Вы находитесь на странице: 1из 16

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1158 RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA , JANUARI 2-8, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sheikh Ali Mzee


Comorian
hatunaye
Uk.2

Askofu ahusishwa na Boko Haram


Atuhumiwa kuagiza silaha za kivita
Ndege yake yakamatwa Johannesburg
Ilikuwa na mamilioni ya Dola za manunuzi

Vijana wapotea Zanzibar


Walikwenda kuswali Isha Agosti, hawajarejea
Inadhaniwa ni katika watuhumiwa wa ugaidi
Polisi waombwa kusema iwapo inawashikilia
Kamanda Salum Msangi asema, hana habari nao

Mzee Zubeir Ame Juma (kushoto, alovaa kanzu ya Darizi)


na Mzee Masoud Salim wakielezea kwa waandishi wa
habari kutoweka kwa watoto wao Ustadhi Khalid Zubeir,
na Ustadhi Said Omar katika mazingira ya kutatanisha.

Hakimu Kisutu ashangaa


kuletewa
kesi
za
Zanzibar
Watuhumiwa wa ugaidi wamkataa hakimu
Afya ya mtuhumiwa Salim bado tete-Wakili

Na Seif Msengakamba

RAIS Goodluck Jonathan (mwenye pama) akiwa na Mchungaji Ayo


Oritsejafor (kushoto) wakati wa uzinduzi wa Chuo Kikuu binafsi cha
Mchungaji huyo. Soma Uk. 8

HAKIMU wa Mahakama
ya Kisutu, jijini Dar
es Salaam, amesema
anashangaa kuletewa kesi
za watuhumiwa kutoka
Zanzibar.
Ameyasema hayo
kufuatia kesi ya

watuhumiwa wa
ugaidi kutoka Zanzibar
kurejeshwa tena Kisutu
kutoka Mahakama Kuu.
K w a
u p a n d e
mwingine, timu ya
Mawakili wanaowatetea
watuhumiwa katika kesi
Inaendelea Uk. 3

Tahariri/Habari/Makala

2
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Andaeni watoto kwa shule

KUWA na familia ni jambo


zuri la msingi sana katika
m a i s h a ya b i n a d a m u
ye y o t e m we n ye a k i l i
timamu na anayejitambua.
Familia ni jambo la
kujivunia na msingi mkuu
wa jamii na taifa.
Wa t u w a n a o a n a
kuolewa, pamoja na
kuwepo na makusudio
mengine ya kimaisha,
lakini jambo la msingi zaidi
katika tendo la ndoa kati ya
mume na mke ni kupata
familia na kuendeleza
kizazi.
Ni jambo la furaha kuwa
na watoto na ukawalea
katika maadili na wakawa
neema katika familia na
kwa jamii kwa ujumla.
Na moja ya mikakati
mizuri ya kuwa na watoto
we n ye m a t u m a i n i ya
maisha mema na bora na
hatimaye kuwa familia
bora, ni wazazi kuwaandaa
watoto wao kimaadili na
kielimu.
Hivi sasa ulimwengu
unaingia katika mwezi wa
Januari 2015 miladia.
Wakati tunaingia Januari
2015, wapo waliokuwa
wametumia muda wao
mwingi na gharama kubwa
kujiandaa kwa ajili ya
kusherehekea sikukuu ya
Kristmas. Kwa Wakristo
hilo sio tatizo, ni sikukuu
yao.
Lakini baada ya
Kristmas,
wapo
waliojiandaa barabara,
k wa g h a r a m a k u b wa
kwa ajili ya kusherehekea
mwaka mpya 2015 miladia.
Kadhalika kwa Wakristo ni
sikukuu yao kwa mujibu
wa imani yao.
Lakini wapo ambao
sikukuu hizi si zao, wala
sio mafundishio ya imani
zao, lakini wakatumia
gharama kubwa na muda
mwingi kujiandaa kama
walivyokuwa Wakristo
kwa ajili ya kusherehekea
siku hizo.
Tutumie tu fura hii
kukumbushana kwamba
kuanzia Desemba mwaka
jana hadi Januari mwaka
huu, kwa wazazi walio

makini na wenye malengo


ya kuwa na familia bora,
wa l i k u wa wa k i u m i z a
vichwa vyao juu ya
mipango ya kuwaandaa
watoto wao kielimu.
Sote tunajua kwamba
kipindi hiki ndicho cha
kulipia karo za shule,
kuwanunulia vifaa vya
kujifunzia, kuwanunulia
sare, kuwasafirisha kwenda
mashuleni nk. Yote haya
yalihitaji gharama kubwa
na maandalizi ya mzazi.
L i t a k u wa n i j a m b o
la ajabu kama mzazi
wa Kiislamu atakuwa
ameshindwa kuwalipia
wanawe karo, kuwapa sare
za shule na kuwasafirisha
kwa wakati kwenda shule
kwasababu kakosa fedha
z a k u wa n d a a wa t o t o ,
huku akiwa ametumia
fedha nyingi kujiandaa na
sherehe za mwaka mpya.
Te n a m w i n g i n e
watakuwa wamediriki
hata kukopa kusherehekea,
huku akijua kuwa punde
tu atahitajika kuwanunulia
watoto vifaa vya shule na
kuwalipia karo.
Kwa mtazamo wetu,
katika kipindi hiki kuanzia
mwezi wa Desemba hadi
Januari, kuna haja ya
Waislamu kujitambua
na kukitumia zaidi
kuwaandaa watoto wao
na shule.
Hiki ndicho kipindi cha
matumizi makubwa ya
elimu kwa watoto wetu
kuliko kipindi kingine
chochote katika mwaka.
Badala ya kuwaza
juu ya matumizi yasiyo
ya msingi, tumia nafasi
hiyo kuwaza zaidi wale
wanaokutegemea kwa
maslahi yao na maisha yao
ya baadae.
Januari 5, 2015 shule
nyingi zinafunguliwa.
Mzazi
utakuwa
umemdhulumu mwanao
kama atakosa kwenda
s h u l e k wa wa k a t i a u
umeshindwa kumtimizia
haja zake za kimasomo kwa
sababu tu, umekwangua
akiba kwa sherehe na
kristmas na mwaka mpya
au hukuwa umejiandaa
kabisa. Hukuwa umelitilia
maanani.

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Tuige tabia ya Mtume (s.a.w)


MTUME Muhammad
(saw) alikuwa mpole
na rafiki mzuri sana na
mwaminifu. Aliwapenda
masahaba wake.
Aliwatolea salamu
wale aliowajua na pia
asiyowajua. Aliwatendea
wema watu wote
waliomzunguka na
kuwaonyesha upendo
mkubwa.
Alikuwa mkarimu sana
kwa watu wote aliokutana
nao. Hakuwahi kugongana
na yeyote ambaye alikuwa
hapingi mafundisho ya
Kiislamu.
Mtume alikuwa mfano
mzuri sana wa kujenga
jamii yenye kuheshimiana.
Uislamu unasisitiza
kutokiuka haki za watu
wengine na kutishia
maslahi yao. Unasisitiza
kushirikiana katika mema
na kujenga mshikamano
madhubuti wa kijamii.
Ili kulinda umoja na
msh ik a ma n o wa ta ifa
na kufikia malengo ya
ustawi wa jamii, Waislamu
wamehimizwa kuepuka
uhasama katika jamii,
mfarakano, usengenyaji
na kuwaumiza wengine
kwa mikono au ndimi
zao. Uislamu kama
ulivyofundishwa na
Mtume Muhammad (saw)
unahimiza kuwatembelea
wagonjwa, kuwasaidia
wanaohitaji msaada na
wale walio dhaifu.
Wakati
Mtume
Muhammad alipowasili
Madina, alianzisha muundo
wa dola ya Kiislamu. Baada
ya kujenga udugu wa
kisiasa na kusimamisha
dola mjini Madina, alianza
mazungumzo na makabila
mbalimbali na kufunga
nayo mikataba ya amani.
Wakati makafiri wa
Makka walipofanya
mashambulizi dhidi ya
dola ya Madina, Mtume
Muhammad (saw)
aliweza kupambana nao
vilivyo, na waliposhindwa
kabisa kwenye vita vya
Khandaq, Mtume alifunga
nao mkataba wa kuishi
kwa amani, kila mmoja
akiwajibika kwa namna
yake katika kulinda amani
na ustawi wa wote.
Lakini hata ukirejea
katika ule makataba wa
' H u d a i b i ya h ' , u t a o n a
kuwa Mkataba huo ni
moja ya kazi bora kabisa
za Mtume wa Mwenyezi
Mungu katika nyanja za
diplomasia.
Diplomasia ya Mtume
katika kutuma na kupokea

wa j u m b e m b a l i m b a l i
kutoka kwa wakuu wa
makabila na watawala wa
kigeni, uadilifu wake katika
uendeshaji wa mahakama,
na kuwapa msamaha wote
waliomkosea baada ya
ukombozi wa Makka, ni
ushahidi mwingine wa
umahiri wa Mtume katika
'Uendeshaji Serikali'.
Dola aliyoianzisha
Madina haikuwa bahati
mbaya. Ndiyo hasa ilikuwa
'Mission' ya Mtume
wa Mwenyezi Mungu,
kwamba aanzishe dola, ili
aweze kusimamisha sheria
ya Allah katika ardhi. Na
ndiyo maana watawala
wa Makka walimpiga vita
sana. Walikuwa wanaijua
dhamira hii ya Mtume
kuhusu utawala. Kwa
bahati mbaya, Waislamu
wengi leo hatuipendi kabisa
sunna hii. Tunaogopa
misukosuko yake.
Wa t u wa n a w e z a
kuikubali imani mpya,
lakini itachukua muda
kubadili tabia zao, desturi
zao na mienendo yao
ya maisha. Hata kama

kundi dogo la watu


l i t a f a n i k i wa k u b a d i l i
mienendo yao, kutakuwa
na wengine wengi ambao
hawatawaacha Waislamu
hawa watekeleze imani
yao kikamilifu. Watajaribu
kuwazuia kwa nguvu.
Kwa hiyo dola ya Kiislamu
ikawa hitajio muhimu
katika kulinda mfumo wa
maisha wa Kiislamu.
Dola iliyoasisiwa na
Mtume kule Madina,
i l i k u wa n a n g u v u z a
kijeshi kama zilivyo dola
nyingine zote, lengo likiwa
kuiwezesha kutekeleza
majukumu yake muhimu
ya kuamrisha mema
n a k u k a t a z a m a b a ya ,
kulingana na mtazamo
wa Kiislamu. Dola hii
ya Kiislamu iliyoasisiwa
na Mtume iliendeshwa
kwa Shura, kama Qur'an
inavyobainisha:
"Na wale waliomuitikia
Mola wao (kwa kila amri
zake) na wakasimamisha
Sala, na wanashauriana
katika mambo yao na
wanatoa katika yale
tuliyowaruzuku"Qur
(42:38)

Sheikh Ali Mzee Comorian hatunaye


Na Mwandishi Wetu

SHEIKH Ali Mzee


Comorian amefariki
na kuzikwa tarehe 29
Desemba 2014 sawa na
tarehe 6 Mfungo Sita
2015 katika makaburi ya
Wangazija, Mtaa wa Bibi
Titi Mohamed.
Sheikh Ali Comorian
amezikwa pembeni kwa
baba yake Sheikh Mzee
Comorian.
Kabla ya maiti
kupelekwa Msikiti wa
Makonde kwa ajili ya
Sala ya Jeneza na baada
ya k u s o m wa k h i t m a ,
ulisomwa mlango wa
nne wa Barzanj kama
alivyousia mwenyewe
marehemu na hivi ndivyo
ilivyokuwa pia katika
mazishi ya baba yake
Sheikh Mzee Comorian.
Rais Mstaafu Ali Hassan
Mwinyi alikuwa mmoja
wa waombolezaji.
Sheikh Ali Hassan
Mwinyi alikuwa karibu
sana na Sheikh Ali
Comorian wakati wa uhai
wake.
B a l o z i wa C o m o r o
Ta n z a n i a a l i t o a
rambirambi maalum
k u t o k a k wa R a i s wa
Comoro.

SHEIKH Ali Mzee


Comorian.
Mara tu baada ya
kumaliza sala ya jeneza na
wakati msafara unaanza
kuondoka hapo msikitini
ukiongozwa na magari
ya polisi, mvua kubwa
sana ilianza kunyesha na
ikafanya msafara uende
taratibu sana na watu
kurowa.
Kwa muda wa karibu
saa mbili, kulikuwa na
msongamano wa magari
kuingia Mtaa wa Msimbazi
k u e l e k e a b a r a b a r a ya
Morogoro kwenye
makaburi ya Wangazija.

3
Na Salma Al- Ghaithiyyah,
Zanzibar
WAZEE waliopotelewa na
watoto wao wameliomba
Jeshi la Polisi, kusema
iwapo linawashikilia
vijana wao.
Vijana hao walipotea
toka mwezi wa nane,
mpaka leo haijulikani
walipo.
M a e l e z o ya m m o j a
wa wazee hao anasema
kuwa, kijana wake alitoka
kwenda kuswali Isha, na
hajaonekana hadi leo.
Anasema, ana wasiwasi
kijana wake alikamatwa
katika kamatakamata ya
watuhumiwa wa ugaidi
kwani ilikuwa ni kipindi
hicho watuhumiwa
wa n a k a m a t wa k i m ya
kimya na kupelekwa Bara.
Kadhia hii, inawahusu
v i j a n a
wa w i l i
wanaosaidikiwa kupotea
katika mazingira ya
kutatanisha kwa muda wa
miezi minne sasa.
Wa k i z u n g u m z a n a
wa a n d i s h i wa h a b a r i
kwenye ofsi ya Jumuiya
ya Wandishi wa habari
za Maendeleo Zanzibar
(WAHAMAZA), wazee
wa watoto hao, Zubeir
Ame Khalid na Masoud
Salum walisema watoto
wao wametoweka
nyumbani tokea msako
wa vijana wanaotuhumiwa
kujihusisha na ugaidi
ulipoanza zaidi ya miezi
minne iliyopita.
Vijana hao ambao
wametajwa kwa majina ya
Khalid Zubeir Ame na Said
Omar Said, wazee wao
wamesema tokea kutoweka
vijana wao, wamekuwa
wakifuatilia katika vituo
vya polisi, magerezani
Zanzibar na Tanzania bara
bila ya mafanikio.
Wanashindwa kujua
walipo watoto wao,
k a m a b a d o wa h a i a u
wameshafariki.
Mimi mwanangu
Khalid alikwenda kusali
sala ya Ishaa tokea tarehe
17 mwezi wa nane na
tokea hapo nimekuwa
nikifuatilia kila pahala
na kuwafuata baadhi ya
wazee wenzangu ambao
wamepotelewa na watoto
wao, lakini bahati mbaya
sijafanikiwa kumuona
mwanangu hadi leo hii,
amesema Mzee Ame.
Siku chache baada ya
kukamatwa kwa Kassim
Mkadam Khamis ambaye
ni mtoto wa Kamanda
wa Polisi wa Mkoa wa
Mjini Magharibi na
kuunganishwa na
watuhumiwa wa ugaidi
waliopo gerezani Dar es
Salaam, ndipo alipopotea

Habari

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Vijana wapotea Zanzibar

Khalid na kuanza
kutafutwa.
M wa n a n g u K h a l i d
na mtoto wa Kamanda
ni marafiki sana na
wamekuwa wakisali
pamoja msikitini na
tulipata taarifa mtaani
kwamba mwanawe
anasakwa na polisi, baadae
tukasikia amekamatwa na
amefikishwa mahakamani,
lakini mwangu hadi leo
kimya, alisema Mzee
huyo huku akionesha hali
ya huzuni.
Mzee Ame amesema,
baada ya kuchelewa kurudi
msik itin i mtoto wa k e
mwenye umri wa miaka
23, alipatwa na wasiwasi
na kuanza kufuatilia.
Lakini baada ya mwezi,
Khalid akapiga simu na
kumueleza baba yake kuwa
yupo salama na ametoka
kwa ajili ya kujitolea
kutangaza dini kwa ajili
ya Allah (Tabligh).
M i m i n i l i k u wa n a
wasiwasi sana na nikajua
sio kweli, maana hana
kawaida ya kuondoka bila
ya kutuaga wazee wake,
itakuwa alikuwa katika
mikono ya vyombo vya
usalama na ndio maana
akawa anakhofu kubwa
wakati alipokuwa akiongea
na sisi wazazi wake.
Alisema Mzee Ame.
A l i o n g e z a k wa m b a
tulikwenda kwenye
t a a s i s i ya F i i s b i l i l l a h
ambayo inaratibu
watu wenye kutangaza
dini, lakini tulipofika
t u k a a m b i wa h a y u m o .
Jina lake halimo katika
orodha ya walioondoka,
nikenda jumuiya ya
Uamsho ili nijue jee
mwanangu yumo kwenye
watu waliokamatwa? Kwa
sababu watu waliokamatwa
wengi ni wa Uamsho, labda
na mwanangu atakuwa
ameingizwa katika gurupu
hilo, lakini bahati mbaya
jina lake halikuwemo
Aidha, aliwaeleza
wa a n d i s h i wa h a b a r i
kwamba kutoweka kwa
mtoto wake kumempa
wakati mgumu na
kulazimika kumtuma kijana
wake mkubwa kufuatilia
kwenye magereza yote
Zanzibar pamoja na
Ta n z a n i a b a r a , l a k i n i
hawakufanikiwa kumuona
katika magereza hayo wala
hayupo katika orodha
ya watu waliofikishwa
mahakamani.
Kwa upande wake Mzee
Masoud Salim, mkaazi
wa M b u y u n i a l i s e m a

mtoto wake hakuonekana


nyumbani na hajulikani
alipo tokea Agosti 30
mwaka huu.
Alisema, kutoweka kwa
kijana wake kumewapa
mashaka na kuanza
kufuatilia kwenye vyombo
vya ulinzi lakini bila ya
mafanikio ambapo
wametoa ripoti kwenye
vituo vya polisi tofauti.
Tuna wasiwasi mkubwa
na kijana wetu kwa
sababu hatujui kitu gani
kimemsibu, haoniekani
wala habari zake hatuzisikii,
tumekuwa na matumaini
kwamba labda tutasikia
jina lake akipandishwa
mahakamani
au
atatangazwa na vyombo
vya habari lakini tunasikia

majina mengine lake yeye


hatulisikii, alisema Mzee
Masoud kwa huzuni.
Wazee hao kwa pamoja
wameiomba serikali na jeshi
la polisi kutoa taarifa za
watoto wao na kuwafikisha
kwenye vyombo vya sheria
iwapo wamefanya makosa
badala ya kuwashikilia kwa
kuwaficha na kusababisha
khofu kubwa ndani ya
familia zao.
Tunaomba vyombo
vinavyohusika kama
watoto wetu wamefanya
makosa, basi wawafikishe
mahakamani kuliko
kutusababishia sisi
huzuni, hatuna raha,
tuna huzuni, hatujui
kama watoto wetu wahai
au wamekufa na khofu

Inatoka Uk. 1
hiyo, Jumanne wiki hii
wamemtaka Hakimu
Hellen Liwa, wa Mahakama
ya Kisutu jijini Dar es
Salaam, kujitoa katika
Kesi hiyo inayowakabli
Masheikh na Waislamu
wengine wapatao 22.
Mawakili
hao
wa m e s e m a , n i v ye m a
hakimu huyo ajitoe
ampishe hakimu mwingine
kusikiliza hoja zao.
Kufuatia madai hayo
ya upande wa utetezi,
Hakimu Hellen Liwa,
alisema amekubali kujitoa.
Hata hivyo, akasema
ameishangaa Mahakama
Kuu kutosema lolote juu
ya watu kutoka Zanzibar
kuletwa katika Mahakama
ya Kisutu.
Hatua hiyo ya mawakili
hao kumkataa hakimu
imekuja baada ya hoja
zilizokuwa zimewasilishwa
na upande wa utetezi
katika Mahakama Kuu
Novemba 24, kuamuliwa
na Mahakama hiyo kuwa
kesi irudi tena Makahama
ya Kisutu.
Awali Desemba 29
Kesi hiyo iliitishwa lakini
iliahirishwa hadi Desemba
30, 2014 kutokana na jalada
lenye maamuzi kutoka
Mahakama Kuu kuchelewa
kufikishwa mahakamani
hapo.
Akizungumza na gazeti
hili baada ya kuahirishwa
k e s i h i y o , Wa k i l i wa
upande wa utetezi Bw.

Abubakari Salim, alisema


kama alivyokuwa ameahidi
Hakimu Liwa angepitia
maamuzi ya Mahakama
Kuu na kutoa msimamo,
Jumanne wiki hii alikuwa
tayari kuendelea na shauri
hili.
Hata hivyo baada ya
M a wa k i l i wa u t e t e z i
kushauriana na wateja
wao, walisema kwamba
kwa kuwa hakimu huyo
awali kabla ya utetezi
kupeleka hoja Mahakama
Kuu, alishatoa maamuzi
ya hoja ambazo kwa sasa
zinapaswa kutolewa
mamuzi.
Kwamba Mahakama
ya Kisutu imefungwa
mikono ya maamuzi juu
ya kesi hiyo ya ugaidi,
hivyo ikaonekana kuwa
kwa sasa halitakuwa jambo
zuri hakimu huyo huyo
aendelee na maamuzi ya
kesi hiyo kwa sababu haki
itaonekana haikutendeka.
Wakili Salim alisema kwa
mtizamo huo, washitakiwa
waliwaomba wamuombe
Hakimu ajitoe katika kesi
hiyo, ipangiwe hakimu
mwingine ili waweze kutoa
hoja zao za ziada, ili nazo
ziweze kutolewa maamuzi.
Hata hivyo upande
wa mashitaka walipinga
kuwa Hakimu asijitoe
kwa sababu upande wa
utetezi haukutoa sababu
za msingi.
Kulingana na sababu
tulizozitoa, katika hali
ya kawaida ikiwa huko

inazidi tunaposikia vijana


wengine wamelawitiwa
au kufanyiwa vitendo
vya udhalilishaji wakiwa
mikononi mwa vyombo
vya sheria, wamesema
wazee hao.
Akizungumza kuhusu
malalamiko hayo,
Naibu Mkurugenzi wa
Upepelelezi wa Makosa ya
Jinai DCI, Salum Msangi
amesema hana taarifa za
kupotea kwa vijana hao
na wala kukamatwa kwao
na kuwaomba wazee wa
vijana hao waliopotelewa
kufika ofisini kwake kutoa
maelezo.
Jumla ya Wazanzibari
31 wakiwemo viongozi wa
Uamsho, Sheikh Farid Hadi
Ahmed na Sheikh Msellem
Ali Msellem, walikamatwa
na kufunguliwa mashitaka
ya kujihusisha na ugaidi
na wapo rumande hadi
leo wakisubiri kusikilizwa
kesi yao.

Hakimu Kisutu ashangaa kuletewa kesi za Zanzibar

nyuma Hakimu alishasema


kwamba hana Mamlaka
kusikiliza shauri letu,
leo akibadilika kwamba
anayo mamlaka, itakuwa
sio kitu cha kawaida. Kwa
hiyo Hakimu naye aliliona
hilo akakubaliana nasi
kwamba, kweli anajitoa
katika Kesi kwa hiyo Kesi
hii itapangiwa Hakimu
mwingine, tufike mbele
ya k e t u t o e h o j a z e t u
ambazo zimetokea wakati
tulipopeleka shauri letu
Mahakama Kuu. Na sasa
ni pamoja na yale tuliyotoa
awali ili aweze kuyatolea
mamuzi, alifafanua wakili
huyo.
Hakimu alisema yeye
anakubaliana na uamuzi
wa Mahakama Kuu, lakini
jambo linalomshangaza
n i Wa t u wa Z a n z i b a r
kuletwa katika Mahakama
ya Kisutu, anashangaa
kwanini wameletwa huko.
Hakumu Liwa aliongeza
kuwa Mahakama Kuu hilo
haikulisemea lolote, ila kwa
mtazamo wake yeye anaona
kwa mujibu wa Sheria
ya Ugaidi, Mtu anaweza
kushitakiwa popote hata
kama amefanyia kosa nje
ya nchi.
Hata hivyo Wakili Salim
a l i s e m a wa l i c h o s e m a
wao upande wa utetezi
ni kwamba, hata kama
a n a we z a k u s h i t a k i wa
popote, sheria inasema
ule usikilizaji wa awali
usikilizwe katika
Inaendelea Uk. 4

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Maaskofu wanarindima, Bakwata kimya!


Na Latifa Senkondo, Dar
es Salaam.

WIKI iliyopita tarehe


25 ya mwezi Desemba
ilikuwa ni wiki ambayo
Wa k r i s t o
duniani
kote kwa mujibu wa
mafundisho ya imani yao
walisherehekea Sikukuu
ya Krismas ikiwa ni siku
aliezaliwa Yesu, kwa
Waislamu akijulikana
kama Nabii Issa (AS).
Hotuba za siku
hiyo katika makanisa
mbalimbali zilitawaliwa
na ujumbe juu ya kashfa
iliotikisa nchi ya Tanzania
na ambayo bado joto
lake linafukuta hadi sasa,
kashfa ya uchotwaji wa
fedha katika akaunti ya
Tegeta Escrow ambayo
imewangoa vigogo
kadhaa hadi sasa.
A l i y e k u w a
Mwanasheria Mkuu
wa Serikali Jaji Fredrick
Werema, Profesa Tibaijuka
na aliyekuwa Katibu Mkuu
wa Wizara ya Nishati na
Madini, Eliakimu Maswi
aliesimamishwa kupisha
uchunguzi dhidi yake.
Mengi yalisemwa juu
ya sakata hilo la Escrow,
ikiwemo kuwataka
v i o n g o z i wa s e r i k a l i
kuwa na hofu ya Mungu
katika utendaji wao ili
kujiepusha na vitendo
vya kifisadi ambavyo
vimekithiri kwa sasa.
Baadhi walishangazwa na
hatua za wenye mamlaka
kuwatetea waliohusika
katika kadhia hiyo
huku umma ukiumia
kwa makali ya maisha
wachache wakiponda
raha.
Maaskofu na viongozi
wengine walitoa wito wa
kuitaka serikali kuchukua
hatua za haraka dhidi ya
watuhumiwa wa kashfa
hiyo, viongozi wa serikali
kuacha kujilimbikizia mali,
pia kuwajali wa Tanzania
masikini nakadhalika.
Na hii sio mara
ya k wa n z a v i o n g o z i
wa madhehebu za
Kikiristo kufanya hivyo.
Wamekemea huko nyuma
, mfano katika sakata
la mchakato wa katiba
mpya wamekemea jinsi
aliyekuwa mwenyekiti wa
bunge maalum la katiba,
mheshimiwa Samueli Sitta
alivyokuwa akiliendesha
bunge hilo wengi wakidai
alikuwa analiburuza huku
akitoa kauli za kejeli na
dharau kwa wakosoaji
wake.
Lakini wakati maaskofu

Waislamu (serikali?).
Wakijitokeza masheikh
wenye kukemea maovu
ya n a y o f a n y i k a n d a n i
ya serikali na baadhi ya

viongozi wachache, wenye


tamaa, ubinafsi na wasio
na huruma na mlala hoi
wa Nanjilinji, kama ulivyo
mtindo wa serikali siku
hizi, ukiikosoa unaambiwa
unataka kuvunja amani.
Bakwata nayo hufuata njia
hiyo hiyo.
Wa k a t i B a k wa t a
i k i s h i n d wa k u k e m e a
kashfa mbalimbali
zinazoliandama taifa,
kwa upande wa Waislamu
nako kimeshindwa
kuwasiadia kabisaa. Wiki
mbili zilizopita katika
gazeti hili toleo namba
1156 lilibeba kichwa cha
habari kisemacho Sheikh
Mohammed Idd aikosoa
vikali Bakwata. Ndani
ya habari hiyo Sheikh Idd
ameorodhesha mambo
ambayo kiukweli mtu
hatarajii kuona chombo
k i k u b wa k a m a h i c h o
kuwa ndio kazi zake,
ya a n i k u s h u g h u l i k i a
tende, nyama za misaada
na kuandika barua

kwa serikali pale mtu


anapoomba msaada huku
hakiwezi kutoa hata juzu
50 za msaada, inasikitisha
mno!
Si haki hata kidogo
kwa Radio ya Bakwata
sauti ya Qurani, tangu
ilipoanzishwa masafaa
yake kuishia Dar Es Salaam
na Pwani tu. Taasisi kubwa
kama hiyo kushindwa
kuifikisha radio hiyo
mikoani ni jambo la ajabu
kabisa.
Ifike hatua Bakwata
ijitathmini, kiukweli ni
taasisi ambayo ipo ipo tu,
mambo mazito yanajiri
nchini, haina habari, kama
ikiwa na habari, haina la
kufanya.
(Mwandishi wa makala
hii ni mwanafunzi wa
Shule Kuu ya Habari na
Mawasiliano ya Umma
(SJMC) Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam, simu 0652
656525.)

Inatoka Uk. 3
Mahakama yenye
mamlaka, kwa maana
hiyo Mahakama ya
Kisutu haiwezi kuwa na
mamlaka kwamba, kwa
kosa lililofanyika Mwanza
au Zanzibar haiwezekani
katika Mahakama hiyo
kwani mipaka yake ni
mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa hiyo pamoja
na kwamba Hakimu
anasema anashangazwa
na hilo, itabaki hivyo
hivyo kwamba kwa kosa
l i l i s h t a k i wa k u l i l e t a
Mahakama ya Kisutu bado
inaonekana sio sahihi.
Hata hivyo alisema kwa
sababu sheria hiyo bado ni
mpya na ndio Mahakama
inajifunza, na wao pia
wanajifunza lakini kwa
kuwa Mahakama Kuu
ilikwishasema hoja zile
zirudi Mahakama ya Kisutu
na zitolewe uamuzi, basi
wataona sasa Mahakama
ya Kisutu itasemaje
kuhusu hoja hiyo na halafu
k a m a h a wa j a r i d h i k a ,
watakwenda mbele
kwasababu ni haki yao ya
msingi.
Tunasubiri tupangiwe
hakimu, aje tumpe hoja
zetu, naamini ni hoja zilizo
simama kisheria azitolee

maamuzi, yeyote tutakaye


pangiwa tupo tayari kuapa
mbele yake na kutoa hoja
zetu. Alisema wakili
Salim.
Kwa upande wa Jamhuri
wao wameelezwa kuwa
na wana hoja mbili hadi
hivi sasa, hoja ya kwanza
wanasema wanakusudia
kukata rufaa Mahakama
ya Rufaa kupinga uamuzi
wa Mahakama Kuu.
"Kama nilivyosema,
hii sheria bado ni mpya,
tuna imani Mahakama ya
Rufaa nayo ikipata nafasi
ya kusema wakati huo,
tutapata mwendelezo wa
sheria kwasababu ile ndio
Mahakama ya juu kabisa,
ikitoa mamuzi yanakuwa
yanazibana Mahakama
zote za chini, basi tutapata
kitu ambacho ni msimamo
m z u r i wa k i s h e r i a .
Alifafanua.
La pili ni kwamba baada
ya Hakimu wa Kisutu
kusema kuwa amekubali
kujitoa, wao wameridhika
na wamekubali apangwe
hakimu mwengine na
watakuwa radhi kusikiliza
maamuzi atakayoyatoa.
Kuhusu watuhumiwa,
wakili Abubakar Salim,
alisema kuwa wote walifika
mahakamani isipokuwa
mtuhumiwa namba 14,
Salum Ali Salum, ambaye

ameelezwa kuwa bado hali


yake si nzuri, anaumwa na
maelekezo yalishatolewa
kuwa atibiwe.
Alisema
kuwa
alipopelekwa hospitali
y a Ta i f a M u h i m b i l i ,
walichofanya madaktari
kule ni kufanya uchunguzi
tu, kwa kuchukuwa
kipande cha nyama katika
sehemu ya mwili wake na
kupeleka kuchunguzwa,
ili kuona anasumbuliwa
na kitu gani na kwamba
hadi sasa majibu bado
hayajarudi.
"Hakufanyiwa upasuaji
k a m a i l i v y o r i p o t i wa
hapo awali na matibabu
bado hajapata, suala hili
bado tunazidi kulifuatilia
kiutawala kuona kuwa
atasaidiwa je, alibainisha
wakili Abubakar Salim.
Alisema
kuwa
wa t a f u a t a i l i a h a l i ya
m t e j a wa o k i u t a wa l a
kwa kwenda kuonana
na Mkuu wa Gereza na
ikiwezekana kumuona
Kamishna wa Magereza,
wamueleze hali ilivyo
halafu watakayoyapata
h u k o n d i o ya t a wa p a
mwanga nini wanaweza
kufanya baada ya hapo.
Kesi hiyo imeahirishwa
hadi Januari 13, 2015 kwa
ajili ya kuja kupangiwa
Hakimu mwingine.

MUFT Sheikh Issa Shaaban Simba.


wakifanya hivyo, Baraza
k u u l a wa i s l a m u wa
Tanzania (BAKWATA)
chombo ambacho mara
kadhaa kimekuwa kikidai
kuwa ndio msemaji mkuu
wa Waislamu, chenyewe
kimelala kana kwamba
kashfa hizo haziwatesi
pia waumini wa dini ya
Kiislamu.
B a k wa t a s i k u z o t e
kimekuwa ni afisa wa
habari wa serikali, kazi
yake kuipongeza serikali,
kuungana nayo katika kila
jambo, kwenye mchakato
mzima wa katiba mpya
chenyewe na serikali
b e g a k wa b e g a , k i l a
walichoambiwa hewalaa!
Hakuna ubaya
kuipongeza serikali,
kuwa rafiki nayo, bali
tatizo linakuja hata katika
mambo mabaya ambayo
serikali inayafanya na
wananchi kuona, si sahihi
kama ilivyokuwa kwa
mchakato mzima wa katiba
mpya na sakata la hivi
karibuni la Tegeta Escrow,
Bakwata haikutoa neno
mpaka sasa, chombo cha
dini kinashindwa kuonya
uovu, vingine vifanyeje
sasa? Ndio kusema
Bakwata hawazioni kashfa
hizi?
Kibaya zaidi hata katika
mambo yanayowahusu
Waislamu na ambayo ni
muhimu kwa mujibu wa
mafundisho ya Kiislamu,
k a m a p a l e Wa i s l a m u
walipojitokeza kuomba
k u p a t i wa M a h a k a m a
ya Kadhi, wao Bakwata
hudandia hoja na kutia
miguu yao, kisa wao
ndio wamejipachika jina
la wasemaji wakuu wa

Hakimu Kisutu ashangaa kuletewa kesi za Zanzibar

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Baraza la Usalama lapinga kutambuliwa Palestina


BARAZA la Usalama la Umoja
wa Mataifa limepinga azimio
linalotaka kutambuliwa nchi
huru ya Palestina.
Jumanne ya wiki hii Baraza
hilo halikuafiki rasimu ya
azimio lililotaka kutambuliwa
nchi huru ya Palestina na
kukomeshwa ukaliaji mabavu
wa Israel.
Azimio hilo lilihitaji kura
zisizopungua tisa ili kuungwa
mkono na wanachama 15 wa
Baraza la Usalama la Umoja
wa Mataifa.
Hata hivyo rasimu hiyo
ya azimio iliweza kuungwa
mkono kwa kura nane tu za
ndiyo baada ya Marekani
na Australia kupiga kura ya
hapana kupinga rasimu hiyo.
Uingereza, Rwanda, Nigeria,
Korea Kusini na Lithuania
hazikupiga kura.
Rais Mahmoud Abbas wa
Mamlaka ya Ndani ya Palestina,
alitahadharisha mapema kuwa
serikali yake haitaendeleza
mawasiliano na utawala wa
Kizayuni wa Israel iwapo
juhudi za kuidhinisha rasimu
ya azimio hilo zitashindwa.
Awali Mabalozi wa mataifa
ya Kiarabu waliidhinisha
pendekezo la Palestina kuhusu
marekebisho ya azimio la
Umoja wa Mataifa la kutaka
Israel kuacha kuikalia kwa
mabavu Palestina katika
kipindi cha miaka mitatu ijayo.
Balozi wa Jordan kwenye
Umoja wa Mataifa, Dina Kawar
na mwakilishi wa mataifa
ya Kiarabu kwenye Baraza
la Usalama la umoja huo,
alisema pendekezo hilo ambalo
linapingwa vikali na Israel na
Marekani, liliidhinishwa na
wajumbe 22 wa mataifa ya
Kiarabu.
' ' K u n d i l a m a t a i f a ya
Kiarabu linaliunga mkono
pendekezo hilo na sasa wanayo
nakala mpya ya marekebisho
n a wa m e r i d hi s hwa nayo
na tuliiwasilisha kwenye
sekretarieti,'' alisema Balozi
Kawar.
Aidha, aliongeza kuwa kuna
suala la Jerusalem na masuala
m e n g i n e ya n a y o wa h u s u
wa f u n g wa , maj i , makazi
na ukuta usio halali ambao
ulikosolewa na mahakama ya
kimataifa.
B a l o z i K a wa r a l i s e m a
viongozi wa Jordan na
Palestina watakutana mapema
iwezekanavyo kujadiliana
kuhusu muda muafaka wa
Baraza la Usalama kupiga
kura, baada ya kuwasilisha

rasimu ya mwisho ya azimio


hilo.
I wa p o p e n d e k e z o h i l o
lingepitishwa, Israel
ingelazimika kuondoka katika
m a e n e o i n a y o ya k a l i a ya
Palestina ifikapo Disemba 31
mwaka 2017.
Hata hivyo, Marekani
ambayo ni mshirika wa karibu
wa Israel, ndio inayoongoza
kupinga azimio hilo ikisisitiza
kwamba lazima pawe na
suluhisho la mazungumzo
katika mzozo wa Israel na
Palestina.
M se maji wa Wi za r a ya
Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff
Rathke, aliwaambia waandishi
wa habari kwamba azimio
hilo jipya siyo jambo ambalo
wanaweza wakaliunga mkono
na kwamba nchi nyingine zina
mtazamo sawa na Marekani.
Netanyahu, alidai kuwa
iwapo Baraza la Usalama la
Umoja wa Mataifa haitolikataa
azimio hilo, wao watalipinga.
Alisema mamlaka ya
Palestina inajaribu kuweka

KIONGOZI wa Palestina, Bw. Mahmoud Abbas.


a m r i k wa I s r a e l a m b a y o Palestina, lakini muswada
itadhoofisha usalama wa Israel wa mwisho unaeleza kuwa
na kuuweka mustakabali wake Jerusalem Mashariki utakuwa
wa baadaye katika hatari.
mji mkuu wa Palestina na
Pe n d e k e z o l a a wa l i l a unaitaka Israel kuacha ujenzi
Palestina lilikuwa linataka wa makazi na kuwaachia
Jerusalam uwe mji mkuu wafungwa wa Kipalestina.
wa pamoja kati ya Israel na
Irib/DW

Polisi Kenya wakanusha kuhusika kifo cha Ulamaa


POLISI nchini Kenya
wamekanusha kuhusika na
kifo cha Ulamaa mmoja wa
Kiislamu, ambaye mwili
wake ulipatikana kwenye
bwawa katika Kaunti ya Embu
mwishoni mwa wiki.
Msemaji wa Polisi,
Zipporah Mboroki,
alikanusha madai kwamba
mtu huyo, aliyetambuliwa
kama Mohammed Ali Kheir,
alichukuliwa na maafisa wa
polisi mjini Garissa Desemba
25.
"Hatufahamu kama polisi
walimchukuwa. Tulipokea
ripoti ya mtu mmoja kupotea
na baadaye ya kifo chake na
tunachunguza tukio hilo."
Alisema Mboroki akiiambia
Sabahi.
Mbunge wa Fafi, Ilyas Barre
Shill, alisema kwamba Ust.
Kheir, ambaye pia alijulikana
kama Sheikh Dawara, alikuwa
akitembea kwenye Barabara
ya Posta mjini Garissa wakati
watu waliojitambulisha kama
maafisa wa polisi walipomtia
pingu na kumchukua.
" Wa l e wa l i o k u wa n a ye
wakati wa tukio hilo la saa
6 mchana waliwashuhudia

watu watatu wakimchukua,


walifikiria kuwa alipelekwa
kwenye moja ya vituo vya
polisi vya Garissa, lakini baada
ya kutembelea vituo hivyo,
polisi walikanusha kuwa
walikuwa wamemkamata."
Shill aliiambia Sabahi.
Mbunge huyo aliongeza
kuwa Jamaa za Ulamaa huyo
waliripoti kupotea kwa Ust.
Kheir siku hiyo hiyo.
Mbunge Shill alisema kuwa
mwili wa Kheir ulitambuliwa
mara moja na kaka yake na
kuongeza kwamba inaonekana
Kheir alikuwa amenyongwa.
Kheir alizikwa siku ya
Jumapili mjini Garissa huku
kukiwa na wito wa kufanyika
kwa uchunguzi wa kina juu ya
kifo chake.
"Tunataka
polisi
wachunguze kifo chake na
kusema nani alimuua kwani
wao wanakanusha kuhusika,"
alisema mbunge huyo.
Matukio hayo yanaendelea
wakati Bunge likipitisha sheria
ya usalama iliyoitwa Sheria
tata, ambayo inaruhusu
maofisa wa polisi kuwashikilia
wa t u h u m i wa wa u g a i d i
vizuizini bila kufunguliwa

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

kesi mahakamani kwa muda


wa miaka mitatu, pia kuzuia
vyombo vya habari kuripoti
masuala ya kiusalama hususana
masuala ya ugaidi bila kuwa na
idhini maalum. (sabahi).

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Muhammad (saw) kiongozi wa ummah


Na Said Rajab.

MUHAMMAD kama binadamu,


tayari ameshakufa siku nyingi,
lakini kama Mtume, ametuachia
urithi wa Qur'an na Sunna.
Mtume alisisitiza sana haja
ya Waislamu kushikamana
na viwili hivi katika hotuba
yake ya kuaga pale vilima vya
Arafat. Iwapo Waislamu duniani
watashikamana na viwili hivi,
kamwe hawatapotea.
Mafundisho aliyotuachia
Mtume iwapo yatawekwa katika
vitendo kwa uhalisia na usahihi
wake, yatatuletea furaha katika
maisha yetu ya dunia na malipo
mema baada ya kifo. Kwa maana
hii, Uislamu ni dini ya ulimwengu
ambayo kwanza, inayaangalia
masuala ya kilimwengu ya
binadamu. Maisha baada ya kifo
ni mwendelezo tu wa maisha ya
ulimwengu. Ni vigumu kufikiria
kwamba mtu anaweza kupata
mafanikio ya Akhera bila ya
kunusuriwa kwanza hapa duniani.
Njia bora ya kufuata ni ile
t u l i y o o n ye s h wa n a M t u m e
Muhammad (saw). Mke wake,
Aisha alipoulizwa na Sahaba
kuhusu tabia ya Mtume wa
Mwenyezi Mungu, alijibu tabia
yake ni Qur'an. Sasa Qur'an ni
muongozo kutoka kwa Mwenyezi
Mungu na Muhammad (saw)
ndiye aliyepewa mamlaka na
Mwenyezi Mungu kuitafsiri. Hiyo
ndiyo sababu tabia yake ni ya
kupigiwa mfano kwa binadamu
wote.
Uislamu kama ulivyofundishwa
na Mtume Muhammad (saw),
umeeleweka vibaya kwa baadhi
ya Waislamu, ambao hudhani
dini hii ni ya vitendo vya ibada
tu kama swala, funga, kutoa zaka,
kwenda hija, ndoa na talaka.
Angalau katika miaka ya hivi
karibuni, kufuatia maendeleo ya
kiteknolojia duniani, Uislamu
u m e a n z a k u a n g a l i wa k wa
mtazamo mpana zaidi, kuliko
ilivyokuwa awali. Hamasa ya
kuusoma Uislamu kwa Waislamu
na wasio Waislamu, imeongezeka
sana na kwa kiasi kikubwa
imechangiwa na ukuaji wa
teknolojia za uchapaji, habari na
mawasiliano. Maendeleo haya
yameanza kufungua macho ya
watu wengi ulimwenguni kuhusu
mafundisho sahihi ya Uislamu
na misingi yake ya ndani katika
nyanja mbalimbali.
Tukielekea maadhimisho ya
kuzaliwa Mtume Muhammad
(saw), ni vyema tukaangazia
maeneo machache ya kijamii, kama
yalivyofafanuliwa na Uislamu,
kupitia mafundisho ya Mtume.

Yeye ndiye mwalimu mkuu wa


Uislamu wote tunaoufahamu leo.
Uchumi - katika nyanja ya
maendeleo ya kiuchumi lengo
siyo kupata mali, bali ustawi
wa maisha ya binadamu kwa
ujumla. Uislamu unasisitiza haja
ya kuweka mizania sawa kati
ya mahitaji ya mali na mwili,
mahitaji ya mtu binafsi na ya jamii
ili kupunguza pengo la pande
hizo mbili za ulimwengu wa
binadamu.
Imeelezwa ndani ya Qur'an:
Sema. "Ni nani aliyeharimisha
mapambo ya Mwenyezi Mungu
ambayo amewatolea waja wake.
Na nani aliyeharimisha vitu vizuri
katika vyakula?" Sema:? "Vitu
hivyo vimewahalalikia Waislamu
(hapa) katika maisha ya dunia;
na vitakuwa vyao peke yao siku
ya Kiyama ..Sema, "Mola wangu
ameharamisha mambo machafu
yaliyodhihirika na yaliyofichika,
(Qur 7:33).
Kwa hiyo kila mmoja yuko
huru kufanya biashara yoyote
halali anayoipenda, ili mradi tu
azingatie maonyo ya Mwenyezi
Mungu. Iwapo atapuuza onyo
la Mwenyezi Mungu atapata
matatizo. Biashara yoyote bora
isiyo na madhara na inayofanywa
kwa uadilifu inakubaliwa na
Uislamu.
Mtume mwenyewe alikuwa
mfanyabiashara kabla hajateuliwa
kuwa Mtume. Uwezo wake wa
kuendesha biashara kwa umahiri
wa hali ya juu, ukweli na uaminifu
wake katika shughuli za kibiashara
vilimvutia sana mwajiri wake,
Bibi Khadija, ambaye baadaye
alimuomba Mtume amuoe.
Mtume aliwataka Waislamu
kufuata nyayo za Nabii Daudi
za kufanya kazi kwa bidii na
kuishi kutokana na jasho lake
mwenyewe. Pia alisema imani
ya Muislamu haikamiliki iwapo
atazembea katika taaluma yake.
Alisema: "Ukiacha mambo
kwa wasio na ujuzi, basi usubiri
maafa". Iwapo unafanya kazi
kwenye sekta ya uzalishaji, basi
bidhaa zako lazima zilingane au
zizidi zile zinazotoka kwenye
viwanda au makampuni mengine.
Ili kupata masoko, lazima bidhaa
zikidhi vionjo vya wanunuzi na
viwango vyao vya kuishi. Katika
hili, Uislamu unakataza kabisa
kudanganya wakati wa kuingiza
bidhaa sokoni. Lazima bidhaa
ionyeshwe kama ilivyo bila ya
kupewa sifa isizostahili kupitia
matangazo au promosheni.
Wa k a t i w a k i p i n d i c h a
Mtume, alikutana na mambo
mengi sokoni ambapo baadhi
ya wafanyabiashara walijaribu

MAALIM Ali Bassaleh (kulia), Sheikh Rajab Katimba (katikati).


kuwadanganya wateja.
Mtume aliwaambia: "Yeyote
anayedanganya si miongoni
mwetu Waislamu".
Uislamu umeweka kanuni
na taratibu nyingi katika
nyanja ya uchumi, kwa mfano
biashara, ukodishaji, mihamala,
mikataba na nyinginezo, ili
kuepuka udanganyifu. Uislamu
pia umekataza ukiritimba na
unyonyaji wa mtu mmoja au
kundi moja la watu kwa gharama
ya wengine.
Usafi - Kitu cha kwanza kabisa
kwenye mafundisho ya dini
iliyoletwa na Mtume Muhammad
(saw) ni kujali usafi. Dhana ya
usafi katika Uislamu inakusanya
usafi wa kimwili na kiroho, usafi
kwenye masuala ya kidunia na
kidini pia. Kabla ya kufanya ibada
yoyote iliyoanishwa kwenye
Uislamu, muumini lazima
asafishe mwili wake, nguo zake,
mahali pake pa kufanyia ibada
na mazingira yake pia lazima
yawe safi.
Kabla ya kuanza Swala au
Ibada ya Hija, Muislamu lazima
achukue udhu kwanza. Au kama
atakuwa kwenye dharura ya
janaba au kumaliza hedhi, au
damu ya uzazi, lazima aoge mwili
mzima kwa kutumia maji safi.
Kwa swala za kila siku, kila
Muislamu lazima asafishe
viungo vyake mara tano. Hii
pia inamkumbusha kuifanya
roho yake kuwa safi kutokana na
vitendo vyote vinavyomchukiza
Mwenyezi Mungu.
Usafi hauna maana ya kimwili
n a k i m a u m b i l e p e k e ya k e .
Mwili pia lazima utoharishwe
na vitendo viovu ambavyo
vinaweza kuharibu uhusiano
mzuri na binadamu wengine

au Mwenyezi Mungu. Lazima


Muislamu asafishe mawazo yake
kutokana na dhamira chafu ya
kufanya maovu. Lazima asafishe
moyo wake kutokana na gere,
husuda, unafiki, chuki na mambo
mengine kama hayo. Aingize
moyoni mwake matumaini,
ukweli, msamaha, huruma, udugu
na upendo.
Muislamu pia anatakiwa kuwa
makini na mlo wake dhidi ya
vyakula vyote hatari kiafya na
kidini. Lazima macho yake, masikio
yake na ulimi wake vijiepushe
na maovu. Hizi ni miongoni
mwa tabia njema zilizofundishwa
na Mtume Muhammad (saw),
tunayemuadhimisha leo.
Katika kusafisha mali,
Uislamu umeweka mfumo wa
zaka. Muislamu ambaye mali
yake imefikia kiwango fulani
anawajibika kutoa zaka. Ni wajibu
ambao umewekwa na Mwenyezi
M u n g u n a k u t e k e l e z wa n a
Waislamu kwa manufaa ya jamii
kwa ujumla.
Na wale wenye uwezo mdogo,
ambao mali yao haijafikia kiwango
cha kutoa zaka, anaweza kutoa tu
kama sadaka kwa wale wenye
kuhitaji. Hii haina maana kwamba
wale wenye kuhitaji ndiyo wawe
wapokeaji tu wa misaada.
Mtume wa Mwenyezi Mungu
amesema: "Mkono unaotoa
ni bora zaidi kuliko mkono
unaopokea". Iwapo mpokeaji
wa zaka atazingatia kauli hii ya
Mtume, basi atajitahidi kwa kadri
ya uwezo wake ili naye awe mtoaji
wa zaka, badala ya kuwa mpokeaji
kila siku. Atarekebisha maisha
yake kwa kuzingatia mafundisho
ya Uislamu.
Inaendelea Uk. 12

Makala

Na Mohamed Said
SHEIKH Ali Mzee Comorian
amefariki. Sheikh amefariki
tarehe 28 Desemba 2014 sawa na
tarehe 5 Rabbi Awal au Mfungo
Sita 2015.
Binafsi habari zimenifikia kabla
ya sala ya Dhuhr. Siwezi kusema ni
lini nimemjua Ali Mzee Comorian
au ni lini kwa mara ya kwanza
nilifahamiana naye na kumtia
machoni. Siwezi kusema hayo
kwa kuwa Ali Mzee, tumekuwa
na kucheza pamoja katika mitaa
ya Dar es Salaam ya 1960.
Leo nikiangalia nyuma naona
kama vile ni jana tu kushinda leo.
Nawakumbuka marafiki zake
wakubwa marehemu Ahmada
Digila (mtoto wa Sheikh Digila,
mmoja wa wanafunzi wa Mufti
Sheikh Hassan bin Amir) na Said
Mohamed Marjebi. Ali Mzee
Comorian ni mtoto wa Sheikh
Mzee Comorian (mshairi bingwa
wa kutunga mashairi ya kumsifu
Bwana Mtume (SAW) na yeye pia
alikuwa mwanafunzi wa Mufti
Sheikh Hassan bin Amir).
Mama yake Ali Mzee Comorian
ni Maalim Bahia, mama maarufu
Dar es Salaam na mwalimu wa
Qur'an katika madrasa yake
mashuhuri ya Maalim Bahia
iliyoko Mtaa wa Kariakoo. Hawa
ndiyo wazazi wake Ali Mzee
Comorian.
Mara tu baada ya kifo cha
Sheikh Ali Comorian kufahamika,
ujumbe ulianza kutumwa katika
mitandao, taarifa zikipishana,
ikiingia hii inakuja nyingine
kukupa taarifa ile ile na ya msiba
ule ule. Sheikh Ali Comoria
alikuwa mtoto wa mjini, mtu wa
watu na Sheikh maarufu katika
Masheikh wa mji kiasi watu
wakawa wanamwita ''Sheikh wa
Dar es Salaam.''
Katika hafla yoyote Sheikh Ali
kama hataitwa kuzungumza,
basi ataombwa mwisho atoe
dua na hapo ndipo Sheikh Ali
alipokuwa akiwapeleka wazee
Masheikh wa Dar es Salaam
akiwarudisha nyuma enzi za baba
yake Sheikh Ali, Sheikh Mzee
Comorian kwa sababu Sheikh
Ali Comorian alisoma dua za
mashairi alizotunga marehemu
b a b a ya k e . H a ya ya l i k u wa
mashairi aliyotunga Sheikh Mzee
Comorian zaidi ya miaka 50
iliyopita na yalichapwa kwenye
kitabu. Jina la kitabu limenitoka
lakini nakumbuka kitabu kilikuwa
na picha yake kavaa joho na
kafunga kilemba.
Nimewahi mara nyingi
kumuuliza Sheikh Ali kuhusu
kukichapa kitabu kile ili watu
wa hivi sasa wanufaike nayo.
Bahati mbaya hadi leo kitabu kile
hakijachapwa.
Mimi binafsi ingawa umri wetu
ulikuwa sawa na mchezo wetu
ulikuwa mmoja, mimi siku zote
nikimpa heshima Sheikh Ali
kwa ajili ya elimu yake ya dini.
Sheikh Ali Comorian alimaliza
elimu ya sekondari Kinondoni
Muslim School, wao wakiwa

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Hakika kwake tumetoka


Kwake ni marejeo yetu
Sheikh Ali Mzee Comorian ametangulia Barazak

wanafunzi wa mwanzo kabisa.


Sheikh Ali Comorian alisoma
Shule ya Kinondoni darasa
moja na mwanamuziki maarufu
marehemu Marijani Rajab.
Katika mazishi ya Marijani
Rajab, Ali Mzee Comorian ndiye
aliyeongoza shughuli ile na akatoa
taanzia nyumbani kwa marehemu
na kusoma dua makaburi ya
Kisutu. Nakumbuka shule ya
Kinondoni ilijengwa na East
African Muslim Welfare Society
na ilimalizika mwaka wa 1967 na
wanafunzi wa mwanzo walianza
kusoma katika madarasa ya Al
Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika,
Mtaa wa Lumumba na shule ya
Kinondoni ilipomalizika ndiyo
wakahamishiwa huko.
H i l i n a l i k u m b u k a v ye m a
kwa kuwa rafiki yangu Juma
Hassan Heri, alikuwa mmoja wa
wanafunzi walioanzisha Shule
ya Kinondoni, nami nilikuwa
nikimfuata pale Al Jamiatul
Islamiyya Muslim School, mimi
nikiwa bado niko shule ya msingi.
Juma Heri alikuwa na kipaji cha
hali ya juu sana katika mpira. Hiki
ndicho kitu kilichotuunganisha.
Wakati huo tukicheza club yetu
tuliyoipa jina Everton na tukivaa
jezi za bluu kama Everton yenyewe
ya Uingereza. Hii Everton ndiyo
baadae ikajabadilisha jina na
kuwa Saigon.
Ali Mzee Comorian, hakuwa
katika kundi lile la akina Juma
Heri, nadhani yeye aliingia
mwaka uliofuatia mwaka 1968.
Rafiki yangu Juma Heri baada ya
kupoteana miaka mingi nikaja
kusikia kuwa alihamia Marekani
na huko amefariki miaka michache
iliyopita.
Baada ya elimu ya sekondari,
Ali Comorian alijikita zaidi
katika elimu ya dini na kwa ajili
hii akaingia katika orodha ya
Masheikh vijana katika mji wetu.
Wakati mimi na akina Hassan
Heri tukiwa tumeshughulishwa
na kucheza mpira viwanja vya
Mnazi Mmoja na Jangwani
pamoja na sahib kipenzi wa Ali
Comorian, marehemu Ahmada
Digila ambaye na yeye alikuwa
mtoto wa Sheikh maarufu, Sheikh
Digila, Ali Comorian yeye alikuwa
katika Msikiti wa Badawy ambako
Sheikh Hassan bin Amir akitoa
darsa.
Hapo Ali Comorian akiwa
na umri wa kiasi cha miaka 14
hakuwa mbali na jicho la baba
yake ambaye alikuwa katika
darsa alilokuwa akisomesha
Mufti Sheikh Hassan bin Amir.
Ali Mzee Comorian alikuwa
katika makuzi ya namna hii. Hili

utaliona kwa Sheikh Ali Comorian


jinsi alivyokuwa anazijua kasda
na nyiradi nyingi zilizokuwa
zikisomwa pale Badawy. Hivi sasa
Badawy inaitwa Masjid Rawdha.
Sheikh Ali Comorian alikuwa
akimpenda sana Sheikh Said
Omar Abdallah, kwa jina
lingine Mwinyibaraka. Kila
Mwinyibaraka akija Dar es
Salaam kutoka Ngazija yeye
alikuwa ubavuni kwa Sheikh
Mwinyibaraka. Mwinyibaraka
alikuwa katika marafiki wakubwa
wa baba yake. Katika miaka ya
mwishoni 1970 kuelekea 1980,
Mwinyibaraka alikuwa akipenda
kuja Dar es Salaam akitokea
Ngazija na kutoa darsa zake Mtaa
wa Pemba, nyumbani kwa Mama
Nuru.
Kwa kawaida Mwinyibaraka
alikuwa akija kuzungumza
Msikiti wa Manyema ambako
pale alikuwapo Sheikh Aboud
Maalim. Lakini akiwa katika
mapuziko nyumbani kwa Mama
Nuru, Mwinyibaraka alikuwa
anapenda kufanya darsa na vijana
wa mtaani. Huu ulikuwa uradi wa
Mwinyibaraka hadi anafariki.
Sheikh Ali Comorian alikuwa
mmoja wa wanadarsa hili na
alisaidia sana kulistawisha kwani
alilitangaza kwingi kwa vijana
wenzake na wengi walipendezewa
na yale ambayo waliwakuwa
wakiyasikia kutoka kwa Ali Mzee
Comorian, kwa hivyo walivutiwa
na wao wakaja katika darsa. Ali
Mzee Comorian alichukuliwa
sana na Mwinyibaraka kiasi ikawa
anamuiga hata uzungumzaji wake
na uwasilishaji wake wa mada.
Marehemu Sheikh Kassim Juma
na Masheikh wengine wa kizazi
kipya walijaribu sana kumuiga
Mwinyibaraka lakini katika watu
waliokuwa wanampatia sana
Mwinyibaraka ni Sheikh Ali
Mzee Comorian, labda hii ni kwa
kuwa Ali Mzee akijua vyema
Kiingereza na Mwinyibaraka,
msomi wa Chuo Kikuu Cha
Oxford Uingereza, kwake yeye
haikuwa taabu kufanya rejea
kutoka vitabu vya Kiingereza kwa
lugha ya Kiingereza kisha ndipo
akafanya tafsiri.
Basi kwa kuwa Ali Mzee alikuwa
na kipaji cha kuzungumza na
akifuata nyayo za ''mentor'' wake
Mwinyibaraka, kwa hakika Ali
Mzee Comorian akizungumza
utapenda aendelee kuzungumza
na hutochoka kumsikiliza,
sikwambii akiwa anasoma dua
kwa mashairi. Mwinyibaraka
alimpa Ali Mzee Comorian
ijaza ya kusimamia ile zawiyya
nyumbani kwa Mama Nuru na

SHEIKH Ali Mzee Comorian.


hapo pakawa kituo cha watu
wa kheri kwa miaka mingi hadi
Mama Nuru alipohama hapo
na zawiyya ikahamia Mission
Quarters nyumbani kwa kijana
mwingine mwanadarsa Sheikh
Abdulswamad.
Sheikh Ali Comorian alianzisha
kundi lililo maarufu katika
shughuli za Kiislam na alilipa
jina Habib Rasul - Wapenzi wa
Mtume SAW. Sheikh Ali Comorian
ndiyo mtunzi wa kasda maarufu
ambayo inasomwa na karibu
vyuo vyote Dar wa Salaam. Kasda
hii inaitwa ''Haya Tumpendeni
Mtume Rasul,'' .
Sheikh Ali Comorian katunga
kasda nyingi sana ambazo leo ni
maarufu katika radio za Kiislam
na katika masikio ya wengi na
zote hizo mashairi yake yalikuwa
katika kumsifu Mtume (SAW.)
Rafiki yangu, ndugu yangu
Farouk "Encyclopedia'' Hussein
kaniletea ujumbe wa Whatsapp
akisema kwa masikitiko,
"Abu Faraj, Dar es Salaam
imeondokewa..."
Hakika kwa kifo cha Sheikh Ali
Mzee Comorian Dar es Salaam
imepungukiwa katika hesabu
zake.
Sheikh Ali Comorian amefariki
katika mwezi huu wa Mfungo
Sita, ambao sehemu nyingi hasa
hapa Dar es Salaam Maulid
husomwa kusherehekea mazazi
ya Mtume (SAW). Waislam
watakaohudhuria hafla hizo bila
shaka watamkumbuka Kipenzi
cha Mtume Sheikh Ali Comorian
kwa kuwa hivyo ndivyo
vilikuwa viwanja vyake na zaidi
watakapoisikia kasda yake, "Haya
Tumpende Mtume Rasul.''
Hakika kwake tumetoka na
kwake ni marejeo yetu.
Allah amghufirie ndugu yetu
Sheikh Ali Mzee Comorian
dhambi zake na amtie peponi.
Amin.

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Askofu ahusishwa na Boko Haram


Na Omar Msangi

UTATA juu ya nani Boko


Haram, nani mfadhili wao
na wapi wanapata silaha,
unazidi kuwa changamoto
na kitendawili kikubwa
chenye kuwachanganya
Wanigeria.
Hii ni kufuatia
kukamatwa kwa ndege
binafsi ya mchungaji Ayo
Oritsejafor, Afrika Kusini
ikiwa na fedha kiasi cha
Dola milioni kumi (US $10
million in cash) kwa ajili ya
kununulia silaha.
Mchungaji Ayo
Oritsejafor, ambaye ni Rais
wa Chama cha Wakristo
Nigeria, yaani Christian
Association of Nigeria
(CAN), kwa muda mrefu
amekuwa akitoa kauli za
kichochezi akisema kuwa
Waislamu ni Boko Haram
na Boko Haram hao
wamekuja kuangamiza
Ukristo na akitaka serikali
ya Nigeria na jumuiya
ya kimataifa kuchukua
hatua za kuwadhibiti
Waislamu ili kuwahami
na kuwanusuru Wakristo
wa Nigeria.
Sasa inapokuwa
n d e g e ya m c h u n g a j i
huyo inakamatwa katika
harakati za kununua
silaha, watu wanauliza,
silaha hizo ni za nini?
Je, ni za kupambana na
Boko Haram au ndio
zinazotumika kufanya
uhalifu na mauwaji kisha
ikadaiwa kuwa ni Boko
Haram?
Kundi moja la kisiasa,
B u h a r i Va n g u a r d ,
linatuhumu kuwa
huenda mchungaji huyo
a n a t u m i wa k u n u n u a
silaha kwa ajili ya makundi
ya kihalifu na magaidi
wanaoleta vurugu
Kaskazini mwa Nigeria na
Niger Delta, ili kuvuruga
uchaguzi mkuu mwaka
huu 2015.
Na wanaendelea
kutuhumu kuwa ile kuwa
Oritsejafor, ni rafiki wa
karibu wa Rais Goodluck
Jonathan na kwamba ndege
yake ilitumika wakati
serikali ina ndege zake
na Jonathan mwenyewe
ana ndege nyingi binafsi,
kuna maswali mengi ya
kutia wasiwasi, ni kwanini
mchungaji anunue silaha
kwa siri kinyume na sheria
za kimataifa.
Comrade Jasper
Azuatalam, ambaye ni
Mwenyekiti wa Buhari
Va n g u a r d , a n a s e m a ,
njia pekee ya kumtoa

Atuhumiwa kuwanunulia silaha za kivita


Ndege yake yakamatwa Johannesburg
Ilikuwa na mamilioni ya Dola za manunuzi

RAIS Goodluck Jonathan (mwenye pama) akiwa na Mchungaji Ayo Oritsejafor


(kushoto kwa Rais).
mchungaji Oritsejafor, akamatwe na kufikishwa kununua silaha.
na kashfa hii pamoja mahakamani pamoja na
CAN President,
n a R a i s J o n a t h a n , n i wale wa-Nigeria wawili Oritsejafor, admits ownership
kuruhusu uchunguzi wa waliokamatwa Afrika of cash-stacked jet seized in
wazi na mchungaji huyo Kusini katika harakati za South Africa, ni kichwa

Boko Haram Wakristo

K A B L A ya t u k i o l a
kukamatwa ndege ya
mchungaji Ayo, yapo
matukio kadhaa ambayo
ndio msingi wa wasiwasi
w a Wa i s l a m u k u w a
wapo watu wanatumiwa
huku serikali ikijua.
Moja ya matukio hayo
ni lile la Gombe. Katika
tukio hilo watu kadhaa
waliwamininia risasi
waumini wa kanisa la
Gombe Deeper Life Church,
na ikatangazwa kuwa
Boko Haram wamedai
kuhusika. Lakini
muda mfupi baadae
ikafahamika kuwa
waliohusika walikuwa
ni watu kutoka kabila
l a I g b o , Wa k r i s t o .
Baada ya taarifa hizo
kuzagaa watuhumiwa
w a l i o k a m a t w a
katika eneo la tukio
wakahamishwa kutoka
Gombe wakapelekwa
Abuja na toka wakati

huo hakuna taarifa


iliyotolewa na mamlaka
husika nini imekuwa
hatma ya wauwaji hao
waliodaiwa awali kuwa
ni Boko Haram.
Muda mfupi tu baada ya
mauwaji ya Gombe Deeper
Life Church, wakakamatwa
vijana wawili Hassan
Ojudu na Samaila Yakubu,
wote Wakristo wakiwa
na gari iliyosheheni
silaha na milipuko ya
uzito mbalimbali. Na
hiyo ilikuwa ni baada ya
shambulio katika hafla
moja ya starehe (fiesta)
katika mji huo. Hawa
nao baada ya kufahamika
kwa wananchi kuwa ni
Boko Haram Wakristo,
wa k a p e l e k wa A b u j a .
Stori ikaishia hapo.
Tu k i o l a t a t u k wa
mfuatano, ni lile la
k u k a m a t wa wa u m i n i
wanane wa Kanisa la
COCIN tawi la Miya-

Barkatai katika Jimbo la


Bauchi. Katika tukio hili
alikamatwa mtuhumiwa
mmoja hapo hapo akiwa
kavaa sare za jeshi. Hata
hivyo akatambulika kuwa
ni mmoja wa waumini wa
kanisa hilo, na hakuwa
mwanajeshi ila alivaa nguo
bandia za jeshi. Pamoja na
kilio cha wananchi kuwa
watu hao wafikishwe
mahakamani sheria
ichukue mkondo wake,
lakini lilimalizwa kimya
k i m y a . Wa c h a m b u z i
wa mambo wanasema
k u wa l a u wa t u wa l e
wangefanikiwa
kulipua kanisa, basi
kilichokusudiwa ni
kuamsha hasira za
Wakristo wa eneo hilo
kuvamia Waislamu walio
jirani katika kijiji cha Jos,
Plateau State na kuwauwa
kwani ingetangazwa kuwa
Inaendelea Uk. 10

cha habari kilichopamba


vyombo vingi vya habari
vya Nigeria baada ya ndege
ya mchungaji Oritsejafor
kukamatwa Afrika Kusini
katika harakati za kununua
silaha.
Seized $9.3 million:
Nigerian governments
explanations flawed South
Africa, ni kichwa kingine
cha habari, serikali ya
Afrika Kusini ikieleza
kuwa maelezo ya serikali
ya N i g e r i a k u m t e t e a
mchungaji huyo na kutetea
zoezi zima la kununua na
kusafirisha silaha kinyume
cha sheria na taratibu
hayajitoshelezi.
Katika kumtetea
mchungaji huyo na kutaka
ndege yake pamoja na
pesa viachiliwe, serikali
ya Nigeria ilisema kuwa
inajua mpango wa
kununua silaha hizo na
ikapeleka nyaraka Afrika
Kusini inayoainisha silaha
zilizokuwa zinunuliwe.
Hata hivyo serikali ya
Afrika Kusini ilikuja juu
ikihoji tangu lini serikali
ikanunua silaha kupitia
kwa mchungaji na kwa nini
pesa ziliingizwa nchini
Afrika Kusini kinyemela
wakati ni kinyume cha
sheria.
L a k i n i p i a n ya r a k a
iliyotolewa na serikali
juu ya uagizaji wa silaha
(invoice) inaelezwa
kutoendana na siku za
kufika pesa kiasi kwamba
haiyumkini iliandaliwa na
ikafuata taratibu ndio pesa
zikatumwa.
Kinachoonekana ni
kuwa serikali ya Nigeria
iliandaa nyaraka hiyo
kumlinda mchungaji
Ayo, lakini katika haraka
ikashindwa kuwianisha
k i t a a l a m u t a r e h e ya
invoice na muda wa
kufika pesa na wanunuzi
Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa sheria
za Afrika Kusini, mtu
akiingia au kuondoka,
haruhusiwi kubeba pesa
zinazozidi US$2,300 bila
ya k u z i o n y e s h a k wa
mamlaka husika zikiwa
na maelezo ya kuthibitisha
matumizi yake.
K wa u p a n d e wa k e
mchungaji Ayo Oritsejafor,
amejitetea akisema kuwa
hajui chochote juu ya
silaha hizo kwani alikuwa
ameikodisha ndege yake
kwa kampuni aliyoitaja
kwa jina la Eagle Air
Company.
Hata hivyo taarifa
Inaendelea Uk. 10

Makala

9
Na Omar Msangi
UTAONA mtu kakaa
katika kijiwe cha kamari
ya karata tatu, akili yake
ikimtuma kuwa pale
ni mahali pa kutokea.
Atapata pesa aondokane
na dhiki aliyo nayo. La
uhakika kwa mtu kama
yule ni kuwa pamoja na
dhiki yake, lakini shida
yake kubwa zaidi ni
umasikini ulio kichwani.
Amekosa hata ile akili
ndogo tu ya kumsaidia.
Labda kama ndio
kwanza kaingia mjini
kutoka shamba ambapo
hakuna utapeli wa aina
mbalimbali, unaweza
kusema kuwa anaponzwa
na ushamba wake.
Wiki iliyopita
tuliarifiwa kuwa mtu
mmoja amekuwa akipita
katika Misikiti ya Songea
akichangisha fedha za
kununulia silaha-bunduki
na risasi. Taarifa zinasema
kuwa mtu huyo akiwaahidi
waliokuwa wakimsikiliza
katika baadhi ya misikiti
k wa m b a wa k i c h a n g a
pesa angenunua silaha
na kwamba angewasaidia
kwenda Somalia na
Syria kupigana Jihad.
Inaelezwa kuwa katika
msikiti mmoja zilichangwa
shilingi 55,000 akaondoka
nazo akiwaahidi
waliochanga kuwa
a n a k w e n d a Tu n d u r u
halafu atawarudia kwa
mipango mingine.
Kulikochangwa 55,000
ni msikiti unaitwa kwa
utani Faradhi Kifaya,
kwa sababu kuna kaburi
katika Msikiti huo.
Na vijana wa Ansaar
wanaubeza. Inaelezwa
kuwa ilitokea kuwa katika
Msikiti unaopendwa na
vijana, Imam akakataa
kumpa fursa mchangishaji
yule wa fedha za tasbihi.
N a e l e z wa k u wa s a s a
vijana wanasema kumbe
Faradh Kifaya, ndio
msikiti wa harakati. Huu
wa Sunna hauna kitu.
H e b u k wa a k i l i ya
kawaida tu tuulizane,
tunawaweka katika kundi
gani wale waliohamasika
na ku chang a sh ilin g i
55,000! Tunawatathmini
vipi hawa wanaokuja juu
kumshutumu Imam wao
kuwa kakataa msikiti wake
kutumika kuchangisha
fedha za kununulia silaha
za kutumika kinyume na
Uislamu na kinyume na
sheria za nchi!
Hivi hata ile akili ya
kawaida tu ya kutambua
utapeli wa ki-mjini
wa t u h a wa h a wa n a ?
Hivi wana tofauti gani
n a wa l e wa n a o c h e z a
karata tatu wakidhania

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Kiroja cha kutoka


kupitia karata tatu

Hii ya Songea ni Entrapment au utapeli tu?

vibaka wale wachezesha


karata tatu wana pesa za
kuwatajirisha!
Kwa kila mwenye akili
ndogo tu ya kumsaidia
yeye mwenyewe, atajua

IGP Ernest Mangu.


kundi gani la kuwaweka
watu kama wale. Kama
lipo la kutushughulisha,
basi itakuwa kwa huyu
mchangishaji. Je, ni
tapeli tu wa kawaida

kama wale wachezesha


karata tatu au ni mtego
wa kuwakamatisha na
kuwaletea balaa Waislamu
(entrapment)?
Wa t u w a n a j i u l i z a ,

Kweli, dini yaweza kuwa bangi la kupumbaza watu

Usijibu swali lolote. Usikubali mjadala

K AT I K A k a n d a m o j a
inayopatikana katika
mtandao, anayedaiwa
kuwa kiongozi wa Boko
Haram, Abubakar Shekau,
amejirekodi na kutoa
ujumbe kwa Waislamu
na watu wa Nigeria kwa
ujumla. Katika sehemu moja
anasema hivi:
In every nation, in every
region, (they) now have a
decision to make. Either you
are with us, I mean we are
Muslims who are following
Salafi foot steps, or you are with
Obama, Francois Hollande,
George Bush, Clinton. I forget
not Abraham Lincoln.
Ban Ki-moon and his people
generally, and any unbeliever,
kill, kill, kill, kill, kill,This war
is against Christians, I mean
Christians generally.
Na katika kanda nyingine
akiwa kashikilia bunduki
la kizamani la kutungulia
ndege, anasema kuwa hii
elimu ya shule ni haramu.
Ukitizama picha hiyo na
sauti zinazosikika za Takbiir,
jambo moja ni la uhakika.
Kanda hiyo ni usanii.
Kwanza sauti za takbira
zinazosikika, hazitolewi na
watu wanne waliomzunguka.
Zimerekodiwa kwingine

na kupachikwa. Pili,
anachosema anaonekana
kabisa sio chake. Kaandikiwa
na kutakiwa some.
Unamwona anavyopata tabu
kusoma aya za Quran na
maandishi ya Kiarabu katika
makaratasi aliyoshika.
Kwa aya chache
anazozisoma, ilitarajiwa
kuwa kwa mtu kama
yeye anayetajwa kuwa ni
kiongozi wa Mujahidina
wa kusimamisha Kitabu na
Sunnah, Nigeria, asipate
tabu kutafuta msahafu
au kuziandika mahali
asome. Lakini unamwona
anavyopata tabu kutamka
herufi za Kiarabu au vipande
vya aya hizo.
Lakini pia ukimtizama
na jinsi anavyoyumbishwa
na ile bunduki anayojaribu
kuifyatua huku akipiga
takbiira. Inaonyesha kabisa,
si mtu wa kushika bunduki.
Kinachodhihiri ni kuwa huyu
ni mtu tu Bogey man kwa
jina la Abubakar Shekau
ambaye hutumika kupiga
picha na kutoa kauli za
propaganda.
Muhimu zaidi katika
video hii ni pale anaposema
kuwa vita hii ni dhidi ya
Wakristo wote. Ikitanguliwa

na kibwagizo kill, kill,


kill kwa maana ya uwa,
uwa, uwa. Uwa nani? Uwa
Wakristo. Hii haiwezi kutoka
kwa Muislamu au mzalendo
kutoka Nigeria. Ni kazi ya
mawakala na washenga
wa ajali wanaotaka kuleta
machafuko Nigeria kama
tutakavyoona punde.
Toka zimeanza hizi
harakati za Boko Haram,
kumekuwa kukipigwa
propaganda ambazo
wachambuzi wengi wa siasa
za kimataifa wanasema kuwa
lengo lake ni kuisambaratisha
Nigeria kwa kupandikiza
chuki na machafuko ya
kidini.
Pamoja na taasisi
nyingi za kidini kutajwa
kutumiwa
katika
propaganda hii, mtandao
mmoja unaoendeshwa
kutokea Marekani, Jimbo la
Kansas, umetajwa kufanya
propaganda mbaya zaidi.
B i b l e 4 A f r i c a we b s i t e :
Spreading the Bible or spreading
the seed of hate and discord in
Africa?
N i m o j a ya m a s wa l i
yaliyoulizwa katika mitandao
ya kijamii baada ya website
hiyo kusambaza taarifa mbali

Inaendelea Uk. 11

inakuwaje mtu asimame


msikitini, ahimize watu
kumiliki silaha, lakini pia
awahimize na kuwaahidi
kwamba atawapitisha
mipakani kwenda
kupigana Somalia, afanye
hivyo msikiti wa kwanza,
wa pili, wa tatu, na iwe
shwari tu! Tena kipindi
chenyewe hiki ambapo
yanasikika matukio ya
k u t i s h a ya n a y o d a i wa
kufanywa na Al Shabaab
kule Kenya, lakini katika
kipindi pia ambapo
kuna watu wengi wapo
mikononi mwa vyombo
v ya d o l a k a t i k a k i l e
kinachoelezwa kuwa ni
operesheni ya kupambana
na watuhumiwa wa ugaidi!
Kumekuwa
na
propaganda kubwa hasa
b a a d a ya k u i n g i a I S ,
kuhamasisha vijana wa
Kiislamu kuwa na fikra
za kwenda kujiunga na
IS. Ziko taarifa nyingi
zinapatikana katika
mtandao ambapo
inaonyeshwa kuwa kuna
vijana kutoka Ujerumani,
Uingereza, Ubelgiji,
Marekani na Canada,
wamekwenda wapo Syria
wanapigana bega kwa
bega na IS kusimamisha
Islamic State. Taarifa kama
hizi hapana shaka ndio
msingi wa harakati hizi
za watu wanaozunguka
misikitini na walio na
kambi katika baadhi ya
misikiti katika baadhi ya
mikoa wakihamasisha
umiliki wa silaha na utayari
wa kwenda kupigana.
Ambalo lipo wazi katika
kampeni na propaganda
hii ni kuwa walioibuni
na wanaoiendesha,
wanachokusudia sio
kupata watu wa kwenda
kupigana Syria au
Somalia, bali kupandikiza
vitendo vinavyoweza
k u wa u s h a h i d i k u wa
kuna ugaidi ili kufanikisha
harakati za vita dhidi ya
ugaidi katika nchi husika.
IS wala wanaowafadhili
IS, hawahitaji wapiganaji
kutoka Mwanza,
Sumbawanga, Songea wala
Mombasa. Wanachotaka ni
kupata matukio ya kuwa
sababu ya kuingia kama
walivyoingia Iraq, Libya
na Syria. Wanachotafuta, ni
kupata watu watakaofanya
vitendo vya kuwa sababu
ya wao kuingia na
kufanya yale wanayofanya
Pakistan, Yemen na Kenya.
Wanachotaka ni kupata
watu watakaokuwa sababu
ya nchi kuharibikiwa
kama ilivyo haribikiwa
Somalia na inavyoelekea
kuharibikiwa Nigeria.
US steps up Pakistan
Inaendelea Uk. 11

10

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Askofu ahusishwa na Boko Haram


Inatoka Uk. 8
zaidi zinaonyesha kuwa
mchungaji Oritsejafor, ni
mmoja wa wahusika wa
kampuni hiyo.
Waliokamatwa wakiwa
na ndege hiyo (Bombardier
Challenger 600,
Registration No N808HG)
iliyokamatwa ikiwa katika
uwanja wa ndege- Lanseria
International Airport,
Johannesburg, Septemba
5, 2014, ni raia wawili
wa Nigeria na Muisraili
mmoja.
South Africa busts
another secret Nigeria arms
deal, seizes $5.7 million,
ni kichwa cha habari
cha gazeti la Premium
Times la Oktoba 6, 2014,
likieleza kuwa wiki tatu
tu baada ya kukamatwa
kwa ndege ya mchungaji
Ayo, maofisa wa Afrika
Kusini walikamata tena
kiasi kikubwa cha pesa
kilichoingizwa Afrika
Kusini kutoka Abuja kwa
lengo lile lile la kununua
na kusafirisha silaha
kinyemela.
Kwa mujibu wa taarifa
iliyotolewa na gazeti la
Afrika Kusini, City Express,
fedha zilizokamatwa ni
kiasi cha Dola milioni 5.7
(US$ 5.7 million).
Mamlaka ya kiserikali
ya Afrika Kusini
inayohusika na kukamata
na kutaifisha mali haramu,
South Africas Asset
Forfeiture Unit iliyo chini
ya National Prosecuting
Authority (NPA) ilieleza
kuwa ilikamata fedha hizo
Dola 5.7 million (sawa na
N952 million) kwa kuwa
ziliingizwa nchini humo
kinyume cha sheria.
NPA, Imeeleza kuwa
pamoja na kukamata
fedha hizo, ilikamata pia
nyaraka ambayo ilikuwa
ikionyesha aina ya silaha
zilizokuwa zinunuliwe.
Kwa mujibu wa taarifa
ya gazeti la City Express,
ilikuwa ni raia wa Israel,
aliyetajwa kwa jina la
Eyal Mesika, aliyekuwa
ameshikilia ufunguo
(mchanganyiko wa namba
za kufungulia) sanduku
iliyokuwa na fedha hizo.
Kupatikana kwa taarifa
hizo kumeibua hasira,
wasiwasi na mjadala mkali
katika sekta tofauti za
kijamii, hasa ikizingatiwa
kuwa hali Nigeria si shwari
kufuatia mashambulizi
yanayodaiwa kufanywa na
Boko Haram, huku kukiwa
na kitendawili ambacho
h a k i j a t e g u l i wa k u wa

RAIS Goodluck Jonathan (katikati) na Mchungaji Ayo Oritsejafor (kushoto).


silaha kali wanazotumia wa kawaida na taasisi w a k i t a k a u c h u n g u z i
zinapatikana kutoka wapi m b a l i m b a l i z i s i z o z a m a k i n i u f a n y i k e i l i
na nani anayezipitisha kiserikali na za kiserikali, ijulikane inakuwaje ndege
mpaka ziwafikie.
Maaskofu wa Kikatoliki ya Rais wa Christian
U k i a c h a w a n a n c h i n a o w a m e k u j a j u u Association of Nigeria,

Boko Haram Wakristo


Inatoka Uk. 8

wanaohusika ni Waislamu
wa kabila la Hausa/Fulani
(Boko Haram) kutoka Jos.
Hili liunganishe na yale
matukio yaliyoshindwa
moja likiwa lile Miss Lydia
J o s e p h a l i ye k a m a t wa
akitaka kuchoma moto
Kanisa la Kikatoliki, St.
John Catholic church katika
mji wa Bauch na lile la
Emmanuel King aliyevalia
kanzu kofia na kilemba
kama Muislamu halafu
akakamatwa akifanya
jaribio la kuchoma moto
kanisa la Redeemed Christian
Church of God la Yenagoa
ambao ni mji mkuu katika
Jimbo la Bayelsa.
Katika mlolongo huu wa
kupanga matukio na kisha
kuwasukumizia Boko
Haram, katika orodha lipo
lile jaribio la Madam Ruth
kutaka kulipua kwa bomu
kanisa la ECWA church,
eneo la Kalarin, Kaltungo
katika Jimbo la Gombe.
Jumapili, Februari 19, 2012
watu wanne walikamtwa
wa k i wa n a m i l i p u k o
wakitaka kulipua Kanisa
Katoliki- St. Theresas
Catholic Parish, High-level,

Makurdi Jimbo la Benue.


Taarifa ya msemaji wa
jeshi la polisi- Police Public
Relations Officer (PPRO)
Afan de Ala ribe Ejik e
kama ilivyonukuliwa na
gazeti la LEADERSHIP
la Jumatano, Februari
22, 2012 ukurasa wa 10
ikasema na kusisitiza
kuwa watuhumiwa wote
ni Wakristo na hivyo sio
Boko Haram, kama taarifa
zilivyokuwa zimeanza
kuzagaa. Hata hivyo,
pamoja na ahadi ya Afande
Ejike kuwa wanafanya
uchunguzi na kuwafikisha
mahakamani vijana hao,
hadithi iliishia hapo hapo.
Hakuna aliyefikishwa
mahakanai na kila watu
wa l i p o u l i z a , h a k u n a
taarifa iliyotolewa kutoka
vyombo husika.
Januari 11, 2012
walikamatwa watu wawili,
Sunday Eze kutoka Jimbo
la Anambra na Samuel
Taiwo kutoka Jimbo la
Ogun pamoja na watu
wengine watatu ambao
walitambulika kuwa ni
raia wa Ghana. Watu
hawa walikamatwa
Ghana wakiwa na lori
lililosheheni silaha

ambapo taarifa ya vyombo


vya dola vya Ghana ya
Mach1 27, 2012 ilisema
kuwa silaha hizo ilikuwa
zikipelekwa Nigeria kwa
lengo la kufanyia vitendo
vya kigaidi. Taarifa hiyo
ilitolewa kama hoja ya
kupinga dhamana kwa
watuhumiwa hao ambao
wote walikuwa Wakristo
(Tazama gazeti la Nigeria,
DAILY TRUST la Jumatano,
Mach1 28, 2012 ukurasa
wa 3. Mpaka leo Wanigeria
wanajiuliza, zile silaha
zilikuwa zikipelekwa kwa
kikundi gani cha kigaidi?
Nani aliwatumia vijana
wale kuleta silaha hizo?
Tukio hilo lilifuatiwa
na lile la Aprili 10, 2012
ambapo mtu mmoja
aliyetambuliwa kwa
jina la Monday Davou
alikamatwa akitega
bomu- Improvised Explosive
Device (IED) au time
bomb katika soko la kila
wiki la mji wa Makera
eneo la Riyom, Jimbo la
Plateau. Kama matukio
mengine, tukio hili lilipita
bila ya kutolewa maelezo
ya kueleweka wala
kuonekana mtuhumiwa
Inaendelea Uk. 14

CAN, mchungaji Ayo


Ortisejafor, ihusike katika
ununuzi wa silaha haramu.
Wakati huo huo, taasisi
mbalimbali za Kiislamu
zimefahamisha kuwa,
kukamatwa kwa ndege ya
mchungaji Ayo na kiwango
kikubwa cha fedha katika
harakati za kununau
silaha, japo si ushahidi wa
moja kwa moja, lakini kuna
muunganiko mkubwa na
maswali mengi, yanaibuka
ikiunganishwa na matukio
ya nyuma ambapo
walishakamatwa vijana
wa Kikristo ama wakilipua
au wakijaribu kulipua
shabaha za Kikristo
halikadhalika wale
wa l i o k w i s h a k a m a t wa
wakiwa na silaha.
Wasiwasi unaojengeka
ni kuwa huenda silaha hizo
ndio hupewa wahalifu na
mamluki ambao hufanya
mashambulizi na kisha
kufanya Crusade ya
propaganda kuwasingizia
Boko Haram, ambao
hata hivyo hawajulikani
ni akina nani kwa lengo
la kuchochea hasira na
hujuma dhidi ya Waislamu
kitaifa na kimataifa.
Mkurugenzi wa Muslim
Rights Concern (MURIC)
Professor Ishaq Akintola
katika taarifa yake kwa
vyombo vya habari
amesema kuwa hii ni
kashfa kubwa ambayo
haiwezi kuachwa ikapita
hivi hivi bila ya kutolewa
maelezo ya kina na hatua
za kisheria kuchukuliwa.
Katika taarifa hiyo
aliyoipa kichwa cha habari:
The Muslim Rights Concern
(MURIC) is alarmed by this
scandalous development,
Profesa Ishaq Akintola
anasema kuwa mchungaji
Ayo anajulikana kwa chuki
zake dhidi ya Waislamu,
lakini anajulikana pia kwa
kauli zake za kuwapakazia
Waislamu vitendo vya kiBoko Haram, na kuvitumia
kama sababu ya kutaka
Waislamu wahujumiwe
kitaifa na kimataifa.
Lakini pia anasema
kuwa linaloongezeka hapo
ni kuwa mchungaji Ayo
ni mtu wa karibu sana na
Rais Jonathan wakiwa wa
kabila moja.
Sasa inapokuwa katika
hali ambapo Nigeria watu
wa dini kuu mbili-Uislamu
na Ukristo, wapo katika
hali ya uhasama, halafu
mchungaji wa wasifu huo
anahusishwa na ununuzi
haramu wa silaha, jambo
Inaendelea Uk. 14

11
Inatoka Uk. 9
drone murders amid
c r a c k d o w n o ve r s c h o o l
attack, ni moja ya vichwa
vya habari mapema
wiki hii ikielezwa jinsi
Marekani ilivyozidisha
mashambulizi yake ya
drone Pakistan ambapo
mpaka sasa mamia
k wa m a e l f u ya wa t u
wameuliwa. Katika tukio
moja la mwisho wa wiki
iliyopita, watu wanane
waliuliwa yaliporushwa
makombora mawili
kule Waziristan katika
mpaka wa Pakistan na
Afghanistan. Pamoja na
kuwa Umoja wa Mataifa,
UN, umekuwa ukilani
mashambuilizi hayo
kwamba yanakiuka sheria
za kimataifa na kwamba
yamekuwa yakisababisha
k u u l i wa wa t u we n g i
wasio na hatia wakiwemo
watoto wadogo, lakini
Marekani imetia pamba
masikioni. Inaendela. Hadi
sasa watu zaidi ya 2,200
wameshauliwa. Serikali
ya Pakistan imeshindwa
kabisa kuishawishi
Washington kukomesha
mashambulizi hayo.
Ukishaingizwa, kutoka
kazi.
Hiyo ndiyo hali
inayoikuta nchi yoyote
ambayo ishaingizwa katika
mchezo huu wa kifimbo
cheza. Lazima kitisho
kidumishwe ili masilahi
ya kibeberu yaendelee
kupatikana. Kwa upande
m m o j a ya n a y o d a i wa
kuwa mashambulizi ya
kigaidi, mengi yakiwa
na utata kama ule mzaha
(hoax) wa Westgate Kenya,
yataendelea kuwepo, watu
wasio na hatia wanauliwa.
Na kila likitokea
shambulio, halitakosekana
zimwi (bogey man) iwe ni
mtu binafsi au kikundi cha
kigaidi kitakachosemewa
kuwa kimedai kuhusika.
Kwa upande mwingine
mashambulizi ya drone
na kwa njia nyingine,
ya t a e n d e l e a k u w e p o
ikielezwa kuwa ni
kupambana na magaidi.
Wa t u wa s i o n a h a t i a
wanauliwa. Ni mshumaa
unaoungua pande zote
mbili.
Pa k i s t a n i l i y o k u wa
ikipigana kibega na
India kwa kuwa na
kipusa (nyukilia) na kwa
uchumi unaoimarika,
sasa imesambaratishwa
haijulikani hatma yake ni
nini. Nigeria nayo hoi.
Tuseme kuwa kama
wapo watu hapa nchini
wa n a o t u m i wa k a t i k a
kuweka hii mitego
(entrapment), ili ipatikane
sababu ya kuwahujumu

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Kiroja cha kutoka kupitia karata tatu

state-sponsored terror
network operating in EuropeBBC2 1992)
Angalia pia haya
yanayotokea Kenya.
Hebu jaaliya kama kuna
watu walitumika katika
kutekeleza ule mzaha
na danganya toto ya
shambulio la Westgate,
hivi wao watanufaika
vipi Kenya ikizama katika
machafuko yanayoanza
kuchanua yakianza na
matukio kama lile la
kuuwa abiria 29 Wakristo
wakiwa safarini kuelekea
Nairobi?
Kafiri anaitaka Jihad
ya akina Abu Ismail

WAPIGANAJI wa ISIS wakiwa mazoezini.


Waislamu, wafahamu Nicaragua, Ecuador na m a m i a k w a m a e l f u
kuwa watakaoumia sio Chile, zilikuwa zikifanyika y a w a t u w a l i o u l i w a
Waislamu pekee. Lengo False Flag Terror Attacks walikuwa Wakristo wa
sio dini. Dini imeonekana na waliokuwa wakiuliwa m a t a i f a m b a l i m b a l i
kama mlango tu rahisi wa ni maaskofu, watawa ya Ulaya ili kutimiza
kupitia kwa nchi zilizo (masista) na Wakristo malengo ya mabeberu
kama Tanzania, Kenya wa kawaida. Ukirejea (Tazama:'Operation Gladio'
n.k. Kule El Salvador, ile Operesheni Gladio, reveals 'Gladio', the secret

Kweli, dini yaweza kuwa bangi la kupumbaza watu

Inatoka Uk. 9

mbali za uchochezi zikilenga


kuwagombanisha Waislamu
na Wakristo wa Nigeria.
Moja ya taarifa hiyo kama
ilivyonukuliwa na mitandao
mingine ikiwemo, NaijaJive,
ni ile inayowataja baadhi
ya wanasiasa wa Kiislamu
kuwa ama wao wenyewe ni
Boko Haram au ni wafadhili
wa kundi hilo. Miongoni
mwa Waislamu mashuhuri
waliotajwa ni pamoja na
Rais wa zamani wa nchi hiyo
Ibrahim Badamosi Babangida
(IBB) ambaye ni katika
waliojitokeza kugombea urais
katika uchaguzi mwaka huu.
Mwingine ni Meja Generali
Mstaafu Muhammadu
Buhari na mtu mwingine
aliyetajwa kwa jina la Alhaji
Mujahid Asari-Dokubo.
Bible4Africa remains the
only source of two similar,
pungent articles online, written
with a high level intelligence
format, possibly by intelligence
experts or other highly trained
individuals.
Inasema taarifa
m o j a i k i o n y e s h a k u wa
wanaoandika na kusambaza
taarifa hizo ni watu weledi, na
hasa wataalamu wa mambo
ya intelijensia.
Kama nilivyotangulia
kusema, Bible4Africa.com,
ni kikundi ama taasisi ya
kimisheni inayofanya kazi
katika Jimbo la Delta, Nigeria,
lakini yenye makao makuu
yake Wichita, Kansas, USA.
Ukilizingatia hilo, linganisha
habari hizi na ile tahadhari
iliyotolewa na Gordon Duff,
mwaka 2011.

Gazeti la Nigeria,
Tribune la Desemba 30,
2011; lilichapisha makala
iliyoandikwa na Gordon
Duff ambaye ni Mmarekani,
mtaalamu aliyebobea wa
mambo ya usalama (security
specialist), kwa sasa akiwa
mhariri wa jarida, Veterans
Today (US magazine).
Katika sehemu moja ya
makala hiyo, Gordon Duff
anasema kuwa ipo mipango
ya kuisambaratisha Nigeria.
Kwamba, japo Boko Haram,
ilikuwa ni kitu halisi hapo
awali, lakini Boko Haram ya
sasa ni kitu kingine kabisa.
Ni nunda linalotumiwa na
wenye agenda ya kuivuruga
Nigeria. Ni hao hao
wanaowalea Al Qaida, ni
hao hao tena wanaokujia
na mipango ya kupambana
na Al Qaidah, lakini kila
utakavyoitumia, zogo lipo
pale pale.
Akielezea umuhimu wa
Nigeria anasema kuwa kwa
umuhimu wa nchi hiyo
Afrika, kupatikana kwa
utengamano Nigeria, ndio
usalama na utengamano
wa dunia, ila wachache
ndio wanalijua hilo. Lakini
pia, kuivuruga Nigeria, ni
jambo la muhimu kwa kuleta
vurugu na machafuko katika
dunia. Jambo ambalo ni
wachache pia wanaojua.
Pengine kwa hili nisimame
hapa niwaache wale
Watanzania na Waislamu
wenzangu wanaopita huku
na huko wakitangaza kuwa
Boko Haram, ni Mujahidina
wanaopigania kusimamisha
Khilafah, Nigeria, wapime na

kuyazingatia haya.
Lakini labda nigusie tena
jambo moja kwa sababu ndio
katika haya haya matatizo
yanayotukabili ya vita vya
fikra, propaganda na fikra
potofu. Yupo binti moja
kapata fursa ya kwenda
kusoma medicine katika
moja ya Vyuo Vikuu hapa
nchini. Lakini kwa bahati
mbaya kabla ya kuripoti
chuoni akadakwa na mama
mmoja Salafi katika wale
wanaoharamisha takriban
kila kitu (Takfir).
W a l e
a m b a o
wamemsikiliza Abubakar
Shekau akisema Either you
are with us, I mean we are
Muslims who are following
Salafi, or you are with Obama,
Francois Hollande, George
Bush, Clinton. I forget not
Abraham Lincoln.
K wa h i y o , b a a d a ya
kuvutishwa bangi la kiShekau, kwenda chuoni
ikawa mbinde.
Taarifa zinazopatikana
hivi sasa ni kuwa binti huyo
anataka kuacha chuo. Hoja
anayopewa na Ustadha wake,
Salafi Takfir ni kuwa hawezi
kusoma katika mazingira
ya kumuaswi Mungu kwa
sababu anasoma na wanaume
ambao sio maharimu wake.
Kwa akili ya kawaida tu,
na hasa kwa mtu kama yeye
aliyefikia hatua ya kufika
Chuo Kikuu, yapo maswali
machache ambayo yangeweza
kumfungua bongo kama
alikuwa amevutishwa
bangi la kumpumbaza. Mtu

Inaendelea Uk. 13

Turudi kwa wacheza


karata tatu wetu ndani ya
Msikiti Songea, Mwanza
na kwingineko waliko.
Jaaliya wewe ni shabiki
na fanatiki wa IS, unataka
kusimamisha Dola ya
Kiislamu katika nchi
yako na umejiaminisha
au umeaminishwa na
waliokutembelea msikitini
k u wa h u we z i k u p a t a
Khilafah ila kwa silaha.
Kama walivyoambiwa
wa l e j a m a a z e t u wa
Songea, lililo wazi ni kuwa
utategemea kununua
silaha. Lakini huna pa
kununulia, ila utanunua
k wa m a k a f i r i w e n y e
viwanda na makampuni
ya kuuza silaha. Kama
unafikiri kuwa kafiri
atakuuzia silaha za
kusimamisha Uislamu,
kwa hakika hutakuwa
na tofauti na mcheza
karata tatu anayedhania
kuwa umasikini wake
utaondolewa na kibaka
mchezesha karata tatu.
Kibaka ambaye kwa
kukosa namna ya kupata
kipato cha halali, au kwa
uovu wake na kuwa kwake
mbali na haki, ameona njia
pekee ni kuwaibia watu
kwa njia ya kamari. Leo
hata Israel isikie kuwa
Saudi Arabia imenunua
silaha za mabilioni ya
dola kutoka Marekani,
wala haishughuliki kwa
sababu ina uhakika
k wa m b a Wa s h i n g t o n
haiwei kumuuzia
Mwarabu (Muislamu)
silaha za kuwa tishio kwa
Israel. Sana utauziwa
silaha zilizopitwa na
wakati. Unageuzwa kuwa
jalala la kutupia silaha
zilizopitwa na wakati.
Kwa hiyo kinachofanyika
ni kuchukua tu pesa yako
kukupa bidhaa ambayo
haitakusaidia chochote
kama itatokea kukabiliwa
na kitisho cha kuvamiwa
na adui yako, asiye
Inaendelea Uk. 13

12

MAKALA/MASHAIRI

KUMBUKUMBU YA UZAWA WA MTUME (S.A.W) (KUMSIFU SI HOJA!)


Kalamu i mkononi, kunena kwa uchechefu,
Kwa beti zenye mizani, pamwe vina linganifu,
Mada adhimu mezani, ni rasuli kumsifu,
Kumsifuye si hoja, hoja kugeza mwendowe !

Tumejuzwa waumini, zaidi ya maradufu,


Jumamosi nabaini, vyombo vimetuarifu,
Twende Tanga mkoani, Korogwe tukamsifu,
Kumsifuye si hoja, hoja kugeza mwendowe !
Tufikapo maidani, pasipo hata hawafu,
Kwa zumari na maghani, kadhalika na madufu,
Kwa nyenzozo ADINANI, twazuumu kumsifu,
Kumsifuye si hoja, hoja kugeza mwendowe !
Bilhaki kwa yakini, na kwa dhati nakashifu,
Jambo hili silioni, kwenye nususi sharifu,
Si Sunnah yake AMINI, wala Qurani tukufu,
Kumsifuye si hoja, hoja kugeza mwendowe !
Niwombe kwa tamakuni, na kwa mtima kunjufu,
Wenye dalili yakini, za hili waniarifu,
Nitoke upotovuni, niupate uongofu,
Kumsifuye si hoja, hoja kugeza mwendowe !
Mwisho nakushaurini, kwa lengo la uzindufu,
Wahidu wa ishirini, AHZABU muishufu,
Rasuli mtabaini, wa kugezwa si kusifu,
Hoja kumgeza yeye, na wala si kumsifu.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

ADUI YANGU KAFIRI

Wallahi Mungu Mmoja, Allahu nawaambia


Ya haqi dini ni moja, hakika islamiya
Qur-ani yake hoja, aloibeba nabiya
Wallahi mpinga haya, bila shaka ni kafiri
Wallahi asokubali, kuishi kwa qur-ani
Anomkana jalali, na kutunga yake dini
Akajituma kwa hali, kufitini fur-qani
Wallahi huyo kafiri, haitajii fatua
Nalitazameni hili, pitisheni sikioni
Kisha nipeni akili, kama ninyi waumini
Kipikwangu kisawili, nikipe penzi moyoni
Kisha Allah anikiri, kwamba kwake ni mkweli
Isawili Qur-ani, au sura ya kafiri
Kipi niweke moyani, kwa mapenzi kishamiri
Nimpende Rahamani, au aje kadinari
Wallahi semeni kweli, ya penzi la muumini
Hebu semeni yaqini, na inishike akili
Nampendaje kafiri, asompenda Jalali
Anosema Qur-ani, sio kitabu cha kweli
Na kwangu iwe amani, kwa Allah niwe mkweli
Wallahi tena wallahi, na inikwepe kichwani
Na wallahi ni siwahi, kuthubutu akilini
Hata kwa yao sabahi, inikwepe sikioni
Kafiri kwangu aduni, anochukiza moyoni
Anokichukia Allah, vipi mimi nikipende
Alokilaani Allah, vipi nikikumbatie
Champiga vita Allah, nikiachie kishinde
Wallahi katu salama, Amani ni kusilimu
Sikieni makafiri, ninyi ni adui zetu
Wallahi twawakariri, ninyi ni wabaya wetu
Chuki imesha dhihiri, katu hatufichi kitu
Wallahi salama yenu, Aminini Qur-ani
Huu ni wajibu wetu, kukuchukieni hasa
Ninyi kwetu sio watu, sisemi kwa kupepesa
Tumewaita kwa utu, Muje Mola Mtakasa
Wallahi salama yenu, aminini Qur-ani
Yote mumedhihirisha, jinsi musivyotupenda
Mazito na yakutisha, yote mumesha tutenda
Bado chuki mwazidisha, vitimbi na zenu hinda
Wallahi salama yenu, aminini Qur-ani
Hakika mukisilimu, twaweka chini siraha
Tutapitisha hukumu, kwa wale wenyemzaha
Kwa kila muisilamu, aabudu kwa fasaha
Dola tutaitangaza, Qur-ani itawale
Na Abu Nurain al-Tanza

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Muhammad (saw) kiongozi wa ummah

Inatoka Uk.6

Katika Uislamu,
kumiliki mali nyingi
hakuongezi heshima
ya mtu, wala umasikini
haudhalilishi utu
wake. Kweli mali ni
muhimu kwa maisha ya
binadamu, lakini mali
ni njia tu ya kupitia, siyo
lengo kuu la maisha
ya hapa duniani. Moja
ya mafundisho mazuri
ya Uislamu ni amri ya
kuamrisha mema na
kukataza mabaya.
Mema yadumishwe
na mabaya yatupwe.
Kwa ufupi, Uislamu
umejengwa katika
mlolongo
wa
maamrisho na
makatazo. Maamrisho
na makatazo hayo
yamewekwa kwa
manufaa ya binadamu
hapa duniani.
Mwenyezi Mungu
Mtukufu hakuweka
sheria yoyote, kanuni
wala utaratibu hapa
duniani isipokuwa kwa
manufaa ya viumbe
wake. Makatazo
yamewekwa ili
kuzuia madhara kwa
binadamu ya hicho
kilichokatazwa. Maovu
yamewekwa ili kuwapa
mtihani binadamu
n a c h a n g a m o t o ya
uhuru waliopewa na
Mwenyezi Mungu wa
kuchagua kati ya mema
na maovu.
Maamrisho yote na
makatazo kutoka kwa
Mwenyezi Mungu,
kama yalivyowasilishwa
kupitia Mtume wake
Muhammad (saw),
yalikusudiwa kusafisha
roho ya binadamu, ili
aweze kuishi maisha
bora ya kumpendeza
Mwenyezi Mungu hapa
duniani.
U n a d h i f u
(orderliness) - Moja ya
mafundisho mengine
ya Uislamu ni kuhusu
u n a d h i f u . Ya a n i
nidhamu, udhibiti,
usimamizi, uratibu,
upangaji, na mengi
mengine, yanayohusika
zaidi na kujipanga
(organization) ambayo
k wa b a h a t i m b a ya
yameeleweka vibaya
kuwa hayatoki kwenye
Uislamu.

Kinyume chake,
Uislamu unawahimiza
watu kuishi kwa
unadhifu na kuweka
kila kitu mahali pake.
Msingi wa unadhifu
wa Kiislamu uko juu ya
mambo mawili makuu
- Imani kwa Mwenyezi
Mungu mmoja asiye
na mshirika na
umoja (oneness) wa
wanadamu. Sheria na
taratibu zote zimetoka
ndani ya Qur'an na
Mtume Muhammad
(saw) amefafanua
u n a d h i f u h u u k wa
vitendo na kauli.
Moja ya maadili
mazuri yaliyofundishwa
na Uislamu katika
eneo hili ni kutumia
vizuri muda waliopewa
wanadamu. Qur'an na
Sunna zimetaja muda,
yaani siku, wiki, mwezi,
mwaka na karne. Watu
watakuwa wamepotea
iwapo hawatatumia
vizuri muda waliopewa
katika uhai wao kutenda
mema.
Ni hasara kubwa sana
watu kupoteza muda
wao, wenye thamani
kubwa, waliopewa na
Mwenyezi Mungu hapa
duniani, kwa kufanya
shughuli za kipuuzi.
Ni kweli maisha lazima
ya f u r a h i w e , l a k i n i
si kwa gharama ya
rasilimali za binadamu,
ambazo ni muhimu kwa
mwendelezo na ustawi
wao hapa duniani.
Mwenyezi Mungu
Mtukufu ameumba
muda na nafasi,
katika hali ambayo
i t a wa f a a b i n a d a m u
katika shughuli zao
mbalimbali, ili waweze
kufikia malengo yao
kimaisha. Kuna muda
wa kufanyakazi,
wa kusoma, wa
kuburudika, wa
kupumzika na hata wa
kushereheka. Zote hizo
ni sehemu ya shughuli
za binadamu katika
kumuabudu Mwenyezi
Mungu na kutumikia
njia yake.
Qur'an inasema
Mwenyezi Mungu
ameumba mchana kuwa
muda wa kutafuta riziki
na usiku kuwa muda wa
mapumziko. Ameumba

jua, mwezi, nyota na


sayari nyingine, ili
binadamu hapa duniani,
aweze kujipangia muda
na kutengeneza kalenda
yake.
Kwa kutumia
mienendo ya vitu hivyo,
binadamu wameweza
kuratibu vizuri muda
wao kwa kujitengenezea
kalenda. Sasa wanaweza
kuchagua muda gani
ni sahihi kwa kufanya
shughuli gani. Uislamu
u meainisha nyakati
maalumu kwa ajili ya
swala za kila siku, mwezi
maalumu kwa funga ya
wajibu, na muda maalumu
katika maisha yote ya
Muislamu kutekeleza
ibada ya hija.
Hii inaonyesha kwamba
dini hii iliyoletwa na
Mtume Muhammad
(saw) inayaweka maisha
ya M u i s l a m u k a t i k a
m f u m o m a a l u m u wa
kinidhamu ( systematic
order). Kila jambo sahihi
la kidini linalofanywa
na Waislamu, basi kuna
kanuni inayoliongoza,
iwe katika njia ya ushauri,
muongozo wa kiroho au
maelekezo ya vitendo.
Iwapo maelekezo yote
h a y o , ya t a f u a t wa n a
kueleweka vyema, basi
watu wataishi maisha
yenye nidhamu ya hali ya
juu na yaliyosimamiwa
vyema. Uislamu
unawahimiza watu
kufikiri kwa usahihi kabla
ya kuchukua hatua. Hii
maana yake ni 'planning'
(kuweka mipango). Kuna
Aya nyingi sana ndani
ya Qur'an zinazokemea
k u f a n ya m a m b o b i l a
kufikiri na kurukia
mahitimisho kabla ya
tafakuri.
Mtume wa Mwenyezi
Mungu pia ameonyesha
mfano mzuri wa kutimiza

ahadi na kuwa mkweli


kwenye mikataba
na makubaliano
yaliyofanywa na pande
mbili. Kama mtu wa
heshima, mara zote
amekuwa mkweli
kwenye misingi
iliyokubaliwa ndani ya
mkataba, akidhihirisha
nidhamu yake ya hali
ya juu na utaratibu wa
kufanya kila jambo kwa
unadhifu.

13
Inatoka Uk. 11
Muislamu mwenzako. Na
kama akiwa Muislamu
au Mwarabu mwenzako,
pia hutauziwa silaha za
kukufanya umshinde.
Wote mtauziwa silaha na
kusaidiwa kimaarifa ili
muuwane vya kutosha
na muendelee kutajirisha
makampuni ya kibeberu
ya kuuza silaha kama
ilivyokuwa katika vita ya
Iraq na Iran.
Mujahidina wa zama hizi
Ukitizama ile kanda
ya Ar Risala (The
M e s s a g e ) , Wa i s l a m u
walipoamrishwa kupigana
na makafiri waliokuwa
wakiwahujumu,
walionekana wakifua na
kutengeneza silaha zao
zilizokuwa zinalingana
na tekinolojia ya silaha
wakati ule. Hawakwenda
kununua kwa makafiri.
Kama itatokea nchi ya
Kiislamu (ya Waislamu)
ikajichimbia (kama
ilivyojichimbia Korea)
wanafanya utafiti katika
kila nyanja, kilimo ili
kujitosheleza kwa chakula,
viwanda vya kuzalisha vitu
mbalimbali ili kujiimarisha
katika uchumi, taaluma
mbalimbali mpaka ile
ya silaha za kivita, huku
wa n a p i g a D a wa h ya
k u wa i t a wa t u k a t i k a
Dini ya Haki, wakiibuka
wanaibuka na makombora
ya kisasa yakiwemo yenye
vichwa vya nyukilia, hao
ndio unaweza kusema
k u wa k a f i r i , a k i s i k i a
wanatangaza Jihad,
ataogopa (Rejea: Anfal:
60).
Wa k i i b u k a w a t u ,
wakajichimbia mahali
wa n a f a n ya u t a f i t i n a
kuunda vitu, kila mwaka
wanaibuka na kombora
jipya, na ndege zake za
kivita, sio za kununua, hao
wakitangaza Jihad, kafiri
anaweza kuwaelewa na
hataweza kuwapuuza.
Lakini kwa hawa
wachangisha fedha za
t a s b i h i w o t e , h a wa
kafiri anafurahia zaidi
wakijazwa mawazo ya
Jihad na kwa hakika ndiye
anayewachochea kupitia
njia na mawakala walio
sambaa duniani kote,
kuanzia wanaojitambua
kuwa wapo katika kazi
hiyo na wale wanaotumika
kupitia mtu wa tatu au kwa
remote control. Na hii
ilianza toka ulipokamilika
ule mradi katika Chuo
Kikuu cha Nebraska
(University of Nebraska
Omaha (UNO)), U.S.A,
wa kuandaa mujahidina
wa kutumika kama foot
soldiers wa kupigana
proxy war za mabeberu.
Sababu kubwa za beberu
kafiri kutamani na
kuchochea jihad kwa
sasa ni nne. Kwanza, hiyo
inakuwa njia nyepesi ya
kuwaangamiza Waislamu.
Wa n a m p a s a b a b u n a

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Kiroja cha kutoka kupitia karata tatu


RAIS wa
Syria, Dkt.
Bashar al Assad

kisingizo cha kuwapiga


moja kwa moja au kutumia
mataifa mengine kuwapiga
na kuwahujumu (mfano
Somalia). Pili, kiukweli

hawatakuwa wanapigana
Jihad, itakuwa ni vurugu
tu (violence) na wakiwa
katika vurugu hakuna
lolote la maendeleo

Inatoka Uk. 11

kabisa katika silaha hizo ni


milipuko na milipuko hii
inatengenezwa kutokana na
taaluma ya kemia na fizikia.
Kama kusoma kemia kidato
cha tano na sita hadi Chuo
Kikuu ni haramu, inakuwa
vipi halali kununua bidhaa
iliyotengenezwa kwa elimu
haramu?
Hapo hajamgusia juu
ya taaluma iliyotengeneza
kanzu yake, suruali, kofia na
kilemba alichovaa.
Ukipita katika kamari
ya karata tatu utaona watu
wamevaa vizuri hata akina
mama waliovaa mitandio
wapo ili kuonyesha kuwa
hata watu wa maana
wanakuwepo kuvuna pesa
katika karata tatu. Sasa hawa
nao hujifanya kama wachezaji
na wahimizaji kuwa pale
panapatikana pesa. Ukicheza
kwa dau la mia tano ukala,
wanakuhimiza uweke 5000 ili
upate shilingi 10,000. Kama
itatokea ukala halafu ukataka
kukatisha mchezo uondoke,
ndio utawajua wale ni nani.
Kanuni ya mchezo pale ni
kuwa lazima uliwe wewe.
Kwa hiyo, ukila na ukataka
kuondoka watakushambulia
wakupore hata vilivyoko
mfukoni.
Hawa wapambe wakiona
kumekuja mtu mgeni,
watajifanya kucheza halafu
wanakula, unahamasika
kuwa na wewe ukicheza
utakula.
Kwa upande mwingine
kama utapita ukaona mtu
unayemfahamu anacheza,
chukua tahadhari.
Ukionyesha dalili ya
kumstua aache kucheza,
vibaka watalia na wewe
maana unawaharibia windo
lao. Watakushambulia.

wanaloweza kufanya.
Watazidi kudumaa na
kurejeshwa nyuma katika
zama za kiza wakitoa
nafasi kwa ukafiri
kunawiri na kujiimarisha
zaidi. Katika vurugu
lililopo Afghansitan,
Yemen, Libya, Iraq, Syria
na Somalia, jambo gani
la kimaendeleo linaweza
kufanyika? Lakini la tatu ni
kuwa wakiwa na mawazo
hayo, wanatengeza
sababu ya kupachikwa
ugaidi na hivyo kama ni
Afrika kurahisisha kazi
ya A f r i c o m . N a n n e ,
kwa upande mwingine,
wanapatikana askari wa
miguu (foot soldiers) wa
kutumika mahali popote
mabeberu watakapo taka
k u p i g a n a p r o x y wa r .
Walitumika Afghanistan,
wakatumika Libya, sasa
wanatumika Syria.
Libya hivi sasa inaelezwa
kuwa ipo katika state
of complete collapse,
wa t u k wa m a m i l i o n i
wakiwa wamehama nchi

Kweli, dini yaweza kuwa bangi la kupumbaza watu


unaweza kuhoji, hivi mtaani
atakapoishi ambapo atakuwa
akienda sokoni, dukani,
hospitali, huko hakutakuwa
na wanaume? Au atakuwa
mtu wa kujifungia ndani tu
milele?
Tu j a a l i y e Wa i s l a m u
wote wanakosa taaluma
ya udakitari kwa sababu
inasomeshwa katika
mazingira ya kumuaswi
M u n g u , h i v i Wa i s l a m u
hawa wakiugua, ni hospitali
ipi watakwenda kutibiwa
ambapo watakuta madakitari,
wauguzi na wagonjwa ambao
ni maharimu zao?
Kama vyuo na hospitali
zetu zinaendeshwa katika
m a z i n g i r a ya k i k a f i r i ,
ufumbuzi ni kukimbia jambo
litakalo sababisha Waislamu
kuwa tegemezi wa makafiri
maisha yao yote au ni kufanya
jihad ya kupata wataalamu
wa Kiislamu ili kuwa na
vitu vinavyoendeshwa kwa
misingi ya Kiislamu?
Yupo bwana mmoja kule
Mwanza alikuwa na binti
yake kamaliza kidato cha nne
na ilikuwa aingine kidato cha
tano. Mara baba akadakwa na
hawa wanaopita misikitini
kuchangisha fedha za
kununua tasbihi (risasi).
Sasa baba anasema inabidi
afanye istighfari maana
kumbe muda wote alikuwa
anamuaswi Mungu kwa
kumuacha binti yake kusoma
shule. Binti wa kiwango
hiki anakuwa na maswali
machache sana ya kumuuliza
baba yake.
Baba silaha unazohimiza
kule msikitini Waislamu
wanunue ili wakapambane
na makafiri, kitu muhimu

Katika huu mchezo wa


Jihad bandia na upotoshaji
wa mambo, moja ya bangi
muhimu inayotumika
kudhibiti akili za wahanga,
ni kuwataka wasijibu swali
lolote watakaloulizwa
au kufungua mjadala.
Wakiulizwa swali, wasitafute
jawabu kwa mtu yeyote ila
warudi kwa wakala wao
anayeshikilia akili zao. We
ukiongea nao watakusikiliza
tu, hata kama watakuwa na
swali, wataliweka kichwani
hawatakuuliza. Wanakwenda
kumuuliza Al Akhi wao.
Kama wale wachezesha
k a r a t a t a t u wa s i o t a k a
kutoa fursa mawindo
yao kuchomolewa
mtegoni, ndio watu hawa
wanavyopumbazwa akili
zikafungwa wasichukue
hoja kutoka mahali
p o p o t e i l a k wa U s t a d h
wao tu. Wanaaminishwa
na kuhofishwa kuwa
wakiuliza na kujibu maswali
au kujadiliana na watu,
watapotoshwa, watatiwa
hofu au kutiwa unafiki
watolewe katika Aqida,
Sunna na lengo.
Kwa mtindo huu, hawa
wanakuwa wahanga wa
kuthibitisha ile kauli ya Karl
Marx kuwa dini (ikitumika
v i b a ya ) i n a k u wa b a n g i
(opium) la kuwapumbaza
watu.
Hata hivyo, pamoja na
bangi hilo, bado Waislamu
wanatakiwa kutafakari, ni
kwa vipi watakabiliana na
kirusi hiki kinachotishia
mustakbali wa Uislamu,
Waislamu, nchi yetu na
ubinadamu kwa ujumla.

kwa machafuko. Hivi


haya ndiyo matunda ya
Khilafah yaliyoletwa na
wale Mujahidina Abu
Mousa walio dai kuwa
s i o t a t i z o k u s a i d i wa
na Marekani na NATO
kumuondoa Gadhafi ili
kusimamisha Khilafah!
In Libya, the US and
NATO heavily bombed the
country while organizing and
arming Islamist-led militias
in a sectarian war that
destroyed all of the existing
governmental and social
structures. As in Iraq, it
ended its war with the brutal
murder of the countrys
leader, Muammar Gaddafi.
Washington is carrying
out a similar war for regimechange in Syria, backing
Sunni Islamist and sectarian
militias that are led by ISIS,
the same force that has
overrun much of Iraq. The
US hopes to end this war with
the assassination of a third
secular Arab head of state,
Bashar al-Assad.
Inaelezwa katika
uchambuzi wa mwandishi
Bill Van Auken, ukibeba
kichwa cha habari Who
is responsible for the
catastrophes in the Middle
East? (30 June 2014 )
Katika uchambuzi huo
mwandishi anasema kuwa
Marekani na NATO, huku
wenyewe wakiiangamiza
nchi
hiyo
kwa
mashambulizi ya angani,
waliwasaidia Mujahidina
wa Kisuni kuiharibu
nchi hiyo (mujahidina
wakidhani kuwa itakuwa
fursa ya kusimamisha
Khilafah). Baada ya
vita, vilivyomalizika
kwa kuuliwa Muammar
Gaddafi, nchi ikaachwa
katika machafuko, haina
mwelekeo.
Hivi sasa tena mabeberu
hao katika mpango wao
wa regime-change,
wanawatumia ISIS
kuisabaratisha Syria.
Na Tunaambiwa kuwa
Obama amesema kuwa
IS hawatapigwa na
kumalizwa mpaka kazi
ya k u m n g o a B a s h a r
ikamilike. (Tafuta: Obama
now admits Assad MUST go
before ISIS can be defeated.)
Kama wale akina
mama wanaocheza karata
tatu wakaliwa pesa ya
kununulia dagaa na
nyanya sokoni, wakaliwa
mpaka kandambili
walizovaa; ni akina Abu
Daudi hao hao ambao
h i v i l e o wa n a t u m i k a
tena Syria wakidhani
kuwa watatoka
(watasimamisha Khilafah)
kupitia IS inayofadhiliwa
na mabeberu makafiri kwa
pamoja na Israel!

14

AN-NUUR

Makala

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Askofu ahusishwa na Boko Haram


Inatoka Uk. 10
hilo linatisha na kuibua
wasiwasi na maswali
mengi kuliko majibu.
Lakini anasema kuwa
hali inakuwa ya wasiwsi
zaidi inapokuwa kuna
Myahudi (Israel) anahusika
ikizingatiwa chuki na
vitimbi vya Waisrail dhidi
ya Waislamu.
Anahoji pia yale
yaliyokwisha kutokea
hu ko nyu ma ambap o
katika baadhi ya vijiji
iliripotiwa kuwa kuliwahi
kuonekana helkopta
zikidondosha silaha na
vyakula kwa wanaodaiwa
kuwa ni Boko Haram.
Japo matukio hayo
y a l i wa h i k u r i p o t i wa
katika vyombo vya habari,
Rais Goodluck Jonathan
alidai kuwa serikali yake
haina taarifa na akaishia
kusema kuwa walioona
t u k i o h i l o wa p e l e k e
ushahidi zikiwemo picha
zikionyesha helkopta
hizo zikidosha silaha na
vyakula. Ukawa mwisho
wa stori.
Ukiacha habari hizo za
kuwepo Muizrail katika
kadhia hiyo ya ununuzi
wa silaha, lakini watu
wanahoji pia kitendo cha
Rais Goodluck Junathan
kukodi kikosi cha walinzi
(Israeli security experts)
kutoka Israel kulinda
makazi yake ya kifahari
(presidential lodge).
(Tazama: Nigeria Targeted
For Destruction: Gordon
Duff, US.)
Kwa muda mrefu sasa
toka zimeanza harakati
za Boko Haram, jamii ya
Waislamu imekuwa na
wasiwasi kuwa huenda
yanayoitwa mashambulizi
ya kigaidi ya Boko Haram,
yanafanya kupandikizwa
na kuwasingizia
Waislamu ili ipatikane
sababu ya kuwahujumu
halikadhalika kwa
masilahi ya kisiasa za
ndani ya Nigeria na za
kimataifa.
Hata hivyo baadhi
ya wachambuzi wa
siasa za Nigeria na za
k i m a t a i f a wa n a s e m a
kuwa, agenda hasa sio
kidini, bali makanisa
yenye ufadhili kutoka
Marekani yanatumiwa tu
kufanikisha lengo la kuleta
machafuko Nigeria kwa
manufaa ya mabeberu.
Wa c h a m b u z i h a o
wanaunganisha harakati
za makanisa hayo na kile
kilichotajwa katika Unified
Quest 2008, May 2008.
Katika utabiri na

mpango mkakati huo


kama ulivyoelezwa na
Mkurugenzi wa Mradi
ujulikanao kama African
Security Research
Project, Washington, DC,
Bwana. Daniel Volman,
inatarajiwa kuwa kufikia
mwaka huu 2015 Nigeria
itakuwa katika hali
mbaya ya kimachafuko
kiasi kwamba suluhu
itakayokuja ni kuigawa
nchi hiyo. Inayotarajiwa
kugawanywa pia ni
Somalia. (Tazama: US
Army Prepares for Nigerias
Possible Break-up (2015))
Chini ya mkakati huo
inaelezwa kuwa Nigeria
itavurugwa na hata
ikibidi igawanywe katika
vinchi vidogo vidogo ili
kufanikisha malengo ya
mabeberu kuvunja nguvu
za nchi hiyo iliyo na watu
wengi Afrika na utajiri
mkubwa mafuta.
Kinachokusudiwa ni
kuwa taifa hilo likiachwa
likiwa madhubuti
kiuchumi, kiusalama,
kijeshi na ikizingatiwa
Inatoka Uk. 10

a k i c h u k u l i wa h a t u a .
Itakumbukwa kuwa tukio
hilo lilitanguliwa na lile la
silaha kutoka Uingereza.
Gazeti la THISDAY la
Ijumaa Januari 13, 2012
ukurasa wa 6 liliandika
juu ya ripoti iliyotolewa na
BBC kuwa mfanyabiashara
moja wa silaha wa
Uingereza, Gary Hyde
alipandishwa kizimbani
k a t i k a m a h a k a m a ya
London kwa kuandaa
mpango wa kusafirisha
shehena kubwa ya silaha
kwenda Nigeria. Shehena
hiyo ilikuwa ya bunduki
80, 000 na risasi milioni
32. Je, silaha hizi zilikuwa
akipelekewa nani katika
Nigeria?
Gazeti la SATURDAY
SUN la Jumamosi Machi
10, 2012 ukurasa wa 10
liliripoti kuwa katoni 11
za milipuko zilizoagizwa
kutoka Afrika ya Kusini
zilikamatwa na Idara
ya Forodha ya NigeriaNigerian Customs Service
( N C S ) k a t i k a u wa n j a
wa ndege wa Murtala
Muhammed International
A i r p o r t , L a g o s . K wa
mujibu wa taarifa za NCS,
milipuko hiyo ilikuwa
i p o k e l e we n a B wa n a
Charles Eporwei Edike.

Dola za Kimarekani.
idadi kubwa ya watu iliyo
nayo, itakuwa vigumu
kuinyonya.
Laini pia ikibaki katika
hali yake ya sasa hivi,
itakuwa rahisi pia kwa
mataifa mengine kama
China kujichimbia huko na
kuwa mmoja wa wateja wa
mafuta ya nchi hiyo.
Lakini yakizuka
machafuko na mabeberu

wakiwahi kikachero
na kijeshi kujichimbia
katika nchi hiyo kwa
kisingizio cha kuisaidia
kupambana na magaidi,
ndio watakuwa wamefika.
H a wa t a r u h u s u m t u
mwingine kuingia kuweka
m i k a t a b a ya k u v u n a
mafuta.
Kwa hiyo, Boko
Haram, inadaiwa kuibuka
katika mazingira haya

Boko Haram Wakristo

Maofisa hao walisema


k u wa l a i t i m i l i p u k o
hiyo ingefika mikononi
m wa wa l i o k u s u d i wa ,
basi ingeleta kizaa zaa
na balaa kubwa. Hata
hivyo, baada ya Bwana
Charles kufikishwa polisi,
habari zinasema hakuna
kilichosikika tena juu ya
kadhia hiyo hadi hii leo
i n a p o k a m a t wa n d e g e
ya Mchungaji Ayo ikiwa
Afrika ya Kusini ikibeba
mamilioni ya Dola kwa ajili
ya kununua silaha ambapo
mpaka sasa imekuwa
ni kitendawili, silaha
hizo ilikuwa apelekewe
nani? Lililo la uhakika
ni kuwa serikali haiwezi
kuagiza silaha zake halafu
zikamatwe na Idara ya
Forodha. Nani aliagiza
silaha zile na alikuwa
akizipeleka wapi na kwa
malengo gani?
Wanajeshi wahukumiwa kifo
kwa kuwakimbia Boko haram
W a k a t i
h u o
huo, wanajeshi 66
wa m e h u k u m i wa k i f o
k wa k u p i g wa r i s a s i ,
miongoni mwa makosa
ikidaiwa kuwa waligoma
kuwakabili Boko Haram.

Taarifa nyingine inadai


kuwa askari wengine
118 watafikishwa katika
ma h a k a m a ya k i j e s hi
(military court) hivi
karibuni wakikabiliwa na
kosa hilo hilo.
Huku serikali na
mamlaka za kijeshi zikitoa
madai kuwa baadhi ya
a s a k r i h a o wa l i g o m a
wa l i p o p e wa a m r i ya
kwenda kuwashambulia
Boko Haram, lakini taarifa
zinasema kuwa askari hao,
na wengine wamekuwa
wakihoji kuwa hawajui
adui wanayepambana
naye. Amekuwa ni adui
asiyeeleweka, lakini pia
wakati mwingine ni kama
serikali inataka kuwatoa
muhanga. Kwamba
wanawapa silaha duni
wakapambane na watu
a m b a o wa n a k u wa n a
silaha kali hivyo matokeo
yake wanajeshi wanauliwa
ovyo.
Akizungumzia suala
hilo, mwanasheria
anayewatetea Jaji Femi
Falana amesema kuwa
kinachofanyika ni mauwaji
ya askari wasio na hatia
huku serikali ikishindwa
kutanzua kitendawili cha
Boko Haram, na kilio cha
askari kukosa silaha huku

na kwamba imekuwa ni
dubwana ambalo si rahisi
ya kulielewa.
Na inatuhumiwa kuwa
baadhi ya taasisi za Kikristo
na baadhi ya Wakristo
binafsi, wamekuwa
wakitumiwa kupandikiza
fitna na mbegu mbaya ya
machafuko.
(Tazama: (1) Bible4Africa
website: Spreading the Bible
or spreading the seed of hate
and discord in Africa?
(2) Article linking IBB to
Boko pulled after NewsRescue
expose! Bible4Africa
implicated!. Tazama pia, A
KKK, Supremacist plot to
disintegrate Nigeria.)
Hata hivyo, pamoja na
propaganda hizo kutoka
kwa taasisi za Kikristo,
kama ilivyo kwa ISIS,
wanaouliwa wengi katika
Ngeria ni Waislamu.
Watu wanauliwa Kano,
Yobe na majimbo mengine
a m b a p o Wa i s l a m u n i
takribani asilimia 95.
Hutasikia Boko Haram
wakifanya mauwaji ya
k u t i s h a K u s i n i m wa
Nigeria kwenye Wakristo
wengi.

serikali ikiweka bajeti


kubwa ya kupambana na
Boko Haram kila mwaka.
( Ta z a m a : P R E M I U M
TIMES Tuesday, Nigerian
military to court-martial 118
more soldiers-December 23,
2014. Tazama pia: Nigerian
military sentences 54 soldiers
to death for mutiny, December
17, 2014)
Falana anasema
katika taarifa yake kwa
vyombo vya habari kuwa
m a ha k a m a ya k i j e s hi
imekosea kuwahukumu
kifo askari waliohoji hali
ya utata iliyopo katika
mapambano yao na Boko
Haram.
Maswali yanayoibuka
katika vita hii, ni kama
alivyohoji na kushangaa
Balozi wa Nigeria nchini
Marekani Prof. Adebowale
Adefuye pale aliposema
kwamba katika mambo
yanayoshangaza na
yasiyoeleweka wala
kuelezeka ni ule ukweli
kwamba pamoja na nguvu
kubwa inayotumika
kupambana na Boko
Haram, ikiwa ni pamoja
na misaada ya hali na mali
kutoka Marekani, lakini
ndio kwanza Boko Haram
wanazidi kuwa na nguvu
na kuwa hatari zaidi
wakipata silaha kali na
mbinu za kileo za kivita.

15

Makala

AN-NUUR

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Neema imekuja Chalinze itumieni-Sheikh Hussein

Inatoka Uk. 16

watoto wakiswali wanapata


adha kubwa, na kwamba
hali hiyo ishawakuta baadhi
ya wanafunzi na kulazimika
yeye na viongozi wenzake
kwenda katika Shule husika
kutatua kadhia hiyo.
Tulikwenda katika Shule
moja ya msingi katika kesi
ya mabinti wa Kiislamu
kuswali wakiwa Shuleni
ilikuwa ni swala ya adhuhuri,
walitukanwa na kukashifiwa
sana, tulifika viongozi wa
Misikiti mitatu, tukakutana
na mwalimu na kuyaweka
sawa, hii ni adha ya kukosa
Shule zetu. Alisema Sheikh
Hussein.
Hivyo alisema, pindi
Wa i s l a m u we n z a o
wanapojitokeza kufanya
mambo ya maendeleo
hususani katika sekta ya
elimu, kwa ajili ya Waislamu
ni vyema kuwaunga mkono,
kwa kuwapeleka watoto
kusoma katika shule hizo,
ili wajifunze maadili ya
Kiislamu.
Hivi sasa kuna Shule
za Makanisa nyingi tu
katika Chalinze yetu,
unapompeleka mtoto wako
huko unategemea kuvuna
nini hapo baadae?Alihoji.
Inawezekana mwanzo
hatukuwa na shule zetu,
sasa hivi ipo tuitupie jicho.
Alisema Sheikh Hussein.
Naye Imamu wa Masjidi
Bedui, Chalinze, Sheikh
Khamisi Halfan, aliwataka
Wa i s l a m u wa C h a l i n z e
kuunga mkono juhudi za
kituo hicho cha Kiislamu,
kwani kitatoa mafunzo sahihi
kwa mujibu wa mafundisho
ya Qur ana na Sunnah.
Alisema, pamoja na kuwa
hali za wakazi wengi wa mji
huo kuwa ni duni, lakini
anaimani endapo wataamua
kuwapeleka watoto wao
shuleni hapo, wataweza na
kuwataka kutathimini aina
ya sherehe wanazogharamia
huenda zinazidi ada
inayotakiwa Shule.
Tubadilishe bajeti ya pesa
tunazozitafuta kwa ajili ya
kuwacheza watoto ngoma
na sherehe mbalimbali sasa
tuzielekeze katika elimu
husani katika Shule zetu za
Kiislamu. Alisema Sheikh
Khalfan.
Kwa upande wake, Imamu
wa Msikiti wa Lugoba,
alisema fikra za kujengwa
Shule hiyo ya Kiislamu katika
Jimbo lao la Chalinze, ni
jambo kubwa na ni adhwimu
kwa umma wa Kiislamu.
Alisema, katika wakati
kama huu wa Sayansi na
Teknolojia kupata kituo cha
Kiislamu cha kisasa cha
elimu zote kwa watoto ni
jambo la kujivunia, hivyo
hawana budi Waislamu

wenyewe kuwa mabalozi kwa


kuhamasishana kuwapeleka
watoto wao katika Shule
hiyo katika jitida za kuiunga
mkono.
Imamu huyo, ambaye
alipata kadhia ya kuzuia
ngoma za kimila za
k u wa c h e z a m a b i n t i wa
Kiislamu Lugoba, alisema
jamii yao hawapendi
kuhimizana katiKa kusoma,
lakini wapo mstari wa mbele
katika kuhimizana katika
masuala ya ngoma kwa
gharama zozote.
Akasema, kupitia kituo
hicho itakuwa ni chachu
kwa kuwalea watoto wa
Jimbo hilo la Chalinze kwa
kuwaelimisha ni zipi mila
sahihi na zipi ni mila potofu
ili kuweza kuondosha
udhalili wa mabinti kupitia
ngoma hizo na badala yake
kutoa kipaumbele katika
masuala ya elimu.
Awali Mkurugenzi wa
Kimara Islamic Centre
(K.I.C) Ustadhi Mohammed
Kiriwe, akizungumzia lengo
la kuanzishwa kwa kituo
hicho, alisema Shule hiyo ipo
si kwa lengo la biashara, bali
ipo kwa ajili ya huduma kwa
jamii ya Waislamu kutokana
na kujua hali za Waislamu
nchini kwa ujumla.
Hii ni Shule ya Waislamu,
haipo kwa ajili ya biashara,
kila aliyekuwa hapa ajijiue
kuwa hii ni Shule yake, sisi ni
kama dhamana tu ya kujenga
na shule hii itafundisha
watoto katika maadili ya
Kiislamu. Alisema Shkh.
Kiriwe.
Alisema, waliamua
kuipeleka Shule hiyo
Chalinze, baada ya kugundua
kuwa hapakuwa na Shule ya
Kiislamu ila kwa sasa tayari
zipo Shule mbili za Kiislamu
ya Sekonadari (Chalinze
Islamic Seminary) na ya
Msingi (Chalinze Modern
Islamic Seminary).
Kinachotakiwa hivi sasa
ni kuwaleta watoto waweze
kuja kupata elimu sahihi
ya dini yao watoto wenu
watakapokuwa hapa mbali
na masomo mengine, lakini
kipaumbele cha kwanza ni
kuisoma Qur an, kwa kuijua
Qur an, inakuwa ni rahisi
hata kuyazingatia masomo
mengine. Alisema Ust.
Kiriwe.
A k a t a n a b a i s h a k u wa
mzazi yoyote ambaye anajua
ana mtoto afahamu kwamba
ametundika kamba katika
shingo yake ama Mwenyezi
Mungu amuwezeshe
aifungue salama kwa kupitia
watoto hao au iwe ni kitanzi
juu yake kwa kupitia watoto
hao hao.

SEHEMU ya madarasa ya Shule ya Kiislamu ya Chalinze (Chalize Islamic Modern primary School).

Afya ya Ustadh Salum Ally bado ya mashaka gerezani


Inatoka Uk. 16

wa Mkuu huyo wa Gereza,


alimueleza kuwa hali hiyo
inatokana na operesheni
aliyofanyiwa na kwamba
kidonda ni kikubwa jambo
linalosababisha hali ya afya
yake kubadilika mara kwa
mara.
Hata hivyo Ust. Mbaruku,
alieleza kuwa zipo taarifa
kuwa dawa wanazompelekea
kwa ajili ya matibabu hapatiwi
sawa sawa jambo ambalo
amedai nalo linachangia
kuchelewesha kupata nafuu
haraka, pamoja na kwamba
wao wanajitahidi kupeleka
dawa zinazohitajika kwa
wakati.
Alisema, hali hiyo
imeendelea kuwa hivyo
kwani akadai hata Jumapili
(wiki iliyopita) hali yake
haikuwa nzuri, na kwamba
ndugu zake waliambiwa
hawawezi kumuona.
Baada ya kuelezwa hivyo
waliwasiliana na Mkuu wa
Gereza, ndipo Ust. Salumu,
aliporuhusiwa kutolewa
kwa msaada akishikiliwa
na kuweza kuonana na
ndugu zake akiwemo mama
yake mzazi. Alisema Ust.
Mbaruku.
An nuur, ilipowasiliana na
Mkuu wa Gereza la Segerea
Bw. Abdallah Kiyungi,
ili kupata ufafanuzi wa
mtuhumiwa huyo, kwanza
alikiri kuwa Ust. Salumu, ni
mgonjwa na kwamba afya
yake haijaimarika.
Ni kweli, huyu bwana
anaumwa lakini si kama
inavyoelezwa kuwa hali yake
ni mbaya sana. Alisema Bw.
Kiyungi.
Akitoa ufafanuzi zaidi
a l i s e m a , a wa l i a l i k u wa
amelazwa Muhimbili, na
k u p a t i wa m a t i b a b u ya
operesheni kisha akarudi

gerezani.
Mkuu huyo wa Gereza
alisema, akiwa gerezani
baada ya kutoka Muhimbili
Ust. Salum, alipatwa na
Maleria, akapatiwa tiba,
akawa anaendelea na dozi
na sasa amepona na hali yake
sio mbaya sana.
Mimi mwenyewe
jana ( Jumapili iliyopita)
nimemuona hali yake si
kwa hivyo inavyoelezwa na
juzi juzi hapa alikuja mama
yake mzazi akamuona pia.
Alisema Bw. Kiyungi.
Akielezea juu ya
operesheni aliyofanyiwa
Ust. Salumu, alisema,
tatizo ni kwamba sehemu
aliyofanyiwa operesheni hiyo
ipo sehemu mbaya, kwa
maana hiyo akasema nafuu
yake inakwenda taratibu.
Huyu bwana amefanyiwa
upasuaji sehemu ya haja
kubwa, ambapo palikuwa na
kidonda ikabidi madaktari
wakifanyie operesheni na
k u t o a m a t i b a b u u p ya .
Alibainisha.
Hata hivyo, Mwandishi
alipomuuliza kidonda
hicho kimesabishwa na kitu
gani, alijibu kwa ufupi tu
akisema, Mimi sijui, lakini
hali yake inaendelea vizuri
na anaongea vizuri, yupo
kitandani na mahali pake ni
pazuri kabisa.
Mkuu huyo wa Gereza,
alikanusha kuwa taarifa
kuwa hapati matibabu vizuri
sio za kweli na kwamba Ust.
Salumu, anapata matibabu
kama kawaida.
Siku mbili tatu hizi
aliniambia kwamba hapati
dawa, nilipoonana na daktari
wake kwa hoja hiyo, alisema
dawa kama dawa ni sumu,
unapo pewa dozi ya siku tano
zikiisha inabidi wakutizamie
hali.
Huwezi ukawa

unakunywa dawa tu matokeo


yake itakuwa sumu ndani ya
mwili wako. Alisema.
Kwa upande wake, Dada
wa Ust. Salumu, alisema
hali ya ndugu yake bado
sio nzuri, kwani kuna siku
walipofika kumuona majira
ya a s u b u h i a l i s h i n d wa
kunyanyuka kutoka kwa
ajili ya kumjulia hali.
Wenzie ndio waliniambia
kuwa Salumu muda huu
amelala hajisikii vizuri,
muda wa saa nane tulirudi
tena kwa mara ya pili, kwa
bahati ndipo alipochechemea
tukamuona na kumkabidhi
v i t u v ya k e . U k i m u l i z a
mwenyewe anasema hali
yake bado sio nzuri, kidonda
kinamsumbua kwa maumivu
makali. Alisema Dada huyo
wa Salumu.
Alisema, kwa kawaida
Salumu, ni mchangamfu
siku zote, lakini katika siku
hizi za karibuni amekuwa
ni mnyonge sana lakini,
akasema Mkuu wa Gereza
aliwaeleza hali aliyonayo
ni kutokana na maumivu
makali ya kidonda aliyonayo
ndiyo yanampa shida.
Sasa hatuelewi kama
dawa zinazopelekwa
wanampa kiukamilifu au vipi
kwa sababu ndugu au jamaa
huruhusiwi kuingia ndani
kwenda kumpa huduma,
ukimuona pale anapokuja
sana sana ukimuuliza
anakwamba hali bado sio
nzuri. Alisema.
Hata hivyo dada huyo,
alisema Mkuu wa Gereza,
hilo Bw. Abdallah Kiyungi,
anatoa ushirikiano mzuri
kwao, lakini tatizo lipo kwa
watendaji wake kwani alidai
wanaonesha kama wana
c h u k i k wa k u wa we k e a
vikwazo mara kwa mara
mpaka huwalazimu
kuwasilina na Mkuu huyo.

AN-NUUR

16
16

MAKALA

16

AN-NUUR

Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 2-8, 2015

Neema imekuja Chalinze itumieni-Sheikh Hussein


Pelekeni watoto Chalinze Islamic Seminary
Watapata elimu bora na malezi ya Kiislamu

Na Bakari Mwakangwale

WAISLAMU wa mji mdogo


wa Chalinze wametakiwa
kuwapeleka watoto wao
katika Shule ya Kiislamu ya
Chalinze (Chalize Islamic
Modern primary School) ili
wapate elimu bora na malezi
ya Kiislamu.
Aidha, Waislamu hao
wa m e t a k i wa k u we k e z a
katika masuala ya elimu na
kuacha kutumia gharama
kubwa ya pesa katika sherehe
mbalimbali na kuwacheza
ngoma mabinti zao.
Wi t o h u o u m e t o l e wa
na baadhi ya Maimam wa
Misikiti ya Chalinze, pamoja
na Mkurugenzi wa Kimara
Islamic Centre, wakiongea
na Waislamu katika hafla
fupi iliyofanyika katika Shule
mpya ya Chalinze Modern
Islamic Seminary, Ijumaa ya
wiki iliyopita.
Sheikh Hussein, aliye
kiongozi wa Dini Chalinze,
a k i o n g e a n a Wa i s l a m u
hao alisema, Shule hiyo ya
Kiislamu ni neema kwa Mji
wao hivyo Waislamu wa
mji huo na vitongoji vyake
h a wa n a b u d i k u i t u m i a
neema hiyo.
Alisema, baadhi ya

wanafunzi wa Kiislamu
wamekuwa wakipata
misukosuko katika Shule
ambazo si za Kiislamu pindi
wanapofuata maamrisho ya
dini yao wakiwa shuleni.
Sheikh Hussein amesema,
u w e p o wa S h u l e h i y o
hapo Chalizne, Wazazi
wa Kiislamu sasa hawana
budi kuachana na kasumba
za kuendekeza mila za
kuwacheza ngoma mabinti
kwa gharama kubwa,
badala yake gharama hizo
wazielekeze kuwapeleka
watoto Shule.
Alisema, uzoefu
unaonyesha kwamba
wanaume ndio wanaongoza
kwenda kukata vibali vya
kuwacheza watoto wao
ngoma, pasi na kuzingatia
maadili ya Dini.
Cha ajabu akasema, baada
ya hapo binti anavaa Hijjab
anaende Shuleni.
A k i wa S h u l e n i s i k u
Mwalimu akimbughudhi
kuhusu hijabu mnakuja
kwetu kulalamika, mnataka
Waislamu waandamane,
l a k i n i u n a s a h a u k u wa
n i we we ( M z a z i ) n d i o
ulichukua kibali cha
kumuweka mwanao uchi
katika kumcheza ngoma.

SEHEMU ya madarasa ya Shule ya Kiislamu ya Chalinze (Chalize Islamic Modern primary School).
Alisema Sheikh Hussein.
Sheikh Hussein, akawataka
wazazi wa mji huo kubadilika
n a k u f u a t a m a a d i l i ya
Uislamu kikamilifu, huku
akiwashajiisha kuwapeleka
watoto wao katika shule
za Kiislamu ambazo sasa
zimesogezwa katika mji wao,
ili waweze kujifunza dini yao
kwa uhuru.
Alisema, katika Shule
ambazo si za Kiislamu,

Inaendelea Uk. 15

Afya ya Ustadh Salum Ally


bado ya mashaka gerezani
Na Bakari Mwakangwale

USTADHI Salum Ally.

AFYA ya mtuhumiwa wa
Ugaidi Ustadhi Salum Ally,
aliyefanyiwa operesheni
hivi karibuni imewatia
hofu Waislamu na ndugu
zake kufuatia kusuasua
kuimarika kwa afya yake
akiwa gerezani Segerea.
Mashaka na hofu
hiyo, inafuatia taarifa za
kubadilika kwa hali yake
m a r a k wa m a r a p i n d i
ndugu zake na Waislamu
wanapofika gerezani hapo
kuwapatia mahitaji muhimu
wa t u h u m i wa h a o k wa
ujumla.
Akiongelea hali hiyo,

Katibu wa Kamati ya Maafa


ya Shura ya Maimam, Ust.
Ally Mbaruku, amesema siku
che baada ya Ustadhi Salum,
kutoka Muhimbili, hali yake
ilibadilika ghafla.
Siku chache baada ya
kutoka Muhimbili, hali yake
ilianza kubadilika, ilinibidi
kuwasiliana na Mkuu wa
Gereza, nae aliniahidi kuwa
ataenda kumuangalia, na
baadae alinifahamisha
kuwa tatizo ni kwamba
anasumbuliwa na maumivu
makali. Alisema Ust.
Mbaruku.
Alisema, kwa mujibu

Inaendelea Uk. 15

IPO KWA HUDUMA MBALIMBALI ZA KIBIASHARA NA


MAENDELEO KAMA:
Kutengeneza mipango ya biashara (Business Plans)
1. Kuandaa michanganuo kwa ajili ya kuombea mikopo (Loan
Documents)
2. Kuandaa maandiko ya miradi (Project Write-ups)
3. Kutengeneza mipango mkakati ya taasisi (Strategic Planning)
4. Kutengeneza miongozo ya fedha na uendeshaji katika taasisi
(Financial and Operational Manuals)
5. Kuandaa katiba kwa ajili ya usajili wa vyama na taasisi zisizo
za kiserikali (NGOs)
6. Kufanya usajili wa kampuni/Jina la biashara
7. Kufanya usaili kwa waajiriwa watarajiwa
8. Kuandaa nyaraka za zabuni (Tender documents
9. Huduma za ushauri kwa wahitimu wa vyuo wanaosaka ajira
(Coaching services)
10. Nakadhalika.

KARIBU: MOSQUE STREET, NO. 1574/144 (MKABALA NA


MSIKITI WA SUNNI), KITUMBINI DAR ES SALAAM.
SIMU: 0658 280213, 0655 281131

ORODHA YA MAWAKALA WA HAIIBA TIMAMU TEA


TANGA: ABDALLAH MWARABU SIMU: 0783-290921/0658290921 BARABARA YA 12, JIRANI NA MSIKITI WA IBAADH
TANGA MJINI
MOROGORO: DOTTO MALENDA 0715-282331 MTAA WA
KARUME (MKABALA NA MASJID HAQ) MOROGORO MJINI
MWANZA: SUBIRA OMAR MIDOLE 0716969494 YOTE MAISHA
STORE, PENDA STREET, KIRUMBA SOKONI MWANZA MJINI
ZANZIBAR: SULEIMAN KHAMIS 0777867178 MASJID
MUZHAMIL, DARAJANI ZANZIBAR
ARUSHA: MZEE MAGOMBA 0764006630/0784546581 AL
MUNAWAR SHOPPING CENTER BONDENI ROAD ARUSHA
MJINI.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1157 PDF
    Annuur 1157 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1157 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Документ16 страниц
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1005
    Annuur 1005
    Документ16 страниц
    Annuur 1005
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • An Nuur 1128
    An Nuur 1128
    Документ16 страниц
    An Nuur 1128
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1035
    Annuur 1035
    Документ16 страниц
    Annuur 1035
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1078
    Annuur 1078
    Документ12 страниц
    Annuur 1078
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    Документ16 страниц
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1028
    Annuur 1028
    Документ16 страниц
    Annuur 1028
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annuur 1124
    Annuur 1124
    Документ16 страниц
    Annuur 1124
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 114
    Annuur 114
    Документ12 страниц
    Annuur 114
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1065
    Annuur 1065
    Документ12 страниц
    Annuur 1065
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1030
    Annuur 1030
    Документ16 страниц
    Annuur 1030
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1076
    Annuur 1076
    Документ12 страниц
    Annuur 1076
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Документ15 страниц
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Оценок пока нет
  • An-Nuur 1071
    An-Nuur 1071
    Документ12 страниц
    An-Nuur 1071
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1181 PDF
    Annuur 1181 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1181 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Документ39 страниц
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Stambuli Abdillahi Nassir
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    Документ16 страниц
    Annur Februari 24-Machi 1, 2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1155
    Annuur 1155
    Документ16 страниц
    Annuur 1155
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1090
    Annuur 1090
    Документ12 страниц
    Annuur 1090
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1164a
    ANNUUR 1164a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1164a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1112
    Annuur 1112
    Документ16 страниц
    Annuur 1112
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1036
    Annuur 1036
    Документ16 страниц
    Annuur 1036
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    От Everand
    Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
    Рейтинг: 4.5 из 5 звезд
    4.5/5 (3)
  • Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya
    Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya
    От Everand
    Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya
    Оценок пока нет
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    От Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    От Everand
    Laikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma
    Оценок пока нет
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    От Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Оценок пока нет
  • Mafundisho ya Ndoa
    Mafundisho ya Ndoa
    От Everand
    Mafundisho ya Ndoa
    Оценок пока нет
  • Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    От Everand
    Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1
    Оценок пока нет
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Kufikirika
    Kufikirika
    От Everand
    Kufikirika
    Оценок пока нет
  • Sanaa ya Kufuata
    Sanaa ya Kufuata
    От Everand
    Sanaa ya Kufuata
    Оценок пока нет
  • Mafundisho ya Utajiri
    Mafundisho ya Utajiri
    От Everand
    Mafundisho ya Utajiri
    Оценок пока нет
  • Ufufuo & Uchukuo
    Ufufuo & Uchukuo
    От Everand
    Ufufuo & Uchukuo
    Оценок пока нет
  • Nyuma Ya Pazia
    Nyuma Ya Pazia
    От Everand
    Nyuma Ya Pazia
    Оценок пока нет
  • Siri ya Kifo
    Siri ya Kifo
    От Everand
    Siri ya Kifo
    Оценок пока нет
  • Utatu Mtakatifu
    Utatu Mtakatifu
    От Everand
    Utatu Mtakatifu
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Документ20 страниц
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет