Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1165 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Nani
wanaoteka
vituo vya
polisi?
Uk.2
Wandishi tunacheza
mchezo tusioujua
Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisa
Hatuna jeshi la kupambana na magaidi
ZILIKUWEPO zama
kila Mzanzibari
alisema, Shabash, sasa
haya ndiyo maisha
BIZANJE ilimuwezesha
mnunuzi kuona sio
ananunua, anaona kama
anatunukiwa.
Hii ni kwa sababu kila
mmoja alikuwa, awe wa
juu au yule hoe hahe, wote
wakimudu kuvinunua
hivyo vitu na kuvifurahia.
(Uk. 19)
Tahariri/Maoni
AN-NUUR
Wawataje walioteka
vituo na kuiba silaha
Ni wazi wanawajua waliosambaza kanda
Wakitamba kuteka vituo na kuuwa Polisi
AN-NUUR
3
KUTOKANA na kukithiri
matukio ya kihalifu katika
sehemu mbalimbali za
nchi yetu, ni dhahiri
kwamba sasa hali si shwari
nchini. Vituo vya polisi
vinazidi kuvamiwa na
wahalifu kufanya mauaji
au kujeruhi na kutoweka
na silaha.
Mwezi Juni mwaka jana,
majambazi wanaokisiwa
kuwa sita, wakiwa na
pikipiki tatu, walivamia
Kituo Kidogo cha Polisi
Mkamba, kilichopo
Kimanzichana, Wilaya ya
Mkuranga, Pwani na kuua
askari mmoja na kupora
bunduki tano na risasi 60.
Aliyeuliwa ni Konstebo
Joseph Ngonyani na
wenzake Venance Francis
na Mariamu Mkamba
walijeruhiwa, ambapo
walipelekwa katika
Hospitali ya Wilaya
Mkuranga kwa matibabu.
Septemba mwaka jana,
majambazi yalivamia Kituo
cha Polisi Ushirombo,
Wilaya ya Bukombe
mkoani Geita na kuua
askari polisi wawili na
kujeruhi wengine wawili
na kupora bunduki 10
ambazo hata hivyo baadae
zilipatikana. Waliouawa
ni PC Dastan Kimati na
PC Uria Mwandiga na
waliojeruhiwa ni CPL
David na PC Mohamed.
Januari 15 watu
wa n a o s a d i k i wa k u wa
ni majambazi wakiwa
na silaha za kivita na
mabomu ya kutupa kwa
mkono walivamia Kituo
cha Polisi Ikwiriri, Rufiji
mkoani Pwani na kuua
askari polisi wawili na
kupora bunduki tano aina
ya SMG na bunduki mbili
za kufyatulia mabomu
ya machozi, zilizokuwa
kituo hapo na kutokomea
kusikojulikana. Katika
tukio hilo, Koplo Edga na
WP Judith waliuawa.
Februari 3, Kituo cha
Polisi cha Mngeta, Wilaya
ya Kilombero mkoani
M o r o g o r o k i l i va m i wa
ambapo bunduki aina
ya SMG yenye risasi 30
iliibiwa.
Mwishoni mwa wiki
iliyopita, risasi zilirindima
huko Ambani mkoani
Tanga kwa zaidi ya saa 48
wakati Polisi na askari wa
JWTZ waliposhirikiana
kupambana na wahalifu
hao.
Katika mapambano
hayo, askari mmoja wa
JWTZ, Said Kajembe,
alipoteza maisha na
wapiganaji wengine
zaidi ya sita kujeruhiwa.
Bw. Kajembe aliyefariki
katika Hospitali ya Bombo
b a a d a ya k u j e r u h i wa
katika mapambano hayo,
amezikwa kijijini kwao,
Kwashemshi, Korogwe.
Ukiacha matukio ya
uvamizi wa vituo vya
polisi, matukio ya ujambazi
wa kuibwa mali za raia,
makampuni, mabenki na
utekaji wa mabasi haukuwa
Maoni/Tangazo
AN-NUUR
nyuma.
Kutokana na kukithiri
kwa ujambazi na
uvamiwaji wa vituo vya
polisi, tunaona sasa hata ile
dhana ya ujambazi inaanza
kuondolewa taratibu na
wakiyahusisha matukio
haya na ugaidi.
Mbali na kutokamatwa
watu hao ambao bado
hawajajulikana dhahiri
ni wahalifu wa aina gani,
lakini pia silaha zilizokuwa
zimeporwa, ambazo ndio
zinazosakwa na Polisi kwa
sasa, bado hazikukutwa
katika Mapango ya
Amboni, kama ilivyokuwa
ikihisiwa.
Ukiacha kadhia hizo za
ujambazi, maisha ya watu
wenye ulemavu wa ngozi
nao wamezidi kuishi kwa
mashaka makubwa, hasa
ikizingatiwa kwamba siku
za hivi karibuni, kulitokea
mkasa mwingine kwa
mtoto mwenye ulemavu
wa ngozi (albino) kutekwa
katika wilaya ya Chato
mkoa wa Geita na mpaka
sasa hajulikani alipo.
Mtoto huyo mwenye
umri wa mwaka mmoja
aliyetajwa kwa jina la
Yohana Bahati, alitekwa
nyumbani kwao na watu
wasiojulikana. Watu wenye
silaha za jadi waliwaweka
chini ya ulinzi wazazi
wa mtoto huyo, Bahati
Misalaba na mkewe na
kumchukua mtoto wao na
kutoweka naye. Mama wa
mtoto huyo alijeruhiwa
vibaya wakati akipambana
kumwokoa mwanaye.
P o l i s i wa l i r i p o t i wa
kufika eneo la tukio na
kuanza msako lakini hadi
tunavyoandika maoni
haya, mtoto huyo bado
hajulikani alipo na hakuna
tena taarifa za polisi kuwa
wamefikia wapi. Kwa
kifupi tunaweza tu kusema
kuwa tayari wameshakata
tamaa au wameshindwa
kumpata au kujua alipo
mtoto huyo.
Matukio ya kuuawa
na kuchukuliwa viungo
albino yamesambaa, hasa
katika mikoa ya kanda ya
Ziwa kutokana na imani
za kishirikina, jambo
ambalo limechafua sana
taswira ya kiusalama ya
Taifa kutokana na serikali
kushindwa kukabiliana
vilivyo na vitendo hivyo.
Wa k a t i m w i n g i n e
tunashindwa kuelewa,
kama kweli bado serikali
imeshindwa kuona
kwamba jeshi letu la polisi
lina matatizo ya kiutendaji
na linahitaji marekebisho
makubwa.
Tu w e t u wa wa z i
kwamba, jeshi hili
linajituma zaidi katika
kulinda maslahi ya kisiasa
kuliko kulinda usalama wa
raia na mali zao.
Tu n a s e m a h i v y o
kwasababu, uzoefu
Makala
AN-NUUR
Na Mwandishi Wetu
BILA Jihad ya kuondoa
ujinga, hakuna salama
tena katika nchi hii.
Yaliyojiri mwishoni
mwa wiki iliyopita na
j i n s i ya l i v y o r i p o t i wa
na vyombo vya habari,
inatisha.
Ni dalili na salamu
kuwa hivi sasa tunaelekea
kuzama katika shimo la
moto na kiza, baya zaidi
ya lile la Aus na Khazraj.
K i t u
p e k e e
kitakachotunusuru ni kwa
Waislamu kuingia katika
Jihad na kwa Wakristo
kuingia katika November
Crusades za kuwatoa
watu wetu katika ujinga
na ukibaraka wa kibubusa.
Inaweza ikawa tabu
kwa Wakristo kutumia
msamiati Crusade
kwa sababu ya historia
ya Vi t a h i y o , l a k i n i
kinachokusudiwa hapa
ni Waislamu na Wakristo
kubwa waliyofanya
Wa i s l a m u k u w a p a
hifadhi Watutsi Wakristo
waliokuwa wakisakwa
na Wahutu ili wauliwe.
Baada ya mauwaji kusita,
Sheikh Habimana ambaye
awali aliwataka Waislamu
kushikamana na mafunzo
ya dini yao na kuhakikisha
kuwa hawashiriki
kumwaga damu ya mtu
yeyote na pia kuwahimiza
kutoa hifadhi kwa Watutsi
wanaosakwa, aliwaambia
Waislamu kuwa tatizo
kubwa linaloikabili
Rwanda ni chuki. Chuki
iliyogubikwa na ujinga
wa kutojitambua kama
binadamu na viumbe wa
Allah.
Kwa hiyo, Jihad pekee
ambayo ingewanusru
Wanyarwanda ilikuwa
kubadili mioyo yao
kupitia njia mbalimbali za
kuwapa mafunzo, darsa
na mahubiri kwa hikma
na mawaidha mazuri ili
TOKA yabuniwe
matumizi mapya ya
msamiati ugaidi na
magaidi, kama njia
na mkakati mpya wa
kufanikisha malengo
na agenda za mabeberu,
imekuwa ni fasheni kila
mwenye lake, akiibuka
popote alipo kurusha
kombora kwa Waislamu.
Ni mashambulizi
mfululizo bila kusita.
Waislamu wanapakwa
matope kuwa ni
magaidi, wauwaji katili,
wachochezi na siasa kali
hatari kwa amani ya nchi.
Aliposimama Kanisani
hivi karibuni Mheshimiwa
Waziri William Lukuvi
na kuwataka Wakristo
wasikubali uwepo
wa serikali tatu ndani
ya muungano, hoja
yakigeuka uwanja wa
machinjio na kumwaga
damu ya watu wasio na
hatia, Misikiti, Madrasa
na nyumba za Waislamu,
zilikuwa ndio kimbilio
la Wakristo Wahutu na
Watutsi.
Kutokana na kazi
kubwa iliyofanywa na
Waislamu kuwanusuru na
kuwahifadhi Wakristo wa
Kihutu na Kitutsi, ndani ya
Misikiti, imetolewa filamu
ikielezea matukio ya kweli
katika yale yaliyowasibu
watu waliosalimika
kwa kupewa hifadhi na
Waislamu. Filamu hiyo
inayoitwa Kinyarwanda,
i m e f a d h i l i wa n a t h e
European Commissions
European Instrument for
Democracy and Human
Rights na kuongozwa
Inaendelea Uk. 6
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
JUMUIYA ya Ushirikiano
wa Kiislamu-OIC, imelaani
vikali mauaji dhidi ya vijana
watatu wa Kiislamu nchini
Marekani.
Katibu Mkuu wa OIC,
Iyad Amin Madani, amesema
katika makao makuu ya
jumuiya hiyo ya Kiislamu
mjini Jeddah, Saudi Arabia,
kwamba mauaji ya Waislamu
hao yaliyofanywa na mtu
mwenye chuki dhidi ya
Uislamu na Waislamu katika
jimbo la Carolina huko
Kaskazini nchini Marekani,
yamezijeruhi na kuziumiza
sana hisia za Waislamu katika
kona mbalimbali duniani.
Alisema mauaji hayo
ya m e z i d i s h a wa s i wa s i
mkubwa kufuatia kukithiri
hisia za chuki dhidi ya
Waislamu katika maeneo
mbalimbali ulimwenguni.
Nalo Baraza la Uhusiano
wa Uislamu na Marekani
(CAIR) limelaani mauaji
ya l i y o f a n y wa d h i d i ya
wanafunzi Waislamu karibu
na Chuo Kikuu cha North
Carolina.
Taarifa iliyotolewa na
CAIR imelaani mauaji ya
wanafunzi hao watatu wa
chuo kikuu na kuitaka polisi
ya Marekani kuchunguza
sababu za mauaji hayo.
Mkurugenzi Mtendaji
wa CAIR, Nihad Awad,
ameitaka polisi ya Marekani
kubaini iwapo mauaji ya
wanachuo hao Waislamu
yamefanyika kwa sababu za
chuki dhidi ya Uislamu.
Taarifa hiyo ya Baraza
la Uhusiano wa Uislamu
Marekani (CAIR) imetolewa
baada ya mtu aliyetajwa kwa
jina la Craig Stephen Hicks,
kuwapiga risasi na kuwaua
wanachuo watatu Waislamu
karibu na bweni la Chuo
Kikuu cha North Carolina.
Hata hivyo imedaiwa
kuwa vyombo vya habari vya
Marekani vinavyodhibitiwa
kwa kiwango kikubwa na
Wa z a y u n i h a v i k u r i p o t i
mauaji hayo ipasavyo.
Suala hilo limewakasirisha
Waislamu na wanaharakati
nchini Marekani ambao
wamemtaka Rais Barack
Obama kulaani kitendo hicho,
wakisema hakitofautiani na
vitendo vingine vya kigaidi
duniani hasa kile cha hivi
karibuni huko Paris.
Bw. Madani, ameitaka
serikali ya Marekani
kuchukua hatua za haraka
kukabiliana na ubaguzi
ambao unakinzana na
misingi pamoja na thamani
za kidini na kimaadili.
Deah Shaddy Barakat,
a l i ye k u wa n a u m r i wa
miaka 23, mke wake Yusor
Mohammad Abu-Salha,
aliyekuwa na miaka 21 na
dada yake Razan Mohammad
Abu-Salha, aliyekuwa na
Deah Shaddy Barakat (kushoto), mkewe Yusor Abu-Salha na dada yake, Razan Abu-Salha
enzi za uhai wao kabla ya wahajauawa huko Chapel Hill, Carolina nchini Marekani. Pichani
chini ni ndugu wa marehemu wakiomba dua wakati wa mazishi.
L i c h a ya m a z i s h i ya
vijana hao kuhudhuriwa
na maelfu ya watu huku
jumbe mbalimba zikitumwa
katika mitandao ya kijamii,
lililowashangaza wengi na
kuonekana kuwa ni jambo
linaloashiria ufa mkubwa
uliopo baina ya vyombo vya
habari vya Magharibi na
wananchi.
Imedaiwa kuwa ni
vyombo vichache tu vya
habari vilivyoakisi kwa njia
sahihi habari ya mauaji ya
kigaidi ya Waislamu hao.
Wa m a r e k a n i w e n g i
wamedaiwa kuangalia
mifano miwili ya namna
vyombo vya habari vya
Kimagharibi vilivyoakisi
habari ya kuuawa kigaidi
Waislamu hao watatu na
hujuma za hivi karibuni huko
Paris hasa dhidi ya jarida la
Charlie Hebdo.
Televisheni ya Fox News
katika kutangaza habari
ya mauaji ya Chapel Hill,
iliridhika kutangaza tu kuwa
'mtu moja ametuhumiwa
kuwaua Waislamu watatu'.
Televisheni hiyo imeelezwa
kushuhudiwa ikitangaza
kikamilifu matamshi ya Rais
Obama, kufuatia hujuma
dhidi ya Charlie Hebdo mjini
Paris na kuitaja hujuma hiyo
kuwa 'ugaidi wa kuogofya.'
Televisheni ya CNN nayo
ilinukuliwa kumtaja mtu
aliyewaua Waislamu hao
watatu kuwa ni mtuhumiwa
tu katika hali ambayo bila ya
uchunguzi wowote, iliwataja
waliofanya hujuma ya Charlie
Hebdo kuwa magaidi.
Makala
AN-NUUR
walivyoshiriki kuuwa
waumini wao wa Kitutsi,
kinyume na viongozi
wa Kiislamu ambao
walifungua milango ya
Misikiti na nyumba zao
k u wa h i f a d h i Wa h u t u
na Watutsi waliokuwa
wakitafuta hifadhi.
"Najua huko Marekani
kuna watu wanafikiri
Waislamu ni magaidi,
lakini kwa sisi watu wa
Rwanda, Waislamu ni
wakombozi katika mauwaji
ya Kimbari.
Makala
AN-NUUR
Makala
AN-NUUR
Lukuvi anawaonya
Wa k r i s t o w e n z a k e
kuwa wajihadhari na
Waislamu Siasa Kali,
s i a s a k a l i h a wa n d i o
kwa msamiati mwingine
wanapachikwa nembo
ya ugaidi. Yalipotokea
matukio yanayodaiwa
ya kuchomwa makanisa
Mbagala, ndio hawa siasa
kali wanadaiwa kuhusika.
Wa n a t u h u m i w a p i a
kushiriki kuuwa viongozi
wa Makanisa.
Lilipotokea shambulio
la bomu Arusha, wageni
waliokamatwa tukiambiwa
kuwa ulikuwa utaratibu tu
wa kawaida, walikuwa
Wa a r a b u . Wa a r a b u
ambao Mheshimiwa
Lukuvi anasema kuwa
wana mpango wa kuja
kustawisha siasa kali
Zanzibar. Propaganda hizi
za siasa kali na magaidi,
kama zile za inyensi,
ndio zinapandikiza
chuki, uhasama, kisasi na
mauwaji.
Haya ya siasa kali,
magaidi, ni sawa na yale
ya mende kule Rwanda
ambapo Kanisa lilijikuta
likitumiwa na wakoloni
kupandikiza chuki baina
ya Wanyarwanda katika
zile siasa za wagawe
uwatawale. Na kwa hakika
ipo katika kumbukumbu
k w a m b a Wa k o l o n i
waliwasifu sana Maaskofu
wa Kihutu kwamba
waliwarahisishia kazi yao
ya kukamata na kutawala
Burundi na Rwanda bila
ya kuhitajia askari wa
kuwashikia mtutu watu
wa nchi hizo.
La kusisistiza hapa
ni kuwa, athari ya zile
siasa za chuki za kuitana
nyenze, zilikuwa cha
mtoto. Tukicheza na hizi
chuki za kuitana magaidi
na siasa kali, matokeo
yake yatakuwa mabaya
zaidi. Na sababu yake ni
nyepesi tu kueleweka.
Gaidi ni hatari kuliko
mende. Mende unauwa
tu, hawezi kupambana
nawe. Si hivyo kwa gaidi.
Huwezi kusema utauwa
gaidi nawe ukabaki
salama. Mtapambana.
Mtauwana.
Ukiwapandikiza chuki
Wakristo na kuwaaminisha
kuwa ndugu zao
Watanzania Waislamu
ni magaidi waliopania
kuwakata makoo na
kuchoma moto makanisa
yao, mawazo yao yatarejea
katika zile zama za wito
wa fideles Sancti Petri
Inaendelea Uk. 9
Makala/Matangazo
AN-NUUR
kuwa ni wahuni.
Wa k a s h i k a s i l a h a
kupambana na Wajerumani
hao na kuandika historia
ya Majimaji na Siku ya
Mashujaa katika nchi hii.
Pamoja na chuki hizi
za kuitana siasa kali
na kuharibu historia
ya nchi hii, lakini leo
ukienda Peramiho
katika kumbukumbu
ya Vi t a ya M a j i m a j i ,
utakuta tasbihi na viriba
vya maji walivyokuwa
wakitawadhia wazalendo
na makamanda wa
Majimaji ambao wote
katika picha zao hapo,
wanaonekana wakiwa
wamevaa kanzu na
vilemba. Kipande cha
mswala waliokuwa
wa k i s wa l i a m a s h u j a a
hawa,
ambacho
awali kilikuwepo,
sasa kimeondolewa.
Yawezekana keso ukienda
na zile birika za kutawadhia
na tasbihi, wameziondoa
kuzidi kufuta historia hii
iliyotukuka.
Hii ndiyo rekodi ya
Waislamu katika nchi hii,
iliyokuja kuendelezwa
na wajukuu wa Suleiman
Mamba pamoja na
Masheikh wa Dar es Salaam
waliompokea Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere
mpaka akalazimika kuvaa
kofia kama wao katika
kupigania uhuru.
Sasa labda tuwaulize
h a wa wa n a o s a m b a z a
propaganda na kupiga
porojo za magaidi
n a Wa i s l a m u S i a s a
Kali, kuchochea chuki
zinazoweza kuleta
m a c h a f u k o b a i n a ya
Waislamu na Wakristo
katika nchi hii, wana
agenda gani?
10
Na Omar Msangi
KWANZA nianze kwa
kusema kuwa Nigeria,
ikijulikana kama
Mwamba wa Afrika (The
Giant of Africa). Na hii
ni kwa kila kitu, ikiwa
ni pamoja na wasomi
na jeshi. Hata Bongo
Movies nadhani. Leo
kuambiwa eti jeshi la
Nigeria limekuwa mbwa
koko wa kukalia mkia
mbele ya Abubakar
Shekau, ni kituko na
kiroja kama kile cha
mtoto wa shule ya msingi
tuliyeambiwa aliwazidi
nguvu walinzi wa Ubalozi
wa Marekani akaingia na
kigeleni chake cha mafuta
ya taa kwenda kulipua
ubalozi huo.
Baadhi ya vyombo vyetu
vya habari vikapamba
habari hizo kwa maelezo
kuwa mtoto huyo alikuwa
amejifunza ugaidi kupitia
mawaidha yaliyokuwa
yakitolewa katika Msikiti
wa Matambani! Tuyaache
hayo, lakini ndio mambo
ya vyombvo vyetu vya
habari.
Si nia yangu kuleta
malumbano na waandishi
wenzangu. Lakini nadhani
ipo haja ya kujadili baadhi
ya mambo ili yaeleweke
katika sura yake halisi. Na
nipo tayari kukosolewa
au kuelimishwa kama
ufahamu wangu ndio
utakuwa wenye matatizo.
Na hili nalifanya kwa
kuzingatia kuwa vyombo
vyetu vya habari vimekuwa
vikifanya kazi kubwa ya
kuelimisha jamii na kuipa
mwelekeo wa mambo ya
msingi katika maisha na
ustawi wa nchi yetu. Sasa
ni mantiki ya kawaida tu
kuwa ni hitajio la lazima
kwa muelimishaji kuwa
na uoni mpana zaidi wa
mambo japo si lazima
kukijua kila kitu kwa
undani sana.
Mhariri wa gazeti la
Nipashe katika toleo la
gazeti hilo la Jumatatu
wiki hii, ameuliza swali
la msingi sana. Baada ya
maelezo marefu, Mhariri
anasema:
Sisi tunajiuliza, silaha
zilifikishwa vipi katika
m a p a n g o ya A m b o n i
pasipo vyombo vyetu
vya usalama kuzibaini na
kuwakamata wahusika
kungali mapema?
Weka swali hili la Mhariri
wa Nipashe kichwani
halafu soma habari hii.
Inasema:
polisi walizidiwa
nguvu ndipo walipoomba
msaada wa wanajeshi
na hivyo mapigano
yakaendelea. Baada
ya wanajeshi kuja
waliendeleza mapigano
na jamaa walifanikiwa
kukimbia.
Ufyatuaji wa mabomu
uliendelea katika eneo
lote kuzunguka mapango.
Kuna wakati wanajeshi
Makala
AN-NUUR
Wandishi tunacheza
mchezo tusioujua
Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisa
Hatuna jeshi la kupambana na magaidi
Tusijidanganye. Sio wajanja kuliko Nigeria
h a o wa l i z u n g u k a n a
kujikuta wanajeruhiana
wao kwa wao. Kwa sasa
eneo lote limezingirwa
na wanajeshi. Kilisema
chanzo chetu.
11
Makala
AN-NUUR
Kasisi Reno Omokri (kulia) akiwa na Mchungaji Ayo wakati wa uzinduzi wa moja
ya vitabu vyake.
kuwa Gavana huyo wa hicho cha Rais.
Februari 23, 2014, Boko
Benk Kuu, Alhaj Mallam
I k a e l e z w a k u w a Haram wakashambulia
Lamido Sanusi, ndiye Februari 20, 2014, Rais K o n d u g a
Local
mfadhili mkuu wa ugaidi G o o d l u c k J o n a t h a n Government, wakiharibu
na kwamba mashambulizi a l i m s i m a m i s h a k a z i m a k a z i y a w a t u n a
ya k i g a i d i y a m e z i d i Malam Sanusi Lamido kuuwa watu kadhaa na
baada ya kusimamishwa Sanusi akiwa Gavana wa siku iliyofuata Februari
kazi na Rais Goodluck Benki Kuu ya Nigeria. 24, 2014 wakashambulia
Junathan, kama ishara ya (Central Bank of Nigeria). msafara wa Gavana wa
kukasirishwa na kitendo
Siku tatu tu baadae, Jimbo la Borno.
Cont. Pg. 12
12
MAKALA
AN-NUUR
kuonyesha katika
mifano hiyo ni kuwa
toka kuibuka taarifa
za Amboni, waandishi
wa habari tumekuwa
na shauku kubwa sana
kuona suala hili likipewa
nembo ya ugaidi. Lakini si
hivyo tu, litumike kukuza
kitisho na hofu ambayo
itapeleka salamu kwa
wananchi kuwa Tanzania,
si mahali salama tena pa
kuishi. Maana unaposema
kuwa baada ya polisi
kushindwa, JWTZ nao
walizidiwa maarifa
wakajikuta wanajeruhiana
wao
kwa
wao,
unachokusudia kusema
nini? Au unaposema kuwa
magaidi kutoka nje ya
nchi wameingia nchini na
kujenga kambi na ghala la
kuhifadhia silaha aridhini
na uwanja wa mazoezi,
katika eneo ambalo si
zaidi ya kilometa 20 au
hata ikiwa 100, kutoka
katika mji wa Tanga, lakini
serikali na vyombo vyake
vya usalama haina habari,
salamu gani unapeleka
kwa wananchi. Na hapa
ndio linakuja lile swali la
Mhariri wa Nipashe.
Jaaliya habari za JAMHURI
na Mtanzania ni za kweli
Unaweza kulitafsiri
s wa l i l a M h a r i r i wa
Nipashe katika namna
nyingi, lakini mimi
nitalipa sura mbili na
kuzitolea ufafanuzi. Moja,
ni hii inayoelezwa katika
Mtanzania na JAMHURI.
Kwamba unajaaliya kuwa
yaliyosemwa na magazeti
hayo ni kweli. Sasa swali
linahoji, serikali ipo wapi
mpaka wanaingia Boko
Haram, Al-Shabaab na
Al-Qaida kutoka katika
mpaka wa Pakistan na
Afghanistan maarufu kwa
jina la Peshawar Khabar
na kuweka kambi Amboni
wakiwa na maghala ya
silaha na viwanja vya
mazoezi?
J A H M U R I
linatufahamisha kuwa
magaidi hao kutoka
Peshawar Khaibar
baada ya kuingia nchini,
vyanzo kutoka ofisi
n ye t i v i l i e l e z a k u wa
wamekuwa wakiandaa
vijana kwa ajili ya kufanya
vitendo vya kihalifu na
k u a h i d i wa k i a s i c h a
fedha na kwamba kuna
mtandao wa wafadhili
wa kikundi hicho
wanaoratibu harakati
za kigaidi nchini (na
kwamba) wanafahamika
kwa vyombo vya
ulinzi, ila vimeshindwa
kuwachukulia hatua.
Kama alivyohoji Mhariri
wa Nipashe, kuna haja
gani ya kuwa na vyombo
vya ulinzi na usalama
kama vinakuwa na habari
Gazeti la Citizen
Jumatatu, 16 Feb. 2015,
limechapisha maoni ya
mwandishi Gitau Warigi
yakiwa na kichwa cha
habari kisemacho: If
postponing Nigeria polls is
a cynical ploy, God save us
all.
From Pg. 11
Haram attacks Federal
Government College, Buni
Yada, in Yobe State, killing
at least 29 students as they
slept.
History
It is a historical fact that
Malam Sanusi Lamido
Sanusi was implicated in the
Gideon Akaluka beheading
affair of 1995 and was
subsequently arrested in
Kano and detained by the
Abacha administration in
Sokoto, Sokoto State.
Sanusi was released after
the intervention of (amongst
others) Alhaji Umaru Abdul
Mutallab.
Alhaji Mutallab used his
influence to place Sanusi
comfortably in the banking
sector beginning with the
United Bank for Africa from
where he moved to First
Bank where he (Mutallab)
was chairman.
Malam Sanusi rose within
the ranks, aided by his
relationship with Mutallab,
until he was nominated
by President Yaradua and
confirmed by the senate as
the Governor of the CBN in
2009.
It is pertinent to note
two incidences that cannot
be coincidences. The son
of Alhaji Umaru Abdul
Mutallab (Farouk Abdul
Mutallab) eventually
entered into infamy when
he was arrested and tried
for attempting to detonate
13
Makala
AN-NUUR
RUHENGERI, Rwanda
- Wanavijiji wakiwa na
vilemba vyao vya kijani
kibichi na nakala za kijani
za Kurani waliwasili
katika msikiti Jumapili
mchana wakati mvua
inanyesha kwa ajili ya
mhadhara kwa waumini
wapya. Kulikuwa na
mada moja kubwa:
jihad. Walikaa vitini na
kupekua kurasa hadi
u n a o t a k i wa . M i k o n o
ilirushwa hewani. Watu
walisoma aya kwa sauti.
Na neno jihad - pambano
takatifu - lilisikika tena na
tena katika chumba hicho
chenye giza, kinachovuja.
Haikuwa aina ile ya
jihad ambayo imekuwa
ikisikika katika habari
tangu Septemba 11, 2001.
Hapakuwa na rejea kuhusu
Osama bin Laden, Kituo
cha Biashara cha Kimataifa
au walipua mabomu wa
kujitoa mhanga. Kulikuwa
tu na mazungumzo
walikuwa ni wa ngazi
ya awali ya mabadilikomaumbile ya binadamu.
Matokeo yake ikawa ni
kuwa ni wa-Tutsi pekee
waliokuwa wakipewa
nafasi za utawala nchini
Rwanda; mamlaka yao na
upendeleo ukaongezeka
sana. Bila shaka, chuki
za wa-Hutu nazo
ziliongezeka.
Ta n g u m a u a j i y a
halaiki, Wanyarwanda
wamegeukia Uislamu
kwa makundi makubwa.
Waislamu sasa ni asilimia 14
ya watu milioni 8.2 wa nchi
hiyo ambayo inaongoza
kwa Ukatoliki barani
Afrika, mara mbili zaidi
ya kabla ya mauaji kuanza.
Wa b a d i l i d i n i we n g i
wanasema waligeukia
Uislamu kutokana na
kile kilichofanywa na
baadhi ya makasisi wa kiKatoliki na ki-Protestanti
ambako waliwaruhusu
wa-Tutsi kupata hifadhi
katika makanisa yao,
halafu wakawatoa kwa
makundi ya wauaji wa
ki-Hutu, pamoja na
matukio ambako makasisi
wa ki-Hutu walikuwa
wanawahimiza waumini
wao kuua wa-Tutsi.
Leo hivi baadhi ya
makanisa yanatumika
kama makumbusho ya
watu wengi waliouawa
katika hifadhi ya
wachungaji wao.
Makasisi wanne
walishtakiwa kwa makosa
ya mauaji ya halaiki katika
Inaendelea Uk. 14
na sura ya mahakama ya
nchi, na taasisi zilizokuwa
zinategemea utemi, wakati
wa-Hutu walikuwa zaidi
ni wakulima masikini.
Lakini wakulima wa kiHutu waliweza kuingia
katika ngazi ya u-Tutsi
kwa kufuzu, na machifu
wa ki-Hutu wakiwa na
nafasi ya maana katika
jamii.
Kuanzia miaka ya 1880 na
kuendelea, wamishionari
wa ki-Belgiji wa Kanisa
Katoliki wa kundi la
'White Fathers' la Roma
waliongeza ushawishi wao
katika eneo hilo, na katika
makubaliano ya Versailles
mwaka 1919 baada ya
Vita Vikuu vya Kwanza,
Rwanda ikawekwa chini
ya udhamini wa Ubelgiji
kwa niaba ya Muungano
wa Mataifa (League of
Nations).
Fikra ya Darwin ya
mabadiliko-maumbile
"White Fathers"
waliimarisha nafasi
Wamishionari vijana
kutoka kwa Papa
Baada ya Vita Vikuu
vya Pili, ushawishi wa
mapadri wa 'White
Fathers' ulipungua
lilipoanza kuwasili wimbi
la wamishionari vijana
kutoka Vatican, wakitokea
seminari za Ubelgiji.
Walikuja na nadharia
za 'haki za kijamii;
ambazo sasa zilikuwa
zinajengwa na Vatican ili
kueneza ushawishi wa
Kanisa Katoliki katika
nchi zinazoendelea.
Wa m i s h i o n a r i h a w a
wa - F l e m i s h , m o j a ya
' m a k a b i l a ' m a k u b wa
mawili nchini Ubelgiji,
walijitambulisha kuwa
karibu na wa-Hutu walio
wengi wanaonyanyaswa,
na taratibu wakalazimisha
wa-Tutsi kuachilia kibano
chao juu ya nchi hiyo. Hiyo
ilifikia uasi wa ki-Hutu
mwaka 1959 ambako waTutsi 10,000 waliouawa
na zaidi ya 100,000
kufukuziwa uhamishoni.
Miaka mitatu baadaye,
Gregoire Kayibanda,
Katibu wa Mhashamu
Vincent Nsengiyumva,
Askofu Mkuu wa
Rwanda, akawa Rais wa
kwanza wa nchi huru ya
Rwanda, baada ya kuuda
Chama cha Uimarishaji
Kibaguzi wa wa-Hutu,
'Parme Hutu.' Sasa waTutsi wakawa wanaokena
katika fikra ya Kanisa
Katoliki kama wavamizi
kutoka Ethiopia na Kanisa
likaanza kuchochea miito
ya wa-Tutsi kurudishwa
makwao.
Wa-Tutsi 'mende'
Tu k i o m o j a l a
kukumbukwa ni barua
Inaendelea Uk. 14
14
Makala
AN-NUUR
"Niliwaangalia wakisali
m a r a t a n o k wa s i k u .
Nilikula nao na niliona jinsi
wanavyoishi," alisema.
"Wanaposali, wa-Hutu
na wa-Tutsi wanakuwa
katika msikiti mmoja.
Hakuna tofauti. Nilihitaji
kuona hilo."
Uislamu kwa muda
mr e f u ume k uwa d i ni
ya wa n a o n ya n ya s wa .
Maeneo ya Mashariki ya
Kati na Asia ya Kusini,
dini hiyo imekuwa na
mwelekeo wa kina wa
kuwafikia walio maskini
na kutatua mapungufu
ya maisha kwa kupiga
marufuku unywaji pombe
na kusititiza utulivu katika
mahusiano ya kimapenzi.
Nchini Marekani, Malcolm
X alitumia aina ya Uislamu
kufanikisha uwezeshaji
kiuchumi na kijamii kwa
watu Weusi nchini humo.
Viongozi wa Kiislamu
wanasema wana wafuasi
wasiotiliwa shaka nchini
Rwanda, ambako ukimwi
na umasikini vimechukua
nafasi ya mauaji ya halaiki
kama matatizo makubwa
Inaendelea Uk. 16
chafu iliyopelekwa
mwaka 1972 kwa Askofu
Mkuu na kundi la
mapadri 11 wa ki-Hutu
na viongozi wa Kanisa,
ikiwazungumzia wa-Tutsi
kama 'inyensi,' (mende)
- neno ambalo lilitumiwa
mara nyingi na wauaji
wa ki-Hutu mwaka 1994.
Wakizungumzia mauaji
ya 1959, barua ilisema:
"Baada ya kushindwa kwa
wapinga maendeleo, wainyensi, mtu angetazamia
kuwa watu wenye uelewa,
waliowekwa kumtumikia
Mungu, wangenyenyekea
mbele ya ushindi wa
wa t u ( wa l i o w e n g i ) .
Wa-Hutu wanaonekana
kulala usingizi kwa sifa za
ushindi, wakati wa-Tutsi
wanajitahidi kwa kila njia
kuwa tena wamiliki wa
matukio. Ni kwa muda
gani ambao tunaweza
kuendelea kuwaruhusu
ndugu zetu wa ki-Tutsi
kutufanya wapumbavu?"
Mmoja wa waandishi
wa barua hiyo, Andre
Havugimana, baadaye
alifikia ngazi za kuu katika
Kanisa Katoliki nchini
Rwanda.
Mwaka uliofuatia barua
hiyo, Kanisa Katoliki
hadharani likaunga mkono
kuondolewa kwa wa-Tutsi
kutoka katika mashule,
vyuo na idara za serikali.
Unyanyasaji na mauaji ya
hapa na pale ya wa-Tutsi
yalikuwa hayakwepeki
kutokana na ukandamizaji
huu. Mwaka 1992, Hassan
Ngeze, mwandishi wa
habari aliyekuwa
akitumikia chama cha
siasa kali cha ki-Hutu,
alichapisha waraka wa kiHutu ukiitwa Amri Kumi
za Wahutu. Amri ya Nane
ilikuwa, "Acha kuwa na
huruma kwa wa-Tutsi."
Roma, Marekani na mauaji
ya halaiki
Matukio yaliyofikia
hadi mauaji ya halaiki
April 1994 yalikuwa, kwa
mujibu wa wataalamu
wengi, yamepangwa na
kuratibishwa na viongozi
wa Kanisa Katoliki na
wanasiasa wakishirikiana
na wa-Hutu wa siasa kali na
Balozi wa Marekani David
Rawson. Mahali pa kazi
awali pa Rawson ilikuwa
h a y o , k i l i m wa n d i k i a
Papa kusema kuwa
"inashangaza kuona
juhudi za kila wakati
kusafisha utawala wa
Kanisa Katoliki na taasisi
hiyo kwa gharama
yoyote." Inasikilisha kuona
kuwa baadhi ya taasisi za
kichungaji ambazo awali
zilikuwa za ki-Protestanti
pia ziliangalia pembeni
mauaji yakiendelea.
Wiki iliyopita (kwa
tarehe ya makala),
Waziri Mkuu Tony Blair
(wa Uingereza) alisema
ataharakisha kupeleka
bungeni muswada wa
kuweka vitambulisho.
Kama
ambavyo
utambulisho wa Wayahudi
katika orodha za serikali
za mitaa nchini Uholanzi
katika miaka ya 1930,
uliwawezesha watu wa
Hitler kuwatambua na
kuwakamata Wayahudi
n c h i n i h u m o m wa k a
1940, inachangamsha
kukumbuka kuwa
itikadi ya kibaguzi yenye
mizizi ya Kikatoliki ya
miaka ya 1920 na 1930
iliwahitaji Wanyarwanda
w o t e
k u b e b a
Inaendelea Uk. 16
15
Inatoka Uk. 12
To Death For Cowardice:
Scores of elite troops will
face the firing squad for
not joining an operation to
win back territory taken by
Boko Haram. Nigeria: 54
Soldiers Sentenced to Death
for Mutiny.)
A s k a r i
h a o
wakishitakiwa katika
Mahakama za Kijeshi,
wanadaiwa kukataa
kupigana dhidi ya Boko
Haram. Lakini suala
hapa sio askari hao
kukataa kupigana au
k wa m b a wa m e g e u k a
na kuwa wasaliti. Tabu
ipo katika utata wa adui
wanayepigana naye.
Hawajui wanapigana na
nani. Mara kadhaa kikosi
kinapelekwa kukabiliana
na Boko Haram, wakiamini
kuwa ni magaidi
kama wanavyomwona
Abubakar Shekau
katika video zake, si
gaidi chochote. Ni kama
punguwani fulani hivi.
Lakini wanapofika mahali
wanapotakiwa kufanya
operesheni, ghafla
wanakumbana na jeshi
kamili lenye silaha nzito
kuliko zao na kujikuta
askari wakiuliwa ovyo.
Katika tukio moja,
kufumba na kufumbua,
waliuliwa askari 26. Hawa
ni wanajeshi kamili na
vyeo vyao, sio mgambo wa
Jiji au polisi jamii wa ulinzi
shirikishi.
Hali kama hii ndiyo
inawafanya wanajeshi
wa Nigeria kuhoji,
wanapigana na nani?
Mbona adui haeleweki na
kwamba inavyoonekana
iko siri kubwa juu ya
Boko Haram ambayo wao
hawaijui labda wakubwa
zao na wakuu wa serikali!
Hao tunaosikia Boko
Haram leo kule Nigeria
kuwa jeshi limewashindwa
mpaka likaomba wanajeshi
kutoka nchi jirani na hata
mbali Marekani, Israel
na nchi za NATO, tukio
lao la mwanzo kuingia
kazini lilitangazwa kama
hili la Amboni. Kwamba
waliteka silaha kutoka
vituo vya polisi na baada
ya hapo ndio wakaanza
kufanya mashambulizi ya
kigaidi. Sasa ni jeshi lenye
mizinga, makombora,
magari ya kijeshi,
hawapungukiwi bunduki,
risasi wala wapiganaji.
Imekuwa kikosi ambacho
kinaweza kuteka watoto
wa shule kwa zaidi ya
mwaka polisi, jeshi la
Idara zote za Usalama
za Nigeria na vikosi vya
msaada kutoka Marekani,
Uingereza na Israel,
vikashindwa kutambua
walikowaficha!
Nigeria na Boko Haram
yao mpaka kufika hapa
ilipo, imepitia hatua
kama nne muhimu.
Kwanza waliibuka watu
wakijiita Jama'atu Ahlis
AN-NUUR
Makala
16
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Inatoka Uk. 14
zaidi.
"Uislamu unaendana
na mfumo wa jamii
yetu. Unawasaidia walio
katika umaskini. Unatoa
mafundisho dhidi ya hulka
ambazo zinasababisha
ukimwi. Inatoa elimu
katika Kurani na Kiarabu
ambako kuna elimu nyingi
inatolewa," alisema Mufti
Habimana.
"Nadhani watu
wanaweza kujihusisha na
Uislamu. Wanabadili dini
kama ishara ya shukrani
kwa jumuia ya Kiislamu
ambao waliwapa hifadhi
wa k a t i wa ma u a ji ya
halaiki."
Wa k a t i n c h i z a
Magharibi zina wasiwasi
kuwa kukua kwa Uislamu
kunaendana na hatari ya
kuzuka harakati za kigaidi,
hakuna dalili zozote za
siasa kali ya Kiislamu
nchini Rwanda.
Hata hivyo, baadhi
ya maofisa wa serikali
kimyakimya wanaeleza
wasiwasi kuwa baadhi ya
misikiti inapokea misaada
kutoka Saudia, ambako
mwelekeo rasmi ni wa
kundi la Wahhabi, ambao
umeenea miongoni mwa
makundi ya kiharakati
katika maeneo mengine
duniani. Pia wanakuwa na
wasiwasi kuwa viwango
vya juu vya umaskini
n a m s h t u k o wa k i n a
miongoni mwa wakazi
wake unafanya Rwanda
kuwa mahali stahili pa
kuchepua siasa kali ya
Kiislamu.
Lakini Nish Imiyimana,
Imamu wa hapa Ruhengeri,
takriban kilometa 45
kutoka Kigali, mji mkuu,
anahakikisha:
"Tuna matatizo yetu
yanatutosha. Hatutaki
bomu lituangukie
limedondoshwa na
M a r e k a n i . Tu n a t a k a
m a s h i r i k a ya s i y o ya
Inatoka Uk. 14
m a r a i s wa R wa n d a n a
Burundi ilipoangushwa
wakati ikijitayarisha kutua
jijini Kigali. Katika siku 100
zilizofuata, Wanyarwanda
wanaokisiwa kufikia 800,000
waliuawa.
Washiriki wa makundi
ya mgambo, wanajeshi na
raia walifanya matendo ya
kutisha yasiyo na mpaka,
kimsingi dhidi ya wa-Tutsi
wachache, lakini pia dhidi
yawa-Hutu walio wengi
waliokataa kujiunga na
mauaji au waliokuwa katika
vyama vya upinzani.
Wauaji walikuwa zaidi
raia wakiwa na mapanga,
majembe ya bustani na rungu
zenye ncha, wakisukumwa
kiserikali ya Marekani
kuja kutujengea hospitali
badala yake."
Maimamu kutoka
kote nchini wanafanya
mikutano baada ya
Septemba 11, 2001
kufafanua ina maana gani
kuwa Muislamu.
" N i l i m wa m b i a k i l a
mtu, Uislamu maana
yake ni amani," alisema
Imiyimana, akikumbuka
kuwa msikiti ulikuwa
umejaa sana siku hiyo.
" U k i f u a t i l i a
t u l i c h o k i f a n ya ( h a p a
nchini), haikuwa vigumu
kutanabaisha hilo."
Hali hii inaleta wasiwasi
k wa K a n i s a K a t o l i k i .
Mapadri hapa wanasema
wameomba ushauri
kutoka kwa viongozi wa
Kanisa huko Roma kuhusu
jinsi ya kukabiliana na
kuongezeka kwa ubadili
dini kuingia Uislamu.
"Kanisa Katoliki lina
tatizo baada ya mauaji ya
Anil Kija.
Hisani ya Ecumenical News
International - mtandao wa
habari za kikanisa).
vitambulishokuwataja kama
ni wa-Tutsi, wa-Hutu au waTwa. Hii ilirahisisha kazi ya
wauaji halaiki wa ki-Hutu,
ambao juhudi zao wakati
mmoja zilifikia miili 40,000 ya
wa-Tutsi kuelea hadi kufika
Ziwa Victoria.
Dunia yatafakari mauji ya
halaiki
ya Rwanda miaka 10 baadaye
Mnamo Aprili 7, Rwanda
ilikumbuka mauaji ya
halaiki ya mwaka 1994
ambako mamia ya maelfu
ya watu waliuawa. Mauaji
ya halaiki yalianza tarehe 7
Aprili 1994, siku moja baada
ya ndenge iliyowachukua
na propaganda za chuki.
Walifanya kazi hiyo kwa
haraka mara tano zaidi
ya vyumba vya gesi
vilivyotumiwa na utawala wa
Nazi wakati wa Vita Vikuu
vya Pili, kwa mujibu wa
baadhi ya wasomi.
Inakisiwa kuwa kiasi cha
400,000 kati ya wahanga
wa mauaji ya watu wengi
walikuwa watoto, na watoto
95,000 waliachwa bila wazazi.
"Ni vigumu kusahau,"
Chantal Umurungi, umri
miaka 24, mnusurika pekee
wa mauaji ya halaiki katika
familia ya watu 10, aliuambia
mtandao wa habari wa IRIN
(www.irinnews.org.) "Kila
wakati nakumbuka jinsi
wanamgambo wa ki-Hutu
wa l i v y o k u wa wa k i k a t a
vichwa vya watu, na hii
huwa inakuwa kwa njia ya
majinamizi."
Katibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa Kofi Annan alisema
"Lazima wote tukubali wajibu
wetu wa kushindwa kufanya
zaidi kuzuia au kusimamisha
mauaji ya halaiki. Hatuwezi
kungoja hadi kilicho baya
zaidi kiwe kimetokea au
kuishia tu kumshika mtu
mkono au kutojali kabisa."
Asilimia 65 ya
Wanyarwanda ni waumini
wa Kanisa Katoliki na asilimia
9 ni wa-Protestanti.
(Uchambuzi huu: Genocide of
the Tutsis the Role of the Roman
Catholic Church-BRITISH
CHURCH NEWSPAPER 16
APRIL 2004
Analysis by a correspondent,
umetafisiriwa kwa Kiswahili na
17
Makala
AN-NUUR
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L
DAR ES SALAAM
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)
katika kujifunza.
5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni
: 0783552414/0762817640.
Kilimanjaro
- Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490
- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.
- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.
Tanga
- Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525
- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983
Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.
Musoma
Shinyanga
Morogoro
Dodoma
Singida
Manyara
Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.
Lindi
Mtwara
- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196
Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya
Rukwa
Tabora
Iringa
Pemba
Unguja
18
Inatoka Uk. 15
Makala/Tangazo
AN-NUUR
USAJILI
S.2401
KWA WASICHANA TU
MASOMO
USAJILI
S.4384
KWA WAVULANA TU
19
Makala
Na Ben Rijal
MSEMO wa Twende
mbele na turudi nyuma,
u l i k u wa u k i t u m i wa
na wazee wetu katika
siku za kugombania
Uhuru na hata wengine
kuhoji nakusema iweje
t u s h a k we n d a m b e l e
kisha turudi nyuma. Kipi
tunachokitafuta huko
nyuma?
Ukiziangalia hoja mbili
hizo, kila moja ina mantiki
iweje ushafika mbele
unaangalia nyuma kuna
nini unachokitafuta? Kwa
mazungumzo ya kawaida
utasema hivyo ndivyo,
lakini ndani ya maendeleo
nikusema kuwa lazima
ushafika mbele urudi
nyuma kujitathmini,
ikiwa umefuzu au
umeharibikiwa ndipo
utapofanikiwa.
Wengi huwenda mbele
tu mithili ya nguruwe
mwitu asiojua kwenda
mbele na kurudi nyuma.
Nilipokuwa nashiriki
katika usasi wa nguruwe
mwitu, mahasidi wa mazao
ya wakulima, ilikuwa
tukifukuza nguruwe saa
n ye n g i n e h u m u a c h i a
kisha tukafwatilia
njia yake ile aliopita
nakuweza kumkamata
kwa kirahisi kwa kuwa
nguruwe mwitu anajua
kwenda mbele tu, hajui
kurudi nyuma. Siku zote
kwenye usasi, mukimkosa
kumkamata nguruwe
aliokuponyokeni na
kumua, inabidi muifwate
ile njia muliomkuta
kabla kisha kumsubiri
siku nyengine mtamkuta
kapita hapo hapo bila ya
kubadilisha upande ndio
saa nyengine utawasikia
weledi wakisema
umekuwa kama nguruwe
mwitu njia yako hio kwa
hio?
Najaribu kujenga hoja
ili nilitakalo kukieleza
kieleweke, katika kwenda
mbele na kurudi nyuma,
nitaanza na Mapinduzi,
neno Mapinduzi kila
m w e n y e l u g h a ya k e
amelita kwa namna
yake. Mfano Kiafrikana
hutamkwa rewolusie,
Ki-Albanian Revolucion,
Ki-Arabu Thawra, KiIndonesia Revolusi,
Ki-Persia Inkilabu, KiVietnam Cuc cch mng,
Ki-Welsh chwyldro. Juu
yakuwa neno hilo lina
AN-NUUR
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Soma
AN-NUUR
kwa Tshs 800/= tu
AN-NUUR
R A I S wa Z a n z i b a r n a
Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein, amesema
kuwa ni muhimu wananchi
kupewa taarifa ya mambo
yanayofanywa katika
Mikoa na Wilaya zao.
D k . S h e i n a l i ya s e m a
hayo mapema wiki huko
Ikulu mjini Zanzibar katika
m k u t a n o k a t i ya k e n a
Uongozi wa Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Idara
Maalum za SMZ.
Mkutano huo ulikuwa
na lengo la kuangalia
Utekelezaji wa Malengo ya
Wizara hiyo kwa robo mbili
kati ya Julai hadi Disemba
2014.
Dk. Shein alisema kuwa
huo ni utaratibu uliowekwa
na Serrikali hivyo viongozi
hao wanatakiwa kutoa taarifa
kwa wakati uliopangwa ili
wananchi wajue mambo
yaliyofanywa na Mikoa,
Wilaya zao sambamba na
kujua juhudi za maendeleo
zinazochukuliwa na Serikali
katika maeneo hayo.
Aidha, Dk. Shein alitumia
f u r s a h i y o , k u wa e l e z a
Wakuu wa Mikoa, Wilaya
na Makatibu Tawala pamoja
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.