Вы находитесь на странице: 1из 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1138 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 15-21, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Hujuma Mtambani?
Kama siafu, Waislam wanusuru msikiti
Viongozi kuzungumza leo na Waislam
Mansour, kafara ya kupata
mamlaka kamili Zbar-Seif
Hakuna katiba mpya bila Serikali tatu
Wengi Zanzibar wasikilizwe - Riyami
Ushauri kutoka Nigeria:
Dar wamalizeni
Boko haram wenu
Vinginevyo mtalia na kusaga meno
WALI FI KA Sa l a f i
Kigoma kutoka Yemen
kutoa Dawah.
W a k a w a a m b i a
Wai sl amu wasi pel eke
watoto wao shule kwa
sababu fi zi ki a, kemi a
na jiografia, ni elimu za
kikafri.
Mtu mmoja akawauliza,
kutoka Yemen mpaka
Tanzani a, wametumi a
kipando gani.
Wakasema, ndege. Bila
shaka unaweza kukisia
j i nsi swal i na j awabu
hili lilivyobadili sura ya
mazungumzo.
S wa l i l a ms i n g i
tunalotakiwa kuj iuliza
hapa ni hili: Huu ujinga
wa kiwango hiki umetoka
wapi? Soma Uk. 8
Masahaba waliwahij ia wazee wao
waliokwisha kuzeeka ilipofaradhishwa
Hijja na waliokufa bila kuhijji. Hivi sasa
waislamu wengi wanakufa bila kuhijj
na kuacha mali zaidi ya malipo ya Hijja.
Uislamu hauwatambui wazee hao mpaka
wahijiwe! Umeshawaokoa wazazi wako
na kuwarudisha katika Uislamu? Karibuni
Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango
mizuri na huduma bora. Gharama zote
ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi:
Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 -
462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/
0657606708.
(14) WASITIRI WAZAZI WAKO!
WAISLAMU wakiwa katika jitihada za kuzima moto Masjid Mtambani Dar juzi.
MAALIM Seif. MANSOUR Yusuf Himid.
2
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Makala
Inaendelea Uk. 11
Usiparamie behewa usilojua litokako wala
Mambo hupangwa hayajitokezei tu
Ndio maana kusoma ni amri namba 1
Na Omar Msangi
ZIPO baadhi ya hoja
hushangaza sana, na kwa
hakika inadhihirisha
msiba ulio katika jamii
ya Waislamu. Sote, iwe ni
Tanzania, Kenya, Uganda,
Marekani, nchi za Ulaya
na Asia, tumefahamu
uwepo wa mujahidina
wa ISIS, Al-Nusra na
aki na Abubakar al -
Baghdadi kupitia vyombo
vya habari-BBC, CNN,
Sky News, Aljazeera,
mitandao ya internet
na vingine kama hivyo.
Katika kutufikia habari
hizo, wapo walioamini
kuwa hao ni mujahidina
na wanachosema kuwa
wanapigania kusimama
kwa Khilafah ni kweli.
Lakini wapo pia walioona
kuwa huo ni mchezo wa
kuigiza. Ni katika zilezile
covert operations na
clandestine .
Kwa vi l e mas ual a
haya yanagusa maisha
n a mu s t a k b a l i wa
walimwengu wote kwa
ujumla, wasomi na watafti,
huwa yanapoibuka mambo
kama haya yanayogusa
mas l ahi ya ki duni a,
huj i tahi di kuzama na
kutizama ukweli wa jambo
lenyewe ukoje kinyume na
inavyotangazwa na hata
kutizama madhara yake
na malengo ya washiriki
kati ka j ambo hi l o. Ni
katika kufanya hivyo, leo
tunaambiwa kuwa hawa
ISIS, ni mujahidina bandia.
Ni mawakala wa mabeberu,
na hilo wanalodai kuwa
ni kupigania kusimama
kwa Khilafah, ni mradi wa
mabeberu. Kiroja hapa ni
kuwa yule yule Muislamu
wa Tanzania aliyewajua
ISIS kupitia BBC na CNN,
ukimjia na taarifa za kitafti
kuwa hivyo anavyofkiri,
sivyo, huja na hoja kuwa
t aari f a za maprof esa,
taasisi fulani, na wasomi
wamesema, sio hoja za
kutengua Mujahidina, kwa
sababu hoja zinazokubalika
kat i ka Ui sl amu kama
msingi wa kutoa fatwa ni
Quran na Sunnah!!! Sasa
hapa unajiuliza, mtu kama
huyu unamsaidiaje?
Al i y e wa h i k u wa
Mwa na s he r i a Mkuu
wa Marekani , ( f ormer
U. S. Attorney General),
Ramsey Clark, ameandika
uchambuzi alioupa jina:
1958-1991, Iraq: A Classic
Case of Divide and Conquer.
Ka t i ka ma ka l a na
uchambuzi huo anasema
kuwa I r aq i mekuwa
shamba la bibi na uwanja
wa harakati chafu na
angamizi za Marekani (U.S.
covert actions ) toka mwaka
1958 pale wanaharakati
wa Iraq wakiongozwa
n a Ab d e l K a s s e m
walipofanya mapinduzi
kuondoa ut awal a wa
kifalme uliowekwa na
Uingereza mwaka 1921
ambao ulikuwa ukiwaacha
mabeberu kuchota mafuta
wanavyotaka. Mara baada
ya kungoa utawala huo
wa kifalme mwaka 1960,
seri kal i mpya ya Iraq
ilisaidia kuanzishwa kwa
Umoja wa Wauza Mafuta
ya Petrol- Organization
of Petrol eum Exporti ng
Count ri es ( OPEC) , i l i
kukabiliana na unyonyaji
wa nchi za Ulaya kwenye
nishati hiyo. Nini kilifuatia?
The CIA ploted Kassem's
assassi nat i on and U. S.
generals in Turkey devised
a mi l i t ary pl an, cal l ed
"Canonbone, " to invade
northern Iraq and seize its oil
fields (2). In 1963, Kassem
and thousands of supporters
were massacred in a CIA-
backed coup.
H i v y o n d i v y o
anavyosema Wi l l i am
Ramsey Clark, aliyekuwa
Mwanasheria Mkuu wa
Marekani mwaka 1967
hadi 1969, wakati wa
Rais Lyndon B. Johnson.,
kwamba i l i kurej esha
masilahi yake ya kibeberu,
Mar ekani i l i as i s i na
kutekeleza mapinduzi
yaliyosababisha mauwaji
ya malefu ya wananchi wa
Iraq.
Mwaka 1968 chama
cha Baathi (Baathist Party)
kilishika madaraka na
mwaka 1972 kikatangaza
kutaifisha makampuni
yote ya mafuta yaliyokuwa
yakimilikiwa na Marekani
na Uingereza na kwamba
sasa yatakuwa mali ya Iraqi
Petroleum Company chini
ya kibwagizo- (slogan)
"Arab Oil for the Arabs."
Yaani, mafuta ya Waarabu
kwa manufaa ya Waarabu.
Kufuatia hatua hiyo,
baada ya kikao cha Rais
Nixon, Henry Kissinger
(National Security Advisor)
na Shah wa Iran, CIA
waliwachochea Wakurdi
watangaze kujitenga na
Iraq na kwamba watapewa
ki l a ai na ya msaada
z i ki we mo s i l a ha na
mafunzo ya kijeshi. Katika
ripoti iliyoitwa Pike Report
William Ramsey Clark, aliyekuwa Mwanasheria
Mkuu wa Marekani mwaka 1967 hadi 1969.
GHOROFA ya kwanza
ya Msikiti wa Mtambani
ul i opo Ki nondoni
jijini Dar es Salaam,
imeteketea kwa moto
Jumatano jioni wiki
hii, wakati wa swala ya
Magharibi.
Moto huo umeteketeza
sehemu yote ya ghorofa
hiyo, ambako ndiko
yal i po madarasa ya
shul e ya sekondari
Mivumoni (Mivumoni
Islamic Seminary), ofsi
za walimu, maktaba
ya shule na bweni la
wanafunzi.
Wame s huhudi wa
Waislamu kwa umoja
wao, waki j i t okeza
k wa wi ng i k ut o a
mchango wao katika
jitihada za kunusuru
Msi ki ti huo. Wengi
walifurika Msikitini
hapo wakichota maji
kutoka katika kulatain
na kuyapandisha juu
ghorofani katika juhudi
za kuzima moto huo.
Aidha, tunatambua
jitihada za watu wa zima
moto ambao walifika
na magari yao kusaidia
kuzi ma mot o huo,
kiasi kwamba ilifika
mahal i yakai shi wa
maji hali iliyowalazimu
Wai sl amu wengi ne
kuchota maj i katika
kulatain na kujaza katika
moja ya magari hayo
ili kuendelea kusaidia
kuzima moto huo.
Moto huo umeteketeza
vifaa vya wanafunzi,
magodoro, of i si za
walimu na vifaa vyake,
ofsi ya Mkuu wa Shule,
maktaba ya vi tabu,
stationary pamoja na
ukumbi wa kufanyia
mitihani.
H a t a h i v y o ,
t u n a m s h u k u r u
Mwe nye z i Mungu
k wa mb a h a k u n a
mt u al i yef ar i ki au
kuj eruhiwa kufuatia
mot o huo. We ngi
walikuwa wameelekea
k a t i k a s wa l a y a
Magharibi na kubakia
wanaf unzi wa ki ke
ambao walinusurika.
Hata hi vyo, kuna
hasara kubwa ya vifaa
na j e ngo a mba yo
i me pat i kana. Kwa
Mtambani wasaidiwe
kifupi tunaweza kusema
Shule imeathirika sana.
Wanafunzi wamekosa
madarasa ya kusomea,
vifaa vyao vya mafunzo
vimeungua, maktaba
imeungua, pa kulala
pameungua, ofisi za
walimu nazo zimeungua.
Kwa kuzingatia athari
hii kubwa kielimu kwa
vijana wetu wanaosoma
shule ya sekondari ya
Ki i sl amu Mi vumoni
pamoja na walimu wao,
tunachukua nafasi hii
kuwaomba Waislamu
kusaidia kwa hali na
mali kurejesha mandhari
ya kuendelea masomo
katika shule hiyo.
Kama walivyojitokeza
na kusaidiana bega kwa
bega kuuzi ma moto
uliotokea, basi litakuwa
jambo jema na la msingi
t ukaj i t okeza vi vyo
hi vyo kuwawezesha
wanafunzi hao, ambao
walikuwa wanajiandaa
kwa mi t i hani yao,
kurejea katika masomo
yao ili kupunguza athari
inayoweza kuwapata
kitaaluma shuleni hapo
kutoka ana janga hili la
moto lililowakumba.
S o t e t u n a
kumbukumbu kwamba
Mi vumoni I s l a mi c
seminary pamoj a na
uchanga wao, mwaka wa
kwanza wa kidato cha
nne waliweza kufaulu
kwa alama za juu na
kuwa miongoni mwa
shule bora kabisa hapa
nchini.
Itakumbukwa kuwa
shule hii iliyopo Masjid
Mtambani, iliweza kutoa
mwanaf unzi kat i ka
wanafunzi kumi bora
waliofaulu vizuri zaidi
katika mtihani wa kidato
cha nne nchini mwaka
jana.
Kwa pamoj a, ki l a
j ambo linawezekana.
Tut oe s adaka zet u
kus ai di a kur ej es ha
sehemu ya j engo l a
Mivumoni/Mtambani
na miundo mbinu yake
i l i yot eket ezwa kwa
moto.
3
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Habari
Hujuma Mtambani?
KAMA siafu, Waislamu
wal i pi shana kat i ka
ngazi na ndoo zao za
maj i kuzi ma mot o
Mtambani.
Hawakuj al i kuwa
huko kat i ka ngazi
wanakoel ekea ndi ko
kulikokuwa na moto
ukiunguruma kwa ukali
kutokana na upepo.
Kutokana na moto huo
ulioteketeza sehemu ya
ghorofa ya pili ya Msikiti
wa Mtambani, uongozi
wa Msikiti huo umesema
kwa sasa hawajui kama
ni ajali ya kawaida au
hujuma.
Kauli hiyo ya awali
ya uongozi wa Msikiti,
inakuja baada ya kutokea
mot o j uzi J umat ano
wakati wa adhana ya
swala ya Magharibi, na
kuteketeza kwa kiasi
kikubwa madarasa ya
Shul e ya Sekondari
(Mivumoni Islamic), Ofsi
za Walimu na ukumbi wa
mikutano.
Kat i ka kunus ur u
Msikiti huo, maelfu ya
Waislamu waliofurika
M s i k i t i n i h a p o
walionekana kuchota
maj i kut oka kat i ka
kulateni, na kupanda
nayo j uu ghorof ani
waki pi s hana kama
siafu, bila kujali huko
walikokuwa wakipanda
moto ulikuwa ni mkali.
Wa i s l a m u h a o
wal i l azi mi ka ki j i t oa
muhanga, baada ya
gar i za zi ma mot o
(fire) kuishiwa maji na
kul azi mi ka wengi ne
kuchot a maj i kat i ka
kulateni na kujaza katika
moja ya magari hayo moja
wapo likiwa la kampuni
ya Altmet (T377AWG) na
kuyarusha juu kutumia
mi pi r a yake, huku
wengine wakipanda na
ndoo hizo moja kwa moja
ghorofani.
Hata hivyo, gari la Fire,
lenye namba za usajili
STK 6852, lililazimika
kuondoka katika eneo
la tukio kufuata maji, na
kurudi baada ya muda,
ambapo pi a baadae
lilifika gari (Tenka) la
kitengo cha moto (Fire)
kutoka Badarini (SU
37054), ambalo, lilifika
na maji.
Na Bakari Mwakangwale Akiongea na An nuur,
katika tukio hilo Katibu
wa Msikiti huo, Sheikh
Abdallah Ally, alisema
kuf uat i a t uki o hi l o
hawawezi kusema moto
huo umesababi shwa
na shot i ya umeme
au ni hujuma, bali ni
jambo ambalo linahitaji
kufanyiwa uchunguzi ili
kubaini hayo.
Hatujui kama ni ajali
ya kawaida au hujuma,
jambo hili tunatakiwa
kuanzia sasa kuanza
kulichunguza na kubaini
ukweli wenyewe upo
namna gani.
Mpaka sasa hatuwezi
tukasema ni shoti ya
ume me mo j a k wa
moja au ni hujuma na
vinginevyo, lakini ni
vitu ambavyo inabidi
tuvifanyie uchunguzi wa
kina. Alisema Sheikh
Abdallah.
An nuur, ilishuhudia
chumba, kama bweni,
ambacho wal i kuwa
wanatumia wanafunzi
ki ki wa ki met eket ea
chote na magodoro yake,
ofsi ya walimu na vifaa
vyake, Ofisi ya Mkuu
wa Shul e, makt aba
ya vitabu, pamoja na
ukumbi wa kufanyia
mitihani.
Hata hivyo, hakuna
mtu aliyejeruhiwa katika
aj al i hi yo ya moto
Masjid Mtambani.
Viongozi wa msikiti
huo, walitoa shukrani
kwa Wa i s l a mu na
kampuni za zima moto
zilizotoa msaada wao
katika kuzima moto huo.
Kwa upande wake
Sajenti Laurent Upunda,
wa kitengo cha uokoaji
Kanda ya Ilala, alisema
moto ulikuwa mkubwa
na ulitumia maji mengi
na muda mrefu mpaka
kufanikiwa kuuzima.
Alisema, moto huo
umeathiri katika ghorofa
ya juu ambapo paa lote
limeteketea kwa moto,
hata hivyo alibainisha
kwamba hukuwa na
taarifa au kushuhudia
kifo na majeruhi katika
uokoaji na uzimaji wa
moto huo kwa ujumla.
Al i sema, wal i pat a
taarifa za moto huo
maj i ra ya saa 12: 41,
jioni, ambapo walifika
katika eneo la tukio na
kwa kushirikiana na
wananchi , wal i weza
kuudhibiti kwa kiasi
kikubwa na kuepusha
maaf a zai di kat i ka
maghorofa mengine ya
Msikiti huo na majengo
ya jirani.
Al i s e ma , c ha nz o
cha mot o huo bado
hakij aj ulikana kwani
mpaka hapo watakapo
kutana na wahusika
wa Msikiti na kufanya
mahojiano nao.
Hivi karibuni msikiti
huo umekumbwa na
misukosuko ambapo
b a a d h i y a wa t u
wamekuwa waki dai
kuwa huo ni msikiti wao
na wakabidhiwe.
Hata hivyo, watu hao
wakiwemo wanaojiita
wadhami ni na wal e
wanaodai wa kudai
kuwa ki wanj a ul i po
msikiti huo ni ardhi yao
iliyotolewa na wazee
wa o wa l i o k wi s h a
kutangulia mbele ya
haki, kila wakiambiwa
waj e wakabi dhi we
msikiti huo mbele ya
waumini, hawajitokezi.
Aj al i hi i ya moto,
imekuja huku kukiwa
na kesi mahakamani
ambapo viongozi wa
msikiti wameshitakiwa
na wanaodai kuwa
wadhamini.
Mansour, kafara ya kupata
mamlaka kamili Zbar-Seif
K U K A MAT WA n a
kuwekwa rumande Bwana
Mansour, aliyewahi kuwa
kada wa CCM, imetajwa
kuwa hiyo ni kama kafara
na ishara nzuri ya kupata
Zanzi bar huru yenye
mamlaka kamili.
Hayo yamesemwa na
Katibu Mkuu wa CUF,
Maalim Seif Sharif Hamad,
akiongea katika mkutano
wa hadhara hivi karibuni.
Kwa upande mwingine,
sarakasi za kisiasa katika
safari ya kusaka katiba
mpya zinaendelea ndani
na nje ya Bunge Maalum
la Katiba.
Wa l i o n j e k ut o k a
Zanzibar, sasa wanasema
kuwa hakuna katiba mpya
i takayopati kana kama
matakwa ya Wazanzibari
walio wengi hayatasikilizwa
na kupatikana maridhiano.
Hayo yamesemwa na
baadhi ya viongozi wa
Chama cha Wananchi ,
CUF, na wale wa Kamati
ya Maridhiano, wakisema
kuwa msimamo wa wengi
Zanzibar, ni mfumo wa
muungano wa serikali
t at u, na hi vyo CCM
wasi j i danganye kuwa
wa na we z a k upuuz a
maoni na msimamo wa
Wazanzi bar i , hal af u
mambo yakawa shwari.
Akizungumzia suala hilo,
Mkurugenzi wa Mambo ya
Nje wa CUF, Ismail Jussa
Na Mwandishi Wetu alisema kuwa msimamo
wa Wazanzibari ni serikali
tatu kama ilivyoainishwa
katika rasimu ya katiba.
Ak a s i s i t i z a k uwa
uandikwaji wa katiba mpya
kwa Wazanzibari, ni safari
ya kufkia mamlaka kamili.
Na hivyo, hawatakubali
k uo na wa k i we k e wa
vikwazo njiani kama hili
la CCM kutaka msimamo
wa serikali mbili uendelee.
Kwa upande mwingine
J ussa akasema kuwa,
i l i t aki wa bunge hi l o
k u s i t i s h w a h a d i
maridhiano yapatikane na
wajumbe kujadili rasimu
iliyowasilishwa na Tume
ya Jaji Warioba.
Hata hivyo, akasema
k u wa u me e n d e l e a
kufanyika alioita usanii
na maigizo, ukisimamiwa
Mwenyekiti wa Bunge hilo,
Samwel Sitta anayetajwa
kuwa na ndoto za kuwania
urais mwaka 2015.
Na ye Mj umbe wa
Kamati ya Maridhiano
ya Umoja Kitaifa, Eddi
Riyami ametaka Bunge
hi l o l i si ti shwe, kwani
Wazanzibari hawako tayari
kuona likiendelea.
Aliwataka mawaziri,
Stephen Wasi ra (Ofi si
ya Ra i s - Ma h us i a n o
na Uratibu) na William
Lukuvi (Ofisi ya Waziri
Mkuu-Sera, Uratibu na
Bunge) kuondokana na
dhana kwamba katiba
mpya inaweza kupatikana,
Inaendelea Uk. 4
MSIKITI wa Mtambani ukiungua moto juzi jioni.
4
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Habari
WAISLAMU wametakiwa kupiga
mbio katika kila jambo, na hasa
katika elimu ili kurejesha hadhi
na nafasi ya Uislamu katika
dunia hii wakiwa ni Makhalifah
wa Allah.
Ai dha, wamekumbushwa
watizame zile zama za akina
Ibn Sinna na wengine ambao
walikuwa ndio chimbuko la
elimu katika fani mbalimbali
zinazounufaisha ulimwengu hivi
leo.
Katika nasaha zake akifungua
semina juu ya Epistemolojia ya
Kiislamu na ukuzaj i mitaala
iliyofanyika katika Chuo Kikuu
cha Wai sl amu, Mor ogor o,
Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal,
amehimiza usomaji katika fani
mbalimbali na kutizama nyuma,
ni wapi Waislamu walifanya
makosa na kujikuta wakitupwa
nyuma wakati ni wao walikuwa
chimbuko la elimu lililoitoa dunia
katika giza.
Katika hali hiyo, suala la
epistemolojia akalipa uzito na
kwamba Waislamu katika vyuo
vikuu vya Kiislamu na katika
taasisi mbalimbali za elimu za
Waislamu, wanatakiwa kulipa
suala la elimu kipaumbele.
Katika kutilia mkazo suala
la elimu, nasaha zikatolewa pia
kuwa pamoja na kwenda kwa
kasi, lakini Waislamu wakatakiwa
kufanya kila kitu katika ubora
wa hali ya juu kwani hayo ndiyo
maelekezo ya Uislamu.
Mambo yasifanywe ovyo ovyo
na katika viwango vya chini,
bali iwe katika viwango vya juu
kabisa.
Kwa hi yo, kuanzi a ngazi
ya elimu ya msingi, sekondari
na vyuo vi kuu, Wai sl amu
wahakikishe kuwa wanatoa elimu
bora itakayotoa wahitimu ambao
watasaidia jamii kuondokana na
matatizo mbalimbali yaliyopo.
Aki t oa nasaha hi zo, Dr.
Ahmad Totonji amesema kuwa,
Muislamu asikubali jambo lisilo
na ubora, wala asifanye jambo, ila
ahakikishe kuwa analifanya kwa
ubora kabisa.
Na katika mtizamo huo, Dr.
Totonj i akasema kuwa kwa
wahadhiri katika vyuo vikuu,
kama mtu atakaa kwa kipindi kama
cha miaka mitatu hajafanya utafti
wala kuchapisha kazi yoyote,
basi ajihesabu kuwa yupo mahali
asipostahiki kuwepo. Atafute
mahali pengine pa kwenda.
Na hiyo ni kumaanisha kuwa
wasomi katika taasisi za elimu za
Kiislamu, wanahimizwa kufanya
utafti na kuchapisha kazi ambazo
zitasaidia katika kusukuma mbele
maendel eo ya Wai sl amu na
ulimwengu kwa ujumla.
Katika kutilia mkazo jambo
hilo, Profesa Omar Hassan Kasule
kutoka IIIT, akasema kuwa ili
kufikia ubora unaostahiki, ni
lazima Waislamu kufanya haraka
kuondoa tatizo la mifumo miwili
ya elimu ambayo inaonekana kana
Waislamu watakiwa kupiga
mbio kurejea katika uongozi
Bilal akumbusha zama za Ibn Sinna
Dr. Totonji ahimiza ubora kwa kila kitu
Prof. Kasule ataoa somo la epistemolojia
Na Mwandishi Wetu
kwamba inagongana (madrasa/
shule).
Amesema, kumekuwa na
mtindo wa kugawa elimu katika
matapo mawili, elimu ya dunia
na elimu ya akhera, jambo ambalo
halipo katika epistemolojia ya
elimu katika Uislamu.
Prof. Kassule amesema kuwa
kama Waislamu hawatafanya
juhudi za haraka kuleta elimu zote
hizi pamoja kama ilivyokuja katika
Iqra, wataendelea kuzalisha
wahitimu waliochanganyikiwa
wasio na mchango wa maana
katika dunia yao wala katika
kufanikisha akhera yao.
Ni kutoka na hilo, akahimiza
vyuo vikuu na taasisi za elimu za
Kiislamu, kuandika upya vitabu
vya kiada na rejea vya taaluma
mbalimbali ambavyo vitakuwa
vimekusanya kwa mfano fzikia au
elimu ya biashara na yale mafunzo
ya msingi katika Mwongozo wa
Kiislamu (Quran na Sunnah) ili
kutoa msomi ambaye atakuwa
Muislamu bora na wakati huo
huo bingwa katika fani yake iwe
ni udakitari, uhandisi n.k
Wakati huo huo, Waislamu
wametakiwa kuhakikisha kuwa
wanaondokana na hisia na dhana
hasi dhidi yao, bali wapiganie
kujenga umoja na kushikamana
pamoja.
A k i z u n g u mz i a ma d a
hi yo, Dr . Ahmad Tot onj i
amehi mi za kuvumi l i ana na
kwamba watu watizame yale
y a n a y o wa u n g a n i s h a n a
wanavyoweza kusaidiana katika
kuondoa madhaifu ya kila mmoja
wao.
Almuhimu amesisitiza kuwa
watu wasijengeane uadui, bali
kila mmoja avumiliwe kutokana
na udhaifu wake.
Semina ya Epistemeolojia ya
Kiislamu, ilifunguliwa Jumamosi
iliyopita na kufungwa Jumatatu
wi ki hi i , i ki hudhuri wa na
wajumbe takriban 400 kutoka
nchi mbalimbali za Afrika.
Katika washiriki wa ndani ya
MUM wakiongozwa na Mkuu
wa Chuo, Haj at Mwantumu
Malale, walikuwepo pia Waziri wa
Elimu Dr. Shukuru Kawambwa
( a l i ye s h i r i k i u f u n g u z i ) ,
Abdurahman Omar Kinana,
ambaye ni Makamo wa MDF,
taasisi inayomiliki MUM, Dr.
Ramadhani Dau, Katibu Mkuu
wa MDF, Masheikh mbalimbali
na wakuu wa taasisi za elimu za
Kiislamu.
Walikuwepo pia washiriki
kutoka Saudi Arabia, Indonesia
na Saudi Arabia.
Semina nyingine kama hii
itafanyika mwakani Kano, Nigeria
ikifuatiwa na Msumbiji mwaka
2016.
Mansour, kafara ya kupata mamlaka kamili Zbar-Seif
Inatoka Uk. 3
huku Wazanzibar wakitengwa.
Hoja ya Riyami kuwa Zanzibar
i natengwa anai j enga kati ka
msingi ule ule kuwa msimamo wa
Wazanzibari ni kuwa na serikali
kamili yenye mamlaka na yenye
meno na siyo iliyopo sasa.
Ni kwa mtizamo huo, kujadili
rasimu inayotaka ubakie mfumo
wa sasa wa seri kal i mbi l i ,
unaonekana kama kutaka kuzima
matakwa ya Wazanzibari kubaki
katika mfumo wa muungano
wanauona kuwa unawahujumu
na kuwadunisha.
Kwa upande mwi ngi ne,
Naibu Katibu Mkuu wa CUF,
Nassor Ahmed Mazrui ametetea
msimamo wa UKAWA kususia
bunge.
Aka s i s i t i z a kuwa CUF
hawatarejea kwa sababu zile
sababu zilizowatoa Ukawa ndani
ya Bunge bado zipo palepale.
Huu ni usaniiNi kama mtu
kujitekenya mwenyewe kisha
akacheka mwenyewe na CCM
ndiyo wanavyofanya hivyo,
alisema Mazrui.
V i o n g o z i wo t e h a o ,
wameyas ema hayo kat i ka
mkutano wa CUF uliofanyika
katika viwanja vya Kibandamaiti
hivi karibuni.
Wakat i huo huo, Kat i bu
Mkuu wa CUF, Maalim Seif
Sharif Hamad amesema kuwa
Wazanzibari wanahitaji amani na
siyo fujo, ili kuishi kwa upendo
bila ya kubaguana.
Na kuuhusu mchakato wa
katiba mpya, alisema, Samweli
Sita anacheza na kanuni ambazo
zilitungwa na wajumbe wa Bunge
hilo, ili kuharibu mchakato huo.
Al i s ema Si t t a amekuwa
akisimamia mijadala bungeni
inayolenga kuwajadili watu na
kutoa matusi badala ya kujadili
rasimu iliyopo mbele yao.
Alisisitiza kwamba hakuna
mj u mb e k u t o k a Uk a wa
atakayeshiriki na kupitisha katiba
ambayo haina uhalali kisheria.
Akizungumzia suala la Mansour
Yussuf Himid, aliyekamatwa na
polisi kwa tuhuma za kumiliki
silaha kinyume cha sheria, alisema
ni ishara nzuri kwake.
Mansour amepata mtihani
wamemkamata na sasa hivi yuko
ndanikwenda jela ni ishara
nzuri hata mitume walikwenda
jela Nabii Yussuf si alikwenda
jela yaliyomkuta Mansour ni
ishara nzuri ya kupata mamlaka
kamili ya Zanzibar, alisema
Maalim Seif.
Maal i m Sei f ambaye ni
Makamu wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar, alisema: Njia zile
zile walizonipitisha mimi ndizo
wanazompitisha Mansour,.
A l i o n g e z a : K wa n z a
walinifukuza kwenye Chama
ki s ha wa ka ni t i a nda ni
walipochoka wakanambia toka
na Mansour wamemfukuza CCM
na sasa yuko ndani.
Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal akiwa na baadhi ya washiriki wa
semina ya MUM.
5
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Habari za Kimataifa
RAI S wa mpi t o wa
Jamhuri ya Afrika ya
Kati, Bi. Catherine Samba
Panza, amemteua Bi.
Mahamat Kamoun, kuwa
Waziri Mkuu mpya wa
serikali ya mpito ya nchi
hiyo.
Rai s Samba Panza
amemteua Kamoun kuwa
Waziri Mkuu mpya wa
serikali ya mpito, zikiwa
zimepita wiki mbili tangu
yafikiwe makubaliano
ya kusitisha mapigano
kati ya wanamgambo wa
Muungano wa Seleka na
kundi la Kikisto la Anti
Balaka huko Brazzaville,
Jamhuri ya Kongo.
Bi. Mahamat Kamoun,
anakuwa Muislamu wa
kwanza kushika wadhifa
wa uwaziri mkuu katika
Jamhuri ya Afri ka ya
Kati, tangu nchi hiyo
ilipojipatia uhuru kutoka
kwa mkoloni Mfaransa
mwaka 1960.
Uteuzi huo umeelezwa
kuwa umefanyika zikiwa
ni jitihada za kujaribu
kuwa na serikali yenye
kushirikisha makundi
yote ya kisiasa na ya
kidini itakayokubalika na
wananchi wote.
Kabl a ya kuteul i wa
kuwa Wazi r i Mkuu,
Bi. Mahamat Kamoun
ambaye ni Mui sl amu
alikuwa mshauri wa Rais
Samba Panza si ku za
nyuma. Pia aliwahi kuwa
Mkurugenzi wa Hazina
kuanzi a mwaka 2003
hadi 2013 katika kipindi
cha uongozi wa Rai s
aliyepinduliwa, Francois
Bozize, aliyeondolewa
madarakani mwezi machi
mwaka jana.
I me e l e z wa k uwa ,
m i o n g o n i m w a
c ha nga mot o kubwa
zitakazoikabili serikali
ya Bangui ni j i nsi ya
kuyashirikisha makundi ya
wanamgambo wanaobeba
silaha kwenye serikali
mpya nchini humo.
Uteuzi wa Bi. Kamoun,
umefanyi ka ndani ya
wi ki mbi l i baada ya
kusainiwa makubaliano
ya usitishwaji vita kati
ya makundi hasimu ya
waasi ya Anti Balaka na
Seleka huko Brazzaville,
mji mkuu wa Kongo.
Hata hivyo kuteuliwa
mwanasiasa Muislamu
kuwa Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Afrika ya Kati,
kumeibua hisia mseto
kut oka kwa wat u na
makundi mbalimbali ya
Waziri Mkuu wa kwanza Muislamu ateuliwa A.Kati
nchi hiyo.
Mapema wiki hii kundi
la Muungano wa SELEKA
katika Jamhuri hiyo ya
Kati umepinga uteuzi wa
Bi. Kamoun, kuwa Waziri
Mkuu mpya wa nchi hiyo
na kukataa kushiriki katika
serikali ijayo.
I n a v y o o n e k a n a
ha l i ha i j a wa k a ma
i l i vyotaraj i wa, kwani
muda mfupi tu, baada ya
kutangazwa uteuzi wake,
Muungano wa Sel eka
ulitoa taarifa inayosisitiza
kususia kushiriki katika
serikali ijayo.
Sa ba bu ya Se l e ka
kususi a seri kal i hi yo
i me t a j wa k u wa n i
kupuuzwa kwao na Rais
wa nchi hiyo. Taarifa ya
Seleka imesisitiza kwamba,
walipaswa kushauriwa
kuhusiana na uteuzi wa
Waziri Mkuu.
Aidha taarifa ya Seleka
imesema bayana kwamba,
uteuzi wa Bi. Mahamat
Ka mo u n , h a u we z i
kusai di a kupat i kana
amani na maridhiano ya
kitaifa nchini humo.
Kamoun al i t eul i wa
kuwa Waziri Mkuu baada
ya kujiuzulu Bw. Andre
Nzapayeke, aliyekuwa
akishikilia wadhifa huo.
Nzapayeke na serikali
yake, wamej iuzulu ili
kupi sha ut ekel ezwaj i
wa hati ya makubaliano
ya kus ukuma mbel e
gurudumu l a seri kal i
ya mpito; makubaliano
ambayo yalitiwa saini
hivi karibuni huko Congo
Brazzaville.
Makundi hasimu katika
Jamhuri ya Afrika ya Kati,
mwishoni mwa mwezi
ul i opi t a yal i t i a sai ni
hati ya makubaliano ya
amani. Pamoja na hayo,
mapunguf u yal i yoko
katika hati ya makubaliano
hayo kwa upande mmoja
na kutofungamana na
Hivi sasa hitilafu kati ya
pande mbili katika nchi
hiyo zimeshika kasi zaidi.
Inaonekana kutiwa saini
makubaliano ya makundi
y a n a y o h a s i m i a n a
kumeongeza hitilafu za
miongoni mwa makundi
hasimu.
Ijumaa iliyopita mirengo
mbalimbali ndani ya kundi
la Kikristo la Anti-Balaka
i l i geukana na kuanza
kupigana. Mapigano hayo
yamesababisha raia wengi
kuj eruhiwa na maelfu
ya wengine kuyakimbia
makazi yao.
Baadhi ya vi ongozi
wa Seleka wametangaza
wazi kwamba, wanapinga
makubaliano yaliyofkiwa
hi vi ka r i buni huko
Brazzaville. Mgawanyiko
ndani ya kundi la Seleka
umekuwa mkubwa kiasi
kwamba, baadhi ya weledi
wa mambo wanaona
halitakuwa jambo geni
kuona likiibuka kundi
jingine na kujitenga.
Aidha mapigano baina
ya wapiganaji wa Seleka na
Anti-Balaka yameendelea
kushuhudiwa licha ya
pande mbili kutia saini
hatia ya makubaliano ya
amani.
Wanajeshi wa Ufaransa
n a o wa me e n d e l e a
k u wa u n g a mk o n o
wa n a mg a mb o wa
Kikristo wa Anti-Balaka,
hali ambayo imeifanya
Jamhuri ya Afrika ya Kati
iendelee kuwa uwanja wa
mapigano na machafuko
huku Waislamu wakiwa
ndio waathirika wakuu wa
machafuko hayo.
Mwezi Machi mwaka
2013 Michel Dj otodia,
kiongozi wa kundi la
Seleka, alijitangaza kuwa
Rais baada ya kumpindua
Francois Bozize.
Kuingia madarakani
Bw. Djotodia ambaye ni
Muislamu, kulitumiwa
vi baya na baadhi ya
wapinzani wake ambao
walianzisha ftina za kidini
na kusababisha nchi hiyo
kutumbukia kwenye vita
vya ndani vya kidini kati
ya serikali ya Djotodia na
wanamgambo wa Kikristo
wa Anti-Balaka.
Ma p i g a n o h a y o
yamesababisha maelfu
ya Wai sl amu kuuawa
huku mamia ya maelfu
ya wengine wakilazimika
kuikimbia nchi kutokana
na ghasia hizo.
Kuf uat i a shi ni ki zo
za nchi za Maghari bi
na b a a dhi ya nc hi
jirani, Michel Djotodia
alilazimika kuachia ngazi
mwezi Januari mwaka
huu k we nye k i k a o
maal um cha vi ongozi
wa Jumuiya ya Nchi za
Kat i kat i mwa Af ri ka
(ECCAS), ul i ofanyi ka
mjini N'Djamena, Chad.
Baada ya hapo aliingia
madarakani Rais wa mpito
wa Kikristo, Catherine
Samba Panza, ambapo
kul i t araj i wa kwamba
kungepunguza migogoro
ya ndani na kurudisha
udhibiti wa kisiasa huko
Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Hat a hi vyo mambo
yalizidi kwenda kombo
chini ya uongozi wake
na dunia ikashuhudia
machafuko na mgogoro
wa kihistoria ambapo
Wa k r i s t o wa Ant i -
Balaka walishika silaha
na kuanzi sha mauaj i
ya ki nyama dhi di ya
Wai sl amu kati ka ki l e
ki l i chot aj wa kuwa ni
kulipiza kisasi dhidi ya
kilichoitwa jinai za Seleka
walipokuwa madarakani.
Mauaji ya halaiki dhidi
ya Waislamu huko Jamhuri
ya Afrika ya Kati yaliushtua
ulimwengu kiasi kwamba
taasisi za kimataifa za
kutetea haki za binadamu
zilipiga kelele na kulaani
mauaji hayo, sambamba
na kutaka watenda jinai
hizo wafkishwe mbele ya
vyombo vya sheria. (irib.
iri).
SERIKALI ya Kenya
imekwama katika mpango
wake wa kutaka iruhusiwe
kufanya upelelezi wa
raia katika mawasiliano
binafsi pasipo idhini
y a m a h a k a m a .
Serikali imelazimika
kuondoa j ar i bi o l a
k u r u h u s u S h i r i k a
la Upelelezi la Taifa
(NIS) kusikiliza kwa
siri maongezi ya simu
na mawasiliano binafsi
Kenya wakataa ujasusi wa kimarekani
ya raia, gazeti la Daily
Nation la Kenya liliripoti
wiki iliyopita.
Spi ka wa Bunge l a
Kenya, Justi n Muturi
alitangaza kuondolewa
kwa marekebisho hayo
katika Bunge la Taifa.
Awa l i s e r i ka l i ya
Ke nya i l i pe nde ke za
kurekebi shwa sheri a
iliyopo sasa ili kuruhusu
pasipo hati ya mahakama,
kuf anya uc hunguzi ,
ufuatiliaji na uingiliaji
wa mawasiliano binafsi
ya watu wanaoshukiwa
kufanya makosa.
Kama sheria ilivyo sasa,
NIS inaweza kufuatilia au
kusimamisha mawasiliano
binafsi ya washukiwa wa
uhalifu, iwapo tu itakuwa
na hati ya kisheria.
Wakosoaji umelaumu
vi ka l i ma r e ke bi s ho
y a l i y o p e n d e k e z wa
kwamba ni kinyume cha
katiba.
Bi. Mahamat Kamoun.
6
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Makala
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa
serikali ya awamu ya kwanza ya
Rais Barack Obama wa Marekani,
Hillary Clinton, amesema kuwa
Rais huyo ndiye aliyehusika na
kuundwa kwa kundi la kigaidi
la Daesh.
Hi l l ar y Cl i nt on ambaye
inaonekana kuwa anajitayarisha
kwa aj i l i ya kugombea ki ti
cha Rais katika uchaguzi ujao
mwaka 2016, amesema utendaji
na mitazamo ya Rais Obama
imesababisha kujitokeza kundi
la DAESH ambalo amedai kuwa
limeteka baadhi ya maneo nchini
Syria na Iraq.
Clinton alisema kuwa makosa
ya Rais Barack Obama katika
mgogoro wa Syria na uzembe
wake katika kukabiliana na
serikali ya nchi hiyo, ndiyo sababu
kuu ya kujitokeza kundi hilo.
Pamoja na kuwepo hisisa za
kisiasa juu ya wagombea wa
uchaguzi ujao wa urais nchini
Marekani, matamshi hayo ya
Hillary Clinton yanaonesha
kuwa wanasiasa wa nchi hiyo
hawaridhishwi na utendaji wa
serikali ya Washington katika
kukabiliana na ugaidi.
Hal i hi yo i mel et a t af si ri
kwamba, anapoonekana mtu
aliyekuwa karibu na Rais wa
Marekani, akimtaja Obama kuwa
alihusika katika kuunda kundi
pinzani la Daesh nchini Iraq, basi
hicho ni kielelezo kwamba kuna
malalamiko ndani ya Marekani
juu ya utendaji wa serikali katika
uwanja huo yamevuka mipaka ya
watu wa Republican na kuenea
katika jamii nzima ya Marekani.
Wakosoaj i wa seri kal i za
Obama akiwemo Hillary Clinton,
wanaamini kuwa, serikali ya
Marekani i l i yaunga mkono
makundi yote ya upinzani ya Syria
bila kujali mielekeo na itikadi zao
kwa ajili ya kufkia malengo yake
nchini humo, yaani kuingoa
madarakani serikali ya Rais
Bashar Assad na kuunda serikali
yenye mielekeo ya Kimagharibi
nchini Syria.
Kwamba kati ka mi ezi ya
mwanzoni mwa machafuko
nchini Syria, utendaji na muelekeo
ya makundi ambayo baadaye
yalikuja kujulikana kama Jabhatun
Nusra na Daesh haukuwa
wazi, lakini tangu hapo awali
ilijulikana waziwazi kwamba
kuna makundi ya kiitikadi za
Kiislamu katika safu za wapinzani
wa serikali ya Rais Bashar Assad.
Kwa muda mrefu makundi hayo
yalikuwa yakipewa himaya na
misaada ya kifedha na kisilaha
kutoka muungano wa nchi za
Magharibi na za Kiarabu na
ya l i we z a kut e ka ba a dhi
ya maeneo ya ardhi ya Syria
kwa kutumia misaada hiyo.
Marekani na baadhi ya nchi
za Ulaya zilikuwa zikiamini
Clinton adai Rais Obama anahusika kuundwa Daesh
Hillary Clinton.
kwamba, muungano wa makundi
yanayompinga Bashar Assad,
yakiwemo yale yanayoitwa yenye
misimamo mikali, yanaweza
kudhibitiwa na kwamba katika
mchakato wa kuunda serikali
Sheikh Naeem Qassim.
mpya baada ya Assad, makundi
yenye mielekeo ya Kimagharibi
na kisekulari yatapata ushindi.
Hata hivyo hali inaonyesha
kwamba vita ndani ya Syria,
vilivyoanzishwa na Wamagharibi
vimekuwa sababu ya kujitokeza
makundi yaliyopo hivi sasa,
ambayo yanawania kuangusha
serikali ya Rais Assad.
Naye Naibu Katibu Mkuu
wa Wanaharakati wa Kundi la
Hizbullah nchini Lebanon Sheikh
Naeem Qassim, amesema kuwa
Marekani kwa kushirikiana na
nchi nyingine za eneo la Mashariki
ya Kati ndizo zilizounda kundi la
Daesh na kulipeleka nchini Syria.
Sheikh Naeem Qassim amesema
kuwa, njama za Marekani, utawala
wa Kizayuni wa Israel na kundi
la Daesh za kutaka kuiangusha
serikali ya Rais Bashar Assad wa
Syria zimegonga mwamba.
Ameongeza kuwa, uhusiano
wa Hizbullah na Hamas bado
ni imara na kusisitiza kwamba
harakat i hi zo mbi l i dai ma
zimekuwa zikielekeza nguvu zao
dhidi ya utawala wa Kizayuni wa
Israel.
Sheikh Qassim amepuuza
matamshi yanayotol ewa na
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin
Netanyahu na baadhi ya viongozi
wa nchi za Kiarabu kwamba,
mapambano ya Wapalestina dhidi
ya Wazayuni yamesambaratika.
Sheikh Qassim alisema kuwa,
vita vya Gaza vimetoa funzo na
somo zuri kwa adui Mzayuni
na kusisitiza kwamba, kwa mara
ya kwanza kabisa Netanyahu
amekiri wazi juu ya kuwepo
utulivu na usitishaji vita.
SWAHIBA wangu mmoja siku
zote hupenda kusisitiza kwamba,
katika ulimwengu wa leo asiye
na elimu au weledi na ufahamu
wa mambo ya dunia yake basi
ataishi kwa taabu na atakuwa
mfano wa bendera ambayo
hufuata upepo. Tukiachana na
ya sahiba wangu hayo, waswahili
wana msemo wao mashuhuri
usemao: Usilolijua ni sawa na
usiku wa giza. Hivi ndivyo hali
ilivyo hii leo katika ulimwengu
tunaoishi. Vyombo vya habari
vya Maghari bi vi mehodhi
kila kitu; lakini kwani ukweli
unaweza kuuficha siku zote?
Ghiliba na hadaa za Wamagharibi
zimefahamika sasa. Kwa hakika
njama za Wamagharibi dhidi ya
Uislamu hazikuanza leo wala
jana; lakini bila shaka katika siku
za hivi karibuni zimeshadidi
mno. Kuibuka makundi yenye
mi si mamo ya kupi nduki a
ambayo yanajiita kuwa makundi
ya Kiislamu kama al-Shabab
huko Somalia, Boko Haram
nchini Nigeria, Jabhat al-Nusra
Kundi la Daesh; Mujahidina au Magaidi?
Na Salum Bendera kule Syria na sasa Daesh huko
Iraq ni mifano ya wazi kabisa
ya njama za maadui wa Uislamu
nyuma ya pazia la makundi hayo.
Tu k i t u p i a j i c h o y a l e
yanayofanywa na makundi haya
itafahamika wazi malengo hasa
ya makundi hayo. Kwa mfano,
mambo yanayofanywa na Boko
Haram Nigeria kama mauaji
kuwateka nyara wasichana wa
shule na mengine mfano wa hayo,
ni matukio ambayo humfanya
mtu kwa uchache kutilia shaka
kama kweli kundi hilo linapigania
Uislamu na haki za Waislamu.
Sasa limeibuka kundi Dola la
Kiislamu la Iraq na Sham kwa
kifupi DAESH. Imekuwa ni jambo
la kawaida kusoma au kusikia
katika vyombo vya habari juu
ya jinai na mauaji ya kutisha
yanayofanywa na kundi hili.
Kwa hakika kundi hili la kigaidi
ambalo licha ya kudai kuwa
linafuata mienendo ya jihadi
ya kisalafi, lakini kwa hakika
ni mfuasi wa fikra potofu za
Kiwahabi ambazo ni fkra mgando
na zilizopitwa na wakati. Kwa
maana kwamba, mitazamo na
fikra kama hizi hazina nafasi
kabisa katika ulimwengu wa
Kiislamu.
K u n d i l a D a e s h
hutumi a ukati l i , utesaj i na
mauaji ya kutisha ambapo mfano
wa jinai hizo ni mauaji ya umati
ya raia wasio na hatia nchini Syria,
mauaj i ambayo hutekelezwa
hadharani na kuwajumuisha
watoto wadogo, wanawake na
vizee. La kusikitisha zaidi ni
kwamba, kundi hili la kigaidi
linafanya mauaji haya kwa jina la
Uislamu na utawasikia wakisoma
dua ndefu na kumsabihi Mwenyezi
Mungu kabla ya kumchinja mtu
au kumpiga risasi.
Uislamu upi na Mungu yupi
anayeruhusu kuuawa nafsi
isiyo na hatia yoyote? Je hii ni
jihadi ya kutaka kuasisi dola la
Kiislamu au ni ugaidi na jinai
dhidi ya binadamu? Harakati
za kundi la Daesh kwa hakika
ni ftna kubwa ya karne. Msiba
mkubwa zaidi ni kuwepo watu
wanaoshabikia mauaji ya kundi
hilo na kuwamiminia sifa lukuki
wapiganaji hao wakiwaita kuwa
ni mujahidina. Historia ya kundi
Inaendelea Uk. 7
7
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014 Habari
hilo inarej ea nyuma mwaka
2004, yaani wakati Abu Musab
Zarqawi alipoasisi mtandao
uliokuja kujulikana kwa jina la
Jamaat Tawhid wa Jihad huku
akiwa kiongozi wake. Baada ya
Zarqawi kutangaza utiifu wake
kwa Osama bin Laden, mkuu
wa zamani wa mtandao wa al-
Qaida, kundi hilo liligeuzwa na
kuwa tawi la taasisi ya al-Qaida
nchini Iraq. Baada ya Marekani
kuivamia Iraq, kundi hilo taratibu
lilijionyesha kuwa lililokuwa
likiendesha jihadi dhidi ya vikosi
vya Marekani nchini humo. Ni
kutokana na hali hiyo ndio maana
vijana wengi waliokuwa wakitaka
kupambana na vikosi hivyo
vamizi, wakajiunga nalo ambapo
haraka likageuka na kuwa kundi
lenye nguvu la wanamgambo
nchini Iraq.
Mwaka 2006 Zarqawi aliuawa
na uongozi wa kundi hi l o
ukachukuliwa na Abi Hamzah
al -Muhaj i r ambaye al i kuwa
kiongozi wa mtandao wa al-
Qaida nchini humo na mrithi wa
Zarqawi mwenyewe. Mwishoni
mwa mwaka 2006 kuliundwa
kundi la wanamgambo kupitia
makundi kadhaa ya Iraq ambalo
lilikuja kujulikana kwa jina la
Daulatul-Islam fil-Iraq huku
kiongozi wake mkuu akiwa ni Abu
BAADA ya kupita mwezi
mmoja tangu utawala wa
Kizayuni wa Israel uanzishe
mashambulio ya kinyama
dhidi ya Wapalestina wa
eneo la Ukanda wa Gaza,
hatimaye Umoja wa Mataifa
imeunda kamati ya wataalamu
itakayochunguza jinai za
kivita zilizofanywa na utawala
huo hasibu huko Gaza.
Taarifa iliyotolewa na Umoja
wa Mataifa imeeleza kuwa,
kamati hiyo itakayokuwa na
wataalamu watatu, itachunguza
kwa kina vitendo vya ukiukwaji
wa haki za binadamu na jinai za
kivita huko Gaza.
Taarifa hiyo imeongeza
kuwa, kamati hiyo inapaswa
kutoa matokeo ya uchunguzi
wake mbele ya Baraza la Haki
za Binadamu la Umoja wa
Mataifa ifkapo mwezi machi
mwakani.
J ul ai 31 mwaka huu,
Kamishna Mkuu wa Haki
za Binadamu wa Umoja wa
Mataifa, Navi Pillay, alitangaza
wazi kwamba, utawala wa
Israel kwa makusudi kabisa,
umekiuka sheria za kimataifa
na kutenda jinai za kivita katika
eneo la Gaza.
Tayari wapi gani a haki
mashuhuri wa kisiasa kutoka
nchi za Amerika ya Kusini
wamesaini taarifa ya kuwaunga
mkono wananchi wa Palestina
na kulaani utawala wa Kizayuni
wa Israel kwa kuikalia kwa
mabavu ardhi za Palestina na
mashambulizi ya utawala huo
dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Taarifa hiyo imesainiwa na
Rais Evo Morales wa Bolivia,
Fidel Castro Rais wa zamani
wa Cuba na Manuel Zelaya,
Rais wa zamani wa Honduras.
Wanasiasa hao wa Bolivia, Cuba
na Honduras wameishutumu
Marekani na nchi za Ulaya
kwa kuiunga mkono Israel
na kutaka kuungwa mkono
kampeni ya kuususi a na
kuuwekea vikwazo utawala
wa Israel.
Wapalestina wasiopungua
1,940 wakiwemo watoto 470
wameuawa shahidi na wengine
karibu ya 10,000 wamejeruhiwa
katika mashambulizi ya kijeshi
ya Israel huko Gaza yaliyoanza
Julai 8.
Wakati usitishaji vita kati ya
Waharakati wa Mapambano wa
Palestina-Hamas na utawala wa
Kizayuni ukiingia katika siku
ya nne, maafsa wa Palestina
na Israel Jumanne wiki hii
waliendelea na mazungumzo
UN kuchunguza udhalimu wa Israel Gaza
yao yasiyo ya moja kwa moja
huko Cairo mj i mkuu wa
Misri huku raia wa Kipalestina
walio katika mzingiro huko
Ga z a wa ki ka bi l i wa na
uhaba mkubwa wa dawa.
Wanaharakati wa Hamas
wanat aka kuhi t i mi s hwa
mzingiro wa kiuchumi katika
Ukanda wa Gaza uliodumu kwa
miaka saba sasa, lakini Tel Aviv
inasema kuwa itatekeleza suala
hilo iwapo Hamas itapokonywa
silaha, sharti ambalo limepingwa
n a Wa n a h a r a k a t i h a o .
Waziri wa Vita wa Israel, Moshe
Yaalon ametahadharisha kuwa
utawala wa Israel utaanzisha tena
mashambulizi baadaye iwapo
pande mbili hizo zitashindwa
kufkia makubaliano.
Kundi la Daesh; Mujahidina au Magaidi?
Inatoka Uk. 6 Omar al-Baghdadi. Mwezi April
mwaka 2010 vikosi vya Marekani
vilimuua Abu Omar al-Baghdadi
na Abu Hamzah al-Muhajir katika
operesheni ya kijeshi. Ni baada
ya hapo ndipo Abu Bakar al-
Baghdadi alichukua uongozi
wa kundi hilo akimrithi Abu
Omar al-Baghdadi. Mwanzoni
mwa mwaka 2011 sambamba
na kuanza kwa mgogoro na vita
nchini Syria, kundi linalojulikana
kwa jina la Jabhatu Nusra kwa
ajili ya Watu wa Sham ambalo ni
tawi la Dola la Kiislamu la Iraq
liliundwa nchini humo humo na
haraka likageuka kuwa moja ya
makundi yanayoendesha vita
dhidi ya serikali ya Rais Bashar
al-Assad. Hatimaye mwaka 2013
Abubakar al-Baghdadi alitangaza
kuyaunganisha pamoja makundi
ya, Jabhatu Nusra na Dola la
Kiislamu la Iraq na kuzaliwa
kundi la Daulatul-Islam fl-Iraq
wa Sham kwa kifupi Daesh
(ISIS). Hata hivyo upinzani
wa al-Qaeda dhidi ya hatua ya
kuyaunganisha pamoja makundi
hayo na uungaji mkono kwa
Jabhatu Nusra, uliibua vita kati
ya Daesh na kundi la Jabhatu
Nusra nchini Syria, vita ambavyo
hadi sasa vimeshapelekea zaidi ya
wanamgambo 1000 wa makundi
hayo kuuawa.
Mbali na jinai na mauaji ya
kinyama ya DAESH, kundi hili
limekuja na mambo ya ajabu ajabu
kama Jihad Nikah. Wachambuzi
wa mambo wanasema huu ni
uzinzi na ukandamizaji kwa
jina la jihadi ya ndoa. Magaidi
hao wa Kitakfiri hivi karibuni
waliamua kufungua ofsi za ndoa
kwa shabaha ya kuwarubuni
wanawake ili waelekee Syria
na I r aq kwa s habaha ya
kuwahudumia wanamgambo
wa kitakfri wa kundi la Daesh
wanaopigana na serikali za Syria
na Iraq. Shirika kutetea haki za
binadamu la Human Right Watch
(HRW) lilitangaza kuwa, magaidi
wa kitakfiri wamefungua ofisi
hizo katika mji wa al Bab ulioko
katika jimbo la Halab nchini
Syria. Wanamgambo wa Daesh
wamekuwa wakiwashawishi
na kuwarubuni wanawake na
wajane kuorodhesha majina na
anwani za makazi yao kwa lengo
la kwenda kutoa huduma ya
ngono kwa wanamgambo wa
Daesh. Sasa hawa wanaweza
kuitwa mujahidina au ni magaidi
wanaotenda jinai kwa jina la
Ui sl amu? Hi vi kwel i kundi
hi l i l i meuf ahamu Ui sl amu
unavyoapaswa?
Waislamu tuwe macho na
njama za makundi kama haya
ambayo si ya Ki i sl amu, au
yameufahamu vibaya Uislamu au
pengine yanatumiwa na maadui
wa Uislamu kuharibu sura nzuri
ya dini hii tukufu.
Rais Evo Morales wa Bolivia.
Fidel Castro Rais wa zamani
wa Cuba.
Kiongozi wa Hamas, Khaleed
Mashaal.
8
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Makala
YAPO mael ezo ya wat u
waliofka Kigoma miezi ya hivi
karibuni wakitokea Yemen
kama wana-Dawah wakitaka
kukut ana na kuf i ki sha
ujumbe kwa Waislamu. Mada
yao kuu ilikuwa kuwataka
Waislamu wasipoteze muda
wao kupeleka watoto wao
shule kwa sababu elimu
z i na z os ome s hwa huko
ni za ki kafi ri . Mael ezo
yanayot ol ewa ni kuwa
mtu mmoja alisimama na
kuwauliza kuwa kutoka Yemen
mpaka wamefika Tanzania,
wametumia kipando gani.
Wakasema, ndege. Bila shaka
unaweza kukisia jinsi swali na
jawabu hili lilivyobadili sura
ya mazungumzo.
Swali la msingi tunalotakiwa
kujiuliza hapa ni hili: Huu
ujinga wa kiwango hiki umetoka
wapi? Huku kupumbaa kwa
kiwango hiki kumeingiaje
katika jamii ya Waislamu?
Mtu anashawishi mabinti wa
Kiislamu wasisomee udakitari
kwa sababu hiyo ni elimu ya
kikafri, lakini mkewe akipata
tatizo anampeleka hospitali
na kuhudumiwa na John au
hata Anna dakitari bingwa wa
magonjwa ya kike!
Mt u a na t oka Ye me n,
anapanda Boeing 777 hadi Dar
es Salaam, hapandi ngamia,
anafka anakwambia usipeleke
mtoto shule; unaona umefkiwa
na Sheikh mkubwa kabisa na
kakuambia kitu cha maana
unamsikiliza unamkubalia!
Mtu anatoka Dar es Salaam
anapanda FastJet hadi Mwanza
au Mbeya, anakwambia mtoe
mtoto wako Nyasaka asisome
fzikia kwa sababu ni ukafri,
unamsikiliza unakubali! Mtu
anatoka Tanga au Arusha,
kapanda basi hadi Kondoa
au Masasi, hakupanda punda
au kutembea kwa miguu,
anakwambi a mt oe mt ot o
wako shul e maana huko
hakufundishwi ila ukafiri,
unakubali. Unamtoa mtoto
wako shule unampa aende
naye!!!
Hapa ndio ninapojiuliza,
huu ujinga na kupumbaa huku
kumetoka wapi na kumeingiaje
katika jamii ya Waislamu?
Kiasi mwezi mmoja uliopita,
yupo bwana mmoja alipata ajali.
Akiwa mahututi hajitambui,
akapel ekwa Muhi mbi l i .
Taarifa zilipowafkia baadhi ya
jamaa zake, wakaja juu. Kwa
nini mlimpeleka hospitali?
Mngemuacha hivyo hivyo
na majeraha yake na viungo
vyake vilivyovunjika. Yeye
si ametoa watoto wake shule
Ushauri kutoka Nigeria:
Dar wamalizeni
Boko haram wenu
Vinginevyo mtalia na kusaga meno
Na Omar Msangi
kuwa kusoma ni ukafri, sasa
atatibiwa vipi na elimu ya
kikafri!
Jumatatu wiki hii ilifungwa
semina juu ya epistemolojia
ya Ki i s l amu, i l i yokuwa
ikifanyika katika Chuo Kikuu
cha Waislamu, Morogoro.
Semina hii ilihudhuriwa na
washiriki takribani 400 kutoka
nchi mbalimbali za Afrika, Asia
na Arabuni. Nigeria, ndiyo
iliyokuwa na washiriki wengi
zaidi, kiasi cha 35 na wengi
wao wakiwa ni maprofesa na
wahadhiri kutoka vyuo vikuu.
Nilijitahidi sana kukutana na
wengi katika washiriki hao,
katika mazungumzo binafsi,
ili kupata picha kamili ya
tatizo la Boko Haram, lilivyo.
Labda niseme kuwa wote,
japo niliongea nao mmoja
mmoj a, na pengi ne bi l a
kujua kuwa nilishaongea na
mwingine na aliniambia nini,
maelezo yao yanalingana na
wanasema, huo ndio uoni na
msimamo wa Waislamu wote
wa Nigeria na hata Wakristo
(ukiacha wale hamnazo na
wanaot umi wa au wenye
chuki binafsi zilizowapofua).
Laki ni pi a wot e wal i t oa
nasaha zinazofanana, kwamba
Waislamu na Watanzania,
wasifanye kosa walilofanya
wao, kwa sababu tutajuta.
Wanasema, wao walifanya
kosa ambalo hawakujua kuwa
lingewagharimu kiasi hiki.
Kwamba, walipoibuka watu
wanaosema kupeleka watoto
shule ni haramu, waliwaona
kama wapuuzi tu na kwamba
hakuna Muislamu Mnigeria
mjinga atakaye wasikiliza.
Lakini wanasema, pengine kwa
kuwepo kundi kubwa la vijana
wasio na kazi, kila uchao Boko
Haram wakawa wanapata
vijana wa kuwashabikia na
kuwakubali. Hiyo ikawa hatua
ya kwanza.
Katika hatua ya pili wanasema
kuwa ni pale, serikali ilipotaka
sasa kuwadhibiti, lakini ilikuwa
tayari imechelewa (au serikali
yenyewe nayo ilikuwa katika
mkakati huo. Hii ni dhana
yangu tu, sio yao.). Hatua ya
kukamata viongozi wa Boko
Haram, ikaleta fujo kubwa.
Vijana wakawa wanavamia na
kulipua vituo vya polisi, wala
haikujulikana silaha walipata
wapi.
Kat i ka hat ua ya t at u,
wanasema kuwa, takribani
wale vijana wote waliokuwa
wakijulikana kuwa ni Boko
Haram, waliuliwa. Nyumba
kwa nyumba, mtaa kwa mtaa,
wal i kuwa waki sakwa na
vyombo vya dola.
Katika hatua ya nne, ni kuja
hiki kikosi kazi kipya ambacho
hakijulikali, ila kiongozi wake
tu anayejitokea katika vyombo
vya habari kutoa kauli na
madai mbalimbali. Hii ni hatua
pia ambayo iliambatana na
Boko Haram, ghafa kuwa na
silaha nzito za kijeshi zikiwemo
machine guns, makombora,
rocket launchers, mabomu,
magari ya kivita mengi yasio
na idadi mpaka helkopta.
Kaskazini mwa Nigeria, hasa
kule ambako panaonekana
kuwa kitovu cha mashambulizi
ya Boko Haram, pako chini
ya hali ya hatari, na hivyo
sheria na kanuni za kijeshi ndio
zinadhibiti eneo hilo ikiwa ni
pamoja na kuwepo vizuizi
vya barabarani vyenye polisi
na jeshi, kila baada ya masafa
kadhaa. Lakini hata hivyo
wanasema, watapita Boko
Haram na msururu wa magari
yao ya kijeshi watavamia mtaa
au kijiji na kufanya mauwaji na
kuondoka na hawakamatwi.
Katika lile tukio mashuhuri
l a kut e kwa wa s i c ha na
wa s h u l e , wa n a s e ma ,
mfano wake chukulia pale
Morogoro, Msamvu, ndipo
Inaendelea Uk. 9
9
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Makala
Dar wamalizeni Boko Haram wenu
Inatoka Uk. 8
ilipo shule, watoto wanatekwa
na wanachukuliwa kuelekea
Chalinze, halafu hapo katikati,
wanai ngi a por i ni . Magar i
hayaonekani yalipotelekezwa,
wala watu wakij itolea kuwa
wapo tayari kuingia katika pori
hilo, serikali haitaki. Hakuna
anayeruhusiwa kuingia. Na
wanasisitiza kuwa sio msitu
mnene kama ilivyo misitu ya
huku Afrika Mashariki na Kati.
Ni vichaka kwa sababu, Kaskazini
mwa Nigeria, ni eneo la kueleka
jangwani.
Almuhimu wanachosema ni
kuwa ilipofikia Boko Haram,
huna namna ya kusema kuwa
wanaofanya hayo ni kile kukundi
cha vi j ana wa Ki i sl amu wa
Kinigeria walioanza kusema
kuwa kwenda shule ni haramu.
Inavyoonekana ule ulikuwa
mkakati wa kutafuta kianzio
ambao kwanza unawachanganya
Wai s l amu na kupar ur ana
wenyewe kwa wenyewe. Pili,
uki f ani ki wa j apo ki dogo,
unawazamisha Waislamu katika
ujinga. Tatu, kama wanavyofanya
ISIS kule Iraq na Syria, kutangaza
Uislamu kuwa ni dini ya mauwaji,
ukatili na ushenzi na ndio maana
wanakatazana kusoma. Na nne,
kutumika katika kiwango cha
kuleta machafuko katika nchi.
Hapa wanaangamia Waislamu
na Wakristo. Ndio maana katika
nasaha zao, wasomi hawa kutoka
Nigeria, wakasema kuwa Wakristo
wasije wakajidanganya kuwa hili
ni tatizo la Waislamu, shauri lao
Waislamu!!!
Kama j amii ya Waislamu,
nadhani kuna haja ya kuchukua
hatua za haraka, vinginevyo,
itakuwa majuto ni mjukuu. Suala
la elimu lipo wazi, wala si katika
yale mambo mutashabihati. Kwa
nini Masheikh zetu wanakaa
kimya na kuwatizama watu
wakipita mitaani kuwapumbaza
na kuwapotosha na kuwatia
ujinga Waislamu juu ya suala
la elimu? Kwa nini hatuwasikii
wakisimama na kutoa maelekezo
kwa Waislamu na kusimama
kuchukua hatua juu ya watu
hawa ambao mimi nasema ni
kama wale akina Abu Baghdadi
wanaot umi wa kuungami za
Uislamu (ama kwa kujijua au
kwa mzigo wa ujinga walio nao).
Nchi hii ina sheria ambapo,
hata mzazi anaweza kushitakiwa
kama atamnyima mtoto wake haki
ya kusoma. Kwa nini taasisi za
Kiislamu hazichukui hatua dhidi
ya watu wanaowatoa watoto wa
Kiislamu shuleni na vyuoni?
Katika hotuba yake ya ufunguzi
wa semina hii ya epistemolojia
ya Kiislamu, Makamu wa Rais,
Mheshimiwa Gharib Bilal, pamoja
na kuwahimiza Waislamu kutoa
elimu bora kabisa kwa vijana
wao kwa manufaa ya taifa na wao
wenyewe, alirejea zile zama bora
kabisa katika historia ya Kiislamu
ambapo wanazuoni wa Kiislamu
ndi o wal i kuwa waki ongoza
katika fani mbalimbali za elimu
zilizoleta mapinduzi makubwa
katika sayansi na tekinolojia hivi
leo katika Ulaya na ulimwengu
kwa ujumla. Wakati huo, Ulaya
ilikuwa kizani kabisa.
Inavyoonekana, wanachotaka
kufanya hawa wanaowatia ujinga
Waislamu wasipeleke watoto wao
shule, wanataka kufuta ile historia
ya Waislamu kuwa ndio mabwana
wa elimu walio wastaarabisha
Ulaya na ulimwengu kwa ujumla.
Wanataka kuleta blanketi la ujinga
lifunike umma wa Kiislamu kwa
hiyo kufuta hata ile historia
ambayo wenyewe wa Ulaya
wanakiri kuwa Uislamu na elimu
kutoka ulimwengu wa Kiislamu
ndiyo iliyowastaarabisha na
kuwaibua katika ushenzi na kuwa
taifa la sayansi na tekinolojia.
Wanataka kufuta hii kasi na
harakati za Waislamu kurejea
katika kiti chao cha kuongoza
dunia katika elimu na nyanja zote.
Ukitizama kwa makini, vita ya
makafri dhidi ya Waislamu hivi
sasa inakuja katika njia na namna
mbili. Moja, ni hii ya kuwafuta
katika rekodi za kihistoria kuwa
nao walitoa mchango wowote
katika elimu. Kuwatia ujinga na
wakionekana wajinga fulani tu,
hata ukisema kuwa huko zamani
walikuwa hivi, hakuna atakaye
kusikiliza. Pili, ni hili linalofanywa
na ISIS, na wanajihadi bandia
wot e. Kwamba, pamoj a na
kutimiza masilahi ya sasa hivi na
ya baadae ya mabeberu, lakini pia
wanatumika kufunika ile rekodi
mbaya ya askari wa Kikristo
katika Crusade na wakati huo
huo kufuta rekodi saf ya askari
wa Kiislamu waliopigana na
kushinda vita kadhaa katika
hi yo Cr us ade. Wakat i wa
Crusade, Wakristo walikuwa
wakikimbilia kuishi katika miji
ya Waislamu kutokana na jinsi
jeshi la Waislamu lilivyokuwa
likiwatendea wema raia wa
Kikristo kila walipo baada ya miji
yao kutekwa. Kinyume chake,
Crusaders, walikuwa wakiuwa
Waislamu kila walipowakuta.
Wawe ni watoto, akina mama,
wazee n.k. Hili ndilo wanalofanya
ISIS hivi sasa.
Na kwa maana hiyo, wote hao,
wanao watoa watoto shule na
vyuoni, wale wanaopita mitaani
wakisema kuwa kusoma kemia,
biolojia na uhandisi ni haramu,
pamoja na wale wa jihad bandia
na akina Abu Fulani, wetu, wote
hao ni mawakala wa mpango
mkakati wa kuungamzia Uislamu.
Wanaweza wakawa wanajua au
wasijue wakiwa wanaendeshwa
kwa remote control.
Hebu tufanye utafiti kidogo
tujue, wapi walipata mafunzo yao
(training) na kuibuka na hoja hizi
za shule haramu. Hebu tufanye
utafiti kidogo tujue hawa Abu
Fulani, walipata training wapi
na nani wapo nyuma yao.
Hata hivyo, muhimu na la
haraka zaidi kwa sasa, Masheikh
zetu na viongozi wa taasisi
za Kiislamu, watafute namna
ya kukabiliana na watu hawa
wanaowatia Waislamu ujinga.
Kama wanavyosema Waislamu
wenzetu wa Nigeria, tukifanya
ajizi, tutalia na kusaga meno.
DKT. Bilal akisalimiana na Mkuu wa Chuo MUM Hajat Mwatum Malale alipowasili kufungua semina
Jumamosi iliyopita.
ROCKET Launcher
10
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Inaendelea Uk. 13
Makala
KUANZIA mwishoni mwa
wiki iliyopita, Marekani
imeanza mashambulizi dhidi
ya wapiganaji wa Islamic
State. Katika tangazo lake,
Rais wa Marekani Barack
Obama alisema kuwa ametoa
amr i I S washambul i we
kwa ma l e ngo ma wi l i :
Kwanza ni kuwadhibiti IS
wasiwahilikishe watu wa
Yazid waliozingirwa katika
milima wa Sinjar. Hatua hii
ya Marekani, ilitanguliwa na
taarifa za takriban wiki nzima,
ikielezwa jinsi IS wanavyouwa
watu wa Yazid huku picha
zikisambazwa katika vyombo
vya habari zikionyesha maiti
zilizozagaa, akina mama na
watoto waliokimbia makazi
yao wal i oko mi l i mani
wamezi ngi r wa hawana
mahali pa kwenda. Inadaiwa
kuwa IS waliapa kuwamaliza
watu wa Sinjar kwa madai
kuwa wanafuata dini ya kale
inayohusiana na Zorostiani
(Zorostianism).
Jambo jingine linalotajwa na
Marekani kuwa ni sababu ya
kuwapiga IS kutoka angani,
ni kulinda wafanyakazi wa
Marekani waliosambaa katika
maeneo mbalimbali ya Iraq
kwa ajili ya maslahi ya nchi
hiyo. Obama alisema kuwa
mashambulizi hayo yanaweza
kuchukua muda mrefu kwa
sababu hawataruhu IS kuingia
Baghdad ambapo kuna maofsa
wa Marekani wanaotizama
masilahi ya nchi hiyo. Kwa
upande mwingine amesema
kuwa kamwe Mar ekani
haitaruhusu IS kuteka na
kukamata mji mkuu wa Jimbo
la Wakurdi (Kurdish region).
Erbil, ambapo hivi sasa ISIS
wanapigwa na Marekani ili
wasiingie katika eneo hilo, ni
kitovu cha visima vya mafuta
katika mkoa/jimbo la Kurdistan.
Hata kabla Bush hajavamia Iraq
2003, makampuni makubwa
ya mafuta ya Kimarekani,
ExxonMobi l na Chevron
yal i shai ngi a kat i ka eneo
hilo na kufanya uwekezaji
mkubwa wa kuvuna petroli.
Sasa ni wazi kuwa Washington,
haiwezi kuruhusu IS waingie
na kuvuruga uvunaj i huo
wa mafuta. Na kwa upande
mwi ngi ne, hi l i ni eneo
ambalo litakuwa kama nchi
inayojitegemea na hadi sasa
kumejaa Wamarekani wengi,
ukiacha hao waliopo katika
ExxonMobi l na Chevron,
upo pia ubalozi mdogo na
makampuni mbalimbali.
Mwandi shi St eve Col l ,
akizungumzia mada hii katika
Obama hapingi Khilafah
ya Abu Baghdad. Ni yake
Anawalinda ExxonMobil , Chevron
Anatekeleza mkakati wa CNS 2004
Mambo hupangwa hayajitokezei tu
Na Omar Msangi
makala yake, Oil and Erbil
alimnukuu Rais Barack Obama
akieleza ni kwa nini aliamuru
IS wapigwe. Katika moja ya
kauli zake, Obama alisema
maneno yafuatayo:
The Kur di s h r e gi on i s
functional in the way we would
like to see. So we do think it is
important to make sure that that
space is protected.
Kwamba, mkoa wa Kurdish
unaendesha mambo yake
kama Marekani inavyotaka,
na kwa hiyo ni lazima ulindwe.
Pigia mstari maneno-Kama
Ma r e ka ni i na vyot a ka .
Obama aliyasema hayo wakati
akifanya mahojiano na Thomas
Friedman.
Steve Coll anasema Obama
aliyasema hayo baada ya
kupitia taarifa aliyopewa
n a wa t a a l a mu wa k e
wakimwambia kuwa maelfu
ya Wamarekani wanai shi
Erbil, wengi wao wakiwa ni
wale wenye makampuni ya
mafuta na gesi katika mji huo
na hivyo, isiruhusiwe ISIS
kuwavurugia mambo yao.
Lakini pia izingatiwe kuwa
Rais wa Marekani hawezi
kusimama na kutangaza kuwa
anawapiga ISIS kwa lengo
l a kuyal i nda makampuni
ya mafuta ya Kimarekani
pamoja na wafanyakazi wao.
Lazima litafutwe neno ambalo
litaonekana kuwa Marekani ni
msamaria mwema anayeingia
Iraq kuwal i nda Yazi d na
Wakristo wanaouliwa na ISIS.
(Soma Oil and Erbil by Steve
Coll.)
Msomaj i wangu mmoj a
aliniambia kuwa taarifa za
kunukuu vyombo vya habari,
wasomi na watafti, sio vigezo
vi navyokubal i ka kat i ka
Uislamu. Lakini nimwambie
kuwa huyu St eve Col l ,
anayetamka hapa kuwa hilo
ndio lengo la kuwapiga ISIS;
ni msomi na Mhadhiri katika
Chuo Kikuu cha Columbia
(Graduate School of Journalism
at Columbia University). Ni
mwandishi mtaalamu katika
masuala ya inteligensia na
usal ama ndani na nj e ya
Marekani (issues of intelligence
and national security in the
United States and abroad.)
Nimetangulia kuyasema
haya kwa sababu mara tu
Marekani ilipotangaza kuwa
inaanza kuwashambulia ISIS,
watu kadhaa wal i ni pi gi a
simu na kunitumia ujumbe
kama kuniambia kuwa hatua
hiyo ya Marekani ni kwa vile
haitaki kusimama kwa Dola
ya Kiislamu na kwamba katika
redio moja ya Kiislamu, watu
wanapiga simu na kutuma
ujumbe kuzungumzia suala
hi l o. Nadhani t unakuwa
wepesi sana wa kusahau.
Mwaka 2004, Marekani na
Ui ngereza zi l i vami a Iraq
zikidai kuwa zinafanya vile
kwa misingi ya kibinadamu,
kuwanusuru wananchi wa
Iraq, lakini pia zikitumia hoja
ya kuwa Saddam Hussein ana
silaha za maangamzi-Weapon
of Mass Distruction (WMD).
Mwisho wa yote hakuna silaha
ya maangamizi iliyopatikana
wala nusura iliyopatikana
kwa wananchi wa Iraq kama
ilivyo kwa Walibya hivi leo.
Walichofanya ni kupandikiza
mbegu ya ftna, machafuko na
mauwaji yasiyo na sababu wala
kuonekana mwisho wake.
Miaka 10 baadae, Marekani
hi yo hi yo, i nawawezesha
ISIS kuingia Iraq na kufanya
unyama wote waliofanya, kisha
sasa inasema inakuja kuwaokoa
Yazid na Wakurdi. Suala hapa
sio Marekani kuwapiga ISIS
kwa vile haitaki ukhalifah
usi mame kama ambavyo
hai kuwa sual a ni WMD
ulioifanya kuvamia Iraq. ISIS na
Mradi wa Ukhalifah ni watoto
wa makafiri/mabeberu, na
watoto hawa kazi waliyopewa,
kwa kuj ua au kwa uj inga
wa kutumiwa bila kujua, ni
kutengeneza mazingira mapya
ambayo yatamuwezesha bosi
wao kuwashambulia katika
kutekeleza mradi wake wa
kistratejia kiuchumi, kijiografa
BAADHI ya wapiganajiwa ISIS wakiranda katika miji walioteka.
11
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Makala
iliyowasilishwa katika Kamati ya
Usalama ya Bunge la Marekani
(The House Select Committee on
Intelligence), mradi huo uliitwa
"cynical enterprise, hata katika
mukt adha wa c l ande s t i ne
operations", kwa sababu ya ubaya
wake kwa Wakurdi waliotumiwa
bila kuj ij ua. Taarifa ya Pike
inasema kuwa si Kissinger, Shah
wala Rais Nixon, aliyekuwa
akitaka Wakurdi washinde. Ila
tu, walikuwa wakitumiwa kwa
kiwango fulani kwamba wakileta
vurugu itatosha kuirejesha serikali
ya Iraq katika mstari unaotakiwa.
Ripoti inasema:
Nei ther the Shah "nor the
President and Kissinger desired
victory for [the Kurds]. They hoped
the insurgents would [maintain] a
level of hostilities to sap the resources
of [Iraq]."
Wakati Wakurdi wanaamni
kuwa wanasadiwa wajitenge,
wajitangazie nchi huru kutoka
Iraq, kumbe wanatumiwa kuleta
fujo, wauwawe ili mabeberu
wapate mradi wao. Na ndio maana,
baadae tena baada ya Saddam
Hussei n kushi ka madaraka
na kuwa kibaraka mtiifu wa
Marekani, Wakurdi walitelekezwa
na Saddam Hussein akaachiwa
kuwachinja kama kuku mpaka
kuwapiga kwa silaha za sumu.
Zo e z i s a s a l i me ge uka .
Mkakati wa miaka ya 1990s
hasa baada ya kuporomoka
kwa Urusi na kuonekana kuwa
kitisho kilichobakia ni Uislamu,
kinachotakiwa sasa ni Iraq,
kugawanywa. Wakurdi tena
wakiwa na agenda yao ile ile ya
kujitenga, sasa wanatumiwa tena.
Wanaotumiwa pamoja nao ni ISIS.
Ila hapa, wa kuja kuangamizwa ni
ISIS. Mahesabu ya sasa yanaashiria
kwa Wakurdi kupewa nchi yao, ila
wabakie kuwa vibaraka na nchi
dhaifu isiyo na uwezo wa kuleta
kitisho chochote kwa Israel.
Na katika mradi huo, Iran
chini ya Shah, ilikuwa ikitumika
kupitisha pesa na silaha kwenda
kwa Wakurdi, kama ambavyo
l eo Saudi Arabi a na Qat ar
zinavyotumika katika suala la ISIS
na mradi wa Khilafah. (Tazama:
Gerard Chaliand and Ismet Seriff
Vanly, People Without A Country,
1980, 184. (2) Will Safre, New York
Times, Feb.12, 1976. (3) Chaliand
and Vanly.
Kama nilivyogusia, katika hali
ya kusikitisha, mwaka 1975, baada
ya Iraq kukubali kushirikiana na
Iran katika matumizi ya ule mlango
wa bahari wa Shatt-al-Arab,
Marekani iliwatelekeza Wakurdi.
Hapo ndio mkono wa chuma wa
Saddam ukawaangukia Wakurdi.
Wakauliwa sana. Baadhi ya watu
na taasisi za kimataifa zilipopaza
sauti kuilaumu Marekani kwa
kuwatelekeza Wakurdi, jibu la
Usiparamie behewa usilojua litokako wala
Kissinger lilikuwa jepesi kabisa,
alisema:
"Covert operations should not be
confused with missionary work."
(Chaliand and Vanly).
Kwamba, kazi ya kupigania
masilahi ya kibeberu kupitia njia
chafu, hadaa na ulaghai wa kila
namna, zisidhaniwe kuwa ni
kama kazi za wamishionari.
Ni j ambo l a kusi ki t i sha
kuwa wakati katika Hadithi
mashuhuri ambayo Masheikh
zetu wanainukuu mara kwa
mara i nawat aka Wai sl amu
wawe makini, wawe waangalifu,
wachukue tahadhari, isitokee
kwa Muislamu kuwa mjinga na
mzembe kiasi cha kuumwa na
nyoka mara mbili katika shimo
moja, leo Waislamu (Wakurdi) hao
hao, na Waislamu sisi, tunaumwa
katika shimo lile lile. Ila sasa
huenda ni koboko (black mamba),
yule wa mwanzo alikuwa kifutu!
Itakumbukwa kuwa mwaka
1979, Shah alipinduliwa, akaja
Ayatollah Khomein na serikali ya
Kiislamu ya Iran. Hali ikachafuka
t ena. Zbi gni ew Brzezi nski ,
aliyekuwa Mshauri wa Usalama
wa Marekani (National Security
Advi sor ) akamtaka Saddam
Hussein kuishambuilia Iran
ateke Shatt-al-Arab waterway.
Mwaka 1980 Marekani ikaisaidia
Iraq kwa taarifa za kiintelijensia
na silaha kupambana na Iran.
Nchi za Kiislamu, ikiwemo Saudi
Arabia, Misri, Kuwait, zikatakiwa
kuimsaidia Saddam. Zikatoa
Inatoka Uk. 2
mamilioni ya dola, fedha na silaha.
Hata hivyo, wakati Saddam
Hussei n yeye aki ona kuwa
anapendwa na Marekani kwa
msaada anaopewa, wanaotoa
ms aada kwa upande wao
walikuwa na haya ya kusema:
"We wanted to avoid victory by
both sides." Alinukuliwa mmoja
wa maofsa wa serikali ya Reagan
akisema kama alivyonukuliwa
na gazeti la New York Times. Naye
Henry Kissinger akanukuliwa
akisema kwa ufedhuli:
"I hope they kill each other" and
"too bad they both can't lose."
Kwamba, anataraji Iraq na Iran
wataendelea kuuwana na hakuna
atakayeshinda.
(Tazama: Dilip Hiro, The Longest
War, 1991. (2) S. Hersh, New York
Times, Jan.26, 1992.)
Mc he z o ndi o huo huo
unaofanyika leo Syria, Iraq,
Somalia na pengine popote ambapo
Waislamu wanapiganishwa proxy
war.
Baada ya kutoka vitani inaelezwa
kuwa Iraq iliingia katika mradi
mkubwa wa kujenga nchi yake.
Haraka haraka ikaimarika kwa
kila eneo. Hilo nalo halikutakiwa.
Mabeberu wakatafuta sababu ya
kuipiga Iraq wairejeshe nyuma
zama za kiza. Katika kitabu chake,
Hidden Agenda Behind the Gulf
War, Pierre Salinger anaeleza jinsi
Kuwait ilivyotumika kumchokoza
Saddam, ikiwa ni pamoja na
kuiba mafuta ya Iraq, mpaka Iraq
ikaivamia nchi hiyo. Ikawa sababu
ya Iraq kupigwa mwaka 1991/93.
Clean Break
Upo mpango mkakati wa Israel
unaitwa, A Clean Break: A New
Strategy for Securing the Realm.
Huu ni mpango makakati
ambao kwa kifupi unajulikana
kama, "Clean Break" report, ambao
uliandaliwa mwaka 1996 ikiwa
kama mwongozo wa sera ya
Israel ya kumsaidia Waziri Mkuu
Benjamin Netanyahu. Kufuatia
mwongozo huo (policy blueprint)
kwa Net anyahu, Marekani
nayo ikitumia taasisi yake ya
Institute for Advanced Strategic
and Political Studies ililazimika
kuja na kitu ilichokiita, "Study
Group on a New Israeli Strategy
Toward 2000", wahusika wakuu
wa Study Group hiyo wakiwa
ni Richard Perle, James Colbert,
Charles Fairbanks, Jr., Douglas
Feith, Robert Loewenberg, David
Wurmser, na Meyrav Wurmser.
Ndani ya mwelekeo huo wa
sera ya Netanyahu na ufafanuzi
wa timu hii ya akina Richard
Perle, ndio ndani yake unakuta
mael ekezo ya kumwondoa
Saddam Hussei n, na ndi po
ikalazimika kusingiziwa kuwa
ana silaha za maangamzi. Lakini
pia mkakati huo, unagusia Pxoxy
war i nayoendel ea hi vi sasa
Syria na mambo ya ISIS kuwa ni
katika mipango ya kuwatumia
wapiganaji wa Kiislamu kuleta
machafuko Syria na Iraq na
kuzidhoofisha kabisa nchi hizo
ili Israel ibakie salama. Kwa mara
ya kwanza mpango huo unadaiwa
kubuniwa na mzayuni (Zionist
strategist) Oded Yinon, mwaka
1982.
Ambalo tunatakiwa kufahamu
hapa ni kwamba, kabla hata
ya Marekani kuvami a I raq
kumwondoa Saddam Hussein
kwa kisingizio cha kuwa na
silaha za maangamizi, mipango
na mikakati ya kuigawa Iraq
ilishaandaliwa na kuwekewa
muda wa utekelezaji (time table)
na nani watatumiwa (mujahidina
bandia).
Tazama-U.S. Considers Dividing
Iraq Into Three Separate States After
Saddam Is Gone-FORECASTS &
TRENDS, Oct 1, 2002 na U.S. 2002
Pre-invasion Plan to Divide Iraq Into
Three Separate States After Saddam
by Gary D. Halbert)
Kuna mambo mawili makubwa
yalitizamwa katika mkakati
huo. Mosi ni ule mkakati wa
Israel kutaka pasiwe na nchi
ya Ki ar abu madhubut i ya
kupimana nayo ubavu. Pili,
akishaondolewa Saddam ambaye
alifanikiwa kuwaweka Sunni
Inaendelea Uk. 12
MMOJA wa watoto waliojeruhiwa katika inayoendeshwa na ISIS
Iraqi.
12
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
12
MAKALA/Mashairi
Usiparamie behewa usilojua litokako wala
Inatoka Uk. 11
na Shia kama taifa moja,
hakuna kiongozi yoyote
kibaraka ambaye ataweza
kuwaleta tena pamoja
Shia na Sunni kuwa na
serikali imara. Unatajwa
mfano wa Afghanistan,
ambapo hadi s as a
Rai s Hami d Karzai
anatawala tu mji mkuu
Kabul, unaolindwa na
Marekani.
L a k i n i y a we z a
p i a , wa k i a c h wa
wakaweza kuj iweka
wenyewe wakarudi
k a t i k a z i l e z a ma
ambapo Iraq ilikuwa
kitovu cha ustaarabu
kat i ka ul i mwengu
wa Ki i s l amu, kwa
hi yo i f ut we kabi sa
na jina Iraq lisiwepo
tena. Kwa hiyo, hata
katika kuigawa katika
sehemu tatu, ramani
i na yoc hor wa hi vi
sasa inaweka sehemu
yenye utajiri mkubwa
wa mafuta kuwa kwa
Wakurdi ambapo ni
rahisi kwa Marekani
kuweka kambi zake
za kijeshi na kuvuna
maf ut a kupi t i s hi a
Uturuki.
M a h e s a b u y a
Marekani na Israel ni
kuwa hata wale ambao
wa t a b a k i a k u wa
kama Sunni Arabs na
Shia Arabs (nchi za
Wasuni na Washia),
wa t a kuwa dha i f u
na wal i odhi bi t i wa
k i a s i k w a m b a
hawat af urukut a na
mafuta yao, itafaidi
zaidi Israel.
C h a n g a m o t o
i l i y o t a j wa k a t i k a
kutekeleza jambo hili
ni kuwa hai takuwa
rahisi kuwashawishi
watu wa Iraq wala nchi
za Kiarabu na jumuiya
ya kimataifa kuifuta
Iraq. Kwa hiyo? Lazima
kuj enga mazi ngi ra
y a k u wa f i k i s h a
Wairaq, Waarabu na
wal i mwengu kuona
kuwa hakuna namna
ya kunusuru hali, ila
kwa kila watu kuwa
na nchi yao. Vipi? Vita
(proxy war) na mauwaji
ya kikatili ya ISIS.
Ndani ya kutekeleza
mk a k a t i h u u wa
kuwapata Waislamu
hamnazo kupigana
n a k u u wa wa t u
ovyo, i kat aj wa pi a
changamoto nyingine,
kuwa ukatili na mauwaji
ya t a k a y o f a n y i k a ,
yatakuwa ya kutisha
mno. Ndio hayo unaona
wa t u kwa ma mi a
wanauliwa na kukatwa
vichwa vinatundikwa
katika vyuma na miti
au hayo ya kut aka
kuangamiza Wakristo
na Yazid!
H a t a h i v y o ,
k a ma a l i v y o wa hi
kusema al i yekuwa
Wazi r i wa Mambo
ya Nje wa Marekani
Madel ei ne Al bri ght
aliposhutumiwa juu ya
vifo vya watoto zaidi ya
milioni wa Iraq katika
miaka ya mwanzo ya
1990s akasema hiyo ni
gharama stahiki kwa
masilahi ya Marekani;
ma uwa j i ha ya ya
kikatili ya ISIS nayo
yanayoonekana ni
gharama stahiki!!!
Ukisoma uchambuzi
wa Pe pe Es c oba r
( U. S . I R AQ E X I T
STRATEGY: CI VI L
WAR), utaona kuwa ule
mkakati wa Marekani
wa kulivunja kabisa
jeshi la Iraq na kufuta
kabisa taasisi za kisiasa,
kikiwemo chama cha
Baath na kisha kuondoa
jeshi lake mwaka 2008
i ki i acha Iraq i ki wa
haina jeshi madhubuti,
yote ilikuwa katika
mkakati wa kufungua
mlango wa machafuko,
vita ya wenyewe kwa
wenyewe na kisha haya
ya ISIS, kama hatua ya
kutekeleza ule mpango
mkakati ul i oel ezwa
kat i ka 1996 "Cl ean
Break"
Pengine nimalizie
kwa kusema kuwa
ka ma a l i vyo s e ma
Rai s wa Mar ekani
Barack Obama, kwa
hi vi sasa Marekani
haikusudii kuwapiga
na kuwaangamzi a
k a b i s a I S I S , b a l i
kuwadhibiti tu kuingia
wasipotakiwa. Hiyo
inafanyika kwa sababu
ISIS hawajakamilisha
ka z i wa l i yope wa .
Wanataki wa kuuwa
watu-Washia, Wakurdi,
mpa k a ha s i r a z a
Washia nazo zipande
sana, wauwane kiasi
cha kutosha ndio sasa
aj e msul uhi shi wa
kuwasuluhisha Sunni,
Shia na Wakurdi. Lakini
wakati huo huo, wale
ISIS waliokusanywa
kutoka nchi mbalimbali,
watafutiwe tanuri la
kuangamizwa. Wapo
watakaouliwa kupitia
carpet bombi ng na
wapo watakaolundikwa
k a t i k a k a mb i n a
magereza ya mateso
kama yale ya AbuGhraib,
Afghanistan.
WAKIMBIZI wa Yazid wanaotishiwa kuangamizwa
na ISIS.
Waislamu Dar walaani
mauaji Palestina
Inatoka Uk. 16
Wapalestina huduma za
msingi za kibinadamu
n a v i t e n d o v y a
kinyama vya ukataji na
uharibifu wa hifadhi
ya maji ya kunywa na
kupi gwa maruf uku
bi dhaa kwenda nj e
na kuingizwa ndani
ya Gaza, ni mambo
ambayo hayakubaliki
na wanalaani hatua
hiyo.
Wa i s l a mu h a o
kupi t i a maazi mi o
y a o wa me s e ma ,
wanal aani ukat i l i
endelevu na uvamizi
ambao uliwafukuza
Wapalestina wanaume,
Wanawake na watoto
kupitia mauaji ya halaiki
na kuharibu mamia ya
miji ya Wapalestina.
Tunalaani unyimaji
endelevu wa haki za
binadamu wa kurejea
kwa mami l i oni ya
wakimbizi wa Palestina
kwenye ar dhi yao
ambamo walifukuzwa
ki kat i l i na ambayo
ilitaifshwa kwa ajili ya
matumizi ya Wazayuni
wa Ki - I sr ai l i t u .
Imesema taarifa hiyo.
Taarifa hiyo yenye
maazi mi o yapatayo
k u mi , i me s e ma
k u wa Wa i s l a mu
c h i n i y a k a ma t i
hi zo wanaonyesha
ms hi k a ma no wa o
kwa wapenda uhuru
wote, watafuta haki na
waungaji mkono wa
haki za binadamu wa
dunia nzima
Taarifa hiyo imesema,
inalaani mashambulizi
ya nguvu ya kij eshi
yanayofanywa Gaza,
yakijumuisha sehemu
za ibada, mahospitalini,
mashuleni pamoja na
ulengaji wa kikatili wa
raia hususan wanawake
na watoto.
Ai dha wameel eza
kuwa mbali ya kulaani,
lakini pia wanatukuza
upinzani wa kijasiri
wa watu wa Palestina
wanaokandami zwa,
huku waki waonea
huruma kwa maswahibu
yanayowapata.
Tunawahurumi a
kwa masaibu yenye
kuvunj a moyo na
t unaj i f unga kat i ka
kunyanyua sauti zetu
na kupi nga, l aki ni
t u k i u n g a mk o n o
kat i ka ki l a bar aza
inayostahiki kusaidia
kupatikana kwa haki
yao isiyotenganishika.
Walieleza Waislamu
hao.
Maalim Seif aomba msaada Ujerumani
Inatoka Uk. 16
wa pande hizo.
Balozi huyo aliongeza
kuwa anaelewa Zanzibar
inazo fursa nyingi za
kiuchumi na biashara,
i k i we mo k i l i mo
cha viungo na utalii
ambazo wawekezaji wa
Ujerumani wanaweza
kuz i t umi a ka t i ka
kufungua miradi yao.
Katika mazungumzo
yake, Balozi huyo wa
Ujerumani ameipongeza
Zanzibar kwa juhudi
kubwa ilizozichukua
kufanikisha maridhiano
ya kisiasa na kufikia
maamuzi ya kuwa na
Serikali ya Umoja wa
Kitaifa.
Akizungumzia suala
la utafutaji wa Katiba
mpya hapa nchi ni ,
Ba l oz i Koc ha nke ,
alisema wanafuatilia
kwa karibu maendeleo
ya mchakato huo na
wanas ubi r i kuona
hatua zitakazoweza
kuchukul i wa baada
ya kuj i t okeza kwa
mkwamo katika hatua
hii ya Bunge la Katiba.
Awali Maalim Seif
alimueleza Balozi huyo
kwa urefu mchakato
huo ulipofkia, ikiwemo
kasoro zilizojitokeza
tangu mchakato huo
ulipoanza hadi kufkia
sasa.
13
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Inaendelea Uk. 14
MAKALA
Obama hapingi Khilafah
ya Abu Baghdad. Ni yake
Inatoka Uk. 10
na kidini pia. (Tazama: The
Engineered Destruction and
Political Fragmentation of Iraq,
Global Research, July 01, 2014 )
Propaganda ya ugaidi
Pe ng i ne t ua nz e k wa
k u j i k u mb u s h a ma mb o
yafuatayo. Moj a ni kuwa
uwepo kitisho cha aduni wa
nje, (outside enermy), imekuwa
ni kisingizio na propaganda
ambayo imekuwa ikiendelezwa
kupitia vyombo vya habari
ikilenga kukuza na kuhuisha
kitisho hiki kibaki katika akili
za watu na kuwaaminisha
kuwa kipo na ni cha kweli.
Pili, ni ukwei ambao umethibiti
kuwa vita dhidi ya ugaidi
na kitisho cha ugaidi wa Al
Qaeda, ni kama matofali ya
kuj enga ki l e ki nachoi twa
US-NATO military doctrine,
ambayo inakuwa kisingizio
cha kuanzisha harakati za
k upa mb a na na ug a i di
(counter-terrorism operations
Worldwide) na kuingilia kati
kama msamari a mwema.
Inajulikana pia kuwa, Al Qaeda,
na makundi yanayodaiwa
kuwa na uhusiano na al-Qaida,
yamekuwa yakitumiwa na
US-NATO katika migogoro
na machafuko mbalimbali,
hasa katika nchi za Waislamu
kama intelligence assets
toka vita ya Afghanistan dhidi
ya Urusi. Hivi sasa katika
machafuko Syria, Al Nusrah
na ISIS, wanatumiwa kama
foot-soldiers wa US-NATO.
Ni wao Al Nusra na ISIS,
wanaofanya kazi ya kutafuta
wapiganaj i wapya kutoka
nchi mbalimbali na kutoa
mafunzo. Hali hii imewafkisha
watafiti na wachambuzi wa
siasa za Marekani kuhitimisha
kuwa wakati katika kauli
za wazi Marekani inalani
ugaidi na kutangaza vita na
nchi yoyote wanayodaiwa
kuwa inawahifadhi magaidi
(harboring terrorists), lakini
kat i ka hal i hal i s i , hao
wanaodaiwa kuwa magaidi
wanazalishwa na kupewa
uhai na nchi hiyo hiyo. Kwa
hiyo, katika ujumla wa yote
haya, unachoweza kusema ni
kuwa kinachoitwa vita dhidi ya
ugaidi ikiongozwa na Marekani
(GWOT), inaweka j iwe la
msingi kwa Marekani kujipa
ruhusa kuwasaka inaodai ni
magaidi (Islamic terrorists)
popote walipo na kwa maana
hiyo, kutoa sababu na uhalali
kwa Marekani na washirika
wake kuingia na kuingilia nchi
yoyote na wakati wowote bila
ya kusubiri mijadala katika
Baraza la Usalama la Umoja
wa Mataifa.
Hii inatupeleka katika kitu
kinaitwa: The Caliphate Project
and The US National Intelligence
Council Report. Juni 29, 2014
kiongozi wa Islamic State in Iraq
and Al Sham (Syria)-ISIS, Abu
Bakr al-Baghdadi alitangaza
kuanzi shwa kwa Dol a ya
Kiislamu baada ya kuteka
miji kadhaa ya Iraq. Kufuatia
tangazo hilo, wafuasi wa Abu
Bakr al-Baghdadi, ambaye
anajulikana pia kwa jina la
Ibrahim ibn Awwad, hivi sasa
wanamwita Khalifah Ibrahim
ibn Awwad. Ambacho pengine
ni muhimu kueleza hapa ni
kuwa agenda hii ya kutangaza
Dola ya Kiislamu, ni mpango
uliobuniwa toka mwaka 2004
ambapo tunaambiwa kuwa
kati ka ki pi ndi hi cho cha
utawala wa George Walker
Bush, Baraza la Usalama-
National Intelligence Council
(NIC), la nchi hiyo, lilikuja na
mpango ambao ungechochea
haya yanayofanyika hivi leo
kwa malengo yaliyokuwa
yaki t araj i wa. I l i kuj enga
hoja kwa wanasiasa na kada
nyingine, ukatengezwa mpango
kuonyesha kuwa ikifka mwaka
2020 kutakuwa na wapiganaji
wa Kiislamu watakaokuwa
wakitaka kusimamisha Dola
ya Kiislamu kuanzia Asia,
Uarabuni , Ul aya, Af ri ka
na Marekani. Na kwamba
ikifika hapo, huo utakuwa
ndio mwisho wa Ukristo na
utamaduni wote wa Magharibi
kwa sababu wanajihadi hao
watakuwa wakiuwa kila asiye
Muislamu na kila atakaye
wakataa hata miongoni mwa
Waislamu. NIC ikatayarisha
taarifa ya kurasa 123 kuelezea
j ambo hi l o na namna ya
kukabiliana na kitisho hicho
ikipewa jina la Mapping the
Global Future. Kuibuka kwa
ISIS na Abu Bakr al-Baghdadi,
na j insi walivyotangazwa
kama watu wanaotaka Dola
ya Kiislamu (kwa maana ya
PR waliyofanyiwa mpaka
kuteka akili za Waislamu
kwa sehemu kubwa) na kwa
upande mwingine kuwa kila
wanapopigana, ama hufanya
kweli mauwaji ya kutisha au
hupigwa propaganda kuwa
wanaf anya vi t endo vya
kishenzi vya kuuwa watu ovyo,
kunaendana kabisa na kile
kilichoelezwa kuja kutokea na
kwamba ikitokea, hatua gani
zichukuliwe.
Rejea jinsi ISIS wanavyouwa
watu walivyongia Mosul na miji
mingine ya Iraq. Katika baadhi
ya matukio, zinaonyeshwa
maiti zikiwa hazina vichwa,
vichwa vikiwa vimekatwa
na kuchomekwa katika miti.
Tizama vile visa vya kuuwa na
kuwatimua Wakristo katika miji
wanayoteka kisha unganisha
na hili la hivi karibuni la kutaka
kuwaangami za wat u wa
dhehebu la Yazid. Hadi wiki hii,
wazee, watoto na akina mama
wa Yazid, wanaonyeshwa
waki wa wamej i kunyat a
milimani bila ya chakula wala
maji na mahali pa kujisiri
kutokana na jua, mvua na
usiku. Kilichofuatia ni kilio na
wito kutoka kona zote duniani
kuwa jumuiya ya kimataifa
iingilie kati kuwanusuru watu
hao wasiangamizwe na ISIS. Na
ndio hapo Obama akatangaza
kuanzi sha mashambul i zi .
(Vuta fikra kwa tukio hili
pekee la kutaka kuwaangamiza
kabisa watu wa Yazid, Uislamu
unatizamwaje hivi sasa na
wasio Waislamu!!! Wapi katika
historia anaonekana Mtume
(s.a.w) au maswahaba kufanya
haya.)
Ukilitizama jambo hili kwa
mtizamo wa propaganda,
utaona kuwa NIC walibuni
jambo hili ili kwanza kuutia doa
Uislamu na kuupa sura ya nunda
ambalo ni hatari na kwamba
ulimwengu mzima unatakiwa
kuungana kuliangamiza. Na
hili ndilo analosema Prof
Michel Chossudovsky pale
alipoandika akisema:
From a propaganda standpoint,
the objective underlying the
Caliphate project as described by
the NIC is to demonize Muslims
with a view to justifying a military
crusade.
Ukitoka katika ngazi hiyo
ya propaganda ya kuupaka
matope Uislamu, hapana shaka
sasa unafungua mlango wa
hatua ya pili ya kuingia kijeshi
kutekeleza kile kilichoelezwa
katika ukurasa wa 83 wa
mkakati huo wa NIC- Mapping
the Global Future. Inaelezwa
kuwa ripoti hii ya mpango
mkakati wa NIC, pamoja na
kuwakilishwa katika Ikulu ya
Marekani, Congress na the
Pentagon, ilipelekwa pia kwa
washirika wa Marekani, Ulaya
na hivyo kujenga msimamo
WAKIMBIZI wa Yazid wanaotishiwa kuangamizwa na ISIS.
14
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Obama hapingi Khilafah
ya Abu Baghdad. Ni yake
MAKALA
mmoja na wa pamoja kuwa
Uislamu na Waislamu ni hatari
kwa ustaarabu wa Magharibi/
Ukristo.
Threat emanat i ng f rom
the Musl i m Worl d, kama
ilivyodaiwa katika ripoti ya NIC,
inaelezwa kuanzishwa mradi
wa Khilafah (caliphate project)
ambao ndio utakuwa inawapa
kisingizio US-NATO kuingia
popote kijeshi kupambana na
Waislamu, bila kupigiwa kelele
na walimwengu kwa sababu
ule unyama na ukatili, kama
huu unaoonyeshwa na ISIS,
tayari utakuwa ushawakinaisha
watu. Na kwa upande wa
makamanda wa ngazi za juu
za majeshi top ofcials, kila
wakati waendelee kuamini
kuwa magaidi wa Kiislamu
(Islamic terrorists), wanatishia
mustakbali wa ulimwengu wa
Ulaya/Amerika.
I ki t i zamwa kwa j i cho
l a ki j i ograf i a, ki si asa na
kiuchumi, ni kama alivyosema
Dick Chenney wakati akitoa
ufafanuzi juu ya ripoti ya
NIC mwaka 2004 aliposema
kuwa hawa mujahidina wa
kusimamisha khilafah watataka
kusimamisha dola ya Kiislamu
kama ilivyokuwa miaka ya
nyuma Uislamu ulivyotawala
kutoka Arabuni, Indonesia,
Afrika hadi Ulaya wakidhibiti
kila kitu. Ili kukoleza fitna
inaelezwa kuwa kuibuka kwa
wanaharakati hao wa dola
ya Kiislamu kutaibua wimbi
jipya la magaidi duniani kote.
Kama alivyonukuu Prof Michel
Chossudovsky kutoka katika
ripoti hiyo ya NIC, kuibuka
kwa wapi gani a Khi l af ah
kutaleta mauwaji ya kishenzi
na wimbi la ugaidi kutokea
nchi za Kiislamu kwa sababu
kila ambaye atakuwa anapinga
mpa ngo, huo a t a kuwa
akiuliwa. Ukitizama mauwaji
yaliyokuwa yakitangazwa
kufanywa, na yanayoendelea
kufanywa na ISIS, utaona
kuwa yanaendana kabisa na
kinachoelezwa katika repoti hii
ya NIC ya mwaka 2004. Na kwa
hiyo, kuingia Marekani kuanza
kuwashambulia ISIS, sio kwa
sababu hawa ISIS ni Mujahidina
na Marekani haitaki kusimama
Khilafah. Sababu ni kuwa hicho
ndio kilikuwa kinatafutwa na
kilichopangwa toka awali miaka
kumi iliyopita kuwa watafutwe
watu (mawakala-agents na
mamluki-mercenaries) wa
kuanzisha varangati la jihadi
bandia wauwe watu ovyo,
ili yapatikane manufaa ya
namna tatu kwa makafri. Moja
kuupaka matope Uislamu. Pili,
kujenga uhalali kwa nguvu
Inatoka Uk. 13
Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani, Dick Chenney.
zote za kimataifa kuungana
kuupiga vita Uislamu. Tatu,
kuwapa makafiri kisingizio
cha kuingia mahali popote
kuwapi ga Wai s l amu na
kufanya chochote katika nchi
husika kwa kisingizio cha
kuleta amani na kuondoa
ugaidi. Nne, na katika kufanya
hivyo, yanapatikana manufaa
ya kibeberu- kudhibiti na
kupora rasilimali za Waislamu.
Mradi wa Khilafah (Caliphate
Project)
Ka ma i l i v y o t a ng ul i a
kuel ezwa, uchambuzi wa
ripoti ya NIC unaonyesha
kuwa kuanzisha harakati za
kusimamisha Khilafah kwa njia
ya silaha na kuuwa watu kwa
kisingizio kuwa wanampinga
Khalifah, kutazalisha wimbi
la ugaidi ambalo litakuwa
ndiyo sababu ya kuhalalisha na
kuendeleza Americas Global
War on Terrorism (GWOT).
La kuzingatia hapa kama
wal i vyoel eza wat af i t i na
wachambuzi mbalimbali ni
kuwa, mradi wa kusimamisha
Khilafah, kama ulivyo leo
mikononi mwa ISIS, al-Nusra
na wengine, umetengenezwa
na CIA kwa ushirikiano na MI6
na Mossad. (Tazama: The Islamic
State, the Caliphate Project and
the Global War on Terrorism, na
Who is Abu Musab Al-Zarqawi?
From Al-Zarqawi to Al-Bagdahdi:
The Islamic State is a CIA-
Mossad-MI6 Intelligence Asset)
Magazet i ya Aust r al i a
mwanzoni mwa wi ki hi i ,
yalichapisha picha ambazo
ilidaiwa kuwa zilichukuliwa
kutoka katika mtandao wa
mmoja wa mujahidina wa IS,
Khaled Sharrouf. Picha hizo
zinaonyesha maiti za askari
wa Syria waliokatwa vichwa,
miili kando na vichwa kando.
Kilichowagusa watu wengi, ni
pale anapoonyeshwa mtoto wa
miaka chini ya kumi akijaribu
kunyanyua kichwa cha mmoja
wa watu hao waliouliwa na
mujahidina wa IS. Gazeti moja
likiripoti habari hiyo likasema:
A shocking image of what
is believed to be the young son
of an Australian man holding a
decapitated head in Syria showed
how barbaric the Islamic State (IS)
"terrorist army" is.
Gazeti hi l o l i l i mnukuu
Waziri Mkuu wa Australia,
Tony Abbot akisema mapema
Jumatatu, baada ya kuona
picha hiyo iliyopigwa kutoka
katika mji wa Raqa, Syria na
kutumwa katika Twitter ya
Khaled Sharrouf.
Katika picha hiyo ya kutisha,
mtoto wa Sharrouf akidaiwa
kuwa na umri wa miaka 7
tu, anaonekana akijitahidi
kunyanyua ki chwa hi cho
kilichopondwapondwa baada
ya kukatwa kutenganishwa na
kiwiliwili halafu chini ya picha
hiyo kuna maneno ya Khaled
Sharrouf, akisema, That is my
boy.
I ki wa na maana kuwa
anafurahiya ujasiri na moyo
baridi usioogopa wa mtoto
wake huyo wa miaka 7!!!.
Waziri Mkuu wa Australia,
Tony Abbott, akiongea na
kunukuliwa na redio- ABC
radio (Australian Broadcasting
Corp. radio), akiwa Uholanzi,
amesema kuwa picha hizo
zinaonyesha na kuthibitisha
"just how barbaric the Islamic
State is.
Akimaanisha ni jinsi gani
dola ya Kiislamu ilivyo ya
ki gai di yenye ukati l i wa
kishenzi.
"What we've got to appreciate is
that Islamic State -- as they're now
calling themselves -- is not just
a terrorist group, it's a terrorist
army and they're seeking not just
a terrorist enclave but efectively a
terrorist state, a terrorist nation."
Abbot akaongeza akisema
k u wa h a wa I S , k a ma
wanavyojiita, sio tu kwamba
ni kikundi cha kigaidi, lakini
ni jeshi la magaidi ambao
wanataka kusimamisha taifa
la kigaidi.
Na kisha akasema: "This does
pose extraordinary problems...
not just for the people of the
Middle East but for the wider
world. And we see more and
more evidence of just how
barbaric this particular entity
is."
Kwamba hawa IS, si tatizo
tu kwa Mashariki ya Kati
wanakotaka kusimamisha
Khilafah yao, bali hatari kwa
dunia nzima. Na kwa hiyo
akasema kuwa Aust ral i a
i t aungana na Marekani ,
kwanza katika kutoa misaada
ya ki bi nadamu kwa wal e
wanaochi nj wa na I S na
kisha katika kuwadhibiti IS.
Anachosema Waziri Mkuu wa
Australia Tony Abbot, ndicho
kilichozungumzwa katika ile
ripoti ya NIC mwaka 2004.
Katika taarifa nyingine kwa
mujibu wa shirika la habari
la AFP, babu wa mtoto huyo
anaelezwa kububujikwa na
Inaendelea Uk. 15
15
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
Obama hapingi Khilafah
ya Abu Baghdad. Ni yake
Inatoka Uk. 14
MAKALA
machozi baada ya kumwona
mj ukuu wake aki chezea
vichwa vya watu waliouliwa
na mujahidina.
Australian grandfather in tears
at severed head photo, kinaeleza
kichwa cha habari na kusema
kuwa mzee Peter Nettleton,
ambaye binti yake akiitwa
Tara, ni mke wa mujahidina
Khalid Sharrouf aliye katika IS,
anaitaka serikali ya Australia
i f anye ki l a l i wezekanal o
kumrej esha mj ukuu wake
huyo.
Inaelezwa kuwa Khaled
Shar r ouf ni mmoj a wa
mamia kwa maelfu ya vijana
wa Kiislamu wanaoendelea
kupumbazwa na bangi la
j i had bandi a na kui ngi a
S y r i a wa k i j i a mi n i s h a
kuwa wanapigana jihad ya
kusimamisha khilafah Syria
ambayo itasambaa duniani
kote.
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Australia Julie Bishop
amenukuliwa akisema kuwa
kitendo cha Khalid kumwacha
mtoto mdogo wake kuchezea
vichwa vya watu waliouliwa,
kinaonyesha ni kwa kiasi gani
hawa:
jihadists whose "barbaric
ideology" threatened Australia's
way of life, na akasema kuwa
ni kwa sababu hiyo suala hilo
litakuwa agenda kuu katika
kikao chake na Waziri wa
Mambo ya Nje wa Marekani,
John Kerry, ambaye alitarajiwa
kuwa Sydney Jumanne ya wiki
hii.
Na kati ka mkutano wa
mwaka ujulikanao kwa jina
la Australia-US Ministerial
Consultations (AUSMIN),
Kerry alisema kuwa dunia
hivi sasa inakabiliwa na kitisho
cha ushenzi na wehu wa
mujahidina na hivyo ni lazima
ulimwengu wa wapenda amani
na watu wastaarabu waungane
kukabiliana na mujahidina
hawa ambao wanat oka
katika nchi mbalimbali na
waki s hai ngi a kwa I SI S,
wakirejea makwao wanazua
balaa.
Kwa kazi i l i yof anywa
kwa muda mfupi sana na
hawa ISIS, ambao baadhi ya
Waislamu wamewashabikia
kuwa ni Mujahidina, sasa lebo
wanayopewa Waislamu na dola
ya Kiislamu ni ile ya wehu,
ushenzi, ukatili, mauwaji
na kila uovu. Ukisoma historia
ya Vita ya Msalaba (Crusade),
haya ndi yo yal i yokuwa
yakifanywa na wapiganaji wa
Kikristo kutoka Ulaya. Lakini
kila Waislamu waliposhinda,
Wa k r i s t o w e n y e w e
wameandika na kusifu jinsi
Wakristo na wote wasio kuwa
Waislamu walivyofanyiwa
wema na jeshi la Kiislamu.
Ilivyo sasa ni kama mkakati wa
NIC 2004, unafunika historia
na uovu wa Crusade kwa haya
yanayofanywa na ISIS. Na hapa
izingatiwe kuwa ilichofanya
NIC mwaka 2004 ni kubuni
scenario, kuwa jaaliya ikiwa
hivi, tunafanyaje. Kwa vile
kulikuwa na mpango mkakati
wa namna ya kui dhi bi t i
Mashariki ya Kati na nchi za
Kiislamu, ikaweka mikakati ya
kuunda mazingira halisi ya hilo
kutokea katika namna ambayo
i tasemwa kuwa i metokea
kama ilivyotabiriwa au kama
wataalamu walivyokisia.
Kwa hi yo kui buka kwa
ISIS na kisha IS na mauwaji
wal i yofanya hadi Barack
Obama na akina Abbot kufkia
mahal i pa kusema kuwa
hawa IS ni magaidi washenzi
wanaohatarisha amani ya dunia,
ni jambo lililokwishapangwa.
Ni mujahidina bandia na
wajinga (fooled foot soldiers)
pekee tu na washabiki wao
walio katika nchi mbalimbali
wanaodhani kuwa haya mambo
yanajitokea tu. Na Waislamu
kwa hakika hawatakiwi kuwa
katika uj inga wa kiwango
hicho, kwani matokeo yake
ni kujiingiza katika mambo
ya kuwaangami za badal a
ya kusonga mbel e kati ka
kuuhuisha Uislamu na kuleta
maendeleo kwa ummah wa
Kiislamu na kuonyesha kuwa
kweli Uislamu ni rehma kwa
walimwengu.
Hitimisho
Unaweza kuja na hoja ya
msingi kabisa kwamba yote
haya kwamba IS wanauwa
watu ki kati l i , ni uwongo
mtupu. Ni propaganda kama
i l i vyokuwa i l e ya WMD.
Lakini ukisema hivyo, inabidi
ukubali pia kuwa Mradi wa
Kusimamisha Khalifah chini
ya ISIS, unatumiwa na maadui
wa Uislamu kuupaka matope
Uislamu na kuonekana kuwa
Dola ya Kiislamu ni hatari
kuruhusiwa kuwepo duniani.
Katika Iraq na kisa cha WMD,
ni maofisa katika serikali ya
Iraq na katika wananchi wa
Iraq waliotoa uliodaiwa kuwa
ushahidi kuwa Saddam Hussein
ana silaha za maangamizi,
ushahidi ambao Collin Powel
aliutumia katika kulishawishi
Baraza la Usalama la Umoja
wa Mataifa kutoa idhini kwa
Marekani kuipiga Iraq. Ni
katika hali kama hiyo, akina
al-Baghdadi wanatumiwa hii
leo kuwapa kauli akina Abbot
kuja na madai kuwa Dola ya
Kiislamu ni ushenzi na kitu
hatari kwa dunia nzima.
Lakini pia inabidi urejee
nyuma pia utizame ukweli
wote. Moja ni yale yanayotajwa
katika nyaraka mbalimbali
kwamba yalikwishapangwa
kama mkakati wa makafiri
kupambana na Uislamu na
kwa ajili ya masilahi yao ya
kibeberu. Utizame pia jinsi
ambavyo yale waliyoyapanga
yanavyotimia moj a baada
jingine kupitia katika mikono ya
Waislamu wenyewe. Lakini pia
utizame ukweli kwamba hawa
viongozi wa IS wanafadhiliwa
na kupewa silaha na fedha na
hao hao ambao wanawapiga
hivi leo.
Kama ilivyofichuliwa na
aliyekuwa mfanyakazi wa
US National Security Agency
(NSA), Edward Snowden,
mashi ri ka ya ki j asusi ya
Marekani na Uingereza na yale
ya Iarael, ndiyo yanayofaya
mchezo huu wa kuwaunda
akina Abu Duaa na kuleta
fujo zote hizi katika dunia
wakiwemo hawa ISIS. Snowden
anaeleza kuwa nchi hizo tatu
zimekuwa zikianzisha harakati
za kigaidi na kufanikiwa
kupata wapiganaji na walipua
mabomu kutoka miongoni
mwa Waislamu kwa kutumia
mkakati uliopewa jina the
hor ne t s ne s t . Chi ni ya
mkakati huo, anaundwa adui
anayetisha, lakini asiye na
uwezo wa kumdhuru kafiri
kwa lolote zaidi ya kuangamiza
Waislamu wenzake, kisha adui
huyo huyo ambaye ni chui wa
karatasi kwa kafri, anapigiwa
propaganda na kuwasilishwa
katika masikio ya walimwengu
kama jitu kubwa, hatari, katili,
lenye nguvu kubwa za kijeshi
na hatari kwa amani ya dunia.
Ki sha anapi gwa ambapo
katika hatua hiyo, wanapigwa
Waislamu kwa ujumla.
Tuwe macho. Tuchukue
tahadhari, kisha tumetegemee
Allah. Tusiwe wavivu wa
kufikiri, tukafanya mambo
kijinga, halafu tunanyanyua
mikono kuomba nusra kwa
mujahidina wanaotumikishwa
na makafri kuhilikisha ummah
wa Kiislamu.
MEDELEINE Albright, Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa
Marekani.
16
AN-NUUR
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 15-21, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014
Jumuiya ya Kiislamu ya Istiqaama-Tanzania Makao
Makuu Dar-es salaam imegundua kuwa kuna
udanganyifu katika kutangaza safu za uongozi wake
unaofanywa na baadhi ya watu kwa manufaa yao
binafsi.
Kwa tangazo hili, yeyote atakayepatikana na hatia
hiyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Sambamba na ilani hii pia ni marufuku kwa eneo
lolote kujitangaza kama ni tawi la Jumuiya (IMCOT)
bila kufuata taratibu za kiuongozi na za kisheria za
Jumuiya na kwa maelekezo ya kutoka Makao Makuu
jijini Dar es salaam.
Baada ya tangazo hili Jumiya inawapongeza
Waislamu wote nchini kwa munasaba wa kukamilisha
salama ibada iliopita ya mfungo wa Ramadhani
na inawatakia maandalizi mema ya ibada ya Hija
inayofuatia punde.
Wabillaah Tawfq.
ILANI ! ILANI !
Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji
unaendelea, gharama za Safari ni $ 4400
Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi
16 na 19 Oktoba, 2014.Tunasafri na Shirika la
Ndege
Umoja wa Falme za Kiarabu EMIRATES.
Wahi kujiandikisha sasa.
Kwa Mawasiliano:
+255222181577 +255222182370
0786 383820 0717 000065
info@hajjtrusttz.org or Website: wwwhajjtrusttz.org
Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014
MAKAMU wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif
Hamad, amei omba
Ujerumani kuiunga
mkono Zanzibar katika
hatua inazozichukua za
kukabiliana na tatizo
la vijana wengi kukosa
ajira na kuwapatia
shughuli za kujiletea
maendeleo.
Maalim Seif ametoa
ombi hilo alipokuwa na
mazungumzo na Balozi
wa Ujerumani nchini
Bw. Egon Kochanke,
ambaye alimtembelea
Makamo wa Rais ofsini
kwake Migombani mjini
Zanzibar, kwa ajili ya
kujitambulisha baada
ya kupewa wadhifa
huo.
Maalim Seif alisema
miongoni mwa matatizo
makubwa yanayoikabili
Zanzibar kama zilivyo
nchi nyi ngi barani
Afrika ni vijana wengi
kukosa ajira na shughuli
za kujiletea maendeleo.
Alisema Ujerumani
Maalim Seif aomba msaada Ujerumani
Na Mwandishi Maalum inayo nafasi kubwa
ya kusaidia Zanzibar
kukabiliana na tatizo
hilo.
Al i bai ni sha kuwa
mi ongoni mwa nj i a
muafaka zinazoweza
kufanikisha azma hiyo,
ni nchi hiyo kuelekeza
nguvu zai di kati ka
kusaidia elimu ya amali,
ambayo itawawezesha
vi j ana wa Zanzi bar
wa k i we mo wa l e
wanaomaliza masomo
yao kuweza kupata
mbinu za ajira.
Maalim Seif aliongeza
k u wa Z a n z i b a r
imeweza kupiga hatua
kubwa katika sekta ya
elimu na sasa inakaribia
kufanikisha malengo
ya Milenia, lakini bado
el i mu i nayot ol ewa
haij akuwa na ubora
u n a o wa we z e s h a
vijana kukabiliana na
changamoto za uhaba
wa ajira.
Al i s e ma h a t u a
nyengine ni kwa nchi
hiyo kupanua uwekezaji
Zanzibar katika nyanja
za vi wanda vi dogo
vi dogo, pamoj a na
uwekezaji wa bahari
kuu ambapo Zanzibar
kuna fursa kubwa katika
sekta hizo kutokana na
maumbile yake.
Mbali na maeneo hayo,
Maalim Seif alisema
fursa nyengine muhimu
za mashirikiano kati ya
nchi hizo mbili ni katika
sekta za utalii na kilimo.
N a y e B a l o z i
Kochanke, amesema
amepokea maombi
hayo na yatazingatiwa
kat i ka mi pango ya
mashirikiano ya nchi
yake na Tanzania, kwa
lengo la kusaidia jamii
kuondokana na ukosefu
wa ajira, elimu duni
na kuimarisha afya za
wananchi.
A l i s e m a y e y e
binafsi atakuwa balozi
mzuri katika kuiuza
Tanzania na Zanzibar
kwa wawekezaj i wa
Uj e r uma ni k a t i k a
kipindi chake cha kazi,
huku azma ikiwa ni
kukuza ushirikiano na
maendeleo ya wananchi
WAI SLAMU J i j i ni
Da r e s S a l a a m,
wameendelea kulaani
jinai zinazotendwa
dhidi ya watu wasio
na hatia Gaza huko
Pal est i na ki nyume
cha sheria na haki za
binadam.
Hatua ya kul aani
u n y a m a h u o
unaofanywa na majeshi
ya Israel, imetokana na
maazimio yaliyofkiwa
kufuatia semina ya wazi
iliyofanyika mwishoni
mwa mwezi uliopita,
kat i ka ukumbi wa
Karimjee Jijini Dar es
Waislamu Dar walaani mauaji Palestina
Na Bakari Mwakangwale Salaam.
S e m i n a h i y o
i l i y o j u m u i s h a
Wa i s l a mu kut oka
sehemu mbalimbali,
iliandaliwa na Kamati
ya Ithnasharia Tanzania
(T.I.C) na Kamati ya
Umoja na Mshikamano
ya Tanzania/Palestina,
i l i t oa maazi mi o ya
semina hiyo mapema
wiki hii kwa vyombo
vya habari.
Kamati hiyo imesema
k u wa Wa i s l a mu
wanalaani uanzishwaji
wa ma s ha mbul i z i
ya kijeshi na mauaji
makubwa ya kimbari
n d a n i y a Ga z a ,
iliyozingirwa katika
ardhi, Bahari na anga.
Unyama unaofanywa
na Israel umeitafsiriwa
na Waislamu kuwa ni
sawa na uidhinishaji wa
kimya kimya wa mauaji
unaofanywa na Mataifa
makubwa, uki mya
ambao umepata utii kwa
jamii ya kimataifa na
kuruhusu uendeshaji wa
uhalifu wa kutisha dhidi
ya ubinadamu pamoja
na kutoadhibiwa kwa
utawala wa Kizayuni
unaot ekel eza mauj i
hayo.
Wames ema kuwa
kitendo cha kunyimwa
Inaendelea Uk. 12
Inaendelea Uk. 12
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad.

Вам также может понравиться

  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1172 PDF
    Annuur 1172 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1172 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1158
    Annuur 1158
    Документ16 страниц
    Annuur 1158
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • 2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    Документ4 страницы
    2016 05 07 HOTUBA 4 Kongamano La Vijana Msimamo Mpya Na Mwamko Wa Vijana
    Mussa Fundi
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1035
    Annuur 1035
    Документ16 страниц
    Annuur 1035
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1124
    Annuur 1124
    Документ16 страниц
    Annuur 1124
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kurunzi Unc
    Kurunzi Unc
    Документ5 страниц
    Kurunzi Unc
    KATANA MRIMA LABAN
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La ANNUR
    Gazeti La ANNUR
    Документ12 страниц
    Gazeti La ANNUR
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1005
    Annuur 1005
    Документ16 страниц
    Annuur 1005
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Документ16 страниц
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Документ39 страниц
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Stambuli Abdillahi Nassir
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1090
    Annuur 1090
    Документ12 страниц
    Annuur 1090
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    Документ15 страниц
    Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    BillaoJournal
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Uislam Mahakamani
    Uislam Mahakamani
    Документ184 страницы
    Uislam Mahakamani
    X-PASTER
    100% (1)
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    Документ16 страниц
    Gazeti La Annur Toleo La Disemba 16-2011
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Elimu Baada Ya Uhuru-1.2 Fin
    Elimu Baada Ya Uhuru-1.2 Fin
    Документ19 страниц
    Elimu Baada Ya Uhuru-1.2 Fin
    Eligius Nyika
    67% (3)
  • Annuur 1155
    Annuur 1155
    Документ16 страниц
    Annuur 1155
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    Документ485 страниц
    Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    MZALENDO.NET
    100% (3)
  • Annuur 1055 PDF
    Annuur 1055 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1055 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Sanaa ya Kufuata
    Sanaa ya Kufuata
    От Everand
    Sanaa ya Kufuata
    Оценок пока нет
  • Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    От Everand
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Рейтинг: 4.5 из 5 звезд
    4.5/5 (3)
  • Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    От Everand
    Namna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari
    Рейтинг: 3 из 5 звезд
    3/5 (1)
  • Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    От Everand
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (3)
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Waathirika.
    Waathirika.
    От Everand
    Waathirika.
    Оценок пока нет
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Mfalme - Nilipumzika: Mashairi Ya Kisasa - Modern Swahili Poetry
    Mfalme - Nilipumzika: Mashairi Ya Kisasa - Modern Swahili Poetry
    От Everand
    Mfalme - Nilipumzika: Mashairi Ya Kisasa - Modern Swahili Poetry
    Оценок пока нет
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    От Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Mtambo wa Mauti
    Mtambo wa Mauti
    От Everand
    Mtambo wa Mauti
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Realse 28
    Press Realse 28
    Документ4 страницы
    Press Realse 28
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Документ15 страниц
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Karume Shujaa
    Karume Shujaa
    Документ11 страниц
    Karume Shujaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Press Release - Muungano Na Mazingira
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Документ4 страницы
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Документ27 страниц
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1215 PDF
    Annuur 1215 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1215 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1212
    Annuur 1212
    Документ20 страниц
    Annuur 1212
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет