Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1178 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 22-28, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Jiulize mwenyewe.
Hivi picha hii
inaonyesha
mtu gaidi,
aliyetakabari,
a s i ye j u a k u wa
kuuwa, ni dhambi?
Je, hii ni sura
inayowakilisha
jitu katili,
jahili lisilojua
k u wa U i s l a m u
unakataza kabisa
kusababisha
madhara kwa
wanawake,
watoto na watu
wengine wasio na
hatia! (Soma zaidi
uk. 2, 3 na 10)
Tahariri/Habari
2
AN-NUUR
AN-NUUR
Na Mwandishi Wetu
Habari
AN-NUUR
Na Bakari Mwakangwale
Bw. Malaja.
Alisema, katika maisha
WA F U N G WA
n a yake ndani ya Ukristo,
Mahabusu katika Gereza a m e s h a w a h i k u w a
la Segerea, Jijini Dar es m w a n a k w a y a k a t i k a
Salaam, wameendelea v i k u n d i m b a l i m b a l i
kupata Daawa gerezani hususani katika Mji wa
humo na kusilimu kwa Kahama.
Nikiwa Kahama,
nyakati tofauti.
K a z i h i y o i m e k u wa niliimba katika kwaya
ikifanywa na Waislamu m b a l i m b a l i n i k i w a
walio katika gereza hilo kiongozi na mtungaji na
walio nyimwa dhamana mara ya mwisho nilikuwa
takriban mwaka mmoja katika kwaya moja inaitwa
s a s a , k wa t u h u m a z a AIC iliyopo katika kijiji cha
ugaidi, akiwemo Sheikh Bufuko, nje kidogo ya Mji
wa Kahama. Alisema.
Mselem.
Alisema, mara baada
Akiongea na An
nuur katikati ya wiki ya kufanya maamuzi ya
h i i , m f u n g wa m m o j a kusilimu, alipata lawama
aliyemaliza kifungo chake kutoka kwa baadhi ya
katika gereza hilo na Wakristo wenzake gerezani
kurejea uraiani, amesema humo, wakimueleza kuwa
aliingia gerezani akiitwa a t a k u wa g a i d i , h u k u
Solo Emanuel Malaja, akiwajibu kuwa amesilimu
akiwa Mkristo, muimba k wa k u e l e wa u k w e l i
kwaya, na sasa anatoka kuhusu imani ya dini ya
akijulikana kwa jina la Uislamu.
Alisema, watu
Nassoro Emanuel Malaja.
Alisema, baada ya w a m e k u w a
kusilimu alibaini kasoro wakiwaaminisha kuwa
aliyodumu nayo akiwa ndani ya Uislamu kuna
M k r i s t o , n a i l i a w e ugaidi, lakini akasema kwa
Muislamu safi, alilazimika jinsi alivyosoma baadhi
k u h i t a j i h u d u m a y a ya v i t a b u k wa m u d a
k u f a n y i w a T o h a r a mchache, hajaona mahala
(kutahiriwa) kwa Masheikh ambapo kuna chembe ya
mafundisho ya Ugaidi,
gerezani humo.
Baada ya kusilimu zaidi ya kubaini kuwa
nilibaini bado sijakamilika Uislamu ni dini nzuri na
kutokana na mafundisho ustaarabu.
K wa k a wa i d a m t i
ya Uislamu niliyokuwa
nikiyasoma kupitia vitabu wowote ukiwa na matunda
v i d o g o v ya K i i s l a m u mazuri na matamu ni
walivyokuwa wakinipa lazima utapigwa mawe
Masheikh, kabla sijasilimu. na kushambuliwa na kila
Sikutaka nifiche kitu, mtu au wadudu, pengine
niliwaambia kutokana na hata kabla hayo matunda
mila ya kwetu (Usukumani) hayajaiva. Alisema Bw.
na dini niliyotoka kutokuwa Malaja.
Akielezea sababu ya
na muongozo wa jambo
hilo, hivyo nilikuwa bado kuwa karibu na Masheikh
sijafanyiwa suna. Alisema gerezani humo kabla ya
kusilimu, alisema ni baada
Bw. Malaja.
Alisema, katika vitabu ya kukutana na Sheikh
alivyosoma akiwa gerezani, Mohammed Isyaka Yusufu,
kabla hajasilimu, alijifunza (Mshatakiwa namba sita)
k u wa k u f a n ya s u n n a ambaye aliwahi kuwa
(tohara) ni katika hatua bosi wake mwaka 2007,
ya usafi kwa Muislamu na Sumbawanga katika duka
la vyakula.
ukamilifu.
Alisema, baada ya
Bw. Malaja (27) alisema,
wapo wengi wanapata kumuona alimfuata na
m a f u n d i s h o h u m o kusalimiana naye, kisha
g e r e z a n i n a w e n g i n e naye aliwatambulisha
w a n a s i l i m u k w a n i kwa Masheikh wenzake,
M a s h e i k h wa n a t u m i a kwamba alikuwa kijana
v i t a b u m b a l i m b a l i wake katika biashara zake
wa n a v y o p e l e k e wa n a Sumbawanga, lakini yeye
Waislamu katika kufikisha ni Mkristo na kwamba
mafundisho ya Uislamu w a l i m l i n g a n i a , b i l a
mafanikio.
gerezani humo.
Alisema, wenzake
Bw. Malaja amesilimu
J a n u a r i 1 , 2 0 1 5 , k wa w a l i m u e l e z a k u w a
usimaizi wa Ustadh Salum, huwa halazimishwi mtu
kisha kuchagua jina la kufuata haki, ila akizidi
kulinganiwa na akiujua
Nassor.
Mimi nimefuata dini u k w e l i , m w e n y e w e
sahihi, sijafuata ushabiki ataufuta tu, na haipaswi
au maslahi, kuwa kwangu kumkatia tama.
B w .
M a l a j a
gerezani nimepata fursa
ya kujifunza upande wa aliyehukumiwa kifungo
pili wa Dini ya Kiislamu kwa kosa la kununua
baada ya kukutana na pikipiki ya wizi, alisema
Masheikh na Waislamu awali alikuwa mahabusu,
waliopo gerezani. Alisema na baada ya kuhukumiwa
akivikataa.
Hata hivyo alisema,
walipomtumia Mzungu
(Hassan), alianza
kuvipokea na kuvisoma
usiku na mchana.
Kuna siku moja
walinipa vitabu viwili,
kimoja kikubwa cha
Kiislamu (Msahafu)
pamoja na Biblia, (Agano
la Kale na Jipya) ambapo
waliniandikia sehemu
maalum za kusoma katika
Msahafu na Biblia.
Nilisoma kipande
k wa k i p a n d e k u t o k a
katika vitabu hivyo, kweli
nilipata mambo mapya ya
kujifunza na nilitafakari
zaidi kuhusiana na imani
za dini hizi mbili katika
kumuabudu Mungu.
Alisema.
Hata hivyo akasema,
matukio na matendo
machafu, kuingiliana
kinyume cha maumbile,
gerezani humo, nayo
yalimfanya atafakari sana
kiimani, kwani alidai
mambo hayo yamekithiri
sana, lakini kwa wafungwa
Wa i s l a m u n i n a d r a
kuyaona.
Maana wale rafiki zangu
wa kiimani kabla sijasilimu
(Wakristo) walikuwa na
mambo hayo ilifika kipindi
mpaka niliamua kuachana
nao na nilikuwa naona
tabu hata kula nao pamoja,
lakini nikiwa na Waislamu
mambo hayo huyakuti
wala huyasikii.
Hali hii ilichangia
kuingia kwangu
katika Uislamu ambao
mafundisho yake yamejaa
ustarabu na inakemea wazi
wazi tofauti na upande
4
Inatoka Uk. 2
waliofanyhiwa.
Sheikh Farid Had
akimpa Hakimu historia
fupi ya kesi yao iliyopo
mbele yake, alisema kuwa,
wamebambikiziwa kesi
ya ugaidi kwa kudai nchi
yao huru ya Zanzibar
na kusema mfumo wa
Muungano uliopo
hawautaki.
Alisema, kesi yao ni ya
kisiasa na si vinginevyo
na kwamba, walikamatwa
na kuletwa bara kuja
kudhalilishwa tu na polisi
wa kike na wakiume.
Sheikh
Farid
alimtambulisha Hakimu
huyo kuwa wao ni
Vi o n g o z i wa Ta a s i s i
mbalimbali na yeye akiwa
ni kiongozi Umoja wa
Mihadhara na Sheikh
Mselem Ali Mselem ni
kiongozi wa Jumuiya ya
Uamsho, zote za Zanzibar.
Sheikh Kama huyu
(Mselem) kafanyiwa
udhalilishaji mkubwa wa
kuachwa uchi wa mnyama
huku amening'inizwa
k wa p i n g u , h u y u n i
Sheikh anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika
Redio nyingi katika
Afrika ya Mashariki, lakini
anafanyiwa ushenzi kama
huo Alisema Sheikh Farid
mbele ya hakimu huyo.
Naye mshitakiwa Salum
alimkumbusha Hakimu
R u t t a k u wa a l i a h i d i
kuwa atafuatilia hali zao
gerezani na kuhoji mbona
hawakumuona?.
Alisema yeye ni moja
wa wa l i o d h a l i l i s h wa
na Polisi kwa kutiwa
chupa na majiti, lakini
Makala
AN-NUUR
manawazungusha,
l e o h i i wa m e g o m a
kula mnaipeleka wapi
Serikali. Mnasema
hakuna mgawanyo wa
dini. Leo nataka niseme
tena kwa kinywa kipana,
ingekuwa ni Mapadri na
Maaskofu, wamo mle
ndani leo kungekuwa
na amani Tanzania Bara?
Leo mnasema,
alisikitishwa na Waziri wa
Mambo ya Ndani, Mathias
Chikawe ambaye alisema
hawajatendewa chochote
huku akijua sio kweli.
Kulingana hali hiyo
Sheikh Farid, aliiomba
Mahakama kufika katika
gereza hilo kuangalia hali
halisi ya watuhumiwa
hao ili hatua stahiki
zichukuliwe.
Tunaiomba mahakama
kuja kule gerezani
mjionee hali halisi, ili
h a t u a s t a h i k i z i we z e
kuchukuliwa, vinginevyo
subirini kupokea maiti na
muingie katika historia ya
Zanzibar. Alisema Sheikh
Farid Mahakani hapo bila
kufafanua zaidi.
Askari Magereza
ambaye hakuweza
kufahamika jina lake mara
moja, alikiri kuwepo kwa
hali hiyo kwa watuhumiwa
hao wa ugaidi baada ya
Hakimu wa Mahakama ya
Kisutu jijini Dar es Salaam
anayesikiliza kesi hiyo
Renatus Rutta, kupokea
maelezo na taarifa hiyo ya
Amir Hadi na kumuhoji
askari huyo.
Hakimu alimtaka Ofisa
wa Magereza aeleze ni
kwa nini watuhumiwa
hao watatu hawakufika
mahakamani.
Afisa huyo aliieleza
mahakama kuwa
wa m e s h i n d wa k u f i k a
kutokana mgomo na
wametoa masharti kuwa
wanahitaji Mwanasheria
Mkuu wa Serikali wa
Zanzibar na wa Tanzania
bara pamoja na Jaji Mkuu,
wawatembelee huko
gerezani.
Watuhumiwa ambao
hawakuweza kufika ni
Said Amour, Salum na
Said Shehe, Sharifu na
Abdallah Hassani Hassani.
Serikali ya Zanzibar
imeombwa kutoa ulinzi
na kutunza usalama wa
Masheikh kuhubiri amani
pale wanapotekeleza
majukumu yao kutokana
na usalama wa Masheikh
hao kuwa hatarini muda
wote wanapohubiri.
Khofu hiyo imeoneshwa
juzi kwenye semina ya
siku moja ya kuhamisisha
v i o n g o z i wa d i n i ya
Kiislamu katika kusimamia
amani wakati wa uchaguzi
mkuu iliyofanyika katika
ukumbi wa Shirika la Bima
Zanzibar.
Akisoma majumuisho
hayo mbele ya washiriki
hao, Ustadh Masoud
Hemed amesema wajumbe
yameharibika, walilitwa
Masheikh kutuliza hali
ya nchi kuzungumza na
wananchi misikitini na
katika mikusanyiko jambo
lililosaidia kuundwa kwa
serikali ya umoja wa
kitaifa, lakini sasa ndio
wanateseka magerezani
bila ya kuhukumiwa.
Sisi tunashangaa kwa
n i n i t u l i we z a k u i t wa
kuhubiri amani wakati ule
nchi ilipochafuka tukatakia
kufanya sala ya pamoja na
kuomba dua lakini kwa
nini ishindikane sasa hivi
kuna nini? Alihoji Ustadh
Hamad.
Amesema, sio tabia nzuri
inayotendeka kuwanyima
uhuru Masheikh kutoa
mihadhara huku
wakiogopa kukamatwa
na polisi kama
walivyofanyiwa wenzi
wao zaidi ya 20 ambao
wa p o n d a n i z a i d i ya
mwaka sasa wakikabiliwa
na kesi ya ugaidi huko
Tanzania Bara.
Washiriki hao
wamesema katiba
imeruhusu watu kutoa
maoni yao, lakini baada
ya kukamatwa watu na
kuwekwa ndani, baadhi
ya masheikh wamerudi
nyuma kuhubiri
wakiogopa kwa kuwa
hawajui wakati gani na
wao watafuatwa na wao
na kusingiziwa kesi.
Aidha katika maazimio
Masheikh na viongozi
wa Taasisi za Kiislamu
watumie hafla mbalimbali
za kidini pamoja na
mikusanyiko ya kiibada
ikiwemo khotuba za Ijumaa
kuhimiza na kuhamasisha
amani na utulivu wakati
wa uchaguzi mkuu.
Katika maazimio
mengine, Masheikh hao
wamesema kwa kuwa
c h a n z o k i k u b wa c h a
machafuko Zanzibar
ni uchaguzi, basi Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
iwajibike katika kusimamia
na kuendesha uchaguzi
ulio huru, haki na uadilifu
ili kuepusha visababishi
vya uvunjaji wa amani
katika nchi.
Aidha, Masheikh
washirikiane na viongozi
wa Taasisi za Kiislamu
kuandaa Dua ya Kitaifa
ya kuiombea nchi amani,
utulivu na usalama
kuelekea uchaguzi Mkuu.
Wamesema, Semina
Inaendelea Uk. 5
Habari/Matangazo
AN-NUUR
Inatoka Uk. 4
za aina hii ziendelee
kufanyika kwa wadau
wengine muhimu wa
uchaguzi wakiiwemo
watumshi wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar,
Polisi, Viongozi wa
Vyama vya Siasa na
Watumishi wakuu
wa Wizara ya Nchi
Ofisi ya Rais Tawala
za Mikoa na Idara
Maalumu.
Hata hivyo,
Vyombo vya Ulinzi na
Usalama visijihusishe
kwa namna yoyote
na masuala ya
kisiasa, badala yake
vitekeleze shughuli
zao kwa uadilifu zaidi
katika mitaala ya
ngazi zote za Elimu
na kuwepo na
Mkutano wa pamoja
kati ya Masheikh na
Viongozi wakuu wa
Nchi ili kuzungumzia
m u s t a k a b a l i Ta i f a
kuelekea uchaguzi
Mkuu huku lengo
likiwa ni kudumisha
hali ya amani.
Mada
mbili
zimewasilishwa katika
semina hiyo ikiwemo
kusimamia amani
wakati uchaguzi mkuu
iliyowasilishwa na
Abdallah Talib na
nafasi ya Uislamu
katika kujenga amani
katika jamii.
WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA
NA MASOMO,
KIKUU CHA
INTERNATIONAL
WALIOCHAGULIWA
KUJIUNGA
NACHUO
MASOMO,
CHUO
KIKUU CHA
UNIVERSITY OF AFRICA, KHARTOUM SUDAN 2015/2016.
INTERNATIONAL
OF
AFRICA,
SUDAN
Munazzat Al- DaawaUNIVERSITY
Al- Islamiyya (MDI)
ofisi
ya TanzaniaKHARTOUM
inayofuraha kuwatangazia
wafuatao2015/2016.
kuwa
wamechaguliwa
na Chuo
cha INTERNATIONAL
UNIVERSITY
OF AFRICAinayofuraha
kilichopo
Munazzat
Al-kujiunga
Daawa
Al-Kikuu
Islamiyya
(MDI) ofisi
ya Tanzania
Khartoum, Sudan kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza tarehe 01/09/2015 masomo yataanza
kuwatangazia
wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha
tarehe 13/09/2015.
SN
NAME OF APPLICANT
SEX
FACULTY
EXAMINATION
CENTRE kwa
INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA
kilichopo Khartoum,
Sudan
KHADIJA HIJJA KANDEGE
F
MEDICINE
DAR ES SALAAM
1
AMOUR
ISSA
SULEIMAN
M
MEDICINE
ZANZIBAR
2
mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza tarehe 01/09/2015 masomo yataanza
NUSURA ABDALLAH SAIDI
F
NURSING
IRINGA
3
tarehe4 13/09/2015.
FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH
F
NURSING
ZANZIBAR
SN
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
TANGAZO
AN-NUUR
Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080
Makala
AN-NUUR
Waarabu na Waswahili
katika
kitendo
kilichofanywa na Waafrika
wa Bara. Dhahiri kuwa
ukhabithi wa wakamataji
wa kweli, yaani makabila
ya Waafrika wa Bara
yaliyokuwa na nguvu
wanatupiwa Waarabu na
Waswahili. Kisa ni kwa
kuwa ni Waislamu.
Na hizi picha
zinazofuata kutokana na
vitabu vya kusomeshea
historia Tanzania hali
ndiyo hiyohiyo. Mtwike
Mwarabu lawama zote za
ukamataji wa wanyonge
wa Kiafrika na kuwatia
utumwani na kwa kufanya
hivyo lengo khasa la
kuichukiza dini yao ya
Kiislamu litafikiwa katika
bongo za watoto vijana
katika shule za Tanzania.
Lakini hilo halitafikiwa
kwa sababu kila kukicha
Ta n z a n i a n a h u k u
tunaambiwa Tanzania
haina dini?
Hapana ubaya kufikisha
ujumbe, ikiwa ujumbe
wenyewe ni sahihi, lakini
ikiwa ujumbe si sahihi au
umekusudia kupotosha
ukweli au kuleta chuki
au kuigawa jamii, basi
ujumbe huo utakuwa ni
wa khatari sana, na kila
mpenda haki na usalama
wa nchi na jamii zake
anatakiwa aupinge kwa
kupaza sauti yake, khasa
ikiwa wanaofikishiwa
ujumbe ni wanafunzi
wadogo ambao watakuwa
viongozi wetu kesho,
na wao ndio watakuwa
wanatuamulia mambo
yetu na kutuongoza.
Angalia pia na picha hii
ya wafanyabiashara wa
Kiafrika. Jaribu utambue
propaganda iliomo ndani
yake:
wamefikaje kuidhibiti
manhaji (karikulamu)
ya kusomeshea historia
Propaganda si lazima
iwemo katika yaliyosemwa
au yaliyochorwa.
Inaweza kuwemo
katika yaliyokuwa
hayakuzungumzwa au
yaliyokuwa hayakuchorwa
pia. Katika picha hii
t u n a wa o n a Wa a f r i k a
kutoka Bara wamechukua
vitu vichache kama
ngoma, mikeka, pembe
z a nd o v u ( na m m o j a
katika watu wawili hao,
Inaendelea Uk. 18
Makala
AN-NUUR
Makala
AN-NUUR
Mafundisho ya Quran
Fethullah-Gulen
WEWE tu tunakuabudu.
(Al-Fatiha:5)
Kama tunavyojuwa sote
na kama ilivyokuja katika
tafsiri zote kwa hakika
madhumuni ya undani hapa
kutokana na kumtanguliza
m t e n d wa , m a d h u m u n i
hayo kwa ufupi: Ee Mola
wa haki, hakika sisi
tunakiri na hatuukubali
isipokuwa uungu wako
na hatunyenyekei kwa
yeyote asiyekuwa wewe na
hatupati utulivu na upole
na kuliwazika isipokuwa
mbele zako.
Na undani mwengine,
ambao unastahiki kuandikwa
hapa undani huo ni kwamba
badala ya kutumiwa tamko
l i l i l o p i t a A m e a b u d u
limekuja tamko la muda wa
sasa wa kitendo hicho hicho
Tunaabudu kwa sababu
tamko la kitendo kilichopita
linakusanya maana mengi,
mifano ya tumeabudu
tumeswali tumefanya hivi
na vile. Maana kuna baadhi
ya maana ya kudanganyika
ambayo hayakubaliani na
moyo wa ibada na uja.
Ama katika tamko:
Tunaabudu haipatikani
ishara yoyote, kwa mfano
wa ubaya wa kufahamu
huku, kwa kitendo
tunaabudu kinaashiria
kwenye kushindwa kwa
binadamu na uhitaji wake
mbele za hadhara ya
Mwenyezi Mungu Mtukufu
na kuendelea kuuelewa
ushindwaji huo na tunaweza
kuyafupisha yale ambayo
anayataka binadamu hapa
kama hivi:
Ee Bwana wangu, kwa
hakika nimeifunga azma
yangu juu ya kutoyatoa
muhanga uhuru wangu wala
kuidhalilisha nafsi yangu
k wa ye y o t e a s i ye k u wa
Wewe. Kwa sababu hiyo,
mimi ninaelekea kwako na
kwenye mlango wako kwa
ujio wa nafsi yangu, kwa
niya ya utumwa na udhalili,
na ninaelekea kwenye ibada
yako na twaa yako, kwa nafsi
iliyojaa shauku na mapenzi,
hali ya kuifunga azma juu ya
kujiepusha na maasia yako
na yote usiyoyapenda na
usiyoyaridhia, niya yangu ni
kubwa sana na bora kuliko
10
Na Omar Msangi
KIASI wiki mbili
zilizopita, vyombo vya
habari viliripoti kuwa
wanaodaiwa kuwa
magaidi wa kundi la The
Islamic State, wamekiri
kuhusika na shambulio
k u l e D a l l a s , Te x a s ,
Marekani. Watu wawili,
ambao baadae waliuliwa
na Polisi, wanadaiwa
kumshambulia askari
aliyekuwa katika lindo
nje ya ukumbi uliokuwa
ukionyesha vikaragosi
(cartoons) vikifananishwa
na Mtume Muhammad
(s.a.w).
Inayodaiwa kuwa
Redio ya IS, ikitajwa kwa
jina la Al Bayan radio
station, inadaiwa kutoa
taarifa iliyodai kuwa
washambuliaji wawili wa
Dola ya Kiislamu, Elton
Simpson na Nadir Soofi,
wa l i f a n ya s h a m b u l i o
hilo kuwatia adabu
wanaomkashifu Mtume
na Uislamu.
"We tell ... America that
what is coming will be more
grievous and more bitter and
you will see from the soldiers
of the Caliphate what will
harm you, God willing".
Inadaiwa kusema taarifa
ya IS kupitia Al Bayan
radio, ikitoa kitisho kwa
Marekani kuwa shambulio
hilo ni mwanzo tu, lakini
mashambulio makubwa na
ya kutisha zaidi yanakuja
kutoka kwa askari wa
Khilafah.
Hata hivyo, ukisoma
taarifa hiyo, unachogundua
na kilicho wazi ni kuwa ni
katika zile zile propaganda
za kuteka akili za raia wa
Marekani wawe tayari
kuunga mkono hatua za
serikali yao kupelekea
askari Iraq na Syria kwa
kisingizio cha kupambana
na magaidi hatari wa IS
(sio Osama Bin Laden wala
Al-Qaida tena).
Kwamba hiyo ni
sehemu ya propaganda,
inathibitishwa na taarifa
na ujumbe mwingi
uliomiminika katika
m i t a n d a o ya k i j a m i i
ikiwapongeza waliofanya
shambulio hilo na kutoa
vitisho zaidi. Moja ya
ujumbe huo katika Twitter
unasema
"How are you (Americans)
going to live when we create
our lone wolves to be nuclear
bombs ... by God, you can't
match us and in the heart of
your homes you will see".
Wana mipango mikakati
na waandaa propaganda
hizi, Wanachowaambia
wananchi wa Marekani ni
Makala/Tangazo
AN-NUUR
"Nimeshasema
kuwa mini sihusiki na
mashambulio ya Septemba
11 nchini Marekani.
Kama Muislamu, najaribu
n i we z a v y o k u t o s e m a
uwongo. Wala sikuwa
na ufahamu wowote wa
mashambulio hayo na
sioni mauaji ya wanawake,
wa t o t o n a b i n a d a m u
wengine wasio na hatia
kuwa ni jambo adilifu.
Uislamu unakataza
kabisa kusababisha
madhara kwa wanawake,
watoto na watu wengine
wasio na hatia. Kufanya
Inaendelea Uk. 11
11
Inatoka Uk. 10
au Ubalozini kwamba,
jamanae.. Al-shabaab
wanakuja! Na hivyo nchi
kama Burundi, Uganda
na Kenya ambazo tayari
zina majeshi kule, lazima
zikumbushwe mara kwa
mara kwamba mkiacha
Al-Shabaab wakishinda,
basi watakufuateni
huko nyumbani kwenu
Bujumbura na Garissa.
Alijisema Mzee
Alli Hassan Mwingi
kuwa mtoto akibebwa
hutizama kichogo cha
mamaye, wakati ule yeye
akimaanisha kuwa kama
Rais atakuwa akitizama
mapito ya Baba wa Taifa
Mwalimu Nyerere. Sasa
Rais Pierre Nkurunziza
naye anatizama
kichogo cha mabeberu
anaowatumikia kule
Somalia. Wakati tatizo
lililopo ni wananchi wake
kumkatalia kugombea
urais kwa muhula wa
tatu, yeye anageuza mada
inakuwa ni ugaidi wa AlShabaab.
