Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Sauti ya Waislamu
Uk. 2
Tahariri/Habari
2
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
www.annuurpapers.co.tz
S H E I KH m m o j a nc hi n i
Pakistan, ametoa kauli kali
akilani mauwaji ya watu
140 yaliyofanyika KhyberPakhtunkhwa, Peshawar.
Sheikh huyo Hafiz
Mohammad Saeed amesema
kuwa Uislamu ni dini ya
amani na hakuna namna
ambavyo inaruhusu mauwaji
kama hayo kufanyika.
Uislamu ni Dini ya amani,
hata katika Jihad hairuhusiwi
kuuwa watoto na wanawake.
Amesema Sheikh Saeed katika
taarifa yake ndefu aliyoitoa
kwa lugha ya Urdu.
Mauwaji anayozungumzia
hapa ni yale yaliyofanyika
Jumanne Desemba 16, wiki
hii ambapo ilidaiwa kuwa
magaidi saba walivamia shule
na kuuwa watu 140, wengi
wao wakiwa wanafunzi na
baadhi wakiwa walimu na
watumishi wengine wa shule
hiyo inayoendeshwa na jeshi.
Kwa upande wake serikali
katika eneo hilo nayo ikaunga
mkono kauli ya Sheikh Saeed
ikisema:
Hakuna dini inayoruhusu
kuuwa watoto. Uislamu,
kwa madhehebu yake yote,
unakataza kuwa watoto na
wanawake.
Mara tu baada ya shambulio
hilo, vyombo vya habari
vilidai kuwa waliohusika
na shambulio hilo lililouwa
watoto wasio na hatia zaidi
ya 100 ni kundi la Kiislamu
linalojulikana kwa jina la
Tehrik-e Taliban Pakistan
(TTP) maarufu Pakistani
Taliban (Taliban wa Pakistan).
Zikishatolewa habari kama
hizi, kwamba waliohusika ni
Waislamu wa kundi fulani
au Waislamu hao wamedai
katika mtandao wao,
Sheikh ukitoa taarifa kuwa
Uislamu ni Dini ya amani,
hairuhusiwi kuuwa watoto na
wanawake, japo ulilosema
ni kweli, lakini kwa upande
mwingine unathibitisha kuwa
waliofanya mauwaji hayo
ni hao Waislamu. Na hilo
ndilo wanalotafuta watu wa
propaganda iwe wanasiasa
au vyombo vya habari.
Tunachosema ni kuwa,
yanapotokea matukio
kama haya, mara nyingi
wanasiasa na vyombo vya
habari wanakimbilia kutaka
maoni ya Masheikh. Sheikh
akisema kuwa mauwaji hayo
hayakubaliki katika Uislamu
au kama Sheikh Saeed
alivyosema kuwa Uislamu
haurusu kuuwa watoto na
wanawake hata iwe katika
AN-NUUR
kimedai kuhusika.
Lakini hata kama mtu
atajiita ni Muislamu, na
akakiri hadharani kuhusika,
bado si hoja ya kuuhusisha na
Uislamu. Jambazi au mvuta
kokeni, hata akitambulika
kuwa ni Mkristo, kwa namna
yoyote ile, haiwezi kuwa
ujambazi wake ukahusishwa
na Ukristo halafu mnakwenda
kumtaka Askofu wake atoe
maoni!
Toka yaanze mashambulizi
ya Drone, kama njia moja
wapo ya kupambana na
ugaidi Pakistan, wameuliwa
watoto mamia kwa maelfu.
Sheikh unapoulizwa juu ya
wanaodaiwa kuuwa watoto
140, labda itakuwa vyema
kwanza uulize uelezwe, ni
kwa kosa gani wamefanya
watoto hao hata wawe shabaha
ya makombora kutoka Drone?
Muuwaji kachukuliwa hatua
gani? Anayeuwa watoto
hawa na maelfu ya watu
wengine wasio na hatia,
wala hajifichi, anauwa huku
akitamba ulimwengu mzima
ukimshuhudia, walimwengu
wanasema nini juu ya
muuwaji huyu?
Tumewataja Masheikh
Alhad, Shekh Haamid
Jongo na Mohammed Issa,
kama wawakilishi tu wa
Masheikh ambao mara nyingi
wamekuwa wakifuatwa ama
na wanasiasa au vyombo
vya habari kutakiwa kutoa
maoni yao binafsi au kueleza
msimamo wa Uislamu.
Tunachosisitiza ni kuwa
m a r a n y i n g i wa n a s i a s a
n a v y o m b o v ya h a b a r i
wanapowaendea Masheikh
au watu muhimu katika
jamii kutaka maoni yao,
huwa wanachosema sicho
walichokusudia. Na kwa
vile ni mafundi wa mambo
yao, wanauliza maswali ya
mtego ambapo usipokuwa
makini, unawasaidia katika
propaganda na jambo lao
ambalo wala wewe huna
habari nalo na wakati
mwingine la kukuhujumu
hata wewe mwenyewe na
waumini wenzako.
Bila shaka tutakuwa na
kumbukumbu ya kadhia ya
mauwaji ya Mwembechai
ambapo wanasiasa
wa l i c h u k u a v y u m a v ya
k u f u n g i a m a t u r u b a i ya
Msikiti na kudai kuwa ni
silaha zilizokuwa zimefichwa
Msikitini hapo. Tutakuwa pia
tunakumbuka jinsi wanasiasa
hao pamoja na vyombo vya
h a b a r i , wa l i v y o m t u m i a
Sheikh wetu Haamid Jongo
kukoleza propaganda ya
kuwadhuru Waislamu hadi
kuonekana kuwa Waislamu
waliouliwa kwa risasi kwa
kulengwa shabaha na polisi,
ndio wa kulaumiwa. Na
wala sio wauwaji waliovamia
Wa i s l a m u M s i k i t i n i
kwa shinikizo la Paroko
Lwambano aliyedai kuwa
Yesu anatukanwa Msikitini
hapo!
Muhimu ni kuwa makini.
Tu s i j e k u t u m i w a k a m a
viungo vya kukoleza utamu
wa propaganda ya kuhujumu
Uislamu na Waislamu.
Na Mwandishi Wetu
R u s h wa n a U h u j u m u
Uchumi Zanzibar.
Katika kosa hilo la
kwanza, ilidaiwa kuwa
mshitakiwa Hassan
Abdalla Mitawi na Mamy
James Matata kwa nyakati
tofauti mwaka 2014
katika jengo la Shirika
la Habari na Utangazaji
(ZBC ) Televisheni kwa
makusudi walifanya
bishara ya kuuza magari
bila ya kujiandikisha kuwa
walipa kodi na kulipa kodi
hizo kwa mamlaka husika.
Aidha, Mgongo alisema
kosa la pili la matumizi
mabaya ya ofisi kinyume
na vifungu vya 53 na 61
vya sheria namba moja
ya mwaka 2012 ya Kuzuia
R u s h wa n a U h u j u m u
Uchumi Zanzibar.
Katika kosa la pili
muendesha mashitaka
huyo alisema kwamba
mshitakiwa kwa nyakati
tofauti mwaka 2014 huko
jengo la ZBZ Televisheni
akiwa Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la ZBC alitumia
Mitawi kizimbani
M K U R U G E N Z I
M k u u wa S h i r i k a l a
Utangazaji Zanzibar
(ZBC) Hassan Abdalla
M i t a w i a m e f i k i s h wa
mahakamani kwa makosa
kadhaa ikiwemo kosa la
matumizi mabaya ya ofisi
na ukwepaji kodi.
Mkurugenzi huyo
alipanda kizimbani majira
ya saa 5 asubuhi juzi katika
mahakama ya mkoa Vuga,
mbele ya Hakimu Ali
Ameir.
Akisoma mashitaka
mbele ya hakimu huyo,
Muendesha mashitaka
Abdalla Issa Mgongo,
alisema mshitakiwa huyo
amefikishwa mbele ya
mahakama hiyo akiwa na
mashitaka mawili.
Alisema, kosa la kwanza
linalomkabili ni kukwepa
kodi kinyume na vifungu
44 kifungu kidogo cha (1)
(e) na kifungu kidogo cha
(2) pamoja na kifungu cha
61 vya sheria ya Kuzuia
Habari
AN-NUUR
Inatoka Uk. 1
Sheikh Mohamed Idd, maarufu
kwa jina la Abuu Idd, ameyasema
hayo akiongea na Waislamu, katika
mada yake aliyoiita Bakwata ni
sababu ya Waislamu wa Tanzania
kuwa nyuma.
Alisema, suala hilo liko wazi
sana na kwamba anauhakika na
anachokisema kuwa Bakwata ni
tatizo.
Bakwata ni tatizo, na kila mmoja
anajua hilo, lakini tunatoafautiana
katika mfumo wa kuondoa tatizo,
niliwahi kusema na nitaendelea
kusema kwa kuwa nina hakika na
ninachokizungumza. Alisema
Abuu Idd.
Akifafanua ni kwa namna gani
kuwa BAKWATA ni tatizo kwa
Waislamu, alisema matarajio
ya Waislamu, ni kuona Baraza
hilo linakuwa mstari wa mbele
kutetea maslahi yao sambamba na
kuwaletea maendeleo.
Abuu Idd, alisema Waislamu
wanapoona kimya pale
wanapopata madhila ama hawaoni
mipango yoyote ya maendeleo yao
chini ya Bakwata, hali hiyo hufanya
Waislamu wakose dira na kuvunja
umoja kwani yule aliyejivika
ukinara wa kuwaongoza hana
mpango wa mambo hayo kwa ajili
ya Waislamu.
Alisema, Bakwata pamoja
na kuwa na fursa ya kuongea
na Serikali kuhusu masuala ya
Waislamu, lakini haitumii nafasi
hiyo, badala yake imekuwa
ikiwasiliana na Serikali kwa
mambo maalumu.
Akasema, Bakwata itakuwa na
mawasiliano na Serikali siku za
Idd, au kama kumeletwa mbuzi
wa Makka, ama kama kumeletwa
tende kisha zinatakiwa kugaiwa
4
BUNGE la Kenya hivi sasa linajadili
muswada unaopendekeza sheria
ya usalama kufanyiwa mabadiliko,
ili kuiwezesha serikali kuimarisha
usalama na kupambana barabara na
jinamizi la ugaidi.
Hata hivyo, mapendekezo ya
marekebisho ya sheria hiyo ya
usalama yaliyotolewa na serikali ya
Kenya, yamedaiwa kuwa yanajenga
mazingira kwa nchi hiyo kurudi tena
katika enzi za utawala wa kipolisi
ulioshuhudiwa katika miongo ya 80
na 90 chini ya utawala wa Rais wa
wakati huo, Daniel Arap Moi.
Pamoja na mambo mengine,
muswada huo unapendekeza polisi
kupewa nguvu na mamlaka zaidi ya
kuwakamata na kuwaweka kizuizini
watuhumiwa wa ugaidi. Imeelezwa
kuwa iwapo muswada huo utapita
na kuwa sheria kama ulivyo, basi
polisi watakuwa na mamlaka ya
kumshikilia mtuhumiwa wa ugaidi
kwa takriban mwaka mmoja badala
ya muda wa sasa wa miezi 3 bila
kumfikisha mahakamani.
Polisi pia watakuwa na uwezo
wa kufuatilia mawasiliano ya mtu
au watu wanaotuhumiwa kuwa
ni magaidi, ikiwa ni pamoja na
kusikiliza mazungumzo yao ya simu.
Aidha imeelezwa kuwa pamoja
na kuwepo hofu ya matatizo hayo,
vyombo vya habari navyo vitakuwa
katika wakati mgumu kwa mujibu
wa muswada huo iwapo utapitishwa
na kuwa sheria.
Katika muswada huo imebainishwa
kwamba, pale chombo cha habari
kitakachochapisha au kutangaza
habari zinazoonekana kuonyesha
aina fulani ya uungaji mkono magaidi
au kushajiisha ugaidi, wakuu wake
watakamatwa na kuhukumiwa
kifungo cha miaka isiyopungua 20
jela. Tayari inatarajiwa kwamba
wabunge wa Kenya wataidhinisha
muswada huo.
Muswada huo ambao serikali
imesema utasaidia kuimarisha
usalama, umekabiliwa na shinikizo
kali kutoka kwa makundi ya kiraia,
wanasiasa wa upinzani na mashirika
ya kutetea haki za binadamu ndani
na nje ya Kenya.
Mashirika ya Kimataifa ya Kutetea
Haki za Binadamu ya Amnesty
International na Human Rights
Watch, yametoa taarifa ya pamoja
inayokosoa vikali muswada huo na
kusema ukipitishwa kuwa sheria,
utakiuka haki za binadamu kwa
kiwango kisichokubalika.
Taarifa ya mashirika hayo imesema
kuwa kuna wasiwasi wa kurejea
tena utawala wa kipolisi nchini
Kenya. Wapinzani kwa upande
wao nao wamesema serikali ifanye
ifanyavyo, lakini hakuna jambo lolote
linaloweza kuhalalisha ukiukwaji wa
haki za binadamu.
Rais wa Kenya, Uhuru Muigai
Kenyatta alisema siku ya Ijumaa
iliyopita kwenye hotuba yake kwa
taifa kuwa, sheria hiyo ndio njia
pekee ya kuvipa nguvu vyombo vya
usalama kukabiliana na magaidi na
hali ya ukosefu wa usalama ndani
ya taifa hilo.
Hotuba ya Rais Kenyatta katika
kuadhimisha miaka 51 ya uhuru wa
Kenya ilisisitiza juu ya ulazima wa
kubana mianya ya ugaidi ili kuliweka
taifa katika hali ya amani na utulivu.
Wachambuzi wengi wanaona
kuwa, sheria hiyo inaweza
kuwafungulia polisi milango ya
kukiuka zaidi haki za binadamu
katika siku za usoni kwa kisingizio
cha kupambana na ugaidi.
Hii ni katika hali ambayo, polisi
Makala
AN-NUUR
sheria.
Mswada huo pia utaipa nguvu
Idara ya Usalama wa Taifa (NIS)
kunasa na kurikodi mazungumzo
Inaendelea Uk. 12
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
Makala
AN-NUUR
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 6
Uingereza, Robert Finlayson
"Robin" Cook , kwamba, alQaida (A-Shabaab na wenzao) ni
magaidi wa kubuni na wa kutumiwa
Makala
AN-NUUR
wa kiambata kimoja
kutegemea kingine kufanya
kazi iliyodhamiriwa
bila kusababisha athari
mbaya. Kadri kiwango cha
uchakatuaji kinavyozidi
kuwa kikubwa, ndivyo
mizania baina ya viambata
inavyozidi kupotea,
na ndivyo athari mbaya
zinavyozidi kuongezeka
kwa mtumiaji wa chakula
kilichopitia mchakato huo.
Makala
AN-NUUR
CHAI YA AJABU!
Ni kitu gani cha ajabu juu ya hii chai tuliyochagua kuiita Haiiba Timamu Tea?
Na. Juma Killaghai
Nilimwambia.
Kaka utakuwa umeniokoa kaka!
Nilimpatia Rajab pakiti moja ya
chai ya HAIIBA TIMAMU nikampa
maelekezo jinsi ya kuitumia. Maajabu!
Siku iliyofuata nilikutana na Rajab
akiwa mchangamfu na akanambia
kuwa hakuwa anajisikia kuwa na
tatizo lolote!
Namba ya simu ya Rjabu ni:
0712242557
5. BABA KAWEZA KWENDA MJINI!
10
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
Arab League chief visits Paris to seek support for Palestine UN bid
CAIRO (Ma'an) -- Arab League
secretary-general Nabil alArabi has started coordination
with regional states over a joint
plan to recruit support for the
Palestinian UN bid setting a
2-year deadline for ending
the Israeli occupation of the
Palestinian territory.
The official Palestinian news
agency Wafa reported Monday
that al-Arabi left for Paris Monday
where he was set to meet with
Foreign Minister Laurent Fabius.
That meeting and another
with US Secretary of State John
Kerry are part of a plan in which
foreign ministers of member
states of the Arab League have
prepared recently to support the
Palestinian UN bid to end Israeli
occupation.
The plan, says Palestine's envoy
to the Arab League and assistant
secretary-general for Palestinian
affairs Muhammad Subeih, was
approved in Cairo on Nov. 29,
in the presence of President
Mahmoud Abbas.
France is also leading European
efforts to cobble together a
resolution which would require
a return to the Israeli-Palestinian
peace negotiations.
Several European parliaments
have called on their governments
to move ahead with the
recognition of a Palestinian state.
condemnation.
Abu Ein died last Wednesday
during a peaceful Olive planting
event, during which Israeli Border
guards assaulted the protestors
and fired teargas canisters from
a close range. Abu Ein suffocated
and was no longer able to breathe
which led to his death.
A video footage released online
also showed a member of the
border guards unit pushing and
grabbing Abu Ein by the throat a
few moments before Abu Ein lost
consciousness and died.
ISRAEL Soldiers
11
Makala
AN-NUUR
12
MAKALA
AN-NUUR
Ni kitu gani cha ajabu juu ya hii chai tuliyochagua kuiita Haiiba Timamu Tea?
Inatoka Uk. 9
virutubisho mbalimbali
vinavyohitajiwa na
mwi l i i l i kuimaris h a
siha. Mimea iliyotumika
kuandaa chai hii ina
utajiri mkubwa sana wa
hivi virutubisho. Orodha
kamili ya virutubisho
hivi ni: AMINO ACIDS
(VIJENZI VYA PROTINI),
Arginine; Histidine;
Isoleucine; Leucine;
Lysine; Methionine;
Phenylalanine; Threonine;
Tryptophan; na Valine.
VITAMINI NA MADINI
Carotine (Vitamin A);
Thiamin (Vitamin B1);
Riboflavin (Vitamin B2);
Niacine (Vitamin B3);
Vi t a m i n C ; C a l c i u m ;
Copper; Iron; Magnesium;
Phosphorous; Potassium;
Zinc; Chromium; na
Manganise.
VIZUIA VIOKSIDISHA JI
(ANTI OXIDANTS)
Curcumin; Catechines;
Polyphenols; Flavonoids;
na Piperine.
Viua vijiduduCinnamaldehyde.
Sasa ukisoma nyaraka
za kitafiti utabaini kuwa
viini lishe hivi vinatajwa
kuwa ni msaada mkubwa
kwa matatizo mbalimbali
ya kiafya ikiwa ni pamoja
na:
Kudhibiti maumivu ya
viungo; Kudhibiti uchovu
n a k u o n d o a h a l i ya
kujisikia homa mara kwa
mara; Kudhibiti mfuro
wa seli (inflammation);
Sababu za magonjwa ya
meno na jinsi ya kujitibu
Inatoka Uk. 8
tunafanya makosa ya
msingi kuhusiana na usafi
wa vinywa vyetu. Makosa
haya ni pamoja na kukaa
n a m a b a k i ya v ya k u l a
mdomoni kwa muda mrefu
sana kabla ya kuchukua
hatua ya kusafisha kinywa.
Watu walio wengi wamezoea
kupiga mswaki mara moja
tu ndani ya masaa 24, na hii
ni asubuhi baada ya kutoka
usingizini. Hii ina maana
kwamba mtu mwenye tabia
hiyo muda mwingi kinywa
chake ni dampo la mabaki
ya vyakula, na anatoa muda
mrefu kwa gram positive
bakteria kuweka kambi
k we n ye k i n y wa c h a k e .
Ingekuwa ni bora sana
kama mtu angepata fursa ya
kusafisha kinywa chake kila
baada ya mlo, ili kuepukana
na hali hii.
Hata hivyo, kwa sababu
katika hali halisi hili ni
gumu, basi ni bora mtu
ukahakikisha kuwa unapiga
mswaki wa hali ya juu sana
usiku kabla ya kulala. Hii
ina maana kwamba usiku
wote utakuwa umelala huku
ukiwa na kinywa kisafi, na
hivyo kutoa wakati mgumu
sana kwa gram positive
bakteria kushambulia wakati
ukiwa usingizini.
Ni vizuri pia ikafahamika
kuwa kupiga mswaki pekee
hata kama mswaki huo
utaupiga kila siku kabla ya
kulala - hakutoshi kukiacha
kinywa chako huru kwa
asilimia mia moja dhidi ya
uwepo wa gram positive
bakteria. Njia ya uhakika ya
kujihakikishia hili ni kutumia
kitakasaji cha mdomo (oral
Kuimarisha kinga za
mwili; NA Kusawazisha
k iwa n g o ch a le h e mu
(cholestrol) mwilini kuwa
cha kawaida. Mengine
n i K u d h i b i t i k a s i ya
kuzeeka; Kuboresha
usagaji wa chakula
tumboni; Kuboresha siha
ya mfumo wa damu na
utendaji wa ini; Kusafisha
ngozi na kuhifadhi
mnyumbuko wake;
Kupeleka virutubisho
muhimu kwenye ngozi;
Kuimarisha siha ya macho;
Kuzuia kuongezeka kwa
seli za saratani; Kuzuia
seli za kawaida za mwili
kubadilika na kuwa seli
za saratani; Kuuchochea
mwili wako kuangamiza
seli za saratani kabla
hazijasambaa mwilini;
Kuzuia uundwaji wa
mishipa ya ziada ya damu
kwa ajili ya kufikisha
virutubisho vya ziada
katika seli za mwili zenye
saratani na Hupunguza
shinikizo la damu.
Inasaidia pia Kupunguza
uwezekano wa kupata
shambulizi la moyo
(heart attack); Kupunguza
uwezekano wa mishipa
ya f a h a m u k u p o t e z a
utando wa nje unaokinga
sehemu ya ndani na kwa
hivyo kuifanya ifanye
kazi kwa ufanisi (multiple
sclerosis); Kuongeza
uzalishaji wa nyongo;
Kuzuia uharibifu wa
lehemu nyepesi mwilini
kutokana na mwingiliano
na oxygen; Kupunguza
madhara ya kisukari cha
ukubwani; Kupunguza
dalili za ugonjwa wa
kupoteza kumbukumbu
(Alzheimers disease);
Kuharakisha kupona kwa
majeraha; Kupunguza
madhara ya baridi ya
yabisi; Kupunguza kasi
ya ongezeko la virusi vya
ukimwi; Kukinga dhidi ya
uharibifu wa ini; Kukinga
dhidi ya sumu na makovu
kwenye mapafu; Kukinga
dhidi ya ugonjwa wa ngozi
kuchuja rangi, yaani,
vitiligo; na Kusafisha
kinywa dhidi ya bakteria
wa s i o t u m i a o k s i j e n i
(anaerobic bakteria)
Chai hii inaweza
kukusaidia pia kama
unahisi kuwa unakabiliwa
na moja wapo ya hali hizi.
Hivi sasa inapatikana Dar
es Salaam pekee, katika
ofisi zetu zilizoko Mosque
Street, No. 1574/144
(mkabala na msikiti
wa Sunni), Kitumbini.
Jitihada zinafanyika
pia ili kabla ya mwisho
wa m wa k a h u u i w e
inapatikana walau katika
miji yote iliyo makao
makuu ya mikoa Tanzania
nzima. Kwa maelezo zaidi
unaweza kuwasiliana nasi
kwa simu namba 075428
1131/0686281131/065528
1131.
KWA WALIOKO DAR ES
SALAAM
Kama unaishi Dar es
salaam unaweza kuja
hapa ofisini kwetu mtaa
wa Mosque, kwa ajili ya
kupata chai ya Timamu.
Tuko Kitumbini, mtaa
wa Mosque. Mtaa huu
unaitwa Mosque kwa
sababu kuna misikiti
miwili mikubwa
inayoongozana (Ibaadh
na Sunni); ambayo
imetenganishwa na duka
la tamu-tamu la Taj Mahal
Sweet Mart.
Mtaa huu pia ni maarufu
sana kwa MGAHAWA
WA M I A K A M I N G I
SANA UNAOITWA NEW
ZAHIR RESTAURANT
(Tazama picha. Jengo lenye
canopy yenye mistari
myekundu.). Iwapo
utalazimika kuuliza ili
ufike Mosque Street, basi
waambie hao unaowauliza
ni mtaa iliko NEW
ZAHIR RESTAURANT.
Ukiweza kufika NEW
ZAIHIR RESTAURANT
utaiona hiyo misikiti
miwili tuliyoitaja iliko.
Kama hukuiona wewe
mwenyewe uliza! Ni hapo
jirani kabisa.
Sisi tunatazamana na
huo msikiti wa Sunni
(wenye minara ya kijani).
Aidha tuko jirani kabisa na
duka maarufu la vifaa vya
usafi na bidhaa nyingine za
majumbani la ZANZIBAR
S TAT E T R A D I N G
CORPORATION. Ukiona
mabango ya TRIPLE A
TAILORING SERVICES
yafuate, utakuwa tayari
umefika. HERBAL
I M PA C T, T R I P L E A
TAILORING SERVICES
NA NEOBIZ tunachangia
eneo la ofisi.
JINSI YA KUFIKA
1. kwa wanaotokea
m a e n e o ya M b a g a l a ,
K u r a s i n i n a Te m e k e
ambao wakija mjini kituo
chao cha mwisho cha
daladala ni Stesheni, basi
waje mpaka barabara
ya Samora liliko tawi la
NBC SAMORA. Mtaa
wa Mosque unaanzia
13
Makala
AN-NUUR
HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (katikati). Kulia kwake ni Marehemu Sheikh Ramia.
n y u m b a n i wa k i f u a t a n a n a
mjumbe wa Kamati Kuu ya
Taifa wa TANU, chombo cha juu
kabisa katika chama. Nyerere
alimpa Taratibu dafari ya tasjili
ya wanachama, kadi mia moja
hamsini za uanachama wa TANU
na nakala hamsini za Bill of Rights.
Kazi ya kuwahamasisha na
kuwaingiza watu TANU alipewa
Omari Suleiman, na fundi
cherahani mwingine aliyejulikana
kwa jina la Abdu Mohamed
Mkamba. Mara tu baba mwenye
nyumba wake alipopata habari
za kuwa mpangaji wake, Haruna
Taratibu alikuwa mwanachama
wa TANU, alimfukuza kutoka
kwenye nyumba yake.
Baada ya kupata kikundi
kidogo cha wanachama, Taratibu
alipiga simu makao makuu ya
TANU na kuzungumza na kaimu
katibu, Elias Kissenge akaomba
ruhusa ya kufanya uchaguzi.
Kissenge hakuweza kutoa uamuzi
wowote wa maana kuhusu tatizo
la uongozi wa TANU Dodoma.
Taratibu alifanikiwa kumpata
Kambona ambaye aliidhinisha
uchaguzi ufanyike kwa shuruti
moja la kuwa Hassan Suleiman na
Ali Ponda waruhusiwe kushiriki
na kugombea uongozi wa chama.
Kusisitiza kwa Kambona juu
ya uongozi wa zamani wa TAA
kuongoza chama kipya huenda
kulishawishiwa na mafanikio ya
zamani ya uongozi wa Hassan
Suleiman, mbaye alimfahamu
huko Dodoma wakati Kambona
alipokuwa mwalimu akifundisha
Kikuyu Secondary School. Kwa
bahati mbaya, wanachama wa
TANU waliokuwa wanainukia
na chama pale mjini Dodoma
waliwaona Hassan Suleiman na
Ali Ponda kama wasaliti kutokana
na kutokushirikiana na wenzao
katika kuanzisha TANU.
Wakati ametatizwa na tatizo
la uchaguzi wa TANU, Taratibu
14
NILIWAHI kuandika makala
iliyokuwa na kichwa cha habari:
Vita vya msalaba Masheikh
wako Golgotha. Nilieleza habari
ya Rais W. Bush, na Mchungaji
Teghua. Kwa lugha ya Biblia
neno mnyama linawakilisha,
mfalme, mtawala, n.k. Hapo ni
kuwa mtawala wa Marekani
(Rais W. Bush), alijifanya ni
nabii, kwa kujifanya mlokole, na
kusoma Biblia, kabla hajatangaza
vita vya Iraq, na kuwateka kina
Teghua, na Wakristo na wasio
kuwa Wakristo, jumla mataifa
(wanyama) 32, wakaiangamiza
Iraq Afghanstan, Libiya na
sasa Siriy, n.k. Lakini wasomi
hawa hawajaona kitabu chao
walichoandika wenyewe kuwa
kinaeleza kuwa kiongozi wa
wanyama hao wawili ni Joka
jekundu (shetani mwekundu):
13:14 Kanisa hufaulu kufanya
miujiza kwa Roho Mtakatifu ili
kusudi kuwaaminisha Wakristo
imani. Hivyo mnyama wa pili
anamwiga Roho Mtakatifu kama
mnyama wa kwanza alivyo mwiga
Yesu mfufuka (13:3) Kwa hiyo Joka
na wanyama hao wawili wanaiga
Utatu Mtakatifu kwa dhihaka ya
kufuru. Biblia ya Imprimatur.
H a p a a n am a a n i s h a k uwa
Kanisa la Rumi chini ya uongozi
wa Papa na utawala wa Marekani
wanashirikiana na yule Joka
jekundu (shetani jekundu),
kuutawala ulimwenu kwa njia
ya kufuru. Aya ya 13:16-17;
inaonesha sera ya vitambulisho,
vya aina mbalimbali, vikwazo
vitakavyotumika kwa kuwabagua
watu, kuwawekea vizuizi n.k.
Si lazima uone muhuri hasa,
bali matendo yanayofanana
na kuwa na muhuri na namba
tunayaona kwani hata sasa
mambo yanayoendelea sasa
yanatumia mfumo huo. Hutibiwi
bila kitambulisho, husomi bila
kitambulisho n.k.
Ufafanuzi wa aya ya 13:18:
Tarakimu (666) hiyo ni mfano
wa Kaisari Nero. Kadiri ya
Kiyahudi kila herufi ya alfabeti
yao ni tarakimu Fulani. Jumla ya
herufi za jina la Kaisari Nero
kwa Kiyahudi ukitazama kama
tarakimu utapata herufi hii: 666.
Biblia ya Imprimatur.
ONYO LA MWISHO
K WA D U N I A M P A N G O
WA U L I M W E N G U M P YA
UNAKUJA! Hicho ni kichwa
cha habari cha Jarida la Family
Development International P.O.
Box 17 Mafinga Tanzania. Uk.1.
Chini mwisho wa ukurasa huo
kuna maandishi mekundu hivi:
Marekani- Upapa- Umoja wa
Mataifa. Picha hiyo hapo iko juu
iko juu ya Jarida hilo katika ukurasa
huo wa kwanza, ikionyesha
kuwa, Rais wa Marekani Clinton,
wa n g e k a m i l i s h a k a z i h i y o
wakishirikiana na Umoja wa
Mataifa na Papa Yohana Paulo II.
Kwa mujibu wa jarida hilo,
kazi ya kuitawala dunia kwa huo
utatu; ilitakiwa ikamilishwe na
Papa Yohana Paulo II. Viongozi
wa Ulimwengu Wanautaka. Unao
Makala
AN-NUUR
15
Makala/Shairi
AN-NUUR
AN-NUUR
16
16
16
MAKALA
AN-NUUR
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
Maalim Seif
ziarani Uturuki
Na Mwandishi Maalum
MAKAMU wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar Mhe.
Maalim Seif Sharif Hamad,
amewasili nchini Uturuki
kwa ziara ya siku tatu ya
kiserikali.
Ziara hiyo inafuatia
mwaliko rasmi wa serikali
ya Uturuki kupitia kwa
Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege
wa Kimataifa mjini Istanbul,
Maalim Seif alipokelewa na
Waziri wa Mambo ya nje
wa nchi hiyo Mhe. Mevlut
Cavusoglu.
Mbali ya kufanya
mazungumzo na mwenyeji
wake ambaye ni Waziri
Mkuu wa Uturuki, Makamu
wa Kwanza wa Rais wa
Zanzibar pia anatarajiwa
kukutana na viongozi wa
jumuiya ya watembezaji
watalii ya nchi hiyo.
Aidha Maalim Seif
ambaye ameambatana na
Katibu Mkuu Wizara ya
Habari, Utamaduni, Utalii
na Michezo Zanzibar
Bw. Ali Saleh Mwinyikai,
anatarajiwa kuhudhuria
kwenye maadhimisho ya
sherehe kubwa za kimila
nchini humo ambazo pia
zitahudhuriwa na Rais wa
nchi hiyo Mhe. Recep Tayyip
Erdogan.
Sherehe hizo zinatarajiwa
kuhudhuriwa na wageni
kadhaa mashuhuri kutoka
sehemu mbali mbali duniani.