Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
tz
Sauti ya Waislamu
Majibu haya ya
dhihaka
Ni ishara ya chuki
mbaya
Uk. 2
Masheikh wanadhalilishwa
kwa Uzanzibari wao?
Ahoji Mbunge wa Konde Khatibu Haji
Mariam Msabaha asema, tunaiita laana
Mh. Mathias Chikawe alikoroga zaidi
Wazanzibar waja juu Bungeni, wazimwa
Ajabu kuwaita
Masheikh ni
'mbwa wa
Jahannamu'
Kundecha akumbusha
usia wa Ustadh Ilunga
Waislamu watafakari, wapange, watende
Si kulalamika, kuwatupia lawama viongozi
Tahariri/Habari
2
AN-NUUR
Masheikh
wetu
magerezani, lingetokea
kwa mwingine asiyekuwa
wa sampuli ya kuvaa
kilemba, mamlaka husika
M a j i b u k a m a h a ya ,
sio dhihaka tu, bali
yanaashiria kutokujali na
kutokujali kunakuja kwa
sababu ya chuki. Ndio
maana Mbunge wa jimbo
la Konde alihoji Je, ni kwa
kuwa aliyedhalilishwa ni
Mzanzibar au ni nani?
Tuseme tu kwamba,
tusipochukua hatua za
makusudi kukomesha
chuki katika jamii yetu,
itaendelea kututafuna.
Ni ushauri wetu kwamba
kuna haja na muhimu
kuchukuliwa hatua za
makusudi kuibadili jamii
yetu kuondoa nafsi yenye
kuchochea chuki na hasa
juu ya chuki kutokana na
misingi ya kidini.
Ni kweli kwamba chuki
haiwezi kuondolewa bila
jitihada zozote, wala jambo
hili haliwezi kufanywa
kwa usiku mmoja. Lakini
linaweza kufanywa.
Misingi ya utu, hekima
na uadilifu ndio suluhisho
la kuondokana na chuki
kwa watendaji na maafisa
waliopewa dhamana ya
kuwahudumia watu. Lakini
zaidi ni kuheshimiana na
kuvumiliana katika imani
zetu.
AN-NUUR
WAISLAMU tafakarini,
pangeni na kutenda, sio
kulalamika.
Hayo yamesemwa na
Amiri wa Baraza Kuu
la Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu (T), Sheikh Mussa
Kundecha, katika nasaha
zake za mwaka mpya wa
Kiislamu 1436 Hijiria.
Amesema, mwaka
uliopita yalijiri mengi
kwa Waislamu, lakini
Waislamu wanapaswa
kuelewa kwamba agizo la
Mwenyezi Mungu kwao
ni kutafakari kwa nini
yametokea hayo na kwa
nini kwa kiwango hicho.
Hatuwezi kutibu
matatizo tuliyonayo kwa
kunungunika, tutatibu
matatizo tuliyonayo kwa
kutafakari kwa makini na
kuyapatia ufumbuzi yale
yanayotukabili, kiwango
cha manunguniko kwa
Waislamu kimezidi, kila
mmoja anaona hana
jukumu la kuupigania
Uislamu na kudhani
kuwa jukumu hilo ni la
viongozi. Alisema Amir
Kundecha.
A l i t o a f u n z o k u wa
Mwenyezi Mungu hawezi
kubadili hali ya watu
waliyokuwa nayo, mpaka
watu hao kwanza wao
wenyewe, mmoja mmoja
watie nia ya kufanya
mabadiliko katika sababu
zilizosababisha wao kuwa
katika hali hiyo.
Amir Kundecha
alionyesha kushangazwa
na Waislamu ambao mara
kwa mara wamekuwa na
tabia ya kuwapigia simu
viongozi, wakiwalalamikia
matukio yanayowatokea
k u h u s u Wa i s l a m u a u
Uislamu kabla ya wao
kushughulikia matatizo
hayo.
Sisi viongozi kila siku
kazi yetu ni kupokea simu,
Muislamu anakwambia
kuna mtu kakojolea
Qur an hapa. Suala hilo
naambiwa mimi Amir wa
Taifa, Sasa unachotaka
nini, nikupe fatwa au
niruke nije hapo ulipo,
alijisemea Sheikh Ilunga,
badala ya kushughulika,
mtu anapiga simu, haya ni
matatizo kwa Waislamu,
mwaka huu mpya wa 1,436
tubadilike.
Aidha Sheikh Kundecha
aliielezea hali hiyo kwa
Waislamu kuwa ni kama
ugonjwa.
Kwamba mambo
ya Kiislamu ni lazima
wanapotafutia ufumbuzi
jambo fulani, huwa
wanaongeza manuguniko
jambo ambalo sio dawa ya
kuondoa tatizo.
Mwaka huu wa 1436,
Waislamu wameuanza
kwa msiba, pamoja na
kwamba hatuichukii hali
hiyo, lakini Allah (s.w)
anatutaka tutafakari,
wapo wanaotangulia
mbele ya haki, wengine
bado wapo magerezani,
nani wa kufanya
h a r a k a t i ? , Wa i s l a m u
tunapaswa tutafakari.
Alitahadharisha.
Alisema kwa ujumla
mwaka uliopita wa
K i i s l a m u , u l i k u wa n i
wa matatizo ya aina ya
peke yake kwa umma
wa Kiislamu, kwani
umekamilika mwaka huo
kwa sehemu kubwa ya
viongozi wa Kiislamu
kuwekwa ndani.
Aliongeza kuwa
kuwekwa ndani ni jambo
moja, kwa nini wako ndani
ni jambo la pili na kwa
makosa gani, alisema
katika hali hiyo inawapasa
Waislamu kutafakari zaidi.
Itafakari propaganda
inayoelezwa, inaelezwa
kuwa wamefanya
uchochezi, wanasimamia
ugaidi, kwa Muislamu
unaposema unamwamini
Allah (s.w) na kukemea
dhulma, hilo linatosha
kuwa ni kosa na kupewa
adhabu wanayoitaka wao.
Alisema Amir Kundecha.
Habari
AN-NUUR
Habari
AN-NUUR
Wahitimu wa darasa la saba katika Shule ya Sirajul Munir (English Medium Prymary School) iliyopo
Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya mtihani wao wa Taifa. (Picha. Na
Athumani Shomari).
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
Mkurugenzi Mtendaji wa
Shirika la Haki za Binadamu
la Haki Africa, Hussein Khalid,
alilielezea tukio hilo kuwa
ni "mauaji ya makusudi" na
kutoa wito serikali kuanzisha
uchunguzi ili kuwajua
wahusika.
"Mombasa leo imeshuhudia
U PA S U A J I u l i o f a n y wa wa
kuwafunga vizazi wanawake
zaidi ya 80 nchini India, umetoa
uhai wa wanawake nane na
wengine 50 wanaugua baada
ya kufanyiwa upasuaji wa
kuwafunga vizazi nchini India.
Wanawake hao wameelezea
kuhisi maumivu makali na homa
punde baada ya kupewa matibabu
hayo ya upasuaji wa kuwafunga
uzazi, katika kliniki ya kiserikali
huko eneo la katikati mwa India
Chhattisgarh.
Ta a r i f a z a i n a e l e z a k u wa
wanawake 30 kati ya wagonjwa
walionusurika waliopo hospitali
hapo, inasemekana kuwa katika
hali mahututi.
Tayari Idara ya Afya nchi India
imeamuru uchunguzi ufanyike
mara moja.
Zaidi ya wanawake 80
walishiriki katika upasuaji huo wa
kuzuia kupata uja uzito Jumamosi
ya wiki iliyopita katika hospitali
hiyo ya kijijini Pendari huko
Chattisgarh.
Baadhi ya wanavijiji wanadai
shughuli hizo za upasuaji
zilifanywa na daktari mmoja
na msaidizi wake katika muda
wa saa sita tu, hivyo wanahoji
iwapo ziliendeshwa vyema. Miili
ya waliofariki bado inafanyiwa
KIONGOZI Mwandamizi wa
Baraza la Uhusiano wa Kiislamu
nchini Marekani (CAIR),
ameitaka Polisi ya Marekani
(FBI) kuacha kufanya ujasusi
ndani ya Misikiti nchini humo.
Akizungumza kwa niaba ya
Waislamu, Mkurugenzi Mtendaji
wa CAIR huko Minnesota,
Lori Saroya, amesema kuwa
wafanyakazi wa FBI wamekuwa
na tabia ya kutembelea na kuingia
Misikitini katika miji ya Saint
Paul, Minneapolis na miji mingine
katika jimbo la Minnesota, kwa
lengo la kuwarubuni baadhi ya
Waislamu ili wafanye ujasusi
dhidi ya Waislamu wenzao.
S a r o ya a l i s e m a k wa m b a
wafuasi wa dini ya Kiislamu
wanaelewa majukumu yao ya
kidini na kijamii ya kutoa taarifa
kwenye vyombo vya dola, pindi
wapoona dalili za kufanyika
uhalifu na jinai.
Alisisitiza kwamba polisi
wa FBI wanapoingia kwenye
maeneo ya ibada hasa Misikitini,
husababisha hali ya hofu na
wasiwasi kwa waumini wa dini
hiyo.
Aliongeza kuwa, kitendo cha
kuwarubuni Waislamu ili kufanya
ujasusi dhidi ya Waislamu
wenzao, kinakinzana na misingi
ya kidini na kitabia.
Hayo yanajiri katika hali
ambayo, msemaji wa FBI
amekataa kutoa tamko kuhusiana
na tuhuma hizo zilizotolewa
dhidi ya Polisi ya Marekani. (irib.
ir)
TANGAZO
Habari
AN-NUUR
ya c h a n g a m o t o z i l i z o p o
k u wa n i m a r i d h i a n o n a
maelewano hayo kueleweka
na kutekelezwa zaidi katika
ngazi za juu Serikalini, ambapo
mkazo zaidi unahitajika katika
ngazi za chini, kama vile
kwenye Shehia.
Alisema ipo haja kwa Serikali
na taasisi zote zinazosimamia
haki kutekeleza wajibu huo
la uhifadhi wa mazingira
Zanzibar.
Maalim Seif ametoa
wito kwa Noway kuzidi
kushirikiana na Zanzibar
katika nyanja za uvuvi wa
bahari kuu, sekta za elimu
alinukuliwa akisema
Makamu wa Rais Gharib
Bilal.
Tanzania ni mwenyeji wa
Mahakama ya Kimataifa
ya Jinai ya Rwanda (ICTR),
lakini mahakama hiyo
imepangwa kufungwa
mwishoni mwa mwaka huu.
Hatima ya watu nane
waliosamehewa mashtaka
huko ICTR, na wengine
watatu waliotumikia vifungo
na sasa wanaishi kama
wafungwa katika nyumba
salama huko Arusha bado
halijatatuliwa.
Wengine 11 wameendelea
kubaki katika ulinzi
na inadaiwa wamesema
hawawezi kurudi Rwanda.
ICTR ilianzishwa
kusimamia mashtaka ya
mauaji ya kimbari ya mwaka
1994, ambapo watu wapatao
Makala
AN-NUUR
Makala
Na Omar Msangi
AN-NUUR
MAKAMU wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal (wa pili kulia) akikaribishwa
na mdhamini wa jumuiya ya Istiqama Sheikh Suleiman Nassor Msellem
katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu 1436 Hijiria katika
ukumbi wa Karimjee DSM mwishoni mwa wiki.
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
imekuwa vigumu kujua lini na
nani hasa mwanzilishi wa kundi
hili, lakini historia ya hivi karibuni
inaonyesha kuwa Shukri Mustafa,
kutoka Misri, ndiye aliyelipa
uhai na kuwa kiongozi wake
akitambulika Misri na nje ya
hapo. Huyu baada ya kutoka
jela alikokuwa amefungwa,
alisema kuwa kuishi katika
jamii ya kikafiri ni ukafiri kwa
hiyo akahama akiishi mbali na
watu huku akitafuta wafuasi wa
kupigana Jihad akisema kuwa wa
kwanza kuanza nao ni Waislamu
wa Misri na serikali ya Misri kabla
ya kuwageukia Mayahudi.
Kundi lake likiitwa al-Takfir wa
al-Hijra (ATWAH), alihalalisha
vitendo vya mauwaji, uporaji na
kuteka nyara kama namna moja
wapo ya kukabiliana aliowaita
makafiri na vibaraka wa makafiri.
Katika utafiti na uchambuzi wake
aliouchapisha kwa anuwani
ya Jihad Without Rules: The
Evolution of al-Takfir wa al-Hijra
(Publication: Terrorism Monitor
Volume: 4 Issue: 13, June 29, 2006),
mwandishi Hayder Mili anasema
kuwa Mustafa:
was able to justify theft,
Inaendelea Uk. 11
10
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 7
ya kiuchumi,kama anavyobainisha
mwaka 1847.
Historia inaonyesha Dola ya
Kiislamu iliweka mazingira
mazuri ya kuendeleza Sayansi
n a Te k n o l o j i a , m s u k u m o
ukijikita kwenye kuhudumia
masuala yanayowahusu
watu kuliko kupata faida za
kiuchumi.
Katika fani ya Tiba,
mwanasayansi wa Kiajemi
aliyejulikana kama
I b n S i n a a u Av i c e n n a
kama anavyofahamika
katika ulimwengu wa
Magharibi,aliandika kitabu
chake mashuhuri "The Canons
of Medicine"(Misingi ya Tiba),
ambacho ndiyo kilikuwa
kitabu mashuhuri cha kiada
kinachofundishwa kwenye
vyuo vikuu vya tiba duniani
mpaka karne ya 18.
Katika kitabu hicho, Ibn
Sinna ametambulisha asili ya
magonjwa ya kuambukiza,
matumizi ya karantini kudhibiti
kuenea zaidi kwa maambukizi,
magonjwa yanayotokana na
hali ya ubongo kama kifafa,
kiharusi na kichaa, ikiwemo
dalili na matatizo ya kisukari.
Maendeleo ya Tiba
ya l i y o f i k i wa , ya l i t o k a n a
n a Wa i s l a m u k u z i n g a t i a
kikamilifu amri za Mwenyezi
Mungu kama zilivyobainishwa
ndani ya Qur'an na Sunna,
ikiwa ni pamoja na Hadith ya
Mtume inayosema: "Hakuna
ugonjwa ambao Mwenyezi
Mungu ameuumba, isipokuwa
Bukhary).
U we p o wa t i b a k wa k i l a
u g o n j wa n a k u s h u g h u l i k i a
masuala yanayowahusu raia
waliokuwa wakiishi ndani ya
Dola ya Kiislamu, viliwasukuma
Waislamu kupiga hatua kubwa
katika utafiti wa tiba. Hiyo
ndiyo tofauti kati ya Uislamu na
Ubeberu. Uislamu unathamini
uhai wa binadamu kuliko kitu
kingine chochote.
TANGAZO
S.S.M.F
11
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
Inatoka Uk. 9
Inatoka Uk. 9
makundi haya na yale ya Takfiri
kwa ujumla, ni ileile ya Kizayuni.
Kwa mujibu wa itikadi ya
Kizayuni, binadamu wateule
wa Mungu ni Mayahudi pekee.
Wengine ni ma-Goyim. Kama
wanyama tu mfano wa mbwa,
ngombe-ambao, Yahudi akiona
hana manufaa nao, ni haki yake
kuwauwa, kuchukua mali zao na
hata huko Akhera hawana fungu
kwa Mungu.
The best of the gentiles: kill
himHating your enemy {goyim} is
permitted, even commanded.
Hayo ni baadhi ya mafundisho
ya Uyahudi yaliyo katika kitabu
cha Talmud , ambayo yanahimiza
kumchukia na kumuuwa goyim.
(Tazama: Judaism Discovered:
A Study Of The Anti-Biblical
Religion Of Racism, Self-Worship,
Superstition And Deceit; Chapter
Talmudic Interpretation Of Scripture,
by Professor Michael A. Hoffman II,
Independent History and Research.)
Kama Uyahudi ulivyo, kwamba
watu waliosalimika ni Mayahudi
pekee, bali wengine ni ma-goyim,
ngombe tu, na hawa Salafi Takfiri
utafiti anasema:
What the Islamic State is causing
in the Middle East is perfectly attuned
with the view of the Israeli Right
as best articulated by Oded Yinon in
1982 which sought to have Israels
Middle East enemies fragmented and
fighting among themselves in order to
weaken the external threat to Israel.
Gazeti la Israel Ha'aretz tarehe
6/2/1982) liliarifu juu ya kile
kilichoitwa:. A Strategy for Israel
in the Nineteen Eighties.
Mkakati huo uliobuniwa na
Oded Yinon, unazungumzia
namna ya kuzidhoofisha nchi
za Kiarabu na kuibakisha Israel
ikiwa mtemi pekee mwenye
kutamba Mashariki ya Kati.
Gazeti hilo Ha'aretz, likasema
kuwa mkakati huo utajumuisha
kuzisambaratisha nchi za Syria na
Iraq katika vinchi vidogo vidogo
Shi'ite state, Sunni state
na nchi ya Wakurdi. Mkakati
nini? Kuwapiganisha Mashia na
Masuni na Masuni kwa Masuni
ili wauwane na kudhoofika.
Ndio kile anachosema Yahudi
Oded Yinon kuwa wapigane na
kuuwana wenyewe kwa wenyewe
WAPIGANAJI wa ISIS.
Inaendelea Uk. 15
12
UKIMYA HUU WA DOLA, MHH!
(SWADAKTA, MBUNGE WA KONDE!)
Barua/Mashair
AN-NUUR
Na Sheikh Abdusalami
Mohamed Abdusalami
SHUKRANI zote anastahki
Mwenyezi Mungu, Mola
mlezi wa ulimwengu na
kwake tunaomba msaada na
rehema na amani zikutane
kwa Imamu wa Mitume
na Manabii Bwana wetu
Muhamad na jumaa zake na
sahaba zake na wale wenye
kumfuata kwa wema hadi
siku ya mwisho.
Ama baada ya utangulizi
h u u m f u p i . Pa m o j a n a
kuandama mwezi wa
mfungo nne, kwa kila mwaka
husimama watu wema na
wacha Mungu, ambao
huchukua mazingatio na
hufafanua maana na hutenga
masomo na huweka upya
h a r a k a t i k wa k u p a n d a
mbegu za matumaini na
kuhimiza kuzifanyia kazi
na huwaangazia njia na
huwapelekea kuyaendea yale
aliyoyaamrisha Mwenyezi
M u n g u k wa h a r a k a n a
huwarahisishia matatizo ya
dunia na ugumu wa maisha.
Kwa yakini uhamaji wa
Mtume toka Makka kwenda
Madina ndani yake kuna
masomo na mazingatio tele.
Wakati ambao ni uhai.
Na huenda somo la
kwanza tunalojifunza katika
kuhama ni kujua thamani ya
wakati, kwani wakati ndio
uhai na kuutumia katika
twaa ni njia ya kufaulu
kuliko kukubwa kutokana
na uhai uliopita, ikiwa kwa
utamu au uchungu au kwa
kheri au shari au kwa wema
au ubaya hatujui. Hayo
yatakuwa yanatutetea au
kutushitaki hivyo basi ni
wajibu tuwe kwa Mwenyezi
Mungu watu tulio na woga
kwake. Amesema Mwenyezi
Mungu, wale ambao
wanamuogopa Mola wao hali
ya kuwa hawamuoni na wao
juu ya kiama wanakiogopa.
Ambiyai (49).
Kwa hakika kwisha kwa
mwaka katika umri wetu
kunatusogeza kukutana
na Mwenyezi Mungu
hatua kwa hatua na wala
hatujui miaka mingapi
imebaki katika umri wetu.
Anasema Imamu Hassani alBiswiriyi Mungu amrehemu,
hakika ewe binadamu ni
masiku yaliyokusanyika,
itakapoondoka siku yako
basi imeondoka baadhi yako.
Ya m p a s a b i n a d a m u
13
MAKALA
AN-NUUR
MJI wa Baytul
Muqqadas ni moja
kati ya miji muhimu
ya kihistoria duniani
hususan katika
ulimwengu wa
Kiislamu kutokana
na kuwa kwake na
utambulisho wa kidini.
Baadhi ya nukuu za
historia zinaonesha
kwamba, mji huu
uliasisiwa zaidi
ya m i a k a e l f u n n e
iliyopita.
Mitume na Manabii
wengi wa Mwenyezi
Mungu walizaliwa au
kuishi katika mji huo
mtukufu. Ni kwa sababu
hii ndio maana mji
huu ukazingatiwa na
kuwavutia wafuasi wa
dini tatu za mbinguni
yaani Uyahudi, Ukristo
na Uislamu.
Wakati Nabii Ibrahim
AS alipohajiri kutoka
Misri hadi Palestina,
aliishi katika Mji wa
Quds. Kwa amri ya
Mwenyezi Mungu,
Nabii Ibrahim AS
aliujenga upya mji huo
na kukarabati eneo lake
takatifu yaani Msikiti
Msaada
Mwenye kuona.
Mmoja wa wafasiri
wa Q u r ' a n i k a t i k a
kubainisha namna
Msikiti wa al-Aqswa
na maeneo ya pembeni
mwake yalivyojaa
baraka anaandika: "Ibara
ya 'baarakna haulahu'
yaani tumevibariki
vilivyouzunguka ina
maana kwamba, mbali
na kuwa Masjidul
Aqsa uko katika eneo
takatifu, maeneo ya
pambizoni mwake nayo
ni yenye baraka. Hii
ni kwa sababu eneo la
pambizoni mwa Baitul
Muqaddas n i la kijani
kibichi na lenye rutuba
likiwa limejaa miti iliyo
na matunda mengi na maji
yanayotiririka na hivyo
kuzidisha umaridadi wa
eneo hilo. Aidha aya hiyo
yumkini imeashiria baraka
za kimaanawi za eneo
hilo. Hii ni kwa sababu
katika historia yake, ardhi
ya Quds imekuwa kituo
cha Mitume wakubwa
wa Mwenyezi Mungu na
kitovu cha Tawhidi na
ucha Mungu."
Sayyed Qutb, mfasiri
wa Qur'ani kutoka Misri
anaandika hivi: Israa na
Miiraj inaziunganisha dini
zote za Tawhidi kutoka
zama za Manbii Ibrahim na
Ismail AS hadi Mtume wa
Mwisho SAW. Inaonekana
kuwa Mtume Muhammad
SAW katika safari yake
ya usiku alitangaza
kwamba ujumbe wake
unajumuisha risala za
Mitume waliotangulia na
utaendeleza risala hizo.
Katika historia ya
Uislamu tunasoma kuwa
Mtume SAW katika tukio
la Miiraj aliswali katika
maeneo mbalimbali kama
vile Mlima Sinai sehemu
ambayo Mwenyezi Mungu
alizungumza na Nabii
Musa AS na vile vile Baitul
Lahm sehemu aliyozaliwa
14
Na Rashid Abdallah,
MUM
MSHUKURU Mungu
sana ikiwa wewe
unapata sehemu nzuri
ya kulala hadi asubuhi
bila ya kubughudhiwa
na mtu yeyote. Ndani
ya u m a s i k i n i wa k o ,
lakini unatafuta riziki
kwa amani hadi jioni
unaporudi nyumbani
japo unakumbana na hali
ngumu katika utafutaji
wa k o wa r i z i k i k wa
kutegemeana na kazi
unayoifanya.
Ni la kushukuru mno
kama unatoka nyumbani
kwako hadi sokoni na
unakutana na watu
unaowajua na usio wajua,
kisha munasalimiana kwa
furaha. Hadi unarudi
na kapu lako nyumbani
h u j a s i k i a b o m u wa l a
kuvamiwa kwa marungu
na kupigwa pengine kwa
sababu ya kofia yako.
Usiombe ukawa myonge
kisha kukawepo mbabe
asiye na huruma ukawa
chini yake, umeumia na
utatamani dunia igeuke
ili Kusini kuwe Kaskazini
na Kaskazini-Kusini upate
kukimbia. Mshukuru
Mungu ukiwa bado upo
kwenye amani japo ndogo
inayokuwezesha kufanya
shughuli zako za kila siku.
Shirika la habari la
The Associated Press
Jumamosi ya October 25,
mwaka huu, linasema
kuwa idadi ya Waislamu
wa j am i i ya Roh in g y
wanaokimbia Mnyanmar
imefikia 100,000 tangu
mwaka 2012.
Usidhani kuwa
wanakimbia kwa
kuwa wamependa
kuondoka katika ardhi
hiyo. Hawaondoki na
kukimbia kwa makundi
makubwa makubwa
kwa sababu wanafurahia
kuhama huko. Lakini
kuna Mabudha wababe
walio juu ya Rohingy
wachache na wanyonge
Makala/Tangazo
AN-NUUR
ndio wanaosababisha
Waislamu hao kuyahama
makaazi yao.
Miaka miwili tangu
Mabudha waanze ukatili
dhidi ya jamii hiyo ndogo
ya watu, kumekuwepo na
vitendo vya kila siku vya
mauaji, ubaguzi, uharibifu
na ubabe usio na mipaka
dhidi ya Rohingy.
Mnyanmar nchi yenye
M a b u d h a wa n a o f i k i a
milioni 50 na Jamii ya
Rohingy milioni 1.3.
Kutokana na mashambulizi
ya Mabudha dhidi
ya Rohingy, mamia ya
watu kutoka jamii hiyo
wameuwawa na wengine
140,000 kuishi katika kambi
za wakimbizi, ambako
wanaishi bila ya kupata
huduma za kutosha za
afya, elimu n.k.
Serikali ya nchi hiyo
inawataja Rohingy kuwa
ni wahamiaji haramu
kutoka Bangladesh,
wakati mwengine Serekali
huchukua sababu hiyo
kuwakamata na kuwapiga.
Hii ndio ile ile kanuni
ya kumpa mbwa jina baya
ili ukimuua usionekane
ni mkosa. Siamini kuwa
wao ni wahamiaji haramu
kwani wapo muda mrefu
sana na hadi kufikia
milioni 1.3 inatoa tafsiri
kuwa wameishi hapo
muda mrefu sana. Hata
mtu kuwa mhamiaji
haramu bado haitoi haki
ya kumuua na kmharibia
makaazi yake.
Nadhani dini ndio
inabeba sehemu kubwa ya
dhulma wanazofanyiwa.
Uislamu wao ndio chachu
na chanzo cha wao kuuliwa,
kupigwa na kuharibiwa
mali zao yakiwemo
maduka na nyumba. Na
serekali ya nchi hiyo na
wanasiasa wasiojua utu na
ubinaadamu, hushirikiana
na makundi ya Mabudha
ili kutekeleza unyama
wao.
Wiki tatu zilizopita
serekali ya Mnyanmar
imeanzisha mpango uliouwita Rakhine Action
Pl a n . L e n g o l a k e n i
kuwalazimisha Rohingy
kuondoka nchini humo.
N i z a i d i ya R o h i n g y
milioni moja watafukuzwa
nchini humo kutokana
na mpango huo mpya
unaosimamiwa na serekali
ya Minyanmar.
Ta a r i f a z i n a s e m a
kuwa Waislamu hao wa
Myanmar pia wanaweza
kufungwa jela kwa
muda usiojulikana kwa
mujibu wa mpango huo
wa k i b a g u z i , a m b a o
u n a wa t a k a wa k u b a l i
kupangwa tena kimakabila
na kuandikishwa kuwa ni
Wabengali au kufungwa
jela.
Japo makundi ya
kutetea haki za binadamu
yameitaka jamii ya
kimataifa iishinikize
s e r i k a l i ya M ya n m a r
kufuta mpango huo na
k u u t a j a k u wa h a u n a
maana yoyote zaidi ya
kuthibitisha kuendelea
ubaguzi. Lakini hakuna
jamii ambayo imechukua
hatua yoyote.
Katibu Mkuu wa UN
amekuwa mwepesi wa
kuzungumza lakini ni
mvivu wa kutenda kwa
ajili ya kutatua matatizo.
Ni miaka 66 sasa Rohingy
wako katika dhulma lakini
hadi hi leo tatizo hilo
halijapatiwa tiba.
Ta n g u m wa k a 1 9 4 8
ambapo nchi hiyo ndipo
ilipopata uhuru, basi
Waislamu wa jamii ya
Rohingy wameendela
kuuwawa, kudhalilishwa,
kupigwa na kuharibiwa
mali zao na mabudha
wenye misimamo mikali
wakishirikiana na serekali
yao ambayo inawaunga
mkono Mabudha hao dhidi
ya unyama wanaoufanya
k w a Wa i s l a m u w a
Rohingy.
Hakuna jamii ya
Kimataifa itakayo
wasaidia, wao kazi yao
kubwa ni kuvamia nchi
za wengine na kuuwa
tu. Unadhani kubwa la
maadui Marekani anaweza
kuwasaidia Rohingy hasa
akijua kuwa ni Waislamu.
Yapo mataifa ya Kiarabu
ambayo yangekuwa ni
msaada mkubwa kwa
matatizo ya Waislamu
lakini mataifa wenyewe ni
mahatuti.
Kupitia mtandao wa
Redio Swahili Tehran
unaeleza kuwa, Gazeti
la Miyanmar Times
limeripoti kuwa, misaada
ya kibinadamu hasa ya
kitiba ilizuiwa kuwafikia
Wa i s l a m u m k o a n i
Rakhine huko Myanmar
baada ya Mabudha
15
HABARI
AN-NUUR
Inatoka Uk. 11
Inatoka Uk. 11
mkakati huu kwa kuzivamia
Syria na Iraq, pangekuwa na
ugumu kwa sababu kwanza
hiyo ingewaunganisha
Wa i s l a m u n a Wa a r a b u
k u wa l a n i n a k u p a m b a n a
nao hata kwa kuzomea tu.
Kwa hiyo wangeshindwa
japo katika uwanja wa habari
na propaganda. Lakini pia
ingekuwa vigumu kuungwa
mkono na inayoitwa Jumuiya ya
Kuyumbishwa na kugawanyika
kisiasa kwa Syria kunatazamiwa vile
vile: Nia halisi ya Marekani siyo tena
lengo finyu la "kubadili utawala"
nchini Syria. Kinachodhamiriwa ni
kuvunjwa kwa Irak na Syria kwa
misingi ya kidhehebu na kikabila.
Kuundwa kwa dola ya Kiislamu
inaweza kuwa hatua ya kwanza
kuelekea katika mgogoro mkubwa
zaidi eneo la Mashariki ya Kati,
ukichukulia kuwa Iran inaiunga
mkono serikali ya Al-Maliki, hivyo
nia ya Marekani inaweza pia kuwa
ni kutaka Iran iingilie. Kugawanyika
kunakopendekezwa kwa Irak na Iran
kunachukua mfano wa iliyokuwa
Yugoslavia ambayo iligawanywa
kuwa 'nchi huru saba' (Serbia, Croatia.
Bosnia-Herzegovina. Macedonia,
Slovenia, Montenegro, Kosovo).
Kwa mujibnu wa Mahdi Darius
Nazemroaya, kugawanywa kwa Irak
kuwa nchi tatu tofauti ni sehemu ya
mchakato mpana zaidi wa kuandika
upya ramani ya Mashariki ya Kati.
I p o r a m a n i i l i y o t a ya r i s h wa
na Luteni-Kanali Ralph Peters.
Ilichapishwa katika Jarida la Jeshi la
AN-NUUR
16
16
16
MAKALA
AN-NUUR
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
MAKAMU wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na
viongozi wa Jumuiya ya Istiqama katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu
1436 Hijiria katika ukumbi wa Karimjee DSM mwishoni mwa wiki.
Na Bakari Mwakangwale
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.