Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Jarida la Bunge
Bodi ya Uhariri
Mwenyekiti
Zawadi Msalla
Msanifu Jarida
Benedict Liwenga
Wahariri
Genofeva Matemu
Raymond Mushumbusi
Wajumbe
Lorietha Laurence
Shamimu Nyaki
Anitha Jonas
Limeandaliwa na:
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Jengo la PSPF Golden Jubilee
Ghorofa ya 8
Mtaa wa Ohio
S.L.P 8031, Dar es Salaam-Tanzania
Faksi : (+255) 22 2126834
Simu : (+255) 22 2126826
Tovuti: www.habari.go.tz
ii
Jarida
Jarida
la Bunge
la Wizara
Juni
ya- Habari
August 2016
4
iii
Jarida
la Bunge
Jarida
la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
TAHARIRI
NI MUDA MUAFAKA KWA TAALUMA YA HABARI KUHESHIMIKA
Na Shamimu Nyaki
Taaluma ya Habari ni taaluma ambayo imebeba majukumu makubwa sana katika jamii ikiwemo kuelimisha na
kuhabarisha jamii .Ni taaluma ambayo ikitumika tofauti na ilivyokusudiwa inaweza kusababisha migogoro
mikubwa ambayo inaweza hata kusababisha uvunjifu wa amani miongoni mwa jamii.
Kwa kutambua umuhumu wa taaluma hii Serikali kupitia Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo chini
ya Mhe. Waziri Nape Moses Nnauye mapema mwezi Septemba mwaka huu uliwasilishwa Muswada wa Sheria ya
Huduma za Habari ya mwaka 2016 katika Bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya kwanza
na baadaye mwezi Oktoba Mhe. Nape Nnauye aliuwasilisha tena kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma
ya Maendeleo ya Jamii.
Yote haya yalifanyika kwa nia nzuri ya kutaka tasnia hii iwe ni tasnia inayoheshimika na kuondoa dhana kuwa ni
taaluma ya waliokosa weledi na hata kupelekea kubatizwa majina ya ajabu kama vilekanjanja
Wakati akiwasilisha Muswada huo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma ya Maendeleo ya Jamii,Waziri
wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye alieleza kuwa, Muswada huo unalenga
kuihamisha Sekta ha Habari kuwa taaluma kamili na kuweka masharti ya kukuza na kuimarisha taaluma na
weledi katika tasnia ya habari nchini.
Sheria hii inaleta mageuzi makubwa katika usimamizi wa sekta ya habari hapa nchini, ni Sheria ambayo
inakwenda kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu kuifanya sekta ya habari kuwa sekta rasmi Alisema
Mhe. Nape.
Muswada huu sasa umebaki kuungwa mkono na wadau na wanahabari kwa ujumla kwani unairejesha tasnia ya
habari kwenye heshima yake kwa kuifanya iwe miongoni mwa fani za weledi kama fani nyingine za Sheria
Udaktari na nyinginezo.
Si hayo tu, bali pia unaboresha maslahi ya ya Waandishi wa habari na wafanyakazi wote ikiwemo kulinda
maslahi ya waandishi wa habari wakiwa kazini, wanapopata majanga mengine kama kuugua kuustaafu au
kuachishwa kazi ambapo mwajiri atatakiwa kisheria kuweka bima na hifadhi ya jamii kwa kila mtu aliyeajiriwa
katika chombo chake.
Faida nyingine iliyopo katika Muswada huu ni kuanzishwa kwa Baraza Huru la Habari, Mfuko wa Mafunzo ya
Habari na kuwezesha mafunzo ya ndani na nje ya nchi kwa Wanahabari na kudhibiti utangazaji na uandishi
wenye la kuleta kashfa kwa nchi.
HAPA KAZI TU!
Jarida
Jarida
la Bunge
la Wizara
Juniya- August
Habari 2016
Jaridana
laMichezo
Bunge
Jarida la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa
Yaliyomo
iii
iv
5
Jarida
Jarida
la Bunge
la Wizara
Juni
ya- Habari
August 2016
16
Jarida
la Bunge
Jarida
la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mafanikio ya Wizara
ya Habari ndani ya
mwaka mmoja wa JPM
Na Genofeva Matemu
mafunzo ya wanahabari.
Serikali ya Awamu ya Tano katika
kipindi cha mwaka mmoja
imeanzisha mfumo wa tiketi za
elektroniki katika uwanja wa Taifa
ikiwa na lengo la kuongeza mapato
lakini pia kukidhi huduma ya haraka
kwa wananchi wote watakaotumia
Uwanja wa Taifa katika matukio
mbalimbali ya michezo.
Akizungumza wakati wa ukaguzi wa
mfumo huo, Katibu Mkuu wa Wizara
ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel
alisema kuwa mfumo wa elektroniki
katika Uwanja wa Taifa ni wa kisasa
na unawawezesha watu wote kuingia
uwanjani ndani ya dakika 180 hivyo
kuokoa muda wakati wa kuingia
uwanjani.
Prof.Gabriel amesema kuwa kila
mashine inatumia sekunde mbili
kumruhusu mteja kuingia uwanjani
tofauti na awali ambapo ilimlazimu
mteja kupanga foleni kwa kutumia
tiketi za kawaida wakati wa kuingia
uwanjani lakini pia mfumo huo ni
kichocheo kikubwa katika kuongeza
mapato ya Serikali.
Rais huyu wa Serikali ya Awamu ya
Tano katika kuonyesha umuhimu wa
michezo nchini ameweza kufanya
mazungumzo mazuri na Mfalme
Mohammed VI wa Morocco ambapo
mazungumzo hayo yakaleta neema
ya kujengewa uwanja wa mpira
wenye thamani ya Dola za Marekani
milioni 80 (zaidi ya shilingi Bilioni 160)
katika Mji wa Dodoma utakaokuwa
mkubwa kuliko Uwanja wa Taifa
uliopo Jijini Dar es Salaam.
Heko Rais wetu, Mhe. Dkt. John
Pombe Joseph Magufuli, heko
viongozi wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa
kufanya mambo makubwa na mazuri
katika kila sekta ndani ya mwaka
mmoja. Ni ukweli usiopingika kuwa
Serikali ya awamu ya tano ipo kwa
ajili ya kuujenga uchumi wa nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu
Mbariki Rais wetu, Mungu wabariki
viongozi wote wa Serikali ya Awamu
ya Tano.
38
JaridaJarida
la Bunge
la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Muswada wa Sheria
ya Huduma za Habari
ya mwaka 2016
Na Cosato Chumi
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto)
akijibu hoja mbalimbali za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo
ya Jamii wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo
Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya
Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba.
Jarida
la Bunge
Jarida la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo
3
Kwa hakika, kuletwa kwa muswada
huo haikuwa kazi ya kitoto.
Kumefanyika jitihada kubwa na
msukumo mkubwa zaidi kutoka kwa
Wadau wa Vyombo vya Habari.
Mara kadhaa ilionekana kama vile
Serikali ndio inayochelewesha jambo
hili lakini hatimaye Muswada
umewasilishwa na uko katika hatua
muhimu ya wadau kutoa maoni yao.
Hata hivyo katika hali ya kushangaza,
Jumatano ya wiki iliyopita, wadau wa
vyombo vya habari waligomea
kuwasilisha maoni yao kwa Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za
Jamii kwa kile walichodai kuwa,
wanahitaji muda zaidi wa kuupitia
muswada huo.
Hoja ya wadau hao ni kuwa
hawakupewa muswada huo kwa
wakati. Madai yao tunaweza kusema
kuwa walikurupushwa, kwamba
walipewa dakika za majeruhi hivyo
hawakuwa wamejiandaa ipasavyo
kutoa maoni yao.
Hata Mwenyekiti wa Kamati Peter
Serukamba kuongeza muda kwa
muda wa takribani siku kumi, bado
wadau hawakutokea jomamosi ya
tarehe 29 Oktoba, 2016.
Ninasema katika hali ya kushangaza
kwa sababu, sikutarajia hoja hii
kutoka kwa Wadau wakati muswada
huo uliwasilishwa awali wakati wa
Bunge la Septemba, lakini pia hata
Waziri mwenye dhamana aliitisha
Mkutano na waandishi wa habari
mara baada ya kuwasilishwa. Kama
vile haitoshi Muswada huo ulikuwa
unapatikana katika tovuti za Bunge
na ile ya Wizara husika.
Bado nina mashaka na hoja hizi za
wadau, kwa mawazo yangu, hata
kama, narudia tena hata kama
ingekuwa Muswada huo haujawekwa
online kwa maana ya kwenye tovuti
za Bunge na Wizara, bado kwa jinsi
ambavyo jambo hili limesumbukiwa
kwa miaka mingi, ilikuwa ni wajibu wa
wadau kuhakikisha kuwa wanaupata
Muswada huo kwa udi na uvumba
10
5
Jarida la Wizara
Bunge ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Sheria ya Huduma za
Habari kufuta Sheria
ya Magazeti ya
mwaka 1976
Na Benedict Liwenga
Jarida
la Bunge
Jarida la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo
5
Wahariri wa vyombo vya habari
wanayo maoni yao kuhusu Muswada
huu. Wengi wao wanauunga mkono
katika vipengele kadha.
Bi Scolastika Mazula ambaye ni
Mhariri Mkuu wa kituo cha Redio Efm
anasema katika muswada huo wa
Sheria ya Huduma za Habari yapo
mambo mazuri yenye tija katika sekta
ya habari kama suala la kuanzishwa
kwa Mfuko wa Mafuzo ya Habari ni
jambo jema sana kwani utasaidia
kutoa fursa za waandishi
kujiendeleza kimasomo na kuifanya
fani ya habari kuwa na wasomi zaidi
tofauti na inavyoonekana kwa sasa.
Mfuko huu upo katika ibara ya 21 ya
Muswada wa Sheria ya huduma za
Habari.
Suala la elimu kwa waandishi ni bora
liwekwe wazi kisheria kwani tansnia
hii ya habari inahitajika kuheshimika
kama ilivyo tansia nyingine badala ya
kuonekana wababaishaji, anasema
Mazula.
Licha Mfuko huu kuanzishwa na
Sheria ambayo ipo kwenye
mchakato, yapo mambo mengi
ambayo ni mazuri kwa wanahabari
na tasnia kwa ujumla katika
Muswada huu, alisema Bw. Abbas.
11
12
7
Jarida
la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Jarida
la Bunge
Utamaduni na Sanaa
ni fursa kwa vijana
kujipatia Ajira
Na Lorietha Laurence
Habari,Utamaduni,Sanaa
na
Michezo kwa kusimamia ujenzi wa
Mwalimu
Kambarage
Nyerere
mageti ya Julius
kielektroniki
katika kuboresha
mwaka
1962yatokanayo
ilianzisha rasmi
Wizara
makusanyo
na michezo
iinayofanyika
Uwanja lengo
wa likiwa
Taifa.
ya
Vijana na Utamaduni
Jaridana
laMichezo
Bunge
Jarida la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa
7
zikiwemo Kenya,Ujerumani,Norway,
Argentina na Japan.
Katika kuadhimisha Tamasha la 35
lililokuwa na kauli mbiu ya SANAA
N A U TA M A D U N I K WA
MAENDELEO YA VIJANA Naibu
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Anastazia
Wambura anasema kauli hiyo
imekuja wakati muafaka ambapo
Serikali ya Awamu ya Tano ina
ajenda mahususi ya kuhakikisha
vijana nchini wanatumia fursa zote
zilizopo katika kujipatia ajira kwa
ustawi wa maisha yao.
Mhe. Anastazia anaongeza kwa
kueleza kuwa tasnia hizo zimegusa
kona zote za Utamaduni na Sanaa
kwa kushirikisha ngoma za
asili,maigizo ,maonyesho,filamu
,sanaa za ufundi na muziki na hivyo
kuwapa vijana mwanya wa kuchagua
kazi zipi za Sanaa na Utamaduni
zinawafaa katika kujiajiri na kuchukua
hatua ya kuzitumia kwa maslahi
binafsi na taifa kwa ujumla.
Vijana huu ni wakati muafaka wa
kutumia fursa zilizopo katika tasnia
ya sanaa na utamaduni kwa
maendeleo yenu na taifa kwa jumla
huku mkiimarisha ushirikiano na
mshikamano baina yenu anasema
Mhe. Anastazia.
13
Naibu Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo
Mhe. Anastazia Wambura (katikati)
akicheza muziki ikiwa ni ufunguzi wa
Tamasha la 35 la Sanaa na
Utamaduni lililofanyika September
26 Wilayani Bagamoyo Mkoa wa
Pwani chini ya uratibu wa Taasisi ya
Sanaa na Utamaduni
Bagamoyo(TaSUBa).
Jarida
Jarida
la Bunge
la Wizara
Juni
ya- August
Habari 2016
14
9
Jarida
la Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Jarida
la Bunge
Jitihada za Serikali
katika kuendeleza Sekta
ya Filamu nchini
Na Shamimu Nyaki
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi.Joyce Fisoo akitoa neno la shukrani
wakati wa ufunguzi wa mafunzo maalum ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wasanii
na watarishaji wa filamu wa michezo ya kuigiza yaliyofanyika tarehe 21 na 22 Oktoba
mwaka huu Mkoani Morogoro,kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro
Bw. Michael Joseph.
Jarida
Jarida
la Bunge
la Wizara
Juniya
- August
Habari 2016
10
10
9
Sheria ya Baraza la Sanaa Tanzania
(BASATA) Na.23 ya mwaka 1984,
Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki
Na.7 ya mwaka 1999 inayosimamiwa
na Chama cha Hakimiliki na
Hakishiriki ( COSOTA) pamoja na
Sheria ya Ushuru wa Bidhaa Sura ya
147 chini ya kanuni za stampu kwa
bidhaa za Filamu na Muziki ya
mwaka 2013 inayosimamiwa na
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Mhe. Nape alisema kuwa hatua hii ni
muhimu sio tu kwa manufaa ya
wasanii lakini pia katika kutekeleza
agizo Mhe.Rais wa Awamu ya Tano
wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania. Mhe.Dkt.John Pombe
Magufuli la kuwataka wanachi kulipa
kodi na kununua bidhaa halisi kwa
kutoa risiti na kupambana na wizi wa
kazi za sanaa nchini linasimamiwa
ipasavyo.
Hivi ndio vyombo vilivyopewa
dhamana ya kusimamia tasnia hii na
tayari vinaonesha dhamira ya dhati
kuhakikisha tasnia inasonga mbele
ambapo Kwa upande wa Bodi ya
Filamu Tanzania ambayo ina jukumu
la kutoa kibali cha kutengeneza
filamu,kukagua filamu kabla
haijaenda sokoni inasimamia kwa
ukamilifu jukumu hilo.
Katika hilo Katibu Mtendaji wa Bodi
ya Filamu Tanzania, Bibi Joyce
Fissoo alipokutana na viongozi wa
Mashirikisho ya Filamu nchini hivi
karibuni alisema kwamba Bodi yake
inahakikisha kuwa hakuna filamu
inayokwenda na itakayokwenda
Sokoni bila kufuata Sheria zote
zinazosimamiwa na Bodi hiyo
ikiwemo Sheria ya Filamu na
Michezo ya kuigiza kuigiza Na.4 ya
mwaka 1976.
Bibi Joyce ameongeza kuwa wasanii
wa filamu wanapaswa kuwa na tabia
ya kujifunza zaidi kuhusu filamu
kwakua ni sekta ambayo inabadilika
mara kwa mara kutokana na
maendeleo ya teknolojia.
Nawashauri muwe na utamaduni
Nataka niwahakikishie
wasanii na watengenezaji
wa Filamu kwamba kazi
hii nimeianza na
nitaendelea nayo na
hatutoshindwa bali
tutashinda na nawaonya
wanaofanya kazi ya kuiba
kazi za wasanii waache
mara moja
-Mhe. Nape Nnauye
Umuhimu wa Filamu
katika ukuzaji wa Lugha
ya Kiswahili
Na Genofeva Matemu
10
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (kushoto) akipokea Kamusi kuu ya
Kiswahili kutoka kwa Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Selemani Sewange alipotembelea ofisi za BAKITA
kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo Machi 2016.
18
Jarida la Bunge
Limeandaliwa na:
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Jengo la PSPF Golden Jubilee
Ghorofa ya 8
Mtaa wa Ohio
S.L.P 8031, Dar es Salaam-Tanzania
Faksi : (+255) 22 2126834
Simu : (+255) 22 2126826
Tovuti : www.habari.go.tz