Вы находитесь на странице: 1из 20

Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu

Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1165 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Nani
wanaoteka
vituo vya
polisi?

Uk.2

Jihad kubwa inahitajika Tanzania


Ni baada ya taarifa za Amboni, Tanga
JWTZ wajue Jihad hii inawahusu pia

MAHAKAMA ya Kijeshi ikitazama shauri la Wanajeshi waliogoma kupigana na


Boko Harram Nigeria.

MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Davis


Mwamunyange. Soma Uk. 4

Wandishi tunacheza
mchezo tusioujua
Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisa
Hatuna jeshi la kupambana na magaidi

Lia lia zamani natamani


Bizanje urudi Zanzibar
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonji. Soma Uk. 10

ZILIKUWEPO zama
kila Mzanzibari
alisema, Shabash, sasa
haya ndiyo maisha
BIZANJE ilimuwezesha
mnunuzi kuona sio
ananunua, anaona kama

anatunukiwa.
Hii ni kwa sababu kila
mmoja alikuwa, awe wa
juu au yule hoe hahe, wote
wakimudu kuvinunua
hivyo vitu na kuvifurahia.
(Uk. 19)

Tahariri/Maoni
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Magazeti Raia Tanzania, Ijumaa

Wawataje walioteka
vituo na kuiba silaha
Ni wazi wanawajua waliosambaza kanda
Wakitamba kuteka vituo na kuuwa Polisi

MWEZI Februari 2008


ilisambazwa video katika
m i t a n d a o i k i o n ye s h a
picha ya kundi la
Wasomali wakimshikilia
Msomali mwenzao, tayari
kwa kumchinja. Maelezo
ya video na picha hiyo
yakawa kuwa huo ni
ukatili wa Al-Shabaab
wakimchinja Mkristo.
Picha hiyo ilisambaa
sana ikawa kielelezo na
Cheating Aid katika
vyombo vya habari
kuelezea ukatili wa AlShabaab dhidi ya Wakristo.
Video inawaonyesha
wanaodaiwa kuwa ni AlShabaab, wakisoma aya
katika Qurana inayodaiwa
kuwa inahalalisha kuuliwa
kwa mtu huyo kwa sababu
alikuwa jasusi dhidi ya
Mujahidina. Na kwamba
kwa ujasusi wake, huenda
watakuwa wameuliwa
Mujahidina wengi, kwa
h i y o n a ye a n a s t a h i k i
kuuliwa.
C h r i s t i a n C o n ve r t
Beheaded by Al-Shabaab
Leaders, ndivyo
kilivyokuwa kichwa cha
habari kama ilivyoripotiwa
na ABC News.
On the video, the
convert, who worked for a
local humanitarian agency,
is seen on his knees, while
several Al-Shabaab leaders
stand behind him chanting
from the Koran. After the
actual beheading, the
leaders held up the head to
display to the crowd before
placing it on the mans
s t o m a c h a n d wa l k i n g
away.
Iliripoti ABC News
ya Marekani, hiyo ikiwa
Desemba 2008.
Ilipofika Januari 28,
2012 picha hiyo hiyo
ikasambazwa tena katika
mtandao ikidai kuwa hao
ni Boko Haram wakichinja
Mkristo Nigeria.
Boko Haram Beheads
C h r i s t i a n M a n - Ve r y
Graphic Video, ndio
vilivyoripoti vyombo vya
habari vikinukuu taarifa
za mitandao na picha hizo.
Nigeria Islamist Boko
Haram beheads a Christian
again, iliandikwa katika
mtandao mmoja Februari

12, 2012 na kufuatiwa na


maelezo yafuatayo.
The Islamist activist
called the Boko Haram
has beheaded another
Christian in Northern
Nigeria. Please we need
the help of America to
interfere. We are really
losing our brothers and
sisters, please help us. This
link shows how another
Christian was beheaded.
Taarifa katika magazeti
zikaonya kuwa ukifungua
Link hiyo, kama una
moyo mwepesi, usifungue
maana inatisha. Na kweli
inatisha maana mtu
anachinjwa mpaka kichwa
kinatenganishwa na mwili
halafu kinachukuliwa
kinaweka juu ya mgongo
wake.
Vyombo vya habari vile
vile vilivyotangaza awali
kuwa hao ni magaidi wa
Al-Shabaab, vikapaza tena
sauti vikidai angalieni
jamani ugaidi wa Boko
Haram wanavyouwa
Wakristo Nigeria.
OnlineNigeria posts
propaganda 2008 Somalia
beheading video as Boko,
ndio ilivyoripotiwa katika
vyombo vya habari na
baadhi ya mitandao mara
tu baada ya video hiyo
kuanza kusambaa kwa
mara ya pili.
Watu wakaanza tena
kurushiana video hiyo
ikiwa na maeleo kuwa
hao ni Boko Haram, na
zile za awali ambazo bado
zilikuwa katika mtandao
ikidaiwa kuwa hao ni AlShabaab.
K u t i z a m a wa k a o n a
ni sawa na ile iliyokuwa
katika ABC News na CNN
mwaka 2008 ikiwa na
kichwa cha habari Somali
Christian Beheaded for his
Faith.
Ukitizama video hiyo
ambayo mpaka sasa ipo
katika mtandao, watu ni
wale wale waliodaiwa
kuwa ni Al-Shabaab wa
Somali, na nguo walizovaa
ni zilezile ikiwemo
vitambaa walivyofunika
nyuso zao wasijulikane.
Kilichobadilika ni kuwa
unasikia yametiwa manneo
ya Kihausa.

Mtandao moja maarufu


nchini Nigeria ujulikanao
kwa jina la NewsRescue,
ulitoa taarifa ndefu
ukielezea masikitiko
yake juu ya mchezo huu
mchafu wanaochezewa
wananchi wa Nigeria.
Tungependa kunukuu
sehemu ya maelezo yao
kwa Kiingereza kama
walivyoandika. Walisema:
It is really disheartening
to see a so-far, respectable
online news outlet, like
OnlineNigeria loose its
entire discipline and
editorial-conscience, and
get involved in a dirty antiNigeria and anti-peace,
malevolent propaganda
campaign of this nature.
The questions to be asked
are: Who is behind the
propagation of this leering
information? Who fed
OnlineNigeria a video
from December 2008, that
transpired in Somalia, to
post as news from Nigeria
in 2012? Did OnlineNigeria
dig up the old video,
clean it and present if for
a questionable agenda?
What are these agents
intentions and how far
will they go to fulfill their
evil agenda for Nigeria?
Promote and equipping
Boko Haram? Boko Haram
is a real menace, but it is
obvious certain entities are
unduly and overzealously
excited by its chaoscausing prospects almost
to a patronizing level.
Ufupi wa maneno
wanauliza wanaosambaza
propaganda hizi chafu
kutoka Somalia na
kuzifanya za Nigeria ili
kuleta machafuko baina
ya Waislamu na Wakristo
kupitia Boko Haram, lengo
lao nini? Wanatumwa na
nani?
Tutaje pia hapa zile
taarifa za Reno Omokri na
Wendell Simlin katika
mtandao zilizowashutumu
b a a d h i y a Wa i s l a m u
kule Nigeria kuwa ndio
wafadhili wakubwa
wa ugaidi. Habari
zilionyeshwa kutumwa na
Wendell Simlin akitumia
anuwani ya email,
wendellsimlin@yahoo.
com. Hata hivyo, utaalamu
wa IT ukabaini kuwa
kumbe aliyetuma taarifa
hiyo ni Reno Omokrim
kutoka Ikulu ya Rais wa
Nigeria.
Katika habari hii
tunachosisitiza ni kuwa
katika utaalamu wa leo,
huwezi kutuma taarifa
katika mtandao ukajificha
usijulikane kuwa ndio
wewe uliyetuma. Wala
ukapokea taarifa halafu
ukatuambia kuwa hujui
imetumwa kutoka wapi,
na kwa maana hiyo kumjua
aliyekutumia. Katika picha
ataficha uso kama zile
picha za gazeti la Raia
Tanzania na Ijumaa, lakini
Mhariri lazima atakuwa
anajua zimetoka kwa nani.
Hivi karibuni baadhi
ya vyombo vya habari

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015


vimetoa picha na sehemu
ya m k a n d a wa v i d e o
ukimuonyesha mtu mmoja
akidai kuwa yeye ni katika
kundi la watu wa Jihad
walioteka vituo vya Polisi
kujikusanyia silaha za
kufanyia Jihad.
Gazeti la Raia Tanzania la
Jumatatu Februari 16, 2015,
likatoa picha waliyodai
kuwa ni kutoka katika
v i d e o i l i y o s a m b a z wa
mitandaoni ikiwataka
vijana wa Kiislamu mkoani
Tanga kujiunga na vita ya
Jihad.
Watu katika picha hiyo,
kama kawaida wameficha
nyuso zao huku wakiwa
wameshikilia bunduki
na nyuma yao kukiwa na
kitambaa cheusi kikiwa na
maandishi yanayoonekana
ya Kiarabu lakini
yasiyosomeka.
Mwandishi wa Raia
Tanzania katika habari
iliyo ukurasa wa 4 anahoji
baadhi ya Masheikh wa
Tanga akitaka kujua iwapo
wanaunga mkono Jihad
iliyotangazwa na watu
hao walioficha nyuso zao
na maoni yao kwa ujumla.
Sisi tunadhani kuwa
pengine kabla Raia
Tanzania hawajawaendea
Masheikh hao, wangejiuliza
na kujibu swali hili:
Hivi Maaskofu,
Masheikh na viongozi wa
ngazi yoyote na wa dini
yoyote ile, wanaficha nyuso
zao wakihubiria watu wao
mambo ya Mungu?
U g a i d i Ta n g a , n d i o
kichwa cha habari
kilichobeba habari ya
gazeti la Raia Tanzania.
Na ukisoma habari nzima
pamoja na maswali
wanayoulizwa Masheikh, ni
katika kutaka kuthibitisha
kilichokwishasemwa
mbele Ugaidi Tanga.
Na hapa pengine ndipo
wanapokosea Masheikh
w e t u . Wa n a d h a n i
wanapoulizwa na watu
hawa, wanataka kujua
ukweli. Hao hawataki
kuelimishwa wala
hawataki kujua ukweli.
Wanachofanya ni kutafuta
mashiko ya propaganda
z a o . We w e u k i s e m a ,
wanaopora silaha vituo
polisi na kutangaza Jihad,
h a wa n a e l i m u s a h i h i
ya Uislamu, umesaidia
sana propaganda ya
k u t u k a n a Wa i s l a m u .
Maana ulichosema ni
kama kuthibitisha kuwa
hao walioficha nyuso zao
ni Waislamu, ila tu hawana
elimu wanastahiki kupewa
darsa. Nani kakuambia hao
ni Waislamu?
I n g e k u wa s h i d a ya
waandishi hao ni kujua
ukweli, wala wasingekuja
kwa Masheikh. Na lazima
tuseme hapa kuwa
wala hawana nia njema
kama wanavyojifanya.
Wangekuwa na nia njema,
wa n g e c h u k u a j u h u d i
kidogo tu kujua, nani
katengeneza video hizo
feki na nani kazituma.
Ijumaa lenyewe limedai

kuwa limepewa video


mkononi na mtu mmoja.
Hiyo ni video kutoka kwa
mtu anayejitaja kuwa ndiye
Kamanda wa Kundi la
Kuteka vituo vya Polisi.
Sisi tuseme yafuatayo:
Yapo mambo mawili, mosi
ni kuwa kama aliyedai
kuteka vituo vya Polisi
ni huyo katika video ya
magazeti, bila shaka hivi
sasa polisi wanaye mkononi
ila tu hawataki kusema. Hii
ni kwa sababu maadhali
video hizo zimetumwa
katika simu za wahariri
na waandishi wa magazeti
au katika computa zao,
lazima watakuwa wanajua
zimetoka kwa nani. Kwa
utaalamu kidogo wa IT,
walio nao waandishi, hiyo
inakuwa kazi rahisi kabisa.
Lakini wapo pia wale
waliosema kuwa video
hizo walipewa mkononi.
La pili ni kuwa kama polisi
hawakushughulishwa na
taarifa hizi za magazeti,
k a t i k a m u k t a d h a wa
kutekwa vituo vya Polisi
na kuibwa silaha, maana
yake ni kuwa hawaziamni.
Wa n a j u a k u wa n i
propaganda. Swali sasa
litakuwa, nini sababu ya
propaganda hizi? Nini
lengo la aliyetengeneza
propaganda hiyo na nini
lengo la wanaozisambaza?
Kama tunasema ni
propaganda, sio za kweli,
lakini kinachohimizwa ni
ugaidi. Je, ni sahihi kuacha
taarifa hizo zisambae?
Nigeria yupo mtu
anaitwa Abubakar Shekau.
Kila siku anatolewa katika
mitandao na vyombo vya
habari akitamba kufanya
ugaidi huu na ule. Toka
anateka wasichana wa
shule na vituo vidogo vya
Polisi, kama Ushirombo na
Ikwiriri, hivi sasa anateka
miji na kambi za jeshi. Lakini
ukimtizama, hafanani
kabisa na yanayodaiwa
kufanywa na Boko Haram.
Yeye anakuwa ni chombo
tu cha propaganda za
kupakazia Boko Haram,
lakini wanaofanya matukio
ni wengine kabisa. Ndio
maana inafikia mahali Jeshi
la Nigeria linatuhumiwa
kuasi. Maana hawaelewi
wanapigana na Shekau
au nani? Haiwezi kuwa
Shekau wanayeambiwa
kuwa ndiye Boko Haram
alishinde Jeshi la Nigeria
na nchi za jirani!
Hivi sasa Nigeria, japo
wamechelewa, wanaanza
kujua propaganda iliyo
nyuma ya Abubakar
Shekau. Angalia: Boko
Haram: Global Media
Busted Promoting Fake
Images Of Ghost Of
Shekau.
Sasa labda tujiulize, kwa
habari hizi za Raia Tanzania
na Ijumaa, je, tunataka
tujitengenezee Ghost Of
Shekau zetu? Lengo nini?
Je, ni ishara ya kuwaonea
wivu na kutamani kuonja
tamu ya Boko Haram,
waliyo nayo Nigeria?

3
KUTOKANA na kukithiri
matukio ya kihalifu katika
sehemu mbalimbali za
nchi yetu, ni dhahiri
kwamba sasa hali si shwari
nchini. Vituo vya polisi
vinazidi kuvamiwa na
wahalifu kufanya mauaji
au kujeruhi na kutoweka
na silaha.
Mwezi Juni mwaka jana,
majambazi wanaokisiwa
kuwa sita, wakiwa na
pikipiki tatu, walivamia
Kituo Kidogo cha Polisi
Mkamba, kilichopo
Kimanzichana, Wilaya ya
Mkuranga, Pwani na kuua
askari mmoja na kupora
bunduki tano na risasi 60.
Aliyeuliwa ni Konstebo
Joseph Ngonyani na
wenzake Venance Francis
na Mariamu Mkamba
walijeruhiwa, ambapo
walipelekwa katika
Hospitali ya Wilaya
Mkuranga kwa matibabu.
Septemba mwaka jana,
majambazi yalivamia Kituo
cha Polisi Ushirombo,
Wilaya ya Bukombe
mkoani Geita na kuua
askari polisi wawili na
kujeruhi wengine wawili
na kupora bunduki 10
ambazo hata hivyo baadae
zilipatikana. Waliouawa
ni PC Dastan Kimati na
PC Uria Mwandiga na
waliojeruhiwa ni CPL
David na PC Mohamed.
Januari 15 watu
wa n a o s a d i k i wa k u wa
ni majambazi wakiwa
na silaha za kivita na
mabomu ya kutupa kwa
mkono walivamia Kituo
cha Polisi Ikwiriri, Rufiji
mkoani Pwani na kuua
askari polisi wawili na
kupora bunduki tano aina
ya SMG na bunduki mbili
za kufyatulia mabomu
ya machozi, zilizokuwa
kituo hapo na kutokomea
kusikojulikana. Katika
tukio hilo, Koplo Edga na
WP Judith waliuawa.
Februari 3, Kituo cha
Polisi cha Mngeta, Wilaya
ya Kilombero mkoani
M o r o g o r o k i l i va m i wa
ambapo bunduki aina
ya SMG yenye risasi 30
iliibiwa.
Mwishoni mwa wiki
iliyopita, risasi zilirindima
huko Ambani mkoani
Tanga kwa zaidi ya saa 48
wakati Polisi na askari wa
JWTZ waliposhirikiana
kupambana na wahalifu
hao.
Katika mapambano
hayo, askari mmoja wa
JWTZ, Said Kajembe,
alipoteza maisha na
wapiganaji wengine
zaidi ya sita kujeruhiwa.
Bw. Kajembe aliyefariki
katika Hospitali ya Bombo
b a a d a ya k u j e r u h i wa
katika mapambano hayo,
amezikwa kijijini kwao,
Kwashemshi, Korogwe.
Ukiacha matukio ya
uvamizi wa vituo vya
polisi, matukio ya ujambazi
wa kuibwa mali za raia,
makampuni, mabenki na
utekaji wa mabasi haukuwa

Maoni/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Binafsi nadhani hali si shwari

nyuma.
Kutokana na kukithiri
kwa ujambazi na
uvamiwaji wa vituo vya
polisi, tunaona sasa hata ile
dhana ya ujambazi inaanza
kuondolewa taratibu na
wakiyahusisha matukio
haya na ugaidi.
Mbali na kutokamatwa
watu hao ambao bado
hawajajulikana dhahiri
ni wahalifu wa aina gani,
lakini pia silaha zilizokuwa
zimeporwa, ambazo ndio
zinazosakwa na Polisi kwa
sasa, bado hazikukutwa
katika Mapango ya
Amboni, kama ilivyokuwa
ikihisiwa.
Ukiacha kadhia hizo za
ujambazi, maisha ya watu
wenye ulemavu wa ngozi
nao wamezidi kuishi kwa
mashaka makubwa, hasa
ikizingatiwa kwamba siku
za hivi karibuni, kulitokea
mkasa mwingine kwa
mtoto mwenye ulemavu
wa ngozi (albino) kutekwa
katika wilaya ya Chato
mkoa wa Geita na mpaka
sasa hajulikani alipo.
Mtoto huyo mwenye
umri wa mwaka mmoja
aliyetajwa kwa jina la
Yohana Bahati, alitekwa
nyumbani kwao na watu
wasiojulikana. Watu wenye
silaha za jadi waliwaweka
chini ya ulinzi wazazi
wa mtoto huyo, Bahati
Misalaba na mkewe na
kumchukua mtoto wao na
kutoweka naye. Mama wa
mtoto huyo alijeruhiwa
vibaya wakati akipambana
kumwokoa mwanaye.
P o l i s i wa l i r i p o t i wa
kufika eneo la tukio na
kuanza msako lakini hadi
tunavyoandika maoni
haya, mtoto huyo bado
hajulikani alipo na hakuna
tena taarifa za polisi kuwa
wamefikia wapi. Kwa
kifupi tunaweza tu kusema
kuwa tayari wameshakata
tamaa au wameshindwa
kumpata au kujua alipo
mtoto huyo.
Matukio ya kuuawa
na kuchukuliwa viungo
albino yamesambaa, hasa
katika mikoa ya kanda ya
Ziwa kutokana na imani
za kishirikina, jambo
ambalo limechafua sana
taswira ya kiusalama ya
Taifa kutokana na serikali
kushindwa kukabiliana
vilivyo na vitendo hivyo.
Wa k a t i m w i n g i n e
tunashindwa kuelewa,
kama kweli bado serikali
imeshindwa kuona
kwamba jeshi letu la polisi
lina matatizo ya kiutendaji
na linahitaji marekebisho
makubwa.
Tu w e t u wa wa z i
kwamba, jeshi hili
linajituma zaidi katika
kulinda maslahi ya kisiasa
kuliko kulinda usalama wa
raia na mali zao.
Tu n a s e m a h i v y o
kwasababu, uzoefu

unaonyesha kuwa Jeshi la


Polisi limekuwa madhubuti
na imara sana katika
kuwadhibiti wanasiasa na
wafuasi wao, Masheikh
na waumini wao kuliko
uhalifu.
Mfano mzuri ni jinsi
linavyoshuhudiwa
likijituma kuwacharaza
virungu wanasiasa wa
upinzani na viongozi wao
katika shughuli zao za
kichama, inapotakikana
kufanya hivyo.
Tumeona
jinsi
lilivyojituma kuwadhibiti
na kuwatawanya
wanachama wa Chama
c h a Wa n a n c h i ( C U F )
wakiongozwa na
Mwenyekiti wao, Profesa
Ibrahim Lipumba.
Kwa jinsi hali ilivyo
katika jeshi letu la polisi,
mtu akitaka kuona uhodari
wao au ukakamavu wao,
basi lazima utakuwa ni
wakati likiwadhibiti akina
Mbowe, Mbatia, Slaa.
Lipumba na kina Ponda.
Kwa ujumla tunaweza
kusema kuwa jeshi letu la
Polisi Tanzania linahitaji
kufanyiwa marekebisho
m a k u b wa i l i k u w e z a
kukabiliana na changamoto
za karne hii ya 21.
Jeshi la Polisi ni chombo
cha Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kilichoundwa
ili kuwahakikishia
wananchi usalama na mali
zao, kudumisha amani
na utulivu katika jamii,
pia kuzuia, kubaini na
kupambana na uhalifu.
Jeshi la Polisi lipo kama
sheria inavyoelekeza
kuhakikisha kuwa kila

mtu, wakiwemo askari


polisi wanafuata sheria
katika kila hatua.
Shughuli za jeshi la polisi
zinaongozwa na sheria
mbalimbali, lakini kwa
kiasi kikubwa na Katiba
ya Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania ya mwaka
1977, Sheria ya Jeshi la
Polisi namba 322 (Police
and Auxiliary Services Act
2002 Cap 322), Sheria ya
Mwenendo wa Makosa ya
Jinai na Kanuni za Polisi
(Police General orders).
Polisi wanaweza
kukamata, kufanya
upekuzi, kushikilia,
kumpeleleza mtuhumiwa,
kumhoji shahidi, kufanya
mahojiano na mtuhumiwa,
kutawanya waandamanaji
wenye nia ovu na
kuhakikisha usalama wa
jamii. Lakini wanapaswa
kufanya hivyo kwa kufuata
taratibu na sheria na sio
kufanya wapendavyo.
Sheria ya Polisi inaeleza
kuhusu uendeshaji wake,
nidhamu mamlaka na
kazi za polisi na mambo
mengine yanayolihusu
jeshi la polisi. Sheria hii
inasisitiza polisi kutenda
haki katika utendaji wao
ili kutoa mfano wa kulinda
sheria na kanuni za nchi.
Matumizi yoyote mabaya
ya mamlaka au uzembe
katika kazi ni utovu wa
nidhamu na uhalifu. Afisa
wa polisi anayetenda hayo
anapaswa kuchukuliwa
hatua stahiki.
Hakuna mtu aliye juu ya
sheria. Watanzania wote
wakubwa kwa wadogo,
tajiri kwa maskini,

wanaume kwa wanawake,


bila kujali dini na itikadi,
wafanyakazi wa serikali
wanatakiwa kutii sheria
na kuishi kwa mujibu wa
sheria zilizowekwa nchini
mwetu chini ya Katiba
yetu.
Tendo linalofanywa
na askari polisi lifanywe
kulingana na sheria, na
iwapo polisi hawatafanya
hivyo watawajibika mbele
ya sheria. Askari anayevunja
sheria anapaswa kuadhibiwa.
Nimalizie kwa kusema
kwamba, kitendo cha jeshi
letu kushindwa matukio
mengi ya kihalifu nchini, kiasi
cha kushindwa hata kujilinda
katika vituo vyake, ni aibu kwa
Taifa na inaonyesha ni kwa
jinsi gani jeshi hilo limekosa
weledi katika kukabiliana
na matukio makubwa ya
kihalifu.
Wakati tukifikishwa hapo,
wananchi nao kwa upande
wao wanakosa imani na jeshi
lenyewe. Ikifika mahali hata
Waziri mwenye dhamana
ya usalama kuona kwamba
suluhu ya polisi kuporwa
silaha na kuvamiwa vituoni
ni kuwaambia askari kuacha
kuninginiza silaha begani,
kwamba sasa silaha iwe
mkononi wakati wowote kwa
mapambano, halafu Kaimu
Kamanda wa Makosa ya Jinai

DCI Diwani Athumani,


akisema matukio ya uhalifu
yanayotokea nchini ni
mapya na yanayochochewa
na ukuaji wa teknolojia ya
habari na mawasiliano, ni
dalili kwamba tumezidiwa.
Ni hatari. Si jambo la
kueleweka wala kupendeza
kusikika masikioni
kwamba chombo cha dola
kinazidiwa teknolojia na
wahalifu. (Shabani Rajabu
Kihara)

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High School


Mafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani
ya Kidato cha Nne 2015

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa


Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa
Credit za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.
Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili,
Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry,
Biology, Commerce na Book-Keeping.
Muda wa masomo: Jumatatu Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.
Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi sita)
Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School
kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.
Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557
Wahi Mapema nafasi hii adhimu
Wabillah Tawfiiq
MKUU WA SHULE

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Jihad kubwa inahitajika Tanzania


Ni baada ya taarifa za Amboni, Tanga
Masheikh, Waislamu wote washiriki
JWTZ wajue Jihad hii inawahusu pia

Na Mwandishi Wetu
BILA Jihad ya kuondoa
ujinga, hakuna salama
tena katika nchi hii.
Yaliyojiri mwishoni
mwa wiki iliyopita na
j i n s i ya l i v y o r i p o t i wa
na vyombo vya habari,
inatisha.
Ni dalili na salamu
kuwa hivi sasa tunaelekea
kuzama katika shimo la
moto na kiza, baya zaidi
ya lile la Aus na Khazraj.
K i t u
p e k e e
kitakachotunusuru ni kwa
Waislamu kuingia katika
Jihad na kwa Wakristo
kuingia katika November
Crusades za kuwatoa
watu wetu katika ujinga
na ukibaraka wa kibubusa.
Inaweza ikawa tabu
kwa Wakristo kutumia
msamiati Crusade
kwa sababu ya historia
ya Vi t a h i y o , l a k i n i
kinachokusudiwa hapa
ni Waislamu na Wakristo

kwa pamoja, na hapa


tunamaanisha wale
ambao bado akili zao zipo
salama, hazijakorogwa
na wana mapenzi na nchi
hii, kuweka mikakati ya
pamoja kufanya juhudi
kuhakikisha kuwa,
wanabadili mwelekeo wa
jahazi hili. Vinginevyo,
linazama.
B a a d a ya k u m a l i z a
awamu ya kwanza ya
Jihad wakati wa Mauwaji
ya Kimbari, Waislamu
walitangaziana awamu
ya pili ya Jihad ambayo
waliambiwa kuwa
ingechukua muda mrefu
na ngumu zaidi.
Akitangaza Jihad hiyo,
Mufti wa Rwanda Sheikh
Saleh Habimana, alisema
kuwa hiyo ilikuwa Jihad
ya kupambana na ujinga
uliokuwa umewagubika
Wahutu na Watutsi kiasi
cha kuuwana wenyewe
kwa wenyewe. Jihad ya
mwanzo ilikuwa kazi

kubwa waliyofanya
Wa i s l a m u k u w a p a
hifadhi Watutsi Wakristo
waliokuwa wakisakwa
na Wahutu ili wauliwe.
Baada ya mauwaji kusita,
Sheikh Habimana ambaye
awali aliwataka Waislamu
kushikamana na mafunzo
ya dini yao na kuhakikisha
kuwa hawashiriki
kumwaga damu ya mtu
yeyote na pia kuwahimiza
kutoa hifadhi kwa Watutsi
wanaosakwa, aliwaambia
Waislamu kuwa tatizo
kubwa linaloikabili
Rwanda ni chuki. Chuki
iliyogubikwa na ujinga
wa kutojitambua kama
binadamu na viumbe wa
Allah.
Kwa hiyo, Jihad pekee
ambayo ingewanusru
Wanyarwanda ilikuwa
kubadili mioyo yao
kupitia njia mbalimbali za
kuwapa mafunzo, darsa
na mahubiri kwa hikma
na mawaidha mazuri ili

MKUU wa JWTZ, Jenerali Davis Mwamunyange.


waondokane na chuki za
kijinga.
"Jihad yetu ianze
na kuwafanya watu
waheshimiane na
kupendana na watambue

kuwa Wahutu na Watutsi


wanaweza kuishi pamoja
kama Wanyarwanda.
Alisema Sheikh Saleh
Inaendelea Uk. 6

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu


Misikiti ilikuwa ndio kimbilio la Wakristo
Sio Makanisani wala nyumba za Watawa
Nyerere alivaa kofia kuenzi Waislamu
Na Omar Msangi

Mheshimiwa Waziri William Lukuvi.

TOKA yabuniwe
matumizi mapya ya
msamiati ugaidi na
magaidi, kama njia
na mkakati mpya wa
kufanikisha malengo
na agenda za mabeberu,
imekuwa ni fasheni kila
mwenye lake, akiibuka
popote alipo kurusha
kombora kwa Waislamu.
Ni mashambulizi
mfululizo bila kusita.
Waislamu wanapakwa
matope kuwa ni
magaidi, wauwaji katili,
wachochezi na siasa kali
hatari kwa amani ya nchi.
Aliposimama Kanisani
hivi karibuni Mheshimiwa
Waziri William Lukuvi
na kuwataka Wakristo
wasikubali uwepo
wa serikali tatu ndani
ya muungano, hoja

aliyotumia ni ile ile ya


kutukana na kuwapakazia
ubaya Waislamu. Alisema
k u w a Wa z a n z i b a r i
wakijitoa katika kitanzi
walichotiwa katika mfumo
wa muungano wa serikali
mbili, wataunda serikali
ya Kiislamu. Wataleta
Waarabu na siasa zao kali
kutawala Zanzibar na
hiyo itakuwa hatari kwa
Ukristo na Wakristo wa
Tanzania Bara.
Ukienda Rwanda
hivi leo, katika watu
wanaoheshimika sana, ni
Mufti wa nchi hiyo Sheikh
Saleh. Mwaka 1994 wakati
yakilipuka mauwaji ya
Kimbari, Mufti Saleh
Habimana alitoa fatwa
a k i wa t a k a Wa i s l a m u
kuzingatia mafundisho ya
Dini yao wajiweke mbali
kabisa na mauwaji hayo.
Wakati nchi na makanisa

yakigeuka uwanja wa
machinjio na kumwaga
damu ya watu wasio na
hatia, Misikiti, Madrasa
na nyumba za Waislamu,
zilikuwa ndio kimbilio
la Wakristo Wahutu na
Watutsi.
Kutokana na kazi
kubwa iliyofanywa na
Waislamu kuwanusuru na
kuwahifadhi Wakristo wa
Kihutu na Kitutsi, ndani ya
Misikiti, imetolewa filamu
ikielezea matukio ya kweli
katika yale yaliyowasibu
watu waliosalimika
kwa kupewa hifadhi na
Waislamu. Filamu hiyo
inayoitwa Kinyarwanda,
i m e f a d h i l i wa n a t h e
European Commissions
European Instrument for
Democracy and Human
Rights na kuongozwa
Inaendelea Uk. 6

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

OIC, CAIR walaani mauaji ya Waislamu Marekani


Vyombo vya habari lawamani kwa kueneza chuki

JUMUIYA ya Ushirikiano
wa Kiislamu-OIC, imelaani
vikali mauaji dhidi ya vijana
watatu wa Kiislamu nchini
Marekani.
Katibu Mkuu wa OIC,
Iyad Amin Madani, amesema
katika makao makuu ya
jumuiya hiyo ya Kiislamu
mjini Jeddah, Saudi Arabia,
kwamba mauaji ya Waislamu
hao yaliyofanywa na mtu
mwenye chuki dhidi ya
Uislamu na Waislamu katika
jimbo la Carolina huko
Kaskazini nchini Marekani,
yamezijeruhi na kuziumiza
sana hisia za Waislamu katika
kona mbalimbali duniani.
Alisema mauaji hayo
ya m e z i d i s h a wa s i wa s i
mkubwa kufuatia kukithiri
hisia za chuki dhidi ya
Waislamu katika maeneo
mbalimbali ulimwenguni.
Nalo Baraza la Uhusiano
wa Uislamu na Marekani
(CAIR) limelaani mauaji
ya l i y o f a n y wa d h i d i ya
wanafunzi Waislamu karibu
na Chuo Kikuu cha North
Carolina.
Taarifa iliyotolewa na
CAIR imelaani mauaji ya
wanafunzi hao watatu wa
chuo kikuu na kuitaka polisi
ya Marekani kuchunguza
sababu za mauaji hayo.
Mkurugenzi Mtendaji
wa CAIR, Nihad Awad,
ameitaka polisi ya Marekani
kubaini iwapo mauaji ya
wanachuo hao Waislamu
yamefanyika kwa sababu za
chuki dhidi ya Uislamu.
Taarifa hiyo ya Baraza
la Uhusiano wa Uislamu
Marekani (CAIR) imetolewa
baada ya mtu aliyetajwa kwa
jina la Craig Stephen Hicks,
kuwapiga risasi na kuwaua
wanachuo watatu Waislamu
karibu na bweni la Chuo
Kikuu cha North Carolina.
Hata hivyo imedaiwa
kuwa vyombo vya habari vya
Marekani vinavyodhibitiwa
kwa kiwango kikubwa na
Wa z a y u n i h a v i k u r i p o t i
mauaji hayo ipasavyo.
Suala hilo limewakasirisha
Waislamu na wanaharakati
nchini Marekani ambao
wamemtaka Rais Barack
Obama kulaani kitendo hicho,
wakisema hakitofautiani na
vitendo vingine vya kigaidi
duniani hasa kile cha hivi
karibuni huko Paris.
Bw. Madani, ameitaka
serikali ya Marekani
kuchukua hatua za haraka
kukabiliana na ubaguzi
ambao unakinzana na
misingi pamoja na thamani
za kidini na kimaadili.
Deah Shaddy Barakat,
a l i ye k u wa n a u m r i wa
miaka 23, mke wake Yusor
Mohammad Abu-Salha,
aliyekuwa na miaka 21 na
dada yake Razan Mohammad
Abu-Salha, aliyekuwa na

miaka 19 waliuliwa kwa


k u p i g wa r i s a s i s i k u ya
Jumanne iliyopita na mtu
aitwaye Craig Stephen Hicks.
Muuaji huyo amekuwa
akiandika mara kwa mara
katika ukurasa wake wa
Facebook maelezo ya chuki
na uadui dhidi ya Uislamu
na Waislamu.
Maelfu ya watu
walihudhuria mazishi ya
wanachuo hao wa Kiislamu,
ambao waliuawa kwa
kupigwa risasi katika mji wa
Chapel Hill jimbo la Carolina
Kaskazini.
Wa n a f u n z i w a v y u o
vikuu na wakazi wa mji wa
Chapel Hill wameshiriki
katika mijumuiko mikubwa
kuwakumbuka wanafunzi
hao waliouawa kigaidi.
Siku ya Jumanne
wanafunzi watatu Waislamu
nchini Marekani walipigwa
risasi na kuuawa kigaidi
katika jimbo la Carolina
Kaskazini.
M a a f i s a wa u s a l a m a
wanasema wanafunzi hao
Waislamu raia wa Marekani
walipigwa risasi katika
nyumba yao iliyoko karibu
na Chuo Kikuu cha Carolina
Kaskazini. Waliouawa ni
Bw. Deah Shaddy Barakat
a l i ye k u wa n a u m r i wa
miaka 23, mke wake Yusor
Mohammad Abu-Salha
aliyekuwa na miaka 21 na
dada yake Razan Mohammad
Abu-Salha aliyekuwa na
miaka 19.
Polisi wametangaza
kuwa wamemtia mbaroni
gaidi aliyefanya jinai hiyo
aliyetambuliwa kwa jina
la Craig Stephen Hicks.
Chris Blue, Mkuu wa polisi
mjini Chapel Hill ameshiriki
mazishi ya Waislamu hao
waliouawa kigaidi na kusema
uchunguzi utafanyika
kubaini iwapo mauaji hayo
yalifanyika kutokana na
chuki za kidini au la.
Naye Mohammad
Mohammad Abu-Salha
baba ya wanawake wawili
waliouawa ambao wana
asili ya Palestina, alisema
chuki dhidi ya Uislamu ndiyo
sababu kuu ya mauaji ya
wanafunzi hao watatu.
Katika mahojiano na Press
TV, Kasisi Mark Dankof
mkazi wa San Antonio,
Texas, Marekani alisema
mauaji ya wanafunzi hao
watatu Waislamu ni matokeo
ya uchochezi wa vyombo
vya habari vya Marekani
vinavyoeneza taswira isiyo
sahihi ya Waislamu.
Alisema wakati upelelezi
ukiendelea, kilicho wazi ni
kuwa jinai hiyo imetokana
na chuki.
Siku ya Alhamisi
wanaharakati wa kijamii
walikusanyika katika eneo
la mauaji ya Waislamu hao

Deah Shaddy Barakat (kushoto), mkewe Yusor Abu-Salha na dada yake, Razan Abu-Salha
enzi za uhai wao kabla ya wahajauawa huko Chapel Hill, Carolina nchini Marekani. Pichani
chini ni ndugu wa marehemu wakiomba dua wakati wa mazishi.

wakipiga kauli mbiu za


kutaka mwamako dhidi ya
ubaguzi wa rangi, umoja
dhidi ya ufashisti (UAF)
na ajira na Ustawi kwa
Waislamu.
Aidha wanaharakati hao
wa l i v i t u h u m u v y o m b o
vya habari vya Magharibi
kuwa vinafuata sera za
kindumakuwili sambamba
na kueneza chuki dhidi ya
Waislamu.
Pamoja na kuwa Waislamu
hao watatu wameuliwa
kigaidi huko Carolina
Kaskazini nchini Marekani,
kimya kimeshuhudiwa au
kupuuzwa na kufifishwa
habari hiyo karibu na vyombo
vya habari vya Marekani na
nchi zingine za Magharibi.

L i c h a ya m a z i s h i ya
vijana hao kuhudhuriwa
na maelfu ya watu huku
jumbe mbalimba zikitumwa
katika mitandao ya kijamii,
lililowashangaza wengi na
kuonekana kuwa ni jambo
linaloashiria ufa mkubwa
uliopo baina ya vyombo vya
habari vya Magharibi na
wananchi.
Imedaiwa kuwa ni
vyombo vichache tu vya
habari vilivyoakisi kwa njia
sahihi habari ya mauaji ya
kigaidi ya Waislamu hao.
Wa m a r e k a n i w e n g i
wamedaiwa kuangalia
mifano miwili ya namna
vyombo vya habari vya
Kimagharibi vilivyoakisi
habari ya kuuawa kigaidi
Waislamu hao watatu na
hujuma za hivi karibuni huko
Paris hasa dhidi ya jarida la

Charlie Hebdo.
Televisheni ya Fox News
katika kutangaza habari
ya mauaji ya Chapel Hill,
iliridhika kutangaza tu kuwa
'mtu moja ametuhumiwa
kuwaua Waislamu watatu'.
Televisheni hiyo imeelezwa
kushuhudiwa ikitangaza
kikamilifu matamshi ya Rais
Obama, kufuatia hujuma
dhidi ya Charlie Hebdo mjini
Paris na kuitaja hujuma hiyo
kuwa 'ugaidi wa kuogofya.'
Televisheni ya CNN nayo
ilinukuliwa kumtaja mtu
aliyewaua Waislamu hao
watatu kuwa ni mtuhumiwa
tu katika hali ambayo bila ya
uchunguzi wowote, iliwataja
waliofanya hujuma ya Charlie
Hebdo kuwa magaidi.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu


Inatoka Uk. 4
Alrick Brown. Inaelezea
k wa u n d a n i m a s a i b u
ya Watutsi waliokuwa
wamepewa hifadhi katika
Msikiti Mkuu wa Kigali na
Madrassa ya Nyanza.
Kinyarwanda, kwa
upande mmoja ikionyesha
unyama uliofanyika katika
Mau waj i ya K imbari,
kwa upande mwingine
inarekodi historia
iliyoshuhudia Maimamu
wakifungua milango ya
Misikiti kuwapa hifadhi
Wakristo wa Kihutu na
Kitutsi.
Emily Wax ameandika
taarifa/makala aliyoipa
jina Islam Attracting
Many Survivors of Rwanda
Genocide (Washington
Foreign Post Service).
Katika uchambuzi wake
anaonyesha kuwa idadi
ya Waislamu imeongezeka
kwa zaidi ya mara mbili
hadi kufikia asilimia 14%
ya watu milioni 8. 2 ya
watu wa nchi hiyo toka
m a u wa j i ya K i m b a r i .
Awali kabla ya mauwaji
Waislamu walikuwa kiasi
cha asilimia 4.6. Anasema,

MOJA ya Misikiti ya Rwanda inayozidi kujengwa kutokana na kuongeza idadi ya


Waislamu.
sababu kubwa ni kutokana
na Wakristo wengi kuhama
Ukristo na kusilimu. Kwa
nini inakuwa hivyo?
Anasema Emily Wax
kuwa wengi wanaukimbia
Ukristo kutokana na jinsi
maaskofu na mapadiri

walivyoshiriki kuuwa
waumini wao wa Kitutsi,
kinyume na viongozi
wa Kiislamu ambao
walifungua milango ya
Misikiti na nyumba zao
k u wa h i f a d h i Wa h u t u
na Watutsi waliokuwa

hiyo, Susan Lindauer


a n a s e m a k u wa wa t u
wameendelea kuimba
uwongo na propaganda
kuwa majengo ya WTC
yaliporomoshwa na ndege
z i l i z o t e k wa n a a k i n a
Mohammed Atta.
Anasema, uwongo
ulikuwa mkubwa sana
uliopambwa vya kutosha
na televisheni na magazeti,
na watu wamebaki katika
uwongo huo huo.
Kwa upande mwingine
a k a s e m a k u wa a k i n a
M o h a m m e d At t a n a
wa n a o i t wa A l - Q a i d a ,
ni Intelligence Assets
ambao hawawezi
kufanya chochote zaidi
ya kile wanachotumwa na
kuelekezwa na wakubwa
wao.
Hata hivyo, watu
wameendelea kuimba
magaidi wa Al-qaida,
Al-Shabaab na wengine
kama hao utadhani kuwa
hao magaidi ni watu na
taasisi huru.
Zaidi akasema kiroja
zaidi ni pale watu hao
wakiitwa ni mujahidina
(Jihadists).
Anasema, wengi wa
watu hao akiwajua wakati

akifanya kazi kwa karibu


na CIA akitumika katika
nchi za Iraq na Libya.
Wengi wao ni walevi,
hawaswali, wavuta sigara
na wafukuzia wasichana.
Lakini wakitumwa kazi
katika zile (false flag
terror attacks) utashangaa
wakiitwa Jihadists.
Lakini muhimu zaidi
hapa ni lile alilosema
Michael Schueur
aliyekuwa Afisa wa CIA
na Kamanda wa Kikosi
cha kupambana na Osama
Bin Laden pale aliposema
kuwa Al-Qaida haikuwa
adui wa Marekani wala
wa nchi yoyote duniani,
Osama akiwa hai wala
baada ya kufa.
Kwamba adui huyo ni
wa kubuni kwa masilahi
ya mabeberu wababe wa
dunia.
Kama ndivyo, maadhali
hawa ndio walimu na
wataalamu wetu, hata
hawa huku tunaowaita
kuwa ni magaidi, iwe AlShabaab, Boko Haram au
Al-Qaidah, ni wa kubuni
pia. Au kama ni matukio
ya kigaidi, yakiwemo
kuuliwa watu wasio na
Inaendelea Uk. 9

Jihad kubwa inahitajika Tanzania


Inatoka Uk. 4
katika ujumbe wake kwa
Waislamu.
Katika Marekani kuna
wa n a h a r a k a t i a m b a o
wa n a j i i t a 9 / 1 1 T r u t h
Alliance. Wanaharakati
hawa wanaojumuisha
wasomi na wataalamu
mbalimbali wanasema
kuwa lengo la taasisi
yao ni kuwarejesha watu
katika kutumia akili na
kufikiri (critical thinking),
halikadhalika kuwa na
utamaduni wa kuhoji
taarifa za waandishi wa
habari.
Katika moja ya mijadala
yao wanasema kuwa, tukio
la kigaidi la Septemba 11,
na vita dhidi ya ugaidi
iliyokuja kutangazwa
baadae, ikisindikizwa
na propaganda kubwa,
imewafanya watu
wamekuwa wajinga,
hawafikiri, wanachosubiri
ni mtu mwingine afikiri
kwa niaba yao na kila
wanachoambiwa, ndio
hicho hicho huimba. 9/11
Truth Alliance, wanasema,
huo ni msiba mkubwa.
Akizungumza katika
moja ya midahalo ya kisomi
inayoandaliwa na taasisi

wakitafuta hifadhi.
"Najua huko Marekani
kuna watu wanafikiri
Waislamu ni magaidi,
lakini kwa sisi watu wa
Rwanda, Waislamu ni
wakombozi katika mauwaji
ya Kimbari.

Anasema Jean Pierre


Sagahutu, mwenye umri
wa m i a k a 3 7 , M t u t s i
aliyesilimu kutoka
katika Ukatoliki baada
ya kuona baba yake na
watu wengine wanane
wa familia yao wakiuliwa
ndani ya Kanisa.
"Nilitaka kukimbilia
kanisani kutafuta hifadhi,
kumbe kulikuwa ndio
mahali hatari zaidi
kwenda. Ilikuwa ni familia
ya Kiislamu iliyonihifadhi.
Waliokoa maisha yangu.
Niliishi nao, nilikula
nao, niliwatizama
wanavyoswali, Wahutu na
Watutsi waliswali katika
Msikiti mmoja.
Aliongeza Jean Pierre
akisimulia kuwa japo
wao walikuwa Watutsi
waliokuwa wakisakwa
na Wahutu ili wauliwe,
ilikuwa familia ya Wahutu
Waislamu waliowahifadhi.
N a a l i s h a n g a a k u wa
tofauti na kanisani
a m b a p o wa u m i n i wa
Kikristo walio Watutsi
walikuwa wakiuliwa na
Wakristo wenzao Wahutu,
Inaendelea Uk. 7

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu


Inatoka Uk. 6
kwa Waislamu ilikuwa
tofauti. Wahutu na Watutsi
walikuwa wakiswali
pamoja wakiongozwa na
Imam mmoja.
"Isingekuwa Waislamu,
familia yangu yote
ilikuwa imeangamizwa,
tungeuliwa wote.
Nawashukuru sana
Waislamu waliofanya
kazi kubwa ya kuhifadhi
Wa k r i s t o w a k a t i w a
m a u wa j i . N i l i f i k i r i a ,
nikaona yanipasa kubadili
dini.
Anasimulia Aisha
Uwimbabazi, mama wa
watoto wawili aliyesilimu
b a a d a ya k u s a l i m i k a
mauwaji.
" Wa n a s i l i m u k w a
kuthamini jamii ya
Kiislamu iliyowapa hifadhi
wakati wa mauwaji,
A n a s e m a E m i l y Wa x
akikamilisha uchambuzi
wake.
Kutokana na wimbi
hilo la kusilimu Wakristo,
hali ya wasiwasi imeingia
katika Kanisa Katoliki
Rwanda ambapo inaelezwa
kuwa wameomba ushauri
kutoka Roma wafanye
nini. Akizungumzia hali
hiyo, Mchungaji Jean Bosco
Ntagugire, anayehudumu
katika makanisa ya Kigali
anasema kuwa Wakatoliki
wamepoteza kabisa imani
na Kanisa baada ya
mauwaji ya Kimbari na
kadiri wanavyojitahidi
kuwafikia watu na
kuwarejesha katika imani,
wanazidiwa na kasi ya
Waislamu.
Lakini kuvunjika
moyo kwa waumini hao,
haikuwa bure bure tu.
Wa n a s a b a b u . M n a m o
Aprili 26, 20021, Askofu
Musabyimana alikamatwa
jijini Nairobi, na haraka
haraka akapelekwa Arusha
i l i p o k u wa m a h a b u s u
(ICTR Detention Facility)
ya watuhumiwa wa
m a u wa j i ya K i m b a r i
ya Rwanda . Mtumishi
huyo wa Kanisa la
Anglikana katika dayosisi
ya Shyogwe, anadaiwa
kushiriki mauwaji ya
Watutsi ambapo inaelezwa
kuwa askofu huyo aliwatoa
waumini wa Kitutsi
waliokuwa wametafuta
hifadhi katika kanisa lake
wakauliwe.
Ilielezwa katika hati ya
mashitaka kuwa mnamo
Mei 7, 1994 kilifika kikosi
cha wauwaji katika
Kanisa la Dayosisi ya
Shyogwe, wakiwa katika

Picha katika 'cover' ya filamu ya Kinyarwanda. Picha chini wanafunzi wa kike


katika moja ya shule za Kiislamu Rwanda.

lori kuchuka Wahutu


k u wa p e l e k a e n e o l a
mauwaji. Askofu Samuel
Musabyimana alikuwepo
na akawatoa waumini
wake Watutsi wakauliwe,
huku akitoa maagizo kuwa
wasiuliwe hapo kanisani
ila mpaka wafikishwe
eneo linalojulikana kama
Kabgayi.
Katika shitaka lingine,
Musabyimana anadaiwa
kusaidiana na askari wa
serikali kugawa silaha
kwa vikosi vya wauwaji
waliokuwa wakiwasaka
Watutsi. Shitaka jingine
zito kwa Musabyimana ni
kuwa aliamuru kuwekwa
kizuizi cha barabara jirani
na kanisa lake ambapo
wapita njia wote walikuwa
wakisimamishwa
k u t a m b u a Wa t u t s i .
Katika kizuizi hicho,
waliuliwa mamia kwa
m a e l f u y a Wa t u t s i .
( Ta z a m a : I n d i c t m e n t
by the International
Criminal Tribunal for
Rwanda against former
Anglican Bishop Samuel
Musabyimana).
Kwa wale ndugu
z a n g u , Wa t a n z a n i a
w e n z a n g u Wa k r i s t o ,
waliokuwa wakimuitikia
Mheshimiwa William
Lukuvi, kuwa Zanzibar
kuna Waislamu siasa kali
hatari kwa Wakristo wa
Tanzania Bara, Samuel
Musabyimana hakuwa
M u a r a b u , wa l a wa l e
wauwaji waliochukua
Inaendelea Uk 8.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu


Inatoka Uk.7
Wakristo Watutsi hadi
Kabgayi, kuwauwa
hawakuwa Waislamu.
Wote walikuwa Wakristo.
Katika kumbukumbu
nyingine inaelezwa kuwa
Aprili 22, 1994, Sraphine
Mukamana, alikuwa
amejificha pamoja na watu
wengine katika gereji ya
kituo cha Watawa cha
Sovu, kusini mwa Rwanda.
Tulikuwa tumejificha
ndani ya banda la gereji,
huko nje mauwaji
yakiendelea. Kutokana
na joto kali, mtoto
mmoja mchanga ambaye
wazazi wake walikuwa
washauliwa akawa analia.
Wauwaji wakajua tupo
ndani. Tulipokataa kutoka,
kiongozi wa wauwaji
Emmanuel Rekeraho,
akatoa amri tuchomwe
moto na kibanda kile.
Nilimsikia Emmanuel
Rekeraho, akisema kuwa
Watawa (nuns) watasaidia
kuleta mafuta ya taa. Na
kweli nikamwona Sister
Gertrude na Sister Kisito,
wakija, huku Sisiter Kisito
akiwa kabeba kigeleni cha
petroli.
Huo
ulikuwa
ushahidi uliotolewa
katika Mahakama moja
jijini Brussels, Ubeligiji,
Mei 2001 katika kesi
inayowakabili Masista
wa Kikatoliki Gertrude na
Kisito.
Mheshimiwa Waziri
Lukuvi, huyu Emmanuel
Rekeraho na masista
Gertrude Mukangango na
Julienne Kisito waliouwa
watu 5000 katika Jumba
l a Wa t a wa S o v u , s i o
Waislamu Siasa Kali. Ni
Wakatoliki waliowachoma
moto na kwacharanga
m a p a n g a Wa k a t o l i k i
wenzao.
Lakini si hao tu,
inaelezwa kuwa askofu
Aaron Ruhumuliza, mkuu
wa Kanisa la Free Methodist
Church, Gikondo, Kigali,
alisaidiana na wauwaji
kuuwa waumini ndani ya
kanisa lake Aprili 9, 1994.
Naye Michel Twagirayesu,
akiwa Rais wa Kanisa la
Presbyterian (Presbyterian
Church of Rwanda) na
M a k a m o wa R a i s wa
zamani wa Umoja wa
Makanisa Duniani (World
Council of Churches),
alishiriki kuuwa waumini
wake na watumishi
wenzake wa Kanisa lake
waliokuwa Watutsi katika
eneo la Kirinda, Kibuye,
ambapo kanisa hilo lina
wafuasi wengi. (A report

Mufti wa Rwanda Sheikh Saleh Habimana, akiswalisha katika Msikiti Mkuu wa


Kigali, Rwanda.
by African Rights.)
Kwa mujibu wa taarifa
iliyotolewa na kujadiliwa
katika mkutano juu ya
M a u wa j i ya K i m b a r i
(Conference on
Genocide, Religion,
and Modernity-United
States Holocaust Memorial
Museum, May 11-13, 1997),
watu waliouliwa ndani
ya makanisa ni wengi
kuliko wale waliouliwa
mitaani. Inaelezwa
kuwa katika kanisa moja
tu, waliuliwa zaidi ya
watu 17,000. Hii ni kwa
sababu watu walidhani
kuwa nyumba za ibada
ndio mahali pa salama
pa kukimbilia, lakini
wakajikuta wakiuliwa
humo humo makanisani
kwa maelekezo ya wakuu
wao wa Kanisa wa Kihutu.
Pe o p l e w h o s o u g h t
sanctuary in church buildings
were instead slaughtered
there. According to some
estimates, more people were
killed in church buildings
than anywhere else. At one
parish where I researched,
the communal mayor reports
that 17,000 bodies were
unearthed from one set of
latrines alongside the church.
Numerous Tutsi priests,
pastors, brothers, and nuns
were killed, often by their own
parishioners, sometimes by
their fellow clergy.
H i y o n i t a a r i f a ya
Timothy Longman, katika

mkutano mmoja juu ya


Ma u wa ji ya K imba ri,
ambapo aliongeza kuwa
katika kanisa la Katoliki
Kabgayi, Askofu Mkuu
aliwatoa kwa wauwaji
(death squad) mpaka
watawa na watumishi
wa Kanisia lake (nuns
a n d p r i e s t s ) Wa t u t s i
wakauliwe.
Mheshimiwa William
Lukuvi, hawa waliouwa
Wakristo 17,000 ndani
ya Kanisa, na wengine
kuwatumbukiza ndani ya
shimo la choo, hawakuwa
Waarabu kutoka Oman,
wala Waislamu Siasa Kali
wa Rwanda au kutoka
Z a n z i b a r . Wa l i k u w a
Wakristo.
K a t i k a
h a l i
iliyowashangaza wengi,
katika mkutano na
waandishi wa habari Juni
1994, Askofu Mkuu wa
Rwanda (Archbishop)
Augustin Nshamihigo
na Askofu wa Kigali,
Jonathan Ruhumuliza,
walinukuliwa na vyombo
vya habari wakisema kuwa
serikali ya wakati huo
na makundi yaliyokuwa
yakiendesha mauwaji,
walikuwa watu wapenda
amani (peace-loving).
Ukiacha uzito
unaoongezwa na ukweli
kuwa hawa washiriki
wa mauwaji ni watu wa
dini, ni viongozi wakuu
wa makanisa, labda

swali hapa laweza kuwa,


yawezekanaje binadamu
kushiriki mauwaji kama
haya? (How could anybody
participate in this?)
Ukirejea historia ya
Hitler na siasa za Nazi,
unaweza kupata jibu. Japo
yapo maswali na utata
mwingi juu ya kuuliwa
Wayahudi 6,000 katika
Nazis Holocaust, lakini
lipo la kujifunza. Inaelezwa
jinsi siasa za kibaguzi za
Nazi zilivyowachafua
Wayahudi hadi kuwaita
nguruwe wachafu. Kila
Mjerumani ila wachache,
akawa anachukia mtu
anayeitwa Myahudi.
Katika Rwanda,
M a a s k o f u wa l i s h i r i k i
kujenga chuki dhidi
y a Wa t u t s i w a k a w a
wanawaita inyensi,
mende au nyenze Kipare
(cock-roaches). Kwa
mujibu wa baadhi ya
nyaraka zilizofikishwa
mahakamani, mwaka 1972
mapadiri 12 wa Kikatoliki
wa k a b i l a l a K i h u t u
walimwandikia barua
Askofu Mkuu wa Rwanda
ambapo waliwaita Watutsi
kuwa ni mende. Matokeo
ya chuki hizi, ni Mauwaji
ya Kimbari. Na inaelezwa
kuwa katika mauwaji ya
1994, makundi ya wauwaji
yalikuwa yakiwaita
Watutsi mende wakati
wanawakata mapanga.
Mheshimiwa William

Lukuvi anawaonya
Wa k r i s t o w e n z a k e
kuwa wajihadhari na
Waislamu Siasa Kali,
s i a s a k a l i h a wa n d i o
kwa msamiati mwingine
wanapachikwa nembo
ya ugaidi. Yalipotokea
matukio yanayodaiwa
ya kuchomwa makanisa
Mbagala, ndio hawa siasa
kali wanadaiwa kuhusika.
Wa n a t u h u m i w a p i a
kushiriki kuuwa viongozi
wa Makanisa.
Lilipotokea shambulio
la bomu Arusha, wageni
waliokamatwa tukiambiwa
kuwa ulikuwa utaratibu tu
wa kawaida, walikuwa
Wa a r a b u . Wa a r a b u
ambao Mheshimiwa
Lukuvi anasema kuwa
wana mpango wa kuja
kustawisha siasa kali
Zanzibar. Propaganda hizi
za siasa kali na magaidi,
kama zile za inyensi,
ndio zinapandikiza
chuki, uhasama, kisasi na
mauwaji.
Haya ya siasa kali,
magaidi, ni sawa na yale
ya mende kule Rwanda
ambapo Kanisa lilijikuta
likitumiwa na wakoloni
kupandikiza chuki baina
ya Wanyarwanda katika
zile siasa za wagawe
uwatawale. Na kwa hakika
ipo katika kumbukumbu
k w a m b a Wa k o l o n i
waliwasifu sana Maaskofu
wa Kihutu kwamba
waliwarahisishia kazi yao
ya kukamata na kutawala
Burundi na Rwanda bila
ya kuhitajia askari wa
kuwashikia mtutu watu
wa nchi hizo.
La kusisistiza hapa
ni kuwa, athari ya zile
siasa za chuki za kuitana
nyenze, zilikuwa cha
mtoto. Tukicheza na hizi
chuki za kuitana magaidi
na siasa kali, matokeo
yake yatakuwa mabaya
zaidi. Na sababu yake ni
nyepesi tu kueleweka.
Gaidi ni hatari kuliko
mende. Mende unauwa
tu, hawezi kupambana
nawe. Si hivyo kwa gaidi.
Huwezi kusema utauwa
gaidi nawe ukabaki
salama. Mtapambana.
Mtauwana.
Ukiwapandikiza chuki
Wakristo na kuwaaminisha
kuwa ndugu zao
Watanzania Waislamu
ni magaidi waliopania
kuwakata makoo na
kuchoma moto makanisa
yao, mawazo yao yatarejea
katika zile zama za wito
wa fideles Sancti Petri
Inaendelea Uk. 9

Makala/Matangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu


Inatoka Uk. 8
na milites Christi. Lakini
yakiwakuta Waislamu ya
kuwakuta na wao wakiona
kuwa wanayofanyiwa
hayana tofauti na yale
waliyofanyiwa watangulizi
wao na akina Pope Urban
II, watatangaziana Jihad
ya kweli. Sasa unaweza
kufikiria, ikifikia hapo
hali itakuwaje katika nchi
hii na nje ya mipaka yake.
Bila shaka haitakuwa
sawa na mende unaoshika
Rungu ukapulizia
mambo yakaisha, sana
sana ukapata tu kero ya
harufu kali ya dawa hiyo.
Ila nimalizie kwa
kusema jambo moja
muhimu kwamba haya
ya n a y o s e m wa j u u ya
Wa i s l a m u Z a n z i b a r /
Tanzania, kwa bahati nzuri,
ni kama walivyojisemea
Waswahili: Hasidi hana
sababu na akutukanaye
hakuchagulii tusi. Lolote
akiokota, hukuvurumishia
tu.
Mheshimiwa William
Lukuvi anasema kuwa
kuna hatari ya Waarabu
kurudi na wakirudi
watakuja na siasa kali
zao ambazo ni hatari
kwa Wakristo. Lakini
Mheshimiwa sana
Lukuvi, anasahau kuwa
Sultani alikuwepo
Zanzibar kabla ya Uhuru
na kabla ya Mapinduzi,
hakuchoma makanisa
wala kuwabughudhi
Wakristo, si wa Bara wala
wa Zanzibar.
Kama kuna watu
walikuwa kero na
hatari iliyoandamana
na kuwacharaza
Inatoka Uk. 6
hatia, ni ya kutengenezwa.
Zipo taarifa nyingi
zinasambazwa katika
vyombo vya habari
na katika mitandao ya
akina Abu Baghdadi,
na wengine wanaojipa
ukamanda wa Jihad au
makundi ya Jihad, wote
hao ni katika makundi ya
akina Mohammed Atta
ambao ni Assets.
Kuibuka
kwa
i n a y o d a i wa v i d e o ya
Abu Abdullah ni ishara
kuwa na sisi tunakaribia
kuingizwa katika mtandao
huo. Msiba unakuwa pale
nchi na vyombo vyake
vya dola inapotumiwa
k a m a A s s e t s k a m a
ilivyo Yemen, Pakistan na
Nigeria (?)
Moja ya eneo
tunalotakiwa kulifanyia
J i had na C rus ade, n i
kuwaelimisha watu wetu
wajue hadaa iliyo katika
inayoitwa vita dhidi ya

WAKISTRO wakionesha udugu na mshikamano na Waislamu waliowanusuru katika mauaji ya Kimbari.


m i j e l e d i wa z e e we t u
k a t i k a m a s h a m b a ya
mkonge, pamoja na
kuwanyonga hadharani
, hawakuwa Waarabu
Wa i s l a m u wa O m a n ,
walikuwa Wajerumani
wa l i o t a n g u l i z a B i b i a
n a Wa m i s h i o n a r i
kuwasafishia njia ya kuja
kutawala.
Kama kuna walilofanya
Waislamu wakati ule la
kustahiki kulaumiwa na
akina William Lukuvi,
ni lile la akina Suleimani
Mamba na Mtemi Mkwawa
kukataa kutawaliwa na
Wajerumani wakiwaita

kuwa ni wahuni.
Wa k a s h i k a s i l a h a
kupambana na Wajerumani
hao na kuandika historia
ya Majimaji na Siku ya
Mashujaa katika nchi hii.
Pamoja na chuki hizi
za kuitana siasa kali
na kuharibu historia
ya nchi hii, lakini leo
ukienda Peramiho
katika kumbukumbu
ya Vi t a ya M a j i m a j i ,
utakuta tasbihi na viriba
vya maji walivyokuwa
wakitawadhia wazalendo
na makamanda wa
Majimaji ambao wote
katika picha zao hapo,

wanaonekana wakiwa
wamevaa kanzu na
vilemba. Kipande cha
mswala waliokuwa
wa k i s wa l i a m a s h u j a a
hawa,
ambacho
awali kilikuwepo,
sasa kimeondolewa.
Yawezekana keso ukienda
na zile birika za kutawadhia
na tasbihi, wameziondoa
kuzidi kufuta historia hii
iliyotukuka.
Hii ndiyo rekodi ya
Waislamu katika nchi hii,
iliyokuja kuendelezwa
na wajukuu wa Suleiman

Mamba pamoja na
Masheikh wa Dar es Salaam
waliompokea Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere
mpaka akalazimika kuvaa
kofia kama wao katika
kupigania uhuru.
Sasa labda tuwaulize
h a wa wa n a o s a m b a z a
propaganda na kupiga
porojo za magaidi
n a Wa i s l a m u S i a s a
Kali, kuchochea chuki
zinazoweza kuleta
m a c h a f u k o b a i n a ya
Waislamu na Wakristo
katika nchi hii, wana
agenda gani?

baadhi ya magazeti juu ya


taarifa za Amboni, yalifikia
m a h a l i p a k u wa t i s h a
wananchi kuwa tayari
t u s h a va m i wa n a A l Shabaab. Na Al-Shabaab
hao, japo kikosi kidogo
tu, lakini kimewapeleka
puta polisi na wanajeshi
wetu wa JWTZ. Kisha
wakaja katika tahariri
kutaka hatua za haraka za
kiusalama zichukuliwe.
Jihad na Crusade
inayotakiwa hivi sasa
ni kuwaelimisha watu
wetu watambue mchezo
huu tunaochezewa na
watu waliokubali kuwa
Assets za mabeberu.
Tu wa f a h a m i s h e wa t u
wetu kuwa, wala tusijione
k u wa s i s i n i wa j a n j a
sana kuliko Nigeria,
The Giant of Africa.
Tukikubali kukokotwa na
kuzamishwa katika tope

hili ilikozama Nigeria,


hakuna cha polisi wala
jeshi litakalomaliza tatizo
hilo. Kila siku itakuwa ni
watu kuuliwa na kutekwa
nyara.
Hivi sasa katika Nigeria
kuna wanajeshi zaidi ya
150 ambao wanasubiri
hukumu ya kifo kwa kosa
la kukimbia vita. Askari
hao wakishitakiwa katika
Mahakama za Kijeshi
wanadaiwa kukataa
kupigana dhidi ya Boko
Haram. Lakini suala hapa
sio usaliti, kuasi wala woga.
Tabu ipo katika utata wa
adui wanayepigana naye.
Hawajui wanapigana na
nani. Wanauliza, mbona
adui haeleweki?
Sasa tunadhani kuwa
i p o h a j a ya k u f a n ya
darsa na Jihad kubwa,
haya mambo yafahamike.
Hatutaki wanajeshi wetu
yaje yawakute haya ya
askari wa Nigeria na Boko
Haram. (Soma makala
uk. 10)

Jihad kubwa inahitajika Tanzania


ugaidi.
Wakati Sheikh Saleh
na watu wake walikuwa
na kazi ya kuwatoa
Wa n ya r wa n d a k a t i k a
ujinga wa chuki baina ya
Wahutu na Watutsi, Jihad
ya Waislamu Tanzania
inapasa kuelekezwa katika
kuwaelimisha Watanzania
kufahamu kuwa adui
wa n a ye t a n g a z i wa , n i
aduni bandia. Ni adui wa
kutengenezwa.
Ukirejea matukio
yaliyodaiwa ya kigaidi
kama yale ya Bologna
massacre, mamia kwa
maelfu ya watu wasio na
hatia waliuliwa. Hivi sasa
tunazunguzia habri hizi
kwa sababu waliokuwa
wakipanga mauwaji hayo
na kusingizia magaidi,
wamefikia mahali sasa wao
wenyewe wanaziweka

hadharani siri zao


(declassified) lakini baada
ya kuwa wameangamiza
wa t u w e n g i s a n a n a
labda kufanikiwa katika
malengo yao. (Tazama
Documentary ya BBC'Operation Gladio' reveals
'Gladio', the secret statesponsored terror network
operating in Europe.Originally aired on BBC2
in 1992)
Hivi baada ya taarifa
za akina Susan, Michael
Schueur, Robin Cook
na 'Operation Gladio',
tutakuwa na kisingizio
gani kusubiri miaka
20 ijayo mafaili ya leo
yatakapowekwa wazi,
ndio tuyashangae haya ya
vyombo vyetu vya habari
kututangazia magaidi wa
machimboni Ambaoni?
Katika ushabiki wa

10
Na Omar Msangi
KWANZA nianze kwa
kusema kuwa Nigeria,
ikijulikana kama
Mwamba wa Afrika (The
Giant of Africa). Na hii
ni kwa kila kitu, ikiwa
ni pamoja na wasomi
na jeshi. Hata Bongo
Movies nadhani. Leo
kuambiwa eti jeshi la
Nigeria limekuwa mbwa
koko wa kukalia mkia
mbele ya Abubakar
Shekau, ni kituko na
kiroja kama kile cha
mtoto wa shule ya msingi
tuliyeambiwa aliwazidi
nguvu walinzi wa Ubalozi
wa Marekani akaingia na
kigeleni chake cha mafuta
ya taa kwenda kulipua
ubalozi huo.
Baadhi ya vyombo vyetu
vya habari vikapamba
habari hizo kwa maelezo
kuwa mtoto huyo alikuwa
amejifunza ugaidi kupitia
mawaidha yaliyokuwa
yakitolewa katika Msikiti
wa Matambani! Tuyaache
hayo, lakini ndio mambo
ya vyombvo vyetu vya
habari.
Si nia yangu kuleta
malumbano na waandishi
wenzangu. Lakini nadhani
ipo haja ya kujadili baadhi
ya mambo ili yaeleweke
katika sura yake halisi. Na
nipo tayari kukosolewa
au kuelimishwa kama
ufahamu wangu ndio
utakuwa wenye matatizo.
Na hili nalifanya kwa
kuzingatia kuwa vyombo
vyetu vya habari vimekuwa
vikifanya kazi kubwa ya
kuelimisha jamii na kuipa
mwelekeo wa mambo ya
msingi katika maisha na
ustawi wa nchi yetu. Sasa
ni mantiki ya kawaida tu
kuwa ni hitajio la lazima
kwa muelimishaji kuwa
na uoni mpana zaidi wa
mambo japo si lazima
kukijua kila kitu kwa
undani sana.
Mhariri wa gazeti la
Nipashe katika toleo la
gazeti hilo la Jumatatu
wiki hii, ameuliza swali
la msingi sana. Baada ya
maelezo marefu, Mhariri
anasema:
Sisi tunajiuliza, silaha
zilifikishwa vipi katika
m a p a n g o ya A m b o n i
pasipo vyombo vyetu
vya usalama kuzibaini na
kuwakamata wahusika
kungali mapema?
Weka swali hili la Mhariri
wa Nipashe kichwani
halafu soma habari hii.
Inasema:
polisi walizidiwa
nguvu ndipo walipoomba
msaada wa wanajeshi
na hivyo mapigano
yakaendelea. Baada
ya wanajeshi kuja
waliendeleza mapigano
na jamaa walifanikiwa
kukimbia.
Ufyatuaji wa mabomu
uliendelea katika eneo
lote kuzunguka mapango.
Kuna wakati wanajeshi

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Wandishi tunacheza
mchezo tusioujua
Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisa
Hatuna jeshi la kupambana na magaidi
Tusijidanganye. Sio wajanja kuliko Nigeria

BAADHI ya wanajeshi wa Nigeria waliofikishwa katika Mahakama ya Kijeshi


wakidaiwa kukataa kupigana na Boko Harram. (Picha na mashirika ya habari)

h a o wa l i z u n g u k a n a
kujikuta wanajeruhiana
wao kwa wao. Kwa sasa
eneo lote limezingirwa
na wanajeshi. Kilisema
chanzo chetu.

Eneo ambalo linatajwa


kuwekwa kambi na kundi
hilo ni lile la Ambano
Mafuriko lililozungukwa
na msitu. Inaelezwa kuwa
watu hao walifanikiwa

kujenga ngome iliyokuwa


na uwanja wa kufanyia
mazoezi ya silaha.
Inasemekana kikundi
hicho kimechimba handaki
kubwa wanalolitumia

kuhifadhi silaha zote


zinazoibwa katika maeneo
mbalimbali nchini.
Hizo ni habati kwa
mujibu wa Mtanzania
Jumapili ukurasa wa 2
na 3.
Tu j e k a t i k a h a b a r i
nyingine ikiwa na kichwa
cha habari kikinadi:
JWTZ yafumua
magaidi pangoni.
Kisha habari yenyewe
kama ilivyoandikwa na
mwandishi Angela Kiwia
inasema:
Makundi ya kigaidi ya
al-Shabaab yenye asili ya
Somalia na Boko Haram
kutoka Nigeria, yametajwa
kuhusika na uvamizi,
utekaji, uuwaji na kupora
silaha katika vituo vya
polisi nchini.
Ta a r i f a a m b a z o
JAMHURI imezipata
zinasema uvamizi huo ni
mkakati wa muda mrefu
unaofanywa na makundi
hayo.
Ta a r i f a z i n a s e m a
mkakati haramu
unaofanywa
na
makundi hayo ya kigaidi
unaratibiwa na baadhi ya
watu maarufu nchini kwa
kuwafadhili wahusika wa
uhalifu huo.
Vyanzo hivyo kutoka
ofisi nyeti vilieleza
kuwa mtandao huo wa
wafadhili wa kikundi
hicho yanafahamika
kwa vyombo vya
ulinzi ila vimeshindwa
kuwachukulia hatua.
Imeelezwa kuwa uporaji
wa silaha katika vituo vya
polisi umevishtua vyombo
vya ulinzi na usalama kiasi
cha kuwalazimu kuongeza
ulinzi katika Ikulu ya Rais
Jakaya Kikwete.
Vyanzo
hivyo
vinabainisha kuwa
mtandao wa kigaidi tangu
uingie nchini, umekuwa
ukiandaa vijana kwa ajili
ya kufanya vitendo vya
kihalifu na kuahidiwa
kiasi cha fedha.
Kikundi hicho
kinaelezwa kutoka katika
mpaka wa Pakistan na
Afghanistan maarufu kwa
jina la Peshawar Khabar
katika jeshi la wahalifu
ambao ni wataalamu wa
kutengeneza silaha na
milipuko wanaotumiwa
na vikundi vya kigaidi vya
Al-Qaida na al-Shabaab na
washirika wao duniani.
Wa s h i r i k a h a o
wanaelezwa kuingia
nchini wakitokea nchi
jirani ya Kenya na kuweka
kambi katika Mkoa huo
wa Tanga huku wakiwa
na mtandao wao katika
Jiji la Dar es Salaam na
Arusha. (Hilo ni gazeti
la JAMHURI katika toleo
lake la Jumanne Februari
17-23, 2015).
Yapo mengi mfano wa
hayo, lakini tuchukulie
kuwa yatawakilishwa
na mifano hii miwili.
Ninachokusudia
Inaendelea Uk. 12

11

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Tunajisemea tu, hatujui Boko Haram

MWEZI MACHI 6, 2014,


mwandishi Japheth
Omojuwa aliandika
makala yake aliyoipa jina:
Wendell Simlin: Another
badge of shame on
Jonathans escutcheon.
Akifanya uchambuzi
kuonyesha jinsi serikali
ya Nigeria ilivyozama
katika tope la ugaidi wa
Boko Haram na kwamba
itakuwa kichekesho na
kitu kisichowezekana
kwa serikali ya Goodluck
Jonathan kukabiliana na
kumaliza ugaidi wa Boko
Haram, alisema:
A d o g w i l l n o t
challenge its puppies for
trying to bark. A pig will
never dare to prevent its
offspring from getting
dirty. It is the very essence
of their existence.
Kwamba kama ambavyo
mbwa haweza kukikemea
kitoto chake kikibweka, na
kama ambavyo nguruwe
hawezi kumkinga mtoto
wake asichafuke, basi
huo ndio uhusianao
uliopo katika ya serikali
ya Nigeria na tuhuma za
ufisadi na ugaidi wa Boko
Haram.
Pa m o j a n a m a m b o
mengine, lakini
kilichomshtua Japheth
mpaka kuandika makala
hiyo ni kisa cha Kasisi
Reno Omokri, ambaye
ni Mtumishi wa Ikulu na
Msemaji wa Rais katika
masuala ya habari (Special
Assistant to the President
on New Media).
Presidential spokesman
Pastor Reno Omokri
caught with Boko Haram
propaganda, zilisambaa
habari na kuanza kushtua
watu kisha kufuatilia nini
kilijiri. Habari iko hivi:
Tarehe 26 Februari,
2014 ulisambazwa ujumbe
kupitia mtandao (email)
ukimuhusisha aliyekuwa
Gavana wa Benki Kuu ya
Nigeria, Alhaj /Mallam
Lamido Sanusi na ugaidi.
U j u m b e
h u o
uliosambazwa na
kutumwa katika mitandao
na vyombo mbalimbali
vya habari, ulionyesha
kutumwa na mtu aliyeitwa
Wendell Simlin kupitia
email, wendellsimlin@yahoo.
com.
Lamido Sanusi
alisimamishwa kazi baada
ya kuhoji kupotea kwa
kiasi kukubwa cha pesa
kutoka fuko la mapato ya
mafuta. Gavana huyo wa
Benki Kuu, alisema kuwa
kiasi cha Dola bilioni 20
($20bn) (12bn) za mapato
ya mafuta zimeyeyuka
kutoka Hazina, na
hazijulikani zilikozama.
Pa m o j a n a m a m b o
mengine, email ya
Wendell Simlin ilidai

Kadhia ya Reno Omokri Wendell Simlin

Malam Sanusi Lamido.

Kasisi Reno Omokri (kulia) akiwa na Mchungaji Ayo wakati wa uzinduzi wa moja
ya vitabu vyake.
kuwa Gavana huyo wa hicho cha Rais.
Februari 23, 2014, Boko
Benk Kuu, Alhaj Mallam
I k a e l e z w a k u w a Haram wakashambulia
Lamido Sanusi, ndiye Februari 20, 2014, Rais K o n d u g a
Local
mfadhili mkuu wa ugaidi G o o d l u c k J o n a t h a n Government, wakiharibu
na kwamba mashambulizi a l i m s i m a m i s h a k a z i m a k a z i y a w a t u n a
ya k i g a i d i y a m e z i d i Malam Sanusi Lamido kuuwa watu kadhaa na
baada ya kusimamishwa Sanusi akiwa Gavana wa siku iliyofuata Februari
kazi na Rais Goodluck Benki Kuu ya Nigeria. 24, 2014 wakashambulia
Junathan, kama ishara ya (Central Bank of Nigeria). msafara wa Gavana wa
kukasirishwa na kitendo
Siku tatu tu baadae, Jimbo la Borno.

Increased Tempo of Boko Haram/Terrorist


Activity in the Wake of the Sanusi Saga

IN the wake of the saga


involving the suspended
Governor of the Central
Bank of Nigeria, there has
been an increase in the
tempo of terrorist activities
carried out by the Islamic
Terrorist sect, Boko Haram.
Taken together with some
historical facts, there is a
strong case that this increase
in tempo and other activities

are not coincidental.


The following Timelines
may throw some light on the
likely linkages;
February 20th 2014:
President Goodluck Jonathan
suspends Malam Sanusi
Lamido Sanusi as Governor
of the Central Bank of Nigeria.
February 20th 2014: Boko
Haram attacks Bama town
killing at least 47, wounding

many and destroying houses.


February 23rd 2014: Boko
Haram attacks Konduga Local
Government, destroying
houses, and allegedly killing
scores of rural dwellers.
February 24th 2014: Borno
State Governors convoy
allegedly attacked by
gunmen.
February 25th 2014: Boko

Cont. Pg. 12

Taarifa hiyo ikamalizia


orodha yake ya
mashambulizi ya kigaidi
kwa kusema kuwa
Februari 25, 2014, Boko
Haram walishambulia
Chuo cha Buni Yada,
( F e d e r a l G o ve r n m e n t
College), katika Jimbo
la Yobe na kuuwa kwa
uchache wanafunzi 59
wakati wakiwa wamelala.
Pamoja na matukio
hayo, email ikasema
kuwa Sanusi ni rafiki wa
karibu sana wa Alhaji
Umaru Abdul Mutallab,
jambo ambalo ni la kweli.
Ikakumbusha kuwa
Farouk Abdul Mutallab,
aliyekamatwa katika tukio
la kigaidi lililodaiwa la
kutaka kulipua ndege
ya Marekani (Northwest
Airlines), ni mtoto wa
Alhaji Umaru Abdul
Mutallab. Yote hiyo, ikiwa
ni kujenga hoja kuwa
urafiki wa Alhaj Sanusi
na Alhaji Umaru Abdul
Mutallab, unatokana na
ushirika wao katika mambo
ya ugaidi. (Tunauweka
uumbe huo kama ulivyo
kwa Kiingereza)
Hata hivyo, wadadisi
wa m a m b o b a a d a ya
kuzamia katika masuala
ya IT, waligundua kuwa
ujumbe huo unatoka
k a t i k a I k u l u ya R a i s
Jonathan, ukiandikwa na
mtu wake mahususia wa
habari katika mitandao
(new media), Bwana Reno
Omokri.
Ufupi wa maneno
ni kuwa ililigundulika
kuwa barua/ujumbe huo
uliandikwa na kutumwa na
mtu wa Rais Reno Omokri,
akitumia jina la uwongo
Wendell Simlin na anuwani
wendellsimlin@yahoo.com
akitumia Hewlett Packard
computer yake saa 4 na
dakika moja asubuhi
(10:01) siku ya Jumatano.
D a k i k a 1 6 b a a d a ya
kumalizika kuchapwa
katika kompouta,
u l i t o l e s h wa k u t u m i a
printa na kisha baadae
saa 5 na dakika 54 (11:54)
ndio ikatumwa email kwa
kutumia email address
ya Wendell Simlin. Na
kwamba ilitumwa kupitia
Nigerian governments
official internet service
provider, Galaxy
Backbone, Abuja. (Kwa
maelezo zaidi ya kina soma:
Jonathan Media Man Reno
Omokri Caught Distributing
Sanusi-Boko Propaganda
Under Fake Name. Unaweza
kuangalia pia: BBCtrending:
The mysterious case of
Wendell Simlin-By BBC
Trending What's popular
and why Lamido Sanusi was
suspended from Nigeria's
central bank last month.)
Inaendelea Uk. 12

12

MAKALA

Tunajisemea tu, hatujui Boko Haram


Inatoka Uk. 11
Muunganiko huu,
kwamba tukio la kuuliwa
wanafunzi 59 wasio na hatia
wa chuo cha Buni Yada kule
Yobe, ikidaiwa kuwa ni
Boko Haram (Waislamu),
halafu wakaunganishwa
maa-Alhaji wawili, Alhaji
Umaru Abdul Mutallab na
Alhaj Malam Sanusi Lamido
Sanusi, anasema Japheth
kuwa, ni jambo la hatari
na linalotakiwa Wanigeria
kutafakari kwa makini bila
ya chuki kipofu, prejudice,
kuona ni namna gani siasa
chafu zinatumika kuwagawa
na kuwaangamiza wananchi
wa Nigeria kwa michezo
hatari ya Boko Haram.
As a people, we should be
very afraid of those who run our
country, anasema Japheth
O m o j u wa a k i h i t i m i s h a
makala yake.
Kufuatia kadhia hii,
mambo mawili yamejiri.
Kwanza amejitokeza mama
mmoja kutoka California
kwa jina la Deborah
Campbell, akisema kuwa
atamshitaki Reno Omokri,
kwa kuiba jina la mtoto wake,
Wendell Simlin, na kulitumia
vibaya. (Tazama: California
Woman Accuses President
Jonathans Aide , Reno Omokri,
of "Wendell Simlin Identity
Theft- 1 January 2015)
Akinukuliwa na baadhi
ya vyombo vya habari na
mitandao kupitia simu
na emails, Ms. Campbell
anasema kuwa Wendell
Simlin, ni jina la mtoto wake
na anakusudia kumshitaki
Bwana Omokri kwa kutumia
vibaya jina la mwanawe
kupiga propaganda chafu.
Zipo taarifa nyingi juu ya
uhusiano, na lini ulianza,
baina ya Omokri na kijana
huyo kutoka California,
lakini baadhi ya mitandao
inafahamisha kuwa Mr.
Omokri amekuwa notorious
for creating fake social media
accounts to burnish President
Jonathans image and demonize
opposition politicians.
Habari za kiuchunguzi
zinaonyesha kuwa Wendell
Simlin halisi, anaishi
Hercules, California na
kwamba mama yake
ameolewa na shemejiye
Omokri (Omokris brotherin-law).
Jambo jingine lililotokea
ni kuwa Rais Jonathan
amemuondoa Reno Omokri
na kumteuwa Obi Asika
kuchukua nafasi yake.
Bemigho Reno Omokri,
aliyezaliwa Januar1 22,
1974, ana Shahada ya Sheria
kutoka Chuo Kikuu cha
Wolverhampton na ni
mwandishi pia wa vitabu
vya Dini ya Kikristo ambapo
moja ya vitabu vyake ni
Shunpiking: No Shortcuts
to God.
Amekuwa akiishi
Marekani hadi 20011

alipokuja Nigeria kufanya


kazi katika ofisi ya Rais na
akiwa Marekani alitengeneza
filamu kadhaa za kidini
na vipindi vya televisheni
kuhubiri Injili.
Aidha, kabla ya kuwa mtu
wa Rais anayeshughulikia
propaganda katika
mitandao (social medi),
alikuwa Makamo wa Rais
(Vice President, Africa)
wa taaisi ya Kimarekani
inayojihusisha na kampeni
na mikakati ya kisiasa
ijulikanayo kwa jina la Joe
Trippi and Associates (U.S
Political Consulting firm).
Yeye pia ni Kasisi wa Kituo/
Kanisa la Mind of Christ

Christian Center, lenye


makao yake California na
Abuja, ambako amekuwa
akifundisha Neno la
Mungu.
Reno ni mashuhuri
katika siasa za Marekani
akiwa mmoja wa
wa n a j o p o ( p a n e l i s t ) United States Institute
of Peace, halikadhalika
Atlantic Council. Kwa
nafasi hiyo alimwakilisha
pia Rais Jonathan katika
vikao vya Royal Institute
for International Affairs,
London.
Reno Omokri alikuwa
mmoja watu 57 (G57)
wa l i os ai n i war a k a wa

kumtaka Rais Umaru


Yar'adua ajiuzulu Novemba
23, 2009 na ilipofika 20011,
Reno alikuwa miongoni
m wa Wa n i g e r i a k a t i k a
Diaspora, kwa maana ya
Wanigeria wanaoishi nje
ya nchi hiyo, waliomuunga
mkono Goodluck Jonathan
kuwa agombee urais, katika
uchaguzi mkuu wa mwaka
huo. Na ndio naye akarudi
Nigeria na kupewa kazi
Ikulu.
Mwaka 2013, Reno
Omokri alimuwakilisha Rais
Goodluck Jonathan, katika
Mkutano wa Inter-Faith
Dialogue and the Quest for
National Security in Nigeria,
ulioandaliwa na Interfaith
Activities and Partnership
for Peace, IFAPP.
Mwaka 2013, kitabu chake
Shunpiking: No Shortcuts to
God, kilizinduliwa kukiwa
na matamasha makubwa

katika Marekani juu ya


uzinduzi huo ambapo
mwaka huo huo ulimkuta
Reno Omokri akiwa katika
harakati nyingi za Ukasisi
akifanya vipindi katika
Redio na TV Marekani
(US Christian talk show,
'Atlanta Live') akihojiwa
na Cherisse Stephens.
Huyu Cherisse Stephens
ni maarufu kwa wasifu
wa American Gospel
Music star and Trinity
Broadcasting Network
hostess.

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Wandishi tunacheza mchezo tusioujua


Inatoka Uk. 10

kuonyesha katika
mifano hiyo ni kuwa
toka kuibuka taarifa
za Amboni, waandishi
wa habari tumekuwa
na shauku kubwa sana
kuona suala hili likipewa
nembo ya ugaidi. Lakini si
hivyo tu, litumike kukuza
kitisho na hofu ambayo
itapeleka salamu kwa
wananchi kuwa Tanzania,
si mahali salama tena pa
kuishi. Maana unaposema
kuwa baada ya polisi
kushindwa, JWTZ nao
walizidiwa maarifa
wakajikuta wanajeruhiana
wao
kwa
wao,
unachokusudia kusema
nini? Au unaposema kuwa
magaidi kutoka nje ya
nchi wameingia nchini na
kujenga kambi na ghala la
kuhifadhia silaha aridhini
na uwanja wa mazoezi,
katika eneo ambalo si
zaidi ya kilometa 20 au
hata ikiwa 100, kutoka
katika mji wa Tanga, lakini
serikali na vyombo vyake
vya usalama haina habari,
salamu gani unapeleka
kwa wananchi. Na hapa
ndio linakuja lile swali la
Mhariri wa Nipashe.
Jaaliya habari za JAMHURI
na Mtanzania ni za kweli
Unaweza kulitafsiri
s wa l i l a M h a r i r i wa
Nipashe katika namna
nyingi, lakini mimi
nitalipa sura mbili na
kuzitolea ufafanuzi. Moja,
ni hii inayoelezwa katika
Mtanzania na JAMHURI.
Kwamba unajaaliya kuwa
yaliyosemwa na magazeti
hayo ni kweli. Sasa swali
linahoji, serikali ipo wapi
mpaka wanaingia Boko
Haram, Al-Shabaab na
Al-Qaida kutoka katika
mpaka wa Pakistan na
Afghanistan maarufu kwa
jina la Peshawar Khabar
na kuweka kambi Amboni
wakiwa na maghala ya
silaha na viwanja vya
mazoezi?
J A H M U R I
linatufahamisha kuwa
magaidi hao kutoka
Peshawar Khaibar
baada ya kuingia nchini,
vyanzo kutoka ofisi
n ye t i v i l i e l e z a k u wa
wamekuwa wakiandaa
vijana kwa ajili ya kufanya
vitendo vya kihalifu na
k u a h i d i wa k i a s i c h a
fedha na kwamba kuna
mtandao wa wafadhili
wa kikundi hicho
wanaoratibu harakati
za kigaidi nchini (na
kwamba) wanafahamika
kwa vyombo vya
ulinzi, ila vimeshindwa
kuwachukulia hatua.
Kama alivyohoji Mhariri
wa Nipashe, kuna haja
gani ya kuwa na vyombo
vya ulinzi na usalama
kama vinakuwa na habari

Gazeti la Citizen
Jumatatu, 16 Feb. 2015,
limechapisha maoni ya
mwandishi Gitau Warigi
yakiwa na kichwa cha
habari kisemacho: If
postponing Nigeria polls is
a cynical ploy, God save us
all.

Katik a maoni yak e


Gitau Warigi anasema
kuwa Rais Goodluck
Jonathan wa Nigeria
amekuwa kituko akiongea
kama punguwani.
Aidha jeshi zima la
n c h i h i y o , l i m e k u wa
kiroja na kichekesho
lenye kudharauliwa
dunia nzima. Hii ni
kutokana na kushindwa
kabisa kukabiliana na
Boko Haram, likiwemo
lile tukio la kutekwa
wasichana 279 wa shule,
ambapo serikali na
vyombo vyake vyote vya
dola, pamoja na msaada
kutoka mataifa makubwa,
imeshindikana kujua
walikofichwa wasichana
hao na kuwaokoa toka
Aprili mwaka jana 2014.
Hivi sasa katika Nigeria
kuna wanajeshi zaidi ya
150 ambao wanasubiri
hukumu ya kifo kwa kosa
la kukimbia vita. (Tazama
k wa m f a n o : N i g e r i a n
soldiers sentenced to death for
refusing to fight Boko Haram
as Islamist group 'kidnaps
100 women and children'
in remote village raid.
Nigeria Troops Sentenced
Inaendelea Uk. 15

From Pg. 11
Haram attacks Federal
Government College, Buni
Yada, in Yobe State, killing
at least 29 students as they
slept.
History
It is a historical fact that
Malam Sanusi Lamido
Sanusi was implicated in the
Gideon Akaluka beheading
affair of 1995 and was
subsequently arrested in
Kano and detained by the
Abacha administration in
Sokoto, Sokoto State.
Sanusi was released after
the intervention of (amongst
others) Alhaji Umaru Abdul
Mutallab.
Alhaji Mutallab used his
influence to place Sanusi
comfortably in the banking
sector beginning with the
United Bank for Africa from
where he moved to First
Bank where he (Mutallab)
was chairman.
Malam Sanusi rose within
the ranks, aided by his
relationship with Mutallab,
until he was nominated
by President Yaradua and
confirmed by the senate as
the Governor of the CBN in
2009.
It is pertinent to note
two incidences that cannot
be coincidences. The son
of Alhaji Umaru Abdul
Mutallab (Farouk Abdul
Mutallab) eventually
entered into infamy when
he was arrested and tried
for attempting to detonate

an under wear bomb on a


Northwest Airlines flight
into America. Farouk Abdul
Mutallab became radicalized
after he had gone to study
Sharia and Islamic studies in
Yemen in 2009.
This was exactly the same
trajectory earlier taken by
Sanusi Lamido Sanusi who
schooled at the International
University of Africa in
Khartoum, Sudan in the
mid 1990s while Osama Bin
Laden was also a resident of
the city.
Alhaji Umaru Abdul
Mutallab appears to be a
recurring decimal in the life
of Sanusi and the unifying
factor appears to be their
passion for an Islamic world
order. For example, one of
Sanusis first act as Central
Bank Governor was to begin
the push for Islamic banking
which culminated in the
establishment of the first
Islamic bank in Nigeria, Jaiz
Bank. Alhaji Umaru Abdul
Mutallab is the Managing
Director of this bank.
Given the quantum of
funds that were appropriated
by the Sanusi led CBN
on non banking related
activities and donations,
and the strong desire
that he and Alhaji Umaru
Abdul Mutallab have for
proselytizing Islam as well
as their circumstantial links
to terror (Sanusi via Gideon
Akaluka and Mutallab via
his son) it is not such a leap
for them to facilitate the
activities of terrorists.

kuwa kuna mtandao wa


wafadhili wanaoratibu
vitendo vya kigaidi na
kuwahudumia magaidi
kutoka Peshawar, lakini
vinaogopa kuwachukulia
hatua? Je, watu hao ambao
wameshinda nguvu Idara
ya Usalama, Polisi na
JWTZ, serikali nzima, ni
akina nani?
Lakini ukija na
mtizamo huu, kwamba
yaliyosemwa na JAMHURI
ni kweli, na hivyo kuhoji
maswali hayo, unazua
balaa, tena si dogo. Itabidi
sasa tukubane utupe
maelezo zaidi. Maana
kwa hakika unachosema
hapa ni kuwa serikali
inahusika kuingiza na
kulea magaidi. Ni mchawi
anayetafuna wanae!
Tuiangalie Boko Haram
tunaweza kupata picha

Increased Tempo of Boko Haram/Terrorist


Activity in the Wake of the Sanusi Saga

13

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki Rwanda


Na Emily Wax
Oktoba 4, 2001 September 23, 2002
(Hisani ya mtandao wa
Washington Post, ripoti
za kimataifa)

RUHENGERI, Rwanda
- Wanavijiji wakiwa na
vilemba vyao vya kijani
kibichi na nakala za kijani
za Kurani waliwasili
katika msikiti Jumapili
mchana wakati mvua
inanyesha kwa ajili ya
mhadhara kwa waumini
wapya. Kulikuwa na
mada moja kubwa:
jihad. Walikaa vitini na
kupekua kurasa hadi
u n a o t a k i wa . M i k o n o
ilirushwa hewani. Watu
walisoma aya kwa sauti.
Na neno jihad - pambano
takatifu - lilisikika tena na
tena katika chumba hicho
chenye giza, kinachovuja.
Haikuwa aina ile ya
jihad ambayo imekuwa
ikisikika katika habari
tangu Septemba 11, 2001.
Hapakuwa na rejea kuhusu
Osama bin Laden, Kituo
cha Biashara cha Kimataifa
au walipua mabomu wa
kujitoa mhanga. Kulikuwa
tu na mazungumzo

MSIKITI mjini Kigali, Rwanda.


kuhusu April 6, 1994, siku
ya kwanza ya mauaji ya
halaiki yaliyopangwa na
serikali ambako watu
wa siasa kali wa ki-Hutu
waliwaua raia 800,000 wa
kabila la wachache la wa-

Tutsi na wa-Hutu wenye


msimamo wa wastani
kisiasa.
" Tu n a j i h a d i y e t u
wenyewe, na hii ndiyo vita
yetu dhidi ya ujinga kati ya
wa-Hutu na wa-Tutsi. Ni

harakati yetu ya kupona,"


alisema Saleh Habimana,
mufti wa Rwanda.
"Jihadi yetu ni kuanza
kuheshimiana na kuishi
kama Wanyarwanda na
kama Waislamu."

yao katika eneo hilo.


Nadharia za ki-Darwin
za mabadiliko-maumbile
na tofauti za rangi wakati
huo, zilikuwa na nguvu.
Mapadri hao wakaunda
nadharia tete ya kibaguzi
kuelezea ni vipi jamii
yenye mpangilio wa dhati
ilivyozuka, wakaunda
dhana iitwayo 'nadharia
ya u-Hamu,' iliyoeleza
kuwa jami za Kiafrika
zilizokuwa na 'ustaarabu'
zilitokana na uvamizi wa
wana wa Hamu ambao
mwanzoni walikaa
maeneo ya Ethiopia.
Historia ya Rwanda
ikaandikwa (upya) na
wamishionari wa Kanisa
Katoliki na watawala
wa kikoloni wa Ubelgiji.
Wa-Tutsi walikuwa watu
wa hali ya juu, wazaliwa
wa Hamu, wakati waHutu walikuwa wa
uzao tofauti na hatma
yao ilikuwa kudhibitiwa
kama watwana wa kiBantu, wakati kundi dogo
la wasaka nyama porini
na wachukuzi, wa-Twa
walionekana ni wakazi
wa asili wafupi - ambao

walikuwa ni wa ngazi
ya awali ya mabadilikomaumbile ya binadamu.
Matokeo yake ikawa ni
kuwa ni wa-Tutsi pekee
waliokuwa wakipewa
nafasi za utawala nchini
Rwanda; mamlaka yao na
upendeleo ukaongezeka
sana. Bila shaka, chuki
za wa-Hutu nazo
ziliongezeka.

Ta n g u m a u a j i y a
halaiki, Wanyarwanda
wamegeukia Uislamu
kwa makundi makubwa.
Waislamu sasa ni asilimia 14
ya watu milioni 8.2 wa nchi
hiyo ambayo inaongoza
kwa Ukatoliki barani
Afrika, mara mbili zaidi
ya kabla ya mauaji kuanza.
Wa b a d i l i d i n i we n g i
wanasema waligeukia
Uislamu kutokana na
kile kilichofanywa na
baadhi ya makasisi wa kiKatoliki na ki-Protestanti
ambako waliwaruhusu
wa-Tutsi kupata hifadhi
katika makanisa yao,
halafu wakawatoa kwa
makundi ya wauaji wa
ki-Hutu, pamoja na
matukio ambako makasisi
wa ki-Hutu walikuwa
wanawahimiza waumini
wao kuua wa-Tutsi.
Leo hivi baadhi ya
makanisa yanatumika
kama makumbusho ya
watu wengi waliouawa
katika hifadhi ya
wachungaji wao.
Makasisi wanne
walishtakiwa kwa makosa
ya mauaji ya halaiki katika
Inaendelea Uk. 14

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa Katoliki

Uchambuzi wa gazeti la Uingereza, Aprili 16, 2004


Uchambuzi - Na Mwandishi Maalum
MATUKIO na upitiaji
wa k u m b u k u m b u ya
miaka 10 ya mauaji ya waHutu dhidi ya wa-Tutsi
takriban 800,000 wakati
wa k i a n g a z i c h e p e s i
(barani Ulaya) mwaka
1994 hayajatilia maanani
nafasi ya taasisi ambayo
imehusika sana na mauaji
hayo ya halaiki, Kanisa
Katoliki. Nafasi yake
inaweza kulinganishwa
na jinsi ilivyounga mkono
utawala wa kifashisti
Ujerumani, Nazi, kutwaa
madaraka mwaka 1933.
Wakoloni
wa
Kijerumani walipowasili
kwa makundi RwandaBurundi miaka ya 1870
walikuta, kwa viwango
vya Afrika, mfumo thabiti
wa kijamii. Wa-Tutsti,
ambao si kabila halisi lakini
wanatokana na kabila la
wa-Nyiginya,, walikuwa
wanatamalaki. Walikuwa
zaidi wanamiliki ng'ombe,
wakiwa na mamlaka katika
maskani ya kitemi, ikiwa

na sura ya mahakama ya
nchi, na taasisi zilizokuwa
zinategemea utemi, wakati
wa-Hutu walikuwa zaidi
ni wakulima masikini.
Lakini wakulima wa kiHutu waliweza kuingia
katika ngazi ya u-Tutsi
kwa kufuzu, na machifu
wa ki-Hutu wakiwa na
nafasi ya maana katika
jamii.
Kuanzia miaka ya 1880 na
kuendelea, wamishionari
wa ki-Belgiji wa Kanisa
Katoliki wa kundi la
'White Fathers' la Roma
waliongeza ushawishi wao
katika eneo hilo, na katika
makubaliano ya Versailles
mwaka 1919 baada ya
Vita Vikuu vya Kwanza,
Rwanda ikawekwa chini
ya udhamini wa Ubelgiji
kwa niaba ya Muungano
wa Mataifa (League of
Nations).
Fikra ya Darwin ya
mabadiliko-maumbile
"White Fathers"
waliimarisha nafasi

Wamishionari vijana
kutoka kwa Papa
Baada ya Vita Vikuu
vya Pili, ushawishi wa
mapadri wa 'White
Fathers' ulipungua
lilipoanza kuwasili wimbi
la wamishionari vijana
kutoka Vatican, wakitokea
seminari za Ubelgiji.
Walikuja na nadharia
za 'haki za kijamii;
ambazo sasa zilikuwa
zinajengwa na Vatican ili
kueneza ushawishi wa
Kanisa Katoliki katika
nchi zinazoendelea.
Wa m i s h i o n a r i h a w a
wa - F l e m i s h , m o j a ya
' m a k a b i l a ' m a k u b wa
mawili nchini Ubelgiji,

walijitambulisha kuwa
karibu na wa-Hutu walio
wengi wanaonyanyaswa,
na taratibu wakalazimisha
wa-Tutsi kuachilia kibano
chao juu ya nchi hiyo. Hiyo
ilifikia uasi wa ki-Hutu
mwaka 1959 ambako waTutsi 10,000 waliouawa
na zaidi ya 100,000
kufukuziwa uhamishoni.
Miaka mitatu baadaye,
Gregoire Kayibanda,
Katibu wa Mhashamu
Vincent Nsengiyumva,
Askofu Mkuu wa
Rwanda, akawa Rais wa
kwanza wa nchi huru ya
Rwanda, baada ya kuuda
Chama cha Uimarishaji
Kibaguzi wa wa-Hutu,
'Parme Hutu.' Sasa waTutsi wakawa wanaokena
katika fikra ya Kanisa
Katoliki kama wavamizi
kutoka Ethiopia na Kanisa
likaanza kuchochea miito
ya wa-Tutsi kurudishwa
makwao.
Wa-Tutsi 'mende'
Tu k i o m o j a l a
kukumbukwa ni barua
Inaendelea Uk. 14

14

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki Rwanda


Inatoka Uk. 13
Mahakama ya Kimataifa
ya Jinai ya Rwanda, na
nchini Ubelgiji, iliyokuwa
inaitawala nchi hiyo,
watawa wawili wanawake
wa Rwanda walipatikana
na hatia ya mauaji
kutokana na nafasi zao
katika mauaji ya wa-Tutsi
7,000 ambao waliomba
hifadhi katika maskani ya
wa-Benediktino.
Tofauti na hapo,
viongozi wengi wa
Kiislamu na familia za
Wa i s a l m u , wa n a p a t a
heshima kwa kuwalinda
na kuwaficha wale
waliokuwa wanakimbia.
Baadhi wanasema
walifanya hivyo kutokana
na maelekezo ya nguvu ya
dini dhidi ya kuua, licha
ya kuwa mafundisho wa
Kikristo pia yanakataza
kuua.
Wengine
wanasema Wais lamu,
ambao wanaonekana ni
wachache wanaobaguliwa,
hawakuingizwa katika
kampeni ya wa-Hutu ya
mauaji na hawakuogopa
kuunga mkono suala
ambalo waliliona ni la

RAIS wa zamani wa Rwanda, Hayati Juvenal Habyarimana (kushoto).


heshima.
37, m-Tutsi aliyebadilika ilinichukua. Waliokoa
"Najua watu nchini kuwa Muislamu kutoka maisha yangu."
M a r e k a n i wa n a d h a n i Ukatoliki baada ya baba
Segahatu anasema baba
k u w a Wa i s l a m u n i ya k e n a wa n a f a m i l i a yake alikuwa amefanya
m a g a i d i , l a k i n i k wa wanane kuuawa.
kazi katika hospitali
Wanyarwanda walikuwa
" N i l i t a k a k u j i f i c h a ambako alikuwa na urafiki
wapigania uhuru wakati katika kanisa, lakini hapo na familia ya Kiislamu.
wa mauaji ya halaiki," palikuwa mahali pabaya Wa l i m c h u k u a n d a n i
a l i s e m a J e a n - P i e r r e zaidi kwenda. Badala Segahatu. licha ya kuwa
Sagahatu, umri miaka yake, familia ya Kiislamu walikuwa wa-Hutu.

"Niliwaangalia wakisali
m a r a t a n o k wa s i k u .
Nilikula nao na niliona jinsi
wanavyoishi," alisema.
"Wanaposali, wa-Hutu
na wa-Tutsi wanakuwa
katika msikiti mmoja.
Hakuna tofauti. Nilihitaji
kuona hilo."
Uislamu kwa muda
mr e f u ume k uwa d i ni
ya wa n a o n ya n ya s wa .
Maeneo ya Mashariki ya
Kati na Asia ya Kusini,
dini hiyo imekuwa na
mwelekeo wa kina wa
kuwafikia walio maskini
na kutatua mapungufu
ya maisha kwa kupiga
marufuku unywaji pombe
na kusititiza utulivu katika
mahusiano ya kimapenzi.
Nchini Marekani, Malcolm
X alitumia aina ya Uislamu
kufanikisha uwezeshaji
kiuchumi na kijamii kwa
watu Weusi nchini humo.
Viongozi wa Kiislamu
wanasema wana wafuasi
wasiotiliwa shaka nchini
Rwanda, ambako ukimwi
na umasikini vimechukua
nafasi ya mauaji ya halaiki
kama matatizo makubwa
Inaendelea Uk. 16

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa Katoliki


Inatoka Uk. 13

chafu iliyopelekwa
mwaka 1972 kwa Askofu
Mkuu na kundi la
mapadri 11 wa ki-Hutu
na viongozi wa Kanisa,
ikiwazungumzia wa-Tutsi
kama 'inyensi,' (mende)
- neno ambalo lilitumiwa
mara nyingi na wauaji
wa ki-Hutu mwaka 1994.
Wakizungumzia mauaji
ya 1959, barua ilisema:
"Baada ya kushindwa kwa
wapinga maendeleo, wainyensi, mtu angetazamia
kuwa watu wenye uelewa,
waliowekwa kumtumikia
Mungu, wangenyenyekea
mbele ya ushindi wa
wa t u ( wa l i o w e n g i ) .
Wa-Hutu wanaonekana
kulala usingizi kwa sifa za
ushindi, wakati wa-Tutsi
wanajitahidi kwa kila njia
kuwa tena wamiliki wa
matukio. Ni kwa muda
gani ambao tunaweza
kuendelea kuwaruhusu
ndugu zetu wa ki-Tutsi
kutufanya wapumbavu?"
Mmoja wa waandishi
wa barua hiyo, Andre
Havugimana, baadaye
alifikia ngazi za kuu katika
Kanisa Katoliki nchini

Rwanda.
Mwaka uliofuatia barua
hiyo, Kanisa Katoliki
hadharani likaunga mkono
kuondolewa kwa wa-Tutsi
kutoka katika mashule,
vyuo na idara za serikali.
Unyanyasaji na mauaji ya
hapa na pale ya wa-Tutsi
yalikuwa hayakwepeki
kutokana na ukandamizaji
huu. Mwaka 1992, Hassan
Ngeze, mwandishi wa
habari aliyekuwa
akitumikia chama cha
siasa kali cha ki-Hutu,
alichapisha waraka wa kiHutu ukiitwa Amri Kumi
za Wahutu. Amri ya Nane
ilikuwa, "Acha kuwa na
huruma kwa wa-Tutsi."
Roma, Marekani na mauaji
ya halaiki
Matukio yaliyofikia
hadi mauaji ya halaiki
April 1994 yalikuwa, kwa
mujibu wa wataalamu
wengi, yamepangwa na
kuratibishwa na viongozi
wa Kanisa Katoliki na
wanasiasa wakishirikiana
na wa-Hutu wa siasa kali na
Balozi wa Marekani David
Rawson. Mahali pa kazi
awali pa Rawson ilikuwa

ni nchini Somalia ambako


alitumia mamilioni ya dola
za Marekani kupeleka
silaha za Marekani kwa
utawala muflisi wa Siad
Barre. Hiyo ilifuatiwa
na kuondoka kwa aibu
kutoka Somalia wakati
nchi hiyo ikitumbukia
katika mparaganyiko.
N a f a s i m u h i m u ya
Marekani katika mauaji
ya Rwanda ilikuwa ni
kukanusha kuwa mauaji
ya halaiki yalikuwa
yakiendelea, kwani chini
ya Sheria za Kimataifa
hali hiyo ingelazimu
kuwa Umoja wa Mataifa
na Jumuia ya Kimataifa
kuchukua hatua kuingilia
kati. Badala yake wakadai
kulikuwa na matukio
binafsi ya mauaji ya kimbari. Pia walizuia jitihada
za Umoja wa Mataifa
kupeleka wanajeshi nchini
Rwanda.
Katika makala ya gazeti
la Guardian mwaka 1999
, Chris McGreal aliandika
kuhusu kushindwa
k wa K a n i s a K a t o l i k i
kuzuia umwagaji damu,
kuwa "lilishindwa kwa
sababu linaaminiwa
na watu wanne kati ya

watano nchini Rwanda,


na hata hivyo lilifanya
juhudi ndogo sana
kuwashawishi wauaji
vinginevyo. Kushindwa
huko kunaendelea hivi
leo kutokana na kukataa
ukweli wa kilichotokea na
kukwepa kukiri kuhusika
kwake katika mauaji ya
halaiki."
Roma, Wanatheologia na
mauaji
Mapadri kadhaa
walishiriki kwa kina katika
mauaji ya halaiki ya waTutsi, akiwemo Augustin
Misago, aliyeshitakiwa
mwaka 1999 kwa madai
ya kuwapeleka watoto
kushiriki katika makundi
ya mgambo ya ki-Hutu.
Katika tukio moja, wa-Tutsi
wasio na silaha dazeni
kadhaa waliuawa ndani ya
kanisa la Kikatoliki. Misago
alisema: "Walisababisha
hilo wenyewe kwa
kuficha bunduki."
Miaka miwili baadaye,
kikundi cha wapigania
haki za binadamu,
ambacho kilipeleleza
ushiriki wa Kanisa
Katoloki katika mauaji

h a y o , k i l i m wa n d i k i a
Papa kusema kuwa
"inashangaza kuona
juhudi za kila wakati
kusafisha utawala wa
Kanisa Katoliki na taasisi
hiyo kwa gharama
yoyote." Inasikilisha kuona
kuwa baadhi ya taasisi za
kichungaji ambazo awali
zilikuwa za ki-Protestanti
pia ziliangalia pembeni
mauaji yakiendelea.
Wiki iliyopita (kwa
tarehe ya makala),
Waziri Mkuu Tony Blair
(wa Uingereza) alisema
ataharakisha kupeleka
bungeni muswada wa
kuweka vitambulisho.
Kama
ambavyo
utambulisho wa Wayahudi
katika orodha za serikali
za mitaa nchini Uholanzi
katika miaka ya 1930,
uliwawezesha watu wa
Hitler kuwatambua na
kuwakamata Wayahudi
n c h i n i h u m o m wa k a
1940, inachangamsha
kukumbuka kuwa
itikadi ya kibaguzi yenye
mizizi ya Kikatoliki ya
miaka ya 1920 na 1930
iliwahitaji Wanyarwanda
w o t e
k u b e b a
Inaendelea Uk. 16

15
Inatoka Uk. 12
To Death For Cowardice:
Scores of elite troops will
face the firing squad for
not joining an operation to
win back territory taken by
Boko Haram. Nigeria: 54
Soldiers Sentenced to Death
for Mutiny.)
A s k a r i
h a o
wakishitakiwa katika
Mahakama za Kijeshi,
wanadaiwa kukataa
kupigana dhidi ya Boko
Haram. Lakini suala
hapa sio askari hao
kukataa kupigana au
k wa m b a wa m e g e u k a
na kuwa wasaliti. Tabu
ipo katika utata wa adui
wanayepigana naye.
Hawajui wanapigana na
nani. Mara kadhaa kikosi
kinapelekwa kukabiliana
na Boko Haram, wakiamini
kuwa ni magaidi
kama wanavyomwona
Abubakar Shekau
katika video zake, si
gaidi chochote. Ni kama
punguwani fulani hivi.
Lakini wanapofika mahali
wanapotakiwa kufanya
operesheni, ghafla
wanakumbana na jeshi
kamili lenye silaha nzito
kuliko zao na kujikuta
askari wakiuliwa ovyo.
Katika tukio moja,
kufumba na kufumbua,
waliuliwa askari 26. Hawa
ni wanajeshi kamili na
vyeo vyao, sio mgambo wa
Jiji au polisi jamii wa ulinzi
shirikishi.
Hali kama hii ndiyo
inawafanya wanajeshi
wa Nigeria kuhoji,
wanapigana na nani?
Mbona adui haeleweki na
kwamba inavyoonekana
iko siri kubwa juu ya
Boko Haram ambayo wao
hawaijui labda wakubwa
zao na wakuu wa serikali!
Hao tunaosikia Boko
Haram leo kule Nigeria
kuwa jeshi limewashindwa
mpaka likaomba wanajeshi
kutoka nchi jirani na hata
mbali Marekani, Israel
na nchi za NATO, tukio
lao la mwanzo kuingia
kazini lilitangazwa kama
hili la Amboni. Kwamba
waliteka silaha kutoka
vituo vya polisi na baada
ya hapo ndio wakaanza
kufanya mashambulizi ya
kigaidi. Sasa ni jeshi lenye
mizinga, makombora,
magari ya kijeshi,
hawapungukiwi bunduki,
risasi wala wapiganaji.
Imekuwa kikosi ambacho
kinaweza kuteka watoto
wa shule kwa zaidi ya
mwaka polisi, jeshi la
Idara zote za Usalama
za Nigeria na vikosi vya
msaada kutoka Marekani,
Uingereza na Israel,
vikashindwa kutambua
walikowaficha!
Nigeria na Boko Haram
yao mpaka kufika hapa
ilipo, imepitia hatua
kama nne muhimu.
Kwanza waliibuka watu
wakijiita Jama'atu Ahlis

AN-NUUR

Makala

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Wandishi tunacheza mchezo tusioujua

KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja.


Sunna Lidda'Awati WalJihad, wakipinga elimu
yenye maadili waliyoita
ya kikafiri. Hiyo ilikuwa
mwaka 2002.
Katika hatua hiyo ya
awali, baada ya viongozi
wa Kiislamu kuona
mwelekeo potofu wa Ustaz
Mohamed Yusuf na kundi
lake, walitahadharisha
sana serikali na mamlaka
inayosimamia televisheniN i g e r i a n Te l e v i s i o n
Authority (NTA) kuwa
a s i p e we f u r s a k a t i k a
vyombo vya habari, lakini
hilo halikuzingatiwa.
Akaachwa na kupewa
fursa katika vyombo vya
habari mpaka akapata
umaarufu na wafuasi
wa kutosha kuweza
kupambana na polisi.
Kuna uwezekano wa
namna mbili hapa. Moja
ni kuwa huenda Ustaz
Yusuf na kundi lake
walikuwa watu huru tu
wasio na matata, lakini
baadae likatekwa nyara
na watu wenye malengo
mengine. Au pengine hata
kuanza kwao ilikuwa
ni sehemu ya mkakati
mzima wa yaliyokuja
kujiri baadae, japo wao
wenyewe wanaweza
wasijue. Wakitumiwa tu.
Hili la pili linapewa nguvu
zaidi kutokana na maisha
aliyokuwa akiishi kiongozi
wa k e h u y o wa a wa l i
Ustaz Mohammed Yusuf.
Akiishi katika jumba la
kifahari na kuendesha
gari la kifahari aina ya
Mercedes-Benz na watoto
wake wakisoma Ulaya na
yeye mwenyewe kasoma
(akiwadanganya wafuasi
wa k e k u wa k u p e l e k a
watoto shule ni haramu),
lakini bila kujulikana
anafanya biashara gani.
Hali iliyokuwa tofauti

kabisa na maisha yake


ya awali kabla ya kuingia
katika harakati za Boko
Haram.
Hatua ya pili, ilikuwa
ya kuhasimiana na serikali
kwa madai mbalimbali.
Tatu, matumizi ya vurugu.
Katika hatua hii, serikali
i l i k u wa i k i wa k a m a t a
viongozi na wafuasi wa
kikundi hiki kuwafunga na
hata kuwauwa akiwemo
Ustaz Mohammed Yusuf.
Ilikuwa hatua ya kuuliwa
kiongozi huyo Julai 30,
2009, iliyofungua ukurasa
wa ghasia na mauwaji ya
kigaidi. Na hili lilifanywa
kama filamu na jambo la
kupangwa. Yusuf aliuliwa
kikatili huku polisi
wakirekodi mkanda wa
kuuliwa kwake na kisha
ukasambazwa. Hiyo
ikalipua wafuasi wake.
Ikawa ni mapambano ya
polisi na watu waliodaiwa
wa kikundi hiki.
Hata hivyo, hiyo
ilikuwa kama mtaji tu wa
kuanzia, lakini haukuweza
kufikisha kitisho cha
Boko Haram katika
sura hii inayoonekana
hivi leo. Mambo ya
ziada yalifanyika. Mara
k a d h a a wa l i k a m a t wa
watu wasio Waislamu
wa k i l i p u a m a k a n i s a ,
halafu inatangazwa kuwa
walikuwa Boko Haram.
(Soma, When Boko Haram
Became Christians..)
Mara kadhaa pia
zimekamatwa shehena za
silaha zikiingizwa ndani ya
nchi, lakini kesi zake huisha
kwa namna isiyoeleweka.
Tukio la hivi karibuni
ni kukamatwa mara
mbili kwa ndege binafsi
ya Mchungaji Ayodele
Joseph Oritsejafor, ikiwa
na lundo la dola kwa ajili
ya kununua silaha Afrika

ya Kusini. (Tazama: Arms


Smuggling Jet Caught With
$10million In South Africa
Linked To CAN President,
Ayo Oritsejafor). Ilimuradi
yamezuka mambo mengi
yenye utata ambapo mpaka
leo inakuwa vigumu mtu
kusema nani Boko Haram
wa sasa ikilinganishwa na
wale wa awali wa Ustaz
Yusuf.
Ilipokubalika tu kuwa
kuna kitisho cha magaidi
wa Boko Haram, kosa.
Waliibuka wapiganaji
wenye silaha ambao
hata inakuwa vigumu
kujua walitoka wapi na
silaha wanapata wapi.
Ikawa ni mauwaji juu ya
mauwaji, na kila wanajeshi
walivyojizatiti ndivyo
Boko Haram walivyozidi
kuwa na nguvu zaidi kwa
maana ya silaha kali na
wapiganaji wenye ujuzi wa
kijeshi. Inabidi sasa Jeshi
wahoji, nani hawa Boko
Haram kabla hatujapigana
n a o ? Wa n a h u k u m i wa
kifo kwamba eti wanaleta
mutiny!
Hebu wachukulie hao
wanaodawi kuwa waliteka
vituo vya Polisi kupata
silaha za mtaji kuwa ndio
Boko Haram. Akili ya
kawaida inataka ujiulize,
je kwa silaha hizo za mtaji
walizoteka, wanaweza
kushinda nguvu ya polisi
na jeshi la nchi? Kama
walianza kwa kupora
SMG mbili tatu kutoka
vituo vya polisi mithili
ya kile cha Mkuranga au
Rombo, hivyo si Vituo vya
kuwa na amari kubwa (na
kwa kuanzia hawawezi
k u va m i a k i t u o k a m a
Oyster bay au Msimbazi).
Hivyo waweza kukisia
idadi na aina ya silaha
walizopora. Je, hizo ni
s i l a h a z a k u wa f a n ya

washinde Polisi na jeshi


zima na kudumu hadi
kufikia hali hii ya leo
ambapo ni tishio si kwa
Nigeria pekee, bali hata
kwa nchi jirani? Silaha za
ziada wamezipata wapi?
Silaha nzito za kijeshi na
magari mazito ya kijeshi
wanayodaiwa kuwa nayo
Boko Haram hivi sasa,
wameyapata wapi? Je, ni
nchi imewaagizia? Kama
wa m e a g i z a we n ye we
kutoka nje ya nchi,
wamenunua kutoka nchi
gani na pesa wamepata
wapi? Je, Nigeria
haina idara za usalama
kubaini silaha haramu
zinazoingizwa nchini?
Kwa hiyo lile swali la
Nipashe ukilileta katika
uelewa huu wa kujaaliya
kuwa habari za gazeti letu
la JAMHURI, ni za kweli
, unakwama, isipokuwa
kama utakuwa na ujasiri
wa kutuambia kuwa Boko
Haram ipo kwa sababu
serikali inataka wawepo.
Je, tumekuwa na akina
Jerry Gana wakwetu?
Kuna jambo muhimu
sana kalisema mwandishi
Angela Kiwia wa
JAHMURI. Anasema,
nchini hapa Tanzania, kuna
mtandao wa wafadhili
wanaoratibu vitendo vya
kigaidi ikiwa ni pamoja
na kuwalipa magaidi
kutoka Peshawar pamoja
na vijana wa Kitanzania
wanaochukua mafunzo
ya ugaidi. Anasisitiza
Kiwia kuwa watu wetu
wa Idara zetu za Usalama
wanawajua watu hao, ila
wanaogopa kuwagusa.
Walichofanya ni kuzidisha
tu ulinzi Ikulu???
K wa b a h a t i m b a ya
mwandishi wetu Angela
Kiwia wa gazeti letu
JAMHURI, hakuwataja
wafadhili hao, pengine
kwa sasa ameona ahifadhi
majina yao!
Habari kama hii iliwahi
kuandikwa Nigeria mwaka
2008 alipokamatwa ustaz
Yusuf na 2009 wakati
alipouliwa Ustaz huyo
wa Boko Haram. Kwanza
magazeti yalihoji, kwa nini
Mohamed Yusuf aliuliwa
wakati alishakamatwa
na kushikiliwa na polisi
ambapo angesaidia
kufichua mtandao mzima
unaodaiwa wa kigaidi.
Pili, wakasema, taarifa
za polisi zinaonyesha
kuwa mtu aliyemwekea
dhamana alipokamatwa
kwa mara ya kwanza
na polisi mwaka 2008 ni
Profesa Jerry Gana ambaye
amekuwa akitajwa kuwa
ni mmoja wa wafadhili
wake. Na kwa mujibu wa
taarifa za polisi, Prof. Jerry
Gana, ndiye alikuwa mtu
wa mwisho kuwasiliana
na Mohamed Yusuf, mara
tu baada ya kukamatwa na
vyombo vya dola na kabla
ya kuuliwa. Bila shaka
Inaendelea Uk. 18

16

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki Rwanda

Inatoka Uk. 14
zaidi.
"Uislamu unaendana
na mfumo wa jamii
yetu. Unawasaidia walio
katika umaskini. Unatoa
mafundisho dhidi ya hulka
ambazo zinasababisha
ukimwi. Inatoa elimu
katika Kurani na Kiarabu
ambako kuna elimu nyingi
inatolewa," alisema Mufti
Habimana.
"Nadhani watu
wanaweza kujihusisha na
Uislamu. Wanabadili dini
kama ishara ya shukrani
kwa jumuia ya Kiislamu
ambao waliwapa hifadhi
wa k a t i wa ma u a ji ya
halaiki."
Wa k a t i n c h i z a
Magharibi zina wasiwasi
kuwa kukua kwa Uislamu
kunaendana na hatari ya
kuzuka harakati za kigaidi,
hakuna dalili zozote za
siasa kali ya Kiislamu
nchini Rwanda.
Hata hivyo, baadhi

ya maofisa wa serikali
kimyakimya wanaeleza
wasiwasi kuwa baadhi ya
misikiti inapokea misaada
kutoka Saudia, ambako
mwelekeo rasmi ni wa
kundi la Wahhabi, ambao
umeenea miongoni mwa
makundi ya kiharakati
katika maeneo mengine
duniani. Pia wanakuwa na
wasiwasi kuwa viwango
vya juu vya umaskini
n a m s h t u k o wa k i n a
miongoni mwa wakazi
wake unafanya Rwanda
kuwa mahali stahili pa
kuchepua siasa kali ya
Kiislamu.
Lakini Nish Imiyimana,
Imamu wa hapa Ruhengeri,
takriban kilometa 45
kutoka Kigali, mji mkuu,
anahakikisha:
"Tuna matatizo yetu
yanatutosha. Hatutaki
bomu lituangukie
limedondoshwa na
M a r e k a n i . Tu n a t a k a
m a s h i r i k a ya s i y o ya

Inatoka Uk. 14

m a r a i s wa R wa n d a n a
Burundi ilipoangushwa
wakati ikijitayarisha kutua
jijini Kigali. Katika siku 100
zilizofuata, Wanyarwanda
wanaokisiwa kufikia 800,000
waliuawa.
Washiriki wa makundi
ya mgambo, wanajeshi na
raia walifanya matendo ya
kutisha yasiyo na mpaka,
kimsingi dhidi ya wa-Tutsi
wachache, lakini pia dhidi
yawa-Hutu walio wengi
waliokataa kujiunga na
mauaji au waliokuwa katika
vyama vya upinzani.
Wauaji walikuwa zaidi
raia wakiwa na mapanga,
majembe ya bustani na rungu
zenye ncha, wakisukumwa

kiserikali ya Marekani
kuja kutujengea hospitali
badala yake."
Maimamu kutoka
kote nchini wanafanya
mikutano baada ya
Septemba 11, 2001
kufafanua ina maana gani
kuwa Muislamu.
" N i l i m wa m b i a k i l a
mtu, Uislamu maana
yake ni amani," alisema
Imiyimana, akikumbuka
kuwa msikiti ulikuwa
umejaa sana siku hiyo.
" U k i f u a t i l i a
t u l i c h o k i f a n ya ( h a p a
nchini), haikuwa vigumu
kutanabaisha hilo."
Hali hii inaleta wasiwasi
k wa K a n i s a K a t o l i k i .
Mapadri hapa wanasema
wameomba ushauri
kutoka kwa viongozi wa
Kanisa huko Roma kuhusu
jinsi ya kukabiliana na
kuongezeka kwa ubadili
dini kuingia Uislamu.
"Kanisa Katoliki lina
tatizo baada ya mauaji ya

halaiki," alisema Padri Jean


Bosco Ntagurire, ambaye
anatumikia makanisa jijini
Kigali.
"Uaminifu umevunjika.
Hatuwezi kusema
'Wakristo rudini.' Inabidi
kutazamie kuwa hiyo
itatokea imani ikijengeka
tena."
I l i k u we z e s h a h i l o
kutokea, Kanisa Katoliki
limeanza kuandaa
programu za michezo
na makambi kwa vijana,
alisema Ntagurire.
Lakini Waislamu nao
wanapanua ufikiaji, hata
k u u n d a v i k u n d i v ya
wanawake ambavyo
vinatoa madarasa kuhusu
kuangalia watoto na kuwa
mama.
Katika darasa moja
hapa hivi karibuni, mamia
ya wanawake wakiwa
wamefunga vitambaa
v ye k u n d u , n j a n o n a
zambarau kichwani,
walikusanyika katika

jengo la udongo kijivu wa


mfinyanzi. Walizungumzia
mapambano yao binafsi,
au jihad, kuwakuza watoto
wao vyema. Na baadaye,
wakati wa chakula cha
maharagwe na viguu
vya kuku, walikula kwa
hamu na kuelezana jinsi
Waislamu walivyowaokoa
wa k a t i wa m a u a j i ya
halaiki.
"Kama haikuwa
Waislamu, familia yangu
yote ingeteketea," alisema
Aisha Uwimbabazi, umri
miaka 27, mbadili dini na
mama wa watoto wawili.
"Niliwashukuru sana
sana Waislamu wakati
wa mauaji ya halaiki.
Nilifikiria sana kuhusu
hilo nikaona ni sahihi
kubadili dini." (Makala
hii Islam Attracting Many
Survivors of Rwanda
Genocide, imeandikwa na
Emily Wax na kutafsiriwa
kwa Kiswahili na Anil Kija)

Anil Kija.
Hisani ya Ecumenical News

International - mtandao wa
habari za kikanisa).

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa Katoliki

vitambulishokuwataja kama
ni wa-Tutsi, wa-Hutu au waTwa. Hii ilirahisisha kazi ya
wauaji halaiki wa ki-Hutu,
ambao juhudi zao wakati
mmoja zilifikia miili 40,000 ya
wa-Tutsi kuelea hadi kufika
Ziwa Victoria.
Dunia yatafakari mauji ya
halaiki
ya Rwanda miaka 10 baadaye
Mnamo Aprili 7, Rwanda
ilikumbuka mauaji ya
halaiki ya mwaka 1994
ambako mamia ya maelfu
ya watu waliuawa. Mauaji
ya halaiki yalianza tarehe 7
Aprili 1994, siku moja baada
ya ndenge iliyowachukua

MMOJA ya watoto walionusurika katika mauaji ya


Kimbali nchini Rwanda.

na propaganda za chuki.
Walifanya kazi hiyo kwa
haraka mara tano zaidi
ya vyumba vya gesi
vilivyotumiwa na utawala wa
Nazi wakati wa Vita Vikuu
vya Pili, kwa mujibu wa
baadhi ya wasomi.
Inakisiwa kuwa kiasi cha
400,000 kati ya wahanga
wa mauaji ya watu wengi
walikuwa watoto, na watoto
95,000 waliachwa bila wazazi.
"Ni vigumu kusahau,"
Chantal Umurungi, umri
miaka 24, mnusurika pekee
wa mauaji ya halaiki katika
familia ya watu 10, aliuambia
mtandao wa habari wa IRIN
(www.irinnews.org.) "Kila
wakati nakumbuka jinsi
wanamgambo wa ki-Hutu
wa l i v y o k u wa wa k i k a t a
vichwa vya watu, na hii
huwa inakuwa kwa njia ya
majinamizi."
Katibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa Kofi Annan alisema
"Lazima wote tukubali wajibu
wetu wa kushindwa kufanya
zaidi kuzuia au kusimamisha
mauaji ya halaiki. Hatuwezi
kungoja hadi kilicho baya
zaidi kiwe kimetokea au
kuishia tu kumshika mtu
mkono au kutojali kabisa."
Asilimia 65 ya
Wanyarwanda ni waumini
wa Kanisa Katoliki na asilimia
9 ni wa-Protestanti.
(Uchambuzi huu: Genocide of
the Tutsis the Role of the Roman
Catholic Church-BRITISH
CHURCH NEWSPAPER 16
APRIL 2004
Analysis by a correspondent,
umetafisiriwa kwa Kiswahili na

Kongamano la Mahakama ya Kadhi

Ushirikiano wa Jumuia na Taasisi za


Kiislamu unawatangazia Waislamu
wote kuwa kutakuwa na Kongamano
kuhusu faida ya Mahakama ya
Kadhi katika Jamii ya Watanzania na
Waislamu nchini.
Kongamano litakalofanyika katika
viwanja vya Nurul Yakini-Temeke
jijini Dar es Salaam Jumapili wiki hii
baada ya swala ya Adhuhur.
Mada kuhusu mahakama ya Kadhi
zitatolewa na Masheikh mbalimbali
na Maulamaa wa Haiyat Ulamaa.
Shime Waislamu tuhudhurie kupata
ufahamu na kujua uhalisia wa
kuhitajika Mahakama ya Kadhi
nchini.
Wabillah Tawfiq

17

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

DAR ES SALAAM

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)
katika kujifunza.
5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni
: 0783552414/0762817640.


Kilimanjaro
- Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490
- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga
- Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525

- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.

Musoma
Shinyanga

Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172


- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531

Morogoro

Dodoma

Singida

Manyara

Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

Lindi

Mtwara

Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623


Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426
Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

- Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.


- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992

- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196

- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.


- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya

- Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319.


- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

Rukwa

- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

Tabora

- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342


Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

Iringa

- Madrastun Najah: 0714 522 122.

Pemba

-Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

Unguja

- Madrasatul Fallah: 0777125074.

- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba


Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

18
Inatoka Uk. 15

labda kiongozi huyo wa


Boko Haram akitaka Jerry
aje tena amtoe katika
makucha ya polisi. Lakini
Jerry Gana hakuja.
Vyombo vya habari
viliandika vikihoji,
nani huyu Jerry na nini
uhusiano wake na Boko
Haram? Mpaka leo
hakuna jibu. Na serikali
ya Nigeria haijamfanya
chochote. Kinyume chake
wanakamatwa wanajeshi
wanaokataa kupigana na
zimwi Boko Haram na
kuhukumiwa kifo!
Professor Jerry Gana,
ambaye aliwahi kuwa
mhadhiri wa Chuo Kikuu
na Waziri wa Habari
wakati wa Rais Olusegun
Obasanyo, hivi sasa ndiye
Mwenyekiti wa Kamati
ya k u k u s a n ya f e d h a
ya chama cha Peoples
Democratic Party (PDP)
kwa ajili ya kampeni
za uchaguzi mkuu ujao
wakipigania kumrejesha
Rais Goodluck Jonathan
madarakani.
Amesema kweli Gordon
Duff, Nigeria Tarteged
For Destruction. Soma
pia Religious Violence In
Nigeria: Boko Haram As A
Tool Of Religious, Political
& Foreign Interests na Boko
Haram-More Complicated
Than You Think.
Kauli ya Kamishna
Chagonja
Tu n a o w a s a k a s i o
m a g a i d i . Wa n a n c h i
wasiyumbishwe na taarifa
ambazo hazina vyanzo
rasmi kutoka serikalini.
Wanaodai hao watu ni
magaidi, wana sababu zao
binafsi.
Hiyo ni kauli ya
Mkurugenzi wa
Operesheni na Mafunzo
wa Jeshi la Polisi,
Kamishna Paul Chagonja.
Binafsi naamini kuwa
huu ndio ukweli na ndio
mtizamo pekee sahihi
wa kutunusuru na balaa
la ugaidi ilikotumbukia
Nigeria. Ni ukweli kwa
sababu, kwanza hakuna
magaidi wa Boko Haram
au Al-Shabaab waliopo
nchini. Na mwandishi
wetu Angela Kiwia,
h a we z i k u t u o n ye s h a
Al-Shabaab hata mmoja
au ushahidi wa kuwepo
kwake. Hata kule Kenya
ambapo kulikuwa na
shambulio la Westgate
ambapo tuliambiwa
magaidi kutoka
Mogadishu walivamia
na kuuwa watu 67,
hawakuweza kukamata
hata A-Shabaab mmoja
au japo kuonyesha maiti
kwamba huyu hapa
tumemuuwa. Jumba
limezungukwa na jeshi na
vifaru, Idara za Usalama,
Polisi, makachero wa
CIA/FBI, M15 na Mossad,
lakini hakuna gaidi
a l i y e k a m a t wa . Wa t u

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Wandishi tunacheza mchezo tusioujua


wakaachwa na porojo
kuwa magaidi walitoroka
kupitia mtaro wa maji
machafu na hadisi njoo
utamu kolea ya Samantha
Lewthwaite "the White
Widow. Na wenye phony
stings hizi wangependa
uamini kuwa Al-Shabaab
ni magaidi hatari
ndio maana waliweza
kushambulia Westgate
Shopping Mall, wakauwa
watu, wakaondoka bila
kukamatwa au hata
k u j e r u h i wa , l i c h a ya
kuwepo nguvu yote hiyo!
Pili, kauli ya Kamishna
Chagonja ni kweli kwa
sababu, hakuna nchi
yoyote duniani, labda
failed state kama Somalia
na Libya hivi sasa, ambapo
yanaweza kufanyika haya
anayotuambia Angela
Kiwia. Kwamba magaidi
wa Boko Haram na AlShabaab watoke huko
wa t o k a k o Pe s h a wa r
Khabar, wapige kambi
Amboni au mahali popote
Tanzania, iwe serikali
haijui. Serikali kama hiyo
duniani haipo. Labda
A n g e l a a s e m e k u wa
anachotaka kutuambia
ni kuwa viongozi
wetu wametusaliti.
Wametuchuuza.
Wa m e k u wa a k i n a
Musharaff na Ali Abdullah
Saleh waliogeuzwa kuwa
Intelligence Assets za
mabeberu wakaruhusu
nchi zao kuwa uwanja
wa mazoezi wa magaidi
na kusambaza kitisho
dunia nzima. Matokeo
yake, hivi sasa nchi hizo
z i m e k u wa m a c h i n j i o
ya watu wasio na hatia
kupitia mashambulizi ya
Drones.
Lakini tatu, jaaliya
hata kama kuna watu
ambao wamerubuniwa
wakajificha mapangoni
Ambon i kwa a jili ya
kujifundisha ugaidi. Bado
hao sio magaidi na sio
namna ya kukabiliana
na jambo kama hilo.
Hao ni watu maadhura
wanaotaka kupewa
darsa na adhabu kidogo
ya kuwatia adabu na
kuwarekebisha.
Uzoefu katika nchi
mbalimbali unaonyesha
kuwa hatua ya kwanza
na muhimu ya kuingiza
ugaidi katika nchi
yoyote, ni kupandikiza
kitisho hewa cha
ugaidi, ikibidi kufanya
matukio ya kupanga,
wenyewe wanaita false
flag terror attacks.
Mkishakubalishwa
mkaamini kuwa miongoni
mwenu kuna magaidi,
basi, kitakachofuatia
wala hakitakuwa katika

udhibiti wenu. Ndiyo hali


inayowakuta Nigeria na
punde tu Kenya, kama
hawatatanabahi.
Lakini nne, na muhimu
zaidi ni kuwa duniani
hakuna magaidi huru
wanaoitwa A-Qaidah, IS,
Al-Shabaab, Boko Haram,
wala wa jina lolote katika
hizi zama za Vita dhidi
ya ugaidi. Wote hawa
ni maadui wa kubuni,
maadui wa kutengenezwa,
ni Intelligence Assets,
ambazo haziweza kufanya
lolote kwa hiyari yao ila
kama wanavyotumwa,
kupewa amri, maelekezo
na kuwezeshwa. Hili
amelieleza vizuri
sana Susan Lindauer,
akifafanua nani
M o h a m m e d At t a
anayedaiwa kuhusika
na utekaji ndege katika
shambulio la Septemba
11. Lakini analieleza pia
kwa uzuri zaidi kachero
Michael F. Scheuer
aliyekuwa Mkuu wa Idara
ya Kupambana na Osama
Bin Laden, ndani ya CIA.
Rejea pia uchambuzi
wa John Pilger, Profesa
Noam Chomsky, Profesa
Michel Chossudovsky na
wengine wengi.
Taarifa kama hizi za
Kiwia zinatoka wapi?
Japo habari imekuwa
ndefu, lakini nadhani
lipo swali moja lahitaji
kutizamwa. Taarifa kama
hizi za Angela Kiwia
zinatoka wapi?
Aliyekuwa Mhariri wa
gazeti maarufu kabisa la
Ujerumani, Frankfurter
Allgemeine Zeitung, Dr.
Udo Ulfkotte, amejitokeza
na kukiri kuwa alikuwa
miongoni mwa waandishi
waliokuwa wakitumiwa
kupiga propaganda na
uwongo wa kitisho cha
ugaidi. Dr. Udo Ulfkotte
anasema kuwa wahariri
wa vyombo vya habari
vya Ulaya, akiwemo yeye
mwenyewe wamekuwa
wakitumiwa na Shirika la
Ujasusi la Marekani (CIA)
kupandikiza habari za
uwongo ambapo wakati
m w i n g i n e z i n a k u wa
z i m e a n d i k wa k a b i s a
na yeye kutakiwa tu
kuziweka katika gazeti
kwa jina lake.
Akiongea hivi karibuni
katika vyombo vya
habari anasema kuwa
ametumika sana kuandika
habari za uwongo juu ya
Iraq na Libya. Kuhusu

Libya anasema, mwaka


2011 alitakiwa kuandika
habari za uwongo kuwa
Muamar Gadhafi ana
kiwanda cha (silaha za)
gesi ya sumu (poison gas
factories), wakati yeye
binafsi alikuwa hajui
chochote juu ya Gadhafi
na silaha anazodaiwa
kuwa nazo.
A n a s e m a ,
a l i p o k u b a l i k u f a n ya
kazi hiyo, makachero
walimletea habari yote
waliyokwishaiandika
na yeye kuipachika tu
kwenye gazeti kwa jina
lake.
Baada ya kufanya kazi
hiyo kwa muda mrefu
ya kuandika habari za
uwongo kupandikiza
kitisho cha ugaidi na silaha
za maangamzi katika
nchi za Kiarabu, Ulfkotte
anaonekana kujutia hali
h i y o a m b a y o wa k a t i
mwingine imesababisha
vita na kuuliwa watu wasio
na hatia. Udo Ulfkotte
ameandika kitabu akikipa
jina la Bought Journalists
("Gekaufte Journalisten").
Ni katika kitabu
hicho, Ulfkotte ambaye
aliwahi kuwa mshauri
katika serikali ya Kansela
(Chancellor) Helmet Kohl,

anasema kuwa mashirika


ya kijasusi ya yamekuwa
yakihonga waandishi wa
habari ili kuandika habari
za propaganda kupepea
masilahi ya NATO.
"I'm ashamed I was part
of it. Unfortunately I cannot
reverse this."
Alisema akisisitiza kuwa
anajuta na kuona aibu
kuwa amekuwa miongozi
mwa wale waliotumika
kuiambia uwongo jamii
na hivyo kuwa msaliti
aliyesababisha vita na
maafa makubwa kwa
watu wasio na hatia.
Kule Nigeria wapo
wa t u k a m a D e b o r a h
Peters na Adam Habila
ambao walizua uwongo
juu ya kitisho cha Boko
Haram kuwa wengine
wamepigwa risasi
kutoka AK-47 ikaingilia
puani na kutokea
kisogoni, lakini wapo
hai. Wakajitengenezea
majeraha bandia na
habari zao zikapambwa
sana katika vyombo vya
habari na ikawa agenda
katika bunge na taasisi
mbalimbali muhimu
Washington.
Hali iliyopo Nigeria leo
hii, hivi kuna Muislamu,
M k r i s t o , M wa n d i s h i
wa habari, Polisi, jeshi,
mwanasiasa, anayeweza
kusema, yupo salama na
anafurahiya maisha?

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

ILALA ISLAMIC SECONDARY

USAJILI
S.2401

KWA WASICHANA TU

IPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII


SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMO

Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,


B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322
Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,
0714 381964

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

USAJILI
S.4384

KWA WAVULANA TU

Ipo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa


MASOMO
Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

19

Makala

Twende mbele na turudi nyuma

Na Ben Rijal
MSEMO wa Twende
mbele na turudi nyuma,
u l i k u wa u k i t u m i wa
na wazee wetu katika
siku za kugombania
Uhuru na hata wengine
kuhoji nakusema iweje
t u s h a k we n d a m b e l e
kisha turudi nyuma. Kipi
tunachokitafuta huko
nyuma?
Ukiziangalia hoja mbili
hizo, kila moja ina mantiki
iweje ushafika mbele
unaangalia nyuma kuna
nini unachokitafuta? Kwa
mazungumzo ya kawaida
utasema hivyo ndivyo,
lakini ndani ya maendeleo
nikusema kuwa lazima
ushafika mbele urudi
nyuma kujitathmini,
ikiwa umefuzu au
umeharibikiwa ndipo
utapofanikiwa.
Wengi huwenda mbele
tu mithili ya nguruwe
mwitu asiojua kwenda
mbele na kurudi nyuma.
Nilipokuwa nashiriki
katika usasi wa nguruwe
mwitu, mahasidi wa mazao
ya wakulima, ilikuwa
tukifukuza nguruwe saa
n ye n g i n e h u m u a c h i a
kisha tukafwatilia
njia yake ile aliopita
nakuweza kumkamata
kwa kirahisi kwa kuwa
nguruwe mwitu anajua
kwenda mbele tu, hajui
kurudi nyuma. Siku zote
kwenye usasi, mukimkosa
kumkamata nguruwe
aliokuponyokeni na
kumua, inabidi muifwate
ile njia muliomkuta
kabla kisha kumsubiri
siku nyengine mtamkuta
kapita hapo hapo bila ya
kubadilisha upande ndio
saa nyengine utawasikia
weledi wakisema
umekuwa kama nguruwe
mwitu njia yako hio kwa
hio?
Najaribu kujenga hoja
ili nilitakalo kukieleza
kieleweke, katika kwenda
mbele na kurudi nyuma,
nitaanza na Mapinduzi,
neno Mapinduzi kila
m w e n y e l u g h a ya k e
amelita kwa namna
yake. Mfano Kiafrikana
hutamkwa rewolusie,
Ki-Albanian Revolucion,
Ki-Arabu Thawra, KiIndonesia Revolusi,
Ki-Persia Inkilabu, KiVietnam Cuc cch mng,
Ki-Welsh chwyldro. Juu
yakuwa neno hilo lina

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

ALMARHUUM Mzee Abeid Amani Karume.


maana moja na lengo moja
Urusi, Ufaransa, Nigeria,
nalo nikufanya na kuleta
Ghana hata Zanzibar na
mabadiliko, lakini kila
kwengineko.
mmoja analitamka kivake.
Zanzibar ilijaribu
John Adams Rais wa pili
kufwata mkondo ule ule
wa Marekani aliyafafanua
wa kimapinduzi duniani
Mapinduzi kwa kusema
na kujitahidi kuyafanya
mapinduzi huleta athari
m a i s h a ya wa n a n c h i
kabla hayajatekelezwa,
wake kulingana na kutoa
s ik u zote ma p in d u z i
matumaini kati ya hayo
yapo katika fikra za watu,
ilikuwa elimu, kilimo,
mapinduzi sio chochote sio
afya, biashara na sekta
lolote lile ila ni mabadiliko
mbalimbali ziliwekwa
yaliyo muhimu yakiwa na
mikononi mwa Serikali
misingi, hisia na furaha
na kuweza kuiweka
kwa watu, hayo ndio
nchi ya Kimapinduzi
mapinduzi ya kweli ya
kwa mwananchi wake
Amerika.
kuwa na matumaini na
N a m wa n a h a r a k a t i
maisha yake ya baadae ya
wa mapinduzi aliojizatiti
kujiweza kujikimu.
kutaka kuona haki na
Moja kati ya matunda
usawa katika ulimwengu
h a y o S e r i k a l i h i o ya
uliogubikwa na madhila
mapinduzi ilianzisha
n a u b e b e r u , r a i a wa
kitu
kiitwacho
Argentina aliojiunga na
BIZANJE ambacho
vugu vugu la mapinduzi
kiliwaweka wananchi
ya Cuba, huyo sio
kutohangaishwa na
mwengine ni Che
maisha yao ya kula na
Guevera, anayachambua
kuvaa, maana ya BIZANJE
mapinduzi kwa kusema
ni Biashara za Nje na fikra
mapinduzi sio tunda la
hii iliasisiwa na muumini
epuli (apple) huanguka
wa Mapinduzi halisi
wakati linapoiva, ukweli
katika visiwa hivi naye
lazima ulifanye lianguke.
ni Dr. Ahmed Rashid
Na akaendela kusema
aliokuwa daktari mahiri
moja ya kazi nzito na ya
wa wanyama. Msomi
mwanzo ya mapinduzi,
huyu aliobobea fikra
ni kuelimishwa watu.
yake ilikubalika na Rais
(The first duty of a
wa kwanza wa Zanzibar
revolutionary is to be
educated.)
baada ya mapinduzi,
M a p i n d u z i
Mheshimiwa Abeid
yametekelezwa kwingi
A. Karume kumtaka
tu duniani kwa lengo
kuanzishwe kitu hicho
kuu la kuleta mabadiliko
nacho ni Biashara za
ya haraka na kuweza
Nje na kilichokuweko
kuwaelimisha na
kikitekelezwa ni ile dhana
kuwafunza wananchi
ya kijamaa wananchi wote
kupata maendeleo na
mnatumia kitu cha aina
kuishi katika maisha ya
moja au vinavyolingana
matumaini. Mapinduzi
t e n a v i l i o p o k we n ye
yamefanyika Marekani,

viwango. Hapo ikawa


Michele mizuri ikiliwa na
kila Mzanzibari, unga bul
bul, sabuni za kila aina
iwe Lux, Night Castle, Life
Buoy, Pears, Baby Soap
zote zikipatikana. Maziwa
ya kibati yawe Tweco,
Ngombe wanne n.k.
Samli za kila aina bila ya
kuisahau Kismayou, kisha
aina mbalimbali za nafaka
iwe Njugu mawe, Kunde,
Maharagwe, sabuni za
kufulia Omo, Sunlight
na nyenginezo. Vitambaa
vya suruali kina terelini.
Mabuku ya kuandikia na
kalamu za kila aina na
penseli zake zikiuzwa na
kukaribia kusema ni bure.
BIZANJE ilimuwezesha
mnunuzi kuona sio
ananunua, anaona kama
anatunukiwa kwani kila
mmoja alikuwa awe wa
juu au yule hoe hahe wote
wakimudu kuvinunua
hivyo vitu na kuvifurahia
na kusema Shabasha, sasa
haya ndio maisha.
Bahati mbaya fikra hizi
huwa hazikubaliki na wale
ambao unyanganyi na
ubepari umewazunguka
k a t i k a m a g e n z i ya o ,
kwa hio bahati mbaya
i k a t o k e a k wa n i wa l e
waliokabidhiwa
kuendesha BIZANJE,
ndio waliokuwa wanafuja
na hata yale maduka
yaliokuwa yakiendeshwa
na Serikali yakawa kila siku
zikenda zikiwakatisha
tamaa watu kwa kuwa
kunaanza kukosekana
yale mahitaji ambayo
wananchi wakiyafaidi.
Ureda ukapotea mambo
yakawa ni msege mnege.
Nilizungumza na
mmoja kati ya washika
usukani katika uongozi,
nikamwambia wakati
umefika kurudisha
BIZANJE alinistaajabu
n a k u n a m b i a wa t u
wanakwenda mbele wewe
unarudi nyuma, sasa ni
biashara huria, biashara
huru anayetaka anaingia
kwenye ushindani, siku za
Serikali kufanya biashara
ziko wapi? Hakuwa tena
anataka kunisikiliza na
fikra za kijamaa akaja na
mazungumzo mengine
kabisa na nikajiona
nimepwelewa.
Ukweli sio mwenye
kupinga juu ya biashar
huru nitasema biashara

huru ziwepo na waendelee


wananchi kuziendesha
hizo biashara, lakini bado
Serikali ingeweza kuleta
vile vya mahitaji ya lazima
na kuviwekea katika
maduka maalumu na
kuona hivyo vilivyoletwa
vinauzwa katika bei hio
iliopangwa itakayowezwa
kila mmoja wetu kuimudu.
Hapo kina Pangu pakavu
mithili yangu tungesema,
Shabash tunarudi
tulikotoka kutokana na
kujitathmini pale tulipo
kwa kurudi nyuma.
Ukiangalia katika
pande zote mbili za
Muungano, fikra kama
hizi zilipoasisiwa,
wengi walishindwa
kuzifahamu badala
yake wakawa mstari wa
mbele kuzivuruga. Wengi
wanazitamani zirudi,
hawajui zitarudi kwa njia
gani. Lakini inawezekana
tena sana kama alivyopata
k u t u s h a u r i a l i o k u wa
Naibu Waziri Mkuu wa
Malaysia pale ujumbe wa
Visiwani ulipotembelea
M a l a y s i a m wa n d i s h i
alikuwemo katika msafara
h u o . A n wa r I b r a h i m
alitwambia sio kila kitu
mubinafsishe, vyengine
viendelee kubakia
mikononi mwa Dola.
M a l a y s i a wa l i we z a
k u wa c h u k u a wa s o m i
katika fani mbalimbali
nakuwataka waendeshe
biashara, matokeo yake
n i k u wa k u t o k a n a n a
elimu na ujuzi waliokuwa
nao, walifanikiwa wao
kuboresha maisha yao na
kuiongezea kipato taifa
la Malaysia. Kwanini nasi
hatwendi huko?
N d i p o n i l i p o k u wa
nakubaliana na huu
msemo Twende Mbele na
Turudi Nyuma, kuna haja
ya kujitathmini pakubwa
sana namna kule nyuma
kulivyokuwa patamu
kwa wanyonge, na sasa
n a m n a k u l i v y o k u wa
kuchungu kwa watu wa
chini na wanyonge. Hebu
nijikumbushe anuwani
ya kitabu cha Alan Paton
wa Afrika Kusini Cry,
the Beloved Country na
kutafsiriwa katika Gazeti
la Muongozi lilokuwa
likitoka hapa Zanzibar
kila wiki Lia lia nchi ya
Shida. Mie nitasema Lia
lia zamani nakutamani
urudi. Haya baba Twende
Mbele Turudi Nyuma ndio
mafanikio yatapopatikana
kinyume chake mambo
yataendelea kuwa mazito.

AN-NUUR

20

MAKALA

20

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Soma
AN-NUUR
kwa Tshs 800/= tu

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Maimamu rejesheni hadhi ya Misikiti


Na Bakari mwakangwale
MAIMAMU nchini
wametakiwa kufanya
kazi ya kuihuisha
Misikiti ili iweze kuleta
athari nzuri katika jamii
kama ilivyokuwa kipindi
cha Mtume (s a w) na
Maswahaba zake.
Wito huo umetolewa na
Sheikh Othman Kapolo,
akiongea katika semina
ya Maimam iliyofanyika
m w i s h o n i m wa w i k i
iliyopita, Ilala Jijini Dar es
Salaam.
Kapolo alisema hali
ya Misikiti ilivyo sasa
imepoteza nafasi yake
inayostahiki kiasi
ambacho zile athari nzuri
hazionekani katika umma
wa Kiislamu na jamii kwa
ujumla.
Ni jukumu la
Maimamu kuihuisha
Misikiti ili iweze kufanya
kazi kama ilivyokuwa
wakati wa Mtume na
Maswahaba, inabidi
jambo hili lifanyiwe kazi
sana ili tuone ni kwa
namna gani tunairejesha
Misikiti yetu katika ile
nafasi iliyokuwa nayo
katika jamii. Amesema
Sheikh Othman Kapolo.
Alisema, kutokana
na hali hiyo ya Misikiti
kupoteza majukumu yake
katika jamii, imepelekea
watu wa imani nyingine
kutoyajua majukumu
ya Misikiti, kwani kuna
mambo yakifanyika hivi
sasa watasema Waislamu
wanaleta mambo mapya,
kwa sababu Waislamu
wenyewe wameyatelekeza
na pengine na wao
hawayaelewi kabisa.
Sheikh Kapoli, amesema
hali hiyo imetokana na
kwamba Misikiti katika
zama hizi haujapewa
nafasi yake inayostahiki
kiasi ambacho zile athari
nzuri hazionekani katika
jamii na umma wa
Kiislamu.
Akawataka Maiamu,
k u r e j e a Ta r e k h y a
Kiislamu ambayo inaeleza
kwamba Misikiti wakati
huo mabali na kuswaliwa
lakini pia ilikuwa vituo
vya elimu kwani kulikuwa
na silabasi na mitaala yake

maalum ya elimu za kidini


na elimu za kimazingira.
Alisema, mabali na
kutoa huduma hizo za
kielimu lakini pia Misikiti
ilikuwa ndio kimbilio la
mafakiri, kwani katika
kila msikiti kulikuwa na
fungu la watu wasiokuwa
na uwezo, hivyo ilikuwa
ni Misikiti yenye jukumu
la kulisaidia kundi hilo
la wasio jiweza kupitia
kitengo cha Baitul mali
muslimina.
Aidha, alisema wakati
wa Mtume (s a w),
aliufanya Msikiti kuwa
ni kituo cha tiba, na hili
alilianzisha mwenywe
(Mtume) kwa kutenga
sehemu ya Msikiti na
kuweka hema na matabibu
wakawa wanatoa huduma
za kitabibu ndani ya
Msikiti.
Si hivyo tu alisema,
Mis ikit i p ia in a we z a
kuandaliwa ikawa ni
sehemu ya watu kufanya
m i c h e z o , k wa l e n g o
la kujenga afya kwani
akasema kwa mujibu wa
hadithi ya Mama Aisha,
anasema walikuwa
wanafanya michezo ndani
ya Msikiti.
Kapolo, alisema
Mtume aliutumia Msikiti
kama kituo cha cha
habari kwani Waislamu
walikuwa wakipokea
taarifa mbalimbali
wakiwa Msikitini kwa
ajili ya utekelezaji kabla
ya hapo watu walikuwa
wanapeana habari sokoni,
bila utaratibu maalum.
Alisema, kwa upande
wa mashule, hili si haba
kwani kuna Miskiti
mingi hivi sasa ina shule
kuanzia nasari, Msingi
na Sekondari ila akasema
juhudi hizo ziendelee hadi
kufikia ngazi ya kuwa na
vyuo.
Maimam, tujipange
kwa lengo la kurejesha
hadhi na majukumu ya
Msikiti kwa Waislamu
kama ilivyokuwa wakati
wa M t u m e n a wa l i o
tangulia ili tuweze kupata
maendeleo kulingana na
Uislamu unavyotaka.
Alisema Shkh Kapolo.

Baadhi ya Masheikh na viongozi wa Kiislamu walipokuwa katika semina ya


Maimamu Chuo cha Kiislamu Markazi Changombe jijini Dar es salaam hivi
karibuni.

Dk. Shein ataka wananchi wapewe taarifa


Na mwandishi Wetu

R A I S wa Z a n z i b a r n a
Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein, amesema
kuwa ni muhimu wananchi
kupewa taarifa ya mambo
yanayofanywa katika
Mikoa na Wilaya zao.
D k . S h e i n a l i ya s e m a
hayo mapema wiki huko
Ikulu mjini Zanzibar katika
m k u t a n o k a t i ya k e n a
Uongozi wa Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Idara
Maalum za SMZ.
Mkutano huo ulikuwa
na lengo la kuangalia
Utekelezaji wa Malengo ya
Wizara hiyo kwa robo mbili
kati ya Julai hadi Disemba
2014.
Dk. Shein alisema kuwa
huo ni utaratibu uliowekwa
na Serrikali hivyo viongozi
hao wanatakiwa kutoa taarifa
kwa wakati uliopangwa ili
wananchi wajue mambo
yaliyofanywa na Mikoa,
Wilaya zao sambamba na
kujua juhudi za maendeleo
zinazochukuliwa na Serikali
katika maeneo hayo.
Aidha, Dk. Shein alitumia
f u r s a h i y o , k u wa e l e z a
Wakuu wa Mikoa, Wilaya
na Makatibu Tawala pamoja

na viongozi wote husika


kuwa tayari Sheria muhimu
zimeanza kufanya kazi na
kwa upande wao wana kila
sababu ya kuzisoma na
kuzifahamu kwa lengo la
kuwasaidia katika utendaji
wao wa kazi ikiwemo Sheria
ya Kuongoza Tawala za
Mikoa na Sheria inayoongoza
Serikali za Mitaa.
Dk. Shein alisema kuwa
Sheria hizo zote zina lengo
moja na ziko chini ya Ofisi
ya Rais Tawala za Mikoa na
Vikosi vya SMZ.
Kwa upande mwingine,
Dk. Shein alisisitiza haja ya
uongozi wa Mkoa na Wilaya
kutoa taarifa juu ya suala
zima la ulinzi na usalama
kwa Ofisi yao.
Katika jumla ya mambo
aliyosema Dk. Shein kuwa
ni muhimu yatolewe taarifa,
ni pamoja na taarifa juu ya
hali ya chakula, lishe na
hali ya usalama wa chakula
hatua ambayo alieleza kuwa
itasaidia kujua suala zima la
chakula hapa nchini.
Aidha, Sambamba na
hayo, aliwataka Wakuu wa
Mikoa na Wilaya pamoja
n a M a k a t i b u Ta w a l a
kutotumia muda mwingi
kukaa maofisini na badala
yake waende kwa wananchi
hatua ambayo itasaidia kwa

kiasi kikubwa kupata habari


mbali mbali na kuwasaidia
katika utendaji wao wa kazi.
Dk. Shein alirejea kauli
ya k e ya k u t a k a v i j a n a
kushajiishwa juu ya suala
zima la ajira na kuitaka
Mikoa na Wilaya kuwa na
mipango ya kuwasaidia
vijana huku akiushauri
uongozi wa Mikoa na Wilaya
kushirikiana na Wizara ya
Uwezeshaji, Ustawi wa
Jamii, Vijana, Wanawake na
Watoto katika kuwasaidia
vijana juu ya suala la ajira.
Mapema akisoma
muhtasari wa Utekelezaji
wa Majukumu kwa miezi
sita ya mwanzo ya mwaka
wa fedha kuanzia Julai hadi
Disemba 2014/2015, Waziri
wa Ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa na Idara Maalum za
SMZ Mhe. Haji Omar Kheir
alieleza majukumu, muundo
na utekelezaji wa Ofisi hiyo
kati ya Julai hadi Disemba
2014.
Aidha, Waziri Kheir alitoa
shukurani kwa Dk. Shein
kutokana na miongozo na
maelekezo anayotoa kwa
Ofisi hiyo mara kwa mara
kwa lengo la kufanikisha
utekelezaji wa majukumu
yao ambayo yameweza
kusaidia kwa kiasi kikubwa
katika utekelezaji wa kazi
zao.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Документ16 страниц
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1096
    Annuur 1096
    Документ12 страниц
    Annuur 1096
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1173 PDF
    Annuur 1173 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1173 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Gazeti La ANNUR
    Gazeti La ANNUR
    Документ12 страниц
    Gazeti La ANNUR
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1161 PDF
    Annuur 1161 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1161 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1151
    Annuur 1151
    Документ16 страниц
    Annuur 1151
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1040
    Annuur 1040
    Документ12 страниц
    Annuur 1040
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1041
    Annuur 1041
    Документ12 страниц
    Annuur 1041
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Документ16 страниц
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 114
    Annuur 114
    Документ12 страниц
    Annuur 114
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1170
    Annuur 1170
    Документ20 страниц
    Annuur 1170
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1172 PDF
    Annuur 1172 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1172 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 115
    Annuur 115
    Документ16 страниц
    Annuur 115
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Документ16 страниц
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1065
    Annuur 1065
    Документ12 страниц
    Annuur 1065
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Документ16 страниц
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Hofu
    Hofu
    От Everand
    Hofu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    Документ16 страниц
    ISSN 0856 - 3861 Na. 986 DHUL-HAJJ 1432, IJUMAA NOV. 25 - DES. 1, 2011 BEI TShs 500/, Kshs 50
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1056 PDF
    Annuur 1056 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1056 PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1148
    Annuur 1148
    Документ16 страниц
    Annuur 1148
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    Документ16 страниц
    Annur:Toleo La Ijumaa Tarehe 13-01-2012
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1114
    Annuur 1114
    Документ16 страниц
    Annuur 1114
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1123
    Annuur 1123
    Документ16 страниц
    Annuur 1123
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1090
    Annuur 1090
    Документ12 страниц
    Annuur 1090
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    От Everand
    Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini?
    Рейтинг: 4 из 5 звезд
    4/5 (24)
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1119
    Annuur 1119
    Документ16 страниц
    Annuur 1119
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Zanzibar Daima Online, Toleo La Tano
    Zanzibar Daima Online, Toleo La Tano
    Документ24 страницы
    Zanzibar Daima Online, Toleo La Tano
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Wale ambao ni Wajinga
    Wale ambao ni Wajinga
    От Everand
    Wale ambao ni Wajinga
    Оценок пока нет
  • Mmoja Wenu Ni Shetani
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    От Everand
    Mmoja Wenu Ni Shetani
    Оценок пока нет
  • Wengine...
    Wengine...
    От Everand
    Wengine...
    Оценок пока нет
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    От Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (1)
  • Waathirika.
    Waathirika.
    От Everand
    Waathirika.
    Оценок пока нет
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    От Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Оценок пока нет
  • Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    От Everand
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Оценок пока нет
  • Biblia Inasema Usiogope
    Biblia Inasema Usiogope
    От Everand
    Biblia Inasema Usiogope
    Оценок пока нет
  • Nyayo Za Obama
    Nyayo Za Obama
    От Everand
    Nyayo Za Obama
    Оценок пока нет
  • Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    От Everand
    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (3)
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Imani Ya Mtu Wingine
    Imani Ya Mtu Wingine
    От Everand
    Imani Ya Mtu Wingine
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Документ20 страниц
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет