kuwa ni Jihad ya
kusimamisha Khilafah katika
Iraq na Syria, hiyo ni agenda
ya muda mrefu yenye malengo
kadhaa. Moja ni kuleta machafuko
katika eneo la Mashariki ya Kati
ikihusisha Sunni na Shia.
Wakati serikali ya Baghdad
yenyewe imewekwa na Marekani
na jeshi lake linaimarishwa na
Marekani (US proxy government)
itakuwa ikiuziwa silaha kali kali
ili kupigana na ISIS, Islamic
State of Iraq and al-Sham nao
wanapewa silaha kutoka huko
huko Washington. Kisha, acha
wapigane na kuuwana wenyewe
kwa wenyewe.
Machafuko hayo yamepangwa
pia kuwa yafkie lengo la kuigawa
Iraq katika vinchi vitatu: A
Sunni Islamist Caliphate, an Arab
Shia Republic, and a Republic of
Kurdistan.
Hi i i t a pe l e ke a kwa nz a
urahisi wa kudhibiti na kuwa
na kauli juu ya maeneo yenye
mafuta na gesi katika nchi hiyo.
Tunaambiwa kuwa hivi sasa tayari
Kurdistan wanapeleka na kuuza
mafuta Marekani na Israel bila
kupitia serikali ya Iraq. Na hiyo
imewezeshwa na kazi iliyofanywa
na ISIS, japo mpango wenyewe
haujakamilika bado, lakini wenye
proxy war yao, wanaanza kuvuna
walichopanda.
Inaendelea Uk. 11
Veteran wa vita ya Vietnam, John Sidney McCain.
MOHAMED ElBaradei.
5
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Habari za Kimataifa
KAMANDA wa Jeshi
l a Marekani , Mej a
Jenerali Harold Greene,
ameuliwa katika kambi
ya Qar gha nc hi ni
Afghanistani.
Imeripotiwa kuwa
J enar al i Gr eene ni
askari wa cheo cha
juu jeshi la Marekani
kuuliwa Afghanistan
t angu kuanza kwa
operesheni za kijeshi
dhidi ya Taliban nchini
Af ghani st an na pi a
akiwa ni askari wa cheo
cha juu kuuliwa tangu
vita vya Vietnam.
Habari zinaeleza kuwa
Jenerali Greene aliuliwa
k a t i k a s ha mb ul i o
lililofanywa na askari
wa Afghan katika kambi
i nayoendes hwa na
Uingereza jirani na mji
wa Kabul, wamesema
maofsa wa Marekani.
K w a w a s t a n i
askari 15, wawili wa
Kiingereza na baadhi wa
Marekani na Ujerumani
n a Af g h a n i s t a n
wamejheruhiwa katika
shambulio hilo.
Maofisa wamesema
a s k a r i h u y o wa
Afghanistan alifyatua
risasi katika shambulio
hilo, aliuliwa katika
tukio hilo.
J e n e r a l i Gr e e n e
alikuwa Makamu wa
Kamanda Mkuu wa
Combi ned Securi t y
Transition Command,
a k i h u s i k a k a t i k a
maandalizi ya kuondoka
Jenerali wa jeshi la Marekani auliwa Afghanistan
Meja Jenerali Harold Greene.
vi kosi vya ushi ri ka
kufkia mwishoni mwa
mwaka huu.
Waandishi wa habari
wa me s e ma k u wa
shambulio hilo limeibua
ma s h a k a k u h u s u
uwezo wa Nato kutoa
mafunzo ya vikosi vya
Afghanistan kabla ya
vikosi vya Magharibi
kuondoka.
Pentagon wameelezea
shambul i o hi l o l a
ndani kuwani tishio la
makusudi.
Mtangazaji wa BBC,
David Loyn alisema
kuwa Wizara ya Ulinzi
ya Ndani ya Afghanistan
i met hi bi t i sha kuwa
askari kadhaa wa kigeni
wal i j eruhi wa kati ka
tukio hilo.
T a a r i f a z a i d i
zinadai kuwa askari
huyo alikuwa askari
aliyepokea mafunzi kwa
miaka mitatu iliyopita,
kimeeleza chanzo cha
Wizara ya Ulinzi ya
Afghan ki l i poi el eza
BBC.
Ulinzi umimarishwa
katika hiyo ya kambi
ya Qargha, i l i yopo
Magharibi mwa mji wa
Kabul baada ya kutokea
tukio hilo.
Kamanda mmoj a
wa Afghanistan katika
ki kosi ki l i cho chi ni
ya kambi ya maofisa
wa jeshi la Uingereza,
Gen Gul am Sakhi ,
ni mi ongoni mwa
waliojeruhiwa.
WANAWAKE katika
kambi ya wakimbizi
iliyopo katikati mwa
Jamhuri ya Afrika ya
Kati, wamelalamikia
v i t e n d o v y a
ukatili wa kijinsia
wanavyofanyiwa na
askari wa Umoja wa
Afrika nchini humo.
Mtandao wa habari
wa Af r i c a T i me ,
umeripoti habari hiyo
ukiwanukuu wanawake
hao kat i ka mj i wa
Bambari, katikati mwa
nchi hiyo wakilalamikia
vitendo hivyo.
I me da i wa k uwa
Askari AU watuhumiwa kubaka wanawake A.Kati
wasichana katika kambi
hiyo wanakabiliwa na
hali mbaya kutokana na
vitendo vya unyanyasaji
wa kijinsia na maudhi
wanayof anyi wa na
askari hao wa kikosi
cha kul i nda amani
cha Umoja wa Afrika
MISCA.
K u f u a t i a h a l i
h i y o , wa n a wa k e
hao wamei t aka AU
kuwalinda kutokana na
vitendo hivyo.
Wa s i ma mi z i wa
Umo j a wa Af r i ka
ambao wanatazamiwa
kuanza shughuli zao
nchini humo mwezi
S e pt e mb a mwa k a
huu, wameonyesha
kusi ki t i shwa kwao
kutokana na hali hiyo.
Ri po t i ny i ng i ne
zinawataja wapiganaji
wa Kikristo wa Anti-
Bal aka, kuwa nao
wanaf anya vi t endo
hivyo vya kikatili dhidi
ya wanawake.
Hivi karibuni Shirika
la Madaktari Wasio na
Mipaka (MSF) lilitangaza
kuwa wakimbizi wa
Kiislamu nchini Jamhuri
ya Afrika ya Kati bado
wanakabiliwa na hali
mbaya.(irib.iri)
JAMHURI ya Kiislamu
ya Iran, imeilalamikia
Misri kwa kukataa
kut oa ki bal i kwa
n d e g e z a I r a n
zenye misaada ya
kibinadamu, kuingia
Mi sri i l i kuweza
kufikishwa misaada
Palestina kwa ajili
y a k u wa s a i d i a
wa a d h i r i k a wa
hujuma za Wazayuni
katika Ukanda wa
Gaza.
Na i b u Wa z i r i
wa Mambo ya Nj e
wa Iran, Hussei n-
Amir Abdullahian,
Misri yadaiwa kuzuia misaada kufka Gaza
amesema kuwa ni
jambo lisilostahili kwa
Misri kuzuia misaada
ya Iran inayojumuisha
dawa na chakul a,
kwa aj i l i ya wat u
wanaodhul umi wa
huko Gaza.
Bw. Abdullahian,
amet oa wi t o kwa
wahusika nchini Misri
kuchukua hatua za
haraka za kutoa kibali
kwa ndege hizo za
Iran, ziingie nchini
humo ili misaada hiyo
iwafikie Wapalestina
haraka iwezekanavyo.
Ameongeza kuwa
hivi sasa kuna idadi
kubwa ya majeruhi
huko Gaza, wakiwemo
watoto na wanawake
ambao wanasubi ri
msaada wa ndege hizo
za Iran, ili waweze
kusafrishwa kwa ajili
ya kupataka matibabu
kati ka Jamhuri ya
Kiislamu ya Iran.
Naibu Waziri wa
Mambo ya Nje wa Iran
ameelezea matumaini
yake kuwa, Mi sri
i tatekel eza waj i bu
wake wa kibinadamu,
Kiislamu, kihistoria,
na Ki arabu kati ka
kukabiliana na jinai za
utawala wa Kizayuni
wa Israel huko Gaza
kwa kufungua kivuko
cha mpakani cha Rafah
haraka iwezekanavyo,
i l i k u r a h i s i s h a
upelekwaji misaada
katika eneo hilo.
Ikumbukwe kuwa
Misri ndio nchi pekee
ya Ki arabu yenye
mpaka wa pamoj a
na Ukanda wa Gaza.
Hata hivyo watawala
wa Misri wamekuwa
wakikataa kufungua
mpaka huo hata pale
kunapohitajika msaada
wa d h a r u r a k wa
wapal esti na, ambao
wa me z i ngi r wa na
kuwekwa kifungoni
na Israel.
Hii ina maana kuwa
hakuna kinachoingia
wala kutoka Palestina
hususan Gaza, bila
idhini au ridhaa ya
Israel.
Wakati huo huo,
Wazi ri wa Mambo
ya Nj e wa I r a n
Mohammad J avad
Zari f , amet oa wi t o
kwa nchi za Kiislamu
kuanzisha kampeni ya
kupeleka misaada ya
dharura Ukanda wa
Gaza.
Wa z i r i h u y o
ameyas ema hayo
katika mazungumzo
ya simu na mwenzake
wa Malaysia, Dato Seri
Anifah Aman. (irib.ir)
6
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Makala
MANSOUR Yussuf Himid,
ameungana na wanasiasa wengine
wakongwe wa Zanzibar ambao
yaliwakuta walipotofautiana na
utawala.
Mansour sasa anasota rumande
hadi tarehe 18 Agosti kesi yake
itakapotaj wa tena baada ya
kunyimwa dhamana.
Mansour ambaye alikuwa
Waziri katika SMZ na Mwakilishi
wa j imbo la Kiembe samaki
kupitia CCM, alifkishwa katika
mahakama ya Mkoa Vuga,
akikabiliwa na tuhuma za makosa
matatu ikiwemo kukutwa na
silaha, risasi na marisau.
Mwendesha mashitaka Maulid
Ali alidai mbele ya Hakimu
Khami s Ramadhani kuwa
mtuhumiwa huyo mnamo Agosti
2, mwaka huu majira ya saa 7.18
huko nyumbani kwake Chukwani
nje kidogo ya mji wa Zanzibar
alikutwa na silaha aina ya pistol
yenye namba F76172 W.
Ikadaiwa kuwa hiyo ni kwenda
kinyume na kifungu cha sheria
no 6(3) na 34 (1) (2) cha sheria ya
silaha na risasi No 2 ya mwaka
1991 sura ya 223 sheria ya Jamhuri
ya Muungno wa Tanzania.
Katika kosa la pili ikadaiwa
kuwa Mansour alipatikana na
Pole Mansour
Jussa ahimiza utulivu
Na Mwandishi Wetu
risasi za moto 295 za pistol jambo
ambalo pia ni ni kosa kisheria.
Na kwamba, kosa l a tatu
ni kupatikana na marisau 112
ya bunduki aina ya short gurn
(gobore) baada ya marisau 50
aliyotakiwa kuwa nayo kisheria.
Mtuhumiwa Mansour aliyakana
makosa yote hayo matatu.
Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo
Khamis Ramadhani alisema kuwa
makosa mawili ya mtuhumiwa
yana dhamana lakini kosa la
kukut wa na si l aha hal i na
dhamana.
Kwa aj i l i hi yo akaamuru
ms h i t a k i wa k u r e j e s h wa
rumande hadi Agosti 18 kesi hiyo
itakapotajwa tena.
Kufuatia kadhi hiyo, Katibu
wa Kamati ya Maridhiano, Ismail
Jussa, amewataka wananchi wa
Zanzibar kuwa watulivu wakati
suala hilo linashughulikiwa
kisheria na kwa njia za amani.
Nasaha na wito huo wa Jussa
umekuja kufuatia minongono na
mazungumzo mitaani miongoni
mwa wananchi kuwa yote hayo
yanamkuta Masour kutokana
na msimamo wake juu suala la
hadhi ya Zanzibar na muundo wa
muungano.
Mansour, ni kat i ka wal e
wanaopigania Zanzibar huru
kama nchi yenye mamlaka kamili,
msimamo ambao unaonekana
kutofautiana na ule wa CCM.
Ka t i ka s ua l a l a ka t i ba
mpya, Mansour yupo na wale
wanaopi gani a seri kal i tatu,
msimamo ambao ndio pia wa
Kamati ya Maridhiano.
Wengine wanaotajwa kufkwa
na majanga baada ya kutofautiana
na msimamo wa Chama Tawala, ni
viongozi wa Chama cha Wananchi,
CUF, wakiwemo Maalim Seif
Sharif Hamad, Juma Duni Haji
na wengineo.
UKOMBOZI wa kweli wa
wananchi ut aanza kwa
ma ba di l i ko ma kubwa
yatayosimamia haki, usawa,
ihsani na uadilifu hususan
katika vyombo vya sheria na
vile vinavyobeba dhamana
ya usal ama wa r ai a na
wananchi wake. Huwezi
kuui t a ukombozi i ki wa
bado wananchi hawako huru
kimawazo, na wanapothubutu
kusema ya moyoni hukuzwa,
yakapewa wito maalum wa
kuwakomoa.
Siasa za aina hii zimekuwa
zikiendeshwa visiwani kwa
muda mrefu, bila ya kutazama
at hari ya bomu l a chuki
l i nal okuzwa. Muungano
nao pia na tuseme ukweli,
haukuwahi kusimamia haki
has a kwa wananchi wa
visiwani wenye maoni tafauti.
Nathubutu kwa ushahi di
mkubwa kusema kwamba
taasisi ya muungano iliojengwa
kwa heshima na udugu wa
Kiafrika, imejidhatiti katika
kufitinisha na kuwakingia
kifua pande zinazokwenda
kinyume na haki badala ya
kusimamia usawa na heshima
ya wote.
Tutazame namna machafuko
Muungano huu pia hausimamii haki za Wazanzibari
Na Mwandishi Maalum ya ki si asa yal i kuzwa na
kulindwa na nani kama si taasisi
ya muungano inayoonekana
kwenda kinyume na matakwa
ya heshima na haki kwa wote na
usimamizi madhubuti uadilifu
wa uongozi kwa wananchi na
nchi. Haya yameanza tokea
wakati wa Mwalimu, mfano
mdogo tu ushahidi uliopo
wa namna Kassim Hanga
alivyodhalilishwa hadharani
na Mwalimu kwa kuwa tu na
mtazamo kinyume na wengine.
Dhambi ya ftna, udhalilishaji,
uhasama wa kukuzwa na
kukomoana itaendelea kuwa
chanzo cha kuzima maendeleo
ya nchi na uhuru wa kweli
wa wananchi. Upande mmoja
huwezi kuilaumu sana taasisi
ya muungano kwa vi l e
muundo wenyewe uliopo ni
wa kimaslahi zaidi. Pande
moja ikitegemea ubabe wa
muungano kuwal i nda na
kuendelea kibri cha kuzima
ukuwaji wa haki na usawa,
na mwengine ukifaidika na
utulivu wa siasa za msingi
wa mabadiliko wenye asili
ya visiwani ambao unaweza
kutumika katika induced
efect kwa upande wa bara.
Hili naliamini sana kama ndio
sababu kuu ya kusisitiza status
quo inabaki kama ilivyo kwa
vile Mwalimu aliweza kwa
miaka na dahri kuzima hisia
zote za mabadiliko na kuzipa
nguvu za kipekee fikra za
Mwenyekiti kiasi ya kwamba
kumpinga ni dhambi. Ukuwaji
wowot e wa demokr asi a
vi si wani , au mabadi l i ko
makubwa ya kimaendeleo
visiwani yatakuwa ni chachu
kubwa ya muamko wa
wananchi na mabadiliko ya
utawala.
Ha t u t a we z a a b a d a n
kusimamia mageuzi makubwa
yenye tija kwa wananchi bila
ya mabadiliko makubwa sana
katika vyombo vya sheria na
usalama nchini. Na kipindi
hichi cha sasa ndio kinachozidi
kunipa ari ya kuamini hakuna
yeyote miongoni mwetu aliye
huru kwa vile tu vyombo vya
kusimamia haki, heshima na
uadilifu wa mwananchi bado
vimejengwa katika misingi
mikuu ya kikoloni yenye ajenda
ya kuzima maoni huru na haki
ya kuzungumza bila ya jitihada
za kukomolewa.
Nasikitishwa na wengi ambao
wamelibeba hili la kukamatwa
kwa Mansour kama kielelezo
cha furaha yao kwa mtu ambae
ninaamini kilichomponza ni
kimoja tu: imani yake kwa
kati ba ya nchi i nayompa
uhuru wa fkra na matamshi.
Mazingira yote ya kukamatwa
kwake yana misingi mikubwa
ya kuwa mstari wa mbele
katika kuhuisha mabadiliko
yanayoweza kutoa afweni kwa
wananchi wa pande zote mbili.
Narudia tena kwamba siasa za
namna hii zitatumaliza kwa
vile chuki ya vizazi vinavyoona
dhul ma kwa wazee wao
haitamaliza, na kwa namna
ya mgawanyiko wa kiitikadi
hususan visiwani, tutaendelea
kuwa katika gurudumu la
kukomoana, kutiana ndani na
kudhalilishana huku tukisahau
kwamba mwisho wa yote
tutasimama mbele ya hakimu
wa haki na kujibu tuhuma za
dhulma tunazozitenda.
H a k u n a k a t i y e t u
asiyefahamu umuhimu wa sote
kuwa chini ya sheria za nchi,
lakini tunapoanza kutafuta
sababu za kuwekana ndani
kwa makusudi na kunyimana
hata haki ya dhamana kwa
watuhumiwa, basi tutaendelea
kuishi katika giza totoro ambalo
halitachaguwa nani atakefuatia
katika kadhia ya dhulma. Leo
hii sitashangaa kuona mkono
mrefu zaidi wa kukomoana na
nongwa za kijahilia zikishika
hatamu kiasi kwamba visasi
Inaendelea Uk. 7
MANSOUR Yussuf Himid akishuka katika gari la Polisi na
baadaye kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma zinazomkabili.
7
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
UTABIRI wangu katika siku ya
sherehe za Muungano tarehe 26
Aprili 2009 kwenye ukumbi wa
Taasisi, Zanzibar kwa wajumbe
wa kongamano l i l i l okuwa
limeandaliwa na Jumuiya ya
Uamsho na kuendeshwa chini
ya uwenyekiti wa Muhammad
Yussuf, ulikuwa ni huu na ambao
bado naamini ulikuwa sahihi:
Sasa t ul i po, kwa maoni
yangu, ni katika hatua ya pili
ya mapinduzi, ambapo mfumo
mkongwe wa Muungano usio na
maslahi kwa Zanzibar unaelekea
kuporomoka. Kawaida kipindi
hichi ni matokeo ya kupotea
kwa uongozi (leadership vacuum)
ndani ya kundi la watawala,
a mba po mga wa nyi ko wa
makundi humfanya kila mmoja
kutenda vyake. Mara nyingi
hat ua hi i hai f i ki wi mpaka
ajitokeze kiongozi anayejiona
kuwa mwanamageuzi kutaka
kuunusuru mfumo mkongwe;
na akafeli. Turgot na Necker
walijaribu kuunusuru ufalme wa
Ufaransa kabla ya mwaka 1798 na
Stolpyin akafanya jaribio kama
hilo nchini Urusi kabla ya Vita vya
Kwanza vya Dunia, lakini wote
walishindwa (Khan & McNiven,
1990).
Huwa ni wakati ambapo,
kutokana na mtikisiko wake,
mfumo mkongwe huwa kama
tayari umeshakufa kitambo, lakini
kwa kuwa watu wanaothubutu
kuyat hi bi t i sha maut i yake
hawajatokea, basi huendelea
kuwepo tu ukiendea upepo na
kudura ya Mungu. Nabii Suleiman
(A.S) alifariki siku nyingi, lakini
watumishi wake wakaendelea
kutumika wakidhani bosi wao
amekaa kitini akiwasimamia,
hadi mchwa alipokuja kuila fmbo
yake. Kuna watu waliojuwa kuwa
Awamu ya Tatu ya Serikali ya
Ufaransa imeshakufa tangu
mwaka 1934, lakini maziko yake
yalikuja kufanywa mwaka 1940.
Wazo ninalojaribu kuliwasilisha
kwenu hapa ni kwamba, kuna
si ku yal e yal e matakwa ya
Wazanzibari, kama yalivyoelezwa
kupitia Ripoti za Tume za Jaji
Nyalali na Jaji Kisanga, ndiyo
yatakayoiongoza Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na wala
sio Katiba hizi zilizopo sasa; na
viashiria vya utabiri huo vimeanza
kujengeka sasa.
Changamoto iliyo mbele yetu
kwa sasa ni ukweli kwamba hatua
za tatu, nne na tano zinakuja
kwa kasi na, yumkini, hatuna
matayarisho mazuri kuzikabili.
Kwa mfano, hatua ya tatu, ambayo
ni ya kuharibika kwa mahusiano
makongwe, kwa mintarafu ya
kuharibika kwa muundo wa sasa
wa Muungano, ina matatizo yake.
Mojawapo ni kwamba, wenye
maslahi na mahusiano haya hivi
sasa, watajitahidi kutumia nguvu
zao za ziada kuzuia yasiharibike.
Na ingawa, kutokana na matakwa
ya kiwakati hawataweza kufanya
hivyo, lakini kama ilivyo kawaida
Mapinduzi Daima hayana
maana ikiwa hatuna Zanzibar
Mohammed Ghassani
ya mti mkubwa unapoanguka,
husababisha maafa kwa pale
unapong okea ( panaweza
kuchimbika shimo kubwa) na
kule unakoangukia (unaweza
kuelemea nyumba au wapita njia
na kuwajeruhi kama si kuwatoa
roho zao).
Wakati huu ambapo mahusiano
makongwe baina ya Syria na
Lebanon yanaharibika, kwa mfano,
ni Lebanon ndiyo inayoonekana
kulipia gharama za kipindi hiki
kwa wale wanaharakati wake
walio mstari wa mbele katika
kusai di a mahari bi ko hayo,
kukabiliwa na vitendo vya kigaidi
vinavyoaminika kusimamiwa na
kuongozwa na Syria ndani ya
ardhi ya Lebanon.
Lakini mara tu kipindi hiki
kinapoanza, hutanguliwa haraka
sana na kipindi cha ujenzi wa
mahusi ano mapya. Huu ni
mfano wa ujenzi wa nyumba
mpya juu ya kongwe, ambapo
mwenye nyumba huendelea
kujenga nyumba mpya, huku
yeye akiwemo ndani. Huvunja
kiambaza kimoja kwanza na
kusimamisha kipya mahala pa
kilichovunjwa, kabla hajakwenda
kat i ka ki ambaza chengi ne.
Ingawa huweza kuchukua muda
mrefu kwa nyumba kukamilika,
kutegemea na uwezo wa kifedha,
kiufundi na mazingira ya ujenzi;
lakini ni staili ya ujenzi ambayo
ina faida moja kubwa: hakuna
wakati ambapo mwenye nyumba
analazimika kulala nje, hata kama
katika kipindi cha ujenzi huwa
hakai katika makaazi mazuri sana.
Hapo ndipo, kwa maoni yangu,
nchi hii inapoelekea. Muungano
huu utaingia kwenye kuvunjika
na kuundika kwa wakati mmoja,
yaani tunakwenda katika kipindi
ambacho hat ut asema kuwa
hatuna Muungano moja kwa
moja, lakini pia hatutakuwa na
Muungano huu.
Mwisho tutaingia kwenye
kuimarisha mahusiano mapya
tutakayoyajenga; maana ukweli ni
kwamba Zanzibar na Tanganyika,
bali pamoja na mataifa mengine
ya karibuni, yataendelea kuwa
katika mahusiano dumu daima.
Lakini tafauti na sasa, mahusiano
yajayo kwa sababu ya mapinduzi
haya, yatakuwa na sura nyengine
na matakwa mengine.
Ha t a hi vyo, t uz i nduke
Wazanzibari, kwamba jambo
pekee linaloweza kutufikisha
hapo ni moja tu, nalo ni mkono
mmoja kuyashikilia Mapinduzi
yetu na mwengine kuishikilia
Zanzibar yetu. Yaani isiwe tu
Mapinduzi Daima, lakini iwe
pia Zanzibar Daima; maana
Mapinduzi Daima hayana maana
ikiwa hatuna Zanzibar!
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed
Shein (kulia) akisalimiana na Masheikh visiwani humo.
Makala
Muungano huu pia hausimamii haki za Wazanzibari
Inatoka Uk. 6
vitaendelezwa na kupasiana
kwa wengine na kuzidisha
nuksi inayoitawala nchi kwa
kukosa msimamo wa haki na
uadilifu.
Na s i ki t i ka s a na kwa
yanayomkuta Mheshimiwa
Mansour na jinsi gani dhamira
mbovu, chuki na hasada
imebebwa na baadhi wakifkiri
wanaweza kuzima nuru ya
maisha ya mwengine. Si mara
ya kwanza kulalamikia maafa
ya sheria tulizorithishwa na
wakoloni, tulianza wakati wa
kukamatwa kwa masheikh
kwa vi l e t u maoni yao
yaliudhi wengine, na baya
zaidi walisekwa ndani kwa
muda na hadi hii leo bado
hakuna mashitaka dhidi yao.
Ninaamini katika misingi ya
demokrasia pana inayotoa
uhuru wa maoni na kuwa na
sheria thabiti inayotumika
kwa uadilifu hata makosa
yanapotokea, hushughulikiwa
tena kwa haki na usawa kwa
wote.
Sitaki kukata tamaa na kiu
ya mabadiliko nyumbani, kwa
vile hilo pekee litasimama
kama ishara ya ushindi kwa
madhalimu wa ihsani, haki na
uadilifu kwa wananchi. Nina
hakika ya faraja kubwa baada
ya dhiki na misukosuko ya aina
hii si ya kwanza kwa wapigania
mabadiliko na haki ya kuishi
kwa heshima na usawa.
Ni n a mu o mb e a du wa
Mheshi mi wa Mansour na
wengine wote waliotoswa
katika mahabusu huku kwa
misingi tu ya kunyima haki
zao za kuishi kwa heshima ya
ubinaadamu. Ninawaombea
duwa Mungu akupeni nguvu
za kut okubal i kuyumba
katika misimamo thabiti ya
haki, heshima na usawa, na
kukufanyeni kuwa mashindi
wa mabadiliko tunayoyataka ya
uhuru wa kweli kwa wananchi
wote. Umma unayaona yote
yanayoendelea kutendwa na
umma uko na wale wenye
kusimama na ukweli hata
katika kipindi kigumu cha
maisha yao.
Natudia tena ni vigumu
kuzima ari ya waliojitolea
kuhuisha mabadiliko, na baada
ya dhiki ni faraji. Iko siku
historia itawatazama wote
mashujaa waliosimama na
maoni ya umma kuhuisha
mabadiliko yatayojenga uhuru
wa kweli wa wananchi wote.
Niimani yangu pia kuwa kwa
hakika mahakama itatenda haki
katika tuhuma zinazomkabili
Mansour nikiamini kuwa hicho
ni chombo huru cha kutoa haki.
8
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Makala
Maandamano Washington DC Agosti 2
kuilani Israel kwa unyama wake Gaza
Maandamano Washington DC Agosti 2
kuilani Israel kwa unyama wake Gaza
9
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Makala
Eye on the prize - Free
Palestine, John Rees
akizungumza mbele
ya ubalozi wa Israel,
London, ametoa wito
kufanyika maandamano
ya makubwa ya aina
yake kesho Jumamosi
Agosti 9.
Yaki i twa, Nati onal
Demons t r at i on f or
Gaza, maandamano
hayo yatakayoanza saa
sita mchana (12 Noon),
yataanzia BBC Portland
Place kuelekea
Hyde Park kupi ti a
mbele ya ubalozi wa
Marekani.
Kama msemaj i wa
taasisi ya Stop the War
Coalition, John Rees
anasema, No excuses,
hakuna dharura.
Ni lazima kila mtu
kushiriki maandamano
hayo, i l i kuyaf anya
kuwa makubwa kuliko
maandamano yoyote
yaliyowahi kufanyika
Uingereza.
Ka t i k a k u f a n y a
taratibu za kuwawezesha
watu wengi kushiriki,
watu binafsi na taasisi
mbalimbali zimetakiwa
kuandaa taratibu za
usafiri kuwatoa watu
kutoka kona zote za
Ui ngereza kuwal eta
kati ka maandamano
hayo ya London.
A i d h a , w a t u
Gaza inakuhitaji
Maandamano ya karne kesho
Hakuna kukosa. Hakuna dharura
Fika ukiwa mzima au mgonjwa
Fika tulani pamoja ushenzi wa Israel
wametakiwa kusambaza
ujumbe na taarifa za
maandamano hayo
k wa wa t u mi j i n i ,
vijijini, sehemu za kazi,
mashambani, shuleni na
vyuoni.
No e x c u s e s . On
Saturday 9 August we need
to fll the streets of London
with a huge outcry at the
carnage being perpetrated
by Israel, with the support
of David Cameron and his
government.
A n a s e m a R e e s ,
akimaanisha kuwa hakuna
dharura itakayokubaliwa
kwani maandamano ya
kesho yanatakiwa kujaza
mitaa ya London kupaza
kilio dhidi ya ukatili na
ushenzi (Israel's barbaric
onslaught) unaofanywa na
Israel, ikiungwa mkono
na Waziri Mkuu, David
Cameroon na serikali yake.
Anaongeza aki sema
kuwa siku 25 zimeshuhudia
jeshi la Israel linalotajwa
kushika nafasi ya tano
kwa umahiri duniani,
likifanya kazi ya kuchinja
raia 1,800 wa Gaza wengi
wao wakiwa watoto na
wanawake huku ikiacha
majeruhi 9000.
Hos pi t a l i , s hul e ,
mitambo ya umeme, na
miundo mbinu mingine
i meangami zwa. Wat u
hawana pa kwenda,
hawana pa kukimbilia
kwa sababu wamefungiwa
by Israel and Egypt' s
inhumane siege.
Gaza inakuhitaji. Ni
kesho Jumamosi Agosti 9.
Pamoja na maandamano
y a L o n d o n , mi j i
mbalimbali ulimwenguni
wat aandamana pi a
(si j ui Dar, Mwanza,
Ar us ha , Za nz i ba r ,
Tanga???????).
Sema ut akuwepo
kuungana na wenzako
kusema, uhal i fu wa
Israel dhidi ya binadamu
ukome. Sema utakuwepo
kuungana na wenzako
kuonyesha mshikamano
na watu wa Gaza.
10
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
KUHAMASI SHA maj eshi
kupigana ndiyo njia pekee
i nayoweza kut umi wa na
watawala wa nchi za Waislamu
k a t i k a k u k a b i l i a n a n a
maangamizi ya watu wasio na
hatia yanayoendelea kwenye
ukanda wa Gaza. Kinyume cha
hivyo, ni kuwasaliti ndugu
zetu wa Palestina. Maangamizi
makubwa ya raia kama yale,
yanahitaji nguvu za kijeshi
kuyakomesha, badala ya vikao,
maandamano na matamko ya
kulaani!
Ukisema maneno kama hayo,
baadhi ya watu wenye makengeza
ya akili, wanaweza kukuona ni
mtu wa vurugu unayeshabikia
shari badala ya kheri. Lakini
ukweli siku zote unasimama
wenyewe kama ukwel i , na
porojo zinabaki kuwa porojo!
Maangamizi ya Wapalestina wasio
na hatia yanayofanywa na majeshi
ya Israel kwenye ukanda wa
Gaza, hayawezi kukomeshwa kwa
"mazungumzo ya amani", bali
nguvu za kijeshi!
Huwa nawashangaa sana
watawala wa nchi za Waislamu,
wakiunganishwa na Jumuiya
ya 'Arab League' wanapoishia
kul aani t u maangami zi ya
Wapalestina yanayofanywa na
Mayahudi bila ya kuchukua hatua
za kijeshi zinazofaa. Watawala
hawa wanahisi wameti miza
wajibu wao, kwa kuitaka dunia
kukomesha maangami zi ya
Wapalestina yanayofanywa na
mayahudi!
Wai s l amu ul i mwenguni
wanatambua kwamba watawala
ha wa ha wa , wa na pe l e ka
wanaj eshi chi ni ya bendera
ya Umoja wa Mataifa, mahali
popote ulimwenguni, kwenye
operesheni za kulinda amani,
ikiwa ni utekelezaji wa amri ya
Marekani. Lakini wanapoambiwa
kuwa komboa ndugu z a o
Waislamu,wanaoangamizwa na
Majeshi yahitajika Gaza siyo porojo!
Na Said Rajab
makafri, wanajitia uzito katika
ardhi. Hata Mwenyezi Mungu pia
anawashangaa:
"Enyi mlioamini! Mna nini
mnapoambiwa "Nendeni (kupigana)
kwa ajili ya dini ya Mwenyezi
Mungu"Mnajitia uzito katika ardhi?
Je, mmekuwa radhi na maisha ya
dunia kuliko ya Akhera"? Qur(9:38).
Ni jambo la wazi kabisa, Qiblah
cha watawala hawa wa nchi za
Waislamu, ambazo zina nguvu
kubwa za kijeshi, ni Washington
na wala siyo Kaabah. Na nyoyo
zao zimeungana zaidi na makafri
wa Magharibi kuliko ndugu zao
Waislamu. Ndiyo maana hawana
msaada wowote kwa Wapalestina,
licha ya uwezo mkubwa walionao.
Wao ni maajenti tu wa CIA na
Mossad!
Maangamizi yanayowakumba
Waislamu wa Palestina, huku
duni a nzi ma i ki wa upande
wa waangamizaji, yanapaswa
kuwakumbus ha Wai s l amu
ulimwenguni kote, kwamba
wao ni taifa lisilo na dola (a
nation without state). Ili kuweza
kujilinda kutokana na maangamizi
kama haya yanayofanyika Gaza,
Waislamu wanahitaji kuwa na
dola yao wenyewe.
Wiki ya nne sasa, Israel imekuwa
ikiangusha mabomu mazito katika
baadhi ya maeneo ya Gaza kutokea
angani, ardhini na majini, kwa
kizingizio cha kuwashambulia
wapiganaji wa Hamas, lakini maiti
tunazoshuhudia kupitia picha
za televisheni ni za wanawake,
watoto wadogo na watu wengine
wasio na hatia. Mpaka mwishoni
mwa wiki iliyopita, zaidi ya
Wapalestina 1600 walishauliwa
na maelfu wengine kujeruhiwa.
Waislamu wa Gaza wamekuwa
wakikabiliana na maangamizi
hayo kwa uj asi ri mkubwa,
wakiwa peke yao bila ya msaada
wowote unaohitajika, kutoka
Inaendelea Uk. 12
Makala
11
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Makala
Mujahidina John McCain!!!
Inatoka Uk. 4
La kuzingatia hapa ni kuwa
wakati msomaji wetu 0773 526254
anadai kuwa hawa wapiganaji
foot sol i di ers (muj ahi di na
wasioj itambua) wanapigana
Jihad kwa sababu ya nia zao,
kwa akina MacCain hawa ni
terrorists. Ni foot soldiers of
the Western military alliance
ambao baada ya kumaliza vita
waliyotumwa, watajikuta hakuna
walichoambulia zaidi ya kuwatia
Waislamu wa maeneo husika
katika tabu na machafuko yasiyo
na kikomo.
Lakini jingine linalotazamiwa
kupatikana ni kuikokota Iran,
nayo iingine katika mgogoro
huu kwa lengo la kuwasaidia
marafiki Shia. Ikinasa katika
mtego huu, itakuwa ndio mwanzo
wa kudhoofka Iran, nayo kubakia
kama chui wa karatasi kama
ilivyomalizwa Pakistan, nchi
iliyofkia kuwa na nyukilia, lakini
sasa imefanywa kuwa takataka
tupu.
Hata hivyo wachambuzi wa
mambo wanasema kuwa Iran, sio
wajinga. Wanafahamu kuwa huu
ni mchezo wa Marekani. Kwamba
hawa ISIS sio wapiganaji huru
wala sio mujahidina kwa maana
ya hiyo wanavyojitangaza. Ila ni:
Terrorist proxy controlled by the
CIA. It is a creation of US intelligence.
It is a US intelligence asset, an
instrument of non-conventional
warfare.
Na kwa hiyo, wanapiga hesabu
zao vizuri. Wameweka kando
ile kauli yao ya awali kuwa
watashirikiana na Marekani katika
kukabiliana na kitisho cha ISIS.
Ukibaraka na utumiwaji huu wa
ISIS, unaelezwa pia na mkuu wa
Idara ya Usalama wa Saudi Arabia,
Prince Bandar bin Sultan bin
Abdulazia bin Saud ambaye katika
kuishawishi Urusi isimuunge
mkono Bashar Assad, alikwenda
Moscow kukutana na Rais Vladmir
Putin. Katika mazungumzo yao
akampa Putin biashara nono
ya mamilioni ya dola-kwamba
Saudi Arabia ingenunua silaha
toka Urusi za mamilioni ya
dola. Lakini pia akasema kuwa
wao ndio wanaowadhibiti hao
mujahidina na kwamba mwisho
wa yote watatumi ka tu, i l a
malengo yatakayotimia sio hayo
yanayoelezwa na ISIS.
Hata hivyo inaelezwa kuwa
kwa kuwa Putin naye ana masilahi
yake, aliona masilahi ya Urusi
hayapo katika kukubaliana na
mpango wa Marekani kupitia
Saudi Arabia, akamtimua Prince
Bandar bin Sultan bin Abdulazia
bin Saud ofisini kwake, katika
Kremlin. Tazama: (Saudi Prince
Bandar back in action in Riyadh.
, Bandar ibn Israel na Bandar
Bush Buys Votes for War on
Rais Vladmir Putin wa Russia.
Syria)
Msomaji wetu 0773 526254,
anasema kuwa Mui sl amu
akikataa kuunga mkono sheria
za Mungu na akikataa kutambua
dola ya Kiislamu hukumu yake ni
kupigwa risasi na kuuwawa.
Kwa nini baadhi ya Waislamu
wanauwawa (na ISIS)?, Jawabu
ni kuwa hawataki kumtii Khalifa.
Kama ni hivyo, basi ni haki
yao kupigwa risasi. Anasema
msomaji 0773 526254.
Ki sha anahi t i mi sha kwa
kusema: Wakumfanyia dawah
ni kafri ila Muislamu ukiyakataa
hayo auwawe.
Anachosema huyu bwana ni
kuwa mfano jaaliya mazingira
kama ya Zanzibar, Muislamu
yeyoye kama hafanyi ibada, labda
haswali, hafungi, hana kauli nzuri
na jirani zake, anafanya ghishi
katika biashara, basi huyu hakuna
tena fadhakki r kwake wal a
kumuelimisha arejee katika twaa
ya Allah. Hukatwa shingo ama
kupigwa risasi. Huuliwa. Kama
ni nasaha watapewa Wakristo,
makomunisti na waabudu mizimu
(na wale wa mwaka kogwa) kama
wapo!
Jingine analosema ni kuwa
akiibuka Abu Dawd kutokea
huko atokako Kahama na kudai
kuwa yeye ni Khalifah, basi
hakuna kuhoji, ukimpinga ana
haki ya kukuuwa. Akitokea Abu
Yasir kutoka Kirando, Rukwa
au Nungwi, nakudai kuwa yeye
Khalifah, ukimpinga, haki yako
kuuliwa!!!
Kwa uoni kama huo, ndio
anasema kuwa Abu Bakr al-
Baghdadi na wapiganaji wake
wa ISIS, wana haki ya kufanya
mauwaj i wanayofanya Iraq
na Syria hivi sasa kwa sababu
wanaouliwa ni wale wanaompinga
Khalifah al-Baghdadi!
Nafkiri hapa niseme mambo
matatu: Moja ni kuwa hii ni
kielelezo cha upotoshaj i na
mkorogo (confusion) uliopo
ndani ya jamii ya Waislamu. Na
hili litaendelea kutugharimu
kama hakutakuwa na juhudi za
makusudi na za kina za kujinasua
katika kuchanganyikiwa huku. Na
hakuna njia ya mkato. Elimu.
Pili, nadhani hii ni kipimo pia
cha mafanikio cha maadui wa
Uislamu katika kuhamisha vita
iwe ni miongoni mwa Waislamu
we n ye we k wa we n ye we
halikadhalika kuwa askari mahiri
wa kupigana proxy war kwa faida
ya mabeberu.
(Tazama: 1. Genesis Of Islamic
Radicalism: The US Textbook Project
That Taught Afghan Children Terror,
2. The CIA's "Operation Cyclone"
- Stirring The Hornet's Nest Of
Islamic Unrest, 3. Americas Jihad
and Counter-jihad in Afghanistan
and Pakistan)
Tatu ni kuwa kwa hakika tuna
dhima kubwa na hasa Masheikh
wetu, akina Sheikh Kilemile,
Muharami Doga, Maalim Ally
Bassaleh, Kundecha, Mohammed
Idd Abu Idd, Salim Barahiyani,
na wengineo, mbele ya Mungu.
Kwa muktadha wa makala
yangu ya leo mimi niseme jambo
moja tu. Kwa mtu mwenye akili
na anayefuata taratibu za kawaida
tu za binadamu asiye mvivu
wa kufikiri, baada ya kuibuka
kamanda al Baghdadi, anatakiwa
kujiuliza, ni nani huyu Baghdadi
aliyeibuka na kudai anapigana
Jihad? Ametokea wapi? Pana
ukweli gani wa anayoyasema?
Alipoibuka al-Baghdad kama
kamanda wa ISIS, aliyekuwa
mkuu wa gereza la Bucca-Camp
Bucca (ambalo lilikuwa kambi ya
Marekani - U.S. detention camp in
Iraq), Col. Kenneth King, alijuliza
imekuwaj e? Katika kuj iuliza
anasema anakumbuka kuwa huyu
bwana siku anaachiwa katika
gereza hilo alimuaga akimwambia
I will see you guys in New York.
Ni f af anue. Al - Baghdadi
wakati Marekani i mevami a
I raq mwaka 2003, al i kuwa
miongoni mwa maafisa katika
serikali ya Saddam Hussein
aliyekamatwa na kuwekwa katika
kambi ya Marekani ya Bucca.
Wakati wenzake wakipelekwa
Guant anamo na mager eza
mengine, yeye akaachiwa. Na siku
mkuu wa kambi hiyo alipopewa
amri ya kumwachia, anasema
j amaa al i mpungi a mkono
akimwambia See you guys in
New York.
Mkuu huyo wa gereza anasema
kuwa hakuelewa kauli hii ilikuwa
na maana gani. Lakini baada ya
kuibuka ISIS na Baghdadi akiwa
ndio kamanda, huku misaada
na silaha zikitoka Marekani,
anasema ndio sasa anapata picha
na kuelewa maana ya ile see you
guys in New Yok.
Kanuni ya msingi ya Kiislamu
inatuambia kuwa zinapotufikia
habar i , t uchunguze t usi j e
tukawadhuru watu kwa ujinga.
Leo anaibuka mtu anakwambia
anapigania Jihad, lakini Jihad
yenyewe inaonekana kuwa na
mkono wa Marekani, Mayahudi
na NATO, wewe badal a ya
kuchunguza ukajua ukweli wa
mambo, unasema kuwa foot
soldiers watalipwa kwa nia yao!
Unashawishi watu wanakwenda
wakidhani wanapigania Khilafah,
katika kufanya hivyo, wanauwa
watu wasio na hatia na wao
wenyewe wanajiangamiza na
kuuangamiza Uislamu.
Hii akili gani! Uislamu toka
awali ungekuwa umepokewa
na watu walio na ufahamu wa
chini kiwango hiki, hapana
shaka wasingeweza kukabiliana
na vitimvi vya Makuraishi na
Mayahudi na usingetufkia hivi
leo.
12
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Majeshi yahitajika Gaza siyo porojo!
Inatoka Uk. 10
kwa Waislamu wenzao
duniani. Watu wa Gaza
wamebeba r oho zao
mkononi . Wengi wao
wamekufa shahidi na
mamia kutiwa vilema.
Nd e g e z a a d u i
zi naf anya dor i a za
kiusalama kwenye anga la
Gaza, kwa uhuru mkubwa
bila ya hofu yoyote ya
kut ungul i wa , wa l a
kukabiliana na ndege
nyingine ya kuisumbua.
Maj es hi ya nc hi za
Waislamu zilizo jirani na
Gaza, ambayo yana silaha
bora za kisasa, hayawezi
kuwasaidia kijeshi ndugu
zao wa Gaza. Watawala
wa nchi zao wamewatiwa
pini. Ndege zao za kivita,
vifaru na zana nyingine ni
kwa ajili ya maonyesho tu
na mapambo!
Ndiyo maana ndege
za Mayahudi ziko huru
kuvinjari anga la Palestina
na kuangusha mabomu
mahal i wanapot aka
bila ya hofu yoyote ya
kutunguliwa. Nani wa
kuzuia hujuma zao dhidi
ya raia wasio na hatia!?
Wat awal a wa nchi
za Waislamu duniani
wamefanya kosa kubwa
pale walipokubali suala
la Palestina kuhamishwa
kutoka kuwa suala la
Kiislamu na kugeuzwa
kuwa suala la Waarabu,
na baadaye kuwa suala
l a Wapal est i na. Sasa
nao wamesimama kama
watazamaji tu wasio na
upande katika mgogoro
wa Pal est i na, ambao
unawahusu moj a kwa
moja kama Waislamu!
Wakati adui anapofanya
maangami zi ya watu
wasio na hatia, kama
ilivyo sasa katika mauaji
ya Gaza, watawala hawa
wanaziangalia tu ndege
za wavamizi wa Kiyahudi
z i na vyoua r a i a wa
Palestina, miili ya ndugu
zao Waislamu waliouawa
i ki s ha z i kwa , ndi yo
wanaanza mashindano
ya kuonyesha huzuni
zao, kwa kutoa matamko
yasiyo na tija ya kulaani
maangamizi hayo!
K a m a w a l i v y o
mabeberu wa Magharibi,
n a o wa n a k i mb i l i a
"mazungumzo ya amani",
yenye lengo la 'kutafuta'
nj i a ya kukome s ha
ma a n g a mi z i h a y o ,
kama vile suluhisho la
mzozo huo halifahamiki!
Mabeberu wa Magharibi,
Umoj a wa Mataifa na
'Arab League' hawawezi
kul et a uf umbuzi wa
maangamizi ya Gaza. Wao
ni sehemu ya tatizo hilo.
I nas hangaza s ana
kuona wat awal a wa
nchi za Waislamu, nao
wakihangaika kulipeleka
suala la kuangamizwa
ndugu zao wa Gaza,
k we n y e B a r a z a l a
Usalama la Umoja wa
Mat ai f a, waki t af ut a
azi mi o l a kuungwa
mkono Palestina, kutoka
kwa nchi wanachama
wa Baraza hilo, ambazo
ndizo zilizounda dola ya
Kiyahudi, na kuisaidia
kwa hali na mali, kupora
ardhi tukufu za Palestina!
Hiyo ni akili gani!?
Jawabu linalohitajika
k w e n y e m a u a j i
yanayoendelea ya Gaza
l i naj ul i kana. I s r ae l
i nat umi a vi s i ngi zi o
hewa na udanganyifu.
Tunajua wanaohofa sana
ushirikiano wa makundi
ya Wapalestina ya Hamas
na Fatah. Hiyo ndiyo
sababu ya maangamizi
wanayof anya Gaza,
na wala siyo kutekwa
na kuuawa kwa vijana
wa Ki ya hudi ka ma
wa na v y o l a z i mi s ha .
Suluhisho la jambo hilo
siyo vikao wala mikutano
mirefu ya majadiliano.
Wai sl amu duni ani
wanapaswa kutanabahi
kwamba mgogoro wa
Pal esti na unawahusu
na ufumbuzi wake uko
mikononi mwao kama
umma. Mabeberu wa
Maghari bi hawawezi
k u l e t a u f u mb u z i .
N i ma t a p e l i t u ,
wanaochezesha akili za
walimwengu, kwa lengo
la kuhamisha mazingatio
yao kutoka kwenye kiini
halisi cha mzozo huo.
Wa k i s h a t a mb u a
hilo, ndipo Waislamu
watakapoweza kutekeleza
kikamilifu maelekezo
ya Mwenyezi Mungu
Mtukufu, kuhusu maadui
ha t a r i wa na ova mi a
maeneo yao, kwa lengo la
kuwaangamiza, kama vile
inavyofanyika Gaza:
" P i g a n e n i n a o ,
Mw e n y e z i Mu n g u
awaadhi bu kwa mi kono
yenu, na awafedheheshe na
akunusuruni juu yao, na
avipoze vifua vya Waislamu
(vifurahi)" Qur(9:14)
Hivi ndivyo msaada
kwa wat u wa Gaza
unavyot aki wa uwe.
Na hi vyo ndi yo j i nsi
ya k uk a b i l i a na na
maangamizi ya wasio na
hatia Gaza. Na ndivyo
Mwe n y e z i Mu n g u
atakavyovipoza vifua
vya waja wake wema.
Matamko ya kuilaani
Israel peke yake hayasaidii
sana. Na mazungumzo
yasiyokwisha ya amani ni
geresha tu ya kuendeleza
d h u l ma d h i d i y a
Wapalestina!
Ni majeshi tu ndiyo
yanayoweza kuwalinda
rai a wasi o na hat i a,
d h i d i y a ma j e s h i
mi ngi ne ya uvami zi
yanayokalia kimabavu
nchi yao. Nchi za Kiarabu
zinazoizunguka Palestina,
zina nguvu za kutosha
za kijeshi kuzikomboa
ardhi zote za Wapalestina
zilizoporwa na Mayahudi
na kukomesha unyanyasaji
huu wa raia wa Palestina.
Kuna zaidi ya wanajeshi
milioni mbili Waislamu
katika eneo la Mashariki
ya Kati, wanaotumia zaidi
ya Dola za Kimarekani
bilioni 100 kwa mwaka,
kwa ajili ya kununulia
silaha. Misri peke yake
ina zaidi ya ndege 200 za
kivita, aina ya F - 16 na
askari wapatao 450,000.
Sasa kama mna nguvu
kubwa ya kijeshi kama
hiyo, lakini hamuwezi
kuitumia kumpiga adui
yenu, basi ninyi ndiyo
mnakuwa walinzi halisi
wa adui huyo na wala
siyo mataifa ya Magharibi!
I wapo nchi hi zo za
Waislamu zitaishambulia
I s r ael na kui wekea
mzingo (siege), kama vile
Israel inavyofanya Gaza,
unadhani mat ai fa ya
Magharibi, yakiongozwa
na Marekani yatakimbilia
UN na kutoa matamko ya
kulaani tu!? Nina hakika
wat apel eka maj es hi
na kui ngi a vi t ani i l i
kuwanusuru ndugu zao!
U f u m b u z i w a
kudumu wa maangamizi
y a Wa p a l e s t i n a
yanayoendelea Gaza uko
mikononi mwa umma wa
Kiislamu. Siyo Jumuiya
ya Kimataifa wala nchi
za Ki arabu. Nchi za
Ki ar abu zi ki si mama
kama Waislamu, ndipo
zinapoweza kuwanusuru
ndugu zao wa Gaza.
Uislamu una suluhisho la
migogoro kama hiyo.
A l h a m d u l i l l a h ,
tumeshuhudia Waislamu
duni ani na wapenda
amani ul i mwenguni
kote, wakiungana kihisia
na watu wa Gaza katika
ki pi ndi hi ki ki gumu,
kupitia maandamano yao,
misaada ya kibinadamu
na kauli zao za kuilaani
I s r a e l . Wa t u h a o
wanaonekana kuwa tayari
kuchukua hatua zaidi za
kuwanusuru Wapalestina
kuliko maneno, lakini
nao hawana uwezo,
kama walivyo watu wa
Gaza. Hili jambo linahusu
utawala na majeshi, siyo
raia wa kawaida.
12
MAKALA/Mashairi
WATU zaidi ya 20,000
waliandamana na kupita
mbel e ya I kul u ya
Marekani, White House,
Washington DC kupinga
mauwaji yanayofanywa
na Israel huko Gaza.
Free Palestine, let Gaza
live, watu walipaza sauti
mbele ya White House,
Jumamosi iliyopita.
20,000 waandamana
Washington kulani Israel
Y a k i a n d a l i w a
n a k u o n g o z wa n a
Washington-based anti-
war coalition ANSWER,
ikishirikiana na taasisi
nyingine kama Council
of Ameri can- I sl ami c
Rel ati ons, Ameri can-
Muslim Alliance, New
Yor k Mus l i m Legal
Fund of Ameri ca na
Islamic Circle of North
America, yalikusanya
waandamanaji kutoka miji
na majimbo mbalimbali ya
Amerika.
Israel has terrorized
the region and world since
1948. Stop genocide in
Gaza. Free Palestine.
Yalisomeka baadhi ya
mabango yal i yokuwa
y a m e b e b w a n a
waandamanaji.
M w a n d a m a n a j i
Thomas, akibeba bango
l i l i l oandi kwa: Fr e e
Palestine, let Gaza live,
alisema:
The diversity in this
square shows the great
desire for j ustice and
compassion toward the
humanitarian crisis in
Gaza.
A k i m a a n i s h a
kuwa ule mkusanyiko
uliowajumuisha watu wa
kada mbalimbali, dini
na mataifa mbalimbali,
unathibitisha kilio cha
wengi na huruma ya
wengi, kutaka haki kwa
wananchi wa Gaza.
Obama, responsible for
massacre. Stop all U.S.
aid to Israel. Ni ujumbe
katika mabango mengine.
Waandamanaji walipita
pia mbele ya ofsi za gazeti
la The Washington Post,
ambalo walilishutumu
kuwa lina msimamo wa
kumpendelea na kuwa
upande (pro-Israeli editorial
policy) wa dhalimu Israel.
We protest the editorial
vision of the Washington
Post, which continues to
promote Israeli occupation
and apartheid policies that
are the root of the confict.
Shame on you!
Walipaza sauti baadhi
y a wa a n d a ma n a j i
walipofka langoni mwa
ofsi za gazeti hilo likiwa
l i nal i ndwa na askari
wenye silaha kali.
Ki l i chovut i a zai di
katika maandamano hayo
ni uwepo wa Mayahudi
wakiwa na mabango yao
yakisema:
Judaism rejects the
Zionist Israeli State and
its atrocities.
Kwa mb a di n i ya
Ki yahudi ( J udai s m)
i napi nga Uzayuni na
unyama unaofanywa na
Israel.
The I s r ael i s t at e
has been perpetrating
genoci de agai nst the
Pa l e s t i ni a ns whi c h
Judaism would never
accept.
Alisema mwandamanaji
wa Kiyahudi rabbi David
Fieldman akimaanisha
kuwa serikali ya Israel
i me k u wa i k i f a n y a
mauwaji ya kuangamiza
k wa Wa p a l e s t i n a
jambo ambalo Uyahudi
haulikubali.
13
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
MAKALA
ALLAH ( sw) amemuumba
mwanadamu katika umbile
bor a zai di , amempa aki l i
inayomtofautisha na mnyama na
akampa maarifa ya kutengeneza
mavazi.
Allah (sw) anasema.
Enyi wanadamu, haki ka
tumekuteremshieni nguo zifchazo
tupu zenu na nguo za mapambo,
na nguo za utawa ndizo bora.
Hayo ni ishara za Allah (sw) ili
watu wapate kukumbuka.
Enyi Wanadamu, shetani (Ibilisi)
asikutieni katika matatizo kama
alivyowatoa wazee wenu katika pepo,
akawavua nguo zao ili kuwaonyesha
tupu zao. Hakika yeye pamoja na
kabila lake wanakuoneni, hali ya
kuwa wao hamuwaoni. Bila shaka
sisi tumewajaalia mashetani kuwa
marafiki wa wasioamini. (Aaraf:
26-27).
Watukufu Waislamu, watu
wengi wataingizwa motoni kwa
kumfuata kwao Ibilisi na kufuata
matamanio ya nafsi zao. Ibilisi
amekula nj ama kuwapoteza
wanadamu kwa kuwashawishi
wavue nguo zao na waende uchi,
ili wachukiwe na Allah (sw), kama
yeye alivyochukiwa na waingizwe
motoni pamoja na yeye. Na ni
njia hiyo aliyoitumia kuwapoteza
wazee wetu Adam na Hawa.
Basi Allah (SW), anatuonya
tusimfanye shetani ndiyo kipenzi
chetu tukapotea. Allah (sw)
anasema, (Hali ya kuwa Allah
sw) ameliongoa kundi moja na kundi
jingine limethibitikiwa na upotofu.
Kwa hakika waliwafanya mashetani
kuwa walinzi wao badala ya Allah (sw)
na wanadhani kuwa wameongoka.
(Aaraf: 30).
Mui sl amu asi j e akadhani
kwamba yeye bado hajajaaliwa
kufanya mema, au Allah (sw)
ndiye alivyomtaka apotee, ila kila
aliyepotea amejitakia mwenyewe
upotofu kwa kumfuata shetani
na amepotoka kwa hiari yake,
kwani amepewa akili na uhuru
wa kuchagua haki au batili. Na
mtu akifanya maasi mwisho wake
atajiona yuko sawa, ndiyo leo
wanawake wanaokwenda uchi,
wote hao wanajiona wameendelea
sana na wanakwenda na wakati,
hasara yao duniani na akhera.
Makureishi walikuwa wanatufu
Alkaaba uchi na walijiona wako
sahihi. Allah (sw) akasema,
Sema ni nani aliyeharamisha
mapambo ya Allah (sw), ambayo
amewatolea waja wake. Na (nani
al i yeharami sha) vi tu vi zuri
katika vyakula? Sema vitu hivyo
amewahalalishia Waislamu (hapa)
katika maisha ya dunia, (na)
vitakuwa vyao peke yao siku ya
kiama. Namna hivi, tunazieleza
aya kwa watu wajuao. (Aaraf:32).
Allah (sw), amesema (Na
Allah sw) amekufanyieni nguo
zinazokukingeni na joto na (baridi
na amekufanyieni) nguo za chuma
zinazokukingeni katika vita vyenu.
Namna hivi anakutimizieni neema
zake ili mpate kutii. (Nahl: 81).
Tunapata mafunzo kwamba
Allah (sw) ndiye aliyetupa elimu
ya kutengeneza nguo, magari,
computer nk. ili tupate kuzidi
kuwa watiifu kwake, kinyume
chake kila tunaponeemeshwa, sisi
ndio tunazidi kukufuru!
Stara ya mwanamke Muislamu
Mavazi ya wanawake.
Allah (sw) anasema, Ewe
Mtume! waambie wake zako
na mabinti (watoto) wako na
wa na wa ke wa Ki i s l a mu,
wajiteremshie vizuri "Jalaabab",
kufanya hivyo kutawapelekea
upesi wajulikane (kuwa ni watu
wa heshima ili) wasiudhiwe.
Na Allah (sw) ni mwingi wa
kusamehe na mwingi wa rehema.
(Ahzab: 59).
Aya hii imekuja kulazimisha
wanawake wa Kiislamu wote
kuvaa hijaab, ni wajibu kama ilivyo
swala. La kushangaza ni kuona
wanawake wengi wa Kiislamu
wanapuuza f ardhi hi i kwa
makusudi, halafu wanategemea
kupata pepo kwa kumuudhi huyo
anayemiliki pepo hiyo.
Allah (sw) anasema tena, "Na
waambie waumini wanawake
wa i n a mi s h e ma c h o ya o
na wazilinde tupu zao, wala
wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa
unao dhihirika. Na waangushe
shungi zao juu ya vifua vyao, wala
wasionyeshe mapambo yao, ila
kwa waume zao, au baba zao, au
baba wa waume zao, au watoto
wao, au watoto wa waume zao, au
kaka zao, au wana wa kaka zao, au
wana wa dada zao, au wanawake
wenzao, au iliyowamiliki mikono
yao ya kuume, au waf uasi
wanaume wasio na matamanio, au
watoto ambao hawajajua mambo
yaliyohusu uke. Wala wasipige
chini miguu yao ili yajulikane
mapambo waliyoyaficha. Na
tubuni nyote kwa Allah (sw) enyi
waumini, ili mpate kufanikiwa.
(Nuur: 31)
Aya zimekuja kulazimisha
wanawake wa Kiislamu kuvaa
buibui na shungi, na anasema
Jabi r (ra) kwamba aya hi zi
ziliteremshwa kwa wanawake
waliokuwa wakienda kifua wazi,
na mi guu wazi waki onesha
mapambo yao kwa wat u,
ambao si maharimu wao. Basi
aya zinakataza kwa mwanamke
kuonekana mwili wake ila uso
na viganj a vya mikono. Na
wamekatazwa kuj ipamba na
kutoka nje kuonesha mapambo
yao kwa watu wa mbali, ila kwa
watu waliotajwa kwenye aya.
(Nuur:31).
Wanachuoni wa Ki i sl amu
wameorodhesha sharti za hijaab
kama ifuatavyo: Nguo iwe ya
halali Muislamu anatakiwa chumo
lake liwe la halali lisitokane na
zinaa, ulevi, kamari, wizi, riba,
udanganyifu, kuuza vinyago,
muziki na biashara za haramu.
Allah (sw) amewahimiza Mitume
pamoja na waumini wao kula rizki
za halali na kuchuma halali, na
Muislamu anayechuma chumo la
haramu, basi dua na ibada zake
nyingine hazitokubaliwa, kwani
Allah (sw) ni mtakatifu, hakubali
ila halali.
Allah (sw) anasema, Enyi
Mitume! Kuleni vyakula vizuri
na fanyeni mema. Hakika Mimi
ni mj uzi wa mnayoyatenda.
(Muuminuun:51). Akasema tena
Enyi mlioamini! Kuleni vizuri
tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru
Allah (sw), ikiwa kweli mnamuabudu
Yeye tu. (Baqarah:172).
Amesimulia Abuu Hurayra
(ra), kuwa Mtume (saw) amesema
Allah (sw) ni mzuri hakubali
ila vitu vizuri, na Allah (sw)
amewaamrisha waumini mambo
a l i yowa a mr i s ha Mi t ume ,
aliposema Enyi Mitume! Kuleni
vyakula vizuri na fanyeni mema.
Hakika Mimi ni mjuzi wa mnayo
yatenda.
Akasema tena Enyi Mlioamini!
Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni
na mumshukuru Allah (sw) ikiwa
kweli mnamuabudu Yeye tu
kisha akataja mtu aliyesafiri
masafa marefu mwenye manywele
timtimu, aliyejaa vumbi anainua
mikono yake mbinguni, akisema
ewe Bwana ewe Bwana, na
chakula chake ni haramu na
nguo zake ni haramu na amekulia
kwenye haramu vipi atakubaliwa?.
(Muslim na Tirmidhy).
Hadithi inahimiza kula halali na
kuvaa nguo za halali na anayekula
haramu na kuvaa nguo za haramu
hatokubaliwa ibada zake.
Nguo isitiri mwili mzima:
Sharti jingine ni kwamba nguo
yenyewe iwe ni Jalaabab, yaani
guo zito, pana lenye kusitiri mwili
mzima isipokuwa uso na viganja
vya mikono. Hijaab ina sehemu
mbili ukiacha nguo za ndani
(sketi na blauzi n.k.), nje avae
buibui pana lisilombana wala
kuonyesha mikatiko ya mwili
wala lisipasuliwe, halafu avae
shungi litakalofunika uso na
kuteremka mpaka kifuani chini
ya matiti yake. Tofauti na vile
vitambaa vinavyofunika kichwa
tu na vikaitwa hijaab. Vitambaa
hivi vivaliwe ndani kabla ya kuvaa
shungi, Mtume (saw) alimwambia
Bibi Asmaa (ra), Ewe Asmaa!
Hakika mwanamke akishafikia
kuwa na hedhi (akibaleghe)
haisihi kwake aonekane (na
mwanamme aj nabi) ila hapa
na hapa, akaashiria uso wake
na viganja vya mikono.(D4104
hadithi hii imedhaifishwa na
Ghuthaymin na ikasahihishwa
na Albany)
Katika hadithi hii pia tunajifunza
kwamba Bibi Asmaa (ra) alivaa
nguo inayoonesha ndani, kwa
hivyo haifai kuvaa nguo hiyo. Pia
kuna hadithi nyingi zaidi zenye
kuonesha kuwa wanawake wakati
wa Mtume (saw) walijifunika
mwili mzima ila macho tu kama
alivyosimulia Ibn Abbas (ra) na
kupokelewa na Bukhari (SB 4759).
Aisha (ra) anasema kwenye
Hija, wanawake walijifunika
uso walipopitiwa na misafara ya
wanaume. (Mj 1833).
Wamehitilafana Ulamaa katika
suala la kuonekana uso, baadhi yao
wanaona si lazima kufunika uso,
na wengine wanaona ni lazima.
Ama wanawake watakaonekana
nywele, kwa kusukana nje, au
kichwa au sehemu yoyote ya
mwili ukiacha uso na viganja vya
mkono, hao wako uchi kisheria na
wanapata dhambi ya kukaa uchi.
Amesimulia Abii Hurayra
(ra) kuwa amesema Mtume
(saw), makundi mawili ya watu
ni watu wa motoni, sijawaona
(katika wakati huu), watu wenye
mijeledi kama mikia ya ngombe
wanawapigia watu, na wanawake
waliovaa nguo lakini wako uchi,
wamejipamba na kujitakisha
kwa wanaume, nao wanaume
wanawafuata kwa machafu, katika
vichwa vyao mna kama nundu ya
ngamia iliyolala, hawatoingia
peponi wala hawatonusa harufu
yake, pamoja na kuenea harufu
yake masafa kadha wa kadhaa
(masafa ya meli hamsini elfu) (SM
2124).
Hadithi inaonesha miujiza
mi kubwa ya Mt ume ( saw)
kuwajua wale askari wanaopiga
raia kwa marungu bila makosa.
Na kuwajua wanawake ambao
wanavaa nguo zenye kubana na
kuonesha maumbile ya mwili,
na wanaotoka nje wamejipamba
kwa lipstick, piko, hina na
nguo walizovaa ni za marembo
marembo, na katika vichwa vyao,
wana nundu ya ngamia, yaani
nywele zilofungwa na kuwekwa
help me, na kumfanya mwanamke
awe na vichwa viwili kimoja cha
kimaumbile na cha pili kama
nundu ya ngamia, na hiyo ni dalili
moja ya watu wa motoni. Nyengine
ni kule kutoka nje wamejipamba
na kuonesha mapambo yao
kwa wanaume na kwenda kwa
maringo, wakitikisha viuno vyao ili
watakiwe na wanaume, wanaingia
pia wanawake wanaokata viuno
katika dufu na ngoma na miziki
mbele ya wanaume, kwa hivyo
wanenguaji wote ni watu wa
motoni.
Mt ume wet u Muhammad
(saw) alioneshwa watu hao wa
motoni na Mola wake, kabla
yeye kuwaona kwa macho, kwani
wakati wake kulikuwa hakuna
askari wapigao watu marungu
bila kosa, wala wanawake wenye
nundu za ngamia vichwani mwao,
ndiyo kwanza sasa yanaenea hayo
mahelp me, ila yeye aliyaeleza
haya zaidi ya miaka elfu moja
nyuma.
14
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
UKILITAMKA neno Srebrenica
hapa Ul aya, na hasa kat i ka
sehemu za Balkan, mwili wa mtu
husisimka. Hilo ni jina la mji,
kaskazini mashariki ya Bosnia,
ambalo linawaibisha watu wa
Ulaya juu ya unyama uliofanyika
ndani ya bara lao. July mwaka
1995 mauaji makubwa yalifanyika
ndani na pembezoni mwa mji huo
na yakachukuwa roho za zaidi ya
Waislamu wa Bosnia 8,000, wengi
wao wakiwa wanaume. Wauwaji
walikuwa wanajeshi wa Kiserbia
kutokea Bosnia wakiongozwa na
Jenerali Ratko Mladic. Walishiriki
wanamgambo kutokea Serbia na
hata watu waliojitolea kutoka Urusi.
Umoja wa Mataifa uliyaelezea
mauaji hayo ya kiholela kuwa ni
mabaya kabisa kuwahi kufanyika
Ulaya tangu kumalizika Vita Vikuu
vya Pili vya Dunia.
Vi t a vya Bos ni a vi l i kuwa
vinaendelea wakati huo kutokana
na kusambaratika kwa lililokuwa
Shirikisho la Yugoslavia. April
1993 Umoja wa Mataifa ulitangaza
kwamba Srebrenica ni Eneo la
Usalama. Hata hivyo, July 1995
jeshi la Umoja huo, likiwakilishwa
na wanajeshi 400 wa kuweka amani
kutokea Uholanzi, liliwachia mji
huo utekwe na Waserbia. Mbele ya
macho ya wanajeshi wa Kiholanzi,
na tena mchana kweupe, wanajeshi
wa Kiserbia waliwatenganisha raia
wa Kiislamu walio wanaume upande
mmoja na wale wa kike upande
mwingine. Hatima ya wanaume
ilikuwa kupigwa risasi na kuzikwa
vi chakani ndani ya makaburi
ya halaiki. Wengi wa wanawake
walimalizikia kama mashine za
ngono kuwaburudisha wanamgambo
wa Kiserbia.
Mwaka 2004 Mahakama ya
Kimataifa ilioundwa na Umoj a
wa Mataifa kushughulikia kesi za
uhalifu wa kivita katika Yugoslavia
ilisema kilichofanyika Srebrenica
ni mauaji ya kimbari, uhalifu chini
ya sheria za kimataifa. Mahakama
hiyo ilisema kwamba kuwahamisha
kwa nguvu Wabosnia 25,000 hadi
30,000, wanawake, watoto na wazee,
zoezi lililokwenda sambamba na
mauaji hayo, ni ushahidi tosha juu
ya nia ya kuuwa waliokuwa nayo
maafsa wa juu wa jeshi la Waserbia
wa Bosnia. Wenyewe Umoja wa
Mataifa ulikiri kwa kusema kwamba
japokuwa lawama kubwa ya mauaji
hayo inawaangukia watu waliotenda
pamoja na wale waliowasaidia na
kuwalinda, hata hivyo, mataifa
makubwa ni ya kulaumiwa pia kwa
kushindwa kuchukuwa hatua zifaazo.
Pia ilitajwa kwamba Umoja wa
Mataifa ulifanya makosa makubwa
ya kutochukuwa maamuzi barabara,
hivyo maafa ya Srebrenica yatawasuta
walimwengu na kuzibakisha hisia
zao zikiugua.
Orodha ya watu wal i opotea
Srebrenica ni 8,373 hadi July 2012, na
kati ya hao 6,838 wameshatambuliwa
kupitia vipimo vya uchunguzi
wa kinasaba, DNA, uliofanyiwa
mafupa yaliofufuliwa kutoka kwenye
makaburi. Miili 6,066 imezikwa katika
Uwanja wa Potocari ambako kila
mwaka maelfu ya Wabosnia huenda
Haki kwa mama wa wahanga wa Srebrenica
Na Othman Miraji
hapo kuwaombea dua marehemu
ndugu zao. Rais wa Serbia aliwahi
kuomba radhi kwa mauaji hayo,
lakini hajaenda umbali wa kuyaita
kuwa ni ya kimbari.
Licha ya karibu miaka 20 kupita
sasa tangu kutokea mkasa huo,
bado Ulaya inatembea na zimwi la
Srebrenica, maafa yaliotoa picha
ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa
kushindwa kuwa chombo cha kulinda
usalama wa watu walio dhaifu.
Wiki iliopita mahakama ya kiraia
ya Uholanzi iliamuwa kwamba
nayo serikali ya Uholanzi inabeba
dhamana ya kuul i wa zai di ya
Waislamu wa Kibosnia 300. Ilitajwa
kwamba nchi hiyo iliokuwa na kikosi
chake katika jeshi la kuweka amani
la Umoja wa Mataifa huko Bosnia,
ni mshirika wa makosa pia kwa
vile wanajeshi wake waliwaachia
wanamgambo wa Kiserbia waingie
katika kambi iliotengwa kuwalinda
rai a wa Ki i sl amu wa Bosni a.
Inasemekana Waislamu hao 300
walitaka ulinzi katika kambi hiyo
walikokuwa wakikaa wanajeshi wa
kulinda amani wa Uholanzi karibu
na Potocari. Lakini badala ya kupewa
ulinzi, Waholanzi waliwakabidhi raia
hao kwa jeshi la Jenerali Mladic na
kuuliwa.
Lakini mahakama hiyo ilisema
serikali ya Uhoanzi si dhamana
wa moja kwa moja wa mauaji yote
yaliotokea Srebrenica ambapo zaidi
ya Waislamu 8,000 waliuliwa. Licha
ya hayo, wanajeshi wa Kiholanzi
walilaumiwa kwa kwenda kinyume
na sheria na kuchangia kuwahamisha
zaidi ya raia 300 kutoka jengo lao la
kijeshi.
Jumuiya ya Mama wa Watoto
Wal i oul i wa Srebreni ca ndi o
iliofungua kesi hiyo. Ilitaka serikali
ya Uholanzi ibebeshwe dhamana
moja kwa moja kwa kutekwa eneo
hilo na wanamgambo wa Kiserbia
na kuuliwa jamaa wa akina mama
hao. Ilivokuwa mahakama hiyo
haijaenda umbali wa kuyakuba madai
yote, akina mama hao wamesema
watakata rufaa mbele ya Mahakama
ya Ulaya mjini Strassburg. Akina
mama hao wanautaka Umoja wa
Mataifa ubebeshwe pia dhamana juu
ya mkasa huo.
Mwaka jana Mahakama Kuu huko
Uholanzi ilisema kikosi cha wanajeshi
wa Uhol anzi ki l i chokuweko
Srebrenica kinabeba dhamana ya
kuuliwa wanaume watatu wa Kibosnia
ambao walikataliwa kuingia katika
kambi ya wanajeshi hao na baadae
watu hao wakauliwa na Waserbia.
Mwaka huu serikali ya Uholanzi
imewafdia jamaa wa marehemu hao
kwa kulipa Euro 20,000 kwa kila mtu
mmoja aliyeuwawa.
Hukumu iliotolewa The Hague
wiki iliopita imezusha masuali kwa
mabingwa wa sheria za kimataifa.
Ina maana kwamba j apokuwa
mwanaj eshi wa kuweka amani
wa Umoj a wa Mataifa atakuwa
na kinga ya kutoshitakiwa kwa
uhalifu kutokana na kibali ambacho
Umoja wa Mataifa inacho, hata hivyo,
serikali ya nchi ya mwanajeshi huyo
inaweza kubebeshwa dhamana kwa
kitendo cha mwanajeshi huyo. Kwa
umbali gani tafsiri ya hukumu hii
itakavotumiwa katika operesheni za
kijeshi za Umoja wa Mataifa ni jambo
la kungoja na kuona.
Kuna hatari kwamba kutokana
na hukumu hii, huenda hamna nchi
yeyote isiokuwa na maslahi katika
eneo la mzozo itakayokubali kutuma
wanajeshi wake huko kulinda amani.
Madola kama Marekani na Ujerumani
yalikwepa kutuma wanajeshi wa
kulinda amani nchini Bosnia. Na
ingekuwa hakujapelekwa kabisa
wanajeshi wa kulinda amani huko
Bosnia wakati huo, bila ya shaka
idadi ya watu ambao wangekufa
katika vita hivyo ingekuwa kubwa
zaidi. Raia wengi pia wangekufa kwa
njaa. Kwa ufupi: ninavoona mimi ni
kwamba kanuni za kimsingi za utu
lazima ziwe juu ya ule muongozo
uliowekewa operesheni ya kulinda
amani. (Kwa hisani ya Othman
Miraj)
TANGAZO
Unahitajika msaada kwa kijana (Mtoto) wa Kiislamu (miaka 14),
aliye mlemavu wa miguu, kuendelezewa eneo lake la ardhi, kwa
kiwango ama chumba kimoja au viwili.
Eneo hilo lipo Potea, Kigamboni Jijini Dar es Salaam, alipewa na
Muumini mmoja (Mama) wa Kiislamu, toka mwaka 2011, ikiwa ni
Sadakatul-jaalia kwa kijana huyo baada ya kumuona.
Mama mzazi wa kijana huyo, hana uwezo wa kuliendeleza eneo hilo.
Ikiwa msaada huo utapatikana utaweza kumsaidia kukabiliana na
changamoto ya kukidhi malengo yake ya kumpeleka katika masomo
ya Dini, Mkoani Tanga.
Kwa maelezo/msaada piga namba:-
0686 82 36 96, 0659 27 16 49.
WAPALESTINA wakienda kuzika ndugu na jamaa zao kufuatia mashambulizi ya majeshi ya Israel huko Gaza. Je,
Waziri Mkuu wa Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau anaweza kufkishwa The Hegue kujibu tuhuma za mauaji ya
raia wasio na hatia wa Kipalestina.
MAKALA
15
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
MAKALA
SERA ya nc hi za nj e ya
Marekani hai l engi kuzui a
kuenea kwa Uislamu wa siasa
kali. Kwa uhakika, ni kinyume
chake. Kielelezo cha kukua
kwa 'Uislamu wa siasa kali'
wakati wa vita ya kiitikadi
ya dunia katika iliyokuwa
Urusi na Mashariki ya Kati
inaendana na agenda iliyojifcha
ya Marekani. Inalenga zaidi
uendelezaji na siyo kupambana
na ugaidi wa kimataifa, kwa
nia ya kutangua mifumo huru
ya kitaifa na kuzuia kuenea
kwa harakati za mabadiliko ya
kijamii zinazolenga ukiritimba
wa kiuchumi wa Marekani.
Watawala jijini Washington
wanaendelea kuunga mkono -
kwa kutumia operesheni kifcho
za CIA - kukua kwa Uislamu
wa kikereketwa, kote Mashariki
ya Kati, katika iliyokuwa Urusi
pamoja na nchini China na India.
Kote katika nchi zinazoendelea,
kukua kwa vikundi vya itikadi
kali, za sehemu ndogo za jamii
na nyi ngi nezo, zi nasai di a
kutimiza malengo ya Marekani.
Makundi haya na yale yenye
silaha yamekuzwa, hasa katika
nchi ambazo taasisi za kitaifa
zimeporomoka chini ya mzigo wa
matakwa ya kurekebisha uchumi
yaliyolazimishwa na shirika la
fedha la kimataifa, IMF.
Makundi haya ya kikereketwa
yanachangi a kuhar i bu na
kuvuruga taasisi za kiraia.
Ukereket wa wa Ki i sl amu
unajenga migawanyiko ya kijamii
na kikabila. Inapunguza uwezo wa
wananchi kuungana kupambana
na ukiritimba wa Marekani.
Makundi haya au mikusanyiko,
kama Taliban nchini Afghanistan,
mara kadhaa huanzisha harakati
dhidi ya 'Uncle Sam.' (mjomba
wa Marekani, mfadhili wao) kwa
njia ambayo haijengi hatari yoyote
kwa maslahi mapana ya Marekani
kiuchumi au kushikilia maeneo
tofauti duniani.
Kufuta historia ya Al Qaeda:
Tangu Septemba 2001, historia
ya Al Qaeda kimsingi imefutika.
Uhusika wa serikali kadhaa za
Marekani na 'mtandao wa kigaidi
wa Kiislamu' ni nadra kutajwa.
Vita kubwa katika Mashariki
ya Kati na katika Asia ya Kati,
inayosemekana ni 'dhidi ya ugaidi
wa kimataifa,' ilianzishwa Oktoba
2001 na serikali ambayo ilikuwa
inafuga ugaidi wa kimataifa kama
agenda mojawapo ya sera ya nchi
za nje. Kwa maneno mengine,
sababu muhimu ya kuanzisha
vita dhidi ya Afghanistan na Irak
zimeundwa tu, kijanja. Wananchi
wa Marekani wamedanganywa
na kupotezewa mwelekeo kwa
Agenda iliyofchika ya Marekani
Na Profesa Michel Chossudovsky
JIMMY Carter, Rais wa zamani wa Marekani.
makusudi na serikali yao. Uamuzi
wa kuwadanganya wananchi
wa Marekani ulichukulia hapo
Septemba 11, 2001, saa chache
baada ya shambulio la kigaidi
dhidi ya majengo ya Kituo 'cha
Biashara cha Kimataifa, Bila
ushahidi wa kuyakinisha, Osama
alikuwa tayari ametajwa kama
'mtuhumiwa mkuu.' Siku mbili
baadaye, Septemba 13 - wakati
uchunguzi wa FBI ndiyo kwanza
unaanza - Rais Bush akaahidi
"kuiongoza dunia kufkia ushindi."
Wakati CIA inakubali kwa
mbinde kuwa Al Qaeda ilikuwa ni
'amana ya kiinteligensia' wakati wa
vita ya itikadi na Urusi, uhusiano
halisi unasemekana kuanzia mbali,
katika enzi zilizopita. Habari
kuhusu Septemba 11 zinaelekea
kusadiki kuwa uhusiano kati ya
CIA na Al Qaeda ni wa kipindi
cha vita vya Urusi na Afghanistan
(vilivyoisha 1988). Mahusiano
hayo yanaonekana kuwa yalikuwa
ni tofauti na kuelewa kilichotokea
Septemba 11 na 'Vita ya Dunia
dhidi ya Ugaidi.' Hata hivyo miezi
michache tu kabla ya Septemba 11,
kulikuwa na ushahidi wa uhusiano
wa karibu kati ya wanajeshi wa
Marekani na makundi ya Al
Qaeda yanayoshiriki mapambano
nchini Macedonia.
Ikiwa imefunikwa na mkondo
wa historia ya hivi karibuni,
nafasi ya CIA katika kuunga
mkono na kuinua makundi ya
kigaidi ya kimataifa wakati wa
vita ya kiitikadi (Vita Baridi) na
baada ya hapo, inaachwa pembeni
au kupuuziwa na vyombo vya
habari vya nchi za Magharibi.
Kielelezo cha wazi cha uvurugaji
wa habari kuanzia Septemba 11
ni dhana ya 'kujirudi,' ambako
dhamana za ki i nt el i gensi a
( za ki j asusi ) zi nasemekana
'kuwarudi walioziunda kuwa
kile tulichokiunda kinaturudia
na kutupiga machoni.' Katika
kuonyesha mfano wa mantiki
iliyopinda, utawala wa Marekani
na CIA vinaonyeshwa kama
waathirika, wahanga wa hali hiyo:
Mb i nu z a ha l i ya j uu
zilizofundishwa Mujahidina,
na maelfu ya tani za silaha
zilizopelekwa kwao na Marekani
- na Uingereza - sasa vinazitesa
nchi za Magharibi katika kile
kinachoitwa 'kujirudia,' ambako
mkakati wa kisera unawageukia
wale walioutunga.
Vyombo vya habar i vya
Marekani, hata hivyo, vinakiri
kuwa "kuingia kwa Taliban
madarakani (mwaka 1996) kwa
upande fulani kulitokana na
Marekani kuwaunga mkono
Mujahidina, kundi la Afghanistan
la siasa kali, katika miaka ya 1980
wakati wa vita dhidi ya Urusi.
Lakini pia inafuta ushawishi wa
hoja zake na matamshi rasmi
na kufkia tamati, kama wimbo,
kuwa CIA imedanganywa na
ujanja wa Osama. Ni kama mwana
kwenda kinyume na baba yake.
'Vita dhidi ya Ugaidi' baada ya
Septemba 11: Dhana ya 'amana
kujirudia' ni ya kutunga. CIA
haikuwahi kuondoa mahusiano
yake na 'mtandao wa Kiislamu
wa siasa kali.' Kuna ushahidi
wa kutosha kuwa Al Qaeda
imebaki kuwa amana ya kijasusi
inayofadhiliwa na Marekani. Al
Qaeda inatajwa kama mhunzi
wa Septemba 11 bila hata mara
moja kutaja mahusiano yake ya
kihistoria na CIA na taasisi ya
kijasusi ya jeshi la Pakistan, ISI.
Wakati Al Qaeda imeendelea
kubaki chini ya udhibiti wa
mashirika ya kijasusi ya Marekani,
utawala wa Marekani umesisitiza
muda wote kuwa 'adui huyu wa
nje' atashambulia tena, kuwa
'Septemba 11 ya pili' itatokea
kwingineko Marekani au katika
nchi za Magharibi. "Kuna dalili
kuwa mashambulio mengine siku
za usoni yanaweza kushindana au
kuzidi yale ya Septemba 11...
Na ni wazi kuwa mji mkuu wa
nchi na jiji la New York zitakuwa
katika orodha yoyote ile ya
mashambulizi mengine" (kwa
mujibu wa Tom Ridge wakati wa
Christmas, 2003).
"Unajiuliza: Hivi ni hatari kiasi
hicho? Ndiyo, unaweza kusema
na kuweka rehani hata maisha
yako. Watu hawafanyi hivyo kama
siyo jambo la hatari kabisa," kwa
mujibu wa aliyekuwa Waziri wa
Ulinzi Donald Rumsfeld, wakati
huo huo.
Taarifa za uhakika zinaonyesha
kuwa Al Qaeda i naendel ea
na mipango yake ya kufanya
s hambul i o kubwa nc hi ni
Marekani kat i ka j uhudi za
kuvuruga mpangilio wetu wa
kidemokrasia. ....Hii ni habari
ya kustua kuhusu wale ambao
wanataka kututayarishia mabaya.
Lakini kila siku tunaimarisha
ulinzi wa nchi yetu." (Rais George
W. Bush, Julai 2004)
"Adui aliyeshambulia Septemba
11 amepasuka vi pande na
kupungua nguvu, lakini bado ana
nguvu nyingi, akiwa na dhamira
ya kutushambnulia tena," alisema
aliyekuwa makamu wa rais Dick
Cheney, Julai 2006.
"Septemba 11 nyingine ingetoa
sababu na nafasi ya kujibu mapigo
dhi di ya wal engwa kadhaa
wanaofahamika," kwa mujibu
wa ofisa wa Wizara ya Ulinzi
ya Marekani, akizungumza na
gazeti la Washington Post, Aprili
23, 2006.
(Hii ni sehemu ya makala ya
Profesa Michel Chossudovsky,
aliyoipa jina Washington s
Hidden Agenda. Imefasiriwa kwa
Kiswahili na Anil Kija)
16
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
ZILE tuhuma juu ya
watoto wa Kiislamu
kat i ka skul i ya
Eden International
S c h o o l , k u wa
wa na s ome s hwa
U t a t u , s a s a
zimethibiti.
Hata hivyo, watoto
hao wameel ezea
masikitiko yao kuwa
wakati Waislamu
ndio wanaofanya
i dadi kubwa ya
wa n a f u n z i wa
skuli hiyo, hakuna
somo l a Maari fa
ya Uislamu, wala
mwalimu anayekuja
k u wa s o me s h a
Uislamu.
T a a r i f a y a
Mraj is wa Elimu,
Zanzibar imesema
kuwa, uchunguzi
uliofanyika skulini
hapo umebaini kuwa
Wanafunzi wasoma Utatu
Mwalimu wa Islamic hakuna
Na Mwandishi Wetu
watoto wa Kiislamu
wanal azi mi shwa
kusoma Ukr i st o
na kuvaa mavazi
yasiyostahiki.
Akizungumza na
vyombo mbalimbali
vya habari ofisini
kwake, Mrajis huyo
wa Elimu Siajabu
Suleiman Pandu,
alisema kuwa kwa
mujibu wa Katiba
ya nchi, hakuna kosa
mt u kuf undi sha
dini, bali ni kosa
k uwa l a z i mi s h a
watoto kusoma dini
ambayo sio ya kwao.
B a d o
hai j afahami ka ni
kwa nini Masheikh
na vi ongozi wa
Jumuiya za Kiislamu,
hawapeleki walimu
k u wa s o me s h a
watoto hao wa Skuli
ya Eden somo la Dini
ya Kiislamu.
Mhe. Juma Shamhuna.
MKUU wa Mkoa wa Dar es
Salaam Mhe. Saidi Meck
Sadiki, ameitaka kampuni
ya Mahindra & Mahindra
Ltd (M&M), kuleta bidhaa
zenye ubora na viwango
stahiki kwa barabara za
Tanzania huku wakizingatia
suala la bei.
Mhes hi mi wa Sadi ki
amesema kuwa i wapo
kampuni hiyo i taingiza
magari mapya yenye ubora,
huku wakiweka bei ambayo
haitakuwa kikwazo kwa
Mahindra watakiwa kuondoa
tatizo la magari mitumba nchini
Na Mwamndishi Wetu
Watanzania walio wengi
kuyanunua, basi watasaidia
kuiepusha Tanzania kuwa
jalala la magari mitumba.
Kauli hiyo ya Mheshimiwa
Sadiki imekuj a kufuatia
kuzinduliwa na kuingizwa
katika soko la Tanzania
magari yanayotengenezwa
na kampuni ya Mahindra
& Mahindra Ltd (M&M), ya
India.
Katika hotuba ya uzinduzi
wa sehemu ya kuuzia magari
hayo (show room) pamoja
na karakana (workshop),
i l i yosomwa kwa ni aba
yake na Mkuu wa Wilaya
ya Ilala, Bw. Raymond H.
Mushi, Mheshimiwa Sadiki
amesema kuwa, ni imani
yake kuwa M&M watatumia
uzoef u wao wa kuwa
katika uzalishaji magari na
mitambo mbalimbali toka
mwaka 1945, kutengeneza
na kuingiza nchini bidhaa
zenye ubora wa kimataifa,
lakini pia zenye kuzingatia
barabara za Tanzania.
Ames ema, Tanzani a
imekuwa kama j alala la
bidhaa mbovu za magari,
magari mitumba, na kwa
hi yo kama Mahi ndr a,
wataleta magari mapya bora
ya bei nafuu, hapana shaka
wataondoa tatizo hilo.
Na kwa hiyo watakuwa
wamejipatia soko la uhakika
kwa bidhaa zao.
Aliwataka pia kuhakikisha
kuwa wanaleta bidhaa kwa
ajili ya watu wa mjini na wa
vijijini zikiwemo pick-ups na
magari mengine kwa ajili ya
watu wanaoshughulika na
kubeba mazao vijijini.
Awa l i a ki onge a na
waandishi wa habari, Sanjay
Jadhv, alisema kuwa bidhaa
zinazoletwa katika soko
la Tanzani kutoka M&M
kwa sasa ni gari aina ya
XUV500, gari ya kifahari,
yenye kasi na nguvu mitihili
ya duma (cheetah), lakini
pia madhubuti inayohimili
mikiki ya barabara mbovu
zisizo za lami.
Bi dhaa nyi ngi ne ni
Genio Pick Up ikifuatia
aina nyingine za pick ups
zilizotangulia sokoni ambazo
ni Scorpion SUV, Mahindra
Pick Up, Beloro Pick Up &
Maxximo.
Sanjay Jadhav ambaye ni
Afsa Mwandamizi (Senior
GM-Mashariki ya Kati na
Afrika, anayeshughulikia
Uendeshaji wa Kimataifa
(Internationali Operations,
Aut o mo t i ve & F a r m
E q u i p me n t S e c t o r ) ,
amesema kuwa pamoja na
magari, wanatengeneza
pi a machi ne za ki l i mo
ambapo wanashikilia namba
ya kwanza duniani kwa
utengezaji wa materekta,
kwa maana ya wingi.
Kwa upande mwingine
akasema kampuni ya Jolly
Enterprises Limited, ambayo
ni kampuni tanzu ya Quality
Group, itakuwa ndio mshirika
pekee wa kusambaza bidhaa
za M&M.
Wa k a t i h u o h u o ,
Mkurugenzi Mwendeshaji
wa Jolly Enterprises Ltd, Mr.
Dileep Banerjee amesema
kuwa itakuwa ni furaha yao
kutoa huduma bora kwa
wateja wao katika showroom
na karakana yao iliyopo jirani
na ofisi za Quality Group,
barabara ya Nyerere.
Amesema, kwa kukidhi
mahitaj i ya watej a wao,
watafanya kazi hata katika
siku za mwisho wa wiki
na kwamba katika mwezi
wa kwanza wa kuingiza
bidhaa zao sokoni, watakuwa
wakitoa bei ya kuwavutia
wateja.
Ma hi nda Gr oup, ni
kampuni ya ki mat ai f a
(multinational) yenye ukwasi
unaokisiwa kuwa Dola za
Kimarekani bilioni 16.7.
Ikiwa na makao makuu
ya ke Mumba i , I ndi a ,
Mahindra imetoa ajira kwa
watu zaidi ya 180,000 katika
nchi zaidi ya 100.
Ni katika makampuni
ya na yo o ngo z a ka t i ka
uzalishaji wa magari ya aina
mbalimbali na mashine za
kilimo, pamoja na huduma
nyi ngi ne muhi mu kwa
maendeleo ya jamii.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Bw. Raymond H. Mushi, akikata utepe katika uzinduzi wa sehemu
ya kuuzia magari (show room) pamoja na karakana (workshop) kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam Mhe. Said Meck Sadiki jana jijini Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Realse 28
    Press Realse 28
    Документ4 страницы
    Press Realse 28
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Release - Muungano Na Mazingira
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Документ4 страницы
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1215 PDF
    Annuur 1215 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1215 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Karume Shujaa
    Karume Shujaa
    Документ11 страниц
    Karume Shujaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Документ27 страниц
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1212
    Annuur 1212
    Документ20 страниц
    Annuur 1212
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет