Академический Документы
Профессиональный Документы
Культура Документы
2017
ANNUAL REPORT
TAARIFA YA MWAKA
www.simbacement.co.tz
01
12 Tanga Cement PLC ANNUAL REPORT 2017
Building today’s Dreams for tomorrow’s Generations
2017
Advocate Lau Masha
Chairman of the Board
TAARIFA YA MWAKA Tanga Cement PLC 02
12
Building today’s
Building today’s Dreams
Dreams for
for tomorrow’s
tomorrow’s Generations
Generations
Hasara halisi baada ya kodi kwa mwaka 2017 ya shilingi bilioni ishirini
na sita (Tsh 26 bilioni) iko chini ikilinganishwa na faida halisi ya shilingi
bilioni nne (Tsh 4 bilioni) ya mwaka 2016.
Fedha inayotokana na shughuli za biashara ilipungua na kufikia shilingi Hata hivyo tunawaahidi wadau
za kiTanzania bilioni tatu (Tsh 3 bilioni) kutoka shilingi za kiTanzania
bilioni ishirini (Tsh 20 bilioni) mwaka 2016 ikithibitisha ushindani
wetu wote kuwa tutaendelea
mkubwa kwenye soko la simenti. kutoa mchango wetu katika
Tanga Cement PLC ina matumaini na mauzo yake na pia udhibiti wa maendeleo na ukuaji wa nchi
gharama kwenye upande wa uzalishaji wakati ikiendelea kuongeza
thamani kwenye wanahisa wake. Kampuni inatumaini mwaka 2018
ya Tanzania kupitia simenti yetu
utakuwa mzuri ingawa kunaongezeko la ushindani sokoni. Mipango yenye ubora usio tetereka na
ya Serikali ya kukuza uchumi kupitia maendeleo ya miundombinu na
kukuza viwanda vya ndani inatarajiwa kuongeza matumizi ya ndani ya kuonyesha kwa vitendo kauli
simenti wakati ikizuia uingizaji wa simenti ya bei nafuu toka nje ya nchi. mbiu ya chapa yetu -
Katika kuiunga mkono sera ya Serikali ya viwanda ambayo itawafaidisha “STRENGTH WITHIN”.
wazalishaji wa ndani, Tanga Cement PLC pia imeanza kuuza klinka
mwaka 2017, ambapo imeweza kuwauzia wazalishaji wadogo wadogo
wa simenti na inaonesha kuna kiwango cha ukuaji kwa mwaka 2018.
Hii itakuwa na faida kwa upande wa gharama za uzalishaji na kuongeza
faida muhimu kwa kampuni hapo baadaye.
Hitimisho
Kampuni ilifanikiwa kuweka rekodi muhimu ya kiusalama kipindi cha
mwaka wa taarifa hii kwa kufikia masaa milioni mbili nukta sita (milioni Tanga Cement PLC inawashukuru wafanyakazi wake kwa
2.6) bila kupoteza muda kutokana na watu kupata majeraha ama uvumilivu na kujitoa kwaajili ya kampuni na wateja wake
kujeruhiwa. Dhamira yetu ya kuwa na mazingira salama na endelevu wakiiamini chapa ya bidhaa za Simba Simenti, ambapo kampuni
kwa wafanyakazi wetu wote na wakandarasi waliopo kiwandani inafanyakazi ili kufanikisha malengo yake ya muda mfupi na ya
yanatengeneza sehemu kubwa ya utamaduni wetu kama Simba muda mrefu.
simenti.
Pamoja na Tanzania kuwa nchi ya pili kwa kuwa na ukubwa wa
Gawio soko la vifaa vya ujenzi Afrika Mashariki, uzalishaji wa simenti
Mwaka 2017 bodi ilitangaza na kulipa gawio la mwisho kwa mwaka unatarajiwa kuongezeka, na Tanga Cement PLC iko tayari
wa fedha 2016 ambalo ni kiTanzania shillingi ishirini na tano kwa hisa kunyakua fursa hizi za ukuaji wa soko katika ukanda. Tuna shauku
(Tsh 25) ambayo jumla yake ni kiTanzania shilingi bilioni moja nukta kubwa kufikia malengo ya juu ya pamoja kwa mwaka 2018
sita (Tsh 1.6 bilioni) (mwaka 2015 ilikuwa Tsh 25 kwa hisa ambapo tukishirikiana na wadau wetu wote.
jumla ni Kitanzania shilingi 1.6 bilioni). Jumla ya gawio lililotangazwa
na kulipwa kwa mwaka wa fedha wa 2016 lilikuwa kiTanzania shilingi
themanini kwa hisa (Tsh 80) ambayo ni kiTanzania shilingi bilioni tano
(Tsh 5 bilioni).
Kampuni (kundi) haikutangaza gawio la nusu mwaka kwa mwaka 2017 Advocate Lau Masha
na wala haitarajii kutangaza gawio la mwisho kwa wanahisa na hii Mwenyekiti wa Bodi
ni kutokana na utendaji wa kampuni kifedha. Bodi imeona ni busara
kutumia rasilimali ya fedha kwaajili ya shughuli za kiutendaji na kulipa
madeni.
2017
Trade and other payables 30,835,419 34 507 286 27,998,095 31 791 719
Bank overdrafts 12 453 135 6 984 256 12 453 135 6 984 256
76,673,466 54 649 125 73,836,142 51 933 558 ANNUAL REPORT
TOTAL EQUITY AND LIABILITIES 437 532 351 450 315 326 435 002 310 449 294 409 Building today’s Dreams for tomorrow’s Generations
naidhinishwa kwa:
Mapato ya fedha 43 881 83 059 43 881 83 059
Wamiliki wa kampuni mama (26 353 736) 4 197 249 (27 078 314) 4 276 253
Kodi ya mapato iliyolipwa (618 434) (656 832) - (358 183)
Riba isiyodhibitika - - - -
Fedha taslimu inayotokana na uendeshaji 3 080 150 20 647 073 2 079 747 20 373 020
Jumla ya mapato halisi (26 353 736) 4 197 249 (27 078 314) 4 276 253
Shughuli za uwekezaji
Wastani wa idadi ya hisa 62 967 893 62 967 893 62 967 893 62 967 893 Mapato toka kwa uuzaji wa mali 3 728 2 003 503 - 1 999 320
Mapato kwa hisa (TSh) (418) 68 (430) 68 Ununuzi wa Mali za kudumu (7 975431) (17 288 687) (7 734 979) (17 284 923)
Magawio kwa hisa (Tsh) 25 80 25 80 Mapato yatokanayo na uuzaji na uwekezaji
shiriki 651, 786 - 651,786 -
Reinhardt Swart
Managing Director
The 2017 financial year was testament to the challenging general Ensuring Sustainable Growth
economic and business environment. Against this backdrop we made We are proactively adapting our business strategies to the
good progress by increasing cement production output volumes by fluid geopolitical and macroeconomic market dynamics while
ten percent (10%) over the prior year optimising our new integrated remaining cognisant of our core business and our responsibility to
production line. However, the significant pricing pressure experienced all our stakeholders. Our ongoing cost optimisation and efficiency
in a double oversupplied market weighed down on profitability. Our improvement programmes in production and operations are
resilient business model and cost controls ensured that we remained yielding exciting results while retaining our brand equity of superior
competitive while a number of cement players were forced to shut quality performance cement. The production capacity expansion
down for extended periods as a result of the challenges presented. investment TK2 has positioned Tanga Cement to meet the
anticipated increase in future cement demand in Tanzania.
Our financial performance reflected the impact of significant
competition in the market. Unpredictable and erratic price behaviour
Our agreement with Tanzania Railway Limited (TRL) allows us access
by other major market players was a major concern for lowering
to more dedicated wagons for the Company as well as sole rental
consumer expectations to unrealistic and unsustainable pricing levels.
agreements of rail depots along the strategic distribution lines.
Our continued Quality and Safety performance excellence of the highest This advantage reduces our storage and transportation costs while
international standards contributed to our competitive advantage for enhancing rail transport and distribution capacity in Tanzania.
sustainability in all areas of our business.
Outlook
Performance We continue to seek out new opportunities and improve on our
Sales revenue improved by three percent (3%) year on year to Tanzanian production efficiency, product offering and distribution solutions to
shillings one hundred seventy two billion (TZS 172bn) in FY2017 supply our products to upcoming infrastructure projects.
compared to Tanzanian shillings one hundred sixty seven billion (TZS
167bn) in FY2016 on the back of a healthy growth in sales volumes. 2018 is poised to provide exciting opportunities from geopolitical
The competitive market pricing significantly impacted on the reduction developments and increased competition.
in Gross Profit by forty sixy percent (46%) compared to the prior year.
Despite the initial delay by government in the roll-out of these
The company registered a decrease in Earnings Before Interest Tax
projects, we remain optimistic that they will pick up in the near
Depreciation and Amortisation (EBITDA) to Tanzanian shillings nine
future as indicated by government.
billion (TZS 9bn) in FY2017 from Tanzanian shillings thirty eight billion
(TZS 38bn) in 2016. Government approved large infrastructure projects such as the
oil export pipeline from Uganda through Tanga in Tanzania, the
The new integrated manufacturing line and kiln, TK2, which increased
Standard Gauge Railway (SGR) and the Dar es Salaam and Tanga
our clinker and cement production capacity to 1.25mt per annum,
port upgrades are gaining momentum and is anticipated to boost
continued to perform well by making Tanga Cement self-sufficient
demand for cement in Tanzania over the next five years.
in clinker in the long term. The company ramped up production
throughout the year and generated additional revenue from sale of
excess clinker.
We further optimised our transport logistics and rail utilisation with
direct access to the rail line into our packing and loading bays.
Reinhardt Swart
Depreciation on the new capital investment, interest on loan funding Managing Director
and foreign were the main contributors to the net loss after tax of
Tanzanian shillings twenty six billion (TZS
( 26bn) for 2017.
Tuliboresha zaidi mfumo wetu wa usafiri na matumizi ya reli Serikali iliidhinisha miradi mikubwa ya miundombinu kama vile bomba
ambayo hufika moja kwa moja mpaka kwenye eneo letu la la usafirishaji mafuta kutoka Uganda kupitia Tanga, Tanzania, Reli ya
kufungashia na kupakilia. Kiwango (SGR) na uboreshaji wa bandari za Dar es Salaam na Tanga
ambavyo vinashika kasi, na miradi hii inatarajiwa kuongeza kasi ya
Uchakavu kwenye mtaji wetu wa uwekezaji na ulipaji riba kwenye mahitaji ya simenti ndani ya miaka mitano ijayo nchini Tanzania.
mkopo wa kigeni, vilichangia kwa kiasi kikubwa na kuleta hasara
ya shilingi za kiTanzania bilioni ishirini na sita (Tsh 26 bilioni) kwa
mwaka 2017.
Kuhakikisha Ukuaji Endelevu
Tunatekeleza kikamilifu mikakati yetu ya kibiashara kufuatana na
mienendo ya mabadiliko ya soko na ya kisiasa na kiuchumi huku Reinhardt Swart
tukiendelea kuhusisha biashara yetu na wajibu wetu kwa wadau Mkurugenzi Mtendaji
wetu wote.
P O Box .................................................................................................................. as my/ Proxy to vote for me/ on our behalf at the Annual General Meeting
of the Company to be held on Friday 24 August 2018, at the Double Tree Hilton, Dar Es Salaam, or at any adjournment thereof.
.................................................................................
(Signature/s)
TAARIFA YA MWAKA
Building today’s Dreams for tomorrow’s Generations
2017 Tanga Cement PLC 12
Mimi/Sisi.............................................................................................................................. wa S L P ...............................................................................................................
na kwa niaba yangu/ yetu katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Kampuni utakao fanyika siku ya Ijumaa 24 Agosti 2018, Hoteli ya
.................................................................................
(Saini)
1. Notice of Meeting
Notice convening the meeting to be taken as read.
2. Approval of Minutes
To approve and sign the minutes of the twenty third Annual General Meeting held
on 5 May 2017.
5. Appointment of Directors
To appoint Directors to the Board.
8. General
Any other business.
Any member entitled to attend and vote at the meeting is entitled to appoint a proxy or proxies to attend and
vote on their behalf. If a member is an organisation then they must submit proxy forms and a Board resolution
to approve the appointment of the proxy. These proxies are to reach the registered office of the Company not
less than 48 hours before the time of the meeting. Members and holders of proxies are required to bring with
them acknowledgements of receipt of delivery of proxy forms, copies of proxy forms and identification card for
registration purposes.
Quresh Ganijee
Company Secretary
24 July 2018
1. Taarifa ya Mkutano
Taarifa ya kuitisha mkutano ichukuliwe kama inavyosomeka.
2. Kupitisha Kumbukumbu
Kuidhinisha na kusaini kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Mwaka wa ishirini na mbili uliofanyika
tarehe 5 Mei 2017.
5. Uteuzi wa Wakurugenzi
Kuteua Wakurugenzi wa Bodi.
8. Majumuisho
Mengineyo.
Mwanachama yeyote anayestahili kuhudhuria na kupiga kura kwenye mkutano ana haki ya kuchagua
mwakilishi au wawakilishi na kupiga kura kwa niaba yake. Kama mwanachama ni shirika basi mwakilishi
anatakiwa fomu za uwakilishi pamoja na maamuzi ya Bodi ya kumteua mwakilishi huyo. Fomu hizo
zifike katika ofisi iliyosajiliwa ya Kampuni si chini ya ya masaa 48 kabla ya muda wa mkutano kuanza.
Wanachama au wawakilishi wanatakiwa kuja na risiti ya amana na kitambulisho kwaajili ya usajili.
Quresh Ganijee
Katibu wa Kampuni
24 Julai 2018