Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
Wizara ya Habari
Utamaduni, Sanaa na Michezo
DESEMBA, 2016
TOLEO LA 004
HALIU
www.habari.go.tz
Bodi ya Uhariri
Mwenyekiti
Zawadi Msalla
Wajumbe
Genofeva Matemu,
Lorietha Laurence,
Raymond Mushumbusi,
Anitha Jonas,
Shamimu Nyaki
Msanifu Jarida
Benedict Liwenga
TAHARIRI
HONGERA WAZIRI NAPE KWA KUWAKUMBUKA BLOGGERS TANZANIA
Hivi karibuni Chama cha Bloggers (Tanzania Bloggers Network) walitoa
mafunzo kwa wanachama wake ili kuwaongezea uwezo katika masuala ya
habari na matumizi ya Mitandao ya kijamii katika kuhabarisha Umma.
Mitandao ya kijamii kwa miaka ya sasa imekuwa ni njia ya haraka na rahisi
kufikisha habari Duniani na watu kwa sasa wanatumia mitandao ya kijamii
hasa Blogu katika kuangalia mambo mbalimbali yanayojiri Duniani.
Kutokana na ukuaji huu wa matumizi ya mitandao ya kijamii, Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
aliwaeleza washiriki wa mafunzo hayo kuwa, Serikali inatarajia kuja na
mpango wa kuanzisha Tuzo za Bloggers Tanzania hapo mwakani ambapo
itakuwa ni fursa ya kuikuza tasnia ya Habari kwa njia ya Blogu.
Wakati wa Ufunguzi wa mafunzo hayo, Mhe. Nape Nnauye alisisitiza kuwa
Serikali inazitambua Blogu kuwa ni kati ya njia za usambazaji rahisi wa
habari na matukio mbalimbali yanayojiri na ndiyo njia inayokuwa kwa kasi
Duniani.
Serikali inazitambua blogu na nimeshaanza mchakato wa kuanzisha Tuzo
kwa Bloggers ili tuwe na ushindani katika hili na kukuza tasnia ya habari
kupitia Blogu, alisisitiza Mhe. Nnauye.
Kwa Bloggers sasa hii ni fursa ya kipekee ya kuikuza tasnia ya Habari
kupitia Blogu na mitandao ya kijamii, hivyo tuichukue fursa hii katika
kuitangaza nchi yetu na fursa zilizopo katika kutangaza utalii na uwekezaji
nchini.
ii
iii
Uk. 1
Uk. 3
Uk. 5
Uk. 7
Uk. 9
Uk. 11
Na Raymond Mushumbusi
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akikabidhi
zawadi ya tablet na shilingi million 1.5 kwa Bi.Tumaini Msoyowa mshindi wa kwanza wa
Shindano la mwandishi Bora wa habari zinazohusu lishe kutoka gazeti la Mwananchi
katika hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam Novemba 22, 2016.
Inatoka Uk. 1
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akizungumza na
Waandishi wa habari, wadau wa harakati za upatikanaji wa lishe bora nchini pamoja na Wahariri
wa Vyombo vya habari katika hafla ya kuwatunuku tuzo Waandishi bora wa masuala ya lishe nchini
iliyofanyika Jijini Dar es Salaam Novemba 22, 2016.
Inaendelea Uk. 3
Jarida
Jaridala
laWizara
Nchi Yetu
ya Habari
2016
Na Shamimu Nyaki
Inatoka Uk. 1
unaoshikika
na
usioshikika.
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na wadau wa sekta ya
filamu Jijini Mwanza katika kikao cha kujadili maendeleo ya filamu nchini.
Na Loreitha Laurence
wa filamu,mtunzi,mwandishi
muigizaji.
na
Inatoka Uk. 5
Katika
Mwaka
2003
Mjini Paris,
katika
kikao
cha
Mawaziri
wenye
dhamana
ya
Elimu
kutoka nchi 103 wanachama
wa
UNESCO
walipendekeza
kuanzisha
chombo
kisheria
kitakachotambulika
Kimataifa
kwa ajili ya kudhibiti matumizi ya
dawa na mbinu haramu katika
michezo,alisema Waziri Nnauye.
Hotuba
ya
Waziri
wa
Habari,Utamaduni,Sanaa
na
Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye
alipokuwa akiwasilisha azimio hilo
bungeni alisema katika Mkutano
Mkuu wa UNESCO Kikao cha 33
kilichofanyika Paris Tarehe 3-21
Oktoba, 2005 uliridhia kuandaliwa
Dawa za kuongeza
nguvu
zimekuwa
zikitumika
na
wanamichezo katika mashindano
ya Kitaifa na Kimataifa kwa
lengo ni kupata udhindi dhidi ya
wapinzani kinyume na misingi ya
kimichezo katika mashindano.
Katika kipindi cha Mwaka 1928
Inaendelea Uk. 8
Inatoka Uk. 7
Habari
ambalo
pamoja
na
majukumu
mengine
litasaidia
kutatua migogoro na kuandaa
Kanuni za Maadili kwa wanahabari.
Bodi ya Ithibati nayo itakuwa
na mchango mkubwa katika
kuwatambua
wanahabari
na
kuwasimamia ili watimize wajibu
wao kwa uhuru na weledi.
Sheria ya Magazeti ya Mwaka
1976 imepigiwa kelele sana na
Inaendelea Uk. 10
Jarida la Wizara ya Habari
10
Inatoka Uk. 9
Ikumbukwe
kuwa
mwaka
jana (2015) Muswa wa Sheria
ya Huduma za Habari uliletwa
Bungeni kwa hati ya dharula
ukakataliwa na kurudishwa kwa
wadau ili kupata maoni yao kwani
ndiyo wataosimamiwa na Sheria
hii mpya iliyopitishwa bungeni na
kuwa Sheria. Hivyo ilibidi urudishwe
kwa wadau na kupata amoni yao.
Zamu hii Muswada uliletwa
kwa mchakato wa kawaida wa
kutunga Sheria ambapo ulisomwa
Kwa niaba ya
Serikali napenda
kuwashukuru
wadau wote
walioshiriki kwa
namna moja au
nyingine katika
kuhakikisha
tunatimiza malengo
ya takribani miaka
20 iliyopita ya
kuifanya taaluma
hii ya habari
kuheshimika kama
zilivyo taaluma
nyingine,
-NAPE NNAUYE
11
12
LIMEANDALIWA NA
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Jengo la PSPF (Golden Jubilee)
Ghorofa ya 8Mtaa wa Ohio
S.L.P 8031, Dar es Salaam-Tanzania
Faksi : (+255) 22 2126834
Simu : (+255) 22 2126826
Tovuti : www.habari.go.tz
Tufuatilie kupitia
@Wizara_Habari
Wizara YA Habari
wizara_habari