Вы находитесь на странице: 1из 20

facebook: annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST


(11) "MWENYE KUHIJI" NI KIPENZI CHA ALLAH!

ISSN 0856 - 3861 Na. 1178 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 22-28, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Allah Ameonya mwenye kwenda kuhiji asivunjiwe


heshima, yaani atukuzwe(Al-Maaidah:2). Kwa
mapenzi ya Allah, huyu amepewa cheo maalum cha
"Al-Hajj au HAJJAT". Waislamu hatuna budi tuipende
sana Hijja Muda unakwisha! Gharama zote kwa
Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola
2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania
Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.
Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

Masheikh wasilimisha Segerea


Aliingia Emanuel, anatoka Nassor
'Atiwa Suna' huko huko Gerezani

Waheshimiwa Wakubwa, Sheikh huyu aelekea kuwa gaidi!

Kasema kweli Mh. Lowassa


Ndivyo tulivyo Watanzania
Wa chai ya rangi, ya maziwa, lakini
Wote wanaambiwa wapo hotelini

MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar,


Maalim Seif Sharif Hamad.

SHEIKH Msellem Ali.

Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed


Shein.

Jiulize mwenyewe.
Hivi picha hii
inaonyesha
mtu gaidi,
aliyetakabari,
a s i ye j u a k u wa
kuuwa, ni dhambi?
Je, hii ni sura
inayowakilisha
jitu katili,
jahili lisilojua
k u wa U i s l a m u
unakataza kabisa
kusababisha
madhara kwa
wanawake,
watoto na watu
wengine wasio na
hatia! (Soma zaidi
uk. 2, 3 na 10)

Mh. Edward Lowassa wakati wa Harambee ya


kuchangia Msikiti wa Patandi Arusha hivi karibuni.

Tukimeza chambo tumeumia


Al-Shabab wa Nkurunziza watatubamiza
Bendera nyeusi, akina Kaisi, mtego tu
Kutuingiza katika kundi la Wajinga ndio

Tahariri/Habari

2
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Kasema kweli Mh. Lowassa


Ndivyo tulivyo Watanzania

KWA hakika kasema kweli


Waziri Mkuu Mstaafu,
M h e s h i m i wa E d wa r d
Lowassa. Hivi ndivyo
t u l i v y o Wa t a n z a n i a .
Hatubaguani kwa hali
zetu, dini zetu wala kabila
zetu. Ila tu, tunayatambua
madaraja yetu.
Ukiingia katika hoteli
zetu za mitaani, utakuta
mtu anakunywa chai ya
rangi na zege (maandazi
yamekatiwa katiwa ndani
ya maharage), mwingine
chai ya maziwa, omleti na
maini au supu ya kuku
wa kienyeji na chapati.
Kama ni mchana, yupo
kaagiza wali wake na
mchicha, mwingine
anakula pilau kwa kuku.
Lakini wote wanaambiwa
wapo hotelini. Wala yule
aliyeagiza wali mchuzi
juu, hajioni mnyonge.
Anakula na kujisikia vyema
akamshukuru Mola wake
akaendelea na shughuli
zake.
Shamra shamra na
s hu krani zi lizotolewa
Arusha baada ya
M h e s h i m i wa E d wa r d
Lowassa kushiriki
harambee ya uchangiaji
fedha za ujenzi wa Msikiti
w a Pa t a n d i , a m b a p o
z i l i p a t i k a n a z a i d i ya
shilingi milioni 200, inataka
kurasimisha hali hii hata
katika nyanja za kisiasa na
haki za raia wa nchi hii wa
dini tofauti.
Kama vile yule anayeingia
hotelini akala ugali wake
dagaa akaridhika huku
wengine wakila wali maini
wakishushia na juisi ya
karoti, basi isije ikawa
sasa bei ya Waislamu ni
michango ya harambee,
wa k a t i we n g i n e , k i l a
m wa k a wa n a t e n g e wa
fungu katika bajeti ya nchi
kuendesha miradi yao ya
kimaendeleo.
Kwa mujibu wa hotuba
ya M h e s h i m i wa R a i s
Kikwete aliyotoa katika
Misa ya kusimikwa Askofu
wa Jimbo la Dodoma,
Gervas Nyaisonga, Machi
2011, serikali imekuwa
ikitoa mabilioni ya
shilingi kutoka Hazina

ya Taifa kuzipa taasisi za


Kikristo kuendesha miradi
yao ya elimu na afya
(kupitia Memorandum of
Understanding).
Katika hotuba hiyo
Mheshimiwa Rais Jakaya
Mrisho Kikwete alisema
kuwa kwa mwaka 2010
serikali iliwapa Wakristo
ruzuku ya shilingi bilioni
61.9 (61,900,000,000).
A m b a p o k wa m wa k a
2009/2010 walipewa bilioni
50.
Lakini kama vile
kuonyesha kuwa bei ya
Waislamu sio kuwekewa
MoU, ilipotokea
Waislamu kuhoji kwa
nini wao hawapewi pesa
hizo na hakuna MoU ya
Waislamu na serikali, jibu
la serikali lilikuwa kwamba
Waislamu hawakuomba.
Lakini ni serikali hiyo
hiyo, wakati huo Waziri
Mkuu akiwa Mheshimiwa
Samwel Malecela,
Waislamu walipoomba
kukutana naye kuwasilisha
malalamiko na maombi
yao juu ya MoU, serikali
haikujali hata kujibu barua
yao ya maombi.
Sasa yote haya, tunadhani
ni katika vielelezo vya
kutufahamisha kuwa wapo
watu wa MoU, wa kula
biryani kwa kuku hotelini
na wale wa wali mchuzi
juu. Tunadhani kisiasa hii
haikukaa vizuri.
Sasa maadhali
M h e s h i m i wa E d wa r d
L o wa s s a a m e wa a l i k a
Masheikh na Waislamu
waje kumuunga mokono
atakapotangaza Safari
yake ya Matumani pale
Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid Arusha, Mei 24,
tunadhani itakuwa busara
kwa Masheikh wetu
kulisema hili.
Tarehe 24 mwezi huu
katika uwanja wa Sheikh
Amri Abeid siku hiyo
nitasema neno ambalo
nitahitaji mniunge mkono.
"Ukiulizwa unaenda
wapi, sema unakuja
kuniunga mkono katika
safari yangu ya matumaini".
Hiyo ilikuwa kauli na
wit o wa M h e s h imiwa

Lowassa kwa Masheikh,


Waislamu na watu wote
waliokuwa wamehudhuria
harambee ya uchangiaji
Msikiti wa Patandi.
Sasa katika Safari
hii ya Matumaini,
tukumbushane kuwa kule
hotelini, hakuna shida. Ni
kila mmoja na alicho nacho
mfukoni mwake. Lakini
inapokuja kwa Hazina ya
Taifa inayochangiwa na
kodi za Watanzania wote,
Waislamu na Wakristo,
pasiwe tena na wananchi
wa MoU wa kupewa zaidi
ya bilioni 61 kila mwaka,
huku wengine wakiwa bei
yao ni harambee ya siku
moja.
Waheshimiwa Wakubwa,
huyu aelekea kuwa gaidi!
Mwaka 1989 Profesa
Noam Chomsky alitoa
muhadhara (lecture)
ambao ulikuja kurekodiwa
na kusambazwa Machi
1990 ukipewa anuwani:
Propaganda Terms in the
Media and What They
Mean: "peace process" has
two meanings.
Katika muhadhara
huo Profesa Chomsky
alisema kuwa hutaona
au kusikia, hata mara
moja katika vyombo vya
habari ndani ya nchi hiyo,
M a r e k a n i i k i l a u m i wa
kuwa inahatarisha amani
au inapinga mazungumzo
ya kuleta amani, japo kwa
vitendo vya wazi kabisa,
Marekani inahatarisha
amani na kuchafua kabisa
amani Mashariki ya Kati na
Amerika ya Kusini. Akatoa
mifano mingi tu.
Katika kufafanua
akasema kuwa hutasikia

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015


wanasiasa wa nchi hiyo
wakizungumzia serikali
ya M a r e k a n i k u p i n g a
mazungumzo ya amani
au kuhatarisha amani
ya n c h i y o y o t e , k wa
sababu kila wanalolifanya
wao, wanaamini kuwa
ndio sahihi. Ila kila
anayepingana nao, ndio
waovu, wavunja amani na
magaidi.
Ndio pale akasema,
"peace process" has two
meanings.
Kwamba, kuna tafsiri za
kwenye kamusi, ambazo
hazifanyi kazi katika siasa
za Marekani. Profesa
Chomsky anasema kuwa
kwa serikali ya Marekani,
kila inachofanya kukidhi
maslahi yake ya kibeberu,
basi hiyo ndiyo amani,
ndio ustaarabu na ndio
demokrasia, hata kama
itakuwa ni kuhatarisha
maisha ya wengine,
kuvunja haki zao, uhuru
wao na kuwapora
demokrasia yao. Na katika
hiki kinachoitwa Vita
Dhidi ya Ugaidi, ilitangaza
wazi, kwamba kama hupo
pamoja na Marekani, basi
upo na magaidi. Huna
uhuru wa kuchagua.
Sasa inavyoelekea, na
sisi tunaelekea kushika
njia hiyo hiyo. Ni zaidi
ya m wa k a s a s a k u n a
Masheikh, viongozi wa
Kiislamu wapo rumande
wakipachikwa tuhuma za
ugaidi. Mengi yamesemwa
juu ya kuvunjwa haki
zao za kibinadamu,
kiraia na kisheria. Lakini,
haionekani kuwa kuna
kujali. Kile wanachosema,
wanaowatuhumu,
kinaonekana ndio sahihi,
huku vikitumika vipengele

vya kisheria na kauli za


kisiasa kuzidi kuwashikilia
Masheikh hao, bila kujali
hali zao kiafya na hata bila
kujali iwapo kuna sababu
za kutosha kuwashikilia
kwa tuhuma nzito kama
hizo.
Ukisikiliza, maneno
ya Prof. Chomsky
unachojifunza ni kuwa,
ubinadamu ukishakuwa
bidhaa adimu, basi lolote
linaweza kufanyika na
likahalalishwa hata kama
lingekuwa jambo ovu kiasi
cha kumfanya hata shetani
kuona vibaya kulisogelea.
Yupo Bwana mmoja
aliwahi kufika nyumbani
kwa Mtume (s.a.w)
akamkuta Mtume akiwa
kawapakata na kucheza na
wajukuu zake. Yule Bwana
akashangaa sana. Akasema,
yeye ana watoto wengi,
lakini hajawahi kucheza
nao, kuwakumbatia
h a t a k u wa b u s u k a m a
anavyofanya Mtume
(s.a.w). Jibu la Mtume
(s.a.w) kwa Bwana yule
lilikuwa kwamba, kama
a m e o n d o k e wa ( k a m a
hana) mapenzi ndani ya
moyo wake wa kuwapenda
watoto wake, hana la
kumsaidia.
Sisi tunadhani
jambo hili kuna haja ya
kutizamwa kibinaadamu.
La kama viongozi wetu
na wanaowangangania
Masheikh
hao,
wameondokewa na hata ile
chembe ya ubinadamu, sasa
hapo la kufanya ni kumlilia
Mwenyewe Allah Mtenza
Nguvu kwa Dua, Itqaaf na
Swaumu. Tunaamini Yeye,
hadhulumu mtu na hakuna
pazia baina Yake na Dua
ya mwenye kudhulumiwa.

Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHO


Vipi ingekuwa ni Maaskofu
Spika Makinda aingilia kati

Na Mwandishi Wetu

KILIO cha Masheikh


wanaoshikiliwa bila ya
kesi zao kuzungumzwa
huku wakinyimwa
dhamana, kimepiga hodi
Bungeni baada ya mbunge
kuhoji, hatma yao.
Alikuwa Mbunge wa
Viti Maalum (CHADEMA)
Mheshimiwa Maryamu
Salum Msabaha kutoka
Pemba, aliyetaka kujua nini
hatma ya Masheikh hao
ambao wanashikiliwa kwa
zaidi ya mwaka sasa.
Mheshimiwa Maryam
alisema kuwa ukiacha
kuwa wametolewa

Zanzibar, ambayo ni nchi


na kuletwa Bara, lakini bado
kumekuwa na kushikiliwa
huku wakinyimwa haki ya
dhamana.
Alisema, kama wana
kesi ya kujibu, basi kesi
ingezungumzwa na
kuhukumiwa ikajulikana
kuwa ni wakosa.
Lakini wamekuwa
wakishikiliwa bila
kesi kumalizika huku
wakinyimwa dhamana.
Maryam alihoji, hebu
ifikiriwe kama ingekuwa
ni Maaskofu na Mapadiri,
nao wangefanyiwa hivyo.
Na kama wangefanyiwa,
hali ingekuwaje.

Hata hivyo, kabla ya


kumaliza hoja yake mbunge
huyo, Spika Mheshimiwa
Anne Makinda alimkatisha
kuwa alikuwa akiongea
mambo yaliyo nje ya mada.
Wiki iliyopita, gazeti
hili liliarifu kuwa hali za
watuhumiwa wa ugaidi
ni mbaya na baadhi yao
walikuwa wamegoma kula.
Sheikh Farid Had
Ahmed akizungumzia hali
hiyo, mbele ya Hakimu wa
Mahakama anayesikiliza
kesi yao, Renatus Rutta,
alisema kuwa kumekuwa
na udhalilishaji mkubwa
Inaendelea Uk. 4

Habari

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Masheikh wasilimisha Segerea

Na Bakari Mwakangwale

Bw. Malaja.
Alisema, katika maisha
WA F U N G WA
n a yake ndani ya Ukristo,
Mahabusu katika Gereza a m e s h a w a h i k u w a
la Segerea, Jijini Dar es m w a n a k w a y a k a t i k a
Salaam, wameendelea v i k u n d i m b a l i m b a l i
kupata Daawa gerezani hususani katika Mji wa
humo na kusilimu kwa Kahama.
Nikiwa Kahama,
nyakati tofauti.
K a z i h i y o i m e k u wa niliimba katika kwaya
ikifanywa na Waislamu m b a l i m b a l i n i k i w a
walio katika gereza hilo kiongozi na mtungaji na
walio nyimwa dhamana mara ya mwisho nilikuwa
takriban mwaka mmoja katika kwaya moja inaitwa
s a s a , k wa t u h u m a z a AIC iliyopo katika kijiji cha
ugaidi, akiwemo Sheikh Bufuko, nje kidogo ya Mji
wa Kahama. Alisema.
Mselem.
Alisema, mara baada
Akiongea na An
nuur katikati ya wiki ya kufanya maamuzi ya
h i i , m f u n g wa m m o j a kusilimu, alipata lawama
aliyemaliza kifungo chake kutoka kwa baadhi ya
katika gereza hilo na Wakristo wenzake gerezani
kurejea uraiani, amesema humo, wakimueleza kuwa
aliingia gerezani akiitwa a t a k u wa g a i d i , h u k u
Solo Emanuel Malaja, akiwajibu kuwa amesilimu
akiwa Mkristo, muimba k wa k u e l e wa u k w e l i
kwaya, na sasa anatoka kuhusu imani ya dini ya
akijulikana kwa jina la Uislamu.
Alisema, watu
Nassoro Emanuel Malaja.
Alisema, baada ya w a m e k u w a
kusilimu alibaini kasoro wakiwaaminisha kuwa
aliyodumu nayo akiwa ndani ya Uislamu kuna
M k r i s t o , n a i l i a w e ugaidi, lakini akasema kwa
Muislamu safi, alilazimika jinsi alivyosoma baadhi
k u h i t a j i h u d u m a y a ya v i t a b u k wa m u d a
k u f a n y i w a T o h a r a mchache, hajaona mahala
(kutahiriwa) kwa Masheikh ambapo kuna chembe ya
mafundisho ya Ugaidi,
gerezani humo.
Baada ya kusilimu zaidi ya kubaini kuwa
nilibaini bado sijakamilika Uislamu ni dini nzuri na
kutokana na mafundisho ustaarabu.
K wa k a wa i d a m t i
ya Uislamu niliyokuwa
nikiyasoma kupitia vitabu wowote ukiwa na matunda
v i d o g o v ya K i i s l a m u mazuri na matamu ni
walivyokuwa wakinipa lazima utapigwa mawe
Masheikh, kabla sijasilimu. na kushambuliwa na kila
Sikutaka nifiche kitu, mtu au wadudu, pengine
niliwaambia kutokana na hata kabla hayo matunda
mila ya kwetu (Usukumani) hayajaiva. Alisema Bw.
na dini niliyotoka kutokuwa Malaja.
Akielezea sababu ya
na muongozo wa jambo
hilo, hivyo nilikuwa bado kuwa karibu na Masheikh
sijafanyiwa suna. Alisema gerezani humo kabla ya
kusilimu, alisema ni baada
Bw. Malaja.
Alisema, katika vitabu ya kukutana na Sheikh
alivyosoma akiwa gerezani, Mohammed Isyaka Yusufu,
kabla hajasilimu, alijifunza (Mshatakiwa namba sita)
k u wa k u f a n ya s u n n a ambaye aliwahi kuwa
(tohara) ni katika hatua bosi wake mwaka 2007,
ya usafi kwa Muislamu na Sumbawanga katika duka
la vyakula.
ukamilifu.
Alisema, baada ya
Bw. Malaja (27) alisema,
wapo wengi wanapata kumuona alimfuata na
m a f u n d i s h o h u m o kusalimiana naye, kisha
g e r e z a n i n a w e n g i n e naye aliwatambulisha
w a n a s i l i m u k w a n i kwa Masheikh wenzake,
M a s h e i k h wa n a t u m i a kwamba alikuwa kijana
v i t a b u m b a l i m b a l i wake katika biashara zake
wa n a v y o p e l e k e wa n a Sumbawanga, lakini yeye
Waislamu katika kufikisha ni Mkristo na kwamba
mafundisho ya Uislamu w a l i m l i n g a n i a , b i l a
mafanikio.
gerezani humo.
Alisema, wenzake
Bw. Malaja amesilimu
J a n u a r i 1 , 2 0 1 5 , k wa w a l i m u e l e z a k u w a
usimaizi wa Ustadh Salum, huwa halazimishwi mtu
kisha kuchagua jina la kufuata haki, ila akizidi
kulinganiwa na akiujua
Nassor.
Mimi nimefuata dini u k w e l i , m w e n y e w e
sahihi, sijafuata ushabiki ataufuta tu, na haipaswi
au maslahi, kuwa kwangu kumkatia tama.
B w .
M a l a j a
gerezani nimepata fursa
ya kujifunza upande wa aliyehukumiwa kifungo
pili wa Dini ya Kiislamu kwa kosa la kununua
baada ya kukutana na pikipiki ya wizi, alisema
Masheikh na Waislamu awali alikuwa mahabusu,
waliopo gerezani. Alisema na baada ya kuhukumiwa

NASSOR Emmanuel Malaja (Solo)


kifungo alipewa kitengo
cha kusaidia jikoni, jambo
ambalo lilimfanya awe
karibu zaidi na Masheikh
hao kwa mahitaji yao
mbalimbali, hususani maji
kutokana na shida ya maji
gerezani humo.
Zaidi alisema, alipewa
jukumu la kumuhudumia
Ustadh Salumu baada
ya kurejea kutoka katika
matibabu aliyopata
hospitali ya Muhimbili,
hatua iliyomfanya kuwa
karibu zaidi na Waislamu
wengine walio katika
kundi la Sheikh Mselem
na wenzake.
Alisema, kutokana
na maradhi ya Ust.
Salumu, aliwekwa katika
selo maalumu ambayo
huwekwa wagonjwa
na raia wa mataifa ya
nje ambapo humo pia
alikuwemo Mzungu, raia
wa Uingereza, ambaye ni
Muislamu.
Alisema, Mzungu
huyo aliyemtaja kwa jina
la Hassan, pia alikuwa
ni rafiki yake wa karibu
kwa muda mrefu gerezani
humo, hivyo kwa
kushirikiana na Masheikh,
naye alitumia ukaribu wao
kumuelimisha kuhusu dini
kwa ujumla.
Baada ya mimi kuwa
mgumu kwa Masheikh,
wao walimtumia Mzungu
(Hassan) kunielimisha
zaidi ambaye yeye alikuwa
akinifuata hadi jikoni
akiwa na shida. Alisema.
Alisema, awali Masheikh
walikuwa wanampa
vitabu vidogo vidogo vya
Kiislamu, vilivyo andikwa
Kiswahili, Kiingereza na
Kiarabu lakini alikuwa

akivikataa.
Hata hivyo alisema,
walipomtumia Mzungu
(Hassan), alianza
kuvipokea na kuvisoma
usiku na mchana.
Kuna siku moja
walinipa vitabu viwili,
kimoja kikubwa cha
Kiislamu (Msahafu)
pamoja na Biblia, (Agano
la Kale na Jipya) ambapo
waliniandikia sehemu
maalum za kusoma katika
Msahafu na Biblia.
Nilisoma kipande
k wa k i p a n d e k u t o k a
katika vitabu hivyo, kweli
nilipata mambo mapya ya
kujifunza na nilitafakari
zaidi kuhusiana na imani
za dini hizi mbili katika
kumuabudu Mungu.
Alisema.
Hata hivyo akasema,
matukio na matendo
machafu, kuingiliana
kinyume cha maumbile,
gerezani humo, nayo
yalimfanya atafakari sana
kiimani, kwani alidai
mambo hayo yamekithiri
sana, lakini kwa wafungwa
Wa i s l a m u n i n a d r a
kuyaona.
Maana wale rafiki zangu
wa kiimani kabla sijasilimu
(Wakristo) walikuwa na
mambo hayo ilifika kipindi
mpaka niliamua kuachana
nao na nilikuwa naona
tabu hata kula nao pamoja,
lakini nikiwa na Waislamu
mambo hayo huyakuti
wala huyasikii.
Hali hii ilichangia
kuingia kwangu
katika Uislamu ambao
mafundisho yake yamejaa
ustarabu na inakemea wazi
wazi tofauti na upande

niliotoka. Alisema Bw.


Malaja.
Alisema, Desemba 29,
2014, alipopeleka maji ya
moto kwa Ust. Salumu,
aliwakuta Shekh Nondo,
Abubakar Mgondo,
pamoja na Jihadi Jaribuni,
ambapo walimpa darsa
zito na kumfafanulia zaidi
yale aliyo yasoma.
Baada ya hapo ilipofika,
Januari 1, 2015, nilipo peleka
maji kwa Ust. Salumu,
akiwa na Hassan (Mzungu)
niliwaeleza kuwa sasa
n i p o t a ya r i k u s i l i m u
baada ya kujiridhisha na
mafundisho ya Uislamu
pamoja na nasaha zenu.
Walienda kuwaita Sheikh
Jihadi, Abubakari pamoja
na Nondo, ambao kwa
pamoja walifika pale na
kunisilimisha rasmi, kisha
waliniambia nichague
jina, nikachagua jina la
Nassoro. alibainisha Bw.
Nassoro Malaja.
Alisema, baada ya
kusilimu alikabidhiwa
kwa Mzungu (Hassan)
ili amfundishe hatua za
awali za kuiendea ibada
(Kuswali) ambaye alianza
kunifundisha mambo
mbali mbali ya awali ya
Uislamu.
Alisema, hapo ndipo
lilipokuja suala la
kufanyiwa Tohara, baada
ya kuwaeleza, ambapo
alisema Ust. Jihadi na
Hassan walisema wao wana
pesa ambazo walizikabidhi
wakati wakiingiia gerezani,
hivyo wataongea na
uongozi ili kiasi fulani
kitumike katika gharama
za kumshughulikia.
Alisema, jukumu hilo
alikabidhiwa Daktari wa
hapo Segerea, aliyemtaja
kwa jina la Hamisa, ambaye
naye alilisimamia kwa
kumletea Daktari kutoka
Gereza la Ukonga, ambaye
alimfanyia Suna humo
humo gerezani.
Bw. Nassoro (Solo)
k wa s a s a y u p o J i j i n i
Dar es Salaam, chini ya
Kamati ya Maafa ya Shura
ya Maimamu, ambayo
inafanya mchakato wa
kumtafutia Chuo cha
mafunzo ya Dini, ikiwa
ni ombi lake la kusaidiwa
kuusoma Uislamu.
Katibu wa Kamati hiyo,
Ustadhi Ally Mbaruku,
ametoa wito kwa Wadau
wa elimu katika vyuo
vya Dini, kuwasiliana na
Kamati, (0655/0784 816
040) ili kuweza kumsaidia
kielimu Muislamu huyo
mpya, aliyesilimu akiwa
Gerezani.

4
Inatoka Uk. 2
waliofanyhiwa.
Sheikh Farid Had
akimpa Hakimu historia
fupi ya kesi yao iliyopo
mbele yake, alisema kuwa,
wamebambikiziwa kesi
ya ugaidi kwa kudai nchi
yao huru ya Zanzibar
na kusema mfumo wa
Muungano uliopo
hawautaki.
Alisema, kesi yao ni ya
kisiasa na si vinginevyo
na kwamba, walikamatwa
na kuletwa bara kuja
kudhalilishwa tu na polisi
wa kike na wakiume.
Sheikh
Farid
alimtambulisha Hakimu
huyo kuwa wao ni
Vi o n g o z i wa Ta a s i s i
mbalimbali na yeye akiwa
ni kiongozi Umoja wa
Mihadhara na Sheikh
Mselem Ali Mselem ni
kiongozi wa Jumuiya ya
Uamsho, zote za Zanzibar.
Sheikh Kama huyu
(Mselem) kafanyiwa
udhalilishaji mkubwa wa
kuachwa uchi wa mnyama
huku amening'inizwa
k wa p i n g u , h u y u n i
Sheikh anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika
Redio nyingi katika
Afrika ya Mashariki, lakini
anafanyiwa ushenzi kama
huo Alisema Sheikh Farid
mbele ya hakimu huyo.
Naye mshitakiwa Salum
alimkumbusha Hakimu
R u t t a k u wa a l i a h i d i
kuwa atafuatilia hali zao
gerezani na kuhoji mbona
hawakumuona?.
Alisema yeye ni moja
wa wa l i o d h a l i l i s h wa
na Polisi kwa kutiwa
chupa na majiti, lakini

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHO

MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA) Maryam Msabaha toka Pemba.

Alichosema Mhe. Maryam Msabaha


Ile kesi yao mpaka leo
inazunguushwa, ni kwa
nini kesi ile isiwekwe
wazi ikaamulia mbivu
na mbichi. Kama kweli
Masheikh wale wana
matatizo au kama
wameenda kinyume
ama wana kitu gani, basi
wahukumiwe wajue
kama wamefungwa.
L a k i n i

manawazungusha,
l e o h i i wa m e g o m a
kula mnaipeleka wapi
Serikali. Mnasema
hakuna mgawanyo wa
dini. Leo nataka niseme
tena kwa kinywa kipana,
ingekuwa ni Mapadri na
Maaskofu, wamo mle
ndani leo kungekuwa
na amani Tanzania Bara?
Leo mnasema,

Zanzibar ni nchi, sasa


ikiwa Zanzibar ni nchi,
kwa nini wale Masheikh
waliletwa huku.
Mh. Spika, haya ni
masuala ya kuishauri
Serikali, ni masuala ya
amani. Tunataka amani
na utulivu. Zanzibar
tunasema Zanzibar
njema atakae na aje.

alisikitishwa na Waziri wa
Mambo ya Ndani, Mathias
Chikawe ambaye alisema
hawajatendewa chochote
huku akijua sio kweli.
Kulingana hali hiyo
Sheikh Farid, aliiomba
Mahakama kufika katika
gereza hilo kuangalia hali
halisi ya watuhumiwa
hao ili hatua stahiki
zichukuliwe.
Tunaiomba mahakama
kuja kule gerezani
mjionee hali halisi, ili
h a t u a s t a h i k i z i we z e
kuchukuliwa, vinginevyo
subirini kupokea maiti na
muingie katika historia ya
Zanzibar. Alisema Sheikh
Farid Mahakani hapo bila
kufafanua zaidi.
Askari Magereza
ambaye hakuweza
kufahamika jina lake mara
moja, alikiri kuwepo kwa
hali hiyo kwa watuhumiwa
hao wa ugaidi baada ya
Hakimu wa Mahakama ya
Kisutu jijini Dar es Salaam
anayesikiliza kesi hiyo
Renatus Rutta, kupokea
maelezo na taarifa hiyo ya
Amir Hadi na kumuhoji
askari huyo.
Hakimu alimtaka Ofisa
wa Magereza aeleze ni
kwa nini watuhumiwa
hao watatu hawakufika
mahakamani.
Afisa huyo aliieleza
mahakama kuwa
wa m e s h i n d wa k u f i k a
kutokana mgomo na
wametoa masharti kuwa
wanahitaji Mwanasheria
Mkuu wa Serikali wa
Zanzibar na wa Tanzania
bara pamoja na Jaji Mkuu,
wawatembelee huko
gerezani.
Watuhumiwa ambao
hawakuweza kufika ni
Said Amour, Salum na
Said Shehe, Sharifu na
Abdallah Hassani Hassani.

Serikali itoe ulinzi kwa Masheikh wa Zanzibar


Na Salma Al
Ghaithiyyah, Zanzibar

Serikali ya Zanzibar
imeombwa kutoa ulinzi
na kutunza usalama wa
Masheikh kuhubiri amani
pale wanapotekeleza
majukumu yao kutokana
na usalama wa Masheikh
hao kuwa hatarini muda
wote wanapohubiri.
Khofu hiyo imeoneshwa
juzi kwenye semina ya
siku moja ya kuhamisisha
v i o n g o z i wa d i n i ya
Kiislamu katika kusimamia
amani wakati wa uchaguzi
mkuu iliyofanyika katika
ukumbi wa Shirika la Bima
Zanzibar.
Akisoma majumuisho
hayo mbele ya washiriki
hao, Ustadh Masoud
Hemed amesema wajumbe

hao wameanzimia hayo


kutokana na hali ilivyo ya
khofu na wasiwasi kwa
watu ambao wanahubiri
amani na mambo mengine
ambapo bado baadhi ya
Masheikh wapo ndani
kwa kutoa maoni, huku
wengine hawajui khatima
yao.
Serikali iwe tayari
kuwapa Masheikh
ulinzi na kutunza
u s a l a m a wa o wa k a t i
Masheikh watakapokuwa
wanatekeleza Jukumu
la kuhubiri amani kama
walivyotakiwa na Semina
hii . amesema Ustadh
Hemed.
Katika michango
yao,
wamesema
wanashangazwa na hali
ilivyo tete, ambapo wakati
m a m b o ya l i v y o k u wa

yameharibika, walilitwa
Masheikh kutuliza hali
ya nchi kuzungumza na
wananchi misikitini na
katika mikusanyiko jambo
lililosaidia kuundwa kwa
serikali ya umoja wa
kitaifa, lakini sasa ndio
wanateseka magerezani
bila ya kuhukumiwa.
Sisi tunashangaa kwa
n i n i t u l i we z a k u i t wa
kuhubiri amani wakati ule
nchi ilipochafuka tukatakia
kufanya sala ya pamoja na
kuomba dua lakini kwa
nini ishindikane sasa hivi
kuna nini? Alihoji Ustadh
Hamad.
Amesema, sio tabia nzuri
inayotendeka kuwanyima
uhuru Masheikh kutoa
mihadhara huku
wakiogopa kukamatwa
na polisi kama

walivyofanyiwa wenzi
wao zaidi ya 20 ambao
wa p o n d a n i z a i d i ya
mwaka sasa wakikabiliwa
na kesi ya ugaidi huko
Tanzania Bara.
Washiriki hao
wamesema katiba
imeruhusu watu kutoa
maoni yao, lakini baada
ya kukamatwa watu na
kuwekwa ndani, baadhi
ya masheikh wamerudi
nyuma kuhubiri
wakiogopa kwa kuwa
hawajui wakati gani na
wao watafuatwa na wao
na kusingiziwa kesi.
Aidha katika maazimio
Masheikh na viongozi
wa Taasisi za Kiislamu
watumie hafla mbalimbali
za kidini pamoja na
mikusanyiko ya kiibada
ikiwemo khotuba za Ijumaa

kuhimiza na kuhamasisha
amani na utulivu wakati
wa uchaguzi mkuu.
Katika maazimio
mengine, Masheikh hao
wamesema kwa kuwa
c h a n z o k i k u b wa c h a
machafuko Zanzibar
ni uchaguzi, basi Tume
ya Uchaguzi Zanzibar
iwajibike katika kusimamia
na kuendesha uchaguzi
ulio huru, haki na uadilifu
ili kuepusha visababishi
vya uvunjaji wa amani
katika nchi.
Aidha, Masheikh
washirikiane na viongozi
wa Taasisi za Kiislamu
kuandaa Dua ya Kitaifa
ya kuiombea nchi amani,
utulivu na usalama
kuelekea uchaguzi Mkuu.
Wamesema, Semina
Inaendelea Uk. 5

Habari/Matangazo

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Serikali itoe ulinzi


TAMASHA LA KITAIFA
ILONGO MBEYA
05 12 JUNI , 2015

Waislamu wote nchini mnaalikwa


kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa
Kituo cha Kiislamu Ilongo Mbeya
litakalofanyika kuanzia tarehe 05,
12 Juni, 2015.
Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria
kwa wingi. Wasio na wasaa wa
kuhudhuria wachangie fedha na vifaa
vya ujenzi.
Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa
tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa
mafanikio ya hapa duniani na malipo
ya Pepo Quran (61:10-13)
Usafiri / Gharama:
Kutokana na Miundombinu ya
barabara kwa sasa kila mkoa utaratibu
safari ya Mbeya kupitia Maamir wa
Mikoa
Kwa kupitia Dar es Salaam nauli
ni Tshs. 70,000/- kwenda na kurudi
Dar. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe
04/06/2015 (0689665045/0713 992395).
Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una
baridi, hivyo wanatamasha waje na
nguo za kuzuia baridi.
Wabillah Tawfiiq
AMIR TAIFA

Inatoka Uk. 4
za aina hii ziendelee
kufanyika kwa wadau
wengine muhimu wa
uchaguzi wakiiwemo
watumshi wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar,
Polisi, Viongozi wa
Vyama vya Siasa na
Watumishi wakuu
wa Wizara ya Nchi
Ofisi ya Rais Tawala
za Mikoa na Idara
Maalumu.
Hata hivyo,
Vyombo vya Ulinzi na
Usalama visijihusishe
kwa namna yoyote
na masuala ya
kisiasa, badala yake
vitekeleze shughuli
zao kwa uadilifu zaidi

ili kulinda maslahi ya


wananchi nay a Taifa
kwa ujumla.
Ustadh Hemed
amesema Waislamu
w a n a t a k i w a
wadumishe amani,
utulivu na udugu
wao katika kipindi
hiki cha kuelekea
uchaguzi mkuu,
bila ya kujali tofauti
zao za kivyama na
misimamo ya kisiasa.
Lakini
pia
wamesema Serikali
kupitia Wizara
ya Elimu na
Mafunzo ya Amali
iingize mafunzo
ya a m a n i , u d u g u
na mshikamano

katika mitaala ya
ngazi zote za Elimu
na kuwepo na
Mkutano wa pamoja

kati ya Masheikh na
Viongozi wakuu wa
Nchi ili kuzungumzia
m u s t a k a b a l i Ta i f a
kuelekea uchaguzi
Mkuu huku lengo
likiwa ni kudumisha
hali ya amani.
Mada
mbili
zimewasilishwa katika
semina hiyo ikiwemo
kusimamia amani
wakati uchaguzi mkuu

iliyowasilishwa na
Abdallah Talib na
nafasi ya Uislamu
katika kujenga amani
katika jamii.

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA
NA MASOMO,
KIKUU CHA
INTERNATIONAL
WALIOCHAGULIWA
KUJIUNGA
NACHUO
MASOMO,
CHUO
KIKUU CHA
UNIVERSITY OF AFRICA, KHARTOUM SUDAN 2015/2016.
INTERNATIONAL
OF
AFRICA,
SUDAN
Munazzat Al- DaawaUNIVERSITY
Al- Islamiyya (MDI)
ofisi
ya TanzaniaKHARTOUM
inayofuraha kuwatangazia
wafuatao2015/2016.
kuwa
wamechaguliwa
na Chuo
cha INTERNATIONAL
UNIVERSITY
OF AFRICAinayofuraha
kilichopo
Munazzat
Al-kujiunga
Daawa
Al-Kikuu
Islamiyya
(MDI) ofisi
ya Tanzania
Khartoum, Sudan kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza tarehe 01/09/2015 masomo yataanza
kuwatangazia
wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha
tarehe 13/09/2015.
SN
NAME OF APPLICANT
SEX
FACULTY
EXAMINATION
CENTRE kwa
INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA
kilichopo Khartoum,
Sudan
KHADIJA HIJJA KANDEGE
F
MEDICINE
DAR ES SALAAM
1
AMOUR
ISSA
SULEIMAN
M
MEDICINE
ZANZIBAR
2
mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza tarehe 01/09/2015 masomo yataanza
NUSURA ABDALLAH SAIDI
F
NURSING
IRINGA
3
tarehe4 13/09/2015.
FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH
F
NURSING
ZANZIBAR

SN
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50

AMINA MOHAMED MAKAME


F
NURSING
ZANZIBAR
NAME
APPLICANT
FACULTY
SAFIA OF
ALI HAMAD
F
NURSING
ZANZIBAR
ZULEKHA MUDHIHIRI
AHMAD
F
PHARMACY
DAR ES SALAAM
KHADIJA
HIJJA KANDEGE
MEDICINE
SULEIMAN SAID SULEIMAN
M
PHARMACY
ZANZIBAR
AMOUR
ISSA
SULEIMAN
MEDICINE
AISHA OMARI SAID
F
DENTIST
DAR ES SALAAM
NUSURA
ABDALLAH
SAIDI
NURSING
MUHAMMED
SALIM MUHAMMED
M
DENTIST
ZANZIBAR
AMAN
MOHAMED
AMAN
M
PETROLEUM
DAR ES SALAAM
FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH
NURSING
SALUM ABDALLAH
M
PETROLEUM
MWANZA
AMINA
MOHAMED
MAKAME
NURSING
TAKIYU MIKIDADI
M
PETROLEUM
MWANZA
SAFIA
ALIBURHANI
HAMAD
NURSING
HARUNA
M
PETROLEUM
MWANZA
ALI ABDULLA
KHAMIS
M
PETROLEUM
ZANZIBAR
ZULEKHA
MUDHIHIRI
AHMAD
PHARMACY
HUSSEIN ABOUD HASSAN
M
PETROLEUM
ZANZIBAR
SULEIMAN
PHARMACY
ALI MASOUD SAID
RASHIDSULEIMAN
M
PETROLEUM
ZANZIBAR
ALI MIRAJI
MSOMI SAID
M
PETROLEUM
ZANZIBAR
AISHA
OMARI
DENTIST
ABDULRAHMANSALIM
MWINYIPEMBE
MTORO
M
ENGINEERING
DAR ES SALAAM
MUHAMMED
MUHAMMED
DENTIST
SALUM KHAMIS NGWALI
M
ENGINEERING
ZANZIBAR
AMAN
MOHAMED
AMAN
MARIAM
SULEIMAN MZEE
F
LABPETROLEUM
SCIENCE
DAR ES SALAAM
HAMIDA
JUMA
HAJI
F
LAB
SCIENCE
SALUM ABDALLAH
PETROLEUM ZANZIBAR
SAIDE OMAR AHMED
M
LAB SCIENCE
TAKIYU
MIKIDADI
PETROLEUM ZANZIBAR
AMINA ABOUD DARWESH
F
LAB SCIENCE
ZANZIBAR
HARUNA
BURHANI
PETROLEUM
MARYAM ALLIY
KILIMA
F
COMP
SCIENCE
DAR ES SALAAM
S. KIBONAJORO
M
COMP
SCIENCE
MWANZA
ALIACKRAM
ABDULLA
KHAMIS
PETROLEUM
JABIR DAUDA AHMAD
M
PURE SCIENCE
HUSSEIN
ABOUDHEMED
HASSAN
PETROLEUM MWANZA
SAMIRA MBARAKA
F
ECONOMY
DAR ES SALAAM
SHAAME RASHID
KAI
M
ECONOMY
ALIMALIK
MASOUD
PETROLEUM ZANZIBAR
SALIM
ALI
M
ECONOMY
ZANZIBAR
ALIAHMED
MIRAJI
MSOMI
PETROLEUM
FAHMI ABASI SULEIMAN
M
LAW & SHARIA
DAR ES SALAAM
ABDULRAHMAN
MTOROM
ENGINEERING
YUSUFU ABDALLAH MWINYIPEMBE
ISSA
LAW
& SHARIA
DAR ES SALAAM
OMARI
SWALEHE
OMARI
M
LAW
&
SHARIA
SALUM KHAMIS NGWALI
ENGINEERING DAR ES SALAAM
KHERI JUMA NASSOR
M
LAW & SHARIA
MARIAM
SULEIMAN MZEE
LAB SCIENCE IRINGA
SWAALIHINA SAIDI GELLEKO
M
LAW & SHARIA
IRINGA
HAMIDA
JUMA HAJI
LAB
SCIENCE IRINGA
YAHYA MUSTAFA
NGALAWA
M
LAW
& SHARIA
AULA NUHU
HUSSEIN
M
LAW
& SHARIA
SAIDE
OMAR
AHMED
LAB
SCIENCE IRINGA
HUSSEIN JUMANNE SAADY
M
LAW & SHARIA
AMINA
ABOUD
LAB
SCIENCE MWANZA
SHABANI
LUJAMA DARWESH
MWIZARUBI
M
LAW
& SHARIA
MWANZA
MARYAM
ALLIY
KILIMA
COMP
SCIENCE ZANZIBAR
MARYAM SEIF
KHAMIS
F
LAW
& SHARIA
WILDAT SULEIMAN
MOHAMED
F
LAW
& SHARIA
ZANZIBAR
ACKRAM
S.
KIBONAJORO
COMP
SCIENCE
MAULIDI BAKAR ALI
M
LAW & SHARIA
JABIR
AHMAD
PURE
SCIENCE ZANZIBAR
AHMEDDAUDA
YUSUPH KAISI
M
ISLAMIC
STUDIES
DAR ES SALAAM
ISSA MASOUD
RASHID HEMED
M
ISLAMIC
STUDIES
IRINGA
SAMIRA
MBARAKA
ECONOMY
SALMIN RASHID HASSAN
M
ISLAMIC STUDIES
IRINGA
MALIK
SHAAME KAI
ECONOMY
OMARI ATHUMAN SULEIMAN
M
ISLAMIC STUDIES
IRINGA
AHMED
ECONOMY
RASHIDI SALIM
HAMADI ALI
YASINI
M
ISLAMIC
STUDIES
IRINGA
ASNALIABASI
MUDATHIR
MACHEYA
M
ISLAMIC
FAHMI
SULEIMAN
LAWSTUDIES
& SHARIA IRINGA
HASSAN AHMED MFAUME
M
ISLAMIC STUDIES
YUSUFU
ABDALLAH
LAWSTUDIES
& SHARIA IRINGA
DHULKHAIR
SULEIMAN ISSAISSA
M
ISLAMIC
IRINGA
OMARI
SWALEHE
OMARI
LAW
SHARIA
KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KITUO ULICHOFANYIA MTIHANI&AU
PIGA SIMU 0786 806662.
KHERI JUMA NASSOR
LAW & SHARIA
SWAALIHINA SAIDI GELLEKO
LAW & SHARIA
YAHYA MUSTAFA NGALAWA KHAMIS M.A. LIYENIKE
LAW & SHARIA
AULA NUHU HUSSEIN
LAW & SHARIA
IDARA YA DAWA
HUSSEIN JUMANNE SAADY
LAW & SHARIA
SHABANI LUJAMA MWIZARUBI
LAW & SHARIA
MARYAM SEIF KHAMIS
LAW & SHARIA
WILDAT SULEIMAN MOHAMED
LAW & SHARIA
MAULIDI BAKAR ALI
LAW & SHARIA
AHMED YUSUPH KAISI
ISLAMIC STUDIES
ISSA MASOUD RASHID
ISLAMIC STUDIES
SALMIN RASHID HASSAN
ISLAMIC STUDIES
OMARI ATHUMAN SULEIMAN
ISLAMIC STUDIES
RASHIDI HAMADI YASINI
ISLAMIC STUDIES
ASNALI MUDATHIR MACHEYA
ISLAMIC STUDIES
HASSAN AHMED MFAUME
ISLAMIC STUDIES
DHULKHAIR SULEIMAN ISSA
ISLAMIC STUDIES

5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50

KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KITUO ULICHOFANYIA MTIHANI AU


PIGA SIMU 0786 806662.
KHAMIS M.A. LIYENIKE
IDARA YA DAWA

TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE - SAME, KILIMANJARO

KOZI YA UALIMU WA LUGHA YA KIARABU, KIINGEREZA,


KISWAHILI NA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU NGAZI YA CHETI

Muda wa Kozi ni miaka miwili


SIFA ZA MUOMBAJI:
(a) Awe Muislamu.
(b) Awe amefaulu masomo manne (4) au zaidi kwa kiwango cha D au zaidi katika Mtihani wa Kidato cha 4.
(c) Atakayekuwa na ufaulu wa kiwango cha D au zaidi katika Lugha ya Kiarabu, Kiingereza, Kiswahili na Elimu ya Dini ya Kiislamu
atapewa kipaumbele zaidi.

Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 15 JULAI, 2015.


Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 5,000/= (elfu tano) katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:
ARUSHA: Ofisi a Islamic Education Panel,
Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala
na Msikiti Mkuu wa Bondeni, Simu: 0783
552414/0762 817640.

KILIMANJARO-Moshi: Msikiti wa Riadha:


0712216490 Same Juhudi Studio mkabala
naBenki ya NBC Same: 0757013344.
Same: Kirinjiko Islamic Secondary
School: 0784 296424/0655 676075.
Usangi: Falhum Kibakaya: 0787 142054.
Ugweno: Kifula shopping Centre: Yusuph Shanga:
0784 585776.
TANGA: Twalut Islamic Centre - Mabovu Darajani:
0715 894111
Uongofu Bookshop: 0784 982525.
Korogwe: SHEMEA SHOP: 0754 690007.
Lushoto: Mandia Shop: 0782 257533
Handeni: Mafiga - 0782 105735/0657 093983.
MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School: 0717
417685/0786 417685.
Ofisi ya Islamic Education Panel, Mtaa wa Rufiji
mkabala na Msikiti wa Al-Amin: 0785086770/0714
097362.
MUSOMA: Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa
Karume, Nyumba Na. 05: 0765024623.

SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa


SONGEA: Kwa Kawanga karibu na Msikiti wa Nuru
ya Shinyanga Mjini: 0752 180426.
- 0713 249264/0683 670772.
Kahama: Ofisi ya AN-NUUR na Msikiti wa Ibadhi: 0753
Mkuzo Islamic High School: 0717 348375.
993930/0688 794040.
DAR ES SALAAM: Ubungo Islamic High School:
0756584625/0657 350172.
Ofisi ya Islamic Education Panel, Temeke - Msikiti wa
Nurul Yakin: 0655144474, 0787119531.
MOROGORO: Ramadhani Chale-0715704380
DODOMA: Hijra Islamic Primary School: 0716
544757/0718661992.

MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini0785 425319.


Rexona Video mkabala na Mbeya RETCO, 0713
200209/0785 425319.
RUKWA: Sumbawanga: Jengo la Haji Said - Shule ya
Msingi Kizwike 0717 082072.

SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education Panel, karibu na


Nuru Snack Hotel:0786425838/0784 928039.

TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566,


0787 237342.
Nzega: Dk. Mbaga 0754 576922/0784 576922.

MANYARA: Ofisi ya Islamic Education Panel-Masjid


Rahma: 0784 491196.

IRINGA: Madrastun-Najah: 0714 522 122

KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714 717727


Kibondo: Marubona Isl. SS. 0714 710802.

PEMBA: Wete Islamic Sch. 0777 432331/0712772326


UNGUJA: Madrasatul - Fallah: 0777 125074

LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783


488444/0653 705627.

Pandu Bookshop: 0777 462056 karibu na uwanja wa


Lumumba.

MTWARA: Amana Islamic S.S. 0715 465158/0787


231007.

MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na Msikiti Mkuu:


0773 580703.

Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU - WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!


Inaendelea Uk. 7

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Propaganda za udini shuleni Tanzania-3


Nini lengo la wachoraji picha kuficha ukweli?

Profesa Ibrahim Noor Shariff

KATIKA toleo lililopita,


kuna maelezo ambayo
hayakuwa yameambatana
na picha zilizokusudiwa
hivyo, kutokufahamika
k a m a i l i v y o t a r a j i wa .
Tu n a k i r e j e a k i p a n d e
hicho pamoja na picha
zake.
Na hii ya juu pia
inamshirikisha Mwarabu

Waarabu na Waswahili
katika
kitendo
kilichofanywa na Waafrika
wa Bara. Dhahiri kuwa
ukhabithi wa wakamataji
wa kweli, yaani makabila
ya Waafrika wa Bara
yaliyokuwa na nguvu
wanatupiwa Waarabu na
Waswahili. Kisa ni kwa
kuwa ni Waislamu.
Na hizi picha
zinazofuata kutokana na
vitabu vya kusomeshea
historia Tanzania hali
ndiyo hiyohiyo. Mtwike
Mwarabu lawama zote za
ukamataji wa wanyonge
wa Kiafrika na kuwatia
utumwani na kwa kufanya
hivyo lengo khasa la
kuichukiza dini yao ya
Kiislamu litafikiwa katika
bongo za watoto vijana
katika shule za Tanzania.
Lakini hilo halitafikiwa
kwa sababu kila kukicha

Mwarabu hajulikani wa wapi! Wanawake wa Kiafrika


katika zama hizo kweli walikuwa wakivaa vitambaa
ukweli. Lakini wenye
lengo lao la siasa kali
za udini ni sawa kwao

Picha hii imechorwa kuonesha kuwa hakuna wa


kulaumiwa katika ukamataji wa watumwa ila Waarabu
Waislamu.
katika ukamataji. Na
inayofuata inawashirikisha

wengi wenye kutumia


akili zao wanazidi kuuona

Na katika picha hii pia, wenye kulaumiwa kwa


ukamataji wa wanyonge wa Kiafrika ni Waarabu na
Waswahili Waislamu.

Ta n z a n i a n a h u k u
tunaambiwa Tanzania
haina dini?
Hapana ubaya kufikisha
ujumbe, ikiwa ujumbe
wenyewe ni sahihi, lakini
ikiwa ujumbe si sahihi au
umekusudia kupotosha
ukweli au kuleta chuki
au kuigawa jamii, basi
ujumbe huo utakuwa ni
wa khatari sana, na kila
mpenda haki na usalama
wa nchi na jamii zake
anatakiwa aupinge kwa
kupaza sauti yake, khasa
ikiwa wanaofikishiwa
ujumbe ni wanafunzi
wadogo ambao watakuwa
viongozi wetu kesho,
na wao ndio watakuwa
wanatuamulia mambo
yetu na kutuongoza.
Angalia pia na picha hii
ya wafanyabiashara wa
Kiafrika. Jaribu utambue
propaganda iliomo ndani
yake:

wamefikaje kuidhibiti
manhaji (karikulamu)
ya kusomeshea historia

Angalia na picha inayofuata. Tena na tena picha


za kuchora zinamlaumu Mwarabu kwa ukamataji
wanyonge wa Kiafrika na kuwatia utumwani.
wanaona kuwa haidhuru
kitu wakija Waislamu na
Wakristo kuuwana siku za
mbele, na Tanzania ikawa
nchi isiyokalika. Siasa zao
kali za udini ni masikitiko
makubwa kwa nchi nzima.
Na hii inayofuata ndiyo
n a i p a n i s h a n i k u b wa
kabisa. Maelezo yanasema,
kwa tafsiri: Watumwa
wakiwa kazini katika
mashamba ya miwa katika
West Indies.
West Indies ni visiwa
vilioko Amerika ambako
Waarabu hawakuweko
huko. Sasa inakhusu nini
nokoa achorwe Mwarabu?
Hawa waandishi na
wachoraji wenye siasa
kali za propaganda za
udini dhidi ya Waislamu

Propaganda si lazima
iwemo katika yaliyosemwa
au yaliyochorwa.
Inaweza kuwemo
katika yaliyokuwa
hayakuzungumzwa au
yaliyokuwa hayakuchorwa
pia. Katika picha hii
t u n a wa o n a Wa a f r i k a
kutoka Bara wamechukua
vitu vichache kama
ngoma, mikeka, pembe
z a nd o v u ( na m m o j a
katika watu wawili hao,
Inaendelea Uk. 18

Hata katika mashamba ya miwa ya West Indies ambako


Waarabu hawakuweko, wanawalaumu Waarabu kuwa
ndio waliokuwa manokowa!

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Safari ya Israa na Miiraaj


LINI kilikuwa Kipindi cha
Israa na Miiraaj? Tarehe
hasa ya tukio la Israa na
Miiraaj haifahamiki kwa
uhakika. Ibn Kathiyr
amenukuu kutoka kwa
wanachuoni mbali mbali
katika kitabu chake AlBidaayatu wan-Nihaayah
(3/108) juu ya terehe ya
tukio hilo. Wanachuoni
wengi wanaona kuwa
tarehe hiyo ilikuwa kati
ya miezi 12 na 16 kabla
ya Hijra yake kwenda
Madiynah. Na wa zaidi
ya hapo wamekhitilafiana
juu ya siku na hata huo
mwezi.
Kabla ya Safari:
Malaika Jibriyl (AlayhisSalaam) alifungua kifua
cha Mtume Muhammad
(Swalla Allaahu alayhi wa
aalihi wa sallam), akatoa
moyo wake na kuuosha
kwa maji ya Zam Zam.
Anasema Anas Bin Maalik
(Radhiya Allaahu anhu):
RasuluLlaah (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam) alichukuliwa
katika Israa na Miiraaj
kutoka Msikiti Mtukufu wa
(Makkah) Kaabah. Watu
watatu walimjia (ndotoni)
akiwa amelala ndani ya
Msikiti wa Makkah kabla
Wahyi haujaletwa kwake.
Mmoja wao akasema:
Ni yupi kati ya hawa
watu? Malaika wa kati
akasema Yule ambaye
ni mbora kuliko wote
na Malaika wa Mwisho
akasema, Chukueni aliye
m b o r a wa o . M a m b o
haya yalitokea katika
usiku huo huo. Usiku
huo hakuwaona, lakini
aliwaona usiku mwingine
ambapo tayari wahyi
ulikuwa umeletwa kwake
na alikuwa macho amelala
lakini alikuwa hadhiri (Ni
kawaida ya Mitume wote
kulala macho wakati wako
hadhiri). Wale Malaika
hawakumsemesha
b a l i wa l i m b e b a h a d i
wa k a m f i k i s h a k a t i k a
kisima cha Zam Zam.
Miongoni mwao Jibriyl
(Alayhis-Salaam) alikuwa
akiongoza na kuelekeza
kifanyike nini. Alipasua
sehemu kati ya koo na kati
ya kifua na akatoa vyote
vilivyokuwemo kifuani
na kuviosha kwa maji ya
Zam Zam kwa mikono
yake mwenyewe na pia
kusuuza sehemu za ndani
za mwili na kisha kikaletwa
chano cha dhahabu kikiwa
na bakuli la dhahabu

kililetwa ndani ya bakuli


mkiwa mkajazwa imani
na busara. Jibriyl (AlayhisSalaam) akachukua vitu
hivyo kutoka ndani ya
bakuli na kuvijaza kifuani
mwa Mtume kisha
akachukua viungo vya
Mtume pamoja na mishipa
ya damu akavijaza kifuani
kwa Mtume na kukifunga
kifua Swahiyh AlBukhaariy Juzuu 9 Namba
608, na Juzuu 5 Namba
227).
Israa maana yake ni
safari ya Mtume (Swalla
Allaahu alayhi wa
aalihi wa sallam) yeye
akiwa ni mwili wake na
akili zake na roho yake
kutoka Kaabah huko
Makkah mpaka Msikiti
wa A l - A q s wa a h u k o
Quds (Jerusalem) akiwa
amebebwa na mnyama
wa ajabu mwenye kuvutia
umbo lake anayeitwa
Buraaq na kisha safari ya
kurejea kwake Makkah.
Al-Buraaq: Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
a l i c h u k u l i wa k u t o k a
Msikiti wa Haram,
Makkah mpaka Msikiti
wa A l - A q s wa a m j i n i
Quds juu ya mnyama
aitwaye Al-Buraaq akiwa
ameambatana na Malaika
Jibriyl (Alayhis-Salaam)
Mtume (Swalla Allaahu
a l a y h i wa a a l i h i wa
sallam) alimwelezea AlBuraaq kuwa, Nililetewa
Al-Buraaq, mnyama mrefu
wa umbo na mweupe, ni
mkubwa kiasi zaidi ya
punda lakini ni mdogo
kuliko nyumba, ambaye
anapokwenda mbio
hatua yake ni upeo wa

MASJID Nabawi Madina.


macho yake. Nilimpanda
mnyama huyo mpaka
nikafika Msikiti wa AlAqswaa huko Al-Quds
(Jerusalem). Hapo
nilimfunga pale mahali
ambapo Mitume wengine
wa l i k u wa wa k i f u n g a
wanyama wao. (Swahiyh
Al-Bukhaariy na Swahiyh
Muslim)
Anas Bin Maalik
alisema, Katika usiku
ambao Mtume alipelekwa
mbinguni, Al-Buraaq
aliletwa kwake akiwa
amefungwa vikuku na ana
matandiko, lakini alileta
ujeuri kidogo, na ndipo
Jibriyl alipomwambia
Al-Buraaq Je unafanya
haya kwa Muhammad?
Hakuna mtu mtukufu
aliyewahi kukupanda
ambaye ni mtukufu zaidi
ya huyu mbele ya Macho
ya Allaah. Kisha akatoa
jasho. (At- Tirmidhiy na
Musnad Ahmad)
Maana Ya Al-Buraaq
Kwa Kiarabu Ni Mwale
Unaotoka Katika Mwanga.
Leo hii, Wanasayansi
wanatuambia kuwa
mwanga una mwendo
kasi zaidi ya vitu vyote
duniani. Huenda masafa
ya maili 700 milioni kwa
saa moja. Miaka 1400
iliyopita wakati ambapo
kulikuwa hapajatokea
utafiti na uvumbuzi
palikuwa hakuna mtu
a m b a ye a l i we z a h a t a
kukisia mwendo kasi wa
mwanga wala ukweli wake
ukoje. Allaah (Subhaanahu
wa Taala) na Mtume Wake
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
walimwita mnyama
huyo kama Al-Buraaq

kwa msingi wa mwendo


wake ulivyo na kasi kali..
Huu ni ukweli ambao
unathibitisha ukweli wa
Uislamu na ukweli wa
Utume wa Muhammad
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
kama Alivyosema
Allaah ndani ya Quraan, Tutawaonyesha
ishara Zetu katika upeo
wa mbali na katika nafsi
z a o we n ye we m p a k a
i wa b a i n i k i e k wa m b a
haya ni kweli. (Fusswilat
41:53).
Hapo kale watu
walipinga na kusema
mnyama huyo katokea
wapi tena ambaye
alimchukua Mtume
(Swalla Allaahu alayhi wa
aalihi wa sallam) kutoka
sehemu moja ya dunia
mpaka nyingine na kisha
kapita naye katika anga
za mbingu na tena katika
usiku mmoja? Leo hii
tunaona vipando ambavyo
vimeundwa na binadamu,
roketi na misali vikisafiri
maelfu ya maili kwa muda
dakika chache tu. Iwapo
mtu ambaye ni kiumbe
cha Allaah Muumba wa
Ulimwengu, Je, Allaah
kwa nini asiumbe mnyama
mwenye uwezo wa kukata
masafa ya mamilioni ya
maili kwa muda mfupi.
Kituo cha kwanza cha
Safari - Al-Aqswaa: Mtume
alisema: Kisha niliingia
Msikiti wa Al-Aqswaa,
nikaswali Rakaah mbili
(Swahiyh Muslim)
Kuna riwaya nyingine

ambazo zinaeleza kuwa


Mtume (Swalla Allaahu
a l a y h i wa a a l i h i wa
sallam) aliswali na Mitume
wengine hapo msikitini
na yeye akiwa Imaam.
Msikiti wa Al-Aqswaa
umekuwa na sifa ya kuwa
ni kituo cha Mitume wote.
Toka siku ya Al-Khaliyl
I b r a a h i y m ( A l a y h i s Salaam) hivyo Mitume
wote walikusanyika hapo
na Mtume Muhammad
(Swalla Allaahu alayhi wa
aalihi wa sallam) akawa
Imaam wao. Hii ni dalili
ya nafasi kubwa aliyo
nayo Muhammad ambaye
ni Mtume wa mwisho
miongoni mwa Mitume
wengine (AlayhimusSalaam). [Tafsiyr Ibn
Kathiyr]
Kisa cha Israa na
Miiraaj kimeelezwa
ndani ya Qur-aan (Al-Israa
17:1) Aayah inayofuatia
inaeleza matendo ya aibu
na makosa ya Mayahudi
na kufuatia juu ya hayo
makemeo makali ya Quraan. Mpangilio huo si
kwa bahati tu, Al-Quds
( Jerusalem) ilikuwa
n i k i t u o c h a k wa n z a
cha safari hii ya Usiku
na hapa kuna ujumbe
ambao unaelekezwa
kwa Mayahudi na
kupewa ujumbe kuwa
hadhi waliyokuwa nayo
ya kuongoza dunia na
binadamu kwa ujumla
imetanguliwa. Utenguzi
wa uongozi kwa mayahudi
ulitokana na mabaya yao
waliyokuwa wakiyafanya
na yale ambayo
wanaendelea kuyafanya.
U j u m b e
h u o
unathibitisha wazi wazi
kuwa uongozi huo
umehamia kwa Mtume
Muhammad (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam) achukue
uongozi wa makao
makuu ya Aqiydah ya
Baba Ibraahiym na pia
kuwa makao hayo sasa
ni Makkah na Msikiti wa
Mbali (Al-Aqswaa) huko
Al-Quds ( Jerusalem).
Hivyo mamlaka hayo
yalihamishwa kwenda
k we n ye t a i f a a m b a l o
ni la Wacha Mungu na
lenye utii kwa Allaah
pamoja na Mtume
ambaye amependelewa
kubeba Qur-aan ambayo
inaongoza watu kuelekea
kwenye ukweli. [Ibara
imechukuliwa kutoka
katika kitabu Ar-RahiyqulMakhtuum].
Inaendelea toleo lijalo

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Mafundisho ya Quran

Fethullah-Gulen
WEWE tu tunakuabudu.
(Al-Fatiha:5)
Kama tunavyojuwa sote
na kama ilivyokuja katika
tafsiri zote kwa hakika
madhumuni ya undani hapa
kutokana na kumtanguliza
m t e n d wa , m a d h u m u n i
hayo kwa ufupi: Ee Mola
wa haki, hakika sisi
tunakiri na hatuukubali
isipokuwa uungu wako
na hatunyenyekei kwa
yeyote asiyekuwa wewe na
hatupati utulivu na upole
na kuliwazika isipokuwa
mbele zako.
Na undani mwengine,
ambao unastahiki kuandikwa
hapa undani huo ni kwamba
badala ya kutumiwa tamko
l i l i l o p i t a A m e a b u d u
limekuja tamko la muda wa
sasa wa kitendo hicho hicho
Tunaabudu kwa sababu
tamko la kitendo kilichopita
linakusanya maana mengi,
mifano ya tumeabudu
tumeswali tumefanya hivi
na vile. Maana kuna baadhi
ya maana ya kudanganyika
ambayo hayakubaliani na
moyo wa ibada na uja.
Ama katika tamko:
Tunaabudu haipatikani
ishara yoyote, kwa mfano
wa ubaya wa kufahamu
huku, kwa kitendo
tunaabudu kinaashiria
kwenye kushindwa kwa
binadamu na uhitaji wake
mbele za hadhara ya
Mwenyezi Mungu Mtukufu
na kuendelea kuuelewa
ushindwaji huo na tunaweza
kuyafupisha yale ambayo
anayataka binadamu hapa
kama hivi:
Ee Bwana wangu, kwa
hakika nimeifunga azma
yangu juu ya kutoyatoa
muhanga uhuru wangu wala
kuidhalilisha nafsi yangu
k wa ye y o t e a s i ye k u wa
Wewe. Kwa sababu hiyo,
mimi ninaelekea kwako na
kwenye mlango wako kwa
ujio wa nafsi yangu, kwa
niya ya utumwa na udhalili,
na ninaelekea kwenye ibada
yako na twaa yako, kwa nafsi
iliyojaa shauku na mapenzi,
hali ya kuifunga azma juu ya
kujiepusha na maasia yako
na yote usiyoyapenda na
usiyoyaridhia, niya yangu ni
kubwa sana na bora kuliko

matendo yangu na mimi


nina nyenyekea kwako,
ninakuomba nikubali niya
yangu kutokana na kutenda
mbele zako kwa kukifanyia
kazi kipimo cha yale
ninayonuiya kuyatenda, na si
kwa kipimo cha yale ambayo
nimekwisha kuyafanya. Ee
Bwana wangu.
Kisha hakika yeye
anasisitiza kwamba yeye
hakuwa peke yake katika
u wa n j a wa m a t a r a j i wa
n a k u n ye n ye k e a h u k u ,
bali anasema, kwa hakika
ndugu zake wanashirikiana
naye katika matarajiwa na
unyenyekevu huu maana
anaonyesha hapa uzuri
wa d h a n a p a n a y e n y e
kuenea. Na wakati huo huo
anakusanya kuunga mkono
kwao na kushiriki kwao
kwenye upande wake, kwa
hiyo anadhamiria muafaka
na makubaliano ambayo
hawezi kuyatia kasoro na
yaliyokuwa yeye anaelekea
kwenye mlango wa mwenye
kukidhi mahitaji kwa hiyo
anajiepusha na wasiwasi wa
shetani na anatoa sura kamili
ya uja uliyokamilika mbele za
Mungu uliyokamilika ambao
hauna mpaka.
(1) Alif Lam Mym. (2)
Kitabu hicho hapana shaka ndani
yake, ni mwongozo kwa wenye
kumcha Mwenyezi Mungu
[Al-Baqarah 1-2]
Tamko (HUDAN) ambalo
limekuja katika aya tukufu,
tamko hilo limo katika mfano
wa Masdar chembuko la
neno na linabeba maana
ya kwamba binadamu
hawezi kufikia kwenye
uongofu na kwenye lengo
linalotazamiwa nyuma ya
tamko hilo pasi na juhudi
yake iliyotakata na kwa
maelezo mengine kwa hakika
sisi vile vile tukichunguza
kwa mazingatio TANWIN-

tutajuwa kwamba kitabu


hiki ambacho haipatikani
ndani yake chembe yoyote
ya shaka, ndilo chimbuko la
uongofu kwa wenye kumcha
Mwenyezi Mungu. Kwa
wenye kumcha Mwenyezi
Mungu tu, kwa sababu nafsi
zao zimeepukana na shaka
na matatizo na nyoyo zao
na roho zao zimeelekea
kwenye kuukubali ukweli
na kuzichunga kanuni za
maumbile za Mwenyezi
Mungu na sharia yake tukufu
na nafsi zao zimetakata na
zimejiandaa kuukubali
uongofu na kufaidika nao
na sina kuwazuia na jambo
hilo fikra yoyote au hukumu
iliyotangulia.
Isipokuwa ni kwamba
tamko HUDAN lililo
mwishoni mwa aya wako
juu ya uongofu kutoka kwa
Bwana wao. [Al-Baqarah
5] limetajwa kwa mfuo wa
Masdar chembuko la tamko,
maana ni kwamba Mwenyezi
Mungu mtukufu huenda
akawafanyia ukarimu waja
wake kwa uongofu pasi na
kupatikana uhusiano wa
sababu na matokeo ambayo
ameyaumba na akayafanya
ni katika sababu za uongofu.
Na mlango wa kumcha
Mwenyezi Mungu ndiyo
mlango ambao unafikisha
n a u n a f u n g u k a j u u ya
ukarimu huu na utoaji. Na
daraja la kwanza la mfano
wa uchaji huu ni imani na
maarifa ya kweli na daraja
la mwisho ni kufika kwenye
kupata radhi za Mwenyezi
Mungu Mtukufu. Kama
ilivyokuja katika maelezo
ya wazi yaliyopitishwa ya
aya kwamba, hatafika na
hatapata nja ya kuokoka
isipokuwa yule aliyefika
kwenye kiwango hiki
cha uongofu. Kisha kwa
hakika pamoja na mtiririko

wa aya na kuwa uongofu


umefungamana na kupatisha
k wa M we n ye z i M u n g u
Mtukufu kwa huo uongofu,
kwa hakika kufika kwa
binadamu kwenye amani na
usalama na kwenye utulivu
katika dunia na kwenye
kufuzu siku ya Kiyama na
kunarejea kwenye kipimo
kikubwa kwenye mwenendo
wake na matendo yake
ambayo anayadhihirisha kwa
matakwa yake yaliyo huru.
Kwa msingi huo,
kunawezekana na kusema
kwa ufupi: Kwamba tamko
(HUDAN) la kwanza ni
sababu na tamko (HUDAN)
la pili yakiwa matokeo, likiwa
limepakwa manukato ya
upole na wema na matamko
yote mawili ni majibu ya
m a o m b i ya ( t u o n g o z e )
ambayo limekuja katika Surat
Al-Fatiha na ni ufafanuzi vile
vile wa namna ya mwenendo
wa wale wenye kupatikana
juu ya njia.
N d a n i ya n y o y o z a o
pana ugonjwa akawazidishia
Mwenyezi Mungu ugonjwa,
[Al-Baqarah 10]
Imekuja katika baadhi
ya tafsiri kwamba:
Akawazidishia Mwenyezi
Mungu ugonjwa maneno
hayo ni katika mlango wa
malipo na katika jinsi
ya matendo. Isipokuwa
ni kwamba mimi naona
kwamba ni bora sana
kukaribia kwenye maana ya
aya kama hivi:
Hakika Mwenyezi Mungu
amewaongezea ugonjwa
katika nyoyo zao kwa
sababu wao wamejichafua
kwa shari na maasia
mbalimbali katika kiwango
cha niya na kila wanapokuta
k u wa f u r s a i k o t a ya r i ,
wanajitahidi kuzihakikisha
niya zao mbaya hizo, na kwa
sababu zinapozidi, huzidi

matokeo na hili linamaanisha


kuingia kwao ndani ya duara
ambayo hana mahala pa
kutokea. Maana yake ni
kwamba wao hawakuweza
kuziokoa nyoyo zao na niya
hizi mbaya, bali ni kwamba
hawakufikiria kabisa jambo
hilo, na niya hizi mbaya
zimejaa nia mbaya nyingine
juu ya nia hizi yamezaa
matendo mengine na kwa
sababu ya kuingia katika hii
duara ambayo haina mahali
pa kutokea, kumepatikana
kuangamia kwa wanafiki.
Mambo yakiwa hivyo,
wakati tunapoifasiri aya hii,
Akawaongezea Mwenyezi
Mungu ugonjwa, ni juu yetu
kuyachunguza maana yake
kama matokeo ya kitabia
ya kuingia katika hii duara
isiyokuwa na mahali pa
kutokea.
Kwa hakika afya ya mwili
ndiyo msingi na ugonjwa
ni jambo lililozuka. Ni
hivyo hivyo, maumbile
yaliyosalimika ndiyo msingi,
na ugonjwa wa moyo
ndicho kitu kipya. Kwa
sababu hiyo yule ambaye
hashughuliki na afya ya
moyo wake na kuulinda
n a k u ya s h i k a m a s h a r t i
yote ya kihali kwa ajili ya
kuukinga, atakiacha hiki kitu
muhimu kilichowekwa na
Mwenyezi Mungu mtukufu
kuwa ni tonge nyepesi na
laini kwa virusi na bacteria
mbalimbali. Ijulikane kuwa
pamoja na kuwa mwanzo
huenda ukawa ni kitu kidogo
sana, kwa hakika kuhama
kutoka katika makosa na
kwenda kwenye makosa
mengine na kutoka katika
dhambi na kwenda kwenye
dhambi nyingine na kutoka
katika maasia na kwenda
kwenye maasia mengine,
hayo yatapelekea mwishoni
kwenye kuchanika ile sehemu
na kuingia kwenye maasia
makubwa sana ambayo
yanapita kiwango cha kutia
akilini maana itapelekea
kwenye kubwa la maasia
yote, nalo ni kumshirikisha
Mwenyezi Mungu, kwa
sababu kuna njia nyingi
sana zinazopelekea kwenye
ukafiri.
Ukiwa uharibifu wa itikadi
au kupinduka kati ya mambo
yenye kutatiza na shaka
ndiyo ugonjwa wa wanafiki,
hili linamaanisha wakati huo
huo kupatikana kwa hali ya
kukubali ambayo imejificha
ya ukafiri na upingaji. Iwapo
msaada wa Mwenyezi Mungu
haukuuwahi ugonjwa huu na
havikuvunjika vile vikuku
vyenye kufikisha kutoka
maasia, na kwenda kwenye
ukafiri, kwa hakika maasia
kwa sababu ya kuongezeka
kwake maradufu, hupelekea
kwenye kumkufuru
Mwenyezi Mungu mtukufu.
Bali huzuka mara nyingi
kwamba binadamu wakati
inapomzunguka shaka,
huenda zikawa na sababu
ya kuikata njia yenye
kuunganisha kati yake na
Mwenyezi Mungu Mtukufu.

10
Na Omar Msangi
KIASI wiki mbili
zilizopita, vyombo vya
habari viliripoti kuwa
wanaodaiwa kuwa
magaidi wa kundi la The
Islamic State, wamekiri
kuhusika na shambulio
k u l e D a l l a s , Te x a s ,
Marekani. Watu wawili,
ambao baadae waliuliwa
na Polisi, wanadaiwa
kumshambulia askari
aliyekuwa katika lindo
nje ya ukumbi uliokuwa
ukionyesha vikaragosi
(cartoons) vikifananishwa
na Mtume Muhammad
(s.a.w).
Inayodaiwa kuwa
Redio ya IS, ikitajwa kwa
jina la Al Bayan radio
station, inadaiwa kutoa
taarifa iliyodai kuwa
washambuliaji wawili wa
Dola ya Kiislamu, Elton
Simpson na Nadir Soofi,
wa l i f a n ya s h a m b u l i o
hilo kuwatia adabu
wanaomkashifu Mtume
na Uislamu.
"We tell ... America that
what is coming will be more
grievous and more bitter and
you will see from the soldiers
of the Caliphate what will
harm you, God willing".
Inadaiwa kusema taarifa
ya IS kupitia Al Bayan
radio, ikitoa kitisho kwa
Marekani kuwa shambulio
hilo ni mwanzo tu, lakini
mashambulio makubwa na
ya kutisha zaidi yanakuja
kutoka kwa askari wa
Khilafah.
Hata hivyo, ukisoma
taarifa hiyo, unachogundua
na kilicho wazi ni kuwa ni
katika zile zile propaganda
za kuteka akili za raia wa
Marekani wawe tayari
kuunga mkono hatua za
serikali yao kupelekea
askari Iraq na Syria kwa
kisingizio cha kupambana
na magaidi hatari wa IS
(sio Osama Bin Laden wala
Al-Qaida tena).
Kwamba hiyo ni
sehemu ya propaganda,
inathibitishwa na taarifa
na ujumbe mwingi
uliomiminika katika
m i t a n d a o ya k i j a m i i
ikiwapongeza waliofanya
shambulio hilo na kutoa
vitisho zaidi. Moja ya
ujumbe huo katika Twitter
unasema
"How are you (Americans)
going to live when we create
our lone wolves to be nuclear
bombs ... by God, you can't
match us and in the heart of
your homes you will see".
Wana mipango mikakati
na waandaa propaganda
hizi, Wanachowaambia
wananchi wa Marekani ni

Makala/Tangazo

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Tukimeza Chambo Tumeumia


Al-Shabab wa Nkurunziza watatubamiza
Bendera nyeusi, akina Kaisi, mtego tu
Kutuingiza katika kundi la Wajinga ndio

Rais Nkurunziza (katikati)

Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?


Na Linh Dinh
May 16, 2015 - 'Mtandao
wa Kupashana Habari, na
'Lew Rockwell'
TA N G U S e p t e m b a
11, 2001, Bin Laden
amekuwa zaidi mtajwa
asiyekuwepo. Video zake
chache au mikanda ya
video ilikuwa haiaminiki,
n a wa s i wa s i k u h u s u
kifo chake umesikika
mara kadhaa. Hapo Julai
11, 2002, Amir Taberi
aliandika katika gazeti la
New York Times, "Osama
bin Laden amekufa.
H a b a r i h i y o k wa n z a
ilikuja kutoka vianzio
nchini Afghanistan na
Pakistan karibu miezi
sita iliyopita: mkimbia
sheria huyo alikufa
mwezi wa Desemba na
alizikwa katika milima
ya kaskazini mashariki
ya Afghanistan."
A k i wa n a h i s i a ya
kujisikia inayofanana na
Mlima Everest, Osama bin
Laden asingeweza kubaki
kimya kwa muda wote huo
kama bado angekuwa hai
(alisema mwandishi huyo.
Wakati wote alipenda
kutangaza kuhusika na
vitu ambavyo hakuwa
na uhusiano navyo. Iweje

Osama bin Laden


akae kimya kwa miezi tisa
na asijisifu kwa kushinda
hatari zote?
Lakini nje ya video
moja yenye utata, Bin
Laden hata siku moja
hakudai kuhusika na
9/11. Kinyume chake,
alikataa mara kadhaa
kuhusika kwa njia yoyote
kwa mauaji hayo ya watu
wengi. Hapo Septemba 28,
2001, alihojiwa na gazeti la
Karachi Ummat, gazeti la
lugha ya ki-Urdu. Shirika
la habari za nchi za nje
la Marekani, kitengo cha
CIA, lilitafsiri: (Osama
alisema yafuatayo:)

AN-NUUR

"Nimeshasema
kuwa mini sihusiki na
mashambulio ya Septemba
11 nchini Marekani.
Kama Muislamu, najaribu
n i we z a v y o k u t o s e m a
uwongo. Wala sikuwa
na ufahamu wowote wa
mashambulio hayo na
sioni mauaji ya wanawake,
wa t o t o n a b i n a d a m u
wengine wasio na hatia
kuwa ni jambo adilifu.
Uislamu unakataza
kabisa kusababisha
madhara kwa wanawake,
watoto na watu wengine
wasio na hatia. Kufanya
Inaendelea Uk. 11

kuwa kama hawataunga


mkono mipango ya serikali
yao kwenda kuwapiga
magaidi wa IS huko huko
Syria na Iraq walipo, basi
wajue kuwa watakujieni
na kukupigeni huku huku
Dallas na New York!
Al-Shabaab wa Nkurunziza
US warns of al-Shabaab
attacks in Burundi ni
kichwa cha habari
kilichokuwa kimebeba
tahadhari iliyotolewa na
Wizara ya Mambo ya Nje
ya Marekani Oktoba 2014
ikitahadharisha kuwa
Burundi watapigwa na
Al-Shabaab. Taarifa hiyo
iliyotolewa na Wizara ya
Mambo ya Nje ya Marekani
(State Department),
iliitaka serikali ya Burundi
kuchukua tahadhari kwani
kulikuwa na taarifa za kiintelijensia kwamba kundi
la al-Shabaab wanaweza
kuipiga Burundi.
Wa s w a h i l i w a n a
m s e m o wa o , wa j i n g a
ndio waliwao. Burundi
imefanywa upawa wa
kukorogea uji wa moto,
mabeberu wanywe
kwa raha zao. Serikali
ya Burundi, kama ilivyo
kwa Uganda, Tanzania na
Kenya, haikuhusika kwa
namna yoyote kuchochea
ghasia na kuibuka kwa
wapiganaji wa Al-Shabaab.
Ni mabebru, wakiitumia
Ethiopia ambao
waliivurumisha serikali
ya Umoja wa Mahakama
za Kiislamu iliyokuwa
imeleta amani katika nchi
hiyo. Baada ya kuivuruga
nchi hiyo, sasa wanaitwa
Burundi, Kenya, Uganda,
wakapigane kwa niaba ya
Beberu aliyetoka maelfu
ya maili kutoka huko
atokako kuja kuivuruga
Somalia kwa masilahi
yake. Ili msifike mahali
mkachoka, mkataka
kurejesha majeshi yenu
nyumbani, lazima mtiwe
kitanzi na motisha ya
kuendelea kuweka majeshi
yenu Somalia. Motisha
yenyewe ni kutishwa
kila wakati kuwa AlShabaab wanakuwindeni.
Ni magaidi katili na
hatari. Kama wanaweza
kwenda kupiga Dallas,
Te x a s , h a w a s h i n d w i
kuja kukubamizeni hapo
Bujumbura na Mwanza.
Kwa hiyo mnapigiwa
ngoma ya kitisho
cha kushambuliwa
na Al-Shabaab kila
wakati. Mkikaa kidogo
mnakumbushwa kutoka
Department of State
Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
au Ubalozini kwamba,
jamanae.. Al-shabaab
wanakuja! Na hivyo nchi
kama Burundi, Uganda
na Kenya ambazo tayari
zina majeshi kule, lazima
zikumbushwe mara kwa
mara kwamba mkiacha
Al-Shabaab wakishinda,
basi watakufuateni
huko nyumbani kwenu
Bujumbura na Garissa.
Alijisema Mzee
Alli Hassan Mwingi
kuwa mtoto akibebwa
hutizama kichogo cha
mamaye, wakati ule yeye
akimaanisha kuwa kama
Rais atakuwa akitizama
mapito ya Baba wa Taifa
Mwalimu Nyerere. Sasa
Rais Pierre Nkurunziza
naye anatizama
kichogo cha mabeberu
anaowatumikia kule
Somalia. Wakati tatizo
lililopo ni wananchi wake
kumkatalia kugombea
urais kwa muhula wa
tatu, yeye anageuza mada
inakuwa ni ugaidi wa AlShabaab.
Kwa kweli ukichukua
msemo huu kuwa Wajinga
ndio waliwao, unatukaa
vizuri sana. Katika taarifa
hiyo ya tahadhari ya
kushambuliwa Burundi
mwaka jana, ilielezwa
kuwa sababu ni kutokana
n a B u r u n d i k u wa n a
majeshi Somalia. Taarifa
ilisema:
It is believed that alShabaab wish to attack
the country because
Burundian troops are part
of a coalition of African
Union (AU) forces which
are battling the groups
insurgency in Somalia.
The al-Qaida linked alShabab insurgents have
claimed recent attacks
in Kenya,Uganda and
Djibouti, who also sent
peacekeepers to Somalia.
Labda tujiulize, Burundi,
au hata Tanzania yetu,
na kwa maana hiyo AU
iliyo na vikosi vya kulinda
amani Somalia, inahusika
vipi na kuibuka hao alShabaab insurgents? Hivi
viongozi wetu hawajui
nani alilikoroga Somalia?
Hivi hawajui kwa nini
al-Shabaab? Nani kaleta
huu u-alQaidah katika
al-Shabaab na Somalia?
Kwa nini hawamwambii
aliyelikoroga alinywe
mwenyewe! Kama
hoja ni kuwa Burundi
itapigwa kwa sababu ina
majeshi Somalia, kwa
nini Bujumbura isijiulize
inafanya nini kule?
La kusikitisha ni kuwa
hao hao wanaotugeuza

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Tukimeza Chambo Tumeumia

WANANCHI wa Burundi wakiandamana kumpinga Rais Nkurunziza


k u w a u p a w a w a E x p l o i t i n g S o c i a l unaoikalia kibamavu
kuwapoozea uji wa moto, Issu e s for Milita rism nchi hiyo- International
n d i o wa n a o t o a k a u l i a n d I m p e r i a l i s m , Security Assistance Force
kuwa tupo katika hatari m w a n d i s h i G l e n n ( I S A F ) . A n a s e m a , i l e
ya kupigwa kwa sababu G r ee nwal d a n an u k u a kusema tu kuwa kuna
tuna vikosi kule. Lakini n y a r a k a m b a l i m b a l i kitisho cha ugaidi/Osama,
ndio hao hao wanapotupa akionyesha jinsi mabeberu Taliban n.k, haitasaidia.
mikakati yao ya kutuundia wanavyohangaika katika Wa n a h i t a j i k u t a f u t a
v i k o s i v ya C o u n t e r mikakati yao ya kushikilia m k a k a t i m w i n g i n e .
Te r r o r i s m , k a m a i l e akili za wajinga ndio Waweka mikakati wa
AT P U ya K e n ya . N a wa l i wa o i l i wa we z e m a b e b r r u wa n a s e m a ,
ndio hao hao hutugeuka kushiriki katika mikakati ile kwamba awali, nchi
n a k u t u s h u t u m u yao. Akielezea juu ya hizo zilitegemea kile
kuwa tunakiuka haki Afghanistan, anasema wa l i c h o k i i t a P u b l i c
z a b i n a d a m u , AT P U kuwa wasiwasi uliopo A p a t h y , k w a m b a
wanapotesa na kuuwa ni kuwa washirika wa w a n a n c h i w a l i k u w a
wa t u k i k a t i l i ! L a k i n i Marekani kwa maana h a wa j a l i i n a c h o f a n ya
baya zaidi, mikakati yao ya nchi za Ulaya kama serikali na jeshi lao kule
inatutumbukiza katika Ufaransa na Ujerumani, A f g h a n i s t a n , i t a f i k a
machafuko na maafa zaidi. huenda zikaondoa majeshi mahali isifanye kazi. Kwa
K a t i k a m a k a l a yao katika muungano hiyo lazima utengenezwe

Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?


Inatoka Uk. 10

hivyo kunakatazwa
katika mwenendo wa
mapambano. Ni Marekani
ambayo inaendeleza kila
ubaya dhidi ya wanawake,
watoto na watu wa kawaida
wa imani nyingine, hasa
wafuas i wa U is la mu .
Kile kinachoendelea
huko Palestina kwa miezi
11 iliyopita kinatosha
kuitisha ghadhabu ya
Mungu kwa Marekani
na Israel. Kuna onyo pia
kwa zile nchi za Kiislamu,
ambazo zimeshuhudia
yote haya zikabaki kimya.
Nini kilifanyika hapo
kabla kwa watu wasio na
hatia wa Irak, Chechnya na
Bosnia? Ni jumuisho moja
tu linaweza kufikiwa kwa

kutojali kwa Marekani


na nchi za Magharibi
kwa matendo haya ya
uharamia na kuwafadhili
madhalimu kwa nchi hizi
kuwa Marekani ni nchi
inayopigana na Uislamu
na inafadhili harakati
za kuupinga Uislamu.
Urafiki wake na nchi za
Kiislamu ni onyesho tu,
au udanganyifu. Kwa
kuzivuta au kuzitisha
nchi hizi, Marekani
inazilazimisha kuchukua
nafasi inayotaka. Tupa
jicho kuangalia dunia
utaona kuwa watumwa
wa Marekani ni watawala
au maadui (wa Waislamu).
Marekani haina marafiki,
wala haitaki kuwa nao
kwani hitaji la kwanza la
urafiki ni kufika katika

hatua ya urafiki na
kumwona kuwa ni sawa
na wewe. Inatazamia
u t u m wa k u t o k a k wa
wengine. Hivyo, nchi
nyingine ni watumwa
wake au wasaidizi wake.
(............) Yeyote aliyefanya
matendo ya Septemba 11
siyo rafiki wa watu wa
Marekani.
Nimeshasema kuwa
tunapinga mfumo wa
Marekani, siyo dhidi ya
watu wake, wakati ambapo
katika mashambulio
hayo, watu wa kawaida
wa Marekani wameuawa.
(.....) Marekani ingejaribu
kuwatafuta waliofanya
mashambulio hayo ndani
ya nchi yake yenyewe;
Inaendelea Uk. 12

mkakati mwingine wa
kuwafanya wananchi wa
Ufaransa na Ujerumani
waunge mkono uwepo
wa majeshi ya nchi zao
Afghanistan.
Moja ya mikakati hiyo
imetajwa kuwa ni kuDramatize unyama
wa Ta l i b a n d h i d i ya
wanawake kupitia vyombo
v ya h a b a r i . K wa m b a
yakionyeshwa matukio
ya kikatili wanayofanyiwa
wanawake na kwamba
ukatili huo unafanywa
na Taliban, basi wananchi
wa nchi hizo wataona
bora wanajeshi wao
wazidi kukaa huko
wawatokomeze magaidi
katili wa Taliban. Lakini
vyombo vya habari
vitatumika pia kuonyesha
kuwa kama wananchi wa
Ulaya wataacha Taliban
ishinde, wajue itawafuata
huko huko katika miji
ya Ulaya. (Soma: Why
Counting on Apathy May
Not Be Enough)
Unaposoma taarifa
kama hizi, lazima uwe
na wasiwasi kuwa hata
yale matukuo ya msichana
Malala aliyedaiwa
kupigwa risasi na Taliban
kwa sababu eti anataka
kusoma shule, huenda ni
katika mambo ya kupanga
katika kukamilisha
mikakati hii.
Lakini pia ukitizama
jinsi baadhi ya vyumba
vyetu vya habari hapa
nchini vinavyopigia debe
kitisho cha ugaidi, ukirejea
matukio ya akina Kaisi
na michango yao ya pesa
za kununulia tasbih
(risasi), ukija na yale ya
kukutwa vijana msikitini
wa k i wa n a m i l i p u k o
pamoja na bendera ya
ki-Al Shabaab, Lazima
wasiwasi uwe mkubwa
kuwa tumetupiwa
chambo. Na kwa bahati
mbaya baadhi ya vyombo
vyetu vya habari, ama kwa
ujinga tu au kununuliwa
na usaliti, vimemeza
chambo hicho. Vinafanya
kazi kwa juhudi kubwa
kusimika kitisho cha
ugaidi. Wao watanufaika
vipi, hata ukiwauliza
wenyewe hawajui. Lakini
la uhakika ni kuwa kama ni
kuangamia, itakayohiliki
ni nchi, si watu wa dini
fulani pekee.
Hata hivyo, matarajio
yetu ni kuwa ndani ya
j a m i i ye t u , n d a n i ya
vyombo vyetu vya usama
na ndani ya serikali, tuna
watu wazalendo wenye
akili zilizofunga vizuri na
mambo haya wanayaona
kwa mtizamo sahihi.

12

MAKALA/MASHAIRI

SHAIRI LA ASIYEJUA MAANA

1. Kwa jina lake Jalali, Mola mwenye Miujiza


Muumbaji wa awali, dunia kaitandaza
Yote kwake ni sahali, gumu hakulibakiza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana

2. Kisha swala kwa Rasuli, Mtumewe mpendeza


Maswahabaze Rijali, Tumwa walo mtukuza
Walotoa zao mali, elimu kuisambaza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
3. Sasa nianze suali, wenzangu kuwauliza
Lanisumbua akili, macho yanaona kiza
Niwaambie ukweli, hili limenitatiza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
4. Ni semi za Kiswahili, Babu yangu kanifunza
Au sijui methali, vyema hakunieleza
Zinafika mia mbili , ninazo nimezitunza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
5. Nyenginezo afadhali, kufafanua naweza
Hazinipi mushkeli , japo ni za kuchokoza
Ila hii nimefeli, ingali ikinikwaza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
6. Jambo tunalokubali, kawaida ni la kwanza
Anoshindwa tafaswili, vizuri kumwelekeza
Mimi naona muhali, asojua kumtweza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
7. Shida ilonikabili, Babu nimeshapoteza
Nikimjulia hali, haya tukizungumza
Sasa sinae batwali, walobaki ni vilaza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
8. Enyi malenga wakweli, nini mtanieleza
Kuwapuuzia mbali, wasojua ni ruwaza
Au la kuwabadili, mtazamo kugeuza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
9. Mimi natoa kauli, kabla sijamaliza
Nakataa jambo hili, Babu alinipoteza
Itapokuwa halali, msimamo taregeza
Asiyejua maana, kwani haambiwi mana
Mtunzi: Ukht. Zainab Mtima
Mbweni, Zanzibar - 0717 165 602

Raha ya mwili kazi

Naianza simulizi, kwa jina lake Karima


Mola wetu U mjuzi, mfano huwezi pima
Sifa zako zote hizi, za kuumba na uzima
Mwili raha yake kazi.

Zote hizi zako sifa, za kuumba na uzima


Ukazipa maarifa, ili mwali kujituma
Kiungo kimoja kifa, mwili zote huzizima
Mwili raha yake kazi.
Ndugu mwana mhimili, isikilize kalmia
Kwa kuushangaa mwili, Zainab wa Mtima
Viungo hujihimili, hadi kazi kusimama
Mwili raha yake kazi.
Kama kazi zikizidi, mwili nao hulalama
Huuleta ukaidi, na kufikia kugoma
Akili yajitahidi, mwili wazidi kuzama
Mwili raha yake kazi.
Hapa ninapiga mbizi, pembeni ninayoyoma
Ninafunga simulizi, shairi langu kukoma
Majibu ukimaizi, nambie ulipokwama
Mwali raha yake kazi.
SHAABAN AYOUB-Mjukuu wa Kabongo
Dar es Salaam.

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?


Inatoka Uk. 11
watu ambao ni sehemu
ya mfumo wa Marekani,
lakini wana dukuduku
d h i d i ya k e , a u wa l e
a m b a o wa n a t u m i k i a
mfumo mwingine; watu
wa n a o t a k a k u i f a n ya
karne hii iwe ni karne ya
mapambano ili ustaarabu
wao, taifa, nchi au itikadi
yao iweze kudumu. (....).
Halafu kuna mashirika
ya kijasusi nchini
Marekani, ambayo
yanahitaji mabilioni ya
fedha za Marekani kutoka
Bunge na serikali kila
mwaka. Suala hili (la
kutoa fedha) halikuwa
tatizo (wakati wa)
uwepo wa Urusi lakini
baada ya hapo bajeti za
mashirika haya zimekuwa
hatarini. Wanahitaji adui.
Hivyo walianza kwanza
propaganda dhidi ya
Usama na Taliban halafu
tukio hili likatokea.
U n a o n a , u t a wa l a wa
Bush ulipitisha bajeti
ya dola bilioni 40.
Kiasi hiki kikubwa
cha fedha kitakwenda
wapi? Kitatolewa kwa
mashirika hayo hayo
ambayo yanahitaji fedha
nyingi na kuonyesha
umuhimu wake. Sasa
yatatumia fedha hizo kwa
kujipanua na kuongeza
umuhimu wao. Nitakupa
mfano. Wauza madawa
ya kulevya kutoka kote
duniani wanawasiliana
na mashirika ya kijasusi
ya Marekani. Mashirika
haya hayataki kufutilia
mbali ulimaji wa bhangi
na usafirishaji wa unga
kwa sababu umuhimu
wao utapungua. Maofisa
wa Shirika la Kupambana
na Madawa ya Kulevya
(DEA) wanahamasisha
biashara hiyo ili waweze
kuonyesha wanachofanya
na kupata mamilioni ya
dola katika bajeti. Jenerali
Noriega (mtawala wa
zamani wa Panama
ukanda wa Amerika ya
Kati) alifanywa kuwa
muuza unga na
ilipohitajika, akafanywa
mbuzi wa kafara.
Kwa njia hiyo hiyo,
kama ni Rais Bush au
rais mwingine yeyote,
h a wa we z i k u i f i k i s h a
Israel mbele ya sheria kwa
uvunjaji wake wa haki za
binadamu au kuiwajibisha
kwa uhalifu huo. Haya
yote ni kitu gani? Hivi si
inaonyesha kuwa kuna
serikali ndani ya serikali
ya Marekani? Serikali hiyo

ya siri lazima iulizwe nani


aliyefanya mashambulio
hayo. (Hiyo ni kauli ya
Osama Bin Laden)
J i u l i z e m we n ye we .
Hivi hii inaonyesha
mzungumzaji kichaa
anayetamka chochote
kile, anayejisikia ni
mkubwa kama Mlima
Everest? Anaelekea kuwa
mtulivu, kwa uhakika, na
ana uelewa unaopenya
akilini kuliko wanasiasa
wote na wasomi wote
wa Marekani. Kwa hali
yoyote, mahojiano haya
yalikuwa mazungumzo
ya mwisho yenye uzito
kutoka kwa Bin Laden.
Baada ya hapa, ni kama
vile alipotea.
Licha ya kuwa
hakuonekana wala
kusikika, alikuwa
anakumbushiwa
kuhalalisha uhalifu
ambao Marekani ilikuwa
ikiwafanyia wengine, na
hata raia wake yenyewe.
Bin Laden alidhihirisha
chochote ambacho
viongozi wetu waliamua
kufanya. Lakini miaka
kumi ni mingi kutupa
kivuli hiki katika kuta
zetu. Mtu huyu mwenye
madevu alikuwa
amekuwa kama mzaha
hivi, kusema kweli. Katika
onyesho la katuni, wakazi
wa South Park jimbo la
Colorado walifikia mahali
wakamtaka Bin Laden
awasaidie kupambana
na kundi la maharamia
linalovamia kutoka
New Jersey. (Ni kama
kusaidia kupambana na
maharamia wanaovamia
Tabora, kutoka Tanga)!
Hapo Mei 2, 2011
serikali yetu ikaamua
kumalizika mbali mzuka
wa Bin Laden. Kwa vile
Marekani inasemekana
ilikuwa inamtafuta tangu
mwaka 1998 (milipuko
katika balozi za Marekani
Afrika Mashariki)
ungedhania wangebaki
naye kirefu zaidi baada
ya k u m p a t a , e n d a p o
walimpata, lakini ndani ya
masaa kadhaa ya kumpata
adui yao namba moja,
Marekani ikamfutilia
mbali Bin Laden.
Hola, kama huwezi
kunionyesha chochote,
labda hunacho, hasa
kama wewe ni mwongo
a l i ye k u b u h u n a u p o
katika biashara ya bisu
lililofichwa chini ya koti.
Kwa kesi za mauaji kwa
nchi zinazotumia lugha ya
Kiingereza tangu kupotea

kwa William Harrison


mwaka 1660, kumekuwa
na kanuni ya 'bila maiti
hakuna mauaji' (mtu
kuhukumiwa kwa shitaka
hilo), lakini hapa kuna mtu
anayesema kuwa ameua,
akatangaza kila mahali,
lakini hakuna mwili,
kitu ambacho ni sawa
na kuteketeza ushahidi,
ushahidi wowote ule.
Kwa hiyo CIA
inachotuambia hasa ni
" m b wa a l i k u l a m a i t i
hiyo." Kusema kweli
mzaha huu uliundwa bila
ustadi wowote, maelezo
yake yakiwa hayaingii
akilini kabisa, kiasi
kwamba wanaotutawala
lazima wanadhani
kuwa sisi ni mataahira,
t u m e f a g i l i wa b o n g o
zetu kwa propaganda
tang u kuzaliwa hadi
kufa inayotolewa kwa
kuchapishwa au kwa
mwanga na sauti.
Nachelea kufikiria kuwa
wanaweza kuwa sahihi.
Katika picha iliyobezwa
sana, Bush anaonyeshwa
akiwa katika koti la Jeshi,
mkono wake ukiwa
umeshika sahani yenye
k ang a ali ye k aa ng wa ,
amefunikwa na zabibu.
Amezungukwa na askari
wa Marekani, wengi wao
wakiwa hawamwangalii.
Hii ina nia ya kuonyesha
kuwa picha hiyo
ilichukuliwa kikawaida,
bila urasimu, kusimama
kwa kupiga picha. Hivyo
ni ya uhakika.
Katika picha nyingine,
ambayo mara moja ilitajwa
kama ya kukumbukwa na
ya kuhifadhiwa kwani
inabadili tunachofahamu
akilini mwetu, Obama
anaonyeshwa akiwa
katika chumba cha
mikutano cha Ikulu ya
Marekani, amezungukwa
na washauri wake wakuu
wa masuala ya usalama.
Wanaangalia kitu fulani.
Kati ya watu hao 13, hakuna
anayeangalia kamera. Hii
pia ni kuonyesha kuwa
picha hiyo ilikuwa ya
kawaida, ya kiasili na
siyo ya kuundwa kwa
ajili ya tukio. Obama
anaonyeshwa akiwa
amevalia koti la kawaida,
Biden amevaa shati ya
mikono mifupi, vianzio
vinavyoonyesha kuwa
wako kazini, na siyo
wanachukua picha ya
propaganda. Monekano
huo umekuwa wa
uhakika kiasi cha
Inaendelea Uk. 17

13

MAKALA/TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

CCM Zanzibar mkate wenu umejaa sisimizi


misingi mipya miovu
Na Ahmed Omar Khamis
K WA w a l e w a l a j i
wa mikate ya kiasili
ya Kizanzibari
maarufu kama boflo,
wanafahamu ambacho
hutokea pale mkate
huo unapovamiwa na
umma wa sisimizi.
Mlaji wa mkate
huo hususan pale
anapokuwa na njaa
kali, hujaribu kukata
kipande cha mkate
huo na kukipigapiga
chini mara kadhaa ili
sisimizi watoke ndani
ya mkate huo, lakini
wapi, huwa hawatoki
bali huzidi kujificha
n d a n i k wa n d a n i .
Mara nyengine mlaji
hujaribu kuupasha
moto mkate huo ili
kuona kama athari ya
sisimizi hao itapungua
ili aweze kuula, lakini
hata hivyo hakuna
kinachobadilika.
Badala ya sisimizi
hao kubaki ndani ya
mkate wakiwa hai, sasa
hubaki wakiwa wafu.
Ni yale yale, mkate
umezidiwa na sisimizi,
hauliki.
H e b u
s a s a
tuufananishe mkate huu
wa boflo uliojaa sisimizi
na Chama kikongwe
cha siasa, CCM,
upande wa Zanzibar.
Chama hichi badala
ya k u t e k e l e z a k a z i
na urithi kilioachiwa
na mtangulizi wake
ASP, ambayo ni
kukamilisha malengo
ya kupigania uhuru
wa visiwa hivi, chama
hicho kimeukengeuka
kabisa wajibu huo.
ASP ilipigania uhuru
w a Wa z a n z i b a r i
i k i m a a n i s h a
k u m k o m b o a
mwananchi kutokana
na kila aina ya idhlali
na unyonge ili wana
wa visiwa hivi vitukufu
waweze kuishi katika
maisha bora, na yenye
heshima.
ASP ilipigana na
hatimae kuungoa
utawala uliohodhiwa
na wachache na
hatimae mamlaka ya
nchi yakawa ndani
ya mikono ya wengi.
Ilifanikiwa kuondoa
kila aina ya ubaguzi
wa rangi, kabila, asili
na kadhalika, hatimae
Wa z a n z i b a r i w o t e
wakawa na haki sawa,
heshma sawa na hadhi
sawa. Ilifanikiwa kwa
kiasi kikubwa kuondoa
umasikini wa kipato,
chakula, mavazi na
makaazi na Wazanzibari
k u wa wa t u w e n y e
kuheshimika ndani ya
nchi yao.
CCM Zanzibar,
mrithi wa ASP
imesaliti wajibu wake
wa kuyaenzi na
kuyaendeleza mazuri
hayo ya ASP. Badala
yake imekuja kujengea

na kuweka mazingira
mapya ya kuyaendeleza
yale yote yaliyopigwa
vita na ASP. Utawala
wa nchi hii umetolewa
ndani ya mikono
ya Wa z a n z i b a r i
na umekabidhiwa
kwa majirani zetu,
kwa kisingizio
cha Muungano.
Watanganyika
wanautumia vyema
Muungano huo na
fursa zake kuijenga
nchi yao na kuiimarisha
kiuchumi na kisiasa
huku Zanzibar
ikidhalilika na
ikitokomea pole pole
kutoka katika ramani
ya ulimwengu.
CCM imerejesha
upya ubaguzi miongoni
m w a Wa z a n z i b a r i
wenyewe kwa wenyewe
kwa misingi ya rangi
zao, makabila yao na
asili zao na kuifanya
kazi kubwa ya ASP
ya kufuta laana hiyo
ya ubaguzi kuwa ni
bure. Nyimbo zile za
zama zile za Uarabu,
Uafrika, ubwana,
utwana, na kadhalika
ambazo sisi vijana wa
leo tumezikuta vitabuni
na katika masimulizi ya
walimu wetu maskulini,
sasa tunazisikia zikitoka
ndani ya midomoya
viongozi wa CCM na
katika mabango ya
maskani za CCM. Ni
jambo la kushangaza
sana.
ASP iliikomboa ardhi
na kuweka sera na sheria
ambazo ziliwezesha
wanyonge wa nchi hii
kuweza kuitumia na
kuimiliki ardhi ya nchi
yao pamoja na udogo
wake. CCM imerejesha
t e n a k a d h i a h i i ya
laana ya kuimilikisha
ardhi katika mikono
ya wachache na
kuipora kutoka kwa
masikini na mafukara
walio wengi. Ardhi ni
raslimali muhimu kwa
nchi ndogo ya Zanzibar
ambayo wananchi wake
wanaongezeka kila siku.
Badala ya kuwekewa
sera na sheria nzuri na
madhubuti za umiliki na
matumizi yake. Sehemu
n ye n g i n e ya a r d h i
inauzwa kifisadi kwa
matajiri na wawekezaji
na kuwawacha raia
masikini wakikosa hata
sehemu ya kuzikiwa.
N c h i ye t u i n a n u k a
m i g o g o r o ya a r d h i
kila upande kuanzia
Nungwi hadi Mkoani
Pemba.
Wa n a n c h i wa
Z a n z i b a r wa n a i s h i
bila matumaini. Njaa
itokanayo na ukosefu
wa kazi za kufanya na
kipato kisichokidhi
mahitaji, ndio kilio
kikubwa kinachosikika
katika kila kona
ya nchi. Visiwa hivi
vilivyojaaliwa wingi
wa raslimali na

utajiri wa kila aina


havionekani kuwa na
mvuto na utulivu kwa
wananchi wake. Watu
wanaishi kwa rehma
za Mwenyezi Mungu.
Hakuna anaethubutu
kula akipendacho,
kuvaa nguo aipendayo
au kuishi ndani ya
nyumba aipendayo.
Yote hayo sasa kwa
Wazanzibari yamekuwa
ni ndoto. CCM
imewapiga Wazanzibari
wamepigika.
Matokeo ya usaliti
huu, CCM Zanzibar
imepata pigo kubwa.
Nguo ya umaarufu
na heshma ambayo
ilijivalisha kutoka kwa
m r i t h i wa k e , A S P ,
sasa inavuliwa maana
haistahiki tena kuivaa.
Inainukisha kupuu na
vundo. Ngome zake
zote zinabomoka.
Ikijaribu kwenda
kujenga palipobomoka
kidogo jana, kesho
yake kunabomoka
k we n g i n e z a i d i ya
jana. CCM inahamwa
kama mji uliokumbwa
na vita vya wenyewe
kwa wenyewe. Haina
tena hata ile kauli
mbiu ya kujifakharisha
na kujipamba na
historia ya uombozi
ambapo Mapinduzi
daima! sasa husikika
katika majukwaa ya
C U F . Wa a s i s i n a
wanamapinduzi
wa n a o n ye s h a wa z i
wa z i k u wa C h a m a
hicho kinawaaibisha
na hivyo wanakikimbia.
Badala ya CCM
kujitathmini na
k u f a h a m u k wa m b a
imekwisha kisiasa
mbele ya Wazanzibari
na haina pakushika ili
ijizoezoe kunyanyua
upya mguu wake
na kujaribu kupiga
hatua
mbele,
imeamua kufanya
maigizo ikidhani
itasalimika. Inaona
kitakachoinusuru ni
rafu katika uchaguzi.
H i v i
s a s a
kunafanyika zoezi la
kupitia upya mipaka
ya wilaya, wadi na
shehia na kutangazwa
mipaka na majina ya
wilaya, wadi na shehia
hizo katika gazeti la
serikali. Ukataji huo
wa wilaya, wadi na
shehia uliotangazwa
unaakisi vyema wazi
wazi ramani ya kisiasa
na sio kijeografia wala
kidemografia. Ukataji
huo umepunguza
jumla ya wadi 30
kutoka katika wadi
zilizokuwepo huku
wadi 25 zikipunguzwa
k u t o k a k i s i wa c h a
Pe m b a p e k e ya k e .
Ukataji umezichukua
shehia zisizooana au
zisizolingana kijeografia
n a k u z i f a n ya wa d i
moja, huku katikati

yao zikitenganishwa
na shehia za wadi
nyengine. Lengo
la ukataji huo ni
kuweka ramani
itakayoiongoza
Tume ya Uchaguzi ya
Zanzibar kupitia na
kukata upya majimbo
ya U c h a g u z i k wa
upendeleo wa kisiasa
(gerrymandering).
Inasemekana
Tume ya Uchaguzi
ya
Zanzibar
ilikwishakamilisha
kazi ya kupitia na
kukata upya majimbo
ya Uchaguzi mapema
sana lakini hata hivyo
ukataji huo ulipingwa
vikali na CCM
wakidhani hautakuwa
na faida na chama
chao. Badala yake
Tume ya Uchaguzi
ikalazimika kusubiri
ukataji wa mipaka ya
wilaya, wadi na shehia
utakaofanywa ili iwe
kigezo na muongozo

kwa ajili ya ukataji wa


majimbo ya uchaguzi.
Kwa mujibu wa
sheria inayofuatwa na
Tume ya Uchaguzi ya
Taifa (NEC), ukataji wa
majimbo hautafanyika
katika kipindi kilicho
chini ya miezi sita
k a b l a ya U c h a g u z i
Mkuu. Ikizingatiwa
pia Tume ya Uchaguzi
ya Zanzibar ni wakala
wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi, majimbo ya
Zanzibar pia ni majimbo
ya Uchaguzi katika
uchaguzi wa Jamhuri
ya Muungano, hivyo
basi nayo hayapaswi
kuguswa chini ya
kipindi cha miezi sita.
Mpango wowote au
jaribio lolote la Tume ya
Uchaguzi ya Zanzibar
kupitia na kukata upya
mipaka ya majimbo
ya Zanzibar bila shaka
ni kinyume na sheria,
kwa sababu moja tu,
Tu m e ya U c h a g u z i

ya Zanzibar inashea
majimbo hayo hayo na
Tume ya Uchaguzi ya
Taifa.
H a t a
C C M
i k i f a n i k i wa k u k a t a
upya majimbo ya
Zanzibar kinyume
na sheria na kwa
kutumia ramani yake
ya upendeleo wa kisiasa
ishayoitengeneza, bado
haitapata nusura na
haitaokoka. Mimi
nahisi haitasaidia
kwani hakuna tena
ngome ya CCM,
hakuna tena pakukata
wala pakuacha. CCM
haipo tena popote.
Hakuna ilipobakia,
sio Kaskazini, sio
Kusini, sio mawioni
wala machweoni. Ndio
maana tunasema CCM
Zanzibar mkate wenu
umeshajaa sisimizi
wote. Hauna pakukata
tena, kilichobaki ni
kufumba macho na
kuumeza.

14

Makala

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 11


Ibn Khaldun-2

Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Katika makala
iliopita, nilijaribu
kumuelezea Ibn
Khaldun kwa kuweza
kumtambua na
mchango wake katika
maendeleo ya dunia
yetu hii. Makala hii
nitakizungumzia
kitabu chake cha
Muqaddimah na
mchango aliochangia
katika suala zima la
somo la elimu ya jamii.
Watu wengine wa
nchi za Magharibi
h u s e m a k u wa I b n
Khaldun hakuandika
ye ye h i c h o k i t a b u
cha Muqaddimah na
kuna wasemao kuwa
kaiba kazi za wengine
na kuandika kitabu
hicho. Hoja hizo hazina
mashiko kwani hakuna
mmoja alioweza
kuthibitisha kuwa Ibn
Khaldun kazi yake
kubwa ya Muqaddimah
amedokoa katika kazi
za watu wengine.
M w a n d i s h i
mashuhuri wa
Kiingereza katika karne
ya 20, Toynnbee, yeye
bila kuchelea kuitwa
mtu wa ajabu, amesema
kuwa Muqaddima
ni kazi kubwa ya aina
yake ambayo haijawahi
kubuniwa na akili ya
mtu yeyote yule, wakati
wowote ule na mahali
popote pale, ikiwa ni
uchambuzi mpana na
angavu wa maisha ya
mwanadamu ambao
haujafanyika popote
pale.
Kazi kubwa ya
Muqaddimah ya Ibn
Khaldun aliandika
katika mwaka wa 1377
na alijizatiti kuandika
tarekhe yaani historia
ya mwanadamu ikiwa
ni Kitab al-akbar na jina
kamili la kitabu hicho
ndani ya Muqaddimah
ni Kitbu l-ibar wa
Diwnu l-Mubtada'
wa l-Habar f tarikhi
l-arab wa l-Barbar

wa man sarahum
min Daw AshSha'n l-Akbr, katika
utangulizi huu alikuwa
analinganisha tarehe ya
Waarabu na Wabarbar
kazi ambayo iliojaa
utafiti na kutayarishwa
na yeye Ibn Khaldun.
A l i a n z a
Muqaddimah kwa
kuwatoa makosa
watangulzi wake
walioandika historia
na katika migawanyiko
ya uandishi na
kuayaangalia maeneo
7 k wa k i n a j u u ya
maelezo yake. Maeneo
hayo ni: Ushirikiaono,
i m a n i n a m a wa z o ,
kujiamini mtu katika
kuandika na kuelezea
historia, kushindwa
kwa mtu kufahamu
alichokikusudia katika
kuiandika historia,
makosa ya kuamini
ukweli wa jambo,
kutokuwa na uwezo wa
mwandishi wa historia
kuelezea eneo lilotokea
tokea kwa kulinukulu
itakiwavyo, hamu
ya waandishi katika
kujipendekeza kwa
watawala kwa kuwasifu
katika maandishi na
ujuhula wa wandishi wa
kutojuwa sheria ziliopo
katika mabadiliko ya
jamii ya mwanadamu
inayomzunguka. Katika
nukta 7 hizo ndipo
alipoweza kuziratibu na
kuandika nadharia ya
jamii ya Mwanadamu
inayomzunguka katika
Muqaddimah.
Utangulizi huu wa
Muqaddimah kama
alivyoandika Sati alH u s r i k wa k u s e m a
kazi yake ya ilimu ya
jamii aliinukulu ndani
ya kitabu kimoja kwa
kutoa vitabu 6 ikiwa
ilimu ya jamii kwa
jumla, ilimu ya jamii
katika maisha ya mijini,
ilimu ya jamii ndani
ya uchumi na ilimu ya
jamii katika kujuwa.
Kitu gani hasa
kilichomo katika
kitabu hiki ambacho
kimemzolea mwandishi
pongezi hizo licha ya
kupita karne sita tangu
kilipoandikwa?
Ibn Khaldun anaipa
dhana na istilahi
nyingine ambayo
kimsingi ina maana
ya uzalendo wa
kupindukia wa mtu
kwa jamii yake, anaipa
tafsiri yenye mvuto wa
jumla, na ya kisayansi,

h u u n i u f u n d i wa
matumizi ya lugha
ambao ni muhimu sana
katika fani zote.
Ibn Khaldun katika
uandishi wake alijipa
kazi ya kujiuliza
m a s wa l i ya m s i n g i
kabisa kuhusu maisha
ya kisiasa na kijamii
ya mwanadamu, na
anajenga hoja juu ya
h i t a j i o l a k u wa n a
jamii na siasa. Kisha
anabainisha kwa nini
baadhi ya Taasisi za
kisiasa au dola ni
kubwa na nyingine
ni ndogo, kwa nini
baadhi hufanikiwa, na
nyingine hufeli, kwa
nini baadhi huibuka, na
nyingine kuporomoka.
Anayapata majibu yake
katika sifa ya jamii
hasa sifa ya kundi lililo
madarakani pamoja
na ile asabiyyah (Ile
ambayo imejitwika
uzalendo na ugozi) au
mshikamano wa jamii
hiyo.
Wa s o m i
wa
kimambo leo wanapita
humu humu alipopita
Ibn Khaldun na
unapomkamata na
kumshika barabara
anapoelezea juu
ya tawala zilivyo na
namna zinavyokwenda
kombo kwa kulewa na
madaraka, hapo ndipo
unakubali maandishi
haya ni yake mwenyewe
Ibn Khaldun. Tawala
zilizopita za Uislamu
katika nyakati za
Ukhalifa ulikuwa
ni uongozi ambao
ulishikamana na dini
katika kuongoza na
kuiangalia siasa ya
uongozi. Leo viongozi
wengi duniani wenye
kuongoza, dini
wanaiweka mgongoni
na kuangalia siasa na
vipi namna ya wao
kujihami na namna ya
kubakia madarakani.
Ibn Khaldun akautafiti
mfumo huu wa
utawala, na akajaribu
k u b a i n i s h a s i r i ya
nguvu za watawala hao
katika jamii zilizotulia
na kustaarabika.
M f a n o m m o j a wa p o
wa nadharia zake
zilizongara ni ile ya
vizazi-vitatu vya
Masultani. (threegeneration dynasty
theory).
Katika sehemu ya
Sita ya Muqaddimah,
h a p a k u n a a i n a ya
kina kabisa ya maelezo

ambayo unakuta
mpangilio mzima wa
n g u v u ya u t a wa l a
unapoweza kukamilika
na kuwa na uongozi
thabiti. Ameweza ndani
ya sehmu hii ya sita
kuyaangalia maeneo
2 2 i k i wa : U t a wa l a
wa kifalme unakuja
mwanzo kabla ya miji
na hio miji huwa ni
z a o l a u o n g o z i wa
kifalme, mara zote
tawala hujikita katika
miji mikuu, tawala
zilizokuwa na nguvu
ndio hujenga katika
miji na kukua, tawala
iliojijengea makasri na
maeneo ya kifakhari
hujengwa na mtawala
mmoja tu, juu ya
misikiti na maeneo
yenye mvuto duniani,
umuhimu wa kupanga
(planning) na matokeo
yake ya kutojali
kupanga, kukuweko
na miji mikuu michache
Afrika na nchi za
Maghrib (nchi 4 za
Afrika ya Kaskazini),
majengo na ujenzi kwa
Waislamu unaofwata
watangulzi waliopita
na waliokuwa na nguvu
ni mchache, majengo
yaliojengwa na Waarabu
yakiwa machache
kati ya hayo, ikiwa
mengi yao huvunjika
na kuporomoka,
mwanzo wa miji
mikuu kuwa mahame,
kukuwa na kuendelea
kunategemea biashara
z i n a v y o e n d e l e z wa ,
miji mikuu na miji
hutafautiana na
ukubwa na wingi
n a i d a d i ya wa t u ,
b e i z i n a v y o w e k wa
katika miji, Mabeduoi
kushindwa kuishi katika
miji mikuu, tafauti ya
waliokuwa matajiri
na masikini katika mji
mmoja, makusanyo ya
mashamba makubwa
na vikataa-matumizi na
mazao yanayozalishwa,
ubepari katika baadhi
ya jamii katika miji
ikiwa wanahitajia
kulindwa, utamaduni
uliojikita katika eneo
moja hupotea watawala
wanapoondolewa,
utamaduni uliojikita
eneo moja hadafu yake
huwa humalizika na
kuleta rushwa, miji
ambayo yalioamirishwa
na
watawala
hubakia mahame
watawala wakisultani
wanapoondolewa,
baadhi ya miji huwa
na mbinu na baadhi
hukosa hizo mbinu za
kujiendeleza, huweko
baadhi ya watu katika

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

miji kujiona bora


mbele ya wengine.
Aidha akamalizia
katika sehemu hii ya
Sita kuelezea lahaja
za watu mbalimbali
katika mji mmoja.
K wa h a k i k a
Muqaddimah katika
maeneo sita kila eneo
moja lina mambo
alioyoyaandika kwa
upana kabisa.
Bila kufikiri kwa
bidii juu ya kule
tulikotoka, basi
hatuwezi kufikiri
s a wa s a wa j u u ya
kule twendako.
Muqaddima ndiyo
kazi maridadi
ambayo ndiyo yenye
nafasi ya fahari katika
historia na iwepo
katika maktaba
zetu za umma na za
majumbani mwetu.
S i s i we n ye we n a
vizazi vyetu lazima
tumjue Ibn Khaldun
vizuri zaidi kuliko
wamjuavyo wasomi
wa Magharibi
wanaenzi utamaduni
wa kutumia akili
ulioasisiwa naye na
Waislamu wengineo.
Muqaddimah ni:

Johari, Kurunzi,
Muongozo, Chombo
cha kuringia katika
Ilimu ya jamii.
Hii ni sehemu
ndogo tu katika
m a e l e z o
ya
Muqaddimah ya Ibn
Khaldun. Ni kitabu
ambacho sisi tusemao
Kiswahili, tunahitajia
kukifanyia tafsiri,
ingawa Waislamu
wenye nacho
hawatoi sadaka kwa
waandishi kuweza
kuandika. Hii ni
changamaoto kubwa,
k wa n i wa a n d i s h i
wengi kihali zao za
kifedha za kuweza
kuchapisha vitabu
wapo hoe hahe. Labda
nitasema hii ndio
changamoto iliopo
na yenye kukinzana,
kwani matajiri
hawapo tayari
kujitolea na wengi wa
wasomi wa Kiislamu
wamejishughulisha
zaidi na dunia. Aidha
k wa wa s o m a j i n i
changamoto kwao
na wao waweze kutoa
maoni yao ili tufike
mbele zaidi katika
uandishi wa vitabu.
Makala ijayo
nitamzungumzia Ibn
Al-Baitar.

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO namba 6


N

W E

1
1

2
A

A
B

Q
U

I
N

U
L

7
2

A
P

L
A

O
H

9
9

C
R

V
T

R
A

J
I

E
V

8
0

O
L

S
K

A
M

2:

2:

W R

43:

1.
Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quran
yametajwa majina mangapi? Jawabu: 99
2.
Surah gani na aya ipi katika Quran inayosmea
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu
umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa
Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka
amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na
Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
2:256, 43:22, 2:222. Jawabu: 2:256
3.
Waislamu wanavikubali vitabu vingapi
vilioteremshiwa Mitume? Jawabu: Tawrat, Injil, Zabur,
Quran.
4.
Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngapi
ukilinganisha na mwaka wa Kizungu? Jawabu: 11
5.
Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyama
yupi ameharamishwa kula kwa Waislamu? Jawabu:
Ulevi, Nguruwe.
6.
Jina gani limechukua nafasi kubwa kwa
Waislamu kuwaita watoto wao? Jawabu: Mohammad
7.
Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwa
cha St. Helena? Napolon, Colombus, Vasco Dagama.
Jawabu: Napolon
8.
Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitwa
kwa jina gani? Jawabu: Rhodesia
9.
Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urusi?
Alaska, Hawai, New York Jawabu: Alaska
10. Kikawaida moyo wa mwanadamu hupiga
mara ngapi kwa nukta (minutes)? 72-80, 70-75, 82-87
Jawabu: , 72-80

15
MAISHA yetu ya kila
siku yanategemea
m o t o k wa n j i a m o j a
au nyengine. Sehemu
kubwa tunayoitegemea
ya moto ni katika
kupikia, tunaweza kuishi
kutokana na kula na zaidi
ya asilimia 80 ya vyakula
anavyokula mwanadamu
hupikwa au kupashwa
moto kabla ya kuliwa.
Ili moto uweze kuwaka

unahitajia mizunguko
mitatu nayo ni kuweko
kwa gesi ya Okisijini,
joto na nyenzo yenyewe
ya kuwashia iwe kuni,
mkaa n.k. Wataalamu
wamekuja kugunduwa
kuwa katika majumba
mara nyingi moto huanzia
jikoni ikiwa mapishi ndio

UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO NO: 7


Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu
kamili wiki ijayo.
U
V
O
E
L
A
S
A
S
7:

F
B
6
T
M
N
D
S
E
2

A
S
X
F
C
A
F
D
T
8

I
M
A
M
F
M
G
F
Y
B

S
I
Z
R
G
S
H
G
U
I

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Kuelewa moto katika Quran na Mazingira-2

Na Ben Rijal

R
Z
P
W
K
H
A
1
2
5

AN-NUUR

Makala

H
R
M
H
H
H
J
H
O
K

W
S
I
I
T
I
C
I
1
R

A
T
R
J
Y
R
F
O
4
A

A
U
A
R
I
I
H
W
5
A

B
V
J
A
O
K
Y
E
O
E

D
W
I
L
P
A
U
O
U
E

1.
Aya gani katika Quran itajayo Chuma kwa
manufaa ya mwanadamu? (2 :148, 57 :28, 62 :40)
2. Mamake Mtume Issa Bibi Maryam
alipomzaa Mtume Issa alikuwa..(Mjane, Bikra,
Mke wa mtu).
3. Waislamu wanaamini kuwa Mtume Issa
ali(Uwawa, Rufaishwa, Alijiua).
4.
Anayaongoza Sala kwa Maamuma huitwa
(Captain, Imam, Kiongozi)
5. Katika Quran neno Maisha limetajwa
mara (185, 125, 145).
6.
Katika Quran neno Mauti limetajwa mara
(6,655, 145, 125).
7.
Watoto wote wa Mtume Yaqoob ni (24, 11,
12).
8.
Allah (Mwenye enzi Mungu (Anawashirika,
Malaika Hanamshirika)
9. Tokeo lipi lilitojwa katika Quran mwaka
mmoja kabla ya Hijra?
10. Alipofariki mama yake Mtume SAW,
Mtume Mohammad SAW alikuwa na umri wa
miaka (7,8, 6)
Jee unajua?
1. Wandishi wa kuu wa Wahyi walikuwa
ni : Syd Abubakar, Omar, Uthman, Ali, Zaid bin
Harith, Abdallah bin Masoud.
2.
Msikiti Mkongwe kuliko yote duniani nia
Al-Qaba.
3. Iblisi ni kati ya Majini kama ilivyoelezwa
kwenye Quran wala sio Shetani.
4. Mtume SAW akiwa katika mji wa Makka
alipokea Wahyi kwa muda wa miaka 13.
5.
Mtume SAW ndiye Khatamyn Nabiyyeen
mwisho wa Mitume yote hakuna Mtume badala
yake
6. Kila Sigara aivutayo mtu humpunnguzia
umri wake kwa dakika 11.
7.
Ugaidi na Siasa kali sio katika maamrisho
waliopewa Waislamu na hauna nafasi kamwe
katika Uislamu?
8. Ukandamizwaji wa wanawake sio katika
mafunzo ya Uislamu na afanyayo hayo anakwenda
kinyume na misingi ya Uislamu.
9. Watu kama 358 milioni katika bara la
Afrika na Asia wanakosa maji safi na salama.
10. Inakisiwa umri wa sayari tunayoishi ni
miaka bilioni 15 na inategemea hesabu, kwani
wengine wamezidisha zaidi ya hapo.

huchangia pakubwa
kwa mwanadamu
kuungua. Mshumaa
ukiwa unatumika kwa
wingi duniani iwe kwa
kutaka kuonea au katika
s h e r e h e , i n a k a d i r i wa
nchini Marekani nyumba
kama 12,000 hushika moto
kutokana na mishumaa
kutozimwa ipasavyo na
kuchukua roho za watu
zaidi ya 140 na kusababisha
wengine kuathirika na
kupata majeraha ya moto
idadi isiopungua watu,
1040 na kuleta hasara ya
mamilioni kila mwaka
hayo hutokea.
Wa n a s a y a n s i
wanafahamisha kuwa
mwanadamu kaanza
kutumia kuni katika
mapishi kwa zaidi ya
miaka milioni moja.
Superglue tuitumiayo
kwa kugandisha vitu,
unapoiweka katika pamba
ujue itawaka na kutoa
moto.
K a t i k a
n c h i
zilizoendelea hutumia
sehemu kubwa ya mapishi
yao kwa kutumia majiko
yawe yanayotumia umeme
au gesi, kinyume chake
katika nchi zinazoendelea
kuni ndio sehemu kubwa
ya nyenzo itumiwayo
kwa mapishi. Nchi za
Asia na Afrika mbao
zinazokusanywa kama
zao la misitu, asilimia
86 hutumika kama kuni
za kupikia. Kila siku
zikisonga mbele, matumizi
ya kuni yanaongezeka
katika nchi zinazoendela
kutokana umasikini na
uadilifu wa kuweka hali
ya kiuc humi duniani
kutozingatiwa na nchi
za Magharibi huku nchi
zilizoendelea za viwanda
wamejizatiti kupandisha
bidhaa zao na kujiwekea
bei watakavyo, malighafi
wazipatazo katika nchi
zinazoendelea, wakazi
wake hawana satwa ya
kujipangia bei. Hali hii
inazidisha umasikini
na kuwafanya wakazi
wa nchi zinazoendelea
matumizi yao makubwa
ya nishati yakitegemea
kuni na mkaa.
M a t u m i z i ya k u n i
Afrika kwa nchi za
Kaskazini mwa Afrika
hutumia kiubiki mita za
mraba milioni 55 kwa
mwaka, nchi za Afrika ya
Magharibi kiubiki mita
za mraba milioni 110
na Afrika ya Mashariki
kiubiki mita za mraba
milioni 117. Katika
mahitaji ya mkaa nayo
hivyo hivyo hutumika
kwa wingi. Kiubiki mita za
mraba milioni 18 za mkaa
kwa Afrka ya Kaskazini,
Afrika magharibi 36
na Afrika ya Mashariki
hutumia kubiki mita za
mraba milioni 75.
Moto na suala zima la
ikolojia
Ikolojia ni muingiliano
wa viumbe hai na maeneo

Moto ulioshamiri kuwaka


yaliowazunguka. Somo
l a i k o l o j i a l i m e k u wa
muhimu kutokana
na mwanadamu kuwa
katika shindikizo kubwa la
kuweza kuendelea kuishi
na kue nde le a kup ata
rasilmali zilizomzunguka
pasi mashaka. Hivi
sasa duniani kote
kila siku zikipita
mwanadamu anatumia
mbinu mbalimbali
za kumuwezesha
kupata urahisi wa
matumizi ya rasilmali
zilivyomzunguka. Lakini
uroho wa mwanadamu
huyo huyo kuna maeneo
ya wakazi wa dunia yetu
wakazi wake huzitumia
rasilmali hizo kwa fujo
na kuna maeneo ambayo
huangamizwa maeneo
ambayo yana rasilmali
mbalimbali ambazo
hutowa faida kwa
mwanadamu na viumbe
vyenginevyo.
Moto na sehemu zake
Moto katika sehemu
za msitu ni nyenzo
m u h i m u s a n a k wa n i
tunaposhindwa
kukabiliana na moto,
misitu yetu huangamia
na kuleta shida za kila
aina. Katika misitu
moto unaweza kuwaka
katika njia tafauti lakini
wataalamu wa Ikolojia
hutueleza kuwa kuna
njia tatu kuu ndizo
zinazochochea moto
katika msitu, ikiwa
udongo ulio ardhini una
rutba ya kutosha kwa vitu
vilivyooza katika udongo
moto huweza kutokea
chini ya udongo hio ni
njia moja, njia nyengine
moto huwaka kutokana
na sehemu za juu ya ardhi
pale sehemu za matawi,
majani makavu yakiwa
yametapakaa aidha saa
nyengine moto huwaka
kutokea sehemu za juu ya
miti. Radi mara nyengine
husababisha moto kuwaka
katika misitu aidha moto
katika maeneo ya misitu
hushamiri katika nyakati
za viangazi, kutokana na
vuguvugu la joto au mara
nyengine husababishwa
na mwanadamu na
matokeo yake huleta athari
kubwa inayosababisha
kuangamia roho za watu
na mali na nchi kuingia
katika hasara.
K u n a m i t i h u we z a
kujihami na kutoungua
lakini miti mingi huungua

pale moto unapotokea.


Moto unapotokea katika
maeneo ya misitu na
maeneo ya jirani na misitu,
mwanadamu huhangaika
katika kuuzima lakini
wa n ya m a h u a t h i r i k a
pakubwa na moto. Ndege
ni mahodari kukimbia
moto unapotokea lakini
nyumba zao huathirika na
kupoteza idadi ya ndege
katika maeneo ya misitu.
Wanyama mbalimbali
iwe tembo, twiga, paa,
simba, chui, fisi na aina
ya wanyama hao huwa
na uwezo wa kukimbia
moto unapotokea lakini
huathirika pakubwa katika
kuweza kupata maisha
katika maeneo mengineo,
k wa n i wa n ya m a n a o
wako kama binadamu,
maisha yao huweza
kuendelea hutegemea
mazoea, kuanzaa maisha
pengine na kuweza
kuzowea (adaptation)
nayo huchukua muda
mkubwa. Viumbe vya
jamii ya nyoka hujikinga
na moto kwa kujichimbia
lakini juu yakufanya hayo
wengi huangamia.
Moto unapotokea
katika msitu huangamiza
eneo kubwa la msitu,
maisha yanapotea na
maumbile tena hapo
huchukua nafasi yake
katika kutaka kurejesha
ile hali iliopata kuwepo.
Maumbile na kujihuisha
Maumbile yanachukua
nafasi yake katika
kurejesha hali ya sehemu
ilioathirika katika njia
nitayoita ya mzunguko
na kubadilishana
(Succession). Nadharia
hii ni hujitokeza
k u wa m a r a t u m o t o
unapotokea hufanyika
hali tatu za mzunguko
na kubadilishana, hali ya
kwanza (Pioneer stage)
hali ya pili ya mzunguko
(Serial stage) na hali
ya k i k o m o ( C l i m a x ) .
Maumbile hujirejeza
katika sehemu ilioathirika
na moto, hapo huja viumbe
vidogo vidogo katika
udongo na aina ya miti
midogo ambayo huanza
kuvamia eneo liloungua,
h a l i h i o i k i wa c h i wa
huendelea na kujirudi na
unapokwenda kuliangalia
eneo utaanza kulikuta
baada ya mwaka au miezi
kuwa kuna aina ya miti

ya majani kuanza kuenea


katika eneo husika, baada
ya muda huja sehemu
ya pili ambayo miti na
v i u m b e v ye n g i n e v y o
vidogo vidogo huanza
kuonekana na haya
yanaweza kuchukua hata
miaka 4 na kuendelea
ikiwa hali hio inaendelea
badaye huja miti mikubwa
ikajiweka wenyewe na
k i s h a wa n ya m a wa l e
waliokimbia hurudi
katika eneo hilo
lilopata kuathirika.
Siku hizi kutokana na
mahitaji kuongezeka na
m wa n a d a m u k u l i n d a
na kuihifadhi maeneo
ya msitu, mwanadamu
huingilia katia hali hio ya
kimaumbile na kujitahidi
kuirejeza hali ilioathirika
kwa kupanda miti ili eneo
liloathirika lijirudie katika
hali yake ya kawaida kwa
haraka.
Matoekeo mbalimbali
ya moto katika misitu
Mwaka wa 1871 huko
Marekani katika eneo la
Northeastern Wisconsin
na Upper Michigan, msitu
uliungua na kuchukua
roho za watu baina ya
watu 1,200 na 2,400 na
kuleta hasara ya mamilioni
ya dola,. Katika mwaka wa
1916 nchini Canada katika
eneo la Ontario maili
za mraba 800 za msitu
ziliungua na kuchukua
roho za watu wapatao 223,
mwaka wa 2009 nchini
Australia katika msitu wa
Heallesville na maeneo
yalioyazunguka, moto
uliotokea katika msitu
uliangamiza nyumba,
magari, na kuchukua
roho za watu 130 na moto
huo uliochukua zaidi ya
siku 20 kuzimwa kwa
kusaidiwa na wazima
moto wasiopungua 400
kwa kutumia zana za
kisasa, moto huo ulipewa
jina la Moto wa kichaka wa
siku ya Ijumamosi nyeusi
(Black Saturday Bush
fires). Katika mwaka wa
2010 nchini Israel katika
sehemu ya kasakazini
mwa nchi hio ulitokea
moto na kuchukua roho za
watu 40 na watu wapatao
12,000 walihamishwa
makazi yao.
Barani Afrika
inakadiriwa kuwa maeneo
ya Angola, Kusini mwa
Congo DRC, Kusini mwa
Sudani na Afrika ya Kati
huchangaia moto katika
misitu kwa silimia 54 ya
moto inayotoeka katika
misitu kwa Afrika nzima.
Makala hii imejaribu
kuonyesha katika suala
zima la Ikolojia na moto
ikiwa ndio Mazingira
yanavyotokea, makala
ijayo itaangalia mvua
k a t i k a Q u r a n n a
mazingira.

16

TANGAZO

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

ABDULRAHMAN AL-SUMAIT MEMORIAL UNIVERSITY


(SUMAIT University)
(Formerly University College of Education Zanzibar)

P.O. Box 1933 Zanzibar Email:amacez@zitec.org

STUDENTS ADMISSION 2015/2016

SUMAIT University invites qualified applicants to apply for Bachelor with Education, Bachelor of Art with Education and Bachelor of Art in
the following specializations:Bachelor of Science with Education
(1) Physics & Mathematics (2) Chemistry & Biology (3) Physics & Chemistry
(4) Chemistry & Mathematics (5) Biology & Geography (6) Information Commutation Technology ICT
Bachelor of Arts
(1) Counseling Psychology
Bachelor of Arts with Education
(1) English & Kiswahili (2) English & Geography (3) English & History
(4) English & Islamic (5) Arabic & Kiswahili (6) Arabic & English
(7) Arabic & Geography (8) Arabic & History (9) Arabic & Islamic (10) Kiswahili & Geography (11) Kiswahili & History (12) Kiswahili
& Islamic (13) Islamic & Geography (14) Islamic & History (15) History & Geography (16) Counseling & English.
ADMISSION REQUIREMENTS
1. The applicants should have at least:i)
A minimum of two principal passes in Tanzania Advanced Certificate of Secondary Education (ACEE) in the appropriate
subjects or equivalent.
ii)
Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least GPA of 2.7.
2. Be a full time student.

FEES STRUCTURES

1,800,000/= per annum


Tuition
1,500,000/=

1,300,000/= per annum


Accommodation
Graduation
Students Union
Computer Service
Registration
Medical Service
Application Form
T.C.U (Quality Assurance)

Physics & Mathematic; Chemistry & Biology;


Physics & Chemistry
Chemistry & Mathematics; Biology & Geography
English & Geography; Kiswahili & Geography;
Arabic & Geography; Arabic & History
Kiswahili & History; Islamic & History; English & History; Islamic
& Geography;
History & Geography; Counseling Psychology;
Counseling & English.
Information Communication Technology (ICT)
Arabic & Kiswahili; Arabic & English; Arabic & Kiswahili.
English & Islamic; English & Kiswahili; Kiswahili & Islamic.

180,000/= per annum


30,000/=
10,000/=
40,000/=
40,000/=
30,000/=
25,000/=
20,000/=

SUMAIT University reserves the right to change these fees at any time
Application forms are obtained from
i)
Academic Office, Abdulrahman Al-Sumait Memorial University at Chukwani, Zanzibar.
ii)
iii)
iv)

Tel. No: 0773 774838 or 0772 000243

African Muslim Agency, Mabaoni Chake Chake Pemba. Tel: 024-2452337


African Muslim Agency, Tabata Dar es Salaam. Tel: 022-2807843

Or you can down load the application form through our website www.sumaituniversity.ac.tz

Application fees should be paid through the following account number:The People Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450
All completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Office, Abdulrahman Al-Sumait Memorial
University (Formerly, University College of Education, Zanzibar)
For more information please do not hesitate to contact:Academic Office,
Abdulrahman Al-Sumait Memorial University at Chukwani, Zanzibar.
P.O. Box 1933, Zanzibar Tel: 0773774838 or 0772 000243
Or
Visit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, 9 kilometer from Zanzibar, Stone Town.

17
Inatoka Uk. 12
kufikisha mawazo katika
kinachoharamishwa. Hii
ilikuwa ni mkutano wa siri,
hatimaye. Ndiyo maana
kompyuta zote za mezani
z i l i k u wa z i m e z i m wa ,
na picha iliyo mbele ya
Hillary Clinton imefutwa.
Tushukuru tu kwa kupewa
nafasi ya kuchungulia kile
ambacho hatukupaswa
kukiona.
Uhalisi wa picha hiyo
unapewa nguvu na sura
isiyo ya kawaida kwa
nyuma, akikodolea. Ni
m wa n a m k e m f u p i n a
wa umri mdogo kuliko
wengine. Mtu mdogo
kabisa miongoni mwa
wa z i t o , k a r i b u w o t e
wakiwa wanaume, na ni
mtu asiyejali kabisa tafakuri
anayeweza kusema kuwa
huyu mwanamke kijana
aliongezwa ili kufanya
idadi ya wanawake kuwa
m a r a m b i l i n d a n i ya
chumba hicho. Mwanamke
mrefu na mwenye umbo
kubwa asingefaa. Kama
yule jasusi katika picha ya
harusi ya kifalme nchini
Uingereza, mwanamke
huyu mwenye mwili
mdogo anatoa nafasi ya
kujiuliza maswali bila
kuvuruga kinachoendelea.
Kama tunavyojua, Bush
aliweka mezani kanga wa
plastiki, hivyo picha ya
kanga wa propaganda
ilikuwa ni kanga vile vile.
Lakini kanga mkubwa
zaidi ni kilichoonekana
katika chumba cha
mikutano. Wakiitoa picha
ile, Ikulu ya Marekani
i l i e l e z a k u wa O b a m a
na wenzake walikuwa
wakiangalia shambulio na
kuuawa kwa Bin Laden
wakati likifanyika, na
filamu hiyo mnuso ikiwa
imewezeshwa na kamera
iliyowekwa katika kofia
ya deraya ya askari mmoja
wa kikosi cha wanamaji
makomandoo. Sasa
haihitaji kuwa bingwa
kujua kuwa kichwa
chochote katika mapigano
ya m o t o h a k i t a k u wa
kimesimama wima,
wala kukaa kwa muda
wa kutosha, kwa hali
yoyote ile, kutoa maelezo
mfululizo na ya kueleweka
kwa wahusika nyumbani,
labda kama kichwa hicho
kinataka kuwa marehemu,
yaani.
"Hola, SEAL uliye
na kamera, harakisha
kupanda ngazi na elekeza
uso wako kwa Geromino
(mlengwa wa shambulio),
sawa? Kumbuka kusimama
wima na usikwepe, hivyo
Amiri Jeshi Mkuu apate
mtiririko safi wa picha,
sawa?"
Baada ya muda mfupi,
Ikulu ya Marekani ikaeleza
kuwa hapakuwa na
mtiririko wa moja kwa
moja katika muda halisi
wa tukio, tena kamera

MAKALA

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?


hazikufanya kazi kwa
d a k i k a 2 5 k a t i ya 3 8
za shambulio. Hivyo,
hapakuwa na kuonyesha
dhahiri kwa Bin Laden
kwa video, lakini iweje
wageuze usemi kiasi hiki?
Hawa watu hawawezi
kuupekecha uwongo
wao kabla hawajafikia
kuutangaza kwetu?
I k u l u ya M a r e k a n i
ilibidi kurudi nyuma kwa
sababu ilikuwa imejichora
kukwama pembeni.
Ilikuwa imekataa kutoa
picha za Bin Laden akiwa
amekufa.
A l i k u wa a m e p i g wa
risasi juu ya jicho, ilisema,
ikapasua fuvu lake,
hivyo picha kama hiyo
ingeamsha hasira kwa
waangaliaji wa Kiislamu.
"Hatutaki kuwapigia
mpira huo," Obama
alieleza. Lakini kama
hatuwezi kumwona Bin
Laden aliyekufa, hatuwezi
pia kupata picha yake
akiwa hai? Kama kamera
ilipoachikwa juu ya kofia
ya deraya ingeweza kutoa
mtiririko wa moja kwa
moja, bila shaka ingeweza
kutoa picha angalau moja
ya Bin Laden kichwa
chake kikiwa bado kizima
(kabla ya kupigwa risasi),
na akiwa katika nyumba
hiyo. Ila hata hili lilikuwa
halipo, mshangao mtupu.
Wakati kuna nyanja
kibao za mitandao, kamera
za kificho barabarani, picha
za Google za mitaa na
kamera zilizo katika simu,
inakuwa kana kwamba
dunia nzima muda wote
inapigwa picha, au iko
tayari kupigwa picha
siku hizi,. kuwa mtu
yeyote wakati wowote
a n a w e z a k u k a m a t wa
na mlio unaojirudia wa
picha kuchukuliwa, halafu
iwekwe haraka kwenye
mtandao. Ziko kamera
zimefichwa katika kalamu,
vitabu, visanduku, saa za
ukutani, visafisha hewa na
vinusa moshi. Unaweza
kuingiza jina lolote, rafiki
yako wa sekondari, mpenzi
wako wa kwanza, paka
aliyepotea siku nyingi,
bibi yako mpendwa, roho
yake ibarikiwe, na kupata
picha zao mtandaoni,
zikiwa zimewekwa hapo
na makao makuu ya Jeshi
la Marekani, au wengineo.
Wa t u m i a j i v y o m b o
vya habari wamezoea
pia kutazamia kuona
picha, kama ushahidi au
kumbukumbu, baada ya
mauaji yoyote ya kisiasa
au kunyongwa. Fikiria
jinsi Mussolini (dikteta
Italia Vita Vikuu vya Pili)
akiwa amefungwa, Ngo
Dinh Diem (kiongozi wa
Vietnam) akiwa ndani ya

gari la deraya, Che Guevara


(mwanamapinduzi wa
Cuba) akiwa hana shati au
kichwa chenye bandeji cha
Leon Trotsky (mpinzani
wa dikteta Stalin wa Urusi
aliyeuawa nchini Mexico).
Tu n a z a m a k a t i k a
picha, nyingi tu ambazo
hatuzihitaji, hata hivyo
picha ambayo kila mtu
angependa kuiona wiki
hiyo, ya Bin Laden akiwa
hai au mfu wakati wa
shambulio, haipatikani.
Badala yake tunapewa
lundo la habari ambazo
hazina umuhimu.
Tunaambiwa kulikuwa
na 'mbwa shujaa'
alihusika, kuwa Obama
na wenzake walikula
kanga, pweza, chips na
s o d a z i l i z o n u n u l i wa
kutoka Costco - mema tu,
kuwa mtu wa kawaida
- katika chumba cha
mikutano; kuwa Obama
alikutana na kuwapongeza
makomandoo wake, yote
watu wa familia na akili
zao, wenye umri kati ya
miaka 30 na 40.
Chochote kile
Picha za Bin Laden
zisingekuwa na umuhimu
kama kungekuwa na maiti,
lakini hii nayo haionekani,
hivyo bila kuwa na maiti
au hata ushahidi mwepesi
wa picha ya kulazimisha,
kuna nini katika mauaji
h a ya ya u k u r a s a wa
kwanza wa magazeti?
Hakuna chochote ila
maneno kutoka CIA na
Ikulu ya Marekani. Licha
ya kuwa walisema uwongo
kuhusu kuokolewa kwa
Jessica Lynch na mauaji
ya Pat Tillman, tuwaamini
safari hii kwa sababu
ghafla wameamua kusema
ukweli. Kweli kabisa!!!
Licha ya kuwa masuala
muhimu yalikuwa
hayaulizwi, mafundisho
rasmi yanapigiliwa
vichwani mwetu. Kwa
mujibu wa wanahabari
wabebwa na idara za
serikali ya Marekani, huu
uuaji sadiki ukipenda, ni
kidhihirishi cha Marekani
na njia zake (mbovu). Lengo
linahalalisha nyenzo;
nyenzo ni kuzamisha
majini, kurudisha kwa
mateso na mengineyo,
yote ni lazima.
Ari Fleischer, msemaji
wa z a m a n i wa B u s h ,
alielezea kilichoitwa ni
kuuawa kwa Bin Laden
k u wa k u n a t o k a n a n a
"msingi imara wa juhudi
za kupambana na ugaidi
ikiwa ni pamoja na
mashambulizi ya ndege
kaskazini ya Pakistan,
vizuizi vya muda mrefu,
Guantanamo ambako
tulikuwa na mbinu za

kuhoji ambazo zilitufikisha


kwa mpeleka barua (wa
Osama).
Hayo ndiyo Barack
Obama aliyoyaendeleza
ambayo George Bush
alianzisha. Hii ni siku
ya sisi sote kujivunia kwa
kile ambacho nchi yetu
imefanikisha."
Obama pia aliingiza
hisia za kufuata ukweli.
"Jioni hii, tunakumbushwa
kwa mara nyingine kuwa
Marekani inaweza kufanya
lolote ambalo tunaelekeza
mawazo yetu kufanya. Hii
ndiyo hulka ya historia
yetu, iwe ni kutafuta
maisha bora kwa watu
wetu, au ni harakati ya
usawa kwa wananchi wetu
wote; dhamira yetu ya
kusimamia maadili yetu
nchi za nje, na kujitolea
mhanga kuifanya dunia
iwe mahali salama zaidi."
Fundisho la ziada
lilitolewa na mwanasafu
wa gazeti la New York
Times, Thomas Friedman.
Kwa vile Bin Laden sasa
hayupo tena, aliiambia
CNN, ni wakati wa
kufutilia mbali itikadi
ya u-Bin Laden, ambayo
alisema ni kutumia nguvu
kufikia mabadiliko ya
kisiasa. Mtetezi huyo wa
dola ya kutumia nguvu
kupita kiasi ya Israel na
uvamizi wa Marekani
nchini Irak, Friedman
hakuonekana kujali
kuwa ni Marekani ndiyo
inayoongoza duniani kwa
utumiaji nguvu. Hata
kabla ya 9/11, Taliban
walitoa pendekezo mara
kadhaa la kumkabidhi
Bin Laden kwa Marekani
lakini Marekani haikutaka
katu hilo.
Nia yetu, wakati huo
kama sasa, ni kupiga
mabomu, kupiga mabomu,
kupiga mabomu! Kama
nyenzo ya kuondoa
taka, mfu Bin Laden
alimwezesha kila mmoja
a r u d i n y u m b a n i k wa
amani. Bush anaweza
kuzungukia makambi
hatimaye, akute mzunguko
na wachezaji wa kati wa
Obama nyumbani kwake.
Sote tuko katika timu
moja, si unaona? Hata
Colin Powell akatolewa
kwenye barafu kwa muda
wa kutosha kubwabwaja
sifa za makomandoo wetu
wa jeshi na baharini.
Wakiwa wameelekezwa
katika jukumu hili bandia,
makomandoo wa SEAL
hata hivyo walivuruga
na kuacha dege kubwa
la helikopta likiwa juu
ya ukuta wa matofali.
Ni makomandoo
wangapi walikuwa
katika anguko hilo?
Kutoka mkakati uliofeli
ambao haukumhusisha

Bin Laden hata kidogo,


Marekani imeunda
hadithi ya kujipiga kifua
kusherehekea umahiri
wake wa kubuni.
Isitoshe, kama Bin
Laden alikuwa kiongozi
aliyeogopwa kiasi hicho
wa k u n d i l a k i g a i d i ,
kwanini akapigwa risasi
usoni? Kwa ajili ya mahitaji
ya kijasusi, si ingekuwa
vyema kumpata mzee
huyo akiwa hai? Kwa muda
mrefu akiwa anaugua figo,
Osama asingedumu hadi
2011 hata hivyo, lakini
kuainisha hilo ni kuvutia
hasira ya kuua mtu siyo tu
ya wapeperusha bendera
wenye raha wa Marekani,
l a k i n i h a t a wa d a d i s i
wa p e n d a m a e n d e l e o ,
kuonyesha ni kiasi gani cha
kuoshwa ubongo (brain
wash-kupumbazwa) nchi
hii imefikia.
Hapo Agosti 6,
2011, makomandoo
22 kutoka kundi la
SEAL la waliomtafuta
B i n L a d e n wa l i u a wa
walipoangushwa angani,
inaelekea na kundi la
Taliban. Watu wote 38
waliokuwa katika ndege
hiyo aina yua Chinook
walikufa, 30 kati yao
Wamarekani. Siyo kabla
wala baadaye ambako
Ta l i b a n wa m e u a
Wamarekani wengi kiasi
hicho kwa pigo moja, na
bado kuna swali la sababu
ya 'mashujaa' wengi kiasi
hicho kutoka kadhia ya
Bin Laden waliwekwa
pamoja kurahisisha
k u n ya m a z i s h wa k wa
njia hiyo? Waongo na
wahalifu, viongozi wetu
wanaotabasamu wanaua
askari wetu wenyewe
halafu wanaweka medali
katika maiti.
Kuthibitisha kuzaliwa
kwake nchini Marekani,
Obama alituonyesha
jalada la kutunzwa katika
kompyuta halafu, kwa
mzaha, kibwagizo cha
katuni. lakini kuthibitisha
kifo cha Bin Laden,
wa s a i d i z i wa O b a m a
hawakutupatia chochote
ila kibwagizo cha katuni
kinachofaa tu kwa watoto
wadogo waliodumaa akili.
Wahuni wanaotusumbua
hawawezi kuamini, kama
hawacheki hadi kuanguka,
ni kiasi gani wanaweza
kufanya kwa nchi hii ya
kila mtu na lwake.
(Makala hii, Bin Laden:
W h a t D o We R e a l l y
Know? Imeandikwa na
Linh Dinh na kutafsiriwa
kwa Kiswahili na Anil
Kija. Linh Dinh (mpelekee
ujumbe) ni mwandishi wa
vitabu viwili vya hadithi.
vitano vya mashairi. na
riwaya moja. Anaendesha
blogi ya picha iitwayo
'postikadi kutoka mwisho
wa Marekani.')

18

Makala

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Sishangai zengwe la ZEC, nitashangaa matumaini ya CUF


Na Mwandishi Wetu

JUZI Makamo wa
kwanza wa Rais wa
Zanzibar na Katibu
Mkuu wa CUF, Maalim
Seif alitoa shutuma
nzito lakini sio mpya
kwa hapa Zanzibar.
Isipokuwa mara hii kuna
uzito wa Hoja kutokana
na aliyesema na kuibua
hayo ni Kiongozi
tena wa juu wa SMZ
pamoja na ule utafiti wa
CUF. Hatukushangaa
hata kidogo kuhusu
kilichosemwa na
k u i b u l i wa n a wa l a
hatukushangaa
yaliyofuatia baada
ya hutuba ile kutoka
k wa Wa s h u t u m i wa .
Ya a n i Z E C , I d a r a
ya Vitambulisho vya
Mzanzibari na vivyo
hivyo hatutashangaa
Kama Idara maalum
na Vikosi, Wakuu wa
mikoa na Wilaya na
Jeshi la wananchi nao
watakanusha. Hawa ZEC
Kukanusha ndio maisha
yao ya kila siku. Kwa
ZEC niwashauri waje
wajibu kitaalamu maana
kumefanywa Utafiti na
aliyesema ni kiongozi
wa SMZ ingawa wao
wanahisi ni Maalim
seif. Hilo tuwaachie
wenyewe.
Sasa nije upande wa
CUF. Niseme kwanza
n a u n g a m k o n o k wa
asilimia zote CUF kupitia
maalim Seif kuihabarisha
dunia madudu haya ya
ZEC na baadhi ya taasisi
za SMZ kuhusu uchafu
uliopita uliomo kwenye
daftari na mipango
haramu ya kutaka
kuisaidia CCM kupitia
zoezi zima la Uchaguzi
wakianza na uandikishaji
hapo sawa.
Lakini niulize swali,
hivi Viongozi wa CUF
wanatarajia itafika siku
ZEC itatenda haki kwa
mfumo huu uliopo?
Namna ilivyofumwa,
u t e u z i u l i v y o f a n wa ,
sheria zilizopo na
Uhafidhina. Unadhani
wako tayari kiasi gani bila
kujitutumuwa ilivyo?
CUF kuibua madudu
ya l e n a k u wa a m b i a
walimwengu, hio ni hatua
moja. Lakini jee kwa hivyo
tu ndio mtaizuwiya ZEC
isifanye ilichokusudia?
Wa z a n z i b a r i w a n a
shauku ya kutaka kujuwa
H AT U A M U A FA K A

sasa kabla ya kesho na


keshokutwa kabla kuanza
uandikishaji wa daftari
hatua ya mwisho.
Wananchi mliwajenga
matumaini, hawataki
kusikia madai wanataka
kuona vipi ZEC haitafanya
tena madudu. Tunajuwa
mazingira magumu
mliyonayo huko GNU
sawa, Lakini kumbukeni
UTAKACHOKIPANDA
N D I C H O
U TA K A C H O V U N A .
Msiwajenge watu
matumaini na kujitowa
kwa kila hali, halafu
ikawa mnaachia Mianya.
T E N D E N I WA J I B U
WENU HADI DAKIKA
YA MWISHO.
CUF mko serikalini na
taarifa mnazipata kutoka
mahala husika na tuna
imani mnajuwa mengi
kwa nini mnasubiri mpaka
mipango ifanikiwe na
kwa nini msiharibu tokea
mwanzo kwa kutumia gia
zote IMA FAIMA
Nimesikitika Kusikia
Mikoa imegawiwa kwa
Amri ya Rais kupitia Idara
Maalum ya mambo ya
mikoa na vikosi vya SMZ
na tayari mkuu mpya
wa wilaya ya magharibi
B ameshatangazwa siku
mbili baada ya SHUTUMA
Z A M A K A M O WA
KWANZA. Hapa kuna
nini? Ina maana viongozi
wakuu hawashauriani
kuhusu mambo makubwa
ya ki- inchi kama haya ya
kugawa maeneo? Hapo
kuna nini? Hivi Nafasi
yenu katika GNU ni ipi?
Hilo Baraza la Mapinduzi
mnafanya nini? Masuala
haya wananchi wanataka
m a j i b u i l i s a f a r i ya
MATUMAINI IWEZE
KUMEA.
Nina imani na majimbo
yatagawiwa bila hofu
kwamba aliyesema ni
Makamo wa Kwanza wa
Rais na mazingira yako
wazi sasa. Nina imani
vile vile kuwa na hao
waliopewa vitambulisho
kwa hila wataandikishwa
bila kikwazo. Kumbukeni
haya yakifanyika Msitie
w a t u M AT U M A I N I
BURE. ITAKUWA NI
K U WAV I M B I S H A
BURE kumbe CCM
wameshashinda mapema.
Hapa tulipofika ndio
mwisho wa MCHEZO
WOTE na INATAKIWA
IWE HIVYO. HESHIMA
INATAKIWA IANZIE
HAPA NA SIO KESHO.
U S I P O Z I B A U FA ,

UTAJENGA UKUTA.
Katika maelezo hayo
simaanishi kukata tamaa
wala kuhamasisha
maamuzi ya hovyo
hapana. Namaanisha
wajibu wenu katika GNU
t u n a y o j u wa k wa m b a
imeundwa na CCM na
CUF na tunajuwa katika

mifumo ya serikali ilivyo


vyovyote iwavyo mna
nafasi yenu. ITUMIENI
KWA NJIA ZOTE ZA
KIDEMOKRASIA
ZINAZOTAMBULIKA.
Hakutakuwa na
m u d a m we n g i n e wa
kuifahamisha dunia
UCHAFU HUU ikiwa

CCM
watakuwa
wameshatangaza
washindi na ZEC. Itakuwa
ni kelele kama zile za
Zamani. WAKATI NI
SASA.
Msisahau yale
y a K A T I B A M P YA
nini kilitokea. Si
tayari imepatikana
i n a i t w a K AT I B A

Inatoka Uk. 7
amebeba pembe mbili),

ukweli huu hauwezi


kufichwa milele, kwani
vizazi vya watumwa wa
Kiafrika walioko Brazil hii
leo hawapungui milioni mia
moja.
Baada ya kuonesha
ubaya wote tuliouonesha
wanaosingiziwa Waislamu,
sasa angalia mfano wa
vile Ukristo na Wakristo
wa l i v y o c h o r wa k a t i k a
kitabu kiitwacho History
for Secondary Schools, Form
Two mlango wa 7 chini ya
anuani ya Abolition of Slave
Trade yaani Kupigwa
M a r u f u k u B i a s h a r a ya
Utumwa, ukurasa wa 84:
Katika vitabu vya historia
Ta n z a n i a v i n a s e h e m u
nyingi ambazo wakoloni
na wamishinari wanasifiwa
k wa k u j e n g a s h u l e n a
mengineyo na kukhusu
utumwa hawakutajwa sana
ila kusifiwa sana katika

kuuondosha utumwa.
Hawakutajwa kabisa vile
walivyowauwa millioni
kumi ya Waafrika katika
Kongo (Congo) na wengine
kukatwa mikono na
kuadhibiwa vikali sana
kwa namna nyinginezo za
kikatili. Kama nilivyosema,
propaganda si lazima uone
katika yaliyozungumzwa
na yaliyochorwa, bali pia
huwemo pale yanapokuwa
hayatajwi kwa uovu wao
pale panapohitajiwa
kutajwa. Kwa mfano,
ukiangalia utaona kuwa
wamewasifu wakoloni wa
Kizungu kwa kuondosha
biashara ya utumwa bila ya
kuelezea chochoke kukhusu
yale aliyoyafanya Sayyid
Said katika mamlaka zake
yaliyosaidia pakubwa
kupiga marufuku biashara

Propaganda za udini shuleni Tanzania-3


mitungi na kadhalika. Kweli
wana-propaganda wanataka
kutuambia kuwa vitu
vichache hivyo humfanya
mfanya biashara wa Kiafrika
atoke ndani kwao Bara
atembee kwa miguu masafa
marefu ya siku nyingi mpaka
Pwani kuja kuviuza na apate
faida itakayomridhisha
taabu yake? Labda ni hizo
pembe za ndovu peke yake
ndizo zenye faida kweli.
Lakini basi, inaingia akilini
kuwa binadamu anaweza
kubeba pembe za ndovu,
tena si moja bali mbili, na
awe anatembea kwa furaha
bila ya matatizo kama hivyo
unavyomuona pichani? Au
hizo zilikuwa ni pembe za
ndovu mchanga ambazo
hazina thamani kubwa?
Sijui hawa wanapropaganda
wanapopanga njama zao
huwa wanawafikiria
wasomaji wote ni wehu au
kitu gani?
Ukweli ni kuwa kweli
k u l i k u wa n a m i s a f a r a
mikubwa iliyochukua
idadi kubwa ya yote hayo
unayoyaona pichani. Lakini
misafara hiyo ilikuwa ni ya
watumwa waliobebeshwa
mizigo hiyo na wakifika
Pwani huuzwa hivyo vitu
pamoja na hao watumwa.
Na kama tulivyotaja kabla,
makhabithi na wakamataji
wakubwa ni Waafrika wa
makabila yaliyokuwa na
nguvu na soko lao kubwa
katika Pwani ya Afrika
ya Mashariki halikuwa
Bagamoyo, Pemba, Unguja
wala Mombasa, bali lilikuwa
Loureno Marques (Maputo)
Mozambique (Msumbiji).
B a h a t i
m b a ya
wanapropaganda hawataki
kulitaja soko hili kwani
huko Msumbiji ilikuwa
biashara baina ya makabila
ya Kiafrika yenye nguvu
yaliyowakamata Waafrika
dhaifu na Waportugizi.
Hawataki kuuzungumzia
u k h a b i t h i wa l i o u f a n ya
Wa p o r t u g i z i n a i d a d i
kubwa sana ya Waafrika
waliowapeleka utumwani
katika koloni lao la Brazil
k wa n i Wa p o r t u g i z i n i
Wakristo wenzao. Lakini

19

Makala ya Mtangazaji

Maisha mapya
Abuu MaazinMalaika wa Amani

RAIS wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas (kushoto) akiwa na Papa Francis.


Kwa muda wa miaka
mitatu viongozi wa
i s r a e l i h a wa k u c h o k a
kurudia kauli yao,
kwamba rais Mahmuud
Abbas si mshiriki katika
mpango wa amani,hivyo
ni lazima atolewe na
u we k we m a d a r a k a n i
uongozi mwingine wa
Palestina,utao am ini
mpango wa amani na
utamaduni wake.
Hivyo,zikasambazwa
barua maalumu duniani
toka Israeli kwa lengo
hilo,huku mpango wa
kuweka makazi katika
ardhi ya Palestina, kuingiza
uyahudi Yerusalemi na
kuharibu chaguo la dola
mbili,ikiwa ndio jambo
l i l i l o e n e a k u e l e we k a
duniani kote.
Hata ikafikia baadhi ya
nyakati waarabu wenyewe
wakisema kuwa,Abuu
Maazin hawezi tena
kuongoza na kuleta
amani,kutokana na uzee
na udhaifu alionao.
Alikuwa akifanya
kazi kimya kimya mbali
na matangazo yasiyo
faida,alikuwa anaumia
usiku na mchana akiendelea
kuishughulikia Palestina
kwa hali zote,huku akiwa
ndio chanzo cha fikra
za zilizoiweka Palestina
katika ramani ya dunia.
Ndipo lilipokuja
azimio la Mkutano
M k u u wa U m o j a wa
Mataifa,kuwa Palestina ni
nchi mwangalizi mwaka
2012. I kai ngia katika

makubaliano mbalimbali
ya kimataifa,yakiwemo
ya Giniva na Mahakama
ya kimataifa ya makosa
ya jinai.
Huku ikionyesha
juhudi zake kwa Baraza
la Usalama na Baraza la
haki za binaadamu,bila
kusahau ushiriki wake
katika maandamano ya
kupinga ugaidi nchini
Tunisia na Paris.
Abuu Maazin alikuwa
ndio funguo ya mikakati
inayolenga kujua
vituo,alikuwa akikubali
kujadili sura na sio maudhui
yenyewe,kwani akijua
kikamilifu kinachoendelea
kidola,kikanda na
kimataifa. Isipokuwa mara
nyingi akijifanya hajui ili
kulinda mambo muhimu
ya Palestina.
Umri wa miaka
themanini,bado
anaendelea na misafara
mbalimbali,akikesha
masiku kadhaa kwa
kufikiria namna ya
kusogea na utendaji wa
kazi muda wote.
M n a m o m we z i M e i
2015,alikwenda nchini
Urusi ili kushirikiana na
Rais Putin katika sherehe
za miaka sabini ya ushindi
d h i d i ya u t a wa l a wa
kifashti.
Baadae akaenda Tunisia
kuonana na Rais Swidiiq
Baajiy Qayid Subsiy, kabla
ya kuelekea Washington
kuonana na Rais Obama
na baadae kuwa Roma na
Vatikani.

Va t i k a n i i l i f i k i a
makubaliano ya kihistoria
na Palestina,yaliyopelekea
kukiri uwepo wa dola ya
Palestina mnamo tarehe
04 Juni mwaka 1967,huku
mji mkuu wake ukiwa ni
Yerusalem.
A l i k u w a
Mheshimiwa Rais
Abuu Maazin,amezama
kusikiliza maudhui ya
makubaliano,kutoka
kwa nguvu kazi vijana
wa Wizara ya mambo ya
nje na kutoka Idara ya
Mazungumzo.
Alifurahishwa sana
alipokuwa akisoma
utakaso wa wachungaji
wawili wa kipalestina,
ambao ni Mary Ghitwas
ambae ni binti wa
Yerusalem na Mariam
Bawaridy wa Jalil.Ni tukio
la kihistoria kwa Palestina
na wananchi wake, ambao
wanateseka katika kambi
za Yarmouk,wanaozama
katika bahari ya
Mediteranian wakijaribu
kujiokoa na moto wa dola
za kiarabu na kukimbilia
Ulaya.
Kisha alikutana na Papa
Fransis,huku bendera ya
Palestina ikipepea kwa
mara ya kwanza katika
mlingoti wa Vatikani,jambo
ambalo lilimliza Abuu
Maazin katika siku hii ya
kihistoria.
Ilipofika mwezi
Juni mwaka 2014,Rais
Abuu Maazin alishiriki
dua ya pamoja kati ya
waislamu,wakristo

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015


na mayahudi,ambapo
alifanikiwa kusoma
Quraan kwa mara ya
kwanza ndani ya Vatikani.
Mtakatifu Papa
Fransis ni rafiki mkubwa
wa Rais Abuu Maazin
nah ii ni mara ya nne
wanakutana,kwani mara
mbili kabla walikutana
hapohapo Vatikani na
mara ya tatu ilikuwa
Baiti lehem Palestina.
Alipotembelea na kujionea
ukuta wa kidhalimu wa
waisraeli,uliotenganisha
mji wa Baiti lehem na
miji ya Palestina,hasa
Yerusalem na dunia nzima.
K w a
u p a n d e
mwingine,katika kikao
cha viongozi hao
wawili,alizungumzia Rais
Abuu Maazin mambo
kadhaa, ukiwemo ukuta
wa kidhalimu,makazi
ya kiyahudi katika ardhi
ya Pa l e s t i n a , Ye r u s a l e
m,Mateka,mpango wa
amani,mapatano na hali
ya nchi za kiarabu kwa
ujumla.
Pia ametilia mkazo
kuwa,makubaliano
yaliyofikiwa kati
ya Palestina na
Vatikan,yatakuwa ndio
mwanzo wa hatua
kama hiyo na nchi
zingine za kiarabu.
Siku iliyofuata lilitokea
tukio la kihistoria,nalo
ni kutangazwa utakaso
wa wa p a l e s t i n a wa l e
wawili ambao ni Mary
Ghitwas ambae ni binti
wa Yerusalem na Mariam
Bawaridy wa Jalil.
Jambo linguine kubwa
la kushangaza ni pale
alipotoa tamko Mtakatifu
Papa Fransis,kwamba
rais Abuu Maazin ndiye
Malaika wa Amani.
Ndipo kauli kutoka
Ofisi ya Waziri Mkuu wa
Israeli mjini Telabib ikaja
ikisema kuwa, kusaini
makubaliano ya uwepo
wa d o l a ya Pa l e s t i na
kunazorotesha mpango
wa amani na kudhoofisha
fursa za mapatano.
Israeli inasema Abuu
Maazin si mshirika wa
mpango wa amani,wakati
Papa Fransis anasema
Abuu Maazin ndiye
Malaika wa Amani,kwa
hiyo nani atakubaliwa na
Ulimwengu?
V y o m b o v y o t e v ya
habari vya dunia viliipa
kipaumbele habari hiyo,
kikiwemo kile cha mlengo
wa kuliaFox newscha
marekani ambacho
kilitoa kichwa cha habari
kisemacho:Siku njema
kwa Abbas,pia Newyork
times kikaandika:Nini
kitatokea kwa Netanyahu
ambae ni mgeni rasmi

wa Kongresi?Je Kongresi
inayoungwa mkono
na Idison Wasaban
itaendelea kuwa na
Netanyahu hadi atakapo
ihutubia mnamo mwezi
Septemba ijayo?
Kwa upande wa
magazeti ya Israeli
ya l i b e b a k i c h wa c h a
habari kuhusu malaika
wa Amani,makubaliano
na kukubali uwepo wa
d o l a ya Pa l e s t i na . P i a
mashirika ya habari barani
Asia,Afrika na Amerika
ya kusini,yalibeba
katika kurasa zake za
mwanzo picha ya Rais
Abbas na Mtakatifu
Papa Fransis,huku chini
yao yakiandika ibara
isemayo;Malaika wa
Amani.
Hongera sana Palestina
kwa kukubalika huku na
Vatikani yenye wafuasi wa
kikatoliki zaidi ya bilioni
mbili duniani,huku si
kukiri kwa kawaida bali
historia inaandika kuwa
ndio mama wa kukiri kote
kwa dola ya Palestina.
Hongera sana mateka
wote wa Palestina wake
kwa waume na Wapalestina
wote popote walipo,kwani
huenda yaliyotokea
Vatikani tarehe 16 na
17 Mei 2015 ni panguso
au utafiti mtukufu wa
maumivu yote na mateso
kwa Wapalestina.
Pa l e wa l i p o k u wa
wachungaji wa kipalestina
wake kwa waume katika
viwanja vya Vatikani,huku
wakibeba mabegani mwao
bendera za Palestina.
Rais Abbas kwa
ndoto,utendaji,busara
na uzalendo na muono
wake,huku zaidi ya yote
imani yake kwa taifa la
Pa l e s t i n a , h a k u z a l i wa
isipokuwa kwa lengo la
kuiweka Palestina katika
r a m a n i ya k i j o g r a f i a
duniani.
Kwani amekuwa ndio
shahidi na mjumbe kutokea
ardhi tukufu na amani pia
kwa njia ya amani, kutokea
Yerusalem iliyotekwa hadi
Baiti lehem iliyokaliwa
kwa mabavu,amekuja
kuutangazia Ulimwengu
kuwa huu ndio muda
wa Palestina. Ni zama za
uadilifu kaka ilivyokuwa
Palestina ndio mfano
mwema wa amani na
uadilifu.
Mwisho tunamuomba
Mwenyezi Mungu,uwe
muda huu mchache
uliobaki ni pozo la
maumivu na huzuni
z a t a n g u wa l i z o n a z o
Wapalestina,tokea zaidi
ya miaka 67 iliyopita.
Contact us: P.O Box
20307, 612 UN Road
Upanga West, Dar es
Sa la am Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.
orgWebsite: www.pal-tz.
org

AN-NUUR

20

MAKALA

20

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

AN-NUUR

SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015

Safari ya Hijja Hijiria 1436

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea,


gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni:
11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.
Wahi kujiandikisha sasa
Kwa mawasiliano: +255 222 182370
0754 261910; 0717 000065
+255 222181577
0784 272723
0786 383820
website-www.hajjtrust.or.tz
0713 764636

E-mail:info@hajjtrust.or.tz

Mashindano Kongamano Kichangani leo


Na Azza Ally Ahmed

CHUO cha A3 Idara ya


Uandishi wa Habari na
Utangazaji kilichopo jijjini
Dar es Salaam, hivi karibuni
kiliandaa mashindano ya
utangazaji na uandaaji wa
vipindi katika kutekeleza
mpango wake wa kuwaandaa
wanafunzi kujifunza kwa
vitendo.
Akizungumza na
mwandishi wa hizi, Mkuu wa
Idara ya Uandishi wa Habari
na Utangazaji, Othman
Makumbusho amesema
mazoezi ya vitendo ndio njia
pekee itakayo muwezesha
mwanafunzi kubobea zaidi
katika tasnia ya habari.
Aliwataka wanachuo hao
kufanya kazi kwa bidii pindi
watakapopata ajira zao ili
kukiletea sifa chuo hicho kwa
uchapakazi wao.
Sambamba na hayo,
Makumbusho ametoa
wito kwa waandishi wa
habari kuzingatia maadili
ya kiuandishi hasa kipindi
hichi cha kuelekea kwenye
uchaguzi mkuu ambacho
huwa na changamoto nyingi
katika tasnia ya habari.
Bwana Hashim Gulana
ambaye ni mkufunzi chuoni
hapo pia ni mratibu wa
shindano hilo, amesema
lengo la shindano hilo ni
kuwaandaa wanafunzi hao
kivitendo zaidi.
Amesema shindano hilo
litawaondoshea wanafunzi
hao woga katika kutekeleza
majukumu ya kihabari ili
waweze kuendana na soko
la ajira.
Pia Gulani alieleza kuwa
utafiti unaonyesha wanafunzi
wengi wanashindwa kufikia
kiwango kinachotakiwa
katika soko la ajira kwa
sababu wanakosa mafunzo
ya kivitendo wanapokuwa
vyuoni.
H i v y o wa n a l a z i m i k a
k u f a n ya m a f u n z o k wa
vitendo wanapokuwa
kazini kitu ambacho kina
wapunguzia fursa za ajira.
Ili kuepuka adha hiyo
amewataka wanafunzi hao
kutoa ushirikiano na kuondoa
woga pindi mashindano
kama hayo yanapoandaliwa
ili kujua uwezo wao katika
nafasi wanayoisomea.

Na Bakari Mwakangwale

WAISLAMU Jijini
Dar es Salaam,
l e o wa n a t a r a j i a
kukutana katika
K o n g a m a n o
litakalo fanyika
Msikiti
wa
Kichangani (T.I.C),
Magomeni Jijini
Dar es Salaam.
Imeelezwa kuwa
katika Kongamano
hilo litakalofanyika
mara baada ya
Ibada ya Swala ya
Ijumaa, litatolewa
tamko la pamoja juu
ya hali mbalimbali
zinazowasibu
Waislamu nchini.
Mapema wiki
iliyopita, Amiri wa
Shura ya Maimamu,
Sheikh Mussa
Kundecha pamoja
na Sheikh Rajabu
Katimba, walikutana
viongozi wa
Serikali, kuangalia
namna sahihi ya
kuyaendea masuala
yanayowagusa
Waislamu nchini.
Baada ya kikao
hicho, Masheikh
hao walieleza
kuwa viongozi wa
Serikali waliokutana
nao wamewaeleza
kuwa madai
na malalamiko
ya Wa i s l a m u
yaliyowasilishwa
s e r i k a l i n i
yatashughulikiwa.
Akizungumzia
Kongamano hilo,
Sheikh Rajabu
Katimba, aliye
msemaji wa Jumuiya

AMIR wa Shura ya Maimamu, Sheikh Mussa Kundecha.


n a Ta a s i s i z a A l i s e m a S h k h . kwa baadhi ya
Kiislamu, alisema, Katimba.
Waislamu. alisema
A l i s e m a , a wa l i Shkh. Katimba.
hatua hiyo ni
sehemu ya maazimio Waislamu walikuwa
Alisema, baada
ya kikao cha Shura w a m e a z i m i a ya vikao hivyo na
y a M a i m a m u k u f a n y a taarifa hizo, sasa ni
k i l i c h o f a n y i k a maandamano, lakini wakati wa kukutana
A l h a m i s i y a walisitisha baada n a Wa i s l a m u n a
w i k i i l i y o p i t a , ya k u k u t a n a n a kuyatolea ufafanuzi
k a t i k a M s i k i t i viongozi wa idara katika kongamano
w a M t a m b a n i , husika za Serikali, h i l o l a k i n i p i a
Kinondoni Jijini Dar i l i k u a n g a l i a
m u s t a k a b a l i kusikia kutoka
es Salaam.
Kutakuwa w a
m a m b o k w a Wa i s l a m u
n a K o n g a m a n o y a n a y o w a k a b i l i ni kwa kiasi gani
na wapi ambapo
l a W a i s l a m u Waislamu nchini.
katika Msikiti wa
Hatua ile ilikuwa k u n a m a t a t i z o
Kichangani, hatua nzuri na kulikuwa yanaendelea kisha
hiyo ni maazimio na matumaini kuwa litatolewa tamko la
y a k i k o a c h a mambo yatakuwa pamoja.
Kongamano
Maimamu, lengo ni mazuri kutokana na
kuwapa Waislamu ahadi ya viongozi wa hilo litashirikisha
mrejesho wa kikao Serikali tuliokutana Waislamu wa Jijini
l a k i n i Dar es Salaam na
cha Masheikh na n a o ,
viongozi wa Serikali, inaonekana kwamba wale walio katika
lakini pia kusikia kuna dosari katika m i k o a ya j i r a n i
kutoka kwao nini utekelezaji wake kama vile Pwani,
k i n a c h o e n d e l e a kutokana na taarifa Morogoro, Tanga.
h u k o m i t a a n i . tunazozipata kutoka

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Вам также может понравиться

  • Bwana Okoa Ndoa Yangu
    Bwana Okoa Ndoa Yangu
    От Everand
    Bwana Okoa Ndoa Yangu
    Оценок пока нет
  • Nguvu ya Damu
    Nguvu ya Damu
    От Everand
    Nguvu ya Damu
    Рейтинг: 5 из 5 звезд
    5/5 (2)
  • Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    От Everand
    Anagkazo (Nguvu ya kushurutisha!)
    Оценок пока нет
  • Mafundisho ya Ndoa
    Mafundisho ya Ndoa
    От Everand
    Mafundisho ya Ndoa
    Оценок пока нет
  • Mguso Mzuri Wa Upako
    Mguso Mzuri Wa Upako
    От Everand
    Mguso Mzuri Wa Upako
    Оценок пока нет
  • Hatua za Ukuaji wa Kiroho
    Hatua za Ukuaji wa Kiroho
    От Everand
    Hatua za Ukuaji wa Kiroho
    Рейтинг: 4 из 5 звезд
    4/5 (3)
  • Dini ya Fedha
    Dini ya Fedha
    От Everand
    Dini ya Fedha
    Оценок пока нет
  • Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    От Everand
    Eneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu
    Рейтинг: 3.5 из 5 звезд
    3.5/5 (2)
  • Nyayo Za Obama
    Nyayo Za Obama
    От Everand
    Nyayo Za Obama
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Документ16 страниц
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Документ16 страниц
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Annuur 1180 PDF
    Annuur 1180 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1180 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1065
    Annuur 1065
    Документ12 страниц
    Annuur 1065
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1122
    Annuur 1122
    Документ16 страниц
    Annuur 1122
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Annur
    Gazeti La Annur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Annur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1151
    Annuur 1151
    Документ16 страниц
    Annuur 1151
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1157 PDF
    Annuur 1157 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1157 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Документ16 страниц
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1064
    Annuur 1064
    Документ12 страниц
    Annuur 1064
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Документ16 страниц
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Документ16 страниц
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1028
    Annuur 1028
    Документ16 страниц
    Annuur 1028
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1183 PDF
    Annuur 1183 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1183 PDF
    annurtanzania
    100% (2)
  • Annur Toleo La Ijumaa
    Annur Toleo La Ijumaa
    Документ16 страниц
    Annur Toleo La Ijumaa
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1188a
    ANNUUR 1188a
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1188a
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Annuur 1062
    Annuur 1062
    Документ16 страниц
    Annuur 1062
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 111
    Annuur 111
    Документ16 страниц
    Annuur 111
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1175b PDF
    ANNUUR 1175b PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1175b PDF
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1158
    Annuur 1158
    Документ16 страниц
    Annuur 1158
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1111
    Annuur 1111
    Документ16 страниц
    Annuur 1111
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1039
    Annuur 1039
    Документ16 страниц
    Annuur 1039
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Документ16 страниц
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1153 PDF
    Annuur 1153 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1153 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1161 PDF
    Annuur 1161 PDF
    Документ16 страниц
    Annuur 1161 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1155
    Annuur 1155
    Документ16 страниц
    Annuur 1155
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Документ16 страниц
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1170
    Annuur 1170
    Документ20 страниц
    Annuur 1170
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR1003
    ANNUUR1003
    Документ16 страниц
    ANNUUR1003
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Tamko La Rais Juu Ya Tukio La Arusha
    Tamko La Rais Juu Ya Tukio La Arusha
    Документ2 страницы
    Tamko La Rais Juu Ya Tukio La Arusha
    Ahmad Issa Michuzi
    Оценок пока нет
  • Annuur 1075
    Annuur 1075
    Документ12 страниц
    Annuur 1075
    annurtanzania
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • ANNUUR 1169a PDF
    ANNUUR 1169a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1169a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1167a PDF
    ANNUUR 1167a PDF
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1167a PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 112
    Annuur 112
    Документ16 страниц
    Annuur 112
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Annuur 1059
    Annuur 1059
    Документ16 страниц
    Annuur 1059
    MZALENDO.NET
    Оценок пока нет
  • Gazeti La Alnuur
    Gazeti La Alnuur
    Документ12 страниц
    Gazeti La Alnuur
    Hassan Mussa Khamis
    Оценок пока нет
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Документ16 страниц
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Siri ya Kifo
    Siri ya Kifo
    От Everand
    Siri ya Kifo
    Оценок пока нет
  • Kondoo Aliye Potea
    Kondoo Aliye Potea
    От Everand
    Kondoo Aliye Potea
    Оценок пока нет
  • A BOOK OF DIVINE BLESSINGS - Entering into the Best Things God has ordained for you in this life - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 3 of 12, Stage 1 of 3
    A BOOK OF DIVINE BLESSINGS - Entering into the Best Things God has ordained for you in this life - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 3 of 12, Stage 1 of 3
    От Everand
    A BOOK OF DIVINE BLESSINGS - Entering into the Best Things God has ordained for you in this life - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 3 of 12, Stage 1 of 3
    Оценок пока нет
  • Uanzishaji Wa Imani: Taasisi ya mafunzo ya Isaya 58
    Uanzishaji Wa Imani: Taasisi ya mafunzo ya Isaya 58
    От Everand
    Uanzishaji Wa Imani: Taasisi ya mafunzo ya Isaya 58
    Оценок пока нет
  • Utatu Mtakatifu
    Utatu Mtakatifu
    От Everand
    Utatu Mtakatifu
    Оценок пока нет
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    От Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Оценок пока нет
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Документ20 страниц
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Документ20 страниц
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Документ20 страниц
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Документ20 страниц
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Документ20 страниц
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Документ20 страниц
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Документ20 страниц
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Документ20 страниц
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Документ20 страниц
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Документ20 страниц
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Документ20 страниц
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Документ20 страниц
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Документ20 страниц
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Документ20 страниц
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Документ20 страниц
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Документ20 страниц
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Документ20 страниц
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Документ20 страниц
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Документ20 страниц
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Оценок пока нет