Kwa kweli ukichukua
msemo huu kuwa Wajinga
ndio waliwao, unatukaa
vizuri sana. Katika taarifa
hiyo ya tahadhari ya
kushambuliwa Burundi
mwaka jana, ilielezwa
kuwa sababu ni kutokana
n a B u r u n d i k u wa n a
majeshi Somalia. Taarifa
ilisema:
It is believed that alShabaab wish to attack
the country because
Burundian troops are part
of a coalition of African
Union (AU) forces which
are battling the groups
insurgency in Somalia.
The al-Qaida linked alShabab insurgents have
claimed recent attacks
in Kenya,Uganda and
Djibouti, who also sent
peacekeepers to Somalia.
Labda tujiulize, Burundi,
au hata Tanzania yetu,
na kwa maana hiyo AU
iliyo na vikosi vya kulinda
amani Somalia, inahusika
vipi na kuibuka hao alShabaab insurgents? Hivi
viongozi wetu hawajui
nani alilikoroga Somalia?
Hivi hawajui kwa nini
al-Shabaab? Nani kaleta
huu u-alQaidah katika
al-Shabaab na Somalia?
Kwa nini hawamwambii
aliyelikoroga alinywe
mwenyewe! Kama
hoja ni kuwa Burundi
itapigwa kwa sababu ina
majeshi Somalia, kwa
nini Bujumbura isijiulize
inafanya nini kule?
La kusikitisha ni kuwa
hao hao wanaotugeuza
Makala
AN-NUUR
hivyo kunakatazwa
katika mwenendo wa
mapambano. Ni Marekani
ambayo inaendeleza kila
ubaya dhidi ya wanawake,
watoto na watu wa kawaida
wa imani nyingine, hasa
wafuas i wa U is la mu .
Kile kinachoendelea
huko Palestina kwa miezi
11 iliyopita kinatosha
kuitisha ghadhabu ya
Mungu kwa Marekani
na Israel. Kuna onyo pia
kwa zile nchi za Kiislamu,
ambazo zimeshuhudia
yote haya zikabaki kimya.
Nini kilifanyika hapo
kabla kwa watu wasio na
hatia wa Irak, Chechnya na
Bosnia? Ni jumuisho moja
tu linaweza kufikiwa kwa
hatua ya urafiki na
kumwona kuwa ni sawa
na wewe. Inatazamia
u t u m wa k u t o k a k wa
wengine. Hivyo, nchi
nyingine ni watumwa
wake au wasaidizi wake.
(............) Yeyote aliyefanya
matendo ya Septemba 11
siyo rafiki wa watu wa
Marekani.
Nimeshasema kuwa
tunapinga mfumo wa
Marekani, siyo dhidi ya
watu wake, wakati ambapo
katika mashambulio
hayo, watu wa kawaida
wa Marekani wameuawa.
(.....) Marekani ingejaribu
kuwatafuta waliofanya
mashambulio hayo ndani
ya nchi yake yenyewe;
Inaendelea Uk. 12
mkakati mwingine wa
kuwafanya wananchi wa
Ufaransa na Ujerumani
waunge mkono uwepo
wa majeshi ya nchi zao
Afghanistan.
Moja ya mikakati hiyo
imetajwa kuwa ni kuDramatize unyama
wa Ta l i b a n d h i d i ya
wanawake kupitia vyombo
v ya h a b a r i . K wa m b a
yakionyeshwa matukio
ya kikatili wanayofanyiwa
wanawake na kwamba
ukatili huo unafanywa
na Taliban, basi wananchi
wa nchi hizo wataona
bora wanajeshi wao
wazidi kukaa huko
wawatokomeze magaidi
katili wa Taliban. Lakini
vyombo vya habari
vitatumika pia kuonyesha
kuwa kama wananchi wa
Ulaya wataacha Taliban
ishinde, wajue itawafuata
huko huko katika miji
ya Ulaya. (Soma: Why
Counting on Apathy May
Not Be Enough)
Unaposoma taarifa
kama hizi, lazima uwe
na wasiwasi kuwa hata
yale matukuo ya msichana
Malala aliyedaiwa
kupigwa risasi na Taliban
kwa sababu eti anataka
kusoma shule, huenda ni
katika mambo ya kupanga
katika kukamilisha
mikakati hii.
Lakini pia ukitizama
jinsi baadhi ya vyumba
vyetu vya habari hapa
nchini vinavyopigia debe
kitisho cha ugaidi, ukirejea
matukio ya akina Kaisi
na michango yao ya pesa
za kununulia tasbih
(risasi), ukija na yale ya
kukutwa vijana msikitini
wa k i wa n a m i l i p u k o
pamoja na bendera ya
ki-Al Shabaab, Lazima
wasiwasi uwe mkubwa
kuwa tumetupiwa
chambo. Na kwa bahati
mbaya baadhi ya vyombo
vyetu vya habari, ama kwa
ujinga tu au kununuliwa
na usaliti, vimemeza
chambo hicho. Vinafanya
kazi kwa juhudi kubwa
kusimika kitisho cha
ugaidi. Wao watanufaika
vipi, hata ukiwauliza
wenyewe hawajui. Lakini
la uhakika ni kuwa kama ni
kuangamia, itakayohiliki
ni nchi, si watu wa dini
fulani pekee.
Hata hivyo, matarajio
yetu ni kuwa ndani ya
j a m i i ye t u , n d a n i ya
vyombo vyetu vya usama
na ndani ya serikali, tuna
watu wazalendo wenye
akili zilizofunga vizuri na
mambo haya wanayaona
kwa mtizamo sahihi.
12
MAKALA/MASHAIRI
AN-NUUR
13
MAKALA/TANGAZO
AN-NUUR
na kuweka mazingira
mapya ya kuyaendeleza
yale yote yaliyopigwa
vita na ASP. Utawala
wa nchi hii umetolewa
ndani ya mikono
ya Wa z a n z i b a r i
na umekabidhiwa
kwa majirani zetu,
kwa kisingizio
cha Muungano.
Watanganyika
wanautumia vyema
Muungano huo na
fursa zake kuijenga
nchi yao na kuiimarisha
kiuchumi na kisiasa
huku Zanzibar
ikidhalilika na
ikitokomea pole pole
kutoka katika ramani
ya ulimwengu.
CCM imerejesha
upya ubaguzi miongoni
m w a Wa z a n z i b a r i
wenyewe kwa wenyewe
kwa misingi ya rangi
zao, makabila yao na
asili zao na kuifanya
kazi kubwa ya ASP
ya kufuta laana hiyo
ya ubaguzi kuwa ni
bure. Nyimbo zile za
zama zile za Uarabu,
Uafrika, ubwana,
utwana, na kadhalika
ambazo sisi vijana wa
leo tumezikuta vitabuni
na katika masimulizi ya
walimu wetu maskulini,
sasa tunazisikia zikitoka
ndani ya midomoya
viongozi wa CCM na
katika mabango ya
maskani za CCM. Ni
jambo la kushangaza
sana.
ASP iliikomboa ardhi
na kuweka sera na sheria
ambazo ziliwezesha
wanyonge wa nchi hii
kuweza kuitumia na
kuimiliki ardhi ya nchi
yao pamoja na udogo
wake. CCM imerejesha
t e n a k a d h i a h i i ya
laana ya kuimilikisha
ardhi katika mikono
ya wachache na
kuipora kutoka kwa
masikini na mafukara
walio wengi. Ardhi ni
raslimali muhimu kwa
nchi ndogo ya Zanzibar
ambayo wananchi wake
wanaongezeka kila siku.
Badala ya kuwekewa
sera na sheria nzuri na
madhubuti za umiliki na
matumizi yake. Sehemu
n ye n g i n e ya a r d h i
inauzwa kifisadi kwa
matajiri na wawekezaji
na kuwawacha raia
masikini wakikosa hata
sehemu ya kuzikiwa.
N c h i ye t u i n a n u k a
m i g o g o r o ya a r d h i
kila upande kuanzia
Nungwi hadi Mkoani
Pemba.
Wa n a n c h i wa
Z a n z i b a r wa n a i s h i
bila matumaini. Njaa
itokanayo na ukosefu
wa kazi za kufanya na
kipato kisichokidhi
mahitaji, ndio kilio
kikubwa kinachosikika
katika kila kona
ya nchi. Visiwa hivi
vilivyojaaliwa wingi
wa raslimali na
yao zikitenganishwa
na shehia za wadi
nyengine. Lengo
la ukataji huo ni
kuweka ramani
itakayoiongoza
Tume ya Uchaguzi ya
Zanzibar kupitia na
kukata upya majimbo
ya U c h a g u z i k wa
upendeleo wa kisiasa
(gerrymandering).
Inasemekana
Tume ya Uchaguzi
ya
Zanzibar
ilikwishakamilisha
kazi ya kupitia na
kukata upya majimbo
ya Uchaguzi mapema
sana lakini hata hivyo
ukataji huo ulipingwa
vikali na CCM
wakidhani hautakuwa
na faida na chama
chao. Badala yake
Tume ya Uchaguzi
ikalazimika kusubiri
ukataji wa mipaka ya
wilaya, wadi na shehia
utakaofanywa ili iwe
kigezo na muongozo
ya Zanzibar inashea
majimbo hayo hayo na
Tume ya Uchaguzi ya
Taifa.
H a t a
C C M
i k i f a n i k i wa k u k a t a
upya majimbo ya
Zanzibar kinyume
na sheria na kwa
kutumia ramani yake
ya upendeleo wa kisiasa
ishayoitengeneza, bado
haitapata nusura na
haitaokoka. Mimi
nahisi haitasaidia
kwani hakuna tena
ngome ya CCM,
hakuna tena pakukata
wala pakuacha. CCM
haipo tena popote.
Hakuna ilipobakia,
sio Kaskazini, sio
Kusini, sio mawioni
wala machweoni. Ndio
maana tunasema CCM
Zanzibar mkate wenu
umeshajaa sisimizi
wote. Hauna pakukata
tena, kilichobaki ni
kufumba macho na
kuumeza.
14
Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Katika makala
iliopita, nilijaribu
kumuelezea Ibn
Khaldun kwa kuweza
kumtambua na
mchango wake katika
maendeleo ya dunia
yetu hii. Makala hii
nitakizungumzia
kitabu chake cha
Muqaddimah na
mchango aliochangia
katika suala zima la
somo la elimu ya jamii.
Watu wengine wa
nchi za Magharibi
h u s e m a k u wa I b n
Khaldun hakuandika
ye ye h i c h o k i t a b u
cha Muqaddimah na
kuna wasemao kuwa
kaiba kazi za wengine
na kuandika kitabu
hicho. Hoja hizo hazina
mashiko kwani hakuna
mmoja alioweza
kuthibitisha kuwa Ibn
Khaldun kazi yake
kubwa ya Muqaddimah
amedokoa katika kazi
za watu wengine.
M w a n d i s h i
mashuhuri wa
Kiingereza katika karne
ya 20, Toynnbee, yeye
bila kuchelea kuitwa
mtu wa ajabu, amesema
kuwa Muqaddima
ni kazi kubwa ya aina
yake ambayo haijawahi
kubuniwa na akili ya
mtu yeyote yule, wakati
wowote ule na mahali
popote pale, ikiwa ni
uchambuzi mpana na
angavu wa maisha ya
mwanadamu ambao
haujafanyika popote
pale.
Kazi kubwa ya
Muqaddimah ya Ibn
Khaldun aliandika
katika mwaka wa 1377
na alijizatiti kuandika
tarekhe yaani historia
ya mwanadamu ikiwa
ni Kitab al-akbar na jina
kamili la kitabu hicho
ndani ya Muqaddimah
ni Kitbu l-ibar wa
Diwnu l-Mubtada'
wa l-Habar f tarikhi
l-arab wa l-Barbar
wa man sarahum
min Daw AshSha'n l-Akbr, katika
utangulizi huu alikuwa
analinganisha tarehe ya
Waarabu na Wabarbar
kazi ambayo iliojaa
utafiti na kutayarishwa
na yeye Ibn Khaldun.
A l i a n z a
Muqaddimah kwa
kuwatoa makosa
watangulzi wake
walioandika historia
na katika migawanyiko
ya uandishi na
kuayaangalia maeneo
7 k wa k i n a j u u ya
maelezo yake. Maeneo
hayo ni: Ushirikiaono,
i m a n i n a m a wa z o ,
kujiamini mtu katika
kuandika na kuelezea
historia, kushindwa
kwa mtu kufahamu
alichokikusudia katika
kuiandika historia,
makosa ya kuamini
ukweli wa jambo,
kutokuwa na uwezo wa
mwandishi wa historia
kuelezea eneo lilotokea
tokea kwa kulinukulu
itakiwavyo, hamu
ya waandishi katika
kujipendekeza kwa
watawala kwa kuwasifu
katika maandishi na
ujuhula wa wandishi wa
kutojuwa sheria ziliopo
katika mabadiliko ya
jamii ya mwanadamu
inayomzunguka. Katika
nukta 7 hizo ndipo
alipoweza kuziratibu na
kuandika nadharia ya
jamii ya Mwanadamu
inayomzunguka katika
Muqaddimah.
Utangulizi huu wa
Muqaddimah kama
alivyoandika Sati alH u s r i k wa k u s e m a
kazi yake ya ilimu ya
jamii aliinukulu ndani
ya kitabu kimoja kwa
kutoa vitabu 6 ikiwa
ilimu ya jamii kwa
jumla, ilimu ya jamii
katika maisha ya mijini,
ilimu ya jamii ndani
ya uchumi na ilimu ya
jamii katika kujuwa.
Kitu gani hasa
kilichomo katika
kitabu hiki ambacho
kimemzolea mwandishi
pongezi hizo licha ya
kupita karne sita tangu
kilipoandikwa?
Ibn Khaldun anaipa
dhana na istilahi
nyingine ambayo
kimsingi ina maana
ya uzalendo wa
kupindukia wa mtu
kwa jamii yake, anaipa
tafsiri yenye mvuto wa
jumla, na ya kisayansi,
h u u n i u f u n d i wa
matumizi ya lugha
ambao ni muhimu sana
katika fani zote.
Ibn Khaldun katika
uandishi wake alijipa
kazi ya kujiuliza
m a s wa l i ya m s i n g i
kabisa kuhusu maisha
ya kisiasa na kijamii
ya mwanadamu, na
anajenga hoja juu ya
h i t a j i o l a k u wa n a
jamii na siasa. Kisha
anabainisha kwa nini
baadhi ya Taasisi za
kisiasa au dola ni
kubwa na nyingine
ni ndogo, kwa nini
baadhi hufanikiwa, na
nyingine hufeli, kwa
nini baadhi huibuka, na
nyingine kuporomoka.
Anayapata majibu yake
katika sifa ya jamii
hasa sifa ya kundi lililo
madarakani pamoja
na ile asabiyyah (Ile
ambayo imejitwika
uzalendo na ugozi) au
mshikamano wa jamii
hiyo.
Wa s o m i
wa
kimambo leo wanapita
humu humu alipopita
Ibn Khaldun na
unapomkamata na
kumshika barabara
anapoelezea juu
ya tawala zilivyo na
namna zinavyokwenda
kombo kwa kulewa na
madaraka, hapo ndipo
unakubali maandishi
haya ni yake mwenyewe
Ibn Khaldun. Tawala
zilizopita za Uislamu
katika nyakati za
Ukhalifa ulikuwa
ni uongozi ambao
ulishikamana na dini
katika kuongoza na
kuiangalia siasa ya
uongozi. Leo viongozi
wengi duniani wenye
kuongoza, dini
wanaiweka mgongoni
na kuangalia siasa na
vipi namna ya wao
kujihami na namna ya
kubakia madarakani.
Ibn Khaldun akautafiti
mfumo huu wa
utawala, na akajaribu
k u b a i n i s h a s i r i ya
nguvu za watawala hao
katika jamii zilizotulia
na kustaarabika.
M f a n o m m o j a wa p o
wa nadharia zake
zilizongara ni ile ya
vizazi-vitatu vya
Masultani. (threegeneration dynasty
theory).
Katika sehemu ya
Sita ya Muqaddimah,
h a p a k u n a a i n a ya
kina kabisa ya maelezo
ambayo unakuta
mpangilio mzima wa
n g u v u ya u t a wa l a
unapoweza kukamilika
na kuwa na uongozi
thabiti. Ameweza ndani
ya sehmu hii ya sita
kuyaangalia maeneo
2 2 i k i wa : U t a wa l a
wa kifalme unakuja
mwanzo kabla ya miji
na hio miji huwa ni
z a o l a u o n g o z i wa
kifalme, mara zote
tawala hujikita katika
miji mikuu, tawala
zilizokuwa na nguvu
ndio hujenga katika
miji na kukua, tawala
iliojijengea makasri na
maeneo ya kifakhari
hujengwa na mtawala
mmoja tu, juu ya
misikiti na maeneo
yenye mvuto duniani,
umuhimu wa kupanga
(planning) na matokeo
yake ya kutojali
kupanga, kukuweko
na miji mikuu michache
Afrika na nchi za
Maghrib (nchi 4 za
Afrika ya Kaskazini),
majengo na ujenzi kwa
Waislamu unaofwata
watangulzi waliopita
na waliokuwa na nguvu
ni mchache, majengo
yaliojengwa na Waarabu
yakiwa machache
kati ya hayo, ikiwa
mengi yao huvunjika
na kuporomoka,
mwanzo wa miji
mikuu kuwa mahame,
kukuwa na kuendelea
kunategemea biashara
z i n a v y o e n d e l e z wa ,
miji mikuu na miji
hutafautiana na
ukubwa na wingi
n a i d a d i ya wa t u ,
b e i z i n a v y o w e k wa
katika miji, Mabeduoi
kushindwa kuishi katika
miji mikuu, tafauti ya
waliokuwa matajiri
na masikini katika mji
mmoja, makusanyo ya
mashamba makubwa
na vikataa-matumizi na
mazao yanayozalishwa,
ubepari katika baadhi
ya jamii katika miji
ikiwa wanahitajia
kulindwa, utamaduni
uliojikita katika eneo
moja hupotea watawala
wanapoondolewa,
utamaduni uliojikita
eneo moja hadafu yake
huwa humalizika na
kuleta rushwa, miji
ambayo yalioamirishwa
na
watawala
hubakia mahame
watawala wakisultani
wanapoondolewa,
baadhi ya miji huwa
na mbinu na baadhi
hukosa hizo mbinu za
kujiendeleza, huweko
baadhi ya watu katika
AN-NUUR
Johari, Kurunzi,
Muongozo, Chombo
cha kuringia katika
Ilimu ya jamii.
Hii ni sehemu
ndogo tu katika
m a e l e z o
ya
Muqaddimah ya Ibn
Khaldun. Ni kitabu
ambacho sisi tusemao
Kiswahili, tunahitajia
kukifanyia tafsiri,
ingawa Waislamu
wenye nacho
hawatoi sadaka kwa
waandishi kuweza
kuandika. Hii ni
changamaoto kubwa,
k wa n i wa a n d i s h i
wengi kihali zao za
kifedha za kuweza
kuchapisha vitabu
wapo hoe hahe. Labda
nitasema hii ndio
changamoto iliopo
na yenye kukinzana,
kwani matajiri
hawapo tayari
kujitolea na wengi wa
wasomi wa Kiislamu
wamejishughulisha
zaidi na dunia. Aidha
k wa wa s o m a j i n i
changamoto kwao
na wao waweze kutoa
maoni yao ili tufike
mbele zaidi katika
uandishi wa vitabu.
Makala ijayo
nitamzungumzia Ibn
Al-Baitar.
W E
1
1
2
A
A
B
Q
U
I
N
U
L
7
2
A
P
L
A
O
H
9
9
C
R
V
T
R
A
J
I
E
V
8
0
O
L
S
K
A
M
2:
2:
W R
43:
1.
Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quran
yametajwa majina mangapi? Jawabu: 99
2.
Surah gani na aya ipi katika Quran inayosmea
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu
umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa
Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka
amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na
Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
2:256, 43:22, 2:222. Jawabu: 2:256
3.
Waislamu wanavikubali vitabu vingapi
vilioteremshiwa Mitume? Jawabu: Tawrat, Injil, Zabur,
Quran.
4.
Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngapi
ukilinganisha na mwaka wa Kizungu? Jawabu: 11
5.
Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyama
yupi ameharamishwa kula kwa Waislamu? Jawabu:
Ulevi, Nguruwe.
6.
Jina gani limechukua nafasi kubwa kwa
Waislamu kuwaita watoto wao? Jawabu: Mohammad
7.
Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwa
cha St. Helena? Napolon, Colombus, Vasco Dagama.
Jawabu: Napolon
8.
Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitwa
kwa jina gani? Jawabu: Rhodesia
9.
Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urusi?
Alaska, Hawai, New York Jawabu: Alaska
10. Kikawaida moyo wa mwanadamu hupiga
mara ngapi kwa nukta (minutes)? 72-80, 70-75, 82-87
Jawabu: , 72-80
15
MAISHA yetu ya kila
siku yanategemea
m o t o k wa n j i a m o j a
au nyengine. Sehemu
kubwa tunayoitegemea
ya moto ni katika
kupikia, tunaweza kuishi
kutokana na kula na zaidi
ya asilimia 80 ya vyakula
anavyokula mwanadamu
hupikwa au kupashwa
moto kabla ya kuliwa.
Ili moto uweze kuwaka
unahitajia mizunguko
mitatu nayo ni kuweko
kwa gesi ya Okisijini,
joto na nyenzo yenyewe
ya kuwashia iwe kuni,
mkaa n.k. Wataalamu
wamekuja kugunduwa
kuwa katika majumba
mara nyingi moto huanzia
jikoni ikiwa mapishi ndio
UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA
F
B
6
T
M
N
D
S
E
2
A
S
X
F
C
A
F
D
T
8
I
M
A
M
F
M
G
F
Y
B
S
I
Z
R
G
S
H
G
U
I
Na Ben Rijal
R
Z
P
W
K
H
A
1
2
5
AN-NUUR
Makala
H
R
M
H
H
H
J
H
O
K
W
S
I
I
T
I
C
I
1
R
A
T
R
J
Y
R
F
O
4
A
A
U
A
R
I
I
H
W
5
A
B
V
J
A
O
K
Y
E
O
E
D
W
I
L
P
A
U
O
U
E
1.
Aya gani katika Quran itajayo Chuma kwa
manufaa ya mwanadamu? (2 :148, 57 :28, 62 :40)
2. Mamake Mtume Issa Bibi Maryam
alipomzaa Mtume Issa alikuwa..(Mjane, Bikra,
Mke wa mtu).
3. Waislamu wanaamini kuwa Mtume Issa
ali(Uwawa, Rufaishwa, Alijiua).
4.
Anayaongoza Sala kwa Maamuma huitwa
(Captain, Imam, Kiongozi)
5. Katika Quran neno Maisha limetajwa
mara (185, 125, 145).
6.
Katika Quran neno Mauti limetajwa mara
(6,655, 145, 125).
7.
Watoto wote wa Mtume Yaqoob ni (24, 11,
12).
8.
Allah (Mwenye enzi Mungu (Anawashirika,
Malaika Hanamshirika)
9. Tokeo lipi lilitojwa katika Quran mwaka
mmoja kabla ya Hijra?
10. Alipofariki mama yake Mtume SAW,
Mtume Mohammad SAW alikuwa na umri wa
miaka (7,8, 6)
Jee unajua?
1. Wandishi wa kuu wa Wahyi walikuwa
ni : Syd Abubakar, Omar, Uthman, Ali, Zaid bin
Harith, Abdallah bin Masoud.
2.
Msikiti Mkongwe kuliko yote duniani nia
Al-Qaba.
3. Iblisi ni kati ya Majini kama ilivyoelezwa
kwenye Quran wala sio Shetani.
4. Mtume SAW akiwa katika mji wa Makka
alipokea Wahyi kwa muda wa miaka 13.
5.
Mtume SAW ndiye Khatamyn Nabiyyeen
mwisho wa Mitume yote hakuna Mtume badala
yake
6. Kila Sigara aivutayo mtu humpunnguzia
umri wake kwa dakika 11.
7.
Ugaidi na Siasa kali sio katika maamrisho
waliopewa Waislamu na hauna nafasi kamwe
katika Uislamu?
8. Ukandamizwaji wa wanawake sio katika
mafunzo ya Uislamu na afanyayo hayo anakwenda
kinyume na misingi ya Uislamu.
9. Watu kama 358 milioni katika bara la
Afrika na Asia wanakosa maji safi na salama.
10. Inakisiwa umri wa sayari tunayoishi ni
miaka bilioni 15 na inategemea hesabu, kwani
wengine wamezidisha zaidi ya hapo.
huchangia pakubwa
kwa mwanadamu
kuungua. Mshumaa
ukiwa unatumika kwa
wingi duniani iwe kwa
kutaka kuonea au katika
s h e r e h e , i n a k a d i r i wa
nchini Marekani nyumba
kama 12,000 hushika moto
kutokana na mishumaa
kutozimwa ipasavyo na
kuchukua roho za watu
zaidi ya 140 na kusababisha
wengine kuathirika na
kupata majeraha ya moto
idadi isiopungua watu,
1040 na kuleta hasara ya
mamilioni kila mwaka
hayo hutokea.
Wa n a s a y a n s i
wanafahamisha kuwa
mwanadamu kaanza
kutumia kuni katika
mapishi kwa zaidi ya
miaka milioni moja.
Superglue tuitumiayo
kwa kugandisha vitu,
unapoiweka katika pamba
ujue itawaka na kutoa
moto.
K a t i k a
n c h i
zilizoendelea hutumia
sehemu kubwa ya mapishi
yao kwa kutumia majiko
yawe yanayotumia umeme
au gesi, kinyume chake
katika nchi zinazoendelea
kuni ndio sehemu kubwa
ya nyenzo itumiwayo
kwa mapishi. Nchi za
Asia na Afrika mbao
zinazokusanywa kama
zao la misitu, asilimia
86 hutumika kama kuni
za kupikia. Kila siku
zikisonga mbele, matumizi
ya kuni yanaongezeka
katika nchi zinazoendela
kutokana umasikini na
uadilifu wa kuweka hali
ya kiuc humi duniani
kutozingatiwa na nchi
za Magharibi huku nchi
zilizoendelea za viwanda
wamejizatiti kupandisha
bidhaa zao na kujiwekea
bei watakavyo, malighafi
wazipatazo katika nchi
zinazoendelea, wakazi
wake hawana satwa ya
kujipangia bei. Hali hii
inazidisha umasikini
na kuwafanya wakazi
wa nchi zinazoendelea
matumizi yao makubwa
ya nishati yakitegemea
kuni na mkaa.
M a t u m i z i ya k u n i
Afrika kwa nchi za
Kaskazini mwa Afrika
hutumia kiubiki mita za
mraba milioni 55 kwa
mwaka, nchi za Afrika ya
Magharibi kiubiki mita
za mraba milioni 110
na Afrika ya Mashariki
kiubiki mita za mraba
milioni 117. Katika
mahitaji ya mkaa nayo
hivyo hivyo hutumika
kwa wingi. Kiubiki mita za
mraba milioni 18 za mkaa
kwa Afrka ya Kaskazini,
Afrika magharibi 36
na Afrika ya Mashariki
hutumia kubiki mita za
mraba milioni 75.
Moto na suala zima la
ikolojia
Ikolojia ni muingiliano
wa viumbe hai na maeneo
16
TANGAZO
AN-NUUR
SUMAIT University invites qualified applicants to apply for Bachelor with Education, Bachelor of Art with Education and Bachelor of Art in
the following specializations:Bachelor of Science with Education
(1) Physics & Mathematics (2) Chemistry & Biology (3) Physics & Chemistry
(4) Chemistry & Mathematics (5) Biology & Geography (6) Information Commutation Technology ICT
Bachelor of Arts
(1) Counseling Psychology
Bachelor of Arts with Education
(1) English & Kiswahili (2) English & Geography (3) English & History
(4) English & Islamic (5) Arabic & Kiswahili (6) Arabic & English
(7) Arabic & Geography (8) Arabic & History (9) Arabic & Islamic (10) Kiswahili & Geography (11) Kiswahili & History (12) Kiswahili
& Islamic (13) Islamic & Geography (14) Islamic & History (15) History & Geography (16) Counseling & English.
ADMISSION REQUIREMENTS
1. The applicants should have at least:i)
A minimum of two principal passes in Tanzania Advanced Certificate of Secondary Education (ACEE) in the appropriate
subjects or equivalent.
ii)
Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least GPA of 2.7.
2. Be a full time student.
FEES STRUCTURES
SUMAIT University reserves the right to change these fees at any time
Application forms are obtained from
i)
Academic Office, Abdulrahman Al-Sumait Memorial University at Chukwani, Zanzibar.
ii)
iii)
iv)
Or you can down load the application form through our website www.sumaituniversity.ac.tz
Application fees should be paid through the following account number:The People Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450
All completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Office, Abdulrahman Al-Sumait Memorial
University (Formerly, University College of Education, Zanzibar)
For more information please do not hesitate to contact:Academic Office,
Abdulrahman Al-Sumait Memorial University at Chukwani, Zanzibar.
P.O. Box 1933, Zanzibar Tel: 0773774838 or 0772 000243
Or
Visit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, 9 kilometer from Zanzibar, Stone Town.
17
Inatoka Uk. 12
kufikisha mawazo katika
kinachoharamishwa. Hii
ilikuwa ni mkutano wa siri,
hatimaye. Ndiyo maana
kompyuta zote za mezani
z i l i k u wa z i m e z i m wa ,
na picha iliyo mbele ya
Hillary Clinton imefutwa.
Tushukuru tu kwa kupewa
nafasi ya kuchungulia kile
ambacho hatukupaswa
kukiona.
Uhalisi wa picha hiyo
unapewa nguvu na sura
isiyo ya kawaida kwa
nyuma, akikodolea. Ni
m wa n a m k e m f u p i n a
wa umri mdogo kuliko
wengine. Mtu mdogo
kabisa miongoni mwa
wa z i t o , k a r i b u w o t e
wakiwa wanaume, na ni
mtu asiyejali kabisa tafakuri
anayeweza kusema kuwa
huyu mwanamke kijana
aliongezwa ili kufanya
idadi ya wanawake kuwa
m a r a m b i l i n d a n i ya
chumba hicho. Mwanamke
mrefu na mwenye umbo
kubwa asingefaa. Kama
yule jasusi katika picha ya
harusi ya kifalme nchini
Uingereza, mwanamke
huyu mwenye mwili
mdogo anatoa nafasi ya
kujiuliza maswali bila
kuvuruga kinachoendelea.
Kama tunavyojua, Bush
aliweka mezani kanga wa
plastiki, hivyo picha ya
kanga wa propaganda
ilikuwa ni kanga vile vile.
Lakini kanga mkubwa
zaidi ni kilichoonekana
katika chumba cha
mikutano. Wakiitoa picha
ile, Ikulu ya Marekani
i l i e l e z a k u wa O b a m a
na wenzake walikuwa
wakiangalia shambulio na
kuuawa kwa Bin Laden
wakati likifanyika, na
filamu hiyo mnuso ikiwa
imewezeshwa na kamera
iliyowekwa katika kofia
ya deraya ya askari mmoja
wa kikosi cha wanamaji
makomandoo. Sasa
haihitaji kuwa bingwa
kujua kuwa kichwa
chochote katika mapigano
ya m o t o h a k i t a k u wa
kimesimama wima,
wala kukaa kwa muda
wa kutosha, kwa hali
yoyote ile, kutoa maelezo
mfululizo na ya kueleweka
kwa wahusika nyumbani,
labda kama kichwa hicho
kinataka kuwa marehemu,
yaani.
"Hola, SEAL uliye
na kamera, harakisha
kupanda ngazi na elekeza
uso wako kwa Geromino
(mlengwa wa shambulio),
sawa? Kumbuka kusimama
wima na usikwepe, hivyo
Amiri Jeshi Mkuu apate
mtiririko safi wa picha,
sawa?"
Baada ya muda mfupi,
Ikulu ya Marekani ikaeleza
kuwa hapakuwa na
mtiririko wa moja kwa
moja katika muda halisi
wa tukio, tena kamera
MAKALA
AN-NUUR
18
Makala
AN-NUUR
JUZI Makamo wa
kwanza wa Rais wa
Zanzibar na Katibu
Mkuu wa CUF, Maalim
Seif alitoa shutuma
nzito lakini sio mpya
kwa hapa Zanzibar.
Isipokuwa mara hii kuna
uzito wa Hoja kutokana
na aliyesema na kuibua
hayo ni Kiongozi
tena wa juu wa SMZ
pamoja na ule utafiti wa
CUF. Hatukushangaa
hata kidogo kuhusu
kilichosemwa na
k u i b u l i wa n a wa l a
hatukushangaa
yaliyofuatia baada
ya hutuba ile kutoka
k wa Wa s h u t u m i wa .
Ya a n i Z E C , I d a r a
ya Vitambulisho vya
Mzanzibari na vivyo
hivyo hatutashangaa
Kama Idara maalum
na Vikosi, Wakuu wa
mikoa na Wilaya na
Jeshi la wananchi nao
watakanusha. Hawa ZEC
Kukanusha ndio maisha
yao ya kila siku. Kwa
ZEC niwashauri waje
wajibu kitaalamu maana
kumefanywa Utafiti na
aliyesema ni kiongozi
wa SMZ ingawa wao
wanahisi ni Maalim
seif. Hilo tuwaachie
wenyewe.
Sasa nije upande wa
CUF. Niseme kwanza
n a u n g a m k o n o k wa
asilimia zote CUF kupitia
maalim Seif kuihabarisha
dunia madudu haya ya
ZEC na baadhi ya taasisi
za SMZ kuhusu uchafu
uliopita uliomo kwenye
daftari na mipango
haramu ya kutaka
kuisaidia CCM kupitia
zoezi zima la Uchaguzi
wakianza na uandikishaji
hapo sawa.
Lakini niulize swali,
hivi Viongozi wa CUF
wanatarajia itafika siku
ZEC itatenda haki kwa
mfumo huu uliopo?
Namna ilivyofumwa,
u t e u z i u l i v y o f a n wa ,
sheria zilizopo na
Uhafidhina. Unadhani
wako tayari kiasi gani bila
kujitutumuwa ilivyo?
CUF kuibua madudu
ya l e n a k u wa a m b i a
walimwengu, hio ni hatua
moja. Lakini jee kwa hivyo
tu ndio mtaizuwiya ZEC
isifanye ilichokusudia?
Wa z a n z i b a r i w a n a
shauku ya kutaka kujuwa
H AT U A M U A FA K A
UTAJENGA UKUTA.
Katika maelezo hayo
simaanishi kukata tamaa
wala kuhamasisha
maamuzi ya hovyo
hapana. Namaanisha
wajibu wenu katika GNU
t u n a y o j u wa k wa m b a
imeundwa na CCM na
CUF na tunajuwa katika
CCM
watakuwa
wameshatangaza
washindi na ZEC. Itakuwa
ni kelele kama zile za
Zamani. WAKATI NI
SASA.
Msisahau yale
y a K A T I B A M P YA
nini kilitokea. Si
tayari imepatikana
i n a i t w a K AT I B A
Inatoka Uk. 7
amebeba pembe mbili),
kuuondosha utumwa.
Hawakutajwa kabisa vile
walivyowauwa millioni
kumi ya Waafrika katika
Kongo (Congo) na wengine
kukatwa mikono na
kuadhibiwa vikali sana
kwa namna nyinginezo za
kikatili. Kama nilivyosema,
propaganda si lazima uone
katika yaliyozungumzwa
na yaliyochorwa, bali pia
huwemo pale yanapokuwa
hayatajwi kwa uovu wao
pale panapohitajiwa
kutajwa. Kwa mfano,
ukiangalia utaona kuwa
wamewasifu wakoloni wa
Kizungu kwa kuondosha
biashara ya utumwa bila ya
kuelezea chochoke kukhusu
yale aliyoyafanya Sayyid
Said katika mamlaka zake
yaliyosaidia pakubwa
kupiga marufuku biashara
19
Makala ya Mtangazaji
Maisha mapya
Abuu MaazinMalaika wa Amani
makubaliano mbalimbali
ya kimataifa,yakiwemo
ya Giniva na Mahakama
ya kimataifa ya makosa
ya jinai.
Huku ikionyesha
juhudi zake kwa Baraza
la Usalama na Baraza la
haki za binaadamu,bila
kusahau ushiriki wake
katika maandamano ya
kupinga ugaidi nchini
Tunisia na Paris.
Abuu Maazin alikuwa
ndio funguo ya mikakati
inayolenga kujua
vituo,alikuwa akikubali
kujadili sura na sio maudhui
yenyewe,kwani akijua
kikamilifu kinachoendelea
kidola,kikanda na
kimataifa. Isipokuwa mara
nyingi akijifanya hajui ili
kulinda mambo muhimu
ya Palestina.
Umri wa miaka
themanini,bado
anaendelea na misafara
mbalimbali,akikesha
masiku kadhaa kwa
kufikiria namna ya
kusogea na utendaji wa
kazi muda wote.
M n a m o m we z i M e i
2015,alikwenda nchini
Urusi ili kushirikiana na
Rais Putin katika sherehe
za miaka sabini ya ushindi
d h i d i ya u t a wa l a wa
kifashti.
Baadae akaenda Tunisia
kuonana na Rais Swidiiq
Baajiy Qayid Subsiy, kabla
ya kuelekea Washington
kuonana na Rais Obama
na baadae kuwa Roma na
Vatikani.
Va t i k a n i i l i f i k i a
makubaliano ya kihistoria
na Palestina,yaliyopelekea
kukiri uwepo wa dola ya
Palestina mnamo tarehe
04 Juni mwaka 1967,huku
mji mkuu wake ukiwa ni
Yerusalem.
A l i k u w a
Mheshimiwa Rais
Abuu Maazin,amezama
kusikiliza maudhui ya
makubaliano,kutoka
kwa nguvu kazi vijana
wa Wizara ya mambo ya
nje na kutoka Idara ya
Mazungumzo.
Alifurahishwa sana
alipokuwa akisoma
utakaso wa wachungaji
wawili wa kipalestina,
ambao ni Mary Ghitwas
ambae ni binti wa
Yerusalem na Mariam
Bawaridy wa Jalil.Ni tukio
la kihistoria kwa Palestina
na wananchi wake, ambao
wanateseka katika kambi
za Yarmouk,wanaozama
katika bahari ya
Mediteranian wakijaribu
kujiokoa na moto wa dola
za kiarabu na kukimbilia
Ulaya.
Kisha alikutana na Papa
Fransis,huku bendera ya
Palestina ikipepea kwa
mara ya kwanza katika
mlingoti wa Vatikani,jambo
ambalo lilimliza Abuu
Maazin katika siku hii ya
kihistoria.
Ilipofika mwezi
Juni mwaka 2014,Rais
Abuu Maazin alishiriki
dua ya pamoja kati ya
waislamu,wakristo
AN-NUUR
wa Kongresi?Je Kongresi
inayoungwa mkono
na Idison Wasaban
itaendelea kuwa na
Netanyahu hadi atakapo
ihutubia mnamo mwezi
Septemba ijayo?
Kwa upande wa
magazeti ya Israeli
ya l i b e b a k i c h wa c h a
habari kuhusu malaika
wa Amani,makubaliano
na kukubali uwepo wa
d o l a ya Pa l e s t i na . P i a
mashirika ya habari barani
Asia,Afrika na Amerika
ya kusini,yalibeba
katika kurasa zake za
mwanzo picha ya Rais
Abbas na Mtakatifu
Papa Fransis,huku chini
yao yakiandika ibara
isemayo;Malaika wa
Amani.
Hongera sana Palestina
kwa kukubalika huku na
Vatikani yenye wafuasi wa
kikatoliki zaidi ya bilioni
mbili duniani,huku si
kukiri kwa kawaida bali
historia inaandika kuwa
ndio mama wa kukiri kote
kwa dola ya Palestina.
Hongera sana mateka
wote wa Palestina wake
kwa waume na Wapalestina
wote popote walipo,kwani
huenda yaliyotokea
Vatikani tarehe 16 na
17 Mei 2015 ni panguso
au utafiti mtukufu wa
maumivu yote na mateso
kwa Wapalestina.
Pa l e wa l i p o k u wa
wachungaji wa kipalestina
wake kwa waume katika
viwanja vya Vatikani,huku
wakibeba mabegani mwao
bendera za Palestina.
Rais Abbas kwa
ndoto,utendaji,busara
na uzalendo na muono
wake,huku zaidi ya yote
imani yake kwa taifa la
Pa l e s t i n a , h a k u z a l i wa
isipokuwa kwa lengo la
kuiweka Palestina katika
r a m a n i ya k i j o g r a f i a
duniani.
Kwani amekuwa ndio
shahidi na mjumbe kutokea
ardhi tukufu na amani pia
kwa njia ya amani, kutokea
Yerusalem iliyotekwa hadi
Baiti lehem iliyokaliwa
kwa mabavu,amekuja
kuutangazia Ulimwengu
kuwa huu ndio muda
wa Palestina. Ni zama za
uadilifu kaka ilivyokuwa
Palestina ndio mfano
mwema wa amani na
uadilifu.
Mwisho tunamuomba
Mwenyezi Mungu,uwe
muda huu mchache
uliobaki ni pozo la
maumivu na huzuni
z a t a n g u wa l i z o n a z o
Wapalestina,tokea zaidi
ya miaka 67 iliyopita.
Contact us: P.O Box
20307, 612 UN Road
Upanga West, Dar es
Sa la am Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.
orgWebsite: www.pal-tz.
org
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
E-mail:info@hajjtrust.or.tz
Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU Jijini
Dar es Salaam,
l e o wa n a t a r a j i a
kukutana katika
K o n g a m a n o
litakalo fanyika
Msikiti
wa
Kichangani (T.I.C),
Magomeni Jijini
Dar es Salaam.
Imeelezwa kuwa
katika Kongamano
hilo litakalofanyika
mara baada ya
Ibada ya Swala ya
Ijumaa, litatolewa
tamko la pamoja juu
ya hali mbalimbali
zinazowasibu
Waislamu nchini.
Mapema wiki
iliyopita, Amiri wa
Shura ya Maimamu,
Sheikh Mussa
Kundecha pamoja
na Sheikh Rajabu
Katimba, walikutana
viongozi wa
Serikali, kuangalia
namna sahihi ya
kuyaendea masuala
yanayowagusa
Waislamu nchini.
Baada ya kikao
hicho, Masheikh
hao walieleza
kuwa viongozi wa
Serikali waliokutana
nao wamewaeleza
kuwa madai
na malalamiko
ya Wa i s l a m u
yaliyowasilishwa
s e r i k a l i n i
yatashughulikiwa.
Akizungumzia
Kongamano hilo,
Sheikh Rajabu
Katimba, aliye
msemaji wa Jumuiya
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.